jamhuri ya muungano wa tanzania - Ministry of Livestock and ...
jamhuri ya muungano wa tanzania - Ministry of Livestock and ...
jamhuri ya muungano wa tanzania - Ministry of Livestock and ...
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
(ii) Kituo cha karantini cha K<strong>wa</strong>la (Kibaha) kimeimarish<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> kujenga zizi<br />
la mbuzi na kuweka vibao v<strong>ya</strong> kuonyesha mipaka <strong>ya</strong> Kituo; na<br />
(iii) Kusimamia uingizaji <strong>wa</strong> vifaranga v<strong>ya</strong> kuku <strong>wa</strong> ma<strong>ya</strong>i 719,963 na<br />
ma<strong>ya</strong>i <strong>ya</strong> kutotolesha vifaranga 8,231,207 na kukagua ng’ombe 1,041<br />
na mazao <strong>ya</strong> mifugo kabla <strong>ya</strong> kusafirisha nje <strong>ya</strong> nchi.<br />
Katika m<strong>wa</strong>ka 2011/2012 Wizara itaendelea kuimarisha vituo 18 k<strong>wa</strong><br />
kuvipatia vitendea kazi pamoja na mafunzo k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>taalam kuhusu utambuzi<br />
na ufuatiliaji magonj<strong>wa</strong> <strong>ya</strong> mifugo.<br />
Usimamizi <strong>wa</strong> Ubora na Usalama <strong>wa</strong> V<strong>ya</strong>kula Vitokanavyo na Mifugo<br />
87. Mheshimi<strong>wa</strong> Spika, Katika m<strong>wa</strong>ka 2010/2011, Wizara imeendelea<br />
kusimamia usalama na ubora <strong>wa</strong> v<strong>ya</strong>kula vitokanavyo na mifugo. Wizara k<strong>wa</strong><br />
kushirikiana na Shirika la Vi<strong>wa</strong>ngo la Taifa ilitoa mafunzo k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>taalam 40<br />
juu <strong>ya</strong> u<strong>and</strong>aaji <strong>wa</strong> vi<strong>wa</strong>ngo v<strong>ya</strong> v<strong>ya</strong>kula na 25 kuhusu udhibiti <strong>wa</strong> usalama<br />
na ubora <strong>wa</strong> v<strong>ya</strong>kula. Aidha, jumla <strong>ya</strong> vipeperushi 1,000 v<strong>ya</strong> kuelimisha jamii<br />
kuhusu usalama na ubora <strong>wa</strong> mazi<strong>wa</strong> na n<strong>ya</strong>ma vili<strong>and</strong>ali<strong>wa</strong> na kutole<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong><br />
<strong>wa</strong>dau katika maonesho <strong>ya</strong> Nanenane. Vilevile, vipindi v<strong>ya</strong> redio kuhusu<br />
usalama na ubora <strong>wa</strong> chakula vili<strong>and</strong>ali<strong>wa</strong> na kurush<strong>wa</strong> he<strong>wa</strong>ni.<br />
Katika m<strong>wa</strong>ka 2011/2012, Wizara itaendelea kusimamia usalama na ubora <strong>wa</strong><br />
v<strong>ya</strong>kula vitokanavyo na mifugo k<strong>wa</strong> ku<strong>and</strong>aa vijarida 2,000 na vipindi viwili<br />
(2) v<strong>ya</strong> redio v<strong>ya</strong> kuhamasisha jamii. Aidha, Wizara k<strong>wa</strong> kushirikiana na FAO<br />
itaendelea ku<strong>wa</strong>jengea uwezo <strong>wa</strong> kudhibiti usalama <strong>wa</strong> v<strong>ya</strong>kula <strong>wa</strong>taalam 25.<br />
Pia, Wizara k<strong>wa</strong> kushirikiana na nchi za SADC ita<strong>and</strong>aa mpango <strong>wa</strong> kuboresha<br />
usalama na ubora <strong>wa</strong> v<strong>ya</strong>kula vitokanavyo na mifugo.<br />
Usimamizi <strong>wa</strong> Usalama na Ubora <strong>wa</strong> Pembejeo za Mifugo<br />
88. Mheshimi<strong>wa</strong> Spika, katika m<strong>wa</strong>ka 2010/2011, Wizara k<strong>wa</strong> kushirikiana<br />
na Mamlaka <strong>ya</strong> Chakula na Da<strong>wa</strong> (TFDA) iliendelea kusimamia ubora <strong>wa</strong><br />
da<strong>wa</strong>, chanjo na vifaa tiba vinavyoingiz<strong>wa</strong> nchini k<strong>wa</strong> ajili <strong>ya</strong> magonj<strong>wa</strong> <strong>ya</strong><br />
mifugo. Aidha, jamii imeendelea kuhamasish<strong>wa</strong> kutumia pembejeo za mifugo<br />
ambazo zimesajili<strong>wa</strong>. Vilevile, Wizara k<strong>wa</strong> kushirikiana na Taasisi <strong>ya</strong> Utafiti <strong>wa</strong><br />
Viuatilifu nchini (TPRI) ilisimamia uingizaji <strong>wa</strong> viuatilifu vinavyoingia nchini.<br />
Jumla <strong>ya</strong> maduka 50 <strong>ya</strong> pembejeo za mifugo katika K<strong>and</strong>a za Zi<strong>wa</strong> (10) na<br />
N<strong>ya</strong>nda za Juu Kusini (40) na vi<strong>wa</strong>nda vitatu (3) v<strong>ya</strong> kusindika v<strong>ya</strong>kula v<strong>ya</strong><br />
mifugo vilikaguli<strong>wa</strong> na ushauri juu <strong>ya</strong> hifadhi <strong>ya</strong> malighafi na v<strong>ya</strong>kula<br />
vilivyosindik<strong>wa</strong> ili kudhibiti ubora na usalama ulitole<strong>wa</strong>.<br />
Katika m<strong>wa</strong>ka 2011/2012, Wizara itaendelea kusimamia ubora na usalama <strong>wa</strong><br />
pembejeo za mifugo ili ku<strong>wa</strong>hakikishia <strong>wa</strong>fugaji upatikanaji <strong>wa</strong>ke. Aidha,<br />
<strong>wa</strong>kaguzi 30 <strong>wa</strong>tapati<strong>wa</strong> mafunzo juu <strong>ya</strong> udhibiti <strong>wa</strong> pembejeo za mifugo na<br />
48