13.07.2015 Views

Jarida la Kilimo, Aprili

Jarida la Kilimo, Aprili

Jarida la Kilimo, Aprili

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Aprili</strong> - Juni, 2011MISITU YA UKANDA WA PWANINa Rashid KhamisUzinduzi wa mradi wa Uhifadhi waMisitu ya Asili ya Ukanda wa Pwaniuliofanyika Bwawani Hoteli hapa Zanzibartarehe 30/05/2011 ambapo Shirika <strong>la</strong>Uhifadhi wa Mazingira Duniani <strong>la</strong> GEF,kupitia Shirika <strong>la</strong> Umoja wa Mataifa <strong>la</strong>Mpango wa Maendeleo Duniani <strong>la</strong> UNDPlinasaidia uhifadhi wa Mazingira ya Misituya Asili ya Tanzania bara na Zanzibar.Hapa Zanzibar ipo misitu mitatu yahifadhi itakayofaidika na mradi huuambayo ni Jozani, Kiwengwa – Pongwe naMasingini kwa Unguja na msitu wa NgeziVumawimbi, Ras Kiuyu na Msitu Mkuukwa Pemba. Wizara ya <strong>Kilimo</strong> na Maliasiliinachukua juhudi za kunusuru kupoteakwa misitu ya asili ambayo imeshehenimiti ya asili na wanyamapori kutokanana maeneo ambayo yalikua yameshehenimisitu ya asili sasa yamebakia na vichakavitupu. Mfano halisi ni kuadimika kwamiti muhimu katika maeneo ya misituya kaskazini Unguja, ambapo hasara yakutokuwa na misitu imeonekana kutokanana kupungua kwa nishati ya kuni zakupikia majumbani.Misitu ni benki ya kuhifadhi miti na mimeatofauti yenye uhusiano wa moja kwa mojana maisha ya binaadamu, ustawi wamazingira tunayoishi na maendeleo yakiuchumi. Aidha, miti ya dawa, miti adimuaina ya mipapindi na wanyamapori kamavile Popo wa Pemba, Kimapunju na Paanunga huishi katika misitu ya asili nao nimuhimu kwa maisha yetu ambapo bi<strong>la</strong>ya misitu maisha ya viumbe hawa huwamashakani.Misitu ya asili pia ni muhimu kwakinga dhidi ya majanga ya upepo mkalina urekebishaji wa hali ya hewa naupatikanaji wa mvua. Vile vile inachangiamaendeleo ya utalii, kutoa ajira kwawanavijiji wanaozunguka misitu ya hifadhi,kupatikana kwa vyanzo vya maji ambavyoni rasilimali kubwa kwa maisha yamwanadamu kwa matumizi ya majumbanina mahoteli (maji ni uhai). Misitu husaidiakujenga afya kwa uzalishaji wa matundamfano, mabungo na zambarau.Nje ya maeneo ya misitu ya hifadhi, ipomisitu iliyozunguka maeneo ya vijijiniambayo ni muhimu kwa kuhifadhiwa.Juhudi za uhifadhi ni vyema zihusishepande zote mbili, misitu iliyo chini yausimamizi wa taasisi za Kiserikali na iliyochini ya wanajamii.Kutokana na harakati za maendeleoya mwanadamu, baadhi ya maeneo yamisitu ya asili yameanza kupoteza uasiliwake kutokana na athari za kukatwa ovyokwa matumizi ya nishati ya kuni, makaa,kilimo, chokaa, majumba ya kuishi navitega uchumi.Daraja <strong>la</strong> mikoko <strong>la</strong> Jozani-Pete ni miongoni mwa kivutio cha watalii katikauhifadhi wa msitu wa ukanda wa pwani.Hivyo, kutokana na kutoweka kwa misituambayo ni muhimu katika maisha yaviumbe, Serikali kupitia Wizara ya <strong>Kilimo</strong>na Maliasili kwa kushirikiana na washirikahao imezindua mradi huo kwa lengo <strong>la</strong>kuhifadhi misitu pamoja na rasilimaliziliomo kwa faida ya wanajamii na taifakwa jum<strong>la</strong>.Miongoni mwa changamotozinazosababisha uharibifu wa misitu nipamoja na kuendelea kupungua kiwangocha maji ardhini ambacho kimepelekeakupungua kwa maji katika visima,mito na kukauka kwa vyanzo vyengine.Kuongezeka kwa kiwango cha joto nakurundikana kwa hewa mkaa. Athari zachangamoto hizo husababisha ardhikukosa rutuba ya kustawisha mazao yakilimo kunakopelekea uzalishaji mdogo,ukame na njaa kwa binadamu, kufa kwamifugo, kupotea kwa wanyamapori nakutokea kwa mafuriko wakati wa mvua.i. Hatua za kuchukua ili kuimarishauhifadhi wa misitu na kuwa endelevuni:ii. Kutenga maeneo zaidi ya uhifadhi wamisitu ya asili na kuimarisha iliyopo,iii. Kuendeleza taaluma ya uhifadhi wamisitu kwa jamii,vi. Kufanya ukaguzi wa misitu na kuchukuahatua za kisheria kwa wanaoharibumisitu.v. Kushirikisha jamii katika uhifadhi kwakuwasaidia kuanzisha na kuendelezavitalu vya miti na kupanda miti mingimjini na vijijini.12vi. Kuacha kuwinda wanyama kihole<strong>la</strong>pamoja na,vii. Kuanzisha sheria ndogo ndogo.Jamii inashauriwa ipunguze kiwangokikubwa cha kuvuna misitu ya asili kwamatumizi ya nishati ya kupikia majumbani,mahotelini na katika mabekari nauchomaji wa chokaa na makaa. Aidha,wanajamii wanatakiwa waendeleze juhudiza kupanda miti ya misitu na matunda nawaachane na tabia ya kukata misitu yaasili ovyo, kwani tabia hiyo inasababishakutoweka miti mikubwa ambayo nimuhimu kwa uzalishaji wa mbegu.Ushirikishwaji wa wanavijiji katikakufanikisha utekelezaji wa mradi huuunahitajika ili waweze kutoa michangoyao katika kupanga na kutekeleza kaziza mradi kupitia kamati zao za uhifadhimisitu. Mradi unapaswa uwashirikisheuongozi wa Wi<strong>la</strong>ya husika katikautekelezaji wake na kuwapatia taaluma yakupanga na kusimamia uhifadhi wa misitukatika ngazi za Shehia hadi Wi<strong>la</strong>ya.Vile vile Taasisi za kiserikali chini yaWizara husika ziunganishe nguvu zaopamoja kupiga vita uharibifu wa misitu nakuhimiza upandaji miti na kuitunza iliyopoiweze kuimarika. Miongoni mwa taasisihizo ni zinazohusika na Maji, Mazingira,Ardhi na Utalii kushirikiana katika kupangautekelezaji wa mradi huu.Katika kuendeleza mradi huu ushirikianowa pamoja unahitajika baina ya Wizaraya <strong>Kilimo</strong> na Maliasili Zanzibar na Wizaraya Maliasili na Utalii ya Tanzania barakupitia Idara ya Misitu na Nyuki, Tanzaniaunahitajika ili kufanikisha mpango wautekelezaji wake.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!