15.01.2013 Views

jamhuri ya muungano wa tanzania - Ministry of Livestock and ...

jamhuri ya muungano wa tanzania - Ministry of Livestock and ...

jamhuri ya muungano wa tanzania - Ministry of Livestock and ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

mashamba <strong>ya</strong> Serikali (Jed<strong>wa</strong>li Na. 7a) na 420,100 kutoka sekta binafsi<br />

(Jed<strong>wa</strong>li Na. 7b). Mbegu za malisho zilizozalish<strong>wa</strong> zimesambaz<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong><br />

<strong>wa</strong>fugaji na taasisi katika Mikoa <strong>ya</strong> Arusha, Dar es Salaam, Dodoma,<br />

Morogoro, Mt<strong>wa</strong>ra na P<strong>wa</strong>ni, pamoja na nchi <strong>ya</strong> Ug<strong>and</strong>a.<br />

Kazi nyingine zilizotekelez<strong>wa</strong> ni pamoja na:-<br />

(i) Kuimarisha vikundi 1,265 v<strong>ya</strong> <strong>wa</strong>fugaji <strong>wa</strong> asili na kuwezesha uundaji<br />

<strong>wa</strong> uongozi <strong>wa</strong> juu <strong>wa</strong> Umoja <strong>wa</strong> Wafugaji K<strong>and</strong>a <strong>ya</strong> Mashariki<br />

(UWAKAMA) kutoka mikoa <strong>ya</strong> P<strong>wa</strong>ni na Morogoro. Vilevile, k<strong>wa</strong><br />

kushirikiana na shirika lisilo la kiserikali Care International Tanzania,<br />

jumla <strong>ya</strong> v<strong>ya</strong>ma v<strong>ya</strong> kiraia 40 vilipati<strong>wa</strong> mafunzo mbalimbali kuhusu<br />

sheria za Ardhi na taratibu za kumilikish<strong>wa</strong> ardhi k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>fugaji <strong>wa</strong> asili<br />

chini <strong>ya</strong> mfuko <strong>wa</strong> kuendeleza ufugaji <strong>wa</strong> asili (Pastoral Basket Fund).<br />

Mfuko huu unafadhili<strong>wa</strong> na Irish Aid na IFAD/ILC;<br />

(ii) Kushiriki katika usuluhishi <strong>wa</strong> migogoro <strong>ya</strong> matumizi <strong>ya</strong> ardhi kati <strong>ya</strong><br />

mwekezaji na jamii <strong>ya</strong> <strong>wa</strong>fugaji <strong>wa</strong> vijiji 22 v<strong>ya</strong> Wila<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Ngorongoro;<br />

(iii) Kuhamasisha na kuratibu mipango <strong>ya</strong> matumizi <strong>ya</strong> ardhi katika wila<strong>ya</strong> 4<br />

za Kondoa, Kiteto, Bahi na Chamwino chini <strong>ya</strong> Mradi <strong>wa</strong> Usimamizi<br />

Endelevu <strong>wa</strong> N<strong>ya</strong>nda za malisho una<strong>of</strong>adhili<strong>wa</strong> na IFAD na ILC;<br />

(iv) Ku<strong>wa</strong>jengea uwezo <strong>wa</strong>taalam kutoka Wila<strong>ya</strong> 45 kuhusu uzalishaji,<br />

uhifadhi na matumizi <strong>ya</strong> malisho na ukaguzi <strong>wa</strong> v<strong>ya</strong>kula v<strong>ya</strong> mifugo;<br />

(v) Kutoa mafunzo k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>taalam 40 katika Halmashauri 40 kuhusu<br />

matumizi <strong>ya</strong> Geographical Information System (GIS);<br />

(vi) Kutoa mafunzo kuhusu ukusan<strong>ya</strong>ji <strong>wa</strong> takwimu katika mfumo <strong>wa</strong><br />

tahadhari <strong>ya</strong> majanga k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>taalam 65 kutoka mikoa <strong>ya</strong> Arusha (9),<br />

Dodoma (7), Kilimanjaro (9), Man<strong>ya</strong>ra (7), Mara (6), M<strong>wa</strong>nza (8),<br />

Shin<strong>ya</strong>nga (10) na Singida (9); na<br />

(vii) Ku<strong>and</strong>aa kanuni nne (4) za kusimamia utekelezaji <strong>wa</strong> Sheria <strong>ya</strong> Maeneo<br />

<strong>ya</strong> Malisho na Rasilimali <strong>ya</strong> V<strong>ya</strong>kula v<strong>ya</strong> Wan<strong>ya</strong>ma Na. 13 <strong>ya</strong> M<strong>wa</strong>ka<br />

2010.<br />

Katika m<strong>wa</strong>ka 2011/2012, Wizara itatekeleza kazi zifuatazo:-<br />

(i) Kukarabati na ku<strong>ya</strong>wezesha mashamba nane (8) <strong>ya</strong> kuzalisha mbegu<br />

bora za malisho ili kuzalisha tani 50 za mbegu na marobota 360,000 <strong>ya</strong><br />

hei;<br />

(ii) Kuratibu na kuwezesha Wiki <strong>ya</strong> Ufugaji <strong>wa</strong> Asili k<strong>wa</strong> kushirikiana na<br />

<strong>wa</strong>dau mbalimbali;<br />

(iii) Ku<strong>and</strong>aa kanuni chini <strong>ya</strong> Sheria Na. 13 <strong>ya</strong> N<strong>ya</strong>nda za Malisho na V<strong>ya</strong>kula<br />

v<strong>ya</strong> Wan<strong>ya</strong>ma <strong>ya</strong> m<strong>wa</strong>ka 2010;<br />

(iv) Kuhamasisha matumizi endelevu <strong>ya</strong> rasilimali ardhi ili kupunguza<br />

migogoro kati <strong>ya</strong> <strong>wa</strong>fugaji na <strong>wa</strong>tumiaji wengine <strong>wa</strong> rasilimali ardhi;<br />

39

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!