Hotuba ya Bajeti ya 2010 2011 Juni 20 - Ministry of Livestock and ...
Hotuba ya Bajeti ya 2010 2011 Juni 20 - Ministry of Livestock and ...
Hotuba ya Bajeti ya 2010 2011 Juni 20 - Ministry of Livestock and ...
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA<br />
HOTUBA YA WAZIRI WA MAENDELEO YA MIFUGO NA<br />
UVUVI, MHESHIMIWA DKT. JOHN POMBE JOSEPH<br />
MAGUFULI (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MPANGO WA<br />
MAENDELEO NA MAKADIRIO YA MATUMIZI YA FEDHA<br />
KWA MWAKA <strong><strong>20</strong>10</strong>/<strong><strong>20</strong>11</strong><br />
Mhe. Dkt. Jaka<strong>ya</strong> Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri <strong>ya</strong><br />
Muungano wa Tanzania akiweka jiwe la msingi<br />
Machinjio <strong>ya</strong> Kisasa <strong>ya</strong> Ruvu, Mkoa wa Pwani.<br />
DODOMA JULAI <strong><strong>20</strong>10</strong>
Jengo la Hifadhi <strong>ya</strong> Ghuba <strong>ya</strong> Mnazi na Maingilio <strong>ya</strong> mto Ruvuma, Mtwara.<br />
World Wide Fund for Nature (WWF) ni wadau wakubwa wa Hifadhi <strong>ya</strong> Bahari<br />
na Maeneo Tengefu: Hapa Mhe. Waziri wa Maendeleo <strong>ya</strong> Mifugo na Uvuvi<br />
akimpongeza Mwakilishi wa WWF hapa nchini kwa kazi nzuri wanaz<strong>of</strong>an<strong>ya</strong><br />
katika Uk<strong>and</strong>a wa Bahari.
Baadhi <strong>ya</strong> Wajumbe wa Kamati <strong>ya</strong> Bunge <strong>ya</strong> Kilimo, Mifugo na Maji<br />
wakiangalia moja <strong>ya</strong> mabwawa <strong>ya</strong> TAFIRI <strong>ya</strong> kufugia samaki.<br />
Vifaranga v<strong>ya</strong> samaki vinavyozalishwa katika mabwawa <strong>ya</strong> kufugia samaki.
HOTUBA YA WAZIRI WA MAENDELEO YA MIFUGO NA UVUVI,<br />
MHESHIMIWA DKT. JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI (MB),<br />
AKIWASILISHA BUNGENI MPANGO WA MAENDELEO NA MAKADIRIO<br />
YA MATUMIZI YA FEDHA KWA MWAKA <strong><strong>20</strong>10</strong>/<strong><strong>20</strong>11</strong><br />
A: UTANGULIZI<br />
1. Mheshimiwa Spika, naomba kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa<br />
kutuwezesha kukutana hapa leo ikiwa ni Bunge la <strong>Bajeti</strong> la Tano kwa Serikali <strong>ya</strong><br />
Awamu <strong>ya</strong> Nne. Aidha, kutokana na taarifa iliyowasilishwa leo hapa Bungeni na<br />
Mwenyekiti wa Kamati <strong>ya</strong> Kudumu <strong>ya</strong> Bunge <strong>ya</strong> Kilimo, Mifugo na Maji inayohusu<br />
Wizara, naomba kutoa hoja kwamba Bunge lako Tukufu lipokee, lijadili na<br />
kupitisha Mpango wa Maendeleo na Makadirio <strong>ya</strong> Matumizi <strong>ya</strong> Fedha <strong>ya</strong> Wizara<br />
<strong>ya</strong> Maendeleo <strong>ya</strong> Mifugo na Uvuvi kwa mwaka wa fedha <strong><strong>20</strong>10</strong>/<strong><strong>20</strong>11</strong>.<br />
2. Mheshimiwa Spika, naomba nichukue nafasi hii kuwapongeza<br />
Waheshimiwa Wabunge wap<strong>ya</strong> waliojiunga na Bunge lako Tukufu katika kipindi<br />
cha mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong> kufuatia kuteuliwa kwao na Rais wa Jamhuri <strong>ya</strong><br />
Muungano wa Tanzania Mhe. Jaka<strong>ya</strong> Mrisho Kikwete, ambao ni Mhe. Janet<br />
Zebedayo Mbene kutoka Chama cha Mapinduzi na Mhe. Ismail Jussa Ladhu<br />
kutoka Chama cha Wananchi - CUF.<br />
3. Mheshimiwa Spika, Wizara ilipokea kwa masikitiko makubwa taarifa <strong>ya</strong><br />
kifo cha Mheshimiwa Mbunge mwenzetu; Ha<strong>ya</strong>ti Mhe. Sigifrid Selemani Ng’itu,<br />
aliyekuwa Mbunge wa Ruangwa. Naungana na Waheshimiwa Wabunge<br />
wenzangu, kutoa salamu za rambirambi kwa familia <strong>ya</strong> marehemu, ndugu na<br />
wananchi wa jimbo la Ruangwa. Mwenyezi Mungu aiweke roho <strong>ya</strong> marehemu<br />
mahali pema peponi, Amina. Aidha, naomba pia, nitumie fursa hii kuwapa pole<br />
wananchi wa Kilosa, Same na sehemu nyinginezo nchini kutokana na athari za<br />
mafuriko na maporomoko <strong>ya</strong>liyosababisha kupoteza maisha <strong>ya</strong> wananchi<br />
wenzetu, uharibifu na upotevu wa mali na makazi.<br />
4. Mheshimiwa Spika, huu ni mwaka wa uchaguzi mkuu ambapo<br />
Watanzania watapata fursa <strong>ya</strong> kumchagua Rais atakayeongoza nchi yetu kwa<br />
miaka mitano ijayo. Napenda kuchukua fursa hii kwa dhati kabisa kumpongeza<br />
Mheshimiwa Dkt. Jaka<strong>ya</strong> Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri <strong>ya</strong> Muungano<br />
wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Ali Mohamed Shein, Makamu <strong>ya</strong> Rais na<br />
Mheshimiwa Mizengo Peter Pinda (Mb), Waziri Mkuu kwa kazi zao nzuri katika<br />
kuongoza nchi hii.<br />
5. Mheshimiwa Spika, uchaguzi mkuu utaka<strong>of</strong>anyika mwezi Oktoba<br />
mwaka huu, pia utawachagua Waheshimiwa Wabunge wa Bunge hili Tukufu.<br />
Napenda kukupongeza wewe Mheshimiwa Spika kwa busara na hekima zako<br />
zilizowezesha kuongoza na kusimamia kwa utulivu shughuli za Bunge kwa kipindi<br />
1
chote. Aidha, nachukua nafasi hii kuwapongeza Waheshimiwa Wabunge<br />
wenzangu kwa kazi kubwa ambayo wameifan<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> kusukuma na kusimamia<br />
maendeleo <strong>ya</strong> wananchi na Taifa kwa ujumla.<br />
6. Mheshimiwa Spika, napenda kuchukua fursa hii kuwapongeza na<br />
kuwashukuru wajumbe wa Kamati <strong>ya</strong> Kudumu <strong>ya</strong> Bunge <strong>ya</strong> Kilimo, Mifugo na<br />
Maji chini <strong>ya</strong> Mwenyekiti wake Mhe. Gideon Asimulike Cheyo, Mbunge wa<br />
Ileje, kwa ushauri, maoni na ushirikiano mkubwa waliotupatia katika ma<strong>and</strong>alizi<br />
<strong>ya</strong> bajeti hii na kipindi chote ambacho Kamati imesimamia sekta hizi. Napenda<br />
kulihakikishia Bunge lako Tukufu kwamba, Wizara itaendelea kuzingatia na<br />
kutekeleza maoni, ushauri na mapendekezo <strong>ya</strong>takayotolewa na Kamati pamoja<br />
na Bunge lako Tukufu wakati wa kujadili bajeti <strong>ya</strong> Wizara <strong>ya</strong>ngu.<br />
7. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Waziri Mkuu wa<br />
Jamhuri <strong>ya</strong> Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Mizengo Ka<strong>ya</strong>nza Peter<br />
Pinda, Mbunge wa Mp<strong>and</strong>a Mashariki kwa hotuba <strong>ya</strong>ke nzuri ambayo kwa<br />
ufasaha imetoa malengo <strong>ya</strong> Serikali na mwelekeo wa utendaji wa Sekta<br />
mbalimbali pamoja na kazi zitakazotekelezwa na Serikali katika mwaka<br />
<strong><strong>20</strong>10</strong>/<strong><strong>20</strong>11</strong>. Namshukuru sana Mhe. Waziri Mkuu kwa maelekezo <strong>ya</strong>ke mahsusi<br />
<strong>ya</strong> kuboresha sekta za mifugo na uvuvi hususan kupitia mikutano <strong>ya</strong> kisekta<br />
aliyoiongoza yeye binafsi hapa Dodoma, Mwanza na Dar es Salaam. Maelekezo<br />
hayo <strong>ya</strong>mekuwa ni dira katika ku<strong>and</strong>aa bajeti hii.<br />
8. Mheshimiwa Spika, nachukua nafasi hii pia kumpongeza Waziri wa<br />
Fedha na Uchumi Mhe. Mustafa Haidi Mkulo, Mbunge wa Kilosa kwa hotuba<br />
<strong>ya</strong>ke kuhusu hali <strong>ya</strong> uchumi wa nchi yetu na bajeti <strong>ya</strong> Serikali kwa ujumla kwa<br />
mwaka <strong><strong>20</strong>10</strong>/<strong><strong>20</strong>11</strong>. Aidha, nawapongeza Mawaziri wote waliotangulia kwa<br />
hotuba zao nzuri ambazo zimeainisha maeneo mbalimbali tunayoshirikiana kwa<br />
karibu katika kutoa huduma za kuendeleza sekta za mifugo na uvuvi nchini. Pia,<br />
nawashukuru Waheshimiwa Wabunge wote waliochangia masuala <strong>ya</strong> maendeleo<br />
<strong>ya</strong> sekta za mifugo na uvuvi kupitia hotuba zilizotangulia.<br />
9. Mheshimiwa Spika, Mpango na <strong>Bajeti</strong> kwa mwaka <strong><strong>20</strong>10</strong>/<strong><strong>20</strong>11</strong><br />
umezingatia vipaumbele v<strong>ya</strong> kitaifa, ikiwa ni pamoja na kuzingatia Dira <strong>ya</strong> Taifa<br />
<strong>ya</strong> Maendeleo <strong>ya</strong> <strong>20</strong>25, MKUKUTA II, Ilani <strong>ya</strong> Uchaguzi <strong>ya</strong> Chama Tawala, Sera<br />
za Taifa za Mifugo na Uvuvi pamoja na Azma <strong>ya</strong> KILIMO KWANZA. Vilevile,<br />
mpango na bajeti umezingatia Maagizo <strong>ya</strong> Rais wa Jamhuri <strong>ya</strong> Muungano wa<br />
Tanzania, Mhe. Jaka<strong>ya</strong> Mrisho Kikwete kwa Wizara, alipokutana na uongozi<br />
wa Wizara <strong>ya</strong> Maendeleo <strong>ya</strong> Mifugo na Uvuvi, Ikulu mwezi Machi, <strong>20</strong>09 na<br />
maazimio <strong>ya</strong> mikutano miwili <strong>ya</strong> wadau wa sekta za mifugo na uvuvi mwaka<br />
<strong>20</strong>09 chini <strong>ya</strong> uenyekiti wa Waziri Mkuu wa Jamhuri <strong>ya</strong> Muungano wa Tanzania.<br />
Maeneo <strong>ya</strong> Kipaumbele kwa mwaka <strong><strong>20</strong>10</strong>/<strong><strong>20</strong>11</strong> ni kama ifuatavyo:-<br />
2
Sekta <strong>ya</strong> Mifugo<br />
(i) Kuimarisha huduma za ugani na utafiti wa mifugo;<br />
(ii) Kuendelea kutoa ruzuku <strong>ya</strong> madawa <strong>ya</strong> kuogeshea mifugo na chanjo;<br />
(iii) Kuhamasisha uwekezaji katika sekta <strong>ya</strong> mifugo;<br />
(iv) Kuboresha miundombinu muhimu <strong>ya</strong> mifugo kama minada, masoko,<br />
majosho na malambo; na<br />
(v) Kuimarisha upatikanaji wa huduma za uhimilishaji mifugo.<br />
Sekta <strong>ya</strong> Uvuvi<br />
(i) Kudhibiti uvuvi na biashara haramu na kuhifadhi mazingira;<br />
(ii) Kuimarisha miundombinu <strong>ya</strong> kupokelea, kuhifadhi, kusafirisha samaki na<br />
mazao <strong>ya</strong> uvuvi;<br />
(iii) Kuimarisha utoaji wa huduma za ufugaji wa samaki na ukuzaji wa viumbe<br />
wengine kwenye maji (Fish Farming);<br />
(iv) Kuimarisha huduma za ugani na utafiti wa uvuvi;<br />
(v) Kuimarisha usimamizi wa sekta <strong>ya</strong> uvuvi na ukusan<strong>ya</strong>ji wa takwimu; na<br />
(vi) Kuhamasisha uwekezaji katika sekta <strong>ya</strong> uvuvi.<br />
10. Mheshimiwa Spika, sekta <strong>ya</strong> mifugo ina umuhimu mkubwa katika<br />
kumwondolea umaskini mwananchi, hususan katika maeneo <strong>ya</strong> vijijini. Katika<br />
mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong>, idadi <strong>ya</strong> mifugo inakadiriwa kufikia ng’ombe milioni 19.2,<br />
mbuzi milioni 13.7, kondoo milioni 3.6, nguruwe milioni 1.9 na kuku<br />
milioni 58. Kati <strong>ya</strong> ng’ombe hao, 680,000 ni ng’ombe wa maziwa. Vilevile,<br />
kati <strong>ya</strong> kuku hao, milioni 35 ni kuku wa asili na milioni 23 ni kuku wa kisasa<br />
ambapo milioni 7 ni kuku wa ma<strong>ya</strong>i na milioni 16 ni kuku wa n<strong>ya</strong>ma. Wastani<br />
wa ulaji mazao <strong>ya</strong> mifugo kwa mtu kwa mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong> ni kilo 12 za n<strong>ya</strong>ma,<br />
lita 43 za maziwa na ma<strong>ya</strong>i 75. Ulaji huu ni mdogo ikilinganishwa na viwango<br />
v<strong>ya</strong> FAO v<strong>ya</strong> kilo 50 za n<strong>ya</strong>ma, lita <strong>20</strong>0 za maziwa na ma<strong>ya</strong>i 300 kwa mtu kwa<br />
mwaka.<br />
11. Mheshimiwa Spika, Nchi yetu imebahatika kuwa na maeneo mengi <strong>ya</strong><br />
uvuvi, ikiwa ni pamoja na kilometa za mraba 64,000 za uk<strong>and</strong>a wa bahari,<br />
kilometa za mraba 223,000 za Bahari Kuu, maziwa makuu <strong>ya</strong> Victoria (kilometa<br />
za mraba 35,088), Tanganyika (kilometa za mraba 13,489) na N<strong>ya</strong>sa<br />
(kilometa za mraba 5,700). Pia, <strong>ya</strong>po maziwa <strong>ya</strong> kati na madogo 29, mabwawa<br />
14,746 na mito. Sekta <strong>ya</strong> uvuvi huchangia katika kuondoa umaskini nchini kwa<br />
kuwapatia wananchi lishe bora, ajira na kipato. Hata hivyo, ulaji wa mazao <strong>ya</strong><br />
uvuvi kwa mtu kwa mwaka bado ni mdogo, ambao katika mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong><br />
ulifikia kilo 8.0 ikilinganishwa na kilo 10.7 zinazopendekezwa na FAO.<br />
12. Mheshimiwa Spika, sekta za mifugo na uvuvi kwa kipindi cha mwaka<br />
<strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong> zimeendelea kukabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwa ni pamoja<br />
na:-<br />
3
(i) Kuainisha, kupima, kumilikisha na kuendeleza maeneo <strong>ya</strong> ufugaji<br />
endelevu ili kudhibiti kuhamahama, kupunguza migogoro baina <strong>ya</strong><br />
wafugaji na watumiaji wengine wa ardhi, kupunguza uharibufu wa<br />
mazingira na kuzuia kuenea kwa magonjwa <strong>ya</strong> mifugo;<br />
(ii) Kuongeza uwekezaji katika sekta za mifugo na uvuvi ili kuongeza<br />
uzalishaji, tija na thamani <strong>ya</strong> mazao <strong>ya</strong> mifugo na uvuvi;<br />
(iii) Kudhibiti magonjwa mbalimbali <strong>ya</strong> mifugo, hususan <strong>ya</strong> milipuko;<br />
(iv) Kupatikana kwa mikopo yenye masharti nafuu kwa ufugaji na uvuvi;<br />
(v) Kupatikana kwa pembejeo na zana za gharama nafuu kwa ajili <strong>ya</strong> ufugaji<br />
na uvuvi;<br />
(vi) Kupatikana kwa soko la uhakika la mazao <strong>ya</strong> mifugo na uvuvi;<br />
(vii) Kudhibiti uvuvi na biashara haramu <strong>ya</strong> samaki na mazao <strong>ya</strong> uvuvi; na<br />
(viii) Upatikanaji wa elimu na teknolojia pamoja na matumizi <strong>ya</strong> teknolojia za<br />
kisasa kwa wafugaji na wavuvi.<br />
B: UTEKELEZAJI WA ILANI YA UCHAGUZI YA CCM YA MWAKA <strong>20</strong>05<br />
HADI MWAKA <strong><strong>20</strong>10</strong><br />
13. Mheshimiwa Spika, Ilani <strong>ya</strong> Uchaguzi <strong>ya</strong> CCM <strong>ya</strong> mwaka <strong>20</strong>05<br />
inatambua mchango mkubwa unaoweza kutolewa na sekta za mifugo na uvuvi<br />
katika kuwapunguzia wananchi umaskini na kuongeza pato katika uchumi wa<br />
Taifa. Hivyo, utekelezaji wa maelekezo <strong>ya</strong> Ilani <strong>ya</strong> Uchaguzi <strong>ya</strong> CCM kwa sekta<br />
za mifugo na uvuvi ni kama ifuatavyo:-<br />
Sekta <strong>ya</strong> Mifugo<br />
(a) Kujenga Mazingira <strong>ya</strong> Kuvutia Uwekezaji katika Viw<strong>and</strong>a v<strong>ya</strong><br />
Kuongezea Thamani Mazao <strong>ya</strong> Mifugo kama vile Ukataji N<strong>ya</strong>ma,<br />
Usindikaji wa Maziwa na Utengenezaji wa Bidhaa za Ngozi n.k.<br />
14. Mheshimiwa Spika, Wizara imeendelea kujenga mazingira <strong>ya</strong> kuvutia<br />
uwekezaji kwa kufan<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>fuatayo:-<br />
(i) Tunaendelea kuboresha Sera <strong>ya</strong> Taifa <strong>ya</strong> Mifugo <strong>ya</strong> mwaka <strong>20</strong>06,<br />
(ii) Kupitia up<strong>ya</strong> Sheria <strong>ya</strong> N<strong>ya</strong>ma Na. 10 <strong>ya</strong> mwaka <strong>20</strong>06, Sheria <strong>ya</strong><br />
Biashara <strong>ya</strong> Ngozi Na. 18 <strong>ya</strong> mwaka <strong>20</strong>08, Sheria <strong>ya</strong> Ustawi wa<br />
Wan<strong>ya</strong>ma Na. 19 <strong>ya</strong> mwaka <strong>20</strong>08. Aidha, katika kikao cha 19, Bunge<br />
lako Tukufu lilipitisha Miswada <strong>ya</strong> Sheria za N<strong>ya</strong>nda za Malisho na<br />
V<strong>ya</strong>kula v<strong>ya</strong> Mifugo na Sheria <strong>ya</strong> Usajili, Utambuzi na Ufuatiliaji wa<br />
Mifugo <strong>ya</strong> mwaka <strong><strong>20</strong>10</strong>;<br />
(iii) Ku<strong>and</strong>aa Kanuni 29 chini <strong>ya</strong> Sheria <strong>ya</strong> Veterinari (3), Sheria <strong>ya</strong><br />
Magonjwa <strong>ya</strong> Mifugo (6), Sheria <strong>ya</strong> Maziwa (6), Sheria <strong>ya</strong> Ngozi (6),<br />
Sheria <strong>ya</strong> N<strong>ya</strong>ma (4) na Sheria <strong>ya</strong> Ustawi wa Wan<strong>ya</strong>ma (4); na<br />
4
(iv) Kuziwezesha Bodi za Maziwa na N<strong>ya</strong>ma ili kusimamia ubora wa maziwa<br />
na n<strong>ya</strong>ma.<br />
15. Mheshimiwa Spika, kutokana na kuwepo kwa mazingira mazuri <strong>ya</strong><br />
uwekezaji, kumevutia uwekezaji katika viw<strong>and</strong>a v<strong>ya</strong> kusindika n<strong>ya</strong>ma, maziwa na<br />
ngozi ili kuongeza thamani <strong>ya</strong> mazao hayo ambapo:-<br />
(i) Serikali kupitia Kampuni <strong>ya</strong> Ranchi za Taifa – NARCO imeingia mkataba<br />
na Kampuni <strong>ya</strong> ujenzi <strong>ya</strong> SUMA – JKT kujenga machinjio <strong>ya</strong> kisasa katika<br />
Ranchi <strong>ya</strong> Ruvu kwa gharama <strong>ya</strong> shilingi bilioni 10.7. Machinjio hayo<br />
<strong>ya</strong>takuwa na uwezo wa kuchinja ng’ombe 800 na mbuzi/kondoo 400<br />
kwa siku;<br />
(ii) Serikali imeuza asilimia 51 <strong>ya</strong> thamani <strong>ya</strong> mali za machinjio <strong>ya</strong> Dodoma<br />
kwa Kampuni <strong>ya</strong> National Investment Company Limited (NICOL) na<br />
kubakiza asilimia 49 chini <strong>ya</strong> Kampuni <strong>ya</strong> Ranchi za Taifa - NARCO.<br />
Aidha, kampuni ijulikanayo kama Tanzania Meat Company imeanzishwa<br />
kwa ajili <strong>ya</strong> kuendesha machinjio hayo, ambapo ng’ombe 100<br />
wanachinjwa kila siku na faida imeanza kupatikana;<br />
(iii) Kiw<strong>and</strong>a cha kusindika n<strong>ya</strong>ma cha Man<strong>ya</strong>ra Ranch chenye uwezo wa<br />
kuchinja na kusindika jumla <strong>ya</strong> ng’ombe 50 na mbuzi/kondoo 100 kwa<br />
siku kimekamilika;<br />
(iv) Viw<strong>and</strong>a v<strong>ya</strong> kusindika maziwa vimeongezeka kutoka 22 mwaka<br />
<strong>20</strong>05/<strong>20</strong>06 na kufikia 46 mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong>. Pia, uwezo wa usindikaji wa<br />
maziwa kwa siku umeongezeka kutoka lita 56,580 mwaka <strong>20</strong>06/<strong>20</strong>07<br />
hadi lita 105,380 mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong> (Jedwali Na. 1). Kuongezeka<br />
kwa usindikaji kumetokana na kuimarika kwa shughuli za usindikaji<br />
katika viw<strong>and</strong>a vikubwa na v<strong>ya</strong> kati v<strong>ya</strong> Tanga Fresh, Mara Milk, Tan<br />
Dairies na Musoma Dairy. Vilevile, ongezeko hilo limetokana na<br />
kuanzishwa kwa viw<strong>and</strong>a vidogo v<strong>ya</strong> kusindika maziwa vikwemo viw<strong>and</strong>a<br />
v<strong>ya</strong> Same, Longido na Simanjiro (Orkesumet, Naberera na Terrat).<br />
Viw<strong>and</strong>a hivi vina uwezo wa kusindika lita 500 za maziwa kwa siku kila<br />
kimoja;<br />
(v) Usindikaji wa ngozi uliongezeka kutoka kilo milioni 1.6 zenye thamani<br />
<strong>ya</strong> shilingi bilioni 1.6 mwaka <strong>20</strong>05/<strong>20</strong>06 hadi kufikia kilo milioni 3.5<br />
zenye thamani <strong>ya</strong> shilingi bilioni 7.3 mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong>; na<br />
(vi) Ili kukuza uwekezaji wa ndani, Serikali imeweka kodi <strong>ya</strong> ongezeko la<br />
thamani VAT <strong>ya</strong> asilimia 18 <strong>ya</strong> maziwa kutoka nje; imeweka ushuru wa<br />
asilimia 40 <strong>ya</strong> mauzo <strong>ya</strong> ngozi ghafi nje <strong>ya</strong> nchi na imeondoa kodi <strong>ya</strong><br />
vifungashio.<br />
5
(b) Kuwashawishi Watanzania wale n<strong>ya</strong>ma na ma<strong>ya</strong>i na kunywa<br />
maziwa kwa wingi zaidi kwa ajili <strong>ya</strong> kujenga af<strong>ya</strong> zao na kukuza<br />
soko la ndani la bidhaa hizo<br />
16. Mheshimiwa Spika, Wizara imeendelea kuhamasisha wananchi kutumia<br />
mazao <strong>ya</strong>tokanayo na mifugo kwa kushirikiana na wadau wengine ku<strong>and</strong>aa<br />
promosheni mbalimbali, ikiwemo Wiki <strong>ya</strong> Unywaji Maziwa ambayo huadhimishwa<br />
Kitaifa mwanzoni mwa mwezi <strong>Juni</strong> <strong>ya</strong> kila mwaka. Katika kipindi cha miaka 5<br />
iliyopita, maadhimisho hayo <strong>ya</strong>mefanyika katika mikoa <strong>ya</strong> Morogoro, Mbe<strong>ya</strong>,<br />
Rukwa, Dodoma na Lindi. Kutokana na uhamasishaji huo, unywaji wa maziwa<br />
umeongezeka kutoka lita 39 mwaka <strong>20</strong>05/<strong>20</strong>06 hadi lita 43 mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong><br />
kwa mtu kwa mwaka.<br />
Aidha, Mpango wa Majaribio wa Unywaji Maziwa Shuleni (School Milk Pilot<br />
Scheme) uliozinduliwa mwaka <strong>20</strong>04 umeendelea kutekelezwa katika shule 81<br />
ambapo wanafunzi 57,350 katika wila<strong>ya</strong> za Mbe<strong>ya</strong>, Hai, Moshi Vijijini, Tanga na<br />
Njombe walinufaika. Mpango huo unafadhiliwa na wazazi, wasindikaji wadogo,<br />
makampuni <strong>ya</strong> Fukeni Dairy Company Ltd, Peach S<strong>of</strong>tware Company Ltd, Tanga<br />
Fresh na Shirika la Maendeleo la Italia - CEFA. Pia, uhamasishaji wa ulaji wa<br />
n<strong>ya</strong>ma na ma<strong>ya</strong>i umeendelea ambapo ulaji wa ma<strong>ya</strong>i umeongezeka kutoka<br />
ma<strong>ya</strong>i 53 mwaka <strong>20</strong>05/<strong>20</strong>06 hadi 75 mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong> wakati ulaji wa n<strong>ya</strong>ma<br />
umeongezeka kutoka kilo 10 hadi kilo 12 kwa mtu kwa mwaka katika kipindi<br />
hicho.<br />
(c) Kufufua na Kujenga Mabwawa na Majosho Map<strong>ya</strong> kwa ajili <strong>ya</strong> Mifugo<br />
17. Mheshimiwa Spika, Wizara imeendelea kushirikiana na Halmashauri<br />
kupitia Mipango <strong>ya</strong> Maendeleo <strong>ya</strong> Kilimo <strong>ya</strong> Wila<strong>ya</strong> (DADPs), Mradi Shirikishi wa<br />
Maendeleo <strong>ya</strong> Kilimo na Uwezeshaji (PADEP), Mradi wa Uwekezaji katika Sekta<br />
<strong>ya</strong> Kilimo Wila<strong>ya</strong>ni (DASIP) na Mfuko wa Jamii Tanzania (TASAF) kuchangia<br />
ujenzi wa malambo 638, visima virefu 29 na mabwawa makubwa 2 katika<br />
Halmashauri mbalimbali nchini katika kipindi cha kuanzia mwaka <strong>20</strong>05/<strong>20</strong>06 hadi<br />
<strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong>. Aidha, nakala 357 za Mwongozo wa Ujenzi Bora wa V<strong>ya</strong>nzo v<strong>ya</strong> Maji<br />
kwa Mifugo na Miundombinu <strong>ya</strong> Mifugo umesambazwa kwa Halmashauri zote<br />
nchini. Pia, kupitia Mipango <strong>ya</strong> DADPs na sekta binafsi, jumla <strong>ya</strong> majosho 816<br />
<strong>ya</strong>mekarabatiwa na 264 kujengwa na kufan<strong>ya</strong> idadi <strong>ya</strong> majosho <strong>ya</strong>liyo katika<br />
hali nzuri <strong>ya</strong> kufan<strong>ya</strong> kazi kuwa 1,556 kati <strong>ya</strong> majosho 2,314 <strong>ya</strong>liyopo nchini.<br />
(d) Kuwaelimisha wafugaji umuhimu wa kuuza sehemu <strong>ya</strong> mifugo<br />
<strong>ya</strong>o ili wajipatie mapato<br />
18. Mheshimiwa Spika, utoaji elimu <strong>ya</strong> ufugaji kwa njia <strong>ya</strong> shamba darasa<br />
ulianza mwaka <strong>20</strong>06/<strong>20</strong>07 ambapo jumla <strong>ya</strong> wataalam 118 wa ugani kutoka<br />
katika Halmashauri 26 walipata mafunzo <strong>ya</strong> mbinu shirikishi <strong>ya</strong> uanzishaji wa<br />
mashamba darasa <strong>ya</strong> mifugo. Jumla <strong>ya</strong> mashamba darasa 2,164 kuhusu ufugaji<br />
6
ora na umuhimu wa kuvuna mifugo <strong>ya</strong>meanzishwa katika Halmashauri 119,<br />
ambapo wafugaji 93,495 wameelimishwa. Kutekelezwa kwa mpango huu<br />
kumewezesha kupanua wigo wa soko kwa wafugaji wadogo ambapo jumla <strong>ya</strong><br />
ng’ombe 74,400 walinenepeshwa ili kuzalisha n<strong>ya</strong>ma bora.<br />
(e) Kuwahimiza wafugaji kutekeleza kanuni za ufugaji bora na kwa<br />
ujumla kuwawezesha kuingia katika ufugaji wa kisasa<br />
19. Mheshimiwa Spika, Wizara imeendelea kuhimiza wafugaji kufuga kisasa<br />
na kibiashara kama ilivyoelekezwa katika Sera <strong>ya</strong> Taifa <strong>ya</strong> Mifugo <strong>ya</strong> mwaka<br />
<strong>20</strong>06. Jumla <strong>ya</strong> nakala 2,000 za Mwongozo wa Kanuni za Ufugaji Bora wa<br />
Mifugo zimechapishwa na kusambazwa kwa wafugaji. Aidha, Wizara kupitia<br />
Kampuni <strong>ya</strong> Ranchi za Taifa (NARCO) imemilikisha (sub-lease) jumla <strong>ya</strong> hekta<br />
227,414 kwa wawekezaji kwa lengo la kuanzisha na kuendesha ufugaji wa<br />
kibiashara katika ranchi ambapo vitalu 114 vimemilikishwa kwa wawekezaji<br />
wazalendo kati <strong>ya</strong> vitalu 134 vyenye eneo la hekta 289,069.<br />
(f) Kuhifadhi mazingira kwa kuzingatia ufugaji endelevu usioharibu<br />
mazingira, rasilimali muhimu kama ardhi na v<strong>ya</strong>nzo v<strong>ya</strong> maji kote nchini<br />
<strong>20</strong>. Mheshimiwa Spika, Muswada wa Sheria <strong>ya</strong> Maeneo <strong>ya</strong> Malisho na<br />
V<strong>ya</strong>kula v<strong>ya</strong> Mifugo itakayosimamia ufugaji kulingana na uwezo wa ardhi<br />
ilipitishwa na Bunge lako Tukufu katika kikao cha 19. Aidha, wataalam 70<br />
kutoka wila<strong>ya</strong> 31 za mikoa <strong>ya</strong> Arusha, Dodoma, Kilimanjaro, Man<strong>ya</strong>ra, Morogoro,<br />
Pwani, Singida na Tanga walijengewa uwezo kuhusu madhara <strong>ya</strong> mabadiliko <strong>ya</strong><br />
tabianchi na ufugaji unaozingatia uhifadhi wa mazingira, ikiwa ni pamoja na<br />
kuhifadhi na kuboresha malisho kwa kutumia njia za asili kama vile Ngitiri katika<br />
mikoa <strong>ya</strong> Shin<strong>ya</strong>nga na Tabora na Olelii katika mikoa <strong>ya</strong> Arusha na Man<strong>ya</strong>ra.<br />
(g) Kuendelea kukuza na kuendeleza masoko <strong>ya</strong> ndani <strong>ya</strong> mifugo na<br />
mazao <strong>ya</strong>ke<br />
21. Mheshimiwa Spika, Wizara imeendelea kuimarisha miundombinu <strong>ya</strong><br />
masoko <strong>ya</strong> mifugo ili kuboresha biashara <strong>ya</strong> mifugo na mazao <strong>ya</strong>ke kwa kujenga<br />
jumla <strong>ya</strong> minada 6 <strong>ya</strong> upili na mpakani <strong>ya</strong> N<strong>ya</strong>matara (Misungwi), Buzirayombo<br />
(Chato), Lumecha (Ruvuma), Buhigwe (Kigoma) na Kases<strong>ya</strong> (Rukwa); na<br />
kukarabati minada 9 <strong>ya</strong> upili. Aidha, jumla <strong>ya</strong> minada 73 imejengwa na<br />
kukarabatiwa katika Halmashauri ili kuboresha biashara <strong>ya</strong> mifugo. Vilevile,<br />
mfumo wa utoaji wa taarifa za masoko <strong>ya</strong> mifugo (LINKS) unatumika katika<br />
minada 53 ambayo hutoa taarifa za bei na aina <strong>ya</strong> mifugo iliyouzwa kwa<br />
madaraja kwa kutumia ujumbe wa simu. Pia, taarifa za LINKS zinapatikana<br />
kwenye tovuti <strong>ya</strong> Wizara http://www.lmistz.net na http://www.mifugo.go.tz.<br />
Serikali kupitia NARCO inajenga machinjio kubwa na <strong>ya</strong> kisasa Ruvu ili kuongeza<br />
soko la mifugo. Vilevile machinjio ndogo 26 zimejengwa katika Halmashauri 26.<br />
7
(h) Kuendeleza mikakati <strong>ya</strong> kukuza Sekta <strong>ya</strong> Mifugo kupitia ugani,<br />
tiba, kinga, usambazaji wa maji na uboreshaji wa malisho.<br />
22. Mheshimiwa Spika, elimu kuhusu ufugaji bora ilitolewa kwa wadau<br />
kupitia vipindi 286 v<strong>ya</strong> redio na 60 v<strong>ya</strong> luninga. Vilevile, mabango 90,130,<br />
vipeperushi 282,110 na vijitabu 312,000 kuhusu ufugaji bora, kinga na tiba <strong>ya</strong><br />
mifugo, uvunaji wa maji <strong>ya</strong> mvua na uboreshaji wa malisho vilita<strong>ya</strong>rishwa na<br />
kusambazwa kwa wadau.<br />
Wizara iliendelea kuimarisha vyuo v<strong>ya</strong> mafunzo <strong>ya</strong> mifugo v<strong>ya</strong> Tengeru, Madaba,<br />
Morogoro, Mpwapwa, Buhuri (Tanga) na Temeke kwa kuvikarabati na kuvipatia<br />
vitendea kazi. Aidha, wanafunzi 1,580 waliohitimu katika vyuo hivyo<br />
wameajiriwa katika Halmashauri ili kutoa huduma za ugani. Wataalam wa ugani<br />
118 kutoka Halmashauri 26 walipatiwa mafunzo <strong>ya</strong> ukufunzi kuhusu upangaji<br />
wa mipango shirikishi <strong>ya</strong> ugani na mbinu shirikishi <strong>ya</strong> shamba darasa.<br />
23. Mheshimiwa Spika, mikakati <strong>ya</strong> kudhibiti magonjwa mbalimbali <strong>ya</strong><br />
mifugo ime<strong>and</strong>aliwa na kutekelezwa kama ifuatavyo:-<br />
(i) Ugonjwa wa Sotoka umedhibitiwa na nchi yetu imetambuliwa na kupewa<br />
cheti na Shirika la Af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Wan<strong>ya</strong>ma Duniani cha kutokuwa na virusi v<strong>ya</strong><br />
ugonjwa huo tangu mwaka <strong>20</strong>07;<br />
(ii) Ugonjwa wa Homa <strong>ya</strong> Bonde la Ufa (RVF) umeendelea kudhibitiwa kwa<br />
kusambaza jumla <strong>ya</strong> dozi milioni 5.5 za chanjo ambapo jumla <strong>ya</strong><br />
mifugo milioni 4.9 ilichanjwa katika Halmashauri 52, mashamba <strong>ya</strong><br />
ng’ombe wa maziwa, utafiti na Ranchi za Taifa;<br />
(iii) Udhibiti wa Mafua Makali <strong>ya</strong> Ndege uliendelea kwa kujenga uwezo wa<br />
kutambua na kufuatilia ugonjwa huo kwa kuchunguza jumla <strong>ya</strong> sampuli<br />
22,300 za kuku na ndege pori. Elimu kwa umma ilitolewa kupitia vipindi<br />
v<strong>ya</strong> luninga, vipeperushi 1,0<strong>20</strong>,000 na mabango 1,010,000. Nakala<br />
500 za Mpango Mkakati na kalenda 500 zilichapishwa na kusambazwa<br />
kwa wadau. Pia, vijitabu 2,000 v<strong>ya</strong> kufundisha wataalam na nakala<br />
5,000 za vijarida kwa ajili <strong>ya</strong> wanafunzi zilisambazwa. Vilevile, wataalam<br />
1,630 wa mifugo, af<strong>ya</strong> na maliasili walipatiwa mafunzo. Hadi sasa<br />
ugonjwa huo haujaingia nchini;<br />
(iv) Ugonjwa wa Homa <strong>ya</strong> Mapafu <strong>ya</strong> Ng’ombe (CBPP) umeendelea<br />
kudhibitiwa ambapo ng’ombe milioni 11.134 wamechanjwa katika<br />
mikoa yote nchini;<br />
(v) Mpango wa kitaifa wa kudhibiti Ugonjwa wa Miguu na Midomo (FMD)<br />
umeanza kutekelezwa na ufuatiliaji wa ugonjwa huo ulifanyika katika<br />
K<strong>and</strong>a <strong>ya</strong> N<strong>ya</strong>nda za Juu Kusini ambapo iligundulika FMD virus type O<br />
katika mikoa <strong>ya</strong> Mbe<strong>ya</strong> na Iringa;<br />
8
(vi) Wizara imeendelea kudhibiti Ugonjwa wa Mdondo kwa kusambaza dozi<br />
milioni 140 za chanjo inayostahimili joto (I-2). Tathmini inaonyesha<br />
kupungua kwa vifo kutoka asilimia 95 hadi 4 katika maeneo<br />
<strong>ya</strong>liyozingatia taratibu za uchanjaji;<br />
(vii) Wizara imeendelea kudhibiti ugonjwa wa Kichaa cha Mbwa kwa<br />
kusambaza jumla <strong>ya</strong> dozi 472,000 za chanjo ambapo jumla <strong>ya</strong> mbwa<br />
433,687 walichanjwa na uchanjaji unaendelea. Pia, Serikali inatekeleza<br />
Mradi wa Kudhibiti Kichaa cha Mbwa katika mikoa <strong>ya</strong> Morogoro, Pwani,<br />
Dar es Salaam, Lindi na Mtwara, ambapo mbwa wapatao 400,000<br />
watachanjwa kila mwaka; na<br />
(viii) Serikali imetoa ruzuku <strong>ya</strong> jumla <strong>ya</strong> shilingi bilioni 13.5 kwa ajili <strong>ya</strong><br />
kununua lita 882,616 za dawa za kuogesha mifugo kwa mikoa yote<br />
kuanzia mwaka <strong>20</strong>06/<strong>20</strong>07 hadi <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong> ili kudhibiti magonjwa<br />
<strong>ya</strong>enezwayo na kupe.<br />
(i) Kuimarisha vituo v<strong>ya</strong> uzalishaji wa mbegu bora za ng’ombe na mifugo<br />
mingine na kuongeza ufanisi katika usambazaji wa mbegu hizo<br />
24. Mheshimiwa Spika, Kituo cha uhimilishaji cha Taifa cha NAIC Usa River<br />
kiliendelea kuimarishwa kwa kufan<strong>ya</strong> ukarabati wa majengo pamoja na<br />
kuendeleza shamba la malisho na uzio. Pia, Wizara ilinunua madume bora 12<br />
na kufikisha idadi <strong>ya</strong> madume bora 34 yenye uwezo wa kuzalisha dozi<br />
340,000 za mbegu kwa mwaka. Kituo cha NAIC kilizalisha jumla <strong>ya</strong> dozi<br />
339,815 za mbegu ambapo jumla <strong>ya</strong> ng’ombe 296,106 walihimilishwa. Vilevile,<br />
jumla <strong>ya</strong> wataalamu 877 wa uhimilishaji walipata mafunzo. Pia, vituo vitano<br />
v<strong>ya</strong> uhimilishaji vimeanzishwa katika K<strong>and</strong>a za Kati (Dodoma), Mashariki<br />
