15.01.2013 Views

mada zilizowasilishwa katika mkutano wa wadau wa sekta

mada zilizowasilishwa katika mkutano wa wadau wa sekta

mada zilizowasilishwa katika mkutano wa wadau wa sekta

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA<br />

WIZARA YA MAENDELEO YA MIFUGO NA UVUVI<br />

MADA ZILIZOWASILISHWA KATIKA MKUTANO WA WADAU WA<br />

SEKTA YA UVUVI WA KUHAMASISHA USIMAMIZI NA MATUMIZI<br />

YA RASILIMALI ZA UVUVI NCHINI, MWANZA<br />

TAREHE 16-18 DESEMBA 2009


YALIYOMO<br />

Na. MADA UKURASA<br />

1. Utangulizi 1-4<br />

2. Sera, Sheria na Maelekezo ya Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya<br />

M<strong>wa</strong>ka 2005<br />

5-6<br />

3. Hali ya Sekta ya Uvuvi Duniani 7-21<br />

4. Hali ya Sekta ya Uvuvi Nchini (Tanzania Bara) 22-57<br />

5. Hali ya Ufugaji <strong>wa</strong> Viumbe kwenye Maji Duniani na Nchini 58-75<br />

6. Kilimo cha M<strong>wa</strong>ni 76-78<br />

7. Fursa za Uwekezaji <strong>katika</strong> Sekta ya Uvuvi 79-87<br />

8. Upatikanaji <strong>wa</strong> Mitaji na Masharti ya Mikopo 88-94<br />

9. Utalii Ikolojia na Samaki <strong>wa</strong> Mapambo 95-108<br />

10. Biashara na Usambazaji <strong>wa</strong> Samaki na Mazao yake Ndani<br />

na Nje ya Nchi<br />

109-118<br />

11. Umuhimu <strong>wa</strong> uvuvi endelevu <strong>katika</strong> kuinua uchumi 120-132<br />

12. Taarifa za utekelezaji <strong>wa</strong> Programu za kuendeleza Sekta<br />

ya Uvuvi kutoka Mikoa<br />

12.1 Mkoa <strong>wa</strong> Tanga 134-142<br />

12.2 Mkoa <strong>wa</strong> Mt<strong>wa</strong>ra 143-157<br />

12.3 Mkoa <strong>wa</strong> Lindi 158-166<br />

12.4 Mkoa <strong>wa</strong> P<strong>wa</strong>ni 167-179<br />

12.5 Mkoa <strong>wa</strong> Dar es Salaam 180-185<br />

12.6 Mkoa <strong>wa</strong> M<strong>wa</strong>nza 186-216<br />

12.7 Mkoa <strong>wa</strong> Kagera 217-233<br />

12.8 Mkoa <strong>wa</strong> Mara 234-252<br />

12.9 Mkoa <strong>wa</strong> Kigoma 253-264<br />

12.10 Mkoa <strong>wa</strong> Ruk<strong>wa</strong> 265-270<br />

12.11 Mkoa <strong>wa</strong> Mbeya 271-278<br />

12.12 Mkoa <strong>wa</strong> Ruvuma 279-284<br />

i<br />

133


VIFUPISHO<br />

AGITF Mfuko <strong>wa</strong> Pembejeo za Kilimo<br />

BMUs Usimamizi Shirikishi <strong>wa</strong> Rasilimali za Uvuvi na Mazingira yake<br />

CCM Chama cha Mapinduzi<br />

DFI Development Finance Institution<br />

ECGS Mfuko <strong>wa</strong> Udhamini <strong>wa</strong> Mikopo k<strong>wa</strong> Mauzo Nje<br />

EEZ Ukanda <strong>wa</strong> Uchumi <strong>wa</strong> Bahari Kuu<br />

FADs Fish Aggregating Devices<br />

FAO Shirika la Chakula la Umoja <strong>wa</strong> Mataifa<br />

GEF Global Environment Facility<br />

IUU Illegal, Unregulated and Unreported<br />

LIFDCs Low-Income Food-Deficit Countries<br />

MACEMP Mradi <strong>wa</strong> Usimamizi <strong>wa</strong> Bahari na Mazingira ya P<strong>wa</strong>ni<br />

MDGs Millennium Development Goals<br />

MFDC Chuo cha Maendeleo ya Uvuvi cha Mbegani<br />

MKUKUTA Mkakati <strong>wa</strong> Kukuza Uchumi na Kupunguza Umasikini Tanzania<br />

MKUMBITA Mpango <strong>wa</strong> Kuboresha Mazingira ya Biashara Tanzania<br />

MKURABITA Mpango <strong>wa</strong> Kurasimisha Mali na Biashara za Wanyonge Tanzania<br />

MSY Maximum Sustainable Yield<br />

NEDF Mfuko <strong>wa</strong> Wafanyabiashara Wananchi<br />

NGOs Shirika Lisiyo la Kiserikali<br />

NSSF National Social Security Fund<br />

PTF Mfuko <strong>wa</strong> Rais <strong>wa</strong> Kujitegemea<br />

SACCOs Savings and Credit Cooperatives Organizations<br />

SADC Southern Africa Development Community<br />

SELF Mradi <strong>wa</strong> Kuhudumia Biashara Ndogo Ndogo<br />

SME – CGS Mfuko <strong>wa</strong> Kudhamini Mabenki na Taasisi za Fedha k<strong>wa</strong> Ajili ya<br />

Kuboresha Utoaji <strong>wa</strong> Mikopo k<strong>wa</strong> Miradi Midogo na ya Kati<br />

TAFIRI Taasisi ya Utafiti <strong>wa</strong> Uvuvi Tanzania<br />

TASAF Mfuko <strong>wa</strong> Maendeleo ya Jamii<br />

TIB Benki ya Rasilimali Tanzania<br />

TIFPA Tanzania Industrial Fish Processors Association<br />

UNECA Kamisheni ya Umoja <strong>wa</strong> Mataifa inayoangalia mwenendo <strong>wa</strong><br />

uchumi <strong>wa</strong> Afrika<br />

UNDP United Nations Development Programme<br />

UNEP United Nations Environmental Programme<br />

USA United States of America<br />

USAID Shirika la Misaada la Kimataifa la Marekani<br />

VAT Value Added Tax<br />

WDF Mfuko <strong>wa</strong> Maendeleo ya Wana<strong>wa</strong>ke<br />

WTO World Trade Organization<br />

YDF Mfuko <strong>wa</strong> Maendeleo ya Vijana


1.0 UTANGULIZI<br />

1.1 Umuhimu <strong>wa</strong> Sekta ya Uvuvi<br />

SURA YA KWANZA<br />

Sekta ya Uvuvi hapa nchini ni moja ya Sekta inayoweza kuchangia zaidi <strong>katika</strong><br />

kukuza uchumi na kupunguza umasikini kama ilivyoainish<strong>wa</strong> kwenye Mkakati<br />

<strong>wa</strong> Kukuza Uchumi na Kupunguza Umasikini Tanzania (MKUKUTA) na Ilani ya<br />

Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ya m<strong>wa</strong>ka 2005 - 2010. Hii ni<br />

kutokana na ukweli k<strong>wa</strong>mba nchi yetu imebahatika ku<strong>wa</strong> na maeneo mengi ya<br />

maji baridi na maji ya bahari yenye rasilimali nyingi za uvuvi ambamo shughuli<br />

za uvuvi hufanyika. Tanzania Bara ina Ukanda <strong>wa</strong> P<strong>wa</strong>ni wenye urefu <strong>wa</strong><br />

kilometa 1,424 na upana <strong>wa</strong> maili za majini (nautical miles) 200. Eneo hilo la<br />

Bahari limega<strong>wa</strong>nyika <strong>katika</strong> Maji ya Kitaifa (Territorial Sea) yenye upana <strong>wa</strong><br />

maili za majini 12 sa<strong>wa</strong> na kilometa za mraba zipatazo 64,000 na eneo la<br />

Bahari Kuu (Deep Sea) lenye upana <strong>wa</strong> maili za majini 188 sa<strong>wa</strong> na kilometa<br />

za mraba zipatazo 223,000.<br />

Eneo la maji baridi linajumuisha mazi<strong>wa</strong> makuu matatu ambayo ni Zi<strong>wa</strong><br />

Victoria lenye kilometa za mraba 68,800 ambapo Tanzania humiliki asilimia 51<br />

sa<strong>wa</strong> na kilometa za mraba 35,088; Zi<strong>wa</strong> Tanganyika lenye kilometa za mraba<br />

32,900 ambapo Tanzania humiliki asilimia 41 sa<strong>wa</strong> na kilometa za mraba<br />

13,489 na Zi<strong>wa</strong> Nyasa lenye kilometa za mraba 30,800 na Tanzania humiliki<br />

asilimia 18.51 sa<strong>wa</strong> na kilometa za mraba 5,700. Pia, yapo Mazi<strong>wa</strong> ya kati na<br />

madogo 29 kama ilivyoainish<strong>wa</strong> kwenye Kiambatisho Na. 1.<br />

Rasilimali ya Uvuvi toka maeneo haya inachangia upatikanaji <strong>wa</strong> lishe bora,<br />

ajira na kipato k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>nanchi, kuinua pato la Taifa, utunzaji <strong>wa</strong> mazingira na<br />

hivyo kuchangia <strong>katika</strong> kuondoa umaskini nchini. Sekta ya Uvuvi inatoa ajira<br />

k<strong>wa</strong> Watanzania takriban milioni 4.2 ambao hushiriki <strong>katika</strong> shughuli<br />

mbalimbali zinazohusiana na Sekta ya Uvuvi zikiwemo uvuvi, biashara ya<br />

samaki, uchakataji <strong>wa</strong> samaki na mazao ya uvuvi na utengenezaji <strong>wa</strong> zana na<br />

vyombo vya uvuvi.<br />

Katika m<strong>wa</strong>ka 2008, Sekta ya Uvuvi ilikua k<strong>wa</strong> asilimia 4.3 na kuchangia<br />

asilimia 1.3 <strong>katika</strong> pato la Taifa. Mchango huu ni mdogo sana ukilinganisha na<br />

rasilimali za uvuvi zilizopo. Thamani ya mauzo ya samaki na mazao ya uvuvi<br />

nje ya nchi yaliku<strong>wa</strong> ni Dola za Kimarekani milioni 141.6 m<strong>wa</strong>ka 2008 (Hali<br />

ya Uchumi <strong>wa</strong> Taifa <strong>katika</strong> M<strong>wa</strong>ka 2008).<br />

Inakadiri<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong>mba samaki huchangia asilimia 30 ya protini itokanayo na<br />

vyakula vya asili ya nyama, na <strong>wa</strong>stani <strong>wa</strong> ulaji <strong>wa</strong> samaki k<strong>wa</strong> mtanzania<br />

unakadiri<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong> kilo 8.1 (Per capita consumption) k<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka ukilinganisha<br />

na kilo 10.7 k<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka zinazopendekez<strong>wa</strong> na Shirika la Chakula la Umoja <strong>wa</strong><br />

Mataifa (FAO). Hata hivyo, kiasi cha sasa cha ulaji <strong>wa</strong> samaki kimepungua<br />

kikilinganish<strong>wa</strong> na <strong>wa</strong>stani <strong>wa</strong> kilo 12.5 k<strong>wa</strong> mtu k<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka <strong>katika</strong> miaka ya


1990. Baadhi ya sababu ambazo zimesababisha kupungua k<strong>wa</strong> ki<strong>wa</strong>ngo cha<br />

ulaji <strong>wa</strong> samaki ni pamoja na kasi ya ongezeko la idadi ya <strong>wa</strong>tu, uvuvi haramu<br />

na biashara ya magendo.<br />

Ili Sekta hii iweze kuimarisha usimamizi <strong>wa</strong> rasilimali za uvuvi kulingana na<br />

mabadiliko ya mara k<strong>wa</strong> mara, na hivyo kuchangia zaidi <strong>katika</strong> pato la Taifa na<br />

kuboresha pato la <strong>wa</strong>nanchi na hasa <strong>wa</strong>naotegemea shughuli za uvuvi; Wizara<br />

imekamilisha mapitio ya Sera ya Taifa ya Uvuvi na Mikakati yake ya M<strong>wa</strong>ka<br />

1997. Aidha, Wizara imekamilisha maandalizi ya Mkakati <strong>wa</strong> Kitaifa <strong>wa</strong><br />

Kuendeleza Ukuzaji Viumbe kwenye Maji pamoja na kuzifanyia marekebisho<br />

Sheria mbalimbali zinazosimamia Sekta ya Uvuvi.<br />

1.2 Dira na Dhamira ya Sekta ya Uvuvi<br />

1.2.1 Dira<br />

Ku<strong>wa</strong> na Sekta ya Uvuvi ambayo ni endelevu inayochangia k<strong>wa</strong> kiasi kikub<strong>wa</strong><br />

maendeleo ya kijamii na kiuchumi k<strong>wa</strong> kutumia rasilimali za uvuvi na<br />

itakayozingatia hifadhi ya mazingira ifikapo m<strong>wa</strong>ka 2025.<br />

1.2.2 Dhamira<br />

Kuhakikisha ku<strong>wa</strong> rasilimali za uvuvi zinaendelez<strong>wa</strong>, kusimami<strong>wa</strong>, kuhifadhi<strong>wa</strong><br />

na kutumika k<strong>wa</strong> njia endelevu k<strong>wa</strong> ajili ya ukuaji <strong>wa</strong> uchumi na kuboresha<br />

maisha ya jamii.<br />

1.3 Majukumu ya Wizara <strong>katika</strong> kuendeleza Sekta ya Uvuvi<br />

Kuund<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi <strong>katika</strong> Serikali ya<br />

A<strong>wa</strong>mu ya Nne kumelenga kuipa umuhimu Sekta ya Uvuvi ili iweze<br />

kusimami<strong>wa</strong>, kuongeza ufanisi na hatimaye iweze kuchangia kikamilifu <strong>katika</strong><br />

kufikia malengo ya Milenia ya m<strong>wa</strong>ka 2015, MKUKUTA na ya Dira ya Taifa ya<br />

Maendeleo ya 2025. Ili kuendeleza Sekta ya Uvuvi nchini, Wizara ya Maendeleo<br />

ya Mifugo na Uvuvi k<strong>wa</strong> kushirikiana na <strong>wa</strong>dau ina majukumu makuu<br />

yafuatayo:-<br />

(i) Kutayarisha, kurekebisha na kusimamia utekelezaji <strong>wa</strong> Sera, Mipango na<br />

Mikakati ya kuendeleza Sekta ya Uvuvi;<br />

(ii) Kutayarisha, kurekebisha na kusimamia Sheria, Kanuni na Taratibu <strong>katika</strong><br />

Sekta ya Uvuvi;<br />

(iii) Kutoa huduma za ushauri k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>dau <strong>wa</strong> Sekta ya Uvuvi <strong>wa</strong>kiwemo<br />

<strong>wa</strong>kuzaji <strong>wa</strong> viumbe kwenye maji na <strong>wa</strong>vuvi;<br />

(iv) Kukusanya, kuchambua, kutunza na kusambaza takwimu na taarifa<br />

muhimu za Sekta ya Uvuvi;<br />

(v) Kufanya na kuimarisha utafiti <strong>katika</strong> maeneo mbalimbali ya Uvuvi na<br />

Ukuzaji viumbe kwenye maji;<br />

(vi) Kutoa mafunzo k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>tumishi, <strong>wa</strong>nafunzi <strong>wa</strong>tarajali, na <strong>wa</strong>dau wengine<br />

<strong>wa</strong> Sekta ya Uvuvi;<br />

2


(vii) Kudhibiti na kukagua ubora <strong>wa</strong> zana, pembejeo, usalama na vi<strong>wa</strong>ngo vya<br />

mazao ya samaki na uvuvi pamoja na masoko;<br />

(viii) Kudhibiti magonj<strong>wa</strong> ya samaki;<br />

(ix) Kushirikisha Halmashauri za Wilaya, Taasisi za Serikali, mashirika yasiyo<br />

ya kiserikali ya kitaifa na kimataifa, <strong>sekta</strong> binafsi, <strong>wa</strong>dau mbalimbali<br />

pamoja na jamii za <strong>wa</strong>vuvi na <strong>wa</strong>kuzaji viumbe kwenye maji <strong>katika</strong> ulinzi<br />

na usimamizi <strong>wa</strong> rasilimali za uvuvi na mazingira;<br />

(x) Kusimamia hifadhi ya Bahari na Maeneo Tengefu;<br />

(xi) Kukusanya maduhuli kutokana na vyanzo mbalimbali vya Sekta; na<br />

(xii) Kushughulikia ajira, maendeleo ya <strong>wa</strong>tumishi, nidhamu na utayarishaji<br />

<strong>wa</strong> ikama.<br />

1.4 Lengo la Mkutano <strong>wa</strong> Wadau <strong>wa</strong> Sekta ya Uvuvi<br />

Mkutano <strong>wa</strong> <strong>wa</strong>dau <strong>wa</strong> Sekta ya Uvuvi nchini umeitish<strong>wa</strong> na Waziri Mkuu <strong>wa</strong><br />

Jamhuri ya Muungano <strong>wa</strong> Tanzania, Mheshimi<strong>wa</strong> Mizengo Kayanza Peter Pinda<br />

(Mb) ili kuhamasisha usimamizi na matumizi endelevu ya rasilimali za uvuvi<br />

nchini. Lengo kuu la <strong>mkutano</strong> huu ni pamoja na kupata taarifa ya utekelezaji<br />

<strong>wa</strong> Programu za Mikoa za kuendeleza Sekta ya Uvuvi nchini; kupata taarifa ya<br />

Mikakati mipya na ubunifu <strong>wa</strong> mikoa <strong>katika</strong> kusimamia matumizi endelevu ya<br />

rasilimali ya Uvuvi chini ya kauli mbiu ya KILIMO KWANZA; kuainisha<br />

changamoto na mapungufu yaliyojitokeza <strong>katika</strong> utekelezaji <strong>wa</strong> Programu<br />

mbalimbali za Uvuvi na kushirikisha Chama Ta<strong>wa</strong>la <strong>katika</strong> utekelezaji <strong>wa</strong> Sera<br />

na Mikakati ya Usimamizi na Uendelezaji <strong>wa</strong> Sekta ya Uvuvi k<strong>wa</strong> mujibu <strong>wa</strong><br />

Ilani ya Uchaguzi ya m<strong>wa</strong>ka 2005.<br />

Katika <strong>mkutano</strong> huu zita<strong>wa</strong>silish<strong>wa</strong> na kujadili<strong>wa</strong> <strong>mada</strong> 11 ambazo<br />

zimejumuish<strong>wa</strong> <strong>katika</strong> kitabu hiki. Pia, kitabu hiki kina taarifa za utekelezaji <strong>wa</strong><br />

Programu za kuendeleza Sekta ya Uvuvi kutoka mikoa 12 zitakazo<strong>wa</strong>silish<strong>wa</strong><br />

na mikoa husika.<br />

Mpangilio <strong>wa</strong> <strong>mada</strong> hizo <strong>katika</strong> kitabu hiki utafuata Sura zifuatazo:-<br />

3


1. Utangulizi;<br />

2. Sera, Sheria na Maelekezo ya Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya M<strong>wa</strong>ka 2005<br />

3. Hali ya Sekta ya Uvuvi Duniani;<br />

4. Hali ya Sekta ya Uvuvi Nchini (Tanzania Bara);<br />

5. Hali ya Ufugaji <strong>wa</strong> Viumbe kwenye Maji Duniani na Nchini;<br />

6. Kilimo cha M<strong>wa</strong>ni;<br />

7. Fursa za Uwekezaji <strong>katika</strong> Sekta ya Uvuvi;<br />

8. Upatikanaji <strong>wa</strong> Mitaji na Masharti ya Mikopo;<br />

9. Utalii Ikolojia na Samaki <strong>wa</strong> Mapambo;<br />

10. Biashara na Usambazaji <strong>wa</strong> Samaki na Mazao yake Ndani na Nje ya Nchi;<br />

11. Kuongeza Uzalishaji <strong>wa</strong> Samaki k<strong>wa</strong> Kupunguza Nguvu ya Uvuvi na<br />

Usimamizi Shirikishi <strong>wa</strong> Rasilimali za Uvuvi na Mazingira yake (BMUs); na<br />

12. Taarifa za utekelezaji <strong>wa</strong> Programu za kuendeleza Sekta ya Uvuvi kutoka<br />

Mikoa 12 ya Tanga, Mt<strong>wa</strong>ra, Lindi, P<strong>wa</strong>ni, Dar es Salaam, M<strong>wa</strong>nza,<br />

Kagera, Mara, Kigoma, Ruk<strong>wa</strong>, Mbeya na Ruvuma.<br />

4


SURA YA PILI<br />

2.0 SERA, SHERIA NA MAELEKEZO YA ILANI YA UCHAGUZI YA CCM<br />

YA MWAKA 2005<br />

2.1 Sera ya Taifa ya Uvuvi na Mikakati yake ya M<strong>wa</strong>ka 1997<br />

Sera ya Taifa ya Uvuvi na Mikakati Yake ya M<strong>wa</strong>ka 1997 imeweka bayana<br />

k<strong>wa</strong>mba lengo kuu la Sekta ya Uvuvi ni kukuza uhifadhi, maendeleo na<br />

usimamizi endelevu <strong>wa</strong> rasilimali za uvuvi k<strong>wa</strong> manufaa ya kizazi cha sasa na<br />

vizazi vijavyo. Ili lengo hili liweze kutekelezeka Wizara inaendelea kudumisha<br />

ushirikiano <strong>wa</strong> kiutendaji na <strong>wa</strong>dau mbalimbali ambao k<strong>wa</strong> njia moja au<br />

nyingine <strong>wa</strong>nahusika <strong>katika</strong> kulinda, kusimamia na kutumia rasilimali hiyo.<br />

Wadau hao ni pamoja na Serikali za Mitaa, <strong>wa</strong>vuvi, jamii ya <strong>wa</strong>vuvi, <strong>wa</strong>kuzaji<br />

<strong>wa</strong> viumbe kwenye maji, <strong>wa</strong>chakataji, <strong>wa</strong>safirishaji, Mashirika yasiyo ya<br />

Kiserikali, Asasi za Kiraia, Sekta binafsi, Jumuiya za Kimataifa pamoja na Taasisi<br />

za Kiserikali ambazo k<strong>wa</strong> njia moja au nyingine hushiriki <strong>katika</strong> utekelezaji <strong>wa</strong><br />

Sera ya Taifa ya Uvuvi.<br />

Kutokana na mabadiliko ya kiuchumi, kijamii, kisiasa na maendeleo ya<br />

teknolojia, Wizara ipo kwenye hatua za mwisho za kukamilisha mapitio ya Sera<br />

ya Taifa ya Uvuvi ya m<strong>wa</strong>ka 1997. Hatua hii itakapokamilika, Wizara itaandaa<br />

mikakati ya kutekeleza Sera mpya ya Taifa ya Uvuvi.<br />

2.2 Sheria na Kanuni za Uvuvi<br />

K<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>kati huu utekelezaji <strong>wa</strong> Sera ya Taifa ya Uvuvi unasimami<strong>wa</strong> na:<br />

(i) Sheria ya Uvuvi Na. 22 ya M<strong>wa</strong>ka 2003 na Kanuni Kuu za Uvuvi za<br />

M<strong>wa</strong>ka 2009;<br />

(ii) Sheria ya Maji ya Kitaifa na Ukanda <strong>wa</strong> Uchumi (EEZ) Na. 3 ya m<strong>wa</strong>ka<br />

1989 (Territorial Sea and Exclusive Economic Zone Act (1989))<br />

(iii) Sheria ya Kusimamia Uvuvi Kwenye Bahari Kuu (The Deep Sea Fishing<br />

Authority Act (1998)) ambayo imefanyi<strong>wa</strong> marekebisho m<strong>wa</strong>ka 2007; na<br />

Kanuni za Mamlaka ya Kusimamia Uvuvi Kwenye Bahari Kuu ya M<strong>wa</strong>ka<br />

2009 (Deep Sea Fishing Authority Regulations (2009);<br />

(iv) Sheria ya Kuanzisha Hifadhi ya Bahari na Maeneo Tengefu ya m<strong>wa</strong>ka<br />

1994 (The Marine Parks and Reserves Act of 1994); na<br />

(v) Sheria ya Kuanzisha Taasisi ya Utafiti <strong>wa</strong> Uvuvi Na. 6 ya M<strong>wa</strong>ka 1980<br />

(The Tanzania Fisheries Research Institute Act No. 6 of 1980).<br />

Pia, kuna Miongozo mbalimbali inayochangia <strong>katika</strong> usimamizi <strong>wa</strong> rasilimali za<br />

uvuvi kama ifuatavyo:<br />

• Miongozo ya Kukagua Vi<strong>wa</strong>nda vya Kuchakata Mazao ya Uvuvi;<br />

• Miongozo ya Kukagua Mazao ya Uvuvi;<br />

• Miongozo ya Kutambua Samaki <strong>wa</strong>liovuli<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> Mabomu na Sumu;<br />

• Miongozo ya Kuendeleza Uvuvi Endelevu;


• Miongozo k<strong>wa</strong> ajili ya Ku<strong>wa</strong>wezesha Jamii ya Wavuvi <strong>wa</strong>anzishe na<br />

Kuendesha Kazi za Usimamizi <strong>wa</strong> Rasilimali za Uvuvi k<strong>wa</strong> Kutumia “Beach<br />

Management Units –BMUs”.<br />

2.3 Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ya M<strong>wa</strong>ka<br />

2005 - 2010<br />

Sekta ya Uvuvi ni kati ya maeneo ambayo yamepe<strong>wa</strong> umuhimu mkub<strong>wa</strong> <strong>katika</strong><br />

Sera na Mwelekeo <strong>wa</strong> CCM ya m<strong>wa</strong>ka 2000 hadi 2010 na kusisitiz<strong>wa</strong> <strong>katika</strong><br />

Ilani ya uchaguzi ya CCM ya m<strong>wa</strong>ka 2005 inayoelekeza Sekta hii kutekeleza<br />

yafuatayo:-<br />

(i) Ku<strong>wa</strong>saidia <strong>wa</strong>vuvi kutumia maarifa ya kisasa ya uvuvi ili kuongeza<br />

ufanisi na mapato yao;<br />

(ii) Ku<strong>wa</strong>elimisha na ku<strong>wa</strong>hamasisha <strong>wa</strong>vuvi <strong>wa</strong>dogo, kuimarish<strong>wa</strong> na<br />

kuanzisha SACCOs ili zi<strong>wa</strong>saidie kupata mikopo;<br />

(iii) Kutengeneza mazingira mazuri yatakayosaidia upatikanaji <strong>wa</strong> zana za<br />

kisasa za uvuvi bila vik<strong>wa</strong>zo;<br />

(iv) Ku<strong>wa</strong>vutia <strong>wa</strong>wekezaji <strong>katika</strong> kuanzisha vi<strong>wa</strong>nda vya kisindika samaki,<br />

hasa <strong>katika</strong> ukanda <strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>mbao <strong>wa</strong> Bahari ya Hindi na visi<strong>wa</strong> vya<br />

Unguja, Pemba na Mafia;<br />

(v) Kushawishi Sekta binafsi kuanzisha vi<strong>wa</strong>nda vya zana za uvuvi;<br />

(vi) Kuhimiza serikali za vijiji na mitaa kuelimisha <strong>wa</strong>nanchi juu ya<br />

umuhimu <strong>wa</strong> kupambana na uvuvi haramu;<br />

(vii) Kutoa msukumo maalumu <strong>katika</strong> ufugaji <strong>wa</strong> samaki kwenye<br />

mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong>;<br />

(viii) Kuendeleza programu mahususi ya kuzalisha na kusambaza mbegu<br />

bora za samaki; na<br />

(ix) Kuimarisha na kuendeleza kilimo cha m<strong>wa</strong>ni.<br />

Utekelezaji <strong>wa</strong> Maagizo haya ya Ilani utatole<strong>wa</strong> <strong>katika</strong> <strong>mada</strong> mbalimbali<br />

ambazo zimeandali<strong>wa</strong> na Wizara, Mikoa, Taasisi za Umma na Sekta binafsi.<br />

6


SURA YA TATU<br />

HALI YA SEKTA YA UVUVI DUNIANI NA NCHINI<br />

HALI YA UVUVI DUNIANI<br />

Na<br />

Rashid Tamatamah 1 and Ian Bryceson 2<br />

1 – Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Tanzania<br />

2 – Chuo Kikuu cha Sayansi ya Viumbe, Nor<strong>wa</strong>y<br />

Mada Iliyo<strong>wa</strong>silish<strong>wa</strong> kwenye Mkutano <strong>wa</strong> Kuhamasisha Usimamizi<br />

na Matumizi ya Rasilimali za Uvuvi Nchini Tanzania<br />

16-18 Desemba, 2009, Tanga


THE CURRENT STATE OF FISHERIES IN THE WORLD<br />

1.0 Introduction<br />

Generally, a fishery is defined as an entity engaged in harvesting and/or raiding<br />

fish, which is determined by some authority to be a fishery. A fishery may<br />

involve the capture of wild fish, also referred to as capture fisheries or raising<br />

fish through fish farming or aquaculture. This report will focus on capture<br />

fisheries component of the fishery, which can further be broadly classified as<br />

industrial scale, small-scale or artisanal, and recreational.<br />

According to the Food and Agriculture Organisation of the world (FAO), a<br />

fishery is typically defined in terms of the "people involved, species or type of<br />

fish, area of <strong>wa</strong>ter or seabed, method of fishing, class of boats, and purpose of<br />

the activities or a combination of the foregoing features".<br />

2.0 Global overview of the fishery<br />

2.1 Production<br />

Close to 90% of the world’s fishery catches come from oceans and seas, as<br />

opposed to inland <strong>wa</strong>ters. World capture fisheries production has been<br />

relatively stable in the past decade with the exception of marked fluctuations<br />

driven by catches of anchoveta – a species extremely susceptible to<br />

oceanographic conditions determined by the El Niño Southern Oscillation – in<br />

the Southeast Pacific (Figure 1.). When data from china are included the<br />

global marine capture production reached 81.9 million tonnes in 2006, the third<br />

lowest since 1994. Only in 1998 and 2003 <strong>wa</strong>s production lower, as also in<br />

those years anchoveta catches decreased considerably.<br />

Figure 1<br />

Accounting for more than 10 million tonnes in 2006, inland fisheries<br />

contributed 11 percent of global capture fisheries production (Figure 2), and<br />

8


landings from inland <strong>wa</strong>ters remain essential and irreplaceable elements in the<br />

diets of both rural and urban people in many parts of the world, especially in<br />

developing countries. Although global landings from inland fisheries have<br />

grown continuously, there are few examples of collapsing fisheries, and a<br />

number of fish stocks, especially in Latin America, remain lightly exploited.<br />

Thus, adopting a precautionary approach, the fisheries could be developed<br />

further.<br />

Figure 2<br />

Most marine fisheries are based near the coast. This is not only because<br />

harvesting from relatively shallow <strong>wa</strong>ters is easier than in the open ocean, but<br />

also because fish are much more abundant near the coastal shelf, due to<br />

coastal upwelling and the abundance of nutrients available there. However,<br />

productive wild fisheries also exist in open oceans and as coastal <strong>wa</strong>ters are<br />

becoming over fished, people are increasingly exploiting the deep sea and<br />

inland lakes and rivers.<br />

2.2 State of the marine stocks<br />

An overall review of the state of marine fishery resources confirms that the<br />

proportions of overexploited, depleted and recovering stocks have remained<br />

relatively stable in the last 10–15 years, after the noticeable increasing trends<br />

observed in the 1970s and 1980s following the expansion of fishing effort. In<br />

2007, about 28 percent of stocks were overexploited (19 percent), depleted (8<br />

percent) or recovering from depletion (1 percent) and thus yielding less than<br />

their maximum potential owing to excess fishing pressure. A further 52 percent<br />

of stocks were fully exploited and, therefore, producing catches that were at or<br />

close to their maximum sustainable limits with no room for further expansion<br />

(Figure 3).<br />

9


Only about 20 percent of stocks were moderately exploited or underexploited<br />

with perhaps a possibility of producing more. Most of the stocks of the top ten<br />

species, which together account for about 30 percent of world marine capture<br />

fisheries production in terms of quantity, are fully exploited or overexploited.<br />

The areas showing the highest proportions of fully-exploited stocks are the<br />

Northeast Atlantic, the Western Indian Ocean and the Northwest Pacific.<br />

Overall, 80 percent of the world fish stocks for which assessment information is<br />

available are reported as fully exploited or overexploited and, thus, requiring<br />

effective and precautionary management. As stated before in The State of<br />

World Fisheries and Aquaculture (2008), the maximum wild capture fisheries<br />

potential from the world’s oceans has probably been reached, and a more<br />

closely controlled approach to fisheries management is required, particularly for<br />

some highly migratory, straddling and other fishery resources that are<br />

exploited solely or partially in the high seas.<br />

Although the ranking of the first eight principal marine fishing areas in 2006<br />

(Figure 4) <strong>wa</strong>s still the same as in 2004, trends in the single regions diverged.<br />

10


Overall catches in the Western Central Pacific and in the Western Indian Ocean<br />

continued to increase (Figure 5).<br />

Figure 5<br />

In contrast to the Western Central Pacific and the Western Indian Ocean,<br />

capture production decreased by more than 10 percent after 2000 in both the<br />

Western and Eastern Central areas of the Atlantic Ocean, although they are<br />

quite different in terms of the main fishery resources and type of fishing. In the<br />

Eastern Indian Ocean, total catches in 2006 rebounded after the decrease in<br />

2005 caused by the destructive effects of the tsunami that affected parts of<br />

this region in December 2004 (Figure 5).<br />

Unfortunately, the ocean bordering the East coast of Africa is one of the last<br />

areas where fishing activities are largely unregulated. Even though countries<br />

such as Tanzania and its neighbors to the north and south, have declared a<br />

200 mile Exclusive Economic Zone (EEZ: Law of the Sea), it lacks the<br />

institutional and financial capability to exercise their jurisdiction. While fish<br />

species living in a narrow coastal strip are harvested, the potentially valuable<br />

offshore species are left to foreign fishing fleets that rarely, if ever, pay<br />

reasonable ”resource rents” for exploitation of the fishery, tend to land fish<br />

outside the region, and do not assist in management of the resource by<br />

sharing data with national authorities. The result is that there is: (1)<br />

inadequate information on the species composition, quantity of fish taken in<br />

the area and the revenue flows from the fisheries, and (2) inadequate<br />

information on the threats to the ecosystem as a result of fishing pressure and<br />

other activities affecting marine biodiversity, and The World Bank and FAO<br />

(2008) through the study titled: “The Sunken Billions: The Economic<br />

Justification for Fisheries Reform” concludes that marine capture fisheries are<br />

11


an underperforming global asset. The study shows that the difference between<br />

the potential and actual net economic benefits from marine fisheries is in the<br />

order of $50 billion per year. Improved governance of marine fisheries could<br />

capture a substantial part of this $50 billion annual economic loss. Reform of<br />

the fisheries sector could generate considerable additional economic growth<br />

and alternative livelihoods, both in the marine economy and other sectors. The<br />

comprehensive reforms required imply political, social, and economic costs.<br />

2.3 State of the inland fisheries<br />

For the inland fisheries, the bulk of production comes from Asia which accounts<br />

for two-thirds of total global inland capture production. With 2.4 million tonnes,<br />

Africa is second in the ranking by continent (Figure 6) but its production<br />

decreased by 2.7 percent in 2006 after a decade-long rising trend. Total<br />

catches in the Americas were down slightly from the 2004 high, while the<br />

opposite occurred in Europe, with production recovering from the lowest total<br />

catch registered in 2004. However, figures for this continent are largely<br />

influenced by those of the Russian Federation, which accounts for about 60<br />

percent of Europe’s production. Fresh <strong>wa</strong>ter fish production 2006 as shown in<br />

Figure 6.<br />

The top ten producers have remained the same as in 2004 (Figure 7).<br />

Bangladesh has replaced India in second spot, but it is still a long <strong>wa</strong>y behind<br />

China. Cambodia has gained four positions with an increase of 30 percent<br />

compared with 2005. This impressive performance probably in part reflects an<br />

extended coverage of the data collection system. In percentage terms, China<br />

still accounts for more than 25 percent of global production, and the share of<br />

the top ten producers as a group has grown as the total for inland catches by<br />

all the other countries have decreased to 31.6 percent.<br />

12


FAO (2008) through five case studies commissioned in different continents to<br />

look at the most crucial issues in ensuring the sustainability of inland fisheries,<br />

came up with the conclusion that inland fisheries are highly complex, and that,<br />

where ecosystem processes remain largely undisturbed, stock dynamics are<br />

basically controlled by environmental processes and factors external to the<br />

fisheries, such as natural fluctuations in climate or flood patterns. Therefore,<br />

the perception that fishing pressure is the only or main driver is mistaken; and<br />

fish stock assessments based on steady-state assumptions can be highly<br />

misleading, both in the interpretation of trends and in the use of fishery<br />

assessment models.<br />

Latest empirical research from one of the case studies conducted in Lake<br />

Victoria concludes that there are no signs of overfishing in that lake. Continued<br />

eutrophication presents a much graver risk to the resource base and thus<br />

livelihoods of Lake Victoria’s fisherfolk and people than fishing pressure.<br />

2.4 Fishers and employment<br />

Fisheries play, either directly or indirectly, an essential role in the livelihoods of<br />

millions of people around the world. In 2006, 34.8 million people were directly<br />

engaged, part time or full time, in primary production of fish by fishing (Figure<br />

8).<br />

13


35000000<br />

30000000<br />

25000000<br />

Namba<br />

20000000<br />

15000000<br />

10000000<br />

5000000<br />

Namba<br />

180000<br />

160000<br />

140000<br />

120000<br />

100000<br />

80000<br />

60000<br />

40000<br />

20000<br />

0<br />

0<br />

1995<br />

1996<br />

Afrika Amerika<br />

Kaskazini<br />

& Kati<br />

Majibaridi Majichumvi<br />

1997<br />

1998<br />

1999<br />

2000<br />

2001<br />

2002<br />

2003<br />

2004<br />

2005<br />

2006<br />

2007<br />

2008<br />

They accounted for 2.5 percent of the 1.37 billion people economically active in<br />

agriculture worldwide. In the last three decades, employment in the primary<br />

fisheries sector has grown faster than the world’s population and employment<br />

in traditional agriculture. Eighty-four percent of the fishers worldwide are<br />

located in Asia (Figure 9).<br />

Ulaya<br />

2%<br />

Asia<br />

84%<br />

Oceania<br />

0%<br />

Amerika<br />

Kusini<br />

Afrika<br />

9%<br />

Most fishers are small-scale, artisanal fishers, operating on coastal and inland<br />

fishery resources. Currently, fleet-size reduction programmes in China and<br />

other countries, aimed at tackling overfishing, are reducing the number of fulltime<br />

and part-time fishers. Globally, the number of people engaged in capture<br />

fisheries declined by 12 percent in the period 2001–06. Small-scale artisanal<br />

fishing offers several competitive advantages over large scale industrial fishing<br />

(Figure 10).<br />

14<br />

Asia Ulaya Oceania<br />

Amerika ya Kaskazini na Kati<br />

3%<br />

Amerika ya Kusini<br />

2%<br />

1990<br />

1995<br />

2000<br />

2005<br />

2006


For each person employed in the primary sector, it has been estimated that<br />

there could be four employed in the secondary sector (including fish<br />

processing, marketing and service industries), indicating employment of about<br />

140 million in the whole industry. Taking account of dependants, about 420<br />

million people could be dependent on the sector, or nearly 6.5 percent of the<br />

world population. The number of dependants could be much higher in Africa.<br />

2.5 Fishing vessels<br />

The number of fishing vessels powered by engines is estimated to have been<br />

about 2.1 million in 2006, of which almost 70 percent were concentrated in<br />

Asia. Of the remaining vessels, most were accounted for by Africa, followed by<br />

Europe, the Near East, Latin America and the Caribbean. As almost 90 percent<br />

of motorized fishing vessels in the world are less than 12 metres long, such<br />

vessels dominate everywhere, particularly in Africa, Asia and the Near East.<br />

The fishing fleets in the Pacific region, Oceania, Europe and North America<br />

tend to consist of vessels that, on average, are slightly larger. Correspondingly,<br />

there is a higher proportion of vessels of more than 100 GT in the Europe,<br />

North America and Latin America and Caribbean regions than in the Africa and<br />

Asia regions (Figure 11).<br />

15


The numbers of fishing vessels have stayed around the same level in the last<br />

ten years (Figure 12).<br />

The issues of overcapacity in fishing fleets and their reduction to the levels that<br />

should be in balance with long-term sustainable exploitation of resources have<br />

received global attention in the past two decades. “Overcapacity and excess<br />

fishing capacity mean fewer fish caught per vessel - that is, lower fuel<br />

efficiency - while competition for limited resources means fishers are al<strong>wa</strong>ys<br />

looking to increase engine power, which also lowers efficiency. Many countries<br />

have adopted policies to limit the growth of national fishing capacity in order to<br />

protect aquatic resources and make fishing economically viable for the<br />

harvesting enterprises.<br />

16


Figure 13<br />

2.6 Per capita fish supply<br />

Per Capita Food Supply from Fish and Fishery Products is defined as the<br />

quantity of both fresh<strong>wa</strong>ter and marine fish, seafood and derived products<br />

available for human consumption. The data represent apparent consumption in<br />

live weight basis, which means that the amounts of fish and fishery products<br />

consumed include all parts of the fish, including bones.<br />

Preliminary estimates for 2006 indicate a slight increase of global per capita<br />

fish supply, to about 16.7 kg, after 16.4 kg in 2005. World apparent per capita<br />

fish consumption has been steadily increasing from an average of 9.9 kg in the<br />

1960s, 11.5 kg in the 1970s, 12.5 kg in the 1980s, 14.4 kg in the 1990s,<br />

reaching 16.4 kg in 2005. However, this increase has not been evenly<br />

distributed across regions (Figure 14).<br />

17


Related to per capita fish supply is the index of Fish Protein as a percent of<br />

total protein supply which is defined as the quantity of protein from both<br />

fresh<strong>wa</strong>ter and marine fish, seafood and derived products available for human<br />

consumption as a percentage of all the animal protein available.<br />

It is estimated that fish provides at least 50 percent of total animal protein<br />

intake in some small island developing states, as well as in Bangladesh,<br />

Cambodia, Equatorial Guinea, French Guiana, the Gambia, Ghana, Indonesia<br />

and Sierra Leone. The contribution of fish proteins to total world animal protein<br />

supplies rose from 13.7 percent in 1961 to a peak of 16.0 percent in 1996,<br />

before declining somewhat to 15.3 percent in 2005. Whereas fish provided<br />

about 7.6 percent of animal protein in North and Central America and more<br />

than 11 percent in Europe, in Africa it supplied around 19 percent, in Asia<br />

nearly 21 percent and in the LIFDCs including China about 19 percent.<br />

2.7 Fish trade<br />

Fish and fishery products are highly traded, with more than 37 percent (live<br />

weight equivalent) of total production entering international trade as various<br />

foods and feed products.<br />

Fishery net exports (i.e. the total value of their exports less the total value of<br />

their imports) continue to be of vital importance to the economies of many<br />

developing countries (Figure 15). They have increased significantly in recent<br />

decades, growing from US$1.8 billion in 1976 to US$7.2 billion in 1984, to<br />

US$16.7 billion in 1996 and reaching US$24.6 billion in 2006. In 1976 fish<br />

export from the low-income food-deficit countries (LIFDCs) accounted for 10<br />

percent of the total value of fishery exports. This share expanded to 12 percent<br />

in 1986, 17 percent in 1996 and 20 percent in 2006.<br />

Figure 15<br />

2.8 Contribution of small-scale fisheries to poverty alleviation and<br />

food security<br />

FAO Fisheries Technical Paper No. 481 (2007) suggests how inland and coastal<br />

smallscale fisheries could increase their contribution to poverty alleviation and<br />

18


food security in line with the commitment by the international community<br />

enshrined in the UN Millennium Development Goals (MDGs). A companion<br />

document to the Code of Conduct for Responsible Fisheries Technical<br />

Guidelines No. 10 on the same theme, it provides a rich body of practical<br />

examples and experiences on this subject from around the world.<br />

Poverty reduction in fisheries communities describes a situation where people<br />

are becoming measurably better off over time owing to their involvement<br />

and/or investment in fisheries or fisheries-related activities. The three economic<br />

levels at which poverty reduction can occur – household and intra-household,<br />

local and national – depend on different mechanisms and, therefore, relate to<br />

and require different policies.<br />

There is often little precise information on their real contribution to livelihoods<br />

and economies in developing countries, and many small-scale fishing<br />

communities are poor and vulnerable. However, it is now widely acknowledged<br />

that small-scale fisheries can generate significant profits, prove resilient to<br />

shocks and crises, and make meaningful contributions to poverty alleviation<br />

and food security, in particular for: those involved directly in fishing (fishers,<br />

and fishworkers in both pre-harvest and post-harvest activities); those who buy<br />

fish for human consumption (consumers); those who benefit from related<br />

income and employment through multiplier effects; and those who benefit<br />

indirectly as a result of national export revenues from fisheries, redistributive<br />

taxation and other macrolevel mechanisms.<br />

In addition, while small-scale fisheries may overexploit stocks, harm the<br />

environment and generate only marginal profit levels, it is now recognized that<br />

they may have significant comparative advantages over industrial fisheries in<br />

many cases, such as:<br />

• greater economic efficiency;<br />

• fewer negative impacts on the environment;<br />

• the ability to share economic and social benefits more widely by being<br />

decentralized and geographically spread out;<br />

• their contribution to cultural heritage, including environmental<br />

knowledge.<br />

There are a number of mechanisms that national fisheries sector can employ to<br />

enhance the role of small scale fisheries in poverty alleviation and food<br />

security.<br />

2.9 Global challenges to sustainable growth of the sector<br />

The main challenges that have exacerbated over fishing on a global scale<br />

include inappropriate policies, changes in demography and technology, weak<br />

institutions and governance, and threats from global <strong>wa</strong>rming:<br />

19


• Subsidies to the fisheries sector, estimated at US$ 12-20 billion per year<br />

have contributed to current over capacity, and subsequently overfishing;<br />

• Strong population growth in coastal areas has led to pollution and<br />

degradation of marine ecosystems; similar effects come from declining<br />

<strong>wa</strong>ter levels affect inland <strong>wa</strong>ter bodies;<br />

• The lack of progress with the reduction of fishing capacity (the need to<br />

match fishing capacity with sustainable harvesting levels). Navigation<br />

technology, size and power of the vessels, the selectivity of their gear<br />

coupled with the skill of skippers, have greatly improved fishing power.<br />

A 270 percent increase in average fishing power between 1965 and<br />

1995 has been estimated. At the same time, the scientific focus has<br />

been almost exclusively on achieving the Maximum Sustainable Yield<br />

(MSY) of single species, without adequate attention to the<br />

interrelationships with other species and other parts of the ecosystem, in<br />

particular in the complex tropical marine ecosystems;<br />

• The relationship between excess capacity and illegal, unregulated and<br />

unreported (IUU) fishing. This is because IUU fishing constitutes a<br />

serious threat to: (i) fisheries, especially those of high-value that are<br />

already overfished (e.g. cod, tuna, redfish and swordfish); (ii) marine<br />

habitats, including vulnerable marine ecosystems; and (iii) food security<br />

and the economies of developing countries. The incidence of IUU fishing<br />

is also increasing in many areas, undermining national and regional<br />

efforts to manage fisheries sustainably;<br />

• Limited progress in the implementation of measures interalia to<br />

mainstream the precautionary and ecosystem approaches to fisheries,<br />

eliminate bycatch and discards, regulate bottom-trawl fisheries, manage<br />

shark fisheries, and deal with IUU fishing in a comprehensive manner;<br />

• Weak governance has and continues to affect the sector and is one of<br />

the main causes of over-fishing. At the regional level, many of the<br />

institutions lack the resources and the power to control fishing effort and<br />

identify revenue flows to determine whether the benefits of fisheries<br />

capture go to the country of origin;<br />

At the national level, decisions on fishing effort are often based on<br />

political, rather than scientific considerations, marred by conflict of<br />

interest situations, such as those between Ministries of Finance, seeking<br />

to maximize revenues from licenses and foreign exchange earnings, and<br />

Ministries or Departments of Fisheries, seeking to manage yields and<br />

stocks and introduce more sustainable limits to the level of catches. At<br />

the fisheries level, decisions are often top-<br />

• Threats from climate change.<br />

20


Climate change is modifying the distribution of marine and fresh<strong>wa</strong>ter<br />

species. In general, <strong>wa</strong>rmer-<strong>wa</strong>ter species are being displaced to<strong>wa</strong>rds<br />

the poles and experiencing changes in habitat size and productivity.<br />

Ecosystem productivity is likely to decline in lower latitudes (i.e. most<br />

tropical and subtropical oceans, seas and lakes) and increase in high<br />

latitudes. Climate change is already affecting the seasonality of<br />

particular biological processes, altering marine and fresh<strong>wa</strong>ter food<br />

webs, with unpredictable consequences for fish production. Increased<br />

risks of species invasions and the spread of vector-borne diseases raise<br />

additional concerns.<br />

Differential <strong>wa</strong>rming between land and oceans and between polar and<br />

tropical regions will affect the intensity, frequency and seasonality of<br />

climate patterns (e.g. El Niño) and extreme weather events (e.g. floods,<br />

droughts and storms) and, hence, the stability of marine and fresh<strong>wa</strong>ter<br />

resources adapted to or affected by them.<br />

21


SURA YA NNE<br />

HALI YA SEKTA YA UVUVI NCHINI<br />

Mada iliyo<strong>wa</strong>silish<strong>wa</strong> na Geofrey F. Nanyaro,<br />

Mkurugenzi <strong>wa</strong> Maendeleo ya Uvuvi,<br />

Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi.<br />

22


1.0 UTANGULIZI<br />

HALI YA SEKTA YA UVUVI NCHINI<br />

Tanzania ina ukub<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> kilometa za mraba 945,000 ambapo kati ya hizo,<br />

kilometa za mraba 123,337 ni maji ambazo ni sa<strong>wa</strong> na asilimia 13.05.<br />

Maeneo ya maji baridi yanajumuisha mazi<strong>wa</strong> makuu ya Afrika, ambayo ni Zi<strong>wa</strong><br />

Victoria lenye ukub<strong>wa</strong> kilometa za mraba 68,800 ambapo Tanzania inamiliki<br />

kilometa za mraba 35,088 (51%), Zi<strong>wa</strong> Tanganyika kilometa za mraba<br />

32,900 ambapo Tanzania inamiliki kilometa za mraba 13,489 (41%) na Zi<strong>wa</strong><br />

Nyasa lenye ukub<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> kilometa za mraba 30,800 ambapo Tanzania inamiliki<br />

kilometa za mraba 5,760 (18.7%). Maeneo mengine ya maji baridi yenye<br />

jumla ya kilometa za mraba 5,000 yanajumuisha mazi<strong>wa</strong> madogo, mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong>,<br />

mito na maeneo oevu (Kiambatisho Na. 1). Maeneo hayo ya maji yana aina<br />

mbalimbali za samaki na viumbe wengine.<br />

M<strong>wa</strong>mbao <strong>wa</strong> p<strong>wa</strong>ni ya Bahari ya Hindi sehemu ya Tanzania Bara ina urefu <strong>wa</strong><br />

kilometa 1,424. Maji chumvi yanajumuisha eneo la maji ya ndani (Territorial<br />

Sea) lenye ukub<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> kilometa za mraba 64,000 pamoja na eneo la Ukanda<br />

<strong>wa</strong> Uchumi <strong>wa</strong> Bahari (Exclusive Economic Zone - EEZ) <strong>wa</strong> Jamhuri ya<br />

Muungano ya Tanzania lenye ukub<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> kilometa za mraba 223,000.<br />

2.0 HALI YA RASILIMALI ZA UVUVI NCHINI<br />

2.1 Upatikanaji <strong>wa</strong> Rasilimali za Uvuvi<br />

Rasilimali za uvuvi hupatikana takriban <strong>katika</strong> mikoa yote nchini kwenye bahari,<br />

mazi<strong>wa</strong>, mito, mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong>, malambo na maeneo mengine oevu (Kiambatisho<br />

Na.1) ambako shughuli za uvuvi hufanyika k<strong>wa</strong> vi<strong>wa</strong>ngo mbalimbali. Vilevile,<br />

zipo shughuli za ukulima <strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ni na ufugaji <strong>wa</strong> samaki. Hivyo, jamii nyingi<br />

za Tanzania hujipatia ajira, kipato na chakula kutokana na shughuli hizo. Utafiti<br />

uliofanyika kuanzia miaka ya 1990 hadi m<strong>wa</strong>ka 2009 <strong>katika</strong> mazi<strong>wa</strong> makuu<br />

umeonyesha ku<strong>wa</strong> kiasi cha samaki kimeongezeka kutoka tani 600,000 na<br />

kufikia tani 2,046,142 kama inavyoonekana kwenye Jed<strong>wa</strong>li 1.<br />

23


Jed<strong>wa</strong>li 1: Makisio ya wingi (biomass) <strong>wa</strong> samaki na kiasi kinachoweza<br />

kuvuli<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka (Maximum Sustainable Yield) kwenye Mazi<strong>wa</strong> Makuu<br />

Na. Eneo Ukub<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> eneo<br />

linalomiliki<strong>wa</strong> na<br />

Tanzania (km za mraba)<br />

24<br />

Wingi (Tani) Kiasi<br />

kinachoweza<br />

kuvuli<strong>wa</strong><br />

1 Zi<strong>wa</strong> Victoria 35,088 (51%) 2,451,296 1,225,648<br />

2 Zi<strong>wa</strong> Tanganyika 13,489 (41%) 295,000 167,000<br />

3 Zi<strong>wa</strong> Nyasa 5,760 (18.7%) 168,000 81,000<br />

Jumla 54,337 2,914,296 1,473,648<br />

Chanzo: Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi<br />

Katika utafiti uliofanyika <strong>katika</strong> Zi<strong>wa</strong> Nyasa kwenye miaka ya 1989-1995 kupitia<br />

mradi <strong>wa</strong> UK/SADC kuhusu wingi <strong>wa</strong> samaki <strong>katika</strong> maji ya juu (Pelagic<br />

species) ulionyesha ku<strong>wa</strong> kiasi cha tani 81,000 za samaki zinaweza kuvuli<strong>wa</strong><br />

k<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka. Utafiti uliofanyika Zi<strong>wa</strong> Victoria unaonyesha ku<strong>wa</strong> wingi <strong>wa</strong><br />

samaki aina ya sangara umepungua kutoka tani 750,000 Februari m<strong>wa</strong>ka<br />

2006 hadi tani 375,670 Februari m<strong>wa</strong>ka 2008 hali iliyosababisha uchakataji<br />

<strong>wa</strong> minofu ya sangara kupungua. Utafiti uliofanyika kuhusu wingi <strong>wa</strong> samaki<br />

<strong>katika</strong> Zi<strong>wa</strong> Victoria kupitia mradi <strong>wa</strong> Implementation of Fisheries Management<br />

Plan –IFMP umeonyesha ku<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>stani <strong>wa</strong> wingi <strong>wa</strong> samaki aina ya sangara<br />

umeonyesha mabadiliko kutoka tani 227,365 mwezi Agosti m<strong>wa</strong>ka 2008 hadi<br />

tani 307,539 Agosti m<strong>wa</strong>ka 2009. Wingi <strong>wa</strong> samaki aina ya dagaa<br />

umeongezeka na kufikia <strong>wa</strong>stani <strong>wa</strong> tani 1,381,709 mwezi Februari, 2008<br />

kutoka <strong>wa</strong>stani <strong>wa</strong> tani 620,000 mwezi Agosti, 2005.<br />

2.2 Uchangiaji <strong>wa</strong> Sekta ya Uvuvi kwenye Pato la Taifa<br />

Inakadiri<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong>mba Tanzania ina <strong>wa</strong>vuvi <strong>wa</strong>dogo takriban 200,000 ambao<br />

huvua asilimia zaidi ya 90 ya samaki wote <strong>wa</strong>naovuli<strong>wa</strong> nchini. Aidha, kuna<br />

<strong>wa</strong>nanchi <strong>wa</strong>patao 4,000,000 ambao pamoja na shughuli nyingine hujihusisha<br />

na shughuli zinazohusiana na uvuvi. Idadi ya <strong>wa</strong>vuvi <strong>wa</strong>dogo <strong>katika</strong> ukanda <strong>wa</strong><br />

p<strong>wa</strong>ni imeongezeka kutoka 13,822 m<strong>wa</strong>ka 1995 hadi <strong>wa</strong>vuvi 36,247 m<strong>wa</strong>ka<br />

2008. Aidha, idadi ya <strong>wa</strong>vuvi <strong>katika</strong> maji baridi imeongezeka kutoka 61,789<br />

m<strong>wa</strong>ka 1998 hadi 133,791 m<strong>wa</strong>ka 2008 (Kielelezo Na. 1 na Kiambatisho<br />

Na. 2).


Kielelezo Na. 1: Idadi ya <strong>wa</strong>vuvi m<strong>wa</strong>ka 1995 hadi 2009<br />

Namba<br />

160,000<br />

140,000<br />

120,000<br />

100,000<br />

80,000<br />

60,000<br />

40,000<br />

20,000<br />

0<br />

1995<br />

1997<br />

1999<br />

2001<br />

2003<br />

Miaka<br />

25<br />

2005<br />

2007<br />

Wavuvi Maji baridi<br />

Wavuvi Maji chumvi<br />

Kiasi cha samaki <strong>wa</strong>liovuli<strong>wa</strong> kati ya m<strong>wa</strong>ka 2000 na m<strong>wa</strong>ka 2008 kinaonyesha<br />

kuongezeka na kupungua. Mfano m<strong>wa</strong>ka 2000 kiasi kilichovun<strong>wa</strong> ni tani<br />

320,900 zenye thamani ya shilingi bilioni 77.7 na kuongezeka hadi kufikia<br />

tani 362,510 zenye thamani ya shilingi bilioni 188.1 m<strong>wa</strong>ka 2004 na<br />

hatimaye kushuka hadi kufikia tani 325,466.50 m<strong>wa</strong>ka 2008 zenye thamani<br />

ya shilingi bilioni 371.4 (Kiambatisho Na. 3).<br />

Aidha, <strong>katika</strong> kipindi cha m<strong>wa</strong>ka 2000/2001 hadi m<strong>wa</strong>ka 2008/2009,<br />

makusanyo ya maduhuli ya Serikali kutokana na ada za leseni na ushuru <strong>wa</strong><br />

samaki na mazao ya uvuvi yanayouz<strong>wa</strong> nje ya nchi yameku<strong>wa</strong> yakipanda na<br />

kushuka. Mfano, <strong>katika</strong> m<strong>wa</strong>ka 2000/2001 maduhuli yaliyokusany<strong>wa</strong> yaliku<strong>wa</strong><br />

shilingi bilioni 5.5 na kuongezeka hadi kufikia shilingi bilioni 9.9 m<strong>wa</strong>ka<br />

2006/2007 kabla ya kushuka na ku<strong>wa</strong> shilingi bilioni 6.6 m<strong>wa</strong>ka 2008/2009<br />

(Kielelezo Na. 2 na Kiambatisho Na. 4)<br />

Kielelezo Na. 2: Makusanyo ya maduhuli<br />

12,000,000,000<br />

10,000,000,000<br />

8,000,000,000<br />

6,000,000,000<br />

4,000,000,000<br />

2,000,000,000<br />

0<br />

2000/2001<br />

2001/2002<br />

2002/2003<br />

2003/2004<br />

2004/2005<br />

2005/2006<br />

2006/2007<br />

2007/2008<br />

2008/2009<br />

Chanzo: Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi<br />

Sababu zilizosababisha kuongezeka k<strong>wa</strong> makusanyo ya maduhuli <strong>katika</strong> kipindi<br />

cha m<strong>wa</strong>ka 2000/2001 hadi 2006/2007 ni pamoja na:


(i) Udhibiti mzuri <strong>wa</strong> ukusanyaji mapato;<br />

(ii) Kuimarisha shughuli za doria k<strong>wa</strong> kuongeza vituo, <strong>wa</strong>tumishi na<br />

vitendea kazi;<br />

(iii) Ongezeko la vi<strong>wa</strong>ngo vya ada vya leseni; na<br />

(iv) Kuboresh<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> mazingira ya kazi kutokana na mfumo <strong>wa</strong> kubakiza<br />

sehemu ya makusanyo “retention scheme”.<br />

Aidha, upungufu <strong>wa</strong> makusanyo ya maduhuli kuanzia m<strong>wa</strong>ka 2007/2008<br />

umetokana na sababu mbalimbali zikiwemo;<br />

(i) Kuongezeka k<strong>wa</strong> uvuvi haramu kulikotokana na kupungua k<strong>wa</strong> bajeti<br />

kulikosababish<strong>wa</strong> na kutokuzingatia mfumo <strong>wa</strong> “retention”;<br />

(ii) Kuongezeka k<strong>wa</strong> biashara ya magendo ya mazao ya uvuvi kwenda nje<br />

ya nchi;<br />

(iii) Kupungua k<strong>wa</strong> uzalishaji <strong>wa</strong> samaki kulikosababisha vi<strong>wa</strong>nda vya<br />

uchakataji <strong>wa</strong> minofu ya sangara kupunguza uzalishaji;<br />

(iv) Ukame na uharibifu <strong>wa</strong> mazingira unapunguza kuzaliana na kukua k<strong>wa</strong><br />

samaki;<br />

(v) Kukiuk<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> makubaliano juu ya matumizi ya maji ya Zi<strong>wa</strong> Victoria<br />

kunakofany<strong>wa</strong> na nchi ya Uganda; na<br />

(vi) Kufung<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> uvuaji <strong>wa</strong> kambamiti k<strong>wa</strong> kutumia Meli kub<strong>wa</strong> za<br />

kibiashara.<br />

Kutokana na upungufu <strong>wa</strong> rasilimali za uvuvi, vi<strong>wa</strong>nda 22 vya kuchakata<br />

mazao ya uvuvi vilivyopo nchini (13 Kanda ya Zi<strong>wa</strong> na 9 Ukanda <strong>wa</strong> P<strong>wa</strong>ni)<br />

vimeathirika. Katika ukanda <strong>wa</strong> Zi<strong>wa</strong> Victoria, vi<strong>wa</strong>nda 6 vimefung<strong>wa</strong> na 7<br />

vilivyobakia vinafanya kazi k<strong>wa</strong> asilimia 35 – 40 ya ki<strong>wa</strong>ngo cha uzalishaji <strong>wa</strong><br />

m<strong>wa</strong>ka 2000 hadi 2005. Vilevile, <strong>katika</strong> ukanda <strong>wa</strong> P<strong>wa</strong>ni vi<strong>wa</strong>nda 4<br />

vimefung<strong>wa</strong> na 5 vilivyobakia vinafanya kazi chini ya asilimia 50 na baadhi yao<br />

vinaweza kufung<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>kati wowote. Aidha, meli 18 zilizoku<strong>wa</strong> zinavua<br />

kambamiti zimesimamisha uvuvi kuanzia m<strong>wa</strong>ka 2007/2008 hadi sasa kutokana<br />

na upungufu <strong>wa</strong> rasilimali hiyo.<br />

Kutokana na upungufu <strong>wa</strong> rasilimali ya uvuvi ulioanish<strong>wa</strong> hapo juu, ukuaji <strong>wa</strong><br />

Sekta ya Uvuvi na mchango <strong>wa</strong>ke <strong>katika</strong> pato la Taifa bado ni mdogo. K<strong>wa</strong><br />

mfano, <strong>katika</strong> m<strong>wa</strong>ka 2008, <strong>sekta</strong> ya uvuvi ilikua k<strong>wa</strong> asilimia 4.3 na kuchangia<br />

asilimia 1.3 <strong>katika</strong> pato la Taifa ikilinganish<strong>wa</strong> na kukua k<strong>wa</strong> asilimia 4.5 na<br />

kuchangia asilimia 1.6 m<strong>wa</strong>ka 2007. Katika kipindi hicho thamani ya mauzo ya<br />

samaki na mazao ya uvuvi nje ya nchi iliku<strong>wa</strong> ni Dola za Kimarekani milioni<br />

141.6 m<strong>wa</strong>ka 2008 ikilinganish<strong>wa</strong> na Dola za Kimarekani milioni 163.6<br />

m<strong>wa</strong>ka 2007 (Hali ya Uchumi <strong>wa</strong> Taifa <strong>katika</strong> M<strong>wa</strong>ka 2008; Wizara ya Fedha na<br />

Uchumi, Juni, 2009).<br />

26


Inakadiri<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong>mba samaki huchangia asilimia 30 ya protini itokanayo na<br />

vyakula vya asili ya nyama, na <strong>wa</strong>stani <strong>wa</strong> ulaji <strong>wa</strong> samaki k<strong>wa</strong> Mtanzania<br />

unakadiri<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong> kilo 8.1 k<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka ukilinganisha na kilo 10.7 k<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka<br />

zinazopendekez<strong>wa</strong> na Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja <strong>wa</strong> Mataifa (FAO).<br />

3.0 HALI YA UVUNAJI WA RASILIMALI ZA UVUVI<br />

Kati ya m<strong>wa</strong>ka 2000 na m<strong>wa</strong>ka 2005 kiasi cha samaki kilichovuli<strong>wa</strong> kwenye<br />

maji baridi ni kati ya tani 271,000 na 321,000 k<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka, na kwenye maji<br />

chumvi ni kati ya tani 50,000 na 55,000 k<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka sawia. Kiasi hicho<br />

kilipungua hadi kufikia tani 282,000 m<strong>wa</strong>ka 2008 kwenye maji baridi na tani<br />

43,000 m<strong>wa</strong>ka huo kwenye maji chumvi kama inavyoonekana kwenye<br />

Kielelezo Na.3 na Kiambatisho Na. 5.<br />

Kielelezo Na. 3: Uvunaji <strong>wa</strong> samaki kwenye Maji chumvi na Maji baridi<br />

Uzito k<strong>wa</strong> tani<br />

350,000<br />

300,000<br />

250,000<br />

200,000<br />

150,000<br />

100,000<br />

50,000<br />

0<br />

1993<br />

1995<br />

1997<br />

1999<br />

2001<br />

Miaka<br />

Chanzo: Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi<br />

27<br />

2003<br />

2005<br />

2007<br />

Maji baridi<br />

Maji chumvi<br />

Aidha, uzalishaji <strong>wa</strong> samaki aina ya jodari na jamii zake k<strong>wa</strong> kipindi cha miaka<br />

8 iliyopita <strong>katika</strong> Ukanda <strong>wa</strong> Uchumi <strong>wa</strong> Bahari Kuu (EEZ) umeku<strong>wa</strong><br />

ukiongezeka na kupungua kutoka tani 2,505.98 m<strong>wa</strong>ka 2001 hadi tani<br />

48,833.51 m<strong>wa</strong>ka 2004 na kupungua hadi tani 2,005.25 m<strong>wa</strong>ka 2007 na<br />

kuongezeka tena hadi tani 10,141.14 m<strong>wa</strong>ka 2008 (Jed<strong>wa</strong>li Na. 3)<br />

Jed<strong>wa</strong>li Na. 2: Uzalishaji Samaki <strong>katika</strong> Ukanda <strong>wa</strong> Uchumi <strong>wa</strong> Bahari Kuu (EEZ)<br />

M<strong>wa</strong>ka Uzito <strong>wa</strong> samaki (Tani) Idadi ya Meli<br />

2001 2,505.98 6<br />

2002 4,456.03 10<br />

2003 14,916.48 44<br />

2004 48,833.51 85<br />

2005 12,948.44 79<br />

2006 6,346.02 84<br />

2007 2,005.25 15<br />

2008 10,141.14 51<br />

JUMLA 102,152.85 374<br />

Chanzo: Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi


4.0 Udhibiti na Utunzaji <strong>wa</strong> Maeneo mbalimbali ya Uvuvi<br />

Uvuvi endelevu unahitaji pamoja na mambo mengine udhibiti na utunzaji <strong>wa</strong><br />

maeneo maalum muhimu k<strong>wa</strong> uvuvi. Kilimo, ufugaji, uchafuzi <strong>wa</strong> mazingira na<br />

ujenzi holela <strong>wa</strong> makazi hasa maeneo kandokando ya bahari, mazi<strong>wa</strong>, mito na<br />

mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> na takataka kutoka miji huathiri mazingira ya viumbe <strong>wa</strong> kwenye<br />

maji. Yote haya yanasababisha kupungua k<strong>wa</strong> bioanuai ya rasilimali za uvuvi<br />

nchini, kuongezeka k<strong>wa</strong> nguvu ya uvuvi (fishing effort), kupungua k<strong>wa</strong><br />

rasilimali za uvuvi na kuongezeka k<strong>wa</strong> uharibifu <strong>wa</strong> mazingira.<br />

K<strong>wa</strong> kuzingatia hili Kanuni chini ya Sheria ya Uvuvi Na. 22 ya m<strong>wa</strong>ka 2003<br />

zinaainisha maeneo maalum ya makulio, mazalio, malisho na maficho ya<br />

samaki (critical habitats). Maeneo hayo ni pamoja na visi<strong>wa</strong>, maingilio ya mito<br />

na ghuba. Pia, Kanuni hizo zinaainisha:-<br />

(i) Vipindi maalum vya kuvua k<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka;<br />

(ii) Vipimo vya nyavu kulingana na aina ya samaki <strong>katika</strong> eneo husika la<br />

maji;<br />

(iii) Ukomo <strong>wa</strong> ukub<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> samaki <strong>wa</strong>naostahili kuvuli<strong>wa</strong> kulingana <strong>katika</strong><br />

eneo husika la maji;<br />

(iv) Kina cha nyavu (vertical integration) za kuvulia na kukataza<br />

kuunganisha nyavu;<br />

(v) Mbinu za uvuvi na zana zenye kuleta madhara k<strong>wa</strong> rasilimali za uvuvi<br />

mfano mabomu, makokoro, mtando, sumu, timba, vyandarua n.k.;<br />

(vi) Usimamizi shirikishi <strong>wa</strong> rasilimali za uvuvi;<br />

(vii) Uanzish<strong>wa</strong>ji <strong>wa</strong> shughuli mbadala; na<br />

(viii) Hifadhi na Maeneo Tengefu kwenye maji.<br />

Kanuni hizi zimewek<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> nia ya kudhibiti na kuzuia uharibifu <strong>wa</strong> mazingira<br />

na bioanuai ya rasilimali za uvuvi ili kuliwezesha taifa kufikia lengo la kuinua<br />

kipato cha jamii na taifa, kuongeza akiba ya taifa ya chakula, kuongeza fursa<br />

za ajira k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>nanchi na kukihakikishia kizazi cha sasa na kijacho. Serikali<br />

k<strong>wa</strong> kushirikiana na <strong>wa</strong>dau itaendelea kuweka mikakati ya kuimarisha udhibiti<br />

na utunzaji <strong>wa</strong> rasilimali za uvuvi k<strong>wa</strong> kuboresha Sera, Sheria, Kanuni na<br />

miongozo mbalimbali kulingana na mahitaji ya <strong>wa</strong>kati husika.<br />

5.0 HALI YA UVUVI HARAMU NCHINI<br />

5.1 Aina za Uvuvi Haramu<br />

Usimamizi <strong>wa</strong> rasilimali za uvuvi hufanyika k<strong>wa</strong> kuzingatia Sera ya Taifa ya<br />

Uvuvi ya m<strong>wa</strong>ka 1997 na Sheria ya Uvuvi Na. 22 ya m<strong>wa</strong>ka 2003 na Kanuni<br />

zake za m<strong>wa</strong>ka 2009. Hata hivyo, usimamizi <strong>wa</strong> rasilimali za uvuvi unakabili<strong>wa</strong><br />

na tatizo sugu la uvuvi haramu ambao unaendesh<strong>wa</strong> na baadhi ya <strong>wa</strong>vuvi <strong>wa</strong><br />

ndani na nje ya nchi pasipo kuzingatia Sheria na Kanuni zilizopo. Uvuvi haramu<br />

unaofanyika kwenye maji baridi ni pamoja na uvuvi <strong>wa</strong> kutumia makokoro,<br />

nyavu za macho madogo, nyavu za timba (monofilament), kimia (cast net),<br />

katuli, mikuki na uvuvi <strong>wa</strong> sumu.<br />

28


Uvuvi <strong>wa</strong> kutumia makokoro umeku<strong>wa</strong> na athari mbalimbali zikiwemo<br />

kukamata samaki <strong>wa</strong>changa, kuharibu mazalio, malisho na makulio ya samaki.<br />

Aidha, nyavu za macho madogo pia hukamata samaki <strong>wa</strong>changa, <strong>wa</strong>kati nyavu<br />

za makila aina ya timba huendelea kuua samaki <strong>wa</strong>kati wote pale zinapopotea,<br />

k<strong>wa</strong>ni nyavu hizo hu<strong>wa</strong> haziozi. Uvuvi <strong>wa</strong> sumu huua samaki pamoja na<br />

viumbe wengine, unaharibu mazingira na ni hatari k<strong>wa</strong> afya za binadamu na<br />

viumbe wengine.<br />

Uvuvi haramu unaofanyika <strong>katika</strong> Bahari ya Hindi ni pamoja na uvuvi <strong>wa</strong><br />

mabomu, nyavu za macho madogo, kokoro, mtando/juya la kojani/juya la<br />

kusini, timba, mikuki, sumu, bunduki za kwenye maji/mitambo, mchokoo na<br />

uzamiaji <strong>wa</strong> kutumia mitungi ya gesi. Aidha, uvunjaji <strong>wa</strong> matumbawe k<strong>wa</strong> ajili<br />

ya kutengeneza chokaa na ukataji <strong>wa</strong> mikoko unaathiri k<strong>wa</strong> kiasi kikub<strong>wa</strong><br />

mazingira ya kwenye maji. Uvuvi <strong>wa</strong> mabomu una athari kub<strong>wa</strong> kwenye<br />

matumbawe ambayo ni mazalio, malisho, maficho na makazi ya samaki na<br />

viumbe <strong>wa</strong> aina mbalimbali na bionuai ya kwenye maji. Aidha, uvuvi <strong>wa</strong><br />

mabomu husababisha vifo na ulemavu k<strong>wa</strong> binadamu <strong>wa</strong>naojihusisha na uvuvi<br />

huo. Matumbawe huchukua takriban miaka 70 hadi 100 kujijenga tena. Vilevile,<br />

matumbawe na viumbe <strong>wa</strong>naoishi humo ni kivutio kikub<strong>wa</strong> cha <strong>wa</strong>talii (Ecotourism).<br />

Matumbawe ambayo hayajaharibi<strong>wa</strong><br />

Mlipuko <strong>wa</strong> bomu na matokeo yake Matumbawe yaliyoharibi<strong>wa</strong> na bomu<br />

29


Katika harakati za kupambana na uvuvi haramu, doria zimeendelea kufanyika<br />

<strong>katika</strong> maeneo mbalimbali ya uvuvi na kufaniki<strong>wa</strong> kukamata baadhi ya zana<br />

haramu. Baadhi ya zana zilizokamat<strong>wa</strong> kutokana na doria zilizofanyika nchini<br />

kuanzia Julai, 2005 hadi Septemba, 2009 ni kama inavyoonyesh<strong>wa</strong> <strong>katika</strong><br />

Jed<strong>wa</strong>li Na. 3. Kielelezo Na. 4 hapa chini unaonyesha ongezeko la uvuvi<br />

haramu kutokana na ongezeko la matumizi ya zana haramu.<br />

Idadi ya zana<br />

80000<br />

70000<br />

60000<br />

50000<br />

40000<br />

30000<br />

20000<br />

10000<br />

Mchoro Na. 4: Ongezeko la uvuvi haramu<br />

Chanzo: Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi<br />

5.2 Sababu za kuwepo k<strong>wa</strong> Uvuvi Haramu Nchini<br />

5.2.1 Usimamizi Hafifu <strong>katika</strong> Halmashauri<br />

0<br />

2005/06 2006/07 2007/08 2008/09 2009/10<br />

Mabomu 5 33 25 42 4<br />

Makokoro 2,213 2,329 1,511 8,099 4,568<br />

Nyavu chini ya inchi 20,969 4,937 18,021 69,641 71,468<br />

Nyavu za dagaa 278 1,579 169 236 11,011<br />

Nyavu za timba 888 3,101 2,132 10,324 10,226<br />

K<strong>wa</strong> mujibu <strong>wa</strong> Sheria Na. 7 na Na. 8 ya m<strong>wa</strong>ka 1982 iliyoanzisha Serikali za<br />

Mitaa na Sheria ya Uvuvi ya M<strong>wa</strong>ka 2003 na Kanuni zake, Halmashauri za<br />

Majiji/Miji/Wilaya kote nchini zimepe<strong>wa</strong> mamlaka ya kusimamia masuala ya<br />

kiuta<strong>wa</strong>la na maendeleo pamoja na shughuli za Uvuvi <strong>katika</strong> Halmashauri zao.<br />

Majukumu ya Halmashauri za Miji/Manispaa/Jiji/Wilaya ni pamoja na:<br />

30<br />

M<strong>wa</strong>ka


(i) Kusimamamia Sheria na Kanuni za Uvuvi pamoja na kutunga Sheria<br />

ndogo ndogo;<br />

(ii) Kuandikisha mitumbwi /boti aina zote;<br />

(iii) Kukata leseni za kuvua samaki na leseni za vyombo vya kuvulia samaki<br />

visivyozidi urefu <strong>wa</strong> mita 11;<br />

(iv) Kutoa vibali vya kusafirisha samaki kutoka wilaya moja kwenda<br />

nyingine;<br />

(v) Kukusanya takwimu za uvuvi;<br />

(vi) Kutoa huduma za ugani;<br />

(vii) Kuajiri na kuendeleza rasilimali <strong>wa</strong>tu;<br />

(viii) Kuhamasisha jamii kuunda vikundi vya usimamizi <strong>wa</strong> rasilimali za uvuvi<br />

“Beach Management Units - BMUs”; na<br />

(ix) Kukusanya ushuru kutoka kwenye mialo ya kupokelea samaki na<br />

masoko yanayouza samaki na mazao ya uvuvi.<br />

Hata hivyo, utekelezaji <strong>wa</strong> majukumu hayo hapo juu umeku<strong>wa</strong> hafifu kwenye<br />

baadhi ya Halmashauri hizo k<strong>wa</strong> kutozingatia majukumu yao yaliyoainish<strong>wa</strong><br />

hapo juu pamoja na kutotenga fedha za kutosha kwenye bajeti ya kila m<strong>wa</strong>ka.<br />

Baadhi ya maeneo sugu yanayohusika na uvuvi <strong>wa</strong> mabomu ni kama ifuatavyo:<br />

(i) Mkoa <strong>wa</strong> Mt<strong>wa</strong>ra- Mikindani, Msanga Mkuu, Mt<strong>wa</strong>ra vijijini (Mnazi Bay);<br />

(ii) Mkoa <strong>wa</strong> Lindi- Lindi, Sudi, Mchinga na Kisi<strong>wa</strong> cha Songosongo, (Lindi),<br />

Somanga, Matapatapa, Ukuza/chole (Kil<strong>wa</strong>);<br />

(iii) Mkoa <strong>wa</strong> P<strong>wa</strong>ni- Chang<strong>wa</strong>hela, Mlingotini, Shungimbili (Bagamoyo),<br />

Nyororo (Mafia), Pombwe na Kisi<strong>wa</strong> cha Bwejuu (Rufiji);<br />

(iv) Mkoa <strong>wa</strong> Dar es Salaam – Kimbiji na Buyuni (Temeke), Kisi<strong>wa</strong> cha Sinda,<br />

Kisi<strong>wa</strong> cha Bongoyo, Kisi<strong>wa</strong> cha Mbudya na Kunduchi (Kinondoni);<br />

(v) Mkoa <strong>wa</strong> Tanga- Kichalikani na Buyuni (Tanga), Kigombe (Muheza) na<br />

Sunu (Mkinga).<br />

5.2.2 Matumizi ya Sheria ya Uvuvi<br />

Pamoja na Sheria ya Uvuvi Na. 22 ya m<strong>wa</strong>ka 2003 kuweka vi<strong>wa</strong>ngo vikub<strong>wa</strong><br />

vya adhabu dhidi ya makosa ya uvuvi haramu, mara nyingi Sheria hii haitumiki<br />

na badala yake hutumika Sheria nyingine zinazotoa vi<strong>wa</strong>ngo vidogo vya<br />

adhabu. Pengine hili linatokea kutokana na vyombo vya Sheria pamoja na<br />

<strong>wa</strong>dau wengine kutoele<strong>wa</strong> vyema madhara ya uvuvi haramu.<br />

5.2.3 Uvuvi <strong>wa</strong> Milipuko na Sumu<br />

Matumizi ya milipuko na sumu <strong>katika</strong> uvuvi, husababisha madhara makub<strong>wa</strong><br />

k<strong>wa</strong> binadamu, viumbe <strong>wa</strong> kwenye maji na mazingira yake. Matumizi ya silaha<br />

hizi za maangamizi yameenea <strong>katika</strong> maeneo mengi ya m<strong>wa</strong>mbao <strong>wa</strong> Bahari ya<br />

Hindi, Zi<strong>wa</strong> Victoria, Mto Kilombero, Mto Pangani na kwingineko. Mara nyingi<br />

sheria zinazotumika kuadhibu <strong>wa</strong>halifu <strong>wa</strong> aina hii ni sheria za ka<strong>wa</strong>ida badala<br />

ya Sheria ya Ugaidi (Anti-Terrorism Act) kama ilivyo <strong>katika</strong> nchi za jirani. Bila<br />

31


shaka matumizi ya Sheria ya Ugaidi yangepunguza ama kumaliza kabisa<br />

matumizi ya milipuko na sumu <strong>katika</strong> uvuvi.<br />

5.2.4 Madhara yatokanayo na Uvuvi Haramu<br />

Madhara yatokanayo na uvuvi haramu ni pamoja na:<br />

(i) Kupungua k<strong>wa</strong> bionuai mfano, samaki aina ya sangara <strong>katika</strong> Zi<strong>wa</strong><br />

Victoria na upande <strong>wa</strong> bahari samaki aina ya pweza, kambamiti,<br />

kambakochi na jongoo bahari. Pia, aina nne za makombe (Cypraecassis<br />

rufa, Cassis cornuta, Tridacna spp);<br />

(ii) Bahari ku<strong>wa</strong> jang<strong>wa</strong> kutokana na uharibifu <strong>wa</strong> matumbawe, majani<br />

bahari, maeneo ya mikoko na sakafu ya bahari;<br />

(iii) Kumomonyoka fukwe za bahari na uchafuzi <strong>wa</strong> maji na kuharibu<br />

ikolojia ya kwenye maji; na<br />

(iv) Kupungua k<strong>wa</strong> rasilimali za uvuvi kunaathiri shughuli za kijamii,<br />

kiuchumi na kisiasa.<br />

5.2.5 Udhibiti <strong>wa</strong> Rasilimali za Uvuvi<br />

(i) Udhibiti <strong>katika</strong> maji ya kitaifa, mazi<strong>wa</strong> na mito<br />

Katika kukabiliana na tatizo la uharibifu <strong>wa</strong> rasilimali za uvuvi, Wizara<br />

imeanzisha na kuimarisha vituo 18 vya doria kwenye mazi<strong>wa</strong> makub<strong>wa</strong>,<br />

m<strong>wa</strong>mbao <strong>wa</strong> Bahari ya Hindi na mipaka ya nchi. Vituo hivyo vipo <strong>katika</strong><br />

maeneo ya Tanga, Dar es Salaam, Kigoma, Musoma, Kagera, M<strong>wa</strong>nza Mt<strong>wa</strong>ra,<br />

Mafia, Kil<strong>wa</strong>, Horohoro, Kipili, Kasanga, Sota, Sirari, Kasumulo, Tunduma,<br />

Kabanga na Kanyigo. Hali hii imeongeza uwezo <strong>wa</strong> kukabiliana na uvuvi na<br />

biashara haramu kupitia operesheni mbalimbali. Licha ya jitihada hizo za<br />

Serikali, tatizo la uvuvi haramu na biashara ya magendo kwenye mialo, masoko<br />

na mipaka ya nchi bado ni kub<strong>wa</strong>.<br />

Katika kipindi cha m<strong>wa</strong>ka 2005/2006 hadi 2008/2009, Wizara ilifanya jumla ya<br />

siku-kazi za doria 37927 <strong>katika</strong> ukanda <strong>wa</strong> Zi<strong>wa</strong> Victoria, Tanganyika, B<strong>wa</strong><strong>wa</strong><br />

la Nyumba ya Mungu na Baharini ambapo nyavu haramu 225,881, baruti<br />

172, magari 62, mitumbwi 1445, baiskeli 169, Kamba za kokoro mita<br />

752,230 vilikamat<strong>wa</strong>. Aidha, samaki kilo 4,162,340, dagaa kilo 282,158,<br />

kasa hai 20, nyama ya kasa kilo 85 na majongoo bahari kilo 7,188.50<br />

<strong>wa</strong>likamat<strong>wa</strong>. Watuhumi<strong>wa</strong> 4,256 <strong>wa</strong>likamat<strong>wa</strong> na kesi 836 zilifunguli<strong>wa</strong><br />

mahakamani.<br />

32


Uvuvi <strong>wa</strong> kokoro huharibu mazalia na kuu<strong>wa</strong> samaki <strong>wa</strong>changa<br />

Wavu aina ya kokoro uki<strong>wa</strong> kwenye matumbawe <strong>wa</strong>kati <strong>wa</strong> uvuvi<br />

Matumbawe baada ya kuharibi<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> matumizi ya kokoro<br />

33


Mabomu yaliyotengenez<strong>wa</strong> kienyeji k<strong>wa</strong> ajili ya uvuvi Mitungi ya gesi itumikayo kuzamia kwenye maji<br />

Mvuvi aliye<strong>katika</strong> mikono kutokana na mlipuko <strong>wa</strong> bomu<br />

Baadhi ya Halmashauri nazo ziliendesha doria za aina hii inga<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> ki<strong>wa</strong>ngo<br />

kidogo. Hata hivyo, baadhi ya Halmashauri hazikuweza kutekeleza jukumu hili<br />

kutokana na mgongano <strong>wa</strong> maslahi k<strong>wa</strong> vile zilitarajia kukusanya mapato yao<br />

kutokana na ushuru <strong>wa</strong> mazao ya uvuvi. Katika kuzingatia usimamizi shirikishi<br />

<strong>wa</strong> rasilimali za uvuvi, Wizara k<strong>wa</strong> kushirikiana na Halmashauri imewezesha<br />

uanzishaji <strong>wa</strong> vikundi vya usimamizi shirikishi <strong>wa</strong> rasilimali za uvuvi (BMUs)<br />

vipatavyo 433 <strong>katika</strong> Ukanda <strong>wa</strong> Zi<strong>wa</strong> Victoria, vikundi 81 vimeanzish<strong>wa</strong><br />

Ukanda <strong>wa</strong> P<strong>wa</strong>ni, vikundi 29 vitaimarish<strong>wa</strong> b<strong>wa</strong><strong>wa</strong> la Mtera, Mto Ruhuhu 11,<br />

na b<strong>wa</strong><strong>wa</strong> la Nyumba ya Mungu linategemea kuanzisha vikundi 20. Hata hivyo,<br />

vikundi hivyo vinahitaji kuimarish<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> kupe<strong>wa</strong> vitendea kazi na<br />

kutembele<strong>wa</strong> mara k<strong>wa</strong> mara na kujenge<strong>wa</strong> uwezo. Juhudi za uanzish<strong>wa</strong>ji <strong>wa</strong><br />

vikundi hivyo zinaendelea kwenye maeneo mengine ya uvuvi k<strong>wa</strong> a<strong>wa</strong>mu.<br />

34


(ii) Udhibiti <strong>katika</strong> Ukanda <strong>wa</strong> Uchumi <strong>wa</strong> Bahari (EEZ)<br />

Katika kuendesha doria kwenye EEZ, Wizara inaendesha doria k<strong>wa</strong> kukodi<br />

ndege za kiraia na meli. Doria za ndege zinasaidia kutambua meli za uvuvi<br />

haramu k<strong>wa</strong> haraka lakini uwezekano <strong>wa</strong> kukamata meli haramu ni mdogo<br />

kutokana na ukub<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> eneo na pia ndege hizo za doria haziruhusiwi kubeba<br />

silaha. Vilevile, meli za uvuvi haramu mara nyingi huficha alama za utambuzi<br />

(vessel identification marks). Katika hali, udhibiti utafaniki<strong>wa</strong> kukiwepo na<br />

uwezo <strong>wa</strong> kudhibiti k<strong>wa</strong> kutumia ndege na meli kub<strong>wa</strong> za doria.<br />

M.V.MAFUNZO<br />

M.V. Mafunzo ni meli pekee ya idara ya Uvuvi, Ina nguvu za farasi 380,<br />

Mwendo kasi <strong>wa</strong> maili za majini 12. na urefu <strong>wa</strong> mita 17<br />

MV. Doria Uvuvi I ina nguvu farasi 260 na mwendo kasi <strong>wa</strong> maili za<br />

majini 30 na urefu <strong>wa</strong> mita 12<br />

Jumla ya doria 10 za anga zimefanyika kwenye Ukanda <strong>wa</strong> Uchumi <strong>wa</strong> Bahari<br />

k<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka 2009. Pia, <strong>katika</strong> moja ya doria hizo, meli ya kigeni iliyoku<strong>wa</strong> na<br />

tani 296.3 za aina mbalimbali za samaki ilikamat<strong>wa</strong>.<br />

35


Meli iliyokamat<strong>wa</strong> Ta<strong>wa</strong>riq 1 ina nguvu farasi 3800 na mwendo kasi Maili<br />

za majini 22-25 urefu <strong>wa</strong> mita 75<br />

Katika juhudi za kukabiliana na tatizo la uvuvi haramu eneo la Bahari Kuu na<br />

pia kufaidi uchumi <strong>wa</strong> eneo hilo, Serikali ya Jamhuri ya Muungano <strong>wa</strong><br />

Tanzania k<strong>wa</strong> kushirikiana na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, imeanzisha<br />

Mamlaka ya Uvuvi kwenye Bahari Kuu chini ya Sheria inayojulikana kama “The<br />

Deep Sea Fishing Authority Act (1998) ambayo imefanyi<strong>wa</strong> marekebisho<br />

m<strong>wa</strong>ka 2007; na Kanuni za Mamlaka ya Kusimamia Uvuvi Kwenye Bahari Kuu<br />

ya m<strong>wa</strong>ka 2009 (Deep Sea Fishing Authority Regulations, 2009).<br />

36


Sara Bartman iliyoendesha doria ya pamoja na kuikamata ta<strong>wa</strong>riq1 ina<br />

nguvu farasi 4000 (Hp) na mwendo kasi Maili za majini 25-30 na urefu <strong>wa</strong><br />

mita 80.<br />

Kutokana na gharama za doria na mtandao <strong>wa</strong> <strong>wa</strong>vuvi haramu ulivyo ni<br />

vigumu udhibiti kufany<strong>wa</strong> na nchi moja hivyo, Serikali k<strong>wa</strong> kulitambua hilo,<br />

imeku<strong>wa</strong> ikishirikiana na nchi nyingine za Ushirikiano <strong>wa</strong> Maendeleo Kusini<br />

m<strong>wa</strong> Afrika (Southern Africa Development Cooperation- SADC) ambapo<br />

huchangia gharama.<br />

iii) Uvuvi <strong>katika</strong> Eneo la Uchumi la Bahari (EEZ)<br />

Aina za samaki muhimu <strong>wa</strong>nao patikana <strong>katika</strong> eneo hili ni pamoja na Jodari<br />

aina mbali mbali takriban tani 18,000 ambao ni yellow fin, big eye na blue fin,<br />

skipjack, albacore, mahimahi. Samaki wengine ni pamoja na Nduaro (Sword<br />

fish), Blue marlins, Sail fish na Papa (Sharks), Fuatundu (red snapers), Nguru<br />

(King fishes), Kambamiti <strong>wa</strong> maji ya kina kirefu (loungistine) na Kambakochi<br />

<strong>wa</strong> kwenye miteremko ya m<strong>wa</strong>mba <strong>wa</strong> bahari kuelekea kina kirefu (slope to<br />

Deep sea rocklobsters).<br />

Kutokana na mawimbi makub<strong>wa</strong> ya bahari eneo hili samaki ha<strong>wa</strong> huweza<br />

kuvuli<strong>wa</strong> tu k<strong>wa</strong> meli kub<strong>wa</strong> zenye injini ya nguvu za farasi (horse power)<br />

kuanzia 1,000 na kuendelea. Aina ya Uvuvi unaofaa <strong>katika</strong> eneo hili ni uvuvi<br />

<strong>wa</strong> kulambaza (long lining) au uvuvi <strong>wa</strong> <strong>wa</strong>vu <strong>wa</strong> kuzungusha (purse seining).<br />

Uvuvi <strong>wa</strong> kulambaza ni bora zaidi k<strong>wa</strong> sababu hauathiri mazingira na bionuai<br />

37


k<strong>wa</strong>ni huchagua aina na ukub<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> samaki <strong>wa</strong> kushika. Uvuvi <strong>wa</strong> nyavu ya<br />

kuzungusha unashika samaki wengi k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>kati mmoja na husababisha<br />

kukamat<strong>wa</strong> samaki ambao si <strong>wa</strong>leng<strong>wa</strong> ( by catch). Aidha, uvuvi <strong>wa</strong> kukokora<br />

(trawling) umezuili<strong>wa</strong> kutokana na uharibifu <strong>wa</strong> mazingira. Aina nyingine ya<br />

uvuvi usio haribu mazingira ni kuweka vifaa vinavyovuta samaki (fish<br />

aggrigating devices). Meli kub<strong>wa</strong> zinazovua eneo hili ni ghali k<strong>wa</strong> Watanzania,<br />

lakini bado Watanzania <strong>wa</strong>naweza kufaidika na rasilimali hizi k<strong>wa</strong> kuvua umbali<br />

<strong>wa</strong> kati ya nautical miles 10 hadi 50 toka ufukweni k<strong>wa</strong> kutumia vyombo vya<br />

ingini zenye nguvufarasi (horse power) 500 hadi 800.<br />

Hata sasa, nchi yetu haijafaidika na rasilimali za ukanda huu kutokana na<br />

uwezo mdogo <strong>wa</strong> kudhibiti, lakini kub<strong>wa</strong> zaidi ni kutoku<strong>wa</strong> na miundombinu ya<br />

kuhudumia meli za eneo la Uchumi la Bahari yetu.<br />

6.0 Upatikanaji na Usambazaji <strong>wa</strong> Zana za Uvuvi nchini<br />

K<strong>wa</strong> mujibu <strong>wa</strong> Sera ya Taifa ya Uvuvi (1997) na Sera nyingne za nchi,<br />

zimebainisha ku<strong>wa</strong> suala la upatikanaji na usambazaji <strong>wa</strong> zana za uvuvi<br />

hufany<strong>wa</strong> na Sekta binafsi. Zana muhimu ambazo zinahitajika <strong>katika</strong> <strong>sekta</strong> ya<br />

uvuvi ni mitego ya aina mbalimbali, maboti na injini. Wasambazaji mashuhuri<br />

<strong>wa</strong> nyavu na vifaa vyake ni pamoja na Sa<strong>wa</strong>n Tanzania, Sangara Fish nets,<br />

Walji Traders, Nyota Ventures, China Equipment, Kariakoo Fish nets na<br />

Texttrade.<br />

Hapa nchini, uvuvi hufany<strong>wa</strong> na <strong>wa</strong>vuvi <strong>wa</strong>dogo <strong>wa</strong>dogo ambao hutumia boti<br />

za uwezo mdogo hivyo haziwezi kwenda kufanya uvuvi baharini zaidi ya<br />

kilomita za majini 12. Uundaji <strong>wa</strong> boti za uvuvi hufany<strong>wa</strong> na <strong>wa</strong>tu binafsi<br />

pamoja na vi<strong>wa</strong>nda vitatu vilivyo chini ya Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na<br />

Uvuvi kama inavyoonyesh<strong>wa</strong> hapa chini:<br />

Vi<strong>wa</strong>nda vya kutengeneza maboti chini ya Sekta binafsi<br />

(i) Pasiansi Boatyard – ki<strong>wa</strong>nda hiki humiliki<strong>wa</strong> na mtu binafsi na<br />

hutengeneza boti za mbao na chuma na hivi karibuni <strong>wa</strong>meonyesha<br />

kutaka kujenga boti aina ya “Fibre glass”;<br />

(ii) Yatch Club (Dar es Salaam) - Ki<strong>wa</strong>nda hiki hutengeneza boti za aina ya<br />

“Fibre glass;<br />

(iii) Sam and Anzai Co. Ltd (Dar es Salaam - Kunduchi);<br />

(iv) Seahorse Co. Ltd (Dar es Salaam-Kimbiji) – hutengeneza boti aina ya<br />

“fibre glass”.<br />

Vi<strong>wa</strong>nda vya maboti vya M<strong>wa</strong>nza, Kigoma na Mikindani ambavyo vinamiliki<strong>wa</strong><br />

na Wizara vinataraji<strong>wa</strong> kufufuli<strong>wa</strong> baada ya kusimama k<strong>wa</strong> muda mrefu chini<br />

ya usimamizi <strong>wa</strong> vyuo vya uvuvi ambapo pia vitatoa mafunzo k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>vuvi<br />

<strong>wa</strong>dogo.<br />

Takwimu za Uvuvi za m<strong>wa</strong>ka 2008 zinaonyesha ku<strong>wa</strong> <strong>katika</strong> maji baridi kuna<br />

jumla ya vyombo vya uvuvi vilivyoandikish<strong>wa</strong> 44,832 ambapo bahari ni<br />

38


7,342. Kuhusu upatikanaji na usambazaji <strong>wa</strong> nyavu, vipo vi<strong>wa</strong>nda viwili binafsi<br />

vya nyavu hapa nchini ambavyo ni ki<strong>wa</strong>nda cha FANAKA kilichopo Jijini M<strong>wa</strong>nza<br />

na IMARA kilichopo jijini Dar es Salaam. Vi<strong>wa</strong>nda hivi hutengeneza nyavu za<br />

kuvulia samaki aina ya nyavu za dagaa, makila na jarife zenye ukub<strong>wa</strong> <strong>wa</strong><br />

macho mbalimbali kulingana na samaki <strong>wa</strong>naoleng<strong>wa</strong> kuvuli<strong>wa</strong>. Aidha, kuna<br />

maduka kadhaa yenye leseni za kuuza pembejeo za uvuvi. K<strong>wa</strong> ujumla,<br />

pembejeo za uvuvi zinapatikana bila matatizo.<br />

Kulingana na East African Publication (2007) on Common External Tariff,<br />

malighafi za uvuvi kutoka nje hupe<strong>wa</strong> punguzo la kodi la asilimia tano (5) k<strong>wa</strong><br />

injini za uvuvi <strong>wa</strong>kati malighafi za kutengeneza zana mbalimbali za uvuvi na<br />

viambata vyake huti<strong>wa</strong> kodi kabisa au hupe<strong>wa</strong> asilimia zero ya kodi.<br />

Katika kipindi cha m<strong>wa</strong>ka 2008, takwimu zinaonyesha ku<strong>wa</strong> kulikuwepo na<br />

nyavu za aina mbalimbali zilizotumika <strong>katika</strong> uvuvi kama ifuatavyo:<br />

(i) Maji baridi: Nyavu za makila (1,254,651), nyavu za dagaa (5,572),<br />

Kilimila (lift nets) 2,034, Scoop net (1,076), Mishipi (63,811) na<br />

ndoano za kulambaza (long lining) 4,294,521, Purse seine (1,120) na<br />

mitego (traps) 1,399. Aidha, kulikuwepo na injini za boti za kupachika<br />

zipatazo 7,448; na<br />

(ii) Maji chumvi: Nyavu za makila (31,210), Kimia (lift nets) 150, Scoop<br />

net (306), Mishipi (13,990) na ndoano za kulambaza (long lining)<br />

2,269, Purse seine (363) na mitego (4,185). Aidha, kulikuwepo na<br />

injini za kupachika zipatazo 672 na injini za ndani (in board engines)<br />

71.<br />

7.0 Hali ya Bajeti ya Sekta ya Uvuvi<br />

7.1 Mapato kutokana na ukusanyaji <strong>wa</strong> maduhuli<br />

Sekta ya Uvuvi chini ya Wizara inao mfumo <strong>wa</strong> Retention Scheme ambao<br />

ulianzish<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> ajili ya kuimarisha ukusanyaji <strong>wa</strong> mapato ya Serikali. Kutokana<br />

na mfumo huo, <strong>katika</strong> kipindi cha m<strong>wa</strong>ka 2005/2006 hadi 2008/2009, Sekta ya<br />

Uvuvi iliingizia Serikali jumla ya mapato ya shilingi bilioni 38 pamoja na<br />

kutokana na ushuru <strong>wa</strong> kuuza mazao ya uvuvi nje ya nchi na ada za leseni<br />

mbalimbali za uvuvi.<br />

7.2 Bajeti ya Sekta ki-wizara<br />

Katika kipindi cha 2005/2006 hadi 2008/2009 Sekta ya Uvuvi ilitenge<strong>wa</strong> jumla<br />

ya shilingi bilioni 19.5 k<strong>wa</strong> ajili ya matumizi ya ka<strong>wa</strong>ida na shilingi bilioni 7<br />

k<strong>wa</strong> ajili ya maendeleo. Hata hivyo, fedha zinazoteng<strong>wa</strong> na Serikali kwenye<br />

bajeti ya kila m<strong>wa</strong>ka hazitoshelezi mahitaji halisi ya Sekta. K<strong>wa</strong> mfano, m<strong>wa</strong>ka<br />

2009/2010 mahitaji ya Sekta yaliku<strong>wa</strong> jumla ya shilingi bilioni 82<br />

39


(Kiambatisho Na. 6) lakini kiasi kilichoidhinish<strong>wa</strong> na Serikali ni shilingi bilioni<br />

19.1 sa<strong>wa</strong> na asilimia 23 ya mahitaji halisi.<br />

Kutokana na bajeti ndogo inayoidhinish<strong>wa</strong>, Wizara imeshind<strong>wa</strong> kutekeleza<br />

majukumu yake ipasavyo. Ili Sekta ya Uvuvi iweze kuchangia kikamilifu <strong>katika</strong><br />

uchumi <strong>wa</strong> taifa, kuna umuhimu <strong>wa</strong> kuwekeza takriban shilingi bilioni 82<br />

(Kiambatisho Na. 6) ambazo zitatumika <strong>katika</strong> maeneo yafuatayo:<br />

(i) Kuimarisha miundombinu ya kupokelea, kuhifadhi na kusafirisha samaki<br />

na mazao ya uvuvi;<br />

(ii) Kudhibiti uvuvi na biashara haramu na kuhifadhi mazingira;<br />

(iii) Kuimarisha shughuli za utoaji huduma za ufugaji samaki na ukuzaji<br />

viumbe kwenye maji; na<br />

(iv) Kuimarisha usimamizi <strong>wa</strong> Sekta ya Uvuvi na ukusanyaji <strong>wa</strong> takwimu.<br />

Licha ya ufinyu <strong>wa</strong> bajeti, Serikali k<strong>wa</strong> kushirikiana na <strong>wa</strong>fadhili imeendelea<br />

kuboresha maisha ya jamii ya <strong>wa</strong>vuvi, rasilimali za uvuvi na mazingira kupitia<br />

miradi ifuatavyo:<br />

7.3 Mradi <strong>wa</strong> Usimamizi <strong>wa</strong> Mazingira ya Bahari na P<strong>wa</strong>ni (Marine<br />

and Coastal Environment Management Project - MACEMP)<br />

Mradi ulianza kutekelez<strong>wa</strong> kwenye m<strong>wa</strong>mbao <strong>wa</strong> Bahari ya Hindi kuanzia<br />

mwezi Desemba 2005 hadi sasa na unasaidia juhudi za Serikali za kuhifadhi<br />

rasilimali za uvuvi pamoja na kugharimia miradi ya <strong>wa</strong>nanchi ya kupunguza<br />

umasikini na lishe hafifu <strong>katika</strong> Halmashauri 16. Mradi umewezesha<br />

Halmashauri kutekeleza majukumu yanayohusiana na uhifadhi na uendelezaji<br />

<strong>wa</strong> rasilimali za uvuvi k<strong>wa</strong> kutoa jumla ya shilingi 2,664,353,925, ununuzi <strong>wa</strong><br />

magari matatu yenye thamani ya shilingi 177,806,700 na vifaa vya ofisi<br />

vyenye thamani ya shilingi 196,077,914. Pia, jumla ya shilingi<br />

5,419,570,759 ziligharimia miradi 385 ya jamii ambapo jumla ya <strong>wa</strong>nanchi<br />

6,580 (<strong>wa</strong>naume 4,084 na <strong>wa</strong>na<strong>wa</strong>ke 2,496) <strong>wa</strong>menufaika (Kiambatisho<br />

Na. 7a-c). Aidha, mradi umetenga jumla ya shilingi 634,623,375 k<strong>wa</strong> ajili ya<br />

kugharimia miradi 46 ya <strong>wa</strong>nanchi <strong>katika</strong> Halmashauri husika.<br />

7.4 Utekelezaji <strong>wa</strong> Mpango <strong>wa</strong> Kusimamia Uvuvi <strong>katika</strong> Zi<strong>wa</strong> Victoria<br />

(Implementation of Fisheries Management Plan - IFMP)<br />

unaosimami<strong>wa</strong> na Lake Victoria Fisheries Organisation - LVFO)<br />

Mradi huu unaosimami<strong>wa</strong> na Lake Victoria Fisheries Organisation –LVFO) yenye<br />

makao makuu Jinja, Uganda na kutekelez<strong>wa</strong> <strong>katika</strong> nchi za Kenya, Tanzania na<br />

Uganda ulianza kutekelez<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka 2005 na utamalizika m<strong>wa</strong>ka 2010. Mradi<br />

huu unatekelez<strong>wa</strong> <strong>katika</strong> Halmashauri 15 kwenye mikoa ya M<strong>wa</strong>nza, Mara na<br />

Kagera. Mradi umegharimia kazi za doria k<strong>wa</strong> kutoa jumla ya shilingi<br />

397,963,984.40, ujenzi <strong>wa</strong> mialo sita (B<strong>wa</strong>i, Kigangama, Sota, Kahunda,<br />

Kikumbaitare na Marehe) k<strong>wa</strong> shilingi 1,814,262.91, kuimarisha BMUs 433<br />

k<strong>wa</strong> shilingi 1,228,292,098.29 na vitendea kazi (magari, boti injini na vifaa<br />

vya ofisi) k<strong>wa</strong> shilingi 846,783,333.<br />

40


8.0 KUIMARISHA UTAFITI, MAFUNZO NA UGANI<br />

Baadhi ya changamoto zinazoikabili Sekta ya Uvuvi ni kuhakikisha k<strong>wa</strong>mba<br />

kunakuwepo nguvu kazi sahihi na ya kutosha yenye utaalamu muafaka <strong>katika</strong><br />

nyanja zote za Sekta. Pia, kuanzisha, kuwezesha na kuratibu mipango ya kitaifa<br />

ya utafiti inayolenga <strong>katika</strong> kutatua matatizo ya <strong>wa</strong>dau. Vilevile, kutoa elimu<br />

na ushauri k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>vuvi na <strong>wa</strong>kuzaji <strong>wa</strong> viumbe kwenye maji kuhusu matumizi<br />

bora ya rasilimali za uvuvi, ukuzaji bora wenye tija, utunzaji <strong>wa</strong> mazingira,<br />

athari za uvuvi haramu na mbinu shirikishi za usimamizi <strong>wa</strong> rasilimali.<br />

8.1 Utafiti <strong>wa</strong> Uvuvi<br />

Taasisi ya Utafiti <strong>wa</strong> Uvuvi Tanzania (TAFIRI) ilianzish<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> sheria ya Bunge<br />

Na.6 ya m<strong>wa</strong>ka 1980, k<strong>wa</strong> madhumuni ya utafiti <strong>wa</strong> rasilimali zilizoko kwenye<br />

maji na kutoa ushauri k<strong>wa</strong> lengo la kuleta maendeleo ya uvuvi nchini. Taasisi<br />

hii ina vituo vinne vya Dar es Salaam, Kigoma, Kyela na M<strong>wa</strong>nza na makao<br />

makuu yake yapo Kunduchi - Dar es Salaam. K<strong>wa</strong> sasa Taasisi ina jumla ya<br />

<strong>wa</strong>fanyakazi 229, kati ya hao 61 ni <strong>wa</strong>tafiti, 5 ni Mafundi Mchundo na<br />

<strong>wa</strong>fanyakazi wengine 164.<br />

Baadhi ya Mafanikio ya Utafiti<br />

(i) Utafiti <strong>katika</strong> Zi<strong>wa</strong> Nyasa<br />

Taasisi imefanya utafiti <strong>katika</strong> Zi<strong>wa</strong> Nyasa na kubaini ku<strong>wa</strong> samaki <strong>wa</strong> Zi<strong>wa</strong><br />

Nyasa <strong>wa</strong>naoishi maji ya kina kirefu <strong>wa</strong>na tabia ya kuja juu kula dagaa <strong>wa</strong>kati<br />

<strong>wa</strong> asubuhi. Watafiti <strong>wa</strong>meshauri kutega ndoana za kulambaza asubuhi kabla<br />

jua kuchomoza k<strong>wa</strong> kutumia chambo hai hasa dagaa. Ushauri huu<br />

umezingati<strong>wa</strong> na baadhi ya <strong>wa</strong>vuvi wetu na mapato yao ni mazuri.<br />

Taasisi vilevile k<strong>wa</strong> ushirikiano na <strong>wa</strong>tafiti wengine kutoka nchi za Malawi,<br />

Msumbiji, Uingereza, Canada, Ufaransa na Afrika Kusini <strong>wa</strong>mefanya utafiti<br />

mbalimbali kwenye Zi<strong>wa</strong> Nyasa hasa chini ya SADC.<br />

(ii) Utafiti <strong>katika</strong> Zi<strong>wa</strong> Tanganyika<br />

Katika zi<strong>wa</strong> Tanganyika utafiti umebaini wingi <strong>wa</strong> samaki na kiasi kinachoweza<br />

kuvuli<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka, uhusiano kati ya mabadiliko ya hali ya he<strong>wa</strong> <strong>katika</strong> Zi<strong>wa</strong><br />

Tanganyika na uzalishaji <strong>wa</strong> samaki (fish production) na ukaushaji bora <strong>wa</strong><br />

dagaa (Stolothrissa tanganicae) k<strong>wa</strong> kutumia chanja.<br />

(iii) Utafiti <strong>katika</strong> Zi<strong>wa</strong> Victoria<br />

Katika Zi<strong>wa</strong> hili, utafiti umebaini wingi <strong>wa</strong> samaki na vyanzo vya uharibifu <strong>wa</strong><br />

mazingira na magugu maji (<strong>wa</strong>ter hyacinth) uliowezesha kutayarisha mradi <strong>wa</strong><br />

kuhifadhi Zi<strong>wa</strong> Victoria pamoja na uvuvi endelevu <strong>katika</strong> zi<strong>wa</strong> hilo, maeneo ya<br />

mazalia ya samaki k<strong>wa</strong> upande <strong>wa</strong> Tanzania kushauri <strong>wa</strong>vuvi <strong>wa</strong>siruhusiwe<br />

