jamhuri ya muungano wa tanzania - Ministry of Livestock and ...
jamhuri ya muungano wa tanzania - Ministry of Livestock and ... jamhuri ya muungano wa tanzania - Ministry of Livestock and ...
(iii) Kutoa mafunzo kwa wataalam 150 wa maabara, uhimilishaji na wakaguzi kuhusu maadili na ukaguzi wa taaluma ya veterinari; (iv) Kuandaa nakala 3,000 za miongozo ya taaluma ya veterinari na kuzisambaza kwa wadau kwa ajili ya uhamasishaji; (v) Kufanya ukaguzi wa vituo 150 pamoja na maadili ya watoa huduma katika sekta za umma na binafsi; (vi) Kuhuisha miongozo ya kufundishia taaluma ya veterinari hapa nchini na nchi nyingine ili kuvitambua; na (vii) Kuijengea uwezo Sekretariati na wajumbe tisa (9) wa Baraza kusimamia utekelezaji wa Sheria ya Veterinari. URATIBU WA UTAFITI NA MAFUNZO KATIKA SEKTA ZA MIFUGO NA UVUVI Uratibu wa Utafiti 52. Mheshimiwa Spika, Wizara imeendelea kusimamia na kuratibu utafiti wa sekta za mifugo na uvuvi nchini. Katika mwaka 2010/2011 Wizara ilikamilisha kuandaa rasimu ya Agenda ya Utafiti wa Mifugo itakayokuwa dira kwa watafiti wanaotaka kufanya utafiti wa Mifugo katika nchi yetu. Aidha, Wizara imeendelea kushirikiana na wadau mbalimbali wa utafiti wa mifugo wakiwemo Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia; Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika; ASARECA; SUA; COSTECH; Climate Change, Agriculture and Food Security - CCAFS; Consultative Group for International Agricultural Research - CGIAR; International Atomic Energy Agency - IAEA; na EAC katika kuandaa na kupima mipango mbalimbali ya utafiti. Vilevile, Wizara imeshirikiana na wadau hao kutayarisha, pamoja na mambo mengine, mikakati ya utafiti katika maeneo muhimu kama vile ufugaji, mabadiliko ya tabia-nchi, uhakika wa chakula, mbinu za kuzuia na kukabiliana na athari za ukame. Kupitia mradi wa East Africa Agricultural Productivity Project (EAAPP), vituo vitatu (3) vya kuzalisha mbegu za malisho na kimoja (1) cha uhimilishaji (AI) na Maabara Kuu ya Taifa ya Mifugo (CVL) viliimarishwa kwa kununuliwa vitendea kazi. 53. Mheshimiwa Spika, kwa kutambua umuhimu wa utafiti katika maendeleo ya ufugaji, Wizara kupitia ASDP imeendelea kujenga uwezo wa utafiti kwa kuimarisha Mifuko ya Utafiti na Maendeleo ya Kanda saba (7) za utafiti wa mifugo (Zonal Agricultural Research, Developmet and Extension Fund – ZARDEF na Zonal Information and Extension Liaison Units - ZIELU) kwa kuzipatia jumla ya shilingi milioni 362.2 na vitendea kazi kwa ajili ya kugharamia na kusimamia miradi ya utafiti kulingana na vipaumbele vya kanda husika na kutayarisha matokeo ya utafiti huo katika mfumo rahisi na kuwapelekea wafugaji. Pia, miradi 43 ya utafiti wa mifugo imeendelea 32
kufadhiliwa na mfuko huo ambapo miradi 30 iliyoanza 2008/2009 imekamilika. Wataalam 18 wa mifugo kutoka Kanda ya Mashariki wamepatiwa mafunzo ya kufanya utafiti shirikishi wa kilimo na mifugo kulingana na mahitaji ya wadau (Client Oriented Research and Development Management Approach – CORDEMA). Pia, kupitia programu ya ASDP, COSTECH na wafadhili wengine, watafiti 73 wa mifugo na uvuvi wanaendelea na masomo, kati yao 23 Shahada ya Uzamivu na 50 Shahada ya Uzamili. (Jedwali Na. 2). 54. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2011/2012, Wizara itatekeleza yafuatayo:- (i) Kuratibu, kufuatilia na kutathmini utafiti na utoaji huduma za utafiti na maendeleo ya mifugo na uvuvi kulingana na programu zilizotayarishwa; (ii) Kuimarisha mfumo wa utunzaji kumbukumbu za utafiti wa mifugo na uvuvi nchini na kushirikiana na taasisi za kitaifa na kimataifa kuratibu utafiti shirikishi wa mifugo; (iii) Kuwawezesha watafiti 12 kuendelea na masomo ya Uzamivu na Uzamili; (iv) Kuwezesha Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Mifugo Mpwapwa, Maabara Kuu ya Taifa ya Mifugo - Temeke na Taasisi ya Utafiti wa Uvuvi kuendeleza utafiti wa mifugo na uvuvi nchini; (v) Kuwezesha mifuko ya ZARDEF ili iendelee kugharamia utafiti kulingana na vipaumbele vya kanda na mahitaji ya wadau chini ya Programu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo – ASDP; (vi) Kuwezesha na kuratibu utoaji mafunzo ya utafiti shirikishi (CORDEMA) katika awamu ya pili; (vii) Kuendelea kutoa ushauri wa kitaalam juu ya uandishi wa tungo za tafiti kwa watafiti wa vituoni; na (viii) Kukusanya na kutunza matokeo mbalimbali ya tafiti zilizofanyika nchini ikiwa ni pamoja na kuimarisha mfumo huo. Mafunzo ya wagani tarajali (i) Sekta ya Mifugo 55. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2010/2011, jumla ya wanachuo 1,498 (Stashahada 892 na Astashahada 606) wameendelea na mafunzo katika vyuo sita (6) vya mifugo vya Buhuri, Madaba, Morogoro, Mpwapwa, Temeke na Tengeru (Jedwali Na. 3). Kati ya hao, 613 wamemaliza mafunzo yao mwezi Juni, 2011 wakiwemo 357 wa Stashahada na 256 wa Astashahada. 33
- Page 1 and 2: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA HOT
- Page 3 and 4: 5. Mheshimiwa Spika, naomba kuwapon
- Page 5 and 6: C: UTEKELEZAJI WA ILANI YA UCHAGUZI
- Page 7 and 8: wafugaji. Vilevile, Serikali imeend
- Page 9 and 10: (xii) Kuhimiza wafugaji kutekeleza
- Page 11 and 12: (iii) Kuandaa na kutekeleza program
- Page 13 and 14: (g) Kutoa mafunzo kwa wadau 1,935 k
- Page 15 and 16: D: MAPITIO YA UTEKELEZAJI WA MPANGO
- Page 17 and 18: 21. Mheshimiwa Spika, napenda kulia
- Page 19 and 20: (vii) Kusimamia na kutoa ushauri wa
- Page 21 and 22: (ii) Kusajili wadau wa maziwa 200 w
- Page 23 and 24: 32. Mheshimiwa Spika, katika mwaka
- Page 25 and 26: (v) Kufanya ukaguzi wa meli ambapo
- Page 27 and 28: jumla ya mbuzi 20 aina ya Ujiji na
- Page 29 and 30: kubadilishwa kuwa Maabara ya Rufaa
- Page 31: (i) Kutathmini na kuboresha miongoz
- Page 35 and 36: Katika mwaka 2011/2012, Wizara itae
- Page 37 and 38: Katika mwaka 2011/2012, Wizara itaf
- Page 39 and 40: mashamba ya Serikali (Jedwali Na. 7
- Page 41 and 42: Tanga. Mfumo huu utasaidia kujua mt
- Page 43 and 44: (iii) Kuzuia uingizaji wa ndege, ku
- Page 45 and 46: (ii) Kununua mitego ya mbung’o 15
- Page 47 and 48: Katika mwaka 2011/2012, Wizara itae
- Page 49 and 50: ukaguzi wa maduka ya pembejeo za mi
- Page 51 and 52: kushauri juu ya maendeleo ya tasnia
- Page 53 and 54: na mifugo na hivyo kuongeza tija. K
- Page 55 and 56: (i) Kushirikiana na Ofisi ya Taifa
- Page 57 and 58: ili kukusanya samaki wa mabomu jozi
- Page 59 and 60: Chemiphar (Uganda) na SABS (Afrika
- Page 61 and 62: Kambale 300,000, Luhanga J & B Fish
- Page 63 and 64: mengine ya mlipuko yanayojitokeza.