(Kibaha), Ziwa (Mwanza), N<strong>ya</strong>nda za Juu Kusini (Mbe<strong>ya</strong>) na Kusini (Lindi).<br />
25. Mheshimiwa Spika, ili kuimarisha mashamba <strong>ya</strong> uzalishaji wa mitamba<br />
bora, jumla <strong>ya</strong> mitamba 636 aina <strong>ya</strong> Boran ilinunuliwa na kusambazwa kwenye<br />
mashamba <strong>ya</strong> Mabuki (Misungwi), Nangaramo (Masasi), Ngerengere (Morogoro<br />
Vijijini) na Sao Hill (Mafinga). Mashamba hayo <strong>ya</strong>meendelea kuimarishwa kwa<br />
kupatiwa vitendea kazi, kukarabati miundombinu na watumishi kupatiwa<br />
mafunzo <strong>ya</strong> muda mfupi na mrefu. Katika kipindi hicho, jumla <strong>ya</strong> mitamba<br />
3,714 yenye thamani <strong>ya</strong> shilingi bilioni 1.48 ilizalishwa katika mashamba <strong>ya</strong><br />
Wizara na kuuzwa kwa wafugaji. Aidha, sekta binafsi ilizalisha na kusambaza<br />
kwa wafugaji jumla <strong>ya</strong> mitamba 30,155.<br />
(j) Kuendelea kutenga maeneo <strong>ya</strong> wafugaji kwa lengo la kupunguza<br />
migogoro baina <strong>ya</strong> wakulima na wafugaji<br />
26. Mheshimiwa Spika, Ili kupunguza migogoro kati <strong>ya</strong> wakulima na<br />
wafugaji Serikali imetenga hekta 1,423,<strong>20</strong>1.28 kwa shughuli za ufugaji katika<br />
9
vijiji 266 v<strong>ya</strong> Wila<strong>ya</strong> 33 katika mikoa 15 <strong>ya</strong> Dodoma, Iringa, Kagera, Kigoma,<br />
Lindi, Mara, Mbe<strong>ya</strong>, Morogoro, Mtwara, Pwani, Rukwa, Ruvuma, Singida, Tabora<br />
na Tanga. Aidha, mkakati wa kuelimisha wafugaji wa asili kuhusu matumizi bora<br />
<strong>ya</strong> ardhi na utatuzi wa migogoro <strong>ya</strong> ardhi kwa watumiaji mbalimbali unaendelea<br />
kutekelezwa kwa kushirikiana na asasi zisizo za kiserikali.<br />
(k) Kuendelea kuhamasisha uimarishaji na uanzishaji wa vikundi v<strong>ya</strong><br />
ushirika wa wafugaji<br />
27. Mheshimiwa Spika, Wizara imeendelea na juhudi za kuhimiza uundwaji<br />
wa vikundi, v<strong>ya</strong>ma na mit<strong>and</strong>ao <strong>ya</strong> wafugaji kwa lengo la kuharakisha<br />
maendeleo ambapo jumla <strong>ya</strong> vikundi 1,8<strong>20</strong> v<strong>ya</strong> wafugaji vimeanzishwa nchini.<br />
Aidha, mit<strong>and</strong>ao 40 <strong>ya</strong> wafugaji wadogo wa ng’ombe wa maziwa imeanzishwa<br />
katika mikoa <strong>ya</strong> Kagera (25) na Tanga (15). Pia, mit<strong>and</strong>ao 2 imeanzishwa <strong>ya</strong><br />
wazalishaji wa mbuzi wa maziwa aina <strong>ya</strong> Norwegian katika kata <strong>ya</strong> Mgeta<br />
(Morogoro) na Torgenburg wila<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Babati.<br />
Sekta <strong>ya</strong> Uvuvi<br />
(a) Kuwasaidia wavuvi kutumia maarifa <strong>ya</strong> kisasa <strong>ya</strong> uvuvi ili<br />
kuongeza ufanisi na mapato <strong>ya</strong>o<br />
28. Mheshimiwa Spika, katika kuwaongezea wavuvi mapato kutokana na<br />
uvuvi endelevu, Wizara <strong>ya</strong>ngu imetekeleza <strong>ya</strong>fuatayo:<br />
(i) Kujenga uwezo kwa kuwapatia mafunzo <strong>ya</strong> uhifadhi bora wa bahari na<br />
maeneo <strong>ya</strong> pwani kwa wananchi 12,000 na uhifadhi na uchakataji wa<br />
mazao <strong>ya</strong> uvuvi kwa wavuvi 1,830 na wafan<strong>ya</strong>biashara 430 kutoka<br />
wila<strong>ya</strong> za Rufiji, Kilwa, Mafia na Tanga. Aidha, mafunzo hayo<br />
<strong>ya</strong>metolewa kwa wamiliki na wafan<strong>ya</strong>kazi wa viw<strong>and</strong>a v<strong>ya</strong> kuchakata<br />
mazao <strong>ya</strong> uvuvi 291 katika Uk<strong>and</strong>a wa Ziwa Victoria na kuhusu uvuvi wa<br />
ndoano za kulambaza kwenye maji <strong>ya</strong> kina kirefu kwa vikundi 32 v<strong>ya</strong><br />
wavuvi katika uk<strong>and</strong>a wa Ziwa N<strong>ya</strong>sa;<br />
(ii) Kuboresha mialo 25 <strong>ya</strong> kupokelea samaki katika Uk<strong>and</strong>a wa Ziwa<br />
Victoria kupitia Mradi wa Usimamizi wa Uvuvi katika Uk<strong>and</strong>a wa Ziwa<br />
Victoria (IFMP); na<br />
(iii) Ku<strong>and</strong>aa na kusambaza vipeperushi 38,500 na kurusha hewani vipindi<br />
75 v<strong>ya</strong> redio na <strong>20</strong> v<strong>ya</strong> luninga kwa ajili <strong>ya</strong> kuelimisha umma kuhusu<br />
uvuvi endelevu na uhifadhi wa mazao <strong>ya</strong> uvuvi.<br />
(b) Kuwaelimisha na kuwahamasisha wavuvi wadogo, kuimarisha na<br />
kuanzisha SACCOs ili ziwasaidie kupata mikopo<br />
29. Mheshimiwa Spika, kupitia Mradi wa MACEMP, Wizara imewezesha<br />
jumla <strong>ya</strong> wananchi 6,887 (wanaume 4,279 na wanawake 2,608) wa jamii za<br />
10
Pwani kuibua, kutekeleza na kusimamia miradi midogo 403 yenye thamani <strong>ya</strong><br />
jumla <strong>ya</strong> shilingi bilioni 5.7 inayolenga kuboresha maisha <strong>ya</strong>o. Pia, jamii za<br />
wavuvi zimewezeshwa kuanzisha jumla <strong>ya</strong> VICOBA (Village Community Bank) 63<br />
katika wila<strong>ya</strong> za Rufiji (16), Kilwa (24) na Mafia (23) kupitia mradi wa MACEMP.<br />
(c) Kutengeneza mazingira mazuri <strong>ya</strong>takayosaidia upatikanaji wa<br />
zana za kisasa za uvuvi bila vikwazo<br />
30. Mheshimiwa Spika, Serikali imepunguza kodi <strong>ya</strong> malighafi za uvuvi hadi<br />
asilimia tano (5) na kuondoa kodi <strong>ya</strong> zana za uvuvi zikiwemo boti, n<strong>ya</strong>vu na<br />
injini ili kuwezesha wavuvi kumudu gharama za zana za uvuvi. Aidha, Wizara<br />
imehamasisha uanzishwaji wa miradi midogo <strong>ya</strong> uvuvi 212 katika maeneo <strong>ya</strong><br />
Uk<strong>and</strong>a wa Pwani ili kuwasaidia wavuvi kumudu kupata zana za uvuvi. Pia,<br />
kupitia mpango wa ubadilishanaji wa zana haribifu kwa zana bora, jumla <strong>ya</strong><br />
wananchi 654 wamefaidika na mpango huo kwa kupewa mashine za kupachika<br />
13, mas<strong>and</strong>uku 4 <strong>ya</strong> barafu, maboti 11 na n<strong>ya</strong>vu za jarife 1,214.<br />
31. Mheshimiwa Spika, jumla <strong>ya</strong> wananchi 850 waishio ndani <strong>ya</strong> Hifadhi za<br />
Bahari na Maeneo Tengefu waliwezeshwa kufan<strong>ya</strong> kazi mbadala za kiuchumi ili<br />
kupunguza utegemezi katika uvuvi. Aidha, vikundi 3 v<strong>ya</strong> wanajamii katika<br />
maeneo tengefu <strong>ya</strong> Bongoyo, Mbud<strong>ya</strong> na Sinda katika mkoa wa Dar es Salaam,<br />
vimeanzishwa na kupatiwa boti 10 za doria kwa ajili <strong>ya</strong> kudhibiti uvuvi haramu.<br />
(d) Kuwavutia wawekezaji katika kuanzisha viw<strong>and</strong>a v<strong>ya</strong> kisindika<br />
samaki, hasa katika uk<strong>and</strong>a wa mwambao wa Bahari <strong>ya</strong> Hindi na<br />
visiwa v<strong>ya</strong> Unguja, Pemba na Mafia<br />
32. Mheshimiwa Spika, Wizara imeendelea kuweka mazingira mazuri <strong>ya</strong><br />
uwekezaji kwa kutekeleza <strong>ya</strong>fuatayo:<br />
(i) Imekamilisha kufan<strong>ya</strong> mapitio <strong>ya</strong> Sera <strong>ya</strong> Taifa <strong>ya</strong> Uvuvi na Mikakati <strong>ya</strong>ke<br />
<strong>ya</strong> mwaka 1997 ili iendane na mabadiliko <strong>ya</strong> sasa <strong>ya</strong> kiuchumi na kijamii;<br />
(ii) Imefan<strong>ya</strong> mapitio <strong>ya</strong> Kanuni za Uvuvi za mwaka <strong>20</strong>05 na ku<strong>and</strong>aa Kanuni<br />
mp<strong>ya</strong> za mwaka <strong>20</strong>09. Aidha, Kanuni za Uvuvi katika Bahari Kuu za<br />
mwaka <strong>20</strong>09 zime<strong>and</strong>aliwa;<br />
(iii) Kufan<strong>ya</strong> mapitio <strong>ya</strong> Sheria <strong>ya</strong> Hifadhi za Bahari na Maeneo Tengefu Na.<br />
29 <strong>ya</strong> mwaka 1994;<br />
(iv) Kukamilisha ujenzi wa Maabara <strong>ya</strong> Taifa <strong>ya</strong> Udhibiti wa Ubora wa<br />
Samaki, Nyegezi (Mwanza) ambayo inatambuliwa kimataifa; na<br />
(v) Ili kuvutia wawekezaji wa ndani kuwekeza katika sekta <strong>ya</strong> uvuvi, Serikali<br />
inatoza ushuru wa samaki wanaoingizwa kutoka nchi za nje kwa Dola za<br />
Kimarekani 0.25 kwa kilo. Kiasi cha shilingi 578,868,082.50<br />
zimekusanywa hadi Aprili <strong><strong>20</strong>10</strong> kutokana na ushuru huu. Vilevile,<br />
imeongeza ushuru kwenye mazao <strong>ya</strong> pweza na ngisi wanaouzwa nje <strong>ya</strong><br />
nchi kutoka Dola <strong>ya</strong> Kimarekani 0.025 hadi 0.25 kwa kilo ambao<br />
11
umeongeza mapato kwa kiasi cha shilingi 904,005,575.40 kwa kipindi<br />
cha Julai <strong>20</strong>09 hadi Aprili <strong><strong>20</strong>10</strong>.<br />
(e) Kushawishi Sekta binafsi kuanzisha viw<strong>and</strong>a v<strong>ya</strong> zana za uvuvi<br />
33. Mheshimiwa Spika, kutokana na mazingira mazuri <strong>ya</strong> uwekezaji nchini,<br />
sekta binafsi imewekeza katika viw<strong>and</strong>a v<strong>ya</strong> kutengeneza zana za uvuvi, ambapo<br />
kiw<strong>and</strong>a cha FANAKA katika uk<strong>and</strong>a wa Ziwa Victoria na IMARA FISH NET katika<br />
Uk<strong>and</strong>a wa Pwani vimeanzishwa.<br />
(f) Kuhimiza serikali za vijiji na mitaa kuelimisha wananchi juu <strong>ya</strong><br />
umuhimu wa kupambana na uvuvi haramu<br />
34. Mheshimiwa Spika, Wizara imeendelea kuzishirikisha jamii za wavuvi<br />
katika usimamizi wa rasilimali <strong>ya</strong> uvuvi ambapo jumla <strong>ya</strong> vikundi 637 v<strong>ya</strong><br />
Usimamizi wa Rasilimali za Uvuvi (BMUs) vimeanzishwa katika uk<strong>and</strong>a wa Ziwa<br />
Victoria (438), Bwawa la Mtera (29), Bwawa la Nyumba <strong>ya</strong> Mungu (<strong>20</strong>), Mto<br />
Ruhuhu (11) na Uk<strong>and</strong>a wa Pwani (144). Vilevile, viongozi 2,655 wa<br />
Halmashauri za Vijiji na Jamii za wavuvi kwenye Halmashauri za wila<strong>ya</strong> katika<br />
uk<strong>and</strong>a wa pwani walielimishwa kuhusu kusimamia uanzishwaji wa BMUs<br />
kwenye maeneo <strong>ya</strong>o.<br />
35. Mheshimiwa Spika, Wizara imeendelea kutoa mafunzo kuhusu athari za<br />
uvuvi haramu nchini ambapo jumla <strong>ya</strong> wadau 96 kutoka wila<strong>ya</strong> za Mafia (39),<br />
Rufiji (52), wataalam wa Idara <strong>ya</strong> Uvuvi (2) na wa WWF/RUMAKI (3) walishiriki.<br />
Pia, mafunzo <strong>ya</strong> ulinzi shirikikishi wa rasilimali <strong>ya</strong> pwani <strong>ya</strong>litolewa kwa<br />
waraghabishi 48 kutoka Wila<strong>ya</strong> za Mafia na Rufiji na wataalam wa ugani 68<br />
kutoka Halmashauri za uk<strong>and</strong>a wa Pwani.<br />
(g) Kutoa msukumo maalumu katika ufugaji wa samaki kwenye<br />
mabwawa<br />
36. Mheshimiwa Spika, Wizara imeendelea kutekeleza Mkakati wa Kitaifa<br />
wa Uendelezaji wa Ukuzaji Viumbe Kwenye Maji kwa kuimarisha vituo v<strong>ya</strong><br />
ukuzaji viumbe kwenye maji v<strong>ya</strong> Kingolwira (Morogoro), Ruhila (Ruvuma),<br />
Mtama (Lindi), Karanga (Kilimanjaro), Musoma, Mwanza, Bukoba na Tabora.<br />
37. Mheshimiwa Spika, Wizara kwa kushirikiana na sekta binafsi<br />
imep<strong>and</strong>ikiza jumla <strong>ya</strong> vifaranga milioni 3.3 v<strong>ya</strong> perege na 11,406 v<strong>ya</strong><br />
kambale katika mikoa 15 <strong>ya</strong> Pwani, Morogoro, Dodoma, Iringa, Kilimanjaro,<br />
Tanga, Rukwa, Shin<strong>ya</strong>nga, Mbe<strong>ya</strong>, Ruvuma, Tabora, Ruvuma, Kagera, Mwanza<br />
na Mara. Pia, mabwawa 63 kwa ajili <strong>ya</strong> ufugaji wa Mwatiko (Milkfish)<br />
<strong>ya</strong>mechimbwa katika maeneo <strong>ya</strong> mwambao wa Bahari <strong>ya</strong> Hindi. Aidha, ufugaji<br />
wa Kambamiti kibiashara (Prawn farming) umeendelea kufanyika katika<br />
mabwawa 30 Wila<strong>ya</strong>ni Mafia na kampuni <strong>ya</strong> Alphakrust ambapo jumla <strong>ya</strong> tani<br />
12
310 zenye thamani <strong>ya</strong> Dola za Kimarekani milioni 2.9 zilizalishwa na kati <strong>ya</strong><br />
hizo, tani 160 zimeuzwa katika soko la Jumui<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Nchi za Ula<strong>ya</strong>.<br />
38. Mheshimiwa Spika, kazi <strong>ya</strong> utafiti <strong>ya</strong> kuzalisha vifaranga v<strong>ya</strong> kambale<br />
inaendelea katika Kituo cha Ufugaji Samaki cha Kingolwira Morogoro na kwa<br />
kushirikiana na Sekta binafsi (Mwanza Fish Farm) jumla <strong>ya</strong> vifaranga 310,150<br />
vimezalishwa na kusambazwa kwa wakulima. Samaki hawa wameonekana<br />
wanafaa kwa kufugwa. Uzalishaji wa Kambamiti umefanyika katika Chuo cha<br />
Maendeleo <strong>ya</strong> Uvuvi Mbegani kwa kushirikiana na kampuni <strong>ya</strong> PRAWNTO<br />
ambapo wamezalisha vifaranga 75,000 na kuvisambaza kwa wafugaji katika<br />
Mkoa wa Tanga. Majaribio <strong>ya</strong> ukuzaji wa lulu (pearls) <strong>ya</strong>naendelea kwa<br />
kushirikiana na WWF, ambapo jumla <strong>ya</strong> vip<strong>and</strong>e 750 vimep<strong>and</strong>ikizwa katika<br />
Wila<strong>ya</strong> za Mafia (400), Mtwara Vijijini (150) na Mbegani-Bagamoyo (<strong>20</strong>0).<br />
(h) Kuendeleza programu mahususi <strong>ya</strong> kuzalisha na kusambaza<br />
mbegu bora za samaki<br />
39. Mheshimiwa Spika, Wizara ili<strong>and</strong>aa mpango mahususi wa kuzalisha na<br />
kusambaza mbegu bora za samaki ambapo jumla <strong>ya</strong> vifaranga milioni 2.6 aina<br />
<strong>ya</strong> sato na 10,000 aina <strong>ya</strong> kambale vimezalishwa na kusambazwa katika<br />
mabwawa mbalimbali nchini. Wizara imeshirikisha sekta binafsi katika kutekeleza<br />
dhana <strong>ya</strong> “Kilimo Kwanza” ambapo Mwanza Fish Farm wamezalisha jumla <strong>ya</strong><br />
vifaranga 58,550 aina <strong>ya</strong> sato na 300,150 aina <strong>ya</strong> kambale na kusambazwa<br />
kwa wakulima. Kwa up<strong>and</strong>e wa maji bahari, Kampuni <strong>ya</strong> Prawnto kwa<br />
kushirikiana na Chuo cha Maendeleo <strong>ya</strong> Uvuvi Mbegani imezalisha vifaranga<br />
75,000 v<strong>ya</strong> kambamiti na kusambazwa kwa wakulima katika maeneo <strong>ya</strong> Tanga.<br />
(i) Kuimarisha na kuendeleza kilimo cha mwani<br />
40. Mheshimiwa Spika, kilimo cha mwani kinaendeshwa katika maeneo<br />
mbalimbali <strong>ya</strong> Pwani kwa kuhusisha takriban wakulima 3,000 ambapo jumla <strong>ya</strong><br />
tani 1,467 za mwani mkavu zimezalishwa na kati <strong>ya</strong> hizo tani 459.5 zenye<br />
thamani <strong>ya</strong> Dola za Kimarekani 195,287.5 zimeuzwa nje <strong>ya</strong> nchi. Vilevile,<br />
mafunzo <strong>ya</strong> ujasiriamali na uboreshaji wa kilimo cha mwani <strong>ya</strong>metolewa kwa<br />
wakulima 1,784 wa uk<strong>and</strong>a wa Pwani.<br />
C: MAPITIO YA UTEKELEZAJI WA MPANGO WA MWAKA <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong><br />
NA MWELEKEO WA BAJETI YA MWAKA <strong><strong>20</strong>10</strong>/<strong><strong>20</strong>11</strong><br />
Matukio Muhimu<br />
41. Mheshimiwa Spika, katika mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong>, kumekuwepo na matukio<br />
muhimu <strong>ya</strong>liyogusa Sekta za Mifugo na Uvuvi. Matukio hayo muhimu ni pamoja<br />
na:-<br />
13
(i) Ukame<br />
42. Mheshimiwa Spika, nchi yetu ilikumbwa na ukame, hususan maeneo <strong>ya</strong><br />
kaskazini mwa nchi na kusababisha ukosefu mkubwa wa malisho na maji. Hali<br />
hii ilisababisha vifo vingi v<strong>ya</strong> mifugo pamoja na kushuka kwa bei <strong>ya</strong> mifugo<br />
katika maeneo <strong>ya</strong> wafugaji na kup<strong>and</strong>a kwa mazao <strong>ya</strong> mifugo katika maeneo <strong>ya</strong><br />
walaji hasa <strong>ya</strong> mijini. Ng’ombe 159,139, mbuzi 21,783, kondoo 7,300 na<br />
punda 1,178 walikufa katika maeneo mbalimbali nchini.<br />
43. Mheshimiwa Spika, katika kukabiliana na hali iliyojitokeza, Serikali<br />
kupitia Halmashauri zake ilitoa maelekezo kwa wananchi, hususan wafugaji na<br />
wafan<strong>ya</strong>biashara <strong>ya</strong> mifugo juu <strong>ya</strong> hatua za kuchukua kukabiliana na janga la<br />
ukame. Hatua hizo ni pamoja na:<br />
(i) Kuwaelekeza wafugaji kuvuna mifugo kabla <strong>ya</strong> kudho<strong>of</strong>u ili kupata bei<br />
nzuri; na<br />
(ii) Kutoa utaratibu wa kuhamishia mifugo kwenye maeneo mengine ili<br />
kuepuka migogoro kati <strong>ya</strong> wafugaji na watumiaji wengine wa ardhi.<br />
Nawapa pole wananchi wote walioathirika na hali hiyo <strong>ya</strong> ukame, na kwamba<br />
hali hii iwe changamoto kwa wafugaji kuchukua hatua za tahadhari mapema.<br />
Serikali itaendelea kuelimisha wafugaji kufuga kwa kuzingatia uwezo wa eneo la<br />
malisho, kuvuna ziada; kulima na kuhifadhi malisho; kuchimba na kukarabati<br />
malambo na v<strong>ya</strong>nzo vingine v<strong>ya</strong> maji katika maeneo <strong>ya</strong> wafugaji kwa<br />
kushirikiana na Halmashauri na wadau wengine. Aidha, serikali itaendelea<br />
kuhamasisha sekta binafsi kuwekeza katika viw<strong>and</strong>a v<strong>ya</strong> kusindika n<strong>ya</strong>ma ili<br />
kuongeza wigo wa soko la mifugo hasa ukame unapotokea.<br />
(ii) Mkutano wa Waziri Mkuu na Wadau wa Sekta <strong>ya</strong> Mifugo Nchini<br />
44. Mheshimiwa Spika, Mkutano wa wadau wa Sekta <strong>ya</strong> Mifugo uli<strong>of</strong>anyika<br />
Dodoma, tarehe 28 hadi 30 Septemba, <strong>20</strong>09 chini <strong>ya</strong> uenyekiti wa Waziri Mkuu<br />
wa Jamhuri <strong>ya</strong> Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Mizengo Ka<strong>ya</strong>nza<br />
Peter Pinda (Mb), ulilenga kuhamasisha ufugaji bora nchini. Mkutano huo<br />
ulishirikisha wadau mbalimbali wapatao 586 wakiwemo Mawaziri, Wabunge,<br />
Wakuu wa Mikoa na Wila<strong>ya</strong>, Viongozi wa Chama Tawala, Wenyeviti wa<br />
Halmashauri, Watendaji Wakuu wa Serikali na wataalam, wafugaji, wasindikaji<br />
wa bidhaa za mifugo; Asasi za Kijamii, watoa huduma za mifugo, wauzaji wa<br />
pembejeo na vyombo v<strong>ya</strong> habari. Mkutano huo ulipitisha maazimio <strong>ya</strong>nayolenga<br />
kuboresha sekta <strong>ya</strong> mifugo katika kutekeleza azma <strong>ya</strong> Kilimo Kwanza.<br />
14
(iii) Mkutano wa Waziri Mkuu na Wadau wa Sekta <strong>ya</strong> Uvuvi Nchini<br />
45. Mheshimiwa Spika, Mkutano wa Wadau wa Sekta <strong>ya</strong> Uvuvi ulifanyika<br />
Mwanza, tarehe 16 hadi 18 Desemba, <strong>20</strong>09 chini <strong>ya</strong> uenyekiti wa Waziri Mkuu<br />
wa Jamhuri <strong>ya</strong> Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Mizengo Ka<strong>ya</strong>nza<br />
Peter Pinda (Mb). Mkutano huo ulilenga kuhamasisha usimamizi endelevu wa<br />
rasilimali <strong>ya</strong> uvuvi pamoja na kuendeleza ufugaji wa viumbe kwenye maji chini<br />
<strong>ya</strong> kaulimbiu <strong>ya</strong> Kilimo Kwanza.<br />
46. Mheshimiwa Spika, Mkutano huo uliwashirikisha wadau mbalimbali<br />
wapatao 542 wakiwemo Mawaziri na Wabunge, Wakuu wa Mikoa na Wila<strong>ya</strong>,<br />
Viongozi wa Chama Tawala, Wenyeviti wa Halmashauri, Watendaji Wakuu wa<br />
Serikali na wataalam, wavuvi, wafugaji na wakulima wa mazao <strong>ya</strong> uvuvi,<br />
wachakataji wa mazao <strong>ya</strong> uvuvi, sekta binafsi na Mashirika <strong>ya</strong>siyo <strong>ya</strong> Kiserikali.<br />
Mkutano huo uliazimia kutokomeza uvuvi na biashara haramu <strong>ya</strong> samaki na<br />
mazao <strong>ya</strong>ke nchini.<br />
(iv) Mkutano wa Waziri Mkuu na Watafiti wa Sekta za Kilimo, Mifugo<br />
na Uvuvi Nchini<br />
47. Mheshimiwa Spika, Mkutano wa Mheshimiwa Waziri Mkuu na Watafiti<br />
wa sekta za kilimo, mifugo na uvuvi ulifanyika tarehe 18 na 19 Machi, <strong><strong>20</strong>10</strong><br />
katika ukumbi wa Hoteli <strong>ya</strong> Kunduchi Beach, Dar es Salaam. Mkutano huo<br />
uliratibiwa na Wizara <strong>ya</strong> Mawasiliano, Sa<strong>ya</strong>nsi na Teknolojia na kushirikisha<br />
Wizara za Kilimo, Chakula na Ushirika; Maendeleo <strong>ya</strong> Mifugo na Uvuvi; Viw<strong>and</strong>a,<br />
Biashara na Masoko pamoja na taasisi mbalimbali za utafiti. Madhumuni <strong>ya</strong><br />
mkutano <strong>ya</strong>likuwa ni kujadili na kuainisha mambo muhimu <strong>ya</strong> utafiti na matumizi<br />
<strong>ya</strong> sa<strong>ya</strong>nsi, teknolojia na ubunifu katika sekta za kilimo, mifugo na uvuvi ili<br />
mchango wa utafiti uweze kuongeza tija kwenye sekta husika kulingana na azma<br />
<strong>ya</strong> Kilimo Kwanza.<br />
48. Mheshimiwa Spika, naomba nichukue nafasi hii kumshukuru kwa dhati<br />
Mhe. Waziri Mkuu kwa kuitisha na kuendesha mikutano hiyo. Ni matumaini<br />
<strong>ya</strong>ngu kuwa utekelezaji wa maazimio <strong>ya</strong> mikutano hii utasaidia kutoa msukumo<br />
wa kipekee katika kuendeleza sekta za mifugo na uvuvi sanjari na dhana <strong>ya</strong><br />
Kilimo Kwanza.<br />
Makusanyo <strong>ya</strong> Maduhuli<br />
49. Mheshimiwa Spika, katika kipindi cha mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong>, Wizara <strong>ya</strong>ngu<br />
ilitarajia kukusan<strong>ya</strong> kiasi cha shilingi 11,267,731,000. Kati <strong>ya</strong> hizo, shilingi<br />
2,393,166,000 ni kutoka sekta <strong>ya</strong> mifugo na shilingi 8,874,565,000 ni<br />
kutoka sekta <strong>ya</strong> uvuvi. Hadi kufikia tarehe 15 <strong>Juni</strong>, <strong><strong>20</strong>10</strong>, jumla <strong>ya</strong> shilingi<br />
8,356,357,543.55 zilikusanywa ikiwa ni asilimia 74.2 <strong>ya</strong> lengo la makusanyo.<br />
Katika mwaka <strong><strong>20</strong>10</strong>/<strong><strong>20</strong>11</strong>, Wizara inatarajia kukusan<strong>ya</strong> kiasi cha shilingi<br />
10,643,950,000.<br />
15
Matumizi <strong>ya</strong> Fedha<br />
50. Mheshimiwa Spika, katika mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong>, Wizara ilitengewa jumla<br />
<strong>ya</strong> shilingi 67,334,294,900. Kati <strong>ya</strong> hizo: Shilingi 9,271,422,000 kwa ajili <strong>ya</strong><br />
mishahara <strong>ya</strong> watumishi (PE); Shilingi 27,982,032,000 kwa ajili <strong>ya</strong> matumizi<br />
mengine (OC); na Shilingi 30,080,841,000 kwa ajili <strong>ya</strong> kutekeleza miradi <strong>ya</strong><br />
maendeleo. Kati <strong>ya</strong> hizo, shilingi 9,723,810,000 zilikuwa fedha za ndani na<br />
shilingi <strong>20</strong>,357,031,000 fedha za nje.<br />
51. Mheshimiwa Spika, hadi mwezi <strong>Juni</strong>, <strong><strong>20</strong>10</strong> jumla <strong>ya</strong> shilingi<br />
30,081,705,035.00 zimetolewa, sawa na asilimia 80.7 kwa ajili <strong>ya</strong> Matumizi <strong>ya</strong><br />
Kawaida. Kati <strong>ya</strong> hizo, shilingi 11,902,781,946.00 ni kwa ajili <strong>ya</strong> Mishahara na<br />
shilingi 18,178,923,089.00 ni kwa ajili <strong>ya</strong> Matumizi Mengine (OC). Kati <strong>ya</strong> fedha<br />
hizo, jumla <strong>ya</strong> shilingi 25,484,284,000.00 (asilimia 84.7) zimetumika. Aidha,<br />
katika kipindi hicho, jumla <strong>ya</strong> shilingi 21,364,<strong>20</strong>5,989.57 fedha za maendeleo<br />
zimetolewa (asilimia 71). Kati <strong>ya</strong> hizo, shilingi 8,175,000,000.00 ni fedha za<br />
ndani na shilingi 13,189,<strong>20</strong>5,989.57 ni za nje (ASDP Busket Fund, PRSP II,<br />
UNICEF na MACEMP). Kati <strong>ya</strong> fedha hizo, jumla <strong>ya</strong> shilingi 19,509,481,510.00<br />
(asilimia 91.3) zimetumika.<br />
Ubunifu na Utekelezaji wa Sera na Sheria za Sekta<br />
Sera <strong>ya</strong> Taifa <strong>ya</strong> Mifugo (<strong>20</strong>06)<br />
52. Mheshimiwa Spika, katika mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong>, Wizara imeendelea<br />
kusambaza na kutoa elimu kwa wadau kuhusu Sera <strong>ya</strong> Taifa <strong>ya</strong> Mifugo <strong>ya</strong><br />
mwaka <strong>20</strong>06 ambapo nakala 5,000 za sera zimesambazwa kwa wadau. Pia,<br />
Wizara imeendelea kutoa elimu kuhusu Sera hiyo kupitia matukio mbalimbali <strong>ya</strong><br />
kitaifa <strong>ya</strong>kiwemo, Sikukuu <strong>ya</strong> Wakulima Nanenane; Wiki <strong>ya</strong> Uhamasishaji<br />
Unywaji wa Maziwa; Wiki <strong>ya</strong> Utumishi wa Umma pamoja na mikutano mbalimbali<br />
<strong>ya</strong> kitaaluma na wadau. Aidha, Wizara kwa kushirikiana na wadau ime<strong>and</strong>aa<br />
Mkakati wa kutekeleza Sera <strong>ya</strong> Taifa <strong>ya</strong> Mifugo. Katika mwaka <strong><strong>20</strong>10</strong>/<strong><strong>20</strong>11</strong>,<br />
Wizara ita<strong>and</strong>aa mpango wa kutekeleza mkakati huo.<br />
Sera <strong>ya</strong> Taifa <strong>ya</strong> Uvuvi (1997)<br />
53. Mheshimiwa Spika, katika mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong>, Wizara imekamilisha<br />
kufan<strong>ya</strong> mapitio <strong>ya</strong> Sera <strong>ya</strong> Taifa <strong>ya</strong> Uvuvi na Mikakati <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> Mwaka 1997<br />
ambapo rasimu <strong>ya</strong> Sera <strong>ya</strong> Taifa <strong>ya</strong> Uvuvi, <strong><strong>20</strong>10</strong> ime<strong>and</strong>aliwa ili iendane na<br />
mabadiliko <strong>ya</strong> sasa <strong>ya</strong> kiuchumi na kijamii. Katika mwaka <strong><strong>20</strong>10</strong>/<strong><strong>20</strong>11</strong>, Wizara<br />
itakamilisha ma<strong>and</strong>alizi <strong>ya</strong> Mkakati wa kutekeleza Sera hiyo na ku<strong>and</strong>aa Mpango<br />
wa utekelezaji.<br />
16
Sheria za Sekta za Mifugo na Uvuvi<br />
54. Mheshimiwa Spika, katika mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong> Wizara, kwa kushirikiana<br />
na wadau, imeendelea ku<strong>and</strong>aa na kutoa mapendekezo <strong>ya</strong> marekebisho <strong>ya</strong><br />
sheria za sekta za mifugo na uvuvi ambazo ziko katika hatua mbalimbali kama<br />
ifuatavyo:<br />
(i) Ma<strong>and</strong>alizi <strong>ya</strong> Miswada <strong>ya</strong> kutungwa Sheria <strong>ya</strong> Maeneo <strong>ya</strong> Malisho na<br />
Rasilimali za V<strong>ya</strong>kula v<strong>ya</strong> Mifugo (The Grazingl<strong>and</strong> <strong>and</strong> Animal Feed<br />
Resources Act, <strong><strong>20</strong>10</strong>) na Sheria <strong>ya</strong> Utambuzi, Usajili na Ufuatiliaji wa<br />
Mifugo (The <strong>Livestock</strong> Identification, Registration <strong>and</strong> Traceability Act,<br />
<strong><strong>20</strong>10</strong>) <strong>ya</strong>mekamilika na Miswada hiyo imepitishwa katika kikao cha 19 cha<br />
Bunge la mwezi Aprili <strong><strong>20</strong>10</strong>;<br />
(ii) Mapendekezo <strong>ya</strong> kutunga Sheria <strong>ya</strong> Taasisi <strong>ya</strong> Taifa <strong>ya</strong> Utafiti wa Mifugo<br />
(National <strong>Livestock</strong> Research Institute Act); Sheria <strong>ya</strong> Maabara Kuu <strong>ya</strong><br />
Mifugo (Central Veterinary Laboratory Act) na Sheria <strong>ya</strong> Uzalishaji wa<br />
Mbari Bora <strong>ya</strong> Wan<strong>ya</strong>ma (Animal Breeding Act) <strong>ya</strong>mekamilika na utaratibu<br />
unaendelea wa ku<strong>ya</strong>wasilisha serikalini kwa hatua zaidi; na<br />
(iii) Mapendekezo <strong>ya</strong> kurekebisha Sheria <strong>ya</strong> Hifadhi <strong>ya</strong> Bahari na Maeneo<br />
Tengefu (The Marine Parks <strong>and</strong> Reserves Authority Act No. 29, 1994) na<br />
Sheria <strong>ya</strong> Taasisi <strong>ya</strong> Utafiti wa Uvuvi (The Tanzania Fisheries Research<br />
Institute Act No. 6, 1980) <strong>ya</strong>mekamilika na hatua inay<strong>of</strong>uata ni<br />
ku<strong>ya</strong>wasilisha serikalini.<br />
55. Mheshimiwa Spika, katika mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong>, Wizara ime<strong>and</strong>aa kanuni<br />
mbalimbali za kutekeleza sheria za mifugo na uvuvi kama ifuatavyo:-<br />
(i) Kanuni za Uvuvi (Fisheries Regulation), <strong>20</strong>09 zilikamilishwa na kuanza<br />
kutumika kwa kupewa GN. 308 <strong>ya</strong> <strong>20</strong>09;<br />
(ii) Kanuni 6 za Sheria <strong>ya</strong> Ngozi Na. 18 <strong>ya</strong> mwaka <strong>20</strong>08 zime<strong>and</strong>aliwa na<br />
kuwasilishwa kwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali;<br />
(iii) Kanuni 4 za Sheria <strong>ya</strong> Ustawi wa Wan<strong>ya</strong>ma Na. 19 <strong>ya</strong> mwaka <strong>20</strong>08<br />
zime<strong>and</strong>aliwa na kuwasilishwa kwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali;<br />
(iv) Kanuni za Utotoaji wa Vifaranga (Hatcheries Regulations, <strong><strong>20</strong>10</strong>)<br />
ime<strong>and</strong>aliwa chini <strong>ya</strong> Sheria <strong>ya</strong> Magonjwa <strong>ya</strong> Mifugo Na. 17 <strong>ya</strong> mwaka<br />
<strong>20</strong>03 na kuwasilishwa kwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali; na<br />
(v) Rasimu <strong>ya</strong> Kanuni 4 chini <strong>ya</strong> Sheria <strong>ya</strong> N<strong>ya</strong>ma Na. 10 <strong>ya</strong> mwaka <strong>20</strong>06<br />
zime<strong>and</strong>aliwa na kuwasilishwa kwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali;<br />
Katika mwaka <strong><strong>20</strong>10</strong>/<strong><strong>20</strong>11</strong>, Wizara kwa kushirikiana na wadau itakamilisha Sheria<br />
na Kanuni zilizoainishwa hapo juu. Pia, Wizara itatafsiri Kanuni za Uvuvi za<br />
mwaka, <strong>20</strong>09 kwa lugha <strong>ya</strong> Kiswahili na kuzisambaza kwa wadau.<br />
17
Bodi na Taasisi chini <strong>ya</strong> Wizara<br />
Kampuni <strong>ya</strong> Ranchi za Taifa (National Ranching Company - NARCO)<br />
56. Mheshimiwa Spika, Kampuni <strong>ya</strong> Ranchi za Taifa (NARCO) imeendelea<br />
na jukumu lake la kuzalisha, kunenepesha na kuuza mifugo kwa ajili <strong>ya</strong> n<strong>ya</strong>ma.<br />
Aidha, Kampuni hiyo imeendelea kutoa huduma za ushauri kwa wafugaji<br />
wanaozunguka ranchi zake 10 za Kikulula, Mabale, Kagoma, na Misenyi<br />
(Kagera), Kongwa (Dodoma), Mzeri (Tanga), Ruvu (Pwani), Mkata (Morogoro),<br />
Kalambo (Rukwa) na West Kilimanjaro (Kilimanjaro). Ranchi hizo kwa pamoja<br />
zina jumla <strong>ya</strong> hekta 230,384 zenye uwezo wa kuweka ng’ombe kati <strong>ya</strong> 80,000<br />
- 90,000. Kwa sasa, Kampuni ina jumla <strong>ya</strong> ng’ombe 33,515. Pamoja na<br />
ng’ombe hao, kampuni hufuga aina nyingine za wan<strong>ya</strong>ma wakiwemo kondoo<br />
1,536, mbuzi 1,034, farasi 41, nguruwe 91 na punda 55.<br />
57. Mheshimiwa Spika, katika kipindi cha mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong>, NARCO<br />
imetekeleza <strong>ya</strong>fuatayo:-<br />
(i) Kuzalisha ndama 6,823 kutokana na ng’ombe wazazi 12,811, sawa na<br />
asilimia 53.3 <strong>ya</strong> malengo <strong>ya</strong> uzalishaji ikiinganishwa na ndama 9,265 kati<br />
<strong>ya</strong> ng’ombe wazazi 12,834 sawa na asilimia 72 mwaka <strong>20</strong>08/<strong>20</strong>09;<br />
(ii) Kuuza ng’ombe 7,597 wenye thamani <strong>ya</strong> shilingi 2,361,890,000;<br />
(iii) Kununua ng’ombe 4,062 kutoka kwa wafugaji wanaozunguka maeneo <strong>ya</strong><br />
ranchi kwa ajili <strong>ya</strong> programu <strong>ya</strong> unenepeshaji;<br />
(iv) Kuendelea na ujenzi wa machinjio <strong>ya</strong> kisasa katika Ranchi <strong>ya</strong> Ruvu ambao<br />
umefikia asilimia 50 <strong>ya</strong> ujenzi; na<br />
(v) Kusimamia na kutoa ushauri wa ufugaji bora katika ranchi ndogo ndogo<br />
zilizomilikishwa kwa wawekezaji wazalendo, ambapo ranchi hizo<br />
zimewekeza ng’ombe 50,227, mbuzi 3,419 na Kondoo 827.<br />
58. Mheshimiwa Spika, katika mwaka <strong><strong>20</strong>10</strong>/<strong><strong>20</strong>11</strong>, NARCO itatelekeza kazi<br />
zifuatazo:-<br />
(i) Kuendelea na ujenzi wa machinjio katika ranchi <strong>ya</strong> Ruvu;<br />
(ii) Kusimamia na kushauri ufugaji bora katika ranchi ndogo zilizomilikishwa<br />
