15.01.2013 Views

1 1.0 UTANGULIZI Tiba ya magonjwa imekuwepo kwa ... - Tanzania

1 1.0 UTANGULIZI Tiba ya magonjwa imekuwepo kwa ... - Tanzania

1 1.0 UTANGULIZI Tiba ya magonjwa imekuwepo kwa ... - Tanzania

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>1.0</strong> <strong>UTANGULIZI</strong><br />

<strong>Tiba</strong> <strong>ya</strong> <strong>magonjwa</strong> <strong>imekuwepo</strong> <strong>kwa</strong> karne nyingi katika historia <strong>ya</strong> binadamu nchini. Baada<br />

<strong>ya</strong> karne <strong>ya</strong> 10 tiba za kigeni ziliingizwa na wafan<strong>ya</strong>biashara wa Kiarabu, Kireno,<br />

Kifaransa, n.k. Hadi mwishoni mwa karne <strong>ya</strong> 18 na kuendelea, tiba <strong>ya</strong> kigeni iliingizwa<br />

zaidi na utawala wa kikoloni pamoja na wamisionari. <strong>Tiba</strong> asili na tiba mbadala pamoja na<br />

tiba <strong>ya</strong> kisasa zimeendelea kutolewa hadi sasa karne <strong>ya</strong> ishirini na moja.<br />

Kabla <strong>ya</strong> Uhuru mwaka 1961, huduma za af<strong>ya</strong> na ustawi wa jamii zilitolewa na utawala wa<br />

kikoloni: kipindi cha Wajerumani mwaka 1889 – 1916 na Waingereza 1916 – 1960.<br />

Huduma hizo zililenga zaidi mahitaji <strong>ya</strong> wakoloni na nyingi zilikuwa katika maeneo <strong>ya</strong><br />

mijini.<br />

Baada <strong>ya</strong> Uhuru 1961 – 2011, huduma za af<strong>ya</strong> na ustawi wa jamii zimeendelea kutolewa na<br />

Serikali, Sekta binafsi, Mashirika dini na <strong>ya</strong>siyo <strong>ya</strong> kiserikali pamoja na v<strong>ya</strong>ma v<strong>ya</strong> kijamii.<br />

Huduma hizo zimelenga wananchi wote, vijijini na mijini. <strong>Tiba</strong> asilia nayo imeendelea<br />

kutolewa zaidi na waganga na wakunga wa jadi na hasa katika maeneo <strong>ya</strong> vijijini.<br />

Maendeleo makubwa katika utoaji wa huduma za af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>mejitokeza zaidi, katika kipindi<br />

cha miaka 50 <strong>ya</strong> uhuru, ukilinganisha na kipindi cha takribani miaka 70 <strong>ya</strong> ukoloni<br />

(Utawala wa Wajerumani, 1889 -1916 na Utawala wa Waingereza, 1916 – 1960).<br />

Taarifa hii inaelezea hali halisi <strong>ya</strong> utoaji wa huduma za af<strong>ya</strong> na ustawi wa jamii tulizorithi<br />

kutoka utawala wa mwisho wa kikoloni wa Waingereza mwaka 1960 na kisha maendeleo<br />

<strong>ya</strong> utoaji wa huduma hizo katika kipindi cha miaka hamsini <strong>ya</strong> uhuru. Aidha, maelezo<br />

katika taarifa hii <strong>ya</strong>metolewa <strong>kwa</strong> mtiririko wa matukio <strong>ya</strong> hali <strong>ya</strong> af<strong>ya</strong> kabla na baada <strong>ya</strong><br />

uhuru na hatua za kiutekelezaji zikijumuisha rasilimali (inputs) michakato na matokeo.<br />

Taarifa inahitimishwa <strong>kwa</strong> kuelezea maeneo <strong>ya</strong>nayohitajika kufanyiwa kazi na mwelekeo<br />

wa baadaye na hitimisho.<br />

1


2.0 HALI YA AFYA NA USTAWI WA JAMII KABLA YA UHURU<br />

2.1 Utangulizi<br />

Kwa mara <strong>ya</strong> <strong>kwa</strong>nza, huduma za tiba za kigeni (Western medicine) ziliingizwa nchini na<br />

wamisionari, wakati wa Livingstone, mwaka 1877. Hospitali <strong>ya</strong> <strong>kwa</strong>nza ilijengwa<br />

Mambo<strong>ya</strong>, Mpwapwa. Utaratibu wa utoaji wa huduma za tiba ulianzishwa katika kipindi<br />

cha utawala wa wajerumani, mwaka 1889 – 1916. Kwa wakati huo huduma hizo zilikuwa<br />

zikitolewa zaidi <strong>kwa</strong> watumishi wa Serikali <strong>ya</strong> Kijerumani, wafan<strong>ya</strong>biashara na askari wa<br />

kiafrika. Vituo v<strong>ya</strong> kutolea tiba vilijengwa zaidi katika miji na makazi <strong>ya</strong> wajerumani.<br />

Pamoja na huduma za tiba, chanjo <strong>ya</strong> ugonjwa wa ndui ilikuwa inatolewa <strong>kwa</strong> ajili <strong>ya</strong><br />

kinga. Chanjo hiyo ilianza kutengezwa Dar-es-Salaam, mwaka 1891. Huduma za af<strong>ya</strong><br />

zilielekezwa <strong>kwa</strong> <strong>magonjwa</strong> <strong>ya</strong>liyokuwa <strong>ya</strong>kisumbua zaidi wageni <strong>kwa</strong> wakati huo, ikiwa ni<br />

pamoja na malaria, ndui, tauni, malale, ukoma na <strong>magonjwa</strong> <strong>ya</strong> akili.<br />

Baada <strong>ya</strong> Vita Kuu <strong>ya</strong> <strong>kwa</strong>nza mwaka 1914-1918, nchi yetu ilitawaliwa na Waingereza,<br />

mwaka 1916 – 1960. Katika kipindi hicho huduma za tiba ziliendelezwa <strong>kwa</strong> kiasi kikubwa<br />

ukilinganisha na huduma za kinga. Kwa wakati huo idara <strong>ya</strong> tiba iligawanywa katika<br />

matawi mawili: tiba na usafi <strong>kwa</strong> ajili <strong>ya</strong> af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> jamii. Pamoja na kutoa kipaumbele katika<br />

tiba, majukumu mengine katika uboreshaji wa huduma za af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>lilenga katika upatikanaji<br />

wa maji, huduma za utupaji taka, kuangamiza mazalia <strong>ya</strong> mbu, n.k.<br />

Vituo vingi v<strong>ya</strong> kutolea huduma ikiwa ni pamoja na hospitali zilijengwa. Aidha watumishi<br />

wa af<strong>ya</strong> waliongezeka ikiwa ni pamoja na kuongeza kada mbali mbali. Kada za watumishi<br />

zilikuwepo wakati wa ukoloni ni: madaktari wa kigeni, matabibu (medical assistant),<br />

watoaji dawa (dispensers), wasaidizi maabara (African laboratory assistants), wahudumu wa<br />

tiba (medical auxilliaries), wafunga vidonda (tribal dressers), wakaguzi wa usafi (urban<br />

sanitary inspectors), wauguzi, n.k.<br />

Hata hivyo Vita Kuu <strong>ya</strong> pili, mwaka 1939–1945 ilirudisha nyuma maendeleo ikiwa pamoja<br />

na utoaji wa huduma za af<strong>ya</strong>. Baada <strong>ya</strong> vita hivyo, kamati iliundwa kuandaa sera <strong>ya</strong><br />

kusaidia mashirika <strong>ya</strong> dini <strong>ya</strong>liyokuwa <strong>ya</strong>kitoa huduma za af<strong>ya</strong>. Kwa hiyo serikali <strong>ya</strong><br />

kikoloni ilitoa ruzuku <strong>kwa</strong> mashirika <strong>ya</strong> dini <strong>kwa</strong> kutumia vigezo v<strong>ya</strong> idadi <strong>ya</strong> vitanda v<strong>ya</strong><br />

kulaza wagonjwa, idadi <strong>ya</strong> watumishi pamoja na utoaji mafunzo. Kwa wakati huo, theluthi<br />

moja <strong>ya</strong> jumla <strong>ya</strong> vitanda v<strong>ya</strong> wagonjwa nchini, ilikuwa kwenye vituo vinavyotoa huduma<br />

za af<strong>ya</strong> chini <strong>ya</strong> mashirika <strong>ya</strong> dini. Aidha huduma za af<strong>ya</strong> za mama na mtoto zilitolewa zaidi<br />

na mashirika hayo ikiwa ni pamoja na utoaji wa mafunzo <strong>kwa</strong> watumishi hususan wauguzi.<br />

Kufuatia utekelezaji wa andiko la Dr. Pridie mwaka wa 1949, katika kipindi cha mwaka<br />

1950 hadi 1955, hospitali na zahanati nyingi zilijengwa na idadi <strong>ya</strong> vitanda iliongezeka <strong>kwa</strong><br />

asilimia 15 kutoka vitanda 4,535 (1950) hadi kufikia 5,206 (1955). Hospitali mp<strong>ya</strong><br />

zilizofunguliwa ni pamoja na hospitali <strong>ya</strong> kifua kikuu <strong>ya</strong> Kibong’oto. Katika kipindi hicho<br />

jiwe la msingi la hospitali <strong>ya</strong> Princess Margaret (ambayo ni Hospitali <strong>ya</strong> Taifa <strong>ya</strong><br />

Muhumbili) liliwe<strong>kwa</strong> na ikafunguliwa mwaka 1960. Kufikia mwaka 1955 nchi nzima<br />

ilikuwa na kiliniki za mama wajawazito 188 na kiliniki za watoto 119.<br />

Hadi mwaka 1961, serikali huru ilirithi huduma za af<strong>ya</strong> na ustawi wa jamii kutoka utawala<br />

wa ukoloni wa Kingereza kama ifuatavyo:<br />

2


2.2 Idadi <strong>ya</strong> hospitali na zahanati pamoja na vitanda hadi tarehe 31 Desemba, 1961<br />

Katika kipindi cha utawala wa kikoloni, lengo liliwe<strong>kwa</strong> la kuwa na uwiano wa kitanda 1<br />

<strong>kwa</strong> kila watu 1,000. Aidha lengo lingine ilikuwa kuwa na kituo cha af<strong>ya</strong> 1 <strong>kwa</strong> kila watu<br />

40,000 au 50,000, na <strong>kwa</strong>mba kituo hicho kiwe na uwiano wa watumishi kama ifuatavyo:<br />

Mganga Msaidizi 1, Mkaguzi wa Af<strong>ya</strong> 1, Mkunga kijijini 2, Mhudumu Muuguzi 2,<br />

Mhudumu wa Af<strong>ya</strong> 1, na Watumishi wa kawaida 2.<br />

Hadi mwaka 1956 kulikuwa na uwiano wa kitanda 0.6 <strong>kwa</strong> kila watu 1,000 chini <strong>ya</strong> lengo<br />

la kitanda 1 <strong>kwa</strong> kila watu 1,000. Jedwali linalofuata linaonyesha idadi <strong>ya</strong> hospitali na<br />

zahanati pamoja na vitanda vilivyokuwapo hadi kufikia Desemba, 1961.<br />

Jedwali 1: Hali <strong>ya</strong> Idadi <strong>ya</strong> Vituo na Vitanda v<strong>ya</strong> Wagonjwa hadi Desemba, 1961<br />

MILIKI IDADI YA VITUO IDADI YA VITANDA<br />

SERIKALI KUU<br />

Hospitali <strong>ya</strong> kawaida<br />

Hospitali maalumu<br />

Zahanati<br />

Jumla<br />

SERIKALI ZA MITAA<br />

Kituo cha Af<strong>ya</strong> na Zahanati<br />

MASHIRIKA YA KUJITOLEA<br />

Hospitali<br />

Zahanati (vitanda >20)<br />

Zahanati (vitanda


2.3 Watumishi wa Huduma za Af<strong>ya</strong> hadi Desemba 1961<br />

Watumishi waliofunzu shahada <strong>ya</strong> udaktari walikuwa 400 (watanzania wakiwa chini 20).<br />

Jumla <strong>ya</strong> idadi za hospitali na zahanati <strong>kwa</strong> pamoja zilikuwa 1,343 zikiwa na jumla <strong>ya</strong><br />

vitanda 18,832.<br />

Jumla <strong>ya</strong> madaktari waliosajiliwa na wenye leseni na kufan<strong>ya</strong> kazi mwaka wa 1961<br />

walikuwa 403: vituo binafsi 182; serikalini 140; na Mashirika <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Kujitolea 81.<br />

Jitihada za kuongeza watumishi zilifanyika katika kipindi cha miaka 5 <strong>ya</strong> mwisho katika<br />

kipindi cha ukoloni wa Waingereza. Jedwali lifuatalo linaonyesha ongezeko hilo la<br />

watumishi.<br />

Jedwali 3: Hali <strong>ya</strong> Watumishi wa Af<strong>ya</strong> mwaka 1956 ukilingalisha na mwaka 1961*<br />

Kada Mwaka 1956 Mwaka 1961<br />

Madaktari<br />

Madaktari Meno<br />

Waganga wasaidizi (Tabibu)<br />

Famasia wasaidizi<br />

Lab assistants<br />

Dental assistants<br />

Radiographers<br />

Registered Nurses<br />

Laboratory technologists<br />

Pharmacists<br />

439<br />

28<br />

200<br />

25<br />

43<br />

-<br />

3<br />

1,024<br />

3<br />

25<br />

Chanzo: “The Health Services of Tanganyika pg. 75<br />

580<br />

30<br />

402<br />

38<br />

49<br />

19<br />

2<br />

1,999<br />

3<br />

50<br />

* Cummulative figures<br />

Baadhi <strong>ya</strong> midwives wamejumuishwa kuwa registered nurses<br />

2.4 Utumiaji wa huduma za tiba hadi tarehe, 31 Desemba, 1961<br />

Jedwali 4: Hali <strong>ya</strong> Utumiaji wa Huduma za <strong>Tiba</strong> hadi Desemba 1961<br />

MILIKI WAGONJWA WAGONJWA WA NJE<br />

WALIOLAZWA MAHUDHURIO YA KWANZA<br />

SERIKALI KUU 160,941 1,996,882<br />

SERIKALI ZA MITAA - 6,506,263<br />

MASHIRIKA YA KUJITOLEA 152,298 1,239,510<br />

HUDUMA MAKAZINI 39,085 679,689<br />

JUMLA 352,324 10,422,344<br />

Chanzo: “The Health Services of Tanganyika pg. 36”<br />

4


2.5 Huduma za uzazi na watoto hadi 31 Desemba, 1961<br />

Kwa mara <strong>ya</strong> <strong>kwa</strong>nza mwaka 1960, huduma za kinga za chanjo <strong>kwa</strong> watoto zilianzishwa.<br />

Mashirika <strong>ya</strong> Kujitolea <strong>ya</strong>litoa mchango mkubwa katika huduma hizo.<br />

Jedwali 5: Hali <strong>ya</strong> Utumiaji wa Huduma za Af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Mama na Mtoto hadi Desemba 1961<br />

MILIKI IDADI YA IDADI YA MAHUDHURIO<br />

KILINIKI<br />

YA KWANZA<br />

SERIKALI KUU<br />

Huduma za Kiliniki za Mama Wajawazito<br />

71 48,667<br />

SERIKALI ZA MITAA 204 68,601<br />

MASHIRIKA YA KUJITOLEA 137 59,946<br />

Jumla 412 177,214<br />

SERIKALI KUU<br />

Huduma za Kiliniki za Watoto<br />

69 29,715<br />

SERIKALI ZA MITAA 195 52,635<br />

MASHIRIKA YA KUJITOLEA 190 54,154<br />

Jumla 454 136,504<br />

Chanzo: “The Health Services of Tanganyika pg. 37”<br />

2.6 Uendeshaji wa huduma za Af<strong>ya</strong> katika Serikali Kuu<br />

Kama sekta nyingine za serikali, uendeshaji wa huduma za af<strong>ya</strong> ulikuwa katika ngazi tatu:<br />

Wizara, Mkoa na Wila<strong>ya</strong>. Huduma za af<strong>ya</strong> ziliendeshwa chini <strong>ya</strong> Wizara <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> na Kazi,<br />

Kiongozi Mkuu alikuwa Mganga Mkuu wa Serikali akiwa na wasaidizi watatu: Madaktari<br />

Waandamizi (Principal Medical Officers) watatu; Muuguzi Mkuu (Principal Matron), na<br />

Mkaguzi Mkuu wa Af<strong>ya</strong> (Chief Health Inspector).<br />

Huduma maalumu zilizosimamiwa na Af<strong>ya</strong> Makao Makuu ni kama zifuatazo:<br />

• Mafunzo (Medical training).<br />

• Huduma za Maabara na Dawa (Pathology and Pharmaceutical Services).<br />

• Huduma za Af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Akili (Psychiatric Services).<br />

• Vitengo maalumu: Malaria, Elimu <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> na Lishe.<br />

5


3.0 HALI YA AFYA NA USTAWI WA JAMII BAADA YA UHURU<br />

Kwa ujumla kulikuwa na mabadiliko makubwa katika hali <strong>ya</strong> af<strong>ya</strong> na ustawi wa jamii mara<br />

baada <strong>ya</strong> uhuru mwaka 1961 hadi 2011 kipindi cha miaka 50 <strong>ya</strong> uhuru, hasa katika maeneo<br />

<strong>ya</strong> rasilimali watu, miundombinu (majengo na mitambo), rasilimali fedha, ushirikishwaji wa<br />

wadau wa sekta <strong>ya</strong> af<strong>ya</strong>, Ugavi, Uongozi na Uendeshaji, Sera na Mipango, Utafiti wa<br />

masuala <strong>ya</strong> af<strong>ya</strong>, Uhakiki wa Ubora wa huduma za af<strong>ya</strong>, n.k.<br />

Sera na mipango<br />

Mara baada <strong>ya</strong> uhuru hapakuwa na Sera rasmi <strong>ya</strong> taifa <strong>ya</strong> af<strong>ya</strong> na ustawi wa jamii. Mtazamo<br />

wa kisera ulikuwa ni kupambana na maradhi, ujinga na umaskini. Utekelezaji wake<br />

ulitegemea mipango <strong>ya</strong> serikali <strong>ya</strong> maendeleo miaka mitano mitano ambayo ililenga<br />

kusambaza huduma vijijini na kutilia mkazo kinga. Sera <strong>ya</strong> taifa <strong>ya</strong> af<strong>ya</strong> iliandaliwa mwaka<br />

1990 na kufanyiwa marekebisho makubwa mwaka 2007. Utekelezaji wa Sera hiyo rasmi<br />

unategemea mipango mikakati, mikakati <strong>ya</strong> miradi, miongozo na mipango kazi.<br />

Uongozi na uendeshaji<br />

Wakati wa Uhuru, huduma za af<strong>ya</strong> zilikuwa chini <strong>ya</strong> Wizara <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> na Kazi ikiongozwa<br />

na Waziri na Mtendaji Mkuu alikuwa Mganga Mkuu wa Serikali (Chief Medical Officer).<br />

Serikali na Wizara zilikuwa ndogo. Ila baada <strong>ya</strong> uhuru, uongozi na uendeshwaji wa huduma<br />

za af<strong>ya</strong> ulipanuka, uliimarishwa na kuboreshwa ili kukidhi mahitaji <strong>ya</strong> wananchi wote<br />

mijini na vijijini hususan kuinua na kuboresha huduma za af<strong>ya</strong> na ustawi wa jamii.<br />

Rasilimali watu<br />

Tulipopata uhuru mwaka 1961, wataalamu wa af<strong>ya</strong> na ustawi wa jamii walikuwa wachache<br />

na wengi wao walikuwa wageni. Aidha kada za af<strong>ya</strong> zilikuwa chache na za ujuzi mdogo au<br />

wa kawaida, <strong>kwa</strong> mfano madaktari, wauguzi na maafisa af<strong>ya</strong>. Kwa hiyo juhudi za<br />

makusudi za kuandaa sera na mipango <strong>ya</strong> mafunzo <strong>kwa</strong> kada mbalimbali na kuongeza ujuzi<br />

kama vile madaktari bingwa wa fani mbalimbali na kada nyingine ambazo hazikuwepo<br />

hapo awali.<br />

Rasilimali fedha<br />

Tulipopata uhuru huduma za af<strong>ya</strong> na ustawi wa jamii zilikuwa zimeathirika kutokana na<br />

uhaba wa fedha ambao ulisababishwa na matukio <strong>ya</strong> vita hususan vita v<strong>ya</strong> pili mwaka 1939-<br />

1945. Huduma hizo zilikuwa zinatolewa <strong>kwa</strong> madaraja, ambapo daraja la <strong>kwa</strong>nza hadi la<br />

tatu huduma zilikuwa zinatolewa <strong>kwa</strong> malipo, wakati <strong>kwa</strong> daraja la nne huduma zilitolewa<br />

bure. Aidha huduma za af<strong>ya</strong> zilizokuwa zikitolewa na mashirika <strong>ya</strong> dini zilianza kupewa<br />

ruzuku na serikali. Baada <strong>ya</strong> uhuru huduma za af<strong>ya</strong> zilitolewa bila malipo <strong>kwa</strong> wote katika<br />

vituo v<strong>ya</strong> serikali. Sera <strong>ya</strong> uchangiaji huduma za af<strong>ya</strong> ilianzishwa mwaka 1993 kutokana<br />

upungufu wa rasilimali fedha. Aidha sera hiyo iliibua uanzishaji wa v<strong>ya</strong>nzo mbalimbali v<strong>ya</strong><br />

fedha kama vile malipo <strong>ya</strong> papo <strong>kwa</strong> papo, mfuko wa af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> jamii na mfuko wa taifa wa<br />

bima <strong>ya</strong> af<strong>ya</strong>. Kutokana na pengo katika bajeti, Wizara <strong>kwa</strong> kushirikiana na wadau wa<br />

maendeleo katika sekta <strong>ya</strong> af<strong>ya</strong> imefan<strong>ya</strong> jitihada mbalimbali. Upatikanaji fedha<br />

umeboreshwa <strong>kwa</strong> kuwa na mfuko wa pamoja (basket fund) pamoja na mfuko wa dunia<br />

(Global Fund) pamoja na miradi mbalimbali katika programu za af<strong>ya</strong> na ustawi wa jamii.<br />

6


Ugavi (Dawa, vifaa na vifaa tiba)<br />

Baada <strong>ya</strong> uhuru Wizara iliendelea na kusimamia Bohari Kuu <strong>ya</strong> Madawa (Central Medical<br />

Stores) ambayo ilianzishwa wakati wa Ukoloni. Katika kuboresha upatikanaji wa dawa na<br />

vifaa na vifaa tiba, Serikali ilianzisha Bohari <strong>ya</strong> Dawa (MSD) <strong>kwa</strong> sheria <strong>ya</strong> Bunge Na. 13<br />

<strong>ya</strong> mwaka 1993, baada <strong>ya</strong> kubainika kuwa Bohari Kuu ilikuwa na matatizo mengi <strong>ya</strong><br />

kiuendeshaji. Kwa hiyo Bohari <strong>ya</strong> Dawa inajiendesha kibiashara na imeongeza mtandao wa<br />

usambazi wa dawa, vifaa tiba na vifaa vingine.<br />

Miundombinu <strong>ya</strong> af<strong>ya</strong> (Majengo na Mitambo)<br />

Wakati wa uhuru majengo <strong>ya</strong> vituo v<strong>ya</strong> kutolea huduma za af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>likuwa madogo na<br />

machache kutokana na huduma zilizokuwa zinatolewa. Aidha aina <strong>ya</strong> huduma zilizotolewa<br />

zilikuwa chache na zilitumia mitambo rahisi. Serikali imeendelea kuboresha majengo na<br />

mitambo <strong>ya</strong> kutolea huduma za af<strong>ya</strong> <strong>kwa</strong> kupanua na kujenga majengo na kusimika<br />

mitambo <strong>ya</strong> kisasa. Kwa mfano Hospitali <strong>ya</strong> Taifa <strong>ya</strong> Muhimbili ilianza na majengo manne<br />

(Sewa Haji, Mwaisela na Kibasila, na Jengo la Utawala) na sasa <strong>ya</strong>meongezeka majengo 10<br />

makubwa. Vipimo vingi v<strong>ya</strong> maabara vilifanyika <strong>kwa</strong> mikono, tofauti na wakati huu<br />

ambapo vinatumia mitambo <strong>ya</strong> kisasa na inayojiendesha yenyewe. Aidha uchunguzi wa<br />

<strong>magonjwa</strong> <strong>kwa</strong> njia <strong>ya</strong> mionzi umeboreshwa kutoka x-ray za kawaida hadi “CT-Scanner na<br />

MRI”.<br />

Ushirikishwaji wa wadau mbalimbali<br />

Baada <strong>ya</strong> uhuru serikali imeendelea kuboresha huduma za af<strong>ya</strong> <strong>kwa</strong> kushirikiana na<br />

mashirika <strong>ya</strong> dini na <strong>ya</strong>siyo <strong>ya</strong> kiserikali na sekta binafsi. Kumekuwa na hati <strong>ya</strong><br />

makubaliano kati <strong>ya</strong> serikali na mashirika <strong>ya</strong> dini <strong>kwa</strong> mashirika kugharamia huduma za<br />

af<strong>ya</strong>. Kwa mfano, katika hospitali teule za wila<strong>ya</strong> ambapo mashirika <strong>ya</strong> dini husimamia<br />

utoaji wa huduma wakati serikali inagharamia hususan mishahara, dawa, vifaa na vifaa tiba.<br />

Wizara ilianzisha utaratibu shirikishi kati <strong>ya</strong> serikali na wadau wa maendeleo na wadau<br />

wengine katika sekta <strong>ya</strong> af<strong>ya</strong> (SWAp). Ushirikishaji huo ni katika kuandaa <strong>kwa</strong> pamoja<br />

mpango mkakati, mpango na bajeti, taarifa <strong>ya</strong> utekelezaji na tathmini <strong>ya</strong> utekekezaji. Aidha<br />

Wizara inashirikiana <strong>kwa</strong> karibu na Ofisi <strong>ya</strong> Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za<br />

Mitaa katika uendeshaji na usimamizi wa huduma katika ngazi za mikoa na halmashauri.<br />

Picha ifuatayo ni baadhi <strong>ya</strong> mikitano <strong>ya</strong> wadau wa sekta <strong>ya</strong> af<strong>ya</strong>.<br />

Moja <strong>ya</strong> Mikutano <strong>ya</strong> Wadau wa Sekta <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong><br />

(Sector Wide Approach –SWAp) katika Hotel<br />

<strong>ya</strong> Kunduchi, Dar es Salaam.<br />

7


Uhakiki wa Ubora wa huduma za af<strong>ya</strong><br />

Wakati wa uhuru, hakukuwa na mfumo rasmi wa kuhakiki ubora wa huduma za af<strong>ya</strong>. Kazi<br />

za uhakiki zilizingatia zaidi usafi wa mazingira zikifanywa na maafisa ukaguzi wa af<strong>ya</strong><br />

(Health Inspectors). Kwa kuzingatia kupanuka <strong>kwa</strong> huduma na mabadiliko katika sekta <strong>ya</strong><br />

af<strong>ya</strong>, Kitengo cha Ukaguzi wa Huduma za Af<strong>ya</strong> ambacho kilizingatia ubora wa huduma,<br />

kilianzishwa chini <strong>ya</strong> Ofisi <strong>ya</strong> Mganga Mkuu wa Serikali mwaka 1998. Kutokana na<br />

umuhimu wa uhakiki wa viwango v<strong>ya</strong> ubora wa huduma za af<strong>ya</strong> nchini, kitengo hicho<br />

kimehuishwa na kuwa Idara.<br />

Utafiti wa masuala <strong>ya</strong> af<strong>ya</strong><br />

Baada <strong>ya</strong> uhuru mwaka 1961 ilifuatia kuondoka <strong>kwa</strong> watafiti mahiri walioajiriwa na<br />

Serikali <strong>ya</strong> Kikoloni <strong>ya</strong> Uingereza. Mwaka 1963 Jumui<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Afrika Mashariki ilianzisha<br />

Baraza la Utatifi wa <strong>Tiba</strong> la Afrika Mashariki (East African Medical Research Council), ili<br />

kutatua tatizo hili la rasilimali watu. Shughuli hizo za utafiti ziliendelezwa na Jumui<strong>ya</strong> <strong>ya</strong><br />

Afrika Mashariki ambayo ilianzishwa mwaka 1967. Baada <strong>ya</strong> kuvunjika <strong>kwa</strong> Jumui<strong>ya</strong>,<br />

mwaka 1977, serikali ilianzisha Taasisi <strong>ya</strong> Utafiti wa <strong>magonjwa</strong> <strong>ya</strong> binadamu (National<br />

Institute for Medical Research) mwaka 1979.<br />

8


4.0 SERA NA MIPANGO<br />

4.1 Utangulizi<br />

Kabla <strong>ya</strong> Uhuru huduma za af<strong>ya</strong> zilikuwa zikitolewa zaidi mijini na katika fani <strong>ya</strong> tiba zaidi.<br />

Mara baada <strong>ya</strong> Uhuru 1961, mtazamo ulibadilika na kutafuta jinsi <strong>ya</strong> kuwafikia wananchi<br />

walioko vijijini na kutilia mkazo kinga na Sera <strong>ya</strong> nchi ilikuwa ni kupambana na Maradhi,<br />

Ujinga na Umaskini. Utoaji wa huduma za af<strong>ya</strong> nchini ulizingatia Sera za nchi <strong>kwa</strong> ujumla<br />

ambazo zilikuwa zinatekelezwa <strong>kwa</strong> kuongozwa na Mipango <strong>ya</strong> Maendeleo bila kuwepo<br />

Sera rasmi <strong>ya</strong> Taifa <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong>. Sera <strong>ya</strong> rasmi <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> iliandaliwa mwaka 1990 na kuboreshwa<br />

mwaka 2007.<br />

Shughuli za Sera na mipango zinasimamiwa na Mkurugenzi akisaidiwa na Wakurugenzi<br />

Wasaidizi watatu ambao wanasimamia masuala <strong>ya</strong>: Sera, Mipango na Bajeti pamoja na<br />

Ufuatiliaji na Tathmini.<br />

4.2 Maendeleo na Mafanikio<br />

Mpango wa Kwanza wa miaka mitano wa Maendeleo (1964 – 1969) uliandaliwa mwaka<br />

1964 ukiwa na lengo la kuinua af<strong>ya</strong> na viwango v<strong>ya</strong> maisha <strong>kwa</strong> raia wote nchini. Mpango<br />

huo ulizingatia uratibu wa rasilimali na pia kuratibu kitaifa huduma za af<strong>ya</strong> zinazotolewa na<br />

serikali kuu, serikali za mitaa na mashirika <strong>ya</strong> kujitolea. Mpango ulilenga pia katika<br />

kujitosheleza <strong>kwa</strong> mahitaji <strong>ya</strong> watumishi wa af<strong>ya</strong>, na kuongeza umri wa kuishi kutoka<br />

miaka 35/40 mpaka 50. Aidha, lengo la uwiano wa kitanda 1 <strong>kwa</strong> kila watu 1,000<br />

liliendelea kuzingatiwa. Mpango huu ulikuwa na lengo pia la kuwa na hospitali za kutoa<br />

huduma katika fani za upasuaji na tiba, Dar es Salaam, Tanga, Moshi na Mwanza. Mpango<br />

huo pia ulianzisha mtandao wa zahanati, vituo v<strong>ya</strong> af<strong>ya</strong> na hospitali za Wila<strong>ya</strong>. Katika<br />

Mpango huo vituo v<strong>ya</strong> af<strong>ya</strong> 50 vilijengwa kati <strong>ya</strong> vituo 108 vilivyokusudiwa.<br />

Mpango wa Pili wa Miaka Mitano wa Maendeleo (1969 – 1974) ulipitishwa mwaka 1969<br />

ukizingatia Azimio la Arusha (1967) ambalo lilitilia mkazo siasa <strong>ya</strong> kujitegemea na<br />

usambazaji wa usawa na haki wa huduma mbalimbali za jamii na rasilimali za nchi. Hatua<br />

kubwa ilikuwa mwelekeo wa huduma za af<strong>ya</strong> za kinga ili kuzuia maradhi <strong>ya</strong> kuambukiza.<br />

Kampuni <strong>ya</strong> McKinsey and Company Inc. of New York ilipewa kazi <strong>ya</strong> kupitia shughuli za<br />

serikali na kupendekeza mpango wa utekelezaji unaozingatia kupeleka shughuli mbalimbali<br />

za wizara za serikali ikiwemo <strong>ya</strong> af<strong>ya</strong> katika ngazi za chini (decentralization of government<br />

activities) mwaka 1971. Taarifa <strong>ya</strong> kampuni hii iliwasilishwa serikalini mwaka 1972<br />

(Managing Rural Health Development). Mchoro 1 unaofuata unaonyesha muundo wa<br />

madaka mikoani baada <strong>ya</strong> kuwasilishwa unaotokana na mapendekezo <strong>ya</strong> ripoti hii.<br />

9


Kielelezo:<br />

WIZARA YA AFYA<br />

Mganga Mkuu wa Mkoa<br />

Mchoro 1: Madaraka Mikoani<br />

Mganga Mkuu wa Wila<strong>ya</strong><br />

Hospitali <strong>ya</strong> Wila<strong>ya</strong><br />

Chanzo: Health Services and Society in Mainland <strong>Tanzania</strong>:<br />

a historical overview ’tumetoka mbali’pg. 110<br />

Mstari wa Madaraka<br />

Mstari wa Kitaaluma<br />

OFISI YA WAZIRI MKUU<br />

MKURUGENZI MAENDELEO YA MKOA<br />

Afisa Mipango Afisa Fedha Afisa Uchumi Afisa Utumishi<br />

MKURUGENZI WA<br />

MAENDELEO WA<br />

Afisa Mipango Afisa Fedha Afisa Uchumi Afisa Utumishi<br />

Vituo v<strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> Mobile Teams Programu Maalumu za Kinga<br />

ZAHANATI<br />

WIZARA NYINGINE<br />

Meneja wa Mkoa wa<br />

Wizara Nyingine<br />

Meneja wa Wila<strong>ya</strong> za<br />

Wizara Nyingine<br />

Kufuatia ripoti hiyo <strong>ya</strong> McKinsey & Company(Managing Rural Health Development),<br />

Mpango wa Tatu wa Maendeleo wa miaka mitano (1975-1980) uliandaliwa 1975. Malengo<br />

<strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong>likuwa kutoa huduma <strong>ya</strong> maji, af<strong>ya</strong> mijini na vijijini na pia kukamilisha mpango wa<br />

elimu wa UPE. Aidha, katika utekelezaji wa Mpango huo wa Tatu, serikali ilitoa<br />

kipaumbele katika usafi wa mazingira na lishe <strong>kwa</strong> kuandaa kampeni kama vile “Chakula<br />

ni uhai” na “Mtu ni Af<strong>ya</strong>”; kutilia mkazo ujenzi wa vituo v<strong>ya</strong> af<strong>ya</strong> na zahanati vijijini;<br />

kupanua na kuimarisha huduma za kinga; kutoa elimu <strong>ya</strong> watu wazima kuhusu masuala <strong>ya</strong><br />

af<strong>ya</strong>; na kuanza kuwa na ushirikiano na sekta nyingine zinazohusika na utekelezaji wa af<strong>ya</strong><br />

<strong>ya</strong> msingi.<br />

Azimio la “Alma Ata“, juu <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Msingi (Primary Health Care), lilipitishwa 1978 na<br />

kongamano la Shirika la Af<strong>ya</strong> Duniani. Lengo kuu la Azimio hilo lilikuwa ni ‘Af<strong>ya</strong> <strong>kwa</strong><br />

Wote ifikapo mwaka 2000’. Aidha Azimio hilo, liliweka msisitizo wa kujumuisha huduma<br />

za kinga na huduma za af<strong>ya</strong> za msingi vijijini katika huduma za msingi za tiba. Ni dhahiri<br />

<strong>kwa</strong>mba malengo <strong>ya</strong> mipango <strong>ya</strong> Kwanza, <strong>ya</strong> Pili na <strong>ya</strong> Tatu <strong>ya</strong> Miaka Mitano <strong>ya</strong><br />

Maendeleo <strong>ya</strong>mesaidia katika utekelezaji wa af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> msingi ili kufikia lengo la Af<strong>ya</strong> <strong>kwa</strong><br />

wote ilipofika mwaka 2000.<br />

10


Tatizo kubwa la kiuchumi lililotokea 1980 ambapo huduma za jamii ikiwemo af<strong>ya</strong><br />

ziliathirika zaidi. Bajeti <strong>ya</strong> af<strong>ya</strong> ilishuka kutoka asilimia 7.1 mwaka 1977/78 hadi asilimia<br />

3.0 mwaka 1984/85. Itakumbu<strong>kwa</strong> kuwa katika kipindi chote cha kuanzia 1961 – 1990<br />

Sekta <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> haikuwa na sera inayoiongoza, bali ilitoa huduma <strong>kwa</strong> kufuata Mipango <strong>ya</strong><br />

Maendeleo <strong>ya</strong> Kitaifa iliyokuwepo.<br />

Sera <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Taifa iliandaliwa 1990 ili kuinua hali <strong>ya</strong> af<strong>ya</strong> <strong>kwa</strong> wananchi wote na<br />

kipaumbele kilitolewa <strong>kwa</strong> makundi <strong>ya</strong>liyo katika hatari zaidi <strong>ya</strong> kuugua. Aidha, ililenga<br />

kuweka mfumo wa huduma za af<strong>ya</strong> utakaokidhi mahitaji <strong>ya</strong> wananchi na kuongeza umri wa<br />

kuishi wa watanzania. Ili kutekeleza malengo, matamko na makusudio <strong>ya</strong>liyokuwepo katika<br />

Sera <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> mwaka 1990, Wizara ilianzisha utekelezaji wa Mabadiliko katika Sekta <strong>ya</strong><br />

Af<strong>ya</strong>.<br />

Uliandaliwa Mpango wa Kazi (Programme of Work) mwaka 1999 (1999-2002), ambao<br />

ndio ulikuwa mpango mkakati wa <strong>kwa</strong>nza wa sekta <strong>ya</strong> af<strong>ya</strong>. Mwaka 2003, uliandaliwa<br />

Mpango Mkakati wa Sekta <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> wa Pili (2003 – 2008), ukiwa na Mikakati tisa. Mpango<br />

Mkakati ulilenga kuboresha utoaji wa huduma za af<strong>ya</strong> <strong>kwa</strong> <strong>kwa</strong> ujumla.<br />

Mapitio <strong>ya</strong> Sera <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> awali <strong>ya</strong> mwaka 1990 <strong>ya</strong>lifanywa 2007 ili kukidhi<br />

mabadiliko <strong>ya</strong>liyokuwa <strong>ya</strong>mejitokeza katika utoaji wa huduma za af<strong>ya</strong> nchini. Hii ilipelekea<br />

kuandaliwa Mpango wa Maendeleo <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Msingi (MMAM) – (2007 – 2017), kufuatia<br />

Sera mp<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong>, <strong>kwa</strong> nia <strong>ya</strong> kusogeza karibu huduma za af<strong>ya</strong> <strong>kwa</strong> wananchi. Hivyo,<br />

utekelezaji wake inakusudia kuwa na zahanati katika kila kijiji na kituo cha af<strong>ya</strong> katika kila<br />

kata, na pia kuboresha huduma za af<strong>ya</strong> ikiwa ni pamoja upatikanaji wa dawa na vifaa tiba.<br />

Mpango Mkakati wa Sekta <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> III mwaka 2009 (2009 – 2015) uliandaliwa ili<br />

kutekeleza Sera <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> pamoja na MMAM.<br />

Mhe. Rais wa Jamhuri <strong>ya</strong> Muungano wa <strong>Tanzania</strong>, Dkt. Jaka<strong>ya</strong> Mrisho<br />

Kikwete akikata utepe kuzindua Mpango Mkakati wa Sekta <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> III<br />

(Julai 2009 – Juni 2015), Karimjee, Dar es Salaam, tarehe 30 Juni 2009.<br />

Kulia <strong>kwa</strong>ke ni Mhe. Prof. David Homeli Mwakyusa (Mb), aliyekuwa<br />

Waziri wa Af<strong>ya</strong> na Ustawi wa Jamii.<br />

11


5.0 UONGOZI NA UENDESHAJI<br />

5.1 Utangulizi<br />

Kabla <strong>ya</strong> Uhuru, wakati wa utawala wa ukoloni wa Mwingereza, huduma za af<strong>ya</strong> zilikuwa<br />

chini <strong>ya</strong> Wizara <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> na Kazi, Waziri alikuwa Mr. Dereck Bryceson, mtendaji mkuu<br />

alikuwa Mganga Mkuu wa Serikali (Chief Medical Officer).<br />

Baada <strong>ya</strong> Uhuru viongozi mbalimbali wa Wizara katika nafasi <strong>ya</strong> Waziri, Naibu Waziri,<br />

Katibu Mkuu na Mganga Mkuu wa Serikali ni kama inavyoonyeshwa kwenye jedwali<br />

lifuatalo:<br />

BAADHI YA MAWAZIRI<br />

Mhe. Dk. Leader<br />

Stirling<br />

Mhe. Prof. Phillemon<br />

Sarungi<br />

Mhe. Dk. Hadji H. Mponda<br />

Mhe. Mr. Dereck<br />

Bryceson<br />

Mhe. Aaron Daudi<br />

Chiduo<br />

Mhe. Abdulrahman<br />

Mohamed Babu<br />

Mhe. Anna Margareth<br />

Abdalla<br />

Mhe. Alli Hassan<br />

Mwinyi<br />

Mhe. Prof. David Homeli<br />

Mwakyusa<br />

12


BAADHI YA MAKATIBU WAKUU<br />

Mr. Gideon Asimulike<br />

Cheyo<br />

Mrs Miriam J. Mwaffisi<br />

BAADHI YA WAGANGA WAKUU WA SERIKALI<br />

Prof. Idris A. Mtulia<br />

Prof. Idris A. Mtulia<br />

Mr. Wilson C. Mukama<br />

Dr. Gabriel G. Upunda<br />

Mr. Raynald A. Mrope<br />

Blandina S.J. Nyoni<br />

Dr. Deo M. Mtasiwa<br />

Kwa kuzingatia Sera, Miongozo, Mipango, Mikakati, Dira na Dhamira, <strong>ya</strong> Wizara <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong><br />

na Ustawi wa Jamii pamoja na vipaumbele vilivyoanishwa katika Dira <strong>ya</strong> Taifa 2025,<br />

Malengo <strong>ya</strong> Milenia na MKUKUTA, uongozi na uendeshaji umepanuka na kuimarika zaidi.<br />

Aidha huduma zinaendelea kuwa bora zaidi na hali <strong>ya</strong> af<strong>ya</strong> za wananchi kuwa bora pamoja<br />

na umri wa maisha kuongezeka.<br />

Maendeleo na mafanikio <strong>ya</strong>mejidhihirisha katika maeneo mbalimbali <strong>ya</strong> utoaji wa huduma<br />

za af<strong>ya</strong> ustawi wa jamii ikiwa pamoja na uongozi na uendeshaji wake. Katika miaka <strong>ya</strong><br />

1970, kuli<strong>kwa</strong> na mikoa 20 na wila<strong>ya</strong> 66. Wizara <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> ilikuwa na idara kuu tatu: Idara<br />

<strong>ya</strong> Programu <strong>ya</strong> Kinga; Idara <strong>ya</strong> Maendeleo <strong>ya</strong> Watumishi; na Idara <strong>ya</strong> <strong>Tiba</strong>. Watumishi wa<br />

Af<strong>ya</strong> katika hospitali za wila<strong>ya</strong> walipewa majukumu <strong>ya</strong> Vituo v<strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> (Rural Health<br />

Centres), ‘mobile teams’, na programu maalumu za kinga; na pia kupitia Vituo v<strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong><br />

kusimamia Zahanati.<br />

Mpaka 2011, kuna jumla <strong>ya</strong> mikoa 25 na wila<strong>ya</strong> 133. Muundo wa Wizara <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> na<br />

Ustawi wa Jamii, una idara 6 na vitengo 5 pamoja na Taasisi, Wakala na Mamlaka 7<br />

zilizoko chini <strong>ya</strong> Wizara. Muundo wa uongozi wa Wizara <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> na Ustawi wa Jamii<br />

umeanishwa katika mchoro wa 2 (Chart II) hapa chini.<br />

13


6.0 UTAWALA<br />

6.1 Muundo wa Maendeleo <strong>ya</strong> Utumishi wa Kada za Af<strong>ya</strong>.<br />

Wizara <strong>kwa</strong> kushirikiana na UTUMISHI, imeandaa na kufanyia marekebisho miundo<br />

mbalimbali <strong>ya</strong> kada za af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> mwaka 1993, 2002 na 2009. Mwaka 2009 Wizara imefan<strong>ya</strong><br />

marekebisho <strong>ya</strong> Muundo wa Maendeleo <strong>ya</strong> Utumishi wa Kada za Af<strong>ya</strong> ili kujumuisha<br />

baadhi <strong>ya</strong> kada ambazo awali hazikuwa kwenye muundo huo kama vile Maafisa Wuguzi,<br />

Maafisa Af<strong>ya</strong> na Wazoeza Viungo ngazi <strong>ya</strong> Shahada, kutenganisha sifa za Madaktari wa<br />

Kawaida na Madaktari Bingwa, kujumuisha kada mp<strong>ya</strong> za matabibu wasaidizi, wasaidizi<br />

wa maabara, maafisa af<strong>ya</strong> wasaidizi n.k. zilizoanzishwa ili kukidhi mahitaji <strong>ya</strong> utekelezaji<br />

wa Mpango wa Maendeleo <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> Msingi (MMAM) ambao unalenga kuwa na Zahanati<br />

katika kila kijiji na Vituo v<strong>ya</strong> af<strong>ya</strong> <strong>kwa</strong> kila kata. Aidha, katika Muundo huo umeongezwa<br />

kada <strong>ya</strong> Maafisa Lishe ambayo imeanzishwa ili kukabilina na tatizo la lishe nchini ambalo<br />

linachangia <strong>kwa</strong> kiasi kikubwa kuongezeka <strong>kwa</strong> <strong>magonjwa</strong> <strong>ya</strong>siyo <strong>ya</strong> kuambukiza kama<br />

vile kisukari na <strong>magonjwa</strong> <strong>ya</strong> moyo.<br />

6.2 Taratibu za Uendeshaji wa Huduma za Af<strong>ya</strong><br />

Kwa kuzingatia masharti <strong>ya</strong> Sheria <strong>ya</strong> Utumishi wa Umma Na. 8 <strong>ya</strong> mwaka 2002, Wizara<br />

imeandaa taratibu za Uendeshaji wa huduma za af<strong>ya</strong> nchini. Taratibu hizi zimeundwa ili<br />

kuboresha utoaji wa huduma za af<strong>ya</strong> nchini.<br />

6.3 Mkataba wa Huduma <strong>kwa</strong> Mteja (Client Service Charter)<br />

Wizara <strong>ya</strong> af<strong>ya</strong> na ustawi wa jamii iliandaa mkataba wa huduma <strong>kwa</strong> mteja <strong>kwa</strong> mara <strong>ya</strong><br />

<strong>kwa</strong>nza mwaka 2005 na kufanyiwa mapitio mwaka 2010. Mkataba huo unaonyesha huduma<br />

zinazotolewa na wizara na jinsi wateja watakavyoweza kupata huduma hizo. Aidha<br />

unaonyesha muda wa kupata huduma pamoja na namna <strong>ya</strong> kufikisha malalamiko<br />

kunakohusika endapo huduma haikutolewa kama ilivyotarajiwa.<br />

6.4 Ofisi <strong>ya</strong> Malalamiko<br />

Wizara imeanzisha Ofisi <strong>ya</strong> Maalum <strong>ya</strong> kushughulikia malalamiko <strong>ya</strong>nayohusiana na<br />

mwenendo mzima wa utoaji na upatikanaji wa huduma za af<strong>ya</strong> nchini. Lengo ni<br />

kuhakikisha kuwa malalamiko <strong>ya</strong>nafanyiwa kazi pale <strong>ya</strong>napotokea. Tangu ofisi<br />

ilipofunguliwa Julai, 2007 mpaka sasa Wizara imepokea jumla <strong>ya</strong> malalamiko 117.<br />

Malamiko 92 ta<strong>ya</strong>ri <strong>ya</strong>mefanyiwa kazi <strong>kwa</strong> kupatiwa ufumbuzi. Aidha, malalamiko 25<br />

<strong>ya</strong>naendelea kufanyiwa kazi.<br />

6.5 Baraza la Majadiliano <strong>ya</strong> Pamoja katika Sekta <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong>.<br />

Mwaka 2008, Wizara imeunda Baraza la Majadiliano <strong>ya</strong> pamoja la Sekta <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> (Health<br />

Service Joint Staff Council). Kazi <strong>ya</strong> Baraza hili ni pamoja na;<br />

• Kuishauri serikali juu <strong>ya</strong> masuala <strong>ya</strong>nayowahusu watumishi wa sekta <strong>ya</strong> af<strong>ya</strong>;<br />

• Kupitia na kupendekeza uboreshaji wa maslahi <strong>ya</strong> watumishi wa kada za af<strong>ya</strong>;<br />

• Kutetea masharti <strong>ya</strong> kazi <strong>ya</strong> watumishi wa af<strong>ya</strong> na muundo wa utumishi wa kada za<br />

af<strong>ya</strong>;<br />

• Kupitia na kushauri masuala yoyote <strong>ya</strong>nayoletwa na Baraza la Majadiliano <strong>ya</strong> Pamoja<br />

Katika Utumishi wa Umma.<br />

15


7.0 RASILIMALI<br />

7.1 MAFUNZO NA UENDELEZAJI WATAALAMU<br />

7.1.1 Utangulizi<br />

Jukumu kuu la Idara <strong>ya</strong> Mafunzo na Maendeleo <strong>ya</strong> Wataalamu ni kuhakikisha upatikanaji<br />

wa rasilimali watu yenye tija katika utoaji wa huduma za af<strong>ya</strong> na ustawi wa jamii. Aidha,<br />

Idara hii imegawanyika katika vitengo vitano (5) kiutendaji ambavyo ni; Mafunzo <strong>ya</strong><br />

Sa<strong>ya</strong>nsi Shiriki; Mafunzo <strong>ya</strong> Kujiendeleza; Mipango <strong>ya</strong> Watalaamu wa Af<strong>ya</strong>; Mafunzo <strong>ya</strong><br />

Uuguzi; na Maendeleo <strong>ya</strong> Watumishi wa Ustawi wa Jamii. Pia, Idara inasimamia na<br />

kuratibu Kanda za Mafunzo <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> 8 na vyuo v<strong>ya</strong> af<strong>ya</strong> 117 ambavyo vimesambaa nchini<br />

kote.<br />

Majukumu <strong>ya</strong> Idara hii ni kama ifuatavyo:-<br />

a) Kusimamia na kuratibu uendeshaji wa vyuo v<strong>ya</strong> mafunzo <strong>ya</strong> uuguzi na sa<strong>ya</strong>nsi shiriki<br />

<strong>kwa</strong> lengo la kupata watumishi wa af<strong>ya</strong> na ustawi wa jamii.<br />

b) Kuandaa na kusimamia utekelezaji wa sera na miongozo inayohusiana na mafunzo <strong>ya</strong><br />

watumishi wa Sekta <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> na Ustawi wa Jamii.<br />

c) Kuandaa na kufan<strong>ya</strong> mapitio <strong>ya</strong> mipango <strong>ya</strong> muda mfupi na mrefu <strong>ya</strong> rasilimali watu<br />

katika Sekta <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> na Ustawi wa Jamii.<br />

d) Kuandaa makadirio <strong>ya</strong> mahitaji <strong>ya</strong> rasilimali watu katika Sekta <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> na Ustawi wa<br />

Jamii.<br />

e) Kuandaa utaratibu wa kuendeleza wafan<strong>ya</strong>kazi wa af<strong>ya</strong> na na ustawi wa jamii.<br />

f) Kufan<strong>ya</strong> tathmini na kutunza takwimu za rasilimali watu za wataalamu wa af<strong>ya</strong> na<br />

ustawi wa jamii.<br />

g) Kubuni, kupanga na kutathmini mipango <strong>ya</strong> mafunzo <strong>ya</strong> af<strong>ya</strong> na ustawi wa jamii<br />

kitaifa.<br />

h) Kuratibu mafunzo <strong>ya</strong> maendeleo <strong>ya</strong> rasilimali watu.<br />

i) Kuwasiliana na vyombo husika juu <strong>ya</strong> ajira, motisha na matumizi <strong>ya</strong> rasilimali watu<br />

katika sekta <strong>ya</strong> af<strong>ya</strong> na ustawi wa jamii.<br />

j) Kutambua aina <strong>ya</strong> mafunzo <strong>ya</strong>nayohitajika katika kutoa huduma bora <strong>ya</strong> af<strong>ya</strong> na ustawi<br />

wa jamii nchini.<br />

k) Kukuza na kuendeleza mafunzo na maendeleo binafsi <strong>ya</strong> wafan<strong>ya</strong>kazi wa af<strong>ya</strong> na ustawi<br />

wa jamii <strong>kwa</strong> kutumia elimu <strong>ya</strong> masafa.<br />

7.1.2 Maendeleo na mafanikio<br />

Uanzishwaji wa sera <strong>ya</strong> utoaji huduma za af<strong>ya</strong> <strong>kwa</strong> usawa <strong>kwa</strong> wananchi wote hususan<br />

wanaoishi vijijini. Katika kukidhi azma hiyo, hatua za kuwaongeza wataalamu wa af<strong>ya</strong><br />

zilichukuliwa ili nchi ijitegemee katika rasilimali watu. Mara baada <strong>ya</strong> kupata uhuru<br />

walikuwepo madaktari 12 wazalendo waliokuwa wamehitimu mafunzo <strong>ya</strong>o Chuo Kikuu<br />

cha Makerere, Uganda.<br />

Mtiririko wa baadhi <strong>ya</strong> mafanikio ni kama ifuatavyo:<br />

Mwalimu Julius Nyerere alikifungua chuo cha Madaktari, Muhimbili awali kikitoa mafunzo<br />

<strong>ya</strong> Madaktari Wasaidizi (AMO) na baadaye Madaktari (Medical Officers).<br />

Wanafunzi walianza kujiunga na chuo cha Muhimbili 1964 na kufunzu stashada <strong>ya</strong> tiba<br />

(Medical diploma) mwaka 1968.<br />

16


1968 Muhimbili ilikuwa, Kitivo cha <strong>Tiba</strong>, Chuo cha Dar es salaam chini <strong>ya</strong> Chuo Kikuu cha<br />

Afrika Mashariki (University of East Africa). Aidha, wanafunzi wote waliofunzu katika<br />

Kitivo hicho walitunukiwa shahada <strong>ya</strong> udaktari (M.B.Ch.B).<br />

1968 Kozi <strong>ya</strong> Waganga Wasaidizi ilianzishwa tena.<br />

1970 Chuo Kikuu cha Afrika Mashariki kilikoma na kikaanzishwa Chuo Kikuu cha Dar es<br />

Salaam, Muhimbili ikawa Kitivo cha Chuo Kikuu hicho.<br />

1973 Mafunzo <strong>ya</strong> uzamili <strong>ya</strong> udaktari <strong>ya</strong>lianza Muhimbili. Kufikia mwaka 1973 (miaka 10 baada<br />

<strong>ya</strong> kuanza Chuo cha Madaktari Muhimbili), ta<strong>ya</strong>ri kulikuwa na madaktari 108. Aidha,<br />

kulikuwa na watanzania Madaktari Bingwa 28 na 23 wakiwa nchi za nje <strong>kwa</strong> ajili <strong>ya</strong><br />

mafunzo <strong>ya</strong> uzamili.<br />

1974 Kitivo cha <strong>Tiba</strong> cha Muhimbili kilianzisha mafunzo <strong>ya</strong> shahada <strong>ya</strong> Famasi. Kutokana na<br />

uhaba wa wakufunzi katika Kitivo cha <strong>Tiba</strong>, mafunzo ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>lifanywa <strong>kwa</strong> kushirikiana na<br />

Kitivo cha Sa<strong>ya</strong>nsi cha Chuo Kikuu cha Dar es salaam. Katika mwaka huo pia kulikuwa na<br />

Waganga Wasaidizi 280 na Waganga Wasaidizi Vijijini 500<br />

1975 Kufuatia Mpango wa Maendeleo <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> Vijijini(1972-1980) vyuo v<strong>ya</strong> MCHA<br />

vilianzishwa nchini ili kuimarisha af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> mama na mtoto. Kufikia mwaka 1975, kulikuwa<br />

na vyuo v<strong>ya</strong> Waganga Wasaidizi 16. Aidha kulikuwa na vyuo 3 <strong>kwa</strong> ajili Wauguzi “A”<br />

ambavyo vilikuwa Dar es Salaam, Moshi na Mwanza.<br />

1976 Baada <strong>ya</strong> kuanzishwa zaidi <strong>ya</strong> kada 30 za watumishi wa af<strong>ya</strong>, kufikia mwaka 1976<br />

kulikuwa na vyuo 106 <strong>kwa</strong> ajili <strong>ya</strong> mafunzo <strong>kwa</strong> wauguzi na kada nyingine za af<strong>ya</strong>. Baada<br />

<strong>ya</strong> jitihada hizo idadi wa wanafunzi waliofuzu na hivyo kuongeza idadi kubwa <strong>ya</strong><br />

watumishi inaoneshwa katka jedwali hapa chini.<br />

Jedwali 6: Ongezeko la idadi <strong>ya</strong> watumishi wa af<strong>ya</strong> kufuatia jitihada<br />

za mafunzo <strong>kwa</strong> kada mbalimbali<br />

Kada Waliokuwepo Waliotegemewa<br />

1972<br />

1980<br />

Madaktari<br />

241<br />

528<br />

Madaktari Wasaidizi<br />

94<br />

220<br />

Waganga Wasaidizi<br />

260<br />

1,315<br />

Waganga Wasaidizi Vijijini 483<br />

2,585<br />

Wauguzi “A”<br />

526<br />

1,215<br />

Wauguzi “B”<br />

1,568<br />

3,125<br />

Afisa Af<strong>ya</strong><br />

157<br />

115<br />

Madaktari wa Meno<br />

12<br />

-<br />

Wafamasia<br />

5<br />

80<br />

Radiographers<br />

11<br />

40<br />

Laboratory technologists 110<br />

200<br />

Hospital Secretaries<br />

5<br />

30<br />

Chanzo: Health Services and Society in Mainland <strong>Tanzania</strong>:<br />

a historical overview ‘tumetoka mbali’ uk. 112-114<br />

Kielelezo: *220 Walipanda kuwa Madaktari Wasaidizi<br />

Jumla<br />

760<br />

300<br />

1,360*<br />

3,000<br />

1,700<br />

4,600<br />

270<br />

50<br />

85<br />

17


1989 Kuanzishwa <strong>kwa</strong> Kanda 6 za Mafunzo <strong>ya</strong> Kujiendeleza ili kuwa na mfumo rasmi wa<br />

kuwaendeleza watumishi wa af<strong>ya</strong> katika sehemu zao za kazi. Kwa wakati huu kanda hizi<br />

zipo 8 na zimeedelea kuvisimamia vyuo v<strong>ya</strong> mafunzo <strong>ya</strong> af<strong>ya</strong> pamoja na kutoa ushauri wa<br />

kitaalamu <strong>kwa</strong> wila<strong>ya</strong> katika utoaji wa huduma za af<strong>ya</strong> <strong>kwa</strong> wananchi.<br />

1996 Kufuatia mabadiliko katika Sekta <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> mwaka 1994, uliandaliwa Mpango Mkakati wa<br />

Kwanza wa Miaka Mitano wa Rasilimali Watu katika Sekta <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> (1996-2001) ambao<br />

ulianisha mahitaji yote <strong>ya</strong>nayotakiwa katika kuendeleza raslimali hii muhimu katika utoaji<br />

wa huduma za af<strong>ya</strong>.<br />

1996/97 Upanuzi na ongezeko la vyuo vikuu v<strong>ya</strong> tiba nchini kutoka chuo kimoja (Muhimbili)<br />

ambacho kilikuwa kikitoa mafunzo ha<strong>ya</strong> tangu mwaka 1963 <strong>kwa</strong> wastani wa kuzalisha<br />

madaktari 50 kufikia vyuo 4 (IMTU-1996, Hubert Kairuki Memorial University-1997,<br />

KCM College-1997)- vyote <strong>kwa</strong> pamoja vinazalisha wastani wa madaktari 600 <strong>kwa</strong> mwaka.<br />

1998 Uanzishwaji wa Kituo cha Elimu <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> <strong>kwa</strong> njia <strong>ya</strong> Masafa, Morogoro. Kituo hiki<br />

kimeendelea kuratibu mafunzo <strong>ya</strong> kujiendeleza <strong>kwa</strong> watumishi wa af<strong>ya</strong> kazini ili kuboresha<br />

huduma za af<strong>ya</strong> zitolewazo.<br />

2004-07 Kuanzishwa <strong>kwa</strong> Vyuo Vikuu v<strong>ya</strong> Bugando (2004), na Dodoma (2007) kumeongeza jumla<br />

<strong>ya</strong> wastani wa wanafunzi 950 wanaodahiliwa katika n<strong>ya</strong>nja za af<strong>ya</strong> <strong>kwa</strong> mwaka.<br />

2005-11 Kupitia mitaala <strong>ya</strong> mafunzo katika vyuo v<strong>ya</strong> af<strong>ya</strong> ili kuendana na mahitaji <strong>ya</strong> Baraza la<br />

Taifa la Elimu <strong>ya</strong> Ufundi (NACTE). Mapitio ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> mitaala <strong>ya</strong>natoa fursa <strong>ya</strong> kuimarisha<br />

umahiri wakati wa mafunzo hivyo kuhakikisha huduma za af<strong>ya</strong> zitolewazo na wataalamu<br />

baada <strong>ya</strong> mafunzo ni bora.<br />

2007 Kuanzishwa <strong>kwa</strong> Mpango wa Maendeleo wa Af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Msingi mwaka 2007. Lengo kuu la<br />

mpango huu la kusogeza huduma za af<strong>ya</strong> karibu na wananchi. Katika kuutekeleza mpango<br />

huu inahitajika ongezeko la wataalamu, miundombinu, dawa na vifaa tiba. Wizara<br />

imeongeza idadi <strong>ya</strong> wanafunzi wanaodahiliwa vyuoni kutoka 1,018 mwaka 2007 hadi 6,713<br />

mwaka 2011 ili kukidhi mahitaji ha<strong>ya</strong>. Ongezeko hili la kudahili wanafunzi wengi zaidi<br />

linaendelea hadi kufikia wastani wa wanafunzi 10,000 <strong>kwa</strong> mwaka ifikapo mwaka 2017.<br />

2008 Mpango Mkakati wa Pili wa Rasilimali Watu katika Sekta <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> (2008-2013) uliandaliwa<br />

na unaendelea kutekelezwa. Mpango huu unalenga katika kuongeza uzalishaji wa<br />

wataalamu na mikakati mbalimbali <strong>ya</strong> menejimenti na kuwaendeleza watumishi wa af<strong>ya</strong><br />

katika sehemu zao za kazi.<br />

2010 Kujumuishwa <strong>kwa</strong> taarifa kamilifu kuhusu watumishi wa af<strong>ya</strong> katika mfumo wa taarifa za<br />

uendeshaji wa huduma af<strong>ya</strong> nchini (MTUHA). Taarifa hizi zitawezesha manajementi katika<br />

ngazi mbali mbali za utoaji huduma kuwa na maamuzi/mipango sahihi kuhusu rasilimali<br />

watu.<br />

18


7.2 UTUMISHI<br />

7.2.1 Utangulizi<br />

Jukumu kuu la Idara <strong>ya</strong> Utawala na Utumishi ni kusimamia na kuratibu masuala yote<br />

<strong>ya</strong>nayohusu utawala na rasilimali watu na kuhakikisha kuwa kanuni, taratibu na miongozo<br />

<strong>ya</strong> kiutumishi na utawala inafuatwa.<br />

7.2.2 Maendeleo na Mafanikio<br />

(a) Ajira za Watumishi wa Kada za Af<strong>ya</strong>.<br />

Serikali imeendelea kuajiri watumishi wa kada za af<strong>ya</strong> katika vituo mbalimbali v<strong>ya</strong> kutolea<br />

huduma. Hadi kufikia mwanzoni mwa mwaka 2006, mahitaji <strong>ya</strong> watumishi wa af<strong>ya</strong> katika<br />

ngazi mbalimbali za kutolea huduma <strong>ya</strong>likuwa watumishi 82,277 ambapo watumishi<br />

waliokuwepo walikuwa 29,063 na upungufu ulikuwa 53,214 sawa na asilimia 65%.<br />

Ili kupunguza tatizo hilo, kuanzia mwaka wa fedha wa 2005/2006, Wizara <strong>ya</strong> af<strong>ya</strong> na ustawi<br />

wa jamii ilipewa mamlaka <strong>ya</strong> kuwapangia vituo v<strong>ya</strong> kazi moja <strong>kwa</strong> moja wahitimu wa kada<br />

za af<strong>ya</strong> wanaomaliza mafunzo <strong>ya</strong>o. Kuanzia mwaka 2006, hadi Juni 2011wizara imepewa<br />

vibali v<strong>ya</strong> kuajiri jumla <strong>ya</strong> watumishi 30,973. Hadi sasa, wizara imewapangia vituo v<strong>ya</strong> kazi<br />

watumishi 22,564 ambao ni sawa na asilimia 73%. Watumishi hao wanapangiwa kufan<strong>ya</strong><br />

kazi katika Sekretarieti za Mikoa yote, Halmashauri za Majiji, Manispaa, Miji, na Wila<strong>ya</strong><br />

zote na katika baadhi <strong>ya</strong> Wizara. Idadi hiyo <strong>ya</strong> kuwapangia wahitimu wa kada za af<strong>ya</strong><br />

imekuwa ikiongezeka mwaka hadi mwaka kama inavyoonyesha kwenye Jedwali la 14 hapo<br />

chini.<br />

Jedwali 7: Idadi <strong>ya</strong> Vibali v<strong>ya</strong> ajira na waliopangiwa vituo v<strong>ya</strong> kazi, 2005/06 – 2010/11<br />

Mwaka Kibali kilichotolewa Idadi <strong>ya</strong> waliopangiwa vituo v<strong>ya</strong> kazi<br />

2005/2006 1,677 983<br />

2006/2007 3,890 3,669<br />

2007/2008 6,437 4,812<br />

2008/2009 5,241 3,010<br />

2009/2010 6,257 4,090<br />

2010/2011 7,471 6,000<br />

Jumla 30,973 22,564<br />

Chanzo: Wizara <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> na Ustawi wa Jamii, 2011<br />

Aidha, katika kipindi cha 2006-2009, Mishahara <strong>ya</strong> Watumishi wa Sekta <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong><br />

imeboreshwa. Kwa sasa watumishi wa kada za af<strong>ya</strong> ndiyo wanaolipwa mishahara mikubwa<br />

zaidi ikilinganishwa na watumishi wa kada nyingine katika utumishi wa umma. Hali hii<br />

imewavutia watu wengi waliosomea fani mbalimbali za Af<strong>ya</strong> kuingia kwenye Utumishi<br />

wa Umma.<br />

(b) Upandishwaji vyeo<br />

Wizara <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> na Ustawi wa Jamii imekuwa na inaendelea kuwapandisha vyeo watumishi<br />

wake katika ngazi mbalimbali. Watumishi hawa ni wale walio chini <strong>ya</strong> mamlaka <strong>ya</strong> Katibu<br />

Mkuu, Wizara <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> na Ustawi wa Jamii.<br />

19


(c) Tathmini <strong>ya</strong> Utendaji Kazi (OPRAS)<br />

Wizara inatekeleza zoezi la upimaji kazi <strong>kwa</strong> uwazi kuanzia mwaka 2008/2009 hadi sasa<br />

kama ifuatavyo;<br />

Jedwali 8: Idadi <strong>ya</strong> watumishi waliofaniwa tathmini, 2008/09 – 2010/11<br />

S/N Mwaka Idadi <strong>ya</strong> Watumishi Waliopimwa<br />

1 2008/2009 3,738<br />

2 2009/2010 3,750<br />

3 2010/2011 3,902<br />

Chanzo: Idara <strong>ya</strong> Utawala na Utumishi, Wizara <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> na Ustawi Jamii,<br />

Makao Makuu Daressalaam<br />

20


7.3 FEDHA<br />

7.3.1 V<strong>ya</strong>nzo v<strong>ya</strong> fedha na bajeti<br />

Ili kupanua wigo wa v<strong>ya</strong>nzo v<strong>ya</strong> fedha <strong>kwa</strong> ajili <strong>ya</strong> kuboresha huduma za af<strong>ya</strong> nchini,<br />

Wizara ilianza mchakato wa kuainisha na kutekeleza azma hiyo kama ifuatavyo:<br />

1993 Sera <strong>ya</strong> uchangiaji ilipitishwa, na utekelezaji wake ulifanyika <strong>kwa</strong> awamu kutokana na<br />

maeneo, <strong>magonjwa</strong> na ngazi mbalimbali za utoaji huduma. Katika mwaka huo pia,<br />

kulikuwa na majadiliano na Wahisani kuhusu ushirikiano na uandaaji wa “Health Sector<br />

Strategic Note 1993”.<br />

1994 Yaliandaliwa mapendekezo <strong>ya</strong> mabadiliko katika Sekta <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> ambayo utekelezaji wake<br />

ulipitishwa rasmi na Baraza la Mawaziri mwaka 1996.<br />

1996 Mfuko wa Af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Jamii, ulianza <strong>kwa</strong> majaribio wila<strong>ya</strong>ni Igunga. Baada <strong>ya</strong> kuonekana<br />

majaribio <strong>ya</strong> Mfuko huo <strong>ya</strong>na manufaa, mwaka 2001, Mfuko wa Af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Jamii, ulianzishwa<br />

rasmi <strong>kwa</strong> sheria: “The Community Health Fund Act, Cap 409”, na hivyo kuruhusu<br />

kuanzishwa katika Halmashauri mbalimbali nchini.<br />

1999 Kuanzishwa <strong>kwa</strong> Mfuko wa Taifa wa Bima <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> kama taasisi <strong>ya</strong> umma <strong>kwa</strong> Sheria <strong>ya</strong><br />

