12.12.2012 Views

Jarida la Kilimo, Julai - Septemba, 2011

Jarida la Kilimo, Julai - Septemba, 2011

Jarida la Kilimo, Julai - Septemba, 2011

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Toleo <strong>la</strong> Saba<br />

Ju<strong>la</strong>i - <strong>Septemba</strong>, <strong>2011</strong><br />

kuvunwa ambayo hutumika katika<br />

jamii kwa ku<strong>la</strong>, dawa na biashara.<br />

miongoni na Faida nyengine,<br />

masega ya nyuki hutumika katika<br />

kutengeneza mshumaa na maji<br />

maji yaitwayo royal jelly.<br />

Matumizi ya asali yanatofautiana<br />

kutoka sehemu moja hadi nyengine<br />

kutokana na upatikanaji na hali<br />

ya soko. Wananchi wa vijijini mara<br />

nyingi hutumia asali kama dawa ya<br />

kutibu maradhi mbali mbali pamoja<br />

na kuuza kwa kujiongezea kipato.<br />

Hapa Zanzibar lita moja inauzwa<br />

kwa wastani wa shilingi 12, 000.<br />

Hii inamaanisha kwamba asali<br />

ni moja kati ya rasilimali yenye<br />

umuhimu katika afya na kuongeza<br />

kipato katika jamii.<br />

Dawa za asili<br />

Dawa za asili ni mazao muhimu<br />

yanayopatikana kutoka msituni<br />

ambapo nchi zote za Afrika<br />

zinatumika. Zaidi ya watu bilioni<br />

3.5 wanaoishi pembezoni mwa<br />

misitu duniani wanatumia dawa<br />

za asili na inakisiwa aina 35,000<br />

zinatumika ambapo katika nchi<br />

za Afrika zaidi ya asilimia 80 ya<br />

watu wanatumia dawa za asili kwa<br />

matibabu ya maradhi na maumivu<br />

mbali mbali. Shirika <strong>la</strong> Afya Duniani<br />

(WHO) limekisia kwamba zaidi ya<br />

asilimia 80 ya watu katika nchi<br />

zinazoendelea wanategemea dawa<br />

za asili kwa matibabu ya msingi na<br />

zinapatikana kwa urahisi na jamii<br />

inazifahamu.<br />

Miongoni mwa miti ya dawa<br />

maarufu zinazotumika hapa nchini<br />

ni pamoja na Mchofu, Mvuje,<br />

Mtarawanda, Kivumbasi, Mwavikali<br />

na Mpande ambazo zinatumika<br />

kwa kutibu maradhi mbali mbali<br />

kwa binadamu yakiwemo maradhi<br />

ya tumbo, kichwa, ngiri pamoja<br />

Kima punju ni miongoni mwa rasilimali ya msituni ambayo ni kivutio kikuu cha<br />

Msitu wa Hifadhi wa Jozani kwa watalii wa ndani na wa nje ya nchi.<br />

na maradhi ya matumbo ya<br />

kinamama.<br />

Miti ya mapambo<br />

Miti hii inatumika maalumu kwa<br />

ajili ya mapambo katika maeneo<br />

inayoishi jamii na kupendezesha<br />

hali ya mandhari. Jamii nyingi<br />

zinatumia miti hii katika nyumba<br />

zao au katika sehemu ambazo watu<br />

hupenda kupumzika na kwenye<br />

mahoteli za kitalii. Miongoni mwa<br />

miti maarufu inayotumika kwa<br />

mapambo inayopatikana msituni<br />

ni pamoja na Mgwede, Mkonge,<br />

Mkuyu na Mnunu ambayo pamoja<br />

na kutumika kwa mapambo pia<br />

hutumika kwa kutoa kivuli.<br />

Uhifadhi wa vyanzo vya maji<br />

Maji ni rasilimali za misitu<br />

zinazosaidia uzalishaji wa bidhaa<br />

mbali mbali na kuongeza pato <strong>la</strong><br />

taifa na yanasaidia kwa afya ya<br />

binaadamu. Maji ya mito, maziwa,<br />

mvua na sehemu za unyevu ni<br />

vyanzo muhimu vya uzalishaji wa<br />

mazao. Misitu inasaidia kuhifadhi<br />

kina cha maji, kupatika kwa<br />

uhakika na kupunguza chumvi<br />

katika maji. Aidha, miti inatoa nafasi<br />

ya makaazi ya samaki. Majani<br />

na magogo yalioza yanaongeza<br />

virutubisho kwa viumbe waishio<br />

majini.<br />

Rasilimali zinazopatikana msituni<br />

ni muhimu na zinahitaji kuwekewa<br />

mkakati maalum wa kuziendeleza<br />

na kuzitunza kwa vile zinachangia<br />

kustawisha uchumi wa nchi kwa<br />

kuongeza pato <strong>la</strong> taifa na usitawi<br />

wa maisha ya mwanadamu pamoja<br />

na viumbe vyengine. Aidha, taasisi<br />

zinazohusika ni vyema kufanya<br />

utafi ti na kuweza kuzitangaza<br />

rasilimali hizi na kuzianisha kwa<br />

jamii na matumizi yake.<br />

GAZETI HILI HUTOLEWA KILA BAADA YA MIEZI MITATU NA<br />

WIZARA YA KILIMO NA MALIASILI - ZANZIBAR<br />

P. O. Box 159 Zanzibar, Simu: +255 24 2230986, Fax: +255 24 2234650<br />

Barua pepe: kilimo@zanlink.com, Tovuti: www.kilimoznz.or.tz

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!