15.01.2013 Views

Wizara inayosimamia sekta za nishati na madini kwa mara ya ...

Wizara inayosimamia sekta za nishati na madini kwa mara ya ...

Wizara inayosimamia sekta za nishati na madini kwa mara ya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

1. Utangulizi<br />

MAELEZO KUHUSU SEKTA YA MADINI<br />

<strong>Wi<strong>za</strong>ra</strong> <strong>i<strong>na</strong>yosimamia</strong> <strong>sekta</strong> <strong>za</strong> <strong>nishati</strong> <strong>na</strong> <strong>madini</strong> <strong>kwa</strong> <strong>mara</strong> <strong>ya</strong> <strong>kwa</strong>n<strong>za</strong> iliundwa<br />

mwaka 1961 <strong>na</strong> iliitwa <strong>Wi<strong>za</strong>ra</strong> <strong>ya</strong> Biashara, Madini <strong>na</strong> Nguvu <strong>za</strong> Umeme. Toka<br />

wakati huo <strong>sekta</strong> <strong>za</strong> <strong>nishati</strong> <strong>na</strong> <strong>madini</strong> zimekuwa zikitenganishwa au<br />

kuunganishwa <strong>na</strong> kuunda <strong>Wi<strong>za</strong>ra</strong> mbalimbali kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> mahitaji <strong>ya</strong> wakati<br />

husika. Maji<strong>na</strong> <strong>ya</strong> <strong>Wi<strong>za</strong>ra</strong> zilizohusisha <strong>sekta</strong> <strong>za</strong> <strong>nishati</strong> <strong>na</strong> <strong>madini</strong> <strong>kwa</strong> n<strong>ya</strong>kati<br />

mbalimbali ni kama ifuatavyo:<br />

� <strong>Wi<strong>za</strong>ra</strong> <strong>ya</strong> Mawasiliano, Nguvu <strong>za</strong> Umeme <strong>na</strong> Ujenzi (1962 – 1963);<br />

� <strong>Wi<strong>za</strong>ra</strong> <strong>ya</strong> Viwanda, Madini <strong>na</strong> Nguvu <strong>za</strong> Umeme (1964 - 1966);<br />

� <strong>Wi<strong>za</strong>ra</strong> <strong>ya</strong> Maji <strong>na</strong> Nguvu <strong>za</strong> Umeme (1971 – 1974);<br />

� <strong>Wi<strong>za</strong>ra</strong> <strong>ya</strong> Maji, Nishati <strong>na</strong> Madini (1976 – 1981);<br />

� <strong>Wi<strong>za</strong>ra</strong> <strong>ya</strong> Madini (1982 – 1983);<br />

� <strong>Wi<strong>za</strong>ra</strong> <strong>ya</strong> Maji <strong>na</strong> Nishati (1982 - 1983);<br />

� <strong>Wi<strong>za</strong>ra</strong> <strong>ya</strong> Maji, Nishati <strong>na</strong> Madini (1984 – 1985);<br />

� <strong>Wi<strong>za</strong>ra</strong> <strong>ya</strong> Nishati <strong>na</strong> Madini (1986 - 1990);<br />

� <strong>Wi<strong>za</strong>ra</strong> <strong>ya</strong> Maji, Nishati <strong>na</strong> Madini (1991 - 1995); <strong>na</strong><br />

� <strong>Wi<strong>za</strong>ra</strong> <strong>ya</strong> Nishati <strong>na</strong> Madini (1996 mpaka Sasa).<br />

Baada <strong>ya</strong> uhuru <strong>sekta</strong> <strong>ya</strong> <strong>madini</strong> iliendelea kusimamiwa <strong>na</strong> sheria zilizotungwa<br />

wakati wa ukoloni. Mwaka 1967 Azimio la Arusha lilitangazwa, ambapo Serikali<br />

ilimiliki njia kuu <strong>za</strong> uchumi ikiwemo utafutaji, uchimbaji <strong>na</strong> biashara <strong>ya</strong> <strong>madini</strong>.<br />

Hatua hiyo ilisababisha kupungua <strong>kwa</strong> mitaji kutoka nje kufuatia mabadiliko <strong>ya</strong><br />

sera <strong>ya</strong> uweke<strong>za</strong>ji <strong>na</strong> hivyo, baadhi <strong>ya</strong> migodi kusimamisha u<strong>za</strong>lishaji <strong>na</strong> mingine<br />

kufungwa.<br />

Mwaka 1972 Serikali iliunda Shirika la Madini la Taifa (State Mining Corporation-<br />

STAMICO), chini <strong>ya</strong> Sheria <strong>ya</strong> Mashirika <strong>ya</strong> Umma <strong>ya</strong> Mwaka 1969 (The Public<br />

Corporation Act, 1969). Majukumu <strong>ya</strong> Shirika <strong>ya</strong>likuwa ni kutafiti <strong>na</strong> kuendele<strong>za</strong><br />

rasilimali <strong>za</strong> <strong>madini</strong>. Ili kusimamia vyema rasilimali hizo, Serikali ilitunga Sheria <strong>ya</strong><br />

Madini <strong>ya</strong> Mwaka 1979 <strong>na</strong> Kanuni <strong>za</strong>ke. Hatua hii ilifuatiwa <strong>na</strong> kuundwa <strong>kwa</strong><br />

<strong>Wi<strong>za</strong>ra</strong> <strong>ya</strong> Madini Mwaka 1980. Kutungwa <strong>kwa</strong> Sheria hiyo kulirasimisha <strong>na</strong><br />

kuku<strong>za</strong> shughuli <strong>za</strong> uchimbaji mdogo nchini.


Katika miaka <strong>ya</strong> 1980, <strong>sekta</strong> <strong>ya</strong> <strong>madini</strong> Tan<strong>za</strong>nia Bara ilihitaji marekebisho<br />

kuelekea kwenye tasnia <strong>ya</strong> uchimbaji <strong>madini</strong> <strong>ya</strong> kisasa <strong>na</strong> i<strong>na</strong>yofaa. Aidha,<br />

shughuli <strong>za</strong> uchimbaji mdogo wa <strong>madini</strong> hapa nchini zilikua <strong>na</strong> kuwa tegemeo la<br />

maisha <strong>kwa</strong> watu <strong>za</strong>idi <strong>ya</strong> nusu milioni. Hatua hii ililazimu Serikali kutunga Sera <strong>ya</strong><br />

Madini <strong>ya</strong> Mwaka 1997. Lengo kuu lilikuwa ni kuvutia uweke<strong>za</strong>ji kutoka nje katika<br />

utafutaji <strong>na</strong> uchimbaji <strong>madini</strong>. Kufuatia mabadiliko hayo <strong>ya</strong> kisera, uweke<strong>za</strong>ji<br />

katika <strong>sekta</strong> <strong>ya</strong> <strong>madini</strong> uliongezeka ambapo katika kipindi cha mwaka 1998 hadi<br />

2009 migodi mikubwa sita (6) <strong>ya</strong> dhahabu <strong>na</strong> mmoja wa tan<strong>za</strong>nite ilianzishwa.<br />

Migodi hiyo ni Resolute Gold Mine (1998); Geita Gold Mine (1999); Bul<strong>ya</strong>nhulu<br />

Gold Mine (2001); North Mara Gold Mine (2002); Tulawaka Gold Project (2005);<br />

Buzwagi Gold Mine (2009); <strong>na</strong> Tan<strong>za</strong>niteOne (2000).<br />

Katika juhudi <strong>za</strong> Serikali <strong>za</strong> kuhamasisha <strong>na</strong> kusimamia uwazi <strong>na</strong> uwajibikaji katika<br />

mapato <strong>na</strong> matumizi <strong>ya</strong> rasilimali <strong>za</strong> <strong>madini</strong>, mafuta <strong>na</strong> gesi asili, Tan<strong>za</strong>nia ilijiunga<br />

rasmi <strong>na</strong> Asasi <strong>ya</strong> Uwazi katika Tasnia <strong>ya</strong> Uziduaji (Extractive Industries<br />

Transparency Initiative – EITI) tarehe 16 Februari, 2009. EITI (Tan<strong>za</strong>nia) i<strong>na</strong><br />

jukumu la kuchanganua malipo <strong>ya</strong><strong>na</strong>yofanywa <strong>na</strong> kampuni <strong>za</strong> uziduaji <strong>kwa</strong> Serikali<br />

<strong>na</strong> taarifa kutolewa <strong>kwa</strong> umma kuhusu mapato <strong>ya</strong>liyopokelewa Serikalini kutoka<br />

kwenye kampuni hizo. Tan<strong>za</strong>nia imechapisha taarifa <strong>ya</strong> <strong>kwa</strong>n<strong>za</strong> mwezi Februari,<br />

2011 <strong>na</strong> kuthibitishwa <strong>na</strong> Sekretarieti <strong>ya</strong> Kimataifa <strong>ya</strong> EITI mwezi Mei, 2011.<br />

