Chapter 77

Sponsor ni nini ama nani Sponsor ni nini ama nani

shujaazcomics
from shujaazcomics More from this publisher

2<br />

Samuel Pizzicato Ukona mdomo kuwa mpaka unaongeanga na<br />

capital letter// Andrew Azim Odhiambo Dj B wewe ni mchoyo


mpaka Unajifichanga ndio umeze mate// Kwenu kuna<br />

insecurity hadi police station hufungwa saa kumi.<br />

3


4


5


6


kuna Garvin kiti kwa Sanchozil mathree//Muthuri Mingusa Vincent Dj we unaogopa Ujinga ni kijibaba wasee kupata wa 7<br />

gari K’ogalo imecrash hadi alafu wakiitisha kinawauliza #stoney kwani unatoroka imeanguka?//James mbio. Cashies //


8


9


10<br />

Ni nini ulipenda zaidi kwa h story ? Tuma maoni yako kwa<br />

20308 ukianza na word “LYE” na unza get ksh. 1000!


SPONSA!<br />

11


aAdaye...<br />

here I come!<br />

nita-rock hii<br />

audition, lazima<br />

niget hiyo gig!<br />

mama mia!<br />

cheki huyu msupa!<br />

lazima nim-vibe!<br />

next!<br />

sasa<br />

mresh!<br />

simama<br />

pale.<br />

mimi ni<br />

producer jemo.<br />

wewe already<br />

unakaA super<br />

star!<br />

utaAngalia kwa<br />

ile camera halafu<br />

uji-introduce...<br />

12<br />

haiya! show us<br />

your stufF!