- Page 65 and 66: unaanzishwa kwa lengo la kuendeleza
- Page 67 and 68: kwa Halmashauri husika. Vilevile, m
- Page 69 and 70: Baadhi ya matukio hayo ni maadhimis
- Page 71 and 72: Katika mwaka 2011/2012, Wizara itas
- Page 73 and 74: 148. Mheshimiwa Spika, vilevile, na
- Page 75 and 76: Jedwali Na. 1: Utekelezaji wa Mpang
- Page 77 and 78: Jedwali Na. 3: Idadi ya Wanafunzi k
- Page 79 and 80: Jedwali Na. 5a: Mchanganuo wa Mifug
- Page 81 and 82: Na. Mkoa Wilaya Idadi ya Vijiji Ene
(iii) Kutoa mafunzo k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>taalam 150 <strong>wa</strong> maabara, uhimilishaji na<br />
<strong>wa</strong>kaguzi kuhusu maadili na ukaguzi <strong>wa</strong> taaluma <strong>ya</strong> veterinari;<br />
(iv) Ku<strong>and</strong>aa nakala 3,000 za miongozo <strong>ya</strong> taaluma <strong>ya</strong> veterinari na<br />
kuzisambaza k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>dau k<strong>wa</strong> ajili <strong>ya</strong> uhamasishaji;<br />
(v) Kufan<strong>ya</strong> ukaguzi <strong>wa</strong> vituo 150 pamoja na maadili <strong>ya</strong> <strong>wa</strong>toa huduma<br />
katika sekta za umma na binafsi;<br />
(vi) Kuhuisha miongozo <strong>ya</strong> kufundishia taaluma <strong>ya</strong> veterinari hapa nchini na<br />
nchi nyingine ili kuvitambua; na<br />
(vii) Kuijengea uwezo Sekretariati na <strong>wa</strong>jumbe tisa (9) <strong>wa</strong> Baraza<br />
kusimamia utekelezaji <strong>wa</strong> Sheria <strong>ya</strong> Veterinari.<br />
URATIBU WA UTAFITI NA MAFUNZO KATIKA SEKTA ZA MIFUGO NA<br />
UVUVI<br />
Uratibu <strong>wa</strong> Utafiti<br />
52. Mheshimi<strong>wa</strong> Spika, Wizara imeendelea kusimamia na kuratibu utafiti<br />
<strong>wa</strong> sekta za mifugo na uvuvi nchini. Katika m<strong>wa</strong>ka 2010/2011 Wizara<br />
ilikamilisha ku<strong>and</strong>aa rasimu <strong>ya</strong> Agenda <strong>ya</strong> Utafiti <strong>wa</strong> Mifugo itakayoku<strong>wa</strong> dira<br />
k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>tafiti <strong>wa</strong>naotaka kufan<strong>ya</strong> utafiti <strong>wa</strong> Mifugo katika nchi yetu. Aidha,<br />
Wizara imeendelea kushirikiana na <strong>wa</strong>dau mbalimbali <strong>wa</strong> utafiti <strong>wa</strong> mifugo<br />
<strong>wa</strong>kiwemo Wizara <strong>ya</strong> Ma<strong>wa</strong>siliano, Sa<strong>ya</strong>nsi na Teknolojia; Wizara <strong>ya</strong> Kilimo,<br />
Chakula na Ushirika; ASARECA; SUA; COSTECH; Climate Change, Agriculture<br />
<strong>and</strong> Food Security - CCAFS; Consultative Group for International Agricultural<br />
Research - CGIAR; International Atomic Energy Agency - IAEA; na EAC katika<br />
ku<strong>and</strong>aa na kupima mipango mbalimbali <strong>ya</strong> utafiti. Vilevile, Wizara<br />
imeshirikiana na <strong>wa</strong>dau hao kuta<strong>ya</strong>risha, pamoja na mambo mengine,<br />
mikakati <strong>ya</strong> utafiti katika maeneo muhimu kama vile ufugaji, mabadiliko <strong>ya</strong><br />
tabia-nchi, uhakika <strong>wa</strong> chakula, mbinu za kuzuia na kukabiliana na athari za<br />
ukame. Kupitia mradi <strong>wa</strong> East Africa Agricultural Productivity Project (EAAPP),<br />
vituo vitatu (3) v<strong>ya</strong> kuzalisha mbegu za malisho na kimoja (1) cha<br />
uhimilishaji (AI) na Maabara Kuu <strong>ya</strong> Taifa <strong>ya</strong> Mifugo (CVL) viliimarish<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong><br />
kununuli<strong>wa</strong> vitendea kazi.<br />
53. Mheshimi<strong>wa</strong> Spika, k<strong>wa</strong> kutambua umuhimu <strong>wa</strong> utafiti katika<br />
maendeleo <strong>ya</strong> ufugaji, Wizara kupitia ASDP imeendelea kujenga uwezo <strong>wa</strong><br />
utafiti k<strong>wa</strong> kuimarisha Mifuko <strong>ya</strong> Utafiti na Maendeleo <strong>ya</strong> K<strong>and</strong>a saba (7) za<br />
utafiti <strong>wa</strong> mifugo (Zonal Agricultural Research, Developmet <strong>and</strong> Extension<br />
Fund – ZARDEF na Zonal Information <strong>and</strong> Extension Liaison Units - ZIELU)<br />
k<strong>wa</strong> kuzipatia jumla <strong>ya</strong> shilingi milioni 362.2 na vitendea kazi k<strong>wa</strong> ajili <strong>ya</strong><br />
kugharamia na kusimamia miradi <strong>ya</strong> utafiti kulingana na vipaumbele v<strong>ya</strong><br />
k<strong>and</strong>a husika na kuta<strong>ya</strong>risha matokeo <strong>ya</strong> utafiti huo katika mfumo rahisi na<br />
ku<strong>wa</strong>pelekea <strong>wa</strong>fugaji. Pia, miradi 43 <strong>ya</strong> utafiti <strong>wa</strong> mifugo imeendelea<br />
32