06.05.2016 Views

Chapter 75

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Afande, tafadhali<br />

tuskize tu, tunaomba<br />

kwa upole.<br />

Afande, badala ya vijana<br />

kuonewa hivi, tungekuwa<br />

tunafanya kazi pamoja<br />

kumulika hawo wagondi<br />

mnatafuta...<br />

Kwa nini<br />

mnakuanga vichwa<br />

ngumu vijana? Sasa<br />

kupeana simu pia ni<br />

vita? Alafu<br />

tukiwa-arRest<br />

mnateta?!<br />

ComMunity<br />

policing afisa.<br />

Sisi hatuna<br />

ubaya<br />

Shida yenu<br />

vijana ni kuwa huwa<br />

mnakusanyika ovyo<br />

ovyo hadi mnakaA<br />

ma-suspects...<br />

MnafaA kufanya<br />

vitu za maAna na<br />

lives zenu.<br />

Hamtaona<br />

tukiwafunga...<br />

eh?<br />

wewe ni<br />

nani?<br />

excuse me!<br />

naitwa<br />

deEpti.<br />

nataka<br />

kujua<br />

mbona boyie<br />

ameshikwa!<br />

sikuUliza<br />

jina yako! nauliza<br />

wewe ni nani kwa<br />

hii nchi?<br />

chenye mnafanya<br />

hapa si halali! watu<br />

wameshikwa wako na<br />

rights! hamuwezi mkafanya<br />

tu chochote mnataka!<br />

kulingana na<br />

sheria, mtu ameshikwa<br />

lazima aAmbiwe, kwa<br />

lugha anaelewa, mbona<br />

ameshikwa. mbona<br />

umeshika boyie?<br />

madam huwezi<br />

nifunza kazi yangu!<br />

hawa walikuwa tu<br />

kwa barabara, lazima<br />

walikuwa wanapanga<br />

ujambazi!<br />

si ati kukufunza<br />

kazi yako! ni sheria<br />

ukitaka nikuonyeshe<br />

kwa simu, article 41<br />

ya katiba.<br />

ona...<br />

22<br />

phewks!<br />

heh! na huyu<br />

ni mjuaji<br />

kweli!

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!