12.12.2012 Views

kwa maendeleo endelevu na kupunguza umaskini - TaTEDO

kwa maendeleo endelevu na kupunguza umaskini - TaTEDO

kwa maendeleo endelevu na kupunguza umaskini - TaTEDO

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

KWA MAENDELEO ENDELEVU NA KUPUNGUZA UMASKINI<br />

Jarida hutolewa <strong>na</strong> ‘Tanzania Traditio<strong>na</strong>l Energy Development and<br />

Environment Organization’ (<strong>TaTEDO</strong>)<br />

ISSN 0856 – 9797 Toleo la 5 January –June 2008<br />

YALIYOMO<br />

� Nishati Itoka<strong>na</strong>yo Na Mazao: Umuhimu Wake <strong>kwa</strong> Wakulima Wadogo Wadogo<br />

<strong>na</strong> Maendeleo Yake Tanzania (Tafsiri) ……………………………………………………………………..……….1<br />

� Faida ya Mwanzi Katika Upatika<strong>na</strong>ji wa Nishati................................................4<br />

� Mitambo Ya Huduma Anwai za Nishati(MFP) I<strong>na</strong>yofungwa <strong>na</strong> <strong>TaTEDO</strong> <strong>kwa</strong><br />

Ajili ya Umeme Vijijini Yaanza Kutumika<br />

Uganda……………………………………………………....……………………………………………………………………………….…..6<br />

� Teknolojia Mbadala ni Muhimu kuthibiti Gesijoto Tanzania ……………………....……….. 11<br />

� Matumizi ya Teknolojia za Nishati <strong>na</strong> Fursa za Kujiongezea Kipato <strong>na</strong><br />

Kuboresha Hali ya Maisha ya Watanzania……………………………………........……….........…. 15<br />

� Baadhi ya Miradi Ambayo <strong>TaTEDO</strong> I<strong>na</strong>tekeleza..............................................13.<br />

� <strong>TaTEDO</strong> <strong>kwa</strong> Ufupi ……………………………………….……………………..…………………………………….………….. 17<br />

Limetolewa <strong>na</strong> <strong>TaTEDO</strong> <strong>kwa</strong> hisani ya Serikali<br />

ya Norwai <strong>na</strong> HIVOS<br />

Jiko bora la kuni lenye mtungi wa maji ya moto<br />

Mtambo wa Huduma Anuai za Nishati -<br />

umefungwa Uganda


NISHATI ITOKANAYO NA MAZAO: UMUHIMU WAKE KWA WAKULIMA WADOGO WADOGO<br />

NA MAENDELEO YAKE TANZANIA. (Tafsiri kutoka makala ilioandi<strong>kwa</strong> Na E. N Sawe, <strong>TaTEDO</strong>)<br />

Kumekuwa <strong>na</strong> ongezeko kubwa la uhitaji wa nishati<br />

ya mafuta itoka<strong>na</strong>yo <strong>na</strong> mimea ulimwenguni <strong>kwa</strong><br />

kipindi cha miaka ilitopita, hii ni kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong><br />

ongezeko la bei ya mafuta ya asili, wingi wa gesi ya<br />

ukaa (carbondioxide) angani, mabadiliko ya hali ya<br />

hewa, kupungua <strong>kwa</strong> akiba ya mafuta ardhini.<br />

kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> ukweli <strong>kwa</strong>mba mafuta yatoka<strong>na</strong>yo <strong>na</strong><br />

mimea ya<strong>na</strong>weza yakachanganywa <strong>na</strong> mafuta ya<br />

asili <strong>na</strong> kuweza kuendesha magari <strong>na</strong> mitambo<br />

mingineyo. Kama zilivyo nchi nyingine za Afrika,<br />

Tanzania <strong>na</strong>yo ni miongoni mwa nchi zi<strong>na</strong>zohitaji<br />

<strong>kwa</strong> umuhimu mkubwa njia nyingine ya kupata<br />

mafuta kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> mimea ili kukidhi mahitaji ya<br />

nishati bora vijijini.<br />

Mti wa Mbono <strong>na</strong> matunda yake<br />

Kwa kuzingatia haya Tanzania i<strong>na</strong> kila sababu ya<br />

kuwekeza katika sekta ya nishati itoka<strong>na</strong>yo <strong>na</strong><br />

mimea nchini. Nishati itoka<strong>na</strong>yo <strong>na</strong> mimea itasaidia<br />

katika kufikia malengo ya milenia <strong>na</strong> kusaidia<br />

upatika<strong>na</strong>ji wa nishati ya uhakika, kuinua maisha <strong>na</strong><br />

<strong>maendeleo</strong> ya uchumi, kutoa ajira <strong>na</strong> kukuza kilimo<br />

ili kuinua hali ya maisha ya wa<strong>na</strong>nchi. Vile vile<br />

nishati hii itafungua njia katika <strong>kupunguza</strong> ongezeko<br />

la hewa chafu angani Kwa kutoa <strong>na</strong>fasi za kiuchumi<br />

katika suala la <strong>maendeleo</strong> <strong>na</strong> uanzishaji wa miradi<br />

ya <strong>maendeleo</strong> ya <strong>kupunguza</strong> mabadiliko ya hali ya<br />

Hewa.<br />

Njia za Kuendeleza<br />

Uwezekano wa kuzalisha nishati ya mafuta<br />

itoka<strong>na</strong>yo <strong>na</strong> mimea u<strong>na</strong>weza ukaangaliwa <strong>kwa</strong> njia<br />

mbalimbali, hii ikiwa wakulima wadogo wadogo<br />

ambao wameunda ushirika wao (wakulima<br />

2<br />

ambao wa<strong>na</strong> hekari zisizozidi kumi), <strong>na</strong> wakulima<br />

wakubwa ambao wa<strong>na</strong>weza wakawa wawekezaji wa<br />

hapa nchini, muunganiko wa wakulima wakubwa <strong>na</strong><br />

wadogo katika mpangilio wa kuendesha kilimo huku<br />

wakiwa <strong>na</strong> mikataba i<strong>na</strong>yoeleweka ikisimamiwa <strong>na</strong><br />

serikali. Uwezekano huu u<strong>na</strong>tegemea zaidi sera,<br />

mipango <strong>na</strong> sheria <strong>na</strong> taratibu zenye kutoa haki <strong>na</strong><br />

<strong>na</strong>fasi sawa <strong>kwa</strong> uzalishaji <strong>na</strong> soko <strong>kwa</strong> kila nchi.<br />

Umuhimu mkubwa <strong>na</strong> kipaumbele wa<strong>na</strong>paswa kupewa<br />

wakulima wadogo.<br />

Kwanini kipaumbele <strong>kwa</strong> wakulima wadogo<br />

Zaidi ya asilimia sabini ya wakazi wa Kusini mwa<br />

Jangwa la Sahara wa<strong>na</strong>tegemea kilimo <strong>kwa</strong> ajili ya<br />

maisha yao, wengi wao wakiwa ni wakulima wadogo<br />

wadogo vijijini. Uchumi wa idadi kubwa ya watu barani<br />

Afrika maisha yao ya<strong>na</strong>tegemea utendaji wa wakulima<br />

wadogo wadogo katika sekta ya kilimo. Kupungua <strong>kwa</strong><br />

<strong>umaskini</strong> barani Afrika kutategemea zaidi kukua <strong>kwa</strong><br />

sekta ya kilimo ambapo kutawezesha kuongezeka <strong>kwa</strong><br />

kipato, kutoa ajira <strong>na</strong> itawezesha uzalishaji wa mazao ya<br />

chakula <strong>na</strong> nishati ya mafuta itoka<strong>na</strong>yo <strong>na</strong> mimea.<br />

Watendaji wengi wa sekta ya kilimo wa<strong>na</strong> ujuzi <strong>na</strong><br />

uzoefu wa kazi katika kusimamia wakulima wadogo<br />

wadogo ingawa hakujawa <strong>na</strong> mafanikio ya kutosha<br />

ya<strong>na</strong>yojitokeza. Ni muhimu kuangalia mfano <strong>na</strong> kujifunza<br />

kutoka <strong>kwa</strong> wenzetu wa Bara la Asia wa<strong>na</strong>kikundi cha<br />

Mapinduzi cha Asia-green ambacho ni kikundi bi<strong>na</strong>fsi<br />

kimeundwa <strong>kwa</strong> msaada wa serikali katika sekta ya<br />

kilimo ili kuhakikisha nchi yao i<strong>na</strong>pata chakula cha<br />

kutosha <strong>na</strong> nishati. Nchi za kusini mwa Jangwa la<br />

Sahara zi<strong>na</strong>weza kuiga mfano huu kutoka bara la Asia ili<br />

kusaidia kilimo katika jitihada za kuwa <strong>na</strong> lengo muhimu<br />

la kujitosheleza <strong>kwa</strong> chakula <strong>na</strong> nishati, lengo hili<br />

li<strong>na</strong>sukumwa zaidi <strong>na</strong> upungufu wa chakula <strong>na</strong> tatizo la<br />

nishati kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> kuongezeka <strong>kwa</strong> bei ya chakula <strong>na</strong><br />

nishati.<br />

Masuala Muhimu ya Kuzingatia Katika Kilimo cha Mazao<br />

Yazalishayo Nishati<br />

Umiliki wa Ardhi: Ukulima <strong>na</strong> Matumizi<br />

Sera, sheria <strong>na</strong> mikakati ya nchi ni lazima vihakikishe<br />

kuwa ardhi i<strong>na</strong>tumika <strong>kwa</strong> faida ya wa<strong>na</strong>nchi. Hii ni <strong>kwa</strong><br />

kutenga kiasi kidogo cha mashamba makubwa <strong>kwa</strong> ajili<br />

ya wawekezaji wa nje. Suala la kuwatoa wa<strong>na</strong>nchi<br />

wenyeji kwenye maeneo yao ku<strong>na</strong> athari kubwa <strong>kwa</strong><br />

miaka ijayo kiuchumi <strong>na</strong> kijamii ukilinganisha <strong>na</strong> jinsi ya<br />

kutatua matatizo hayo. Serikali i<strong>na</strong>hitajika kutunga <strong>na</strong><br />

kutekeleza sera, mikakati, sheria <strong>na</strong> taratibu za ardhi<br />

badala ya kuangalia faida ya haraka <strong>kwa</strong> wawekezaji<br />

wakubwa kutoka nje ya nchi. Nguvu za ziada zi<strong>na</strong>hitajika<br />

kuepuka wakulima wakubwa kutoka nje ya nchi<br />

wa<strong>na</strong>okimbilia nchini kwenye maeneo bora <strong>kwa</strong> kilimo<br />

cha chakula <strong>na</strong> kutaka kulima mbono <strong>na</strong> mazao mengine<br />

yazalishayo nishati <strong>na</strong> kuwaacha wakulima wadogo<br />

wadogo ambao hawataweza kuingia katika ushindani.


Kitalu cha Miche ya Mbono, <strong>TaTEDO</strong>.<br />

Wakulima wadogo wadogo wapo kwenye hatari ya<br />

kuondolewa kwenye ardhi yao <strong>na</strong> mashirika ya<br />

kimataifa ya<strong>na</strong>yopigania faida. Badala ya kuja <strong>kwa</strong><br />

lengo la mimea izalishayo nishati wawekezaji wengi<br />

wa nje wamekuwa wakijikita kwenye kumiliki ardhi.<br />

kilimo mseto i<strong>na</strong>bidi kutiliwa mkazo ili kuwasaidia<br />

wakulima wenye ardhi <strong>na</strong> kuwawezesha kuzalisha<br />

mazao ya kuwaongezea kipato. Wakulima wadogo<br />

wadogo watafaidika tu iwapo sera <strong>na</strong> taratibu nzuri<br />

zitalinda maslahi yao <strong>na</strong> nchi <strong>kwa</strong> ujumla. Vile vile<br />

ardhi isiyofaa <strong>kwa</strong> mazao ya chakula i<strong>na</strong>weza<br />

ikatumika kama njia ya kuirutubisha <strong>na</strong> <strong>kupunguza</strong><br />

uvamizi katika maeneo bora ya<strong>na</strong>yofaa <strong>kwa</strong> chakula.<br />

Matumizi ya Maji<br />

Kilimo cha mazao ya nishati <strong>na</strong> matumizi yake hata<br />

kama ni cha kiwango kidogo yatahitaji maji.<br />

Angalizo i<strong>na</strong>bidi liwekwe kuwa umwagiliaji usizidi<br />

uwezo wa nchi. Ingawa i<strong>na</strong>weza kuendeleza kwenye<br />

maeneo ya mvua nyingi, ni vizuri kutathmini athari<br />

zake kwenye vyanzo vya maji. Vile vile mazao ya<br />

nishati ya mafuta yasiwe chanzo cha uharibifu wa<br />

ardhi, uchafuzi wa maji, upungufu wa maji <strong>na</strong> tatizo<br />

la migogoro ya maji <strong>kwa</strong> jamii.<br />

Mazao ya muda mrefu kama Mbono wakati<br />

mwingine yatasaidia <strong>kupunguza</strong> hali ya jangwa, <strong>na</strong><br />

hivyo kusaidia utunzaji wa vyanzo vya maji.<br />

Bayoanuai<br />

Utunzaji wa biyoanuai ni jambo muhimu <strong>kwa</strong><br />

<strong>maendeleo</strong> <strong>endelevu</strong>, <strong>kwa</strong> ajili ya kutunza viumbe<br />

hai vilivyopo. Kila jitihada zifanyike katika<br />

kuhakikisha bayoanuai i<strong>na</strong>tunzwa. Ukataji wa miti<br />

katika misitu ya asili ambayo ni makazi ya viumbe<br />

hai ili kupisha kilimo cha mazao ya nishati kama zao<br />

pekee i<strong>na</strong>bidi kuacha kabisa. Hatua i<strong>na</strong>bidi<br />

zichukuliwe ili kuwe <strong>na</strong> usawa wa mazao ya nishati<br />

<strong>na</strong> hali halisi ya mazingira <strong>na</strong> mahitaji ya jamii.<br />