live kutoka mitaA<br />

imeshona swag!<br />

kotoka kwa waseE<br />

wa mafisi sacCo, na<br />

mayut wanajijua...<br />

tonawaletea tv<br />

show fresh kutoka<br />

jongo!<br />

mimi ni host<br />

wako, Patricia!<br />

kaA rada!<br />

hiyo<br />

ilikuwa<br />

dopest!<br />

aki?<br />

wewe<br />

ndio talent<br />

nilikuwa<br />

natafuta!<br />

so<br />

nimeget<br />

hiyo<br />

role?<br />

kabisa!<br />

kitu moja tu...<br />

moha, ebu<br />

tu-excuse<br />

kidogo...<br />

sawa<br />

bosS.<br />

cheki msupa...<br />

ni hivi... si niku<br />

buy-ie cofFeE<br />

leo jioni?<br />

hii chance ya<br />

ku-present show<br />

sio rahisi ku-get.<br />

usitupe mbao...<br />

ati?!<br />

sorRy, I don’t<br />

do cofFeE!<br />

ayayai!<br />

bosS, you<br />

don’t know<br />

me!<br />

13


mimi nina choOse<br />

mwenye ninataka kudate!<br />

unadhani utaniget juU ya<br />

haka kajob?<br />

kaA nayo!<br />

ebu kunja<br />

hiyo mikono yako<br />

uache kushika<br />

shika watu!<br />

tabia mbaya!!<br />

helLo...<br />

bae, pliz come<br />

uni-pick...<br />

hatufanyi<br />

auditions<br />

tena!<br />

Ishieni!<br />

ati?<br />

huwezi do hivo<br />

after tumengoja<br />

hapa masaA<br />

yote!<br />

oh my ngosh!<br />

like... is this dude<br />

for real?<br />

fat boy,<br />

mimi ni<br />

bosS hapa!<br />

naeza do<br />

anything<br />

nataka!<br />

naitwa chuxX,<br />

nasiongeleshwi<br />

hivo!<br />

ukitaka hii<br />

camera yako<br />

kujia!<br />

agh! sasa<br />

ona! nilitaka<br />

ku-vibe huyo<br />

mresh! huyu<br />

producer<br />

fala sana!<br />

14


aAdaye...<br />

wow!<br />

eh! maria<br />

kim... siku hizi<br />

unatembelewa<br />

na ligi soO<br />

eh?<br />

ah-ah...<br />

hata mimi sijui<br />

ni nani!<br />

patricia!<br />

hehe! vipi<br />

leo?<br />

na unakaA<br />

smart!<br />

awWw! ligi<br />

soO siku hizi,<br />

eh?<br />

nini<br />

mbaya?<br />

unakaA<br />

m-sad.<br />

nimetoka<br />

audition<br />

mbaya!<br />

huyo<br />

producer<br />

alitaka nidoze<br />

naye ndio anipe<br />

job!<br />

15


16<br />

Gadafi Nyaeri Djb ati first tyme yako kwenda church uliulzwa kama<br />

unajua yesu ukadai eti”mm bado nmgeni hapa bado sjui watu wote


17


18<br />

Mashindano Ya Punda


sasa<br />

kasaman?<br />

Kazuri...<br />

Unapendeza<br />

tena sana! Kesho<br />

utakuja<br />

kuni-supPort<br />

kwa shindano la<br />

Punda?<br />

nataka<br />

kukuja<br />

lakini lazima<br />

niulize<br />

mamangu.<br />

Sasa vipi<br />

ile stori<br />

yetu?<br />

ah ah... sitaki<br />

kushika mimba... wewe<br />

huwa hutaki kutumia<br />

cd!<br />

acha wasiwasi.<br />

mwanaume hafai<br />

kutumia cd.<br />

zinatufanya tupoteze<br />

nguvu za kiume!<br />

Wacha nifanye<br />

utafiti wangu kwanza<br />

alafu nitakufahamisha.<br />

sawa...<br />

kazuri,<br />

mbona umechoka<br />

hivyo asubuhi?<br />

maliza halafu<br />

uoshe vyombo!<br />

nishaziosha.<br />

karibu<br />

namaliza kazi<br />

zote.<br />

mum,<br />

nisaidie simu<br />

yako nipigie<br />

malkia...<br />

sawa,<br />

lakini utumie<br />

dakika mbili<br />

pekeE! sina<br />

airtime!<br />

19


Malkia,<br />

niko na dakika<br />

mbili pekeE!<br />

Si tukutane<br />

kwenye tamasha<br />

la kitamaduni?<br />

Kasamani<br />

anashiriki<br />

shindalo la<br />

punda!<br />

DoOo....<br />

do?! acha<br />

kwanza<br />

nimweleze<br />

mamangu!<br />

20<br />

Mafuniko Ruwa Ujinga n kufua nguo kwa maji ya moto ili ikauke haraka.//<br />

Obadiah Ropkip “Ati ww n mrefu hadi unapewa ugali na manati”


ndio yule<br />

kasaman!<br />

Ona vile<br />

unaskia aibu!<br />

Hehe...<br />

Mtoto<br />

kapendwa<br />

kapendeka!<br />

mashindano ya<br />

fuda! on your mark!<br />

get ready! set!<br />

go!<br />

Rabex Cynthia kwenyu mko wengi adi ikfka tym ya fudi mnakol<br />

regsta kwanza . macho zako n red adi zinaivisha nyama!<br />

21


Lakini huyu<br />

Kasaman yuko<br />

serious nawe ama<br />

anakuchezea tu huku<br />

akikudanganya danya<br />

na wasichana<br />

wengine?<br />

How would<br />

I know?<br />

Acha<br />

nikupe siri ya<br />

boyfriend<br />

yuko<br />

serious...<br />

One, yeye<br />

huongea juU yako<br />

akiwa na marafiki<br />

zake. Two, huwa<br />

anakuskiza na<br />

kukujulia hali kila<br />

mara.<br />

ThreE,<br />

anakueshimu. Hapa<br />

namaAnisha atafanya<br />

chochote ili asikuambukize<br />

ugonjwa ama kukupachika<br />

mimba...<br />

kasaman<br />

wako<br />

ameupita<br />

huo mtihani?<br />

Lakini<br />

sitaki apoteze<br />

nguvu zake za<br />

kiume. Pengine<br />

nitahitaji<br />

watoto wake<br />

baAdaye.<br />

ebu,<br />

ngoja... ati<br />

umesema?<br />

cd<br />

zitafanya<br />

apoteze<br />

nguvu za<br />

kiume. ndivio<br />

aliniambia!!<br />

huyo<br />

fala!<br />

kwani<br />

si kweli?<br />

hapana!<br />

nimeshinda<br />

22


nimeshinda<br />

congratulations!<br />

eEeEek!<br />

Unadhani wewe ni<br />

ShujaA?! Wewe ni fala!<br />

Ni ufala gani uliambia<br />

Kazuri? Hiyo ufala<br />

ndio inahatarisha<br />

maisha ya watu!<br />

Wewe ni<br />

mshamba hadi huwa<br />

una-confus kisogo<br />

yako na kona ya<br />

njugu!<br />

kazuri<br />

achana na huyo<br />

shenzi. Unastahili<br />

mpenzi anatosha<br />

unga!<br />

Cheki hawa<br />

wana densi!<br />

tupige<br />

selfie nao!<br />

Tizama yule<br />

amevalia manjano!<br />

Nitaiweka kwenye<br />

faceboOk page ya<br />

DJ B pia ajue vile<br />

kuko huku!<br />

Hapo sasa.<br />

sasa ni<br />

nafasi yako<br />

ya kutoa<br />

maoni.<br />

ni vitu gani<br />

uliwahi fikiria<br />

kuwa zilikuwa za<br />

kweli kuhusu cds<br />

kisha ukagundua<br />

kuwa ni porojo<br />

tu?<br />

Tuma SMS<br />

kwa 20308 ukianza na<br />

neno 'PorojoTings' na<br />

unaeza shinda Ksh. 1000.<br />

Kutext ni freE. 23<br />

23

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!