15.01.2013 Views

hotuba ya waziri wa maendeleo ya mifugo na - Ministry of Livestock ...

hotuba ya waziri wa maendeleo ya mifugo na - Ministry of Livestock ...

hotuba ya waziri wa maendeleo ya mifugo na - Ministry of Livestock ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

CHANGAMOTO KATIKA UTEKELEZAJI<br />

150. Mheshimi<strong>wa</strong> Spika, Sekta za Mifugo <strong>na</strong> Uvuvi k<strong>wa</strong> kipindi cha m<strong>wa</strong>ka<br />

2007/2008 zimeendelea kukabili<strong>wa</strong> <strong>na</strong> changamoto nyingi ambazo ni pamoja<br />

<strong>na</strong>:<br />

(i) Gharama kub<strong>wa</strong> za pembejeo za <strong>mifugo</strong> <strong>na</strong> uvuvi zikiwemo da<strong>wa</strong> za<br />

kuogeshea, za<strong>na</strong> za uvuvi kumesababisha <strong>wa</strong>fugaji <strong>na</strong> <strong>wa</strong>vuvi<br />

kushind<strong>wa</strong> kuzimudu <strong>na</strong> hivyo kupunguza uzalishaji wenye tija <strong>na</strong><br />

kupunguza mapato k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>fugaji <strong>na</strong> <strong>wa</strong>vuvi. Kulinga<strong>na</strong> <strong>na</strong> bajeti <strong>ya</strong><br />

m<strong>wa</strong>ka 2008/2009 Serikali itatumia shilingi bilioni 1.4 kama ruzuku<br />

k<strong>wa</strong> ajili <strong>ya</strong> da<strong>wa</strong> za kuogesha <strong>mifugo</strong> ambazo zi<strong>na</strong>tosha kununua lita<br />

68,579 tu k<strong>wa</strong> bei <strong>ya</strong> sasa. Kiasi hicho ki<strong>na</strong>tosha kuogesha ng’ombe<br />

takriban milioni 2.3 sa<strong>wa</strong> <strong>na</strong> asilimia 12 <strong>ya</strong> ng’ombe wote. Hivyo,<br />

kuendelea kuogesha k<strong>wa</strong> aslimia hizo ndogo itaku<strong>wa</strong> ni vigumu<br />

kuonyesha matokea mazuri katika kudhibiti kupe <strong>na</strong> magonj<strong>wa</strong><br />

<strong>wa</strong><strong>ya</strong>enezayo. Ili kufikia lengo la mafanikio <strong>ya</strong> uogeshaji ng’ombe k<strong>wa</strong><br />

angalau asilimia 80 kiasi cha shilingi bilioni 12.4 kingehitajika <strong>na</strong><br />

hivyo kufan<strong>ya</strong> kuwepo upungufu <strong>wa</strong> shilingi bilioni 11.<br />

(ii) Uhaba <strong>wa</strong> maeneo <strong>ya</strong> ufugaji <strong>na</strong> miundombinu umesababisha <strong>wa</strong>fugaji<br />

kuhamahama <strong>na</strong> kusababisha uharibufu <strong>wa</strong> mazingira, kuenea k<strong>wa</strong><br />

magonj<strong>wa</strong> <strong>ya</strong> <strong>mifugo</strong> <strong>na</strong> migogoro bai<strong>na</strong> <strong>ya</strong> <strong>wa</strong>fugaji <strong>na</strong> <strong>wa</strong>tumiaji<br />

wengine <strong>wa</strong> ardhi.<br />

(iii) Uwekezaji mdogo katika sekta <strong>ya</strong> <strong>mifugo</strong> <strong>na</strong> uvuvi umesababisha<br />

ukuaji mdogo <strong>wa</strong> sekta hizi kuliko ilivyotaraji<strong>wa</strong>.<br />

(iv) Kuwepo k<strong>wa</strong> magonj<strong>wa</strong> mbalimbali <strong>ya</strong> <strong>mifugo</strong> <strong>na</strong> tishio la ugonj<strong>wa</strong> <strong>wa</strong><br />

Mafua Makali <strong>ya</strong> Ndege kumeathiri pia <strong>maendeleo</strong> <strong>ya</strong> Sekta <strong>ya</strong> Mifugo<br />

nchini.<br />

(v) Uhaba <strong>wa</strong> vi<strong>wa</strong>nda v<strong>ya</strong> kusindika mazao <strong>ya</strong> <strong>mifugo</strong> <strong>na</strong> uhifadhi <strong>wa</strong><br />

samaki <strong>na</strong> mazao <strong>ya</strong> uvuvi, uzalishaji duni <strong>na</strong> ukosefu <strong>wa</strong> masoko <strong>ya</strong><br />

uhakika kumepunguza mchango <strong>wa</strong> sekta hizi katika Pato la Taifa.<br />

(vi) Kutokuwepo k<strong>wa</strong> taasisi za mikopo zenye masharti <strong>na</strong>fuu k<strong>wa</strong><br />

<strong>wa</strong>fugaji <strong>na</strong> <strong>wa</strong>vuvi kumesababisha <strong>wa</strong>shindwe kupata mitaji ili<br />

kuzalisha kibiashara.<br />

(vii) Tija ndogo katika uzalishaji <strong>wa</strong> <strong>mifugo</strong> hasa <strong>ya</strong> asili imesababisha<br />

sekta hii kutochangia kikamilifu katika pato la taifa. Aidha, <strong>mifugo</strong><br />

mingi <strong>ya</strong> asili i<strong>na</strong> ukosaafu mdogo <strong>na</strong> hivyo ku<strong>wa</strong> <strong>na</strong> vi<strong>wa</strong>ngo vidogo<br />

v<strong>ya</strong> uzalishaji.<br />

54

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!