kwa wawekezaji wazalendo;<br />
(iii) Kukamilisha utoaji wa hati miliki ndogo <strong>20</strong>; na<br />
(iv) Kuendelea kutafuta wawekezaji ili waingie ubia na NARCO katika<br />
masuala <strong>ya</strong> mifugo.<br />
Bodi <strong>ya</strong> N<strong>ya</strong>ma Tanzania<br />
59. Mheshimiwa Spika, Bodi <strong>ya</strong> N<strong>ya</strong>ma Tanzania ina jukumu la kusimamia<br />
maendeleo <strong>ya</strong> sekta ndogo <strong>ya</strong> n<strong>ya</strong>ma, kwa mujibu wa Sheria <strong>ya</strong> N<strong>ya</strong>ma Na. 10<br />
<strong>ya</strong> Mwaka <strong>20</strong>06. Katika mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong>, Wizara kwa kushirikiana na Bodi <strong>ya</strong><br />
N<strong>ya</strong>ma ime<strong>and</strong>aa n<strong>ya</strong>raka muhimu zitakazoiwezesha Bodi <strong>ya</strong> N<strong>ya</strong>ma kuajiri<br />
18
Sekretariati. Aidha, Bodi kwa kushirikiana na v<strong>ya</strong>ma v<strong>ya</strong> wadau v<strong>ya</strong> Wafugaji<br />
K<strong>and</strong>a <strong>ya</strong> Kati (UWAKAMA) na Wafan<strong>ya</strong>biashara <strong>ya</strong> Mifugo na N<strong>ya</strong>ma<br />
(TALIMETA) imehamasisha wafugaji 392 wa Kilosa na Kilindi na<br />
wafan<strong>ya</strong>biashara 88 wa Morogoro, Temeke na Dodoma kujiunga na v<strong>ya</strong>ma<br />
hivyo na kuingia katika ufugaji wa kibiashara.<br />
60. Mheshimiwa Spika, katika mwaka <strong><strong>20</strong>10</strong>/<strong><strong>20</strong>11</strong>, Bodi <strong>ya</strong> N<strong>ya</strong>ma<br />
itaendelea kutekeleza <strong>ya</strong>fuatayo:-<br />
(i) Kuajiri sekretarieti <strong>ya</strong> Bodi <strong>ya</strong> N<strong>ya</strong>ma;<br />
(ii) Kuhamasisha wadau kuhusu sheria na kanuni za n<strong>ya</strong>ma na kujiunga na<br />
v<strong>ya</strong>ma v<strong>ya</strong> wadau wa n<strong>ya</strong>ma kitaifa;<br />
(iii) Kushirikiana na v<strong>ya</strong>ma v<strong>ya</strong> wadau kuhamasisha uendelezaji wa tasnia <strong>ya</strong><br />
n<strong>ya</strong>ma; na<br />
(iv) Kushirikiana na mashirika <strong>ya</strong> viwango (TBS na TFDA) kuhuisha viwango<br />
v<strong>ya</strong> ubora wa n<strong>ya</strong>ma na kuweka utaratibu wa kuthibiti ubora wa n<strong>ya</strong>ma.<br />
Bodi <strong>ya</strong> Maziwa Tanzania<br />
61. Mheshimiwa Spika, Bodi <strong>ya</strong> Maziwa Tanzania ina jukumu la kusimamia<br />
sekta ndogo <strong>ya</strong> maziwa kupitia Sheria <strong>ya</strong> Maziwa Na. 8 <strong>ya</strong> Mwaka <strong>20</strong>04. Katika<br />
mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong> Bodi kwa kushirikiana na Shirika la Viwango Tanzania (TBS)<br />
imefan<strong>ya</strong> mapitio <strong>ya</strong> viwango 17 v<strong>ya</strong> bidhaa zitokanazo na maziwa. Aidha, Bodi<br />
imeendelea kusimamia na kuratibu Programu <strong>ya</strong> Unywaji wa Maziwa Shuleni<br />
inay<strong>of</strong>anyika kwenye shule 81 na kunufaisha jumla <strong>ya</strong> wanafunzi 57,350<br />
ikilinganishwa na wanafunzi 53,742 katika shule 73 mwaka <strong>20</strong>08/09 (Jedwali<br />
Na. 2). Kazi nyingine zilizotekelezwa na Bodi <strong>ya</strong> Maziwa ni pamoja na:-<br />
(i) Ku<strong>and</strong>aa na kuchapisha vitabu v<strong>ya</strong> mwongozo wa kufundishia wazalishaji,<br />
wahudumu wa vituo v<strong>ya</strong> kukusanyia maziwa, wauzaji na wasafirishaji kwa<br />
kushirikiana na mashirika <strong>ya</strong> ASARECA na Policy Analysis <strong>and</strong> Advocacy<br />
Project (PAAP);<br />
(ii) Kusajili wadau 150 na kutoa mafunzo kwa wataalam wakufunzi <strong>20</strong> kutoka<br />
mikoa <strong>ya</strong> Mwanza (12) na Arusha (8) watakaotoa mafunzo kwa wadau ili<br />
kuwawezesha kusajiliwa na Bodi;<br />
(iii) Kutoa mafunzo kwa wachuuzi <strong>20</strong>0 katika mikoa <strong>ya</strong> Mwanza (100) na<br />
Arusha (100) kuhusu Kanuni za ubora wa maziwa na kuwasajili ili<br />
kuwawezesha kufan<strong>ya</strong> biashara rasmi;<br />
(iv) Kuratibu maadhimisho <strong>ya</strong> Wiki <strong>ya</strong> Kuhamasisha Unywaji Maziwa<br />
<strong>ya</strong>liy<strong>of</strong>anyika Kitaifa Mkoani Lindi; na<br />
(v) Kuajiri watumishi 7 wa Sekretarieti <strong>ya</strong> Bodi.<br />
62. Mheshimiwa Spika, katika mwaka <strong><strong>20</strong>10</strong>/<strong><strong>20</strong>11</strong> Bodi <strong>ya</strong> Maziwa inatarajia<br />
kusajili wadau wa maziwa 1,000. Aidha, Bodi <strong>ya</strong> Maziwa itaendelea kusimamia<br />
Programu <strong>ya</strong> Unywaji wa Maziwa Shuleni na kuanzisha programu hiyo katika<br />
19
Mikoa <strong>ya</strong> Mara na Morogoro. Kazi nyingine zitakazotekelezwa na Bodi ni pamoja<br />
na:-<br />
(i) Ku<strong>and</strong>aa maadhimisho <strong>ya</strong> Wiki <strong>ya</strong> Uhamasishaji Unywaji Maziwa nchini<br />
<strong>ya</strong>takay<strong>of</strong>anyika Dar es Salaam Mei/<strong>Juni</strong> <strong><strong>20</strong>11</strong> na maadhimisho <strong>ya</strong> Siku <strong>ya</strong><br />
Unywaji wa Maziwa Shuleni Duniani mwezi Septemba <strong><strong>20</strong>10</strong>;<br />
(ii) Kurasimisha wachuuzi wa maziwa 300 na kuendesha mafunzo kwa wadau<br />
<strong>20</strong>0 katika mikoa <strong>ya</strong> Mbe<strong>ya</strong>, Kagera, Iringa na Tanga juu <strong>ya</strong> utekelezaji<br />
wa Sheria <strong>ya</strong> Maziwa Na. 8 <strong>ya</strong> mwaka <strong>20</strong>04; na<br />
(iii) Kufuatilia utekelezaji wa msamaha uliotangazwa na Serikali katika Bunge<br />
la bajeti mwaka <strong><strong>20</strong>10</strong>/<strong><strong>20</strong>11</strong> wa Kodi <strong>ya</strong> Ongezeko la Thamani kwenye<br />
mashine na vifaa v<strong>ya</strong> kukusan<strong>ya</strong>, kusafirisha na kusindika maziwa kwa ajili<br />
<strong>ya</strong> kuhamasisha uwekezaji katika sekta ndogo <strong>ya</strong> maziwa na kuboresha<br />
kipato kwa wananchi. Mashine na vifaa vitakavyohusika ni kama ifuatavyo:<br />
(a) Vifaa maalum v<strong>ya</strong> kubebea maziwa (milk cans),<br />
(b) Pampu maalum za kusukuma maziwa (milk pumps),<br />
(c) Bomba maalum la kupitisha maziwa kwenye viw<strong>and</strong>a v<strong>ya</strong> kusindika<br />
(milk hoses),<br />
(d) Kompresa maalum zinazotumika kwenye vifaa v<strong>ya</strong> kupoza maziwa,<br />
(e) Matanki <strong>ya</strong> kuhifadhia maziwa,<br />
(f) Gari maalum lenye kifaa cha kupoza na kusafirisha maziwa,<br />
(g) Mitambo maalum wa kuchemsha maziwa,<br />
(h) Kifaa maalum cha kuchekecha maziwa ili kutoa siagi,<br />
(i) Vifaa maalum v<strong>ya</strong> kupoza na kutengeneza baridi, na<br />
(j) Kifaa maalum cha kuk<strong>and</strong>amiza mabonge <strong>ya</strong> maziwa na kukamua<br />
maji ili kuzalisha jibini.<br />
Kitengo cha Hifadhi za Bahari na Maeneo Tengefu (Marine Parks <strong>and</strong><br />
Reserves Unit - MPRU)<br />
63. Mheshimwa Spika, katika mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong>, Wizara imeendelea<br />
kutenga maeneo <strong>ya</strong> Hifadhi za Bahari na Maeneo Tengefu ambapo eneo la<br />
Kigombe katika mwambao wa mkoa wa Tanga limetangazwa kuwa Hifadhi <strong>ya</strong><br />
Bahari <strong>ya</strong> Silikanti kwenye Gazeti la Serikali la tarehe 28 Agosti, <strong>20</strong>09 kwa GN.<br />
Na. 307. Aidha, taarifa za hali <strong>ya</strong> rasilimali hai na uchumi jamii zitakazowezesha<br />
u<strong>and</strong>aaji wa mipango <strong>ya</strong> jumla <strong>ya</strong> usimamizi wa hifadhi hiyo zimekusanywa. Pia,<br />
visiwa v<strong>ya</strong> Ulenge, Kwale, Mwewe na Kirui vilivyoko katika wila<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Mkinga<br />
mkoa wa Tanga vipo kwenye mchakato wa kutangazwa kuwa maeneo tengefu.<br />
Aidha, kazi nyingine zilizotekelezwa ni pamoja na:-<br />
(i) Kufan<strong>ya</strong> doria <strong>ya</strong> siku-kazi 115 ili kudhibiti uvuvi haramu katika maeneo<br />
<strong>ya</strong> hifadhi ambapo baruti 15, spear guns 3, makokoro 23, kamba za<br />
kokoro meta 19, mitumbwi 7, kambakochi kilo 18.5, gunia 65 za mwani<br />
mbichi wa asili, mabo<strong>ya</strong> 23 na madema 30 vilikamatwa;<br />
<strong>20</strong>
(ii) Kusimamia na kuendeleza shughuli mbadala zikiwemo ufugaji nyuki,<br />
samaki na kaa, ukulima wa mwani na mboga mboga, utalii rafiki na<br />
mazingira, utengenezaji wa batiki na ususi kwa wananchi 850;<br />
(iii) Kutekeleza Mpango wa Kuhifadhi na Kusimamia Matumbawe katika<br />
maeneo <strong>ya</strong> Mafia, Mtwara, Tanga na Dar es Salaam;<br />
(iv) Kutoa mafunzo <strong>ya</strong> uhifadhi bora wa bahari na maeneo <strong>ya</strong> pwani kwa<br />
watumishi 36 na wananchi 147 waishio ndani na nje <strong>ya</strong> maeneo<br />
<strong>ya</strong>liyohifadhiwa;<br />
(v) Ku<strong>and</strong>aa na kusambaza kwa wadau majarida na vipeperushi 7,500 kuhusu<br />
hifadhi <strong>ya</strong> bahari na maeneo tengefu;<br />
(vi) Kuimarisha taasisi kwa kuajiri watumishi wanane (8) na hivyo kufan<strong>ya</strong><br />
taasisi kuwa na jumla <strong>ya</strong> watumishi 66.<br />
Katika mwaka <strong><strong>20</strong>10</strong>/<strong><strong>20</strong>11</strong>, Wizara kupitia MPRU itatekeleza <strong>ya</strong>fuatayo:<br />
(i) Ku<strong>and</strong>aa na kukamilisha Mpango wa Jumla wa Usimamizi (General<br />
Management Plan) kwa ajili <strong>ya</strong> Hifadhi mp<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Bahari <strong>ya</strong> Silikanti-Tanga;<br />
(ii) Kuendelea kulinda na kuhifadhi rasilimali za bahari katika maeneo yote <strong>ya</strong><br />
hifadhi kwa kuimarisha doria ili kudhibiti uvuvi haramu kwa kufan<strong>ya</strong> sikukazi<br />
za doria 338;<br />
(iii) Kuendelea kuhamasisha ulinzi shirikishi katika maeneo yote <strong>ya</strong> hifadhi<br />
kwa ajili <strong>ya</strong> kulinda rasilimali za bahari na uvunaji endelevu wa rasilimali<br />
hizo;<br />
(iv) Kujenga uwezo wa taasisi kwa kuajiri watumishi wap<strong>ya</strong> 31 na kununua<br />
magari matatu (3) kwa ajili <strong>ya</strong> Hifadhi za Bahari za Kigombe - Tanga na<br />
Mnazi Bay - Mtwara na uratibu (Makao Makuu <strong>ya</strong> taasisi);<br />
(v) Kuendelea kutangaza vivutio v<strong>ya</strong> utalii vilivyomo katika maeneo yote <strong>ya</strong><br />
hifadhi na taratibu za uwekezaji zinazozingatia mazingira rafiki<br />
(ecotourism);<br />
(vi) Kuzijengea uwezo jamii zilizopo katika maeneo <strong>ya</strong> hifadhi za bahari na<br />
maeneo tengefu kwa kuendeleza na kuanzisha miradi <strong>ya</strong> shughuli<br />
mbadala; na<br />
(vii) Kuimarisha na kuboresha mazingira <strong>ya</strong> kazi <strong>ya</strong> watumishi wa taasisi kwa<br />
kuwapa vitendea kazi na mafunzo <strong>ya</strong> muda mfupi na mrefu na motisha.<br />
Taasisi <strong>ya</strong> Utafiti wa Uvuvi (Tanzania Fisheries Research Institute -<br />
TAFIRI)<br />
64. Mheshimiwa Spika, Wizara kupitia Taasisi <strong>ya</strong> Utafiti wa Uvuvi (TAFIRI)<br />
imeendelea kufan<strong>ya</strong> tafiti mbalimbali ili kubaini wingi, mtawanyiko na aina <strong>ya</strong><br />
rasilimali zinazopatikana katika maji <strong>ya</strong> asili. Utafiti uli<strong>of</strong>anyika katika Ziwa<br />
Victoria umeonesha kuwa sangara wameongezeka kutoka tani 307,539 mwaka<br />
<strong>20</strong>09 hadi tani 367,819 mwaka <strong><strong>20</strong>10</strong>, dagaa kutoka tani 786,653 mwaka <strong>20</strong>09<br />
hadi tani 1,176,372 mwaka <strong><strong>20</strong>10</strong>. Aidha, furu na samaki aina nyingine<br />
wameongezeka kutoka tani 489,2<strong>20</strong> mwaka <strong>20</strong>09 hadi 528,169 mwaka <strong><strong>20</strong>10</strong>.<br />
Pia, utafiti wa kubaini wingi na mtawanyiko wa kambamiti umefanyika Sadani<br />
21
(Bagamoyo), Rufiji, Kisiju (Mkuranga) na Jaja (Kilwa) na kuonyesha kuwa<br />
kambamiti wameongezeka kutoka tani <strong>20</strong>2 mwaka <strong>20</strong>07 na kufikia tani 358<br />
mwaka <strong>20</strong>09.<br />
Kazi nyingine zilizotekelezwa na Wizara kupitiaTAFIRI ni pamoja na:<br />
(i) Utafiti unaolenga kutatua matatizo <strong>ya</strong> ufugaji samaki unaendelea, ambapo<br />
kazi hii inatekelezwa katika Kituo cha Utafiti cha Dar-es-Salaam;<br />
(ii) Utafiti wa hali <strong>ya</strong> uvuvi katika Maziwa <strong>ya</strong> Rukwa, E<strong>ya</strong>si, Man<strong>ya</strong>ra na Bwawa<br />
la Mtera na Mto Kilombero unaendelea; na<br />
(iii) Ujenzi wa <strong>of</strong>isi na maabara <strong>ya</strong> Kituo cha Utafiti cha Dar-es-Salaam.<br />
Katika mwaka <strong><strong>20</strong>10</strong>/<strong><strong>20</strong>11</strong>, kazi zitakazotekelezwa ni pamoja na:<br />
(i) Kuendelea na utafiti kuhusu teknolojia sahihi <strong>ya</strong> kuzalisha vifaranga na<br />
v<strong>ya</strong>kula bora v<strong>ya</strong> samaki;<br />
(ii) Kufan<strong>ya</strong> uchunguzi wa kuanzisha utalii wa samaki aina <strong>ya</strong> Pomboo, Papa<br />
N<strong>ya</strong>ngumi, Jodari na Kasa;<br />
(iii) Kuanzisha mabwawa <strong>ya</strong> mfano <strong>ya</strong> ufugaji samaki katika vituo v<strong>ya</strong> utafiti<br />
v<strong>ya</strong> Dar es Salaam, Kigoma, Kyela, Mwanza na Sota (Ror<strong>ya</strong>);<br />
(iv) Kufan<strong>ya</strong> savei <strong>ya</strong> mashamba <strong>ya</strong> samaki ili kutambua mbinu za kudhibiti<br />
madhara <strong>ya</strong> wadudu na magonjwa <strong>ya</strong> samaki;<br />
(v) Kufan<strong>ya</strong> utafiti wa hali <strong>ya</strong> uvuvi katika Ziwa Rukwa na Mto Ruvuma na Mto<br />
Mara;<br />
(vi) Kufan<strong>ya</strong> utafiti wa soko la samaki na mazao <strong>ya</strong> uvuvi katika maeneo <strong>ya</strong><br />
Kyela na Kigoma;<br />
(vii) Kufan<strong>ya</strong> utafiti wa kiwango cha upotevu unaotokana na uchakataji wa<br />
samaki;<br />
(viii) Kukarabati meli <strong>ya</strong> utafiti (MV Kiboko);<br />
(ix) Kukamilisha ujenzi wa maabara <strong>ya</strong> Kituo cha Utafiti cha Dar es Salaam na<br />
maabara za Kyela, Mwanza, Sota na Kigoma; na<br />
(x) Kuimarisha vituo v<strong>ya</strong> utafiti v<strong>ya</strong> Kyela, Mwanza, Sota na Kigoma.<br />
Taasisi <strong>ya</strong> Taifa <strong>ya</strong> Utafiti wa Mifugo - Mpwapwa na Vituo v<strong>ya</strong>ke<br />
65. Mheshimiwa Spika, katika mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong> Taasisi <strong>ya</strong> Taifa <strong>ya</strong> Utafiti<br />
wa Mifugo - Mpwapwa pamoja na vituo sita (6) v<strong>ya</strong> Kongwa, Mabuki,<br />
Naliendele, Tanga, Uyole na West Kilimanjaro vilivyo chini <strong>ya</strong> Taasisi hiyo<br />
vimeendelea na utafiti wa mifugo kwa lengo la kuongeza tija na uzalishaji wa<br />
mifugo nchini. Kazi zilizotekelezwa ni pamoja na:-<br />
22
(i) Kutathmini na Kusambaza Mifugo Bora Vijijini<br />
Tathmini inaendelea, ambapo jumla <strong>ya</strong> ndama <strong>20</strong>0 walizalishwa katika kituo cha<br />
Mpwapwa na kati <strong>ya</strong> hao, 95 ni aina <strong>ya</strong> Mpwapwa na 105 ni chotara wa<br />
Mpwapwa na Boran. Vilevile, ndama <strong>20</strong> chotara wa Jersey/Friesian na Ng’ombe<br />
wa Asili wamezaliwa katika kituo cha Tanga. Pia, ndama 12 wa ng’ombe wa<br />
Ufipa na ndama 10 wa ng’ombe aina <strong>ya</strong> Friesian wamezaliwa katika kituo cha<br />
Uyole na katika kituo cha Mabuki wamezaliwa ndama 3 aina <strong>ya</strong> Ankole. Aidha,<br />
mbuzi 160 aina <strong>ya</strong> Mal<strong>ya</strong> wamezaliwa katika vituo v<strong>ya</strong> Mpwapwa (82) na<br />
Kongwa (78) na mbuzi 13 chotara wa Gogo na Mal<strong>ya</strong> wamezaliwa katika kituo<br />
cha Kongwa. Taasisi imeendelea kuzalisha nguruwe bora kwa ajili <strong>ya</strong> kusambaza<br />
kwa wafugaji vijijini ili kuboresha ufugaji wa nguruwe, ambapo 44 wamezaliwa<br />
kati <strong>ya</strong>o 28 wamesambazwa kwa wafugaji vijijini.<br />
66. Mheshimiwa Spika, katika mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong>, jumla <strong>ya</strong> madume bora<br />
109 <strong>ya</strong> ng’ombe aina <strong>ya</strong> Mpwapwa <strong>ya</strong>mepelekwa kwa wafugaji vijijini katika<br />
wila<strong>ya</strong> za Manyoni (50), Bahi (30), Kongwa (8), Monduli (8), Shin<strong>ya</strong>nga (7),<br />
Mpwapwa (2), Chamwino (2) na Mbe<strong>ya</strong> vijijini (2) kwa ajili <strong>ya</strong> kuboresha mifugo<br />
<strong>ya</strong> asili. Aidha, madume 12 aina <strong>ya</strong> Friesian wamesambazwa katika wila<strong>ya</strong> za<br />
Mbe<strong>ya</strong> Mjini (3), Mbe<strong>ya</strong> vijijini (3), Mbarali (2), Mbozi (2), Sumbawanga (1) na<br />
Rungwe (1). Vilevile, jumla <strong>ya</strong> majike 23 aina <strong>ya</strong> Mpwapwa <strong>ya</strong>mesambazwa<br />
katika wila<strong>ya</strong> za Chamwino (10), Singida Mjini (10), Dodoma Mjini (2) na Dar es<br />
Salaam (1). Pia mbuzi wa asili, mbuzi bora 61 wamesambazwa katika wila<strong>ya</strong> za<br />
Kinondoni, Ilala, Temeke, Maswa, Shin<strong>ya</strong>nga, Ngorongoro, Mpwapwa, Mtwara,<br />
Dodoma Mjini, Bahi, Kongwa na Chamwino. Tathmini <strong>ya</strong> uzalishaji wa mifugo<br />
iliyosambazwa inaendelea katika mazingira <strong>ya</strong> wafugaji vijijini.<br />
Katika mwaka <strong><strong>20</strong>10</strong>/<strong><strong>20</strong>11</strong>, ndama 250 aina <strong>ya</strong> Mpwapwa watazalishwa na<br />
madume 150 <strong>ya</strong>tasambazwa katika vijiji mbalimbali kwa ajili <strong>ya</strong> kuboresha<br />
ng’ombe wa asili. Pia, ndama 30 wa ng’ombe wa maziwa aina <strong>ya</strong> Friesian<br />
watazaliwa na 12 (madume), watasambazwa. Aidha, mbuzi bora <strong>20</strong>0 aina <strong>ya</strong><br />
Mal<strong>ya</strong> watazaliwa na madume 100 watasambazwa vijijini. Kazi zingine<br />
zitakazotekelezwa ni pamoja na kuendelea kukusan<strong>ya</strong> takwimu muhimu kuhusu<br />
ukuaji na uwezo wa kuzalisha mbuzi bora na utafiti shirikishi vijijini. Vilevile,<br />
utafiti utaendelea ili kubaini teknolojia zinazoongeza uzalishaji wa nguruwe<br />
vituoni na vijijini ambapo jumla <strong>ya</strong> nguruwe <strong>20</strong>0 watazaliwa na 180<br />
watasambazwa vijijini.<br />
67. Mheshimiwa Spika, katika mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong> jumla <strong>ya</strong> ng’ombe 55 aina<br />
<strong>ya</strong> Ufipa, 23 aina <strong>ya</strong> Ankole, <strong>20</strong> aina <strong>ya</strong> Singida white waliendelea kufanyiwa<br />
tathmini <strong>ya</strong> uwezo wa kuzalisha na mwonekano wa nje katika vituo v<strong>ya</strong> Uyole,<br />
Mabuki na Mpwapwa. Tathmini <strong>ya</strong> awali kwa ng’ombe aina <strong>ya</strong> Ufipa inaonesha<br />
kuwa wastani wa uzito wa kuzaliwa ni kilo 18.4 (madume) na 17.3 (majike).<br />
Katika mwaka <strong><strong>20</strong>10</strong>/<strong><strong>20</strong>11</strong>, Taasisi itaendelea kufan<strong>ya</strong> tathmini <strong>ya</strong> ng’ombe wa<br />
23
asili ili kubaini uwezo wa kuzalisha na mwonekano wa nje. Aidha, Taasisi<br />
itanunua ng’ombe <strong>20</strong> aina <strong>ya</strong> Iringa red kwa ajili <strong>ya</strong> kuwafanyia tathmini.<br />
68. Mheshimiwa Spika, katika mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong> Taasisi imeendelea<br />
kutathmini aina mbalimbali za kuku wa asili vituoni. Kosaafu tano za kuku wa<br />
kienyeji aina <strong>ya</strong> Njachama, Kuza, Msumbiji, Sukuma na Kishingo zilikusanywa<br />
katika mikoa <strong>ya</strong> Mtwara na Lindi kwa ajili <strong>ya</strong> utafiti. Tathmini inaonesha kuwa,<br />
wastani wa uzito wa ma<strong>ya</strong>i ni kati <strong>ya</strong> gramu 30 na 45 na uzito wa kuku ni kati<br />
<strong>ya</strong> gramu 800 na 1,<strong>20</strong>0. Pia, Kosaafu sita za kuku wa kienyeji aina <strong>ya</strong> Kuchi,<br />
Kishingo, Sasamala, Bukini, King’weng’we (Fude) na Nteva walikusanywa kutoka<br />
katika mikoa <strong>ya</strong> Dodoma na Singida na kuwahifadhi na kazi <strong>ya</strong> kuwatathmini<br />
inaendelea kituoni Mpwapwa. Aidha, katika kituo cha Uyole, kuku 54 wa asili<br />
aina <strong>ya</strong> Kachewa na Kuchi walikusanywa kutoka wila<strong>ya</strong> za Songea Vijijini,<br />
Namtumbo, Iringa Vijijini, Mufindi, Chun<strong>ya</strong>, Mp<strong>and</strong>a, Nkasi na Sumbawanga<br />
vijijini kwa ajili <strong>ya</strong> kuwatathmini na kuwahifadhi.<br />
Katika mwaka <strong><strong>20</strong>10</strong>/<strong><strong>20</strong>11</strong>, Taasisi itaendelea kufan<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>fuatayo:-<br />
(i) Kuainisha kuku wenye sifa za kutaga ma<strong>ya</strong>i mengi na ukuaji kutoka katika<br />
aina za kuku waliokwisha kusanywa;<br />
(ii) Kufan<strong>ya</strong> utafiti utakaowezesha kuku wa asili kuongeza utagaji kwa asilimia<br />
10, uzito wa <strong>ya</strong>i kwa asilimia 10 na ukuaji kwa asilimia 15; na<br />
(iii) Kuhifadhi aina za kuku wa asili ambao wako hatarini kutoweka.<br />
69. Mheshimiwa Spika, katika mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong> tathmini <strong>ya</strong> mbuzi aina <strong>ya</strong><br />
Gogo white, Upare white, Sonjo red, Newala na kondoo aina <strong>ya</strong> Red Maasai,<br />
Black Head Persian na Gogo iliendelea kufanyika katika vituo v<strong>ya</strong> Mpwapwa,<br />
West Kilimanjaro na Naliendele. Matokeo <strong>ya</strong> awali <strong>ya</strong> ukuaji <strong>ya</strong>naonesha kuwa<br />
wastani wa uzito wa kuzaliwa kwa madume ni kilo 2.3 na majike ni kilo 1.9 kwa<br />
mbuzi aina <strong>ya</strong> Sonjo Red; na kilo 2.0 kwa madume na kilo 1.9 kwa majike aina<br />
<strong>ya</strong> Upare White. Aidha, wastani wa uzito katika umri wa kuachishwa kunyon<strong>ya</strong><br />
wanap<strong>of</strong>ikia miezi mitatu ni kilo 7.8 kwa madume na kilo 6.5 kwa majike wa<br />
mbuzi aina <strong>ya</strong> Sonjo Red; na kilo 5.3 kwa madume na kilo 4.5 kwa majike wa<br />
mbuzi aina <strong>ya</strong> Upare White. Vilevile, tathmini <strong>ya</strong> awali inaonesha kuwa wastani<br />
wa uzito wa kuzaliwa kwa kondoo aina <strong>ya</strong> Red Maasai ni kilo 2.5 kwa madume<br />
na majike; na kilo 2.4 kwa madume na majike wa kondoo aina <strong>ya</strong> Black Head<br />
Persian (BHP). Wastani wa uzito wanap<strong>of</strong>ikia umri wa miezi mitatu ni kilo 9.7<br />
kwa madume na kilo 9.4 kwa majike wa kondoo aina <strong>ya</strong> Red Maasai; na kilo 9.9<br />
kwa madume na kilo 8.8 kwa majike wa aina <strong>ya</strong> BHP. Katika mwaka <strong><strong>20</strong>10</strong>/<strong><strong>20</strong>11</strong><br />
tathmini hii itaendelea.<br />
(ii) Utafiti wa Malisho <strong>ya</strong> Mifugo<br />
70. Mheshimiwa Spika, katika mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong>, Taasisi iliendelea<br />
kukusan<strong>ya</strong>, kutathmini na kutunza aina mbalimbali za malisho kwenye Benki <strong>ya</strong><br />
24
Vinasaba. Jumla <strong>ya</strong> vinasaba 152 viliendelea kufanyiwa tathmini katika vituo v<strong>ya</strong><br />
utafiti v<strong>ya</strong> Mpwapwa (80) na Uyole (72). Katika mwaka <strong><strong>20</strong>10</strong>/<strong><strong>20</strong>11</strong> aina<br />
nyingine 50 za malisho kutoka nje na ndani <strong>ya</strong> nchi zitakusanywa, kustawishwa,<br />
kutathminiwa na kuhifadhiwa.<br />
71. Mheshimiwa Spika, katika mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong>, jumla <strong>ya</strong> kilo 3,549 za<br />
mbegu za n<strong>ya</strong>si aina za Chloris ga<strong>ya</strong>na na Cenchrus ciliaris na kilo 875 za<br />
mikunde zilizalishwa katika vituo v<strong>ya</strong> Mpwapwa, Tanga, Uyole na Mabuki. Kati <strong>ya</strong><br />
hizo, kilo 688 za mbegu za Chloris ga<strong>ya</strong>na ziliuzwa kwa ajili <strong>ya</strong> kuendeleza<br />
malisho katika Chuo cha Mafunzo <strong>ya</strong> Mifugo Mpwapwa (kilo <strong>20</strong>0) na katika<br />
wila<strong>ya</strong> za Nkasi (kilo 250), Mbarali (kilo 84), Rungwe (kilo 50), Mbe<strong>ya</strong> Vijijini<br />
(kilo 50), Kiteto (kilo 30) na Mufindi (kilo 24). Pia, kilo 26 za mbegu za<br />
malisho jamii <strong>ya</strong> mikunde zilisambazwa katika Chuo cha Mafunzo <strong>ya</strong> Mifugo<br />
Mpwapwa (kilo 10), wila<strong>ya</strong> za Songea (kilo 6) na Nkasi (kilo 10). Vilevile,<br />
usambazaji wa miche <strong>ya</strong> miti malisho aina <strong>ya</strong> Leucaena pallida miche 18,000 na<br />
Gliricidia sepium miche 12,000 umefanyika katika wila<strong>ya</strong> za Kongwa na Singida<br />
Vijijini kwa lengo la kuboresha malisho hasa wakati wa kiangazi. Aidha, vinasaba<br />
v<strong>ya</strong> mbegu za malisho aina tatu za mikunde (Centrosema, Clitoria na Siratro) na<br />
aina mbili za n<strong>ya</strong>si (Chloris ga<strong>ya</strong>na na Cenchrus ciliaris) zimesambazwa katika<br />
wila<strong>ya</strong> za N<strong>ya</strong>magana, Ilemela na Ukerewe. Pia, marobota 15,340 <strong>ya</strong> majani<br />
makavu <strong>ya</strong>livunwa.<br />
Katika mwaka <strong><strong>20</strong>10</strong>/<strong><strong>20</strong>11</strong>, Taasisi itazalisha kilo 3,000 za mbegu za n<strong>ya</strong>si, kilo<br />
600 za mbegu za mikunde <strong>ya</strong> malisho, kusambaza vinasaba v<strong>ya</strong> malisho na miti<br />
malisho vinavyoonekana kuzalisha malisho mengi kwa wafugaji na kuongeza<br />
uvunaji wa malisho kufikia marobota 40,000 <strong>ya</strong> majani makavu.<br />
(iii) Kuimarisha Vituo V<strong>ya</strong> Utafiti<br />
72. Mheshimiwa Spika, katika mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong>, Wizara iliendelea<br />
kuimarisha vituo v<strong>ya</strong> utafiti wa mifugo kwa kuvipatia vitendea kazi muhimu,<br />
vikiwemo trekta tatu na zana zake, mashine za kuangulia vifaranga tatu,<br />
pikipiki 11 na kompyuta saba. Aidha, ukarabati wa nyumba 41 za watumishi na<br />
<strong>of</strong>isi nne umefanyika katika vituo v<strong>ya</strong> utafiti. Katika mwaka <strong><strong>20</strong>10</strong>/<strong><strong>20</strong>11</strong>, Wizara<br />
itaendelea kuimarisha vituo v<strong>ya</strong> utafiti kwa kuvipatia vitendea kazi muhimu,<br />
kujenga na kukarabati miundombinu.<br />
Maabara Kuu <strong>ya</strong> Taifa <strong>ya</strong> Mifugo -Temeke<br />
73. Mheshimiwa Spika, Maabara Kuu <strong>ya</strong> Taifa <strong>ya</strong> Mifugo inalo jukumu la<br />
kufan<strong>ya</strong> uchunguzi, utambuzi na utafiti wa magonjwa mbalimbali <strong>ya</strong> mifugo.<br />
Aidha, inafan<strong>ya</strong> majaribio <strong>ya</strong> dawa mp<strong>ya</strong> na chanjo za mifugo; kutengeneza<br />
chanjo mbalimbali za kuzuia magonjwa <strong>ya</strong> mifugo na kuchunguza ubora wa<br />
bidhaa zitokanazo na mifugo. Pia, maabara hufan<strong>ya</strong> uchunguzi wa nguvu za<br />
25
dawa za majosho, ubora wa v<strong>ya</strong>kula v<strong>ya</strong> mifugo na kutoa mafunzo <strong>ya</strong> Ufundi<br />
Sanifu Maabara na Stashahada <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Wan<strong>ya</strong>ma.<br />
Katika mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong>, Maabara Kuu <strong>ya</strong> Mifugo imetekeleza <strong>ya</strong>fuatayo:-<br />
(i) Kufan<strong>ya</strong> uchunguzi na utambuzi wa magonjwa mbalimbali <strong>ya</strong> mifugo<br />
kutokana na sampuli 18,770. Baadhi <strong>ya</strong> magonjwa muhimu<br />
<strong>ya</strong>liyotambuliwa ni Homa <strong>ya</strong> Nguruwe, Ndigana Kali, Mkojo Mwekundu,<br />
Ndigana Baridi, Nagana, Ugonjwa wa Miguu na Midomo, Homa <strong>ya</strong><br />
Matumbo <strong>ya</strong> Ndege, Mdondo, Mareks Disease, Gumboro na Sotoka <strong>ya</strong><br />
Mbuzi na Kondoo;<br />
(ii) Kuzalisha na kusambaza chanjo dozi milioni 82.2 za ugonjwa wa<br />
Mdondo; 313,950 za Kimeta; 271,400 za Chambavu; na 25,000 za<br />
Ugonjwa wa Kutupa Mimba. Aidha, utengenezaji wa chanjo <strong>ya</strong> Homa <strong>ya</strong><br />
Bonde la Ufa (RVF) umeanza na chanjo hiyo ipo katika majaribio <strong>ya</strong> awali;<br />
(iii) Kufan<strong>ya</strong> uchunguzi na kuhakiki ubora wa v<strong>ya</strong>kula v<strong>ya</strong> mifugo, ambapo<br />
sampuli 3,899 zilihakikiwa na kuonesha kuwa zaidi <strong>ya</strong> asilimia 80 <strong>ya</strong><br />
sampuli hizo zilikuwa na upungufu wa viinilishe na ushauri kutolewa;<br />
(iv) Kuendelea na ujenzi wa kituo cha kuzalisha chanjo Kibaha ambapo<br />
nyumba mbili za wafan<strong>ya</strong>kazi zimekamilika;<br />
(v) Kuendelea na ukarabati wa Maabara Kuu <strong>ya</strong> Mifugo na kuimarisha Taasisi<br />
<strong>ya</strong> Utafiti wa Mbung’o na Ndorobo Tanga na Kituo cha Udhibiti wa<br />
Mbung’o na Ndorobo Kigoma;<br />
(vi) Kuendelea na ufugaji wa mbung’o katika kituo cha TTRI Tanga kwa ajili <strong>ya</strong><br />
utafiti wa kudhibiti mbung’o, ugonjwa wa nagana na malale. Aina na idadi<br />
<strong>ya</strong> mbung’o waliohasiwa katika kituo hicho ni Glossina pallidipes (987 na<br />
mabuu 151), G. austeni (25,928) na mabuu 5,114), G. brevipalpis (45<br />
na mabuu 5) na G. morsitans centralis (6,7<strong>20</strong> na mabuu 1,513);<br />
(vii) Kufan<strong>ya</strong> tathimini <strong>ya</strong> chanjo <strong>ya</strong> kuzuia mdondo inayostahimili joto (I-2)<br />
katika mikoa <strong>ya</strong> Iringa, Mbe<strong>ya</strong>, Morogoro, Singida na Tanga;<br />
(viii) Kufan<strong>ya</strong> uchunguzi wa ugonjwa wa Homa <strong>ya</strong> Bonde la Ufa (RVF) katika<br />
mikoa <strong>ya</strong> Iringa na Morogoro;<br />
(ix) Kufan<strong>ya</strong> uchunguzi kuhusu sotoka <strong>ya</strong> mbuzi na kondoo katika mikoa <strong>ya</strong><br />
Iringa na Mbe<strong>ya</strong>;<br />
(x) Kufan<strong>ya</strong> uchunguzi wa Ugonjwa wa Miguu na Midomo katika mikoa <strong>ya</strong><br />
Iringa, Lindi, Mbe<strong>ya</strong>, Morogoro na Mtwara;<br />
(xi) Kufan<strong>ya</strong> uchunguzi wa Homa <strong>ya</strong> Nguruwe katika mikoa <strong>ya</strong> Morogoro na<br />
Pwani; na<br />
(xii) Kufan<strong>ya</strong> uchunguzi wa Mafua Makali <strong>ya</strong> Ndege katika mikoa <strong>ya</strong> Arusha,<br />
Dar es Salaam, Man<strong>ya</strong>ra, Mara, Mbe<strong>ya</strong> Morogoro, Mwanza na Shin<strong>ya</strong>nga.<br />
74. Mheshimiwa Spika, katika mwaka <strong><strong>20</strong>10</strong>/<strong><strong>20</strong>11</strong>, Maabara Kuu itazalisha<br />
na kusambaza katika Halmashauri chanjo za kuzuia magonjwa mbalimbali zikiwa<br />
ni pamoja na dozi milioni 100 za Mdondo, 500,000 za Kimeta, 400,000 za<br />
Chambavu 25,000 za Ugonjwa wa Kutupa Mimba na milioni 5 za Homa <strong>ya</strong><br />
Bonde la Ufa (RVF). Pia, Maabara itafan<strong>ya</strong> kazi zifuatazo:-<br />
26
(i) Kuendelea kufan<strong>ya</strong> uchunguzi, utambuzi na utafiti wa magonjwa<br />
mbalimbali <strong>ya</strong> mifugo;<br />
(ii) Kuendeleza ufugaji wa aina mbalimbali za mbung’o kwa ajili <strong>ya</strong> tafiti za<br />
kudhibiti nagana na malale;<br />
(iii) Kuendelea kufan<strong>ya</strong> uchunguzi na uhakiki wa ubora wa v<strong>ya</strong>kula v<strong>ya</strong><br />
mifugo pamoja na malisho katika maeneo mbalimbali;<br />
(iv) Kuendelea na uchunguzi na uhakiki wa ubora wa mazao <strong>ya</strong> mifugo<br />
<strong>ya</strong>kiwemo maziwa, n<strong>ya</strong>ma na ma<strong>ya</strong>i;<br />
(v) Kuchunguza nguvu za dawa za kuogesha mifugo;<br />
(vi) Kuendelea na tafiti mbalimbali za kutathimini na kuanzisha teknolojia<br />
mp<strong>ya</strong> za kudhibiti magonjwa <strong>ya</strong> mifugo; na<br />
(vii) Kuimarisha Maabara Kuu <strong>ya</strong> Mifugo na vituo v<strong>ya</strong>ke.<br />
Maabara <strong>ya</strong> Taifa <strong>ya</strong> Udhibiti wa Ubora wa Samaki - Nyegezi<br />
