15.01.2013 Views

jamhuri ya muungano wa tanzania - Ministry of Livestock and ...

jamhuri ya muungano wa tanzania - Ministry of Livestock and ...

jamhuri ya muungano wa tanzania - Ministry of Livestock and ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

kimeanza kufan<strong>ya</strong> kazi <strong>ya</strong> kusindika mazi<strong>wa</strong>. Juhudi nyingine ziliz<strong>of</strong>any<strong>wa</strong> na<br />

Wizara kuhamasisha ukusan<strong>ya</strong>ji na usindikaji <strong>wa</strong> mazi<strong>wa</strong> nchini ni pamoja na:-<br />

(i) Ku<strong>and</strong>aa <strong>and</strong>iko la Mpango <strong>wa</strong> kitaifa la Uny<strong>wa</strong>ji <strong>wa</strong> Mazi<strong>wa</strong> Shuleni;<br />

(ii) Kuwezesha vikundi viwili (2) v<strong>ya</strong> Nronga na Enaboishu kupata vifaa<br />

v<strong>ya</strong> kupoza na kusindika mazi<strong>wa</strong>;<br />

(iii) Kuhamasisha Mamlaka za Serikali za Mitaa kusimamia na kudhibiti<br />

ubora <strong>wa</strong> mazi<strong>wa</strong> katika maeneo <strong>ya</strong> <strong>wa</strong>fugaji. Vikundi 12 v<strong>ya</strong> uzalishaji<br />

<strong>wa</strong> mazi<strong>wa</strong> v<strong>ya</strong> ushirika <strong>wa</strong> NJOLIFA vinavyouza mazi<strong>wa</strong> katika ki<strong>wa</strong>nda<br />

cha CEFA Njombe vimewezesh<strong>wa</strong> kupima mazi<strong>wa</strong> ili kukidhi vi<strong>wa</strong>ngo<br />

v<strong>ya</strong> ubora na masharti <strong>ya</strong> mkataba; na<br />

(iv) Kuwezesha <strong>wa</strong>nachama 18 <strong>wa</strong> vikundi v<strong>ya</strong> kuzalisha, kukusan<strong>ya</strong> na<br />

kusindika mazi<strong>wa</strong> na <strong>wa</strong>taalam <strong>wa</strong>nne (4) kufan<strong>ya</strong> ziara <strong>ya</strong> mafunzo<br />

Nakuru Ken<strong>ya</strong> kuhusu ufugaji, ukusan<strong>ya</strong>ji na usindikaji <strong>wa</strong> mazi<strong>wa</strong>.<br />

Katika m<strong>wa</strong>ka 2011/2012, Wizara itaendelea kuhamasisha <strong>wa</strong>dau kuwekeza<br />

na kuongeza usindikaji <strong>wa</strong> mazi<strong>wa</strong> ili kusindika lita 130,000 k<strong>wa</strong> siku. Aidha,<br />

Wizara itaendelea kubaini maeneo yenye mazi<strong>wa</strong> mengi katika K<strong>and</strong>a za<br />

Kaskazini na Magharibi ili kuendelea kuhamasisha <strong>wa</strong>dau <strong>wa</strong> mazi<strong>wa</strong><br />

kuwekeza katika biashara na usindikaji <strong>wa</strong> mazi<strong>wa</strong>.<br />

62. Mheshimi<strong>wa</strong> Spika, Wizara imeendelea kuhamasisha matumizi <strong>ya</strong><br />

teknolojia <strong>ya</strong> uhimilishaji kama njia yenye tija <strong>ya</strong> kuzalisha mifugo bora. Katika<br />

m<strong>wa</strong>ka 2010/2011, Kituo cha Taifa cha Uhimilishaji – NAIC Usa River na vituo<br />

v<strong>ya</strong> K<strong>and</strong>a v<strong>ya</strong> M<strong>wa</strong>nza, Dodoma, Kibaha, Lindi na Mbe<strong>ya</strong> vimeimarish<strong>wa</strong>.<br />

Aidha, jumla <strong>ya</strong> dozi 150,000 za mbegu bora zimezalish<strong>wa</strong> ikilinganish<strong>wa</strong> na<br />

dozi 110,000 zilizozalish<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka 2009/2010 iki<strong>wa</strong> ni ongezeko la asilimia<br />

36. Pia, jumla <strong>ya</strong> ng’ombe 76,800 <strong>wa</strong>lihimilish<strong>wa</strong> ikilinganish<strong>wa</strong> na ng’ombe<br />

73,900 <strong>wa</strong>liohimilish<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka 2009/2010. Kazi nyingine zilizotekelez<strong>wa</strong> ni<br />

pamoja na:-<br />

(i) Kuzalisha lita 38,400 za kimiminika cha naitrojeni (Liquid Nitrogen)<br />

katika kituo cha NAIC na kwenye vituo vitatu (3) v<strong>ya</strong> uhimilishaji v<strong>ya</strong><br />

k<strong>and</strong>a v<strong>ya</strong> Dodoma, Kibaha na M<strong>wa</strong>nza;<br />

(ii) Kufundisha <strong>wa</strong>taalam 320 <strong>wa</strong> uhimilishaji kutoka kwenye maeneo<br />

mbalimbali nchini;<br />

(iii) Kufan<strong>ya</strong> tathmini <strong>ya</strong> a<strong>wa</strong>li k<strong>wa</strong> ajili <strong>ya</strong> ujenzi <strong>wa</strong> kituo kip<strong>ya</strong> cha<br />

uhimilishaji mifugo cha Sao Hill – Iringa;<br />

(iv) Kufan<strong>ya</strong> tathmini <strong>ya</strong> a<strong>wa</strong>li k<strong>wa</strong> ajili <strong>ya</strong> kujenga vituo viwili (2) v<strong>ya</strong><br />

uhimilishaji v<strong>ya</strong> Tanga na Tabora; na<br />

(v) Ku<strong>wa</strong>patia mafunzo <strong>ya</strong> uhimilishaji <strong>wa</strong>tumishi 10 kutoka kwenye<br />

mashamba <strong>ya</strong> kuzalisha mifugo na vituo v<strong>ya</strong> k<strong>and</strong>a za Kusini (Lindi) na<br />

N<strong>ya</strong>nda za Juu Kusini (Mbe<strong>ya</strong>).<br />

36

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!