hotuba ya waziri wa maendeleo ya mifugo na - Ministry of Livestock ...
hotuba ya waziri wa maendeleo ya mifugo na - Ministry of Livestock ...
hotuba ya waziri wa maendeleo ya mifugo na - Ministry of Livestock ...
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
48. Mheshimi<strong>wa</strong> Spika, ili kuimarisha biashara <strong>ya</strong> n<strong>ya</strong>ma <strong>na</strong> mazao <strong>ya</strong>ke<br />
Serikali ilikubali kuuza asilimia 51 <strong>ya</strong> thamani <strong>ya</strong> mali za machinjio <strong>ya</strong> Dodoma<br />
k<strong>wa</strong> Kampuni <strong>ya</strong> Natio<strong>na</strong>l Investment Company Limited (NICOL) <strong>na</strong> kubakiza<br />
asilimia 49 chini <strong>ya</strong> NARCO. NARCO <strong>na</strong> NICOL zimeanzisha kampuni iit<strong>wa</strong>yo<br />
Tanzania Meat Company Limited itakayoendesha machinjio hiyo. Vilevile,<br />
<strong>wa</strong>wekezaji bi<strong>na</strong>fsi <strong>wa</strong>tatu (3) <strong>wa</strong>takaoingia ubia <strong>na</strong> NARCO kuwekeza katika<br />
ujenzi <strong>wa</strong> vi<strong>wa</strong>nda v<strong>ya</strong> n<strong>ya</strong>ma <strong>na</strong> machinjio <strong>wa</strong>mepatika<strong>na</strong>. Wawekezaji hao<br />
ni:<br />
(i) Kampuni <strong>ya</strong> Snowy Mountains PTY kutoka Australia ambayo imeomba<br />
kuwekeza katika eneo la Ruvu (Bagamoyo);<br />
(ii) Kampuni <strong>ya</strong> Rockshield Quality Foods <strong>ya</strong> Mkoani Kagera ambayo<br />
imeomba kuwekeza katika eneo la K<strong>ya</strong>ka (Misenyi); <strong>na</strong><br />
(iii) Kampuni <strong>ya</strong> Live Support Systems (T) <strong>ya</strong> Mkoani Arusha ambayo<br />
imeomba kuwekeza katika eneo la Themi (Arusha).<br />
49. Mheshimi<strong>wa</strong> Spika, katika m<strong>wa</strong>ka 2008/2009 taratibu za kuiwezesha<br />
NARCO kuingia ubia <strong>na</strong> <strong>wa</strong>wekezaji hao zitaendelea. K<strong>wa</strong> upande <strong>wa</strong> maeneo<br />
<strong>ya</strong> Magu, Bunda <strong>na</strong> ki<strong>wa</strong>nda cha n<strong>ya</strong>ma cha Mbe<strong>ya</strong> ambako <strong>wa</strong>wekezaji<br />
ha<strong>wa</strong>japatika<strong>na</strong>, Wizara itatangaza te<strong>na</strong> zabuni up<strong>ya</strong> ili kupata <strong>wa</strong>wekezaji<br />
<strong>wa</strong>takaoingia ubia <strong>na</strong> NARCO katika maeneo hayo. Serikali imetenga shilingi<br />
bilioni 3 kuiwezesha NARCO kuingia ubia <strong>na</strong> <strong>wa</strong>wekezaji hao <strong>wa</strong>liojitokeza ili<br />
kampuni ishiriki kama mbia. Aidha, katika m<strong>wa</strong>ka <strong>wa</strong> 2008/2009 Wizara <strong>ya</strong>ngu<br />
itafan<strong>ya</strong> zoezi la kuhesabu <strong>mifugo</strong> yote iliyo chini <strong>ya</strong> NARCO <strong>na</strong> Wizara k<strong>wa</strong><br />
ujumla.<br />
50. Mheshimi<strong>wa</strong> Spika, pamoja <strong>na</strong> kampuni nilizoainisha hapo juu, zipo pia<br />
kampuni bi<strong>na</strong>fsi zi<strong>na</strong>zojihusisha <strong>na</strong> biashara <strong>ya</strong> n<strong>ya</strong>ma ambazo ni:<br />
(i) Kampuni <strong>ya</strong> Triple “S” Beef Limited iliyokabidhi<strong>wa</strong> Ki<strong>wa</strong>nda cha<br />
Kusindika N<strong>ya</strong>ma cha Shin<strong>ya</strong>nga tarehe 31 Desemba 2007 <strong>na</strong><br />
mwekezaji a<strong>na</strong>endelea <strong>na</strong> taratibu za uwekezaji.<br />
(ii) Ki<strong>wa</strong>nda cha kusindika n<strong>ya</strong>ma cha Sumba<strong>wa</strong>nga Agricultural and Animal<br />
Feeds Industries (SAAFI) chenye uwezo <strong>wa</strong> kuchinja ng’ombe 150 k<strong>wa</strong><br />
siku.<br />
(iii) Tanzania Pride Meat cha Morogoro chenye uwezo <strong>wa</strong> kuchinja ng’ombe<br />
200 <strong>na</strong> kuku 16,000 k<strong>wa</strong> siku.<br />
(iv) Machinjio <strong>ya</strong> Saki<strong>na</strong>, Arusha yenye uwezo <strong>wa</strong> kuchinja ng’ombe 300<br />
k<strong>wa</strong> siku.<br />
(v) Mkuza Chicks Limited (Kibaha) yenye uwezo <strong>wa</strong> kuchinja kuku 8,000<br />
k<strong>wa</strong> siku.<br />
(vi) Interchick Company Limited (Kinondoni) yenye uwezo <strong>wa</strong> kuchinja kuku<br />
3,000 k<strong>wa</strong> siku.<br />
27