75. Mheshimiwa Spika, Wizara imeendelea kuimarisha Maabara <strong>ya</strong> Taifa <strong>ya</strong><br />
Udhibiti wa Ubora wa Samaki – Nyegezi kwa kukarabati miundombinu na kutoa<br />
vitendea kazi. Jumla <strong>ya</strong> sampuli 1,354 za min<strong>of</strong>u <strong>ya</strong> samaki, maji na tope<br />
zilipokelewa na kufanyiwa uchunguzi ili kubaini vimelea, masalia <strong>ya</strong> viuatilifu,<br />
mabaki <strong>ya</strong> sumu na madini tembo. Kati <strong>ya</strong> sampuli zilizopokelewa, 849<br />
zilichunguzwa katika maabara <strong>ya</strong> Nyegezi na 505 zilichunguzwa katika maabara<br />
za Shirika la Viwango Tanzania, SABS (Afrika Kusini) na Chemipher (Ug<strong>and</strong>a).<br />
Pia, ukaguzi umefanyika mara 1,114 kwa samaki na mazao <strong>ya</strong>ke wakati wa<br />
kusafirishwa nje <strong>ya</strong> nchi. Vilevile, kaguzi 84 zimefanyika katika viw<strong>and</strong>a v<strong>ya</strong><br />
kuchakata samaki vilivyoko katika uk<strong>and</strong>a wa Ziwa Victoria. Pia, wakaguzi<br />
watatu (3) walipatiwa mafunzo nchini Afrika Kusini.<br />
Katika mwaka <strong><strong>20</strong>10</strong>/<strong><strong>20</strong>11</strong>, Maabara itaendelea kuimarishwa ili kuendeleza<br />
udhibiti wa ubora wa samaki na mazao <strong>ya</strong> uvuvi.<br />
Baraza la Veterinari Tanzania<br />
Usimamizi wa Maadili katika Huduma za Af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Mifugo<br />
76. Mheshimiwa Spika, Baraza la Veterinari lina jukumu la kusimamia<br />
viwango v<strong>ya</strong> huduma zinazotolewa na wataalamu wa af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> mifugo nchini.<br />
Katika mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong> Baraza limeimarisha ukaguzi katika ngazi za k<strong>and</strong>a,<br />
mikoa na Halmashauri kwa kuteua wakaguzi wap<strong>ya</strong> 25 na kutangazwa katika<br />
Gazeti la Serikali. Aidha, Baraza lilitekeleza <strong>ya</strong>fuatayo:-<br />
(i) Kufuatilia ukaguzi wa maadili katika Halmashauri 123 za mikoa <strong>ya</strong> Dar-es-<br />
Salaam, Dodoma, Iringa, Kagera, Lindi, Mara, Mbe<strong>ya</strong>, Morogoro, Mtwara<br />
Mwanza, Pwani na Ruvuma. Kutokana na ukaguzi huo, wataalam 6<br />
walipata maonyo makali na 2 wameshitakiwa kwa kutoa huduma bila<br />
kusajiliwa;<br />
27
(ii) Kuteua wasajili wasaidizi 101 katika Halmashauri na wakaguzi 173 katika<br />
Halmashauri, Mikoa na K<strong>and</strong>a. Aidha, wakaguzi 130 walipatiwa mafunzo<br />
kuhusu kanuni na taratibu za ukaguzi wa huduma za mifugo;<br />
(iii) Kusajili madaktari 22 wakiwemo 4 wa kigeni na kufan<strong>ya</strong> idadi <strong>ya</strong> madaktari<br />
waliosajiliwa nchini kuwa 615. Aidha, vituo 5 v<strong>ya</strong> kutolea huduma<br />
vimesajiliwa na kufan<strong>ya</strong> jumla <strong>ya</strong> vituo kuwa 309;<br />
(iv) Ku<strong>and</strong>ikisha na kuorodheshwa wataalamu wasaidizi 110 wenye stashahada<br />
na astashahada na kufan<strong>ya</strong> idadi <strong>ya</strong>o kuwa 1,026;<br />
(v) Kuchapisha na kusambaza kwa wadau nakala 1,100 za orodha za<br />
wataalam waliosajiliwa na kanuni za ukaguzi chini <strong>ya</strong> Sheria <strong>ya</strong> Veterinari<br />
Na. 16, <strong>20</strong>03;<br />
(vi) Kuhamasisha Halmashauri 60 za mikoa <strong>ya</strong> Dar-es-Salaam, Dodoma, Iringa,<br />
Kagera, Lindi, Mara Mbe<strong>ya</strong>, Morogoro, Mwanza, Mtwara, Pwani, Ruvuma,<br />
Shin<strong>ya</strong>nga, Singida na Tanga kushirikisha sekta binafsi katika kutoa huduma<br />
za mifugo;<br />
(vii) Ku<strong>and</strong>aa na kusambaza miongozo 3 juu <strong>ya</strong> viwango v<strong>ya</strong> zahanati za mifugo,<br />
vifaatiba na dawa kwa watoa huduma;<br />
(viii) Kujenga zahanati mbili za mifugo za mfano katika vyuo v<strong>ya</strong> mifugo v<strong>ya</strong><br />
Morogoro na Mpwapwa;<br />
(ix) Rasimu <strong>ya</strong> Mpango wa kuendesha Baraza ume<strong>and</strong>aliwa na watumishi 3<br />
wamepata mafunzo kuhusu kuendesha baraza kwa ufanisi; na<br />
(x) Kuboresha mfumo wa ukusan<strong>ya</strong>ji na utunzaji wa kumbukumbu za Baraza.<br />
77. Mheshimiwa Spika, katika mwaka <strong><strong>20</strong>10</strong>/<strong><strong>20</strong>11</strong> Baraza la Veterinari<br />
litaendelea kusimamia utekelezaji wa Sheria <strong>ya</strong> Veterinari Na. 16 <strong>ya</strong> mwaka <strong>20</strong>03<br />
kwa kutekeleza <strong>ya</strong>fuatayo:-<br />
(i) Kusajili madaktari wa mifugo 30 na vituo v<strong>ya</strong> huduma za mifugo 24 na<br />
kuvifanyia ukaguzi vituo 90;<br />
(ii) Kuorodhesha na ku<strong>and</strong>ikisha wataalam wasaidizi wasiopungua 80;<br />
(iii) Kushirikiana na Halmashauri 132 kufan<strong>ya</strong> ukaguzi wa maadili nchini na<br />
kutoa mafunzo kwa wakaguzi 130 wa maadili;<br />
(iv) Kufan<strong>ya</strong> ukaguzi wa taaluma katika vyuo vitoavyo astashahada,<br />
stashahada na shahada <strong>ya</strong> mifugo; na<br />
(v) Kushirikiana na Halmashauri 80 kuhamasisha sekta binafsi kutoa huduma<br />
za mifugo kupitia vituo v<strong>ya</strong> af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> mifugo.<br />
78. Mheshimiwa Spika, ili kuimarisha usimamizi wa Sheria <strong>ya</strong> Veterinari Na.<br />
16 <strong>ya</strong> mwaka <strong>20</strong>03, natoa wito kwa kila Halmashauri <strong>ya</strong> Wila<strong>ya</strong>, Mji, Manispaa<br />
na Jiji kuhakikisha inaajiri madaktari wa mifugo.<br />
Usimamizi na Uratibu wa Utafiti katika Sekta za Mifugo na Uvuvi<br />
79. Mheshimiwa Spika, katika kuainisha maeneo <strong>ya</strong> kipaumbele <strong>ya</strong> utafiti<br />
wa mifugo katika mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong>, Wizara ili<strong>and</strong>aa rasimu 12 za programu za<br />
28
utafiti. Programu hizo zinahusu utafiti wa ng’ombe wa maziwa; ng’ombe wa<br />
n<strong>ya</strong>ma; mbuzi na kondoo; kuku; nguruwe; lishe na malisho; kosaafu za mifugo;<br />
magonjwa <strong>ya</strong> milipuko; magonjwa <strong>ya</strong>nayoenezwa na kupe na mbung’o;<br />
utambuzi wa magonjwa; uzalishaji wa chanjo za mifugo; na magonjwa <strong>ya</strong><br />
mifugo <strong>ya</strong>nayoambukiza binadamu. Katika mwaka <strong><strong>20</strong>10</strong>/<strong><strong>20</strong>11</strong>, Wizara itaendelea<br />
kutekeleza <strong>ya</strong>fuatayo:-<br />
(i) Kuratibu, kufuatilia na kutathmini utafiti na utoaji huduma za utafiti na<br />
maendeleo <strong>ya</strong> mifugo na uvuvi kulingana na programu zilizota<strong>ya</strong>rishwa;<br />
(ii) Kuimarisha mfumo wa utunzaji kumbukumbu za utafiti wa mifugo na<br />
uvuvi nchini;<br />
(iii) Kushirikiana nchi za Ken<strong>ya</strong>, Ug<strong>and</strong>a na Ethiopia katika kuainisha teknolojia<br />
za uzalishaji wa maziwa, kuzitathmini na kuzisambaza kwa wafugaji;<br />
(iv) Kuwezesha taasisi za utafiti wa mifugo na uvuvi nchini; na<br />
(v) Ku<strong>and</strong>aa programu 3 za ufugaji samaki na udhibiti wa mazingira <strong>ya</strong>ke;<br />
(vi) Ku<strong>and</strong>aa agenda <strong>ya</strong> utafiti wa mifugo na uvuvi.<br />
80. Mheshimiwa Spika, katika mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong>, Wizara imeendelea<br />
kuimarisha na kuiwezesha Mifuko <strong>ya</strong> Utafiti na Maendeleo <strong>ya</strong> K<strong>and</strong>a 7 za utafiti<br />
(Zonal Agricultural Research Development <strong>and</strong> Extension Fund – ZARDEF) kwa<br />
kuipatia jumla <strong>ya</strong> shilingi milioni 600 iiyowezesha kugharamia miradi 43 <strong>ya</strong><br />
utafiti kulingana na vipaumbele v<strong>ya</strong> K<strong>and</strong>a husika. Aidha, Vitengo v<strong>ya</strong><br />
mawasiliano <strong>ya</strong> utafiti v<strong>ya</strong> k<strong>and</strong>a vimeimarishwa. Pia, k<strong>and</strong>a zote zilikamilisha<br />
awamu <strong>ya</strong> kwanza <strong>ya</strong> mafunzo kuhusu Utafiti Shirikishi wa Kilimo na Mifugo<br />
kulingana na mahitaji <strong>ya</strong> wadau (Client Oriented Research <strong>and</strong> Development<br />
Management Approach – CORDEMA) kwa wataalamu 349. Katika mwaka<br />
<strong><strong>20</strong>10</strong>/<strong><strong>20</strong>11</strong>, Wizara itatekeleza <strong>ya</strong>fuatayo:<br />
(i) Kuwezesha mifuko <strong>ya</strong> ZARDEF kuendeleza kufan<strong>ya</strong> utafiti kulingana na<br />
vipaumbele v<strong>ya</strong> k<strong>and</strong>a na mahitaji <strong>ya</strong> wadau chini <strong>ya</strong> Mpango wa<br />
Maendeleo <strong>ya</strong> Sekta <strong>ya</strong> Kilimo – ASDP;<br />
(ii) Kushirikiana na Taasisi za kitaifa na kimataifa kuratibu utafiti shirikishi wa<br />
mifugo;<br />
(iii) Kuratibu utoaji wa mafunzo <strong>ya</strong> utafiti shirikishi katika awamu <strong>ya</strong> pili;<br />
(iv) Kuratibu mafunzo <strong>ya</strong> muda mfupi kwa watafiti na wataalamu wengine 30<br />
na <strong>ya</strong> muda mrefu kwa watafiti na wataalamu wengine 19;<br />
(v) Kutoa ushauri wa kitaalam kwa watafiti juu <strong>ya</strong> u<strong>and</strong>ishi wa pendekezo za<br />
utafiti; na<br />
(vi) Kuratibu kazi za utafiti za vituo 5 v<strong>ya</strong> Utafiti wa Uvuvi na Vyuo v<strong>ya</strong><br />
Mbegani na Nyegezi na kupitia na kuboresha ajenda <strong>ya</strong> Utafiti wa Uvuvi.<br />
29
Mafunzo Katika Sekta za Mifugo na Uvuvi<br />
81. Mheshimiwa Spika, Wizara iliendelea na jukumu la ku<strong>and</strong>aa na kuratibu<br />
mafunzo kwa wataalam wa sekta za mifugo na uvuvi, ikiwa ni pamoja na kukuza<br />
na kuendeleza mitaala.<br />
(i) Mafunzo Katika Sekta <strong>ya</strong> Mifugo<br />
82. Mheshimiwa Spika, katika mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong> Wizara imeendelea<br />
kuwawezesha watafiti na watumishi wa kada nyingine kwa kuwapatia mafunzo<br />
katika fani mbalimbali. Jumla <strong>ya</strong> watumishi 28 wamepatiwa mafunzo, kati <strong>ya</strong><br />
hao, 5 Shahada <strong>ya</strong> Uzamivu, 19 Shahada <strong>ya</strong> Uzamili na 4 Shahada <strong>ya</strong> kwanza.<br />
Pia, mafunzo <strong>ya</strong> muda mfupi <strong>ya</strong>litolewa kwa watumishi 50. Vilevile, wanachuo<br />
1,221 wakiwemo 742 wa stashahada na 479 wa astashahada wameendelea na<br />
mafunzo katika vyuo 6 v<strong>ya</strong> mifugo v<strong>ya</strong> Buhuri, Madaba, Morogoro, Mpwapwa,<br />
Temeke na Tengeru. Kati <strong>ya</strong> hao wanaume ni 842 na wanawake ni 379.<br />
Wanachuo 546 wamemaliza mafunzo <strong>ya</strong>o mwezi <strong>Juni</strong>, <strong><strong>20</strong>10</strong> katika Stashahada<br />
za Af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Mifugo (211), Uzalishaji wa Mifugo (146) na Atashahada <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong><br />
Mifugo na Uzalishaji (189) na kupangiwa vituo v<strong>ya</strong> kazi katika Halmashauri<br />
mbalimbali.<br />
Pia, Wizara kwa kushirikiana na Halmashauri za Wila<strong>ya</strong> na wafadhili mbalimbali<br />
wakiwemo Heifer International Tanzania, World Vision, KKKT na MVIWATA ilitoa<br />
mafunzo <strong>ya</strong> muda mfupi kwa wafugaji 1,1<strong>20</strong> wakiwemo wanawake 463 na<br />
wanaume 657. Mafunzo hayo <strong>ya</strong>lihusu ufugaji wa ng’ombe na mbuzi wa<br />
maziwa, kuku, uendelezaji wa malisho, uboreshaji wa zao la ngozi, usindikaji wa<br />
maziwa na af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> mifugo.<br />
83. Mheshimiwa Spika, Wizara ilikarabati <strong>of</strong>isi 5, madarasa 10, mabweni<br />
<strong>20</strong>, nyumba za watumishi <strong>20</strong>, mabwalo 5, hosteli 7, maabara 4, bwawa moja,<br />
kisima kimoja na kuvipatia vitendea kazi ili kuviwezesha kudahili wanafunzi<br />
2,500 kwa mwaka. Aidha, Wizara iliwasilisha kwa Baraza la Taifa la Elimu <strong>ya</strong><br />
Ufundi (NACTE) mihtasari <strong>ya</strong> Stashahada <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Mifugo, Stashahada <strong>ya</strong><br />
Uzalishaji wa Mifugo, Stashahada <strong>ya</strong> Mafundi Sanifu Maabara <strong>ya</strong> Mifugo na<br />
Astashahada <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> na Uzalishaji kwa ajili <strong>ya</strong> uhakiki na kupatiwa ithibati. Pia,<br />
Wizara ilichapisha na kusambaza nakala 300 za vitabu v<strong>ya</strong> rejea kuhusu mbari<br />
za mifugo, uhimilishaji na mazao <strong>ya</strong> mifugo kwenye Maktaba za Vyuo v<strong>ya</strong><br />
Mafunzo <strong>ya</strong> Mifugo na nakala 100 zimesambazwa kwa wadau.<br />
84. Mheshimiwa Spika, katika mwaka <strong><strong>20</strong>10</strong>/<strong><strong>20</strong>11</strong>, Wizara itaendelea<br />
kuboresha mazingira <strong>ya</strong> vyuo kwa kutekeleza <strong>ya</strong>fuatayo:-<br />
(i) Kuongeza uwezo wa vyuo v<strong>ya</strong> mifugo kuweza kuchukua wanafunzi 2,000<br />
kwa mwaka, ambapo kwa mwaka <strong><strong>20</strong>10</strong>/<strong><strong>20</strong>11</strong> mafunzo <strong>ya</strong>tatolewa kwa<br />
wanafunzi 1,500;<br />
30
(ii) Kuweka kwenye moduli na kuiwasilisha NACTE mihtasari <strong>ya</strong> Stashahada <strong>ya</strong><br />
Utunzaji wa N<strong>ya</strong>nda za Malisho na Udhibiti wa Ndorobo pamoja na wa<br />
Stashahada <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> na Uzalishaji wa Mifugo;<br />
(iii) Kuhamasisha sekta binafsi kugharamia mafunzo na kuanzisha vyuo<br />
binafsi;<br />
(iv) Kuendesha tathmini za mafunzo ili kubaini mahitaji map<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> mafunzo<br />
katika soko la ajira;<br />
(v) Kuimarisha usimamizi na ukaguzi wa vyuo, kuhakiki utekelezaji wa mitaala<br />
na kuratibu shughuli za mitihani;<br />
(vi) Kuwezesha mafunzo kwa wakufunzi 12 katika ngazi <strong>ya</strong> uzamili na 3 katika<br />
ngazi <strong>ya</strong> uzamivu. Pia, kuwezesha mafunzo <strong>ya</strong> muda mfupi kwa wakufunzi<br />
<strong>20</strong> kuhusu mbinu za ufundishaji;<br />
(vii) Kuanzisha Wakala wa Mafunzo <strong>ya</strong> Mifugo ili kuongeza ufanisi katika kutoa<br />
elimu <strong>ya</strong> ufugaji; na<br />
(viii) Kuimarisha uwezo wa watumishi, ambapo wataalam 21 watapatiwa<br />
mafunzo <strong>ya</strong> muda mrefu na 32 muda mfupi.<br />
(ii) Mafunzo Katika Sekta <strong>ya</strong> Uvuvi<br />
85. Mheshimiwa Spika, katika mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong>, Wizara imeendelea kutoa<br />
mafunzo <strong>ya</strong> uvuvi kwa wanafunzi 294 katika vyuo v<strong>ya</strong> Mbegani (210) na<br />
Nyegezi (84) katika ngazi za Astashahada na Stashahada. Kazi nyingine<br />
zilizotekelezwa ni:-<br />
(i) Kuimarisha vyuo kwa kukarabati majengo na miundombinu muhimu na<br />
kuvipatia vitendea kazi;<br />
(ii) Kuvipatia vyuo v<strong>ya</strong> Nyegezi na Mbegani vifaa v<strong>ya</strong> kufundishia;<br />
(iii) Kuanza mchakato wa kuanzisha Wakala wa Mafunzo <strong>ya</strong> Uvuvi ambapo<br />
vyuo v<strong>ya</strong> Nyegezi na Mbegani vitakuwa chini <strong>ya</strong>ke; na<br />
(iv) Kugharamia mafunzo <strong>ya</strong> muda mrefu na mfupi <strong>ya</strong> taaluma za uvuvi kwa<br />
watumishi 36, wakiwemo 5 katika Shahada <strong>ya</strong> Uzamivu, 10 Shahada <strong>ya</strong><br />
Uzamili, 5 Shahada <strong>ya</strong> Kwanza, 5 Stashahada, 2 Astashahada na 9<br />
mafunzo <strong>ya</strong> muda mfupi kupitia mradi wa MACEMP na wafadhili wengine.<br />
86. Mheshimiwa Spika, katika mwaka <strong><strong>20</strong>10</strong>/<strong><strong>20</strong>11</strong>, Wizara itaendelea<br />
kuboresha mazingira <strong>ya</strong> vyuo v<strong>ya</strong> mafunzo <strong>ya</strong> uvuvi kwa kuvikarabati na<br />
kuvipatia vifaa v<strong>ya</strong> kufundishia. Aidha, Wizara itapanua uwezo wa vyuo hivyo ili<br />
kuviwezesha kutoa mafunzo kwa wanachuo 500 katika ngazi <strong>ya</strong> Astashahada na<br />
Stashahada, ambapo katika mwaka <strong><strong>20</strong>10</strong>/<strong><strong>20</strong>11</strong>, mafunzo <strong>ya</strong>tatolewa kwa<br />
wanafunzi 300. Pia, Wizara itagharamia mafunzo kwa watumishi 37 wakiwemo<br />
4 wa shahada <strong>ya</strong> uzamivu, 16 shahada <strong>ya</strong> uzamili, shahada <strong>ya</strong> kwanza 5 na 12<br />
wa muda mfupi.<br />
31
UENDELEZAJI WA MIFUGO<br />
Uendelezaji wa Zao la Maziwa<br />
87. Mheshimiwa Spika, katika mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong>, uzalishaji wa maziwa<br />
uliongezeka kutoka lita bilioni 1.60 mwaka <strong>20</strong>08/<strong>20</strong>09 hadi lita bilioni 1.65,<br />
sawa na ongezeko la asilimia 2.8 (Jedwali Na. 3). Ongezeko hilo lilitokana na<br />
kuongezeka kwa ukusan<strong>ya</strong>ji wa maziwa na idadi <strong>ya</strong> ng’ombe wa maziwa<br />
75,000. Kati <strong>ya</strong> kiasi hicho lita milioni 653 zilitokana na ng’ombe wa kisasa na<br />
lita milioni 997 kwa ng’ombe wa asili. Pamoja na ongezeko hili, uzalishaji wa<br />
maziwa kutoka mifugo <strong>ya</strong> asili ulipungua kutokana na uhaba wa malisho<br />
uliosababishwa na ukame ulio<strong>ya</strong>kumba maeneo mbalimbali nchini hasa maeneo<br />
<strong>ya</strong> kaskazini na kati ambako wafugaji wengi wa asili huendesha shughuli zao.<br />
Aidha, unywaji wa maziwa umeongezeka kutoka lita 42 kwa mwaka <strong>20</strong>08/<strong>20</strong>09<br />
hadi lita 43 kwa mtu kwa mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong>.<br />
88. Mheshimiwa Spika, Wizara imeendelea kukarabati mashamba <strong>ya</strong><br />
kuzalisha mitamba, kupima mashamba na ku<strong>ya</strong>patia vitendea kazi ili <strong>ya</strong>weze<br />
kuzalisha kwa ufanisi. Katika mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong>, Wizara ilitekeleza kazi<br />
zifuatazo:-<br />
(i) Kukarabati mfumo wa maji katika shamba la Kitulo, na nyumba 3 za<br />
watumishi katika mashamba <strong>ya</strong> Kitulo na Nangaramo;<br />
(ii) Kupima maeneo <strong>ya</strong> mashamba <strong>ya</strong> Sao Hill, Nangaramo na Ngerengere ili<br />
ku<strong>ya</strong>patia hati miliki;<br />
(iii) Kununua matrekta 2 na vifaa v<strong>ya</strong>ke kwa ajili <strong>ya</strong> mashamba <strong>ya</strong> Kitulo na<br />
Sao Hill, pikipiki 2 kwa ajili <strong>ya</strong> Mabuki na Kitulo, bailer moja kwa ajili <strong>ya</strong><br />
kituo cha Mabuki; na<br />
(iv) Kununua ng’ombe wazazi 100 kwa ajili <strong>ya</strong> mashamba <strong>ya</strong> Nangaramo na<br />
Ngerengere, madume <strong>ya</strong> mbuzi aina <strong>ya</strong> boer 12 na madume 10 <strong>ya</strong> boran<br />
ili kuimarisha kundi la ng’ombe wazazi (stud herd) katika shamba la<br />
Ngerengere.<br />
Vilevile, jumla <strong>ya</strong> mitamba 624 ilizalishwa na Mashamba <strong>ya</strong> Serikali na<br />
kusambazwa kwa wafugaji wadogo katika mikoa <strong>ya</strong> mbalimbali <strong>ya</strong> Tanzania bara<br />
(Jedwali Na. 4). Aidha, Wizara kwa kushirikiana Kampuni <strong>ya</strong> Ranchi za Taifa<br />
na Mashirika <strong>ya</strong>siyo <strong>ya</strong> Kiserikali ilisambaza jumla <strong>ya</strong> mitamba 5,427 kwa<br />
wafugaji wadogo.<br />
89. Mheshimiwa spika, katika mwaka wa <strong><strong>20</strong>10</strong>/<strong><strong>20</strong>11</strong>, Wizara itaendelea<br />
kuimarisha mashamba <strong>ya</strong> kuzalisha mifugo kwa ku<strong>ya</strong>nunulia ng’ombe wazazi<br />
100, vifaa na vitendea kazi ili kuongeza uzalishaji wa mitamba katika mashamba<br />
hayo, pamoja na kuendelea kutoa mafunzo kwa watumishi wake. Aidha, Wizara<br />
itakamilisha mchakato wa upatikanaji wa hati miliki kwa mashamba <strong>ya</strong>ke yote 5<br />
<strong>ya</strong> Kitulo, Mabuki, Nangaramo, Ngerengere na Sao Hill. Aidha, Wizara itaanza<br />
32
mchakato wa kutafuta maeneo <strong>ya</strong> kuanzisha mashamba mengine <strong>ya</strong> mifugo<br />
katika mikoa mitano (5) <strong>ya</strong> Kigoma, Lindi, Man<strong>ya</strong>ra, Rukwa, na Tabora, pamoja<br />
na ku<strong>ya</strong>tafutia mitaji kutoka katika v<strong>ya</strong>nzo mbalimbali.<br />
90. Mheshimiwa Spika, usindikaji wa maziwa umeendelea kuongezeka<br />
kutokana na juhudi za Wizara kuhamasisha sekta binafsi kuwekeza katika<br />
viw<strong>and</strong>a v<strong>ya</strong> kusindika maziwa pamoja na kupata ushindani wa bidhaa<br />
zitokanazo na maziwa kutoka nje. Katika mwaka wa <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong>, kiasi cha<br />
maziwa kinachosindikwa kwa siku (operating capacity) kimeongezeka kutoka lita<br />
88,940 mwaka <strong>20</strong>08/<strong>20</strong>09 hadi lita 105,380 mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong> sawa na<br />
ongezeko la asilimia 18.9. Ongezeko hilo limetokana na kuimarika kwa shughuli<br />
za usindikaji katika viw<strong>and</strong>a vikubwa na v<strong>ya</strong> kati v<strong>ya</strong> Tanga Fresh, Mara Milk,<br />
Tan Dairies na Musoma Dairy na kuanzishwa kwa viw<strong>and</strong>a vidogo vikiwemo<br />
viw<strong>and</strong>a v<strong>ya</strong> Engiteng (Longido, Orkesumet, Naberera, Same na Terrat).<br />
Katika juhudi za kuhamasisha usindikaji wa maziwa nchini Wizara imefan<strong>ya</strong><br />
uchunguzi wa upatikanaji wa maziwa kwa ajili <strong>ya</strong> ukusan<strong>ya</strong>ji na usindikaji katika<br />
K<strong>and</strong>a <strong>ya</strong> Mashariki. Aidha, uchunguzi kama huo umefanywa katika K<strong>and</strong>a <strong>ya</strong><br />
Kati na Shirika lisilo la Kiserikali la Rural Livelihood Development Company –<br />
RLDC. Chunguzi hizo zimebaini kuwepo kwa maeneo yenye maziwa <strong>ya</strong> ziada<br />
hasa kwenye kipindi cha malisho mengi na wadau wamehamasishwa kuwekeza<br />
katika maeneo hayo. Pia, Wizara ime<strong>and</strong>aa Andiko la Programu <strong>ya</strong> Unywaji wa<br />
Maziwa Shuleni na kuliwasilisha Serikalini kwa lengo la kuombea fedha ili lianze<br />
kutekelezwa sambamba na Programu <strong>ya</strong> Majaribio <strong>ya</strong> Unywaji wa Maziwa<br />
Shuleni inayoratibiwa na Bodi <strong>ya</strong> Maziwa.<br />
Katika mwaka <strong><strong>20</strong>10</strong>/<strong><strong>20</strong>11</strong>, Wizara itaendelea na chunguzi hizo katika K<strong>and</strong>a <strong>ya</strong><br />
Ziwa na N<strong>ya</strong>nda za Juu Kusini ili kubaini maeneo yenye maziwa <strong>ya</strong> ziada na<br />
kuendelea kuwahamasisha wadau wa maziwa kuwekeza katika biashara na<br />
usindikaji wa maziwa. Aidha, Wizara itaendelea kuhamasisha sekta binafsi<br />
kuimarisha ukusan<strong>ya</strong>ji wa maziwa ili kuongeza usindikaji wa maziwa kufikia lita<br />
110,000 kwa siku.<br />
91. Mheshimiwa Spika, uhimilishaji ni teknolojia mojawapo inayotumika<br />
kuongeza ubora wa mifugo. Wizara imeendelea kuratibu na kuhamasisha<br />
matumizi <strong>ya</strong> teknolojia hiyo kwa kuimarisha na kuongeza vituo v<strong>ya</strong> K<strong>and</strong>a v<strong>ya</strong><br />
uhimilishaji. Katika mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong>, Wizara ilifan<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>fuatayo:-<br />
(i) Kuanzisha kituo v<strong>ya</strong> K<strong>and</strong>a <strong>ya</strong> Kusini (Lindi) na kuimarisha kituo cha K<strong>and</strong>a<br />
<strong>ya</strong> N<strong>ya</strong>nda za Juu Kusini (Mbe<strong>ya</strong>) kwa kukipatia mitambo <strong>ya</strong> kutengeneza<br />
hewa baridi <strong>ya</strong> naitrojeni;<br />
(ii) Kununua vifaa v<strong>ya</strong> uhimilishaji kwa ajili <strong>ya</strong> vituo 5 v<strong>ya</strong> k<strong>and</strong>a v<strong>ya</strong> K<strong>and</strong>a <strong>ya</strong><br />
Ziwa (Mwanza), Kati (Dodoma), Mashariki (Kibaha), Kusini (Lindi) na<br />
N<strong>ya</strong>nda za juu Kusini (Mbe<strong>ya</strong>);<br />
33
(iii) Kuimarisha Kituo cha Taifa cha Uhimilishaji – NAIC – Usa river kwa<br />
kukinunulia vifaa v<strong>ya</strong> maabara na v<strong>ya</strong> uhimilishaji;<br />
(iv) Kuzalisha dozi 86,800 za mbegu za uhimilishaji ikiwa ni ongezeko la<br />
asilimia 15 ikilinganishwa na mwaka <strong>20</strong>08/<strong>20</strong>09;<br />
(v) Kuhimilisha ng’ombe 73,900 ikiwa ni ongezeko la asilimia 7 ikilinganishwa<br />
na mwaka <strong>20</strong>08/<strong>20</strong>09;<br />
(vi) Kuzalisha lita 24,600 <strong>ya</strong> hewa baridi <strong>ya</strong> naitrojeni katika kituo cha NAIC;<br />
(vii) Kufundisha wataalamu wa uhimilishaji 402 ikiwa ni ongezeko la asilimia<br />
24 ikilinganishwa na mwaka <strong>20</strong>08/<strong>20</strong>09; na<br />
(viii) Ku<strong>and</strong>aa Kanuni <strong>ya</strong> uhimilishaji chini <strong>ya</strong> Sheria <strong>ya</strong> Magonjwa <strong>ya</strong> Mifugo Na.<br />
17 <strong>ya</strong> Mwaka <strong>20</strong>03.<br />
Katika mwaka wa <strong><strong>20</strong>10</strong>/<strong><strong>20</strong>11</strong>, Wizara itaendeleza uhimilishaji kwa kufan<strong>ya</strong><br />
<strong>ya</strong>fuatayo:-<br />
(i) Kuanzisha kituo cha K<strong>and</strong>a <strong>ya</strong> Magharibi (Tabora) na Mkoa wa Tanga kwa<br />
kuvipatia mtambo wa kutengeneza hewa baridi <strong>ya</strong> naitrojeni;<br />
(ii) Kuimarisha vituo vyote vitano (5) v<strong>ya</strong> k<strong>and</strong>a v<strong>ya</strong> uhimilishaji kwa<br />
kuvipatia vitendea kazi;<br />
(iii) Kununua madume bora 10 kwa ajili <strong>ya</strong> mbegu za uhimilishaji; na<br />
(iv) Kuzalisha dozi 100,000 za mbegu za uhimilishaji.<br />
Uendelezaji wa Zao la N<strong>ya</strong>ma<br />
92. Mheshimiwa Spika, Wizara imeendelea kushirikiana na wadau wa<br />
n<strong>ya</strong>ma kuendeleza sekta ndogo <strong>ya</strong> n<strong>ya</strong>ma ambayo inahusisha ng’ombe, mbuzi,<br />
kondoo, nguruwe na kuku. Katika mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong>, uzalishaji wa n<strong>ya</strong>ma<br />
uliongezeka kwa asilimia 6.1 kutoka tani 422,230 mwaka <strong>20</strong>08/<strong>20</strong>09 hadi tani<br />
449,673 mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong>. Kati <strong>ya</strong> hizo, n<strong>ya</strong>ma <strong>ya</strong> ng’ombe ni tani 243,943,<br />
mbuzi na kondoo tani 82,884, nguruwe tani 38,180 na kuku tani 80,916.<br />
Ongezeko hilo limetokana na wafugaji kuuza mifugo <strong>ya</strong>o kama tahadhari <strong>ya</strong><br />
kuepuka hasara kutokana na ukame ulio<strong>ya</strong>kumba maeneo mengi nchini mwaka<br />
<strong>20</strong>09. Aidha, kupungua kwa bei <strong>ya</strong> mifugo wakati huo wa ukame kulihamasisha<br />
wafan<strong>ya</strong>biashara kununua mifugo kwa ajili <strong>ya</strong> kuchinja. Ongezeko hilo pia<br />
lilitokana na kuongezeka kwa mahitaji <strong>ya</strong> n<strong>ya</strong>ma na mazao <strong>ya</strong>ke na kupanuka<br />
kwa wigo wa masoko, ambapo masoko maalum kama vile maduka makubwa,<br />
migodi na mahoteli <strong>ya</strong>meongeza ununuzi wa n<strong>ya</strong>ma inayozalishwa hapa nchini<br />
na kupunguza uagizaji kutoka nje.<br />
93. Mheshimiwa Spika, katika juhudi za kuongeza ubora wa n<strong>ya</strong>ma, Wizara<br />
imeendelea kuhamasisha mfumo wa unenepeshaji wa mifugo kwa kushirikiana<br />
na Halmashauri za wila<strong>ya</strong>. Mfumo huu wa unenepeshaji umeendelea kupokelewa<br />
na wafan<strong>ya</strong>biashara wa mifugo hasa wa mikoa <strong>ya</strong> K<strong>and</strong>a <strong>ya</strong> Ziwa na <strong>ya</strong> Kati na<br />
jumla <strong>ya</strong> ng’ombe 74,400 walinenepeshwa mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong> likiwa ni<br />
ongezeko la asilimia <strong>20</strong> ikilinganishwa na ng’ombe 62,000 walionenepeshwa<br />
34
mwaka <strong>20</strong>08/<strong>20</strong>09. Katika mwaka wa <strong><strong>20</strong>10</strong>/<strong><strong>20</strong>11</strong>, Wizara kwa kushirikiana na<br />
wadau wa n<strong>ya</strong>ma itaendelea kuhamasisha wafugaji na wafan<strong>ya</strong>biashara <strong>ya</strong><br />
mifugo kuwekeza kwenye ufugaji wa kisasa ukiwemo wa ranchi na<br />
unenepeshaji ili kunenepesha ng’ombe 85,000.<br />
94. Mheshimiwa Spika, uzalishaji wa kuku na ma<strong>ya</strong>i nchini umeendelea<br />
kuongezeka mwaka hadi mwaka. Katika mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong>, jumla <strong>ya</strong> vifaranga<br />
milioni 35.6 v<strong>ya</strong> kuku wa kisasa vilizalishwa nchini na vifaranga 251,503 v<strong>ya</strong><br />
kuku wazazi viliagizwa kutoka nje. Vilevile, ma<strong>ya</strong>i milioni 6.03 <strong>ya</strong> kutotoa<br />
vifaranga <strong>ya</strong>liagizwa kutoka nje. Kutokana na wafugaji kuhamasika kufuga kuku<br />
uzalishaji wa ma<strong>ya</strong>i uliongezeka kutoka bilioni 2.81 mwaka <strong>20</strong>08/<strong>20</strong>09 hadi<br />
ma<strong>ya</strong>i bilioni 2.9 mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong> (Jedwali Na. 3). Idadi <strong>ya</strong> kuku wa asili<br />
imeongezeka kutoka milioni 34 mwaka <strong>20</strong>08/<strong>20</strong>09 na kufikia milioni 35<br />
mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong>. Katika juhudi za kuhamasisha ufugaji wa kuku wa asili,<br />
Wizara kwa kushirikiana na Shirika la Chakula na Kilimo (FAO) na Halmashauri<br />
zimehamasisha matumizi <strong>ya</strong> kasha maalumu linalohifadhi joto la kutunzia<br />
vifaranga ambalo linaweza kutumika kwenye maeneo <strong>ya</strong> vijijini kwani halitumii<br />
nishati yoyote. Teknolojia hiyo <strong>ya</strong> asili imesambazwa katika mikoa <strong>ya</strong> Dodoma,<br />
Singida, Pwani, Mbe<strong>ya</strong>, Iringa, Dar es Salaam na Morogoro.<br />
Katika mwaka wa <strong><strong>20</strong>10</strong>/<strong><strong>20</strong>11</strong>, Wizara itaendelea kuhamasisha matumizi <strong>ya</strong><br />
teknolojia sahihi za ufugaji wa kuku ikiwemo <strong>ya</strong> utumiaji wa kasha la kutunzia<br />
vifaranga katika mikoa mikoa kumi (10). Aidha, Wizara itahamasisha uzalishaji<br />
wa ma<strong>ya</strong>i kufikia bilioni 3.4.<br />
95. Mheshimiwa spika, uzalishaji wa n<strong>ya</strong>ma <strong>ya</strong> nguruwe umekuwa<br />
ukiongezeka mwaka hadi mwaka kutokana na kuongezeka kwa mahitaji. Katika<br />
mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong> uzalishaji wa n<strong>ya</strong>ma <strong>ya</strong> nguruwe umeongezeka kutoka tani<br />
36,000 mwaka <strong>20</strong>08/<strong>20</strong>09 hadi tani 38,180. Katika mwaka <strong><strong>20</strong>10</strong>/<strong><strong>20</strong>11</strong>, Wizara<br />
itaendelea kuimarisha shamba la Ngerengere na kulipatia nguruwe bora kwa ajili<br />
<strong>ya</strong> mbegu.<br />
Uendelezaji wa Ufugaji wa Asili<br />
96. Mheshimiwa Spika, Wizara iliendelea kuzihamasisha Halmashauri<br />
kutenga maeneo <strong>ya</strong> ufugaji na kuhakikisha wafugaji wanamilikishwa na<br />
ku<strong>ya</strong>endeleza ili kuwa na mipango <strong>ya</strong> ufugaji wa kisasa na endelevu kama<br />
inavyoelekeza Sheria <strong>ya</strong> Vijiji Na. 5 <strong>ya</strong> Mwaka 1999. Katika mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong>,<br />
jumla <strong>ya</strong> hekta 32,094.87 zimepimwa katika vijiji 26 katika Halmashauri za<br />
Kilombero, Kilosa, Kilwa, Mkuranga, Mp<strong>and</strong>a, Musoma, Rufiji na Ulanga. Hadi<br />
sasa jumla <strong>ya</strong> hekta 1,423,<strong>20</strong>1.28 zimepimwa katika vijiji 266 (Jedwali Na.<br />
5).<br />
97. Mheshimiwa Spika, upatikanaji wa mbegu bora za malisho ni muhimu<br />
katika kuendeleza ufugaji nchini. Ili kuongeza upatikanaji wa mbegu bora za<br />
35
malisho na kukidhi mahitaji <strong>ya</strong> wafugaji na wadau wengine, Wizara imeendelea<br />
kuimarisha mashamba <strong>ya</strong> mbegu za malisho <strong>ya</strong> Vikuge (Pwani) na Langwira<br />
(Mbe<strong>ya</strong>) kwa kukarabati <strong>of</strong>isi na nyumba za kuishi wataalam, kununua trekta na<br />
