15.01.2013 Views

TAARIFA YA MIAKA 50 YA UHURU MKOA WA LINDI - Tanzania

TAARIFA YA MIAKA 50 YA UHURU MKOA WA LINDI - Tanzania

TAARIFA YA MIAKA 50 YA UHURU MKOA WA LINDI - Tanzania

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Utangulizi:<br />

<strong>TAARIFA</strong> <strong>YA</strong> <strong>MIAKA</strong> <strong>50</strong> <strong>YA</strong> <strong>UHURU</strong> <strong>MKOA</strong> <strong>WA</strong> <strong>LINDI</strong><br />

Mwaka 1961 wakati Tanganyika inapata Uhuru wake kutoka kwa Waingereza.<br />

Mkoa wa Lindi haukuwapo kabisa katika ramani. Kilichokuwapo wakati huo ni<br />

Jimbo la Kusini ambalo lilijumuisha Mikoa ya sasa ya Lindi Mtwara na Ruvuma.<br />

Makao Makuu ya Jimbo hilo la Kusini yalikuwa katika Mji wa Lindi.<br />

Hadhi ya Mji wa Lindi kuwa Makao Makuu iliishia mara baada ya Uhuru ambapo<br />

Jimbo la Kusini likawa linajulikana kama Mkoa wa Mtwara. Makao Makuu<br />

yakawa ni Mji wa Mtwara.<br />

Yamkini Mkoa wa Mtwara ulikuwa mkubwa sana kwa eneo hata Mkuu wa Mkoa<br />

wa kwanza wa Mtwara Bwana John Nzunda alikuwa anasema:<br />

“Natawala kipande cha nchi toka Pwani ya Bahari ya Hindi hadi Ziwa<br />

Nyasa na kutoka Mto Ruvuma hadi karibu na mto Rufiji.”<br />

Serikali wa awamu ya kwanza iliugawa Mkoa wa Mtwara miaka ya mwanzo ya<br />

Uhuru ambapo kukawa na Mikoa ya Mtwara na Ruvuma. Mgawanyiko huu<br />

uliifanya Lindi kuwa ndani ya Mtwara.<br />

Julai 1, 1971 ndipo Mkoa wa Lindi ulianzishwa rasmi baada ya tena kuugawa<br />

Mkoa wa Mtwara. Makao Makuu ya Mkoa yakawa Mji wa Lindi.<br />

Wakati <strong>Tanzania</strong> inaadhimisha Miaka 10 ya Uhuru wa Bara kwa kuwaita<br />

Waingereza kuja kuiona hatua iliyopiga Mkoa ulikuwa na umri wa miezi 6 tu.<br />

Taarifa hii ya Mkoa wa Lindi hivyo basi itakuwa ni ya miongo mine tu badala ya<br />

nusu Karne.<br />

<strong>MKOA</strong> <strong>WA</strong> <strong>LINDI</strong><br />

Eneo.<br />

Mkoa wa Lindi unapakana na Bahari ya Hindi upande wa Mashariki, Mkoa wa<br />

Pwani upande wa Kaskazini, Morogoro na Ruvuma upande wa Magharibi na<br />

upande wa Kusini ni Mkoa wa Mtwara.<br />

Mkoa una eneo la kilometa za mraba 67,000 ambalo ni sawa na asilimia 7.1 ya<br />

eneo la <strong>Tanzania</strong> Bara. Hata hivyo karibu asilimia 27 ya eneo la Mkoa lipo chini<br />

ya mbuga ya Selous (Selous Game Reserve) ambayo iko Magharibi mwa Wilaya<br />

ya Liwale.<br />

First Draft 1


Utawala.<br />

Mwaka 1971 Mkoa wa Lindi ulianza ukiwa na Wilaya 3 – Lindi, Kilwa na<br />

Nachingwea. Wilaya ya Liwae ilianzishwa kwa kuigawa Wilaya ya Nachingwea<br />

mwaka 1975 na Ruangwa ilianzishwa mwaka 1995 kwa kuigawa Wilaya ya Lindi.<br />

Ndani ya kipindi hiki cha taarifa Mkoa unazo Wilaya 5.<br />

Idadi ya Wilaya Mkoa wa Lindi<br />

Mwaka Mwaka<br />

1971 2011<br />

1. Lindi 1. Lindi<br />

2. Kilwa 2. Kilwa<br />

3. Nachingwea 3. Nachingwea<br />

4. Liwale<br />

5. Ruangwa<br />

Viongozi Wakuu 1971 – 2011<br />

Tangu mwaka 1971 ulipoanzishwa Mkoa wa Lindi umepata kuongozwa na<br />

wafuatao:-<br />

Wakuu wa Mkoa Wakurugenzi wa Maendeleo (M)<br />

1. Norman Kiondo - 1972 1. Bw. O.O. Tarimo -7/7/1971-10/4/1972<br />

2. Jacob Mbutu - 1972 – 18/11/1975 2. Bw. L.S. Seme 1/4/1972 – 20/4/1975<br />

3. Allen C. Heri–19/11/1975– 19/12/1979 3. Bw. E.S.J. Mallama –1/5/1975 – 3/8/1976<br />

4. Col. Ayubu T. Simba-20/11/1979-1/7/1984 4. Bw. A.S. Kaduri – 7/8/1976 – 10/3/1977<br />

5. Alfred Tandau -2/7/1984 – 25/11/1986 5. Bw. Odira Ongara 10/3/1977 – 15/3/1978<br />

6. Capt. Peter Kafanabo -26/11/1986-15/11/1988 6. Bw. A.D. Munthali –15/3/1978 – 15/2/1980<br />

7. Edgar Maokola Majogo 16/11/1988-23/11/1992 7. Bw. O.B. Mapunda -26/2/1980 – 18/3/1983<br />

8. Col. Anatori Tarimo -24/11/1992 – 26/1/1997 8. Bw. A.O. Farahani – 21/3/1983 - 2/10/1985<br />

9. Abubakar Y. Mgumia -27/1/1997-5/8/1999 9. Bw. C. Rutahiwa – 3/10//1985 – 17/9/1990<br />

10. Capt. U. Ditopile Mzuzuri-6/8/1999-18/2/2003 10. Bw. D.M. Badi - 24/9/1990 – 9/3/1992<br />

11. Nicodemus M. Banduka -18/2/2003-6/2/2006 11. Bw. R.A. Mrope – 25/3/1992 – 23/3/1995<br />

12. Saidi Meck Sadiki 6/2/2006 12 Bw. A.D.O. Midello –27/3/1995 - 23/5/1995<br />

First Draft 2<br />

Makatibu Tawala (M)<br />

13. Bw. C.J. Ponela – 12/6/1995 – 19/02/1998<br />

14. Bw. M.A.S. Mdidi – 10/10/2998 – 8/4/2004<br />

15. Bw. J.B. Kitambi – 17/5/2004 – 20/4/2006<br />

15. Bibi E.M. Mafole – 24/4/2006 –18/11/2007<br />

16. Bw. B.B. Claudio – 8/9/2008 – 8/06/2010<br />

17. Bw. T.G.R. Sowani – 8/06/2010


<strong>WA</strong>KUU <strong>WA</strong> WILA<strong>YA</strong>: <strong>LINDI</strong><br />

JINA KAMILI <strong>MIAKA</strong><br />

1. Mhe. Mwinyi 1961 – 1963<br />

2. Mhe. A.H. Uzi 1963 – 1968<br />

3. Mhe. Z. Lukoya 1968 – 1974<br />

4. Mhe. M. Mwaruka 1974 - 1982<br />

5. Mhe. J. Nditi 1982 – 1983<br />

6. Mhe. A.H. Luhasi 1984 – 1985<br />

7. Mhe. E.G. Mgina 1985 – 1987<br />

8. Mhe. P. Nyale 1987 – 1989<br />

9. Mhe. P.C. Kangwa 1989 – 1991<br />

10. Mhe. M.S. Nabahani 1991 – 1993<br />

11. Mhe. J.K. Chitukuro 1993 – 1999<br />

12. Mhe. M.W. Dololoh 1999 – 2000<br />

13. Mhe. F.B. Mikidadi 2000 – 2003<br />

14. Mhe. L.E. Siwalle 2003 – 2005<br />

15. Mhe. M.R. Shigela 2006 – 2009<br />

16. Mhe. Magalula S. Magalula 2009 -<br />

First Draft 3


<strong>WA</strong>KURUGENZI <strong>WA</strong> MJI/MANISPAA<br />

JINA KAMILI <strong>MIAKA</strong><br />

1. Mkeremi, P.J. 1983 – 1984<br />

2. Mukhandi O. 1984 – 1988<br />

3. Omari F.J. 1988 – 1993<br />

4. mabala M. 1993 – 1996<br />

5. Kajale M.J.S. 1996 – 1997<br />

6. Mwenda M.S.J 1997 – 2000<br />

7. Mbuta J.J. 2000 – 2002<br />

8. Malimi M.S.A. 2002 – 2004<br />

9. Ngudungi C. (Kaimu) 2004 – 2006<br />

10. Galikunga K.P.J. 2006 – 2008<br />

11. Sawa A.S. 2008 - Todate<br />

First Draft 4


<strong>WA</strong>KURUGENZI <strong>WA</strong> HALMASHAURI <strong>YA</strong> WILA<strong>YA</strong> <strong>LINDI</strong><br />

JINA KAMILI <strong>MIAKA</strong><br />

1. R.M. Mapunda 22.06.1983 – 22.08.1985<br />

2. W.T. Kisanji 22.08.1985 – 08.08.1987<br />

3. G.M. Kalembo 08.08.1987 – 13.12.1990<br />

4. G.M. Msuya 13.12.1990 – 03.02.1994<br />

5. A.G. Mkomambo 01.02.1995 – 28.03.2005<br />

6. C.T. Mwita 28.03.2005 – 18.07.2006<br />

7. H.N. Shenkalwah 18.07.2006 –<br />

NB: Orodha ya DDDs haikupatikana katika kumbukumbu za halmashauri za<br />

Wilaya ya Lindi.<br />

First Draft 5


<strong>WA</strong>KUU <strong>WA</strong> WILA<strong>YA</strong>: NACHINGWEA<br />

JINA KAMILI <strong>MIAKA</strong><br />

1. Mhe. Raphael Makao 1961 – 1962<br />

2. Mhe. Martin Mpunga Kalemaga 1962 – 1965<br />

3. Mhe. Buka Mwaisaka 1965 – 1972<br />

4. Mhe. Iddi M. Sungura 1972 – 1976<br />

5. Mhe. E. Mgina 1976 – 1977<br />

6. Iddi Ali Mapinda 1977 – 1977<br />

7. Mhe. Major F.B. Mndolwa 1977 – 1979<br />

Lt. Col. F.B. Mndolwa 1979 - 1983<br />

8. Mhe. G.M. Mnayahe (Mb) 1983 – 1988<br />

9. Mhe. H.J. Komba 1988 – 1992<br />

10. Mhe. M.H. Pazi 1992 – 2001<br />

11. Mhe. L.T. Gama 2001 – 2004<br />

12. Mhe. Mark D. Maffa 2004 – 2006<br />

13. Mhe. Rashid M. Ndaile 2006 – 2009<br />

14. Mhe. Elias G.B. Goroi 2009 -<br />

First Draft 6


<strong>WA</strong>KUU <strong>WA</strong> WILA<strong>YA</strong>: KIL<strong>WA</strong><br />