Uhakika wa Chakula<br />

Jambo moja la msingi lililopo kwenye majadiliano<br />

katika kuendeleza mazao ya nishati uhakika wa<br />

chakula <strong>kwa</strong> nchi. Angalizo kubwa li<strong>na</strong>takiwa katika<br />

uzalishaji wa mazao ya chakula <strong>na</strong> wakati huo huo<br />

mazao ya nishati. Uwezekano mkubwa upo <strong>kwa</strong><br />

wakulima kuwauzia mbegu wawekezaji wenye<br />

viwanda vya kuzalisha mafuta kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> mazao<br />

iwapo kutakuwa <strong>na</strong> faida zaidi. Maendeleo ya kilimo<br />

<strong>kwa</strong> mazao ya nishati ya<strong>na</strong>hitaji mkakati thabiti ili<br />

3<br />

kuhakikisha uhakika wa upatika<strong>na</strong>ji wa chakula <strong>na</strong><br />

nishati itoka<strong>na</strong>yo <strong>na</strong> mazao <strong>kwa</strong> nchi. Kuendeleza kilimo<br />

cha mazao ya nishati <strong>kwa</strong> wakulima wakubwa ku<strong>na</strong>hitaji<br />

pia mkakati wa kuangalia uwezekano wa kutumia ardhi<br />

isiyohitajika <strong>kwa</strong> ajili ya mazao ya chakula <strong>na</strong> pia<br />

isilazimishe jamii kufungua mashamba mpya <strong>kwa</strong><br />

kukata miti kwenye maeneo yao.<br />

Sera, Mikakati,Taratibu, Kodi <strong>na</strong> Motisha<br />

Katika nchi nyingi barani Afrika, Tanzania ikiwa moja<br />

wapo, bado sera, mikakati <strong>na</strong> taratibu za uzalishaji wa<br />

mazao ya nishati hazijawe<strong>kwa</strong> katika ngazi yeyote<br />

ikiwepo ya kiuchumi <strong>na</strong> kifedha. Ili kuwezesha<br />

<strong>maendeleo</strong> ya kilimo cha mazao ya nishati, wazalishaji<br />

wadogo wadogo wa mazao ya nishati ndiyo ambao<br />

wapo katika upande wa kutokunufaika <strong>kwa</strong>ni pale<br />

ambapo sera <strong>na</strong> mikakati i<strong>na</strong>tegemewa, mkazo mkubwa<br />

u<strong>na</strong>we<strong>kwa</strong> <strong>kwa</strong> wakulima wakubwa kutoka nje ya nchi<br />

wenye viwanda vikubwa vya kuzalisha mafuta uoto. Vile<br />

vile ni vigumu kuanzisha viwanda bila kuandaa<br />

mazingira mazuri, lakini wakulima wadogo wadogo<br />

watahitajika wapewe kipaumbele zaidi. Ni vema kuweka<br />

mazingira mazuri (kuwapa motisha) yatakayozingatia<br />

wakulima wadogo wadogo ikiwa ni pamoja <strong>na</strong><br />

kuwaondolea kodi katika pembejeo zote<br />

zi<strong>na</strong>zotegemewa kutumika <strong>kwa</strong> ajili ya uzalishaji. Serikali<br />

pia i<strong>na</strong>weza kuwasaidia wakulima wadogo kupitia mfuko<br />

maalum katika kuviendeleza vyama vya ushirika <strong>na</strong><br />

ujasiriamali. Motisha <strong>kwa</strong> wakulima wadogo wadogo ni<br />

pamoja <strong>na</strong> kuondolewa kodi ya vifaa vitakavyotumika<br />

kutengeneza mafuta yatoka<strong>na</strong>yo <strong>na</strong> mazao <strong>kwa</strong> ajili ya<br />

nishati ambayo itatumika kwenye jamii husika. Taasisi<br />

za kifedha pia zi<strong>na</strong>paswa kuhamasishwa ili ziweze<br />

kuwasaidia wakulima wadogo wadogo kuweza kupata<br />

mitaji ili kuendeleza biashara ya nishati itoka<strong>na</strong>yo <strong>na</strong><br />

mimea. Vilevile wakulima wadogo wadogo watahitaji<br />

mikopo ili kuwawezesha kupata mafuta yatoka<strong>na</strong>yo <strong>na</strong><br />

mimea kuendesha kazi za uzalishaji katika makazi yao.<br />

Muundo Wa Taasisi <strong>na</strong> Kuzijengea Uwezo.<br />

Tanzania kama nchi nyingine barani, bado i<strong>na</strong> uwezo<br />

mdogo katika <strong>maendeleo</strong> ya mazao ya nishati katika<br />

nyanja zote <strong>na</strong> zaidi sekta za umma katika kuanzisha<br />

sera, mikakati, <strong>na</strong> taratibu. Wadau wakuu, wakiwa<br />

wakulima wadogo wadogo, wajasiriamali, taasisi zisizo<br />

za serikali, n.k. hawa<strong>na</strong> taarifa ya umuhimu, faida <strong>na</strong><br />

hasara ya mazao ya nishati. Msukumo mkubwa<br />

u<strong>na</strong>hitajika katika kujenga uwezo ili kusaidia nchi,<br />

kuweza kutunga <strong>na</strong> kutekeleza sera zitakazosaidia<br />

wakulima wadogo wadogo <strong>na</strong> watumiaji ili kuwepo <strong>na</strong><br />

mikakati <strong>na</strong> sheria. Kusaidia <strong>maendeleo</strong> ya teknolojia,<br />

uzalishaji, soko <strong>na</strong> huduma mbalimbali zitakazosaidia<br />

upatika<strong>na</strong>ji wa nishati <strong>na</strong> wajasiriamali wa ndani ya nchi<br />

watakaoweza kuendesha kazi <strong>na</strong> biashara hii.<br />

Uchumi<br />

Uchumi wa nchi <strong>na</strong> uwekezaji ni jambo muhimu katika<br />

kukua <strong>kwa</strong> <strong>maendeleo</strong> ya mazao ya nishati. (uzalishaji<br />

<strong>na</strong> matumizi). Ni muhimu kuhamasisha taasisi za kifedha<br />

ndani ya nchi kusaidia wakulima wadogo wadogo.<br />

Mashirika ya kifedha ya kimataifa <strong>na</strong> wafadhili<br />

mbalimbali ni muhimu kuwashirikisha katika kuongeza<br />

mtaji, kutoa mikopo <strong>na</strong>fuu <strong>na</strong> misaada ya kifedha ya<br />

muda mrefu ili pia kuwawezesha wakulima wadogo<br />

wadogo kushiriki kikamilifu katika kuendeleza uchumi<br />

wao.


Umuhimu <strong>na</strong> Uwezekano wa Mazao ya Nishati<br />

Tanzania<br />

Tanzania, kama nchi nyingine zilizo kusini mwa<br />

Jangwa la Sahara hai<strong>na</strong> uzalishaji mkubwa wa<br />

kibiashara wa mazao ya nishati <strong>kwa</strong> wakati huu.<br />

Kazi za mazao ya nishati <strong>na</strong> <strong>na</strong>fasi yake <strong>kwa</strong><br />

Tanzania i<strong>na</strong>weza kutazamwa <strong>kwa</strong> kuwa <strong>na</strong><br />

wakulima wakubwa <strong>na</strong> wadogo. Uzalishaji mkubwa<br />

wa nishati kutoka<strong>na</strong> mazao kama miwa, Chikichi <strong>na</strong><br />

Washirika wa <strong>TaTEDO</strong> wakishiriki mafunzo ya Mbono- katika ukamuaji wa mafuta yake<br />

Mbono ku<strong>na</strong>hitaji sera, mikakati <strong>na</strong> sheria ili kulinda<br />

maslai ya uwekezaji <strong>na</strong> soko <strong>kwa</strong> wa<strong>na</strong>nchi. Kwa<br />

<strong>na</strong>m<strong>na</strong> nyingine wazalishaji wadogo wadogo ndiyo<br />

tegemeo katika kuingiza kipato <strong>na</strong> ni msaada vijijini<br />

kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> uzalishaji wa chakula <strong>na</strong> bidhaa<br />

nyingine kama sabuni zi<strong>na</strong>zoweza kutengenezwa<br />

mazao ya nishati.<br />

Umuhimu wa Zao la Mbono Tanzania<br />

Kulinga<strong>na</strong> <strong>na</strong> tathmini ya hivi karibuni iliyofanywa <strong>na</strong><br />

shirika la Chakula la Umoja wa mataifa i<strong>na</strong>onyesha<br />

kuwa Tanzania i<strong>na</strong> ekari 55.2 milioni za ardhi, kati ya<br />

ekari 93.8 milioni zenye uwezo wa kuzalisha mazao<br />

mbalimbali. Kati ya hizo ni ekari 10.8 milioni<br />

zi<strong>na</strong>tumika <strong>kwa</strong> kuzalisha mazao <strong>na</strong> ekari 44.4<br />

milioni lililobaki i<strong>na</strong> uwezo wa kuzalisha<br />

mazao(chakula <strong>na</strong> yasiyo ya chakula). Wakati<br />

takwimu hizi zi<strong>na</strong>zonyesha picha halisi ya matumizi<br />

ya ardhi <strong>na</strong> pia kupendekeza kuwa upatika<strong>na</strong>ji wa<br />

ardhi si kizuizi <strong>kwa</strong> Tanzania wa kuzalisha mazao<br />

ya nishati.<br />

Utafiti uliofanywa kuangalia uwezekano wa uzalishaji<br />

nishati itoka<strong>na</strong>yo <strong>na</strong> mimea <strong>kwa</strong> kuangalia kigezo<br />

cha ardhi (ekari milioni 44.4) zilizoonyeshwa uwezo<br />

wa uzalishaji katika hali halisi wa 75-300GJ <strong>kwa</strong><br />

ekari <strong>kwa</strong> mwaka, upungufu katika uzalishaji wa<br />

4<br />

tungamotaka utakuwa ni wastani wa 3.3 -13.3 exajoulies<br />

<strong>kwa</strong> mwaka. Ukilinganisha <strong>na</strong> uzalishaji katika mwaka<br />

2005 jumla ya matumizi makuu ya nishati <strong>kwa</strong> Tanzania<br />

ni 0.602 exajoules. Kwa kuanzisha viwanda<br />

vitakavyozalisha nishati kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> mazao Tanzania,<br />

uzalishaji wa nishati kulinga<strong>na</strong> <strong>na</strong> mazao mbalimbali<br />

yatakuwa kama ifuatavyo Mawese(186 GJ/ha), ethano<br />

kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> maji ya miwa (173GJ/ha), Diseli kutoka<strong>na</strong><br />

<strong>na</strong> mafuta ya mbono(59GJ/ha) <strong>na</strong> ethano kutoka <strong>na</strong><br />

mabaki ya sukari(20GJ/ha).<br />

Tanzania i<strong>na</strong> zaidi ya ekari 30 milioni za ardhi kama<br />

ilivyoonyeshwa <strong>na</strong> FAO kuwa i<strong>na</strong> eneo nzuri <strong>kwa</strong> kilimo<br />

<strong>na</strong> pia ni nzuri <strong>kwa</strong> kilimo cha mazao ya nishati. Eneo<br />

ambalo li<strong>na</strong>limwa miwa ni 570,000eka, mimea jamii ya<br />

kunde ni 24,000eka <strong>na</strong> mazao ya jamii ya mizizi ni<br />

14,000 eka. Mazao yatoayo sukari ya<strong>na</strong>toa njia rahisi <strong>na</strong><br />

yenye gharama <strong>na</strong>fuu katika uzalishaji wa bioethano,<br />

ukilinganisha <strong>na</strong> eneo ambalo ni 23,000 hadi 39,000<br />

ekari <strong>kwa</strong> kipindi cha miaka mitano iliyopita peke yake,<br />

kuongezeka <strong>kwa</strong> hitaji hili muhimu. Kwa sasa uzalishaji<br />

wa mazao yatoayo mafuta ni mdogo ukilinganisha <strong>na</strong><br />

mahitaji, <strong>na</strong> mpango mzima wa uzalishaji wa mazao ya<br />

nishati utahitaji ardhi kubwa ukilinganisha <strong>na</strong> ilivyo sasa.<br />

Kwa kipindi cha hivi karibuni, kiwango cha mahitaji ya<br />

mafuta yatoka<strong>na</strong>yo <strong>na</strong> mimea ambayo yatahitajika<br />

kuchanganywa <strong>na</strong> mafuta ya petroli kidogo <strong>na</strong> kuweza<br />

kutumika kwenye magari bila mabadiliko yoyote kwenye<br />

injini za magari i<strong>na</strong>kadiriwa hadi kufikia 2010 mahitaji ya<br />

ethano (E10) yatakuwa lita 27 milioni <strong>na</strong> dizeli uoto (B20)<br />

ni lita 139 milioni.<br />

Kipindi cha 2004/2005, uzalishaji wa mabaki ya<br />

sukari(molasesi) kutoka viwanda vya sukari Tanzania<br />

ulikuwa tani 90,000 ambazo zi<strong>na</strong>weza kubadilishwa <strong>na</strong><br />

kupata lita 20 milioni za ethano <strong>kwa</strong> mwaka. Kama<br />

mabaki (molasesi) yote ya sukari kutoka viwanda vya<br />

sukari nchini yangetumika <strong>na</strong> kuzalisha ethano, <strong>kwa</strong><br />

mwaka 2006/2007 i<strong>na</strong>kadiriwa lita 28 milioni za ethano<br />

zingezalishwa, ambayo ingetosheleza taifa <strong>kwa</strong> asilimia<br />

7.9 ya mahitaji ya petroli.<br />

Michikichi <strong>na</strong> Mbono ni mazao makuu mawili ya mafuta<br />

ambayo ya<strong>na</strong>weza kutumika kama malighafi kuzalisha<br />

mafuta hapa Tanzania. Kati ya mazao yatoayo mafuta,<br />

Michikichi i<strong>na</strong> umuhimu mkubwa <strong>kwa</strong> uzalishaji wa<br />

mafuta <strong>kwa</strong> ekari ukilinganisha <strong>na</strong> ardhi. Ingawa <strong>kwa</strong><br />

sasa ku<strong>na</strong> mahitaji makubwa ya mafuta hayo <strong>kwa</strong><br />

matumizi ya chakula <strong>na</strong> matumizi mengine <strong>na</strong> hivyo<br />

uzalishaji wa ndani u<strong>na</strong>kadiriwa kuwa asilimia tano tu ya<br />

mahitaji.<br />

Utafiti wa mafuta ya Mbono (Jatropha) katika maabara ya muda -<strong>TaTEDO</strong>


