15.01.2013 Views

jamhuri ya muungano wa tanzania - Ministry of Livestock and ...

jamhuri ya muungano wa tanzania - Ministry of Livestock and ...

jamhuri ya muungano wa tanzania - Ministry of Livestock and ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Sekta <strong>ya</strong> Uvuvi<br />

100. Mheshimi<strong>wa</strong> Spika, Wizara imeendelea kutoa elimu k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>dau<br />

kuhusu athari za uvuvi haramu, matumizi bora <strong>ya</strong> rasilimali za uvuvi, utunzaji<br />

<strong>wa</strong> mazingira, mbinu shirikishi za usimamizi <strong>wa</strong> rasilimali za uvuvi na ukuzaji<br />

<strong>wa</strong> viumbe kwenye maji nchini. Elimu hiyo ilitole<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>vuvi 1,015 kutoka<br />

Halmashauri 14 za Mafia, Rufiji, Mkinga, Muheza, M<strong>wa</strong>nga, Moshi Vijijini,<br />

Singida vijijini, Babati, Iramba, Mp<strong>wa</strong>p<strong>wa</strong>, Manispaa <strong>ya</strong> Singida, Jiji la Tanga<br />

na Manispaa za Dar es Salaam. Pia, elimu <strong>ya</strong> ufugaji <strong>wa</strong> samaki ilitole<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong><br />

<strong>wa</strong>kulima 147 katika Mikoa <strong>ya</strong> Arusha, Kilimanjaro, Singida, Dodoma na<br />

Man<strong>ya</strong>ra. Aidha, vipindi 52 v<strong>ya</strong> radio na 15 v<strong>ya</strong> luninga vili<strong>and</strong>ali<strong>wa</strong> na<br />

kurush<strong>wa</strong> he<strong>wa</strong>ni. Vilevile, mabango 10, vitabu 2,118 na vipeperushi 6,425<br />

kuhusu mbinu bora za ufugaji <strong>wa</strong> samaki na hifadhi <strong>ya</strong> mazao <strong>ya</strong> uvuvi<br />

zimechapish<strong>wa</strong> na kusambaz<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>dau.<br />

101. Mheshimi<strong>wa</strong> Spika, katika m<strong>wa</strong>ka 2011/2012, Wizara itatekeleza<br />

majukumu <strong>ya</strong>fuatayo:-<br />

(i) Ku<strong>and</strong>aa na kurusha he<strong>wa</strong>ni vipindi 26 v<strong>ya</strong> redio na sita (6) v<strong>ya</strong><br />

televisheni kuhusu uvuvi endelevu;<br />

(ii) Kutoa mafunzo rejea <strong>ya</strong> ukuzaji bora <strong>wa</strong> viumbe kwenye maji k<strong>wa</strong><br />

maafisa ugani 50 na <strong>wa</strong>fugaji <strong>wa</strong> samaki 300 katika Halmashauri 15;<br />

(iii) Ku<strong>and</strong>aa na kusambaza mabango sita (6), vijitabu 1,500 na<br />

vipeperushi 2,500 kuhusu uvuvi endelevu na ukuzaji bora <strong>wa</strong> viumbe<br />

kwenye maji; na<br />

(iv) Kutoa mafunzo <strong>ya</strong> kuhimiza shughuli mbadala za kiuchumi kama vile<br />

ufugaji <strong>wa</strong> samaki, ng’ombe na mbuzi <strong>wa</strong> mazi<strong>wa</strong>, kuku na ukulima <strong>wa</strong><br />

bustani za mboga.<br />

Sensa na Benki <strong>ya</strong> Takwimu <strong>ya</strong> Mifugo<br />

102. Mheshimi<strong>wa</strong> Spika, katika m<strong>wa</strong>ka 2010/2011, Wizara k<strong>wa</strong><br />

kushirikiana na Ofisi <strong>ya</strong> Taifa <strong>ya</strong> Takwimu, Wizara <strong>ya</strong> Kilimo, Chakula na<br />

Ushirika; na Ofisi <strong>ya</strong> Waziri Mkuu - TAMISEMI ilifan<strong>ya</strong> uchambuzi <strong>wa</strong> taarifa <strong>ya</strong><br />

matokeo <strong>ya</strong> Sensa <strong>ya</strong> Mifugo iliy<strong>of</strong>anyika k<strong>wa</strong> Njia <strong>ya</strong> Sampuli m<strong>wa</strong>ka<br />

2007/2008. Aidha, Wizara chini <strong>ya</strong> Mradi <strong>wa</strong> Benki <strong>ya</strong> Dunia <strong>wa</strong> Kuboresha<br />

Takwimu za Mifugo ( <strong>Livestock</strong> Data Innovation in Africa) imeshiriki katika<br />

mafunzo <strong>ya</strong> kujenga uwezo k<strong>wa</strong> Maafisa Takwimu za Mifugo katika<br />

kuchambua na kuainisha k<strong>wa</strong> ufasaha nafasi na mchango halisi <strong>wa</strong> Sekta <strong>ya</strong><br />

Mifugo katika pato la Taifa <strong>ya</strong>liy<strong>of</strong>anyika nchini Zambia<br />

mwezi Aprili 2011.<br />

103. Mheshimi<strong>wa</strong> Spika, katika m<strong>wa</strong>ka 2011/2012, ili kuimarisha<br />

upatikanaji <strong>wa</strong> takwimu sahihi za mifugo, Wizara itatekeleza <strong>ya</strong>fuatayo:-<br />

54

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!