JINA KAMILI <strong>MIAKA</strong><br />

1. Mhe. S.K. Gabba 1962 – 1963<br />

2. Mhe. Daniel Mhina 1963 – 1965<br />

3. Mhe. Salehe S. Ngalambelage 1965 – 1971<br />

4. Mhe. Allan Kheri 1971 – 1974<br />

5. Mhe. Iddi Mapinda 1974 – 1976<br />

6. Mhe. Felix C. Migomba 1976 – 1981<br />

7. Mhe. Samike wa Samike 1981 – 1983<br />

8. Mhe. Robert J. Ng’ittu 1983 – 1990<br />

9. Mhe. Zainabu J. Gomani 1990 – March 1992<br />

10. Cap. G.H. Mkuchika March 1992 - June 1992<br />

11. Mhe. F.M. Shelutete June 1992 – June 1994<br />

12. Mhe. G.M. Mnayahe June 1994 – Oct 1997<br />

13. Mhe. W.F. Ligubi Oct 1997 – 24 Oct. 2001<br />

14. Mhe. T.S. Masaga Oct 2002 – July 2003<br />

15. Mhe. B.M. Itendele 2003 – 2006<br />

16. Nurdin Babu 2006 hadi sasa<br />

First Draft 7


<strong>WA</strong>KUU <strong>WA</strong> WILA<strong>YA</strong>: RUANG<strong>WA</strong><br />

JINA KAMILI <strong>MIAKA</strong><br />

1. Mhe. Christian M. Fundikisha 24/11/1995 – 22/01/1997<br />

2. Mhe. L.t. Shaaban Muyombo 23/01/1997 – 18/06/1998<br />

3. Mhe. Bernard M. Itendele 19/06/1998 – 26/06/2003<br />

4. Mhe. Fatuma B. Mikidadi 27/06/2003 – 05/08/2006<br />

5. Mhe. Hawa Mchopa 06/08/2006 –<br />

Idadi ya Watu:<br />

Ni vizuri kuangalia mwenendo wa ongezeko la idada ya watu kuanzia Sensa ya<br />

kwanza baada ya Uhuru ya 1967 ingawa Mkoa wa Lindi hakuwapo.<br />

Idadi ya jumla kwa Sensa 1967 hadi 1988 imeonekana kama inavyofuata:<br />

Mwaka wa Sensa Idadi ya watu Wilaya Husika<br />

1967 419,853 Lindi,Kilwa,Nachingwea<br />

1978 527,624 Lindi, Kilwa, nachingwea, Liwale<br />

1988 646,494 Lindi, Kilwa, Nachingwea, Liwale<br />

Katika Sensa ya mwaka 2002 Wilaya zilizojumuishwa ni zilizopo sasa Mkoa wa<br />

Lindi. Matokeo ya Sensa hiyo ni kama ifuatayo:<br />

First Draft 8


Eneo<br />

Kilwa<br />

Lindi<br />

Nachingwea<br />

Liwale<br />

Ruangwa<br />

Mji Lindi<br />

Matokeo ya Sensa 2002 Maoteo ya<br />

Jumla hadi<br />

ME<br />

KE<br />

Jumla Desemba<br />

2010 (NBS)<br />

82,322 88,735 171,057 181,975<br />

101,960 112,922 244,882 248,830<br />

78,498 82,979 161,473 194,418<br />

36,587 38,541 75,128 90,780<br />

59,627 64,382 124,009 149,634<br />

20,024 21,051 41,075 92,124<br />

Jumla 379,014 408,610 787,624 957,761<br />

*Manispaa ya Lindi imechukuwa maeneo yaliyokuwa Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Lindi ndiyo sababu ya ongezeko hili kubwa.<br />

Pato kwa Mkazi:<br />

Katika miaka ya 1971 wastani wa Pato kwa Mkazi wa mkoa wa Lindi lilikuwa<br />

limekadiriwa kuwa shilingi 5,000 kwa mwaka kwa bei za Soko za wakati huo.<br />

Pato jilo limekuwa linapanda hadi kufikia shilingi 14,000 kwa miaka ya mwisho<br />

wa 1970, shilingi 80,000 miaka ya mwisho ya 1980 na sasa pato hilo kwa<br />

takwimu za NBS ni shilingi 645,344.<br />

Mkakati na Dira ya Maendeleo kwa Mkoa wa Lindi:<br />

TAMKO LA ILULU:<br />

Miaka kumi baada ya kuundwa kwa Mkoa wa Lindi Viongozi wa ngazi mbalimbali<br />

wa Chama na Serikali pamoja na Watendaji Serikalini na katika Mashirika ya<br />

Umma walikutana ili kutafakari mustakabali wa Mkoa wa Lindi. Ni kikao cha kazi<br />

kilichojumuisha washiriki wapatao 300. Kikao hiki kilifanyika Wilayani<br />

Nachingwea katika Chuo cha Ualimu mwaka 1981 chini ya Uenyekiti wa Col.<br />

Tumbukiza Ayubu Mwinyimvua Simba aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wakati huo.<br />

Tafakari ya kina juu ya vikwazo vya maendeleo na fursa ambazo Mkoa unazo<br />

Tamko Rasmi la Mkoa na ambalo lilitoa mwelekeo wa nini kifanyike kwa kila<br />

Sekta ili kuyapata maendeleo.<br />

Hapo lilizaliwa “TAMKO LA ILULU”. Tamko hilo limekuwa linafanyiwa mapitio<br />

vipindi kwa vipindi ili kuenda na wakati na kwa kuzingatia mazingira maalum<br />

yanayotawala katika kipindi husika. Hadi sasa Tamko hilo limefanyiwa<br />

marekebisho mara nne.<br />

First Draft 9


Falsafa iliyomo katika Tamko la Ilili imeweza pia kutumika katika maeneo<br />

mengine hapa nchini kama vile mpango wa ONJAMA (Masasi – Mtwara) na<br />

Azimio la Mtonisa Mkoa wa Rukwa.<br />

Tunathubutu kuamini kuwa mengi yaliyopo katika taarifa hii kwa kiwango<br />

kikubwa yatokana na maelekezo ya TAMKO LA ILULU. Sasa lina umri wa miaka<br />

30.<br />

Hali ya Maendeleo Kisekta:<br />

1. Uzalishaji Mali.<br />

Kilimo.<br />

Sekita kuu ya Kiuchumi ni Sekta ya Kilimo tangu zamani. Ni Sekta<br />

ambayo inategemewa kwa ajili ya Wananchi walio wengi na pia kuingiza<br />

kipato katika Kaya.<br />

Takwimu za uzalishaji wa mazao ya chakula nay a bidhaa katika mwaka<br />

1973/1974 kwa Mkoa zilikuwa kama zifuatazo:-<br />

Mazao 1973/1974 2010/2011<br />

Tani Tani<br />

zilizozalishwa zilizozalishwa<br />

1. Mazao ya Chakula<br />

Mahindi 12,000 119,490<br />

Mpunga 6,900 44,760<br />

Muhogo 8,100 191,163<br />

Mtama 11,000 78,553<br />

Mikunde 2,000 84,478<br />

Jumla 42,000 518,444<br />

First Draft 10


2. Mazao ya Biashara.<br />

Korosho 29,000 21,753<br />

Ufuta 4,000 27,786<br />

Mbata 1,400 -___<br />

Jumla 34,400 49,539<br />

M,afanikio yaliyopatikana katika kuongezeka kwa uzalishaji kinatokana<br />

ongezeko la eneo ambalo linalimwa na pia kuimarika kwa huduma za<br />

ugani<br />

Kilimo cha Umwagiliaji:<br />

Mkoa una maeneo ya mabonde mengi ambayo ni hazina kwa kilimo cha<br />

Umwagiliaji. Mito mikubwa kama Lukuledi, Mbwemkuru, Mavuji na Matandu na<br />

vijito vinavyolisha mito hii ni maeneo yenye mabonde ya udongo mzuri na wenye<br />

rutuba.<br />

Maeneo haya yamekuwa yanatumika sana kwa kilimo cha Kiangazi kwa baadhi<br />

ya mazao na hasa mahindi miwa na mboga mboga.<br />

Maeneo pekee ambayo skimu za Umwagiliaji zilianzishwa ni Makangaga<br />

IKilwa), Ngongo (Manispaa Lindi) Kinyope (Lindi). Skimu hizi zilikuwa<br />

zinachangiwa na RIDEP na baada ya wao kujitoa hazikuendelezwa tena.<br />

Takwimu za maeneo yafaayo kwa kilimo cha Umwagiliaji katika Mkoa wa Lindi<br />

yana sura ya jumla ifuatayo:-<br />

Eneo lifaalo Umwagiliaji kwa Uwezo: Mkoa wa Lindi.<br />

Uwezo<br />

mkubwa<br />

(ha)<br />

Uwezo wa<br />

Kati<br />

(ha)<br />

Uwezo<br />

mdogo<br />

(ha)<br />

First Draft 11<br />

Jumla<br />

(ha)<br />

Eneo duni<br />

ya NIMP<br />

(ha)<br />

- 19,600 1,704,900 1,724,<strong>50</strong>0 9,358


Kwa mwaka 2011 Skimu ambazo zipo katika Mkoa wa Lindi ni 18 zenye jumla ya<br />

hekta 7,354<br />

Halmashauri Idadi ya Skimu Jumla ya Eneo<br />

(ha)<br />

Lindi<br />

4<br />

2,275<br />

Manispaa Lindi<br />

2<br />

225<br />

Liwale<br />

3<br />

1330<br />

Nachingwea<br />

3<br />

720<br />

Kilwa<br />

1<br />

600<br />

Ruangwa<br />

5<br />

2204<br />

Jumla 7354<br />

Matumizi ya Zana Bora za Kilimo<br />

Matumizi ya zana bora kama Matrekta hayakuwa makubwa sana miaka hiyo<br />

ya nyuma. Matrekta ambayo yalitegemewa ni ya Wamisionari.<br />

Katika miaka ya 1980 kupitia Mpango wa RIDEP ambayo ilikuwa inachangiwa na<br />

Serikali ya Uingereza kulianzishwa Vituo vya Matrekta katika Wilaya<br />

zilizokuwapo wakati huo:<br />

Wilaya Idadi ya Matrekta<br />

• Lindi 5<br />

• Kilwa 4<br />

• Nachingwea 4<br />

• Liwale 5<br />

Jumla 16<br />

Karakana kubwa ilikuwa Lindi Mjini na pia kukawa na “Mobile Workshop”.<br />

Vituo hivyo kwa kukosa fedha baada ya wafadhili hao kujitoa vilianza kufifia na<br />

