You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
ISO 9001:2008 CERTIFIED<br />
Septemba, 2012 Toleo la 12
A : KODI YA MAPATO VIWANGO<br />
Na. MAELEZO WAKAZI WASIO<br />
WAKAZI<br />
1. Kodi ya makampuni:<br />
a. Kodi kwenye mapato yote ya<br />
kampuni<br />
b. Makampuni<br />
yanayopata hasara<br />
kwa miaka 3<br />
mfululizo.<br />
c. Makampuni<br />
yaliyoandikishwa katika soko<br />
la mitaji la Dar es Salaam<br />
yenye hisa zilizouzwa kwa<br />
umma kufikia 30% au zaidi<br />
katika kipindi cha miaka<br />
mitatu ya mwanzo.<br />
d. Kodi kwenye mapato ya<br />
Tawi la kampuni ya nje.<br />
e. Kodi kwenye Mapato<br />
yanayorejeshwa nje.<br />
2<br />
30% 30%<br />
0.3% ya<br />
mauzo ya<br />
mwaka<br />
25%<br />
Hakuna<br />
25%<br />
Hakuna 30%<br />
Hakuna 10%
2. Kodi za zuio:<br />
i) Gawio kutoka Kampuni<br />
mkazi kwenda kampuni<br />
nyingine mkazi ambayo<br />
inamiliki hisa 25 au zaidi.<br />
5% Hakuna<br />
ii) Gawio la hisa kutoka<br />
kampuni zilizoandikishwa<br />
kwenye soko la hisa la<br />
Dar-es-Salaam.<br />
5% 5%<br />
iii) Gawio la hisa kutoka<br />
kwenye makampuni<br />
mengine<br />
10% 10%<br />
iv) Aina nyingine za kodi ya<br />
i<br />
v) Riba<br />
15%<br />
10%<br />
15%<br />
10%<br />
vi) Mrahaba 15% 15%<br />
vii) Huduma za Kiufundi<br />
(Uchimbaji madini)<br />
3<br />
5% 15%<br />
viii) Usafirishaji nje ya nchi Hakuna 5%<br />
ix) Kipato kutokana na<br />
ukodishaji nyumba<br />
10% 15%<br />
x) Ada ya bima 0% 5%<br />
xi) Ada itokanayo na maliasili 15% 15%
xii) Ada ya huduma Hakuna 15%<br />
(xiii) Bidhaa au huduma<br />
zitolewazo na<br />
wasiokuwa na TIN<br />
3. Faida Halisi kwa kuuza<br />
rasilimali<br />
Watu binafsi (Hisa<br />
na milki ya ardhi na<br />
majengo)<br />
4<br />
2% ya<br />
malipo<br />
yote<br />
15% ya<br />
malipo<br />
yote<br />
10% 20%<br />
Makampuni 30% 30%<br />
Misamaha katika mauzo ya rasilimali:<br />
a) Mwenye makazi binafsi<br />
Faida ya shilingi milioni 15 au pungufu.<br />
b) Ardhi kwa ajili ya kilimo<br />
Thamani ya soko chini ya shilingi milioni 10.<br />
c) Hisa<br />
Hisa zilizoorodheshwa kwenye soko la hisa la Dares-Salaam<br />
zinazomilikiwa na mkazi au asiye mkazi<br />
kwa kiwango kisichozidi 25%.
