Read - bunge .parliament.go. tz
Read - bunge .parliament.go. tz Read - bunge .parliament.go. tz
(b) Je, Serikali haioni ni vyema na busarakutawanya viwanda mikoa mbalimbali ilikuweka usawa wa bei za bidhaa muhimukama vile mabati, simenti, nondo nk.ambazo hivi sasa zinauzwa bei ghalimikoani ikilinganishwa na Dar es Salaamkuliko ilivyo hivi sasa.WIZARA YA FEDHA:6. MHESHIMIWA DUNSTAN DANIEL MKAPA(NANYUMBU):Atamuuliza Mheshimiwa Waziri wa Fedha:- Je,ni lini Tawi la NMB Mangaka WilayaniNanyumbu litatoa huduma kwa siku sita kwawiki kama ilivyo kwa Matawi mengine nchini.6
WIZARA YA MAJI:7. MHESHIMIWA LAMECK OKAMBO AIRO(RORYA):Atamuuliza Mheshimiwa Waziri wa Maji:- ZiwaVictoria ni miongoni mwa Maziwa makubwaDuniani na Wilaya ya Rorya imebahatikakumiliki sehemu kubwa ya Ziwa hilo lakiniwananchi wake wanataabika sana na shida yamaji:-(a) Je, ni lini wananchi wa Rorya watanufaikana maji ya Ziwa Victoria;(b) Je, Serikali ina mikakati gani mahususi yakulinda mazingira ya Ziwa hilo.7
- Page 1 and 2: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIABUNG
- Page 3: II.MASWALI:OFISI YA WAZIRI MKUU:1.
- Page 9 and 10: WIZARA YA UJENZI:9. MHESHIMIWA FREE
- Page 11 and 12: WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII:1
- Page 13: WIZARA YA ULINZI NA JESHI LA KUJENG
(b) Je, Serikali haioni ni vyema na busarakutawanya viwanda mikoa mbalimbali ilikuweka usawa wa bei za bidhaa muhimukama vile mabati, simenti, nondo nk.ambazo hivi sasa zinauzwa bei ghalimikoani ikilinganishwa na Dar es Salaamkuliko ilivyo hivi sasa.WIZARA YA FEDHA:6. MHESHIMIWA DUNSTAN DANIEL MKAPA(NANYUMBU):Atamuuliza Mheshimiwa Waziri wa Fedha:- Je,ni lini Tawi la NMB Mangaka WilayaniNanyumbu litatoa huduma kwa siku sita kwawiki kama ilivyo kwa Matawi mengine nchini.6