kufa kabisa mwanzoni mwa 1990.<br />

Mbali na jitihada hizi kupitia RIDEP Miaka ya hivi karibuni kumeingia matrekta<br />

madogo (Power tillers) na pia matrekta makubwa kupitia byanzo mbalimbali<br />

wakiwamo pia watu binafsi.<br />

Hali halisi ya zana hizo na mgawanyo wake ni kama ifuatavyo:-<br />

First Draft 12


Power Tillers<br />

Halmashauri Idadi Yanayofanya Mabovu Vyanzo/Umiliki<br />

Kamili Kati<br />

DADPS Binafsi FAO<br />

Lindi<br />

109<br />

86<br />

23 100 4 5<br />

Manispaa Lindi 14<br />

13<br />

1 13 1 0<br />

Liwale<br />

43<br />

13<br />

30 37 1 5<br />

Nachingwea 56<br />

56<br />

0 <strong>50</strong> 1 5<br />

Ruangwa<br />

89<br />

88<br />

1 82 2 5<br />

Kilwa<br />

53<br />

53<br />

0 53 0 0<br />

Jumla 364 309 55 335 9 20<br />

Matrekta makubwa<br />

Halmashauri Idadi<br />

Kamili<br />

Lindi<br />

Manispaa Lindi<br />

Liwale<br />

Nachingwea<br />

Ruangwa<br />

Kilwa<br />

19<br />

0<br />

3<br />

5<br />

8<br />

2<br />

First Draft 13<br />

Yanayofanya<br />

Kati<br />

4<br />

0<br />

3<br />

5<br />

5<br />

1<br />

Mabovu<br />

Jumla 37 18 19<br />

Matumizi ya Pembejeo za Kilimo:<br />

Miaka 10 ya mwanzo tangu kuzinduliwa kwa Mkoa wa Lindi nchi ilitoa maelekezo<br />

mazito katika kuiendeleza sekta ya Kilimo. Matamko hayo ni pamoja na:-<br />

Siasa ni Kilimo<br />

Kilimo cha Kufa na Kupona<br />

Haya yote yaliweza kuleta msukumo Fulani katika matumizi ya pembejeo za<br />

Kilimo. Pia Mkoa katika miaka hiyo ulikuwa umeagizwa katika “National Maize<br />

Project” mpango ambao pia uliweka Mkoa katika kutumia Pembejeo.<br />

Mpango wa uendelezaji zao la Korosho miaka ya 1980 nao pia ulisababisha<br />

Mkoa kuwa na mahitaji ya pembejeo kwa zao hilo.<br />

Pamoja na maelezo ambayo yametolewa hapa bado takwimu za Kimkoa za<br />

matumizi ya pembejeo zinaonesha kuwa tu watumiaji wa kiwango cha chini<br />

isipokuwa kwa zile za Korosho.<br />

Takwimu za msimu wa Kilimo 2009/2010 zinaonesha hali yetu halisi ya matumizi<br />

ya pembejeo.<br />

15<br />

0<br />

0<br />

0<br />

3<br />

1


Matumizi ya Mbegu Bora (Tani)<br />

Halmashauri Mtama Mahindi Ufuta Korosho Mpunga Alizeti Mbaazi Soya karanga<br />

Kilwa<br />

Lindi<br />

Liwale<br />

Nachingwea<br />

Ruangwa<br />

6.8<br />

15<br />

2.1<br />

11.73<br />

14.8<br />

0.11<br />

-<br />

10.414<br />

11.42<br />

9.6<br />

1.5<br />

1.1<br />

0.83<br />

0.71<br />

0<br />

3.5<br />

First Draft 14<br />

2.0<br />

0<br />

0.55<br />

0.1 0.04 1 11.05<br />

Jumla 43.74 32.934 6.14 2.55 9.5 0.1 0.14 1 11.05<br />

Pembejeo za zao la Korosho:<br />

Ufufuaji wa mashamba ya Mikorosho ni Kampeni maalumu ambayo iliendeshwa<br />

katika miaka ya 1980 hadi mapema 1990. Kampeni hii chini ya Mradi wa<br />

Uendelezaji wa Zao la Korosho ulienda sanjari na utumiaji wa dawa aina ya<br />

Sulphur ili kudhibiti ugonjwa wa ukungu (ubwiri unga).<br />

Hali halisi ya matumizi ya Sulphur katika miaka ya mwanzo ya 1990 ilikuwa<br />

ifuatavyo:-<br />

Matumizi ya<br />

Sulphur (Tani)<br />

Korosho<br />

zilizozalishwa<br />

(TANI)<br />

2. Mifugo:<br />

1991/1992 1992/1993 1993/1994 1994/1995<br />

3<strong>50</strong> 370 300 <strong>50</strong><br />

5,913 7,435 5,944 7,547<br />

Juhudi za kuikuza Sekta ya Mifugo zilianzia toka miaka ya Ukoloni. Hata<br />

hivyo sekta hii imekuwa ikipanuka pole pole sana pamoja na kwamba<br />

fursa za kukua ipo. Mkoa una malisho ya kutosha na pia maji – hali ya<br />

hewa nayo inaridhisha. Tatizo lililopo ni ndorobo kwa maeneo kadhaa ya<br />

Mkoa.<br />

Idadi ya Mifugo kwa miaka tofauti ya ulinganisho ni ifuatavyo:-<br />

Mifugo Idadi ya Mifugo<br />

1972 1991 2011<br />

Ng’ombe<br />

5,600 7,290 28,944<br />

Mbuzi<br />

8,945 18,821 70,010<br />

Kondoo<br />

4,3<strong>50</strong> 10,609 12,529<br />

Nguruwe<br />

364 - 4,425<br />

Sungura<br />

- 4,622 -<br />

Kuku<br />

- 515,423 1,032,908<br />

9.5<br />

0.1


Ongezeko la mifugo limetokea miaka mitano iliyopita baada ya Serikali<br />

kuwahamasisha Mkoani Lindi wafugaji kutoka bonde la Ihefu – Mbeya.<br />

Hata hivyo kumekuwa na programu mbalimbali ambazo nazo zilisaidia<br />

kuongeza idadi ya mifugo.<br />

Programu hizo zilikuwa zinafadhiliwa na Heifer Programe International<br />

ambao wamekuwa na mradi wa Kopa Ng’ombe lipa Ng’ombe, na wafadhili<br />

wengine walianzisha kopa mbuzi lipa mbuzi hizi zote zimeonesha<br />

kupanua shughuli za ufugaji ndani ya Mkoa.<br />

Programu nyingine hasa DADPS nayo pia imesaidia katika Sekta ya<br />

Kilimo na Mifugo – ambapo miundombinu kadhaa kwa mifugo<br />

imeimarishwa.<br />

Huduma za Ugani:<br />

Kwa Sekta hizi za Kilimo na Mifugo Mkoa una jumla ya Wagani 254 tu<br />

(Mifugo 73 na Kilimo 181)<br />

Uimarishaji wa njia ya kupitishia Mifugo: (Stock Route).<br />

Ndani ya kipindi hiki cha Uhuru Mkoa wa Lindi katika jitihada zake za kuona<br />

kuwa unaingiza mifugo ya kutosha uliimarisha njia ya miguu ya Ng’ombe. Njia hii<br />

inaanzia Mkoani Morogoro kupitia Liwale – Nachingwea na Wilaya ya Lindi. Njia<br />

hii ina karibu kilometa 400.<br />

Katika njia hii vituo vya kupumzikia mifugo (holding grounds) vimejngwa Mikunya<br />

(Liwale) na Mnazimmoja (Lindi).<br />

Njia hii haitumiki tena kutokana na ukweli kuwa inapitia Selous Game Reserve<br />

na hivyo imeonekana kuwa ni hatari ya kueneza magonjwa kwa wanyama pori<br />

na hata ng’ombe wenyewe.<br />

Kukamilika kwa Daraja la Mkapa na kuimarika kwa barabara ya Kusini<br />

kumerahisisha uingizaji wa mifugo kwa usafiri wa ng’ombe kwa magari na hata<br />

pia kwa miguu.<br />

Shamba la Mifugo la Ngongo:<br />

Mkoa kupitia Mpango wa Maendeleo wa Uwiano (RIDEP) ulianzisha Shamba la<br />

Mifugo katika eneo la Ngongo - Manispaa ya Lindi.<br />

Shamba hili lilikuwa na majukumu ya kuzalisha mitamba, utoaji wa vifaranga vya<br />

Kuku, utengenezaji wa chakula cha mifugo, ufugaji wa ng’ombe wa nyama na<br />

maziwa, Kuku wa nyama na mayai na pia Kituo cha Maarifa kwa wafugaji.<br />

First Draft 15


Shamba hili lilidumu hadi mapema miaka ya 1990 ambapo Serikali iliacha miradi<br />

ya Kibiashara. Shughuli za shamba hili zikabinafsishwa na kuhamishwa.<br />

Majengo ya shamba hilo ndiyo yanatumika na Shule ya Sekondari ya Ngongo.<br />

Huduma za Jamii:<br />

Elimu:<br />

Elimu ya Msingi:<br />

Katika mwaka 1974 Mkoa ulikuwa na Shule za Msingi 190 tu. Mengi ya<br />

majengo ya Shule yalikuwa ni ya mud asana. Hiki ni kipindi ambacho<br />

wananchi walitakiwa kujitolea kujenga maboma na Serikali italeta vifaa<br />

vya kuezekea.<br />

Mgawanyo wa Shule hizo Kiwilaya ulikuwa:-<br />

Wilaya Idadi ya Shule za Msingi<br />

Lindi<br />

Kilwa<br />

Nachingwea<br />

Liwale<br />

Ruangwa<br />

Manispaa Lindi<br />

1974 2011<br />

87<br />

47<br />

52<br />

-<br />

-<br />

4<br />

First Draft 16<br />

106<br />

103<br />

100<br />

<strong>50</strong><br />

80<br />

31<br />

Shule za Awali<br />

Jumla 190 470 399<br />

Hali ya miundombinu ndani ya miaka hii <strong>50</strong> ya Uhuru kumekuwa na uboreshaji<br />

mkubwa na hivyo sura ya majengo ya muda kwa Shule zetu nyingi imetoweka.<br />

Mkoa uliweza kupata msaada/mkopo kutoka Benki ya Dunia Mradi maalum<br />

ulioitwa 7 th IDA Education Program katika miaka 1980 na pia District Based<br />

Supports to Primary Education (DBSPE) na sasa MMEM ni mipango ambayo<br />

imeboresha sana majengo ya Shule.<br />

Pamoja na jitihada hizo bado mahitaji halisi hayajafikiwa yapo mapungufu kama<br />

ifuatavyo ndani ya Mkoa wa Lindi.<br />

75<br />

91<br />

87<br />

47<br />

69<br />

30


Mahitaji<br />

Yaliyopo<br />

%<br />

Upungufu<br />

%<br />

Elimu ya Sekondari:<br />

Nyumba Madarasa Vyoo Madawati<br />

4308<br />

1533<br />

35.6<br />

2775<br />

64.4<br />

4479<br />

3180<br />

71<br />

1299<br />

29<br />

First Draft 17<br />

9209<br />

5632<br />

61.2<br />

3577<br />

38.8<br />

67749<br />

49914<br />

73.7<br />

17835<br />

26.3<br />

Mwaka 1974 Mkoa ulikuwa na sekondari 3 tu zote zikiwa katika Wilaya ya Lindi –<br />

