13.07.2015 Views

kiboko quality animal feeds - KIBOKO Animal Feeds and Millers

kiboko quality animal feeds - KIBOKO Animal Feeds and Millers

kiboko quality animal feeds - KIBOKO Animal Feeds and Millers

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

MATUMIZI /MAHITAJI YA MTAJI...Ikiwa gharama za juu za unit moja ya umeme ni Tshs 250/= nazitahitajika balbu 4 kwa muda wa siku 14 za kwanza.Hivyo gharama za umeme niTshs. 250 X balbu 4 X siku 14 =Tshs. 14,000/=.Wastani wa gharama za mkaa kwa siku 14 zamwanzo nigunia 2 X Tshs. 20,000/=(bei ya gunia moja)ambayo ni sawa na Tshs. 40,000/= kwa kuku wote200.Wastani wa kiasi cha maji kwa kuku wote 200 kwa siku ni ndoo5 (lita 100), na wastani wa ndoo moja ya maji ni Tshs. 50/=.Hivyo kwa kipindi chote cha ufugaji (wiki 6) ni sawa naNdoo 5 X wiki 6 (siku42) X Tshs.50/= ni sawa na Tshs. 10,500/=kwa kuku wote 200.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!