jamhuri ya muungano wa tanzania - Ministry of Livestock and ...
jamhuri ya muungano wa tanzania - Ministry of Livestock and ...
jamhuri ya muungano wa tanzania - Ministry of Livestock and ...
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
Sekta <strong>ya</strong> Uvuvi<br />
100. Mheshimi<strong>wa</strong> Spika, Wizara imeendelea kutoa elimu k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>dau<br />
kuhusu athari za uvuvi haramu, matumizi bora <strong>ya</strong> rasilimali za uvuvi, utunzaji<br />
<strong>wa</strong> mazingira, mbinu shirikishi za usimamizi <strong>wa</strong> rasilimali za uvuvi na ukuzaji<br />
<strong>wa</strong> viumbe kwenye maji nchini. Elimu hiyo ilitole<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>vuvi 1,015 kutoka<br />
Halmashauri 14 za Mafia, Rufiji, Mkinga, Muheza, M<strong>wa</strong>nga, Moshi Vijijini,<br />
Singida vijijini, Babati, Iramba, Mp<strong>wa</strong>p<strong>wa</strong>, Manispaa <strong>ya</strong> Singida, Jiji la Tanga<br />
na Manispaa za Dar es Salaam. Pia, elimu <strong>ya</strong> ufugaji <strong>wa</strong> samaki ilitole<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong><br />
<strong>wa</strong>kulima 147 katika Mikoa <strong>ya</strong> Arusha, Kilimanjaro, Singida, Dodoma na<br />
Man<strong>ya</strong>ra. Aidha, vipindi 52 v<strong>ya</strong> radio na 15 v<strong>ya</strong> luninga vili<strong>and</strong>ali<strong>wa</strong> na<br />
kurush<strong>wa</strong> he<strong>wa</strong>ni. Vilevile, mabango 10, vitabu 2,118 na vipeperushi 6,425<br />
kuhusu mbinu bora za ufugaji <strong>wa</strong> samaki na hifadhi <strong>ya</strong> mazao <strong>ya</strong> uvuvi<br />
zimechapish<strong>wa</strong> na kusambaz<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>dau.<br />
101. Mheshimi<strong>wa</strong> Spika, katika m<strong>wa</strong>ka 2011/2012, Wizara itatekeleza<br />
majukumu <strong>ya</strong>fuatayo:-<br />
(i) Ku<strong>and</strong>aa na kurusha he<strong>wa</strong>ni vipindi 26 v<strong>ya</strong> redio na sita (6) v<strong>ya</strong><br />
televisheni kuhusu uvuvi endelevu;<br />
(ii) Kutoa mafunzo rejea <strong>ya</strong> ukuzaji bora <strong>wa</strong> viumbe kwenye maji k<strong>wa</strong><br />
maafisa ugani 50 na <strong>wa</strong>fugaji <strong>wa</strong> samaki 300 katika Halmashauri 15;<br />
(iii) Ku<strong>and</strong>aa na kusambaza mabango sita (6), vijitabu 1,500 na<br />
vipeperushi 2,500 kuhusu uvuvi endelevu na ukuzaji bora <strong>wa</strong> viumbe<br />
kwenye maji; na<br />
(iv) Kutoa mafunzo <strong>ya</strong> kuhimiza shughuli mbadala za kiuchumi kama vile<br />
ufugaji <strong>wa</strong> samaki, ng’ombe na mbuzi <strong>wa</strong> mazi<strong>wa</strong>, kuku na ukulima <strong>wa</strong><br />
bustani za mboga.<br />
Sensa na Benki <strong>ya</strong> Takwimu <strong>ya</strong> Mifugo<br />
102. Mheshimi<strong>wa</strong> Spika, katika m<strong>wa</strong>ka 2010/2011, Wizara k<strong>wa</strong><br />
kushirikiana na Ofisi <strong>ya</strong> Taifa <strong>ya</strong> Takwimu, Wizara <strong>ya</strong> Kilimo, Chakula na<br />
Ushirika; na Ofisi <strong>ya</strong> Waziri Mkuu - TAMISEMI ilifan<strong>ya</strong> uchambuzi <strong>wa</strong> taarifa <strong>ya</strong><br />
matokeo <strong>ya</strong> Sensa <strong>ya</strong> Mifugo iliy<strong>of</strong>anyika k<strong>wa</strong> Njia <strong>ya</strong> Sampuli m<strong>wa</strong>ka<br />
2007/2008. Aidha, Wizara chini <strong>ya</strong> Mradi <strong>wa</strong> Benki <strong>ya</strong> Dunia <strong>wa</strong> Kuboresha<br />
Takwimu za Mifugo ( <strong>Livestock</strong> Data Innovation in Africa) imeshiriki katika<br />
mafunzo <strong>ya</strong> kujenga uwezo k<strong>wa</strong> Maafisa Takwimu za Mifugo katika<br />
kuchambua na kuainisha k<strong>wa</strong> ufasaha nafasi na mchango halisi <strong>wa</strong> Sekta <strong>ya</strong><br />
Mifugo katika pato la Taifa <strong>ya</strong>liy<strong>of</strong>anyika nchini Zambia<br />
mwezi Aprili 2011.<br />
103. Mheshimi<strong>wa</strong> Spika, katika m<strong>wa</strong>ka 2011/2012, ili kuimarisha<br />
upatikanaji <strong>wa</strong> takwimu sahihi za mifugo, Wizara itatekeleza <strong>ya</strong>fuatayo:-<br />
54