Shule hizo ni zifuatazo:-<br />

Shule Mmiliki<br />

Sekondari Lindi Serikali<br />

Sekondari Mkonge Binafsi<br />

Seminari Namupa Shirika la Dini<br />

Tunaposherehekea Miaka <strong>50</strong> ya uhuru Mkoa una jumla ya Shule 118 za<br />

Sekondari nazo zimegawanyika ifuatavyo:-<br />

Halmashauri<br />

Kilwa<br />

Lindi<br />

Manispaa Lindi<br />

Nachingwea<br />

Liwale<br />

Ruangwa<br />

Idadi<br />

ya<br />

Shule<br />

(I-IV)<br />

26<br />

28<br />

9<br />

26<br />

15<br />

14<br />

Serikali<br />

25<br />

24<br />

8<br />

26<br />

15<br />

14<br />

Umiliki<br />

Binafsi<br />

1<br />

4<br />

1<br />

Shule ya<br />

‘A’ level<br />

Jumla 118 112 6 4<br />

Pamoja na mafanikio haya katika ujenzi wa Shule hizi za Sekondari Mkoa<br />

umeazimia kuongeza jitihada katika:<br />

- Kukamilisha ujenzi wa Shule hizo ambayo bado hayajajengwa. Bado<br />

kunahitajika madarasa, nyumba za walimu, Maabara.<br />

1<br />

1<br />

1<br />

1


- Lipo tatizo la baadhi ya wanafunzi kuishi katika nyumba za kupanga na<br />

hivyo hii inaleta haja ya kuwa na mabweni kwa ajili yao – hasa watoto<br />

wa Kike.<br />

- Nyumba za Walimu bado hazitoshi na hivyo wengi huishi nje ya eneo<br />

la Shule.<br />

- Shule nyingine hazina Maktaba wala Maabara. Hivyo Mkoa hauna budi<br />

kukusanya nguvu katika kuboresha mazingira ya kufundishia.<br />

Elimu ya Vyuo:<br />

Ndani ya kipindi cha Uhuru Mkoa wa Lindi umepata Vyuo vifuatavyo:-<br />

(i) Chuo cha Ualimu Nachingwea<br />

(ii) Chuo cha Matibabu Lindi<br />

(iii) Chuo cha Wahudumu wa Afya ya Mama na Mtoto Nachingwea<br />

(iv) Vyuo vya Wananchi – Kilwa Masoko, Chilala (Lindi)<br />

Kwa sasa Chuo cha Ufundi Stadi kimo katika hatua za mwisho za ujenzi Lindi<br />

Mjini. Chuo hiki kitafundisha fani mbalimbali za Ufundi kwa vijana na hivyo<br />

kuifanya nguvu kazi hiyo kuweza kujiajiri na ama kuajiriwa.<br />

Kwa muda mrefu sasa elimu ya ufundi imekuwa inatolewa katika Vituo vilivyopo<br />

katika Shule za Msingi na pia katika Vyuo hivyo vya Wananchi.<br />

Michezo:<br />

Mkoa una historia kubwa sana katika michezo na hasa mchezo wa mpira wa<br />

miguu. Ukiwa ndani ya Southern Province, Mkoa wa Mtwara na baadaye Mkoa<br />

wa Lindi ushiriki katika mchezo huu katika ngazi mbalimbali umekuwa<br />

unawakilishwa kwa timu zake.<br />

Baadhi ya wachezaji wa timu ya Mkoa ya Mpira wa Miguu ambao bado wapo hai<br />

na wanajivunia mno ni pamoja na:-<br />

(i) Abdulrahaman Mbaraka Hamzia<br />

(ii) Jovin Raphael<br />

(iii) Sudi (Kontiki)<br />

(iv) Rashidi “Inzi’<br />

(v) Fred Mwaisaka<br />

Katika miaka miwili iliyopita timu ya Mkoa ya Mpira wa Miguu ilifikia hatua ya<br />

fainali na kuwa washindi wa pili baada ya kufungwa na Mkoa wa Singida.<br />

First Draft 18


Ngazi ya vilabu Mkoa ulikuwa unashiriki katika VodaCom Premier League<br />

ikiwakilishwa na Klabu yake ya Kariakoo FC. Klabu hii iliwahi kushinda<br />

mashindano ya Kombe la Tusker kwa <strong>Tanzania</strong><br />

mwaka…………..Inapokumbukwa Klabu hii, huwa pia anakumbukwa kwa<br />

namna ya pekee aliyekuwa Mlezi Mkuu wake Mhe. Abubakar Mgumia<br />

(Marehemu) alipokuwa Mkuu wa Mkoa wa Lindi – alikuwa anajulikana kwa jina la<br />

“Babu”.<br />

Kwa upande wa Mpira wa Netiboli kwa ngazi ya Vilabu Mkoa umekuwa unashiriki<br />

katika Daraja la kwanza ambapo kwa miaka tofauti timu za Polisi, Kurugenzi<br />

zimekuwa zatoa upinzani mkubwa kwa vigogo vya Kitaifa.<br />

Viwanja vya Michezo:<br />

Wakati Mkoa unazinduliwa kulikuwa na “Stadium” moja tu ya Mjini Lindi wakati<br />

katika ngazi za wilaya kumekuwa na Viwanja vya wazi tu.<br />

Wilaya ya Nachingwea ilijenga Kiwanja chake katika miaka ya mapema ya 1970.<br />

Hati ya Kiwanja hicho kinahitaji maboresho na hasa upande wa majukwaa na<br />

kupanda nyasi uwanjani (ni mkavu mno wakati wa Kiangazi).<br />

Wilaya ya Liwale wameanza kujenga kiwanja chao na tayari wamezungushia<br />

ukuta na kuweka milango ya kuingilia. Wanajipanga kwa ajili ya Jukwaa na Viti<br />

na kuboresha Uwanja husika kwa ajili ya riadha, mpira wa miguu na netiboli.<br />

First Draft 19


AF<strong>YA</strong>:<br />

Hali halisi kwa mwaka 1974 Mkoa wa Lindi ulikuwa na huduma zifuatazo za<br />

Afya.<br />

Wilaya Zahanati Vituo vya<br />

Afya<br />

Lindi<br />

Kilwa<br />

Nachingwea<br />

33<br />

26<br />

18<br />

First Draft 20<br />

4<br />

1<br />

1<br />

Hospitali<br />

Jumla Serikali Dini<br />

Jumla 77 6 6 3 3<br />

Juhudi zilizofanywa na Mkoa katika kipindi hiki husika zimewezesha kuongezeka<br />

kwa viambajengo vya afya. Hali halisi ni kama inavyoonekana hapa chini.:-<br />

Halmashauri Idadi ya Viambajengo<br />

Kilwa<br />

Lindi<br />

Manispaa Lindi<br />

Nachingwea<br />

Ruangwa<br />

Liwale<br />

2<br />

2<br />

2<br />

Zahanati Afya Hospital<br />

46<br />

38<br />

10<br />

31<br />

21<br />

24<br />

Jumla 180 19 9<br />

Juhudi ambazo zimefanyika katika kipindi hiki husika yamkini ni za kutoa moyo.<br />

Hata hvyo Mkoa unajikuta unawiwa deni kubwa bado la kutekeleza Sera ya Taifa<br />

ya kujenga Zahanati kwa kila Kijiji na Kituo cha Afya kwa kila Kata.<br />

Angalizo: Mkoa una Vijiji 545, na Kata 142 kuna Vitongoji 2,430 na<br />

ambavyo vitapanda daraja kwa miaka ijayo na kuwa na<br />

hadhi ya Vijiji. Suala ambalo litachochea hitaji la kuwa na<br />

ongezeko katika Kata.<br />

5<br />

7<br />

2<br />

2<br />

2<br />

1<br />

1<br />

1<br />

1<br />

2<br />

1<br />

1<br />

3<br />

1<br />

1<br />

1<br />

1<br />

1


Mkoa umebaini kuwa unalo tatizo kubwa la Watumishi wa Idara ya Afya wa ngazi<br />

zote muhimu. Hali hii inafanya uwiano wa watu kwa mtumishi mmoja wa Kada<br />

fulani kuwa juu mno ya wastani wa Taifa.<br />

Mkakati wa Mkoa katika kukabiliana na hili umepanga kutumia sehemu ya<br />

rasilimali fedha ya bajeti ya kila mwaka kusomesha Watumishi wa Afya ili<br />

kuwaongezea uwezo.<br />

Matokeo ya jumla ya jitihada zilizooneshwa hapa ni kwamba:<br />

• Vifo vya akina mama Wajawazito vimepungua kutoka……………./100,000<br />

hadi…………………/100,000.<br />

• Vifo vya Watoto wachanga kutoka………………./1,000<br />

hadi………………./1,000<br />

First Draft 21


Maji:<br />

Hali halisi ya huduma ya Maji kwa Mkoa wa Lindi katika mwaka 1974 ilionesha<br />

kuwa ni idadi ndogo tu ya Wananchi waliweza kuipata huduma.<br />

Takwimu zilibainisha kuwa idadi ya wananchi ambao wanaishi umbali wa meta<br />

<strong>50</strong>0 toka ilipo huduma ya maji kwa vijijini ilikuwa asilimia 25, na wengine asilimia<br />