Bunge Na. 8 <strong>ya</strong> mwaka 1999 (Sura Na. 395 <strong>ya</strong> Sheria za <strong>Tanzania</strong>).<br />

1999 Kuanzishwa <strong>kwa</strong> utaratibu wa Mfuko wa Pamoja (Basket Fund) wa wadau wa maendeleo<br />

wa sekta <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong>. Utaratibu huu ulisaidia kutumia fedha za wafadhili katika vipaumbele<br />

v<strong>ya</strong> af<strong>ya</strong> vinavyoainishwa <strong>kwa</strong> pamoja kati <strong>ya</strong> Serikali na wafadhili.<br />

2002 Ufadhili wa Global Fund ulianza katika udhibiti na tiba <strong>ya</strong> UKIMWI, Kifua Kikuu na<br />

Malaria.<br />

2007 Serikali iliamua kuwa shughuli za Mfuko wa Huduma za Af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Jamii (CHF) na Mfuko<br />

wa Taifa wa Bima <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> (NHIF) ziwianishwe.<br />

2009 Serikali kuu ilikasimu mamlaka <strong>ya</strong>ke kitaifa <strong>ya</strong> kusimamia na kuendesha Mfuko wa Af<strong>ya</strong><br />

<strong>ya</strong> Jamii <strong>kwa</strong> Mfuko wa Taifa wa Bima <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> wakati Halmashauri zikiendelea na<br />

majukumu <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> awali.<br />

Bajeti:<br />

Utekelezaji wa mikakati <strong>ya</strong> Wizara unategemea sana upatikanaji wa fedha na<br />

rasilimali watu. Katika miaka <strong>ya</strong> nyuma, mwenendo wa bajeti inaonyeshwa katika<br />

Mchoro 3 hapo chini:<br />

21


Mchoro 3:<br />

Chanzo: Health Services and Society in Mainland <strong>Tanzania</strong>: a historical overview ‘tumetoka mbali’ uk. 105<br />

Mchoro 4:<br />

Bajeti <strong>ya</strong> sekta <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> imeongezeka kutoka Sh. 301 bilioni mwaka 2004/5 hadi<br />

kufikia Sh. 925 bilioni <strong>kwa</strong> mwaka 2009/10, na <strong>kwa</strong> mwaka 2010/11, jumla <strong>ya</strong> Sh.<br />

1.2 trilioni zimeidhinishwa <strong>kwa</strong> ajili <strong>ya</strong> kutumika katika utekelezaji wa shughuli<br />

mbalimbali zinazolenga katika kuboresha utoaji wa huduma za af<strong>ya</strong> nchini. Aidha,<br />

kati <strong>ya</strong> 2004/5 na 2005/6, sehemu <strong>ya</strong> bajeti <strong>ya</strong> Sekta katika bajeti <strong>ya</strong> nchi iliongezeka<br />

kutoka asilimia 10.1 hadi kufikia 11.9, na kufuatiwa na punguzo hadi kufikia 10.2<br />

<strong>kwa</strong> maka 2008/9. Mchoro 4 unaonyeshwa mwenendo wa bajeti <strong>kwa</strong> miaka sita<br />

iliyopita.<br />

Chanzo: Idara <strong>ya</strong> Sera na Mipango, Wizara <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> na Ustawi wa Jamii<br />

Kumekuwa na ongezeko la bajeti <strong>ya</strong> matumizi <strong>ya</strong> kawaida <strong>kwa</strong> Wizara ambazo<br />

hutumika katika uendeshaji wa shughuli za kila siku za Idara pamoja na Mashirika<br />

na Taasisi zilizo chini <strong>ya</strong>ke. Shughuli hizi ni pamoja na ununuzi na usambazaji wa<br />

22


dawa, vifaa, vifaa tiba, chanjo pamoja na vitendanishi. Aidha, ununuzi wa vifaa v<strong>ya</strong><br />

kujimudu <strong>kwa</strong> watu wenye ulemavu pamoja na uendeshaji wa vituo na makao <strong>ya</strong>liyo<br />

chini <strong>ya</strong> Wizara hugharamiwa kupitia bajeti <strong>ya</strong> matumizi <strong>ya</strong> kawaida. Katika kipindi<br />

cha mwaka 2010/11, Wizara ilitengewa jumla <strong>ya</strong> Sh. 229.9 bilioni <strong>kwa</strong> ajili <strong>ya</strong><br />

matumizi mengineyo na kulipia mishahara <strong>ya</strong> watumishi walioko Wizarani na katika<br />

Taasisi na Mashirika ikilinganishwa na Sh. 206.4 bilioni zilizotengwa katika mwaka<br />

2004/5.<br />

Miradi <strong>ya</strong> Maendeleo<br />

Wizara imeendelea na utekelezaji Miradi <strong>ya</strong> Maendeleo ambayo inajumuisha<br />

shughuli mbalimbali zikiwemo za ujenzi na ukarabati katika Hospitali, Taasisi na<br />

Mashirika na vyuo v<strong>ya</strong> mafunzo. Miradi hii hugharamiwa <strong>kwa</strong> pamoja baina <strong>ya</strong><br />

Serikali na Wadau wa Maendeleo ambayo hulenga katika utekelezaji wa Mikakati na<br />

malengo <strong>ya</strong> Wizara.<br />

Kwa mwaka 2010/11, Wizara ilitengewa jumla <strong>ya</strong> Sh. 9.8 bilioni kutoka katika<br />

v<strong>ya</strong>nzo ndani <strong>kwa</strong> ajili <strong>ya</strong> utekelezaji wa miradi <strong>ya</strong> maendeleo ikilinganishwa na<br />

kiasi cha Sh. 5.0 bilioni kilichotengwa mwaka 2005/6. Kwa kutumia fedha hizi,<br />

Wizara iliendelea na shughuli za ujenzi na ukarabati katika Hospitali <strong>ya</strong> Taifa <strong>ya</strong><br />

Muhimbili, Taasisi <strong>ya</strong> Mifupa <strong>ya</strong> MOI, Taasisi <strong>ya</strong> Saratani <strong>ya</strong> Ocean Road na pia<br />

katika hospitali za rufaa za Bugando na KCMC.<br />

Wizara imeendelea kupata ongezeko la bajeti litokanalo na fedha za wadau<br />

mbalimbali. Fedha hizi hupokelewa kupitia Mfuko wa Pamoja, Mfuko wa Dunia<br />

<strong>ya</strong>ani Global Fund, GAVI, UNICEF, WHO n.k. Wadau hawa wamekuwa<br />

wakishirikiana na Serikali katika utekelezaji wa Sera, Mikakati na Mipango ambayo<br />

imewe<strong>kwa</strong> kama ifuatavyo:<br />

Mfuko wa Dunia (Global Fund)<br />

Ufadhili wa GF ulianza 2002 na mpaka kufikia mwishoni mwa mwaka 2010,<br />

<strong>Tanzania</strong> bara ilikuwa imenufaika na miradi 13 inayotekelezwa <strong>kwa</strong> kipindi kati <strong>ya</strong><br />

miaka mitatu na mitano. Nchi imenufaika katika maeneo <strong>ya</strong>nayohusiana na udhibiti<br />

na tiba <strong>ya</strong> <strong>magonjwa</strong> matatu <strong>ya</strong> UKIMWI, Kifua Kikuu na Malaria ikiwa ni pamoja<br />

na usambazaji wa v<strong>ya</strong>ndarua <strong>kwa</strong> akina mama wajawazito, watoto wa chini <strong>ya</strong> miaka<br />

mitano na sehemu za makazi <strong>kwa</strong> wananchi wote na kazi bado inaendelea. Aidha,<br />

ununuzi na usambazaji wa vitendanishi v<strong>ya</strong> kupimia virusi v<strong>ya</strong> UKIMWI, kondomu,<br />

dawa za kupunguza makali <strong>ya</strong> Virusi v<strong>ya</strong> UKIMWI, dawa za <strong>magonjwa</strong> nyemelezi,<br />

visanduki v<strong>ya</strong> dawa na vifaa v<strong>ya</strong> tiba na huduma majumbani. Kuboresha huduma za<br />

matibabu <strong>ya</strong> Kifua Kikuu sugu na kununua na kusambaza dawa za ugonjwa huo.<br />

Mfuko wa Pamoja (Basket Fund)<br />

Utaratibu wa Mfuko wa Pamoja ulianza rasmi mwaka 1999 ambao unajumuisha<br />

wadau mbalimbali wa maendeleo ambao hutoa fedha <strong>kwa</strong> lengo la kuboresha utoaji<br />

wa huduma za af<strong>ya</strong> nchini. Kupitia utaratibu huu, fedha hugawanywa baina <strong>ya</strong><br />

Wizara na Halmashauri <strong>kwa</strong> kuzingatia Sera <strong>ya</strong> Taifa <strong>ya</strong> ugatuaji wa madaraka.<br />

Aidha, kupitia utaratibu huu, fedha hupele<strong>kwa</strong> OWM – TAMISEMI na Sekretarieti<br />

za mikoa <strong>kwa</strong> ajili <strong>ya</strong> ukaguzi na usimamizi katika ngazi <strong>ya</strong> Halmashauri.<br />

23


Katika kipindi cha 2010/11 jumla <strong>ya</strong> Sh.121.9 bilioni zilitengwa <strong>kwa</strong> ajili <strong>ya</strong><br />

utekelezaji wa miradi <strong>ya</strong> maendeleo <strong>kwa</strong> upande wa Wizara, Halmashauri,<br />

Sekretarieti za Mikoa na OWM – TAMISEMI ikilinganishwa na Sh. 17.7 bilioni<br />

zilizotolewa mwaka 2005/6.<br />

7.3.2 Uhasibu<br />

Utangulizi<br />

Idara <strong>ya</strong> fedha na Uhasibu inasimamia <strong>kwa</strong> dhati Sheria, Kanuni na Taratibu zote<br />

zinazohusu fedha na Uhasibu katika Wizara, ikiwa ni pamoja na Sheria <strong>ya</strong> Fedha Na. 6 <strong>ya</strong><br />

mwaka 2001 na Kanuni zake, Sheria <strong>ya</strong> Ununuzi <strong>ya</strong> mwaka 2004 na Kanuni zake. Pia<br />

Miongozo mbalimbali inayotolewa na Wizara <strong>ya</strong> Fedha inayohusu udhibiti wa Mapato na<br />

matumizi <strong>ya</strong> fedha za Umma/Serikali.<br />

Maendeleo na Mafanikio<br />

• Kumekuwa na usimamizi mzuri wa Sheria, Kanuni, na Taratibu za Fedha na Ununuzi<br />

katika kuhakikisha <strong>kwa</strong>mba bajeti iliyopitishwa na bunge inasimamiwa vizuri.<br />

• Mazingira bora <strong>ya</strong> kufanyia kazi. Kumekuwa na mafanikio makubwa katika kuhakikisha<br />

kuwa kuna mazingira mazuri <strong>ya</strong> kufanyia kazi ikiwa ni pamoja na kuboreshwa <strong>kwa</strong><br />

vitendea kazi.<br />

• Kuanzishwa <strong>kwa</strong> mfumo wa komputa (Intergrated Financial Management System)<br />

ambao umerahisisha malipo na upatikanaji wa taarifa za fedha. Taarifa za mapato na<br />

matumizi <strong>ya</strong> fedha za serikali zinapatikana <strong>kwa</strong> wakati na zenye ubora zaidi<br />

ukilinganisha na mfumo uliokuwepo siku za nyuma (Manual System).<br />

• Kuanzishwa <strong>kwa</strong> utaratibu wa kulipa malipo <strong>ya</strong> moja <strong>kwa</strong> moja kwenye akaunti za<br />

Watumishi, Taasisi na Wazabuni (TISS) kumeleta mafanikio makubwa na kupunguza<br />

matatizo ambayo <strong>ya</strong>likuwa <strong>ya</strong>nasababishwa na ulipwaji <strong>kwa</strong> njia <strong>ya</strong> hundi.<br />

• Mishahara imekuwa ikilipwa <strong>kwa</strong> wakati (tarehe 22-24 kila mwezi) tofauti na hali<br />

ilivyokuwa siku za nyuma ambapo mishahara ililipwa baada <strong>ya</strong> tarehe 31 <strong>ya</strong> kila mwezi.<br />

• Mafunzo <strong>kwa</strong> Wahasibu idadi <strong>ya</strong> Wahasibu wenye sifa imeongezeka <strong>kwa</strong> kiwango cha<br />

juu kuanzia mwaka 2001. Idara inajumla <strong>ya</strong> Wahasibu 133 na kati <strong>ya</strong> hao, 10 wanasifa<br />

<strong>ya</strong> kiwango cha CPA, 75 wanakiwango cha Shahada, Stashahada na Shahada <strong>ya</strong><br />

uzamili. Pia idara imeimarisha mafunzo <strong>kwa</strong> Wahasibu walio katika vyuo na taasisi<br />

zilizo chini <strong>ya</strong> Wizara.<br />

• Kumekuwa na maendeleo mazuri katika uandaaji wa hesabu za Wizara ambapo <strong>kwa</strong><br />

kipindi cha miaka minne <strong>ya</strong> hivi karibuni, Wizara ilipata hati safi <strong>kwa</strong> miaka 3 mfulilizo<br />

(2006/2007, 2007/2008 na 2008/ 2009). Hesabu za 2009/2010 ziko katika hatua <strong>ya</strong><br />

mwisho za ukaguzi.<br />

Utoaji wa taarifa za hesabu za fedha za serikali <strong>kwa</strong> kiwango cha kimatafa (International<br />

Public Sector Accounting Standards) ni mafanikio pia <strong>ya</strong>liyopatikana katika kipindi cha<br />

miaka <strong>ya</strong> hivi karibuni.<br />

24


Ukaguzi wa Ndani<br />

Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani kinawajibu wa kufan<strong>ya</strong> kaguzi mbalimbali juu <strong>ya</strong><br />

uwajibikaji na usimamizi wa rasilimali za Wizara na kutoa ushauri <strong>kwa</strong> Afisa Masuhuli<br />

unaolenga kuboresha huduma za af<strong>ya</strong> na ustawi wa jamii ili kufikia Malengo <strong>ya</strong>liyowe<strong>kwa</strong>.<br />

Majukumu <strong>ya</strong> Kitengo cha Ukaguzi ni kama ifuatavyo:-<br />

(i) Kupitia mifumo “internal control systems” mbalimbali <strong>ya</strong> udhibiti na kutoa ushauri<br />

<strong>kwa</strong> Afisa Masuhuli juu <strong>ya</strong> uboreshaji.<br />

(ii) Kupanga na kufan<strong>ya</strong> ukaguzi <strong>kwa</strong> kuzingatia maeneo yenye viatarishi v<strong>ya</strong> kufikia<br />

malengo (High Risk Areas).<br />

(iii) Kusaidia uongozi wa Wizara kuboresha utendaji ili malengo <strong>ya</strong>weze kufikiwa <strong>kwa</strong><br />

kutoa ushauri mbalimbali kama itakavyohitajika.<br />

(iv) Kupitia kanuni, sheria na taratibu mbalimbali zilizowe<strong>kwa</strong> na Wizara/Serikali na<br />

kutoa ushauri juu <strong>ya</strong> utekelezaji wa kanuni husika.<br />

(v) Kukagua na kutoa ushauri <strong>kwa</strong> Afisa Masuhuli juu <strong>ya</strong> matumizi, utunzaji na<br />

usimamizi wa rasilimali zote za Serikali zilizo chini <strong>ya</strong> Wizara <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong>.<br />

(vi) Kukagua shughuli zote za utendaji “operating System”, pamoja na utekelezaji wa<br />

kazi/mipango iliyowe<strong>kwa</strong> na Wizara na kushauri.<br />

(vii) Kuwezesha mafunzo <strong>ya</strong> kanuni na sheria za fedha manunuzi pamoja na “Risk<br />

Management”.<br />

(viii) Kazi nyingine zitakazoelekezwa na Afisa .<br />

Mafanikio<br />

(i) Uimarishwaji wa mifumo mbalimbali <strong>ya</strong> udhibiti inayomhakikishia Afisa Masuhuli<br />

juu <strong>ya</strong> uboreshaji wa uendeshaji.<br />

(ii) Kaguzi mbalimbali zimefanyika zinazozingatia maeneo yenye vihatarishi v<strong>ya</strong> kufikia<br />

malengo (High Risk Areas) maeneo hayo ni kama ununuzi wa madawa na vifaa tiba,<br />

ukaguzi wa watumishi hewa, matumizi <strong>ya</strong> mafuta, mapato na matumizi <strong>ya</strong> Wizara<br />

n.k.<br />

(iii) Utawala bora wenye kuzingatia uwazi na uwajibikaji <strong>kwa</strong> watendaji wa Wizara<br />

pamoja na utoaji wa taarifa zenye ukweli zinazozingatia kanuni na taratibu za<br />

utendaji katika Sekta <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong>.<br />

(iv) Kanuni, Sheria na Taratibu mbalimbali zilizowe<strong>kwa</strong> na Serikali zimezingatiwa katika<br />

utekelezaji wa majukumu <strong>ya</strong> kazi/mipango iliyowe<strong>kwa</strong> na Wizara katika usimamizi<br />

wa rasilimali.<br />

(v) Uanzishwaji wa Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani <strong>kwa</strong> kupewa kifungu chake<br />

kinachojitegemea mbali na awali ilikuwa chini <strong>ya</strong> Idara <strong>ya</strong> Uhasibu.<br />

25


7.4 UGAVI<br />

Majukumu <strong>ya</strong> Kitengo:<br />

(i) Kuandaa mpango wa Ununuzi wa mwaka wa Wizara na Kuusimamia<br />

(ii) Kitengo ni Secretariat <strong>ya</strong> MTB, na hivyo kuhakikisha vikao v<strong>ya</strong> MTB vinafanyika<br />

<strong>kwa</strong> wakati.<br />

(iii) Kuratibu kazi zote za Ununuzi wa Vifaa na huduma na kuhakikisha zinapatika <strong>kwa</strong><br />

wakati na <strong>kwa</strong> gharama nafuu.<br />

(iv) Kuhakikisha kuwa ununuzi wa vifaa na huduma unazingatia Sheria <strong>ya</strong> Ununuzi <strong>ya</strong><br />

mwaka 2004.<br />

Utekekezaji wa kazi za Kitengo:<br />

(i) Wizara imetekeleza majukumu <strong>ya</strong>ke <strong>kwa</strong> kuzinagatia Sheria <strong>ya</strong> Ununuzi wa Umma<br />

Namba 21 <strong>ya</strong> mwaka 2004 na Kanuni zake za mwaka 2005.<br />

(ii) Wizara imeandaa Mpango wa Ununuzi wa mwaka <strong>kwa</strong> kila mwaka na uekelezaji<br />

wake kukamilishwa kama ilivyokusudiwa.<br />

(iii) Wizara imeanunua vifaa na huduma zenye ubora <strong>kwa</strong> bei <strong>ya</strong> ushindani.<br />

Mafanikio:<br />

(i) Ununuzi wa vifaa, vifaa tiba na huduma zimekuwa zikipatikana <strong>kwa</strong> kuzingatia<br />

Sheria <strong>ya</strong> Ununuzi <strong>ya</strong> Umma Na. 21 <strong>ya</strong> 2004.<br />

(ii) Upatikanaji wa vifaa, vifaa tiba na huduma umekuwa ukipatikana <strong>kwa</strong> wakati na<br />

hivyo kuokoa maisha <strong>ya</strong> wagonjwa na wananchi <strong>kwa</strong> ujumla.<br />

(iii) Gharama za Ununuzi zimepungua kutokana na kununua <strong>kwa</strong> kuzingatia sheria na<br />

Mpango kazi na hivyo kupunguza gharama za kinga na tiba.<br />

(iv) Wataalam wa Ununuzi na Ugavi wamepatiwa elimu na nyenzo za kufanyia kazi na<br />

hii imeinua kiwango cha ufanisi kazini.`<br />

(v) Wizara na Serikali <strong>kwa</strong> ujumla imeweza kutekeleza mipango <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> na<br />

Ustawi wa Jamii hususani <strong>ya</strong> upatikanaji wa vifaa na huduma kutokana na ushauri<br />

wa kitaalam wa Kitengo cha Ugavi na Ununuzi.<br />

26


7.5 MAJENGO NA MITAMBO<br />

Wakati wa uhuru majengo <strong>ya</strong> vituo v<strong>ya</strong> kutolea huduma za af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>likuwa madogo na<br />

machache kutokana na huduma zilizokuwa zinatolewa. Aidha aina <strong>ya</strong> huduma zilizotolewa<br />

zilikuwa chache na zilitumia mitambo rahisi. Serikali imeendelea kuboresha majengo na<br />

mitambo <strong>ya</strong> kutolea huduma za af<strong>ya</strong> <strong>kwa</strong> kupanua na kujenga majengo na kusimika<br />

mitambo <strong>ya</strong> kisasa. Kwa mfano Hospitali <strong>ya</strong> Taifa <strong>ya</strong> Muhimbili ilianza na majengo manne<br />

(Sewa Haji, Mwaisela na Kibasila, na Jengo la Utawala) na sasa <strong>ya</strong>meongezeka majengo 10<br />

makubwa. Vipimo vingi v<strong>ya</strong> maabara vilifanyika <strong>kwa</strong> mikono, tofauti na wakati huu<br />

ambapo vinatumia mitambo <strong>ya</strong> kisasa na inayojiendesha yenyewe. Aidha uchunguzi wa<br />

<strong>magonjwa</strong> <strong>kwa</strong> njia <strong>ya</strong> mionzi umeboreshwa kutoka x-ray za kawaida hadi “CT-Scanner na<br />

MRI”.<br />

Baadhi <strong>ya</strong> maboresho <strong>ya</strong> majengo na mitambo <strong>kwa</strong> ajili <strong>ya</strong> kuboresha utoaji wa huduma za<br />

af<strong>ya</strong> nchini ni kama <strong>ya</strong>vyoonekana katika picha zifuatazo:<br />

Maabara Kuu <strong>ya</strong> Muhimbili kabla <strong>ya</strong><br />

Ukarabati<br />

Jengo la Idara <strong>ya</strong> Dharura <strong>ya</strong> <strong>Tiba</strong> la<br />

Hospitali <strong>ya</strong> Taifa <strong>ya</strong> Muhimbili kabla <strong>ya</strong><br />

kukarabatiwa, mwaka 2008.<br />

Maabara Kuu <strong>ya</strong> Muhimbili baada <strong>ya</strong><br />

Ukarabati<br />

Jengo la Idara <strong>ya</strong> Dharura <strong>ya</strong> <strong>Tiba</strong> la<br />

Hospitali <strong>ya</strong> Taifa <strong>ya</strong> Muhimbili baada <strong>ya</strong><br />

kukarabatiwa, mwaka 2008.<br />

27


Hali Maabara kabla <strong>ya</strong> ukarabati wa Maabara<br />

Kuu <strong>ya</strong> Hospitali <strong>ya</strong> Taifa <strong>ya</strong> Muhimbili<br />

Mashine <strong>ya</strong> X-ray kabla <strong>ya</strong> ukarabati katika<br />

Hospitali <strong>ya</strong> Taifa <strong>ya</strong> Muhimbili.<br />

Mitambo <strong>ya</strong> CT-Scanner katika Hospitali <strong>ya</strong><br />

Taifa <strong>ya</strong> Muhimbili, mwaka 2006<br />

Mitambo <strong>ya</strong> Maabara <strong>ya</strong> “ELISA” <strong>kwa</strong> ajili<br />

<strong>ya</strong> vipimo mbalimbali katika Maabara Kuu<br />

<strong>ya</strong> Hospitali <strong>ya</strong> Taifa <strong>ya</strong> Muhimbili baada<br />

<strong>ya</strong> ukarabati wa maabara hiyo.<br />

Mashine <strong>ya</strong> X-ray baada <strong>ya</strong> ukarabati wa<br />

jengo la X-ray katika Hospitali <strong>ya</strong> Taifa <strong>ya</strong><br />

Muhimbili.<br />

Mitambo <strong>ya</strong> MRI katika Hospitali <strong>ya</strong> Taifa<br />

<strong>ya</strong> Muhimbili.<br />

28


Mitambo <strong>ya</strong> dalubini <strong>kwa</strong> ajili <strong>ya</strong> kufanyia<br />

upasuaji (Neurosurgery) katika Taasisi <strong>ya</strong> MOI.<br />

Jengo la NIMR la zamani Makao Makuu, Dar es<br />

Salaam.<br />

Jengo jip<strong>ya</strong> la NIMR Makao Makuu, Dar es Salaam<br />

Mitambo <strong>ya</strong> <strong>kwa</strong> ajili <strong>ya</strong> “Neurosurgery”,<br />

MOI<br />

Jengo la CEEMI, NIMR, Dar es Salaam<br />

29


8.0 HUDUMA ZA AFYA<br />

8.1 MGANGA MKUU WA SERIKALI<br />

Utangulizi<br />

Mganga Mkuu wa Serikali ndiye mkuu wa masuala yote <strong>ya</strong> taaluma <strong>ya</strong> af<strong>ya</strong> <strong>kwa</strong> serikali. Ni<br />

mshauri wa Waziri na Katibu Mkuu katika maeneo yote <strong>ya</strong>na<strong>ya</strong>ohusiana na utoaji na<br />

uendeshaji wa huduma za af<strong>ya</strong> nchini. Ushauri huo unazingatia vipaumbele v<strong>ya</strong> serikali<br />

kama vilivyoainishwa katika n<strong>ya</strong>raka mbalimbali kama vile Dira <strong>ya</strong> Maendeleo <strong>ya</strong> Taifa<br />

2025, Sera <strong>ya</strong> Taifa <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> 2007, MKUKUTA, Mpango Mkakati wa Af<strong>ya</strong>- III, n.k.<br />

Muundo mp<strong>ya</strong> ulioidhinishwa na Mheshimiwa Rais tarehe 3 Juni, 2011, umeongeza Idara<br />

<strong>ya</strong> Uhakiki Ubora wa Af<strong>ya</strong> (Health Quality Assuarance Division) hivyo kufan<strong>ya</strong> idara nne<br />

zilizoko chini <strong>ya</strong> Mganga Mkuu wa Serikali, ambazo zinaongozwa na Wakurugenzi. Idara<br />

za awali ni Idara <strong>ya</strong> Huduma za Kinga; Idara <strong>ya</strong> Huduma za <strong>Tiba</strong> na Idara <strong>ya</strong> Maendeleo <strong>ya</strong><br />

Rasilimali Watu. Hivyo Idara mp<strong>ya</strong> inakuwa na Wakurugenzi Wasaidizi 3 na Muuguzi<br />

Mkuu wa Serikali na Mganga Mkuu wa Serikali atabakiwa kuwa Kiongozi na<br />

Msimamimizi mkuu wa Idara hizo za kitaaluma.<br />

Maelezo <strong>ya</strong>fuatayo <strong>ya</strong>naelezea zaidi Ofisi <strong>ya</strong> Mganga Mkuu wa Serikali kabla <strong>ya</strong><br />

mabadiliko <strong>ya</strong> Muundo <strong>ya</strong> Vitengo vinne kama ifuatavyo:<br />

Kitengo cha Dawa, Vifaa na Vifaa <strong>Tiba</strong><br />

Kabla <strong>ya</strong> mabadiliko <strong>ya</strong> Muundo kitengo hiki kilikuwa chini <strong>ya</strong> Idara <strong>ya</strong> Huduma za <strong>Tiba</strong>.<br />

Aidha kitengo kinafan<strong>ya</strong> kazi zake <strong>kwa</strong> karibu na Bohari <strong>ya</strong> Dawa ambayo maelezo <strong>ya</strong>ke<br />

<strong>ya</strong>nafuatia.<br />

Bohari <strong>ya</strong> Dawa (Medical Stores Department – MSD) ilianzishwa 1993 <strong>kwa</strong> sheria <strong>ya</strong><br />

Bunge namba 13 <strong>ya</strong> mwaka 1993 na kuanza kazi mwezi Julai 1994. Kuanzishwa <strong>kwa</strong> MSD<br />

kulifuatia kutofan<strong>ya</strong> vizuri <strong>kwa</strong> Idara <strong>ya</strong> Bohari Kuu <strong>ya</strong> Dawa (Central Medical Stores –<br />

CMS) ambayo ilikuwa ni Idara ndani <strong>ya</strong> Wizara. Awali, MSD ilihisaniwa na Shirika la<br />

Maendeleo la Kimatifa la DENMARK (DANIDA) ambayo ilihusika katika kutoa dawa<br />

muhimu <strong>kwa</strong> vituo v<strong>ya</strong> af<strong>ya</strong> na zahanati (Essential Drug Kit). Vile vile DANIDA walitoa<br />

msaada wa kiufundi <strong>kwa</strong> kutoa wataalam wa muda mfupi na muda mrefu katika maeneo <strong>ya</strong><br />

ugavi na udhibiti ubora kuanzia mwaka 1994 hadi 2008.<br />

Baraza la Famasi (PC) lilianzishwa <strong>kwa</strong> sheria <strong>ya</strong> Famasi Namba 7 <strong>ya</strong> mwaka 2002 baada<br />

<strong>ya</strong> kuvunjwa iliyokuwa Bodi <strong>ya</strong> Famasi. Jukumu kubwa la PC ni kusimamia taaluma <strong>ya</strong><br />

famasi, kusajili wataalamu wa kada hiyo na kupitia na kuidhinisha mitaala <strong>ya</strong> kufundishia<br />

wataalam wa kada <strong>ya</strong> Famasi. Mwaka uliofuata (2003) Mamlaka <strong>ya</strong> Chakula na Dawa<br />

(TFDA) ilianzishwa baada <strong>ya</strong> kuvunjwa iliyokuwa Bodi <strong>ya</strong> Famasi. Jukumu kubwa la<br />

TFDA ni kusimamia ubora, usalama na uingizaji wa dawa, vifaa na vifaa tiba<br />

vinavyoingizwa nchini.<br />

Kitengo chaUuguzi na Ukunga,<br />

Kitengo cha Uuguzi na Ukunga kinaongozwa na Muuguzi Mkuu wa Serikali, ambaye ni<br />

mwangalizi wa huduma za uuguzi na ukunga nchini. Kitengo kinasimamia Sera na<br />

kuta<strong>ya</strong>risha miongozo <strong>ya</strong> huduma za uuguzi na ukunga nchini, kusimamia na kufuatilia<br />

30


utoaji huduma za af<strong>ya</strong> <strong>kwa</strong> karibu, katika hospitali za wila<strong>ya</strong>, hospitali za rufaa za mikoa na<br />

katika jamii pale ambapo huduma za af<strong>ya</strong> hutolewa. Pia kufuatilia <strong>kwa</strong> ukaribu uzingatiaji<br />

wa maadili <strong>ya</strong> uuguzi na ukunga katika utoaji huduma <strong>kwa</strong> kushirikiana na Baraza la<br />

Wauguzi na Wakunga, <strong>kwa</strong> mujibu wa sheria.<br />

Kitengo cha Dharura za Af<strong>ya</strong>,<br />

Kuanzishwa <strong>kwa</strong> Kitengo cha Dharura za Af<strong>ya</strong> zitokanazo na maafa katika Wizara <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong><br />

na Ustawi wa Jamii ni hatua kubwa <strong>ya</strong> kukabiliana na majeruhi watokanao na maafa mbali<br />

mbali katika nchi yetu. Kitengo hiki kilihamishiwa katika Ofisi <strong>ya</strong> Mganga Mkuu wa<br />

Serikali mwaka 1999. Majukumu makuu <strong>ya</strong> kitengo ni pamoja na kuhakikisha kuwa Wizara<br />

inajihusisha kikamilifu katika kuzuia, kujiandaa na kukabiliana na dharura na maafa <strong>kwa</strong><br />

lengo la kupunguza ulemavu, kuokoa maisha na viahatarishi v<strong>ya</strong> dharura na maafa katika<br />

jamii.<br />

Kitengo cha Ukaguzi wa Huduma za Af<strong>ya</strong>,<br />

Mara baada <strong>ya</strong> uhuru, serikali kupitia wizara <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> na Ustawi wa Jamii, haikuwa na<br />

mfumo rasmi wa kuhakiki ubora wa huduma za af<strong>ya</strong>. Kazi za uhakiki zilizingatia zaidi usafi<br />

wa mazingira zikifanywa na maafisa ukaguzi wa af<strong>ya</strong> (Health Inspectors). Wizara <strong>kwa</strong><br />

kuzingatia kupanuka <strong>kwa</strong> huduma, mabadiliko katika seakta <strong>ya</strong> af<strong>ya</strong> na umuhimu wa<br />

kuhakikisha ubora wa huduma za af<strong>ya</strong> katika ngazi zote unawiana, mwaka 1998 iliunda<br />

Kitengo cha Ukaguzi wa Huduma za Af<strong>ya</strong> chini <strong>ya</strong> Ofisi <strong>ya</strong> Mganga Mkuu wa Serikali.<br />

Kitengo kinasimamia viwango v<strong>ya</strong> huduma bora, usimamizi shirikishi, ukaguzi na<br />

uuoanishaji wa huduma za af<strong>ya</strong>. Pia kitengo kinahakikisha huduma zitolewazo ni salama,<br />

zinakubalika, zinapatikana <strong>kwa</strong> urahisi na <strong>kwa</strong> wote. Kutokana na umuhimu wa uhakiki wa<br />

viwango v<strong>ya</strong> ubora wa huduma za af<strong>ya</strong> nchini, kitengo hicho kimehuishwa na kuwa Idara.<br />

Muhtasari wa Mafanikio <strong>ya</strong> Ofisi <strong>ya</strong> Maganga Mkuu wa Serikali ni kama ifuatavyo:<br />

1961 Mara baada <strong>ya</strong> Uhuru, Cheo cha Mkurugenzi wa Huduma za Af<strong>ya</strong> (Director of Medical<br />

Services) kilibadilishwa na kuwa Mganga Mkuu wa Serikali (“Chief Medical Officer”),<br />

ambaye alikuwa anasimamia huduma za hospitali, mafunzo na kinga kufuatia mapendekezo<br />

<strong>ya</strong> taarifa <strong>ya</strong> af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> 'Mackenzie' (‘Mackenzie Medical Review Report’), ambayo pia ilitoa<br />

mapendekezo mengine mengi <strong>ya</strong> mfumo na utoaji wa huduma za af<strong>ya</strong> <strong>kwa</strong> iliyokuwa<br />

Tanganyika.<br />

1968 Mwafrika wa <strong>kwa</strong>nza Bi. Susan Sanas Wage aliteuliwa kuwa Muuguzi Mkuu wa <strong>kwa</strong>nza na<br />

Msajili wa Baraza la Wauguzi na Wakunga wa Serikali <strong>ya</strong> Tanganyika<br />

1969 Mganga Mkuu wa Serikali alitoa agizo la kufanyia utafiti dawa za asili kupitia Maabara <strong>ya</strong><br />

Mkemia wa Serikali.<br />

1972 Cheo cha Mganga Mkuu wa Serikali kilifutwa na kuundwa Kurugenzi nne za Huduma za<br />

Hospitali, Mafunzo, Kinga na Maendeleo <strong>ya</strong> Utumishi na Utawala.<br />

1980 Cheo cha Mganga Mkuu wa Serikali kiliundwa tena na Kurugenzi kufutwa. Badala <strong>ya</strong>ke,<br />

ziliundwa nafasi tatu za Wasaidizi wa Mganga Mkuu wa Serikali (Assistant Chief Medical<br />

Officers), katika idara <strong>ya</strong> Huduma za Hospitali, Mafunzo na Kinga.<br />

Mafunzo <strong>ya</strong> uuguzi ngazi <strong>ya</strong> shahada <strong>ya</strong>lianzishwa katika Chuo Kikuu cha Muhimbili.<br />

1989 Cheo cha Mganga Mkuu wa Serikali kilifutwa na kubaki cheo cha Wasaidizi wa Mganga<br />

Mkuu wa Serikali.<br />

31


1990 Cheo cha Wasaidizi wa Mganga Mkuu wa Serikali (Assistant Chief Medical Officers)<br />

kilifutwa na badala <strong>ya</strong>ke kuanzisha tena kurugenzi tatu za Huduma za Hospitali, Mafunzo<br />

na Kinga. Cheo cha Mganga Mkuu wa Serikali, kilirudishwa na kuendelea kuwepo hadi leo.<br />

Wakati wote huo tangu uhuru hadi leo mteuzi wa Mganga Mkuu wa Serikali ni Rais wa<br />

Jamhuri <strong>ya</strong> Muungano wa <strong>Tanzania</strong>.<br />

1998 Kitengo cha Ukaguzi cha Huduma za Af<strong>ya</strong> chini <strong>ya</strong> Mganga Mkuu wa Serikali<br />

kilianzishwa.<br />

1999 Pia kutokana na matukio makubwa <strong>ya</strong> maafa <strong>ya</strong>liyotokea nchini <strong>ya</strong>kiwemo, mafuriko<br />

(1990) Mtwara, kuzama <strong>kwa</strong> meli <strong>ya</strong> MV Bukoba (1996) katika Ziwa Victoria pamoja na<br />

ulipuaji wa Ubalozi wa Marekani 1998, Kitengo cha Dharura za Af<strong>ya</strong> ambapo hapo awali<br />

kilikuwa chini <strong>ya</strong> Idara <strong>ya</strong> Kinga, kilihamia rasmi katika Ofisi <strong>ya</strong> Mganga Mkuu wa<br />

Serikali, <strong>kwa</strong> ajili <strong>ya</strong> kuratibu shughuli zote za majanga nchini.<br />

32


8.2 UBORESHAJI AFYA NA KINGA YA MAGONJWA<br />

Utangulizi<br />

Huduma za Kinga zilianza kutolewa wakati wa kipindi cha ukoloni. Hata hivyo katika<br />

kipindi hicho cha ukoloni huduma za <strong>Tiba</strong> ziliendelezwa zaidi kuliko huduma za Kinga.<br />

Baada <strong>ya</strong> Uhuru, katika mwaka 1961/62, maeneo <strong>ya</strong> huduma za af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> jamii ambayo fedha<br />

zilitumika zaidi ni pamoja na; udhibiti wa ugonjwa wa malaria, udhibiti wa ugonjwa wa<br />

malale, elimu <strong>ya</strong> af<strong>ya</strong>, lishe, af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> bandari, ukaguzi wa af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> mazingira. Aidha katika<br />

ngazi <strong>ya</strong> serikali za mitaa, huduma za kilinki za mama wajawazito na watoto zilitumia fedha<br />

zaidi. Kwa wakati huo pia <strong>magonjwa</strong> <strong>ya</strong>liyosumbua zaidi ni pamoja na: ugonjwa wa ndui,<br />

ugonjwa wa homa <strong>ya</strong> matumbo, kifaduro, surua, homa <strong>ya</strong> uti wa mgongo na kupooza. Pia<br />

kulikuwa na <strong>magonjwa</strong> <strong>ya</strong> tauni, malale na kichaa cha mbwa katika maeneo machache.<br />

Tangu mwaka 1961, Serikali <strong>kwa</strong> kupitia Wizara <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> na wadau mbalimbali imeendelea<br />

kuimarisha huduma za kinga hadi sasa.<br />

Shughuli za Huduma za Kinga, zinasimamiwa na Mkurugenzi akisaidiwa na Wakurugenzi<br />

Wasaidizi wanne ambao ni wakuu wa vitengo 4 vifuatavyo: Epidemiolojia na udhibiti wa<br />

Magonjwa; Af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Uzazi na Watoto; Elimu <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong>; na Af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Mazingira.<br />

Maeneo <strong>ya</strong>fuatayo <strong>ya</strong>meendelea kupewa kipaumbele katika kutoa huduma za Kinga nchini:-<br />

• Kuimarisha huduma za chanjo, ili kudhibiti <strong>magonjwa</strong> <strong>ya</strong>nayozuilika <strong>kwa</strong> chanjo<br />

kama: Surua, Kifua Kikuu, Kupooza, Pepo Punda, Kifaduro na Donda Koo;<br />

• Kuimarisha huduma za af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> uzazi mama na mtoto pamoja na kutoa huduma <strong>kwa</strong><br />

vijana kuhusu af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> uzazi;<br />

• Kuimarisha huduma za lishe;<br />

• Kuimarisha huduma za af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> jamii katika ngazi <strong>ya</strong> ka<strong>ya</strong>;<br />

• Kuimarisha huduma za af<strong>ya</strong> shuleni;<br />

• Kudhibiti <strong>magonjwa</strong> <strong>ya</strong> kuambukiza pamoja na milipuko mbalimbali, hususan:<br />

Malaria, UKIMWI, Kifua kikuu na Ukoma, Tauni, Kichaa cha Mbwa, Homa <strong>ya</strong><br />

Matumbo, Kipindupindu, kuhara, uti wa mgongo, minyoo (kichocho, safura, n.k.),<br />

homa <strong>ya</strong> matende, Malale, Usubi, Vikope na huduma za <strong>magonjwa</strong> <strong>ya</strong> macho, na<br />

<strong>magonjwa</strong> <strong>ya</strong>siyo <strong>ya</strong> kuambukiza (kisukari, <strong>magonjwa</strong> <strong>ya</strong> moyo na kiarusi, pumu,<br />

saratani, n.k.);<br />

• Kuimarisha huduma za usafi wa mtu binafsi, af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> mazingira, af<strong>ya</strong> na usalama<br />

mahali pa kazi na huduma za af<strong>ya</strong> bandarini;<br />

• Kuimarisha huduma za elimu <strong>ya</strong> af<strong>ya</strong> <strong>kwa</strong> umma na kuimarisha utaratibu wa huduma<br />

za af<strong>ya</strong> katika ngazi <strong>ya</strong> wila<strong>ya</strong>.<br />

Maendeleo na mafanikio<br />

Maendeleo na mafanikio <strong>ya</strong> huduma za kinga <strong>kwa</strong> kipindi cha miaka 50 <strong>ya</strong> uhuru<br />

<strong>ya</strong>naelezwa kuanzia mwaka 1961 hadi sasa, 2011 kama ifuatayo:<br />

(i) Epidemiolojia na Udhibiti wa Magonjwa<br />

1968 Kampeni dhidi <strong>ya</strong> kutokomeza ugonjwa wa ndui ilianzishwa, hadi kufikia 1977 ugonjwa wa<br />

ndui ulitokomezwa duniani.<br />

33


1977 Mpango wa Kitaifa wa kudhibiti Kifua Kikuu na Ukoma ulianzishwa.<br />

1983 Mgonjwa wa <strong>kwa</strong>nza wa UKIMWI alitambuliwa. Mwaka 1986, Mpango wa Kitaifa wa<br />

kudhibiti UKIMWI ulianzishwa.<br />

1996 Mpango wa Kitaifa wa kudhibiti Kifua Kikuu na Ukoma, ulianzisha mkakati wa kutoa dawa<br />

na kunywewa mbele <strong>ya</strong> mtumishi wa af<strong>ya</strong> (Directly Observed Treatment - DOT).<br />

1998 Mkakati (WHO-AFRO Integrated Disease Surveillance and Response Strategy) wa Shirika<br />

la Af<strong>ya</strong> Duniani, kanda <strong>ya</strong> Afrika wa Ufuatiliaji na Udhibiti wa <strong>magonjwa</strong> <strong>ya</strong> kuambukiza<br />

na hasa <strong>ya</strong> milipuko ulikubalika rasmi <strong>kwa</strong> ajili <strong>ya</strong> utekelezaji.<br />

1999 Bodi <strong>ya</strong> Kitaifa <strong>ya</strong> Ushauri dhidi <strong>ya</strong> UKIMWI ilianzishwa na Mwenyekiti alikuwa Rais<br />

mstaafu Mhe. Ali Hassan Mwinyi.<br />

2000 Tume <strong>ya</strong> UKIMWI (TACAIDS) ilianzishwa chini <strong>ya</strong> ofisi <strong>ya</strong> Waziri Mkuu, ili kuimarisha<br />

ushirikishwaji wa sekta mbalimbali.<br />

2000 Mwongozo wa Kitaifa wa Ufuatiliaji na Udhibiti wa <strong>magonjwa</strong> <strong>ya</strong> kuambukiza na hasa <strong>ya</strong><br />

milipuko (National Integrated Disease Surveillance and Response) uliandaliwa.<br />

2000 Wizara ilitoa tamko na kutoa mwongozo mp<strong>ya</strong> wa tiba <strong>ya</strong> ugonjwa wa malaria na kuanza<br />

kutumia SP (Fansidar) kuwa dawa <strong>ya</strong> kuanzia <strong>kwa</strong> kutibu malaria badala <strong>ya</strong> Chloroquine.<br />

2007 <strong>Tanzania</strong>, kupitia utekelezaji mzuri wa Mpango wa Taifa wa Kudhibiti Kifua Kikuu na<br />

Ukoma, ilivuka lengo la kimataifa kutokomeza ukoma <strong>kwa</strong> kuwa na chini <strong>ya</strong> mgonjwa 1<br />

katika watu 10,000, na kufan<strong>ya</strong>, Ukoma kutokuwa tatizo kubwa la af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> jamii hapa<br />

nchini. Aidha <strong>Tanzania</strong>, ilipata tuzo kutokana na mafanikio hayo.<br />

2008 Wizara <strong>kwa</strong> kushirikiana na Chuo Kikuu cha <strong>Tiba</strong> na Sa<strong>ya</strong>nsi <strong>ya</strong> Jamii (MUHAS) na<br />

Shirika la Udhiditi na kuzuia Magonjwa la Marekani (Centers for Disease Control and<br />

prevention - CDC) walianzisha programu maalumu <strong>ya</strong> digrii <strong>ya</strong> uzamili <strong>ya</strong> Epidemiolojia na<br />

Maabara (<strong>Tanzania</strong> Field Epidemiology and Laboratory Training Program) <strong>kwa</strong> ajili <strong>ya</strong><br />

kujenga uwezo wa kukabiliana na <strong>magonjwa</strong> <strong>ya</strong> kuambukiza na hasa milipuko, na pia<br />

<strong>magonjwa</strong> <strong>ya</strong>siyo <strong>ya</strong> kuambukiza. Aidha programu hii inajenga uwezo pia <strong>kwa</strong> watumishi<br />

wa kati katika ngazi <strong>ya</strong> Mkoa na Wila<strong>ya</strong> wa <strong>Tanzania</strong> Bara na Zanzibar.<br />

2008 Wizara <strong>kwa</strong> kushirikiana na CDC, ilianzisha Maabara maalumu (National Influenza<br />

Laboratory) <strong>ya</strong> kutambua virusi v<strong>ya</strong> mafua makali <strong>ya</strong> ndege (influenza). Aidha, vituo v<strong>ya</strong><br />

ufuatiliaji wa <strong>magonjwa</strong> <strong>ya</strong> ‘influenza’ vilianzishwa. Hii iliwajengea uwezo wataalamu wa<br />

af<strong>ya</strong> hata kuweza kukabiliana na kudhibiti ugonjwa wa mlipuko wa ‘pandemic influenza<br />

(H1N1 2009)’ uliotokea kuanzia mwaka 2009.<br />

2009 Wizara ilianzisha huduma mp<strong>ya</strong> za kutibu wagonjwa wenye Kifua Kikuu sugu katika<br />

Hospitali <strong>ya</strong> Kibong’oto. Utafiti uliofanyika mwaka 2007 – 2008 <strong>kwa</strong> kushirikiana na<br />

Shirika la Af<strong>ya</strong> Duniani (WHO) ulibaini kuwa tatizo la Kifua Kikuu sugu ni asilimia 2.1<br />

kiwango ambacho ni kidogo sana kulinganisha na nchi nyingine.<br />

34


Mpango wa Taifa wa Kudhibiti Malaria<br />

• Wizara <strong>kwa</strong> kushirikiana na wadau mbalimbali ikiwemo sekta binafsi, iliendesha<br />

uhamasishaji wa jamii juu <strong>ya</strong> matumizi <strong>ya</strong> v<strong>ya</strong>ndarua vyenye viuatilifu. Mkakati huo<br />

ulikusudia kuinua matumizi <strong>ya</strong> v<strong>ya</strong>ndarua nchi nzima. Aidha, utafiti wa usugu wa mbu<br />

dhidi <strong>ya</strong> viuatilifu vinavyotumika kwenye v<strong>ya</strong>ndarua ulifanyika ili kujua kama dawa <strong>ya</strong><br />

kuweka kwenye v<strong>ya</strong>ndarua inao uwezo wa kutosha wa kufukuza na kuua mbu.<br />

• Wizara ilifan<strong>ya</strong> ufuatiliaji wa takwimu za awali katika maeneo yenye milipuko na<br />

uhamasishaji wa halmashauri zilizo katika hatari <strong>ya</strong> kutokewa na milipuko ili kujiweka<br />

ta<strong>ya</strong>ri kukabiliana na milipuko <strong>ya</strong> malaria. Sambamba na hilo, Wizara ilianzisha na<br />

kuimarisha mifumo <strong>ya</strong> ufuatiliaji wa uwezekano wa kupata milipuko <strong>ya</strong> malaria katika<br />

halmashauri za wila<strong>ya</strong> 21. Halmashauri hizo ni Arusha, Meru, Hai, Siha, Same,<br />

Lushoto, Ngorongoro, Hanang, Karagwe, Muleba, Rungwe, Sumbawanga, Kongwa,<br />

Bahi, Chamwino, Mpwapwa, Iringa vijijini, Makete, Kilolo, Mufindi, Ludewa na<br />

Njombe.<br />

• Wizara pia ilizipatia wila<strong>ya</strong> 10 zenye milipuko <strong>ya</strong> malaria dawa na vifaa v<strong>ya</strong><br />

kunyunyuzia <strong>kwa</strong> ajili <strong>ya</strong> kuua mbu, ili kukabiliana na milipuko <strong>ya</strong> malaria wakati<br />

wowote. Mafunzo pia <strong>ya</strong>litolewa kwenye wila<strong>ya</strong> 10 zenye milipuko <strong>ya</strong> malaria ili<br />

kuweka mfumo wa kuweza kutambua uwezekano wa kutokea milipuko.<br />

• Mafunzo <strong>ya</strong>litolewa <strong>kwa</strong> waganga, wauguzi, na mafundi sanifu wa maabara kutoka<br />

hospitali zote za wila<strong>ya</strong> nchini ili kuimarisha matibabu sahihi <strong>ya</strong> malaria. Aidha, Wizara<br />

ilihamasisha Halmashauri kupeleka mafunzo ha<strong>ya</strong> ngazi za chini zaidi.<br />

• Wizara ilitoa mafunzo <strong>ya</strong> matumizi <strong>ya</strong> kipimo cha haraka cha kubaini vimelea v<strong>ya</strong><br />

malaria <strong>kwa</strong> wagonjwa (Rapid Diagnostic Test) <strong>kwa</strong> wataalamu wa maabara, waganga<br />

na wataalamu wengine katika vituo vyote v<strong>ya</strong> tiba v<strong>ya</strong> umma katika mikoa minne <strong>ya</strong><br />

Iringa, Kagera, Pwani na Man<strong>ya</strong>ra.<br />

• Wizara imeendeleza mpango wa taifa wa hati punguzo ili kurahisisha upatikanaji wa<br />

v<strong>ya</strong>ndarua vyenye viuatilifu <strong>kwa</strong> ajili <strong>ya</strong> wanawake wajawazito na watoto wenye umri<br />

chini <strong>ya</strong> miaka mitano. Aidha, Wizara <strong>kwa</strong> kushirikiana na Wizara <strong>ya</strong> Fedha ilifanikiwa<br />

kuondoa kodi <strong>ya</strong> mali ghafi zinazotumika kutengenezea v<strong>ya</strong>ndarua. Vilevile, Wizara<br />

imesambaza v<strong>ya</strong>ndarua 3,835,985 vyenye viuatilifu kupitia Mpango wa Hati Punguzo<br />

<strong>kwa</strong> wanawake wajawazito na v<strong>ya</strong>ndarua 1,257,020 <strong>kwa</strong> watoto wachanga. Wizara pia<br />

imegawa v<strong>ya</strong>ndarua 5,620,244 bila malipo <strong>kwa</strong> watoto chini <strong>ya</strong> miaka mitano.<br />

• Mafunzo <strong>ya</strong>litolewa <strong>kwa</strong> waratibu wa huduma <strong>ya</strong> uzazi na mtoto kutoka ngazi za mkoa<br />

na halmashauri zote juu <strong>ya</strong> tiba <strong>ya</strong> tahadhari <strong>ya</strong> malaria <strong>kwa</strong> vipindi. Aidha, Wizara<br />

ilihamasisha halmashauri kupeleka mafunzo ha<strong>ya</strong> ngazi za chini zaidi.<br />

• Wizara imeandaa na kusambaza Mpango Mkakati wa miaka 5 wa Kudhibiti Malaria<br />

(Malaria MidTerm Strategic Plan; 2008-2013), na miongozo mbalimbali <strong>ya</strong> kutekeleza<br />

Mpango huo. Miongozo hiyo ni pamoja na Mwongozo wa Udhibiti wa mbu waenezao<br />

malaria na Mwongozo wa tiba sahihi <strong>ya</strong> malaria.<br />

35


• Wizara iliweza kununua na kusambaza dawa mseto <strong>ya</strong> malaria<br />

(Artemether/Lumefantrine) <strong>kwa</strong> vituo vyote v<strong>ya</strong> tiba v<strong>ya</strong> umma vipatavyo 5,000<br />

(Hospitali zote, Vituo v<strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> na Zahanati) kuanzia Januari 2006 hadi sasa.<br />

• Vituo 7 v<strong>ya</strong> ufuatiliaji wa mwenendo wa malaria vimeanzishwa. Vituo hivyo vipo<br />

katika hospitali za Dareda, Mpwapwa, Mkomaindo-Masasi, Rub<strong>ya</strong> na Utete, Kituo cha<br />

Af<strong>ya</strong> cha Nangaga, na zahanati <strong>ya</strong> Kiunguta wila<strong>ya</strong>ni Masasi.<br />

• Wizara imeanzisha utaratibu wa kuwa na waratibu wa Malaria na IMCI wa mikoa na<br />

wa wila<strong>ya</strong> nchini kote ili kusimamia na kufuatilia utekelezaji wa afua za kudhibiti<br />

malaria katika maeneo <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong> kazi. Waratibu 21 wa mikoa walipata mafunzo <strong>kwa</strong> wiki<br />

6, na waratibu 150 wa wila<strong>ya</strong> walipata mafunzo <strong>ya</strong> wiki 10 ili kuwawezesha kutekeleza<br />

wajibu wao kikamilifu. Aidha, waratibu wa wila<strong>ya</strong> 105 walipatiwa pikipiki <strong>kwa</strong> ajili <strong>ya</strong><br />

uratibu ili kuwawezesha kufuatilia na kutoa taarifa za utekelezaji kila robo mwaka.<br />

Vilevile, Wizara ina mpango wa kuwanunulia pikipiki waratibu wa wila<strong>ya</strong> 20<br />

zilizokosa mgao wa <strong>kwa</strong>nza na magari <strong>kwa</strong> waratibu wote 21 wa mikoa.<br />

• Uanzishwaji wa kampeni <strong>ya</strong> unyunyuziaji wa viuatilifu v<strong>ya</strong> kuua mbu (ukoko) wa<br />

malaria (Indoor Residual Spraying) katika halmashauri za wila<strong>ya</strong> 7 za mkoa wa Kagera<br />

(Muleba, Karagwe, Ngara, Biharamulo, Chato, Misenyi na Bukoba) ambapo nyumba<br />

20,016 sawa na aslimia 92.8 <strong>ya</strong> nyumba zote zilinyunyiziwa. Maandalizi <strong>ya</strong> kufan<strong>ya</strong><br />

unyunyuziaji katika mikoa <strong>ya</strong> Mara na Mwanza <strong>ya</strong>naendelea ili kanda yote <strong>ya</strong> ziwa iwe<br />

katika mpango wa unyunyiziaji. Aidha, maandalizi <strong>ya</strong> ujenzi wa miundombinu <strong>ya</strong><br />

unyunyiziaji <strong>kwa</strong> kutumia DDT <strong>ya</strong>naendelea katika wila<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Mkuranga ambapo eneo<br />

la kujenga ghala limekwishapimwa na fidia <strong>kwa</strong> wenyeji inaandaliwa ili kuanza ujenzi<br />

wa ghala na makaro. Wizara pia inaendelea na mchakato wa matumizi <strong>ya</strong> DDT kupuliza<br />

katika kuta za ndani <strong>ya</strong> majumba.<br />

• Wizara iliendelea kuhamasisha jamii kuhusu malaria kupitia uhamasishaji wa Mkakati<br />

wa Mawasiliano kuhusu afua za kudhibiti malaria (Communication Strategy for Malaria<br />

Interventions) na Maadhimisho <strong>ya</strong> Siku <strong>ya</strong> Malaria Duniani <strong>ya</strong>nayofanyika tarehe 25<br />

Aprili kila mwaka. Maadhimisho hayo <strong>ya</strong>mekwisha fanyika <strong>kwa</strong> mzunguko katika<br />

mikoa <strong>ya</strong> Singida (2005), Shin<strong>ya</strong>nga (2006), Kagera (2007), Ruvuma (2008), Mtwara<br />

(2009) na Mara (2010). Pia uhamasishaji umefanyika <strong>kwa</strong> njia <strong>ya</strong> Radio, Televisioni na<br />

machapisho mbalimbali.<br />

• Katika ngazi <strong>ya</strong> vijiji uhamasishaji ulifanyika kupitia Watumishi wa Kujitolea Kijijini<br />

(Community Change Agents) baada <strong>ya</strong> kutoa mafunzo maalumu <strong>kwa</strong> wanajamii katika<br />

mikoa 13 <strong>ya</strong> Mtwara, Lindi, Ruvuma, Ru<strong>kwa</strong>, Mwanza, Shin<strong>ya</strong>nga, Mara, Kagera,<br />

Morogoro, Dodoma, Iringa, Tabora na Singida.<br />

• Kuanzishwa <strong>kwa</strong> mtandao wa wanahabari wanaoandika habari za ugonjwa wa malaria<br />

na udhibiti wake. Mtandao huu unaitwa JAMANET. Aidha, jarida la NATNETS<br />

lilichapishwa katika kipindi hiki kuhamasisha matumizi <strong>ya</strong> v<strong>ya</strong>ndarua.<br />

• Ufungaji wa mtandao wa mawasiliano (Internet) <strong>kwa</strong> wila<strong>ya</strong> 100 umefanyika kuboresha<br />

mawasiliano kati <strong>ya</strong> wizara na wila<strong>ya</strong> husika, hasa katika utoaji na upokeaji wa taarifa<br />

mbalimbali za utekelezaji.<br />

Mpango wa Taifa wa Kudhibiti UKIMWI<br />

36


Mpango wa Taifa wa Kudhibiti UKIMWI unatoa kipaumbele katika maeneo <strong>ya</strong> kudhibiti<br />

<strong>magonjwa</strong> <strong>ya</strong> ngono, ushauri nasaha na huduma za wagonjwa nyumbani, elimu na habari,<br />

tiba, huduma za maabara <strong>kwa</strong> wagonjwa waishio na Virusi v<strong>ya</strong> UKIMWI na pia ufuatiliaji<br />

wa mwelekeo wa virusi v<strong>ya</strong> ugonjwa wa UKIMWI. Utekelezaji wa maeneo hayo<br />

umewezesha kupatikana <strong>kwa</strong> mafanikio <strong>ya</strong>fuatayo:<br />

• Sheria <strong>ya</strong> Kudhibiti na Kuzuia VVU/UKIMWI “The HIV and AIDS (Prevention &<br />

Control) ACT, No. 2 <strong>ya</strong> 2008 imepitishwa na Bunge na Kanuni zinatengenezwa.<br />

Miongozo mbalimbali <strong>ya</strong> utoaji huduma bora za tiba na udhibiti wa ugonjwa wa<br />

UKIMWI imetengenezwa na inatumiwa na wadau wote nchini hivyo kuwezesha kutoa<br />

huduma sawia. Mpango Mkakati wa pili wa Af<strong>ya</strong> na UKIMWI (HSHSP II) 2008-2012<br />

pamoja na Mwongozo wa utoaji huduma muhimu za kudhibiti UKIMWI katika sekta <strong>ya</strong><br />

Af<strong>ya</strong> katika ngazi zote imeandaliwa.<br />

• Huduma za kudhibiti <strong>magonjwa</strong> <strong>ya</strong> ngono zinaendelea kutolewa katika hospitali, vituo<br />

v<strong>ya</strong> af<strong>ya</strong> na katika asilimia 70 <strong>ya</strong> zahanati nchini. Mafunzo <strong>ya</strong> namna sahihi <strong>ya</strong> kutibu<br />

na kudhibiti <strong>magonjwa</strong> <strong>ya</strong> ngono <strong>ya</strong>meendelea kutolewa <strong>kwa</strong> kutumia mwongozo mp<strong>ya</strong><br />

wa kitaifa wa kudhibiti <strong>magonjwa</strong> hayo. Mwongozo wa Mtoa huduma za <strong>magonjwa</strong> <strong>ya</strong><br />

ngono na vitendea kazi (Job Aids) viliandaliwa na kusambazwa kwenye vituo vitoavyo<br />

huduma. Watumishi wapatao 8,745 wanaendelea kutoa huduma hii.<br />

• Vituo v<strong>ya</strong> kutolea huduma <strong>ya</strong> ushauri nasaha na upimaji wa hiari vimeongezeka nchini<br />

na kufikia vituo 1,734. Idadi hii inajumuisha vituo vyote v<strong>ya</strong> Serikali na visivyo v<strong>ya</strong><br />

Serikali. Washauri nasaha waliopatiwa mafunzo wameongezeka kutoka 521 hadi kufikia<br />

5240.<br />

• Serikali <strong>kwa</strong> kushirikiana na wadau mbalimbali wa kitaifa na kimataifa, wamenunua na<br />

kusambaza katika hospitali zote nchini vitendanishi v<strong>ya</strong> kupima maambukizi <strong>ya</strong> Virusi<br />

v<strong>ya</strong> UKIMWI. Huduma hizi zote hutolewa bila malipo <strong>kwa</strong> wananchi wote. Huduma<br />

<strong>ya</strong> kupima maambukizi <strong>ya</strong> virusi v<strong>ya</strong> UKIMWI <strong>ya</strong>mejumuisha huduma zinazotolewa<br />

wakati wa kampeni kama kampeni <strong>ya</strong> kupima <strong>kwa</strong> hiari iliyozinduliwa na Rais wa<br />

Jamhuri <strong>ya</strong> Muungano wa <strong>Tanzania</strong> Mheshimiwa Jaka<strong>ya</strong> Mrisho Kikwete ambapo zaidi<br />

<strong>ya</strong> wananchi milioni 4.8 walipima.<br />

• Jumla <strong>ya</strong> watu milioni 7.3 walipimwa hali <strong>ya</strong> maambukizi <strong>ya</strong> Virusi v<strong>ya</strong> UKIMWI na<br />

huduma <strong>ya</strong> upimaji VVU nyumba hadi nyumba zimeanzishwa katika Halmashauri 26<br />

kati <strong>ya</strong> Halmashauri 133. Huduma hizi zinaendelea kupanuliwa katika Halmashauri<br />

zilizobaki. Aidha, idadi <strong>ya</strong> vituo vinavyotoa huduma na tiba <strong>kwa</strong> walengwa<br />

vimeongezeka kutoka 32 mwaka 2005 kufikia 750 mwishoni mwa mwaka 2009 na<br />

watumishi wa af<strong>ya</strong> 4,004 walipata mafunzo <strong>ya</strong> kuhudumia watu wanaoishi na VVU.<br />

• Huduma <strong>ya</strong> wagonjwa nyumbani ziliendelea kutolewa. Hadi sasa zimefikia katika<br />

wila<strong>ya</strong> 110, na wagonjwa zaidi <strong>ya</strong> 45,000 wanapata huduma hizo. Zaidi <strong>ya</strong> wahudumu<br />

5,840 wa wila<strong>ya</strong>, 2,000 toka katika vituo v<strong>ya</strong> af<strong>ya</strong> na zahanati na wakufunzi 250 ngazi<br />

<strong>ya</strong> taifa walipata mafunzo.<br />

• Elimu <strong>ya</strong> UKIMWI <strong>kwa</strong> jamii <strong>kwa</strong> lengo la kubadili tabia hatarishi na kuhamasisha<br />

utumiaji wa huduma za UKIMWI iliendelea kutolewa <strong>kwa</strong> njia <strong>ya</strong> machapisho na<br />

matangazo <strong>ya</strong> televisheni na redio kama ifuatavyo:<br />

37


Zaidi <strong>ya</strong> nakala 2,150,000 za vipeperushi kuhusu masuala <strong>ya</strong> UKIMWI<br />

vilichapishwa na kusambazwa na nakala 1,040,000 za Kalenda zenye ujumbe wa<br />

kuelimisha juu <strong>ya</strong> masuala <strong>ya</strong> UKIMWI zilichapishwa na kusambazwa kila mwaka.<br />

Aidha, nakala 400,000 za jarida la Habari za UKIMWI na nakala 615,000 za<br />

mabango yenye ujumbe wa kuhamasisha watu kupima UKIMWI <strong>ya</strong>lichapishwa na<br />

kusambazwa nchi nzima wakati wa kampeni <strong>ya</strong> kitaifa <strong>ya</strong> kupima VVU <strong>kwa</strong> hiari.<br />

Vilevile, nakala 815,000 <strong>ya</strong> vijitabu kuhusu tiba, kinga, kifua kikuu na UKIMWI na<br />

matumizi <strong>ya</strong> dawa za kupunguza makali <strong>ya</strong> UKIMWI (ARV) vilichapishwa na<br />

kusambazwa.<br />

Filamu ziitwazo ‘Hali Halisi’ na “Hukumu <strong>ya</strong> Tunu’ zenye ujumbe mbalimbali<br />

kuhusu VVU na UKIMWI zilita<strong>ya</strong>rishwa na kurushwa kupitia vituo v<strong>ya</strong> televisheni<br />

v<strong>ya</strong> TBC na ITV <strong>kwa</strong> sehemu 32 kila moja. Aidha, filamu <strong>ya</strong> “Mwenzangu<br />

Tuambiane” kuhusu <strong>magonjwa</strong> <strong>ya</strong> ngono ilita<strong>ya</strong>rishwa na kurushwa na televisheni<br />

<strong>ya</strong> TBC.<br />

Matangazo <strong>ya</strong> redio 18 kuhusu Ngono Mtambukarika (Fataki) <strong>ya</strong>liandaliwa na<br />

kurushwa katika vituo v<strong>ya</strong> redio 12 <strong>kwa</strong> kushirikiana na wadau wa STRADCOM.<br />

Kuandaa na kurusha matangazo 18 <strong>ya</strong> radio na 18 <strong>ya</strong> televisheni kuhusu matumizi<br />

<strong>ya</strong> kondomu, ushauri nasaha na kupima, huduma <strong>ya</strong> wagonjwa nyumbani,<br />

<strong>magonjwa</strong> <strong>ya</strong> ngono, dawa za kupunguza makali <strong>ya</strong> UKIMWI na kuzuia<br />

maambukizi <strong>ya</strong> VVU kutoka <strong>kwa</strong> Mama kwenda <strong>kwa</strong> Mtoto.<br />

• Matunzo na dawa za kupunguza makali <strong>ya</strong> virusi v<strong>ya</strong> VVU/UKIMWI <strong>kwa</strong> watu<br />

wanaoishi na virusi v<strong>ya</strong> UKIMWI iliendelea kutolewa <strong>kwa</strong> walengwa. Dawa za<br />

kupunguza makali <strong>ya</strong> VVU zenye thamani <strong>ya</strong> jumla shilingi bilion 3<strong>1.0</strong> zilinunuliwa<br />

<strong>kwa</strong> fedha za bajeti <strong>ya</strong> Serikali kati <strong>ya</strong> mwaka 2005-2009. Dawa hizi ziliendelea<br />

kutolewa <strong>kwa</strong> watu wanaoishi na VVU waliokuwa wamefikia kuanzishwa dawa hizo.<br />

Mpaka mwezi Novemba 2009 idadi <strong>ya</strong> watu wanaoishi na VVU waliokuwa wanatumia<br />

dawa walifikia 302,363.<br />

• Huduma za Maabara <strong>kwa</strong> wanaoishi na VVU/UKIMWI zinapatikana katika hospitali<br />

zote nchini. Mashine za kupimia chembe chembe za (CD4) 156, mashine 186 za<br />

kupima kemia <strong>ya</strong> waathirika na mashine 186 za kupima damu za wagonjwa<br />

zimefungwa katika hospitali mbalimbali za Serikali na zisizo za Serikali. Aidha,<br />

mkataba wa kuhudumia mashine hizi umesainiwa kati <strong>ya</strong> Wizara na wauzaji wa<br />

mashine husika.<br />

• Mifumo kadhaa <strong>ya</strong> kurekodi na kutoa taarifa juu <strong>ya</strong> huduma za UKIMWI katika sekta<br />

<strong>ya</strong> af<strong>ya</strong> imetengenezwa. Mifumo hiyo ni kama ifuatavyo:<br />

− Huduma za tiba na matunzo <strong>kwa</strong> wateja wenye VVU katika vituo v<strong>ya</strong> af<strong>ya</strong>.<br />

− Huduma za upimaji VVU na Ushauri Nasaha.<br />

− Huduma za <strong>Tiba</strong> <strong>kwa</strong> <strong>magonjwa</strong> <strong>ya</strong> ngono.<br />

Mpango wa Kifua Kikuu na Ukoma<br />

• Ufahamu wa jamii kuhusu <strong>magonjwa</strong> <strong>ya</strong> Kifua Kikuu na Ukoma umeongezaka.<br />

Mafanikio hayo <strong>ya</strong>mepatikana kupitia uendeshaji wa kampeni za <strong>magonjwa</strong> hayo<br />