4. Kodi ya mkupuo mmoja:<br />
(i) Mauzo ya ardhi na majengo<br />
(ii) Usafirishaji wa bidhaa na<br />
abiria nje ya nchi<br />
5<br />
10%<br />
Hakuna<br />
20%<br />
Kumbuka<br />
(i) Kodi ya zuio hulipwa ndani ya siku saba baada ya kila<br />
mwisho wa mwezi wa makato.<br />
(ii) Taarifa huwasilishwa TRA ndani ya siku 30 kila baada<br />
5. Kodi ya Mapato ya mtu binafsi<br />
Mapato kwa Mwezi Kiwango cha Kodi<br />
Mapato yasiyozidi sh. 170,000/- Hakuna Kodi<br />
Mapato yanayozidi sh170,000/-<br />
lakini hayazidi sh. 360,000/-<br />
Mapato yanayozidi sh.<br />
360,000/- lakini hayazidi<br />
sh. 540,000/-<br />
Mapato yanayozidi sh.<br />
540,000/- lakini hayazidi sh.<br />
720,000/-<br />
Mapato yanayozidi<br />
sh.720,000/-<br />
5%<br />
14% ya mapato yanayozidi<br />
sh. 170,000/-<br />
Shs.26,600/- + 20% ya<br />
mapato yanayozidi<br />
Sh. 360,000/-<br />
Shs. 62,600/- + 25% ya<br />
mapato yanayozidi sh.<br />
540,000/-<br />
Shs. 107,600/- + 30% ya<br />
mapato yanayozidi sh.<br />
720,000/-
Kiwango cha mwaka: Mapato yasiyozidi Sh. 2,040,000/=<br />
hayatozwi kodi.<br />
Kumbuka:<br />
1. Kwa wafanyakazi wasio wakazi walioajiriwa na<br />
kampuni yenye makazi nchini malipo hayo yanapaswa<br />
kutozwa kodi ya zuio ya asilimia kumi na tano (15%).<br />
Hata hivyo kiwango cha kodi kwa mtu binafsi asiye<br />
mkazi ni asilimia ishirini (20%) kwenye mapato yake<br />
yote ya jumla.<br />
2. Wafanyakazi wanaochangia kulingana na kifungu<br />
namba 12 cha Sheria ya Mfuko wa Elimu ya mwaka<br />
2001, mchango huo unaweza kusamehewa kodi<br />
endapo maombi yatatumwa kwa Kamishna.<br />
Viwango Vitumikavyo Zanzibar<br />
Mapato kwa Mwezi Kiwango cha Kodi<br />
Mapato yasiozidi Shs.<br />
125,000/-<br />
Mapato yanayozidi Shs<br />
125,000/- lakini hayazidi Shs<br />
360,000/-<br />
6<br />
Hakuna kodi<br />
15% ya mapato<br />
yanayozidi Shs 125,000/-
Mapato yanayozidi Shs<br />
360,000/- lakini hayazidi Shs<br />
540,000/-<br />
Mapato yanayozidi Shs<br />
540,000/- lakini hayazidi Shs<br />
720,000/-<br />
Mapato yanayozidi Shs<br />
720,000/-<br />
7<br />
Shs. 35,250/- + 20% ya<br />
mapato yanayozidi Shs<br />
360,000/-<br />
Shs 71,250/- + 25% ya<br />
mapato yanayozidi Shs<br />
540,000/-<br />
Shs 116,250/- + 30% ya<br />
mapato yanayozidi Shs.<br />
720,000/-<br />
Kiwango cha mwaka: Mapato yasiyozidi Sh.1,500,000/=<br />
huyatozwi kodi.<br />
6. Kodi kwenye marupurupu ya ajira<br />
a. Nyumba:<br />
Ukokotoaji wa marupurupu ya<br />
nyumba unayopewa na mwajiri<br />
utazingatia bei ambayo ni<br />
pungufu kati ya ile ya soko na<br />
inayozidi yafuatayo:<br />
(i) 15% ya mapato yote ya ajira ya mwaka ya mwajiriwa,<br />
na<br />
(ii) Madai ya marejesho yanayodaiwa na mwajiri kutokana<br />
na kodi ya pango
. Gari:<br />
Magari yatatozwa kodi kutokana na uwezo wa injini ya<br />
gari na umri wa gari kulingana na jedwali lifuatalo:<br />
Uwezo wa injini ya gari Umri wa<br />
Gari<br />
Lisilozidi miaka Linalozidi<br />
mitano miaka mitano<br />