39.5 walikuwa wanaishi katika wastani wa umbali wa kilometa 3.<br />

Kwa upande wa mijini asilimia 62 ya wakazi walikuwa wanaipata huduma hii ya<br />

maji.<br />

Huduma ya maji ilionekana kuwa ipo katika kiwango kikubwa kwa Wilaya<br />

Nachingwea wakati kwa Kilwa ndiyo Wilaya iliyokuwa na kiwango kidogo.<br />

Picha halisi ni kama inayooneshwa hapa chini:-<br />

Wilaya Miradi ya Maji<br />

itoayo huduma<br />

%<br />

Lindi 30 39.5<br />

Kilwa 11 14.5<br />

Nachingwea 35 46.0<br />

Jumla 76 100%<br />

Miradi hii ilijumuisha visima virefu, Miradi ya maji kwa bomba (gravity)<br />

Kumekuwa na jitihada mbalimbali za kuendeleza utoaji wa huduma ya maji<br />

katika Mkoa kwa kushirikiana na Wabia mbalimbali wa maendeleo, na pia kupitia<br />

bajeti za kila mwaka za Mkoa.<br />

Programu maalum “Rural Water Supply masterplan” ilikuwa inatekelezwa kwa<br />

msaada wa Serikali ya Finland – 1973 hadi 1993. Mji wa Lindi nao ulinufaika kwa<br />

kuongezwa chanzo cha maji toka Kitunda mradi ulifadhiliwa pia na Finland.<br />

Benki ya Dunia, Serikali ya Japan na GAIN wamechangia pia katika kuboresha<br />

huduma ya maji ndani ya Mkoa wa Lindi.<br />

Mamlaka ya Maji ya Mji wa Lindi inatekeleza mradi mkubwa wa uimarishaji<br />

mtandao wa mabomba ili kuboresha zaidi usambazaji wa maji katika Mji.<br />

First Draft 22


Hatua iliyofikiwa ya utoaji huduma ya Maji 2011 ni ifuatayo:-<br />

Halmashauri Idadi<br />

ya<br />

Vijiji<br />

Kilwa<br />

Lindi<br />

Liwale<br />

Nachingwea<br />

Ruangwa<br />

96<br />

134<br />

76<br />

126<br />

80<br />

Vijiji<br />

vyenye<br />

Kamati<br />

za Maji<br />

96<br />

110<br />

36<br />

72<br />

70<br />

Mifuko<br />

ya<br />

Maji<br />

88<br />

110<br />

30<br />

65<br />

70<br />

First Draft 23<br />

Fedha<br />

Benki<br />

26,400,000<br />

53,295,152<br />

8,971,476<br />

13,101,200<br />

12,785,860<br />

Idadi<br />

ya<br />

Watu<br />

171,846<br />

236,840<br />

87,657<br />

195,242<br />

139,165<br />

Wapato<br />

Maji<br />

60,146<br />

115,580<br />

38,569<br />

40,532<br />

48,708<br />

Jumla 521 384 366 114,553,688 730,756 303,535 41.5<br />

Vijiji 24 vilivyomo Manispaa ya Lindi havikujumuishwa.<br />

Suala la uvunaji wa Maji ya mvua linahamasishwa kwa wananchi na mwitikio<br />

umeonekana kuwa mzuri kwa maeneo ya vijijini na hata mijini pia. Hili<br />

linasisitizwa pia katika majengo ya Umma.<br />

Wilaya ya Nachingwea imefanikiwa kujenga mabwawa 20 na kati ya hayo 10<br />

yanatoa huduma.<br />

Maji:<br />

Maji Mijini:<br />

Huduma ya Maji inayotolewa katika Miji yetu kitakwimu kwa sasa ni chini ya<br />

mahitaji halisi ya siku. Jambo kubwa linalojitokeza hapa ni kukosekana kwa<br />

vyanzo vya maji nje uhakika, uchakavu wa miundombinu, ongezeko la watu<br />

mijini.<br />

Mabadiliko ya tabia ya nchi kwa kiwango kikubwa yanaanza kuathiri vibaya pia<br />

hazina ya maji chini ya Ardhi.<br />

Hali halisi sasa ya upatikanaji na maji mijini ni kama inavyoonekana hapa:-<br />

Mji Idadi ya<br />

watu<br />

Kilwa<br />

Lindi<br />

Liwale<br />

Nachingwea<br />

Ruangwa<br />

27,484<br />

41,549<br />

24,735<br />

21,380<br />

5,653<br />

Mahitaji ya<br />

maji kwa<br />

siku m³/day<br />

3,800<br />

5,000<br />

1,445<br />

5,000<br />

700<br />

Uzalishaji<br />

kwa siku<br />

m³/day<br />

1,360<br />

1,410<br />

1,160<br />

288<br />

241<br />

%<br />

35<br />

49<br />

44<br />

21<br />

35<br />

Asilimia ya maji<br />

yanayopatikana<br />

35.8<br />

28.2<br />

80.3<br />

5.8<br />

34.4<br />

Jumla 120,801 6,899 4,459 64.7<br />

Mji wa Liwale ndiyo pekee ambao unatumia chanzo cha mto na mingine iliyobaki<br />

hutegemea visima virefu.


Ushirika:<br />

Aina ya Ushirika ambayo ilikuwepo wakati Mkoa unaundwa ulikuwa ni ule wa<br />

mazao. Kutokana na kugawanywa Mkoa wa Mtwara kuwa Mikoa miwili ya Lindi<br />

na Mtwara na Chama Kikuu pia kiligawanywa na Lindi kuanzisha Chama chake<br />

Lindi Region Cooperative Society (LIRECU). Katika ngazi ya Wilaya kulikuwa pia<br />

na Vyama vya msingi vya mazao na vikundi vya viwanda vidogo hasa<br />

Useremala, Uhunzi, fundi bati.<br />

Mnamo mwaka 1974 hali halisi ilikuwa ifuatayo:<br />

Wilaya Vyama vya msingi Vikundi vya Ufundi<br />

(mazao)<br />

(Viwanda vidogo)<br />

Lindi<br />

33<br />

16<br />

Kilwa<br />

21<br />

7<br />

Nachingwea<br />

22<br />

7<br />

Jumla 76 30<br />

Kwa Muhtasari kulikuwa na Chama Kikuu cha Ushirika 1 Vyama vya msingi 76<br />

na vikundi 30.<br />

Tunaposherehekea miaka <strong>50</strong> ya Uhuru Mkoa una Chama Kikuu cha Ushirika 1<br />

Ilulu Coop. Union Ltd, Vyama vya Msingi mazao 90, Saccos 118 vyama vingine<br />

5. Mgawanyo Kiwilaya ni kama ufuatavyo:-<br />

Eneo Chama<br />

Kikuu<br />

Mkoa<br />

Lindi<br />

Nachingwea<br />

Liwale<br />

Kilwa<br />

Manispaa Lindi<br />

Ruangwa<br />

Vyama<br />

Vya Msingi<br />

(AMCOS)<br />

1 -<br />

19<br />

23<br />

15<br />

19<br />

1<br />

13<br />

First Draft 24<br />

Akiba na<br />

Mikopo<br />

SACCOS<br />

-<br />

26<br />

24<br />

12<br />

28<br />

19<br />

4<br />

Vyama<br />

vingine<br />

-<br />

1<br />

2<br />

2<br />

Jumla ya<br />

Vyama<br />

Jumla 1 90 113 5 209<br />

Vyama hivi vina jumla ya wanachama 35,654 wakiwemo Wamaune 23,245 na<br />

Wanawake 12,409. Jumla ya hisa za Wanachama ni 684,944,283.<br />

Hatua kubwa iliyofikiwa mwaka 2010/2011 katika Vyama vya Akiba na Mikopo<br />

(SACCOS) ni kwamba vimekusanya akiba toka kwa wanachama wake jumla ya<br />

shilingi 2,223,492,193 na hadi Juni 2011 SACCOS hizo zilitoa mikopo ya shilingi<br />

3,983,433,831. Mikopo hii imejumuisha akiba za wanachama wenyewe na fedha<br />

ambazo SACCOS hizo zimekopa toka mabenki.<br />

1<br />

46<br />

49<br />

37<br />

47<br />

22<br />

13


Miundo Mbinu:<br />

Barabara:<br />

Mkoa una mtandao wa barabara wa jumla ya Kilometa zipatazo 7,118 hivi.<br />

Wakati Mkoa unaundwa mnamo mwaka 1971 barabara za lami zilikuwa ni jumla<br />

ya kilometa 25 tu. Barabara hiyo ya lami ilikuwa ni Mnazimmoja hadi Lindi.<br />

Kwa ujumla barabara hizo zilikuwa za udongo na chache za changarawe hasa<br />

zile zinazounganisha miji ya Wilaya.<br />

Barabara zilizo nyingi ziliweza tu kupitika katika msimu wa Kiangazi na kipindi<br />

cha masika kilikuwa ni shida sana kupitika. Barabara ya Lindi – Kibiti – Dar es<br />

Salaam ilikuwa na kawaida ya kufungwa kwa magari yote wakati wa masika.<br />

Juhudi kubwa zimefanywa katika kuziboresha barabara. Sura ya barabara nyingi<br />

za udongo zimebadilika na kuwa za Kifusi wakati urefu wa barabara za lami<br />

umeongezeka – sasa kuna jumla ya kilometa zipatazo 4<strong>50</strong> za lami.<br />

• Mtegu – Mnazimmoja – Mahiwa<br />

• Mnazimmoja – Lindi – Nangurukuru – Somanga<br />

• Nangurukuru – Kilwa Masoko<br />

Miji ya Nachingwea na Liwale ina urefu wa barabara ya lami kilometa1 kila moja<br />

wakati Lindi ina karibu kilometa 6 (mbali nay a sehemu ya barabara Kuu iendayo<br />

Dar es Salaam).<br />

Urefu wa Barabara<br />

kiwango cha lami (Km)<br />

First Draft 25<br />

1971 2011<br />

25<br />

Barabara Kuu kuelekea Dar es Salaam sasa huwa haifungwi tena wakati wa<br />

masika na safari ya Lindi – Dar es Salaam huchukua Saa 7 kwa wastani.<br />

Viwanja vya ndege:<br />

Mkoa ulipoanzishwa kulikuwapo na Viwanja vitatu vya ndege ambavyo vilitumika<br />

kwa ndege za abiria. Viwanja hivyo ni Kilwa Masoko, Lindi na Nachingwea.<br />

Liwale kipo Kiwanja ambacho hutumika kwa ndege ndogo tu na hasa kwa ajili ya<br />

Selous Game reserve.<br />

Kati ya hivi Kiwanja cha Lindi, kilichopo eneo la Kikwetu ndicho kikubwa na kina<br />

njia tatu ambazo zinaweza kutumika. Mazoezi ya Majeshi ya nchi za SADC<br />

4<strong>50</strong>


yaliyojulikana kama “Blue Ruvuma” hapo mwaka 2007 yalikitumia kiwanja hiki na<br />

walikisifia kuwa ni kizuri.<br />

Hoteli za Kitalii zilizopo Mjini Kilwa Masoko zimesaidia sana katika kukipa uhai<br />

kiwanja cha ndege cha Kilwa Masoko. Ndege ndogo kufanya safari hadi Dar es<br />

Salaam kwa kila siku<br />

Kiwanja cha Nachingwea mbali na kutumiwa na ndege za abiria pia kimekuwa<br />

kinatumiwa na ndege za JWTZ.<br />

Mashirika ya ndege ambayo yamewahi kuvitumia viwanja hivi ni<br />

• East African Airways<br />

• Air <strong>Tanzania</strong><br />

• Eagle Air<br />

Kimsingi hali ya Viwanja hivi vinahitaji kufanyiwa matengenezo ili kuvifanya<br />

viweze kutumika hata nyakati za usiku, na pia kuziimarisha njia zake kwa<br />

kuzifanya ziwe za kiwango cha lami (ndege iliwahi kukwama kiwanja cha Lindi<br />

masika moja).<br />

Bandari:<br />

Tangu zama hizo pamekuwapo na bandari mbili tu za Kilwa na Lindi. Wakati Mji<br />

wa Lindi ukiwa ndiyo Mji Mkuu wa Jimbo la Kusini ndiyo ilikuwa bandari kubwa<br />

ya Kusini (Mtwara ilikuja baadaye sana ndani ya Uhuru).<br />

Ulipoanzishwa Mkoa wa Lindi bandari hizi ziliendelea kutumiwa na meli za<br />

mizigo na za abiria zote zina uwezo wa kufunga gati meli za tani 2000.<br />

Kufutika kwa Shirika la Meli Mwambao wa Bahari lililojulikana kama TACOSHILI<br />

kulifuta pia umaarufu uliokuwapo wa bandari hizi Lindi na Kilwa. Sasa zipo kama<br />

zimetelekezwa maana zina majengo ya maghala chakavu, hakuna vifaa vya<br />

kupakua/kupakia mizigo.<br />

Korosho na Ufuta ambayo ndiyo mazao makuu kwa Mkoa huu husafirishwa<br />

kupitia bandari ya Mtwara na hivyo kukuza ajira huko.<br />

First Draft 26


Mawasiliano na Habari:<br />

Simu:<br />

Mawasiliano kwa njia ya Simu yalikuwa yanategemea tu wakati huo Shirika la<br />

Posta na Simu na baada ya kuyatenganisha Mashirika hayo ilitegemewa<br />

Kampuni ya Simu tu (TTCL).<br />

Huduma hii ya Simu ilipatikana tu katika miji ya Wilaya na pia katika miji midogo.<br />

