12.12.2012 Views

Layout 2

Layout 2

Layout 2

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

ISO 9001:2008 CERTIFIED<br />

Septemba, 2012 Toleo la 12


A : KODI YA MAPATO VIWANGO<br />

Na. MAELEZO WAKAZI WASIO<br />

WAKAZI<br />

1. Kodi ya makampuni:<br />

a. Kodi kwenye mapato yote ya<br />

kampuni<br />

b. Makampuni<br />

yanayopata hasara<br />

kwa miaka 3<br />

mfululizo.<br />

c. Makampuni<br />

yaliyoandikishwa katika soko<br />

la mitaji la Dar es Salaam<br />

yenye hisa zilizouzwa kwa<br />

umma kufikia 30% au zaidi<br />

katika kipindi cha miaka<br />

mitatu ya mwanzo.<br />

d. Kodi kwenye mapato ya<br />

Tawi la kampuni ya nje.<br />

e. Kodi kwenye Mapato<br />

yanayorejeshwa nje.<br />

2<br />

30% 30%<br />

0.3% ya<br />

mauzo ya<br />

mwaka<br />

25%<br />

Hakuna<br />

25%<br />

Hakuna 30%<br />

Hakuna 10%


2. Kodi za zuio:<br />

i) Gawio kutoka Kampuni<br />

mkazi kwenda kampuni<br />

nyingine mkazi ambayo<br />

inamiliki hisa 25 au zaidi.<br />

5% Hakuna<br />

ii) Gawio la hisa kutoka<br />

kampuni zilizoandikishwa<br />

kwenye soko la hisa la<br />

Dar-es-Salaam.<br />

5% 5%<br />

iii) Gawio la hisa kutoka<br />

kwenye makampuni<br />

mengine<br />

10% 10%<br />

iv) Aina nyingine za kodi ya<br />

i<br />

v) Riba<br />

15%<br />

10%<br />

15%<br />

10%<br />

vi) Mrahaba 15% 15%<br />

vii) Huduma za Kiufundi<br />

(Uchimbaji madini)<br />

3<br />

5% 15%<br />

viii) Usafirishaji nje ya nchi Hakuna 5%<br />

ix) Kipato kutokana na<br />

ukodishaji nyumba<br />

10% 15%<br />

x) Ada ya bima 0% 5%<br />

xi) Ada itokanayo na maliasili 15% 15%


xii) Ada ya huduma Hakuna 15%<br />

(xiii) Bidhaa au huduma<br />

zitolewazo na<br />

wasiokuwa na TIN<br />

3. Faida Halisi kwa kuuza<br />

rasilimali<br />

Watu binafsi (Hisa<br />

na milki ya ardhi na<br />

majengo)<br />

4<br />

2% ya<br />

malipo<br />

yote<br />

15% ya<br />

malipo<br />

yote<br />

10% 20%<br />

Makampuni 30% 30%<br />

Misamaha katika mauzo ya rasilimali:<br />

a) Mwenye makazi binafsi<br />

Faida ya shilingi milioni 15 au pungufu.<br />

b) Ardhi kwa ajili ya kilimo<br />

Thamani ya soko chini ya shilingi milioni 10.<br />

c) Hisa<br />

Hisa zilizoorodheshwa kwenye soko la hisa la Dares-Salaam<br />

zinazomilikiwa na mkazi au asiye mkazi<br />

kwa kiwango kisichozidi 25%.


