Chapter 77
Sponsor ni nini ama nani Sponsor ni nini ama nani
- Page 2 and 3: 2 Samuel Pizzicato Ukona mdomo kuwa
- Page 4 and 5: 4
- Page 6 and 7: 6
- Page 8 and 9: 8
- Page 10 and 11: 10 Ni nini ulipenda zaidi kwa h sto
- Page 12 and 13: aAdaye... here I come! nita-rock hi
- Page 14 and 15: mimi nina choOse mwenye ninataka ku
- Page 16 and 17: 16 Gadafi Nyaeri Djb ati first tyme
- Page 18 and 19: 18 Mashindano Ya Punda
- Page 20 and 21: Malkia, niko na dakika mbili pekeE!
- Page 22 and 23: Lakini huyu Kasaman yuko serious na
2<br />
Samuel Pizzicato Ukona mdomo kuwa mpaka unaongeanga na<br />
capital letter// Andrew Azim Odhiambo Dj B wewe ni mchoyo
mpaka Unajifichanga ndio umeze mate// Kwenu kuna<br />
insecurity hadi police station hufungwa saa kumi.<br />
3
4
5
6
kuna Garvin kiti kwa Sanchozil mathree//Muthuri Mingusa Vincent Dj we unaogopa Ujinga ni kijibaba wasee kupata wa 7<br />
gari K’ogalo imecrash hadi alafu wakiitisha kinawauliza #stoney kwani unatoroka imeanguka?//James mbio. Cashies //
8
9
10<br />
Ni nini ulipenda zaidi kwa h story ? Tuma maoni yako kwa<br />
20308 ukianza na word “LYE” na unza get ksh. 1000!
SPONSA!<br />
11
aAdaye...<br />
here I come!<br />
nita-rock hii<br />
audition, lazima<br />
niget hiyo gig!<br />
mama mia!<br />
cheki huyu msupa!<br />
lazima nim-vibe!<br />
next!<br />
sasa<br />
mresh!<br />
simama<br />
pale.<br />
mimi ni<br />
producer jemo.<br />
wewe already<br />
unakaA super<br />
star!<br />
utaAngalia kwa<br />
ile camera halafu<br />
uji-introduce...<br />
12<br />
haiya! show us<br />
your stufF!
live kutoka mitaA<br />
imeshona swag!<br />
kotoka kwa waseE<br />
wa mafisi sacCo, na<br />
mayut wanajijua...<br />
tonawaletea tv<br />
show fresh kutoka<br />
jongo!<br />
mimi ni host<br />
wako, Patricia!<br />
kaA rada!<br />
hiyo<br />
ilikuwa<br />
dopest!<br />
aki?<br />
wewe<br />
ndio talent<br />
nilikuwa<br />
natafuta!<br />
so<br />
nimeget<br />
hiyo<br />
role?<br />
kabisa!<br />
kitu moja tu...<br />
moha, ebu<br />
tu-excuse<br />
kidogo...<br />
sawa<br />
bosS.<br />
cheki msupa...<br />
ni hivi... si niku<br />
buy-ie cofFeE<br />
leo jioni?<br />
hii chance ya<br />
ku-present show<br />
sio rahisi ku-get.<br />
usitupe mbao...<br />
ati?!<br />
sorRy, I don’t<br />
do cofFeE!<br />
ayayai!<br />
bosS, you<br />
don’t know<br />
me!<br />
13
mimi nina choOse<br />
mwenye ninataka kudate!<br />
unadhani utaniget juU ya<br />
haka kajob?<br />
kaA nayo!<br />
ebu kunja<br />
hiyo mikono yako<br />
uache kushika<br />
shika watu!<br />
tabia mbaya!!<br />
helLo...<br />
bae, pliz come<br />
uni-pick...<br />
hatufanyi<br />
auditions<br />
tena!<br />
Ishieni!<br />
ati?<br />
huwezi do hivo<br />
after tumengoja<br />
hapa masaA<br />
yote!<br />
oh my ngosh!<br />
like... is this dude<br />
for real?<br />
fat boy,<br />
mimi ni<br />
bosS hapa!<br />
naeza do<br />
anything<br />
nataka!<br />
naitwa chuxX,<br />
nasiongeleshwi<br />
hivo!<br />
ukitaka hii<br />
camera yako<br />
kujia!<br />
agh! sasa<br />
ona! nilitaka<br />
ku-vibe huyo<br />
mresh! huyu<br />
producer<br />
fala sana!<br />
14
aAdaye...<br />
wow!<br />
eh! maria<br />
kim... siku hizi<br />
unatembelewa<br />
na ligi soO<br />
eh?<br />
ah-ah...<br />
hata mimi sijui<br />
ni nani!<br />
patricia!<br />
hehe! vipi<br />
leo?<br />
na unakaA<br />
smart!<br />
awWw! ligi<br />
soO siku hizi,<br />
eh?<br />
nini<br />
mbaya?<br />
unakaA<br />
m-sad.<br />
nimetoka<br />
audition<br />
mbaya!<br />
huyo<br />
producer<br />
alitaka nidoze<br />
naye ndio anipe<br />
job!<br />
15
16<br />
