jamhuri ya muungano wa tanzania - Ministry of Livestock and ...
jamhuri ya muungano wa tanzania - Ministry of Livestock and ...
jamhuri ya muungano wa tanzania - Ministry of Livestock and ...
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
mashamba <strong>ya</strong> Serikali (Jed<strong>wa</strong>li Na. 7a) na 420,100 kutoka sekta binafsi<br />
(Jed<strong>wa</strong>li Na. 7b). Mbegu za malisho zilizozalish<strong>wa</strong> zimesambaz<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong><br />
<strong>wa</strong>fugaji na taasisi katika Mikoa <strong>ya</strong> Arusha, Dar es Salaam, Dodoma,<br />
Morogoro, Mt<strong>wa</strong>ra na P<strong>wa</strong>ni, pamoja na nchi <strong>ya</strong> Ug<strong>and</strong>a.<br />
Kazi nyingine zilizotekelez<strong>wa</strong> ni pamoja na:-<br />
(i) Kuimarisha vikundi 1,265 v<strong>ya</strong> <strong>wa</strong>fugaji <strong>wa</strong> asili na kuwezesha uundaji<br />
<strong>wa</strong> uongozi <strong>wa</strong> juu <strong>wa</strong> Umoja <strong>wa</strong> Wafugaji K<strong>and</strong>a <strong>ya</strong> Mashariki<br />
(UWAKAMA) kutoka mikoa <strong>ya</strong> P<strong>wa</strong>ni na Morogoro. Vilevile, k<strong>wa</strong><br />
kushirikiana na shirika lisilo la kiserikali Care International Tanzania,<br />
jumla <strong>ya</strong> v<strong>ya</strong>ma v<strong>ya</strong> kiraia 40 vilipati<strong>wa</strong> mafunzo mbalimbali kuhusu<br />
sheria za Ardhi na taratibu za kumilikish<strong>wa</strong> ardhi k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>fugaji <strong>wa</strong> asili<br />
chini <strong>ya</strong> mfuko <strong>wa</strong> kuendeleza ufugaji <strong>wa</strong> asili (Pastoral Basket Fund).<br />
Mfuko huu unafadhili<strong>wa</strong> na Irish Aid na IFAD/ILC;<br />
(ii) Kushiriki katika usuluhishi <strong>wa</strong> migogoro <strong>ya</strong> matumizi <strong>ya</strong> ardhi kati <strong>ya</strong><br />
mwekezaji na jamii <strong>ya</strong> <strong>wa</strong>fugaji <strong>wa</strong> vijiji 22 v<strong>ya</strong> Wila<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Ngorongoro;<br />
(iii) Kuhamasisha na kuratibu mipango <strong>ya</strong> matumizi <strong>ya</strong> ardhi katika wila<strong>ya</strong> 4<br />
za Kondoa, Kiteto, Bahi na Chamwino chini <strong>ya</strong> Mradi <strong>wa</strong> Usimamizi<br />
Endelevu <strong>wa</strong> N<strong>ya</strong>nda za malisho una<strong>of</strong>adhili<strong>wa</strong> na IFAD na ILC;<br />
(iv) Ku<strong>wa</strong>jengea uwezo <strong>wa</strong>taalam kutoka Wila<strong>ya</strong> 45 kuhusu uzalishaji,<br />
uhifadhi na matumizi <strong>ya</strong> malisho na ukaguzi <strong>wa</strong> v<strong>ya</strong>kula v<strong>ya</strong> mifugo;<br />
(v) Kutoa mafunzo k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>taalam 40 katika Halmashauri 40 kuhusu<br />
matumizi <strong>ya</strong> Geographical Information System (GIS);<br />
(vi) Kutoa mafunzo kuhusu ukusan<strong>ya</strong>ji <strong>wa</strong> takwimu katika mfumo <strong>wa</strong><br />
tahadhari <strong>ya</strong> majanga k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>taalam 65 kutoka mikoa <strong>ya</strong> Arusha (9),<br />
Dodoma (7), Kilimanjaro (9), Man<strong>ya</strong>ra (7), Mara (6), M<strong>wa</strong>nza (8),<br />
Shin<strong>ya</strong>nga (10) na Singida (9); na<br />
(vii) Ku<strong>and</strong>aa kanuni nne (4) za kusimamia utekelezaji <strong>wa</strong> Sheria <strong>ya</strong> Maeneo<br />
<strong>ya</strong> Malisho na Rasilimali <strong>ya</strong> V<strong>ya</strong>kula v<strong>ya</strong> Wan<strong>ya</strong>ma Na. 13 <strong>ya</strong> M<strong>wa</strong>ka<br />
2010.<br />
Katika m<strong>wa</strong>ka 2011/2012, Wizara itatekeleza kazi zifuatazo:-<br />
(i) Kukarabati na ku<strong>ya</strong>wezesha mashamba nane (8) <strong>ya</strong> kuzalisha mbegu<br />
bora za malisho ili kuzalisha tani 50 za mbegu na marobota 360,000 <strong>ya</strong><br />
hei;<br />
(ii) Kuratibu na kuwezesha Wiki <strong>ya</strong> Ufugaji <strong>wa</strong> Asili k<strong>wa</strong> kushirikiana na<br />
<strong>wa</strong>dau mbalimbali;<br />
(iii) Ku<strong>and</strong>aa kanuni chini <strong>ya</strong> Sheria Na. 13 <strong>ya</strong> N<strong>ya</strong>nda za Malisho na V<strong>ya</strong>kula<br />
v<strong>ya</strong> Wan<strong>ya</strong>ma <strong>ya</strong> m<strong>wa</strong>ka 2010;<br />
(iv) Kuhamasisha matumizi endelevu <strong>ya</strong> rasilimali ardhi ili kupunguza<br />
migogoro kati <strong>ya</strong> <strong>wa</strong>fugaji na <strong>wa</strong>tumiaji wengine <strong>wa</strong> rasilimali ardhi;<br />
39