4. Kodi ya mkupuo mmoja:<br />

(i) Mauzo ya ardhi na majengo<br />

(ii) Usafirishaji wa bidhaa na<br />

abiria nje ya nchi<br />

5<br />

10%<br />

Hakuna<br />

20%<br />

Kumbuka<br />

(i) Kodi ya zuio hulipwa ndani ya siku saba baada ya kila<br />

mwisho wa mwezi wa makato.<br />

(ii) Taarifa huwasilishwa TRA ndani ya siku 30 kila baada<br />

5. Kodi ya Mapato ya mtu binafsi<br />

Mapato kwa Mwezi Kiwango cha Kodi<br />

Mapato yasiyozidi sh. 170,000/- Hakuna Kodi<br />

Mapato yanayozidi sh170,000/-<br />

lakini hayazidi sh. 360,000/-<br />

Mapato yanayozidi sh.<br />

360,000/- lakini hayazidi<br />

sh. 540,000/-<br />

Mapato yanayozidi sh.<br />

540,000/- lakini hayazidi sh.<br />

720,000/-<br />

Mapato yanayozidi<br />

sh.720,000/-<br />

5%<br />

14% ya mapato yanayozidi<br />

sh. 170,000/-<br />

Shs.26,600/- + 20% ya<br />

mapato yanayozidi<br />

Sh. 360,000/-<br />

Shs. 62,600/- + 25% ya<br />

mapato yanayozidi sh.<br />

540,000/-<br />

Shs. 107,600/- + 30% ya<br />

mapato yanayozidi sh.<br />

720,000/-


Kiwango cha mwaka: Mapato yasiyozidi Sh. 2,040,000/=<br />

hayatozwi kodi.<br />

Kumbuka:<br />

1. Kwa wafanyakazi wasio wakazi walioajiriwa na<br />

kampuni yenye makazi nchini malipo hayo yanapaswa<br />

kutozwa kodi ya zuio ya asilimia kumi na tano (15%).<br />

Hata hivyo kiwango cha kodi kwa mtu binafsi asiye<br />

mkazi ni asilimia ishirini (20%) kwenye mapato yake<br />

yote ya jumla.<br />

2. Wafanyakazi wanaochangia kulingana na kifungu<br />

namba 12 cha Sheria ya Mfuko wa Elimu ya mwaka<br />

2001, mchango huo unaweza kusamehewa kodi<br />

endapo maombi yatatumwa kwa Kamishna.<br />

Viwango Vitumikavyo Zanzibar<br />

Mapato kwa Mwezi Kiwango cha Kodi<br />

Mapato yasiozidi Shs.<br />

125,000/-<br />

Mapato yanayozidi Shs<br />

125,000/- lakini hayazidi Shs<br />

360,000/-<br />

6<br />

Hakuna kodi<br />

15% ya mapato<br />

yanayozidi Shs 125,000/-


Mapato yanayozidi Shs<br />

360,000/- lakini hayazidi Shs<br />

540,000/-<br />

Mapato yanayozidi Shs<br />

540,000/- lakini hayazidi Shs<br />

720,000/-<br />

Mapato yanayozidi Shs<br />

720,000/-<br />

7<br />

Shs. 35,250/- + 20% ya<br />

mapato yanayozidi Shs<br />

360,000/-<br />

Shs 71,250/- + 25% ya<br />

mapato yanayozidi Shs<br />

540,000/-<br />

Shs 116,250/- + 30% ya<br />

mapato yanayozidi Shs.<br />

720,000/-<br />

Kiwango cha mwaka: Mapato yasiyozidi Sh.1,500,000/=<br />

huyatozwi kodi.<br />

6. Kodi kwenye marupurupu ya ajira<br />

a. Nyumba:<br />

Ukokotoaji wa marupurupu ya<br />

nyumba unayopewa na mwajiri<br />

utazingatia bei ambayo ni<br />

pungufu kati ya ile ya soko na<br />

inayozidi yafuatayo:<br />

(i) 15% ya mapato yote ya ajira ya mwaka ya mwajiriwa,<br />

na<br />

(ii) Madai ya marejesho yanayodaiwa na mwajiri kutokana<br />

na kodi ya pango


. Gari:<br />

Magari yatatozwa kodi kutokana na uwezo wa injini ya<br />

gari na umri wa gari kulingana na jedwali lifuatalo:<br />

Uwezo wa injini ya gari Umri wa<br />

Gari<br />

Lisilozidi miaka Linalozidi<br />

mitano miaka mitano<br />

Usiozidi 1000c.c 250,000/= 125,000/=<br />

Unaozidi 1000c.c na usiozidi<br />

2000c.c<br />

500,000/= 250,000/=<br />

Kumbuka:<br />

Unaozidi 2000c.c na usiozidi<br />

3000c.c<br />

1,000,000/= 500,000/=<br />

Unaozidi 3000c.c 1,500,000/= 750,000/=<br />

� Marupurupu haya hayatozwi kodi pale ambapo mwajiri hana<br />

madai ya makato kutokana na umiliki, matengenezo au<br />

matumizi ya gari.<br />

� Bei ya soko itatumika kukadiria marupurupu ya aina nyingine.<br />

8


7. Viwango vya kodi kwa wafanyabiashara wadogo wakazi<br />

Mauzo kwa mwaka<br />

Mauzo yasiyozidi sh.<br />

4,000,000/=<br />

Mauzo yanayozidi sh.<br />

4,000,000/= na<br />

yasiyozidi sh.<br />

Mauzo yanayozidi<br />

sh.7,500,000/= na<br />

yasiyozidi sh.<br />

11,500,000/=<br />

Mauzo yanayozidi<br />

sh. 11,500,000/= na<br />

yasiyozidi sh.<br />

16,000,000/=<br />

Uzingatiaji wa kifungu cha 80 cha<br />

Sheria ya Kodi ya Mapato (Utunzaji wa<br />

kumbukumbu)<br />

Hakijazingatiwa<br />

(Kumbukumbu<br />

zisizoridhisha)<br />

9<br />

Kimezingatiwa<br />

(Kumbukumbu<br />

zinazoridhisha)<br />

Hakuna Hakuna<br />

Sh. 100,000/= 2% ya mauzo<br />

yanayozidi sh.<br />

4,000,000/=<br />

Sh. 212,000/= Sh. 70,000/= + 2.5%<br />

ya mauzo yanayozidi<br />

sh.7,500,000/=<br />

Sh. 364,000/= sh. 170,000/=<br />

+ 3% ya mauzo<br />

yanayozidi<br />

sh. 11,500,000/=<br />

kwa mwaka.


