kwa maendeleo endelevu na kupunguza umaskini - TaTEDO
kwa maendeleo endelevu na kupunguza umaskini - TaTEDO
kwa maendeleo endelevu na kupunguza umaskini - TaTEDO
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
KWA MAENDELEO ENDELEVU NA KUPUNGUZA UMASKINI<br />
Jarida hutolewa <strong>na</strong> ‘Tanzania Traditio<strong>na</strong>l Energy Development and<br />
Environment Organization’ (<strong>TaTEDO</strong>)<br />
ISSN 0856 – 9797 Toleo la 5 January –June 2008<br />
YALIYOMO<br />
� Nishati Itoka<strong>na</strong>yo Na Mazao: Umuhimu Wake <strong>kwa</strong> Wakulima Wadogo Wadogo<br />
<strong>na</strong> Maendeleo Yake Tanzania (Tafsiri) ……………………………………………………………………..……….1<br />
� Faida ya Mwanzi Katika Upatika<strong>na</strong>ji wa Nishati................................................4<br />
� Mitambo Ya Huduma Anwai za Nishati(MFP) I<strong>na</strong>yofungwa <strong>na</strong> <strong>TaTEDO</strong> <strong>kwa</strong><br />
Ajili ya Umeme Vijijini Yaanza Kutumika<br />
Uganda……………………………………………………....……………………………………………………………………………….…..6<br />
� Teknolojia Mbadala ni Muhimu kuthibiti Gesijoto Tanzania ……………………....……….. 11<br />
� Matumizi ya Teknolojia za Nishati <strong>na</strong> Fursa za Kujiongezea Kipato <strong>na</strong><br />
Kuboresha Hali ya Maisha ya Watanzania……………………………………........……….........…. 15<br />
� Baadhi ya Miradi Ambayo <strong>TaTEDO</strong> I<strong>na</strong>tekeleza..............................................13.<br />
� <strong>TaTEDO</strong> <strong>kwa</strong> Ufupi ……………………………………….……………………..…………………………………….………….. 17<br />
Limetolewa <strong>na</strong> <strong>TaTEDO</strong> <strong>kwa</strong> hisani ya Serikali<br />
ya Norwai <strong>na</strong> HIVOS<br />
Jiko bora la kuni lenye mtungi wa maji ya moto<br />
Mtambo wa Huduma Anuai za Nishati -<br />
umefungwa Uganda
NISHATI ITOKANAYO NA MAZAO: UMUHIMU WAKE KWA WAKULIMA WADOGO WADOGO<br />
NA MAENDELEO YAKE TANZANIA. (Tafsiri kutoka makala ilioandi<strong>kwa</strong> Na E. N Sawe, <strong>TaTEDO</strong>)<br />
Kumekuwa <strong>na</strong> ongezeko kubwa la uhitaji wa nishati<br />
ya mafuta itoka<strong>na</strong>yo <strong>na</strong> mimea ulimwenguni <strong>kwa</strong><br />
kipindi cha miaka ilitopita, hii ni kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong><br />
ongezeko la bei ya mafuta ya asili, wingi wa gesi ya<br />
ukaa (carbondioxide) angani, mabadiliko ya hali ya<br />
hewa, kupungua <strong>kwa</strong> akiba ya mafuta ardhini.<br />
kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> ukweli <strong>kwa</strong>mba mafuta yatoka<strong>na</strong>yo <strong>na</strong><br />
mimea ya<strong>na</strong>weza yakachanganywa <strong>na</strong> mafuta ya<br />
asili <strong>na</strong> kuweza kuendesha magari <strong>na</strong> mitambo<br />
mingineyo. Kama zilivyo nchi nyingine za Afrika,<br />
Tanzania <strong>na</strong>yo ni miongoni mwa nchi zi<strong>na</strong>zohitaji<br />
<strong>kwa</strong> umuhimu mkubwa njia nyingine ya kupata<br />
mafuta kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> mimea ili kukidhi mahitaji ya<br />
nishati bora vijijini.<br />
Mti wa Mbono <strong>na</strong> matunda yake<br />
Kwa kuzingatia haya Tanzania i<strong>na</strong> kila sababu ya<br />
kuwekeza katika sekta ya nishati itoka<strong>na</strong>yo <strong>na</strong><br />
mimea nchini. Nishati itoka<strong>na</strong>yo <strong>na</strong> mimea itasaidia<br />
katika kufikia malengo ya milenia <strong>na</strong> kusaidia<br />
upatika<strong>na</strong>ji wa nishati ya uhakika, kuinua maisha <strong>na</strong><br />
<strong>maendeleo</strong> ya uchumi, kutoa ajira <strong>na</strong> kukuza kilimo<br />
ili kuinua hali ya maisha ya wa<strong>na</strong>nchi. Vile vile<br />
nishati hii itafungua njia katika <strong>kupunguza</strong> ongezeko<br />
la hewa chafu angani Kwa kutoa <strong>na</strong>fasi za kiuchumi<br />
katika suala la <strong>maendeleo</strong> <strong>na</strong> uanzishaji wa miradi<br />
ya <strong>maendeleo</strong> ya <strong>kupunguza</strong> mabadiliko ya hali ya<br />
Hewa.<br />
Njia za Kuendeleza<br />
Uwezekano wa kuzalisha nishati ya mafuta<br />
itoka<strong>na</strong>yo <strong>na</strong> mimea u<strong>na</strong>weza ukaangaliwa <strong>kwa</strong> njia<br />
mbalimbali, hii ikiwa wakulima wadogo wadogo<br />
ambao wameunda ushirika wao (wakulima<br />
2<br />
ambao wa<strong>na</strong> hekari zisizozidi kumi), <strong>na</strong> wakulima<br />
wakubwa ambao wa<strong>na</strong>weza wakawa wawekezaji wa<br />
hapa nchini, muunganiko wa wakulima wakubwa <strong>na</strong><br />
wadogo katika mpangilio wa kuendesha kilimo huku<br />
wakiwa <strong>na</strong> mikataba i<strong>na</strong>yoeleweka ikisimamiwa <strong>na</strong><br />
serikali. Uwezekano huu u<strong>na</strong>tegemea zaidi sera,<br />
mipango <strong>na</strong> sheria <strong>na</strong> taratibu zenye kutoa haki <strong>na</strong><br />
<strong>na</strong>fasi sawa <strong>kwa</strong> uzalishaji <strong>na</strong> soko <strong>kwa</strong> kila nchi.<br />
Umuhimu mkubwa <strong>na</strong> kipaumbele wa<strong>na</strong>paswa kupewa<br />
wakulima wadogo.<br />
Kwanini kipaumbele <strong>kwa</strong> wakulima wadogo<br />
Zaidi ya asilimia sabini ya wakazi wa Kusini mwa<br />
Jangwa la Sahara wa<strong>na</strong>tegemea kilimo <strong>kwa</strong> ajili ya<br />
maisha yao, wengi wao wakiwa ni wakulima wadogo<br />
wadogo vijijini. Uchumi wa idadi kubwa ya watu barani<br />
Afrika maisha yao ya<strong>na</strong>tegemea utendaji wa wakulima<br />
wadogo wadogo katika sekta ya kilimo. Kupungua <strong>kwa</strong><br />
<strong>umaskini</strong> barani Afrika kutategemea zaidi kukua <strong>kwa</strong><br />
sekta ya kilimo ambapo kutawezesha kuongezeka <strong>kwa</strong><br />
kipato, kutoa ajira <strong>na</strong> itawezesha uzalishaji wa mazao ya<br />
chakula <strong>na</strong> nishati ya mafuta itoka<strong>na</strong>yo <strong>na</strong> mimea.<br />
Watendaji wengi wa sekta ya kilimo wa<strong>na</strong> ujuzi <strong>na</strong><br />
uzoefu wa kazi katika kusimamia wakulima wadogo<br />
wadogo ingawa hakujawa <strong>na</strong> mafanikio ya kutosha<br />
ya<strong>na</strong>yojitokeza. Ni muhimu kuangalia mfano <strong>na</strong> kujifunza<br />
kutoka <strong>kwa</strong> wenzetu wa Bara la Asia wa<strong>na</strong>kikundi cha<br />
Mapinduzi cha Asia-green ambacho ni kikundi bi<strong>na</strong>fsi<br />
kimeundwa <strong>kwa</strong> msaada wa serikali katika sekta ya<br />
kilimo ili kuhakikisha nchi yao i<strong>na</strong>pata chakula cha<br />
kutosha <strong>na</strong> nishati. Nchi za kusini mwa Jangwa la<br />
Sahara zi<strong>na</strong>weza kuiga mfano huu kutoka bara la Asia ili<br />
kusaidia kilimo katika jitihada za kuwa <strong>na</strong> lengo muhimu<br />
la kujitosheleza <strong>kwa</strong> chakula <strong>na</strong> nishati, lengo hili<br />
li<strong>na</strong>sukumwa zaidi <strong>na</strong> upungufu wa chakula <strong>na</strong> tatizo la<br />
nishati kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> kuongezeka <strong>kwa</strong> bei ya chakula <strong>na</strong><br />
nishati.<br />
Masuala Muhimu ya Kuzingatia Katika Kilimo cha Mazao<br />
Yazalishayo Nishati<br />
Umiliki wa Ardhi: Ukulima <strong>na</strong> Matumizi<br />
Sera, sheria <strong>na</strong> mikakati ya nchi ni lazima vihakikishe<br />
kuwa ardhi i<strong>na</strong>tumika <strong>kwa</strong> faida ya wa<strong>na</strong>nchi. Hii ni <strong>kwa</strong><br />
kutenga kiasi kidogo cha mashamba makubwa <strong>kwa</strong> ajili<br />
ya wawekezaji wa nje. Suala la kuwatoa wa<strong>na</strong>nchi<br />
wenyeji kwenye maeneo yao ku<strong>na</strong> athari kubwa <strong>kwa</strong><br />
miaka ijayo kiuchumi <strong>na</strong> kijamii ukilinganisha <strong>na</strong> jinsi ya<br />
kutatua matatizo hayo. Serikali i<strong>na</strong>hitajika kutunga <strong>na</strong><br />
kutekeleza sera, mikakati, sheria <strong>na</strong> taratibu za ardhi<br />
badala ya kuangalia faida ya haraka <strong>kwa</strong> wawekezaji<br />
wakubwa kutoka nje ya nchi. Nguvu za ziada zi<strong>na</strong>hitajika<br />
kuepuka wakulima wakubwa kutoka nje ya nchi<br />
wa<strong>na</strong>okimbilia nchini kwenye maeneo bora <strong>kwa</strong> kilimo<br />
cha chakula <strong>na</strong> kutaka kulima mbono <strong>na</strong> mazao mengine<br />
yazalishayo nishati <strong>na</strong> kuwaacha wakulima wadogo<br />
wadogo ambao hawataweza kuingia katika ushindani.
