15.01.2013 Views

hotuba ya waziri wa maendeleo ya mifugo na - Ministry of Livestock ...

hotuba ya waziri wa maendeleo ya mifugo na - Ministry of Livestock ...

hotuba ya waziri wa maendeleo ya mifugo na - Ministry of Livestock ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

(vi) Hifadhi za Bahari <strong>na</strong> Maeneo Tengefu<br />

� Kufan<strong>ya</strong> doria shirikishi jamii 125 katika maeneo <strong>ya</strong> hifadhi.<br />

� Kupunguza matumizi <strong>ya</strong> za<strong>na</strong> haribifu k<strong>wa</strong> kubadilisha <strong>na</strong> za<strong>na</strong> bora za<br />

uvuvi ambapo vikundi 62 katika wila<strong>ya</strong> za Mafia <strong>na</strong> Mt<strong>wa</strong>ra vimenufaika.<br />

� Kutoa elimu <strong>ya</strong> kazi mbadala ili kupunguza utegemezi kwenye uvuvi.<br />

� Kutoa mafunzo <strong>ya</strong> utalii rafiki <strong>wa</strong> mazingira (eco tourism) k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>dau 55<br />

kutoka eneo tengefu la Dar es Salaam <strong>na</strong> hifadhi <strong>ya</strong> Bahari <strong>ya</strong> Mafia.<br />

� Kuchapisha <strong>na</strong> kusambaza vipeperushi 4,500, majarida 6,000 <strong>na</strong> kalenda<br />

5,000 k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>dau <strong>na</strong> kurusha he<strong>wa</strong>ni programu 5 za televisheni <strong>na</strong> radio.<br />

(vii) Mradi <strong>wa</strong> Usimamizi <strong>wa</strong> Mazingira <strong>ya</strong> Bahari <strong>na</strong> Ukanda <strong>wa</strong> P<strong>wa</strong>ni<br />

(Marine and Coastal Environment Ma<strong>na</strong>gement Project – MACEMP)<br />

� Kuainisha eneo la kujenga makao makuu <strong>ya</strong> Mamlaka <strong>ya</strong> Kusimamia Uvuvi<br />

katika Bahari Kuu (Deep Sea Fishing Authority) eneo la Fumba Zanzibar <strong>na</strong><br />

kutangaza zabuni <strong>ya</strong> ujenzi.<br />

� Kuwezesha kufanyika siku za doria 1,471 <strong>na</strong> za anga 30 ili kudhibiti uvuvi<br />

haramu katika ukanda <strong>wa</strong> p<strong>wa</strong>ni ikijumuisha maeneo tengefu.<br />

� Kurusha vipindi 5 v<strong>ya</strong> redio <strong>na</strong> luninga <strong>na</strong> kusambaza <strong>na</strong>kala 4,000 za<br />

Jarida la Dodoji, fula<strong>na</strong> <strong>na</strong> k<strong>of</strong>ia 400 <strong>na</strong> mabango 500 ili kuelimisha jamii<br />

umuhimu <strong>wa</strong> usimamizi bora <strong>wa</strong> rasilimali za uvuvi.<br />

� Kuwezesha <strong>wa</strong>vuvi kuibua miradi 87 yenye thamani <strong>ya</strong> shilingi<br />

794,656,644 katika wila<strong>ya</strong> za Kil<strong>wa</strong>, Mafia <strong>na</strong> Rufiji.<br />

� Kuwezesha utoaji <strong>wa</strong> mafunzo k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>kusan<strong>ya</strong>ji takwimu 17 zi<strong>na</strong>zohusu<br />

uvuvi katika wila<strong>ya</strong> za Mafia, Kil<strong>wa</strong> <strong>na</strong> Rufiji.<br />

� Kuhamasisha Halmashauri 16 za Mkinga, Muheza, Jiji la Tanga, Pangani,<br />

Bagamoyo, Kinondoni, Ilala, Temeke, Mkuranga, Lindi Vijijini, Lindi Mjini,<br />

Mt<strong>wa</strong>ra Vijijini <strong>na</strong> Manispaa <strong>ya</strong> Mt<strong>wa</strong>ra zitakazoingia kwenye utekelezaji <strong>wa</strong><br />

mradi <strong>wa</strong> MACEMP pamoja <strong>na</strong> Halmashauri za Rufiji, Kil<strong>wa</strong> <strong>na</strong> Mafia za<br />

a<strong>wa</strong>mu <strong>ya</strong> k<strong>wa</strong>nza <strong>ya</strong> utekelezaji <strong>wa</strong> mradi.<br />

� Kuwezesha uanzishaji <strong>wa</strong> vikundi 14 v<strong>ya</strong> usimamizi <strong>wa</strong> rasilimali za uvuvi<br />

(Beach Ma<strong>na</strong>gement Units – BMUs) katika Wila<strong>ya</strong> za Mafia <strong>na</strong> Rufiji.<br />

13

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!