15.01.2013 Views

jamhuri ya muungano wa tanzania - Ministry of Livestock and ...

jamhuri ya muungano wa tanzania - Ministry of Livestock and ...

jamhuri ya muungano wa tanzania - Ministry of Livestock and ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

(iii) Ku<strong>and</strong>aa na kutekeleza programu yenye malengo <strong>ya</strong>nayopimika m<strong>wa</strong>ka<br />

hadi m<strong>wa</strong>ka kuhusu haja <strong>ya</strong> kuleta mapinduzi <strong>ya</strong> uvuvi <strong>ya</strong>nayotumia zana<br />

na maarifa <strong>ya</strong> kisasa.<br />

Utekelezaji:<br />

Wizara k<strong>wa</strong> kushirikiana na <strong>wa</strong>dau <strong>wa</strong> sekta <strong>ya</strong> uvuvi imekamilisha rasimu <strong>ya</strong><br />

Programu <strong>ya</strong> Kuendeleza Sekta <strong>ya</strong> Uvuvi ambayo itatekelez<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> kipindi cha<br />

m<strong>wa</strong>ka 2011/2012 hadi 2015/2016. Programu hii, imeainisha pamoja na<br />

mambo mengine masuala <strong>ya</strong> uendelezaji <strong>wa</strong> uvuvi na ukuzaji <strong>wa</strong> viumbe<br />

kwenye maji, uhifadhi <strong>wa</strong> rasilimali, matumizi endelevu <strong>ya</strong> rasilimali pamoja<br />

na uhifadhi <strong>wa</strong> mazingira. Aidha, programu itahusisha uimarishaji <strong>wa</strong> huduma<br />

za ugani, utafiti, mafunzo na upatikanaji <strong>wa</strong> takwimu sahihi za rasilimali <strong>ya</strong><br />

uvuvi. Pia, programu imeainisha maeneo <strong>ya</strong> kipaumbele <strong>ya</strong>takayotekelez<strong>wa</strong><br />

k<strong>wa</strong> kila m<strong>wa</strong>ka.<br />

(iv) Kuimarisha ushirikish<strong>wa</strong>ji <strong>wa</strong> jamii na <strong>wa</strong>dau katika ulinzi, usimamizi na<br />

matumizi endelevu <strong>ya</strong> rasilimali za uvuvi.<br />

Utekelezaji:<br />

Wizara k<strong>wa</strong> kushirikiana na Halmashauri imeendelea ku<strong>wa</strong>shirikisha <strong>wa</strong>dau<br />

katika ulinzi, usimamizi na matumizi endelevu <strong>ya</strong> rasilimali <strong>ya</strong> uvuvi k<strong>wa</strong><br />

kuanzisha vikundi vip<strong>ya</strong> 23 v<strong>ya</strong> Usimamizi Shirikishi <strong>wa</strong> Rasilimali za Uvuvi<br />

(BMUs) katika Halmashauri za Kinondoni, Temeke na Mkuranga. Aidha,<br />

vikundi 680 katika maeneo mbalimbali nchini vimeimarish<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> kuvipatia<br />

mafunzo, vitendea kazi na kuviwezesha kuanzisha miradi midogo <strong>ya</strong> uzalishaji<br />

ili viwe endelevu.<br />

(v) Kuimarisha miundombinu <strong>ya</strong> uvuvi k<strong>wa</strong> kujenga mialo, masoko <strong>ya</strong> kisasa,<br />

vituo v<strong>ya</strong> kutotolea vifaranga v<strong>ya</strong> samaki na maabara.<br />

Utekelezaji:<br />

Wizara imeendelea kuimarisha miundombinu <strong>ya</strong> uvuvi k<strong>wa</strong> kufan<strong>ya</strong><br />

<strong>ya</strong>fuatayo:-<br />

(a) Kukarabati mialo 25 <strong>ya</strong> kushushia na kupokelea samaki katika uk<strong>and</strong>a<br />

<strong>wa</strong> Zi<strong>wa</strong> Victoria na kujenga mialo mitatu (3) katika uk<strong>and</strong>a <strong>wa</strong> P<strong>wa</strong>ni<br />

na kuainisha maeneo <strong>ya</strong> kujenga mialo minne (4) katika uk<strong>and</strong>a <strong>wa</strong><br />

Zi<strong>wa</strong> Tanganyika;<br />

(b) Wizara k<strong>wa</strong> kushirikiana na Halmashauri, imeendelea kuratibu<br />

miundombinu <strong>ya</strong> masoko makub<strong>wa</strong> <strong>ya</strong> samaki <strong>ya</strong> Feri (Dar es Salaam)<br />

na Kirumba (M<strong>wa</strong>nza) pamoja na masoko mengine <strong>ya</strong> samaki; na<br />

11

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!