Zao lingine muhimu kama malighafi ya uzalishaji wa<br />

nishati ni Mbono. Tanzania i<strong>na</strong> uwezo wa kilimo cha<br />

mbono ingawa <strong>kwa</strong> sasa i<strong>na</strong>zalishwa <strong>kwa</strong> kiwango<br />

kidogo. Uzalishaji wake u<strong>na</strong>weza kutoa fursa ya<br />

<strong>kupunguza</strong> umasikini vijijini <strong>na</strong> hasa kuwawezesha<br />

wa<strong>na</strong>wake (watumiaji wakubwa wa nishati) kupata<br />

manufaa zaidi kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> mfumo mzima wa<br />

mbono(kilimo, ukusanyaji wa mbegu, ukamuaji wa<br />

mafuta,matumizi ya nishati, n.k).<br />

Kilimo cha mbono ulimwenguni ki<strong>na</strong>onyesha bado ni<br />

cha kiwango kidogo <strong>na</strong> hata taarifa zake za<br />

uzalishaji <strong>kwa</strong> ekari ya ardhi bado hazitoshelezi.<br />

Ku<strong>na</strong> ripoti kuwa uzalishaji wa mafuta yatoka<strong>na</strong>yo<br />

<strong>na</strong> mbono <strong>kwa</strong> shamba la ekari moja hutoa kilo 1600<br />

za mafuta kuanzia mwaka wa tatu hadi wa tano <strong>na</strong><br />

kuendelea. Ingawa uzoefu u<strong>na</strong>onyesha kutoka<br />

mashamba ya wenyeji kuwa <strong>kwa</strong> Tanzania uzalishaji<br />

halisi u<strong>na</strong>weza ukawa chini ya hapo. Kulinga<strong>na</strong> <strong>na</strong><br />

tathmini ya uzalishaji wa kiasi cha 1600 kilogam za<br />

mafuta <strong>kwa</strong> ekari, ekari 19700 za mbono zi<strong>na</strong>weza<br />

kuvunwa kila mwaka <strong>na</strong> kuzalisha asilimia tano ya<br />

mafuta yatakayoweza kuchanganywa <strong>na</strong> petro hadi<br />

kufikia 2010. Hivyo ili kufikia kiwango cha B20<br />

(biodizeli) ekari 78,800 za shamba la mbono<br />

zi<strong>na</strong>hitajika.<br />

Alizeti ni miongoni mwa mazao ya mafuta nchini<br />

Fursa Iliyopo ya Kuendeleza Nishati Itoka<strong>na</strong>yo <strong>na</strong><br />

Mazao Tanzania<br />

Kwa hivi sasa umuhimu wa uzalishaji wa mafuta<br />

yatoka<strong>na</strong>yo <strong>na</strong> mbono u<strong>na</strong><strong>kwa</strong>mishwa <strong>na</strong> ukosefu<br />

wa taarifa <strong>na</strong> ueleweka wa jamii katika ngazi<br />

zote(Idara <strong>na</strong> taasisi za serikali, sekta ya<br />

viwanda,wa<strong>na</strong>nchi, wadu wa nishati). Ukweli ni<br />

<strong>kwa</strong>mba hii i<strong>na</strong>sababishwa <strong>na</strong> kukoseka<strong>na</strong> <strong>kwa</strong><br />

sera <strong>na</strong> taratibu (sheria) kuhusia<strong>na</strong> <strong>na</strong> uzalishaji <strong>na</strong><br />

matumizi ya nishati itoka<strong>na</strong>yo <strong>na</strong> mazao (Mbono,<br />

alizeti, chikichi) Tanzania. Ili kuwezesha hili<br />

i<strong>na</strong>hitajika jitihada za haraka zitakazoshirikisha idara<br />

za serikari <strong>na</strong> wadau wengine katika kuhakikisha<br />

nishati itoka<strong>na</strong>yo <strong>na</strong> mazao i<strong>na</strong>endelezwa Tanzania.<br />

Kukoseka<strong>na</strong> <strong>kwa</strong> sera <strong>na</strong> taratibu(sheria)<br />

ku<strong>na</strong>sababisha uwekezaji katika sekta hii kuwa<br />

mgumu <strong>na</strong> wa hatari <strong>kwa</strong> Tanzania, kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong><br />

kushindika<strong>na</strong> kuoneka<strong>na</strong> vema faida yake kiuchumi,<br />

kijamii <strong>na</strong> hata kimazingira ya mazao haya. Kwani<br />

kama uwekezaji katika uzalishaji wa miwa <strong>kwa</strong> ajili<br />

ya ethano u<strong>na</strong>hitaji uhakika wa soko <strong>na</strong> bei <strong>kwa</strong><br />

5<br />

bidhaa iliyozalishwa <strong>na</strong> hasa katika kipindi cha mwanzo<br />

<strong>kwa</strong> kulinda uzalishaji <strong>na</strong> matumizi ya ndani.<br />

Kulinga<strong>na</strong> <strong>na</strong> umuhimu wa nishati itoka<strong>na</strong>yo <strong>na</strong> mazao<br />

<strong>na</strong> kukoseka<strong>na</strong> <strong>kwa</strong> sera, Tanzania ni miongoni mwa<br />

nchi i<strong>na</strong>zoendelea duniani ambayo iko katika hatua za<br />

mwanzo kutafiti ili kuo<strong>na</strong> uwezekano wa kuzalisha<br />

nishati kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> mazao (Mbono, alizeti <strong>na</strong> chikichi)<br />

<strong>kwa</strong> ajili ya uzalishaji <strong>na</strong> matumizi <strong>endelevu</strong> ya baadaye.<br />

Hivi sasa, serikali ya Tanzania imetambua umuhimu <strong>na</strong><br />

faida ya uanzishaji <strong>na</strong> matumizi ya nishati itoka<strong>na</strong>yo <strong>na</strong><br />

mazao <strong>na</strong> iko mstari wa mbele kutathmini <strong>kwa</strong> kupitia<br />

kikundi kazi ambacho kitatoa mwongozo juu ya sera <strong>na</strong><br />

mkakati wa kuongeza matumizi.<br />

Hitimisho <strong>na</strong> mapendekezo<br />

Uzalishaji wa nishati itoka<strong>na</strong>yo <strong>na</strong> mazao <strong>na</strong> matumizi<br />

yake hivi karibuni u<strong>na</strong>endelea <strong>kwa</strong> kasi kubwa Tanzania<br />

<strong>na</strong> maeneo mengine ya Afrika. Jambo hili<br />

lisiposimamiwa vizuri <strong>kwa</strong> sera, mikakati <strong>na</strong> sheria<br />

zi<strong>na</strong>zofaa i<strong>na</strong>weza kusababisha nchi ikapata hasara <strong>na</strong><br />

kujifungia fursa hii ya <strong>maendeleo</strong>. Fursa hii i<strong>na</strong>weza<br />

ikawa ya <strong>maendeleo</strong> yenye faida <strong>na</strong> kuipatia nchi <strong>na</strong>fasi<br />

ya <strong>maendeleo</strong> <strong>endelevu</strong> <strong>na</strong> <strong>kupunguza</strong> umasikini iwapo<br />

itatazamwa <strong>kwa</strong> makini. Nishati itoka<strong>na</strong>yo <strong>na</strong> mazao i<strong>na</strong><br />

matumizi makubwa katika kuendesha mashine kama<br />

mtambo anuai wa kuzalishia umeme (Energy Service<br />

platform), kutumika katika magari kama nishati mbadala,<br />

au itakapochanganywa <strong>na</strong> diseli au petroli kutumika pia<br />

kuzalisha nishati itakayotumika kwenye vifaa vya<br />

nyumbani.<br />

Faida muhimu zaidi ya nishati itoka<strong>na</strong>yo <strong>na</strong> mazao ni<br />

kuwawezesha masikini walio wengi vijijini kuweza<br />

kupata nishati bora <strong>kwa</strong> kutumia ardhi waliyo<strong>na</strong>yo,<br />

nguvu kazi yao <strong>na</strong> ujuzi katika usimamizi. Upatika<strong>na</strong>ji wa<br />

huduma ya nishati bora kutasaidia vijiji kuwa <strong>na</strong> shughuli<br />

za uzalishaji mali, huduma bora za jamii (shule,<br />

zaha<strong>na</strong>ti, maji) <strong>na</strong> hivyo kuwezesha kufikia malengo ya<br />

taifa katika kufikia malengo ya milenia. Nchi za Afrika<br />

zi<strong>na</strong>hitaji kuwa uwezo wa kuo<strong>na</strong> <strong>na</strong> kuelewa umuhimu<br />

<strong>na</strong> uharaka wa kutunga <strong>na</strong> kutekeleza sera mikakati <strong>na</strong><br />

sheria. Masuala ya msingi ya kuzingati katika kuanzisha<br />

sera ya uzalishaji <strong>na</strong> matumizi ya mazao ya nishati ni<br />

pamoja <strong>na</strong><br />

Kuangalia Maendeleo <strong>endelevu</strong> ya jamii <strong>na</strong> nchi <strong>kwa</strong><br />

ujumla<br />

Sera zitakazojali masikini ili kuwalinda wakulima<br />

wadogo wadogo kutoka <strong>kwa</strong> wawekezaji wakubwa<br />

wa<strong>na</strong>otoka mataifa makubwa/tajiri<br />

Misingi ya soko itakayo wanufaisha wote(wakulima<br />

<strong>na</strong> wanunuaji)<br />

Kuunganisha uzalisahji wa mazao ya nishati <strong>na</strong><br />

<strong>maendeleo</strong> mengine ya taifa katika malengo ya<br />

kujitosheleza <strong>kwa</strong> chakula <strong>na</strong> nishati nchini <strong>na</strong> nchi<br />

nyingine za afrika<br />

Kustawisha hali ya maisha ya vijijini, <strong>maendeleo</strong> ya<br />

kiuchumi <strong>kwa</strong> kuanzisha viwanda vya kuzalisha<br />

nishati itoka<strong>na</strong>yo <strong>na</strong> mazao<br />

Kuepuka kuwa wazalishaji wa kuuza nje ya nchi


FAIDA YA MWANZI KATIKA UPATIKANAJI WA NISHATI (Na Waitlove Yakobo Mushi -<strong>TaTEDO</strong>)<br />

Mwanzi ni kati ya mimea ambayo huishi <strong>kwa</strong> muda<br />

mrefu, hutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> familia ya mimea i<strong>na</strong>yoitwa<br />

kitaalamu Poaceae, kabila la mimea li<strong>na</strong>loitwa<br />

Bambusease, asili yake ni majani, pia ku<strong>na</strong> mianzi<br />

mikubwa ambayo hufanya familia ya mianzi yenye<br />

majani makubwa. Mwanzi ni mmea ambao hukua<br />

<strong>kwa</strong> kasi sa<strong>na</strong>. Hukua haswa katika maeneo ya nchi<br />

yenye joto, hususani mashariki <strong>na</strong> kusini mashariki<br />

ya Asia. Kutoka kwenye mizizi ya chini hukua kama<br />

mashi<strong>na</strong> yaliyounga<strong>na</strong>, ambayo hufikia urefu wa<br />

mita 40 katika jamii nyingine.<br />

Mashi<strong>na</strong> ya mwanzi<br />

Mianzi mingine huoteshwa kwenye bustani kutoka<strong>na</strong><br />

<strong>na</strong> uzuri wa majani yake ambayo kitaalamu<br />

ya<strong>na</strong>toka kwenye familia ya jamii ya majani.<br />

Ai<strong>na</strong> mbalimbali za mianzi<br />

Mwanzi u<strong>na</strong> matumizi mengi, lakini pia u<strong>na</strong>weza<br />

kutumika <strong>kwa</strong> matumizi ya mkaa <strong>na</strong> ni bidhaa<br />

ambayo i<strong>na</strong>enda<strong>na</strong> <strong>na</strong> uboreshaji wa mazingira sababu<br />

hupunguza hewa ya ukaa <strong>na</strong> pia i<strong>na</strong>punguza kasi ya<br />

matumizi rasilimali ya mbao. Mkaa wa mwanzi katika<br />

kutunza mazingira, huchuja <strong>na</strong> huondoa harufu mbaya,<br />

hii hutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> sifa yake ya ufyonzaji. Mkaa wa mwanzi<br />