Kitalu cha Miche ya Mbono, <strong>TaTEDO</strong>.<br />
Wakulima wadogo wadogo wapo kwenye hatari ya<br />
kuondolewa kwenye ardhi yao <strong>na</strong> mashirika ya<br />
kimataifa ya<strong>na</strong>yopigania faida. Badala ya kuja <strong>kwa</strong><br />
lengo la mimea izalishayo nishati wawekezaji wengi<br />
wa nje wamekuwa wakijikita kwenye kumiliki ardhi.<br />
kilimo mseto i<strong>na</strong>bidi kutiliwa mkazo ili kuwasaidia<br />
wakulima wenye ardhi <strong>na</strong> kuwawezesha kuzalisha<br />
mazao ya kuwaongezea kipato. Wakulima wadogo<br />
wadogo watafaidika tu iwapo sera <strong>na</strong> taratibu nzuri<br />
zitalinda maslahi yao <strong>na</strong> nchi <strong>kwa</strong> ujumla. Vile vile<br />
ardhi isiyofaa <strong>kwa</strong> mazao ya chakula i<strong>na</strong>weza<br />
ikatumika kama njia ya kuirutubisha <strong>na</strong> <strong>kupunguza</strong><br />
uvamizi katika maeneo bora ya<strong>na</strong>yofaa <strong>kwa</strong> chakula.<br />
Matumizi ya Maji<br />
Kilimo cha mazao ya nishati <strong>na</strong> matumizi yake hata<br />
kama ni cha kiwango kidogo yatahitaji maji.<br />
Angalizo i<strong>na</strong>bidi liwekwe kuwa umwagiliaji usizidi<br />
uwezo wa nchi. Ingawa i<strong>na</strong>weza kuendeleza kwenye<br />
maeneo ya mvua nyingi, ni vizuri kutathmini athari<br />
zake kwenye vyanzo vya maji. Vile vile mazao ya<br />
nishati ya mafuta yasiwe chanzo cha uharibifu wa<br />
ardhi, uchafuzi wa maji, upungufu wa maji <strong>na</strong> tatizo<br />
la migogoro ya maji <strong>kwa</strong> jamii.<br />
Mazao ya muda mrefu kama Mbono wakati<br />
mwingine yatasaidia <strong>kupunguza</strong> hali ya jangwa, <strong>na</strong><br />
hivyo kusaidia utunzaji wa vyanzo vya maji.<br />
Bayoanuai<br />
Utunzaji wa biyoanuai ni jambo muhimu <strong>kwa</strong><br />
<strong>maendeleo</strong> <strong>endelevu</strong>, <strong>kwa</strong> ajili ya kutunza viumbe<br />
hai vilivyopo. Kila jitihada zifanyike katika<br />
kuhakikisha bayoanuai i<strong>na</strong>tunzwa. Ukataji wa miti<br />
katika misitu ya asili ambayo ni makazi ya viumbe<br />
hai ili kupisha kilimo cha mazao ya nishati kama zao<br />
pekee i<strong>na</strong>bidi kuacha kabisa. Hatua i<strong>na</strong>bidi<br />
zichukuliwe ili kuwe <strong>na</strong> usawa wa mazao ya nishati<br />
<strong>na</strong> hali halisi ya mazingira <strong>na</strong> mahitaji ya jamii.<br />
Uhakika wa Chakula<br />
Jambo moja la msingi lililopo kwenye majadiliano<br />
katika kuendeleza mazao ya nishati uhakika wa<br />
chakula <strong>kwa</strong> nchi. Angalizo kubwa li<strong>na</strong>takiwa katika<br />
uzalishaji wa mazao ya chakula <strong>na</strong> wakati huo huo<br />
mazao ya nishati. Uwezekano mkubwa upo <strong>kwa</strong><br />
wakulima kuwauzia mbegu wawekezaji wenye<br />
viwanda vya kuzalisha mafuta kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> mazao<br />
iwapo kutakuwa <strong>na</strong> faida zaidi. Maendeleo ya kilimo<br />
<strong>kwa</strong> mazao ya nishati ya<strong>na</strong>hitaji mkakati thabiti ili<br />
3<br />
kuhakikisha uhakika wa upatika<strong>na</strong>ji wa chakula <strong>na</strong><br />
nishati itoka<strong>na</strong>yo <strong>na</strong> mazao <strong>kwa</strong> nchi. Kuendeleza kilimo<br />
cha mazao ya nishati <strong>kwa</strong> wakulima wakubwa ku<strong>na</strong>hitaji<br />
pia mkakati wa kuangalia uwezekano wa kutumia ardhi<br />
isiyohitajika <strong>kwa</strong> ajili ya mazao ya chakula <strong>na</strong> pia<br />
isilazimishe jamii kufungua mashamba mpya <strong>kwa</strong><br />
kukata miti kwenye maeneo yao.<br />
Sera, Mikakati,Taratibu, Kodi <strong>na</strong> Motisha<br />
Katika nchi nyingi barani Afrika, Tanzania ikiwa moja<br />
wapo, bado sera, mikakati <strong>na</strong> taratibu za uzalishaji wa<br />
mazao ya nishati hazijawe<strong>kwa</strong> katika ngazi yeyote<br />
ikiwepo ya kiuchumi <strong>na</strong> kifedha. Ili kuwezesha<br />
<strong>maendeleo</strong> ya kilimo cha mazao ya nishati, wazalishaji<br />
wadogo wadogo wa mazao ya nishati ndiyo ambao<br />
wapo katika upande wa kutokunufaika <strong>kwa</strong>ni pale<br />
ambapo sera <strong>na</strong> mikakati i<strong>na</strong>tegemewa, mkazo mkubwa<br />
u<strong>na</strong>we<strong>kwa</strong> <strong>kwa</strong> wakulima wakubwa kutoka nje ya nchi<br />
wenye viwanda vikubwa vya kuzalisha mafuta uoto. Vile<br />
vile ni vigumu kuanzisha viwanda bila kuandaa<br />
mazingira mazuri, lakini wakulima wadogo wadogo<br />
watahitajika wapewe kipaumbele zaidi. Ni vema kuweka<br />
mazingira mazuri (kuwapa motisha) yatakayozingatia<br />
wakulima wadogo wadogo ikiwa ni pamoja <strong>na</strong><br />
kuwaondolea kodi katika pembejeo zote<br />
zi<strong>na</strong>zotegemewa kutumika <strong>kwa</strong> ajili ya uzalishaji. Serikali<br />
pia i<strong>na</strong>weza kuwasaidia wakulima wadogo kupitia mfuko<br />
maalum katika kuviendeleza vyama vya ushirika <strong>na</strong><br />
ujasiriamali. Motisha <strong>kwa</strong> wakulima wadogo wadogo ni<br />
pamoja <strong>na</strong> kuondolewa kodi ya vifaa vitakavyotumika<br />
kutengeneza mafuta yatoka<strong>na</strong>yo <strong>na</strong> mazao <strong>kwa</strong> ajili ya<br />
nishati ambayo itatumika kwenye jamii husika. Taasisi<br />
za kifedha pia zi<strong>na</strong>paswa kuhamasishwa ili ziweze<br />
kuwasaidia wakulima wadogo wadogo kuweza kupata<br />
mitaji ili kuendeleza biashara ya nishati itoka<strong>na</strong>yo <strong>na</strong><br />
mimea. Vilevile wakulima wadogo wadogo watahitaji<br />
mikopo ili kuwawezesha kupata mafuta yatoka<strong>na</strong>yo <strong>na</strong><br />
mimea kuendesha kazi za uzalishaji katika makazi yao.<br />
Muundo Wa Taasisi <strong>na</strong> Kuzijengea Uwezo.<br />
Tanzania kama nchi nyingine barani, bado i<strong>na</strong> uwezo<br />
mdogo katika <strong>maendeleo</strong> ya mazao ya nishati katika<br />
nyanja zote <strong>na</strong> zaidi sekta za umma katika kuanzisha<br />
sera, mikakati, <strong>na</strong> taratibu. Wadau wakuu, wakiwa<br />
wakulima wadogo wadogo, wajasiriamali, taasisi zisizo<br />
za serikali, n.k. hawa<strong>na</strong> taarifa ya umuhimu, faida <strong>na</strong><br />
hasara ya mazao ya nishati. Msukumo mkubwa<br />
u<strong>na</strong>hitajika katika kujenga uwezo ili kusaidia nchi,<br />
kuweza kutunga <strong>na</strong> kutekeleza sera zitakazosaidia<br />
wakulima wadogo wadogo <strong>na</strong> watumiaji ili kuwepo <strong>na</strong><br />
mikakati <strong>na</strong> sheria. Kusaidia <strong>maendeleo</strong> ya teknolojia,<br />
uzalishaji, soko <strong>na</strong> huduma mbalimbali zitakazosaidia<br />
upatika<strong>na</strong>ji wa nishati <strong>na</strong> wajasiriamali wa ndani ya nchi<br />
watakaoweza kuendesha kazi <strong>na</strong> biashara hii.<br />
Uchumi<br />
Uchumi wa nchi <strong>na</strong> uwekezaji ni jambo muhimu katika<br />
kukua <strong>kwa</strong> <strong>maendeleo</strong> ya mazao ya nishati. (uzalishaji<br />
<strong>na</strong> matumizi). Ni muhimu kuhamasisha taasisi za kifedha<br />
ndani ya nchi kusaidia wakulima wadogo wadogo.<br />
Mashirika ya kifedha ya kimataifa <strong>na</strong> wafadhili<br />
mbalimbali ni muhimu kuwashirikisha katika kuongeza<br />
mtaji, kutoa mikopo <strong>na</strong>fuu <strong>na</strong> misaada ya kifedha ya<br />
muda mrefu ili pia kuwawezesha wakulima wadogo<br />
wadogo kushiriki kikamilifu katika kuendeleza uchumi<br />
wao.
Umuhimu <strong>na</strong> Uwezekano wa Mazao ya Nishati<br />
Tanzania<br />
Tanzania, kama nchi nyingine zilizo kusini mwa<br />
Jangwa la Sahara hai<strong>na</strong> uzalishaji mkubwa wa<br />
kibiashara wa mazao ya nishati <strong>kwa</strong> wakati huu.<br />
Kazi za mazao ya nishati <strong>na</strong> <strong>na</strong>fasi yake <strong>kwa</strong><br />
Tanzania i<strong>na</strong>weza kutazamwa <strong>kwa</strong> kuwa <strong>na</strong><br />
wakulima wakubwa <strong>na</strong> wadogo. Uzalishaji mkubwa<br />
wa nishati kutoka<strong>na</strong> mazao kama miwa, Chikichi <strong>na</strong><br />
Washirika wa <strong>TaTEDO</strong> wakishiriki mafunzo ya Mbono- katika ukamuaji wa mafuta yake<br />
Mbono ku<strong>na</strong>hitaji sera, mikakati <strong>na</strong> sheria ili kulinda<br />
maslai ya uwekezaji <strong>na</strong> soko <strong>kwa</strong> wa<strong>na</strong>nchi. Kwa<br />
<strong>na</strong>m<strong>na</strong> nyingine wazalishaji wadogo wadogo ndiyo<br />
tegemeo katika kuingiza kipato <strong>na</strong> ni msaada vijijini<br />
kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> uzalishaji wa chakula <strong>na</strong> bidhaa<br />
nyingine kama sabuni zi<strong>na</strong>zoweza kutengenezwa<br />
mazao ya nishati.<br />
Umuhimu wa Zao la Mbono Tanzania<br />
Kulinga<strong>na</strong> <strong>na</strong> tathmini ya hivi karibuni iliyofanywa <strong>na</strong><br />
shirika la Chakula la Umoja wa mataifa i<strong>na</strong>onyesha<br />
kuwa Tanzania i<strong>na</strong> ekari 55.2 milioni za ardhi, kati ya<br />
ekari 93.8 milioni zenye uwezo wa kuzalisha mazao<br />
mbalimbali. Kati ya hizo ni ekari 10.8 milioni<br />
zi<strong>na</strong>tumika <strong>kwa</strong> kuzalisha mazao <strong>na</strong> ekari 44.4<br />
milioni lililobaki i<strong>na</strong> uwezo wa kuzalisha<br />
mazao(chakula <strong>na</strong> yasiyo ya chakula). Wakati<br />
takwimu hizi zi<strong>na</strong>zonyesha picha halisi ya matumizi<br />
ya ardhi <strong>na</strong> pia kupendekeza kuwa upatika<strong>na</strong>ji wa<br />
ardhi si kizuizi <strong>kwa</strong> Tanzania wa kuzalisha mazao<br />
ya nishati.<br />
Utafiti uliofanywa kuangalia uwezekano wa uzalishaji<br />
nishati itoka<strong>na</strong>yo <strong>na</strong> mimea <strong>kwa</strong> kuangalia kigezo<br />
cha ardhi (ekari milioni 44.4) zilizoonyeshwa uwezo<br />
wa uzalishaji katika hali halisi wa 75-300GJ <strong>kwa</strong><br />
ekari <strong>kwa</strong> mwaka, upungufu katika uzalishaji wa<br />
4<br />
tungamotaka utakuwa ni wastani wa 3.3 -13.3 exajoulies<br />
<strong>kwa</strong> mwaka. Ukilinganisha <strong>na</strong> uzalishaji katika mwaka<br />
2005 jumla ya matumizi makuu ya nishati <strong>kwa</strong> Tanzania<br />
ni 0.602 exajoules. Kwa kuanzisha viwanda<br />
vitakavyozalisha nishati kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> mazao Tanzania,<br />
uzalishaji wa nishati kulinga<strong>na</strong> <strong>na</strong> mazao mbalimbali<br />
yatakuwa kama ifuatavyo Mawese(186 GJ/ha), ethano<br />
kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> maji ya miwa (173GJ/ha), Diseli kutoka<strong>na</strong><br />
<strong>na</strong> mafuta ya mbono(59GJ/ha) <strong>na</strong> ethano kutoka <strong>na</strong><br />
mabaki ya sukari(20GJ/ha).<br />
Tanzania i<strong>na</strong> zaidi ya ekari 30 milioni za ardhi kama<br />
ilivyoonyeshwa <strong>na</strong> FAO kuwa i<strong>na</strong> eneo nzuri <strong>kwa</strong> kilimo<br />
<strong>na</strong> pia ni nzuri <strong>kwa</strong> kilimo cha mazao ya nishati. Eneo<br />
ambalo li<strong>na</strong>limwa miwa ni 570,000eka, mimea jamii ya<br />
kunde ni 24,000eka <strong>na</strong> mazao ya jamii ya mizizi ni<br />
14,000 eka. Mazao yatoayo sukari ya<strong>na</strong>toa njia rahisi <strong>na</strong><br />
yenye gharama <strong>na</strong>fuu katika uzalishaji wa bioethano,<br />
ukilinganisha <strong>na</strong> eneo ambalo ni 23,000 hadi 39,000<br />
ekari <strong>kwa</strong> kipindi cha miaka mitano iliyopita peke yake,<br />
kuongezeka <strong>kwa</strong> hitaji hili muhimu. Kwa sasa uzalishaji<br />
wa mazao yatoayo mafuta ni mdogo ukilinganisha <strong>na</strong><br />
mahitaji, <strong>na</strong> mpango mzima wa uzalishaji wa mazao ya<br />
nishati utahitaji ardhi kubwa ukilinganisha <strong>na</strong> ilivyo sasa.<br />
Kwa kipindi cha hivi karibuni, kiwango cha mahitaji ya<br />
mafuta yatoka<strong>na</strong>yo <strong>na</strong> mimea ambayo yatahitajika<br />
kuchanganywa <strong>na</strong> mafuta ya petroli kidogo <strong>na</strong> kuweza<br />
kutumika kwenye magari bila mabadiliko yoyote kwenye<br />
injini za magari i<strong>na</strong>kadiriwa hadi kufikia 2010 mahitaji ya<br />
ethano (E10) yatakuwa lita 27 milioni <strong>na</strong> dizeli uoto (B20)<br />
ni lita 139 milioni.<br />
Kipindi cha 2004/2005, uzalishaji wa mabaki ya<br />
sukari(molasesi) kutoka viwanda vya sukari Tanzania<br />
ulikuwa tani 90,000 ambazo zi<strong>na</strong>weza kubadilishwa <strong>na</strong><br />
kupata lita 20 milioni za ethano <strong>kwa</strong> mwaka. Kama<br />
mabaki (molasesi) yote ya sukari kutoka viwanda vya<br />
sukari nchini yangetumika <strong>na</strong> kuzalisha ethano, <strong>kwa</strong><br />
