Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
13. MHESHIMIWA ALBERT OBAMA NTABALIBA(MANYOVU):Atamuuliza Mheshimiwa Waziri waMawasiliano, Sayansi na Teknolojia:-Mawasiliano ni muhimu kibiashara, ulinzi naustawi wa jamii:-(a) Je, ni lini Tarafa ya Muyama JimboniManyovu itawekewa mnara wamawasiliano;(b) Je, Serikali ipo tayari, kufika Manyovukuona hali ilivyo kwa kulinganisha minaramingi iliyopo upande wa Burundi wakatiupande wa Tanzania hakuna minara.12