Chapter 75
Afande, tafadhali tuskize tu, tunaomba kwa upole. Afande, badala ya vijana kuonewa hivi, tungekuwa tunafanya kazi pamoja kumulika hawo wagondi mnatafuta... Kwa nini mnakuanga vichwa ngumu vijana? Sasa kupeana simu pia ni vita? Alafu tukiwa-arRest mnateta?! ComMunity policing afisa. Sisi hatuna ubaya Shida yenu vijana ni kuwa huwa mnakusanyika ovyo ovyo hadi mnakaA ma-suspects... MnafaA kufanya vitu za maAna na lives zenu. Hamtaona tukiwafunga... eh? wewe ni nani? excuse me! naitwa deEpti. nataka kujua mbona boyie ameshikwa! sikuUliza jina yako! nauliza wewe ni nani kwa hii nchi? chenye mnafanya hapa si halali! watu wameshikwa wako na rights! hamuwezi mkafanya tu chochote mnataka! kulingana na sheria, mtu ameshikwa lazima aAmbiwe, kwa lugha anaelewa, mbona ameshikwa. mbona umeshika boyie? madam huwezi nifunza kazi yangu! hawa walikuwa tu kwa barabara, lazima walikuwa wanapanga ujambazi! si ati kukufunza kazi yako! ni sheria ukitaka nikuonyeshe kwa simu, article 41 ya katiba. ona... 22 phewks! heh! na huyu ni mjuaji kweli!
23
- Page 1 and 2: not for sale R CHAPTER 75 elationsh
- Page 3 and 4: mpaka Unajifichanga ndio umeze mate
- Page 5 and 6: ‘ 5
- Page 7 and 8: kuna Garvin kiti kwa Sanchozil math
- Page 9 and 10: 9
- Page 11 and 12: 11
- Page 13 and 14: GATES MONEY gu Mwangi ujinga ni kus
- Page 15 and 16: GATES MONEY kuna kiti kwa mathree//
- Page 17 and 18: GATES MONEY ba ya kwenda kujinyonga
- Page 19 and 20: mnaenda ndani nyinyi wote! kwani tu
- Page 21: afande ebu fikiria kama ingekuwa ni
23