hutengenezwa kutoka kwenye vipande vya shi<strong>na</strong> la<br />

mwanzi ambalo u<strong>na</strong> miaka angalau mitano, mwanzi huo<br />

huchomwa ndani ya tanuru katika nyuzi joto 80 o<br />

Mtandao wa kimataifa<br />

wa wadau wa mwanzi<br />

-Inter<strong>na</strong>tio<strong>na</strong>l<br />

networks for Bamboo<br />

and Rattan (INBR)<br />

ikiunga<strong>na</strong> <strong>na</strong> Wakala<br />

wa taifa wa Utafiti<br />

nyumba <strong>na</strong> ujenzi-<br />

Natio<strong>na</strong>l Housing and Building Research Agency<br />

(NHBRA) uliandaa warsha kuhusia<strong>na</strong> <strong>na</strong> mwanzi<br />

ambayo ilifanyika makao makuu ya NHBRA ambayo<br />

yako Dar es salaam, Tanzania. Katika washa hiyo<br />

washiriki kutoka wizara mbalimbali <strong>na</strong> Asasi zisizo za<br />

serikali walipata mafunzo tofauti kuhusia<strong>na</strong> <strong>na</strong><br />

matumizi <strong>na</strong> faida za mwanzi. Zao la mwanzi<br />

hutengeneza bidhaa mbalimbali kama fanicha,<br />

mabomba ya maji, paa za nyumba, dari, nguo, madaraja<br />

<strong>na</strong> bidhaa zi<strong>na</strong>zotoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> kazi za mikono kama<br />

kufuma, usukaji vikapu, kufinyanga n.k.<br />

Nchini Tanzania miongoni mwa miradi ya matumizi ya<br />

mwanzi ni mradi<br />

u<strong>na</strong>otekelezwa <strong>na</strong><br />

wa<strong>na</strong>kijiji cha Idwali<br />

kupitia ushirika wao<br />

(Isongole Bamboo<br />

Cooperative Society)<br />

ambayo iko katika kijiji<br />

cha Idwali katika<br />

wilaya ya Rungwe,<br />

Daraja lilitengenezwa <strong>kwa</strong> mwanzi.<br />

pia mradi huo<br />

umetekelezwa <strong>na</strong> kikundi kiitwacho Jitegemee Women‟s<br />

Group kilichopo katika wilaya ya Njombe. Hekta moja ya<br />

mwanzi iliandaliwa karibu <strong>na</strong> Isongole Bamboo Centre ili<br />

kupata malighafi <strong>kwa</strong> ajili ya mradi wa mwanzi. Kituo<br />

hicho ki<strong>na</strong> SACCOs ambayo i<strong>na</strong>toa huduma za kibenki<br />

<strong>kwa</strong> wakulima.


Mafundisanifu, chini ya uangalizi wa Mama<br />

Camelita B.Bersalo<strong>na</strong>, ambaye ni mratibu wa<br />

INBRA‟s <strong>kwa</strong> upande wa Africa, wameanzisha<br />

tanuri la pipa <strong>kwa</strong> ajili ya kutengeneza mkaa. Mkaa<br />

huo u<strong>na</strong>weza hutumika kama chanzo rahisi <strong>na</strong><br />

<strong>endelevu</strong> cha nishati.<br />

Mkaa wa mwanzi u<strong>na</strong>tengenezwa kwenye tanuru la<br />

pipa, utegemea<strong>na</strong> <strong>na</strong> ai<strong>na</strong> ya mali ghafi<br />

i<strong>na</strong>yoingizwa kwenye tanuru <strong>kwa</strong> ajili ya kazi ya<br />

kuuchoma mkaa. Mkaa wa mwanzi u<strong>na</strong>gawanyika<br />

kama mkaa wenyewe <strong>na</strong> pia ni malighafi ya<br />

kutengeneza mwanzi tofali. Mwanzi kama malighafi<br />

ya mkaa wa mwanzi i<strong>na</strong>tengenezwa kutoka kwenye<br />

sehemu za mmea kama culms, shi<strong>na</strong> <strong>na</strong> mzizi. Tofali<br />

la mwanzi li<strong>na</strong>tengenezwa kutoka kwenye masalio<br />

ya mwanzi kama unga wa mwanzi <strong>na</strong> unga wa<br />

mbao ambao u<strong>na</strong>kuwa u<strong>na</strong>gandamizwa kuwa ufito<br />

<strong>na</strong> kuchomwa. Ai<strong>na</strong> mbili za tanuru zaweza kutumika<br />

katika njia hii ya kuchoma, ambazo ni tanuru la tofali<br />

<strong>na</strong> tanuru la pipa.<br />

Matumizi ya Mkaa utoka<strong>na</strong>o <strong>na</strong> mwanzi<br />

Nishati<br />

Mkaa wa mwanzi u<strong>na</strong>tumika sa<strong>na</strong> kama nishati ya<br />

kupikia, kuokea <strong>na</strong> kukaushia. Mkaa wa mwanzi<br />

hutumika mara nyingi <strong>kwa</strong> kupasha moto <strong>kwa</strong><br />

sababu u<strong>na</strong>ungua taratibu kuliko malighafi ya mkaa<br />

wa kawaida (mimea mingine).<br />

Mkaa uliotoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> mwanzi<br />

Husafishia maji<br />

Nyenzo ya mwanzi i<strong>na</strong> ai<strong>na</strong> ya tofauti ya kitabia <strong>na</strong><br />

hii sifa hutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> njia ya uchomaji, ambao mwanzi<br />

huongeza matokeo ya<strong>na</strong>yotakiwa kutokea kama<br />

nyenzo i<strong>na</strong>yochuja. Mkaa wa mwanzi u<strong>na</strong>weza<br />

kutumika <strong>kwa</strong> kusafishia maji <strong>kwa</strong>ni hupunguza<br />

masalio machafu <strong>na</strong> harufu mbaya kwenye maji.<br />

Maji ya kunywa yaliyosafishwa <strong>na</strong> kuuliwa vijidudu<br />

7<br />

<strong>kwa</strong> klorini ya<strong>na</strong>weza kuchanganywa <strong>na</strong> mkaa wa<br />

mwanzi kuondoa masalio ya klorini, <strong>na</strong> kuyafanya safi <strong>na</strong><br />

salama <strong>kwa</strong> matumizi mbalimbali mfano: kunywa.<br />

Hutumika kusafisha Hewa katika mazingira<br />

Ya<strong>na</strong>yotuzunguka<br />

Mkaa wa mwanzi u<strong>na</strong>weza pia kutumika kama za<strong>na</strong><br />

i<strong>na</strong>yoondoa harufu majumbani, <strong>kwa</strong>ni huondoa gesi ya<br />

sulphur dioxide, carbon monoxide <strong>na</strong> hydrogen sulphide<br />

kutoka kwenye hewa. Mkaa huo ukitumika majumbani<br />

hunyonya hizi harufu <strong>na</strong> gesi zi<strong>na</strong>zodhuru <strong>na</strong> pia<br />

hurekebisha kiasi cha unyevu katika hewa hivyo huzuia<br />

uzalishaji wa viumbe <strong>na</strong> maradhi kama kuvu (moulds).<br />

Hitimisho <strong>na</strong> ushauri.<br />

Ku<strong>na</strong> maeneo mengi hapa Tanzania ambayo zao la<br />

mwanzi li<strong>na</strong>ota <strong>na</strong> li<strong>na</strong>weza kupandwa. Mwanzi huweza<br />

kuwa malighafi ya kutengeneza vitu mbalimbali <strong>na</strong><br />

wakati huohuo kuongeza kipato <strong>na</strong> <strong>kupunguza</strong> <strong>umaskini</strong>.<br />

Mbali <strong>na</strong> kutumia mwanzi <strong>kwa</strong> kupata nishati, ku<strong>na</strong> haja<br />

ya kudhihirisha matumizi mengine ya mkaa huu<br />

u<strong>na</strong>otoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> mwanzi <strong>na</strong> kutafuta uwezekano wa<br />

kuweka katika matumizi yenye faida <strong>kwa</strong> taifa.<br />

Msitu wa miti ya mwanzi<br />

Kwa kawaida mwanzi nchini Tanzania umekuwa<br />

ukitumika zaidi kama kinywaji <strong>na</strong> baadhi ya maeneo<br />

hutumia mwanzi <strong>kwa</strong> kutengeneza mapambo <strong>na</strong> bidhaa<br />

nyingine. Jitihada za makusudi zi<strong>na</strong>takiwa<br />

kuwaunganisha wadau mbalimbali <strong>na</strong> hasa wa nishati<br />

kuendeleza jitihada zilizofanywa <strong>na</strong> INBR kuendeleza<br />

mwanzi katika matumizi ya nishati ili kusaidia jamii za<br />

vijijini kuondoa umasikini <strong>na</strong> kutatua tatizo la nishati.


MITAMBO YA HUDUMA ANUAI ZA NISHATI (MHANI) INAYOFUNGWA NA <strong>TaTEDO</strong> KWA AJILI YA UMEME<br />

VIJIJINI YAANZA KUTUMIKA UGANDA<br />

(Na Shukuru Bartholomeo –<strong>TaTEDO</strong>)<br />

Jitihada za <strong>TaTEDO</strong> katika kuhamasisha upatika<strong>na</strong>ji<br />

Mtambo wa Huduma Anuai za Nishati wa umeme<br />

vijijini <strong>kwa</strong> kutumia mitambo ya MHANI imeanza<br />

kukubalika <strong>na</strong> kuchukua sura mpya. Mwaka 2007<br />

mwezi Oktoba <strong>TaTEDO</strong> ilipendekezwa <strong>na</strong> wahisani<br />

kutoka Uholanzi kuandaa mafunzo <strong>na</strong> kufundisha<br />

teknolojia hii mpya katika nchi ya jirani ya Uganda.<br />

Mafunzo haya yaliandaliwa <strong>kwa</strong> pamoja kati ya<br />

<strong>TaTEDO</strong>, Vedco <strong>na</strong> Konserve Consult Uganda. Haya<br />

ni mashirika ya<strong>na</strong>yojihusisha <strong>na</strong> kilimo cha kisasa <strong>na</strong><br />

<strong>maendeleo</strong> ya matumizi ya nishati <strong>endelevu</strong> nchini<br />

Uganda.<br />

Kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> ukosefu wa taarifa za teknolojia hii nchini<br />

Uganda, mafunzo maalumu juu ya upandaji wa Mbono<br />

(Jatropha) <strong>na</strong> matumizi yake, ufungaji, matengenezo<br />

ya MHANI <strong>na</strong> faida zake yalifanyika <strong>kwa</strong> jumla ya siku<br />

10. Mafunzo yalifanyika kuanzia tarehe 4-12 Oktoba<br />

2007 yakiendeshwa <strong>na</strong> wataalamu wawili kutoka<br />

<strong>TaTEDO</strong>. Mafunzo haya yaliwahusisha wakulima<br />

mbalimbali wa zao la Mbono wapatao 36 kutoka vijiji<br />

vya Naluvule <strong>na</strong> Sakabusoro katika wilaya ya Lwero.<br />

Katika vijiji hivi zao la Mbono bado li<strong>na</strong>oteshwa kama<br />

uzio <strong>kwa</strong> ajili ya kukinga mazao mengine kama<br />

mahindi, alizeti <strong>na</strong> wanyama waharibifu. Pia hutumika<br />

kama mmea wa kutenganisha mipaka kati ya familia<br />

moja <strong>na</strong> nyingine. Kwa kuwa wa<strong>na</strong>kijji hawa ni<br />

wakulima hutumia pia mmea wa mbono katika kilimo<br />

mseto kama miti ya kusaidia zao la vanilla kukua <strong>na</strong><br />

kustawi <strong>kwa</strong> ubora zaidi. Kwa kuwa mafunzo haya<br />

yalilenga zaidi katika elimu ya zao la Mbono <strong>na</strong> faida<br />

zake <strong>kwa</strong> jamii katika kuondoa umasikini <strong>na</strong> kujipatia<br />

kipato, wa<strong>na</strong>nchi wengi wameahidi <strong>na</strong> wa<strong>na</strong> mipango<br />

kabambe ya kufungua mashamba makubwa ya<br />

Mbono.<br />

Mtaalam kutoka <strong>TaTEDO</strong> akiendesha mafunzo yam bono <strong>na</strong> MHANI Kijiji cha Naluvule<br />

–Uganda<br />

Haku<strong>na</strong> takwimu sahihi ni kiasi gani cha mbegu za<br />

Mbono ki<strong>na</strong>patika<strong>na</strong> katika vijiji hivi ila i<strong>na</strong>kadiriwa<br />

kuwa kiasi cha tani 2-3 huvunwa <strong>kwa</strong> mwaka.<br />

Wa<strong>na</strong>kijiji walieleza kuwa uvu<strong>na</strong>ji wa mbegu za<br />

(mbono) jatropha huwasio rasmi kama uvu<strong>na</strong>ji wa<br />

mazao mengine bali mbegu hizi hukusanywa kidogo<br />

kidogo pindi zi<strong>na</strong>pokauka <strong>na</strong> kuanguka chini. Wapo<br />

wa<strong>na</strong>nchi wachache waliokuwa wa<strong>na</strong>fahamu matumizi<br />

ya majani <strong>na</strong> maua ya Mbono katika kutengeneza<br />

sabuni. Kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> hamasa <strong>na</strong> mafunzo<br />

yaliyoendeshwa <strong>na</strong> <strong>TaTEDO</strong> juu ya faida mbalimbali<br />

za huu mmea i<strong>na</strong>kadiriwa kuwa mavuno ya mbegu za<br />

jatropha yataongezeka hadi tani 7-8 <strong>kwa</strong> mwaka<br />

baada ya miaka miwili.<br />

Kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> muda mfupi, uliotengwa <strong>kwa</strong> ajili ya<br />

mafunzo, <strong>na</strong> <strong>kwa</strong>kuzingatia mahitaji halisi ya<br />

walengwa wakufunzi waligawa mafunzo haya katika<br />

sehemu mbili. Sehemu ya <strong>kwa</strong>nza ilikuwa ni <strong>na</strong>dharia<br />

pekee <strong>na</strong> ya pili ikiwa ni vitendo.<br />

Mafunzo <strong>kwa</strong> <strong>na</strong>dharia yalifanyika <strong>kwa</strong> siku mbili<br />

mfululizo yakihusisha mambo yafuatayo:<br />

� Kueleza nini maa<strong>na</strong> ya MHANI<br />

� Faida za kuwa <strong>na</strong> MHANI vijijini<br />

� Jinsi ya kusanifu mitambo ya MHANI<br />

� Hatua mbalimbali za uendeshaji wa MHANI<br />

� Tahadhari <strong>na</strong> usalama <strong>kwa</strong> muendeshaji mtambo<br />

