15.01.2013 Views

jamhuri ya muungano wa tanzania - Ministry of Livestock and ...

jamhuri ya muungano wa tanzania - Ministry of Livestock and ...

jamhuri ya muungano wa tanzania - Ministry of Livestock and ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

(iii) Kuzuia uingizaji <strong>wa</strong> ndege, kuku na mazao <strong>ya</strong>ke kutoka nchi<br />

zilizoathirika na ugonj<strong>wa</strong> huo;<br />

(iv) Kutoa elimu k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>totoleshaji na <strong>wa</strong>dau 40 kuhusu kanuni za<br />

utotoleshaji <strong>wa</strong> vifaranga;<br />

(v) Ku<strong>and</strong>aa Mwongozo <strong>wa</strong> Ufugaji Bora ambao utachapish<strong>wa</strong> na<br />

kusambaz<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>dau;<br />

(vi) Kufan<strong>ya</strong> marejeo <strong>ya</strong> Mpango <strong>wa</strong> Tahadhari na Udhibiti <strong>wa</strong> Mafua<br />

Makali <strong>ya</strong> Ndege na Binadamu;<br />

(vii) Kununua magari manne (4) kuwezesha utekelezaji <strong>wa</strong> mkakati <strong>wa</strong><br />

kudhibiti mafua makali <strong>ya</strong> ndege;<br />

(viii) Kujenga uwezo <strong>wa</strong> <strong>wa</strong>dau 44 kutoka Halmashauri katika mikoa <strong>ya</strong><br />

K<strong>and</strong>a <strong>ya</strong> Zi<strong>wa</strong> Victoria kupitia mradi <strong>wa</strong> Kudhibiti Ugonj<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> Mafua<br />

Makali <strong>ya</strong> Ndege unaotekelez<strong>wa</strong> na nchi za Mashariki <strong>ya</strong> Afrika<br />

zikiwemo Ken<strong>ya</strong>, Tanzania, Ug<strong>and</strong>a, Sudan na Ethiopia; na<br />

(ix) Kufan<strong>ya</strong> tathmini <strong>ya</strong> Mnyororo <strong>wa</strong> Thamani (Poultry Value Chain<br />

Analysis) katika mikoa <strong>ya</strong> Dar es Salaam, Arusha, Dodoma na Singida<br />

k<strong>wa</strong> lengo la kuboresha ufugaji <strong>wa</strong> kuku <strong>wa</strong> asili.<br />

76. Mheshimi<strong>wa</strong> Spika, katika m<strong>wa</strong>ka 2011/2012 Wizara itatekeleza kazi<br />

zifuatazo:-<br />

(i) Kukamilisha na kusambaza Mpango Mkakati <strong>wa</strong> Tahadhari dhidi <strong>ya</strong><br />

Ugonj<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> Mafua Makali <strong>ya</strong> Ndege (National Influenza Emergency<br />

Preparedness <strong>and</strong> Response Plan); na<br />

(ii) Kurejea na kuboresha Mpango Mkakati <strong>wa</strong> Ma<strong>wa</strong>siliano katika Tahadhari<br />

na udhibiti <strong>wa</strong> Mafua Makali <strong>ya</strong> Ndege.<br />

77. Mheshimi<strong>wa</strong> Spika, Wizara imeendelea na mkakati <strong>wa</strong> kudhibiti<br />

Ugonj<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> Mdondo nchini k<strong>wa</strong> kusambaza chanjo katika Halmashauri kupitia<br />

vituo v<strong>ya</strong> k<strong>and</strong>a v<strong>ya</strong> uchunguzi <strong>wa</strong> magonj<strong>wa</strong> <strong>ya</strong> mifugo. Tathmini <strong>ya</strong><br />

matumizi <strong>ya</strong> chanjo hii inaonesha kupungua k<strong>wa</strong> vifo v<strong>ya</strong> kuku kutoka asilimia<br />

90 hadi nne (4) katika maeneo ambayo chanjo ilitumika. Katika m<strong>wa</strong>ka<br />

2011/2012, Wizara itakamilisha Mpango Mkakati <strong>wa</strong> Udhibiti <strong>wa</strong> Mdondo na<br />

kuanzisha kampeni <strong>ya</strong> Kitaifa <strong>ya</strong> chanjo dhidi <strong>ya</strong> ugonj<strong>wa</strong> huo.<br />

78. Mheshimi<strong>wa</strong> Spika, katika m<strong>wa</strong>ka 2010/2011, matukio <strong>ya</strong> ugonj<strong>wa</strong> <strong>wa</strong><br />

Homa <strong>ya</strong> Nguruwe (African Swine Fever – ASF) <strong>ya</strong>liripoti<strong>wa</strong> katika mikoa <strong>ya</strong><br />

Mbe<strong>ya</strong>, Iringa na Dar es Salaam ambapo jumla <strong>ya</strong> nguruwe 11,445<br />

<strong>wa</strong>mekufa katika Halmashauri za Kyela (966), Rungwe (1,933), Ileje (14),<br />

Mbarali (2,919), Mbe<strong>ya</strong> Vijijini (322), Jiji la Mbe<strong>ya</strong> (1,476), Mbozi (505),<br />

Chun<strong>ya</strong> (2,058), Lude<strong>wa</strong> (572), Makete (80), Kinondoni (423), Temeke<br />

(129) na Ilala (48). Aidha, katika kudhibiti ugonj<strong>wa</strong> huo mikoa <strong>ya</strong> Mbe<strong>ya</strong>,<br />

Iringa na Dar es Salaam iliwek<strong>wa</strong> chini <strong>ya</strong> karantini na masharti kulegez<strong>wa</strong><br />

pale ugonj<strong>wa</strong> ulipoonyesha kupungua. Pia, Wizara imenunua pampu za injini<br />

43

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!