vifaa v<strong>ya</strong> <strong>of</strong>isi na kuweka umeme kwenye <strong>of</strong>isi. Katika mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong>,<br />
mashamba <strong>ya</strong> taasisi za umma <strong>ya</strong>mezalisha jumla <strong>ya</strong> tani 45 za mbegu bora za<br />
malisho na marobota 303,000 <strong>ya</strong> hei (Jedwali Na. 6a). Aidha, sekta binafsi<br />
imezalisha marobota 418,831 (Jedwali Na. 6b).<br />
98. Mheshimiwa Spika, katika mwaka <strong><strong>20</strong>10</strong>/<strong><strong>20</strong>11</strong>, Wizara itatekeleza kazi<br />
zifuatazo:-<br />
(i) Kuimarisha mashamba 8 <strong>ya</strong> serikali <strong>ya</strong> uzalishaji wa mbegu bora za<br />
malisho ili kuzalisha tani 50 za mbegu na marobota 450,000 <strong>ya</strong> hei;<br />
(ii) Kuzijengea uwezo Halmashauri za Wila<strong>ya</strong> 40 kuhusu uzalishaji,<br />
utumiaji na uhifadhi wa malisho na Halmashauri za Wila<strong>ya</strong> 30 kuhusu<br />
uendelezaji wa n<strong>ya</strong>nda za malisho;<br />
(iii) Kuwezesha Wiki <strong>ya</strong> Ufugaji wa asili kwa wadau;<br />
(iv) Ku<strong>and</strong>aa mpango kabambe wa kuendeleza n<strong>ya</strong>nda za malisho;<br />
(v) Kutoa mafunzo kwa wataalam 45 katika Halmashauri za wila<strong>ya</strong> 45<br />
kuhusu matumizi <strong>ya</strong> Geographical Information System-GIS; na<br />
(vi) Kuhamasisha matumizi endelevu <strong>ya</strong> rasilimali ardhi ili kupunguza<br />
migogoro kati <strong>ya</strong> wafugaji na watumiaji wengine wa rasilimali ardhi.<br />
99. Mheshimiwa Spika, mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong> ukame mkubwa uliikumba nchi<br />
na kusababisha madhara makubwa hususan kwa binadamu na mifugo kwa<br />
kukosekana malisho na maji katika K<strong>and</strong>a <strong>ya</strong> kaskazini hasa mikoa <strong>ya</strong> Arusha,<br />
Man<strong>ya</strong>ra na Kilimanjaro. Takwimu zinaonyesha kuwa ng’ombe wapatao<br />
159,139 wenye thamani <strong>ya</strong> shilingi bilioni 47.7, mbuzi 21,783 wenye<br />
thamani <strong>ya</strong> shilingi milioni 871.3, kondoo 7,300 wenye thamani <strong>ya</strong> shilingi<br />
milioni 292.0 na punda 1,178 wenye thamani <strong>ya</strong> shilingi bilioni 1.2 walikufa<br />
katika Wila<strong>ya</strong> za Monduli, Longido, Ngorongoro, Kiteto na Simanjiro kati <strong>ya</strong><br />
ng’ombe 1,304,384, mbuzi 497,498 kondoo 559,350 na punda 6,500<br />
waliokuwepo kwenye maeneo hayo.<br />
Ili kuweza kutoa tahadhari kwa wafugaji juu <strong>ya</strong> majanga katika muda muafaka<br />
Wizara inaimarisha Mfumo wa Kutoa Tahadhari <strong>ya</strong> Majanga ihusuyo mifugo<br />
(<strong>Livestock</strong> Early Warning System) nchini.<br />
Katika mwaka <strong><strong>20</strong>10</strong>/<strong><strong>20</strong>11</strong>, Wizara itaendelea kuimarisha vituo v<strong>ya</strong> kukusan<strong>ya</strong><br />
takwimu za majanga katika Mikoa <strong>ya</strong> Arusha, Kilimanjaro, Man<strong>ya</strong>ra, Mwanza,<br />
Shin<strong>ya</strong>nga na Tabora na kuanzisha mfumo huo katika K<strong>and</strong>a <strong>ya</strong> Kati. Aidha,<br />
Wizara itaimarisha mfumo huu katika K<strong>and</strong>a <strong>ya</strong> Kusini kwa madhumuni <strong>ya</strong><br />
kupanua matumizi <strong>ya</strong> mfumo huu nchi nzima. Pia, Wizara kwa kutumia taarifa za<br />
mfumo huu itashirikiana na Ofisi <strong>ya</strong> Waziri Mkuu Kitengo cha Maafa ku<strong>and</strong>aa<br />
36
mpango wa tahadhari wa kukabiliana na ukame na majanga mengine kwa<br />
up<strong>and</strong>e wa mifugo.<br />
Usindikaji wa V<strong>ya</strong>kula v<strong>ya</strong> Mifugo<br />
100. Mheshimiwa Spika, v<strong>ya</strong>kula vilivyosindikwa ni muhimu katika kuongeza<br />
uzalishaji na tija kwa mifugo. Katika mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong>, Wizara iliendelea<br />
kuratibu usindikaji na kusimamia ubora wa v<strong>ya</strong>kula v<strong>ya</strong> mifugo vinavyozalishwa<br />
na sekta binafsi. Katika kutekeleza jukumu hilo, Wizara ilitoa mafunzo kwa<br />
wakaguzi wa chakula <strong>20</strong> kutoka katika Mikoa <strong>ya</strong> Mara, (Tarime, Ror<strong>ya</strong>,<br />
Serengeti, Bunda na Musoma), Mwanza (Ilemela, N<strong>ya</strong>magana, Magu, Misungwi,<br />
Sengerema, Geita na Kwimba) na Shin<strong>ya</strong>nga (Kahama, Shin<strong>ya</strong>nga, Kishapu,<br />
Maswa, Bariadi na Meatu) ili kuwajengea uwezo wa kudhibiti ubora wa v<strong>ya</strong>kula<br />
v<strong>ya</strong> mifugo. Aidha, tani 7<strong>20</strong>,711 za aina mbalimbali <strong>ya</strong> v<strong>ya</strong>kula v<strong>ya</strong> mifugo<br />
zilizalishwa.<br />
101. Mheshimiwa Spika, katika mwaka <strong><strong>20</strong>10</strong>/<strong><strong>20</strong>11</strong> kazi zifuatazo<br />
zitatekelezwa:-<br />
(i) Kuwajengea uwezo wakaguzi 45 wa v<strong>ya</strong>kula v<strong>ya</strong> mifugo kutoka<br />
Halmashauri za Wila<strong>ya</strong> 45; na<br />
(ii) Kuhamasisha sekta binafsi kuendelea kuwekeza katika usindikaji wa<br />
v<strong>ya</strong>kula v<strong>ya</strong> mifugo ili kuongeza uzalishaji wa v<strong>ya</strong>kula v<strong>ya</strong> mifugo nchini<br />
kufikia tani 830,000.<br />
Maji kwa Mifugo<br />
102. Mheshimiwa Spika, Wizara kupitia Mipango <strong>ya</strong> Maendeleo <strong>ya</strong> Kilimo <strong>ya</strong><br />
Wila<strong>ya</strong> (DADPs) na Mradi wa Uwekezaji wa Wila<strong>ya</strong> katika Sekta <strong>ya</strong> Kilimo<br />
(DASIP) katika mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong> iliwezesha kuchimba malambo 55 na<br />
kukarabati malambo 30 na kuchimba visima 8 (Jedwali Na. 7). Kazi zingine<br />
zilizotekelezwa na Wizara ni pamoja na:-<br />
(i) Kuhamasisha na kutoa miongozo <strong>ya</strong> kujenga miundombinu <strong>ya</strong> maji <strong>ya</strong><br />
mifugo kwa kusambaza nakala 357 kwa wadau mbalimbali wa ufugaji; na<br />
(ii) Kukagua miundombinu <strong>ya</strong> maji katika mikoa <strong>ya</strong> Man<strong>ya</strong>ra (7), Singida (7)<br />
na Lindi (6) na kubaini miundombinu mingi imeharibika. Hivyo, Mamlaka<br />
za Serikali za Mitaa zimeshauriwa kukarabati miundombinu hiyo kupitia<br />
DADPs.<br />
Katika mwaka <strong><strong>20</strong>10</strong>/<strong><strong>20</strong>11</strong> Wizara itaendelea kushirikiana na wadau wengine<br />
kutekeleza <strong>ya</strong>fuatayo:-<br />
(i) Kufuatilia ujenzi na ukarabati wa miundombinu <strong>ya</strong> maji kwa ajili <strong>ya</strong><br />
mifugo;<br />
(ii) Ku<strong>and</strong>aa mwongozo wa ujenzi wa malambo madogo kwa wafugaji; na<br />
37
(iii) Kutambua v<strong>ya</strong>nzo v<strong>ya</strong> maji kwa ajili <strong>ya</strong> mifugo vilivyoendelezwa katika<br />
mikoa (6) <strong>ya</strong> Arusha, Man<strong>ya</strong>ra, Mara, Mwanza, Tabora na Singida na<br />
kuingiza kwenye data base na mfumo wa Geographical Information<br />
System.<br />
Udhibiti wa Magonjwa <strong>ya</strong> Mifugo<br />
Magonjwa <strong>ya</strong> Mlipuko<br />
103. Mheshimiwa Spika, Wizara iliendelea kudhibiti kuenea kwa magonjwa<br />
<strong>ya</strong> mifugo hasa <strong>ya</strong>le <strong>ya</strong> mlipuko yenye kuleta madhara na hasara kwa wafugaji<br />
na uchumi wa Taifa kwa ujumla. Katika mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong>, Wizara imeendelea<br />
kutekeleza mikakati mbalimbali <strong>ya</strong> kudhibiti magonjwa <strong>ya</strong> mifugo.<br />
104. Mheshimiwa Spika, Mkakati wa Kudhibiti Ugonjwa wa Homa <strong>ya</strong> Mapafu<br />
<strong>ya</strong> Ng’ombe (CBPP) unaendelea kutekelezwa ambapo chanjo dozi milioni 3.0<br />
zilinunuliwa ili kupambana na ugonjwa huo katika mikoa <strong>ya</strong> K<strong>and</strong>a <strong>ya</strong> Magharibi<br />
na <strong>ya</strong> Kati. Jumla <strong>ya</strong> ng’ombe milioni 2.6 wamechanjwa na tathmini inaonesha<br />
kupungua kwa matukio <strong>ya</strong> ugonjwa huo nchini. (Jedwali Na. 8). Katika mwaka<br />
<strong><strong>20</strong>10</strong>/<strong><strong>20</strong>11</strong>, Wizara itawezesha na kuendelea kuratibu uchanjaji wa ng’ombe<br />
milioni 3 katika mikoa <strong>ya</strong> K<strong>and</strong>a <strong>ya</strong> Ziwa chini <strong>ya</strong> mpango wa “Roll back<br />
vaccination plan”.<br />
105. Mheshimiwa Spika, Wizara imeanza kutekeleza Mkakati wa kudhibiti<br />
ugonjwa wa Miguu na Midomo chini <strong>ya</strong> mradi wa SADC- TADs wa kuimarisha<br />
maabara na vituo v<strong>ya</strong> uchunguzi wa magonjwa <strong>ya</strong> mifugo. Mradi huo<br />
unatekelezwa katika nchi za Tanzania, Angola, Malawi, Msumbiji na Zambia<br />
baada <strong>ya</strong> Benki <strong>ya</strong> Maendeleo <strong>ya</strong> Afrika (AfDB) kutoa fedha mapema mwaka<br />
<strong>20</strong>09. Katika mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong>, Wizara imetekeleza kazi zifuatazo:-<br />
(i) Kutoa mafunzo mbalimbali kwa watumishi 86.<br />
(ii) Ku<strong>and</strong>aa taratibu za kudhibiti Ugonjwa wa Miguu na Midomo na<br />
kuhamasisha wadau kuhusu udhibiti wa Ugonjwa wa Homa <strong>ya</strong> Mapafu <strong>ya</strong><br />
Ng’ombe nchini kwa kuwahusisha wataalam wa mifugo kutoka Ofisi za<br />
Wakuu wa Mikoa, Halmashauri, Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine (SUA),<br />
Taasisi <strong>ya</strong> Utafiti wa Wan<strong>ya</strong>mapori (TAWIRI) na makao makuu <strong>ya</strong><br />
Wizara;<br />
(iii) Kufan<strong>ya</strong> uchunguzi wa ugonjwa wa Sotoka <strong>ya</strong> Mbuzi na Kondoo (PPR)<br />
katika k<strong>and</strong>a za Kaskazini, Kusini na Ziwa kwa kuchunguza sampuli<br />
4,000 kutoka kwenye mbuzi na kondoo;<br />
(iv) Kununua vifaa mbali mbali v<strong>ya</strong> kazi zikiwemo kompyuta 16 na seti 1 <strong>ya</strong><br />
vifaa v<strong>ya</strong> uchunguzi wa ugonjwa wa Sotoka (Rinderpest test kits); na<br />
(v) Kununua pikipiki kumi (10) na magari tisa (9) kwa ajili <strong>ya</strong> ukaguzi wa<br />
mifugo na mazao <strong>ya</strong>ke.<br />
38
106. Mheshimiwa Spika, katika <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong> Wizara kwa kupitia Shirika la<br />
Kilimo na Chakula Duniani imenunua dozi milioni 3.5 za chanjo <strong>ya</strong> Sotoka <strong>ya</strong><br />
Mbuzi na Kondoo ambayo imetumika katika Halmashauri za mikoa <strong>ya</strong> Arusha,<br />
Man<strong>ya</strong>ra, Mara, Kilimanjaro, na Tanga ambazo zimechanja jumla <strong>ya</strong> mbuzi na<br />
kondoo 3,3<strong>20</strong>,780. (Jedwali Na. 9).<br />
Katika mwaka <strong><strong>20</strong>10</strong>/<strong><strong>20</strong>11</strong>, Wizara itatekeleza kazi zifuatazo:-<br />
(i) Kununua dozi milioni 5 za chanjo kwa ajili <strong>ya</strong> ugonjwa wa Homa <strong>ya</strong><br />
Mapafu <strong>ya</strong> ng’ombe na kuratibu uchanjaji na udhibiti wa ugonjwa;<br />
(ii) Kununua vifaa kwa ajili <strong>ya</strong> Maabara Kuu <strong>ya</strong> Taifa <strong>ya</strong> Mifugo na Vituo v<strong>ya</strong><br />
Uchunguzi wa Magonjwa <strong>ya</strong> Mifugo;<br />
(iii) Kufan<strong>ya</strong> uchunguzi wa aina <strong>ya</strong> virusi v<strong>ya</strong> Ugonjwa wa Miguu na Midomo<br />
kwa wan<strong>ya</strong>ma wafugwao na wan<strong>ya</strong>ma pori; na<br />
(iv) Kufan<strong>ya</strong> tathmini <strong>ya</strong> ugonjwa wa Homa <strong>ya</strong> Mapafu <strong>ya</strong> Ng’ombe katika<br />
maeneo mbalimbali nchini.<br />
107. Mheshimiwa Spika, katika mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong>, Wizara kupitia Shirika la<br />
Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) imeendelea kutekeleza<br />
Mkakati wa kudhibiti Mafua Makali <strong>ya</strong> Ndege (Avian Influenza) kwa kutekeleza<br />
<strong>ya</strong>fuatayo:-<br />
(i) Kutoa elimu na kuhamasisha umma kuhusu njia na tahadhari za<br />
kukabiliana na ugonjwa huo kwa kuta<strong>ya</strong>risha na kusambaza vipeperushi<br />
na vijarida 10,000, mabango 15,000, na kupitia vyombo v<strong>ya</strong> habari<br />
vikiwemo magazeti, radio, na televisheni;<br />
(ii) Kushirikiana na Wizara <strong>ya</strong> Maliasili na Utalii kufan<strong>ya</strong> utafiti na kufuatilia<br />
ugonjwa huo kwenye njia kuu za mapitio <strong>ya</strong> ndege pori na katika<br />
makundi <strong>ya</strong> kuku na bata wafugwao ambapo jumla <strong>ya</strong> sampuli 2,500 za<br />
ndege pori kuku na bata zilichunguzwa na kuthibitishwa kutokuwepo<br />
kwa ugonjwa nchini;<br />
(iii) Kudhibiti uingizaji wa ndege au ndege pori, kuku na mazao <strong>ya</strong>ke kutoka<br />
nchi zilizoathirika;<br />
(iv) Kuzijengea uwezo wa kuchunguza na kutambua virusi v<strong>ya</strong> ugonjwa wa<br />
Mafua Makali <strong>ya</strong> Ndege Maabara Kuu <strong>ya</strong> Taifa <strong>ya</strong> Mifugo -Temeke;<br />
(v) Kuchapisha na kusambaza vitabu 1,000 kwa ajili <strong>ya</strong> wataalam wa<br />
mifugo katika wila<strong>ya</strong> zilizoko katika hatari <strong>ya</strong> kuambukizwa ili kuvitumia<br />
kuelimisha jamii; na<br />
(vi) Kutoa mafunzo kwa wataalam 170 na wadau 98 wakiwemo madiwani,<br />
wa<strong>and</strong>ishi wa habari na mashirika <strong>ya</strong>siyo <strong>ya</strong> kiserikali kutoka mikoa <strong>ya</strong><br />
Arusha, Kigoma, Kilimanjaro, Man<strong>ya</strong>ra, Mwanza, Tabora na Tanga;<br />
108. Mheshimiwa Spika, katika mwaka <strong><strong>20</strong>10</strong>/<strong><strong>20</strong>11</strong> Wizara kwa kushirikiana<br />
na Wizara za Af<strong>ya</strong> na Ustawi wa Jamii, Maliasili na Utalii na wadau wengine<br />
itarejea na ku<strong>and</strong>aa Mpango Mkakati wa Tahadhari dhidi <strong>ya</strong> Ugonjwa wa Mafua<br />
39
Makali <strong>ya</strong> Ndege. Aidha, Serikali itaendelea kutekeleza Mpango Mkakati wa Taifa<br />
wa Mafua Makali <strong>ya</strong> Ndege kupitia mradi wa SPINAP (AU–IBAR) una<strong>of</strong>adhiliwa<br />
na Umoja wa nchi Huru za Afrika. Pia, Wizara itaendelea kujenga uwezo wake<br />
wa kudhibiti ugonjwa wa Mafua Makali <strong>ya</strong> Ndege kupitia Mradi wa Kudhibiti<br />
Mafua Makali <strong>ya</strong> Ndege unaotekelezwa na nchi za Ken<strong>ya</strong>, Tanzania, Ug<strong>and</strong>a,<br />
Sudan na Ethiopia. Vilevile, Wizara itaendelea kutekeleza Mradi wa Jumui<strong>ya</strong> <strong>ya</strong><br />
Afrika <strong>ya</strong> Mashariki wa Kudhibiti Magonjwa <strong>ya</strong> Mlipuko wenye lengo la<br />
kuzijengea uwezo nchi za Jumui<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Afrika <strong>ya</strong> Mashariki katika kukabiliana na<br />
Mafua Makali <strong>ya</strong> Ndege na magonjwa <strong>ya</strong> milipuko.<br />
109. Mheshimiwa Spika, katika mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong>, Wizara imeendelea<br />
kudhibiti ugonjwa wa Mdondo kwa kutumia chanjo inayostahimili joto (I-2) ili<br />
kupunguza vifo v<strong>ya</strong> kuku, hususan vijijini. Katika mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong>, jumla <strong>ya</strong><br />
dozi 21,610,000 za chanjo zilisambazwa katika Halmashauri mbalimbali nchini<br />
kupitia Vituo v<strong>ya</strong> K<strong>and</strong>a v<strong>ya</strong> Uchunguzi wa Magonjwa <strong>ya</strong> Mifugo.<br />
Katika mwaka <strong><strong>20</strong>10</strong>/<strong><strong>20</strong>11</strong>, Wizara itafan<strong>ya</strong> mapitio na kukamilisha Mpango<br />
Mkakati wa Kudhibiti Ugonjwa wa Mdondo. Aidha, dozi 50,000,000<br />
zitasambazwa kwenye Halmashauri kupitia Vituo v<strong>ya</strong> Uchunguzi wa Magonjwa <strong>ya</strong><br />
Mifugo.<br />
Magonjwa Yanayoenezwa na Wadudu<br />
110. Mheshimiwa Spika, magonjwa <strong>ya</strong>enezwayo na kupe, hususan Ndigana<br />
Kali, Ndigana Baridi, Maji Moyo na Mkojo Mwekundu husababisha takriban<br />
asilimia 70 <strong>ya</strong> vifo v<strong>ya</strong> ng’ombe nchini. Katika mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong>, Serikali kupitia<br />
mipango <strong>ya</strong> DADPs ilikarabati majosho 50 na kujenga map<strong>ya</strong> 50 (Jedwali Na.<br />
10). Aidha, jumla <strong>ya</strong> lita 650,000 za dawa za kuogesha mifugo zenye thamani<br />
<strong>ya</strong> shilingi bilioni 10 zilinunuliwa na kusambazwa katika Halmashauri zote<br />
nchini. Wafugaji waliendelea kununua dawa hizo kwa asilimia 60 na asilimia 40<br />
inayobaki kulipwa na Serikali kama ruzuku. Pia, jumla <strong>ya</strong> dozi 92,609 za chanjo<br />
<strong>ya</strong> ndigana kali zimenunuliwa na sekta binafsi. Matumizi <strong>ya</strong> chanjo hiyo<br />
<strong>ya</strong>mepunguza vifo v<strong>ya</strong> ndama kutoka asilimia 85 hadi asilimia 5.<br />
Katika mwaka <strong><strong>20</strong>10</strong>/<strong><strong>20</strong>11</strong>, Wizara kwa kushirikiana na Halmashauri na wadau<br />
wengine itaendelea kuratibu, kukarabati na kujenga majosho kulingana na<br />
mahitaji <strong>ya</strong> wafugaji. Aidha, Wizara itaendelea kutenga fedha kwa ajili <strong>ya</strong><br />
ruzuku <strong>ya</strong> dawa na chanjo dhidi <strong>ya</strong> Ndigana Kali.<br />
111. Mheshimiwa Spika, Wizara imeendelea kutekeleza Mkakati wa Kudhibi<br />
Mbung’o na Ndorobo pamoja na kutekeleza mpango wa kutokomeza mbung’o<br />
katika Bara la Afrika (Pan African Tsetse <strong>and</strong> Trypanosomosis Eradicationa<br />
Campaign – PATTEC) kwa kushirikiana na Halmashauri. Katika mwaka<br />
<strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong>, kazi zilizotekelezwa ni pamoja na:-<br />
40
(i) Kuainisha na kuchunguza mtawanyiko wa mbung’o na kuchora ramani<br />
mp<strong>ya</strong> kwa mkoa wa Kigoma na Tabora. Matokeo <strong>ya</strong> uchunguzi<br />
<strong>ya</strong>meonesha kupungua kwa mbung’o ambao kwa sasa wamebakia katika<br />
baadhi <strong>ya</strong> misitu <strong>ya</strong> miyombo iliyo na wan<strong>ya</strong>mapori;<br />
(ii) Kununua viuatilifu aina <strong>ya</strong> Glossinex na Decatix lita 45 kwa ajili <strong>ya</strong><br />
kudhibiti mbung’o katika miradi shirikishi <strong>ya</strong> jamii;<br />
(iii) Kuainisha vijiji katika Kata 6 za wila<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Rufiji kwa ajili <strong>ya</strong> uhamasishaji<br />
na uanzishaji wa miradi shirikishi <strong>ya</strong> jamii <strong>ya</strong> kudhibiti mbung’o na<br />
ndorobo;<br />
(iv) Kuhamasisha na kutoa elimu kwa wafugaji 538 wa mkoa wa Rukwa<br />
kuhusu udhibiti shirikishi wa mbung’o na ndorobo; na<br />
(v) Kuanzisha mt<strong>and</strong>ao (Network for Mapping African Trypanosomosis in<br />
Tanzania- Net MATT) wa kuimarisha ukusan<strong>ya</strong>ji wa takwimu na ku<strong>and</strong>aa<br />
ramani <strong>ya</strong> mtawanyiko wa Nagana na Malale kwa kushirikisha wadau<br />
mbalimbali.<br />
Katika mwaka <strong><strong>20</strong>10</strong>/<strong><strong>20</strong>11</strong>, Wizara itaendelea kuhamasisha Halmashauri za Mikoa<br />
<strong>ya</strong> Pwani, Tabora na Kigoma kuhusu matumizi <strong>ya</strong> teknolojia shirikishi <strong>ya</strong> kudhibiti<br />
mbung’o na ndorobo. Aidha, Wizara itanunua vifaa v<strong>ya</strong> kudhibiti mbung’o na<br />
ndorobo vikiwemo v<strong>ya</strong>mbo, mitego na viuatilifu na kufan<strong>ya</strong> uchunguzi na<br />
tathmini <strong>ya</strong> mtawanyiko wa mbung’o ili kuchora ramani mp<strong>ya</strong> katika mkoa wa<br />
Rukwa na Singida. Vilevile, Mpango wa Kutokomeza Mbung’o na Ndorobo Barani<br />
Afrika (PATTEC – Pan African Tsetse <strong>and</strong> Trypanosomosis Eradication Campaign)<br />
utaendelea kutekelezwa.<br />
Magonjwa <strong>ya</strong> Mifugo Yanayoambukiza Binadamu<br />
112. Mheshimiwa Spika, katika mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong>, Wizara imeendelea<br />
kutekeleza Mkakati wa kudhibiti Ugonjwa wa Kichaa cha Mbwa kupitia Mradi<br />
una<strong>of</strong>adhiliwa na Taasisi <strong>ya</strong> Bill na Melinda Gates katika mikoa <strong>ya</strong> Dar es<br />
Salaam, Pwani, Morogoro, Lindi na Mtwara kwa Tanzania Bara na Pemba kwa<br />
up<strong>and</strong>e wa Serikali <strong>ya</strong> Mapinduzi Zanzibar. Jumla <strong>ya</strong> dozi 100,000 za chanjo <strong>ya</strong><br />
Kichaa cha Mbwa zimenunuliwa na kusambazwa katika Halmashauri 24 za mikoa<br />
mitano <strong>ya</strong> Dar es salaam, Morogoro, Mtwara, Lindi na Pwani. Pia, mafunzo<br />
kuhusu udhibiti wa ugonjwa huo <strong>ya</strong>litolewa kwa wataalam 61. Vilevile, majok<strong>of</strong>u<br />
<strong>20</strong> <strong>ya</strong> kuhifadhia chanjo na magari 5 <strong>ya</strong>linunuliwa kwa ajili <strong>ya</strong> mikoa<br />
inayotekeleza mradi. Aidha, dozi 150,000 za chanjo zilinunuliwa na<br />
kusambazwa katika Halmashauri 61 na uchanjaji umeanza. (Jedwali Na. 11).<br />
Pia, Siku <strong>ya</strong> Kichaa cha Mbwa Duniani iliadhimishwa tarehe 29 Septemba, <strong>20</strong>09<br />
ambapo elimu ilitolewa kwa umma kuhusu ugonjwa huo pamoja na kuchanja<br />
mbwa 9,576 katika wila<strong>ya</strong> za mikoa <strong>ya</strong> Dar-es-Salaam na Morogoro.<br />
Katika mwaka <strong><strong>20</strong>10</strong>/<strong><strong>20</strong>11</strong>, Wizara itaendelea kutekeleza Mkakati wa Kudhibiti<br />
Ugonjwa wa Kichaa cha Mbwa kwa kununua dozi 150,000 za chanjo na<br />
kuzisambaza katika Halmashauri. Pia, Mradi una<strong>of</strong>adhiliwa na Taasisi <strong>ya</strong> Bill na<br />
41
Melinda Gates utaendelea kutekelezwa ikiwa ni pamoja na kununua pikipiki 24<br />
kwa ajili <strong>ya</strong> wila<strong>ya</strong> zinazotekeleza mradi.<br />
113. Mheshimiwa Spika, katika mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong>, Wizara iliendelea<br />
kutekeleza Mkakati wa kudhibiti ugonjwa wa Homa <strong>ya</strong> Bonde la Ufa, ambapo<br />
jumla <strong>ya</strong> dozi 500,000 za chanjo zimenunuliwa na kusambazwa katika<br />
Halmashauri 50. Pia, Wizara kwa kushirikiana na Wizara <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> na Ustawi wa<br />
Jamii pamoja na wadau wengine kwa ufadhili wa UN ili<strong>and</strong>aa Mpango wa Kitaifa<br />
wa Kujihami dhidi <strong>ya</strong> ugonjwa huo (National RVF Contingency Plan). Katika<br />
mwaka <strong><strong>20</strong>10</strong>/<strong><strong>20</strong>11</strong> Wizara itaendelea kutekeleza Mkakati wa Kudhibiti Ugonjwa<br />
wa Bonde la Ufa (RVF) kwa kununua dozi milioni moja na kuzisambaza katika<br />
Halmashauri pamoja na kutoa elimu kwa wananchi kuhusu ugonjwa huo na<br />
hatua za kuchukua.<br />
114. Mheshimiwa Spika, katika mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong>, jumla <strong>ya</strong> ng’ombe 1,028<br />
na mbuzi 240 walichunguzwa dhidi <strong>ya</strong> Ugonjwa wa Kutupa Mimba, ambapo<br />
ng’ombe 104 waligundulika kuwa na ugonjwa na hakuna mbuzi waliogundulika<br />
kuwa na ugonjwa. Aidha, ushauri ulitolewa kwa wafugaji kuchinja ng’ombe<br />
waliogundulika kuwa na ugonjwa ili kuepuka kuenea kwa ugonjwa huo.<br />
Katika mwaka <strong><strong>20</strong>10</strong>/<strong><strong>20</strong>11</strong>, jumla <strong>ya</strong> ng’ombe 5,000, mbuzi 1,440 na kondoo<br />
840 watachunguzwa dhidi <strong>ya</strong> Ugonjwa wa Kutupa Mimba katika mashamba <strong>ya</strong><br />
kuzalisha mitamba, ranchi za Taifa pamoja na mashamba <strong>ya</strong> taasisi za umma na<br />
<strong>ya</strong> sekta binafsi. Pia, Wizara itapima kiwango cha maambukizi <strong>ya</strong> ugonjwa huo<br />
kwenye mifugo <strong>ya</strong> asili na kuzalisha chanjo <strong>ya</strong> S19 kwa ajili <strong>ya</strong> kudhibiti ugonjwa<br />
huo katika Maabara Kuu <strong>ya</strong> Taifa <strong>ya</strong> Mifugo - Temeke.<br />
115. Mheshimiwa Spika, katika mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong>, Wizara iliendeelea<br />
kufuatilia maambukizi <strong>ya</strong> ugonjwa wa Kifua Kikuu cha ng’ombe kwenye<br />
mashamba <strong>ya</strong> mifugo ambapo ng’ombe 147 walichunguzwa katika Chuo cha<br />
Kilimo cha Uyole na 10 waligundulika kuwa na ugonjwa. Ushauri ulitolewa kwa<br />
Chuo kuchinja ng’ombe wote waliobainika kuwa na ugonjwa. Katika mwaka<br />
<strong><strong>20</strong>10</strong>/<strong><strong>20</strong>11</strong>, jumla <strong>ya</strong> ng’ombe 5,000 watachunguzwa dhidi <strong>ya</strong> ugonjwa wa Kifua<br />
Kikuu cha ng’ombe katika mashamba <strong>ya</strong> kuzalisha mitamba, ranchi za Taifa<br />
pamoja na mashamba <strong>ya</strong> taasisi za umma na <strong>ya</strong> sekta binafsi nchini.<br />
116. Mheshimiwa Spika, ugonjwa wa Mafua <strong>ya</strong> Nguruwe unaosababishwa na<br />
virusi v<strong>ya</strong> aina <strong>ya</strong> Influenza A-H1N1 ulitokea hapa nchini kwa mara <strong>ya</strong> kwanza<br />
mwaka <strong>20</strong>09. Kama nilivyoeleza katika hotuba <strong>ya</strong>ngu <strong>ya</strong> mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong>,<br />
ugonjwa huo ni wa binadamu na hautokani na nguruwe kama ilivyohisiwa hapo<br />
awali. Jumla <strong>ya</strong> sampuli 160 zimechunguzwa na hadi sasa hakuna uthibitisho<br />
kuhusu nguruwe waliougua au kufa kwa ugonjwa huo nchini. Katika mwaka<br />
<strong><strong>20</strong>10</strong>/<strong><strong>20</strong>11</strong>, Wizara itaendelea kuchukua hatua za tahadhari kukabiliana na<br />
ugonjwa huo zikiwa ni pamoja na:-<br />
42
(i) Kufuatilia mwenendo wa magonjwa <strong>ya</strong> nguruwe nchini;<br />
(ii) Kudhibiti usafirishaji wa nguruwe na mazao <strong>ya</strong>ke hasa kutoka maeneo<br />
<strong>ya</strong>nayosadikiwa kuwa na matukio <strong>ya</strong> ugonjwa kwa binadamu;<br />
(iii) Kutoa elimu kwa jamii kuhusu ugonjwa na hatua za kuchukua kuepuka<br />
maambukizi; na<br />
(iv) Kushirikiana na Wizara <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> na Ustawi wa Jamii na wadau wengine<br />
katika ufuatiliaji, utambuzi na udhibiti wa ugonjwa huo.<br />
Ufuatiliaji wa Magonjwa na Ukaguzi wa Mifugo na Mazao <strong>ya</strong>tokanayo<br />
na Mifugo<br />
117. Mheshimiwa Spika, katika kudhibiti kuenea kwa magonjwa <strong>ya</strong> mifugo,<br />
Wizara imeendelea kufan<strong>ya</strong> ukaguzi wa mifugo na mazao <strong>ya</strong>ke pamoja na kutoa<br />
vibali v<strong>ya</strong> kusafirisha mifugo na mazao <strong>ya</strong>ke ndani na nje <strong>ya</strong> nchi. Katika mwaka<br />
<strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong>, jumla <strong>ya</strong> mifugo 870 iliyoingia na iliyotoka nchini ilikaguliwa. Aidha,<br />
jumla <strong>ya</strong> vibali 31 vilitolewa 668 kwa ajili <strong>ya</strong> kuingiza na kusafirisha mifugo nje<br />
<strong>ya</strong> nchi. Vituo 12 v<strong>ya</strong> ukaguzi v<strong>ya</strong> Holili, Horohoro, Isongole, Mtukula, Tunduma,<br />
Sirari, Dar-es-Salaam, KIA, Namanga, Kibaha, Kigoma na Mwanza<br />
vimeimarishwa kwa kukarabatiwa na kupatiwa vitendea kazi. Katika mwaka<br />
<strong><strong>20</strong>10</strong>/<strong><strong>20</strong>11</strong>, Wizara itaendelea na ukarabati wa vituo v<strong>ya</strong> ukaguzi wa mifugo 15<br />
na kuvipatia vitendea kazi.<br />
Usimamizi wa Ubora na Usalama wa V<strong>ya</strong>kula Vitokanavyo na Mifugo<br />
118. Mheshimiwa Spika, katika mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong>, Wizara iliendelea<br />
kusimamia usalama na ubora wa v<strong>ya</strong>kula vitokanavyo na mifugo. Katika mwaka<br />
<strong><strong>20</strong>10</strong>/<strong><strong>20</strong>11</strong>, Wizara itaendelea kuhamasisha jamii kuhusu kuzingatia kanuni za<br />
ufugaji bora ili kuzalisha chakula salama na bora ambapo wafugaji <strong>20</strong>0<br />
watapatiwa elimu. Aidha, viwango v<strong>ya</strong> ubora wa n<strong>ya</strong>ma na maziwa vitapitiwa na<br />
kuboreshwa kwa kuzingatia maendeleo <strong>ya</strong> sa<strong>ya</strong>nsi na teknolojia. Pia, sampuli<br />
100 za v<strong>ya</strong>kula mbalimbali vitokanavyo na mazao <strong>ya</strong> mifugo zitachunguzwa ili<br />
kubaini mabaki <strong>ya</strong> dawa za mifugo. Vilevile, Wizara ita<strong>and</strong>aa vijitabu v<strong>ya</strong><br />
kuelimisha jamii baada <strong>ya</strong> kupata matokeo <strong>ya</strong> uchunguzi huo.<br />
Udhibiti wa Usalama na Ubora wa Pembejeo za Mifugo<br />
119. Mheshimiwa Spika, Wizara imeendelea kusimamia ubora wa dawa na<br />
chanjo za mifugo zinazoingizwa nchini kwa ajili <strong>ya</strong> tiba na kinga za magonjwa <strong>ya</strong><br />
mifugo kwa kushirikiana na Mamlaka <strong>ya</strong> Chakula na Dawa. Aidha, Wizara<br />
imepitia na kuboresha orodha <strong>ya</strong> dawa na vifaa tiba v<strong>ya</strong> mifugo ili itumike na<br />
Mamlaka <strong>ya</strong> Chakula na Dawa pamoja na Mamlaka <strong>ya</strong> Mapato Tanzania katika<br />
kudhibiti usajili na uingizaji wa dawa za mifugo nchini. Vilevile, Wizara<br />
imeendelea kushirikiana na Taasisi <strong>ya</strong> Utafiti wa Viuatilifu nchini (TPRI) ili<br />
kuhakikisha kuwa viuatilifu vinavyoingia nchini ni bora.<br />
43
Katika mwaka <strong><strong>20</strong>10</strong>/<strong><strong>20</strong>11</strong>, Wizara kwa kushirikiana TFDA na TBS na wadau<br />
wengine itaendelea kuhakikisha kuwa wafugaji nchini wanapata pembejeo bora<br />
na salama za mifugo kwa ku<strong>and</strong>aa viwango, kusimamia ubora, matumizi na<br />
hifadhi sahihi <strong>ya</strong> pembejeo hizo. Pia, itatoa elimu kwa wakaguzi <strong>20</strong> kutoka<br />
katika vituo 6 v<strong>ya</strong> ukaguzi. Vilevile, Wizara kwa kushirikiana na itaendelea Pia,<br />
ukaguzi wa maduka <strong>ya</strong> pembejeo za mifugo utafanyika katika mikoa <strong>ya</strong> K<strong>and</strong>a za<br />
Kati, Kusini, N<strong>ya</strong>nda za Juu Kusini na K<strong>and</strong>a <strong>ya</strong> Ziwa.<br />
Udhibiti wa Usafi wa Machinjio na Ukaguzi wa N<strong>ya</strong>ma na Ngozi<br />
1<strong>20</strong>. Mheshimiwa Spika, Wizara iliendelea na jitihada <strong>ya</strong> kusimamia usafi wa<br />
machinjio ili kuwahakikishia walaji n<strong>ya</strong>ma safi na salama. Ukaguzi ulifanyika kwa<br />
machinjio za mikoa <strong>ya</strong> Dar es Salaam, Morogoro, Mwanza, Dodoma, Singida,<br />
Tabora, Arusha, Kilimanjaro na Tanga. Asilimia 42 <strong>ya</strong> machinjio zilizokaguliwa<br />
zilikuwa hazikidhi viwango v<strong>ya</strong> usafi hivyo Halmashauri husika zilishauriwa<br />
kufan<strong>ya</strong> ukarabati kwa lengo la kuziboresha. Pia, Halmashauri hizo zilishauriwa<br />
kuingiza miradi <strong>ya</strong> ujenzi na ukarabati wa machinjio katika Mipango <strong>ya</strong><br />
Maendeleo <strong>ya</strong> Kilimo <strong>ya</strong> Wila<strong>ya</strong> (DADPs). Aidha, Machinjio <strong>ya</strong> Halmashauri <strong>ya</strong><br />
Igunga imejengwa na kukamilika na inatumika. Pia, machinjio za Halmashauri za<br />
wila<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Nzega, Urambo, na Kilwa zimefikia asilimia 80 <strong>ya</strong> ujenzi. Machinjio za<br />
Halmashauri za Wila<strong>ya</strong> za Mpwapwa na Kondoa zimefanyiwa ukarabati na<br />
zinatumika. Jumla <strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>ma 1,218,193 (ng’ombe 605,389, mbuzi<br />
358,474, Kondoo 146,993 na nguruwe 107,337) walichinjwa na kukaguliwa<br />
(Jedwali Na. 12).<br />
121. Mheshimiwa Spika, ukaguzi wa maghala <strong>ya</strong> wafan<strong>ya</strong>biashara wa ngozi<br />
ulifanyika kwa kampuni nane (8) za Dar es Salaam, Arusha mbili (2) na<br />
Kilimanjaro tatu (3). Wamiliki wa makampuni hayo walishauriwa kuboresha<br />
usafi wa maghala <strong>ya</strong>o. Aidha, kampuni 14 zilipewa leseni za kuuza ngozi nje <strong>ya</strong><br />
nchi ambapo vip<strong>and</strong>e 650,000 v<strong>ya</strong> ngozi za ng’ombe, mbuzi vip<strong>and</strong>e 980,000<br />
