jamhuri ya muungano wa tanzania - Ministry of Livestock and ...
jamhuri ya muungano wa tanzania - Ministry of Livestock and ...
jamhuri ya muungano wa tanzania - Ministry of Livestock and ...
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
C: UTEKELEZAJI WA ILANI YA UCHAGUZI YA CCM YA MWAKA 2010<br />
11. Mheshimi<strong>wa</strong> Spika, katika kutekeleza majukumu <strong>ya</strong> sekta za mifugo na<br />
uvuvi, Wizara imezingatia maelekezo <strong>ya</strong>liyomo katika Ilani <strong>ya</strong> Uchaguzi <strong>ya</strong><br />
CCM <strong>ya</strong> M<strong>wa</strong>ka 2010. Ilani inatambua mchango mkub<strong>wa</strong> unaoweza kutole<strong>wa</strong><br />
na sekta hizi katika ku<strong>wa</strong>punguzia <strong>wa</strong>nanchi umaskini na kuongeza Pato la<br />
Taifa.<br />
12. Mheshimi<strong>wa</strong> Spika, ili Sekta <strong>ya</strong> Mifugo iweze kutoa mchango mkub<strong>wa</strong><br />
kwenye Pato la Taifa, Serikali imeelekez<strong>wa</strong> kutekeleza <strong>ya</strong>fuatayo:-<br />
Mapinduzi <strong>ya</strong> Ufugaji<br />
(i) Serikali i<strong>and</strong>ae programu kabambe <strong>ya</strong> kuendeleza sekta <strong>ya</strong> mifugo na<br />
ufugaji. Programu hiyo ijumuishe pamoja na mambo mengine masuala <strong>ya</strong><br />
uendelezaji <strong>wa</strong> maeneo <strong>ya</strong> malisho, kuchimba na kujenga malambo,<br />
mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong>, majosho na huduma za ugani ili hatimaye <strong>wa</strong>fugaji<br />
<strong>wa</strong>ondokane na ufugaji <strong>wa</strong> kuhamahama.<br />
Utekelezaji:<br />
Wizara k<strong>wa</strong> kushirikiana na <strong>wa</strong>dau <strong>wa</strong> sekta <strong>ya</strong> mifugo imekamilisha rasimu <strong>ya</strong><br />
Programu <strong>ya</strong> Kuendeleza Sekta <strong>ya</strong> Mifugo ambayo itatekelez<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> kipindi<br />
cha m<strong>wa</strong>ka 2011/2012 hadi 2015/2016. Programu hii, imeainisha pamoja na<br />
mambo mengine masuala <strong>ya</strong> uendelezaji <strong>wa</strong> maeneo <strong>ya</strong> malisho, kuchimba na<br />
kujenga malambo, mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong>, majosho na huduma za ugani ili hatimaye<br />
<strong>wa</strong>fugaji <strong>wa</strong>ondokane na ufugaji <strong>wa</strong> kuhamahama. Aidha, Programu<br />
imeainisha maeneo <strong>ya</strong> kipaumbele <strong>ya</strong>takayotekelez<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> kila m<strong>wa</strong>ka.<br />
(ii) Benki <strong>ya</strong> Kilimo itakayoanzish<strong>wa</strong> iwe pia Benki <strong>ya</strong> Mifugo ili iweze kutoa<br />
mikopo k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>somi wenye nia <strong>ya</strong> kufuga na ku<strong>wa</strong>wezesha kuingia k<strong>wa</strong><br />
wingi katika ufugaji <strong>wa</strong> kisasa.<br />
Utekelezaji:<br />
Wizara inaendelea kuhamasisha <strong>wa</strong>fugaji hususan <strong>wa</strong>somi kutumia uwepo <strong>wa</strong><br />
dirisha dogo katika Benki <strong>ya</strong> Taifa <strong>ya</strong> Rasilimali kukopa fedha k<strong>wa</strong> ajili <strong>ya</strong><br />
kuendeleza ufugaji <strong>wa</strong> kisasa.<br />
(iii) Kuelimisha <strong>wa</strong>fugaji kuhusu umuhimu <strong>wa</strong> uwiano kati <strong>ya</strong> idadi <strong>ya</strong> mifugo<br />
na eneo.<br />
5