41


kuyatumia k<strong>wa</strong> shughuli za uvuvi na ki<strong>wa</strong>ngo cha sangara kinachoweza<br />

kuvuli<strong>wa</strong> (Maximum Sustainable Yield – MSY) ambacho ni kati ya tani 200,000<br />

hadi tani 290,000 k<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka.<br />

Tathmini ya wingi <strong>wa</strong> Sangara, Dagaa, furu na wengine kwenye Zi<strong>wa</strong> Victoria<br />

k<strong>wa</strong> kutumia chombo chenye m<strong>wa</strong>ngwi (hydro-acoustic surveys) k<strong>wa</strong> miaka 3<br />

(2005, 2006, 2007) ni kama ilivyoonyesh<strong>wa</strong> kwenye Jed<strong>wa</strong>li Na. 4 hapa<br />

chini:-<br />

Jed<strong>wa</strong>li Na. 4: Wingi <strong>wa</strong> samaki Zi<strong>wa</strong> Victoria<br />

Aina ya Samaki Agosti Agosti Agosti<br />

2005<br />

2006<br />

42<br />

2007<br />

Agosti<br />

2008<br />

Agosti<br />

2009<br />

Sangara 544,000 600,000 314,000 227,365 307,539<br />

Dagaa 495,000 890,000 860,000 742289 786,653<br />

Furu na wengine 439,000 431,000 460,000 518,359 489,220<br />

Jumla 1,478,000 1,921,000 1,634,000 1,488,013 1,583,412<br />

Chanzo: Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi<br />

(iv) Utafiti Katika Zi<strong>wa</strong> Ruk<strong>wa</strong><br />

Katika Zi<strong>wa</strong> Ruk<strong>wa</strong> utafiti ulibaini kuna uharibifu mkub<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> mazingira iki<strong>wa</strong> ni<br />

pamoja na kujaa k<strong>wa</strong> udongo ambao umesababisha kupungua k<strong>wa</strong> kina cha<br />

maji na hivyo kuathiri samaki asilia aina ya Oreochromis ruk<strong>wa</strong>ensis.<br />

(v) Utafiti <strong>katika</strong> Zi<strong>wa</strong> Jipe<br />

Katika Zi<strong>wa</strong> hili utafiti ulibaini kupungua k<strong>wa</strong> maji na kuongezeka k<strong>wa</strong> magugu<br />

kumesababisha upungufu <strong>wa</strong> samaki aina ya perege.<br />

(vi) Utafiti <strong>katika</strong> b<strong>wa</strong><strong>wa</strong> la Nyumba ya Mungu<br />

Utafiti uliofanyika <strong>katika</strong> maeneo ya mazalio ya samaki ulibaini ku<strong>wa</strong> baadhi ya<br />

samaki <strong>wa</strong>kiwemo jamii ya sato (Oreochromis esculenta) umri <strong>wa</strong> kupevuka na<br />

uzito hutegemeana na mabadiliko ya hali ya he<strong>wa</strong> na lishe. Kukomaa mapema<br />

k<strong>wa</strong> samaki hao ni ishara ya kuwepo k<strong>wa</strong> mazingira magumu ndani ya maji.<br />

(vii) Utafiti <strong>katika</strong> Bahari ya Hindi<br />

Utafiti <strong>katika</strong> Bahari ya Hindi ulibaini kupungua k<strong>wa</strong> kambamiti <strong>katika</strong><br />

m<strong>wa</strong>mbao na kutoa mapendekezo ya kusimamisha uvuvi <strong>wa</strong> kambamiti.<br />

Serikali imetekeleza pendekezo hilo kuanzia mwezi Machi, 2008 na utafiti<br />

uliofanyika m<strong>wa</strong>ka 2009 umeonyesha k<strong>wa</strong>mba kambamiti ha<strong>wa</strong>jaongezeka<br />

kiasi cha kutosha kuruhusu uvuvi mkub<strong>wa</strong>.<br />

Kupitia shughuli za utafiti, samaki aina ya “Silikanti” ambaye alisadiki<strong>wa</strong><br />

kutoweka duniani miaka 65 milioni iliyopita aligunduli<strong>wa</strong> <strong>katika</strong> maeneo


mbalimbali <strong>katika</strong> p<strong>wa</strong>ni ya Tanzania. Hata hivyo, kutokana na samaki hao<br />

kuonekana k<strong>wa</strong> wingi <strong>katika</strong> eneo la Kigombe, Muheza, Serikali imelitangaza<br />

eneo hili ku<strong>wa</strong> hifadhi ya bahari (marine park).<br />

Samaki aina ya silikanti<br />

8.2 Mafunzo ya Uvuvi na Elimu k<strong>wa</strong> Wavuvi<br />

8.2.1 Vyuo vya Mafunzo ya Uvuvi<br />

Wizara ina jukumu la kuendeleza Sekta ya Uvuvi k<strong>wa</strong> kutoa na kusimamia<br />

mafunzo <strong>katika</strong> vyuo vya Mbegani (Mkoa <strong>wa</strong> P<strong>wa</strong>ni) na Nyegezi (Mkoa <strong>wa</strong><br />

M<strong>wa</strong>nza). Mafunzo yanayotole<strong>wa</strong> ni ngazi ya Astashahada ni uhifadhi, masoko<br />

na udhibiti <strong>wa</strong> ubora <strong>wa</strong> samaki, ufundi stadi, ufundi mchundo, ufugaji <strong>wa</strong><br />

viumbe kwenye maji, uchakataji mazao ya uvuvi na sayansi na teknolojia ya<br />

uvuvi. Mafunzo ngazi ya Stashahada ni pamoja na uvuvi na ubaharia, ufundi na<br />

mitambo ya baharini, uhifadhi, masoko na udhibiti <strong>wa</strong> ubora <strong>wa</strong> samaki. K<strong>wa</strong><br />

sasa vyuo hivyo vina jumla ya <strong>wa</strong>nafunzi 294 (Mbegani 210 na Nyegezi 84)<br />

na <strong>wa</strong>kufunzi 54.<br />

8.3 Elimu na Ugani k<strong>wa</strong> Wavuvi<br />

Wizara, imeendelea kutoa elimu mbalimbali k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>dau ikiwemo athari za uvuvi<br />

haramu, matumizi bora ya rasilimali za uvuvi, utunzaji <strong>wa</strong> mazingira na mbinu<br />

shirikishi za usimamizi <strong>wa</strong> rasilimali za uvuvi. Katika m<strong>wa</strong>ka 2008/2009 jumla<br />

ya vipindi 50 vya radio na 20 vya televisheni vimeandali<strong>wa</strong> na kurush<strong>wa</strong><br />

he<strong>wa</strong>ni. Aidha, nakala 1,000 za mabango, vijarida 6,000 na vipeperushi<br />

3,000 kuhusu mbinu bora za hifadhi ya mazao ya uvuvi zimechapish<strong>wa</strong> na<br />

kusambaz<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>dau <strong>wa</strong> uvuvi. Pia, elimu dhidi ya uvuvi haramu na athari<br />

zake ilitole<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>vuvi 444 kutoka Halmashauri za Wilaya za Mafia, Rufiji,<br />

Mkinga na Muheza na Jiji la Tanga.<br />

Katika kuendeleza rasilimali za uvuvi, jumla ya Vikundi vya Usimamizi <strong>wa</strong><br />

Rasilimali za Uvuvi (BMUs) 175 viko <strong>katika</strong> hatua za mwisho za uund<strong>wa</strong>ji.<br />

Aidha, mafunzo ya usimamizi shirikishi <strong>wa</strong> rasilimali za uvuvi yametole<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong><br />

<strong>wa</strong>talaam <strong>wa</strong> ugani 68 kutoka Halmashauri za Wilaya za Mkinga, Muheza,<br />

Pangani, Bagamoyo, Mafia, Mkuranga, Rufiji, Kil<strong>wa</strong>, Lindi Vijijini, Mt<strong>wa</strong>ra Vijijini<br />

43


na Mji <strong>wa</strong> Lindi, Manispaa ya Mt<strong>wa</strong>ra/ Mikindani na Jiji la Tanga. Pia, viongozi<br />

2,655 <strong>wa</strong> Halmashauri za Vijiji na Jamii ya <strong>wa</strong>vuvi kwenye Halmashauri za<br />

wilaya hizo <strong>wa</strong>lihamasish<strong>wa</strong> kusimamia uanzish<strong>wa</strong>ji <strong>wa</strong> BMUs kwenye maeneo<br />

yao. Vilevile, mafunzo kuhusu uvuvi <strong>wa</strong> ndoano za kulambaza kwenye maji ya<br />

kina kirefu ya Zi<strong>wa</strong> Nyasa yalitole<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> vikundi vya <strong>wa</strong>vuvi 32 kutoka vijiji 5<br />

<strong>katika</strong> wilaya za Mbinga na Lude<strong>wa</strong>.<br />

Wananchi <strong>wa</strong> kijiji cha Msanga Mkuu, Mt<strong>wa</strong>ra <strong>wa</strong>kipati<strong>wa</strong> mafunzo ya kuanzisha BMU.<br />

Vilevile, Wizara imeendelea kusimamia na kuelimisha <strong>wa</strong>nanchi kuhusu uhifadhi<br />

<strong>wa</strong> rasilimali <strong>katika</strong> maeneo tengefu. Katika m<strong>wa</strong>ka 2008/2009, <strong>wa</strong>vuvi 80,<br />

<strong>wa</strong>limu 70 na <strong>wa</strong>nafunzi 120 <strong>wa</strong> shule za msingi zinazozunguka maeneo<br />

tengefu mapya ya visi<strong>wa</strong> vya Kend<strong>wa</strong>, Sinda, Makatube, Nyororo, Shungimbili<br />

na Mbarakuni <strong>wa</strong>lipe<strong>wa</strong> mafunzo hayo. Aidha, Wizara imeendelea kutoa<br />

mafunzo k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>vuvi, <strong>wa</strong>miliki na <strong>wa</strong>fanyakazi <strong>wa</strong> vi<strong>wa</strong>nda vya kuchakata<br />

mazao ya uvuvi 124 <strong>katika</strong> ukanda <strong>wa</strong> Zi<strong>wa</strong> Victoria na <strong>wa</strong>vuvi na<br />

<strong>wa</strong>fanyabiashara 430 <strong>katika</strong> wilaya za Rufiji, Kil<strong>wa</strong> na Mafia juu ya usafirishaji,<br />

uchakataji na uhifadhi bora <strong>wa</strong> mazao ya uvuvi. Katika m<strong>wa</strong>ka 2009/2010,<br />

Wizara itaandaa na kurusha vipindi 6 vya uvuvi <strong>katika</strong> runinga na kufanya<br />

maonyesho ya ufugaji bora <strong>wa</strong> samaki.<br />

Hata hivyo, Serikali za Mitaa zinakabili<strong>wa</strong> na upungufu <strong>wa</strong> <strong>wa</strong>taalam <strong>wa</strong> ugani<br />

<strong>katika</strong> fani za uvuvi. K<strong>wa</strong> sasa <strong>wa</strong>po jumla ya <strong>wa</strong>taalam 161 (Kiambatisho<br />

Na. 8) ikilinganish<strong>wa</strong> na mahitaji halisi ya <strong>wa</strong>taalam 16,000 na hivyo kufanya<br />

upungufu <strong>wa</strong> <strong>wa</strong>taalam ku<strong>wa</strong> 15,839.<br />

44


9.0 CHANGAMOTO<br />

Pamoja na Mafanikio ya Sekta ya Uvuvi yaliyoorodhesh<strong>wa</strong> <strong>katika</strong> Mada hii bado<br />

<strong>sekta</strong> inakabili<strong>wa</strong> na Changamoto zifuatazo:<br />

(i) Kuongeza kasi ya utekelezaji <strong>wa</strong> Sheria ya Uvuvi na Kanuni zake,<br />

hususan <strong>katika</strong> Halmashauri na <strong>wa</strong>dau wengine <strong>wa</strong>naonufaika na<br />

rasilimali za uvuvi;<br />

(ii) Kuandaa na ku<strong>wa</strong>silisha takwimu sahihi na k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>kati k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>tumiaji<br />

mbalimbali kutoka Halmashauri;<br />

(iii) Ku<strong>wa</strong> na bandari za uvuvi yenye miundombinu k<strong>wa</strong> ajili ya kutega<br />

uchumi <strong>wa</strong> Bahari Kuu;<br />

(iv) Vyombo vya sheria kutumia sheria zinazoainisha adhabu kali za kuhusu<br />

makosa yanayotokana na uvuvi haramu na uharibifu <strong>wa</strong> mazingira;<br />

(v) Kudhibiti uharibifu <strong>wa</strong> mazingira ya maeneo ya uvuvi, hususan<br />

kupambana na uvuvi haramu;<br />

(vi) Kuongeza uwekezaji <strong>katika</strong> <strong>sekta</strong> ya uvuvi ili kuwezesha kukua k<strong>wa</strong><br />

<strong>sekta</strong> na kuongeza mchango <strong>katika</strong> pato la Taifa;<br />

(vii) Ku<strong>wa</strong> na taasisi za mikopo zenye masharti nafuu k<strong>wa</strong> jamii ya <strong>wa</strong>vuvi<br />

na <strong>wa</strong>kuzaji <strong>wa</strong> viumbe kwenye maji;<br />

(viii) Kuimarisha ulinzi <strong>wa</strong> rasilimali za uvuvi <strong>katika</strong> Bahari Kuu (EEZ) na<br />

mipakani na kwenye mialo k<strong>wa</strong> kutumia BMUs;<br />

(ix) Kuongeza idadi ya maafisa uvuvi kwenye Halmashauri; na<br />

(x) Ku<strong>wa</strong> na uvuvi endelevu <strong>wa</strong> kambamiti.<br />

10.0 HITIMISHO<br />

Sekta ya Uvuvi inakabili<strong>wa</strong> na changamoto mbalimbali za kibaolojia,<br />

kimazingira, kiuchumi na za kijamii ambazo kama hazitatatuli<strong>wa</strong> mapema<br />

zitasababisha kupungua k<strong>wa</strong> ajira, akiba ya taifa ya chakula, uchumi <strong>wa</strong> jamii<br />

na taifa k<strong>wa</strong> ujumla. Serikali pamoja na <strong>wa</strong>dau wote k<strong>wa</strong> ujumla <strong>wa</strong>nataki<strong>wa</strong><br />

kuchukua hatua thabiti na za haraka ili kulinda ajira za <strong>wa</strong>nanchi, kuimarisha<br />

akiba ya taifa ya chakula, uchumi <strong>wa</strong> jamii na taifa k<strong>wa</strong> ujumla.<br />

Ili kufikia azma ya Serikali ya KILIMO KWANZA na kuhakikisha <strong>sekta</strong> hii<br />

inachangia kikamilifu <strong>katika</strong> pato la Taifa na kumpunguzia m<strong>wa</strong>nanchi<br />

umasikini, ipo haja k<strong>wa</strong> kila mdau kusimamia rasilimali za uvuvi <strong>katika</strong> eneo<br />

lake ili <strong>sekta</strong> hii iweze kutoa mchango unaotaki<strong>wa</strong>.<br />

45


VIAMBATISHO:<br />

Maeneo ya Uvuvi <strong>katika</strong> mazi<strong>wa</strong> madogo, mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> na mito<br />

Na Mkoa Zi<strong>wa</strong> B<strong>wa</strong><strong>wa</strong> Mto<br />

1 Arusha Eyasi<br />

Momela<br />

Natroni<br />

Tlawi<br />

Duluti<br />

2 Dodoma Bahi<br />

Hombolo<br />

Kisaki<br />

Nond<strong>wa</strong><br />

3 Kagera Burigi<br />

Ikimba<br />

Katwe<br />

Kalenge<br />

Mitoma<br />

Ngoma<br />

R<strong>wa</strong>kajunju<br />

4 Kigoma Nguluka Malagalasi<br />

Luche<br />

5 Iringa Kihanga Ruaha<br />

Ng<strong>wa</strong>zi<br />

Nzivi<br />

6 Lindi Lukuledi<br />

Matandu<br />

Mbwemkuru<br />

7 Mara Kubigena Kiarano Lubanda<br />

Kirumi Manchira Mara<br />

8 Manyara Babati Ruvu<br />

Burunge<br />

Manyara<br />

Bassotu<br />

9 Mbeya Kyungululu Kiwira<br />

Mbaka<br />

Songwe<br />

10 Morogoro Kidatu Kilombero<br />

Mindu Mgeta<br />

Mkata<br />

11 M<strong>wa</strong>nza Malimbe Malya Mirongo<br />

Simiyu<br />

12 P<strong>wa</strong>ni Mteke Ilu Rufiji<br />

Nyatupa Luwe Ruvu<br />

46<br />

Kiambatisho Na. 1


Uba Lugongwe Wami<br />

Lungola<br />

Mtanza<br />

Umwe<br />

Weme<br />

Zumbi<br />

13 Ruvuma Ruvuma<br />

Ruhuhu<br />

14 Singida Kitangiri Chibumag<strong>wa</strong><br />

Singidani Miami<br />

Kindai Mgori<br />

Kibwi<br />

15 Shinyanga Igundu<br />

Mhumbu<br />

M<strong>wa</strong>dui<br />

Ning’<strong>wa</strong><br />

Sola<br />

Song<strong>wa</strong><br />

16 Tabora Igombe<br />

Maboha<br />

M<strong>wa</strong>mapuli<br />

Shela<br />

Ugala<br />

17 Tanga Buhuli Pangani<br />

Zigi Umba<br />

18. Kilimanjaro Jipe<br />

Chala<br />

NB:<br />

Zi<strong>wa</strong> Ruk<strong>wa</strong> linamiliki<strong>wa</strong> na mikoa ya Mbeya na Ruk<strong>wa</strong>.<br />

B<strong>wa</strong><strong>wa</strong> la Mtera linamiliki<strong>wa</strong> na mikoa ya Dodoma na Iringa.<br />

B<strong>wa</strong><strong>wa</strong> la Nyumba ya Mungu linamiliki<strong>wa</strong> na mikoa ya Kilimanjaro na Manyara.<br />

Kiambatisho Na. 2: Idadi ya <strong>wa</strong>vuvi na mitumbwi<br />

M<strong>wa</strong>ka Maji baridi Maji chumvi<br />

Wavuvi Vyombo Wavuvi Vyombo<br />

1995 61,789 19,208 13,822 3,768<br />

1996 61,799 19,208 13,822 3,768<br />

1997 61,799 19,208 13,822 3,768<br />

1998 58,047 17,141 20,625 5,157<br />

1999 58,047 17,141 20,625 5,157<br />

2000 81,704 25,014 20,625 5,157<br />

2001 101,195 25,014 19,071 4,927<br />

2002 105,499 31,225 19,071 4,927<br />

2003 105,499 31,225 19,071 4,927<br />

2004 103,443 32,248 19,071 4,927<br />

2005 103,443 32,248 29,754 7,190<br />

2006 126,790 44,362 29,754 7,190<br />

2007 126,790 44,362 36,247 7,342<br />

2008 133,791 44,832 36,247 7,342<br />

Chanzo: Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi<br />

47


Kiambatisho Na. 3: Uzalishaji <strong>wa</strong> Samaki kuanzia 2000 – 2008<br />

M<strong>wa</strong>ka Maji baridi na Maji chumvi<br />

Uzito (tani) Thamani (Sh ‘000)<br />

2000 320,900.0 77,680,000.00<br />

2001 336,289.0 81,222,385.00<br />

2002 323,531.5 88,143,436.00<br />

2003 351,125.0 175,562,500.00<br />

2004 362,510.0 188,119,000.00<br />

2005 338,905,7 338,905,700.00<br />

2006 341,108.12 285,718,539.84<br />

2007 327,845.4 291,764,549.20<br />

2008 325,466.5 371,395,387.00<br />

Chanzo: Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi<br />

Kiambatisho Na. 4: Makusanyo ya Maduhuli M<strong>wa</strong>ka 2000/01 Hadi 2008/09<br />

M<strong>wa</strong>ka Kiasi cha fedha (Shs)<br />

2000/2001 5,5456,531,401.00<br />

2001/2002 6,328,889,308.85<br />

2002/2003 6,994,511,808.55<br />

2003/2004 9,698,408,792.80<br />

2004/2005 9,405,087,180.63<br />

2005/2006 9,671,221,347.66<br />

2006/2007 9,8889,421,713.25<br />

2007/2008 8,304,145,544.00<br />

2008/2009 6,584,491,640.90<br />

Chanzo: Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi<br />

Kiambatisho Na. 5: Uzalishaji <strong>katika</strong> Sekta ya Uvuvi<br />

M<strong>wa</strong>ka Maji baridi Maji chumvi<br />

Uzito (Tani) Thamani (TSh ‘000) Uzito (tani) Thamani (TSh<br />

‘000)<br />

1993 280,584.6 30,647,137.14 34,226.6 9,398,054.27<br />

1994 228,003.6 30,949,458.20 39,072.8 14,001,152.17<br />

1995 207,139.0 45,805,145.00 48,761.7 24,662,430.96<br />

1996 262,572.1 81,209,665.27 59,508.1 38,052,517.45<br />

1997 306,750.0 42,265,000.00 50,2100.0 25,350,000.00<br />

1998 300,000.0 47,486,100.00 48,000.0 29,273,500.00<br />

1999 260,000.0 44.018,000.00 50,000.0 33,500.000.00<br />

2000 271,000.0 45,500,000.00 49,900.0 32,180,000.00<br />

2001 283,354.0 47,108,668.00 52,935.9 34,113,717.60<br />

2002 273,856.0 54,771,300.00 49,675.5 33,372,136.00<br />

2003 301,855.0 141,073,500.00 49,270.0 34,489,000.00<br />

2004 312,040.0 147,743,000.00 50,470.0 40,376,000.00<br />

2005 320,566.0 256,452,800.00 54,968.6 82,452,900.00<br />

2006 292,518.7 263,266,839.00 48,590.05 37,077,636.79<br />

2007 284,346.9 252,525,196.95 43,498.5 39,239,352.20<br />

2008 281,690.9 319,639,171.00 43,120.2 51,756,216.00<br />

Chanzo: Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi<br />

48


Kiambatisho Na. 6: Mahitaji ya Fedha <strong>katika</strong> Sekta ya Uvuvi (TShs ‘000)<br />

Na. Eneo Maelezo Matumizi Matumizi ya Jumla Mhusika<br />

Mengine (OC) Maendeleo<br />

1. Kuimarisha Kujenga na 1,000,000 5,000,000 6,000,000 Serikali,<br />

miundombinu ya kukarabati mialo<br />

Sekta<br />

kupokelea, 800 ya kupokelea<br />

Binafsi<br />

kuhifadhi na samaki <strong>katika</strong><br />

kusafirisha mazi<strong>wa</strong> ya<br />

samaki na mazao Victorias,<br />

ya uvuvi.<br />

Tanganyika na<br />

Nyasa na Ukanda<br />

<strong>wa</strong> P<strong>wa</strong>ni<br />

Kujenga bandari 500,000 40,000,000 40,500,000 Serikali,<br />

moja ya uvuvi ya<br />

Sekta<br />

Dar es Salaam<br />

Binafsi<br />

Kukarabati 0 5,000,000 5,000,000 Serikali,<br />

majengo oneo la<br />

Sekta<br />

Ras Mk<strong>wa</strong>vi<br />

(TAFICO),<br />

kununua mitambo<br />

ya barafu na<br />

kujenga ghati<br />

ndogo za TAFICO<br />

na Mbegani<br />

Binafsi<br />

Kujenga mitambo 1,000,000 4,000,000 5,000,000 Sekta<br />

ya kuzalisha<br />

barafu na maghala<br />

mananeya<br />

kuhifadhi barafu<br />

(ice silos)<br />

Binafsi<br />

2. Kudhibiti uvuvi na Kuimarisha 1,000,000 2,000,000 3,000,000 Serikali<br />

biashara haramu udhibiti <strong>wa</strong><br />

na kuhifadhi rasilimali za uvuvi<br />

msazingira. na biashara ya<br />

mazao ya uvuvi<br />

kwenye bahari,<br />

mazi<strong>wa</strong> na<br />

mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong>, ununzi<br />

<strong>wa</strong> vifaa/vitendea<br />

kazi,mitambo na<br />

boti<br />

Kujenga na<br />

kukarabati vituo<br />

17 vya doria<br />

500,000 2,000,000 2,500,000 Serikali<br />

3. Kuimarisha Kuzalisha na 1,000,000 2,000,000 3,000,000 Serikali,<br />

shughuli za utoaji kusambaza<br />

Sekta<br />

huduma za vifaranga vya<br />

Binafsi<br />

ufugaji samaki na samaki<br />

ukuzaji <strong>wa</strong> Kuimarisha vituo 0 2,000,000 2,000,000 Serikali<br />

viumbe wengine vya kanda vya<br />

kwenye maji uzalishaji <strong>wa</strong><br />

mbegu na chakula<br />

bora<br />

4. Kuimarisha Kufanya kaguzi za 200,000 800,000 1,000,000 Serikali<br />

usimamizi <strong>wa</strong> uhakiki usalama<br />

Sekta ya Uvuvi na ubora <strong>wa</strong><br />

na Ukusanyaji <strong>wa</strong> mazao ya uvuvi<br />

49


takwimu Kuimarisha<br />

Maabara ya Taifa<br />

ya Uvuvi Nyegezi<br />

Kuimarisha Taasisi<br />

ya Utafiti <strong>wa</strong> Uvuvi<br />

(TAFIRI)- kujenga<br />

maabara, ofisi na<br />

kununua vitendea<br />

kazi<br />

Kuimarisha<br />

Kitengo cha<br />

Hifadhi za Bahari<br />

na Maeneo<br />

Tengefu (MPRU)<br />

kweye maji baridi<br />

Kuimarisha vyuo<br />

vya mafunzo vya<br />

uvuvi vya Mbegani<br />

na Nyegezi na<br />

kutoa mafunzo<br />

k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>taalamu<br />

500 <strong>wa</strong> ugani<br />

Kufanya Sensa ya<br />

Uvuvi na<br />

kuimarisha Taarifa<br />

za uvuvi<br />

Kuimarisha utoaji<br />

<strong>wa</strong> huduma za<br />

ugani na kununua<br />

vitendea kazi<br />

500,000 500,000 1,000,000 Serikali<br />

1,000,000 3,000,000 4,000,000 Serikali<br />

500,000 1,500,000 2,000,000 Serikali<br />

1,000,000 3,000,000 4,000,000 Serikali<br />

1,000,000 1,000,000 2,00,000 Serikali<br />

500,000 500,000 1,000,000 Serikali<br />

Jumla 9,700,000 72,300,000 82,300,000<br />

Chanzo: Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi<br />

Kiambatisho Na 7(a): Miradi ya Wananchi iliyopata Fedha za MACEMP kuanzia<br />

Desemba 2005 hadi Oktoba 30, 2009<br />

Na Jina la<br />

Halmashauri<br />

Idadi ya<br />

Miradi<br />

Thamani Shs Walionufaika Jumla<br />

Me Ke<br />

1 Jiji la Tanga 30 463,474,275 280 244 524<br />

2 Muheza 10 123,828,100 112 56 168<br />

3 Mkinga 28 427,073,960 251 257 508<br />

4 Pangani 24 343,098,751 256 143 399<br />

5 Mkuranga 16 258,101,580 131 106 237<br />

6 Mafia 56 567,300,560 439 218 657<br />

7 Kil<strong>wa</strong> 63 859,061,510 581 389 970<br />

8 Rufiji 62 757,932,395 759 416 1175<br />

9 Lindi Mjini 7 110,153,108 171 16 187<br />

10 Lindi 19 319,070,125 286 139 425<br />

11 Mt<strong>wa</strong>ra Mikindani 16 230,492,400 169 162 331<br />

12 Mt<strong>wa</strong>ra 15 201,386,375 203 148 351<br />

13 Bagamoyo 39 758,597,620 446 202 648<br />

Jumla 385 5,419,570,759 4,084 2,496 6,580<br />

Chanzo: Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi<br />

50


Kiambatisho 7(b): Fedha zilizotole<strong>wa</strong> kutekeleza kazi za MACEMP kwenye<br />

Halmashauri kuanzia Desemba, 2005 hadi 30 Oktoba, 2009<br />

Na Jina la Halmashauri ya<br />

Wilaya<br />

Jumla<br />

1 Jiji la Tanga 79,898,812.50<br />

2 Muheza 91,349,937.50<br />

3 Mkinga 157,333,287.50<br />

4 Pangani 100,489,687.50<br />

5 Mkuranga 76,938,125.50<br />

6 Mafia 398,870,425.50<br />

7 Kil<strong>wa</strong> 292,494,037.50<br />

8 Rufiji 366,022,950.00<br />

9 Lindi Mjini 69,242,387.50<br />

10 Lindi 122,241,612.50<br />

11 Mt<strong>wa</strong>ra Mikindani 99,584,650.00<br />

12 Mt<strong>wa</strong>ra 129,430,612.50<br />

13 Bagamoyo 177,670,350.00<br />

14 Kinondoni 168,969,487.50<br />

15 Ilala 150,636,250.00<br />

16 Temeke 183,181,312.50<br />

Jumla 2,664,353,925.00<br />

Chanzo: Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi<br />

Kiambatisho 7(C): Vifaa vya Ofisi vilivyotole<strong>wa</strong> na MACEMP kwenye Halmashauri<br />

kuanzia Desemba, 2005 hadi 30 Oktoba, 2009<br />

Na Jina la Halmashauri Thamani ya Vifaa (Tshs)<br />

1 Jiji la Tanga 5,349,578<br />

2 Muheza 5,723,745<br />

3 Mkinga 5,198,746<br />

4 Pangani 5,461,282<br />

5 Mkuranga 6,603,329<br />

6 Mafia 15,907,400<br />

7 Kil<strong>wa</strong> 15,907,400<br />

8 Rufiji 15,907,400<br />

9 Lindi Mjini 2,141,662<br />

10 Lindi 5,178,745<br />

11 Mt<strong>wa</strong>ra Mikindani 5,270,412<br />

12 Mt<strong>wa</strong>ra 6,149,966<br />

13 Bagamoyo 5,944,614<br />

14 Kinondoni 7,023,742<br />

15 Ilala 7,157,494<br />

16 Temeke 6,361,244<br />

Chanzo: Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi<br />

51


Kiambatisho Na. 8: Takwimu za <strong>wa</strong>taalam <strong>wa</strong> uvuvi <strong>wa</strong>liopo<br />

NA MKOA WILAYA<br />

Municipal<br />

Arusha<br />

AFISA UVUVI<br />

AFISA UVUVI<br />

MSAIDIZI<br />

Meru 1<br />

1 ARUSHA Monduli<br />

Ngorngoro<br />

Karatu<br />

Longido<br />

JUMLA NDOGO 1<br />

2 PWANI<br />

Kibaha TC<br />

Kibaha<br />

Kisarawe<br />

Mkuranga 1<br />

Rufiji 1<br />

Mafia 1<br />

Bagamoyo 1<br />

JUMLA NDOGO 4<br />

Kilindi<br />

Tanga 1<br />

Pangani 1<br />

Handeni 1<br />

3 TANGA Korogwe 0<br />

Lushoto 0<br />

Muheza 1<br />

Mkinga 1<br />

Korogwe TC 0<br />

JUMLA NDOGO 5<br />

4 TABORA<br />

Municipality<br />

Uyui<br />

Sikonge<br />

Urambo 1<br />

1<br />

Nzega<br />

Igunga<br />

1<br />

JUMLA NDOGO 1 2<br />

5 SHINYANGA<br />

Municipality<br />

Shinyanga<br />

Meatu<br />

Bariadi<br />

Mas<strong>wa</strong><br />

Bukombe<br />

1<br />

1<br />

Kahama<br />

Kishapu<br />

1<br />

JUMLA NDOGO 3<br />

6 SINGIDA<br />

Municipality<br />

Singida<br />

Manyoni<br />

1<br />

1<br />

Iramba 1<br />

JUMLA NDOGO 3<br />

7 RUVUMA<br />

Municipal<br />

Songea 1<br />

52


NA MKOA WILAYA<br />

Namtumbo<br />

Tunduru<br />

AFISA UVUVI<br />

AFISA UVUVI<br />

MSAIDIZI<br />

Mbinga 2<br />

JUMLA NDOGO 3<br />

8 RUKWA<br />

Municipal<br />

Sumba<strong>wa</strong>nga<br />

Nkasi<br />

Mpanda<br />

2<br />

1<br />

JUMLA NDOGO 3<br />

Ilemela 1<br />

Nyamagana 1<br />

Misungwi 1<br />

9 MWANZA<br />

Magu<br />

Geita<br />

1<br />

1<br />

3<br />

3<br />

Sengerema 3<br />

Kwimba 0<br />

Ukerewe 1 2<br />

JUMLA NDOGO 3 14<br />

Mt<strong>wa</strong>ra/Mikindani 2<br />

Mt<strong>wa</strong>ra DC 4<br />

10 MTWARA<br />

Ne<strong>wa</strong>la<br />

Tandahimba<br />

1<br />

0<br />

Masasi 1<br />

Nanyumbu 0<br />

JUMLA NDOGO 8<br />

Manispaa 1<br />

Morogoro DC 2<br />

11 MOROGORO<br />

Mvomero<br />

Kilosa 2<br />

Kilombero 4<br />

Ulanga 2<br />

JUMLA NDOGO 8<br />

City 1<br />

Mbeya 1<br />

Mbarali 2<br />

12 MBEYA<br />

Chunya<br />

Rungwe<br />

3<br />

1<br />

Mbozi 2<br />

Ileje 0<br />

Kyela 3<br />

JUMLA NDOGO 13<br />

Babati TC<br />

Babati DC<br />

1<br />

13 MANYARA<br />

Mbulu<br />

Hanang<br />

Kiteto<br />

SIMANJIRO 3<br />

JUMLA NDOGO 4<br />

Tarime/Rorya 3<br />

14 Mara Bunda 6<br />

Musoma DC 7<br />

53


NA MKOA WILAYA AFISA UVUVI<br />

AFISA UVUVI<br />

MSAIDIZI<br />

Serengeti 0<br />

Musoma MC 4<br />

JUMLA NDOGO 20<br />

Town Council 1<br />

Lindi 4<br />

15 LINDI<br />

R<strong>wa</strong>ng<strong>wa</strong><br />

Nachingwea<br />

0<br />

1<br />

Kil<strong>wa</strong> 7<br />

Li<strong>wa</strong>le 0<br />

JUMLA NDOGO 13<br />

Moshi DC 1<br />

Rombo 1<br />

16 KILIMANJARO<br />

Hai<br />

M<strong>wa</strong>nga<br />

0<br />

3<br />

Moshi MC 0<br />

Same 0<br />

JUMLA NDOGO 5<br />

Kigoma Ujiji 3<br />

17 Kigoma<br />

Kigoma<br />

Kasulu<br />

5<br />

2<br />

Kibondo 1<br />

JUMLA NDOGO 11<br />

Ngara 2<br />

Karagwe 2<br />

Chato 1 1<br />

18 KAGERA Muleba 2 8<br />

Biharamuro 0 0<br />

Municipality 0 1<br />

Bukoba Dc 5<br />

JUMLA NDOGO 3 19<br />

Municipality 0<br />

Iringa 1<br />

Kilolo 1<br />

19 IRINGA Mufindi 0<br />

Njombe 0<br />

Makete 0<br />

Lude<strong>wa</strong> 3<br />

JUMLA NDOGO 5<br />

Municipality 0<br />

Bahi 0<br />

20 DODOMA<br />

Chamwino<br />

Kong<strong>wa</strong><br />

2<br />

0<br />

Mp<strong>wa</strong>p<strong>wa</strong> 0<br />

Kondoa 0<br />

JUMLA NDOGO 2<br />

Ilala 3<br />

21 DAR ES SALAAM Kinondoni 2<br />

Temeke 7<br />

JUMLA NDOGO 12<br />

JUMLA KUU 7 161<br />

54


SURA YA TANO<br />

HALI YA UKUZAJI VIUMBE KWENYE MAJI DUNIANI NA<br />

NCHINI TANZANIA<br />

Taswira, Maendeleo na Changamoto<br />

Imeandali<strong>wa</strong> na: Charles Gaspar Mahika<br />

Mkurugenzi <strong>wa</strong> Ukuzaji Viumbe Kwenye Maji<br />

55


HALI YA UKUZAJI VIUMBE KWENYE MAJI DUNIANI NA<br />

NCHINI TANZANIA<br />

1.0 UTANGULIZI<br />

Ufugaji samaki na viumbe wengine <strong>wa</strong>naoweza kufug<strong>wa</strong> kwenye maji<br />

hufanyika duniani kote kwenye maji baridi na maji chumvi. Katika maji baridi<br />

ufugaji hufanyika kwenye mito, mazi<strong>wa</strong>, malambo na mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> ya asili na ya<br />

kuchimb<strong>wa</strong>. Katika maji chumvi viumbe hufug<strong>wa</strong>/hukuz<strong>wa</strong> baharini na kwenye<br />

mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> ya kuchimb<strong>wa</strong> kando kando ya bahari hususan kwenye majang<strong>wa</strong><br />

na maeneo yaliyoko nje ya mikoko. Aidha, ufugaji <strong>wa</strong> samaki na ukuzaji <strong>wa</strong><br />

m<strong>wa</strong>ni hufanyika ndani ya bahari kwenye maeneo ya <strong>wa</strong>zi na kwenye uzio<br />

(cages). Ufugaji ama ukuzaji <strong>wa</strong> <strong>wa</strong>nyama na mimea ndani ya maji hujulikana<br />

kama “Aquaculture”; ukuzaji na ufugaji huo kwenye maji chumvi au<br />

mchanganyiko <strong>wa</strong> maji chumvi na maji baridi huit<strong>wa</strong> “Mariculture”.<br />

Mada hii inaelezea hali halisi, maendeleo na changamoto zilizopo <strong>katika</strong> ufugaji<br />

na ukuzaji <strong>wa</strong> viumbe kwenye maji duniani na Tanzania. Mapendekezo<br />

yametole<strong>wa</strong> ili kuboresha ukuzaji viumbe kwenye maji uweze kuendelez<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong><br />

lengo la kutoa ajira, upatikanaji <strong>wa</strong> chakula na kipato na hivyo, kupunguza<br />

umasikini na kufikia azma ya KILIMO KWANZA.<br />

2.0 TASWIRA, MAENDELEO NA CHANGAMOTO ZA UKUZAJI WA<br />

VIUMBE KWENYE<br />

2.1 Hali ya Ukuzaji na Ufugaji <strong>wa</strong> Viumbe kwenye Maji Duniani<br />

K<strong>wa</strong> karne nyingi ukuzaji viumbe kwenye maji umeku<strong>wa</strong> ni shughuli ya<br />

<strong>wa</strong>fugaji <strong>wa</strong>dogo duniani kote. Ufugaji <strong>wa</strong> samaki kwenye mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> ya asili,<br />

ya kuchimba na kwenye uzio ni shughuli iliyoku<strong>wa</strong> ikifany<strong>wa</strong> na binadamu<br />

duniani kote hususan nchi za Asia, Ulaya na Afrika has<strong>wa</strong> Misri. Kuanzia miaka<br />

ya 1950 kumeku<strong>wa</strong> na ukuaji <strong>wa</strong> ufugaji <strong>wa</strong> viumbe kwenye maji <strong>wa</strong> kibiashara<br />

duniani kote. Mathalani, <strong>katika</strong> miaka ya 1950, uzalishaji uliku<strong>wa</strong> chini ya tani<br />

milioni 1.0 na kufikia m<strong>wa</strong>ka 2007 uzalishaji ulifikia tani milioni 65.1<br />

(Kielelezo Na. 1).<br />

Tani milioni<br />

70<br />

60<br />

50<br />

40<br />

30<br />

20<br />

10<br />

Figure 1<br />

U z alishaji w a samaki, kam ba, chaz a na m im eamaji<br />

duniani 2002 -2007<br />

0<br />

2001 2002 2003 2004 2005 2006 2007 2008<br />

M w a ka<br />

56<br />

Jum la<br />

M aji baridi<br />

B aharini


Ukuzaji <strong>wa</strong> viumbe kwenye maji una faida zifuatazo:<br />

• Kutoa ajira;<br />

• Kuchangia kwenye uhakika <strong>wa</strong> chakula, lishe na kipato;<br />

• Huwezesha upatikanaji <strong>wa</strong> chakula (samaki) kinachozalish<strong>wa</strong> karibu zaidi<br />

na <strong>wa</strong>laji;<br />

• Kuongeza upatikanaji <strong>wa</strong> fedha za kigeni;<br />

• Kuokoa fedha za kigeni ambazo zingetumika kuagiza chakula hasa<br />

samaki; na<br />

• Kupunguza shinikizo la uvuvi kwenye maji ya asili.<br />

Hata hivyo, ukuzaji viumbe kwenye maji na uzalishaji baharini umeku<strong>wa</strong><br />

mkub<strong>wa</strong> kutokana na ukuz<strong>wa</strong>ji <strong>wa</strong> mimea-maji ukilinganish<strong>wa</strong> na mchango <strong>wa</strong><br />

maji baridi. K<strong>wa</strong> mfano, <strong>katika</strong> m<strong>wa</strong>ka 2007 uzalishaji <strong>wa</strong> mimea-maji uliku<strong>wa</strong><br />

tani milioni 14.9, kati ya hizo tani 74,645 ndizo zilizozalish<strong>wa</strong> kwenye maji<br />

baridi (FAO, 2008).<br />

Ukuzaji <strong>wa</strong> perege (tilapia), carps na kambale (Channel catfish na African<br />

catfish) kwenye maji baridi ndio unaoongoza uzalishaji <strong>wa</strong> samaki <strong>wa</strong>fug<strong>wa</strong>o<br />

duniani. Baadhi ya aina za samaki <strong>wa</strong>fug<strong>wa</strong>o kwenye maji chumvi ni pamoja na<br />

salmon, trout, kambamiti na jamii zake, che<strong>wa</strong>, seabas, m<strong>wa</strong>tiko, na mkizi.<br />

Aidha, k<strong>wa</strong> upande <strong>wa</strong> maji chumvi, kilimo cha mimea maji hususan m<strong>wa</strong>ni<br />

ndicho kinaongoza (Kielelezo Na. 2).<br />

Kielelezo Na. 2<br />

Tani milioni<br />

60<br />

50<br />

40<br />

30<br />

20<br />

10<br />

0<br />

Uzalishaji <strong>wa</strong> samaki <strong>wa</strong> mapez i,chaz a na kamba<br />

duniani<br />

2002 2003 2004 2005 2006 2007<br />

Chanzo: FAO, 2008<br />

Nchi kumi zinazoongoza k<strong>wa</strong> ukuzaji <strong>wa</strong> viumbe kwenye maji duniani ni China,<br />

Vietnam, Indonesia, Chile, Ufilipino, India, Thailand, Nor<strong>wa</strong>y, Bangladesh na<br />

Japan (Kielelezo Na. 3).<br />

57<br />

Mw a ka<br />

Jumla<br />

maji baridi<br />

Baharini


Chanzo: FAO, 2007.<br />

Katika Afrika, Uganda iliongoza k<strong>wa</strong> ukuaji <strong>wa</strong> ufugaji <strong>wa</strong> samaki kati ya<br />

m<strong>wa</strong>ka 2004 na 2006 (Kielelezo Na. 4). Nchi hiyo iliongeza sana uzalishaji <strong>wa</strong><br />

samaki aina za Kambale na Perege.<br />

Maelfu ya tani<br />

180<br />

160<br />

140<br />

120<br />

100<br />

80<br />

60<br />

40<br />

20<br />

0<br />

Tani milioni<br />

40<br />

35<br />

30<br />

25<br />

20<br />

15<br />

10<br />

5<br />

0<br />

-5<br />

Chanzo: FAO, 2007<br />

Nchi 10 zilizo ongoza k<strong>wa</strong> uzalishaji <strong>wa</strong> Ak<strong>wa</strong>kacha duniani na<br />

kasi ya kukua, 2004 na 2006<br />

China<br />

India<br />

Viet Nam<br />

Thailand<br />

Indonesia<br />

Baghladesh<br />

Nchi<br />

Ulaji <strong>wa</strong> Mazao ya Uvuvi yatokanayo na Ufugaji na Ukuzaji <strong>wa</strong><br />

Viumbe kwenye Maji<br />

K<strong>wa</strong> mujibu <strong>wa</strong> takwimu za Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja <strong>wa</strong> Mataifa<br />

(FAO), ufugaji <strong>wa</strong> samaki <strong>wa</strong> chakula ulichangia takriban nusu (47%) ya<br />

samaki wote (tani milioni 110) <strong>wa</strong>liozalish<strong>wa</strong> duniani kote kutoka kwenye<br />

uvuvi na ufugaji kwenye maji baridi na baharini k<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka 2006. M<strong>wa</strong>ka huo<br />

huo (2006) samaki kutoka kwenye uvuvi na ufugaji <strong>wa</strong>lichangia takriban<br />

asilimia 15 ya mahitaji ya protini ya kila mtu k<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>tu zaidi ya<br />

bilioni 2.9 kati ya <strong>wa</strong>kazi bilioni 6.6 duniani. Uzalishaji huu, huwezesha ulaji<br />

<strong>wa</strong> samaki na mazao ya uvuvi kufikia <strong>wa</strong>stani <strong>wa</strong> kilo 16.6 k<strong>wa</strong> mtu k<strong>wa</strong><br />

58<br />

Chile<br />

Japan<br />

Nor<strong>wa</strong>y<br />

Philippines<br />

Nchi 10 zinazoongoza k<strong>wa</strong> ukuaji <strong>wa</strong> <strong>sekta</strong> ya ufugaji samaki<br />

na viumbe wengine duniani 2004 na 2006<br />

uganda<br />

Guatemala<br />

Mozambique<br />

Malawi<br />

Togo<br />

Nigeria<br />

Nchi<br />

Cambodia<br />

Pakistan<br />

Singapore<br />

Mexico<br />

2004<br />

2006<br />

APR%<br />

2004<br />

2006<br />

APR%


m<strong>wa</strong>ka. Kati ya <strong>wa</strong>stani huo, ukuzaji <strong>wa</strong> viumbe kwenye maji ulichangia kilo<br />

7.8 k<strong>wa</strong> mtu k<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka.<br />

2.2 Hali ya Ukuzaji na Ufugaji <strong>wa</strong> Viumbe kwenye Maji Nchini<br />

Kumbukumbu zinaonesha ku<strong>wa</strong> ufugaji <strong>wa</strong> samaki kandokando m<strong>wa</strong> mito k<strong>wa</strong><br />

kujenga uzio au kuchimba mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> ili kufuga samaki <strong>wa</strong>kati <strong>wa</strong> mafuriko na<br />

ku<strong>wa</strong>vuna <strong>wa</strong>kati <strong>wa</strong> kiangazi umeku<strong>wa</strong> ukifanyika tangu miaka ya zamani.<br />

Ufugaji <strong>wa</strong> kisasa <strong>wa</strong> Samaki hapa Tanzania ulianza m<strong>wa</strong>ka 1949 <strong>wa</strong>kati<br />

samaki aina ya “Trout (Onchorynchus mukiss)” <strong>wa</strong>lipoanza kufug<strong>wa</strong> <strong>katika</strong><br />

miinuko ya mikoa ya kaskazini na kusini. Kipindi hicho Serikali iliku<strong>wa</strong> ikisaidia<br />

ku<strong>wa</strong>patia <strong>wa</strong>kulima vifaranga vya samaki, utaalamu na msaada kifedha.<br />

Mfumo huu uliendelea hata baada ya Uhuru. Hata hivyo, mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> yaliyoku<strong>wa</strong><br />

yameanzish<strong>wa</strong> yalishind<strong>wa</strong> kuendelez<strong>wa</strong> baada ya Serikali kushind<strong>wa</strong><br />

kuendelea ku<strong>wa</strong>patia <strong>wa</strong>kulima vifaranga <strong>wa</strong> samaki na elimu ya ugani. Miradi<br />

michache ya Ukuzaji Viumbe kwenye Maji kama vile Mkoa ya Ruvuma<br />

<strong>wa</strong>liendelea ku<strong>wa</strong>patia <strong>wa</strong>kulima vifaranga vya Perege [Nile tilapia<br />

(Oreochromis niloticus)] k<strong>wa</strong> sababu <strong>wa</strong>liku<strong>wa</strong> na msaada <strong>wa</strong> <strong>wa</strong>taalamu na<br />

fedha kutoka nje. Hivi sasa uzalishaji <strong>wa</strong> mazao ya samaki <strong>wa</strong> kufug<strong>wa</strong> uko<br />

chini zaidi kutokana na <strong>wa</strong>kulima wengi kutoku<strong>wa</strong>pa samaki chakula cha ziada<br />

na kutokurutubisha mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong>. Ukuzaji <strong>wa</strong> Viumbe kwenye Maji chumvi<br />

hususan Samaki aina ya M<strong>wa</strong>tiko (Milkfish – Channos channos) pia umeonesha<br />

mafanikio kibiashara.<br />

2.2.1 Ufugaji <strong>wa</strong> Kambamiti<br />

Kamisheni ya Umoja <strong>wa</strong> Mataifa inayoangalia mwenendo <strong>wa</strong> uchumi <strong>wa</strong> Afrika<br />

(UNECA) ilifanya utafiti m<strong>wa</strong>ka 1981 na kubaini ku<strong>wa</strong> kuna zaidi ya hekta<br />

3,000 kwenye m<strong>wa</strong>mbao <strong>wa</strong> Tanzania zinazofaa kufugia kambamiti. Utafiti<br />

huo ulibainisha zaidi ku<strong>wa</strong> maeneo hayo yaliku<strong>wa</strong> na uwezo <strong>wa</strong> kuzalisha si<br />

chini ya tani 11,000 k<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka. Ni dhahiri ku<strong>wa</strong> nchi yetu ina fursa kub<strong>wa</strong> ya<br />

kushirikisha <strong>wa</strong>fugaji <strong>wa</strong>dogo <strong>wa</strong>dogo <strong>wa</strong> kambamiti <strong>wa</strong>takaoweza kujiunga<br />

kwenye vikundi ili kurahisisha huduma za ugani na kuboresha miundombinu<br />

k<strong>wa</strong> pamoja. Inga<strong>wa</strong> kuliku<strong>wa</strong> na <strong>wa</strong>wekezaji <strong>wa</strong>dogo <strong>wa</strong>kufuga kambamiti<br />

kwenye maeneo ya Bagamoyo, Tanga, Lindi na Mt<strong>wa</strong>ra hakuna hata mmoja<br />

aliyeweza kufuga kibiashara. Tatizo kub<strong>wa</strong> liliku<strong>wa</strong> ni upatikanaji <strong>wa</strong> vifaranga<br />

<strong>wa</strong> kambamiti (PLs).<br />

Hali hii ilibadilika baada ya kampuni ya Alphakrust kuruhusi<strong>wa</strong> na serikali yetu<br />

kujenga “hatchery” Kilindoni na mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> ya kukuzia kambamiti kwenye eneo<br />

la Jimbo kisi<strong>wa</strong>ni Mafia. Wawekezaji <strong>wa</strong> Alphakrust <strong>wa</strong>lioko <strong>katika</strong> kisi<strong>wa</strong> cha<br />

Mafia eneo la Jimbo <strong>wa</strong>lizalisha tani 250 za kamba hao m<strong>wa</strong>ka 2008 kutoka<br />

kwenye mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> 30. Kampuni hii inaajiri zaidi ya <strong>wa</strong>tu 200 kwenye eneo la<br />

hekta 120. Hata hivyo, kampuni hii bado inazalisha vifaranga kukidhi mahitaji<br />

yake tu na haija<strong>wa</strong> na mpango <strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong> na <strong>wa</strong>kulima <strong>wa</strong> mkataba.<br />

59


Hivi karibuni shirika lisiyo la kiserikali (NGO) iit<strong>wa</strong>yo PRAWNTO ikishirikiana na<br />

<strong>wa</strong>taalam <strong>wa</strong> Chuo cha Maendeleo ya Uvuvi cha Mbegani (MFDC) <strong>wa</strong>meweza<br />

kuzalisha zaidi ya vifaranga 10,000 k<strong>wa</strong> mkupuo <strong>wa</strong> wiki tatu. Vifaranga hao<br />

<strong>wa</strong>mefanyi<strong>wa</strong> majaribio ya kula chakula asilia (lablab) na kukua hadi gramu 30<br />

<strong>wa</strong>kati <strong>wa</strong> kuvuna. Majaribio yalifany<strong>wa</strong> pia na shirika lingine lisilo la kiserikali<br />

liit<strong>wa</strong>lo PORAMED ya Tanga. Baada ya majaribio hayo ni <strong>wa</strong>zi ku<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>fugaji<br />

<strong>wa</strong>dogo<strong>wa</strong>dogo <strong>wa</strong> kambamiti <strong>wa</strong>tapata mbegu kukidhi mahitaji yao kutoka<br />

k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>zalishaji <strong>wa</strong> PRAWNTO na MFDC.<br />

2.2.2 Ufugaji <strong>wa</strong> Samaki <strong>wa</strong> Mapezi<br />

Ufugaji <strong>wa</strong> samaki <strong>wa</strong> mapezi (fin fish) kwenye maji baridi nchini unahusisha<br />

aina za Tilapia (perege), Kambale na Trout. Samaki <strong>wa</strong>naofug<strong>wa</strong> zaidi ni aina<br />

ya Sato (Oreochromis niloticus). Takwimu zilizopo zinaonesha ku<strong>wa</strong> kuna<br />

mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> madogo zaidi ya 14,740 yenye <strong>wa</strong>stani <strong>wa</strong> mita za mraba 150 kila<br />

moja. Mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> hayo yanakadiri<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong> na jumla ya hekta 221.5 na yaliweza<br />

kuzalisha karibu kiasi cha tani 30 za samaki m<strong>wa</strong>ka 2007. Samaki aina ya<br />

perege <strong>wa</strong>na soko la ndani ya nchi <strong>wa</strong>ki<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>zima na minofu yake ina soko<br />

nje ya nchi.<br />

Aidha, <strong>wa</strong>wekezaji <strong>wa</strong>meanza uzalishaji <strong>wa</strong> perege <strong>katika</strong> mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong>. Kampuni<br />

ya M<strong>wa</strong>nza Fishing Industries Ltd iliyopo Jijini M<strong>wa</strong>nza imeanza kuzalisha<br />

perege kutoka kwenye mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> 6 yenye ukub<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> karibu hekta moja kila<br />

moja. Katika m<strong>wa</strong>ka 2008, kampuni hiyo ilizalisha tani 57 za perege-sato<br />

ambao <strong>wa</strong>liuz<strong>wa</strong> kwenye maeneo yanayozunguka jiji la M<strong>wa</strong>nza. K<strong>wa</strong> sasa<br />

soko la samaki hao limepatikana nchini Burundi.<br />

2.2.3 Ukuzaji <strong>wa</strong> Kaa, M<strong>wa</strong>tiko na Chaza <strong>wa</strong> Lulu<br />

Ukuzaji <strong>wa</strong> kaa, chaza <strong>wa</strong> lulu na ufugaji <strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>tiko ni fursa za kujiongezea<br />

kipato zilizoko p<strong>wa</strong>ni ya Bahari ya Hindi hapa Tanzania. Takwimu zilizopo za<br />

uzalishaji <strong>wa</strong> mazao haya k<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka 2008 ni kama ifuatavyo:<br />

Jed<strong>wa</strong>li Na. 1: Uzalishaji <strong>wa</strong> M<strong>wa</strong>tiko, Kaa na Chaza, 2008<br />

Na Aina Kiasi Thamani( Tshs)<br />

1 M<strong>wa</strong>tiko 8,526 kilo 16,705,650<br />

2 Kaa 996 kilo 5,100,000<br />

3 Chaza (Lulu) 190 vipande 13,000,000<br />

Chanzo: Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi<br />

Soko ya kaa ni la uhakika ndani na nje ya nchi. K<strong>wa</strong> mfano kaa huuz<strong>wa</strong> kati ya<br />

Dola za Kimarekani 4 - 6 k<strong>wa</strong> kilo <strong>katika</strong> masoko ya Nchi za Asia. K<strong>wa</strong> kiasi<br />

kikub<strong>wa</strong> soko la samaki aina ya M<strong>wa</strong>tiko liko hapa nchini ambapo huuz<strong>wa</strong> kati<br />

ya shilingi 1,000/= mpaka 2,000/= k<strong>wa</strong> kilo kutegemea eneo na upatikanaji<br />

<strong>wa</strong> samaki. Chaza <strong>wa</strong> lulu <strong>wa</strong>naendelea kufug<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> msaada <strong>wa</strong> shirika la<br />

WWF huko kisi<strong>wa</strong>ni Mafia. Lulu <strong>wa</strong> Mafia ni bora sana na vidani vyake vimepata<br />

masoko ya ndani na nje ya nchi. K<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>mbao <strong>wa</strong> Tanga, Wizara k<strong>wa</strong><br />

60


kushirikiana na shirika lisilo la kiserikali la SEMMA <strong>wa</strong>metoa mafunzo ya ukuzaji<br />

<strong>wa</strong> chaza <strong>wa</strong> lulu k<strong>wa</strong> vikundi 15 <strong>katika</strong> m<strong>wa</strong>ka 2009.<br />

2.2.4 Samaki <strong>wa</strong> mapambo<br />

Samaki <strong>wa</strong> mapambo hupatikana k<strong>wa</strong> wingi <strong>katika</strong> Zi<strong>wa</strong> Nyasa, Zi<strong>wa</strong><br />

Tanganyika na baadhi ya furu kutoka Zi<strong>wa</strong> Victoria. Katika m<strong>wa</strong>ka 2008, jumla<br />

ya samaki <strong>wa</strong> mapambo 23,066 wenye thamani ya shilingi 240,106,146<br />

<strong>wa</strong>liuz<strong>wa</strong> nje ya nchi na kulipatia Taifa ushuru <strong>wa</strong> shilingi 17,378,126.10.<br />

Jed<strong>wa</strong>li Na. 2: Uvuvi <strong>wa</strong> samaki <strong>wa</strong> mapambo, 2008<br />

Chanzo Uzalishaji Thamani Ushuru<br />

Samaki <strong>wa</strong><br />

Mapambo<br />

US $ TShs TShs<br />

Zi<strong>wa</strong> Nyasa 10,354 65,622.4 5,296,924.5 5,249,511.0<br />

Zi<strong>wa</strong> Tanganyika 22,712 126,433.0 164,809,221.5 12,128,615.1<br />

Chanzo: Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, 2008<br />

2.2.5 Ufugaji <strong>wa</strong> Samaki Kwenye Uzio (Cage Fish Culture)<br />

Pamoja na k<strong>wa</strong>mba ufugaji <strong>wa</strong> samaki kwenye uzio haujaanzish<strong>wa</strong> hapa nchini,<br />

Wizara imetoa Kanuni mpya za uvuvi za m<strong>wa</strong>ka 2009 zinazoruhusu ufugaji huo.<br />

Aidha, teknolojia ya ufugaji <strong>wa</strong> aina hii imeboresh<strong>wa</strong> kimataifa na hivyo<br />

kuondoa hofu kuhusu dhana ya ku<strong>wa</strong> aina hii ya ufugaji samaki inasababisha<br />

uchafuzi <strong>wa</strong> mazingira ya maji.<br />

2.2.6 Uzalishaji <strong>wa</strong> mbegu bora za samaki<br />

(i) Kituo cha Kingolwira-Morogoro<br />

Kituo cha uzalishaji na ukuzaji samaki cha Kingolwira kilichoko mjini Morogoro<br />

kimeku<strong>wa</strong> ndiyo tegemeo kub<strong>wa</strong> la <strong>wa</strong>fugaji <strong>wa</strong> samaki nchini Tanzania.<br />

Kutoka m<strong>wa</strong>ka 2003-2008 kituo kilizalisha vifaranga <strong>wa</strong> perege <strong>wa</strong> Nile<br />

takriban 5,000,000 na kusambaz<strong>wa</strong> kwenye mikoa mbalimbali ya Tanzania<br />

Bara. Hata hivyo, kituo kinakabili<strong>wa</strong> na tatizo la upatikanaji <strong>wa</strong> maji ya<br />

kutosha. Katika kuimarisha mfumo <strong>wa</strong> maji kwenye mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> yaliyoko eneo la<br />

boma mjini Morogoro kazi ya kuchimba kisima kirefu imefikia asilimia 75 na<br />

inataraji<strong>wa</strong> kukamilika mwishoni m<strong>wa</strong> Desemba 2009. Kazi hii itakapo kamilika<br />

mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> yote 13 yaliyoko barabara ya boma mjini Morogoro yataweza<br />

kuanza kuzalisha mbegu bora za samaki aina ya perege.<br />

Katika kituo cha Kingolwira, mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> 12 na matanki 17 yanatarajia kupati<strong>wa</strong><br />

maji ya bomba ya uhakika kutokana na ukarabati unaoendelea. Aidha, kisima<br />

kirefu kinataraji<strong>wa</strong> kuchimb<strong>wa</strong> hapo kituoni m<strong>wa</strong>nzoni m<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka 2010 ili<br />

kutatua tatizo la maji. Kazi hii itakapokamilika kituo cha Kingolwira kitaweza<br />

kuzalisha vifaranga <strong>wa</strong> perege <strong>wa</strong> Nile zaidi ya 2,000,000 k<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka na<br />

61


kambale zaidi ya 500,000 k<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka. Hata hivyo, hivi karibuni kumetokea<br />

m<strong>wa</strong>mko mkub<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> ufugaji samaki uliosababisha kuongezeka k<strong>wa</strong> mahitaji<br />

ya vifaranga <strong>wa</strong> perege na kambale nchini kote.<br />

(ii) Kuzalisha mbegu bora za samaki kikanda<br />

Katika m<strong>wa</strong>ka 2008/2009, Wizara imeanza kutekeleza mkakati <strong>wa</strong> kuzalisha<br />

vifaranga <strong>wa</strong> samaki kwenye kanda ili kupunguza gharama za <strong>wa</strong>fugaji <strong>katika</strong><br />

kufuatilia vifaranga mbali na <strong>wa</strong>nakofugia. Vituo na kanda hizo ni kama<br />

ifuatavyo:<br />

(a) Ruhila-Songea (Kanda ya Nyanda za juu Kusini),<br />

(b) Tabora na Sikonge (Kanda ya Magharibi),<br />

(c) M<strong>wa</strong>nza, Bukoba na Musoma (kanda ya Zi<strong>wa</strong> Victoria),<br />

(d) Karanga (Kanda ya Kaskazini),<br />

(e) Kingolwira (Kanda ya Mashariki), na<br />

(f) Mtama (Kanda ya Kusini).<br />

(iii) Kanda ya Nyanda za Juu Kusini (Kituo cha Ruhila), Songea<br />

Kituo cha ufugaji samaki cha Ruhila kilianzish<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka 1953 k<strong>wa</strong> malengo<br />

yafuatayo:<br />

• Kuzalisha vifaranga vya samaki na kusambaza k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>kulima;<br />

• Kutoa elimu ya ufugaji samaki k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>nanchi na <strong>wa</strong>nafunzi;<br />

• Ku<strong>wa</strong> chanzo cha chakula na kipato k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>nanchi <strong>wa</strong> Songea; na<br />

• Kutumika kama kivutio cha utalii.<br />

Kituo kina eneo la hekta 8 na kina jumla ya mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> 10 yenye ukub<strong>wa</strong><br />

tofauti na kati ya hayo 3 ni ya kuzalisha mbegu na 7 ni ya kukuzia (grow-out<br />

ponds). Aidha, kituo kina nyumba 1 (ambayo anaishi mlinzi k<strong>wa</strong> sasa), ofisi<br />

ndogo na stoo ambavyo vinafanyi<strong>wa</strong> ukarabati.<br />

Mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> ya Ruhila ni makub<strong>wa</strong> na ukarabati utakapokamilika yaweza<br />

kuzalisha vifaranga perege zaidi ya 1,000,000 k<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka na kuweza<br />

kuongeza wingi <strong>wa</strong> mbegu k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>fugaji <strong>wa</strong> mikoa ya Ruvuma, Iringa na<br />

Mbeya. Wazalishaji wengine ni pamoja na Peramiho ambapo zaidi ya vifaranga<br />

200,000 <strong>wa</strong>lizalish<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka 2008.<br />

(iv) Uzalishaji kwenye kanda zingine<br />

Uzalishaji kwenye kanda zingine unataraji<strong>wa</strong> kuanza baada ya kukamilika k<strong>wa</strong><br />

kazi za ujenzi <strong>wa</strong> mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> ya kuzalishia na kukuzia vifaranga.<br />

Yatakapokamilika uzalishaji <strong>wa</strong> mbegu k<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka unataraji<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong><br />

ifuatavyo:<br />

62


Jed<strong>wa</strong>li Na. 3. Matarajio ya uzalishaji <strong>wa</strong> vifaranga <strong>wa</strong> perege <strong>wa</strong> Nile<br />

kwenye mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> ya vituo vya kanda<br />

Kanda Kituo Idadi ya vifaranga <strong>wa</strong><br />

perege <strong>wa</strong> Nile k<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka<br />

Magharibi Tabora (Sikonge) 100,000<br />

Kaskazini Karanga- Kilimanjaro 100,000<br />

Zi<strong>wa</strong> Victoria Musoma, M<strong>wa</strong>nza na Bukoba 300,000<br />

Kusini Mtama-Lindi 100,000<br />

Chanzo: Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi<br />

(v) Kutunza samaki <strong>wa</strong>zazi (Broodstock management)<br />

Ili kuongeza ubora <strong>wa</strong> mbegu za samaki aina za perege <strong>wa</strong> Nile na kambale,<br />

vituo vikub<strong>wa</strong> vya Kingolwira na Ruhila vimekwisha kukusanya <strong>wa</strong>zazi<br />

(broodstock) kutoka kwenye vyanzo vya ubora (Zi<strong>wa</strong> Victoria, perege na<br />

kambale kutoka mto Wami) na ku<strong>wa</strong>hifadhi <strong>katika</strong> mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> maalum. Kambale<br />

huhitaji kutunz<strong>wa</strong> kwenye mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> maalum k<strong>wa</strong> muda usiopungua miezi 4<br />

kabla ha<strong>wa</strong>jaweza kuzoea mazingira mapya na kuweza kuzalish<strong>wa</strong> kitaalam.<br />

Perege huwek<strong>wa</strong> kwenye mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> hayo pasipo ku<strong>wa</strong>changanya majike na<br />

madume na huchangany<strong>wa</strong> pale tu <strong>wa</strong>napotaka kuzalish<strong>wa</strong>. Kambale huweza<br />

kuchangany<strong>wa</strong> majike na madume. Samaki ha<strong>wa</strong> hulish<strong>wa</strong> vizuri zaidi na<br />

kuangali<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> karibu ili <strong>wa</strong>we chanzo cha mbegu bora.<br />

2.2.7 Kanuni za Ufugaji Bora <strong>wa</strong> Samaki<br />

Serikali kupitia Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi imejiwekea mikakati<br />

mbalimbali ili kuweza kuleta mapinduzi ya kijani <strong>katika</strong> <strong>sekta</strong> ya kilimo k<strong>wa</strong><br />

kuhimiza ukuzaji <strong>wa</strong> viumbe kwenye maji ili kuongeza kipato, kupunguza<br />

umasikini na kuongeza mchango <strong>wa</strong> <strong>sekta</strong> ya uvuvi <strong>katika</strong> pato la Taifa.<br />

Moja<strong>wa</strong>po ya mikakati ni kuimarisha huduma za ugani juu ya ukuzaji bora <strong>wa</strong><br />

viumbe kwenye maji. Ili kufanikisha azma hii wizara imechapisha kijitabu<br />

kinacho elezea Kanuni za Ufugaji Bora <strong>wa</strong> Samaki ili kutoa mwongozo k<strong>wa</strong><br />

<strong>wa</strong>fugaji.<br />

Samaki <strong>wa</strong>lioelez<strong>wa</strong> kwenye kitabu hiki ni pamoja na Perege, M<strong>wa</strong>tiko, Kaa,<br />

Kambale na Kambamti. Kati ya aina hizo za samaki Perege na Kambale<br />

<strong>wa</strong>nafug<strong>wa</strong> <strong>katika</strong> maji baridi <strong>wa</strong>kati M<strong>wa</strong>tiko, Kaa na Kambamti <strong>wa</strong>nafug<strong>wa</strong><br />

kwenye maji chumvi. Samaki hao tayari <strong>wa</strong>nafug<strong>wa</strong> <strong>katika</strong> nchi yetu na<br />

<strong>wa</strong>meonesha mafanikio ya ufugaji kibiashara. Katika kitabu hiki kanuni za<br />

ufugaji bora unapotaka kufuga samaki kibiashara zimeeleze<strong>wa</strong>. Pamoja na<br />

tofauti zinazoweza kujitokeza kutokana na tofauti kati ya aina za samaki,<br />

yafuatayo yanaweza ku<strong>wa</strong> ya jumla <strong>katika</strong> ufugaji <strong>wa</strong> samaki kibiashara:-<br />

Kuchagua eneo linalofaa kuchimba b<strong>wa</strong><strong>wa</strong>; Kuchimba b<strong>wa</strong><strong>wa</strong>; Kuandaa b<strong>wa</strong><strong>wa</strong><br />

kabla ya kupandikiza vifaranga; Kupanda vifaranga <strong>wa</strong> samaki; Kuzaliana k<strong>wa</strong><br />

samaki; Matunzo ya Samaki na b<strong>wa</strong><strong>wa</strong> au sehemu ya kufugia; Afya na<br />

Magonj<strong>wa</strong> ya samaki; Uvunaji <strong>wa</strong> samaki <strong>katika</strong> b<strong>wa</strong><strong>wa</strong>; Utunzaji <strong>wa</strong> takwimu;<br />

63


Uhifadhi <strong>wa</strong> samaki na Masoko. Mambo haya yote yamejadili<strong>wa</strong> ili kumpa<br />

mfugaji elimu ya a<strong>wa</strong>li ya ufugaji <strong>wa</strong> samaki.<br />

Vijitabu hivyo vimesambaz<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>fugaji <strong>wa</strong> samaki kote nchini.<br />

2.2.8 Fursa zilizopo kwenye <strong>sekta</strong> ndogo ya ufugaji <strong>wa</strong> samaki nchini<br />

(i) Kuanzisha ufugaji mkub<strong>wa</strong> na <strong>wa</strong>-kibiashara k<strong>wa</strong> samaki aina za<br />

perege <strong>wa</strong> Nile na kambale. Samaki ha<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>na soko ndani na nje ya<br />

nchi.<br />

(ii) Kuanzisha ufugaji <strong>wa</strong> sangara kwenye uzio/mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> ambao <strong>wa</strong>na<br />

soko nje na ndani ya nchi.<br />

(iii) Kuanzisha ufugaji <strong>wa</strong> kamba miti peke yake ama mchanganyiko na<br />

m<strong>wa</strong>tiko na perege<strong>wa</strong> msumbiji (Oreochromis mozambicus)<br />

(iv) Ukuzaji <strong>wa</strong> chaza <strong>wa</strong> lulu na biashara ya lulu.<br />

(v) Uzalishaji <strong>wa</strong> vifaranga <strong>wa</strong> kambale kama chambo cha kukamatia<br />

sangara. na pia kama vifaranga <strong>wa</strong> kukuz<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong> chakula cha<br />

binadamu.<br />

(vi) Uzalishaji na Ukuzaji <strong>wa</strong> samaki <strong>wa</strong> mapambo.<br />

(vii) Uzalishaji <strong>wa</strong> chakula cha samaki kibiashara.<br />

2.2.9 Mkakati <strong>wa</strong> Kitaifa <strong>wa</strong> Ukuzaji <strong>wa</strong> Viumbe Kwenye Maji<br />

Wizara k<strong>wa</strong> kushirikiana na <strong>wa</strong>dau, imeandaa Mkakati <strong>wa</strong> Kitaifa <strong>wa</strong> Ukuzaji<br />

Viumbe kwenye Maji (National Aquaculture Development Strategy-NADS)<br />

ambao ndiyo mwongozo <strong>wa</strong> <strong>wa</strong> maendeleo endelevu ya <strong>sekta</strong> ndogo ya ukuzaji<br />

viumbe kwenye maji hapa nchini k<strong>wa</strong> kipindi cha 2009-2025. Katika Mkakati<br />

huo pamoja na mambo mengine, changamoto za <strong>sekta</strong> na majukumu ya<br />

<strong>wa</strong>dau <strong>katika</strong> ukuzaji viumbe kwenye maji vimeanish<strong>wa</strong>.<br />

Mikakati iliyoainish<strong>wa</strong> kwenye Jed<strong>wa</strong>li Na. 4 inaonyesha jinsi ya kukabiliana<br />

na changamoto zinazoikabili <strong>sekta</strong> ndogo ya ukuzaji viumbe kwenye maji.<br />

64


Jed<strong>wa</strong>li Na. 4: Mikakati ya Kuendeleza Sekta ndogo ya Ukuzaji viumbe kwenye Maji<br />

Mkakati Mkakati<br />

maalumu<br />

Kujenga uwezo juu<br />

ya ukuzaji <strong>wa</strong><br />

viumbe kwenye<br />

maji<br />

Kujenga uwezo<br />

k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>kulima<br />

Kuongeza<br />

<strong>wa</strong>taalamu <strong>wa</strong><br />

ukuzaji viumbe<br />

kwenye maji.<br />

Kuongeza idadi<br />

ya <strong>wa</strong>kuzaji<br />

viumbe kwenye<br />

maji kibiashara<br />

Shughuli/Mbinu za<br />

utekelezaji<br />

1. Kuvijengea uwezo vyuo vya<br />

mafunzo vya maendeleo ya<br />

uvuvi Mbegani na Nyegezi.<br />

2. Kutoa mafunzo ya ukuzaji<br />

viumbe kwenye maji <strong>katika</strong><br />

ngazi za shahada na<br />

stashahada<br />

3. Kutoa mafuzo ya kozi k<strong>wa</strong><br />

maafisa ugani <strong>wa</strong>pya.<br />

4.Kufanya ziara za mafunzo na<br />

kubadilishana uzoefu k<strong>wa</strong><br />

maafisa ugani.<br />

1. Kutoa mafunzo ya ukuzaji<br />

viumbe kwenye maji na elimu<br />

ya ujasiriamali k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>kulima<br />

2. Kuanzish<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> vituo vya<br />

mafunzo k<strong>wa</strong> vitendo k<strong>wa</strong><br />

ajili ya <strong>wa</strong>kulima.<br />

Matokeo taraji<strong>wa</strong> Asasi<br />

husika<br />

Kuongezeka k<strong>wa</strong> ufanisi<br />

<strong>wa</strong> utoaji mafunzo<br />

yatole<strong>wa</strong>yo na<br />

taasisi/vyuo vya uvuvi.<br />

Kuongezeka k<strong>wa</strong> ufanisi<br />

<strong>wa</strong> utendaji kazi.<br />

Kuongezeka k<strong>wa</strong> ufanisi<br />

<strong>wa</strong> utendaji kazi<br />

Kuongezeka k<strong>wa</strong> ufanisi<br />

<strong>wa</strong> utendaji kazi.<br />

Kuongezeka k<strong>wa</strong> kipato<br />

kutokana na ukuzaji<br />

viumbe kwenye maji.<br />

WMUV NA<br />

TAMISEMI<br />

WMUV NA<br />

TAMISEMI<br />

WMUV NA<br />

TAMISEMI<br />

WMUV NA<br />

TAMISEMI<br />

WMUV NA<br />

TAMISEMI,<br />

na <strong>sekta</strong><br />

binafsi<br />

Uzalishaji kuongezeka WMUV NA<br />

TAMISEMI<br />

na <strong>sekta</strong><br />

binafsi<br />

Muda <strong>wa</strong><br />

utekelez<br />

aji<br />

Viashiria<br />

2009/23 • Idadi ya<br />

<strong>wa</strong>nafunzi<br />

<strong>wa</strong>liodahili<strong>wa</strong><br />

• Ufanisi <strong>wa</strong><br />

<strong>wa</strong>nafunzi<br />

2009/23 • Muda <strong>wa</strong><br />

kumaliza kazi<br />

• Utendaji kazi..<br />

2009/15 • Muda <strong>wa</strong><br />

kumaliza kazi<br />

• Utendaji kazi<br />

2009/15 • Muda <strong>wa</strong><br />

kumaliza kazi<br />

• Utendaji kazi<br />

2009/23 • Kipato<br />

2009/17 • Uzalishaji <strong>wa</strong><br />

mazao ya ukuzaji<br />

viumbe kwenye<br />

maji.


Mkakati Mkakati<br />

maalumu<br />

Kuhamasisha<br />

matumizi ya<br />

teknolojia rahisi<br />

zilizotengenez<strong>wa</strong><br />

k<strong>wa</strong> zana za<br />

kienyeji.<br />

Kuhamasisha<br />

uwekezeshaji<br />

<strong>katika</strong> huduma za<br />

uchakataji na<br />

uhifadhi <strong>wa</strong> mazao<br />

yatokanayo na<br />

Kuongeza idadi<br />

ya <strong>wa</strong>kulima<br />

<strong>wa</strong>takaotumia<br />

teknolojia<br />

mahsusi za<br />

ukuzaji viumbe<br />

kwenye maji.<br />

Kuongeza idadi<br />

ya <strong>wa</strong>wekezaji<br />

<strong>wa</strong> <strong>sekta</strong> binafsi<br />

kutoa huduma<br />

za uhifadhi na<br />

uchakataji <strong>wa</strong><br />

Shughuli/Mbinu za<br />

utekelezaji<br />

3. Kuanzish<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> maeneo ya<br />

mfano ya ukuzaji viumbe<br />

kwenye maji kikanda.<br />

3.Kufanya ziara za mafunzo na<br />

kubadilishana uzoefu k<strong>wa</strong><br />

<strong>wa</strong>kulima<br />

1. Kuunda teknolojia rahisi k<strong>wa</strong><br />

kutumia zana za kienyeji.<br />

2. Kutoa m<strong>wa</strong>mko k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>kuzaji<br />

viumbe kwenye maji kuhusu<br />

matumizi ya teknolojia<br />

rahisi.<br />

3. Kuhamasisha ufugaji mseto<br />

<strong>wa</strong> samaki, mazao ya chakula<br />

na mifugo.<br />

1. Kutoa m<strong>wa</strong>mko k<strong>wa</strong><br />

<strong>wa</strong>wekezaji binafsi juu ya fursa<br />

zilizopo <strong>katika</strong> utunzaji na<br />

uchakataji <strong>wa</strong> mazao ya ukuzaji<br />

viumbe kwenye maji.<br />

Matokeo taraji<strong>wa</strong> Asasi<br />

husika<br />

Uzalishaji kuongezeka WMUV NA<br />

TAMISEMI<br />

na<br />

binafsi<br />

<strong>sekta</strong><br />

Uzalishaji kuongezeka WMUV NA<br />

TAMISEMI,<br />

LGAs na<br />

<strong>sekta</strong> binafsi<br />

Kuongezeka k<strong>wa</strong> idadi ya<br />

<strong>wa</strong>kuzaji viumbe kwenye<br />

maji.<br />

Kuongezeka k<strong>wa</strong> idadi ya<br />

<strong>wa</strong>kuzaji viumbe kwenye<br />

maji<br />

Kuongezeka k<strong>wa</strong><br />

uzalishaji k<strong>wa</strong> eneo<br />

Kuongezeka k<strong>wa</strong> idadi ya<br />

<strong>wa</strong>wekezaji <strong>wa</strong>naoomba<br />

kuwekeza <strong>katika</strong> uhifadhi<br />

na uchakataji <strong>wa</strong> mazao<br />

yatokanayo na ukuzaji <strong>wa</strong><br />

viumbe kwenye maji<br />

66<br />

WMUV NA<br />

TAMISEMI<br />

na <strong>sekta</strong><br />

binafsi<br />

WMUV NA<br />

TAMISEMI<br />

na <strong>sekta</strong><br />

binafsi<br />

WMUV NA<br />

TAMISEM<br />

na <strong>sekta</strong><br />

binafsi<br />

WMUV NA<br />

TAMISEMI<br />

na <strong>sekta</strong><br />

binafsi<br />

Muda <strong>wa</strong> Viashiria<br />

utekelez<br />

aji<br />

2009/16 Uzalishaji <strong>wa</strong> mazao<br />

ya ukuzaji viumbe<br />

kwenye maji.<br />

2009/23 • Uzalishaji <strong>wa</strong><br />

mazao ya ukuzaji<br />

viumbe<br />

maji.<br />

kwenye<br />

2009/23 • Idadi ya <strong>wa</strong>kuzaji<br />

viumbe<br />

maji<br />

kwenye<br />

• Kutumika k<strong>wa</strong><br />

teknolojia.<br />

2009/23 • Idadi ya <strong>wa</strong>kuzaji<br />

viumbe<br />

maji<br />

kwenye<br />

• Kutumika k<strong>wa</strong><br />

2009/23<br />

teknolojia<br />

Kuongezeka<br />

uzalishaji<br />

k<strong>wa</strong><br />

2009/20 Idadi ya <strong>wa</strong>wekezaji


Mkakati Mkakati<br />

maalumu<br />

ukuzaji <strong>wa</strong> vuimbe<br />

kwenye maji.<br />

Kuanzisha<br />

mahusiano kati ya<br />

tafiti na huduma<br />

za ugani<br />

mazao<br />

yatokanayo na<br />

ukuzaji <strong>wa</strong><br />

viumbe kwenye<br />

maji<br />

Kuongeza<br />

matumizi ya<br />

matokeo ya<br />

tafiti k<strong>wa</strong><br />

<strong>wa</strong>kuzaji<br />

viumbe kwenye<br />

maji<br />

Shughuli/Mbinu za<br />

utekelezaji<br />

Kuunda ushirikiano kati ya s<br />

erikali na <strong>sekta</strong> binafsi ili<br />

kuanzisha vi<strong>wa</strong>nda vya uhifadhi<br />

na uchakataji <strong>wa</strong> mazao<br />

yatokanayo na ukuzaji viumbe<br />

kwenye maji<br />

2. Kuhamasisha matumizi ya<br />

teknolojia zilizopo za uhifadhi<br />

na uchakataji <strong>wa</strong> mazao<br />

yatokanayo na ukuzaji <strong>wa</strong><br />

viumbe kwenye maji<br />

1. Kuanzisha nafasi za <strong>wa</strong>ratibu<br />

<strong>wa</strong> kanda <strong>wa</strong> utafiti na ugani<br />

2. Kutoa m<strong>wa</strong>mko k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>dau<br />

mbalimbali kuhusu kuwepo<br />

k<strong>wa</strong> mahusiano ya tafiti na<br />

huduma za ugani <strong>katika</strong><br />

kuendeleza shughuli za<br />

ukuzaji viumbe kwenye maji.<br />

3. Kuhamasisha ushiriki <strong>wa</strong><br />

<strong>wa</strong>tafiti na <strong>wa</strong>kuzaji <strong>wa</strong><br />

viumbe kwenye maji <strong>katika</strong><br />

maonyesho<br />

mazingira.<br />

ya kilimo na<br />

Matokeo taraji<strong>wa</strong> Asasi<br />

husika<br />

Kuongezeka k<strong>wa</strong> muda<br />

<strong>wa</strong> uhifadhi <strong>wa</strong> mazao ya<br />

ukuzaji viumbe kwenye<br />

maji<br />

Kuongezeka k<strong>wa</strong> muda<br />

<strong>wa</strong> samaki ku<strong>wa</strong> <strong>katika</strong><br />

hali ya ubora <strong>wa</strong>ke.<br />

Kuongezeka k<strong>wa</strong><br />

teknolojia mahsusi <strong>katika</strong><br />

ukuzaji <strong>wa</strong> viumbe<br />

kwenye maji<br />

Kuongezeka k<strong>wa</strong><br />

teknolojia mahsusi <strong>katika</strong><br />

ukuzaji <strong>wa</strong> viumbe<br />

kwenye maji.<br />

Kuongezeka k<strong>wa</strong><br />

teknolojia mahsusi <strong>katika</strong><br />

ukuzaji <strong>wa</strong> viumbe<br />

kwenye maji.<br />

67<br />

WMUV NA<br />

TAMISEMIn<br />

a <strong>sekta</strong><br />

binafsi<br />

WMUV NA<br />

TAMISEMI<br />

na <strong>sekta</strong><br />

binafsi<br />

WMUV NA<br />

TAMISEMIn<br />

a <strong>sekta</strong><br />

binafsi<br />

WMUV NA<br />

TAMISEMI<br />

na <strong>sekta</strong><br />

binafsi<br />

WMUV NA<br />

TAMISEMI<br />

na <strong>sekta</strong><br />

binafsi<br />

Muda <strong>wa</strong> Viashiria<br />

utekelez<br />

aji<br />

2009/20 Idadi ya vi<strong>wa</strong>nda<br />

2009/21 • Ubora <strong>wa</strong> mazao<br />

ya samaki k<strong>wa</strong><br />

kipindi kirefu<br />

• Aina tofauti za<br />

mazao ya samaki<br />

yaliyotokana na<br />

ukuzaji.<br />

2009/23 Idadi ya teknologia<br />

zinazo<strong>wa</strong>fikia<br />

2009/20 Idadi ya teknologia<br />

zinazotumika<br />

2009/23 • Idadi ya ushiriki<br />

• Idadi ya tafiti<br />

<strong>katika</strong> muda<br />

husika


Mkakati Mkakati<br />

maalumu<br />

Kuhamasisha<br />

uwekezaji <strong>katika</strong><br />

uzalishaji <strong>wa</strong><br />

vifaranga/mbegu<br />

bora za samaki.<br />

Kuhamasisha<br />

uwekezaji <strong>katika</strong><br />

utengenezaji <strong>wa</strong><br />

vyakula vya<br />

samaki.<br />

Kuongeza<br />

uzalishaji na<br />

ubora <strong>wa</strong><br />

mbegu za<br />

samaki.<br />

Kuongeza<br />

utengenezaji <strong>wa</strong><br />

vyakula bora<br />

vya samaki.<br />

Shughuli/Mbinu za<br />

utekelezaji<br />

4. Kuanzisha siku ya <strong>wa</strong>kuza<br />

viumbe kwenye maji kitaifa<br />

1. Kutoa m<strong>wa</strong>mko k<strong>wa</strong><br />

<strong>wa</strong>wekezaji binafsi kuhusu<br />

fursa zilizopo <strong>katika</strong><br />

uzalishaji <strong>wa</strong> vifaranga vya<br />

samaki.<br />

2. Kuanzisha ushirikiano kati ya<br />

Asasi binafsi na za umma<br />

<strong>katika</strong> kuanzisha vituo vya<br />

kuzalishia mbegu bora za<br />

vifaranga.<br />

3. Kuhamasisha matumizi ya<br />

teknolojia rahisi zilizopo<br />

<strong>katika</strong> uzalishaji <strong>wa</strong><br />

vifaranga.<br />

1. Kutoa m<strong>wa</strong>mko k<strong>wa</strong><br />

<strong>wa</strong>wekezaji binafsi juu ya<br />

utengenezaji <strong>wa</strong> vyakula vya<br />

samaki.<br />

Matokeo taraji<strong>wa</strong> Asasi<br />

husika<br />

Kuongezeka k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>kuzaji<br />

viumbe kwenye maji<br />

Kuongezeka k<strong>wa</strong><br />

uzalishaji<br />

Kuongezeka k<strong>wa</strong><br />

uzalishaji <strong>wa</strong> mbegu bora<br />

Kuongezeka k<strong>wa</strong><br />

uzalishaji<br />

Kuongezeka k<strong>wa</strong><br />

uzalishaji <strong>wa</strong> mazao bora<br />

yatokanayo na ukuzaji <strong>wa</strong><br />

viumbe kwenye maji.<br />

68<br />

WMUV NA<br />

TAMISEMI<br />

and Private<br />

sectors<br />

WMUV NA<br />

TAMISEMI<br />

na <strong>sekta</strong><br />

binafsi<br />

WMUV na<br />

TAMISEMI<br />

na Asasi<br />

binafsi<br />

WMUV NA<br />

TAMISEMI,<br />

LGAs na<br />

<strong>sekta</strong> binafsi<br />

WMUV NA<br />

TAMISEMI,<br />

LGAs na<br />

<strong>sekta</strong> binafsi<br />

Muda <strong>wa</strong> Viashiria<br />

utekelez<br />

aji<br />

2009/23 Uzalishaji <strong>wa</strong> mazao<br />

yatokanayo na<br />

ukuzaji viumbw<br />

kwenye maji.<br />

2009/23 Uzalishaji <strong>wa</strong> mazao<br />

yatoakanayo na<br />

ukuzaji <strong>wa</strong> viumbe<br />

kwenye maji<br />

2009/23 • Uzalishaji <strong>wa</strong><br />

mazao bora<br />

• Idadi ya vituo<br />

vya uzalishaji<br />

vifaranga<br />

2009/23 Uzalishaji <strong>wa</strong> mazao<br />

yatokanayo na<br />

ukuzaji <strong>wa</strong> viumbe<br />

kwenye maji<br />

2009/23 • Uzalishaji <strong>wa</strong><br />

mazao<br />

yatokanayo na<br />

ukuzaji <strong>wa</strong><br />

viumbe kwenye<br />

maji<br />

• Aina tofauti za<br />

vyakula vya<br />

samaki.


Mkakati Mkakati<br />

maalumu<br />

Kujenga uwezo<br />

k<strong>wa</strong> rasilimali <strong>wa</strong>tu<br />

na taasisi husika<br />

<strong>katika</strong> kuzuia,<br />

kuchunguza na<br />

kutibu magonj<strong>wa</strong><br />

ya viumbe<br />

Kuongeza<br />

ufanisi <strong>wa</strong><br />

kiutendaji<br />

<strong>katika</strong> kuzuia,<br />

kuchunguza na<br />

kutibu<br />

magonj<strong>wa</strong> ya<br />

Shughuli/Mbinu za<br />

utekelezaji<br />

2. Kuanzisha ushirikiano kati ya<br />

Asasi binafsi na za umma <strong>wa</strong><br />

kuanzisha vi<strong>wa</strong>nda na<br />

kutengeneza vyakula bora vya<br />

samaki.<br />

3. Kuhamasisha matumizi ya<br />

teknolojia rahisi zilizopo <strong>katika</strong><br />

utengenezaji <strong>wa</strong> vyakula vya<br />

samaki<br />

4. Kuhamasisha matumizi ya<br />

teknolojia rahisi zilizopo <strong>katika</strong><br />

uzalishaji <strong>wa</strong> vyakula hai vya<br />

samaki mfano<br />

( Artemia na Rotifer)<br />

1. Kutoa mafunzo k<strong>wa</strong><br />

<strong>wa</strong>taalam <strong>wa</strong> uvuvi na<br />

maafisa ugani juu ya<br />

uchunguzi na matibabu ya<br />

magonj<strong>wa</strong> ya viumbe<br />

<strong>wa</strong>naokuz<strong>wa</strong> kwenye maji<br />

Matokeo taraji<strong>wa</strong> Asasi<br />

husika<br />

Kuongezeka k<strong>wa</strong><br />

uzalishaji<br />

Kuongezeka k<strong>wa</strong><br />

uzalishaji<br />

Kuongezeka k<strong>wa</strong><br />

uzalishaji<br />

Kuongezeka k<strong>wa</strong> ufanisi<br />

<strong>wa</strong> kiutendaji <strong>katika</strong><br />

kuzuia, kuchunguza na<br />

kutibu magonj<strong>wa</strong> ya<br />

viumbe <strong>wa</strong>naokuz<strong>wa</strong><br />

kwenye maji<br />

69<br />

WMUV NA<br />

TAMISEMIn<br />

a <strong>sekta</strong><br />

binafsi<br />

WMUV NA<br />

TAMISEMI,<br />

LGAs na<br />

<strong>sekta</strong> binafsi<br />

WMUV NA<br />

TAMISEMI,<br />

LGAs na<br />

<strong>sekta</strong> binafsi<br />

WMUV NA<br />

TAMISEMI,<br />

LGAs na<br />

<strong>sekta</strong> binafsi<br />

Muda <strong>wa</strong> Viashiria<br />

utekelez<br />

aji<br />

2009/23 Uzalishaji <strong>wa</strong> mazao<br />

bora yatokanayo na<br />

ukuzaji <strong>wa</strong> viumbe<br />

kwenye maji<br />

2009/23 • Uzalishaji <strong>wa</strong><br />

mazao<br />

yatokanayo na<br />

ukuzaji <strong>wa</strong><br />

viumbe kwenye<br />

maji<br />

• Teknolojia<br />

kutumika.<br />

2009/23 • Uzalishaji <strong>wa</strong><br />

mazao<br />

yatokanayo na<br />

ukuzaji <strong>wa</strong><br />

viumbe kwenye<br />

maji<br />

• Teknolojia<br />

kutumika.<br />

2009/23 • Matukio ya<br />

mlipuko <strong>wa</strong><br />

magonj<strong>wa</strong><br />

• Kuzuia matukio<br />

ya mlipuko <strong>wa</strong><br />

magonj<strong>wa</strong>


Mkakati Mkakati<br />

maalumu<br />

<strong>wa</strong>naokuz<strong>wa</strong><br />

kwenye maji<br />

Kuhamasisha<br />

uanzish<strong>wa</strong>ji na<br />

upatikanaji <strong>wa</strong><br />

nyenzo za mikopo<br />

k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>kuzaji<br />

viumbe kwenye<br />

maji<br />

Kuanzisha mfumo<br />

<strong>wa</strong> habari na<br />

mtandao <strong>wa</strong><br />

masoko ya bidhaa<br />

viumbe<br />

<strong>wa</strong>naokuz<strong>wa</strong><br />

kwenye maji<br />

Kuongeza<br />

upatikanaji <strong>wa</strong><br />

nyenzo za<br />

mikopo k<strong>wa</strong><br />

<strong>wa</strong>kuzaji<br />

viumbe kwenye<br />

maji<br />

Kuongeza<br />

upatikanaji <strong>wa</strong><br />

taarifa za<br />

masoko ya<br />

Shughuli/Mbinu za<br />

utekelezaji<br />

2. Kutoa vifaa k<strong>wa</strong> taasisi za<br />

utafiti <strong>wa</strong> samaki/vituo k<strong>wa</strong><br />

ajili ya uchunguzi na<br />

matibabu ya magonj<strong>wa</strong> ya<br />

samaki.<br />

3. Kutoa elimu k<strong>wa</strong> jamii<br />

kuhusu magonj<strong>wa</strong> ya<br />

ka<strong>wa</strong>ida ya samaki, vimelea<br />

vya magonj<strong>wa</strong> na jinsi ya<br />

kudhibiti.<br />

1. Kuhamasisha na kusaidia<br />

upatikanaji <strong>wa</strong> ardhi inayofaa<br />

kutumika kama dhamana ya<br />

kupatia mikopo k<strong>wa</strong> shughuli<br />

za ukuzaji viumbe kwenye<br />

maji<br />

2. Ku<strong>wa</strong>sisitiza <strong>wa</strong>kulima na<br />

<strong>wa</strong>wekezaji kuandaa<br />

maandiko ya miradi yenye<br />

kujiuza ili <strong>wa</strong>weze<br />

kufadhili<strong>wa</strong><br />

3. Kuhamasisha uanzishaji <strong>wa</strong><br />

vyama vya <strong>wa</strong>kuzaji viumbe<br />

kwenye maji na vyama vya<br />

kuweka na kukopa (SACCOs)<br />

1. Kuunda mfumo <strong>wa</strong> habari <strong>wa</strong><br />

soko la mazao ya ukuzaji<br />

viumbe kwenye maji<br />

Matokeo taraji<strong>wa</strong> Asasi<br />

husika<br />

Kuongezeka k<strong>wa</strong> ufanisi<br />

<strong>wa</strong> kiutendaji <strong>katika</strong><br />

kuzuia, kuchunguza na<br />

kutibu<br />

samaki<br />

magonj<strong>wa</strong> ya<br />

Kuongezeka k<strong>wa</strong> ufanisi<br />

<strong>wa</strong> kiutendaji <strong>katika</strong><br />

kuzuia, kuchunguza na<br />

kutibu<br />

samaki<br />

magonj<strong>wa</strong> ya<br />

Kuongezeka k<strong>wa</strong><br />

uzalishaji <strong>wa</strong> mazao<br />

yatokanayo na ukuzaji<br />

viumbe kwenye maji<br />

Kuongezeka k<strong>wa</strong><br />

uzalishaji <strong>wa</strong> mazao<br />

yatokanayo na ukuzaji<br />

viumbe kwenye maji<br />

Kuongezeka k<strong>wa</strong> vyama<br />

endelevu vya <strong>wa</strong>kuzaji<br />

viumbe kwenye maji<br />

Kuongezeka k<strong>wa</strong> kipato<br />

kutokana na mazao ya<br />

ukuzaji viumbe kwenye<br />

maji.<br />

70<br />

WMUV NA<br />

TAMISEMI,<br />

LGAs na<br />

<strong>sekta</strong> binafsi<br />

WMUV NA<br />

TAMISEMI,<br />

LGAs na<br />

<strong>sekta</strong> binafsi<br />

WMUV NA<br />

TAMISEMI,<br />

LGAs na<br />

<strong>sekta</strong> binafsi<br />

WMUV NA<br />

TAMISEMI,<br />

LGAs na<br />

<strong>sekta</strong> binafsi<br />

WMUV NA<br />

TAMISEMI,<br />

LGAs na<br />

<strong>sekta</strong> binafsi<br />

WMUV NA<br />

TAMISEMI,<br />

LGAs na<br />

<strong>sekta</strong> binafsi<br />

Muda <strong>wa</strong> Viashiria<br />

utekelez<br />

aji<br />

2009/23 • Taarifa<br />

kusambaz<strong>wa</strong><br />

<strong>katika</strong> <strong>wa</strong>kati<br />

muafaka<br />

• Ufanisi kiutendaji<br />

2009/23 • Taarifa ya<br />

kuwepo<br />

magonj<strong>wa</strong><br />

• Hatua<br />

k<strong>wa</strong><br />

2009/23<br />

zilizochukuli<strong>wa</strong>.<br />

• Kipato<br />

2009/20 • Kipato<br />

• Idadi ya <strong>wa</strong>kuzaji<br />

viumbe kwenye<br />

maji<br />

<strong>wa</strong>liowezesh<strong>wa</strong><br />

2009/18 • Idadi ya vyama<br />

vya ushirika na<br />

SACCOs<br />

zilizound<strong>wa</strong><br />

• Mikopo yenye tija<br />

kupatikana<br />

2009/17 Kipato


Mkakati Mkakati<br />

maalumu<br />

za ukuzaji <strong>wa</strong><br />

viumbe kwenye<br />

maji<br />

mazao ya<br />

ukuzaji viumbe<br />

kwenye maji<br />

Shughuli/Mbinu za<br />

utekelezaji<br />

2. Kujenga mtandao <strong>wa</strong> mfumo<br />

<strong>wa</strong> habari za masoko ya mazao<br />

ya ukuzaji viumbe kwenye maji<br />

3. Kuhamasisha <strong>wa</strong>kuzaji viumbe<br />

kwenye maji na <strong>wa</strong>dau wengine<br />

kutumia taarifa za masoko ya<br />

mazao hayo<br />

Chanzo: Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi<br />

Matokeo taraji<strong>wa</strong> Asasi<br />

husika<br />

Kuongezeka k<strong>wa</strong><br />

m<strong>wa</strong>mko juu ya masoko<br />

ya mazao ya ukuzaji<br />

viumbe kwenye maji.<br />

Kuongezeka k<strong>wa</strong> kipato<br />

kutokana na mazao ya<br />

ukuzaji viumbe kwenye<br />

maji.<br />

71<br />

WMUV NA<br />

TAMISEMI<br />

na <strong>sekta</strong><br />

binafsi<br />

WMUV NA<br />

TAMISEMI,<br />

LGAs na<br />

<strong>sekta</strong> binafsi<br />

Muda <strong>wa</strong> Viashiria<br />

utekelez<br />

aji<br />

2009/17 • Kipato<br />

• Masoko<br />

2009/18 • Kipato


2.2.10 Kilimo cha M<strong>wa</strong>ni<br />

Ukulima <strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ni baharini ni kati ya fursa k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>nanchi <strong>wa</strong>ishio <strong>katika</strong> p<strong>wa</strong>ni ya<br />

nchi yetu, ambayo <strong>wa</strong>lianza kuitumia kuanzia m<strong>wa</strong>nzoni m<strong>wa</strong> miaka ya 1980.<br />

Hadi m<strong>wa</strong>ka 2008, kilimo cha m<strong>wa</strong>ni kimetoa ajira k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>tu zaidi ya 3,000<br />

<strong>wa</strong>ishio <strong>katika</strong> mikoa ya Tanga, P<strong>wa</strong>ni, Dar es Salaam, Lindi na Mt<strong>wa</strong>ra. Kuanzia<br />

m<strong>wa</strong>ka 2005/2006 hadi 2008/2009 tani 940 za m<strong>wa</strong>ni mkavu zimezalish<strong>wa</strong> na<br />

kati ya hizo tani 320 zenye thamani ya Dola za Kimarekani 136,000 ziliuz<strong>wa</strong> nje<br />

ya nchi. Vilevile, Wizara imetoa mafunzo ya ujasiriamali na uboreshaji <strong>wa</strong> kilimo<br />

cha m<strong>wa</strong>ni k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>kulima 783 <strong>wa</strong> ukanda <strong>wa</strong> p<strong>wa</strong>ni,<br />

Kuna aina mbili za m<strong>wa</strong>ni mwekundu zinazokuz<strong>wa</strong> Tanzania ni spinosum<br />

(Eucheuma denticulatum) na kotoni (Kappaphycus alvarezii). Kotoni ndio wenye<br />

bei kub<strong>wa</strong> ya kati ya shilingi 200 - 300 k<strong>wa</strong> kilo moja k<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka 2008 <strong>wa</strong>kati<br />

spinosum iliuz<strong>wa</strong> kati ya shilingi 150 - 250 k<strong>wa</strong> kilo moja k<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka huo huo.<br />

M<strong>wa</strong>ni husindik<strong>wa</strong> na kutoa kemikali zinazotumika kama binding agent <strong>katika</strong><br />

kutengenezea vitu mbalimbali kama vile shampoo, chokoleti, da<strong>wa</strong> za meno, nk.<br />

M<strong>wa</strong>ni unaozalish<strong>wa</strong> nchini huuz<strong>wa</strong> Ulaya hususan nchi za Scandinavia, Marekani,<br />

China na nchi zingine za Asia.<br />

Changamoto za ufugaji <strong>wa</strong> viumbe kwenye maji<br />

(i) Upatikanaji <strong>wa</strong> mitaji k<strong>wa</strong> ajili ya miundombinu ya uzalishaji, uchakataji,<br />

uhifadhi na usambazaji <strong>wa</strong> samaki na mazao ya uvuvi k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>wekezaji<br />

<strong>wa</strong>liojitokeza <strong>katika</strong> fani hii;<br />

(ii) Halmashauri kuajiri <strong>wa</strong>taalamu <strong>wa</strong> kutosha <strong>wa</strong> fani ya ufugaji na ukuzaji<br />

viumbe kwenye maji;<br />

(iii) Kuongeza vituo vya uzalishaji <strong>wa</strong> vifaranga na kupanua huduma za ugani;<br />

(iv) Upatikanaji <strong>wa</strong> vyakula bora vya samaki na viumbe wengine kwenye maji; na<br />

(v) Elimu k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>nanchi kuhusu manufaa ya ufugaji na ukuzaji <strong>wa</strong> viumbe kwenye<br />

maji.<br />

Jed<strong>wa</strong>li Na. 5: Idadi ya Mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> <strong>katika</strong> Mikoa 2008/2009<br />

Na. Mkoa Idadi ya Mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong><br />

Mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> ya kuchimba Malambo<br />

1. Arusha 691 13<br />

2. Dar es Salaam 37 11<br />

3. Dodoma 85<br />

4. Iringa 3,137 57<br />

5. Kagera 92<br />

6. Kigoma 135<br />

7. Kilimanjaro 1,660<br />

8. Lindi 367 42<br />

9. Mara 105 81<br />

10. Mbeya 1,176 4<br />

11. Morogoro 452 23<br />

12. Mt<strong>wa</strong>ra 230 272


13. M<strong>wa</strong>nza 44 76<br />

14. P<strong>wa</strong>ni 86 39<br />

15. Ruk<strong>wa</strong> 13 3<br />

16. Ruvuma 4,942<br />

17. Shinyanga 11 60<br />

18. Singida 147 53<br />

19. Manyara - 61<br />

20. Tabora 112 71<br />

21. Tanga 453 91<br />

Jumla 14,169 999<br />

Chanzo: Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, 2008<br />

73


SURA YA SITA<br />

KILIMO CHA MWANI<br />

KIKUNDI CHA WAKULIMA WA MWANI<br />

MALIWAZANO FARMERS ASSOCIATION NDUMBANI – KIJIRU-MOA-<br />

1 UTANGULIZI<br />

MKINGA<br />

Sisi ni <strong>wa</strong>kulima na <strong>wa</strong>vuvi tunaofanya shughuli zetu <strong>katika</strong> Kitongoji cha Kijiru,<br />

tuliku<strong>wa</strong> <strong>katika</strong> mfumo <strong>wa</strong> <strong>wa</strong>vuvi na <strong>wa</strong>kulima binafsi na mara nyingi tumejikuta<br />

hatupati mafanikio pamoja na mahitaji muhimu kama tulivyotegemea. Hii<br />

ilisababish<strong>wa</strong> na hali ya kutoku<strong>wa</strong> na chombo kimoja chenye nguvu ambacho<br />

kitasimamia masuala yetu ya kilimo cha m<strong>wa</strong>ni na uvuvi kutokana na ukweli ku<strong>wa</strong><br />

umoja ni nguvu. Sisi <strong>wa</strong>kulima na <strong>wa</strong>vuvi k<strong>wa</strong> pamoja tuliweze kukubaliana<br />

tukaanzisha umoja <strong>wa</strong> <strong>wa</strong>kulima na <strong>wa</strong>vuvi “MALIWAZANO ASSOCIATION”;<br />

chini ya usimamizi <strong>wa</strong> mradi <strong>wa</strong> ACDI/VOCA SEMA unaofadhili<strong>wa</strong> na Shirika la<br />

Misaada la Kimataifa la Marekani (USAID). Kikundi kilianzish<strong>wa</strong> tarehe<br />

15/11/2005, na kina jumla ya <strong>wa</strong>nachama; 58, <strong>wa</strong>naume 28 na <strong>wa</strong>na<strong>wa</strong>ke 30.<br />

Kikundi kimesajili<strong>wa</strong> na Wizara ya Mambo ya Ndani tarehe 1/6/2006 na namba<br />

ya usajili ni 14360.<br />

Kikundi kilianzish<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> michango mbalimbali ili kutunisha mfuko <strong>wa</strong> Chama.<br />

Kiingilio cha uanachama kiliku<strong>wa</strong> shilingi 5,000/= na ada za kila mwezi ambazo<br />

tulianza na shilingi 2,000/= tangu Aprili, 2008.<br />

Kikundi chetu tumekiendeleza k<strong>wa</strong> uendeshaji <strong>wa</strong> miradi mbalimbali ikiwemo<br />

ununuzi na uuzaji <strong>wa</strong> samaki aina ya changu, ukaushaji <strong>wa</strong> samaki (papa), ufugaji<br />

<strong>wa</strong> kuku <strong>wa</strong> kienyeji, ufugaji <strong>wa</strong> mbuzi <strong>wa</strong> nyama na kilimo cha m<strong>wa</strong>ni. Pia<br />

tumeanzisha chama cha kuweka na kukopa (SACCOs) k<strong>wa</strong> ajili ya kukopesha<br />

<strong>wa</strong>nakikundi pamoja na mfuko maalum k<strong>wa</strong> ajili ya kugharamia elimu k<strong>wa</strong> vijana<br />

wetu.<br />

2 MRADI WA KULIMA MWANI<br />

Ukulima <strong>wa</strong> M<strong>wa</strong>ni ulianza mwezi Oktoba, 2007 baada ya kupata ushauri na elimu<br />

juu ya kilimo cha m<strong>wa</strong>ni na biashara ya m<strong>wa</strong>ni. Mafunzo yaliyotole<strong>wa</strong> na mradi<br />

<strong>wa</strong> ACDI/VOCA/SEMMA. Baada ya ushauri huu tulikubaliana <strong>wa</strong>nachama wote<br />

ku<strong>wa</strong> tutoe pesa Benki kiasi cha shilingi 500,000/= k<strong>wa</strong> lengo la kununua<br />

kamba ili tuanzishe kilimo cha m<strong>wa</strong>ni aina ya spinosum.<br />

Baada ya kutoa pesa hiyo tulinunua kamba pamoja na mbegu k<strong>wa</strong> shilingi<br />

50,000/= na tulipanda mara ya m<strong>wa</strong>nzo kamba 150. Baada ya wiki sita<br />

tulivuna na kuongeza idadi ya kamba kutoka 150 na kufikia jumla ya kamba 300.


