jamhuri ya muungano wa tanzania - Ministry of Livestock and ...
jamhuri ya muungano wa tanzania - Ministry of Livestock and ...
jamhuri ya muungano wa tanzania - Ministry of Livestock and ...
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
(iii) Kuzuia uingizaji <strong>wa</strong> ndege, kuku na mazao <strong>ya</strong>ke kutoka nchi<br />
zilizoathirika na ugonj<strong>wa</strong> huo;<br />
(iv) Kutoa elimu k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>totoleshaji na <strong>wa</strong>dau 40 kuhusu kanuni za<br />
utotoleshaji <strong>wa</strong> vifaranga;<br />
(v) Ku<strong>and</strong>aa Mwongozo <strong>wa</strong> Ufugaji Bora ambao utachapish<strong>wa</strong> na<br />
kusambaz<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>dau;<br />
(vi) Kufan<strong>ya</strong> marejeo <strong>ya</strong> Mpango <strong>wa</strong> Tahadhari na Udhibiti <strong>wa</strong> Mafua<br />
Makali <strong>ya</strong> Ndege na Binadamu;<br />
(vii) Kununua magari manne (4) kuwezesha utekelezaji <strong>wa</strong> mkakati <strong>wa</strong><br />
kudhibiti mafua makali <strong>ya</strong> ndege;<br />
(viii) Kujenga uwezo <strong>wa</strong> <strong>wa</strong>dau 44 kutoka Halmashauri katika mikoa <strong>ya</strong><br />
K<strong>and</strong>a <strong>ya</strong> Zi<strong>wa</strong> Victoria kupitia mradi <strong>wa</strong> Kudhibiti Ugonj<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> Mafua<br />
Makali <strong>ya</strong> Ndege unaotekelez<strong>wa</strong> na nchi za Mashariki <strong>ya</strong> Afrika<br />
zikiwemo Ken<strong>ya</strong>, Tanzania, Ug<strong>and</strong>a, Sudan na Ethiopia; na<br />
(ix) Kufan<strong>ya</strong> tathmini <strong>ya</strong> Mnyororo <strong>wa</strong> Thamani (Poultry Value Chain<br />
Analysis) katika mikoa <strong>ya</strong> Dar es Salaam, Arusha, Dodoma na Singida<br />
k<strong>wa</strong> lengo la kuboresha ufugaji <strong>wa</strong> kuku <strong>wa</strong> asili.<br />
76. Mheshimi<strong>wa</strong> Spika, katika m<strong>wa</strong>ka 2011/2012 Wizara itatekeleza kazi<br />
zifuatazo:-<br />
(i) Kukamilisha na kusambaza Mpango Mkakati <strong>wa</strong> Tahadhari dhidi <strong>ya</strong><br />
Ugonj<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> Mafua Makali <strong>ya</strong> Ndege (National Influenza Emergency<br />
Preparedness <strong>and</strong> Response Plan); na<br />
(ii) Kurejea na kuboresha Mpango Mkakati <strong>wa</strong> Ma<strong>wa</strong>siliano katika Tahadhari<br />
na udhibiti <strong>wa</strong> Mafua Makali <strong>ya</strong> Ndege.<br />
77. Mheshimi<strong>wa</strong> Spika, Wizara imeendelea na mkakati <strong>wa</strong> kudhibiti<br />
Ugonj<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> Mdondo nchini k<strong>wa</strong> kusambaza chanjo katika Halmashauri kupitia<br />
vituo v<strong>ya</strong> k<strong>and</strong>a v<strong>ya</strong> uchunguzi <strong>wa</strong> magonj<strong>wa</strong> <strong>ya</strong> mifugo. Tathmini <strong>ya</strong><br />
matumizi <strong>ya</strong> chanjo hii inaonesha kupungua k<strong>wa</strong> vifo v<strong>ya</strong> kuku kutoka asilimia<br />
90 hadi nne (4) katika maeneo ambayo chanjo ilitumika. Katika m<strong>wa</strong>ka<br />
2011/2012, Wizara itakamilisha Mpango Mkakati <strong>wa</strong> Udhibiti <strong>wa</strong> Mdondo na<br />
kuanzisha kampeni <strong>ya</strong> Kitaifa <strong>ya</strong> chanjo dhidi <strong>ya</strong> ugonj<strong>wa</strong> huo.<br />
78. Mheshimi<strong>wa</strong> Spika, katika m<strong>wa</strong>ka 2010/2011, matukio <strong>ya</strong> ugonj<strong>wa</strong> <strong>wa</strong><br />
Homa <strong>ya</strong> Nguruwe (African Swine Fever – ASF) <strong>ya</strong>liripoti<strong>wa</strong> katika mikoa <strong>ya</strong><br />
Mbe<strong>ya</strong>, Iringa na Dar es Salaam ambapo jumla <strong>ya</strong> nguruwe 11,445<br />
<strong>wa</strong>mekufa katika Halmashauri za Kyela (966), Rungwe (1,933), Ileje (14),<br />
Mbarali (2,919), Mbe<strong>ya</strong> Vijijini (322), Jiji la Mbe<strong>ya</strong> (1,476), Mbozi (505),<br />
Chun<strong>ya</strong> (2,058), Lude<strong>wa</strong> (572), Makete (80), Kinondoni (423), Temeke<br />
(129) na Ilala (48). Aidha, katika kudhibiti ugonj<strong>wa</strong> huo mikoa <strong>ya</strong> Mbe<strong>ya</strong>,<br />
Iringa na Dar es Salaam iliwek<strong>wa</strong> chini <strong>ya</strong> karantini na masharti kulegez<strong>wa</strong><br />
pale ugonj<strong>wa</strong> ulipoonyesha kupungua. Pia, Wizara imenunua pampu za injini<br />
43