2. Mafanikio katika Sekta <strong>ya</strong> Madini<br />

(a) Kuongezeka <strong>kwa</strong> uweke<strong>za</strong>ji katika <strong>sekta</strong> <strong>ya</strong> <strong>madini</strong> kutoka USD bilioni 1.3<br />

(1997) mpaka USD bilioni 2.5 (2010). Uweke<strong>za</strong>ji huo umewezesha<br />

kuanzishwa <strong>kwa</strong> migodi mikubwa saba (07) ambayo ni Resolute Gold<br />

Mine, Bul<strong>ya</strong>nhulu Gold Mine, Geita Gold Mine, North Mara Gold Mine,<br />

Tulawaka Gold Project <strong>na</strong> Buzwagi Gold Mine <strong>na</strong> Tan<strong>za</strong>niteOne.<br />

(b) Kuongezeka <strong>kwa</strong> u<strong>za</strong>lishaji wa dhahabu <strong>kwa</strong> wastani wa tani 50 <strong>kwa</strong><br />

mwaka ikilinganishwa <strong>na</strong> tani 64 zilizo<strong>za</strong>lishwa <strong>kwa</strong> kipindi cha mwaka<br />

1917 hadi 1967. Ongezeko hilo limetoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> kuimarika <strong>kwa</strong> usimamizi<br />

wa shughuli <strong>za</strong> <strong>madini</strong> <strong>kwa</strong> kufan<strong>ya</strong> ukaguzi <strong>na</strong> udhibiti wa u<strong>za</strong>lishaji <strong>na</strong><br />

mauzo <strong>ya</strong> <strong>madini</strong> katika migodi mikubwa nchini, ambapo Serikali<br />

imeendelea kupata takwimu sahihi <strong>za</strong> <strong>madini</strong> <strong>ya</strong><strong>na</strong>yo<strong>za</strong>lishwa <strong>na</strong> kuuzwa.<br />

Kielelezo Na. 2 ki<strong>na</strong>onesha takwimu <strong>za</strong> u<strong>za</strong>lishaji wa dhahabu kutoka<br />

migodi mikubwa.


Kielelezo: Kiasi cha Madini Kilicho<strong>za</strong>lishwa <strong>na</strong> Kuuzwa Nje <strong>ya</strong> Nchi <strong>na</strong> Migodi<br />

Mikubwa Nchini (2005 - 2010)<br />

Ai<strong>na</strong> <strong>ya</strong><br />

Madini<br />

Dhahabu<br />

(wakia)<br />

2005 2006 2007 2008 2009 2010<br />

1,170,5<br />

00<br />

1,308,6<br />

00<br />

1,127,7<br />

00<br />

1,020,2<br />

00<br />

1,114,7<br />

75<br />

1,214,59<br />

4<br />

Fedha (wakia) 381,688 541,488 431,124 343,499 399,178 406,235<br />

Shaba (ratili)<br />

Tan<strong>za</strong>nite<br />

(karati)<br />

7,618,9<br />

21<br />

1,460,0<br />

75<br />

8,631,8<br />

35<br />

1,230,6<br />

00<br />

5,548,4<br />

85<br />

1,700,1<br />

34<br />

5,388,7<br />

03<br />

2,203,1<br />

62<br />

7,093,3<br />

75<br />

1,910,0<br />

00<br />

10,806,6<br />

87<br />

2,200,00<br />

0<br />

Almasi (karati) 190,384 189,396 220,209 134,000 133,526 43,264<br />

Chanzo: TMAA (2011)<br />

(c) Kukusanywa <strong>kwa</strong> kodi <strong>ya</strong> mapato (corporate tax) jumla <strong>ya</strong> Shilingi bilioni<br />

37.68. Kati <strong>ya</strong> hizo Shilingi bilioni 32.28 zilikusanywa kutoka kampuni <strong>ya</strong><br />

Resolute Tan<strong>za</strong>nia Limited i<strong>na</strong>yomiliki mgodi wa Golden Pride; Shilingi<br />

bilioni 3.1 kutoka kampuni <strong>ya</strong> Geita Gold Mining Limited i<strong>na</strong>yomiliki<br />

mgodi wa Geita; <strong>na</strong> Shilingi bilioni 2.3 kutoka mgodi wa Tan<strong>za</strong>niteOne.<br />

Mafanikio ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>metoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> kaguzi <strong>za</strong> hesabu <strong>za</strong> fedha <strong>na</strong> kodi<br />

zilizofanywa <strong>na</strong> Wakala wa Ukaguzi wa Madini <strong>kwa</strong> kushirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong><br />

Mamlaka <strong>ya</strong> Mapato (TRA).<br />

(d) Kuongezeka <strong>kwa</strong> mapato <strong>ya</strong> Serikali kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> uchimbaji mkubwa wa<br />

<strong>madini</strong> kutoka Shilingi bilioni 457.4 mwaka 2005 hadi Shilingi bilioni 840<br />

mwaka 2010. Kielelezo Na. 3 ki<strong>na</strong>onesha mapato hayo <strong>ya</strong> Serikali.<br />

Kielelezo Na. 3: Kiasi cha Kodi Mbalimbali Zilizolipwa <strong>na</strong> Migodi Mikubwa <strong>ya</strong><br />

Dhahabu Nchini (1999 - 2008)


Chanzo: TMAA (2010)<br />

Angalizo: Kodi zilizojumuishwa ni: Corporate Tax, Value Added Tax, Pay As You<br />

Earn, Skills Development Levy <strong>na</strong> Withholding Tax.<br />

(e) Kukusanywa <strong>kwa</strong> mrabaha wa jumla <strong>ya</strong> USD 475,840 kutoka <strong>kwa</strong> wamiliki<br />

wa migodi mikubwa <strong>ya</strong> dhahabu kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> kazi <strong>ya</strong> ulinganisho wa<br />

malipo <strong>ya</strong> mrabaha uliofanywa <strong>na</strong> TMAA katika kipindi cha 2009 hadi<br />

2010.<br />

(f) Kuongezeka <strong>kwa</strong> thamani <strong>ya</strong> <strong>madini</strong> <strong>ya</strong><strong>na</strong>youzwa nje kutoka migodi<br />

mikubwa kutoka USD milioni 727.45 (2005) hadi USD 1,536.93 (2010).<br />

Aidha, thamani <strong>ya</strong> <strong>madini</strong> <strong>ya</strong> dhahabu <strong>ya</strong>liyouzwa nje iliongezeka kutoka<br />

USD milioni 1.06 mwaka 2001 hadi USD milioni 1.48 mwaka 2010.<br />

Kielelezo Na. 4 ki<strong>na</strong>onesha ulinganisho wa kiasi <strong>na</strong> thamani <strong>ya</strong> <strong>madini</strong><br />

<strong>ya</strong>liyouzwa nje <strong>ya</strong> nchi <strong>na</strong> migodi mikubwa <strong>na</strong> Kielelezo Na. 5 ki<strong>na</strong>onesha<br />

mrabaha wa awali uliolipwa Serikalini kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> u<strong>za</strong>lishaji wa dhahabu<br />

kutoka migodi mikubwa.<br />

Kielelezo Na. 4: Ulinganisho wa Kiasi <strong>na</strong> Thamani <strong>ya</strong> Madini Yaliyouzwa Nje <strong>ya</strong><br />

Nchi <strong>na</strong> Migodi Mikubwa Nchini (2001 - 2010)


Chanzo: TMAA (2011)<br />

Kielelezo Na.5: Kiasi cha Mrabaha wa Awali Uliolipwa <strong>na</strong> Migodi Mikubwa <strong>ya</strong><br />

Dhahabu Nchini (2001 - 2010)


Chanzo: TMAA (2011)<br />

(g) Kuongezeka <strong>kwa</strong> ajira <strong>kwa</strong> Watan<strong>za</strong>nia kwenye migodi mikubwa kutoka<br />

wafan<strong>ya</strong>kazi 1,700 (1997) mpaka 7,361 mwaka (2010);<br />

(h) Kuimarika <strong>kwa</strong> usimamizi wa migodi mikubwa <strong>ya</strong> dhahabu <strong>na</strong> vito<br />

kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> ukaguzi <strong>na</strong> udhibiti wa shughuli <strong>za</strong> u<strong>za</strong>lishaji <strong>na</strong> mauzo <strong>ya</strong><br />

<strong>madini</strong> katika migodi mikubwa nchini u<strong>na</strong>ofanywa <strong>na</strong> TMAA, hivyo<br />

kuifan<strong>ya</strong> Serikali ipate takwimu sahihi <strong>za</strong> <strong>madini</strong> <strong>ya</strong><strong>na</strong>yo<strong>za</strong>lishwa <strong>na</strong><br />

kuuzwa.<br />

(i) Kuongezeka <strong>kwa</strong> utoaji wa leseni <strong>za</strong> <strong>madini</strong> kutoka wastani wa leseni 385<br />

mwaka 1997 hadi wastani wa leseni 5,184 mwaka 2010 kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong><br />

kuanzishwa <strong>kwa</strong> Mining Cadastral Information Ma<strong>na</strong>gement System<br />

(MCIMS). Hadi kufikia mwezi Aprili, 2011 jumla <strong>ya</strong> leseni 24,277<br />

zimetolewa. Kati <strong>ya</strong> hizo leseni 242 ni <strong>za</strong> uchimbaji mkubwa (Mining<br />

Licences), leseni 54 ni <strong>za</strong> uchimbaji wa vito (Gemstone Mining Licences),<br />

leseni 17,321 ni <strong>za</strong> uchimbaji mdogo <strong>na</strong> leseni 6,660 ni <strong>za</strong> utafutaji<br />

<strong>madini</strong>.


