Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz Read - bunge .parliament.go. tz

bunge.parliament.go.tz
from bunge.parliament.go.tz More from this publisher
13.07.2015 Views

(b) Je, Serikali haioni ni vyema na busarakutawanya viwanda mikoa mbalimbali ilikuweka usawa wa bei za bidhaa muhimukama vile mabati, simenti, nondo nk.ambazo hivi sasa zinauzwa bei ghalimikoani ikilinganishwa na Dar es Salaamkuliko ilivyo hivi sasa.WIZARA YA FEDHA:6. MHESHIMIWA DUNSTAN DANIEL MKAPA(NANYUMBU):Atamuuliza Mheshimiwa Waziri wa Fedha:- Je,ni lini Tawi la NMB Mangaka WilayaniNanyumbu litatoa huduma kwa siku sita kwawiki kama ilivyo kwa Matawi mengine nchini.6

WIZARA YA MAJI:7. MHESHIMIWA LAMECK OKAMBO AIRO(RORYA):Atamuuliza Mheshimiwa Waziri wa Maji:- ZiwaVictoria ni miongoni mwa Maziwa makubwaDuniani na Wilaya ya Rorya imebahatikakumiliki sehemu kubwa ya Ziwa hilo lakiniwananchi wake wanataabika sana na shida yamaji:-(a) Je, ni lini wananchi wa Rorya watanufaikana maji ya Ziwa Victoria;(b) Je, Serikali ina mikakati gani mahususi yakulinda mazingira ya Ziwa hilo.7

(b) Je, Serikali haioni ni vyema na busarakutawanya viwanda mikoa mbalimbali ilikuweka usawa wa bei za bidhaa muhimukama vile mabati, simenti, nondo nk.ambazo hivi sasa zinauzwa bei ghalimikoani ikilinganishwa na Dar es Salaamkuliko ilivyo hivi sasa.WIZARA YA FEDHA:6. MHESHIMIWA DUNSTAN DANIEL MKAPA(NANYUMBU):Atamuuliza Mheshimiwa Waziri wa Fedha:- Je,ni lini Tawi la NMB Mangaka WilayaniNanyumbu litatoa huduma kwa siku sita kwawiki kama ilivyo kwa Matawi mengine nchini.6

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!