Baada ya hapo, tulisubiri tena muda <strong>wa</strong> wiki sita tukaanza mavuno na kuanza<br />

kukausha m<strong>wa</strong>ni huo aina ya spinosum. Mauzo ya k<strong>wa</strong>nza tuliuza kilo 1,200 na<br />

kupata jumla ya shilingi 204,000/= k<strong>wa</strong> bei ya shilingi 170/= k<strong>wa</strong> kilo moja.<br />

Tuliporudia tena mavuno ya pili, tumevuna kilo 2,500 ambazo bado hatujauza.<br />

3 MATATIZO<br />

Kwenye uzalishaji <strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ni tulikumbana na matatizo yafuatayo;<br />

Kutoku<strong>wa</strong> na pembejeo za kutosha kama kamba, maboya na tie - tie, pia<br />

ukosefu <strong>wa</strong> vifaa vya kazi kama vile <strong>mada</strong>u k<strong>wa</strong> ajili kubebea m<strong>wa</strong>ni na mbegu,<br />

<strong>wa</strong>raka (vifaa) k<strong>wa</strong> ajili ya kufunikia m<strong>wa</strong>ni <strong>wa</strong>kati <strong>wa</strong> mvua, ukosefu <strong>wa</strong> ghala<br />

pamoja na soko la uhakika.<br />

K<strong>wa</strong> kugundua kero hizo tuliweza kushirikiana na <strong>wa</strong>wezeshaji wetu <strong>wa</strong><br />

ACDI/VOCA Mradi <strong>wa</strong> SEMMA <strong>wa</strong>kaweza kutuunganisha na Mradi <strong>wa</strong> Usimamizi<br />

<strong>wa</strong> Bahari na Mazingira ya P<strong>wa</strong>ni (MACEMP) ambao upo nchini ya Wizara ya<br />

Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi. Tulituma maombi yetu kwenye ofisi ya mradi <strong>wa</strong><br />

MACEMP na kuainisha kero hizo ili tuweze kupati<strong>wa</strong> msaada. Ombi letu<br />

lilikubalika na kupitish<strong>wa</strong>, hivyo tulipe<strong>wa</strong> shilingi milioni 50.<br />

4 MATUMIZI YA FEDHA TULIYOPATA KUTOMA MACEMP<br />

Baada ya kupata fedha hizo tuliweza kununua;<br />

• kamba,<br />

• mbegu,<br />

• kuunda vyombo (<strong>mada</strong>u) kumi,<br />

• ujenzi <strong>wa</strong> ghala,<br />

• <strong>wa</strong>raka (vifaa) <strong>wa</strong> kuafunikia m<strong>wa</strong>ni <strong>wa</strong>kati <strong>wa</strong> mvua,<br />

• ununuzi <strong>wa</strong> maboya, na<br />

• kupata mafunzo mbalimbali.<br />

Tunatoa shukurani zetu za dhati k<strong>wa</strong> Serikali yetu tukufu, Wizara ya Maendeleo<br />

ya Mifugo na Uvuvi pamoja na Mradi <strong>wa</strong> MACEMP k<strong>wa</strong> kutujali na kutuwezesha<br />

kutekeleza shughuli zetu za kuendeleza kilimo cha m<strong>wa</strong>ni.<br />

5 HALI YA KIKUNDI BAADA YA KUPATA FEDHA ZA MACEMP NA<br />

KUNUNUA VIFAA<br />

M<strong>wa</strong>ni tunaolima sasa ni aina ya kotonii na jumla tupo <strong>wa</strong>kulima 45; <strong>wa</strong>naume<br />

22 na <strong>wa</strong>na<strong>wa</strong>ke 23. Lengo letu ni kufikia <strong>wa</strong>kulima <strong>wa</strong>nachama 60 na kila<br />

mkulima ku<strong>wa</strong> na kamba zaidi ya 100 zenye urefu <strong>wa</strong> mita 20 kila moja. K<strong>wa</strong><br />

<strong>wa</strong>kulima 45 <strong>wa</strong> sasa na kila mmoja ku<strong>wa</strong> na kamba 100, tunatarajia kuvuna tani<br />

20 k<strong>wa</strong> msimu.<br />

75


6 HITIMISHO<br />

K<strong>wa</strong> msaada huu tunaimani ku<strong>wa</strong> tutatekeleza shughuli zetu vizuri na k<strong>wa</strong> ufanisi<br />

na mafanikio makub<strong>wa</strong>. K<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong> tunaendesha shughuli zetu k<strong>wa</strong> misingi ya<br />

kibiashara, tunaimani ku<strong>wa</strong> shughuli zetu zitaku<strong>wa</strong> endelevu pia.<br />

Matarajio yetu <strong>katika</strong> kulima m<strong>wa</strong>ni ni k<strong>wa</strong>mba, biashara hii itatuwezesha<br />

kuongeza kipato, kulipia karo za shule, kulipia matibabu na mambo mengine ya<br />

kimaendeleo, k<strong>wa</strong> jamii zetu.<br />

K<strong>wa</strong> kumalizia tunaahidi ku<strong>wa</strong> tutaendelea kutekeleza kauli mbiu ya TAIFA ya<br />

KILIMO KWANZA MAPINDUZI YA KIJANI UHAKIKIKA WA KIPATO NA<br />

CHAKULA.<br />

Ahsante.<br />

76


SURA YA SABA<br />

FURSA ZA UWEKEZAJI KATIKA SEKTA YA UVUVI<br />

Mada iliyo<strong>wa</strong>silish<strong>wa</strong> kwenye Mkutano <strong>wa</strong> Kuhamasisha Uvuvi<br />

Bora na Endelevu Tanzania, 16-18 Desemba 2009, M<strong>wa</strong>nza<br />

Imeandali<strong>wa</strong> na Bw. Korongo<br />

Ofisi ya Rais – Tume ya Mipango


1.0 Utangulizi<br />

FURSA ZA UWEKEZAJI KATIKA SEKTA YA UVUVI<br />

Mada hii inaangalia nafasi ya <strong>sekta</strong> ya uvuvi na fursa za kuwekeza ili kuboresha<br />

mchango <strong>wa</strong> <strong>sekta</strong> hiyo kwenye uchumi <strong>wa</strong> Tanzania. Nadhani itajikita zaidi<br />

<strong>katika</strong> kuangalia uwepo <strong>wa</strong> vyanzo/ rasilimali ya samaki pamoja na uwepo <strong>wa</strong><br />

soko la samaki kama fursa za msingi za kuwezesha uboreshaji. Aidha itaangalia<br />

k<strong>wa</strong> kifupi uvuvi <strong>wa</strong> kitalii ambao ni fursa moja<strong>wa</strong>po. Eneo lingine ambalo<br />

changamoto hizo aidha <strong>mada</strong> itaangalia juhudi mbalimbali zilizopo za kuzitumia<br />

fursa hizi k<strong>wa</strong> ajili ya maendeleo yetu; na <strong>mada</strong> hii itaangalia changamoto<br />

zinazokabili <strong>sekta</strong> ya uvuvi Tanzania na kushauri njia za kukabiliana na<br />

changamoto hizo.<br />

Sekta ya uvuvi ni moja<strong>wa</strong>po ya <strong>sekta</strong> muhimu Tanzania, ambayo huchangia<br />

<strong>katika</strong> uchumi na maendeleo ya nchi. Huchangia kwenye pato la Taifa k<strong>wa</strong><br />

kutoa ajira na kipato k<strong>wa</strong> idadi kub<strong>wa</strong> ya <strong>wa</strong>nanchi na pia ku<strong>wa</strong>patia <strong>wa</strong>nanchi<br />

chakula na lishe bora. Mchango <strong>wa</strong> <strong>sekta</strong> ya uvuvi <strong>katika</strong> pato la taifa k<strong>wa</strong><br />

m<strong>wa</strong>ka 2008 ni asilimia 1.2. K<strong>wa</strong> njia hiyo <strong>sekta</strong> inachangia kutekeleza Mkakati<br />

<strong>wa</strong> Taifa <strong>wa</strong> Kukuza Uchumi na Kupunguza Umaskini (MKUKUTA). Pia <strong>sekta</strong> hii<br />

huchangia kiasi kikub<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> mapato ya fedha za kigeni. Tanzania ina eneo<br />

kub<strong>wa</strong> la bahari, Mito na mazi<strong>wa</strong> ambayo yanafaa k<strong>wa</strong> uvuvi. Maeneo hayo ni<br />

urithi <strong>wa</strong> <strong>wa</strong>tanzania na yakitumi<strong>wa</strong> vizuri, yataleta maendeleo makub<strong>wa</strong> <strong>katika</strong><br />

jamii. Hata hivyo mchango <strong>wa</strong> <strong>sekta</strong> hii bado ni mdogo ikilinganish<strong>wa</strong> na fursa<br />

zilizopo. Hivyo, juhudi zaidi zinahitajika ili <strong>sekta</strong> hii iweze kutoa mchango<br />

mkub<strong>wa</strong> zaidi.<br />

2.0 Maendeleo ya ukuaji<br />

Kumekuwepo na hali za kubadilika badilika tunapoangalia maendeleo na ukuaji<br />

<strong>katika</strong> <strong>sekta</strong> ya uvuvi kunakotokana na sababu mbalimbali. K<strong>wa</strong> mfano, M<strong>wa</strong>ka<br />

2005 <strong>sekta</strong> hii ilikua k<strong>wa</strong> asilimia 7.3 ikilinganish<strong>wa</strong> na ukuaji <strong>wa</strong> asilimia 6.7<br />

<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka 2004; kuongezeka huku kulitokana na ongezeko la mahitaji ya<br />

samaki <strong>katika</strong> soko la Ulaya na pengine kuimarika k<strong>wa</strong> doria na udhibiti <strong>katika</strong><br />

maeneo yenye rasilimali za uvuvi. Lakini ki<strong>wa</strong>ngo cha ukuaji <strong>wa</strong> shughuli za<br />

uvuvi nchini <strong>katika</strong> m<strong>wa</strong>ka 2006 kilianza kushuka hadi kufikia asilimia 5.0<br />

ikilinganish<strong>wa</strong> na asilimia 7.3 ya m<strong>wa</strong>ka 2005. M<strong>wa</strong>ka 2007 ukuaji uliendelea<br />

kushuka na kufikia asilimia 4.5. Sababu za kushuka huku ni pamoja na:-<br />

Kuendelea k<strong>wa</strong> vitendo vya uvuvi haramu; Uharibifu <strong>wa</strong> mazingira <strong>katika</strong><br />

mazalia ya samaki; na Matumizi ya zana duni za uvuvi.<br />

3.0 Fursa za Uvuvi zilizopo Nchini<br />

Msingi mkuu <strong>wa</strong> fursa za uvuvi ni kuwepo k<strong>wa</strong> vyanzo/ rasilimali ya samaki<br />

nchini pamoja na kuwepo k<strong>wa</strong> soko la samaki ndani na nje ya nchi. Tanzania<br />

inayo mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> makub<strong>wa</strong> yanayozalisha samaki kama vile Mtera, Nyumba ya<br />

78


Mungu, Kidatu, n.k. mito yake mikub<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> midogo kama vile Rufiji, Ruvuma,<br />

Kilombero, Mtera na Pangani ni maarufu k<strong>wa</strong> samaki <strong>wa</strong> maji baridi. Vivyo<br />

hivyo k<strong>wa</strong> mazi<strong>wa</strong> yake makub<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> madogo kama vile Victoria, Tanganyika,<br />

Nyasa, Jipe, Natron na Manyara.<br />

Fursa za uwekezaji <strong>katika</strong> Ukanda <strong>wa</strong> Uchumi <strong>wa</strong> Bahari (EEZ)<br />

Tanzania ina eneo kub<strong>wa</strong> la bahari <strong>katika</strong> Bahari ya Hindi ambalo ni Ukanda <strong>wa</strong><br />

kipekee <strong>wa</strong> kiuchumi (Exclusive Economic Zone). Hapa <strong>wa</strong>nazalish<strong>wa</strong> samaki<br />

<strong>wa</strong> maji chumvi. Inakadiri<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong>mba eneo hili lina samaki aina ya jodari<br />

<strong>wa</strong>naofikia tani 18,000 licha ya aina nyingine za samaki na viumbe wengine<br />

<strong>wa</strong> kwenye maji <strong>wa</strong>naopatikana <strong>katika</strong> eneo hilo.<br />

K<strong>wa</strong> upande <strong>wa</strong> masoko, Tanzania ina soko kub<strong>wa</strong> la samaki na mazao ya<br />

samaki nje na ndani ya nchi. Idadi ya <strong>wa</strong>tu Tanzania inakadiri<strong>wa</strong> kufika milioni<br />

40, hii ni fursa kub<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> soko la samaki ndani ya nchi. Watanzania <strong>wa</strong>naoishi<br />

kandokando ya vyanzo vilivyotaj<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>navitegemea k<strong>wa</strong> asilimia kub<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong><br />

chakula na kama chanzo cha mapato (biashara). Aidha elimu kuhusu matumizi<br />

ya chakula na lishe bora imeongezeka miongoni m<strong>wa</strong> Watanzania wengi, na<br />

samaki ni moja <strong>katika</strong> vyakula vya aina hiyo. Yote haya yanachangia <strong>katika</strong><br />

kukuza soko la samaki.<br />

Taarifa ya Hali ya Uchumi <strong>wa</strong> Taifa k<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka 2007 inaonesha ku<strong>wa</strong> idadi ya<br />

<strong>wa</strong>vuvi <strong>wa</strong>liosajili<strong>wa</strong> nchini iliongezeka kutoka 156,544 ya m<strong>wa</strong>ka 2006 hadi<br />

kufikia 163,037 m<strong>wa</strong>ka 2007, <strong>wa</strong>kati ile ya 2008 inaonesha ku<strong>wa</strong> idadi ya<br />

<strong>wa</strong>vuvi <strong>wa</strong>liosajili<strong>wa</strong> nchini iliongezeka kutoka 163,037 ya m<strong>wa</strong>ka 2007 hadi<br />

kufikia 170,038 m<strong>wa</strong>ka 2008. Pamoja na kuongezeka <strong>wa</strong>vuvi bado<br />

ha<strong>wa</strong>jaweza kutosheleza soko la samaki ndani ya nchi, achilia mbali soko la<br />

nje. Hii inatokana hasa na teknolojia duni ya uhifadhi na usafirishaji <strong>wa</strong> samaki.<br />

Hali kadhalika, Tanzania ina nafasi kub<strong>wa</strong> ya kuteka soko la samaki Afrika<br />

Mashariki, hasa samaki <strong>wa</strong> maji chumvi, k<strong>wa</strong>ni nchi jirani za Uganda, R<strong>wa</strong>nda,<br />

na Burundi hazina eneo la bahari. Pia nchi jirani za Jamhuri ya Demokrasia ya<br />

Kongo, Zambia na Malawi hutegemea samaki <strong>wa</strong> maji chumvi kutoka nje.<br />

Tanzania ina nafasi kub<strong>wa</strong> ya kutumia fursa hii. Aidha, nchi za Ulaya ni <strong>wa</strong>teja<br />

<strong>wa</strong>kub<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> samaki kutoka Tanzania, hasa Sangara ambao <strong>wa</strong>navuli<strong>wa</strong> zi<strong>wa</strong><br />

Victoria. Pamoja na k<strong>wa</strong>mba zi<strong>wa</strong> hili linamiliki<strong>wa</strong> na nchi tatu, lakini Tanzania<br />

ina eneo kub<strong>wa</strong> (asilimia 51). Hivyo k<strong>wa</strong> uvunaji <strong>wa</strong> samaki, Tanzania ina<br />

nafasi ya kuvuna zaidi na kuweza kuuza kwenye soko la nje na ndani.<br />

Uwepo <strong>wa</strong> soko la samaki nje ya nchi unajidhihirisha k<strong>wa</strong> njia nyingi. Kutokana<br />

na taarifa ya Hali ya Uchumi ya m<strong>wa</strong>ka 2007, mauzo ya mazao uvuvi nje ya<br />

nchi yaliku<strong>wa</strong> Dola za Kimarekani 163.6 ambapo m<strong>wa</strong>ka 2008 yaliku<strong>wa</strong> Dola<br />

za Kimarekani 141.6. Aidha, kuna ki<strong>wa</strong>ngo kikub<strong>wa</strong> cha uvuvi haramu<br />

kinachofanyika <strong>katika</strong> bahari kub<strong>wa</strong> ya ukanda pekee <strong>wa</strong> kiuchumi <strong>wa</strong><br />

Tanzania. Samaki <strong>wa</strong>naovuli<strong>wa</strong> huko husafirish<strong>wa</strong> na kuuz<strong>wa</strong> nje. Mfano ulio<br />

79


hai ni kesi iliyopo mahakani ya <strong>wa</strong>tu <strong>wa</strong>liokamat<strong>wa</strong> na meli kub<strong>wa</strong> ambayo<br />

<strong>wa</strong>liku<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>naendelea kusheheneza hadi <strong>wa</strong>lipokamat<strong>wa</strong>. Ikumbukwe ku<strong>wa</strong><br />

samaki <strong>wa</strong>lioku<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>mevua ni aina maalumu yenye soko kub<strong>wa</strong> duniani kote.<br />

Hii ni fursa iliyolala kiasi cha <strong>wa</strong>janja kuimezea mate na kuanza kuipora.<br />

Bw. Ian Williamson (www.tanzania-info.co.uk) mwekezaji mzoefu <strong>katika</strong> uvuvi<br />

<strong>wa</strong> kitalii Tanzania anasema ku<strong>wa</strong> maji ya Tanzania ndio k<strong>wa</strong>nza yameanza<br />

kufahamika duniani, na hii ina maana ku<strong>wa</strong> ni maji ambayo hayajachafuli<strong>wa</strong><br />

na meli kub<strong>wa</strong> za uvuvi. K<strong>wa</strong> maana nyingine ni fursa au hazina ya kujivunia,<br />

ikitumi<strong>wa</strong> vizuri inaweza ikabadilisha maisha ya <strong>wa</strong>tanzania. Aliendelea kusema<br />

ku<strong>wa</strong> uvuvi ni ngome ya kiuchumi k<strong>wa</strong> maeneo mengi ya vijijini Tanzania na<br />

k<strong>wa</strong> haraka sana safari za uvuvi (fishing safaris) zimeanza kupata umaarufu<br />

mkub<strong>wa</strong> <strong>katika</strong> mito na mazi<strong>wa</strong>, <strong>wa</strong>kati ufukwe <strong>wa</strong> Bahari ya Hindi una utajiri<br />

<strong>wa</strong> “big-game fish”.<br />

Maji ya Kitaifa (Territorial <strong>wa</strong>ters)<br />

Eneo hili ndimo <strong>wa</strong>tanzania hujipatia kipato chao k<strong>wa</strong> kutumia vyombo vidogo<br />

na zana hafifu kutokana na uwezo mdogo kifedha. Eneo hili linaweza likaingiza<br />

kipato zaidi k<strong>wa</strong> kuwekeza <strong>katika</strong> vyombo ambavyo ni bora zaidi na kutumia<br />

vifaa/mbinu za kuvutia samaki (Fish Aggragating Device – FAD) . Aidha, uvuvi<br />

<strong>wa</strong> burudani (sport fishing) unaweza ukachangia <strong>katika</strong> pato linalotokana na<br />

eneo hili. Mchango mwingine <strong>wa</strong> eneo hili ni pamoja na kuteng<strong>wa</strong> maeneo<br />

maalum k<strong>wa</strong> ajili ya ukuzaji <strong>wa</strong> viumbe hai <strong>wa</strong> kwenye maji <strong>katika</strong> ki<strong>wa</strong>ngo cha<br />

kibiashara . Aidha, kuna fursa kub<strong>wa</strong> ya kuwekeza kwenye utalii <strong>wa</strong> ki-ikolojia.<br />

Fursa nyingine za kuwekeza kwenye maji baridi ni ujenzi <strong>wa</strong> mialo ya /vituo<br />

vya kupokelea samaki, huduma za uhifadhi <strong>wa</strong> samaki kama majokofu,<br />

mitambo ya ukaushaji <strong>wa</strong> samaki k<strong>wa</strong> kutumia nishati ya jua (solar drier). Eneo<br />

lingine la uwekezaji ni hutoaji <strong>wa</strong> huduma k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>vuvi na <strong>wa</strong>fanyabishara <strong>wa</strong><br />

mazao ya uvuvi kama vile migaha<strong>wa</strong>, vyoo, maduka na huduma za kijamii. Pia,<br />

ujenzi <strong>wa</strong> boti zisizotumia mbao k<strong>wa</strong> bei nafuu ”cheap non wooden boats,<br />

mfano – fibre boats”<br />

“Deep Sea Fishing”<br />

Katika maji ya bahari ya Hindi hupatikana aina fulani fulani za samaki k<strong>wa</strong><br />

wingi kuanzia mwezi Agosti hadi Novemba, ambao ni kivutio kikub<strong>wa</strong> cha uvuvi<br />

<strong>wa</strong> kitalii. Aina hizo ni pamoja na “the big yellowfin tuna”,”the large blue<br />

marlin” na marlin weusi na <strong>wa</strong> mistarimistari, wengine <strong>wa</strong>naopatikana <strong>wa</strong>kati<br />

huo ni “sailfish”, “king fish”, Dorado, Papa na Barracuda. Uvuvi <strong>wa</strong> aina hii<br />

unasimami<strong>wa</strong> na kampuni za <strong>wa</strong>tu binafsi zilizobobea <strong>katika</strong> masuala ya safari<br />

za baharini. Uvuvi <strong>wa</strong> ”Game” (Game fishing) umejipatia umaarufu hapa,<br />

unaenda vizuri k<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka mzima. K<strong>wa</strong> Tanzania Bara uvuvi <strong>wa</strong> aina hii ni<br />

maarufu zaidi Pangani na Dar es Salaam.<br />

80


Fursa za uwekezaji <strong>katika</strong> eneo hili ni pamoja na;-<br />

• Upatikanaji <strong>wa</strong> samaki k<strong>wa</strong> wingi na wenye thamani k<strong>wa</strong> ajili ya lishe na<br />

kuuza nje;<br />

• Kuongeza ajira;<br />

• Ujenzi <strong>wa</strong> vi<strong>wa</strong>nda vya kutengeneza barafu (Cold storage facilities),<br />

kusindika mazao ya uvuvi, vifungashio na kutengeneza vyakula vya<br />

mifugo, samaki na <strong>mada</strong><strong>wa</strong>;<br />

• Kuchangia <strong>katika</strong> utalii;<br />

• Kuvutia <strong>wa</strong>vuvi <strong>wa</strong> kimataifa na kitaifa;<br />

• Kuchochea matumizi ya teknolojia ya kisasa <strong>katika</strong> uvuvi k<strong>wa</strong> mfano<br />

matumizi ya Fish Aggregating Devices – FADs<br />

• Kuwekeza kwenye ujenzi <strong>wa</strong> bandari za uvuvi ili kuvutia vyombo<br />

vikub<strong>wa</strong> vya uvuvi vya kimataifa na kitaifa.<br />

Uvuvi <strong>katika</strong> Maji Baridi (Fresh<strong>wa</strong>ter fishing)<br />

”Fly and Lake Fishing” ni aina ya utalii, hairuhusiwi <strong>katika</strong> hifadhi za Taifa lakini<br />

inawezekana nje ya hifadhi ambapo <strong>wa</strong>vuvi wenyeji hu<strong>wa</strong>chukua <strong>wa</strong>talii <strong>katika</strong><br />

safari zao za kuvua na ku<strong>wa</strong>onesha sehemu nzuri za vivutio. Ha<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>vuvi<br />

wenyeji <strong>wa</strong>kihamasish<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>naweza <strong>wa</strong>kaitoa hiyo huduma kama huduma<br />

nyingine zozote <strong>katika</strong> utalii na <strong>wa</strong>kajipatia kipato.<br />

Uvuvi <strong>wa</strong> kwenye Mazi<strong>wa</strong> (Lake fishing)<br />

Katika mazi<strong>wa</strong> ya maji baridi pamoja na uvuvi <strong>wa</strong> ka<strong>wa</strong>ida unaofany<strong>wa</strong> na<br />

wenyeji ipo fursa ya <strong>wa</strong>geni kufanya uvuvi <strong>wa</strong> kitalii kuzungukia mazi<strong>wa</strong> ya<br />

Tanzania. Safari za uvuvi <strong>wa</strong> kitalii na ule <strong>wa</strong> ka<strong>wa</strong>ida zinaweza zikasimami<strong>wa</strong><br />

na <strong>wa</strong>vuvi wenyeji <strong>katika</strong> vijiji vya jirani hasa bandari za M<strong>wa</strong>nza na Musoma<br />

(ambazo ni maarufu k<strong>wa</strong> shughuli hiyo) na zika<strong>wa</strong>nufaisha wenyeji kama<br />

chanzo kizuri cha mapato. Zi<strong>wa</strong> Victoria ambalo ni kub<strong>wa</strong> kuliko mazi<strong>wa</strong> yote<br />

<strong>katika</strong> bara la Afrika lina nafasi nzuri ya uvuvi <strong>wa</strong> namna hii. Eneo hili limeku<strong>wa</strong><br />

kituo muhimu cha kiuchumi k<strong>wa</strong> Tanzania kutokana uvuvi pamoja na kilimo<br />

<strong>katika</strong> maeneo yanayolizunguka zi<strong>wa</strong>. Kufuatia biashara na nchi jirani bandari<br />

za Zi<strong>wa</strong> Victoria zina mchango mkub<strong>wa</strong> <strong>katika</strong> kukuza uchumi. Wenyeji<br />

<strong>wa</strong>kihamasish<strong>wa</strong> vizuri na <strong>wa</strong>kawezesh<strong>wa</strong> mchango <strong>wa</strong>o <strong>katika</strong> uchumi<br />

utaongezeka na kuimarika zaidi.<br />

Fly fishing<br />

Aina hii ya uvuvi hufanyika <strong>katika</strong> mito mingi na mifereji mikub<strong>wa</strong> hapa nchini.<br />

Hufanyika mara baada ya mvua k<strong>wa</strong> sababu kipindi hicho mito na mifereji<br />

mikub<strong>wa</strong> hujaa samaki. Shughuli hii inafany<strong>wa</strong> zaidi na Kampuni binafsi, tena<br />

za kigeni. Ukiwepo ufuatiliaji mzuri, hiki nacho ni chanzo cha hakika cha<br />

mapato.<br />

81


Inland Fishing<br />

Mji <strong>wa</strong> M<strong>wa</strong>nza ndio bandari kub<strong>wa</strong> zaidi ya Tanzania ufukwe <strong>wa</strong> Zi<strong>wa</strong> Victoria,<br />

na ni kituo muhimu kiuchumi <strong>katika</strong> ukanda wote <strong>wa</strong> zi<strong>wa</strong>. Zi<strong>wa</strong> hili limebeba<br />

mipaka ya nchi tatu <strong>katika</strong> Afrika ya Mashariki, Uganda <strong>katika</strong> upande <strong>wa</strong><br />

Kaskazini Magharibi na Kenya Kaskazini Mashariki. Sekta ya uvuvi <strong>katika</strong> ujumla<br />

<strong>wa</strong>ke, biashara ya nje na usafirishaji kati ya nchi hizi ndio msingi <strong>wa</strong> uchumi <strong>wa</strong><br />

M<strong>wa</strong>nza. Kutoka M<strong>wa</strong>nza, bandari yenye vi<strong>wa</strong>nda, kisi<strong>wa</strong> cha Rubondo<br />

ambacho ni maarufu k<strong>wa</strong> utalii (iki<strong>wa</strong> ni pamoja na uvuvi <strong>wa</strong> kitalii) ni karibu.<br />

Watalii wengine hupendelea zaidi usafiri <strong>wa</strong> majini, na k<strong>wa</strong> mantiki hiyo<br />

bandari ya M<strong>wa</strong>nza inakidhi.<br />

Mto Pangani nao ni maarufu k<strong>wa</strong> uvuvi. Katika eneo mto huu unapoingilia<br />

Bahari ya Hindi kimejitokeza kijiji, ambacho kutokana na hali ya tambarare mto<br />

umepita <strong>katika</strong>ti ya kijiji na hivyo kupelekea kuhitajika kivuko/feri k<strong>wa</strong> ajili ya<br />

ma<strong>wa</strong>siliano pande zote za mto. Maji yake yametulia na ni mazito. Hakuna<br />

shughuli nyingi za kiuchumi Pangani, lakini mazingira yake ni mazuri sana k<strong>wa</strong><br />

utalii, iki<strong>wa</strong> ni pamoja na utalii <strong>katika</strong> uvuvi. Wanahitajika <strong>wa</strong>tu <strong>wa</strong>lio na<br />

ubunifu <strong>wa</strong>weze kupachangamsha k<strong>wa</strong> kuwekeza <strong>katika</strong> <strong>sekta</strong> hii.<br />

4.0 Jitihada za Kitaifa zilizokwisha anzish<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> lengo la<br />

kukuza uchumi na kupunguza umaskini Tanzania<br />

Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (UWK)<br />

Suala la uwezeshaji <strong>wa</strong>nanchi kiuchumi ni la kitaifa, na k<strong>wa</strong> hiyo<br />

linashughuliki<strong>wa</strong> kitaifa. Serikali inaweka mifumo ambayo kila <strong>sekta</strong> itanufaika<br />

k<strong>wa</strong>yo. Ni <strong>katika</strong> mtizamo huo Serikali ilitenga <strong>katika</strong> m<strong>wa</strong>ka <strong>wa</strong> fedha<br />

2006/2007 shilingi bilioni 21 ambazo ni <strong>wa</strong>stani <strong>wa</strong> shilingi billioni moja<br />

k<strong>wa</strong> kila Mkoa <strong>wa</strong> Tanzania Bara. Lengo la kutoa mikopo yenye masharti nafuu<br />

k<strong>wa</strong> kutumia taratibu za kibenki ku<strong>wa</strong>wezesha <strong>wa</strong>nanchi kiuchumi, <strong>wa</strong>kiwemo<br />

<strong>wa</strong>jasiriamali <strong>wa</strong>dogo na <strong>wa</strong> kati (micro, small and middle entrepreneurs),<br />

<strong>wa</strong>jasiriamali <strong>wa</strong> vijijini na mijini ili kuanzisha na kuendeleza miradi inayolenga<br />

kuongeza kipato, tija na fursa za ajira.<br />

Programu za Uwezeshaji<br />

Serikali ilianzisha Mipango na Mifuko mbalimbali ya kuwezesha <strong>wa</strong>nanchi <strong>katika</strong><br />

<strong>sekta</strong> zote kiuchumi iki<strong>wa</strong> ni pamoja <strong>wa</strong>nanchi <strong>wa</strong>lio <strong>katika</strong> <strong>sekta</strong> ya uvuvi.<br />

Mipango hiyo ni pamoja na:-<br />

i) Mpango <strong>wa</strong> Kurasimisha Mali na Biashara za Wanyonge Tanzania<br />

(MKURABITA). Lengo lake ni kuzifanya mali za <strong>wa</strong>nyonge<br />

zisizotambulika kisheria ku<strong>wa</strong> rasmi ili ziweze kupe<strong>wa</strong> hati na kutumika<br />

kama dhamana ya mikopo kwenye mabenki ya biashara.<br />

ii) Mpango <strong>wa</strong> Kuboresha Mazingira ya Biashara Tanzania (MKUMBITA).<br />

82


Mpango huu ulijikita <strong>katika</strong> kufanyia marekebisho vik<strong>wa</strong>zo vya kiuta<strong>wa</strong>la<br />

na taratibu ili kuboresha huduma zinazotole<strong>wa</strong> na Serikali ili kuisaidia<br />

<strong>sekta</strong> binafsi ifanye kazi k<strong>wa</strong> ufanisi zaidi.<br />

iii) Mradi <strong>wa</strong> Kuhudumia Biashara Ndogo Ndogo (SELF). Mradi huu<br />

ulianzish<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> lengo la ku<strong>wa</strong>wezesha Watanzania kupata mitaji,<br />

hususan <strong>wa</strong>lioko vijijini, k<strong>wa</strong> kutoa mikopo yenye masharti nafuu kupitia<br />

asasi za kifedha, kujenga uwezo <strong>wa</strong> asasi za kifedha, kujenga uwezo <strong>wa</strong><br />

<strong>wa</strong>jasiriamali <strong>wa</strong>liopata mikopo na kuhamasisha <strong>wa</strong>dau mbalimbali<br />

kuhusu shughuli za SELF.<br />

Aidha, Serikali ilianzisha mifuko mbalimbali k<strong>wa</strong> lengo la ku<strong>wa</strong>patia <strong>wa</strong>nanchi<br />

mitaji ya kuanzisha na kuendeleza miradi kama ifuatavyo:-<br />

(i) Mfuko <strong>wa</strong> Maendeleo ya Wana<strong>wa</strong>ke (WDF)<br />

Mfuko huu ulianzish<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> lengo la ku<strong>wa</strong>patia <strong>wa</strong>na<strong>wa</strong>ke mikopo yenye<br />

masharti nafuu.<br />

(ii) Mfuko <strong>wa</strong> Maendeleo ya Vijana (YDF)<br />

Mfuko huu ulianzish<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> madhumuni ya kutoa mikopo midogo<br />

midogo yenye masharti nafuu k<strong>wa</strong> vijana ili kuanzisha na kuimarisha<br />

miradi ya maendeleo.<br />

(iii) Mfuko <strong>wa</strong> Dhamana <strong>wa</strong> Mikopo k<strong>wa</strong> Wana<strong>wa</strong>ke Katika Sekta<br />

isiyo Rasmi<br />

Mfuko huu ulianzish<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> lengo la ku<strong>wa</strong>wezesha <strong>wa</strong>na<strong>wa</strong>ke kuanzisha<br />

na kuendeleza ajira bora binafsi kupitia miradi midogo, ku<strong>wa</strong>ondoa<br />

<strong>katika</strong> ajira hatarishi, ku<strong>wa</strong>patia mikopo yenye masharti nafuu,<br />

ku<strong>wa</strong>wezesha kuanzisha vikundi na kujiunga kwenye SACCOS,<br />

kuimarisha SACCOS zilizoanzish<strong>wa</strong> baada ya mradi kukua na kuunda<br />

shirikisho la SACCOS zao.<br />

(iv) Mfuko <strong>wa</strong> Udhamini <strong>wa</strong> Mikopo k<strong>wa</strong> Mauzo Nje (ECGS)<br />

Mfuko <strong>wa</strong> udhamini <strong>wa</strong> mikopo k<strong>wa</strong> mauzo nje ulianzish<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> lengo la<br />

kutoa udhamini k<strong>wa</strong> mabenki ya biashara ili yaweze kutoa mikopo k<strong>wa</strong><br />

<strong>wa</strong>uza bidhaa nje, ikijumuisha <strong>wa</strong>kulima, <strong>wa</strong>fanyabiashara na vyama vya<br />

ushirika. Mfuko huu unasimami<strong>wa</strong> na Benki Kuu.<br />

(v) Mfuko <strong>wa</strong> Kudhamini Mabenki na Taasisi za Fedha k<strong>wa</strong> Ajili ya<br />

Kuboresha Utoaji <strong>wa</strong> Mikopo k<strong>wa</strong> Miradi Midogo na ya Kati<br />

(SME – CGS) Mfuko huu ulianzish<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> lengo la kukuza na<br />

kuendeleza miradi midogo na ya kati (SMES) ya <strong>wa</strong>jasiriamali k<strong>wa</strong><br />

ku<strong>wa</strong>pa uwezo <strong>wa</strong> kifedha na kimtaji ili kuboresha kipato chao, kuinua<br />

hali zao za maisha na kuongeza mchango <strong>wa</strong> Sekta hiyo <strong>katika</strong> pato la<br />

Taifa. Waleng<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> Mfuko huu ni <strong>wa</strong>jasiriamali <strong>wa</strong>tanzania.<br />

83


(vi) Mfuko <strong>wa</strong> Wafanyabiashara Wananchi (NEDF)<br />

Mfuko huu ulianzish<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> lengo la kuondoa umasikini k<strong>wa</strong> kutoa<br />

mikopo ya kuanzisha na kuendeleza miradi ya kiuchumi. Fedha za Mfuko<br />

huteng<strong>wa</strong> <strong>katika</strong> Bajeti ya Serikali ya kila m<strong>wa</strong>ka, <strong>wa</strong>leng<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> mfuko<br />

ni wenye Vi<strong>wa</strong>nda Vidogo na <strong>wa</strong>fanyabiashara.<br />

(vii) Mfuko <strong>wa</strong> Pembejeo za Kilimo (AGITF)<br />

Mfuko huu ulianzish<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> lengo la kutoa mikopo yenye masharti nafuu<br />

k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>agizaji na <strong>wa</strong>sambazaji <strong>wa</strong> pembejeo na hata <strong>wa</strong>kulima mmoja<br />

mmoja na <strong>katika</strong> vikundi pamoja na shughuli zote za kuboresha hali ya<br />

upatikanaji na usambazaji <strong>wa</strong> pembejeo za kilimo.<br />

(viii) Mfuko <strong>wa</strong> Rais <strong>wa</strong> Kujitegemea (PTF)<br />

Mfuko huu ulianzish<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> kusudio la kufanya kiwe chombo huru<br />

kinachojitegemea hapo baadae.<br />

ix) Mfuko <strong>wa</strong> Maendeleo ya Jamii (TASAF)<br />

Lengo la TASAF ni kuisaidia jamii kutumia vema fursa <strong>wa</strong>lizo nazo ili<br />

kuboresha maisha yao.<br />

5.0 Changamoto zinazoikabili Sekta ya Uvuvi Tanzania<br />

Pamoja na jitihada hizo za serikali, bado zipo changamoto mbalimbali<br />

zinazoikabili <strong>sekta</strong> ya uvuvi ambazo ni muhimu zitafutiwe majibu. Changamoto<br />

hizi sio tofauti sana na zile zinazozikabili <strong>sekta</strong> nyingine, mwelekeo <strong>wa</strong>ke ni ule<br />

ule ila kama kuna tofauti ni ndogo sana na inatokana tu na tofauti ya shughuli<br />

zinazofanyika. K<strong>wa</strong> mfano suala la ukosefu <strong>wa</strong> fedha na mitaji ni hilohilo k<strong>wa</strong><br />

<strong>sekta</strong> zote, lakini tofauti inakuja tu pale mmoja anapoainisha eneo analotaka<br />

kuwekeza, hapo ndipo gharama za uwekezaji zinapoanza kuachana . Uvunaji<br />

holela na matumizi yasiyo endelevu ya rasilimali za uvuvi imeku<strong>wa</strong> changamoto<br />

kub<strong>wa</strong> <strong>katika</strong> kuleta maendeleo ya <strong>sekta</strong> ya uvuvi na uendelezaji <strong>wa</strong> rasilimali<br />

za Ukanda <strong>wa</strong> P<strong>wa</strong>ni.<br />

Changamoto nyingine ni pamoja na:-<br />

• Ukosefu <strong>wa</strong> takwimu za kutosha na za kuaminika <strong>katika</strong> uandaaji <strong>wa</strong><br />

mipango na mikakati endelevu ya kusimamia shughuli za <strong>sekta</strong> ya uvuvi;<br />

• Njia haramu za uvuvi usiokua endelevu;<br />

• Upungufu <strong>wa</strong> ufahamu k<strong>wa</strong> jamii ya <strong>wa</strong>vuvi, kuhusu <strong>wa</strong>jibu <strong>wa</strong>o <strong>katika</strong><br />

kusimamia shughuli za <strong>sekta</strong> hiyo;<br />

• Kuenea k<strong>wa</strong> matumizi ya teknolojia duni ya kuvua na kuhifadhi samaki;<br />

• Uwezo mdogo <strong>wa</strong> kudhibiti wizi na udanganyifu unaofanyika <strong>katika</strong> eneo<br />

la bahari (EEZ); na<br />

• Uhaba na gharama kub<strong>wa</strong> za nyenzo za uvuvi;<br />

• Elimu na hamasa ndogo miongoni m<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>nanchi kuhusu uvuvi kama<br />

biashara yenye faida (lucrative business);<br />

• Ukosefu <strong>wa</strong> takwimu za kuaminika kuhusu hazina kub<strong>wa</strong> iliyopo ya<br />

bidhaa na biashara ya uvuvi;<br />

84


• Uwekezaji mdogo kwenye <strong>sekta</strong>.<br />

• Ugumu <strong>wa</strong> upatikanaji <strong>wa</strong> mikopo ya mtaji.<br />

Hata hivyo, pamoja na changamoto zinazoikabili, <strong>sekta</strong> hii imeendelea ku<strong>wa</strong><br />

muhimu <strong>katika</strong> kuchangia upatikanaji <strong>wa</strong> ajira, chakula na pato la taifa.<br />

6.0 Njia ya kutatua Changamoto zilizopo<br />

Ili kuweza kuiinua na kuiimarisha <strong>sekta</strong> ya uvuvi ni muhimu k<strong>wa</strong>nza kuzitazama<br />

changamoto zilizo kwenye <strong>sekta</strong> yenyewe na kuzitafutia maja<strong>wa</strong>bu. Hatua<br />

zifuatazo zinapendekez<strong>wa</strong>:-<br />

• Kufanya utafiti unaolenga kubaini hazina iliyopo na mikakati bora ya<br />

kupanua uvunaji na mauzo.<br />

• Kuwekeza <strong>katika</strong> utoaji <strong>wa</strong> elimu kuhusu uchumi <strong>wa</strong> uvuvi na biashara<br />

ya uvuvi k<strong>wa</strong> kuimarisha na kupanua uwezo <strong>wa</strong> utoaji mafunzo na<br />

kuboresha mafunzo yanayotole<strong>wa</strong>.<br />

• Kupanua fursa ya upatikanaji mitaji ili kuongeza uwekezaji kwenye<br />

<strong>sekta</strong> k<strong>wa</strong> kuanzisha mfuko maalum <strong>wa</strong> uendelezaji <strong>wa</strong> <strong>sekta</strong> ya uvuvi,<br />

na vilevile k<strong>wa</strong> kurahisisha taratibu za utoaji mikopo za taasisi zilizopo<br />

na utoaji mikopo<br />

• Kuanzisha kampeni maalum ya kuhamasisha na kuvutia uwekezaji<br />

<strong>katika</strong> <strong>sekta</strong> ya uvuvi (ikiwemo uanzish<strong>wa</strong>ji <strong>wa</strong> vi<strong>wa</strong>nda vya<br />

kutengeneza zana na pembejeo za ufugaji na uvuvi, vi<strong>wa</strong>nda vya<br />

kusindika samaki na mashirika ya kuuza na kusambaza bidhaa.<br />

7.0 MAJUMUISHO<br />

K<strong>wa</strong> ajili ya kuzimudu changamoto zilizo <strong>katika</strong> <strong>sekta</strong> ya uvuvi, tafiti ni muhimu<br />

k<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong> zitawezesha kubainisha vizuri maeneo ya kuchukua hatua, hatua<br />

muafaka za kuchukua, ili kuepusha makosa yasiyo ya lazima. Tafiti hizo<br />

zifanyike <strong>katika</strong> maeneo makuu yanayojitokeza <strong>katika</strong> taarifa mbalimbali.<br />

Kulingana na rasilimali zilizopo kwenye <strong>sekta</strong> ya uvuvi, maeneo ya uwekezaji<br />

yanayojitokeza kuhitaji hatua za haraka za uwekezaji ni pamoja na Vi<strong>wa</strong>nda<br />

vya kutengeneza zana na vifaa vya uvuvi, Vi<strong>wa</strong>nda vya kusindika samaki; Uvuvi<br />

mkub<strong>wa</strong> (large scale fishing) kwenye eneo huru la bahari; Usindikaji <strong>wa</strong> dagaa;<br />

Teknolojia ya kuhifadhi na kusafirisha samaki.<br />

85


SURA YA NANE<br />

UPATIKANAJI WA MITAJI NA MASHARTI YA MIKOPO<br />

Imeandali<strong>wa</strong> na P.M. Noni,<br />

Mkurugenzi Mwendeshaji,<br />

Benki ya Rasilimali Tanzania (TIB)<br />

Mada iliyo<strong>wa</strong>silish<strong>wa</strong> kwenye Mkutano <strong>wa</strong> Kuhamasishaji Usimamizi na<br />

Matumizi ya Rasilimali za Uvuvi Nchini<br />

Tarehe 16 – 18, Desemba, 2009, M<strong>wa</strong>nza


1.0 Utangulizi<br />

UPATIKANAJI WA MITAJI NA MASHARTI YA MIKOPO<br />

Benki ya Rasilimali Tanzania (TIB) inaishukuru Serikali na <strong>wa</strong>andaaji <strong>wa</strong><br />

<strong>mkutano</strong> huu, k<strong>wa</strong> kukaribish<strong>wa</strong> kutoa <strong>mada</strong> na mchango <strong>wa</strong> ma<strong>wa</strong>zo k<strong>wa</strong> nia<br />

ya kuboresha Sekta ya Uvuvi. Mkutano huu una umuhimu <strong>wa</strong> kipekee <strong>katika</strong><br />

kufufua ari na nguvu ya kufanikisha malengo na mikakati mbalimbali ya Serikali<br />

kuhusu Sekta ya Uvuvi.<br />

Hivi karibuni Serikali imeanzisha mchakato mpya <strong>wa</strong> kuboresha uzalishaji <strong>katika</strong><br />

<strong>sekta</strong> za msingi hasa kilimo, uvuvi na mifugo ambazo ni mihimili <strong>katika</strong> kuleta<br />

maendeleo ya uchumi nchini. Aidha serikali ilikwishaandaa mipango na mikakati<br />

kadhaa yenye lengo la kuhakikisha taifa linaondokana na hali duni ya<br />

maendeleo na kuelekea kwenye hali bora ya maendeleo, ambapo k<strong>wa</strong> sasa<br />

mipango na mikakati hiyo iko <strong>katika</strong> hatua mbalimbali za utekelezajai. Miongoni<br />

m<strong>wa</strong> mipango na mikakati hiyo ni Dira ya Taifa ya Maendeleo (Vision 2025), na<br />

Sera ya Taifa ya Uvuvi (1997). Mikakati na mipango hii inajumuisha malengo<br />

madhubuti yanayojikita <strong>katika</strong> kujenga uchumi imara na endelevu<br />

utakao<strong>wa</strong>nufaisha <strong>wa</strong>nanchi wote, kuimarisha amani, utulivu na mshikamano<br />

na kujenga taifa lililoelimika.<br />

Utunzaji na matumizi sahihi ya maliasili kama za uvuvi ndio msingi ambapo<br />

Dira ya Taifa ya Maendeleo imejeng<strong>wa</strong>. Rasilimali hizi zinataki<strong>wa</strong> zitumike<br />

kukuza uchumi na kujenga uwezo <strong>wa</strong> ndani <strong>wa</strong> kuhimili mikiki mikiki ya uchumi<br />

<strong>wa</strong> kimataifa. Baadhi ya malengo makuu ya Sera ya Taifa ya Uvuvi ni:<br />

i) Kutumia rasilimali zilizopo k<strong>wa</strong> ufanisi ili kuongeza upatikanaji <strong>wa</strong> samaki<br />

na kuchangia ukuaji <strong>wa</strong> uchumi;<br />

ii) Kuongeza uele<strong>wa</strong> na ubadilishanaji <strong>wa</strong> taarifa kuhusu rasilimali za uvuvi;<br />

iii) Kulinda na kuendeleza vyanzo vya rasilimali za uvuvi na kutunza<br />

mazingira;<br />

iv) Kuendeleza mafunzo na utafiti;<br />

v) Kuimarisha ushirikiano <strong>wa</strong> <strong>sekta</strong> mbalimbali <strong>katika</strong> uvuvi.<br />

Mafanikio <strong>katika</strong> malengo haya yatategemea sana ushiriki <strong>wa</strong> Serikali, <strong>sekta</strong><br />

binafsi na <strong>wa</strong>dau wengine, k<strong>wa</strong> lengo la kuongeza mchango <strong>wa</strong> Sekta ya Uvuvi<br />

<strong>katika</strong> pato la Taifa. K<strong>wa</strong> mantiki hiyo, upatikanaji <strong>wa</strong> mitaji ni muhimu sana<br />

k<strong>wa</strong> ajili ya uwekezaji <strong>katika</strong> Sekta ya Uvuvi. Benki ya Rasilimali imejipanga<br />

kushirikiana na serikali kupitia utoaji <strong>wa</strong> mikopo na mitaji, ushauri na huduma<br />

nyinginezo za kibenki, <strong>katika</strong> kutekeleza mipango na mikakati iliyopo. K<strong>wa</strong> hiyo,<br />

ushiriki <strong>wa</strong> TIB kwenye <strong>mkutano</strong> huu <strong>wa</strong> kuhamasisha uvuvi bora na endelevu<br />

nchini ni sehemu ya utekelezaji <strong>wa</strong> azma hiyo.<br />

2.0 Fursa zilizopo <strong>katika</strong> Sekta ya Uvuvi<br />

Tanzania ina p<strong>wa</strong>ni yenye rasilimali nyingi za uvuvi. Ina m<strong>wa</strong>mbao <strong>wa</strong> bahari<br />

wenye kilomita za mraba 64,000 pamoja na kilomita nyingine za mraba<br />

87


223,000 za Eneo la Uchumi la Bahari ya Hindi. Eneo la maji baridi ni pamoja<br />

na mazi<strong>wa</strong> Makuu ya Victoria, Tanganyika na Nyasa. Kuna mazi<strong>wa</strong> mengine<br />

madogo, mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> na mito yenye kuweza kukaa samaki. Maeneo haya yana<br />

kilomita za mraba 58,000. Tanzania ina m<strong>wa</strong>mbao <strong>wa</strong> p<strong>wa</strong>ni wenye urefu <strong>wa</strong><br />

kilomita 800 ulioteng<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> shughuli za kiuchumi, lakini hautumiwi. Mavuno<br />

ya samaki k<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka ni tani za metriki 350,000 tu (National Website).<br />

K<strong>wa</strong> muda mrefu, <strong>sekta</strong> ya uvuvi imeku<strong>wa</strong> ikiweke<strong>wa</strong> msisitizo mdogo pamoja<br />

na nchi yetu kubariki<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong> na maeneo mengi yanayofaa k<strong>wa</strong> ajili ya<br />

shughuli za uvuvi. Sekta hii ina uwezo <strong>wa</strong> kuchangia k<strong>wa</strong> kiasi kikub<strong>wa</strong> zaidi<br />

<strong>katika</strong> uchumi na maendeleo nchini, hususan <strong>katika</strong> kuboresha lishe, utunzaji<br />

<strong>wa</strong> mazingira, kuinua pato la taifa, ku<strong>wa</strong>patia <strong>wa</strong>nanchi ajira na k<strong>wa</strong> ujumla<br />

kutekeleza Dira ya Taifa ya Maendeleo na Sera ya Taifa ya Uvuvi.<br />

Kinachotaki<strong>wa</strong> ni umakini mkub<strong>wa</strong> <strong>katika</strong> kuandaa na kutekeleza mipango ya<br />

uwekezaji kwenye hii <strong>sekta</strong>. Umakini unataki<strong>wa</strong> pia <strong>katika</strong> kuhakikisha ku<strong>wa</strong><br />

rasilimali za uvuvi zinatumika k<strong>wa</strong> namna endelevu.<br />

Pamoja na kuwepo maeneo mengi ya uvuvi kuna <strong>wa</strong>tu <strong>wa</strong>patao 80,000 tu<br />

<strong>wa</strong>naofanya kazi <strong>katika</strong> <strong>sekta</strong> hii, ambao ni <strong>wa</strong>vuvi <strong>wa</strong>dogo <strong>wa</strong>dogo <strong>wa</strong>naovua<br />

asilimia 90 ya samaki wote <strong>wa</strong>naovuli<strong>wa</strong> nchini. Asilimia 10 iliyobaki huvuli<strong>wa</strong><br />

k<strong>wa</strong> njia za kibiashara. Idadi hii ya <strong>wa</strong>tu <strong>wa</strong>naonufaika na <strong>sekta</strong> ya uvuvi bado<br />

ni ndogo sana. Watu wengi <strong>wa</strong>meamua kutojiingiza <strong>katika</strong> <strong>sekta</strong> hii kutokana<br />

na sababu mbalimbali iki<strong>wa</strong>mo ukosefu <strong>wa</strong> mipango mizuri ya kuwezesha<br />

<strong>wa</strong>vuvi kunufaika na <strong>sekta</strong> hii. Sehemu kub<strong>wa</strong> ya samaki <strong>wa</strong>naovuli<strong>wa</strong><br />

hutumika ndani ya nchi; <strong>wa</strong>kati samaki aina ya sangara, sadini na kamba<br />

huuz<strong>wa</strong> zaidi nje ya nchi. Samaki huchangia theluthi moja ya lishe ya protini<br />

k<strong>wa</strong> Taifa. Rasilimali ya uvuvi hutoa ajira, chakula, burudani na ni kivutio<br />

kikub<strong>wa</strong> cha utalii kinachoingiza fedha za kigeni <strong>katika</strong> Pato la Taifa.<br />

Sekta hii pia inayo nafasi kub<strong>wa</strong> <strong>katika</strong> soko la kimataifa, ambapo hadi sasa<br />

bidhaa zake zimeweza kufanya vyema <strong>katika</strong> soko hilo ambalo k<strong>wa</strong> ka<strong>wa</strong>ida<br />

hu<strong>wa</strong> ni gumu k<strong>wa</strong> nchi zinazoendelea. Ufanisi <strong>katika</strong> soko la kimataifa<br />

utainufaisha nchi zaidi si tu k<strong>wa</strong> kuongeza mapato ya <strong>wa</strong>nanchi bali pia kuleta<br />

fedha za kigeni na kuitangaza Tanzania duniani.<br />

Wajibu <strong>wa</strong> <strong>sekta</strong> binafsi ni pamoja na kuwekeza <strong>katika</strong> zana za uvuvi, uhifadhi,<br />

usafirishaji na usindikaji, kutafuta masoko, kutoa ajira, na kuhakikisha<br />

matumizi ya rasilimali za uvuvi ni endelevu. Ili kufanya hayo k<strong>wa</strong> ufanisi na k<strong>wa</strong><br />

manufaa k<strong>wa</strong> taifa, <strong>sekta</strong> binafsi ina<strong>wa</strong>jibika <strong>wa</strong>kati wote kutumia teknolojia za<br />

kisasa.<br />

Aidha taasisi za kifedha zina<strong>wa</strong>jibika kutoa mitaji ili fursa hizi ziweze kutumika,<br />

k<strong>wa</strong> njia ya uwekezaji kwenye vi<strong>wa</strong>nda vya kusindika mazao ya uvuvi, zana za<br />

uvuvi, usafirishaji <strong>wa</strong> samaki pamoja na masoko. Ili <strong>sekta</strong> hii iweze kutoa<br />

mchango unaostahili hadhi yake kwenye uchumi <strong>wa</strong> taifa, unahitajika<br />

uwekezaji mkub<strong>wa</strong> na ambao utalenga kuleta manufaa k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>husika wote<br />

kuanzia kwenye uvuvi na usindikaji hadi kwenye masoko.<br />

88


Mustakabali <strong>wa</strong> Sekta ya Uvuvi<br />

Sera ya uvuvi ya sasa imelenga kuondoa matatizo yanayoikabili <strong>sekta</strong>, na<br />

kuainisha hatua zinazotaki<strong>wa</strong> kuchukuli<strong>wa</strong>. Mkazo umetili<strong>wa</strong> <strong>katika</strong> uvunaji<br />

endelelevu, utumiaji na masoko; k<strong>wa</strong> ajili ya kuleta manufaa ya kiuchumi<br />

pamoja na kulinda na kuhifadhi mazingira ili kuwe na maendeleo<br />

yatakayodumu. Sekta binafsi, taasasi za kijamii zisizoku<strong>wa</strong> za kiserikali na<br />

<strong>wa</strong>dau wengine, <strong>wa</strong>na <strong>wa</strong>jibu mkub<strong>wa</strong> <strong>katika</strong> kufanikisha maendeleo endelevu<br />

ya <strong>sekta</strong> ya uvuvi. Benki ya Rasilimali ni mdau mmoja<strong>wa</strong>po, ambaye jukumu<br />

lake kuu ni kutoa mitaji, mikopo na huduma nyingine za kibenki zinazohitajika<br />

<strong>katika</strong> kuleta maendeleo kwenye <strong>sekta</strong> hii.<br />

3.0 Changamoto zinazoikabili Sekta ya Uvuvi<br />

Changamoto kub<strong>wa</strong> zilizopo <strong>katika</strong> kuleta maendeleo ya <strong>sekta</strong> ya uvuvi na<br />

uendelezaji <strong>wa</strong> rasilimali hii ni pamoja na:<br />

i) Uvunaji holela na matumizi yasiyo endelevu ya rasilimali za uvuvi.<br />

ii) Ukosefu <strong>wa</strong> takwimu za kutosha na za kuaminika <strong>katika</strong> uandaaji <strong>wa</strong><br />

mipango na mikakati endelevu ya kusimamia shughuli za <strong>sekta</strong> hiyo.<br />

iii) Upungufu <strong>wa</strong> ufahamu k<strong>wa</strong> jamii ya <strong>wa</strong>vuvi, kuhusu <strong>wa</strong>jibu <strong>wa</strong>o <strong>katika</strong><br />

kusimamia shughuli za <strong>sekta</strong> hiyo.<br />

iv) Uhaba <strong>wa</strong> vitendea kazi vya kisasa na uwekezaji.<br />

v) Uchache <strong>wa</strong> miradi inayokubalika na benki k<strong>wa</strong> ajili ya mikopo (bankable<br />

projects).<br />

vi) Uwezo mdogo <strong>wa</strong> kutumia rasilimali za Kanda Maalum za Kiuchumi (EEZ).<br />

vii) Kukosekana k<strong>wa</strong> taratibu za kuanzisha na kuendesha vyama vya ushirika<br />

vya uzalishaji <strong>katika</strong> uvuvi, ili kuboresha upatikanaji <strong>wa</strong> mitaji.<br />

viii) Kutoku<strong>wa</strong> na miundombinu bora k<strong>wa</strong> masoko ya ndani na nje, ambayo<br />

ingechochea ongezeko la uzalishaji.<br />

Ili kutatua changamoto hizi serikali ilianzisha Sera ya Taifa ya Uvuvi ya m<strong>wa</strong>ka<br />

1997 ambayo imeainisha mikakati mbalimbali ya utekelezaji yenye nia ya<br />

kusimamia uvunaji na uhifadhi endelevu <strong>wa</strong> maliasili hii.<br />

4.0 Upatikanaji <strong>wa</strong> Mitaji kutoka Benki za Biashara na Taasisi<br />

Nyingine<br />

Pamoja na mchango mkub<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> Sekta ya Uvuvi <strong>katika</strong> kutoa lishe k<strong>wa</strong><br />

Watanzania, na uwezo <strong>wa</strong> Sekta hiyo kuchangia zaidi pato la Taifa, mikopo k<strong>wa</strong><br />

Sekta hii kutoka mabenki ya biashara ni kidogo sana hadi sasa. K<strong>wa</strong> mfano,<br />

ki<strong>wa</strong>ngo cha mikopo k<strong>wa</strong> Sekta ya Uvuvi kutoka mabenki ya biashara Desemba<br />

m<strong>wa</strong>ka 2008 kiliku<strong>wa</strong> shilingi bilioni 17.2 tu, kiki<strong>wa</strong> ni karibu sa<strong>wa</strong> na kile<br />

kilichokuwepo m<strong>wa</strong>ka 2004, yaani shilingi bilioni 17.6 1 . Ki-uwiano, mikopo hii<br />

ilipungua kutoka asilimia 0.8 m<strong>wa</strong>ka 2004 hadi asilimia 0.4 ya mikopo yote ya<br />

mabenki ya biashara Desemba 2008. Mwelekeo huu siyo mzuri, hivyo ipo haja<br />

ya kuutafutia utatuzi ili kuiendeleza k<strong>wa</strong> kasi zaidi Sekta ya Uvuvi.<br />

1 Bank of Tanzania 2009, Economic Bulletin for the Quarter ending March 2009, Vol. XLI No.1.<br />

89


5.0 Upatikanaji <strong>wa</strong> Mitaji kutoka TIB<br />

Benki ya Rasilimali Tanzania (TIB) ni benki pekee ya maendeleo nchini<br />

(Development Finance Institution - DFI) k<strong>wa</strong> sasa. Benki hii ilianzish<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka<br />

1970, ili kuchochea maendeleo ya taifa kiuchumi na kijamii. Baada ya kujikita<br />

zaidi kwenye shughuli za benki za biashara kuanzia m<strong>wa</strong>ka 1999, kufuatia<br />

kuzorota k<strong>wa</strong> hali ya uchumi <strong>wa</strong> Taifa miaka ya 1980 na 1990, mnamo m<strong>wa</strong>ka<br />

2005 Serikali ya Jamhuri ya Muungano <strong>wa</strong> Tanzania ilifikia uamuzi <strong>wa</strong><br />

kuiimarisha TIB na kuifanya benki ya maendeleo ya taifa. Nia ya Serikali ni<br />

kuhakikisha ku<strong>wa</strong> benki inashiriki <strong>katika</strong> kutoa mikopo na huduma nyinginezo ili<br />

kuleta maendeleo <strong>katika</strong> nyanja mbalimbali za uchumi na huduma za jamii.<br />

Aidha kama Benki ya Maendeleo,TIB inalo jukumu la kukuza uchumi <strong>wa</strong> taifa<br />

k<strong>wa</strong> kuwekeza (kupitia mikopo ya muda mrefu, <strong>wa</strong> kati na mfupi) <strong>katika</strong> <strong>sekta</strong><br />

za uzalishaji hasa <strong>sekta</strong> za kilimo, mifugo, uvuvi, vi<strong>wa</strong>nda, SMEs na<br />

miundombinu.<br />

Mwelekeo <strong>wa</strong> TIB kama Benki ya Maendeleo ni kushiriki kuboresha uwekezaji<br />

na tija <strong>katika</strong> maeneo ya uzalishaji, usindikaji na uuzaji. Haya yatafanyika chini<br />

ya m<strong>wa</strong>vuli <strong>wa</strong> mipango na mikakati ya serikali inayolenga Tanzania ku<strong>wa</strong> nchi<br />

inayoongoz<strong>wa</strong> na uchumi <strong>wa</strong> vi<strong>wa</strong>nda ifikapo m<strong>wa</strong>ka 2025, vi<strong>wa</strong>nda ambavyo<br />

vitaku<strong>wa</strong> vinasindika mazao na maliasili ya nchi na hivyo ku<strong>wa</strong>ongezea<br />

<strong>wa</strong>nanchi fursa za ajira na kipato. Jukumu hili litafiki<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> kutumia fursa<br />

zilizopo <strong>katika</strong> <strong>sekta</strong> mbalimbali zikiwemo <strong>sekta</strong> za kilimo, uvuvi na ufugaji,<br />

ambazo zina fursa nyingi zinazohitaji kuwekeza na kuvuna.<br />

Benki inatoa mikopo ya muda mfupi, muda <strong>wa</strong> kati na muda mrefu <strong>katika</strong><br />

kuendeleza <strong>sekta</strong> mbalimbali, ikiwemo ya uvuvi. Benki inakusudia kutoa mikopo<br />

hiyo k<strong>wa</strong> kuzingatia mlolongo mzima <strong>wa</strong> uzalishaji (value chain) ambao<br />

unajumuisha uvuvi, usindikaji <strong>wa</strong> mazao yatokanayo na uvuvi, uhifadhi<br />

(storage), usambazaji, na masoko. K<strong>wa</strong> mantiki hii, miradi yote iliyomo <strong>katika</strong><br />

mlolongo <strong>wa</strong> uzalishaji ina nafasi kub<strong>wa</strong> ya kupati<strong>wa</strong> mikopo na TIB, pale<br />

ambapo michanganuo ya miradi hiyo itaonyesha ku<strong>wa</strong> miradi inalipa. Ili<br />

mikopo hiyo i<strong>wa</strong>fikie <strong>wa</strong>hitaji wengi na k<strong>wa</strong> gharama nafuu, benki inaendelea<br />

kupanuka k<strong>wa</strong> kuanzisha ofisi za kikanda (zonal offices) ambapo ofisi ya Arusha<br />

ilifunguli<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka 2007, na ofisi ya M<strong>wa</strong>nza imefunguli<strong>wa</strong> hivi karibuni. Pia<br />

benki inahusika kutoa mikopo kupitia vyombo vya fedha k<strong>wa</strong> ajili ya mikopo<br />

midogo midogo (micro-finance institutions), SACCOs, Vyama vya Ushirika, na<br />

Benki za Jamii (Community Banks), ili ku<strong>wa</strong>fikia <strong>wa</strong>hitaji wengi zaidi.<br />

Aidha TIB inakamilisha taratibu za kukopesha mikopo ya muda mrefu kupitia<br />

Dirisha la Kilimo, ambalo masharti yake ni ya nafuu kuliko masharti ya mikopo<br />

ya ka<strong>wa</strong>ida. TIB pia itaku<strong>wa</strong> na fursa ya kukopesha kupitia njia ya karadha<br />

(financial leasing), hasa baada ya serikali kuanzisha sheria ya karadha ya fedha<br />

(financial leasing law) ambayo itasaidia upatikanaji <strong>wa</strong> zana/vifaa kama vile<br />

mashine za uvuvi na kilimo k<strong>wa</strong> masharti nafuu k<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong> mkopaji hahitaji<br />

ku<strong>wa</strong> na dhamana (collateral) zaidi ya zana/kifaa chenyewe.<br />

90


Mikakati ya benki kuendeleza <strong>sekta</strong> za kilimo, mifugo na uvuvi italenga<br />

kuboresha tija k<strong>wa</strong> kutumia miundombinu ya kisasa <strong>katika</strong> mtiririko mzima <strong>wa</strong><br />

shughuli kuanzia uzalishaji na usindikaji hadi usafirishaji na mauzo. Msisitizo<br />

utawek<strong>wa</strong> kwenye kuwekeza <strong>katika</strong> usindikaji <strong>wa</strong> mazao ili kuongeza thamani<br />

(value addition), lakini usindikaji huo inabidi uwe umeunganish<strong>wa</strong> vyema na<br />

vyanzo vya mali ghafi k<strong>wa</strong> upande mmoja, na masoko k<strong>wa</strong> upande <strong>wa</strong> pili.<br />

Benki inaamini ku<strong>wa</strong> kufanya hivyo kutaleta manufaa si tu k<strong>wa</strong> taifa bali k<strong>wa</strong><br />

makundi mbalimbali yaliyo kwenye uzalishaji <strong>katika</strong> <strong>sekta</strong> hizo, kama vile<br />

<strong>wa</strong>kulima, <strong>wa</strong>fugaji na <strong>wa</strong>vuvi, ambao <strong>wa</strong>tajiongezea kipato k<strong>wa</strong> kuuza mazao<br />

<strong>katika</strong> vi<strong>wa</strong>nda. Vile vile kutaku<strong>wa</strong> na ongezeko la ajira, upatikanaji <strong>wa</strong><br />

masoko ya uhakika na ongezeko la fedha za kigeni.<br />

Aidha, mwelekeo <strong>wa</strong> benki ni kuibua miradi ya uwekezaji inayoendana na<br />

dhana hiyo ya mlolongo (value chain), na kila itakapowezekana k<strong>wa</strong> kuwekeza<br />

k<strong>wa</strong> pamoja <strong>katika</strong> miradi kadha inayotegemeana (programme approach).<br />

Mfano <strong>wa</strong> value chain approach k<strong>wa</strong> <strong>sekta</strong> ya uvuvi ni kama vile kuwekeza<br />

<strong>katika</strong> kujenga mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> ya samaki, uvunaji, usindikaji na uuzaji (masoko),<br />

ukijumuisha pia usambazaji na uhifadhi. Mfano <strong>wa</strong> programme approach ni<br />

kama kuwekeza k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>kati mmoja kwenye vi<strong>wa</strong>nda kadhaa vya usindikaji <strong>wa</strong><br />

samaki k<strong>wa</strong> ajili ya eneo au nchi nzima.<br />

6.0 Hitimisho<br />

Benki ya Rasilimali inatambua umuhimu <strong>wa</strong> Sekta ya Uvuvi <strong>katika</strong> kuleta<br />

maendeleo ya uchumi <strong>wa</strong> taifa pamoja na fursa nyingi zilizopo <strong>katika</strong> Sekta hii<br />

ambazo hazijatumi<strong>wa</strong> ipasavyo <strong>wa</strong>la k<strong>wa</strong> ufanisi. Benki itatoa mikopo, ushauri<br />

na huduma nyingine za kibenki k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>wekezaji <strong>katika</strong> Sekta ya Uvuvi ili<br />

kuchochea uwekezaji <strong>katika</strong> <strong>sekta</strong>, na kuboresha upatikanaji <strong>wa</strong> zana bora za<br />

uvuvi, vi<strong>wa</strong>nda vya kusindika mazao yatokanayo na uvuvi, masoko na uhifadhi<br />

endelevu. Benki inaamini k<strong>wa</strong> kutimiza jukumu hili itaku<strong>wa</strong> imechangia <strong>katika</strong><br />

utekelezaji <strong>wa</strong> Dira ya Taifa ya Maendeleo na Sera ya Taifa ya Uvuvi, ambazo<br />

zote zinalenga <strong>katika</strong> kumwezesha Mtanzania kiuchumi na hivyo kupunguza<br />

umaskini.<br />

91


SURA YA TISA<br />

UTALII IKOLOJIA NA SAMAKI WA MAPAMBO<br />

FURSA ZA UWEKEZAJI KATIKA UTALII IKOLOJIA (ECO -TOURISM)<br />

NA SAMAKI WA MAPAMBO<br />

Dkt. Abdillahi I. Chande<br />

Meneja <strong>wa</strong> Hifadhi za Bahari na Maeneo Tengefu<br />

Mada iliyo<strong>wa</strong>silish<strong>wa</strong> kwenye Mkutano <strong>wa</strong> Kuhamasishaji Usimamizi na<br />

Matumizi ya Rasilimali za Uvuvi Nchini<br />

Tarehe 16– 18, Desemba, 2009, M<strong>wa</strong>nza<br />

92


FURSA ZA UWEKEZAJI KATIKA UTALII IKOLOJIA (ECO -TOURISM)<br />

1.0 Utangulizi<br />

NA SAMAKI WA MAPAMBO<br />

Sera ya Taifa ya Uvuvi na Mikakati yake ya M<strong>wa</strong>ka 1997, imetamka bayana<br />

umuhimu <strong>wa</strong> kutumia vizuri rasilimali zilizopo ili kuchangia ukuaji <strong>wa</strong> uchumi na<br />

kupunguza umasikini k<strong>wa</strong> jamii. Sera imeainisha fursa mbalimbali za uwekezaji<br />

iki<strong>wa</strong> ni pamoja na kuendeleza utalii <strong>wa</strong> kiikolojia na biashara ya samaki <strong>wa</strong><br />

mapambo.<br />

Samaki <strong>wa</strong> mapambo ni samaki ambao hufug<strong>wa</strong> na <strong>wa</strong>tu ambao <strong>wa</strong>na mapenzi<br />

na tabia hiyo (hobby). Aghalabu, samaki ha<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>na rangi na tabia za kuvutia<br />

<strong>wa</strong>tu. Samaki <strong>wa</strong> mapambo <strong>wa</strong>najumuisha jamii mbalimbali zikiwemo jamii za<br />

Cichlids, Cyprinids, na Catfish <strong>katika</strong> maji baridi. Pia, <strong>katika</strong> maji chumvi zipo<br />

jamii za samaki <strong>wa</strong>naopatikana kwenye matumbawe (coral fish species).<br />

Kutokana na kuongezeka k<strong>wa</strong> biashara ya samaki <strong>wa</strong> mapambo <strong>wa</strong> maji baridi,<br />

inakadiri<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong> zaidi ya asilimia 90 ya samaki <strong>wa</strong> mapambo <strong>katika</strong> nchi<br />

nyingi duniani k<strong>wa</strong> mfano Singapore, Malaysia, Japan, Israel na USA<br />

huzalish<strong>wa</strong> kwenye matanki na mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong>, ila k<strong>wa</strong> upande <strong>wa</strong> Tanzania samaki<br />

hao hupatikana kwenye maji ya asili. Lakini sehemu nyingi za dunia samaki <strong>wa</strong><br />

mapambo <strong>wa</strong> maji chumvi hupatikana baharini.<br />

Vilevile, Tanzania imebahatika ku<strong>wa</strong> na maeneo mazuri k<strong>wa</strong> ajili ya utalii<br />

ikolojia. Maeneo haya yanapatikana <strong>katika</strong> m<strong>wa</strong>mbao <strong>wa</strong> Bahari ya Hindi na<br />

fukwe za mazi<strong>wa</strong> ya Victoria, Tanganyika na Nyasa. Serikali inaimarisha<br />

uhifadhi <strong>wa</strong> bionuai <strong>katika</strong> maeneo hayo k<strong>wa</strong> kuanzisha kitengo cha Hifadhi za<br />

Bahari na Maeneo Tengefu kupitia Sheria Na.29 ya m<strong>wa</strong>ka 1994 (The Marine<br />

Parks and Reserves Act of 1994). Aidha, juhudi zinaendelea za kuanzisha<br />

maeneo mengi zaidi ya hifadhi za maji baridi na maji chumvi k<strong>wa</strong> ajili ya<br />

kuhifadhi na kulinda bionuai <strong>wa</strong>kiwemo samaki <strong>wa</strong> mapambo k<strong>wa</strong> manufaa ya<br />

kizazi cha sasa na kijacho.<br />

2.0: Uwekezaji <strong>katika</strong> Utalii Ikolojia (Eco -Tourism)<br />

Utalii ikolojia ni utalii ambao unahusisha kusafiri kwenda ndani ya maeneo<br />

ambayo hayajaharibi<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>la kuingili<strong>wa</strong> na <strong>wa</strong>vamizi wowote na hulind<strong>wa</strong> ili<br />

yasiathiriwe na yasaidie jamii inayozunguka kiuchumi (Taylor, et al. 2002;<br />

WTO/UNEP, 2000). Utalii ikolojia husaidia kuelimisha <strong>wa</strong>talii au <strong>wa</strong>safiri kuhusu<br />

uhifadhi <strong>wa</strong> mazingira.<br />

2.1 Miongozo ya Kusimamia Utunzaji <strong>wa</strong> Mazingira na kuimarisha<br />

utalii ikolojia <strong>katika</strong> Hifadhi za Bahari na Maeneo Tengefu.<br />

Wizara imeandaa miongozo mbalimbali k<strong>wa</strong> ajili ya kuimarisha usimamizi <strong>wa</strong><br />

Hifadhi za Bahari na Maeneo Tengefu kama ifuatavyo:<br />

i) Mipango ya Jumla ya Usimamizi <strong>wa</strong> maeneo husika (General<br />

Management Plan) hutoa mwongozo <strong>wa</strong> usimamizi <strong>wa</strong> shughuli<br />

93


mbalimbali kwenye eneo husika. Hii ni pamoja na utengaji <strong>wa</strong> kanda<br />

mbalimbali za matumizi na zisizoku<strong>wa</strong> za matumizi.<br />

ii) Mwongozo <strong>wa</strong> Uwekezaji (Investiment Guideline) <strong>katika</strong> Hifadhi za<br />

Bahari na Maeneo Tengefu.<br />

iii) Mwongozo <strong>wa</strong> Tathimini ya Athari za Mazingira (Environmental Impact<br />

Assessment Guideline) <strong>katika</strong> Hifadhi za Bahari na Maeneo Tengefu.<br />

iv) Kuweka maboya ya kuegesha boti (Mooring buoys), haya husaidia<br />

kulinda mazingira (kutotia nanga kwenye matumbawe) k<strong>wa</strong> kutenga<br />

maeneo maalum ya kutia nanga.<br />

2.2 Vivutio vya Utalii <strong>wa</strong> Kiikolojia <strong>katika</strong> Hifadhi za Bahari na<br />

Maeneo Tengefu<br />

Hifadhi za Bahari na Maeneo Tengefu ni maeneo muhimu <strong>katika</strong> uendelezaji <strong>wa</strong><br />

utalii ikolojia. Maeneo haya yana vivutio vingi ambavyo havijaharibi<strong>wa</strong> na<br />

vinaendelea kulind<strong>wa</strong>. K<strong>wa</strong> kutambua hilo, mpango maalumu <strong>wa</strong> Taifa <strong>wa</strong><br />

uendelezaji utalii umeainisha maeneo hayo kama ya kipaumbele (priority areas)<br />

(UNDP/GEF, 2008). Vivutio vinavyopatikana <strong>katika</strong> maeneo hayo ni pamoja<br />

na:-<br />

i) Misitu ya Mikoko pamoja na ule ulioko Hifadhi ya Bahari ya Ghuba ya<br />

Mnazi na Maingilio ya Mto Ruvuma.<br />

ii) Fukwe nzuri kama ya Msimbati (Mt<strong>wa</strong>ra) na za Maeneo Tengefu ya Dar<br />

es Salaam.<br />

iii) Viumbe adimu kama Kasa, Nguva, (Picha Na. 1) Potwe (Whale Shark),<br />

Silikanti, Tuyuli (Coconut Crab), ambaye anapatikana kisi<strong>wa</strong> cha<br />

Mbudya.<br />

iv) Matumbawe ya kuvutia (Picha Na. 2);<br />

v) Ndege <strong>wa</strong> aina mbalimbali (Picha Na. 3);<br />

vi) Maji masafi ambayo hayajachafuli<strong>wa</strong>;<br />

vii) Maeneo ya kihistoria, kama vile magofu ya Kua yaliyopo Mafia;<br />

viii) Wanyama kama vile Viboko, Pomboo, Nyangumi nk;<br />

ix) Samaki <strong>wa</strong> aina mbalimbali <strong>wa</strong>naopatikana <strong>katika</strong> Hifadhi zote, ha<strong>wa</strong><br />

hujumuisha samaki <strong>wa</strong> mapambo <strong>wa</strong>liopo kwenye matumbawe.<br />

Picha Na.1: Nguva, mnyama <strong>wa</strong> baharini (Marine Mammal)<br />

94


Picha Na. 2: Matumbawe (coral) <strong>katika</strong> Hifadhi ya Bahari Mafia<br />

Picha Na. 3: Ndege aina ya Heroin kwenye Eneo Tengefu la Kisi<strong>wa</strong> cha Bongoyo, Dar es Salaam.<br />

2.3 Fursa za Uwekezaji<br />

Ili kuweza kutumia fursa za uwekezaji, ipo mikakati ya kulinda aina za viumbe<br />

ambao <strong>wa</strong>naweza kudhurika kirahisi, makazi na maeneo yenye umuhimu <strong>wa</strong><br />

kiikolojia k<strong>wa</strong> kutoa hadhi maalum ya kisheria kuyatenga maeneo hayo na<br />

ku<strong>wa</strong> Hifadhi za Bahari na Maeneo Tengefu. Kitengo cha Hifadhi za Bahari na<br />

Maeneo Tengefu hufanya juhudi kuhakikisha k<strong>wa</strong>mba maeneo yaliyohifadhi<strong>wa</strong><br />

95


yanatunz<strong>wa</strong> ipasavyo na yanatoa mvuto mkub<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> uwekezaji. Baadhi ya<br />

fursa za uwekezaji zilizopo ni;<br />

i) Ujenzi <strong>wa</strong> Hoteli za kitalii na migaha<strong>wa</strong> ambayo inajali mazingira k<strong>wa</strong><br />

kuzingatia usafi <strong>wa</strong> maeneo husika. Hadi sasa tayari hoteli nyingi zipo<br />

kwenye maeneo ya Hifadhi zetu. Hata hivyo fursa bado zipo kujenga<br />

hoteli zingine za kitalii kwenye maeneo ya Hifadhi.<br />

ii) Ujenzi <strong>wa</strong> mahema k<strong>wa</strong> ajili ya <strong>wa</strong>geni <strong>wa</strong> muda mfupi ili kulinda hali ya<br />

mazingira.<br />

iii) Utoaji <strong>wa</strong> huduma ya boti na vyombo vingine vya kusafirishia <strong>wa</strong>geni<br />

zikiwemo mashua kwenda kwenye maeneo yenye vivutio.<br />

iv) Kuendeleza huduma ya zana za uzamiaji k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>talii <strong>wa</strong>naopenda kutalii<br />

ndani ya maji kupata historia ya viumbe hai na meli zilizozama au<br />

kuzamish<strong>wa</strong> miaka mingi iliyopita.<br />

2.4 Faida ya ku<strong>wa</strong> na Utalii Ikolojia<br />

i) Kupunguza athari za uharibifu <strong>wa</strong> mazingira k<strong>wa</strong> kutovuna vivutio vya<br />

utalii vilivyopo <strong>katika</strong> maeneo husika (non-consumptive);<br />

ii) Kuelimisha jamii inayotembelea maeneo ya utalii kuhusu umuhimu <strong>wa</strong><br />

kuhifadhi mazingira na faida zake;<br />

iii) Kutoa misaada ya moja k<strong>wa</strong> moja kifedha ili kusaidia utunzaji <strong>wa</strong><br />

mazingira;<br />

iv) Sehemu ya pato linalotokana na utalii hugawi<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> jamii husika ili<br />

kuchangia kwenye huduma za jamii na maendeleo;<br />

v) Husaidia kutoa ajira k<strong>wa</strong> jamii k<strong>wa</strong> mfano kuongoza <strong>wa</strong>geni kwenye njia<br />

vinjali (nature trails) na kwenye maeneo mazuri ya kuzamia na kutoa<br />

huduma ya usafiri <strong>wa</strong> maboti;<br />

vi) Kuinua uchumi <strong>wa</strong> jamii na taifa k<strong>wa</strong> ujumla.<br />

2.5 Shughuli za Utalii Ikolojia zinazofanyika <strong>katika</strong> Hifadhi za Bahari<br />

na Maeneo Tengefu<br />

Sheria iliyoanzisha Hifadhi za Bahari na Maeneo Tengefu, inahimiza<br />

ushirikish<strong>wa</strong>ji <strong>wa</strong> jamii za <strong>wa</strong>vuvi <strong>wa</strong>naoishi ndani na karibu na maeneo hayo,<br />

uhifadhi na matumizi endelevu ya rasilimali za bahari. Madhumuni ya kuanzisha<br />

Hifadhi za Bahari na Maeneo Tengefu ni pamoja na:<br />

i) Kuhifadhi mazingira ya maeneo yanayojulikana ku<strong>wa</strong> na aina mbalimbali<br />

na idadi kub<strong>wa</strong> ya viumbe <strong>wa</strong> kwenye maji na nchi kavu;<br />

ii) Kuhamasisha <strong>wa</strong>nanchi kutumia k<strong>wa</strong> busara rasilimali ambazo hazitumiki<br />

kabisa au k<strong>wa</strong> ukamilifu hivi sasa. Rasilimali hizo ni pamoja na samaki<br />

<strong>wa</strong>liopo kwenye kina kirefu (km. jodari) na shughuli mbadala (km.<br />

ufugaji <strong>wa</strong> samaki na nyuki);<br />

iii) Kudumisha rasilimali zinazotumika hivi sasa na kufufua zile ambazo<br />

zimeharibika au zinaelekea kuharibika; na<br />

iv) Kuainisha shughuli za kijamii na kiuchumi za <strong>wa</strong>nanchi <strong>wa</strong>naoishi ndani<br />

ya Hifadhi na shughuli za kuhifadhi mazingira ya uvuvi na bioanuai.<br />

96


K<strong>wa</strong> kuzingatia madhumuni ya kuanzisha Hifadhi za Bahari na Maeneo<br />

Tengefu, shughuli zinazofanyika <strong>katika</strong> maeneo hayo ni kama ifuatavyo:<br />

i) Uzamiaji chini ya maji (diving);<br />

ii) Kuweka kambi au Pikiniki (camping);<br />

iii) Michezo ya kwenye fukwe za bahari, ambayo ni; mpira <strong>wa</strong> <strong>wa</strong>vu,<br />

kukimbia na mpira <strong>wa</strong> miguu;<br />

iv) Michezo ya mbio za mashua;<br />

v) Utalii <strong>wa</strong> kutumia boti za kioo (glass-bottom boats);<br />

vi) Upigaji picha chini ya bahari;<br />

vii) Uvuvi <strong>wa</strong> kitalii (sports fishing);<br />

viii) Utalii <strong>wa</strong> kwenye fukwe (sun bathing);<br />

ix) Kuvinjari <strong>katika</strong> misitu ya mikoko na ya nchi kavu; na<br />

x) Kutazama ndege <strong>wa</strong> aina mbalimbali.<br />

2.6 Mafanikio Yaliyotokana na Uendelezaji <strong>wa</strong> Utalii Ikolojia<br />

Kanuni za utalii ikolojia zinazingatia sana uhifadhi <strong>wa</strong> mazingira, kuongeza<br />

kipato, maendeleo ya jamii na kutoa ajira k<strong>wa</strong> jamii jambo ambalo Kitengo cha<br />

Hifadhi za Bahari na Maeneo Tengefu kinazingatia na kutekeleza k<strong>wa</strong> makini.<br />

Kulingana na Sheria ya Hifadhi za Bahari na Maeneo Tengefu Na. 29 ya M<strong>wa</strong>ka<br />

1994, jamii hupata gawio la asilimia 20 ya mapato yote yatokanayo na utalii ili<br />

kuweza kuchangia <strong>katika</strong> huduma mbalimbali za jamii na maendeleo kama vile<br />

ujenzi <strong>wa</strong> <strong>mada</strong>rasa, zahanati na uchimbaji <strong>wa</strong> visima vya maji safi.<br />

Jamii hutoa pia huduma ya migaha<strong>wa</strong> na kuongoza <strong>wa</strong>talii hasa <strong>katika</strong> Maeneo<br />

Tengefu ya Dar es Salaam. Mafanikio mengine ni kuongezeka k<strong>wa</strong> idadi ya<br />

<strong>wa</strong>talii, k<strong>wa</strong> mfano Hifadhi ya Bahari ya Kisi<strong>wa</strong> cha Mafia idadi ya <strong>wa</strong>talii<br />

imeku<strong>wa</strong> ikiongezeka m<strong>wa</strong>ka hadi m<strong>wa</strong>ka. M<strong>wa</strong>ka 2000 ilipokea <strong>wa</strong>talii 877,<br />

m<strong>wa</strong>ka 2006 <strong>wa</strong>liku<strong>wa</strong> 3,216 na m<strong>wa</strong>ka 2008 <strong>wa</strong>liku<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>talii 3,294<br />

(Kielelezo Na. 1). Kwenye Maeneo Tengefu ya Dar es Salaam idadi ya <strong>wa</strong>talii<br />

imeku<strong>wa</strong> ikiongezeka na kupungua kuanzia m<strong>wa</strong>ka 2000 ambako kuliku<strong>wa</strong> na<br />

<strong>wa</strong>talii 4,984, lakini idadi kub<strong>wa</strong> iliku<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka 2002 ambako kuliku<strong>wa</strong> na<br />

<strong>wa</strong>talii 27,320 na m<strong>wa</strong>ka 2006 <strong>wa</strong>liku<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>talii 28,812 (Kielelezo Na. 2).<br />

Pia mapato yatokanayo na shughuli za utalii ikolojia imeongezeka kutoka<br />

shilingi 366,000 k<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka 2000 hadi shilingi 266,393,532 m<strong>wa</strong>ka 2008.<br />

Mafanikio mengine ni kuongezeka na kurudia uhalisia <strong>wa</strong> maeneo ya hifadhi<br />

ndani ya bahari hasa kwenye maeneo ya Matumbawe hususan Hifadhi ya<br />

Bahari ya Mafia, Ghuba ya Mnazi na maingilio ya mto Ruvuma, kisi<strong>wa</strong> cha<br />

Maziwe (Pangani) na maeneo tengefu ya visi<strong>wa</strong> vya Dar es Salaam.<br />

Ubadilishanaji <strong>wa</strong> zana bora za uvuvi k<strong>wa</strong> zana haribifu k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>vuvi na<br />

ku<strong>wa</strong>wezesha kuvua kwenye maeneo ya mbali na ku<strong>wa</strong>ongezea kipato ni eneo<br />

jingine la mafanikio. Katika Hifadhi ya Bahari ya Ghuba ya Mnazi na maingilio<br />

ya Mto Ruvuma jumla ya nyavu za jarife 2,037 zenye thamani ya shilingi<br />

bilioni 1.8 zilibadilish<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>vuvi na vikundi mbalimbali na Zana haribifu<br />

<strong>katika</strong> kipindi cha miaka mitatu kuanzia m<strong>wa</strong>ka 2005 mpaka m<strong>wa</strong>ka 2008<br />

(Jed<strong>wa</strong>li Na. 1). Pia <strong>katika</strong> Hifadhi ya Bahari ya Mafia kuliku<strong>wa</strong> na<br />

97


ubadilishanaji <strong>wa</strong> nyavu za jarife k<strong>wa</strong> nyavu haribifu na kupe<strong>wa</strong> injini za boti<br />

k<strong>wa</strong> vikundi mbalimbali na <strong>wa</strong>tu binafsi k<strong>wa</strong> kipindi cha miaka mitatu kuanzia<br />

m<strong>wa</strong>ka 2006 hadi 2008 vyenye thamani ya shilingi milioni 272. Zana haribifu<br />

kwenye uvuvi ni zana ambazo huharibu mazingira ambayo hutumika k<strong>wa</strong> utalii<br />

ikolojia.<br />

Idadi ya Watalii<br />

Idadi ya <strong>wa</strong>talii<br />

4000<br />

3500<br />

3000<br />

2500<br />

2000<br />

1500<br />

1000<br />

500<br />

0<br />

2000 2001 2002 2003 2004 2005 2006 2007 2008<br />

Miaka<br />

Kielelezo Na. 1: Idadi ya w atalii kutoka mw aka 2000 hadi<br />

2008 <strong>katika</strong> Hifadhi ya Bahari ya Kisiw a cha Mafia<br />

Chanzo: Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi<br />

35000<br />

30000<br />

25000<br />

20000<br />

15000<br />

10000<br />

5000<br />

0<br />

2000 2001 2002 2003 2004 2005 2006 2007 2008<br />

Miaka<br />

Kielelezo Na. 2: Idadi ya <strong>wa</strong>talii kutoka m<strong>wa</strong>ka 2000<br />

hadi m<strong>wa</strong>ka 2008 <strong>katika</strong> Maeneo Tengefu ya Dar es<br />

Salaam.<br />

Chanzo: Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi<br />

Jed<strong>wa</strong>li Na. 1: Idadi na thamani ya nyavu (Jarife) zilizokabidhi<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong><br />

<strong>wa</strong>vuvi <strong>katika</strong> kipindi cha miaka mitatu kwenye Hifadhi ya Bahari ya Ghuba ya<br />

Mnazi na Maingilio ya Mto Ruvuma.<br />

M<strong>wa</strong>ka Idadi Thamani (Tshs)<br />

2005 721 40,432,700.0<br />

2007 859 76,800,000.0<br />

2008 457 64,500,000.0<br />

Jumla 2,037 1,817,327,000.0<br />

98


3.0 Biashara ya Samaki <strong>wa</strong> Mapambo (Ornamental fish)<br />

Tanzania imejali<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong> na aina mbalimbali za samaki <strong>wa</strong> mapambo<br />

<strong>wa</strong>naopatikana <strong>katika</strong> maji baridi na maji chumvi. Samaki ha<strong>wa</strong> hupatikana<br />

k<strong>wa</strong> wingi <strong>katika</strong> maji ya asili na baadhi yao hupatikana humu nchini tu. Kuna<br />

samaki <strong>wa</strong> mapambo ambao <strong>wa</strong>po <strong>katika</strong> hatari ya kutoweka. K<strong>wa</strong> kiasi<br />

kikub<strong>wa</strong> samaki <strong>wa</strong> mapambo, <strong>wa</strong>meku<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>kivuli<strong>wa</strong> na kupelek<strong>wa</strong> nje ya<br />

nchi na <strong>wa</strong>fanyabiashara.<br />

3.1 Hali ya biashara ya Samaki <strong>wa</strong> Mapambo<br />

Samaki wengi <strong>wa</strong> mapambo kwenye maji baridi ni jamii ya Cichlids. Zi<strong>wa</strong><br />

Tanganyika lina spishi zaidi ya 200 lakini <strong>wa</strong>naosafirish<strong>wa</strong> nje ya nchi k<strong>wa</strong> ajili<br />

ya mapambo ni <strong>wa</strong>stani <strong>wa</strong> spishi 30 (Kiambatisho Na.1). Zi<strong>wa</strong> Nyasa lina<br />

spishi zaidi ya 750 lakini <strong>wa</strong>naosafirish<strong>wa</strong> nje ya nchi kama samaki <strong>wa</strong><br />

mapambo ni takriban spishi 5 ambazo ni Aulo mamelela, A. blue neon, A.<br />

hongi, Proto steven na Tropheus ndole. Zi<strong>wa</strong> Victoria liliku<strong>wa</strong> na spishi zaidi ya<br />

300 <strong>katika</strong> miaka ya 1970 kabla samaki aina ya Sangara aliyepandikiz<strong>wa</strong><br />

hajasambaa na kula jamii ya Cichlid. Hivi sasa baadhi ya spishi <strong>wa</strong>metoweka na<br />

biashara ya samaki <strong>wa</strong> mapambo haipo Zi<strong>wa</strong> Victoria. K<strong>wa</strong> upande <strong>wa</strong> samaki<br />

<strong>wa</strong> maji chumvi <strong>wa</strong>naoishi kwenye matumbawe (coral fish species), spishi<br />

zilizopo Tanzania ni nyingi lakini idadi kamili haijulikani. Hata hivyo, kati ya<br />

spishi takriban 4,000 <strong>wa</strong>liopo duniani ni spishi 200 – 300 ndio <strong>wa</strong>naotumika<br />

k<strong>wa</strong> mapambo.<br />

Samaki aina ya “Cichilid” hutumika sana k<strong>wa</strong> mapambo duniani kote k<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong><br />

<strong>wa</strong>na uwezo <strong>wa</strong> kuzoea mazingira mapya k<strong>wa</strong> haraka kuliko samaki wengine<br />

(Koning, 1995). Hii inatokana na tabia yao ya ku<strong>wa</strong> na uwezo mkub<strong>wa</strong> <strong>wa</strong><br />

kuvumilia hali tofauti ya mazingira ya maji ikiwemo pH na uchumvi chumvi<br />

(salinity). Pia, <strong>wa</strong>na tabia ya kula aina mbalimbali za vyakula kutokana na<br />

mpangilio <strong>wa</strong> midomo, meno na taya (Pharyngeal jaws). Kuna <strong>wa</strong>naokula<br />

m<strong>wa</strong>ni (algae), mimea (plants), samaki, konokono n.k. Pia, aina hizi za samaki<br />

<strong>wa</strong>naweza kuishi na kusafirish<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> muda <strong>wa</strong> siku tano (5) bila kula alimradi<br />

mazingira ya maji yanaruhusu na vifo vinaweza ku<strong>wa</strong> chini ya asilimia 2 tu.<br />

Takwimu za biashara ya samaki <strong>wa</strong> mapambo duniani sio sahihi sehemu nyingi.<br />

Hata hivyo takwimu zilizopo zinaonyesha ku<strong>wa</strong> Uingereza m<strong>wa</strong>ka 1987 <strong>wa</strong>liuza<br />

samaki <strong>wa</strong> kiasi cha Paundi za Uingereza milioni 17 na Marekani <strong>wa</strong>liuza samaki<br />

<strong>wa</strong> thamani ya Dola za Kimarekani milioni 739 m<strong>wa</strong>ka 1988. Hata hivyo taarifa<br />

zilizopo zinaonyesha ku<strong>wa</strong> tabia ya kupenda (hobby) kufuga samaki <strong>wa</strong><br />

mapambo inaongezeka kwenye nchi mbalimbali zikijumuisha, Japan, China,<br />

Australia, Afrika ya Kusini, Korea, Ujerumani na Malaysia. Mara nyingi ufugaji<br />

hufanyika kwenye mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> na matanki (aquaria).<br />

K<strong>wa</strong> upande <strong>wa</strong> Tanzania, takwimu za biashara ya samaki <strong>wa</strong> mapambo kutoka<br />

kwenye maji baridi kuanzia m<strong>wa</strong>ka 2006 mpaka m<strong>wa</strong>ka 2009 ni kama<br />

ifuatavyo: K<strong>wa</strong> ujumla biashara ya samaki ha<strong>wa</strong> huingizia Serikali pesa kidogo<br />

sana. Samaki wengi <strong>wa</strong>liosafirish<strong>wa</strong> nje ya nchi <strong>katika</strong> m<strong>wa</strong>ka 2006 <strong>wa</strong>litoka<br />

Zi<strong>wa</strong> Nyasa. Jumla ya samaki 12,661 ambao <strong>wa</strong>liku<strong>wa</strong> na thamani ya shilingi<br />

99


87,143,451.25 <strong>wa</strong>liingizia Serikali ushuru <strong>wa</strong> shilingi 6,541,825.56 tu. Jumla<br />

ya samaki 9,080 kutoka Zi<strong>wa</strong> Tanganyika <strong>wa</strong>lioku<strong>wa</strong> na thamani ya shilingi<br />

58,770,742.7 <strong>wa</strong>liingizia Serikali kiasi cha shilingi 4,292,456.39. M<strong>wa</strong>ka<br />

2009 samaki wengi <strong>wa</strong>litoka Zi<strong>wa</strong> Tanganyika jumla ya samaki 23,500 wenye<br />

thamani ya shilingi 131, 356,148.5 <strong>wa</strong>liingizia Serikali jumla ya shilingi<br />

13,018,338.19 kama ushuru. Samaki kutoka Zi<strong>wa</strong> Victoria <strong>wa</strong>lisafirish<strong>wa</strong><br />

<strong>wa</strong>chache tu m<strong>wa</strong>ka 2007, <strong>wa</strong>liku<strong>wa</strong> 12 tu (Jed<strong>wa</strong>li Na. 2). Samaki <strong>wa</strong><br />

mapambo kutoka Zi<strong>wa</strong> Victoria <strong>wa</strong>ko hatarini kutoweka kutokana na kuli<strong>wa</strong> na<br />

Sangara k<strong>wa</strong> hiyo <strong>wa</strong>meingiz<strong>wa</strong> kwenye “Red list” chini ya CITES,<br />

ha<strong>wa</strong>safirishwi tena. Kinachohimiz<strong>wa</strong> ni ufugaji <strong>wa</strong> hao samaki.<br />

100


Jed<strong>wa</strong>li Na. 2: Samaki <strong>wa</strong> Mapambo <strong>wa</strong>liouz<strong>wa</strong> nje ya nchi kutoka kwenye Mazi<strong>wa</strong> Makuu<br />

M<strong>wa</strong>ka<br />

2006 2007 2008 2009<br />

Zi<strong>wa</strong> Zi<strong>wa</strong> Nyasa Zi<strong>wa</strong> Zi<strong>wa</strong> Nyasa Zi<strong>wa</strong> Zi<strong>wa</strong> Zi<strong>wa</strong> Nyasa Zi<strong>wa</strong> Zi<strong>wa</strong><br />

Tanganyika<br />

Tanganyika<br />

Victoria Tanganyika<br />

Tanganyika Nyasa<br />

Na. ya samaki 9,080 12,661 15,087 10,403 12 22,712 10,354 23,500 3,810<br />

FOB value<br />

(USD)<br />

45,980.4 70,717.5 113,643.1 75,685.7 67.7 126,433.0 65,622.40 102,397.4 21,495.03<br />

FOB value<br />

(Tsh)<br />

58,770,742.7 87,143,451.3 135,005,622.9 92,094,602.8 74,838.7 164,809,221.5 75296,924.5 131,356,148.5 27,304,409.9<br />

Royalty (Tsh) 4,292,456.4 6,541,825.6 7,597,829.2 5,322,248.0 5,578.8 12,128,615.1 5,249,511.0 13,018,338.2 3,403,748.0<br />

Chanzo: Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi


3.2 Fursa za uwekezaji <strong>katika</strong> samaki <strong>wa</strong> mapambo<br />

i) Kuna fursa kub<strong>wa</strong> ya uwekezaji <strong>katika</strong> samaki <strong>wa</strong> mapambo <strong>wa</strong> Zi<strong>wa</strong><br />

Tanganyika k<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong> samaki hao <strong>wa</strong>po wengi (Watson, 2000) na<br />

baharini kwenye matumbawe (Coral reef fish species) (Picha Na. 4).<br />

ii) Kuwepo k<strong>wa</strong> masoko ya uhakika na mazingira mazuri ya kuvutia<br />

biashara<br />

Ili kuendeleza na kuimarisha uwekezaji <strong>katika</strong> eneo hili ni muhimu<br />

kuhamasisha <strong>wa</strong>nanchi na <strong>wa</strong>wekezaji kutoka nje <strong>katika</strong> kuwekeza kwenye<br />

biashara ya samaki <strong>wa</strong> mapambo. Pia, ni lazima kufanya utafiti <strong>wa</strong><br />

kufahamu spishi zilizopo na wingi <strong>wa</strong> samaki <strong>wa</strong> mapambo ili kuepuka<br />

kumaliza baadhi ya samaki hao.<br />

Picha Na. 4: Samaki <strong>wa</strong> mapambo <strong>wa</strong>ki<strong>wa</strong> kwenye matumbawe <strong>katika</strong> Hifadhi ya Bahari ya Mafia.<br />

3.3 Umuhimu <strong>wa</strong> biashara ya samaki <strong>wa</strong> mapambo <strong>katika</strong> kuondoa<br />

umaskini<br />

Takwimu zilizopo zinaonyesha ku<strong>wa</strong> mapato ya biashara ya samaki <strong>wa</strong><br />

mapambo kwenye nchi mbalimbali duniani ina thamani ya takriban Dola za<br />

Marekani milioni 186 na samaki wengi <strong>wa</strong>natoka nchi zinazoendelea (Watson,<br />

2000). Kati ya hizi fedha zinazobaki k<strong>wa</strong> jamii <strong>wa</strong>naokusanya samaki hao ni<br />

kidogo sana. Hata hivyo, kama jamii itawezesh<strong>wa</strong> kupata mtaji na teknolojia<br />

sahihi itaweza kujiongezea kipato na kupunguza umaskini.<br />

Asilimia 90 ya samaki <strong>wa</strong> mapambo duniani huzalish<strong>wa</strong> kwenye mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong><br />

hasa kwenye nchi zilizoendelea na samaki hao <strong>wa</strong>metole<strong>wa</strong> kutoka kwenye<br />

nchi zinazoendelea ikiwemo Tanzania. Ili m<strong>wa</strong>nanchi aweze kunufaika na<br />

biashara ya samaki <strong>wa</strong> mapambo kuna umuhimu <strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong>elimish<strong>wa</strong> kuhusu<br />

njia bora za ku<strong>wa</strong>vua, ku<strong>wa</strong>hifadhi na ku<strong>wa</strong>safirisha k<strong>wa</strong> ajili ya kuongeza<br />

kipato chao na taifa k<strong>wa</strong> ujumla.<br />

3.4 Athari Zitokanazo na Biashara ya Samaki <strong>wa</strong> Mapambo<br />

Shirika la Kimataifa la Hifadhi ya Viumbe na Mazingira kupitia kitabu cha “Red<br />

List’’ (IUCN, 1988) kimeainisha aina za samaki <strong>wa</strong> mapambo ambao <strong>wa</strong>po


hatarini kutoweka. Samaki hao ni pamoja na aina ya furu (Haplochromine).<br />

Athari za biashara hiyo ni kama ifuatavyo:<br />

i) Kupungua wingi na makazi ya samaki <strong>wa</strong>liopo kwenye maeneo ya asili<br />

iki<strong>wa</strong> ni pamoja na mazi<strong>wa</strong>, mito na bahari k<strong>wa</strong> njia mbalimbali. Hali ya<br />

aina hii imekwishatokea kwenye nchi ambazo biashara ya samaki <strong>wa</strong><br />

mapambo ni kub<strong>wa</strong> kama vile Sri Lanka na Malaysia (Banister, 1989).<br />

K<strong>wa</strong> upande <strong>wa</strong> Tanzania tathmini ya athari za biashara ya mapambo<br />

bado haijafanyika.<br />

ii) Kuharibika k<strong>wa</strong> mfumo mzima <strong>wa</strong> ikolojia na kuharibu makazi ya samaki<br />

asilia (indigenous species). Hali hii hutokana na samaki <strong>wa</strong> mapambo<br />

kupelek<strong>wa</strong> kwenye maeneo ambayo sio ya asili yao kama vile mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong>.<br />

Wakati mwingine samaki ha<strong>wa</strong> huingia kwenye mito iliyo karibu na<br />

mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> <strong>wa</strong>nayofugi<strong>wa</strong> na kwenda kwenye mazi<strong>wa</strong> ambako<br />

huchanganyika na samaki ambao ni <strong>wa</strong> asili kwenye maeneo hayo. Pia,<br />

biashara hii inaweza kuhatarisha ikolojia ya maji ya nchi <strong>wa</strong>liyopelek<strong>wa</strong>.<br />

3.5 Changamoto<br />

i) Kuimarisha na kuendeleza miundombinu kwenye maeneo yenye vivutio<br />

k<strong>wa</strong> ajili ya utalii ikolojia iki<strong>wa</strong> ni pamoja na barabara, umeme na maji<br />

safi;<br />

ii) Upatikanaji <strong>wa</strong> mitaji na uwekezaji <strong>katika</strong> utalii ikolojia na biashara ya<br />

samaki <strong>wa</strong> mapambo;<br />

iii) Kuweka bayana umiliki <strong>wa</strong> fukwe za bahari ambazo ziko nje ya Hifadhi<br />

za Bahari na Maeneo Tengefu ili kuharakisha uwekezaji <strong>wa</strong> maeneo haya<br />

k<strong>wa</strong> nia ya kukuza utalii ikolojia;<br />

iv) Kufanya utafiti <strong>wa</strong> kufahamu ikolojia, aina, wingi <strong>wa</strong> samaki <strong>wa</strong><br />

mapambo n.k.; na<br />

v) Kuboresha mazingira ya utalii ikolojia na biashara ya samaki <strong>wa</strong><br />

mapambo.<br />

4.0 Mapendekezo<br />

i) Kufanya utafiti <strong>wa</strong> kufahamu wingi <strong>wa</strong> spishi mbalimbali za samaki <strong>wa</strong><br />

mapambo ili uvunaji uwe endelevu;<br />

ii) Kuhamasisha <strong>wa</strong>nanchi na <strong>wa</strong>dau wengine kuwekeza <strong>katika</strong> biashara ya<br />

samaki <strong>wa</strong> mapambo na utalii ikolojia;<br />

iii) Kuhamasisha <strong>wa</strong>nanchi kutembelea Hifadhi za Bahari na Maeneo<br />

Tengefu ili kukuza utalii <strong>wa</strong> ndani; na<br />

iv) Kufanya jitihada za kuhifadhi spishi za viumbe <strong>wa</strong> kwenye maji zilizo<br />

hatarini kutoweka.<br />

5.0 Hitimisho<br />

Tanzania inazo fursa nyingi kwenye utalii ikolojia na biashara ya samaki <strong>wa</strong><br />

mapambo, ambazo zikitumi<strong>wa</strong> kikamilifu zinaweza kusaidia kupunguza<br />

umasikini na kwenda sambamba na juhudi za Serikali za kufikia malengo ya<br />

milenia 2015, MKUKUTA, Dira ya Taifa ya Maendeleo 2025, na azma ya<br />

KILIMO KWANZA. Hivyo basi, juhudi za ziada zinahitajika kukuza utalii<br />

ikolojia <strong>wa</strong> ndani kwenye Hifadhi za Bahari na Maeneo Tengefu ili kuongeza<br />

103


pato na kupunguza umasikini. Aidha, ili kufanikisha biashara ya samaki <strong>wa</strong><br />

mapambo hatuna budi kuhakikisha ku<strong>wa</strong>, biashara hii inaku<strong>wa</strong> endelevu na<br />

samaki <strong>wa</strong>lio <strong>katika</strong> hatari ya kutoweka <strong>wa</strong>nazalish<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> wingi badala ya<br />

kuendelea ku<strong>wa</strong>vuna kwenye maji ya asili.<br />

Kiambatisho Na. 1: Idadi ya Samaki <strong>wa</strong> mapambo <strong>wa</strong>liovuli<strong>wa</strong> kutoka<br />

Zi<strong>wa</strong> Tanganyika<br />

Aina ya samaki M<strong>wa</strong>ka<br />

2007 2008<br />

Altolamprologus Compressiceps 70 195<br />

Bethochromis tricoti 50 0<br />

Chalinochromis brichard 0 27<br />

Ctenochromis horei 0 50<br />

Cyanthopharynx furcifer 40 100<br />

Cyphotilapia frontosa 141 275<br />

Cyprichromis microlepidontus 100 0<br />

Enantiopus spp 60 290<br />

Eretmodus sp 200 350<br />

Cythopharynx foai 60 134<br />

Goby 0 620<br />

Lamprologus brevis 0 50<br />

Leptosoma sp. 0 60<br />

Leptosoma blue 100 100<br />

L. jumbo 390 150<br />

Cyprichromis microlepidotus 110 0<br />

Neolamprologus tretocephalus 0 16<br />

N. ventrails 80 210<br />

Ochrogenys moori 100 325<br />

Ophthalmotilapia boops 0 90<br />

O. nasuta 0 230<br />

P. kazumbe 260<br />

P. moshi 0 15<br />

Petrochromis spp 0 130<br />

Xenotilapia spilopterus 40 290<br />

Synodontis Multipunctatus 0 60<br />

Tanganicodus spp 200 60<br />

Tropheus Kaiser 300 1060<br />

T. katonga 60 212<br />

T. kuchfulk 125 0<br />

T. malagarasi 0 300<br />

Xenotilapia flavipinnis 320 105<br />

X. ochrogenys 70 0<br />

Chanzo: Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, 2009<br />

104


SURA YA KUMI<br />

BIASHARA NA USAMBAZAJI WA SAMAKI NA MAZAO YAKE NDANI NA<br />

NJE YA NCHI<br />

Imeandali<strong>wa</strong> na B<strong>wa</strong>na H. Bhagat, Mwenyekiti <strong>wa</strong> TIFPA.<br />

Mada iliyo<strong>wa</strong>silish<strong>wa</strong> kwenye Mkutano <strong>wa</strong> Kuhamasishaji Usimamizi<br />

na Matumizi ya Rasilimali za Uvuvi Nchini<br />

Tarehe 16 – 18, Desemba, 2009, M<strong>wa</strong>nza


BIASHARA NA USAMBAZAJI WA SAMAKI NA MAZAO YAKE NDANI NA<br />

1.0 Utangulizi<br />

NJE YA NCHI<br />

Tanzania ni Taifa lililojali<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong> na wingi <strong>wa</strong> rasilimali, ikiwemo MAJI. Kama<br />

rasilimali ya maji itatumika k<strong>wa</strong> mpangilio na k<strong>wa</strong> njia endelevu, basi Uvuvi <strong>katika</strong><br />

maji baridi, mazi<strong>wa</strong>, mito na mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong>, hali kadhalika Uvuvi <strong>katika</strong> maeneo ya<br />

ufugaji <strong>wa</strong> samaki kwenye maji utashamiri <strong>katika</strong> nchi hii.<br />

2.0 Hali ya Uvuvi<br />

Uvuvi Tanzania umega<strong>wa</strong>nyika <strong>katika</strong> maeneo matatu:<br />

a) Baharini; uvuvi <strong>katika</strong> maji mafupi au k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>vuvi <strong>wa</strong>dogo <strong>wa</strong>dogo, bahari ya<br />

kati na Bahari kuu.<br />

b) Maji baridi; Mazi<strong>wa</strong>, Mito, Mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong>, n.k.<br />

c) Uvuvi <strong>katika</strong> maeneo ya ufugaji <strong>wa</strong> samaki kwenye maji.<br />

Aina mbili za maeneo ya k<strong>wa</strong>nza ni Uvuvi <strong>katika</strong> maji asilia, <strong>wa</strong>kati kundi la mwisho<br />

ni la ufugaji.<br />

3.0 Uchumi <strong>wa</strong> jamii <strong>katika</strong> <strong>sekta</strong> ya uvuvi<br />

Kutoka m<strong>wa</strong>ka 1990 hadi 2007 <strong>sekta</strong> ya uvuvi ilikua kutoka ki<strong>wa</strong>ngo kidogo sana<br />

hadi kufikia Dola za kimarekani milioni 175, k<strong>wa</strong> kuuza nje zaidi ya tani 50,000 za<br />

samaki. Ukuaji <strong>wa</strong> aina hiyo, haujashuhudi<strong>wa</strong> <strong>katika</strong> <strong>sekta</strong> nyingine ye yote, hasa<br />

ikizingati<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong> <strong>sekta</strong> ina<strong>wa</strong>nufaisha <strong>wa</strong>tu <strong>wa</strong>patao milioni tano. Sekta hii<br />

imeku<strong>wa</strong> ikitegeme<strong>wa</strong> sana na <strong>wa</strong>vuvi <strong>wa</strong>dogo <strong>wa</strong>dogo, na ma<strong>wa</strong>kala na vile vile<br />

imetengeneza fursa za ajira k<strong>wa</strong> mamia ya maelfu ya <strong>wa</strong>nanchi. Zaidi ya asilimia<br />

90 ya fedha za kigeni zinazopatikana kutokana na mauzo ya nje hutumika kununua<br />

vifaa humu nchini. Zaidi ya asilimia 90 ya fedha za kigeni zinazopatikana kutokana<br />

na mauzo ya nje hutumika kununua vifaa humu nchini.<br />

Uwezekano na ustawi <strong>wa</strong> mapato <strong>katika</strong> miaka ya nyuma, zaidi ya Dola za<br />

kimarekani 500,000, sa<strong>wa</strong> na shilingi milioni 600 <strong>wa</strong>kati huo, ziliku<strong>wa</strong> zinatumika<br />

kila siku k<strong>wa</strong> kununua samaki tu.<br />

Wafanyabiashara mbalimbali <strong>wa</strong>linufaika na mzunguko huu. Ilisaidia pia Mama<br />

