Chapter 84
Cheki stori ya the face of Kenya huko USA 2016, Judy Nzeki, plus ideas kibao za hustle na tips za relationships.. Cheki stori ya the face of Kenya huko USA 2016, Judy Nzeki, plus ideas kibao za hustle na tips za relationships..
- Page 2 and 3: 2
- Page 4 and 5: maria ki,m... thanks kukubali kuja
- Page 6 and 7: 6
- Page 8 and 9: 8
- Page 10 and 11: 10
- Page 12 and 13: 12
- Page 14 and 15: 14
- Page 16 and 17: 16
- Page 18 and 19: 18
- Page 20 and 21: 20
- Page 22 and 23: 22
- Page 24 and 25: 24
- Page 26 and 27: 26
- Page 28 and 29: maria kim... nimeanguka maji ikamwa
- Page 30 and 31: 30
2
3
maria ki,m...<br />
thanks kukubali<br />
kuja hii date na<br />
mimi...<br />
ah-ah wizZo,<br />
sio date. tunaonyesha<br />
jacinta city!<br />
hapPy<br />
valentines!<br />
oh!<br />
thanks!<br />
aAaiiii!<br />
wizZo pia<br />
mimi nataka<br />
maua aki!<br />
na yangu<br />
iko wapi?<br />
hehehe!<br />
4
ng’aAaA!<br />
ng’aAaA!<br />
ni nini<br />
juniour?<br />
nyamaza!<br />
ebu<br />
mlete...<br />
shHhH!<br />
bas! bas!<br />
amenyamaza!<br />
wewe ni baba mtoto<br />
mpoa sana. sasa badala ya<br />
kununulia mama mtoto<br />
maua, unanunulia haka<br />
karembo hujui hata!<br />
kidogo...<br />
oh! oh!<br />
amesusu!<br />
ayayai<br />
yayai!<br />
shati yangu!<br />
tumeoga<br />
sasa!<br />
5
6
wizZo anakaA<br />
mseE mpoa! uko<br />
lucky kuwa naye<br />
ka cuzo!<br />
I know,<br />
right?<br />
hata mpaka<br />
anakujali wewe<br />
na mtoi wako!<br />
aki! sometimes<br />
mi hu-feEl ka<br />
sim-deserve!<br />
alL the time<br />
alikuwa anani-advise<br />
juU ya relationships,<br />
juU ya kuchukua<br />
control, kutumia<br />
protection...<br />
hmMm...<br />
no wonder<br />
ninam-like!<br />
ye hutaka<br />
tu<br />
kuniona<br />
nikiwa<br />
hapPy.<br />
kuna kitu<br />
kinaendelea kati<br />
ya wewe naye?<br />
aAh? ati? wapi?<br />
eh... ah-ah, sisi<br />
ni mabeste tu!<br />
nawaona!<br />
sita-mind<br />
mukiwa lovers.<br />
Ni kitu gani<br />
una-admire zaidi juU<br />
ya Jacinta? Tuma text<br />
yako kwa 20308<br />
ukianza na word<br />
'#HapoSawa'. Kutext<br />
ni freE.<br />
maria kim,<br />
tunaeza walk<br />
kidogo?<br />
7
8
ye<br />
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
just folLow<br />
your heart, lily. kama<br />
vile mama stacey<br />
husema, kama hayuko<br />
tayari kuku-protect,<br />
hayuko tayari<br />
kuku-marRy!<br />
I know, right?<br />
mi huogopa sana<br />
ku-get balL kaA siko<br />
ready. na-hate hiyo<br />
feEling ya kuogopa<br />
kila time!<br />
pia naogopa<br />
sana ku end up with<br />
the wrong person.<br />
natamani sana ku-meEt<br />
mwenye nitajua huyu<br />
ndio mr. right!<br />
ah! mimi hapa<br />
mr. right wako!<br />
usitafute tena!<br />
gosh!<br />
oh my<br />
gosh!<br />
chuxX! ni nini<br />
kutufuatafuata!<br />
nataka tu<br />
kuwa-help kubeba<br />
maji. warembo kama<br />
nyinyi hamfai kubeba<br />
vitu mzito kama mimi<br />
niko...<br />
hebu jipe<br />
shughuli kabla<br />
nikuoshe na hii<br />
maji yote!<br />
mwagia yeye!<br />
sidhani ameoga<br />
miezi mbili!<br />
27
maria kim...<br />
nimeanguka maji<br />
ikamwagika<br />
karibu yote!<br />
lily, ukimaliza kufua<br />
nguo zake si unipitie<br />
tuongeE tena?<br />
walala!<br />
ona nguo zako!<br />
uzuri tunaenda<br />
kufua. lakini<br />
hiyo ilikuwa<br />
maji ya kunywa.<br />
kesho utaenda<br />
kuchota ingine<br />
peke yako!<br />
poa!<br />
baAdaye, nyumbani<br />
kwa lily...<br />
wah! mbona<br />
nimeanguka tu<br />
hivo? ama niko na<br />
balL? na-hate hii<br />
feEling! lazima<br />
nicheck kama niko<br />
na balL!<br />
phewks!<br />
sina balL!<br />
28
aAdaye, nyumbani<br />
kwa lily...<br />
lily! kwani<br />
umeosha<br />
nguo zako<br />
haraka aje?<br />
sikuanza<br />
hata. na-neEd<br />
kuongea na<br />
wewe.<br />
cheki, nime-decide<br />
ku-get protection<br />
long term. shida ni,<br />
sijui hata place moja<br />
poa yenye wanaeza<br />
nipa advice!<br />
kwanza salimia<br />
huyu beste<br />
wangu anaitwa<br />
maya!<br />
sasa maya?<br />
pole nimefika<br />
tu nikaAnza<br />
shida zangu<br />
bila salamu!<br />
haina<br />
noma,<br />
lily!<br />
maya atakusort,<br />
anajua place poa ya<br />
ku-get advice!<br />
Mafuniko Ruwa Ujinga n kufua nguo kwa maji ya moto ili ikauke haraka.//<br />
Obadiah Ropkip “Ati ww n mrefu hadi unapewa ugali na<br />
29<br />
manati”
30
31