38


mawili nchini kote pamoja na machapisho kama vile kalenda, vipeperushi na mabango<br />

mbalimbali yenye ujumbe unaohusu maambukizo, jinsi <strong>ya</strong> kujikinga na taratibu za<br />

matibabu. Vielelezo hivyo vinasambazwa nchi nzima. Pia jamii imeelimishwa kupitia<br />

maadhimisho <strong>ya</strong> siku <strong>ya</strong> Ukoma Duniani ambayo hufanyika Januari, kila mwaka na siku<br />

<strong>ya</strong> Kifua Kikuu Duniani (tarehe 24 Machi kila mwaka).<br />

• Mwaka 2007, <strong>Tanzania</strong>, kupitia Mpango wa Taifa wa Kudhibiti Kifua Kikuu na Ukoma,<br />

imevuka lengo la kimataifa kutokomeza ukoma <strong>kwa</strong> kuwa na chini <strong>ya</strong> mgonjwa 1 katika<br />

watu 10,000, na kufan<strong>ya</strong>, Ukoma kutokuwa tatizo kubwa la af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> jamii hapa nchini.<br />

Aidha <strong>Tanzania</strong> imepata tuzo kutokana na mafanikio hayo.<br />

• Wizara imeendelea kutoa dawa za kutibu Kifua Kikuu na Ukoma <strong>kwa</strong> wagonjwa wote<br />

wanaogundulika bila malipo. Dawa za Kifua Kikuu na Ukoma ziliendelea kununuliwa<br />

na kusambazwa kwenye vituo v<strong>ya</strong> kutolea huduma nchini kote na hakuna upungufu wo<br />

wote wa dawa hizo uliojitokeza <strong>kwa</strong> kipindi cha miaka 5 iliyopita.<br />

• Huduma za Kifua Kikuu zimesogezwa karibu zaidi <strong>kwa</strong> wananchi <strong>kwa</strong> kuongeza vituo<br />

v<strong>ya</strong> kupimia makohozi hadi kufikia 820. Kwa sasa hospitali na vituo vyote v<strong>ya</strong> af<strong>ya</strong><br />

nchini vikiwemo v<strong>ya</strong> serikali, asasi zisizo za kiserikali, mashirika <strong>ya</strong> kidini na watu<br />

binafsi vinatoa huduma hizo.<br />

• Katika kipindi cha miaka 5 iliyopita (2005-2010) zaidi <strong>ya</strong> wagonjwa wap<strong>ya</strong> 300,000 wa<br />

Kifua Kikuu walipewa matibabu. Kwa sasa zaidi <strong>ya</strong> asilimia 88 <strong>ya</strong> wagonjwa wa Kifua<br />

Kikuu na asilimia 92 <strong>ya</strong> wagonjwa wa Ukoma wanapona kabisa baada <strong>ya</strong> kumaliza<br />

matibabu <strong>ya</strong>o. Viwango hivyo v<strong>ya</strong> mafanikio ni vikubwa kuliko vilivyowe<strong>kwa</strong> na<br />

Shirika la Af<strong>ya</strong> Duniani.<br />

• Mwezi Novemba, 2009, Wizara ilianzisha huduma mp<strong>ya</strong> za kutibu wagonjwa wenye<br />

Kifua Kikuu sugu katika Hospitali <strong>ya</strong> Kibong’oto. Utafiti uliofanika mwaka 2007 –<br />

2008 <strong>kwa</strong> kushirikiana na Shirika la Af<strong>ya</strong> Duniani (WHO) ulibaini kuwa tatizo la Kifua<br />

Kikuu sugu ni asilimia 2.1 kiwango ambacho ni kidogo sana kulinganisha na nchi<br />

nyingine.<br />

• Wizara imepanua huduma Shirikishi za kutibu wagonjwa wenye maambukizi <strong>ya</strong> pamoja<br />

<strong>ya</strong> Kifua Kikuu an UKIMWI katika Halmashauri zote nchini. Hadi kufikia mwezi<br />

Desemba 2010, asilimia 93 <strong>ya</strong> wagonjwa wote wa Kifua Kikuu walipima damu ili<br />

kubaini kama wana maambukizi <strong>ya</strong> virusi v<strong>ya</strong> UKIMWI na kupatiwa matibabu. Lengo<br />

ilikuwa kupima asilimia 95. Katika kipindi cha miaka 5 zaidi <strong>ya</strong> wagonjwa 120,000<br />

wamenufaika na huduma hizi.<br />

• Wizara imetoa mafunzo endelevu <strong>kwa</strong> watumishi zaidi <strong>ya</strong> 8,000 katika Wila<strong>ya</strong><br />

mbalimbali juu <strong>ya</strong> matibabu map<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Kifua Kikuu <strong>kwa</strong> kutumia dawa za mseto,<br />

huduma shirikishi za maambulizi <strong>ya</strong> kifua kikuu na UKIMWI na matibabu <strong>ya</strong> Kifua<br />

Kikuu sugu. Aidha watumishi 320 wa maabara walipewa mafunzo endelevu <strong>ya</strong> jinsi <strong>ya</strong><br />

kuchunguza vimelea v<strong>ya</strong> Kifua Kikuu. Watumishi 318 pia walipata mafunzo <strong>ya</strong> jinsi <strong>ya</strong><br />

kutumia kompyuta <strong>ya</strong> kutunza takwimu na kuandaa taarifa za Kifua Kikuu (Electronic<br />

TB Register).<br />

39


Mpango wa Magonjwa <strong>ya</strong>liyokuwa ha<strong>ya</strong>pewi kipaumbele<br />

(Neglected Tropical Diseases-NTDs)<br />

Magonjwa <strong>ya</strong>liyokuwa ha<strong>ya</strong>pewi kipaumbele ni <strong>magonjwa</strong> ambayo <strong>kwa</strong> kiasi kikubwa<br />

huathiri jamii <strong>ya</strong> watu wenye kipato cha chini. Magonjwa hayo <strong>ya</strong>na dalili za muda mrefu<br />

na ha<strong>ya</strong>leti maafa <strong>kwa</strong> haraka lakini <strong>ya</strong>naleta ulemavu wa muda mrefu au <strong>kwa</strong> maisha yote.<br />

Magonjwa hayo ni Ngirimaji, Matende, Usubi, Malale, Kichaa Cha Mbwa, Tegu, Kichocho,<br />

Minyoo <strong>ya</strong> Tumbo, Vikope (Trakoma), Tauni, Homa <strong>ya</strong> Papasi na mengineyo. Wizara na<br />

wadau wamefan<strong>ya</strong> kazi kubwa <strong>ya</strong> kutafiti na kupambana na <strong>magonjwa</strong> ha<strong>ya</strong> <strong>kwa</strong> n<strong>ya</strong>kati<br />

tofauti.<br />

Ufuatao ni muhtasari wa matukio muhimu katka kupambana na <strong>magonjwa</strong> ha<strong>ya</strong>:<br />

1972-1977 Mpango maaluum wa utafiti na kubuni njia mbalimbali za kudhibiti ugonjwa wa<br />

matende na ngirimaji, mkoa wa Tanga. Mpango huu ulilenga kufan<strong>ya</strong> tathmini <strong>ya</strong> ugonjwa<br />

na njia mbalimbali za kukabiliana nao ikiwemo matumizi <strong>ya</strong> dawa pamoja na kuboresha<br />

mazingira. Katika mpango huo kulikuwa na rasimu inayohusu ujenzi wa makazi <strong>ya</strong>naoweza<br />

kupunguza mbu.<br />

1982-1989 Utafiti wa kujua aina za nzi waenezao usubi ulifanyika na kubaini tofauti <strong>ya</strong> nzi<br />

walioko katika maeneo mbalimbali yenye usubi nchini. Hii ilisaidia kubuni njia sahihi za<br />

kupambana na ugonjwa huo. Taarifa hizo zilitumika kuandaaa mpango mkakati wa<br />

kudhibiti usubi.<br />

1998 Kazi za awali za kutathmini ukubwa wa tatizo la ugonjwa matende zilifanyika katika mikoa<br />

<strong>ya</strong> mwambao inayopakana na bahari <strong>ya</strong> Hindi. Kazi hii <strong>ya</strong> tathmini iliendelea nchini kote na<br />

kukamilika mwaka 2004.<br />

2000 Mpango wa Taifa wa Kutokomeza Matende ulizinduliwa rasmi Kitaifa katika Wila<strong>ya</strong> <strong>ya</strong><br />

Mafia. Pamoja na mafanikio <strong>ya</strong>liyopatikana ilikuwa muhimu kuelimisha jamii <strong>kwa</strong> vile<br />

ugonjwa huo ulikuwa haujulikani vizuri <strong>kwa</strong> wananchi.<br />

2001 Mpango mkakati uitwao MWANGA ulizinduliwa <strong>kwa</strong> nia <strong>ya</strong> kutokomeza ugonjwa wa<br />

matende. Mkakati huu ulijumuisha unywaji wa dawa, huduma <strong>kwa</strong> wenye matende,<br />

upasuaji wa mabusha, kusisitiza usafi wa mazingira na matumizi <strong>ya</strong> v<strong>ya</strong>ndarua. MWANGA<br />

ni kifupi cha:<br />

Meza dawa za aina mbili mara moja kila mwaka <strong>kwa</strong> kufuata ushauri wa wataalamu wa af<strong>ya</strong> wa<br />

kijiji chako. Dawa hizi ni salama na zimetumika miaka mingi sehemu mbalimbali duniani.<br />

Pamoja na kuondoa homa za <strong>magonjwa</strong>/mitoki, dawa hizi pia huondoa minyoo tumboni na<br />

kwenye ngozi. Kila anayepaswa kunywa dawa hana budi kufan<strong>ya</strong> hivyo. Dawa hazitatolewa <strong>kwa</strong><br />

watoto wenye umri chini <strong>ya</strong> miaka mitano, kina mama wajawazito na wanaonyonyesha katika<br />

wiki <strong>ya</strong> <strong>kwa</strong>nza na watu wagonjwa sana<br />

Weka sehemu zilizoathirika katika hali <strong>ya</strong> usafi <strong>kwa</strong> kuziosha <strong>kwa</strong> sabuni na maji. Kausha vizuri<br />

<strong>kwa</strong> kitambaa, paka mafuta na mara <strong>kwa</strong> mara weka mguu ulioathirika mahali palipoinuka kama<br />

kiti kidogo au kitu chochote, pia weka mto upande wa miguuni chini <strong>ya</strong> godoro. Usafi utazuia<br />

maambukizi <strong>ya</strong> vijidudu vinavyosababisha michukwi na harufu mba<strong>ya</strong>.<br />

Amua kufanyiwa upasuaji wa busha/mishipa katika hospitali iliyo karibu nawe <strong>kwa</strong>ni upasuaji huu<br />

ni slama na hauchukui muda mrefu na gharama <strong>ya</strong>ke si kubwa sana.<br />

Nia ni kuhakikisha kuwa kizazi kijacho hakitaathirika <strong>kwa</strong> maradhi ha<strong>ya</strong><br />

40


Geuza mtazamo, tumia chandarua ili kujikinga na mbu ambao hueneza <strong>magonjwa</strong> <strong>ya</strong><br />

matende/mabusha na malaria<br />

Angamiza mazalio <strong>ya</strong> mbu <strong>kwa</strong> kuweka mazingira yetu katika hali <strong>ya</strong> usafi, fyeka n<strong>ya</strong>si<br />

zinazozunguka makazi <strong>ya</strong>ko hakikisha kuwa mifereji inatunzwa vizuri na katika hali <strong>ya</strong> usafi,<br />

fukia mashimo na madimbi, okota vigae, chupa, vifuu na chochote kinachotuamisha maji, ili<br />

kuhakikisha kuwa mbu hawapati mahali pa kuzaliana.<br />

2001 Wila<strong>ya</strong> zote za Mkoa wa Pwani zilianza kutekeleza Mpango wa Kutokomeza<br />

Matende.Watu wapatao milioni moja walipata dawa za kinga dhidi <strong>ya</strong> ugonjwa huo.<br />

2002 Wananchi wa Wila<strong>ya</strong> zote za Mkoa wa Mtwara walipata kinga dhidi <strong>ya</strong> matende. Mkoa wa<br />

huo ulibuni utaratibu wa kutumia kamati mbali mbali za maendeleo kuanzia ngazi <strong>ya</strong> Kijiji<br />

hadi Mkoa kufanikisha utekelezaji wa mpango huo. Mkakati huo wa Mtwara uliigwa na<br />

mikoa mingine na kusaidia kuboresha Mpango wa Kutokomeza Matende.<br />

2004 Mpango wa Taifa wa kutokomeza matende ulizinduliwa kimkoa wila<strong>ya</strong>ni Pangani katika<br />

mkoa wa Tanga. Wananchi walipata dawa za kinga. Aidha uzinduzi wa tovuti <strong>ya</strong> Mpango<br />

wa Taifa wa Kutokomeza Matende iitwayo Matende.org. ulifanyika.<br />

2006 Mpango wa Taifa wa Kutokomeza Matende ulianza katika Mkoa wa Dar-es-salaam.<br />

Mikakati mbalimbali ilitumka kufanikisha mpango huo ikiwa ni pamoja na uhamasishaji<br />

kwenye shule, jela na makambi <strong>ya</strong> jeshi.<br />

2007 Wananchi wa Mkoa wa Morogoro walipata dawa za Matende na Ngirimaji.<br />

2008 Kongamano la Kimataifa la Shirikisho la Dunia la kutokomeza matende lilifanyika mkoani<br />

Arusha na kufunguliwa rasmi na Rais wa Jamhuri <strong>ya</strong> Muungano <strong>ya</strong> <strong>Tanzania</strong>, Mhe. Jaka<strong>ya</strong><br />

Mrisho Kikwete. Mheshimiwa Rais pia alizindua rasmi Mfuko Maalumu wa Rais wa<br />

kutokomeza Matende. Sehemu kubwa <strong>ya</strong> fedha za mfuko huo zilielekezwa katika upasuaji<br />

wa mabusha. Wagonjwa 300 walipasuliwa <strong>kwa</strong> fedha zilizotokana mfuko na huo.<br />

2009 Wizara ilianzisha Mpango wa pamoja wa <strong>magonjwa</strong> <strong>ya</strong>liyokuwa ha<strong>ya</strong>pewi kipaumbele<br />

(NTDs). Magonjwa hayo ni Ngirimaji, Matende, Usubi, Vikope (Trakoma), Kichocho na<br />

Minyoo <strong>ya</strong> tumbo. Utekelezaji huo ulileta ufanisi na kupunguza gharama <strong>kwa</strong> kaisi<br />

kikubwa. Mpango huo unatekelezwa <strong>kwa</strong> awamu ambapo wila<strong>ya</strong> kadhaa zinajiunga mwaka<br />

hadi mwaka. Hadi kufikia mwaka 2013 nchi nzima itakuwa imefikiwa na Mpango huu.<br />

2010 Wizara kupitia Mpango wa kudhibiti <strong>magonjwa</strong> <strong>ya</strong>liyokuwa ha<strong>ya</strong>pewi kipaumbele uligawa<br />

dawa za <strong>magonjwa</strong> hayo katika mikoa 5 ambayo ni Mbe<strong>ya</strong>, Morogoro, Tanga, Iringa na<br />

Ruvuma. Jumla <strong>ya</strong> watu 7,885,478 walilengwa kupatiwa dawa hizo.<br />

2011 Mpango huo umeanza kutekelezwa pia katika mikoa mingine mitatu (3) <strong>ya</strong> kusini <strong>ya</strong>ani<br />

Mtwara, Lindi na Pwani. Wakuu wa Mikoa hiyo, Wakuu wa Wila<strong>ya</strong>, wakurugenzi wa<br />

watendaji pamoja na waganga wakuu wa Wila<strong>ya</strong> zote 19 wamehamasishwa kuhusu mpango<br />

mzima. Vilevile waratibu wa mpango kutoka wila<strong>ya</strong> wa sekta <strong>ya</strong> elimu na Af<strong>ya</strong> wamepewa<br />

mafunzo na kuhamasishwa kuhusu mpango huu. Zoezi la ugawaji dawa limeanza mwezi<br />

wa Aprili 2011 na jumla <strong>ya</strong> walengwa 2,647,800 wamepatiwa dawa hizo ikiwajumuisha<br />

watoto wa shule <strong>kwa</strong> dawa za kichocho (Praziquantel).<br />

Huduma za Macho<br />

41


Tangu <strong>Tanzania</strong> ipate Uhuru, huduma za macho zimeendelea kuimarika. Huduma hizi ni<br />

pamoja na utambuzi wa <strong>magonjwa</strong> mbalimbali <strong>ya</strong> macho, matibabu <strong>kwa</strong> dawa, miwani<br />

pamoja na operesheni za macho. Vituo maalum v<strong>ya</strong> kutolea huduma hizi vilianzishwa kama<br />

ifuatavyo:-<br />

1968 Hospitali <strong>ya</strong> misheni za Mvumi-Dodoma<br />

1969 Hospitali <strong>ya</strong> Kolandoto-Shin<strong>ya</strong>nga,<br />

1970 Hospitali <strong>ya</strong> misheni <strong>ya</strong> Ndanda-Mtwara<br />

1970 Hospitali <strong>ya</strong> Sengerema-Mwanza.<br />

1971 Hospitali <strong>ya</strong> Peramiho- Songea.<br />

1972 Hospitali <strong>ya</strong> Muhimbili- Dar-es-Salaam.<br />

1973 Hospitali <strong>ya</strong> Ilembula-Iringa.<br />

1974 Hospitali <strong>ya</strong> KCMC - Moshi.<br />

1976 Hospitali <strong>ya</strong> Bugando - Mwanza.<br />

1979 Hospitali <strong>ya</strong> Ndolage -Bukoba,<br />

1999 Hospitali <strong>ya</strong> CCBRT- Dar-es-salaam<br />

Mpaka sasa, huduma za macho zinatolewa kwenye hospitali <strong>ya</strong> Taifa, hospitali zote za<br />

rufaa, Mikoa na za Wila<strong>ya</strong>. Aidha, wataalam kwenye vituo hivi hutoa huduma mkoba <strong>kwa</strong><br />

wananchi walio maeneo <strong>ya</strong>liyo mbali na vituo v<strong>ya</strong> tiba.<br />

Huduma za udhibiti wa upofu zinaendelea kuimarika nchini <strong>kwa</strong> kutekeleza Dira <strong>ya</strong><br />

kimataifa <strong>ya</strong> 2020 (Vision 2020: The Right To Sight) iliyozinduliwa nchini tarehe 23 Mei,<br />

2003 yenye lengo la kutokomeza upofu unaozuilika duniani ifikapo waka 2020.<br />

Mafanikio:<br />

• Rasilimali watu: Mafunzo <strong>kwa</strong> Madaktari bingwa wa macho pamoja na wauguzi na<br />

wataalam wa Optometria <strong>ya</strong>meendelea kutolewa katika hospitali <strong>ya</strong> Taifa Muhimbili<br />

pamoja na KCMC. Mafunzo <strong>ya</strong> kada za chini (Ophthalmic assistants) katika fani <strong>ya</strong><br />

macho pia <strong>ya</strong>natolewa kwenye hospitali <strong>ya</strong> misheni <strong>ya</strong> Mvumi, St. Elizabeth na chuo<br />

cha Tabibu Wasaidizi Maswa.<br />

Jumla <strong>ya</strong> wataalamu wa huduma za macho nchini <strong>kwa</strong> sasa ni kama ifuatavyo:<br />

o Madaktari bingwa wa macho 30;<br />

o Madaktari wasaidizi wa fani <strong>ya</strong> macho 68;<br />

o Wauguzi wa macho 326; na<br />

o Wataalam wa Optometria 280.<br />

• Rasilimali vifaa: Hospitali za rufaa, Mikoa na Wila<strong>ya</strong> zimeweza kuboresha vifaa v<strong>ya</strong><br />

utoaji wa huduma za macho <strong>kwa</strong> kiwango kikubwa. Hii imefikiwa <strong>kwa</strong> ushirikiano kati<br />

<strong>ya</strong> serikali na wafadhali mbali mbali ambao wamekuwa wakitoa vifaa v<strong>ya</strong> kisasa v<strong>ya</strong><br />

kutolea huduma za macho kupitia makubaliano <strong>ya</strong>liyopo sasa kati <strong>ya</strong> hospitali <strong>ya</strong> Taifa<br />

Muhimbili, Hospitali za rufaa KCMC na Mbe<strong>ya</strong> na hospitali kadhaa nje <strong>ya</strong> nchi.<br />

• Udhibiti wa <strong>magonjwa</strong>: Serikali <strong>kwa</strong> kushirikiana na wadau mbalimbali imeweza<br />

kuanzisha mikakati <strong>ya</strong> kudhibiti <strong>magonjwa</strong> mbali mbali <strong>ya</strong>nayoathiri uoni. Mikakati<br />

hiyo ni kama ifuatavyo:<br />

- Jumla <strong>ya</strong> Wila<strong>ya</strong> 19 zenye usubi zinapatiwa dawa <strong>ya</strong> Ivermectin kila mwaka<br />

ambayo hutolewa <strong>kwa</strong> ufadhili wa kampuni <strong>ya</strong> Merk & Co. kupitia African<br />

Program for Onchocerciasis Control. Mpaka sasa jumla <strong>ya</strong> dozi 8,029,577 za<br />

dawa <strong>ya</strong> Ivermectin zimetolewa <strong>kwa</strong> wananchi.<br />

42


- Jumla <strong>ya</strong> Wila<strong>ya</strong> 55 zenye ugonjwa wa trakoma zinatekeleza mkakati wa SAFI<br />

(S=Sawazisha Kope, A=Anza matibabu mapema, F= Fan<strong>ya</strong> usafi wa uso na<br />

mwili, I= Imarisha mazingira). Sambamba na mkakati huu wananchi wote<br />

kwenye Wila<strong>ya</strong> husika hupatiwa dawa <strong>ya</strong> Zithromax mara moja kila mwaka<br />

inayotolewa <strong>kwa</strong> ufadhili wa kampuni <strong>ya</strong> Pfizer kupitia shirika la International<br />

Trachoma Initiative. Mpaka sasa zaidi <strong>ya</strong> dozi milioni 20 za dawa <strong>ya</strong> zithromax<br />

zimetolewa wa wananchi hapa nchini.<br />

- Huduma za upasuaji wa mtoto wa jicho (cataract) pamoja na presha <strong>ya</strong> macho<br />

(glaucoma) zimeendelea kutolewa katika vituo mbalimbali hapa nchini na<br />

vilevile <strong>kwa</strong> njia <strong>ya</strong> huduma za mkoba.<br />

- Jumla <strong>ya</strong> vituo vitatu, KCMC, Muhimbili na CCBRT vinatoa huduma za<br />

kitaalam za macho <strong>kwa</strong> watoto. Watoto 600 hufanyiwa upasuaji wa mtoto wa<br />

jicho katika vituo hivi kila mwaka.<br />

- Huduma <strong>ya</strong> mionzi imekuwa ikiendelea kutolewa <strong>kwa</strong> wagonjwa wenye kisukari<br />

walio hatarini kupofuka. Huduma hizi zinatolewa katika hospitali <strong>ya</strong> Taifa <strong>ya</strong><br />

Muhimbili, Hospitali <strong>ya</strong> rufaa KCMC na hospitali <strong>ya</strong> CCBRT.<br />

- Huduma za kurekebisha upeo wa kuona na uoni hafifu zimekuwa zikiendelea<br />

kutolewa katika hospitali zote za rufaa na mikoa pamoja na hospitali za<br />

mashirika <strong>ya</strong> dini. Aidha, vituo sita vimeanzishwa (vision centres) <strong>kwa</strong> ufadhili<br />

wa shirika la International Centre for Eye Care Education ili kuimarisha huduma<br />

hizi katika wila<strong>ya</strong> sita hapa nchini.<br />

• Maadhimisho <strong>ya</strong> Siku <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Macho Duniani (World Sight Day) <strong>ya</strong>mekuwa<br />

<strong>ya</strong>kifanyika kila mwaka kuanzia mwaka 2003. Madhumuni <strong>ya</strong> maadhimisho ha<strong>ya</strong> ni<br />

kuhamasisha wadau wote ili kuongeza mwamko <strong>kwa</strong> jamii kujitokeza kupatiwa huduma<br />

za kitaalam za macho na pia <strong>kwa</strong> wadau husika kutoa kipaumbele katika kuboresha<br />

huduma za macho hapa nchini.<br />

(ii) Af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Uzazi na Watoto<br />

Muhtasari ufuatao unatoa mwanga wa baadhi <strong>ya</strong> matukio muhimu kuhusu Af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Uzazi na<br />

Mtoto:<br />

Huduma za Mama na Mtoto (MCH) zilianza kutolewa katika vituo v<strong>ya</strong> huduma baada <strong>ya</strong><br />

1961. Huduma hizi zilikua zinapatika hasa katika ngazi <strong>ya</strong> hospitali na baadhi <strong>ya</strong> vituo v<strong>ya</strong><br />

af<strong>ya</strong> na zilikua zikitolewa <strong>kwa</strong> siku tafouti. Wajawazito, watoto na huduma za uzazi wa<br />

mpango zilitolewa <strong>kwa</strong> siku tofauti katika wiki. Huduma hizi zilikuwa zinatolewa na ni<br />

“village midwives” ambao walikuwa wanasoma <strong>kwa</strong> miezi tisa.<br />

Huduma na mama na mtoto zilianzishwa rasmi 1974 <strong>kwa</strong> kujengwa vyuo v<strong>ya</strong> kufundishia<br />

watoa huduma <strong>kwa</strong> mama wajawazito na mtoto katika ngazi za vituo v<strong>ya</strong> af<strong>ya</strong> na zahanati.<br />

Kila mkoa kulijengwa chuo cha kufundisha watoa huduma iliyojulikana <strong>kwa</strong> jina la<br />

(MCHA School) Jumla <strong>ya</strong> Vyuo 18 vilijengwa <strong>kwa</strong> Msaada wa Serikali <strong>ya</strong> Marekani.<br />

Wizara ilibadisha mfumo wa kufundisha “village midwives” 1978 na ku-upgdrade manesi<br />

wakunga kuchukuwa fani <strong>ya</strong> Uuguzi wa Jamii (PHN A) <strong>kwa</strong> muda wa miezi 18 ambao<br />

43


walipewa wadhifa wa kuratibu shughuli za huduma za mama na mtoto katika ngazi <strong>ya</strong><br />

kanda , mikoa na wila<strong>ya</strong> ( RCH Coordinators)<br />

Mpaka kufikia 2009, jumla <strong>ya</strong> vitua vituo 4792 vilikuwa vinatoa huduma za mama na mtoto<br />

ambavyo ni sawa na aslimia 88 <strong>ya</strong> vituo vyote ikilinganishwa na vituo 454 mwaka 1961.<br />

Uzazi Salama<br />

Huduma za Uzazi Salama zilianza kutumika nchini 1989 <strong>kwa</strong> kufuata miongozo na sera za<br />

Wizara <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> na Ustawi wa Jamii kutokana na maazimio <strong>ya</strong> mkutano uliofanyika nchini<br />

Ken<strong>ya</strong> mwaka 1987. Uzazi Salama ilianzinduliwa, ikiwa na lengo kuu la kuhakikisha<br />

<strong>kwa</strong>mba mama mjamzito anajifungua salama.<br />

Jitihada za kuandaa mitaala <strong>ya</strong> ufundishaji wa stadi za kuokoa maisha na utoaji wa huduma<br />

za dharura <strong>kwa</strong> matatizo <strong>ya</strong>tokanayo na Uzazi zilianza kati <strong>ya</strong> 1981-1990. Kilianzishwa<br />

kitengo cha Uzazi salama katika Sehemu <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Uzazi na Mtoto kutokana na mkutano<br />

wa Cairo wa Idadi <strong>ya</strong> Watu (ICPD)1994.<br />

Kuandaa na kukamilisha mitaala <strong>ya</strong> ufundishaji wa stadi za kuokoa maisha na utoaji wa<br />

huduma za dharura <strong>kwa</strong> matatizo <strong>ya</strong>tokanayo na Uzazi kulifanywa kati <strong>ya</strong> 1991 - 2000.<br />

Huduma za dharura <strong>kwa</strong> mama aliyeapta matatizo <strong>ya</strong> kuharibika mimba katika hospitali<br />

nne ( Muhimbili, Mbe<strong>ya</strong>, Bugando na KCMC), zilianzishwa 1991.<br />

Wajawazito wanaohudhuria kiliniki katika kipindi cha ujauzito ilifikia asilimia 94 (TDHS)<br />

1999. Kiwango cha wajawazito wanojifungulia katika vituo v<strong>ya</strong> huduma ilikuwa asilimia 36<br />

na vifo vitokanavyo na matatizo <strong>ya</strong> uzazi 529 <strong>kwa</strong> kila vizazi hai 100,000<br />

Piki iki k b b j i k jili f<br />

Mafunzo <strong>ya</strong> stadi za kuokoa maisha <strong>kwa</strong> wanawake wajawazito na watoto wachanga, <strong>kwa</strong><br />

watoa huduma wa af<strong>ya</strong>, <strong>ya</strong>lianzishwa rasmi 2000<br />

Kati <strong>ya</strong> 2001 – 2010/2011 wajawazito wanaohudhuria kiliniki katika kipindi cha ujauzito<br />

ilikuwa imefikia asilimia 94 (TDHS 2004/5) na kiwango cha wajawazito wanojifungulia<br />

katika vituo v<strong>ya</strong> huduma imeongezeka kutoka asilimia 46 (2004) hadi asilimia 51 (2010)<br />

44


Huduma za dharura <strong>kwa</strong> mama aliyepata matatizo <strong>ya</strong> kuharibika mimba ilianza 2010.<br />

Huduma <strong>kwa</strong> ajili <strong>ya</strong> mimba zilizoharibika zinatolewa katika Hospitali 80 Vituo v<strong>ya</strong> af<strong>ya</strong><br />

112 na Zahanati 250 <strong>kwa</strong> kutumia MVA, ikilinganishwa na hospitali 4 mwaka 1991.<br />

Mitaala <strong>ya</strong> ufundishaji wa stadi za kuokoa maisha na utoaji wa hudumaza dharura <strong>kwa</strong><br />

matatizo <strong>ya</strong>tokanayo na Uzazi pamoja na kazi kuhusu utoaji wa huduma za dharura <strong>kwa</strong><br />

matatizo <strong>ya</strong>tokanayo na Uzazi (job Aid) ilianzishwa kati <strong>ya</strong> 2001-2010. Katika kipindi cha<br />

miaka kumi iliyopita, miongozi mbalimbali iliandaliwa kama ifiuatavyo kuandaa na<br />

kukamilisha:-<br />

Mwongozo wa kumhudumia mama mara baada <strong>ya</strong> kujifungua na ndani <strong>ya</strong> siku<br />

arobaini na mbili( 42) za Uzazi;<br />

Mwongozo kuhusu utoaji wa huduma <strong>kwa</strong> akina mama wajawazito;<br />

Mwongozo kuhusu utoaji wa huduma <strong>ya</strong> mama na mtoto katika ngazi <strong>ya</strong> jamii<br />

(Intergrated Community Maternal, New born and Child Health); na<br />

Mwongozo utakaotumiwa na viongozi wa dini katika kuamasisha jamii juu <strong>ya</strong> Uzazi<br />

Salama baada <strong>ya</strong> kujifungua na ndani <strong>ya</strong> siku aroibaini na mbili (42) za Uzazi<br />

(Christian and Muslim Sermon Guide).<br />

Mpaka kufikia 2010, juhudi mbalimbali zimewesha vifo vitokanvyo na matatizo <strong>ya</strong> uzazi<br />

kupungua kutoka 772 <strong>kwa</strong> kila vizazi hai mwaka 1990 hadi 454 <strong>kwa</strong> kila vizazi hai 100,000<br />

mwaka 2010<br />

Uzazi wa Mpango<br />

Muhtasari ufuatao unaonyesha baadhi <strong>ya</strong> matukio muhimu <strong>ya</strong>nayohusu Uzazi wa mapango:<br />

1971 Chama cha uzazi wa mpango kilipewa jina jip<strong>ya</strong> "Chama cha Uzazi na Malezi Bora cha<br />

<strong>Tanzania</strong>" <strong>kwa</strong> kifupi "UMATI", Jina linalotumika hadi leo.<br />

1972 UMATI ilijiunga rasmi kuwa mwanachama halisi wa chama cha kimataifa cha uzazi<br />

International Planned Parenthood Federation (IPPF).<br />

1984 Sera na Mwongozo wa Taifa wa Uzazi wa Mpango ilizinduliwa.<br />

1988 Njia za muda mrefu na za kudumu za uzazi wa mpango zilianza kutolewa nchini.<br />

Mwaka 1989 Serikali ilianzisha Programu <strong>ya</strong> Taifa <strong>ya</strong> Uzazi wa Mpango katika Wizara <strong>ya</strong><br />

Af<strong>ya</strong> na Ustawi wa Jamii, chini <strong>ya</strong> Kurugenzi <strong>ya</strong> Kinga, wakati huo kiwango cha utumiaji<br />

wa huduma za uzazi wa mpango kilikua asilimia 5 tu na kiwango hiki kilitokana na jitihada<br />

za UMATI.<br />

1990 Ulizinduliwa Mpango wa Kitaifa wa Uzazi wa Mpango, ukiwa na nembo <strong>ya</strong> 'Nyota <strong>ya</strong><br />

Kijani" ambayo inajulikana hadi sasa. Serikali ilianza kutoa mafunzo <strong>kwa</strong> watoa huduma<br />

na wahuduma wa uzazi wa mpango nchini kote.<br />

1991 Mafunzo <strong>ya</strong> njia <strong>ya</strong> kudumu <strong>ya</strong> uzazi wa mpango <strong>kwa</strong> wanaume "Non Scapel Vasectomy"<br />

(NSV) <strong>ya</strong>lianzishwa.<br />

1992 Majaribio <strong>ya</strong> matumizi <strong>ya</strong> njia <strong>ya</strong> vijiti "Norplant" <strong>ya</strong>lianzishwa hapa nchini. Mwaka 1993<br />

UMATI ilisajiliwa rasmi kama chama cha kutolea huduma za uzazi wa mpango.<br />

1995 Njia <strong>ya</strong> uzazi wa mpango <strong>ya</strong> vijiti 5 "Norplant" ilianza kutumika hapa nchini.<br />

45


Katika kipindi cha 1991 hadi mwaka 1999, Wizara <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> ilitilia mkazo katika kuboresha<br />

huduma za uzazi wa mpango: <strong>kwa</strong> mfano:<br />

• Kuwaelimisha wananchi juu <strong>ya</strong> umuhimu wa kutumia huduma za uzazi wa mpango;<br />

• Kuongeza wigo na ubora wa mafunzo <strong>ya</strong> kuboresha taaluma <strong>ya</strong> uzazi wa mpango<br />

<strong>ya</strong>tolewayo <strong>kwa</strong> watoa huduma;<br />

• Kuhakikisha upatikanaji wa dawa za njia za uzazi wa mpango na kuboresha mfumo wa<br />

usambazaji njia za uzazi wa mpango nchini; na<br />

• Kuunganisha jitihada za uboreshaji wa huduma na zile za kuelimisha jamii <strong>kwa</strong> kutumia<br />

kampeni <strong>ya</strong> nyota <strong>ya</strong> kijani <strong>ya</strong> uzazi wa mpango.<br />

Jitihada za serikali katika kuboresha huduma za uzazi wa mpango zilijumuisha mambo<br />

<strong>ya</strong>fuatayo:<br />

• Kuweka sera na miongozo iliyotoa ufafanuzi kuhusu utolewaji wa huduma za uzazi wa<br />

mpango nchini;<br />

• Kutuimia wahudumu wa uzazi wa mpango vijijini (CBD Agents) katika ngazi <strong>ya</strong> jamii;<br />

• Jitihada za serikali katika kuboresha huduma za uzazi wa mpango ziliungwa mkono na<br />

wafadhili, asasi zisizo za kiserikali, mashirika <strong>ya</strong> dini na sekta <strong>ya</strong> binafsi. Miongoni<br />

mwa mashirika <strong>ya</strong>liyounga mkono jitihada za serikali ni pamoja na GTZ, UMATI,<br />

Marie Stopes, Pathfinder, KKKT na SDA]. Katika kipindi hiki fedha za kutosha<br />

zilipatikana <strong>kwa</strong> ajili <strong>ya</strong> kuboresha huduma za uzazi wa mpango.<br />

Mafanikio makubwa <strong>ya</strong> kampeni <strong>ya</strong> nyota <strong>ya</strong> kijani:<br />

Kampeni <strong>ya</strong> njota <strong>ya</strong> kijani ilikuwa na mafanikio makubwa katika kuwaelimisha wananchi<br />

kuhusu faida za kutumia huduma za uzazi ewa mpango. Hadi kufikia mwaka 1999, asilimia<br />

75 <strong>ya</strong> vituo vinavyotoa huduma za af<strong>ya</strong> vilikuwa vinatoa huduma za uzazi wa mpango. Pia<br />

wateja wa njia za uzazi wa mpango waliongezeka kutoka asilimia 10 hadi 25.<br />

Asilimia 75 <strong>ya</strong> vituo vinavyotoa huduma za af<strong>ya</strong> hutoa huduma za uzazi wa mpango na<br />

asilimia 15 <strong>ya</strong> wazazi (couples) hutumia njia za kisasa za uzazi wa mpango. Kiwango cha<br />

utumiaji wa njia za uzazi wa mpango kiliongezeka toka asilimia 7 <strong>ya</strong> mwaka 1991 hadi<br />

kufikia asilimia 13 mwaka 1996, na kuendelea kuongezeka hadi kufikia asilimia 17 mwaka<br />

1999. Kiwango hiki kimekuwa kikiongezeka hadi kufikia asilimia 34.4 mwaka 2010.<br />

Mtaala wa Taifa wa uzazi wa mpango ulifanyiwa marejeo 2004 na kuboreshwa ambapo<br />

mtaala kabambe (comprehensive) uliojumuisha moduli 8 ulianza kutumika. Mwaka 2006<br />

njia <strong>ya</strong> vipandikizi <strong>ya</strong> uzazi wa mpango <strong>ya</strong> kijiti kimoja (Implanon) ilianzishwa <strong>kwa</strong> mara<br />

<strong>ya</strong> <strong>kwa</strong>nza nchini <strong>Tanzania</strong>. Hadi kufikia 2008, Mkakati wa kuunganisha huduma za uzazi<br />

wa mpango na huduma za kuzuia maambukizo <strong>ya</strong> UKIMWI kuwa huduma mseto ulianza<br />

kutekelezwa nchini.<br />

Mpango wa kitaifa wa uzazi wa mpango uliodhaminiwa (National Family Planning Costing<br />

Implementation Plan) ulizinduliwa rasmi 2010 na kupelekea kuanzishwa vinara<br />

(champions) wa uzazi wa mpango.<br />

Kuanzia 2000 hadi 2010 wateja wanaotumia njia za uzazi wa mpango waliongezeka kutoka<br />

asilimia 26 hadi asili mia 34 na kiwango cha uzazi kimepungua kutoka asilismia 5.9 hadi<br />

5.4<br />

46


Af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Uzazi Kwa Vijana<br />

Huduma za Af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Uzazi <strong>kwa</strong> Vijana hapa <strong>Tanzania</strong> zilianza katika mashirika <strong>ya</strong>siyo <strong>ya</strong><br />

Kiserikali, mara tu baada <strong>ya</strong> Mkutano wa Kimataifa wa Idadi <strong>ya</strong> Watu uliofanyika Cairo<br />

mwaka 1994-(ICPD). Mashirika hayo <strong>ya</strong>likuwa AMREF na UMATI. Mashirika ha<strong>ya</strong><br />

<strong>ya</strong>liweza kufan<strong>ya</strong> baadhi <strong>ya</strong> shughuli tu za Af<strong>ya</strong> ikiwa <strong>ya</strong> Uzazi/UKIMWI ikiwa ni pamoja<br />

na kutoa habari na Elimu kuhusu Uzazi wa Mpango na Utoaji wa Kondomu.<br />

Mratibu wa Huduma za Af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Uzazi <strong>kwa</strong> Vijana aliteuliwa 1998 na Mkurungezi wa<br />

Kinga na maelekezo <strong>ya</strong> msingi kuwa, vijana wanahitaji habari,elimu kuhusu Af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Uzazi.<br />

Nchi <strong>ya</strong> <strong>Tanzania</strong> ni kati <strong>ya</strong> nchi kumi na moja zilizoteuliwa na shirika la Af<strong>ya</strong> Duniani-<br />

Makao Makuu <strong>kwa</strong> uuandaaji na Utekelezaji mzuri wa masuala <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> na maendeleo <strong>ya</strong><br />

Vijana na wadau wanaochangia fedha za kutekeleza mipango <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Uzazi <strong>kwa</strong> Vijana<br />

katika maeneo tofauti <strong>kwa</strong> sasa imeongezeka ukilinganisha na miaka mitatu iliyopita.<br />

Mkakati wa Huduma za Af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Uzazi <strong>kwa</strong> Vijana 2004-2008 uliandaliwa 2004. Mkakati<br />

huu hutumika na wadau mbalimbali katika kutekeleza shughuli za Vijana nchini.<br />

Kitengo cha Af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Uzazi na Mtoto kupitia Unit <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Uzazi <strong>kwa</strong> Vijana ilita<strong>ya</strong>risha<br />

na kutoa kitabu cha Viwango za huduma za Vijana ‘’National Standards for Adolescent<br />

Health’ 2005. Kitabu hiki cha Viwango kinatumika katika upimaji wa utoaji Huduma Rafiki<br />

za Af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Uzazi/UKIMWI. Mwaka 2009, Kitengo kilichapisha kitabu cha Viwango <strong>kwa</strong><br />

huduma za Ujana rika, “National Standards for Peer Education in Young People.”<br />

Matokeo <strong>ya</strong> Tathmini iliyofanyika kuhusu utekelezaji wa mkakati wa <strong>kwa</strong>nza mwaka 2011<br />

<strong>ya</strong>lionesha ongrzeko la asilimia 30% <strong>ya</strong> vituo vinatoa huduma rafiki <strong>kwa</strong> vijana. Mkakati<br />

wa pili wa af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> uzazi <strong>kwa</strong> vijana umezinduliwa (National Adolescent Reproductive<br />

Health Strategy 2011-2015.) Mpaka sasa kuna Wakufunzi sitini (60), ngazi <strong>ya</strong> Taifa,<br />

Wakufunzi 200 Ngazi <strong>ya</strong> mkoa, na watoa huduma 432 ambao wamepata mafunzo.<br />

Hadi kufikia 2011, asilimia sabini na Tano (75%) <strong>ya</strong> mikoa <strong>ya</strong> <strong>Tanzania</strong> Bara ta<strong>ya</strong>ri<br />

imefanyiwa Uhamasishaji kuhusu umuhimu wa kuwekeza katika Huduma za Af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong><br />

Uzazi <strong>kwa</strong> Vijana. Mikoa /Wila<strong>ya</strong> ambazo uhamasishaji umefanyika fedha zimetengwa<br />

kutekeleza mipango <strong>ya</strong> Vijana na katika vyuo v<strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong>, utumiaji wa Huduma za Af<strong>ya</strong> <strong>kwa</strong><br />

Vijana Umeongezeka. (k.m Upimaji wa VVU, utumiajiwa kondomu, kujikinga na mimba<br />

na uambukizo wa VVU). Vile vile, watoa huduma katika mikoa hiyo wamepata mafunzo<br />

kuhusu utoaji huduma zilizo rafiki <strong>kwa</strong> vijana.<br />

Aidha mpaka sasa ni asilimia thelathin (30) <strong>ya</strong> Vituo V<strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> nchini vinatoa huduma za<br />

Af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Uzazi <strong>kwa</strong> Vijana ikiwa ni matokeo <strong>ya</strong> tangu Mwaka 2005 shughuli za Vijana<br />

zilipoanza. Vijana wamewezeshwa kutambua haki zao za msingi za Af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Uzazi hasa<br />

wale walio mijini <strong>kwa</strong> kutumia vyombo v<strong>ya</strong> habari kama vile television,radio,vielelezo na<br />

waelimishaji rika. Vile vile, wazazi na Jamii <strong>kwa</strong> ujumla wamepata elimu <strong>ya</strong> jinsi <strong>ya</strong><br />

kuwasaidia Vijana kuhusu masuala <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Uzazi.<br />

Af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Mtoto<br />

Mkakati wa udhibiti wa <strong>magonjwa</strong> <strong>ya</strong> watoto <strong>kwa</strong> uwiano (IMCI) katika vituo v<strong>ya</strong> af<strong>ya</strong><br />

ulianzishwa nchini mwaka 1996 kupunguza vifo v<strong>ya</strong> watoto chini <strong>ya</strong> miaka mitano.<br />

Mkakati ulianzishwa katika wila<strong>ya</strong> 7 katika hatua za awali. Tathmini <strong>ya</strong> hatua <strong>ya</strong> awali <strong>ya</strong><br />

47


utekelezaji wa IMCI ilifanyika 1999. Tathmini katika wila<strong>ya</strong> mbili ilionesha kuwa<br />

utekelezaji wa mpango huu uliweza kupunguza vifo v<strong>ya</strong> watoto wenye umri chini <strong>ya</strong> miaka<br />

mitano <strong>kwa</strong> asilimia 13. Mkakati wa kupanua huduma hii nchi nzima ulinadaliwa (IMCI<br />

strategy 1999 -2004).<br />

Mkakati wa udhibiti wa <strong>magonjwa</strong> <strong>ya</strong> watoto <strong>kwa</strong> uwiano ngazi <strong>ya</strong> jamii ulianzishwa nchini<br />

mwaka 2003. Hadi kufikia mwaka 2011, wila<strong>ya</strong> 56 zinatoa huduma hii. Hadi kufikia<br />

mwaka 2005 asilimia 93.5 <strong>ya</strong> wila<strong>ya</strong> zote nchini ziliweza kutoa huduma <strong>ya</strong> udhibiti wa<br />

<strong>magonjwa</strong> <strong>ya</strong> watoto <strong>kwa</strong> uwiano katika vituo v<strong>ya</strong> af<strong>ya</strong> na 2006 wila<strong>ya</strong> zote nchini<br />

zilikwishaaanza utekelezaji. Huduma <strong>ya</strong> watoto wachanga nchini <strong>ya</strong>kiwemo matunzo <strong>ya</strong><br />

mtoto aliyezaliwa na uzito pungufu ilianzishwa 2007.<br />

Mkakati wa kuongeza kasi <strong>ya</strong> kupunguza vifo v<strong>ya</strong> wanawake vinavyotokana na matatizo <strong>ya</strong><br />

uzazi na watoto (Road Map 2008-2015) ulizidunduliwa 2008. Ni mwaka huu huu ambapo<br />

dawa mp<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> matibabu <strong>ya</strong> kuharisha <strong>ya</strong> Zinki na ORS iliyopunguzwa nguvu <strong>kwa</strong> watoto<br />

ilizinduliwa kitaifa ili kupunguza vifo v<strong>ya</strong> watoto chini <strong>ya</strong> miaka mitano vitokanayo na<br />

<strong>magonjwa</strong> <strong>ya</strong> kuharisha.<br />

Mganga Mkuu wa Serikali Dkt. Deo M. Mtasiwa akionyesha <strong>kwa</strong><br />

vitendo jinsi <strong>ya</strong> kumsaidia mtoto mchanga kupumua mara tu baada<br />

<strong>ya</strong> kuzaliwa. Kushoto ni Blandina S.J. Nyoni Katibu - Mkuu wa<br />

Wazara <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> na Usatwi wa Jamii, na kulia ni Jean-Baptiste<br />

Tapko – Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Af<strong>ya</strong> Duniani, wakati wa<br />

uzinduzi wa programu <strong>ya</strong> kumsaidia mtoto mchanga kupumua<br />

(Helping Babies Breathe program) uliofanyika Dares Salaam,<br />

tarehe 9 Septemba 2009.<br />

48


Vile vile, tathmini na Uboreshaji wa huduma <strong>ya</strong> watoto inayotolewa katika hospitali za<br />

mikoa na wila<strong>ya</strong> ulifanyika kati <strong>ya</strong> 2008-2011 katika mikoa 19 pamoja na ununuzi wa vifaa<br />

v<strong>ya</strong> kutolea huduma <strong>ya</strong> dharura kuanzia mwaka 2008 hadi 2011. Pamoja na ha<strong>ya</strong>, juhudi<br />

nyingine katika kipindi cha 200-2011 zimechangia kupungua <strong>kwa</strong> vifo v<strong>ya</strong> watoto chini <strong>ya</strong><br />

miaka mitano toka vifo 147 <strong>kwa</strong> kila vizazi hai 1000 mwaka 1999 hadi kufikia vifo 81<br />

<strong>kwa</strong> kila vizazi hai 1,000 mwaka 2010 na vifo v<strong>ya</strong> watoto wenye umri chini <strong>ya</strong> mwaka<br />

mmoja kutoka 99 <strong>kwa</strong> kila vizazi hai 1000 mwaka 1999 hadi 51 <strong>kwa</strong> kila vizazi hai 1000,<br />

mwaka 2010. Vifo v<strong>ya</strong> watoto wenye umri chini <strong>ya</strong> mwezi mmoja pia vilipungua kutoka 40<br />

<strong>kwa</strong> kila vizazi hai 1000 hadi 26 <strong>kwa</strong> kila vizazi hai 1000 mwaka 2010.<br />

Mpango wa Kuzuia Maambukizi <strong>ya</strong> Virusi v<strong>ya</strong> Ukimwi<br />

kutoka <strong>kwa</strong> Mama Kwenda Kwa Mtoto<br />

(Prevention of HIV from Mother To Child Transmission)<br />

Huduma za PMTCT zilianzishwa nchini 2000 <strong>kwa</strong> majaribio katika hospitali tano hadi<br />

mwaka 2002. Kati <strong>ya</strong> hospitali hizo nne ni za rufaa (Muhimbili, Mbe<strong>ya</strong>, KCMC na<br />

Bugando) na moja ni hospitali <strong>ya</strong> mkoa, Kagera. Baada <strong>ya</strong> majaribio hayo kuonyensha<br />

mafanikio makubwa, Serikali ilichukua uamuzi wa kusambaza huduma hizi nchini kote<br />

katika vituo vinavyotoa huduma za af<strong>ya</strong> na uzazi na mtoto <strong>kwa</strong> ufadhili wa UNICEF 2003.<br />

Kama Mpango, huduma <strong>ya</strong> PMTCT ilianza rasmi ikiwa chini <strong>ya</strong> Idara <strong>ya</strong> <strong>Tiba</strong>.<br />

Shughuli za PMTCT zilipanuliwa 2004 <strong>kwa</strong> ufadhili wa CDC kitengo kikiwa bado chini <strong>ya</strong><br />

Idara <strong>ya</strong> <strong>Tiba</strong>. Huduma zilianza kusambazwa nchi nzima katika vituo vinavyotoa huduma<br />

za af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> uzazi na mtoto <strong>kwa</strong> awamu,<strong>kwa</strong> kuanzia Hospitali,vituo v<strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> na hatimaye<br />

kufikia katika Zahanati. Kati <strong>ya</strong> 2004-2006, Kitengo kilikuwa kinafan<strong>ya</strong> kazi na NIMR na<br />

Hospitali <strong>ya</strong> Rufaa <strong>ya</strong> Muhimbili kama wadau wasambazaji wa huduma hizi. Kitengo<br />

kiliweza kutengeneza vitendea kazi v<strong>ya</strong> aina mbali mbali pamoja na vielelezo <strong>kwa</strong> ajili <strong>ya</strong><br />

kuboresha huduma za PMTCT kufikia 2010.<br />

Kitengo cha PMTCT kilihamishiwa Mpango wa Taifa wa Kudhibiti UKIMWI (NACP) ili<br />

kuimalisha huduma za kuzuia maambukizi <strong>ya</strong> VVU kutoka <strong>kwa</strong> mama kwenda <strong>kwa</strong> mtoto<br />

na zile za kuzuia maambukizi <strong>ya</strong> UKIMWI nchini 2006. Wadau wanaopata fedha kutoka<br />

<strong>kwa</strong> watu wa Marekani (USG) walishauriwa na kuamua kusaidia kuendesha huduma za<br />

PMTCT <strong>kwa</strong> mfumo wa ‘Regionalization’ katika ngazi <strong>ya</strong> mkoa, ambapo hapo awali<br />

walikuwa wanatoa huduma <strong>ya</strong> ‘Care and Treatment’ peke <strong>ya</strong>ke Kitengo kiliweza kupata<br />

wafadhili na wadau mbali mbali wa kusaidia kupanua Huduma za PMTCT nchini mwaka<br />

2007. Baadhi <strong>ya</strong> wafadhili ni ‘EGPAF, ICAP, MDH, AIDS RELIEF,<br />

ENGENDERHEALTH, CHAI, AMREF, DOD, GTZ, na FHI. Wadau hao walipewa mikoa<br />

<strong>ya</strong> kusimamia kusambaza huduma za PMTCT ambapo wanaendelea kutoa huduma hizi hadi<br />

sasa.<br />

Huduma za utambuzi wa mapema wa hali <strong>ya</strong> maambukizi <strong>ya</strong> VVU <strong>kwa</strong> watoto wachanga<br />

waliozaliwa na kinamama wenye maambukizi, zilianza kusambazwa nchini mwaka 2008.<br />

Hadi kufikia Desemba 2010 jumla <strong>ya</strong> vituo 1,268 vinavyotoa huduma za PMTCT vilikuwa<br />

vinatoa huduma hizo. Idadi <strong>ya</strong> watoto ambao wamefikiwa na huduma hiyo na kupimwa ni<br />

18,231 <strong>kwa</strong> mwaka 2009 na 22,033 <strong>kwa</strong> mwaka 2010. Pamoja na Elimu <strong>ya</strong> kuzuia<br />

maambukizi toka <strong>kwa</strong> mama kwenda <strong>kwa</strong> mtoto, ikiwa ni pamoja na upimaji wa virusi v<strong>ya</strong><br />

UKIMWI, huduma <strong>ya</strong> PMTCT ilianza <strong>kwa</strong> kutoa dawa moja tu <strong>ya</strong> ‘Niverpine’ <strong>kwa</strong><br />

wajawazito kuanzia wiki <strong>ya</strong> 28 <strong>kwa</strong> ajili <strong>ya</strong> kumkinga mtoto.<br />

49


Kitengo kilipitia up<strong>ya</strong> na kuboresha miongozo, mitaala <strong>ya</strong> kufundishia pamoja na Register<br />

za kutolea huduma za PMTCT kufuatia mapendekezo <strong>ya</strong>liyotolewa na Shirika la Af<strong>ya</strong><br />

Duniani “New WHO Recommendations” mwaka 2006. Mwaka 2007, huduma <strong>ya</strong> PMTCT<br />

ilianza kutoa dawa <strong>ya</strong> mchanganyiko ‘More Efficacious Regimen’ <strong>ya</strong> kinga <strong>kwa</strong> akina<br />

mama wajawazito wafikapo umri wa wiki <strong>ya</strong> 28 <strong>kwa</strong> ajili <strong>ya</strong> kumkinga mtoto. Mwaka<br />

uliofuata Kitengo kilianza kutengeneza Mpango na mkakati wa kupanua na kuboresha<br />

huduma za PMTCT ‘PMTCT Scale up Plan 2009-2013.<br />

Huduma za utambuzi wa mapema wa hali <strong>ya</strong> maambukizi <strong>ya</strong> VVU <strong>kwa</strong> watoto wachanga<br />

waliozaliwa na kinamama wenye maambukizi, zilianza kusambazwa nchini 2008. Hadi<br />

kufikia Desemba 2010 jumla <strong>ya</strong> vituo 1,268 vinavyotoa huduma za PMTCT vilikuwa<br />

vinatoa huduma hizo. Idadi <strong>ya</strong> watoto ambao wamefikiwa na huduma hiyo na kupimwa ni<br />

18,231 <strong>kwa</strong> mwaka 2009 na 22,033 <strong>kwa</strong> mwaka 2010. Mpaka kufikia 2010 kuna jumla <strong>ya</strong><br />

vituo 4,301 sawa na asilimia 93% <strong>ya</strong> vituo vinavyotoa huduma za af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> uzazi na mtoto<br />

vinatoa huduma za PMTCT.<br />

Idadi <strong>ya</strong> kinamama wajawazito wanaofikiwa na huduma za PMTCT imeongezeka kutoka<br />

15,472(mwaka 2003) hadi kufikia 1,660,890 mwishoni mwa mwaka 2010.<br />

Jumla <strong>ya</strong> kinamama wajawazito wenye maambukizi <strong>ya</strong> virusi v<strong>ya</strong> UKIMWI 80,748 (70%)<br />

kati <strong>ya</strong> kinamama wajawazito 114, 906 wanaokadiriwa kuwa na maambukizi <strong>ya</strong> VVU<br />

katika jamii wamepewa dawa za ARVs kuzuia maambukizi kwenda <strong>kwa</strong> mtoto. Hili ni<br />

ongezeko la asilimia 61 ukilinganisha na mwaka 2005 ambapo jumla <strong>ya</strong>o ilikuwa ni 11,435<br />

sawa na asilimia 9.<br />

Mwaka 2010 programu hii imeweza kutoa dawa za ARVs <strong>kwa</strong> watoto 65,948 waliozaliwa<br />

na kinamama wenye maambukizi <strong>ya</strong> VVU ili kuzuia maambukizi <strong>ya</strong> VVU toka <strong>kwa</strong> mama<br />

kwenda <strong>kwa</strong> mtoto. Idadi hiyo ni kubwa ukilinganisha 7,424 <strong>ya</strong> mwaka 2005.<br />

Katika kipindi kati <strong>ya</strong> 2004 hadi 2010, jumla <strong>ya</strong> wakufunzi 264 na watoa huduma 8,525<br />

walipata mafunzo <strong>kwa</strong> ajili <strong>ya</strong> kutoa huduma za PMTCT.<br />

Mpango wa Taifa wa Chanjo (EPI)<br />

Mpango wa Kitaifa wa Chanjo (Expanded Programme of Immunization ulianzishwa 1975<br />

EPI) <strong>kwa</strong> lengo la kudhibiti <strong>magonjwa</strong> <strong>ya</strong>nayozuilika <strong>kwa</strong> chanjo <strong>kwa</strong> watoto chini <strong>ya</strong><br />

mwaka mmoja ili kupunguza vifo v<strong>ya</strong> watoto. Mpango huo ulilenga <strong>magonjwa</strong> 6 <strong>ya</strong> Kifua<br />

Kikuu, Surua, Pepo punda, Kupooza, Kifaduro na Donda koo. Wizara <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> kupitia<br />

Mpango iliweza kuimarisha huduma za chanjo nchi nzima, na kufikia kiwango cha<br />

uchanjaji <strong>kwa</strong> zaidi <strong>ya</strong> asilimia themanini. Mafanikio <strong>ya</strong>litokana na ushirikiano kati <strong>ya</strong><br />

serikali na wahisani ambapo huduma za usambazaji na usafirishaji wa chanjo na vifaa,<br />

uhamasishaji wa wananchi, usimamizi elekezi na mafunzo <strong>kwa</strong> watumishi zilitekelezwa.<br />

Mgonjwa wa polio wa mwisho alipata tiba hapa nchini 1996. Hii inatokana na mafanikio <strong>ya</strong><br />

kampeni za kutokomeza polio na surua ambazo huwa zinafanyika nchi nzima Wizara <strong>ya</strong><br />

Af<strong>ya</strong> kupitia Mpango wa Taifa wa chanjo, iliweza kuanzisha chanjo mp<strong>ya</strong> inayokinga<br />

<strong>magonjwa</strong> manne <strong>ya</strong>nayoambukiza dhidi <strong>ya</strong> watoto chini <strong>ya</strong> mwaka mmoja mwaka 2002.<br />

Magonjwa ha<strong>ya</strong> ni pamoja na Dondakoo, Kifaduro, Pepopunda, na Homa <strong>ya</strong> ini.<br />

Chanjo mp<strong>ya</strong> inayozuia <strong>magonjwa</strong> sita <strong>ya</strong>nayozuilika <strong>kwa</strong> chanjo ilianzishwa <strong>kwa</strong> watoto<br />

50


chini <strong>ya</strong> mwaka mmoja 2009. Magonjwa hayo ni pamoja na Dondakoo, Kifaduro,<br />

Pepopunda , Homa <strong>ya</strong> ini, Kichomi na Uti wa mgongo. Chanjo hizi zimeweza kupunguza<br />

vifo v<strong>ya</strong> watoto chini <strong>ya</strong> mwaka mmoja. Chanjo hii imeweza kuwafikia walengwa na<br />

kiwango cha uchanjaji <strong>kwa</strong> mwaka 2010 kilifikia asilimia 91.<br />

Ufuatiliaji wa <strong>magonjwa</strong> <strong>ya</strong>nayozulika <strong>kwa</strong> chanjo (Surveillance) ulifanyika <strong>kwa</strong> mikoa<br />

yote nchini. Sampuli za vipimo v<strong>ya</strong> <strong>magonjwa</strong> <strong>ya</strong> ulemavu wa ghafla na surua zilipokelewa<br />

kutoka wila<strong>ya</strong>ni <strong>kwa</strong> wagonjwa waliohisiwa kuwa na <strong>magonjwa</strong> hayo na kupimwa<br />

maabara. Vipimo vilivyoonyesha kuwa na ugonjwa wa surua, wila<strong>ya</strong> husika zilifanyiwa<br />

ufuatiliaji na udhibiti ulifanyika. Vipimo v<strong>ya</strong> ulemavu wa ghafla vilionyesha kuwa salama,<br />

hali inayoonyesha kuwa udhibiti wa ugonjwa huo hapa nchini kuwa mzuri ingawa katika<br />

kipindi cha mwaka 2009 na 2010 nchi jirani za Congo DRC, Uganda na Burundi zimekuwa<br />

na mlipuko wa ugonjwa wa polio. Ili kudhibiti kuingia <strong>kwa</strong> ugonjwa huo nchini Kampeni<br />

<strong>ya</strong> polio (Mopp-up ) ilifanyika katika mikoa <strong>ya</strong> jirani <strong>ya</strong> Kigoma, na Ru<strong>kwa</strong> na watoto wote<br />

chini <strong>ya</strong> miaka mitano walipatiwa chanjo <strong>ya</strong> polio. Mwaka 2011 kampeni imerudiwa katika<br />

mikoa <strong>ya</strong> Kigoma, na Ru<strong>kwa</strong> na pia kufanyika Mbe<strong>ya</strong> na Kagera. Kazi hii ilifanyika <strong>kwa</strong><br />

pamoja kati <strong>ya</strong> serikali, GAVI, UNICEF na Shirika la Af<strong>ya</strong> Duniani.<br />

Kampeni dhidi <strong>ya</strong> kutokomeza ugonjwa wa pepopunda <strong>kwa</strong> watoto na wanawake wenye<br />

umri wa kuzaa (15- 49) ilifanyika <strong>kwa</strong> mikoa <strong>ya</strong> Man<strong>ya</strong>ra, Ru<strong>kwa</strong>, Mbe<strong>ya</strong>, Kigoma, Kagera<br />

na Shin<strong>ya</strong>nga. Lengo la kampeni ilikuwa ni kuelimisha jamii juu <strong>ya</strong> umuhimu wa chanjo<br />

hiyo, ili waweze kuchanja, kujikinga na ugonjwa wa pepopunda na hatimaye kutokomeza<br />

kabisa ugonjwa huo nchini.<br />

Tathimini <strong>ya</strong> Mpango wa Taifa wa Chanjo (EPI Review) ilifanyika, <strong>kwa</strong> lengo la kutambua<br />

mafanikio, matatizo na changamoto zinazokabili huduma za chanjo, na hatimaye kutoa<br />

mapendekezo juu <strong>ya</strong> kuboresha huduma. Ripoti <strong>ya</strong> kazi hiyo ipo ta<strong>ya</strong>ri na Wizara imeanza<br />

kutumia matokeo <strong>ya</strong> kazi hiyo kuboresha huduma za chanjo nchini.<br />

Mpango wa chanjo umeendela kuhakikisha asilimia <strong>ya</strong> watoto wenye umri chini <strong>ya</strong> mwaka<br />

mmoja waliopatiwa chanjo iko juu. Asilimia 91 wamepata dozi tatu za chanjo <strong>ya</strong><br />

Pentavalent, 94% wamepata dozi <strong>ya</strong> tatu <strong>ya</strong> chanjo <strong>ya</strong> polio (OPV3), asilimia 98 chanjo <strong>ya</strong><br />

kuzia kifua kikuu BCG, na asilimia 92 <strong>ya</strong> Surua.<br />

(iii) Af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Mazingira na Usafi<br />

Hali <strong>ya</strong> usafi na af<strong>ya</strong> mazingira hata kabla <strong>ya</strong> uhuru ilikuwa si <strong>ya</strong> kuridhisha <strong>kwa</strong> sababu <strong>ya</strong><br />

matumizi duni <strong>ya</strong> vyoo, udhibiti duni wa taka, utumiaji wa maji bila kujali usafi na usalama<br />

wake. Hali hiyo ilisababishwa na uelewa mdogo miongoni mwa jamii, uhaba wa rasilimali<br />

fedha, miundombinu, teknolojia, utashi mdogo wa kisiasa wa serikali <strong>ya</strong> kikoloni na uhaba<br />

na utaalamu mdogo wa rasilimali watu. Hata hivyo, Serikali ilitoa kipaumbele katika<br />

kusimamia utekelezaji wa sheria zinazohusiana na usafi na af<strong>ya</strong> mazingira mijini. Katika<br />

kipindi hicho, matumizi <strong>ya</strong> vyoo vijijini <strong>ya</strong>likuwa kidogo isipokuwa katika maeneo <strong>ya</strong><br />

huduma muhimu kama vile shule, vituo v<strong>ya</strong> kutolea huduma za af<strong>ya</strong>, nyumba za ibada,<br />

mashamba makubwa na makazi <strong>ya</strong> watawala wa kimila.<br />

Baada <strong>ya</strong> kupata uhuru, Serikali <strong>kwa</strong> kuzingatia sera <strong>ya</strong> jumla <strong>ya</strong> nchi <strong>ya</strong> kupambana na<br />

maradhi, ujinga na umaskini, ilitoa kipaumbele katika kuelimisha na kuhamasisha jamii<br />

kuhusu umuhimu wa usafi na af<strong>ya</strong> mazingira.<br />

51


Maendeleo na Mafanikio<br />

Muhutasari ufuatao unajumuisha baadhi <strong>ya</strong> maendelo na mafanikio:-<br />

1961 Mara baada <strong>ya</strong> Uhuru, Cheo cha Mkaguzi wa Af<strong>ya</strong> Health Inspector kilibadilika na kuwa<br />

Afisa Af<strong>ya</strong> (Health officer).<br />

1968 Watalaam wa af<strong>ya</strong> walishiriki katika kutokomeza ugonjwa wa ndui (small pox) katika<br />

kampeni maalum <strong>ya</strong> kutoa chanjo <strong>ya</strong> ndui hadi ulipotokomezwa duniani mwaka 1977.<br />

1972–1975 Kada <strong>ya</strong> af<strong>ya</strong> mazingira ilitekeleza kampeni <strong>ya</strong> MTU NI AFYA ambapo jamii<br />

ilihamasishwa juu <strong>ya</strong> usafi wa mazingira na ujenzi na utumiaji wa vyoo.<br />

1978 Mgonjwa wa <strong>kwa</strong>nza wa kipindupindu alitambuliwa na mkakati <strong>ya</strong> kudhibiti ugonjwa huu<br />

ulianzishwa.<br />

1981-1991 Wizara <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> iliendelea kupanua vyuo v<strong>ya</strong> kufundisha maafisa af<strong>ya</strong> ambapo Chuo<br />

Cha Af<strong>ya</strong> Tanga, Mpwapwa na Muhimbili vilikuwa vinatoa wataalamu wa Stashahada.<br />

1997 Mbinu shirikishi za kulenga kubadili tabia za kiaf<strong>ya</strong> kwenye jamii (Participatory Hygiene<br />

and Sanitation – PHAST) zilianzishwa.<br />

2001 Wizara ilifanikiwa kuanzisha Chuo cha Af<strong>ya</strong> kinachotoa wataalamu wa Af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Mazingira<br />

katika ngazi <strong>ya</strong> Shahada.<br />

2003 Mashindano <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> na Usafi wa Mazingira nchini <strong>ya</strong>lianzishwa, Halmashauri za manispaa<br />

12 za Jiji la Mwanza zilishirikishwa.<br />

2007 Sheria <strong>ya</strong> Kusajili Wataalamu wa Af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Mazingira ilipitishwa na Bunge la Jamhuri <strong>ya</strong><br />

Muungano wa <strong>Tanzania</strong>. Mpango Mkakati wa Af<strong>ya</strong> na Usafi wa Mazingira pia uliandaliwa<br />

ili kuinua kiwango cha usafi wa mazingira nchini.<br />

2009 Baraza la Kusajili wataalamu wa Af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Mazingira nchini lilizinduliwa rasmi na<br />

Mheshimiwa Waziri wa Af<strong>ya</strong> na Ustawi wa Jamii <strong>kwa</strong> kulikabidhi Baraza majukumu rasmi<br />

<strong>ya</strong> kusajili ikiwa ni pamoja na kudhibiti nidhamu kiutendaji katika kada <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong><br />

Mazingira nchini. Sheria <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Jamii inayosimimamia masuala <strong>ya</strong> af<strong>ya</strong> na usafi wa<br />

mazingira pia ilipitishwa na Bunge la Jamhuri <strong>ya</strong> Muungano wa <strong>Tanzania</strong><br />

(iv) Elimu <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> <strong>kwa</strong> Umma<br />

Uelimishaji wa af<strong>ya</strong> <strong>kwa</strong> umma ulianza hata kabla <strong>ya</strong> uhuru. Wakati wa ukoloni mwaka<br />

1957, huduma za Elimu <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> <strong>kwa</strong> Umma zilianzishwa rasmi na Idara <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong>, katika<br />

majengo <strong>ya</strong> Hospitali <strong>ya</strong> Saratani <strong>ya</strong> Ocean Road, kipindi hicho ikifahamika <strong>kwa</strong> jina la<br />