Ntilie, <strong>wa</strong>tengeneza panki gharama za shule na matibabu. Vile vile ilichochea<br />

upanuzi <strong>wa</strong> vi<strong>wa</strong>nda vya bia, soda, <strong>sekta</strong> ya usafirishaji, utumiaji <strong>wa</strong> nishati, reli,<br />

ki<strong>wa</strong>nja cha ndege, mahoteli, Bandari ya Dar es Salaam, biashara na uzalishaji<br />

vi<strong>wa</strong>ndani.<br />

Uwezekano na ustawi <strong>wa</strong> mapato <strong>katika</strong> miaka ya nyuma, zaidi ya Dola za<br />

Kimarekani 500,000, sa<strong>wa</strong> na shilingi milioni 600 <strong>wa</strong>kati huo, ziliku<strong>wa</strong> zinatumika<br />

106


kila siku k<strong>wa</strong> kununua samaki tu. Wafanyabiashara mbalimbali <strong>wa</strong>linufaika na<br />

mzunguko huu.<br />

Ilisaidia pia Mama Ntilie, <strong>wa</strong>tengeneza panki gharama za shule na matibabu. Vile<br />

vile ilichochea upanuzi <strong>wa</strong> vi<strong>wa</strong>nda vya bia, soda, <strong>sekta</strong> ya usafirishaji, utumiaji <strong>wa</strong><br />

nishati, reli, ki<strong>wa</strong>nja cha ndege, mahoteli, Bandari ya Dar es Salaam, biashara na<br />

uzalishaji vi<strong>wa</strong>ndani.<br />

4.0 Hitaji la Kuele<strong>wa</strong> Maudhui ya Kodi<br />

Kodi kwenye mishahara na zile za jumla. Kodi za Serikali za mitaa na ushuru <strong>wa</strong> jiji.<br />

Endapo asilimia 50 ya pesa za kigeni zilitumika kununua vifaa mbalimbali hapa<br />

nchini ambapo VAT ilitoza ushuru, basi ina maana ku<strong>wa</strong> Hazina ilipata zaidi ya Dola<br />

za Kimarekani milioni 15 k<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka. Ushuru <strong>wa</strong> Forodha, kodi za mapato na kodi<br />

za jumla nazo hupata zaidi ya Dola za Kimarekani milioni 20.<br />

Zaidi ya hapa kuna ushuru mwingine kwenye mishahara kama vile NSSF.<br />

5.0 Ukuzaji Viumbe Kwenye Maji<br />

Ukuzaji viumbe kwenye maji ina<strong>wa</strong>kilisha maendeleo ya uvuvi nchini <strong>katika</strong> siku za<br />

usoni. Kik<strong>wa</strong>zo kikub<strong>wa</strong> <strong>katika</strong> ukuaji <strong>wa</strong> <strong>sekta</strong> hii ni lishe/chakula na <strong>wa</strong>talaam<br />

<strong>wa</strong>liobobea <strong>katika</strong> fani hii.<br />

Hii itahitaji uratibu <strong>wa</strong> kitaifa baina ya Sekta ya Kilimo, Maji na Wataalam. Endapo<br />

mkakati mahsusi utawek<strong>wa</strong>, <strong>sekta</strong> hii itatengeneza ulinzi <strong>wa</strong> protini k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>tu wetu,<br />

pia kuendeleza soko latika ukanda wetu na kimataifa. Janga letu kub<strong>wa</strong> la kitaifa<br />

k<strong>wa</strong> sasa, ni k<strong>wa</strong>mba mito yetu inayopeleka maji baharini pasipo ku<strong>wa</strong> na faida<br />

yoyote. Huu ni upotezaji <strong>wa</strong> kihalifu <strong>wa</strong> rasilimali ya Taifa.<br />

6.0 Tishio <strong>katika</strong> Sekta ya Uvuvi<br />

i) Kupungua k<strong>wa</strong> rasilimali ya uvuvi k<strong>wa</strong> sababu ya usimamizi hafifu na<br />

kutokufuata na kuzingatia sheria za uvuvi;<br />

ii) Uharibifu <strong>wa</strong> mazingira;<br />

iii) Miundombinu duni na isiyokidhi mahitaji <strong>katika</strong> <strong>sekta</strong> ya uvuvi;<br />

iv) Ushindani <strong>wa</strong> kimataifa kutokana na aina nyingine za samaki duniani; na<br />

v) Milundikano ya kodi na mirahaba kwenye mazao ya samaki.<br />

107


7.0 Kero za Rasilimali <strong>katika</strong> Zi<strong>wa</strong> Victoria<br />

Zi<strong>wa</strong> LINAKUFA, hali ambayo ni ya hatari sana ya “Shamba la Bibi”. Mbali ya uvuvi<br />

haramu, kuna tatizo kub<strong>wa</strong> la uharibifu <strong>wa</strong> mazingira yanayoathiri uasilia <strong>wa</strong> zi<strong>wa</strong>.<br />

Uharibifu <strong>wa</strong> vyanzo vya maji, ikiwemo sasa misitu ya Mau, maeneo chepechepe,<br />

uchafuzi <strong>wa</strong> mazingira kutokana na migodi pamoja na vi<strong>wa</strong>nda vinavyotiririsha maji<br />

taka. Serikali inapoteza mapato mengi.<br />

Uzalishaji umekwenda chini zaidi ya asilimia 50 <strong>katika</strong> m<strong>wa</strong>ka 2009 na mapato ya<br />

pesa za kigeni hali kadhalika yatatelemka k<strong>wa</strong> ki<strong>wa</strong>ngo cha $ milioni 100 toka<br />

kwenye kilele cha $ milioni 175 <strong>katika</strong> m<strong>wa</strong>ka 2007. Sekta binafsi imejiwekea<br />

utaratibu <strong>wa</strong> kujikagua wenyewe vi<strong>wa</strong>ndani, unaogharimu shilingi milioni 150 k<strong>wa</strong><br />

m<strong>wa</strong>ka.<br />

Nyenzo haramu za uvuvi, likiwemo KOKORO, linatumika <strong>wa</strong>zi hata mbele ya IKULU<br />

ndogo M<strong>wa</strong>nza na samaki <strong>wa</strong>changa <strong>wa</strong>nauz<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>zi<strong>wa</strong>zi M<strong>wa</strong>loni. Malori<br />

yanayoenda DRC na Uganda yaki<strong>wa</strong> yamebeba samaki <strong>wa</strong>changa. Hali hii imeathiri<br />

hata biashara ya mapanki na dagaa <strong>katika</strong> nchi hizo. Serikali inapoteza mapato<br />

mengi.<br />

Wafanyakazi <strong>wa</strong>napoteza kazi. Ujambazi utaongezeka.<br />

Ada za shule na gharama za matibabu zitaathirika.<br />

Sekta ya huduma itapoteza biashara. Umahiri <strong>wa</strong> M<strong>wa</strong>nza utaku<strong>wa</strong> jinamizi.<br />

Sekta itakufa k<strong>wa</strong> vile gharama za uendeshaji zitaendelea ku<strong>wa</strong> za juu.<br />

8.0 Kero za Rasilimali <strong>katika</strong> Bahari ya Hindi<br />

Uvuvi <strong>wa</strong> kivi<strong>wa</strong>nda <strong>wa</strong> kamba kusimama hadi leo. K<strong>wa</strong> mara nyingine, <strong>sekta</strong> binafsi<br />

inasisitiza <strong>katika</strong> maele<strong>wa</strong>no ya tamko la uvuvi. Mwonekano <strong>wa</strong> uvuvi <strong>wa</strong> mbeleni<br />

uko mashakani k<strong>wa</strong> vile nyenzo za uvuvi haramu, vikiwemo vyandarua inatishia<br />

ukanda huu ku<strong>wa</strong> jang<strong>wa</strong>. Kusimama k<strong>wa</strong> meli za uvuvi <strong>wa</strong> kamba k<strong>wa</strong> muda<br />

mrefu, kunasababisha meli hizo kuota kutu na kuharibika zaidi, pia kulimbikiza riba<br />

kwenye mikopo ambayo haizalishi.<br />

Uvuvi <strong>wa</strong> pweza, kaa na kamba koche <strong>wa</strong>changa vyote vinatia shaka kub<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong><br />

vile uhitaji <strong>wa</strong> malighafi unaendelea.<br />

Kukosekana k<strong>wa</strong> sheria dhidi ya uvuvi haramu/<strong>wa</strong>changa <strong>wa</strong> pweza, kaa na kamba<br />

koche.<br />

Utumiaji <strong>wa</strong> “Skuba” <strong>katika</strong> uvuvi <strong>wa</strong> pweza, kitu ambacho ni marufuku <strong>katika</strong> nchi<br />

nyingi duniani, ikiwemo Tanzania. Zoezi hili limesababisha upungufu <strong>katika</strong> uvuvi<br />

<strong>wa</strong> pweza, na ulihusish<strong>wa</strong> sana <strong>katika</strong> uharibifu <strong>wa</strong> uvuvi <strong>wa</strong> jongoo bahari<br />

(cucumber).<br />

Mwendelezo <strong>wa</strong> njia haramu za uvuvi k<strong>wa</strong> namna ya milipuko (baruti) na sumu<br />

kwenye maeneo ya mazalia. Hali kadhalika uvunaji <strong>wa</strong> miti unaharibu sana mazalia<br />

ya pweza na kamba koche.<br />

108


9.0 Uvuvi <strong>katika</strong> Bahari Kuu<br />

Kuna mishipi 6 (long liners) imekaa bure baharini k<strong>wa</strong> miaka miwili iliyopita na<br />

hakuna mtu ambaye ameshahoji juu ya hilo. Tanzania itashindanaje <strong>wa</strong>kati hakuna<br />

bandari ya uvuvi <strong>wa</strong> aina hii. Wakati huo huo, serikali inataka kulipisha ushuru <strong>wa</strong><br />

kuthibitisha, hali iki<strong>wa</strong> imewek<strong>wa</strong> bayana kuwepo mrabaha iki<strong>wa</strong> boti za kitanzania<br />

zitaweza kuvua tuna? Hakuna motisha wo wote <strong>wa</strong> yale yaliyotaj<strong>wa</strong> hapo juu <strong>wa</strong><br />

kuvua <strong>katika</strong> bahari kuu.<br />

U<strong>wa</strong>silishi <strong>wa</strong> Grafu <strong>katika</strong> kudidimia k<strong>wa</strong> <strong>sekta</strong>.<br />

Tons<br />

Tons<br />

Tons<br />

50000<br />

45000<br />

40000<br />

35000<br />

30000<br />

25000<br />

20000<br />

15000<br />

10000<br />

5000<br />

1000<br />

900<br />

800<br />

700<br />

600<br />

500<br />

400<br />

300<br />

200<br />

100<br />

140<br />

120<br />

100<br />

80<br />

60<br />

40<br />

20<br />

0<br />

0<br />

0<br />

Mauzo ya nje ya minofu ya Sangara<br />

1995 2005 2007 2008<br />

(Expected)<br />

M<strong>wa</strong>ka<br />

Mauzo ya nje ya ngisi<br />

1995 2005 2006 2008 (Expected)<br />

M<strong>wa</strong>ka<br />

Mauzoya nje ya Ngisi <strong>wa</strong>liogandish<strong>wa</strong>: 1995 - 2008<br />

1995 1997 2004 2008 (Expected)<br />

M<strong>wa</strong>ka<br />

Nile Perch Fillets<br />

Ushuru/Mrabaha na Gharama za Mafuta na Matatizo ya Umeme<br />

Prawns<br />

Frozen Squid<br />

Sekta ya uuzaji bidhaa nje ya nchi ni kuingia kwenye ushindani <strong>wa</strong> bidhaa hiyo na<br />

mataifa mbalimbali. Kila nchi huweka sera ambazo hutetea <strong>sekta</strong>. Sangara wetu <strong>wa</strong><br />

Zi<strong>wa</strong> Victoria hushindana dhidi ya aina nyingine ya samaki <strong>katika</strong> soko (Basa, wild<br />

109<br />

Tons<br />

Tons<br />

T o n s<br />

250<br />

200<br />

150<br />

100<br />

50<br />

1400<br />

1200<br />

1000<br />

120<br />

100<br />

0<br />

80<br />

60<br />

40<br />

20<br />

0<br />

800<br />

600<br />

400<br />

200<br />

0<br />

1995<br />

Mauzo ya nje ya pweza <strong>wa</strong>liogandish<strong>wa</strong><br />

1995 2005 2007 2008 (Expected)<br />

M<strong>wa</strong>ka<br />

Mauzo ya nje ya kamba koche hai/<strong>wa</strong>liogandish<strong>wa</strong><br />

1995 2004 2005 2008 (Expected)<br />

M<strong>wa</strong>ka<br />

Mauzo ya nje ya Kamba koche hai na<br />

<strong>wa</strong>liogandish<strong>wa</strong>.<br />

1997<br />

2004<br />

M<strong>wa</strong>ka<br />

2005<br />

2008 (Expected)<br />

Octopus<br />

Frozen + Live Crab<br />

Frozen and Live Lobster


Mrabaha <strong>wa</strong><br />

kusafirisha nje<br />

Tanzania<br />

cod, saithe, hake na pollock). K<strong>wa</strong> samaki mweupe – Basa (pangasius) anata<strong>wa</strong>la<br />

dunia. Sasa ni vipi nchi zingine zinasaidia vi<strong>wa</strong>nda vyao?<br />

Wakati uvuvi <strong>wa</strong> Kamba koche <strong>katika</strong> Bengal ilipoanguka, Serikali ya India ilitoa pesa<br />

<strong>katika</strong> kubadili “trawlers” ili ziwe mishipi (long-liners) k<strong>wa</strong> msaada <strong>wa</strong> Dola 40,000<br />

k<strong>wa</strong> kila trawler. China ilitoa $ bilioni 16.1 kwenye <strong>sekta</strong> ya samaki kati ya Januari<br />

na Julai 2009 na kiasi kingine kitatole<strong>wa</strong> <strong>katika</strong> muda uliobaki <strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka huu.<br />

Vietnam ilipangilia mikopo kutoka kwenye mabenki yake k<strong>wa</strong> ajili ya <strong>wa</strong>chakataji ili<br />

kununulia Basa kwenye madimbwi <strong>wa</strong>kati soko lilipotatiza kufuatia Urusi kuweka<br />

vik<strong>wa</strong>zo kuagiza Basa (Pangasius).<br />

Hivi karibuni, Brazil imetangaza “Kifurushi” k<strong>wa</strong> ajili ya ukuzaji mkub<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> viumbe<br />

kwenye maji ikisimami<strong>wa</strong> na Wizara maalum k<strong>wa</strong> shughuli hiyo. Pia tuongeze<br />

Amazon kwenye Mekong.<br />

Je, sisi kifurushi chetu cha kuchochea kimeku<strong>wa</strong> na nini? au kimeku<strong>wa</strong>je? Wizara<br />

yetu ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi imetangaza ongezeko la zaidi ya asilimia 66<br />

la mrabaha k<strong>wa</strong> ajili ya pweza na mrabaha <strong>wa</strong> kuingiza <strong>wa</strong> dola za Kimarekani 0.25<br />

k<strong>wa</strong> kilo k<strong>wa</strong> samaki <strong>wa</strong>lioingiz<strong>wa</strong>, ambao huli<strong>wa</strong> na <strong>wa</strong>fanyakazi na jamii nyingine<br />

ya daraja la kati. Ongezeko la ada ya leseni toka $ 13.5 hadi $16 k<strong>wa</strong> GRT. K<strong>wa</strong><br />

vyombo vyenye 150 GRT, ongezeko hili ni $ 2,400. Na vyombo hivi vimetia nanga<br />

k<strong>wa</strong> miaka miwili. Ada za ziada k<strong>wa</strong> ajili ya kuvua na kuuza nje.<br />

10.0 Mirabaha inaendelea ku<strong>wa</strong> kik<strong>wa</strong>zo kikub<strong>wa</strong> kwenye <strong>sekta</strong><br />

Nchi za Asia hazitozi mirabaha. K<strong>wa</strong> mfano kupata cheti cha kusafirisha nje nchini<br />

Sri Lanka, mchakataji hulipa Rupee 400 ambazo ni sa<strong>wa</strong> na $ 8. Kusafirisha nje<br />

kontena la uzito/ukub<strong>wa</strong> huo huo hapa kwetu Tanzania, mchakataji anapas<strong>wa</strong><br />

kulipa $ 3,168!!<br />

Wachakataji samaki ni <strong>wa</strong>tumiaji <strong>wa</strong>kub<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> mafuta (dizeli). Kufuatana na mgao<br />

<strong>wa</strong> umeme, tunatumia sana majenereta. Gharama ya mafuta duniani kote ilishuka<br />

toka $ 145 hadi $70 k<strong>wa</strong> pipa, sa<strong>wa</strong> na asilimia 50. Bei ya hapa ilishuka k<strong>wa</strong> kiasi<br />

kama cha shilingi 400 kutoka shilingi 1,900 hadi shilingi 1,500 sa<strong>wa</strong> na asilimia<br />

22.<br />

Sasa tunatoa mchanganuo <strong>wa</strong> mlinganisho <strong>wa</strong> kodi/mirabaha <strong>katika</strong> eneo letu.<br />

Jed<strong>wa</strong>li 1: Tofauti <strong>katika</strong> asilimia ya mrahaba <strong>wa</strong> kusafirisha nje kati ya Tanzania na<br />

nchi zingine<br />

Minofu ya<br />

Sangara<br />

Minofu<br />

gandish<strong>wa</strong><br />

Pweza<br />

<strong>wa</strong>lioga<br />

ndish<strong>wa</strong><br />

Ngisi<br />

<strong>wa</strong>liogan<br />

dish<strong>wa</strong><br />

AINA YA MAZAO YA UVUVI<br />

K/koche<br />

Waliogandi<br />

sh<strong>wa</strong><br />

110<br />

Kambakoche<br />

Hai<br />

Kaa<br />

Waliogand<br />

ish<strong>wa</strong><br />

Kaa<br />

Hai<br />

Kamba<br />

<strong>wa</strong>lioga<br />

ndish<strong>wa</strong><br />

Kenya $ 0.030* $ 0.023* $ 0.018* $ 0.015* $ 0.063* $ 0.175* $ 0.025* $ 0.060* $ 0.040<br />

Msumbiji N/A NA $ 0.00 $ 0.00 $ 0.00 $ 0.00 $ 0.00 $ 0.00 $ 0.00<br />

Tanzania Bara $ 0.120 $ 0.120 $ 0.250 $ 0.180 $ 0. 630 $ 0.900 $ 0. 300 $ 0.600 $ 0.780<br />

Zanzibar N/A N/A $ 0.046 $ 0.046** $ 0.192** $ 0.192** $ 0. 031** $ 0. 153 $N/A<br />

Uganda $ 0.00 $ N/A N/A N/A N/A N/A N/A N/A


N/A = Zao hilo halipatikani <strong>katika</strong> nchi hiyo<br />

* Kenya - kodi ya kuuza nje ni 0.5% ya gharama ya ankara. Tarakimu hizi ni hadi Juni 2009<br />

* Zanzibar - kodi ya kuuza nje ni 5% ya gharama ya kununulia toka k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>vuvi. Tarakimu hizi ni zile<br />

zilizotokana na <strong>wa</strong>vuvi.<br />

11.0 Ni vipi ushuru unatengenez<strong>wa</strong> na kutoz<strong>wa</strong> na Serikali za Mitaa<br />

Tarehe 1 Julai 2009, Halmashauri ya Jiji la M<strong>wa</strong>nza iliongeza ushuru k<strong>wa</strong> mazao ya<br />

Zi<strong>wa</strong> toka shilingi 7 hadi shilingi 30 k<strong>wa</strong> kilo ya samaki <strong>wa</strong>bichi sa<strong>wa</strong> na ongezeko la<br />

asilimia 400. Sheria inaelekeza kutoza ushuru k<strong>wa</strong> bidhaa mbalimbali. Ng’ombe<br />

atalipi<strong>wa</strong> shilingi 500 k<strong>wa</strong> kich<strong>wa</strong>. Tukikadiria ku<strong>wa</strong> Ng’ombe ana uzito <strong>wa</strong> kilo 200,<br />

hiyo ina maana ni shilingi 2.50 k<strong>wa</strong> kilo, samaki mbichi ni juu kiasi cha asilimia<br />

2,000. Mazao haya yote yako chini ya Wizara Mama moja. Na k<strong>wa</strong> nini lakini<br />

ongezeko hilo lilishinikiz<strong>wa</strong>? Maelezo yao, eti ni k<strong>wa</strong> vile kutaku<strong>wa</strong> na upungufu <strong>wa</strong><br />

samaki, <strong>wa</strong>nahitaji kuongeza ushuru ili kupata mapato yale yale <strong>wa</strong>liyoku<strong>wa</strong><br />

<strong>wa</strong>mepanga kwenye bajeti yao.<br />

12.0 Je huu ni mtazamo ule ule kama vile Wizara Mama ilivyofanya k<strong>wa</strong><br />

kuongeza mirabaha na gharama zingine?<br />

Serikali ilitengeneza “Kifurushi cha motisha” hivi karibuni k<strong>wa</strong> ajili ya <strong>sekta</strong> ya<br />

kusafirisha mazao nje, <strong>sekta</strong> PEKEE ambayo haikutaj<strong>wa</strong> kabisa ni <strong>sekta</strong> ya Uvuvi.<br />

Hii ndiyo <strong>sekta</strong> inayokabili matatizo lukuki <strong>katika</strong> nyakati zetu. Wakati sisi sote<br />

tuliopo hapa tukijua ku<strong>wa</strong> huu ni ukweli bayana, k<strong>wa</strong> nini hapaku<strong>wa</strong> na u<strong>wa</strong>kilishi<br />

k<strong>wa</strong> niaba ya <strong>sekta</strong> yetu k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>le <strong>wa</strong>lioku<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>natengeneza mapendekezo ya<br />

“kifurushi cha motisha”<br />

111


13.0 Mapendekezo ya TIFPA<br />

(i) Kuhusu Kodi<br />

Kuweka uwiano <strong>wa</strong> mrabaha <strong>wa</strong> kuuza bidhaa nje uwe sa<strong>wa</strong> na nchi jirani za Kenya,<br />

Msumbiji, na Uganda. K<strong>wa</strong> hiyo, mrabaha uondolewe kabisa kwenye mazao ya<br />

baharini, na kudumisha mchango pekee <strong>wa</strong> rasilimali <strong>wa</strong> $ 0.05 k<strong>wa</strong> kilo ambao<br />

utatumika k<strong>wa</strong> ajili ya usimamizi <strong>wa</strong> rasilimali ya uvuvi. Tunapenda kuweka bayana<br />

ku<strong>wa</strong> TIFPA haihusiki.<br />

Kuondole<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> ushuru/mrabaha k<strong>wa</strong> mazao ya uvuvi yatokanayo na samaki/jamii<br />

ya samaki <strong>wa</strong>naolim<strong>wa</strong>/<strong>wa</strong>naofug<strong>wa</strong> kwenye maji. Wenye vi<strong>wa</strong>nda/<strong>wa</strong>chakataji<br />

<strong>wa</strong>naamini ku<strong>wa</strong>, hakuna sheria iliyopo k<strong>wa</strong> sasa inayotoa mamlaka kwenye Serikali<br />

za Mitaa/Wilaya kutoza kodi toka k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>uzaji bidhaa nje, <strong>wa</strong>naonunua mali ghafi<br />

ya samaki na mazao ya baharini kutoka k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>vuvi <strong>wa</strong>dogo <strong>wa</strong>dogo. Jambo hili<br />

linahitaji ufafanuzi <strong>wa</strong> kina.<br />

(ii) Kuunda Sekta endelevu<br />

TIFPA imefanya kazi nzuri ya kuweka masharti ya kuingiz<strong>wa</strong> samaki wenye urefu<br />

usiopungua sentimita 50 kwenye vi<strong>wa</strong>nda vyetu vya kuchakata. Matokeo ya ukaguzi<br />

wetu yanaonyesha <strong>wa</strong>zi ku<strong>wa</strong>, uvunjaji <strong>wa</strong> masharti huo haupo ama unaweza<br />

kutokea mara moja baada ya kitambo kirefu. TIFPA haiwezi kufanya kazi nje ya<br />

Vi<strong>wa</strong>nda vya Wanachama <strong>wa</strong>ke. Hapo sasa ni <strong>wa</strong>jibu <strong>wa</strong> Serikali.<br />

Tunatoa shukrani zetu k<strong>wa</strong> juhudi ambazo hadi sasa zimefany<strong>wa</strong> ili kushughulikia<br />

uvuvi harama na kujihusisha binafsi k<strong>wa</strong> Mheshimi<strong>wa</strong> Waziri <strong>katika</strong> shughuli hii.<br />

Hata hivyo, juhudi zaidi inahitajika. Katika ki<strong>wa</strong>ngo hicho tunaisihi Serikali kuweka<br />

sheria bayana kuhusu nyenzo za uvuvi. Serikali yote, sio Wizara yetu tu, inapas<strong>wa</strong><br />

ihamasishwe <strong>katika</strong> shughuli hii. HAKUNA njia mbadala k<strong>wa</strong> hilo. Maafisa <strong>katika</strong><br />

ngazi zote za uongozi lazima <strong>wa</strong><strong>wa</strong>jibishwe vilivyo k<strong>wa</strong> uzembe utakaojitokeza<br />

<strong>katika</strong> maeneo yao ya uta<strong>wa</strong>la.<br />

Pasipo kufanya mambo haya k<strong>wa</strong> makusudi, <strong>sekta</strong> ya uvuvi haiwezi ku<strong>wa</strong> endelevu<br />

na hii itasababisha hasara/upotevu <strong>wa</strong> mamilioni ya dola yaliyowekez<strong>wa</strong>, hali<br />

kadhalika, maisha ya <strong>wa</strong>tu zaidi ya MILIONI TANO yataathiri<strong>wa</strong>. Endapo hayo<br />

tutayaruhusu yatokee, uovu utashamiri, <strong>sekta</strong> ya huduma itadorora na vi<strong>wa</strong>nda<br />

vingine vitaanguka k<strong>wa</strong> vile masoko yao yatakufa.<br />

Ni jukumu letu la pamoja, <strong>katika</strong> uhalisia <strong>wa</strong> ushirikiano baina ya Serikali na TIFPA,<br />

k<strong>wa</strong>mba tufanye kazi k<strong>wa</strong> uaminifu na bidii ili kuinusuru hatima ya <strong>sekta</strong> hii ya<br />

uvuvi. Watu wetu pamoja na <strong>wa</strong>wekezaji, <strong>wa</strong>nastahili hatima njema.<br />

112


SURA YA KUMI NA MOJA<br />

UMUHIMU WA UVUVI ENDELEVU KATIKA KUINUA<br />

UCHUMI<br />

MADA YA J. M. DAFFA KATIKA MKUTANO WA KUHAMASISHA USIMAMIZI<br />

NA MATUMIZI YA RASILIMALI ZA UVUVI NCHINI, TAREHE 16-18<br />

DESEMBA 2009, MWANZA.<br />

113


1.Ramani ya Tanzania inayoonesha maeneo ya maji na uvuvi:- Bahari Mazi<strong>wa</strong> na<br />

Mito.<br />

114


UTANGULIZI<br />

UMUHIMU WA UVUVI ENDELEVU KATIKA KUINUA UCHUMI<br />

1. Shughuli za uvuvi, ni moja ya shughuli kongwe za binadamu tangu dunia<br />

ilipokuwepo. Tofauti na shughuli nyingine kongwe za Uwindaji na Kilimo, Uvuvi<br />

unategemea zaidi uwepo <strong>wa</strong> maji aidha ya kudumu au k<strong>wa</strong> muda. Shughuli na<br />

<strong>sekta</strong> nzima ya uvuvi imeku<strong>wa</strong> mhimili mkub<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> maisha ya binadamu k<strong>wa</strong><br />

chakula, lishe, ajira, mapato na uchumi k<strong>wa</strong> mtu mmoja mmoja, familia, jamii na<br />

Taifa k<strong>wa</strong> ujumla.<br />

2. Kutokana na umuhimu <strong>wa</strong>ke kiuchumi na kijamii, shughuli za Uvuvi zimeendelea<br />

kuboresh<strong>wa</strong> kila <strong>wa</strong>kati ili kukidhi mahitaji ya siku k<strong>wa</strong> siku ya binadamu. Hata<br />

hivyo, ongezeko la <strong>wa</strong>tu na mahitaji yao pamoja na uboreshaji <strong>wa</strong> teknolojia ya<br />

uvuvi na usimamizi hafifu, umeku<strong>wa</strong> tishio na changamoto kub<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> <strong>sekta</strong> ya<br />

uvuvi k<strong>wa</strong> ujumla k<strong>wa</strong> vile umesababisha uvuvi usioendelevu kuanza kushamiri<br />

<strong>katika</strong> maeneo mbalimbali duniani na hivyo kutishia mfumo mzima <strong>wa</strong> maisha<br />

ya <strong>wa</strong>tu na viumbe vinavyotegemea uwepo <strong>wa</strong> <strong>sekta</strong> hii.<br />

3. Mada hii, inajaribu kulenga mchango <strong>wa</strong> <strong>sekta</strong> ya uvuvi endelevu <strong>katika</strong> Jamii na<br />

Taifa <strong>katika</strong> kuinua uchumi <strong>wa</strong> nchi na kuelezea changamoto zilizopo na kutoa<br />

mapendekezo yanayoweza kuifanya <strong>sekta</strong> hii kuendelea kutoa mchango <strong>wa</strong>ke<br />

<strong>katika</strong> kuinua uchumi <strong>wa</strong> nchi.<br />

MAENEO YA UVUVI TANZANIA<br />

4. Nchi yetu imebahatika ku<strong>wa</strong> na rasilimali kub<strong>wa</strong> ya maji ambayo k<strong>wa</strong> asili<br />

hutumi<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> shughuli za uvuvi. Maeneo hayo ni pamoja na bahari ya Hindi,<br />

Zi<strong>wa</strong> Victoria, Zi<strong>wa</strong> Tanganyika, Zi<strong>wa</strong> Nyasa, Zi<strong>wa</strong> Ruk<strong>wa</strong>, mazi<strong>wa</strong> mengine<br />

madogo, mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> na mito. Eneo la bahari la kitaifa (Territorial Waters) lina<br />

ukub<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> kilomita za mraba 64,000 na Ukanda <strong>wa</strong> Uchumi <strong>wa</strong> Bahari<br />

(Exclusive Economic Zone – EEZ) wenye eneo la kilomita za mraba 223,000.<br />

Mazi<strong>wa</strong> ya Victoria, Tanganyika, na Nyasa yana ukub<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> eneo la kilomita za<br />

mraba 34,680, 33,000, na 5,569 sawia. Vilevile yapo maeneo chepechepe/ardhioevu<br />

mengine ambayo k<strong>wa</strong> ujumla <strong>wa</strong>ke yana eneo la ukub<strong>wa</strong> sa<strong>wa</strong> na asilimia<br />

10 ya eneo zima la nchi (angalia ramani 1.0).<br />

5. Pamoja na samaki, maeneo haya yana rasilimali nyingine muhimu zikiwemo<br />

rasilimali maji, viumbe wengine <strong>wa</strong> majini, madini, mafuta na gesi. Aidha,<br />

maeneo hayo hutumika <strong>katika</strong> shughuli nyingi za kiuchumi na kijamii kama<br />

usafirishaji, uvuvi, utalii, uzalishaji <strong>wa</strong> umeme, huduma ya maji majumbani na<br />

vi<strong>wa</strong>ndani, na hivyo kutoa ajira k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>kazi wengi <strong>wa</strong>naoishi <strong>katika</strong> maeneo<br />

hayo.<br />

115


RASILIMALI ZA UVUVI ZILIZOPO<br />

6. Katika maeneo haya, inakadiri<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong> yana uwezo <strong>wa</strong> kuvun<strong>wa</strong> samaki k<strong>wa</strong><br />

uendelevu <strong>wa</strong> uzito <strong>wa</strong> jumla ya zaidi ya tani milioni moja (Tani 1,000,000).<br />

Katika uzito huu, zi<strong>wa</strong> Victoria lina uwezo <strong>wa</strong> kuchangia tani 200,000. Zi<strong>wa</strong><br />

Tanganyika tani 300,000. Zi<strong>wa</strong> Nyasa tani 100,000. Mazi<strong>wa</strong> mengine madogo,<br />

mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> na mito yanakadiri<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong> na uwezo <strong>wa</strong> tani 20,000. Bahari ya<br />

kitaifa (territorial <strong>wa</strong>ters) tani 100,000 na Ukanda <strong>wa</strong> Uchumi <strong>wa</strong><br />

Bahari((Exclusive Economic Zone – EEZ) unakadiri<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong> na uwezo <strong>wa</strong> zaidi ya<br />

tani 300,000.<br />

7. Ufugaji <strong>wa</strong> viumbe <strong>katika</strong> maji una mchango mkub<strong>wa</strong> <strong>katika</strong> <strong>sekta</strong> ya Uvuvi.<br />

Inga<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> sasa mchango <strong>wa</strong>ke ndiyo unaanza kuonekana zaidi kiuchumi na<br />

kijamii, hasa baada ya kuanzisha ulimaji <strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ni na ufugaji <strong>wa</strong> kamba (Mafia).<br />

Ufugaji endelevu <strong>wa</strong> viumbe majini una uwezo <strong>wa</strong> kuzalisha zaidi ya tani<br />

200,000 k<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka.<br />

AINA YA UVUVI ULIOPO TANZANIA<br />

8. Pamoja na ufugaji <strong>wa</strong> viumbe <strong>katika</strong> maji, upo uvuvi <strong>wa</strong> aina tatu uliopo nchini:<br />

• Uvuvi mdogo (Artisanal fisheries). Aina hii ya uvuvi ndiyo mkub<strong>wa</strong> zaidi hapa<br />

nchini unaofany<strong>wa</strong> na <strong>wa</strong>tu wengi. Zaidi ya asilimia 80 ya uvuvi <strong>wa</strong> Tanzania<br />

upo <strong>katika</strong> kundi hili. Uvuvi <strong>wa</strong> aina hii hufanyika <strong>katika</strong> Bahari, Mazi<strong>wa</strong><br />

makub<strong>wa</strong> na madogo pamoja na kwenye Mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> na Mito. Zana za uvuvi<br />

zinazotumika ni pamoja na nyavu, majarife, Kipe, mitego, mitandio, madema,<br />

mishipi na ndoano k<strong>wa</strong> kutumia vyombo aina ya ngala<strong>wa</strong>, mashua na boti au<br />

bila chombo.<br />

• Uvuvi <strong>wa</strong> kati <strong>wa</strong> Kibiashara (Semi industrial fisheries). Uvuvi huu unatumika<br />

baharini hasa k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>le wenye vyombo vikub<strong>wa</strong> kiasi ( zaidi ya mita 11urefu<br />

<strong>wa</strong> jumla au uzito <strong>wa</strong> tani 20) na hasa wenye dhamira ya kuvua kambamiti.<br />

Uvuvi huu hutumia nyavu za kukokota (trawling). Uvuvi huu hufany<strong>wa</strong><br />

kwenye maeneo yalioanish<strong>wa</strong> na k<strong>wa</strong> msimu fulani tu.<br />

• Uvuvi mkub<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> Kibiashara (Industrial fisheries). Aina hii ya Uvuvi<br />

hufany<strong>wa</strong> bahari kuu na wenye vyombo vikub<strong>wa</strong> vyenye uwezo <strong>wa</strong> kuvua<br />

kina kikub<strong>wa</strong>, kuhifadhi samaki wengi, ku<strong>wa</strong>tengeneza na kusafirisha bila<br />

kurudi nchi kavu. Uvuvi huu unatumi<strong>wa</strong> sana na <strong>wa</strong>vuvi kutoka nje ya nchi<br />

k<strong>wa</strong> kupe<strong>wa</strong> leseni<br />

Hata hivyo, Mazi<strong>wa</strong>, Mito, Mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> na eneo la Bahari umbali <strong>wa</strong> mita 500<br />

kutoka ufukweni umeach<strong>wa</strong> kisheria k<strong>wa</strong> ajili ya <strong>wa</strong>vuvi <strong>wa</strong>dogo.<br />

116


MCHANGO WA SEKTA YA UVUVI<br />

9. Pamoja na mapungufu mengi ya ukusanyaji <strong>wa</strong> takwimu za uvuvi kidunia na<br />

kitaifa, lakini upo uhakika <strong>wa</strong> <strong>wa</strong>zi ku<strong>wa</strong> tasnia ya uvuvi ina mchango mkub<strong>wa</strong><br />

sana <strong>katika</strong> jamii na uchumi <strong>wa</strong> mtu mmoja mmoja, familia na Taifa k<strong>wa</strong> ujumla.<br />

Takwimu za sasa (2008/9) zinaonesha ku<strong>wa</strong> Mavuno ya samaki k<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka<br />

yanakadiri<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong> ni jumla ya tani za metriki zisizozidi 325,000 (angalia<br />

jed<strong>wa</strong>li) k<strong>wa</strong> sehemu zote za maji baridi (asilimia 87) na maji chumvi (asilimia<br />

13). Hii ni chini ya theluthi moja ya uwezo <strong>wa</strong> mavuno au uzalishaji kitaifa. Hata<br />

hivyo samaki ha<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>naovun<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>nachangia <strong>katika</strong> uchumi na shughuli za<br />

kijamii.<br />

10. Wapo <strong>wa</strong>tu <strong>wa</strong>naokadiri<strong>wa</strong> milioni sita (4,000,000) ambao <strong>wa</strong>meajiri<strong>wa</strong> au<br />

kufanya kazi <strong>katika</strong> <strong>sekta</strong> ya Uvuvi. Ha<strong>wa</strong> ni pamoja na <strong>wa</strong>vuvi (170,038),<br />

<strong>wa</strong>tengenezaji maboti/mashua na mitumbwi, vi<strong>wa</strong>nda vya samaki (Fish<br />

processing industries), na <strong>wa</strong>uzaji samaki. K<strong>wa</strong> Wavuvi, idadi kub<strong>wa</strong> ya <strong>wa</strong>vuvi<br />

ni <strong>wa</strong>le <strong>wa</strong> maji baridi (asilimia 79.7) na <strong>wa</strong>le <strong>wa</strong> maji chumvi ni asilimia 21.3 tu.<br />

Idadi ya <strong>wa</strong>tu ha<strong>wa</strong> ni kub<strong>wa</strong> ukilinganisha na nguvu kazi iliyopo nchini<br />

(18,000,000).k<strong>wa</strong> hiyo tasnia hii ya uvuvi inaonesha umuhimu <strong>wa</strong>ke <strong>katika</strong><br />

uchumi <strong>wa</strong> nchi na jamii k<strong>wa</strong> ujumla.<br />

Jed<strong>wa</strong>li Na. 1: Idadi ya <strong>wa</strong>vuvi Tanzania kuanzia m<strong>wa</strong>ka 2000 hadi 2008<br />

180000<br />

160000<br />

140000<br />

120000<br />

100000<br />

80000<br />

60000<br />

40000<br />

20000<br />

11. Wavuvi <strong>wa</strong>dogo 0 <strong>wa</strong>navua asilimia 90 ya samaki wote <strong>wa</strong>naovuli<strong>wa</strong> nchini, na<br />

asilimia 10 2000 huvuli<strong>wa</strong> 2001 2002k<strong>wa</strong> 2003 2004 njia 2005 za 2006 kibiashara. 2007 2008 Sehemu kub<strong>wa</strong> ya samaki<br />

<strong>wa</strong>naovuli<strong>wa</strong> hutumika ndani ya nchi; <strong>wa</strong>kati samaki <strong>wa</strong> mapambo, m<strong>wa</strong>ni, fileti<br />

za sangara, dagaa, sadini, kamba, kambamti, pweza na ngisi huuz<strong>wa</strong> pia nje ya<br />

nchi na kuchangia <strong>katika</strong> upatikanaji <strong>wa</strong> fedha za nje.<br />

117<br />

Wavuvi(Baridi)<br />

Wavuvi (Chumvi)<br />

Wavuvi (Jumla)


12. K<strong>wa</strong> vile samaki ni chakula muhimu, upatikanaji <strong>wa</strong> samaki ha<strong>wa</strong> huchangia<br />

sana <strong>katika</strong> usalama <strong>wa</strong> chakula (food security). K<strong>wa</strong> upatikanaji <strong>wa</strong> protini<br />

itokanayo na <strong>wa</strong>nyama, samaki huchangia <strong>wa</strong>stani <strong>wa</strong> asilimia 30 kitaifa. Kiasi<br />

hiki ni muhimu sana k<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong> wengi <strong>wa</strong> <strong>wa</strong>laji ni <strong>wa</strong> kipato cha chini na<br />

wengine <strong>wa</strong>po kwenye mazingira ambayo ni vigumu kupata vyanzo vingine vya<br />

protini.<br />

Picha ya Watu <strong>wa</strong> Hali ya Chini Wanaotegemea Samaki Kujikimu<br />

13. Uvuvi hutumika pia kama burudani k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>tu mbalimbali. Zipo samaki na jamii<br />

ya <strong>wa</strong>nyama <strong>wa</strong>ishio majini ambao hu<strong>wa</strong>vutia <strong>wa</strong>tu wengi ku<strong>wa</strong>ona na hivyo<br />

kufanya kama sehemu muhimu ya utalii. Samaki aina ya silokanti (Coelecanth),<br />

Papa (Whale shark), Nyangumi (Whales), Pomboo (Dolphins), Nguva (Dugongs)<br />

na Kasa (Sea turtle) <strong>wa</strong>meku<strong>wa</strong> kivutio kikub<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>talii <strong>wa</strong> ndani na nje ya<br />

nchi, hivyo kuchangia <strong>katika</strong> Pato la Taifa.<br />

118


A. Samaki aina ya Whale Shark –Mafia B.Watalii <strong>wa</strong>kipiga picha Kasa<br />

aliyeanguli<strong>wa</strong>-Saadani.<br />

14. Mchango <strong>wa</strong> <strong>sekta</strong> ya uvuvi <strong>katika</strong> Pato la Taifa, inga<strong>wa</strong> hu<strong>wa</strong> inaku<strong>wa</strong> ni<br />

vigumu kupata takwimu zake sahihi, lakni k<strong>wa</strong> kipindi cha miaka mitano<br />

mfululizo 2004-2008) umeku<strong>wa</strong> kati ya asilimia 1.6 na 3.1. Jed<strong>wa</strong>li lifuatalo<br />

linaonesha mchango <strong>wa</strong> <strong>sekta</strong> ya Uvuvi <strong>katika</strong> Pato la Taifa k<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka 2007<br />

ukilinganisha na <strong>sekta</strong> nyingine.<br />

15. Mchango <strong>wa</strong> <strong>sekta</strong> ya Uvuvi <strong>katika</strong> Pato la taifa unaonekana ni mdogo. Hili ni<br />

tatizo la kidunia hasa <strong>katika</strong> ukusanyanyi <strong>wa</strong> takwimu za uvuvi <strong>katika</strong> pato la<br />

Taifa. Hata hivyo, <strong>katika</strong> nchi za SADC, Tanzania bado takwimu zake za mchango<br />

<strong>wa</strong> uvuvi <strong>katika</strong> pato la Taifa upo chini.<br />

16. Takwimu za nchi za SADC kuhusu mchango <strong>wa</strong> <strong>sekta</strong> ya Uvuvi <strong>katika</strong> Pato la<br />

Taifa zimechukuli<strong>wa</strong> za Uvuvi <strong>wa</strong> maji chumvi tu (baharini). Hivyo k<strong>wa</strong> takwimu<br />

za Tanzania hazikujumlish<strong>wa</strong> zile za uvuvi <strong>wa</strong> maji baridi ambao una mchango<br />

mkub<strong>wa</strong> zaidi kuliko <strong>wa</strong> maji chumvi.<br />

17. Zipo sababu nyingi zinazofanya <strong>sekta</strong> ya uvuvi hasa ya uvuvi mdogo isionekane<br />

sana <strong>katika</strong> takwimu za kuchangia Pato la Taifa. Sababu hizi ni pamoja na (a)<br />

kukosekana k<strong>wa</strong> uratibu mzuri kati ya <strong>wa</strong>naohusika na uvuvi na <strong>wa</strong>le<br />

<strong>wa</strong>naohusika na kuandaa takwimu za uchumi <strong>wa</strong> nchi (b) Uvuvi mdogo<br />

kuonekana kama hauna maana sana kiuchumi na hivyo kuach<strong>wa</strong> <strong>katika</strong><br />

ukusanyaji <strong>wa</strong> takwimu zake (c) Vi<strong>wa</strong>nda vinavyoshughulikia mas<strong>wa</strong>la ya uvuvi<br />

kujulikana kama ni vi<strong>wa</strong>nda vya <strong>sekta</strong> tofauti isiyo ya uvuvi (d) kukosa uwezo<br />

<strong>wa</strong> kuchukua takwimu za Uvuvi mdogo - idadi ndogo ya <strong>wa</strong>taalamu (e) Wavuvi<br />

kukosa <strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong>semea “champions” (f) Udanganyifu <strong>wa</strong> takwimu za mauzo ya<br />

nje ambayo mara nyingi hupe<strong>wa</strong> thamani ndogo n.k. Hata hivyo pamoja na<br />

119


kuonesha asilimia ndogo hizi, <strong>sekta</strong> ya uvuvi bado ni tegemeo kub<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong><br />

<strong>wa</strong>nanchi wengi <strong>wa</strong>ishio karibu na Bahari, Mazi<strong>wa</strong>, Mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> na Mito.<br />

CHANGAMOTO ZA KIMAZINGIRA KATIKA UVUVI<br />

18. Pamoja na umuhimu huo kiuchumi na kijamii zipo changamoto nyingi kwenye<br />

maeneo haya. Katika bahari na ukanda <strong>wa</strong> p<strong>wa</strong>ni, changamoto zilizopo ni:-<br />

uharibifu <strong>wa</strong> matumbawe; uharibifu <strong>wa</strong> misitu ya mikoko; uvuvi usio endelevu<br />

na usiofaa; kupungua k<strong>wa</strong> ubora <strong>wa</strong> maji ya bahari; mmomonyoko <strong>wa</strong> ufukwe<br />

<strong>wa</strong> bahari <strong>katika</strong> baadhi ya maeneo; kuongezeka k<strong>wa</strong> kina cha maji juu ya<br />

usa<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> bahari; na uchafuzi <strong>wa</strong> mazingira ya ukanda <strong>wa</strong> p<strong>wa</strong>ni na bahari.<br />

19. Aidha, k<strong>wa</strong> upande <strong>wa</strong> mazi<strong>wa</strong>, mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> na mito, changamoto zilizopo ni<br />

pamoja na:- Kupungua k<strong>wa</strong> maji na ubora <strong>wa</strong>ke; kupungua na kutoweka k<strong>wa</strong><br />

baadhi ya aina za samaki; uvamizi <strong>wa</strong> magugu maji; kupungua k<strong>wa</strong> kina cha<br />

maji kunakolet<strong>wa</strong> na ongezeko la tabaki na virutubisho; uchafuzi utokanao na<br />

shughuli za vi<strong>wa</strong>nda na makazi; upungufu <strong>wa</strong> bioanuai, samaki na viumbe<br />

wengine; ukataji miti ovyo <strong>katika</strong> mabonde; uvuvi haramu; uharibifu <strong>wa</strong><br />

ardhi utokanao na shughuli zisizo endelevu, hususan kilimo na ufugaji; na<br />

shughuli za <strong>wa</strong>fugaji na <strong>wa</strong>kulima kwenye maeneo yenye ardhi-oevu.<br />

CHANGAMOTO ZA UVUVI KATIKA MAZINGIRA<br />

20. Kuna aina kadhaa za uvuvi haramu, usiovumilika na usioendelevu kama<br />

unaotumia kokolo <strong>katika</strong> mazi<strong>wa</strong> na maeneo ya mazalia na matumbawe<br />

baharini, sumu, baruti, mkuki na kadhalika ambapo hupoteza maisha ya<br />

samaki <strong>wa</strong>dogo na <strong>wa</strong>kub<strong>wa</strong>, aina hii ya uvuvi sio tu hupoteza maisha ya<br />

viumbe baharini lakini pia huathiri mazingira k<strong>wa</strong> ujumla.<br />

Uvuvi <strong>wa</strong> Baruti<br />

21. Uvuvi <strong>wa</strong> kutumia zana na vifaa haribifu aina za juya, mtando na matumizi ya<br />

oksijeni, iki<strong>wa</strong> ni pamoja na mi<strong>wa</strong>ni na viatu vya kupiga mbizi na vifaa vingine<br />

120


vya uvuvi haramu ni moja ya sababu za uharibifu <strong>wa</strong> mazingira ya bahari, mito,<br />

mazi<strong>wa</strong> na rasilimali zilizoko kwenye maji.<br />

22. Kuruhusu uvuvi kufanyika bila ya kujua kiasi kilichopo kinachoweza kuvuli<strong>wa</strong> bila<br />

kuathiri uwepo <strong>wa</strong> rasilimali hizo. Hii ni changamoto kub<strong>wa</strong> inayotokana na<br />

kukosa tafiti za mara k<strong>wa</strong> mara zinazotaki<strong>wa</strong> kutoa hali halisi ya rasilimali uvuvi<br />

<strong>katika</strong> maeneo na <strong>wa</strong>kati husika.<br />

23. Uchukuaji maji mengi zaidi ya mahitaji <strong>katika</strong> mito k<strong>wa</strong> ajili ya ufugaji <strong>wa</strong> samaki<br />

na kuyapoteza bila kujali matumizi mengine ya maji chini ya mto (Downstream).<br />

24. Mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> ya samaki ku<strong>wa</strong> chanzo cha magoj<strong>wa</strong> kama kichocho na malaria pale<br />

yasipo hudumi<strong>wa</strong> ipasavyo. Na kusambaza magonj<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> samaki na viumbe<br />

wengine chini ya mto pale unapotokea ugonj<strong>wa</strong> <strong>katika</strong> b<strong>wa</strong><strong>wa</strong> la kufugia samaki.<br />

25. Kupoteza bioanua nyingine za majini hasa majani baharí (Seagrasses) miti ya<br />

nchi kavu <strong>katika</strong> kuhudumia vizuri zao la m<strong>wa</strong>ni na ufugaji <strong>wa</strong> kaa.<br />

ATHARI DHAHIRI ZILIZOJITOKEZA<br />

26. K<strong>wa</strong> mujibu <strong>wa</strong> utafiti uliofany<strong>wa</strong> na Taasisi ya Utafiti <strong>wa</strong> Uvuvi (TAFIRI), m<strong>wa</strong>ka<br />

2007/2008 ilifanya utafiti <strong>wa</strong> wingi <strong>wa</strong> samaki na mazingira kwenye bahari yetu<br />

na mazi<strong>wa</strong> na kubaini kupungua k<strong>wa</strong> rasilimali ya uvuvi na uharibifu <strong>wa</strong><br />

mazingira k<strong>wa</strong> kiasi kikub<strong>wa</strong>.<br />

27. K<strong>wa</strong> mfano kambamiti <strong>wa</strong>mepungua kutoka tani 1,320.1 m<strong>wa</strong>ka 2003 hadi chini<br />

ya tani 202.5 m<strong>wa</strong>ka 2007. Katika Zi<strong>wa</strong> Victoria samaki aina ya sangara kutoka<br />

tani 750,000 m<strong>wa</strong>ka 2005 hadi tani 375,000 mwezi Februari 2008. Aidha jongoo<br />

bahari sasa <strong>wa</strong>meanza kutoweka <strong>katika</strong> ukanda <strong>wa</strong> bahari <strong>wa</strong> nchi za Kenya,<br />

Msumbiji, Comoro na Madagascar.<br />

28. Kusimamish<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> muda <strong>wa</strong> miaka miwili (2) Uvuvi <strong>wa</strong> kati <strong>wa</strong> biashara (Semi<br />

industrial fishery) <strong>wa</strong> Kambamiti <strong>katika</strong> m<strong>wa</strong>mbao <strong>wa</strong> Tanzania. Hii iliku<strong>wa</strong> hatua<br />

nzuri na ya busara iliyochukuli<strong>wa</strong> ya kuunusuru Uvuvi <strong>wa</strong> Kambamiti baharini,<br />

hata hivyo imeleta usumbufu mkub<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> kiuchumi na kijamii k<strong>wa</strong> kampuni<br />

mbalimbali za uvuvi pamoja na <strong>wa</strong>fanyakazi <strong>wa</strong>liotegemea ajira hiyo k<strong>wa</strong> kukosa<br />

kazi na kuleta mahangaiko makub<strong>wa</strong> ya kijamii. Taifa pia limepoteza fedha<br />

nyingi za kigeni<br />

29. Zipo hatua mbalimbali zilizo na zinazochukuli<strong>wa</strong> na Serikali ili kudhibiti<br />

changamoto zilizopo. Hatua hizi ni pamoja na ku<strong>wa</strong> na Mkakati <strong>wa</strong> Hifadhi na<br />

Usimamizi <strong>wa</strong> Mazingira ya P<strong>wa</strong>ni na utekelelezaji <strong>wa</strong> programu na miradi<br />

mbalimbali kama vile Lake Victoria Environmental Management Programme<br />

(LVEMP); Lake Tanganyika Programme, The Nile Trans-boundary Environmental<br />

Action Project; Water Sector Development Programme; Marine and Coastal<br />

Environment Management Project(MACEMP); Tanzania Coastal Management<br />

Partnership (TCMP); Tanga Coastal Zone Conservation and Development<br />

Programme; na Kinondoni Coastal Area Management Project (KICAMP) n.k.<br />

121


30. Miradi na program hizi, mingi iliku<strong>wa</strong> na inaendelea k<strong>wa</strong> kiasi kikub<strong>wa</strong> kuhimiza<br />

uvuvi endelevu <strong>katika</strong> maeneo husika inga<strong>wa</strong> aidha rasilimali zake hazikutosha<br />

kukidhi maeneo na mahitaji yote au muda <strong>wa</strong> miradi hii uliku<strong>wa</strong> ni mfupi<br />

kutoweza kutimiza matarajio ya wengi.<br />

31. Pamoja na ku<strong>wa</strong> na miradi na programu hizi yapo baadhi ya mazi<strong>wa</strong>, mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong><br />

na mito nchini ambayo hayana programu, miradi au mikakati ya uvuvi endelevu<br />

au hifadhi ya mazingira ya maji. Maeneo hayo hayana budi nayo kupe<strong>wa</strong><br />

kipaumbele.<br />

NINI KIFANYIKE- MAPENDEKEZO<br />

32. Maliasili ya uvuvi humalizika, hivyo lazima ilindwe, isimamiwe na kuendelez<strong>wa</strong><br />

k<strong>wa</strong> misingi endelevu. Mkazo utiliwe <strong>katika</strong> uvunaji endelelevu, utumiaji na<br />

masoko, ili kuleta manufaa ya kiuchumi ya kuwezesha kulinda na kuhifadhi<br />

mazingira ili kuwe na maendeleo endelevu.<br />

33. Sekta binafsi, asasi za kijamii na zisizoku<strong>wa</strong> za kiserikali na <strong>wa</strong>shika dau<br />

wengine, <strong>wa</strong>na <strong>wa</strong>jibu mkub<strong>wa</strong> <strong>katika</strong> kufanikisha maendeleo endelevu ya <strong>sekta</strong>.<br />

Hii inatokana na ujuzi mbalimbali <strong>wa</strong>lio nao, utaalam na uwezo <strong>katika</strong> <strong>sekta</strong>.<br />

Mchango <strong>wa</strong>o ni muhimu ili kufanikisha malengo ya <strong>sekta</strong>. Uchangiaji utaongeza<br />

uwekezaji, utaboresha biashara na uendeshaji k<strong>wa</strong> jumla <strong>wa</strong> tasnia ya uvuvi.<br />

34. Ili kufikia Malengo ya Uvuvi endelevu <strong>katika</strong> nchi, ni budi kutekeleza na kuyapa<br />

kipaumbele yafuatayo<br />

Kujenga uwezo <strong>wa</strong> kitaasisi <strong>katika</strong> kusimamia kikamilifu utekelezaji <strong>wa</strong><br />

Sheria ya Uvuvi ya m<strong>wa</strong>ka 2003 ili ku<strong>wa</strong> na uvuvi endelevu. Hii ni pamoja<br />

na Kuimarisha na kujenga uwezo <strong>wa</strong> Mamlaka za Uvuvi kama, Idara ya<br />

Uvuvi, Mamlaka ya Bahari Kuu (Deep Sea Fishing Authority), Hifadhi za<br />

Bahari na Maeneo Tengefu, TAFIRI na Halmashauri za jiji, miji na Wilaya.<br />

Ku<strong>wa</strong>hamasisha na ku<strong>wa</strong>elimisha Watendaji <strong>wa</strong> wilaya zote ili <strong>wa</strong>jue<br />

umuhimu <strong>wa</strong> <strong>sekta</strong> ya uvuvi na <strong>wa</strong>weze kuipa kipaumbele <strong>katika</strong> mipango<br />

yao. Hii ni pamoja na kukubaliana kipi kifanywe na Idara ya Uvuvi na kipi<br />

kifanywe na Halmashauri husika.<br />

Kuhamasisha uanzishaji na uimarishaji <strong>wa</strong> usimamizi shirikishi <strong>wa</strong><br />

rasilimali za Uvuvi na Mazingira yake (CFMAs na BMUs). Mifano hai<br />

inaonekana <strong>katika</strong> maeneo yanayozunguuka Zi<strong>wa</strong> Victoria, M<strong>wa</strong>mbao <strong>wa</strong><br />

Tanga na Bagamoyo (angalia ramani na.2 na 3).<br />

Kuangalia upya uvunaji wetu <strong>wa</strong> mazao ya samaki na pale panapofaa<br />

kuongeza au kupunguza nguvu za uvuvi au kufunga maeneo ya uvuvi au<br />

kujiwekea ki<strong>wa</strong>ngo cha uvunaji au kuchukua hatua yoyote ifaayo ya<br />

122


usimamizi ili kuhakikisha uvuvi na mazingira yake yanaendelez<strong>wa</strong><br />

kiendelevu.<br />

Kuimarisha kitengo cha Takwimu za uvuvi ili kuhakikisha ku<strong>wa</strong> takwimu<br />

sahihi zinapatikana kutoka sehemu zote za uvuvi, taarifa kutole<strong>wa</strong> mara<br />

k<strong>wa</strong> mara na na kuhakikisha ku<strong>wa</strong> mchango <strong>wa</strong> <strong>sekta</strong> ya uvuvi <strong>katika</strong><br />

pato la Taifa ujulikane k<strong>wa</strong> usahihi zaidi.<br />

Kuimarisha uwezo <strong>wa</strong> utafiti <strong>wa</strong> Uvuvi ili kuwe na taarifa za uhakika za<br />

kitafiti <strong>katika</strong> maeneo yote ya Uvuvi k<strong>wa</strong> kuimarisha uwezo <strong>wa</strong> utafiti<br />

<strong>katika</strong> mamlaka husika –TAFIRI, Idara ya Uvuvi, Mamlaka ya Bahari Kuu<br />

na hata wilayani.<br />

Kuanzisha na kuimarisha vikundi vya doria <strong>katika</strong> ngazi ya wilaya na vijiji<br />

kuzunguka maeneo ya uvuvi hii ni pamoja na Kuimarisha ukaguzi <strong>wa</strong><br />

kudumu <strong>wa</strong> samaki na nyavu kwenye mialo yote. Hii inawezekana<br />

kufanyika k<strong>wa</strong> kuongeza idadi ya <strong>wa</strong>tumishi, vitendea kazi na motisha.<br />

Kuangalia upya muundo <strong>wa</strong> taasisi zetu za kuweza kuzuia na kukabiliana<br />

na uvuvi usio endelevu. Hii ni pamoja na kuangalia i<strong>wa</strong>po vikosi vya doria,<br />

Polisi <strong>wa</strong> majini <strong>wa</strong>namudu kudhibiti tatizo la sasa au kama ha<strong>wa</strong>wezi<br />

kimuundo, uangalie uwezekano <strong>wa</strong> kuanzish<strong>wa</strong> taasisi kama ya “KMKM”<br />

au “Coast Guard”.<br />

Kuongeza maeneo yaliyoteng<strong>wa</strong> kama mazalio ya samaki ili kuwe na<br />

uhakika <strong>wa</strong> Uvuvi endelevu <strong>wa</strong>kati ujao.<br />

Kuelimisha jamii kuhusu madhara ya zana haribifu za uvuvi na <strong>mada</strong><strong>wa</strong><br />

k<strong>wa</strong> mfano matumizi ya sumu na vyavu haramu zisizofaa.<br />

Kuendeleza utafiti <strong>wa</strong> rasilimali zilizopo bahari kuu.<br />

Kuandaa na kutekeleza kanuni za matumizi ya “Turtle Excluder Devices-<br />

TEDs” na “Bycatch Reduction Devices-BRDs” <strong>katika</strong> meli za uvuvi baharini.<br />

Hii itatuwezesha ku<strong>wa</strong> na Uvuvi endelevu bahari na kiuchumi nchi<br />

itafaidika zaidi k<strong>wa</strong> kupata masoko mapana ya dunia ambayo hatuyapati<br />

k<strong>wa</strong> sasa k<strong>wa</strong> vile hatutumii vifaa hivyo.<br />

Kubuni na kutekeleza miradi, programu na mikakati ya pamoja kuhusu<br />

uvuvi endelevu. Hii ni pamoja na kuhakikisha MACEMP na Programu<br />

nyingine zinazo hamasisha uvuvi endelevu zinaendelea <strong>katika</strong> a<strong>wa</strong>mu<br />

nyingine.<br />

MATARAJIO NA HITIMISHO<br />

123


35. Kutekelez<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> mapendekezo haya yanayolenga ku<strong>wa</strong> na uvuvi endelevu<br />

kutaboresha Uvuvi na mazingira yake na hatimaye:<br />

(a) Kuongezeka k<strong>wa</strong> samaki na bioanuai nyingine <strong>katika</strong> maeneo ya Uvuvi;<br />

(b) Kuongoa maeneo yaliyoathirika ili kuboresha hali ya mialo, fukwe na<br />

mandhari yake;<br />

(b) Kukuza uele<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> umma <strong>katika</strong> shughuli endelevu za uvuvi na za<br />

hifadhi ya mazingira;<br />

(c) Kuinua hali ya kipato na afya ya <strong>wa</strong>nanchi na Taifa k<strong>wa</strong> ujumla;<br />

36. Kutokuchua hatua za haraka za kudhibiti Uvuvi usio endelevu na uharibifu <strong>wa</strong><br />

mazingira ya maeneo haya kutasababisha kutoweka k<strong>wa</strong> rasilimali muhimu za<br />

Taifa hususan samaki, maji na rasilimali zinazoambatana na maji na hivyo<br />

kusababisha kupunguza kasi ya ukuaji <strong>wa</strong> uchumi <strong>wa</strong> Taifa, kuathiri afya za<br />

<strong>wa</strong>nanchi na kuongezeka k<strong>wa</strong> umaskini.<br />

124


SURA YA KUMI NA MBILI<br />

MAJADILIANO KUHUSU SHUGHULI ZA<br />

UVUVI KATIKA MIKOA<br />

1. MKOA WA TANGA<br />

2. MKOA WA MTWARA<br />

3. MKOA WA LINDI<br />

4. MKOA WA PWANI<br />

5. MKOA WA DAR ES SALAAM<br />

6. MKOA WA MWANZA<br />

7. MKOA WA KAGERA<br />

8. MKOA WA MARA<br />

9. MKOA WA KIGOMA<br />

10. MKOA WA RUKWA<br />

11. MKOA WA MBEYA<br />

12. MKOA WA RUVUMA<br />

125


1.0 Utangulizi<br />

TAARIFA YA SHUGHULI ZA UVUVI<br />

MKOA WA TANGA<br />

Mkoa <strong>wa</strong> Tanga upo kaskazini m<strong>wa</strong> Tanzania ambao hupakana na bahari ya Hindi<br />

upande <strong>wa</strong> Mashariki, kusini Mkoa <strong>wa</strong> P<strong>wa</strong>ni, Kaskazini unapakana na Nchi ya<br />

Kenya, upande <strong>wa</strong> magharibi Mkoa hupakana na Mkoa <strong>wa</strong> Kilimanjaro na Morogoro.<br />

Mkoa huu una jumla ya Wilaya 8 ambazo hutengeneza Halmashauri 9 Wilaya hizo ni<br />

Tanga, Mkinga, Muheza, Korogwe, Lushoto, Handeni, Pangani na Kilindi.<br />

K<strong>wa</strong> upande <strong>wa</strong> bahari kuna karibu umbali <strong>wa</strong> kilomita 180 za mstari <strong>wa</strong> p<strong>wa</strong>ni hii<br />

ikijumuisha sehemu zote za ukanda <strong>wa</strong> bahari <strong>wa</strong> Mkoa ambao miti ya mikoko<br />

hustawi, pia kuna jumla ya miamba ya matumbawe 96 ambapo <strong>wa</strong>vuvi hutegemea<br />

k<strong>wa</strong> ajili ya shughuli zao za kujipatia kipato cha kila siku. Shughuli za uvuvi pia<br />

hufanyika <strong>katika</strong> mito, mazi<strong>wa</strong>, malambo na mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> karibu <strong>katika</strong> Wilaya zote<br />

za Mkoa huu.<br />

K<strong>wa</strong> mujibu <strong>wa</strong> sensa ya uvuvi iliyofanyika m<strong>wa</strong>ka 2007 Mkoa uliku<strong>wa</strong> na jumla ya<br />

<strong>wa</strong>vuvi na zana zao kama inavyoonyesh<strong>wa</strong> <strong>katika</strong> Jed<strong>wa</strong>li Namba 1. Mkoa pia una<br />

jumla ya <strong>wa</strong>vuvi na <strong>wa</strong>fugaji samaki <strong>wa</strong>patao 300 <strong>katika</strong> Wilaya zisizo pakana na<br />

bahari ambao hujishughulisha na ufugaji <strong>wa</strong> Samaki na uvuvi <strong>katika</strong> Mito, Mazi<strong>wa</strong> na<br />

Malambo.<br />

Mkoa umeku<strong>wa</strong> ukijitahidi kuhakikisha ku<strong>wa</strong> rasiliamli hii inalind<strong>wa</strong> pia inaku<strong>wa</strong> na<br />

tija k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>nanchi <strong>wa</strong>naoishi k<strong>wa</strong> kutegemea shughuli za uvuvi k<strong>wa</strong> kutoa elimu juu<br />

ya matumizi endelevu ya rasiliamli hizo. Vilevile Ofisi ya Mkuu <strong>wa</strong> Mkoa <strong>wa</strong> Tanga<br />

imekua ikifanya kazi bega k<strong>wa</strong> bega <strong>katika</strong> usimamizi <strong>wa</strong> sheria za uvuvi<br />

sambamba na usafirishaji <strong>wa</strong> mazao ya uvuvi ndani na nje ya nchi yanayosindik<strong>wa</strong><br />

<strong>katika</strong> vi<strong>wa</strong>nda.<br />

Jed<strong>wa</strong>li Na. 1: Idadi ya Vijiji vya M<strong>wa</strong>mbao, Zana, Mashine na Mialo<br />

inayochukuli<strong>wa</strong> takwimu za uvuvi Mkoa <strong>wa</strong> Tanga<br />

Mialo na Zana Tanga Mkinga Muheza Pangani Jumla<br />

Mialo 27 21 2 11 61<br />

Vituo vya Takwimu 2 2 1 4 8<br />

Jarife (SN) 458 230 125 358 1,171<br />

Mishipi (HL) 1432 970 213 229 2,844<br />

Mikuki (Spear) 193 75 50 0 318<br />

Nyavu (Gillnet) 861 125 1 182 1,169<br />

Senga (Scoop) 8 3 4 25 40<br />

Juya (Beach seine) 42 14 0 4 60<br />

Mtande (Ringnets) 91 6 0 1 98<br />

Kimia (Cast net) 4 3 0 7 14<br />

Dhulumati (Longline) 4 15 8 19 46<br />

Uzio 4 0 0 0 4<br />

Madema 764 750 220 662 2,396<br />

Mashine 22 6 2 1 31<br />

126


2.0 Mikakati ya kuendeleza na kusimamia rasilamali ya uvuvi Mkoa <strong>wa</strong><br />

Tanga<br />

Mkoa <strong>wa</strong> Tanga k<strong>wa</strong> jumla umeku<strong>wa</strong> na mikakati ya hali ya juu <strong>katika</strong> kuendeleza<br />

na kusimamia rasilimali za uvuvi, mikakati hiyo ni kama ifuatavyo<br />

(a) Kudhibiti Uvuvi haramu<br />

Mkoa umechukua hatua kadhaa <strong>katika</strong> kudhibiti na kupambana na uvuvi haramu<br />

k<strong>wa</strong> kipindi kirefu hali halisi inaonyesha ku<strong>wa</strong> uvuvi haramu k<strong>wa</strong> jumla unapungua<br />

k<strong>wa</strong>ni mnamo miaka ya 1980 – 90 kuliku<strong>wa</strong> na milipuko zaidi ya 180 ya baruti k<strong>wa</strong><br />

mwezi ukilinganisha na 10 – 30 k<strong>wa</strong> mwezi k<strong>wa</strong> kipindi hiki, kutokana na uhaba <strong>wa</strong><br />

ajira <strong>wa</strong>tu wengi <strong>wa</strong>mejikita <strong>katika</strong> uvuvi hali ambayo wengine <strong>wa</strong>nafanya shughuli<br />

hii bila utaratibu, hali hii inaufanya Mkoa kuchukua hatua mbalimbali za udhibiti<br />

kama kufanya doria <strong>katika</strong> maeneo ya bahari na nchi kavu, semina na mafunzo k<strong>wa</strong><br />

<strong>wa</strong>vuvi kuhusu madhara ya uvuvi haramu na faida k<strong>wa</strong> kutumia uvuvi endelevu<br />

unaotumia zana zinazohifadhi mazingira, uanzish<strong>wa</strong>ji <strong>wa</strong> progam ya usimamizi<br />

shirikishi <strong>wa</strong> rasilimali za baharini na m<strong>wa</strong>mbao <strong>wa</strong> p<strong>wa</strong>ni yaani BMUs (beach<br />

management units) ambapo hadi sasa jumla ya BMUs 20 ambapo Muheza 1, Tanga<br />

6, Pangani 5 na Mkinga 8 hii imetokana na <strong>wa</strong>nanchi kujiandikisha <strong>katika</strong> daftari la<br />

<strong>wa</strong>nachama ku<strong>wa</strong> na kasi ndogo.<br />

Hali nyingine iliyozorotesha uandikishaji ni shughuli za uchaguzi <strong>wa</strong> serikali za mitaa<br />

k<strong>wa</strong>ni k<strong>wa</strong> karibu mwezi mmoja ofisi ziliendesh<strong>wa</strong> na <strong>wa</strong>tendaji na k<strong>wa</strong> sasa baadhi<br />

ya viongozi ni <strong>wa</strong>pya hivyo kulazimika kuelezea upya malengo na madhumuni ya<br />

vikundi vya ulinzi shirikishi (BMU’s), hii imeulazimu Mkoa kuunda kamati ya kufuatilia<br />

suala hili ili kuhakikisha kila kijiji <strong>katika</strong> m<strong>wa</strong>mbao <strong>wa</strong> Mkoa kinaku<strong>wa</strong> na BMU.<br />

Katika kupambana na uvuvi haramu <strong>katika</strong> mkoa jumla ya makokoro …..<br />

yalikamat<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> kipindi cha…….,jumla ya tani….. za samaki <strong>wa</strong>liokua chini ya<br />

ki<strong>wa</strong>ngo cha ubora k<strong>wa</strong> matumizi <strong>wa</strong>likamat<strong>wa</strong>, aidha jumla ya <strong>wa</strong>tuhumi<strong>wa</strong> ……<br />

<strong>wa</strong>mefunguli<strong>wa</strong> mashtaka na kufanya jumla ya kesi 30 kufunguli<strong>wa</strong> mahakamani.<br />

127


Jed<strong>wa</strong>li Na 2. Milipuko ya Baruti <strong>katika</strong> P<strong>wa</strong>ni ya Mkoa <strong>wa</strong> Tanga m<strong>wa</strong>ka 2004 hadi 2007<br />

Idadi ya Milipuko ya Baruti k<strong>wa</strong> Eneo k<strong>wa</strong> mwezi Disemba 2004 Hadi Mei 2007.<br />

Mwezi Kigombe K<strong>wa</strong>le Moa Sahare M<strong>wa</strong>rongo Ushongo Kipumb<br />

wi<br />

Total<br />

Dec. 04 3 3 2 5 3* - - 13<br />

Jan. 05 17 10 1 3 - 3 - 34<br />

Feb. 05 10 8 2 4 - 2 - 26<br />

March 05 55 20 5 10 55* 1 2 97<br />

April 05 10 14 1 4 - 1 - 30<br />

May 05 2 5 2 5 2* - - 14<br />

June 05 0 1 1 2 0 0 0 4<br />

July 05 0 1 0 0 0 1 0 2<br />

Aug. 05 8 2 3 2 8*+ 1 0 0 16<br />

Sept. 05 5 3 3 3 5* 0 0 14<br />

Oct. 05 3 4 12 3 1* 2 0 22<br />

Nov. 05 40 5 1 2 30* 0 0 47<br />

Dec. 05 36 7 2 3 35* 0 0 48<br />

Jan. 06 30 10 4 6 30* 0 0 50<br />

Feb. 06 26 7 7 8 26* 0 0 48<br />

Mar. 06 10 5 3 6 *10 0 0 24<br />

April.06 6 2 2 12 *6 0 0 22<br />

May 06 9 2 1 3 *9 0 0 15<br />

June 06 0 6 3 1 0 0 0 10<br />

July 06 12 4 1 6 *12 0 0 23<br />

Aug. 06 0 6 4 3 0 - - 13<br />

Sept. 06 0 8 2 6 0 0 0 16<br />

Oct. 06 6 4 4 2 *6 1 0 17<br />

Nov. 06 12 7 5 0 *12 0 0 24<br />

Dec. 06 10 8 6 4 *10 0 0 28<br />

Jan 07 24 10 12 3 1 0 0 50<br />

Feb. 07 6 4 5 0 *6 0 0 15<br />

Mar. 07 3 2 2 0 *3 0 0 7<br />

Apr. 07 2 5 2 0 *2 0 0 9<br />

May. 07 3 3 2 0 *3 0 0 8<br />

Jed<strong>wa</strong>li Na.3. Orodha ya Kesi za Watuhumi<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> Uvuvi au ku<strong>wa</strong> na Samaki <strong>wa</strong>liovuli<strong>wa</strong><br />

k<strong>wa</strong> Baruti<br />

S/ N KESI<br />

NAMBA<br />

JINA LA<br />

MTUHUMIWA<br />

1 CC 276/06 Salehe Abdi<br />

Bausi mwinyi<br />

Ali Ibrahim<br />

2, CC 269/06 Ramadhani<br />

Musa<br />

3 CC 292/06 Omari Songoro<br />

Na wenzake sita<br />

KOSA MATOKEO<br />

Kukamat<strong>wa</strong> na samaki<br />

<strong>wa</strong>liovuli<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> baruti<br />

Kukamat<strong>wa</strong> na samaki<br />

<strong>wa</strong>liovuli<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> baruti<br />

Kukamat<strong>wa</strong> na samaki<br />

<strong>wa</strong>liovuli<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> baruti<br />

128<br />

Watuhumi<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>liachi<strong>wa</strong> huru<br />

Kifungo cha miezi tisa jela au<br />

faini ya Tsh 50,000= alilipa<br />

faini<br />

Kifungo cha miezi mitatu au<br />

faini ya tsh 10,000= @<strong>wa</strong>lilipa<br />

faini


S/ N KESI<br />

NAMBA<br />

JINA LA<br />

MTUHUMIWA<br />

4 CC 293/06 Mbaraka Waziri<br />

Ka<strong>wa</strong>lle<br />

KOSA MATOKEO<br />

Kukamat<strong>wa</strong> na samaki<br />

<strong>wa</strong>liovuli<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> baruti<br />

5 CC 485/06 Mohamed Kombora Kukamat<strong>wa</strong> na samaki<br />

<strong>wa</strong>liovuli<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> baruti<br />

6 CC 349/06 Daba Mwinyiheri Kukamat<strong>wa</strong> na samaki<br />

<strong>wa</strong>liovuli<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> baruti<br />

7 CC 391/06 Sudi Omari<br />

Arafa Zuberi<br />

Kukamat<strong>wa</strong> na samaki<br />

<strong>wa</strong>liovuli<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> baruti<br />

8 CC 494/06 Hassani j. Mb<strong>wa</strong>na Kukamat<strong>wa</strong> na samaki<br />

<strong>wa</strong>liovuli<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> baruti<br />

9 RM CC 57/07 Ally M ,Said<br />

Musa T Makindi<br />

Muhidini Mohamed<br />

10 RM CC 66/08 Ismail Issa<br />

Mohamed hassani<br />

Kuvua k<strong>wa</strong> kutumia<br />

baruti<br />

Kuvua k<strong>wa</strong> kutumia<br />

baruti<br />

11 CC 125/07 Mbukuzi Kidege Kuvua k<strong>wa</strong> kutumia<br />

baruti<br />

12 CC 235/07 Mwinyi Kur<strong>wa</strong> Kumiliki baruti<br />

129<br />

Kifungo cha miezi tisa jela au<br />

faini ya Tsh 100,000= alilipa<br />

faini<br />

Jalada liliondole<strong>wa</strong> mahakama<br />

k<strong>wa</strong> CPA 225/5<br />

Kifungo cha m<strong>wa</strong>ka jela au<br />

faini ya Tsh 250,000= alilipa<br />

faini<br />

Kifungo cha miezi mitatu<br />

nje{conditional discharge]<br />

Jalada lilifut<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> 222 cha<br />

CPA<br />

Kifungo cha miaka miwili na<br />

miezi jela au faini ya Tsh<br />

130,000. @ <strong>wa</strong>lilipa faini<br />

Mtuhumi<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> k<strong>wa</strong>nza<br />

kifungo cha miaka mitatu jela<br />

/mtuhumi<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>pili kifungo<br />

cha m<strong>wa</strong>ka nje<br />

Kifungo cha m<strong>wa</strong>ka jela au<br />

faini ya Tsh 100,000= alilipa<br />

faini<br />

Lilioondole<strong>wa</strong> mahakama<br />

kutokana kukosa ushahidi<br />

13 CC 236/07 Mnyamisi Bakari Kumiliki baruti Mtuhumi<strong>wa</strong> aliachi<strong>wa</strong> huru<br />

14 CC 237/07 Faki Mustafa Nadhari Kumiliki baruti Ilifut<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> kifungu 226/1<br />

cha CPA<br />

15 CC 238/07 Mbaraka Kassim Kumiliki baruti Jalada liliondole<strong>wa</strong> mahakama<br />

k<strong>wa</strong> CPA 225/5<br />

16 CC 241/07 Khadija Khasimu Kumiliki baruti Ilifut<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> kifungu 226{1}<br />

cha CPA<br />

17 CC 467/07 Hassan Mzonge<br />

Athumani Matola<br />

18 CC 513/07 Athumani Muhaji na<br />

wenzake <strong>wa</strong>tau<br />

Kukamat<strong>wa</strong> na samaki<br />

<strong>wa</strong>liovuli<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> baruti<br />

Kuvua k<strong>wa</strong> kutumia<br />

baruti<br />

19 CC 222/08 Shamsa Ibrahim Kukamat<strong>wa</strong> na samaki<br />

<strong>wa</strong>liovuli<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> baruti<br />

20 CC 223/08 Hashim Mohamed Kukamat<strong>wa</strong> na samaki<br />

<strong>wa</strong>liovuli<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> baruti<br />

Kifungo cha m<strong>wa</strong>ka nje<br />

Jalada liliondole<strong>wa</strong> mahakama<br />

k<strong>wa</strong> CPA 225/5<br />

Kesi hii iko mahakamani<br />

Katika hatua ya ushahidi<br />

Kifungo cha miezi sita nje


S/ N KESI<br />

NAMBA<br />

JINA LA<br />

MTUHUMIWA<br />

KOSA MATOKEO<br />

21 CC 270/08 Salim Athuman Kukamat<strong>wa</strong> na samaki<br />

<strong>wa</strong>liovuli<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> baruti<br />

22 CC 59/08 Omari Maamuni Kukamat<strong>wa</strong> na samaki<br />

<strong>wa</strong>liovuli<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> baruti<br />

23 CC 244/08 M<strong>wa</strong>nakombo jumaa Kukamat<strong>wa</strong> na samaki<br />

<strong>wa</strong>liovuli<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> baruti<br />

24 CC 323/08 Ally Bakari Kukamat<strong>wa</strong> na samaki<br />

<strong>wa</strong>liovuli<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> baruti<br />

25 CC 324/08 Mathayo Keya<br />

Shabani Juma<br />

Kukamat<strong>wa</strong> na samaki<br />

<strong>wa</strong>liovuli<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> baruti<br />

26 CC 256/08 Khamisi Mohamed Kukamat<strong>wa</strong> na samaki<br />

<strong>wa</strong>liovuli<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> baruti<br />

27 CC 404/08 Kadiri Mohamed Kukamat<strong>wa</strong> na samaki<br />

<strong>wa</strong>liovuli<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> baruti<br />

28 RM CC 97/08 Ramadhani chondo Kuvua k<strong>wa</strong> kutumia<br />

baruti<br />

29 CC 432/08 Robert Abbas Kukamat<strong>wa</strong> na samaki<br />

<strong>wa</strong>liovuli<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> baruti.<br />

30 CC 6/09 Khamisi said Jambia Kukamat<strong>wa</strong> na samaki<br />

<strong>wa</strong>liovuli<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> baruti<br />

130<br />

Kesi hii iko mahakamani<br />

Katika hatua ya ushahidi<br />

Kesi hii iko mahakamani<br />

Katika hatua ya ushahidi<br />

Mtuhumi<strong>wa</strong> aliachi<strong>wa</strong> huru<br />

k<strong>wa</strong> kifungu 91 cha CPA<br />

Kesi hii iko mahakamani<br />

Katika hatua ya ushahidi<br />

Kesi hii iko mahakamani<br />

Katika hatua ya ushahidi<br />

Kesi hii iko mahakamani<br />

Katika hatua ya ushahidi<br />

Kesi hii iko mahakamani<br />

Katika hatua ya ushahidi<br />

Kesi hii iko mahakamani<br />

Katika hatua ya kutaj<strong>wa</strong><br />

Jalada liliondole<strong>wa</strong> mahakama<br />

k<strong>wa</strong> CPA 225/5<br />

Kesi hii iko mahakamani<br />

Katika hatua ya kutaj<strong>wa</strong><br />

(b) Udhibiti <strong>wa</strong> utoroshaji <strong>wa</strong> mazao ya uvuvi nje ya nchi<br />

Katika kipengele hiki Mkoa k<strong>wa</strong> kushirikiana na Idara ya uvuvi imefungua kituo na<br />

kuweka mtumishi Horohoro ambae anajukumu la kukagua na kukusanya maduhuli<br />

ya mazao yote ya bahari yanayo safirish<strong>wa</strong> nchi jirani ya Kenya. K<strong>wa</strong> kushirikisha<br />

Polisi, Halmashauri na Wanavijiji (kamati za mazingira) doria za mara k<strong>wa</strong> mara<br />

hufanyika <strong>katika</strong> maeneo ya mpakani ili kudhibiti utorashaji huo <strong>wa</strong> mazao.<br />

Hatua nyingine inayofanyika ni ya kuanzish<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> vikundi vya ulinzi shirikishi<br />

(BMU’s) ambao ndio <strong>wa</strong>takao ku<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>nafanya doria za mara k<strong>wa</strong> mara kudhibiti<br />

hali hiyo, elimu ya umuhimu <strong>wa</strong> kulipa maduhuli na tabia ya kuheshimu sheria<br />

inatole<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>nanchi kupitia serikali za vijiji ili ku<strong>wa</strong> jengea uwezo <strong>wa</strong>nanchi <strong>wa</strong><br />

kujua na kufahamu umuhimu <strong>wa</strong> maduhuli na ni madhara gani k<strong>wa</strong> mtu kukwepa<br />

kulipa maduhuli ya mazao ya uvuvi.<br />

(c) Upatikanaji na usambazaji <strong>wa</strong> zana bora za uvuvi<br />

Mkoa <strong>wa</strong> Tanga <strong>katika</strong> suala la upatikakanaji na usamabazji <strong>wa</strong> zana bora za uvuvi<br />

umeku<strong>wa</strong> ukitilia mkazo elimu ya ujasiriamali k<strong>wa</strong> kuzihimiza halmashauri<br />

ku<strong>wa</strong>himiza <strong>wa</strong>vuvi kuanzisha vyama vya kuweka na kukopa (SACCOS) ili


vi<strong>wa</strong>kopeshe pesa k<strong>wa</strong> manunuzi ya zana bora. Kupitia Mradi <strong>wa</strong> Usimamizi <strong>wa</strong><br />

Mazingira ya Bahari ya ukanda <strong>wa</strong> p<strong>wa</strong>ni (Marine and Coastal Environment<br />

Managenet Project – MACEMP) kupitia mfuko <strong>wa</strong> vijiji vya M<strong>wa</strong>mbao <strong>wa</strong>meweza<br />

ku<strong>wa</strong>saidia vikundi vya uvuvi ili kuweza kununua zana na vyombo bora vya uvuvi<br />

ambapo Muheza vikundi 5, Tanga jiji 6, Pangani 7 na Mkinga 4 vipo <strong>katika</strong><br />

mchanganuo <strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong>patia hela <strong>wa</strong>vuvi ili kuongeza mikakati ya kuongeza zana<br />

bora za uvuvi.<br />

3.0 Hali ya Huduma za Ugani<br />

Idadi ya <strong>wa</strong>tumishi<br />

Hali ya <strong>wa</strong>tumishi k<strong>wa</strong> jumla si nzuri k<strong>wa</strong>ni idadi yao hailingani na mahitaji hii<br />

inatokana na baadhi yao kustaafu na bado Halmashauri hazija jaza nafasi hizo.<br />

Jumla ya <strong>wa</strong>tumishi <strong>wa</strong>nne (4) <strong>wa</strong>po masomoni <strong>wa</strong>wili <strong>wa</strong>nasomea shahada ya<br />

k<strong>wa</strong>nza ya kilimo bahari (SUA) mmoja Shahada ya uzamili juu ya masuala ya uvuvi<br />

(UDSM) na mwingine ubaharia (DMI), Wilaya za Lushoto na Handeni hakuna<br />

<strong>wa</strong>tumishi <strong>wa</strong> Uvuvi inga<strong>wa</strong> kuna umuhimu k<strong>wa</strong>ni kuna Malambo, mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> ya<br />

samaki na hupokea samaki toka sehemu mbalimbali k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>chuuzi ambao<br />

<strong>wa</strong>nalazimika kugauli<strong>wa</strong> ili kujua ubora <strong>wa</strong> mazao yaliyoingiz<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> ajili ya usalama<br />

k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>laji.<br />

M<strong>wa</strong>ka huu pia kulitokea msiba k<strong>wa</strong> kumpoteza Bw. Elisaria Temu aliyeku<strong>wa</strong> Afisa<br />

Mfawidhi <strong>wa</strong> Kikosi cha Doria Kanda ya Kaskazini chenye makao hapa Tanga.<br />

Jed<strong>wa</strong>li Na. 4: Hali ya Watumishi <strong>wa</strong>liopo vi<strong>wa</strong>ngo vya elimu na idadi yao, <strong>wa</strong>liostaafu<br />

<strong>wa</strong>liofariki na mahitaji k<strong>wa</strong> Mkoa <strong>wa</strong> Tanga.<br />

Taasisi Shahada Stasha Cheti K<strong>wa</strong> Walio Waliofariki Masomoni Upungufu<br />

hada<br />

Uzoefu staafu<br />

Idara Uvuvi 1 3 - - 1 1 2 2<br />

Mkoa 1 - - - - 1<br />

Jiji Tanga - 1 2 - 2 - 1 4<br />

Wilaya Mkinga 3 2 2 - 1 - 1 4<br />

Wilaya Muheza - 1 - - 1 - - 2<br />

Wilaya Pangani - 3 - 4 - - -<br />

Wilaya Korogwe - 1 - 1 - - - 3<br />

Wilaya Handeni - - - - - - - 2<br />

Wilaya Lushoto - - - - - - - 2<br />

Wilaya Kilindi 1 - - - - - - 2<br />

Jumla 5 12 4 5 5 1 4 22<br />

Kutokana na upungufu uliojitokeza <strong>wa</strong> Watumishi Mkoa k<strong>wa</strong> kushirikiana na Wilaya<br />

zake umeku<strong>wa</strong> ukiendesha mafunzo mbali mbali k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>nanchi ili kuweza kuafanya<br />

shughuli ambazo zinafany<strong>wa</strong> na Wagani kama uchukuaji <strong>wa</strong> takwimu za uvuvi na<br />

ushirikish<strong>wa</strong>ji <strong>katika</strong> kazi za doria.<br />

Vitendea kazi vilivyopo<br />

K<strong>wa</strong> upande <strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>mbao <strong>wa</strong> bahari Mkoa ulipata bahati ya kutekeleza mpango <strong>wa</strong><br />

program ya hifadhi na maenedeleo ya m<strong>wa</strong>mbao <strong>wa</strong> Tanga (Tanga Coastal zone<br />

Proramme 1994 - 2007) <strong>katika</strong> kipindi hiki Mkoa uliweza kupata jumla ya boti saba<br />

(7) pia Idara ya Uvuvi imeleta boti moja kub<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka 2006 hivyo kufanya Mkoa<br />

131


ku<strong>wa</strong> na boti nane (8) ambazo zinatumia mashine za kupachika na moja kub<strong>wa</strong><br />

mashine za ndani za diseli.<br />

Boti hizo zimega<strong>wa</strong>ny<strong>wa</strong> kama ifuatavyo Kikosi cha doria boti moja kub<strong>wa</strong>, Mkoa<br />

boti moja k<strong>wa</strong> ajili ya uperembaji na shughuli usalama, Mkinga moja, Tanga jiji<br />

mbili, Muheza mbili na pangani moja, Pia Wilaya za Pangani, Tanga na Muheza<br />

zilibahatika ku<strong>wa</strong> na magari aina ya Toyota HardTop k<strong>wa</strong> ajili ya shughuli za<br />

usimamizi <strong>wa</strong> rasiliamali za bahari na m<strong>wa</strong>mbao. Vifaa K<strong>wa</strong> ajili ya uchukuaji <strong>wa</strong><br />

takwimu kama vile mizani kila kituo cha kuchukua takwimu <strong>wa</strong>nayo moja, vifaa<br />

vingine Wilaya hutoa k<strong>wa</strong> mujibu <strong>wa</strong> mahitaji, Vifaa vyote vilivyotaj<strong>wa</strong> hapo juu vipo<br />

<strong>katika</strong> hali ya kuweza kutumika na vingine vinahitaji matengenezo.<br />

Mikakati ya kuendeleza huduma za ugani<br />

Mbinu zinazo tumika kukabiliana na upungufu <strong>wa</strong> <strong>wa</strong>tumishi ni kutumia <strong>wa</strong>nanchi<br />

<strong>katika</strong> baadhi ya kazi kama kukusanya takewimu, ulinzi <strong>wa</strong> rasilimali<br />

4.0 Ufugaji <strong>wa</strong> samaki<br />

Katika mkoa <strong>wa</strong> tanga juhudi mbalimbali zinafanyika k<strong>wa</strong> kushirikiana na Idara ya<br />

uvuvi na <strong>sekta</strong> nyingine <strong>katika</strong> kuhamasisha ufugaji <strong>wa</strong> samaki, kilimo cha M<strong>wa</strong>ni na<br />

unenepeshaji <strong>wa</strong> kaa. Wilaya ya Tanga jiji kuna jumla ya mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> 25 ya samaki<br />

<strong>wa</strong> maji chumvi na b<strong>wa</strong><strong>wa</strong> moja ya samaki maji baridi. Wilaya ya Muheza <strong>wa</strong>na<br />

jumla ya mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> 250 ya samaki ambapo tarafa ya Amani imeku<strong>wa</strong> mstari <strong>wa</strong><br />

mbele <strong>katika</strong> s<strong>wa</strong>la la ufugaji <strong>wa</strong> samaki.<br />

Wilaya ya Mkinga mpaka sasa hakuna ufugaji <strong>wa</strong> samaki inga<strong>wa</strong> ipo <strong>katika</strong> mikakati<br />

madhubuti ya kutoa elimu na kuhamasisha <strong>wa</strong>nanchi <strong>wa</strong> eneo hilo kujihusisha <strong>katika</strong><br />

ufugaji <strong>wa</strong> samaki ambpo <strong>wa</strong>nanchi <strong>wa</strong>ke <strong>wa</strong>mekwisha anza kujihusisha na Kilimo<br />

cha m<strong>wa</strong>ni. Vilevile wilaya ya Pangani haikubaki nyuma <strong>katika</strong> ufugaji <strong>wa</strong> samaki na<br />

Kilimo cha M<strong>wa</strong>ni. Ambapo kikundi kinacho jihusisha na unenepeshaji kaa kimepata<br />

ufadhili kupitia Mradi <strong>wa</strong> MACEMP.<br />

Jitihada mbalimbali zinafanyika <strong>katika</strong> mkoa <strong>wa</strong> Tanga k<strong>wa</strong> kushilikiana na mashirika<br />

binafsi kama SEMMA <strong>katika</strong> kukuza na kuendeleza ufugaji <strong>wa</strong> samaki, Kilimo cha<br />

M<strong>wa</strong>ni na unenepeshaji <strong>wa</strong> kaa. Jumla ya vifaranga 65,000 vya kamba Kochi<br />

vimepand<strong>wa</strong> <strong>katika</strong> mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> 12 yaliyopo <strong>katika</strong> Wilaya ya Tanga na mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong><br />

mengine yamepand<strong>wa</strong> samaki aina ya m<strong>wa</strong>tiko.<br />

Matatizo yanayokabili Mkoa <strong>wa</strong> Tanga <strong>katika</strong> ufugaji <strong>wa</strong> samaki ni kama ifuatavyo<br />

• Elimu na Uhamasishaji <strong>katika</strong> ufugaji endelevu <strong>wa</strong> samaki na mazao<br />

mwengine ya majini bado hauja<strong>wa</strong>fikia <strong>wa</strong>leng<strong>wa</strong> vizuri.<br />

• Kutopatikana k<strong>wa</strong> vifaranga vya uzalishaji <strong>wa</strong> samaki.<br />

• Kutopatikana k<strong>wa</strong> soko la samaki la uhakika.<br />

• Kutoku<strong>wa</strong> na mtaji <strong>wa</strong>kutosha k<strong>wa</strong> ajili ya ufugaji <strong>wa</strong> samaki.<br />

5.0 Mfumo <strong>wa</strong> masoko ya samaki<br />

Katika mkoa <strong>wa</strong> Tanga kuna ki<strong>wa</strong>nda kikub<strong>wa</strong> cha usinndikaji mazao ya Uvuvi<br />

kinachojulikana Nje na ndani ya Nchi kiit<strong>wa</strong>cho Sea Products ltd ambacho<br />

husafirisha mazao ya uvuvi kwenda <strong>katika</strong> masoko ya Jumuiya ya Ulaya (EU)<br />

132


pamoja na nchi za Africa na ni ki<strong>wa</strong>nda kinacho<strong>wa</strong>patia <strong>wa</strong>vuvi soko k<strong>wa</strong> kukusanya<br />

na kununua mazao ya Uvuvi k<strong>wa</strong>ajili ya usindikaji <strong>katika</strong> hali ya ubora na usalama<br />

k<strong>wa</strong> mlaji.<br />

Pia kuna <strong>wa</strong>wekezaji toka mkoa <strong>wa</strong> Dar-es- Salaam ki<strong>wa</strong>nda cha Bahari Foods na<br />

Tanpesca ambao nao ukusanya zao hilo la uvuvi toka Tanga na kwenda kusindik<strong>wa</strong><br />

tayari k<strong>wa</strong> usafirishaji nje.<br />

Vile vile kuna masoko ya ndani ya nchi yakihusisha uuzaji <strong>wa</strong> mazao ya uvuvi <strong>katika</strong><br />

mikoa jirani ambapo <strong>wa</strong>vuvi hu<strong>wa</strong>uzia <strong>wa</strong>kusanyaji <strong>wa</strong> mazao hayo nao hupeleka<br />

<strong>katika</strong> mikoa hiyo ya jirani k<strong>wa</strong> vibali maalumu k<strong>wa</strong>ajili ya kupanua masoko ya zao<br />

hilo la uvuvi.<br />

Matatizo yaliyopo ni kupungua k<strong>wa</strong> upatikanaji <strong>wa</strong> mazao ya uvuvi k<strong>wa</strong> sasa na pia<br />

kukosekana k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>wekezaji <strong>wa</strong> usindikaji <strong>wa</strong> mazao ya uvuvi <strong>katika</strong> Mkoa <strong>wa</strong><br />

Tanga ambapo inge<strong>wa</strong>saidia <strong>wa</strong>vuvi kuweza kuchagua <strong>wa</strong>pi k<strong>wa</strong> kupeleka na kuuza<br />

mazao yao ya uvuvi k<strong>wa</strong> bei nzuri itakayo <strong>wa</strong>ongezea kipato zaidi.<br />

Juhudi mbali mbali zinafanyika k<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong>hamasisha <strong>wa</strong>kusanyaji <strong>wa</strong> mazao ya uvuvi<br />

hasa dagaa kuweza kuhakikisha zao hilo linahifadhi<strong>wa</strong> <strong>katika</strong> hali ya ubora na<br />

usalama na kupata vibali maalumu k<strong>wa</strong>ajili ya kusafirisha zao hilo <strong>katika</strong> nchi jirani<br />

ya Kenya inayopakana na mkoa huu <strong>wa</strong> Tanga k<strong>wa</strong> upande <strong>wa</strong> kaskazini ambapo<br />

kuna wilaya ya Mkinga na ndipo kuliko upatikanaji <strong>wa</strong> zao hilo la Dagaa k<strong>wa</strong> wingi.<br />

Mkoa umeingiza jumla ya shilingi 596,271,715.39 iki<strong>wa</strong> ni mrabaha <strong>wa</strong> mazao ya<br />

bahari yaliyosafirish<strong>wa</strong> nje ya nchi kuanzia m<strong>wa</strong>ka 2003 hadi Oktoba 2009, hii ni<br />

kutokana na mauzo ya jumla ya kilo 3,357,630.3 zenye thamani ya shilingi<br />

1,024,429,845,109 kutoka ki<strong>wa</strong>nda cha usindikaji cha Sea Product Ltd. Tanga.<br />

kama inavyoonyesh<strong>wa</strong> <strong>katika</strong> jed<strong>wa</strong>li lifuatalo:<br />

Usindikaji <strong>wa</strong> mazao ya uvuvi <strong>katika</strong> ki<strong>wa</strong>nda Sea Product Ltd. Tanga<br />

M<strong>wa</strong>ka Uzito(kg) Thamani (US$) Thamani (Tshs) Mrabaha (Tsh)<br />

2003 623,688.00 623,688.00 1,392,843,814.35 102,411,526.92<br />

2004 544,731.00 532,126.30 1,640,506,425.57 91,530,455.94<br />

2005 486,610.80 1,333,898.1 1,512,176,874.00 82,495,850.71<br />

2006 506,039.00 1,603,783.66 1,984,475,405.66 79,414,091.00<br />

2007 399,433.60 1,612,552.64 1,968,568,148.30 79,606,141.00<br />

2008 588,357.90 2,682,388,.59 2,780,340,199.97 116,315,517.32<br />

2009 208,770.00 1,060,826,512.43 1,013,150,934,241.10 44,498,132.50<br />

Jumla 3,357,630.3 1,069,214,949.72 1,024,429,845,109 596,271,715.39<br />

133


MKAKATI WA KUENDELEZA NA KUSIMAMIA<br />

RASILIMALI ZA UVUVI KATIKA<br />

MKOA WA MTWARA<br />

1.0 UTANGULIZI<br />

Mkoa <strong>wa</strong> Mt<strong>wa</strong>ra una eneo la ukub<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> kilometa za mraba 16,720 na idadi ya<br />

<strong>wa</strong>tu inayokadiri<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong> 1,297,751 (m<strong>wa</strong>ka 2009) Kiuta<strong>wa</strong>la Mkoa<br />

umega<strong>wa</strong>nyika <strong>katika</strong> wilaya 5 na Halmashauri 6, Tarafa 22, Kata 108, vijiji<br />

652, vitongoji 2,817 na mitaa 85.<br />

Zaidi ya asilimia 88 ya <strong>wa</strong>kazi <strong>wa</strong> Mt<strong>wa</strong>ra <strong>wa</strong>nategemea kilimo kujipatia chakula<br />

na mapato. Asilimia moja (1.09%) <strong>wa</strong>najishughulisha na uvuvi <strong>wa</strong>kati asilimia<br />

0.07 <strong>wa</strong>najishughulisha na ufugaji. Fursa za uvuvi zilizopo <strong>katika</strong> mkoa <strong>wa</strong><br />

Mt<strong>wa</strong>ra ni pamoja na, u<strong>wa</strong>nda <strong>wa</strong> P<strong>wa</strong>ni ya Bahari ya Hindi wenye urefu <strong>wa</strong><br />

kilometa 125. Pia kuna mto Ruvuma (500km), zi<strong>wa</strong> Chidya (1.5Km2) zi<strong>wa</strong><br />

Kitere (1.5Km2) Mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong>, 280 ya kufugia samaki. Kikosi cha usimamizi na<br />

udhibiti <strong>wa</strong> mazao ya Uvuvi (MCS), Hifadhi ya bahari ya Ghuba ya Mnazi na<br />

Maingilio ya Mto Ruvuma (MBREMP). Aidha, Mkoa una <strong>wa</strong>tumishi 11 <strong>katika</strong> <strong>sekta</strong><br />

ya Uvuvi (Diploma – 5, Cheti – 4, Uzoefu –2).<br />

2.0 HALI YA UVUVI<br />

Mkoa <strong>wa</strong> Mt<strong>wa</strong>ra una m<strong>wa</strong>mbao wenye urefu <strong>wa</strong> kilometa 125 ambapo kuna<br />

jumla ya vijiji 19 vya uvuvi. Vijiji hivi vya m<strong>wa</strong>mbao vina jumla ya <strong>wa</strong>vuvi 3,000<br />

<strong>wa</strong>naofanya shughuli za uvuvi muda wote – na <strong>wa</strong>vuvi 500 <strong>wa</strong>naofanya shughuli<br />

za uvuvi k<strong>wa</strong> vipindi kama shughuli ya ziada.<br />

Kati ya <strong>wa</strong>vuvi 3,000 <strong>wa</strong>naovua k<strong>wa</strong> muda wote, <strong>wa</strong>vuvi 912 <strong>wa</strong>navua, <strong>katika</strong><br />

vikundi 120. Kikundi kimoja kina <strong>wa</strong>stani <strong>wa</strong> <strong>wa</strong>vuvi 5 – 15. Katika vikundi<br />

hivyo <strong>wa</strong>na<strong>wa</strong>ke <strong>wa</strong>po 304 <strong>wa</strong>ki<strong>wa</strong> na vikundi 32, <strong>wa</strong>liobaki ni <strong>wa</strong>naume 608<br />

<strong>wa</strong>ki<strong>wa</strong> <strong>katika</strong> vikundi 88.<br />

K<strong>wa</strong> ujumla uvuvi unaofanyika <strong>katika</strong> m<strong>wa</strong>mbao <strong>wa</strong> mkoa <strong>wa</strong> Mt<strong>wa</strong>ra ni uvuvi<br />

mdogo mdogo/uvuvi <strong>wa</strong> kujikimu, ambapo <strong>wa</strong>vuvi huvua k<strong>wa</strong> vikundi na<br />

wengine huvua mmoja mmoja k<strong>wa</strong> kutumia vyombo vidogo na tekinologia ya<br />

asili. Vyombo <strong>wa</strong>navyotumia ni pamoja na mitumbwi, ngala<strong>wa</strong>, mashua na boti<br />

ndogo. Jumla ya vyombo vya uvuvi 987 vimesajili<strong>wa</strong> (Ngala<strong>wa</strong>/mitumbwi 150,<br />

mashua 837, boti zenye mashine ndani 6, boti zenye mashine nje 7).<br />

Zana za uvuvi zinazotumika ni pamoja na Jarife – Zulumati – Makavogo –<br />

‘’Gillnets’’, Scive Nets’’, Basket Traps,’’ ‘’Handlines’’ n.k.<br />

134


Eneo kuu la uvuvi linalotumika na <strong>wa</strong>vuvi <strong>wa</strong> Mt<strong>wa</strong>ra ni eneo la m<strong>wa</strong>mba<br />

(inshore fishing) kuanzia kilometa 2 – 3 (1.825 Km ni sa<strong>wa</strong> na 1 ‘’nautical mile’’).<br />

ndani ya maji. Kutokana na <strong>wa</strong>vuvi wengi kuelemea <strong>katika</strong> eneo hili, upatikanaji<br />

<strong>wa</strong> samaki unapungua kutokana na kugombeana kile kinachopatikana <strong>katika</strong><br />

eneo hilo moja na pia kutoku<strong>wa</strong> na zana bora za uvuvi. Ki<strong>wa</strong>ngo cha juu cha<br />

umaskini kinachokabili jamii ya p<strong>wa</strong>ni ndiyo sababu moja<strong>wa</strong>po, mfano <strong>wa</strong>stani<br />

<strong>wa</strong> pato na matumizi k<strong>wa</strong> mwezi k<strong>wa</strong> mtu mmoja 2003 ilikadiri<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong> dola 21<br />

ambazo ni sa<strong>wa</strong> na 2 /3 (mbili ya tatu) ya ki<strong>wa</strong>ngo cha chini (Dola 30 k<strong>wa</strong><br />

mwezi) kilichowek<strong>wa</strong>.<br />

Eneo lingine la uvuvi lililopo ni eneo la kina kirefu (offshore deep sea) fishing)<br />

lenye urefu <strong>wa</strong> kilometa 370.40 (200 neutical miles), ambalo hujulikana kama<br />

ukanda <strong>wa</strong> kiuchumi <strong>wa</strong> bahari kuu (Exlusive Economic Zone (EEZ)). Ukanda huu<br />

<strong>wa</strong> EEZ una rasilimali kub<strong>wa</strong> ya uvuvi <strong>wa</strong> kibiashara. Aina ya samaki<br />

<strong>wa</strong>naopatikana <strong>katika</strong> ukanda huu ni pamoja na Nguva, Johari, Papa, Pomboo,<br />

n.k.<br />

3.0 UVUNAJI WA SAMAKI<br />

3.1 Uvuvi <strong>wa</strong> maji chumvi (Major Fishiries)<br />

Uvuvi <strong>wa</strong> maji chumvi unaendesh<strong>wa</strong> <strong>katika</strong> m<strong>wa</strong>bao <strong>wa</strong> bahari ya Hindi ambao<br />

una urefu <strong>wa</strong> km 125 na vijiji 19 vya uvuvi. Katika kipindi cha miaka mitano<br />

iliyopita samaki <strong>wa</strong>liovuli<strong>wa</strong> ni tani 465.179 zenye thamani ya shilingi<br />

323,281,945. Shughuli za kurekodi takwimu za samaki <strong>wa</strong>bichi hufanyika<br />

<strong>katika</strong> vituo vitatu ambavyo ni Mgao, Shangani na Msimbati. Aidha, <strong>katika</strong> kipindi<br />

hicho hicho mazao mengine ya baharini (Majongoo, Mapezi ya papa, makome,<br />

kamba na pweza) yalikusany<strong>wa</strong> na kusafirish<strong>wa</strong> nje. Kiasi cha mazao hayo<br />

kilichouz<strong>wa</strong> nje ni tani 142.250 zenye thamani ya shilingi 10,629,500.<br />

Jed<strong>wa</strong>li Na.1. Mavuno ya samaki <strong>wa</strong> maji chumvi na mazao mengine<br />

ya bahari 2004/2005 hadi 2008/09<br />

M<strong>wa</strong>ka Samaki Waliovuli<strong>wa</strong> Mazao mengine<br />

Uzito (Tani) Thamani Uzito (Tani) Thamani<br />

(Tshs)<br />

(Tshs)<br />

2004/05 120,240 83,825,290 35,000 2,625,000<br />

2005/06 112,860 63,730,117 29,400 2,205,000<br />

2006/07 94,321 65,755,586 26,200 1,834,000<br />

2007/08 76,513 53,341,021 28,750 2,012,500<br />

2008/09 61,245 56,639,934 27,900 1,953,000<br />

465,179 32,281,945 147,250 10,629,500<br />

135


3.2 Uvuvi <strong>wa</strong> maji baridi (Fresh <strong>wa</strong>ter fisheries)<br />

Uvuvi huu unaendesh<strong>wa</strong> <strong>katika</strong> vijiji vilivyoko kandokando ya Mto Ruvuma, Zi<strong>wa</strong><br />

Chidya na Zi<strong>wa</strong> Kitere. Samaki <strong>wa</strong>naopatikana <strong>katika</strong> maji haya ni Perege,<br />

Kambale na Ningu. Samaki <strong>wa</strong>navuli<strong>wa</strong> <strong>katika</strong> maeneo haya hutumi<strong>wa</strong> na jamii<br />

inayozunguka maeneo hayo na kiasi kidogo husafirish<strong>wa</strong> nje ya wilaya husika<br />

k<strong>wa</strong> ajili ya biashara. Jumla ya <strong>wa</strong>vuvi <strong>katika</strong> maeneo haya ni 75.<br />

4.0 UTUNZAJI NA USIMAMIZI WA RASILIMALI ZA UVUVI<br />

4.1 Uekelezaji <strong>wa</strong> sheria ya uvuvi ya m<strong>wa</strong>ka 2003 na kanuni za uvuvi 2005.<br />

(i) Elimu kuhusu sera ya Uvuvi ya 2003, kanuni za uvuvi za 2005 na elimu<br />

ya madhara ya uvuvi haramu imetole<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> vijiji 19 vya m<strong>wa</strong>mbao<br />

<strong>katika</strong> Halmashauri ya wilaya ya Mt<strong>wa</strong>ra pamoja na mitaa 27 kwenye<br />

Halmashauri ya Manispaa Mt<strong>wa</strong>ra Mikindani. Jamii hiyo imeelimish<strong>wa</strong> juu<br />

ya madhara yatokanayo na uvuvi <strong>wa</strong> kutumia baruti, kokoro, mikuki,<br />

uvunaji <strong>wa</strong> matumbawe k<strong>wa</strong> ajili ya kutengenezea chokaa na ujenzi,<br />

uchimbaji mchanga na mawe <strong>katika</strong> fukwe, uvuvi <strong>wa</strong> viumbe vilivyo<br />

hatarini kutoweka n.k.<br />

(ii) Kuendesha doria za majini na nchi kavu. Doria hizo zimefanyika mara<br />

k<strong>wa</strong> mara k<strong>wa</strong> ushirikiano kati ya mradi <strong>wa</strong> Hifadhi ya bahari ya<br />

Ghuba ya Mnazi na Maingilio ya mto Ruvuma (MBREMP), Kikosi cha<br />

Usimamizi na udhibiti <strong>wa</strong> uvuvi kanda ya kusini (MCS), Halmashauri ya<br />

wilaya ya Mt<strong>wa</strong>ra na Halmashauri ya Manispaa Mt<strong>wa</strong>ra/Mikindani.<br />

Katika kipindi cha Oktoba 2008 hadi Oktoba 2009 jumla ya doria 33<br />

zilifanyika. Matokeo ya doria hizo ni kama ifuatavyo;-<br />

• Jumla ya nyavu 281 (makokoro 146 ‘’Monofilament’’ 82, nyavu<br />

ndogo 46, nyavu za kasa 17) zilikat<strong>wa</strong> na kuteketez<strong>wa</strong>.<br />