� Ukarabati wa mashine mbalimbali za MHANI<br />

� Mbono (Jatropha) ni nini <strong>na</strong> faida zake<br />

� Jinsi ya kuotesha <strong>na</strong> kutunza jatropha<br />

� Uvu<strong>na</strong>ji,uhifadhi <strong>na</strong> ukamuaji wa mafuta ya Mbono<br />

� Matumizi mbalimbali ya Mbono.<br />

Ufungaji wa mashine ya kukoboa Mpunga Kijijini<br />

Mafunzo <strong>kwa</strong> vitendo yalihusisha utengenezaji wa<br />

fremu ya kuendesha vifaa mbalimbali vya MHANI <strong>na</strong><br />

kuvifanyia matengenezo. Mafunzo yalianza <strong>kwa</strong><br />

kutengeneza fremu ambayo mashine za MHANI<br />

hufungwa juu yake. Katika mafunzo haya washiriki<br />

walimteua fundi ambaye aliteuliwa kufanya kazi za<br />

kuendesha <strong>na</strong> kufanyia matengenezo mtambo wa<br />

MHANI kijijini. Lengo la kufanya mafunzo ya vitendo<br />

ni kuwajengea uwezo wa<strong>na</strong>nchi wa vijiji hivi katika<br />

undeshaji bora <strong>na</strong> wenye tija wa mitambo hii ya<br />

nishati <strong>endelevu</strong>. Kwa vile mtambo wa MHANI<br />

uliofungwa ulienda<strong>na</strong> <strong>na</strong> viwango vilivyokubalika vya<br />

utenengenezaji, ambavyo ni fremu ya urefu wa mita<br />

4 <strong>na</strong> upa<strong>na</strong> wa mita 1.


Katika hatua hii ya utengenezaji wa fremu, vi<strong>kwa</strong>zo<br />

vya ai<strong>na</strong> nyingi vilijitokeza ikiwa ni pamoja <strong>na</strong><br />

kukoseka<strong>na</strong> <strong>kwa</strong> umeme nchini Uganda hasa<br />

nyakati za mcha<strong>na</strong> <strong>kwa</strong> ajili ya kuchomea vyuma<br />

mbalimbali. Kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> ku<strong>kwa</strong>ma huko hatua hii<br />

ilichukua zaidi ya siku 3 kukamilika.<br />

Washirki wa mafunzo wakikamilisha ufungaji wa mtambo<br />

Hatua ya ufungaji wa mashine <strong>na</strong> fremu katika nyumba<br />

iliyoandaliwa ilifuata ambapo Injini ya 20HP,jenereta<br />

ya kuzalisha umeme wa 12Kw, mashine ya kukamua<br />

mafuta <strong>na</strong> kukoboa mpunga zilifungwa. Ufungaji wa<br />

mashine hizi ulikuwa <strong>na</strong> changamoto nyingi<br />

ikizingatiwa kuwa mashine zilizonunuliwa hazikuwa<br />

zi<strong>na</strong>muundo u<strong>na</strong>ofa<strong>na</strong><strong>na</strong> <strong>na</strong> mashine ambazo<br />

<strong>TaTEDO</strong> wamekuwa wakifunga katika maeneo<br />

mbalimbali ya miradi yake nchini Tanzania.<br />

Mashine hizi zilifanyiwa majaribio <strong>kwa</strong> mafanikio <strong>na</strong><br />

<strong>kwa</strong> vile wa<strong>na</strong>nchi wengi ni wakulima wa mpunga,<br />

walioneka<strong>na</strong> kuifurahia zaidi mashine ya kukoboa<br />

mpunga. „„Sasa hivi tumepata mkombozi, tutakuwa<br />

tu<strong>na</strong>koboa mpunga wote hapahapa badala ya kwenda<br />

Wobulenzi kilomita 3 kutoka hapa‟‟ alisema mzee<br />

Makanza mkazi wa Naluvule. Wobulenzi ni mji uliopo<br />

karibu <strong>na</strong> kijiji ilimofungwa MFP.<br />

Jenereta ya kuzalisha umeme ilikuwa ni kivutio<br />

kikubwa zaidi <strong>kwa</strong> wakulima waliohudhuria mafunzo<br />

<strong>na</strong> wa<strong>na</strong>kijiji waliokuja kushuhudia ufungaji wa<br />

mitambo hiyo ya nishati <strong>endelevu</strong>. Mmoja wa wa<strong>na</strong>kjiji<br />

mzee Mutumba alisema „„licha ya kuwa umeme wa<br />

gridi ya taifa u<strong>na</strong>pita katikati ya kijiji chetu hatu<strong>na</strong><br />

matumaini ya kuunganishwa <strong>na</strong> umeme huo, <strong>kwa</strong><br />

kuzalisha umeme wetu hapa kijijini tu<strong>na</strong>weza kuleta<br />

matumaini <strong>na</strong> <strong>maendeleo</strong> <strong>kwa</strong> watu wetu‟‟. Wa<strong>na</strong>kijiji<br />

wakaendelea kusema kuwa itakuwa rahisi sa<strong>na</strong> kulipa<br />

ankara za umeme kuliko kununua mafuta ya taa<br />

ambayo sio salama <strong>kwa</strong> afya zao <strong>na</strong> ya<strong>na</strong>uzwa bei<br />

ghali.<br />

Mfumo wa kusambaza umeme katika kijiji cha,<br />

Naluvule utarajiwa kuwafikia zaidi ya nyumba 20<br />

zikiwemo nyumba za makazi <strong>na</strong> sehemu za biashara<br />

katika awamu ya <strong>kwa</strong>nza.<br />

Jenereta (kifua umeme) iliyofungwa kuzalisha umeme<br />

i<strong>na</strong> uwezo wa kutoa umeme wa kutosha zaidi ya<br />

9<br />

nyumba 50 ikiwa zitakuwa zi<strong>na</strong>tumia taa 3 za 60W kila<br />

moja. Wengi wa wateja watakounganishwa ni<br />

watumiaji wadogo wadogo wa umeme. Kwa sasa<br />

wa<strong>na</strong>kjiji wa<strong>na</strong>fikiria kufungua biasharai za kunyoa,<br />

biashara za urembo <strong>kwa</strong> wa<strong>na</strong>wake, migahawa<br />

itakayotumia friji ya kupooza<br />

vinywaji <strong>na</strong> biashara nyingi mbalimbali kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong><br />

fursa ya kupata umeme kijijini <strong>kwa</strong>o.<br />

Ule usemi wa kuo<strong>na</strong> ni kuamini ulijidhihirisha <strong>kwa</strong><br />

wa<strong>na</strong>kijiji wa Naluvule pale ambapo kila mmoja<br />

aliyekuwa aamini kuwa mbegu za mbono zi<strong>na</strong>weza<br />

kutoa mafuta. Kulikuwa <strong>na</strong> mabishano makali kati ya<br />

wa<strong>na</strong>kijiji waliohudhuria mafunzo <strong>na</strong> wale ambao<br />

hawakuhudhuria. Baadhi yao waliamini kuwa jatropha<br />

ni mmea tu <strong>kwa</strong> ajili ya kukinga wanyama waharibifu<br />

kuharibu mazao yao <strong>na</strong> mmea <strong>kwa</strong> ajili ya kuwekea<strong>na</strong><br />

mipaka pekee. Ubishi huo ulimalizika <strong>kwa</strong> kukamua<br />

mbegu kilo 50 za jatropha <strong>na</strong> mafuta kupatika<strong>na</strong>.<br />

Matumizi ya mafua ya jatropha <strong>kwa</strong> ajili ya matumizi ya<br />

kuzalisha umeme <strong>na</strong> ai<strong>na</strong> nyingine za nishati<br />

zilijidhihirisha wakati mbegu za jatropha<br />

zilipokamuliwa <strong>kwa</strong> mashine iliyofungwa hapo kijijini<br />

<strong>na</strong> kutoa mafuta<br />

Wa<strong>na</strong>kijiji wakifurahia mwanga wa umeme uliofuliwa <strong>na</strong> MHANI, Naluvule<br />

Uganda<br />

Mtaalamu kutoka shirika la VEDCO ambalo li<strong>na</strong>husika<br />

kusaidia wakulima kuhusu kilimo cha kisasa vijijini Bw<br />

Richard Kizito a<strong>na</strong>sema kuwa zaidi ya wa<strong>na</strong>kijiji 7000<br />

kutoka katika vijiji vya Naluvule <strong>na</strong> Sakabusoro<br />

wa<strong>na</strong>tarajia kunuifaika <strong>na</strong> huduma zitakazotolewa <strong>na</strong><br />

mtambo wa MHANI. Akaongeza kuwa <strong>kwa</strong> vile<br />

mtambo umefungwa kijiji cha Naluvule watu wa kijiji<br />

hiki watanufaika moja <strong>kwa</strong> moja <strong>na</strong> huduma za umeme<br />

<strong>na</strong> vijiji vingine vitanufaika <strong>na</strong> huduma zingine<br />

zitakazokuwa zi<strong>na</strong>tolewa kama vile kukoboa mpunga<br />

<strong>na</strong> kukamua mbegu za Mbono. Mtaalamu huyo<br />

akaongeza kuwa shirika lake <strong>kwa</strong> kushirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong><br />

wadau wengine mbalimbali wa masuala ya nishati <strong>na</strong><br />

kilimo wa<strong>na</strong>tarajia kuanzisha mradi mkubwa wa<br />

ufungaji umeme vijijini <strong>kwa</strong> kufunga zaidi ya mshine za<br />

MFP 20 katika vijiji mbalimbali nchini Uganda hadi<br />

kufikia mwaka 2009. Mradi huo utafadhiliwa <strong>na</strong> shirika<br />

la misaada la GTZ la Ujerumani ambalo ndio shirika<br />

kubwa li<strong>na</strong>lohamasisha matumizi ya nishati <strong>endelevu</strong><br />

<strong>na</strong> mbadala sehemu za vijijini nchini Uganda.


TEKNOLOJIA MBADALA NI MUHIMU KUTHIBITI GESIJOTO (Mwandishi - Moris Lyimo)<br />

Tanzania <strong>na</strong> nchi zi<strong>na</strong>zoendelea zipo kwenye<br />

jitihada za kushawishi kukubalika <strong>kwa</strong> mkakati wa<br />

kukabilia<strong>na</strong> <strong>na</strong> mabadiliko ya tabia ya nchi baada ya<br />

kukubalia<strong>na</strong> <strong>na</strong> mkataba wa Kyoto.<br />

Mazingira bora ni muhimu <strong>kwa</strong> viumbe hai duniani<br />

Ushirika wa Tanzania katika mkutano wa<br />

wa<strong>na</strong>chama wa Mkataba wa tabia ya nchi 15 wa<br />

shirika la Umoja wa Mataifa la kukabilia<strong>na</strong> <strong>na</strong> hali<br />

hiyo (UNFCCC-COP) utakaofanyika mjini<br />

Copenhagen nchini Denmark mwaka 2009, ni<br />

muhimu sa<strong>na</strong> ikizingatiwa kuwa nchi maskini<br />

zi<strong>na</strong>zokabiliwa <strong>na</strong> uharibifu wa mazingira, hasa<br />

uchomaji moto misitu.<br />

Jiko sanifu la kuni lenye mtungi wa maji<br />

Pia kuathiriwa <strong>kwa</strong> gesi ya ozoni <strong>na</strong> nchi<br />

zilizoendelea ambazo zi<strong>na</strong> viwanda vingi<br />

vi<strong>na</strong>vyozalisha hewa ya ukaa.<br />

Wadau wa mazingira wamekuwa wakibuni mbinu<br />

mbalilmbali za kukabilia<strong>na</strong> <strong>na</strong> uharibifu wa<br />

mazingira, zikiwemo teknolojia mpya za matumizi ya<br />

nishati mbadala katika <strong>kupunguza</strong> ukataji wa misitu<br />

ovyo <strong>na</strong> kusababisha ongezeko la joto.<br />

Mtaalamu wa majiko sanifu <strong>na</strong> oven za mkaa wa<br />

shirika lisilokuwa la kiserikali li<strong>na</strong>lojishughulisha <strong>na</strong><br />

nishati <strong>endelevu</strong> nchini (<strong>TaTEDO</strong>) Bwa<strong>na</strong>. Steven<br />