Kielelezo Na. 6: Leseni <strong>za</strong> Madini Zilizotolewa Mwaka 1997 hadi 2010<br />

5000<br />

4500<br />

4000<br />

3500<br />

3000<br />

2500<br />

2000<br />

1500<br />

1000<br />

500<br />

0<br />

Chanzo: MEM (2011)<br />

(j) Kuanzishwa <strong>kwa</strong> vituo v<strong>ya</strong> kutoa mafunzo <strong>kwa</strong> vitendo <strong>kwa</strong> wachimbaji<br />

wadogo Matundasi, Chun<strong>ya</strong> <strong>na</strong> Arusha Gemstone Carving Centre chini <strong>ya</strong><br />

Mradi wa MSD-TA/NDF. Mafunzo <strong>kwa</strong> vitendo <strong>ya</strong><strong>na</strong>yotolewa Arusha<br />

Gemstone Carving Centre ni usanifu wa <strong>madini</strong> <strong>ya</strong> vito, miamba <strong>na</strong><br />

uso<strong>na</strong>ra. Hadi kufikia mwezi Mei 2011, jumla <strong>ya</strong> watui 44 walishapata<br />

mafunzo hayo.<br />

(k) Kuanzishwa <strong>kwa</strong> mfuko wa kuwasaidia wachimbaji wadogo ambapo hadi<br />

kufikia Mei, 2011 jumla <strong>ya</strong> shilingi milioni 525 zimetolewa <strong>kwa</strong> STAMICO,<br />

Tan Discovery Mineral Consultancy Ltd, Kilimo & G. Supplies Ltd, C. E.<br />

Holdings Ltd <strong>na</strong> Gemstyles (T) Ltd. Taasisi <strong>za</strong> STAMICO, Tan Discovery<br />

Mineral Consultancy Ltd <strong>na</strong> Kilimo & G. Supplies Ltd zimepewa mikopo<br />

<strong>kwa</strong> ajili <strong>ya</strong> kuanzisha vituo v<strong>ya</strong> kukodisha <strong>na</strong> kukopesha vifaa <strong>kwa</strong><br />

wachimbaji wadogo katika maeneo <strong>ya</strong> Rwamgasa – Geita, Londoni –<br />

Manyoni <strong>na</strong> Pongwe Musungura – Bagamoyo. Kampuni <strong>za</strong> C. E. Holdings<br />

Ltd <strong>na</strong> Gemstyles (T) Ltd zimepewa mikopo <strong>kwa</strong> ajili <strong>ya</strong> kuanzisha vituo<br />

v<strong>ya</strong> kuonge<strong>za</strong> thamani <strong>madini</strong> Mikocheni <strong>na</strong> Kijiton<strong>ya</strong>ma jijini Dar es<br />

Salaam.<br />

PML<br />

PL<br />

PLR<br />

RL<br />

ML<br />

GML<br />

SML


(l) Kukamilika <strong>kwa</strong> uchoraji wa ramani <strong>za</strong> kijiofizikia <strong>na</strong> kijiolojia <strong>kwa</strong> skeli <strong>ya</strong><br />

1:2,000,000 <strong>na</strong> ramani sita <strong>za</strong> kijiofizikia <strong>na</strong> kijiolojia (promotion block<br />

maps) <strong>za</strong> skeli <strong>ya</strong> 1:500,000 <strong>za</strong> maeneo <strong>ya</strong> Ziwa Victoria, Mpanda -<br />

kigoma <strong>na</strong> Ru<strong>kwa</strong> pamoja <strong>na</strong> taarifa <strong>za</strong>ke.<br />

(m) Kukusanywa takwimu <strong>za</strong> kijiofizikia (Low Resolution Airborne<br />

Geophysical data) nchi nzima <strong>na</strong> takwimu <strong>za</strong> ki<strong>na</strong> <strong>za</strong> kijiofizikia (High<br />

Resolution Airborne Geophysical Data) <strong>kwa</strong> maeneo <strong>ya</strong> Musoma,<br />

Kahama, Biharamulo <strong>na</strong> Mpanda.<br />

(n) Jumla <strong>ya</strong> Mafundi Mchundo 350 walihitimu mafunzo katika Chuo cha<br />

Madini <strong>na</strong> kuajiriwa Serikalini <strong>na</strong> katika mashirika <strong>ya</strong> umma kati <strong>ya</strong><br />

mwaka 1982 – 2002, hivyo kufan<strong>ya</strong> idadi <strong>ya</strong> wahitimu kuongezeka kutoka<br />

wa<strong>na</strong>funzi 27 mwaka 2005 hadi 80 mwaka 2011 kama i<strong>na</strong>vyooneshwa<br />

katika vielelezo Na.6 <strong>na</strong> Na.7.<br />

Kielelezo Na. 7: Takwimu <strong>za</strong> Wahitimu wa Mafunzo <strong>ya</strong> Ufundi Sanifu <strong>kwa</strong><br />

Mfumo wa Umahiri<br />

Chanzo: MRI (2011)


Kielelezo Na. 8: Takwimu <strong>za</strong> Wahitimu wa Mafunzo <strong>ya</strong> Ufundi Sanifu <strong>kwa</strong><br />

Mfumo wa FTC<br />

Chanzo: MRI (2011)<br />

3. Mafanikio mengine katika <strong>sekta</strong> <strong>ya</strong> <strong>madini</strong> ni:<br />

(a) Kuongezeka <strong>kwa</strong> mchango wa <strong>sekta</strong> <strong>ya</strong> <strong>madini</strong> kwenye Pato la Taifa<br />

kutoka asilimia 0.3 mwaka 1988 hadi asilimia 2.6 mwaka 2010;<br />

(b) Kutengwa <strong>kwa</strong> maeneo maalumu <strong>ya</strong> uchimbaji mdogo wa <strong>madini</strong> katika<br />

wila<strong>ya</strong> <strong>za</strong> Simanjiro, Mvomero, Mpwapwa, Kilindi, Geita <strong>na</strong> Kishapu;<br />

(c) Kufanyika <strong>kwa</strong> upimaji wa awali wa kijiolojia nchini katika mfumo wa<br />

Quarter Degree Sheets (QDS) <strong>kwa</strong> asilimia 85;<br />

(d) Kuchapishwa <strong>kwa</strong> ramani <strong>za</strong> kijiolojia katika skeli <strong>za</strong> 1:125,000 <strong>kwa</strong><br />

asilimia 68 <strong>ya</strong> eneo lililofanyiwa upimaji;<br />

(e) Kubadilishwa <strong>kwa</strong> ramani <strong>za</strong> kijiolojia <strong>za</strong> QDS (asilimia 37 <strong>ya</strong> eneo la<br />

Tan<strong>za</strong>nia) kutoka mfumo wa karatasi (hard copy) kuwa digital ili ziweze<br />

kuhifadhiwa <strong>na</strong> kusambazwa <strong>kwa</strong> urahisi;


(f) Kukamilika <strong>kwa</strong> uchoraji wa ramani maalumu tano (tano) zi<strong>na</strong>zoonesha<br />

v<strong>ya</strong>nzo v<strong>ya</strong> maji mkoani Dodoma, eneo la makaa <strong>ya</strong> mawe la Ngaka, eneo<br />

la <strong>madini</strong> <strong>ya</strong> chuma la Liganga, maeneo yenye v<strong>ya</strong>nzo v<strong>ya</strong> joto-ardhi <strong>na</strong><br />

eneo la kijiolojia la Rungwe;<br />

(g) Kuongezeka <strong>kwa</strong> hali <strong>ya</strong> usalama <strong>na</strong> utun<strong>za</strong>ji wa mazingira katika migodi<br />

<strong>ya</strong> wachimbaji wadogo chini <strong>ya</strong> miradi iliyofadhiliwa <strong>na</strong> UNIDO<br />

/GEF/UNDP kati <strong>ya</strong> mwaka 1997 <strong>na</strong> 2004;<br />

(h) Kuchapishwa <strong>kwa</strong> taarifa <strong>ya</strong> <strong>kwa</strong>n<strong>za</strong> kuhusu uwazi wa mapato<br />

<strong>ya</strong>toka<strong>na</strong>yo <strong>na</strong> gesi, mafuta <strong>na</strong> <strong>madini</strong> mwezi Februari, 2011 <strong>na</strong><br />

kuthibitishwa <strong>na</strong> Sekretarieti <strong>ya</strong> Kimataifa <strong>ya</strong> EITI mwezi Mei, 2011; <strong>na</strong><br />