• Baruti/unga <strong>wa</strong> kulipuka <strong>wa</strong> kutengenezea mabomu kilo 7.85.<br />

• Mabomu 9<br />

• Tambi za mabomu 7<br />

• Uzi <strong>wa</strong> mabomu 6<br />

• Vibati vya mabomu 9<br />

• Viyoo vya kuzamia 24<br />

• Mikuki 18<br />

• Bangi misokoto 67<br />

• Samaki <strong>wa</strong>livuli<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> mabomu/baruti. Kg 1,117.5<br />

• Majongoo bahari 74kg<br />

• Kasa hai 16<br />

• Mitumbwi 12<br />

• Matumbawe tani 7<br />

• Mikoko nguzo 471<br />

• Baiskeli 4<br />

136


Katika jitihada hizo <strong>wa</strong>tuhumi<strong>wa</strong> 33 <strong>wa</strong>likamat<strong>wa</strong> na kufikish<strong>wa</strong> mahakamani<br />

ambapo 9 <strong>wa</strong>litoz<strong>wa</strong> faini ya shilingi 154,000 kila mmoja, 9 <strong>wa</strong>lihukumi<strong>wa</strong><br />

kifungo cha miaka miwili kila mmoja.<br />

Wafanyabiashara <strong>wa</strong> samaki 7 <strong>wa</strong>likamat<strong>wa</strong> na samaki <strong>wa</strong>liothibitika kuvuli<strong>wa</strong><br />

k<strong>wa</strong> kutumia baruti wenye uzito <strong>wa</strong> kilogramu 890 aina ya vibua. Kesi ipo<br />

mahakamani kwenye hatua ya hukumu – na <strong>wa</strong>liobaki 8 kesi zao zinaendelea.<br />

Usimamizi shirikishi <strong>wa</strong> rasilimali za p<strong>wa</strong>ni<br />

Kupitia mradi <strong>wa</strong> Usimamizi Shirikishi <strong>wa</strong> Mazingira ya P<strong>wa</strong>ni (MACEMP),<br />

Mkoa umeanzisha vikundi 33 vya usimamizi shirikishi <strong>wa</strong> rasilimali za uvuvi<br />

(BMUs) nje ya eneo la Hifadhi na ndani ya eneo la hifadhi kamati za Hifadhi 11<br />

zinafanya kazi baada ya mafunzo na kukabithi<strong>wa</strong> majukumu yao, vikundi hivi<br />

(MBUs) vitashiriki kikamilifu <strong>katika</strong> utunzaji na usimamizi <strong>wa</strong> rasilimali za uvuvi na<br />

mazingira yake.<br />

4.2 SHIRIKISHO<br />

Hii ni taasisi isiyo ya Kiserikali ambayo ilianzish<strong>wa</strong> na <strong>wa</strong>nanchi <strong>wa</strong> P<strong>wa</strong>ni ya<br />

Mikoa ya Mt<strong>wa</strong>ra na Lindi ili kusimamia Hifadhi ya mazingira ya maeneo ya P<strong>wa</strong>ni<br />

yao. Taasisi hii ofisi kuu yake ipo Mt<strong>wa</strong>ra na inajishughulisha na shughuli<br />

mbalimbali zikiwemo za uelimishaji jamii ya <strong>wa</strong>vuvi juu ya uvuvi bora na<br />

endelevu.<br />

4.3 Hifadhi ya bahari ya Ghuba ya Mnazi na Maigilio ya Mto Ruvuma.<br />

Hifadhi inafanya shughuli mbalimbali zinazohusiana na utunzaji na usimamizi <strong>wa</strong><br />

rasilimali za p<strong>wa</strong>ni. Baadhi ya shughuli hizo ni;<br />

Utoaji <strong>wa</strong> elimu ya uvuvi bora na endelevu k<strong>wa</strong> jamii ya <strong>wa</strong>vuvi <strong>katika</strong> vijiji<br />

11 vilivyopo ndani ya eneo la mradi.<br />

Kutoa elimu ya uhifadhi <strong>wa</strong> mazingira na matumizi endelevu ya rasilimali<br />

za uvuvi <strong>katika</strong> shule za msingi na sekondari ndani ya eneo la mradi.<br />

Kufanya doria mbalimbali nchi kavu na bahari dhidi ya uvuvi haramu.<br />

Uga<strong>wa</strong>ji <strong>wa</strong> zana bora<br />

Mradi unaendesha zoezi la ubadilishanaji zana za uvuvi ambapo <strong>wa</strong>vuvi<br />

hukabidhi zana zilizokataz<strong>wa</strong> na kupig<strong>wa</strong> marufuku kisheria na mradi<br />

ku<strong>wa</strong>patia zana bora. Zoezi hili limefanyika k<strong>wa</strong> a<strong>wa</strong>mu tatu (2005, 2007,<br />

2008). Jumla ya <strong>wa</strong>vuvi 556 <strong>wa</strong>lifaidika k<strong>wa</strong> kukabidhi<strong>wa</strong> nyavu zenye<br />

thamani ya shilingi 181,300,000. Pia vikundi 5 vilipati<strong>wa</strong> boti na injini.<br />

Hifadhi pia inawezesha utekelezaji <strong>wa</strong> shughuli mbadala ambazo<br />

zitaiongezea jamii ya m<strong>wa</strong>mbao kipato cha ziada mbali na uvuvi ili<br />

kupunguza tegemezi <strong>katika</strong> bahari. Shughuli hizo ni pamoja na ufugaji<br />

137


nyuki samaki na kuku <strong>wa</strong> kienyeji. Zoezi hili lilianzia kwenye vijiji vya<br />

Mngoji, Tagazo, Kihimika, Mahurunga na Kitunguli.<br />

4.4 Uhamasishaji <strong>wa</strong> <strong>wa</strong>vuvi kujiunga <strong>katika</strong> vikundi, kujisajili na<br />

kushirikiana kuanzisha SACCOs zao<br />

Wataalam <strong>wa</strong> uvuvi na ushirika <strong>wa</strong>naendelea na uhamasishaji <strong>wa</strong> <strong>wa</strong>vuvi ili<br />

<strong>wa</strong>sajili vikundi vyao na kuungana kuanzisha SACCOs. Hadi sasa kuna SACCOs 5<br />

(tano) zimeanzish<strong>wa</strong> na Wavuvi SACCOs ni muhimu k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>vuvi hasa <strong>katika</strong><br />

kukopa mitaji kutoka kwenye taasisi za fedha.<br />

5.0 UFUGAJI WA SAMAKI NA UKUZAJI WA VIUMBE KWENYE MAJI<br />

Ufugaji <strong>wa</strong> samaki <strong>katika</strong> mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> unafanyika <strong>katika</strong> wilaya za Masasi, Ne<strong>wa</strong>la,<br />

Mt<strong>wa</strong>ra vijijini na Manispaa ya Mt<strong>wa</strong>ra/Mikindani. Hadi m<strong>wa</strong>ka 2009 idadi ya<br />

mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> yaliyopo ni 284. Idadi kub<strong>wa</strong> ya mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> yamekauka na mengine<br />

yametelekez<strong>wa</strong>. Shughuli ya ufugaji samaki <strong>katika</strong> mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> imezorota<br />

kutokana na:-<br />

Kupungua/kusimama k<strong>wa</strong> shughuli za uhamasishaji na ufuatiliaji vijijini<br />

kutokana na ukosefu <strong>wa</strong> vitendea kazi (<strong>wa</strong>taalam, fedha, na usafiri).<br />

Wizi <strong>wa</strong> mara k<strong>wa</strong> mara <strong>wa</strong> samaki <strong>katika</strong> mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> hayo, ume<strong>wa</strong>fanya<br />

<strong>wa</strong>fugaji kukata tamaa.<br />

Vikundi vya <strong>wa</strong>fugaji samaki kutojisajili na ku<strong>wa</strong> na akaunti benki ya<br />

kujiwekea akiba na hatimaye kuanzisha kikundi vya kuweka na kukopa<br />

SACCOs.<br />

Jed<strong>wa</strong>li Na. 2. Idadi ya mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> ya kufugia samaki k<strong>wa</strong> kila wilaya<br />

na <strong>wa</strong>miliki <strong>wa</strong>ke<br />

Na. Halmashauri Udadi ya Aina ya samaki Mmiliki<br />

Mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> <strong>wa</strong>naofug<strong>wa</strong><br />

1 Masasi 172 M<strong>wa</strong>tiko, Parege Vikundi – 14<br />

Kambale<br />

<strong>wa</strong>tu binafsi – 4<br />

2 Ne<strong>wa</strong>la 70 ‘’ Vikundi –2, Vijiji – 10<br />

Watu binafsi – 58<br />

3 Mt<strong>wa</strong>ra (V) 20 ‘’ Vikundi – 16<br />

Watubinafsi – 4<br />

4 Mt<strong>wa</strong>ra/Mikindani 18 ‘’ Vikundi – 14<br />

Watu binafsi – 4<br />

5 Tandahimba 14 (maeneo<br />

yanayofaa)<br />

- -<br />

6 Nanyumbu 4 (Potential<br />

sites)<br />

- -<br />

138


6.0 CHANGAMOTO ZILIZOPO<br />

Changamoto zinazoikabili <strong>sekta</strong> ya uvuvi <strong>katika</strong> mkoa <strong>wa</strong> Mt<strong>wa</strong>ra ni:<br />

6.1 Uvuvi haramu<br />

Tatizo hili la uvuvi haramu linajumuisha matumizi ya baruti/bomu <strong>katika</strong> kuvua<br />

samaki na matumizi ya korokoro/Juya ya kusini na mikuki.<br />

Katika kipindi cha hivi karibuni 2007/08/09 milio ya mabomu inasikika bahari na<br />

<strong>wa</strong>kati <strong>wa</strong> doria <strong>wa</strong>halifu wengine <strong>wa</strong>likamat<strong>wa</strong> na mabomu au vifaa/zana za<br />

kutengenezea mabomu. Halikadhalika matumizi ya korokoro yameshamiri, hii<br />

hudhihirish<strong>wa</strong> na idadi kub<strong>wa</strong> ya kokoro zinazokamat<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>kati <strong>wa</strong> doria.<br />

6.2 Ukosefu <strong>wa</strong> dhana bora za uvuvi<br />

Wavuvi <strong>wa</strong> mkoa <strong>wa</strong> Mt<strong>wa</strong>ra <strong>wa</strong>nakabili<strong>wa</strong> na tatizo hili kutokana na ukosefu <strong>wa</strong><br />

mitaji na pia kutojali kutafuta au kufuata taratibu za kuweza kupata mikopo<br />

kutoka kwenye taasisi za fedha.<br />

6.3 Uele<strong>wa</strong> mdogo <strong>wa</strong> jamii kuhusu sera, sheria na kanuni za uvuvi<br />

Bado jamii ya <strong>wa</strong>vuvi <strong>katika</strong> mkoa <strong>wa</strong> Mt<strong>wa</strong>ra haijaele<strong>wa</strong> vizuri na kuanza<br />

kutekeleza sheria za uvuvi. Pamoja na jitihada zote za uhamasishaji na<br />

uelimishaji bado baadhi ya <strong>wa</strong>vuvi <strong>wa</strong>nagomea sheria na kanuni zilizowek<strong>wa</strong>.<br />

Baadhi ya <strong>wa</strong>vuvi <strong>katika</strong> vijiji (MsangaMkuu, Naumbu na Mgao)<br />

<strong>wa</strong>na<strong>wa</strong>shambulia <strong>wa</strong>taalam <strong>wa</strong> uvuvi <strong>wa</strong> mradi <strong>wa</strong> MBREMP na kikosi cha doria<br />

pindi <strong>wa</strong>napoku<strong>wa</strong> kazini katlka maeneo ya vijiji hivi.<br />

6.4 Ukosefu <strong>wa</strong> vituo vya kisasa vya kupolea samaki<br />

Hakuna kituo cha kisasa cha kupokea, kuuzia na kutunzia samaki. Samaki<br />

hum<strong>wa</strong>g<strong>wa</strong> kwenye mchanga na mauzokufanyika hapo hapo chini.<br />

6.5 Uvunaji <strong>wa</strong> matumbawe<br />

Uvunaji <strong>wa</strong> matumbawe hai baharini ni tatizo sugu k<strong>wa</strong> vijiji vilipo <strong>katika</strong><br />

m<strong>wa</strong>mbao <strong>wa</strong> p<strong>wa</strong>ni. Matumbawe hayo huvun<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> ajili ya kutengenezea<br />

chokaa na kujengea misingi ya nyumba.<br />

6.6 Uvunaji haramu <strong>wa</strong> mikoko<br />

Uvunaji haramu <strong>wa</strong> miti ya mikoko unafany<strong>wa</strong> na baadhi ya <strong>wa</strong>tu k<strong>wa</strong> ajili ya<br />

ujenzi, biashara na k<strong>wa</strong> ajili ya kuchomea chokaa. Pamoja na kuwepo k<strong>wa</strong><br />

139


kamati za maliasili za vijiji ambazo hushughulikia utunzaji na usimamizi <strong>wa</strong><br />

rasilimali hii bado tatizo hili linaendelea kusumbua vijijini, na mijini.<br />

6.7 Matumizi hafifu ya vyanzo mbadala vya kujiongezea kipato<br />

Jamii hii ya p<strong>wa</strong>ni inasuasua kujishughulisha na shughuli mbadala za kujipatia<br />

kipato na kupunguza tegemezi baharini.<br />

Utekelezaji <strong>wa</strong> shughuli mbadala kama ufugaji nyuki, kilimo cha m<strong>wa</strong>ni, ufugaji<br />

m<strong>wa</strong>tiko bado unaendelea k<strong>wa</strong> kuchuachua.<br />

6.8 Ushiriki mdogo <strong>wa</strong> jamii <strong>katika</strong> usimamizi <strong>wa</strong> rasilimali za<br />

uvuvi/p<strong>wa</strong>ni<br />

Pamoja na jamii hii kuelimish<strong>wa</strong> na kuhamasish<strong>wa</strong>, bado inasita kushiriki<br />

kikamilifu <strong>katika</strong> usimamizi na undelezaji <strong>wa</strong> rasilimali za uvuvi. Jamii haitoi<br />

ushirikiano k<strong>wa</strong> serikali <strong>katika</strong> mas<strong>wa</strong>la yanahusu utekelezaji <strong>wa</strong> sheria<br />

zinazolinda na kuendeleza rasilimali hii ya uvuvi.<br />

6.9 Uharibifu <strong>wa</strong> fukwe<br />

Uchimbaji <strong>wa</strong> mchanga, mawe na uchafuzi <strong>wa</strong> fukwe unaharibu mazingira ya<br />

p<strong>wa</strong>ni na kusababisha mmomonyoko <strong>katika</strong> fukwe na kuzifanya fukwe<br />

zisipendeze na kuvutia<br />

6.10 Uuzaji <strong>wa</strong> zana bora za uvuvi nchi jirani<br />

Baadhi ya <strong>wa</strong>vuvi <strong>wa</strong>liogawira zana bora za uvuvi (nyavu) <strong>wa</strong>meanza kuziuza<br />

nchi jirani na badala yake <strong>wa</strong>nanunua au kutengeneza nyavu zilizokataz<strong>wa</strong>.<br />

Zaidi ya nyavu 24 zilizokabithi<strong>wa</strong> vikundi na <strong>wa</strong>vuvi binafsi zimetoweka. Mradi<br />

<strong>wa</strong> MB-REMP unafuatilia tatizo hili na <strong>wa</strong>takaobainika <strong>wa</strong>tachukuli<strong>wa</strong> hatua.<br />

6.11 Ukosefu <strong>wa</strong> mitaji<br />

Kutokana na ki<strong>wa</strong>ngo cha juu cha umaskini k<strong>wa</strong> jamii ya P<strong>wa</strong>ni, uwezo <strong>wa</strong><br />

kujinunulia zana bora za uvuvi ni mdogo au haupo. Hii inatokana na pato dogo<br />

<strong>wa</strong>nalopata kutokana na kujikita <strong>katika</strong> shughuli moja tu ya uvuvi k<strong>wa</strong><br />

kutegemea tekinologia yao ya asili na kutoku<strong>wa</strong> wepesi kuhamasika na kutafuta<br />

au kuiga mbinu <strong>wa</strong>nazope<strong>wa</strong> za kuweza kujipatia mitaji.<br />

7.0 MIKAKATI<br />

Mkoa ulijiwekea mikakati mbali mbali <strong>katika</strong> kukabiliana na changamoto hizo.<br />

Mikakati inayotumika ni pamoja na;<br />

140


• Kelimisha jamii za uvuvi zinazoishi kwenye vijiji 19 vya m<strong>wa</strong>mbao,<br />

ambapo elimu juu ya matumizi ya zana bora, uvuvi endelevu na<br />

utunzaji na usimamizi <strong>wa</strong> rasilimali za uvuvi iliyotole<strong>wa</strong>.<br />

• Kuhamasisha <strong>wa</strong>vuvi kujiunga <strong>katika</strong> vikundi na kujisajili.<br />

• Kuhamasisha vikundi vya <strong>wa</strong>vuvi kufungua akaunti benki na kujiwekea<br />

akiba.<br />

• Kuhamasisha vikundi kujiunga pamoja na kuanzisha SACCOS, k<strong>wa</strong> ajili<br />

ya kuweza kuomba mikopo <strong>katika</strong> taasisi za fedha na hatimaye kupata<br />

mitaji.<br />

• Kuendesha doria za mara k<strong>wa</strong> mara nchi kavu na majini.<br />

• Kuhamasisha jamii ya <strong>wa</strong>vuvi kuanzisha shughuli mbadala za<br />

ku<strong>wa</strong>ongezea kipato.<br />

• Uanzish<strong>wa</strong>ji <strong>wa</strong> vikundi vya usimamizi shirikishi <strong>wa</strong> rasilimali za uvuvi<br />

<strong>katika</strong> vijiji na mitaa.<br />

• Kushirikiana na vyombo vya serikali/(Vyombo vya ulinzi na Usalama)<br />

• vinavyosimamia utekelezaji <strong>wa</strong> sheria mbalimbali za nchi <strong>katika</strong><br />

kuthibiti uhalifu.<br />

• Kuanzisha programu ya ubadilishanaji zana za uvuvi ambapo <strong>wa</strong>vuvi<br />

hukabidhi zana zilizopig<strong>wa</strong> marufu na serikali na kupe<strong>wa</strong> zana bora.<br />

8.0 MAPENDEKEZO<br />

Serikali iwezeshe <strong>wa</strong>taalam <strong>wa</strong> uvuvi k<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong>patia vitendea kazi (Usafiri,<br />

Fedha, Boti) ili <strong>wa</strong>weze kukabiliana na changamoto zilizotaj<strong>wa</strong>.<br />

Ili kudhibiti uvuvi haramu mkoa unaomba Wizara iandae operesheni<br />

maalum <strong>katika</strong> vijiji vyote vya m<strong>wa</strong>mbao <strong>wa</strong> p<strong>wa</strong>ni ya Mt<strong>wa</strong>ra.<br />

Operesheni hiyo ifanywe k<strong>wa</strong> ushirikiano na vyombo vya ulinzi na usalama<br />

– kama ilivyofanyika operesheni Pono m<strong>wa</strong>ka 1998.<br />

Serikali ifufue na kuendeleza programu ya uzalishaji na usambazaji <strong>wa</strong><br />

mbegu bora za samaki k<strong>wa</strong> ajili ya <strong>wa</strong>fugaji <strong>wa</strong> samaki <strong>katika</strong> mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong>.<br />

Halmashauri zitenge fedha <strong>katika</strong> bajeti zao k<strong>wa</strong> ajili uendelezaji <strong>wa</strong> <strong>sekta</strong><br />

ya uvuvi.<br />

9.0 HITIMISHO<br />

Juhudi zilizofany<strong>wa</strong> na Mkoa <strong>katika</strong> utekelezaji <strong>wa</strong> programu ya kuendeleza <strong>sekta</strong><br />

ya uvuvi zinazingatia hatua mbali mbali ambazo zimebainish<strong>wa</strong> na serikali <strong>katika</strong><br />

utekelezaji <strong>wa</strong> sera ya Uvuvi na vipaumbele vya Mkakati <strong>wa</strong> kukuza Uchumi na<br />

kuondoa umaskini (MKUKUTA). Aidha, mkoa unatilia mkazo matumizi endelevu<br />

ya maliasili zilizomo <strong>katika</strong> bahari mazi<strong>wa</strong> na mito – ili <strong>wa</strong>vuvi <strong>wa</strong>tumie fursa zake<br />

kuinua hali zao za maisha.<br />

141


10.0 MKAKATI WA KUENDELEZA NA KUSIMAMIA RASILIMALI ZA UVUVI<br />

KATIKA MKOA WA MTWARA<br />

SN CHANGAMOTO/<br />

TATIZO<br />

1. Uvuvi haramu<br />

a) Uvuvi <strong>wa</strong><br />

kutumia baruti<br />

b) Uvuvi <strong>wa</strong><br />

kutumia<br />

korokoro/Juya ya<br />

Kusini.<br />

HATUA MUDA MKAKATI WA UTEKELEZAJI WAHUSIKA<br />

• Elimu juu ya<br />

madhara ya<br />

baruti/Mabomu<br />

<strong>katika</strong> uvuvi<br />

itolewe k<strong>wa</strong> 80%<br />

ya <strong>wa</strong>vuvi.<br />

• Doria za mara<br />

k<strong>wa</strong> mara<br />

ziimarishwe.<br />

• Kudhibiti uingizaji<br />

na utumiaji <strong>wa</strong><br />

baruti <strong>katika</strong><br />

uvuvi ifikapo<br />

2011.<br />

Mrefu<br />

Kati<br />

kati<br />

142<br />

• Kuandaa programu ya<br />

elimu ya uvuvi<br />

bora/endelevu.<br />

• Kuendesha programu hiyo<br />

<strong>katika</strong> vijiji<br />

vyote 19 vya uvuvi.<br />

• uperemba na kutathimini<br />

utekelezaji <strong>wa</strong><br />

programu ya elimu ya<br />

uvuvi endelevu.<br />

• Kutekeleza sheria ya uvuvi<br />

• Kutumia <strong>wa</strong>siri (informer)<br />

kupata taarifa ya majina ya<br />

<strong>wa</strong>uzaji na <strong>wa</strong>tumiaji baruti<br />

<strong>katika</strong> uvuvi.<br />

• Ku<strong>wa</strong>fikisha/kuit<strong>wa</strong> na<br />

kuhoji<strong>wa</strong> na kamati ya<br />

Ulinzi ya Mkoa na<br />

kuony<strong>wa</strong>.<br />

• Kuendesha zoezi la kura za<br />

maoni mitaani na vijijini ili<br />

ku<strong>wa</strong>baini <strong>wa</strong>uzaji na<br />

<strong>wa</strong>tumiaji baruti <strong>katika</strong><br />

uvuvi na ku<strong>wa</strong>chukulia<br />

hatua za kisheria<br />

• Kuhakikisha shughuli za<br />

uvuvi zisizo endelevu<br />

zinakomesh<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong><br />

kushirikiana na JWTZ<br />

kufanya doria.<br />

Halmashauri<br />

serikali Kuu<br />

Jamii<br />

Halmashauri<br />

Serikali Kuu<br />

Wadau <strong>wa</strong><br />

maendeleo<br />

Jamii.


SN CHANGAMOTO/<br />

TATIZO<br />

2 Zana bora za<br />

uvuvi<br />

3. Uele<strong>wa</strong> mdogo<br />

<strong>wa</strong> jamii<br />

kuhusu Sera,<br />

sheria na<br />

kanuni za<br />

uvuvi<br />

HATUA MUDA MKAKATI WA UTEKELEZAJI WAHUSIKA<br />

- Uhamasishaji<br />

jamii juu ya<br />

umuhimu <strong>wa</strong><br />

matumizi ya<br />

zana bora.<br />

Elimu ya uandaaji<br />

mchakato <strong>wa</strong><br />

miradi itolewe k<strong>wa</strong><br />

<strong>wa</strong>vuvi ifikapo 2011<br />

- Kuwezesha<br />

<strong>wa</strong>vuvi kutoka<br />

kwenye uvuvi <strong>wa</strong><br />

kujikimu/mdogomd<br />

ogo na kuingia<br />

kwenye uvuvi <strong>wa</strong><br />

kati (Small scale<br />

fishing to medium<br />

scale fishing)<br />

- Kuanzisha<br />

programu ya<br />

kimkoa ya<br />

uelimishaji jamii<br />

kuhusiana na sera,<br />

sheria na kanuni za<br />

uvuvi hadi ifikapo<br />

2012.<br />

Mrefu<br />

143<br />

• Kuainisha aina ya zana<br />

zinazotumika na idadi yake.<br />

• Kuhamasisha jamii / Wavuvi<br />

kujiunga <strong>katika</strong> vikundi na<br />

kujisajili.<br />

• Vikundi vya uvuvi kufungua<br />

akaunti benki.<br />

• Vikundi vishirikiane<br />

kuanzisha SACCOS yao.<br />

• Kuwezesha vikundi hivyo<br />

k<strong>wa</strong> kupitia SACCOS zao<br />

kupata mikopo benki.<br />

• Kubainisha maduka<br />

yanayouza zana za uvuvi<br />

na aina ya zana<br />

zinazopatikana.<br />

• Kuendelea na programu ya<br />

uga<strong>wa</strong>ji <strong>wa</strong> zana bora za<br />

uvuvi k<strong>wa</strong> kubadilisha zile<br />

zisizoruhusi<strong>wa</strong>.<br />

Kati • Mradi <strong>wa</strong> MACEMP<br />

uwezeshe vikundi vya<br />

uvuvi kuandaa mchakato<br />

<strong>wa</strong> mradi<br />

Mrefu • Kuwezesha vikundi vya<br />

uvuvi kupata zana za<br />

kisasa kama; Boat (25ft –<br />

30 ft) mashine (Engine) za<br />

ndani/nje, Nyavu, Zulumati<br />

(Longline nets), Kavogo<br />

(purseine). Jarife<br />

(Sharknets)<br />

Mrefu • Kuandaa programu ya<br />

uelimishaji jamii kuhusu<br />

sera, sheria na kanuni za<br />

uvuvi.<br />

• Kuendesha programu hiyo<br />

<strong>katika</strong> vijiji vyote 19 vya<br />

uvuvi<br />

• Kushirikisha chama ta<strong>wa</strong>la<br />

<strong>katika</strong> kuhamasisha<br />

<strong>wa</strong>nanchi juu ya sera,<br />

sheria na kanuni za uvuvi.<br />

Halmashauri<br />

Serikali Kuu<br />

Wadau <strong>wa</strong><br />

maendeleo<br />

Jamii<br />

Halmashauri<br />

Serikali Kuu<br />

Wadau <strong>wa</strong><br />

maendeleo<br />

Jamii<br />

Halmashauri<br />

serikali Kuu<br />

<strong>wa</strong>dau <strong>wa</strong><br />

maendeleo<br />

Jamii<br />

Halmashauri<br />

Serikali Kuu<br />

Wadau <strong>wa</strong><br />

maendeleo<br />

Jamii


SN CHANGAMOTO/<br />

TATIZO<br />

4. Ukosefu <strong>wa</strong><br />

vituo vya<br />

kisasa vya<br />

kupokelea<br />

samaki<br />

5. Uvunaji <strong>wa</strong><br />

matumbawe<br />

6. Uvunaji<br />

haramu <strong>wa</strong><br />

mikoko<br />

a) Uchomaji<br />

chokaa<br />

b) Ujenzi <strong>wa</strong><br />

nyumba<br />

7. Matumizi<br />

hafifu ya<br />

vyanzo<br />

mbadala vya<br />

kujiongezea<br />

kipato<br />

a) Ufugaji<br />

Nyuki<br />

HATUA MUDA MKAKATI WA UTEKELEZAJI WAHUSIKA<br />

- Kujenga vituo<br />

vidogo vya upokeaji<br />

samaki <strong>katika</strong><br />

maeneo husika<br />

ifikapo 2013.<br />

- Kupiga marufuku<br />

utengenezaji<br />

chokaa k<strong>wa</strong><br />

kutumia<br />

matumbawe ifikapo<br />

2010.<br />

Kudhibiti ukataji <strong>wa</strong><br />

mikoko k<strong>wa</strong> ajili ya<br />

uchomaji chokaa na<br />

ujenzi <strong>wa</strong> nyumba<br />

ifikapo 2012.<br />

- Kubaini na<br />

kutenga maeneo ya<br />

ufugaji nyuki<br />

ifikapo 2012.<br />

Mrefu • Kuainisha maeneo<br />

yanayofaa kujenga vituo<br />

vya kupokelea samaki.<br />

• Halmashauri kujenga vituo<br />

vidogo vya kupokelea<br />

samaki.<br />

• Halmashauri kuweka<br />

vifaa/mitambo<br />

inayohitajika.<br />

• Manispaa kujenga kituo cha<br />

kisasa cha kupokelea,<br />

kuuza na kuhifadhi samaki<br />

eneo la kivuko cha<br />

144<br />

Shangani.<br />

Kati • Kutoa elimu k<strong>wa</strong> jamii juu<br />

ya madhara yatokanayo na<br />

uvunaji <strong>wa</strong> matumbawe.<br />

• Kuhamasisha utumiaji <strong>wa</strong><br />

mawe mbadala ya<br />

kutengenezea chokaa.<br />

• Kubaini <strong>wa</strong>chomaji chokaa<br />

k<strong>wa</strong> kutumia matumbawe<br />

na ku<strong>wa</strong>chukulia hatua za<br />

kisheria.<br />

Kati • Kuimarisha doria za mara<br />

k<strong>wa</strong> mara.<br />

• Kuhamasisha jamii kutumia<br />

njia mbadala kama<br />

matofali badala ya miti ya<br />

mikoko.<br />

• Kuimarisha kamati za vijiji<br />

za maliasili na mazingira.<br />

Kati • Kubainisha <strong>wa</strong>fugaji nyuki<br />

• Kutoa elimu ya ufugaji nyuki<br />

• Kuanzisha na kuendeleza<br />

vikundi vya ufugaji nyuki.<br />

• Kuchangia vifaa<br />

vinavyohitajika <strong>katika</strong><br />

shughuli za ufugaji nyuki.<br />

• Kutafiti soko la mazao ya<br />

nyuki.<br />

Halmashauri<br />

Serikali Kuu<br />

Wadau <strong>wa</strong><br />

maendeleo<br />

Jamii<br />

Halmashauri<br />

Serikali Kuu<br />

Wadau <strong>wa</strong><br />

maendeleo<br />

Jamii<br />

Halmashauri<br />

Serikali Kuu<br />

Wadau <strong>wa</strong><br />

maendeleo<br />

Jamii<br />

Halmashauri<br />

serikali Kuu<br />

<strong>wa</strong>dau <strong>wa</strong><br />

maendeleo<br />

Jamii


SN CHANGAMOTO/<br />

TATIZO<br />

b). Kilimo cha<br />

M<strong>wa</strong>ni<br />

c) Kilimo cha<br />

chaza<br />

d) Ufugaji <strong>wa</strong><br />

Kamba<br />

e) Unenepeshaji<br />

<strong>wa</strong> kaa<br />

f) Ufugaji <strong>wa</strong><br />

m<strong>wa</strong>tiko<br />

HATUA MUDA MKAKATI WA UTEKELEZAJI WAHUSIKA<br />

- Kuainisha maeneo<br />

yanayofaa k<strong>wa</strong><br />

kilimo cha<br />

m<strong>wa</strong>ni ifikapo<br />

2011.<br />

Kuainisha maeneo<br />

yanayofaa kufugia<br />

chaza<br />

Kuanisha maeneo<br />

yanayofaa ufugaji<br />

<strong>wa</strong> kamba<br />

Kubainisha na<br />

kutenga maeneo<br />

yanayofaa k<strong>wa</strong><br />

unenepeshaji kaa.<br />

Kati<br />

Kati<br />

Kati<br />

Kati<br />

145<br />

• Uhamasishaji jamii kuhusu<br />

kilimo cha m<strong>wa</strong>ni.<br />

• Kutoa elimu kuhusu kilimo<br />

cha kisasa cha m<strong>wa</strong>ni<br />

ambacho hutumia mawe<br />

na ‘’ruberbend’’ badala ya<br />

kamba na ‘’Pegs’’ vingingi.<br />

• Kutafuta soko nzuri la<br />

m<strong>wa</strong>ni<br />

• Kutafuta kampuni za<br />

kuwekeza kwenye kilimo<br />

cha m<strong>wa</strong>ni.<br />

• Kutoa elimu ya ufugaji <strong>wa</strong><br />

chazo.<br />

• Kutambua <strong>wa</strong>naohitaji<br />

kufuga chaza.<br />

• Kuanzisha vikundi vya<br />

ufugaji <strong>wa</strong> chaza<br />

• Kufungua akaunti benki<br />

• Kuanzisha mfuko <strong>wa</strong> Vikoba<br />

• Ku<strong>wa</strong>wezesha kuomba<br />

mikopo benki.<br />

• Kufanya ukaguzi hasusi <strong>wa</strong><br />

mazingira (SEA).<br />

• Kutoa elimu ya ufugaji<br />

kamba<br />

• Kufungua akaunti benki<br />

• Kuanzisha mfuko <strong>wa</strong><br />

Vikoba.<br />

• Kuanzisha vikundi vya<br />

<strong>wa</strong>fugaji kamba.<br />

• Kuomba mikopo <strong>katika</strong><br />

taasisi za fedha.<br />

• Uhamasishaji jamii juu ya<br />

unenepeshaji kaa.<br />

• Kubainisha maeneo ya<br />

ufugaji<br />

• Kuanzisha vikundi vya<br />

ufugaji<br />

• Vikundi kufungua Akaunti<br />

benki<br />

• Vikundi kuanzisha Ufuko<br />

Vikoba .<br />

• Vikundi kuandaa<br />

mchanganuo na kuomba<br />

fedha <strong>katika</strong> taasisi za<br />

fedha.<br />

Halmashauri<br />

Serikali Kuu<br />

Wadau <strong>wa</strong><br />

maendeleo<br />

Jamii<br />

Halmashauri<br />

Serikali Kuu<br />

Wadau <strong>wa</strong><br />

maendeleo<br />

Jamii<br />

Halmashauri<br />

Serikali Kuu<br />

Wadau <strong>wa</strong><br />

maendeleo<br />

Jamii<br />

Halmashauri<br />

Serikali Kuu<br />

Wadau <strong>wa</strong><br />

maendeleo<br />

Jamii


SN CHANGAMOTO/<br />

TATIZO<br />

8. Ushiriki mdogo<br />

<strong>wa</strong>jamii <strong>katika</strong><br />

usimamizi <strong>wa</strong><br />

rasilimali za<br />

p<strong>wa</strong>ni<br />

HATUA MUDA MKAKATI WA UTEKELEZAJI WAHUSIKA<br />

- Halmashauri<br />

kuainisha<br />

maeneo<br />

yanayofaa k<strong>wa</strong><br />

ufugaji <strong>wa</strong><br />

m<strong>wa</strong>tiko.<br />

• Jamii ya<br />

m<strong>wa</strong>mbao<br />

ihamasiwe<br />

kushiriki <strong>katika</strong><br />

shughuli za<br />

usimamizi <strong>wa</strong><br />

rasilimali za p<strong>wa</strong>ni<br />

k<strong>wa</strong> ki<strong>wa</strong>ngo cha<br />

80% ifikapo 2012.<br />

• Uanzish<strong>wa</strong>ji <strong>wa</strong><br />

BMUs (Vikundi<br />

vya usimamizi<br />

shirikishi <strong>wa</strong><br />

rasilimali za p<strong>wa</strong>ni)<br />

<strong>katika</strong> vijiji na<br />

mitaa yote<br />

Kati • Kubaini maeneo yanayofaa<br />

kufugia m<strong>wa</strong>tiko.<br />

• Uhamasishaji ufugaji <strong>wa</strong><br />

m<strong>wa</strong>tiko <strong>katika</strong> mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong>.<br />

• Kutoa elimu ya ufugaji<br />

m<strong>wa</strong>tiko<br />

• Halmashauri kuanzisha<br />

mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> ya mfano ya<br />

ufugaji samaki <strong>katika</strong><br />

maeneo yanayofaa.<br />

• Kuanzisha vikungi vya<br />

ufugaji M<strong>wa</strong>tiko na<br />

kuvisajili.<br />

• Kufungua akaunti benki.<br />

• Kuanzisha mfuko <strong>wa</strong> Akiba<br />

Vikoba<br />

• Kuomba mkopo benki<br />

Mrefu • Jamii ihamasiwe k<strong>wa</strong><br />

kupe<strong>wa</strong> elimu ya usimamizi<br />

<strong>wa</strong> rasilimali za p<strong>wa</strong>ni.<br />

• Wa<strong>wa</strong>kilishi <strong>wa</strong> jamii<br />

<strong>wa</strong>andaliwe safari ya<br />

mafunzo k<strong>wa</strong> kutembelea<br />

maeneo yenye m<strong>wa</strong>mko na<br />

uzoefu <strong>wa</strong> usimamizi <strong>wa</strong><br />

rasilimali za p<strong>wa</strong>ni kama<br />

mafia, Tanga.<br />

• Uanzish<strong>wa</strong>ji <strong>wa</strong> BMUs <strong>katika</strong><br />

vijiji na mitaa.<br />

• Uandaaji <strong>wa</strong> majukumu ya<br />

BMUs<br />

• BMUs kuipe<strong>wa</strong> mafunzo ya<br />

usimamizi <strong>wa</strong> rasilimali za<br />

p<strong>wa</strong>ni.<br />

• BMUs kuandaa mpango<br />

kazi.<br />

• BMUs kutekeleza mpango<br />

kazi.<br />

146<br />

Halmashauri<br />

serikali Kuu<br />

<strong>wa</strong>dau <strong>wa</strong><br />

maendeleo<br />

Jamii<br />

Halmashauri<br />

serikali Kuu<br />

<strong>wa</strong>dau <strong>wa</strong><br />

maendeleo<br />

Jamii


SN CHANGAMOTO/<br />

TATIZO<br />

9. Uharibifu <strong>wa</strong><br />

fukwe<br />

a) Uchimbaji<br />

mchanga na<br />

mawe<br />

b). Uchafuzi <strong>wa</strong><br />

fukwe<br />

10. Ukosefu <strong>wa</strong><br />

mitaji<br />

HATUA MUDA MKAKATI WA UTEKELEZAJI WAHUSIKA<br />

Kubainisha maeneo<br />

ya fukwe<br />

yaliyochafuli<strong>wa</strong> na<br />

kuharibi<strong>wa</strong> hadi<br />

ifikapo 2011.<br />

• Wavuvi kujiunga<br />

<strong>katika</strong> vikundi na<br />

kujisajili ifikapo<br />

2011.<br />

Mfupi<br />

Mfupi<br />

147<br />

• Kutoa tamko na kupiga<br />

marufuku uchimbaji <strong>wa</strong><br />

mahanga na mawe <strong>katika</strong><br />

maeneo ya fukwe.<br />

• Kukarabati maeneo yote ya<br />

fukwe yaliyoharibi<strong>wa</strong>.<br />

• Kusafisha k<strong>wa</strong> kuondoa<br />

uchafu wote unaozagaa<br />

kwenye fukwe.<br />

• Kushirikiana na Idara ya<br />

Afya <strong>katika</strong> kutoa Elimu ya<br />

usafi <strong>wa</strong> mazingira.<br />

• Kuweka mabango<br />

yanayozua shughuli zote<br />

zinazochafua fukwe.<br />

• Kuweka ulinzi <strong>katika</strong><br />

sehemu za fukwe.<br />

- Kati • Uhamasishaji <strong>wa</strong> <strong>wa</strong>vuvi<br />

kujiunga <strong>katika</strong> vikundi na<br />

kujisajili na kuanzisha umoja<br />

<strong>wa</strong> kuweka na kukopa<br />

Vikoba.<br />

• Vikundi kufungua akaunti za<br />

kuweka akiba<br />

• Vikundi kujiunga pamoja na<br />

kuanzisha SACCOS.<br />

• Vikundi kuomba mikopo<br />

benki kupitia SACCOS zao.<br />

Halmashauri<br />

Jamii<br />

Halmashauri<br />

Jamii<br />

Taasisi za<br />

fedha.


1 UTANGULIZI<br />

TAARIFA YA MAPENDEKEZO YA MIKAKATI YA<br />

KUENDELEZA SEKTA YA UVUVI<br />

MKOA WA LINDI<br />

Chimbuko la Mkoa <strong>wa</strong> Lindi la kuona umuhimu <strong>wa</strong> kuandaa mapendekezo ya mikakati<br />

ya kuendeleza Sekta ya Uvuvi ndani ya Mkoa limetokana na Mkutano <strong>wa</strong> Taifa <strong>wa</strong><br />

Baraza la Biashara ulioitish<strong>wa</strong> na Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais <strong>wa</strong> Jamhuri ya<br />

Muungano <strong>wa</strong> Tanzania chini ya kauli mbiu ya KILIMO KWANZA. Katika kutekeleza<br />

maazimio ya Mkutano huo, ambayo yanahimiza kufanyika k<strong>wa</strong> mapinduzi <strong>katika</strong> Kilimo,<br />

Mifugo na Uvuvi hapa nchini, Mkoa <strong>wa</strong> Lindi umeitikia mwito huo vizuri. Mkoa<br />

umeitika k<strong>wa</strong> kujikita <strong>katika</strong> kuhakikisha ku<strong>wa</strong> Sekta ya Uvuvi inaendelez<strong>wa</strong> kikamilifu<br />

au kupata msukumo unaostahili.<br />

2 HALI HALISI YA UVUVI YA MKOA<br />

Mkoa <strong>wa</strong> Lindi una ukanda <strong>wa</strong> bahari usiopungua urefu <strong>wa</strong> km. 285 ukiambaa kutoka<br />

Kijiji cha Sudi Kusini m<strong>wa</strong> Wilaya Lindi mpaka Kijiji cha Marendego Kaskazini m<strong>wa</strong><br />

Wilaya ya Kil<strong>wa</strong>. Ukanda huu <strong>wa</strong> Bahari, fukwe nyingi zinafaa k<strong>wa</strong> ufugaji <strong>wa</strong> viumbe<br />

vya majini kama vile Samaki, Kaa, Chaza, kilimo cha M<strong>wa</strong>ni n.k. Vilevile Mkoa una<br />

jumla hekta 10,275 zinazofaa k<strong>wa</strong> um<strong>wa</strong>giliaji hali kadhalika k<strong>wa</strong> ufugaji samaki <strong>wa</strong><br />

maji baridi. Wananchi <strong>wa</strong>ishio <strong>katika</strong> ukanda huo shughuli zao kub<strong>wa</strong> za ku<strong>wa</strong>ingizia<br />

kipato hutokana na uvuvi. Uvuvi ambao hutumia zana, vyombo na teknologia duni,<br />

hivyo kulazimika kuvua karibu na p<strong>wa</strong>ni (inshore <strong>wa</strong>ter). Vyombo vinavyotumika<br />

<strong>katika</strong> uvuvi ni mashua, <strong>mada</strong>u, ngala<strong>wa</strong> na mitumbwi (dugout conoes). Vyombo hivi<br />

huendesh<strong>wa</strong> aidha k<strong>wa</strong> matanga (Upepo) au k<strong>wa</strong> makasia. Mkoa una jumla ya<br />

vyombo 1,308 na <strong>wa</strong>vuvi wenye leseni ni 2,811. Zana za uvuvi <strong>wa</strong>nazotumia pia ni<br />

duni k<strong>wa</strong> mfano madema, <strong>wa</strong>ndo, zurumati, mishipi ya mkononi, nyavu ndogo za jarife<br />

na nyavu za kilindini za kuzungusha makundi ya samaki (Purse-seines), vimia na nyavu<br />

za dagaa.<br />

Uvuvi mdogomdogo hutoa asilimia 98 ya pato la mkoa. Aidha, uvuvi <strong>wa</strong> bahari hutoa<br />

asilimia 94 k<strong>wa</strong> samaki wote <strong>wa</strong>naovuli<strong>wa</strong> mkoani. Inakadiri<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong>mba asilimia 50 –<br />

70 ya <strong>wa</strong>kazi <strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>mbao na asilimia 30 – 45 ya <strong>wa</strong>kazi <strong>wa</strong> mbali na bahari<br />

<strong>wa</strong>nategemea protini itokanayo na samaki. Ulaji <strong>wa</strong> samaki k<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka k<strong>wa</strong> kila mtu<br />

(per capita) ni kgs. 8 – 12.<br />

Uvuvi <strong>wa</strong> maji baridi huchangia asilimia 5 ya uvuvi wote unaofanyika k<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka,<br />

Uvuvi huu hufanyika <strong>katika</strong> mito mazi<strong>wa</strong> madogo mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> ya asili na mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> ya<br />

kuchimba. Aina ya samaki <strong>wa</strong>naovuli<strong>wa</strong> ni Tilapia na Kambale. Mkoa una jumla ya<br />

mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> ya kuchimba ya kufugia samaki 202.<br />

148


3 MIKAKATI INAYOPENDEKEZWA<br />

Ni ukweli usiopingika ku<strong>wa</strong> <strong>sekta</strong> ya uvuvi hapa nchini inahitaji mikakati madhubuti ya<br />

kuiendeleza kutokana na ku<strong>wa</strong> ni <strong>sekta</strong> inayo kabili<strong>wa</strong> na matatizo mengi. Hivyo si<br />

vizuri kuainisha mikakati tu bila kuonesha tatizo lililopelekea Mkoa ku<strong>wa</strong> na mkakati<br />

husika.<br />

Jed<strong>wa</strong>li lifuatalo hapo chini ni mapendekezo ya mikakati ya Mkoa <strong>wa</strong> Lindi ya<br />

kuendeleza <strong>sekta</strong> ya Uvuvi pamoja na matatizo / sababu iliyopelekea ku<strong>wa</strong> na mkakati<br />

husika:-<br />

TATIZO MKAKATI UTEKELEZAJI<br />

• Matumizi ya zana<br />

duni za kuvulia<br />

samaki.<br />

• Uharibifu <strong>wa</strong><br />

mazingira ya<br />

bahari.<br />

• Kuhakikisha kuund<strong>wa</strong><br />

vikundi k<strong>wa</strong> ajili ya<br />

kupata zana bora za<br />

kisasa.<br />

• Kuhamasisha <strong>wa</strong>fanya<br />

biashara kufungua<br />

maduka ya zana bora za<br />

uvuvi <strong>katika</strong> Mkoa.<br />

• Kuhamasisha/kuendeleza<br />

utunzaji <strong>wa</strong> mazingira ya<br />

bahari.<br />

• Uvuvi haramu • Kusimamia utekelezaji<br />

<strong>wa</strong> Sheria Na. 22 ya<br />

uvuvi ya m<strong>wa</strong>ka 2003 na<br />

kanuni zake.<br />

• Ukosefu <strong>wa</strong> mitaji<br />

ya kununulia zana<br />

za uvuvi.<br />

• Uzalishaji mdogo<br />

<strong>wa</strong> zao la m<strong>wa</strong>ni.<br />

• Kuishawishi wizara<br />

kuzuia vi<strong>wa</strong>nda<br />

kutongengeneza zana<br />

haramu za uvuvi.<br />

• Ku<strong>wa</strong>wezesha <strong>wa</strong>vuvi<br />

kupata mitaji ya<br />

kununulia zana za uvuvi.<br />

• Kuongeza uzalishaji <strong>wa</strong><br />

m<strong>wa</strong>ni kutoka tani 363.5<br />

149<br />

• Wavuvi <strong>wa</strong>jiunge k<strong>wa</strong> pamoja<br />

<strong>katika</strong> vikundi ili kutunisha mitaji<br />

yao pamoja na kupata ushauri<br />

kupitia <strong>wa</strong>dau <strong>wa</strong> <strong>sekta</strong> namna<br />

ya kupata zana bora za uvuvi.<br />

• Wafanya biashara kuwekeza<br />

<strong>katika</strong> kuuza na kusambaza zana<br />

bora za uvuvi<br />

• Uundaji <strong>wa</strong> vikundi vya ulinzi<br />

shirikishi <strong>wa</strong> rasilimali ya bahari<br />

(BMU).<br />

• Kuanzisha mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> ya kufugia<br />

samaki badala ya kutegemea<br />

bahari.<br />

• Kufanya doria baharini.<br />

• Kutoa elimu ya uvuvi endelevu.<br />

• Kuziwezesha Halmashauri/BMU<br />

kupata zana za kufanyia doria.<br />

• Ku<strong>wa</strong>unganisha <strong>wa</strong>vuvi, vikundi<br />

vya <strong>wa</strong>vuvi na taasisi zinazotoa<br />

mikopo ili kupata mikopo ya zana<br />

bora za uvuvi.<br />

• Kuanzisha SACCOS za <strong>wa</strong>vuvi.<br />

• Kutoa elimu ya uzalishaji bora <strong>wa</strong><br />

m<strong>wa</strong>ni na namna ya kudhibiti


TATIZO MKAKATI UTEKELEZAJI<br />

• Wkulima <strong>wa</strong> M<strong>wa</strong>ni<br />

kutegemea<br />

pembejeo kutoka<br />

k<strong>wa</strong> makampuni/<br />

<strong>wa</strong>nunuzi<br />

• Uele<strong>wa</strong> mdogo <strong>wa</strong><br />

jamii kuhusu<br />

ufugaji <strong>wa</strong> samaki<br />

na viumbe wengine<br />

<strong>wa</strong> majini<br />

• Uwekezaji mdogo<br />

<strong>katika</strong> Sekta ya<br />

Uvuvi<br />

• Ukosefu <strong>wa</strong> mbegu<br />

bora (Vifaranga) za<br />

samaki<br />

• Ukosefu <strong>wa</strong> vituo<br />

vya utafiti <strong>wa</strong> uvuvi<br />

• Ukosefu <strong>wa</strong><br />

masoko ya uhakika<br />

ya mazao ya<br />

uvuvi/samaki<br />

za sasa hadi tani 1200<br />

k<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka.<br />

• Kuhamasisha <strong>wa</strong>kulima<br />

<strong>wa</strong> M<strong>wa</strong>ni kujitegemea<br />

k<strong>wa</strong> pembejeo<br />

• Kuhamasisha ufugaji <strong>wa</strong><br />

samaki <strong>wa</strong> maji chumvi<br />

na baridi naviumbe<br />

wengine <strong>wa</strong> majini.<br />

• Kuhamasisha Sekta<br />

binafsi kuanzisha maduka<br />

ya zana bora za uvuvi na<br />

vi<strong>wa</strong>nda vikub<strong>wa</strong> na<br />

vidogo vya uchakataji<br />

mazao ya bahari<br />

• Kuhakikisha upatikanaji<br />

mbegu bora za samaki<br />

(vifaranga)<br />

• Kuishawishi Wizara ya<br />

Maendeleo Mifugo na<br />

Uvuvi ku<strong>wa</strong> na tawi la<br />

Kituo cha utafiti cha<br />

kanda<br />

• Kuboresha masoko<br />

yaliyopo na kuanzisha<br />

mapya/mengine.<br />

150<br />

magonj<strong>wa</strong>.<br />

• Wakulima <strong>wa</strong> M<strong>wa</strong>ni<br />

<strong>wa</strong>unganishwe na taasisi za<br />

fedha ili ku<strong>wa</strong>wezesha kupata<br />

mikopo k<strong>wa</strong> ajili ya uzalishaji.<br />

• Wakulima <strong>wa</strong> M<strong>wa</strong>ni<br />

<strong>wa</strong>unganishwe na taasisi za<br />

fedha ili ku<strong>wa</strong>wezesha kupata<br />

mikopo k<strong>wa</strong> ajili ya uzalishaji.<br />

• Kutoa elimu k<strong>wa</strong> jamii kuhusu<br />

ufugaji <strong>wa</strong> samaki.<br />

• Kuanzisha mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> darasa<br />

• Kuanzisha maduka ya kuuza<br />

vifaa na zana za uvuvi.<br />

• Kuanzisha vi<strong>wa</strong>nda vidodgo vya<br />

kununulia mazao ya bahari<br />

• Kuimarisha miundombinu ya maji<br />

na umeme<br />

• Wakulima/<strong>wa</strong>fugaji <strong>wa</strong> samaki<br />

<strong>wa</strong>hakikishe ku<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>naandaa<br />

mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> madogo k<strong>wa</strong> ajili ya<br />

kuzalisha mbegu<br />

• Vituo/Mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> darasa ya<br />

ufugaji samaki yaliyopo kwenye<br />

Halmashauri yafufuliwe na<br />

kuimarish<strong>wa</strong> ili yawe ni maeneo<br />

ya kujifunza na chanzo kizuri cha<br />

mbegu k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>fugaji<br />

• Kutumia kituo cha uzalishaji<br />

mbegu bora (Mtama) kusambaza<br />

mbegu<br />

• Wizara kuanzisha tawi la Kituo<br />

cha Utafiti <strong>wa</strong> Uvuvi (TARIFI)<br />

• Halmashauri kuboresha masoko<br />

yaliyopo na kuanzisha mapya.<br />

• Wavuvi kutumia masoko rasmi


TATIZO MKAKATI UTEKELEZAJI<br />

• Kuhamasisha <strong>wa</strong>vuvi<br />

• Ukosefu <strong>wa</strong> Kituo •<br />

kutumia masoko yaliyopo<br />

Mkoa kushawishi Wizara<br />

cha Utafiti.<br />

inayohusikaa na masuala<br />

ya Uvuvi kuanzisha tawi<br />

la kituo cha Utafiti cha<br />

Kanda.<br />

• Ubora <strong>wa</strong> Samaki • Kuhakikisha zinapatkana<br />

mbinu bora za uhifadhi<br />

<strong>wa</strong> mazao ya uvuvi tokea<br />

samaki anvuli<strong>wa</strong> mpaka<br />

anafika k<strong>wa</strong> mlaji (Post<br />

harvest loss) kama vile<br />

Elimu, Zana bora za<br />

kuhifadhia, utumiaji <strong>wa</strong><br />

vituo vya barafu vya<br />

• Upungufu <strong>wa</strong> •<br />

Serikali.<br />

Kufikisha huduma bora<br />

<strong>wa</strong>tumishi<br />

vitendea kazi.<br />

na k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>vuvi.<br />

• Kuajiri <strong>wa</strong>tumishi zaidi,<br />

kuendeleza kielimu<br />

<strong>wa</strong>tumishi <strong>wa</strong>liopo na<br />

kuongeza vitendea kazi<br />

k..m. Ofisi, nyumba za<br />

<strong>wa</strong>tumishi, usafiri (boti,<br />

pikipiki,<br />

n.k.).<br />

gari, baikseli<br />

2. UDHIBITI WA UVUVI NA BIASHARA HARAMU<br />

151<br />

yaliopo na yatakayaanzish<strong>wa</strong><br />

• Serikali kuimarisha vituo<br />

vilivyopo na kukaribisha<br />

<strong>wa</strong>wekezaji kujenga mitambo ya<br />

barafu kila sehemu ya kupokelea<br />

samki (Landingsite) na kwenye<br />

masoko.<br />

• Mkoa kuajiri <strong>wa</strong>tumishi <strong>wa</strong><br />

kutosha pamoja na ku<strong>wa</strong>patia<br />

elimu zaidi na vitendea kazi.<br />

Mkoa unadhibiti uvuvi haramu k<strong>wa</strong> kila wilaya kufanya doria za mara k<strong>wa</strong> mara za<br />

baharini na nchi kavu ikishirikiana na Idara za Uvuvi za kila wilaya, vyombo vya Ulinzi<br />

na Usalama na Kamati Ndogo ndogo za Maliasili na Mazingira za kila kijiji. Vile vile<br />

Idara za Uvuvi za Wilaya zinatoa elimu ya uvuvi endelevu ya utunzaji <strong>wa</strong> Rasilimali ya<br />

Ukanda <strong>wa</strong> P<strong>wa</strong>ni. Aidha, mkoa umetekeleza Sheria Na. 22 ya m<strong>wa</strong>ka 2003 na Kanuni<br />

za Uvuvi Na. 314 za m<strong>wa</strong>ka 2005 za uanzish<strong>wa</strong>ji <strong>wa</strong> vikundi vya usimamizi shirikishi<br />

<strong>wa</strong> mazingira na rasilimali za uvuvi zinazound<strong>wa</strong> na <strong>wa</strong>navijiji wenyewe (BMUs)<br />

ambapo mafunzo ya a<strong>wa</strong>li yameshatole<strong>wa</strong>. BMUs zimepe<strong>wa</strong> mafunzo na zimepe<strong>wa</strong><br />

mamlaka ya kutunga sheria ndogondogo.<br />

Mkoa unakabili<strong>wa</strong> na changamoto zifuatazo <strong>katika</strong> suala la kudhibiti uvuvi na biashara<br />

haramu:-


(i) Doria inahitaji pesa nyingi k.m. gari/boti, mafuta, Polisi na Maafisa Uvuvi.<br />

(ii) Zana potofu kuhusu uanzishaji <strong>wa</strong> vikundi vya ulinzi shirikishi za vijiji (BMU)<br />

ku<strong>wa</strong> bahari inauz<strong>wa</strong> hasa <strong>katika</strong> Wilaya ya Kil<strong>wa</strong>.<br />

(iii) Zana duni za uvuvi na kukithiri k<strong>wa</strong> zana haramu za uvuvi.<br />

(iv) Matumizi yasiyo sahihi ya malighafi kutengeneza zana za uvuvi, mfano<br />

mshipi <strong>wa</strong> monofilament kutumika kutengeneza nyavu.<br />

(v) Uhaba <strong>wa</strong> vitendekea kazi.<br />

3. UPATIKANAJI NA USAMBAZAJI WA ZANA BORA ZA UVUVI<br />

Mkoa <strong>wa</strong> Lindi hauna zana bora za uvuvi, hii inatokana na <strong>wa</strong>vuvi ku<strong>wa</strong> na kipato<br />

kidogo na hivyo kushind<strong>wa</strong> kumudu kununua zana zilizo bora. Vilevile hakuna maduka<br />

ya zana bora za uvuvi. Zana zinazopatikana ni za asili na duni kama vile ngala<strong>wa</strong>,<br />

mitumbwi, mashua na nyavu ndogo. Hakuna utaratibu rasmi uliowek<strong>wa</strong> <strong>wa</strong><br />

upatikanaji <strong>wa</strong> zana bora za uvuvi k<strong>wa</strong> mvuvi, uliopo ni ule <strong>wa</strong> zana duni ambapo<br />

mvuvi anajitengenezea mwenyewe au kutafuta mafundi. Lakini pamoja na<br />

hujitengenezea mwenyewe, vyombo hivi lazima visajiliwe na leseni zitolewe kabla<br />

havijaanza kutumi<strong>wa</strong>. Idadi ya vyombo vilivyosajili<strong>wa</strong> <strong>katika</strong> Mkoa <strong>wa</strong> Lindi ni 1,308<br />

na <strong>wa</strong>vuvi wenye leseni ni 2,811. Pamoja na idadi hii Mkoa unahitaji ongezeko la<br />

vyombo vya uvuvi kufikia 2,500 na <strong>wa</strong>vuvi 4,000.<br />

Mkoa unakabili<strong>wa</strong> na changamoto zifuatazo <strong>katika</strong> suala la upatikanaji <strong>wa</strong> zana bora za<br />

uvuvi:-<br />

(i) Ukosefu <strong>wa</strong> maduka ya vifaa bora vya uvuvi.<br />

(ii) Elimu ya uvuvi bora/endelevu bado ipo <strong>katika</strong> ki<strong>wa</strong>ngo cha chini miongoni<br />

<strong>wa</strong>vuvi<br />

(iii) Hakuna uvuvi endelevu<br />

(iv) Soko lililopo halitoshelezi, hivyo mvuvi k<strong>wa</strong> na kipato kidogo hatimae<br />

kushind<strong>wa</strong> kumudu kununua zana bora,<br />

(v) Matumizi yasiyo sahihi ya malighafi ya kutengeneza zana bora za uvuvi<br />

(vi) Ukosefu <strong>wa</strong> vyama vya Kuweka na Kukopa (SACCOs) vya Wavuvi.<br />

4. HALI YA HUDUMA ZA UGANI<br />

Huduma za ugani zipo lakini hazifanyiki ipasavyo. Hii inatokana na uhaba <strong>wa</strong> vitendea<br />

kazi (magari, boti, pikipiki na baiskeli n.k.) na uchache <strong>wa</strong> <strong>wa</strong>tumishi. Idadi ya<br />

<strong>wa</strong>tumishi kwenye Mkoa ni 32 na <strong>wa</strong>tumishi <strong>wa</strong>naohitaika kimkoa ni 50. Watumishi<br />

ha<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>chache hupim<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> utaratibu <strong>wa</strong> OPRAS. Aidha, mikakati ya kuendeleza<br />

huduma za kitaalamu k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>vuvi ni kama ilivyoainish<strong>wa</strong> <strong>katika</strong> mikakati ya mkoa.<br />

Kutokana na mahitaji ya <strong>wa</strong>taalam ku<strong>wa</strong> makub<strong>wa</strong> kuliko uwezo <strong>wa</strong> Serikali, Mkoa<br />

unashirikiana na <strong>wa</strong>taalam pamoja na BMUs kuziba pengo la kitaalamu.<br />

5. UFUGAJI SAMAKI NA VIUMBE WENGINE WA MAJINI<br />

152


Ufugaji <strong>katika</strong> Mkoa <strong>wa</strong> Lindi upo ambapo Mkoa una jumla ya mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> 202. Kati ya<br />

mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> haya yapo ya <strong>wa</strong>navikundi na <strong>wa</strong>tu binafsi. Uhamasishaji <strong>wa</strong> ukuzaji<br />

viumbe wengine kwenye mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> kama vile kaa, chaza <strong>wa</strong> lulu, unaendelea ambapo<br />

tayari vijiji viwili <strong>katika</strong> wilaya ya Kil<strong>wa</strong> vipo <strong>katika</strong> mpango <strong>wa</strong> kukuza chaza <strong>wa</strong> lulu.<br />

Wakulima <strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ni <strong>wa</strong>po na <strong>wa</strong>nanchi wengine <strong>wa</strong>naendelea kuhamasika na<br />

ukulima <strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ni.<br />

Mkoa unaendelea kuhamasisha jamii kufuga samaki na viumbe wengine <strong>wa</strong> majini<br />

k<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong> <strong>katika</strong> vikundi vinavyounganisha <strong>wa</strong>fugaji badala ya kikundi kimoja ku<strong>wa</strong> au<br />

kumiliki b<strong>wa</strong><strong>wa</strong> moja.<br />

Changamoto zilizopo <strong>katika</strong> ufugaji samaki na viumbe wengine kwenye maji ni pamoja<br />

na:-<br />

(i) Huduma za ugani na ushauri ku<strong>wa</strong> finyu kutokana na uhaba <strong>wa</strong> <strong>wa</strong>tumishi<br />

na vitendea kazi.<br />

(ii) Mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> mengi ku<strong>wa</strong> mbali na nyumbani hivyo ku<strong>wa</strong> vigumu k<strong>wa</strong> mmiliki<br />

kutunza ipasavo kuimalisha ulinzi.<br />

(iii) Gharama kub<strong>wa</strong> za upatikanaji na uandaaji <strong>wa</strong> chakula cha ziada cha<br />

samaki.<br />

(iv) Ukataji <strong>wa</strong> mikoko na uharibifu <strong>wa</strong> mazingira.<br />

(v) Ubadilishaji <strong>wa</strong> matumizi ya mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> ya samaki ku<strong>wa</strong> ya chumvi.<br />

(vi) Fikra potofu za <strong>wa</strong>fugaji ku<strong>wa</strong> kila kitu kinafany<strong>wa</strong> na Serikali/Taasisi (fikra<br />

tegemezi).<br />

(vii) Tatizo la ukame na mabadiliko ya hali ya he<strong>wa</strong>.<br />

(viii) Wizi <strong>wa</strong> samaki na kamba za m<strong>wa</strong>ni.<br />

(ix) Magonj<strong>wa</strong> ya m<strong>wa</strong>ni.<br />

(x) Upatikanaji <strong>wa</strong> mbegu bora/vifaranga vya samaki.<br />

(xi) Gharama kub<strong>wa</strong> za uchimbaji mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> ya samaki k<strong>wa</strong> mtu <strong>wa</strong> ka<strong>wa</strong>ida.<br />

(xii) Utoaji <strong>wa</strong> pembejeo k<strong>wa</strong> ajili ya kilimo cha M<strong>wa</strong>ni kunakofany<strong>wa</strong> na<br />

<strong>wa</strong>nunuzi <strong>wa</strong> M<strong>wa</strong>ni k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>kulima kunaharibu zana ya soko huria na<br />

kumdhalilisha mkulima.<br />

6. MFUMO WA MASOKO YA SAMAKI NA VYOMBO VYA MIKOPO<br />

Mkoa una masoko (Stracture without infrastructure) kila wilaya ambayo<br />

yanamwezesha mvuvi kuuza bidhaa zake. Pia, kuwepo k<strong>wa</strong> makampuni ya ununuzi<br />

<strong>wa</strong> mazao ya uvuvi kama vile TANPESCA, SEA PRODUCT, BAHARI FOOD<br />

kunamuwezesha mvuvi kupata soko. Mkoa <strong>wa</strong> Lindi una Hoteli za kitalii ambazo<br />

zinatumia mazao yatokanayo na uvuvi na kuboresha hali ya soko la samaki.<br />

Hadi sasa mkoa hauna Vyama vya Ushirika vya Kuweka na Kukopa (SACCOS) k<strong>wa</strong><br />

<strong>wa</strong>vuvi.<br />

7. MFUMO WA VYOMBO VYA MIKOPO<br />

Mpaka sasa Mkoa hauna vyombo/chombo hata kimoja ambacho ni chanzo cha mikopo<br />

k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>vuvi. Hata hivyo Mkoa una mkakati <strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong>unganisha <strong>wa</strong>vuvi, vikundi vya<br />

153


<strong>wa</strong>vuvi na taasisi fedha zinazotoa mikopo ili kupata mikopo itakayo saidia kuendeleza<br />

shughuli zao.<br />

8. MENGINEYO<br />

Mbinu za Kuleta Mageuzi ya Uvuvi <strong>katika</strong> Mkoa <strong>wa</strong> Lindi<br />

Uvuvi unaofanyika Mkoa <strong>wa</strong> Lindi ni <strong>wa</strong> kitoweo tu. Ili Sekta ya uvuvi iweze kuchangia<br />

<strong>katika</strong> kuongeza pato la m<strong>wa</strong>nanchi, Mkoa na Taifa k<strong>wa</strong> ujumla, mbinu zifuatazo<br />

zilipendekez<strong>wa</strong>:-<br />

(i) Uundaji <strong>wa</strong> vikundi<br />

Wavuvi <strong>wa</strong>unganishwe na vyombo vya fedha na <strong>wa</strong>endelee kuhamasish<strong>wa</strong> kujiunga<br />

<strong>katika</strong> vikundi ili <strong>wa</strong>weze kutunisha mitaji yao; kupata ushauri kupitia <strong>wa</strong>dau <strong>wa</strong> <strong>sekta</strong><br />

namna ya kupata zana bora za uvuvi hatimaye kuongeza idadi ya vyombo vya uvuvi<br />

kutoka 841 vya sasa hadi kufikia 1,500. Uzalishaji <strong>wa</strong> mazao ya bahari utaongezeka<br />

toka tani 385 hadi tani 1,800.<br />

(ii) Utunzaji <strong>wa</strong> mazingira ya bahari<br />

Mabonde yenye ukub<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> Ha.10,275 yanayofaa k<strong>wa</strong> um<strong>wa</strong>giliaji ambayo pia k<strong>wa</strong><br />

ufugaji samaki ni vema <strong>wa</strong>nanchi <strong>wa</strong> maeneo hayo <strong>wa</strong>kahamasish<strong>wa</strong> kufugaji samaki<br />

ili kupunguza ongezeko la uvuvi <strong>wa</strong> kwenye vyanzo vya asili kama vile Bahari, Mito na<br />

Mazi<strong>wa</strong>.<br />

Sheria ya uvuvi ya m<strong>wa</strong>ka 2003 itumike kikamilifu pamoja na kuanzisha kwenye Vijiji<br />

na Mitaa yote iliyopo kando kando m<strong>wa</strong> bahari ya Hindi eneo lote la mkoa vikundi vya<br />

ulinzi <strong>wa</strong> rasilimali ya bahari (BMUs), na elimu ya kuhifadhi mazingira. Vile vile, vijiji<br />

vitunge Sheria ndogo za udhibiti <strong>wa</strong> uvuvi haramu kwenye mito, mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> na bahari.<br />

(iii) Mitaji <strong>katika</strong> <strong>sekta</strong> ya uvuvi<br />

Ku<strong>wa</strong>patia mikopo na zana za uvuvi Wavuvi <strong>katika</strong> <strong>sekta</strong> ya Uvuvi. Aidha, <strong>wa</strong>vuvi nao<br />

kuanzisha SACCOs za uvuvi ili kusaidia <strong>wa</strong>nachama <strong>wa</strong>o. Sekta binafsi ihamasishwe<br />

kuwekeza <strong>katika</strong> vi<strong>wa</strong>nda vidogo vya uchakataji <strong>wa</strong> mazao ya bahari (pweza, kamba,<br />

ngisi, na samaki <strong>wa</strong>kub<strong>wa</strong>), kuanzisha maduka ya kuuza vifaa na zana za uvuvi, na<br />

uanzishaji <strong>wa</strong> maduka ya kisasa ya kuuza samaki.<br />

154


155


Mazalia ya Samaki<br />

156


TAARIFA YA SEKTA YA MAENDELEO YA UVUVI<br />

MKOA WA PWANI<br />

PROGRAMU NA MKAKATI WA MKOA WA PWANI KATIKA KUENDELEZA<br />

SEKTA YA UVUVI NA USIMAMIZI WA MATUMIZI ENDELEVU YA<br />

RASILIMALI ZA UVUVI<br />

1.0 UTANGULIZI<br />

Mkoa <strong>wa</strong> P<strong>wa</strong>ni upo Mashariki m<strong>wa</strong> Tanzania bara, sehemu kub<strong>wa</strong> iki<strong>wa</strong> <strong>katika</strong><br />

Ukanda <strong>wa</strong> Bahari ya Hindi kati ya Latitudi 6 0 na 8 0 kusini m<strong>wa</strong> Ikweta na longitudi<br />

37 0 30 0 na 40 0 Mashariki m<strong>wa</strong> Griniwichi.<br />

Mkoa unapakana na Mkoa <strong>wa</strong> Tanga k<strong>wa</strong> upande <strong>wa</strong> Kaskazini, Morogoro upande<br />

<strong>wa</strong> Mashariki, Lindi upande <strong>wa</strong> Kusini na Dar es salaam na Bahari ya Hindi k<strong>wa</strong><br />

upande <strong>wa</strong> Mashariki.<br />

Mkoa una eneo lenye ukub<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> kilomita za mraba 33,539, ambapo kati ya hizo<br />

kilomita za mraba 32,407 sa<strong>wa</strong> na 96.6% ni eneo la nchi kavu <strong>wa</strong>kati kilomita za<br />

mraba 1,132 sa<strong>wa</strong> na asilimia 3.4 ni eneo la maji kama Jed<strong>wa</strong>li Na.1 linavyoonesha<br />

hapa chini:<br />

Jed<strong>wa</strong>li Na. 1: Mga<strong>wa</strong>nyo <strong>wa</strong> Eneo la Ardhi na Maji <strong>katika</strong> Mkoa <strong>wa</strong> P<strong>wa</strong>ni<br />

Wilaya Eneo (KM 2 ) % ya Eneo<br />

Bagamoyo 9,842 29.3<br />

Kibaha 1,812 5.4<br />

Kisarawe 4,464 13.3<br />

Mkuranga 2,432 7.3<br />

Rufiji 13,339 39.8<br />

Mafia 518 1.5<br />

Eneo la Maji 1,132 3.4<br />

JUMLA 33,539 100<br />

Kiuta<strong>wa</strong>la, Mkoa unazo Wilaya 6 (Kama inavyoonekana kwenye Jed<strong>wa</strong>li Na.1 hapo<br />

juu) zenye jumla ya Halmashauri saba. Halmashauri ya saba inatokana na Wilaya ya<br />

Kibaha ku<strong>wa</strong> na Halmashauri ya Mji Kibaha. Aidha, Wilaya zimega<strong>wa</strong>nyika <strong>katika</strong><br />

Tarafa 25, Kata 84 zenye jumla ya Mitaa 53, Vijiji 417 na Vitongoji 1984.<br />

K<strong>wa</strong> mujibu <strong>wa</strong> takwimu zilizopo, Mkoa k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>kati huu unakadiri<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong> na <strong>wa</strong>tu<br />

1,014,968 kutokana na ongezeko la <strong>wa</strong>tu la asilimia 2.4 kila m<strong>wa</strong>ka. Ongezeko<br />

hili ni k<strong>wa</strong> kurejea sensa ya <strong>wa</strong>tu na makazi iliyofanyika mwezi Agosti, 2002. K<strong>wa</strong><br />

mujibu <strong>wa</strong> sensa hiyo, Mkoa <strong>wa</strong> P<strong>wa</strong>ni k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>kati huo uliku<strong>wa</strong> na jumla ya <strong>wa</strong>tu<br />

885,017.<br />

157


N<br />

A.<br />

Uvuvi k<strong>wa</strong> Ujumla<br />

Uvuvi ni moja<strong>wa</strong>po ya shughuli muhimu za kiuchumi Mkoani P<strong>wa</strong>ni hususan <strong>katika</strong><br />

Wilaya za Bagamoyo, Mafia, Mkuranga na Rufiji ambazo zimepakana na Bahari ya<br />

Hindi. Wilaya hizo zina zaidi ya <strong>wa</strong>nanchi 13,000 sa<strong>wa</strong> na asilimia 1.3<br />

<strong>wa</strong>naojishughulisha na uvuvi ambao <strong>wa</strong>meku<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>kizalisha <strong>wa</strong>stani <strong>wa</strong> tani<br />

47,035,252 kila m<strong>wa</strong>ka k<strong>wa</strong> kipindi cha 2005/06 hadi 2008/09. K<strong>wa</strong> kipindi cha<br />

2005/06 hadi 2008/09, Mkoa ulizalisha jumla ya tani za samaki 235,176.26 wenye<br />

thamani ya shilingi 940,704,000 kama Jed<strong>wa</strong>li Na. 2. linavyoonesha.<br />

Jed<strong>wa</strong>li na 2: Kiasi cha Thamani ya Samaki Waliovun<strong>wa</strong> 2005/06-<br />

2008/09<br />

WILAYA<br />

MWAKA<br />

2005/06 2006/07 2007/08 2008/09 JUMLA<br />

TANI/<br />

THAMANI<br />

1. Bagamoyo Tani 327 308 256 470 1,361<br />

Thamani 1,308,000 1,232,000 1,024,000 1,880,000 5,444,000<br />

2. Mafia Tani 34,892 43,529 48,001 85,100 211,522<br />

Thamani 139,568,000 174,116,000 192,004,000 340,400,000 846,088,000<br />

3. Mkuranga Tani 131 475 700 733 2,039<br />

Thamani 524,000,000 1,900,000 2,800,000 2,932,000 8,156,000<br />

4. Rufiji Tani 7,000 7,000 1,254 5,000 20,254<br />

Thamani 28,000,000 28,000,000 5,016,000 20,000,000 81,016,040<br />

JUMLA Tani 42,350 51,312 50,211 91,303 235,176<br />

Thamani 169,400,000 205,248,000 200,844,000 365,212,000 940,704,000<br />

Uzalishaji huu ni mbali na mazao ya Bahari tani 889,126 yenye thamani ya<br />

shilingi 1,778,252,000 yaliyosafirish<strong>wa</strong> nje kupitia Kampuni za TANPESCA,<br />

Bahari Food na Tanga Sea Products yakijumuisha Pweza tani 714,873, Ngisi<br />

tani 17,617, Kamba miti tani 155,371, na Kamba Kochi tani 1,265<br />

Uvuvi huo hufanyika k<strong>wa</strong> kutumia vyombo mbali mbali vipatavyo 2,594 iki<strong>wa</strong> ni<br />

pamoja na Mitumbwi ya ka<strong>wa</strong>ida na yenye injini, boti, <strong>mada</strong>u na ngala<strong>wa</strong>. Zana<br />

zinazotumika k<strong>wa</strong> wingi ni pamoja na nyavu, mishipi na madema kama jed<strong>wa</strong>li na 3<br />

linavyoonyesha.<br />

Jed<strong>wa</strong>li Na. 3: Idadi ya Wavuvi, Vyombo na Zana za Uvuvi<br />

Na Wilaya Idadi ya<br />

Zana Za Uvuvi<br />

Wavuvi Mitumbw Boti Madau Ngala<strong>wa</strong> Mitumbwi Madema Nyavu Mishipi<br />

i<br />

Itumiayo<br />

Injini<br />

1. Bagamoyo 2,017 12 23 34 70 32 20 259 604<br />

2. Kibaha –<br />

H/W<br />

38 - - - - - - - -<br />

3. Mafia 3,150 625 - - 320 - 50 3,180 -<br />

158


4. Mkuranga 3,569 347 - - 223 5 74 3,281 -<br />

5. Rufiji 4.435 830 12 8 6 47 20 15,847 -<br />

JUMLA 13,209 1,814 35 42 619 84 164 22,667 604<br />

Maeneo mengine ya uvuvi ni ya mito mikub<strong>wa</strong> ya Rufiji, Ruvu na Wami inayopita<br />

k<strong>wa</strong> sehemu kub<strong>wa</strong> <strong>katika</strong> wilaya za Rufiji, Kibaha na Bagamoyo. Aidha, Mkoa<br />

unayo mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> yasiyopungua 77 (Bagamoyo = 2; Halmashauri ya Wilaya Kibaha<br />

= 17; Mafia = 37; Mkuranga= 6 na Rufiji= 14) yanayotumika k<strong>wa</strong> shughuli za uvuvi<br />

mdogo.<br />

2.0 FURSA ZA SHUGHULI ZA UVUVI MKOANI PWANI.<br />

Mkoa unazo fursa mbali mbali za uvuvi ambazo zinaweza kutumi<strong>wa</strong> na jamii<br />

kuboresha maisha na kuinua uchumi k<strong>wa</strong> asilimia kub<strong>wa</strong>. Fursa hizo ni<br />

pamoja na:-<br />

Kuwepo k<strong>wa</strong> fukwe na ukanda <strong>wa</strong> Bahari wenye rasilimali za uvuvi<br />

iki<strong>wa</strong> ni pamoja na eneo la ukanda <strong>wa</strong> kiuchumi (Exclusive Economic<br />

Zone -EEZ) la urefu <strong>wa</strong> maili 200.<br />

Kuwepo k<strong>wa</strong> Mito 3 mikub<strong>wa</strong> ya Rufiji, Ruvu na Wami ambayo maji<br />

yake hutiririka kuelekea Baharini kupitia maeneo mbali mbali ya Mkoa,<br />

hivyo kuwezesha <strong>wa</strong>nanchi kutumia mito hiyo k<strong>wa</strong> shughuli mbali mbali<br />

za maendeleo iki<strong>wa</strong> ni pamoja na uvuvi.<br />

Kuwepo k<strong>wa</strong> mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> ya asili 77 ambayo yanaweza kutumi<strong>wa</strong> na<br />

jamii k<strong>wa</strong> shughuli za uvuvi wenye tija.<br />

Kuwepo k<strong>wa</strong> jamii ambayo ipo tayari kutumia rasilimali za uvuvi kama<br />

nguzo kuu ya kujikimu.<br />

Kuwepo k<strong>wa</strong> Sera, sheria, Kanuni na miongozo inayolenga <strong>katika</strong><br />

usimamizi na matumizi endelevu ya rasilimali za uvuvi.<br />

Kuwepo k<strong>wa</strong> Wizara yenye dhamana, Taasisi za Serikali, <strong>wa</strong>dau<br />

mbalimbali iki<strong>wa</strong> ni pamoja na <strong>wa</strong>hisani <strong>wa</strong>naohimiza usimamizi na<br />

matumizi endelevu ya rasilimali za uvuvi.<br />

Kuwepo k<strong>wa</strong> uta<strong>wa</strong>la bora na u<strong>wa</strong>jibikaji <strong>wa</strong> viongozi k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>nanchi.<br />

3.0 PROGRAMU YA MAENDELEO YA UVUVI<br />

Shughuli za Uvuvi Mkoani P<strong>wa</strong>ni ambazo zinalenga <strong>katika</strong> maendeleo endelevu<br />

zimeku<strong>wa</strong> zikifanyika k<strong>wa</strong> kuzingatia sheria ya Uvuvi Na. 22 ya m<strong>wa</strong>ka 2003, kanuni<br />

za uvuvi za m<strong>wa</strong>ka 2005, sera ya uvuvi ya m<strong>wa</strong>ka 1997 Ilani ya uchaguzi ya Chama<br />

Ta<strong>wa</strong>la, Chama cha Mapinduzi ya m<strong>wa</strong>ka 2005, Mkakati <strong>wa</strong> Kukuza Uchumi na<br />

Kupunguza Umaskini Tanzania (MKUKUTA) na malengo ya maendeleo ya Milenia ya<br />

m<strong>wa</strong>ka 2015 kama yalivyokubali<strong>wa</strong> <strong>katika</strong> <strong>mkutano</strong> <strong>wa</strong> viongozi ulimweguni mwezi<br />

Septemba m<strong>wa</strong>ka 2000.<br />

Aidha, mafanikio ya shughuli za uvuvi Mkoani yametokana pia na Ushirikiano <strong>wa</strong><br />

pamoja <strong>wa</strong> Serikali Kuu, Halmashauri, Wadau mbali mbali <strong>wa</strong> maendeleo na<br />

ushirikish<strong>wa</strong>ji kikamilifu <strong>wa</strong> jamii <strong>katika</strong> kujenga uele<strong>wa</strong> juu ya thamani na umuhimu<br />

<strong>wa</strong> rasilimali za uvuvi <strong>katika</strong> kuboresha maisha na kujenga jamii yenye lishe bora.<br />

159


Mafanikio hayo ni pamoja na:-<br />

uwezeshaji <strong>wa</strong> <strong>wa</strong>nanchi k<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong>jengea uele<strong>wa</strong> juu ya umuhimu <strong>wa</strong><br />

rasilimali za uvuvi <strong>katika</strong> kuboresha maisha yao.<br />

Kuandali<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> mipango shirikishi ya kudhibiti uvuvi haramu na uhifadhi <strong>wa</strong><br />

maeneo tengefu.<br />

Kuanzish<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> vikundi vya uhifadhi <strong>wa</strong> fukwe na maeneo ya Bahari jambo<br />

ambalo limeboresha uhifadhi <strong>wa</strong> Bioanu<strong>wa</strong>i.<br />

Kuibuli<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> miradi mbali mbali ya uboreshaji <strong>wa</strong> mapato k<strong>wa</strong> jamii k<strong>wa</strong><br />

ushirikiano na <strong>wa</strong>dau <strong>wa</strong> maendeleo.<br />

Kuwepo k<strong>wa</strong> miradi ya ufugaji samaki yenye malengo ya kukuza uchumi k<strong>wa</strong><br />

jamii k<strong>wa</strong> upande mmoja na kuimarisha bioanu<strong>wa</strong>i k<strong>wa</strong> upande mwingine.<br />

Kuibuli<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> shughuli za utalii kwenye maeneo yenye samaki wengi na<br />

viumbe wengine Baharini, jambo ambalo limeweka Mkoa <strong>katika</strong> ramani ya<br />

Utalii Ulimwenguni<br />

Kuimarika k<strong>wa</strong> lishe na kipato k<strong>wa</strong> jamii zinazoishi kwenye maeneo na zile<br />

zinazoshiriki kwenye shughuli za uvuvi.<br />

Pamoja na mafanikio haya, Sekta ya uvuvi imeku<strong>wa</strong> ikikabili<strong>wa</strong> na changamoto<br />

mbali mbali iki<strong>wa</strong> ni pamoja na:<br />

Uhaba <strong>wa</strong> <strong>wa</strong>tumishi <strong>wa</strong> kusimamia rasilimali za uvuvi na shughuli za ugani<br />

ambazo zina lengo la kukuza uele<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> mbinu bora za ufugaji na<br />

kuimarisha ukusanyaji <strong>wa</strong> takwimu ili ku<strong>wa</strong> na kumbukumbu sahihi.<br />

Bajeti ndogo ya kusimamia rasilimali za uvuvi<br />

Kuongezeka k<strong>wa</strong> jamii inayohitaji mazao ya uvuvi ikilinganish<strong>wa</strong> na wingi <strong>wa</strong><br />

rasilimali hiyo.<br />

Matumizi ya vyombo na zana duni k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>vuvi wengi, jambo linalo <strong>wa</strong>fanya<br />

kupata kiasi kidogo cha mazao ya uvuvi ikilinganish<strong>wa</strong> na nguvu na muda<br />

mwingi <strong>wa</strong>naoutumia.<br />

Ukosefu <strong>wa</strong> mitaji mikub<strong>wa</strong> na teknolojia stahili ya ku<strong>wa</strong>wezesha <strong>wa</strong>vuvi<br />

wengi kuingia kwenye uvuvi <strong>wa</strong> biashara <strong>katika</strong> Bahari Kuu.<br />

Uharibifu <strong>wa</strong> mazingira ya mazalia ya samaki na viumbe wengine kutokana<br />

na uvuvi haramu na ukataji mikoko.<br />

Pamoja na maelezo hayo ya ujumla, Programu ya Mkoa iliyoandali<strong>wa</strong> inaonesha hali<br />

halisi ya utekelezaji na mikakati ya uendelezaji na usimamizi <strong>wa</strong> rasilimali za Uvuvi,<br />

udhibiti <strong>wa</strong> Uvuvi haramu, upatikanaji na usambazaji <strong>wa</strong> zana bora, huduma za<br />

ugani, ufugaji <strong>wa</strong> samaki na ukuzaji <strong>wa</strong> viumbe kwenye maji, mfumo <strong>wa</strong> masoko ya<br />

samaki na vyombo vya mikopo kama jed<strong>wa</strong>li linavyoonesha hapa chini.<br />

160


Jed<strong>wa</strong>li Na. 4 Maendeleo ya Uvuvi na Mkakati <strong>wa</strong> Kuongeza Ufanisi<br />

Na ENEO LA<br />

UTEKELEZAJI<br />

1. Kuendeleza<br />

na Kusimamia<br />

Rasilimali za<br />

Uvuvi<br />

HALI HALISI YA UTEKELEZAJI MIKAKATI YA KUONGEZA<br />

UFANISI<br />

-Uanzishaji <strong>wa</strong> Vikundi vya usimamizi <strong>wa</strong> i. Kuhamasisha <strong>wa</strong>nanchi<br />

fukwe na rasilimali za Bahari (Beach <strong>katika</strong> kusimamia rasilimali za<br />

Management Units - BMUs <strong>katika</strong> jumla ya uvuvi k<strong>wa</strong> kuunda na<br />

Vijiji 45 <strong>katika</strong> Wilaya za Mafia (Vijiji vyote kuimarisha Kamati za<br />

10 nje ya Hifadhi ya Bahari), Mkuranga mazingira pamoja na vikundi<br />

(11) na Rufiji (24). Katika Wilaya ya vya usimamizi <strong>wa</strong> fukwe na<br />

Bagamoyo Vijiji vyote 6 vya m<strong>wa</strong>mbao vipo rasilimali za Bahari <strong>katika</strong><br />

kwenye mchakato <strong>wa</strong> kuanzisha BMUs. maeneo ambayo hayajaunda.<br />

-Uanzishaji <strong>wa</strong> Kamati 2 za usimamizi <strong>wa</strong> ii. Kuendelea kushawishi na<br />

Mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> 2 Wilayani Rufiji.<br />

kushirikiana na Wadau na<br />

-Uandaaji <strong>wa</strong> jamii <strong>wa</strong> mipango ya <strong>wa</strong>bia mbali mbali <strong>wa</strong><br />

usimamizi na uendelezaji <strong>wa</strong> rasilimali ya maendeleo <strong>katika</strong> kusimamia<br />

uvuvi k<strong>wa</strong> ushirikiano na Halmashauri za matumizi endelevu ya<br />

Wilaya iki<strong>wa</strong> ni pamoja na sheria ndogo. rasilimali za uvuvi.<br />

K<strong>wa</strong> upande <strong>wa</strong> Bagamoyo, eneo tengefu iii. Kuwezesha Wavuvi<br />

lililoanzish<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> njia shirikishi na Vijiji kupata mitaji na teknolojia<br />

vya m<strong>wa</strong>mbao <strong>wa</strong> P<strong>wa</strong>ni limezaa matunda itakayo<strong>wa</strong>wezesha kuingia<br />

k<strong>wa</strong> miamba hiyo ku<strong>wa</strong> na samaki na kwenye uvuvi <strong>katika</strong> Bahari<br />

viumbe wengine <strong>wa</strong>naoshawishi mazingira kuu k<strong>wa</strong> ajili ya biashara.<br />

ya Utalii, jambo ambalo limeifanya jamii iv. Kuvutia <strong>wa</strong>wekezaji <strong>katika</strong><br />

k<strong>wa</strong> kushirikiana na Halmashauri kuandaa kuanzisha vi<strong>wa</strong>nda vya<br />

rasimu ya utalii ikolojia.<br />

kusindika samaki <strong>katika</strong><br />

-Uibuaji <strong>wa</strong> miradi ya jamii k<strong>wa</strong> ukanda <strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>mbao <strong>wa</strong><br />

kushirikiana na <strong>wa</strong>fadhili yenye lengo la Bahari.<br />

kuboresha maisha iki<strong>wa</strong> ni pamoja na v.Kuhamasisha<br />

uvuvi, ufugaji, kilimo cha mboga na <strong>wa</strong>fanyabiashara/vyama vya<br />

m<strong>wa</strong>ni, ambapo jumla ya shilingi <strong>wa</strong>vuvi kuanzisha vi<strong>wa</strong>nda<br />

1,097,308,298 zimeshatole<strong>wa</strong> chini ya vya kusindika samaki.<br />

miradi ya MACEMP (sh.956,444,425.3) vi. Kuhamasisha uchimbaji<br />

<strong>katika</strong> Wilaya za Bagamoyo, Mafia, <strong>wa</strong> mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> na matumizi<br />

Mkuranga na Rufiji na RUMAKI ya mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> ya asili na<br />

(sh.140,863,872) Wilayani Mafia.<br />

kuhakikisha kuwepo k<strong>wa</strong><br />

Usimamizi na ulinzi <strong>wa</strong> viumbe <strong>wa</strong> mifumo ya maji ya<br />

Bahari <strong>wa</strong>lioko kwenye hatari ya uhakika k<strong>wa</strong> kilimo cha<br />

kutoweka kama vile Nyangumi, samaki.<br />

Nguva na Kasa <strong>katika</strong> Wilaya za vii. Kushirikiana na jamii ya<br />

Mafia na Rufiji.<br />

<strong>wa</strong>vuvi <strong>katika</strong> kuibua fursa<br />

Uendeshaji <strong>wa</strong> mafunzo juu ya njia za miradi yenye tija<br />

bora za uhifadhi <strong>wa</strong> samaki ili itakayopunguza utegemezi<br />

kupunguza upotevu na kuongeza <strong>wa</strong> shughuli za uvuvi<br />

thamani ya samaki.<br />

kujikimu k<strong>wa</strong> asilimia mia<br />

-Utoaji <strong>wa</strong> elimu ya sheria na moja.<br />

161


2. Kudhibiti<br />

Uvuvi<br />

Haramu<br />

Kanuni za Uvuvi na jinsi ya<br />

kuzisimamia.<br />

Utoaji <strong>wa</strong> elimu ya matumizi<br />

endelevu ya rasilimali ya uvuvi.<br />

Shughuli ambazo zimeku<strong>wa</strong> zikifanyika ni<br />

pamoja na:<br />

- Kutoa Elimu ya uvuvi endelevu <strong>wa</strong> kutumia<br />

vyombo na nyavu/zana bora.<br />

-Kutoa elimu juu ya sheria na kanuni za uvuvi<br />

k<strong>wa</strong> jamii .<br />

- Kuanzisha Kamati za mazingira za vijiji,<br />

vikundi vya usimamizi <strong>wa</strong> rasilimali za Bahari<br />

(BMU) na kamati za usimamizi <strong>wa</strong> pamoja na<br />

maeneo ya rasilimali za uvuvi (collaborative<br />

Fisheries Management areas- CFMA) ambazo<br />

pamoja na doria huratibu <strong>wa</strong>vuvi halali<br />

<strong>wa</strong>naopash<strong>wa</strong> kufanya shughuli hizo k<strong>wa</strong><br />

kuhakikisha ku<strong>wa</strong> kila mvuvi anakata leseni ya<br />

uvuvi na vyombo vya uvuvi. Vikundi hivyo<br />

husaidia kubaini <strong>wa</strong>vuvi na <strong>wa</strong>fanyabiashara<br />

haramu.<br />

-Kusaidia jamii kuibua miradi ya zana za uvuvi<br />

na shughuli mbadala za kuboresha maisha<br />

chini ya miradi ya MACEMP na RUMAKI hivyo<br />

kupunguza utegemezi mkub<strong>wa</strong> <strong>katika</strong><br />

shughuli za uvuvi, hivyo kupunguza<br />

uwezekano <strong>wa</strong> uvuvi haramu.<br />

-Kufanya doria shirikishi za kudhibiti uvuvi<br />

haramu.<br />

K<strong>wa</strong> kuzingatia hali hiyo k<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka 2008/09<br />

shughuli zilizofanyika ni kama ifuatavyo:<br />

Bagamoyo:<br />

-Doria shirikishi 57 zilifanyika na kufaniki<strong>wa</strong><br />

kukamata nyavu haramu 29.<br />

-Wavuvi <strong>wa</strong> kupitia serikali za vijiji<br />

<strong>wa</strong>meagiz<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> barua juu ya kuzui<strong>wa</strong><br />

kutumia nyavu ambazo haziruhusiwi iki<strong>wa</strong> ni<br />

pamoja na kokoro.<br />

-Vijiji 6 vipo kwenye mchakato <strong>wa</strong> kuanzisha<br />

162<br />

viii. Kuimarisha elimu na<br />

mafunzo ya sheria, Kanuni<br />

na matumizi endelevu ya<br />

rasilimali za uvuvi.<br />

ix. Kushirikiana na mamlaka<br />

zinazohusika ili kuangalia<br />

upya mga<strong>wa</strong>nyo <strong>wa</strong><br />

mapato yatokanayo na<br />

uvuvi ili Wilaya zipate<br />

mgao utakaowezesha<br />

kusimamia vilivyo rasilimali<br />

za Uvuvi.<br />

i. Kuendelea kuimarisha<br />

utoaji <strong>wa</strong> elimu na mafunzo<br />

ya sheria, kanuni na<br />

matumizi endelevu ya<br />

rasilimali za uvuvi.<br />

ii. Kutoa elimu k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>vuvi<br />

juu ya zana bora na madhara<br />

ya uvuvi haramu<br />

iv. Kutoa elimu na mafunzo<br />

k<strong>wa</strong> serikali za vijiji juu ya<br />

umuhimu <strong>wa</strong> kupambana na<br />

uvuvi haramu<br />

iii. Kuunda Kamati za<br />

mazingira pale ambapo<br />

hazijaund<strong>wa</strong> na kuimarisha<br />

zilizopo.<br />

iv. Kuunda na kuimarisha<br />

vikundi vya usimamizi <strong>wa</strong><br />

fukwe na rasilimali za<br />

Bahari <strong>katika</strong> maeneo yote.<br />

v. Kuunda na kuimarisha<br />

Kamati za usimamizi <strong>wa</strong><br />

pamoja <strong>wa</strong> maeneo ya<br />

rasilimali za uvuvi<br />

(collaborative Fisheries<br />

Management areas- CFMA).<br />

vi. Kujenga na kuimarisha<br />

mfumo na mtandao <strong>wa</strong><br />

ma<strong>wa</strong>siliano <strong>katika</strong><br />

kupashana habari<br />

zinazolenga kudhibiti<br />

vitendo vya uvuvi haramu.<br />

vii. Kuimarisha ulinzi<br />

shirikishi k<strong>wa</strong> kuongeza


Vikundi vya Usimamizi <strong>wa</strong> fukwe na<br />

rasilimali za Bahari (BMUs).<br />

Mafia:<br />

-Doria shirikishi 3 zilifanyika na kufaniki<strong>wa</strong><br />

kukamata Kokoro 12 na nyavu nyingine<br />

haramu na mitumbwi 3.<br />

-Wavuvi 69 <strong>wa</strong>lioku<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>kivua bila leseni<br />

<strong>wa</strong>litoz<strong>wa</strong> faini kati ya sh.30,000 hadi<br />

100,000.<br />

-Watuhumi<strong>wa</strong> 2 <strong>wa</strong>ki<strong>wa</strong> na nyavu haramu<br />

kesi zao zilipelek<strong>wa</strong> Mahakamani na kutoz<strong>wa</strong><br />

faini ya sh.50,000 kila mmoja.<br />

-<strong>wa</strong>tuhumi<strong>wa</strong> 2 <strong>wa</strong> Majongoo Bahari<br />

<strong>wa</strong>liachi<strong>wa</strong> huru k<strong>wa</strong> kukosa ushahidi <strong>wa</strong><br />

ku<strong>wa</strong>tia hatiani.<br />

Mkuranga:<br />

-Doria shirikishi 14 zilifanyika, ambapo kilo 20<br />

za samaki <strong>wa</strong>liovuli<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> baruti zilikamat<strong>wa</strong>.<br />

Vilevile nyavu haramu 11, vipande vya mbao<br />

2,468, magunia ya mkaa 555, nguzo za<br />

mikoko 1,800 vilikamat<strong>wa</strong>. Pamoja na vitu<br />

hivyo, Watuhumi<strong>wa</strong> 3 <strong>wa</strong>likamat<strong>wa</strong> na<br />

kupelek<strong>wa</strong> kwenye vyombo vya sheria<br />

ambapo mpaka sasa kesi 1 inaendelea<br />

Mahakamani na 2 zipo Polisi.<br />

-Vikundi 11 vya usimamizi <strong>wa</strong> fukwe na<br />

rasilimali za Bahari vimeund<strong>wa</strong> <strong>katika</strong> vijiji 11<br />

vinavyopakana na Bahari k<strong>wa</strong> kushirikiana na<br />

MACEMP.<br />

Rufiji:<br />

-Maeneo 2 ya usimamizi <strong>wa</strong> pamoja <strong>wa</strong><br />

rasilimali za Bahari (Collaborative Fisheries<br />

Management Areas - CFMA) yameanzish<strong>wa</strong><br />

ili kuimarisha usimamizi na kuzuia vitendo vya<br />

uvuvi haramu ambapo boti 3 zimenunuli<strong>wa</strong><br />

k<strong>wa</strong> ajili hiyo chini ya mradi <strong>wa</strong> RUMAKI k<strong>wa</strong><br />

ajili ya vijiji 6 <strong>katika</strong> ukanda <strong>wa</strong> Bahari <strong>katika</strong><br />

Wilaya za Rufiji Mkoani P<strong>wa</strong>ni na Kil<strong>wa</strong><br />

Mkoani Lindi.<br />

- Vikundi 24 vya usimamizi <strong>wa</strong> fukwe na<br />

rasilimali za Bahari vimeund<strong>wa</strong> <strong>katika</strong> vijiji 24<br />

na kufaniki<strong>wa</strong> kukamata majuya 11.<br />

-Sheria ndogo zipo kwenye mchakato <strong>wa</strong><br />

maandalizi ambapo zinasubiri kuidhinish<strong>wa</strong> na<br />

Baraza la Madi<strong>wa</strong>ni.<br />

-Doria mbili zilifanyika na <strong>wa</strong>tuhumi<strong>wa</strong> 6<br />

<strong>wa</strong>likamat<strong>wa</strong> na kufikish<strong>wa</strong> kwenye vyombo<br />

163<br />

rasilimali fedha ili kuongeza<br />

idadi ya doria k<strong>wa</strong> mwezi.<br />

viii. Kuendelea Kushirikiana<br />

na <strong>wa</strong>dau <strong>wa</strong> maendeleo<br />

<strong>katika</strong> kuibua miradi<br />

itakayowezesha sehemu<br />

kub<strong>wa</strong> ya Jamii kupunguza<br />

kutegemea k<strong>wa</strong> asilimia<br />

kub<strong>wa</strong> uvuvi kama njia<br />

pekee ya kujikimu<br />

kimaisha.<br />

ix. Kushirikiana kikamilifu na<br />

vyombo vya sheria <strong>katika</strong><br />

kuhakikisha ku<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>halifu<br />

adhabu <strong>wa</strong>nape<strong>wa</strong> adhabu<br />

stahili k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>kati.<br />

Kutunga sheria ndogo<br />

zinazohusiana na usimamizi<br />

<strong>wa</strong> rasilimali za uvuvi


3. Upatikanaji<br />

na<br />

Usambazaji<br />

<strong>wa</strong> zana Bora<br />

za Uvuvi<br />

4. Hali ya<br />

Huduma za<br />

Ugani<br />

vya sheria ambapo kesi zao bado zipo Polisi.<br />

Aidha, nyavu 426 zilikamat<strong>wa</strong> na<br />

kuteketez<strong>wa</strong>.<br />

Bagamoyo:<br />

-Vikundi 14 vimepati<strong>wa</strong> jumla ya<br />

Sh.120,073,540.92 k<strong>wa</strong> ajili ya ununuzi zana<br />

bora na vyombo vya uvuvi iki<strong>wa</strong> ni pamoja na<br />

Boti, nyavu na injini za Boti.<br />

Mafia:<br />

-Wafanyabiashara <strong>wa</strong>meendelea<br />

kuhamasish<strong>wa</strong> kuleta zana bora<br />

zinazokubalika kisheria na kuziuza Mafia.<br />

-Wavuvi <strong>wa</strong>mehamasish<strong>wa</strong> na kujiunga <strong>katika</strong><br />

vikundi ambapo <strong>wa</strong>meomba na kupati<strong>wa</strong><br />

misaada ya ununuzi <strong>wa</strong> zana bora za jumla ya<br />

shilingi 517,048,944 ambapo sh.376,185,072<br />

zimetole<strong>wa</strong> na MACEMP k<strong>wa</strong> vikundi 38<br />

vyenye jumla ya <strong>wa</strong>tu 1,424 na<br />

sh.140,863,872 zimetole<strong>wa</strong> na mradi <strong>wa</strong><br />

RUMAKI k<strong>wa</strong> vikundi 40 vyenye jumla ya<br />

<strong>wa</strong>tu 200.<br />

Mkuranga:<br />

Vikundi 6 vyenye jumla ya <strong>wa</strong>tu 180 vimeibua<br />

miradi 6 na kupe<strong>wa</strong> misaada ya zana za uvuvi<br />

yenye thamani ya jumla ya Shilingi<br />

102,439,542 iki<strong>wa</strong> ni sh.17,073,257/= k<strong>wa</strong><br />

kila mradi.<br />

Rufiji:<br />

Vikundi 61 vyenye jumla ya <strong>wa</strong>vuvi 1,185<br />

vimepe<strong>wa</strong> msaada <strong>wa</strong> vyombo na zana za<br />

uvuvi zenye thamani ya jumla ya<br />

sh.547,020,881,ambapo sh.451,664,881<br />

zimetole<strong>wa</strong> na MACEMP kupitia TASAF k<strong>wa</strong><br />

vikundi 37 vyenye jumla ya <strong>wa</strong>vuvi 913 na<br />

SH.95,356,000 zimetole<strong>wa</strong> na mradi <strong>wa</strong><br />

RUMAKI k<strong>wa</strong> vikundi 24 vyenye jumla ya<br />

<strong>wa</strong>vuvi 272.<br />

Vyombo na zana zilizonunuli<strong>wa</strong> ni pamoja na<br />

Boti nyavu na injini za Boti.<br />

Sekta ya Uvuvi Mkoani P<strong>wa</strong>ni inakabili<strong>wa</strong> na<br />

uhaba <strong>wa</strong> <strong>wa</strong>tumishi na vitendea kazi<br />

ambavyo havitoshelezi mahitaji. Aidha, wengi<br />

<strong>wa</strong>o <strong>wa</strong>na vi<strong>wa</strong>ngo vidogo vya elimu.<br />

Watumishi <strong>wa</strong>chache <strong>wa</strong>liopo ndio <strong>wa</strong>naotoa<br />

huduma za ugani ambao upimaji <strong>wa</strong> utoaji <strong>wa</strong><br />

huduma unaathiri<strong>wa</strong> na uhaba <strong>wa</strong> vitendea<br />

kazi.<br />

164<br />

i. Kuhamasisha <strong>wa</strong>vuvi<br />

kuunda vyama vya ushirika<br />

ili ku<strong>wa</strong>wezesha kupata<br />

mikopo kutoka kwenye<br />

taasisi za fedha k<strong>wa</strong> ajili<br />

ya ununuzi <strong>wa</strong> vyombo na<br />

zana bora za Uvuvi.<br />

ii. Kuendelea kushirikiana<br />

na Wahisani <strong>katika</strong> kutoa<br />

misaada na mikopo yenye<br />

riba nafuu<br />

itakayo<strong>wa</strong>wezesha <strong>wa</strong>vuvi<br />

kupata vyombo na zana<br />

bora za uvuvi.<br />

iii. Kuhamasisha<br />

<strong>wa</strong>fanyabiashara kuanzisha<br />

maduka ya vyombo na zana<br />

bora za uvuvi.<br />

ii. Kuboresha mfumo <strong>wa</strong><br />

upatikanaji na udhibiti <strong>wa</strong><br />

zana bora za uvuvi k<strong>wa</strong><br />

ku<strong>wa</strong> na na takwimu halisi<br />

ya zana za uvuvi.<br />

iii. Kufanya ukaguzi <strong>wa</strong> mara<br />

k<strong>wa</strong> mara ili kubaini i<strong>wa</strong>po<br />

zana bora ndizo zinazotumi<strong>wa</strong><br />

na <strong>wa</strong>vuvi.<br />

i. Kuandaa maombi maalum<br />

k<strong>wa</strong> ushirikiano <strong>wa</strong><br />

TAMISEMI na Idara kuu<br />

Utumishi ili Mkoa upate<br />

<strong>wa</strong>taalamu <strong>wa</strong>naohitajika.<br />

ii. Kutumia kikamilifu<br />

<strong>wa</strong>tumishi <strong>wa</strong>chache


5. Ufugaji <strong>wa</strong><br />

Samaki na<br />

Ukuzaji <strong>wa</strong><br />

Viumbe<br />

Kwenye Maji<br />

Bagamoyo:<br />

-Inao <strong>wa</strong>taalamu 2 wenye shahada, 1<br />

mwenye stashada na 3 wenye astashahada.<br />

Watumishi 2 zaidi <strong>katika</strong> ngazi ya Stashahada<br />

<strong>wa</strong>nahitajika. Wilaya inazo Pikipiki 3,<br />

Tarakilishi 1 na Injini ya Boti 1.<br />

Mafia:<br />

Wilaya ina jumla <strong>wa</strong>tumishi 8 ambapo 3 <strong>wa</strong>na<br />

Stashahada, 2 astashahada, 1 astashahada<br />

ya ubaharia, 2 ha<strong>wa</strong>ja<strong>wa</strong>hi kuhudhuria kozi<br />

yoyote. Watumishi 4 zaidi <strong>wa</strong>nahitajika, 1<br />

<strong>katika</strong> ngazi ya Shahada na 3 <strong>katika</strong> ngazi ya<br />

stashahada. Wilaya inayo Boti 1 moja na<br />

Injini 3, gari moja aina ya Landa Cruiser<br />

(Hard top) ambalo limetole<strong>wa</strong> na Wizara ya<br />

Mifugo na Maendeleo ya Uvuvi kupitia<br />

MACEMP na Pikipiki 2 (moja ni mbovuimechakaa).<br />

Mkuranga:<br />

Wilaya inayo mtumishi 1 ambaye hana usafiri<br />

<strong>wa</strong>la tarakilishi ya kuweka<br />

kumbukumbu.Watumishi 6 <strong>wa</strong>nahitajika<br />

<strong>katika</strong> ngazi ya shahada 1 na stashahada 5.<br />

Rufiji:<br />

Wilaya ina <strong>wa</strong>tumishi 9. Shahada 1,<br />

Stashahada 7, Astashahada 1, Halmashauri<br />

inahitaji <strong>wa</strong>tumishi wengine 6 <strong>katika</strong> ngazi ya<br />

stashahada. Vitendea kazi vilivyopo ni<br />

pamoja na pikipiki 2 ambapo 1 ni mbovu.<br />

Pikipiki 7 zaidi zinahitajika.<br />

Kibaha:<br />

Halmashauri ya mji na ya Wilaya ya Kibaha<br />

hazina <strong>wa</strong>tumishi <strong>wa</strong> Sekta ya Uvuvi licha<br />

Halmashauri ya Wilaya kupiti<strong>wa</strong> na sehemu<br />

ya Mto Ruvu na ku<strong>wa</strong> na Mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> 14 na<br />

fursa za kujenga malambo <strong>katika</strong> maeneo ya<br />

mji k<strong>wa</strong> lengo la kuinua kipato na kuboresha<br />

lishe.<br />

Kisarawe:<br />

Haina mtumishi <strong>wa</strong> fani ya uvuvi.<br />

Bagamoyo:<br />

-Chuo cha Mbegani kimezalisha na<br />

kusambaza vifaranga 15,000, Ambapo 3,500<br />

vimesambaz<strong>wa</strong> Wilayani Bagamoyo na 11,500<br />

<strong>katika</strong> Wilaya ya Pangani.<br />

-Katika Kijiji cha Chang<strong>wa</strong>hela Kilimo cha<br />

165<br />

<strong>wa</strong>liopo kutoa huduma k<strong>wa</strong><br />

kila mmoja kuandaa ratiba<br />

ya ku<strong>wa</strong>fikia Wavuvi.<br />

iii. Kushirikiana na <strong>wa</strong>hisani<br />

<strong>katika</strong> upatikanaji <strong>wa</strong><br />

vyombo vya usafiri k<strong>wa</strong><br />

shughuli za ugani.<br />

iv. Kuendelea na mpango<br />

<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong>jengea uwezo<br />

<strong>wa</strong>vuvi wengi k<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong>pa<br />

mafunzo na mbinu mbali<br />

mbali <strong>katika</strong> masuala ya<br />

uvuvi.<br />

i. Kushirikana na <strong>wa</strong>dau<br />

mbalimbali <strong>katika</strong> kuandaa<br />

programu maalum ya<br />

ufugaji <strong>wa</strong> <strong>wa</strong> viumbe na<br />

samaki <strong>katika</strong> mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong><br />

k<strong>wa</strong> kuhakikisha ku<strong>wa</strong>


m<strong>wa</strong>tiko kilianza m<strong>wa</strong>ka 2006 ambapo hadi<br />

2009 <strong>wa</strong>mezalisha kilo 2,400 zilizo<strong>wa</strong>patia<br />

shilingi 3,500,000.<br />

-Kilimo cha M<strong>wa</strong>ni kinafanyika <strong>katika</strong> Kijiji cha<br />

Mlingotini toka m<strong>wa</strong>ka 1999 ambapo tangu<br />

<strong>wa</strong>kati huo kuna <strong>wa</strong>kulima 58 ambao mpaka<br />

sasa <strong>wa</strong>mezalisha tani 40.6 zilizo<strong>wa</strong>patia<br />

sh.8,120,000. Wakulima hao <strong>wa</strong>liunda umoja<br />

<strong>wa</strong>o uit<strong>wa</strong>o msichoke ambao unamiliki Boti 4<br />

k<strong>wa</strong> ajili ya kilimo hicho ambao zilitole<strong>wa</strong> na<br />

Ubalozi <strong>wa</strong> marekani.<br />

Mafia:<br />

Katika kuhakikisha ku<strong>wa</strong> jamii inaku<strong>wa</strong> na njia<br />

mbadala za kiuchumi na kuongeza lishe pia<br />

kupunguza utegemezi <strong>wa</strong> Bahari kama njia<br />

pekee ya kujikimu:<br />

- ufugaji <strong>wa</strong> samaki umeanzish<strong>wa</strong> <strong>katika</strong><br />

mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> ambapo hadi sasa kuna jumla ya<br />

mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> sita (6) yaliyochimb<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> ufadhili<br />

<strong>wa</strong> RUMAKI.<br />

-Mafunzo ya ufugaji samaki <strong>katika</strong> mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong><br />

yametole<strong>wa</strong> ambapo mpaka sasa <strong>wa</strong>tu 139<br />

<strong>wa</strong>mekwishapata mafunzo k<strong>wa</strong> ufadhili <strong>wa</strong><br />

mradi <strong>wa</strong> RUMAKI.<br />

–Mafunzo ya unenepeshaji <strong>wa</strong> Kaa<br />

yamefany<strong>wa</strong> ambapo hadi sasa <strong>wa</strong>tu 59<br />

<strong>wa</strong>mepata mafunzo na <strong>wa</strong>tu 25<br />

<strong>wa</strong>najishughulisha na unenepeshaji <strong>wa</strong> Kaa.<br />

-Mafunzo ya ufugaji <strong>wa</strong> chaza <strong>wa</strong> lulu<br />

yametole<strong>wa</strong> ambapo hadi sasa <strong>wa</strong>tu 48<br />

<strong>wa</strong>mepata mafunzo k<strong>wa</strong> ufadhaili <strong>wa</strong><br />

RUMAKI.<br />

-Mafunzo ya ukulima <strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ni<br />

yameimarish<strong>wa</strong> ambapo hadi sasa kuna<br />

<strong>wa</strong>kulima 785 ambao k<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka 2008/2009<br />

<strong>wa</strong>livuna jumla ya kilo 140670.<br />

Kampuni ya TANPESCA inaendelea na<br />

ufugaji <strong>wa</strong> kamba miti Ambapo k<strong>wa</strong><br />

m<strong>wa</strong>ka 2008/09 <strong>wa</strong>livuna tani 110 wenye<br />

thamani ya shilingi Milioni 220.<br />

Mkuranga:<br />

Wilaya ina jumla ya mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> 13 ambapo 6<br />

ni ya maji chumvi na 7 ni ya maji baridi.<br />

Maendeleo ya ufugaji ni madogo k<strong>wa</strong> sababu<br />

ya kutegemea maji ya mvua.<br />

Wilaya inavyo vikundi 8 vyenye jumla ya<br />

<strong>wa</strong>fugaji 56 ambao <strong>wa</strong>nakadiri<strong>wa</strong> kupata<br />

166<br />

vifaranga <strong>wa</strong>nazalish<strong>wa</strong> na<br />

jamii inahamasish<strong>wa</strong> na<br />

kuwezesh<strong>wa</strong> kufuga.<br />

ii. Kushirikiana na Wizara<br />

ya Mifugo na Maendeleo<br />

ya Uvuvi na Wizara ya<br />

Biashara, Vi<strong>wa</strong>nda na<br />

Masoko <strong>katika</strong> kutafuta<br />

masoko ya uhakika k<strong>wa</strong><br />

mazao ya Bahari hususan<br />

zao la m<strong>wa</strong>ni.<br />

iii. Kutumia uzoefu na<br />

mafanikio yaliyopatikana<br />

<strong>katika</strong> maeneo ambayo<br />

shughuli za ufugaji<br />

zimefaniki<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> kutoa<br />

fursa za ziara za mafunzo<br />

ndani na nje k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>le<br />

wenye ari ya ufugaji ili<br />

kuharakisha shughuli za<br />

ufugaji <strong>wa</strong> samaki na<br />

viumbe wengine.<br />

iv. kujenga mifumo ya<br />

uhakika ya upatikanaji maji<br />

k<strong>wa</strong> shughuli za ufugaji<br />

samaki <strong>wa</strong> maji baridi<br />

katka mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> ya<br />

kuchimb<strong>wa</strong> na ya asili.


