Jarida la Kilimo, Julai - Septemba, 2011
Jarida la Kilimo, Julai - Septemba, 2011
Jarida la Kilimo, Julai - Septemba, 2011
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
Ju<strong>la</strong>i - <strong>Septemba</strong>, <strong>2011</strong> MATUKIO KA<br />
Matukio ka<br />
Raisi wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza <strong>la</strong> Mapinduzi, Mhe. Dkt. Mohamed Ali Shein<br />
akitia saini katika kitabu cha wageni baada ya kuzinduwa uvunaji wa mbegu ya mpunga aina<br />
ya NERICA katika Kituo cha Uzalishaji wa mbegu, Bambi.<br />
Wakulima hujifunza zaidi mbinu bora za uzalishaji wa mazao wanapopata fursa za kushiriki<br />
katika ziara za kimafunzo ambapo hupata wasaa wa kudadisi pamoja na kubadilishana<br />
uzoefu walionao wao wenyewe katika kuendeleza kilimo.<br />
8<br />
Wakulima wa mpunga wa bonde <strong>la</strong> Mtwango n<br />
ya zana za kisasa ikiwemo matrekta madogo<br />
uburugaji wa mashamba ya mpunga.<br />
Upandaji wa mikoko katika maeneo ya pwani<br />
mazingira ya pwani yaliyoharibiwa kutokana n<br />
tatizo <strong>la</strong> kuharibika fukwe na kupanda maji katik