(i) Kuongezeka <strong>kwa</strong> ofisi <strong>za</strong> <strong>madini</strong> kutoka ofisi mbili (Dodoma <strong>na</strong> Morogoro)<br />

mwaka 1961, mpaka ofisi 10 mwaka 2011. Ofisi hizo ni Arusha, Singida,<br />

Shin<strong>ya</strong>nga, Kahama, Geita, Chun<strong>ya</strong>, Songea <strong>na</strong> Bukoba ambazo<br />

zimejengwa <strong>na</strong> <strong>Wi<strong>za</strong>ra</strong>.<br />

4. Fursa <strong>za</strong> Uweke<strong>za</strong>ji katika Sekta <strong>ya</strong> Madini<br />

Tan<strong>za</strong>nia ni miongoni mwa nchi zenye hazi<strong>na</strong> kubwa <strong>ya</strong> <strong>madini</strong> <strong>ya</strong> ai<strong>na</strong> mbalimbali<br />

<strong>ya</strong><strong>na</strong>yowe<strong>za</strong> kuendelezwa <strong>kwa</strong> manufaa <strong>ya</strong> kiuchumi <strong>na</strong> kijamii. Tangu tupate<br />

uhuru, Serikali imekuwa ikichukua hatua mbalimbali zikiwemo kutunga/kudurusu<br />

sera <strong>na</strong> sheria zi<strong>na</strong>zohusu <strong>sekta</strong> <strong>ya</strong> <strong>madini</strong> <strong>kwa</strong> lengo la kuvutia uweke<strong>za</strong>ji <strong>za</strong>idi <strong>na</strong><br />

kuonge<strong>za</strong> manufaa <strong>kwa</strong> Taifa.<br />

Serikali imeazimia kushiriki kimkakati katika miradi <strong>ya</strong> <strong>madini</strong> kupitia STAMICO.<br />

Aidha, waweke<strong>za</strong>ji bi<strong>na</strong>fsi kutoka nje <strong>na</strong> ndani <strong>ya</strong> Tan<strong>za</strong>nia wa<strong>na</strong>karibishwa<br />

kuweke<strong>za</strong> katika maeneo <strong>ya</strong><strong>na</strong>yopatika<strong>na</strong> <strong>madini</strong> ambayo <strong>ya</strong>megawanyika katika<br />

makundi makubwa <strong>ya</strong> kijiolojia <strong>ya</strong>fuatayo:<br />

AINA YA MADINI MAENEO YA UPATIKANAJI<br />

Dhahabu Ukanda wa mawe <strong>ya</strong> kijani wa Mashariki,<br />

Magharibi <strong>na</strong> Kusini <strong>ya</strong> Ziwa Victoria.


Almasi Pande <strong>za</strong> Kati <strong>na</strong> Kusini <strong>ya</strong> Tan<strong>za</strong>nia katika<br />

Nikeli, Kobalti, shaba, bati<br />

<strong>na</strong> tungsten<br />

Titanium, va<strong>na</strong>dium <strong>na</strong><br />

chuma<br />

mawe <strong>ya</strong> Kimbeliti.<br />

Kaskazini - Magharibi mwa Tan<strong>za</strong>nia.<br />

Kusini – Magharibi mwa Tan<strong>za</strong>nia.<br />

Makaa <strong>ya</strong> mawe Kusini– Magharibi mwa Tan<strong>za</strong>nia<br />

Urani (uranium) Katikati <strong>na</strong> Kusini mwa Tan<strong>za</strong>nia<br />

Magadi, chumvi, chokaa,<br />

traveertite <strong>na</strong> tro<strong>na</strong><br />

(evaporates)<br />

Kauri, ulanga, fosfati,<br />

magnesiti, diatomite,<br />

kokoto, dimension stone <strong>na</strong><br />

mchanga<br />

Katika Bonde la Ufa <strong>na</strong> mwambao wa Bahari <strong>ya</strong><br />

Hindi.<br />

Katika sehemu mbalimbali <strong>za</strong> Tan<strong>za</strong>nia.<br />

Pamoja <strong>na</strong> hazi<strong>na</strong> hiyo <strong>ya</strong> <strong>madini</strong>, Tan<strong>za</strong>nia i<strong>na</strong> vivutio vyenye ushindani<br />

vifuatavyo:<br />

(a) Hazi<strong>na</strong> kubwa <strong>ya</strong> <strong>madini</strong> ambayo haijaendelezwa;<br />

(b) Upatika<strong>na</strong>ji wa takwimu <strong>na</strong> taarifa <strong>za</strong> kijiolojia;<br />

(c) Uwazi katika taratibu <strong>za</strong> kupata leseni <strong>za</strong> <strong>madini</strong>;<br />

(d) Mfumo wa kodi u<strong>na</strong>ovutia; <strong>na</strong><br />

(e) Amani <strong>na</strong> utulivu wa kisiasa.<br />

Fursa nyingine <strong>za</strong> uweke<strong>za</strong>ji katika <strong>sekta</strong> <strong>ya</strong> <strong>madini</strong> ni pamoja <strong>na</strong>:<br />

(a) Uanzishaji wa mitambo <strong>ya</strong> kuyeyusha shaba <strong>na</strong> nikeli;<br />

(b) Uanzishaji wa mitambo <strong>ya</strong> kusafisha dhahabu;


(c) Uendele<strong>za</strong>ji wa <strong>madini</strong> <strong>ya</strong> viwanda;<br />

(d) Utoaji wa mafunzo juu <strong>ya</strong> uonge<strong>za</strong>ji thamani <strong>madini</strong> <strong>na</strong> usamba<strong>za</strong>ji wa vifaa<br />

v<strong>ya</strong> uchongaji vin<strong>ya</strong>go v<strong>ya</strong> <strong>madini</strong>;<br />

(e) Kubadilisha<strong>na</strong> taarifa <strong>na</strong> matokeo <strong>ya</strong> tafiti <strong>na</strong> takwimu <strong>za</strong> kisa<strong>ya</strong>nsi <strong>na</strong><br />

kiufundi; <strong>na</strong><br />

(f) Kubadilisha<strong>na</strong> wa<strong>na</strong>sa<strong>ya</strong>nsi, watafiti, washauri <strong>na</strong> wataalamu wengine katika<br />

fani <strong>za</strong> <strong>madini</strong>.<br />

5. Matarajio <strong>ya</strong> Sekta <strong>ya</strong> Madini<br />

(a) Sekta <strong>ya</strong> <strong>madini</strong> kuchangia asilimia 27.6 katika Pato la Taifa;<br />

(b) Kuwa <strong>na</strong> asilimia hamsini (50%) <strong>ya</strong> nchi iliyofanyiwa utafiti wa ki<strong>na</strong> wa<br />

kijiosa<strong>ya</strong>nsi;<br />

(c) Kuwa <strong>na</strong> mfumo u<strong>na</strong>ofan<strong>ya</strong> kazi <strong>za</strong> kuratibu majanga <strong>ya</strong> asili <strong>ya</strong> kijiolojia<br />

(geoha<strong>za</strong>rds) vyenye kuwe<strong>za</strong> kuleta taarifa moja <strong>kwa</strong> moja katika ofisi <strong>za</strong><br />

GST <strong>mara</strong> tukio li<strong>na</strong>potokea (real time sensor);<br />

(d) Taarifa zote <strong>za</strong> kijiosa<strong>ya</strong>nsi zilizopo GST kuwa katika mfumo <strong>ya</strong> digitali;<br />

(e) Kuwa moja <strong>ya</strong> taasisi mashuhuri katika Afrika <strong>kwa</strong> kutoa takwimu <strong>na</strong> taarifa<br />

<strong>za</strong> kijiosa<strong>ya</strong>nsi <strong>kwa</strong> kiwango bora <strong>za</strong>idi;<br />

(f) Kuonge<strong>za</strong> udahili wa wa<strong>na</strong>funzi katika Chuo cha Madini kutoka wa<strong>na</strong>funzi<br />

196 mwaka 2011 hadi kufikia wa<strong>na</strong>funzi 7,000 <strong>na</strong> kufikia kukidhi mahitaji <strong>ya</strong><br />

soko.<br />

6. Muundo wa Idara <strong>ya</strong> Madini<br />

Lengo la Idara ni kuhakikisha maendeleo <strong>ya</strong> <strong>sekta</strong> <strong>ya</strong> <strong>madini</strong> <strong>ya</strong><strong>na</strong>yozingatia<br />

utun<strong>za</strong>ji wa mazingira.<br />

Idara i<strong>na</strong>ongozwa <strong>na</strong> Kamish<strong>na</strong> wa Madini akisaidiwa <strong>na</strong> Makamish<strong>na</strong> wasaidizi<br />

14. Kati <strong>ya</strong> hao, sita ni wakuu wa sehemu sita (6) zilizopo makao makuu <strong>ya</strong> <strong>Wi<strong>za</strong>ra</strong><br />