6. Mfumo <strong>wa</strong><br />

Vyombo vya<br />

Mikopo<br />

7. Mfumo <strong>wa</strong><br />

Masoko ya<br />

Samaki<br />

sh.800,000/= k<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka.<br />

Rufiji:<br />

-Jumla ya Mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> 8 yamechimb<strong>wa</strong>, 7<br />

yaki<strong>wa</strong> ya maji chumvi na 1 la maji baridi.<br />

Samaki <strong>wa</strong>liopand<strong>wa</strong> bado ni <strong>wa</strong>changa.<br />

-Vikundi 16 vyenye jumla ya vatu 147<br />

vimeund<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> ajili ya unenepeshaji Kaa<br />

ambapo kikundi 1 kilinenepesha kaa na<br />

kupata sh.1,400,000.<br />

-Vikundi vingine vilishind<strong>wa</strong> kuzalisha<br />

kutokana na uhaba <strong>wa</strong> mbegu.<br />

Bagamoyo:<br />

K<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>kati huu hakuna vyombo vya mikopo<br />

k<strong>wa</strong> ajili ya <strong>wa</strong>vuvi.<br />

Mafia:<br />

Hakuna Taasisi maalum iliyoteng<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> ajili<br />

ya <strong>wa</strong>vuvi tu. Hata hivyo vipo vyama vya<br />

Ushirika <strong>wa</strong> kuweka na kukopa kupitia Benki<br />

za jumuia za vijiji (Village Community Bank<br />

- VICOBA) ambavyo <strong>wa</strong>vuvi kama ilivyo k<strong>wa</strong><br />

vikundi vingine hupata mikopo. Mpaka sasa<br />

kuna VICOBA 26 ambazo zimekopesha <strong>wa</strong>vuvi<br />

100 jumla ya shilingi 80,546,000.<br />

Mkuranga:<br />

Hakuna SACCOS zilizound<strong>wa</strong> na jamii za<br />

<strong>wa</strong>vuvi ila kuna SACCOS 2 <strong>katika</strong> Kijiji cha<br />

Kisiju Ambazo miongoni m<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>nachama<br />

<strong>wa</strong>ke ni <strong>wa</strong>vuvi.<br />

Rufiji:<br />

Vikundi 16 vya VICOBA vimeund<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong><br />

mikopo yenye thamani ya shilingi<br />

153,000,000 kutoka mradi <strong>wa</strong> RUMAKI.<br />

-Wanachama 364 <strong>wa</strong>lipata mikopo na<br />

kurejesha shilingi milioni 110 kati ya shilingi<br />

milioni 114.<br />

Katika Wilaya za kibaha na Kisarawe hakuna<br />

Ushirika <strong>wa</strong> Wavuvi.<br />

Bagamoyo:<br />

Wilaya inalo soko 1 la rejareja ambalo lina<br />

uhakika <strong>wa</strong> samaki kuuz<strong>wa</strong> kutokana na<br />

ukaribu <strong>wa</strong> Hoteli za Kitalii na barabara nzuri<br />

ya uhakika ya kufika kwenye soko Kub<strong>wa</strong> la<br />

Dar Es Salaam.<br />

Hata hivyo hakuna huduma za uhakika za<br />

uhifadhi <strong>wa</strong> samaki na utaalamu bora <strong>wa</strong><br />

ukaushaji. Aidha, hakuna huduma <strong>wa</strong>la<br />

167<br />

i.Ku<strong>wa</strong>elimisha na<br />

ku<strong>wa</strong>hamasisha <strong>wa</strong>vuvi<br />

<strong>wa</strong>dogo kujiunga pamoja<br />

na kuanzisha na kuimarisha<br />

Vyama vya Ushirika <strong>wa</strong><br />

kuweka a kukopa (SACCOS)<br />

ili vi<strong>wa</strong>saidie kupata mikopo<br />

yenye riba nafuu.<br />

ii. Kushirikiana na Wahisani<br />

mbali mbali <strong>katika</strong><br />

kuongeza na kuimarisha<br />

mitaji ya SACCOS.<br />

iii. Kutumia mafanikio na<br />

uzoefu uliopatikana <strong>katika</strong><br />

matumizi ya mfumo <strong>wa</strong><br />

VICOBA kusambaz<strong>wa</strong><br />

kwenye maeneo mengine<br />

Mkoani.<br />

i. Kuunda mtandao <strong>wa</strong><br />

Vyama vya Ushirika <strong>wa</strong><br />

Wavuvi ili ku<strong>wa</strong> na sauti<br />

moja <strong>katika</strong> kupanga bei<br />

ya mazao ya uvuvi<br />

hususan samaki.<br />

ii. Kushirikiana na Wizara<br />

ya Mifugo na Maendeleo<br />

ya Uvuvi <strong>katika</strong> kutafuta


4.0 HITIMISHO<br />

utaalam <strong>wa</strong> uchakataji ili kuongeza thamani<br />

ya samaki, hivyo kutokuwepo mfumo thabiti<br />

<strong>wa</strong> masoko.<br />

Mafia:<br />

Lipo soko la uhakika la Samaki na mazao<br />

mengine ya Bahari kutokana na kuwepo k<strong>wa</strong><br />

Ki<strong>wa</strong>nda cha TANPESCA, Kituo cha kununulia<br />

Samaki cha Ki<strong>wa</strong>nda cha Tanga cha Sea<br />

products na Bahari Food. Aidha, <strong>wa</strong>po<br />

<strong>wa</strong>nunuzi wengi <strong>wa</strong>naotoka Dar es salaam.<br />

Hata hivyo Wilaya haina huduma ya uhakika<br />

<strong>wa</strong> barafu k<strong>wa</strong> ajili ya uhifadhi <strong>wa</strong> Samaki.<br />

K<strong>wa</strong> upande <strong>wa</strong> mikopo, zipo SACCOS 26<br />

ambazo zimeanzish<strong>wa</strong> chini ya Mradi <strong>wa</strong><br />

RUMAKI na zina mitaji ya Sh.240,500,000/=<br />

kila moja. SACCOS hizo ni za jamii, ambapo<br />

miongoni m<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>nachama <strong>wa</strong>ke ni <strong>wa</strong>vuvi.<br />

Mkuranga:<br />

Hakuna mfumo thabiti <strong>wa</strong> masoko, huduma<br />

za uhifadhi na utaalam <strong>wa</strong> ukaushaji na<br />

uchakataji. Aidha hakuna ushirika unaoweza<br />

ku<strong>wa</strong>saidia <strong>wa</strong>vuvi kupata mikopo k<strong>wa</strong> ajili ya<br />

ununuzi <strong>wa</strong> vyombo na zana.<br />

Rufiji:<br />

Hakuna mfumo thabiti <strong>wa</strong> masoko, Samaki<br />

<strong>wa</strong>naovuli<strong>wa</strong> husafirish<strong>wa</strong> kwenye vituo Mbali<br />

Mbali vya uuzaji, iki<strong>wa</strong> ni pamoja na Dar Es<br />

Salaam, jambo ambalo k<strong>wa</strong> kiasi kikub<strong>wa</strong><br />

halimnufaishi Mvuvi. Aidha huduma za<br />

uhifadhi k<strong>wa</strong> kutumia barafu ni ndogo na<br />

ghali kutokana na ukosefu <strong>wa</strong> umeme <strong>wa</strong><br />

uhakika. Vile vile huduma na utaalamu <strong>wa</strong><br />

uchakataji <strong>wa</strong> Samaki ni mdogo.<br />

K<strong>wa</strong> upande <strong>wa</strong> mikopo, <strong>wa</strong>vuvi ni sehemu ya<br />

<strong>wa</strong>nachama <strong>wa</strong> VICOBA ambao hupata<br />

mikopo k<strong>wa</strong> ajili ya vyombo na zana za uvuvi.<br />

168<br />

mitaji, vyombo vya kisasa,<br />

utaalamu na tekinolojia<br />

stahili vitakavyowezesha<br />

<strong>wa</strong>vuvi wetu kuingia <strong>katika</strong><br />

Uvuvi <strong>wa</strong> Bahari kuu, hivyo<br />

ku<strong>wa</strong> na uhakika <strong>wa</strong> samaki<br />

<strong>wa</strong>takaochakat<strong>wa</strong> na<br />

kupelek<strong>wa</strong> kwenye masoko<br />

ya nje k<strong>wa</strong> bei nzuri, k<strong>wa</strong><br />

kuzingatia ku<strong>wa</strong> maji yetu<br />

hayajachafuli<strong>wa</strong> na kemikali<br />

za vi<strong>wa</strong>nda.<br />

iii. Kushirikiana na Wizara<br />

yenye dhamana pamoja na<br />

Wizara ya Biashara,<br />

Vi<strong>wa</strong>nda na Masoko <strong>katika</strong><br />

kujenga mazingira mazuri<br />

ya Mtandao <strong>wa</strong> masoko.<br />

iv. Ku<strong>wa</strong>saidia Wavuvi<br />

<strong>wa</strong>dogo ku<strong>wa</strong> na Vi<strong>wa</strong>nda<br />

vidogo vya Uchakataji k<strong>wa</strong><br />

kutumia teknolojia bora<br />

kupita vyama vya Ushirika.<br />

v. Kuandaa mazingira bora<br />

ya ku<strong>wa</strong>wezesha <strong>wa</strong>vuvi<br />

ku<strong>wa</strong> na vyombo vya<br />

uhakika vya kuhifadhi<br />

samaki ili kulinda ubora <strong>wa</strong><br />

soko.<br />

Uvuvi una fursa kub<strong>wa</strong> ya kuba dilisha maisha k<strong>wa</strong> kuongeza kipato cha<br />

m<strong>wa</strong>nanchi mmoja mmoja, hivyo kuboresha maisha na kukuza uchumi <strong>wa</strong><br />

Mkoa na Taifa k<strong>wa</strong> ujumla.<br />

Katika kutimiza lengo hilo, ipo haja ya kufanya maamuzi ya msingi <strong>katika</strong><br />

ku<strong>wa</strong>wezesha <strong>wa</strong>vuvi kuingia kwenye uvuvi <strong>wa</strong> kibiashara k<strong>wa</strong> kujenga


mazingira ya ku<strong>wa</strong>wezesha kuvua kwenye Bahari kuu, hivyo kuingia kwenye<br />

ukurasa mpya <strong>wa</strong> uchakataji <strong>wa</strong> samaki kutoka kwenye maji ambayo<br />

hayajachafuli<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> kemikali za Vi<strong>wa</strong>ndani, hivyo ku<strong>wa</strong> na soko la uhakika<br />

na bei nzuri, jambo ambalo licha ya kukuza uchumi, litaongeza nafasi za<br />

ajira.<br />

K<strong>wa</strong> upande <strong>wa</strong> mito na mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong>, ipo haja ya kuimarisha huduma za<br />

ugani na kuhamasisha <strong>wa</strong>nanchi wengi kupenda shughuli za uvuvi ama k<strong>wa</strong><br />

kujenga mazingira maalum ya kupandikiza samaki <strong>wa</strong>naoendana na mazingira<br />

ya maeneo husika au kuanzisha mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> mengi ya samaki <strong>wa</strong>naozaliana<br />

k<strong>wa</strong> wingi na kumudu mazingira ya maeneo husika, hivyo ku<strong>wa</strong> chachu ya<br />

kukua k<strong>wa</strong> uchumi.<br />

Pamoja na hayo, ipo haja ya kuanzisha na kuimarisha Ushirika <strong>wa</strong> <strong>wa</strong>vuvi ili<br />

kuweza kupata mitaji itakayo<strong>wa</strong>wezesha kupata k<strong>wa</strong> urahisi huduma za<br />

uhifadhi na teknolojia ya uchakataji <strong>wa</strong> samaki k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>vuvi <strong>wa</strong>dogo ili kuzuia<br />

upotevu <strong>wa</strong> samaki usio <strong>wa</strong> lazima na kuimarisha kipato.<br />

Katika kuyatimiza hayo upo umuhimu <strong>wa</strong> kuangalia upya ajira k<strong>wa</strong><br />

kuhakikisha kuwepo <strong>wa</strong>taalamu <strong>wa</strong> kutosha <strong>wa</strong> fani ya uvuvi kwenye soko<br />

na kuangalia upya bajeti ya shughuli za uvuvi ili iendane na matarajio ya<br />

Taifa.<br />

169


TAARIFA YA SEKTA YA MAENDELEO YA UVUVI<br />

MKOA WA DAR ES SALAAM<br />

1.0 Utangulizi<br />

Mkoa <strong>wa</strong> Dar es Salaam ni Mkoa mmoja <strong>wa</strong>po wenye umuhimu <strong>wa</strong> pekee <strong>katika</strong><br />

maendeleo ya uvuvi – Tanzania. Umuhimu <strong>wa</strong>ke unatokana hasa na nafasi yake<br />

<strong>katika</strong> biashara, uwezo <strong>wa</strong> kiuchumi, wingi <strong>wa</strong> <strong>wa</strong>tu na kuwepo k<strong>wa</strong> miundombinu<br />

bora zaidi.<br />

Katika uvuvi, Mkoa <strong>wa</strong> Dar es Salaam una fursa nzuri k<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong> na maeneo mazuri<br />

ya uvuvi <strong>katika</strong> Bahari ya Hindi, vi<strong>wa</strong>nda, masoko ya samaki lilkiwemo soko la feri na<br />

pia <strong>wa</strong>laji wengi, zaidi kuna maeneo ya ufugaji <strong>wa</strong> samaki kama kamba, sato,<br />

pelage nk. Ulimaji <strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ni ni eneo ambalo linaweza kupe<strong>wa</strong> kipaumbele na<br />

kuongeza kipato k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>nanchi. Ili kuendeleza <strong>sekta</strong> ya Uvuvi Mkoa umeweka<br />

mikakati k<strong>wa</strong> kuzingatia matendo haramu yanayotendeka <strong>katika</strong> sector ya Uvuvi,<br />

kuongeza kiasi cha samaki k<strong>wa</strong> kuongeza mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> na utaalamu, kuimarisha<br />

huduma za ugani, na pia kuhamasisha vikundi pamoja na SACCOs k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>vuvi ili<br />

<strong>wa</strong>weze kujipatia mikopo na zana bora.<br />

2.0 Changamoto zinazoikabili Sekta ya Uvuvi<br />

(a) Kuongezeka k<strong>wa</strong> Uvuvi haramu<br />

(b) Ukosefu <strong>wa</strong> Zana na vyombo bora vya Uvuvi<br />

(c) Bajeti ndogo <strong>katika</strong> Halmashauri<br />

(d) Ukosefu <strong>wa</strong> Wataalamu <strong>wa</strong> kutosha <strong>katika</strong> Uvuvi<br />

(e) Elimu ndogo <strong>katika</strong> Uvuvi endelevu<br />

170


3.0 MAPENDEKEZO YA MKAKATI WA USIMAMIZI NA MATUMIZI YA<br />

RASILIMALI YA UVUVI MKOA WA DAR ES SALAAM<br />

NA LENGO<br />

1 Kudhibiti Uvuvi<br />

haramu pamoja<br />

na uharibifu <strong>wa</strong><br />

mazingira ya<br />

Bahari na P<strong>wa</strong>ni<br />

<strong>katika</strong><br />

Halmashauri za<br />

manispaa za<br />

Temeke, Ilala ,na<br />

Kinondoni ifikapo<br />

Juni 2012<br />

MIKAKATI YA<br />

MTEKELEZAJI MUDA WA<br />

UTEKELEZAJI<br />

UTEKELEZAJI<br />

• Kutoa elimu ya uele<strong>wa</strong> Mkoa na Endelevu<br />

k<strong>wa</strong> jamii kuhusu Uvuvi<br />

endelevu k<strong>wa</strong> kutumia<br />

semina, vipeperushi na<br />

vyombo vya habari.<br />

H/shauri<br />

• Kuanzisha vikundi vya<br />

ulinzi na usimamizi <strong>wa</strong><br />

rasilimali za uvuvi<br />

(BMUs)<br />

• Kudhibiti uuzaji holela<br />

<strong>wa</strong> mazao ya uvuvi<br />

<strong>katika</strong> masoko yasiyo<br />

rasmi <strong>katika</strong><br />

Halmashauri zote<br />

• Kufanya doria shirikishi<br />

dhidi ya uvuvi haramu.<br />

• Kuhakikisha <strong>wa</strong>vuvi<br />

wote <strong>wa</strong>na leseni halali<br />

pamoja na kuvisajili<br />

vyombo vya uvuvi<br />

• Kushirikisha Sekta<br />

mbalimbali pamoja na<br />

<strong>wa</strong>dau <strong>katika</strong><br />

usimamizi na matumizi<br />

endelevu ya rasilimali<br />

ya uvuvi.<br />

• Kuimarisha huduma ya<br />

usafiri k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>taalamu<br />

pamoja na ununuzi <strong>wa</strong><br />

boti ya doria.<br />

• Kuzuia ukataji <strong>wa</strong><br />

mikoko na kupanda<br />

mikoko sehemu<br />

zilizokat<strong>wa</strong> ili<br />

171<br />

H/shauri<br />

Maafisa Afya,<br />

Biashara, na<br />

Uvuvi.<br />

Polisi, maafisa<br />

uvuvi, pamoja<br />

na <strong>wa</strong>nanchi.<br />

Maafisa Uvuvi<br />

Wizara na<br />

H/shauri<br />

H/shauri<br />

H/shauri<br />

2010/2011<br />

Endelevu<br />

Endelevu<br />

Endelevu<br />

Endelevu<br />

Endelevu<br />

Endelevu


NA<br />

LENGO<br />

2 Kuanzisha na<br />

kuendeleza<br />

ufugaji <strong>wa</strong> samaki<br />

<strong>katika</strong> mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong><br />

ya kuchimba na a<br />

aslii kitoka<br />

mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> 25 hadi<br />

31 ifikapo juni<br />

2012<br />

MIKAKATI YA<br />

UTEKELEZAJI<br />

kuboresha makazi na<br />

mazalia ya samaki.<br />

• Kuzuia Uvunaji <strong>wa</strong><br />

matumbawe<br />

yanayotumika<br />

kutengeneza chokaa.<br />

• Kuzuia shughuli za<br />

uzalishaji <strong>wa</strong> chumvi<br />

k<strong>wa</strong> kuharibu mabirika<br />

ya chumvi na kupanda<br />

mikoko maeneo hayo.<br />

• Kuzuia uvuvi <strong>wa</strong><br />

samaki <strong>wa</strong>liohatarini<br />

kupotea/kuadimika.<br />

• Kuendeleza kilimo cha<br />

M<strong>wa</strong>ni ili kuboresha<br />

maeneo ya mazalia ya<br />

samaki.<br />

• Kuhamasisha jamii<br />

ufugaji <strong>wa</strong> samaki<br />

<strong>katika</strong> mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong>.<br />

• Kuanzisha mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong><br />

ya mfano <strong>katika</strong> kila<br />

Halmashauri.<br />

• Kusimamia k<strong>wa</strong> karibu<br />

shughuli za ufugaji<br />

samaki <strong>katika</strong><br />

mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong>.<br />

• Kutambua masoko ya<br />

kuuzia samaki<br />

<strong>wa</strong>naozalish<strong>wa</strong>.<br />

• Kuanzisha mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong><br />

ya vifaranga aina<br />

itakayopendekez<strong>wa</strong> na<br />

kuisambaza k<strong>wa</strong><br />

<strong>wa</strong>fugaji.<br />

172<br />

MTEKELEZAJI MUDA WA<br />

UTEKELEZAJI<br />

Maafisa<br />

Biashara/Uvuvi/<br />

misitu<br />

Maafisa<br />

Biashara/Uvuvi/<br />

misitu<br />

Maafisa Uvuvi<br />

Wakulima/<br />

Maafisa Uvuvi<br />

Maafisa Uvuvi<br />

H/shauri<br />

Maafisa Uvuvi<br />

Maafisa Uvuvi/<br />

Biashara.<br />

H/shauri<br />

Endelevu<br />

Endelevu<br />

Endelevu<br />

Endelevu<br />

Endelevu<br />

2010/2012<br />

Endelevu<br />

Endelevu<br />

2010/2012


NA<br />

3<br />

LENGO<br />

Kuimarisha<br />

huduma za Ugani<br />

<strong>katika</strong><br />

Halmashauri ya<br />

Temeke, Ilala, na<br />

Kinondoni ifikapo<br />

Juni 2012.<br />

4 Kuanzisha na<br />

kuendeleza<br />

vyama vya<br />

kuweka na<br />

kukopa (SACCOs)<br />

<strong>katika</strong> jamii za<br />

<strong>wa</strong>vuvi kutoka 3<br />

hadi 6 <strong>katika</strong><br />

H/shauri za<br />

manispaa ya<br />

Temeke, Ilala, na<br />

Kinondoni ifikapo<br />

Juni 2012<br />

5 Uanzishaji na<br />

uimarishaji <strong>wa</strong><br />

vikundi vya<br />

<strong>wa</strong>vuvi <strong>wa</strong>dogo<br />

kutoka idadi<br />

iliyopo 27 hadi 35<br />

<strong>katika</strong><br />

Halmashauri zote<br />

ifikapo Juni 2012<br />

6 Kuboresha vituo<br />

vya upokeaji <strong>wa</strong><br />

samaki (mialo)<br />

<strong>katika</strong><br />

Halmashauri za<br />

MIKAKATI YA<br />

UTEKELEZAJI<br />

• Kuboresha huduma za<br />

ugani k<strong>wa</strong> kuajiri<br />

• Kuimarisha mfumo <strong>wa</strong><br />

utoaji taarifa,<br />

upatikanaji na uhifadhi<br />

<strong>wa</strong> takwimu sahihi<br />

<strong>katika</strong> Halmashauri.<br />

• Kuelimisha vikundi vya<br />

<strong>wa</strong>vuvi umuhimu <strong>wa</strong><br />

kutuza na kutoa<br />

takwim sahihi.<br />

• Kuimarisha huduma za<br />

usafiri pamoja na<br />

vitendea kazi vingine<br />

• Kuhamasisha na<br />

kuelimisha <strong>wa</strong>vuvi<br />

umuhimu <strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong> na<br />

vyama vya kuweka na<br />

kukopa vya <strong>wa</strong>vuvi.<br />

• Usimamizi <strong>wa</strong> karibu<br />

<strong>wa</strong> jinsi ya kuendesha<br />

vyama vya kuweka na<br />

kukopa vya <strong>wa</strong>vuvi<br />

(SACCOs).<br />

• Kuhamasisha na<br />

kuelimisha <strong>wa</strong>vuvi<br />

umuhimu <strong>wa</strong> kujiunga<br />

<strong>katika</strong> vikundi.<br />

• Kusimamia shughuli za<br />

vikundi.<br />

• Kuboresha vituo k<strong>wa</strong><br />

kuvijengea maeneo<br />

mazuri ya kupokelea<br />

samaki<br />

173<br />

MTEKELEZAJI MUDA WA<br />

UTEKELEZAJI<br />

H/shauri 2010/2011<br />

Maafisa Uvuvi<br />

Maafisa Uvuvi<br />

H/shauri<br />

Maafisa<br />

Uvuvi/Ushirika<br />

Maafisa<br />

Uvuvi/Ushirika<br />

Maafisa Uvuvi<br />

Maafisa Uvuvi/<br />

Uongozi <strong>wa</strong><br />

vikundi.<br />

H/shauri<br />

Maafisa Uvuvi /<br />

Endelevu<br />

Endelevu<br />

Endelevu<br />

Endelevu<br />

Endelevu<br />

Endelevu<br />

Endelevu<br />

2010/2011<br />

Endelevu


NA<br />

LENGO<br />

manispaa ya<br />

Temeke, Ilala, na<br />

Kinondoni ifikapo<br />

Juni 2012<br />

7 Kuboresha<br />

huduma<br />

mbalimbali <strong>katika</strong><br />

soko la samaki<br />

FERI ifikapo<br />

2012.<br />

MIKAKATI YA<br />

UTEKELEZAJI<br />

• Kuhamasisha <strong>wa</strong>vuvi<br />

kuitumia masoko ya<br />

mialo itakayo<br />

boresh<strong>wa</strong>.<br />

• Kuboresha miundo<br />

mbinu kama huduma<br />

za maji, usafiri <strong>wa</strong><br />

karibu, vyoo nk<br />

• Kutoa elimu ya usafi<br />

k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>fanyabiashara<br />

<strong>katika</strong> soko.<br />

• Kuhakikisha upatikanaji<br />

<strong>wa</strong> zana na vifaa vya<br />

usafi <strong>katika</strong> soko.<br />

• Kuweka utaratibu<br />

shirikishi <strong>wa</strong> usimamizi<br />

<strong>wa</strong> shughuli za usafi.<br />

• Kuongeza huduma za<br />

vyoo na maji <strong>katika</strong><br />

soko<br />

• Kuboresha na Kujenga<br />

sehemu ya kuhifadhi<br />

mazao ya uvuvi<br />

(modern cold room.)<br />

• Kuimarisha ulinzi <strong>wa</strong><br />

kudhibiti uovu <strong>katika</strong><br />

soko kama vibaka,<br />

<strong>wa</strong>vuta bangi/<strong>mada</strong><strong>wa</strong><br />

ya kulevya, <strong>wa</strong>uza<br />

baruti, na zana<br />

zinazohusika na Uvuvi<br />

haramu.<br />

• Kutoa elimu ya<br />

matumizi bora ya<br />

mafuta ya kupikia<br />

samaki.<br />

• Matumizi ya majiko<br />

bora ili kupunguza<br />

adha ya Moshi.<br />

174<br />

MTEKELEZAJI MUDA WA<br />

UTEKELEZAJI<br />

Wavuvi<br />

H/shauri<br />

Maafisa Afya/<br />

Uvuvi/Uta<strong>wa</strong>la<br />

<strong>wa</strong> soko.<br />

Uta<strong>wa</strong>la <strong>wa</strong><br />

soko/ H/shauri<br />

–Ilala<br />

Maafisa Afya/<br />

Uvuvi/Uta<strong>wa</strong>la<br />

<strong>wa</strong> soko.<br />

Uta<strong>wa</strong>la <strong>wa</strong><br />

soko/ H/shauri<br />

Uta<strong>wa</strong>la <strong>wa</strong><br />

soko/ H/shauri<br />

Uta<strong>wa</strong>la <strong>wa</strong><br />

soko/ police<br />

Mtaalamu <strong>wa</strong><br />

lishe/chakula<br />

na Waleng<strong>wa</strong><br />

Wataalamu <strong>wa</strong><br />

nishati<br />

mbadala.<br />

2010/2012<br />

Endelevu<br />

Endelevu<br />

2009/2010<br />

2010/2011<br />

2010/2012<br />

Endelevu<br />

Endelevu<br />

Endelevu


4.0 MAONI<br />

Ili kuhakikisha mkakati huu unatekelezeka unahitaji rasilimali fedha na <strong>wa</strong>tu, na<br />

k<strong>wa</strong> kiasi kikub<strong>wa</strong> Halmashauri ndizo zinazohusika <strong>katika</strong> kutekeleza mkakati huu,<br />

K<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong> bajeti za Halmashauri za Mkoa <strong>wa</strong> Dar es Salaam ni ndogo, ni maoni yetu<br />

Wizara itachangia <strong>katika</strong> kutekeleza mkakati huu.<br />

175


TAARIFA YA SEKTA YA MAENDELEO YA UVUVI<br />

MKOA WA MWANZA<br />

1.0 UTANGULIZI<br />

Mkoa <strong>wa</strong> M<strong>wa</strong>nza unayo bahati ya ku<strong>wa</strong> na eneo la maji ya Zi<strong>wa</strong> Victoria. Eneo la<br />

zi<strong>wa</strong> hili, k<strong>wa</strong> upande <strong>wa</strong> Tanzania ni kilometa za Mraba 35,088 na kati ya kilometa<br />

hizo, Mkoa <strong>wa</strong> M<strong>wa</strong>nza unamiliki 15,092 km 2 ambayo ni asilimia 43 ya eneo la maji<br />

yote ya Kanda ya Zi<strong>wa</strong>. Maeneo ya maji Kiwilaya ni kama ifuatavyo; Wilaya ya Geita<br />

1,050 km 2 ; Ilemela na Nyamagana 900km 2 ; Magu 1,725 km 2 ; Misungwi 175 km 2 ;<br />

Sengerema 5,482 km 2 ; na; Ukerewe 5,760 km 2 . Zi<strong>wa</strong> linayo rasilimali ya uvuvi<br />

ambayo ina manufaa makub<strong>wa</strong> ya Kijamii na Kiuchumi k<strong>wa</strong> Jamii ya Uvuvi na Taifa<br />

k<strong>wa</strong> ujumla.<br />

1.1 Hali ya Rasilimali ya Uvuvi<br />

Tathimini ya uwingi <strong>wa</strong> rasilimali ya uvuvi kwenye Zi<strong>wa</strong> Victoria hufany<strong>wa</strong> na Taasisi<br />

ya Utafiti <strong>wa</strong> Uvuvi Tanzania (Tanzania Fisheries Research Institute – TAFIRI) k<strong>wa</strong><br />

kushirikiana na Taasisi zenzake za Kenya na Uganda kila m<strong>wa</strong>ka <strong>katika</strong> Msimu <strong>wa</strong><br />

mvua (Februari) na kiangazi (Agosti) Tathmini hii ilianza kufanyika m<strong>wa</strong>ka <strong>wa</strong> 1999<br />

chini ya mradi <strong>wa</strong> (Lake Victoria Fisheries Research Project II) na inaendelea mpaka<br />

sasa. Lengo la kufanya tathmini ni kufahamu wingi <strong>wa</strong> samaki, mta<strong>wa</strong>nyiko <strong>wa</strong>ke,<br />

mchanganyiko <strong>wa</strong> rika na aina ya samaki( species composition and age structure)<br />

na kutoa ushauri k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>simamizi <strong>wa</strong> rasilimali k<strong>wa</strong> hatua stahili zakuchukuli<strong>wa</strong> ili<br />

kuendeleza rasilimali ya zi<strong>wa</strong>. Tathmini hutumia njia ya m<strong>wa</strong>ngwi. Matokeo ya utafiti<br />

kuanzia 2005 mpaka Agosti 2009 kwenye maji ya Mkoa <strong>wa</strong> M<strong>wa</strong>nza ni kama<br />

ifuatavyo:-<br />

Jed<strong>wa</strong>li Na. 1: Wingi <strong>wa</strong> samaki Mkoa <strong>wa</strong> M<strong>wa</strong>nza<br />

M<strong>wa</strong>ka Sangara Dagaa Furu<br />

2005 99,336 103,965 97,962<br />

2006 12,3449 209,130 104,018<br />

2007 94,592 221,541 90,323<br />

2008 56,073 207,756 135,889<br />

2009 59,933 230,747 150,988<br />

176


K<strong>wa</strong> ujumla kuna kupungua k<strong>wa</strong> ki<strong>wa</strong>ngo kikub<strong>wa</strong> cha Samaki aina ya Sangara<br />

ambaye ndiye muhimu sana k<strong>wa</strong> pato la nchi na upatikanaji <strong>wa</strong> fedha za kigeni<br />

kutokana na mauzo ya minofu na mazao yake mengine. K<strong>wa</strong> mfano m<strong>wa</strong>ka 2005<br />

<strong>wa</strong>liku<strong>wa</strong> tani 99,336 na <strong>wa</strong>kapungu<strong>wa</strong> hadi tani 59,933 m<strong>wa</strong>ka 2009. Hii<br />

imesababisha vi<strong>wa</strong>nda kuchakata samaki chini ya ki<strong>wa</strong>ngo cha uchakataji (installed<br />

capacity) na kupunguza k<strong>wa</strong> kiasi ajira vi<strong>wa</strong>ndani.<br />

Kupungua k<strong>wa</strong> Samaki ha<strong>wa</strong> kumechangi<strong>wa</strong> na mambo kadhaa lakini sababisho<br />

kub<strong>wa</strong> ni ongezeko la idadi ya Wavuvi na zana za uvuvi; matumizi ya zana haramu<br />

za Uvuvi (Makokoro, Timba na nyavu za macho madogo); na; uharibifu <strong>wa</strong> mazalia<br />

na makulio ya samaki.<br />

1.2 Sensa ya uvuvi, uvunaji na faida zitokanazo na rasilimali ya uvuvi<br />

Sensa ya Uvuvi kwenye Zi<strong>wa</strong> Victoria hufanyika kila baada ya miaka miwili. Sensa hii<br />

imefanyika mfululizo tangu m<strong>wa</strong>ka 1998. Lengo la Sensa hizo ni kupata hali halisi<br />

kuhusu idadi ya <strong>wa</strong>vuvi, mitumbwi na zana za Uvuvi ambazo <strong>wa</strong>nazitumia <strong>katika</strong><br />

uvunaji <strong>wa</strong> Samaki. Kutokana na takwimu hizo mipango ya hakika ya juu ya<br />

Usimamizi na maendeleo ya Sekta ya Uvuvi inaandali<strong>wa</strong> na kutekelez<strong>wa</strong>.<br />

Matokeo yanaonyesha ongezeko kub<strong>wa</strong> la <strong>wa</strong>vuvi, vyombo na zana. K<strong>wa</strong> mfano<br />

m<strong>wa</strong>ka 2002 kuliku<strong>wa</strong> na <strong>wa</strong>vuvi 44,784 na m<strong>wa</strong>ka 2008 ni 56,044 hii ni ongezeko<br />

la <strong>wa</strong>vuvi 11,260. Vyombo viliongezeka kutoka 11,255 hadi 15,314 Aidha, Nyavu<br />

za Makila ziliongezeka kutoka 219,838 hadi 441,814 k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>kati huo, ndoano za<br />

migonzo pia ziliongezeka kutoka 31,468 hadi 3,338,431. Vilevile zana haramu<br />

hususan makokoro yaliongezeka kutoka 928 hadi 941, pia Timba ambazo<br />

hazikwepo m<strong>wa</strong>ka 2002 zimeibuka k<strong>wa</strong> ki<strong>wa</strong>ngo kikub<strong>wa</strong> na kufikia 2,119 m<strong>wa</strong>ka<br />

2008. Ongezeko la aina hii linasababisha shinikizo kub<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> rasilimali ya Uvuvi na<br />

kutishia uendelevu. Hali ya Uvuvi k<strong>wa</strong> mujibu <strong>wa</strong> Sensa nne zilizopita (2002 na<br />

2008) ni kama inavyoonekana kwenye Jed<strong>wa</strong>li Na. 2.<br />

177


178


Jed<strong>wa</strong>li Na. 2: Matokeo ya sensa ya uvuvi Zi<strong>wa</strong> Victoria m<strong>wa</strong>ka 2002-2008<br />

M<strong>wa</strong>ka Idadi Idadi ya<br />

Idadi ya zana<br />

ya vyombo Nyavu za makila Nyavu za dagaa Ndoano za migonzo Ndoano za mshipi Kokoro Timb<br />

Wavuvi<br />

Jumla Zisizo % Jumla Zisizo % Jumla Zisizo % Jumla Zisizo % zote a<br />

halali yake<br />

halali yake<br />

halali yake<br />

halali yake (haram zote<br />

<br />

u) hara<br />

size 9<br />

mu<br />

2002 44,784 11,255 219,838 57,026 25.94 3620 Hazikuhe- - 31,468 Hazikuhe- - 2,457,528 Haziku- - 928 0<br />

sabi<strong>wa</strong><br />

sabi<strong>wa</strong><br />

hesabi<strong>wa</strong><br />

2004 39,370 10,938 304,322 31,950 10.49 3039 Hazikuhe- - 9,837 Hazikuhe- - 1,549,493 Hazikuhe- - 901 0<br />

sabi<strong>wa</strong><br />

sabi<strong>wa</strong><br />

sabi<strong>wa</strong><br />

2006 56,321 16,911 208,079 57,849 27.80 3,455 Hazikuhe- - 24,040 Hazikuhe- - 2,240,752 Hazikuhe- - 1054 0<br />

sabi<strong>wa</strong><br />

sabi<strong>wa</strong><br />

sabi<strong>wa</strong><br />

2008 56,044 15,314 441,814 83,120 18.81 3,670 3199 87.1 3,338,592 2,516,592 75.38 15,186 Hazikuhe- - 941 2119<br />

7<br />

sabi<strong>wa</strong><br />

179


1.2.1 Upatikanaji <strong>wa</strong> zana za uvuvi<br />

Zana za Uvuvi bora zinapatikana <strong>katika</strong> kiasi cha kukidhi mahitaji ya <strong>wa</strong>vuvi kutoka<br />

k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>uzaji 22 <strong>wa</strong> Jiji la M<strong>wa</strong>nza. Aidha, kipo Ki<strong>wa</strong>nda cha Nyavu kimoja M<strong>wa</strong>nza<br />

mjini kinachoit<strong>wa</strong> Fanaka ambacho kinazalisha nyavu za makila zenye macho ya<br />

inchi 5 hadi nchi 9 k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>stani <strong>wa</strong> 64,164 k<strong>wa</strong> mwezi. Zana bora k<strong>wa</strong> mkoa <strong>wa</strong><br />

M<strong>wa</strong>nza ni zile zilizoruhusi<strong>wa</strong> kisheria kutumika <strong>katika</strong> Zi<strong>wa</strong> Victoria ambazo ni<br />

zifuatazo;<br />

a) Nyavu za makila zenye macho ya inchi 5 k<strong>wa</strong> ajili ya kuvua sato, na inchi 6<br />

k<strong>wa</strong> sangara<br />

b) Nyavu za dagaa ni zile zenye macho ya milimita 10<br />

c) Ndoano k<strong>wa</strong> ajili ya sato na sangara ni kati ya saizi 9-11<br />

Hata hivyo Baraza la Ma<strong>wa</strong>ziri wenye dhamana ya uvuvi k<strong>wa</strong> nchi za Kenya, Uganda<br />

na Tanzania liliamua k<strong>wa</strong>mba ndoano za kutumika kwenye Zi<strong>wa</strong> Victoria ni za<br />

ukub<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> saizi 4-9, na Nyavu za makila yenye macho inchi 7 na kuendelea ndizo<br />

zitumike k<strong>wa</strong> uvuvi <strong>wa</strong> Sangara. Utekelezeja unasubiri hadi maamuzi haya<br />

yatakapowek<strong>wa</strong> kwenye Sheria ya Uvuvi.<br />

Zana za uvuvi zinasambaz<strong>wa</strong> kutoka Jiji la M<strong>wa</strong>nza kwenda maeneo mbalimbali ya<br />

uvuvi pamoja na Visi<strong>wa</strong>ni k<strong>wa</strong> njia ya barabara na maji. Yapo mabasi ya kutosha na<br />

meli zinazotoa huduma za uchukuzi. Baadhi ya meli hizo zimetaj<strong>wa</strong> hapo chini<br />

a) Meli za Shirika la huduma za majini M<strong>wa</strong>nza (M<strong>wa</strong>nza Marine Service<br />

Company. – MV Serengeti, MV Clarias, MV Butiama) na nyingine 5 za <strong>wa</strong>tu<br />

binafsi; MV Nyehunge, MV Juliana, MV Lumenya, MV Nyakijanja na MV Umia<br />

ujae zinahudumia Wilaya ya Ukerewe na Visi<strong>wa</strong> vyake.<br />

b) Meli za <strong>wa</strong>tu binafsi, MV Bijiri na MV Luxury zinahudumia Itabagumba na<br />

visi<strong>wa</strong> vya Kome, Maisome, Kasalazi ambayo viko Wilaya ya Sengerema pia<br />

Nkome ambao ni M<strong>wa</strong>lo <strong>wa</strong> Wilaya ya Geita. Aidha, ipo boti ya binafsi MV<br />

Unga robo inayohudumia Kisi<strong>wa</strong> cha Juma <strong>katika</strong> Wilaya ya Sengerema.<br />

1.2.2 Mavuno na faida ya rasilimali ya uvuvi<br />

Takwimu za mavuno ya samaki na thamani yake zinachukuli<strong>wa</strong> na Beach<br />

Management Units (BMUs) kwenye mialo 29 <strong>wa</strong>kilishi ya mialo 287 ya Mkoa.<br />

Takwimu hizo huchambuli<strong>wa</strong> na kukotole<strong>wa</strong> na TAFIRI ili kupata hali ya mavuno na<br />

thamani yake k<strong>wa</strong> Zi<strong>wa</strong> zima. Takwimu za kipindi cha M<strong>wa</strong>ka 2005 hadi 2008<br />

zinaonyesha samaki <strong>wa</strong>liovuli<strong>wa</strong> na thamani yao kama inavyoonyesh<strong>wa</strong> kwenye<br />

Jed<strong>wa</strong>li Na. 3a.<br />

180


Jed<strong>wa</strong>li Na. 3a Mavuno ya Samaki na thamani yake k<strong>wa</strong> Mkoa <strong>wa</strong> M<strong>wa</strong>nza, kipindi cha m<strong>wa</strong>ka 2005 hadi 2008<br />

Aina ya<br />

Miaka; mavuno ya Samaki (tani) na thamani yake (Tsh).<br />

Samaki<br />

2005 2006 2007 2008<br />

Mavuno Thamani (Tsh) Mavuno Thamani (Tsh) Mavuno Thamani (Tsh) Mavuno Thamani (Tsh)<br />

(Tani)<br />

(Tani)<br />

(Tani)<br />

(Tani)<br />

Sangara 101171.01 111,711,499,346 64,281.06 72,361,936,262 69,714.08 81,582,059,793 84,512.1 93,191,351,516<br />

Sato 9,906.00 1,303,295,201 12,748.04 2,734,129,628 8,276.09 2,437,235,826 148,943 94,444,112,931<br />

Dagaa 87,896.06 12,342,343,454 123,726.02 22,732,999,916 195,740.09 29,023,514,268 95,399.05 14,090,485,443<br />

Furu 26,744.3 12,738,438,916 51,356.03 9,588,905,472 28,602.06 15,770,763,918 26,768.04 18,540,377,660<br />

Mbofu 812.06 519,209,883 1,200.06 470,212,125 347.05 163,015,870 18,610.08 8,241,257,262<br />

Mumi 368.02 23,524,7451 841.09 329,734,316 542.02 254,343,355 59,064.01 26,154,825,656<br />

Kamong<br />

o<br />

865.02 552,809,535 10,370.09 536,944,780 492.08 231,152,440 9,168.09 4,060,172,881<br />

Wengine 35.05 22,662,419 627.02 245,650,754 314.02 147,392,307 3,389.08 1,501,067,545<br />

Jumla 227,799.5 145,545,891,026 256,153.1 100,324,811,452 304.031.9 142,611,207,690 445,856.5 260,223,650,894<br />

Jed<strong>wa</strong>li Na. 3b: Wastani <strong>wa</strong> mavuno na thamani <strong>katika</strong> kipindi cha m<strong>wa</strong>ka 2005 hadi 2009<br />

Aina ya<br />

Samaki<br />

Jumla ya<br />

Mavuno (Tani<br />

k<strong>wa</strong> miaka 4)<br />

Jumla ya<br />

thamani (Sh)<br />

k<strong>wa</strong> miaka 4<br />

181<br />

Mavuno<br />

(Tani)<br />

Thamani (Sh.)<br />

Sangara 319,679.60 358,846,846,917 79,919.9 89,711,711,729.25<br />

Dagaa 502,874.40 100,918,773,586 125,690.8 25,229,693,396.50<br />

Sato 179,874.40 78,189,343,081 44,968.6 19,547,335,770.25<br />

Furu 133,471.60 56,638,485,966 33,367.9 14,159,621,491.50<br />

Mbofu 20,971.60 9,393,695,140 5,242.9 2,348,423,785<br />

Mumi 60,816.40 26,974,150,778 15,204.1 6,743,537,694.50<br />

Kamongo 118,987.60 5,381,079,636 29,746.9 1,345,269,909<br />

Wengine 4,566.80 1,916,773,023 1,141.7 479,193,256.25<br />

Jumla 1,341,131.20 638,259,148,126 335,282.80 159,564,787,032.25


K<strong>wa</strong> mujibu <strong>wa</strong> takwimu hizi, <strong>wa</strong>stani <strong>wa</strong> mavuno <strong>wa</strong> Samaki wote kila m<strong>wa</strong>ka ni<br />

tani 335,282.80 na thamani yao ya <strong>wa</strong>stani k<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka ni Tsh.<br />

159,564,787,032.25. Aidha, dagaa ndiyo <strong>wa</strong>naongoza k<strong>wa</strong> wingi na Sangara ni<br />

<strong>wa</strong> pili.<br />

Aidha, fedha ya kigeni na mrahaba ambao ulitoz<strong>wa</strong> <strong>katika</strong> kipindi hicho k<strong>wa</strong> mazao<br />

ya Sangara ni jumla ya Dola za Kimarekani 595,663,702.30 na mrahaba uliotoz<strong>wa</strong><br />

na Serikali ni jumla ya shilingi 19,190,131,610.15 kutoka Vi<strong>wa</strong>nda saba vya<br />

Samaki (M<strong>wa</strong>nza Fishing Industries Ltd, Nileperch Fisheries Ltd, Omega Fish Ltd,<br />

Tanzania Processors Ltd, Vicfish Ltd, Tanperch Ltd, Tanzania Fisheries Development<br />

Co-operation Company Ltd) <strong>katika</strong> Mkoa <strong>wa</strong> M<strong>wa</strong>nza ambayo yaliuz<strong>wa</strong> nje ya nchi<br />

imeonyesh<strong>wa</strong> <strong>katika</strong> Jed<strong>wa</strong>li Na. 3c. hapa chini.<br />

Jed<strong>wa</strong>li Na. 3c: Mauzo ya mazao ya Samaki soko la nje na mapato ya<br />

Serikali<br />

M<strong>wa</strong>ka Uzito (Tani) Thamani (USD) Mrahaba (Sh)<br />

2005 36,854.70 110,122,188.43 5,689,348,320.00<br />

2006 42,268.90 113,783,848.80 4,886,955.142.00<br />

2007 36,154.80 120,017,848.80 5,130,023,244.00<br />

2008 33,578.28 173,739,593.14 5,330,366,660.76<br />

2009 22,010.769 78,000,223.13 3,040,393,385.39<br />

JUMLA 170,867.45 595,663,702.30 19,190,131,610.15<br />

Fedha inayotokana na rasilimali ya Uvuvi inachangia <strong>katika</strong> kuendeleza k<strong>wa</strong> kasi<br />

ustawi <strong>wa</strong> jamii na kuleta maendeleo kutokana na <strong>wa</strong>nanchi kujenga nyumba za<br />

kisasa za kuishi , za biashara kama vile hoteli na nyumba za kulala <strong>wa</strong>geni. Maeneo<br />

mengine ya uwekezaji ni <strong>katika</strong> vyombo vya usafiri majini na nchi kavu, mashule na<br />

huduma za ma<strong>wa</strong>siliano n.k. Kutokana na umuhimu <strong>wa</strong> rasilimali ya Uvuvi, Mkoa<br />

umeku<strong>wa</strong> unafanya kila jitihada kuisimamia, kuhimiza matumizi ya busara na<br />

kuiendeleza ili iweze kudumish<strong>wa</strong> na kuendelea kutoa manufaa k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>nanchi na<br />

Taifa.<br />

2.0 WATUMISHI WA SEKTA NA VITENDEA KAZI VILIVYOPO<br />

Idadi ya <strong>wa</strong>tumishi na Sekta ambao <strong>wa</strong>nasimamia rasilimali ya Uvuvi <strong>katika</strong> Mkoa na<br />

Wilaya zake saba kata 67 na vijiji 137 mitaa 17,ni sabini na mmoja (71).<br />

Mta<strong>wa</strong>nyo <strong>wa</strong> <strong>wa</strong>tumishi hao ni kama ifuayatavyo:-<br />

• Kikosi cha Usimamizi, Udhibiti na Doria, Mkoa:<br />

Watumishi 17 (<strong>wa</strong>tano <strong>wa</strong>po masomoni). Eneo la kusimamia na kudhibiti<br />

ni Mkoa wote.<br />

2.1 Ngazi za Wilaya;<br />

• Wilaya ya Geita yenye eneo la 1050 km 2 na Kata 8 ina <strong>wa</strong>tumishi 5. Eneo<br />

la <strong>wa</strong>stani linalosimami<strong>wa</strong> na mtumishi mmoja ni 210 km 2 .<br />

182


• Wilaya za Ilemela na Nyamagana (Watumishi wote ni <strong>wa</strong> Halmashauri ya<br />

Jiji la M<strong>wa</strong>nza zenye eneo la maji 900km 2 na Kata; Watumishi 14 (Mmoja<br />

yupo masomoni). Eneo la <strong>wa</strong>stani la kusimami<strong>wa</strong> na mtumishi mmoja ni<br />

64.28km 2<br />

• Wilaya ya Magu yenye 1725km 2 za mraba na Kata ina <strong>wa</strong>tumishi 13.<br />

<strong>wa</strong>stani <strong>wa</strong> eneo la la maji linalosimami<strong>wa</strong> na mtumishi ni 132.69km 2<br />

• Wilaya ya Misungwi iki<strong>wa</strong> na eneo la maji 175km 2 na Kata 6 ina<br />

<strong>wa</strong>tumishi 5. Eneo la <strong>wa</strong>stani linalosimami<strong>wa</strong> na mtumishi mmoja ni<br />

35km 2<br />

• Wilaya ya Sengerema, eneo la maji 5482 km 2 na Kata 18 ina <strong>wa</strong>tumishi<br />

12. Eneo la <strong>wa</strong>stani linalosimami<strong>wa</strong> na mtumishi mmoja ni 456.83 km 2<br />

• Wilaya ya Ukerewe, yenye eneo la maji 5760 km 2 na Kata 18 ina<br />

<strong>wa</strong>tumishi 4. Uwiano <strong>wa</strong> <strong>wa</strong>tumishi na eneo la kusimami<strong>wa</strong> ni, Mtumishi 1<br />

k<strong>wa</strong> 1440km 2<br />

K<strong>wa</strong> upande <strong>wa</strong> Vitendea kazi, Mkoa unayo magari 3 Toyota land Cruiser na Toyota<br />

pick-up 2. Magari 2 yanatumi<strong>wa</strong> na kikosi cha Doria Mkoa, na 1 Wilaya ya Geita.<br />

Aidha, kila Wilaya ina pikipiki moja (isipoku<strong>wa</strong> Sengerema yenye 2). Hata hivyo,<br />

pikipiki zote ni mbovu. Mkoa pia una jumla ya Boti 12 (6 zipo kikosi cha mkoa, 2<br />

Wilaya ya Sengerema, 2 Wilaya ya Ukerewe, 1 Wilaya ya Geita). Boti 10<br />

zinaendesh<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> injini za kupachika (Outboard engine) na 2 ni injini za ndani (In<br />

board engines). K<strong>wa</strong> ujumla mkoa una uhaba mkub<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> <strong>wa</strong>tumishi na vitendea<br />

kazi.<br />

3.0 Mpango Mkakati <strong>wa</strong> Mkoa <strong>wa</strong> Kusimamia, Kuendeleza na Kukuza<br />

Matumizi Endelevu ya Rasilimali ya Uvuvi Zi<strong>wa</strong> Victoria<br />

Kutokana na umuhimu <strong>wa</strong> rasilimali ya uvuvi, Mkoa umeku<strong>wa</strong> unafanya kila jitihada<br />

kuisimamia, kuhimiza matumizi ya busara na kuiendeleza ili iweze kudumish<strong>wa</strong> na<br />

kuendelea kutoa manufaa k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>nanchi na Taifa. Iliku<strong>wa</strong> na utekelezaji <strong>wa</strong> ufanisi<br />

mkoa unao mpango mkakati <strong>wa</strong>ke. Na mpango huo unao maeneo makuu sita ya<br />

utekelezaji ambayo umeonyesh<strong>wa</strong> kwenye Jed<strong>wa</strong>li Na. 4 hapo chini.<br />

183


Jed<strong>wa</strong>li Na. 4: Mpango mkakati <strong>wa</strong> Mkoa <strong>wa</strong> kusimamia, kuendeleza na kukuza matumizi endelevu ya rasilimali<br />

ya uvuvi Zi<strong>wa</strong> Victoria<br />

Eneo Hoja Lengo Mkakati Shughuli za kufanyika Mhusika Muda<br />

1.<br />

1. Kuthiri k<strong>wa</strong> Kutokomeza Uvuvi i) Kuielemisha jamii - Kuihabarisha jamii k<strong>wa</strong> - Viongozi <strong>wa</strong> 2008/2009<br />

USIMAMIZI Uvuvi haramu haramu<br />

ya Wavuvi na Wadau kutumia vyombo vya Wizara, Idara ya<br />

NA<br />

wengineo juu ya habari.<br />

Uvuvi Mkoa Wilaya<br />

UDHIBITI<br />

<strong>wa</strong>jibu <strong>wa</strong>o <strong>wa</strong> - Kufanya mikutano ya na Halmashauri<br />

WA<br />

kulinda, kuhifadhi na hadhara na jamii za - Vyombo vya habari<br />

RASILIMALI<br />

kudumisha rasilimali Wavuvi.<br />

YA UVUVI.<br />

ya Uvuvi k<strong>wa</strong> faida<br />

ya wote.<br />

ii) Kupata taarifa Kupata taarifa za <strong>wa</strong>tu Viongozi <strong>wa</strong> Mkoa 2008/2009<br />

kutoka k<strong>wa</strong> jamii <strong>wa</strong>naojihusisha na Uvuvi Wilaya<br />

k<strong>wa</strong> siri, kuhusu haramu.<br />

Halmashauri za<br />

<strong>wa</strong>igizaji,<br />

Wilaya, Polisi na<br />

<strong>wa</strong>tengenezaji,<br />

<strong>wa</strong>uzaji,<br />

Idara ya Uvuvi<br />

<strong>wa</strong>sambazaji na<br />

Wavuvi<br />

haramu.<br />

<strong>wa</strong> zana<br />

iii) Ku<strong>wa</strong>taka wote Kukusanya zana haramu, BMUs, Viongozi <strong>wa</strong> 2008/2009<br />

<strong>wa</strong>naojihusisha na kuziteketeza k<strong>wa</strong> moto Serikali za Vijiji<br />

Uvuvi haramu, hadharani, kuweka Halmashauri za<br />

kusalimisha zana zao kumbukumbu na kutoa Wilaya na Mkoa<br />

k<strong>wa</strong> hiari k<strong>wa</strong> taarifa k<strong>wa</strong> ngazi husika.<br />

mamlaka husika.<br />

iv) Kufanya Kusaka, kukamata Wakuu <strong>wa</strong> Mikoa na 2008/2009<br />

operesheni Zi<strong>wa</strong>ni, <strong>wa</strong>tuhumi<strong>wa</strong> na kuchukua Wilaya, Polisi, 2009/2010<br />

nchi kavu na misako hatua za kisheria dhidi Uhamiaji,<br />

ya nyumba k<strong>wa</strong> yao.<br />

Halmashauri, Idara<br />

nyumba k<strong>wa</strong><br />

ya Uvuvi, Wamiliki <strong>wa</strong><br />

kuzingatia orodha za<br />

Vi<strong>wa</strong>nda vya Samaki,<br />

<strong>wa</strong>husika na Uvuvi<br />

Mahakama<br />

184


Eneo Hoja Lengo Mkakati Shughuli za kufanyika Mhusika Muda<br />

haramu na<br />

ku<strong>wa</strong>chukulia hatua<br />

2. Kukosekana<br />

uta<strong>wa</strong>la bora<br />

na ukiukaji <strong>wa</strong><br />

maadili ya<br />

Uongozi na<br />

utumishi<br />

kwenye<br />

maeneo ya<br />

Uvuvi<br />

(i) Kuboresha<br />

u<strong>wa</strong>jibikaji <strong>wa</strong><br />

<strong>wa</strong>tumishi<br />

ii) Kuimarisha<br />

ushirikiano kati ya<br />

<strong>sekta</strong> ya Uvuvi na<br />

Sekta za fedha,<br />

Vi<strong>wa</strong>nda na Biashara<br />

<strong>katika</strong> kupiga vita<br />

Uvuvi haramu<br />

185<br />

za kisheria<br />

v) Ku<strong>wa</strong>nyang’anya<br />

leseni za uvuvi<br />

Wavuvi haramu<br />

sugu.<br />

Ku<strong>wa</strong>jibisha Viongozi<br />

na <strong>wa</strong>tendaji<br />

<strong>wa</strong>naokiuka maadili<br />

ya uongozi na kazi .<br />

Mamlaka husika<br />

kuzuia uingiz<strong>wa</strong>ji <strong>wa</strong><br />

zana za Uvuiv<br />

haramu nchini<br />

Ku<strong>wa</strong>tambua Wavuvi<br />

haramu sugu na<br />

kuya<strong>wa</strong>silisha k<strong>wa</strong><br />

mamlaka<br />

- Kuitisha mikutano ya<br />

hadhara na kuendesha<br />

kura za siri<br />

- Kuhakiki kura na<br />

ku<strong>wa</strong>jibisha <strong>wa</strong>husika<br />

Wizara ya Maendeleo ya<br />

Mifugo na Uvuvi<br />

ku<strong>wa</strong>siliana na Wizara za<br />

Fedha, Vi<strong>wa</strong>nda na<br />

Biashara na kuziomba<br />

kuzuia kuingiz<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong><br />

zana haramu za Uvuvi<br />

nchini<br />

BMUs, Halmashauri<br />

za Wilaya,<br />

Mkurugenzi <strong>wa</strong><br />

Uvuvi.<br />

Wakuu <strong>wa</strong> Mikoa na<br />

Wilaya, Viongozi <strong>wa</strong><br />

Halmashauri na Idara<br />

ya Uvuvi<br />

Idara ya Uvuvi,<br />

Wizara za Fedha,<br />

Biashara na Vi<strong>wa</strong>nda,<br />

TRA; na;<br />

Halmashauri za<br />

Wilaya<br />

2009/2010<br />

2008/2009<br />

2008/2009


Eneo Hoja Lengo Mkakati Shughuli za kufanyika Mhusika Muda<br />

3. Kuvuli<strong>wa</strong>, Kutokomeza kuvuli<strong>wa</strong>, Kukuza uele<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> i) Kuhamasisha jamii ya<br />

2008/2009<br />

kuchakat<strong>wa</strong>, kuchakat<strong>wa</strong> na kuuz<strong>wa</strong> Wadau kuhusu athari Uvuvi kuvua Samaki Wakuu <strong>wa</strong> Mikoa na<br />

na kuuz<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> Samaki <strong>wa</strong>changa za kuvuli<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>liopevuka<br />

Wilaya<br />

Samaki<br />

kuchakat<strong>wa</strong> na ii) Kubaini maeneo Halmashauri za<br />

<strong>wa</strong>changa<br />

kuuz<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> Samaki yanayochakata, kuuza na Wilaya<br />

(Sangara <strong>wa</strong><br />

<strong>wa</strong>changa juu ya mapitisho ya Samaki BMUs<br />

Sato)<br />

uendelevu <strong>wa</strong> <strong>wa</strong>changa.<br />

Idara ya Uvuvi TRA<br />

rasilimali ya Uvuvi.<br />

Wamiliki <strong>wa</strong> Vi<strong>wa</strong>nda<br />

4. Upotevu <strong>wa</strong> Kukuza mapato Kuimarisha<br />

iii) Vi<strong>wa</strong>nda vya Samaki vya Samaki.<br />

mapato ya yatokanayo na mazao ushirikiano na kuhimiz<strong>wa</strong> kutonunua na<br />

Serikali ya Uvuvi<br />

u<strong>wa</strong>jibishaji <strong>wa</strong> kuchakata.<br />

yatokanayo na<br />

<strong>wa</strong>tendaji <strong>wa</strong> Taasisi iv) Kufanya doria kwenye<br />

mazao ya<br />

husika<br />

maeneo <strong>wa</strong>nakochakat<strong>wa</strong>,<br />

Uvuvi<br />

kupitish<strong>wa</strong> na kuuz<strong>wa</strong><br />

Samaki <strong>wa</strong>changa<br />

v) Ku<strong>wa</strong>chukulia hatua za<br />

kisheria <strong>wa</strong>tuhumi<strong>wa</strong><br />

<strong>wa</strong>takaokamat<strong>wa</strong><br />

Kuimarisha ushirikiano na Wakuu <strong>wa</strong> Mikoa na 2009 -<br />

Usimamizi <strong>wa</strong> Taasisi Wilaya, Halmashauri, 2010<br />

mbali mbali na vyombo Idara ya Uvuvi, Polisi<br />

vya dola.<br />

TRA na Uhamiaji.<br />

Kuthibiti utoroshaji <strong>wa</strong> i) Kuimarisha doria Wakuu <strong>wa</strong> Mikoa na Wakuu <strong>wa</strong> Mikoa na 2008/2009<br />

mazao nje ya nje nchi shirikishi hasa Wilaya, Halmashauri, Wilaya<br />

Hadi<br />

mipakani<br />

Idara ya Uvuvi TRA, Polisi Halmashauri<br />

2009/2010<br />

na Uhamiaji<br />

Idara ya Uvuvi TRA<br />

Polisi<br />

Uhamiaji<br />

ii) Kudhibiti Kuimarisha doria shirikishi Wakuu <strong>wa</strong> Mikoa na 2008/2009<br />

utoroshaji <strong>wa</strong> mazao hasa mipakani<br />

Wilaya, Halmashauri, Hadi<br />

186


iv) Kudhibiti<br />

udanganyifu <strong>wa</strong> mizani<br />

k<strong>wa</strong> Wavuvi<br />

187<br />

nje ya nchi Idara ya Uvuvi, TRA,<br />

Polisi na Uhamiaji<br />

iii) Kuongeza idadi ya Kuajiri <strong>wa</strong>tumishi Halmashauri za<br />

<strong>wa</strong>tumishi <strong>wa</strong><br />

Wilaya, Idara ya<br />

kusimamia<br />

Uvuvi na Taasisi<br />

ukusanyaji mapato<br />

husika<br />

- Kuhakiki usahihi <strong>wa</strong> Idara ya vipimo na Mizani 2008/2009<br />

mizani ya kupimia<br />

Hadi<br />

Samaki<br />

Halmashauri za Wilaya na 2009/2010<br />

- Kutunga sheria Serikali za vijiji<br />

ndogo za vijiji ili<br />

mizani ya kutumika<br />

iwe ya BMUs au<br />

Serikali za vijiji.<br />

2009/2010<br />

2008/2009<br />

Hadi<br />

2009/2010


Eneo Hoja Lengo Mkakati Shughuli za kufanyika Mhusika Muda<br />

5. Matumizi<br />

holela ya<br />

Mialo ya Uvuvi<br />

Kuthibiti matumizi ya<br />

mialo isiyo rasmi<br />

Kuimarisha ukusanyaji<br />

<strong>wa</strong> Ushuru maduhuli<br />

188<br />

i) Kufunga mialo isiyo<br />

rasmi na<br />

ku<strong>wa</strong>simamisha<br />

itakayobaki<br />

Kutafiti k<strong>wa</strong> kina<br />

vyanzo na ki<strong>wa</strong>ngo<br />

cha mapato kwenye<br />

vyanzo hivyo<br />

i) Kufunga mialo isiyo<br />

rasmi na kuisimamisha<br />

itakayobaki<br />

i) Kubaini vi<strong>wa</strong>ngo vya<br />

mapato kwenye vyanzo<br />

vilivyopo<br />

ii) Kuinua vyanzo vipya<br />

iii) Kuzitumia BMus zenye<br />

uwezo kukusanya mapato<br />

/ ushuru badala ya <strong>wa</strong>kala<br />

binafsi<br />

iii) Kudhibiti ukusanyaji<br />

<strong>wa</strong> mapato<br />

i) Kushauriana na<br />

Jamii ya Wavuvi<br />

kuhusu mialo stahili<br />

ii) Kusimamia<br />

matumizi ya mialo<br />

stahili (rasmi)<br />

iii) Kufunga mialo<br />

isiyo rasmi<br />

iv) Kuorodhesha na<br />

kuitangaza mialo<br />

rasmi kwenye gazeti<br />

la Serikali<br />

v) Ku<strong>wa</strong>pa taarifa<br />

<strong>wa</strong>dau kuhusu mialo<br />

rasmi na matumizi<br />

yake<br />

Halmashauri 2008/2009<br />

-<br />

2009/2010


2.<br />

USIMAMIZI<br />

NA<br />

UDHIBITI<br />

WA UBORA<br />

WA MAZAO<br />

YA SAMAKI<br />

NA<br />

MASOKO<br />

1) Vi<strong>wa</strong>ngo<br />

duni vya<br />

Ubora <strong>wa</strong><br />

Usalama <strong>wa</strong><br />

mazao ya<br />

Samaki<br />

Kukuza, kusimamia na<br />

kudhibiti vi<strong>wa</strong>ngo vya<br />

Ubora na Usalama <strong>wa</strong><br />

mazao ya Samaki<br />

189<br />

ii) Kukuza uele<strong>wa</strong> <strong>wa</strong><br />

Wadau juu ya<br />

umuhimu <strong>wa</strong><br />

Vi<strong>wa</strong>ngo vya Ubora<br />

na Usalama <strong>wa</strong><br />

Mazao ya Samaki.<br />

ii) Kudhibiti vi<strong>wa</strong>ngo<br />

vya Ubora na<br />

Usalama <strong>wa</strong> mazao<br />

ya Samaki<br />

iii) Kufanya ukaguzi<br />

<strong>wa</strong> Mara k<strong>wa</strong> mara<br />

kwenye mialo,<br />

Masoko, Vi<strong>wa</strong>nda na<br />

vyombo vya<br />

kusafrishia ili<br />

kuhakikisha ku<strong>wa</strong><br />

vi<strong>wa</strong>ngo vya Ubora<br />

na Usalama vinakidhi<br />

i) Kuelimisha na<br />

kuhamasisha Wadau<br />

kuhusu Ubora, Usalama<br />

<strong>wa</strong> mazao ya Samaki na<br />

faida zake k<strong>wa</strong> kutumia<br />

njia mbali mbali<br />

ii) Kuandaa sheria ndogo<br />

na kanuni za Usimamizi<br />

<strong>wa</strong><br />

Samaki na mazao yake<br />

kwenye mialo<br />

Idara ya Uvuvi<br />

Halmashauri za Jiji na<br />

Wilaya<br />

Idara ya Uvuvi,<br />

Halmashauri za Jiji na<br />

Wilaya<br />

Idara ya Uvuvi,<br />

Halmashauri za Jiji na<br />

Wilaya<br />

Endelevu<br />

Endelevu<br />

2008/2009-<br />

2010/2011


Eneo Hoja Lengo Mkakati Shughuli<br />

kufanyika<br />

za<br />

2) Miundo Kujega, kuboreka na i) Kukarabati na i) Upakaji rangi<br />

mbinu kutunza miundo kutunza miundo majengo, kasha<br />

isiyokidhi mbinu inayokidhi mbinu zilizopo kurudishia Nanga na<br />

vi<strong>wa</strong>ngo vya Vi<strong>wa</strong>ngo<br />

minyororo kwenye<br />

Ubora na<br />

ii) Kutambua mialo kishari<br />

Usalama <strong>wa</strong><br />

ya kuboresh<strong>wa</strong> na<br />

Sakamaki na<br />

kuweke<strong>wa</strong> miundo ii) Kutembelea mialo,<br />

mazao yake<br />

mbinu stahili. kushauriana na Jamii na<br />

Uongozi <strong>wa</strong> Serikali za<br />

vijiji husika<br />

3. Maabara ya<br />

taifa ya<br />

uchunguzi <strong>wa</strong><br />

samaki na<br />

mazao yake<br />

kutambuli<strong>wa</strong><br />

kimataifa<br />

Kukuza Vi<strong>wa</strong>ngo na<br />

ufanisi <strong>wa</strong> Maabara<br />

na ili ili kudumisha<br />

ithibaki<br />

190<br />

iii) Kutangaza mialo<br />

iliyoboresh<strong>wa</strong><br />

kwenye Gazeti la<br />

Serikali<br />

Ku<strong>wa</strong> na vifaa<br />

vinavyokidhi<br />

vi<strong>wa</strong>ngo vya ithibaki<br />

na kuvitumia,<br />

kuvitunza k<strong>wa</strong><br />

mujibu <strong>wa</strong> taratibu<br />

iii) Kusanifu maeneo<br />

husika na kupata<br />

mafungu ya ujenzi<br />

iv) Kujenga miundo<br />

mbinu<br />

Kutangaza mialo husika<br />

<strong>katika</strong> Gazeti la Serikali<br />

i) Kununua na kufunga<br />

vifaa vinavyokidhi<br />

ii) Ku<strong>wa</strong>fundisha<br />

<strong>wa</strong>tumishi <strong>wa</strong> Maabara<br />

staid zinazotaki<strong>wa</strong><br />

Mhusika Muda<br />

Halmashauri za<br />

Wilaya<br />

Idara ya Uvuvi,<br />

Halmashauri za<br />

Wilaya<br />

Idara ya uvuvi na<br />

Halmashauri za<br />

Wilaya<br />

Idara ya Uvuvi na<br />

Halmashauri za<br />

Wilaya<br />

2008/2009<br />

2008/2009-<br />

2010/2011<br />

2010/2011-<br />

2014/2015<br />

2010/2011-<br />

2014/2015<br />

Idara ya Uvuvi 2008/2009


3.<br />

USHIRIKISHWAJI<br />

WA JAMII<br />

KWENYE<br />

USIMAMIAJI WA<br />

RASILIMALI YA<br />

UVUVI<br />

Usimamizi <strong>wa</strong><br />

rasilimali dhifu<br />

<strong>wa</strong> Vikundi<br />

vya Ulinzi <strong>wa</strong><br />

Rasilimali<br />

(Beach<br />

Management<br />

Units – BMUs)<br />

Kuimarisha BMUs ili<br />

zitekeleze majukumu<br />

yao k<strong>wa</strong> ufanisi<br />

191<br />

i) Kujenga uwezo<br />

<strong>wa</strong> shughuli zao<br />

ii) BMUs ku<strong>wa</strong> na<br />

vyanzo endelevu<br />

vya mapato<br />

iii) Kuimarisha<br />

huduma za ugani<br />

i) Ku<strong>wa</strong>pa mafunzo juu<br />

ya uta<strong>wa</strong>la, Usimamizi,<br />

Utunzaji <strong>wa</strong> Vitabu vya<br />

fedha, kutunga Sheria<br />

ndogo na kupanga<br />

miipango ya Maendeleo<br />

k<strong>wa</strong> jamii na Usimamizi<br />

<strong>wa</strong> rasilimali<br />

ii) Kuhamasisha jamaii<br />

ya Uvuvi kuanzisha<br />

vyama vya kuweka na<br />

kukopa (SACCOS)<br />

iii) Vikundi vilivyoimarika<br />

kupe<strong>wa</strong> u<strong>wa</strong>kala <strong>wa</strong><br />

kukusanya ushuru k<strong>wa</strong><br />

niaba ya Halmashauri<br />

iv) Kubuni na kutekeleza<br />

Miradi midogo ya<br />

kiuchumi<br />

i) Kuhamasisha<br />

matumizi ya Zana na<br />

njia endelevu za Uvuvi.<br />

ii) Ushughulikiaji,<br />

Uchakataji, Uhifadh,<br />

Ufugaji <strong>wa</strong> Samaki na<br />

mazao yake<br />

unaozingatia vi<strong>wa</strong>ngo<br />

vya Ubora na Usalama<br />

Halmashauri za<br />

Wilaya na Idara ya<br />

Uvuvi<br />

Halmashauri za<br />

Wilaya<br />

Halmashauri za<br />

Wilaya<br />

Halmashauri za<br />

Wilaya<br />

Halmashauri za<br />

Wilaya<br />

Halmashauri za Jiji<br />

na Wilaya, Idara ya<br />

Uvuvi<br />

2007/2008-<br />

2009/2010<br />

2008/2009-<br />

2010/2011<br />

Endelevu<br />

2008/2009-<br />

2010/2011<br />

2008/2009<br />

2010/2012<br />

2008/2009-<br />

2010/2012


Eneo Hoja Lengo Mkakati Shughuli za kufanyika Mhusika Muda<br />

4. UKUZAJI<br />

WA VIUMBE<br />

MAJINI<br />

1. Wafugaji na<br />

Maafisa Ugani<br />

ha<strong>wa</strong>na elimu<br />

ya ufugaji<br />

Viumba <strong>katika</strong><br />

maji<br />

2. Wafugaji<br />

kutoku<strong>wa</strong> na<br />

staid stahili za<br />

ufugaji samaki<br />

Kutoa elimu ya<br />

ufugaji samaki k<strong>wa</strong><br />

maafisa ugani na<br />

<strong>wa</strong>fugaji samaki<br />

Ku<strong>wa</strong> na mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong><br />

ya mifano ua ufugaji<br />

samaki<br />

192<br />

iii) Kuimarisha<br />

uta<strong>wa</strong>la bora<br />

i. Kutambua<br />

maeneo<br />

yanayofaa<br />

k<strong>wa</strong> ufugaji<br />

na <strong>wa</strong>fugaji<br />

<strong>katika</strong><br />

maeneo hayo<br />

ii. Kuanda<br />

mpango <strong>wa</strong><br />

mafunzo<br />

iii. Kutoa<br />

mafumzo k<strong>wa</strong><br />

Maafisa ugani<br />

na <strong>wa</strong>fugaji<br />

Ku<strong>wa</strong> na mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong><br />

ya mifano kwenye<br />

maeneo<br />

yaliyotambuli<strong>wa</strong><br />

i) Kufanya uchaguzi k<strong>wa</strong><br />

<strong>wa</strong>kati <strong>wa</strong> Viongozi <strong>wa</strong><br />

BMUs na mitandao yao<br />

ii) Ku<strong>wa</strong>pa maelekezo na<br />

miongozo ya utendaji na<br />

usimamizi <strong>wa</strong> shughuli<br />

zao.<br />

i. Kutembelea Wilaya<br />

na kutambua<br />

maeneo<br />

ii. Kupima maji na<br />

udongo <strong>wa</strong><br />

maeneo<br />

yaliyotambuli<strong>wa</strong><br />

iii. Kutenga maeneo<br />

yaliyotambuli<strong>wa</strong><br />

k<strong>wa</strong> ajili ya ufugaji<br />

i. Ku<strong>wa</strong>tambua<br />

<strong>wa</strong>kulima<br />

<strong>wa</strong>liotayari kutoa<br />

maeneo<br />

ii. Kuchimba<br />

mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> k<strong>wa</strong><br />

kushirikisha jamii<br />

iii. Kupanda vifaranga<br />

na kutunza<br />

mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> hayo kw<br />

Halmashauri<br />

Maendeleo ya Uvuvi<br />

Idara ya uvuvi,<br />

Halmashauri za<br />

Wilaya<br />

Idara ya Uvuvi,<br />

Halmashauri za<br />

Wilaya<br />

Halmashauri za<br />

Wilaya<br />

Idara ya Uvuvi na<br />

Halmashauri za<br />

Wilaya<br />

Idara ya Uvuvi na<br />

Halmashauri za<br />

Wilaya<br />

Idara ya Uvuvi na<br />

Halmashauri za<br />

Wilaya<br />

2006/2007-<br />

2009/2010<br />

2008/09<br />

2008/09<br />

2008/09<br />

2008/09<br />

2008/09<br />

2008/09<br />

2008/09


3. Ukosefu <strong>wa</strong><br />

vyakula bora<br />

vya ziada<br />

(supplementary<br />

feeds) vya<br />

kulisha samaki<br />

4. uhaba <strong>wa</strong><br />

mbegu bora za<br />

samaki <strong>wa</strong><br />

kupand<strong>wa</strong><br />

kwenye<br />

mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong><br />

Kuwepo k<strong>wa</strong> vyakula<br />

vya kutosha vya<br />

kulisha samaki<br />

Kuzalisha vifaranga<br />

bora vya kutosha<br />

kukidhi mahitaji<br />

193<br />

Kuhamasisha<br />

<strong>wa</strong>tengenezaji <strong>wa</strong><br />

vyakula vya mifugo<br />

kutengeneza vyakula<br />

vya samaki<br />

Ku<strong>wa</strong> na vituo<br />

kutosha vya<br />

kuzalisha vifaranga<br />

bora kwenye<br />

maeneo ya ufugaji<br />

kushirikisha<br />

<strong>wa</strong>fugaji<br />

iv. Kuhamasisha<br />

uenezi <strong>wa</strong> ufugaji<br />

i. Kuandaa fomula<br />

ya vyakula bora<br />

vya migfugo<br />

ii. Kueneza fomula<br />

k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>tengenezaji<br />

vyakula<br />

iii. Kutengeneza<br />

vyakula<br />

i. Kutafiti namna ya<br />

kuzalisha mbegu<br />

bora<br />

ii. Kutambua mahitaji<br />

ya vifaranga,<br />

mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> na<br />

maeneo ya ufugaji<br />

iii. Kusambaza<br />

vifaranga k<strong>wa</strong><br />

<strong>wa</strong>kati<br />

iv. Kujenga vituo vya<br />

uzalishaji vifaranga<br />

kwenye maeneo<br />

ya ufugaji<br />

Halmashauri<br />

Wilaya<br />

za<br />

Idara<br />

TAFIRI<br />

ya Uvuvi,<br />

Halmashauri za<br />

Wilaya, TAFIRI<br />

Watengenezaji<br />

vyakula vya mifugo<br />

TAFIRI , SUA<br />

Idara ya Uvuvi na<br />

Halmashauri za<br />

Wilaya<br />

Halmashauri za<br />

Wilaya<br />

Halmashauri za<br />

Wilaya<br />

2008/09-<br />

2010-2011<br />

2011/12<br />

2011 na<br />

kuendelea<br />

2008/09-<br />

2010/11<br />

2008/09 na<br />

kuendelea<br />

2008/09 na<br />

kuendelea<br />

2010-2015


5. UTAFITI<br />

WA UVUVI<br />

NA<br />

MAZINGIRA<br />

YA BAHARI,<br />

MAZIWA,<br />

MITO NA<br />

MABWAWA<br />

6. MAFUNZO<br />

KWA WADAU<br />

WA UVUVI<br />

Upungufu <strong>wa</strong><br />

ujuzi <strong>wa</strong><br />

kusimamia,<br />

kuendeleza,<br />

kutumia k<strong>wa</strong><br />

busara na<br />

kuhifadhi<br />

rasilimali ya<br />

uvuvi<br />

Kuongeza ujuzi <strong>wa</strong><br />

<strong>wa</strong>dau <strong>wa</strong> uvuvi<br />

<strong>wa</strong>weze kusimamia,<br />

keundeleza, kutumia<br />

k<strong>wa</strong> busara na<br />

kuhifadhi rasilimali ya<br />

uvuvi<br />

194<br />

Kutoa mafunzo na<br />

stadi k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>dau<br />

ku<strong>wa</strong>wezesha<br />

<strong>wa</strong>tekeleza uhifadhi<br />

endelevu ya<br />

rasilimali ya uvuvi<br />

v.<br />

i. Kutambua mahitaji<br />

ya <strong>wa</strong>dau na<br />

matak<strong>wa</strong> ya<br />

kusimamia<br />

rasilimali ya uvuvi<br />

ii. Kuanda mitaala<br />

iii. Kutoa mafunzo<br />

yanayostahili<br />

Chuo cha uvuvi<br />

Chuo cha uvuvi,<br />

NACTE<br />

Halmashauri za<br />

Wilaya, Chuo cha<br />

uvuvi, sektz binafsi<br />

2009/10<br />

2010/11<br />

Endelevu


4.0 Utekelezaji <strong>wa</strong> Mpango Mkakati <strong>wa</strong> Mkoa <strong>wa</strong> Usimamizi na Matumizi<br />

Endelevu ya Rasilimali ya Uvuvi<br />

Utekelezaji <strong>wa</strong> mpango mkakati <strong>wa</strong> usimamizi na matumizi endelevu ya rasilimali ya<br />

Uvuvi ya Zi<strong>wa</strong> Victoria unazingatia Sera ya Uvuvi ya m<strong>wa</strong>ka 1997, Sheria ya Uvuvi<br />

Na. 22 ya m<strong>wa</strong>ka 2003, Kanuni za Uvuvi za m<strong>wa</strong>ka 2005, vipaumbele ya mkakati <strong>wa</strong><br />

Taifa <strong>wa</strong> kukuza uchumi na kuondoa umaskini (MKUKUTA) na Ilani ya Uchaguzi ya<br />

CCM ya m<strong>wa</strong>ka 2005 ibara ya 33.<br />

4.1 Sera ya Uvuvi.<br />

Lengo kuu la Sera ya Uvuvi ni ku<strong>wa</strong> na matumizi endelevu ya rasilimali ya Uvuvi ili<br />

ku<strong>wa</strong>patia <strong>wa</strong>nanchi lishe bora, ajira, kukuza kipato chao na kuinua uchumi <strong>wa</strong> Taifa<br />

k<strong>wa</strong> ujumla. Madhumuni makuu ya Sera ya Uvuvi ni pamoja na:-<br />

a) Kudumisha ushirikish<strong>wa</strong>ji <strong>wa</strong> jamii ili kuweka uwiano kati ya matumizi ya<br />

rasilimali za Uvuvi zilizopo, hifadhi ya mazingira na maendeleo ya jamii;<br />

b) Kuweka, usimamizi na udhibiti <strong>wa</strong> uchakataji <strong>wa</strong> mazao bora ya Uvuvi k<strong>wa</strong><br />

lengo la kukuza Soko la ndani na nje;<br />

c) Kuhamasisha <strong>wa</strong>wekezaji binafsi <strong>katika</strong> Sekta ya Uvuvi k<strong>wa</strong> lengo la kukuza<br />

Uvuvi <strong>wa</strong> kibiashara;<br />

d) Kuboresha Tafiti, Mafunzo na elimu k<strong>wa</strong> lengo la kuele<strong>wa</strong> ki<strong>wa</strong>ngo cha<br />

rasilimali za Uvuvi zilizopo, kuzingatia uvunaji <strong>wa</strong> busara na matumizi bora ya<br />

rasilimali za Uvuvi na kutatua matatizo yanayoikabili Sekta ya Uvuvi;<br />

e) Kuendeleza ufugaji <strong>wa</strong> viumbe <strong>katika</strong> maji; na<br />

f) Kuimarisha ukusanyaji <strong>wa</strong> Takwimu za Uvuvi pamoja na kusambaza taarifa<br />

k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>leng<strong>wa</strong>.<br />

4.2 Utekelezaji <strong>wa</strong> Sheria na Kanuni za Uvuvi<br />

4.2.1 Udhibiti <strong>wa</strong> uvuvi haramu<br />

Uvuvi <strong>wa</strong> kutumia zana za Uvuvi haramu hususan makokoro, Timba, nyavu za<br />

macho madogo na Katuli, ni tatizo kub<strong>wa</strong> linalosababisha k<strong>wa</strong> ki<strong>wa</strong>ngo kikub<strong>wa</strong><br />

kupungua k<strong>wa</strong> Samaki na kuharibika k<strong>wa</strong> mazingira ya Zi<strong>wa</strong> hasa mazalia na makulia<br />

ya Samaki.<br />

Harakati za kudhibiti tatizo hili zimeku<strong>wa</strong> zinaendesh<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> kuhusisha viongozi <strong>wa</strong><br />

serikali ngazi mbali mbali <strong>katika</strong> kuelimisha na kuhamasisha juu ya uvuvi endelevu.<br />

Pia vyombo vya habari vimeku<strong>wa</strong> vinahabarisha <strong>wa</strong>nanchi na jamii ya <strong>wa</strong>vuvi juu ya<br />

athari za uvuvi haramu. Hatua hizo za uhamasishaji zimeku<strong>wa</strong> na mafanikio kiasi<br />

k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>vuvi haramu kusalimisha zana zao k<strong>wa</strong> hiari. Uhamasishaji umeku<strong>wa</strong><br />

unaambatana na doria shirikishi kati ya Sekta ya Uvuvi ngazi ya Wilaya na<br />

Mkoa,Jamii ya <strong>wa</strong>vuvi kupitia Vikundi vya Ulinzi <strong>wa</strong> Rasilimali ya Uvuvi (Beach<br />

Management Units – BMUs) na Polisi. Aidha, s<strong>wa</strong>la la uvuvi ni agenda ya kudumu<br />

<strong>katika</strong> vikao vya uongozi wilaya na mkoa.<br />

195


Matokeo ya hatua zote <strong>katika</strong> kudhibiti uvuvi haramu <strong>katika</strong> kipindi cha kuanzia<br />

2005/06-2008/09 yanaonyesha mafanikio kiasi <strong>katika</strong> kudhibiti ongezeko la zana<br />

haramu kama inavyonyesh<strong>wa</strong> hapa chini.<br />

196


Jed<strong>wa</strong>li Na. 5: Zana haramu zilizosalimish<strong>wa</strong> na kukamat<strong>wa</strong> Mkoa <strong>wa</strong><br />

M<strong>wa</strong>nza<br />

Miaka Watekelezaji Kokor<br />

o<br />

Makila<br />


Hali hii inamaanisha ya k<strong>wa</strong>mba zana haramu zinazoingiz<strong>wa</strong> kwenye uvuvi ni nyingi<br />

zaidi ya zinazoondole<strong>wa</strong>. Tatizo hili lipo kwenye nchi zote tatu zinazomiliki Zi<strong>wa</strong><br />

Victoria. Ilikupata ufumbuzi <strong>wa</strong> pamoja, ilifanyika kongamano la kikanda tarehe 27-<br />

29 Oktoba 2008. Wadau <strong>wa</strong>liamua k<strong>wa</strong>mba ifanyike operesheni maalum ya<br />

kutokomeza uvuvi haramu mara moja. K<strong>wa</strong> upande <strong>wa</strong> Tanzania operesheni hiyo<br />

ilipe<strong>wa</strong> jina la Safisha na linda Zi<strong>wa</strong> Victoria.<br />

4.2.2 Matokeo ya operesheni safisha na linda Zi<strong>wa</strong> Victoria<br />

Operesheni hiyo iliridhi<strong>wa</strong> na Vikao vya maamuzi (Kamati ya Ulinzi na Usalama na<br />

Ushauri) ngazi ya Mkoa na Wilaya. Aidha Baraza la Ma<strong>wa</strong>ziri <strong>wa</strong> Taasisi ya Uvuvi ya<br />

Afrika Mashariki (Lake Victoria Fisheries Organisation – LVFO) ambao <strong>wa</strong>nadhamana<br />

ya Uvuvi <strong>katika</strong> nchi za Kenya, Uganda na Tanzania, nao <strong>wa</strong>kati <strong>wa</strong> kikao chao cha<br />

ka<strong>wa</strong>ida cha saba kilichofanyika Jijini Dar es Salaam tarehe 27 Februari, 2009<br />

kiliamua ku<strong>wa</strong> operesheni ifanyike ili kutokomeza Uvuvi haramu k<strong>wa</strong> asimilia 50<br />

ifikapo tarehe 30 Juni 2009 na 100% ifikapo tarehe 31 Desemba, 2009. Utekelezaji<br />

<strong>wa</strong> Operesheni hiyo <strong>katika</strong> Mkoa <strong>wa</strong> M<strong>wa</strong>nza ilifanyika k<strong>wa</strong> mpangilio ufuatao;<br />

a) Uelimishaji na uhamasishaji <strong>wa</strong> Jamii yote ya Uvuvi kuhusu faida za Uvuvi<br />

endelevu na madhara ya Uvuvi haramu k<strong>wa</strong> rasilimali ya Uvuvi na faida<br />

zitokanazo. Uhamasishaji ulifanyika miezi ya Novemba na Desemba, 2008.<br />

Wahamasishaji <strong>wa</strong>liku<strong>wa</strong> ni Viongozi na Watendaji <strong>wa</strong> Serikali ngazi za Mkoa, Wilaya,<br />

Kata na Vijiji. Wakati <strong>wa</strong> uhamasishaji Wavuvi wenye zana haramu <strong>wa</strong>litaki<strong>wa</strong><br />

kusalimisha k<strong>wa</strong> hiari zana hizo k<strong>wa</strong> Mamlaka (iongozi <strong>wa</strong> Serikali za Vijiji) ili zana<br />

hizo ziteketezwe k<strong>wa</strong> moto hadharani na kuwek<strong>wa</strong> <strong>katika</strong> kumbukumbu. Wavuvi<br />

<strong>wa</strong>liosalimisha ha<strong>wa</strong>kuchukuli<strong>wa</strong> hatua za Kisheria. Aidha, Wananchi <strong>wa</strong>liomb<strong>wa</strong><br />

kutoa k<strong>wa</strong> siri majina ya Wavuvi haramu kwenye Mamlaka husika. Baada ya muda<br />

uliotole<strong>wa</strong> kusalimisha k<strong>wa</strong> hiari zana haramu (Novemba na Desemba, 2008) kupita,<br />

Doria za majini zilifanyika zikilenga <strong>wa</strong>vuvi ambao <strong>wa</strong> zana haramu na maeneo<br />

ambako samaki <strong>wa</strong>changa <strong>wa</strong>navuli<strong>wa</strong>, kuchakat<strong>wa</strong> na kuuz<strong>wa</strong>. Watuhumi<strong>wa</strong><br />

<strong>wa</strong>liokamat<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>lichukuli<strong>wa</strong> hatua za kisheria.<br />

Jumla ya zana haramu ambazo zimekwisha salimish<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> hiari na kukamat<strong>wa</strong><br />

kwenye opereresheni hii maalum kuanzia November 2008 hadi 23 April 2009 ni<br />

kama ilivyoonesh<strong>wa</strong> kwenye Jed<strong>wa</strong>li Na. 6.<br />

198


Jed<strong>wa</strong>li Na. 6: Zana zilizosalimish<strong>wa</strong> na kukamat<strong>wa</strong> na kwenye operesheni safisha na linda Zi<strong>wa</strong> Victoria<br />

Wilaya Zana haramu zilisosalimish<strong>wa</strong> Doria<br />

Geita<br />

Ilemela<br />

Magu<br />

Misungwi<br />

Nyamagana<br />

Sengerema<br />

Ukerewe<br />

Jumla<br />

Kokor<br />

o<br />

36<br />

110<br />

123<br />

14<br />

0<br />

48<br />

106<br />

437<br />

Makila<br />


4.3 Usimamizi na Matumizi Endelevu ya Rasilimali Kitengo cha Udhibiti Ubora<br />

<strong>wa</strong> Samaki na Mazao yake<br />

Maabara ya Taifa ya Udhibiti <strong>wa</strong> Ubora <strong>wa</strong> Samaki ya Nyegezi (Nyegezi Fish Quality<br />

Control Laboratory) ina ithibati ya Kimataifa iliyotole<strong>wa</strong> na “South Africa National<br />

Accreditation Service (SANAS) baada ya kukaguli<strong>wa</strong> na kukut<strong>wa</strong> inakidhi vi<strong>wa</strong>ngo vya<br />

ubora na uendeshaji <strong>wa</strong> kimataifa. Maabara imesajili<strong>wa</strong> na k<strong>wa</strong> Na. T0374. Jengo la<br />

maabara linatumi<strong>wa</strong> pia na Kitengo cha ukaguzi. Maabara hutekeleza majukumu yake<br />

kupitia idara Mbili ambazo ni:<br />

i) Mikrobiolojia<br />

ii) Kemia<br />

4.3.1 Majukumu ya Kitengo cha ukaguzi<br />

a) Kuhakiki mifumo iliyowek<strong>wa</strong> na vi<strong>wa</strong>nda ili kuzalisha mazao ya samaki yaliyobora<br />

na Salama k<strong>wa</strong> Mlaji chini ya mfumo ujulikanao kama Hazard Analysis Critical<br />

Control Point (HACCP). Katika kutekeleza jukumu hili, vi<strong>wa</strong>nda hukaguli<strong>wa</strong><br />

mara k<strong>wa</strong> mara na pia kuna ukaguzi <strong>wa</strong> kina ambao hufanyika mara moja ya<br />

miezi kila baada ya miezi mitatu.<br />

b) Kushirikiana na Wadau <strong>katika</strong> kuboresha vi<strong>wa</strong>ngo na usalama <strong>wa</strong> samaki.<br />

c) Kukagua usalama <strong>wa</strong> maeneo ya uvunaji <strong>wa</strong> Samaki ili kujiridhisha ku<strong>wa</strong><br />

<strong>wa</strong>natoka <strong>katika</strong> mazingira safi na salama<br />

Kitengo kimetekeleza <strong>wa</strong>jibu <strong>wa</strong>ke <strong>wa</strong> kuhakikisha ubora <strong>wa</strong> mazao ya uvuvi ili kukidhi<br />

mahitaji ya masoko ya kitaifa na kimataifa. K<strong>wa</strong> kuzingatia mwongozo <strong>wa</strong> kisayansi na<br />

mtazamo <strong>wa</strong> sasa <strong>wa</strong> soko la vyakula duniani, uhakiki <strong>wa</strong> usalama <strong>wa</strong> mazao ya uvuvi<br />

unaanzia <strong>katika</strong> kuhakikisha ku<strong>wa</strong> mazingira ya samaki ni safi na salama. Hivyo kuanzia<br />

m<strong>wa</strong>ka 1998 hadi sasa sampuli za samaki, matope na maji kutoka kwenye Zi<strong>wa</strong> Victoria<br />

zimeku<strong>wa</strong> zikichukuli<strong>wa</strong> na kutum<strong>wa</strong> kwenye maabara zenye ithibati nje (South African<br />

Bureau of Standards Laboratory- SABS, na Chemiphar (Uganda) k<strong>wa</strong> uchunguzi <strong>wa</strong><br />

mabaki ya viuatilifu (pesticides residues), madini tembo kama zebaki. Imeoonesh<strong>wa</strong><br />

kwenye jed<strong>wa</strong>li hapo chini <strong>katika</strong> kipindi cha m<strong>wa</strong>ka 2005 hadi 2009<br />

Jed<strong>wa</strong>li Na. 7: Sampuli zilizotum<strong>wa</strong> nje ya nchi na kufanyi<strong>wa</strong> uchunguzu<br />

Aina ya Sampuli 2005 2006 2007 2008 2009 Jumla<br />

Matope/Udongo <strong>wa</strong> Zi<strong>wa</strong> 23 35 23 24 24 129<br />

Maji ya Zi<strong>wa</strong> 46 59 44 71 56 276<br />

Samaki 23 23 - 23 69<br />

Minofu toka vi<strong>wa</strong>ndani 295 184 216 176 138 959<br />

200


Katika kipindi hicho jumla ya sampuli 129 za tope, 276 ya maji, 69 ya samaki na 959<br />

za minofu toka vi<strong>wa</strong>ndani vilipim<strong>wa</strong> na vi<strong>wa</strong>ngo vya matokeo ya uchunguzi huo ni <strong>wa</strong><br />

kuridhisha k<strong>wa</strong>ni mabaki hayajavuka vi<strong>wa</strong>ngo vya juu visivyotaki<strong>wa</strong>. Vilevile ukaguzi<br />

unafanyika kwenye masoko na mialo rasmi ya uvuvi kuhakikisha k<strong>wa</strong>mba vi<strong>wa</strong>ngo vya<br />

ubora na usafi <strong>wa</strong> samaki unazingati<strong>wa</strong> <strong>katika</strong> maeneo hayo. Wavuvi, <strong>wa</strong>uzaji na<br />

<strong>wa</strong>nunuzi <strong>wa</strong>nalazimika k<strong>wa</strong> mujibu <strong>wa</strong> kisheria kutumia maeneo hayo. Utaratibu huu<br />

unarahisisha uchukuaji <strong>wa</strong> takwimu za uvuvi, ukusanyaji <strong>wa</strong> ushuru na <strong>wa</strong>vuvi kuuza<br />

mazao yao kirahisi. Ukaguzi kwenye maeneo yote maafisa uvuvi wilaya na BMUs<br />

<strong>wa</strong>nahusika. Maafisa uvuvi na BMUs <strong>wa</strong>mepe<strong>wa</strong> mafunzo yanayohusika kwenye<br />

ukaguzi.<br />

4.3.2 Mafanikio ya Kitengo<br />

a. Ubora <strong>wa</strong> Samaki na mazao yake umeongezeka sambabamba na bei na fedha ya<br />

kigeni<br />

b. Soko la Mazao ya Samaki nje ya nchi limeimarika na nchi kuendelea kushikilia<br />

nafasi kwenye kundi la k<strong>wa</strong>nza kwenye Soko la Ulaya tangu m<strong>wa</strong>ka 1999<br />

(Category One)<br />

c. Ajira k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>nanchi imeongezeka na kutekeleza sera ya Serikali ya MKUKUTA<br />

inga<strong>wa</strong> hii inasababisha shinikizo la uvuvi k<strong>wa</strong> rasilimali.<br />

d. Maabara imepata vitendea kazi bora na vya kisasa kulingana na teknolojia<br />

vinanvyokidhi mahitaji ya kimataifa.<br />

e. Uanzish<strong>wa</strong>ji <strong>wa</strong> uchunguzi <strong>katika</strong> Idara ya Kemikali<br />

4.4 Ukuzaji <strong>wa</strong> Viumbe kwenye Maji<br />

Uanzish<strong>wa</strong>ji <strong>wa</strong> ukuzaji <strong>wa</strong> viumbe majini inatokana na uhitaji mkub<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> samaki<br />

kutokana na ongezeko la <strong>wa</strong>tu, uhitaji <strong>wa</strong> kuongeza kipato k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>nanchi na kupungua<br />

k<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> uwingi <strong>wa</strong> samaki zi<strong>wa</strong>ni. Jitihadi za makusudi zinafany<strong>wa</strong> kuelimisha na<br />

kuhamisisha <strong>wa</strong>nanchi kufuga samaki ili <strong>wa</strong>kidhi mahitajo yao na kupunguza umaskini.<br />

Vilevile serikali inahamasisha uwekezaji <strong>wa</strong> ndani na <strong>wa</strong> nje <strong>katika</strong> ukuzaji <strong>wa</strong> viumbe<br />

majini. Hii imeleta tija k<strong>wa</strong> baadhi ya <strong>wa</strong>nanchi ambao <strong>wa</strong>meanza kuwekeza <strong>katika</strong><br />

ufugaji <strong>wa</strong> samaki kibiashara <strong>katika</strong> mkoa <strong>wa</strong> M<strong>wa</strong>nza.<br />

4.4.1 Uhamasishaji <strong>wa</strong> <strong>wa</strong>fugaji<br />

Wananchi <strong>wa</strong> maeneo yanayofaa k<strong>wa</strong> ufugaji <strong>wa</strong> samaki <strong>wa</strong>metembele<strong>wa</strong> na<br />

kuhamisish<strong>wa</strong>. Aidha <strong>wa</strong>kati <strong>wa</strong> ziara hiyo <strong>wa</strong>fugaji <strong>wa</strong> maeneo hayo <strong>wa</strong>lipe<strong>wa</strong> ushauri<br />

kuhusu ubora <strong>wa</strong> maji na mazingira ya b<strong>wa</strong><strong>wa</strong>, ulishaji samaki na dalili za m<strong>wa</strong>nzo <strong>wa</strong><br />

samaki mwenye matatizo na namna ya kumhudumia. Jumla ya <strong>wa</strong>fugaji 155 <strong>katika</strong><br />

wilaya zote za mkoa <strong>wa</strong>litembele<strong>wa</strong>.<br />

201


Jed<strong>wa</strong>li Na. 8: Idadi ya <strong>wa</strong>fugaji <strong>wa</strong>liotembele<strong>wa</strong> na hali ya mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> yao<br />

<strong>katika</strong> kila wilaya.<br />

Wilaya <strong>wa</strong>fugaji Mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> Ukub<strong>wa</strong><br />

(m 2 )<br />

Geita 6<br />

14 6000-<br />

9000m 2<br />

4.4.2 Ufugaji <strong>wa</strong> samaki <strong>wa</strong> kibishara<br />

Wito <strong>wa</strong> kufuga kibiashara umeitiki<strong>wa</strong> na ki<strong>wa</strong>nda cha uchakataji samaki cha M<strong>wa</strong>nza<br />

(M<strong>wa</strong>nza fishing industries limited) kimewekeza <strong>katika</strong> kijiji cha Luchelele kitongoji cha<br />

Shadi kuanzia m<strong>wa</strong>ka 2007. Eneo lao ni ekari 80, na <strong>wa</strong>meshachimba na kupandikiza<br />

jumla ya mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> 25 (Grow-out ponds 13 yenye ukub<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> 3000m 2 na; Nursery<br />

ponds 12 zenye 1000m 2 ). Upandikizaji <strong>wa</strong> vifaranga aina ya sato na kambale ulifanyika<br />

tarehe 26/01/2008 na hadi kufikia Septemba 2008 <strong>wa</strong>lishavuna na kuuza kiasi cha kilo<br />

15,782 za samaki. Mavuno yao mengi yanauz<strong>wa</strong> kwenye hoteli na Taasisi zilizoko mjini<br />

hapa. Maji ya kwenye mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> yanavut<strong>wa</strong> kutoka zi<strong>wa</strong>ni k<strong>wa</strong> kutumia generator<br />

ambayo kuendesha na hivyo kudumaza upanuaji <strong>wa</strong> ufugaji.<br />

Vilevile mwekezaji huyu ana<strong>wa</strong>uzia <strong>wa</strong>fugaji na <strong>wa</strong>dogo vifaranga vya kambale na sato.<br />

Hadi sasa jumla ya vifaranga 27,120 k<strong>wa</strong> thamani ya shilingi 2,165,600.00. Vifaranga<br />

hao kabla ya kusafirish<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>nakaguli<strong>wa</strong> na kutole<strong>wa</strong> vibali k<strong>wa</strong> mujibu <strong>wa</strong> Sheria ya<br />

Uvuvi Na.22 ya m<strong>wa</strong>ka 2003.<br />

202<br />

Aina ya<br />

samaki<br />

Malambo<br />

Sato+kambale 9<br />

Ukerewe 80 43 100-3000m 2 Sato+kambale Hakuna<br />

Magu 54 12 35-2500m 2 Sato+kambale 5<br />

Missungwi 3 10 42-560m 2 Sato+kambale 44<br />

Nyamagana 5 46 800-3000m 2 Sato+kambale 3<br />

Ilemela 2 5 50-100m 2 Sato+kambale 5<br />

Sengerema 5 9 72-400m 2 Sato+kambale 8<br />

Jumla 155 139 74


Jed<strong>wa</strong>li Na. 9 Idadi ya vifaranga na <strong>wa</strong>likokwenda<br />

Aina ya<br />

samaki<br />

Idadi Walikotoka <strong>wa</strong>likokwenda Thamani<br />

Sato 50 M<strong>wa</strong>nza fish<br />

farm<br />

Kambale<br />

<strong>wa</strong>changa<br />

Kambale<br />

<strong>wa</strong>changa<br />

Kambale<br />

<strong>wa</strong>changa<br />

Kambale<br />

<strong>wa</strong>changa<br />

Kambale<br />

<strong>wa</strong>changa<br />

7,692 M<strong>wa</strong>nza fish<br />

farm<br />

686 M<strong>wa</strong>nza fish<br />

farm<br />

7,692 M<strong>wa</strong>nza fish<br />

farm<br />

2,000 M<strong>wa</strong>nza fish<br />

farm<br />

9,000 M<strong>wa</strong>nza fish<br />

farm<br />

203<br />

Bukombe-<br />

Shinyanga<br />

12,500<br />

Sengerema 615,360<br />

Sengerema 54,880<br />

Sengerema 615,360<br />

M<strong>wa</strong>nza mjini 160,000<br />

Kisi<strong>wa</strong> cha gana<br />

-Ukerewe<br />

720,000<br />

Jumla 27,120 2,165,600<br />

4.4.3 Huduma za ugani<br />

Huduma za ugani zinahitajika zitolewe <strong>katika</strong> maeneo muhimu ya <strong>sekta</strong> ambayo ni<br />

usimamizi <strong>wa</strong> uvuvi, usimamizi <strong>wa</strong> udhibiti <strong>wa</strong> vi<strong>wa</strong>ngo vya samaki na ukuzaji <strong>wa</strong><br />

viumbe majini. Idadi ya Maafisa ugani inayohitajika k<strong>wa</strong> shughuli hii ni 67 afisa mmoja<br />

k<strong>wa</strong> kila kata hata hivyo hakuna maafisa <strong>wa</strong>natoa huduma hiyo. Maafisa <strong>wa</strong>liopo ambao<br />

ni <strong>wa</strong>chahe <strong>wa</strong>natekeleza shughuli zote za usimamizi <strong>wa</strong> sheria pamoja na ugani. Aidha<br />

ha<strong>wa</strong>navitendea kazi vya ugani kama vyombo vya usafiri na vifaa vya kuelekezea.<br />

Ilikupunguza pengo hii BMUs <strong>wa</strong>natumi<strong>wa</strong> <strong>katika</strong> utekelezaji inga<strong>wa</strong> sio k<strong>wa</strong> ki<strong>wa</strong>ngo<br />

kinachokusudi<strong>wa</strong>.<br />

4.5 Ushirikish<strong>wa</strong>ji <strong>wa</strong> Jamii <strong>katika</strong> Usimamizi <strong>wa</strong> Shughuli za Uvuvi<br />

Sera ya Uvuvi ya m<strong>wa</strong>ka 1997, imeweka bayana mkakati <strong>wa</strong> ushirikish<strong>wa</strong>ji <strong>wa</strong> Jamii<br />

<strong>katika</strong> kusimamia matumizi ya rasilimali ya uvuvi. Katika kutekeleza sera hiyo, vikundi<br />

vya ulinzi <strong>wa</strong> rasilimali ya Uvuvi (Beach Management Units – BMUs) vilianzish<strong>wa</strong><br />

kwenye mialo ya uvuvi kati ya m<strong>wa</strong>ka 1998 na 2000. Mkoa una jumla ya BMUs 215


(Geita 32, Ilemela -14, Magu 18, Misungwi 16, Nyamagana – 4, Sengerema – 83 na<br />

Ukerewe – 45). Sheria ya uvuvi Na. 22 ya m<strong>wa</strong>ka 2003 inavitambua vikundi hivyo.<br />

4.5.1 Madhumuni ya kuanzisha vikundi hivyo ni yafuatayo:<br />

(a) Kuongeza ufanisi <strong>wa</strong> usimamizi <strong>wa</strong> shughuli za uvuvi.<br />

(b) Kuboresha na kuimarisha mshikamano kati ya Serikali na Jamii ya Uvuvi <strong>katika</strong><br />

kusimamia rasilimali ya uvuvi k<strong>wa</strong> manufaa ya kizazi cha sasa na vizazi vijavyo.<br />

(c) Kupunguza migongano kati ya <strong>sekta</strong> ya uvuvi na Jamii.<br />

(d) Kuipa Jamii ya Uvuvi mamlaka ya kusimamia na kutekeleza sheria ya uvuvi na<br />

kanuni zake.<br />

Ili kuongeza ufanisi <strong>wa</strong> utendaji <strong>wa</strong> majukumu yao, mambo yafauatayo yamefanyika<br />

kuimarisha BMUs<br />

(i) Sheria ya uvuvi Na. 22 ya m<strong>wa</strong>ka 2003 na kanuni za uvuvi za m<strong>wa</strong>ka 2005<br />

inavitambua vikundi vya BMUs.<br />

(ii) Kuna mwongozo <strong>wa</strong> kitaifa ambao unaelekeza taratibu za kuzingati<strong>wa</strong> <strong>katika</strong><br />

kuchagua viongozi <strong>wa</strong> BMUs, utendaji na majukumu yao. Aidha, <strong>wa</strong>jibu <strong>wa</strong><br />

<strong>wa</strong>nachama <strong>wa</strong> BMUs a <strong>wa</strong>dau <strong>wa</strong>ngine <strong>wa</strong> Uvuvi unaelez<strong>wa</strong> <strong>katika</strong><br />

mwongozo huo.<br />

(iii) BMUs zimejenge<strong>wa</strong> uwezo ufuatavyo:<br />

4.5.1.1 (a) Mafunzo ya BMUs<br />

BMUs zimepati<strong>wa</strong> mafunzo yafuatayo <strong>katika</strong> kufanikisha usimamizi <strong>wa</strong> rasilimali:<br />

• Uongozi <strong>wa</strong> BMUs Mafunzo hayo yali<strong>wa</strong>jumuisha pia viongozi <strong>wa</strong> Serikali za<br />

mitaa/vijiji (Wenyeviti na <strong>wa</strong>tendaji) na madi<strong>wa</strong>ni;<br />

• Usimamizi <strong>wa</strong> fedha k<strong>wa</strong> Wenyeviti <strong>wa</strong> BMUs, Wahazini, boharia na Wajumbe<br />

<strong>wa</strong>weka sahihi kwenye Akaunti za BMUs;<br />

• Taratibu za kutunga sheria ndogo ndogo na uibuaji <strong>wa</strong> mipango ya maendeleo<br />

na;<br />

• Usimamizi <strong>wa</strong> uvuvi.<br />

4.5.1.1 (b) Vyanzo vya mapato vya BMUs<br />

K<strong>wa</strong> kuzingatia umuhimu <strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong> na vyanzo vya mapato kuziwezesha BMUs zitekeleze<br />

majukumu hayo, BMUs zilihamasish<strong>wa</strong> na kuhimiz<strong>wa</strong> kuanzisha SACCOs. Lakini hadi<br />

sasa BMUs zilizo nyingi hazina SACCOs iliyosajili<strong>wa</strong> na serikali. Aidha, kuna umoja <strong>wa</strong><br />

204


kuweka na kukopa usiorasmi miongonim<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>vuvi. BMUs zinahimiz<strong>wa</strong> kuomba<br />

u<strong>wa</strong>kala <strong>wa</strong> kukusanya ushuru <strong>wa</strong> Halmashauri. Zipo BMUs……… ambazo zinakusanya<br />

k<strong>wa</strong> sasa. Uasinsh<strong>wa</strong>ji <strong>wa</strong> SACCOs unahimiz<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> sababu vyombo rasmi vya fedha<br />

kama Benki, zinasita ku<strong>wa</strong>kopesha <strong>wa</strong>vuvi k<strong>wa</strong>ni ha<strong>wa</strong>aminiki na wengi ha<strong>wa</strong>na mali za<br />

kuweka dhamana.<br />

4.5.1.1 (c) Uta<strong>wa</strong>la bora ndani ya BMUs<br />

Usimamizi <strong>wa</strong> rasilimali ya uvuvi utawezekana kufanyika k<strong>wa</strong> ufanisi kama kuna uta<strong>wa</strong>la<br />

bora. Katika azma hii, BMUs zinahimiz<strong>wa</strong> kufanya vikao k<strong>wa</strong> mujibu <strong>wa</strong> muongozo <strong>wa</strong><br />

BMUs. Vikao hivyo ni vya kamati ya BMU amabayo hukaa kila mwezi; na <strong>mkutano</strong><br />

mkuu <strong>wa</strong> <strong>wa</strong>nachama <strong>wa</strong> BMUs unaofanyika kila robo m<strong>wa</strong>ka. kwenye vikao hivyo,<br />

masuala ya usimamizi <strong>wa</strong> rasilimali ya uvuvi na maendeleo ya jamii hujadili<strong>wa</strong>.<br />

Aidha, uchaguzi <strong>wa</strong> viongozi <strong>wa</strong> BMUs hufanyika <strong>katika</strong> ngazi ya m<strong>wa</strong>lo, kijiji, kata,<br />

wilaya na Mkoa k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>kati. Uchaguzi <strong>katika</strong> ngazi za vijiji na kuendelea ni ya mitandao<br />

ya BMUs (BMU Network)<br />

4.5.1.1 (d) Mafanikio ya BMUs<br />

• Zimejenga uele<strong>wa</strong> mkub<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> jamii ya uvuvi k<strong>wa</strong>mba <strong>wa</strong>o ndio <strong>wa</strong>simamizi ya<br />

rasilimali ya uvuvi.<br />

• Kuboresha na kusimamia hali ya usafi <strong>wa</strong> mialo na mazingira husika<br />

• Kurahisisha uchukuaji <strong>wa</strong> takwimu za mavuno na mapato itokanayo na uvuvi<br />

4.6 Mafunzo ya Usimamiza ya Rasilimali ya Uvuvi<br />

Mafunzo ya usimamizi ya rasilimali ya uvuvi yanatole<strong>wa</strong> na chuo cha uvuvi Nyegezi.<br />

Chuo hiki kilisajili<strong>wa</strong> na Baraza la mafunzo ya Ufundi (NACTE) April 2004 na kimepata<br />

Idhibati Desemba 2005 baada ya kukamilisha mahitaji muhimu yaliyowek<strong>wa</strong> na Baraza<br />

la mafunzo ya Ufundi ndicho chuo pekee kinachotoa mafunzo ya mavuvi ya maji baridi<br />

nchini. Chuo kinaendesha mafunzo ya muda mrefu na mfupi.<br />

Mafunzo ya muda mrefu ni kama ifuatavyo:<br />

a) M<strong>wa</strong>ka <strong>wa</strong> k<strong>wa</strong>nza Cheti cha Sayansi na Teknolojia ya Uvuvi<br />

b) M<strong>wa</strong>ka <strong>wa</strong> pili Cheti cha Sayansi na Teknolojia ya Uvuvi<br />

c) Cheti cha m<strong>wa</strong>ka mmoja Ufugaji <strong>wa</strong> samaki<br />

d) Cheti cha m<strong>wa</strong>ka mmoja Uchakataji masoko na utafiti <strong>wa</strong> ubora <strong>wa</strong> samaki<br />

e) Mafunzo ya Ufundi mchundo viyoyozi na majokofu ngazi ya daraja la tatu<br />

f) Mafunzo ya Ufundi mchundo viyoyozi na majokofu ngazi ya daraja la pili.<br />

205


Mafunzo ya muda mfupi hutole<strong>wa</strong> kutokana na mahitaji ya mteja na mara nyingi<br />

hutole<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> kusudio la kuboresha utendaji, kutatua tatizo, kuhamasisha au kuongeza<br />

ufahamu. Vilevile Chuo kimeanzisha kozi tatu mpya, mafunzo ya atashahada na<br />

Stashahada ya Usimamizi Uvuvi na Teknolojia (Fisheries Management and Technology –<br />

FMT) na Ufundi Mchundo Viyoyozi na Majokofu ngazi ya k<strong>wa</strong>nza.<br />

Chuo kina jumla ya <strong>wa</strong>kurufunzi 101 <strong>katika</strong> m<strong>wa</strong>ka <strong>wa</strong> mafunzo 2009/2010, na tangu<br />

kianze kutoa mafunzo rasmi 1978 hadi sasa jumla ya <strong>wa</strong>hitimu <strong>wa</strong>mefikia 991 na<br />

<strong>wa</strong>nahudumia <strong>sekta</strong> ya uvuvi k<strong>wa</strong> ngazi mbalimbali..<br />

4.7 Taasisi ya Utafiti <strong>wa</strong> Uvuvi Tanzania (TAFIRI)<br />

Taasisi ya Utafiti ya Uvuvi ilianzish<strong>wa</strong> na kanuni ya Bunge Na 6 ya tarehe 2 Februari<br />

1980, lakini ikaanza kufanya rasmi kama taasisi inayojitegemea yenyewe 1983. hii ni<br />

baada ya kuvunjika k<strong>wa</strong> iliyoku<strong>wa</strong> Jumiya ya Africa Mashariki (EAC). Taasisi hii ndiyo<br />

yenye dhamana nchini ya kufanya tafiti za uvuvi na jamii ya <strong>wa</strong>vuvi kwenye maji yote<br />

ya nchi<br />

4.7.1 Majukumu ya Taasisi<br />

a) Kuendeleza na kufanya tafiti <strong>wa</strong> uvuvi kwenye maji yote ya nchi..<br />

b) Kuendeleza ustawi na ulinzi <strong>wa</strong> <strong>sekta</strong> ya uvuvi<br />

c) Kuratibu tafiti za uvuvi zinazofanyika ndani ya nchi<br />

d) Kuanzisha na kuratibu utunzaji <strong>wa</strong> kumbukumbu na usambazaji <strong>wa</strong> matokeo ya<br />

tafiti za uvuvi<br />

e) kushauri serikali, taasisi zingine na <strong>wa</strong>nanchi juu ya matokeo ya tafiti<br />

<strong>wa</strong>lilizofanya ua kufany<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> niaba yake.<br />

f) Kutoa vifaa k<strong>wa</strong> mafundisho ya <strong>wa</strong>dau kuhusu uvuvi na maendeleo ya <strong>sekta</strong><br />

husika.<br />

4.7.2 Shughuli zilizofanyika Mkoa <strong>wa</strong> M<strong>wa</strong>nza<br />

Uanzish<strong>wa</strong>ji <strong>wa</strong> taratibu ya kutoa matokeo ya uwingi <strong>wa</strong> samaki (stock<br />

assessment), sensa ya <strong>wa</strong>vuvi na zana <strong>wa</strong>nazotumia (Frame survey) chini ya<br />

miradi mbalimbali.<br />

Uanzish<strong>wa</strong>ji <strong>wa</strong> programu ya maendeleo ya usimamizi <strong>wa</strong> Zi<strong>wa</strong><br />

Victoria(development of fisheries management plans for Lake Victoria)<br />

Kutoa ushauri jinsi ya kupunguza nguvu ya uvuvi.<br />

Kuboresha uzalishaji <strong>wa</strong> vifaranga vya samaki aina ya Sato (Nile Tilapia,<br />

Oreochromis niloticus) na kusambazia <strong>wa</strong>fugaji<br />

Imefanya tafiti nyingi za uchumi jamii na kushirikiana na ofisi ya uvuvi mkoa<br />

kutoa mafunzo k<strong>wa</strong> vikundi vya ulinzi <strong>wa</strong> rasilimali ya Zi<strong>wa</strong> Victoria (BMUs)<br />

206


3. CHANGAMOTO<br />

a) Uhaba <strong>wa</strong> <strong>wa</strong>tumishi <strong>wa</strong> kusimamia shughuli za uvuvi kwenye<br />

maeneo yote ndani ya <strong>sekta</strong><br />

b) Uhaba <strong>wa</strong> vitendea kazi kama vile magari, mtumbwi, pikipiki, vifaa<br />

vya taaluma<br />

c) Ufinyu <strong>wa</strong> bajeti kutekeleza majukumu ya <strong>sekta</strong> k<strong>wa</strong> ki<strong>wa</strong>ngo<br />

kilichopang<strong>wa</strong><br />

d) Uhaba <strong>wa</strong> shughuli mbadala za kiuchumi kupunguza shinikizo la<br />

uvuvi.<br />

e) Ushiriakiano hafifu kutoka k<strong>wa</strong> <strong>sekta</strong> mtabuka <strong>katika</strong> usimamizi <strong>wa</strong><br />

rasilimali ya uvuvi<br />

f) Ukiukuaji <strong>wa</strong> maadili ya utumishi k<strong>wa</strong> baadhi ya <strong>wa</strong>tendaji na<br />

uajibikaji mdogo <strong>wa</strong> jamii ya <strong>wa</strong>vuvi <strong>katika</strong> kusimamia rasilimali ya<br />

uvuvi.<br />

4. MAPENDEKEZO<br />

a) Kuongeza ajira ya <strong>wa</strong>tumishi na kujenga uwezo <strong>wa</strong> BMUs <strong>katika</strong><br />

kusimamia rasilimali ya uvuvi.<br />

b) Kuongeza asilimia ya mafungu yanayorudi kutoka kwenye mapato<br />

yatokanayo na rasilimali ya uvuvi , na kutenga fungu linalokidhi k<strong>wa</strong><br />

shughuli za utafiti na mafunzo<br />

c) Kuboresha <strong>sekta</strong> nyingine kuvutia jamii ya <strong>wa</strong>vuvi kama vile kilimo,<br />

ufugaji<br />

d) Kushirikisha <strong>sekta</strong> mtabuka <strong>katika</strong> kutafuta ufumbuzi <strong>wa</strong> matatizo ya<br />

<strong>sekta</strong>.<br />

e) Ku<strong>wa</strong>tambua <strong>wa</strong>tumishi <strong>wa</strong>sioajibika na ku<strong>wa</strong>chukulia hatua za<br />

kinidhamu na kuendeleza uhamisishaji <strong>wa</strong> jamii.


