13.07.2015 Views

Jarida la Kilimo, Aprili

Jarida la Kilimo, Aprili

Jarida la Kilimo, Aprili

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

UFUGAJI WA KUKU <strong>Aprili</strong> - Juni, 2011UFUGAJI BORA WA KUKU WA KIENYEJINa Shauri HajiUfugaji wa kuku ni mradi ambaohufanywa na wanawake wengikaribu katika ki<strong>la</strong> nyumba hasavijijini kwa lengo <strong>la</strong> kupata nyamana mayai kwa ajili ya kitoweleo,kuimarisha afya za familia nakujiongezea kipato. Kuku ni<strong>la</strong>zima watunzwe vizuri ili watoemazao bora na kufi kia lengolililokusudiwa.Ufugaji wa kuku wa kienyeji ni mojaya kazi zinazofanywa na kinamamaambao wameunda vikundi nakupatiwa taaluma za ufugaji borakupitia Programu za KuendelezaHuduma za <strong>Kilimo</strong> na Mifugo kwawakulima na wafugaji (ASSP/ASDP-L) ya Wizara ya <strong>Kilimo</strong> na Maliasilihapa Zanzibar. Taaluma hizi zaufugaji zinawasadia wafugaji wavisiwa hivi ambao wengi wao niwanawake kuongeza uzalishaji,pato na kupunguza umasikini.Bi. Zeyana Ali Saidi mwenye umri wamiaka 50 ambae ni mkaazi wa kijijicha Taifu Wi<strong>la</strong>ya ya Wete Pemba,maarufu kwa jina <strong>la</strong> “Zeyana viponi”ni miongoni mwa wafugaji wa kukuwaliopatiwa mafunzo ya ufugajikupitia programu za ASSP/ASDP-L.Alisema; “Siku za nyuma ufugaji wakuku haukuwa na tija kutokana nakukosa taaluma ya ufugaji bora napia ulihitaji kutumia muda mwingiili kupata mafanikio”.Kuku wa kienyeji hukuwa vizuri na kutoa mazao mengi ikiwa watapatiwamatunzo boraMoja kati ya mambo anayojivunia nikutengeneza nyumba yake pamojana kuwasomesha watoto wakekutokana na mauzo ya kuku. Hivikaribuni aliuza kuku 80 ambao walimpatiajum<strong>la</strong> ya shilingi 400,000/=. Watu wengi wanafuga kuku<strong>la</strong>kini hawaelewi kanuni na miikoya ufugaji hivyo bi. Zeyana Ali Saidiyuko mstari wa mbele katika kuwafundishawafugaji wenzake kulishachaku<strong>la</strong> bora, kuweka usafi wamabanda ya kufugia kuku na vifaa,kuwapatia chanjo na matibabu vifarangana kuku ili kuzuia magonjwaya mripuko kama mahepe ambayoyanaua kuku wengi yanapotokea.Aidha, anasisitiza kuwa mfugajianapaswa kufanya usafi wa bandaki<strong>la</strong> baada ya siku mbili kwani usafihupunguza uwezekano wa kutokeakwa maradhi.Mbali na uuzaji wa kuku bi. Zeyanapia ana mpango wa kuuza vifarangakwa wafugaji wenzake ili kuimarishasoko <strong>la</strong> kuku wake. Hii itawezekanakwa kutumia mpango maalumuwa utagaji (Program hatching).Njia hii inamfanya kuku mmojakutaga mara nne kwa mwaka nakuzalisha zaidi ya vifaranga 48ambapo mfugaji anapata faidazaidi bada<strong>la</strong> ya njia ya kawaida yauzalishaji vifaranga 20 - 24 kwaufugaji usiozingatia utaa<strong>la</strong>mu.13Vifaranga vinavyototolewa kwampango maalumu wa utagajihuingizwa kwenye sanduku lenyeuwezo wa kuchukua vifaranga 200au zaidi na kulelewa kwa muda wasiku saba ambapo hutoa fursa kwamakoo waliototoa kukutana tenana majogoo baada ya muda mfupi.Njia nyengine ni kutumia koolinalokubali kulea vifaranga hatakama sio wa kwake mradi tu wawena umri unaolingana.Miongoni mwa changamotoanazokabiliana nazo ni pamoja nabei kubwa ya madawa na vyaku<strong>la</strong>.Ili kukabiliana na changanamotoya upatikanaji wa chaku<strong>la</strong>, wfugajiwanashauriwa kutumia vyaku<strong>la</strong>vinavyopatikana katika mazingirayao na kuchanganya wenyewemajumbani kwao kwa kutumiataaluma waliyapta katika mafunzo.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!