Mauzo yanayozidi<br />

sh. 16,000,000/= na<br />

yasiyozidi sh.<br />

20,000,000<br />

Sh. 575,000 Sh. 305,000/=<br />

+ 3.5% ya mauzo<br />

yanayozidi<br />

sh. 16,000,000/=<br />

kwa mwaka.<br />

Endapo mauzo ghafi kwa mwaka yatazidi sh. 20,000,000/= ni<br />

lazima kutengeneza hesabu za mizania kulingana na biashara.<br />

8. Uwasilishaji wa ritani na malipo ya kodi ya mapato.<br />

a) Tarehe za malipo ya kodi ya awali kwa walipakodi<br />

wanaofunga hesabu kwa kufuata mwaka wa kalenda*<br />

i) Kabla au mnamo tarehe 31 Machi<br />

ii) Kabla au mnamo tarehe 30 Juni<br />

iii) Kabla au mnamo tarehe 30 Septemba<br />

iv) Kabla au mnamo tarehe 31 Desemba<br />

*Malipo hufanyika katika kipindi cha miezi mitatu mitatu<br />

kutegemea tarehe ya kufunga hesabu za biashara.<br />

10


) Ritani za mwisho wa mwaka wa malipo ya kodi:<br />

Huwasilishwa ndani ya miezi sita tangu tarehe ya kufunga<br />

hesabu za mwaka wa mapato.<br />

c) Riba kutokana na ucheleweshaji wa malipo:<br />

Ucheleweshaji malipo unaambatana na kutozwa riba kwa<br />

kiwango kilichoidhinishwa na benki kuu kwa wakati huo<br />

kujumlisha na 5% kwa mwaka.<br />

d) Faini ya kutotumia EFD: Kushindwa kutumia mashine za<br />

kodi za kielektroniki (EFD) au kutotoa risiti za kielektroniki,<br />

tozo la faini ya Sh 3,000,000 au kifungo kisichozidi miaka<br />

3 kitatolewa.<br />

9. Kodi ya kuendeleza ufundi stadi (SDL)<br />

(i) Tanzania Bara:<br />

Kiwango ni 6% ya malipo yote aliyolipa mwajiri kwa<br />

wafanyakazi wake kwa mwezi husika.<br />

(ii) Zanzibar<br />

Kiwango ni 5% ya malipo yote aliyolipa mwajiri kwa<br />

wafanyakazi wake kwa mwezi husika.<br />

11


10<br />

Kumbuka<br />

Jumla ya malipo ni majumuisho ya mshahara, malipo ya<br />

likizo, likizo ya ugonjwa, malipo yoyote yanayohusisha likizo,<br />

kamisheni, mafao, bonasi, malipo ya kujikimu, usafiri, malipo<br />

ya kujiburudisha au malipo yoyote yanayoendana na utendaji<br />

kazi husika isipokuwa malipo yale yaliyotumika katika<br />

utekelezaji wa moja kwa moja wa kazi ya mwajiri.<br />

Punguzo katika rasilimali na viwango vyake<br />

Daraja Maelezo Viwango<br />

1* Kompyuta pamoja na vifaa<br />

vinavyohusiana na kompyuta,<br />

mashine zinazoshughulika na<br />

takwimu, vifaa/mashine<br />

zinazojiendesha zenyewe, mabasi<br />

makubwa na madogo yenye uwezo<br />

wa kubeba abiria wasiozidi 30,<br />

magari ya mizigo yanayobeba uzito<br />

12<br />

37.5%


2* Mabasi yenye uwezo wa kubeba<br />

abiria 30 au zaidi, magari makubwa<br />

kwa ajili ya kazi maalum, matrekta<br />

na matrekta yaliyojengewa<br />