na kondoo vip<strong>and</strong>e 3<strong>20</strong>,000 viliuzwa nje <strong>ya</strong> nchi.<br />
Katika mwaka <strong><strong>20</strong>10</strong>/<strong><strong>20</strong>11</strong>, udhibiti na ukaguzi utaimarishwa kwa kutoa mafunzo<br />
kwa wakaguzi wa n<strong>ya</strong>ma na ngozi 1<strong>20</strong>, na wakaguzi 30 wa mazao <strong>ya</strong> mifugo<br />
kwenye Halmashauri. Aidha, ukaguzi wa kuthibiti ubora wa mazao <strong>ya</strong>tokanayo<br />
na mifugo <strong>ya</strong> n<strong>ya</strong>ma, ma<strong>ya</strong>i, maziwa na mazao <strong>ya</strong>ke na utoaji wa elimu kwa<br />
jamii kuhusu viwango na usalama wa v<strong>ya</strong>kula vitokanavyo na mifugo utafanyika<br />
katika k<strong>and</strong>a <strong>ya</strong> Kusini na N<strong>ya</strong>nda za Juu Kusini.<br />
Biashara <strong>ya</strong> Mifugo na Mazao <strong>ya</strong>ke<br />
122. Mheshimiwa Spika, Biashara <strong>ya</strong> mifugo na mazao <strong>ya</strong>tokanayo na<br />
mifugo imeendelea kuongezeka ndani na nje <strong>ya</strong> nchi. Aidha Wizara imeshirikiana<br />
na Wizara <strong>ya</strong> Viw<strong>and</strong>a, Biashara na Masoko kuratibu biashara hiyo. Idadi <strong>ya</strong><br />
mifugo iliyouzwa minadani imeongezeka kutoka ng’ombe 781,230, mbuzi<br />
44
623,732 na kondoo 114,564 wenye thamani <strong>ya</strong> shilingi bilioni 319.2 mwaka<br />
<strong>20</strong>08/<strong>20</strong>09 hadi kufikia ng’ombe 857,<strong>20</strong>8 mbuzi 682,992 na kondoo 122,035<br />
wenye thamani <strong>ya</strong> shilingi bilioni 382.4 mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong>. Ongezeko hilo la<br />
idadi <strong>ya</strong> mifugo iliyouzwa linatokana na kuimarishwa kwa huduma za minada na<br />
wafugaji kuongeza mauzo <strong>ya</strong> mifugo <strong>ya</strong>o kama tahadhari <strong>ya</strong> kuepuka hasara<br />
kutokana na ukame uliokumba maeneo mengi nchini mwaka <strong>20</strong>09.<br />
123. Mheshimiwa Spika, katika mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong>, jumla <strong>ya</strong> ng’ombe 2,970<br />
na mbuzi 302 wenye thamani <strong>ya</strong> shilingi bilioni 2.8 wameuzwa katika nchi za<br />
Comoro, Burundi na Ken<strong>ya</strong>. Aidha katika kipindi hicho, jumla <strong>ya</strong> tani 36.9 za<br />
n<strong>ya</strong>ma <strong>ya</strong> ng’ombe, tani 122 za n<strong>ya</strong>ma <strong>ya</strong> mbuzi na tani 34.6 za n<strong>ya</strong>ma <strong>ya</strong><br />
kondoo ziliuzwa nje katika nchi za Oman, Kuwait, Umoja wa Falme za Kiarabu<br />
(UAE), Muscat, Malawi na Jamhuri <strong>ya</strong> Demokrasia <strong>ya</strong> Kongo. Vilevile tani 11.1 za<br />
ice cream za maziwa ziliuzwa nje katika nchi <strong>ya</strong> Zambia. Mauzo <strong>ya</strong> mifugo hai na<br />
n<strong>ya</strong>ma nje <strong>ya</strong> nchi <strong>ya</strong>meshuka ikilinganishwa na mauzo katika mwaka <strong>20</strong>08/<strong>20</strong>09<br />
ambapo ng’ombe 3,264 na mbuzi na kondoo 1,834 wenye thamani <strong>ya</strong> shilingi<br />
bilioni 2.1 waliouzwa katika nchi za Comoro, Ken<strong>ya</strong>, Burundi na Malawi na tani<br />
139.8 za n<strong>ya</strong>ma <strong>ya</strong> ng’ombe zenye thamani <strong>ya</strong> shilingi 416,947,750, tani 35.4<br />
za n<strong>ya</strong>ma <strong>ya</strong> kondoo zenye thamani <strong>ya</strong> shilingi 1<strong>20</strong>,<strong>20</strong>4,477 na tani 46.7 za<br />
n<strong>ya</strong>ma <strong>ya</strong> mbuzi zenye thamani <strong>ya</strong> shilingi 117,330,455 zilizouzwa katika nchi<br />
za Kuwait, Jamhuri <strong>ya</strong> Demokrasia <strong>ya</strong> Kongo, Misri na Oman.<br />
Wizara itaendelea kuhamasisha, kufuatilia na kuratibu uuzaji wa mifugo na<br />
mazao <strong>ya</strong>ke ndani na nje <strong>ya</strong> nchi katika mwaka <strong><strong>20</strong>10</strong>/<strong><strong>20</strong>11</strong> ili kurejesha na<br />
kuongeza mauzo nje <strong>ya</strong> nchi.<br />
124. Mheshimiwa Spika, Wizara imeendelea kuratibu ukusan<strong>ya</strong>ji na uuzaji<br />
wa ngozi za mifugo nje <strong>ya</strong> nchi. Jumla <strong>ya</strong> vip<strong>and</strong>e milioni 1.5 v<strong>ya</strong> ngozi za<br />
ng’ombe, milioni 2.4 v<strong>ya</strong> mbuzi na milioni 0.65 v<strong>ya</strong> kondoo vyenye thamani<br />
<strong>ya</strong> shilingi bilioni 8.5 vilikusanywa. Kati <strong>ya</strong> hivyo, vip<strong>and</strong>e v<strong>ya</strong> ngozi za ng’ombe<br />
739,315, mbuzi milioni 1.9, na kondoo 176,400 viliuzwa nje <strong>ya</strong> nchi kwa<br />
thamani <strong>ya</strong> shilingi bilioni 8.19. Mapato kutokana na mauzo <strong>ya</strong> ngozi<br />
<strong>ya</strong>meshuka kwa asilimia 36 ikilinganishwa na mapato <strong>ya</strong> shilingi bilioni 12.8<br />
mwaka <strong>20</strong>08/<strong>20</strong>09 kutokana na kushuka kwa bei <strong>ya</strong> ngozi katika soko la<br />
kimataifa kulikosababishwa na mtikisiko wa uchumi uliojitokeza kuanzia katikati<br />
<strong>ya</strong> mwaka <strong>20</strong>08.<br />
125. Mheshimiwa Spika, idadi <strong>ya</strong> vip<strong>and</strong>e v<strong>ya</strong> ngozi iliyosindikwa imepungua<br />
kutoka vip<strong>and</strong>e milioni 2.3 vyenye thamani <strong>ya</strong> shilingi bilioni 7.3 mwaka<br />
<strong>20</strong>08/<strong>20</strong>09 hadi kufikia vip<strong>and</strong>e milioni 1.96 vyenye thamani <strong>ya</strong> shilingi bilioni<br />
6.57 mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong>. Kupungua kwa idadi <strong>ya</strong> ngozi zilizosindikwa imetokana<br />
na mtikisiko wa uchumi wa dunia ambao uliathiri soko la ngozi na hivyo<br />
kupungua kwa ukusan<strong>ya</strong>ji na usindikaji wa ngozi. Hata hivyo, uwiano wa ngozi<br />
iliyosindikwa na kuuzwa nje <strong>ya</strong> nchi umeongezeka kutoka asilimia 57 mwaka<br />
<strong>20</strong>08/09 hadi kufikia asilimia 69 mwaka <strong>20</strong>09/10 <strong>ya</strong> ngozi zote ziliouzwa nje <strong>ya</strong><br />
45
nchi. Ongezeko la usindikaji linatokana na kuhamasika kwa wafan<strong>ya</strong>biashara<br />
kuuza ngozi zilizosindikwa ili kupata bei nzuri kwenye masoko <strong>ya</strong> nje kuliko<br />
kuuza ngozi ghafi.<br />
126. Mheshimiwa Spika, Mkakati wa Kufufua na Kuendeleza Sekta na<br />
Viw<strong>and</strong>a v<strong>ya</strong> Ngozi umeendelea kutekelezwa kwa kushirikiana na Wizara <strong>ya</strong><br />
Viw<strong>and</strong>a Biashara na Masoko, Ofisi <strong>ya</strong> Waziri Mkuu – TAMISEMI, Halmashauri<br />
55 na Chama cha Wadau wa Sekta <strong>ya</strong> Ngozi. Katika mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong> Wizara<br />
kupitia Mfuko wa Maendeleo <strong>ya</strong> Mifugo (<strong>Livestock</strong> Development Fund)<br />
imeimarisha huduma za ugani kwa kununua pikipiki 19 na kuzisambaza katika<br />
Halmashauri za Arusha, Bariadi, Chun<strong>ya</strong>, Geita, Igunga, Kahama, Kinondoni,<br />
Manyoni, Mbinga, Misungwi, Mpwapwa, Ngorongoro, Njombe, Ror<strong>ya</strong>, Same na<br />
Sengerema. Vilevile, visu 13,750, vinoleo 3,250 na vifaa v<strong>ya</strong> kun<strong>ya</strong>nyulia<br />
n<strong>ya</strong>ma 130 vimesambazwa katika Halmashauri zinazotekeleza mkakati huu.<br />
Aidha, jumla <strong>ya</strong> wafugaji 2,144, wachinjaji na wachunaji 742, wawambaji 410,<br />
maafisa ugani 591, wafan<strong>ya</strong>biashara wa ngozi 356, wasindikaji 104 na<br />
watendaji wa Serikali 605 katika Halmashauri 55 zinazotekeleza mkakati<br />
wamepata mafunzo kuhusu uboreshaji wa zao la ngozi.<br />
127. Mheshimiwa Spika, katika mwaka <strong>20</strong>09/10 Halmashauri za Bagamoyo,<br />
Kibaha, Morogoro, Kilosa, Mvomero, Chato, Karagwe, Misenyi, Mp<strong>and</strong>a na<br />
Sumbawanga zimeingizwa katika Mkakati wa Kufufua na Kuendeleza Sekta na<br />
Viw<strong>and</strong>a v<strong>ya</strong> Ngozi na kufan<strong>ya</strong> jumla <strong>ya</strong> Halmashauri zinazotekeleza Mkakati<br />
kuwa 65. Aidha, Wizara imechapisha nakala 1,800 za Mkakati wa Kufufua na<br />
kuendeleza Sekta na Viw<strong>and</strong>a v<strong>ya</strong> Ngozi nchini na kusambazwa kwa wadau<br />
mbalimbali nchini.<br />
Katika mwaka wa <strong><strong>20</strong>10</strong>/<strong><strong>20</strong>11</strong>, Wizara itaendelea kutekeleza mkakati wa kufufua<br />
zao la ngozi kwa kufan<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>fuatayo:-<br />
(i) Kujenga vituo katika Halmashauri 30 kwa ajili <strong>ya</strong> kutoa mafunzo <strong>ya</strong><br />
uendelezaji wa zao la ngozi; na<br />
(ii) Kuwezesha uanzishwaji na uendeshaji wa Kamati <strong>ya</strong> Kitaifa <strong>ya</strong> Ushauri wa<br />
ngozi.<br />
128. Mheshimiwa Spika, Wizara imeendelea kuimarisha miundombinu <strong>ya</strong><br />
masoko <strong>ya</strong> mifugo ili kuboresha biashara <strong>ya</strong> mifugo na mazao <strong>ya</strong>ke. Katika<br />
mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong>, Wizara imekamilisha ujenzi wa mnada wa mifugo wa<br />
Buzirayombo na wa mbuzi Kizota. Aidha, minada <strong>ya</strong> mifugo <strong>ya</strong> Kizota, Mhunze,<br />
Pugu na Lumecha imekarabatiwa. Pia, Wizara kwa kushirikiana na wadau<br />
wengine imeendelea kukusan<strong>ya</strong>, kuchambua, kuhifadhi na kusambaza taarifa za<br />
masoko <strong>ya</strong> mifugo kutoka minada 53. Ili kuongeza ukusan<strong>ya</strong>ji wa mapato<br />
<strong>ya</strong>nayotokana na mauzo <strong>ya</strong> mifugo minadani, Wizara imehamasisha ukusan<strong>ya</strong>ji<br />
wa maduhuli katika Halmashauri za mikoa <strong>ya</strong> K<strong>and</strong>a za Ziwa, Magharibi, Kati,<br />
Kaskazini na <strong>ya</strong> N<strong>ya</strong>nda za Juu Kusini.<br />
46
Katika mwaka <strong><strong>20</strong>10</strong>/<strong><strong>20</strong>11</strong>, Wizara itaendelea kushirikiana na Wizara <strong>ya</strong> Viw<strong>and</strong>a,<br />
Biashara na Masoko kukusan<strong>ya</strong> na kutoa taarifa kutoka minada 53<br />
iliyounganishwa na Mt<strong>and</strong>ao wa mawasiliano LINKS. Pia, Wizara itaweka mizani<br />
kwenye minada 10 <strong>ya</strong> Igunga, Ipuli, Kizota, Korogwe, Meserani, Mhunze,<br />
N<strong>ya</strong>matara, Pugu, Themi na Weruweru. Vilevile, Wizara itatoa mafunzo kuhusu<br />
ukusan<strong>ya</strong>ji wa takwimu kwa wataalam 50 wanaosimamia minada.<br />
Pia, Wizara itaendelea kuwezesha wakusan<strong>ya</strong> maduhuli kwenye minada ili<br />
kuongeza mapato <strong>ya</strong> serikali kutoka shilingi bilioni 2.5 mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong> hadi<br />
kufikia shilingi bilioni 6.<br />
Utambuzi, Usajili na Ufuatiliaji Mifugo na Mazao Yake<br />
129. Mheshimiwa Spika, mfumo wa utambuzi, usajili na ufuatiliaji mifugo na<br />
mazao <strong>ya</strong>ke uliendelea kuimarishwa ambapo katika mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong> Wizara<br />
ilitengeneza chapa 5,000 na kusambaza madaftari 2,243 <strong>ya</strong> usajili kwa<br />
majaribio katika Halmashauri za wila<strong>ya</strong> 33 za Mikoa <strong>ya</strong> Arusha (283), Dodoma<br />
(86), Iringa (126), Kagera (709), Mara (481), Mbe<strong>ya</strong> (147), Morogoro (213),<br />
Rukwa (178) na Shin<strong>ya</strong>nga (<strong>20</strong>). Aidha, wataalam 197 wamepata mafunzo<br />
kuhusu mfumo wa utambuzi, usajili na ufuatiliaji wa mifugo.<br />
130. Mheshimiwa Spika, katika mwaka <strong><strong>20</strong>10</strong>/<strong><strong>20</strong>11</strong>, Wizara itatekeleza kazi<br />
zifuatazo:-<br />
(i) Kuwajengea uwezo wakaguzi 65 wa Halmashauri kuhusu usimamizi wa<br />
Sheria <strong>ya</strong> Ustawi wa Wan<strong>ya</strong>ma;<br />
(ii) Kutoa mafunzo kwa wataalam 154 wa mifugo katika usimamizi na<br />
uendeshaji mfumo wa utambuzi, usajili na ufuatiliaji mifugo na mazao<br />
<strong>ya</strong>ke; na<br />
(iii) Kuanzisha na kutekeleza mfumo wa utambuzi, usajili na ufuatiliaji<br />
mifugo katika mifumo <strong>ya</strong> uzalishaji <strong>ya</strong> asili na biashara kwa kusajili<br />
wafugaji <strong>20</strong>0,000 na kutambua ng’ombe 500,000.<br />
Huduma za Ugani katika Sekta za Mifugo na Uvuvi<br />
(i) Huduma za Ugani Sekta <strong>ya</strong> Mifugo<br />
131. Mheshimiwa Spika, utoaji wa huduma za ushauri kwa wafugaji ni njia<br />
moja wapo <strong>ya</strong> kuwapatia wafugaji teknolojia sahihi na mbinu za ufugaji bora.<br />
Katika mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong>, Wizara kwa kushirikiana na Halmashauri iliendelea<br />
kutoa ushauri wa kitaalamu, miongozo na kanuni za ufugaji bora na wa<br />
kibiashara. Jumla <strong>ya</strong> nakala 52,000 za vipeperushi, 30,000 za mabango na<br />
13,000 za vijitabu kuhusu ufugaji bora zilichapishwa na kusambaza kwa wadau.<br />
47
Pia, vipindi 78 v<strong>ya</strong> redio na 12 v<strong>ya</strong> luninga kuhusu ufugaji bora vili<strong>and</strong>aliwa na<br />
kurushwa hewani.<br />
Kupitia miradi <strong>ya</strong> DADPs na wafadhili wengine, wafugaji 10,215 katika mikoa <strong>ya</strong><br />
Dar-es-Salaam, Dodoma, Iringa, Kagera, Kigoma, Kilimanjaro, Man<strong>ya</strong>ra, Mbe<strong>ya</strong>,<br />
Morogoro, Mwanza, Rukwa, Ruvuma, Shin<strong>ya</strong>nga, Singida, Tabora na Tanga<br />
walipatiwa mafunzo juu <strong>ya</strong> ufugaji wa kibiashara. Vilevile, Wizara ilitoa mafunzo<br />
kwa wataalam 63 kutoka wila<strong>ya</strong> <strong>20</strong> za N<strong>ya</strong>nda za Juu Kusini na 11 za K<strong>and</strong>a <strong>ya</strong><br />
Ziwa kuhusu Upangaji wa Mipango Shirikishi <strong>ya</strong> Ugani. Aidha, Wizara iliendesha<br />
mafunzo kwa Mashirika <strong>ya</strong>siyo <strong>ya</strong> Kiserikali na watoa huduma binafsi 61 katika<br />
K<strong>and</strong>a za Kati na Ziwa kwa lengo la kushirikisha sekta binafsi katika kutoa<br />
huduma za ugani kwa wafugaji.<br />
132. Mheshimiwa Spika, katika mwaka <strong><strong>20</strong>10</strong>/<strong><strong>20</strong>11</strong>, Wizara itatekeleza kazi<br />
zifuatazo:-<br />
(i) Kuta<strong>ya</strong>risha, kuchapisha na kusambaza nakala 58,000 za vipeperushi,<br />
<strong>20</strong>,000 za mabango na 10,000 za vijitabu kuhusu ufugaji bora;<br />
(ii) Ku<strong>and</strong>aa filamu moja <strong>ya</strong> ufugaji bora wa ng’ombe wa maziwa;<br />
(iii) Ku<strong>and</strong>aa na kurusha hewani vipindi 52 v<strong>ya</strong> redio na 12 v<strong>ya</strong> luninga<br />
kuhusu ufugaji bora;<br />
(iv) Kushirikiana na Halmashauri kutoa mafunzo kwa wafugaji 8,000 kuhusu<br />
ufugaji bora na wa kibiashara;<br />
(v) Kukarabati vituo v<strong>ya</strong> mafunzo kwa wafugaji v<strong>ya</strong> Mabuki (Mwanza) na<br />
Kikulula (Kagera) ili viweze kutoa mafunzo kwa wafugaji wengi zaidi;<br />
(vi) Kutoa mafunzo kwa wataalamu <strong>20</strong> wa mifugo katika Halmashauri<br />
kuhusu Upangaji wa Mipango Shirikishi <strong>ya</strong> Ugani na jinsi <strong>ya</strong> kuendesha<br />
Mashamba Darasa;<br />
(vii) Ku<strong>and</strong>aa na kusambaza kwa wadau aina 3 za Mipango Shirikishi <strong>ya</strong><br />
Ugani; na<br />
(viii) Kusambaza teknolojia zilizoibuliwa na watafiti kuhusu ufugaji wa kisasa<br />
na wa kibiashara.<br />
(ii) Huduma za Ugani Sekta <strong>ya</strong> Uvuvi<br />
133. Mheshimiwa Spika, Wizara, imeendelea kuelimisha umma ambapo<br />
wavuvi 500 walipewa mafunzo <strong>ya</strong> athari za uvuvi haramu, matumizi bora <strong>ya</strong><br />
rasilimali za uvuvi, utunzaji wa mazingira na mbinu shirikishi za usimamizi wa<br />
rasilimali za uvuvi. Aidha, elimu <strong>ya</strong> ufugaji bora wa samaki ilitolewa kwa wafugaji<br />
121 wa Halmashauri za Mbinga, Namtumbo na Songea. Pia, mafunzo <strong>ya</strong><br />
uchakataji, uhifadhi na usafirishaji wa samaki na mazao <strong>ya</strong> uvuvi kwa wamiliki<br />
na wafan<strong>ya</strong>kazi katika viw<strong>and</strong>a v<strong>ya</strong> uchakataji samaki <strong>ya</strong>litolewa kwa washiriki<br />
124 katika uk<strong>and</strong>a wa Ziwa Victoria na Wafan<strong>ya</strong>biashara 430 katika Wila<strong>ya</strong> za<br />
Rufiji, Mafia na Kilwa. Vilevile, Wizara iliendelea kutoa elimu kuhusu mbinu bora<br />
za ufugaji wa samaki na hifadhi <strong>ya</strong> mazao <strong>ya</strong> uvuvi kupitia vipindi 50 v<strong>ya</strong> redio<br />
48
na <strong>20</strong> v<strong>ya</strong> luninga, nakala 1,000 za mabango, 6,000 za vijarida na 3,000 za<br />
vipeperushi.<br />
134. Mheshimiwa Spika, katika mwaka <strong><strong>20</strong>10</strong>/<strong><strong>20</strong>11</strong>, Wizara itatekeleza<br />
<strong>ya</strong>fuatayo:-<br />
(i) Ku<strong>and</strong>aa na kurusha hewani vipindi 52 v<strong>ya</strong> redio na 12 v<strong>ya</strong> luninga<br />
vinavyohusu uvuvi endelevu;<br />
(ii) Kutoa mafunzo rejea <strong>ya</strong> ufugaji bora wa samaki kwa Ma<strong>of</strong>isa Ugani 133<br />
kutoka kwenye Halmashauri na kuwezesha ufugaji wa samaki katika<br />
Halmashauri 10;<br />
(iii) Ku<strong>and</strong>aa na kusambaza teknolojia 3 za ukuzaji wa viumbe kwenye maji<br />
kwa kutumia vizimba, chelezo na ukuzaji wa lulu; na<br />
(iv) Kushirikisha vikundi 144 v<strong>ya</strong> usimamizi shirikishi wa rasilimali za uvuvi<br />
katika halmashauri 16 za Uk<strong>and</strong>a wa Pwani katika kudhibiti uvuvi haramu,<br />
kuendeleza mazingira na matumizi endelevu <strong>ya</strong> rasilimali za bahari.<br />
UENDELEZAJI WA RASILIMALI ZA UVUVI<br />
(i) Mwenendo wa Uvunaji wa Samaki na Uuzaji wa Mazao <strong>ya</strong> Uvuvi<br />
135. Mheshimiwa Spika, mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong>, Wizara imeendelea kuratibu<br />
shughuli za uvuvi nchini ambapo jumla tani 335,674.26 za mazao <strong>ya</strong> uvuvi<br />
yenye thamani <strong>ya</strong> shilingi bilioni 401.42 zilivunwa. Pia, nguvu <strong>ya</strong> uvuvi<br />
imeongezeka kutoka wavuvi 170,038 waliotumia vyombo v<strong>ya</strong> uvuvi 52,327<br />
mwaka <strong>20</strong>08 hadi wavuvi 172,090 wanaotumia vyombo v<strong>ya</strong> uvuvi 52,898<br />
mwaka <strong>20</strong>09 (Jedwali Na. 13a na 13b). Aidha, mauzo <strong>ya</strong> samaki na mazao<br />
<strong>ya</strong>ke katika soko la nje mwaka <strong>20</strong>09 <strong>ya</strong>likuwa tani 41,148.26 na samaki hai wa<br />
mapambo 53,188 ambapo jumla <strong>ya</strong> shilingi bilioni <strong>20</strong>7.45 zilipatikana<br />
kutokana na mauzo hayo. Kutokana na mauzo hayo, Serikali ilipata ushuru wa<br />
shilingi bilioni 6.41 (Jedwali Na. 14a na 14b).<br />
Katika mwaka <strong><strong>20</strong>10</strong>/<strong><strong>20</strong>11</strong>, Wizara kwa kushirikiana na wadau wengine<br />
itaendelea kusimamia uvunaji endelevu wa rasilimali <strong>ya</strong> uvuvi katika maji yote.<br />
Aidha, ili kuendeleza sekta <strong>ya</strong> uvuvi, Wizara itaendelea kuhamasisha uwekezaji<br />
katika sekta <strong>ya</strong> uvuvi.<br />
(ii) Ulinzi na Usimamizi wa Rasilimali za Uvuvi<br />
136. Mheshimiwa Spika, katika juhudi za Serikali za kudhibiti uvuvi haramu<br />
na utoroshaji wa samaki na mazao <strong>ya</strong> uvuvi mipakani, katika mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong><br />
vituo 18 v<strong>ya</strong> doria vilivyopo Dar es Salaam, Mwanza, Musoma, Bukoba, Tanga,<br />
Mtwara, Mafia, Kilwa, Horohoro, Kipili, Kasanga, Sota, Sirari, Kasumulo, Rusumo,<br />
Kanyigo, Kigoma na Tunduma vimeimarishwa kwa kupatiwa vitendea kazi.<br />
Aidha, boti 12 zimenunuliwa na kugawiwa kwenye vituo v<strong>ya</strong> doria v<strong>ya</strong> Kipili (1),<br />
Kanyigo (1), Kasumulo (1), Sota (1); Dar es Salaam (2), Tanga (2), Mtwara<br />
49
(2), Mafia (1) na Kilwa (1). Vilevile, injini mbili (2) zimenunuliwa kwa ajili <strong>ya</strong><br />
vituo v<strong>ya</strong> Kigoma na Bukoba. Pia, boti nyepesi (rubber dinghies) nne (4)<br />
zimenunuliwa na kusambazwa kwenye vituo v<strong>ya</strong> Dar es Salaam (1), Mafia (1)<br />
Mtwara (1) na Tanga (1).<br />
137. Mheshimiwa Spika, Wizara kwa kushirikiana na wadau wengine<br />
imeendelea kufan<strong>ya</strong> doria za nchi kavu, majini, angani na maeneo <strong>ya</strong> mipakani ili<br />
kudhibiti uvuvi na biashara haramu <strong>ya</strong> samaki. Katika mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong>, jumla<br />
<strong>ya</strong> siku-kazi za doria 6,096 zilifanyika nchi nzima ambazo ziliwezesha<br />
kukamatwa kwa makokoro 3,602, kamba za kokoro mita 235,745, n<strong>ya</strong>vu za<br />
utali (mon<strong>of</strong>ilament) 1,186, n<strong>ya</strong>vu zenye macho madogo 12,412, n<strong>ya</strong>vu za<br />
dagaa zenye macho madogo 110, katuli 18, mikuki 17, baruti 25, vifaa v<strong>ya</strong><br />
kuzamia jozi 14, mitumbwi 686, injini za boti 7, baiskeli 35, pikipiki 26, na<br />
magari 12. Pia, doria hizo ziliwezeshwa kukamatwa kwa samaki wachanga<br />
wabichi kilo 107,806, samaki wabichi kilo 2,182, samaki wakavu kilo 23,111,<br />
samaki waliovuliwa kwa baruti kilo 158, samaki waliovuliwa kwa sumu kilo 438,<br />
majongoo bahari kilo 300 na dagaa kilo 14,000. Jumla <strong>ya</strong> watuhumiwa 672<br />
walikamatwa na kesi 117 ziko mahakamani kwa makosa mbalimbali.<br />
138. Mheshimiwa Spika, wakaguzi wa Wizara wa samaki na zana za uvuvi<br />
walifan<strong>ya</strong> ukaguzi wa kustukiza kwenye kiw<strong>and</strong>a cha kutengeneza n<strong>ya</strong>vu cha<br />
IMARA FISHNET kilichopo Dar-es-Salaam ambapo jumla <strong>ya</strong> n<strong>ya</strong>vu zenye macho<br />
madogo 101,290 zilikamatwa na kufikishwa katika vyombo v<strong>ya</strong> dola, na kesi<br />
mbili dhidi <strong>ya</strong> mwenye kiw<strong>and</strong>a zinaendelea mahakama. Aidha, kutokana na<br />
ukaguzi huo n<strong>ya</strong>vu zenye macho madogo 4,066 zilisalimishwa kwa hiari na<br />
wafan<strong>ya</strong>biashara katika mkoa wa Dar-es-Salaam. Kutokana na kukithiri kwa<br />
uvuvi haramu nchini, mnamo tarehe 18 Januari, <strong><strong>20</strong>10</strong> Waziri Mkuu, Mhe.<br />
Mizengo Ka<strong>ya</strong>nza Peter Pinda (Mb) alitoa tamko la Serikali la kuwataka<br />
wavuvi nchini kusalimisha kwa hiari zana haramu za uvuvi kwenye vyombo v<strong>ya</strong><br />
usalama ndani <strong>ya</strong> siku 14. Kutokana na tamko hilo hadi kufikia tarehe 18 Machi<br />
<strong><strong>20</strong>10</strong> zana haramu 7,217 zilisalimishwa. Namshukuru sana Mhe. Waziri Mkuu<br />
kwa tamko lake ambalo limeleta mafanikio ha<strong>ya</strong>.<br />
139. Mheshimiwa Spika, Serikali kwa kushirikiana na nchi za Ken<strong>ya</strong> na<br />
Ug<strong>and</strong>a, imeendelea kuimarisha usimamizi wa rasilimali za uvuvi katika Ziwa<br />
Victoria kupitia Taasisi <strong>ya</strong> “Lake Victoria Fisheries Organisation”. Kwa kuimarisha<br />
uvuvi endelevu Serikali imechangia Taasisi hiyo jumla <strong>ya</strong> dola za kimarekani<br />
600,000 kwa mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong> kwa ajili <strong>ya</strong> doria maalum itakayojumuisha<br />
nchi za Ken<strong>ya</strong>, Ug<strong>and</strong>a na Tanzania. Katika mwaka <strong><strong>20</strong>10</strong>/<strong><strong>20</strong>11</strong>, Wizara kwa<br />
kushirikiana na wadau mbalimbali itaendelea kupambana na uvuvi haramu na<br />
utoroshaji wa samaki na mazao <strong>ya</strong> uvuvi kwa kufan<strong>ya</strong> siku-kazi za doria 12,000.<br />
Kazi nyingine zitakazotekelezwa ni pamoja na:-<br />
(i) Kuwezesha ujenzi wa Ofisi <strong>ya</strong> Mamlaka <strong>ya</strong> Kusimamia Uvuvi katika<br />
uk<strong>and</strong>a wa Bahari Kuu;<br />
50
(ii) Kutoa mafunzo kwa Waangalizi (Sea Observers) <strong>20</strong>, Wataalam wa<br />
kutumia “Vessel Monitoring System” 10 kuhusu kulinda, kudhibiti na<br />
kuzuia uvuvi haramu;<br />
(iii) Kuanzisha vituo viwili (2) v<strong>ya</strong> doria v<strong>ya</strong> Kabanga na Mbinga;<br />
(iv) Kununua boti tatu (3) kwa ajili <strong>ya</strong> vituo v<strong>ya</strong> doria vilivyopo kwenye<br />
Halmashauri za Mbinga, Sumbawanga na Musoma; na<br />
(v) Kukarabati vituo v<strong>ya</strong> doria v<strong>ya</strong> Kigoma, Bukoba na Musoma.<br />
140. Mheshimiwa Spika, katika mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong>, Wizara kwa kushirikiana<br />
na World Wide Fund for Nature (WWF) ime<strong>and</strong>aa Mwongozo wa kuanzisha<br />
maeneo <strong>ya</strong> usimamizi wa pamoja <strong>ya</strong> uvuvi ambapo maeneo matatu (3)<br />
<strong>ya</strong>meanzishwa katika Wila<strong>ya</strong> za Mafia, Rufiji na Kilwa. Pia, vikundi 512 v<strong>ya</strong><br />
Usimamizi wa Rasilimali <strong>ya</strong> Uvuvi vimeimarishwa, ambapo vikundi 438 viko<br />
katika Ziwa Victoria 29 Bwawa la Mtera, <strong>20</strong> Bwawa la Nyumba <strong>ya</strong> Mungu, 11<br />
Mto Ruhuhu 6 Mafia na 8 Rufiji. Aidha, kazi <strong>ya</strong> kuvijengea uwezo vikundi 14<br />
v<strong>ya</strong> Rufiji na Mafia imefanyika kwa kuvitengenezea mipango <strong>ya</strong> usimamizi wa<br />
uvuvi endelevu. Pia, Wizara imeanzisha vikundi vip<strong>ya</strong> 130 katika Uk<strong>and</strong>a wa<br />
Pwani.<br />
141. Mheshimiwa Spika, Wizara imeendelea kuimarisha usimamizi wa<br />
rasilimali za uvuvi kwa kufan<strong>ya</strong> tathmini <strong>ya</strong> hali <strong>ya</strong> uvuvi katika maeneo<br />
mbalimbali hapa nchini. Katika mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong>, maeneo <strong>ya</strong> Bwawa la<br />
Nyumba <strong>ya</strong> Mungu (Kilimanjaro), Ziwa Babati (Man<strong>ya</strong>ra), Kindai, Singidani na<br />
Kitangiri (Singida) <strong>ya</strong>lifanyiwa tathmini. Tathmini hizo zimebaini kuwepo kwa<br />
uharibifu wa mazingira kutokana na shughuli za kilimo kufanyika k<strong>and</strong>ok<strong>and</strong>o <strong>ya</strong><br />
maziwa, mito, na mabwawa na utupaji wa taka zisizooza, matokeo <strong>ya</strong> uharibifu<br />
huo wa mazingira ni kupungua kwa kina cha maji na hivyo kuathiri upatikanaji<br />
wa samaki. Changamoto iliyopo ni ukusan<strong>ya</strong>ji na utunzaji wa takwimu sahihi za<br />
uvuvi katika ngazi za Halmashauri.<br />
Katika mwaka <strong><strong>20</strong>10</strong>/<strong><strong>20</strong>11</strong>, Wizara itatekeleza <strong>ya</strong>fuatayo:-<br />
(i) Kuratibu na kutathmini utekelezaji wa shughuli za maendeleo <strong>ya</strong> uvuvi<br />
nchini pamoja na kuendeleza programu sahihi <strong>ya</strong> kupeana taarifa kuhusu<br />
matumizi endelevu <strong>ya</strong> rasilimali <strong>ya</strong> uvuvi;<br />
(ii) Kuimarisha Vikundi v<strong>ya</strong> Usimamizi wa Rasilimali za Uvuvi na kuhamasisha<br />
uanzishwaji wa vikundi 54 katika Halmashauri 13 za uk<strong>and</strong>a wa Pwani<br />
zinazotekeleza Mradi wa MACEMP;<br />
(iii) Kuendelea kuvijengea uwezo wa kutengeneza mipango <strong>ya</strong> usimamizi wa<br />
uvuvi endelevu vikundi v<strong>ya</strong> Usimamizi wa Rasilimali za Uvuvi vilivyopo<br />
katika Halmashauri 16 za uk<strong>and</strong>a wa Pwani zinazotekeleza Mradi wa<br />
MACEMP;<br />
(iv) Kuanzisha mt<strong>and</strong>ao wa vikundi v<strong>ya</strong> usimamizi wa rasilimali za uvuvi;<br />
(v) Kukarabati majengo <strong>ya</strong> iliyokuwa TAFICO eneo la Rasi Mkwavi<br />
(Kigamboni) kwa ajili <strong>ya</strong> kutumiwa na vitengo v<strong>ya</strong> doria, nyumba 3 za<br />
watumishi katika kituo cha doria cha Kigoma (1) na Kipili (2); na<br />
51
(vi) Kukarabati karakana za kutengenezea boti za Kigoma, Mtwara na Mwanza<br />
ili zitumike kwa ajili <strong>ya</strong> kutolea mafunzo <strong>ya</strong> uvuvi.<br />
Udhibiti wa Ubora na Usalama wa Mazao <strong>ya</strong> Uvuvi<br />
142. Mheshimiwa Spika, katika kuboresha usalama na ubora wa mazao <strong>ya</strong><br />
uvuvi kwa ajili <strong>ya</strong> soko la ndani na nje, Wizara imetoa mafunzo <strong>ya</strong> muda mfupi<br />
juu <strong>ya</strong> uhifadhi bora wa samaki, ukaguzi wa ndani wa viw<strong>and</strong>a na viwango kwa<br />
wataalam 25. Aidha, vituo 7 v<strong>ya</strong> ukaguzi wa ubora na usalama wa mazao <strong>ya</strong><br />
uvuvi v<strong>ya</strong> Bukoba, Kigoma, Kilwa, Mafia, Musoma, Mwanza, na Tanga<br />
vimeimarishwa kwa kupatiwa vitendea kazi na wataalam.<br />
143. Mheshimiwa Spika, katika mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong> jumla <strong>ya</strong> sampuli 638<br />
zilichunguzwa ili kuhakiki ubora na usalama wa mazao <strong>ya</strong> uvuvi. Kati <strong>ya</strong> sampuli<br />
hizo, 566 ni kwa ajili <strong>ya</strong> vimelea haribifu, 46 ni kwa ajili <strong>ya</strong> mabaki <strong>ya</strong> sumu na<br />
madawa na 26 kwa ajili <strong>ya</strong> uchunguzi wa madini tembo. Uchunguzi huo<br />
ulifanyika katika Maabara <strong>ya</strong> Taifa <strong>ya</strong> Uthibiti wa Ubora wa Samaki Nyegezi –<br />
Mwanza, Shirika la Viwango Tanzania, Chemiphar-Ug<strong>and</strong>a na SABS-Afrika Kusini<br />
ambapo sampuli zote zilionekana kuwa salama. Aidha, ukaguzi wa kuhakiki<br />
ubora na usalama wa samaki na mazao <strong>ya</strong>ke kabla <strong>ya</strong> kusafirishwa nje <strong>ya</strong> nchi<br />
ulifanyika ambapo jumla <strong>ya</strong> kilo 19,128,653 za mazao <strong>ya</strong> uvuvi na samaki hai<br />
wa mapambo 18,151 walikaguliwa. Pia, kilo 1,193,130 za mazao <strong>ya</strong> uvuvi<br />
zilizoingizwa nchini zilikaguliwa na kuhakikiwa. Vilevile, ukaguzi ulifanyika<br />
kwenye viw<strong>and</strong>a 29 v<strong>ya</strong> kuchakata na kuhifadhi mazao <strong>ya</strong> uvuvi vilivyopo k<strong>and</strong>a<br />
<strong>ya</strong> Ziwa Victoria na Pwani na kuonekana kuwa vimekidhi viwango.<br />
144. Mheshimiwa Spika, Wizara kupitia Mradi wa Utekelezaji wa Mpango wa<br />
Usimamizi wa Uvuvi katika Ziwa Victoria imeboresha mialo 19. Pia, ujenzi wa<br />
mialo 6 katika Halmashauri za Bukoba (1), Chato (1), Magu (1), Musoma (1),<br />
Ror<strong>ya</strong> (1), na Sengerema (1) unaendelea. Aidha, kupitia Mradi wa MACEMP<br />
usanifu wa ujenzi wa mialo 3 katika Halmashauri za Kilwa (1), Mafia (1) na Rufiji<br />
(1), zilizoko uk<strong>and</strong>a wa Pwani umekamilika.<br />
Katika mwaka <strong><strong>20</strong>10</strong>/<strong><strong>20</strong>11</strong> Wizara itatekeleza <strong>ya</strong>fuatayo:-<br />
(i) Kukarabati na kununua vifaa v<strong>ya</strong> Maabara <strong>ya</strong> Samaki, Nyegezi;<br />
(ii) Kufan<strong>ya</strong> uchunguzi wa kimaabara kwa sampuli 800 za min<strong>of</strong>u <strong>ya</strong> samaki,<br />
maji taka, masalia <strong>ya</strong> madawa <strong>ya</strong> mimea, viuatilifu na madini tembo;<br />
(iii) Kufan<strong>ya</strong> ukaguzi wa kuhakiki ubora wa samaki na mazao <strong>ya</strong>ke kabla <strong>ya</strong><br />
kusafirishwa nje <strong>ya</strong> nchi;<br />
(iv) Kufan<strong>ya</strong> ukaguzi kwenye viw<strong>and</strong>a v<strong>ya</strong> kuchakata na kuhifadhi samaki na<br />
mazao <strong>ya</strong> uvuvi; na<br />
(v) Kutoa mafunzo kuhusu uhifadhi wa samaki kwa wakaguzi 40 wa samaki,<br />
mafundi wa maabara <strong>20</strong> na wadau wa wavuvi 500 wanaoshughulikia<br />
ubora na usalama wa samaki na mazao <strong>ya</strong>ke.<br />
52
Kuimarisha Ukusan<strong>ya</strong>ji wa Takwimu za Sekta <strong>ya</strong> Uvuvi<br />
145. Mheshimiwa Spika, ili kuwa na uvuvi endelevu ni muhimu kuimarisha<br />
upatikanaji wa takwimu sahihi. Kwa kulitambua hilo, katika mwaka <strong>20</strong>09/<strong>20</strong>010,<br />
Wizara kwa kushirikiana na Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo<br />
(FAO) imetoa mafunzo kuhusu ukusan<strong>ya</strong>ji na uchambuzi wa takwimu kwa<br />