Kwa sasa Mkoa umeshuhudia kuboreka kwa Sekta hii na ambapo Kampuni za<br />

Vodacom, Airtel, Tingo, na Zantel yanatoa huduma ya Simu. Hii imerahisisha<br />

mno mawasiliano ya Simu. Mitandao hii imeenea Mkoani pote na kwa sasa<br />

wateja hupata pia huduma ya “Internet” na hata kusafirisha fedha.<br />

Posta:<br />

Huduma za Posta zinapatikana katika miji yote ya Wilaya na katika baadhi ya miji<br />

midogo.<br />

Radio na Television:<br />

Mkoa unavyo vituo vya Radio na ambavyo miaka ya nyuma havikuwepo. Vituo<br />

hivyo ni pamoja na TBC, Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa, halmashauri ya<br />

Wilaya ya Ruangwa halmashauri ya Wilaya ya Liwale na pia Manispaa ya Lindi.<br />

Mawasiliano Mtandao:<br />

Huduma za Internet zinapatikana katika miji ya Wilaya ambapo Wadau<br />

mbalimbali wamefungua vituo vya mawasiliano hayo. Huduma hii imekuwa<br />

mbadala kwa njia ya :telex” ambayp ilikuwa huko miaka ya mwanzo.<br />

First Draft 27


Maliasili:<br />

Misitu:<br />

Kumbukumbu za Mkoa mwaka 1973 zinaonesha kuwa eneo la misitu<br />

iliyofadhiliwa la jumla ya kilometa za mraba 5,284.73. Eneo hili linajumuisha<br />

misitu ya mikoko kilometa za mraba 152.09 na zilizobakia ni misitu ya kawaida<br />

kilometa za mraba 5672.64.<br />

Katika misitu hii ya kawaida utajiri mkubwa uliopo ni miti ya mbao ngumu iliyo na<br />

thamani kubwa. Miti hiyo ni pamoja na mpingo, mchenga, mninga, mvule, msufi,<br />

mpangapanga, mkangazi, mbambakofi kwa kuitaja baadhi tu.<br />

Mkoa wa Lindi una pia msitu wa kupandwa katika uwanda wa juu wa Rondo<br />

msitu ambao una utajiri wa miti ya mbao laini. Ni msitu ambao ulianzishwa katika<br />

kipindi cha Wakoloni.<br />

Wilayani Nachingwea katika miaka ya 1970 pia ilianzisha shamba la miti ya<br />

mpingo maeneo ya Matekwe.<br />

Katika mwaka 2011 takwimu za misitu hii iliyohifadhiwa inaonesha kuwa ina<br />

ukubwa wa eneo la kilometa za mraba 6244.981. picha kamili ni kama ifuatavyo:<br />

Wilaya Idadi ya<br />

Misitu<br />

Kilwa<br />

Lindi<br />

Liwale<br />

Nachingwea<br />

15<br />

17<br />

3<br />

1<br />

Eneo (hekta)<br />

kilometa<br />

mraba<br />

194,<strong>50</strong>2<br />

56,875.1<br />

306,803<br />

28,480.8<br />

Jumla 36 586,670.9 6<br />

First Draft 28<br />

Misitu iliyopendekezwa<br />

Idadi Eneo (hekta)<br />

-<br />

6<br />

-<br />

-<br />

36,576.9<br />

Mchakato wa usimamizi Shirikishi wa Misitu sasa una zaidi ya mwongozo mmoja<br />

tangu uanzishwe (Participatory Forest management – PFM). Wilaya zote za<br />

Mkoa wa Lindi zimo katika mpango huu. Kupitia mpango huu wa PFM, Vijiji<br />

Shiriki kimetenga pia maeneo ya misitu yake.


Picha kamili ni kama ifuatavyo kwa misitu ya Vijiji<br />

Halmashauri Idadi ya Misitu Eneo<br />

kilometa za Mraba<br />

Kilwa<br />

20<br />

<strong>50</strong>,113.25<br />

Lindi<br />

32<br />

26,858.11<br />

Liwale<br />

48<br />

30,714.14<br />

Nachingwea<br />

12<br />

44,798<br />

Ruangwa<br />

8<br />

545,585<br />

Jumla 120 698,068.<strong>50</strong><br />

Wanyama Pori:<br />

Selous Game Reserve ni mbuga ambayo inahusisha Wilaya za Kilwa na Liwale.<br />

Mbunga hii ni makazi ya Wanyama wengi sana wakiwemo tembo, nyati,<br />

Kongoni, Paa, Simba, Chui, Fisi. Ni mbunga iliyoanzishwa hata kabla ya Uhuru<br />

na sasa ni miongoni mwa “Urithi wa Dunia.”<br />

Vijiji vya jirani na mbunga kwani miaka ya hivi karibuni imeanza kunufaika kwa<br />

kuwepo wa mbunga ya Selous. Kumeanzishwa WMA tatu zifuatazo:<br />

Wilaya WMA Idadi ya<br />

Vijiji<br />

Kilwa<br />

Liwale<br />

Nachingwea<br />

“Mboma” Minjika<br />

Magingo<br />

Ndonde<br />

First Draft 29<br />

9<br />

9<br />

5<br />

Jumla 23<br />

Uvuvi:<br />

Mfadhili<br />

Eastern Selous Conservation Program<br />

GTZ<br />

W W F<br />

Mkoa wa Lindi kwa miaka 1971 – 1973 umekuwa unaongoza kwa Uvuvi wa<br />

bahari ya Hindi. Kiwango kikubwa cha Samaki ambao huvuliwa katika pwani ya<br />

Bahari ya Hindi katika Mikoa ya Tanga, Pwani, Dar es Salaam wakati huo ikiwa<br />

ndani ya Pwani) Lindi na Mtwara Wilaya ya Kilwa pekee yake hutoa karibu<br />

asilimia 37 – 38 (Mkoa wa Lindi kwa jumla hutoa 40%).<br />

Mazingira haya ndiyo yaliufanya Mkoa wa Lindi miaka hiyo ianzishe Kampuni ya<br />

Uvuvi – Lindi Fishing Company (LIFICO) mnamo tarehe 1 Oktoba 1973.<br />

Kampuni ilikuwa na maboti 6 ya urefu wa futi 25, Mnyororo baridi Kilwa Masoko<br />

na Lindi. Hivyo Samaki toka Kilwa waliletwa Lindi katika masanduku ya barafu<br />

kwa mauzo.


LIFICO kwa sasa haipo tena nayo ilikuwa na uhai mfupi.<br />

Takwimu za mwaka 1973 kwa Mkoa zinaonesha yafuatayo:-<br />

Idadi ya Idadi ya Wastani wa<br />

Wavuvi Vyombo uzalishaji/Chombo<br />

(Tani)<br />

1,312 8<strong>50</strong> 9.6<br />

Aina ya Samaki wanapatikana sana ni changu kijana, jodari, samsuli, mlimba,<br />

pono, vibua, nguru, kalambisi, pweza na kamba.<br />

Uvuvi wa maji baridi kufanywa katika maziwa ya Rutamba na Mkowe yaliyopo<br />

Wilaya Lindi.<br />

First Draft 30


Maendeleo yaliyopatikana ndani ya kipindi hiki cha Uhuru ni kama kinavyoonekana katika jedwali lifuatalo:-<br />

First Draft 31<br />

Lindi (M) Lindi (V) Kilwa Nachingwea Ruangwa Liwale Jumla<br />

Idadi ya wavuvi 801 1200 1600 - - - 3601<br />

Idadi ya vyombo vya uvuvi 524 476 - - - - -<br />

Idadi ya BMUs 9 13 16 - - - 38<br />

Idadi ya Vikundi vya Uvuvi 7 - - - - - -<br />

Idadi ya Doria zilizofanyika 3 4 4 - - - 9<br />

Idadi ya Zana haramu zilizokamatwa 10 3 - - - - 13<br />

Idadi ya nyombo haramu vilivyokamatwa 1 3 - - - - 4<br />

Idadi ya wavuvi haramu waliokamatwa - 3 - - - - 3<br />

Idadi ya Miradi/Programu zinazosaidia wavuvi 1 1 2 1 1 1 3<br />

Idadi ya vyombo vya fedha vinavyosaidia wavuvi - - 1 - - - 1<br />

Idadi ya mabwawa ya kufugia samaki 4 146 17 69 11 25 272<br />

Idadi ya wafygaji samaki 62 223 152 158 43 360 998<br />

Idadi ya vizimba vya kufugia Kaa - - 160 - - - 160<br />

Idadi ya chaza wa kuzalishia Lulu - - - - - - -<br />

Idadi ya wakulima wa zao la Mwani 100 1787 - - - - 1887<br />

Idadi ya vikundi vya ufugaji/ukuzaji viumbe kwenye maji 5 14 16 26 6 22 156


Madini:<br />

Kuwepo kwa madini ya vito – katika wilaya za Mkoa wa Lindi ni jambo ambalo<br />

limebainika katika miaka ya 1990. Hapa ndipo Mkoa ulipokea wimbi la<br />

wachimbaji wadogo kutoka nje ya Mkoa.<br />

Lakini katika miaka ya 1970 Askari KAR wa zamani aliyepigana Vita Kuu ya Pili<br />

ya Dunia Bwana Petro Achimpota alikuwa na viwanja na liseni ya kutafuta<br />

madini katika maeneo ya Mbekenyera. Alikuwa ni mtu pekee aliyejishughulisha<br />

na suala la madini miaka hiyo (Bado yupo hai).<br />

Aina ya madini yaliyopo ni pamoja na dhahabu, ruby, red na green tourmarine<br />

