jamhuri ya muungano wa tanzania - Ministry of Livestock and ...
jamhuri ya muungano wa tanzania - Ministry of Livestock and ...
jamhuri ya muungano wa tanzania - Ministry of Livestock and ...
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
Baadhi <strong>ya</strong> matukio hayo ni maadhimisho <strong>ya</strong> Wiki <strong>ya</strong> Utumishi <strong>wa</strong> Umma,<br />
Nanenane, Wiki <strong>ya</strong> Mazi<strong>wa</strong> na Siku <strong>ya</strong> Chakula Duniani. Katika m<strong>wa</strong>ka<br />
2010/2011, Wizara imeta<strong>ya</strong>risha na kusambaza nakala 1,000 za majarida na<br />
nakala 1,000 za mabango kuhusu mafanikio <strong>ya</strong> Sekta za Mifugo na Uvuvi<br />
katika Miaka 50 <strong>ya</strong> Uhuru. Pia, nakala 4,000 za kalenda na nakala 1,200 za<br />
vipeperushi zinazoelezea kazi na majukumu mbalimbali <strong>ya</strong> Wizara<br />
zilichapish<strong>wa</strong> na kusambaz<strong>wa</strong>. Aidha, Kitengo cha Habari, Elimu na<br />
Ma<strong>wa</strong>siliano kimeimarish<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> kupe<strong>wa</strong> vitendea kazi vikiwemo gari moja<br />
(1), kompyuta moja (1) na seti moja (1) <strong>ya</strong> televisheni. Vilevile, <strong>wa</strong>tumishi<br />
<strong>wa</strong>tatu (3) <strong>wa</strong> Kitengo hiki <strong>wa</strong>mepati<strong>wa</strong> mafunzo <strong>ya</strong> muda mfupi.<br />
135. Mheshimi<strong>wa</strong> Spika, katika m<strong>wa</strong>ka 2011/2012, Wizara itaendelea<br />
kuta<strong>ya</strong>risha na kusambaza taarifa za matukio mbalimbali kuhusu maendeleo<br />
<strong>ya</strong> sekta za mifugo na uvuvi kupitia vyombo v<strong>ya</strong> habari, ikiwemo mafanikio <strong>ya</strong><br />
miaka 50 <strong>ya</strong> Uhuru <strong>wa</strong> Tanzania Bara. Vilevile, nakala za majarida 1,000,<br />
kalenda 4,000, vipeperushi 1,200 na mabango 1,000 kuhusu utekelezaji <strong>wa</strong><br />
majukumu <strong>ya</strong> Wizara zitata<strong>ya</strong>rish<strong>wa</strong> na kusambaz<strong>wa</strong>. Aidha, <strong>wa</strong>tumishi<br />
<strong>wa</strong>wili (2) <strong>wa</strong> Kitengo cha Habari, Elimu na Ma<strong>wa</strong>siliano <strong>wa</strong>tapati<strong>wa</strong><br />
mafunzo <strong>ya</strong> muda mrefu.<br />
Uta<strong>wa</strong>la Bora, Jinsia na UKIMWI<br />
136. Mheshimi<strong>wa</strong> Spika, katika m<strong>wa</strong>ka 2010/2011, Wizara imeendelea<br />
kutekeleza Uta<strong>wa</strong>la bora k<strong>wa</strong> kuzingatia sheria, kanuni na miongozo<br />
mbalimbali <strong>ya</strong> Serikali ikiwemo masuala <strong>ya</strong> ajira, utekelezaji <strong>wa</strong> Mkakati <strong>wa</strong><br />
Kuzuia na Kuziba Mian<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Rush<strong>wa</strong>, Mkataba <strong>wa</strong> Huduma k<strong>wa</strong> Mteja na<br />
kuzingatia Sheria <strong>ya</strong> Matumizi <strong>ya</strong> Fedha za Umma na Sheria <strong>ya</strong> Ununuzi.<br />
Aidha, masuala <strong>ya</strong> jinsia <strong>ya</strong>meendelea kuzingati<strong>wa</strong> katika mipango <strong>ya</strong><br />
maendeleo <strong>ya</strong> Wizara, ajira na up<strong>and</strong>ish<strong>wa</strong>ji vyeo. Pia, Wizara imewezesha<br />
Kamati <strong>ya</strong> Jinsia kupata mafunzo juu <strong>ya</strong> jinsi <strong>ya</strong> kujumuisha masuala <strong>ya</strong><br />
kijinsia katika mipango na utekelezaji <strong>wa</strong> majukumu <strong>ya</strong>ke. Vilevile, Wizara<br />
imeendelea kuhamasisha <strong>wa</strong>tumishi kupima af<strong>ya</strong> zao ili kujikinga na<br />
maambukizi map<strong>ya</strong> iki<strong>wa</strong> ni moja <strong>ya</strong> mikakati <strong>ya</strong> kuzuia maambukizi map<strong>ya</strong> <strong>ya</strong><br />
UKIMWI ambapo <strong>wa</strong>tumishi 13 <strong>wa</strong>liothibitika kuathirika <strong>wa</strong>napata msaada <strong>wa</strong><br />
chakula. Kufuatia kukamilika k<strong>wa</strong> tathmini <strong>ya</strong> hali <strong>ya</strong> UKIMWI katika Wizara,<br />
Mpango Mkakati <strong>wa</strong> Wizara <strong>wa</strong> Kuzuia maambukizi map<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> UKIMWI<br />
ume<strong>and</strong>ali<strong>wa</strong>.<br />
Katika m<strong>wa</strong>ka 2011/2012, Wizara itaendelea kutekeleza Mkakati <strong>wa</strong> Kuzuia na<br />
Kuziba Mian<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Rush<strong>wa</strong>; kufan<strong>ya</strong> tathmini <strong>ya</strong> jinsia ili kujumuisha masuala<br />
<strong>ya</strong> jinsia katika mipango <strong>ya</strong> Wizara k<strong>wa</strong> lengo la kuleta usa<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> jinsia;<br />
kuhamasisha <strong>wa</strong>tumishi kupima af<strong>ya</strong> zao k<strong>wa</strong> hiari; ku<strong>wa</strong>hudumia<br />
<strong>wa</strong>lioathirika na kutoa elimu k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>elimishaji rika na <strong>wa</strong>shauri nasaha <strong>wa</strong><br />
masuala <strong>ya</strong> UKIMWI ili kuzuia maambukizi map<strong>ya</strong>.<br />
69