Usiozidi 1000c.c 250,000/= 125,000/=<br />
Unaozidi 1000c.c na usiozidi<br />
2000c.c<br />
500,000/= 250,000/=<br />
Kumbuka:<br />
Unaozidi 2000c.c na usiozidi<br />
3000c.c<br />
1,000,000/= 500,000/=<br />
Unaozidi 3000c.c 1,500,000/= 750,000/=<br />
� Marupurupu haya hayatozwi kodi pale ambapo mwajiri hana<br />
madai ya makato kutokana na umiliki, matengenezo au<br />
matumizi ya gari.<br />
� Bei ya soko itatumika kukadiria marupurupu ya aina nyingine.<br />
8
7. Viwango vya kodi kwa wafanyabiashara wadogo wakazi<br />
Mauzo kwa mwaka<br />
Mauzo yasiyozidi sh.<br />
4,000,000/=<br />
Mauzo yanayozidi sh.<br />
4,000,000/= na<br />
yasiyozidi sh.<br />
Mauzo yanayozidi<br />
sh.7,500,000/= na<br />
yasiyozidi sh.<br />
11,500,000/=<br />
Mauzo yanayozidi<br />
sh. 11,500,000/= na<br />
yasiyozidi sh.<br />
16,000,000/=<br />
Uzingatiaji wa kifungu cha 80 cha<br />
Sheria ya Kodi ya Mapato (Utunzaji wa<br />
kumbukumbu)<br />
Hakijazingatiwa<br />
(Kumbukumbu<br />
zisizoridhisha)<br />
9<br />
Kimezingatiwa<br />
(Kumbukumbu<br />
zinazoridhisha)<br />
Hakuna Hakuna<br />
Sh. 100,000/= 2% ya mauzo<br />
yanayozidi sh.<br />
4,000,000/=<br />
Sh. 212,000/= Sh. 70,000/= + 2.5%<br />
ya mauzo yanayozidi<br />
sh.7,500,000/=<br />
Sh. 364,000/= sh. 170,000/=<br />
+ 3% ya mauzo<br />
yanayozidi<br />
sh. 11,500,000/=<br />
kwa mwaka.
Mauzo yanayozidi<br />
sh. 16,000,000/= na<br />
yasiyozidi sh.<br />
20,000,000<br />
Sh. 575,000 Sh. 305,000/=<br />
+ 3.5% ya mauzo<br />
yanayozidi<br />
sh. 16,000,000/=<br />
kwa mwaka.<br />
Endapo mauzo ghafi kwa mwaka yatazidi sh. 20,000,000/= ni<br />
lazima kutengeneza hesabu za mizania kulingana na biashara.<br />
8. Uwasilishaji wa ritani na malipo ya kodi ya mapato.<br />
a) Tarehe za malipo ya kodi ya awali kwa walipakodi<br />
wanaofunga hesabu kwa kufuata mwaka wa kalenda*<br />
i) Kabla au mnamo tarehe 31 Machi<br />
ii) Kabla au mnamo tarehe 30 Juni<br />
iii) Kabla au mnamo tarehe 30 Septemba<br />
iv) Kabla au mnamo tarehe 31 Desemba<br />
*Malipo hufanyika katika kipindi cha miezi mitatu mitatu<br />
kutegemea tarehe ya kufunga hesabu za biashara.<br />
10
) Ritani za mwisho wa mwaka wa malipo ya kodi:<br />
Huwasilishwa ndani ya miezi sita tangu tarehe ya kufunga<br />
hesabu za mwaka wa mapato.<br />
c) Riba kutokana na ucheleweshaji wa malipo:<br />
Ucheleweshaji malipo unaambatana na kutozwa riba kwa<br />
kiwango kilichoidhinishwa na benki kuu kwa wakati huo<br />
kujumlisha na 5% kwa mwaka.<br />
d) Faini ya kutotumia EFD: Kushindwa kutumia mashine za<br />
kodi za kielektroniki (EFD) au kutotoa risiti za kielektroniki,<br />
tozo la faini ya Sh 3,000,000 au kifungo kisichozidi miaka<br />
3 kitatolewa.<br />
9. Kodi ya kuendeleza ufundi stadi (SDL)<br />
(i) Tanzania Bara:<br />
Kiwango ni 6% ya malipo yote aliyolipa mwajiri kwa<br />
wafanyakazi wake kwa mwezi husika.<br />
(ii) Zanzibar<br />
Kiwango ni 5% ya malipo yote aliyolipa mwajiri kwa<br />
wafanyakazi wake kwa mwezi husika.<br />
11
10<br />
Kumbuka<br />