TAARIFA YA SEKTA YA MAENDELEO YA UVUVI<br />

1.0 UTANGULIZI<br />

MKOA WA KAGERA<br />

1.1 MAELEZO YA JUMLA KUHUSU MKOA<br />

Mkoa <strong>wa</strong> Kagera uko Kaskazini Magharibi m<strong>wa</strong> Tanzania Bara, unapakana na<br />

nchi ya Uganda upande <strong>wa</strong> kaskazini, nchi za R<strong>wa</strong>nda na Burundi upande <strong>wa</strong><br />

Magharibi, Mkoa <strong>wa</strong> Kigoma na Shinyanga k<strong>wa</strong> upande <strong>wa</strong> kusini na mkoa <strong>wa</strong><br />

M<strong>wa</strong>nza Kusini Mashariki.<br />

Mkoa <strong>wa</strong> Kagera una eneo la kilomita za mraba 39,168 kati ya hizo kilomita za<br />

mraba 28,513 ni eneo la nchi kavu sa<strong>wa</strong> na asilimia 73 na kilomita za mraba<br />

10,655 ni eneo la maji sa<strong>wa</strong> na asilimia 27. Mwinuko <strong>wa</strong> nchi (altitude) ni kati<br />

ya mita 1,100 na 1,800 kutoka usa<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> bahari. Hali ya he<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> ujumla ni<br />

ya joto la <strong>wa</strong>stani <strong>wa</strong> 26.02 o c. Mvua zinanyesha k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>stani <strong>wa</strong> milimita 800 –<br />

1,100 k<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka kati ya mwezi Septemba na Januari na kati ya mwezi Machi<br />

na Mei.<br />

1.2 UTAWALA<br />

Kiuta<strong>wa</strong>la Mkoa umega<strong>wa</strong>nyika <strong>katika</strong> Wilaya 7 za Biharamulo, Bukoba, Chato,<br />

Karagwe, Missenyi, Muleba na Ngara. Mkoa unazo Halmashauri 8, Tarafa 25,<br />

Halmashauri Eneo La Mkoa Km 2 Tarafa Kata Vijiji<br />

Nchi Kavu Maji<br />

Bukoba<br />

Bukoba (Vijijini)<br />

Bukoba (Mjini)<br />

2,319<br />

58<br />

2,291<br />

22<br />

4<br />

1<br />

24<br />

13<br />

92<br />

66<br />

Missenyi Missenyi 3,0919 2151 2 17 74<br />

Muleba Muleba 3,444 7,295 5 31 134<br />

Biharamulo Biharamulo 6,523 - 2 8 52<br />

Chato Chato 2676 896 3 14 74<br />

Karagwe Karagwe 6,734 - 4 28 117<br />

Kata 152, Vijiji vilivyosajiri<strong>wa</strong> 596 na Mitaa 66, mga<strong>wa</strong>nyiko huu ni kama<br />

ilivyoonesh<strong>wa</strong> <strong>katika</strong> Jed<strong>wa</strong>li Na. 1.<br />

208


Ngara Ngara 3,740 - 4 17 72<br />

JUMLA 28,513 10,655 25 152 596<br />

Chanzo: Ofisi ya Mkuu <strong>wa</strong> Mkoa Kagera, 2009<br />

209


210


1.3 IDADI YA WATU<br />

K<strong>wa</strong> mujibu <strong>wa</strong> Sensa ya <strong>wa</strong>tu ya 2002 mkoa uliku<strong>wa</strong> na <strong>wa</strong>tu 2,028,157 uki<strong>wa</strong><br />

na ongezeko la idadi ya <strong>wa</strong>tu la <strong>wa</strong>stani <strong>wa</strong> asilimia 3.1 kila m<strong>wa</strong>ka. K<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka<br />

2009 (maoteo) mkoa unakadili<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong> na <strong>wa</strong>tu 2,453,406. Idadi hii<br />

imega<strong>wa</strong>nyika k<strong>wa</strong> kila Halmashauri kama ifuatavyo:-<br />

Jed<strong>wa</strong>li Na. 2: Idadi ya Watu <strong>katika</strong> Mkoa <strong>wa</strong> Kagera<br />

Halmashauri Ya<br />

Wilaya<br />

Idadi ya Watu<br />

1978 1988 2002 MAOTEO 2009<br />

Bukoba (V) 296,462 343,950 394,020 467,129<br />

Bukoba (M) 36,914 47,009 80,868 128,068<br />

Muleba 217,493 274,447 385,184 458,051<br />

Biharamulo 165,580 209,524 409,389 503,194<br />

Karagwe 185,013 292,589 424,287 504,665<br />

Ngara 107,917 158,658 334,409 392,299<br />

JUMLA 1,011,357 1,328,165 2,028,157 2,453,406<br />

Chanzo: Ofisi Kuu ya Takwimu Taifa (NBS), 2002<br />

1.4 HALI YA UCHUMI NA MAENDELEO YA MKOA<br />

Uchumi <strong>wa</strong> mkoa unategemea zaidi kilimo ambapo zaidi ya asilimia 70 ya <strong>wa</strong>tu<br />

<strong>wa</strong>najishughulisha na kilimo cha mazao ya chakula na biashara. Shughuli za<br />

uvuvi, mifugo,vi<strong>wa</strong>nda na madini zinachangia pia <strong>katika</strong> uchumi <strong>wa</strong> mkoa.<br />

K<strong>wa</strong> mujibu <strong>wa</strong> taarifa ya hali ya uchumi <strong>wa</strong> Taifa ya m<strong>wa</strong>ka 2002, Mkoa <strong>wa</strong><br />

Kagera uliku<strong>wa</strong> na pato la m<strong>wa</strong>ka la shilingi milioni 327,649. Pato la <strong>wa</strong>stani la<br />

m<strong>wa</strong>nanchi <strong>wa</strong> Kagera m<strong>wa</strong>ka 2002 liliku<strong>wa</strong> shilingi 161,095.<br />

Kutokana na kuimarika k<strong>wa</strong> miundombinu na uwekezaji <strong>katika</strong> kilimo hususan<br />

zao la kaha<strong>wa</strong>, chai, mi<strong>wa</strong> na maharagwe, mifugo, uvuvi - vi<strong>wa</strong>nda vya samaki,<br />

biashara na madini ya dhahabu uchumi <strong>wa</strong> mkoa umeendelea kuimarika m<strong>wa</strong>ka<br />

hadi m<strong>wa</strong>ka.<br />

Pato la <strong>wa</strong>stani la mtu mmoja mmoja limeongezeka kufikia shilingi 333,575 k<strong>wa</strong><br />

bei za m<strong>wa</strong>ka 2007 ikilinganish<strong>wa</strong> na <strong>wa</strong>stani <strong>wa</strong> pato la taifa ambalo ni shilingi<br />

764,918 k<strong>wa</strong> bei za m<strong>wa</strong>ka 2007.<br />

Ukuaji <strong>wa</strong> pato la mkoa kuanzia m<strong>wa</strong>ka 2002 umeonyesh<strong>wa</strong> <strong>katika</strong> jed<strong>wa</strong>li<br />

lifuatalo:-<br />

211


Jed<strong>wa</strong>li Na. 3: Ukuaji <strong>wa</strong> Pato<br />

M<strong>wa</strong>ka<br />

Pato la Mkoa Pato la <strong>wa</strong>stani la mtu mmoja mmoja<br />

2002 366,819 180,353<br />

2003 537,513 258,289<br />

2004 559,476 260,632<br />

2005 588,476 266,663<br />

2006 676,919 306,268<br />

2007 764,918 333,575<br />

Chanzo: Ofisi Kuu ya Takwimu Taifa (NBS), 2007<br />

2.0 SEKTA YA UVUVI<br />

2.1 Utangulizi<br />

Sekta ya Uvuvi ni moja ya Sekta muhimu k<strong>wa</strong> maendeleo ya kiuchumi na kijamii<br />

mkoani Kagera. Uvuvi <strong>katika</strong> Mkoa <strong>wa</strong> Kagera unafany<strong>wa</strong> <strong>katika</strong> mazi<strong>wa</strong>, mito na<br />

mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong>. Mkoa una Zi<strong>wa</strong> Victoria pamoja na mazi<strong>wa</strong> mengine madogo ambayo<br />

ni pamoja na Zi<strong>wa</strong> Ikimba na Zi<strong>wa</strong> Burigi.<br />

Hata hivyo changamoto kub<strong>wa</strong> <strong>katika</strong> Sekta hii ni uharibifu <strong>wa</strong> mazingira <strong>katika</strong><br />

maeneo ya uvuvi na kusababisha kupungua k<strong>wa</strong> samaki. Katika tafiti iliyofanyika<br />

hivi karibuni imeonyesha ku<strong>wa</strong> samaki <strong>katika</strong> Zi<strong>wa</strong> Victoria <strong>wa</strong>napungua k<strong>wa</strong> kasi<br />

kub<strong>wa</strong>. Ili kupunguza uvunaji <strong>wa</strong> samaki <strong>katika</strong> Zi<strong>wa</strong> Victoria na ku<strong>wa</strong>saidia<br />

<strong>wa</strong>nanchi kuongeza kipato na lishe, <strong>wa</strong>nanchi <strong>wa</strong>mehamasish<strong>wa</strong> kuchimba<br />

mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> ya kufugia samaki. Wilaya ya Ngara imechimba mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> 91,<br />

Karagwe 30, Bukoba 35, na Biharamulo 3.<br />

Mkoa umejiwekea mikakati mbalimbali ya kuendeleza Sekta ya Uvuvi pamoja na<br />

udhibiti <strong>wa</strong> uvuvi haramu na uharibifu <strong>wa</strong> mazingira. Juhudi hizi zinafany<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong><br />

kuzingatia sheria ya uvuvi na kanuni zake, ni moja ya shughuli kuu za kiuchumi<br />

k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>nanchi <strong>wa</strong> mkoa <strong>wa</strong> Kagera.<br />

2.2 Uchangiaji <strong>wa</strong> Sekta ya Uvuvi <strong>katika</strong> Uchumi<br />

Sekta hii inachangia k<strong>wa</strong> kiasi kikub<strong>wa</strong> <strong>katika</strong> kuinua hali ya uchumi <strong>wa</strong><br />

m<strong>wa</strong>nanchi mmoja mmoja na pia pato k<strong>wa</strong> Serikali kutokana na kodi mbalimbali.<br />

Katika kipindi cha m<strong>wa</strong>ka 2008 samaki <strong>wa</strong>liovuli<strong>wa</strong> <strong>katika</strong> Mkoa <strong>wa</strong> Kagera<br />

<strong>wa</strong>liku<strong>wa</strong> na uzito <strong>wa</strong> kilo 5,890,519.74 zilizoliingizia Taifa fedha za kigeni kiasi<br />

cha USD 20,825,930.60.<br />

212


Jed<strong>wa</strong>li Na. 4: Mapato ya Uvuvi Mkoani Kagera Januari - Desemba, 2008<br />

Mwezi Uzito (Kg) Thamani (USD) Thamani (Tshs) Ushuru (Tshs)<br />

Januari 529,650.00 1,718,374.26 1,958,926,914.89 57,788,509.70<br />

Februari 534,068.00 1,697,064.11 1,945,523,226.56 56,314,342.96<br />

Machi 425,996.00 1,342,686.06 1,564,794,767.64 43,749,795.42<br />

Aprili 412,021.80 1,339,654.26 1,615,217,620.11 45,292,974.36<br />

Mei 622,651.00 2,202,660.69 2,619,918,768.81 71,512,424.42<br />

Juni 413,153.00 1,486,159.70 1,852,351,964.97 47,011,192.80<br />

Julai 478,996.00 1,911,093.39 2,208,795,140.81 55,758,900.33<br />

Agosti 513,743.00 1,956,276.20 2,220,004,203.72 56,035,590.20<br />

Septemba 504,072.12 1,957,920.36 2,247,934,513.35 55,269,620.35<br />

Oktoba 554,345.00 2,072,078.46 2,487,682,940.20 66,475,784.07<br />

Novemba 444,504.00 1,621,536.36 2,010,778,277.45 53,721,612.90<br />

Desemba 457,319.82 1,520,426.75 1,918,440,437.20 50,559,568.72<br />

JUMLA 5,890,519.74 20,825,930.60 24,650,368,775.71 659,490,316.23<br />

2.3 Uchangia <strong>wa</strong> Sekta ya Uvuvi <strong>katika</strong> ajira<br />

Sekta ya uvuvi inachangia k<strong>wa</strong> kiasi kikub<strong>wa</strong> <strong>katika</strong> kutoa ajira k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>nanchi.<br />

Ajira hizi ni za moja k<strong>wa</strong> moja kutoka <strong>katika</strong> vi<strong>wa</strong>nda vya kusindika minofu ya<br />

samaki na pia ni zile ajira k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>vuvi, <strong>wa</strong>uzaji samaki, pamoja na <strong>wa</strong>le<br />

<strong>wa</strong>naondesha biashara za kutoa huduma <strong>katika</strong> maeneo ya uvuvi.<br />

3.0 MKAKATI WA MKOA WA KAGERA<br />

Pamoja na mafanikio haya <strong>katika</strong> <strong>sekta</strong> ya Uvuvi, bado kuna changamoto kadhaa<br />

ambazo zinakabili mkoa. Changamoto hizi zinaweza kutatuli<strong>wa</strong> na mikakati ya<br />

kiwilaya na mkoa. Mkoa <strong>wa</strong> Kagera imeandaa mkakati <strong>wa</strong>ke baada ya tamko la<br />

Kampala la kuitaka kila mkoa kusimamia zoezi la usalimishaji <strong>wa</strong> zana haramu za<br />

uvuvi lilianza mwezi Novemba, 2008 hadi Decemba 2008.<br />

3.1 Udhibiti Juu ya Uvuvi Haramu<br />

K<strong>wa</strong> kushirikisha <strong>wa</strong>dau wengine kutoka Halmashauri za wilaya ya Muleba,<br />

Chato, Misenyi, Bukoba/Vijijini Bukoba Manispaa, Kituo cha Doria Kanyigo –<br />

Kagera, pamoja na taasisi zingine kama vile Polisi,Mahakama,TAKUKURU<br />

pamoja na Idara ya Uhamiaji k<strong>wa</strong> pamoja <strong>wa</strong>meweza kufanya doria dhidi ya<br />

Uvuvi haramu k<strong>wa</strong> kutumia sheria ya Uvuvi Na. 22 ya 2003 pamoja na Kanuni<br />

213


zake za 2005. Maeneo mbalimbali zi<strong>wa</strong>ni, mialoni na nchi kavu <strong>katika</strong> wilaya<br />

hizo,zimefanyika doria zilizoleta mafanikio mazuri.<br />

Katika mkoa <strong>wa</strong> Kagera usalimish<strong>wa</strong>ji <strong>wa</strong> zana haramu za uvuvi uliendelea hadi<br />

Aprili 2009 (Kiambatanisho B).Azimio lililofata ni kuanza k<strong>wa</strong> zoezi la Doria ya<br />

kupambana na utumiaji <strong>wa</strong> zana haramu za Uvuvi,kupunguza nguvu ya Uvuvi<br />

<strong>katika</strong> zi<strong>wa</strong>,wote <strong>wa</strong>liobainika kukiuka Sheria na Kanuni za Uvuvi,<strong>wa</strong>lifikish<strong>wa</strong><br />

<strong>katika</strong> vyo mbo vya Sheria.<br />

Doria k<strong>wa</strong> nchi kavu, ilitumia mtindo <strong>wa</strong> Upekuzi <strong>wa</strong> nyumba k<strong>wa</strong> nyumba na<br />

kuleta mafanikio makub<strong>wa</strong> zikiwemo kukamata zana haramu,kokoro 551,Timba<br />

1,701, Nyavu zenye macho madogo 20,177, Mitumbwi isiyosajili<strong>wa</strong> 65<br />

ilikamat<strong>wa</strong>, pamoja na <strong>wa</strong>tuhumi<strong>wa</strong> 218 kufikish<strong>wa</strong> Mahakamani. Pia, k<strong>wa</strong><br />

kushirikiana na Idara ya mahakama tuliweza kutumia mahakama ya haraka /<br />

papo k<strong>wa</strong> hapo (Mobile Court) ambayo ilisaidia sana kutoa hukumu k<strong>wa</strong> haraka.<br />

Katika shughuli za doria vitendea kazi tofauti vilitumika kama vile Magari k<strong>wa</strong><br />

upande <strong>wa</strong> nchi kavu na baadhi ya mialo pamoja na boti k<strong>wa</strong> upande <strong>wa</strong> majini<br />

na baadhi ya mialo k<strong>wa</strong> ajili ya kufanikisha zoezi hilo. Gari ya kikosi, pamoja na<br />

magari ya Halmashauri Idara ya maliasili yalitumika, Aidha, boti za kikosi cha<br />

doria zilitumika sambamba na boti za Halmashauri za wilaya.<br />

Utekelezaji <strong>wa</strong> mikakati ya kazi ulifany<strong>wa</strong> na kuleta mafanikio mazuri kutokana<br />

na mbinu mbalimbali kama vile kikosi kutafuta taarifa za uhalifu, kuweka <strong>wa</strong>toa<br />

taarifa za siri <strong>wa</strong> maeneo mbalimbali, taarifa kutoka k<strong>wa</strong> maafisa Uvuvi Wilaya<br />

na <strong>wa</strong>kereket<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>Uvuvi haramu kutoka maeneo mbalimbali. Matokeo kutokana<br />

na operesheni hii ni kama ilivyoonesh<strong>wa</strong> <strong>katika</strong> Kiambatanisho A, B na C.<br />

Jukumu lililo chini ya Kikiosi cha Doria <strong>katika</strong> Mkoa <strong>wa</strong> Kagera ni pamoja na<br />

kusimamia mapato ya Serikali Kuu, kutokana na mrabaha (Royality) unaotokana<br />

na mauzo ya samaki na mazao yake,na dagaa nje ya nchi. Kati ya mwezi octoba<br />

2008 hadi Novemba 6 2009 jumla ya makusanyo ya shilingi 730,903,352/=<br />

yamepatikana kutokana na Compondment Fine shilingi 11,600,000/=,Mrabaha<br />

712,548,897/=, na mauzo ya samaki k<strong>wa</strong> amri ya mahakama 5,617,000/=.<br />

3.2 UTENDAJI WA BEACH MANAGEMENT UNITS (BMUs)<br />

Kutokana na tathmini iliyofanyika m<strong>wa</strong>ka 2008 mkoa <strong>wa</strong> Kagera una jumla ya<br />

BMU’s 108. (5W/Bukoba Mjini), BMU’s 11 (W/B/Vijijini&Misenyi), BMU’s 70<br />

(W/Muleba), na BMU’s 22 (W/Chato). Tangu kuund<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> BMU m<strong>wa</strong>ka 2003 na<br />

kutambuli<strong>wa</strong> kisheria na Sheria ya Uvuvi Na. 22 ya m<strong>wa</strong>ka 2003 na Kanuni zake<br />

za m<strong>wa</strong>ka 2005, BMUs zimetoa mchango mzuri <strong>katika</strong> ulinzi <strong>wa</strong> rasilimali ya<br />

uvuvi <strong>katika</strong> mialo mbalimbali, inga<strong>wa</strong> zipo BMUs chache zinazofanya vibaya k<strong>wa</strong><br />

sababu kadhaa, k<strong>wa</strong> kuwepo BMUs <strong>wa</strong>mefanikisha kazi zifuatazo;<br />

214


i. Kutoa vibali vya kusafirisha mazao ya samaki,kutoka eneo moja hadi<br />

jingine,<br />

ii. Kutoa taarifa za siri juu ya vitendo vya uvuvi haramu,<br />

iii. Utunzaji na usafi <strong>wa</strong> mialo na mazingira,<br />

iv. Kushirikiana na ma<strong>wa</strong>kala <strong>katika</strong> mialo juu ya ukusanyaji <strong>wa</strong> mapato ya<br />

Halmashauri,<br />

v. Kutoa elimu ya a<strong>wa</strong>li k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>vuvi juu ya utekelezaji <strong>wa</strong> Sheria Na. 22 ya<br />

m<strong>wa</strong>ka 2003 na Kanuni ya m<strong>wa</strong>ka 2005, zoezi hili ni mafanikio ya semina<br />

endelevu za uelimishaji zinazotole<strong>wa</strong> na Taasisi ya Uangalizi na<br />

Uendelezaji <strong>wa</strong> Zi<strong>wa</strong> Victoria (LVFO) k<strong>wa</strong> kushirikiana na Idara ya<br />

Maendeleo ya Uvuvi.<br />

3.2.1 CHANGAMOTO ZA UTENDAJI WA KAZI WA BMUs<br />

BMUs zinakabili<strong>wa</strong> na changamoto nyingi, k<strong>wa</strong> uchache ni kama zifuatazo;<br />

i. Baadhi ya <strong>wa</strong>tendaji ndani ya BMU’s kushiriki vitendo vya uvuvi haramu;<br />

ii. BMUs nyingi hazina sheria ndogo ndogo ambazo zinge<strong>wa</strong>saidia kufanya<br />

kazi k<strong>wa</strong> ufanisi zaidi, aidha mab<strong>wa</strong>na samaki <strong>wa</strong> wilaya ni jukumu lao<br />

ku<strong>wa</strong>pa muongozo <strong>wa</strong> kutunga sheria hizo na kupata baraka kutoka k<strong>wa</strong><br />

baraza la Madi<strong>wa</strong>ni;<br />

iii. BMUs nyingi hazina vyanzo vya mapato, tatizo hili linaweza kuondokana<br />

na uanzish<strong>wa</strong>ji <strong>wa</strong> hizo sheria ndogo ndogo <strong>katika</strong> kubuni vyanzo vya<br />

mapato kutokana na shughuli za uvuvi.<br />

3.3 MCHANGO WA ASASI NYINGINE<br />

Mkoa unatambua taasisi zisizo za kiserikali (NGO’s) kama vile ECO-VIC, LAV-NET<br />

na KADETFU k<strong>wa</strong> ushiriki <strong>wa</strong>o <strong>wa</strong> uendelezaji na utunzaji <strong>wa</strong> <strong>sekta</strong> ya uvuvi<br />

<strong>katika</strong>:<br />

(i) Ku<strong>wa</strong>kopesha <strong>wa</strong>jasiriamali <strong>wa</strong> <strong>sekta</strong> ya uvuvi, zana endelevu za uvuvi,<br />

(ii) Kutoa elimu ya ufugaji <strong>wa</strong> samaki <strong>katika</strong> mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong>,<br />

(iii) Uendelezaji na uanzish<strong>wa</strong>ji <strong>wa</strong> mialo yenye sehemu zilizoboresh<strong>wa</strong> za<br />

kupokelea samaki (receiving point).<br />

(iv) Kutoa elimu ya utunzaji mazingira na usafi <strong>wa</strong> mialo k<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong>jengea vyoo.<br />

3.4 UPATIKANAJI NA USAMBAZAJI WA ZANA BORA ZA UVUVI<br />

Sheria ya Uvuvi Na. 22 ya m<strong>wa</strong>ka 2003 na Kanuni yake ya m<strong>wa</strong>ka 2005<br />

inaelekeza matumizi endelevu ya zana bora za uvuvi kama ifuatavyo;<br />

215


i. Nyavu za makila (gill nets) ziwe na macho kuanzia inchi 5 na kuendelea<br />

<strong>katika</strong> zi<strong>wa</strong> Victoria k<strong>wa</strong> uvuvi <strong>wa</strong> sato na nchi 6 na kuendelea k<strong>wa</strong> uvuvi<br />

<strong>wa</strong> sangara <strong>katika</strong> zi<strong>wa</strong> Victoria;<br />

ii. Nyavu aina ya kokoro haziruhusiwi kisheria kutumika <strong>katika</strong> shughuli za<br />

uvuvi;<br />

iii. Nyavu aina ya timba (monofilaments) haziruhusiwi kisheria kutumika<br />

<strong>katika</strong> shughuli za uvuvi;<br />

iv. Nyavu za kuvulia dagaa zenye macho madogo chini ya mm10,<br />

haziruhusiwi kutumika kisheria <strong>katika</strong> shughuli ya uvuvi <strong>wa</strong> dagaa;<br />

v. Mtumbwi ambao hauna usajili hauruhusiwi kisheria kujihusisha na<br />

shughuli za uvuvi;<br />

vi. Mvuvi asiye na leseni haruhusiwi kujihusisha na shughuli za uvuvi;<br />

vii. Samaki aina ya sato mwenye urefu chini ya sm 25 haruhusiwi kuvuli<strong>wa</strong><br />

kisheria;<br />

viii. Samaki aina ya sangara mwenye urefu chini ya sm 50 na mwenye urefu<br />

zaidi ya sm 85 haruhusiwi kuvuli<strong>wa</strong> kisheria;<br />

ix. Kutoku<strong>wa</strong> na nyalaka halali za kusafirisha mazao ya samaki, hairuhusiwi<br />

kisheria.<br />

3.5 MFUMO WA MASOKO YA SAMAKI<br />

Mkoa unamuwezesha mvuvi na <strong>wa</strong>fanyabiashara halali juu ya soko la samaki<br />

k<strong>wa</strong> kuwepo vi<strong>wa</strong>nda viwili ambavyo ni VIC-Fish na Kagera Fish ambao hununua<br />

samaki aina ya sangara k<strong>wa</strong> uhakika, hivyo ku<strong>wa</strong>wezesha <strong>wa</strong>nanchi ku<strong>wa</strong> na<br />

kipato kizuri na kuweza ku<strong>wa</strong>inua kiuchumi.<br />

Aidha <strong>wa</strong>fanyabiashara <strong>wa</strong>naouza mazao ya samaki na dagaa nje ya nchi,<br />

hupati<strong>wa</strong> vibali vya kuuza mazao hayo nje ya nchi kihalali.<br />

Kuhusu SACCOS za ku<strong>wa</strong>kopesha <strong>wa</strong>vuvi, mkoa hauna takwimu k<strong>wa</strong> sasa, lakini<br />

elimu ya kukopa inatole<strong>wa</strong>, na taasisi binafsi hu<strong>wa</strong>kopesha, mfano taasisi ya<br />

FINKA, PRIDE, NMB bank, NBC bank, CRDB bank na POSTA bank, na KADETFU<br />

3.6 CHANGAMOTO<br />

(i) Geografia ya Zi<strong>wa</strong> <strong>katika</strong> Mkoa <strong>wa</strong> Kagera ni ngumu na kuna mta<strong>wa</strong>nyiko<br />

mkub<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> mialo, hii inaleta ugumu kufika k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>kati kati ya m<strong>wa</strong>lo<br />

hadi m<strong>wa</strong>lo;<br />

(ii) Ma<strong>wa</strong>siliano ya simu nayo yamechangia,<strong>katika</strong> ku<strong>wa</strong>siliana k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>nanchi<br />

mara <strong>wa</strong>napotuona <strong>katika</strong> zoezi la doria hii huchangia <strong>wa</strong>vuvi haramu<br />

kukimbia, baada ya kuficha nyavu zao, au kufunga vibanda vyao na<br />

kukimbia;<br />

(iii) Vitendo ya uvuvi haramu vinashuhudi<strong>wa</strong> na <strong>wa</strong>na<strong>wa</strong>nchi, viongozi<br />

mbalimbali <strong>wa</strong> serikali za mitaa, polisi na mgambo kuanzia maeneo ya<br />

uvuvi, usafirishaji hadi k<strong>wa</strong> mlaji sehemu za masoko, lakini Viongozi<br />

216


mbalimbali <strong>wa</strong>kiwemo <strong>wa</strong> serikali za mtaa polisi na mgambo ha<strong>wa</strong>toi<br />

kemeo <strong>wa</strong>la taarifa. Huko ni kuto<strong>wa</strong>jibika, k<strong>wa</strong>ni kikosi cha doria peke<br />

hakiwezi kudhibiti uovu huo Mkoa mzima bila ya ushiriki <strong>wa</strong> <strong>wa</strong>dau<br />

wengine;<br />

(iv) Halmashauri ndizo zinazokusanya mapato ya leseni za uvuvi hivyo zitenge<br />

30% ya mapato ili kulinda Rasilimali ya uvuvi. K<strong>wa</strong> Halmashauri kufanya<br />

Doria <strong>katika</strong> maeneo yao kutaongeza ulinzi <strong>wa</strong> Rasilimali ya Uvuvi,k<strong>wa</strong><br />

ku<strong>wa</strong> UMOJA NI NGUVU;<br />

(v) Samaki <strong>wa</strong>changa <strong>wa</strong>nasafirish<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> pikipiki na mabasi ya abiria (Hiace)<br />

kutoka maeneo ya mialo hadi mjini, <strong>wa</strong>tendaji <strong>wa</strong> vyombo vya dola (Polisi,<br />

Trafiki) ha<strong>wa</strong>chukui hatua zozote, japo kutoa taarifa.<br />

4.0 UDHIBITI WA UBORA WA SAMAKI NA MASOKO<br />

K<strong>wa</strong> kuzingatia Sheria ya Uvuvi Na. 22 ya m<strong>wa</strong>ka 2003 na Kanuni zake za<br />

m<strong>wa</strong>ka 2005, kitengo cha udhibiti <strong>wa</strong> Ubora <strong>wa</strong> samaki na Masoko, kimeweza<br />

kusimamia vi<strong>wa</strong>ngo vya Ubora <strong>katika</strong> Vi<strong>wa</strong>nda vya Uchakataji <strong>wa</strong> Samaki<br />

ambavyo ni Kagera Fish na vic fish. Ili minofu ya samaki iendelee kuuz<strong>wa</strong> <strong>katika</strong><br />

soko la Kimataifa, ni lazima ubora uliopasish<strong>wa</strong> na jumiya ya ulaya(EU),uweze<br />

kufiki<strong>wa</strong>, jukumu hili linafanikish<strong>wa</strong> na Kitengo cha Ubora <strong>wa</strong> Samaki na Masoko.<br />

Katika nia ya kuimarisha na kuboresha miolo mradi <strong>wa</strong> kusimamia na kuendeleza<br />

zi<strong>wa</strong> Victoria (LVFO), umejenga milo mine ya kisasa ya kupokelea samaki,miolo<br />

hiyo ipo:<br />

(i) Igabiro - Bukoba vijijini<br />

(ii) Nyamkazi - Bukoba Manispaa<br />

(iii) Iramba - Wilaya ya Muleba<br />

(iv) Katembe - Wilaya ya Muleba<br />

5.0 MKAKATI ENDELEVU WA UFUGAJI WA SAMAKI KUFANIKISHA<br />

KILIMO KWANZA.<br />

K<strong>wa</strong> kuzingatia kupungua k<strong>wa</strong> idadi ya samaki aina ya sangara <strong>katika</strong> zi<strong>wa</strong><br />

Victoria kutoka tani za ujazo 722,000 mwezi februari 2007 hadi tani za ujazo<br />

314,000 kufikia mwezi August 2007.<br />

Wizara ya maendeleo ya mifugo na uvuvi imeajiri <strong>wa</strong>tumishi <strong>wa</strong>wili wenye<br />

utaalamu <strong>wa</strong> ukuzaji <strong>wa</strong> viumbe hai kwenye maji (AQUACULTURE) <strong>katika</strong> mkoa<br />

<strong>wa</strong> Kagera.<br />

Lengo kuu la kuanzish<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> kitengo hicho ni kutoa elimu k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>dau <strong>wa</strong> uvuvi<br />

jinsi ya ufugaji <strong>wa</strong> samaki kwenye mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> kufuata ushauri <strong>wa</strong> kitaalamu<br />

juu ya njia bora za ufugaji <strong>wa</strong> samaki k<strong>wa</strong> kuzingatia mbegu bora za samaki.<br />

217


6.0 UKUZAJI VIUMBE HAI KWENYE MAJI<br />

• Ukuzaji <strong>wa</strong> viumbe kwenye maji umejikita zaidi kwenye ufugaji <strong>wa</strong> samaki tu<br />

hii ni kutokana na hali halisi ya mkoa kuzunguk<strong>wa</strong> na maji baridi tu. Na jamii<br />

kub<strong>wa</strong> ya <strong>wa</strong>tu <strong>wa</strong> mkoa huu ku<strong>wa</strong> na uele<strong>wa</strong> kidogo <strong>wa</strong> <strong>wa</strong>fugaji <strong>wa</strong> samaki<br />

kuliko ufugaji mwingine wowote <strong>wa</strong> viumbe hai <strong>wa</strong> majini.<br />

• Takwimu zinaonesha ku<strong>wa</strong> Mkoa uliku<strong>wa</strong> na mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> 360 m<strong>wa</strong>ka 2007,<br />

mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> mengi yaliyoku<strong>wa</strong> yameanzish<strong>wa</strong> kipindi cha nyuma mengi yao<br />

hayafanyi kazi k<strong>wa</strong> sasa, hii inatokana na kutoku<strong>wa</strong> na vifaranga bora vya<br />

samaki, na elimu duni juu ya uchimbaji na utunzaji <strong>wa</strong> hayo mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> k<strong>wa</strong><br />

<strong>wa</strong>kati huo.<br />

• Kuna uingizaji haramu <strong>wa</strong> vijisamaki aina ya kambale (Clarius gariepinus)<br />

ndani ya nchi yetu zikitokea nchi jirani ya R<strong>wa</strong>nda na Burundi, na ni biashara<br />

inayo<strong>wa</strong>ingizia <strong>wa</strong>dau fedha nyingi hivyo kufanya zana ya utumiaji <strong>wa</strong><br />

mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> yaliyochimb<strong>wa</strong> kupungua na ni hatari k<strong>wa</strong> s<strong>wa</strong>la la uingizaji <strong>wa</strong><br />

magonj<strong>wa</strong> na pia kuua mbegu ya samaki <strong>wa</strong> asili <strong>wa</strong> nchi hii.Kambale ha<strong>wa</strong><br />

hutumi<strong>wa</strong> na <strong>wa</strong>vuvi <strong>wa</strong> sato kama chambo (Bait).<br />

• Jamii ya <strong>wa</strong>tu <strong>wa</strong> mkoa <strong>wa</strong> Kagera ina m<strong>wa</strong>mko mkub<strong>wa</strong> <strong>katika</strong> s<strong>wa</strong>la zima la<br />

ufugaji <strong>wa</strong> samaki na mazingira ya ufugaji <strong>wa</strong> samaki yanaruhusu k<strong>wa</strong>ni kuna<br />

rutuba nzuri na uwepo <strong>wa</strong> maji k<strong>wa</strong> muda wote <strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka. Samaki <strong>wa</strong>naofaa<br />

kufug<strong>wa</strong> <strong>katika</strong> mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> kulingana na jiografia ya mkoa ilivyo na pamaja na<br />

samaki aina ya Tilapia na Clarius Gariepinus.<br />

7.0 MAFANIKIO<br />

• Katika kipindi cha Oktoba 2008 hadi Novemba 2009 wilaya 7 kati ya 8<br />

zimetembele<strong>wa</strong>, na jumla ya mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> 197 yametembele<strong>wa</strong> na mengine<br />

kuchimb<strong>wa</strong> ambapo <strong>wa</strong>fugaji 1,341 <strong>wa</strong>meelimish<strong>wa</strong> juu ya ufugaji<br />

samaki.<br />

• Idadi ya vifaranga <strong>wa</strong>liopandikiz<strong>wa</strong> ni 37,423 aina ya sato (rejea Jed<strong>wa</strong>li<br />

x ukurasa no 14), na samaki <strong>wa</strong>liovun<strong>wa</strong> ni Tani 5 kilo 500 aina ya sato<br />

ambao <strong>wa</strong>liku<strong>wa</strong> na thamani ya shilingi 1,100,000/= na baada ya<br />

kuuz<strong>wa</strong> na <strong>wa</strong>kulima.<br />

• Jumla ya Vibali 8 vya kusafirisha vifaranga vilivyotole<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> kipindi hicho.<br />

Hii inatokana na m<strong>wa</strong>mko mdogo <strong>wa</strong> <strong>wa</strong>nanchi <strong>katika</strong> kuele<strong>wa</strong> umuhimu<br />

<strong>wa</strong> kutumia vibali.Hata hivyo elimu itaendelea kutole<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>nanchi juu<br />

ya umuhimu <strong>wa</strong> kufuata utaratibu.<br />

• Kituo kimefaniki<strong>wa</strong> kuchimba B<strong>wa</strong><strong>wa</strong> la mfano lenye ukub<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> mita 10<br />

k<strong>wa</strong> 10 <strong>katika</strong> wilaya ya Bukoba mjini, eneo la ofisi ya Doria Mkoa ambalo<br />

linataraji<strong>wa</strong> kupandikiz<strong>wa</strong> samaki aina ya Tilapia <strong>wa</strong>patao 20,000 <strong>katika</strong><br />

kipindi cha m<strong>wa</strong>ka 2009/2010 kutegemea na uwepo <strong>wa</strong> bajeti. B<strong>wa</strong><strong>wa</strong> hilo<br />

pia linatarajia ku<strong>wa</strong> la mfano k<strong>wa</strong> kuelimisha <strong>wa</strong>fugaji na kutao vifaranga<br />

k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>fugaji <strong>wa</strong> samaki kimkoa.<br />

218


Jed<strong>wa</strong>li 5: Mchanganuo <strong>wa</strong> Wafugaji <strong>wa</strong> Samaki k<strong>wa</strong> Wilaya<br />

HALMASHAURI IDADI YA<br />

MABWAWA<br />

YALIYOCHIMBWA<br />

IDADI YA<br />

WAKULIMA<br />

WALIOELIMISHWA<br />

219<br />

IDADI YA<br />

VIFARANGA<br />

VILIVYOPANDIKI<br />

ZWA (SATO)<br />

IDADI YA VIBALI<br />

VYA KUSAFIRISHA<br />

VIFARANGA<br />

VILIVYOTOLEWA<br />

Bukoba Mjini 33 52 12,610 2<br />

Bukoba Vijijini 32 61 880 0<br />

Muleba 41 50 10,100 0<br />

Ngara 25 55 2,100 0<br />

Misenyi 13 33 612 1<br />

Chato 4 - - -<br />

Karagwe 49 90 11,121 5<br />

JUMLA 197 90 374,211,121 8<br />

8.0 UTEKELEZAJI WA KAULI YA KILIMO KWANZA KWA KITENGO CHA<br />

UKUZAJI VIUMBE HAI KWENYA MAJI<br />

• Kitengo cha ukuzaji viumbe hai kwenye maji kilishiriki <strong>katika</strong> mpango mzima<br />

<strong>wa</strong> utekelezaji <strong>wa</strong> kauli mbiu ya kilimo k<strong>wa</strong>nza, na <strong>katika</strong> hilo afisa kutoka<br />

idara ya ukuzaji viumbe hai majini alihusika kuunda tume ya <strong>wa</strong>taalamu na<br />

kuweka mikakati na mpango <strong>wa</strong> kilimo k<strong>wa</strong>nza kimkoa.<br />

• Vilevile ameshiriki <strong>katika</strong> kuandaa mpango na mkakati <strong>wa</strong> KILIMO KWANZA<br />

k<strong>wa</strong> kuzingatia nguzo kumi za KILIMO KWANZA na amri kumi za kilimo<br />

bora k<strong>wa</strong> lengo la kutekeleza dhana ya KILIMO KWANZA <strong>katika</strong> ngazi ya<br />

mkoa, wilaya hadi k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>nanchi vijijini.<br />

• Vilevile kilimo kiende sambamba na ufugaji <strong>wa</strong> samaki ili kuendeleza kilimo<br />

mseto na chenye kuleta tija k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>kulima na <strong>katika</strong> hilo Kitengo cha ukuzaji<br />

viumbe hai kwenye maji kilihaidi ku<strong>wa</strong> bega k<strong>wa</strong> bega <strong>katika</strong> ku<strong>wa</strong>wezesha<br />

<strong>wa</strong>kulima kupata elimu juu ya ufugaji <strong>wa</strong> samaki na umuhimu <strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong> na<br />

kilimo mseto.<br />

8.1 CHANGAMOTO ZINAZOWAKABILI KITENGO CHA UKUZAJI<br />

VIUMBE HAI KWENYA MAJI<br />

• Kituo cha Kagera ni kichanga hivyo hii husababisha kutotimiza malengo<br />

yaliyowek<strong>wa</strong> kulingana na ufinyu <strong>wa</strong> bajeti, mfano kituo hakina usafiri<br />

kabisa na hivyo kupelekea ugumu <strong>katika</strong> ku<strong>wa</strong>fikia <strong>wa</strong>fugaji k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>kati<br />

unaostahili, na mara nyingine kutofika kabisa, aidha tunaazima magari<br />

kutoka Ofisi ya Mkuu <strong>wa</strong> Mkoa au Kikosi Cha Doria Mkoa kufanikisha kazi.<br />

• Wafugaji samaki <strong>wa</strong>nakabili<strong>wa</strong> na ukosefu <strong>wa</strong> mbegu bora za samaki,<br />

ambazo zinaku<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> ki<strong>wa</strong>ngo kinachostahili, ufumbuzi <strong>wa</strong> kudumu ni<br />

Mkoa ku<strong>wa</strong> na b<strong>wa</strong><strong>wa</strong> la vifanga.<br />

• Idadi ya mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> yaliyokuwepo imepungua k<strong>wa</strong> kiasi kikub<strong>wa</strong> kutoka<br />

mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> 360, hadi kufikia mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> 197


• Kutokana na mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> yaliyokuwepo na ambayo yapo takwimu<br />

zinaonesha faida hakuna ukilinganisha na gharama zilizotumika<br />

kuendeshea shughuli za ufugaji <strong>wa</strong> samaki.<br />

• Mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> mengi yametengenez<strong>wa</strong> bila kufuata utaalamu hivyo<br />

kusababisha hali ya he<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> samaki ku<strong>wa</strong> ya ubaridi zaidi na <strong>wa</strong>kati<br />

mwingine joto zaidi ambayo huathiri ukuaji <strong>wa</strong> samaki.<br />

• Mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> mengi yalichimb<strong>wa</strong> maeneo ya tingatinga hivyo kusababisha<br />

kubomoka kipindi mafuriko yalipotokea.<br />

• Mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> yaliyo mengi hayafanyiwi matengenezo yanayofanyika k<strong>wa</strong> ajili<br />

ya kukarabati mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong>, na hakuna utaratibu <strong>wa</strong> kuweka takwimu za<br />

mavuno ya mwisho.<br />

8.2 NINI KIFANYIKE<br />

Ili kuweza kukabiliana na changamoto zilizotaj<strong>wa</strong> hapo juu, mikakati ifuatayo<br />

inaweza ku<strong>wa</strong> suluhu k<strong>wa</strong> kuzingatia halihalisi.<br />

• Wadau wote k<strong>wa</strong> kushirikiana na Serikali iangalie uwezekano <strong>wa</strong> kufufua<br />

mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> yaliyokufa k<strong>wa</strong> kutilia mkazo zaidi k<strong>wa</strong> ufugaji <strong>wa</strong> kibiashara na<br />

ku<strong>wa</strong>shauri <strong>wa</strong>fugaji kuingia <strong>katika</strong> vikundi (SACCOS) ili <strong>wa</strong>pate mikopo<br />

kirahisi <strong>katika</strong> taasisi za kifedha,<br />

• Wadau wote k<strong>wa</strong> kushirikiana na Serikali <strong>wa</strong>angalie uwezekano <strong>wa</strong><br />

kukiimarisha kituo cha Kagera ili kiwe na uwezo <strong>wa</strong> kuzalisha vifaranga<br />

bora vya samaki ili ku<strong>wa</strong>saidia <strong>wa</strong>fugaji kupata mbegu hiyo k<strong>wa</strong> urahisi na<br />

haraka zaidi,<br />

• Elimu iendelee kutole<strong>wa</strong> juu ya njia bora za uchimbaji <strong>wa</strong> mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> k<strong>wa</strong><br />

kuzingatia sheria, kanuni na taratibu lakini pia jinsi ya ku<strong>wa</strong>tunza samaki<br />

hao k<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong>patia chakula kinachofaa na mchanganyiko unaostahili.<br />

Elimu hii izingatie pia uchaguaji <strong>wa</strong> maeneo yanayofaa k<strong>wa</strong> kuchimba<br />

mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong>,<br />

• Wakulima <strong>wa</strong>hamasishwe na kuwezesh<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong> na mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> manne hadi<br />

sita, ili kuweza ku<strong>wa</strong> na samaki k<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka mzima hii itasaidia kupata<br />

kitoweo na kuongeza kipato k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>fugaji,<br />

8.3 HITIMISHO<br />

Ili kutekeleza kauli mbiu ya kilimo k<strong>wa</strong>nza serikali kupitia idara ya ukuzaji viumbe<br />

hai <strong>katika</strong> maji Mkoa, inahitaji kufanya juhudi za makusudi. Mambo<br />

yatakayotaki<strong>wa</strong> kuangali<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> kina ni pamoja na serikali ku<strong>wa</strong>patia mbegu<br />

bora <strong>wa</strong>fugaji <strong>wa</strong> samaki na ku<strong>wa</strong>wezesha <strong>wa</strong>fugaji, kulima na kufuga ufugaji<br />

mseto <strong>wa</strong> samaki” intergrated aquaculture” na zaidi ku<strong>wa</strong>wezesha kuchimba<br />

mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> ya kisasa zaidi ili ufugaji uwe <strong>wa</strong> kisasa na kibiashara na wenye kuleta<br />

tija <strong>katika</strong> mkoa <strong>wa</strong> Kagera na taifa k<strong>wa</strong> ujumla.<br />

220


9.0 MIKAKATI YA UVUVI ENDELEVU KATIKA KUTEKELEZA WITO WA<br />

KILIMO KWANZA KUANZIA MWAKA 2009 HADI 2011<br />

(i) Pawepo na utashi <strong>wa</strong> kisiasa <strong>katika</strong> ngazi zote kuanzia ngazi ya Mkoa<br />

hadi ngazi ya kijiji/mtaa, <strong>katika</strong> kutekeleza wito <strong>wa</strong> kilimo k<strong>wa</strong>nza sanjari<br />

na ufugaji <strong>wa</strong> samaki <strong>katika</strong> mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong>;<br />

(ii) Wakurugenzi <strong>wa</strong>tendaji <strong>wa</strong> Halmashauri <strong>wa</strong>we na mikakati <strong>katika</strong> wilaya<br />

zao, ku<strong>wa</strong> na mpango <strong>wa</strong> kudhibiti ongezeko la nguvu ya uvuvi k<strong>wa</strong><br />

kutoa ki<strong>wa</strong>ngo Fulani cha idadi ya leseni ili kutunza rasilimali ya<br />

uvuvi.K<strong>wa</strong> sasa zi<strong>wa</strong> limezidi<strong>wa</strong> na nguvu ya Uvuvi,yaani<br />

mitumbwi,nyavu na <strong>wa</strong>vuvi <strong>wa</strong>meongezeka sana,hii ni kutokana na<br />

taarifa ya matokeo ya tathmini (Frame Survey) iliyofanyika <strong>katika</strong> m<strong>wa</strong>ka<br />

2008;<br />

(iii) Halmashauri zishirikiane na BMU’s ili ku<strong>wa</strong> na ulinzi <strong>wa</strong> rasilimali sanjali<br />

na ukusanyaji mapato ya Halmashauri yanayotokana na <strong>sekta</strong> ya uvuvi;<br />

(iv) NGO’s (KADETFU, ECOVIC, LAV-NET, Taasisi za kidini) ziendeleze juhudi<br />

za dhati kutoa elimu, mikopo na uibuaji <strong>wa</strong> miradi mbadala ili kupunguza<br />

nguvu ya uvuvi <strong>katika</strong> zi<strong>wa</strong> Victoria;<br />

(v) Ofisi ya mkuu <strong>wa</strong> mkoa iratibu na kuibua <strong>wa</strong>jasiriamali <strong>wa</strong> kuendeleza<br />

kilimo k<strong>wa</strong>nza <strong>katika</strong> <strong>sekta</strong> ya uvuvi k<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong>pa elimu ya ufugaji <strong>wa</strong><br />

samaki <strong>katika</strong> wilaya zote k<strong>wa</strong> kushirikisha kitengo cha ukuzaji <strong>wa</strong><br />

viumbe hai (AQUACULTURE);<br />

(vi) Kuhusu udhibiti <strong>wa</strong> utoroshaji <strong>wa</strong> mazao ya uvuvi, kamati ya ulinzi ya<br />

Mkoa imeshirikiana vyema na kikosi cha doria uvuvi (M) kudhibiti<br />

<strong>wa</strong>fanyabiashara <strong>wa</strong> samaki <strong>wa</strong>sio <strong>wa</strong>aminifu na <strong>wa</strong>penda magendo ili<br />

ku<strong>wa</strong>baini na ku<strong>wa</strong>peleka <strong>katika</strong> vyombo vya sheria.Hivyo tunaishauri<br />

serikali kuongeza rasilimli fedha ili kikosi cha Doria kiweze kutokomeza<br />

ukiuk<strong>wa</strong>ji <strong>wa</strong> sheria na kanuni za Uvuvi <strong>katika</strong> mkoa.<br />

221


Picha 1: Uchomaji <strong>wa</strong> nyavu haramu zilizokamat<strong>wa</strong> na kikosi cha Doria Uvuvi, Kagera uliofanyika<br />

tarehe 20/08/2009, uchomaji <strong>wa</strong> nyavu haramu uliongoz<strong>wa</strong> na Waziri <strong>wa</strong> Maendeleo ya Mifugo<br />

na Uvuvi, Mhe. John P. Magufuli (Mb), ambapo jumla ya Kokoro 242, Dagaa net 85,Timba 959,<br />

Makila 27,700, Scoop net 9, nyavu zote ziki<strong>wa</strong> na thamani ya Tsh.1,384,700,000/= ziliteketez<strong>wa</strong>.<br />

222


Picha 2: Uchomaji <strong>wa</strong> nyavu haramu uliofany<strong>wa</strong> na Waziri <strong>wa</strong> Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi,<br />

Mhe. John P. Magufuli (Mb) aki<strong>wa</strong> kati kati (mwenye kofia) akichoma moto nyavu haramu mkoani<br />

Kagera k<strong>wa</strong> kushirikiana na maafisa <strong>wa</strong> kikosi cha doria uvuvi, polisi na kamati ya ulinzi ya Mkoa<br />

tarehe 20/08/2009.<br />

223


Picha 3: Shughuli za uchakataji <strong>wa</strong> samaki aina ya sangara <strong>katika</strong> moja ya vi<strong>wa</strong>nda vya<br />

uchakataji <strong>wa</strong> samaki <strong>katika</strong> Mkoa <strong>wa</strong> Kagera.<br />

224


Picha 4: Ufugaji <strong>wa</strong> samaki aina ya perege (Tilapia) k<strong>wa</strong> kutumia mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> ya samaki k<strong>wa</strong><br />

kufuata ushauri <strong>wa</strong> kitaalamu juu ya ufugaji bora unaozingatia mbegu bora za samaki.<br />

225


TAARIFA YA SEKTA YA MAENDELEO YA UVUVI<br />

MKOA WA MARA<br />

1.0 UTANGULIZI:<br />

Mipaka ya Mkoa:<br />

Mkoa <strong>wa</strong> Mara uko kaskazini mashariki m<strong>wa</strong> Tanzania Bara, uki<strong>wa</strong> unapakana<br />

na nchi ya Kenya upande <strong>wa</strong> kaskazini, nchi ya Uganda na Mkoa <strong>wa</strong> Kagera<br />

upande <strong>wa</strong> magharibi, Mikoa ya M<strong>wa</strong>nza na Shinyanga k<strong>wa</strong> upande <strong>wa</strong> kusini na<br />

Mkoa <strong>wa</strong> Arusha k<strong>wa</strong> upande <strong>wa</strong> mashariki.<br />

Eneo la Mkoa<br />

Eneo la Mkoa <strong>wa</strong> Mara ni kilometa za mraba 30,150 sa<strong>wa</strong> na asilimia 3.1 ya<br />

eneo lote la Tanzania Bara. Maumbile ya eneo hilo yamega<strong>wa</strong>nyika kama<br />

ifuatavyo:<br />

Eneo la nchi kavu ni Km² 19,208 sa<strong>wa</strong> na asilimia 64%<br />

Eneo la maji ni Km² 10,942 sa<strong>wa</strong> na asilimia 36%<br />

Mga<strong>wa</strong>nyo <strong>wa</strong> kiuta<strong>wa</strong>la<br />

Wilaya zinazounda Mkoa ni Bunda, Musoma, Serengeti, Tarime na Rorya. Aidha<br />

kuna mamlaka za serikali za mitaa 6 ambazo ni Halmashauri za Wilaya za Bunda,<br />

Musoma, Serengeti, Tarime, Rorya na Manispaa ya Musoma. Mkoa una Tarafa<br />

20, Kata 119, Vijiji 445, vitongoji 2,413 na Mitaa 57 ya Manispaa Musoma;<br />

kama jed<strong>wa</strong>li hapa chini:<br />

Jed<strong>wa</strong>li Na. 1: Mga<strong>wa</strong>nyo <strong>wa</strong> <strong>wa</strong> maeneo ya kiuta<strong>wa</strong>la mkoani<br />

Wilaya Eneo KM 2 Tarafa Kata Vijiji Vitongoji Mitaa<br />

Bunda 3,762 4 20 106 537 -<br />

Musoma 4,910 3 27 115 725 -<br />

Serengeti 10,942 4 18 71 320 -<br />

Tarime 1,792 4 20 73 399 -<br />

Rorya 9,345 4 21 80 434 -<br />

Manispaa 28 1 13 0 - 57<br />

Jumla 30,150 20 119 445 2,413 57<br />

Chanzo: Ofisi ya Mkuu <strong>wa</strong> Mkoa 2009<br />

226


Rasilimali Ardhi:<br />

Katika eneo la nchi kavu km² 11,950 ni eneo k<strong>wa</strong> ajili ya kilimo na mifugo, na<br />

km 2 7,258 sa<strong>wa</strong> na asilimia 37.1% ni mbuga ya <strong>wa</strong>nyamapori ya Hifadhi ya<br />

Serengeti.<br />

Rasilimali - <strong>wa</strong>tu<br />

K<strong>wa</strong> mujibu <strong>wa</strong> sensa ya m<strong>wa</strong>ka 2002 idadi ya <strong>wa</strong>tu <strong>katika</strong> Mkoa <strong>wa</strong> Mara<br />

iliku<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>tu 1,360,602. K<strong>wa</strong> ongezeko la ki<strong>wa</strong>ngo cha asilimia 2.5% hivi sasa<br />

m<strong>wa</strong>ka 2009 Mkoa unakisi<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong> na <strong>wa</strong>tu 1,756,429.<br />

Hali ya uchumi<br />

Shughuli muhimu za kiuchumi ambazo <strong>wa</strong>nanchi hutegemea k<strong>wa</strong> ajili ya<br />

kujikimu ni pamoja na kilimo, ufugaji, uvuvi, uchimbaji madini utalii na<br />

vi<strong>wa</strong>nda.<br />

Pato la Mkoa m<strong>wa</strong>ka 2006 liliku<strong>wa</strong> shilingi milioni 658,800 na hivyo pato la<br />

kila m<strong>wa</strong>nanchi lilifikia shilingi 419,049.<br />

M<strong>wa</strong>ka 2007 pato lilikadiri<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong> shilingi milioni 731,899, ambapo <strong>wa</strong>stani<br />

<strong>wa</strong> pato la m<strong>wa</strong>nanchi limefikia shilingi 448,732 sa<strong>wa</strong> na ongezeko la<br />

asilimia 15.5.<br />

Lengo ifikapo 2010 ni ku<strong>wa</strong> na pato la kila m<strong>wa</strong>nanchi la shilingi 659,310<br />

k<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka.<br />

Mkoa una jumla ya Halmashauri za wilaya (6) sita ambazo ni Musoma Vijijini na<br />

Manispaa, Bunda, Tarime, Rorya na Serengeti una jumla ya visi<strong>wa</strong> 29, Rorya<br />

visi<strong>wa</strong> 5, Musoma visi<strong>wa</strong> 12 na Bunda visi<strong>wa</strong> 12. Kati ya hivyo kuna visi<strong>wa</strong><br />

vikub<strong>wa</strong> ambavyo hutumika k<strong>wa</strong> shughuli za uvuvi na makazi ya <strong>wa</strong>tu. Wilaya<br />

za Tarime na Serengeti zinajihusisha na uvuvi mdogo <strong>wa</strong> kwenye mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong>.<br />

Idadi ya Wavuvi, na Zana za Uvuvi Halali na BMU<br />

Kulingana na sensa iliyofanyika m<strong>wa</strong>ka 2008<br />

(i) Wavuvi ……………………………….. 25,752<br />

(ii) Mitumbwi ………………………………5,521<br />

(iii) Injini za boti …………………………… 1,118<br />

(iv) Nyavu ………………………………….. 79,541<br />

(v) Ndoano ………………………………..1,537,862<br />

(vi) BMU …………………………………… 128.<br />

227


2.0 KUTHIBITI UVUVI HARAMU NA BIASHARA HARAMU<br />

Mkoa <strong>wa</strong> Mara kuna uvuvi haramu <strong>wa</strong> kutumia makokoro. Timba, nyavu za<br />

makila macho madogo na kutumia <strong>mada</strong><strong>wa</strong>. Katika sensa ya m<strong>wa</strong>ka 2008<br />

ilionyesha kuliku<strong>wa</strong> na;<br />

Makokoro 535<br />

Timba 2,306<br />

Nyavu za makila za macho madogo


Musoma 60 227 140 4 1<br />

Bunda 86 120 280 - -<br />

Jumla 189 434 420 4 4<br />

Zana zilizokamat<strong>wa</strong> na Doria zilizofany<strong>wa</strong> na Watumishi <strong>wa</strong> Sekta ya Uvuvi<br />

Wilayani <strong>wa</strong>kishirikiana na BMUs na Polisi kama ilivyoainish<strong>wa</strong> <strong>katika</strong> Jed<strong>wa</strong>li<br />

Na.4.<br />

Jed<strong>wa</strong>li Na.4: Zana zilizokamat<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>kati <strong>wa</strong> Doria<br />

Wilaya Makokoro Nyavu za Nyavu ndogo Mitumbwi Wahalifu Samaki<br />

Timba ndogo<br />

(kg)<br />

Rorya 72 923 201 0 3 1,600<br />

Musoma 136 447 206 20 11 2,120<br />

Bunda 620 1,340 1,901 7 19 3,111<br />

Jumla 828 2,710 2,308 27 33 6,831<br />

229


Jed<strong>wa</strong>li Na. 5: Matokeo ya Doria k<strong>wa</strong> Kipindi cha M<strong>wa</strong>ka Julai 2004/05 – Septemba, 2009<br />

M<strong>wa</strong>ka<br />

Makokoro<br />

Nyavu za utali<br />

Nyavu Ndogo < 5”<br />

Makokoro ya Dagaa<br />

Kamba za kuvutia kokoro<br />

(M)<br />

Mitumbwi<br />

Injini<br />

230<br />

Baiskeli<br />

Pinde na Mishale<br />

Sato <strong>wa</strong>bichi <strong>wa</strong>changa<br />

(kg)<br />

Sangara <strong>wa</strong>bichi<br />

<strong>wa</strong>changa (kg)<br />

Sangara Wakub<strong>wa</strong> (kg)<br />

Sato <strong>wa</strong>bichi <strong>wa</strong>kub<strong>wa</strong><br />

<strong>wa</strong>lioku<strong>wa</strong><br />

<strong>wa</strong>natorosh<strong>wa</strong> (kg)<br />

2004/05 1289 722 3119 884 0 47 20 39 0 24107 42300 0 0 0 0 0 0<br />

2005/06 340 342 595 9 0 39 1 17 0 15400 6003 0 0 0 0 0 0<br />

2006/07 455 1565 2106 14 0 47 4 26 0 7043 8526 220 9527 350 3720 0 100<br />

2007/08 297 1293 1141 4 0 37 2 8 0 7615 16962 2000 3908 325 300 0 812<br />

2008/09 496 2808 683 10 8200 60 1 8 4 7606 18793 0 3350 240 15005 465 1089<br />

July 09 –<br />

Sept. 09<br />

58<br />

249<br />

31<br />

0<br />

0<br />

7<br />

0<br />

7<br />

0<br />

Jumla 2935 6979 7675 921 8200 237 28 105 4 65564 98746 2770 16997 1045 27985 465 2446<br />

3793<br />

6162<br />

550<br />

212<br />

Sangara <strong>wa</strong>liokaush<strong>wa</strong><br />

k<strong>wa</strong> jua/moshi (kg)<br />

130<br />

Dagaa (kg)<br />

8960<br />

Sato Wakavu (kg)<br />

0<br />

Sato <strong>wa</strong>liovuli<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong><br />

sumu (kg)<br />

445


Jed<strong>wa</strong>li Na. 5 Inaendelea<br />

MATOKEO YA DORIA KWA KIPINDI CHA MWAKA JULAI 2004/05 HADI JUNI 2009)<br />

M<strong>wa</strong>ka<br />

Majora ya utengenezea<br />

Makokoro ya Dagaa (M)<br />

Mifuko ya kutengenezea<br />

mifuko ya makokoro (M)<br />

Ndoano<br />

Minofu ya Sato<br />

Minofu ya Sangara (kg)<br />

Kayab o (kg)<br />

Gogogo (kg)<br />

Chakula cha mifugo (kg)<br />

231<br />

Kambale Mumi Hai (Pcs)<br />

Mabondo (kg)<br />

Pikipiki<br />

Magari<br />

Nembe (kg)<br />

Kata Kata (kg)<br />

Konteina<br />

mizani<br />

Watuhumi<strong>wa</strong><br />

Kesi<br />

Faini (Compounding)<br />

&<br />

Court Fees<br />

2004/05 0 0 4321 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 274 98 0<br />

2005/06 0 0 3 7 0 0 0 0 131 48 3,332,000.00<br />

2006/07 15000 0 0 1622 0 0 3680 3500 0 0 9 0 2000 0 3 133 57 3,950,000.00<br />

2007/08 1500 5950 1650 3350 0 0 0 2500 0 0 6 0 0 1 0 52 41 647,000.00<br />

2008/09 0 0 200 500 50 300 200 2500 160 1 3 400 100 0 0 51 17 300,000.00<br />

Julai, -<br />

Sept. 09<br />

0 16 0 0 0 0 0 0 10000 0 0 0 0 0 0 0 16 7 1,960,000.00<br />

Jumla 16500 16 10274 1850 5472 50 300 3880 18500 160 1 25 400 2100 1 3 657 268 10,189,000.00<br />

Chanzo cha takwimu:- Ofisi ya Doria (M)/ Halmashauri za Wilaya


Jed<strong>wa</strong>li Na. 6: MATOKEO YA DORIA KIPINDI CHA JANUARI 2009 – OKTOBA 2009<br />

KIPINDI Makokoro ya<br />

Sangara<br />

Januari<br />

-Machi<br />

Aprili -<br />

Juni<br />

Julai -<br />

Sept.<br />

233<br />

101<br />

58<br />

Nyavu za<br />

utali<br />

1245<br />

1122<br />

249<br />

Nyavu<br />


NB: Takwimu za zana haramu zilizokamat<strong>wa</strong> zinaelekea kushuka<br />

kutokana na sababu zifuatazo:-<br />

Wavuvi <strong>wa</strong>mebuni mbinu za kuvua usiku k<strong>wa</strong> kujificha<br />

Mbinu za kuficha zana harama k<strong>wa</strong> kuzizamisha majini<br />

Wavuvi Haramu <strong>wa</strong>natumia simu za mkononi kupashana habari ili<br />

<strong>wa</strong>fiche zana haramu<br />

Bajeti finyu k<strong>wa</strong> shughuli za doria na uhaba <strong>wa</strong> vitendea kazi k<strong>wa</strong><br />

kikosi cha Doria na Halmashauri za Wilaya.<br />

2. 2 Hatua za Kudhibiti Zana Haramu<br />

Kuendelea kutoa elimu juu ya athari za matumizi ya zana haramu za<br />

uvuvi.<br />

Kusimamia sheria na kanuni za uvuvi k<strong>wa</strong> kuendesha doria za mara<br />

k<strong>wa</strong> mara.<br />

Kushirikisha vikundi vya usimamizi <strong>wa</strong> rasilimali za uvuvi BMU<br />

Kudhibiti maduka yanayouza zana za uvuvi.<br />

Kubaini <strong>wa</strong>vuvi <strong>wa</strong>naotumia zana haramu za uvuvi na <strong>mada</strong><strong>wa</strong> na<br />

orodha kupelek<strong>wa</strong> kwenye mamlaka husika k<strong>wa</strong> hatua za kisheria.<br />

Kubaini <strong>wa</strong>fanyabiashara <strong>wa</strong> samaki <strong>wa</strong>changa.<br />

Jed<strong>wa</strong>li Na. 6: Fedha Zilizokusany<strong>wa</strong> kutokana na doria za kikosi na<br />

Halmashauri za Wilaya M<strong>wa</strong>ka 2004/05 – Oktoba, 2009<br />

MWAKA FAINI MAUZO JUMLA<br />

2004/2005 3,332,000.00 5,081,630.00 8,413,630.00<br />

Jan – Desemba 06 3,950,000.00 504,000.00 4,454,000.00<br />

Jan – Desemba 07 647,000.00 367,000.00 1,014,000.00<br />

Jan – Desemba 08 300,000.00 224,000.00 524,000.00<br />

Jan – Oktoba, 09 1,960,000.00 100,000.00 2,060,000.00<br />

JUMLA 10,189,000.00 6,276,630.00 16,465,630.00<br />

3.0 UPATIKANAJI NA USAMBAZAJI WA ZANA UVUVI<br />

Zana za uvuvi hupatikana nchini kutoka nchi za nje k<strong>wa</strong> kupitia<br />

mipakani baada ya kukamilisha taratibu zote za kisheria na kibiashara<br />

kuingia nchini na kuanza kuuz<strong>wa</strong> madukani.<br />

Nyavu haramu mara nyingi hupitia njia za panya ambazo ni vigumu<br />

kudhibiti masoko yasiyo rasmi ( black markets) pia baadhi ya <strong>wa</strong>vuvi<br />

husuka nyavu haramu majumbani.<br />

233


Aina ya Zana za Uvuvi Zinazopatikana<br />

Zifuatazo ni zana za uvuvi zinazopatikana <strong>katika</strong> maduka:-<br />

Ndoano zenye ukub<strong>wa</strong> ukub<strong>wa</strong>.( Na. 9 - 11<br />

Nyavu za Makila (Gillnets) macho ya ukub<strong>wa</strong> > 5”<br />

Nyavu za dagaa ukub<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> macho 10mm<br />

Maboya aina mbali mbali<br />

Nyuzi za kushonea nyavu 210Dx3-45ply<br />

Nyuzi za Migonjo (long lines).<br />

4.0 HUDUMA YA UGANI<br />

Mkoa <strong>wa</strong> Mara una Halmashauri sita (6) ambapo kuna Tarafa 20, Kata 119,<br />

Vijiji 445. Mahitaji ya Maofisa Ugani ni 67 <strong>wa</strong>liopo k<strong>wa</strong> sasa ni 30. Upungufu ni<br />

37 k<strong>wa</strong> mtiririko ufuatao:-<br />

Jed<strong>wa</strong>li Na. 7: Idadi ya Wagani <strong>wa</strong> Uvuvi<br />

Halmashauri Waliopo Pungufu Jumla<br />

Musoma 13 7 20<br />

Bunda 9 5 14<br />

Serengeti 0 3 3<br />

Rorya 7 5 12<br />

Tarime 1 3 4<br />

Manispaa - 14 14<br />

Jumla 30 37 67<br />

Jed<strong>wa</strong>li Na. 8 (a): Vitendea kazi Vilivyopo<br />

Wilaya Boti Injini Pikipiki Magari<br />

Musoma 1 2 - -<br />

Bunda 1 2 - -<br />

Rorya 1 1 1 -<br />

Serengeti - - - -<br />

Tarime - - - -<br />

Jumla 3 5 1 -<br />

234


Jed<strong>wa</strong>li Na. 8 (b): Mahitaji ya vitendea kazi<br />

Wilaya Boti Injini Pikipiki Magari<br />

Musoma 2 2 17 1<br />

Bunda 2 2 9 1<br />

Rorya 2 2 9 1<br />

Serengeti 1 1 3 1<br />

Manispaa 1 1 3 1<br />

Tarime - - 4 1<br />

Jumla 8 8 45 6<br />

MATUMIZI YA WATAALAM WA UGANI<br />

Maafisa Ugani <strong>wa</strong>liopo <strong>wa</strong>nafanya kazi k<strong>wa</strong> kuzingatia mpango kazi<br />

yao <strong>wa</strong>liopangi<strong>wa</strong> na Halmashauri.<br />

Watumishi <strong>wa</strong>liopo <strong>wa</strong>napim<strong>wa</strong> utendaji kazi <strong>wa</strong>o k<strong>wa</strong> kutimiza<br />

malengo <strong>wa</strong>liyope<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>kionyesha mafanikio k<strong>wa</strong> taratibu za OPRAS.<br />

Mikakati ya kuendeleza huduma za kitaalam k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>vuvi <strong>wa</strong> samaki ni<br />

mipango dhabiti iliyowek<strong>wa</strong> na mkoa <strong>katika</strong> mipango kazi yao iki<strong>wa</strong> ni<br />

moja ku<strong>wa</strong>tembelea <strong>wa</strong>vuvi <strong>wa</strong> samaki na ku<strong>wa</strong>pa ushauri <strong>wa</strong> kitaalam<br />

kuhusu uvuvi endelevu (mentoring).<br />

K<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong> mahitaji ya Wataalam ni makub<strong>wa</strong> kuliko uwezo <strong>wa</strong> serikali<br />

mkoa umejipanga kutumia <strong>wa</strong>tumishi <strong>wa</strong>liopo na <strong>wa</strong>staafu kushirikiana<br />

na jamii (BMUs) kutoa elimu k<strong>wa</strong> <strong>sekta</strong> ya uvuvi.<br />

Mkoa pia kuendelea kutoa elimu k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>taalam <strong>wa</strong>liopo na BMUs ili<br />

<strong>wa</strong>kidhi azima<br />

5.0 UFUGAJI SAMAKI KATIKA MABWAWA NA MALAMBO<br />

Mkoa unashughulika na kazi za Ugani za ufugaji samaki <strong>katika</strong> mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> na<br />

malambo <strong>katika</strong> Halmashauri za Wilaya (Serengeti, Musoma, Manispaa, Bunda,<br />

Rorya na Tarime). Shughuli hizo ni pamoja na kutoa elimu ya ufugaji bora <strong>wa</strong><br />

samaki.<br />

UTEKELEZAJI:<br />

Katika kipindi cha m<strong>wa</strong>ka 2008/09 jumla ya <strong>wa</strong>fugaji 233 wenye mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong><br />

binafsi na vikundi <strong>wa</strong>mepati<strong>wa</strong> elimu ya ufugaji. Jumla ya vifaranga vya samaki<br />

22,000 vimepandikiz<strong>wa</strong> <strong>katika</strong> malambo 72 na mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> 339 kama<br />

ilivyoorodhesh<strong>wa</strong> hapo chini. Aina ya samaki <strong>wa</strong>liopandikiz<strong>wa</strong> ni Sato na Kambale<br />

mumi.<br />

235


Jed<strong>wa</strong>li Na. 9: Idadi ya Mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> na Malambo<br />

Wilaya Mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> Malambo<br />

Serengeti 104 44<br />

Bunda 24 6<br />

Musoma (V) 20 6<br />

Musoma Manispaa 18 0<br />

Tarime 121 4<br />

Rorya 52 12<br />

Jumla 339 72<br />

Chanzo: Halmashauri Za Wilaya<br />

Jumla ya mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> 135 na malambo 27 yalitembele<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> ajili ya ushauri <strong>wa</strong><br />

kitaalam na kuainish<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> ajili ya ufugaji <strong>wa</strong> samaki k<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka 2008/09.<br />

Wilaya Mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> Malambo<br />

Serengeti 52 8<br />

Bunda 24 6<br />

Musoma 19 6<br />

Manispaa 9 0<br />

Tarime 18 4<br />

Rorya 13 3<br />

Jumla 135 27<br />

Chanzo:Kitengo cha Ufugaji Samaki (M)<br />

6.0 MFUMO WA MASOKO YA SAMAKI:<br />

Mkoa una jumla ya mialo 110 yenye BMUs, kati ya mialo hiyo ni mialo 7 tu ndiyo<br />

iliyoboresh<strong>wa</strong> kama ifuatavyo; Musoma 3, Bunda 2 na Rorya 2. Mradi <strong>wa</strong> IFMP<br />

utaboresha zaidi mialo miwili ya B<strong>wa</strong>i na Sota k<strong>wa</strong> gharama ya shilingi<br />

596,000,000/- k<strong>wa</strong> kila M<strong>wa</strong>lo k<strong>wa</strong> lengo la kujiweka vizuri <strong>katika</strong> soko la nje ya<br />

nchi. M<strong>wa</strong>ka huu Halmashauri ya Wilaya ya Musoma itaboresha m<strong>wa</strong>lo <strong>wa</strong> Bukima<br />

k<strong>wa</strong> kiasi cha shilingi milioni 63.3. Mialo ya kisi<strong>wa</strong> cha Lukuba, B<strong>wa</strong>i na<br />

Nyang’ombe yote ina TISHARI za kupokelea samaki zilizojeng<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> gharama ya<br />

shilingi millioni 12 k<strong>wa</strong> kila tishari.<br />

Halmashauri ya Manispaa imetenga maeneo k<strong>wa</strong> ajili ya kuuzia samaki na dagaa.<br />

Maeneo hayo ni soko la Mwigobero k<strong>wa</strong> ajili ya Dagaa, soko kuu na soko la Nyasho<br />

k<strong>wa</strong> ajili ya samaki. Aidha Manispaa imetenga maeneo k<strong>wa</strong> ajili ya <strong>wa</strong>wekezaji <strong>wa</strong><br />

vi<strong>wa</strong>nda vya samaki.<br />

236


Soko kuu la samaki aina ya Sangara ni vi<strong>wa</strong>nda vya kusindika minofu za sangara<br />

vilivyopo Musoma na M<strong>wa</strong>nza. Samaki wengine hutumika k<strong>wa</strong> soko la ndani, jumla<br />

ya kilo 52,119.8 zenye thamani ya shilingi 59,004,597,500 zilivuli<strong>wa</strong> <strong>katika</strong> mkoa<br />

<strong>wa</strong> Mara k<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka 2008/09 ukilinganisha na m<strong>wa</strong>ka 2007/08 ambapo tani<br />

68,882 zenye thamani shilingi 93,764,940,000.<br />

237


Jed<strong>wa</strong>li Na. 10: Aina ya Samaki, Mavuno na Thamani m<strong>wa</strong>ka 2007/08<br />

Sangara Sato Dagaa Wengine Jumla<br />

Wilaya<br />

Uzito<br />

(Tani)<br />

Thamani (Tshs) Uzito<br />

(Tani)<br />

Thamani (Tshs) Uzito<br />

(Tani)<br />

Thamani (Tshs) Uzito<br />

( Tani)<br />

Thamani (Tshs) Uzito<br />

(Tani)<br />

Thamani (Tshs)<br />

Bunda 7,856 12,569,600 6,100 7,320,000,000 3,478 4,173,600,000 7.200 4,320,000,000 24,634 28,383,200,000<br />

Musoma (V) 12,800 25,600,000 7,956 7,956,000,000 4,270 2,562,000,000 2.011 1,206,600,000 27,036 40,324,600,000<br />

Manispaa 523.2 994,080,000 280.4 448,640,000 2,366 1,419,600,000 19.4 11,640,000 3,189 2,873,960,000<br />

Rorya 9,430 18,860,000,000 724.0 1,013,600,000 2889.3 1,733,580,000 960 576,000,000 14,023 22,183,180,000<br />

Jumla 30,609.2 19,892,249,600 15,060.4 16,738,240,000 13003.3 9,888,780,000 10190.4 6,114,240,000 68,882 93,764,940,000<br />

Wilaya<br />

Chanzo:- Halmashauri za Wilaya<br />

Jed<strong>wa</strong>li Na. 11: AINA YA SAMAKI, MAVUNO NA THAMANI MWAKA 2008/09<br />

Sangara Sato Dagaa Wengine Jumla<br />

Uzito (Tani) Thamani (Tshs) Uzito<br />

(Tani)<br />

238<br />

Thamani (Tshs) Uzito<br />

(Tani)<br />

Thamani (Tshs) Uzito<br />

(Tani)<br />

Thamani (Tshs) Uzito<br />

(Tani)<br />

Thamani (Tshs)<br />

Bunda 6,452.6 1,190,520,000 4,355.0 6,432,000,000 2,388.3 1,910,640,000 5,000 2,500,000,000 18,195.9 12,033,160,000<br />

Musoma (V) 10,500 18,900,000,000 5,250 7,875,000,000 3,175.2 1,764,000,000 1,575 1,260,000,000 20,300.2 29,799,000,000<br />

Manispaa 385.6 52,629,500 165.9 1,194,340,000 1,960.8 344,177,000 12.2 7,231,000 2,524.5 523,477,500<br />

Rorya 7,600.0 15,000,200,000 519.0 778,560,000 2,380.2 570,200.000 600 300,000,000 11,099.2 16,648,960,000<br />

Tarime 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0<br />

Jumla 24,938.2 35,143,349,500 10,289.9 16,279,900,000 9,904.5 4,019,387,200 7,187.2 4,067,231,000 52,119.8 59,004,597,500<br />

Chanzo:- Halmashauri za Wilaya


6.3 HALI HALISI YA MASOKO<br />

Pana upungufu <strong>wa</strong> samaki <strong>wa</strong>naochakat<strong>wa</strong> na kuuz<strong>wa</strong> nje ya nchi na vi<strong>wa</strong>nda<br />

ambao hulisababishia Taifa kupoteza mapato kutokana na kodi. Upungufu huu<br />

unasababisha vi<strong>wa</strong>nda kufanya kazi chini ya ki<strong>wa</strong>ngo. K<strong>wa</strong> mfano ki<strong>wa</strong>nda cha<br />

Prime Catch chenye uwezo <strong>wa</strong> kuchakata <strong>wa</strong>stani <strong>wa</strong> tani 100 k<strong>wa</strong> siku, k<strong>wa</strong><br />

sasa kinachakata tani 5 hadi 10 k<strong>wa</strong> siku.<br />

6.4. UBORESHAJI WA MIALO YA SAMAKI<br />

Wilaya Jina la<br />

M<strong>wa</strong>lo<br />

Musoma<br />

(V)<br />

W A C H A N G I A J I<br />

S/Kuu H/W Wananchi/<br />

239<br />

Vi<strong>wa</strong>nda<br />

Jumla<br />

Kome 35,826,630 1,570,000 3,000,000 40,396,630<br />

B<strong>wa</strong>i 19,000,000 1,200,000 11,000,000 31,200,000<br />

Suguti 3,387,500 10,000,000 1,739,000 15,126,500<br />

Bukima - 23,300,000 2,330,000 25,630,000<br />

Jumla 58,214,130 36,070,000 18,069,000 112,353,130.<br />

Manispaa Mwigobero 3,387,500 10,000,000,00 1,739,000.00 15,126,500.00<br />

Nyarusurya 35,826,630 1,570,000.00 3,000,000.00 40,396,630.00<br />

Mwisenge 19,000,000 1,200,000.00 11,000,000.00 31,200,000.00<br />

Jumla 58,214,130 12,770,000 15,739,000.00 86,723,130.0<br />

0<br />

Bunda Guta 45,000,000 3,000,000 2,500,000 50,500,000<br />

Kisorya 45,000,000 3,000,000 2,100,000 50,100,000<br />

Jumla 90,000,00 6,000,000 4,600,000 100,600,000<br />

Rorya Kibuyi 29,000,000 4,000,000 8,000,000 41,000,000<br />

Nyang”ombe 3,000,000 4,000,00 6,000,00 13.000,000<br />

Jumla 32,000,000 8,000,000 14,000,000 54,000,00<br />

Chanzo:- Halmashauri za Wilaya za Mkoa <strong>wa</strong> Mara<br />

MADUHULI NA ADA ZA LESENI:<br />

Soko la samaki <strong>wa</strong>liouz<strong>wa</strong> nje ya nchi inaonyesh<strong>wa</strong> kwenye jed<strong>wa</strong>li lililopo hapa<br />

chini. Jumla ya shilingi 6,224,005,218.20 zililip<strong>wa</strong> serikalini kama Mrabaha na<br />

shilingi 28,750,313 zililip<strong>wa</strong> kama leseni serikalini:


Na.<br />

Jed<strong>wa</strong>li Na. 11: Madhuhuli kutokana na mauzo ya mazao ya uvuvi nje<br />

ya nchi<br />

M<strong>wa</strong>ka Uzito (Kg) Thamani (USD) Thamani<br />

(Tsh)<br />

1. Julai 2004 –<br />

Juni 2005<br />

2. Julai 2005 –<br />

Juni 2006<br />

3. Julai 2006 –<br />

Juni 2007<br />

4. Julai 2007 –<br />

Juni 2008<br />

5. Julai 2008 -<br />

Juni 2009<br />

6. Julai 2009 –<br />

Oktoba 2009<br />

240<br />

Mrabaha<br />

(Tsh)<br />

Adaza za<br />

Leseni<br />

(Tsh)<br />

Idadi<br />

ya<br />

Leseni<br />

13,850,446 34,626,115.00 38,723,429,639.05 1,723,350,476.00 -<br />

-<br />

8,044,835 24,867,780.09 25,806,511,855.47 1,284,659,482.00 6,101,564.00 10<br />

7,503,588<br />

8,129,816<br />

5,439,063<br />

1,674,669<br />

22,347,814.68<br />

26,470,556.4<br />

23,251,824.02<br />

7,554,204.80<br />

28,658,599.237.03<br />

29,819,288,383.3<br />

28,979,087,413.6<br />

9,303,576,547<br />

1,161,650,360.80<br />

1,192,596,353.40<br />

861,283,108.00<br />

231, 465,207.00<br />

7,190,061.00<br />

5,902,848.00<br />

9,555,840.00<br />

Jumla 44,642,417 139,118,296.97 132,660,552,437.69 6,224,005,218.2 28,750,313.00<br />

Chanzo: Ofisi ya Mkuu <strong>wa</strong> Mkoa<br />

Sababu za Maduhuli Kushuka<br />

Kupungua k<strong>wa</strong> samaki zi<strong>wa</strong>ni<br />

Kupungua k<strong>wa</strong> soko la samaki nje ya nchi<br />

Jed<strong>wa</strong>li Na. 12: Mapato yaliyokusany<strong>wa</strong> na Halmashauri za Wilaya<br />

kutokana na Leseni za Uvuvi na Ushuru <strong>wa</strong> Samaki 2007/08 – 2008/09<br />

Wilaya M<strong>wa</strong>ka Leseni za Uvuvi Ushuru <strong>wa</strong> Samaki Jumla<br />

Musoma 2007/2008 27,198,000.00 54,001,500.00 81,199,500.00<br />

2008/2009 24,702,500.00 43,329,612.00 68,032,112.00<br />

Bunda 2007/2008 8,959,800.00 40,088,000.00 49,047,800.00<br />

2008/2009 5,190,000,00 19,667,300.00 24,857,300.00<br />

Rorya 2007/2008 10,216,500.00 37,801,180.00 48,017,680.00<br />

2008/2009 9,612,500.00 34,067,700.00 43,680,200.00<br />

Manispaa 2007/2008 17,749,300.00 40,197,500.00 57,946,800.00<br />

2008/2009 7,232,180.00 32,113,299.00 39,345,479.00<br />

Jumla 110,860,780.00 301,266,091.00 412,126,871.00<br />

7.0 MFUMO WA VYOMBO VYA MIKOPO KWA WAVUVI<br />

• Wavuvi wengi <strong>wa</strong>meendelea kupata mikopo kutoka k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>tu binafsi<br />

(Ma<strong>wa</strong>kala <strong>wa</strong> Samaki) k<strong>wa</strong> kukopesh<strong>wa</strong> vifaa vya uvuvi k<strong>wa</strong> makubaliano<br />

ya ku<strong>wa</strong>uzia samaki tu.<br />

• Utaratibu unaotumika ni vi<strong>wa</strong>nda vinakopesha Ma<strong>wa</strong>kala ambao nao<br />

<strong>wa</strong>na<strong>wa</strong>kopesha <strong>wa</strong>vuvi. Hivyo hakuna mkataba <strong>wa</strong> kuhusisha mvuvi na<br />

-<br />

-<br />

12<br />

10<br />

14


vi<strong>wa</strong>nda. Kutokana na hali hiyo mvuvi analazimika kutumia mizani ya<br />

Ma<strong>wa</strong>kala iliyobana ambayo hupunja bei k<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong> hulazimika kuuza<br />

kabla ha<strong>wa</strong>jaoza.<br />

• Aidha, mkoa hauna vyama vya kuweka na kukopa SACCOs<br />

vinavyowezesha upatikanaji <strong>wa</strong> zana halali za uvuvi.<br />

• Pamoja na mikopo hiyo ya vifaa vya uvuvi kutoka k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>tu binafsi<br />

Wavuvi wengi <strong>wa</strong>nahitaji elimu ya kujiwekea akiba k<strong>wa</strong>ni wengi <strong>wa</strong>o bado<br />

matumizi yao ya fedha si ya busara (ya anasa) na hivyo <strong>wa</strong>naendelea<br />

kuonekana kama jamii ya <strong>wa</strong>tu maskini.<br />

8.0 FEDHA ZILIZOTOLEWA NA HALMASHAURI KATIKA SEKTA YA<br />

UVUVI<br />

Halmashauri za wilaya k<strong>wa</strong> kuona umuhimu <strong>wa</strong> <strong>sekta</strong> ya uvuvi na ufugaji samaki<br />

zimetoa fedha k<strong>wa</strong> shughuli hizo m<strong>wa</strong>ka 2009/2010 kutoka kwenye mfuko <strong>wa</strong><br />

miradi ya maendeleo kama ifuatavyo:-<br />

Wilaya Fedha iliyotole<strong>wa</strong> Shughuli<br />

Musoma 62,566,500 Ufuatiliaji <strong>wa</strong> BMUs<br />

Elimu ya uvuvi na ubora <strong>wa</strong> samaki<br />

k<strong>wa</strong> vikundi vya uvuvi<br />

Uboreshaji m<strong>wa</strong>lo <strong>wa</strong> Bukima<br />

Bunda 9,870,000 Ufugaji <strong>wa</strong> samaki (mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> darasa<br />

Rorya 6,430,000 Utengenezaji <strong>wa</strong> mitumbwi ya mbao<br />

Ukarabati <strong>wa</strong> mial ya Kibuyi na<br />

Nyang’ombe<br />

Kufuatilia BMU<br />

Jumla 78,866,500<br />

241


9.0 CHANGAMOTO MIKAKATI YA KUENDELEZA NA KUSIMAMIA<br />

RASILIMALI ZA UVUVI KATIKA MKOA WA MARA<br />

Mkoa umebaini changamoto 18 na kubuni mikakati 18 za kuendeleza na kusimamia<br />

rasilimali za uvuvi <strong>katika</strong> moka <strong>wa</strong> Mara.<br />

Na Changamoto Mikakati Shughuli Muda Mhusika<br />

1. Uuzaji holela <strong>wa</strong> zana<br />

za uvuvi unaofany<strong>wa</strong><br />

na <strong>wa</strong>fanyabiashara<br />

<strong>wa</strong>sio <strong>wa</strong>aminifu.<br />

Tume/Kamati Maalum ya<br />

Mkoa/Wilaya iundwe iwe<br />

inafanya mara k<strong>wa</strong> mara<br />

ukaguzi <strong>wa</strong> maduka ya<br />

<strong>wa</strong>uza zana za uvuvi.<br />

2. Ujambazi zi<strong>wa</strong>ni Kuhakikisha hapana<br />

ujambazi <strong>wa</strong> zana na mali<br />

za <strong>wa</strong>vuvi<br />

3. Bajeti ya <strong>sekta</strong> ya<br />

uvuvi <strong>katika</strong><br />

Halmashauri za wilaya<br />

ni finyu kulingana na<br />

majukumu ya<br />

kupambana na uvuvi<br />

haramu.<br />

4. Uchelewesh<strong>wa</strong>ji <strong>wa</strong><br />

kesi za uvuvi haramu<br />

5 Bei ndogo ya samaki<br />

k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>vuvi<br />

6. Wizi k<strong>wa</strong> kutumia<br />

mizani<br />

7 Ukosefu <strong>wa</strong> Vituo vya<br />

kuzalisha vifaranga <strong>wa</strong><br />

samaki<br />

8 Sekta ya uvuvi<br />

kutowek<strong>wa</strong> <strong>katika</strong><br />

Halmashauri za Wilaya<br />

zitenge mafungu ya<br />

kutosha k<strong>wa</strong> shughuli za<br />

kupambana na shughuli za<br />

uvuvi haramu.<br />

Ku<strong>wa</strong> na msukumo <strong>wa</strong> kesi<br />

Mahakamani za uvuvi<br />

haramu, na kuamuli<strong>wa</strong><br />

mapema.<br />

Kuhakikisha <strong>wa</strong>vuvi<br />

<strong>wa</strong>napata bei ya Tija.<br />

Kuhakikisha <strong>wa</strong>vuvi<br />

ha<strong>wa</strong>ibi<strong>wa</strong> kutokana na<br />

mizani mibovu<br />

Kuhakikisha vifaranga bora<br />

<strong>wa</strong> samaki <strong>wa</strong>napatikana<br />

k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>kati muafaka<br />

Kuhakikisha <strong>sekta</strong> ya Uvuvi<br />

inapati<strong>wa</strong> fedha za<br />

Kuhakiki biashara ya<br />

zana za uvuvi <strong>katika</strong><br />

mkoa<br />

Kufanya doria dhidi<br />

ya ujambazi,<br />

kutegemea taarifa<br />

zinata<strong>wa</strong>silish<strong>wa</strong> na<br />

raia<br />

Kutenga mafungu ya<br />

kutosha kwenye<br />

<strong>sekta</strong> ili kupambana<br />

na uvuvi haramu<br />

<strong>katika</strong> Zi<strong>wa</strong> Victoria.<br />

Mahakama<br />

kuhakikisha mashauri<br />

yanayohusu uvuvi<br />

haramu yanapata<br />

maamuzi mapema<br />

Kuunda ushirika <strong>wa</strong><br />

<strong>wa</strong>vuvi na ku<strong>wa</strong> na<br />

uongozi ngazi ya<br />

wilaya na mkoa,<br />

ambao <strong>wa</strong>taku<strong>wa</strong> na<br />

kazi ya kupanga<br />

mikakati ya kupata<br />

soko na nzuri.<br />

• Ma<strong>wa</strong>kala <strong>wa</strong><br />

Vipimo <strong>wa</strong>nahakiki<br />

mizani mialoni<br />

• Kuunda ushirika<br />

<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>vuvi<br />

Kuanzish<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong><br />

vituo vya kuzalisha<br />

vifaranga <strong>wa</strong> samaki<br />

k<strong>wa</strong> ajili ya <strong>wa</strong>fugaji<br />

Sekta ya uvuvi<br />

kupati<strong>wa</strong> fedha za<br />

Kuanzia<br />

sasa<br />

Kuanzia<br />

sasa<br />

Kuanzia<br />

Januari,<br />

2010<br />

Kuanzia<br />

Januari<br />

2010<br />

Kuanzia<br />

Januari<br />

2010<br />

Kuanzia<br />

Januari<br />

2010<br />

Kuanzia<br />

Januari<br />

2010<br />

Kuanzia<br />

Julai, 2010<br />

RC<br />

DC<br />

Kikosi cha Doria<br />

(M)<br />

Polisi Jamii<br />

Maafisa Uvuvi<br />

BMUs.<br />

Serikali Kuu<br />

H/Wilaya<br />

Miradi/NGOs.<br />

Polisi<br />

Mahakama<br />

RC<br />

DC<br />

DED<br />

Afisa Ushirika<br />

Wavuvi/Wafanya<br />

biashara ya<br />

samaki<br />

Wadau <strong>wa</strong> Uvuvi<br />

Ma<strong>wa</strong>kala <strong>wa</strong><br />

Vipimo<br />

Afisa Ushirika<br />

Afisa Uvuvi<br />

BMU<br />

Vituo vya utafiti<br />

DED<br />

Wataalam <strong>wa</strong><br />

ufugaji samaki<br />

Halmashauri za<br />

wilaya


Na Changamoto Mikakati Shughuli Muda Mhusika<br />

mpango <strong>wa</strong><br />

ruzukukupitia DASIP/DADP/ kutosha k<strong>wa</strong> shughuli na Wizara<br />

DASIP/DADP<br />

uvuvi.<br />

kuendelea<br />

9 Ki<strong>wa</strong>ngo kikub<strong>wa</strong> cha Kupunguza ki<strong>wa</strong>ngo cha • Kuendelea kutoa Imeisha Mratibu <strong>wa</strong><br />

maambuzi ya<br />

maambukizi ya<br />

elimu ya<br />

anza na Ukimwi <strong>wa</strong><br />

VVU/UKIMWI<br />

VVU/UKIMWI<br />

kupunguza inaendelea Wilaya na mkoa<br />

miongoni m<strong>wa</strong> jamii<br />

maambukizi ya .<br />

RMO<br />

ya <strong>wa</strong>vuvi<br />

VVU/UKIMWI<br />

DMO<br />

<strong>katika</strong> mialo<br />

BMU<br />

• Kutoa mafunzo<br />

Maendeleo ya<br />

k<strong>wa</strong> viongozi <strong>wa</strong><br />

BMU (Kamati<br />

Tendaji)<br />

• Kuweka mabango<br />

• Kusambaza<br />

kondom<br />

• Kuanzisha vituo<br />

vya upimaji <strong>wa</strong><br />

VVU/UKIMWI k<strong>wa</strong><br />

hiari (VCT)<br />

• Kusamabaza<br />

vipeperushi<br />

Jamii<br />

10. Ukosefu <strong>wa</strong> usafiri<br />

(kama magari, pikipiki,<br />

baiskeli na boti) ni<br />

tatizo <strong>katika</strong> <strong>sekta</strong> ya<br />

uvuvi.<br />

11 Upungufu <strong>wa</strong><br />

Watumishi <strong>wa</strong> Ugani<br />

12 Utoroshaji <strong>wa</strong> samaki<br />

kwenda nje ya nchi<br />

13 Ukame <strong>wa</strong> muda<br />

mrefu unasababisha<br />

kushuka k<strong>wa</strong> ari ya<br />

ufugaji <strong>wa</strong> samaki<br />

<strong>katika</strong> mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong>.<br />

14 Samaki kuendelea<br />

kupungua zi<strong>wa</strong>ni<br />

Kupati<strong>wa</strong> vitendea kazi<br />

vinavyohitajika <strong>katika</strong><br />

Halmashauri husika<br />

243<br />

Kununua:<br />

Magari<br />

Pikipiki<br />

Boti<br />

Baiskeli<br />

Kujaza nafasi zilizo <strong>wa</strong>zi Kuajiri Maafisa<br />

Ugani/Watumishi<br />

kulingana na mahitaji<br />

Kutumia <strong>wa</strong>staafu<br />

k<strong>wa</strong> shughuli za<br />

ugani<br />

Mamlaka mbali mbali za<br />

kiserikali zilizopo mipakani<br />

<strong>wa</strong>hakikishe <strong>wa</strong>nazuia<br />

utoroshaji <strong>wa</strong> samaki<br />

Ku<strong>wa</strong> na mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong><br />

makub<strong>wa</strong> yatakayohifadhi<br />

maji k<strong>wa</strong> muda mrefu<br />

Kuzuia njia haribifu za uvuvi<br />

na biashara ya samaki<br />

<strong>wa</strong>changa<br />

Kufuatilia na kudhibiti<br />

utoroshaji <strong>wa</strong> samaki<br />

mpakani majini na<br />

nchi kavu<br />

Kuchimba malambo<br />

makub<strong>wa</strong> <strong>katika</strong><br />

maeneo yenye<br />

vyanzo vingi vya<br />

maji.<br />

• Kuendesha doria<br />

dhidi ya zana<br />

haramu na<br />

biashara ya samaki<br />

<strong>wa</strong>changa<br />

• Kutenga na<br />

kulinda maeneo<br />

tengefu ya<br />

mazalio ya samaki<br />

Kuanzia<br />

Januari<br />

2010<br />

Kuanzia<br />

Januari<br />

2010<br />

Kuanzia<br />

sasa<br />

Kuanzia<br />

Januari<br />

2010<br />

Kuanzia<br />

sasa<br />

Wizara<br />

DED wote <strong>wa</strong><br />

Mkoa <strong>wa</strong> Mara<br />

Wafadhili<br />

DED<br />

Musoma (M),<br />

Tarime, Bunda,<br />

Rorya na<br />

Serengeti.<br />

Kikosi cha Doria<br />

(M)<br />

TRA, Polisi<br />

Halmashauri<br />

DED<br />

Maafisa Uvuvi<br />

DALDO<br />

BMU<br />

Maafisa Uvuvi<br />

WEO<br />

VEO.