European Hospital. Huduma hizo za Elimu <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> zilianza zikiwa na wafan<strong>ya</strong>kazi watano,<br />

ambao miongoni mwao walikuwa wazungu watatu, na waafrika wawili. Mwaka 1958, Ofisi<br />

za Idara <strong>ya</strong> Elimu <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> zilihamishiwa katika maeneo <strong>ya</strong> jirani na Hospitali <strong>ya</strong><br />

Muhimbili, wakati huo ikijulikana kama, Princess Margreth Hospital. Kazi za Idara <strong>ya</strong><br />

Elimu <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> zilikuwa ni kubuni na kutengeneza vielelezo <strong>kwa</strong> ajili <strong>ya</strong> kuelimisha jamii<br />

juu <strong>ya</strong> masuala mbalimbali <strong>ya</strong> af<strong>ya</strong>. Katika mwaka wa 1959, idara ilitumia “Silk screen<br />

printing mashine” (Squising mashine), ambayo ilikuwa na uwezo wa kutoa vielelezo aina<br />

<strong>ya</strong> mabango tu. Mabango hayo <strong>ya</strong>litumika kutoa elimu <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> kwenye kliniki za mama na<br />

52


mtoto, shule, kampeni dhidi <strong>ya</strong> milipuko <strong>ya</strong> maradhi <strong>ya</strong> kuambukiza na kwenye shughuli za<br />

maonyesho <strong>ya</strong> kitaifa.<br />

Maendeleo na mafanikio<br />

Baadhi <strong>ya</strong> maendeleo na mafanikio ni kama ifuatavyo:<br />

1961 Serikali ilitoa tamko kuwa Tanganyika huru ina maadui watatu wa maendeleo ambao ni<br />

Umasikini, Maradhi na Ujinga. Tangu wakati huo, Serikali ilitambua umuhimu wa Elimu <strong>ya</strong><br />

Af<strong>ya</strong> na kuendelea kuiimarisha na kuitumia katika kuelimisha umma juu <strong>ya</strong> masuala<br />

mbalimbali <strong>ya</strong> af<strong>ya</strong>. Vielelezo vilivyoandaliwa vilitumika kutoa elimu <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> kwenye<br />

kliniki za mama na mtoto, shule, dhidi <strong>ya</strong> maradhi <strong>ya</strong> kuambukiza ikiwa ni pamoja na<br />

milipuko na kwenye shughuli za maonyesho <strong>ya</strong> kitaifa. Baadhi <strong>ya</strong> mifano <strong>ya</strong> uelimishaji<br />

af<strong>ya</strong> <strong>kwa</strong> umma ni pamoja na kampeni juu <strong>ya</strong> unyonyeshaji wa watoto.<br />

1972 Serikali ilianzisha Kampeni <strong>ya</strong> Mtu ni Af<strong>ya</strong>. Kitengo cha Elimu <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> <strong>kwa</strong> Umma<br />

kikishirikiana na Chuo cha Elimu <strong>ya</strong> Watu Wazima, vilishiriki kikamilifu kateka utekelezaji<br />

wa Kampeni hiyo. Kampeni ilitekelezwa <strong>kwa</strong> juhudi kubwa na ililenga kuelimisha na<br />

kuhamasisha wananchi kupambana na maradhi na kuboresha af<strong>ya</strong> zao. Vipindi v<strong>ya</strong> redio,<br />

magazeti na mikutano vilitumika kufikisha kaulimbiu na ujumbe mahsusi wa af<strong>ya</strong> <strong>kwa</strong><br />

Umma wa <strong>Tanzania</strong>.<br />

1974 Serikali ilianzisha kipindi cha redio, kilichoitwa SIRI YA AFYA BORA, ambacho<br />

kilirushwa kupitia Redio <strong>Tanzania</strong> Dar es Salaam. Jamii ilielimishwa jinsi <strong>ya</strong> kujikinga na<br />

maradhi hususan, maradhi <strong>ya</strong> kuambukiza, chanjo <strong>kwa</strong> watoto na huduma za kliniki <strong>kwa</strong><br />

wanawake wajawazito. Vielelezo hivyo vilihusu maradhi mengi, hususan, maradhi <strong>ya</strong><br />

kuambukiza, chanjo <strong>kwa</strong> watoto na huduma za kliniki <strong>kwa</strong> wanawake wajawazito. Kadi za<br />

kiliniki za wajawazito na kadi za kufuatilia makuzi <strong>ya</strong> watoto pia zilichapishwa.<br />

1978 Huduma za Elimu <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> ziliboreshwa. Mwaka huo UNICEF iliipatia Wizara <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong><br />

mashine mbili, aina <strong>ya</strong> Heidelberg, za kuchapishia vielelezo mbalimbali v<strong>ya</strong> kuelimishia<br />

jamii jinsi <strong>ya</strong> kujikinga na kudhibiti maradhi katika jamii.<br />

1979 Elimu <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> <strong>kwa</strong> Umma ikishirikiana na Wizara <strong>ya</strong> Elimu, Idara <strong>ya</strong> Elimu <strong>ya</strong> Watu<br />

Wazima, iliandaa muhtasari wa masomo ambayo <strong>ya</strong>lifundishwa kwenye madarasa <strong>ya</strong><br />

kisomo cha watu wazima katika hatua <strong>ya</strong> kupambana na ujinga uliochangia kuwepo<br />

maradhi <strong>ya</strong>liyoisibu jamii wakati huo.<br />

1985 Wizara <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> na Ustawi wa Jamii, <strong>kwa</strong> kushirikiana na wadau wake, ilitoa Elimu <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong><br />

kuhusu UKIMWI kabla hakujaanzishwa programu <strong>ya</strong> ugonjwa huo.<br />

1986 Wizara <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> na Ustawi wa Jamii, <strong>kwa</strong> kushirikiana na Shirika la Af<strong>ya</strong> Duniani na wadau<br />

wengine, ilianza kuadhimisha Siku <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> Duniani na Siku <strong>ya</strong> Kutotumia Tumbaku<br />

Duniani. Maadhimisho hayo <strong>ya</strong>naendelea kutekelezwa katika Mikoa na Wila<strong>ya</strong> mbalimbali<br />

humu nchini.<br />

1993 Kitengo kilibuni na kuandaa uzinduzi wa nembo <strong>ya</strong> Uzazi wa Mpango na kuelimisha jamii<br />

kuhusu umuhimu wa huduma za uzazi wa mpango, af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> uzazi na mtoto. Aidha, kitengo<br />

kiliwezesha Mikoa na Halmashauri kusimamia na kufuatilia shughuli za utoaji Elimu <strong>ya</strong><br />

Af<strong>ya</strong> katika jamii.<br />

Kati <strong>ya</strong> 1994 -2004 Wizara iliandaa Miongozo, Sera na Mipango tofauti, baadhi za kazi ni:<br />

53


• Mpango Mkakati wa Huduma za Af<strong>ya</strong> Shuleni wa miaka mitano (1998-2002);<br />

• Mwongozo wa kisera wa kuboresha na kudumisha Af<strong>ya</strong> Shuleni (2002).<br />

• Mwongozo wa kisera wa kuelimisha, kuboresha na kudumisha Af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> jamii (2003).<br />

Mpango Mkakati wa Huduma za Elimu <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> wa miaka mitano (2003-2007);<br />

• Mwongozo wa Kisera wa utoaji Huduma za Af<strong>ya</strong> <strong>kwa</strong> kushirikisha Jamii (2004).; na<br />

• Mwongozo wa kisera wa utoaji Huduma za Elimu <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> (2004),<br />

Kati <strong>ya</strong> 2005- 2011, Wizara iliendelea na ushirikiano na wadau, kuelimisha jamii kuhusu<br />

af<strong>ya</strong> zao, <strong>kwa</strong> kutumia njia mbalimbali ikiwa ni pamoja na vipindi v<strong>ya</strong> redio v<strong>ya</strong> kila wiki<br />

vinavyorushwa kupitia TBC Taifa, na Televisheni. Kumekuwepo na ushirikiano wa Vitengo<br />

na idara za Wizara <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> na Ustawi wa Jamii na Wizara nyingine, <strong>kwa</strong> mfano Wizara <strong>ya</strong><br />

Mifugo na Uvuvi, katika kutoa elimu <strong>ya</strong> af<strong>ya</strong> <strong>kwa</strong> jamii, hasa <strong>kwa</strong> maradhi <strong>ya</strong>nayotokana na<br />

wan<strong>ya</strong>ma. Ushirikiano pia umekuwepo katika uandaaji na usambazaji wa vielelezo v<strong>ya</strong><br />

kuelimisha jamii jinsi <strong>ya</strong> kujikinga na maradhi mbalimbali <strong>ya</strong> kuambukiza na <strong>ya</strong>siyo <strong>ya</strong><br />

kuambukiza; pamoja na majanga, dharura na milipuko. Wizara na wadau pia<br />

wameshirikiana katika uundaji wa Kamati <strong>ya</strong> Kitaifa <strong>ya</strong> kuhakiki Vielelezo v<strong>ya</strong><br />

mawasiliano <strong>ya</strong> af<strong>ya</strong>.<br />

54


8.3 TIBA YA MAGONJWA NA UTENGEMAO<br />

Utangulizi<br />

<strong>Tiba</strong> asili ilikuwepo enzi za kale hata kabla <strong>ya</strong> kuingia tiba za kutoka nchi za Asia na Ula<strong>ya</strong>.<br />

Kiini cha tiba asili ni dawa asilia zinazotokana na sehemu za wan<strong>ya</strong>ma, madini na mimea.<br />

Hata hivyo takriban asilimia 90 <strong>ya</strong> dawa asilia hutokana na mimea. Huduma hizi za tiba<br />

asilia nchini hutolewa zaidi na waganga na wakunga wa tiba asili. <strong>Tiba</strong> asilia ilitambulika<br />

hata enzi za ukoloni, kuanzia mwaka 1895 wakati wa Wajerumani na 1929 wakati wa<br />

Waingereza. Inakadiriwa kuwa asilimia 70-80 <strong>ya</strong> watu hapa nchini hutumia dawa asilia <strong>kwa</strong><br />

<strong>kwa</strong> ajili <strong>ya</strong> matatizo <strong>ya</strong> kiaf<strong>ya</strong> na kijamii. Aidha sambamba na tiba asilia watu wengi pia<br />

kutumia huduma za af<strong>ya</strong> za kisasa ambazo zilianza kuingia nchini katika karne <strong>ya</strong> kumi na<br />

kutumika zaidi wakati wa kipindi cha ukoloni. Baada <strong>ya</strong> uhuru watu wameendelea kutumia<br />

tiba asilia, tiba mbadala na za kisasa.<br />

Shughuli za <strong>Tiba</strong>, zinasimamiwa na Mkurugenzi akisaidiwa na Wakurugenzi Wasaidizi 6<br />

ambao pia ni wakuu sehemu zifuatavyo:<br />

• Huduma za Af<strong>ya</strong> za Serikali na Binafsi<br />

• Huduma za Af<strong>ya</strong> za Uchunguzi na Kitaaluma;<br />

• Huduma za Af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Kinywa;<br />

• Magonjwa <strong>ya</strong>siyo <strong>ya</strong> kuambukiza na Af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Akili na Madawa <strong>ya</strong> Kulev<strong>ya</strong>;<br />

• <strong>Tiba</strong> Asili na <strong>Tiba</strong> Mbadala.<br />

Maendeleo na Mafanikio<br />

Baadhi <strong>ya</strong> maendeleo na mafanikio katika maeneo muhimu <strong>ya</strong> huduma za tiba ni kama<br />

ifuatavyo:<br />

(i) Uchunguzi wa Magonjwa <strong>ya</strong> Binadamu<br />

Huduma za Maabara nchini zilianzishwa wakati wa utawala wa kijerumani, mwaka 1987<br />

ambapo maabara <strong>ya</strong> <strong>kwa</strong>nza ilianzishwa na Dr Robert Koch katika Hospitali <strong>ya</strong> Ocean Road<br />

wakati akifan<strong>ya</strong> utafiti wa ugonjwa wa malaria, malare na Kifua Kikuu. Wakati wa Uhuru<br />

ili Maabara hii ilitwa Maabara Kuu <strong>ya</strong> Taifa chini ha Wizara <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong>. Baada <strong>ya</strong> hapo<br />

huduma za maabara zimepanuka nchi nzima kuanzia ngazi <strong>ya</strong> zahanati kijijini, Vituo v<strong>ya</strong><br />

Af<strong>ya</strong> kwenye Kata, Hospitali za Wila<strong>ya</strong>, Mikoa, Kanda na Taifa. Huduma pia<br />

zimeboreshwa kutoka upimaji wa kipimo kimoja kimoja <strong>kwa</strong> kutumia mikono hadi upimaji<br />

wa vipimo vingi <strong>kwa</strong> pamoja <strong>kwa</strong> kutumia mashine za kisasa zinazojiendesha zenyewe<br />

(automated machines).<br />

Miaka kumi kabla <strong>ya</strong> kufikia kilele cha maadhimisho <strong>ya</strong> mika 50 <strong>ya</strong> uhuru, tumeshuhudia<br />

mabadiliko <strong>ya</strong> teknologia <strong>ya</strong> vipimo v<strong>ya</strong> maabara <strong>kwa</strong> mfano upimaji wa haraka wa<br />

maambukizi <strong>ya</strong> VVU na malaria, upimaji wa maambukizi <strong>ya</strong> VVU <strong>kwa</strong> watoto wachanga<br />

chini <strong>ya</strong> miezi 18, njia rahisi <strong>ya</strong> usafirishaji wa sampuli iliyokaushwa kwenye kadi au tubu<br />

pamoja na uanzishwaji wa Maabara <strong>ya</strong> Taifa <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> za Jamii ambayo ina majukumu<br />

makuu manne: uhakiki wa ubora wa vipimo v<strong>ya</strong> maabara, udhibiti wa <strong>magonjwa</strong> <strong>ya</strong><br />

milipuko, mafunzo <strong>ya</strong> wataalam wa maabara, na utafiti. Wakati wa kilele cha miaka 50 <strong>ya</strong><br />

uhuru msisitizo mkubwa umewe<strong>kwa</strong> kwenye mafunzo <strong>ya</strong> wataalam wa shahada na shahada<br />

55


<strong>ya</strong> uzamili pamoja na urasimishaji wa huduma za maabara <strong>kwa</strong> viwango <strong>ya</strong> kimataifa, Hadi<br />

mwaka 2011, maabara 18 (Maabara za kanda 6, Mikoa 6 na Wila<strong>ya</strong> 6) zilikuwa kwenye<br />

mchakato wa kurasimishwa <strong>kwa</strong> viwango v<strong>ya</strong> ubora wa Kimataifa. Matukio muhimu <strong>ya</strong><br />

mafanikio <strong>ya</strong>liyopatikana kwenye huduma za maabara katika miaka 50 <strong>ya</strong> uhuru<br />

<strong>ya</strong>meelezwa <strong>kwa</strong> muhtasari hapa chini.<br />

1967 Kuanzishwa mafunzo <strong>ya</strong> taaluma <strong>ya</strong> maabara <strong>kwa</strong> ngazi <strong>ya</strong> cheti (Certficicate) na baadaye<br />

kubadilishwa na kuwa mafunzo <strong>ya</strong> stashahada (diploma in medical laboratory sciences)<br />

katika chuo cha Muhimbili. Kufikia 2011 kuna vyuo saba v<strong>ya</strong> cheti (Singida, Mvumi,<br />

Nkinga, Kolandoto, RUCO, Litembo, Mt Ukombozi) na vyuo vinne v<strong>ya</strong> Diploma <strong>ya</strong> Fundi<br />

sanifu maabara (Muhimbili, KCMC, BMC, RUCO).<br />

1970 Kuanzishwa <strong>kwa</strong> mafunzo <strong>ya</strong> stashahada <strong>ya</strong> taaluma <strong>ya</strong> maabara (Specialised Advanced<br />

Diploma) Muhimbili.<br />

1971 Kujengwa na kuzinduliwa jengo la maabara kuu <strong>ya</strong> Taifa la kisasa – Muhimbili – DSM.<br />

(Central Pathology Laboratory). Jengo la matengenezo <strong>ya</strong> vifaa v<strong>ya</strong> maabara, Central<br />

Pathology equipment Workshop), Muhimbili, Dar Es Salaam pia lilijengwa.<br />

1974-1980 Kujengwa na kuzinduliwa majengo <strong>ya</strong> maabara za kisasa za Mikoa <strong>kwa</strong> kushirikiana<br />

na Serikali <strong>ya</strong> Ujerumani chini <strong>ya</strong> uangalizi wa shirika la Ujerumani la GTZ<br />

1997 Kutungwa <strong>kwa</strong> Sheria <strong>ya</strong> Kusimamia Maabara Binafsi za Af<strong>ya</strong>, (The Private Health<br />

Laboratories Regulation Act). Sheria <strong>ya</strong> Usajili wa Mafundi Sanifu wa Maabara “The<br />

Health Laboratory Technologists Registration Act of 1997” pia ilitungwa.<br />

2003 – 2006 Kujengwa majengo <strong>ya</strong> huduma za damu salama <strong>ya</strong> Taifa na Kanda za<br />

Mashariki (DSM,) Ziwa ( Mwanza) Kaskazini (Moshi ) N<strong>ya</strong>nda za Juu kusini (Mbe<strong>ya</strong>)<br />

Kusini ( Mtwara) na Magharibi (Tabora).<br />

2004 Kuanzishwa <strong>kwa</strong> huduma za ukusan<strong>ya</strong>ji na utoaji wa damu salama <strong>kwa</strong> wagonjwa<br />

wanaohitaji kuongezewa damu. Shahada <strong>ya</strong> taaluma maabara (BSc in Health Laboratory<br />

Sciences) KCMC, na 2011 kufikia idadi <strong>ya</strong> vyuo vinne v<strong>ya</strong> Shahada <strong>ya</strong> taaluma <strong>ya</strong> maabara<br />

mwaka (KCMC, MUHAS, BMC, IMTU) ilianzishwa.<br />

2006 Kutoka kwenye upimaji wa kipimo kimoja kimoja cha maabara (Manual Laboratory<br />

Testing) na kuingia kwenye upimaji wa vipimo vingi <strong>kwa</strong> wakati mmoja (Automation)<br />

katika ngazi za Rufaa za Kanda, Mikoa na Wila<strong>ya</strong><br />

2007 Kuanzishwa <strong>kwa</strong> mchakato wa kurasimishwa Maabara za Af<strong>ya</strong> ngazi <strong>ya</strong> Taifa, Kanda,<br />

Mkoa, na wila<strong>ya</strong>, <strong>kwa</strong> viwango v<strong>ya</strong> kimataifa ( IS0 -15189). Ukarabati wa maabara za<br />

mikoa <strong>kwa</strong> kushirikiana na shirika la “ABBOT FUND” ulifanyika 2007-2011. Sheria <strong>ya</strong><br />

usajili wa mafundi sanifu wa maabara ilifutwa na kuanzishwa <strong>kwa</strong> Sheria <strong>ya</strong> usajili wa<br />

watalaam wa maabara (The Health Laboratory Practitioners Act Cap 48).<br />

2008 Kujengwa na kuzinduliwa <strong>kwa</strong> Maabara <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Jamii, (National Health Laboratory<br />

Quality Assurance and Training Centre (NHL-QATC)) iliyoko katika Jengo la NIMR<br />

Makao Makuu, Dar Es Salaam.<br />

Radiolojia<br />

56


1940 Huduma za radiolojia katika hospitali za Misioni na Hospitali <strong>ya</strong> Ocean Road – Dar es<br />

Salaam <strong>kwa</strong> kutumia mashine za x-ray, zilianzishwa 1940. Mwaka 1962 Watanganyika<br />

wachache (Geofrey Chitenje, Granjer Kasambala, Mohamed Mohamed)) walipele<strong>kwa</strong><br />

London kujifunza taaluma <strong>ya</strong> Radiografia (radiographer).<br />

Mafunzo <strong>ya</strong> muda mfupi ( miezi 3 na miezi 6) <strong>ya</strong> .awali <strong>ya</strong> watalaam wa radiografia<br />

(Radiographic Auxiliaries) <strong>ya</strong>lianzishwa katika Hospitali <strong>ya</strong> Princess Margaret Hospital<br />

(1964 – 1971) ambayo <strong>kwa</strong> sasa inajulikana kama Muhimbili National Hospital. Mwaka<br />

1970 huduma <strong>ya</strong> fizikia tiba na mionzi saratani (Medical physicists and radiation oncology)<br />

zilianzishwa. Hii ilipelekea kupatikana <strong>kwa</strong> Madakitari Bingwa wa Radiolojia wa <strong>kwa</strong>nza<br />

nchini 1972(Dr John Lyimo, Dr Patrick Mwanukuzi) na radiografa waliopata mafunzo <strong>ya</strong>o<br />

Ujerumani-3 na Ken<strong>ya</strong>-4)<br />

Kati <strong>ya</strong> 1972-1979, mafunzo mbali mbali <strong>kwa</strong> ajili <strong>ya</strong> wataalamu wa Radiografia/Radiolojia<br />

nchini <strong>ya</strong>lianzishwa ili kujaza nafasi zilizoachwa wazi na wazungu na waasia , kama<br />

ifuiatavyo:-<br />

• Mafunzo <strong>ya</strong> mwaka mmoja <strong>ya</strong> Radiographic Auxiliaries School ilihamishiwa KCMC<br />

1972 – 1979;<br />

• School of Radiography ilianzishwa Muhimbili mwaka 1972;<br />

• Chuo cha Radiographic Auxiliaries (mwaka 1) kilipandishwa hadhi na kuwa<br />

Radiographic Assistants (miaka 2) na kuhamishiwa Bugando Medical Centre Mwanza -<br />

1979 – 2004.<br />

Chama cha Maradiografa <strong>Tanzania</strong> (<strong>Tanzania</strong> Association of Radiographers - TARA)<br />

kilianzishwa 1976. Mwaka 1983 Sheria <strong>ya</strong> Tume <strong>ya</strong> Taifa <strong>ya</strong> Mionzi (The National<br />

Radiation Commission Act) sasa hivi inaitwa (<strong>Tanzania</strong> Atomic Energy Commission -<br />

TAEC), chini <strong>ya</strong> Mawasiliano, Sa<strong>ya</strong>nsi na Teknolojia ilitungwa. Hii ilifuatiwa na<br />

kuanzishwa <strong>kwa</strong> Chama cha Madaktari Bingwa wa Radiolojia (TARASO) na mafunzo <strong>ya</strong><br />

miaka miwili <strong>ya</strong> AMO Radiological Officers KCMC, 1990.<br />

Huduma <strong>ya</strong> CT- Scanner Muhimbili, KCMC na Bugando zilianzishwa kati <strong>ya</strong> 1994-2008.<br />

Aidha, Huduma <strong>ya</strong> MRI Muhimbili Dar es Salaam, ilianzishwa tarehe 12/11/2008. Hospitali<br />

zote za umma (Muhimbili, BMC, KCMC, MRH, Kibong’oto, ORCI, Mirembe, za mikoa na<br />

wila<strong>ya</strong>) zilipatiwa mashine mp<strong>ya</strong> za x-ray, ultrasound kupitia mradi wa ORET wa<br />

kuboresha huduma za radiolojia nchini kati <strong>ya</strong> 1998-2005, uliofadhiliwa <strong>kwa</strong> pamoja na<br />

serikali za <strong>Tanzania</strong> (40%) na Uholanzi (60%).<br />

Mafunzo <strong>ya</strong> Uzamili wa Radiolojia <strong>kwa</strong> Madakitari, <strong>ya</strong> miaka 3 <strong>ya</strong>lianzishwa 2000 katika<br />

Chuo Kikuu cha Tumaini, KCMC, Moshi na 2003 Chuo cha Radiographic Assistants<br />

kilipandishwa hadhi na kutoa radiografa wenye Diploma (miaka 3), Bugando, Mwanza<br />

chini <strong>ya</strong> usimamizi wa St. Augustine University, Nyegezi Mwanza. Mwaka 2003 pia<br />

uliandi<strong>kwa</strong> na kuanza kutumika <strong>kwa</strong> Miongozo <strong>ya</strong> <strong>kwa</strong>nza <strong>ya</strong> Matengenezo <strong>ya</strong> vifaa tiba.<br />

Miongozo <strong>ya</strong> <strong>kwa</strong>nza <strong>ya</strong> Radiología iliandi<strong>kwa</strong> na kuanza kutumika 2004. Sheria <strong>ya</strong> Usajili<br />

wa Wataalamu wa Radiolojia na mionzi, Na. 21 <strong>ya</strong> 2007 ilitungwa na hii ilipelekea<br />

kuanzishwa <strong>kwa</strong> mafunzo <strong>ya</strong> miaka 3 <strong>ya</strong> Sa<strong>ya</strong>nsi <strong>ya</strong> Radiotherapia MUHAS. Mafunzo <strong>ya</strong><br />

miaka 3 <strong>ya</strong> Uzamili wa Radiolojia <strong>kwa</strong> Madaktari katika Chuo Kikuu cha MUHAS<br />

<strong>ya</strong>liaanza 2009.<br />

57


(ii) Af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Kinywa<br />

Wakati wa Ukoloni kabla <strong>ya</strong> mwaka 1960 huduma za af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> kinywa zilitolewa katika<br />

hospitali <strong>ya</strong> Ocean Road <strong>kwa</strong> ajili <strong>ya</strong> wakoloni tu, na baadae zilianzishwa katika mikoa<br />

michache kama Mwanza, Moshi, Arusha na Tanga. Chuo cha <strong>kwa</strong>nza cha Matabibu Meno<br />

kilianzishwa Muhimbili, mwaka 1956. Maendeleo na mafanikio <strong>ya</strong>mekuwepo katika kipindi<br />

cha miaka 50 <strong>ya</strong> uhuru kama ifuatavyo:<br />

1964 Kilianzishwa Chuo cha Mafundi Sanifu Maabara Meno;<br />

1975 Chuo cha kujiendeleza cha Madaktari Wasaidizi wa Meno kilianzishwa (Assistant Dental<br />

Officers);<br />

1979 Mpango wa Kwanza wa Af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Kinywa nchini ulitengenezwa;<br />

1979 Chuo cha Madaktari wa Meno (Doctors of Dental Surgery) kilianzishwa;<br />

1980 Mikoa yote <strong>Tanzania</strong> Bara na baadhi <strong>ya</strong> wila<strong>ya</strong> zilikuwa zinatoa huduma hii;<br />

1982 Vyuo v<strong>ya</strong> Matatibu Meno vilianzishwa Mjini Tanga na Mbe<strong>ya</strong> na Chuo cha Tabibu Meno<br />

cha Muhimbili kilifungwa;<br />

1983 Chuo cha Mafundi Sanifu Maabara Meno katika Hospitali <strong>ya</strong> Muhimbili kilifungwa <strong>kwa</strong><br />

sababu <strong>ya</strong> ukosefu wa vitendea kazi[<br />

1998 Chuo cha Mafundi Sanifu Maabara Meno kikaanza tena katika Hospitali <strong>ya</strong> Muhimbili;<br />

2002 Uliandaliwa Mwongozo wa Kitaifa wa Huduma za Af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Kinywa;<br />

2010 Uliandaliwa Mpango Mkakati wa Af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Kinywa ambao utatumika <strong>kwa</strong> miaka mitano.<br />

Kwa sasa huduma za Af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Kinywa zimeboreshwa na zinatolewa katika hospitali za<br />

Rufaa za Kanda, Rufaa za mikoa, wila<strong>ya</strong> zote nchini na Vituo v<strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> vichache.<br />

(iii)Magonjwa <strong>ya</strong>siyo <strong>ya</strong> kuambukiza na Af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Akili<br />

Magonjwa <strong>ya</strong>siyo <strong>ya</strong> kuambukiza na <strong>ya</strong> akili <strong>ya</strong>mekuwa <strong>ya</strong>kiongezeka sana duniani na hata<br />

hapa nchini. Sambamba na <strong>magonjwa</strong> <strong>ya</strong> kuambukuza, <strong>magonjwa</strong> <strong>ya</strong>siyo <strong>ya</strong> kuambukiza<br />

<strong>ya</strong>mekuwa tishio katika maisha <strong>ya</strong> binadamu. Maradhi na vifo <strong>ya</strong>naongezeka, hivyo<br />

kupunguza muda wa kuishi na ubora wa maisha pamoja na kuathiri maendeleo <strong>ya</strong> nchi.<br />

Tafiti za miaka <strong>ya</strong> 2000 katika <strong>Tanzania</strong> zinaonyesha kuwa, kati <strong>ya</strong> vifo 517,000<br />

vinavyotokea <strong>Tanzania</strong>, 148,460 (29%) vinasababishwa na Magonjwa <strong>ya</strong>siyoambukiza<br />

pamoja na ajali. Aidha maeneo <strong>ya</strong> Vijijini Morogoro na Hai vifo vingi vinatokea na tena<br />

katika umri mdogo na mkubwa kama unavyothibitishwa katika jedwali hapa chini;<br />

58


Jedwali 9: Vifo vinavyotokana na <strong>magonjwa</strong> <strong>ya</strong>siyo <strong>ya</strong> kuambuka na ajali <strong>kwa</strong> umri<br />

Umri Morogoro Hai DSM<br />

0-5 5% 12% 10%<br />

6-15 29% 34% 34%<br />

16-36 23% 33% 22%<br />

36-60 29% 46% 33%<br />

61+ 27% 59% 58%<br />

Chanzo: Pooled data from 1994-2002; AMMP/MOHSW, reanalysed by IHRDC<br />

Tafiti za miaka <strong>ya</strong> 2000 katika <strong>Tanzania</strong> zinaonyesha kuwa, kati <strong>ya</strong> vifo 517,000<br />

vinavyotokea <strong>Tanzania</strong>, 148,460 (29%) vinasababishwa na Magonjwa <strong>ya</strong>siyoambukiza<br />

pamoja na ajali. Aidha maeneo <strong>ya</strong> Vijijini Morogoro na Hai vifo vingi vinatokea na tena<br />

katika umri mdogo na mkubwa kama unavyothibitishwa katika jedwali hapa chini;<br />

1980-2002: Katika miaka <strong>ya</strong> 1990, viashiria v<strong>ya</strong> <strong>magonjwa</strong> mengi kiadunia ilionekana<br />

kubadilika na hivyo kulazimu nchi nyingi ikiwemo <strong>Tanzania</strong> kuandaa mpango wa ufuatiliaji<br />

wa <strong>magonjwa</strong>. Wizara <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> na Ustawi wa Jamii iliandaa mkakati wa ufuatiliaji wa<br />

<strong>magonjwa</strong> ha<strong>ya</strong> uliojulikana kama AMMP na ulifanyika katika awamu mbili. Ufuatiliaji<br />

huu ulikuwa katika hospitali na vile vile kupitia nyumba hadi nyumba.<br />

Mpango huu ulikuwa wa mafanikio na uliibua taarifa nyingi ambazo Wizara iliweza<br />

kutumia kupanga mikakati mbalimbali <strong>ya</strong> <strong>magonjwa</strong> ikiwemo <strong>magonjwa</strong> <strong>ya</strong>siyoambukiza.<br />

Utafiti huu ulionyesha kuwa <strong>magonjwa</strong> <strong>ya</strong>siyo <strong>ya</strong> kuambukiza <strong>ya</strong>nachangia katika vifo<br />

vinavyotokea hata maeneo <strong>ya</strong> vijijini na mijini katika <strong>Tanzania</strong>. Hii iliondoa hisia na<br />

mawazo kuwa <strong>magonjwa</strong> ha<strong>ya</strong> huwapata vatu tajiri katika nchi zinaoendelea kama vile<br />

Ula<strong>ya</strong> na sio nchi zinazoendelea zenye vatu walio maskini zaidi. Jedwali lifuatalo<br />

linaonyesha uthibitisho wa kitafiti ambapo <strong>magonjwa</strong> <strong>ya</strong>siyoambukiza <strong>ya</strong>nachukua kiasi<br />

kikubwa cha rasilimali katika utunzaji.<br />

2002-2011:<br />

2004: <strong>Tanzania</strong> iliridhia mkakati wa Tumbaku (Ractifaction of the WHO FCTC) ambayo<br />

unalenga kukabiliana na madhara <strong>ya</strong> tumbaku <strong>ya</strong>nayoleta <strong>magonjwa</strong> <strong>ya</strong>siyoambukiza<br />

2005: Mwongoza wa Magonjwa <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Akili ulianadaliwa <strong>ya</strong>ani “Mental Health Policy<br />

Guidelines and implementation plan (2005 – 2015)”<br />

2007: Kutokana na utafiti uliofanyika wa AMMP, Wizara imeweza kutumia matokeo hayo<br />

kupanga mikakati <strong>ya</strong> kukabiliana na <strong>magonjwa</strong> ha<strong>ya</strong>. Katika miaka <strong>ya</strong> 2007, Wizara<br />

imeweza kufan<strong>ya</strong> utafiti wa kuangalia viashiria/vidokezo v<strong>ya</strong> <strong>magonjwa</strong> <strong>ya</strong>siyoambukiza.<br />

Utafiti huu umebainisha vidokezo hivyo kuwepo <strong>kwa</strong> kiwango cha juu <strong>kwa</strong> wananchi<br />

<strong>Tanzania</strong>.<br />

Huduma za Af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Akili<br />

Wakati tulipojitawala, huduma za wagonjwa wa akili tulizorithi <strong>kwa</strong> utawala wa<br />

Waingereza zilikuwa duni. Wagonjwa kutoka sehemu mikoa yote <strong>ya</strong> Tanganyika walikuwa<br />

wakipele<strong>kwa</strong> Hospitali <strong>ya</strong> Mirembe na Isanga ambayo wakati wa ukoloni ilijulikana kama<br />

“Broadmoor Hospital” ikiwa ni sehemu <strong>ya</strong> Hospitali <strong>ya</strong> Broadmoor <strong>ya</strong> Uingereza.<br />

Wagonjwa walisongamana sana katika hospitali hiyo na wengi walitibiwa mbali na ndugu<br />

59


zao bila mawasiliano na nyumbani <strong>kwa</strong>o. Taasisi <strong>ya</strong> Isanga ni Idara <strong>ya</strong> “Forensic<br />

Psychiatry” <strong>ya</strong> Hospitali <strong>ya</strong> Mirembe. Kituo kina uwezo wa kuhudumia wagonjwa 250<br />

wahalifu. Wagonjwa huletwa kisheria <strong>kwa</strong> amri <strong>ya</strong> Mahakama, Magereza au Jeshi la Polisi<br />

<strong>kwa</strong> ajili <strong>ya</strong> matibabu au uchunguzi wa af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> akili wakati walipofan<strong>ya</strong> uhalifu.<br />

Katika miaka <strong>ya</strong> 60, Serikali iliamua kuanzisha huduma za af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> akili katika mikoa yote<br />

ili wagonjwa watibiwe karibu na jamii <strong>ya</strong>o. Wizara <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> <strong>kwa</strong> kushirikiana na Shirika la<br />

Af<strong>ya</strong> Ulimwenguni ilanzisha mpango wa Huduma <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Akili Ngazi <strong>ya</strong> Msingi miaka<br />

<strong>ya</strong> 1980. Mradi huo ulifanywa <strong>kwa</strong> majaribio mikoa <strong>ya</strong> Kilimanjaro na Morogoro na ukawa<br />

wa mafanikio makubwa. Kati <strong>ya</strong> 1980-1990, Mikoa ileendelea kuhimizwa kuanzisha wodi<br />

za wagonjwa wa akili pamoja na vijiji v<strong>ya</strong> utengemao <strong>kwa</strong> kufungua vitengo v<strong>ya</strong> Huduma<br />

<strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Akili katika Hospitali za Mikoa. Vitengo v<strong>ya</strong> wagonjwa wa akili vilianzishwa<br />

katika mikoa <strong>ya</strong> Dar es Salaam, Morogoro, Iringa, Mbe<strong>ya</strong>, Ruvuma, Mtwara, Lindi, Tabora,<br />

Mwanza, Kigoma, Kagera na Kilimanjaro. Mabadiliko ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>lipunguza mzigo wa<br />

kulundikana <strong>kwa</strong> wagonjwa wa akili katika Hospitali <strong>ya</strong> Mirembe. Kwa sasa, Mirembe ina<br />

vitanda vinavyotumika 500, inahudumia wagonjwa wa akili raia ambao wengi wao<br />

hupokelewa kama wagonjwa wa rufaa toka Hospitali za Wila<strong>ya</strong> na Hospitali za mikoa<br />

<strong>Tanzania</strong> nzima. Mikoa yote <strong>Tanzania</strong> bara sasa ina uwezo wa kuhudumia wagonjwa wa<br />

akili katika Wila<strong>ya</strong> zao, hadi ngazi <strong>ya</strong> zahanati. Mafunzo <strong>ya</strong> kueneza stadi za kuwahudumia<br />

wagonjwa ngazi <strong>ya</strong> msingi zinapatikana katika vituo v<strong>ya</strong> af<strong>ya</strong> na zahanati.<br />

Kozi <strong>ya</strong> “certificate in psychiatric nursing” katika hospitali <strong>ya</strong> Mirembe ilianzishwa 1973.<br />

Wakati mafunzo <strong>ya</strong> diploma <strong>ya</strong>lianzishwa kwenye miaka <strong>ya</strong> 1980 <strong>kwa</strong> wauguzi na baadaye<br />

AMO Psychiatry. Mpaka miaka <strong>ya</strong> 2000, Chuo cha Mirembe kilikuwa kimetoa wahitimu<br />

zaidi <strong>ya</strong> 700 ambao walisambazwa nchi nzima. Pia <strong>ya</strong>lianzishwa masomo <strong>ya</strong> udaktari<br />

bingwa wa <strong>magonjwa</strong> <strong>ya</strong> akili katika Chuo cha Sa<strong>ya</strong>nsi <strong>ya</strong> <strong>Tiba</strong> Muhimbili.<br />

2010 Ilikuwa hadi 2010, ndipo wanafunzi 6 walianza mafunzo <strong>ya</strong> shahada <strong>ya</strong> <strong>kwa</strong>nza <strong>ya</strong><br />

saikolojia Muhimbili. Aidha huduma za waathirika wa dawa za kulev<strong>ya</strong> nazo zimeanzishwa<br />

katika hospitali <strong>ya</strong> Taifa Muhimbili na Mirembe Dodoma. Huduma hizi zinatarajiwa<br />

kuenezwa mikoa yote <strong>ya</strong> <strong>Tanzania</strong>. Kufikia 2010, kulikuwepo Madaktari Bingwa 19 wa<br />

Magonjwa <strong>ya</strong> Akili nchini. Kati <strong>ya</strong> hao, 4 ni wastaafu.<br />

(iv) Hospitali za Rufaa, Mikoa, na Wila<strong>ya</strong>, na Uchunguzi/matibabu nje <strong>ya</strong> nchi<br />

Baada <strong>ya</strong> mwaka 1961 Serikali ilianzisha utaratibu wa kuwa na Hospitali kila Mkoa, na<br />

Wila<strong>ya</strong>. Vilevile ilianzisha utaratibu wa kuwa na Hospitali za kutoa huduma za Rufaa<br />

kitaifa.<br />

Mpango wa 1 na 2 wa maendeleo <strong>ya</strong> miaka mitano ilizingatia upanuaji wa huduma za af<strong>ya</strong>.<br />

Hadi mwaka 1972, hali <strong>ya</strong> vituo v<strong>ya</strong> kutolea huduma za af<strong>ya</strong> viliongezeka ikiwa ni pamoja<br />

na watumishi na vitanda v<strong>ya</strong> kulaza wagonjwa. Kulikuwa na jumla <strong>ya</strong> vituo 1,633: Zahanati<br />

1,410, Vituo v<strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> 90, Hospitali za Serikali 73 na Hospitali za Mashirika <strong>ya</strong> Kujitolea<br />

60. Jumla <strong>ya</strong> vitanda ilikuwa 16,439, <strong>kwa</strong> uwiano wa kitanda 1 <strong>kwa</strong> kila watu 800 (kabla <strong>ya</strong><br />

uhuru mwaka 1961/62, ilikuwa ni kitanda 0.6 <strong>kwa</strong> kila watu 1,000). Hata hivyo, vitanda<br />

vingi vilikuwa bado mijini kuliko vijijini.<br />

Serikali iliamua kuboresha huduma za tiba za rufaa na kuongeza idadi kikanda mwaka<br />

1984. Hospitali <strong>ya</strong> Mbe<strong>ya</strong> iliyoanzishwa 1983, iliongezwa kuwa hospitali <strong>ya</strong> rufaa.<br />

60


Hospitali hizo nne zikawa: Muhimbili (vitanda 1,7000); KCMC (vitanda 450); Bugando<br />

(822); na Mbe<strong>ya</strong> (419).<br />

Sasa hivi kuna hospitali 1 <strong>ya</strong> rufaa <strong>ya</strong> taifa (Hospitali <strong>ya</strong> Muhimbili); kuna hospitali<br />

maalumu 4: Taasisi <strong>ya</strong> Mifupa MOI, Taasisi <strong>ya</strong> Saratani <strong>ya</strong> Ocean Road, Hospitali <strong>ya</strong><br />

Mirembe na Hospitali <strong>ya</strong> Kibong’oto. Kuna Hospitali za Rufaa za Kanda 3: Hospitali <strong>ya</strong><br />

Rufaa <strong>ya</strong> Mbe<strong>ya</strong>, Hospitali <strong>ya</strong> Bugando, na KCMC na Hospitali <strong>ya</strong> Rufaa <strong>ya</strong> Jeshi Lugalo<br />

na CCBRT. Sambamba na hizi kuna hospitali 29 za Rufaa ngazi <strong>ya</strong> Mkoa (23 hospitali za<br />

Umma na 6 Binafsi), hospitali 89 za Wila<strong>ya</strong> (56 Umma na 33 Binafsi), Hospitali 96 za<br />

kawaida (5 za umma na 91 za binafsi), Vituo v<strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> 689 ( 476 v<strong>ya</strong> umma na 213 v<strong>ya</strong><br />

Binafsi) na Zahanati 6,081 (4,090 za umma na 1,991 za binafsi).<br />

Serikali ilipandisha daraja Hospitali zote 21 za Mikoa na tatu za Manispaa za Dar es Salaam<br />

kuwa Hospitali za Rufaa za Mikoa 2010. Aidha ilipandisha daraja Hospitali kumi (10) za<br />

Mashirika <strong>ya</strong> Dini katika Mikoa kumi na kuzifan<strong>ya</strong> Hospitali za Rufaa ngazi <strong>ya</strong> Mkoa.<br />

Vilevile ilipandisha daraja Hospitali moja <strong>ya</strong> Jeshi (Lugalo) na moja <strong>ya</strong> Shirika la kujitolea<br />

(CCBRT) na kuzifan<strong>ya</strong> Hospitali za Kanda. Serikali ilifan<strong>ya</strong> hivyo ili kusogeza huduma za<br />

Rufaa karibu na wanapoishi wananchi.<br />

Jedwali 10: Ongezeko la idadi <strong>ya</strong> vituo vinavyotoa huduma za af<strong>ya</strong> 1961 – 2009/10<br />

Mwaka Hospitali Vituo v<strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> Zahanati Jumla<br />

1961 98 22 1,236 1,356<br />

1997* 224 344 4,276 4,844<br />

2009/10 240 687 5,394 6,321<br />

Chanzo: <strong>Tanzania</strong> Demographic and Health Survey (TDHS), <strong>Tanzania</strong> HIV and Malaria Indicator Survey<br />

(THMIS), <strong>Tanzania</strong> Service Provision Assessment (TSPA), <strong>Tanzania</strong> House Hold Survey (THHS), Millennium<br />

Development Goal (MDG), Demographic Surveillance System (DSS), Service Availability Mapping (SAM)<br />

*Health Services Statistics, MOH 1997.<br />

(v) Huduma za Af<strong>ya</strong> zinazotolewa na Sekta Binafsi<br />

Sekta binafsi imekuwa ikishiriki katika utoaji wa huduma za af<strong>ya</strong> kabla na baada <strong>ya</strong> uhuru.<br />

Baada <strong>ya</strong> uhuru Serikali imeendelea kutoa nafasi kubwa <strong>kwa</strong> sekta binafsi, hasa mashirika<br />

<strong>ya</strong> kujitolea katika utoaji wa huduma za af<strong>ya</strong>. Sekta binafsi nayo imeendelea kushiriki<br />

kikamilifu katika utoaji wa huduma za af<strong>ya</strong>. Sekta binafsi ina sehemu kuu mbili. Sehemu<br />

<strong>ya</strong> <strong>kwa</strong>nza ni ile inayotoa huduma bila faida. Sehemu hii vituo v<strong>ya</strong>ke vingi vipo vijijini<br />

ambako watu wengi wanaishi. Sehemu <strong>ya</strong> pili ina vituo vingi mijini na inatoa huduma <strong>kwa</strong><br />

faida.<br />

Kabla <strong>ya</strong> kupata uhuru kulikuwa na vituo vichache v<strong>ya</strong> huduma za af<strong>ya</strong> kama<br />

inavyooneshwa katika jedwali la 11 hapa chini:<br />

Baada <strong>ya</strong> Azimio la Arusha mwaka 1967, Serikali ilipiga marufuku Huduma binafsi za<br />

Af<strong>ya</strong>. Hata hivyo, Vituo v<strong>ya</strong> Mashirika <strong>ya</strong> kujitolea viliruhusiwa kuendelea kutoa huduma<br />

hizo. Kuanzia mwanzoni mwa miaka <strong>ya</strong> 70, Serikali ilianza kutumia Hospitali za Mashirika<br />

<strong>ya</strong> Dini kama Hospitali Teule za Wila<strong>ya</strong>. Hospitali hizi ni zile ambazo zilikuwa katika<br />

sehemu ambazo hakukuwa na Hospitali <strong>ya</strong> Serikali. Mwaka 1977, Serikali ilipiga marufuku<br />

Huduma binafsi za af<strong>ya</strong> kupitia Sheria <strong>ya</strong> Usajili wa Hospitali Binafsi. Hata hivyo, mwaka<br />

61


1991 Sheria hiyo ilirekebishwa na kuruhusu Madaktari na Madaktari waliosajiliwa<br />

kuanzisha na kutoa huduma binafsi za Af<strong>ya</strong>.<br />

Kufikia mwaka 2000, kulikuwa na Hospitali Teule 20. Ilipofika mwaka 2011 idadi<br />

imeongezeka na kufikia Hospitali Teule 34. Tangu 1991 - 2011 Sekta binafsi ikiwa ni<br />

pamoja na Mashirika <strong>ya</strong> Dini imekuwa ikishiriki katika kutekeleza Sera <strong>ya</strong> Taifa <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> na<br />

maboresho mbalimbali hususan katika utoaji wa huduma za af<strong>ya</strong> nchini. Idadi <strong>ya</strong> Vituo v<strong>ya</strong><br />

kutolea huduma za af<strong>ya</strong> v<strong>ya</strong> binafsi iliendelea kuongezeka kama inavyooneshwa katika<br />

jedwali 11 hapa chini;<br />

Jedwali 11: Vituo v<strong>ya</strong> kutolea huduma za af<strong>ya</strong> katika mashirika <strong>ya</strong> kujitolea 1961 na 2005<br />

Ngazi <strong>ya</strong> Kituo Mwaka<br />

1961 2005<br />

Hospitali 48 87<br />

Zahanati 239 763<br />

Jumla 287 850<br />

Chanzo:Annual Health Statistical Abstract April, 2006; The Health Services of Tanganyika<br />

Katika kipindi cha miaka 50 <strong>ya</strong> uhuru kumekuwa na ongezeko kubwa la idadi <strong>ya</strong> vituo v<strong>ya</strong><br />

vinavyotoa huduama za af<strong>ya</strong>. Hii inatokana na juhudi za makusudi ambazo Serikali <strong>kwa</strong><br />

kushirikaina na wadau mbalimbali imekuwa ikichukua. Jedwali la 12 linaonesha ongezeko<br />

hilo <strong>kwa</strong> ngazi mbalimbali na <strong>kwa</strong> kulinganisha vituo vilivyokuwepo mara baada <strong>ya</strong> uhuru<br />

na baada <strong>ya</strong> miaka 50 <strong>ya</strong> uhuru.<br />

Jedwali 12: Idadi <strong>ya</strong> vituo vinavyotoa huduma za af<strong>ya</strong> <strong>kwa</strong> mwaka 2011<br />

Ngazi <strong>ya</strong> Kituo<br />

Mwaka 2011<br />

Serikali Binafsi Jumla<br />

Ngazi <strong>ya</strong> Taifa 5 0 5<br />

Hospitali za Kanda 2 2 4<br />

Hospitali za Rufaa ngazi <strong>ya</strong> Mkoa 23 10 34<br />

Hospitali Teule za Mkoa 1 1 2<br />

Hospitali za Wila<strong>ya</strong> 56 56<br />

Hospitali Teule za Halmashauri 0 38 38<br />

Vituo v<strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> 484 213 697<br />

Zahanati 4,160 2,340 6,500<br />

Jumla 4,731 2,604 7,336<br />

Chanzo: Wizara <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> na Ustawi wa Jamii, 2011<br />

62


Ongezeko la idadi <strong>ya</strong> vituo imeenda sambamba na ongezeko la idadi <strong>ya</strong> watu wanaotumia<br />

huduma. Hata hivyo idadi <strong>ya</strong> watuaji wa huduma pia inategemea ongezeko la idadi <strong>ya</strong> watu.<br />

Katika mwaka wa 2010 utumiaji wa huduma za af<strong>ya</strong> ulikuwa kama ifuatavyo:<br />

• Wagonjwa wa nje (OPD) hudhurio la <strong>kwa</strong>nza jumla ni 34,902,267<br />

• Wagonjwa waliolazwa, jumla ni 795,703<br />

• Idadi <strong>ya</strong> vitanda, jumla ni 45,241 (Angalia Jedwali la 13 hapo chini)<br />

Jedwali 13: Idadi <strong>ya</strong> Vitanda katika Vituo v<strong>ya</strong> kutolea huduma hapa <strong>Tanzania</strong> bara, 2010<br />

Aina <strong>ya</strong> Kituo Anayemiliki<br />

Serikali Mashirika <strong>ya</strong> Mashirika Sekta Jumla<br />

Umma <strong>ya</strong> dini. binafsi<br />

Hospitali 15,828 1,647 14,638 1,167 33,280<br />

Vituo v<strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> 7,695 121 3151 994 11,961<br />

Jumla 23,523 1,768 17,789 2,161 45,241<br />

Chanzo: Wizara <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> na Ustawi wa Jamii, 2010<br />

Katika kusogeza huduma za rufaa ngazi <strong>ya</strong> Mkoa karibu na wananchi, Serikali imepandisha<br />

daraja Hospitali kumi (10) za Mashirika <strong>ya</strong> kujitolea. Hii ina maana kuwa katika Mikoa<br />

kumi ambapo Hospitali hizi zimo, wananchi watakuwa na Hospitali mbili zinazotoa<br />

huduma za rufaa ngazi <strong>ya</strong> Mkoa. Hospitali hizo ni; Hospitali <strong>ya</strong> St. Francis- Mkoa wa<br />

Morogoro, Hospitali <strong>ya</strong> Peramiho- Mkoa wa Ruvuma, Hospitali <strong>ya</strong> Ndanda – Mkoa wa<br />

Mtwara, Hospitali <strong>ya</strong> N<strong>ya</strong>ngao – Mkoa wa Lindi, Hospitali <strong>ya</strong> Kabanga – Mkoa wa<br />

Kigoma, Hospitali <strong>ya</strong> Arusha Lutheran Medical Centre – Mkoa wa Arusha, Hospitali <strong>ya</strong><br />

Nkinga Mkoa wa Tabora, Hospitali <strong>ya</strong> Ilembula - Mkoa wa Njombe na Hospitali <strong>ya</strong><br />

Haydom – Mkoa wa Man<strong>ya</strong>ra.<br />

Aidha, Serikali imeipandisha hadhi hospitali moja <strong>ya</strong> Shirika la kujitolea (CCBRT) ili iwe<br />

Hospitali <strong>ya</strong> Kanda <strong>ya</strong> Mashariki. Hali hii itawezesha Kanda <strong>ya</strong> Mashariki kuwa na<br />

Hospitali badala <strong>ya</strong> kutegemea Hospitali <strong>ya</strong> Taifa. Kwa sasa, Serikali inaendelea kuimarisha<br />

ushirikiano kati <strong>ya</strong>ke na Sekta binafsi katika utoaji wa huduma za af<strong>ya</strong>. Serikali inatumia<br />

Hospitali mbili za Mashirika <strong>ya</strong> dini katika kutoa huduma za Rufaa ngazi <strong>ya</strong> Kanda.<br />

Hospitali hizo ni KCMC <strong>ya</strong> Moshi na Hospitali <strong>ya</strong> Bugando <strong>ya</strong> Mwanza. Aidha, Wizara<br />

<strong>kwa</strong> kushirikiana na wadau, imeandaa n<strong>ya</strong>raka za makubaliano na wamiliki wa vituo binafsi<br />

ngazi zote kuanzia Zahanati hadi Hospitali ili vituo hivyo vinatoa huduma za af<strong>ya</strong> <strong>kwa</strong><br />

niaba <strong>ya</strong> Halmashauri husika. Makubaliano hayo <strong>ya</strong>tazipunguzia Halmashauri husika<br />

ulazima wa kujenga vituo vip<strong>ya</strong> sehemu ambazo kuna vituo v<strong>ya</strong> sekta binafsi ambavyo vipo<br />

ta<strong>ya</strong>ri kutoa huduma <strong>kwa</strong> niaba <strong>ya</strong> Halmashauri. Hii itachangia katika kuongeza kasi <strong>ya</strong><br />

kutekeleza Mpango wa MMAM.<br />

Kwa sasa kuna ngazi 4 za Hospitali<br />

Ngazi <strong>ya</strong> 1 i) Hospitali <strong>ya</strong> Halmashauri. Hospitali hii inatoa huduma za Kawaida na<br />

inatoa huduma <strong>kwa</strong> watu waliotoka katika vituo v<strong>ya</strong> chini, Vituo v<strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> na<br />

Hospitali nyingine.<br />

ii) Hospitali ngazi <strong>ya</strong> Halmashauri. Hii ni Hospitali yoyote inayotoa huduma kama<br />

zinazotolewa na Hospitali <strong>ya</strong> Hamashauri.<br />

63


Ngazi <strong>ya</strong> 2 i) Hospitali <strong>ya</strong> Rufaa <strong>ya</strong> Mkoa. Hospitali hii itatoa huduma za Ubingwa na<br />

itatoa huduma <strong>kwa</strong> wagonjwa waliopewa Rufaa toka Hospitali <strong>ya</strong> Halmashauri na<br />

Hospitali ngazi <strong>ya</strong> Halmashauri.<br />

ii) Hospitali <strong>ya</strong> Rufaa ngazi <strong>ya</strong> Mkoa. Hii ni Hospitali inayotoa huduma sawa na<br />

zinazotolewa na Hospitali <strong>ya</strong> Rufaa <strong>ya</strong> Mkoa. Itahudumia wagonjwa kama ilivyo<br />

<strong>kwa</strong> Hospitali <strong>ya</strong> Rufaa <strong>ya</strong> Mkoa.<br />

Ngazi <strong>ya</strong> 3 Hospitali <strong>ya</strong> Rufaa <strong>ya</strong> Kanda. Huduma katika Hospitali <strong>ya</strong> ngazi hii<br />

zitakuwa za Ubingwa (75%) na Ubingwa wa juu (25%). Itatoa huduma <strong>kwa</strong><br />

wagonjwa waliopewa Rufaa toka Hospitali za Rufaa za Mikoa na Hospitali za Rufaa<br />

ngazi <strong>ya</strong> Mkoa.<br />

Ngazi <strong>ya</strong> 4 Hospitali <strong>ya</strong> Taifa. Katika ngazi hii <strong>kwa</strong> sasa kuna Hospitali tano. Hospitali<br />

<strong>ya</strong> <strong>kwa</strong>nza ni Hospitali <strong>ya</strong> Taifa Muhimbili. Hospitali hii inatoa huduma za<br />

Ubingwa wa juu katika maeneo yote.<br />

Hospitali nyingine, ni;<br />

a) Taasisi <strong>ya</strong> Mifupa MOI: Hospitali hii inatoa huduma za Ubingwa wa juu katika<br />

eneo linalohusu Mifupa, Ubongo na Mishipa <strong>ya</strong> Fahamu.<br />

b) Taasisi <strong>ya</strong> Saratani <strong>ya</strong> Ocean Road: Hospitali hii inatoa huduma <strong>ya</strong> Ubingwa<br />

wa Juu katika eneo linalohusu Saratani<br />

c) Hospitali <strong>ya</strong> Mirembe na Taasisi <strong>ya</strong> Isanga: Hospitali hii hutoa huduma za<br />

Ubingwa wa juu katika eneo linalohusu Magonjwa <strong>ya</strong> Akili na Dawa za<br />

kulev<strong>ya</strong>.<br />

d) Hospitali <strong>ya</strong> Kibong’oto: Hospitali hii hutoa huduma za Ubingwa wa juu<br />

katika eneo linalohusu Kifua Kikuu na Ukoma.<br />

Hospitali ngazi za Kitaifa na Kanda:<br />

Hospitali <strong>ya</strong> Taifa, Muhimbili<br />

Ilianzishwa mwaka 2000 (Oktoba) <strong>kwa</strong> sheria <strong>ya</strong> Bunge, baada <strong>ya</strong> kufutwa <strong>kwa</strong> Sheria <strong>ya</strong><br />

Shirika la Af<strong>ya</strong> la Muhimbili (MMC) <strong>ya</strong> 1976. Hospitali hii inaendelea kuboreshwa ili<br />

kutoa huduma muhimu <strong>kwa</strong> ngazi hiyo <strong>ya</strong> kitaifa na <strong>kwa</strong> wagonjwa ambao ingebidi<br />

wapatiwe rufaa ili kutibiwa nje <strong>ya</strong> nchi.<br />

Ujenzi na Ukarabati wa Miundombinu ulifanyika kama ifuatavyo:<br />

• Ukarabati wa majengo na kufungwa <strong>kwa</strong> vifaa vip<strong>ya</strong> chini <strong>ya</strong> mradi wa Benki <strong>ya</strong><br />

Maendeleo Afrika umekamilika. Majengo hayo ni Mwaisela, Kibasila,<br />

Jengo la Uzazi na Jengo la Upasuaji na Mionzi.<br />

Sewa Haji,<br />

• Hospitali imepata Jengo jip<strong>ya</strong> ambalo linatumika kutoa huduma za nje na Jengo la<br />

Maabara limekarabatiwa na kufungwa vifaa v<strong>ya</strong> maabara <strong>kwa</strong> msaada wa Mfuko wa<br />

Abbott. Maabara hiyo imekuwa bora zaidi katika Afrika Mashariki na Kati.<br />

• Jengo la Huduma za Dharura chini <strong>ya</strong> ufadhili wa Mfuko wa Abbott.<br />

• Ujenzi wa Jengo la Watoto limekamilika na lilikabidhiwa mwei Julai 2010.<br />

64


• Ujenzi wa Taasisi <strong>ya</strong> Moyo na mafunzo unatarajiwa kukamilika mwaka huu. Ujenzi huo<br />

ulizinduliwa na Mhe. Dkt. Jaka<strong>ya</strong> Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri wa Muungano wa<br />

<strong>Tanzania</strong> baada <strong>ya</strong> makubaliano kati <strong>ya</strong> Serikali <strong>ya</strong> Jamhuri <strong>ya</strong> Muungano wa <strong>Tanzania</strong><br />

na Serikali <strong>ya</strong> Watu wa China.<br />

Hospitali imefanikiwa kuanzisha huduma zifuatazo:<br />

• Huduma <strong>ya</strong> upasuaji mkubwa wa moyo iliyoanzishwa mwaka 2008. Mpaka sasa<br />

wagonjwa 224 wamepatiwa huduma <strong>ya</strong> upasuaji mkubwa wa moyo. Upasuaji ambao<br />

umekuwa na mafanikio <strong>kwa</strong> asilimia 87.<br />

• Huduma <strong>ya</strong> matibabu <strong>ya</strong> dharura (Emergency Medicine).<br />

• Kuanzisha huduma <strong>ya</strong> kuchuja damu <strong>kwa</strong> wagonjwa wenye matatizo <strong>ya</strong> figo.<br />

• Kuanzisha huduma za uchunguzi <strong>kwa</strong> kutumia mashine <strong>ya</strong> kisasa <strong>ya</strong> MRI.<br />

• Kuweka mashine m<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> CT Scan.<br />

• Kufufuliwa <strong>kwa</strong> huduma za uchunguzi wa moyo (ECHO).<br />

• Kuimarisha huduma za uchunguzi <strong>kwa</strong> kutumia njia <strong>ya</strong> Endoscopy.<br />

• Kuanzisha huduma za upasuaji <strong>kwa</strong> kutumia tundu dogo (Laparascopy) ili mgonjwa<br />

akae muda mfupi hospitalini na hivyo wagonjwa wengi kutibiwa <strong>kwa</strong> muda mfupi.<br />

Hospitali <strong>ya</strong> Rufaa <strong>ya</strong> Kanda Ziwa, Bugando<br />

Ilianzishwa mwaka 1971 na inamilikiwa na Kanisa Katoliki. Hospitali hii inaendeshwa <strong>kwa</strong><br />

ushirikiano baina <strong>ya</strong> Serikali na <strong>Tanzania</strong> Episcopal Centre (TEC), kupitia Mkataba<br />

uliosainiwa baina <strong>ya</strong> pande mbili mwaka 1986 na kurekebishwa mwaka 1988. Hospitali hii<br />

imepata mafanikio <strong>ya</strong>fuatayo:-<br />

(a) Kuanzisha matibabu <strong>ya</strong> saratani katika Hospitali <strong>ya</strong> Bugando.<br />

(b) Kuanzisha huduma za upasuaji mkubwa wa moyo (Open Heart Surgery) hadi mwezi<br />

Aprili wagonjwa 101 walikuwa wamefanyiwa upasuaji wa Moyo.<br />

(c) Kupanuka <strong>kwa</strong> huduma za Endoscopy.<br />

(d) Ongezeko la Madaktari bingwa wa fani mbalimbali kutoka 18 – 34.<br />

(e) Kuboreshwa <strong>kwa</strong> miundo mbinu;<br />

i. Ujenzi wa jengo la CTC.<br />

ii. Ununuzi na usimikaji wa mashine <strong>ya</strong> uchunguzi - CT Scanner.<br />

iii. Ununuzi na usimikaji wa ECHO.<br />

(f) Kuboreshwa <strong>kwa</strong> huduma <strong>kwa</strong> wagonjwa wa Fistula<br />

(g) Kuanzishwa <strong>kwa</strong> Chuo cha Wauguzi Wakufunzi (Nurse Tutors).<br />

65


(h) Kujengwa <strong>kwa</strong> Maabara mp<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> kisasa.<br />

(i) Uanzishwaji wa kliniki <strong>ya</strong> watoto wenye VVU.<br />

Hospitali <strong>ya</strong> Rufaa <strong>ya</strong> Kanda <strong>ya</strong> Kaskazini KCMC<br />

Hospitali <strong>ya</strong> KCMC lianzishwa mwaka 1971 na inamilikiwa na Shirika la kujitolea la Good<br />

Samaritan Foundation (GSF). Hospitali hii inaendeshwa <strong>kwa</strong> ushirikiano baina <strong>ya</strong> Serikali<br />

na GSF kupitia mkataba uliosainiwa na pande mbili mwaka 1974 na kurekebishwa mwaka<br />

1991. Hospitali ina viatanda 850. Pamoja na huduma za juu za ubingwa, pia imepata<br />

mafanikio kama ifuatavyo:<br />

a. Hospitali imeanzisha huduma za upasuaji mkubwa wa moyo.<br />

b. Ununuzi na usimikaji wa mashine <strong>ya</strong> uchunguzi <strong>ya</strong> CT Scanner.<br />

c. Huduma za wagonjwa wa nje zimeboreshwa <strong>kwa</strong> kusogezwa karibu na idara husika<br />

ambazo ni huduma za mifupa, <strong>magonjwa</strong> <strong>ya</strong> njia <strong>ya</strong> mkojo na figo (Urology),<br />

huduma za <strong>magonjwa</strong> <strong>ya</strong> ngozi, akina mama, watoto, na <strong>magonjwa</strong> <strong>ya</strong> pua, masikio<br />

na koo;<br />

d. Hospitali imeboresha ushirikiano na Chuo Kikuu cha Tumaini ili kukiwezesha Chuo<br />

kutumia Hospitali hiyo kufundishia wataalam wake.<br />

Hospitali <strong>ya</strong> Rufaa <strong>ya</strong> Kanda Mbe<strong>ya</strong><br />

Hospitali <strong>ya</strong> Rufaa Mbe<strong>ya</strong> lianzishwa mwaka 1985 na inatoa huduma za kibingwa za tiba,<br />

ushauri, utafiti na mafunzo <strong>kwa</strong> Kanda <strong>ya</strong> N<strong>ya</strong>nda za Juu Kusini yenye mikoa <strong>ya</strong> Iringa,<br />

Mbe<strong>ya</strong>, Ru<strong>kwa</strong> na Ruvuma. Inamilikiwa na Serikali. Hospitali ina vitanda 477. Baadhi <strong>ya</strong><br />

mafanikio na maboresho ni kama ifuatavyo:<br />

a. Kuondoa tatizo la ukosefu wa dawa <strong>kwa</strong> asilimia 100%.<br />

b. Kuongeza uwezo wa kupokea wataalam wanaofan<strong>ya</strong> mafunzo <strong>kwa</strong> vitendo (Interns)<br />

toka vyumba 18 (2006) hadi vyumba 60 (2010).<br />

c. Kuboreshwa <strong>kwa</strong> huduma za uchunguzi kwenye Maabara zetu kiasi cha kufikia<br />

viwango <strong>ya</strong> kimataifa (Accreditation ISO Standard ).<br />

d. Kuanzishwa huduma za kusafisha damu <strong>ya</strong> wagonjwa wenye matatizo <strong>ya</strong> figo<br />

(Renal dialysis Unit).<br />

e. Kuanzishwa <strong>kwa</strong> huduma za uchunguzi wa “Histopathology” (Jengo, vifaa,<br />

wataalam).<br />

f. Kuanzishwa Kituo cha huduma za <strong>magonjwa</strong> <strong>ya</strong> kuambukiza (Centre of Infectious<br />

Diseases).<br />

66


g. Kuboreka <strong>kwa</strong> huduma za tiba <strong>ya</strong> macho <strong>kwa</strong> Kanda <strong>kwa</strong> mikoa inayohudumiwa na<br />

Hospitali.<br />

h. Kuboreka <strong>kwa</strong> miundombinu <strong>ya</strong> Hospitali.<br />

i. Kuanzisha Maktaba <strong>ya</strong> kisasa yenye “Internet -book access”, vitabu vip<strong>ya</strong>.<br />

j. Kuboreka <strong>kwa</strong> mazingira <strong>ya</strong> huduma <strong>kwa</strong> kutekeleza mpango wa kuboresha huduma<br />

kupitia 5S-KAIZEN – TQM Concept.<br />

k. Kushiriki katika tafiti mbalimbali zikiwemo za chanjo <strong>ya</strong> UKIMWI na tiba <strong>ya</strong> kifua<br />

kikuu.<br />

l. Kuwa kituo kinachoongoza katika kufan<strong>ya</strong> na kuhamasisha tohara <strong>kwa</strong> wanaume<br />

katika kupambana na maambukizi <strong>ya</strong> VVU.<br />

Taasisi <strong>ya</strong> Mifupa <strong>ya</strong> Muhimbili (MOI)<br />

Taasisi hii ilianzishwa <strong>kwa</strong> Sheria <strong>ya</strong> Bunge <strong>ya</strong> mwaka 1996 na inamilikiwa na Serikali.<br />

Hospitali hii inatoa huduma ngazi <strong>ya</strong> Kitaifa. Ina vitanda 188. Taasisi imefanikiwa<br />

kuanzisha na kuendeleza upasuaji ambao awali haukuwa nchini kama ifuatavyo;<br />

a. Kubadilisha mifupa <strong>ya</strong> nyonga (Total Hip Replacement) – wagonjwa zaidi <strong>ya</strong> 324.<br />

b. Kubadilisha mifupa <strong>ya</strong> goti (Total Knee Replacement) wagonjwa zaidi <strong>ya</strong> 119.<br />

c. Upasuaji mkubwa wa saratani <strong>ya</strong> ubongo (craniotomy for brain tumours) wagonjwa<br />

zaidi <strong>ya</strong> 300.<br />

d. Upasuaji mkubwa wa Uti wa Mgongo (spinal stabilization) wagonjwa zaidi <strong>ya</strong> 65.<br />

e. Uimarishwaji wa tiba <strong>ya</strong> majeruhi hasa walioumia ubongo na waliovunjika ambao<br />

wengi wao wanafanyiwa upasuaji ndani <strong>ya</strong> masaa 24.<br />

f. Uanzishwaji wa masomo <strong>ya</strong> uzamili katika fani <strong>ya</strong> upasuaji wa mifupa na majeruhi<br />

na upasuaji wa ubongo ili kuongeza idadi <strong>ya</strong> wataalam.<br />

g. Uzalishwaji wa fedha za matumizi kutokana na v<strong>ya</strong>nzo mbadala hasa tiba <strong>ya</strong><br />

wagonjwa binafsi ambao unachangia karibu 25% <strong>ya</strong> fedha za Taasisi.<br />

h. Kuokoa zaidi <strong>ya</strong> Tshs.4 billion ambazo zingetumika kupeleka wagonjwa nje <strong>ya</strong> nchi<br />

<strong>kwa</strong> kutoa tiba hapa nchini.<br />

Taasisi <strong>ya</strong> Saratani <strong>ya</strong> Ocean Road<br />

Taasisi <strong>ya</strong> Ocean Road ilianzishwa mwaka 1996 <strong>kwa</strong> Sheria <strong>ya</strong> Bunge. Taasisi inamilikiwa<br />

na Serikali. Taasisi hii inatoa huduma <strong>kwa</strong> wagonjwa wenye Saratani na ina idadi <strong>ya</strong><br />

vitanda 120. Jengo linalotumiwa na Taasisi lina historia ndefu <strong>kwa</strong>ni lilijengwa na<br />

wakoloni wa Kijerumani mwaka 1895 na lilikua linatoa huduma za af<strong>ya</strong> <strong>kwa</strong> wajerumani<br />

tu. Baada <strong>ya</strong> vita kuu <strong>ya</strong> <strong>kwa</strong>nza<strong>ya</strong> Dunia, jengo hili lilimilikiwa na wakoloni wa<br />