Jumla ya malipo ni majumuisho ya mshahara, malipo ya<br />
likizo, likizo ya ugonjwa, malipo yoyote yanayohusisha likizo,<br />
kamisheni, mafao, bonasi, malipo ya kujikimu, usafiri, malipo<br />
ya kujiburudisha au malipo yoyote yanayoendana na utendaji<br />
kazi husika isipokuwa malipo yale yaliyotumika katika<br />
utekelezaji wa moja kwa moja wa kazi ya mwajiri.<br />
Punguzo katika rasilimali na viwango vyake<br />
Daraja Maelezo Viwango<br />
1* Kompyuta pamoja na vifaa<br />
vinavyohusiana na kompyuta,<br />
mashine zinazoshughulika na<br />
takwimu, vifaa/mashine<br />
zinazojiendesha zenyewe, mabasi<br />
makubwa na madogo yenye uwezo<br />
wa kubeba abiria wasiozidi 30,<br />
magari ya mizigo yanayobeba uzito<br />
12<br />
37.5%
2* Mabasi yenye uwezo wa kubeba<br />
abiria 30 au zaidi, magari makubwa<br />
kwa ajili ya kazi maalum, matrekta<br />
na matrekta yaliyojengewa<br />
makontena, reli, garimoshi na<br />
mashine zake, meli,<br />
matishari(barges), vyelezo(tags), na<br />
mashine nyingine zinazojiendesha<br />
zenyewe, mitambo na mashine zake<br />
pamoja na mashine ya upepo,<br />
jenereta za umeme, na mashine za<br />
usambazaji) zinazotumika katika<br />
uzalishaji au katika shughuli za<br />
madini, mitambo na mashine<br />
3* Samani za ofisini, vifaa vya ofisini na<br />
mashine/mitambo, pamoja na<br />
rasilimali ambazo hazikujumuishwa<br />
kwenye madaraja mengine.<br />
4** Uchunguzi wa maliasili, na hati miliki<br />
za uzalishaji maliasili, pamoja na<br />
matumizi yanayofanyika wakati wa<br />
kutafiti, kuzalisha, na kuendeleza<br />
maliasili<br />
13<br />
25%<br />
12.5%<br />
20%
5** Majengo na sura mbali mbali za<br />
ujenzi, mabwawa, hifadhi ya maji,<br />
uzio, na shughuli nyingine za kilimo<br />
zenye asili ya kudumu kwa muda<br />
mrefu, shughuli za mifugo.<br />
6** Majengo, sura mbalimbali za ujenzi<br />
(structures), na shughuli nyingine<br />
zinazofananana hizi zenye asili ya<br />
kudumu kwa muda mrefu ambazo<br />
hazipo katika daraja la 5.<br />
7** Rasilimali zinazokosekana katika<br />
daraja la 4 na zisizoshikika.<br />
8** Mitambo na mashine (pamoja na<br />
mashine za upepo, jenereta za<br />
umeme, na mashine za<br />
usambazaji) zinazotumika kwenye<br />
kilimo, pamoja na mashine za kodi<br />
za kielektroniki (EFD).<br />
14<br />
20%<br />
5%<br />
Hugawanywa kwa<br />
muda wa maisha<br />
ya rasilimali.<br />
100%
Kumbuka:<br />
1* Uchakavu hukokotolewa kwenye thamani ya rasilimali<br />
ambayo tayari imeshapunguzwa (Diminishing Value<br />
Method).<br />
2** Thamani ya rasilimali kwa mwaka wa kwanza ndio<br />
inayotumika katika kukokotoa uchakavu kila mwaka<br />
(Straight Line Method).<br />
B. KODI ZA MLAJI<br />
11. KODI YA ONGEZEKO LA THAMANI (VAT)<br />
(i) Usajili wa VAT<br />
Kiwango cha usajili wa Kodi ya Ongezeko la Thamani:<br />
Kiwango cha mauzo yanayotozwa kodi cha zaidi ya shilingi<br />
milioni arobaini (milioni 40) kwa mwaka, au kiwango<br />
kinachozidi milioni 10 kutokakana na mauzo yanayotozwa<br />
