Leaflet Mpunga.p65 - Kilimo

Leaflet Mpunga.p65 - Kilimo Leaflet Mpunga.p65 - Kilimo

kilimoznz.or.tz
from kilimoznz.or.tz More from this publisher
12.12.2012 Views

lakini mashambulizi makubwa yanatokea mpunga ukiwa mchanga. Wadudu wanaoshambulia sana mpunga ni pamoja na kunguni mgunda na funza wa kigogo. Ili kudhibiti uharibifu hou hapana budi kutayarisha shamba vizuri na kwa wakati pamoja na ukaguzi wa shamba mara kwa mara, ni mbinu bora ya kupunguza maradhi na wadudu kwa kiasi kikubwa sambamba na utumiaji wa dawa za viwandani kama vile Dawa ya unga aina ya Marshal ambayo huchanganywa na mbegu kabla ya kupandwa, Dawa za mafuta za Rogo, Attakan, C344SE, na nyenginezo. Dawa hizi hutumika zaidi mara tu mashambulizi yanapoanza baada ya mpunga kuota/kuchipua. Ukaguzi wa shamba: Kwa kipindi chote hicho inashauriwa kukagua shamba lako mara kwa mara ili kuweza kugundua tatizo lolote mapema na kulichukulia hatua inayofaa kwa haraka. Upatikanaji wa Wataalam: Wakulima ili wafanikiwe wanahitaji kupata ushauri wa kitaalam na miongozo mbalimbali ili uzalishaji uweze kukuwa. Ni vizuri kwa wakulima kuwa karibu na mabwana shamba wa maeneo yao, ili kubadilishana uzoefu na kupata taaluma zaidi. Mavuno: Uvunaji hufanyika mapema mpunga unapokauka na kugeuka rangi ya kahawia kabla majani hayajakauka kabisa. Unapochelewa kuvunwa mpunga hukauka shambani na hupukutika na kupungua uzito. Baada ya kuvunwa mpunga husafishwa kwa kupeta na huhifadhiwa kwenye mapolo na magunia kwa matumizi ya baadae. Kimetayarishwa na Kamisheni ya Kilimo, Utafiti na Elimu kwaWakulima (Kitengo cha habari na Vielelezo) Wizara ya Kilimo, Mifugo na Mazingira S. L. P 159, ZANZIBAR Juni, 2008 WIZARA YA KILIMO, MIFUGO NA MAZINGIRA - ZANZIBZAR MBINU MBINU BORA BORA ZA ZA UZALISHAJI UZALISHAJI MPUNGA MPUNGA WA KUTEGEMEA KUTEGEMEA MVU MVUA MVU

lakini mashambulizi makubwa yanatokea mpunga<br />

ukiwa mchanga. Wadudu wanaoshambulia sana<br />

mpunga ni pamoja na kunguni mgunda na funza<br />

wa kigogo. Ili kudhibiti uharibifu hou hapana budi<br />

kutayarisha shamba<br />

vizuri na kwa wakati<br />

pamoja na ukaguzi<br />

wa shamba mara<br />

kwa mara, ni mbinu<br />

bora ya kupunguza<br />

maradhi na wadudu<br />

kwa kiasi kikubwa<br />

sambamba na<br />

utumiaji wa dawa za<br />

viwandani kama vile<br />

Dawa ya unga aina<br />

ya Marshal ambayo huchanganywa na mbegu<br />

kabla ya kupandwa, Dawa za mafuta za Rogo,<br />

Attakan, C344SE, na nyenginezo. Dawa hizi<br />

hutumika zaidi mara tu mashambulizi yanapoanza<br />

baada ya mpunga kuota/kuchipua.<br />

Ukaguzi wa shamba:<br />

Kwa kipindi chote hicho inashauriwa kukagua<br />

shamba lako mara kwa mara ili kuweza kugundua<br />

tatizo lolote mapema na kulichukulia hatua<br />

inayofaa kwa haraka.<br />

Upatikanaji wa Wataalam:<br />

Wakulima ili wafanikiwe wanahitaji kupata ushauri<br />

wa kitaalam na miongozo mbalimbali ili uzalishaji<br />

uweze kukuwa. Ni vizuri kwa wakulima kuwa<br />

karibu na mabwana shamba wa maeneo yao, ili<br />

kubadilishana uzoefu na kupata taaluma zaidi.<br />

Mavuno:<br />

Uvunaji hufanyika mapema mpunga unapokauka<br />

na kugeuka rangi ya kahawia kabla majani<br />

hayajakauka kabisa. Unapochelewa kuvunwa<br />

mpunga hukauka shambani na hupukutika na<br />

kupungua uzito.<br />

Baada ya kuvunwa mpunga husafishwa kwa<br />

kupeta na huhifadhiwa kwenye mapolo na<br />

magunia kwa matumizi ya baadae.<br />

Kimetayarishwa na<br />

Kamisheni ya <strong>Kilimo</strong>, Utafiti na Elimu kwaWakulima<br />

(Kitengo cha habari na Vielelezo)<br />

Wizara ya <strong>Kilimo</strong>, Mifugo na Mazingira<br />

S. L. P 159, ZANZIBAR<br />

Juni, 2008<br />

WIZARA YA KILIMO, MIFUGO NA<br />

MAZINGIRA - ZANZIBZAR<br />

MBINU MBINU BORA BORA ZA<br />

ZA<br />

UZALISHAJI<br />

UZALISHAJI<br />

MPUNGA MPUNGA WA<br />

KUTEGEMEA KUTEGEMEA MVU MVUA MVU

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!