67


Kiingereza na huduma <strong>ya</strong> af<strong>ya</strong> zilikuwa <strong>kwa</strong> waingereza tu. Baada <strong>ya</strong> Uhuru mwaka 1961,<br />

jengo lilimilikiwa na Serikali <strong>ya</strong> Tanganyika na liliitwa Hospitali <strong>ya</strong> Ocean Road na<br />

huduma zilikuwa <strong>kwa</strong> wananchi wote na hasa za uzazi. Katika miaka <strong>ya</strong> 1980, jengo hili<br />

lilikua ni idara <strong>ya</strong> kutibu saratani <strong>kwa</strong> mionzi <strong>ya</strong> lililokuwa Shirika la Af<strong>ya</strong> Muhimbili hadi<br />

mwaka 1996 ilipoanzishwa Taasisi <strong>ya</strong> Saratani <strong>ya</strong> Ocean Road.<br />

Taasisi <strong>ya</strong> Saratani <strong>ya</strong> Ocean Road<br />

Taasisi imefanikiwa kuanzisha na kuendeleza matibabu <strong>ya</strong> Saratani ambayo hapo awali<br />

ha<strong>ya</strong>kuwepo nchini kama ifuatavyo;<br />

a. Ufungaji wa mashine mbili za kutibu saratani <strong>kwa</strong> mionzi, aina <strong>ya</strong> Theratron Equinox<br />

Cobalt 60 na mashine mbili za “High Dose Rate Intracavitary” za kutibu saratani <strong>ya</strong><br />

shingo <strong>ya</strong> kizazi <strong>kwa</strong> ufanisi zaidi.<br />

b. Ufungaji wa mashine <strong>ya</strong> kupima saratani <strong>kwa</strong> usahihi zaidi katika mwili kabla <strong>ya</strong><br />

matibabu <strong>ya</strong>ani ‘CT simulator.’<br />

c. Matibabu <strong>ya</strong> Saratani <strong>kwa</strong> kutumia dawa za dripu, <strong>ya</strong>ani ‘chemotherapy.’<br />

Baadhi <strong>ya</strong> wagonjwa wa Saratani<br />

wakitibiwa <strong>kwa</strong> dawa za dripu<br />

‘h h ’<br />

Rais wa Jamhuri <strong>ya</strong> <strong>Tanzania</strong>, Mh. Dr.<br />

Jaka<strong>ya</strong> M. Kikwete akizindua mashine<br />

<strong>ya</strong> kutibu Saratani katika Taasisi <strong>ya</strong><br />

Saratani Ocean Road<br />

Uchangan<strong>ya</strong>ji wa dawa za dripu<br />

za Saratani ‘cytotoxic medicine’<br />

d. Ufungaji wa mashine <strong>ya</strong> mionzi <strong>ya</strong> ‘Double head Spect Gamma Camera’ <strong>ya</strong> kugundua<br />

kusambaa <strong>kwa</strong> saratani mwilini <strong>kwa</strong> huduma <strong>ya</strong> ‘nuclear medicine.’<br />

68


Gamma Camera <strong>ya</strong> kugundua<br />

kusambaa <strong>kwa</strong> Saratani mwilini <strong>kwa</strong><br />

mfumo wa ‘nuclear medicine’<br />

e. Kufikisha huduma karibu na wananchi <strong>kwa</strong> kwenda mikoani kufundisha na kufan<strong>ya</strong><br />

uchunguzi wa Magonjwa <strong>ya</strong> saratani.. Uchunguzi huu ulifanyika mikoani ili kuweza<br />

kugundua Saratani <strong>ya</strong> Shingo <strong>ya</strong> Kizazi na Matiti mapema. Jumla <strong>ya</strong> wanawake zaidi <strong>ya</strong><br />

100,000 wamefanyiwa uchunguzi huu na wataalamu wa af<strong>ya</strong> zaidi <strong>ya</strong> 200<br />

wamefundishwa jinsi <strong>ya</strong> kufan<strong>ya</strong> uchunguzi huu katika mikoa 15 nchini.<br />

f. Kufikisha huduma za tiba shufaa karibu na wagonjwa <strong>kwa</strong> kwenda mikoani kufundisha<br />

na kuanzisha huduma <strong>ya</strong> utoaji wa dawa <strong>ya</strong> kupunguza maumivu <strong>ya</strong> ‘morphine’.<br />

g. Kutoa matibabu <strong>ya</strong> <strong>magonjwa</strong> <strong>ya</strong> saratani <strong>kwa</strong> jumla <strong>ya</strong> wastani <strong>ya</strong> wagonjwa 4,000<br />

<strong>kwa</strong> mwaka <strong>kwa</strong> aina mbalimbali za saratani. Katika miaka <strong>ya</strong> 1990, jumla <strong>ya</strong><br />

wagonjwa kati <strong>ya</strong> 1500 - 2000 walikua wanahudumiwa <strong>kwa</strong> mwaka. Taasisi pia hutoa<br />

huduma za matibabu <strong>kwa</strong> dawa za dripu <strong>kwa</strong> wagonjwa wa saratani.<br />

h. Ukamilishaji wa ufungaji wa vifaa kwenye mradi wa <strong>Tiba</strong> <strong>kwa</strong> Mtandao (Telemedicine)<br />

ambao utasaidia katika kuimarisha huduma za af<strong>ya</strong> <strong>kwa</strong> mtandao <strong>kwa</strong> mawasiliano <strong>ya</strong><br />

hapo <strong>kwa</strong> hapo kati <strong>ya</strong> daktari wa <strong>Tanzania</strong> na wa kule India, ufundishaji wa wahudumu<br />

wa af<strong>ya</strong> <strong>kwa</strong> njia <strong>ya</strong> mtandao.<br />

Radiographer wa ORCI akituma<br />

image <strong>ya</strong> X-ray <strong>kwa</strong> wataalamu wa<br />

India <strong>kwa</strong> njia <strong>ya</strong> ‘telemedicine’<br />

Mgonjwa wa Saratani akitibiwa <strong>kwa</strong> njia <strong>ya</strong><br />

mionzi <strong>ya</strong> mashine <strong>ya</strong> Theratron Equinox<br />

Co60<br />

69


i. Ukarabati wa wodi 4 za wagonjwa ili kutoa huduma bora zaidi <strong>kwa</strong> wagonjwa<br />

wanaolazwa.<br />

j. Ujenzi wa jengo kubwa la wagonjwa la ghorofa 4 litakaloweza kulaza wagonjwa 170<br />

<strong>kwa</strong> wakati moja.<br />

k. Kuandaa Mpango Mkakati wa Kuzuia na kudhibiti Magonjwa <strong>ya</strong> Saratani hapa nchini<br />

(National Cancer Control Strategy).<br />

Kamati <strong>ya</strong> Taifa <strong>ya</strong> kuandaa mpango<br />

mkakati wa kupambana na Saratani<br />

(NCCS) walipokutana na Waziri wa Af<strong>ya</strong><br />

na Ustawi wa Jamii wa kipindi cha<br />

2005/2010, Prof David Mwakyusa<br />

l. Uanzishwaji wa masomo <strong>ya</strong> shahada katika fani <strong>ya</strong> kutibu Saratani ‘radiation therapy<br />

technology’ ili kuongeza idadi <strong>ya</strong> wataalamu.<br />

m. Uanzishwaji wa masomo <strong>ya</strong> uzamili katika fani <strong>ya</strong> Onkologia ‘clinical oncology’ ili<br />

kuongeza idadi <strong>ya</strong> wataalamu.<br />

n. Kutafiti njia bora <strong>ya</strong> kinga pamoja na kupima saratani <strong>ya</strong> shingo <strong>ya</strong> kizazi.<br />

Hospitali <strong>ya</strong> Mirembe na Taasisi <strong>ya</strong> Isanga<br />

Hospitali <strong>ya</strong> Mirembe ilianzishwa wakati wa ukoloni, mwaka 1927 kuhudumia wagonjwa<br />

wa akili ikiwa ni sehemu <strong>ya</strong> Hospitali <strong>ya</strong> Broadmoor <strong>ya</strong> nchini Uingereza. Awali kulikuwa<br />

kumeanzishwa Taasisi <strong>ya</strong> Isanga mwaka 1950 ambayo nayo ipo katika ngazi <strong>ya</strong> Kitaifa<br />

inahudumia wagonjwa wa akili waliotenda makosa <strong>ya</strong> jinai. Taasisi hii ina vitanda 250.<br />

Sehemu zote mbili zimekuwa zikiboreshwa mara <strong>kwa</strong> mara.<br />

Hospitali imeweza kupunguza msongamano wa wagonjwa kama ifuatavyo:<br />

a. Huduma <strong>kwa</strong> wagonjwa wa akili zimeboreshwa <strong>kwa</strong> kuanzisha ufuatiliaji wa karibu wa<br />

maendeleo <strong>ya</strong> af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> mgonjwa na matumizi <strong>ya</strong> dawa. Hatua hii imepunguza wastani<br />

wa siku za wagonjwa za kukaa wodini kutoka siku 60 hadi 50.<br />

b. Hospitali ilianza na vitanda 29 <strong>kwa</strong> sasa ina vitanda 500.<br />

c. Idadi <strong>ya</strong> wagonjwa wa akili waliolazwa imepungua <strong>kwa</strong> 28.6% <strong>ya</strong>ani kutoka wastani wa<br />

wagonjwa 700 <strong>kwa</strong> siku hadi wastani wa wagonjwa 500 <strong>kwa</strong> siku. Hatua hii imepanua<br />

nafasi <strong>kwa</strong> mgonjwa <strong>kwa</strong> kitanda na kupunguza gharama za chakula na malazi.<br />

70


d. Ujenzi wa Kituo cha kuhudumia waathirika wa Dawa za kulev<strong>ya</strong>.<br />

e. Kutoa mafunzo <strong>kwa</strong> vitendo <strong>kwa</strong> Madaktari waliohitimu mafunzo.<br />

Hospitali <strong>ya</strong> Kibong’oto<br />

Hospitali ilianzishwa 1926 kama Sanatoria <strong>kwa</strong> ajili <strong>ya</strong> wagonjwa wa Kifua Kiuu ikitoa<br />

huduma <strong>kwa</strong> ajili <strong>ya</strong> Afrika mashariki chini <strong>ya</strong> ukoloni wa Waingereza. Ilitoa huduma kama<br />

hospitali mwaka 1952. Hospitali inamilikiwa na Serikali na hadi mwaka 1961 ilikuwa na<br />

vitanda 226 na <strong>kwa</strong> sasa ina vitanda 340. Hospitali hii hutoa huduma za ngazi <strong>ya</strong> Kitaifa za<br />

uchunguzi na matibabu <strong>ya</strong> <strong>magonjwa</strong> <strong>ya</strong> kifua kikuu. Wagonjwa wanaolazwa ni wale<br />

wanaoletwa kutoka hospitali za mikoa na wale wanaokuja kutibiwa bila rufaa. Maendeleo<br />

na mafanikio <strong>ya</strong> hospitali hii ni kama ifuatavyo:<br />

(a) Kufan<strong>ya</strong> ukarabati wa majengo <strong>ya</strong> Hospitali.<br />

(b) Kujenga majengo map<strong>ya</strong> ili kuongeza uwezo wa Hospitali kuhudumia wagonjwa<br />

wengi.<br />

(c) Kuboresha maabara <strong>ya</strong> hospitali ili iweze kutoa huduma za kisasa <strong>kwa</strong> wagonjwa<br />

wenye Kifua kikuu.<br />

(d) Kufunga mashine za kisasa <strong>kwa</strong> ajili <strong>ya</strong> uchunguzi wa Wagonjwa wenye Kifua Kikuu<br />

(e) Kuanzisha uchunguzi na matibabu <strong>ya</strong> wagonjwa wenye Kifua Kikuu sugu.<br />

(f) Kutoa elimu <strong>kwa</strong> umma kupitia radio na television juu <strong>ya</strong> tahadhari zinazopaswa<br />

kuchukuliwa kujikinga na maambukizi <strong>ya</strong> ugonjwa wa Kifua Kikuu.<br />

(vii) <strong>Tiba</strong> Asili na <strong>Tiba</strong> Mbadala.<br />

Huduma za tiba asili z<strong>imekuwepo</strong> tangu kuwepo <strong>kwa</strong> mwanadamu wa <strong>kwa</strong>nza kuishi hapa<br />

<strong>Tanzania</strong>. Huduma hizi zilidhoofishwa na ujio wa Wageni na hususan Wakoloni<br />

(Wajerumani 1884-1916 na Waingereza 1916-1961). Katika kipindi cha ukoloni tiba asili<br />

ilihusishwa na uchawi.<br />

Baada <strong>ya</strong> Uhuru, huduma za tiba asili zilipewa msukumo mp<strong>ya</strong>. <strong>Tiba</strong> asilia ilianza<br />

kutambulika na serikali chini <strong>ya</strong> sheria <strong>ya</strong> Wizara <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> "Medical Practitioners and<br />

Dentists Ordinance" mwaka 1968 na mwaka 1969, Mganga Mkuu wa Serikali alitoa agizo<br />

la kufanyia utafiti dawa za asili kupitia Maabara <strong>ya</strong> Mkemia wa Serikali. Hii ilipelekea<br />

kuanzishwa <strong>kwa</strong> Umoja wa Kitaifa wa Waganga wa jadi ulianzishwa <strong>kwa</strong> jina la "UWATA,<br />

" kati <strong>ya</strong> miaka 1971-1974 na kuanzishwa Taasisi <strong>ya</strong> Utafiti wa tiba na dawa za asili katika<br />

Chuo Kuu cha Dar es Salaam, Kitivo cha <strong>Tiba</strong> cha Muhimbili. Katika miaka <strong>ya</strong> 1965-1975<br />

tiba mbadala iliingizwa nchini, hususan tiba asili <strong>ya</strong> Kichina (tiba pini). Mwaka 1979, <strong>Tiba</strong><br />

asili ilijumuishwa kuwa mojawapo <strong>ya</strong> majukumu <strong>ya</strong> Taasisi <strong>ya</strong> Utafiti wa Magonjwa <strong>ya</strong><br />

Binadamu.<br />

Serikali iliihamisha kutoka Utamaduni kwenda Wizara <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> 1989 na mwaka huo huo<br />

kitengo cha tiba asili kilianzishwa. Mnamo mwaka 1990 tiba asili ilijumuishwa katika Sera<br />

<strong>ya</strong> Taifa <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong>. Aidha, katika miaka <strong>ya</strong> 1990 tiba mbadala inayojumuisha naturopathia,<br />

homoeopathia, tiba <strong>ya</strong> radioniki iliingizwa nchini, na kuijumuisha na <strong>Tiba</strong> Asili na kuwa<br />

kitengo cha “<strong>Tiba</strong> Asili na <strong>Tiba</strong> Mbadala.” <strong>Tiba</strong> Asili ilijumuishwa katika Sera <strong>ya</strong> Taifa <strong>ya</strong><br />

Af<strong>ya</strong> mwaka 1990 na mwaka mmoja baadae Kitengo cha Utafiti wa <strong>Tiba</strong> Asilia cha Chuo<br />

71


Kikuu cha Dar-es-Salaam kilipanuka na kupanda hadhi na kuwa "Taasisi <strong>ya</strong> <strong>Tiba</strong> Asilia."<br />

Mwaka 2000 Taasisi <strong>ya</strong> Taifa <strong>ya</strong> Utafiti wa <strong>magonjwa</strong> <strong>ya</strong> binadamu (NIMR) ilianzisha<br />

idara <strong>ya</strong> utafiti wa tiba asili na Sera <strong>ya</strong> Utekelezaji <strong>ya</strong> <strong>Tiba</strong> Asili na Ukunga wa <strong>Tiba</strong> Asili<br />

iliundwa. Miaka miwili baadae Sheria Namba 23 <strong>ya</strong> <strong>Tiba</strong> Asili na <strong>Tiba</strong> Mbadala ilitungwa<br />

na Bunge. <strong>Tanzania</strong> ilishiriki pamoja na nchi nyingine za Kifrika katika kuadhimisha siku<br />

<strong>ya</strong> tiba asili <strong>ya</strong> Mwafrika mwaka 2003.<br />

Baraza la <strong>Tiba</strong> Asili na <strong>Tiba</strong> Mbadala iliundwa 2005. Kati <strong>ya</strong> 2006-2008, Baraza<br />

lilitengeneza kanuni na miongozo mbalimbali <strong>ya</strong> kuendeleza tiba asili na tiba mbadala.<br />

Wizara iliteua waratibu wa tiba asili ngazi <strong>ya</strong> mkoa na halmashauri na kuwafundisha<br />

kuhusu sheria, kanuni na utaratibu wa kuwasajili watoa huduma wa tiba asili na tiba<br />

mbadala nchini kati <strong>ya</strong> 2010-2011 na ilianza usajili wa watoa huduma wa tiba asili na tiba<br />

mbadala katika kipindi hiki.<br />

72


9.0 USTAWI WA JAMII<br />

Utangulizi<br />

Huduma rasmi za Ustawi wa Jamii zilianza kutolewa na Serikali <strong>ya</strong> kikoloni kuanzia<br />

mwaka 1946. Serikali <strong>ya</strong> kikoloni <strong>ya</strong> Kiingereza ilianzisha Kitengo cha Majaribio na<br />

Ujenzi wa Tabia ndani <strong>ya</strong> Wizara <strong>ya</strong> Serikali za Mitaa na Nyumba mnamo mwaka 1949 ili<br />

washirikiane na Maendeleo <strong>ya</strong> Jamii katika kusaidia kutatua matatizo <strong>ya</strong> wananchi. Sheria<br />

zifuatazo zilitumika katika utendaji kazi kipindi hicho cha ukoloni:<br />

• Sheria <strong>ya</strong> majaribio na ujenzi wa tabia <strong>ya</strong> mwaka 1947, Sura <strong>ya</strong> 247 na sheria <strong>ya</strong> watoto<br />

na vijana sura <strong>ya</strong> 13 <strong>ya</strong> mwaka 1937.<br />

• Sheria <strong>ya</strong> Matunzo <strong>ya</strong> watoto waliozaliwa nje <strong>ya</strong> ndoa <strong>ya</strong> mwaka 1949 na Sheria <strong>ya</strong><br />

malezi <strong>ya</strong> kambo na kuasili <strong>ya</strong> mwaka 1955.<br />

Baada <strong>ya</strong> Uhuru, huduma za ustawi wa jamii zilipewa msukumo mp<strong>ya</strong> <strong>kwa</strong> kuzieneza <strong>kwa</strong><br />

wananchi walio wengi ikilinganishwa na ilivyokuwa kabla <strong>ya</strong> uhuru. Kutokana na<br />

kutambua umuhimu wa huduma za ustawi wa jamii nchini, serikali iliamua <strong>kwa</strong> makusudi<br />

kuunda Idara <strong>ya</strong> Ustawi wa Jamii ili iweze kutoa, kusimamia na kuratibu huduma hizo.<br />

Huduma za Ustawi wa Jamii baada <strong>ya</strong> uhuru ziliongezeka kutoka zile za majaribio na<br />

ujenzi wa tabia na kujumuisha huduma za ustawi wa familia, watoto na malezi, makuzi na<br />

maendeleo <strong>ya</strong> mtoto, huduma <strong>kwa</strong> wazee na watu wenye ulemavu; na huduma za<br />

marekebisho, ujenzi wa tabia na haki za mtoto kisheria ambazo zinatolewa <strong>kwa</strong> misingi <strong>ya</strong><br />

ushirikwishwaji wa jamii. Kwa sasa huduma hizi zinatolewa chini <strong>ya</strong> vitengo vitatu<br />

ambavyo ni<br />

• Marekebisho Tabia na haki haki za mtoto kisheria.<br />

• Ustawi wa familia, watoto na malezi, makuzi na maendeleo <strong>ya</strong> awali <strong>ya</strong> watoto.<br />

• Huduma <strong>kwa</strong> watu wenye ulemavu na wazee.<br />

• Maendeleo <strong>ya</strong> watumishi wa kada <strong>ya</strong> maafisa ustawi wa jamii.<br />

Maendeleo na mafanikio:<br />

Kwa wakati huo Idara <strong>ya</strong> Ujenzi wa Tabia ilikuwa inatoa huduma zifuatazo:-<br />

(a) Ujenzi wa tabia ambao mpango wake unapanuliwa kuhusu huduma za marekebisho.<br />

(b) Huduma za jumla <strong>kwa</strong> familia na mtu mmoja mmoja.<br />

(c) Ustawi wa watoto.<br />

(d) Matunzo <strong>ya</strong> wasiojiweza.<br />

(e) Watu wenye ulemavu.<br />

73


Kutokana na kuongezeka <strong>kwa</strong> changamoto za kijamii na kiuchumi huduma za Ustawi wa<br />

Jamii zilikuwa zikihamishwa kutoka Idara moja kwenda nyingine ili kukabili mahitaji na<br />

changamoto zilizokuwa zinajitokeza.<br />

Mwaka 1961, Idara <strong>ya</strong> Ustawi wa Jamii, ilikuwa katika Wizara <strong>ya</strong> Ushirika na<br />

Maendeleo.Idara hii ilihamishiwa kwenye Wizara <strong>ya</strong> Maendeleo <strong>ya</strong> Utamaduni 1962 na<br />

1963 Idara <strong>ya</strong> Ujenzi wa Tabia ilipanuliwa na kujumuisha huduma za Ustawi wa Jamii na<br />

ikapewa Jina la Ustawi na Ujenzi wa Tabia (Social Welfare and Probation Services).<br />

Azimio la Arusha la mwaka 1967 liliainisha makundi ambayo <strong>ya</strong>nastahili kupewa huduma<br />

na serikali. Makundi hayo ni pamoja na wazee, watu wenye ulemavu, watoto na wale<br />

ambao hawana uwezo wa kujikimu kimaisha. Mwaka 1967, Wizara <strong>ya</strong> Maendeleo na<br />

Utamaduni ilibadilishwa kuwa Wizara <strong>ya</strong> Tawala za Mikoa na Maendeleo Vijijini.<br />

Mwaka 1969, Idara <strong>ya</strong> Ustawi wa Jamii, ilihamishiwa kwenye Wizara <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> na Ustawi<br />

wa Jamii.<br />

Mwaka 1984, ilihamishiwa Ofisi <strong>ya</strong> Waziri Mkuu, na 1985 ilipele<strong>kwa</strong> Wizara <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong>.<br />

Miaka<br />

mitano baadae, Idara ilihamishiwa Wizara <strong>ya</strong> Kazi, Maendeleo <strong>ya</strong> Vijana na Michezo hadi<br />

2006<br />

ilipopele<strong>kwa</strong> Wizara <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> na Ustawi wa Jamii ambako ndiko ilipo mpaka sasa.<br />

Huduma za Ustawi wa Jamii baada <strong>ya</strong> uhuru ziliongezeka kutoka zile za majaribio na ujenzi<br />

wa tabia na kujumuisha huduma za ustawi wa familia, watoto na malezi makuzi na<br />

maendeleo <strong>ya</strong> mtoto, huduma <strong>kwa</strong> wazee na watu wenye ulemavu; na huduma za<br />

marekebisho, ujenzi wa tabia na haki za mtoto kisheria ambazo zinatolewa <strong>kwa</strong> misingi <strong>ya</strong><br />

ushirikishwaji wa jamii.<br />

Shughuli za Ustawi wa Jamii, zinasimamiwa na Kamishina akisaidiwa na Makamishna<br />

Wasaidizi watatu ambao ni wakuu wa vitengo 3 ambavyo ni:-<br />

• Marekebisho, ujenzi wa tabia na haki za mtoto kisheria;<br />

• Ustawi wa familia na watoto na malezi, makuzi na maendeleo <strong>ya</strong> changamshi <strong>ya</strong> watoto;<br />

na<br />

• Huduma <strong>kwa</strong> watu wenye ulemavu na wazee na Kitengo cha Mafunzo <strong>kwa</strong> watumishi.<br />

Matukio mengine muhimu ni pamoja na kuanzishwa <strong>kwa</strong> Idara <strong>ya</strong> Ustawi wa Jamii (Idara<br />

<strong>ya</strong> Ustawi na Ujenzi wa tabia) 1961. Pia, Serikali iliridhi vituo vitano v<strong>ya</strong> watu wenye<br />

ulemavu na wasiojiweza na baadae ilirithi shule <strong>ya</strong> Maadilisho iliyokuwa inaendeshwa na<br />

serikali <strong>ya</strong> kikoloni. <strong>Tanzania</strong> National Childrens Society ilianzishwa 1964 na 1969, Kituo<br />

cha Taifa cha watoto <strong>ya</strong>tima Kurasini kilianzishwa. Baraza la Huduma za Ustawi wa Jamii<br />

na Vyuo saba v<strong>ya</strong> Watu wenye Ulemavu vilianzishwa hapo baadae katika miaka <strong>ya</strong> 70.<br />

74


Baraza la usuluhishi wa ndoa linalotoa huduma za usuluhishi na upatanishi <strong>kwa</strong> wanandoa<br />

wenye mifarakano lilianzishwa 1971 baada <strong>ya</strong> kutungwa Sheria <strong>ya</strong> Ndoa. Mwaka huo huo,<br />

vyuo v<strong>ya</strong> malezi <strong>ya</strong> watoto wadogo vinavyotoa mafunzo <strong>ya</strong> taaluma <strong>ya</strong> malezi vilianzishwa.<br />

Vituo v<strong>ya</strong> kulelea watoto wadogo mchana na Mpango wa marekebisho <strong>kwa</strong> watu wenye<br />

ulemavu katika vyuo v<strong>ya</strong> watu wenye ulemavu na katika jamii vilianzishwa 1975. Mwaka<br />

1981 Serikali ilitambua rasmi v<strong>ya</strong>ma v<strong>ya</strong> watu wenye ulemavu na kuhamasisha jamii ili<br />

ishiriki kimamilifu katika kuwahudumia na kuhakkisha wanashirikishwa katika shughuli za<br />

maendeleo na baadae mwaka wa kimataifa <strong>kwa</strong> watu wenye ulemavu ulitangazwa rasmi.<br />

Maadhimisho <strong>ya</strong>ke hufanyika tarehe 3 Desemba kila mwaka.<br />

Kuwepo <strong>kwa</strong> sheria <strong>ya</strong> ajira na <strong>ya</strong> matunzo <strong>kwa</strong> watu wenye ulemavu pamoja na kanuni<br />

zake mwaka 1982 kulipelekea kuanzishwa <strong>kwa</strong> v<strong>ya</strong>ma vitano v<strong>ya</strong> watu wenye ulemavu<br />

(CHAWATA, TAS, Chana cha wasioona, Chama wa wasiosikia, TAMH). Baadae (1986),<br />

kituo cha mama na mtoto kilichoko Ilonga-Morogoro <strong>kwa</strong> ajili <strong>ya</strong> unasihi juu <strong>ya</strong> malezi <strong>ya</strong><br />

watoto kilianzishwa.<br />

Stashahada <strong>ya</strong> juu <strong>ya</strong> Taaluma <strong>ya</strong> Ustawi wa Jamii katika taasisi <strong>ya</strong> ustawi wa jamii<br />

Kijiton<strong>ya</strong>ma ilianzishwa mwaka 1988. Mwaka 1991, kituo cha kutoa huduma za utengemao<br />

<strong>kwa</strong> vijana walioathirika na pombe na dawa za kulev<strong>ya</strong> kilianzishwa na Serikali iliridhia<br />

Mkataba wa Kimataifa wa haki za mtoto. Hii ilifuatiwa na kuanzishwa <strong>kwa</strong> mpango wa<br />

huduma za marekebisho <strong>kwa</strong> watu wenye ulemavu 1992 na mpango wa Uhai,Ulinzi na<br />

malezi <strong>ya</strong> watoto pamoja na kutolewa Tamko la Rais kuwa huduma za majaribio na ujenzi<br />

wa tabia zitatolewa nchi nzima na kuongezeka <strong>kwa</strong> vyuo v<strong>ya</strong> malezi <strong>ya</strong> watoto toka vituo<br />

vitano hadi vinane mwaka 1995.<br />

Serikali ilifan<strong>ya</strong> zoezi maalum la kujua hali za watoto <strong>ya</strong>tima na wale wanaoishi katika<br />

mazingira hatarishi katika halmashauri 7 mwaka 1999 na mwaka 2001 ilianzishwa mpango<br />

76


wa malezi matunzo na ulinzi wa watoto walio katika mazingira hatarishi yenye misingi <strong>ya</strong><br />

kijamii. Mwaka 2002, kuliundwa mwongozo wa marekebisho <strong>ya</strong> tabia <strong>kwa</strong> waathirika wa<br />

madawa <strong>ya</strong> kulev<strong>ya</strong> na pombe. Hii ilifuatiwa na Sera <strong>ya</strong> taifa <strong>ya</strong> wazee iliondaliwa 2003.<br />

Ofisi <strong>ya</strong> Mkuu wa Makazi <strong>ya</strong> Wazee na Wasiojiweza Nung’e<br />

Mwaka 2003 ulishuhudia pia kuwepo <strong>kwa</strong> mwongozo wa mafunzo <strong>ya</strong> stadi za malezi <strong>kwa</strong><br />

wazazi/walezi wa watoto walio katika mazingira hatarishi, mwongozo wa mafunzo <strong>ya</strong><br />

malezi, makuzi na maendeleo changamshi <strong>ya</strong> awali <strong>ya</strong> watoto wadogo, kuwepo <strong>kwa</strong><br />

mwongozo wa uanzishaji na uendeshaji wa makao <strong>ya</strong> watoto na mwongozo wa utambuzi<br />

<strong>kwa</strong> watoto walio katika mazingira hatarishi.<br />

<strong>Tanzania</strong> ilijiunga na Taasisi <strong>ya</strong> marekebisho <strong>ya</strong> Afrika (African Rehabilitation Institute) na<br />

kuandaa Sera <strong>ya</strong> taifa <strong>ya</strong> watu wenye ulemavu 2004. Mwaka mmoja baadae, iliandaliwa<br />

Mwongozo wa mpango wa uwezeshaji haki jamii pamoja na moduli za kutolea mafunzo <strong>ya</strong><br />

uwezeshaji haki jamii ngazi <strong>ya</strong> kata na vijiji ulivumbuliwa. Hii ilipelekea kuingizwa <strong>kwa</strong><br />

mahitaji <strong>ya</strong> makundi maalum katika MKUKUTA/MKURABITA. Mwaka 2007 mfumo wa<br />

utunzaji takwimu za watoto walio katika mazingira hatarishi katika ngazi <strong>ya</strong> taifa na ngazi<br />

<strong>ya</strong> Halmashauri uliwe<strong>kwa</strong>. Miaka miwili baadae, Serikali iliridhia mkataba wa kimataifa wa<br />

haki na ulinzi <strong>kwa</strong> watu wenye ulemavu pamoja na kanuni za kimataifa za utoaji wa fursa<br />

sawa <strong>kwa</strong> watu wenye ulemavu. Pia kuliandaliwa mwongozo wa upatikanaji, utoaji na<br />

usambazaji wa nyenzo <strong>kwa</strong> kujimudu <strong>kwa</strong> watu wenye ulemavu. Jitihada hizi zilifutiwa na<br />

kutunga Sheria <strong>ya</strong> watu wenye ulemavu na Sheria <strong>ya</strong> mtoto mwaka 2010.<br />

77


Jengo jip<strong>ya</strong> la Mahabusi <strong>ya</strong> Watoto Mtwara<br />

78


10.0 HUDUMA ZA SHERIA<br />

Kitengo cha Sheira kiliundwa rasmi tarehe 13 Januari 2009 baada <strong>ya</strong> muundo wa Wizara<br />

kuidhinishwa na Rais wa Jamhuri <strong>ya</strong> Muungano wa <strong>Tanzania</strong>. Kazi kubwa za Kitengo cha<br />

Sheria ni kutoa ushauri wa kisheria <strong>kwa</strong> Wizara na Taasisi ambazo ziko chini <strong>ya</strong> Wizara <strong>ya</strong><br />

Af<strong>ya</strong> na Ustawi wa Jamii.<br />

Majukumu mahsusi<br />

i) Kutoa ushauri wa kisheria <strong>kwa</strong> Wizara <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> na Ustawi wa Jamii;<br />

ii) Kuandaa mapendekezo <strong>ya</strong> miswada <strong>ya</strong> sheria;<br />

iii) Kuandaa mikataba ambayo wizara ni sehemu <strong>ya</strong> mikataba hiyo;<br />

iv) Kuratibu masuala <strong>ya</strong> uandaaji wa N<strong>ya</strong>raka za Baraza la Mawaziri, hususan<br />

zinazozungumzia mapendekezo <strong>ya</strong> sheria <strong>ya</strong> af<strong>ya</strong> na ustawi wa jamii;<br />

v) Kutoa ushauri <strong>kwa</strong> wizara kuhusu masuala <strong>ya</strong> kisheria <strong>ya</strong>nayohusu ushirikiano na<br />

mashirika <strong>ya</strong> kitaifa na kimataifa;<br />

vi) Kufuatilia kesi zote zinazoihusu Wizara;<br />

vii) Kuwasiliana na Ofisi <strong>ya</strong> Mwanasheria Mkuu wa Serikali kuhusu masuala yote <strong>ya</strong><br />

kisheria na kuandaa miswada, Kanuni, ushauri wa kisheria na kesi mbalimbali<br />

zinazoihusu Wizara;<br />

Maendeleo na Mafanikio<br />

Sheria mbalimbali zinazosimamia wataalam wa Af<strong>ya</strong>, Sheria za kupambana na <strong>magonjwa</strong><br />

mbalimbali, Sheria za kusimamia viwango mbalimbali <strong>kwa</strong> lengo la kuboresha huduma za<br />

af<strong>ya</strong>, kuunda taasisi chini <strong>ya</strong> wizara, v<strong>ya</strong>nzo mbadala v<strong>ya</strong> fedha katika sekta <strong>ya</strong> af<strong>ya</strong><br />

zimetungwa na nyingine kubadilishwa kulingana na mabadiliko mbalimbali.<br />

Katika miaka <strong>ya</strong> 1961 – 1970, huduma za Sheria <strong>kwa</strong> Wizara zilikuwa zikitolewa na Ofisi<br />

<strong>ya</strong> Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Sheria nyingi kipindi hicho zilikuwa ni zile<br />

zilizotungwa wakati wa ukoloni. Kipindi cha mara baada <strong>ya</strong> Uhuru, kulikuwa na mabadiliko<br />

<strong>ya</strong> kisera, ambapo Serikali iliidhinisha Sera <strong>ya</strong> Ujamaa na Kujitengema Kupitia Azimio la<br />

Arusha. Mabadiliko hayo <strong>ya</strong> Sera, <strong>ya</strong>lisababisha mabadiliko mbalimbali <strong>ya</strong> sheria ili<br />

ziendane na Sera hiyo. Upande wa Sekta <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> katika kipindi hiki hakukuwa na<br />

mabadiliko <strong>ya</strong> Sheria.<br />

Katika miaka <strong>ya</strong> 1971-1980, Wizara iliendelea kupata huduma za kisheria moja <strong>kwa</strong> moja<br />

toka Ofisi <strong>ya</strong> Mwanasheria Mkuu wa Serikali. Katika kipindi hiki, Serikali ilipitisha Sheria<br />

<strong>ya</strong> Usajili wa Hospitali Binafisi, 1977. Lengo la Sheria hii ilikuwa ni kuzuia madaktari<br />

binafsi kuwa na huduma za Hospitali Binafsi. Huduma Binafsi ziliendelea <strong>kwa</strong> wale<br />

waliokuwa nazo tu mf. Dr C V Mtawali, Dr Khan, Dr Hashim nk. Taasisi za Kidini,<br />

Mashirika <strong>ya</strong> Umma na Hospitali za Chama na Jumuia zake, ziliendelea kuruhusiwa kutoa<br />

huduma za af<strong>ya</strong> baada <strong>ya</strong> kupata usajili.<br />

Katika miaka <strong>ya</strong> 1981-1990, Wizara ilipata Wakili wa Serikali toka Ofisi <strong>ya</strong> Mwanasheria<br />

Mkuu wa Serikali na kuwa kiungo cha shughuli za kisheria kati <strong>ya</strong> Wizara na Ofisi <strong>ya</strong><br />

Mwanasheria Mkuu wa Serikali. Katika kipindi hicho, kulikuwa na mabadiliko mbalimbali<br />

<strong>ya</strong> kiuchumi na kijamii nchini na duniani. Kutokana na mabadiliko hayo, Serikali<br />

iliidhinisha Sera <strong>ya</strong> Mabadiliko <strong>ya</strong> Kiuchumi ambapo Soko Huria na Uwekezaji<br />

viliidhinishwa. Upande wa Sekta <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong>, Mabadiliko <strong>ya</strong> Sekta <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong>, <strong>ya</strong>lifanyika.<br />

Mabadiliko mbalimbali yenye kuhitaji sheria mp<strong>ya</strong> na mapitio lilihitajika. Mabadiliko <strong>ya</strong><br />

79


Na.<br />

kisera <strong>ya</strong>liifan<strong>ya</strong> Wizara na Serikali <strong>kwa</strong> ujumla, kutoka kuwa mtoa huduma na kuwa<br />

mwezeshaji na msimamizi wa huduma hizo (facilitator and regulator).<br />

Katika miaka <strong>ya</strong> 1991 – 2000, kutokana na Mabadiliko katika Sekta <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong>, Sheria<br />

mbalimbali zilipitishwa, kubwa ilikuwa ni Marekebisho <strong>ya</strong> Sheria <strong>ya</strong> Usajili wa Hospitali<br />

Binafsi, 1991 ambapo Madaktari Binafsi waliruhusiwa kufungua Hospitali Binafsi, na wale<br />

walio katika ajira Serikalini, waliruhusiwa kufungua Zahanati na Kliniki. Sheria <strong>ya</strong> Usajili<br />

wa Maabara Binafsi ilipitishwa <strong>kwa</strong> lengo la kusimamia ubora wa huduma zinazotolewa.<br />

Katika miaka <strong>ya</strong> karibuni 2001 – 2011, utekelezaji wa Mabadiliko katika Sekta <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong><br />

unaendelea, mahitaji <strong>ya</strong> kuwa na Shera mbalimbali bado upo, Sheria mbalimbali zinaendele<br />

kutungwa, <strong>kwa</strong> lengo la kuweka usimamizi wa kisheria katika maeneo ambayo <strong>ya</strong>lihitaji<br />

Sheria. Sheria zilizotungwa tangu mwaka 1961, zimeorodheshwa katika Jedwali Na. 14 la<br />

Taarifa hii.<br />

Jedwali 14: Sheria mp<strong>ya</strong> na zilizofaniwa marekebisho katika kipindi cha miaka 50 <strong>ya</strong> uhuru<br />

Mwaka Jina la sheria Madhumuni<br />

1 1973 Taasisi <strong>ya</strong> Chakula na Lishe<br />

<strong>Tanzania</strong><br />

2 1979<br />

The <strong>Tanzania</strong> Food and Nutrition<br />

Centre Act, Cap 109<br />

Taasisi <strong>ya</strong> Kitaifa <strong>ya</strong> Utafiti wa<br />

Magonjwa <strong>ya</strong> Binadamu<br />

3 1993<br />

The National Institute for Medical<br />

Research Act Cap 59<br />

Bohari <strong>ya</strong> Dawa<br />

4 1996<br />

The Medical Stores Department Act,<br />

Cap 70<br />

Taasisi <strong>ya</strong> Saratani Ocean Road<br />

5 1996<br />

The Ocean Road Cancer Institute Act<br />

Cap 86<br />

Taasisi <strong>ya</strong> Mifupa Muhimbili<br />

6 1999<br />

The Muhimbili Orthopaedic Institute<br />

Cap 94<br />

Sheria <strong>ya</strong> Mfuko wa Taifa wa Bima<br />

<strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong>.<br />

The National Health Insurance Fund<br />

Act, Cap 395<br />

7 2001 Sheria <strong>ya</strong> Mfuko wa Af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Jamii<br />

The Community Health Fund Act,<br />

Cap 409<br />

Sheria <strong>ya</strong> kuanzisha Taasisi <strong>ya</strong> Chakula<br />

na Lishe nchini.<br />

Sheria <strong>ya</strong> kuanzisha Taasisi <strong>ya</strong> Taifa <strong>ya</strong><br />

Utafiti wa Magonjwa <strong>ya</strong> Binadamu<br />

nchini.<br />

Sheria hii ni <strong>kwa</strong> ajili <strong>ya</strong> kuanzisha<br />

Idara <strong>ya</strong> MSD <strong>kwa</strong> ajili <strong>ya</strong> kununua,<br />

kuhifadhi na kusambaza dawa nchini.<br />

Sheria hii imeanzisha Hospitali <strong>ya</strong><br />

Saratani <strong>ya</strong> Ocean road.<br />

Sheria <strong>ya</strong> kuanzisha Taasisi <strong>ya</strong> Mifupa<br />

<strong>ya</strong> Muhimbili.<br />

Sheria hii imeanzisha Mfuko wa Bima<br />

<strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> <strong>kwa</strong> watumishi wa serikali.<br />

Sheria hii imeanzisha Mfuko wa Af<strong>ya</strong><br />

<strong>ya</strong> Jamii.<br />

80


8 2001 Sheria <strong>ya</strong> Hospitali <strong>ya</strong> Taifa<br />

Muhimbili<br />

9 2002<br />

The Muhimbili National Hospital<br />

Act, Cap150<br />

Sheria <strong>ya</strong> <strong>Tiba</strong> Asili na <strong>Tiba</strong><br />

Mbadala<br />

The Traditional and Alternative<br />

Medicine Act, Cap 244<br />

10 2002 Sheria <strong>ya</strong> Famasi<br />

The Pharmacy Act, Cap 311<br />

11 2003 Sheria <strong>ya</strong> Chakula Dawa na<br />

Vipodozi<br />

The <strong>Tanzania</strong> Food Drugs and<br />

Cosmetics Act, Cap 219<br />

12 2003 Sheria <strong>ya</strong> kudhibiti Bidhaa za<br />

Tumbaku<br />

13 2003<br />

The Tobacco Products (Regulation)<br />

Act, Cap 121<br />

Sheria <strong>ya</strong> usimamizi na udhibiti wa<br />

kemikali za Majumbani na<br />

Viwandani<br />

The Industrial and Consumers<br />

Chemicals (Management and<br />

Control) Act, Cap 182<br />

14 2007 Sheria <strong>ya</strong> Kusajili Wataalamu wa<br />

Af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Mazingira<br />

The Environmental Health<br />

Practitioners (Registration) Act, No<br />

20 of 2007<br />

15 2007 Sheria <strong>ya</strong> Wataalamu wa Macho<br />

The Optometry Act, No 12 of 2007<br />

16 2007 Sheria <strong>ya</strong> Wataalamu wa Maabara za<br />

Af<strong>ya</strong><br />

The Health Laboratory Practitioners<br />

Act, No. 22 of 2007<br />

Sheria hii imeanzisha Hospital <strong>ya</strong> Taifa<br />

<strong>ya</strong> Muhimbili.<br />

Sheria hii imekusudia kurasimisha<br />

huduma za waganga wa jadi nchini <strong>kwa</strong><br />

kuwasajili na kuwatambua pamoja na<br />

kuweka kanuni za kusimamia huduma<br />

hizi.<br />

Sheria hii imeanzisha Baraza la Famasi<br />

na kuweka kazi zake pamoja na udhibiti<br />

wa taaluma <strong>ya</strong> famasi.<br />

Sheria hii imekusudia kuboresha<br />

huduma <strong>kwa</strong> bora na kanuni za<br />

kudhibiti chakula, madawa na sumu na<br />

vipodozi ili kumkinga mtumiaji asipate<br />

madhara, <strong>kwa</strong> kusimamia viwango<br />

husika.<br />

Sheria hii ni maalum <strong>kwa</strong> ajili <strong>ya</strong><br />

kusimamia bidhaa za tumbaku nchini.<br />

Sheria hii ni <strong>kwa</strong> ajili <strong>ya</strong> kusimamia<br />

na kudhibiti uzalishaji, uingizaji,<br />

usafirishaji, kuhifadhi na kuharibu<br />

kemikali.<br />

Sheria hii imekusudia kuunda Baraza<br />

la Kusimamimia na Kusajili<br />

Wataalamu wa Af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> mazingira na<br />

mambo <strong>ya</strong>nayohusiana na taaluma hiyo.<br />

Sheria imekusudia kuboresha huduma<br />

za macho <strong>kwa</strong> kuanzisha baraza la<br />

wataalamu wa macho nchini ili<br />

kusimamia wataalamu na taaluma hiyo<br />

nchini<br />

Sheria hii ni <strong>kwa</strong> ajili <strong>ya</strong> usajili na<br />

kuweka kanuni za utendaji wa<br />

wataalamu wa maabara nchini.<br />

81


17 2007 Sheria <strong>ya</strong> Wataalamu wa Radiolojia<br />

na Mionzi<br />

The Medical Radiology and Imaging<br />

Professionals Act, No. 21 of 2007.<br />

18 2008 Sheria <strong>ya</strong> Kuzuia na Kudhibiti<br />

Virusi na UKIMWI<br />

The HIV and AIDS (Prevention and<br />

Control) Act, No. 2 of 2008<br />

19 2008 Sheria <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Akili<br />

The Mental Health Act, No 21 of<br />

2008.<br />

20 2009 Sheria <strong>ya</strong> Vinasaba v<strong>ya</strong> Binadamu<br />

The Human DNA (Regulation) Act,<br />

No. 9 of 2009.<br />

21 2009 Sheria <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Jamii<br />

The Public Health Act, No.1 of<br />

2009<br />

22 2010 Sheria <strong>ya</strong> Watu Wenye Ulemavu<br />

The Persons with Disabilities Act,<br />

No. 9 of 2010<br />

23 2010 Sheria <strong>ya</strong> Uuguzi na Ukunga<br />

The Nursing and Midwifery Act,<br />

No.1 of 2010<br />

24 2010 Sheria <strong>ya</strong> Mtoto<br />

The Law of the Child Act , No. 21<br />

of 2010<br />

Sheria hii imeanzisha baraza la<br />

wataalamu wa mionzi na kuweka<br />

majukumu <strong>ya</strong>ke na kuanzisha kanuni za<br />

kudhibiti taaluma hii<br />

Sheria hii imekusudia kupambana na<br />

UKIMWI katika jamiii na kusaidia<br />

watu wanaoishi na virusi v<strong>ya</strong> UKIMWI<br />

pamoja mna kuweka na kusimamia<br />

mipango mbalimbali <strong>ya</strong> kudhibiti<br />

maambukizi <strong>ya</strong> VVU/UKIMWI.<br />

Sheria hii ina madhumuni <strong>ya</strong> kuratibu<br />

na kusaidia Wagonjwa wa af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> akili<br />

nchini na kuweka huduma za kinga<br />

dhidi <strong>ya</strong> <strong>magonjwa</strong> <strong>ya</strong> akili, na<br />

kushirikisha jamii katika kutoa huduma<br />

<strong>kwa</strong> wagonjwa wa akili.<br />

Sheria hii ina malengo <strong>ya</strong> kuweka<br />

misingi na utaratibu wa kusimamia<br />

matumizi <strong>ya</strong> technologia <strong>ya</strong> vinasaba<br />

v<strong>ya</strong> binadamu.<br />

Sheria hii ni <strong>kwa</strong> ajili <strong>ya</strong> kulinda<br />

kuhifadhi na kuboresha usafi wa<br />

mazingira nchini na kuboresha huduma<br />

muhimu ili mazingira na makazi <strong>ya</strong><br />

wananchi <strong>ya</strong>we safi na bora<br />

Sheria hii imekusudia <strong>ya</strong> kutambua na<br />

kusimamia haki za Watu Wenye<br />

Ulemavu nchini.<br />

Sheria hii ina malengo <strong>ya</strong> kuboresha<br />

huduma za af<strong>ya</strong> nchini.<br />

Sheria hii <strong>ya</strong> Mtoto imeweka haki za<br />

msingi za watoto nchini.<br />

82


Wizara iliishauri na kuiwezesha Serikali kuridhia/kukubali Mikataba mbalimbali <strong>ya</strong><br />

Kimataifa ikiwemo:-<br />

(i) The SADC Protocol of Health (Novemba 2002)<br />

(ii) The UN Standard Rules on the Rights of People with Disabilities (Desemba 2006).<br />

(iii)The WHO Framework Convention on Tobacco Control (Februari 2007).<br />

(iv) The Convention on the Rights of People with Disability, (Aprili, 2009).<br />

(v) The Optional Protocol on the Rights of People with Disability (Aprili, 2010).<br />

83


1<strong>1.0</strong> ELIMU, HABARI NA MAWASILIANO<br />

Utangulizi<br />

Kitengo hiki kilianzishwa katika Wizara pamoja na Wizara nyingine <strong>kwa</strong> Agizo la Serikali<br />

<strong>ya</strong> Awamu <strong>ya</strong> Tatu, mwaka 2003. Lengo kuu ni kuhakikisha kuwa habari kuhusu huduma<br />

za af<strong>ya</strong> na ustawi wa jamii zinawafikia wananchi na wadau wengine <strong>kwa</strong> njia ambayo ni<br />

rahisi zaidi. Aidha, ni kiungo kati <strong>ya</strong> Wizara na Vyombo v<strong>ya</strong> Habari pamoja na wadau<br />

wengine wa Sekta <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> na Ustawi wa Jamii. Mwaka 2009, Serikali <strong>ya</strong> awamu <strong>ya</strong> nne,<br />

iliteua wasemaji wa Wizara lengo likiwa kuboresha zaidi mawasiliano kati <strong>ya</strong> vyombo v<strong>ya</strong><br />

Habari, Wananchi, na wadau wengine<br />

Majukumu mahsusi :<br />

i) Kufan<strong>ya</strong> mawasiliano /mazungumzo na Vyombo v<strong>ya</strong> Habari ikiwa ni pamoja na<br />

wananchi kuhusu masuala <strong>ya</strong> Wizara.<br />

ii) Kuta<strong>ya</strong>risha vipindi v<strong>ya</strong> Radio, Television vijarida vinavyohusu Sera na mabadiliko<br />

<strong>ya</strong>nayotokea katika Sekta <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> na Ustawi wa Jamii.<br />

iii) Kuandaa na kuratibu mikutano mbalimbali kati <strong>ya</strong> Wizara na Vyombo v<strong>ya</strong> Habari.<br />

pamoja na maonyesho mbalimbali <strong>ya</strong> Kitaifa.<br />

iv) Kuweka habari zote muhimu za Wizara katika tovuti <strong>kwa</strong> wakati.<br />

Maendeleo na Mafanikio<br />

Kitengo hiki kimeiwezesha Wizara kutoa taarifa zake <strong>kwa</strong> urahisi zaidi <strong>kwa</strong> kutumia Radio,<br />

Television, Magazeti, Tovuti na Mikutano na Waandishi wa Habari. Vilevile, <strong>kwa</strong> kutumia<br />

Kitengo, ambacho Kinaratibu maonyesho mbalimbali <strong>ya</strong> kitaifa kama vile wiki <strong>ya</strong> Utumishi<br />

<strong>kwa</strong> Umma, Saba Saba na Nane Nane Wizara imeweza kujitangaza wakati huo na kutoa<br />

huduma mbalimbali.<br />

Baadhi <strong>ya</strong> shughuli zilizofanyika ni kama ifuatavyo:<br />

i) Wizara imeandaa mikutano na waandishi wa habari pamoja na kutoa ufaafanuzi wa<br />

masuala mbalimbali <strong>ya</strong>nayohusu af<strong>ya</strong> na ustawi wa jamii.<br />

ii) Wizara imeshiriki katika maonesho mbalimbali <strong>ya</strong> kitaifa.<br />

iii) Wizara imetengeneza makala kuhusu sera na mabadiliko <strong>ya</strong> Wizara.<br />

iv) Wizara imejibu maoni na kusaidia watu wenye matatizo kupitia tovuti <strong>ya</strong> Rais <strong>ya</strong><br />

“wananchi” pamoja na kwenye vyombo vingine v<strong>ya</strong> habarí.<br />

Changamoto iliyopo inahusu kukidhi mahitaji <strong>ya</strong> vyombo mbalimbali v<strong>ya</strong> habari na<br />

kufikisha habari na elimu <strong>kwa</strong> wananchi na wadau wote. Aidha rasilimali watu na fedha<br />

inahitajika ili kuboresha huduma hii. Aidha, kitengo kinatarajia kuwa na mtandao endelevu<br />

wa habari, elimu na mawasiliano ambao unakidhi wadau wote.<br />

84


12.0 TAASISI NA WAKALA<br />

12.1 MFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA<br />

Utangulizi<br />

Tangu kupata uhuru mwaka 1961, Serikali <strong>ya</strong> Jamhuri <strong>ya</strong> Muungano wa <strong>Tanzania</strong> ilikuwa<br />

inatoa bure huduma mbalimbali za kijamii <strong>kwa</strong> raia wake, zikiwemo huduma za af<strong>ya</strong>.<br />

Kufuatia mabadiliko makubwa <strong>ya</strong> kiuchumi duniani, mwanzoni mwa miaka <strong>ya</strong> 1990,<br />

Serikali ililazimika kuanzisha mfumo wa kuchangia huduma za kijamii ili kukidhi masharti<br />

<strong>ya</strong> kupatiwa mikopo na misaada iliyokuwa inasimamiwa na Benki <strong>ya</strong> Dunia na Shirika la<br />

Fedha la Kimataifa – IMF. Katika mazingira mwishoni mwa miaka <strong>ya</strong> 90 Serikali iliamua<br />

kubuni utaratibu bora zaidi na rahisi wa kuchangia huduma za af<strong>ya</strong> na kuanzisha Mfuko wa<br />

Taifa wa Bima <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> na Mfuko wa Af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Jamii (CHF). Sababu zilizosababisha<br />

uanzishwaji wa Mfuko zilikuwa ni: -<br />

• Kuiwezesha Serikali kuwa na utaratibu madhubuti na endelevu wa uchangiaji wa<br />

matibabu unaojitegemea nje <strong>ya</strong> bajeti <strong>ya</strong> serikali na unaohudumia watu wengi.<br />

• Kuiwezesha Serikali kuwa na utaratibu utakaowezesha uchangiaji wa ukuwaji na<br />

maendeleo <strong>ya</strong> sekta <strong>ya</strong> af<strong>ya</strong> nchini kupitia uwekezaji na uboreshaji wa huduma za<br />

matibabu.<br />

• Kuiwezesha Serikali kuwa na utaratibu wa kushirikisha sekta binafsi katika huduma za<br />

matibabu na kuwashirikisha wananchi katika kuchangia huduma hizo.<br />

NHIF ilianzishwa kama njia muafaka <strong>ya</strong> uchangiaji wa huduma za af<strong>ya</strong> na kuziba pengo la<br />

upungufu wa fedha katika huduma za af<strong>ya</strong> ambazo awali zilikuwa zinagharamiwa na<br />

Serikali.<br />

Majukumu <strong>ya</strong> NHIF<br />

• Kuandikishwa wanachama na kuwapatia vitambulisho;<br />

• Kukusan<strong>ya</strong> michango na kuitunza;<br />

• Kuwekeza fedha za ziada katika vitega uchumi;<br />

• Kusajili watoa huduma;<br />

• Kulipa watoa huduma;<br />

• Kufan<strong>ya</strong> tathmini <strong>ya</strong> uhai wa Mfuko (Actuarial valuation).<br />

Mfuko wa Taifa wa Bima <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> una jukumu la kusimamia huduma za matibabu <strong>kwa</strong><br />

wanachama wake kupitia Hospitali za Serikali, madhehebu <strong>ya</strong> dini, watu binafsi na Maduka<br />

<strong>ya</strong> Dawa ambayo <strong>ya</strong>mesajiliwa na Mfuko kutoa huduma <strong>kwa</strong> wanachama wake. Mfuko huu<br />

pia unawajibika kuandikisha wanachama na kuwapatia vitambulisho v<strong>ya</strong> matibabu. Mfuko<br />

pia unawajibu wa kuhakikisha kuwa wanachama wake wanapata huduma bora za matibabu<br />

katika vituo vilivyosajiliwa <strong>kwa</strong> mujibu wa makubaliano na miongozo inayotolewa na<br />

Wizara <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> na Ustawi wa Jamii na NHIF.<br />

Mwanachama wa Mfuko wa Taifa wa Bima <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> na Mfuko wa Af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Jamii<br />

anatambuliwa <strong>kwa</strong> kadi <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> uanachama au barua <strong>ya</strong> utambulisho <strong>ya</strong> Mfuko (iwapo kadi<br />

<strong>ya</strong>ke bado haijawa ta<strong>ya</strong>ri) kila anapokwenda kupata huduma <strong>ya</strong> matibabu. Mfuko<br />

85


unagharamia matibabu sawasawa <strong>kwa</strong> wanachama wake wote bila kujali kiasi cha<br />

uchangiaji wa mwanachama.<br />

Maendeleo na Mafanikio<br />

Mfuko wa Taifa wa Bima <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> ni taasisi <strong>ya</strong> umma iliyoanzishwa 1999 <strong>kwa</strong> Sheria <strong>ya</strong><br />

Bunge Na. 8 <strong>ya</strong> mwaka 1999 (Sura Na. 395 <strong>ya</strong> Sheria za <strong>Tanzania</strong>). Mfuko huu<br />

umeanzishwa ili kusimamia huduma za matibabu <strong>kwa</strong> watumishi wa umma kupita Hospitali<br />

za Serikali, madhehebu <strong>ya</strong> dini, watu binafsi na Maduka <strong>ya</strong> Dawa ambayo <strong>ya</strong>mesajiliwa na<br />

Mfuko.<br />

Mwaka 2002,Mabadiliko <strong>ya</strong> sheria <strong>ya</strong>lifanyika ili kujumuisha watumishi wote wa sekta <strong>ya</strong><br />

umma, badala <strong>ya</strong> watumishi wa serikali kuu pakee. Usajili wa wanafunzi wa Vyuo v<strong>ya</strong><br />

Elimu <strong>ya</strong> Juu 2008 na hadi sasa wanafunzi 17,980 wameshajiunga na Mfuko wa Taifa wa<br />

Bima <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> kutoka Vyuo Vikuu na vyuo vingine nchini.<br />

Sheria Na. 3 <strong>ya</strong> 2009 na Na. 2 <strong>ya</strong> 2010 sasa zinaruhusu Mfuko kujumuisha makundi<br />

mengine zaidi <strong>ya</strong> watumishi wa umma kama vile madiwani, wanachama wastaafu, majeshi<br />

<strong>ya</strong> polisi, magereza, uhamiaji na zimamoto na wengine kama Waziri atakavyoamua<br />

akishauriwa na Bodi <strong>ya</strong> Wakurugenzi.<br />

Mfuko wa Taifa wa Bima <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> ulianza kuhudumia waheshimiwa madiwani 2010. Aidha<br />

Mfuko ulikasimiwa madaraka <strong>ya</strong> kusimamia uendeshaji wa Mifuko <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Jamii<br />

(CHF). Pia usajili wa majeshi ulianza na hadi sasa jumla <strong>ya</strong> wanachama 43,843<br />

wameshajisajili ambao ni sawa na asilimia 63 <strong>ya</strong> wanachama 69,803 waliotegemewa<br />

kujisajili. Kati <strong>ya</strong> wanachama waliojisajili 31,674 kutoka majeshi <strong>ya</strong> polisi, 10,120<br />

magereza, 1,508 uhamiaji na 541 Zima moto.<br />

Idadi <strong>ya</strong> Wanachama:<br />

Mfuko <strong>kwa</strong> ujumla umekuwa ukiongeza wanachama <strong>kwa</strong> wastani wa asilimia 14.5 kila<br />

mwaka na hadi kufikia tarehe 31 Machi 2011, wanachama wameongezeka mara tatu zaidi<br />

ukilinganisha na wanachama waliokuwepo mwaka2001.<br />

Mfuko una wanufaika wapatao 5,217,187. Idadi hii ni sawa na asilimia 15.2 <strong>ya</strong> Watanzania<br />

wote na ni asilimia 7.2 inachangiwa na wanachama wa Bima <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> (NHIF) na asilimia<br />

8.0 inachangiwa na wanachama wa Mifuko <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Jamii (CHF). Mlinganisho huu<br />

unazingatia idadi <strong>ya</strong> Watanzania kama ilivyotolewa na Sensa <strong>ya</strong> Watu <strong>ya</strong> mwaka 2002<br />

yenye idadi <strong>ya</strong> watu wapatao 34.4 milioni.<br />

Hata hivyo, <strong>kwa</strong> kulinganisha na ukuaji wa idadi <strong>ya</strong> watu hadi kufikia mwaka 2011,<br />

<strong>Tanzania</strong> inakisiwa kuwa na jumla <strong>ya</strong> Watanzania wapatao 42,746,620. Hivyo Mfuko<br />

unakadiriwa kutoa huduma <strong>kwa</strong> wanachama wapatao 5,217,187 idadi ambayo ni sawa na<br />

asililimia 12.2 <strong>ya</strong> Watanzania wote.<br />

Mfuko pia umekamilisha tathmini <strong>ya</strong> kitaalamu ambayo imetoa mapendekezo <strong>ya</strong> kuongeza<br />

idadi <strong>ya</strong> wanufaika zaidi <strong>ya</strong> sita (6) iliyopo sasa <strong>kwa</strong> gharama kidogo ili kuongeza uwigo wa<br />

wanufaika <strong>kwa</strong> mwanachama wa Mfuko. Mpango huu unajulikana kama NHIF mPlus na<br />

umesharidhiwa na Bodi <strong>ya</strong> Mfuko wa Taifa wa Bima <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> <strong>kwa</strong> utekelezaji. Kwa sasa<br />

86


taratibu za kisheria zinaendelea ili kuhakikisha kuwa mpango huu unapata baraka za Baraza<br />

la Mawaziri na hatimae kupitishwa na Bunge <strong>kwa</strong> utekelezaji.<br />

Kwa kutumia mpango huu, idadi <strong>ya</strong> Watanzania watakao tibiwa <strong>kwa</strong> kutumia utaratibu wa<br />

Bima <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> itaongezaka <strong>kwa</strong> asilimia kubwa na nia ni kufikia lengo la kutoa huduma za<br />

matibabu <strong>kwa</strong> Watanzania wengi zaidi (Universal Coverage).<br />

Mtandao wa Ofisi za NHIF<br />

Mfuko wa Taifa wa Bima <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> umekusudia kusogeza huduma karibu zaidi na wateja<br />

wake <strong>kwa</strong> kufungua ofisi za kanda ambazo zitakuwa zinahudumia mikoa miwili miwili.<br />

Hadi sasa Mfuko umefungua ofisi za Kanda katika mikoa na una ofisi za Kanda Kumi na<br />

tatu zilizo katika mikoa mbalimbali ikiwa ni pamoja na Kanda <strong>ya</strong> Mashariki (DSM), ikiwa<br />

na ofisi katika wila<strong>ya</strong> za Ilala, Temeke na Kinondoni. Aidha Mfuko una ofisi katika Kanda<br />

<strong>ya</strong> Ziwa- Mwanza, Kanda <strong>ya</strong> Kati - Dodoma, Kanda <strong>ya</strong> Magharibi - Tabora, Kanda <strong>ya</strong><br />

Kaskazini Mashariki - Moshi, Kanda <strong>ya</strong> Kask. Magharibi - Arusha, Kanda <strong>ya</strong> Kusini -<br />

Mtwara, Kanda <strong>ya</strong> N<strong>ya</strong>nda za Juu Kusini - Mbe<strong>ya</strong>, Kanda <strong>ya</strong> Iringa na Kanda <strong>ya</strong> Pwani –<br />

Morogoro.<br />

Matarajio<br />

Mfuko wa Taifa wa Bima <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> umedhamiria kuwa taasisi bora zaidi <strong>ya</strong> huduma za af<strong>ya</strong><br />

katika Ukanda wa Afrika, Kusini mwa Jangwa la Sahara. Ili kutimiza azima hiyo Mfuko<br />

umejiwekea lengo la kufikisha huduma zake <strong>kwa</strong> asilimia 30 <strong>ya</strong> Watanzania wote ifikapo<br />

mwaka 2015.<br />

87


12.2 CHAKULA NA LISHE<br />

Utangulizi<br />

Tatizo la utapiamlo nchini ni la siku nyingi. L<strong>imekuwepo</strong> kabla <strong>ya</strong> Uhuru na hadi sasa bado<br />

lipo. Tatizo hili lilikuwa kubwa sana kabla <strong>ya</strong> kupata Uhuru <strong>kwa</strong> mujibu wa kumbukumbu<br />

zilizopo. Hata hivyo tatizo hili limeendelea kupungua ingawa halijafikia hatua ambayo<br />

linaweza kusemekana kuwa si tatizo tena la kiaf<strong>ya</strong>. Kupungua huku kumetokana na juhudi<br />

mbalimbali ambazo zimekuwa zikitekelezwa tangu kabla <strong>ya</strong> Uhuru na hadi sasa.<br />

Hata hivyo hatua madhubuti na zenye malengo sahihi zimetekelezwa baada <strong>ya</strong> Uhuru hasa<br />

baada <strong>ya</strong> kuanzishwa <strong>kwa</strong> Taasisi <strong>ya</strong> Chakula na Lishe.<br />

Hatua zilizochukuliwa kabla <strong>ya</strong> Uhuru<br />

Juhudi za kupambana na tatizo la utapiamlo nchini ambazo hatimaye zilielekeza<br />

kuanzishwa <strong>kwa</strong> Taasisi <strong>ya</strong> Chakula na Lishe <strong>Tanzania</strong> (<strong>Tanzania</strong> Food and Nutrition<br />

Centre) zilianza kabla <strong>ya</strong> Uhuru. Kumbukumbu zilizopo zinaonyesha kuwa kati <strong>ya</strong> mwaka<br />

1920 na 1930 juhudi hizo zilielekezwa katika kuboresha af<strong>ya</strong> na lishe <strong>ya</strong> vikundi maalumu<br />

katika jamii. Kipaumbele kiliwe<strong>kwa</strong> katika kuzalisha chakula, kubadili tabia <strong>ya</strong> ulaji na<br />

kutoa posho au mgao (ration) <strong>ya</strong> chakula <strong>kwa</strong> jamii iliyokuwa katika taasisi ambazo ni<br />

shule, magereza, hospitali, kambi za mashamba na jeshini. Hivyo juhudi hizi hazikulenga<br />

jamii yote.<br />

Aidha taarifa zilizopatikana kuhusu lishe katika kipindi hicho zilionesha kuwa mlo wa jamii<br />

<strong>ya</strong> kiafrika ulikuwa hautoshelezi kilishe. Kutokana na taarifa hiyo mwaka 1937 Serikali <strong>ya</strong><br />

Ukoloni iliunda Kamati <strong>ya</strong> kutoa taarifa na kushauri kuhusu lishe katika koloni la<br />

Tanganyika.<br />

Kamati hiyo ilifan<strong>ya</strong> utafiti wa lishe miongoni mwa jamii. Kamati hiyo ilitoa maoni kuwa<br />

uboreshaji wa lishe <strong>ya</strong> jamii <strong>ya</strong> kiafrika unaboresha af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>o, utaongeza kinga <strong>ya</strong>o dhidi <strong>ya</strong><br />

<strong>magonjwa</strong> na uimara wa miili <strong>ya</strong>o na hivyo kuongeza uwezo wao wa kuzalisha mali.<br />

Kutokana na mapendekezo <strong>ya</strong> Kamati hii, Serikali iliandaa program <strong>ya</strong> lishe. Hata hivyo<br />

program hii haikuweza kutekelzwa kutokana na kuibuka <strong>kwa</strong> vita <strong>ya</strong> pili <strong>ya</strong> dunia.<br />

Msukumo zaidi wa kupambana na utapiamlo ulianza baada <strong>ya</strong> vita <strong>ya</strong> pili. Mwaka 1947<br />

Kitengo cha Lishe (Nutrition Unit) kilianzishwa katika Wizara <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> na Afisa lishe<br />

aliteuliwa. Kazi kubwa iliyofanywa na kitengo hicho ilikuwa kuanzisha shughuli<br />

mbalimbali za lishe zikijumuisha uchunguzi wa hali <strong>ya</strong> lishe zililenga kuboresha hali <strong>ya</strong><br />

af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> makundi maalum ambayo <strong>ya</strong>lionekana kuwa na hali mba<strong>ya</strong> sana.<br />

Kuongezeka <strong>kwa</strong> vifo, milipuko <strong>ya</strong> <strong>magonjwa</strong> na njaa iliyotokea miaka <strong>ya</strong> 1950<br />

kulikosababishwa na utapiamlo na sababu nyingine kuliisukuma Wizara <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> kuweka<br />

juhudi zaidi katika masuala <strong>ya</strong> lishe. Juhudi hizo zililenga kutazama lishe kama tatizo<br />

linalohusu sekta mbalimbali na hasa baada <strong>ya</strong> kuanza <strong>kwa</strong> mafunzo <strong>ya</strong> lishe katika shule <strong>ya</strong><br />

Lishe <strong>ya</strong> Chuo Kikuu cha Makerere ambacho kilitoa timu <strong>ya</strong> wataalam wenye taaluma<br />

mchanganyiko.<br />

Hatua hii na nyingine zilisababisha kuanzishwa <strong>kwa</strong> Kamati <strong>ya</strong> kisekta <strong>ya</strong> kushauri Lishe<br />

(Multisectoral Central Advisory Committee on Nutrition), iliyokuwa na jukumu la kupitia<br />

na kushauri kuhusu masuala muhimu <strong>ya</strong> lishe. Hata hivyo juhudi mahususi za kuboresha<br />

lishe zilichukuliwa mwaka 1961.<br />

88


Lishe baada <strong>ya</strong> Uhuru<br />

Programu <strong>ya</strong> utafiti wa hali <strong>ya</strong> lishe ulifanyika na matokeo <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong>litumika katika kuandaa<br />