kodi ya miezi mitatu inayofuatana.<br />
(ii) Viwango vya VAT<br />
Aina ya bidhaa na au huduma Kiwango (VAT)<br />
zinazohusika<br />
Bidhaa na huduma zinazotozwa kodi - 18%<br />
Tanzania bara<br />
Uagizaji na uingizaji wa bidhaa na<br />
18%<br />
huduma toka nje kuingia Tanzania bara.<br />
Uuzaji wa bidhaa nje ya nchi. 0%<br />
15
(iii) Unafuu maalum wa VAT<br />
Baadhi ya watu au asasi zinapewa unafuu maalum wa Kodi<br />
ya Ongezeko la Thamani kwa kiwango cha 100% au 45% ya<br />
kodi ya bidhaa au huduma. (Kufuatia mabadiliko ya jedwali la<br />
3 la Sheria ya Kodi ya Ongezeko la Thamani)<br />
(iv) Uwasilishaji wa Ritani ya Kodi ya Ongezeko la<br />
Thamani<br />
Bidhaa na Huduma zitolewazo hapa nchini, siku ya mwisho ya<br />
kazi ya mwezi unaofuata mwezi wa biashara<br />
Bidhaa toka nje - Pindi malipo ya Ushuru wa Forodha<br />
yanapolipwa<br />
(v) Marejesho ya Kodi ya Ongezeko la Thamani:<br />
� Katika kipindi cha siku thelathini (30) baada ya<br />
kuwasilisha hati ya uthibitisho kutoka kwa mkaguzi<br />
aliyesajiliwa kama mtaalamu na mshauri wa kodi.<br />
� Marejesho ya mara kwa mara ya Kodi ya Ongezeko<br />
la Thamani:- Wafanyabiashara wenye marejesho<br />
yenye asili hii wanaruhusiwa kuwasilisha maombi<br />
ya marejesho yao kila mwezi.<br />
Kumbuka:<br />
Kila mfanyabiashara alisajiliwa kwa Kodi ya Ongezeko la<br />
Thamani anatakiwa kutumia mashine za kodi za kielektroniki<br />
(EFD).<br />
16
12. Ushuru wa Stempu<br />
Maelezo Viwango<br />
(i) Kuhamisha Asilimia moja (1%) ya thamani ya<br />
mauzo au sihia<br />
(ii) Kwenye ardhi Tshs. 500/=<br />
kwa ajili ya kilimo<br />
(iii) Hati za kisheria<br />
na mikataba za<br />
biashara<br />
Kwa masuala ya kibiashara na<br />
kisheria, ushuru wa stempu hutozwa<br />
katika viwango maalum mfano,<br />
mkataba wa mkopo, kiwango ni 1% ya<br />
mkataba lakini jumla ya ushuru<br />
unaolipwa usizidi shilingi 10,000/=.<br />
Msamaha:<br />
� Risiti kwenye mauzo au huduma inayohusiana na<br />
biashara<br />
� Kuhamisha umiliki wa mali (Assets) katika chombo<br />
maalum kwa mdhumuni ya kutoa dhamana<br />
zinazotegemea mali hiyo.<br />
Kumbuka:<br />
Ushuru wa Stempu kwenye hati mbalimbali, unapaswa<br />
kulipwa ndani ya siku 30 baada ya kusaini mkataba husika.<br />
17
13 Ushuru wa Forodha<br />
Bidhaa Kiwango cha<br />
Ushuru<br />
(i) Bidhaa za Mtaji, Malighafi<br />
0%<br />
zitumikazo kuzalisha bidhaa, dawa<br />
na vifaa vya hospitali, Jembe la<br />
mkono, matrekta ya kilimo na<br />
pembejeo za kilimo.<br />
(ii) Bidhaa ambazo hazijakamilika 10%<br />
(iii) Bidhaa za mlaji na zilizokamilika<br />
18<br />
25%<br />
(iv) Baadhi ya bidhaa hutozwa ushuru zaidi ya 25%<br />
kwa lengo la kulinda viwanda vya ndani. Hii ni<br />
pamoja na<br />
� Maziwa yaliyosindikwa na bidhaa za aina<br />
hiyo,<br />
� Maziwa ya mtindi na mafuta ya maziwa<br />
yaliyoongezwa ladha,<br />
� Sukari itokanayo na miwa au viazi na<br />
bidhaa za aina hiyo,<br />
� Magunia ya katani,<br />
� Vitenge, Khanga na Nguo za mitumba.