Boniface a<strong>na</strong>sema tatizo hilo li<strong>na</strong>zuia jitihada za wadau<br />

wa mazingira <strong>na</strong> mkataba wa Kyoto, ambao lengo lake<br />

haliwezi kufikiwa ikiwa jamii haitazipokea <strong>na</strong><br />

kuzitekeleza teknolojia zi<strong>na</strong>zopinga ongezeko badala<br />

yake kuleta mabadiliko katika uharibifu wa mazingira.<br />

Amebainisha kuwa utafiti wa taasisi hiyo <strong>kwa</strong><br />

kushirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, idara ya<br />

uhandishi mitambo, <strong>na</strong> taarifa ya watumiaji umeonesha<br />

kuwa majiko sanifu yamepunguza <strong>kwa</strong> kiasi kikubwa<br />

matumizi ya nishati ikilinganishwa <strong>na</strong> matumizi ya majiko<br />

ya asili (Mafiga Matatu).<br />

Kutokuwepo <strong>kwa</strong> elimu ya kutosha kuhusu dha<strong>na</strong> nzima<br />

ya mazingira ni miongoni mwa changamoto ya mapokeo<br />

hasi ya teknolojia mbalimbali <strong>na</strong> kusababisha ongezeko<br />

la <strong>umaskini</strong> <strong>kwa</strong> nchi husika.<br />

A<strong>na</strong>sema lazima jamii ielimishwe vya kutosha hasa<br />

vijijini ambako uharibifu wa mazingira ni mkubwa zaidi.<br />

Lakini hatuwezi kuzishinikiza nchi zilizoendelea kama<br />

sisi wenyewe hatutabuni <strong>na</strong> kuzifuata ili tuwe <strong>na</strong> mifano<br />

dhahiri pindi tu<strong>na</strong>podai haki yetu ya kutoathiriwa <strong>na</strong> nchi<br />

hizo” a<strong>na</strong>sema Bwa<strong>na</strong> Boniface.<br />

Meneja wa kitengo cha mazingira <strong>na</strong> nishati wa shirika<br />

hilo mama Gisela Ngoo a<strong>na</strong>sema tatizo la uharibifu wa<br />

mazingira huchangiwa <strong>na</strong> ukosefu wa fursa <strong>na</strong><br />

upatika<strong>na</strong>ji, ku<strong>na</strong>koilazimu jamii kutafuta mahitaji<br />

ya<strong>na</strong>yopatika<strong>na</strong> <strong>kwa</strong> urahisi <strong>na</strong> <strong>kwa</strong> bei ya chini.<br />

A<strong>na</strong>sema asilimia 10 ya watanzania zaidi ya milioni 37<br />

ndiyo wa<strong>na</strong>otumia nishati ya umeme huku asilimia 90<br />

ikitegemea nishati ya kuni <strong>na</strong> mahitaji mengine ikiwemo<br />

kipato.<br />

Kuni chanzo kikuu cha nishati<br />

Katika asilimia 10 ya wenye umeme ni asilimia 7 tu ndiyo<br />

wenye uwezo wa kutumia <strong>kwa</strong> kupikia, kutumia gesi <strong>na</strong><br />

nishati ya jua <strong>na</strong> <strong>kwa</strong> asilimia 3 huunganishwa <strong>na</strong>


asilimia 90, hivyo hufanya asilimia 93 ya watanzania<br />

kuwa waharibifu wakubwa wa mazingira kutoka<strong>na</strong><br />

<strong>na</strong> ukatwaji wa misitu midogo <strong>na</strong> mikubwa.<br />

Mama Gisela Ngoo a<strong>na</strong>sema matumizi ya majiko<br />

sanifu ya mkaa <strong>na</strong> kuni ya<strong>na</strong>weza <strong>kupunguza</strong> <strong>na</strong><br />

baadaye kuondoa kabisa tatizo la hewa ukaa <strong>na</strong><br />

hivyo kufikiwa <strong>kwa</strong> malengo ya mkataba wa Kyoto<br />

ambayo lengo lake ni kukabilia<strong>na</strong> <strong>na</strong> mabadiliko ya<br />

tabia ya nchi.<br />

Wa<strong>na</strong>kijiji wa Muhungamkola wakionyesha ni jinsi gani jiko okoa li<strong>na</strong>hitaji kuni chache<br />

Mama Ngoo aliongeza kuwa kuendelea kutumika<br />

<strong>kwa</strong> majiko ya teknonojia ya asili kama vile matumizi<br />

ya majiko ya mafiga matatu yatumiayo kuni nyingi<br />

ku<strong>na</strong>poteza kuni <strong>na</strong> mkaa <strong>na</strong> pia ku<strong>na</strong>ongeza<br />

<strong>umaskini</strong>, kuathiri afya <strong>kwa</strong> wa<strong>na</strong>wake <strong>na</strong> watoto<br />

kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> kuvuta kiasi kingi cha hewa ya ukaa.<br />

Mama Ngoo pia alipendekeza kuwa suluhisho la<br />

ukataji miti ni kutoa elimu <strong>endelevu</strong> ya matumizi ya<br />

teknolojia za nishati mbadala badala ya kuwazuia<br />

ukataji miti bila kutoa ufumbuzi <strong>kwa</strong> wachomaji mkaa<br />

<strong>na</strong> kuwapa mbinu nyingine za kujipatia kipato.<br />

Tumeo<strong>na</strong> wakati serikali ilipopiga marufuku uchomaji<br />

mkaa. Bidhaa hii ilipungua <strong>na</strong> kufanya mfumko wa<br />

bei ya mkaa. Maa<strong>na</strong> yake ni <strong>kwa</strong>mba wachomaji<br />

wa<strong>na</strong>zidi <strong>kwa</strong> sababu ya bei mzuri ingawa uchomaji<br />

hufanyika <strong>kwa</strong> siri sa<strong>na</strong> a<strong>na</strong>semea Mama G. Ngoo.<br />

A<strong>na</strong>sema watafiti wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha<br />

Kilimo (SUA) R.E Mbilinyi, E. Zahabu <strong>na</strong> B. Mchome<br />

wamefanya utafiti sekta ya mkaa imeonyesha kuwa<br />

asilimia 70 hutoka Tanzania Bara wakati wakati<br />

magunia 10,500 huingizwa Zanzibar <strong>na</strong> magunia<br />

7,500 huingizwa humo <strong>kwa</strong> njia za kificho.<br />

magunia 6,777 huingia Jiji la Dar es Salaam pekee<br />

kila siku ambapo asilimia 50 huingizwa <strong>kwa</strong><br />

barabara ya Kilwa, 24 asilimia wa barabara ya<br />

Morogoro, Pugu asilimia 13 <strong>na</strong> Bagamoyo asilimia 3.<br />

Wakati akifungua tamasha la kitamaduni kuhusu<br />

mabadiliko ya tabia nchi Jijini Dar es Salaam hivi<br />

karibuni, Katibu Mkuu, Ofisi ya Makamu wa Rais<br />

11<br />

kuhakikisha tatizo la mabadiliko ya tabianchi<br />

li<strong>na</strong>shughulikiwa, mkataba wa umoja wa Mataifa wa<br />

mabadiliko ya Tabia nchi (UNFCCC) ulioanzishwa<br />

mwaka 1992 wakati wa mkutano wa <strong>maendeleo</strong> ya<br />

mazingiria ni lazima uzingatiwe.<br />

UNFCCC lilianzisha mradi ujulika<strong>na</strong>o kitaalamu kama<br />

Global Environmental Facilities (GEF) uliopewa jukumu<br />

la kusambaza misaada ya kifedha katika nchi<br />

wa<strong>na</strong>chama wa shirika hilo ikiwemo<br />

Tanzania.<br />

Mwenyekiti wa chama cha waandishi wa habari za<br />

Mazingira Tanzania (JET) Bw. Deo Mfugala a<strong>na</strong>sema<br />

UNFCCD ilio<strong>na</strong> umuhimu wa teknolojia ya habari katika<br />

kuhamasisha jamii kudhibiti gesi joto <strong>kwa</strong> maa<strong>na</strong> ya<br />

mabadiliko ya tabianchi muhimu wadau wa mazingira<br />

waungwe mkono.<br />

Mkurugenzi Mtendaji wa chama hicho Bw. John<br />

Chikomo a<strong>na</strong>sema asilimia kubwa ya maeneo nchini<br />

ya<strong>na</strong>kabiliwa <strong>na</strong> hali ya kuwa jangwa kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong><br />

ukosefu we uelewa wa teknolojia <strong>na</strong> nishati mbadala.<br />

A<strong>na</strong>sema maeneo mengi ni yale ya ukanda wa chini<br />

ambayo ni rahisi kuathiriwa <strong>na</strong> kiangazi kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong><br />

sababu mbalimbali mojawapo ikiwa ni maeneo hayo<br />

kuwa <strong>na</strong> shughuli nyingi za kijamii zi<strong>na</strong>zofanywa bila<br />

kuchukua tahadhari ya kimazingira kama kilimo hatarishi<br />

<strong>na</strong> uchomaji mkaa.<br />

Sababu nyingine ni uchomaji misitu, kiangazi cha muda<br />

mrefu, uchimbaji madini, mchanga <strong>na</strong> udongo<br />

usiozingatia sheria ya madini ya mwaka 1998 <strong>na</strong> sheria<br />

ya mazingira (EMA) <strong>na</strong>mba 20 ya mwaka 2004 ambazo<br />

zi<strong>na</strong>elekea taratibu za ufanyaji wa shughuli hizo pamoja<br />

<strong>na</strong> ufugaji holela u<strong>na</strong>otoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> jamii kuwa <strong>na</strong> mifugo<br />

mingi kupita kiasi.<br />

Mikoa kama Kilimanjaro, Manyara, Arusha, Dodoma,<br />

Shinyanga, Singida, Mara, Mwanza yaripotiwa kuathirika<br />

zaidi <strong>na</strong> hali ya jangwa jambo ambalo li<strong>na</strong>hatarisha<br />

<strong>maendeleo</strong> ya uchumi u<strong>na</strong>otegemea kilimo katika<br />

maeneo hayo.<br />

Mkuu wa Wilaya ya Same, Bwa. Ibrahim Marwa<br />

a<strong>na</strong>sema Wilaya yake hasa maeneo ya mabondeni<br />

kama Hedaru, Makanya, Mpombe ya Chome, Msanga,<br />

Kirinjiko, Mbwembe, Kinyang‟a, Mchikatu, Mghungani,<br />

Chambogo Dhaghaseta Ngusero, njia panda ya kwenda<br />

Ruvu mfereji <strong>na</strong> pembezoni ya barabara ya Arusha-<br />

Moshi yameathirika zaidi.<br />

Wa<strong>na</strong>nchi wa maeneo hayo wamekuwa wakikata miti<br />

<strong>kwa</strong> shughuli mbalimbali kama kuchoma mkaa, kuni<br />

<strong>kwa</strong>ajili ya uchomaji wa matofali jambo ambalo limekuwa<br />

gumu kutekeleza mikataba mbalimbali ya kimataifa juu<br />

ya kuhifadhi mazingira.<br />

Hitimisho<br />

Juhudi za kuhifadhi mazingira <strong>na</strong> hasa katika utumiaji wa<br />

teknolojia bora za nishati zitasaidia kudhibiti gesi joto<br />

hapa nchini.


MATUMIZI YA TEKNOLOJIA ZA NISHATI NA FURSA ZA KUJIONGEZEA KIPATO NA KUBORESHA HALI YA<br />

MAISHA YA WATANZANIA.<br />

(Thomas P. Mkunda, <strong>TaTEDO</strong> Kanda ya Kaskazini)<br />

Utangulizi<br />

Matumizi ya nishati ni muhimu sa<strong>na</strong> katika kuleta<br />

<strong>maendeleo</strong> ya wa<strong>na</strong>nchi walioko mijini <strong>na</strong> vijijini.<br />

Wa<strong>na</strong>nchi walioko maeneo ya vijijini wa<strong>na</strong>tumia nishati<br />

i<strong>na</strong>yopatika<strong>na</strong> <strong>kwa</strong> urahisi <strong>na</strong> ile ambayo gharama<br />

yake ya kuipata siyo kubwa sa<strong>na</strong> kifedha au<br />

i<strong>na</strong>patika<strong>na</strong> katika mazingira ya<strong>na</strong>yowazunguuka.<br />

Tofauti <strong>na</strong> mahitaji ya viwanda <strong>na</strong> wa<strong>na</strong>nchi wa<br />

kawaida walio wengi wa<strong>na</strong>tumia nishati itoka<strong>na</strong>yo <strong>na</strong><br />

miti <strong>kwa</strong> ajili ya kazi za uzalishaji kama vile upikaji wa<br />

vyakula, uokaji wa mikate <strong>na</strong> keki, uchomaji <strong>na</strong><br />

ukaangaji nyama katika maeneo ya biashara kama vile<br />

hotelini <strong>na</strong> maeneo ya starehe.<br />

Lucy Kileo akiwa kwenye duka la vifaa BSPSC<br />

<strong>TaTEDO</strong> i<strong>na</strong>hamasisha <strong>na</strong> kueneza matumizi ya<br />

teknolojia za nishati zilizoboreshwa ambazo<br />

zi<strong>na</strong>hifadhi mazingira <strong>na</strong> kutoa fursa za uanzishaji <strong>na</strong><br />

kujiongezea kipato <strong>na</strong> kuboresha huduma mbalimbali<br />

za nishati.<br />

Miongoni mwa teknolojia ambazo huenezwa <strong>na</strong><br />

<strong>TaTEDO</strong> ni oveni za kuoka mikate <strong>na</strong> keki, oveni za<br />

kuchoma nyama <strong>na</strong> majiko ya mkaa ambayo hutumiwa<br />

majumbani.<br />

Utaratibu wa <strong>TaTEDO</strong> katika kueneza ai<strong>na</strong> mbalimbali<br />

za teknolojia hulenga kuwajengea uwezo walengwa<br />

katika eneo la mradi wa kutengeneza teknolojia <strong>na</strong><br />

kuhamasisha jamii itumie teknolojia hiyo au kuwapa<br />

mafuzo watumiaji wa teknolojia <strong>na</strong> kuwapa mbinu za<br />

kibiashara za utafutaji masoko ya bidhaa<br />

zi<strong>na</strong>zotengenezwa.<br />

12<br />

Umeme wa jua<br />

<strong>TaTEDO</strong> hutumia wajasiliamali katika kuendeleza<br />

teknolojia za umeme wa jua mmoja wapo wa hao<br />

wajasiriamali ni ndugu Frank Evans.<br />

Frank Evans ni mjasiriamali ambae a<strong>na</strong>jihusisha <strong>na</strong><br />

shughuli za usambazaji umeme wa jua <strong>kwa</strong> ajili ya<br />

matumizi ya nyumbani, taasisi <strong>na</strong> maeneo ya biashara.<br />

Ndugu Frank akiwa <strong>na</strong> wasaidizi wake wakifunga mtambo wa mionzi ya jua shule ya msingi<br />

