My final AIM Global booklet

06.06.2017 Views

Kiongozi Mkuu ni huyu Dr. Eduado Cabantog. Yeye ni dakitari kitaaluma na wamempa jina la The visionary president kutokana na uwezo wake mkubwa wa kuwa na maono mbali mbali kwa ajili ya kuboresha kampuni. Pia yeye ni mmoja ya wajasiriamali 10 bora kulingana na gazeti la Entrepreneur. Alikuwa bora kuliko wengine wote katika biashara ya mtandao mwaka 2013-2014 kulingana na MLMIA yaani Multi- Level Marketing International Association ambayo ni taasisi Inayosimamia na kuratibu biashara ya mtandao duniani. Pia alitambuliwa kama mfanyabiashara anaeongoza kwa mwaka 2013 kwenye mkutano wa wafanya biashara ya soko la mtandao uliyofanyika Bangkok. Mwingine ni huyu Francis Miguel ambaye ni Engineer wa Computer kitaaluma. Yeye anashughulika zaidi na masuala ya mahesabu ya kampuni na wanamuita mwongozaji na mshauri wa washauri (Mentor of mentors) Pia kuna huyu Bwana Raymund John Asperin ambae ni Afisa masoko mkuu wa kampuni na ni mhitimu wa masomo ya utabibu. Nae amepewa jina la Bwana hamasa (Mr. Excitement) 4

Miili yetu hushambuliwa na vijasumu viitwavyo free radicals kwa lugha ya kigeni ambavyo hudhoofisha au kuharibu uwezo wa kinga ndani ya chembe hai (cells) zetu. Hapa unaweza kuona jinsi gani chembe hai imeshambuliwa na free radicals na kuharibika kabisa. Kwa hali kama hii mtu ambae chembe hai zake zimeshambuliwa kwa kiasi hiki lazima atapata maradhi fulani kutokana na kinga yake mwilini kudhoofishwa. Ni vigumu sana kuzuia hizo free radicals kuingia kwenye mwili wa mtu kutokana na ukweli kwamba zinamuingia mtu kutokana na…… Chakula anachokula. Dawa anazotumia Vinywaji anavyokunywa Hewa anayovuta na kadhalika. 5

Kiongozi Mkuu ni huyu Dr. Eduado<br />

Cabantog. Yeye ni dakitari<br />

kitaaluma na wamempa jina la<br />

The visionary president kutokana<br />

na uwezo wake mkubwa wa kuwa<br />

na maono mbali mbali kwa ajili ya<br />

kuboresha kampuni. Pia yeye ni<br />

mmoja ya wajasiriamali 10 bora<br />

kulingana na gazeti la Entrepreneur.<br />

Alikuwa bora kuliko wengine<br />

wote katika biashara ya<br />

mtandao mwaka 2013-2014 kulingana<br />

na MLMIA yaani Multi-<br />

Level Marketing International<br />

Association ambayo ni taasisi<br />

Inayosimamia na kuratibu biashara<br />

ya mtandao duniani. Pia alitambuliwa<br />

kama mfanyabiashara<br />

anaeongoza kwa mwaka 2013<br />

kwenye mkutano wa wafanya biashara<br />

ya soko la mtandao uliyofanyika<br />

Bangkok.<br />

Mwingine ni huyu Francis<br />

Miguel ambaye ni Engineer<br />

wa Computer kitaaluma.<br />

Yeye anashughulika zaidi<br />

na masuala ya mahesabu ya<br />

kampuni na wanamuita<br />

mwongozaji na mshauri wa<br />

washauri (Mentor of mentors)<br />

Pia kuna huyu Bwana Raymund John<br />

Asperin ambae ni Afisa masoko<br />

mkuu wa kampuni na ni mhitimu wa<br />

masomo ya utabibu. Nae amepewa<br />

jina la Bwana hamasa (Mr. Excitement)<br />

4

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!