Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII:11. MHESHIMIWA MARGARETH AGNESMKANGA (VITI MAALUM):Atamuuliza Mheshimiwa Waziri wa Afya na Ustawiwa Jamii:- Makali ya u<strong>go</strong>njwa wa UKIMWIhuzidishwa na ma<strong>go</strong>njwa nyemelezi kama vile TB,kisonono, malaria n.k:-Je, Serikali ina mikakati gani ya kuhakikisha kuwadawa za kutibu ma<strong>go</strong>njwa hayo zinapatikana kwawingi katika zahanati na vituo vya afya nchini.WIZARA YA MAWASILIANO, SAYANSI NATEKNOLOJIA:12. MHESHIMIWA DAVID ZACHARIA KAFULILA(KIGOMA KUSINI):Atamuuliza Mheshimiwa Waziri wa Mawasiliano,Sayansi na Teknolojia:- Kwa muda mrefu Kata zaKalya, Mte<strong>go</strong>wanoti, Sunuka na Sigunga ndaniya Wilaya mpya ya Uvinza zinakabiliwa na tatizola mawasiliano ya simu:-Je, Serikali ina mpan<strong>go</strong> gani wa kuzipakipaumbele Kata hizo ili kuwaondoa wakazi haokatika maisha ya ujima.11