kiboko quality animal feeds - KIBOKO Animal Feeds and Millers
kiboko quality animal feeds - KIBOKO Animal Feeds and Millers
kiboko quality animal feeds - KIBOKO Animal Feeds and Millers
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
MAPATO YA MAUZOWastani wa chini wa mauzo ya kuku ni Tshs.6,500/= (Kilakuku akiwa na uzito wa wastani wa kilo 1.3) kwa kuku,hivyo kwa kuku wote 200 ni sawa naTshs. 6,500 x kuku 200 = Tshs. 1,300,000/=Mauzo ya mbolea itakayopatikana yanakadiriwa kuwaMifuko/viroba 26 na ikiwa wastani wa bei ya kirobakimoja ni Tshs. 2000/= hivyo jumla ya mauzo ya mboleani Mifuko/viroba 26 X Tshs. 3000/ = Tshs. 78,000/=Hivyo, jumla ya mapato yote ni Tshs. 1,378,000/=FAIDA itakayopatikana ni :Tshs. 1,378,000 – Tshs. 951,000 = Tshs. 427,000/=kwa muda wa wiki sita tu, ukitoa gharama zote.