makontena, reli, garimoshi na<br />

mashine zake, meli,<br />

matishari(barges), vyelezo(tags), na<br />

mashine nyingine zinazojiendesha<br />

zenyewe, mitambo na mashine zake<br />

pamoja na mashine ya upepo,<br />

jenereta za umeme, na mashine za<br />

usambazaji) zinazotumika katika<br />

uzalishaji au katika shughuli za<br />

madini, mitambo na mashine<br />

3* Samani za ofisini, vifaa vya ofisini na<br />

mashine/mitambo, pamoja na<br />

rasilimali ambazo hazikujumuishwa<br />

kwenye madaraja mengine.<br />

4** Uchunguzi wa maliasili, na hati miliki<br />

za uzalishaji maliasili, pamoja na<br />

matumizi yanayofanyika wakati wa<br />

kutafiti, kuzalisha, na kuendeleza<br />

maliasili<br />

13<br />

25%<br />

12.5%<br />

20%


5** Majengo na sura mbali mbali za<br />

ujenzi, mabwawa, hifadhi ya maji,<br />

uzio, na shughuli nyingine za kilimo<br />

zenye asili ya kudumu kwa muda<br />

mrefu, shughuli za mifugo.<br />

6** Majengo, sura mbalimbali za ujenzi<br />

(structures), na shughuli nyingine<br />

zinazofananana hizi zenye asili ya<br />

kudumu kwa muda mrefu ambazo<br />

hazipo katika daraja la 5.<br />

7** Rasilimali zinazokosekana katika<br />

daraja la 4 na zisizoshikika.<br />

8** Mitambo na mashine (pamoja na<br />

mashine za upepo, jenereta za<br />

umeme, na mashine za<br />

usambazaji) zinazotumika kwenye<br />

kilimo, pamoja na mashine za kodi<br />

za kielektroniki (EFD).<br />

14<br />

20%<br />

5%<br />

Hugawanywa kwa<br />

muda wa maisha<br />

ya rasilimali.<br />

100%


Kumbuka:<br />

1* Uchakavu hukokotolewa kwenye thamani ya rasilimali<br />

ambayo tayari imeshapunguzwa (Diminishing Value<br />

Method).<br />

2** Thamani ya rasilimali kwa mwaka wa kwanza ndio<br />

inayotumika katika kukokotoa uchakavu kila mwaka<br />

(Straight Line Method).<br />

B. KODI ZA MLAJI<br />

11. KODI YA ONGEZEKO LA THAMANI (VAT)<br />

(i) Usajili wa VAT<br />

Kiwango cha usajili wa Kodi ya Ongezeko la Thamani:<br />

Kiwango cha mauzo yanayotozwa kodi cha zaidi ya shilingi<br />

milioni arobaini (milioni 40) kwa mwaka, au kiwango<br />

kinachozidi milioni 10 kutokakana na mauzo yanayotozwa<br />

kodi ya miezi mitatu inayofuatana.<br />

(ii) Viwango vya VAT<br />

Aina ya bidhaa na au huduma Kiwango (VAT)<br />

zinazohusika<br />

Bidhaa na huduma zinazotozwa kodi - 18%<br />

Tanzania bara<br />

Uagizaji na uingizaji wa bidhaa na<br />

18%<br />

huduma toka nje kuingia Tanzania bara.<br />

Uuzaji wa bidhaa nje ya nchi. 0%<br />

15


(iii) Unafuu maalum wa VAT<br />

Baadhi ya watu au asasi zinapewa unafuu maalum wa Kodi<br />