Mpango wa Kitaifa wa kuchunguza lishe <strong>ya</strong> watoto chini <strong>ya</strong> umri wa miaka mitano,<br />

wanawake wajawazito na wanaonyesha pamoja na watoto wa shule.<br />

Lishe katika kipindi hicho ilipata msukumo wa kisiasa hasa baada <strong>ya</strong> Rais wa Awamu <strong>ya</strong><br />

Kwanza Mwalimu Julius K. Nyerere kutangaza makusudio <strong>ya</strong> Serikali kupambana na<br />

utapimalo na kuomba msaada kutoka <strong>kwa</strong> wadau mbalimbali.<br />

Katika mwaka 1966 Serikali ilianzisha Shule <strong>ya</strong> lishe. Shule hii ilitoa mafunzo <strong>ya</strong> lishe <strong>kwa</strong><br />

Wakunga Maafisa Ugani wa Kilimo, Maafisa Ustawi wa Jamii na Walimu. Aidha,<br />

mashirika mbalimbali <strong>ya</strong>litoa uhisani wa mafunzo <strong>ya</strong> lishe, wataalamu, vifaa v<strong>ya</strong> maabara,<br />

fedha za kuendeshea shughuli za ufutailiaji pamoja na chakula cha misaada<br />

Ujio wa Azimio la Arusha<br />

Hiki ni kipindi ambacho Serikali ilianzisha Sera <strong>ya</strong> kupeleka madaraka mikoani. Sera hii<br />

iliongezea nguvu huduma za maendeleao vijijini. Mwaka 1968 Rais tena alisisitiza juu <strong>ya</strong><br />

umuhimu wa lishe katika maendeleo na akatoa rai <strong>ya</strong> kufan<strong>ya</strong> juhudi <strong>ya</strong> kuwafikia watoto<br />

katika vijiji kupitia huduma za Af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Mama na Mtoto (MCH). Rai hii <strong>ya</strong> Rais iliwavutia<br />

wadau mbalimbali ndani na nje <strong>ya</strong> nchi. Wizara <strong>ya</strong> Kilimo na Wizara <strong>ya</strong> Elimu nazo<br />

zilianzisha vitengo v<strong>ya</strong> lishe. Ilipofika mwaka 1969, Wila<strong>ya</strong> 27 katika Mikoa 16 nazo<br />

zilikuwa zimeanzisha vitengo v<strong>ya</strong> lishe. Ni katika kipindi hiki ambapo zilijitokeza taasisi<br />

za nje kuisaidia <strong>Tanzania</strong> kuanzisha miradi <strong>ya</strong> lishe. Kuanzishwa <strong>kwa</strong> vitengo mbalimbali<br />

katika Wizara kulileta matatizo <strong>ya</strong> kimtazamo wa suala la lishe nchini. Hakukuwa na<br />

chombo cha kusimamia na kuratibu masuala <strong>ya</strong> lishe <strong>ya</strong>liyokuwa <strong>ya</strong>kiendelea katika Wizara<br />

hizo.<br />

Kutokana na mchanganyiko huo, lilitokea wazo la kuanzisha taasisi ambayo itaratibu kazi<br />

zote za Chakula na Lishe nchini. Hivyo mwaka 1968 timu <strong>ya</strong> Wataalamu kutoka SIDA<br />

Sweden ikishirikiana na Wataalamu wa lishe wazawa ilipewa jukumu la kuandaa<br />

mapendekezo <strong>ya</strong> taasisi hiyo. Mapendekezo <strong>ya</strong> awali <strong>ya</strong>likataliwa <strong>kwa</strong>ni <strong>ya</strong>lilenga kuandaa<br />

taasisi <strong>ya</strong> kimaabara ambayo haikuwa karibu na jamii. Mapendekezo <strong>ya</strong> Timu <strong>ya</strong> pili <strong>ya</strong><br />

Sida <strong>ya</strong>likamilishwa mwaka 1972 na <strong>ya</strong>likubaliwa. Mapendekezo ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>lielekeza<br />

kuanzisha taasisi ambayo itajielekeza katika utoaji wa huduma <strong>kwa</strong> kushirikiana na maafisa<br />

ugani, wataalamu wa sa<strong>ya</strong>nsi na viongozi. Mapendekezo ha<strong>ya</strong> ndiyo <strong>ya</strong>liyozaa Taasisi <strong>ya</strong><br />

Chakula na Lishe <strong>kwa</strong> Sheria iliyopitishwa na Bunge tarehe 21 Novemba, 1973 na<br />

kuidhinishwa na Raisi Mwalimu Julius K. Nyerere tarehe 6 Desemba 1973. Hata hivyo<br />

sheria hiyo haikuainisha Taasisi hii chini <strong>ya</strong> Wizara gani. Hivyo Taasisi ilianzia Wizara <strong>ya</strong><br />

Kilimo, baadaye Ofisi <strong>ya</strong> Waziri Mkuu na hatimaye Wizara <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> ambako ndipo ilipo<br />

hadi sasa.<br />

Kuanzishwa <strong>kwa</strong> Taasisi <strong>ya</strong> Chakula na Lishe<br />

Uanzishwaji wa Taasisi <strong>ya</strong> Chakula na Lishe ulilenga katika kuongeza kasi <strong>ya</strong> kupambana<br />

na utapiamlo. Katika hatua za awali za uanzishwaji wake, Taasisi iliweka msukumo katika<br />

kujenga muundo wake <strong>kwa</strong> kuajiri na kutoa mafunzo <strong>ya</strong> lishe <strong>kwa</strong> watumishi walioajiriwa.<br />

Taasisi pia ilianza <strong>kwa</strong> kuwa na Bodi iliyokuwa na wajumbe toka <strong>Tanzania</strong> Bara na<br />

Zanzibar. Rais mstaafu wa Awamu <strong>ya</strong> pili Mheshimiwa Ali Hassan Mwinyi, wakati huo<br />

akiwa Wizara <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> ndiye aliteuliwa kuwa Mwenyekiti wa <strong>kwa</strong>nza wa Bodi <strong>ya</strong> Taasisi.<br />

89


Taasisi ilianza kazi <strong>kwa</strong> kufan<strong>ya</strong> uchunguzi wa kina wa hali <strong>ya</strong> lishe nchini katika ngazi<br />

zote kuanzia vijijini hadi ngazi <strong>ya</strong> Taifa ili iweze kuandaa mipango <strong>ya</strong> kukabiliana na tatizo<br />

hili. Aidha, uchunguzi huo ulionyesha kuwepo <strong>kwa</strong> upungufu wa mipango <strong>ya</strong> lishe katika<br />

ngazi <strong>ya</strong> Mikoa na Wizara. Hata hivyo msukumo wa awali wa kukabiliana na tatizo hilo<br />

uliweka kipaumbele katika kilimo hasa uzalishaji wa chakula, usindikaji na ubora wake.<br />

Hii ilitokana na dhana <strong>ya</strong> utapiamlo iliyotawala kipindi hicho cha mzunguko wa chakula<br />

(Food Cycle Model). Dhana hii iliendelea kutumika tangu kuanzishwa <strong>kwa</strong> Taasisi hii hadi<br />

miaka <strong>ya</strong> 80 ilipodhihirika kuwa haikuwa sahihi. Hii ilitokea baada <strong>ya</strong> tafiti mbalimbali<br />

zilizofanyika kipindi hicho. Matokeo <strong>ya</strong> tafiti hizo <strong>ya</strong>lionyesha kuwa utapiamlo ulikuwepo<br />

hata katika jamii iliyokuwa na hali bora <strong>ya</strong> maisha pamoja na maeneo <strong>ya</strong>liyokuwa na<br />

chakula.<br />

Tafiti hizo pia zilionyesha kuwa sababu nyingine za utapiamlo zilikuwa za kijamii na<br />

kiuchumi ambazo hazikuwa zimejumuishwa katika dhana hiyo. Umuhimu wa kuwa na<br />

mwongozo wa kitaifa wa utekelezaji wa lishe nao ni miongoni mwa matokeo <strong>ya</strong> tafiti hizo.<br />

Mwongozo huu ndio ulikuja kuzaa Sera <strong>ya</strong> Taifa <strong>ya</strong> Chakula na Lishe iliyopitishwa mwaka<br />

1992 ambao mchakato wake ulianza mwishoni mwa mwaka 1980.<br />

Mtazamo mp<strong>ya</strong> wa matatizo <strong>ya</strong> Lishe nchini<br />

Baada <strong>ya</strong> kuundwa <strong>kwa</strong>ke, Taasisi ilikutana na changamoto nyingi za kupambana na<br />

utapiamlo. Wataalam wake walibuni mikakati mbalimbali <strong>ya</strong> kukabiliana na changamoto<br />

hizo. Mkakati mmojawapo ambao umekuwa dira <strong>ya</strong> utekelezaji wa kazi zake ni wa kubuni<br />

dhana mp<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> utapiamlo. Dhana hii ambayo imekuja kukubaliwa na wadau mbalimbali<br />

nchini mwetu na jumuia <strong>ya</strong> Kimataifa ni inayoangalia tatizo la utapiamlo katika ngazi tatu<br />

za sababu zake. Utapiamlo <strong>kwa</strong> mujibu wa dhana hii ni matokeo <strong>ya</strong> sababu za karibu,<br />

sababu zisizo za wazi na sababu za msingi. Sababu za karibu ni zile zinatokana na ulaji<br />

duni na <strong>magonjwa</strong>. Sababu zisizo za wazo ni mwingiliano wa upungufu wa uhakika wa<br />

chakula katika ka<strong>ya</strong>, upungufu katika matunzo <strong>ya</strong> vikundi maalumu (watoto chini <strong>ya</strong> umri<br />

wa miaka mitano na wanawake wajawazito na wanaonyesha) na upungufu wa huduma za<br />

af<strong>ya</strong>. Sababu za msingi zimewe<strong>kwa</strong> ngazi <strong>ya</strong> tatu. Sababu hizi zinajumuisha siasa, mfumo<br />

wa nchini, mila na desturi na rasilimali.<br />

Dhana hii imetumiwa na Taasisi katika kuandaa Sera <strong>ya</strong> Taifa <strong>ya</strong> Chakula, Mikakati<br />

mbalimbali, mipango na afua mbalimbali za lishe. Ubunifu wa dhana hii ni mojawapo <strong>ya</strong><br />

mafanikio <strong>ya</strong> Serikali katika kupambana na lishe duni nchini kutokana na uamuzi wake wa<br />

kuanzisha Taasisi <strong>ya</strong> Chakula na Lishe.<br />

Mafanikio<br />

Serikali kupitia Taasisi <strong>ya</strong> Chakula na Lishe na <strong>kwa</strong> kushirikiana na wadau mbalimbali wa<br />

ndani na nje imeweza kupiga hatua katika kukabiliana na tatizo la utapiamlo nchini.<br />

Masuala <strong>ya</strong> mafanikio <strong>ya</strong>meainishwa kama ifuatavyo:<br />

Kupungua <strong>kwa</strong> utapiamlo<br />

Upungufu wa Nishati na Utomwili<br />

Tatizo la utapiamlo nchini limeendelea kupungua ingawa bado halijafikia kiwango kizuri<br />

sana. Hakuna takwimu sahihi zinazoonyesha hali <strong>ya</strong> utapiamlo ilivyokuwa kabla <strong>ya</strong> kupata<br />

Uhuru. Hata hivyo taarifa zilizopo za kimaandishi zinaonyesha hali ilikuwa ni mba<strong>ya</strong> sana.<br />

Tafiti zilizofanywa mara tu baada <strong>ya</strong> Uhuru katika maeneo mbalimbali nchini zilionyesha<br />

hali <strong>ya</strong> utapiamlo kuendelea kuwa mba<strong>ya</strong>. Kwa mfano utafiti uliofanywa kati <strong>ya</strong> mwaka<br />

90


1964 na 1967 katika mikoa <strong>ya</strong> Dodoma, Kilimanjaro na Dar es Salaam na Wila<strong>ya</strong> <strong>ya</strong><br />

Karagwe zilionyesha kuwa kati <strong>ya</strong> asilimia 40 na 66 <strong>ya</strong> watoto chini <strong>ya</strong> umri wa miaka<br />

mitano walikuwa na uzito pungufu. Hali kama hiyo ilijionyesha katika tafiti nyingine<br />

zilizofuata zilizofanyika kati <strong>ya</strong> mwaka 1978 katika Mkoa wa Iringa na 1985 na Wila<strong>ya</strong> za<br />

Biharamulo na Ngara.<br />

Hata hivyo kutokana na hatua mbalimbali zilizochukuliwa kati <strong>ya</strong> 1991 hadi 2010 ziliweza<br />

kuboresha hali <strong>ya</strong> lishe. Hali <strong>ya</strong> utapiamlo wa upungufu wa nishati na utomwili umekuwa<br />

ukipungua <strong>kwa</strong> kuangalia viashiria v<strong>ya</strong> udumavu, ukondefu na uzito pungufu <strong>kwa</strong> watoto<br />

wenye umri chini <strong>ya</strong> miaka mitano.<br />

Mwaka 1991/92 asilimia 42.6 <strong>ya</strong> watoto chini <strong>ya</strong> umri wa miaka mitano walikuwa<br />

wamedumaa, mwaka 1996 walikuwa asilimia 43.4, mwaka 1999 asilimia 44, mwaka 2004<br />

asilimia 38 na mwaka 2010 asilimia 35.<br />

Takwimu za ukondefu nazo zinaonyesha kushuka kidogo. Mwaka 1991 asilimia 6<br />

walikuwa na ukondefu, mwaka 1996 asilimia 7, mwaka 1999 asilimia 5, mwaka 2004<br />

asilimia 3 na mwaka 2010 asilimia 3. Aidha, Takwimu za watoto wanaozaliwa na uzito<br />

pungufu nazo zilionyesha kushuka. Watoto waliozaliwa na uzito pungufu mwaka 1991<br />

walikuwa asilimia 29, mwaka 1996 asilimia 31, mwaka 1999 asilimia 29, mwaka 2004<br />

asilimia 22 na mwaka 2010 asilimia 21.<br />

Upungufu wa Madini joto mwilini<br />

Utapiamlo wa aina hii umepungua sana tangu hatua mbalimbali zilipochukuliwa. Hatua<br />

hizo zilianza na kutoa sindano zenye madini joto na kufuatiwa na utoaji vidonge vyenye<br />

madini joto katika miaka <strong>ya</strong> 80 na 90. Hatua madhubuti zaidi zilianza kutekelezwa miaka<br />

<strong>ya</strong> mwishoni mwa 90 <strong>kwa</strong> kuanza kuweka madini joto katika chumvi. Kutokana na hatua<br />

hizo zote tatizo la upungufu wa madini joto lilishuka kutoka asilimia 25 miaka <strong>ya</strong> 80 hadi<br />

asilimia 7 hivi sasa. Aidha, matumizi <strong>ya</strong> chumvi yenye madini joto umeongezeka kutoka<br />

asilimia 13 mwaka 1991 hadi wastani wa asilimia 82 mwaka 2010.<br />

Upungufu wa Vitamin A<br />

Utafiti uliofanyika mwaka 1997 ulionyesha kuwa asilimia 24 <strong>ya</strong> watoto chini <strong>ya</strong> umri wa<br />

miaka mitano walikuwa na upungufu wa vitamin A. Kampeni ambazo zimekuwa<br />

zikiendeshwa za kutoa matone <strong>ya</strong> Vitamini A na dawa za minyoo mara mbili <strong>kwa</strong> mwaka<br />

na elimu <strong>ya</strong> ulaji wa v<strong>ya</strong>kula vyenye Vitamin A <strong>kwa</strong> wingi umepunguza tatizo hili hadi<br />

kufikia asilimia. Aidha, watoto wenye umri chini <strong>ya</strong> miaka mitano wanaopata matone <strong>ya</strong><br />

Vitamin A umeongezeka kutoka asilimia 46 mwaka 2004/05 hadi asilimia 61.<br />

Upungufu wa damu<br />

Tatizo la upungufu wa damu <strong>kwa</strong> watoto wenye umri chini <strong>ya</strong> miaka mitano nalo<br />

limepungua kutoka asilimia 72 mwaka 2004/2005 hadi asilimia 59 mwaka 2010.<br />

Sera, Mikakati na miongozo <strong>ya</strong> Lishe<br />

Kupungua <strong>kwa</strong> tatizo la utapiamlo nchini kumetokana na kuandaa na kutekeleza mipango<br />

na miradi mbalimbali <strong>ya</strong> lishe. Mafanikio katika eneo hili ni kama ifuatavyo:-<br />

Sera<br />

Serikali ilipitisha Sera <strong>ya</strong> Taifa <strong>ya</strong> Chakula na Lishe mwaka 1992. Sera hii ambayo<br />

imekuwa ikielekeza utekelezaji wa afua mbalimbali za lishe nchini imefanyiwa mapitio<br />

mwaka 2011 na rasimu <strong>ya</strong> <strong>kwa</strong>nza imekwishakamilika.<br />

91


Mikakati <strong>ya</strong> Lishe<br />

Serikali kupitia Taasisi <strong>ya</strong> Chakula na Lishe na <strong>kwa</strong> kushirikiana na wadau mbalimbali<br />

ilikamilisha Mpango Mkakati wa Kitaifa wa Lishe 2009/10 hadi 2014/15. Mpango<br />

Mkakati huu umeainisha maeneo muhimu ambayo <strong>ya</strong>napaswa kupewa kipaumbele<br />

ambayo utekelezaji wake utatoa matokeo <strong>ya</strong> haraka katika uboreshaji wa lishe. Maeneo<br />

ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>najumuisha uzuiaji wa utapiamlo na kutokomeza udumavu miongoni mwa watoto<br />

chini <strong>ya</strong> umri wa miaka mitano, uendelezaji wa program <strong>ya</strong> uwekaji virutubishi katika<br />

chakula (Food Fortification), uimarishaji wa uhakika wa chakula katika Ka<strong>ya</strong>,<br />

upatikanaji wa lishe <strong>kwa</strong> watu wanaoishi na Virusi v<strong>ya</strong> UKIMWI na wenye UKIMWI na<br />

uendelezaji wa ulaji na mtindo wa maisha unaofaa.<br />

Miongozo<br />

Serikali imepitisha miongozo mbalimbali <strong>ya</strong> utekelezaji wa afua za lishe ikijumuisha<br />

mingozo <strong>ya</strong> lishe <strong>kwa</strong> watu wanaoishi na Virusi v<strong>ya</strong> UKIMWI na wenye UKIMWI,<br />

mwongozo wa utoaji wa matone <strong>ya</strong> Vitamin A na madini <strong>ya</strong> nyongeza na mwongozo wa<br />

utoaji chakula dawa wa ulishaji na unyonyeshaji wa watoto wachanga na wadogo.<br />

Sheria<br />

Sheria zilizopitishwa na Serikali zikilenga kudumisha viwango na ubora wa huduma za<br />

lishe ni pamoja na Sheria inayosimamia uwekaji wa madini joto katika chumvi na sheria<br />

inayodhibiti uuzaji na usambazaji wa maziwa mbadala <strong>ya</strong> watoto wachanga.<br />

Udhibiti wa Upungufu wa Madini Joto<br />

Tatizo la upungufu wa madini joto limepungua kutokana na kuwajengea uwezo wazalishaji<br />

chumvi wakubwa na wadogo kuweza kuongeza madini joto katika chumvi. Wazalishaji<br />

chumvi wakubwa 15 na wadogo wadogo 6,529 wamepatiwa pampu 4,800 za kunyunyizia<br />

madini joto kwenye chumvi na chupa 93,750 za kemikali za kupimwa uwepo wa madini<br />

joto katika chumvi. Aidha maabara ndogo za kupima viwango v<strong>ya</strong> madini joto katika<br />

chumvi zimeanzishwa katika Wila<strong>ya</strong> za Tanga, Bagamoyo, Kinondoni, Kilwa, Lindi na<br />

Mtwara.<br />

Udhibiti wa Upungufu wa Vitamini A<br />

Matone <strong>ya</strong> Vitamini A na dawa za minyoo zinatolewa mara mbili kila mwaka <strong>kwa</strong> watoto<br />

wenye umri chini <strong>ya</strong> miaka mitano katika wila<strong>ya</strong> zote. Aidha, utoaji wa matone <strong>ya</strong> Vitamini<br />

A unafanyika sanjari na uhamasishaji wa uzalishaji, hifadhi salama na ulaji wa v<strong>ya</strong>kula<br />

vyenye Vitamin A na madini <strong>kwa</strong> wingi.<br />

Kuboresha Unyonyeshaji na Ulishaji wa watoto wadogo<br />

Taasisi inaendelea kutoa elimu <strong>kwa</strong> jamii kuhusu unyonyeshaji na ulishaji wa watoto<br />

wachanga na wadogo. Kutokana na elimu kumekuwa na ongezeko la uelewa wa umuhimu<br />

wa kunyonyesha maziwa <strong>ya</strong> mama pekee katika kipindi cha miezi sita <strong>ya</strong> <strong>kwa</strong>nza tangu<br />

mtoto azaliwe. Hivi sasa asilimia 50 <strong>ya</strong> watoto wachanga wananyonyeshwa maziwa <strong>ya</strong><br />

mama pekee katika miezi sita <strong>ya</strong> mwanzo ikilinganishwa na asilimia 41 mwaka 2004/05.<br />

Vile vile elimu imekuwa ikitolewa kuhusu ulishaji wa watoto v<strong>ya</strong>kula v<strong>ya</strong> kulikiza.<br />

Lishe na UKIMWI<br />

Taasisi imetoa mafunzo kuhusu lishe na UKIMWI <strong>kwa</strong> watoa huduma majumbani na<br />

washauri nasaha 1,126 katika Wila<strong>ya</strong> 60 nchini. Aidha Taasisi ilisambaza nakala 17,000 za<br />

mwongozo wa Kitaifa kuhusu lishe bora <strong>kwa</strong> watu wanaoishi na Virusi v<strong>ya</strong> UKIMWI na<br />

92


UKIMWI. Vile vile zaidi <strong>ya</strong> watu wanaoishi na Virusi v<strong>ya</strong> UKIMWI na wenye UKIMWI<br />

6,000 wamegawiwa chakula dawa ambacho kina virutubishi lishe muhimu.<br />

Tafiti<br />

Zimefanyika tafiti mbalimbali baadhi <strong>ya</strong>ke zikianzia miaka <strong>ya</strong> 80. Matokeo <strong>ya</strong> tafiti hizo ni<br />

pamoja na kuwepo <strong>kwa</strong> chakula cha watoto ambacho <strong>kwa</strong> sasa kinajulikana kama “power<br />

food”, kutambua hali <strong>ya</strong> mabadiliko <strong>ya</strong> utapiamlo nchini tangu miaka <strong>ya</strong> 70 hadi sasa.<br />

Aidha, tafiti nyingine zimehusu uhifadhi na usindikaji bora wa v<strong>ya</strong>kula unaojumuisha<br />

ubunifu wa kaushio bora <strong>kwa</strong> ajili <strong>ya</strong> kukausha mboga za majani na matunda, utengenezaji<br />

wa unga bora wa muhogo na utafiti wa chakula kinachofaa <strong>kwa</strong> watu wanaoishi na Virusi<br />

v<strong>ya</strong> UKIMWI na wenye UKIMWI. Utafiti umeonyesha chakula hiki ambacho kinatokana<br />

na mazao <strong>ya</strong>nayopatikana humu nchini ambacho ni mchanganyiko wa unga wa mahindi,<br />

so<strong>ya</strong> pamoja na virutubishi v<strong>ya</strong> madini na vitamini kina uwezo wa kuboresha lishe <strong>ya</strong> jamii<br />

hii.<br />

Uenezaji wa Teknolojia usindikaji bora wa unga wa muhogo<br />

Taasisi imeeneza teknolojia <strong>ya</strong> usindikaji bora wa unga wa muhogo baada <strong>ya</strong> kuifanyia<br />

utafiti. Teknolojia hii imeenezwa <strong>kwa</strong> wakulima wa zao hilo katika wila<strong>ya</strong> za mikoa<br />

inayolima zao hili. Mikoa hii ni Lindi, Mtwara, Kigoma na Pwani.<br />

Uongezaji wa virutubishi kwenye v<strong>ya</strong>kula (Food Fortification)<br />

Mpango wa kitaifa wa uongezaji virutubishi kwenye v<strong>ya</strong>kula umeanzishwa. Mpango huu<br />

utaanza <strong>kwa</strong> kuongeza virutubishi katika v<strong>ya</strong>kula vinavyotengenezwa viwandani v<strong>ya</strong> unga<br />

wa mahindi, unga wa ngano na mafuta <strong>ya</strong> kula. Aidha taratibu zimeandaliwa za kuendeleza<br />

mpango huo ngazi <strong>ya</strong> jamii.<br />

Changamoto<br />

• Upungufu mkubwa wa wataalam wa lishe katika ngazi <strong>ya</strong> Mkoa, Wila<strong>ya</strong> na vijiji.<br />

• Kuendelea kuwepo uelewa mdogo wa masula <strong>ya</strong> lishe miongoni mwa jamii.<br />

• Upungufu mkubwa wa rasilimali fedha <strong>ya</strong> kutekeleza masuala na afua za lishe ngazi<br />

zote tangu <strong>ya</strong> taifa hadi vijijini.<br />

• Kukabiliana na tatizo la utapiamlo na linalokwenda sanjari na ongezeko la <strong>magonjwa</strong><br />

<strong>ya</strong>tokanayo na mitindo <strong>ya</strong> maisha <strong>ya</strong>siyofaa na ulaji duni. Matatizo ha<strong>ya</strong> ni pamoja na<br />

unene uliozidi unaochochea <strong>magonjwa</strong> kama vile kisukari, shinikizo kubwa la damu na<br />

<strong>magonjwa</strong> <strong>ya</strong> kansa.<br />

Matarajio<br />

Uboreshaji wa Huduma za Lishe ngazi <strong>ya</strong> Wila<strong>ya</strong> na Kata<br />

Serikali itaendelea kuboresha huduma za lishe ngazi <strong>ya</strong> Wila<strong>ya</strong>. Katika kutekeleza<br />

matarajio ha<strong>ya</strong>, serikali kupitia Wizara <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> na Ustawi wa Jamii imeanzisha Kada <strong>ya</strong><br />

Maafisa Lishe Ngazi <strong>ya</strong> Wila<strong>ya</strong> na Kata. Kada hii imejumuishwa katika Muundo wa<br />

Utumishi wa Wizara hii.<br />

Uongezaji wa Bajeti <strong>ya</strong> Lishe<br />

Serikali <strong>kwa</strong> kushirikiana na wadau wa maendeleo itaendelea kuongeza bajeti <strong>ya</strong> huduma za<br />

lishe nchini.<br />

Elimu <strong>ya</strong> Lishe <strong>kwa</strong> Jamii<br />

Serikali itaendelea kujenga uwezo wa jamii kutambua matatizo <strong>ya</strong> lishe <strong>kwa</strong> kutoa elimu <strong>ya</strong><br />

lishe. Elimu hii itaendelea kutolewa kupitia vyombo v<strong>ya</strong> habari. Vyombo hivi ni pamoja<br />

93


na redio na luninga. Vile vile elimu itaendelea kutolewa kupitia machapisho mbalimbali<br />

kama vitabu, majarida, vipeperushi na mabango.<br />

Utekelezaji wa afua mbalimbali<br />

Serikali itaendelea kutekeleza afua mbalimbali za lishe zinazolenga kupunguza tatizo la<br />

utapiamlo nchini. Afua hizo ni pamoja na kuendelea kutoa vidonge v<strong>ya</strong> vitamini A,<br />

kuendeleza juhudi za kuweka madini joto katika chumvi, kuendeleza uwekaji wa virutubishi<br />

katika v<strong>ya</strong>kula, kuendelea kushughulikia lishe na UKIMWI. Aidha itaendelea na juhudi za<br />

kuhamasisha na kuendeleza unyonyeshaji na ulishaji wa watoto wachanga na wadogo, tafiti<br />

mbalimbali na kutoa mafunzo <strong>kwa</strong> wataalam wa lishe.<br />

94


12.3 BOHARI YA DAWA<br />

Bohari <strong>ya</strong> Dawa ni Idara <strong>ya</strong> Serikali chini <strong>ya</strong> Wizara <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> na Ustawi wa Jamii<br />

iliyoundwa <strong>kwa</strong> Mujibu wa Sheria <strong>ya</strong> Bunge Namba 13 <strong>ya</strong> Mwaka, 1993. Utendaji wa Idara<br />

unaongozwa na Mpango Mkakati wa Miaka Sita (2007 2013). Mpango huo una malengo<br />

makuu matatu, ambayo ni; kuhakikisha upatikanaji endelevu wa dawa na vifaa tiba;<br />

kuboresha mifumo <strong>ya</strong> ukaguzi wa ubora na teknolojia <strong>ya</strong> habari na mawasiliano;<br />

kuhamishia shughuli nyingi za bohari kwenda katika kanda zake tisa.<br />

Bohari <strong>ya</strong> dawa ina jumla <strong>ya</strong> wafan<strong>ya</strong>kazi 370, kati <strong>ya</strong>o 171 wako Dar es Salaam makao<br />

makuu na 179 wako kwenye kanda tisa. Wataalam hawa wanataaluma kuu za uboharia,<br />

ufamasia, uhasibu, huduma <strong>kwa</strong> wateja na teknohama.<br />

Majukumu<br />

i) Ununuzi;<br />

ii) Utunzaji; na<br />

iii) Usambazaji wa Dawa na Vifaa <strong>Tiba</strong> katika hospitali na vituo v<strong>ya</strong> kutolea huduma za<br />

af<strong>ya</strong> v<strong>ya</strong> Umma.<br />

Maendeleo na Mafanikio<br />

i) Mpango Mkakati (Medium Term Strategic Plan 2007-2013) uliandaliwa. Mpango huu<br />

utaimarisha mfumo wa usambazaji dawa na vifaa tiba katika vituo v<strong>ya</strong> kutolea huduma<br />

za af<strong>ya</strong> v<strong>ya</strong> umma. Kwa sasa Bohari <strong>ya</strong> Dawa ina Bohari za Kanda 9.<br />

ii) Usambazaji wa dawa, vifaa na vifaa tiba katika hospitali, vituo v<strong>ya</strong> af<strong>ya</strong> na zahanati za<br />

umma umeongezeka kutoka asilimia 55 hadi 85 katika kipindi cha miaka mitatu (2006-<br />

2010). Aidha, Bohari <strong>ya</strong> Dawa <strong>kwa</strong> kushirikiana na Mamlaka <strong>ya</strong> Chakula na Dawa<br />

wameanzisha ufuatiliaji wa ubora wa dawa na vifaa. Vilevile, Bohari <strong>ya</strong> Dawa inafan<strong>ya</strong><br />

mikutano na wadau wakiwemo wateja wote nchini. Mikutano hiyo inalenga<br />

kuwaelimisha wadau na watoa huduma juu <strong>ya</strong> taratibu za usambazaji dawa na vifaa. Pia,<br />

imesambaza dawa za Miradi Misonge na maalum <strong>kwa</strong> ufanisi mkubwa.<br />

iii) Mikataba maalum na wazabuni inayowezesha kupatikana <strong>kwa</strong> dawa, vifaa, vifaa tiba na<br />

vitendanishi <strong>kwa</strong> muda mfupi ilianza kutumika. Aidha, Mfumo wa Teknolojia <strong>ya</strong><br />

Habari na Mawasiliano ili kukidhi ongezeko la huduma zinazotolewa na kuwezesha<br />

wateja kupata taarifa za upatikanaji wa dawa, vifaa, vifaa tiba na vitendanishi<br />

umebadilishwa. Pia, Maafisa Huduma <strong>kwa</strong> Wateja wameajiriwa katika Bohari zote za<br />

Kanda ili kuwezesha ufuatiliaji wa mahitaji <strong>ya</strong> wateja na kushughulikia malalamiko <strong>ya</strong>o.<br />

iv) Mfumo wa ugavi kulingana na mahitaji <strong>ya</strong> vituo na mgawo wa fedha (Integrated<br />

Logistics System) umeanzishwa na ta<strong>ya</strong>ri unatumika katika mikoa 18. Ili kuboresha<br />

usambazaji wa dawa na vifaa Bohari za Kanda zimeanza kufungasha mahitaji <strong>ya</strong> wateja<br />

katika maeneo <strong>ya</strong>ke badala <strong>ya</strong> kufanyika Makao Makuu Dar es Salaam.<br />

v) Mitambo <strong>ya</strong> kufungasha dawa, vifaa tiba na vitendanishi imefungwa katika Bohari zake<br />

za Kanda ili kuimarisha utekelezaji wa mfumo wa uagizaji dawa na vifaa tiba kulingana<br />

na mahitaji na kutoa mafunzo juu <strong>ya</strong> mfumo huo <strong>kwa</strong> kushirikiana na wadau. Aidha,<br />

majaribio <strong>ya</strong> kusambaza dawa na vifaa tiba hadi kwenye zahanati na vituo v<strong>ya</strong> af<strong>ya</strong> v<strong>ya</strong><br />

umma <strong>ya</strong>mefanyika katika Mkoa wa Tanga, <strong>kwa</strong> lengo la kueneza mfumo huo katika<br />

vituo vyote v<strong>ya</strong> umma v<strong>ya</strong> kutolea huduma za af<strong>ya</strong>.<br />

vi) Bohari zote za Kanda zimekasimiwa madaraka <strong>ya</strong> kiutendaji, kuongeza rasilimali watu<br />

na vitendea kazi. Aidha, Bohari <strong>kwa</strong> kushirikiana na wadau imejenga up<strong>ya</strong> Bohari <strong>ya</strong><br />

95


Dawa, Kanda <strong>ya</strong> Mwanza na maghala katika Bohari za Kanda za Mtwara na Tabora<br />

yenye mita za mraba 2,580 ili kuongeza uwezo wa kuhifadhi dawa, vifaa, vifaa tiba na<br />

vitendanishi.<br />

vii) Imepata ripoti safi za wakaguzi wa nje wa hesabu zake na inajiendesha kibiashara bila<br />

kutegemea ruzuku <strong>ya</strong> Serikali.<br />

viii) Uwezo wa kuhifadhi dawa na vifaa katika maghala umeongezeka kutoka mita za<br />

mraba 7,565 mwaka 1994 hadi kufikia mita za mraba 30,656.<br />

Changamoto<br />

a) Ukuaji wa deni llinalotokana na ugomboaji wa mizigo bandarini. Deni hili limefikia<br />

Shilingi bilioni 36.<br />

b) Upungufu wa nyenzo za utendaji kazi hususan magari <strong>kwa</strong> ajili <strong>ya</strong> kusambaza dawa<br />

hadi vituo v<strong>ya</strong> af<strong>ya</strong>.<br />

c) Usambazaji wa Dawa, Vifaa na Vifaa tiba mpaka kwenye ngazi <strong>ya</strong> Zahanati kutahitaji<br />

ongezeko la vitendea kazi na rasilimali fedha.<br />

96


12.4 USTAWI WA JAMII<br />

Utangulizi<br />

Taasisi <strong>ya</strong> Ustawi wa Jamii ilianzishwa <strong>kwa</strong> mujibu wa sheria <strong>ya</strong> Bunge Na. 26 <strong>ya</strong> mwaka<br />

1973 na kuanza kuendesha shughuli zake rasmi mnamo tarehe 5 Agosti 1974 kwenye<br />

majengo <strong>ya</strong> kukodisha huko Kurasini. Madhumuni <strong>ya</strong> kuanzishwa <strong>kwa</strong> Taasisi hii ilelenga<br />

kulipatia Taifa wataalamu wazalendo katika fani <strong>ya</strong> Ustawi wa Jamii (Social Work) na<br />

baadae zikaongezeka fani za Uongozi Kazi mwaka (1982) na Rasilimali watu mwaka<br />

(2003).<br />

Chimbuko la mafunzo <strong>ya</strong> Ustawi wa Jamii ni mafunzo <strong>ya</strong> maendeleo <strong>ya</strong> watumishi katika<br />

Idara <strong>ya</strong> Ustawi wa Jamii (Idara <strong>ya</strong> majaribio na ujenzi wa Tabia). Mfumo rasmi wa<br />

mafunzo ha<strong>ya</strong> ulianzishwa chini <strong>ya</strong> msaada wa Umoja wa Mataifa kupitia serikali <strong>ya</strong><br />

Canada na Uholanzi. Mafunzo hayo <strong>ya</strong>lirasimishwa <strong>kwa</strong> kupanua uwigo na kuwajumuisha<br />

wafan<strong>ya</strong>kazi wengine kutoka sekta mbali mbali, kama vile JWTZ, Magereza, Af<strong>ya</strong> na asasi<br />

zisizokuwa za kiserikali. Wakati huo, mafunzo <strong>ya</strong>liyokuwa <strong>ya</strong>kitolewa ni Diploma <strong>ya</strong><br />

kawaida <strong>ya</strong> Ustawi wa Jamii <strong>kwa</strong> muda wa miaka miwili.<br />

Maendeleo na Mafanikio<br />

Uongozi na Utawala<br />

• Kutungwa <strong>kwa</strong> sheria <strong>ya</strong> Bunge Na. 26 1973 pamoja na marekebisho <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> mwaka<br />

2002.<br />

• Sheria hii ilibadilisha jina la Taasisi, toka ‘National Social Welfare Training Institute”<br />

na kuwa “Institute of Social Work”<br />

• Marekebisho <strong>ya</strong> sheria hii <strong>ya</strong>litoa muda wa kisheria wa Bodi <strong>ya</strong> Magavana kufan<strong>ya</strong><br />

kazi <strong>kwa</strong> kipindi cha miaka 3 na uteuzi kuwa mara 2 tu <strong>kwa</strong> mtu.<br />

• Sheria hii ilitofautisha mafunzo <strong>ya</strong> huduma za ustawi wa jamii (Social welfare) na <strong>ya</strong>le<br />

<strong>ya</strong> utaalamu wa fani <strong>ya</strong> Ustawi katika kutoa huduma za kijamii (Social work).<br />

• Mabadiliko hayo <strong>ya</strong>lipelekea kuanzishwa <strong>kwa</strong> kurugenzi mbili kubwa za Taasisi:<br />

Kurugenzi <strong>ya</strong> Taaluma; na<br />

Kurugenzi <strong>ya</strong> Fedha na Utawala.<br />

Ufundishaji na mafunzo<br />

Katika kipindi hicho pamekuwa na maendeleo makubwa <strong>ya</strong> ufundishaji na mafunzo <strong>kwa</strong><br />

mtitiririko ufuatao:<br />

(i) Kupandishwa <strong>kwa</strong> hadhi <strong>ya</strong> stashahada <strong>ya</strong> kawaida (Ordinary Diploma <strong>ya</strong> Ustawi)<br />

kuwa Stashahada <strong>ya</strong> Juu <strong>ya</strong> Ustawi (Advanced Diploma) mwaka 1978.<br />

(ii) Kuanzishwa <strong>kwa</strong> mafunzo <strong>ya</strong> cheti cha Ustawi wa Jamii (One year certificate<br />

Course in Social Work 1979/80).<br />

(iii) Kuanzishwa <strong>kwa</strong> mafunzo <strong>ya</strong> cheti <strong>ya</strong> Uongozi Kazi (One year Certificate in Labour<br />

Studies 1982/83).<br />

(iv) Kuanzishwa <strong>kwa</strong> mafunzo <strong>ya</strong> stashahada <strong>ya</strong> juu <strong>ya</strong> Uongozi Kazi (Advanced<br />

Dipoma in Labour Studies 1990/91).<br />

(v) Kuanzishwa <strong>kwa</strong> Stashahada <strong>ya</strong> uzamili katika fani <strong>ya</strong> Ustawi wa Jamii (Post<br />

Graduate Diploma in Social Work (2002/2003).<br />

97


(vi) Kuanzishwa <strong>kwa</strong>: (a) Cheti – Rasilimali watu (2002)<br />

(b) Stashahada <strong>ya</strong> juu – Rasilimali watu (2003/2004)<br />

(vii) Kuanzishwa <strong>kwa</strong> mafunzo <strong>ya</strong> mfumo wa umahiri na vitendo (Competency based)<br />

2005 chini <strong>ya</strong> Baraza la Ufundi la Taifa (NACTE) katika ngazi zifuatazo:-<br />

• Cheti NTA Level 4.<br />

• Cheti NTA Level 5.<br />

• Stashahada NTA Level 6.<br />

• Diploma <strong>ya</strong> juu (Higher Diploma) NTA level 7.<br />

• Shahada NTA Level 8.<br />

(viii)Kuanzishwa <strong>kwa</strong> mafunzo <strong>ya</strong> Uzamili katika fani <strong>ya</strong> Sheria, Usuluhishi na Uamuzi<br />

(Post Graduate Diploma in Law, Mediation and Arbitration) (2005/2006) ili kukidhi<br />

mata<strong>kwa</strong> <strong>ya</strong> sheria mp<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> kazi.<br />

(ix) Kuanzishwa <strong>kwa</strong> mafunzo <strong>ya</strong> muda mfupi <strong>ya</strong> Computer 2004/2005 <strong>kwa</strong> wanachuo<br />

na watumishi wa Taasisi.<br />

(x) Kuanzishwa <strong>kwa</strong> mafunzo <strong>ya</strong> jioni (Evening Program 2004/2005) katika ngazi <strong>ya</strong><br />

cheti, stashahada na shahada <strong>kwa</strong> fani zote zifundishwazo na Taasisi <strong>ya</strong> Ustawi.<br />

Taaluma<br />

Idadi <strong>ya</strong> wanachuo waliodahiliwa imekuwa ikiongezeka <strong>kwa</strong> kasi kubwa tokea mwaka 1974<br />

hadi 2011. Vile vile kumekuwa na ongezeko la wahitimu tangu kuanzishwa <strong>kwa</strong> Taaasisi<br />

hadi mwaka 2010.Kwa mfano mwaka 1976 kulikuwa na wahitimu ishirini na nne tu (24)<br />

wakati idadi hiyo iliongezeka na kufikia wahitimu 772 mwaka 2010 <strong>kwa</strong> ngazi <strong>ya</strong> cheti,<br />

stashahada, shahada na stashahada <strong>ya</strong> uzamili.<br />

Kuanzia mwaka 1976-2004 Taasisi ilikuwa ikiendesha taaluma <strong>kwa</strong> kutumia mfumo wa<br />

maarifa na nadharia kuliko vitendo (Knowledge based) na kufuata utaratibu wa mihula<br />

(Term System). Utaratibu huu ulibadilika mwaka 2005 baada <strong>ya</strong> kuanzisha mitaala<br />

inayojikita katika umahiri na vitendo (Competence based curriculum), chini <strong>ya</strong> utaratibu wa<br />

Baraza la elimu <strong>ya</strong> ufundi (NACTE). Mabadiliko ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>lianzisha ufundishaji unaotumia<br />

utaratibu wa semesta na kugawa masomo katika moduli za msingi; muhimu na za uchaguzi.<br />

Utaratibu wa utoaji mafunzo katika Taasisi<br />

• Taasisi awali ilikuwa na utoaji taaluma ambao <strong>kwa</strong> sehemu kubwa haukutoa fursa <strong>kwa</strong><br />

mwanachuo kushiriki katika mchakato wa kujifunza ( Teacher Centred) bali mwalimu<br />

kuwa chanzo cha maarifa na kujifunza.<br />

• Katika mwaka 2005/2006 mfumo wa utoaji taaluma ukawa wa umahiri na vitendo.<br />

(Competency Based Curricula)<br />

Taasisi ilianza kutoa mafunzo kuanzia ngazi <strong>ya</strong> cheti hadi stashahada <strong>ya</strong> uzamili <strong>kwa</strong> fani<br />

zote na kuwa moja <strong>ya</strong> vyuo v<strong>ya</strong> elimu <strong>ya</strong> <strong>ya</strong> juu <strong>Tanzania</strong>. Taasisi iliweza kuanzisha<br />

mahusiano <strong>ya</strong>kitaaluma na nchi mbalimbali <strong>kwa</strong> mfano, Canada, Uholanzi, Norway,<br />

Zimbabwe, Lesotho, Namibia, Sudan, Botswana, Zambia, n.k. Hii ni pamoja na mashirika<br />

<strong>ya</strong> Taaluma <strong>ya</strong> Ustawi wa Jamii kama vile Muungano wa vyuo v<strong>ya</strong> Ustawi wa Jamii barani<br />

Afrika Mashariki na duniani (IFSW).<br />

Taasisi imeanzisha, kudumisha na kuendeleza uhusiano wa kitaaluma na Taasisi za ndani na<br />

nje <strong>ya</strong> nchi kama “Illinious University”, Chicago, Addis-Ababa, University, Chuo Kikuu<br />

98


cha Dar es Salaam, UDOM, MUHAS, Newmans College of Social Work (Kigoma), Bergen<br />

University College, Oslo College, Arkeshus (Norway), IDRC, ILO, UNICEF, FES n.k.<br />

Wizara na Idara zimetambua na kutumia Taasisi <strong>ya</strong> Ustawi wa jamii <strong>kwa</strong> kushirikisha<br />

wataalamu walioko katika Taasisi <strong>kwa</strong> shughuli mbalimbali za kitaalamu za Wizara na<br />

Idara. Taasisi sasa in uwezo wa kusaidia mashirika <strong>ya</strong>siyo <strong>ya</strong> kiserikali katika kutoa<br />

huduma bora na endelevu, kama kutengeneza Sera zake; kufan<strong>ya</strong> tafiti na kushauri.<br />

Ushauri wa kitaalamu<br />

• Taasisi imeshiriki <strong>kwa</strong> kiasi kikubwa katika kutengeneza sera jamii mbalimbali kama<br />

vile Sera <strong>ya</strong> Wazee, sera <strong>ya</strong> watu wenye ulemavu, sera <strong>ya</strong> ustawi wa jamii, sera <strong>ya</strong><br />

mashirika <strong>ya</strong>sio <strong>ya</strong> kiserikali, sera <strong>ya</strong> hifadhi <strong>ya</strong> jamii n.k.<br />

• Taasisi imeshiriki kutoa ushauri wa kitaalamu katika kuanzisha Bodi <strong>ya</strong> “parole” na<br />

kutoa mafunzo <strong>ya</strong>ke <strong>kwa</strong> maafisa magereza.<br />

• Taasisi imeshiriki katika kuanzishwa ‘Community Service” na kufundisha rasilimali<br />

watu wake kwenye ngazi zote.<br />

• Taasisi imeshiriki katika kuandaa miongozo <strong>ya</strong> huduma <strong>ya</strong> watoto wanaokinzana na<br />

sheria <strong>Tanzania</strong>.<br />

• Taasisi imeshiriki kuandaa miongozo <strong>ya</strong> huduma za majanga mbalimbali (Disaster<br />

Management) katika nchi.<br />

• Taasisi imeshiriki katika kutoa afua (intervention) kwenye migogoro kati <strong>ya</strong> wafugaji na<br />

wakulima (Kilosa Morogoro).<br />

• Taasisi inaendelea kutoa mafunzo <strong>ya</strong> ulinzi na usalama <strong>kwa</strong> mtoto na mafunzo <strong>ya</strong><br />

kuhudumia watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi na familia zao.<br />

• Taasisi inatoa ushauri na mafunzo <strong>ya</strong> elimu nasaha <strong>kwa</strong> watu wanaoishi na virusi na<br />

walio katika hatari <strong>ya</strong> maambukizi <strong>ya</strong> ukimwi, n.k.<br />

U tafiti<br />

Taasisi imefan<strong>ya</strong> tafiti nyingi katika n<strong>ya</strong>nja tofauti kama ifuatavyo:-<br />

• Hifadhi <strong>ya</strong> jamii na namna <strong>ya</strong> kuongeza wigo.<br />

• Sera za jamii na utendaji wa tafiti .<br />

• Uzee na kuzeeka <strong>kwa</strong> kushirikiana na chuo kikuu cha Austria.<br />

• Watoto wanaoishi katika mazingira magumu.<br />

• Uzoefu wa uzazi, familia na watu wenye ulemavu katika ujasiriamali.<br />

• Athari za ukimwi katika sehemu za kazi.<br />

• Dhana za mawasiliano katika af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> uzazi n.k.<br />

Miundombinu<br />

Wakati wa kuanzishwa Taasisi mwaka 1976/77 Taasisi ilianza <strong>kwa</strong> majengo kama<br />

ifuatavyo:-<br />

• Jengo la Utawala.<br />

• Jengo la “Cafeteria.”<br />

• Majengo <strong>ya</strong> Mabweni <strong>kwa</strong> wanachuo.<br />

• Nyumba 2 za wafan<strong>ya</strong>kazi.<br />

• Jengo la ghorofa <strong>kwa</strong> wanachuo wa bweni.<br />

Ujenzi wa miundo mbinu uliongeza nyumba tano (5) za wafan<strong>ya</strong>kazi (Magorofa) <strong>kwa</strong><br />

msaada wa serikali <strong>ya</strong> Uholanzi, zenye uwezo wa kuhudumia familia za watumishi wa<br />

99


Taasisi. Katika mwaka 1990, Taasisi ilifanikiwa kujenga ukumbi wa chakula <strong>kwa</strong> msaada<br />

wa Serikali <strong>ya</strong> <strong>Tanzania</strong> na Serikali <strong>ya</strong> Uholanzi. Ukumbi huu una uwezo wa kuhudumia<br />

watu 150 <strong>kwa</strong> mkupuo. Taasisi pia ilijenga jengo la gorofa 3 zenye madarasa 6 <strong>ya</strong> kisasa<br />

pamoja na ofisi 6 za walimu mwaka 2002. Taasisi imeanzisha ujenzi wa Maktaba <strong>ya</strong> kisasa<br />

(Resource Centre) mwaka 2006 yenye kuweza kuhudumia watumiaji 800 <strong>kwa</strong> mkupuo na<br />

kutoa nafasi za ofisi 10 <strong>kwa</strong> watumishi wa Taasisi. Chuo kimefungua kituo cha ushauri<br />

nasaha <strong>kwa</strong> kuwahudumia wanachuo na jamii iliyo karibu na Chuo kama wajibu wa Taasisi<br />

<strong>kwa</strong> jamii (Social Responsibility).<br />

Teknohama<br />

• Katika kuhakikisha inakwenda sanjari na kasi <strong>ya</strong> maendeleo <strong>ya</strong> teknologia, Taasisi<br />

imeanzisha mtandao wa mawasiliano <strong>kwa</strong> chuo kizima (LAN-Local Area Network)<br />

ambao sasa imerahisisha mawasiliano <strong>kwa</strong> wafan<strong>ya</strong>kazi wa kada zote.<br />

• Taasisi imeanzisha mfumo wa kisa<strong>ya</strong>nsi wa udahili <strong>kwa</strong> waombaji wote wa nafasi za<br />

mafunzo katika Taasisi.<br />

• Taasisis pia imefanikiwa kuanzisha mfumo wa kisa<strong>ya</strong>nsi wa kuta<strong>ya</strong>risha na kutoa<br />

matokeo (ARIS- Academic Registration Information System).<br />

• Taasisi pia imefanikiwa kuanzisha tovuti (web site) ambayo inatumika <strong>kwa</strong> shughuli za<br />

mawasiliano.<br />

Changamoto<br />

Taasisi kuwa chini <strong>ya</strong> Idara <strong>ya</strong> Ustawi wa Jamii badala <strong>ya</strong> kuwa idara kamili chini <strong>ya</strong><br />

Wizara. Hii imepelekea Taasisi ifanye kazi <strong>kwa</strong> kupitia idara badala <strong>ya</strong> kuwajibika moja<br />

<strong>kwa</strong> moja <strong>kwa</strong> Wizara.<br />

Taasisi kuwa inabadilishwa kiwajibikaji (parenting) toka Wizara moja hadi nyingine<br />

ambazo zina malengo tofauti na Taasisi hivyo kuifan<strong>ya</strong> iyumbe katika kuwa na utendaji<br />

usio na mtazamo tofauti na Taasisi. Mabadiliko hayo ni kama ifuatavyo:-<br />

1962 – Taasisi iliwe<strong>kwa</strong> chini <strong>ya</strong> uangalizi wa Wizara <strong>ya</strong> Maendeleo na utamaduni.<br />

1969 – Taasisi iliwe<strong>kwa</strong> <strong>kwa</strong> chini <strong>ya</strong> uangalizi wa Wizara <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> na Ustawi wa jamii.<br />

1984 – Taasisi iliwe<strong>kwa</strong> <strong>kwa</strong> chini <strong>ya</strong> uangalizi wa Ofisi <strong>ya</strong> Waziri Mkuu.<br />

1990 – Taasisi iliwe<strong>kwa</strong> <strong>kwa</strong> chini <strong>ya</strong> uangalizi wa Wizara <strong>ya</strong> kazi na Ustawi wa Jamii.<br />

2006 – Kuifan<strong>ya</strong> Taasisi iwe ikiwajibika kiutendaji katika Wizara zaidi <strong>ya</strong> moja <strong>kwa</strong><br />

mfano, Wizara <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> na Ustawi wa Jamii na wakati huo huo inawajibika <strong>kwa</strong> Wizara<br />

<strong>ya</strong> Elimu na Ufundi . Changamoto nyingine ni pamoja na:-<br />

• Uhaba wa rasilimali fedha katika kuendesha shughuli mbalimbali za Taasisi.<br />

• Uhaba wa rasilimali watu katika fani mbali mbali ambazo zingesaidia kupanua kazi<br />

za Taasisi na uwigo wa ushawishi wake.<br />

• Uhaba wa miundo mbinu katika kukidhi mahitaji <strong>ya</strong> Taasisi.<br />

• Kuwepo <strong>kwa</strong> v<strong>ya</strong>nzo vichache v<strong>ya</strong> kuingizia Taasisi mapato.<br />

• Kukosekana <strong>kwa</strong> wataalamu wa kutosha katika ngazi <strong>ya</strong> uzamivu.<br />

• Kukosa wataalamu wa kutosha katika mbinu mp<strong>ya</strong> za kitafiti.<br />

• Kukosekana <strong>kwa</strong> miundo mbinu <strong>ya</strong> kukusan<strong>ya</strong> na kuhifadhi takwimu za kitafiti<br />

(Data base).<br />

• Taaluma <strong>ya</strong> ustawi wa jamii bado haijatambulika kikamilifu na baadhi <strong>ya</strong> Taasisi za<br />

serikali na wadau muhimu.<br />

• Kushindwa kuona tofauti kati <strong>ya</strong> fani <strong>ya</strong> maendeleo <strong>ya</strong> jamii na taaluma <strong>ya</strong> Ustawi<br />

wa jamii.<br />

100


• Kutokuwepo <strong>kwa</strong> nafasi za kutosha <strong>kwa</strong> wanachuo kufan<strong>ya</strong> mazoezi <strong>kwa</strong> vitendo<br />

pamoja na wasimamizi mahiri wa mazoezi <strong>kwa</strong> vitendo wenye uelewa wa taaluma<br />

<strong>ya</strong> ustawi wa jamii.<br />

Matarajio<br />

• Kuanzisha mafunzo <strong>ya</strong> uzamili na uzamivu, katika taaluma <strong>ya</strong> Ustawi.<br />

• Kuifan<strong>ya</strong> taaluma <strong>ya</strong> ustawi wa jamii ikubalike na itumike <strong>kwa</strong> kila Mtanzania<br />

muhitaji.<br />

• Kuboresha na kuimarisha mafunzo <strong>kwa</strong> vitendo <strong>kwa</strong> Taaluma <strong>ya</strong> Ustawi wa jamii.<br />

• Kutoa wataalamu wa kutosha katika kutoa taaluma za ustawi wa jamii <strong>kwa</strong> wale<br />

ambao hawana lakini wanafan<strong>ya</strong> kazi za taaluma y Ustawi.<br />

• Kukosekana <strong>kwa</strong> mshikamano thabiti kati <strong>ya</strong> taaluma <strong>ya</strong> Ustawi wa jamii na tiba<br />

(Missing link between Social Work Professional and Medicine).<br />

• Kuanzisha mafunzo <strong>ya</strong> malezi <strong>ya</strong> mtoto <strong>kwa</strong> ngazi <strong>ya</strong> cheti mpaka shahada.<br />

• Kufungua kituo cha Utafiti wa kushirikiana katika masuala <strong>ya</strong> kijamii na kitabibu<br />

(Social Work and bio-medical studies) katika kijiji cha Msoga ili kusaidia kutatua<br />

matatizo <strong>ya</strong> kijamii na kimataifa.<br />

• Kuanzisha vyuo shiriki katika kufikisha taaluma za Taasisi <strong>ya</strong> Ustawi karibu na<br />

wananchi.<br />

• Kupanua elimu masafa katika fani <strong>ya</strong> ustawi kutoka cheti mpaka shahada <strong>ya</strong><br />

<strong>kwa</strong>nza.<br />

101


12.5 MAABARA YA MKEMIA MKUU WA SERIKALI<br />

Utangulizi<br />

Maabara <strong>ya</strong> Mkemia Mkuu wa Serikali ambayo pia inajulikana kama Maabara Kuu <strong>ya</strong><br />

Kemia Afrika Mashariki na Kati (Ref. Ripoti <strong>ya</strong> Mkemia Mkuu wa Serikali 1985- 1990)<br />

ilianzishwa mwaka 1895 wakati wa enzi za Gavana Mjerumani H. Von Wissma. Lengo<br />

kuu la kuanzishwa <strong>kwa</strong>ke ilikuwa ni kufan<strong>ya</strong> utafiti wa <strong>magonjwa</strong> <strong>ya</strong> Ukanda wa Joto<br />

(Tropical Diseases).Toka kuanzishwa <strong>kwa</strong>ke, Maabara ilitekeleza majukumu <strong>ya</strong>ke chini <strong>ya</strong><br />

Katibu Mkuu Kiongozi (Chief Secretary) na baada <strong>ya</strong> Vita Kuu <strong>ya</strong> Kwanza <strong>ya</strong> Dunia<br />

ilihamishiwa Wizara <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong>.<br />

Kati <strong>ya</strong> mwaka 1947 - 1957 shughuli za Maabara <strong>ya</strong> Kemia zilikuwa chini <strong>ya</strong> Wizara <strong>ya</strong><br />

Kilimo na Mali Asili <strong>kwa</strong> kuwa katika kipindi hicho Maabara ilipokea sampuli nyingi<br />

kutoka Wizara hiyo na kuanzia mwaka 1958 hadi sasa Mabara imekuwa ikisimamiwa na<br />

Wizara <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong>.<br />

Majukumu <strong>ya</strong> Maabara <strong>kwa</strong> kipindi kirefu <strong>ya</strong>likuwa ni kufan<strong>ya</strong> uchunguzi wa kimaabara<br />

wa sampuli za v<strong>ya</strong>kula, dawa, maji, maji machafu, bidhaa za viwandani sampuli za<br />

mazingira na sampuli zinazohusiana na makosa <strong>ya</strong> jinai. Matokeo <strong>ya</strong> uchunguzi husaidia<br />

vyombo husika <strong>kwa</strong> mujibu wa sheria husika kufikia maamuzi stahili/kusaidia kutendeka<br />

haki katika tuhuma za kesi za jinai (ulevi, mauaji, ubakaji, wizi wa watoto, uhalali wa mtoto<br />

<strong>kwa</strong> mzazi) <strong>kwa</strong> kupitia vyombo husika, ha<strong>ya</strong> yote <strong>ya</strong>na mchango mkubwa <strong>kwa</strong> maendeleo<br />

<strong>ya</strong> jamii <strong>kwa</strong> ujumla.<br />

Licha <strong>ya</strong> kazi za kila siku, maabara imekuwa ikijishughulisha na kufan<strong>ya</strong> utafiti. Baadhi <strong>ya</strong><br />

tafiti za kimataifa zilizofanyika ni pamoja na mwaka 1897 - 1898, ambapo Bw. Gustav<br />

Giemsa aligundua mbinu <strong>ya</strong> "'Giemsa stain" <strong>kwa</strong> ajili <strong>ya</strong> uchunguzi wa vijidudu<br />

vinavyosababisha ugonjwa wa malaria, Prof. Robert Koch aligundua aina <strong>ya</strong> vimelea<br />

vinavyosababisha Kifua Kikuu (TB) na mwaka 1945, Bw. W.E Carton (Ph.D), aligundua<br />

sumu inayotumiwa katika mishale (Ouabain) kuua wan<strong>ya</strong>ma.<br />

Katika kipindi hicho, Maabara <strong>ya</strong> Mkemia Mkuu wa Serikali ilikuwa na wafan<strong>ya</strong>kazi 22<br />

(<strong>ya</strong>ani Mkemia Mkuu wa Serikali, Wakemia 9, Watekinolojia 9 na watendaji wa ofisi 3) na<br />

vifaa vichache kama Uv. Spectrophitometer, Gas chromatograph na Infra red spectrometer.<br />

Maendeleo na Mafanikio<br />

Kati <strong>ya</strong> mwaka 1970 -1980, Maabara <strong>ya</strong> Mkemia Mkuu wa Serikali iliongozwa na Bw. P. J.<br />

Madati na iliendelea na shughuli za uchunguzi wa kimaabara, utafiti na ushauri<br />

(consultancy and statutory advice). Katika kipindi hiki Taasisi za Viwango, Chakula na<br />

Lishe, Shirika la Utafiti <strong>ya</strong> Viuatilifu <strong>ya</strong>lianzishwa kutoka katika Maabara <strong>ya</strong> Mkemkia<br />

Mkuu wa Serikali.<br />

Majukumu <strong>ya</strong> Maabara <strong>ya</strong>likuwa ni pamoja na kufan<strong>ya</strong> uchunguzi wa usalama na ubora wa<br />

v<strong>ya</strong>kula, dawa, kemikali, maji, bidhaa za viwandani na sampuli kutoka Wizara/vyombo<br />

vingine ikiwa ni pamoja na vile vyote vianavyohusiana na kesi za jinai <strong>kwa</strong> kuzingatia<br />

sheria <strong>ya</strong> "The Criminal Procedure Act 1983 (1-4)" Cap.33; kutoa ushauri (Consultancy and<br />

statutory advice) <strong>kwa</strong> vyombo vinavyoomba hapa nchini na nje <strong>ya</strong> nchi na maabara kuu <strong>ya</strong><br />

rufaa nchini kuhusu masuala <strong>ya</strong> uchunguzi wa kikemia.<br />

102


Kipindi cha mwaka 1981 – 1990<br />

Mwaka 1981-1986, Maabara <strong>ya</strong> Mkemia Mkuu wa Serikali ikiwa chini <strong>ya</strong> Bw. P. J. Madati<br />

(1981-1986) na Dr. V. M. Fupi ( 1986-1990) iliendelea kutekeleza majukumu <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong><br />

kawaida Mwaka 1986 Maabara <strong>ya</strong> Kuu <strong>ya</strong> Kemia ilifufua na kuendesha mafunzo <strong>ya</strong><br />

mafundi sanifu wa maabara (Chemical Laboratory Technicians/Assistants).<br />

Ili kutimiza majukumu <strong>ya</strong>ke vizuri Maabara <strong>ya</strong> Mkemia Mkuu wa Serikali iligawanyika<br />

katika sehemu tano (5) <strong>ya</strong>ani sehemu za udhibiti wa v<strong>ya</strong>kula na dawa (Food & Drugs<br />

Quality Control), udhibiti wa ubora wa bidhaa za viwandani na mazingira (Industrial &<br />

Enviromental Pollution Control), Toksikolojia na Kesi za Jinai (Toxicology & Forenscic),<br />

Utafiti na mafunzo (Research and Training) na Huduma za Kiufundi (Technical Servies).<br />

Mwaka 1987 - 1989, Maabara <strong>ya</strong> Mkemia Mkuu wa Serikali <strong>kwa</strong> kushirikiana na Kituo cha<br />

Miradi cha Kimataifa cha Urusi (UNEPCOM) na Wizara <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> ilifan<strong>ya</strong> utafiti wa<br />

Mikotoksini (mycotoxin) ifahamikayo kama Aflatoksini na kugundua kuwa mazao ambayo<br />

hushambuliwa <strong>kwa</strong> wepesi na sibiko la ukungu (Mould contamination) ni mahindi,<br />

mpunga, mtama, mbata, ngano, uwele, karanga, mbegu za pamba na pamoja na v<strong>ya</strong>kula<br />

vinavyotokana na mazao ha<strong>ya</strong>. Kutokana na utafiti huo Shirika la Viwango la Taifa. TBS<br />

lilita<strong>ya</strong>risha viwango v<strong>ya</strong> kiwango cha kemikali hii kinachoruhusiwa katika nafaka. Ni<br />

jambo la muhimu sana na ni vyema kukumbuka <strong>kwa</strong>mba Aflatoksini huendelea kuwapo<br />

hata baada <strong>ya</strong> kupika chakula ambacho kilikuwa nazo.<br />

Kipindi cha mwaka 1991 – 2000<br />

Maabara <strong>ya</strong> Mkemia Mkuu wa Serikali iliongozwa iliongozwa na Dr. V. M. Fupi (1991 -<br />

1994), Bibi V. Mpore (1994- 1997) na Dk. E. N. M. Mashimba (1997 - 2010). Maabara <strong>ya</strong><br />

Mkemia Mkuu wa Serikali iliweza kununua mitambo <strong>ya</strong> kisasa <strong>ya</strong> "High Performancce<br />

Liquid Chromatograph (HPLC)", "Atomic Absorption Spectrophotometer (AAS)", Gas<br />

Chromatograph (GC), na "Fourier Trasform Infra Red Spectrometer (FTIR)" ambayo<br />

iliongeza ubora wa matokeo <strong>ya</strong> uchunguzi na kuongeza ufanisi wa utoaji huduma <strong>kwa</strong><br />

wateja.<br />

Mwaka 1995, Maabara ilifan<strong>ya</strong> Sherehe za Miaka Mia (1895 - 1995) tangu kuanzishwa<br />

<strong>kwa</strong>ke ambapo Mhe. Alhaj Alli Hassan Mwinyi, Rais wa Awamu <strong>ya</strong> Pili aliweka jiwe la<br />

msingi la jengo jip<strong>ya</strong> la MKEMIA HOUSE.<br />

Mwaka 1999, Maabara <strong>ya</strong> Mkemia Mkuu wa Serikali ilibadilishwa na kuwa Wakala <strong>kwa</strong><br />

Sheria <strong>ya</strong> Wakala za Serikali Na. 30 <strong>ya</strong> mwaka 1997 na kutangazwa katika Gazeiti la<br />

Serikali GN. 106 <strong>ya</strong> mwaka 2000, ambapo Wakala uliruhusiwa kutoza huduma zake ili<br />

kuweza kugharimia sehemu <strong>ya</strong> uendeshaji wa kazi zake. Hii ilitokana na utekelezaji wa<br />

Mpango wa Mabadiliko katika Huduma za Umma (PSRP) ambao ulikuwa una lengo la<br />

kuboresha utoaji huduma wa utumishi wa umma ili ziweze kuwafikia walengwa <strong>kwa</strong><br />

gharama nafuu na <strong>kwa</strong> wakati. Muundo wa Wakala kufuatia kuwa wakala ulikuwa na<br />

vitengo (divisheni) tano, ambazo huongozwa na Meneja ambao wanaripoti <strong>kwa</strong> Mkemia<br />

Mkuu wa Serikali. Vitengo hivyo ni Huduma za Mitambo, Usimamizi wa Kemikali,<br />

V<strong>ya</strong>kula na Dawa, Forensiki na Toksikologia na Huduma za Biashara.<br />

Kipindi cha mwaka 2001 – 2010/11<br />

Wakala wa Maabara <strong>ya</strong> Mkemia Mkuu wa Serikali iliongozwa Dr. E. N. M. Mashimba<br />

(1997 - 2010) na Bw. D. Z. Matata kuanzia mwaka 2010 hadi sasa. Katika kipindi hiki<br />

Wakala ulifan<strong>ya</strong> mapitio <strong>ya</strong> Muundo wake ili kuweza kujumuisha mabadiliko<br />

<strong>ya</strong>liyojitokeza tangu pale ulipozinduliwa. Muundo Mp<strong>ya</strong> ambao una idara nne na vitengo<br />

vitano umezingatia pamoja na mambo mengine, usambazaji wa huduma za wakala karibu<br />

103


na jamii <strong>kwa</strong> kuanzisha maabara za kanda, utekelezaji wa Sheria <strong>ya</strong> Usimamizi na Udhibiti<br />

wa Kemikali na ile <strong>ya</strong> Usimamizi wa Vinasaba v<strong>ya</strong> Binadamu.<br />

Mtiririko wa matukio <strong>ya</strong>nayofuata unaonyesha baadhi <strong>ya</strong> maendeleo na mafanikio <strong>ya</strong><br />

Wakala:-<br />

Kati <strong>ya</strong> 2001 – 2010 Wakala wa Maabara <strong>ya</strong> Mkemia Mkuu wa Serikali ilinunua mitambo<br />

<strong>ya</strong> kisasa aina <strong>ya</strong> Gas Chromatograph(GC) (2), Gc /MS (1), DNA Genetic Annalyzer (1),<br />

"Realtime PCR (1)" na "Inductive Coupled Optical Emission Spectrometer ( ICP - OES)<br />

(1)", "Automatic Kjeldah(1)" na "Disolution System(1)". Mitambo hii iliifan<strong>ya</strong> Maabara <strong>ya</strong><br />

Mkemia Mkuu wa Serikali kuwa <strong>ya</strong> pili katika maabara zenye vifaa v<strong>ya</strong> kisasa katika nchi<br />

za Afrika Mashariki, Kati, Kusini mwa Afrika ikitanguliwa na maabara chache za Afrika<br />

Kusini.<br />

Mwaka 2003 Wakala, ilianza kusimamia utekelezaji wa Sheria Na. 3 <strong>ya</strong> mwaka 2003 <strong>ya</strong><br />

