You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
WIZARA YA MAJI:7. MHESHIMIWA LAMECK OKAMBO AIRO(RORYA):Atamuuliza Mheshimiwa Waziri wa Maji:- ZiwaVictoria ni mion<strong>go</strong>ni mwa Maziwa makubwaDuniani na Wilaya ya Rorya imebahatikakumiliki sehemu kubwa ya Ziwa hilo lakiniwananchi wake wanataabika sana na shida yamaji:-(a) Je, ni lini wananchi wa Rorya watanufaikana maji ya Ziwa Victoria;(b) Je, Serikali ina mikakati gani mahususi yakulinda mazingira ya Ziwa hilo.7