15.01.2013 Views

jamhuri ya muungano wa tanzania - Ministry of Livestock and ...

jamhuri ya muungano wa tanzania - Ministry of Livestock and ...

jamhuri ya muungano wa tanzania - Ministry of Livestock and ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Katika m<strong>wa</strong>ka 2011/2012, Wizara itaendelea kutekeleza Mkakati <strong>wa</strong> Kudhibiti<br />

Ugonj<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> Homa <strong>ya</strong> Bonde la Ufa k<strong>wa</strong> kununua dozi milioni moja (1) na<br />

kuzisambaza katika Halmashauri 15 zilizo kwenye maeneo hatari <strong>ya</strong> kupata<br />

ugonj<strong>wa</strong> huo. Pia, Wizara itaendelea kutoa elimu k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>nanchi kuhusu<br />

ugonj<strong>wa</strong> huo na ku<strong>wa</strong>shauri hatua za kuchukua.<br />

(c) Ugonj<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> Kimeta<br />

84. Mheshimi<strong>wa</strong> Spika, udhibiti <strong>wa</strong> ugonj<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> Kimeta uliendelea nchini<br />

katika maeneo <strong>ya</strong> Halmashauri <strong>ya</strong>liyotole<strong>wa</strong> taarifa ku<strong>wa</strong> na ugonj<strong>wa</strong> huo.<br />

Maeneo hayo <strong>ya</strong>najumuisha Pori la Akiba la Mas<strong>wa</strong> na eneo linalozunguka Mto<br />

Rufiji. Ili kukinga mifugo iliyoko katika maeneo hayo, jumla <strong>ya</strong> ng’ombe<br />

58,000 <strong>wa</strong>lipati<strong>wa</strong> chanjo <strong>ya</strong> kuzuia Kimeta.<br />

Katika m<strong>wa</strong>ka 2011/2012, Wizara itaendelea kuratibu udhibiti <strong>wa</strong> ugonj<strong>wa</strong> <strong>wa</strong><br />

kimeta katika Halmashauri zitakazoku<strong>wa</strong> katika hatari <strong>ya</strong> kupata ugonj<strong>wa</strong> huo.<br />

(d) Ugonj<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> Kutupa mimba<br />

85. Mheshimi<strong>wa</strong> Spika, Wizara imeendelea kudhibiti ugonj<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> Kutupa<br />

Mimba k<strong>wa</strong> kupima vi<strong>wa</strong>ngo v<strong>ya</strong> maambukizi <strong>ya</strong> ugonj<strong>wa</strong> huo. Katika m<strong>wa</strong>ka<br />

2010/2011, jumla <strong>ya</strong> ng’ombe 1,844, mbuzi tisa (9), kondoo <strong>wa</strong>wili (2) na<br />

ngamia <strong>wa</strong>wili (2) <strong>wa</strong>lipim<strong>wa</strong> ugonj<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> Kutupa Mimba ambapo ng’ombe<br />

252 <strong>wa</strong>lithibitika ku<strong>wa</strong> na ugonj<strong>wa</strong> huo.<br />

Katika m<strong>wa</strong>ka 2011/2012, Wizara itafan<strong>ya</strong> uchunguzi <strong>wa</strong> ng’ombe 5,000,<br />

mbuzi 2,500 na kondoo 2,500 dhidi <strong>ya</strong> ugonj<strong>wa</strong> huo katika mashamba <strong>ya</strong><br />

kuzalisha mitamba, ranchi za Taifa pamoja na mashamba <strong>ya</strong> Taasisi za umma<br />

na <strong>ya</strong> sekta binafsi nchini. Aidha, Wizara itanunua chanjo dozi 100,000 k<strong>wa</strong><br />

ajili <strong>ya</strong> udhibiti <strong>wa</strong> ugonj<strong>wa</strong> huo kwenye mashamba <strong>ya</strong> mifugo <strong>ya</strong> Serikali na<br />

<strong>ya</strong> sekta binafsi. Pia, Wizara ita<strong>and</strong>aa Mkakati na Kanuni za kusimamia udhibiti<br />

<strong>wa</strong> Ugonj<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> Kutupa Mimba.<br />

Ufuatiliaji <strong>wa</strong> Magonj<strong>wa</strong> na Ukaguzi <strong>wa</strong> Mifugo na Mazao <strong>ya</strong>ke<br />

86. Mheshimi<strong>wa</strong> Spika, Wizara imeendelea kuimarisha Vituo v<strong>ya</strong> Ukaguzi<br />

<strong>wa</strong> Mifugo na Mazao <strong>ya</strong>ke ili kuviwezesha kufuatilia usafirishaji <strong>wa</strong> mifugo na<br />

mazao <strong>ya</strong>ke kutoka ndani na nje <strong>ya</strong> nchi. K<strong>wa</strong> sasa vipo vituo v<strong>ya</strong> ukaguzi 36<br />

vilivyoko mipakani, vi<strong>wa</strong>nja v<strong>ya</strong> ndege, b<strong>and</strong>ari, reli na nchi kavu; vituo 19<br />

v<strong>ya</strong> kupumzikia mifugo na vituo 381 vilivyo chini <strong>ya</strong> Halmashauri. Katika<br />

m<strong>wa</strong>ka 2010/2011 Wizara ilitekeleza kazi zifuatazo:-<br />

(i) Vituo 11 v<strong>ya</strong> ukaguzi vimeimarish<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> kupati<strong>wa</strong> vitendea kazi<br />

zikiwemo pikipiki 11 na kompyuta;<br />

47

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!