Usimamizi na udhibiti wa kemikali za viwandani na majumbani ili kulinda af<strong>ya</strong> na<br />

mazingira. Sheria hii ni sheria pekee <strong>ya</strong> usimamizi na udhibiti wa Kemikali za viwandani na<br />

majumbani katika nchi za Afrika. Aidha sheria hii imesaidia kuzuia uingizaji wa kemikali<br />

hatari nchini na hivyo kulinda af<strong>ya</strong> za Wananchi na Mazingira. Jumla <strong>ya</strong> kampuni 140 za<br />

kemikali, na kemikali 768 zinazoingia nchini kutoka nje <strong>ya</strong> nchi zimesajiliwa (Ref.GCLA<br />

Annual Perfomance Report 2009/2010).<br />

Wakala ulianzisha Maabara <strong>ya</strong> Kanda <strong>ya</strong> Ziwa Victoria, Mwanza katika eneo la Isamilo<br />

mkabala na Hospitali <strong>ya</strong> Mkoa wa Mwanza <strong>ya</strong> Sekou Toure mwaka 2004. Maabara hii<br />

ilianza kufan<strong>ya</strong> kazi tangu mwaka 2005. Huduma za maabara hii zimesaidia kusogeza<br />

huduma karibu na wananchi na hivyo kuwapunguzia gharama na muda wa kupata huduma.<br />

Maabara hii inahudumia mikoa <strong>ya</strong> Kagera, Kigoma, Mara, Mwanza, Shin<strong>ya</strong>nga na Tabora.<br />

Kati <strong>ya</strong> 2006 – 2009 Wakala ilipata Mradi wa Kimataifa wa "Strategic Approach to<br />

International Chemical Management (SAICM)". <strong>Tanzania</strong> ilikuwa ni miongoni mwa nchi<br />

44 zilizoshiriki katika mchakato wa kuomba mradi huu. Mradi huu ulikuwa na lengo la<br />

kuhakikisha <strong>kwa</strong>mba kemikali zinatumika <strong>kwa</strong> usalama bila kuleta madhara <strong>kwa</strong> af<strong>ya</strong> na<br />

mazingira ifikapo mwaka 2020. Wakala ulitekeleza vyema mradi huu na kupata tuzo <strong>ya</strong><br />

"Bronze".<br />

Ofisi <strong>ya</strong> Kanda <strong>ya</strong> Kaskazini , Arusha ambayo inahudumia mikoa <strong>ya</strong> Arusha, Kilimanjaro,<br />

Man<strong>ya</strong>ra, Singida na Tanga, <strong>kwa</strong> lengo na kuboresha utoaji huduma <strong>kwa</strong> wateja<br />

ilianzishwa mwaka 2007. Kwa sasa Wakala umeanza kujenga maabara <strong>ya</strong> kisasa <strong>kwa</strong> ajili<br />

<strong>ya</strong> kufan<strong>ya</strong> uchunguzi wa kimaabara wa sampuli zote za v<strong>ya</strong>kula, maji dawa, kemikali na<br />

makosa <strong>ya</strong> jinai kutoka kanda <strong>ya</strong> Kaskazini.<br />

Mwaka 2008 Wakala ulishiriki katika mashindano <strong>ya</strong> miradi <strong>ya</strong> ubunifu katika utumishi wa<br />

sekta za Umma ambayo <strong>ya</strong>lishirikisha Nchi za Bara la Afrika kupitia Ofisi <strong>ya</strong> Rais -<br />

Menejimenti <strong>ya</strong> Utumishi wa Umma na ilipata nafasi <strong>ya</strong> <strong>kwa</strong>nza katika kundi la Ubunifu wa<br />

Mifumo na Mchakato wa Utawala Bora katika Mradi wa Usimamizi na Udhibiti wa<br />

Kemikali <strong>kwa</strong> kutumia Sheria Na. 3 <strong>ya</strong> 2003.<br />

Wakala ilishiriki mashindano <strong>ya</strong> Miradi <strong>ya</strong> ubunifu katika utumishi wa sekta za Umma<br />

ambayo <strong>ya</strong>lishindanisha nchi 36 za Bara la Afrika kupitia Ofisi <strong>ya</strong> Rais - Menejimenti <strong>ya</strong><br />

Utumishi wa Umma mwaka 2010. Katika mashindano hayo Wakala ilipata nafasi <strong>ya</strong> sita<br />

katika kundi la Ubunifu wa Mifumo <strong>ya</strong> Utawala Bora katika Mradi wa Usimamizi na<br />

Udhibiti wa matumizi <strong>ya</strong> Teknolojia <strong>ya</strong> vinasaba v<strong>ya</strong> binadamu.<br />

104


Wakala ulikamilisha ujenzi wa jengo jip<strong>ya</strong> la ghorofa nne mwaka 2010. Jengo hili<br />

linajulikana kama MKEMIA HOUSE na ni <strong>kwa</strong> ajili <strong>ya</strong> matumizi <strong>ya</strong> Maabara na ofisi<br />

katika juhudi za kupanua nafasi za kufanyia kazi. Vile vile, Wakala ulianzisha ofisi <strong>ya</strong><br />

Kanda <strong>ya</strong> N<strong>ya</strong>nda za Juu kusini <strong>kwa</strong> ajili <strong>ya</strong> kutoa huduma <strong>kwa</strong> wananchi wa mikoa <strong>ya</strong><br />

Iringa, Katavi, Mbe<strong>ya</strong>, Mtwara, Ru<strong>kwa</strong> na Ruvuma.<br />

Kati <strong>ya</strong> 2009 – 2011 Wakala ilita<strong>ya</strong>risha Sheria Na. 8 <strong>ya</strong> 2009 <strong>ya</strong> Usimamizi na Udhibiti wa<br />

matumizi <strong>ya</strong> Teknolojia <strong>ya</strong> vinasaba v<strong>ya</strong> binadamu (The Human DNA Regulations Act) na<br />

Kanuni zake. Sheria hii imesaidia kudhibiti vitendo v<strong>ya</strong> ujambazi na mauaji <strong>ya</strong> vikongwe na<br />

watu wenye ulemavu wa ngozi (Albino), ubakaji na kubadilishana watoto hospitalini.<br />

Wakala unao wafan<strong>ya</strong>kazi 110 wakudumu ukilinganisha na wafan<strong>ya</strong>kazi 22 wa mwaka<br />

1970. Kati <strong>ya</strong> hao wakemia ni 45, Wateknolojia 26, Wafan<strong>ya</strong>kazi wa kada nyingine 39.<br />

Aidha katika kipindi cha mwaka 2001-2011, Wakala umeweza kugharamia mafunzo <strong>ya</strong><br />

uzamili watumishi wake kama ifuatavyo; Kemia (MSc. Chem. - 8), Mazingira (MSc. Env.-<br />

10), Sa<strong>ya</strong>nsi <strong>ya</strong> V<strong>ya</strong>kula (MSc Food Sc - 4), Usimamizi wa Biashara (MBA -9), Fedha<br />

(MSc Finance-2), Utawala (MSc. PA-1) na manunuzi (MSc PSCM-1). Pia wakala uliweza<br />

kugharamia watumishi mbalimbali katika mafunzo <strong>ya</strong> muda mfupi katika fani za uongozi,<br />

bajeti, manunuzi, sa<strong>ya</strong>nsi, mbimu za uchunguzi na ithibati, Ukaguzi wa kemikali na<br />

TEHAMA.<br />

Kati <strong>ya</strong> 2005 – 2011 Wakala ulielimisha umma na kutangaza majukumu <strong>ya</strong>ke katika<br />

vyombo v<strong>ya</strong> habari, vipeperushi, kalenda na kushiriki katika maonesho <strong>ya</strong> sabasaba jijini<br />

Dar es Salaam, nane nane mjini Dodoma na jijini Mbe<strong>ya</strong>, wiki <strong>ya</strong> utmushi wa umma na<br />

maonesho <strong>ya</strong> Biashara <strong>ya</strong> nchi za Afrika mashakiri jijini Mwanza. Kutokana na<br />

uhamasishaji huo Wakala sasa unajulikana <strong>kwa</strong> Wananchi wengi.<br />

Changamoto<br />

Pamoja na mafanikio ambayo Wakala ulipata, changamoto mbalimbali zilijitokeza<br />

zikiwemo;<br />

• Kukosekana <strong>kwa</strong> Sheria <strong>ya</strong> Kuunda Wakala wa Maabara <strong>ya</strong> Mkemia Mkuu wa Serikali<br />

na Sheria <strong>ya</strong> Kusimamia Taaluma <strong>ya</strong> Wakemia;<br />

• Uhaba wa fedha ili kumudu gharama kubwa <strong>ya</strong> matengenezo <strong>ya</strong> Mitambo <strong>ya</strong><br />

uchunguzi ukiwemo mtambo wa uchunguzi wa vinasaba v<strong>ya</strong> binadamu (Human DNA<br />

Genetic analysis);<br />

• Kuchelewa kulipwa madeni kutoka <strong>kwa</strong> baadhi <strong>ya</strong> wateja wetu (statutory clients) <strong>kwa</strong><br />

wakati;<br />

• Ukosefu wa wataalamu wa ndani <strong>ya</strong> nchi kufan<strong>ya</strong> matengenezo kinga <strong>ya</strong> mitambo na<br />

vifaa v<strong>ya</strong> maabara; uhaba wa magari <strong>kwa</strong> ajili <strong>ya</strong> uendeshaji na ukaguzi wa viwanda<br />

v<strong>ya</strong> kemikali na maabara za Vinasaba v<strong>ya</strong> Binadamu (Human DNA Laboratories).<br />

Matarajio<br />

Wakala <strong>kwa</strong> kushirikiana na Wizara unatarajia;<br />

• Kuwasilisha mapendekezo <strong>ya</strong> kutunga Sheria <strong>ya</strong> Kuunda Wakala wa Maabara <strong>ya</strong><br />

Mkemia Mkuu wa Serikali na Sheria <strong>ya</strong> Kusimamia Taaluma <strong>ya</strong> Wakemia;<br />

• Kufan<strong>ya</strong> utafiti wa masoko ili kuongeza mapato <strong>ya</strong>takayoweza kumudu gharama<br />

kubwa <strong>ya</strong> matengenezo <strong>ya</strong> mitambo;<br />

105


• Kununua vifaa v<strong>ya</strong> maabara na uendeshaji wa mtambo wa uchunguzi wa vinasaba v<strong>ya</strong><br />

binadamu (Human DNA Genetic analysis); Kuwasilisha Wizara <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> na Ustawi wa<br />

Jamii utaratibu utakaowezesha wateja (statutory clients) kulipa gharama za huduma<br />

tunazotoa <strong>kwa</strong> wakati;<br />

• Kusomesha baadhi <strong>ya</strong> wafan<strong>ya</strong>kazi wake ili kufan<strong>ya</strong> matengenezo kinga <strong>ya</strong> mitambo<br />

na vifaa v<strong>ya</strong> maabara;<br />

• Kununua magari <strong>kwa</strong> ajili <strong>ya</strong> uendeshaji na ukaguzi wa viwanda v<strong>ya</strong> kemikali na<br />

maabara za Vinasaba v<strong>ya</strong> Binadamu (Human DNA Laboratories) na kupatikana <strong>kwa</strong><br />

Ithibati <strong>kwa</strong> baadi <strong>ya</strong> njia (methods) za uchunguzi ili kukidhi ushindani wa soko huria.<br />

106


12.6 CHAKULA NA DAWA<br />

Utangulizi<br />

Mamlaka <strong>ya</strong> Chakula na Dawa (TFDA) ni taasisi mojawapo iliyopo chini <strong>ya</strong> Wizara <strong>ya</strong><br />

Af<strong>ya</strong> na Ustawi wa Jamii. Taasisi hii imepewa jukumu la kudhibiti ubora, usalama na<br />

ufanisi wa v<strong>ya</strong>kula, dawa, vipodozi na vifaa tiba. Historia fupi juu <strong>ya</strong> uundwaji wake, sheria<br />

zilizotungwa kuipa nguvu <strong>ya</strong> kutekeleza majukumu <strong>ya</strong>ke, kazi zake, mafanikio<br />

<strong>ya</strong>liyopatikana, changamoto zinazoikabili na matarajio <strong>ya</strong> baadae <strong>ya</strong>meainishwa hapa chini.<br />

TFDA iliundwa mwaka 2003 baada <strong>ya</strong> kuunganisha iliyokuwa Bodi <strong>ya</strong> Madawa (Pharmacy<br />

Board) na Tume <strong>ya</strong> Kudhibiti V<strong>ya</strong>kula <strong>ya</strong> Taifa (TUKUTA). Bodi <strong>ya</strong> Madawa iliundwa<br />

mwaka 1978 ili kudhibiti ubora, usalama na ufanisi wa dawa pamoja na taaluma <strong>ya</strong> famasia.<br />

Viongozi walioiongoza Bodi hii ni kama walivyoainishwa kwenye jedwali hapa chini:<br />

Jengo la Makao Makuu <strong>ya</strong> Mamlaka <strong>ya</strong> Chakula na Dawa, Dar es Salaam<br />

Jedwali 15: Orodha <strong>ya</strong> majina <strong>ya</strong> waliokuwa viongozi wa Bodi<br />

S/N Jina la Kiongozi Kipindi cha Uongozi<br />

1. Bw. H. M. W. Nicholson (Msajili) 1937 – 1955<br />

2. Bw. P. J. Mackenzie (Msajili) 1956 – 1961<br />

3. Bw. D. Moors (Msajili) 1962<br />

4. Bi. P. M. Shiel (Msajili) 1963<br />

5. Bw. J. Karey (Msajili) 1964 – 1968<br />

6. Bw. Charles Mshiu (Msajili) 1969 – 1978<br />

7. Bw. J. E. Chiliko (Msajili) 1979 – 1992<br />

8. Bw. Legu Mhangwa (Msajili) 1993 – 1996<br />

9. Bi. Mercy Kimaro (Msajili) 1997 – 1998<br />

10. Bi. Margareth Ndomondo-Sigonda<br />

(Msajili)<br />

1998 - 2003 Bodi <strong>ya</strong> Madawa<br />

ilipovunjwa rasmi na kuwa<br />

TFDA<br />

107


TUKUTA iliundwa pia mwaka 1978 ili kudhibiti ubora na usalama wa v<strong>ya</strong>kula nchini.<br />

Viongozi walioiongoza TUKUTA ni kama walivyoainishwa kwenye jedwali hapa chini:<br />

Jedwali 16: Orodha <strong>ya</strong> Viongozi walioingoza TUKUTA<br />

S/N Jina la Kiongozi Kipindi cha Uongozi<br />

1. Bw. W. Mnyone 1978 – 1988<br />

2. Bw. E.D. Kadete 1988 – 1989<br />

3. Bw. F.A. Shirima 1989 – 1996<br />

4. Bw. F. Magoma 1996 – 2001<br />

5. Bw. Octavious Soli 2001–2003 TUKUTA<br />

ilipovunjwa rasmi na kuwa<br />

TFDA<br />

Bi. Margareth Ndomondo-Sigonda ndiye aliyeanza kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TFDA<br />

baada <strong>ya</strong> kuunganisha Bodi <strong>ya</strong> Madawa na TUKUTA mwaka 2003. Bi. Ndomondo<br />

alitumikia TFDA hadi mwaka 2010 ambapo alikabidhi madaraka <strong>kwa</strong> Bw. Hiiti B. Sillo<br />

ambaye ndiye Kaimu Mkurugenzi Mkuu hadi sasa.<br />

Maendeleo na Mafanikio<br />

Baada <strong>ya</strong> TFDA kuundwa mwaka 2003, Baraza la Famasia pia liliundwa <strong>kwa</strong> Sheria <strong>ya</strong><br />

Famasi <strong>ya</strong> mwaka 2002 ili kuchukua jukumu la kudhibiti taaluma <strong>ya</strong> famasia. TFDA<br />

iliendelea kujipanua zaidi na kuanzisha ofisi za kanda. Kanda hizi ni pamoja na:<br />

• Kanda <strong>ya</strong> Ziwa inayosimamia mikoa <strong>ya</strong> Mwanza, Mara, Shin<strong>ya</strong>nga, Geita na Kagera;<br />

• Kanda <strong>ya</strong> Kaskazini inayosimamia mikoa <strong>ya</strong> Arusha, Kilimanjaro, Tanga na Man<strong>ya</strong>ra;<br />

• Kanda <strong>ya</strong> N<strong>ya</strong>nda za Juu Kusini inayosimamia mikoa <strong>ya</strong> Mbe<strong>ya</strong>, Iringa, Ru<strong>kwa</strong> na<br />

Katavi; na<br />

• Kanda <strong>ya</strong> Mashariki inayosimamia mikoa <strong>ya</strong> Dar-es-Salaam, Pwani na Morogoro.<br />

Uanzishwaji wa kanda hizi umesaidia kusogeza huduma <strong>kwa</strong> jamii na kuongeza ufanisi<br />

katika shughuli za udhibiti. Pamoja na kanda hizi, kanda nyingine mp<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> kati<br />

itakayosimamia mikoa <strong>ya</strong> Dodoma na Singida imeanzishwa mwaka 2011. Matarajio <strong>ya</strong><br />

baadae ni kuanzisha kanda nyingine kusini na magharibi mwa nchi.<br />

Sheria na Kanuni za Udhibiti<br />

Katika kipindi kati <strong>ya</strong> mwaka 1961-1970, sheria zilizokuwa zinasimamia usalama wa<br />

chakula na dawa ni zile zilizorithiwa kutoka serikali <strong>ya</strong> kikoloni. Sheria hizi ni pamoja na<br />

zifuatazo:<br />

• Sheria <strong>ya</strong> Chakula na Dawa <strong>ya</strong> mwaka 1937;<br />

• Sheria <strong>ya</strong> Dawa na Sumu <strong>ya</strong> mwaka 1937;<br />

• Sheria <strong>ya</strong> Udhibiti wa Dawa Hatarishi <strong>ya</strong> mwaka 1937; na<br />

• Sheria <strong>ya</strong> Usalama wa N<strong>ya</strong>ma <strong>ya</strong> mwaka 1961 iliyokuwa inasimamiwa na Wizara <strong>ya</strong><br />

Mifugo.<br />

Mwaka 1978 ziliundwa sheria muhimu mbili - Sheria <strong>ya</strong> Dawa na Sumu Na. 9 (The<br />

Pharmaceuticals and Poisons Act, 1978) iliyounda Bodi <strong>ya</strong> Madawa na Sheria <strong>ya</strong> Udhibiti<br />

wa Ubora wa V<strong>ya</strong>kula Na. 10 (The Food Control of Quality Act, 1978) iliyounda Tume <strong>ya</strong><br />

108


Kudhibiti V<strong>ya</strong>kula <strong>ya</strong> Taifa –TUKUTA). Sheria hizi zilifuta sheria zote zilizoundwa wakati<br />

wa ukoloni na zilitekelezwa <strong>kwa</strong> kipindi cha miaka 25 hadi mwaka 2003 ilipoundwa Sheria<br />

<strong>ya</strong> Chakula, Dawa na Vipodozi Na. 1 iliyounda Mamlaka <strong>ya</strong> Chakula na Dawa (TFDA).<br />

Kanuni mbalimbali pia ziliundwa katika vipindi tofauti ili kurahisisha shughuli za udhibiti.<br />

Mifumo <strong>ya</strong> Udhibiti wa Bidhaa<br />

Usajili wa bidhaa<br />

Mfumo wa usajili wa dawa ulianza rasmi mwaka 1992. Kabla <strong>ya</strong> hapo kulikuwa hakuna<br />

mfumo au utaratibu wowote wa kusajili dawa nchini. Dawa zilikuwa zikitumika bila<br />

kuhakiki ubora, usalama au ufanisi wake. Hii ilisababisha nchi kutofahamu kama dawa<br />

zinazotumiwa na wagonjwa ni bora, salama au fanisi.<br />

Iliyokuwa Bodi <strong>ya</strong> Madawa ilibuni mfumo wa kusajili dawa na baada <strong>ya</strong> hapo wataalamu<br />

mbalimbali ikiwa ni pamoja na wafamasia na madaktari wa mifugo waliajiriwa ili kuweza<br />

kutathmini dawa. Miongozo <strong>ya</strong> usajili iliandaliwa na mafunzo <strong>ya</strong>lifanyika ndani na nje <strong>ya</strong><br />

nchi ili kujenga uwezo wa watathmini kuweza kutathmini maombi <strong>ya</strong> kusajili dawa.<br />

Kuanzia tulivyopata uhuru mwaka 1961 na kabla <strong>ya</strong> mwaka 2003, bidhaa aina <strong>ya</strong> vipodozi<br />

na vifaa tiba zilikuwa hazidhibitiwi na taasisi yoyote nchini. Bidhaa hizi zilikuwa zinauzwa<br />

na kutumiwa na wananchi bila uhakiki wa ubora, usalama au ufanisi wake. Ilipofika mwaka<br />

2003, Sheria <strong>ya</strong> Chakula, Dawa na Vipodozi iliyoundwa iliipa TFDA mamlaka <strong>ya</strong> kudhibiti<br />

bidhaa hizi. Baada <strong>ya</strong> hapo mifumo iliandaliwa ili kuweza kudhibiti bidhaa hizi na kulinda<br />

af<strong>ya</strong> za watumiaji.<br />

Usajili wa maeneo<br />

Mfumo wa usajili wa maeneo <strong>ya</strong> kutengenezea au kuuzia dawa ulianza tangu mwaka 1937.<br />

Mfumo huu uliendelea kutekelezwa hata baada <strong>ya</strong> uhuru pia. Mwaka huo huo wa 1937,<br />

maeneo <strong>ya</strong>lianza kusajiliwa na iliyokuwa Bodi <strong>ya</strong> Madawa na hivyo kuwezesha ufahamu<br />

wa maeneo dawa zinapotengenezwa, kuhifadhiwa na kutolewa <strong>kwa</strong> wagonjwa. Zoezi hili<br />

lilisaidia pia udhibiti wa dawa bandia na duni kwenye soko.<br />

Utaratibu huu umeendelea pia baada <strong>ya</strong> kuundwa <strong>kwa</strong> TFDA mwaka 2003 na mpaka sasa<br />

jumla <strong>ya</strong> maeneo <strong>ya</strong> kuuzia dawa (famasi) 1036 <strong>ya</strong>mesajiliwa. Viwanda saba (7) pia<br />

vilivyoko ndani <strong>ya</strong> nchi na 316 nje <strong>ya</strong> nchi vimesajiliwa kati <strong>ya</strong> mwaka 2000 na 2010.<br />

Kanuni za Usajili wa Maduka <strong>ya</strong> Dawa Baridi za mwaka 1990 zilitoa mamlaka <strong>kwa</strong><br />

iliyokuwa Bodi <strong>ya</strong> Madawa kuweka utaratibu wa kusajili maduka <strong>ya</strong> dawa baridi ili<br />

kurahisisha upatikanaji wa dawa nchini. Maduka <strong>ya</strong> dawa baridi <strong>ya</strong>liruhusiwa kuuza dawa<br />

zisizohitaji cheti cha daktari (Over-the-Counter (OTC) Medicines). Maduka ha<strong>ya</strong><br />

<strong>ya</strong>lisambaa maeneo mengi nchini na vibali v<strong>ya</strong> ku<strong>ya</strong>endesha vilikuwa vinatolewa na Ofisi<br />

za Wakuu wa Mikoa nchini. Hata hivyo, maduka ha<strong>ya</strong> ha<strong>ya</strong>kuwa na usimamizi mzuri na<br />

matokeo <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong>lianza kuuza dawa za cheti (Prescription Only Medicines – POM), kufan<strong>ya</strong><br />

upasuaji, kufunga vidonda, kutumia watoa dawa wasio na sifa, kuhifadhi dawa kwenye<br />

majengo <strong>ya</strong>siyo na viwango vinavyokubalika na mapungufu mengine mengi.<br />

Bodi <strong>ya</strong> Madawa <strong>kwa</strong> kushirikiana na taasisi isiyo <strong>ya</strong> kiserikali iliyojulikana kama<br />

”Management Sciences for Health (MSH)” ilibuni Mpango mbadala uliojulikana kama<br />

Mpango wa Maduka <strong>ya</strong> Dawa Muhimu mwaka 2005. Mpango huu ulifanyiwa majaribio<br />

109


mkoani Ruvuma na kuonekana kuwa na mafaniko makubwa kulinganisha na utendaji wa<br />

maduka <strong>ya</strong> dawa baridi.<br />

Kwa mafaniko <strong>ya</strong>liyojitokeza, Wizara <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> na Ustawi wa Jamii kupitia TFDA iliazimia<br />

kuusambaza Mpango huu nchi nzima na usambazaji ulianza mwaka 2006. Mpaka sasa<br />

Mpango umeshasambazwa katika mikoa <strong>ya</strong> Ruvuma, Ru<strong>kwa</strong>, Mtwara, Singida, Pwani,<br />

Lindi, Mbe<strong>ya</strong> na Morogoro. Mikoa sita <strong>ya</strong> Iringa, Kigoma, Tanga, Man<strong>ya</strong>ra, Dodoma na<br />

Mara iko katika hatua za mwisho za usambazaji na mikoa iliyosalia <strong>ya</strong>ani Tabora, Mwanza,<br />

Kagera, Arusha na Dar-es-Salaam iko katika hatua za awali za usambazaji. Mpaka sasa<br />

jumla <strong>ya</strong> maduka <strong>ya</strong> dawa muhimu 2215 <strong>ya</strong>mesajiliwa na maduka 7122 <strong>ya</strong>po kwenye<br />

mchakato wa kusajiliwa.<br />

Ukaguzi na ufuatiliaji wa bidhaa sokoni<br />

Mfumo wa ukaguzi na ufuatiliaji wa bidhaa aina <strong>ya</strong> v<strong>ya</strong>kula na dawa haukuwepo baada <strong>ya</strong><br />

uhuru. Mfumo huu ulianza rasmi mwaka 1992 baada <strong>ya</strong> kutungwa kanuni za usajili wa<br />

maduka <strong>ya</strong> dawa.<br />

Iliyokuwa Bodi <strong>ya</strong> Madawa iliandaa miongozo na utaratibu wa kufan<strong>ya</strong> ukaguzi na<br />

ufuatiliaji kwenye maeneo yote <strong>ya</strong>liyosajiliwa ili kuhakiki kama sheria, kanuni na taratibu<br />

zinafuatwa. Mfumo huu umeendelea kutekelezwa hata baada <strong>ya</strong> TFDA kuundwa mwaka<br />

2003.<br />

Kwa kupitia mfumo huu, TFDA imeweza pia kufan<strong>ya</strong> operesheni mbalimbali za kukamata<br />

dawa bandia na duni kwenye soko <strong>kwa</strong> kushirikiana na taasisi mbalimbali serikalini.<br />

Kupitia operesheni hizi dawa bandia na duni mbalimbali zimeweza kukamatwa na<br />

watuhumiwa kufikishwa mahakamani <strong>kwa</strong> hatua zaidi za kisheria.<br />

Mfumo wa kukagua na kufuatilia bidhaa za vipodozi na vifaa tiba ulianza kutekelezwa<br />

baada <strong>ya</strong> kuundwa <strong>kwa</strong> TFDA. Kabla <strong>ya</strong> 2003 kulikuwa hakuna utaratibu wowote wa<br />

kukagua bidhaa hizi na zilikuwa zinatengenezwa na kuuzwa bila kudhibitiwa.<br />

Uchunguzi wa kimaabara<br />

Maabara <strong>ya</strong> TFDA hutumika kufan<strong>ya</strong> uchunguzi wa kimaabara ili kupima ubora wa<br />

v<strong>ya</strong>kula, dawa, vipodozi na vifaa tiba. Maabara hii ilijengwa mwaka 1994 wakati wa<br />

kipindi cha iliyokuwa Bodi <strong>ya</strong> Madawa na ilikuwa ikitumika kupima bidhaa aina <strong>ya</strong> dawa<br />

pekee.<br />

Baada <strong>ya</strong> kuundwa <strong>kwa</strong> TFDA mwaka 2003, bidhaa za v<strong>ya</strong>kula, vipodozi na vifaa tiba<br />

zilianza kupimwa pia. Maabara hii iliwezeshwa <strong>kwa</strong> kiasi kikubwa katika kipindi hicho<br />

ambapo wataalamu mbalimbali waliajiriwa, njia za uchunguzi (analytical methods)<br />

kubuniwa, vifaa mbalimbali kununuliwa na mifumo <strong>ya</strong> uchunguzi bora kuanzishwa.<br />

Ili kuweza kuiwezesha maabara kutambulika kimataifa na hivyo kuwezesha vipimo v<strong>ya</strong>ke<br />

kukubalika sehemu mbalimbali duniani, TFDA iliiomba Wizara <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> na Ustawi wa<br />

Jamii kugharamia upanuzi wa maabara ambapo ghorofa moja zaidi liliongezwa mwaka<br />

2008. Hili lilifuatia na kuanza kutekeleza mfumo wa uchunguzi bora unaotambulika<br />

kimataifa kama ISO 17025:2005 ambao unataka maabara zote kuwa na mfumo huu (quality<br />

management system) ili kuweza kufan<strong>ya</strong> uchunguzi na kutoa majibu <strong>ya</strong>nayokubalika<br />

duniani.<br />

110


Baada <strong>ya</strong> kuridhika na utekelezaji wa mfumo huu maabara ilifanyiwa tena ukaguzi na WHO<br />

na mwaka 2011 WHO imeitambua rasmi maabara <strong>ya</strong> TFDA kama mojawapo <strong>ya</strong> maabara<br />

zinazotekeleza mifumo <strong>ya</strong> uchunguzi ubora wa kimaabara (laboratory quality management<br />

system) na hivyo kuisajili rasmi katika mpango wake wa kusajili maabara duniani (WHO<br />

Prequalification Programme).<br />

Udhibiti wa majaribio <strong>ya</strong> dawa<br />

Majaribio <strong>ya</strong> dawa ni tafiti zinazofanyika <strong>kwa</strong> binadamu ili kupima usalama na ufanisi wa<br />

dawa baada <strong>ya</strong> kupimwa <strong>kwa</strong> wan<strong>ya</strong>ma. Kabla <strong>ya</strong> mwaka 2003, TFDA haikuwa na<br />

utaratibu wowote wa kudhibiti majaribio <strong>ya</strong> dawa. Majaribio ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>likuwa <strong>ya</strong>nadhibitiwa<br />

na Taasisi <strong>ya</strong> Utafiti <strong>ya</strong> Taifa (National Institute for Medical Research – NIMR). Udhibiti<br />

chini <strong>ya</strong> NIMR hata hivyo uliangalia zaidi maadili <strong>ya</strong> kufan<strong>ya</strong> utafiti na ha<strong>ya</strong>kuzingatia sana<br />

ubora, usalama na ufanisi wa dawa za majaribio.<br />

Baada <strong>ya</strong> kuundwa <strong>kwa</strong> TFDA mwaka 2003, mifumo <strong>ya</strong> kudhibiti majaribio <strong>ya</strong> dawa<br />

iliwe<strong>kwa</strong> na watafiti wote kutakiwa kuomba kibali cha kufan<strong>ya</strong> utafiti kabla <strong>ya</strong> kuanza<br />

kufan<strong>ya</strong> utafiti. Mfumo huu umewezesha pia TFDA kufan<strong>ya</strong> ukaguzi wa majaribio ha<strong>ya</strong><br />

(Good Clinical Practice (GCP) Inspection) popote <strong>ya</strong>napofanyika nchini na vile vile kuweza<br />

kupata taarifa za madhara <strong>ya</strong>nayotokana na matumizi <strong>ya</strong> dawa za majaribio (Serious<br />

Adverse Event (SAE) reports).<br />

Ufuatiliaji wa madhara <strong>ya</strong>tokanayo na matumizi <strong>ya</strong> bidhaa sokoni<br />

Mfumo wa ufuatiliaji wa madhara <strong>ya</strong>tokanayo na matumizi <strong>ya</strong> dawa ulianza kutekelezwa<br />

mnamo mwaka 1993 ambapo Idara <strong>ya</strong> kusimamia mfumo huu iliundwa na iliyokuwa Bodi<br />

<strong>ya</strong> Madawa. Mwaka 1995, Vituo v<strong>ya</strong> Kutolea Taarifa za Dawa (Drug Information Centers)<br />

vilianzishwa kwenye hospitali za rufaa za Muhimbili – Dar-es-Salaam, Bugando – Mwanza,<br />

KCMC – Kilimanjaro na Hospitali <strong>ya</strong> Rufaa – Mbe<strong>ya</strong>. Vituo hivi <strong>kwa</strong> kushirikiana na<br />

watendaji kwenye mahospitali husika vilisaidia katika kukusan<strong>ya</strong> taarifa za madhara <strong>ya</strong><br />

dawa na kutoa elimu <strong>kwa</strong> umma juu <strong>ya</strong> madhara pamoja na matumizi sahihi <strong>ya</strong> dawa.<br />

Vituo hivi vilirithiwa na TFDA mwaka 2003 na kubadilishwa jina na kuitwa Vituo v<strong>ya</strong><br />

Kufuatilia Madhara <strong>ya</strong> Dawa (Pharmacovigilance Centers). Kituo kingine kip<strong>ya</strong><br />

kinatarajiwa kuanzishwa kwenye hospitali <strong>ya</strong> mkoa <strong>ya</strong> Dodoma mwaka 2011.<br />

Pamoja na hayo, mfumo husika uliunganishwa rasmi kwenye mfumo wa kufuatilia madhara<br />

<strong>ya</strong> dawa duniani uliobuniwa na Shirika la Af<strong>ya</strong> Duniani (WHO) ujulikanao kama<br />

Vigibase/Vigiflow mwaka 1995. Kuunganishwa huku kulitokana na kukidhi mata<strong>kwa</strong> <strong>ya</strong><br />

WHO <strong>ya</strong> kusajili mifumo na kumesaidia nchi kuweza kubadilishana taarifa za madhara <strong>ya</strong><br />

dawa na nchi wanachama wa WHO.<br />

Aidha, TFDA imeanzisha pia mfumo wa ufuatiliaji wa <strong>magonjwa</strong> <strong>ya</strong>nayoenezwa <strong>kwa</strong> njia<br />

<strong>ya</strong> chakula mwaka 2009 ili kupata takwimu sahihi <strong>kwa</strong> lengo la kuchukua hatua<br />

zinazostahili.<br />

Utekelezaji wa mifumo <strong>ya</strong> utoaji huduma bora<br />

Mifumo <strong>ya</strong> utoaji huduma bora (quality management systems – QMS haikuwepo baada <strong>ya</strong><br />

uhuru mwaka 1961 na hata wakati wa iliyokuwa Bodi <strong>ya</strong> Madawa au TUKUTA. TFDA<br />

ilianza kutekeleza mifumo husika mwaka 2008. Mifumo miwili inatekelezwa hadi sasa –<br />

ule unaohusisha viwango v<strong>ya</strong> ISO 9001: 2008 unaosimamia taasisi nzima na ISO 17025:<br />

111


2005 unaosimamia maabara <strong>ya</strong> TFDA. Mpaka sasa ”Standard Operating Procedures” 107<br />

zimeandaliwa na zinatumika kuelekeza utendaji wa kazi za taasisi.<br />

Baada <strong>ya</strong> kufan<strong>ya</strong> vyema, mifumo husika imekaguliwa na Shirika la Af<strong>ya</strong> Duniani pamoja<br />

na Shirika lililoko Uingereza linalohakiki mifumo husika mwaka 2010 na kuthibitishwa<br />

kuwa mifumo inayokidhi viwango v<strong>ya</strong> kimataifa (ISO certified institution).<br />

Changamoto<br />

Pamoja na mafanikio <strong>ya</strong>liyopatikana TFDA bado inakabiliwa na changamoto mbalimbali.<br />

Kati <strong>ya</strong> changamoto hizo ni pamoja na zifuatazo:<br />

• Upungufu wa rasimali watu. Pamoja na <strong>kwa</strong>mba idadi <strong>ya</strong> watumishi imeongezeka<br />

kutoka wafan<strong>ya</strong>kazi 42 mwaka 2005 hadi kufikia 194 mwaka 2011, bado idadi hii ni<br />

ndogo ukilinganisha na majukumu iliyonayo TFDA;<br />

• Upungufu wa rasimali fedha na vitendea kazi ili kufanikisha kazi za taasisi <strong>kwa</strong><br />

ufanisi;<br />

• Uwezo mdogo wa taasisi katika kudhibiti dawa za mitishamba, dawa za chanjo, vifaa<br />

tiba na v<strong>ya</strong>kula;<br />

• Kufan<strong>ya</strong> uchunguzi wa bidhaa zote zinazoletwa maabara kutokana na upungufu wa<br />

vitendanishi na vifaa vingine v<strong>ya</strong> maabara;<br />

• Upungufu katika mfumo wa kufuatilia madhara <strong>ya</strong> dawa kunakosababisha taarifa<br />

nyingi kutokufika TFDA na hivyo kutokuwa na uhakika wa usalama wa dawa zilizoko<br />

sokoni;<br />

• Kupambana na dawa bandia na duni zilizoko sokoni;<br />

• Kusajili maeneo yote <strong>ya</strong>nayotengeneza na kuuza bidhaa zinazodhibitiwa na TFDA, na<br />

• Kufungua ofisi kwenye mikoa yote <strong>Tanzania</strong>.<br />

Matarajio<br />

Matarajio <strong>ya</strong> TFDA baada <strong>ya</strong> miaka hamsini <strong>ya</strong> uhuru ni pamoja na:<br />

• Kuimarisha shughuli za udhibiti wa v<strong>ya</strong>kula, dawa, vipodozi na vifaa tiba.<br />

• Kuanzisha ofisi za TFDA mikoa.<br />

• Kujenga maabara za kutosha kwenye mikoa mingine ili kusaidia kwenye kazi za<br />

uchunguzi.<br />

• Kuendelea kushirikiana na halmashauri katika kazi za udhibiti.<br />

• Kuwianisha (harmonize) kazi za udhibiti na jumui<strong>ya</strong> mbalimbali barani Afrika (SADC,<br />

EAC n.k) ili kuwa na utaratibu unaofanana wa kudhibiti bidhaa.<br />

• Kuongeza rasimali watu, fedha na vitendea kazi ili kuboresha utoaji wa huduma.<br />

112


12.7 UTAFITI WA MAGONJWA YA BINADAMU<br />

Utangulizi<br />

Tafiti rasmi za af<strong>ya</strong> na tiba <strong>Tanzania</strong> (wakati huo ikiitwa Tanganyika) zilianzishwa wakati<br />

wa utawala wa kikoloni wa Wajerumani mwishoni mwa karne <strong>ya</strong> 19. Katika kipindi hicho<br />

tafiti za af<strong>ya</strong> zililenga <strong>magonjwa</strong> <strong>ya</strong> kuambukiza <strong>ya</strong> nchi za kitropiki. Dk. Robert Koch na<br />

Dk. Gustav Giemsa ni watafiti wa Kijerumani ambao wamechangia <strong>kwa</strong> kiasi kikubwa<br />

kuweka misingi <strong>ya</strong> utafiti <strong>Tanzania</strong>. Watafiti hawa watakumbu<strong>kwa</strong> <strong>kwa</strong> michango <strong>ya</strong>o<br />

katika kuainisha v<strong>ya</strong>nzo v<strong>ya</strong> maradhi <strong>ya</strong> Kifua Kikuu na malaria. Baada <strong>ya</strong> Vita Kuu I,<br />

serikali <strong>ya</strong> kikoloni iliendelea na tafiti mbalimbali za af<strong>ya</strong> na tiba, hususani zikilenga<br />

mahitaji <strong>ya</strong> watawala. Ni katika kipindi hiki cha utawala wa Uingereza, taasisi rasmi za<br />

utafiti wa af<strong>ya</strong> zilianzishwa nchini.<br />

Mwaka 1922, Serikali <strong>ya</strong> Kikoloni <strong>ya</strong> Uingereza ilianzisha Kitengo cha huduma za malale<br />

huko Tabora chini <strong>ya</strong> uongozi wa Dk Frank I.C. Apted. Kituo hicho kilikuwa na majukumu<br />

<strong>ya</strong> kujenga uwezo wa kuratibu na kufuatilia matukio <strong>ya</strong> ugonjwa wa malale na kutoa tiba.<br />

Taasisi <strong>ya</strong> Taifa <strong>ya</strong> Utafiti wa Magonjwa <strong>ya</strong> Binadamu ilianzishwa <strong>kwa</strong> sheria <strong>ya</strong> Bunge<br />

Namba 23 <strong>ya</strong> mwaka 1979.<br />

Majukumu mahsusi<br />

i). Kuratibu, kukuza na kuendeleza utafiti wa af<strong>ya</strong> nchini.<br />

ii). Kufan<strong>ya</strong> utafiti wa af<strong>ya</strong> ili kupunguza <strong>magonjwa</strong> <strong>ya</strong>nayosumbua jamii.<br />

iii). Kufa<strong>ya</strong> utafiti wa tiba asilia na tiba mbadala.<br />

iv). Kusajili tafiti za af<strong>ya</strong> zinazofanywa nchini.<br />

v). Kuwajengea uwezo watafiti wa Kitanzania katika kufa<strong>ya</strong> tatifi za af<strong>ya</strong>.<br />

vi). Kukuza matumizi <strong>ya</strong> matokeo <strong>ya</strong> tafiti mbalimbali za af<strong>ya</strong>.<br />

Baraza la Taasisi ndilo linaloongoza utekelezaji wa majukumu <strong>ya</strong> Taasisi. Baraza<br />

linaongozwa na Mwenyekiti anayeteuliwa na Rais wa Jamhuri <strong>ya</strong> Muungano wa <strong>Tanzania</strong>.<br />

Wajumbe wa Baraza huteuliwa na Waziri mwenye dhamana <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong>. Baraza hufan<strong>ya</strong> kazi<br />

zake <strong>kwa</strong> kutumia kamati za ushauri ambazo ni:-<br />

• Kamati <strong>ya</strong> Ajira na Nidhamu;<br />

• Kamati <strong>ya</strong> Fedha na Mipango; na<br />

• Kamati <strong>ya</strong> Kuratibu Tafiti za Af<strong>ya</strong>.<br />

Mkurugenzi Mkuu ndiye Afisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi na hutekeleza majukumu <strong>ya</strong>ke<br />

<strong>kwa</strong> kutumia Kurugenzi zifuatazo:<br />

a) Kurugenzi <strong>ya</strong> Kuratibu na Kukuza Utafiti;<br />

b) Kurugenzi <strong>ya</strong> Fedha na Utawala; na<br />

c) Kurugenzi <strong>ya</strong> Teknolojia <strong>ya</strong> Habari na Mawasiliano.<br />

Vituo vikuu vinasimamiwa na Wakurugenzi na Vituo Vidogo na Wakuu wa Vituo.<br />

Kamati <strong>ya</strong> Kuratibu Utafiti ina kamati ndogo inayoitwa Kamati <strong>ya</strong> Maadili <strong>ya</strong> Utafiti <strong>ya</strong><br />

Taifa (National Health Research Ethics Review Committee) ambayo ina majukumu <strong>ya</strong><br />

kutathmini ubora wa rasimu za tafiti za af<strong>ya</strong> – unaozingatia maadili.<br />

113


Katika kipindi cha miaka 31 cha uhai wa Taasisi, imebahatika kuwa na Wakurugenzi<br />

Wakuu watatu, ambao ni:<br />

Prof. Wen L. Kilama<br />

1980 – 1997<br />

Dk. Andrew Y. Kitua<br />

1997 – 2009<br />

Dk. Mwelecele N. Malecela<br />

2010 – Hadi leo<br />

Makao makuu <strong>ya</strong> Taasisi <strong>ya</strong>ko Dar es Salaam. Taasisi ina vituo vikuu saba (Amani, Mbe<strong>ya</strong>,<br />

Muhimbili, Mwanza, Tabora, Tanga na Tukuyu) na vituo vidogo saba (Amani Hill, Gonja,<br />

Handeni, Haydom, Kilosa, Korogwe, na Ngongongare). Taasisi pia ina Maabara <strong>ya</strong> Utafiti<br />

wa <strong>Tiba</strong> Asilia inayotarajiwa kukamilika na kufan<strong>ya</strong> kazi ifikapo Julai 2011.<br />

Chanzo: Wizara <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong><br />

Kwa wakati huu, Taasisi ina jumla <strong>ya</strong> wafan<strong>ya</strong>kazi 492, wanawake ni 31.3%. Kundi la<br />

watafiti linachangia 36.2% <strong>ya</strong> wafan<strong>ya</strong>kazi wote. Taasisi ina watafiti 135 waliobobea katika<br />

fani mbalimbali za af<strong>ya</strong>. Wafan<strong>ya</strong>kazi wengine in pamoja na wataalamu wa Teknohama 9,<br />

Mafundi Maabara 44, Watawala 7 na wahasibu 31. Watafiti walio na shahada <strong>ya</strong> uzamivu<br />

(PhD) ni 30, Shahada <strong>ya</strong> Uzamili (Masters) 73 na Shahada <strong>ya</strong> Kwanza (Bachelor) 30.<br />

Mafundi maabara watatu wana Shahada <strong>ya</strong> Uzamili na wawili wana Shahada <strong>ya</strong> <strong>kwa</strong>nza.<br />

Katika kipindi hiki watafiti 26 wako katika programu za Shahada za Uzamivu, na 15<br />

Shahada za Uzamili, na Mafundi Maabara 17 wako katika programu za shahada <strong>ya</strong> <strong>kwa</strong>nza.<br />

Uwiano kati <strong>ya</strong> watafiti wa kike na wa kiume ni 1:3.<br />

114


Maendeleo na Mafanikio<br />

Baada <strong>ya</strong> uhuru mwaka 1961 <strong>ya</strong>lifuatia kuondoka <strong>kwa</strong> watafiti mahiri walioajirwa na<br />

Serikali <strong>ya</strong> Kikoloni <strong>ya</strong> Uingereza.<br />

Jumui<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Afrika Mashariki ilianzisha Baraza la Utatifi wa <strong>Tiba</strong> la Afrika Mashariki (East<br />

African Medical Research Council), 1963 ili kutatua tatizo hili la rasilimali watu. Lengo<br />

ilikuwa ni kuajiri na kutoa mafunzo <strong>kwa</strong> watafiti wazawa kutoka nchi wanachama za<br />

Uganda, Ken<strong>ya</strong> na <strong>Tanzania</strong> kujaza nafasi zilizoachwa na watafiti wa Uingereza. Baraza<br />

lilipewa pia jukumu la kuratibu tafiti zote za af<strong>ya</strong> na tiba, kutengeneza rasimu za utafiti,<br />

kuaanda vipaumbele v<strong>ya</strong> tafiti na kutoa taarifa za utafiti. Matokeo ha<strong>ya</strong>, <strong>ya</strong>lipelekea Baraza<br />

kuanzisha Kitengo cha Uchunguzi wa Maradhi <strong>ya</strong> Kifua Kikuu mjini Dar es Salaam.<br />

Kuanzia wakati huo hadi leo hii, Kitengo hicho kimeendelea kuwa Maabara <strong>ya</strong> Taifa <strong>ya</strong><br />

Rufaa <strong>ya</strong> Kifua Kikuu (National Tuberculosis Reference Laboratory). Kitengo hicho<br />

kilirithiwa na Taasisi <strong>ya</strong> Taifa <strong>ya</strong> Utafiti wa Magonjwa <strong>ya</strong> Binadamu kama Kituo Kikuu cha<br />

Utafiti Muhimbili.<br />

Ni mwaka huu huu ambapo Kitengo cha Malale Tabora kilichukuliwa na Wizara <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong><br />

Jamhuri mp<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Tanganyika. Katika kipindi hiki, mikoa <strong>ya</strong> Tabora, Kigoma, Kagera,<br />

Shin<strong>ya</strong>nga, Arusha na Mbe<strong>ya</strong> ilikuwa na maambukizo na milipuko mikubwa <strong>ya</strong> malale,<br />

hivyo kuilazimu Wizara <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> kuchukua jukumu la kuratibu Kitengo na Kituo kikubwa<br />

cha <strong>Tiba</strong> <strong>ya</strong> malale nchini. Kwa mantiki hiyo, Kituo cha Tabora kilipewa majukumu <strong>ya</strong><br />

kuratibu na kutoa ushauri kuhusu maswala yote <strong>ya</strong>nayohusu tiba, ufuatiliaji wa matukio na<br />

udhibiti wa malale nchini Tanganyika. Kituo hicho ndio kitovu cha Kituo Kikuu cha Utafiti<br />

cha Tabora.<br />

Kituo Kikuu cha Utafiti, Tabora Research<br />

Centre<br />

115


Katika kanda <strong>ya</strong> Ziwa Victoria, Serikali <strong>ya</strong> Kikoloni ilizindua tafiti za matende na mabusha<br />

miaka <strong>ya</strong> mwanzoni mwa 1940. Tafiti hizo zilizaa Kituo cha Utafiti kilichoitwa East<br />

African Medical Survey Mal<strong>ya</strong>, karibu na Mwanza mwaka 1947. Mwaka uliofuata (1948)<br />

Kitengo cha utafiti wa matende/mabusha kilifunguliwa Mwanza. Mwaka 1954 East African<br />

Medical Survey ilifunga ofisi zake kule Mal<strong>ya</strong> na kuhamia rasmi Mwanza mjini. Mwaka<br />

huo huo, vitengo viwili hivyo viliunganishwa na kupewa jina jip<strong>ya</strong> la Taasisi <strong>ya</strong> Utafiti wa<br />

<strong>Tiba</strong> <strong>ya</strong> Afrika Mashariki (East African Institute for Medical Research) chini <strong>ya</strong> udhamini<br />

wa Jumui<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Afrika Mashariki. Historia hii ndio kitovu cha Kituo cha Utafiti cha<br />

Mwanza.<br />

Kituo Kikuu cha Utafiti Mwanza<br />

Mwaka 1949, chini <strong>ya</strong> Serikali <strong>ya</strong> Kikoloni <strong>ya</strong> Uingereza, Kitengo cha Malaria (East<br />

African Malaria Unit) kilianziswa Muheza katika eneo la Ubwari. Kituo hiki kilikuwa china<br />

<strong>ya</strong> usimamizi wa Kapteni Dk. Bagster Wilson. Miaka miwili baadae (1951), Kitengo hicho<br />

kilihamishwa Muheza na kupele<strong>kwa</strong> Amani kwenye majengo <strong>ya</strong>liyokuwa <strong>ya</strong> Kituo cha<br />

Utafiti wa Misitu cha Taasisi <strong>ya</strong> Afrika Mashariki <strong>ya</strong> Utafiti wa Kilimo na Misitu (Forestry<br />

Research Centre of the East African Agricultural and Forestry Research Organization)<br />

iliyohamishiwa Muguga nchini Ken<strong>ya</strong>. Kitengo cha Malaria Amani kilipanda wadhifa na<br />

kubadilishwa jina na kuitwa Taasisi <strong>ya</strong> Malaria <strong>ya</strong> Afrika Mashariki (East African Malaria<br />

Institute) kilichotekeleza majukumu <strong>ya</strong>ke chini <strong>ya</strong> uangalizi wa Kamisheni <strong>ya</strong> Afrika<br />

Mashariki (East African High Commission). Mwaka 1954, Taasisi <strong>ya</strong> Malaria Amani<br />

ilibadilishwa jina na kuitwa Taasisi <strong>ya</strong> Malaria na Magonjwa <strong>ya</strong>ambukizwayo na Wadudu<br />

<strong>ya</strong> Afrika Mashariki (East African Institute of Malaria and Vector Borne Diseases) na<br />

kuwe<strong>kwa</strong> chini <strong>ya</strong> usimamizi wa Jumui<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Afrika Mashariki.<br />

Kwa msaada wa Baraza la Utafiti wa <strong>Tiba</strong> la Uingereza, serikali <strong>ya</strong> <strong>Tanzania</strong> ilianzisha<br />

kituo cha utafiti wa <strong>magonjwa</strong> <strong>ya</strong> minyoo (Helminthiasis Research Unit) 1976 ndani <strong>ya</strong><br />

Hospitali <strong>ya</strong> Bombo mkoani Tanga. Kitengo hicho ndio msingi wa Kituo Kikubwa cha<br />

Utafiti cha Tanga.<br />

116


Maabara <strong>ya</strong> kisasa katika Kituo Kikuu cha Utafiti, Tanga<br />

Baada <strong>ya</strong> kuvunjika Jumui<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Afrika Mashariki 1977, taasisi zote za utafiti zilizokuwa<br />

chini <strong>ya</strong> jumui<strong>ya</strong> ziliacha kufan<strong>ya</strong> kazi. Serikali <strong>ya</strong> Jamuhuri <strong>ya</strong> Muungano wa <strong>Tanzania</strong><br />

iliamua kuanzisha Taasisi <strong>ya</strong> Taifa <strong>ya</strong> Utafiti wa Magonjwa <strong>ya</strong> Binadamu, na kuziweka<br />

taasisi zile <strong>ya</strong> Afrika Mashariki (zilizokuwa <strong>Tanzania</strong>) chini <strong>ya</strong> Taasisi <strong>ya</strong> Taifa. Taasisi <strong>ya</strong><br />

Taifa <strong>ya</strong> Utafiti wa Magonjwa <strong>ya</strong> Binadamu (NIMR) ilianzishwa 1979 <strong>kwa</strong> sheria Namba<br />

23 <strong>ya</strong> Bunge la Jamhuri <strong>ya</strong> Muungano wa <strong>Tanzania</strong> <strong>ya</strong> mwaka 1979. Taasisi ilianza kazi<br />

zake rasmi mwaka 1980. Uanzishwaji wa Taasis <strong>ya</strong> Taifa ni kutokana na umuhimu wa taifa<br />

katika haja <strong>ya</strong> kutekeleza mipango <strong>ya</strong> tiba na af<strong>ya</strong> <strong>kwa</strong> kutumia ushahidi wa kitafiti..<br />

Miundombinu<br />

Taasisi inaendesha shughuli zake <strong>kwa</strong> kutumia majengo <strong>ya</strong>ke yenyewe isipokuwa <strong>kwa</strong> vituo<br />

viwili, Muhimbili na Tanga ambavyo ofisi za utawala zipo katika majengo <strong>ya</strong> kupangisha.<br />

Taasisi ina maabara kubwa na za kisasa zenye viwango v<strong>ya</strong> usalama v<strong>ya</strong> Daraja la 1-3<br />

(BSL-1- 3). Maabara zina uwezo wa kuchanganua maambukizi <strong>ya</strong> vimelea v<strong>ya</strong> <strong>magonjwa</strong><br />

katika kundi la mikrobiolojia, parasitolojia, na protozoolojia katika vituo v<strong>ya</strong> Mbe<strong>ya</strong>,<br />

Tanga, Mwanza, Amani, Muhimbili na Tabora na Korogwe. Pia ina maabara za entomolojia<br />

huko Amani, Tukuyu na Mwanza; maabara <strong>ya</strong> virolojia na uhakiki wa ubora iliyopo Makao<br />

Makuu, Dar es Saalaam; maabara za tiba asilia Dar es Salaam na Ngongongare. Nyenzo<br />

nyingine za utafiti ni pamoja na Zahanati, Vibanda v<strong>ya</strong> Majaribio, Nyumba za Wan<strong>ya</strong>ma wa<br />

Majaribio, Maabara za Kufugia Mbu na Maktaba.<br />

117


Jengo la Makao Makuu <strong>ya</strong> Taasisi, Dar es Salaam<br />

118


Jedwali 17: Orodha <strong>ya</strong> Taifa <strong>ya</strong> Vipaumbele v<strong>ya</strong> Tafiti za Af<strong>ya</strong>, 2006-2011<br />

Magonjwa na tiba Mifumo <strong>ya</strong> utoaji huduma za af<strong>ya</strong><br />

UJ Magonjwa makuu <strong>ya</strong> kuambukiza H Rasilimali watu<br />

UJ Magonjwa <strong>ya</strong> kuambukiza H Af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> uzazi na watoto<br />

UJ<br />

<strong>ya</strong>siyopewa kipaumbele<br />

Af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> mama na motto H Utoaji huduma za af<strong>ya</strong><br />

UK Uthibiti wa <strong>magonjwa</strong> H UKIMWI/VVU<br />

UK Magonjwa <strong>ya</strong>siyoambukiza H Health Financing<br />

UK Lishe UK Dawa na Upatikanaji wake<br />

UK Tafiti za msingi UK Taarifa na takwimu za af<strong>ya</strong><br />

UC Af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Mazingira UK Sera za af<strong>ya</strong><br />

UC Ugunduzi wa dawa, vifaa tiba, na<br />

vitendanishi<br />

UC Afua muhimu za Af<strong>ya</strong><br />

UC Maswala <strong>ya</strong> Jinsia UC Madaraka Wila<strong>ya</strong>ni<br />

UC <strong>Tiba</strong> Asilia na <strong>Tiba</strong> Mbadala UC Mahusiano <strong>ya</strong> Kisekta<br />

UC Af<strong>ya</strong> makazini UC Ubia katia <strong>ya</strong> Taasisi za Umma na<br />

Asasi Binafsi<br />

UC Mifuko <strong>ya</strong> Fedha <strong>ya</strong> Kimataifa<br />

Tamaduni na mila zinavyochangia maradhi<br />

Ufunguo: Umuhimu wa Juu (UJ), Umuhimu wa Kati (UK), Umuhimu mdogo (UC)<br />

Maeneo <strong>ya</strong> utafiti <strong>ya</strong>megawanyika katika sehemu Kubwa tatu:<br />

a) Tafiti za <strong>magonjwa</strong>, tiba and kinga.<br />

b) Tafiti za mifumo <strong>ya</strong> utoaji huduma za af<strong>ya</strong>.<br />

c) Tafiti za uchumi, tabia na desturi za jamii zinazochagia katika maambukizi <strong>ya</strong><br />

<strong>magonjwa</strong> na mbinu za kupambana nayo.<br />

Mpango Mkakati III wa Taasisi (2008-2013) unalenga kutekeleza <strong>ya</strong>fuatayo:<br />

i. Kuimarisha uwezo wa Taasisi ili kuinua kiwango cha utafiti nchini <strong>kwa</strong> kuboresha<br />

mazingira <strong>ya</strong> kazi <strong>kwa</strong> watafiti.<br />

ii. Kuimarisha na kuendeleza utafiti wa <strong>magonjwa</strong> mbalimbali ili kupunguza maradhi na<br />

kuboresha af<strong>ya</strong> za Watanzania.<br />

iii. Kuimairisha na kujihusisha kikamilifu katika uendeshaji, usimamizi, ukuzaji na uratibu<br />

wa tafiti za af<strong>ya</strong> katika <strong>Tanzania</strong>.<br />

iv. Kuendeleza na kuimarisha tafiti zinazolenga katika uvumbuzi na utengenezaji wa<br />

vifaa-tiba na dawa.<br />

v. Kukuza matumizi <strong>ya</strong> matokeo <strong>ya</strong> utafiti katika kuboresha utendaji na utengenezaji wa<br />

sera na miongozo <strong>ya</strong> af<strong>ya</strong>.<br />

Tafiti zilizofanywa katika kipindi cha 2008-2011:<br />

Malaria<br />

Tafiti za malaria zililenga kutathmini usugu wa vimelea v<strong>ya</strong> malaria:<br />

• Kiwango cha maambukizi na kinga dhidi <strong>ya</strong> malaria katika jamii mbalimbali;<br />

• Majaribio <strong>ya</strong> chanjo <strong>ya</strong> malaria <strong>kwa</strong> watoto;<br />

• Kinga <strong>ya</strong> tahadhari dhidi <strong>ya</strong> malaria <strong>kwa</strong> watoto wachanga;<br />

• Tabia za jamii zinazochangia katika uchaguzi wa mbinu mbalimbali za kupambana na<br />

malaria na majaribio <strong>ya</strong> tiba mbalimbali za malaria.<br />

119


Maeneo mengine ni pamoja na tathmini <strong>ya</strong> usambazaji wa dawa mseto <strong>ya</strong> malaria; Viashiria<br />

na upendeleo wa mbu wa malaria katika kutafuta mazalio; Matumizi <strong>ya</strong> vianisho-sawia katika<br />

kutathmini maambukizi <strong>ya</strong> malaria; na usugu wa mbu dhidi <strong>ya</strong> viuatilifu.<br />

Baadhi <strong>ya</strong> matokeo <strong>ya</strong> tafiti <strong>ya</strong>meonesha kupungua <strong>kwa</strong> ukubwa wa malaria katika eneo la<br />

Kaskazini Mashariki <strong>ya</strong> <strong>Tanzania</strong>. Utafiti wa chanjo <strong>ya</strong> malaria uliofanywa wila<strong>ya</strong>ni<br />

Korogwe umeonesha uwezo mkubwa wa kinga <strong>kwa</strong> watoto. Tathmini za usugu wa mbu<br />

dhidi <strong>ya</strong> viuatilifu vinavyotumika kusindika v<strong>ya</strong>ndarua umeonesha kuwa kuna usugu wa 8-<br />

11% <strong>kwa</strong> viuatilifu vinvyotumika kusindika v<strong>ya</strong>ndarua.<br />

UKIMWI na Magonjwa Mengine <strong>ya</strong> Ngono<br />

• Tathmini <strong>ya</strong> upatikanaji wa dawa za kupunguza makali <strong>ya</strong> UKIMWI;<br />

• Majaribio <strong>ya</strong> tiba <strong>ya</strong> HSV-2 katika kupunguza maambukizi <strong>ya</strong> UKIMWI;<br />

• Usugu katika madawa <strong>ya</strong> kurefusha maisha <strong>kwa</strong> watu waishio na virusi v<strong>ya</strong> UKIMWI<br />

(VVU);<br />

• Uchunguzi wa vimelea v<strong>ya</strong> UKIMWI katika maziwa <strong>ya</strong> mama anayenyonyesha.<br />

Maeneo mengine <strong>ya</strong>lilenga kutambua vi<strong>kwa</strong>zo <strong>kwa</strong> jamii katika matumizi <strong>ya</strong> vituo v<strong>ya</strong><br />

ushauri nasaha na upimaji wa virusi v<strong>ya</strong> UKIMWI; Maainisho <strong>ya</strong> maambukizi <strong>ya</strong> Kaswende<br />

na upatikaji wa huduma <strong>kwa</strong> wanawake waja wazito.<br />

Baadhi <strong>ya</strong> matokeo muhimu katika tafiti za UKIMWI ni uimarishaji wa mfumo wa<br />

ufuatiliaji wa utumiaji wa dawa za kurefusha maisha <strong>kwa</strong> wagonjwa wa UKIMWI. Katika<br />

kipindi hiki maandalizi <strong>ya</strong> chanjo dhidi <strong>ya</strong> UKIMWI <strong>ya</strong>meanza mkoani Mwanza.<br />

Utafiti wa kutathmini uwezekano wa kutumia kipimo kip<strong>ya</strong> cha kaswende ambacho ni<br />

chepesi na rahisi katika kliniki za af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> uzazi na mtoto umekuwa ukiendelea wila<strong>ya</strong>ni<br />

Geita, Mkoani Mwanza. Utafiti huu umeonyesha <strong>kwa</strong>mba <strong>kwa</strong> kutumia kipimo hiki<br />

inawezekana akina mama wajawazito kupimwa kaswende na kupatiwa majibu siku hiyo<br />

hiyo wanapofika kliniki.<br />

Kifua Kikuu<br />

Tafiti katika eneo hili zilijumuisha:<br />

• Uboreshaji wa ainisho la vimelea v<strong>ya</strong> Kifua Kikuu <strong>kwa</strong> kutumia hadubini, na mbinu<br />

nyinginezo; Tathmini <strong>ya</strong> uwezo na usalama wa dawa mseto za kifua kikuu <strong>kwa</strong><br />

wagonjwa;<br />

• Ufuatiliaji wa usugu na aina za vimelea v<strong>ya</strong> Kifua Kikuu;<br />

• Uhusiano kati <strong>ya</strong> kisukari, virutubisho v<strong>ya</strong> chakula na tiba <strong>ya</strong> Kifua Kikuu;<br />

• Uboreshaji wa upatikanaji huduma za tiba <strong>ya</strong> Kifua Kikuu;<br />

• Tathmini <strong>ya</strong> matokeo <strong>ya</strong> matumizi <strong>ya</strong> madawa <strong>ya</strong> kurefusha maisha <strong>kwa</strong> wagonjwa wa<br />

Kifua Kikuu wenye maambukizi <strong>ya</strong> virusi v<strong>ya</strong> UKIMWI.<br />

Maradhi sugu <strong>ya</strong>siyoambukiza<br />

Taasisi imefanikiwa kuanzisha mpango wa kuthibiti <strong>magonjwa</strong> ha<strong>ya</strong> <strong>kwa</strong> majaribio kwenye<br />

wila<strong>ya</strong> mbili za <strong>Tanzania</strong> na kufan<strong>ya</strong> tathmini <strong>ya</strong> ukubwa wa tatizo hili kwenye jamii <strong>ya</strong><br />

wila<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Rungwe. Utafiti huu pia umeiwezesha serikali kuweka miundo mbinu <strong>ya</strong><br />

ukusan<strong>ya</strong>ji wa takwimu katika maeneo mbalimbali <strong>ya</strong> utoaji huduma za af<strong>ya</strong> ili kuweza<br />

kukusan<strong>ya</strong> takwimu zitakazo tumika kutahadharisha wataalamu kuchukua hatua<br />

zinazotakiwa pale ambapo viashiria hatari katika maradhi hayo vitakapothibitika.<br />

120


Magonjwa <strong>ya</strong> Kitropiki Yasiyopewa Kipaumbele<br />

Tafiti zililenga kupata takwimu katika maeneo <strong>ya</strong>fuatayo:<br />

• Uwezo na usalama wa tiba <strong>ya</strong> kichocho <strong>kwa</strong> watoto wa shule;<br />

• Ufuatiliaji na uhakiki wa programu <strong>ya</strong> Taifa <strong>ya</strong> Kichocho na Magonjwa <strong>ya</strong> Minyoo;<br />

• Ufuatiliaji na uhakiki wa programu <strong>ya</strong> utokomezaji wa Upofu Mto (Usubi);<br />

• Tathmini <strong>ya</strong> mpango wa utokomezaji wa matende na mabusha;<br />

• Matumizi <strong>ya</strong> antibiotiki katika tiba <strong>ya</strong> mabusha na matende;<br />

• Athari za maambuki <strong>ya</strong> minyoo <strong>ya</strong> tumbo <strong>kwa</strong> walio na vimelea v<strong>ya</strong> malaria na<br />

Utambuzi vinasaba wa wadudu wa usubi waletao upofu mto.<br />

<strong>Tiba</strong> asilia<br />

Tafiti katika tiba asilia zilifanyika kubaini uwezo na usalama wa tiba asili zinazotumiwa na<br />

jamii mbalimbali hapa nchini. Aidha NIMR imefan<strong>ya</strong> utafiti <strong>kwa</strong> kuzingatia uwezo na<br />

usalama <strong>kwa</strong> watumiaji na kufanikiwa kutengeneza dawa asili zilizoboreshwa <strong>kwa</strong> ajili <strong>ya</strong><br />

tiba <strong>kwa</strong> <strong>magonjwa</strong> <strong>ya</strong> <strong>ya</strong> malaria, UKIMWI na <strong>magonjwa</strong> nyemelezi, ugonjwa wa ini<br />

shinikizo la damu, kisukari na kupunguza mafuta rehemu mwilini pamoja na uvimbe wa<br />

tezi dume (prostate) <strong>kwa</strong> wanaume na dawa inayoongeza nguvu za kijinsia <strong>kwa</strong> wanaume.<br />

Mifumo <strong>ya</strong> kutoa huduma za af<strong>ya</strong><br />

• Kuboresha huduma za af<strong>ya</strong> <strong>kwa</strong> watoto <strong>kwa</strong> kutumia maduka <strong>ya</strong> dawa muhimu;<br />

• Changamoto za rasilimali watu katika sekta <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong>;<br />

• Tathmini na uimarishaji wa Mfumo wa Utoaji Taarifa za Huduma za Af<strong>ya</strong> na Muda wa<br />

Kungoja Huduma katika Vituo v<strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong>;<br />

• Matumizi <strong>ya</strong> Takwimu za Utafiti katika kutunga Sera.<br />

Maeneo mengine<br />

Tafiti zimefanyika kuainisha ukubwa wa tatizo la malale na tathmini <strong>ya</strong> tiba mbalimbali za<br />

malale; Homa <strong>ya</strong> matumbo, na mlipuko wa mbu katika Jiji la Dar es Salaam.<br />

Kukuza matumizi <strong>ya</strong> matokeo <strong>ya</strong> tafiti<br />

• Taasisi inachapisha matokeo <strong>ya</strong> tafiti mbalimbali katika jarida lake la Utafiti wa Af<strong>ya</strong><br />

<strong>Tanzania</strong> (<strong>Tanzania</strong> Journal of Health Research) linalochapishwa mara nne <strong>kwa</strong><br />

mwaka (Januari, Aprili, Julai na Oktoba). Jarida hili huchapishwa <strong>kwa</strong> njia <strong>ya</strong> nakala<br />

za karatasi na pia kupatikana <strong>kwa</strong> njia <strong>ya</strong> mtandao wa ki-elektroniki.<br />

• Taasisi huandaa Kongamano la Sa<strong>ya</strong>nsi la kila mwaka linalokutanisha watafiti,<br />

watunga sera, waandishi wa habari na wadau mbalimbali wa ndani na nje <strong>ya</strong> nchi.<br />

• Katika miaka takribani 31 <strong>ya</strong> uhai wa Taasisi, zaidi <strong>ya</strong> mada za kisa<strong>ya</strong>nsi 700<br />

zimechapishwa katika majarida <strong>ya</strong> kimataifa <strong>ya</strong> sa<strong>ya</strong>nsi hadi kufikia Aprili 2011.<br />

• Taasisi ina utaratibu wa kutoa mrejesho wa matokeo <strong>ya</strong> tafiti zake katika ngazi za<br />

jamii, wila<strong>ya</strong> na Taifa ili walengwa waweze kujua matokeo <strong>ya</strong> tafiti zilizofanywa<br />

katika maeneo <strong>ya</strong>o.<br />

121


Maabara <strong>ya</strong> kisasa katika Kituo Kikuu cha Utafiti, Tanga<br />

Mchango wa taasisi katika kuboresha sera na huduma za af<strong>ya</strong> nchini:<br />