mwaka 2006/2007 i<strong>na</strong>kadiriwa lita 28 milioni za ethano<br />
zingezalishwa, ambayo ingetosheleza taifa <strong>kwa</strong> asilimia<br />
7.9 ya mahitaji ya petroli.<br />
Michikichi <strong>na</strong> Mbono ni mazao makuu mawili ya mafuta<br />
ambayo ya<strong>na</strong>weza kutumika kama malighafi kuzalisha<br />
mafuta hapa Tanzania. Kati ya mazao yatoayo mafuta,<br />
Michikichi i<strong>na</strong> umuhimu mkubwa <strong>kwa</strong> uzalishaji wa<br />
mafuta <strong>kwa</strong> ekari ukilinganisha <strong>na</strong> ardhi. Ingawa <strong>kwa</strong><br />
sasa ku<strong>na</strong> mahitaji makubwa ya mafuta hayo <strong>kwa</strong><br />
matumizi ya chakula <strong>na</strong> matumizi mengine <strong>na</strong> hivyo<br />
uzalishaji wa ndani u<strong>na</strong>kadiriwa kuwa asilimia tano tu ya<br />
mahitaji.<br />
Utafiti wa mafuta ya Mbono (Jatropha) katika maabara ya muda -<strong>TaTEDO</strong>
Zao lingine muhimu kama malighafi ya uzalishaji wa<br />
nishati ni Mbono. Tanzania i<strong>na</strong> uwezo wa kilimo cha<br />
mbono ingawa <strong>kwa</strong> sasa i<strong>na</strong>zalishwa <strong>kwa</strong> kiwango<br />
kidogo. Uzalishaji wake u<strong>na</strong>weza kutoa fursa ya<br />
<strong>kupunguza</strong> umasikini vijijini <strong>na</strong> hasa kuwawezesha<br />
wa<strong>na</strong>wake (watumiaji wakubwa wa nishati) kupata<br />
manufaa zaidi kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> mfumo mzima wa<br />
mbono(kilimo, ukusanyaji wa mbegu, ukamuaji wa<br />
mafuta,matumizi ya nishati, n.k).<br />
Kilimo cha mbono ulimwenguni ki<strong>na</strong>onyesha bado ni<br />
cha kiwango kidogo <strong>na</strong> hata taarifa zake za<br />
uzalishaji <strong>kwa</strong> ekari ya ardhi bado hazitoshelezi.<br />
Ku<strong>na</strong> ripoti kuwa uzalishaji wa mafuta yatoka<strong>na</strong>yo<br />
<strong>na</strong> mbono <strong>kwa</strong> shamba la ekari moja hutoa kilo 1600<br />
za mafuta kuanzia mwaka wa tatu hadi wa tano <strong>na</strong><br />
kuendelea. Ingawa uzoefu u<strong>na</strong>onyesha kutoka<br />
mashamba ya wenyeji kuwa <strong>kwa</strong> Tanzania uzalishaji<br />
halisi u<strong>na</strong>weza ukawa chini ya hapo. Kulinga<strong>na</strong> <strong>na</strong><br />
tathmini ya uzalishaji wa kiasi cha 1600 kilogam za<br />
mafuta <strong>kwa</strong> ekari, ekari 19700 za mbono zi<strong>na</strong>weza<br />
kuvunwa kila mwaka <strong>na</strong> kuzalisha asilimia tano ya<br />
mafuta yatakayoweza kuchanganywa <strong>na</strong> petro hadi<br />
kufikia 2010. Hivyo ili kufikia kiwango cha B20<br />
(biodizeli) ekari 78,800 za shamba la mbono<br />
zi<strong>na</strong>hitajika.<br />
Alizeti ni miongoni mwa mazao ya mafuta nchini<br />
Fursa Iliyopo ya Kuendeleza Nishati Itoka<strong>na</strong>yo <strong>na</strong><br />
Mazao Tanzania<br />
Kwa hivi sasa umuhimu wa uzalishaji wa mafuta<br />
yatoka<strong>na</strong>yo <strong>na</strong> mbono u<strong>na</strong><strong>kwa</strong>mishwa <strong>na</strong> ukosefu<br />
wa taarifa <strong>na</strong> ueleweka wa jamii katika ngazi<br />
zote(Idara <strong>na</strong> taasisi za serikali, sekta ya<br />
viwanda,wa<strong>na</strong>nchi, wadu wa nishati). Ukweli ni<br />
<strong>kwa</strong>mba hii i<strong>na</strong>sababishwa <strong>na</strong> kukoseka<strong>na</strong> <strong>kwa</strong><br />
sera <strong>na</strong> taratibu (sheria) kuhusia<strong>na</strong> <strong>na</strong> uzalishaji <strong>na</strong><br />
matumizi ya nishati itoka<strong>na</strong>yo <strong>na</strong> mazao (Mbono,<br />
alizeti, chikichi) Tanzania. Ili kuwezesha hili<br />
i<strong>na</strong>hitajika jitihada za haraka zitakazoshirikisha idara<br />
za serikari <strong>na</strong> wadau wengine katika kuhakikisha<br />
nishati itoka<strong>na</strong>yo <strong>na</strong> mazao i<strong>na</strong>endelezwa Tanzania.<br />
Kukoseka<strong>na</strong> <strong>kwa</strong> sera <strong>na</strong> taratibu(sheria)<br />
ku<strong>na</strong>sababisha uwekezaji katika sekta hii kuwa<br />
mgumu <strong>na</strong> wa hatari <strong>kwa</strong> Tanzania, kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong><br />
kushindika<strong>na</strong> kuoneka<strong>na</strong> vema faida yake kiuchumi,<br />
kijamii <strong>na</strong> hata kimazingira ya mazao haya. Kwani<br />
kama uwekezaji katika uzalishaji wa miwa <strong>kwa</strong> ajili<br />
ya ethano u<strong>na</strong>hitaji uhakika wa soko <strong>na</strong> bei <strong>kwa</strong><br />
5<br />
bidhaa iliyozalishwa <strong>na</strong> hasa katika kipindi cha mwanzo<br />
<strong>kwa</strong> kulinda uzalishaji <strong>na</strong> matumizi ya ndani.<br />
Kulinga<strong>na</strong> <strong>na</strong> umuhimu wa nishati itoka<strong>na</strong>yo <strong>na</strong> mazao<br />
<strong>na</strong> kukoseka<strong>na</strong> <strong>kwa</strong> sera, Tanzania ni miongoni mwa<br />
nchi i<strong>na</strong>zoendelea duniani ambayo iko katika hatua za<br />
mwanzo kutafiti ili kuo<strong>na</strong> uwezekano wa kuzalisha<br />
nishati kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> mazao (Mbono, alizeti <strong>na</strong> chikichi)<br />
<strong>kwa</strong> ajili ya uzalishaji <strong>na</strong> matumizi <strong>endelevu</strong> ya baadaye.<br />
Hivi sasa, serikali ya Tanzania imetambua umuhimu <strong>na</strong><br />
faida ya uanzishaji <strong>na</strong> matumizi ya nishati itoka<strong>na</strong>yo <strong>na</strong><br />
mazao <strong>na</strong> iko mstari wa mbele kutathmini <strong>kwa</strong> kupitia<br />
kikundi kazi ambacho kitatoa mwongozo juu ya sera <strong>na</strong><br />
mkakati wa kuongeza matumizi.<br />
Hitimisho <strong>na</strong> mapendekezo<br />
Uzalishaji wa nishati itoka<strong>na</strong>yo <strong>na</strong> mazao <strong>na</strong> matumizi<br />
yake hivi karibuni u<strong>na</strong>endelea <strong>kwa</strong> kasi kubwa Tanzania<br />
<strong>na</strong> maeneo mengine ya Afrika. Jambo hili<br />
lisiposimamiwa vizuri <strong>kwa</strong> sera, mikakati <strong>na</strong> sheria<br />
zi<strong>na</strong>zofaa i<strong>na</strong>weza kusababisha nchi ikapata hasara <strong>na</strong><br />
kujifungia fursa hii ya <strong>maendeleo</strong>. Fursa hii i<strong>na</strong>weza<br />
ikawa ya <strong>maendeleo</strong> yenye faida <strong>na</strong> kuipatia nchi <strong>na</strong>fasi<br />
ya <strong>maendeleo</strong> <strong>endelevu</strong> <strong>na</strong> <strong>kupunguza</strong> umasikini iwapo<br />
itatazamwa <strong>kwa</strong> makini. Nishati itoka<strong>na</strong>yo <strong>na</strong> mazao i<strong>na</strong><br />
matumizi makubwa katika kuendesha mashine kama<br />
mtambo anuai wa kuzalishia umeme (Energy Service<br />
platform), kutumika katika magari kama nishati mbadala,<br />
au itakapochanganywa <strong>na</strong> diseli au petroli kutumika pia<br />
kuzalisha nishati itakayotumika kwenye vifaa vya<br />
nyumbani.<br />
Faida muhimu zaidi ya nishati itoka<strong>na</strong>yo <strong>na</strong> mazao ni<br />
kuwawezesha masikini walio wengi vijijini kuweza<br />
kupata nishati bora <strong>kwa</strong> kutumia ardhi waliyo<strong>na</strong>yo,<br />
nguvu kazi yao <strong>na</strong> ujuzi katika usimamizi. Upatika<strong>na</strong>ji wa<br />
huduma ya nishati bora kutasaidia vijiji kuwa <strong>na</strong> shughuli<br />
za uzalishaji mali, huduma bora za jamii (shule,<br />
zaha<strong>na</strong>ti, maji) <strong>na</strong> hivyo kuwezesha kufikia malengo ya<br />
taifa katika kufikia malengo ya milenia. Nchi za Afrika<br />
zi<strong>na</strong>hitaji kuwa uwezo wa kuo<strong>na</strong> <strong>na</strong> kuelewa umuhimu<br />
<strong>na</strong> uharaka wa kutunga <strong>na</strong> kutekeleza sera mikakati <strong>na</strong><br />
sheria. Masuala ya msingi ya kuzingati katika kuanzisha<br />
sera ya uzalishaji <strong>na</strong> matumizi ya mazao ya nishati ni<br />
pamoja <strong>na</strong><br />
Kuangalia Maendeleo <strong>endelevu</strong> ya jamii <strong>na</strong> nchi <strong>kwa</strong><br />
ujumla<br />
Sera zitakazojali masikini ili kuwalinda wakulima<br />
wadogo wadogo kutoka <strong>kwa</strong> wawekezaji wakubwa<br />
wa<strong>na</strong>otoka mataifa makubwa/tajiri<br />
Misingi ya soko itakayo wanufaisha wote(wakulima<br />
<strong>na</strong> wanunuaji)<br />
Kuunganisha uzalisahji wa mazao ya nishati <strong>na</strong><br />
<strong>maendeleo</strong> mengine ya taifa katika malengo ya<br />
kujitosheleza <strong>kwa</strong> chakula <strong>na</strong> nishati nchini <strong>na</strong> nchi<br />
nyingine za afrika<br />
Kustawisha hali ya maisha ya vijijini, <strong>maendeleo</strong> ya<br />
kiuchumi <strong>kwa</strong> kuanzisha viwanda vya kuzalisha<br />
nishati itoka<strong>na</strong>yo <strong>na</strong> mazao<br />
Kuepuka kuwa wazalishaji wa kuuza nje ya nchi
FAIDA YA MWANZI KATIKA UPATIKANAJI WA NISHATI (Na Waitlove Yakobo Mushi -<strong>TaTEDO</strong>)<br />
Mwanzi ni kati ya mimea ambayo huishi <strong>kwa</strong> muda<br />
mrefu, hutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> familia ya mimea i<strong>na</strong>yoitwa<br />
kitaalamu Poaceae, kabila la mimea li<strong>na</strong>loitwa<br />
Bambusease, asili yake ni majani, pia ku<strong>na</strong> mianzi<br />
mikubwa ambayo hufanya familia ya mianzi yenye<br />
majani makubwa. Mwanzi ni mmea ambao hukua<br />
<strong>kwa</strong> kasi sa<strong>na</strong>. Hukua haswa katika maeneo ya nchi<br />
yenye joto, hususani mashariki <strong>na</strong> kusini mashariki<br />
ya Asia. Kutoka kwenye mizizi ya chini hukua kama<br />
mashi<strong>na</strong> yaliyounga<strong>na</strong>, ambayo hufikia urefu wa<br />
mita 40 katika jamii nyingine.<br />
Mashi<strong>na</strong> ya mwanzi<br />
Mianzi mingine huoteshwa kwenye bustani kutoka<strong>na</strong><br />
<strong>na</strong> uzuri wa majani yake ambayo kitaalamu<br />
ya<strong>na</strong>toka kwenye familia ya jamii ya majani.<br />
Ai<strong>na</strong> mbalimbali za mianzi<br />
Mwanzi u<strong>na</strong> matumizi mengi, lakini pia u<strong>na</strong>weza<br />
kutumika <strong>kwa</strong> matumizi ya mkaa <strong>na</strong> ni bidhaa<br />
ambayo i<strong>na</strong>enda<strong>na</strong> <strong>na</strong> uboreshaji wa mazingira sababu<br />
hupunguza hewa ya ukaa <strong>na</strong> pia i<strong>na</strong>punguza kasi ya<br />
matumizi rasilimali ya mbao. Mkaa wa mwanzi katika<br />
kutunza mazingira, huchuja <strong>na</strong> huondoa harufu mbaya,<br />
hii hutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> sifa yake ya ufyonzaji. Mkaa wa mwanzi<br />
hutengenezwa kutoka kwenye vipande vya shi<strong>na</strong> la<br />
mwanzi ambalo u<strong>na</strong> miaka angalau mitano, mwanzi huo<br />
huchomwa ndani ya tanuru katika nyuzi joto 80 o<br />
Mtandao wa kimataifa<br />
wa wadau wa mwanzi<br />
-Inter<strong>na</strong>tio<strong>na</strong>l<br />
networks for Bamboo<br />
and Rattan (INBR)<br />
ikiunga<strong>na</strong> <strong>na</strong> Wakala<br />
wa taifa wa Utafiti<br />
nyumba <strong>na</strong> ujenzi-<br />
Natio<strong>na</strong>l Housing and Building Research Agency<br />
(NHBRA) uliandaa warsha kuhusia<strong>na</strong> <strong>na</strong> mwanzi<br />
ambayo ilifanyika makao makuu ya NHBRA ambayo<br />
yako Dar es salaam, Tanzania. Katika washa hiyo<br />
washiriki kutoka wizara mbalimbali <strong>na</strong> Asasi zisizo za<br />
serikali walipata mafunzo tofauti kuhusia<strong>na</strong> <strong>na</strong><br />
matumizi <strong>na</strong> faida za mwanzi. Zao la mwanzi<br />
hutengeneza bidhaa mbalimbali kama fanicha,<br />
mabomba ya maji, paa za nyumba, dari, nguo, madaraja<br />
<strong>na</strong> bidhaa zi<strong>na</strong>zotoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> kazi za mikono kama<br />
kufuma, usukaji vikapu, kufinyanga n.k.<br />
Nchini Tanzania miongoni mwa miradi ya matumizi ya<br />
mwanzi ni mradi<br />
u<strong>na</strong>otekelezwa <strong>na</strong><br />
wa<strong>na</strong>kijiji cha Idwali<br />
kupitia ushirika wao<br />
(Isongole Bamboo<br />
Cooperative Society)<br />
ambayo iko katika kijiji<br />
cha Idwali katika<br />
wilaya ya Rungwe,<br />
Daraja lilitengenezwa <strong>kwa</strong> mwanzi.<br />
pia mradi huo<br />
umetekelezwa <strong>na</strong> kikundi kiitwacho Jitegemee Women‟s<br />
Group kilichopo katika wilaya ya Njombe. Hekta moja ya<br />
mwanzi iliandaliwa karibu <strong>na</strong> Isongole Bamboo Centre ili<br />
kupata malighafi <strong>kwa</strong> ajili ya mradi wa mwanzi. Kituo<br />
hicho ki<strong>na</strong> SACCOs ambayo i<strong>na</strong>toa huduma za kibenki<br />
<strong>kwa</strong> wakulima.
