Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
not for sale<br />
R<br />
CHAPTER <strong>75</strong><br />
elationship yenu<br />
ules zenu!<br />
Pg 4<br />
Torch Smart<br />
Charlie Pele ana save<br />
village yake! Pg 12<br />
Jua rights<br />
zako!<br />
Ama ulale ndani!<br />
Pg 18<br />
Vanessa Mdee<br />
Usiogope maoni yako!
2<br />
Samuel Pizzicato Ukona mdomo kuwa mpaka unaongeanga na<br />
capital letter// Andrew Azim Odhiambo Dj B wewe ni mchoyo
mpaka Unajifichanga ndio umeze mate// Kwenu kuna<br />
insecurity hadi police station hufungwa saa kumi.<br />
3
4
‘<br />
5
6
kuna Garvin kiti kwa Sanchozil mathree//Muthuri Mingusa Vincent Dj we unaogopa Ujinga ni kijibaba wasee kupata wa 7<br />
gari K’ogalo imecrash hadi alafu wakiitisha kinawauliza #stoney kwani unatoroka imeanguka?//James mbio. Cashies //
aAdaye kwa<br />
maria kim...<br />
Karibu sana<br />
Shamala. Unajua Avie<br />
siku hizi ni neigbour<br />
wangu hapa?<br />
Amehamia huku...<br />
Wow! Nyinyi<br />
warembo mnapendana<br />
sana, hadi Avie<br />
amehamia huku!<br />
avie, mimi na<br />
shamala tuna asSignment<br />
ya shule tunataka<br />
ku-do chapchap. hope<br />
hauta-mind...<br />
ah-ah!<br />
si-mind!<br />
Avie, wewe na<br />
boyfie wako si<br />
mko rada!<br />
Na hata<br />
usitake jua venye<br />
Maria Kim<br />
huwasifu!<br />
haha!<br />
maria kim ndiye yuko<br />
rada! ye husema tu<br />
vitu poa kuhusu<br />
mabeshte wake. She’s<br />
such an angel!<br />
8
9
10
11
AKIBA HAOZI<br />
12<br />
Gadafi Nyaeri ujinga ni kuenda kwa shop nakuuliza ,unauzaaje bamba<br />
fifty//Josphine Sian Ujinga ni kutooga kifua juu roho ni safi//Irun-
GATES<br />
MONEY<br />
gu Mwangi ujinga ni kusema huna ndoo ili hali una mashilingi kwa<br />
kichwa//Prince Wilfixon Rotich Wilfie ujinga ni kuuliza condaa ka<br />
13
GATES<br />
MONEY<br />
14
GATES<br />
MONEY<br />
kuna kiti kwa mathree//Muthuri Vincent Ujinga ni kijibaba kupata gari<br />
imecrash alafu kinawauliza kwani imeanguka?//James Cashies Ujinga<br />
15
GATES<br />
MONEY<br />
16<br />
ni kutafuta police station kwa redio//Evans Gesura Ujinga ni<br />
kumeza mara moja mara mbili//Sifa James Ujinga ni kubuy kam-
GATES<br />
MONEY<br />
ba ya kwenda kujinyonga alafu unaitisha balance//Mafuniko Ruwa<br />
Ujinga n kufua nguo kwa maji ya moto ili ikauke haraka.//Nicholas<br />
17
18<br />
Murimi Ujinga ni kujiita sonko juu unaitwa mike.//Suzy Dembowz<br />
ujinga ni kubuy kiberiti na kutest ka zte znafanya//Gneiss Gemini
mnaenda ndani<br />
nyinyi wote!<br />
kwani<br />
tume-do?<br />
tulikuwa<br />
tu tunasikiza<br />
ngoma ya<br />
manlike!<br />
hakuna kitu<br />
tume-do!<br />
tembea!<br />
mtaongea<br />
mbele!<br />
ujinga ni kuuliza watchman ameamka aje.//Stephen Makanda Ujinga<br />
ni chali kuita dem yake honey na anaogopa nyuki<br />
19
20
afande ebu<br />
fikiria kama ingekuwa<br />
ni brathako kwa hii<br />
celL...<br />
brathangu<br />
aki mangamanga kama<br />
wewe, tafunga yeye<br />
mimi mwenyewe<br />
personalLy!<br />
nimesikia simu...<br />
nani ako<br />
na simu?<br />
hamtaki<br />
kusema ni nani?<br />
mnataka<br />
mchezo, eh?<br />
nitawaonyesha<br />
mchezo!<br />
21
Afande, tafadhali<br />
tuskize tu, tunaomba<br />
kwa upole.<br />
Afande, badala ya vijana<br />
kuonewa hivi, tungekuwa<br />
tunafanya kazi pamoja<br />
kumulika hawo wagondi<br />
mnatafuta...<br />
Kwa nini<br />
mnakuanga vichwa<br />
ngumu vijana? Sasa<br />
kupeana simu pia ni<br />
vita? Alafu<br />
tukiwa-arRest<br />
mnateta?!<br />
ComMunity<br />
policing afisa.<br />
Sisi hatuna<br />
ubaya<br />
Shida yenu<br />
vijana ni kuwa huwa<br />
mnakusanyika ovyo<br />
ovyo hadi mnakaA<br />
ma-suspects...<br />
MnafaA kufanya<br />
vitu za maAna na<br />
lives zenu.<br />
Hamtaona<br />
tukiwafunga...<br />
eh?<br />
wewe ni<br />
nani?<br />
excuse me!<br />
naitwa<br />
deEpti.<br />
nataka<br />
kujua<br />
mbona boyie<br />
ameshikwa!<br />
sikuUliza<br />
jina yako! nauliza<br />
wewe ni nani kwa<br />
hii nchi?<br />
chenye mnafanya<br />
hapa si halali! watu<br />
wameshikwa wako na<br />
rights! hamuwezi mkafanya<br />
tu chochote mnataka!<br />
kulingana na<br />
sheria, mtu ameshikwa<br />
lazima aAmbiwe, kwa<br />
lugha anaelewa, mbona<br />
ameshikwa. mbona<br />
umeshika boyie?<br />
madam huwezi<br />
nifunza kazi yangu!<br />
hawa walikuwa tu<br />
kwa barabara, lazima<br />
walikuwa wanapanga<br />
ujambazi!<br />
si ati kukufunza<br />
kazi yako! ni sheria<br />
ukitaka nikuonyeshe<br />
kwa simu, article 41<br />
ya katiba.<br />
ona...<br />
22<br />
phewks!<br />
heh! na huyu<br />
ni mjuaji<br />
kweli!
23