Na Changamoto Mikakati Shughuli Muda Mhusika<br />

• Kuwezesha na<br />

kuimalisha BMU<br />

15 Tatizo la upatikanaji<br />

<strong>wa</strong> vifaranga bora vya<br />

samaki<br />

16 Ukosefu <strong>wa</strong> chambo<br />

hai k<strong>wa</strong> ajili ya uvuvi<br />

<strong>wa</strong> sangara<br />

17 Bei za zana za uvuvi ni<br />

ghali<br />

• Kuanzisha vituo vya<br />

kuzalishia vifaranga vya<br />

samaki kila wilaya.<br />

• Kuweka matanki ya<br />

kuzalishia vifaranga vya<br />

samaki (Fish hatchery<br />

tanks) kila wilaya<br />

Kuzalisha vifaranga vya<br />

kambale <strong>katika</strong> mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong><br />

Serikali ibuni utarataibu <strong>wa</strong><br />

vocha za ruzuku za<br />

kununulia zana za uvuvi<br />

244<br />

• Kuchimba<br />

mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> ya<br />

kuzalisha vifaranga<br />

samaki kila wilaya<br />

• Kununua matanki<br />

ya kuzalishia<br />

vifaranga vya<br />

samaki kila wilaya<br />

• Kutengeneza<br />

miundo mbinu k<strong>wa</strong><br />

ajili ya uzalishaji<br />

<strong>wa</strong> vifaranga vya<br />

Kambale<br />

• Kutoa elimu ya<br />

matumzi ya vocha<br />

<strong>katika</strong> ununuzi <strong>wa</strong><br />

zana za uvuvi<br />

• Kuteua Ma<strong>wa</strong>kala<br />

<strong>wa</strong> kuuza zana za<br />

uvuvi.<br />

Kuanzia<br />

sasa<br />

Kuanzia<br />

sasa<br />

Kuanzia<br />

Januari,<br />

2010<br />

DED<br />

Afisa Uvuvi<br />

TAFIRI<br />

Kitengo cha<br />

Aquaculture (M)<br />

Afisa Uvuvi<br />

TAFIRI<br />

Aquaculture (M)<br />

Wizara ya<br />

Maendeleo ya<br />

Mafungo na<br />

Uvuvi<br />

RAS<br />

Halmashauri za<br />

Wilaya


3<br />

4<br />

5<br />

6<br />

KIGOMA<br />

TAARIFA YA SEKTA YA MAENDELEO YA UVUVI<br />

MKOA WA KIGOMA<br />

RAMANI YA MKOA W A KIG OMA<br />

3<br />

KASULU<br />

3<br />

31<br />

KIBONDO<br />

Mito<br />

Reli<br />

Barabara<br />

Zi<strong>wa</strong><br />

W ilaya<br />

KASULU<br />

KIBONDO<br />

KIGOMA<br />

31<br />

32<br />

32<br />

3<br />

4<br />

5<br />

6<br />

Dagaa – aina ya Lumbo<br />

(Limnothrissa miodon)<br />

MADA ILIYOTOLEWA KATIKA MKUTANO WA KUHAMASISHA<br />

USIMAMIZI NA MATUMIZI YA RASILIMALI ZA UVUVI NCHINI,<br />

MWANZA, 16– 18 DESEMBA, 2009<br />

245<br />

Samaki <strong>wa</strong> mapambo aina ya Ngege –<br />

(Neolamprologus cylindricus)


No. 1:<br />

KONGO<br />

KONGO<br />

1.0 UTANGULIZI<br />

Mkoa <strong>wa</strong> Kigoma uko upande <strong>wa</strong> magharibi m<strong>wa</strong> nchi ya Tanzania kati ya<br />

latitudi 3.6 o na 6.5 o kusini m<strong>wa</strong> ikweta na longitude 29.5 o na 31.5 o mashariki.<br />

K<strong>wa</strong> upande <strong>wa</strong> mashariki Mkoa <strong>wa</strong> Kigoma unapakana na mikoa ya Tabora na<br />

Shinyanga, upande <strong>wa</strong> kaskazini unapakana na Mkoa ya Kagera na nchi ya<br />

Burundi. Upande <strong>wa</strong> kusini unapakana na Mkoa <strong>wa</strong> Ruk<strong>wa</strong> na upande <strong>wa</strong><br />

magharibi unapakana na nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kama<br />

inavyonsha kwenye ramani No 1. Eneo la Mkoa <strong>wa</strong> Kigoma ni kilomita za<br />

mraba 45,075. Kiuta<strong>wa</strong>la Mkoa <strong>wa</strong> Kigoma umega<strong>wa</strong>nyika <strong>katika</strong> Wilaya za<br />

Kibondo, Kasulu, Kigoma. Mkoa una Tarafa 19, Kata 85, Mitaa 199, Vijiji 232,<br />

na Vitongoji 1,512.<br />

BURUNDI<br />

BURUNDI<br />

BURUNDI<br />

Zi<strong>wa</strong> Tanganyika<br />

Idadi ya <strong>wa</strong>kazi <strong>wa</strong> Mkoa <strong>wa</strong> Kigoma m<strong>wa</strong>ka 2009<br />

inakadiri<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>tu 1,499,619. Hali ya he<strong>wa</strong> ni ya<br />

tropiki yenye joto la kati ya nyuzi 15 o C (msimu <strong>wa</strong><br />

baridi) na nyuzi 30 o C (msimu <strong>wa</strong> joto). Ki<strong>wa</strong>ngo cha<br />

mvua ni kati ya milimita 600 na 1,600 k<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka.<br />

Sura ya nchi ni milima yenye miteremko mikali <strong>katika</strong><br />

mwinuko <strong>wa</strong> meta 800 hadi 1,750 juu ya usa<strong>wa</strong> <strong>wa</strong><br />

bahari. Kuna mito mikub<strong>wa</strong> mitatu – Malagarasi,<br />

Lugufu na Luiche ambayo hum<strong>wa</strong>ga maji yake <strong>katika</strong><br />

zi<strong>wa</strong> Tanganyika.<br />

Kiuchumi Mkoa <strong>wa</strong> Kigoma hutegemea kilimo k<strong>wa</strong> zaidi ya asilimia 80 ya pato<br />

la Mkoa. Sekta zingine zinazochangia pato la mkoa ni mifugo, uvivi, ki<strong>wa</strong>nda<br />

cha Chumvi cha Uvinza, Utalii. Kuna hospitali 6, vituo vya afya vipatavyo 20 na


Zahanati ziko 200. Magonj<strong>wa</strong> sugu ni na malaria, magomj<strong>wa</strong> ya mfumo <strong>wa</strong><br />

he<strong>wa</strong>, minyoo, kuhara, vichomi, magonj<strong>wa</strong> ya zinaa, magonj<strong>wa</strong> ya macho<br />

pamoja na magonj<strong>wa</strong> ya ngozi. Vifo vingi husababish<strong>wa</strong> na magonj<strong>wa</strong><br />

nyemelezi yatokanayo na kushuka k<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> kinga mwilini (UKIMWI).<br />

Mtandao <strong>wa</strong> barabara <strong>katika</strong> mkoa <strong>wa</strong> Kigoma ni duni. Barababa zote<br />

zinazounganisha Mkoa <strong>wa</strong> kigoma na Mikoa ya Ruk<strong>wa</strong>, Tabora, Shinyanga,<br />

Kagera na zile zinazokwenda vijijini ni za changarawe na hupitika k<strong>wa</strong> shida<br />

<strong>wa</strong>kati <strong>wa</strong> masika. Reli ya kati na usafiri <strong>wa</strong> meli <strong>katika</strong> zi<strong>wa</strong> Tanganyika ndio<br />

tegemeo kub<strong>wa</strong> la usafirishaji <strong>wa</strong> abiria na mizingo <strong>katika</strong> Mkoa <strong>wa</strong> Kigoma. Pia<br />

kuna usafiri <strong>wa</strong> anga ambao unahudumia kiasi kidogo cha <strong>wa</strong>nanchi wenye<br />

uwezo <strong>wa</strong> kulipa nauli, na pia u<strong>wa</strong>nja ni mdogo k<strong>wa</strong> hiyo ndege zinazohudumia<br />

nazo ni ndogo. Mizigo mingi hufika Kigoma k<strong>wa</strong> njia ya barabara na reli.<br />

Huduma ya nishati <strong>katika</strong> Mkoa <strong>wa</strong> Kigoma ni kidogo sana kukidhi mahitaji.<br />

Umeme unaotumika <strong>katika</strong> Wilaya zote ni <strong>wa</strong> jenereta. Mashine zilizoko Mkoani<br />

Kigoma k<strong>wa</strong> sasa hivi zina uwezo <strong>wa</strong> kuzalisha kiasi cha MW5 <strong>wa</strong>kati mahitaji<br />

ya mkoa ni MW10. Fursa ya kupata umeme <strong>wa</strong> uhakika ipo kufuatia jitihada za<br />

TANESCO kuendelea na taratibu zitakazopelekea kufunga mitambo ya kuzalisha<br />

umeme <strong>wa</strong> maji unaokadiri<strong>wa</strong> kufikia MW7 <strong>katika</strong> maporomoko ya Igamba<br />

<strong>katika</strong> Mto Malagarasi.<br />

2.0 TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA PROGRAMMU YA MKOA YA<br />

KUENDELEZA SEKTA YA UVUVI KWA MUJIBU WA SERA YA<br />

UVUVI NA VIPAUMBELE VYA MKUKUTA<br />

Tamko la Sera na Mkakati <strong>wa</strong> Taifa <strong>wa</strong> Uvuvi <strong>wa</strong> 1997 linalenga <strong>katika</strong> ukuzaji<br />

<strong>wa</strong> matumizi endeleevu ya rasilimali za uvuvi ili kuongeza chakula, mapato,<br />

ajira, fedha za kigeni pamoja na kuweka usimamizi madhubuti <strong>wa</strong> mazingira ya<br />

majini ili kudumisha maendeleo ya jamii. Mkakati <strong>wa</strong> Taifa <strong>wa</strong> Kukuza Uchumi<br />

na Kuondoa Umaskini Tanzania (MKUKUTA) na unatambua umuhimu <strong>wa</strong> <strong>sekta</strong><br />

ya maliasili - hususani uvuvi <strong>katika</strong> kupunguza umaskini <strong>wa</strong> kipato na<br />

kuboresha maisha ya jamii za mijini na vijijini. K<strong>wa</strong> mujibu <strong>wa</strong> MKUKUTA <strong>sekta</strong><br />

ya uvuvi ina mchango muhimu <strong>katika</strong> Kukuza Uchumi na Kupunguza Umaskini<br />

<strong>wa</strong> Kipato, Kuboresha Maisha na Ustawi <strong>wa</strong> Jamii, U<strong>wa</strong>jibikaji na Ut<strong>wa</strong>la Bora.<br />

Hivyo basi, <strong>sekta</strong> ya uvuvi ni miongoni m<strong>wa</strong> vyanzo vikub<strong>wa</strong> vya mapato na<br />

tegemeo la maisha ya jamii <strong>katika</strong> Mkoa <strong>wa</strong> Kigoma. Taarifa ya Maendeleo ya<br />

Uchumi ya Mkoa ya 2008 inaonyesha k<strong>wa</strong>mba <strong>sekta</strong> ya uvuvi inatoa ajira k<strong>wa</strong><br />

<strong>wa</strong>vuvi 9,156 na samaki <strong>wa</strong>naovuli<strong>wa</strong> <strong>katika</strong> Mkao <strong>wa</strong> Kigoma ni zaidi ya tani<br />

30,956 k<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka. Mapato ya samaki <strong>katika</strong> mkoa <strong>wa</strong> Kigoma k<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka<br />

2008/2009 ni tani 30,955 zenye thamani ya shilingi 61,910,000,000. Hata<br />

hivyo taarifa za kitafiti zinaonyesha k<strong>wa</strong>mba nchi zote zinazozunguka Zi<strong>wa</strong><br />

Tangayika zinaweza kuvua kati ya tani 380,000 – 460,000 k<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka<br />

(Coulter 1991). Eneo la zi<strong>wa</strong> Tanganyika ni kilomita za mraba 32,900.<br />

Tanzania tunamiliki kilomita za mraba 13,500 (41%) <strong>katika</strong> Zi<strong>wa</strong> Tanganyika.<br />

247


K<strong>wa</strong> mtazamo huo, Tanzania tunakadiri<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong> na fursa ya kuvua <strong>katika</strong> ya<br />

tani 123,000 – 188,600 k<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka. Eneo la Zi<strong>wa</strong> <strong>katika</strong> Mkoa <strong>wa</strong> Kigoma ni<br />

kilomita za mraba 8,029km (sa<strong>wa</strong> na 24.4%), k<strong>wa</strong> mtiriko huohuo, Mkoa <strong>wa</strong><br />

Kigoma unakadiri<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong> na fursa ya kuvua kati ya tani 73,200 – 112,240<br />

k<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka.<br />

Mapato ya uvuvi <strong>wa</strong> dagaa hufikia asilimia 65 ya samaki wote na migebuka ni<br />

asilimia 30. Aina zingine za samaki (Sangara, Nonzi, Kuhe, Ngege, Usinga,<br />

Mumi, Kitoga) hupatikana k<strong>wa</strong> ki<strong>wa</strong>ngo kidogo sana. Aina ya zana<br />

zinazotumika ni Kipe (liftnet) Mtando (ringnet) ambazo hutumi<strong>wa</strong> na <strong>wa</strong>vuvi<br />

<strong>wa</strong>dogo<strong>wa</strong>dogo usiku <strong>wa</strong> giza k<strong>wa</strong> kutumia m<strong>wa</strong>nga <strong>wa</strong> karabai. Aina zingine<br />

za mitego ni Makila (gillnet), Mshipi na Migono. Karibu asilimia 95 ya dagaa<br />

<strong>wa</strong>naovuli<strong>wa</strong> kukaush<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> jua k<strong>wa</strong> kuanik<strong>wa</strong> chini kwenye michanga, ni<br />

takribani asilimia 5 tu ya dagaa ndio <strong>wa</strong>naokaush<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> kuanik<strong>wa</strong> wenye<br />

vichanja. Migebuka huuz<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>ki<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>bichi au hukaush<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> kutumia kuni.<br />

Aina zingine za samaki huuz<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>ki<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>bichi ispoku<strong>wa</strong> ngege na kambale<br />

<strong>wa</strong>naovuli<strong>wa</strong> Zi<strong>wa</strong> Sagara, Zi<strong>wa</strong> Nyamagoma na mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> yaliko <strong>katika</strong> mito<br />

hukaush<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> moshi au mafuta ya mawese, hasa <strong>katika</strong> eneo la nguruka.<br />

2.1 Uvuvi <strong>wa</strong> Samaki <strong>wa</strong> Mapambo<br />

Uvuvi mwingine unaofanyika <strong>katika</strong> Zi<strong>wa</strong> Tanganyika ni uvuvi <strong>wa</strong> samaki <strong>wa</strong><br />

mapambo. Kuna aina 200 za samaki ambao ha<strong>wa</strong>patikani mahali pengine<br />

popote duniani isipoku<strong>wa</strong> <strong>katika</strong> Zi<strong>wa</strong> Tanganyika. Karibia asilimia 95 ya aina<br />

za ngege <strong>wa</strong>naopatikana Zi<strong>wa</strong> Tanganyika, ha<strong>wa</strong>patikana mahali pengine<br />

popote duniani. Samaki ha<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>navutia ku<strong>wa</strong>ngalia, hivyo <strong>wa</strong>natumika kama<br />

samaki <strong>wa</strong> mapambo. Katika Mkoa <strong>wa</strong> Kigoma yapo makampuni 5<br />

yanayojishughulisha na usafirishaji <strong>wa</strong> samaki hai <strong>wa</strong> mapambo kwenda nchi<br />

mbalimbali duniani. Katika kipindi cha 2005 - 2009 jumla ya samaki hai 19,879<br />

<strong>wa</strong> aina 13 tofauti <strong>wa</strong>lisafirish<strong>wa</strong> kwenda nchi mbalimbali duniani. Katika<br />

kipindi cha 2005 - 2009 Serikali ilikusanya jumla ya 9,743,842.85 kama<br />

maduhuli kutokana na biashara ya usafirishaji samaki hai <strong>wa</strong> mapambo kutoka<br />

Zi<strong>wa</strong> Tanganyika.<br />

2.2 Hali ya Huduma za Ugani<br />

Huduma za ugani <strong>katika</strong> <strong>sekta</strong> ya uvuvi mkoani Kigoma hazitoshi. Mkoa una<br />

vijiji vya uvuvi zaidi ya 30, na maafisa uvuvi <strong>wa</strong>ko 21 kati yao 14 ni maafisa<br />

ugani. K<strong>wa</strong> hiyo kuna upungufu <strong>wa</strong> maafisa ugani 6 <strong>katika</strong> <strong>sekta</strong> ya Uvuvi<br />

Mkoani Kigoma. Maeneo muhimu k<strong>wa</strong> uvuvi <strong>katika</strong> Mkoa <strong>wa</strong> Kigoma ni zi<strong>wa</strong><br />

Tanganyika ambalo inakadiri<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong> linachangia zaidi ya asilimia 98 ya<br />

mapato yote ya uvuvi. Kiasi kilichobakia hutoka <strong>katika</strong> Zi<strong>wa</strong> Sagara, Zi<strong>wa</strong><br />

Nyamagoma na mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> yalioko Mto Malagarasi, Mto Luiche na Mto Lugufu.<br />

2.3 Mfumo <strong>wa</strong> Masoko ya Samaki<br />

248


Soko kub<strong>wa</strong> la samaki <strong>wa</strong>naovuli<strong>wa</strong> Mkoani Kigoma linapatikana <strong>katika</strong> nchi<br />

jirani za Burundi, R<strong>wa</strong>nda, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Zambia pamoja<br />

na mikoa mbalimbali ndani ya nchi ya Tanzania. Hata hivyo soko la ndani si zuri<br />

kutokana na tatizo la uduni <strong>wa</strong> miundombinu. Kiasi cha asilimia 50 ya mazao<br />

yote ya uvuvi husafirish<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> njia ya maji kutoka <strong>katika</strong> vijiji vya <strong>wa</strong>vuvi<br />

Mkoani kigoma kwenda nchi za jirani.<br />

2.4 Mfumo <strong>wa</strong> Vyombo vya Mikopo<br />

K<strong>wa</strong> sasa hivi hakuna mfumo <strong>wa</strong> vyombo vya mikopo ambao ni rasmi k<strong>wa</strong> ajili<br />

ya <strong>wa</strong>vuvi <strong>katika</strong> mkoa <strong>wa</strong> Kigoma. Wavuvi <strong>wa</strong>nahamasish<strong>wa</strong> kuanzisha na<br />

kujiunga na vyama vya kuweka na kukopa (SACCOs), VICOBA (Village<br />

Community Banks) na Vyama vya Ushirika. Aidha, <strong>wa</strong>vuvi <strong>wa</strong>nashauri<strong>wa</strong><br />

kuomba mikopo kutoka <strong>katika</strong> taasisi mbalimbali za fedha.<br />

2.5 Udhibiti <strong>wa</strong> Uvuvi Haramu<br />

Mkoa unashirikiana na kikosi cha doria kudhibiti uvuvi haramu <strong>katika</strong> maeneo<br />

yote ya <strong>wa</strong>vuvi. Katika kipindi cha 2005 – 2009 zilifanyika doria 3,129 ambapo<br />

jumla ya makokoro 110 yenye thamani ya shillingi za Tanzania<br />

144,438,000/= yalikamat<strong>wa</strong> na kuharibi<strong>wa</strong>. Nyavu za macho madogo 19<br />

zenye thamani ya shilingi za Tanzania 140,000/= zilikamat<strong>wa</strong> na kuharibi<strong>wa</strong>.<br />

Aidha kesi 9 zilifunguli<strong>wa</strong> dhidi ya uvuvi haramu, mvuvi mmoja alifung<strong>wa</strong> miezi<br />

6, mvuvi mmoja aliyepig<strong>wa</strong> faini ya 200,000, <strong>wa</strong>vuvi 3 <strong>wa</strong>lioachili<strong>wa</strong> huru na<br />

<strong>wa</strong>vuvi 4 <strong>wa</strong>liruka dhamana.<br />

2.6 Upatikanaji na Usambazaji <strong>wa</strong> Zana Bora za Uvuvi<br />

Katika kipindi cha 2005 - 2009 vikundi 17 na vyama vya ushirika 2 <strong>wa</strong> <strong>wa</strong>vuvi<br />

(“Katonga Fisheries Cooperative Ltd”, “Umakiu Cooperative Society Ltd”)<br />

viliund<strong>wa</strong> ili kuweka mazingira mazuri ya upatikanaji <strong>wa</strong> zana za kisasa za<br />

uvuvi kupitia vikundi vya <strong>wa</strong>vuvi. Hata hivyo, upatikanaji <strong>wa</strong> zana bora ni<br />

mgumu k<strong>wa</strong> sababu ya ukosefu <strong>wa</strong> vi<strong>wa</strong>nda vya kutengenezazana za uvuvi<br />

nchini.<br />

2.7 Ufugaji <strong>wa</strong> Samaki <strong>katika</strong> Mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong><br />

Inga<strong>wa</strong> ipo fursa kub<strong>wa</strong> ya kufuga samaki <strong>katika</strong> mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> Mkoani Kigoma,<br />

ukosefu <strong>wa</strong> elimu ya ufugaji, upungufu <strong>wa</strong> huduma za ugani na kukosekana<br />

k<strong>wa</strong> taarifa sahihi zinazoainisha maeneo yanayostahili kushimba mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong><br />

vimechangia kudumaa k<strong>wa</strong> shughuli hii. K<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>kati huu kuna mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> 30<br />

yalichimb<strong>wa</strong> kienyeji. Mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> 5 kati ya hayo yako <strong>katika</strong> Wilaya ya Kibondo<br />

na 25 <strong>katika</strong> Wilaya ya Kigoma vijijini.<br />

3.0 USHIRIKI WA CHAMA CHA MAPINDUNZI (CCM) KATIKA<br />

UTEKELEZAJI WA SERA NA MIKAKATI YA USIMAMIZI NA<br />

249


MAENDELEO YA SEKTA YA UVUVI KWA MUJIBU WA ILANI YA<br />

UCHAGUZI YA 2005<br />

Viongozi <strong>wa</strong> ngazi mbalimbali <strong>wa</strong> Chama Cha Mapinduzi <strong>katika</strong> Mkoa <strong>wa</strong><br />

Kigoma <strong>wa</strong>meku<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>nahusih<strong>wa</strong> kikamilifu <strong>katika</strong> usimamizi <strong>wa</strong> uvuvi k<strong>wa</strong> njia<br />

ya majadilianao na mashauriano kupitia vikao vya kitaalamu vya Mkoa (RCC)<br />

na Wilaya (DCC). Pia, <strong>wa</strong>nashirikish<strong>wa</strong> <strong>katika</strong> michakato mabalimbali ya<br />

uhamsishaji ambapo pia <strong>wa</strong>napata fursa ya kufafanua Ilani ya Uchaguzi ya<br />

Chama Cha Mapinduzi ya 2005 - 2009.<br />

3.1 Utekelezaji <strong>wa</strong> Ilani ya Uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi ya<br />

2005 - 2009<br />

Katika kipindi cha 2005 – 2009, Mkoa <strong>wa</strong> Kigoma ulitekeleza kazi mbalimbali za<br />

kuendeleza na kusimamia rasilimali za uvuvi zilizoanish<strong>wa</strong> <strong>katika</strong> mkakati <strong>wa</strong><br />

Ilani ya Uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ya 2005 kama<br />

inavyoonyesh<strong>wa</strong> kwenye jed<strong>wa</strong>li No. 1<br />

Jed<strong>wa</strong>li No. 1: Utekelezaji <strong>wa</strong> Mkakati<br />

MAELEKEZO YA<br />

ILANI/MKAKATI<br />

Ku<strong>wa</strong>saidia <strong>wa</strong>vuvi<br />

kutumia maarifa<br />

ya kisasa ya uvuvi<br />

ili kuongeza ufanisi<br />

na mapato<br />

Ku<strong>wa</strong>eleimisha na<br />

ku<strong>wa</strong>hamasisha<br />

<strong>wa</strong>vuvi <strong>wa</strong>dogo<br />

kuanzisha na<br />

kuimarisha<br />

MALENGO YA<br />

MKOA WA<br />

KIGOMA<br />

Kutoa mafunzo ya<br />

uvuvi <strong>wa</strong><br />

kisasa/mbinu bora<br />

za uvuvi na<br />

uchakataji <strong>wa</strong><br />

samaki k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>vuvi<br />

2,076 <strong>katika</strong> vijiji 20.<br />

Kutengenza chanja<br />

300 za kuanikia<br />

dagaa <strong>katika</strong><br />

Manispaa ya<br />

Kigoma/ujiji<br />

250<br />

UTEKELEZAJI<br />

• Wavuvi 2,400 <strong>katika</strong> vijiji/mialo 22<br />

•<br />

<strong>wa</strong>liemish<strong>wa</strong> kuhusu uvuvi endelevu na<br />

matumizi ya mbinu bora za uchakataji na<br />

uhifadhi <strong>wa</strong> samaki ili kuongeza ubora na<br />

thamani ya mazao ya uvuvi<br />

Elimu ya majiko banifu yanayojeng<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong><br />

udongo ilitole<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>vuvi na<br />

•<br />

<strong>wa</strong>chakataji <strong>wa</strong> samaki <strong>katika</strong> mialo ya<br />

M<strong>wa</strong>mgongo, Kagunga, Mtanga, Nguruka,<br />

Karago na Sigunga ili kupunguza ufyekaji<br />

<strong>wa</strong> misitu k<strong>wa</strong> ajili ya kuni za kukaushia<br />

samaki.<br />

Chanja 250 za kuanikia dagaa zilijeng<strong>wa</strong><br />

<strong>katika</strong> mialo ya Kibirizi na Katonga<br />

•<br />

(Manispaa ya Kigoma/Ujiji), M<strong>wa</strong>mgongo,<br />

Mtanga na Karago (Halmashauri ya Kigoma<br />

Vijijini).<br />

Halmshauri za Wilaya na manispaa ya<br />

Kigoma/Ujiji zilitunga na kupitisha sheria<br />

ndogo kuzuia uanikaji <strong>wa</strong> dagaa chini -<br />

kwenye mchanga.<br />

Kuunda SACOSS - 5 • Katika kipindi cha 2005 – 2009 ziliund<strong>wa</strong><br />

SACCOS 2 za <strong>wa</strong>vuvi ambazo ni “Fisheries<br />

Development SACCOS” na “KINO SACCOS”<br />

ili kurahisha upatikanaji <strong>wa</strong> mikopo


SACCOS ili<br />

zi<strong>wa</strong>saidie kupata<br />

mikopo<br />

Kutengeneza<br />

mazingira mazuri<br />

yatakayosaidia<br />

upatikanaji <strong>wa</strong><br />

zana za kisasa za<br />

uvuvi bila vik<strong>wa</strong>zo<br />

Kuelimisha<br />

<strong>wa</strong>nanchi juu ya<br />

kupambana na<br />

uvuvi haramu<br />

Kutoa msukumo<br />

kuhusu ufugaji <strong>wa</strong><br />

samaki <strong>katika</strong><br />

mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong><br />

Kuunda Vikundi 18<br />

vya <strong>wa</strong>vuvi<br />

Kuelimisha jamii<br />

(vijiji 50) kupiga vita<br />

uvuvi haramu.<br />

Kuweka mabango<br />

yanayoonyesha<br />

madhara ya ya uvuvi<br />

haramu<br />

Kueleimisha jamii<br />

(vijiji 125) kupiga<br />

vita uvuvi haramu<br />

na kuunda vikundi<br />

10 vya usimamizi <strong>wa</strong><br />

rasilimali ya uvuvi.<br />

Halmashauri za<br />

Wilaya kuhamasisha<br />

<strong>wa</strong>nanchi kuchimba<br />

na kusimamia<br />

upandikizaji <strong>wa</strong><br />

samaki <strong>katika</strong><br />

251<br />

• Katika kipindi cha 2005 - 2009 vikundi 17<br />

na vyama vya ushirika 2 <strong>wa</strong> <strong>wa</strong>vuvi<br />

(“Katonga Fisheries Cooperative Ltd”,<br />

“Umakiu Cooperative Society Ltd”)<br />

viliund<strong>wa</strong> ili kuweka mazingira mazuri ya<br />

upatikanaji <strong>wa</strong> zana za kisasa za uvuvi<br />

kupitia vikundi vya <strong>wa</strong>vuvi.<br />

• Sera, Sheria na Kanuni za uvuvi<br />

•<br />

zilifafanuli<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>vuvi kupitia maafisa<br />

ugani k<strong>wa</strong> njia za mikutano <strong>katika</strong> mialo<br />

yote.<br />

Jamii ilihamasish<strong>wa</strong> na kuelimish<strong>wa</strong> kuhusu<br />

uvuvi endelevu na matumizi ya zana bora<br />

<strong>katika</strong> vijiji 31<br />

• Yaliwek<strong>wa</strong> matangazo na kufanya mikutano<br />

ya hadhara <strong>katika</strong> mialo ya Kibirizi,<br />

•<br />

Katonga, Mtanga, M<strong>wa</strong>mgogo, Kagunga,<br />

Kirando, Nguruka na M<strong>wa</strong>kizega kuhusu<br />

madhara ya matumizi ya zana haramu.<br />

Kupitia Mradi <strong>wa</strong> zi<strong>wa</strong> Tanganyika, Jamii ya<br />

<strong>wa</strong>vuvi <strong>katika</strong> vijiji vya Kagunga,<br />

M<strong>wa</strong>mgongo, Karago, Kirando, M<strong>wa</strong>kizega<br />

na mialo ya Kibirizi na Katonga<br />

imehamasish<strong>wa</strong> ili kuunda vikundi vya<br />

usimamizi shirikishi <strong>wa</strong> rasilimali za uvuvi.<br />

• Kupitai mradi <strong>wa</strong> zi<strong>wa</strong> Tanganyika<br />

•<br />

yametole<strong>wa</strong> mafunzo k<strong>wa</strong> maafisa uvuvi<br />

kuhusu kuanzisha vikundi vya usimamizi<br />

shirikishi <strong>wa</strong> rasilimali za uvuvi <strong>katika</strong> Mkoa<br />

<strong>wa</strong> Kigoma.<br />

Kupitia kikosi cha doria uvuvi haramu<br />

ulidhibiti<strong>wa</strong> <strong>katika</strong> maeneo yote ya <strong>wa</strong>vuvi.<br />

Katika kipindi cha 2005 – 2009 Jumla ya<br />

makokoro 110 yenye thamani ya shillingi za<br />

Tanzania 144,438,000/= yalikamat<strong>wa</strong> na<br />

kuharibi<strong>wa</strong>. Nyavu za macho madogo 19<br />

zenye thamani ya shilingi za Tanzania<br />

140,000/= zilikamat<strong>wa</strong> na kuharibi<strong>wa</strong>.<br />

•<br />

Aidha kesi 9 zilifunguli<strong>wa</strong> dhidi ya uvuvi<br />

haramu ambapo alifung<strong>wa</strong> mvuvi mmoja,<br />

mvuvi mmoja alipig<strong>wa</strong> faini ya shilling<br />

200,000, <strong>wa</strong>vuvi 3 <strong>wa</strong>liachili<strong>wa</strong> huru na<br />

<strong>wa</strong>vivu 4 <strong>wa</strong>liruka dhamana.<br />

Uhamasishaji kuhusu ufugaji <strong>wa</strong> samaki<br />

<strong>katika</strong> mb<strong>wa</strong><strong>wa</strong> ulifanyika <strong>katika</strong> vijiji 18<br />

wilayani Kibondo.<br />

• Jumla ya mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> yaliyopandikiz<strong>wa</strong><br />

samaki ni 27 Wilaya ya Kigoma Vijijini na 5<br />

Wilaya ya Kibondo.


mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong>.<br />

4.0 CHANGAMOTO NA MAPUNGUFU YALIYOJITOKEZA KATIKA<br />

UTEKELEZAJI WAPROGRAMU YA UVUVI KATIKA MKOA WA KIGOMA<br />

NA HATUA ZILIZOCHUKULIWA KUYAPATIA UFUMBUZI<br />

4.1 M<strong>wa</strong>mbao <strong>wa</strong> Zi<strong>wa</strong> Tanaganyika una urefu <strong>wa</strong> kilomita 323, vijiji vya<br />

uvuvi 30, lakini una maafisa ugani 14 tu. Hali hii iliuwia vigumu mkoa kutimiza<br />

majukumu yake ya kusimamia rasilimali ya uvuvi kikamilifu.<br />

Hatua zilizochukuli<strong>wa</strong>: Kuanzisha mchakato <strong>wa</strong> kuunda vikundi vya jamii<br />

vya usimamizi shirikishi <strong>wa</strong> rasilimali ya uvuvi <strong>katika</strong> vijiji na mialo yote ya<br />

uvuvi. Vikundi hivyo vitaund<strong>wa</strong> na serikali za vijiji/mitaa k<strong>wa</strong> kufuata muongozo<br />

uliwek<strong>wa</strong> na serikali kupitia Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi.<br />

Wameandali<strong>wa</strong> maafisa 24 <strong>wa</strong>lipe<strong>wa</strong> mafunzo na <strong>wa</strong>taalamu kutoka Wizara ya<br />

Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi. Maafisa hao ndio <strong>wa</strong>takaokwenda vijijini<br />

kufundisha jamii namana ya kuunda vikundi hivyo <strong>katika</strong> mkoa <strong>wa</strong> Kigoma.<br />

4.2 Kukithiri k<strong>wa</strong> vitendo vya ujambazi <strong>wa</strong> kupora zana za uvuvi <strong>katika</strong> Zi<strong>wa</strong><br />

Tanganyika<br />

Hatua zilizochukuli<strong>wa</strong>: Kutumia askari <strong>wa</strong> Jeshi la Wananchi Tanzania <strong>katika</strong><br />

ulinzi. Mfumo huu umenyesha mafanikio, k<strong>wa</strong>ni matukio ya ujambazi zi<strong>wa</strong>ni<br />

yamepungua. Hata hivyo kuna tatizo la gharama za kuendeshea zoezi hilo.<br />

4.3 Ukosefu na uduni <strong>wa</strong> miundombinu na huduma za jamii (kama<br />

barabara, masoko, ma<strong>wa</strong>siliano na nishati) ambayo ni muhimu kuvutia<br />

<strong>wa</strong>wekezaji <strong>katika</strong> <strong>sekta</strong> ya uvuvi.<br />

Hatua zilizochukuli<strong>wa</strong>: Mkoa umekamilisha pendekezo la kujenga soko la<br />

kimataifa mjini Kigoma, pia soko dogo linjeng<strong>wa</strong> mpakani na Burundi. Mkoa<br />

utaboresha mialo na kujenga masoko madogo <strong>katika</strong> maeneo mengine<br />

yatakayochaguli<strong>wa</strong> na <strong>wa</strong>dau. Jenereta mpya za kuzalisha umeme <strong>wa</strong> kiasi cha<br />

6MW zinaendelea kufung<strong>wa</strong> ili kupunguza tatizo la umeme <strong>katika</strong> mji <strong>wa</strong><br />

Kigoma.<br />

252


5.0 MIKAKATI MIPYA NA UBUNIFU WA MKOA WA KIGOMA KATIKA<br />

KUSIMAMIA MATUMIZI ENDELEVU NA RASILIMALI ZA UVUVI CHINI<br />

YA KAULIMBIU YA “KILIMO KWANZA”<br />

5.1. Azimio la KILIMO KWANZA<br />

Kaulimbiu ya “KILIMO KWANZA” inatambua ku<strong>wa</strong> “Tanzania ina rasilimali za<br />

kutosha k<strong>wa</strong> ajili ya mazao, mifugo na uvuvi ambazo k<strong>wa</strong> sasa matumizi yake<br />

yako chini, hivyo imeazimi<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong>mba jitihada zifanyike <strong>katika</strong> kuongeza<br />

rasilimali mbalimbali ili kunufaisha utekelezaji <strong>wa</strong> KILIMO KWANZA”.<br />

Utekelezaji <strong>wa</strong> azimio hilo <strong>katika</strong> <strong>sekta</strong> ya uvuvi umewek<strong>wa</strong> <strong>katika</strong> nguzo Na 4<br />

ambayo ina husu “Mabadiliko ya Mfumo <strong>wa</strong> Kimkakati <strong>wa</strong> Kilimo K<strong>wa</strong>nza”.<br />

Katika nguzo hiyo <strong>sekta</strong> ya uvuvi inonekana <strong>katika</strong> shughuli Na 4.1 ambayo<br />

inahusu “kubainisha maeneo ya kipaumbele k<strong>wa</strong> ajili ya vyakula muhimu ili nchi<br />

ijitosheleze k<strong>wa</strong> chakula”. “Majukumu ni pamoja na kuandaa mipango ya<br />

uzalishaji <strong>wa</strong> mazao ya chakula muhimu kama vile mahindi, mihogo, mpunga,<br />

jamii ya maharage, samaki, nyama na bidhaa za mazi<strong>wa</strong>, ngano, ndizi, viazi<br />

mviringo, ulezi na mtama”.<br />

Katika kutekeleza majukumu hayo mapya, Mkoa <strong>wa</strong> Kigoma umebuni mikakati<br />

ifatayo:<br />

5.1.1 Kufanya ziara ya mafunzo <strong>katika</strong> mikoa inayozunguka Zi<strong>wa</strong><br />

Victoria k<strong>wa</strong> ajili ya kubadilishana uzoefu kuhusu mfumo <strong>wa</strong><br />

usimamizi shirikishi <strong>wa</strong> uvuvi<br />

Mkoa <strong>wa</strong> Kigoma umetambua umuhimu na zuri <strong>wa</strong> mfumo <strong>wa</strong> kushirikisha<br />

<strong>wa</strong>dau <strong>wa</strong> uvuvi <strong>katika</strong> kusimamia rasilimali ya uvuvi na ustawi <strong>wa</strong> <strong>wa</strong>vuvi<br />

wenyewe. K<strong>wa</strong> hiyo mkoa umeanzisha mchakato <strong>wa</strong> uhamsishaji ili <strong>wa</strong>dau <strong>wa</strong><br />

uvuvi <strong>wa</strong>ifahamu dhana ya usimamizi shirikishi na <strong>wa</strong>we tayari kushirikiana na<br />

serikali <strong>katika</strong> kutekeleza mfumo huo. Ni matumaini ya mkoa k<strong>wa</strong>mba ziara ya<br />

mafunzo <strong>katika</strong> maeeneo ya mialo ya Zi<strong>wa</strong> Victoria itasaidia kutambua<br />

changamoto na fursa zinzoweza kujitokeza <strong>wa</strong>kati <strong>wa</strong> kuanzisha na kutekeleza<br />

mfumo huo. Ziara ya mafunzo hayo itagharami<strong>wa</strong> na mradi <strong>wa</strong> usimamizi<br />

shirikishi <strong>wa</strong> zi<strong>wa</strong> Tanganyika.<br />

5.1.2 Kusimamia na kudhibiti uharibifu <strong>wa</strong> mazingira ya maeneo ya<br />

uvuvi hasa <strong>katika</strong> mji <strong>wa</strong> Kigoma na m<strong>wa</strong>mbao <strong>wa</strong> zi<strong>wa</strong><br />

Tanganyika<br />

Mkoa <strong>wa</strong> Kigoma hauna mfumo maalumu <strong>wa</strong> kusimamia taka ngumu, maji taka<br />

na kukusanya maji ya mvua. Kimaumbile mji <strong>wa</strong> kigoma unaruhusu taka zote<br />

kutiririka kueleea zi<strong>wa</strong>ni, k<strong>wa</strong> hiyo zi<strong>wa</strong> Tanganyika limendelea kupokea taka<br />

253


za aina mbalimbali inazotokana na shughuli za binadamu pamoja na tope<br />

linalosomb<strong>wa</strong> na maji ya mvua.<br />

Pia samaki aina ya migebuka, ngege na kambale hukaush<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> kutumia kuni<br />

na kusababisha uharibifu mkub<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> uoto <strong>wa</strong> asili <strong>katika</strong> m<strong>wa</strong>mbao <strong>wa</strong> zi<strong>wa</strong><br />

Tanganyika na Kandokando ya Zi<strong>wa</strong> Sagara na Nyamagoma. Sasa hivi<br />

maoeneo ya m<strong>wa</strong>mbao <strong>wa</strong> Zi<strong>wa</strong> Tanganyika <strong>katika</strong> Mkoa <strong>wa</strong> Kigoma hayana<br />

miti kabisa isipoku<strong>wa</strong> maeneo yaliyoko ndani ya Hifadhi za Taifa za Gombe na<br />

Mahale.<br />

Kupitia mradi <strong>wa</strong> zi<strong>wa</strong> Tanganyika, Mkoa unatayarisha mpango kabambe <strong>wa</strong><br />

kuelimisha na kuhamasisha <strong>wa</strong>kazi <strong>wa</strong>manispaa ya Kigoma/Ujiji ili <strong>wa</strong>shiriki<br />

<strong>katika</strong> kazi za kutunza mazingira ya Mji. Hii ni pamoja na kusimamia ukusanyaji<br />

<strong>wa</strong> taka ngumu na maji taka ili kuzuia uchafuzi <strong>wa</strong> Zi<strong>wa</strong> Tanganyika. Mkoa<br />

umeanzisha vikundi vya kufanya usafi mjini na umetenga maeneo ya<br />

kukusanyia taka ngumu na kusambaza makontena ya kutunzia taka kabla<br />

hazijapelek<strong>wa</strong> sehemu ya dampo. Mkoa pia utahamasisha ushiriki <strong>wa</strong><br />

AZAKI/AZISE <strong>katika</strong> kuelimisha jamii kuhusu hifadhi ya mazingira ya zi<strong>wa</strong>,<br />

upandaji na utunzaji <strong>wa</strong> miti, nishati mbadala ya kukaushia samaki ili kunusuru<br />

uoto <strong>wa</strong> asili.<br />

5.1.3 Kusimamia utekelezaji <strong>wa</strong> sheria ndogo inayozuia uanikaji <strong>wa</strong><br />

dagaa kwenye michanga<br />

Sasa hivi asilimia 95 ya dagaa huanik<strong>wa</strong> kwenye mchanga na kusababisha<br />

kushuka k<strong>wa</strong> thamani na ubora <strong>wa</strong>ke. Dagaa hao ha<strong>wa</strong>wezi kukubalika <strong>katika</strong><br />

soko la kimataifa na ni hatari k<strong>wa</strong> afya za <strong>wa</strong>laji.<br />

Mkoa umeazimia kufanya mafunzo k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>chakataji na <strong>wa</strong>fanya biashara ya<br />

smaki kuhusu mbinu bora za kuhufadhi na kutunza samaki ili kuongeza<br />

ki<strong>wa</strong>ngo cha ubora na thamani. Hii ni pamoja na kupanua soko la kimataifa la<br />

mapato ya samaki <strong>wa</strong>naovuli<strong>wa</strong> Kigoma. Mradi <strong>wa</strong> Zi<strong>wa</strong> Tanganyika umetenga<br />

fedha k<strong>wa</strong> ajili ya kutekeleza mkakati huu.<br />

5.1.4 Kuboresha miundo mbinu na huduma za jamii ili kupanua <strong>sekta</strong><br />

ya uvuvi na kuvutia <strong>wa</strong>wekezaji <strong>wa</strong> nje na ndani ya nchi<br />

Huduma za jamii kama umeme na maji ni za hali ya chini kulinganisaha na<br />

mahitaji halisi. Pia miundombinu ya barabara na masoko ni duni sana<br />

kewezesha kupanuka k<strong>wa</strong> Sekta ya Uvuvi. Mkoa umeazimia kujenga soko la<br />

kisasa la mazao ya uvuvi <strong>katika</strong> m<strong>wa</strong>lo <strong>wa</strong> Kibirizi mjini Kigoma. Mkoa<br />

umeanzisha ujenzi <strong>wa</strong> soko dogo la mazao ya uvuvi <strong>katika</strong> kijiji cha Kagunga<br />

amabacho kiko mpakani m<strong>wa</strong> Tanzania na Burundi.<br />

Kupitia mradi <strong>wa</strong> zi<strong>wa</strong> Tanganyika Mkoa utafungua barabara zinazounganisha<br />

vijiji vya uvuvi na barabara kuu zinazoelekea kwenye maeneo ya masoko, ili<br />

kurahisisha usafirishaji <strong>wa</strong> mazao ya uvuvi. Aidha mialo yote itaboresh<strong>wa</strong> ili<br />

254


kukidhi vi<strong>wa</strong>ngo vya ubora vilivyowek<strong>wa</strong> na serikali. Ujenzi <strong>wa</strong> masoko ya<br />

samaki utaboresha hali ya huduma za jamii <strong>katika</strong> Sekta ya Uvuvi.<br />

Kupitia Mradi <strong>wa</strong> zi<strong>wa</strong> Tanganyika, Mkoa unandaa programu ya kutangaza<br />

fursa ya uwekezaji <strong>katika</strong> sekata ya uvuvi Mkoani Kigoma k<strong>wa</strong> njia ya magazeti,<br />

vipeperushi, televisheni, redio, ngoma na makongamano ya ndani na nje ya<br />

nchi ili kupanua kukuza uchumi <strong>wa</strong> Mkoa na taifa k<strong>wa</strong> ujumla.<br />

5.1.5 Kuendelea kusimamia halmashauri zote kubaini maeneo<br />

yanayofaa na kuhimiza uchimbaji na upandikizaji samaki <strong>katika</strong><br />

mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> Mkoani Kigoma<br />

Mkoa <strong>wa</strong> Kigoma una maeneo mengi yanayofaa kuchimba mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> ya<br />

kupandikiza samaki, tatizo ni ukosefu <strong>wa</strong> elimu ya ufugaji, upungufu <strong>wa</strong><br />

huduma za ugani-kazi na kukosekana k<strong>wa</strong> taarifa sahihi zinazoainisha maeneo<br />

yanayostahili kuchimba mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong>. K<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>kati huu kuna mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> 30 tu<br />

<strong>katika</strong> mkoa <strong>wa</strong> Kigoma. Mkoa unakusudia kuomba <strong>wa</strong>taalamu kutoka Wizara<br />

ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi <strong>wa</strong>takaofundisha maafisa uvuvi <strong>wa</strong>liopo<br />

mkoani namna ya kuyatambua maeneo yanayafaa kuchimba mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong><br />

taaluma ya ufugaji <strong>wa</strong> samaki <strong>katika</strong> mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong>.<br />

5.1.6 Kuboresha huduma za ugani na kuhakikisha k<strong>wa</strong>mba zana za<br />

kufanyia kazi na ukusanyaji takwimu na ushuru zinapatikana<br />

Huduma za ugani <strong>katika</strong> <strong>sekta</strong> ya Uvuvi mkoani <strong>wa</strong> Kigoma hazitoshi. Hali hii<br />

imepelekea upungufu <strong>wa</strong> ukusanyaji <strong>wa</strong> takwimu za uvuvi, utoaji <strong>wa</strong> leseni na<br />

ukusanyaji <strong>wa</strong> ushuru. Baadhi ya Kata hazina <strong>wa</strong>gani-kazi <strong>wa</strong> kukusanya<br />

ushuru, k<strong>wa</strong> hiyo baadhi ya <strong>wa</strong>fanya biashara hutorosha mazao ya uvuvi bila<br />

kulipa ushuru <strong>wa</strong> serikali. Vitendea kazi kama mizani ya kupimia uzito <strong>wa</strong><br />

samaki, vyombo vya usafiri (kama vile boti na mashine, pikipiki/baiskeli),<br />

vyumba vya ofisi, shajara, tafsiri ya sera, sheria, miongozo na kanuni havipo.<br />

K<strong>wa</strong> kupitia mradi shirikishi <strong>wa</strong> Kusimamia Maendeleo ya Zi<strong>wa</strong> Tanganyika<br />

(PRODAP), jumla ya <strong>wa</strong>tu 30 kutoka <strong>katika</strong> vikundi vya usimamizi shirikishi <strong>wa</strong><br />

uvuvi (BMUs) vitakavyoanzish<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>tafundish<strong>wa</strong> namna ya kukusanya takwimu<br />

za uvuvi na kuboresha mchanganuo <strong>wa</strong> takwimu k<strong>wa</strong> njia ya kompyuta ili<br />

kupunguza tatizo la huduma za ugani.<br />

5.1.7 Kuongeza msukumo <strong>katika</strong> ukusanyaji <strong>wa</strong> ushuru na maduhuli<br />

yatokanayo na <strong>sekta</strong> ya Uvuvi<br />

Taarifa zilizopo zinaonyesha k<strong>wa</strong>mba makusanyo ya maduhuli kutokana na<br />

mazao yanayosafirish<strong>wa</strong> kwenda nje ya nchi <strong>katika</strong> kipindi cha 2008/2009<br />

iliku<strong>wa</strong> shilingi 232,250,435. Ushuru na leseni iliku<strong>wa</strong> shilingi 233,168,000.<br />

Uchunguzi unaonyesha k<strong>wa</strong>mba mazao ya uvuvi yanayolipi<strong>wa</strong> maduhuli ni<br />

asilimia 50 ya mapato yote ya uvuvi. Tungetarajia makusanyo ya ushuru ku<strong>wa</strong><br />

mara mbili ya makusanyo ya maduhuli. Hii ina maana k<strong>wa</strong>mba kama huduma<br />

255


za ugani zingeku<strong>wa</strong> nzuri, m<strong>wa</strong>ka 2008/2009 Mkoa <strong>wa</strong> Kigoma ungekusanya<br />

ushuru usiopungua shilingi 466,336,000.<br />

Kupitia mradi <strong>wa</strong> Zi<strong>wa</strong> Tanganyika mkoa utafanya utafiti <strong>wa</strong> mapato halisi<br />

yanayoweza kupatikana na kubuni mfumo mzuri <strong>wa</strong> ukusanyaji <strong>wa</strong> ushuru<br />

<strong>katika</strong> vituo vyote vya uvuvi vinavyohusika. K<strong>wa</strong> mfano kutoa u<strong>wa</strong>kala <strong>wa</strong><br />

kukusanya ushuru k<strong>wa</strong> vikundi vya usimamizi shirikishi <strong>wa</strong> uvuvi badala ya<br />

kutumia <strong>wa</strong>tu binafsi/au makampuni yanayotoka sehemu ambazo ni mbali na<br />

maeneo ya mialo.<br />

6.1.8 Kufafanua sheria na kanuni za uvuvi na mazingira k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>dau<br />

<strong>wa</strong>kiwemo madi<strong>wa</strong>ni, mahakimu na polisi <strong>katika</strong> m<strong>wa</strong>mbao <strong>wa</strong><br />

Zi<strong>wa</strong> Tanganyika<br />

Imegundulika k<strong>wa</strong>mba sheria na kanuni za uvuvi pamoja na mazingira<br />

hazifahamiki k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>dau muhimu, hivyo imeku<strong>wa</strong> vigumu k<strong>wa</strong>o kushiriki<br />

kikamilifu <strong>katika</strong> kulinda na kusimamia rasilimali ya uvuvi na mazingira <strong>katika</strong><br />

Mkoa <strong>wa</strong> Kigoma.<br />

Kupitia mradi <strong>wa</strong> Zi<strong>wa</strong> Tanganyika Mkoa utafanya <strong>wa</strong>rsha za mafunzo kuhusu<br />

sheria na kanuni za mazingira na uvuvi k<strong>wa</strong> vymbo vya kusimamia sheria<br />

pamoja na <strong>wa</strong><strong>wa</strong>kilishi <strong>wa</strong> <strong>wa</strong>nanchi ili kuboresha ushiriki <strong>wa</strong>o <strong>katika</strong> kulinda<br />

rasilimali ya uvuvi na kutunza mazingira.<br />

6.1.9 Kuimarisha ushirikiano na nchi za DRC na Burundi k<strong>wa</strong> mfumo<br />

<strong>wa</strong> ujirani mwema ili kudhibiti vitendo vya ujambazi <strong>katika</strong><br />

Zi<strong>wa</strong> Tanganyika<br />

Taarifa zilizopo zinaonyesha k<strong>wa</strong>mba <strong>katika</strong> kipindi cha 2005 - 2009 peke yake<br />

<strong>wa</strong>vuvi <strong>wa</strong> Tanzania <strong>wa</strong>lipor<strong>wa</strong> vipe 91, karabai 360, mafuta lita 3,120,<br />

nyavu za kutega 24 na mitumbwi 16 vyote vinakadiri<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong> na thamani ya<br />

shilingi 250,930,000. K<strong>wa</strong> sasa Serikali imeamua kutumia askari <strong>wa</strong> Jeshi la<br />

Wananchi <strong>katika</strong> ulinzi. Wadau <strong>wa</strong> uvuvi <strong>wa</strong>nagharamia zoezi hilo k<strong>wa</strong><br />

kuchangia upatikanaji <strong>wa</strong> mafuta k<strong>wa</strong> ajili ya ulinzi. Pamoja na k<strong>wa</strong>mba mtindo<br />

huu unaonyesha mafanikio k<strong>wa</strong> kiasi, si endelevu na hauwezi ku<strong>wa</strong> <strong>wa</strong><br />

kudumu. Hii ni changamoto kub<strong>wa</strong> hasa k<strong>wa</strong> sababu hali ya usalama na utulivu<br />

ni ya <strong>wa</strong>si<strong>wa</strong>si <strong>katika</strong> nchi jirani. Mkoa utaendelea na juhudi ya kufanya<br />

majadiliano na majirani ili ku<strong>wa</strong> na mpango <strong>wa</strong> pamoja <strong>wa</strong> kuimarisha ulinzi <strong>wa</strong><br />

<strong>wa</strong>vuvi na mali zao <strong>katika</strong> Zi<strong>wa</strong> Tanganyika. Kupitia mradi <strong>wa</strong> Zi<strong>wa</strong> Tanganyika<br />

Mkoa pia utaboresha mfumo <strong>wa</strong> ma<strong>wa</strong>siliano k<strong>wa</strong> kuanzisha vituo vya<br />

ma<strong>wa</strong>siliano k<strong>wa</strong> njia ya redio za upepo <strong>katika</strong> m<strong>wa</strong>mbao <strong>wa</strong> Zi<strong>wa</strong> Tanganyika.<br />

256


1.0 Utangulizi<br />

1.1 Uta<strong>wa</strong>la<br />

TAARIFA YA SEKTA YA MAENDELEO YA UVUVI<br />

MKOA WA RUKWA<br />

Mkoa <strong>wa</strong> Ruk<strong>wa</strong> ulianzish<strong>wa</strong> 1974 na umega<strong>wa</strong>ny<strong>wa</strong> <strong>katika</strong> wilaya 3 ambazo ni<br />

Sumba<strong>wa</strong>nga, Nkasi na Mpanda, Halmashauri 5, Kata 86 na Vijiji 397.<br />

1.2 Ulipo (Location)<br />

Mkoa upo pembezoni m<strong>wa</strong> nchi Kusini-Magharibi kati ya lat. 5 o na 9 o Kusini na<br />

long. 30 o na 33 o Mashariki. Kati ya kilomita za mraba 75,250, kilomita za<br />

mraba 6,615 ni eneo la maji na 68,645 ni eneo la nchi kavu. Umepakana na<br />

nchi za Zambia na DRC na pia mikoa ya Kigoma, Tabora na Mbeya.<br />

1.3 Kanda za Kilimo (Agro-Economic/Ecological Zones)<br />

Mkoa una hali nzuri ya he<strong>wa</strong>. Kati ya miezi ya Septemba na Oktoba hali hu<strong>wa</strong><br />

ya joto yenye nyuzi joto kati ya 24 na 27 o C na kati ya Juni na Julai hu<strong>wa</strong> ni<br />

kipindi cha baridi kali, nyuzi joto hu<strong>wa</strong> chini, kati ya 13 na 16 o C. Mkoa k<strong>wa</strong><br />

ka<strong>wa</strong>ida hu<strong>wa</strong> na mvua nyingi kwenye miezi ya Novemba mpaka Mei na<br />

ki<strong>wa</strong>ngo ni kati ya mm. 700 – 1300 k<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka. Kuna kanda 5 za kilimo na<br />

ufugaji ambazo ni U<strong>wa</strong>nda <strong>wa</strong> Ufipa (Ufipa Plateau), Bonde la Zi<strong>wa</strong> Ruk<strong>wa</strong> (the<br />

Ruk<strong>wa</strong> Valley), M<strong>wa</strong>mbao <strong>wa</strong> Zi<strong>wa</strong> Tanganyika (the Lake Tanganyika shore and<br />

escarpment), Misitu ya Miombo (the Miombo Woodlands of Katumba – Inyonga<br />

Plains) na U<strong>wa</strong>nda <strong>wa</strong> juu <strong>wa</strong> Mwese (the Mwese disserted Plateau).<br />

1.4 Idadi ya Watu<br />

Kutokana na sensa ya <strong>wa</strong>tu ya m<strong>wa</strong>ka 2002 Mkoa <strong>wa</strong> Ruk<strong>wa</strong> uliku<strong>wa</strong> na<br />

<strong>wa</strong>tu 1,141,743. Kati yao <strong>wa</strong>naume ni 559,119, <strong>wa</strong>na<strong>wa</strong>ke ni 582,624 na<br />

<strong>wa</strong>naishi kwenye kaya 222,868. Ongezeko la <strong>wa</strong>tu ni asilimia 3.6 hivyo<br />

inakisi<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong>mba kufikia m<strong>wa</strong>ka huu – 2009 idadi ya <strong>wa</strong>tu imeongezeka na<br />

kufikia jumla ya <strong>wa</strong>kazi 1,450,117.<br />

2.0 Hali ya Uvuvi Mkoani Ruk<strong>wa</strong><br />

Uvuvi ni shughuli inayo<strong>wa</strong>ingizia pato kub<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>nanchi <strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>mbao m<strong>wa</strong><br />

Zi<strong>wa</strong> Tanganyika na Zi<strong>wa</strong> Ruk<strong>wa</strong>. Karibu kiasi cha <strong>wa</strong>tu <strong>wa</strong>patao 35,000<br />

<strong>wa</strong>najishughulisha na shughuli za uvuvi, ambao ni takribani asilimia 36 ya<br />

shughuli za kiuchumi zinazofanyika <strong>katika</strong> maeneo ya m<strong>wa</strong>mbao.<br />

Mkoa <strong>wa</strong> Ruk<strong>wa</strong> una maeneo makuu mawili ya Sekta ya Uvuvi ambayo ni Zi<strong>wa</strong><br />

Ruk<strong>wa</strong> na Zi<strong>wa</strong> Tanganyika ambalo ni zi<strong>wa</strong> la pili k<strong>wa</strong> ukub<strong>wa</strong> barani Afrika na<br />

vile vile ni zi<strong>wa</strong> la pili duniani lenye kina kirefu. Licha ya mazi<strong>wa</strong> hayo, Mkoa


huu pia una mito mikub<strong>wa</strong> miwili mbayo ni Ugala na Sitalike. Kiasi cha <strong>wa</strong>stani<br />

<strong>wa</strong> samaki tani 32, 000 huvuli<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka <strong>katika</strong> mazi<strong>wa</strong> hayo.<br />

Pamoja na k<strong>wa</strong>mba Mkoa <strong>wa</strong> Ruk<strong>wa</strong> una mazingira mazuri k<strong>wa</strong> uvuvi <strong>wa</strong><br />

samaki na mazao yatokanayo na samaki, bado hali ya Sekta ya uvuvi ipo chini.<br />

Uvuvi unaofany<strong>wa</strong> na <strong>wa</strong>nanchi <strong>wa</strong> Mkoa huu hauna tija kutokana na sababu<br />

zifuatazo:-<br />

• Wananchi <strong>wa</strong>na uele<strong>wa</strong> mdogo juu ya uvuvi bora na endelevu,<br />

• Matumizi madogo ya zana bora za uvuvi na<br />

• Ukosefu <strong>wa</strong> Elimu ya Uvuvi <strong>wa</strong> kibiashara.<br />

Fursa zilizopo <strong>katika</strong> Sekta ya Uvuvi zikitumika kikamilifu uchumi <strong>wa</strong> Mkoa huu<br />

ungeimarika k<strong>wa</strong> kiasi kikub<strong>wa</strong> na kuchochea maendeleo ya <strong>wa</strong>nanchi <strong>wa</strong>ke.<br />

Aidha, Mkoa <strong>wa</strong> Ruk<strong>wa</strong> umejipanga <strong>katika</strong> kuendeleza Sekta ya Uvuvi kupitia<br />

Mpango Mkakati <strong>wa</strong> Mapinduzi ya Kilimo Ruk<strong>wa</strong> (MAKIRU) <strong>katika</strong> utekelezaji<br />

<strong>wa</strong> Mpango <strong>wa</strong> Kitaifa <strong>wa</strong> KILIMO KWANZA.<br />

3.0 Eneo la Uvuvi<br />

Mkoa <strong>wa</strong> Ruk<strong>wa</strong> una jumla ya eneo lenye ukub<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> kilomita za mraba<br />

75,250 kati ya hizo kilomita za mraba 6,605 ni eneo lenye maji. Zi<strong>wa</strong> Ruk<strong>wa</strong><br />

linakisi<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong> na ukub<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> kilomita za mraba 2,000 na urefu <strong>wa</strong> kina kati<br />

ya mita 3-5. Zi<strong>wa</strong> Tanganyika lina ukub<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> kilomita za mraba 13,000 na<br />

urefu <strong>wa</strong> kilomita 670, pia inakisi<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong> lina <strong>wa</strong>stani <strong>wa</strong> upana upatao<br />

kilomita 50 na kina cha mita 1,470. Aidha, Mkoa <strong>wa</strong> Ruk<strong>wa</strong> una mabonde ya<br />

mito yenye jumla ya ukub<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> hekta 172,295.<br />

Kuna idadi ya mito 62 inyotiririsha maji k<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka mzima na hutumika k<strong>wa</strong><br />

ufugaji <strong>wa</strong> samaki <strong>katika</strong> mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong>. Hadi kufikia Oktoba 2009 idadi ya<br />

mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> ya samaki yaliyopo <strong>katika</strong> Mkoa <strong>wa</strong> Ruk<strong>wa</strong> ni 297, mitumbwi<br />

11,484, kati ya hiyo mitumbwi 7,376 imekati<strong>wa</strong> leseni pamoja na injini 165.<br />

Mkoa <strong>wa</strong> Ruk<strong>wa</strong> una vituo viwili vya doria ambavyo ni Kasanga na Kipili. Katika<br />

operesheni za doria zilizofanyika kati ya Julai 2008 na Oktoba 2009 Mkoa<br />

ulifaniki<strong>wa</strong> kukamata makokoro 461, nyavu ndogo chini ya nchi tatu 639 na<br />

zote zimeshateketez<strong>wa</strong>, jumla ya kilo 650 za samaki <strong>wa</strong>dogo zilikamat<strong>wa</strong> na<br />

kugawi<strong>wa</strong> bure k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>toto wenye mazingira magumu/yatima.<br />

Katika m<strong>wa</strong>ka <strong>wa</strong> fedha <strong>wa</strong> 2008/2009 kiasi cha shilingi 18,902,000/=<br />

zilipatikana kutokana mauzo ya mazao ya samaki nje ya Nchi kupitia kituo cha<br />

Kasanga.<br />

258


4.0 Mikakati<br />

4.1 Mkakati <strong>wa</strong> kuendeleza Sekta ya Uvuvi <strong>katika</strong> Mkoa <strong>wa</strong> Ruk<strong>wa</strong><br />

kuanzia m<strong>wa</strong>ka 2009.<br />

Mkoa kupitia Mpango Mkakati <strong>wa</strong> Mapinduzi ya kilimo Ruk<strong>wa</strong> MAKIRU <strong>katika</strong><br />

kutekeleza mpango <strong>wa</strong> Kitaifa <strong>wa</strong> Kilimo K<strong>wa</strong>nza unaendeleza Uvuvi endelevu<br />

na kusimamia Rasilimali za Uvuvi k<strong>wa</strong> kufanya yafuatayo:-<br />

• Kusimamia Sheria ya Uvuvi Na. 22 ya m<strong>wa</strong>ka 2003 na Kanuni zake<br />

pamoja na kuanzisha sheria ndogo za uvuvi vijijini.<br />

• Kutoa Elimu ya Uvuvi endelevu na utunzaji <strong>wa</strong> Rasilimali za uvuvi k<strong>wa</strong><br />

jamii za <strong>wa</strong>vuvi na <strong>wa</strong>nanchi k<strong>wa</strong> ujumla.<br />

• Kushirikisha jamii <strong>katika</strong> kusimamia Rasilimali za uvuvi k<strong>wa</strong> kuanzisha<br />

BMUs na kuendeleza Vyama vya Ushirika vya Wavuvi.<br />

• Kuanzisha na kuendeleza ufugaji <strong>wa</strong> samaki <strong>katika</strong> mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> na<br />

kuongeza idadi ya mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong>.<br />

4.2 Kudhibiti Uvuvi haramu<br />

Mkoa una vituo viwili vya Doria ambavyo ni Kasanga na Kipili. Katika<br />

kupambana na uvuvi haramu doria za mara k<strong>wa</strong> mara zimeku<strong>wa</strong> zikifany<strong>wa</strong><br />

kupitia vituo hivyo.<br />

Kati ya Julai 2008 na Oktoba 2009 jumla ya makokoro 461, nyavu ndogo chini<br />

ya inchi tatu 639 zilikamat<strong>wa</strong> na kuteketez<strong>wa</strong>, na samaki <strong>wa</strong>dogo wenye uzito<br />

<strong>wa</strong> jumla ya kilogramu 650 <strong>wa</strong>likamat<strong>wa</strong> na kugawi<strong>wa</strong> bure k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>toto<br />

yatima na <strong>wa</strong>le wenye kuishi kwenye mazingira magumu.<br />

Aidha, mchakato <strong>wa</strong> kuanzisha BMU’s umeanza k<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong>patia mafunzo<br />

Maafisa uvuvi wote <strong>wa</strong>lioko <strong>katika</strong> Mkoa huu k<strong>wa</strong> kushirikiana na Mradi<br />

<strong>wa</strong>kuhifadhi mazingira ya Zi<strong>wa</strong> Tanganyika (Lake Tanganyika Integrated<br />

Environment Management Project).<br />

4.3 Upatikanaji na Usambazaji <strong>wa</strong> Zana Bora za Uvuvi.<br />

Katika kuhakikisha ku<strong>wa</strong> kunaku<strong>wa</strong> na upatikaji <strong>wa</strong> zana bora za uvuvi <strong>katika</strong><br />

Mkoa huu, Mkoa umejipanga kutekeleza shughuli zifuatazo:<br />

• Kuainisha na ku<strong>wa</strong>tambua <strong>wa</strong>uzaji na <strong>wa</strong>sambazaji <strong>wa</strong> zana bora za<br />

uvuvi.<br />

• Kukagua na kutoa elimu juu ya zana bora na halali za uvuvi.<br />

• Kuhamasisha na kushawishi <strong>wa</strong>tengenezaji <strong>wa</strong> zana bora za uvuvi ku<strong>wa</strong><br />

na ma<strong>wa</strong>kala <strong>katika</strong> Mkoa wetu.<br />

• Kutafuta ma<strong>wa</strong>kala au makampuni binafsi <strong>wa</strong>takaosambaza zana hizo<br />

k<strong>wa</strong> bei yenye unafuu.<br />

Aidha, Mkoa unapendekeza sheria ya uvuvi iboreshwe<strong>wa</strong>uzaji na<br />

<strong>wa</strong>sambazaji <strong>wa</strong> zana bora za uvuvi <strong>wa</strong>sajiliwe na <strong>wa</strong>kaguliwe.<br />

259


Zana zinazopatikana <strong>katika</strong> Mkoa wetu <strong>katika</strong> Sekta ya Uvuvi ni zifuatazo :-<br />

• Nyavu za Makila, Mshipi na Ndoana, Kipe na Nyavu za kuzungusha.<br />

• Vyombo vinavyotumika ni Mitumbwi na Ngala<strong>wa</strong>.<br />

• Pia <strong>wa</strong>vuvi hutumia zana saidizi za uvuvi kama karabai,jenereta na<br />

vyombo vya kubebea na kuhifadhia samaki.<br />

Utaratibu <strong>wa</strong> upatikanaji <strong>wa</strong> zana za uvuvi umeta<strong>wa</strong>li<strong>wa</strong> na soko huria kutoka<br />

k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>uzaji (ki<strong>wa</strong>ndani/sokoni) kwenda k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>vuvi. Ili kudhibiti zana haramu<br />

tunapendekeza <strong>wa</strong>uzaji na <strong>wa</strong>sambazaji <strong>wa</strong> zana za uvuvi <strong>wa</strong>sajiliwe na<br />

kupati<strong>wa</strong> masharti na kufanyi<strong>wa</strong> ukaguzi <strong>wa</strong> mara k<strong>wa</strong> mara.<br />

Pamoja na upatikanaji <strong>wa</strong> zana kuta<strong>wa</strong>li<strong>wa</strong> na soko huria, kiasi cha zana<br />

zilizopo <strong>katika</strong> Mkoa ni Mitumbwi 33,470 na injini 1,824. Mpango <strong>wa</strong> Mkoa ni<br />

kuongeza upatikana <strong>wa</strong> zana k<strong>wa</strong> asilimia 25 kufikia disemba 2010.<br />

4.4 Huduma za Ugani.<br />

Mkoa una jumla ya maafisa <strong>wa</strong> uvuvi 17 <strong>katika</strong> mchanganuo ufuatao (Jed<strong>wa</strong>li<br />

Na. 1):-<br />

Jed<strong>wa</strong>li Na. 1: Idadi ya Maafisa Uvuvi<br />

MAHALI WALIOPO MAHITAJI PUNGUFU<br />

MKOANI 1 1 0<br />

HW SUMBAWANGA 8 20 12<br />

MPANDA 3 9 6<br />

NKASI 5 10 5<br />

JUMLA 17 40 23<br />

Lengo ni ku<strong>wa</strong> na Afisa Uvuvi mmoja <strong>katika</strong> kila kata inayojishughulisha na<br />

shughuli za uvuvi na ufugaji <strong>wa</strong> samaki <strong>katika</strong> mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong>.<br />

Aidha, Maafisa uvuvi ha<strong>wa</strong> hutekeleza shughuli zifuatazo:-<br />

• Kusimamia sheria na kanuni za uvuvi endelevu<br />

• Kutoa elimu juu ya matumizi ya zana na njia bora za uvuvi endelevu.<br />

• Kutoa leseni za uvuvi na vyombo vya uvuvi.<br />

• Kukusanya maduhuli ya Serikali,<br />

• Kuanzisha na kuendeleza ufugaji <strong>wa</strong> samaki <strong>katika</strong> mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong>,<br />

• Kusimamia na kutoa elimu ya utunzaji <strong>wa</strong> mazingira ya mazi<strong>wa</strong> na mito,<br />

• Ukusanyaji na utunzaji takwimu za uvuvi.<br />

Pamoja utekelezaji <strong>wa</strong> shughuli taj<strong>wa</strong> hapo juu maafisa uvuvi <strong>wa</strong>nakabili<strong>wa</strong> na<br />

ukosefu <strong>wa</strong> Ofisi bora, vyombo vya usafiri (magari na pikipiki) na vitendea kazi<br />

(computer n.k). Hali hii inasababish<strong>wa</strong> na kukosekana k<strong>wa</strong> Bajeti ya kutosha<br />

<strong>katika</strong> Halmashauri za kuendeleza <strong>sekta</strong> ya Uvuvi.<br />

260


Mkoa unaandaa daftari la mpango kazi la Maafisa uvuvi ili kuweza ku<strong>wa</strong>pima<br />

na kutathimini utekelezaji <strong>wa</strong> majukumu <strong>wa</strong> maafisa hao. Pia Mkoa unajipanga<br />

kununua na kusambaza vitendea kazi k<strong>wa</strong> maafisa Uvuvi ili kurahisisha utendaji<br />

kazi <strong>wa</strong> maafisa hao.<br />

Ili kukabiliana na tatizo la upungufu <strong>wa</strong> maafisa uvuvi, Mkoa kupitia Mpango<br />

<strong>wa</strong> MAKIRU umejipanga kufundisha Wavuvi Wawezeshaji (Para Professionals)<br />

20 <strong>katika</strong> kila Halmashauri k<strong>wa</strong> miaka mitatu kuanzia m<strong>wa</strong>ka 2009/2010.<br />

4.5. Ufugaji <strong>wa</strong> Samaki na Ukuzaji <strong>wa</strong> Viumbe kwenye maji.<br />

Katika kuendeleza ufugaji <strong>wa</strong> Samaki na ukuzaji viumbe kwenye maji Mkoa<br />

unatekeleza k<strong>wa</strong> kutoa elimu na kuhamasisha uchimbaji <strong>wa</strong> mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> na<br />

ufugaji <strong>wa</strong> samaki. Hadi kufikia oktoba 2009 Mkoa <strong>wa</strong> Ruk<strong>wa</strong> una jumla ya<br />

mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> ya kufugia samaki yapatayo 297 lengo ni kufikisha mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> 388<br />

ifikapo Desemba 2012.<br />

Jed<strong>wa</strong>li Na. 2: Idadi ya mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> <strong>katika</strong> Halmashauri<br />

Halmashauri Mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> yaliyopo Ongezeko<br />

HW S’<strong>wa</strong>nga 107 42<br />

Manispaa ya S’<strong>wa</strong>nga 123 10<br />

Nkasi 33 20<br />

Mpanda 34 19<br />

JUMLA 297 91<br />

Aidha, Mkoa una mpango <strong>wa</strong> kuanzisha mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> yapatayo matano (5) ya<br />

kuzalisha vifaranga bora vya samaki ifikapo Juni 2010. Mkoa unajipanga<br />

kuongeza na kuhamasisha soko la ndani na nje la samaki <strong>wa</strong> mapambo<br />

<strong>wa</strong>naopatika <strong>katika</strong> Zi<strong>wa</strong> Tanganyika.<br />

4.6. Mfumo <strong>wa</strong> Masoko ya Samaki.<br />

Mkoa una mwekezaji ambaye anajihusisha na ununuaji <strong>wa</strong> samaki <strong>wa</strong>bichi na<br />

ku<strong>wa</strong>hifadhi <strong>katika</strong> mfumo baridi na kisha ku<strong>wa</strong>safirisha kwenda <strong>katika</strong> Mikoa<br />

mingine na ku<strong>wa</strong>uza.<br />

- Mkoa unaendelea kuhamasisha <strong>wa</strong>wekezaji <strong>wa</strong>zoefu kuwekeza <strong>katika</strong><br />

vi<strong>wa</strong>nda vya kusindika samaki.<br />

- Kila Halmashauri Ina mpango <strong>wa</strong> kujenga soko la kisasa la kuuzia samaki na<br />

kuanzisha na kuboresha vituo vya kupokelea samaki <strong>katika</strong> mialo.<br />

- Kuweka mikataba ya bishara kati ya <strong>wa</strong>vuvi na mifumo ya <strong>wa</strong>nunuzi<br />

<strong>wa</strong>kub<strong>wa</strong>,<br />

mfano; vi<strong>wa</strong>nda vya kusindika , mahoteli makub<strong>wa</strong>, supermarkets, nk.<br />

Mkoa una jumla ya Vyama vya Ushirika vya <strong>wa</strong>vuvi vipatavyo nane (8)<br />

ambavyo vina jumla ya <strong>wa</strong>nachama 320 na hisa zenye thamani ya shilingi<br />

261


3,016,000, lengo ni ku<strong>wa</strong> na vyama vya ushirika 30 kufikia Desemba 2012.<br />

Kupitia vyama hivi vya ushirika <strong>wa</strong>vuvi <strong>wa</strong>taweza ku<strong>wa</strong> na sauti ya pamoja<br />

<strong>katika</strong> soko na <strong>wa</strong>taweza kujipatia mikopo ili <strong>wa</strong>weze kununua zana bora za<br />

uvuvi.<br />

Jed<strong>wa</strong>li Na. 3: Idadi ya vyama vya ushirika<br />

Halmashauri Vyama vilivyopo Ongezeko<br />

HW S’<strong>wa</strong>nga 3 5<br />

Manispaa S’<strong>wa</strong>nga 2 1<br />

Nkasi 2 8<br />

Mpanda 1 8<br />

JUMLA 8 22<br />

4.7 Mfumo <strong>wa</strong> vyombo vya Mikopo<br />

Katika mkoa wetu Wavuvi <strong>wa</strong>mejiunga na Vyama vya Akiba na Mikopo SACCOs<br />

ambavyo vinatoa huduma za kifedha k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>nanchi <strong>wa</strong>naofanya shughuli<br />

mbalimbali za kiuchumi zikiwemo shughuli za kilimo. Wavuvi <strong>wa</strong>meku<strong>wa</strong><br />

<strong>wa</strong>kipata mikopo kutoka <strong>katika</strong> SACCOs hizo na kuweza ku<strong>wa</strong>saidia <strong>katika</strong><br />

kujipatia zana za uvuvi. Hata hivyo, mkoa umejipanga kuanzisha SACCOs za<br />

<strong>wa</strong>vuvi tu ili kuweza ku<strong>wa</strong>endeleza na ku<strong>wa</strong>saidia <strong>katika</strong> upatikanaji <strong>wa</strong><br />

huduma za kifedha.<br />

262


TAARIFA YA SEKTA YA MAENDELEO YA UVUVI<br />

MKOA WA MBEYA<br />

MKAKATI WA KUENDELEZA NA KUSIMAMIA<br />

RASILIMALI ZA UVUVI MKOA WA MBEYA<br />

Ramani ya Mkoa <strong>wa</strong> Mbeya Ikionyesha Mipaka ya Uta<strong>wa</strong>la


1.0 UTANGULIZI<br />

Mkoa <strong>wa</strong> Mbeya unapatikana Nyanda za juu Kusini <strong>katika</strong> latitude 7° na 9° 31’<br />

Kusini ya Ikweta na kati ya longitude 32° na 35° Mashariki ya Greenwich.<br />

Mbeya inapakana na mikoa ya Tabora na Singida upande <strong>wa</strong> Kaskazini;<br />

Sumba<strong>wa</strong>nga, upande <strong>wa</strong> Magharibi; Iringa, upande <strong>wa</strong> Mashariki na Kusini<br />

inapakana na nchi jirani za Zambia na Malawi. Mkoa unaund<strong>wa</strong> na Wilaya 7,<br />

zikiwemo Mbeya, Chunya, Mbarali, Kyela, Rungwe, Mbozi and Ileje;<br />

Halmashauri 8, Tarafa 25, Kata 173 na vijiji 795. Eneo lina ukub<strong>wa</strong> <strong>wa</strong><br />

kilomita za mraba 63,617. Watu <strong>wa</strong>nakadiri<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong> 2,502,258, ambapo<br />

asilimia 62.3 hutegemea kilimo na asilimia 37.4 <strong>wa</strong>najihusisha na ufugaji<br />

ikiwemo uvuvi. Wastani <strong>wa</strong> pato la kila mtu k<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka 2007 liliku<strong>wa</strong> shilingi<br />

560,773. Mkoa hupata mvua za uhakika za mm 650 – mm 2,600 k<strong>wa</strong><br />

m<strong>wa</strong>ka.<br />

Rasilimali na fursa za uvuvi zilizopo ni pamoja na Zi<strong>wa</strong> Nyasa <strong>katika</strong> Wilaya ya<br />

Kyela na Zi<strong>wa</strong> Ruk<strong>wa</strong> <strong>katika</strong> Wilaya za Chunya na Mbozi. Aidha kuna mito<br />

inayofaa k<strong>wa</strong> uvuvi inayopatikana <strong>katika</strong> Wilaya za Mbarali, Rungwe, Ileje na<br />

Chunya. Malambo na mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> ya asili ya kufuga samaki yanapatikana Wilaya<br />

za Mbarali, Rungwe, Mbozi na Ileje. Aina ya samaki <strong>wa</strong>naopatikana <strong>katika</strong><br />

maeneo haya ni pelege (Tilapia), Furu (Haprochromis), Mawuwu<br />

(Ramphochromis), Ningu (Labeo), Mbufu (Bargus), Kambare (Clarias), Ngongo<br />

(Synodonitis), Kugu (Barbus), Mbasa (O. microlepis), Mbelele (O.<br />

microcephalus), Domodomo (Mamyrus), Dagaa (Englaulieypris) na Katanta<br />

(Schilbe).<br />

Muonekano <strong>wa</strong> Zi<strong>wa</strong> Nyasa toka Bandari Itungi, wilayani Kyela<br />

264


Samaki <strong>wa</strong> Mapambo <strong>katika</strong> Zi<strong>wa</strong> Nyasa<br />

1. MKAKATI WA MKOA KATIKA KUSIMAMIA RASILIMALI ZA<br />

UVUVI<br />

Mkakati <strong>wa</strong> Mkoa utaku<strong>wa</strong> kuboresha Uvuvi kwenye Mazi<strong>wa</strong> na Mito,<br />

kupanua Ufugaji <strong>wa</strong> samaki kwenye mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> na malambo, kudhibiti uvuvi<br />

harami na utoroshaji <strong>wa</strong> mazao ya uvuvi na kuboresharasilimali <strong>wa</strong>tu na<br />

vitendea kazi.<br />

Uvuvi <strong>katika</strong> mazi<strong>wa</strong> na mito<br />

Uvuvi <strong>katika</strong> mazi<strong>wa</strong> Nyasa na Ruk<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> sehemu kub<strong>wa</strong> unatumia nyavu<br />

za kutega zijulikanazo kama ndaturu (zi<strong>wa</strong> Nyasa) na uvuvi <strong>wa</strong> ndoana.<br />

Vyombo vya uvuvi k<strong>wa</strong> asilimia kub<strong>wa</strong> ni mitumbwi (dugout canoes). K<strong>wa</strong><br />

ujumla ki<strong>wa</strong>ngo cha samaki kutoka Zi<strong>wa</strong> Nyasa ni kidogo ikilinganish<strong>wa</strong> na<br />

ki<strong>wa</strong>ngo kinachovuli<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> upande <strong>wa</strong> Malawi k<strong>wa</strong> sababu ya ukosefu <strong>wa</strong><br />

zana bora za uvuvi. Juhudi zinafay<strong>wa</strong> kuhamasisha <strong>wa</strong>vuvi na <strong>wa</strong>dau<br />

wengine ili kupata zana bora mfano mitumbwi mikub<strong>wa</strong> ya kuunda (plank<br />

boats) na mitumbwi ya injini ili kufikia kina kirefu cha maji. Uvuvi <strong>katika</strong><br />

zi<strong>wa</strong> Ruk<strong>wa</strong> unafanyika k<strong>wa</strong> kiasi kikub<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> kutumia zana haramu<br />

japoku<strong>wa</strong> zipo juhudi za Halmashauri za wilaya za Kyela, Mbozi na Chunya<br />

kusajili <strong>wa</strong> vyombo na zana za uvuvi zinazoruhusi<strong>wa</strong> kisheria. Shughuli za<br />

uvuvi ni za kujikimu maisha hasa ikizingati<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong> zana <strong>wa</strong>nazotumia bado<br />

ni duni.<br />

265


Shughuli za uvuvi <strong>katika</strong> Zi<strong>wa</strong> Ruk<strong>wa</strong><br />

3.0 Kudhibiti uvuvi Haramu<br />

Baadhi ya <strong>wa</strong>vuvi <strong>katika</strong> zi<strong>wa</strong> Ruk<strong>wa</strong> huvua k<strong>wa</strong> kutumia makokoro<br />

yasiyoruhusi<strong>wa</strong> na kusababisha uvuvi mkub<strong>wa</strong> kuliko uwezo <strong>wa</strong> rasilimali<br />

iliyopo na bila shaka samaki <strong>wa</strong>changa huvuli<strong>wa</strong> na wengine kukosa fursa<br />

ya kuzaliana. Hali hii itasababisha aina fulani ya samaki kutoweka.<br />

Halmashauri hufanya doria za mara k<strong>wa</strong> mara, ambapo nyavu<br />

zisizoruhusi<strong>wa</strong> kisheria na makokoro huharibi<strong>wa</strong>. Katika doria zilizofanyika<br />

m<strong>wa</strong>ka huu <strong>wa</strong> 2009, jumla ya nyavu haramu na makokolo 512 ziliharibi<strong>wa</strong>.<br />

Vilevile doria za kwenye mipaka hususan Tunduma na Kasumulu hufanyika<br />

kuzuia utoroshaji <strong>wa</strong> mazao ya uvuvi. Katika wilaya ya Mbozi <strong>wa</strong>harifu 12<br />

<strong>wa</strong>likamat<strong>wa</strong> na kufikish<strong>wa</strong> mahakamani. Mwenendo <strong>wa</strong> doria zilizofanyika<br />

<strong>katika</strong> Mkoa umeonyesh<strong>wa</strong> kwenye Jed<strong>wa</strong>li Na. 1.<br />

Jed<strong>wa</strong>li Na.1 Makokoro yaliyokamat<strong>wa</strong> Wilaya za Mbozi na Kyela.<br />

Wilaya Idadi Ya Nyavu Makokoro<br />

Mbozi 138 80<br />

Kyela 40 150<br />

Jumla 178 230<br />

Chanzo: Taarifa za Halmashauri za Wilaya<br />

Vilevile Halmashauri hutumia ulinzi shirikishi k<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong>husisha <strong>wa</strong>vuvi<br />

wenyewe, viongozi <strong>wa</strong> vijiji na <strong>wa</strong>taalam. Pia kuna usimamizi shirikishi <strong>wa</strong><br />

mialo (BMUs) ambapo BMUs 23 zimeund<strong>wa</strong> <strong>katika</strong> Wilaya ya Kyela ili kudhibiti<br />

266


shughuli haramu za uvuvi <strong>katika</strong> zi<strong>wa</strong> Nyasa na kutoa elimu ya matumizi bora<br />

ya rasilimali hii. Kamati za mazingira zimesaidia kudhibiti uharibifu <strong>wa</strong><br />

mazingira na uvuvi haramu <strong>katika</strong> wilaya ya Mbozi. Mkoa unatafakari utaratibu<br />

<strong>wa</strong> kuendesha uvuvi <strong>wa</strong> vipindi ili kuruhusu samaki kuzaliana na kukua.<br />

Boti ya Halmashuri ya Wilaya ya Chunya ya Kudhibiti Uvuvi Haramu<br />

Zi<strong>wa</strong> Ruk<strong>wa</strong><br />

4.0 Upatikanaji na Usambazaji <strong>wa</strong> Zana Bora za Uvuvi<br />

Wavuvi mmoja mmoja hujitafutia wenyewe zana kutoka k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>fanyabiashara.<br />

Pamoja na hamasa inayotole<strong>wa</strong> ya kununua na kutumia zana bora za uvuvi<br />

bado kuna tatizo la ukosefu <strong>wa</strong> mitaji, hali inayosababisha <strong>wa</strong>tumie mitumbwi<br />

ya kuchonga (dugout canoes) badala ya mitumbwi mikub<strong>wa</strong> ya kuunga (plank<br />

boats) au inayotumia injini. Uduni <strong>wa</strong> zana unaathiri tija hasa k<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>vuvi<br />

ha<strong>wa</strong>jajiunga kwenye vikundi ili kuweza kuunganisha nguvu za kupata mikopo.<br />

267


5.0 HALI YA HUDUMA ZA UGANI<br />

Mkoa una <strong>wa</strong>tumishi 19 ambapo mahitaji ni <strong>wa</strong>tumishi 63 kama linaonyesha<br />

<strong>katika</strong> Jed<strong>wa</strong>li Na 2.<br />

Jed<strong>wa</strong>li Na. 2: Hali ya <strong>wa</strong>taalam <strong>wa</strong> uvuvi Mkoani<br />

Eneo Mahitaji ya <strong>wa</strong>taalam Waliopo Upungufu<br />

RS-Mbeya 1 0 1<br />

Rungwe 8 2 6<br />

Chunya 10 5 5<br />

Kyela 11 5 6<br />

Mbozi 9 3 6<br />

Mbarali 8 2 6<br />

Mbeya 8 1 7<br />

Ileje 8 1 7<br />

Jumla 63 19 44<br />

Chanzo: Taarifa za Halmashauri za Wilaya<br />

Changamoto kub<strong>wa</strong> inayoikabili mkoa ni uhaba <strong>wa</strong> <strong>wa</strong>tumishi unaosababisha<br />

uendelezaji shughuli za uvuvi ku<strong>wa</strong> mgumu japoku<strong>wa</strong> nafasi za ajira<br />

zinateng<strong>wa</strong> lakini <strong>wa</strong>taalamu ha<strong>wa</strong>patikani kutoka soko la ajira. Itaku<strong>wa</strong> busara<br />

kuajiri <strong>wa</strong>taalamu <strong>wa</strong> <strong>sekta</strong> hii moja k<strong>wa</strong> moja kutoka vyuoni <strong>wa</strong>napohitimu<br />

badala ya utaratibu <strong>wa</strong> sasa <strong>wa</strong> kufanya usaili. Pamoja na tatizo la uhaba <strong>wa</strong><br />

<strong>wa</strong>taalamu yapo mafanikio yaliyopatikana <strong>katika</strong> kuhifadhi samaki hasa dagaa<br />

k<strong>wa</strong> kutumia mbinu bora ya majiko ya mionzi ya jua na chumvi. Elimu hii<br />

imetole<strong>wa</strong> na Kituo cha utafiti <strong>wa</strong> uvuvi (TAFIRI) k<strong>wa</strong> kushirikiana na<br />

Halmashauri za Wilaya ili kuongeza tija. Kuhusu vitendea kazi, ni Halmashauri<br />

za Mbozi na Mbarali tu ndio <strong>wa</strong>na pikipiki. Aidha hakuna usafiri <strong>wa</strong> uhakika <strong>wa</strong><br />

gari k<strong>wa</strong> ajili ya kitengo cha uvuvi. Katika wilaya zenye mazi<strong>wa</strong>, Mbozi na<br />

Chunya <strong>wa</strong>na boti zenye injini. Hata hivyo boti ya Mbozi ni mbovu k<strong>wa</strong> sasa.<br />

6.0 Ufugaji <strong>wa</strong> Samaki na ukuzaji <strong>wa</strong> Viumbe kwenye maji<br />

Mkoa una jumla ya mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> na malambo 791 ayakiwemo 31 ya asili na 760<br />

ya kuchimba. Mta<strong>wa</strong>nyiko <strong>wa</strong> mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> kiwilaya umeonyesh<strong>wa</strong> kwenye<br />

Jed<strong>wa</strong>li Na.3<br />

Jed<strong>wa</strong>li Na3: Mta<strong>wa</strong>nyiko <strong>wa</strong> mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> ya samaki kiwilaya<br />

Wilaya Idadi ya Mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> Maelezo<br />

Kyela 8 Upo mpango <strong>wa</strong> kuchimba mengine 14<br />

Mbarali 221 109 yana samaki; 112 hayajapandikiz<strong>wa</strong> samaki<br />

Ileje 37<br />

Mbozi 65<br />

Rungwe 460<br />

Jumla 791<br />

Chanzo: Taarifa za Halmashauri<br />

268


Wilaya ya Rungwe inaongoza k<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong> na mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> mengi kuliko Wilaya<br />

nyingine kutokana na mapangano ya milima na mabonde yanayoruhusu maji<br />

kutuama. Vilevile kumeanzish<strong>wa</strong> mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> mama 4 k<strong>wa</strong> ajili ya uzalishaji <strong>wa</strong><br />

vifaranga vya samaki ili kukidhi mahitaji ya <strong>wa</strong>fugaji. Wilayani Mbarali kipo<br />

kituo cha uzalishaji <strong>wa</strong> vifaranga vya samaki k<strong>wa</strong> ajili ya ku<strong>wa</strong>uza kilichoko<br />

kwenye shamba la kilimo la mpunga la Mbarali. Mkoa umechagua ku<strong>wa</strong> na<br />

kituo cha kuzalishia vifaranga vya samaki k<strong>wa</strong> wingi <strong>katika</strong> wilaya ya Mbarali<br />

ambayo ina uhakika <strong>wa</strong> maji mengi.<br />

7.0 Mfumo <strong>wa</strong> Masoko ya Samaki<br />

K<strong>wa</strong> ujumla mazao ya uvuvi yana soko kub<strong>wa</strong> mijini hadi vijijini. Halmashauri<br />

zimetenga maeneo mahsusi ya kuuzia samaki ndani ya masoko.Katika masoko<br />

ya mijini, maeneo maalumu yameteng<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> ajili ya kuuza samaki na Vijijini,<br />

samaki huuz<strong>wa</strong> kwenye magulio. Halmashauri ya wilaya ya Chunya, imejenga<br />

soko kub<strong>wa</strong> <strong>katika</strong> mji <strong>wa</strong> Makongolosi na Halmashauri ya Kyela imejenga soko<br />

la kisasa eneo la Matema sambamba na kuimarisha magulio yaliyopo. Wapo<br />

baadhi ya <strong>wa</strong>fanyabiashara ambao huuza samaki <strong>wa</strong>kavu na <strong>wa</strong>bichi nje ya<br />

nchi, hasa huko Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo (DRC) na Zambia. Hata<br />

hivyo mkakati ni kutafuta <strong>wa</strong>wekezaji <strong>wa</strong>takaoweza kuhifadhia samaki kwenye<br />

vifaa vya barafu ili kuweza ku<strong>wa</strong> na samaki kwenye soko muda wote.<br />

8.0 Mfumo <strong>wa</strong> Vyombo vya Mikopo<br />

Taasisi za fedha zinazoweza kutoa mikopo k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>vuvi <strong>katika</strong> Halmashauri ni<br />

benki ya NMB, NBC, CRDB. Wavuvi <strong>wa</strong>chache hupata mikopo kutoka vyombo<br />

vya fedha, lakini wengi hushind<strong>wa</strong> kutokana na kutotimiza masharti ya mikopo.<br />

Kuna vyama vya msingi 12 ifuatavyo:- Chunya 5; Mbozi 3 na Kyela 4. Hata<br />

hivyo vikundi hivi vya <strong>wa</strong>vuvi hajianzisha mifuko ya kuweka na kukopa k<strong>wa</strong><br />

hiyo hakuna SACCOs inayotoa mikopo <strong>katika</strong> vikundi hivi. Changamoto ni ku<strong>wa</strong><br />

mara nyingi <strong>wa</strong>vuvi hushauri<strong>wa</strong> kuunda vikundi ili kuunganisha mitaji lakini<br />

mwitikio bado ni mdogo.<br />

9.0 CHANGAMOTO<br />

i. Uhaba <strong>wa</strong> <strong>wa</strong>taalam <strong>wa</strong> ugani.<br />

ii. Vikundi vya <strong>wa</strong>vuvi kutokuanzisha mifuko ya kuweka na kukopa ili <strong>wa</strong>weze<br />

kunufaika na SACCOs zinayotoa mikopo<br />

iii. Ukosefu <strong>wa</strong> vitendea kazi ili kuweza kudhibiti uvuvi haramu,<br />

iv. M<strong>wa</strong>mko mdogo <strong>wa</strong> <strong>wa</strong>nanchi kujenga mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> ya kuvuga samaki.<br />

10.0 HITIMISHO<br />

Uongozi <strong>wa</strong> mkoa <strong>wa</strong> Mbeya unaamini ku<strong>wa</strong> kutokana na hazina ya rasilimali za<br />

uvuvi zilizopo, zipo fursa kub<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>nanchi <strong>wa</strong>ke kuinua kipato chao iki<strong>wa</strong><br />

zitatumika kikamilifu. Pia upo uwezekano <strong>wa</strong> kupanua <strong>sekta</strong> hii k<strong>wa</strong> kutumia<br />

mbinu muafaka za kuongeza ubora na uwingi pamoja na kuihusisha jamii,<br />

kufuga <strong>katika</strong> mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> na malambo kutokana na mkoa ku<strong>wa</strong> na mvua za<br />

kutosha na uhakika <strong>katika</strong> maeneo mengi.<br />

269


TAARIFA YA SEKTA YA MAENDELEO YA UVUVI<br />

MKOA WA RUVUMA<br />

KANUNI ZA KUHAMASISHA USIMAMIZI NA MATUMIZI YA RASILIMALI ZA<br />

UVUVI MKOA WA RUVUMA<br />

1.0 UTANGULIZI<br />

Mkoa <strong>wa</strong> Ruvuma una Wilaya nne (4) ambazo ni Songea, Tunduru, Namtumbo na<br />

Mbinga. Kuna Halmahauri tano (5) nazo ni Manispaa Songea, Songea, Tunduru,<br />

Namtumbo na Mbinga.<br />

Mkoa una Tarafa 21, Kata 100, Vijiji 456 na Mitaa 71. Idadi ya <strong>wa</strong>tu kadiri ya<br />

maoteo (projections) ya takwimu za sensa ya kitaifa ya m<strong>wa</strong>ka 2002 inakadiri<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong><br />

na <strong>wa</strong>tu 1,303,329 kufikia Desemba 2008.<br />

Mkoa una Maafisa Ugani 21 <strong>katika</strong> Sekta ya Uvuvi. Mchanganuo <strong>wa</strong> Takwimu za<br />

Mkoa zinazoonyesha sehemu, Idadi ya Watu na Uta<strong>wa</strong>la umeonyesh<strong>wa</strong> kwenye<br />

Jed<strong>wa</strong>li Na. 1.<br />

Wilaya<br />

Jed<strong>wa</strong>li Na. 1: Sehemu, Idadi ya Watu na Uta<strong>wa</strong>la<br />

Halmashauri<br />

Tarafa<br />

Chanzo: Halmashauri za Wilaya za Mbinga, Songea, Namtumbo, Tunduru na<br />

Manispaa ya Songea, Agosti, 2009<br />

2.0 Fursa za kiuchumi <strong>katika</strong> Sekta ya Uvuvi zilizopo mkoani<br />

Kata<br />

• Kuwepo na mito na zi<strong>wa</strong> lenye maji <strong>wa</strong>kati wote mfano mto Ruvuma na zi<strong>wa</strong><br />

Nyasa;<br />

• Kuwepo k<strong>wa</strong> eneo lenye ukub<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> 3,582 meta za mraba lililofunik<strong>wa</strong> na maji;<br />

• Kuwepo k<strong>wa</strong> hali ya he<strong>wa</strong> inyofaa <strong>katika</strong> shughuli za uvuvi;<br />

270<br />

Vijiji<br />

Mitaa<br />

Kaya<br />

Watu<br />

Idadi ya<br />

Maafisa<br />

Ugani<br />

Manispaa 2 13 0 71 37,928 163,092 0<br />

Songea Vijijini 3 14 71 0 39,077 183,661 2<br />

Tunduru Tunduru 7 24 118 0 61,792 284,242 3<br />

Mbinga Mbinga 6 37 206 0 100,181 470,849 12<br />

Namtumbo Namtumbo 3 12 61 0 44,354 201,485 4<br />

Jumla 21 100 456 71 283,332 1,303,329 21


• Kuwepo k<strong>wa</strong> Taasisi za fedha(Mbinga Community Bank, N.MB, Bank ya Posta,<br />

SACCOS, CRDB, NBC, POSTAL BANK);<br />

• Kuwepo k<strong>wa</strong> Taasisi zisizo za kiserikali (CARITAS, MBIDEA, KFW);<br />

• Kuwepo k<strong>wa</strong> aina nyingi za samaki zipatazo 70 <strong>wa</strong>kiwemo <strong>wa</strong> mapambo;<br />

• Kuwepo k<strong>wa</strong> vivutio vya utalii;<br />

• Kuwepo k<strong>wa</strong> aina nyingi za <strong>wa</strong>nyama na mimea; na<br />

• Kuwepo k<strong>wa</strong> nguvu kazi ya kutosha.<br />

3.0 Hali ya Uzalishaji <strong>wa</strong> samaki k<strong>wa</strong> kipindi cha miaka minne (4)<br />

2005/2006 hadi 2008/2009 imeonyesh<strong>wa</strong> kwenye Jed<strong>wa</strong>li Na.2 hapa<br />

chini.<br />

Jed<strong>wa</strong>li Na.2: Mwenendo <strong>wa</strong> Uzalishaji <strong>wa</strong> Samaki k<strong>wa</strong> kipindi cha<br />

2005/2006 hadi 2008/2009<br />

NA. MWAKA UZITO KWA TANI THAMANI<br />

1 2005-2006 1,078.5 758,934,711.70<br />

2 2006-2007 1,376.9 896,600,462.40<br />

3 2007-2008 1,413 958,938,932.50<br />

4 2008-2009 733.7 497,155.398<br />

Chanzo: Halmashauri za Wilaya za Mbinga, Songea, Namtumbo,<br />

Tunduru na Manispaa ya Songea, Agosti, 2009<br />

4.0 Changamoto zinazoikabili Sekta ya Uvuvi<br />

(a) Huduma za ugani kuto<strong>wa</strong>fikia <strong>wa</strong>vuvi wengi kutokana na uchache <strong>wa</strong><br />

Maafisa Ugani;<br />

(b) Upungufu <strong>wa</strong> vitendea kazi na matumizi ya zana duni;<br />

(c) Uhaba <strong>wa</strong> nyumba za <strong>wa</strong>tumishi;<br />

(d) Wavuvi wengi kutotumia pembejeo kadiri ya ushauri <strong>wa</strong> kitaalam;<br />

(e) Uchache <strong>wa</strong> vituo vya taaluma vya Kata kwenye Halmashauri;<br />

(f) Matumizi makub<strong>wa</strong> ya zana duni za uvuvi hususan mitumbwi midogo<br />

isiyodumu;<br />

(g) Miundombinu duni ya barabara vijijini na ukosefu <strong>wa</strong> Magari yenye<br />

majokofu maalum ya kusafirishia samaki;<br />

(h) Ukosefu <strong>wa</strong> umeme <strong>wa</strong> uhakika k<strong>wa</strong> ajili ya masoko na vi<strong>wa</strong>nda vya<br />

samaki;<br />

(i) Ukosefu <strong>wa</strong> soko la kuaminika la mazao ya samaki;<br />

(j) Uchelewesh<strong>wa</strong>ji <strong>wa</strong> fedha za miradi ya uvuvi kutoka Serikali Kuu;<br />

(k) Uhaba <strong>wa</strong> vituo vyenye uwezo <strong>wa</strong> kufanya tafiti mbalimbali za uvuvi<br />

pamoja na uzalishaji <strong>wa</strong> samaki bora;<br />

(l) Ukosefu <strong>wa</strong> mitaji ya kuendeleza uvuvi;<br />

(m) Uendelezaji <strong>wa</strong> uvuvi haramu k<strong>wa</strong> sababu ya ushirikiano mdogo kati ya<br />

<strong>wa</strong>talaam <strong>wa</strong> uvuvi na <strong>wa</strong>nanchi <strong>katika</strong> ku<strong>wa</strong>fichua <strong>wa</strong>nojihusisha na<br />

uvuvi haramu k<strong>wa</strong> mfano matumizi ya mtunungu;<br />

271


(n) Uchavuzi <strong>wa</strong> maji kutokana na Uchimbaji <strong>wa</strong> Madini na uvujaji <strong>wa</strong><br />

mafuta ya meli;<br />

(o) Ukataji <strong>wa</strong> miti ovyo kwenye vyanzo vya maji, kingo za mito na zi<strong>wa</strong>;<br />

(p) Matumizi ya mbolea ya chumvichumvi na <strong>mada</strong><strong>wa</strong> ya kilimo;<br />

(q) Ukosefu <strong>wa</strong> matumizi bora ya ardhi; na<br />

(r) Uvuvi kwenye maeneo ya mazalia ya samaki.<br />

5.0 MIKAKATI YA KUENDELEZA NA KUSIMAMIA RASILIMALI ZA UVUVI<br />

MKOANI RUVUMA<br />

5.1 Mipango ya Uvuvi ya kila ngazi kujumuisha wote<br />

5.1.1 Mkoa una mpango <strong>wa</strong> uvuvi na mifugo unaotokana na mipango ya<br />

Halmashauri zake na unajumuisha <strong>wa</strong>dau wote. Mpango huo unajulikana<br />

kama Ufugaji <strong>wa</strong> Kimapinduzi Ruvuma - UMARU<br />

5.1.2 Kila halmashauri ina mpango <strong>wa</strong> kuboresha uvuvi ambao unahusisha<br />

<strong>wa</strong>dau wote <strong>wa</strong>kiwemo viongozi <strong>wa</strong> Serikali na viongozi <strong>wa</strong> siasa.<br />

5.1.3 Kila Kata ina mpango <strong>wa</strong> kuendeleza uvuvi ambao utachangia <strong>katika</strong><br />

mpango <strong>wa</strong> halmashauri na ambao utajumuisha <strong>wa</strong>dau wote <strong>katika</strong><br />

kata.<br />

5.1.4 Kila kijiji kina mpango <strong>wa</strong> kuendeleza uvuvi ambao utachangia kwenye<br />

mpango <strong>wa</strong> maendeleo ya uvuvi <strong>wa</strong> Kata na ambao unajumuisha <strong>wa</strong>dau<br />

wote.<br />

5.1.5 Kila Halmashauri ina mpango <strong>wa</strong> kuelimisha na kuhamasisha <strong>wa</strong>nanchi<br />

<strong>katika</strong> kujishughurisha na uvuvi k<strong>wa</strong> kuzingatia sera kanuni na sheria za<br />

uvuvi.<br />

5.1.6 Kila Halmashauri ina lengo la kuibua miradi ya uvuvi na kupima<br />

kiutendaji utekelezaji.<br />

5.1.7 Mkoa k<strong>wa</strong> kushirikiana na Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi<br />

utaimarisha vituo vya kukuzia samaki na kuanzisha vituo hivyo <strong>katika</strong> kila<br />

Halmashauri.<br />

5.2 Kudhibiti Uvuvi Haramu<br />

5.2.1 Halmashauri zinaelimisha <strong>wa</strong>nanchi kuanzisha vikundi vya ulinzi shirikishi<br />

<strong>wa</strong> rasilimali za uvuvi (Beach Mangement Unit).<br />

• Kuhamasisha na kushirikisha jamii <strong>katika</strong> uvuvi endelevu<br />

• Kutoa mafunzo juu ya majukumu ya (BMU’s)<br />

272


• Kuelimisha <strong>wa</strong>nanchi juu ya matumizi ya mitego haramu k<strong>wa</strong><br />

shughuli za uvuvi.<br />

5.2.2 Kanuni bora za uvuvi na kalenda za uvuvi zinatole<strong>wa</strong> na kusimami<strong>wa</strong><br />

(mabango ya kanuni bora na kalenda za uvuvi yawekwe <strong>katika</strong> kila kijiji).<br />

5.2.3 Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga huandaa doria ya kudhibiti uvuvi<br />

haramu k<strong>wa</strong> kutumia boti ya doria iliyopo Zi<strong>wa</strong> Nyasa, hadi Oktoba 2009<br />

jumla ya nyavu zenye matundu madogo zipatazo 1,574 zenye thamani<br />

ya shilingi 15,262,800/= zilikamat<strong>wa</strong><br />

5.2.4 Halmashauri zimetunga sheria ndogo ndogo ili kudhibiti uvuvi haramu.<br />

6.0 Hali ya Ugani <strong>wa</strong> Uvuvi<br />

6.1 Hali ya Vitendea kazi vya Ugani<br />

Mkoa una nyumba 2, pikipiki 2, boti 1 na nyavu 7 kama inavyoonyesh<strong>wa</strong> <strong>katika</strong><br />

jed<strong>wa</strong>li hapo chini.<br />

Jed<strong>wa</strong>li Na.3: Usambazaji <strong>wa</strong> Zana Bora za Uvuvi<br />

Wilaya Halmashauri Nyumba Pikipiki Boti Nyavu<br />

Songea Manispaa 0 0 0 0<br />

vijijini 0 1 0 1<br />

Tunduru Tunduru 0 0 0 0<br />

Mbinga Mbinga 2 1 1 4<br />

Namtumbo Namtumbo 0 0 0 2<br />

JUMLA 2 2 1 7<br />

Chanzo: Halmashauri za Wilaya za Mkoa <strong>wa</strong> Ruvuma, 2009.<br />

6.2 Mchanganuo <strong>wa</strong> Maafisa Ugani<br />

Mchanganuo <strong>wa</strong> mahitaji ya <strong>wa</strong>tumishi, <strong>wa</strong>liopo na upungufu <strong>wa</strong> maafisa ugani <strong>katika</strong><br />

<strong>sekta</strong> ya uvuvi umeonyesh<strong>wa</strong> <strong>katika</strong> jed<strong>wa</strong>li lifuatalo:-<br />

273


Jed<strong>wa</strong>li Na. 4: Mchanganuo <strong>wa</strong> Maafisa Ugani Mkoa <strong>wa</strong> Ruvuma<br />

Wilaya Halmashauri Waliopo Upungufu Mahitaji<br />

Songea Manispaa 0 1 1<br />

Vijijini 2 7 16<br />

Tunduru Tunduru 3 4 7<br />

Mbinga Mbinga 12 5 17<br />

Namtumbo Namtumbo 4 3 7<br />

JUMLA 21 20 48<br />

Chanzo: Halmashauri za Wilaya za Mkoa <strong>wa</strong> Ruvuma, 2009<br />

7.0 Ufugaji <strong>wa</strong> Samaki na Ukuzaji <strong>wa</strong> Viumbe Kwenye Maji<br />

Halmashauri kulingana na mazingira yake zinaelimisha jamii ufugaji <strong>wa</strong> samaki <strong>katika</strong><br />

mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> ya asili na kuchimb<strong>wa</strong>, mitoni na <strong>katika</strong> mazi<strong>wa</strong>. Aidha, Mkoa una jumla ya<br />

<strong>wa</strong>fugaji <strong>wa</strong> samaki <strong>katika</strong> mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> yapatayo 1,093 na jumla ya mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> 4,840,<br />

Jed<strong>wa</strong>li Na. 5 lahusika.<br />

Jed<strong>wa</strong>li Na.5: Idadi ya Wafugaji na Mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong>-Ruvuma<br />

HALMASHAURI IDADI YA WAFUGAJI IDADI YA MABWAWA<br />

Mbinga 959 1,133<br />

Namtumbo 45 46<br />

Tunduru 500 600<br />

Songea mjini 59 3,571<br />

Songea vijijini 30 90<br />

Jumla kuu 1,093 4,840<br />

Halmashauri ya Wilaya ya Songea imechimba b<strong>wa</strong><strong>wa</strong> lenye ukub<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> eneo lenye<br />

mita za mraba 2,025 na kupandikiza jumla ya vifaranga 6,000 k<strong>wa</strong> lengo la kuzalisha<br />

mbegu bora za samaki za kusambaza k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>fugaji, chini ya mpango <strong>wa</strong> mradi <strong>wa</strong><br />

DADPs. Mkoa una umoja <strong>wa</strong> <strong>wa</strong>fugaji <strong>wa</strong> samaki uit<strong>wa</strong>o SOFFA na chama cha <strong>wa</strong>uza<br />

samaki Songea na kila Halmashauri ina soko rasmi la samaki. Mkoa utaendelea kutoa<br />

mafunzo kuhusu ufugaji <strong>wa</strong> samaki <strong>katika</strong> mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong>.<br />

8.0 Mfumo <strong>wa</strong> Masoko ya Samaki<br />

Mkoa <strong>katika</strong> Halmashauri zake umetenga maeneo ya masoko ya samaki na kujenga<br />

miundombinu mizuri ambayo ni salama k<strong>wa</strong> mazao ya samaki. Aidha, <strong>katika</strong> baadhi ya<br />

Halmashauri <strong>wa</strong>fanya biashara <strong>wa</strong> samaki <strong>wa</strong>mejiunga <strong>katika</strong> ushirika <strong>wa</strong> biashara ya<br />

mazao ya samaki. Hadi sasa <strong>katika</strong> Halmashauri ya Mbinga <strong>wa</strong>fanya biashara <strong>wa</strong><br />

samaki <strong>wa</strong>meanzisha ushirika <strong>wa</strong> biashara ya samaki uit<strong>wa</strong>o SAMAKI BUSINESS<br />

COOPERATIVE SOCIETY LIMITED na SACCOs moja it<strong>wa</strong>yo Luekei SACCOs, taasisi zote<br />

274


mbili zipo Mbamba bay. Mfumo huu <strong>wa</strong> biashara uta<strong>wa</strong>saidia <strong>wa</strong>vuvi hao kujipatia<br />

mikopo k<strong>wa</strong> ajili ya kununulia zana bora za uvuvi na kuongeza mitaji ya biashara.<br />

9.0 Mfumo <strong>wa</strong> Vyombo vya Mikopo<br />

Hadi sasa hakuna mvuvi/<strong>wa</strong>vuvi wowote <strong>wa</strong>liopata mikopo inga<strong>wa</strong> kuna taasisi za<br />

kutoa mikopo kama vile SACCOs, World Bank na Nor<strong>wa</strong>y. Aidha, <strong>katika</strong> kata ya Liuli<br />

wilayani Mbinga <strong>wa</strong>vuvi <strong>wa</strong>liojiunga <strong>katika</strong> vikundi 12 vya uvuvi ambavyo vimepata<br />

msaada <strong>wa</strong> zana za uvuvi kutoka shirika la TASAF kama ifuatavyo:-<br />

• Nyavu za dagaa.<br />

• Ingini za boti.<br />

• Mitumbwi,nanga,life jaketi, nyavu Kub<strong>wa</strong> (gillnets).<br />

275

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!