Sera <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong>: Matokeo <strong>ya</strong> tafiti zilizofanywa na Taasisi <strong>ya</strong>mechangia katika utoaji huduma<br />

na mabadiliko <strong>ya</strong> Sera za af<strong>ya</strong> katika maeneo <strong>ya</strong>fuatayo:<br />

• Kichocho – matumizi <strong>ya</strong> dawa <strong>ya</strong> tiba.<br />

• UKIMWI – matumizi <strong>ya</strong> elimu shirikishi <strong>kwa</strong> vijana; tiba <strong>ya</strong> <strong>magonjwa</strong> <strong>ya</strong> ngono, na<br />

tohara <strong>ya</strong> wanaume katika kupunguza maambukizi <strong>ya</strong> UKIMWI.<br />

• Magonjwa <strong>ya</strong> ngono – tiba <strong>kwa</strong> kutumia matokeo <strong>ya</strong> dalili za ugonjwa.<br />

• Kaswende – matumizi <strong>ya</strong> njia mp<strong>ya</strong> na <strong>ya</strong> muda mfupi katika kuanisha maambukizi <strong>ya</strong><br />

kaswende <strong>kwa</strong> wakina mama.<br />

• Malaria – matumizi <strong>ya</strong> v<strong>ya</strong>ndarua vilivyotiwa viautilifu; mabadiliko <strong>ya</strong> sera <strong>ya</strong> tiba <strong>ya</strong><br />

malaria kutoka matumizi <strong>ya</strong> Klorokwini, SP na dawa mseto <strong>ya</strong> ALU; na matumizi <strong>ya</strong><br />

takwimu kutabiri milipuko <strong>ya</strong> malaria.<br />

• Kifua Kikuu – matumizi <strong>ya</strong> dawa <strong>kwa</strong> kutumia mfumo wa DOT (kumeza dawa mbele<br />

<strong>ya</strong> mtoa huduma).<br />

• Magonjwa <strong>ya</strong>siyopewa kipaumbele- Mpango shirikishi wa jamii katika utuoaji wa tiba<br />

<strong>ya</strong> kutokomeza matende na usubi (CDTI).<br />

• Utengenezaji wa vigezo kupima utendaji wa Halmashauri katika mabadiliko <strong>ya</strong> sekta<br />

<strong>ya</strong> af<strong>ya</strong>.<br />

Kushiriki katika Programu za Serikali: Taasisi inashiriki kikamilifu katika uendeshaji wa<br />

baadhi <strong>ya</strong> programu za Wizara <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> na Ustawi wa Jamii katika maeneo tofauti kama<br />

ifuatavyo:<br />

• Malaria.<br />

• UKIMWI.<br />

• Magonjwa <strong>ya</strong> Tropiki <strong>ya</strong>siyopewa kipaumbele (Matende/Mabusha, Trakoma, Upofu<br />

mto (Usubi).<br />

• Kichocho na Minyoo tumbo.<br />

• Magonjwa <strong>ya</strong>siyoambukiza.<br />

• Kifua Kikuu- Kusimamia na kuendesha Maabara Kuu <strong>ya</strong> Taifa <strong>ya</strong> Kifua Kikuu.<br />

122


• Ufuatiliaji na udhibiti wa <strong>magonjwa</strong> hususan <strong>magonjwa</strong> <strong>ya</strong> milipuko.<br />

• Kuendesha Programu <strong>ya</strong> Uzamili <strong>ya</strong> Epidemiolojia na Menejimenti <strong>ya</strong> Maabara (MSc<br />

Field Epidemiology and Laboratory Management).<br />

Changamoto<br />

Rasilimali watu: Bado idadi <strong>ya</strong> watafiti ni ndogo sana ukilinganisha na mahitaji.<br />

Watumishi takribani 100 wana shahada za <strong>kwa</strong>nza na za pili, na wanahitaji kuendelezwa.<br />

Kuna upungufu mkubwa katika baadhi <strong>ya</strong> fani, hususan, Sa<strong>ya</strong>nsi <strong>ya</strong> Jamii, Takwimu,<br />

Demografía, Jiographia <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Mazingira, Uchambuzi wa Tafiti na Sera, Majaribio <strong>ya</strong><br />

Chanjo na Dawa, Mawasiliano <strong>ya</strong> Tafiti na Sa<strong>ya</strong>nsi <strong>ya</strong> Maabara. Uhaba huu unachangiwa<br />

na mambo makubwa mawili; Ufinyu wa nafasi za ajira na idadi kubwa <strong>ya</strong> watafiti<br />

waandamizi wanaostaafu katika siku za karibuni. Hata inapotokea Taasisi inaomba kujaza<br />

nafasi za wastaaafu, maombi hayo ha<strong>ya</strong>tekelezwi kulingana na maombi au nafasi<br />

zilizoachwa wazi.<br />

Miundombinu<br />

Kuna uhaba mkubwa wa nafasi za ofisi katika vituo v<strong>ya</strong> Muhimbili na Tanga. Vituo hivi<br />

vinatumia majengo <strong>ya</strong> kupangisha ambayo gharama <strong>ya</strong>ke hupanda mara <strong>kwa</strong> mara. Pamoja<br />

na kuwa na majengo yetu wenyewe, vituo v<strong>ya</strong> Tabora na Amani vinakabiliwa na tatizo<br />

kubwa la ufinyu wa nafasi za maabara na ofisi.<br />

Rasilimali fedha<br />

Bajeti <strong>ya</strong> Taasisi kutoka serikalini ni ndogo na bado haikidhi mahitaji (maji, umeme,<br />

teknohama) ambayo <strong>ya</strong>meongezeka katika siku za karibuni. Tangu mwaka 2006/2007,<br />

bajeti <strong>ya</strong> utafiti imetegemea wafadhili <strong>kwa</strong> 100%. Hata hivyo, taasisi imeendelea kujenga<br />

uwezo wa watafiti katika kuandaa rasimu za tafiti zenye uwezo wa ufadhili.<br />

Kituo Kidogo cha Utafiti, Korogwe<br />

123


Matarajio<br />

1. Kuimarisha uwezo wa Taasisi ili kuinua kiwango cha utafiti nchini na kufan<strong>ya</strong><br />

<strong>ya</strong>fuatayo:-<br />

• Kusomesha watafiti zaidi katika kiwango cha udaktari wa falsafa.<br />

• Kujenga maabara zaidi za kisasa na kuimarisha zile zilizopo<br />

• Kubuni mbinu za kuongeza upatikanaji wa rasimali za kufanyia utafiti nchini na nje<br />

<strong>ya</strong> nchi.<br />

• Kuimarisha utafiti wa tiba <strong>kwa</strong> kushirikiana na Hospitali za Rufaa, Mikoa na<br />

Wila<strong>ya</strong>.<br />

2. Vituo v<strong>ya</strong> Taasisi kuwa vitovu v<strong>ya</strong> ushauri na miongozo <strong>ya</strong> kuboresha huduma za af<strong>ya</strong><br />

<strong>kwa</strong> Halmashauri za Wila<strong>ya</strong><br />

• Kutoa mrejesho wa tafiti zinazofanyika katika wila<strong>ya</strong> husika.<br />

• Kushirikisha wila<strong>ya</strong> kutumia utafiti katika kupanga na kuendesha shughuli za utoaji<br />

wa huduma za af<strong>ya</strong>.<br />

• Kuhusisha uongozi wa wila<strong>ya</strong> katika kusimamia na kuratibu utafiti unaofanyika<br />

katika wila<strong>ya</strong> zao.<br />

• Kusaidia kutathmini ukubwa na maenezi <strong>ya</strong> <strong>magonjwa</strong> na matatizo mengine <strong>ya</strong> af<strong>ya</strong><br />

wila<strong>ya</strong>ni.<br />

3. Kuboresha mazingira <strong>ya</strong> kazi <strong>kwa</strong> watafiti wa ndani na kuwavutia watafiti kutoka nje<br />

• Kuwa na makubaliano <strong>ya</strong> kufan<strong>ya</strong> utafiti wa pamoja na taasisi za ndani na nje <strong>ya</strong><br />

nchi.<br />

• Kuwa na makubaliano <strong>ya</strong> kufundisha katika Taasisi za Elimu <strong>ya</strong> Juu za ndani na nje<br />

<strong>ya</strong> nchi.<br />

• Kufan<strong>ya</strong> vituo v<strong>ya</strong> Taasisi kuwa ni sehemu <strong>ya</strong> kufanyia mafunzo <strong>kwa</strong> vitendo <strong>kwa</strong><br />

wanafunzi wa vyuo v<strong>ya</strong> elimu <strong>ya</strong> juu wakisimamiwa na watafiti wa Taasisi.<br />

• Kuhakikisha upatikanaji wa vifaa bora v<strong>ya</strong> kufanyia utafiti.<br />

• Kutathmini na kuboresha mishahara <strong>ya</strong> watafiti kufikia viwango v<strong>ya</strong> kimataifa.<br />

4. Kuimairisha na kujihusisha kikamilifu katika uendeshaji, usimamizi na uratibu wa<br />

tafiti za af<strong>ya</strong> katika Jumui<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Afrika Mashariki<br />

• Kuwania kuwa mwenyeji wa Sekretariati <strong>ya</strong> Baraza la Utafiti wa Af<strong>ya</strong> katika<br />

Jumui<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Afrika Mashariki.<br />

• Kuanzisha maabara teule zenye utaalamu wa hali <strong>ya</strong> juu katika maeneo muhimu <strong>ya</strong><br />

utafiti wa <strong>magonjwa</strong> <strong>ya</strong> binadamu<br />

• Kuwa na vituo vyenye ubora wa hali <strong>ya</strong> juu ili kuinua hadhi <strong>ya</strong> vituo vyetu ili<br />

kuongeza ushindani wa kimataifa.<br />

• Kuimarisha ushirikiano na kufan<strong>ya</strong> tafiti shirikishi kati <strong>ya</strong> Taasisi za Afrika<br />

Mashariki hasa katika maeneo yenye matatizo <strong>ya</strong>nayofanana.<br />

5. Kuweka kiungo kati <strong>ya</strong> uvumbuzi na utengenezaji wa vifaa-tiba na dawa na kati <strong>ya</strong><br />

utafiti na sera na utoaji wa huduma za Af<strong>ya</strong>:-<br />

• Kuhakikisha kuwa maabara na watafiti wana uwezo wa kuvumbua nyenzo au<br />

madawa <strong>ya</strong>takayosaidia jamii kupambana na <strong>magonjwa</strong> mbalimbali.<br />

• Kujenga uhusiano wa karibu kati <strong>ya</strong> Taasisi na viwanda ili kurahisisha matumizi <strong>ya</strong><br />

matokeo <strong>ya</strong> utafiti katika kutengeneza vifaa-tiba au dawa na matumizi <strong>ya</strong>ke ndani na<br />

nje <strong>ya</strong> nchi.<br />

• Kujenga uwezo wa kumiliki matokeo <strong>ya</strong> uvumbuzi ili kuongeza kipato <strong>kwa</strong> serikali.<br />

• Kuhakikisha kuwa utafiti unatumika kushauri mabadiliko <strong>ya</strong> sera na utoaji huduma.<br />

124


• Kujenga mahusiano kati <strong>ya</strong> sekta binafsi na za serikali katika matumizi <strong>ya</strong> matokeo<br />

<strong>ya</strong> utafiti ili kuimarisha af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> jamii katika kinga na tiba.<br />

6. Rasilimali -Taasisi inategemea kuongeza rasilimali watu kukidhi maeneo yenye<br />

upungufu kulingana na nafasi zitakazotengwa na Kamisheni <strong>ya</strong> Utumishi. Katika<br />

kipindi hiki watafiti 25 wataendelea na masomo <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong> shahada <strong>ya</strong> Uzamivu na 14<br />

shahada <strong>ya</strong> uzamili.<br />

Nyezo <strong>ya</strong> Utafiti wa Tabia za Mbu, Amani<br />

125


13.0 MABARAZA NA BODI<br />

Mganga Mkuu wa Serikali, pia husimamia mabaraza manane <strong>ya</strong> kitaaluma kama ifuatavyo:<br />

• Baraza la Madaktari na Madaktari wa Meno<br />

• Baraza la Uuguzi na Ukunga<br />

• Baraza la Wafamasia<br />

• Baraza la Usajili wa Wataalamu wa Maabara za Af<strong>ya</strong><br />

• Baraza la Optometria (Macho)<br />

• Baraza la <strong>Tiba</strong> Asili na <strong>Tiba</strong> Mbadala<br />

• Baraza la Usajili wa Wataalamu wa Radiología na Mionzi<br />

• Baraza la Usajili wa Mafias Af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Mazingira<br />

Kuna Bodi moja:<br />

• Bodi <strong>ya</strong> ushauri wa Hospitali Binafsi na Mashirika <strong>ya</strong> Dini<br />

• Bodi <strong>ya</strong> Usajili wa Maabara Binafsi<br />

Majukumu <strong>ya</strong> Mabaraza:<br />

• Baraza la Madaktari na Madaktari wa Meno Tanganyika:<br />

Baraza la Madaktari na Madaktari wa Meno, liliundwa mwaka 1959, <strong>kwa</strong> sheria<br />

ijulikanoyo kama “The Medical Practitioners and Dentists Ordinance 1959 Cap 409.”<br />

Sheria hiyo <strong>kwa</strong> sasa inajulikana kama “The Medical Practitioners and Dentists Act,<br />

Cap 152 (R.E 2002)”<br />

Malengo makuu <strong>ya</strong> kuundwa <strong>kwa</strong> Baraza, <strong>ya</strong>likuwa ni kusimamia na kuwaongoza<br />

wanataaluma, na pia kuhakikisha kuwa jamii inapata huduma nzuri na salama toka <strong>kwa</strong><br />

wanataaluma. Baraza lina wajibu wa kuhakikisha kuwa wanataaluma wanatenda kazi<br />

<strong>kwa</strong> kuzingatia mwenendo na maadili <strong>ya</strong> kitaaluma.<br />

Pia Baraza lina wajibu wa kuweka na kutunza daftari la usajili <strong>kwa</strong> madaktari, kutoa<br />

onyo au karipio kali au kusimamisha kufan<strong>ya</strong> kazi za kitaaluma au kumfuta katika<br />

daftari la usajili, yeyote ambaye amepatikana na kosa la jinai, liwe kubwa au dogo,<br />

ambaye baada <strong>ya</strong> uchunguzi wa Baraza atabainika kuwa ametenda kosa la kitaaluma.<br />

Aidha Baraza huamua aina za shahada ambazo zitatambuliwa na Baraza kuwa zina<br />

kidhi sifa <strong>ya</strong> Mmiliki wake kustahili kufan<strong>ya</strong> kazi za kitaalama. Vile vile Baraza lina<br />

Mamlaka <strong>ya</strong> kimahakama na linaweza kuendesha uchunguzi na kumshitaki<br />

mwanataaluma yeyote ambaye atatuhumiwa kuenenda kinyume na mata<strong>kwa</strong> <strong>ya</strong><br />

taaluma au kukiu<strong>kwa</strong> mwongozo wa maadili ambao umewe<strong>kwa</strong> na Baraza.<br />

• Baraza la Wauguzi na Ukunga <strong>Tanzania</strong>:<br />

Baraza la Wauguzi na Ukunga liliundwa <strong>kwa</strong> sheria iliyoitwa, ‘Nurses and Midwives<br />

(Registration) Ordinance – Cap 325 <strong>ya</strong> mwaka 1953’. Sheria hiyo, iliuishwa <strong>kwa</strong><br />

sheiria <strong>ya</strong> ‘Nurses and Midwives (Registration) Act, No. 12’ <strong>ya</strong> mwaka 1997. Aidha,<br />

sheria hiyo, ilihuishwa mwaka 2010, <strong>kwa</strong> sheria iitwayo ‘Nursing and Midwifery No. 1<br />

Act, 2010’.<br />

Malengo makuu <strong>ya</strong> kuundwa <strong>kwa</strong> Baraza, <strong>ya</strong>likuwa ni kusimamia na kuwaongoza<br />

wanataaluma, na pia kuhakikisha kuwa jamii inapata huduma nzuri na salama toka <strong>kwa</strong><br />

wanataaluma wa uuguzi na ukunga. Baraza lina wajibu wa kuhakikisha kuwa<br />

wanataaluma wanatenda kazi <strong>kwa</strong> kuzingatia mwenendo na maadili <strong>ya</strong> kitaaluma.<br />

126


Pia Baraza lina wajibu wa kuweka na kutunza daftari la usajili <strong>kwa</strong> madaktari, kutoa<br />

onyo au karipio kali au kusimamisha kufan<strong>ya</strong> kazi za kitaaluma au kumfuta katika<br />

daftari la usajili, yeyote ambaye amepatikana na kosa la jinai, liwe kubwa au dogo,<br />

ambaye baada <strong>ya</strong> uchunguzi wa Baraza atabainika kuwa ametenda kosa la kitaaluma.<br />

Aidha Baraza huamua aina za shahada ambazo zitatambuliwa na Baraza kuwa zina<br />

kidhi sifa <strong>ya</strong> mmiliki wake kustahili kufan<strong>ya</strong> kazi za kitaalama. Vilevile Baraza lina<br />

mamlaka <strong>ya</strong> kimahakama na linaweza kuendesha uchunguzi na kumshitaki<br />

mwanataaluma yeyote ambaye atatuhumiwa kuenenda kinyume na mata<strong>kwa</strong> <strong>ya</strong><br />

taaluma au kukiuka mwongozo wa maadili ambao umewe<strong>kwa</strong> na Baraza.<br />

Baraza linahakikisha kuwa Watanzania wanapata huduma za uuguzi zenye ubora na<br />

viwango vinavyokubalika ili umma usidhurike na huduma hizo. Baraza linafikia lengo<br />

hilo <strong>kwa</strong> kusimamia jinsi muuguzi anavyoandaliwa katika mafunzo na hatimaye jinsi<br />

anavyotoa huduma hiyo nchi nzima zikiwemo katika taasisi za serikali, asazi za binafsi<br />

na mashirika <strong>ya</strong> dini.<br />

Majukumu mengine <strong>ya</strong> Baraza ni kuweka vigezo v<strong>ya</strong> stadi kuu za uuguzi na ukunga,<br />

usajili na utoaji leseni za uuguzi na ukunga na kusimamia maadili <strong>ya</strong> uuguzi na ukunga<br />

nchini.<br />

• Baraza la Wafamasia<br />

Baraza la Famasia, limeanzishwa chini <strong>ya</strong> kifungu cha Sheria <strong>ya</strong> Famasi Na. 7 <strong>ya</strong><br />

mwaka 2002, baada <strong>ya</strong> kufutwa <strong>kwa</strong> Sheria <strong>ya</strong> Dawa na Sumu Na. 1, <strong>ya</strong> mwaka 1978,<br />

ambayo iliunda Bodi <strong>ya</strong> Dawa. Lengo kuu la kuundwa <strong>kwa</strong> Baraza la Famasi, ni kuwa<br />

na Chombo cha kitaaluma, kitakachokuwa na jukumu la kudhibiti na kusimamia<br />

taaluma na maadili <strong>ya</strong> wanataaluma katika utendaji wa kazi zao <strong>kwa</strong> ujumla. Pamoja<br />

na jukumu hilo Baraza linawajibika kuwasajili wanataaluma wa kada zote za famasi,<br />

kudhibiti na kuandaa miongozo, kusimamia na kudhibiti maadili <strong>ya</strong> wanataaluma<br />

katika utendaji kazi za kila siku, kumshauri Waziri wa Af<strong>ya</strong> na Ustawi wa Jamii katika<br />

masuala <strong>ya</strong>nayohusu taaluma <strong>ya</strong> Famasia na shughuli zote zinazohusiana na huduma za<br />

kitaaluma. Pia Baraza linaweza kufuta na kurejesha jina la mwanataaluma katika<br />

regista pale inapobidi, na kuhakikisha Vyuo v<strong>ya</strong> mafunzo <strong>ya</strong> Famasia vinavyoanzishwa<br />

na vilivyoko vinakidhi vigezo vinavyotakiwa, na mitaala <strong>ya</strong>o inakidhi haja <strong>ya</strong> taaluma<br />

inayohitajika.<br />

• Baraza la Usajili wa Wataalamu wa Maabara za Af<strong>ya</strong><br />

Baraza la Mafundi Sanifu Maabara za Af<strong>ya</strong>, limeanzishwa mwaka 1998; <strong>kwa</strong> sheria <strong>ya</strong><br />

usajili wa Mafundi Sanifu Maabara Namba 11 <strong>ya</strong> mwaka 1997. Sheria <strong>ya</strong> mwaka 1977<br />

ilifutwa na sheria <strong>ya</strong> wataalamu wa maafisa af<strong>ya</strong> Na. 22 <strong>ya</strong> 2007. Lengo la kuwa na<br />

Baraza hili ni kuboresha huduma za af<strong>ya</strong> <strong>kwa</strong> njia <strong>ya</strong> kusajili Mafundi Sanifu Maabara<br />

wote nchini, pamoja na kuona kuwa miiko na maadili <strong>ya</strong> taaluma <strong>ya</strong> sa<strong>ya</strong>nsi <strong>ya</strong><br />

maabara inazingatiwa. Pia Baraza linatoa ushauri kuhusiana na mafunzo <strong>ya</strong> maabara,<br />

kuandaa mitihani <strong>ya</strong> wataalaam wa maabara kabla <strong>ya</strong> kusajili na kutoa leseni au kufuta<br />

leseni <strong>kwa</strong> wataalam wa maabara. Pia Baraza linaandaa viwango v<strong>ya</strong> kuanzisha shule<br />

za maabara, kutoa ushauri <strong>kwa</strong> Serikali kuhusiana na mafunzo <strong>ya</strong> maabara na kuandaa<br />

mitihani <strong>ya</strong> wataalam wa maabara kabla <strong>ya</strong> kusajili.<br />

• Baraza la Optometria (Macho)<br />

Mwaka 1966 Sheria Na 9 <strong>ya</strong> kusimamia masuala <strong>ya</strong> huduma za Optometry ilipitishwa<br />

na Bunge. Kutokana na kukua <strong>kwa</strong> taaluma hiyo mwaka 2007, Sheria hiyo <strong>ya</strong> zamani<br />

127


ilifutwa na kupitisha sheria nyingine ijulikanayo kama “Optometry Act No. 12, 2007”<br />

ilipitishwa na Bunge la Jamhuri <strong>ya</strong> Muungano <strong>ya</strong> <strong>Tanzania</strong>.<br />

Baraza linajulikana kama Baraza la Optometria; (Baraza la Wataalamu wa<br />

Kurekebisha Upeo wa Macho Kuona). Baraza lina jukumu la kuhakikisha kanuni,<br />

maadili na miiko <strong>ya</strong> utendaji kazi inafuatwa na ikibidi hatua za kinidhamu<br />

zinachukuliwa endapo kumetokea ukiu<strong>kwa</strong>ji maadili <strong>ya</strong> kiutendaji. Pia kusajili na<br />

kuwapa leseni za utendaji, kusimamia na kuthibiti kiwango cha utendaji <strong>kwa</strong> watoa<br />

huduma, kuchunguza malalamiko na kutoa maamuzi juu <strong>ya</strong> utendaji mbovu.<br />

• Baraza la <strong>Tiba</strong> Asili na <strong>Tiba</strong> Mbadala<br />

Baraza la <strong>Tiba</strong> Asili na <strong>Tiba</strong> Mbadala lilianzishwa Machi, 2005 <strong>kwa</strong> mujibu wa sheria<br />

<strong>ya</strong> <strong>Tiba</strong> Asili Na 23 <strong>ya</strong> mwaka 2002. Lengo la kuwa na Baraza hili ni kuboresha<br />

huduma za tiba asili n atiba mbadala kote nchini. Majukumu makuu <strong>ya</strong> Baraza hili ni<br />

kuangalia, kuratibu, kuboresha, kusimamia, kudhibiti, kuendeleza, kusaidia maendeleo<br />

<strong>ya</strong> <strong>Tiba</strong> asili n atiba mbadala na kutekeleza masharti <strong>ya</strong> sheria.<br />

• Baraza la Usajili wa Wataalamu wa Radiología na Mionzi<br />

Hili ni Baraza jip<strong>ya</strong> lililoanzishwa chini <strong>ya</strong> sheria <strong>ya</strong> Wataalam wa Radiolojia Na. 21<br />

<strong>ya</strong> mwaka 2007 na kuanza kutumika rasmi mwezi Februari, 2009.<br />

Baraza linajukumu la kusajili na kuorodhesha wataalam wa huma <strong>ya</strong> Radiolojia kama<br />

ilivyoainishwa kwenye sheria <strong>ya</strong> Wataalam wa Radiolojia. Pia Baraza linasimamia<br />

ubora wa huduma <strong>ya</strong> radiolojia, kufuta usajili au leseni na kufan<strong>ya</strong> mabadiliko au<br />

kutoa vyeti vingine mbadala ikiwa kuna uthibitisho wa upotevu wa vyeti au leseni.<br />

Serikali kupitia Bunge, ilipitisha Sheria <strong>ya</strong> kuanzisha Kamisheni <strong>ya</strong> Mionzi <strong>ya</strong> Taifa<br />

(National Radiation Comisión) Ambato pamoja na mambo mengine, Kamisheni hii<br />

iliorodhesha wataalamu wa Mionzi wanaotumia Mitambo inayotoa mionzi nchini,<br />

wengi wao wakiwa kutoka Sekta <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong>.<br />

• Baraza la Usajili wa Maafisa Af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Mazingira<br />

Baraza la wataalam wa Af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Mazingira nchini, liliundwa baada <strong>ya</strong> kupitishwa<br />

<strong>kwa</strong> sheria Na. 20 <strong>ya</strong> mwaka 2007 (The Environmental Health Practitioners<br />

(Registration) Act No. 20 of 2007)<br />

Majukumu makuu <strong>ya</strong> Baraza hili ni kumshauri Waziri juu masuala yote <strong>ya</strong>nayohusu<br />

af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> mazingira, kuingiza sifa za wataalam kwenye regista na kufan<strong>ya</strong> maboresho <strong>ya</strong><br />

sifa zilizoongezeka na kurejesha vyeti ambavyo vitakuwa vimepotea au kuharibika,<br />

kutengeneza, kudumisha na kuhamasisha mwendelezo wa maadili <strong>ya</strong> kiutendaji na<br />

kuchukua hatua za kinidhamu endapo maadili hayo <strong>ya</strong>takiu<strong>kwa</strong>.<br />

• Bodi <strong>ya</strong> Ushauri <strong>ya</strong> Hospitali Binafsi<br />

Bodi hii ilianzishwa rasmi na Sheria Na 26 <strong>ya</strong> mwaka 1992.<br />

Bodi <strong>ya</strong> Ushauri <strong>ya</strong> Hospitali Binafsi ni kitengo chini <strong>ya</strong> Wizara <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> na Ustawi wa<br />

Jamii kinachosajili na kusimamia utoaji wa huduma za Af<strong>ya</strong> zinazotolewa na vituo<br />

binafsi na Mashirika <strong>ya</strong> Dini.<br />

• Bodi <strong>ya</strong> Usajili wa Maabara Binafsi<br />

Sheria <strong>ya</strong> kuratibu huduma za Maabara za Af<strong>ya</strong> Binafsi ilipitishwa na Bunge la<br />

Jamhuri <strong>ya</strong> Muungano wa <strong>Tanzania</strong> mwaka 1997. Sheria hii ilianzishwa ili kuboresha<br />

huduma za Maabara <strong>kwa</strong> lengo la kufanikisha utoaji wa huduma bora za af<strong>ya</strong> nchin.<br />

128


Sheria inazingatia utaratibu wa usajili, kuratibu na kukagua kuona <strong>kwa</strong>mba viwango<br />

vinazingatiwa na kuimarishwa.<br />

Mafanikio <strong>ya</strong> bodi hii ni pamoja na kusajili Maabara Binafsi zipatazo 400, kusajili<br />

wauzaji mashine na vitendanishi v<strong>ya</strong> Maabara wapatao 98 na kufan<strong>ya</strong> tathmini <strong>ya</strong><br />

teknolojia mp<strong>ya</strong> za Maabara za Af<strong>ya</strong> zinazotakiwa kuingizwa nchini<br />

129


14.0 MAENEO YA KUFANYIA KAZI NA MWELEKEO WA BAADAYE<br />

4.1 MAENEO YA KUFANYIA KAZI<br />

• Rasilimali watu<br />

o Upungufu wa wataalam wa kada mbalimbali katika sekta.<br />

o Watumishi wanaopangiwa kazi kutoripoti katika vituo v<strong>ya</strong>o.<br />

o Watumishi wa af<strong>ya</strong> ngazi za halmashauri kutoelewa mamlaka zao za ajira na<br />

nidhamu kulingana na Sheria <strong>ya</strong> Utumishi wa Umma Na.8 <strong>ya</strong> mwaka 2002.<br />

o Baadhi <strong>ya</strong> Halmashauri kutokuomba vibali v<strong>ya</strong> kuajiri kulingana na mahitaji halisi.<br />

• Mafunzo na ajira<br />

o Upungufu wa wataalam wa kada mbalimbali katika sekta.<br />

o Kuongeza idadi <strong>ya</strong> wanafunzi wanaodahiliwa kukidhi mahitaji <strong>ya</strong> MMAM<br />

ikilinganishwa na vyuo v<strong>ya</strong> af<strong>ya</strong> vilivyopo.<br />

o Watumishi kuchelewa kujumuishwa katika halmashauri za wila<strong>ya</strong>.<br />

• Rasilimali fedha<br />

o Upungufu wa Bajeti <strong>ya</strong> kutekeleza wa kazi zilizopangwa.<br />

o Uhaba wa vitendea kazi.<br />

o Ukosefu wa dawa, vifaa na vifaa tiba v<strong>ya</strong> kutosha.<br />

o Taarifa za Ukaguzi kuchelewa kufanyiwa kazi <strong>kwa</strong> wakati.<br />

o Baadhi <strong>ya</strong> Watendaji kutoelewa au kutofuata sheria na kanuni za fedha, ununuzi<br />

pamoja na miongozo mbalimbali <strong>ya</strong> Serikali.<br />

o Ucheleweshwaji wa fedha <strong>kwa</strong> ajili <strong>ya</strong> ununuzi wa vifaa na huduma mbalimbali.<br />

o Upatikanaji wa takwimu sahihi za mahitaji na matumizi <strong>ya</strong> dawa, vifaa, vifaa tiba na<br />

vitendanishi kuwezesha kuandaa bajeti <strong>ya</strong> mahitaji sahihi kitaifa.<br />

• Miundombinu<br />

o Uhaba mkubwa wa Ofisi na sehemu<strong>ya</strong> kutunzia vifaa( bohari).<br />

o Miundombinu katika vituo v<strong>ya</strong> kutolea huduma za af<strong>ya</strong> isiyokidhi mahitaji.<br />

o Uchakavu wa miundo mbinu.<br />

• Uongozi na uendeshaji wa huduma za af<strong>ya</strong> na ustawi wa jamii<br />

o Ugumu <strong>kwa</strong> baadhi <strong>ya</strong> watendaji kwenda sambamba na mabadiliko na kuendelea<br />

kufan<strong>ya</strong> kazi <strong>kwa</strong> mazoea pamoja na kushauriwa namna bora <strong>ya</strong> kiutendaji.<br />

o Kuongezeka <strong>kwa</strong> kesi za madai dhidi <strong>ya</strong> Waziri wa Af<strong>ya</strong> na Ustawi wa Jamii au<br />

Katibu Mkuu.<br />

o Kasi <strong>ya</strong> Mabadiliko katika Utumishi wa Umma na katika Sekta <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> na Ustawi<br />

wa Jamii ambayo uhitaji mabadiliko <strong>ya</strong> sheria.<br />

o Usimamizi usioridhisha wa watumishi katika vituo v<strong>ya</strong> kutolea huduma za af<strong>ya</strong> v<strong>ya</strong><br />

umma.<br />

o Kuhamishwa <strong>kwa</strong> idara <strong>ya</strong> ustawi wa jamii mara <strong>kwa</strong> mara kunaathiri utendaji wa<br />

kazi.<br />

• Uelimishaji na upashanaji habari na mawasiliano<br />

o Ucheleweshaji wa taarifa <strong>ya</strong> mikutano <strong>kwa</strong> waandishi wa habari toka <strong>kwa</strong> baadhi <strong>ya</strong><br />

idara.<br />

130


o Kutoshiriki kwenye ziara za viongozi <strong>kwa</strong> ajili <strong>ya</strong> kutoa taarifa <strong>kwa</strong> umma pamoja<br />

na kupata uelewa wa masuala mbalimbali <strong>ya</strong> wizara.<br />

o Baadhi za idara kutoona umuhimu wa kutoa taarifa na kushiriki kwenye vyombo<br />

v<strong>ya</strong> habari pale wanapohitajika kufan<strong>ya</strong> hivyo.<br />

o Wateja kuwa na uelewa mdogo kuhusu Sheria <strong>ya</strong> Ununuzi wa Umma Namba 21 <strong>ya</strong><br />

mwaka 2004 na kanuni zake za mwaka 2005 na kuziona kama ki<strong>kwa</strong>zo <strong>kwa</strong><br />

upatikanaji wa vifaa na huduma <strong>kwa</strong> wakati hivyo kusababisha malalamiko.<br />

o Kutoa elimu <strong>ya</strong> af<strong>ya</strong> <strong>kwa</strong> wananchi ili kudhibiti na kupunguza <strong>magonjwa</strong><br />

<strong>ya</strong>siyoambukiza zikiwemo ajali hasa za barabarani ambazo zinaelekea kuongezeka<br />

kila wakati na kubadili stailim <strong>ya</strong> maisha.<br />

o Umma kuelimika juu <strong>ya</strong> <strong>Tiba</strong> asili zenye madhara <strong>kwa</strong> af<strong>ya</strong>.<br />

• Ushirikishwaji wa wadau na wananchi <strong>kwa</strong> ujumla<br />

o Mwitikio usioridhisha wa walengwa kuhusu mikakati <strong>ya</strong> kudhibiti <strong>magonjwa</strong> <strong>ya</strong><br />

kuambukiza kama vile UKIMWI, Malaria na Kifua Kikuu.<br />

o Ushirikishwaji mdogo wa jamii katika kupanga, kutekeleza, kufuatilia na<br />

kutathimini masuala <strong>ya</strong> af<strong>ya</strong> (k.m. huduma za af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> uzazi na mtoto pamoja na<br />

huduma za kudhibiti <strong>magonjwa</strong> <strong>ya</strong> kuambukiza na <strong>ya</strong>sio <strong>ya</strong> kuambukiza).<br />

o Kuwaunganisha wadau ili kutoa msukumo wa kuiendeleza <strong>Tiba</strong> Asili na <strong>Tiba</strong><br />

Mbadala.<br />

• Taarifa za af<strong>ya</strong> na ustawi wa jamii<br />

o Ukosefu wa Taarifa mbalimbali za sekta (taarifa za Fedha na Utekelezaji) kutoka<br />

mikoani.<br />

• Uzingatiaji wa sera, miongozo, sheria, kanuni, mikakati, mipango, n.k.<br />

o Kasi ndogo <strong>ya</strong> utekelezaji wa sheria mbalimbali chini <strong>ya</strong> Wizara.<br />

o Waendeshaji wa vituo binafsi kutotimiza masharti <strong>ya</strong>nayotakiwa katika utoaji wa<br />

huduma za af<strong>ya</strong>.<br />

o Kudhibiti ongezeko la watoa huduma za tiba asili na tiba mbadala wadanganyifu.<br />

• Usawa wa utoaji wa huduma hususan <strong>kwa</strong> makundi maalumu<br />

o Upatikanaji wa Damu Salama <strong>kwa</strong> kiasi kinachokidhi mahitaji.<br />

o Kufikisha huduma za Af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Kinywa <strong>kwa</strong> wananchi wote hasa waishio vijijini.<br />

o Sekta binafsi kupeleka huduma zao vijijini.<br />

o Kuongezeka <strong>kwa</strong> idadi <strong>ya</strong> watu walio katika makundi maalum.<br />

• Utafiti na matumizi <strong>ya</strong> matokeo <strong>ya</strong> tafiti<br />

• TEKNOHAMA<br />

131


4.2 MWELEKEO WA BAADAYE<br />

Wizara <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> na Ustawi wa Jamii itaendelea kutekeleza majukumu <strong>ya</strong>ke kulingana na<br />

Sera, Mikakati iliyopo <strong>kwa</strong> kutoa kipaumbele katika maeneo ambayo <strong>ya</strong>mekuwa ni<br />

changamoto na kuendelea kulinda mafanikio <strong>ya</strong>liyopatikana katika kipindi cha miaka<br />

mitano iliyopita.<br />

Maeneo <strong>ya</strong>takayotekelezwa ni pamoja na ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>fuatayo:-<br />

Kuimarisha utoaji wa huduma za af<strong>ya</strong> na ustawi wa jamii, zinazotolewa <strong>kwa</strong> wananchi<br />

wote, kupitia vituo v<strong>ya</strong> kutolea tiba v<strong>ya</strong> umma na v<strong>ya</strong> sekta binafsi.<br />

(i) Kuratibu ujenzi wa vituo v<strong>ya</strong> kutolea huduma, kuanzia ngazi <strong>ya</strong> Zahanati, Kituo<br />

cha Af<strong>ya</strong>, Hospitali za ngazi zote. Lengo ni kuwa na: Zahanati katika kila kijiji;<br />

Kituo cha Af<strong>ya</strong> katika kila Kata; Hospitali katkka kila Halmashauri; Hospitali <strong>ya</strong><br />

Rufaa kawa kila Mkoa na Maalumu <strong>kwa</strong> kila Kanda, ikiwemo <strong>ya</strong> Taifa, <strong>kwa</strong> kanda<br />

<strong>ya</strong> Mashariki. Aidha, Serikali itahakikisha kila penye sehemu <strong>ya</strong> huduma,<br />

panakuwepo na nyumba za watumishi, pamoja na Hosteli za Wataalamu walio<br />

katika mafunzo <strong>ya</strong> vitendo. Hii itatoa motisha watumishi wa af<strong>ya</strong> kuendelea kutoa<br />

huduma na hasa za dharura wakati wa usiku.<br />

(ii) Kuimarisha usafiri wa wagonjwa, vifaa v<strong>ya</strong> huduma za af<strong>ya</strong> na ustawi wa jamii,<br />

njia za mawasiliano <strong>ya</strong> simu, “redio call na Internet”, katika ngazi zote za utoaji<br />

wa huduma za af<strong>ya</strong> na ustawi wa jamii, ili kuwezesha upatikanaji wa huduma za<br />

kawaida za dharura za rufaa, zilizo bora, pamoja na upatikanaji wa vifaa v<strong>ya</strong><br />

kuwawezesha watu wenye ulemavu kumudu maisha <strong>ya</strong> kila siku.<br />

(iii) Kuhakikisha vituo vyote vinapata dawa muhimu na vifaa v<strong>ya</strong> teknolojia <strong>ya</strong> kisasa,<br />

<strong>ya</strong> kuchunguza na kutibu <strong>magonjwa</strong> ili kuboresha utoaji wa huduma za kinga, tiba<br />

na utengemao.<br />

(iv) Kuimarisha nyenzo, vifaa na Mfumo wa ufuatiliaji na ukaguzi wa Huduma za<br />

Af<strong>ya</strong> na Ustawi wa Jamii, pamoja na upatikanaji wa Taarifa na takwimu za<br />

Uendeshaji ikiwemo ufan<strong>ya</strong>ji tathmini na utafiti, wa huduma za Af<strong>ya</strong> na Ustawi<br />

wa Jamii.<br />

(v) Kuhakikisha kuwa, huduma za Bima <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> zinaboreshwa na kuungana na<br />

Mfumo wa Mfuko wa Af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Jamii (CHF) na <strong>Tiba</strong> <strong>kwa</strong> Kadi (TIKA), ili<br />

ziwafikie Wananchi na kuongeza asilimia za wanachama kutoka 10.7 hadi 30<br />

ifikapo mwaka 2015.<br />

(vi) Kuendeleza jitihada za kujenga uwezo wa ndani wa kutoa huduma <strong>ya</strong> matibabu ili<br />

kupunguza idadi <strong>ya</strong> wagonjwa wanaopele<strong>kwa</strong> nje <strong>ya</strong> nchi <strong>kwa</strong> matibabu hususan<br />

<strong>kwa</strong> maradhi <strong>ya</strong> moyo, figo, mishipa <strong>ya</strong> fahamu na saratani.<br />

(vii) Kuboresha huduma za Ustawi wa Jamii.<br />

(viii) Kuimarisha huduma <strong>ya</strong> matibabu <strong>ya</strong> wazee nchini <strong>kwa</strong> kuwapatia vitambulisho na<br />

ku<strong>ya</strong>tungia sheria matibabu <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong> bure ili waweze kutibiwa hivyo katika vituo<br />

vyote v<strong>ya</strong> matibabu bila <strong>ya</strong> usumbufu wowote.<br />

(ix) Kuimarisha huduma za mama Wajawazito, Watoto Wachanga na Watoto walio<br />

chini <strong>ya</strong> umri wa miaka mitano, ili kuendelea kupunguza idadi <strong>ya</strong> vifo v<strong>ya</strong>o <strong>kwa</strong><br />

kutoa mafunzo <strong>ya</strong> huduma <strong>ya</strong> uzazi wa dharura na kuimarisha huduma za<br />

“EmOC” katika vituo vyote v<strong>ya</strong> af<strong>ya</strong> nchini.<br />

(x) Kuwajengea uwezo na kuimarisha ujuzi wa watumishi wa Sekta <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> na<br />

Ustawi wa Jamii, katika ngazi zote za kutolea huduma.<br />

(xi) Kuvijengea uwezo vituo vinavyotoa huduma za af<strong>ya</strong> na Ustawi wa Jamii nchini.<br />

132


(xii) Kuimarisha udhibiti wa <strong>magonjwa</strong> <strong>ya</strong>nayoambukiza, <strong>ya</strong>siyoambukiza na <strong>ya</strong>le<br />

<strong>ya</strong>liyosahaulika.<br />

Kuimarisha huduma za mama wajawazito, watoto wachanga na watoto wenye umri chini <strong>ya</strong><br />

miaka mitano, ili kuendelea kupunguza idadi <strong>ya</strong> vifo:<br />

Lengo ni kupunguza vifo v<strong>ya</strong> watoto wenye umri chini <strong>ya</strong> mwaka mmoja, kutoka vifo 51<br />

kati <strong>ya</strong> watoto 1000 wanaozaliwa hai mwaka 2010, hadi kufikia lengo la Milenia la vifo 40<br />

kati <strong>ya</strong> watoto 1000 watakaozaliwa hai mwaka 2015. Kupunguza vifo v<strong>ya</strong> watoto wenye<br />

umri chini <strong>ya</strong> miaka mitano kutoka vifo 81 kati <strong>ya</strong> watoto 1000 wanaozaliwa hai <strong>kwa</strong><br />

mwaka 2010, hadi vifo v<strong>ya</strong> watoto 48 kati <strong>ya</strong> watoto 1000 watakaozaliwa hai katika mwaka<br />

2015 ambalo ni lengo la Milenia. Kupunguza vifo v<strong>ya</strong> akina mama <strong>kwa</strong> sababu <strong>ya</strong> ujauzito,<br />

kutoka vifo 578 kati <strong>ya</strong> akina mama 100,000 waliojifungua watoto hai mwaka 2010, hadi<br />

vifo 133 kati <strong>ya</strong> akina mama 100,000 watakaojifungua watoto hai katika mwaka 2015 ili<br />

kufikia lengo la Milenia. Katika kutekeleza malengo ha<strong>ya</strong>, Serikali itatekeleza <strong>ya</strong>fuatayo:-<br />

i) Itaongeza idadi <strong>ya</strong> watoa huduma wenye utaalamu na ujuzi wa ngazi <strong>ya</strong> cheti na<br />

stashahada, na kuwasambaza vituo v<strong>ya</strong> kutolea huduma za af<strong>ya</strong>. Inakadiriwa kuwa<br />

idadi <strong>ya</strong> wahudumu wa af<strong>ya</strong> wa ngazi mbalimbali hapa nchini kuwa 38,000. Hii ni<br />

asilimia 38 tu <strong>ya</strong> mahitaji, hivyo kuna upungufu wa asilimia 62. Kumekuwepo na<br />

ongezeko la wahitimu katika vyuo vikuu na vyuo v<strong>ya</strong> uuguzi na sa<strong>ya</strong>nsi shiriki za<br />

af<strong>ya</strong> hapa nchini <strong>kwa</strong> 60% <strong>kwa</strong> mwaka katika miaka mitatu iliyopita. Hii imetokana<br />

na marekebisho <strong>ya</strong> mitaala, ukarabati wa vyuo, kuanzishwa <strong>kwa</strong> mafunzo <strong>ya</strong> masafa<br />

na ongezeko la fedha kugharamia mafunzo <strong>ya</strong> utarajali na mafunzo <strong>ya</strong> uzamili.<br />

Ongezeko la wahitimu linatarajiwa kutoka 4,900 <strong>kwa</strong> mwaka 2010 na kufikia<br />

22,504 <strong>kwa</strong> mwaka ifikapo mwaka 2015. Idadi <strong>ya</strong> wahudumu katika sekta <strong>ya</strong> af<strong>ya</strong><br />

inatarajiwa kufikia 99,800 ifikapo mwaka 2015 ongezeko la asilimia 163.<br />

ii) Mahitaji <strong>ya</strong> nafasi za ajira <strong>ya</strong>taongezeka kutoka 5,200 mwaka 2011 na kufikia<br />

14,000 mwaka 2015.<br />

iii) Itaongeza upatikanaji wa dawa muhimu na vifaa maalum na v<strong>ya</strong> kisasa, v<strong>ya</strong><br />

kujifungulia, vikiwemo v<strong>ya</strong> kuhudumia njia <strong>ya</strong> hewa na kuleta joto, <strong>kwa</strong> watoto<br />

wachanga wanaozaliwa, ikiwa ni pamoja na kupambana na dharura mbalimbali<br />

zinazohusiana na wakati wa kujifungua, ikijumuisha upasuaji wa dharura na<br />

upatikanaji wa damu salama.<br />

iv) Itaboresha upatikanaji wa nyenzo muhimu za urakabishi, kinga na tiba na vifaa v<strong>ya</strong><br />

teknolojia <strong>ya</strong> kisasa, katika vituo v<strong>ya</strong> kutolea huduma ngazi <strong>ya</strong> zahanati hadi<br />

hospitali, ikiwa ni pamoja na makao <strong>ya</strong> watoto wenye mahitaji maalum, na makazi<br />

<strong>ya</strong> wazee wasiojiweza.<br />

v) Itaongeza upatikanaji wa chanjo zote za watoto zinazotolewa sasa, na pia kuanzisha<br />

matumizi <strong>ya</strong> chanjo mp<strong>ya</strong>, za kudhibiti <strong>magonjwa</strong> <strong>ya</strong>nayojitokeza, kama vile kifua,<br />

kuharisha na saratani <strong>ya</strong> shingo <strong>ya</strong> kizazi.<br />

vi) Itahakikisha huduma za chanjo <strong>ya</strong> kichomi, zinawafikia watoto wote <strong>kwa</strong> urahisi na<br />

bila malipo, ikiwa ni pamoja na wale wanaoishi katika mazingira hatarishi.<br />

133


Kuwajengea uwezo na kuimarisha ujuzi wa watumishi wa sekta <strong>ya</strong> af<strong>ya</strong> na Ustawi wa<br />

Jamii, katika ngazi zote za kutolea huduma <strong>kwa</strong>:-<br />

i) Kuongeza idadi <strong>ya</strong> taaluma zinazofundishwa katika kila Chuo, pamoja na<br />

kuanzisha up<strong>ya</strong>, <strong>kwa</strong> ngazi za cheti, stashahada, shahada <strong>ya</strong> juu, uzamili na<br />

uzamivu.<br />

ii) Kuongeza idadi <strong>ya</strong> wanafunzi wanaodahiliwa kujiunga na vyuo v<strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> na<br />

Ustawi wa Jamii, ndani na nje <strong>ya</strong> nchi.<br />

iii) Kuendeleza ujenzi na ukarabati wa miundombinu <strong>ya</strong> vyuo v<strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> na<br />

Ustawi wa Jamii, pamoja na kutumia teknolojia <strong>ya</strong> kisasa <strong>ya</strong> kufundishia.<br />

iv) Kuhakikisha kuwa, kuna upatikanaji wa vifaa v<strong>ya</strong> teknolojia <strong>ya</strong> kisasa v<strong>ya</strong><br />

kufundishia na kujifunzia, pamoja na kuimarisha maktaba za vyuo v<strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong><br />

na Ustawi wa Jamii, inayojumuisha matumizi <strong>ya</strong> teknolojia <strong>ya</strong> kisasa <strong>ya</strong><br />

mawasiliano katika Sa<strong>ya</strong>nsi za Af<strong>ya</strong> na Utibabu.<br />

v) Kuimarisha miundombinu <strong>ya</strong> uendeshaji wa elimu <strong>ya</strong> masafa na kuongeza<br />

utumiaji wa teknolojia mp<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> mawasiliano <strong>kwa</strong> watumishi wa sekta <strong>ya</strong><br />

Af<strong>ya</strong> na Ustawi wa Jamii.<br />

vi) Kuhakikisha kuwa, wote wanaohitimu, wanaajiriwa na kusambazwa katika<br />

vituo v<strong>ya</strong> tiba v<strong>ya</strong> Serikali na binafsi, kulingana na mahitaji, na kuweka<br />

mifumo inayohakikisha wanabaki katika vituo v<strong>ya</strong> kutolea huduma.<br />

vii) Kuongeza idadi <strong>ya</strong> watumishi, na kuboresha ujuzi na taaluma za walimu<br />

katika vyuo v<strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> na Ustawi wa Jamii, vikiwemo vyuo vikuu vyote v<strong>ya</strong><br />

Sa<strong>ya</strong>nsi za Af<strong>ya</strong> na Utibabu vinavyotambulika ndani na nje <strong>ya</strong> nchi.<br />

viii) Kuhakikisha kuwa, kuna vyombo v<strong>ya</strong> usafiri, katika Vituo vyote v<strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> na<br />

Ustawi wa Jamii.<br />

ix) Kuhakikisha kuwa, wataalamu wa Af<strong>ya</strong> na Ustawi wa Jamii, wanajiendeleza<br />

katika taaluma za Af<strong>ya</strong> na Ustawi wa Jamii, <strong>kwa</strong> ngazi za shahada, uzamili<br />

na uzamivu.<br />

Kuvijengea uwezo vituo vinavyotoa huduma za Af<strong>ya</strong> na Ustawi wa Jamii nchini:<br />

i) Kuendelea kuzipatia hospitali, vituo v<strong>ya</strong> af<strong>ya</strong>, zahanati na vituo v<strong>ya</strong> Ustawi<br />

wa Jamii, dawa na vifaa v<strong>ya</strong> teknolojia <strong>ya</strong> kisasa, v<strong>ya</strong> kuchunguza <strong>magonjwa</strong><br />

na kutibu, na kuimarisha Bohari <strong>ya</strong> Dawa <strong>ya</strong> Taifa ili kuboresha usambazaji<br />

wa dawa na vifaa, mpaka ngazi <strong>ya</strong> zahanati na vituo v<strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong>, na katika<br />

makazi, makao na vituo v<strong>ya</strong> watoto.<br />

ii) Kuendelea kuboresha na kupanua huduma za upasuaji mkubwa wa aina zote,<br />

<strong>kwa</strong> Hospitali za Rufaa, Mikoa na Maalum, ikiwemo, upasuaji ubongo,<br />

mishipa <strong>ya</strong> fahamu, Moyo, Figo, Kansa, Macho n.k. Huduma hizo<br />

zianzishwe na kutolewa katika hospitali maalum, zilizopo katika Kanda zote.<br />

iii) Kuendelea kuboresha huduma za kinga na <strong>Tiba</strong>, <strong>kwa</strong> kutumia vifaa vyenye<br />

teknolojia <strong>ya</strong> kisasa, na kuboresha huduma za matengenezo kinga <strong>ya</strong> vifaa na<br />

miundombinu, katika ngazi zote za kutolea huduma.<br />

iv) Kuendeleza na kuboresha huduma za kusafisha damu, <strong>kwa</strong> wenye matatizo<br />

<strong>ya</strong> figo na kupanua huduma maalum za tiba, <strong>kwa</strong> wagonjwa wenye Saratani,<br />

Kisukari, Moyo, Mifupa, Akili na Ajali.<br />

134


v) Kuanzisha huduma za upasuaji <strong>kwa</strong> wagonjwa walioumia uti wa mgongo,<br />

ubongo na mishipa <strong>ya</strong> fahamu na pia kuanzisha na kuendesha kituo cha<br />

Mazoezi <strong>ya</strong> viungo.<br />

vi) Kujenga na kukarabati makao <strong>ya</strong> watoto wenye mahitaji maalum, makazi <strong>ya</strong><br />

wazee wasiojiweza na vyuo v<strong>ya</strong> ufundi stadi v<strong>ya</strong> watu wenye ulemavu.<br />

vii) Kuendelea kusimamia na kuboresha utoaji wa huduma za tiba asili na tiba<br />

mbadala, ikiwemo utafiti na uboreshaji wa dawa zinazotumika.<br />

viii) Kuimarisha ngazi za huduma za Hospitali ngazi <strong>ya</strong> Halmashauri, Rufaa,<br />

Mkoa na Maalumu za Kanda, zenye Ubingwa wa juu. Hii ni pamoja na<br />

kuanzisha ujenzi wa Hospitali hizo Kanda <strong>ya</strong> Kati, Kusini na Magharibi.<br />

Kuimarisha udhibiti wa <strong>magonjwa</strong> <strong>ya</strong>nayoambukiza, <strong>ya</strong>siyoambukiza, pamoja na <strong>ya</strong>le<br />

<strong>ya</strong>liyosahaulika:<br />

i) Wizara itaendelea kuweka kipaumbele kutoa uragibishi, na uhamasishaji<br />

wananchi ili waishi maisha bora nay a usalama (life styles) <strong>kwa</strong> kuzingatia<br />

lishe bora, michezo, usafi wa mwili na mazingira, kinga mbali mbali <strong>kwa</strong><br />

<strong>magonjwa</strong> na kuchukua tahadhari stahili.<br />

ii) Serikali itaendelea kuimarisha huduma za kinga na tiba <strong>kwa</strong> <strong>magonjwa</strong> <strong>ya</strong><br />

UKIMWI, Kifua Kikuu na Malaria, pamoja na <strong>magonjwa</strong> <strong>ya</strong>liyosahaulika<br />

<strong>ya</strong>ani, Minyoo, Kichocho, Matende, Malale, Usubi n.k. Aidha, <strong>magonjwa</strong> <strong>ya</strong><br />

kuhara nayo <strong>ya</strong>tatiliwa mkazo.<br />

iii) Kujumuisha huduma <strong>ya</strong> utoaji elimu <strong>ya</strong> af<strong>ya</strong> unasihi, kinga, tiba na<br />

utengamao <strong>kwa</strong> <strong>magonjwa</strong> <strong>ya</strong>siyoambukiza, kama vile kisukari, moyo,<br />

shinikizo la damu, kifafa, pumu, <strong>magonjwa</strong> <strong>ya</strong> akili na matumizi <strong>ya</strong> dawa za<br />

kulev<strong>ya</strong>, katika huduma zilizopo.<br />

iv) Kuimarisha mikakati <strong>ya</strong> kukinga, kupunguza madhara na kupambana na<br />

dharura zitokanazo na <strong>magonjwa</strong> <strong>ya</strong> milipuko, <strong>magonjwa</strong> map<strong>ya</strong>, majanga <strong>ya</strong><br />

mabadiliko <strong>ya</strong> tabia nchi na ajali mbalimbali. Pia kuimarisha sehemu <strong>ya</strong><br />

huduma za dharura na Wagonjwa Mahututi, <strong>kwa</strong> Hospitali zote.<br />

v) Kuimarisha huduma za af<strong>ya</strong> na usafi wa mazingira, usimamiaji wa matumizi<br />

<strong>ya</strong> kemikali na viuatilifu, usafi binafsi na uondoaji wa takamaji na<br />

takangumu, na kuimarisha Maabara <strong>ya</strong> Mkemia Mkuu.<br />

vi) Kuimarisha huduma za udhibiti wa usalama wa v<strong>ya</strong>kula, dawa na vipodozi,<br />

ili kulinda af<strong>ya</strong> za wananchi, pamoja na kuboresha utumiaji wa v<strong>ya</strong>kula<br />

vyenye lishe, <strong>kwa</strong> kuimarisha Mamlaka <strong>ya</strong> Chakula Dawa na Vipodozi na<br />

Taasisi <strong>ya</strong> Chakula na Lishe.<br />

vii) Kuimarisha uragibishi na uhamasishaji wananchi kuishi maisha bora na<br />

salama, kuhimiza ushiriki kwenye michezo mbalimbali, na kwenye mazoezi<br />

<strong>ya</strong> mwili na akili.<br />

viii) Kuanzisha vituo v<strong>ya</strong> utafiti wa <strong>magonjwa</strong> na tiba, kwenye Hospitali zote za<br />

Rufaa, Mikoa na kuimarisha Taasisi <strong>ya</strong> Utafiti wa Magonjwa <strong>ya</strong> Binadamu<br />

(NIMR) na kuimarisha ushirikiano na taasisi za ndani na nje <strong>ya</strong> nchi.<br />

135


15.0 HITIMISHO<br />

Licha <strong>ya</strong> kuongezeka <strong>kwa</strong> kasi <strong>ya</strong> idadi <strong>ya</strong> watu hasa katika kipindi cha miaka 50 <strong>ya</strong> uhuru,<br />

huduma za af<strong>ya</strong> zilipanuka na kuboreshwa sana ikilinganisha na zaidi <strong>ya</strong> takriban miaka 70<br />

<strong>ya</strong> ukoloni kama inavyoonyeshwa kwenye jedwali lifuatavyo <strong>kwa</strong> kutumia vigezo na<br />

viashiria v<strong>ya</strong> af<strong>ya</strong>.<br />

Jedwali 18: Vigezo na viashiria v<strong>ya</strong> Maendeleo na Mafanikio<br />

Maeneo juu <strong>ya</strong> Hali <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> na Ustawi wa Jamii Mwaka 1961 Mwaka 2010/11<br />

Idadi <strong>ya</strong> watu 9 mil 44 mil<br />

Idadi <strong>ya</strong> vituo v<strong>ya</strong> kutolea huduma za af<strong>ya</strong> 1,343 7,336<br />

Idadi <strong>ya</strong> vitanda 18,832 45,241<br />

Idadi <strong>ya</strong> makazi <strong>ya</strong> wazee na wasiojiweza 7 41<br />

Idadi <strong>ya</strong> mahabusi za watoto 1 6<br />

Idadi <strong>ya</strong> vyuo v<strong>ya</strong> malezi <strong>ya</strong> watoto 0 18<br />

Idadi <strong>ya</strong> vyuo v<strong>ya</strong> watu wenye ulemavu 0 7<br />

Idadi <strong>ya</strong> vituo v<strong>ya</strong> kulelea watoto wadogo mchana 0 4,600<br />

Idadi <strong>ya</strong> kiliniki za mama wajawazito 412 4,792<br />

Idadi <strong>ya</strong> kliniki za watoto 454 4,792<br />

Idadi <strong>ya</strong> Vyuo Vikuu v<strong>ya</strong> <strong>Tiba</strong> 0 6<br />

Idadi <strong>ya</strong> Vyuo v<strong>ya</strong> Watumishi wa Af<strong>ya</strong> - 117<br />

Wastani wa Madaktari wanaohitimu <strong>kwa</strong> mwaka 50 600<br />

Madaktari Bingwa - 377<br />

Idadi <strong>ya</strong> Madaktari (pamoja na wa meno) 610 4,649<br />

Madaktari Wasaidizi (AMO & ADO) - 2,317<br />

Idadi <strong>ya</strong> Waganga wasaidizi (matabibu) 402 6,170<br />

Idadi <strong>ya</strong> Wauguzi 1,999 26,000<br />

Idadi <strong>ya</strong> Wafamasia 3 (1964) 822<br />

Idadi <strong>ya</strong> Mafundi Sanifu Maabara 3 1,500<br />

Idadi <strong>ya</strong> Maafisa Af<strong>ya</strong> 23 1,500<br />

Idadi <strong>ya</strong> Maafisa Ustawi wa Jamii 444 (1971) 872<br />

Vifo v<strong>ya</strong> watoto wachanga < umri wa mwezi 1 101/1000 26/1000<br />

Vifo v<strong>ya</strong> watoto < umri mwaka 1 160/1000 51/1000<br />

136


Vifo v<strong>ya</strong> Watoto < umri miaka 5 261/1000 81/1000<br />

Wastani wa Umri wa kuishi wanawake 40 59.3 e<br />

Wastani wa Umri wa kuishi wanaume 35 56.8 e<br />

Chanzo: Wizara <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> na Ustawi wa Jamii<br />

Kielelezo: e – Makisio kutoka sensa <strong>ya</strong> 2002<br />

Bado changamoto ni nyingi ambazo hatua zaidi zinaendelea kuchukuliwa ili kuendelea<br />

kuboresha huduma za af<strong>ya</strong> na ustawi wa jamii. Maeneo makubwa <strong>ya</strong> changamoto hizo ni<br />

kama ifuatavyo:<br />

• Rasilimali watu<br />

• Mafunzo na ajira<br />

• Rasilimali fedha<br />

• Miundombinu<br />

• Uongozi na uendeshaji wa huduma za af<strong>ya</strong> na ustawi wa jamii<br />

• Uelimishaji na upashanaji habari na mawasiliano<br />

• Ushirikishwaji wa wadau na wananchi <strong>kwa</strong> ujumla<br />

• Taarifa za af<strong>ya</strong> na ustawi wa jamii<br />

• Uzingatiaji wa Sera, Miongozo, Sheria, Kanuni, Mikakati, Mipango, n.k.<br />

• Usawa wa utoaji wa huduma hususan <strong>kwa</strong> makundi maalumu<br />

• Utafiti na matumizi <strong>ya</strong> matokeo <strong>ya</strong> tafiti<br />

• TEKNOHAMA<br />

Matarajio ni makubwa <strong>ya</strong> kuboresha huduma za af<strong>ya</strong> na ustawi wa jamii na kuwa endelevu.<br />

Wizara itaendelea kutumia Sera, Miongozo, Sheria, Mikakati na Mipango <strong>ya</strong>ke pamoja na<br />

<strong>ya</strong> Serikali <strong>kwa</strong> ujumla na pia <strong>ya</strong> kimataifa katika kuelekeza na kutekeleza majukumu <strong>ya</strong>ke.<br />

Itaendelea kuzingatia malengo inayojiwekea pamoja na malengo <strong>ya</strong> kitaifa na kimataifa<br />

kuendeleza huduma za af<strong>ya</strong> na ustawi wa jamii.<br />

Baadhi <strong>ya</strong> vipaumbele katika kuboresha huduma za af<strong>ya</strong> na ustawi wa jamii <strong>kwa</strong> watanzania<br />

ni pamoja na:<br />

• Kuimarisha utoaji wa huduma za af<strong>ya</strong> na ustawi wa jamii, zinazotolewa <strong>kwa</strong> wananchi<br />

wote, kupitia vituo v<strong>ya</strong> kutolea tiba v<strong>ya</strong> umma na v<strong>ya</strong> sekta binafsi.<br />

• Kuimarisha huduma za mama wajawazito, watoto wachanga na watoto wenye umri<br />

chini <strong>ya</strong> miaka mitano, ili kuendelea kupunguza idadi <strong>ya</strong> vifo.<br />

• Kuwajengea uwezo na kuimarisha ujuzi wa watumishi wa sekta <strong>ya</strong> af<strong>ya</strong> na Ustawi wa<br />

Jamii, katika ngazi zote za kutolea huduma.<br />

• Kuvijengea uwezo vituo vinavyotoa huduma za Af<strong>ya</strong> na Ustawi wa Jamii nchini.<br />

• Kuimarisha udhibiti wa <strong>magonjwa</strong> <strong>ya</strong>nayoambukiza, <strong>ya</strong>siyoambukiza, pamoja na <strong>ya</strong>le<br />

<strong>ya</strong>liyosahaulika.<br />

*TUMETHUBUTU, TUMEWEZA, TUNAZIDI KUSONGA MBELE*<br />

MUNGU IBARIKI TANZANIA<br />

_______________________________<br />

137


16.0 REJEA<br />

1. The Health Services of Tanganyika: A Report to the Government, Richard M. Titmuss<br />

(Chairman), Brian Abel-Smith, George Macdonald, Arthur W. Williams, Christopher H.<br />

Wood.; 1964.<br />

2. Health Services and Society in Mainland <strong>Tanzania</strong>, a historical overview ‘tumetoka mbali’ A.J.<br />

Nsekela, A.M. Nhonoli; 1976.<br />

3. The History of Health Care in <strong>Tanzania</strong>: An exhibition on the development of the health sector<br />

in more than 100 years – Organized by the German Agency for Technical Cooperation (GTZ)<br />

and National Museum of <strong>Tanzania</strong>, Dar es Salaam, April 2001, Helmut Goergen, Walter<br />

Bruchhausen, Kirsten Kuelker; 2001.<br />

4. Wizara <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> na Ustawi wa Jamii: Taarifa <strong>ya</strong> Makabidhiano <strong>ya</strong> Ofisi <strong>ya</strong> Serikali, Katibu<br />

Mkuu, Septemba, 2010.<br />

5. United Republic of <strong>Tanzania</strong>, National Strategy for Growth and Reduction of Poverty II, MOF<br />

2010.<br />

6. <strong>Tanzania</strong> Demographic and Health Survey (TDHS),<br />

7. <strong>Tanzania</strong> HIV and Malaria Indicator Survey (THMIS),<br />

8. <strong>Tanzania</strong> Service Provision Assessment (TSPA),<br />

9. <strong>Tanzania</strong> House Hold Survey (THHS),<br />

10. Millennium Development Goal (MDG),<br />

11. Demographic Surveillance System (DSS),<br />

12. Service Availability Mapping (SAM)<br />

13. The United Republic of <strong>Tanzania</strong>, Ministry of Health and Social Welfare, Annual Health<br />

Statistical Abstract, April 2006<br />

14. Health Services Statistics, MOH 1997.<br />

15. <strong>Tanzania</strong> Demographic and Health Survey 2010<br />

16. Miaka 10 <strong>ya</strong> Maendeleo katika Huduma za Idara <strong>ya</strong> Ustawi wa Jamii na Ujenzi wa Tabia;<br />

Wizara <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> na Ustawi wa Jamii (1971).<br />

17. Ijue Idara <strong>ya</strong> Ustawi wa Jamii; Wizara <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> na Ustawi wa Jamii (2010).<br />

18. Taarifa <strong>ya</strong> mafaniko <strong>ya</strong> Serikali <strong>ya</strong> awamu <strong>ya</strong> tatu; Wizara <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> na Ustawi wa Jamii (2010).<br />

19. Taarifa <strong>ya</strong> utekelezaji wa Ilani <strong>ya</strong> Uchaguzi 1995 – 2000 na 2000 – 2005; Wizara <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> na<br />

Ustawi wa Jamii (2000 ) na (2005).<br />

138


20. United Republic of <strong>Tanzania</strong> (National Bureau of Statistic and Department of Social Welfare<br />

(2009); <strong>Tanzania</strong> 2008 disability survey report<br />

21. Comparative study of the assessment of service provision system between public and private<br />

destitute camps in <strong>Tanzania</strong> – dissertation presented for the attainment of post graduate diploma<br />

in social work; Damas K. Darius (2007).<br />

22. The problem of street children in Africa: An ignored tragedy – A Paper Presented to an<br />

international conference on street children’s Health in East Africa in Dar es Salaam; Dr.<br />

Peter A. Kipoka (2000).<br />

23. Taarifa za utekelezaji za mwaka 2008,2009 na 2010, Wizara <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> na Ustawi wa Jamii;<br />

2009, 2010, 2011.<br />

24. Mpango kazi wa taifa wa huduma, ulinzi na matunzo <strong>kwa</strong> <strong>ya</strong>tima watoto wanaoishi katika<br />

mazingira hatarishi 2007 – 2010; Wizara <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> na Ustawi wa Jamii 2006.<br />

25. Ministry of Health and Social Welfare (MoHSW) [<strong>Tanzania</strong>]. 1997. Micronutrient deficiency<br />

control:Policy guideline for supplementation. Dar es Salaam, <strong>Tanzania</strong>: MoHSW<br />

26. Ministry of Health and Social Welfare (MoHSW) [<strong>Tanzania</strong>]. 2003. National Malaria Medium-<br />

term Strategic Plan 2002-2007. Dar es Salaam, <strong>Tanzania</strong>; MoHSW.<br />

27. Ministry of Health and Social Welfare (MoHSW) [<strong>Tanzania</strong>]. 2006. National guideline for<br />

malaria diagnosis and treatment 2006. Dar es Salaam, <strong>Tanzania</strong>; NMCP<br />

28. Ministry of Health and Social Welfare (MoHSW) [<strong>Tanzania</strong>], Reproductive and Child Health<br />

section. 2008. The national road map strategic plan to accelerate reduction of maternal,<br />

newborn and child deaths in <strong>Tanzania</strong>, 2008-15. Dar es Salaam, <strong>Tanzania</strong>; MoHSW.<br />

29. Ministry of Health and Social Welfare (MoHSW) [<strong>Tanzania</strong>]. 2009. Health Sector Strategic<br />

Plan July, 2009- June 2015. Dar es Salaam, <strong>Tanzania</strong>; MoHSW.<br />

30. <strong>Tanzania</strong> Commission for AIDS (TACAIDS), National Bureau of Statistics (NBS), and ORC<br />

Macro, 2005. <strong>Tanzania</strong> HIV/AIDS Indicator Survey 2003-04. Calverton, Maryland: TACAIDS,<br />

NBS and ORC Macro.<br />

31. <strong>Tanzania</strong> Food and Nutrion Centre (TFNC). 2004. Prevention and Control of Iodine Deficiency<br />

Disorders in <strong>Tanzania</strong>. Second National IDD Survey. TFNC Report No. 2002. Dar es Salaam,<br />

<strong>Tanzania</strong>: TFNC<br />

139

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!