ya Ongezeko la Thamani kwa kiwango cha 100% au 45% ya<br />

kodi ya bidhaa au huduma. (Kufuatia mabadiliko ya jedwali la<br />

3 la Sheria ya Kodi ya Ongezeko la Thamani)<br />

(iv) Uwasilishaji wa Ritani ya Kodi ya Ongezeko la<br />

Thamani<br />

Bidhaa na Huduma zitolewazo hapa nchini, siku ya mwisho ya<br />

kazi ya mwezi unaofuata mwezi wa biashara<br />

Bidhaa toka nje - Pindi malipo ya Ushuru wa Forodha<br />

yanapolipwa<br />

(v) Marejesho ya Kodi ya Ongezeko la Thamani:<br />

� Katika kipindi cha siku thelathini (30) baada ya<br />

kuwasilisha hati ya uthibitisho kutoka kwa mkaguzi<br />

aliyesajiliwa kama mtaalamu na mshauri wa kodi.<br />

� Marejesho ya mara kwa mara ya Kodi ya Ongezeko<br />

la Thamani:- Wafanyabiashara wenye marejesho<br />

yenye asili hii wanaruhusiwa kuwasilisha maombi<br />

ya marejesho yao kila mwezi.<br />

Kumbuka:<br />

Kila mfanyabiashara alisajiliwa kwa Kodi ya Ongezeko la<br />

Thamani anatakiwa kutumia mashine za kodi za kielektroniki<br />

(EFD).<br />

16


12. Ushuru wa Stempu<br />

Maelezo Viwango<br />

(i) Kuhamisha Asilimia moja (1%) ya thamani ya<br />

mauzo au sihia<br />

(ii) Kwenye ardhi Tshs. 500/=<br />

kwa ajili ya kilimo<br />

(iii) Hati za kisheria<br />

na mikataba za<br />

biashara<br />

Kwa masuala ya kibiashara na<br />

kisheria, ushuru wa stempu hutozwa<br />

katika viwango maalum mfano,<br />

mkataba wa mkopo, kiwango ni 1% ya<br />

mkataba lakini jumla ya ushuru<br />

unaolipwa usizidi shilingi 10,000/=.<br />

Msamaha:<br />

� Risiti kwenye mauzo au huduma inayohusiana na<br />

biashara<br />

� Kuhamisha umiliki wa mali (Assets) katika chombo<br />

maalum kwa mdhumuni ya kutoa dhamana<br />

zinazotegemea mali hiyo.<br />

Kumbuka:<br />

Ushuru wa Stempu kwenye hati mbalimbali, unapaswa<br />

kulipwa ndani ya siku 30 baada ya kusaini mkataba husika.<br />

17


13 Ushuru wa Forodha<br />

Bidhaa Kiwango cha<br />

Ushuru<br />

(i) Bidhaa za Mtaji, Malighafi<br />

0%<br />

zitumikazo kuzalisha bidhaa, dawa<br />

na vifaa vya hospitali, Jembe la<br />

mkono, matrekta ya kilimo na<br />

pembejeo za kilimo.<br />

(ii) Bidhaa ambazo hazijakamilika 10%<br />

(iii) Bidhaa za mlaji na zilizokamilika<br />

18<br />

25%<br />

(iv) Baadhi ya bidhaa hutozwa ushuru zaidi ya 25%<br />

kwa lengo la kulinda viwanda vya ndani. Hii ni<br />

pamoja na<br />

� Maziwa yaliyosindikwa na bidhaa za aina<br />

hiyo,<br />

� Maziwa ya mtindi na mafuta ya maziwa<br />

yaliyoongezwa ladha,<br />

� Sukari itokanayo na miwa au viazi na<br />

bidhaa za aina hiyo,<br />

� Magunia ya katani,<br />

� Vitenge, Khanga na Nguo za mitumba.