Mafundisanifu, chini ya uangalizi wa Mama<br />
Camelita B.Bersalo<strong>na</strong>, ambaye ni mratibu wa<br />
INBRA‟s <strong>kwa</strong> upande wa Africa, wameanzisha<br />
tanuri la pipa <strong>kwa</strong> ajili ya kutengeneza mkaa. Mkaa<br />
huo u<strong>na</strong>weza hutumika kama chanzo rahisi <strong>na</strong><br />
<strong>endelevu</strong> cha nishati.<br />
Mkaa wa mwanzi u<strong>na</strong>tengenezwa kwenye tanuru la<br />
pipa, utegemea<strong>na</strong> <strong>na</strong> ai<strong>na</strong> ya mali ghafi<br />
i<strong>na</strong>yoingizwa kwenye tanuru <strong>kwa</strong> ajili ya kazi ya<br />
kuuchoma mkaa. Mkaa wa mwanzi u<strong>na</strong>gawanyika<br />
kama mkaa wenyewe <strong>na</strong> pia ni malighafi ya<br />
kutengeneza mwanzi tofali. Mwanzi kama malighafi<br />
ya mkaa wa mwanzi i<strong>na</strong>tengenezwa kutoka kwenye<br />
sehemu za mmea kama culms, shi<strong>na</strong> <strong>na</strong> mzizi. Tofali<br />
la mwanzi li<strong>na</strong>tengenezwa kutoka kwenye masalio<br />
ya mwanzi kama unga wa mwanzi <strong>na</strong> unga wa<br />
mbao ambao u<strong>na</strong>kuwa u<strong>na</strong>gandamizwa kuwa ufito<br />
<strong>na</strong> kuchomwa. Ai<strong>na</strong> mbili za tanuru zaweza kutumika<br />
katika njia hii ya kuchoma, ambazo ni tanuru la tofali<br />
<strong>na</strong> tanuru la pipa.<br />
Matumizi ya Mkaa utoka<strong>na</strong>o <strong>na</strong> mwanzi<br />
Nishati<br />
Mkaa wa mwanzi u<strong>na</strong>tumika sa<strong>na</strong> kama nishati ya<br />
kupikia, kuokea <strong>na</strong> kukaushia. Mkaa wa mwanzi<br />
hutumika mara nyingi <strong>kwa</strong> kupasha moto <strong>kwa</strong><br />
sababu u<strong>na</strong>ungua taratibu kuliko malighafi ya mkaa<br />
wa kawaida (mimea mingine).<br />
Mkaa uliotoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> mwanzi<br />
Husafishia maji<br />
Nyenzo ya mwanzi i<strong>na</strong> ai<strong>na</strong> ya tofauti ya kitabia <strong>na</strong><br />
hii sifa hutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> njia ya uchomaji, ambao mwanzi<br />
huongeza matokeo ya<strong>na</strong>yotakiwa kutokea kama<br />
nyenzo i<strong>na</strong>yochuja. Mkaa wa mwanzi u<strong>na</strong>weza<br />
kutumika <strong>kwa</strong> kusafishia maji <strong>kwa</strong>ni hupunguza<br />
masalio machafu <strong>na</strong> harufu mbaya kwenye maji.<br />
Maji ya kunywa yaliyosafishwa <strong>na</strong> kuuliwa vijidudu<br />
7<br />
<strong>kwa</strong> klorini ya<strong>na</strong>weza kuchanganywa <strong>na</strong> mkaa wa<br />
mwanzi kuondoa masalio ya klorini, <strong>na</strong> kuyafanya safi <strong>na</strong><br />
salama <strong>kwa</strong> matumizi mbalimbali mfano: kunywa.<br />
Hutumika kusafisha Hewa katika mazingira<br />
Ya<strong>na</strong>yotuzunguka<br />
Mkaa wa mwanzi u<strong>na</strong>weza pia kutumika kama za<strong>na</strong><br />
i<strong>na</strong>yoondoa harufu majumbani, <strong>kwa</strong>ni huondoa gesi ya<br />
sulphur dioxide, carbon monoxide <strong>na</strong> hydrogen sulphide<br />
kutoka kwenye hewa. Mkaa huo ukitumika majumbani<br />
hunyonya hizi harufu <strong>na</strong> gesi zi<strong>na</strong>zodhuru <strong>na</strong> pia<br />
hurekebisha kiasi cha unyevu katika hewa hivyo huzuia<br />
uzalishaji wa viumbe <strong>na</strong> maradhi kama kuvu (moulds).<br />
Hitimisho <strong>na</strong> ushauri.<br />
Ku<strong>na</strong> maeneo mengi hapa Tanzania ambayo zao la<br />
mwanzi li<strong>na</strong>ota <strong>na</strong> li<strong>na</strong>weza kupandwa. Mwanzi huweza<br />
kuwa malighafi ya kutengeneza vitu mbalimbali <strong>na</strong><br />
wakati huohuo kuongeza kipato <strong>na</strong> <strong>kupunguza</strong> <strong>umaskini</strong>.<br />
Mbali <strong>na</strong> kutumia mwanzi <strong>kwa</strong> kupata nishati, ku<strong>na</strong> haja<br />
ya kudhihirisha matumizi mengine ya mkaa huu<br />
u<strong>na</strong>otoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> mwanzi <strong>na</strong> kutafuta uwezekano wa<br />
kuweka katika matumizi yenye faida <strong>kwa</strong> taifa.<br />
Msitu wa miti ya mwanzi<br />
Kwa kawaida mwanzi nchini Tanzania umekuwa<br />
ukitumika zaidi kama kinywaji <strong>na</strong> baadhi ya maeneo<br />
hutumia mwanzi <strong>kwa</strong> kutengeneza mapambo <strong>na</strong> bidhaa<br />
nyingine. Jitihada za makusudi zi<strong>na</strong>takiwa<br />
kuwaunganisha wadau mbalimbali <strong>na</strong> hasa wa nishati<br />
kuendeleza jitihada zilizofanywa <strong>na</strong> INBR kuendeleza<br />
mwanzi katika matumizi ya nishati ili kusaidia jamii za<br />
vijijini kuondoa umasikini <strong>na</strong> kutatua tatizo la nishati.
MITAMBO YA HUDUMA ANUAI ZA NISHATI (MHANI) INAYOFUNGWA NA <strong>TaTEDO</strong> KWA AJILI YA UMEME<br />
VIJIJINI YAANZA KUTUMIKA UGANDA<br />
(Na Shukuru Bartholomeo –<strong>TaTEDO</strong>)<br />
Jitihada za <strong>TaTEDO</strong> katika kuhamasisha upatika<strong>na</strong>ji<br />
Mtambo wa Huduma Anuai za Nishati wa umeme<br />
vijijini <strong>kwa</strong> kutumia mitambo ya MHANI imeanza<br />
kukubalika <strong>na</strong> kuchukua sura mpya. Mwaka 2007<br />
mwezi Oktoba <strong>TaTEDO</strong> ilipendekezwa <strong>na</strong> wahisani<br />
kutoka Uholanzi kuandaa mafunzo <strong>na</strong> kufundisha<br />
teknolojia hii mpya katika nchi ya jirani ya Uganda.<br />
Mafunzo haya yaliandaliwa <strong>kwa</strong> pamoja kati ya<br />
<strong>TaTEDO</strong>, Vedco <strong>na</strong> Konserve Consult Uganda. Haya<br />
ni mashirika ya<strong>na</strong>yojihusisha <strong>na</strong> kilimo cha kisasa <strong>na</strong><br />
<strong>maendeleo</strong> ya matumizi ya nishati <strong>endelevu</strong> nchini<br />
Uganda.<br />
Kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> ukosefu wa taarifa za teknolojia hii nchini<br />
Uganda, mafunzo maalumu juu ya upandaji wa Mbono<br />
(Jatropha) <strong>na</strong> matumizi yake, ufungaji, matengenezo<br />
ya MHANI <strong>na</strong> faida zake yalifanyika <strong>kwa</strong> jumla ya siku<br />
10. Mafunzo yalifanyika kuanzia tarehe 4-12 Oktoba<br />
2007 yakiendeshwa <strong>na</strong> wataalamu wawili kutoka<br />
<strong>TaTEDO</strong>. Mafunzo haya yaliwahusisha wakulima<br />
mbalimbali wa zao la Mbono wapatao 36 kutoka vijiji<br />
vya Naluvule <strong>na</strong> Sakabusoro katika wilaya ya Lwero.<br />
Katika vijiji hivi zao la Mbono bado li<strong>na</strong>oteshwa kama<br />
uzio <strong>kwa</strong> ajili ya kukinga mazao mengine kama<br />
mahindi, alizeti <strong>na</strong> wanyama waharibifu. Pia hutumika<br />
kama mmea wa kutenganisha mipaka kati ya familia<br />
moja <strong>na</strong> nyingine. Kwa kuwa wa<strong>na</strong>kijji hawa ni<br />
wakulima hutumia pia mmea wa mbono katika kilimo<br />
mseto kama miti ya kusaidia zao la vanilla kukua <strong>na</strong><br />
kustawi <strong>kwa</strong> ubora zaidi. Kwa kuwa mafunzo haya<br />
yalilenga zaidi katika elimu ya zao la Mbono <strong>na</strong> faida<br />
zake <strong>kwa</strong> jamii katika kuondoa umasikini <strong>na</strong> kujipatia<br />
kipato, wa<strong>na</strong>nchi wengi wameahidi <strong>na</strong> wa<strong>na</strong> mipango<br />
kabambe ya kufungua mashamba makubwa ya<br />
Mbono.<br />
Mtaalam kutoka <strong>TaTEDO</strong> akiendesha mafunzo yam bono <strong>na</strong> MHANI Kijiji cha Naluvule<br />
–Uganda<br />
Haku<strong>na</strong> takwimu sahihi ni kiasi gani cha mbegu za<br />
Mbono ki<strong>na</strong>patika<strong>na</strong> katika vijiji hivi ila i<strong>na</strong>kadiriwa<br />
kuwa kiasi cha tani 2-3 huvunwa <strong>kwa</strong> mwaka.<br />
Wa<strong>na</strong>kijiji walieleza kuwa uvu<strong>na</strong>ji wa mbegu za<br />
(mbono) jatropha huwasio rasmi kama uvu<strong>na</strong>ji wa<br />
mazao mengine bali mbegu hizi hukusanywa kidogo<br />
kidogo pindi zi<strong>na</strong>pokauka <strong>na</strong> kuanguka chini. Wapo<br />
wa<strong>na</strong>nchi wachache waliokuwa wa<strong>na</strong>fahamu matumizi<br />
ya majani <strong>na</strong> maua ya Mbono katika kutengeneza<br />
sabuni. Kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> hamasa <strong>na</strong> mafunzo<br />
yaliyoendeshwa <strong>na</strong> <strong>TaTEDO</strong> juu ya faida mbalimbali<br />
za huu mmea i<strong>na</strong>kadiriwa kuwa mavuno ya mbegu za<br />
jatropha yataongezeka hadi tani 7-8 <strong>kwa</strong> mwaka<br />
baada ya miaka miwili.<br />
Kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> muda mfupi, uliotengwa <strong>kwa</strong> ajili ya<br />
mafunzo, <strong>na</strong> <strong>kwa</strong>kuzingatia mahitaji halisi ya<br />
walengwa wakufunzi waligawa mafunzo haya katika<br />
sehemu mbili. Sehemu ya <strong>kwa</strong>nza ilikuwa ni <strong>na</strong>dharia<br />
pekee <strong>na</strong> ya pili ikiwa ni vitendo.<br />
Mafunzo <strong>kwa</strong> <strong>na</strong>dharia yalifanyika <strong>kwa</strong> siku mbili<br />
mfululizo yakihusisha mambo yafuatayo:<br />
� Kueleza nini maa<strong>na</strong> ya MHANI<br />
� Faida za kuwa <strong>na</strong> MHANI vijijini<br />
� Jinsi ya kusanifu mitambo ya MHANI<br />
� Hatua mbalimbali za uendeshaji wa MHANI<br />
� Tahadhari <strong>na</strong> usalama <strong>kwa</strong> muendeshaji mtambo<br />
� Ukarabati wa mashine mbalimbali za MHANI<br />
� Mbono (Jatropha) ni nini <strong>na</strong> faida zake<br />
� Jinsi ya kuotesha <strong>na</strong> kutunza jatropha<br />
� Uvu<strong>na</strong>ji,uhifadhi <strong>na</strong> ukamuaji wa mafuta ya Mbono<br />
� Matumizi mbalimbali ya Mbono.<br />
Ufungaji wa mashine ya kukoboa Mpunga Kijijini<br />
Mafunzo <strong>kwa</strong> vitendo yalihusisha utengenezaji wa<br />
fremu ya kuendesha vifaa mbalimbali vya MHANI <strong>na</strong><br />
kuvifanyia matengenezo. Mafunzo yalianza <strong>kwa</strong><br />
kutengeneza fremu ambayo mashine za MHANI<br />
hufungwa juu yake. Katika mafunzo haya washiriki<br />
walimteua fundi ambaye aliteuliwa kufanya kazi za<br />
kuendesha <strong>na</strong> kufanyia matengenezo mtambo wa<br />
MHANI kijijini. Lengo la kufanya mafunzo ya vitendo<br />
ni kuwajengea uwezo wa<strong>na</strong>nchi wa vijiji hivi katika<br />
undeshaji bora <strong>na</strong> wenye tija wa mitambo hii ya<br />
nishati <strong>endelevu</strong>. Kwa vile mtambo wa MHANI<br />
uliofungwa ulienda<strong>na</strong> <strong>na</strong> viwango vilivyokubalika vya<br />
utenengenezaji, ambavyo ni fremu ya urefu wa mita<br />
4 <strong>na</strong> upa<strong>na</strong> wa mita 1.