nay a vito mbalimbali. Kwa sasa wilaya za Nachingwea, Ruangwa na Liwale ni<br />

maarufu kwa shughuli hii.<br />

Katika miteremko ya Uwanda wa Juu wa Rondo kuna aina yam awe ya rangi<br />

mbalimbali hasa Namupa na Mnacho. Wenyeji hutumia rangi hizo kupaka<br />

nyumba zao. Haujafanyika utafiti wa kina juu yam awe haya yaweza kuzalisha<br />

bidhaa ngapi.<br />

Pamoja na kwamba uchimbaji wa madini una takriban miaka 10 mfululizo sasa<br />

bado haifahamiki uzito wa madini yaliyozalishwa.<br />

Mwaka 2010 Kampuni moja ya madini imeonesha nia ya kufungua mgodi wa<br />

dhahabu wilayani Ruangwa – mgodi ambao waweza kutoa tani 25 za dhahabu.<br />

Viwanda vya Mbao:<br />

Kuwepo kwa misitu yenye miti ya mbao ngumu za thamani kubwa kuliufanya<br />

Mkoa wa Lindi kuwa na viwanda kadhaa vya kupasua mbao.<br />

Viwanda hivyo ni kama vifuatavyo:-<br />

Mmiliki Jina la Kiwanda Mahali<br />

Nachingwea Trading Mtua Saw Mill<br />

Nachingwea<br />

Cooporation (NATCO) Ngunichile Blackwood Saw Mill Nachingwea<br />

TWICO<br />

Durbhai<br />

?<br />

?<br />

JKT Nachingwea<br />

Vara GD<br />

Mingoyo Saw Mills<br />

Kilwa Saw Mills<br />

African Black Wood<br />

Rafiki Saw Mill<br />

Lindi Saw Mills<br />

JKT Timber products<br />

Vara Saw Mills<br />

First Draft 32<br />

Lindi<br />

Kilwa<br />

Lindi<br />

Lindi<br />

Lindi<br />

Nachingwea<br />

Lindi


Kati ya Viwanda hivi vile vya NATCO (baadaye SHIMANA) viliuzwa kwa watu<br />

binafsi na pia TWICO Mingoyo.<br />

Katika mwaka huu 2011 viwanda vilivyo hai na kusajiliwa ni vifuatavyo:-<br />

Jina/Kampuni Hati ya<br />

Usajili<br />

(Namba)<br />

Miteja Saw Mills<br />

06471<br />

Mingoyo Saw Mills<br />

06473<br />

Mtua Saw Mills<br />

06473<br />

Mhavile Enterprises Ltd 06<strong>50</strong>0<br />

Viwanda vya Kubangua Korosho:<br />

First Draft 33<br />

Shughuli Mahali<br />

Kupasua Mbao<br />

Kupasua Mbao<br />

Kupasua Mbao<br />

Kupasua Mbao<br />

Kilwa<br />

Lindi<br />

Lindi<br />

Ruangwa<br />

Miaka ya mwanzoni mwa 1980 Mkoa wa Lindi ulikuwa na viwanda vitatu vya<br />

kubangua Korosho:<br />

Viwanda Uwezo<br />

(tani)<br />

Lindi 10,000<br />

Mtama 5,000<br />

Nachingwea 5,000<br />

20,000<br />

Viwanda vilifanya kazi kwa kipindi tu na vilikuwa maalumu kwa ajili ya kubangua<br />

kwa mauzo ya soko la nje. Yaonekana vionjo vya Soko la nje liligeuka na kuwa<br />

linapenda kupata Korosho ghafi.<br />

Katika miaka ya 1990 Kiwanda cha Lindi kilikodiwa na Ms Mohamed Abdullah<br />

Kgarafi chini ya jina la MAK Industries na kikafanya kazi kwa miaka karibu mitatu<br />

hivi.<br />

Viwanda vyote vitatu sasa cimebinafsishwa<br />

Lindi BUCCO<br />

Mtama Linfi Farmers Association<br />

Nachingwea Lindi Farmers Association<br />

Katika ubinafsishaji huu ni kiwanda cha Lindi tu kilifanya kazi chini ya mmiliki<br />

wake na ni kwa kipindi kifupi tu pia.


Mafuta Ilulu Ltd:<br />

Kiwanda hiki kipo Nachingwea na kilijengwa miaka ya katikati ya 1970 kwa ajili<br />

ya kukamua mafuta ya Ufuta. Kilianzishwa wakati Mkoa wa Lindi umeundwa<br />

tayari.<br />

Kiwanda kilijikuta kimo katika matatizo ya rasilimali fedha (mtaji) na hivyo kikawa<br />

na madeni makubwa pamoja na umri wake mdogo.<br />

Katika jitihada ya kukiokoa Kiwanda hiki Halmashauri za Wilaya zilinunua baadhi<br />

ya hisa za Kiwanda hiki.<br />

Hatima ya Kiwanda hiki ilifikia pale ambapo kiliuzwa kwa mwekezaji Abbas<br />

Gulamali.<br />

Mafuta Ilulu ni Kiwanda ambacho kilifanya kazi kwa muda mfupi sana baada ya<br />

kufanya majaribio ya uzalishaji.<br />

Viwanda Binafsi: Sabuni na Mafuta:<br />

1. Mingoyo Oil and Soap Factory kimekuwapo tangu wakati wa Ukoloni.<br />

Kiwanda hiki ni maarufu sana kwa sababu za miche zilizojulikana kwa<br />

jina la “Mingoyo” (a.k.a “Ulimi wa ng’ombe). Malighafi yalikuwa mbata.<br />

Katika miaka ya 1980 Kiwanda kilitengeneza pia sabuni za kuogea<br />

“Anita”.<br />

Ukamuaji wa mafuta pia ulikuwa unafanyika Kiwandani hapa kwa<br />

kutumia karanga na ufuta kuzalisha “Mingoyo Cooking Oil (Mafuta ya<br />

Uto).<br />

Kutokana na uzee wa teknolojia ya kiwanda hiki bidhaa zake<br />

zimetoweka katika Soko katika miaka ya Karne hii ya 21.<br />

2. Zawadi Soap Factory kilikuwapo Mjini Lindi eneo la Matopeni<br />

kilianzishwa miaka ya 1970 na kilifungwa miaka ya 1980 baada ya<br />

mmiliki Zawadi E. Rawji kuihama Lindi.<br />

Kiwanda cha Kukamua Asali: Liwale<br />

Shirika la Maendeleo la wilaya ya Liwale (SHIMALI) wakati wa uhai wake lilikuwa<br />

na kiwanda cha kukamua asali na kuiweka katika chupa za ujazo wa 2<strong>50</strong>cc.<br />

Wilaya ya Liwale ni maarufu kwa uzalishaji asali ya nyuki wakubwa. Lakini<br />

pamoja na ukweli huu Kiwanda hiki hakikudumu kwa muda mrefu.<br />

First Draft 34


Imani ya Soko kwamba asali bora na nzuri ni ile ya Tabora tu, kwa kuwa<br />

ilitangazika sana, haikuaminika kuwa Liwale yaweza kuzalisha asali yenye<br />

ushindani. Ushindani huu Wachumi wanauita “Wa kukatana makoo” (Cut throat<br />

Competition).<br />

Hata hivyo Wilaya zetu za mkoa wa Lindi ni wazalishaji wa asali na hivyo bado<br />

fursa ipo.<br />

Viwanda vya Chumvi:<br />

Teknolojia ya kuzalisha chumvi ni ile ya kuyatega maji ya bahari katika mabirika<br />

(majaluba, mabwawa). Maji huachwa humo yakikaushwa na joto la jua hadi<br />

kubakia “mawe meupe” ya chumvi.<br />

Katika mwaka 1974 Mkoa ulikuwa na idadi ndogo ya viwanda vya aina hii vya<br />

kuzalisha chumvi. Viwanda hivyo ni vifuatavyo:-<br />

Jina la Kiwanda Mmiliki Mahali<br />

Machole Salt Works LIDECO Lindi<br />

Nangima Salt Works KIL<strong>WA</strong>DECO Kilwa<br />

Matope Salt Works Lindi<br />

Kufunguliwa kwa Viwanda vya ngozi (Morogoro) na Karatasi (Mgololo Iringa)<br />

kulikuza ghafla Soko la ndani la chumvi katika miaka ya 1980. hali hii ikawafanya<br />

watu wengi kuingia katika kuanzisha Viwanda vya kuzalisha chumvi.<br />

Wafanya biashara kutoka Kanda ya Ziwa na Magharibi mwa <strong>Tanzania</strong> walizidi<br />

kupanua Soko la chumvi. Walikuwa wanaiuza chumvi kwa nchi jirani za Uganda,<br />

Rwanda, Burudi na Zaire (sasa DRC).<br />

Kumekuwa na kupanuka kwa Viwanda vya chumvi mwambao wa Bahari ya Hindi<br />

kwa Wilaya zote mbili za Lindi na Kilwa.<br />

First Draft 35


Utalii:<br />

Mkoa wa Lindi una vivutio vingi tu vya kuwavutia Watalii. Ujumla wa vivutio<br />