14. Ushuru wa bidhaa<br />
A. (i) Viwango maalum kwa bidhaa kama: Mvinyo,<br />
pombe kali, bia, vinywaji baridi, maji ya chupa,<br />
juisi za matunda, sigara, tumbaku, DVD, VCD,<br />
CD na kanda zilizorekodiwa, bidhaa za petroli<br />
na gesi.<br />
(ii) Ushuru kwa asilimia ya thamani: 7%,12%,20%,<br />
30% na 120% (120% ni kwa mifuko ya plastiki<br />
ya kubebea vitu).<br />
B. Ushuru wa bidhaa kwenye magari ya zaidi ya miaka 10:<br />
Magari yenye umri wa miaka 10 na zaidi, inayohesabiwa<br />
kuanzia mwaka gari ilipotengenezwa, yanatozwa ushuru<br />
wa bidhaa wa ziada wa 20% .<br />
C. Ushuru wa bidhaa kwenye magari kulingana na ujazo wa<br />
injini kwa magari ya matumizi binafsi<br />
Aina ya gari Kiwango cha ushuru<br />
(i) Lenye ujazo wa injini chini ya 0%<br />
1000cc<br />
(ii) Lenye ujazo wa injini unaozidi 5%<br />
1000 cc lakini usiozidi 2000 cc<br />
(iii) Lenye ujazo wa injini unaozidi 10%<br />
2000 cc<br />
19
15. Ushuru wa mafuta ya petroli na dizeli Sh. 200 kwa lita<br />
16. Ushuru wa huduma za viwanja vya ndege<br />
Safari za nje Dola za kimarekani<br />
40<br />
Safari za ndani ya nchi Sh. 10,000/-<br />
17. Ada za huduma ya bandari<br />
Kwa wasafiri wakazi Sh. 500/-<br />
Kwa wageni Dola za kimarekani 5<br />
18. Ada ya usajili wa chombo cha moto kwa mara ya kwanza<br />
Ada ya kusajili gari<br />
Ada ya kusajili pikipiki<br />
20<br />
Sh. 150,000/-<br />
Sh. 45,000/-<br />
Ada ya usajili kwa namba binafsi Sh. 5,000,000 kwa<br />
miaka 3<br />
19. Ada ya mwaka ya gari ni kama ifuatavyo<br />
Ujazo wa Injini Ada kwa mwaka<br />
Usiozidi 500 cc Sh. 50,000/-<br />
501 - 1,500 cc Sh. 100,000/-<br />
1,500 - 2,500 cc Sh. 150,000/-<br />
zaidi ya 2,500 cc Sh. 200,000/-
Trekta kwa ajili ya matumizi ya shughuli Imesamehewa<br />
za kilimo.<br />
20 Ada ya ukaguzi wa chombo cha kuzima moto<br />
Gari/Pikipiki yenye ujazo kati ya 1cc<br />
mpaka 500cc<br />
Gari/Pikipiki yenye ujazo kati ya 500cc<br />
na 1500cc<br />
Gari/Pikipiki yenye ujazo kati ya 1500cc<br />
na 2500cc<br />
21<br />
Sh 10,000<br />
Sh 20,000<br />
Sh 30,000<br />
Gari/Pikipiki yenye ujazo zaidi ya<br />
Sh 40,000<br />
2500cc<br />
21. Ada ya kuhamisha umiliki wa chombo cha moto<br />
Ada ya gari Sh. 50,000/-<br />
Ada ya pikipiki Sh. 27,000/-<br />
Ada ya kadi mpya Sh. 10,000/-<br />
22. Leseni za udereva<br />