Katika hatua hii ya utengenezaji wa fremu, vi<strong>kwa</strong>zo<br />
vya ai<strong>na</strong> nyingi vilijitokeza ikiwa ni pamoja <strong>na</strong><br />
kukoseka<strong>na</strong> <strong>kwa</strong> umeme nchini Uganda hasa<br />
nyakati za mcha<strong>na</strong> <strong>kwa</strong> ajili ya kuchomea vyuma<br />
mbalimbali. Kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> ku<strong>kwa</strong>ma huko hatua hii<br />
ilichukua zaidi ya siku 3 kukamilika.<br />
Washirki wa mafunzo wakikamilisha ufungaji wa mtambo<br />
Hatua ya ufungaji wa mashine <strong>na</strong> fremu katika nyumba<br />
iliyoandaliwa ilifuata ambapo Injini ya 20HP,jenereta<br />
ya kuzalisha umeme wa 12Kw, mashine ya kukamua<br />
mafuta <strong>na</strong> kukoboa mpunga zilifungwa. Ufungaji wa<br />
mashine hizi ulikuwa <strong>na</strong> changamoto nyingi<br />
ikizingatiwa kuwa mashine zilizonunuliwa hazikuwa<br />
zi<strong>na</strong>muundo u<strong>na</strong>ofa<strong>na</strong><strong>na</strong> <strong>na</strong> mashine ambazo<br />
<strong>TaTEDO</strong> wamekuwa wakifunga katika maeneo<br />
mbalimbali ya miradi yake nchini Tanzania.<br />
Mashine hizi zilifanyiwa majaribio <strong>kwa</strong> mafanikio <strong>na</strong><br />
<strong>kwa</strong> vile wa<strong>na</strong>nchi wengi ni wakulima wa mpunga,<br />
walioneka<strong>na</strong> kuifurahia zaidi mashine ya kukoboa<br />
mpunga. „„Sasa hivi tumepata mkombozi, tutakuwa<br />
tu<strong>na</strong>koboa mpunga wote hapahapa badala ya kwenda<br />
Wobulenzi kilomita 3 kutoka hapa‟‟ alisema mzee<br />
Makanza mkazi wa Naluvule. Wobulenzi ni mji uliopo<br />
karibu <strong>na</strong> kijiji ilimofungwa MFP.<br />
Jenereta ya kuzalisha umeme ilikuwa ni kivutio<br />
kikubwa zaidi <strong>kwa</strong> wakulima waliohudhuria mafunzo<br />
<strong>na</strong> wa<strong>na</strong>kijiji waliokuja kushuhudia ufungaji wa<br />
mitambo hiyo ya nishati <strong>endelevu</strong>. Mmoja wa wa<strong>na</strong>kjiji<br />
mzee Mutumba alisema „„licha ya kuwa umeme wa<br />
gridi ya taifa u<strong>na</strong>pita katikati ya kijiji chetu hatu<strong>na</strong><br />
matumaini ya kuunganishwa <strong>na</strong> umeme huo, <strong>kwa</strong><br />
kuzalisha umeme wetu hapa kijijini tu<strong>na</strong>weza kuleta<br />
matumaini <strong>na</strong> <strong>maendeleo</strong> <strong>kwa</strong> watu wetu‟‟. Wa<strong>na</strong>kijiji<br />
wakaendelea kusema kuwa itakuwa rahisi sa<strong>na</strong> kulipa<br />
ankara za umeme kuliko kununua mafuta ya taa<br />
ambayo sio salama <strong>kwa</strong> afya zao <strong>na</strong> ya<strong>na</strong>uzwa bei<br />
ghali.<br />
Mfumo wa kusambaza umeme katika kijiji cha,<br />
Naluvule utarajiwa kuwafikia zaidi ya nyumba 20<br />
zikiwemo nyumba za makazi <strong>na</strong> sehemu za biashara<br />
katika awamu ya <strong>kwa</strong>nza.<br />
Jenereta (kifua umeme) iliyofungwa kuzalisha umeme<br />
i<strong>na</strong> uwezo wa kutoa umeme wa kutosha zaidi ya<br />
9<br />
nyumba 50 ikiwa zitakuwa zi<strong>na</strong>tumia taa 3 za 60W kila<br />
moja. Wengi wa wateja watakounganishwa ni<br />
watumiaji wadogo wadogo wa umeme. Kwa sasa<br />
wa<strong>na</strong>kjiji wa<strong>na</strong>fikiria kufungua biasharai za kunyoa,<br />
biashara za urembo <strong>kwa</strong> wa<strong>na</strong>wake, migahawa<br />
itakayotumia friji ya kupooza<br />
vinywaji <strong>na</strong> biashara nyingi mbalimbali kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong><br />
fursa ya kupata umeme kijijini <strong>kwa</strong>o.<br />
Ule usemi wa kuo<strong>na</strong> ni kuamini ulijidhihirisha <strong>kwa</strong><br />
wa<strong>na</strong>kijiji wa Naluvule pale ambapo kila mmoja<br />
aliyekuwa aamini kuwa mbegu za mbono zi<strong>na</strong>weza<br />
kutoa mafuta. Kulikuwa <strong>na</strong> mabishano makali kati ya<br />
wa<strong>na</strong>kijiji waliohudhuria mafunzo <strong>na</strong> wale ambao<br />
hawakuhudhuria. Baadhi yao waliamini kuwa jatropha<br />
ni mmea tu <strong>kwa</strong> ajili ya kukinga wanyama waharibifu<br />
kuharibu mazao yao <strong>na</strong> mmea <strong>kwa</strong> ajili ya kuwekea<strong>na</strong><br />
mipaka pekee. Ubishi huo ulimalizika <strong>kwa</strong> kukamua<br />
mbegu kilo 50 za jatropha <strong>na</strong> mafuta kupatika<strong>na</strong>.<br />
Matumizi ya mafua ya jatropha <strong>kwa</strong> ajili ya matumizi ya<br />
kuzalisha umeme <strong>na</strong> ai<strong>na</strong> nyingine za nishati<br />
zilijidhihirisha wakati mbegu za jatropha<br />
zilipokamuliwa <strong>kwa</strong> mashine iliyofungwa hapo kijijini<br />
<strong>na</strong> kutoa mafuta<br />
Wa<strong>na</strong>kijiji wakifurahia mwanga wa umeme uliofuliwa <strong>na</strong> MHANI, Naluvule<br />
Uganda<br />
Mtaalamu kutoka shirika la VEDCO ambalo li<strong>na</strong>husika<br />
kusaidia wakulima kuhusu kilimo cha kisasa vijijini Bw<br />
Richard Kizito a<strong>na</strong>sema kuwa zaidi ya wa<strong>na</strong>kijiji 7000<br />
kutoka katika vijiji vya Naluvule <strong>na</strong> Sakabusoro<br />
wa<strong>na</strong>tarajia kunuifaika <strong>na</strong> huduma zitakazotolewa <strong>na</strong><br />
mtambo wa MHANI. Akaongeza kuwa <strong>kwa</strong> vile<br />
mtambo umefungwa kijiji cha Naluvule watu wa kijiji<br />
hiki watanufaika moja <strong>kwa</strong> moja <strong>na</strong> huduma za umeme<br />
<strong>na</strong> vijiji vingine vitanufaika <strong>na</strong> huduma zingine<br />
zitakazokuwa zi<strong>na</strong>tolewa kama vile kukoboa mpunga<br />
<strong>na</strong> kukamua mbegu za Mbono. Mtaalamu huyo<br />
akaongeza kuwa shirika lake <strong>kwa</strong> kushirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong><br />
wadau wengine mbalimbali wa masuala ya nishati <strong>na</strong><br />
kilimo wa<strong>na</strong>tarajia kuanzisha mradi mkubwa wa<br />
ufungaji umeme vijijini <strong>kwa</strong> kufunga zaidi ya mshine za<br />
MFP 20 katika vijiji mbalimbali nchini Uganda hadi<br />
kufikia mwaka 2009. Mradi huo utafadhiliwa <strong>na</strong> shirika<br />
la misaada la GTZ la Ujerumani ambalo ndio shirika<br />
kubwa li<strong>na</strong>lohamasisha matumizi ya nishati <strong>endelevu</strong><br />
<strong>na</strong> mbadala sehemu za vijijini nchini Uganda.