Magadini<br />

Frank evans alishawahi kuhudhuria moja ya warsha za<br />

kuwajengea uwezo mafundi waliokuwa <strong>na</strong> mwamko<br />

wa usambazaji wa umeme wa jua <strong>na</strong> kuanzia hapo<br />

aliendelea kujishughulisha <strong>na</strong> kazi za usambazaji<br />

umeme wa jua <strong>na</strong> kuchaji betri za simu <strong>na</strong> mpaka sasa<br />

a<strong>na</strong> kampuni ndogo i<strong>na</strong>yojishughulisha <strong>na</strong> utoaji<br />

huduma za battery <strong>na</strong> umeme wa jua, i<strong>na</strong>yoitwa,<br />

“Battery and Solar Power Services Centre” (BSPSC)<br />

katika kitu hicho Frank a<strong>na</strong>uza vifaa mbalimbali vya<br />

umeme wa jua <strong>na</strong> battery <strong>na</strong> pia a<strong>na</strong>fungia watu<br />

mifumo ya umeme wa jua.<br />

Mafanikio katika kusambaza umeme wa jua<br />

Frank Evans a<strong>na</strong>eleza kuwa ameshasambaza umeme<br />

wa jua katika mikoa ya kilimanjaro Arusha <strong>na</strong><br />

Manyara. Na katika maeneo hayo amewafungia<br />

umeme wa jua watu mbalimbali wakiwemo watu<br />

bi<strong>na</strong>fsi mashule <strong>na</strong> zaha<strong>na</strong>ti <strong>na</strong> taasisi za kidini.<br />

Vilevile ameweza kufunga umeme <strong>kwa</strong> ajili ya<br />

kuchemsha maji majumbani.<br />

Vyama vya akiba <strong>na</strong> mikopo<br />

Kuoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> kutofautia<strong>na</strong> <strong>kwa</strong> uwezo <strong>na</strong> baadhi ya<br />

watu ambao wa<strong>na</strong>shindwa kupata hela ya kutosha<br />

kuweka mitambo ya umeme wa jua majumbani<br />

mkakati wa kuwafungia umeme walengwa kupitia<br />

SACCOS ulianzishwa <strong>na</strong> <strong>TaTEDO</strong>, SACCOS ya<br />

Magadini <strong>na</strong> Frank Evans ambaye alifanya kazi kama<br />

mtaalam wa kufunga mitambo ya Umeme wa Jua.<br />

Loveness Kimaro, mfanyakazi wa SACCOs ya<br />

Magadini alisema kuwa, jumla ya watu 50<br />

wamefungiwa umeme wa Jua kupitia SACCOS ya<br />

magadini.


Ndugu Frank akiwa <strong>na</strong> baadhi ya mafundi nje ya karaka<strong>na</strong> yake .<br />

Lukas Kasai amefungiwa umeme wa jua kupitia<br />

SACCOS ya Magadini, Mr Lucas Kasai a<strong>na</strong>eleza kuwa<br />

umeme umemnufaisha sa<strong>na</strong> <strong>kwa</strong>ni u<strong>na</strong>msaidia kupata<br />

Mwanga wa kutosha, kuchaji simu <strong>na</strong> kutumia redio<br />

ndogo, Emanuel Lucas ni mwa<strong>na</strong>funzi wa shule ya<br />

sekondari ya kutwa, <strong>na</strong> ni mtoto wa mzee Lukas Kasai<br />

a<strong>na</strong>eleza kuwa a<strong>na</strong>furahia umeme wa jua <strong>kwa</strong>kuwa<br />

sasa a<strong>na</strong>uhakika wa kusoma usiku <strong>na</strong> kufundisha<br />

wadogo zake wa<strong>na</strong>osoma shule ya msingi.<br />

Mpaka sasa Frank Evans <strong>na</strong> kampuni yake<br />

ameshafanya kazi <strong>na</strong> SACCOS tano tofauti katika<br />

mikoa mitatu ambayo amefikisha huduma ya Umeme<br />

waJua.<br />

Oven ya Kuoka Mikate <strong>na</strong> Keki.<br />

Oven ya kuoka mikate ni moja ya teknolojia ambayo<br />

hutumia nishati ya mkaa <strong>kwa</strong> ufanisi mkubwa ambapo<br />

kiasi cha nusu kilo huweza kuoka zaidi ya keki 100 au<br />

mikate 28. Watumiaji wa oveni walio wengi<br />

wametumia teknolojia hii <strong>kwa</strong> ajili ya kutengeneza<br />

keki, skonsi <strong>na</strong> mikate <strong>kwa</strong> ajili ya kuuza.<br />

Beatrice Exaud ni mjasiriamali ambae hutengeneza<br />

keki 1,000 <strong>na</strong> mikate 60 <strong>kwa</strong> siku. Uzalishaji huu<br />

humuwezesha Beatrice kupata faida ya sh 10,000.00<br />

hadi 15,000.00 <strong>kwa</strong> siku.<br />

Beatrice <strong>kwa</strong> sasa a<strong>na</strong>tumia oveni mbili kubwa za<br />

kuoka mikate, lakini kabla ya hapo alikuwa <strong>na</strong> oven<br />

moja <strong>na</strong> aliongeza baada ya mahitaji kuongezeka.<br />

13<br />

Beatrice amewafundisha watu zaidi ya 15 jinsi ya<br />

kuoka mikate <strong>na</strong> watu hawa wameweza kuanzisha<br />

miradi ya uokaji wa mikate <strong>na</strong> wa<strong>na</strong>jipatia kipato<br />

kulinga<strong>na</strong> <strong>na</strong> uzalishaji.<br />

Ili kuanza kazi za kuoka mikate kiasi ki<strong>na</strong>chotakiwa<br />

kuwekeza ni kati ya Sh 450,000.00 hadi sh.<br />

500,000.00 Mwinjilisti Ludovic Mushi wa Hai<br />

(Machame) alinunua oven <strong>na</strong> kuanza kuitumia <strong>kwa</strong> ajili<br />

ya kuoka keki <strong>na</strong> baada ya kufanya kazi hiyo <strong>kwa</strong><br />

ufanisi mkubwa aliweza kupata hela ya kulipa deni<br />

alilokuwa amekopa SACCOS.<br />

Nishati huweza kutumika kuongezea kipato <strong>kwa</strong> wajasiliamali wadogowadogo , mtaalam<br />

wa <strong>TaTEDO</strong> Bi. An<strong>na</strong> akionyesha jinsi ya kuoka keki<br />

Mirisho Njoroge alifundishwa <strong>na</strong> Bi Beatrice Exaud;<br />

mpaka sasa a<strong>na</strong>endelea <strong>na</strong> kazi za kuoka mikate<br />

katika kijiji cha Leguruki. Ndugu Njoroge a<strong>na</strong>oka<br />

mikate 600 <strong>kwa</strong> wiki <strong>na</strong> a<strong>na</strong>pata faida ya sh 18,000.00,<br />

pia a<strong>na</strong>tengeneza skons 180 <strong>na</strong> keki 200 ambazo<br />

humuingizia kiasi cha sh 18,000 <strong>kwa</strong> muda wa siku<br />

mbili. Mirisho Njoroge pia a<strong>na</strong>elezea kuwa soko la<br />

mikate keki <strong>na</strong> skonsi halitabiriki, ni kubwa wakati wa<br />

mavuno <strong>na</strong> si la uhakika wakati wa mvua <strong>na</strong> yeye<br />

hupata faida kati ya sh 120,000 <strong>na</strong> 140, 000.00 <strong>kwa</strong><br />

mwezi kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> matumizi ya oveni ya <strong>TaTEDO</strong>.<br />

Oven za kuoka mikate ni biashara muhimu ambayo<br />

i<strong>na</strong>wawezesha waokaji wa keki <strong>na</strong> mikate <strong>kwa</strong> ajili ya<br />

kuuza kufanya biashara <strong>kwa</strong> faida zaidi, vilevile i<strong>na</strong>toa<br />

fursa ya ajira <strong>kwa</strong> watu mbali mbali kama vile<br />

wasambazaji wa keki wauzaji wa keki <strong>na</strong> wale<br />

wa<strong>na</strong>husika moja <strong>kwa</strong> moja katika uzalishaji wa keki.<br />

Hata hivyo Beatrice a<strong>na</strong>tahadharisha kuwa biashara<br />

ya kuoka i<strong>na</strong>hitaji bidii <strong>na</strong> kutokukata tamaa maa<strong>na</strong><br />

ku<strong>na</strong> changamoto nyingi hadi kufikia hatua ya<br />

kuzalisha bidhaa bora <strong>na</strong> kupata soko la uhakika <strong>kwa</strong><br />

wateja.<br />

Hitimisho<br />

Frank Evans <strong>na</strong> Beatrice Exaud ni mifano ya kuigwa<br />

katika utumiaji wa ujuzi <strong>na</strong> teknolojia za nishati <strong>kwa</strong><br />

ajili ya kutoa huduma <strong>kwa</strong> jamii, kujiajiri <strong>na</strong><br />

kujiongezea kipato.


Katika Tanzania watu wengi katika kaya, taasisi <strong>na</strong><br />

viwanda vidogo vidogo hasa katika maeneo ya vijijini,<br />

hutegemea kuni <strong>na</strong> mkaa <strong>kwa</strong> kuchemsha <strong>na</strong> kupika.<br />

Watu hutumia teknolojia zenye ufanisi mdogo ambazo<br />

huwasababishia gharama kubwa zitumike <strong>kwa</strong><br />

kununulia kuni au mkaa. Vile vile muda mwingi<br />

hutumika katika ukusanyaji wa kuni badala ya kufanya<br />

kazi nyinginezo za <strong>maendeleo</strong>.<br />

<strong>TaTEDO</strong> kupitia miradi yake ya kuendeleza teknolojia<br />

za nishati <strong>endelevu</strong> ambazo ufanisi wake<br />

umeboreshwa, hivyo teknolojia hizo hupunguza kiasi<br />

cha nishati ki<strong>na</strong>chohitajika. Teknolojia hizo ni majiko<br />

ya kuni, mkaa, oveni za kuokea <strong>na</strong> uchomaji wa mkaa<br />

<strong>kwa</strong> kutumia tanuri lililo boreshwa ai<strong>na</strong> ya nusu<br />

chungwa (HOK) au kichuguu (IBEK). Teknolojia hizi<br />

hutoa fursa nzuri katika kujiongezea kipato hasa <strong>kwa</strong><br />

mafundi wa majiko, wachomaji wa mkaa <strong>na</strong> hata<br />

watumiaji wa teknolojia hizo katika shughuli za<br />

uzalishaji. Kwa hiyo utekelezaji wa mradi huu<br />

u<strong>na</strong>changia <strong>kupunguza</strong> umasikini <strong>na</strong> kuhifadhi wa<br />

mazingira.<br />

Miongoni mwa miradi ambayo <strong>TaTEDO</strong> i<strong>na</strong>endesha ni<br />

pamoja <strong>na</strong> mradi wa Huduma za Teknolojia za Nishati<br />

zitoka<strong>na</strong>zo <strong>na</strong> miti <strong>kwa</strong> ajili ya Kupunguza Umaskini<br />

Tanzania mradi huu u<strong>na</strong>endeshwa katika awamu ya<br />

pili, mradi wa Kukuza upatika<strong>na</strong>ji wa huduma bora za<br />

nishati <strong>na</strong> kuondoa <strong>umaskini</strong>, Programu ya Kueneza<br />

Huduma ya Nishati ya Maendeleo Endelevu <strong>na</strong><br />

Kupunguza Umaskini, Mradi wa Uenezaji wa Majiko<br />

Bora ya Mawe au Tofali <strong>kwa</strong> Matumizi ya Nyumbani<br />

katika Wilaya za Rombo <strong>na</strong> Hai. Kukuza upatika<strong>na</strong>ji<br />

wa huduma bora za nishati <strong>na</strong> kuondoa <strong>umaskini</strong><br />

Huduma za Teknolojia za Nishati zitoka<strong>na</strong>zo <strong>na</strong> miti<br />