Ada ya leseni Sh 40,000/- na<br />
kurudiwa baada ya<br />
miaka 3<br />
Ada ya majaribio ya udereva Sh 3,000/-
Leseni ya muda ya udereva Sh 10,000/- na<br />
kurudiwa baada ya<br />
miezi 3<br />
23. Ushuru kwa bidhaa ziendazo nje ya nchi (Export tax)<br />
i) Ngozi ghafi hutozwa 90% ya thamani (FOB) au Sh 900/kwa<br />
kilo kutegemea kiasi kipi ni kikubwa.<br />
ii) Korosho zisizobanguliwa hutozwa ushuru wa 10% kwenye<br />
thamani (FOB) au dola za kimarekani 160 kwa tani<br />
kutegemea kiwango kipi ni kikubwa<br />
24. Bidhaa zisizoruhusiwa kuingia hapa nchini (Prohibited<br />
Goods)<br />
Dawa za kulevya, Vifaa vya kutengeneza gesi za machozi,<br />
Maandishi ya uchochezi, Picha za matusi, matairi ya magari<br />
ya kubeba abiria na biashara yaliyokwishatumika pamoja na<br />
bidhaa zingine kama zilivyoainishwa katika sheria.<br />
25. Bidhaa zisizoruhusiwa kuingia hapa nchini kwa masharti<br />
ya udhibiti (Restricted Goods)<br />
Wanyama hai, mimea, baruti, silaha, risasi, pembe za ndovu<br />
na mabaki yake pamoja na bidhaa zingine kama<br />
zilivyoainishwa katika sheria. Bidhaa hizi huhitaji kibali<br />
maalum kutoka mamlaka husika.<br />
22
26. Ada ya mchakato wa nyaraka (Destination Inspection)<br />
Ada ya 0.6% hutozwa wakati wa ukokotoaji wa ushuru<br />
kwenye thamani ya bidhaa (FOB).<br />
27. Bidhaa zinazotoka nchi wanachama wa Jumuiya ya<br />
Afrika Mashariki (EAC) na SADC<br />
Bidhaa zinazozalishwa katika nchi wanachama wa EAC na<br />
SADC zitatozwa ushuru kiwango cha 0% pale zinapokidhi<br />
kanuni za uasili. Kiwango hiki hakitazihusu bidhaa<br />
zinazozalishwa katika uwanda wa wazi (EPZ) na viwanda<br />
vinavyopata msamaha wa kodi.<br />
28. Kodi ya majengo (Property rates):<br />
Mkoa wa Dar es Salaam.<br />
Aina ya majengo Viwango vyake<br />
(i) Majengo ya makazi 0.15% ya thamani iliyoidhinishwa<br />
(ii) Majengo ya biashara 0.2% ya thamani iliyoidhinishwa<br />
Kwa vyovyote kiwango cha chini hakitapungua shilingi<br />
10,000/=<br />
Majengo yaliyoorodheshwa yasiyokuwa na thamani<br />
iliyoidhinishwa, viwango vya utozaji vinapatikana katika<br />
jedwali la kwanza kwenye sheria ndogo ya kila Halmashauri<br />
ya Manispaa husika (Temeke, Ilala na Kinondoni)<br />
(iii) Kodi ya majengo kwa mikoa mingine hukusanywa na<br />
Halmashauri za Jiji, Manispaa, Miji na Wilaya husika.<br />
23