<strong>na</strong> <strong>na</strong>ne (8) wa<strong>na</strong>ongo<strong>za</strong> ofisi <strong>na</strong>ne (8) <strong>za</strong> Madini <strong>za</strong> Kanda.<br />

6.1. Sehemu <strong>ya</strong> Ukaguzi wa Migodi (Mines Inspection Section)


Sehemu hii iko makao makuu <strong>ya</strong> <strong>Wi<strong>za</strong>ra</strong> <strong>na</strong> i<strong>na</strong>husika <strong>na</strong> usimamizi wa kanuni <strong>za</strong><br />

af<strong>ya</strong> <strong>na</strong> Usalama migodini, pamoja <strong>na</strong> kutoa ushauri kuhus af<strong>ya</strong>, usalama <strong>na</strong><br />

utun<strong>za</strong>ji mazingira. Sehemu hii i<strong>na</strong>husika <strong>na</strong> uratibu wa shughuli <strong>za</strong> ukaguzi wa<br />

migodi nchini.<br />

� .<br />

6.2. Sehemu <strong>ya</strong> Uendele<strong>za</strong>ji Uchimbaji Mdogo wa Madini (Small Scale<br />

Mining Development Section)<br />

Sehemu hii iko makao makuu <strong>ya</strong> <strong>Wi<strong>za</strong>ra</strong> <strong>na</strong> i<strong>na</strong>husika <strong>na</strong> Kuandaa miongozo<br />

<strong>kwa</strong> ajili <strong>ya</strong> uchimbaji mdogo, kuisimamia <strong>na</strong> kutathmini utekele<strong>za</strong>ji wake;<br />

Kuta<strong>ya</strong>risha mikakati <strong>ya</strong> kusaidia uchimbaji mdogo ili kuleta maendeleo<br />

endelevu; pamoja <strong>na</strong> kuratibu utoaji wa huduma <strong>za</strong> ugani <strong>na</strong> mafunzo <strong>kwa</strong><br />

wachimbaji wadogo nchini.<br />

6.3. Sehemu <strong>ya</strong> Utoaji <strong>na</strong> Usimamizi wa Leseni (Licensing and Mineral<br />

Rights Registry Section)<br />

Sehemu hii i<strong>na</strong>husika <strong>na</strong> kusimamia kanuni <strong>za</strong> leseni <strong>za</strong> <strong>madini</strong> kupitia mfumo wa<br />

utoaji leseni <strong>za</strong> <strong>madini</strong> “Mining Cadastral Information Ma<strong>na</strong>gement System”<br />

uliopo <strong>Wi<strong>za</strong>ra</strong>ni. Sehemu hii pia i<strong>na</strong>ratibu shughuli <strong>za</strong> utoaji <strong>na</strong> usimamizi wa<br />

leseni <strong>za</strong> <strong>madini</strong> nchini kupitia ofisi <strong>ya</strong> makao makuu <strong>ya</strong> wi<strong>za</strong>ra <strong>na</strong> ofisi <strong>za</strong> <strong>madini</strong><br />

<strong>za</strong> kanda <strong>na</strong> ofisi <strong>za</strong> maafisa <strong>madini</strong> wakazi.<br />

6.4. Sehemu <strong>ya</strong> Usimamizi wa Baruti (Explosives Ma<strong>na</strong>gement Section)<br />

Sehemu hii i<strong>na</strong>simamia sheria <strong>na</strong> kanuni <strong>za</strong> baruti, <strong>na</strong> kuhakikisha kuwa uingi<strong>za</strong>ji,<br />

utengene<strong>za</strong>ji, hifadhi <strong>na</strong> matumizi <strong>ya</strong> baruti <strong>ya</strong><strong>na</strong>kuwa salama <strong>na</strong> <strong>ya</strong><strong>na</strong>fanywa <strong>kwa</strong><br />

kuzingatia sheria wakati wote. Sehemu hii i<strong>na</strong>husika <strong>na</strong> utoaji wa vibali<br />

mbalimbali v<strong>ya</strong> baruti, kama vile blasting certificate, vibali v<strong>ya</strong> kununua <strong>na</strong><br />

kusafirisha baruti, <strong>na</strong> leseni <strong>za</strong> maghala <strong>ya</strong> baruti


6.5. Sehemu <strong>ya</strong> Uchumi <strong>na</strong> Biashara <strong>ya</strong> Madini (Mineral Economics and<br />

Trade)<br />

Sehemu hii i<strong>na</strong>husika <strong>na</strong> ukusan<strong>ya</strong>ji, utun<strong>za</strong>ji <strong>na</strong> uchambuzi wa takwimu<br />

<strong>za</strong> <strong>sekta</strong> <strong>ya</strong> <strong>madini</strong>; <strong>na</strong> kuratibu shughuli <strong>za</strong> biashara <strong>ya</strong> <strong>madini</strong> <strong>na</strong> kutoa<br />

vibali v<strong>ya</strong> kusafirisha <strong>madini</strong> <strong>kwa</strong> kuzingatia mikataba <strong>ya</strong> kimataifa.<br />

Sehemu hii i<strong>na</strong>husika pia <strong>na</strong> shughuli <strong>za</strong> kuvutia uweke<strong>za</strong>ji nchini kupitia<br />

matangazo <strong>na</strong> njia nyingine <strong>za</strong> kujitanga<strong>za</strong>.<br />

6.6. Sehemu <strong>ya</strong> Uonge<strong>za</strong>ji Thamani Madini (Beneficiation and Value<br />

Addition)<br />

Sehumu hii i<strong>na</strong>husika <strong>na</strong> uratibu wa shughuli <strong>za</strong> uonge<strong>za</strong>ji thamani <strong>madini</strong> nchini.<br />

Sehemu i<strong>na</strong>husika pia <strong>na</strong> ukusan<strong>ya</strong>ji <strong>na</strong> uchambuzi wa takwimu kuhusu uonge<strong>za</strong>ji<br />

thamani <strong>madini</strong>, <strong>na</strong> pia kuratibu utoaji vibali <strong>na</strong> usimamizi wa leseni <strong>za</strong> uchenjuaji<br />

<strong>madini</strong>.<br />

6.7. Ofisi <strong>za</strong> Madini <strong>za</strong> Kanda<br />

Makamish<strong>na</strong> Wasaidizi wa Kanda wa<strong>na</strong>ongo<strong>za</strong> Ofisi <strong>za</strong> Madini <strong>za</strong> Kanda <strong>na</strong><br />

kusimamia Ofisi <strong>za</strong> Maafisa Madini Wakazi kama ifuatavyo: Kanda <strong>ya</strong> Mashariki -<br />

Dar es Salaam (Mogorogo, Handeni <strong>na</strong> Tanga); Ofisi <strong>ya</strong> Madini Kanda <strong>ya</strong> Kusini<br />

Magharibi – Mbe<strong>ya</strong> (Chun<strong>ya</strong>); Kanda <strong>ya</strong> Kaskazini – Arusha (Mererani); Kanda <strong>ya</strong><br />

Ziwa – Mwan<strong>za</strong> (Geita, Musoma <strong>na</strong> Bukoba); Kanda <strong>ya</strong> Kusini – Mtwara (Songea<br />

<strong>na</strong> Tunduru); Kanda <strong>ya</strong> kati Magharibi – Shin<strong>ya</strong>nga (Kahama <strong>na</strong> Tabora); Kanda <strong>ya</strong><br />

Magharibi - Mpanda (Kigoma); <strong>na</strong> Kanda <strong>ya</strong> Kati – Singida (Dodoma).<br />

7. Taasisi <strong>na</strong> Wakala <strong>za</strong> Madini<br />

7.1. Wakala wa Jiolojia Tan<strong>za</strong>nia (GST)<br />

Idara <strong>ya</strong> Upimaji wa Kijiolojia (Geological Survey Department <strong>kwa</strong> kifupi GSD)<br />

ilianzishwa mwaka 1925 <strong>na</strong> Mamlaka <strong>ya</strong> Utawala wa Kikoloni wa Kiingere<strong>za</strong><br />

(British Overseas Ma<strong>na</strong>gement Authority) <strong>na</strong> makao makuu <strong>ya</strong>likuwa Dodoma.<br />

Lengo kuu la kuanziswa GSD lilikuwa ni kuharakisha ukuaji wa <strong>sekta</strong> <strong>ya</strong> <strong>madini</strong><br />

kwenye hima<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Tanganyika. Kazi kuu <strong>ya</strong> GSD ilikuwa kutoa taarifa <strong>za</strong> kijiolojia<br />

ambazo zilipatika<strong>na</strong> kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> shughuli <strong>za</strong> ugani wa kijiolojia, utafiti wa awali<br />

wa rasilimali <strong>ya</strong> <strong>madini</strong> <strong>na</strong> maji. Ili kuharakisha utafutaji wa <strong>madini</strong>, maabara <strong>ya</strong><br />

<strong>madini</strong> ilianzishwa mwaka 1929 <strong>kwa</strong> ajili <strong>ya</strong> kusaidia shughuli <strong>za</strong> ugani wa jiolojia