vilivyopo kumfanya mtu kuyapata ama kuyatenda mambo matatu kwa wakati<br />

mmoja:<br />

1. Kupata Elimu<br />

2. Kukuza ujasiri<br />

3. Michezo<br />

Vivutio vilivyopo ni kama vifuatavyo:-<br />

(i) Magofu ya Kale:<br />

Magofu ya Kale yapo Kilwa Kisiwani ambapo miongoni mwa hayo kuna<br />

Gereza Kuu, Msikiti wenye umri ya Karne 6, Kisima Kikuu na njia ya chini<br />

ya ardhi, Kasri ya Kifalme “Husn-El-Kubra” ni majengo yaliyopo hapo<br />

Kisiwani.<br />

Kilwa Kisiwani ni Kisiwa ambacho kinatajwa kuwa kilinunuliwa kwa bei ya<br />

kitambaa cha nguo kukizunguka Kisiwa chote (historia hiyo).<br />

Eneo la Songa Mnara ambacho ni Kisiwa pia yapo magofu hiyo ni himaya<br />

ya Ibu Batuta. Hapo ndipo sarafu ya kwanza kabisa ilibuniwa na kuanza<br />

kutumia eneo la pwani hii.<br />

(ii) Mapango ya Nang’oma Kipatimu<br />

Ni mapango ya aina yake yenye mvuto mkubwa. Hupatikana popo na aina<br />

ya bui bui ambao hawapo maeneo mengine. Ni mapango yenye mchanga<br />

unaofanana na wa pwani. (ulifikaje hapo?) Pia kuna kitu kama ngoma na<br />

fimbo za kupigia. Lakini ni mawe tupu hayo. Yapo madai ya baadhi ya<br />

Watu kuwa hayo hufika hadi Liwale (hakuna utafiti wa kuthibitisha haya).<br />

Ni mapango ambayo Wamatumbi waliyatumia sana kujificha wakati wa<br />

Vita.<br />

(iii) Chem Chem ya Maji ya Moto:<br />

Hii inapatikana pia eneo la Kipatimu na pia hata chemchem iliyotoa maji<br />

ya dawa kwa vita vya “Majimaji” ipo katika eneo la huko Kipatimu.<br />

(3) Fukwe Nzuri.<br />

Hizi zimetanda toka Kilwa hadi Lindi ni fukwe ambazo hazijachafuliwa na<br />

taka za viwandani. Bahari yake pia ni nzuri kwa kuogelea na hata michezo<br />

ya mbizi (Scuba diving).<br />

(4) Jiwe la Mzungu<br />

Ni alama ambayo iliwekwa na Wareno pwani ya Lindi katika kijiji cha<br />

Kijiweni (pia huitwa Jiwe la Mzungu). Hii ni katika miaka ya Karne ya 15.<br />

Inadaiwa kuwa Wareno (ambao waliweka jiwe hilo) walidai kuwa ndiyo<br />

First Draft 36


uwe mpaka wa Kaskazini mwa himaya yao ya Msumbiji katika Kikao cha<br />

Barlin.<br />

5. Boma la Liwale:<br />

Hili lina picha za “Watawala wa jadi Sugu” katika ukuta. Ni sura ambazo<br />

zaonekana bayana kwa kupata chokaa upya ukuta husika. Ni teknolojia<br />

gani ilitumika kuweka picha hizo hao?!).<br />

6. Barabara ya Biashara ya Utumwa:<br />

Msafara wa Watumwa hadi kufika Soko la Kilwa hupita ndani ya Mkoa wa<br />

Lindi kutokea Kusini (kwa che Mataka) kupitia Nachingwea, Liwale hadi<br />

Kilwa Kivinje ambako Soko lake lipo hadi sasa.<br />

7. Misitu ya Rondo:<br />

Ni maarufu kwa bioanuai lakini ni njia maarufu kwa ndege wanaohama<br />

hama. Pia ni eneo ambalo lina vipepeo wa aina ambayo hupatikana hapo<br />

tu. Ni eneo ambalo yasemwa hata baadhi ya mimea ipo hapo tu.<br />

Ni muhimu kwa wasomi wa “Flora na Fauna”.<br />

8. Selous Game Reserve:<br />

Mbuga ambayo ina wanyama wengi wa kuvutia, ndege na hata pia<br />

maeneo yenye samaki. Njenje, Luwegu na Mbarangandu ni maeneo<br />

muafaka kwa kuwa na makambi hata Hoteli za Kitalii.<br />

9. Viboko wa Mto Nyange: Kilwa<br />

Ni wa ajabu kwa nini wanaelewa lugha ya binadamu na kuyafanya yale<br />

wanayoomba kuyafanya? Inakuwaje basi ukoo wa watu Fulani tu ndiyo<br />

mmoja wao aweze kuwasiliana na viboko hawa? Wanakijiji wa<br />

Kiranjeranje wanayo Siri hiyo. Wilaya ya Kilwa ilijenga nyumba (Rest<br />

Camp) hapo Mto Nyange miaka ya 1980 sasa ni hadithi tu hazipo tena.<br />

(10) Kisiwa cha Popo<br />

Hiki kipo ndani ya Manispaa ya Lindi. Wakazi pekee Kisiwani humo ni<br />

popo. Kwa miaka ya hivi karibuni kimewahi kutembelewa na wageni ili<br />

kuja kuwaona popo hao wa aina yake. Wageni hukitaja kisiwa hicho kuwa<br />

ni mazalia mazuri kwa aina hiyo ya popo.<br />

(11) Mlima wa Tembo (Kipindimbi Kilwa)<br />

Ni eneo ambalo tembo alianguka akiwa katika mbio na kufia hapo. Watu<br />

wa Tarafa ya Njinjo Kilwa wanayo maelezo ya kina.<br />

(12) Eneo la Masalia ya Dinosavia (Dinosarus)<br />

Ni reptilia mkubwa mno wa zama za kale ambapo masalia yake<br />

yamechimbwa na kupelekwa Ujerumani. Huko yamejengwa vizuri na<br />

yapo katika makumbusho. Ni mnyama ambaye kwa kawaida aliishi katika<br />

“temperate lands” huku alifikaje? Masalia hayo yalipatikana eneo la<br />

Tendeguru Wilaya ya Lindi.<br />

First Draft 37


Watu wa Dini wanasema kuja kwa mnyama huyo ni katika Gharika ya<br />

Enzi ya Nuhu (hakuwapo katika Safina), wanahistoria wanadai kuwa<br />

huenda “alipwelewa” kipindi ambacho barafu iliyeyuka toka uso wa<br />

dunia.(Glacier period).<br />

Watafiti wa Mambo ya Kale kwa hili watatuambia nini au ni Olduvai tu<br />

ndiyo kipaumbele?!<br />

Vipo vivutio vingine vingi tu ambavyo hapa havikutajwa si kwamba havina<br />

umuhimu hasha. Tutavipa uwanja mpana kwa siku zijazo.<br />

Kuwepo kwa vivutio ambavyo vimetajwa hapo mapema kumesababisha pia<br />

kufunguliwa kwa Hoteli za Kitalii Kilwa Masoko na pia Lindi.<br />

Hoteli hizo ni zifuatazo:-<br />

Mji Hoteli<br />

Kilwa Masoko Kilwa Ruins<br />

Kilwa Safari<br />

Kilwa Dreams<br />

Kimbilio<br />

Kilwa Sea View<br />

Mwangaza<br />

Lindi Lindi Oceanic<br />

Mbali na hoteli hizi Mkoa pia umeshuhudia kuanzishwa asasi ya Kijamii kwa jina<br />

la “Kilwa Hevitage “ambayo miongoni mwa shughuli zake ni kuutangaza<br />

Utamaduni asilia wa Kilwa katika Nyanja mbalimbali.<br />

Kupitia asasi hii kutafanyika pia aya nyingine ya Utalii wa Kiutamaduni (Cultural<br />

tourism.<br />

First Draft 38


Majengo ya Ofisi:<br />

Mkoa ulianza ukiwa umekodi jengo la Ofisi kutoka Msajili wa Majumba hapo<br />

mwaka 1971. Jengo hilo limetumika hadi mwaka 1989 wakati ambapo Ofisi ya<br />

Mkuu wa Mkoa ilipokamilika awamu ya kwanza na kuhamia. Awamu ya pili<br />

imeanza kutumika pamoja na kwamba hatua za umaliziaji bado hazijakamilika.<br />

Majengo ambayo yamejengwa ndani ya miaka ya Uhuru ni majengo ya Ofisi za<br />

Wakuu wa Wilaya za Kilwa, Lindi na Nachingwea.<br />

Kwa upande wa Wilaya za Liwale na Ruangwa Wakuu wa Wilaya Ofisi zao zimo<br />

katika majengo ya Halmashauri za Wilaya husika. Jengo la Ofisi kwa Wilaya ya<br />

Ruangwa linaendelea kujengwa.<br />

Majengo ya Ofisi ambayo yapo Ruangwa Halmashauri ya Wilaya na Nachingwea<br />

yanatokana na juhudi za Wananchi wenyewe kuchangia kwa hali na mali.<br />

Mchango wa Serikali Kuu kwa majengo hayo ikilinganishwa na ule wa jamii wa<br />

jamii ni mkubwa mno kwa uwiano wa asilimia 20 Serikali Kuu ni 80% juhudi za<br />

Wananchi wenyewe.<br />

First Draft 39


Umeme:<br />

Mnamo mwaka 1971 wakati Mkoa unaundwa ni maeneo machache tu ambayo<br />

yalikuwa na Umeme.<br />

Shirika la Umeme la TANESCO lilikuwa linatoa huduma hiyo kwa miji ya Lindi na<br />

Nachingwea tu.<br />

Mbali na miji hii Wamisionari nao walitoa huduma hii eneo la Nyangao kwa<br />

shughuli zao hapo kama hospitali, Karakana na matumizi ya Kanisa.<br />

Ndani ya kipindi hiki cha miaka ya Uhuru huduma ya TANESCO ilipanuka na<br />

kufika Miji ya Liwale, Kilwa Masoko na Ruangwa. Umeme huu ulikuwa<br />

unazalishwa na mashine (Generator) ambapo vituo vilikuwa Lindi Mjini,<br />

Nachingwea, Liwale na Kilwa Masoko – Ruangwa ilihudumiwa na mitambo ya<br />

Nachingwea.<br />

Kufuatia kufungwa kwa mitambo ambayo inaendeshwa kwa gesi asilia huko<br />

Mtwara (Artumas) na imekuwa ni ukombozi kwa Lindi, Nachingwea na Ruangwa.<br />

Suala la mgao ni historia.<br />

Katika baadhi ya Vijiji huduma ya Umeme kwa sasa inapatikana kama ifuatavyo:-<br />

Nachingwea Naipanga, Stesheni, Nangowe, Chiola<br />

Ruangwa Likunja, Nkowe<br />

Kilwa Nangurukuru, Singino, Mpara, Somanga, Tingi<br />

First Draft 40


TAASISI ZA FEDHA<br />

Mabenki ambayo yalikuwepo katika miaka ya 1970 hapa Mkoani yalikuwa<br />

National Bank of Commerce matawi yalikuwapo katika miji ya Wilaya, Benki ya<br />

Posta ambapo huduma yake ilikuwa inatolewa sehemu yenye Ofisi ya Posta.<br />

Mabenki mengine ni <strong>Tanzania</strong> Rural Development Bank (TRDB) na <strong>Tanzania</strong><br />

Housing Bank (THB): haya mawili yalikuwa na Matawi Lindi Mjini tu. Kwa sasa<br />

TRDB na THB hayapo tena.<br />

Kutokana na maboresho katika Sekta ya fedha na mageuzi kadhaa ndani ya<br />

Sekta husika Mkoa kwa sasa unazo taasisi zifuatazo za fedha:<br />

Taasisi Matawi<br />

NBC (1997) Ltd Lindi Mjini<br />

NMB Lindi, Nachingwea, Liwale, Ruangwa na Kilwa<br />

CRDB Lindi Mjini<br />

<strong>Tanzania</strong> Postal Bank Lindi Mjini<br />

Pride (T) Ltd Lindi Mjini<br />

Bay Port Lindi Mjini<br />

First Draft 41


ASASI ZA KIJAMII (AZAKI):<br />

Kuanzia miaka ya 1990 Mkoa umeshuhudia kuundwa kwa AZAKi mbalimbali<br />

katika Wilaya zake zote 5 za Kiserikali Kuu. AZAKi hizo zimejikita katika Nyanja<br />

mbalimbali za kijamii ili kuwezesha michakato ya kutatua Kero mbalimbali<br />

Kisiasa (elimu ya Uraia), Kiuchumi (vita dhidi ya Umaskini) Kijamii na pia Kijinsia.<br />

Kufuatia kuwapo kwa AZAKi nyingi kila Wilaya imeunda Mtandao unaoratibu na<br />

kuziunganisha AZAKi hizo. Mitandao hiyo ni kama ifuatayo:<br />

Wilaya Jina la Mtandao<br />

Lindi LINGO NET<br />

Kilwa KINGO NET<br />

Liwale ULIDINGO<br />

Ruangwa RUANGONET<br />

Nachingwea NAGO NET<br />

Mitandao hii ya Kiwilaya inajumuika chini ya Mtandao mmoja wa Kimkoa – Lindi<br />

Association of Non Governmental Organisations – LANGO.<br />

First Draft 42

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!