13.07.2015 Views

kiboko quality animal feeds - KIBOKO Animal Feeds and Millers

kiboko quality animal feeds - KIBOKO Animal Feeds and Millers

kiboko quality animal feeds - KIBOKO Animal Feeds and Millers

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

MATUMIZI /MAHITAJI YA MTAJI...Wastani wa juu wa gharama zamfanyakazi(usimamizi na ulinzi) kwa mwezini Tshs. 40,000/=, kwa muda wa wiki 90 nijumla ya Tshs.900,000/=.Ikiwa gharama za juu za unit moja ya umeme ni Tshs 250/=na zitahitajika balbu 4 kwa muda wa siku 28 za kwanza.Hivyo gharama za umeme niTshs. 250/= X balbu 4 X siku 28 =Tshs. 28,000/=.Wastani wa gharama za madawa na chanjo kwamwezi inakadiriwa kuwa Tshs.13,500/= Hivyo, kwakipindi chote cha wiki 90 ni sawa na Tshs. 300,500/=kwa kuku wote 100.Wastani wa gharama za mkaa kwa siku 28 za mwanzo nigunia 4 X Tshs 20,000/= ambayo ni sawa na Tshs. 80,000/=kwa kuku wote 100.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!