Gadafi Nyaeri Djb ati first tyme yako kwenda church uliulzwa kama<br />
unajua yesu ukadai eti”mm bado nmgeni hapa bado sjui watu wote
17
18<br />
Mashindano Ya Punda
sasa<br />
kasaman?<br />
Kazuri...<br />
Unapendeza<br />
tena sana! Kesho<br />
utakuja<br />
kuni-supPort<br />
kwa shindano la<br />
Punda?<br />
nataka<br />
kukuja<br />
lakini lazima<br />
niulize<br />
mamangu.<br />
Sasa vipi<br />
ile stori<br />
yetu?<br />
ah ah... sitaki<br />
kushika mimba... wewe<br />
huwa hutaki kutumia<br />
cd!<br />
acha wasiwasi.<br />
mwanaume hafai<br />
kutumia cd.<br />
zinatufanya tupoteze<br />
nguvu za kiume!<br />
Wacha nifanye<br />
utafiti wangu kwanza<br />
alafu nitakufahamisha.<br />
sawa...<br />
kazuri,<br />
mbona umechoka<br />
hivyo asubuhi?<br />
maliza halafu<br />
uoshe vyombo!<br />
nishaziosha.<br />
karibu<br />
namaliza kazi<br />
zote.<br />
mum,<br />
nisaidie simu<br />
yako nipigie<br />
malkia...<br />
sawa,<br />
lakini utumie<br />
dakika mbili<br />
pekeE! sina<br />
airtime!<br />
19
Malkia,<br />
niko na dakika<br />
mbili pekeE!<br />
Si tukutane<br />
kwenye tamasha<br />
la kitamaduni?<br />
Kasamani<br />
anashiriki<br />
shindalo la<br />
punda!<br />
DoOo....<br />
do?! acha<br />
kwanza<br />
nimweleze<br />
mamangu!<br />
20<br />
Mafuniko Ruwa Ujinga n kufua nguo kwa maji ya moto ili ikauke haraka.//<br />
Obadiah Ropkip “Ati ww n mrefu hadi unapewa ugali na manati”
ndio yule<br />
kasaman!<br />
Ona vile<br />
unaskia aibu!<br />
Hehe...<br />
Mtoto<br />
kapendwa<br />
kapendeka!<br />
mashindano ya<br />
fuda! on your mark!<br />
get ready! set!<br />
go!<br />
Rabex Cynthia kwenyu mko wengi adi ikfka tym ya fudi mnakol<br />
regsta kwanza . macho zako n red adi zinaivisha nyama!<br />
21
Lakini huyu<br />
Kasaman yuko<br />
serious nawe ama<br />
anakuchezea tu huku<br />
akikudanganya danya<br />
na wasichana<br />
wengine?<br />
How would<br />
I know?<br />
Acha<br />
nikupe siri ya<br />
boyfriend<br />
yuko<br />
serious...<br />
One, yeye<br />
huongea juU yako<br />
akiwa na marafiki<br />
zake. Two, huwa<br />
anakuskiza na<br />
kukujulia hali kila<br />
mara.<br />
ThreE,<br />
anakueshimu. Hapa<br />
namaAnisha atafanya<br />
chochote ili asikuambukize<br />
ugonjwa ama kukupachika<br />
mimba...<br />
kasaman<br />
wako<br />
ameupita<br />
huo mtihani?<br />
Lakini<br />
sitaki apoteze<br />
nguvu zake za<br />
kiume. Pengine<br />
nitahitaji<br />
watoto wake<br />
baAdaye.<br />
ebu,<br />
ngoja... ati<br />
umesema?<br />
cd<br />
zitafanya<br />
apoteze<br />
nguvu za<br />
kiume. ndivio<br />
aliniambia!!<br />
huyo<br />
fala!<br />
kwani<br />
si kweli?<br />
hapana!<br />
nimeshinda<br />
22
nimeshinda<br />
congratulations!<br />
eEeEek!<br />
Unadhani wewe ni<br />
ShujaA?! Wewe ni fala!<br />
Ni ufala gani uliambia<br />
Kazuri? Hiyo ufala<br />
ndio inahatarisha<br />
maisha ya watu!<br />
Wewe ni<br />
mshamba hadi huwa<br />
una-confus kisogo<br />
yako na kona ya<br />
njugu!<br />
kazuri<br />
achana na huyo<br />
shenzi. Unastahili<br />
mpenzi anatosha<br />
unga!<br />
Cheki hawa<br />
wana densi!<br />
tupige<br />
selfie nao!<br />
Tizama yule<br />
amevalia manjano!<br />
Nitaiweka kwenye<br />
faceboOk page ya<br />
DJ B pia ajue vile<br />
kuko huku!<br />
Hapo sasa.<br />
sasa ni<br />
nafasi yako<br />
ya kutoa<br />
maoni.<br />
ni vitu gani<br />
uliwahi fikiria<br />
kuwa zilikuwa za<br />
kweli kuhusu cds<br />
kisha ukagundua<br />
kuwa ni porojo<br />
tu?<br />
Tuma SMS<br />
kwa 20308 ukianza na<br />
neno 'PorojoTings' na<br />
unaeza shinda Ksh. 1000.<br />
Kutext ni freE. 23<br />
23