jamhuri ya muungano wa tanzania - Ministry of Livestock and ...
jamhuri ya muungano wa tanzania - Ministry of Livestock and ...
jamhuri ya muungano wa tanzania - Ministry of Livestock and ...
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
<strong>wa</strong>fugaji. Vilevile, Serikali imeendelea kuhamasisha sekta binafsi kuwekeza<br />
katika uzalishaji <strong>wa</strong> mitamba k<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong>patia mafunzo <strong>ya</strong> mbinu za ufugaji<br />
bora na ziara za mafunzo ndani na nje <strong>ya</strong> nchi.<br />
(vii) Kufufua na kujenga majosho na malambo map<strong>ya</strong> k<strong>wa</strong> ajili <strong>ya</strong> mifugo na<br />
kuhimiza uogeshaji endelevu.<br />
Utekelezaji:<br />
Serikali kupitia DADPs na DASIP imekarabati majosho 30 na malambo 20 na<br />
kujenga majosho 37 na malambo 62. Aidha, ili kuhimiza uogeshaji endelevu,<br />
Serikali ilinunua lita 109,389 za da<strong>wa</strong> za kuogesha mifugo k<strong>wa</strong> kutoa ruzuku<br />
<strong>ya</strong> shilingi bilioni 1.82 na kuzisambaza katika Halmashauri zote nchini.<br />
(viii) Kuimarisha utafiti <strong>wa</strong> mifugo k<strong>wa</strong> kuboresha na kuhifadhi kosaafu za<br />
mifugo <strong>ya</strong> asili ili kuongeza uzalishaji endelevu.<br />
Utekelezaji:<br />
Wizara imeimarisha utafiti <strong>wa</strong> mifugo wenye lengo la kuboresha na kuhifadhi<br />
kosaafu za mifugo <strong>ya</strong> asili k<strong>wa</strong> kukusan<strong>ya</strong> na kuchambua takwimu mbalimbali<br />
za maendeleo <strong>ya</strong> ukuaji na uzalishaji k<strong>wa</strong> mbari za mifugo <strong>ya</strong> asili k<strong>wa</strong> mifugo<br />
ifuatayo:<br />
(a) Ng’ombe 44 <strong>wa</strong> aina <strong>ya</strong> Ufipa, 3O aina <strong>ya</strong> Ankole, na 20 aina <strong>ya</strong><br />
Singida White;<br />
(b) Mbuzi 60 aina <strong>ya</strong> Pare White, 30 Sonjo Red, 93 Gogo White na 125<br />
Ne<strong>wa</strong>la na Kondoo 100 aina <strong>ya</strong> Red Maasai; na<br />
(c) Kosaafu za mbari za kuku 50 <strong>wa</strong> Ka<strong>wa</strong>ida, 35 Sasamala, 45 Kishingo,<br />
41 Kisunzu, 39 Bukini, 39 Kuchi, 25 Mte<strong>wa</strong>, 26 Kuza, 49 Sukuma, 41<br />
Msumbiji na 26 Njachama.<br />
(ix) Kuimarisha huduma za ugani na mafunzo <strong>ya</strong> <strong>wa</strong>talaam na <strong>wa</strong>fugaji.<br />
Utekelezaji:<br />
Wizara imeendelea kuimarisha huduma za ugani na mafunzo <strong>ya</strong> <strong>wa</strong>talaam na<br />
<strong>wa</strong>fugaji k<strong>wa</strong> kutekeleza <strong>ya</strong>fuatayo:-<br />
(a) Kukarabati na kuvipatia vitendea kazi vyuo sita (6) v<strong>ya</strong> Mafunzo <strong>ya</strong><br />
Mifugo ambapo, kompyuta 12, basi 1, trekta 3 na zana zake, mada<strong>wa</strong>ti<br />
55, vit<strong>and</strong>a na magodoro 68 vimenunuli<strong>wa</strong> na kukarabati madarasa<br />
mawili (2), mabweni matano (5) na b<strong>wa</strong>lo moja (1) la chakula;<br />
7