hotuba ya waziri wa maendeleo ya mifugo na - Ministry of Livestock ...
hotuba ya waziri wa maendeleo ya mifugo na - Ministry of Livestock ...
hotuba ya waziri wa maendeleo ya mifugo na - Ministry of Livestock ...
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
CHANGAMOTO KATIKA UTEKELEZAJI<br />
150. Mheshimi<strong>wa</strong> Spika, Sekta za Mifugo <strong>na</strong> Uvuvi k<strong>wa</strong> kipindi cha m<strong>wa</strong>ka<br />
2007/2008 zimeendelea kukabili<strong>wa</strong> <strong>na</strong> changamoto nyingi ambazo ni pamoja<br />
<strong>na</strong>:<br />
(i) Gharama kub<strong>wa</strong> za pembejeo za <strong>mifugo</strong> <strong>na</strong> uvuvi zikiwemo da<strong>wa</strong> za<br />
kuogeshea, za<strong>na</strong> za uvuvi kumesababisha <strong>wa</strong>fugaji <strong>na</strong> <strong>wa</strong>vuvi<br />
kushind<strong>wa</strong> kuzimudu <strong>na</strong> hivyo kupunguza uzalishaji wenye tija <strong>na</strong><br />
kupunguza mapato k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>fugaji <strong>na</strong> <strong>wa</strong>vuvi. Kulinga<strong>na</strong> <strong>na</strong> bajeti <strong>ya</strong><br />
m<strong>wa</strong>ka 2008/2009 Serikali itatumia shilingi bilioni 1.4 kama ruzuku<br />
k<strong>wa</strong> ajili <strong>ya</strong> da<strong>wa</strong> za kuogesha <strong>mifugo</strong> ambazo zi<strong>na</strong>tosha kununua lita<br />
68,579 tu k<strong>wa</strong> bei <strong>ya</strong> sasa. Kiasi hicho ki<strong>na</strong>tosha kuogesha ng’ombe<br />
takriban milioni 2.3 sa<strong>wa</strong> <strong>na</strong> asilimia 12 <strong>ya</strong> ng’ombe wote. Hivyo,<br />
kuendelea kuogesha k<strong>wa</strong> aslimia hizo ndogo itaku<strong>wa</strong> ni vigumu<br />
kuonyesha matokea mazuri katika kudhibiti kupe <strong>na</strong> magonj<strong>wa</strong><br />
<strong>wa</strong><strong>ya</strong>enezayo. Ili kufikia lengo la mafanikio <strong>ya</strong> uogeshaji ng’ombe k<strong>wa</strong><br />
angalau asilimia 80 kiasi cha shilingi bilioni 12.4 kingehitajika <strong>na</strong><br />
hivyo kufan<strong>ya</strong> kuwepo upungufu <strong>wa</strong> shilingi bilioni 11.<br />
(ii) Uhaba <strong>wa</strong> maeneo <strong>ya</strong> ufugaji <strong>na</strong> miundombinu umesababisha <strong>wa</strong>fugaji<br />
kuhamahama <strong>na</strong> kusababisha uharibufu <strong>wa</strong> mazingira, kuenea k<strong>wa</strong><br />
magonj<strong>wa</strong> <strong>ya</strong> <strong>mifugo</strong> <strong>na</strong> migogoro bai<strong>na</strong> <strong>ya</strong> <strong>wa</strong>fugaji <strong>na</strong> <strong>wa</strong>tumiaji<br />
wengine <strong>wa</strong> ardhi.<br />
(iii) Uwekezaji mdogo katika sekta <strong>ya</strong> <strong>mifugo</strong> <strong>na</strong> uvuvi umesababisha<br />
ukuaji mdogo <strong>wa</strong> sekta hizi kuliko ilivyotaraji<strong>wa</strong>.<br />
(iv) Kuwepo k<strong>wa</strong> magonj<strong>wa</strong> mbalimbali <strong>ya</strong> <strong>mifugo</strong> <strong>na</strong> tishio la ugonj<strong>wa</strong> <strong>wa</strong><br />
Mafua Makali <strong>ya</strong> Ndege kumeathiri pia <strong>maendeleo</strong> <strong>ya</strong> Sekta <strong>ya</strong> Mifugo<br />
nchini.<br />
(v) Uhaba <strong>wa</strong> vi<strong>wa</strong>nda v<strong>ya</strong> kusindika mazao <strong>ya</strong> <strong>mifugo</strong> <strong>na</strong> uhifadhi <strong>wa</strong><br />
samaki <strong>na</strong> mazao <strong>ya</strong> uvuvi, uzalishaji duni <strong>na</strong> ukosefu <strong>wa</strong> masoko <strong>ya</strong><br />
uhakika kumepunguza mchango <strong>wa</strong> sekta hizi katika Pato la Taifa.<br />
(vi) Kutokuwepo k<strong>wa</strong> taasisi za mikopo zenye masharti <strong>na</strong>fuu k<strong>wa</strong><br />
<strong>wa</strong>fugaji <strong>na</strong> <strong>wa</strong>vuvi kumesababisha <strong>wa</strong>shindwe kupata mitaji ili<br />
kuzalisha kibiashara.<br />
(vii) Tija ndogo katika uzalishaji <strong>wa</strong> <strong>mifugo</strong> hasa <strong>ya</strong> asili imesababisha<br />
sekta hii kutochangia kikamilifu katika pato la taifa. Aidha, <strong>mifugo</strong><br />
mingi <strong>ya</strong> asili i<strong>na</strong> ukosaafu mdogo <strong>na</strong> hivyo ku<strong>wa</strong> <strong>na</strong> vi<strong>wa</strong>ngo vidogo<br />
v<strong>ya</strong> uzalishaji.<br />
54