You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
Afande, tafadhali<br />
tuskize tu, tunaomba<br />
kwa upole.<br />
Afande, badala ya vijana<br />
kuonewa hivi, tungekuwa<br />
tunafanya kazi pamoja<br />
kumulika hawo wagondi<br />
mnatafuta...<br />
Kwa nini<br />
mnakuanga vichwa<br />
ngumu vijana? Sasa<br />
kupeana simu pia ni<br />
vita? Alafu<br />
tukiwa-arRest<br />
mnateta?!<br />
ComMunity<br />
policing afisa.<br />
Sisi hatuna<br />
ubaya<br />
Shida yenu<br />
vijana ni kuwa huwa<br />
mnakusanyika ovyo<br />
ovyo hadi mnakaA<br />
ma-suspects...<br />
MnafaA kufanya<br />
vitu za maAna na<br />
lives zenu.<br />
Hamtaona<br />
tukiwafunga...<br />
eh?<br />
wewe ni<br />
nani?<br />
excuse me!<br />
naitwa<br />
deEpti.<br />
nataka<br />
kujua<br />
mbona boyie<br />
ameshikwa!<br />
sikuUliza<br />
jina yako! nauliza<br />
wewe ni nani kwa<br />
hii nchi?<br />
chenye mnafanya<br />
hapa si halali! watu<br />
wameshikwa wako na<br />
rights! hamuwezi mkafanya<br />
tu chochote mnataka!<br />
kulingana na<br />
sheria, mtu ameshikwa<br />
lazima aAmbiwe, kwa<br />
lugha anaelewa, mbona<br />
ameshikwa. mbona<br />
umeshika boyie?<br />
madam huwezi<br />
nifunza kazi yangu!<br />
hawa walikuwa tu<br />
kwa barabara, lazima<br />
walikuwa wanapanga<br />
ujambazi!<br />
si ati kukufunza<br />
kazi yako! ni sheria<br />
ukitaka nikuonyeshe<br />
kwa simu, article 41<br />
ya katiba.<br />
ona...<br />
22<br />
phewks!<br />
heh! na huyu<br />
ni mjuaji<br />
kweli!