TEKNOLOJIA MBADALA NI MUHIMU KUTHIBITI GESIJOTO (Mwandishi - Moris Lyimo)<br />
Tanzania <strong>na</strong> nchi zi<strong>na</strong>zoendelea zipo kwenye<br />
jitihada za kushawishi kukubalika <strong>kwa</strong> mkakati wa<br />
kukabilia<strong>na</strong> <strong>na</strong> mabadiliko ya tabia ya nchi baada ya<br />
kukubalia<strong>na</strong> <strong>na</strong> mkataba wa Kyoto.<br />
Mazingira bora ni muhimu <strong>kwa</strong> viumbe hai duniani<br />
Ushirika wa Tanzania katika mkutano wa<br />
wa<strong>na</strong>chama wa Mkataba wa tabia ya nchi 15 wa<br />
shirika la Umoja wa Mataifa la kukabilia<strong>na</strong> <strong>na</strong> hali<br />
hiyo (UNFCCC-COP) utakaofanyika mjini<br />
Copenhagen nchini Denmark mwaka 2009, ni<br />
muhimu sa<strong>na</strong> ikizingatiwa kuwa nchi maskini<br />
zi<strong>na</strong>zokabiliwa <strong>na</strong> uharibifu wa mazingira, hasa<br />
uchomaji moto misitu.<br />
Jiko sanifu la kuni lenye mtungi wa maji<br />
Pia kuathiriwa <strong>kwa</strong> gesi ya ozoni <strong>na</strong> nchi<br />
zilizoendelea ambazo zi<strong>na</strong> viwanda vingi<br />
vi<strong>na</strong>vyozalisha hewa ya ukaa.<br />
Wadau wa mazingira wamekuwa wakibuni mbinu<br />
mbalilmbali za kukabilia<strong>na</strong> <strong>na</strong> uharibifu wa<br />
mazingira, zikiwemo teknolojia mpya za matumizi ya<br />
nishati mbadala katika <strong>kupunguza</strong> ukataji wa misitu<br />
ovyo <strong>na</strong> kusababisha ongezeko la joto.<br />
Mtaalamu wa majiko sanifu <strong>na</strong> oven za mkaa wa<br />
shirika lisilokuwa la kiserikali li<strong>na</strong>lojishughulisha <strong>na</strong><br />
nishati <strong>endelevu</strong> nchini (<strong>TaTEDO</strong>) Bwa<strong>na</strong>. Steven<br />
Boniface a<strong>na</strong>sema tatizo hilo li<strong>na</strong>zuia jitihada za wadau<br />
wa mazingira <strong>na</strong> mkataba wa Kyoto, ambao lengo lake<br />
haliwezi kufikiwa ikiwa jamii haitazipokea <strong>na</strong><br />
kuzitekeleza teknolojia zi<strong>na</strong>zopinga ongezeko badala<br />
yake kuleta mabadiliko katika uharibifu wa mazingira.<br />
Amebainisha kuwa utafiti wa taasisi hiyo <strong>kwa</strong><br />
kushirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, idara ya<br />
uhandishi mitambo, <strong>na</strong> taarifa ya watumiaji umeonesha<br />
kuwa majiko sanifu yamepunguza <strong>kwa</strong> kiasi kikubwa<br />
matumizi ya nishati ikilinganishwa <strong>na</strong> matumizi ya majiko<br />
ya asili (Mafiga Matatu).<br />
Kutokuwepo <strong>kwa</strong> elimu ya kutosha kuhusu dha<strong>na</strong> nzima<br />
ya mazingira ni miongoni mwa changamoto ya mapokeo<br />
hasi ya teknolojia mbalimbali <strong>na</strong> kusababisha ongezeko<br />
la <strong>umaskini</strong> <strong>kwa</strong> nchi husika.<br />
A<strong>na</strong>sema lazima jamii ielimishwe vya kutosha hasa<br />
vijijini ambako uharibifu wa mazingira ni mkubwa zaidi.<br />
Lakini hatuwezi kuzishinikiza nchi zilizoendelea kama<br />
sisi wenyewe hatutabuni <strong>na</strong> kuzifuata ili tuwe <strong>na</strong> mifano<br />
dhahiri pindi tu<strong>na</strong>podai haki yetu ya kutoathiriwa <strong>na</strong> nchi<br />
hizo” a<strong>na</strong>sema Bwa<strong>na</strong> Boniface.<br />
Meneja wa kitengo cha mazingira <strong>na</strong> nishati wa shirika<br />
hilo mama Gisela Ngoo a<strong>na</strong>sema tatizo la uharibifu wa<br />
mazingira huchangiwa <strong>na</strong> ukosefu wa fursa <strong>na</strong><br />
upatika<strong>na</strong>ji, ku<strong>na</strong>koilazimu jamii kutafuta mahitaji<br />
ya<strong>na</strong>yopatika<strong>na</strong> <strong>kwa</strong> urahisi <strong>na</strong> <strong>kwa</strong> bei ya chini.<br />
A<strong>na</strong>sema asilimia 10 ya watanzania zaidi ya milioni 37<br />
ndiyo wa<strong>na</strong>otumia nishati ya umeme huku asilimia 90<br />
ikitegemea nishati ya kuni <strong>na</strong> mahitaji mengine ikiwemo<br />
kipato.<br />
Kuni chanzo kikuu cha nishati<br />
Katika asilimia 10 ya wenye umeme ni asilimia 7 tu ndiyo<br />
wenye uwezo wa kutumia <strong>kwa</strong> kupikia, kutumia gesi <strong>na</strong><br />
nishati ya jua <strong>na</strong> <strong>kwa</strong> asilimia 3 huunganishwa <strong>na</strong>
asilimia 90, hivyo hufanya asilimia 93 ya watanzania<br />
kuwa waharibifu wakubwa wa mazingira kutoka<strong>na</strong><br />
<strong>na</strong> ukatwaji wa misitu midogo <strong>na</strong> mikubwa.<br />
Mama Gisela Ngoo a<strong>na</strong>sema matumizi ya majiko<br />
sanifu ya mkaa <strong>na</strong> kuni ya<strong>na</strong>weza <strong>kupunguza</strong> <strong>na</strong><br />
baadaye kuondoa kabisa tatizo la hewa ukaa <strong>na</strong><br />
hivyo kufikiwa <strong>kwa</strong> malengo ya mkataba wa Kyoto<br />
ambayo lengo lake ni kukabilia<strong>na</strong> <strong>na</strong> mabadiliko ya<br />
tabia ya nchi.<br />
Wa<strong>na</strong>kijiji wa Muhungamkola wakionyesha ni jinsi gani jiko okoa li<strong>na</strong>hitaji kuni chache<br />
Mama Ngoo aliongeza kuwa kuendelea kutumika<br />
<strong>kwa</strong> majiko ya teknonojia ya asili kama vile matumizi<br />
ya majiko ya mafiga matatu yatumiayo kuni nyingi<br />
ku<strong>na</strong>poteza kuni <strong>na</strong> mkaa <strong>na</strong> pia ku<strong>na</strong>ongeza<br />
<strong>umaskini</strong>, kuathiri afya <strong>kwa</strong> wa<strong>na</strong>wake <strong>na</strong> watoto<br />
kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> kuvuta kiasi kingi cha hewa ya ukaa.<br />
Mama Ngoo pia alipendekeza kuwa suluhisho la<br />
ukataji miti ni kutoa elimu <strong>endelevu</strong> ya matumizi ya<br />
teknolojia za nishati mbadala badala ya kuwazuia<br />
ukataji miti bila kutoa ufumbuzi <strong>kwa</strong> wachomaji mkaa<br />
<strong>na</strong> kuwapa mbinu nyingine za kujipatia kipato.<br />
Tumeo<strong>na</strong> wakati serikali ilipopiga marufuku uchomaji<br />
mkaa. Bidhaa hii ilipungua <strong>na</strong> kufanya mfumko wa<br />
bei ya mkaa. Maa<strong>na</strong> yake ni <strong>kwa</strong>mba wachomaji<br />
wa<strong>na</strong>zidi <strong>kwa</strong> sababu ya bei mzuri ingawa uchomaji<br />
hufanyika <strong>kwa</strong> siri sa<strong>na</strong> a<strong>na</strong>semea Mama G. Ngoo.<br />
A<strong>na</strong>sema watafiti wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha<br />
Kilimo (SUA) R.E Mbilinyi, E. Zahabu <strong>na</strong> B. Mchome<br />
wamefanya utafiti sekta ya mkaa imeonyesha kuwa<br />
asilimia 70 hutoka Tanzania Bara wakati wakati<br />
magunia 10,500 huingizwa Zanzibar <strong>na</strong> magunia<br />
7,500 huingizwa humo <strong>kwa</strong> njia za kificho.<br />
magunia 6,777 huingia Jiji la Dar es Salaam pekee<br />
kila siku ambapo asilimia 50 huingizwa <strong>kwa</strong><br />
barabara ya Kilwa, 24 asilimia wa barabara ya<br />
Morogoro, Pugu asilimia 13 <strong>na</strong> Bagamoyo asilimia 3.<br />
Wakati akifungua tamasha la kitamaduni kuhusu<br />
mabadiliko ya tabia nchi Jijini Dar es Salaam hivi<br />
karibuni, Katibu Mkuu, Ofisi ya Makamu wa Rais<br />
11<br />
kuhakikisha tatizo la mabadiliko ya tabianchi<br />
li<strong>na</strong>shughulikiwa, mkataba wa umoja wa Mataifa wa<br />
mabadiliko ya Tabia nchi (UNFCCC) ulioanzishwa<br />
mwaka 1992 wakati wa mkutano wa <strong>maendeleo</strong> ya<br />
mazingiria ni lazima uzingatiwe.<br />
UNFCCC lilianzisha mradi ujulika<strong>na</strong>o kitaalamu kama<br />
Global Environmental Facilities (GEF) uliopewa jukumu<br />
la kusambaza misaada ya kifedha katika nchi<br />
wa<strong>na</strong>chama wa shirika hilo ikiwemo<br />
Tanzania.<br />
Mwenyekiti wa chama cha waandishi wa habari za<br />
Mazingira Tanzania (JET) Bw. Deo Mfugala a<strong>na</strong>sema<br />
UNFCCD ilio<strong>na</strong> umuhimu wa teknolojia ya habari katika<br />
kuhamasisha jamii kudhibiti gesi joto <strong>kwa</strong> maa<strong>na</strong> ya<br />
mabadiliko ya tabianchi muhimu wadau wa mazingira<br />
waungwe mkono.<br />
Mkurugenzi Mtendaji wa chama hicho Bw. John<br />
Chikomo a<strong>na</strong>sema asilimia kubwa ya maeneo nchini<br />
ya<strong>na</strong>kabiliwa <strong>na</strong> hali ya kuwa jangwa kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong><br />
ukosefu we uelewa wa teknolojia <strong>na</strong> nishati mbadala.<br />
A<strong>na</strong>sema maeneo mengi ni yale ya ukanda wa chini<br />
ambayo ni rahisi kuathiriwa <strong>na</strong> kiangazi kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong><br />
sababu mbalimbali mojawapo ikiwa ni maeneo hayo<br />
kuwa <strong>na</strong> shughuli nyingi za kijamii zi<strong>na</strong>zofanywa bila<br />
kuchukua tahadhari ya kimazingira kama kilimo hatarishi<br />
<strong>na</strong> uchomaji mkaa.<br />
Sababu nyingine ni uchomaji misitu, kiangazi cha muda<br />
mrefu, uchimbaji madini, mchanga <strong>na</strong> udongo<br />
usiozingatia sheria ya madini ya mwaka 1998 <strong>na</strong> sheria<br />
ya mazingira (EMA) <strong>na</strong>mba 20 ya mwaka 2004 ambazo<br />
zi<strong>na</strong>elekea taratibu za ufanyaji wa shughuli hizo pamoja<br />
<strong>na</strong> ufugaji holela u<strong>na</strong>otoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> jamii kuwa <strong>na</strong> mifugo<br />
mingi kupita kiasi.<br />
Mikoa kama Kilimanjaro, Manyara, Arusha, Dodoma,<br />
Shinyanga, Singida, Mara, Mwanza yaripotiwa kuathirika<br />
zaidi <strong>na</strong> hali ya jangwa jambo ambalo li<strong>na</strong>hatarisha<br />
<strong>maendeleo</strong> ya uchumi u<strong>na</strong>otegemea kilimo katika<br />
maeneo hayo.<br />
Mkuu wa Wilaya ya Same, Bwa. Ibrahim Marwa<br />
a<strong>na</strong>sema Wilaya yake hasa maeneo ya mabondeni<br />
kama Hedaru, Makanya, Mpombe ya Chome, Msanga,<br />
Kirinjiko, Mbwembe, Kinyang‟a, Mchikatu, Mghungani,<br />
Chambogo Dhaghaseta Ngusero, njia panda ya kwenda<br />
Ruvu mfereji <strong>na</strong> pembezoni ya barabara ya Arusha-<br />
Moshi yameathirika zaidi.<br />
Wa<strong>na</strong>nchi wa maeneo hayo wamekuwa wakikata miti<br />
<strong>kwa</strong> shughuli mbalimbali kama kuchoma mkaa, kuni<br />
<strong>kwa</strong>ajili ya uchomaji wa matofali jambo ambalo limekuwa<br />
gumu kutekeleza mikataba mbalimbali ya kimataifa juu<br />
ya kuhifadhi mazingira.<br />
Hitimisho<br />
Juhudi za kuhifadhi mazingira <strong>na</strong> hasa katika utumiaji wa<br />
teknolojia bora za nishati zitasaidia kudhibiti gesi joto<br />
hapa nchini.
MATUMIZI YA TEKNOLOJIA ZA NISHATI NA FURSA ZA KUJIONGEZEA KIPATO NA KUBORESHA HALI YA<br />
MAISHA YA WATANZANIA.<br />
(Thomas P. Mkunda, <strong>TaTEDO</strong> Kanda ya Kaskazini)<br />
Utangulizi<br />
Matumizi ya nishati ni muhimu sa<strong>na</strong> katika kuleta<br />
<strong>maendeleo</strong> ya wa<strong>na</strong>nchi walioko mijini <strong>na</strong> vijijini.<br />
Wa<strong>na</strong>nchi walioko maeneo ya vijijini wa<strong>na</strong>tumia nishati<br />
i<strong>na</strong>yopatika<strong>na</strong> <strong>kwa</strong> urahisi <strong>na</strong> ile ambayo gharama<br />
yake ya kuipata siyo kubwa sa<strong>na</strong> kifedha au<br />
i<strong>na</strong>patika<strong>na</strong> katika mazingira ya<strong>na</strong>yowazunguuka.<br />
Tofauti <strong>na</strong> mahitaji ya viwanda <strong>na</strong> wa<strong>na</strong>nchi wa<br />
kawaida walio wengi wa<strong>na</strong>tumia nishati itoka<strong>na</strong>yo <strong>na</strong><br />
miti <strong>kwa</strong> ajili ya kazi za uzalishaji kama vile upikaji wa<br />
vyakula, uokaji wa mikate <strong>na</strong> keki, uchomaji <strong>na</strong><br />
ukaangaji nyama katika maeneo ya biashara kama vile<br />
hotelini <strong>na</strong> maeneo ya starehe.<br />
Lucy Kileo akiwa kwenye duka la vifaa BSPSC<br />
<strong>TaTEDO</strong> i<strong>na</strong>hamasisha <strong>na</strong> kueneza matumizi ya<br />
teknolojia za nishati zilizoboreshwa ambazo<br />
zi<strong>na</strong>hifadhi mazingira <strong>na</strong> kutoa fursa za uanzishaji <strong>na</strong><br />
kujiongezea kipato <strong>na</strong> kuboresha huduma mbalimbali<br />
za nishati.<br />
Miongoni mwa teknolojia ambazo huenezwa <strong>na</strong><br />
<strong>TaTEDO</strong> ni oveni za kuoka mikate <strong>na</strong> keki, oveni za<br />
kuchoma nyama <strong>na</strong> majiko ya mkaa ambayo hutumiwa<br />
majumbani.<br />
Utaratibu wa <strong>TaTEDO</strong> katika kueneza ai<strong>na</strong> mbalimbali<br />
za teknolojia hulenga kuwajengea uwezo walengwa<br />
katika eneo la mradi wa kutengeneza teknolojia <strong>na</strong><br />
kuhamasisha jamii itumie teknolojia hiyo au kuwapa<br />
mafuzo watumiaji wa teknolojia <strong>na</strong> kuwapa mbinu za<br />
kibiashara za utafutaji masoko ya bidhaa<br />
zi<strong>na</strong>zotengenezwa.<br />
12<br />
Umeme wa jua<br />
<strong>TaTEDO</strong> hutumia wajasiliamali katika kuendeleza<br />
teknolojia za umeme wa jua mmoja wapo wa hao<br />
wajasiriamali ni ndugu Frank Evans.<br />
Frank Evans ni mjasiriamali ambae a<strong>na</strong>jihusisha <strong>na</strong><br />
shughuli za usambazaji umeme wa jua <strong>kwa</strong> ajili ya<br />
matumizi ya nyumbani, taasisi <strong>na</strong> maeneo ya biashara.<br />
Ndugu Frank akiwa <strong>na</strong> wasaidizi wake wakifunga mtambo wa mionzi ya jua shule ya msingi<br />
Magadini<br />
Frank evans alishawahi kuhudhuria moja ya warsha za<br />
kuwajengea uwezo mafundi waliokuwa <strong>na</strong> mwamko<br />
wa usambazaji wa umeme wa jua <strong>na</strong> kuanzia hapo<br />
aliendelea kujishughulisha <strong>na</strong> kazi za usambazaji<br />
umeme wa jua <strong>na</strong> kuchaji betri za simu <strong>na</strong> mpaka sasa<br />
a<strong>na</strong> kampuni ndogo i<strong>na</strong>yojishughulisha <strong>na</strong> utoaji<br />
huduma za battery <strong>na</strong> umeme wa jua, i<strong>na</strong>yoitwa,<br />
“Battery and Solar Power Services Centre” (BSPSC)<br />
katika kitu hicho Frank a<strong>na</strong>uza vifaa mbalimbali vya<br />
umeme wa jua <strong>na</strong> battery <strong>na</strong> pia a<strong>na</strong>fungia watu<br />
mifumo ya umeme wa jua.<br />
Mafanikio katika kusambaza umeme wa jua<br />
Frank Evans a<strong>na</strong>eleza kuwa ameshasambaza umeme<br />
wa jua katika mikoa ya kilimanjaro Arusha <strong>na</strong><br />
Manyara. Na katika maeneo hayo amewafungia<br />
umeme wa jua watu mbalimbali wakiwemo watu<br />
bi<strong>na</strong>fsi mashule <strong>na</strong> zaha<strong>na</strong>ti <strong>na</strong> taasisi za kidini.<br />
Vilevile ameweza kufunga umeme <strong>kwa</strong> ajili ya<br />
kuchemsha maji majumbani.<br />
Vyama vya akiba <strong>na</strong> mikopo<br />
Kuoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> kutofautia<strong>na</strong> <strong>kwa</strong> uwezo <strong>na</strong> baadhi ya<br />
watu ambao wa<strong>na</strong>shindwa kupata hela ya kutosha<br />
kuweka mitambo ya umeme wa jua majumbani<br />
mkakati wa kuwafungia umeme walengwa kupitia<br />
SACCOS ulianzishwa <strong>na</strong> <strong>TaTEDO</strong>, SACCOS ya<br />
Magadini <strong>na</strong> Frank Evans ambaye alifanya kazi kama<br />
mtaalam wa kufunga mitambo ya Umeme wa Jua.<br />
Loveness Kimaro, mfanyakazi wa SACCOs ya<br />
Magadini alisema kuwa, jumla ya watu 50<br />
wamefungiwa umeme wa Jua kupitia SACCOS ya<br />
magadini.
