Read - bunge .parliament.go. tz
Read - bunge .parliament.go. tz Read - bunge .parliament.go. tz
13. MHESHIMIWA ALBERT OBAMA NTABALIBA(MANYOVU):Atamuuliza Mheshimiwa Waziri waMawasiliano, Sayansi na Teknolojia:-Mawasiliano ni muhimu kibiashara, ulinzi naustawi wa jamii:-(a) Je, ni lini Tarafa ya Muyama JimboniManyovu itawekewa mnara wamawasiliano;(b) Je, Serikali ipo tayari, kufika Manyovukuona hali ilivyo kwa kulinganisha minaramingi iliyopo upande wa Burundi wakatiupande wa Tanzania hakuna minara.12
WIZARA YA ULINZI NA JESHI LA KUJENGATAIFA:14. MHESHIMIWA RUKIA KASSIM AHMED(VITI MAALUM):Atamuuliza Mheshimiwa Waziri wa Ujenzi naJeshi la Kujenga Taifa:- Hospitali ya Jeshi yaAl-Khamis Camp Chakechake iliyojengwa kwaajili ya kuwahudumia wanajeshi na familia zao,ina hudumia idadi kubwa ya wananchi kwasasa:-Je, Serikali haioni kwamba ipo haja yakuiongezea ruzuku ili iweze kuwahudumiavizuri wagonjwa wote wanaofika hospitalinihapo.DODOMADKT. T. D. KASHILILAH29 JANUARI, 2013 KATIBU WA BUNGE13
- Page 1 and 2: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIABUNG
- Page 3: II.MASWALI:OFISI YA WAZIRI MKUU:1.
- Page 6 and 7: (b) Je, Serikali haioni ni vyema na
- Page 9 and 10: WIZARA YA UJENZI:9. MHESHIMIWA FREE
- Page 11: WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII:1
WIZARA YA ULINZI NA JESHI LA KUJENGATAIFA:14. MHESHIMIWA RUKIA KASSIM AHMED(VITI MAALUM):Atamuuliza Mheshimiwa Waziri wa Ujenzi naJeshi la Kujenga Taifa:- Hospitali ya Jeshi yaAl-Khamis Camp Chakechake iliyojengwa kwaajili ya kuwahudumia wanajeshi na familia zao,ina hudumia idadi kubwa ya wananchi kwasasa:-Je, Serikali haioni kwamba ipo haja yakuiongezea ruzuku ili iweze kuwahudumiavizuri wa<strong>go</strong>njwa wote wanaofika hospitalinihapo.DODOMADKT. T. D. KASHILILAH29 JANUARI, 2013 KATIBU WA BUNGE13