14. Ushuru wa bidhaa<br />

A. (i) Viwango maalum kwa bidhaa kama: Mvinyo,<br />

pombe kali, bia, vinywaji baridi, maji ya chupa,<br />

juisi za matunda, sigara, tumbaku, DVD, VCD,<br />

CD na kanda zilizorekodiwa, bidhaa za petroli<br />

na gesi.<br />

(ii) Ushuru kwa asilimia ya thamani: 7%,12%,20%,<br />

30% na 120% (120% ni kwa mifuko ya plastiki<br />

ya kubebea vitu).<br />

B. Ushuru wa bidhaa kwenye magari ya zaidi ya miaka 10:<br />

Magari yenye umri wa miaka 10 na zaidi, inayohesabiwa<br />

kuanzia mwaka gari ilipotengenezwa, yanatozwa ushuru<br />

wa bidhaa wa ziada wa 20% .<br />

C. Ushuru wa bidhaa kwenye magari kulingana na ujazo wa<br />

injini kwa magari ya matumizi binafsi<br />

Aina ya gari Kiwango cha ushuru<br />

(i) Lenye ujazo wa injini chini ya 0%<br />

1000cc<br />

(ii) Lenye ujazo wa injini unaozidi 5%<br />

1000 cc lakini usiozidi 2000 cc<br />

(iii) Lenye ujazo wa injini unaozidi 10%<br />

2000 cc<br />

19


15. Ushuru wa mafuta ya petroli na dizeli Sh. 200 kwa lita<br />

16. Ushuru wa huduma za viwanja vya ndege<br />

Safari za nje Dola za kimarekani<br />

40<br />

Safari za ndani ya nchi Sh. 10,000/-<br />

17. Ada za huduma ya bandari<br />

Kwa wasafiri wakazi Sh. 500/-<br />

Kwa wageni Dola za kimarekani 5<br />

18. Ada ya usajili wa chombo cha moto kwa mara ya kwanza<br />

Ada ya kusajili gari<br />

Ada ya kusajili pikipiki<br />

20<br />

Sh. 150,000/-<br />

Sh. 45,000/-<br />

Ada ya usajili kwa namba binafsi Sh. 5,000,000 kwa<br />

miaka 3<br />

19. Ada ya mwaka ya gari ni kama ifuatavyo<br />

Ujazo wa Injini Ada kwa mwaka<br />

Usiozidi 500 cc Sh. 50,000/-<br />

501 - 1,500 cc Sh. 100,000/-<br />

1,500 - 2,500 cc Sh. 150,000/-<br />

zaidi ya 2,500 cc Sh. 200,000/-


Trekta kwa ajili ya matumizi ya shughuli Imesamehewa<br />

za kilimo.<br />

20 Ada ya ukaguzi wa chombo cha kuzima moto<br />

Gari/Pikipiki yenye ujazo kati ya 1cc<br />

mpaka 500cc<br />

Gari/Pikipiki yenye ujazo kati ya 500cc<br />

na 1500cc<br />

Gari/Pikipiki yenye ujazo kati ya 1500cc<br />

na 2500cc<br />

21<br />

Sh 10,000<br />

Sh 20,000<br />

Sh 30,000<br />

Gari/Pikipiki yenye ujazo zaidi ya<br />

Sh 40,000<br />

2500cc<br />

21. Ada ya kuhamisha umiliki wa chombo cha moto<br />

Ada ya gari Sh. 50,000/-<br />

Ada ya pikipiki Sh. 27,000/-<br />

Ada ya kadi mpya Sh. 10,000/-<br />

22. Leseni za udereva<br />

Ada ya leseni Sh 40,000/- na<br />