Ndugu Frank akiwa <strong>na</strong> baadhi ya mafundi nje ya karaka<strong>na</strong> yake .<br />
Lukas Kasai amefungiwa umeme wa jua kupitia<br />
SACCOS ya Magadini, Mr Lucas Kasai a<strong>na</strong>eleza kuwa<br />
umeme umemnufaisha sa<strong>na</strong> <strong>kwa</strong>ni u<strong>na</strong>msaidia kupata<br />
Mwanga wa kutosha, kuchaji simu <strong>na</strong> kutumia redio<br />
ndogo, Emanuel Lucas ni mwa<strong>na</strong>funzi wa shule ya<br />
sekondari ya kutwa, <strong>na</strong> ni mtoto wa mzee Lukas Kasai<br />
a<strong>na</strong>eleza kuwa a<strong>na</strong>furahia umeme wa jua <strong>kwa</strong>kuwa<br />
sasa a<strong>na</strong>uhakika wa kusoma usiku <strong>na</strong> kufundisha<br />
wadogo zake wa<strong>na</strong>osoma shule ya msingi.<br />
Mpaka sasa Frank Evans <strong>na</strong> kampuni yake<br />
ameshafanya kazi <strong>na</strong> SACCOS tano tofauti katika<br />
mikoa mitatu ambayo amefikisha huduma ya Umeme<br />
waJua.<br />
Oven ya Kuoka Mikate <strong>na</strong> Keki.<br />
Oven ya kuoka mikate ni moja ya teknolojia ambayo<br />
hutumia nishati ya mkaa <strong>kwa</strong> ufanisi mkubwa ambapo<br />
kiasi cha nusu kilo huweza kuoka zaidi ya keki 100 au<br />
mikate 28. Watumiaji wa oveni walio wengi<br />
wametumia teknolojia hii <strong>kwa</strong> ajili ya kutengeneza<br />
keki, skonsi <strong>na</strong> mikate <strong>kwa</strong> ajili ya kuuza.<br />
Beatrice Exaud ni mjasiriamali ambae hutengeneza<br />
keki 1,000 <strong>na</strong> mikate 60 <strong>kwa</strong> siku. Uzalishaji huu<br />
humuwezesha Beatrice kupata faida ya sh 10,000.00<br />
hadi 15,000.00 <strong>kwa</strong> siku.<br />
Beatrice <strong>kwa</strong> sasa a<strong>na</strong>tumia oveni mbili kubwa za<br />
kuoka mikate, lakini kabla ya hapo alikuwa <strong>na</strong> oven<br />
moja <strong>na</strong> aliongeza baada ya mahitaji kuongezeka.<br />
13<br />
Beatrice amewafundisha watu zaidi ya 15 jinsi ya<br />
kuoka mikate <strong>na</strong> watu hawa wameweza kuanzisha<br />
miradi ya uokaji wa mikate <strong>na</strong> wa<strong>na</strong>jipatia kipato<br />
kulinga<strong>na</strong> <strong>na</strong> uzalishaji.<br />
Ili kuanza kazi za kuoka mikate kiasi ki<strong>na</strong>chotakiwa<br />
kuwekeza ni kati ya Sh 450,000.00 hadi sh.<br />
500,000.00 Mwinjilisti Ludovic Mushi wa Hai<br />
(Machame) alinunua oven <strong>na</strong> kuanza kuitumia <strong>kwa</strong> ajili<br />
ya kuoka keki <strong>na</strong> baada ya kufanya kazi hiyo <strong>kwa</strong><br />
ufanisi mkubwa aliweza kupata hela ya kulipa deni<br />
alilokuwa amekopa SACCOS.<br />
Nishati huweza kutumika kuongezea kipato <strong>kwa</strong> wajasiliamali wadogowadogo , mtaalam<br />
wa <strong>TaTEDO</strong> Bi. An<strong>na</strong> akionyesha jinsi ya kuoka keki<br />
Mirisho Njoroge alifundishwa <strong>na</strong> Bi Beatrice Exaud;<br />
mpaka sasa a<strong>na</strong>endelea <strong>na</strong> kazi za kuoka mikate<br />
katika kijiji cha Leguruki. Ndugu Njoroge a<strong>na</strong>oka<br />
mikate 600 <strong>kwa</strong> wiki <strong>na</strong> a<strong>na</strong>pata faida ya sh 18,000.00,<br />
pia a<strong>na</strong>tengeneza skons 180 <strong>na</strong> keki 200 ambazo<br />
humuingizia kiasi cha sh 18,000 <strong>kwa</strong> muda wa siku<br />
mbili. Mirisho Njoroge pia a<strong>na</strong>elezea kuwa soko la<br />
mikate keki <strong>na</strong> skonsi halitabiriki, ni kubwa wakati wa<br />
mavuno <strong>na</strong> si la uhakika wakati wa mvua <strong>na</strong> yeye<br />
hupata faida kati ya sh 120,000 <strong>na</strong> 140, 000.00 <strong>kwa</strong><br />
mwezi kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> matumizi ya oveni ya <strong>TaTEDO</strong>.<br />
Oven za kuoka mikate ni biashara muhimu ambayo<br />
i<strong>na</strong>wawezesha waokaji wa keki <strong>na</strong> mikate <strong>kwa</strong> ajili ya<br />
kuuza kufanya biashara <strong>kwa</strong> faida zaidi, vilevile i<strong>na</strong>toa<br />
fursa ya ajira <strong>kwa</strong> watu mbali mbali kama vile<br />
wasambazaji wa keki wauzaji wa keki <strong>na</strong> wale<br />
wa<strong>na</strong>husika moja <strong>kwa</strong> moja katika uzalishaji wa keki.<br />
Hata hivyo Beatrice a<strong>na</strong>tahadharisha kuwa biashara<br />
ya kuoka i<strong>na</strong>hitaji bidii <strong>na</strong> kutokukata tamaa maa<strong>na</strong><br />
ku<strong>na</strong> changamoto nyingi hadi kufikia hatua ya<br />
kuzalisha bidhaa bora <strong>na</strong> kupata soko la uhakika <strong>kwa</strong><br />
wateja.<br />
Hitimisho<br />
Frank Evans <strong>na</strong> Beatrice Exaud ni mifano ya kuigwa<br />
katika utumiaji wa ujuzi <strong>na</strong> teknolojia za nishati <strong>kwa</strong><br />
ajili ya kutoa huduma <strong>kwa</strong> jamii, kujiajiri <strong>na</strong><br />
kujiongezea kipato.
Katika Tanzania watu wengi katika kaya, taasisi <strong>na</strong><br />
viwanda vidogo vidogo hasa katika maeneo ya vijijini,<br />
hutegemea kuni <strong>na</strong> mkaa <strong>kwa</strong> kuchemsha <strong>na</strong> kupika.<br />
Watu hutumia teknolojia zenye ufanisi mdogo ambazo<br />
huwasababishia gharama kubwa zitumike <strong>kwa</strong><br />
kununulia kuni au mkaa. Vile vile muda mwingi<br />
hutumika katika ukusanyaji wa kuni badala ya kufanya<br />
kazi nyinginezo za <strong>maendeleo</strong>.<br />
<strong>TaTEDO</strong> kupitia miradi yake ya kuendeleza teknolojia<br />
za nishati <strong>endelevu</strong> ambazo ufanisi wake<br />
umeboreshwa, hivyo teknolojia hizo hupunguza kiasi<br />
cha nishati ki<strong>na</strong>chohitajika. Teknolojia hizo ni majiko<br />
ya kuni, mkaa, oveni za kuokea <strong>na</strong> uchomaji wa mkaa<br />
<strong>kwa</strong> kutumia tanuri lililo boreshwa ai<strong>na</strong> ya nusu<br />
chungwa (HOK) au kichuguu (IBEK). Teknolojia hizi<br />
hutoa fursa nzuri katika kujiongezea kipato hasa <strong>kwa</strong><br />
mafundi wa majiko, wachomaji wa mkaa <strong>na</strong> hata<br />
watumiaji wa teknolojia hizo katika shughuli za<br />
uzalishaji. Kwa hiyo utekelezaji wa mradi huu<br />
u<strong>na</strong>changia <strong>kupunguza</strong> umasikini <strong>na</strong> kuhifadhi wa<br />
mazingira.<br />
Miongoni mwa miradi ambayo <strong>TaTEDO</strong> i<strong>na</strong>endesha ni<br />
pamoja <strong>na</strong> mradi wa Huduma za Teknolojia za Nishati<br />
zitoka<strong>na</strong>zo <strong>na</strong> miti <strong>kwa</strong> ajili ya Kupunguza Umaskini<br />
Tanzania mradi huu u<strong>na</strong>endeshwa katika awamu ya<br />
pili, mradi wa Kukuza upatika<strong>na</strong>ji wa huduma bora za<br />
nishati <strong>na</strong> kuondoa <strong>umaskini</strong>, Programu ya Kueneza<br />
Huduma ya Nishati ya Maendeleo Endelevu <strong>na</strong><br />
Kupunguza Umaskini, Mradi wa Uenezaji wa Majiko<br />
Bora ya Mawe au Tofali <strong>kwa</strong> Matumizi ya Nyumbani<br />
katika Wilaya za Rombo <strong>na</strong> Hai. Kukuza upatika<strong>na</strong>ji<br />
wa huduma bora za nishati <strong>na</strong> kuondoa <strong>umaskini</strong><br />
Huduma za Teknolojia za Nishati zitoka<strong>na</strong>zo <strong>na</strong> miti<br />
<strong>kwa</strong> ajili ya Kupunguza Umaskini<br />
Mradi huu ni wa kukuza matumizi <strong>na</strong> huduma za<br />
teknolojia bora za kisasa za nishati katika wilaya kumi<br />
<strong>na</strong> tisa za Tanzania katika mikoa ya Arusha, Pwani,<br />
Dar-es-Salaam, Kilimanjaro, Mwanza, Ru<strong>kwa</strong>,<br />
Shinyanga <strong>na</strong> Tanga. Teknolojia zi<strong>na</strong>zoendelezwa<br />
katika kukuza matumizi bora ya nishati ni pamoja <strong>na</strong><br />
majiko bora ya kuni, mkaa <strong>na</strong> jiko la kuni la<br />
kuoka,matanuri bora ya uzalishaji mkaa, nishati ya<br />
mionzi ya jua, makaushio yatumiayo mionzi ya jua,<br />
mitambo ya kuchaji simu, mitambo ya huduma za<br />
nishati(MHANI),nishati ya biogesi <strong>na</strong> upandaji wa<br />
BAADHI YA MIRADI AMBAYO <strong>TaTEDO</strong> INATEKELEZA<br />
14<br />
mazao mbalimbali <strong>kwa</strong> ajili ya nishati. Mradi huu ni wa<br />
kipindi cha miaka minne (2008-20012). Mradi huu uko<br />
chini ya ufadhili wa Jumuiya ya Ulaya, Shirika<br />
lisilokuwa la kiserikali Uholanzi (HIVOs), Serikali ya<br />
Norway pamoja <strong>na</strong> <strong>TaTEDO</strong> yenyewe.<br />
Lengo Kuu<br />
Lengo kuu la mradi huu ni kuchangia katika<br />
<strong>kupunguza</strong> umasikini <strong>kwa</strong> walengwa <strong>na</strong> uhifadhi wa<br />
mazingira.<br />
Malengo Mahususi<br />
Mradi huu u<strong>na</strong>tegemewa kusaidia kujiongezea kipato<br />
<strong>kwa</strong> walengwa kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> gharama za ununuaji wa<br />
nishati kupungua <strong>kwa</strong> kutumia teknolojia ambazo<br />
ufanisi wake umeboreshwa <strong>kwa</strong> matumizi ya sehemu<br />
za biashara ndogo ndogo aidha <strong>kwa</strong> watu walioko<br />
katika vikundi au watu bi<strong>na</strong>fsi, majumbani <strong>na</strong> taasisi<br />
katika uzalishaji wa bidhaa mbalimbali kama vile<br />
upikaji wa vyakula, uokaji , uchomaji wa mkaa. Pia<br />
kipato ki<strong>na</strong>weza kupatika<strong>na</strong> <strong>kwa</strong> kutengeneza<br />
teknolojia <strong>na</strong> kuziuza.<br />
Walengwa<br />
Miongoni mwa walengwa katika mradi huu ni pamoja<br />
<strong>na</strong>:-<br />
Kaya (Watumiaji wa majiko <strong>na</strong> oveni),<br />
Taasisi <strong>na</strong> sehemu za kijamii,<br />
Viwanda vidogo vidogo (watengenezaji <strong>na</strong> wauzaji<br />
wa majiko , vikundi vya wa<strong>na</strong>wake, watengenezaji<br />
wa pombe za asili),<br />
Taasisi zi<strong>na</strong>zotoa mikopo kama vile SACCOS,<br />
Usharika wa wafanya biashara, wa<strong>na</strong>siasa <strong>na</strong><br />
watoa maamuzi.<br />
Programu ya Kueneza Huduma ya Nishati ya<br />
Maendeleo Endelevu <strong>na</strong> Kupunguza Umaskini<br />
Lengo kuu<br />
Ni kuchangia katika kuleta <strong>maendeleo</strong> <strong>endelevu</strong> <strong>na</strong><br />
<strong>kupunguza</strong> <strong>umaskini</strong> <strong>kwa</strong> kueneza teknolojia <strong>na</strong><br />
huduma za nishati <strong>kwa</strong> mahitaji ya shughuli za<br />
kiuchumi <strong>na</strong> kijamii majumbani, kwenye biashara <strong>na</strong><br />
kwenye vituo vya huduma za jamii. Prpgram<br />
i<strong>na</strong>tegemewa kuongeza usambazaji wa teknolojia bora<br />
<strong>na</strong> huduma za nishati.
