Read - bunge .parliament.go. tz
Read - bunge .parliament.go. tz Read - bunge .parliament.go. tz
ORODHA YA SHUGHULI ZA LEO______________MKUTANO WA KUMIKIKAO CHA KWANZA – TAREHE 29 JANUARI, 2013Wimbo wa Taifa Kuimbwa, Dua Kusomwa naKikao Kuanza Saa Tatu Asubuhi.I. HATI ZA KUWASILISHWA MEZANI:WAZIRI MKUU:Taarifa ya matoleo yote ya Gazeti la Serikalipamoja na nyongeza zake zilizochapishwa tangukikao cha mwisho cha Mkutano wa Bunge uliopita.2
II.MASWALI:OFISI YA WAZIRI MKUU:1. MHESHIMIWA KANGI ALPHAXARD LUGOLA(MWIBARA):Atamuuliza Mheshimiwa Waziri Mkuu:- Baadhiya Majimbo hapa nchini yana zahanati kwakila kijiji wakati vijiji 36 vya Jimbo la Mwibarahavijapata zahanati:-Je, ni vigezo gani vimetumika kujengazahanati hizo.2. MHESHIMIWA RAYA IBRAHIMU KHAMIS(VITI MAALUM):Atamuuliza Mheshimiwa Waziri Mkuu:- Kwasababu Serikali haijaweka mfumo wa ukaguzina udhibiti wa makusanyo ya ushuru katikavitega uchumi mbalimbali kama vile vituo vyamabasi ya abiria, masoko, maegesho yamagari nk; inapoteza mapato mengi kwa kutoazabuni kwa kampuni binafsi kukusanya ushurukatika maeneo hayo:-3
- Page 1: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIABUNG
- Page 6 and 7: (b) Je, Serikali haioni ni vyema na
- Page 9 and 10: WIZARA YA UJENZI:9. MHESHIMIWA FREE
- Page 11 and 12: WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII:1
- Page 13: WIZARA YA ULINZI NA JESHI LA KUJENG
II.MASWALI:OFISI YA WAZIRI MKUU:1. MHESHIMIWA KANGI ALPHAXARD LUGOLA(MWIBARA):Atamuuliza Mheshimiwa Waziri Mkuu:- Baadhiya Majimbo hapa nchini yana zahanati kwakila kijiji wakati vijiji 36 vya Jimbo la Mwibarahavijapata zahanati:-Je, ni vigezo gani vimetumika kujengazahanati hizo.2. MHESHIMIWA RAYA IBRAHIMU KHAMIS(VITI MAALUM):Atamuuliza Mheshimiwa Waziri Mkuu:- Kwasababu Serikali haijaweka mfumo wa ukaguzina udhibiti wa makusanyo ya ushuru katikavitega uchumi mbalimbali kama vile vituo vyamabasi ya abiria, masoko, maegesho yamagari nk; inapoteza mapato mengi kwa kutoazabuni kwa kampuni binafsi kukusanya ushurukatika maeneo hayo:-3