wataalam wa sekta <strong>ya</strong> uvuvi wa Halmashauri za Babati, Bagamoyo, Geita,<br />
Iramba, Kigoma Vijijini, Kyela, Lindi Vijijini, Ludewa, Mbinga, Mpwapwa, Muleba,<br />
Mwanga, Mkinga, Mtwara Vijijini, Nkasi, Ror<strong>ya</strong>, Sengerema, Simanjiro na<br />
Sumbawanga Vijijini. Aidha, Wizara imefan<strong>ya</strong> sensa <strong>ya</strong> uvuvi katika mikoa <strong>ya</strong><br />
Kilimanjaro, Man<strong>ya</strong>ra na Singida ambayo matokeo <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong>meonyesha kuwa Ziwa<br />
Jipe kuna mialo 4, wavuvi 78, vyombo v<strong>ya</strong> uvuvi 50 na zana za uvuvi 1,152;<br />
Ziwa Kitangiri lina mialo 3, wavuvi 457, vyombo 224 na zana za uvuvi 8,553;<br />
na Ziwa Babati mialo 11, wavuvi <strong>20</strong>2, vyombo 91 na zana za uvuvi 512.<br />
Vilevile, sensa ilifanyika kwenye wila<strong>ya</strong> 16 za mikoa <strong>ya</strong> Dar es Salaam, Lindi,<br />
Mtwara, Pwani na Tanga katika Uk<strong>and</strong>a wa Bahari <strong>ya</strong> Hindi chini <strong>ya</strong> Mradi wa<br />
MACEMP na kubaini kuwepo kwa mialo 257, vyombo v<strong>ya</strong> uvuvi 7,664, wavuvi<br />
36,321, wakulima wa mwani 5,579 na zana za uvuvi 55,335.<br />
146. Mheshimiwa Spika, katika mwaka <strong><strong>20</strong>10</strong>/<strong><strong>20</strong>11</strong>, Wizara itaendelea<br />
kusimamia na kuboresha ukusan<strong>ya</strong>ji wa takwimu ili kuwezesha upatikanaji wa<br />
taarifa sahihi za uvuvi. Aidha, Wizara kwa kushirikiana na wadau wengine<br />
itafan<strong>ya</strong> sensa <strong>ya</strong> uvuvi katika maeneo <strong>ya</strong> Ziwa Victoria, Tanganyika, N<strong>ya</strong>sa,<br />
mabwawa <strong>ya</strong> Mtera na Nyumba <strong>ya</strong> Mungu. Pia, Wizara itatoa mafunzo <strong>ya</strong><br />
ukusan<strong>ya</strong>ji takwimu za uvuvi kwa vikundi 48 v<strong>ya</strong> ulinzi shirikishi wa raslimali za<br />
uvuvi (BMUs) katika uk<strong>and</strong>a wa pwani.<br />
Ukuzaji wa Viumbe Kwenye Maji<br />
147. Mheshimiwa Spika, Wizara imeendelea kuhimiza ukuzaji wa viumbe<br />
kwenye maji kwa lengo la kuongeza upatikanaji wa samaki na mazao mengine<br />
<strong>ya</strong> kwenye maji. Makadirio <strong>ya</strong> uzalishaji wa samaki jamii <strong>ya</strong> perege katika<br />
mabwawa 15,133 ulikuwa tani 11.3, Kambamiti kwenye mabwawa 30 (Mafia)<br />
ulikuwa tani 60 na zao la mwani mkavu ulikuwa tani 527. Katika mwaka<br />
<strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong>, Wizara imeainisha maeneo <strong>ya</strong>nay<strong>of</strong>aa kwa ukuzaji na ufugaji wa<br />
viumbe kwenye maji bahari katika vijiji 39 v<strong>ya</strong> mikoa <strong>ya</strong> Mtwara (8), Lindi (9),<br />
Pwani (19) na Tanga (3). Aidha, Wizara kwa kushirikiana na World Wildlife Fund<br />
(WWF) na Chuo cha Maendeleo <strong>ya</strong> Uvuvi Mbegani, imeendelea kufan<strong>ya</strong><br />
majaribio <strong>ya</strong> ukuzaji wa lulu kwa kutumia chaza ambapo jumla <strong>ya</strong> vip<strong>and</strong>e v<strong>ya</strong><br />
lulu 750 vimep<strong>and</strong>ikizwa katika maeneo <strong>ya</strong> Mafia (400), Mtwara Vijijini (150)<br />
na Mbegani (<strong>20</strong>0).<br />
148. Mheshimiwa Spika, Wizara kwa kushirikiana na kampuni <strong>ya</strong> PRAWNTO<br />
imeanzisha kituo cha kuzalisha vifaranga v<strong>ya</strong> samaki katika Chuo cha Maendeleo<br />
<strong>ya</strong> Uvuvi Mbegani ambapo jumla <strong>ya</strong> vifaranga 75,000 v<strong>ya</strong> kambamiti<br />
53
vimezalishwa na kusambazwa kwa wafugaji katika mkoa wa Tanga. Aidha,<br />
maeneo mengine mawili kwa ajili <strong>ya</strong> kuanzisha vituo v<strong>ya</strong> kuzalishia vifaranga v<strong>ya</strong><br />
samaki wa maji bahari <strong>ya</strong>meainishwa katika vijiji v<strong>ya</strong> Chihiko (Mtwara) na<br />
Kizingani (Mkinga).<br />
149. Mheshimiwa Spika, katika kuimarisha vituo 8 v<strong>ya</strong> ufugaji wa samaki wa<br />
maji baridi, Wizara imekarabati mabwawa 34, imejenga matanki 19 <strong>ya</strong> kutunzia<br />
vifaranga na kuchimba mabwawa map<strong>ya</strong> 4 kwa ajili <strong>ya</strong> kuongeza uzalishaji wa<br />
vifaranga v<strong>ya</strong> samaki. Aidha, kisima kirefu kimechimbwa katika Kituo cha<br />
Uzalishaji Vifaranga v<strong>ya</strong> Samaki cha Kingolwira ili kuwa chanzo cha uhakika wa<br />
maji kwa ajili <strong>ya</strong> uzalishaji endelevu. Pia, vituo 8 viliimarishwa kwa kununuliwa<br />
samani za <strong>of</strong>isi na vitendea kazi. Vilevile, nyumba moja imekarabatiwa katika<br />
kituo cha Luhira (Songea) kwa lengo la kuwa darasa la kufundishia wagani-kazi<br />
watakaosaidia kueneza elimu <strong>ya</strong> ufugaji samaki katika maeneo <strong>ya</strong>o.<br />
Kazi nyingine zilizotekelezwa ni pamoja na:-<br />
(i) Kutoa huduma za ugani juu <strong>ya</strong> ukuzaji viumbe kwenye maji kwa wafugaji<br />
wa samaki 1,021 katika maeneo <strong>ya</strong> Dar-es-Salaam (28), Kagera (3),<br />
Kilimanjaro (<strong>20</strong>), Lindi (14), Morogoro (9), Mtwara (10), Pwani (797),<br />
Ruvuma (60), Tabora (4) na Tanga (76);<br />
(ii) Kushirikiana na sekta binafsi kuzalisha na kusambaza vifaranga 967,551<br />
v<strong>ya</strong> samaki wa maji baridi aina <strong>ya</strong> perege kwenye mabwawa na malambo<br />
katika mikoa 15 <strong>ya</strong> Dar-es-Salaam, Dodoma, Iringa, Kagera, Kilimanjaro,<br />
Lindi, Mara, Morogoro, Mwanza, Pwani, Rukwa, Ruvuma, Shin<strong>ya</strong>nga,<br />
Tabora na Tanga;<br />
(iii) Kuzalisha na kusambaza kwa wafugaji vifaranga 10,000 v<strong>ya</strong> kambale<br />
kutoka kituo cha Kingolwira;<br />
(iv) Kutambua mabwawa 66 <strong>ya</strong>nay<strong>of</strong>aa kup<strong>and</strong>ikizwa samaki kati <strong>ya</strong> 85<br />
<strong>ya</strong>liy<strong>of</strong>anyiwa tathmini katika ranchi za mifugo za Dakawa (4), Kagoma<br />
(8), Kalambo (3), Kongwa (5), Kikulula (8), Mabale (10), Misenyi (8),<br />
Mzeri (15), Ruvu (15), Usangu (6) na Uvinza (3); na<br />
(v) Kup<strong>and</strong>ikiza vifaranga v<strong>ya</strong> samaki aina <strong>ya</strong> perege 130,000 kwenye<br />
mabwawa 8 katika ranchi za Mzeri na Ruvu.<br />
150. Mheshimiwa Spika, Wizara kwa kushirikiana na taasisi zisizo za kiserikali<br />
za SEMMA na Kampuni <strong>ya</strong> N<strong>ya</strong>mwese kupitia mradi wa MACEMP imeendelea<br />
kuboresha kilimo cha zao la Mwani katika maeneo <strong>ya</strong> uk<strong>and</strong>a wa pwani <strong>ya</strong><br />
bahari <strong>ya</strong> Hindi. Kupitia taasisi hizo, Wizara imewezesha kuundwa kwa vikundi<br />
v<strong>ya</strong> ushirika wa wakulima wa mwani v<strong>ya</strong> Maliwazano (Mkinga) na Jibondo<br />
(Mafia). Kikundi cha Maliwazo kimewezeshwa kwa kupatiwa mbegu za mwani,<br />
vitendea kazi, mafunzo <strong>ya</strong> kilimo bora cha mwani na usimamizi wa ushirika,<br />
kujengewa ghala la kuhifadhia mwani, na kupatiwa boti ndogo 10 za kubebea<br />
mwani. Vilevile, wanakikundi 32 wa kikundi cha Jibondo wamepatiwa mafunzo<br />
<strong>ya</strong> kilimo bora cha mwani.<br />
54
151. Mheshimiwa Spika, katika mwaka <strong><strong>20</strong>10</strong>/<strong><strong>20</strong>11</strong>, Wizara itaendelea<br />
kuratibu na kusimamia ufugaji na uendelezaji wa mazao <strong>ya</strong>tokanayo na ukuzaji<br />
wa viumbe kwenye maji kwa kutekeleza <strong>ya</strong>fuatayo:-<br />
(i) Kuimarisha vituo nane (8) v<strong>ya</strong> ufugaji wa samaki na kuzalisha na<br />
kusambaza vifaranga bora v<strong>ya</strong> samaki milioni 3;<br />
(ii) Kuimarisha vituo 3 v<strong>ya</strong> uzalishaji wa mbegu za viumbe wakuzwao kwenye<br />
maji bahari vilivyoko Bagamoyo, Tanga na Mtwara;<br />
(iii) Kuhamasisha shughuli za ufugaji samaki, unenepeshaji wa kaa na ukuzaji<br />
wa lulu; na<br />
(iv) Kutoa mafunzo <strong>ya</strong> muda mfupi <strong>ya</strong> ukusan<strong>ya</strong>ji wa takwimu, teknolojia za<br />
kisasa za utengenezaji wa v<strong>ya</strong>kula v<strong>ya</strong> samaki, uzalishaji wa vifaranga<br />
bora v<strong>ya</strong> samaki na mifumo <strong>ya</strong> kisasa <strong>ya</strong> Ukuzaji Viumbe kwenye Maji.<br />
Miradi <strong>ya</strong> Sekta za Mifugo na Uvuvi<br />
Mradi wa Usimamizi wa Mazingira <strong>ya</strong> Bahari na Uk<strong>and</strong>a wa Pwani-<br />
MACEMP<br />
152. Mheshimiwa Spika, Wizara inatekeleza mradi wa MACEMP kwa<br />
kushirikiana na Ofisi <strong>ya</strong> Makamu wa Rais – Mazingira, Wizara <strong>ya</strong> Maliasili na<br />
Utalii, Wizara <strong>ya</strong> Ardhi, Nyumba na Maendeleo <strong>ya</strong> Makazi, pamoja na<br />
Halmashauri 16 za mwambao wa Bahari <strong>ya</strong> Hindi.<br />
Katika mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong> wananchi 4,486, wakiwemo wanawake 1,806 na<br />
wanaume 2,680 wamewezeshwa kutekeleza miradi midogo <strong>ya</strong> kiuchumi 252<br />
katika Halmashauri za Wila<strong>ya</strong> za Rufiji (2), Mafia (13), Bagamoyo (42), Muheza<br />
(10), Mkinga (28), Pangani (24), Mkuranga (16), Lindi Vijijini (<strong>20</strong>), Lindi Mjini<br />
(9), Mtwara Vijijini (15), Manispaa za Mtwara-Mikindani (<strong>20</strong>), Kinondoni (10),<br />
Temeke (5) na Ilala (7) na Jiji la Tanga (31) yenye thamani <strong>ya</strong> shilingi bilioni<br />
3.9. Aidha, vikundi 31 v<strong>ya</strong> kijamii vinavyojihusisha na miradi <strong>ya</strong> utunzaji na<br />
hifadhi <strong>ya</strong> mazingira <strong>ya</strong> bahari na Uk<strong>and</strong>a wa Pwani katika Halmashauri za<br />
Wila<strong>ya</strong> za Pangani (10) na Muheza (3), Manispaa za Kinondoni (6), Temeke (5)<br />
na Ilala (1), na Jiji la Tanga (6) vimewezeshwa kwa kupatiwa fedha kiasi cha<br />
shilingi milioni 154.6 ili kutekeleza miradi hiyo.<br />
Katika mwaka <strong><strong>20</strong>10</strong>/<strong><strong>20</strong>11</strong> Wizara kwa kushirikiana na Halmashauri 16 na wadau<br />
wengine itaendelea kutekeleza Mradi wa MACEMP katika kusimamia mazingira<br />
<strong>ya</strong> bahari na uk<strong>and</strong>a wa pwani kwa kutekeleza <strong>ya</strong>fuatayo:-<br />
(i) Kuwezesha Halmashauri 16 za mwambao na Taasisi za Serikali kutekeleza<br />
majukumu <strong>ya</strong> mradi;<br />
(ii) Kukamilisha mipango <strong>ya</strong> matumizi bora <strong>ya</strong> ardhi;<br />
(iii) Kukamilisha mipango <strong>ya</strong> matumizi <strong>ya</strong> uwiano <strong>ya</strong> matumizi <strong>ya</strong> raslimali za<br />
bahari na uk<strong>and</strong>a wa pwani;<br />
55
(iv) Kukamilisha ujenzi wa Jengo la Ofisi la Mvuvi na Ofisi za Mamlaka <strong>ya</strong><br />
Usimamizi wa Bahari Kuu;<br />
(v) Kuendelea kuzijengea uwezo jamii za wavuvi wa Uk<strong>and</strong>a wa Pwani kwa<br />
kuendeleza miradi midogo ili kuinua kipato;<br />
(vi) Kuwezesha doria za kudhibiti uvuvi haramu na matumizi <strong>ya</strong>siyo endelevu<br />
<strong>ya</strong> rasilimali za bahari na uk<strong>and</strong>a wa Pwani;<br />
(vii) Kukamilisha mchakato wa uanzishwaji wa mfuko wa kukabiliana na athari<br />
za mazingira <strong>ya</strong> bahari na uk<strong>and</strong>a wa pwani ujulikanao kama (Marine<br />
Legacy Fund);<br />
(viii) Kuwahamasisha wananchi wa mwambao wa bahari kuimarisha na<br />
kuanzisha SACCOS pamoja na Benki <strong>ya</strong> Wananchi wa Mwambao wa<br />
Pwani; na<br />
(ix) Kuendelea na usimamizi wa rasilimali za uvuvi katika Bahari Kuu (EZZ),<br />
ikiwa ni pamoja na kuimarisha doria na ukusan<strong>ya</strong>ji wa mapato, kupitia<br />
Mamlaka <strong>ya</strong> Usimamizi wa Uvuvi katika Bahari Kuu (Deep Sea Fishing<br />
Authority).<br />
Mradi wa Utekelezaji wa Mpango wa Usimamizi wa Uvuvi katika Ziwa<br />
Victoria (IFMP)<br />
153. Mheshimiwa Spika, Mradi wa Utekelezaji wa Mpango wa Usimamizi wa<br />
Uvuvi katika Ziwa Victoria ni mradi unaotekelezwa na nchi za Ken<strong>ya</strong>, Tanzania<br />
na Ug<strong>and</strong>a. Mradi unasimamiwa na Taasisi <strong>ya</strong> Uvuvi <strong>ya</strong> Jumuia <strong>ya</strong> Afrika<br />
Mashariki katika Ziwa Victoria - Lake Victoria Fisheries Organization (LVFO).<br />
Katika mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong>, Wizara kupitia Mradi huo imetekeleza <strong>ya</strong>fuatayo:-<br />
(i) Kuboresha mialo sita <strong>ya</strong> Bwai (Musoma), Sota (Ror<strong>ya</strong>), Kigangama<br />
(Magu), Kahunda (Sengerema), Kikumba Itare (Chato) na Marehe<br />
(Bukoba) kwa gharama <strong>ya</strong> shilingi bilioni 3.3;<br />
(ii) Kusimamia matumizi endelevu <strong>ya</strong> rasilimali <strong>ya</strong> uvuvi kwa kugharamia doria<br />
zilizowezesha kukamatwa kwa wahalifu 55, makokoro 113, n<strong>ya</strong>vu za<br />
timba 773 na n<strong>ya</strong>vu za makila 10,737;<br />
(iii) Kutoa ushauri kwa jamii za wavuvi kupitia Vikundi v<strong>ya</strong> Usimamizi wa<br />
Rasilimali <strong>ya</strong> Uvuvi (BMUs) ambapo mit<strong>and</strong>ao 212 <strong>ya</strong> BMUs imeundwa<br />
katika ngazi <strong>ya</strong> Kijiji (68), Kata (1<strong>20</strong>), Wila<strong>ya</strong> (12) na Mkoa (3);<br />
(iv) Kutoa mafunzo kwa viongozi 576 wa mt<strong>and</strong>ao ngazi <strong>ya</strong> Kata (516),<br />
Wila<strong>ya</strong> (48) na Mkoa (12); na<br />
(v) Kuwezesha ujenzi wa huduma za jamii katika mialo na vijiji vinavyopakana<br />
na Ziwa Victoria ambapo jumla <strong>ya</strong> shilingi milioni 165 zilitumika katika<br />
ujenzi wa zahanati 2, moja Muleba na nyingine Sengerema; madarasa 9,<br />
Chato (2), Sengerema (4) na Ror<strong>ya</strong> (3); <strong>of</strong>isi za walimu Chato (1) na<br />
Sengerema(1) na nyumba moja <strong>ya</strong> walimu (Muleba).<br />
Katika mwaka <strong><strong>20</strong>10</strong>/<strong><strong>20</strong>11</strong>, Wizara kupitia mradi wa Utekelezaji wa Mpango wa<br />
Usimamizi wa Uvuvi katika Ziwa Victoria itaendelea kutoa mafunzo kwa BMUs na<br />
56
kufan<strong>ya</strong> doria katika Ziwa Victoria ili kupambana na uvuvi haramu na<br />
kuhakikisha raslimali <strong>ya</strong> uvuvi katika Ziwa Victoria inakuwa endelevu.<br />
Mradi wa Kuimarisha Uwezo wa Kudhibiti Magonjwa <strong>ya</strong> Mlipuko <strong>ya</strong><br />
Mifugo (SADC–TADs Project)<br />
154. Mheshimiwa Spika, Wizara imeendelea kutekeleza mradi wa kudhibiti<br />
magonjwa <strong>ya</strong> mlipuko <strong>ya</strong> mifugo ambao unahusisha nchi tano za Jumui<strong>ya</strong> <strong>ya</strong><br />
Nchi za Kusini mwa Afrika za Angola, Malawi, Msumbiji, Tanzania na Zambia.<br />
Mradi unafadhiliwa na Benki <strong>ya</strong> Maendeleo <strong>ya</strong> Afrika (AfDB) ambapo Tanzania<br />
imetengewa jumla <strong>ya</strong> dola za Kimarekani 5,888,189. Madhumuni <strong>ya</strong> mradi huo<br />
ni kuimarisha maabara na vituo v<strong>ya</strong> uchunguzi wa magonjwa <strong>ya</strong> mifugo.<br />
Katika mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong>, Wizara kupitia mradi huo imetekeleza kazi zifuatazo:-<br />
(i) Ku<strong>and</strong>aa taratibu za kudhibiti ugonjwa wa Miguu na Midomo pamoja na<br />
kuhamasisha wadau kuhusu udhibiti wa ugonjwa wa Homa <strong>ya</strong> Mapafu <strong>ya</strong><br />
Ng’ombe nchini kwa kushirikiana na wadau;<br />
(ii) Kufan<strong>ya</strong> uchunguzi wa ugonjwa wa Sotoka <strong>ya</strong> Mbuzi na Kondoo (Pestes<br />
des Petits Ruminants) katika k<strong>and</strong>a za Kaskazini, Kusini na Ziwa ambapo<br />
sampuli 4,000 kutoka kwenye mbuzi na kondoo zilichunguzwa;<br />
(iii) Kufan<strong>ya</strong> uchunguzi wa ugonjwa wa Homa <strong>ya</strong> Mapafu <strong>ya</strong> Ng’ombe katika<br />
k<strong>and</strong>a <strong>ya</strong> N<strong>ya</strong>nda za Juu Kusini ambapo uchunguzi umeonyesha kupungua<br />
kwa matukio <strong>ya</strong> ugonjwa;<br />
(iv) Kununua vitendea kazi v<strong>ya</strong> maabara na vifaa mbalimbali v<strong>ya</strong> uchunguzi wa<br />
ugonjwa wa Sotoka (Rinderpest test kit);<br />
(v) Kununua pikipiki 10 kwa ajili <strong>ya</strong> Vituo v<strong>ya</strong> ukaguzi wa mifugo na mazao<br />
<strong>ya</strong>ke v<strong>ya</strong> B<strong>and</strong>ari <strong>ya</strong> Dar es Salaam, Uwanja wa ndege Dar es Salaam,<br />
Tunduma (Mbe<strong>ya</strong>), Sirari (Mara), B<strong>and</strong>ari <strong>ya</strong> Kigoma, Mutukula (Kagera),<br />
Horohoro (Tanga), Holili (Kilimanjaro), Isongole (Mbe<strong>ya</strong>) na B<strong>and</strong>ari <strong>ya</strong><br />
Mwanza na magari 9 kwa ajili <strong>ya</strong> Maabara Kuu <strong>ya</strong> Temeke na Vituo v<strong>ya</strong><br />
Uchunguzi wa Magonjwa <strong>ya</strong> Mifugo v<strong>ya</strong> K<strong>and</strong>a v<strong>ya</strong> Arusha, Iringa,<br />
Mpwapwa, Mtwara, Mwanza, Tabora na Temeke; na<br />
(vi) Kutoa mafunzo mbalimbali kwa watumishi 86.<br />
Katika mwaka <strong><strong>20</strong>10</strong>/<strong><strong>20</strong>11</strong>, Wizara itatekeleza kazi zifuatazo:-<br />
(i) Kununua vifaa kwa ajili <strong>ya</strong> Maabara Kuu <strong>ya</strong> Taifa <strong>ya</strong> Mifugo – Temeke na<br />
Vituo v<strong>ya</strong> Uchunguzi wa Magonjwa <strong>ya</strong> Mifugo v<strong>ya</strong> K<strong>and</strong>a;<br />
(ii) Kutoa mafunzo <strong>ya</strong> muda mfupi kwa wataalam <strong>20</strong> na <strong>ya</strong> muda mrefu<br />
katika shahada <strong>ya</strong> uzamili kwa wataalam 4; na<br />
(iii) Kufan<strong>ya</strong> uchunguzi wa ugonjwa wa Miguu na Midomo kwa mifugo na<br />
wan<strong>ya</strong>ma pori pamoja na ugonjwa wa Homa <strong>ya</strong> Mapafu katika maeneo<br />
mbalimbali nchini.<br />
57
Huduma za Utawala na Rasilimali Watu<br />
Maendeleo <strong>ya</strong> Watumishi.<br />
155. Mheshimiwa Spika, Wizara ina jumla <strong>ya</strong> watumishi 1,9<strong>20</strong> kati <strong>ya</strong> hao<br />
900 ni wataalam wa mifugo, 340 ni wataaam wa uvuvi na 680 ni wa kada<br />
nyingine. Mahitaji halisi ni watumishi 2,530. Katika mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong>, Wizara<br />
imeajiri watumishi 40, kup<strong>and</strong>isha vyeo watumishi 97 na kuthibitisha kazini<br />
watumishi 38. Aidha, jumla <strong>ya</strong> wastaafu 46 wamelipwa mafao <strong>ya</strong>o na<br />
kuwezesha maziko kwa watumishi 9 wali<strong>of</strong>ariki dunia. Vilevile, kazi nyingine<br />
zilizotekelezwa ni pamoja na:-<br />
(i) Kutoa mafunzo <strong>ya</strong> mfumo wa Wazi wa Upimaji na Tathmini <strong>ya</strong> Utendaji<br />
Kazi (OPRAS) ndani <strong>ya</strong> Wizara kwa watumishi <strong>20</strong>0;<br />
(ii) Kuwezesha mafunzo <strong>ya</strong> muda mrefu kwa watumishi 38 na <strong>ya</strong> muda mfupi<br />
kwa watumishi 11;<br />
(iii) Kununua vitendea kazi v<strong>ya</strong> kuhifadhia n<strong>ya</strong>raka ili kuboresha utunzaji wa<br />
n<strong>ya</strong>raka na kumbukumbu za Serikali;<br />
(iv) Kusambaza kwa wadau nakala 350 za Mkataba wa Huduma kwa Mteja;<br />
(v) Kuwezesha watumishi 52 kushiriki katika michezo <strong>ya</strong> SHIMIWI iliy<strong>of</strong>anyika<br />
katika Manispaa <strong>ya</strong> Morogoro mwezi Oktoba, <strong>20</strong>09;<br />
(vi) Kuwezesha vikao 4 v<strong>ya</strong> TUGHE na 2 v<strong>ya</strong> Baraza la Wafan<strong>ya</strong>kazi;<br />
(vii) Ku<strong>and</strong>aa Programu <strong>ya</strong> Mafunzo <strong>ya</strong> Watumishi wa Wizara; na<br />
(viii) Kushirikisha Sekta binafsi katika utoaji huduma za ulinzi na usafi katika<br />
Makao Makuu <strong>ya</strong> Wizara na baadhi <strong>ya</strong> Taasisi zake.<br />
156. Mheshimiwa Spika, katika mwaka <strong><strong>20</strong>10</strong>/<strong><strong>20</strong>11</strong>, Wizara itaajiri jumla <strong>ya</strong><br />
wataalam 72, kati <strong>ya</strong> hao, 36 ni wa mifugo, 22 ni wa uvuvi na 14 wa fani<br />
nyingine. Aidha, watumishi 380 watap<strong>and</strong>ishwa vyeo na 80 kuthibitishwa kazini.<br />
Pia, watumishi <strong>20</strong>0 wa kada mbalimbali watapatiwa mafunzo, kati <strong>ya</strong> hao 50 <strong>ya</strong><br />
muda mrefu na 150 <strong>ya</strong> muda mfupi. Kazi nyingine zitakazotekelezwa ni pamoja<br />
na:-<br />
(i) Kuelimisha wadau kuhusu Mkataba wa Huduma kwa Mteja na kufan<strong>ya</strong><br />
tathmini <strong>ya</strong> ubora wa huduma kwa wateja;<br />
(ii) Kukamilisha Benki <strong>ya</strong> takwimu (DataBank) za watumishi kwa ajili <strong>ya</strong><br />
kutunza kumbukumbu;<br />
(iii) Kushirikiana na v<strong>ya</strong>ma v<strong>ya</strong> wafan<strong>ya</strong>kazi na Baraza la Wafan<strong>ya</strong>kazi ili<br />
kuwezesha watumishi kuboresha utendaji kazi na kujenga uhusiano mzuri<br />
kati <strong>ya</strong> watumishi na mwajiri;<br />
(iv) Kuhamasisha wafan<strong>ya</strong>kazi kushiriki katika michezo ili kuboresha af<strong>ya</strong> zao<br />
na kuimarisha uelewano miongoni mwao;<br />
(v) Kuboresha utoaji wa huduma kwa Wadau kwa kuzingatia Mkataba wa<br />
Huduma kwa Mteja; na<br />
58
(vi) Kuimarisha mfumo wa wazi wa kupima utendaji kazi (OPRAS) ndani <strong>ya</strong><br />
Wizara.<br />
Masuala Mtambuka<br />
Habari, Elimu na Mawasiliano<br />
157. Mheshimiwa Spika, Wizara imeendelea na jukumu la kuelimisha umma<br />
kwa kutumia njia mbalimbali za mawasiliano. Katika mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong>, jumla <strong>ya</strong><br />
nakala 4,000 za kalenda <strong>ya</strong> mwaka <strong><strong>20</strong>10</strong>, nakala 2,000 za Jarida la Mifugo na<br />
Uvuvi na nakala 1,000 za mabango kuhusu Sekta za Mifugo na Uvuvi<br />
zimechapishwa na kusambazwa. Aidha, vipindi 12 v<strong>ya</strong> televisheni na <strong>20</strong> v<strong>ya</strong><br />
radio vinavyohusu Wizara vili<strong>and</strong>aliwa na kurushwa hewani. Pia, Mkakati wa<br />
Mawasiliano wa Wizara ume<strong>and</strong>aliwa. Katika mwaka <strong><strong>20</strong>10</strong>/<strong><strong>20</strong>11</strong> Wizara<br />
itaendelea kuta<strong>ya</strong>risha na kusambaza taarifa za matukio mbalimbali kuhusu<br />
Maendeleo <strong>ya</strong> Sekta za Mifugo na Uvuvi pamoja na kuta<strong>ya</strong>risha na kusambaza<br />
nakala 1,000 za majarida na 1,000 za kalenda.<br />
Rushwa, Jinsia na UKIMWI<br />
158. Mheshimiwa Spika, katika mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong>, Wizara imeendelea<br />
kuzingatia sheria na miongozo <strong>ya</strong> ajira katika utumishi wa umma, manunuzi na<br />
ugavi ili kuleta uwazi katika utoaji huduma na hivyo kuzuia mian<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> rushwa<br />
kwa kuzingatia Mpango Mkakati wa Taifa wa Kupambana na Rushwa. Aidha,<br />
Wizara imeendelea kutoa elimu <strong>ya</strong> jinsia na kujumuisha masuala <strong>ya</strong> jinsia katika<br />
mipango, mikakati na programu mbalimbali za kuendeleza Sekta za Mifugo na<br />
Uvuvi. Pia, Kamati <strong>ya</strong> Jinsia imeendelea kuimarishwa kwa kupatiwa mafunzo <strong>ya</strong><br />
muda mfupi.<br />
Katika mwaka <strong><strong>20</strong>10</strong>/<strong><strong>20</strong>11</strong> Wizara itaendelea kutekeleza Mkakati wa Kuzuia na<br />
Kuziba Mian<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Rushwa wa Wizara. Pia, itafan<strong>ya</strong> tathmini <strong>ya</strong> jinsia ili kuweza<br />
kubaini mbinu za kuleta usawa wa jinsia ndani <strong>ya</strong> Wizara. Aidha, Wizara<br />
itaendelea kutoa mafunzo zaidi kwa mratibu wa dawati la jinsia na watumishi<br />
wengine kuhusu masuala <strong>ya</strong> jinsia.<br />
159. Mheshimiwa Spika, katika mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong>, Wizara imeendelea<br />
kufan<strong>ya</strong> tathmini <strong>ya</strong> hali <strong>ya</strong> UKIMWI pamoja na kuhamasisha watumishi kupima<br />
kwa hiari af<strong>ya</strong> zao. Kutokana na uhamasishaji huo, idadi <strong>ya</strong> watumishi<br />
waliojitokeza kupatiwa huduma <strong>ya</strong> posho <strong>ya</strong> chakula cha lishe kwa mujibu wa<br />
Waraka Na.2 wa mwaka <strong>20</strong>06 wameongezeka kutoka 3 mwaka <strong>20</strong>08/<strong>20</strong>09 hadi<br />
7 mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong>. Aidha, Kamati <strong>ya</strong> UKIMWI <strong>ya</strong> Wizara imeimarishwa na<br />
masuala <strong>ya</strong> UKIMWI <strong>ya</strong>mefanywa Ajenda muhimu katika mikutano na<br />
makongamano <strong>ya</strong>nayo<strong>and</strong>aliwa na Wizara na V<strong>ya</strong>ma v<strong>ya</strong> Kitaaluma v<strong>ya</strong> Sekta.<br />
59
Katika mwaka <strong><strong>20</strong>10</strong>/<strong><strong>20</strong>11</strong>, Wizara itaendelea kuhamasisha watumishi kupima<br />
kwa hiari af<strong>ya</strong> zao, kuwahudumia walioathirika na kukamilisha Mpango Mkakati<br />
wa Wizara wa Kuzuia maambukizi map<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> UKIMWI kufuatia kukamilika kwa<br />
tathmini <strong>ya</strong> hali <strong>ya</strong> UKIMWI katika Wizara.<br />
Hifadhi <strong>ya</strong> Mazingira na Mabadiliko <strong>ya</strong> Tabianchi<br />
160. Mheshimiwa Spika, katika mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong>, Wizara kwa kushirikiana<br />
na wadau imeanza kupitia Sera, Sheria na Kanuni za Sekta za Mifugo na Uvuvi<br />
kuhusu mazingira. Aidha, Wizara imeendelea kutoa elimu <strong>ya</strong> utunzaji na uhifadhi<br />
wa mazingira katika jamii za wafugaji wa asili na wavuvi ili kuhakikisha matumizi<br />
endelevu <strong>ya</strong> rasilimali za mifugo na uvuvi. Wizara ilitoa mafunzo kuhusu namna<br />
<strong>ya</strong> kukabiliana na mabadiliko <strong>ya</strong> tabianchi na matumizi endelevu <strong>ya</strong> n<strong>ya</strong>nda za<br />
malisho kwa wataalam 48 kutoka katika Halmashauri za Arumeru, Babati, Bahi,<br />
Chamwino, Hanang, H<strong>and</strong>eni, Iramba, Kilindi, Kilosa, Kilombero, Kisarawe,<br />
Kiteto, Kongwa, Korogwe, Kondoa, Longido, Manyoni, Meatu, Monduli,<br />
Morogoro-Manispaa, Morogoro-Vijijini, Mvomero, Mpwapwa, Mwanga,<br />
Ngorongoro, Simanjiro, Same, Siha, Singida na Rufiji.<br />
161. Mheshimiwa Spika, katika mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong>, Wizara iliendelea na<br />
mchakato wa kuanzisha mfumo wa tahadhari <strong>ya</strong> majanga <strong>ya</strong> mifugo nchini kwa<br />
kutoa mafunzo juu <strong>ya</strong> ukukusan<strong>ya</strong>ji na uchambuzi wa takwimu kwa wataalam<br />
37 kutoka katika Halmashauri 7 za Lindi Mjini, Lindi vijijni, Kilwa, Liwale,<br />
Nachingwea, Ruangwa na Rufiji na kuhusisha Kituo cha Utafiti cha Naliendele<br />
kutoka mikoa <strong>ya</strong> K<strong>and</strong>a <strong>ya</strong> Kusini. Katika mwaka <strong><strong>20</strong>10</strong>/<strong><strong>20</strong>11</strong>, Wizara etaendelea<br />
kutoa mafunzo kuhusu ukukusan<strong>ya</strong>ji na uchambuzi wa takwimu kwa wataalam<br />
50 kutoka mikoa <strong>ya</strong> K<strong>and</strong>a za Kaskazini-Mashariki, Kati na Ziwa.<br />
Maadhimisho Muhimu katika Sekta za Mifugo na Uvuvi<br />
162. Mheshimiwa Spika, katika mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong>, Wizara iliratibu na<br />
kushiriki katika mikutano na maadhimisho mbalimbali <strong>ya</strong> Sekta za Mifugo na<br />
Uvuvi kama ifuatavyo:-<br />
(i) Maadhimisho <strong>ya</strong> Sikukuu <strong>ya</strong> Wakulima Nane Nane <strong>ya</strong>lifanyika katika<br />
Manispaa <strong>ya</strong> Dodoma kuanzia tarehe 1 hadi 8 Agosti, <strong>20</strong>09 <strong>ya</strong>kiwa na<br />
Kaulimbiu “Kilimo Kwanza-Mapinduzi <strong>ya</strong> Kijani, Uhakika wa<br />
Chakula na Kipato”. Nawapongeza wafugaji, wavuvi na wananchi wote<br />
walioshiriki katika kufanikisha maonesho hayo;<br />
(ii) Wiki <strong>ya</strong> Unywaji Maziwa ilifanyika Kitaifa mjini Lindi tarehe 26 Mei hadi 1<br />
<strong>Juni</strong>, <strong><strong>20</strong>10</strong> ikiwa na Kaulimbiu “Je, umekunywa maziwa leo? Fuga<br />
ng’ombe wa maziwa”; na<br />
60
(iii) Siku <strong>ya</strong> Chakula Duniani iliy<strong>of</strong>anyika tarehe 16 Oktoba, <strong>20</strong>09 katika<br />
Manispaa <strong>ya</strong> Musoma ikiwa na Kaulimbiu“Tuimarishe Uhakika wa<br />
Chakula Kukabiliana na Majanga“.<br />
D: SHUKRANI<br />
163. Mheshimiwa Spika, kwa niaba <strong>ya</strong> Wizara <strong>ya</strong> Maendeleo <strong>ya</strong> Mifugo na<br />
Uvuvi napenda kutoa shukrani za dhati kwa wale wote walioshirikiana nasi kwa<br />
njia moja au nyingine katika kutimiza majukumu yetu. Aidha, natoa shukrani<br />
zangu za dhati kwa Mhe. Dkt. James Mnanka Wan<strong>ya</strong>ncha, Naibu Waziri wa<br />
Maendeleo <strong>ya</strong> Mifugo na Uvuvi na Mbunge wa Jimbo la Serengeti, Katibu Mkuu<br />
Dkt. Charles N<strong>ya</strong>mrunda, Wakuu wa Idara na Taasisi za Wizara, Wafan<strong>ya</strong>kazi<br />
na Wadau wote kwa mshikamano wao katika kuendeleza Sekta za Mifugo na<br />
Uvuvi. Napenda kutoa shukrani za pekee kwa washiriki wetu wa maendeleo<br />
pamoja na wahisani wanaotuunga mkono katika kutekeleza miradi mbalimbali <strong>ya</strong><br />
Sekta za Mifugo na Uvuvi.<br />
164. Mheshimiwa Spika, napenda kuchukua fursa hii kuzitambua na<br />
kuzishukuru Jumui<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Afrika Mashariki (EAC), Jumui<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Maendeleo <strong>ya</strong> Nchi<br />
za Kusini mwa Afrika (SADC), Umoja wa Nchi za Ula<strong>ya</strong> (EU), Serikali za Australia,<br />
Austria, Denmark, Japan, Jamhuri <strong>ya</strong> Afrika <strong>ya</strong> Kusini, Jamhuri <strong>ya</strong> Watu wa<br />
China, Irel<strong>and</strong>, Marekani, Misri, Sweden, Ubelgiji, Ufaransa, Uholanzi, Uingereza,<br />
Ujerumani, Uswisi na Italia kwa kuchangia katika maendeleo <strong>ya</strong> sekta za mifugo<br />
na uvuvi. Aidha, napenda kutoa shukrani kwa mashirika <strong>ya</strong> Umoja wa Mataifa <strong>ya</strong><br />
FAO, IAEA, UNICEF, UNDP na WHO, mifuko <strong>ya</strong> kimataifa <strong>ya</strong> GEF na IFAD.<br />
Vilevile, napenda kutambua na kuzishukuru taasisi za kimataifa ambazo ni<br />
pamoja na Benki <strong>ya</strong> Dunia, Benki <strong>ya</strong> Maendeleo <strong>ya</strong> Afrika; Shirika la Kimataifa la<br />
Ushirikiano la Japani (JICA), Shirika la Misaada la Irel<strong>and</strong> (Irish Aid), Shirika la<br />
Misaada la Marekani (USAID), Idara <strong>ya</strong> Maendeleo <strong>ya</strong> Kimataifa <strong>ya</strong> Uingereza<br />
(DfID), Taasisi <strong>ya</strong> Rasilimali za Wan<strong>ya</strong>ma <strong>ya</strong> Umoja wa Afrika (AU/IBAR), Shirika<br />
la Af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Wan<strong>ya</strong>ma Duniani (OIE), Shirika la Maendeleo la Uswisi (SDC), Shirika<br />
la Ushirikiano la Ujerumani (GTZ), Shirika la Kimataifa la Maendeleo la Denmark<br />
(DANIDA), Shirika la Kimataifa la Maendeleo la Sweden (SIDA) na Shirika la<br />
Kimataifa la Maendeleo la Norway (NORAD).<br />
Aidha, napenda ku<strong>ya</strong>shukuru Mashirika na Taasisi za hiari za Bill <strong>and</strong> Melinda<br />
Gates Foundation, Association for Agricultural Research in East <strong>and</strong> Central<br />
Africa (ASARECA), International <strong>Livestock</strong> Research Institute (ILRI), World Wide<br />
Fund for Nature (WWF), Heifer Project Tanzania (HPT), Overseas Fisheries Cooperation<br />
Foundation <strong>of</strong> Japan (OFCF), Vetaid, Care International, OXFAM,<br />
Wellcome Trust, Austro-Project, World Vision, FARM Africa, L<strong>and</strong> ‘O’ Lakes,<br />
Bangladesh Rural Advancement Committee (BRAC), World Society for Protection<br />
<strong>of</strong> Animals (WSPA), Global Alliance for <strong>Livestock</strong> <strong>and</strong> Veterinary Medicine<br />
61