<strong>na</strong> utafutaji wa <strong>madini</strong>. Idara hiyo imekuwa ikifan<strong>ya</strong> kazi chini <strong>ya</strong> <strong>Wi<strong>za</strong>ra</strong><br />

mbalimbali kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> mabadiliko <strong>ya</strong> kimuundo wa <strong>Wi<strong>za</strong>ra</strong> <strong>za</strong> Serikali kabla <strong>na</strong><br />

baada <strong>ya</strong> uhuru kama ilivyoelezwa katika sehemu <strong>ya</strong> historia fupi kuhusu <strong>Wi<strong>za</strong>ra</strong><br />

<strong>ya</strong> Nishati <strong>na</strong> Madini.<br />

Katika kipindi chote cha mabadiliko <strong>ya</strong> utawala, madhumuni <strong>ya</strong> GSD<br />

ha<strong>ya</strong>kubadilika bali <strong>ya</strong>meendelea kuboreshwa kulinga<strong>na</strong> <strong>na</strong> mabadiliko <strong>ya</strong><br />

teknolojia kwenye kipindi husika. Pamoja <strong>na</strong> mabadiliko <strong>ya</strong> utawala, GSD imetoa<br />

mchango mkubwa katika kuku<strong>za</strong> <strong>sekta</strong> <strong>ya</strong> <strong>madini</strong> kama kugundua maeneo yenye<br />

rasilimali <strong>za</strong> <strong>madini</strong> <strong>na</strong> joto-ardhi, kutoa ushauri wa kitaalamu katika <strong>sekta</strong> <strong>ya</strong><br />

ujenzi, uchimbaji wa visima v<strong>ya</strong> maji, mipango miji, mafunzo <strong>kwa</strong> wachimbaji<br />

<strong>madini</strong> wa ngazi mbalimbali <strong>na</strong> kuratibu majanga asilia <strong>ya</strong> kijiolojia. Hata hivyo,<br />

mwaka 2000 ji<strong>na</strong> la GSD lilibadilishwa kuwa Tan<strong>za</strong>nia Geological Survey (TGS)<br />

baada <strong>ya</strong> GSD kutenganishwa <strong>na</strong> Idara <strong>ya</strong> Madini.<br />

Katika robo <strong>ya</strong> pili <strong>ya</strong> miaka <strong>ya</strong> 1990, Serikali ilifan<strong>ya</strong> mabadiliko <strong>ya</strong> kisera<br />

<strong>ya</strong>liyolenga kupungu<strong>za</strong> ukubwa wa Serikali, kuonge<strong>za</strong> ubora <strong>na</strong> ufanisi wa<br />

huduma <strong>kwa</strong> waweke<strong>za</strong>ji katika <strong>sekta</strong> <strong>za</strong> uchumi kama ilivyoelezwa kwenye<br />

Sheria <strong>ya</strong> Wakala (Executive Agencies Act) Na. 30 <strong>ya</strong> 1997. Kufuatia mabadiliko<br />

hayo, Serikali ilianzisha Wakala wa Jiolojia Tan<strong>za</strong>nia (GST) chini <strong>ya</strong> Sheria hiyo<br />

iliyorekebishwa mwaka 2009. Wakala ulitangazwa kupitia tangazo la Serikali Na.<br />

418 la Desemba, 2005 <strong>na</strong> kuzinduliwa rasmi siku <strong>ya</strong> kilele cha Wiki <strong>ya</strong> Utumishi<br />

wa Umma tarehe 23 Juni, 2006.<br />

Shughuli <strong>za</strong> kiutendaji kwenye Wakala zi<strong>na</strong>simamiwa <strong>na</strong> Mtendaji Mkuu. Wakala<br />

u<strong>na</strong> idara nne (4) zi<strong>na</strong>zoongozwa <strong>na</strong> Wakurugenzi <strong>na</strong> Vitengo tisa (9)<br />

vi<strong>na</strong>vyoongozwa <strong>na</strong> Mameneja. Idara <strong>na</strong> vitengo hivyo ni:<br />

(a) Idara <strong>ya</strong> Jiolojia yenye vitengo v<strong>ya</strong>: Upimaji <strong>na</strong> utengene<strong>za</strong>ji wa ramani <strong>za</strong><br />

kijiolojia (Mapping and Economic Geology) <strong>na</strong> Matumizi <strong>ya</strong> Jiolojia (Applied<br />

Geology);<br />

(b) Idara <strong>ya</strong> Kanzidata <strong>na</strong> Habari yenye vitengo v<strong>ya</strong>: Uchoraji ramani <strong>za</strong><br />

kijiosa<strong>ya</strong>nsi <strong>na</strong> uchakataji wa takwimu <strong>za</strong> kijiosa<strong>ya</strong>nsi; <strong>na</strong> Maktaba <strong>na</strong><br />

Utun<strong>za</strong>ji wa Kumbukumbu;<br />

(c) Idara <strong>ya</strong> Maabara yenye vitengo v<strong>ya</strong>:Kemia <strong>na</strong> Uchunguzi wa Madini,<br />

Miamba <strong>na</strong> Uchenjuaji Madini;


(d) Idara <strong>ya</strong> Utawala <strong>na</strong> Uendeshaji yenye vitengo v<strong>ya</strong>: Rasilimali Watu <strong>na</strong><br />

Uendeshaji; Mipango <strong>na</strong> Masoko; <strong>na</strong> Uhasibu; <strong>na</strong><br />

(e) Sehemu zi<strong>na</strong>zojitegemea: Ukaguzi wa Ndani; Ununuzi; <strong>na</strong> Habari.<br />

7.2. Shirika la Madini la Taifa (STAMICO)<br />

Shirika la Madini la Taifa, STAMICO (State Mining Corporation) lilianzishwa mwaka<br />

1972 chini <strong>ya</strong> Sheria <strong>ya</strong> Mashirika <strong>ya</strong> Umma (The Public Corporation Act) <strong>ya</strong><br />

mwaka 1969. Shirika lilian<strong>za</strong> rasmi kazi mwaka 1973 <strong>kwa</strong> lengo la kutafiti <strong>na</strong><br />

kuendele<strong>za</strong> rasilimali <strong>za</strong> <strong>madini</strong>. Kwa miaka mingi STAMICO ilihodhi shughuli <strong>za</strong><br />

utafutaji, uchimbaji <strong>na</strong> uendeshaji wa biashara <strong>ya</strong> <strong>madini</strong> nchini <strong>na</strong> mauzo nchi <strong>za</strong><br />

nje. Vilevile, shirika lilisimamia kampuni tanzu, kuendele<strong>za</strong> utafiti wa miradi<br />

pamoja <strong>na</strong> kutoa huduma <strong>za</strong> kitaalamu kwenye <strong>madini</strong>.<br />

Mwanzoni Shirika lilikuwa <strong>na</strong> kampuni tanzu sita (6) zilizohamishwa kutoka<br />

kwenye usimamizi wa Shirika la Maendeleo la Taifa, NDC. Baada <strong>ya</strong> kuendele<strong>za</strong><br />

utafiti, Shirika liliwe<strong>za</strong> kuanzisha kampuni nyingine tano (5) <strong>na</strong> kuwa <strong>na</strong> jumla <strong>ya</strong><br />

kampuni tanzu 11 ambazo ni: Tan<strong>za</strong>nia Gemstone Industries Limited (TGI), Moshi;<br />

Williamson Diamonds Limited (ilikuwa i<strong>na</strong>miliki asilimia 50 <strong>ya</strong> hisa <strong>kwa</strong> niaba <strong>ya</strong><br />

Serikali, asilimia 50 <strong>ya</strong> hisa zilizokuwa <strong>za</strong> Wilcroft Company Limited, kampuni<br />

tanzu <strong>ya</strong> De Beers); Tanganyika Meerschaum Corporation, Arusha; N<strong>ya</strong>n<strong>za</strong> Salt-<br />

Mines, Uvin<strong>za</strong>; Tan<strong>za</strong>nia Diamond Cutting Company Limited (TANCUT), Iringa;<br />

Lupa Gold Mining Company Limited, Chun<strong>ya</strong>; Buckreef Gold Mining Company<br />

Limited, Geita; Pugu Kaolin Mines Limited, Kisarawe; Coastal Saltworks Company<br />

Limited, Bagamoyo; Minjingu Phosphate Company Limited, Arusha; <strong>na</strong> Kiwira<br />

Coal Mines Limited, Mbe<strong>ya</strong>. Mbali <strong>na</strong> jukumu la kusimamia kampuni hizo,<br />

STAMICO iliwe<strong>za</strong> kuanzisha tafiti kwenye maeneo mbalimbali <strong>ya</strong> nchi<br />

<strong>ya</strong>liyoonesha kuwa <strong>na</strong> <strong>madini</strong>. Miradi iliyoanzishwa ni pamoja <strong>na</strong>:<br />