<strong>kwa</strong> ajili ya Kupunguza Umaskini<br />

Mradi huu ni wa kukuza matumizi <strong>na</strong> huduma za<br />

teknolojia bora za kisasa za nishati katika wilaya kumi<br />

<strong>na</strong> tisa za Tanzania katika mikoa ya Arusha, Pwani,<br />

Dar-es-Salaam, Kilimanjaro, Mwanza, Ru<strong>kwa</strong>,<br />

Shinyanga <strong>na</strong> Tanga. Teknolojia zi<strong>na</strong>zoendelezwa<br />

katika kukuza matumizi bora ya nishati ni pamoja <strong>na</strong><br />

majiko bora ya kuni, mkaa <strong>na</strong> jiko la kuni la<br />

kuoka,matanuri bora ya uzalishaji mkaa, nishati ya<br />

mionzi ya jua, makaushio yatumiayo mionzi ya jua,<br />

mitambo ya kuchaji simu, mitambo ya huduma za<br />

nishati(MHANI),nishati ya biogesi <strong>na</strong> upandaji wa<br />

BAADHI YA MIRADI AMBAYO <strong>TaTEDO</strong> INATEKELEZA<br />

14<br />

mazao mbalimbali <strong>kwa</strong> ajili ya nishati. Mradi huu ni wa<br />

kipindi cha miaka minne (2008-20012). Mradi huu uko<br />

chini ya ufadhili wa Jumuiya ya Ulaya, Shirika<br />

lisilokuwa la kiserikali Uholanzi (HIVOs), Serikali ya<br />

Norway pamoja <strong>na</strong> <strong>TaTEDO</strong> yenyewe.<br />

Lengo Kuu<br />

Lengo kuu la mradi huu ni kuchangia katika<br />

<strong>kupunguza</strong> umasikini <strong>kwa</strong> walengwa <strong>na</strong> uhifadhi wa<br />

mazingira.<br />

Malengo Mahususi<br />

Mradi huu u<strong>na</strong>tegemewa kusaidia kujiongezea kipato<br />

<strong>kwa</strong> walengwa kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> gharama za ununuaji wa<br />

nishati kupungua <strong>kwa</strong> kutumia teknolojia ambazo<br />

ufanisi wake umeboreshwa <strong>kwa</strong> matumizi ya sehemu<br />

za biashara ndogo ndogo aidha <strong>kwa</strong> watu walioko<br />

katika vikundi au watu bi<strong>na</strong>fsi, majumbani <strong>na</strong> taasisi<br />

katika uzalishaji wa bidhaa mbalimbali kama vile<br />

upikaji wa vyakula, uokaji , uchomaji wa mkaa. Pia<br />

kipato ki<strong>na</strong>weza kupatika<strong>na</strong> <strong>kwa</strong> kutengeneza<br />

teknolojia <strong>na</strong> kuziuza.<br />

Walengwa<br />

Miongoni mwa walengwa katika mradi huu ni pamoja<br />

<strong>na</strong>:-<br />

Kaya (Watumiaji wa majiko <strong>na</strong> oveni),<br />

Taasisi <strong>na</strong> sehemu za kijamii,<br />

Viwanda vidogo vidogo (watengenezaji <strong>na</strong> wauzaji<br />

wa majiko , vikundi vya wa<strong>na</strong>wake, watengenezaji<br />

wa pombe za asili),<br />

Taasisi zi<strong>na</strong>zotoa mikopo kama vile SACCOS,<br />

Usharika wa wafanya biashara, wa<strong>na</strong>siasa <strong>na</strong><br />

watoa maamuzi.<br />

Programu ya Kueneza Huduma ya Nishati ya<br />

Maendeleo Endelevu <strong>na</strong> Kupunguza Umaskini<br />

Lengo kuu<br />

Ni kuchangia katika kuleta <strong>maendeleo</strong> <strong>endelevu</strong> <strong>na</strong><br />

<strong>kupunguza</strong> <strong>umaskini</strong> <strong>kwa</strong> kueneza teknolojia <strong>na</strong><br />

huduma za nishati <strong>kwa</strong> mahitaji ya shughuli za<br />

kiuchumi <strong>na</strong> kijamii majumbani, kwenye biashara <strong>na</strong><br />

kwenye vituo vya huduma za jamii. Prpgram<br />

i<strong>na</strong>tegemewa kuongeza usambazaji wa teknolojia bora<br />

<strong>na</strong> huduma za nishati.


Walengwa wa mradi wako katika makundi matatu;-<br />

Watumiaji wa teknolojia (kaya) <strong>na</strong> vituo vya<br />

huduma za kijamii (mashule, hosipitali, n.k).<br />

Watoa huduma (wajasiriamali watengenezaji wa<br />

majiko/oveni, wafungaji wa umeme wa jua,<br />

wauza miche ya miti, wakulima wa mazao ya<br />

mafuta, wazalishaji wa mkaa <strong>na</strong> taasisi za mikopo.<br />

Washirika katika utekelezaji wa mradi<br />

Mradi wa Uenezaji wa Majiko Bora ya Mawe au Tofali<br />

<strong>kwa</strong> Matumizi ya Nyumbani katika Wilaya za Rombo<br />

<strong>na</strong> Hai<br />

<strong>TaTEDO</strong> i<strong>na</strong>tekeleza miradi ya kuendeleza <strong>na</strong><br />

kusambaza teknolojia za majiko bora zi<strong>na</strong>zopunguza<br />

matumizi ya kuni ili <strong>kupunguza</strong> hewa ya ukaa <strong>na</strong><br />

mabadiliko ya hali ya nchi. Miradi hiyo huchangia<br />

kuongeza kipato <strong>kwa</strong> wajenga majiko <strong>na</strong> watumiaji,<br />

<strong>kwa</strong> hiyo huchangia <strong>kupunguza</strong> <strong>umaskini</strong> <strong>na</strong> kuhifadhi<br />

mazingira<br />

Lengo kuu<br />

Lengo kuu ni kuboresha ufanisi wa majiko ya kuni<br />

katika maeneo ya vijijini <strong>kwa</strong> kubadilisha kutoka<br />

utumiaji wa mafiga matatu <strong>na</strong> badala yake kutumia<br />

majiko bora ya kuni.<br />

Lengo Mahususi<br />

Lengo mahususi la mradi ni <strong>kupunguza</strong> matumizi ya<br />

nishati ya kuni <strong>na</strong> moshi <strong>kwa</strong> mtumiaji wa jiko bora la<br />

kuni lenye dohani<br />

Walengwa<br />

Kaya (watumiaji wa majiko ya kuni)<br />

Watengeneza majiko<br />

Wajasiriamali<br />

Asasi za kijamii<br />

Makundi ya <strong>maendeleo</strong> katika jamii<br />

Taasisi za fedha (SACCOS)<br />

Mradi wa majiko bora ya kuni u<strong>na</strong>changia katika<br />

<strong>kupunguza</strong> madhara yaliyotajwa hapo juu.<br />

Faida za kutumia majiko bora<br />

Kuongeza kipato <strong>kwa</strong> kuuza malighafi (Mawe,<br />

matofali <strong>na</strong> vyuma)<br />

Kuongeza ajira <strong>kwa</strong> watengeneza majiko<br />

Kuwapunguzia mzigo wa kutafuta kuni wa<strong>na</strong>wake<br />

<strong>na</strong> watoto<br />

Kuboresha afya <strong>kwa</strong> watumiaji <strong>kwa</strong> <strong>kupunguza</strong><br />

moshi<br />

15<br />

Kukuza upatika<strong>na</strong>ji wa huduma bora za nishati <strong>na</strong><br />

kuondoa <strong>umaskini</strong><br />

Lengo Kuu<br />

Kuboresha maisha, kutokomeza umasikini <strong>na</strong> kuleta<br />

<strong>maendeleo</strong> <strong>endelevu</strong>.<br />

Malengo Mahususi<br />

Kuongeza idadi ya wa<strong>na</strong>nchi wenye fursa ya kupata<br />

huduma ya nishati <strong>endelevu</strong> za kisasa.<br />

Kusaidia kukuza biashara ndogo ndogo <strong>na</strong> uchumi.<br />

Kuboresha upati<strong>na</strong>kaji wa huduma za jamii hususani<br />

elimu, afya <strong>na</strong> maji.<br />

Walengwa<br />

Wajasiriamali katika sekta ya huduma ya nishati<br />

<strong>na</strong> biashara<br />

Mafundi umeme,vyuma <strong>na</strong> wajenzi<br />

Maafisa ugani<br />

Wakulima <strong>na</strong> vikundi vya wakulima<br />

Kamati za <strong>maendeleo</strong> ya nishati vijijini <strong>na</strong> wilayani.<br />

Matokeo ya<strong>na</strong>yotarajiwa<br />

Kuongezeka <strong>kwa</strong> kipato<br />

Uboreshaji wa elimu<br />

Kuchochea usawa kijinsia <strong>na</strong> uwezeshaji<br />

Kuhakikisha mazingira <strong>endelevu</strong><br />

Kuboresha upatika<strong>na</strong>ji wa huduma bora za kijamii<br />

(maji, Afya)<br />

Maeneo ya Mradi<br />

Mradi huu utatekelezwa katika wilaya 11 za mikoa ya<br />

Tanga, Kilimanjaro, Arusha, Manyara, Mwanza <strong>na</strong><br />

Shinyanga.<br />

Hitimisho<br />

Katika miradi yote hii <strong>TaTEDO</strong> i<strong>na</strong>shirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> wadau<br />

mbalimbali <strong>na</strong> hasa wajasiriamali ili kuhakikisha tatizo<br />

la nishati li<strong>na</strong>pungua <strong>kwa</strong> kiwango kikubwa hapa<br />

nchini <strong>na</strong> zaidi vijijini ambako wa<strong>na</strong>athirika <strong>na</strong> swala<br />

zima la nishati ukilinganisha <strong>na</strong> mjini.<br />

Kuendelea <strong>kwa</strong> miradi yote hii ku<strong>na</strong>tegemea kiasi<br />

kikubwa cha jitihada za wadau mbalimbali katika<br />

kuungwa mkono juhudi zilizoanzishwa <strong>na</strong> <strong>TaTEDO</strong>.<br />

<strong>TaTEDO</strong> imeazimia kutumia wajasiriamali, taasisi za<br />

kifedha, vyama vya kuweka <strong>na</strong> kukopa ili kuhakikisha<br />

swala zima la nishati li<strong>na</strong>kuwa <strong>endelevu</strong> vijijini.


<strong>TaTEDO</strong> <strong>kwa</strong> Kifupi<br />

<strong>TaTEDO</strong> ni shirika la kitaifa lisilo la kiserikali li<strong>na</strong>lojishughulisha <strong>na</strong> uendelezaji wa nishati <strong>endelevu</strong> <strong>na</strong> mazingira.<br />

Makao yake makuu yapo Dar es Salaam Tanzania. Shirika hili li<strong>na</strong> uzoefu katika uendelezaji wa nishati <strong>kwa</strong> zaidi ya<br />

miaka kumi <strong>na</strong> mitano. Dhamira ya <strong>TaTEDO</strong> ipo katika sekta ya nishati <strong>endelevu</strong> <strong>na</strong> mazingira, shirika hili li<strong>na</strong> uzoefu<br />

katika utengenezaji wa sera, upangaji wa miradi <strong>na</strong> utafiti katika maeneo ya kufanyia kazi za miradi. Zaidi ya miaka<br />

kumi <strong>na</strong> tano iliyo pita, <strong>TaTEDO</strong> imekuwa ikitekeleza miradi katika mikoa ya Mwanza, Shinyanga, Kilimanjaro,<br />

Pwani <strong>na</strong> Dar es Salaam <strong>na</strong> <strong>kwa</strong> sasa imeongeza maeneo ya kazi zake hadi mikoa ya Arusha, Tanga, Morogoro <strong>na</strong><br />

Kagera.<br />

<strong>TaTEDO</strong> i<strong>na</strong>shirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> wadau mbalimbali katika uendelezaji wa mtandao wa nishati ndani <strong>na</strong> nje ya nchi. Kwa<br />

kutumia mtandao huu <strong>TaTEDO</strong> i<strong>na</strong>weza kubadilisha<strong>na</strong> uzoefu <strong>na</strong> maarifa <strong>na</strong> wadau wake mbalimbali katika ngazi<br />

mbalimbali (kitaifa <strong>na</strong> kimataifa).<br />

Upishi kutumia jiko okoa la nishati<br />

<strong>TaTEDO</strong> ni Taasisi ya kuendeleza matumizi bora ya nishati <strong>endelevu</strong> <strong>na</strong> mazingira Tanzania. <strong>TaTEDO</strong> ni<br />

mjumuisho wa watu <strong>na</strong> makundi mbalimbali wakiwemo watu bi<strong>na</strong>fsi waliojitolea, mafundi stadi, wakulima,<br />

vikundi vya <strong>maendeleo</strong> vya jamii, taasisi za biashara ndogo ndogo zi<strong>na</strong>zojihusisha <strong>na</strong> nishati <strong>endelevu</strong> ili<br />

kuhakikisha kuwepo <strong>na</strong> mazingira mazuri <strong>na</strong> ya kudumu <strong>na</strong> <strong>maendeleo</strong> ya uchumi wa jamii. <strong>TaTEDO</strong><br />

ilisajiliwa rasmi mwaka 1990 kama shirika la kitaifa lisilo la kiserikali.<br />

Dira<br />

Kuwa <strong>na</strong> jamii isiyo maskini <strong>na</strong> i<strong>na</strong>yojitegemea ambayo i<strong>na</strong> uwezo wa kupata huduma za nishati <strong>endelevu</strong><br />

<strong>na</strong> za kisasa nchini Tanzania.<br />

Dhamira<br />

Kuongeza uwezo wa kupata <strong>na</strong> kutumia teknolojia <strong>endelevu</strong> za kisasa kwenye jamii ya kitanzania<br />

isiyokuwa <strong>na</strong>zo <strong>kwa</strong> kuzizalisha, kujenga uwezo, kushirikisha jamii <strong>na</strong> kushawishi wadau ili kuongeza<br />

upatika<strong>na</strong>ji wa nishati <strong>endelevu</strong> <strong>na</strong> za kisasa, kuondoa <strong>umaskini</strong> <strong>na</strong> kuhifadhi mazingira.<br />

Malengo Makuu ya Taasisi<br />

Kuboresha hali ya maisha ya watanzania <strong>kwa</strong> kusaidia,<br />

Kupatika<strong>na</strong> <strong>kwa</strong> huduma nzuri <strong>na</strong> za kudumu za nishati.<br />

Kupatika<strong>na</strong> <strong>kwa</strong> ajira <strong>na</strong> matarajio mazuri ya kuongeza kipato ili kuondoa umasikini.<br />

Kupunguza uharibifu wa mazingira u<strong>na</strong>otoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> kuongezeka <strong>kwa</strong> matumizi ya nishati ya miti <strong>na</strong><br />

petroli,<br />

Kusaidia taifa <strong>kupunguza</strong> kutegemea nishati i<strong>na</strong>yoagizwa kutoka nje ya nchi.<br />

16

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!