15.01.2013 Views

jamhuri ya muungano wa tanzania - Ministry of Livestock and ...

jamhuri ya muungano wa tanzania - Ministry of Livestock and ...

jamhuri ya muungano wa tanzania - Ministry of Livestock and ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Vilevile, vyuo hivyo vimeendelea kutoa mafunzo <strong>ya</strong> muda mfupi k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>fugaji<br />

k<strong>wa</strong> ushirikiano kati <strong>ya</strong> Wizara na Wafadhili mbalimbali <strong>wa</strong>kiwemo HPT, World<br />

Vision, Taasisi za Dini, MVIWATA na Halmashauri. Jumla <strong>ya</strong> <strong>wa</strong>fugaji 8,796<br />

<strong>wa</strong>lipati<strong>wa</strong> mafunzo katika n<strong>ya</strong>nja za ufugaji <strong>wa</strong> ng’ombe na mbuzi <strong>wa</strong><br />

mazi<strong>wa</strong>, nyuki, kuku, uendelezaji <strong>wa</strong> malisho na zao la ngozi, usindikaji <strong>wa</strong><br />

mazi<strong>wa</strong> na af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> mifugo.<br />

56. Mheshimi<strong>wa</strong> Spika, Serikali imeendelea kujenga uwezo <strong>wa</strong> vyuo v<strong>ya</strong><br />

mafunzo <strong>ya</strong> mifugo k<strong>wa</strong> kukarabati miundombinu na kununua vifaa v<strong>ya</strong><br />

kufundishia ambapo jumla <strong>ya</strong> madarasa manne (4), hosteli tano (5) na<br />

b<strong>wa</strong>lo moja (1) vimekarabati<strong>wa</strong> pamoja na kuendelea kuimarisha majengo <strong>ya</strong><br />

mifugo katika vyuo hivyo. Aidha, vyuo hivyo vimepati<strong>wa</strong> vitendea kazi<br />

vikiwemo kompyuta 12, basi moja (1), trekta tatu (3) na zana zake,<br />

mada<strong>wa</strong>ti na viti 55, vit<strong>and</strong>a na magodoro 68. Pia, <strong>wa</strong>kufunzi saba (7)<br />

<strong>wa</strong>nafadhili<strong>wa</strong> masomo ambapo shahada <strong>ya</strong> uzamili ni <strong>wa</strong>tano (5), uzamivu<br />

<strong>wa</strong>wili (2) na 12 <strong>wa</strong>mehudhuria mafunzo <strong>ya</strong> muda mfupi ndani na nje <strong>ya</strong><br />

nchi.<br />

57. Mheshimi<strong>wa</strong> Spika, katika m<strong>wa</strong>ka 2011/2012, Wizara itatekeleza<br />

<strong>ya</strong>fuatayo:-<br />

(i) Kuimarisha uwezo <strong>wa</strong> vyuo v<strong>ya</strong> mifugo ili kuweza kuchukua<br />

<strong>wa</strong>nafunzi 2,000 k<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka <strong>wa</strong>kiwemo 1,000 <strong>wa</strong> Astashahada na<br />

1,000 <strong>wa</strong> Stashahada. M<strong>wa</strong>ka huu vyuo vitaku<strong>wa</strong> na jumla <strong>ya</strong><br />

<strong>wa</strong>nafunzi 1,500;<br />

(ii) Kukamilisha taratibu za kuanzisha <strong>wa</strong>kala <strong>wa</strong> mafunzo <strong>ya</strong> mifugo;<br />

(iii) Ku<strong>wa</strong>endeleza <strong>wa</strong>kufunzi 20 k<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong>patia mafunzo katika ngazi<br />

mbalimbali; na<br />

(iv) Kuendelea na taratibu za kukamilisha ithibati k<strong>wa</strong> vyuo vyote v<strong>ya</strong><br />

Mifugo.<br />

(ii) Sekta <strong>ya</strong> Uvuvi<br />

58. Mheshimi<strong>wa</strong> Spika, katika m<strong>wa</strong>ka 2010/2011, Wizara kupitia mradi <strong>wa</strong><br />

MACEMP na <strong>wa</strong>fadhili wengine imeendelea kugharamia mafunzo <strong>ya</strong> muda<br />

mrefu na mfupi <strong>ya</strong> taaluma za uvuvi k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>tumishi 44, <strong>wa</strong>kiwemo <strong>wa</strong>tano<br />

(5) <strong>wa</strong> Shahada <strong>ya</strong> Uzamivu; 17 <strong>wa</strong> Shahada <strong>ya</strong> Uzamili; <strong>wa</strong>tano (5) <strong>wa</strong><br />

Shahada <strong>ya</strong> K<strong>wa</strong>nza na 17 <strong>wa</strong> mafunzo <strong>ya</strong> muda mfupi. Aidha, Wizara<br />

imeendelea kutoa mafunzo <strong>ya</strong> uvuvi k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>nafunzi 481 katika vyuo v<strong>ya</strong><br />

Uvuvi v<strong>ya</strong> Mbegani na Nyegezi (Jed<strong>wa</strong>li Na. 3) katika ngazi za Stashahada<br />

(236) na Astashahada (245). Pia, vyuo hivyo vimetoa mafunzo <strong>ya</strong> ufundi<br />

mchundo k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>nafunzi 40. Watakaohitimu m<strong>wa</strong>ka huu ni 176 ambapo 102<br />

ni <strong>wa</strong> Astashahada na 74 ni <strong>wa</strong> Stashahada.<br />

34

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!