15.01.2013 Views

jamhuri ya muungano wa tanzania - Ministry of Livestock and ...

jamhuri ya muungano wa tanzania - Ministry of Livestock and ...

jamhuri ya muungano wa tanzania - Ministry of Livestock and ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Hifadhi <strong>ya</strong> Mazingira na Mabadiliko <strong>ya</strong> Tabianchi<br />

137. Mheshimi<strong>wa</strong> Spika, ili kukabiliana na athari za mabadiliko <strong>ya</strong> tabia<br />

nchi katika sekta za mifugo na uvuvi, Wizara k<strong>wa</strong> kushirikiana na <strong>wa</strong>kala <strong>wa</strong><br />

hali <strong>ya</strong> he<strong>wa</strong> nchini, iliendelea kutoa taarifa za tahadhari k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>dau <strong>wa</strong> sekta<br />

hizo kuhusu mwenendo <strong>wa</strong> hali <strong>ya</strong> he<strong>wa</strong>. Katika sekta <strong>ya</strong> mifugo, mwenendo<br />

<strong>wa</strong> tahadhari za kupungua k<strong>wa</strong> upatikanaji <strong>wa</strong> maji na malisho ziliendelea<br />

kutole<strong>wa</strong> na mikakati <strong>ya</strong> kupata takwimu za mwenendo <strong>wa</strong> hali <strong>ya</strong> mifugo<br />

zimeainish<strong>wa</strong> katika mikoa. Aidha, wila<strong>ya</strong> za Ngorongoro, Monduli, Longido na<br />

Meatu ziliku<strong>wa</strong> na upungufu <strong>wa</strong> maji na malisho m<strong>wa</strong>nzoni m<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka 2011.<br />

Mikoa zaidi <strong>ya</strong> 14 iliku<strong>wa</strong> na mvua za masika chini <strong>ya</strong> <strong>wa</strong>stani, hivyo ku<strong>wa</strong> na<br />

maeneo <strong>ya</strong>takayoku<strong>wa</strong> na upungufu <strong>wa</strong> malisho na maji <strong>wa</strong>kati <strong>wa</strong> kiangazi.<br />

138. Mheshimi<strong>wa</strong> Spika, Wizara imeendelea kuelimisha na kuhamasisha<br />

<strong>wa</strong>fugaji kuhifadhi mazingira na ku<strong>wa</strong> na matumizi endelevu <strong>ya</strong> rasilimali<br />

katika ardhi. Aidha, k<strong>wa</strong> kushirikiana na Shirika la Maendeleo la Uholanzi<br />

(SNV) inaendelea kuelimisha <strong>wa</strong>fugaji kuhifadhi mazingira k<strong>wa</strong> kupunguza<br />

ukataji miti na kuhamasisha matumizi <strong>ya</strong> biogas kama nishati mbadala<br />

ambapo jumla <strong>ya</strong> <strong>wa</strong>taalam 15 <strong>wa</strong>mepati<strong>wa</strong> mafunzo <strong>ya</strong> matumizi <strong>ya</strong><br />

mitambo <strong>ya</strong> gesi inayotokana na samadi <strong>ya</strong> ng’ombe. Vilevile, mitambo<br />

mitano (5) <strong>ya</strong> mfano inajeng<strong>wa</strong> katika wila<strong>ya</strong> za M<strong>wa</strong>nga (1), Same (2) na<br />

Longido (2).<br />

Katika m<strong>wa</strong>ka 2011/2012, Wizara itakamilisha na kusambaza Mwongozo <strong>wa</strong><br />

Matumizi <strong>ya</strong> Biogesi k<strong>wa</strong> Wafugaji <strong>wa</strong> Asili na kuhamasisha Halmashauri 20<br />

kuhusu ujenzi, utumiaji na matengenezo <strong>ya</strong> mitambo.<br />

Maadhimisho na Makongamano Muhimu katika Sekta za Mifugo na<br />

Uvuvi<br />

Maonesho <strong>ya</strong> Nanenane<br />

139. Mheshimi<strong>wa</strong> Spika, katika m<strong>wa</strong>ka 2010/2011, Wizara k<strong>wa</strong><br />

kushirikiana na <strong>wa</strong>dau <strong>wa</strong> Sekta za Mifugo na Uvuvi ilishiriki katika<br />

maadhimisho <strong>ya</strong> sikukuu <strong>ya</strong> <strong>wa</strong>kulima nchini – NaneNane. Maadhimisho hayo<br />

<strong>ya</strong>lifanyika kitaifa mkoani Dodoma na kauli mbiu <strong>ya</strong> maonesho hayo iliku<strong>wa</strong> ni<br />

“Kilimo K<strong>wa</strong>nza – Mapinduzi <strong>ya</strong> Kijani, Uhakika <strong>wa</strong> Chakula na<br />

Kipato”. Katika maonesho hayo, Wizara na <strong>wa</strong>dau <strong>wa</strong>lionesha matumizi <strong>ya</strong><br />

teknolojia mbalimbali za kuongeza uzalishaji wenye tija. Aidha, umma<br />

ulielimish<strong>wa</strong> kuhusu Sera, Sheria, Kanuni na miongozo mbalimbali <strong>ya</strong> Sekta za<br />

Mifugo na Uvuvi.<br />

70

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!