(a) Miradi <strong>ya</strong> kununua <strong>madini</strong> kutoka <strong>kwa</strong> wachimbaji wadogo <strong>na</strong> kuu<strong>za</strong> nje <strong>ya</strong><br />

nchi. Madini hayo <strong>ya</strong>likuwa ulanga (mica) mkoani Morogoro <strong>na</strong> <strong>madini</strong> <strong>ya</strong><br />

bati (tin) Kyerwa, Wila<strong>ya</strong>ni Karagwe. Ununuzi huo ulienda sambamba <strong>na</strong><br />

uwezeshaji wa wachimbaji wadogo kitaaluma <strong>na</strong> utoaji wa <strong>za</strong><strong>na</strong> (explosives)<br />

<strong>na</strong> vitendea kazi vingine;


(b) Mradi wa utafutaji <strong>na</strong> uchimbaji wa mchanga wenye <strong>madini</strong> (heavy mineral<br />

sands) katika mwambao wa Bahari <strong>ya</strong> Hindi <strong>kwa</strong> kushirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> kampuni <strong>ya</strong><br />

Geomin kutoka Romania;<br />

(c) Mradi wa ku<strong>za</strong>lisha magadi kando kando mwa Ziwa Natron;<br />

(d) Miradi <strong>ya</strong> utafiti wa dhahabu Bul<strong>ya</strong>nhulu, Kahama <strong>na</strong> Mpanda; <strong>na</strong><br />

(e) Miradi <strong>ya</strong> utafiti wa jasi (gypsum) Wila<strong>ya</strong>ni Kilwa <strong>na</strong> <strong>madini</strong> <strong>ya</strong> mbolea eneo<br />

la Panda Hill <strong>na</strong> Nachedezwa<strong>ya</strong> Carbonitites Mkoani Mbe<strong>ya</strong>.<br />

Miradi hiyo <strong>ya</strong> utafiti wa <strong>madini</strong> ilikuwa i<strong>na</strong>simamiwa <strong>na</strong> Idara <strong>ya</strong> utafiti <strong>ya</strong><br />

STAMICO yenye makao <strong>ya</strong>ke Dodoma. Kupitia idara hiyo, STAMICO imekuwa<br />

i<strong>na</strong>endelea kufan<strong>ya</strong> kazi <strong>za</strong> uchorongaji miamba <strong>kwa</strong> malipo <strong>kwa</strong> kukodiwa <strong>za</strong>idi<br />

<strong>na</strong> kampuni <strong>za</strong> kigeni.<br />

Serikali ilipojadili hatma <strong>ya</strong> <strong>ya</strong>liyokuwa mashirika <strong>ya</strong> umma, mwaka 1996,<br />

STAMICO iliwe<strong>kwa</strong> katika orodha <strong>ya</strong> mashirika <strong>ya</strong> kufungwa. Kufuatia uamuzi<br />

huo, STAMICO ilitangazwa rasmi kuwa Specified Public Corporation pamoja <strong>na</strong><br />

mashirika mengine kupitia Government Notice No. 543 iliyotoka tarehe<br />

28/08/1997.<br />

Mwezi Julai, 2008 Serikali ilitengua uamuzi wa mwaka 1996 <strong>kwa</strong> kuiondoa<br />

STAMICO kutoka kwenye orodha <strong>ya</strong> mashirika <strong>ya</strong> umma <strong>ya</strong> kufungwa. Sababu <strong>ya</strong><br />

kuiacha STAMICO iendelee kuwepo ni kuifan<strong>ya</strong> Serikali iwe <strong>na</strong> chombo<br />

madhubuti cha kuonge<strong>za</strong> manufaa <strong>kwa</strong> Taifa <strong>na</strong> wa<strong>na</strong>nchi wa Tan<strong>za</strong>nia katika<br />

<strong>sekta</strong> <strong>ya</strong> <strong>madini</strong>.<br />

7.3. Chuo cha Madini Dodoma<br />

Mwaka 1978, iliyokuwa <strong>Wi<strong>za</strong>ra</strong> <strong>ya</strong> Maji <strong>na</strong> Madini ilianzisha mpango wa<br />

kufundisha vija<strong>na</strong> waliohitimu kidato cha sita (VI) ili kupata wataalamu wa kada<br />

<strong>ya</strong> kati watakaosaidia kiutendaji katika <strong>sekta</strong> <strong>ya</strong> <strong>madini</strong>. Vija<strong>na</strong> hao walisajiliwa <strong>na</strong><br />

kupele<strong>kwa</strong> katika kambi <strong>za</strong> mafunzo zilizokuwa Bukoba <strong>na</strong> Kyerwa katika Mkoa<br />

wa Kagera. Idadi <strong>ya</strong> vija<strong>na</strong> waliodahiliwa katika mpango huo ilikuwa 61. Wakati<br />

huo Mradi wa Utafutaji Madini <strong>na</strong> Maji chini <strong>ya</strong> Ardhi (Mineral and Ground<br />

Water Exploration Project – MGWEP) ulikuwa ukiendelea chini <strong>ya</strong> ufadhili wa


United Nations Development Programme (UNDP). Katika kambi <strong>ya</strong> Bukoba,<br />

mradi huu uliohusisha uchukuaji sampuli <strong>za</strong> kijiokemikali (Geochemical stream<br />

sediments sampling) <strong>kwa</strong> ajili <strong>ya</strong> kuainisha <strong>madini</strong> mbalimbali, hususan <strong>ya</strong><br />

dhahabu, shaba, zinki <strong>na</strong> risasi.)”. Katika kambi <strong>ya</strong> Kyerwa, mradi huu ulihusisha<br />

utafutaji wa <strong>madini</strong> <strong>ya</strong> bati (Tin) <strong>kwa</strong> msaada wa Serikali <strong>ya</strong> Finland. Baada <strong>ya</strong><br />

mradi huo kwisha, <strong>Wi<strong>za</strong>ra</strong> ilihamishia mpango huu makao makuu <strong>ya</strong> Idara <strong>ya</strong><br />

Madini – Dodoma <strong>na</strong> kuendelea kuwaandaa wataalamu hao ili kukabili<br />

changamoto <strong>ya</strong> mahitaji <strong>ya</strong>toka<strong>na</strong>yo <strong>na</strong> ukuaji wa <strong>sekta</strong> <strong>ya</strong> <strong>madini</strong>.<br />

Mwezi Agosti, 1982, iliyokuwa <strong>Wi<strong>za</strong>ra</strong> <strong>ya</strong> Madini ilianzisha rasmi Chuo cha ki<strong>sekta</strong><br />

<strong>kwa</strong> ajili <strong>ya</strong> kuandaa wataalamu wa kada <strong>ya</strong> kati wa <strong>sekta</strong> <strong>ya</strong> <strong>madini</strong>. Kwa kipindi<br />

cha mwaka 1982 hadi 2002, Chuo kilikuwa ki<strong>na</strong>endesha mafunzo <strong>ya</strong> mwaka<br />

mmoja <strong>ya</strong> Cheti cha Ufundi Mchundo – Madini. Kwa kipindi hicho, wahitimu<br />

walikuwa wakiajiriwa <strong>na</strong> <strong>Wi<strong>za</strong>ra</strong> iliyokuwa <strong>na</strong> dhama<strong>na</strong> <strong>ya</strong> kusimamia <strong>sekta</strong> <strong>ya</strong><br />

<strong>madini</strong>. Vyeti v<strong>ya</strong> wahitimu kupitia mpango huo wa mafunzo vilitolewa <strong>na</strong> Chuo.<br />

Mwaka 2002, Chuo kilielekezwa <strong>na</strong> Serikali kupitia Bara<strong>za</strong> la Mitihani la Taifa<br />

(Natio<strong>na</strong>l Exami<strong>na</strong>tion Council of Tan<strong>za</strong>nia – NECTA) <strong>na</strong> Bara<strong>za</strong> la Vyuo v<strong>ya</strong><br />

Ufundi Tan<strong>za</strong>nia (The Natio<strong>na</strong>l Council for Technical Education – NACTE) kufuta<br />

mpango wa mafunzo <strong>ya</strong> mwaka mmoja <strong>na</strong> kuanzisha mpango wa mafunzo <strong>ya</strong><br />

miaka mitatu uliokuwa ukijulika<strong>na</strong> kama “Full Technician Certificate – FTC” ili<br />

kuboresha mafunzo yenye kukidhi mata<strong>kwa</strong> <strong>na</strong> kasi <strong>ya</strong> ukuaji wa <strong>sekta</strong> <strong>ya</strong> <strong>madini</strong><br />

nchini. Vyeti v<strong>ya</strong> wahitimu kupitia mpango huu vilitolewa <strong>na</strong> Bara<strong>za</strong> la Mitihani la<br />

Taifa (NECTA).<br />

Kupitia Sheria <strong>ya</strong> Vyuo v<strong>ya</strong> Ufundi Na. 9 <strong>ya</strong> 1997, Bara<strong>za</strong> la vyuo v<strong>ya</strong> Ufundi<br />