(GALVmed), Institute <strong>of</strong> Security Studies (ISS), Mashirika na Taasisi mbalimbali<br />
za humu nchini zinazojihusisha na uendelezaji wa sekta za mifugo na uvuvi.<br />
165. Mheshimiwa Spika, naomba kupitia kwako nitumie fursa hii<br />
kuwashukuru kwa dhati wote hao pamoja na wafugaji, wavuvi na wadau<br />
wengine na kuwaomba waendelee kushirikiana nasi katika kuendeleza sekta za<br />
mifugo na uvuvi nchini.<br />
166. Mheshimiwa Spika, mwisho kabisa, napenda kuwashukuru wananchi<br />
wa Jimbo la Biharamulo Mashariki (Chato) kwa ushirikiano wao mkubwa<br />
walionipa katika kipindi chote ambacho nimekuwa Mbunge wao, natumaini<br />
watatumia kura zao vizuri katika uchaguzi ujao kumchagua Mbunge<br />
atakayeweza kuwaletea maendeleo wanayo<strong>ya</strong>tarajia.<br />
E: BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA <strong><strong>20</strong>10</strong>/<strong><strong>20</strong>11</strong><br />
167. Mheshimiwa Spika, katika mwaka wa fedha wa <strong><strong>20</strong>10</strong>/<strong><strong>20</strong>11</strong>, Wizara<br />
inaomba Bunge lako Tukufu likubali kupitisha Makadirio <strong>ya</strong> Matumizi <strong>ya</strong> Wizara<br />
<strong>ya</strong> Maendeleo <strong>ya</strong> Mifugo na Uvuvi <strong>ya</strong> jumla <strong>ya</strong> shilingi 68,452,<strong>20</strong>5,700.00<br />
kama ifuatavyo:-<br />
(i) Shilingi 10,010,795,000.00 ni kwa ajili <strong>ya</strong> mishahara <strong>ya</strong> watumishi (PE);<br />
(ii) Shilingi 24,030,445,000.00 ni kwa ajili <strong>ya</strong> matumizi mengine (OC); na<br />
(iii) Shilingi 34,410,965,700.00 ni kwa ajili <strong>ya</strong> kutekeleza miradi <strong>ya</strong><br />
maendeleo. Kati <strong>ya</strong> hizo, shilingi 8,717,387,000.00 ni fedha za ndani na<br />
shilingi 25,693,278,700.00 ni fedha za nje.<br />
168. Mheshimiwa Spika, naomba tena nitoe shukurani zangu za dhati kwako<br />
na kwa Waheshimiwa Wabunge kwa kunisikiliza. <strong>Hotuba</strong> hii pia inapatikana<br />
katika Tovuti <strong>ya</strong> Wizara kwa anuani: www.mifugo_uvuvi.go.tz<br />
169. Mheshimiwa Spika, pamoja na hotuba hii nimeambatanisha R<strong>and</strong>ama<br />
<strong>ya</strong> Mpango na <strong>Bajeti</strong> <strong>ya</strong> Wizara kwa mwaka <strong><strong>20</strong>10</strong>/<strong><strong>20</strong>11</strong>.<br />
170. Mheshimiwa Spika, naomba kutoa hoja<br />
62
Jedwali Na. 1: Viw<strong>and</strong>a v<strong>ya</strong> Kusindika Maziwa Mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong><br />
Na. Mkoa Jina la Kiw<strong>and</strong>a Uwezo wa<br />
Usindikaji<br />
(Lita/Siku)<br />
1 Dar es<br />
Salaam<br />
Kiwango cha<br />
Usindikaji<br />
kwa sasa<br />
(Lita/Siku)<br />
Kiwango cha<br />
Matumizi <strong>ya</strong><br />
Kiw<strong>and</strong>a (%)<br />
Azam Dairy 3,000 2,000 67<br />
Tommy Dairy (Hakifanyikazi) 15,000 0 0<br />
Tan Dairies 15,000 6,000 40<br />
2 Tanga Tanga Fresh Ltd 40,000 30,000 75<br />
Ammy Brothers Ltd 2,000 500 25<br />
3 Arusha Brookside (T) Ltd<br />
(Hakifanyikazi)<br />
45,000 0 0<br />
International Dairy Products 5,000 3,000 60<br />
Mountain Green Dairy 1,500 500 33<br />
Arusha Dairy Company 5,000 2,400 48<br />
Kijimo Dairy Cooperative 1,000 300 30<br />
Longido (Engiteng) 500 300 60<br />
4 Man<strong>ya</strong>ra Terrat (Engiteng) 500 250 50<br />
Orkesumet (Engiteng) 500 400 80<br />
Naberera (Engiteng) 1,000 450 45<br />
5 Kilimanjaro Nronga Women 3,500 930 27<br />
West Kilimamnjaro 1,000 300 30<br />
Mboreni Women 1,000 300 30<br />
Marukeni 1,000 450 45<br />
Ng'uni Women 1,000 350 35<br />
Kalali Women 1,000 550 55<br />
Same (Engiteng) 500 300 60<br />
Fukeni Mini Dairies 3,000 800 27<br />
Kondiki Small Scale Dairy 1,<strong>20</strong>0 600 50<br />
6 Mara Musoma Dairy 1<strong>20</strong>,000 30,000 25<br />
Utegi Plant (Ex TDL )<br />
(Hakifanyikazi)<br />
45,000 0 0<br />
Makilagi SSDU 1,500 1000 67<br />
Baraki Sisters 3,000 2,100 70<br />
Mara Milk 15,000 6,000 40<br />
7 Mwanza Mwanza Mini Dairy 3,000 1,000 33<br />
8 Kagera Kagera Milk (KADEFA) 3,000 400 13<br />
K<strong>ya</strong>ka Milk Plant 1,000 450 45<br />
Del Food 1,000 300 30<br />
Bukoba Market Milk Bar 500 300 60<br />
Bukoba Milk Bar - Soko Kuu 500 300 60<br />
Mutungi Milk Bar 800 180 23<br />
Salari Milk Bar 800 170 21<br />
Kashai Milk Bar 800 <strong>20</strong>0 25<br />
Kikulula Milk Processing Plant 1,000 500 50<br />
Ka<strong>ya</strong>nga Milk Processing Plant 1,000 300 30<br />
MUVIWANYA 1,000 350 35<br />
9 Morogoro SUA 3,000 <strong>20</strong>0 7<br />
Shambani Graduates 4000 750 19<br />
10 Tabora New Tabora Dairies 16,000 <strong>20</strong>0 1<br />
11 Iringa ASAS Dairy 12,000 6,000 50<br />
CEFA Njombe Milk Factory 10,000 2,700 27<br />
12 Mbe<strong>ya</strong> Mbe<strong>ya</strong> Maziwa 1,000 500 50<br />
Vwawa Dairy Cooperative<br />
Society<br />
900 600 67<br />
13 Dodoma Gondi Foods 600 <strong>20</strong>0 33<br />
Total 394,600 105,380 27<br />
Chanzo: Wizara <strong>ya</strong> Maendeleo <strong>ya</strong> Mifugo na Uvuvi, <strong><strong>20</strong>10</strong>
Jedwali Na. 2: Utekelezaji wa Mpango wa Unywaji Maziwa Shuleni mwaka<br />
<strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong><br />
Mtekelezaji Wafadhili Idadi<br />
<strong>ya</strong><br />
Fukeni Mini<br />
Dairy Plant<br />
Nronga Women<br />
Dairy<br />
Cooperative<br />
Society Ltd<br />
Kalali Women<br />
Dairy<br />
Cooperative<br />
Society Ltd<br />
Msindikaji, Wazazi<br />
na Peach<br />
S<strong>of</strong>tware Ltd Co.<br />
(Australia)<br />
Msindikaji, Wazazi<br />
na Peach<br />
S<strong>of</strong>tware Ltd Co.<br />
(Australia)<br />
Msindikaji na<br />
Wazazi<br />
Shule<br />
84<br />
Idadi <strong>ya</strong><br />
Wanafunzi<br />
Ugawaji<br />
wa<br />
maziwa<br />
11 14,800 Mara mbili<br />
kwa wiki<br />
Tanga Fresh Ltd Processor <strong>and</strong><br />
9 2,550 Mara mbili<br />
Parents<br />
kwa wiki<br />
NJOLIFA Milk Msindikaji, Wazazi 50 40,000 Mara mbili<br />
Factory<br />
na CEFA (Italy)<br />
kwa wiki<br />
Jumla 81 57,350<br />
Chanzo: Wizara <strong>ya</strong> Maendeleo <strong>ya</strong> Mifugo na Uvuvi, <strong><strong>20</strong>10</strong><br />
6<br />
5<br />
Wila<strong>ya</strong><br />
zinazohusik<br />
a<br />
Hai na Moshi<br />
Vijijini<br />
Tanga Mjini<br />
Njombe Mjini<br />
na vijijini
Jedwali Na. 3: Uzalishaji wa Mazao <strong>ya</strong>tokanayo na Mifugo kuanzia <strong>20</strong>05/<strong>20</strong>06<br />
hadi <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong><br />
Aina <strong>ya</strong> Zao <strong>20</strong>05/06 <strong>20</strong>06/07<br />
MWAKA<br />
<strong>20</strong>07/08 <strong>20</strong>08/09 <strong>20</strong>09/10<br />
Uzalishaji wa N<strong>ya</strong>ma (Tani)<br />
N’gombe 210,370 180,629 218,976 225,178 243,943<br />
Mbuzi/Kondoo 78,579 80,936 81,173 82,884 86,634<br />
Nguruwe 29,925 31,721 33,307 36,000 38,180<br />
Kuku 69,4<strong>20</strong> 77,280 77,250 78,168 80,916<br />
Jumla 388,294 370,566 410,706 422,230 449,673<br />
Uzalishaji maziwa ('000' lita)<br />
Ng’ombe wa Asili 941,815 945,524 980,000 1,012,436 997,261<br />
Ng’ombe wa Kisasa 470,971 475,681 5<strong>20</strong>,000 591,690 652,596<br />
Jumla 1,412,786 1,421,<strong>20</strong>5 1,500,000 1,604,126 1,649,857<br />
Uzalishaji Ma<strong>ya</strong>i ('000')<br />
Ma<strong>ya</strong>i 2,145,000 2,230,900 2,690,000 2,806,350 2,917,875<br />
Chanzo: Wizara <strong>ya</strong> Maendeleo <strong>ya</strong> Mifugo na Uvuvi, <strong><strong>20</strong>10</strong><br />
85
Jedwali Na. 4: Usambazaji Mitamba kwa Wafugaji wadogo kutoka Mashamba <strong>ya</strong> Serikali,<br />
Ranchi za Taifa na Mashirika <strong>ya</strong>siyo <strong>ya</strong> Kiserikali mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong><br />
Mitamba<br />
Idadi <strong>ya</strong> Mitamba<br />
Na. Shamba<br />
Ilikosambazwa Iliyosambazwa<br />
1 Mabuki (Mwanza Mwanza 111<br />
Shin<strong>ya</strong>nga 43<br />
Tabora 88<br />
Tanga 2<br />
Jumla 244<br />
2. Sao Hill (Iringa) Mbe<strong>ya</strong> 13<br />
Dar es Salaam 12<br />
Iringa 75<br />
Jumla 100<br />
3 Nangaramo (Mtwara) Mtwara 31<br />
Lindi 2<br />
Ruvuma 5<br />
Jumla 38<br />
5 Kitulo (Iringa) Mbe<strong>ya</strong> 22<br />
Iringa 14<br />
Dar es salaam 7<br />
Kilimanjaro 10<br />
Morogoro 5<br />
Mara 4<br />
Jumla 60<br />
6 Ngerengere<br />
Dar es Salaam 54<br />
(Morogoro)<br />
Morogoro 22<br />
Pwani 10<br />
Tanga 5<br />
Jumla 91<br />
Jumla Ndogo 624<br />
7. Mashamba <strong>ya</strong> NARCO Kagera, Tanga, Dodoma,<br />
Mwanza na Tabora<br />
284<br />
8. Farm Friends Mkoa wa Tanga <strong>20</strong>5<br />
9. Mradi wa HPI Mikoa yote 4,314<br />
Jumla Kuu 5,427<br />
Chanzo: Wizara <strong>ya</strong> Maendeleo <strong>ya</strong> Mifugo na Uvuvi, <strong><strong>20</strong>10</strong><br />
86
Jedwali Na. 5: Maeneo <strong>ya</strong>liyopimwa na kutengwa kwa ajili <strong>ya</strong> ufugaji hadi <strong>Juni</strong> <strong><strong>20</strong>10</strong><br />
Idadi <strong>ya</strong> Eneo la Malisho<br />
Na. Mkoa Halmashauri Vijiji (Hekta)<br />
1 Dodoma Chamwino 5 50,214.01<br />
Bahi 3 629.80<br />
2 Iringa Iringa Vijijini 7 7,894.00<br />
Njombe 4 1,014.00<br />
Makete 3 823.30<br />
Mufindi 6 2,947.49<br />
Kilolo 5 1,162.51<br />
3 Kagera Biharamulo 4 8,054.33<br />
Chato 3 2,462.29<br />
4 Kigoma Kigoma Vijijini 8 10,256.93<br />
5 Lindi Kilwa 28 178,580.54<br />
Lindi Vijijini 22 29,742.50<br />
Liwale 10 115,030.60<br />
Nachingwea 9 77,333.32<br />
6 Mara Musoma Vijijini 1 511.70<br />
7 Mbe<strong>ya</strong> Chun<strong>ya</strong> 15 451,250.85<br />
Mbarali 9 38,101.02<br />
Mbe<strong>ya</strong> Vijijini 5 6,050.25<br />
8 Morogoro Morogoro Vijijini 10 15,784.82<br />
Kilombero 6 31,317.25<br />
Ulanga 9 32,700.02<br />
Kilosa 10 163,838.00<br />
9 Mtwara T<strong>and</strong>ahimba 1 1,162.12<br />
Mtwara Vijijini 1 88.23<br />
10 Pwani Kisarawe 9 28,578.78<br />
Bagamoyo 12 22,901.38<br />
Rufiji 25 77,138.91<br />
Mkuranga 3 2,<strong>20</strong>7.38<br />
11 Rukwa Mp<strong>and</strong>a 2 15,553.61<br />
12 Ruvuma Mbinga 3 51.00<br />
13 Singida Manyoni 7 19,023.34<br />
14 Tabora Urambo 14 16,195.17<br />
15 Tanga Mkinga 7 14,601.83<br />
JUMLA 33 266 1,423,<strong>20</strong>1.28<br />
Chanzo: Wizara <strong>ya</strong> Maendeleo <strong>ya</strong> Mifugo na Uvuvi, <strong><strong>20</strong>10</strong><br />
87
Jedwali Na. 6a: Uzalishaji Hei katika Mashamba <strong>ya</strong> Taasisi za Umma<br />
Na. Shamba Eneo lililolimwa Hei<br />
(Hekta) (Marobota)<br />
1. Langwira 25.0 15,000<br />
2. Vikuge 75 41,<strong>20</strong>0<br />
3. LRC Tanga 15.0 9,000<br />
4. Sari Farm – Selian Agriculture Research Institute 50.0 29,000<br />
5. Pasture Research Centre Kongwa 32.4 22,000<br />
6. LITI – Tengeru 25.0 11,000<br />
7. LITI – Mpwapwa <strong>20</strong>.0 12,000<br />
8. LITI – Morogoro 6.0 3,600<br />
9. LMU - Mabuki 8.0 5,600<br />
10. LMU - Sao Hill 25.0 7,000<br />
11. LMU - Mivumoni 8.0 4,800<br />
12. Magereza Bagamoyo 50.0 31,000<br />
14. Kaole Secondary School 6.0 3,600<br />
15. Sotele Secondary School 7.0 4,<strong>20</strong>0<br />
16. Ranchi <strong>ya</strong> Mkata 38.0 28,000<br />
17. Ranchi <strong>ya</strong> Mzeri 52.0 33,000<br />
18 Ranchi <strong>ya</strong> Kagoma 40.0 25,000<br />
19. Ranchi <strong>ya</strong> Mabale 43.0 18,000<br />
Jumla 525.4 303,000<br />
Jedwali Na. 6b: Uzalishaji Hei katika Mashamba <strong>ya</strong> Binafsi<br />
Na. Jina la Shamba Wila<strong>ya</strong> Eneo (Hekta) Uzalishaji<br />
(Marobota)<br />
1 Bagamoyo Magereza Farm Bagamoyo 270 95,700<br />
2 Mbereselo Farm Tanga 30 9,900<br />
3 Kibaha Farm Kibaha 25 8,250<br />
4 Kibwe Farm Bagamoyo 2 500<br />
5 Vikawe Bagamoyo 2 600<br />
6 Laila Dairy & Agro Limited Tanga 30 9,900<br />
7 Naiukwa Dairy Farm Tanga 2 5<strong>20</strong><br />
8 Tesha Farm Kisarawe 10 2,800<br />
9 Msoga Farm Bagamoyo 100 33,000<br />
10 Tewa Farm Kibaha 10 3,300<br />
11 Shempemba Farm Kinondoni 5 1,650<br />
12 Mr. Adam Farm Tanga 5 1,300<br />
13 Upendo Group Kibaha 1 230<br />
14 Tujikomboe Group Kibaha 1 310<br />
15 Umoja Group Kibaha 2 510<br />
16 Mr. Swai Farm Arusha 70 23,100<br />
17 Life Source Kibaha 2 660<br />
18 Folsin Cope Kibaha 2 500<br />
19 Tanga Dairy Tanga 30 9,900<br />
<strong>20</strong> Pingo Farm Bagamoyo <strong>20</strong>0 70,<strong>20</strong>0<br />
21 Dr. Idrisa Tanga 60 19,800<br />
22 Katri Farm Bagamoyo 100 33,000<br />
23 Mr. Loid Mkuranga 160 52,800<br />
24 Man<strong>ya</strong>ra Farm Monduli 50 2,401<br />
25 Man<strong>ya</strong>ra Ranch Monduli 60 38,000<br />
Jumla 1,229 418,831<br />
88
Jedwali Na. 7: Miradi <strong>ya</strong> Malambo <strong>ya</strong>liyojengwa/kukarabatiwa kupitia Mipango <strong>ya</strong><br />
Maendeleo <strong>ya</strong> Kilimo <strong>ya</strong> Wila<strong>ya</strong> (DADPs) Mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong><br />
MKOA WILAYA<br />
IDADI YA MALAMBO<br />
MAPYA UKARABATI JUMLA<br />
FEDHA Shs ‘000’<br />
ARUSHA Monduli 1 1 2 99,000<br />
Ngorongoro 1 - 1 50,000<br />
Arusha - 1 1 32,105<br />
Longido 1 1 2 78,760<br />
Karatu 1 - 1 98,046<br />
KAGERA Karagwe 1 - 1 35,000<br />
KILIMANJARO Mwanga 1 2 3 61,952<br />
MANYARA Hanang 1 - 1 51,000<br />
Babati 2 - 2 86,000<br />
Mbulu 1 - 1 30,000<br />
Kiteto 1 1 2 78,000<br />
MARA Bunda 4 - 4 112,000<br />
Musoma 4 6 10 244,234<br />
Ror<strong>ya</strong> - 3 3 35,712<br />
Serengeti 1 - 1 28,281<br />
MBEYA Mbarali 1 - 1 70,000<br />
Mbe<strong>ya</strong> 1 - 1 14,880<br />
Chun<strong>ya</strong> - 2 2 40,000<br />
Mbozi 1 - 1 50,000<br />
MOROGORO Mvomero 2 - 2 61,850<br />
MWANZA Kwimba - 2 2 63,744<br />
Geita 1 - 1 16,000<br />
PWANI Kibaha 1 1 14,318<br />
Kisarawe 1 1 2 125,947<br />
RUKWA Sumbawanga 1 - 1 51,700<br />
MTWARA Nanyumbu 1 - 1 57,000<br />
RUVUMA Songea 1 - 1 34,117<br />
SHINYANGA Bariadi - 4 4 96,861<br />
Kahama 1 - 1 25,060<br />
Maswa 3 - 3 76,800<br />
Kishapu 4 - 4 140,000<br />
Meatu 3 - 3 86,700<br />
SINGIDA Iramba - 1 1 14,130<br />
Singida 1 1 2 28,057<br />
TABORA Igunga 1 - 1 65,000<br />
Sikonge 1 - 1 22,000<br />
Nzega 1 - 1 34,076<br />
Tabora - 1 1 8,065<br />
Urambo 3 - 3 46,197<br />
TANGA Muheza 1 - 1 15,038<br />
Tanga CC - 2 2 <strong>20</strong>,000<br />
H<strong>and</strong>eni 2 - 2 1<strong>20</strong>,000<br />
Kilindi - 1 1 71,000<br />
Korogwe - 1 1 110,597<br />
JUMLA 55 30 85 2,699,227<br />
89
Jedwali Na. 8: Ng’ombe waliochanjwa dhidi <strong>ya</strong> Ugonjwa wa Homa <strong>ya</strong> Mapafu<br />
Mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong><br />
Mkoa Wila<strong>ya</strong> Ng’ombe waliochanjwa<br />
Kigoma Kigoma Ujiji 1,790<br />
Kasulu 12,008<br />
Kigoma 26,276<br />
Kibondo 23,375<br />
Jumla ndogo 63,449<br />
Tabora Sikonge 36,434<br />
Urambo 128,700<br />
Igunga 213,000<br />
Nzega 124,031<br />
Uyui 130,000<br />
Tabora 27,332<br />
Jumla Ndogo 659,497<br />
Man<strong>ya</strong>ra Kiteto 146,638<br />
Jumla Ndogo 146,638<br />
Arusha Ngorongoro 114,<strong>20</strong>0<br />
Monduli 7,000<br />
Jumla Ndogo 121,<strong>20</strong>0<br />
Tanga H<strong>and</strong>eni 8,672<br />
Kilindi 74,804<br />
Jumla Ndogo 83,476<br />
Singida Singida rural 288,784<br />
Iramba 179,914<br />
Manyoni 188,304<br />
Singida urban 62,160<br />
Jumla Ndogo 719,162<br />
Shin<strong>ya</strong>nga Bukombe 145,000<br />
Kahama 113,068<br />
Bariadi <strong>20</strong>0,000<br />
Jumla Ndogo 458,068<br />
Mwanza Sengerema 28,674<br />
Jumla Ndogo 28,674<br />
Kagera Chato 67,000<br />
Jumla Ndogo 67,000<br />
Iringa Iringa vijijini 112,838<br />
Jumla ndogo 112,838<br />
Mbe<strong>ya</strong> Mbarali 73,143<br />
Chun<strong>ya</strong> 68,300<br />
Jumla Ndogo 141,443<br />
Jumla kuu 2,601,445<br />
Chanzo: Wizara <strong>ya</strong> Maendeleo <strong>ya</strong> Mifugo na Uvuvi, <strong><strong>20</strong>10</strong><br />
90
Jedwali Na. 9: Mifugo iliyochanjwa dhidi <strong>ya</strong> Sotoka <strong>ya</strong> Mbuzi na Kondoo hadi<br />
tarehe 31 Mei, <strong><strong>20</strong>10</strong><br />
MKOA HALIMASHAURI<br />
IDADI YA<br />
WANYAMA<br />
(MBUZI NA<br />
91<br />
KONDOO)<br />
WANYAMA<br />
WALIOCHANJWA<br />
MARA BUNDA 1<strong>20</strong>,000 106,000<br />
MUSOMA 165,000 147,100<br />
SERENGETI 390,000 9,110<br />
TARIME <strong>20</strong>8,324 98,512<br />
MWANZA MAGU 240,000 112,300<br />
SHINYANGA BARIADI 270,000 162,000<br />
MEATU 230,000 171,610<br />
SINGIDA SINGIDA 483,325 305,114<br />
IRAMBA 382,000 192,075<br />
DODOMA KONDOA 407,700 196,170<br />
SINGIDA SINGIDA 483,325 305,114<br />
IRAMBA 382,000 192,075<br />
MANYARA BABATI 250,000 261,000<br />
HANANG 199,805 172,154<br />
KITETO 233,000 312,350<br />
SIMANJIRO 500,000 361,000<br />
KILIMAJARO HAI 55,000 42,260<br />
ROMBO 35,000 27,503<br />
MOSHI <strong>20</strong>,000 22,000<br />
MWANGA 45,000 55,750<br />
SAME 27,800 59,250<br />
TANGA HANDENI <strong>20</strong>0,000 149,<strong>20</strong>0<br />
KILINDI 180,000 152,000<br />
KOROGWE 35,000 52,<strong>20</strong>3<br />
LUSHOTO 1<strong>20</strong>,000 62,110<br />
MKINGA 35,000 27,250<br />
MUHEZA 45,000 41,315<br />
PANGANI 9,000 7,122<br />
TANGA 18,000 16,322<br />
TOTAL 4,901,463 3,3<strong>20</strong>,780<br />
Chanzo: Wizara <strong>ya</strong> Maendeleo <strong>ya</strong> Mifugo na Uvuvi, <strong><strong>20</strong>10</strong>
Jedwali Na. 10: Idadi <strong>ya</strong> Majosho Yaliyokarabatiwa/Jengwa mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong><br />
MKOA IDADI YA MAJOSHO GHARAMA ( Tsh.)<br />
Ujenzi Ukarabati Ujenzi Ukarabati<br />
Arusha 6 2 231,603,000.00 33,124,000.00<br />
Dodoma 3 1 46,800,000.00 16,989,000.00<br />
Iringa 1 7 13,710,000.00 130,505,000.00<br />
Kagera 0 1 0 15,298,000.00<br />
Kigoma 2 2 8,987,000.00 73,514,000.00<br />
Kilimanjaro 9 1 325,659,000.00 <strong>20</strong>,000,000.00<br />
Lindi 0 1 0 14,000,000.00<br />
Man<strong>ya</strong>ra 8 2 170,803,000.00 72,000,000.00<br />
Mara 0 2 0 28,000,000.00<br />
Mbe<strong>ya</strong> 0 7 0 97,814,000.00<br />
Morogoro 1 1 76,893,000.00 25,000,000.00<br />
Mwanza 1 7 18,474,000.00 123,994,000.00<br />
Pwani 1 1 22,889,000.00 12,522,000.00<br />
Rukwa 0 2 - 24,100,000.00<br />
Ruvuma 2 2 63,629,000.00 53,868,000.00<br />
Shin<strong>ya</strong>nga 1 8 900,000.00 213,800,000.00<br />
Singida 5 1 97,000,000.00 15,432,000.00<br />
Tabora 4 0 58,169,000.00 0<br />
Tanga 6 2 36,623,000.00 63,127,000.00<br />
Jumla 50 50 1,172,142,000.00 1,033,088,000.00<br />
Chanzo: Wizara <strong>ya</strong> Maendeleo <strong>ya</strong> Mifugo na Uvuvi, <strong><strong>20</strong>10</strong><br />
Jedwali Na. 11a: Mgawo wa Chanjo <strong>ya</strong> Kichaa cha Mbwa mwaka 009/<strong><strong>20</strong>10</strong><br />
Mkoa Wila<strong>ya</strong> Idadi <strong>ya</strong> mbwa Dose zilizogawiwa<br />
Tabora Urambo 6,740 2,000<br />
Sikonge 10,464 2,000<br />
Uyui 7,150 3,000<br />
Nzega 12,315 2,000<br />
Igunga 10,464 3,000<br />
Tabora 1,370 2,000<br />
Mwanza Mwanza (J) <strong>20</strong>,697 3,000<br />
Geita 39,025 3,000<br />
Magu 8,750 3,000<br />
Mara Musoma (m)} 18,224 3,000<br />
Tarime 25,252 3,000<br />
Kagera Bukoba (m) 3,0<strong>20</strong> 2,000<br />
Bukoba (v) 2,855 2,000<br />
Karagwe 3,497 2,000<br />
Muleba 8,337 3,000<br />
Chato 3,589 2,000<br />
Kigoma Kigoma Ujiji} 4,051 1,500<br />
Kigoma (v) } 1,500<br />
Kibondo 4,726 2,500<br />
Kasulu 10,677 3,000<br />
92
Mkoa Wila<strong>ya</strong> Idadi <strong>ya</strong> mbwa Dose zilizogawiwa<br />
Dodoma Dodoma (m) 2,055 2,000<br />
Chamwino 3,522 2,000<br />
Mpwapwa 8,000 3,000<br />
Bahi 5,600 3,000<br />
Kongwa 1,037 1,500<br />
Arusha Arusha(m) 7,236 3,000<br />
Arumeru 5,000 3,000<br />
Monduli 4,404 3,000<br />
Tanga Lushoto 2,941 2,000<br />
H<strong>and</strong>eni 4,041 2,000<br />
Muheza 6,000 3,000<br />
Ruvuma Songea (m) 8,800 3,000<br />
Songea (v) 1,<strong>20</strong>0 1,500<br />
Mbinga 25,473 3,000<br />
Namtumbo 2,572 2,000<br />
Rukwa S/wanga (m) 2,734 2,000<br />
S/wanga (v) 4,000 2,000<br />
Mp<strong>and</strong>a 21,900 3,000<br />
Morogoro Kilosa 4,025 2,000<br />
Mvomero 3,507 2,000<br />
Iringa Iringa (m) 1,240 1,500<br />
Iringa (v) 1,240 1,500<br />
Mufindi 5,000 3,000<br />
Man<strong>ya</strong>ra Babati 12,400 3,000<br />
Karatu 9,316 3,000<br />
Mbulu 18,345 3,000<br />
Pwani Bagamoyo 4,180 2,000<br />
Singida Singida (v) 16,577 3,000<br />
Manyoni 4,000 3,000<br />
Iramba 30,000 3,000<br />
Mbe<strong>ya</strong> Mbe<strong>ya</strong> (m) 3,442 2,000<br />
Mbe<strong>ya</strong> (v) 4,1<strong>20</strong> 2,000<br />
Kyela 5,429 3,000<br />
Shin<strong>ya</strong>nga Shin<strong>ya</strong>nga (m) 3,937 2,000<br />
Shin<strong>ya</strong>nga (v) 21,847 3,000<br />
Maswa 12,682 3,000<br />
Kahama 10,831 3,000<br />
Kilimanjaro Moshi (m)} 3,799 2,000<br />
Rombo 4,000 2,000<br />
Hai 9,954 3,000<br />
Same 5,694 2,500<br />
Jumla 327,483 150,000<br />
Chanzo: Wizara <strong>ya</strong> Maendeleo <strong>ya</strong> Mifugo na Uvuvi, <strong><strong>20</strong>10</strong><br />
93
Jedwali Na. 11b: Mgawo wa Chanjo <strong>ya</strong> Kichaa cha Mbwa kwa Wila<strong>ya</strong> 24 Zilizo<br />
Kwenye Eneo la Mradi<br />
S/No Mkoa Wila<strong>ya</strong> Idadi <strong>ya</strong> Mbwa Idadi <strong>ya</strong> Dozi za<br />
Chanjo<br />
walizopatiwa<br />
1 Dar-es-salaam Kinondoni 4250 4250<br />
Ilala 5,500 5500<br />
Temeke 3<strong>20</strong>8 3210<br />
2 Morogoro Morogoro Municipal 6,000 6000<br />
Morogoro Rural 7823 7,8<strong>20</strong><br />
Ulanga 7,356 7360<br />
Kilombero 12,664 12,670<br />
3 Pwani Kisarawe 3289 3300<br />
Mkuranga 2,765 2780<br />
Kibaha Urban 4000 4,000<br />
Kibaha Rural <strong>20</strong>00 2,000<br />
Rufiji 1800 1800<br />
4 Lindi Kilwa 3,<strong>20</strong>0 3<strong>20</strong>0<br />
Lindi rural 1<strong>20</strong>0 1<strong>20</strong>0<br />
lindi urban <strong>20</strong>00 <strong>20</strong>00<br />
Liwale 869 880<br />
Nachingwea 2,940 2950<br />
Ruangwa <strong>20</strong>00 2,000<br />
5 Mtwara Masasi 1416 1,4<strong>20</strong><br />
T<strong>and</strong>ahimba 543 550<br />
Mtwara Rural 1069 1,080<br />
Mtwara Urban 303 310<br />
Newala 1000 1,000<br />
Nanyumbu 760 770<br />
6 Wete Pemba 1000 1000<br />
Jumla 78,955 79,050<br />
Chanzo: Wizara <strong>ya</strong> Maendeleo <strong>ya</strong> Mifugo na Uvuvi, <strong><strong>20</strong>10</strong><br />
Jedwali Na. 12: Mifugo iliyochinjwa na Kukaguliwa mwaka <strong>20</strong>09/<strong><strong>20</strong>10</strong><br />
Na Mkoa Ng’ombe Mbuzi Kondoo Nguruwe<br />
1. Arusha 68,598 31,900 46,430 19,007<br />
2. Dar es salaam 125,325 49,997 14,662 14,946<br />
3. Dodoma 37,013 29,037 11,536 4,713<br />
4. Iringa 10,577 8,516 3,634 183<br />
5. Kagera 19,091 16,059 468 2,234<br />
6. Kigoma 2,084 1,305 81 457<br />
7. Kilimanjaro 52,182 31,749 9,063 9,585<br />
8. Lindi 4,422 5,103 316 504<br />
9. Man<strong>ya</strong>ra 14,145 13,276 3,484 1,371<br />
10. Mara 35,929 28,851 17,245 486<br />
11. Mbe<strong>ya</strong> 28,073 2,052 2,575 2,575<br />
12. Morogoro 40,539 29,155 3,257 4,886<br />
13. Mtwara 4,804 5,639 432 2,383<br />
94
14. Mwanza 53,074 27,325 9,474 1,317<br />
15. Pwani 15,219 2,137 168 512<br />
16. Rukwa 13,038 11,423 694 9,017<br />
17. Ruvuma 8,947 3,359 270 11,864<br />
18. Shin<strong>ya</strong>nga 25,060 31,439 14,213 886<br />
19. Singida 15,989 12,057 6,940 1,210<br />
<strong>20</strong>. Tabora 12,967 4,495 1,390 1,375<br />
21. Tanga 18,315 15,608 1,703 748<br />
JUMLA 605,389 358,474 146,993 107,337<br />
Chanzo: Wizara <strong>ya</strong> Maendeleo <strong>ya</strong> Mifugo na Uvuvi, <strong><strong>20</strong>10</strong><br />
Jedwali Na. 13a : Hali <strong>ya</strong> Uvuvi Mwaka <strong>20</strong>09<br />
Maji<br />
Idadi <strong>ya</strong><br />
Wavuvi<br />
Idadi <strong>ya</strong><br />
Vyombo<br />
95<br />
Samaki Waliovuliwa<br />
Kiasi Thamani<br />
(Tani) Tshs'000<br />
Ziwa Victoria 105,016 30,<strong>20</strong>8 238,703.00 289,130,124.00<br />
Ziwa Tanganyika 12,574 7,129 31,213.36 36,176,902.00<br />
Ziwa N<strong>ya</strong>sa 6,557 2,013 10,421.60 8,456,<strong>20</strong>0.00<br />
Ziwa Rukwa 1,676 1,032 4,335.30 4,535,284.00<br />
Ziwa Kitangiri <strong>20</strong>2 91 70.70 134,330.00<br />
Ziwa Babati 457 224 135.00 168,750.00<br />
Ziwa Jipe 78 50 12.00 14,400.00<br />
Bwawa la Mtera 1,572 1,284 896.50 1,075,800.00<br />
Bwawa la Nyumba <strong>ya</strong> Mungu 2,262 839 1,021.00 1,939,900.00<br />
Maji Mengine 5,375 2,364 1,250.00 861,189.00<br />
Uvuvi mdogo Baharini 36,321 7,664 47,615.80 67,930,599.80<br />
Jumla Kuu 172,090 52,898 335,674.26 410,423,478.80<br />
Chanzo: Wizara <strong>ya</strong> Maendeleo <strong>ya</strong> Mifugo na Uvuvi, <strong><strong>20</strong>10</strong><br />
Jedwali Na. 13b: Uvunaji wa Rasilimali <strong>ya</strong> Uvuvi Mwaka <strong>20</strong>05 - <strong>20</strong>09<br />
Maji baridi Maji chumvi Jumla (Maji chumvi na Baridi)<br />
Mwaka Wavuvi Vyombo Uzito (tani) Wavuvi Vyombo Uzito Wavuvi Vyombo Uzito<br />
(tani)<br />
(tani)<br />
<strong>20</strong>05 103,443 32,248 3<strong>20</strong>,566.0 29,754 7,190 54,968.6 133,197 39,438 375,535<br />
<strong>20</strong>06 126,790 44,362 292,518.7 29,754 7,190 48,590.5 156,544 51,552 341,109<br />
<strong>20</strong>07 126,790 44,362 284,346.9 36,247 7,489 43498.5 163,037 51,851 327,845<br />
<strong>20</strong>08 133,791 44,838 281,690.9 36,247 7,489 43,130.2 170,038 52,327 324,821<br />
<strong>20</strong>09 135,769 45,234 288,059 36,321 7,664 47,616 172,090 52,898 335,674<br />
Chanzo: Wizara <strong>ya</strong> Maendeleo <strong>ya</strong> Mifugo na Uvuvi, <strong><strong>20</strong>10</strong>
Jedwali Na. 14a : Mauzo <strong>ya</strong> Samaki na Mazao <strong>ya</strong>ke Nje <strong>ya</strong> Nchi Mwaka <strong>20</strong>09<br />
Uzalishaji Thamani Ushuru<br />
Uzito wa Idadi <strong>ya</strong> Dola za<br />
TSHS TSHS<br />
Zao<br />
samaki (kilo) samaki wa<br />
mapambo<br />
Kimarekani<br />
Aquarium Fish / L.Tang. 47,009 218,909.11 283,173,289.88 32,480,717.36<br />
Aquarium Fish/L.N<strong>ya</strong>sa 6,179 39,<strong>20</strong>1.24 49,888,331.47 4,629,280.76<br />
Dried Dagaa/ L.N<strong>ya</strong>sa 23,673.0 16,707.52 17,048,582.50 2,296,070.00<br />
Dried Dagaa/L.Tang. 1,731,111.7 2,210,572.56 2,847,116,664.90 147,081,160.00<br />
Dried Dagaa/L.Vict. 7,650,662.5 2,664,819.12 3,430,891,559.63 416,403,956.83<br />
Dried Fish / Ka<strong>ya</strong>bo/<br />
Lake Victoria 122,970.6 279,992.98 363,529,944.30 31,313,592.00<br />
Dried Fish Frames 1,814,410.0 541,339.04 716,327,789.51 31,970,247.80<br />
Dried Fish Heads/ L.Vict. <strong>20</strong>,500.0 3,075.00 3,993,1<strong>20</strong>.00 239,588.00<br />
Dried Fish Maws 61,654.0 87,464.62 112,829,628.70 22,945,348.00<br />
Dried Fish Scales 3,896.0 7,211.70 9,385,971.78 45,638.00<br />
Dried Fish/ L.N<strong>ya</strong>sa 2,406.0 1,456.41 1,856,280.00 130,000.00<br />
Dried Fish/L.Rukwa 173,646.0 62,732.14 81,483,850.00 9,873,000.00<br />
Dried Fish/L.Tang. 342,624.9 995,159.77 1,285,758,067.70 74,770,680.00<br />
Dried Haplo./Furu/L.Vict. 110,469.0 48,236.41 62,417,837.60 3,377,000.00<br />
Dried Pelege/ L.Vict. 2,700.0 8,100.00 8,432,100.00 644,500.00<br />
Dried Pelege/Mtera dam 7,383.0 22,784.37 23,727,500.50 1,688,067.00<br />
Dried Sea Weeds 22,650.0 27,180.00 35,001,045.00 875,100.00<br />
Fish Heads / L.Tang. 1,500.0 1,245.00 1,649,625.00 100,000.00<br />
Fish Maws &Fish Heads 40,000.0 6,000.00 7,790,100.00 467,299.00<br />
96
Fish Meal/ L. Tang 18,800.0 3,760.00 4,842,880.00 <strong>20</strong>0,000.00<br />
Fish Meal/ L.Vict. 588,300.0 234,769.00 304,689,142.00 12,251,034.96<br />
Fresh Fish Split<br />
tails/marine 3.0 16.80 21,744.91 466.00<br />
Fresh Fish Fillets 12,638,136.8 64,874,145.08 83,578,829,511.14 2,<strong>20</strong>2,964,797.95<br />
Fresh Fish loins/ marine 3.0 16.80 21,744.91 466.00<br />
Fresh Fish Maws 16,860.0 185,460.00 238,501,560.00 3,252,294.00<br />
Fresh Fish/L.N<strong>ya</strong>sa 650.0 1,962.95 2,029,950.00 151,300.00<br />
Fresh H&G Fish 151,564.0 675,979.46 856,771,739.59 25,531,339.74<br />
Frozen Fish Chests 344,048.0 190,480.00 249,018,322.00 83,760,787.65<br />
Frozen Fish Maws 813,775.8 6,655,968.44 8,598,297,379.82 152,777,097.83<br />
Frozen Crabs 2,390.0 11,810.00 15,300,478.08 929,906.00<br />
Frozen Farmed Prawns 90,764.0 602,548.98 770,102,712.45 461,816,301.<strong>20</strong><br />
Frozen Fish<br />
Heads/L.Vict. 71,000.0 10,650.00 13,808,325.00 1,527,970.00<br />
Frozen Fish<br />
Portions/Marine 684.0 786.36 1,017,152.09 5,053,378.00<br />
Frozen Fish Skin/<br />
Sample 10.0 23.40 30,4<strong>20</strong>.00 70.00<br />
Frozen Fish Steaks 10.0 141.00 183,300.00 4,680.00<br />
Frozen Fish Belly Flaps 318,240.0 186,728.00 249,549,447.<strong>20</strong> 82,293,254.<strong>20</strong><br />
Frozen Fish Chips 136,742.0 50,691.50 65,358,376.99 10,596,513.00<br />
Frozen Fish Fillets 11,474,950.8 54,133,090.87 69,740,085,180.88 1,858,865,479.45<br />
Frozen Fish Fillets/marine 138.0 531.56 690,000.00 10,773.00<br />
Frozen H &G Fish 691,316.0 2,754,738.25 3,563,132,193.04 119,757,871.88<br />
Frozen Lobster / Whole 48,454.0 14,961,182.90 19,228,406,732.01 23,080,589.39<br />
Frozen Lobsters/ Tails 7,852.0 136,8<strong>20</strong>.05 177,198,581.61 5,314,944.00<br />
Frozen Octopus 1,121,441.0 5,607,<strong>20</strong>5.00 7,253,256,099.80 0.00<br />
Frozen Prawns / whole 74,756.0 343,478.00 434,643,960.57 55,678,131.61<br />
Frozen Prawns/PUD 10,440.0 49,187.10 62,672,835.42 8,833,760.16<br />
Frozen Squids 25,505.0 366,082.24 472,952,276.82 6,485,844.60<br />
Live Crabs 83,708.0 565,106.00 717,488,829.86 63,977,003.16<br />
Live Lobsters 53,036.0 971,007.50 1,199,498,237.88 62,834,434.06<br />
Live Prawns 10.0 100.00 1<strong>20</strong>,000.00 9,100.00<br />
Sea Shells / Cowries 168,400.0 44,940.44 56,744,932.89 3,341,814.40<br />
Smoked Fish/L.Tang. 63,617.0 190,851.00 248,305,353.00 14,763,700.00<br />
Tilapia/Zambezi 400.0 1,<strong>20</strong>0.00 1,249,<strong>20</strong>0.00 132,080.00<br />
JUMLA KUU 41,148,261.0 53,188 161,053,645.66 <strong>20</strong>7,447,119,888.45 6,047,528,427.00<br />
Chanzo: Wizara <strong>ya</strong> Maendeleo <strong>ya</strong> Mifugo na Uvuvi, <strong><strong>20</strong>10</strong><br />
Jedwali Na. 14b : Mauzo <strong>ya</strong> Samaki na Mazao <strong>ya</strong> Uvuvi Nje <strong>ya</strong> Nchi Mwaka <strong>20</strong>05 -<strong>20</strong>09<br />
Mwaka Mauzo Thamani<br />
Uzito wa Samaki<br />
(tani)<br />
Idadi <strong>ya</strong><br />
Samaki wa<br />
Mapambo<br />
97<br />
Dola za<br />
Kimarekani<br />
TSh ‘000<br />
<strong>20</strong>05 57,289.1 21,025 141,597,362.2 162,619,492. 9<br />
<strong>20</strong>06 44,495.6 21,741 138,1<strong>20</strong>,145.1 170,184,661.0<br />
<strong>20</strong>07 57,795.5 25,502 173,272,670.4 213,211,258.8<br />
<strong>20</strong>08 51,426.2 33,066 174,409,214.4 <strong>20</strong>5,054,092.5<br />
<strong>20</strong>09 41,148.3 53,188 161,053,645.7 <strong>20</strong>7,447,119.9<br />
Chanzo: Wizara <strong>ya</strong> Maendeleo <strong>ya</strong> Mifugo na Uvuvi, <strong><strong>20</strong>10</strong>
Ufugaji N<strong>ya</strong>ti Maji katika Shamba la Kuzalisha Mifugo la Mabuki, Mwanza<br />
Sherehe za kuhamasisha Unywaji Maziwa Shuleni tarehe 1 <strong>Juni</strong> <strong><strong>20</strong>10</strong>, Lindi<br />
98
Uwambaji wa ngozi za ng’ombe.<br />
Uwekaji wa alama za utambuzi wa ng’ombe zisizo sahihi ambazo<br />
huharibu ubora wa ngozi<br />
99
Shamba Darasa kuhusu mitego <strong>ya</strong> aina mbalimbali <strong>ya</strong> kukamata mbung’o.<br />
Zao la mwani<br />
100
Uchomaji wa zana haramu za uvuvi Wila<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Musoma Vijijini, Mara.<br />
101
Kuku wa kienyeji wana<strong>of</strong>ugwa kisasa<br />
Samaki wa bahari wanaopatikana kwenye Matumbawe