Walengwa wa mradi wako katika makundi matatu;-<br />
Watumiaji wa teknolojia (kaya) <strong>na</strong> vituo vya<br />
huduma za kijamii (mashule, hosipitali, n.k).<br />
Watoa huduma (wajasiriamali watengenezaji wa<br />
majiko/oveni, wafungaji wa umeme wa jua,<br />
wauza miche ya miti, wakulima wa mazao ya<br />
mafuta, wazalishaji wa mkaa <strong>na</strong> taasisi za mikopo.<br />
Washirika katika utekelezaji wa mradi<br />
Mradi wa Uenezaji wa Majiko Bora ya Mawe au Tofali<br />
<strong>kwa</strong> Matumizi ya Nyumbani katika Wilaya za Rombo<br />
<strong>na</strong> Hai<br />
<strong>TaTEDO</strong> i<strong>na</strong>tekeleza miradi ya kuendeleza <strong>na</strong><br />
kusambaza teknolojia za majiko bora zi<strong>na</strong>zopunguza<br />
matumizi ya kuni ili <strong>kupunguza</strong> hewa ya ukaa <strong>na</strong><br />
mabadiliko ya hali ya nchi. Miradi hiyo huchangia<br />
kuongeza kipato <strong>kwa</strong> wajenga majiko <strong>na</strong> watumiaji,<br />
<strong>kwa</strong> hiyo huchangia <strong>kupunguza</strong> <strong>umaskini</strong> <strong>na</strong> kuhifadhi<br />
mazingira<br />
Lengo kuu<br />
Lengo kuu ni kuboresha ufanisi wa majiko ya kuni<br />
katika maeneo ya vijijini <strong>kwa</strong> kubadilisha kutoka<br />
utumiaji wa mafiga matatu <strong>na</strong> badala yake kutumia<br />
majiko bora ya kuni.<br />
Lengo Mahususi<br />
Lengo mahususi la mradi ni <strong>kupunguza</strong> matumizi ya<br />
nishati ya kuni <strong>na</strong> moshi <strong>kwa</strong> mtumiaji wa jiko bora la<br />
kuni lenye dohani<br />
Walengwa<br />
Kaya (watumiaji wa majiko ya kuni)<br />
Watengeneza majiko<br />
Wajasiriamali<br />
Asasi za kijamii<br />
Makundi ya <strong>maendeleo</strong> katika jamii<br />
Taasisi za fedha (SACCOS)<br />
Mradi wa majiko bora ya kuni u<strong>na</strong>changia katika<br />
<strong>kupunguza</strong> madhara yaliyotajwa hapo juu.<br />
Faida za kutumia majiko bora<br />
Kuongeza kipato <strong>kwa</strong> kuuza malighafi (Mawe,<br />
matofali <strong>na</strong> vyuma)<br />
Kuongeza ajira <strong>kwa</strong> watengeneza majiko<br />
Kuwapunguzia mzigo wa kutafuta kuni wa<strong>na</strong>wake<br />
<strong>na</strong> watoto<br />
Kuboresha afya <strong>kwa</strong> watumiaji <strong>kwa</strong> <strong>kupunguza</strong><br />
moshi<br />
15<br />
Kukuza upatika<strong>na</strong>ji wa huduma bora za nishati <strong>na</strong><br />
kuondoa <strong>umaskini</strong><br />
Lengo Kuu<br />
Kuboresha maisha, kutokomeza umasikini <strong>na</strong> kuleta<br />
<strong>maendeleo</strong> <strong>endelevu</strong>.<br />
Malengo Mahususi<br />
Kuongeza idadi ya wa<strong>na</strong>nchi wenye fursa ya kupata<br />
huduma ya nishati <strong>endelevu</strong> za kisasa.<br />
Kusaidia kukuza biashara ndogo ndogo <strong>na</strong> uchumi.<br />
Kuboresha upati<strong>na</strong>kaji wa huduma za jamii hususani<br />
elimu, afya <strong>na</strong> maji.<br />
Walengwa<br />
Wajasiriamali katika sekta ya huduma ya nishati<br />
<strong>na</strong> biashara<br />
Mafundi umeme,vyuma <strong>na</strong> wajenzi<br />
Maafisa ugani<br />
Wakulima <strong>na</strong> vikundi vya wakulima<br />
Kamati za <strong>maendeleo</strong> ya nishati vijijini <strong>na</strong> wilayani.<br />
Matokeo ya<strong>na</strong>yotarajiwa<br />
Kuongezeka <strong>kwa</strong> kipato<br />
Uboreshaji wa elimu<br />
Kuchochea usawa kijinsia <strong>na</strong> uwezeshaji<br />
Kuhakikisha mazingira <strong>endelevu</strong><br />
Kuboresha upatika<strong>na</strong>ji wa huduma bora za kijamii<br />
(maji, Afya)<br />
Maeneo ya Mradi<br />
Mradi huu utatekelezwa katika wilaya 11 za mikoa ya<br />
Tanga, Kilimanjaro, Arusha, Manyara, Mwanza <strong>na</strong><br />
Shinyanga.<br />
Hitimisho<br />
Katika miradi yote hii <strong>TaTEDO</strong> i<strong>na</strong>shirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> wadau<br />
mbalimbali <strong>na</strong> hasa wajasiriamali ili kuhakikisha tatizo<br />
la nishati li<strong>na</strong>pungua <strong>kwa</strong> kiwango kikubwa hapa<br />
nchini <strong>na</strong> zaidi vijijini ambako wa<strong>na</strong>athirika <strong>na</strong> swala<br />
zima la nishati ukilinganisha <strong>na</strong> mjini.<br />
Kuendelea <strong>kwa</strong> miradi yote hii ku<strong>na</strong>tegemea kiasi<br />
kikubwa cha jitihada za wadau mbalimbali katika<br />
kuungwa mkono juhudi zilizoanzishwa <strong>na</strong> <strong>TaTEDO</strong>.<br />
<strong>TaTEDO</strong> imeazimia kutumia wajasiriamali, taasisi za<br />
kifedha, vyama vya kuweka <strong>na</strong> kukopa ili kuhakikisha<br />
swala zima la nishati li<strong>na</strong>kuwa <strong>endelevu</strong> vijijini.
<strong>TaTEDO</strong> <strong>kwa</strong> Kifupi<br />
<strong>TaTEDO</strong> ni shirika la kitaifa lisilo la kiserikali li<strong>na</strong>lojishughulisha <strong>na</strong> uendelezaji wa nishati <strong>endelevu</strong> <strong>na</strong> mazingira.<br />
Makao yake makuu yapo Dar es Salaam Tanzania. Shirika hili li<strong>na</strong> uzoefu katika uendelezaji wa nishati <strong>kwa</strong> zaidi ya<br />
miaka kumi <strong>na</strong> mitano. Dhamira ya <strong>TaTEDO</strong> ipo katika sekta ya nishati <strong>endelevu</strong> <strong>na</strong> mazingira, shirika hili li<strong>na</strong> uzoefu<br />
katika utengenezaji wa sera, upangaji wa miradi <strong>na</strong> utafiti katika maeneo ya kufanyia kazi za miradi. Zaidi ya miaka<br />
kumi <strong>na</strong> tano iliyo pita, <strong>TaTEDO</strong> imekuwa ikitekeleza miradi katika mikoa ya Mwanza, Shinyanga, Kilimanjaro,<br />
Pwani <strong>na</strong> Dar es Salaam <strong>na</strong> <strong>kwa</strong> sasa imeongeza maeneo ya kazi zake hadi mikoa ya Arusha, Tanga, Morogoro <strong>na</strong><br />
Kagera.<br />
<strong>TaTEDO</strong> i<strong>na</strong>shirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> wadau mbalimbali katika uendelezaji wa mtandao wa nishati ndani <strong>na</strong> nje ya nchi. Kwa<br />
kutumia mtandao huu <strong>TaTEDO</strong> i<strong>na</strong>weza kubadilisha<strong>na</strong> uzoefu <strong>na</strong> maarifa <strong>na</strong> wadau wake mbalimbali katika ngazi<br />
mbalimbali (kitaifa <strong>na</strong> kimataifa).<br />
Upishi kutumia jiko okoa la nishati<br />
<strong>TaTEDO</strong> ni Taasisi ya kuendeleza matumizi bora ya nishati <strong>endelevu</strong> <strong>na</strong> mazingira Tanzania. <strong>TaTEDO</strong> ni<br />
mjumuisho wa watu <strong>na</strong> makundi mbalimbali wakiwemo watu bi<strong>na</strong>fsi waliojitolea, mafundi stadi, wakulima,<br />
vikundi vya <strong>maendeleo</strong> vya jamii, taasisi za biashara ndogo ndogo zi<strong>na</strong>zojihusisha <strong>na</strong> nishati <strong>endelevu</strong> ili<br />
kuhakikisha kuwepo <strong>na</strong> mazingira mazuri <strong>na</strong> ya kudumu <strong>na</strong> <strong>maendeleo</strong> ya uchumi wa jamii. <strong>TaTEDO</strong><br />
ilisajiliwa rasmi mwaka 1990 kama shirika la kitaifa lisilo la kiserikali.<br />
Dira<br />
Kuwa <strong>na</strong> jamii isiyo maskini <strong>na</strong> i<strong>na</strong>yojitegemea ambayo i<strong>na</strong> uwezo wa kupata huduma za nishati <strong>endelevu</strong><br />
<strong>na</strong> za kisasa nchini Tanzania.<br />
Dhamira<br />
Kuongeza uwezo wa kupata <strong>na</strong> kutumia teknolojia <strong>endelevu</strong> za kisasa kwenye jamii ya kitanzania<br />
isiyokuwa <strong>na</strong>zo <strong>kwa</strong> kuzizalisha, kujenga uwezo, kushirikisha jamii <strong>na</strong> kushawishi wadau ili kuongeza<br />
upatika<strong>na</strong>ji wa nishati <strong>endelevu</strong> <strong>na</strong> za kisasa, kuondoa <strong>umaskini</strong> <strong>na</strong> kuhifadhi mazingira.<br />
Malengo Makuu ya Taasisi<br />
Kuboresha hali ya maisha ya watanzania <strong>kwa</strong> kusaidia,<br />
Kupatika<strong>na</strong> <strong>kwa</strong> huduma nzuri <strong>na</strong> za kudumu za nishati.<br />
Kupatika<strong>na</strong> <strong>kwa</strong> ajira <strong>na</strong> matarajio mazuri ya kuongeza kipato ili kuondoa umasikini.<br />
Kupunguza uharibifu wa mazingira u<strong>na</strong>otoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> kuongezeka <strong>kwa</strong> matumizi ya nishati ya miti <strong>na</strong><br />
petroli,<br />
Kusaidia taifa <strong>kupunguza</strong> kutegemea nishati i<strong>na</strong>yoagizwa kutoka nje ya nchi.<br />
16