kurudiwa baada ya<br />

miaka 3<br />

Ada ya majaribio ya udereva Sh 3,000/-


Leseni ya muda ya udereva Sh 10,000/- na<br />

kurudiwa baada ya<br />

miezi 3<br />

23. Ushuru kwa bidhaa ziendazo nje ya nchi (Export tax)<br />

i) Ngozi ghafi hutozwa 90% ya thamani (FOB) au Sh 900/kwa<br />

kilo kutegemea kiasi kipi ni kikubwa.<br />

ii) Korosho zisizobanguliwa hutozwa ushuru wa 10% kwenye<br />

thamani (FOB) au dola za kimarekani 160 kwa tani<br />

kutegemea kiwango kipi ni kikubwa<br />

24. Bidhaa zisizoruhusiwa kuingia hapa nchini (Prohibited<br />

Goods)<br />

Dawa za kulevya, Vifaa vya kutengeneza gesi za machozi,<br />

Maandishi ya uchochezi, Picha za matusi, matairi ya magari<br />

ya kubeba abiria na biashara yaliyokwishatumika pamoja na<br />

bidhaa zingine kama zilivyoainishwa katika sheria.<br />

25. Bidhaa zisizoruhusiwa kuingia hapa nchini kwa masharti<br />

ya udhibiti (Restricted Goods)<br />

Wanyama hai, mimea, baruti, silaha, risasi, pembe za ndovu<br />

na mabaki yake pamoja na bidhaa zingine kama<br />

zilivyoainishwa katika sheria. Bidhaa hizi huhitaji kibali<br />

maalum kutoka mamlaka husika.<br />

22


26. Ada ya mchakato wa nyaraka (Destination Inspection)<br />

Ada ya 0.6% hutozwa wakati wa ukokotoaji wa ushuru<br />

kwenye thamani ya bidhaa (FOB).<br />

27. Bidhaa zinazotoka nchi wanachama wa Jumuiya ya<br />

Afrika Mashariki (EAC) na SADC<br />

Bidhaa zinazozalishwa katika nchi wanachama wa EAC na<br />

SADC zitatozwa ushuru kiwango cha 0% pale zinapokidhi<br />

kanuni za uasili. Kiwango hiki hakitazihusu bidhaa<br />

zinazozalishwa katika uwanda wa wazi (EPZ) na viwanda<br />

vinavyopata msamaha wa kodi.<br />

28. Kodi ya majengo (Property rates):<br />

Mkoa wa Dar es Salaam.<br />

Aina ya majengo Viwango vyake<br />

(i) Majengo ya makazi 0.15% ya thamani iliyoidhinishwa<br />

(ii) Majengo ya biashara 0.2% ya thamani iliyoidhinishwa<br />

Kwa vyovyote kiwango cha chini hakitapungua shilingi<br />

10,000/=<br />

Majengo yaliyoorodheshwa yasiyokuwa na thamani<br />

iliyoidhinishwa, viwango vya utozaji vinapatikana katika<br />

jedwali la kwanza kwenye sheria ndogo ya kila Halmashauri<br />

ya Manispaa husika (Temeke, Ilala na Kinondoni)<br />

(iii) Kodi ya majengo kwa mikoa mingine hukusanywa na<br />

Halmashauri za Jiji, Manispaa, Miji na Wilaya husika.<br />

23

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!