15.01.2013 Views

jamhuri ya muungano wa tanzania - Ministry of Livestock and ...

jamhuri ya muungano wa tanzania - Ministry of Livestock and ...

jamhuri ya muungano wa tanzania - Ministry of Livestock and ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

C: UTEKELEZAJI WA ILANI YA UCHAGUZI YA CCM YA MWAKA 2010<br />

11. Mheshimi<strong>wa</strong> Spika, katika kutekeleza majukumu <strong>ya</strong> sekta za mifugo na<br />

uvuvi, Wizara imezingatia maelekezo <strong>ya</strong>liyomo katika Ilani <strong>ya</strong> Uchaguzi <strong>ya</strong><br />

CCM <strong>ya</strong> M<strong>wa</strong>ka 2010. Ilani inatambua mchango mkub<strong>wa</strong> unaoweza kutole<strong>wa</strong><br />

na sekta hizi katika ku<strong>wa</strong>punguzia <strong>wa</strong>nanchi umaskini na kuongeza Pato la<br />

Taifa.<br />

12. Mheshimi<strong>wa</strong> Spika, ili Sekta <strong>ya</strong> Mifugo iweze kutoa mchango mkub<strong>wa</strong><br />

kwenye Pato la Taifa, Serikali imeelekez<strong>wa</strong> kutekeleza <strong>ya</strong>fuatayo:-<br />

Mapinduzi <strong>ya</strong> Ufugaji<br />

(i) Serikali i<strong>and</strong>ae programu kabambe <strong>ya</strong> kuendeleza sekta <strong>ya</strong> mifugo na<br />

ufugaji. Programu hiyo ijumuishe pamoja na mambo mengine masuala <strong>ya</strong><br />

uendelezaji <strong>wa</strong> maeneo <strong>ya</strong> malisho, kuchimba na kujenga malambo,<br />

mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong>, majosho na huduma za ugani ili hatimaye <strong>wa</strong>fugaji<br />

<strong>wa</strong>ondokane na ufugaji <strong>wa</strong> kuhamahama.<br />

Utekelezaji:<br />

Wizara k<strong>wa</strong> kushirikiana na <strong>wa</strong>dau <strong>wa</strong> sekta <strong>ya</strong> mifugo imekamilisha rasimu <strong>ya</strong><br />

Programu <strong>ya</strong> Kuendeleza Sekta <strong>ya</strong> Mifugo ambayo itatekelez<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> kipindi<br />

cha m<strong>wa</strong>ka 2011/2012 hadi 2015/2016. Programu hii, imeainisha pamoja na<br />

mambo mengine masuala <strong>ya</strong> uendelezaji <strong>wa</strong> maeneo <strong>ya</strong> malisho, kuchimba na<br />

kujenga malambo, mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong>, majosho na huduma za ugani ili hatimaye<br />

<strong>wa</strong>fugaji <strong>wa</strong>ondokane na ufugaji <strong>wa</strong> kuhamahama. Aidha, Programu<br />

imeainisha maeneo <strong>ya</strong> kipaumbele <strong>ya</strong>takayotekelez<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> kila m<strong>wa</strong>ka.<br />

(ii) Benki <strong>ya</strong> Kilimo itakayoanzish<strong>wa</strong> iwe pia Benki <strong>ya</strong> Mifugo ili iweze kutoa<br />

mikopo k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>somi wenye nia <strong>ya</strong> kufuga na ku<strong>wa</strong>wezesha kuingia k<strong>wa</strong><br />

wingi katika ufugaji <strong>wa</strong> kisasa.<br />

Utekelezaji:<br />

Wizara inaendelea kuhamasisha <strong>wa</strong>fugaji hususan <strong>wa</strong>somi kutumia uwepo <strong>wa</strong><br />

dirisha dogo katika Benki <strong>ya</strong> Taifa <strong>ya</strong> Rasilimali kukopa fedha k<strong>wa</strong> ajili <strong>ya</strong><br />

kuendeleza ufugaji <strong>wa</strong> kisasa.<br />

(iii) Kuelimisha <strong>wa</strong>fugaji kuhusu umuhimu <strong>wa</strong> uwiano kati <strong>ya</strong> idadi <strong>ya</strong> mifugo<br />

na eneo.<br />

5

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!