jamhuri ya muungano wa tanzania - Ministry of Livestock and ...
jamhuri ya muungano wa tanzania - Ministry of Livestock and ...
jamhuri ya muungano wa tanzania - Ministry of Livestock and ...
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
(iii) Ku<strong>and</strong>aa na kutekeleza programu yenye malengo <strong>ya</strong>nayopimika m<strong>wa</strong>ka<br />
hadi m<strong>wa</strong>ka kuhusu haja <strong>ya</strong> kuleta mapinduzi <strong>ya</strong> uvuvi <strong>ya</strong>nayotumia zana<br />
na maarifa <strong>ya</strong> kisasa.<br />
Utekelezaji:<br />
Wizara k<strong>wa</strong> kushirikiana na <strong>wa</strong>dau <strong>wa</strong> sekta <strong>ya</strong> uvuvi imekamilisha rasimu <strong>ya</strong><br />
Programu <strong>ya</strong> Kuendeleza Sekta <strong>ya</strong> Uvuvi ambayo itatekelez<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> kipindi cha<br />
m<strong>wa</strong>ka 2011/2012 hadi 2015/2016. Programu hii, imeainisha pamoja na<br />
mambo mengine masuala <strong>ya</strong> uendelezaji <strong>wa</strong> uvuvi na ukuzaji <strong>wa</strong> viumbe<br />
kwenye maji, uhifadhi <strong>wa</strong> rasilimali, matumizi endelevu <strong>ya</strong> rasilimali pamoja<br />
na uhifadhi <strong>wa</strong> mazingira. Aidha, programu itahusisha uimarishaji <strong>wa</strong> huduma<br />
za ugani, utafiti, mafunzo na upatikanaji <strong>wa</strong> takwimu sahihi za rasilimali <strong>ya</strong><br />
uvuvi. Pia, programu imeainisha maeneo <strong>ya</strong> kipaumbele <strong>ya</strong>takayotekelez<strong>wa</strong><br />
k<strong>wa</strong> kila m<strong>wa</strong>ka.<br />
(iv) Kuimarisha ushirikish<strong>wa</strong>ji <strong>wa</strong> jamii na <strong>wa</strong>dau katika ulinzi, usimamizi na<br />
matumizi endelevu <strong>ya</strong> rasilimali za uvuvi.<br />
Utekelezaji:<br />
Wizara k<strong>wa</strong> kushirikiana na Halmashauri imeendelea ku<strong>wa</strong>shirikisha <strong>wa</strong>dau<br />
katika ulinzi, usimamizi na matumizi endelevu <strong>ya</strong> rasilimali <strong>ya</strong> uvuvi k<strong>wa</strong><br />
kuanzisha vikundi vip<strong>ya</strong> 23 v<strong>ya</strong> Usimamizi Shirikishi <strong>wa</strong> Rasilimali za Uvuvi<br />
(BMUs) katika Halmashauri za Kinondoni, Temeke na Mkuranga. Aidha,<br />
vikundi 680 katika maeneo mbalimbali nchini vimeimarish<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> kuvipatia<br />
mafunzo, vitendea kazi na kuviwezesha kuanzisha miradi midogo <strong>ya</strong> uzalishaji<br />
ili viwe endelevu.<br />
(v) Kuimarisha miundombinu <strong>ya</strong> uvuvi k<strong>wa</strong> kujenga mialo, masoko <strong>ya</strong> kisasa,<br />
vituo v<strong>ya</strong> kutotolea vifaranga v<strong>ya</strong> samaki na maabara.<br />
Utekelezaji:<br />
Wizara imeendelea kuimarisha miundombinu <strong>ya</strong> uvuvi k<strong>wa</strong> kufan<strong>ya</strong><br />
<strong>ya</strong>fuatayo:-<br />
(a) Kukarabati mialo 25 <strong>ya</strong> kushushia na kupokelea samaki katika uk<strong>and</strong>a<br />
<strong>wa</strong> Zi<strong>wa</strong> Victoria na kujenga mialo mitatu (3) katika uk<strong>and</strong>a <strong>wa</strong> P<strong>wa</strong>ni<br />
na kuainisha maeneo <strong>ya</strong> kujenga mialo minne (4) katika uk<strong>and</strong>a <strong>wa</strong><br />
Zi<strong>wa</strong> Tanganyika;<br />
(b) Wizara k<strong>wa</strong> kushirikiana na Halmashauri, imeendelea kuratibu<br />
miundombinu <strong>ya</strong> masoko makub<strong>wa</strong> <strong>ya</strong> samaki <strong>ya</strong> Feri (Dar es Salaam)<br />
na Kirumba (M<strong>wa</strong>nza) pamoja na masoko mengine <strong>ya</strong> samaki; na<br />
11