Tan<strong>za</strong>nia lilipewa uwezo wa kusimamia vyuo v<strong>ya</strong> ufundi nchini. Bara<strong>za</strong> hili<br />

lilieleke<strong>za</strong> vyuo vyote v<strong>ya</strong> ufundi nchini, kikiwemo Chuo cha Madini kufuta<br />

mpango wa mafunzo <strong>ya</strong> FTC <strong>na</strong> kuanzisha mpango wa mafunzo <strong>ya</strong> “Natio<strong>na</strong>l<br />

Technical Awards – NTA levels”. Mpango huo ulilenga kutoa mafunzo <strong>ya</strong><strong>na</strong>yokidhi<br />

viwango v<strong>ya</strong> kitaifa <strong>na</strong> kimataifa. Tofauti <strong>ya</strong> mafunzo <strong>ya</strong> FTC <strong>na</strong> NTA ni <strong>kwa</strong>mba;<br />

mafunzo <strong>ya</strong> FTC <strong>ya</strong>liendeshwa <strong>kwa</strong> <strong>na</strong>dharia <strong>za</strong>idi wakati mafunzo <strong>ya</strong> NTA<br />

<strong>ya</strong><strong>na</strong>endeshwa <strong>kwa</strong> mfumo wa umahiri u<strong>na</strong>ozingatia mazoezi <strong>ya</strong> vitendo<br />

sambamba <strong>na</strong> <strong>na</strong>dharia.<br />

Chuo cha Madini ni moja <strong>ya</strong> vyuo v<strong>ya</strong> awali nchini vilivyoanzisha utoaji wa<br />

mafunzo <strong>ya</strong> NTA <strong>kwa</strong> mfumo wa umahiri tangu mwaka 2005. Chuo kilipata


ithibati kamili (full accreditation) kutoka NACTE Aprili, 2007 kuendesha mafunzo<br />

<strong>ya</strong> Cheti <strong>na</strong> Stashahada katika fani <strong>za</strong> Jiolojia <strong>na</strong> Utafutaji Madini, Uhandisi<br />

Uchimbaji Madini <strong>na</strong> Uhandisi Uchenjuaji Madini. Mafunzo ha<strong>ya</strong> huendeshwa<br />

<strong>kwa</strong> kutumia mitaala tisa (9) iliyoandaliwa <strong>na</strong> Chuo <strong>na</strong> kupitishwa <strong>na</strong> NACTE.<br />

Vyeti v<strong>ya</strong> wahitimu katika mpango huu wa mafunzo hutolewa <strong>na</strong> NACTE.<br />

Tangu kuanzishwa <strong>kwa</strong>ke, Chuo kimefanikiwa kutoa mafunzo <strong>kwa</strong> wa<strong>na</strong>funzi <strong>kwa</strong><br />

jumla <strong>ya</strong> 639 katika ngazi <strong>ya</strong> Cheti <strong>na</strong> Stashahada, ambapo kati <strong>ya</strong>o wa<strong>na</strong>funzi 350<br />

wamepata mafunzo <strong>ya</strong> programu <strong>ya</strong> mwaka mmoja (Mineral Resources<br />

Certificate) <strong>ya</strong> ufundi mchundo; 62 walihitimu mafunzo <strong>ya</strong> FTC (Full Technician<br />

Certificate); <strong>na</strong> 227 walihitimu mafunzo <strong>ya</strong> stashahada.<br />

7.4. Wakala wa Ukaguzi Madini Tan<strong>za</strong>nia (TMAA)<br />

Mwaka 2003, Serikali ilisaini mkataba <strong>na</strong> kampuni <strong>ya</strong> kigeni iitwayo Alex Stewart<br />

(Assayers) Government Business Corporation (ASAGBC) ili kufan<strong>ya</strong> ukaguzi wa<br />

shughuli <strong>za</strong> u<strong>za</strong>lishaji <strong>na</strong> biashara <strong>ya</strong> <strong>madini</strong> katika migodi mikubwa <strong>ya</strong> dhahabu.<br />

Mkataba huo ulisainiwa kufuatia malalamiko <strong>ya</strong> wa<strong>na</strong>nchi kuhusu umuhimu wa<br />

kufahamu kiasi <strong>na</strong> thamani <strong>ya</strong> <strong>madini</strong> <strong>ya</strong><strong>na</strong>yo<strong>za</strong>lishwa <strong>na</strong> kuuzwa nje <strong>na</strong> migodi<br />

mikubwa; udhibiti wa mapato <strong>ya</strong> Serikali kutoka kwenye kampuni <strong>za</strong> uchimbaji<br />

<strong>madini</strong>; <strong>na</strong> jukumu la ukarabati wa mazingira kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> shughuli <strong>za</strong> uchimbaji<br />

<strong>madini</strong>. ASAGBC ilifan<strong>ya</strong> kazi kuanzia Juni, 2003 hadi Julai, 2007 mkataba wake<br />

ulipomalizika.<br />

Baada <strong>ya</strong> kumalizika <strong>kwa</strong> mkataba wa ASAGBC, <strong>Wi<strong>za</strong>ra</strong> <strong>ya</strong> Nishati <strong>na</strong> Madini<br />

ilianzisha Kitengo cha Ukaguzi wa Shughuli <strong>za</strong> U<strong>za</strong>lishaji <strong>na</strong> Biashara <strong>ya</strong> Madini <strong>ya</strong><br />

Dhahabu katika migodi mikubwa (Gold Audit Programme - GAP) mwezi Agosti,<br />

2007. Kitengo hicho kilianzishwa ili kuendele<strong>za</strong> kazi <strong>ya</strong> ukaguzi wa dhahabu katika<br />

migodi mikubwa iliyokuwa ikifanywa <strong>na</strong> Kampuni <strong>ya</strong> ASAGBC.<br />

Kwa kuzingatia mafanikio <strong>ya</strong> GAP, Serikali iliamua kuanzisha Wakala wa Ukaguzi<br />

wa Madini Tan<strong>za</strong>nia (Tan<strong>za</strong>nia Minerals Audit Agency - TMAA) tarehe 02<br />

Novemba, 2009 chini <strong>ya</strong> Sheria <strong>ya</strong> Wakala wa Serikali, Sura <strong>ya</strong> 245. Tamko la<br />

Waziri la kuanzisha Wakala lilichapishwa kwenye Gazeti la Serikali Na. 362 la<br />

tarehe 06 Novemba, 2009.<br />

Katika juhudi <strong>za</strong> Serikali <strong>za</strong> kuboresha usimamizi wa shughuli <strong>za</strong> uchimbaji <strong>na</strong><br />

biashara <strong>ya</strong> <strong>madini</strong> nchini pamoja <strong>na</strong> kupungu<strong>za</strong> gharama <strong>za</strong> uendeshaji wa


shughuli hizo, Wakala umefungua ofisi ndogo mkoani Mwan<strong>za</strong>. Uamuzi huo<br />

u<strong>na</strong>zingatia <strong>kwa</strong>mba migodi mingi mikubwa ipo katika Kanda <strong>ya</strong> Ziwa Victoria.<br />

Vilevile, Wakala <strong>kwa</strong> kushirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> Idara <strong>ya</strong> Madini umekuwa ukitanga<strong>za</strong> bei<br />

elekezi <strong>za</strong> <strong>madini</strong> <strong>ya</strong><strong>na</strong>yo<strong>za</strong>lishwa nchini kila baada <strong>ya</strong> wiki mbili kwenye baadhi <strong>ya</strong><br />

magazeti <strong>ya</strong> hapa nchini (The Guardian <strong>na</strong> Habari leo). Lengo ni kuwapa ufahamu<br />

wa bei zilizopo sokoni wa<strong>za</strong>lishaji, wau<strong>za</strong>ji <strong>na</strong> wanunuzi wa <strong>madini</strong>. Kupitia taarifa<br />

hizo, wahusika wa<strong>na</strong>pata fursa <strong>ya</strong> kuu<strong>za</strong> <strong>na</strong> kununua <strong>madini</strong> katika bei halisi <strong>na</strong><br />

kuepuka kupunjwa.<br />

Shughuli <strong>za</strong> ukarabati <strong>na</strong> utun<strong>za</strong>ji wa mazingira katika maeneo <strong>ya</strong> migodi mikubwa<br />

nchini zimeimarika kufuatia kaguzi <strong>za</strong> <strong>mara</strong> <strong>kwa</strong> <strong>mara</strong> zi<strong>na</strong>zoendeshwa <strong>na</strong> Wakala<br />

<strong>kwa</strong> kushirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> Bara<strong>za</strong> la Taifa la Uhifadhi <strong>na</strong> Usimamizi wa Mazingira<br />

(NEMC). Aidha, wamiliki wa migodi mikubwa nchini wameelekezwa kuweka<br />

dhama<strong>na</strong> <strong>ya</strong> ukarabati wa mazingira (Environmental Rehabilitation Bond) katika<br />

migodi <strong>ya</strong>o ili kuhakikisha <strong>kwa</strong>mba gharama <strong>za</strong> utun<strong>za</strong>ji <strong>na</strong> ukarabati wa mazingira<br />

zi<strong>na</strong>bakia kuwa <strong>za</strong> wamiliki wa migodi <strong>na</strong> sio Serikali.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!