13.07.2015 Views

Mtafutaji mag2.indd - Tanzania Development Gateway

Mtafutaji mag2.indd - Tanzania Development Gateway

Mtafutaji mag2.indd - Tanzania Development Gateway

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

ISSN No: 0856 - 9843 Toleo Na. 02 Juni 2005J arida la wafanyabiashara wadog o wadog o na wa katiUmaskini ni mzigouliotulemea ?<strong>Mtafutaji</strong> agombaniwa Dar<strong>Mtafutaji</strong> <strong>mag2.indd</strong> 16/28/05 2:43:07 PM


<strong>Mtafutaji</strong> <strong>mag2.indd</strong> 26/28/05 2:43:28 PM


yaliyomoUkurasaTuukatae Umaskini 4Ujasiriamali ni suluhisho 5Umuhimu wa masoko ya mazao ya wakulima wadogo 7Halima Rashidi na Uwezeshaji wa Wanawake 10Wakulima wa Ruvuma wanufaika na VICOBA 12Umaskini ni Mzigo uliotulemea? 13DAI PESA watoa mafunzo ya kilimo Hai/UKIMWI 16Mbinga Kurugenzi Saccos wanufaika 17Mikopo kama silaha ya kupambana na umaskini 17Waathirika wa UKIMWI watumiwa kama kitega uchumi 18Vikundi vya Wakulima vyaunda shirikisho 19Masharti ya mikopo yawaathiri wakulima wadogo wa miwa 21Chama cha Ushirika kuanzisha Sekondari 21Somo la Biashara na familia 22Mjue Ra P 23Tatizo la ajira kwa vijana 24Ufafanuzi wa sheria ya uandikishaji Mashirika 25Shirika la Pride <strong>Tanzania</strong> lakopesha Wafanyakazi 26Burke ahimiza wakulima kuunda vikundi 26Vijue vikundi vya akina mama wa Temeke 27SACCOS za wanawake Ruvuma zakopeshwa mifugo 29Wadau wataka marufuku ya Lumbesa itekelezwe 29Iringa Vijijini kuuaga umaskini? 30Ruvuma wafunzwa kilimo cha Pilipili mboga 31Uzalishaji miwa kupanda 31Viongozi wa shirikisho watembelea Moshi 32RUMACU SACCOS ya jengewa uwezo 32Washauriwa kutafuta masoko kwa komputa 33Teknolojia yetu itumike kupambana na Umaskini 34Utafiti wa Mazingira 35Juni 2005 Vol. 2YALIYLinatayarishwa na kusambazwanaOpportunities Industrilization Centres of TanY(OIC <strong>Tanzania</strong>)S.L.P. 12474,Dar es Salaam, <strong>Tanzania</strong>Simu: (255) 22-2775705,Faks: (255) 22- 27772734Simu ya Kiganja: +255-744 276018Baruapepe:mtafutaji@gmail.comBodi ya WahaririMr. Kawa Kundaeli- MwenyekitiMr. E.B. Tonya - Mhariri Mkuu - 0744 989785Mr. Canute W. Temu - Mwakilishi DAI PESA0748 320 690/ 0744 282 101Mrs. Halima Rashid - Mhariri Msaid-0748596899Design & LayoutColourPrint (T) LtdOM<strong>Mtafutaji</strong> <strong>mag2.indd</strong> 36/28/05 2:43:35 PM


Kama tulivyoona katikatoleo lililopita la <strong>Mtafutaji</strong>,tunaendelea kukuletea madambali mbali ambazo ukizisoma,ukizingatia na ukizitendea kazizitakusaidia kuwa mjasiriamalihivyo utaukataa umaskini.Kama jina la jarida lenyewelilivyo, MTAFUTAJI, basi ni wajibuwa kila mmoja wetu kutamanikuwa mtafutaji na mbunifu, nasi kukaa tu na kusuburi kwambaserikali itakuja kutukwamua kutoka kwenye umaskini.Sisi wenyewe tujishughulishe na tutafute ni wapipana fursa ya kuweza kufanya kazi yoyote iliyo halaliili kujipatia kipato badala ya kukaa tu na kuilaumuserikali.Nia yetu hasa ni kutaka kuwashauri na kuwaelekezawananchi jinsi wanavyoweza kuondokana na umaskini,kwa mfano:• Kukubali kwamba wewe mwenyewe wawezakuutokomeza umaskini ulio nao• Kuwa wajasiri na kutafuta ni wapi penye fursaya kuweza kuendesha biashara au kilimo.• Kutafuta ni wapi wanaweza kupata mtaji aumikopo na kuifanyia biashara.Wengi wetu tunafahamu kwamba adui yetu mkubwa niumaskini ambao pamoja na maradhi na ujinga ni maaduiwatatu wa mwanadamu. Tunaweza kuwatokomezamaadui hawa wote kama tukiukataa umaskini.Umaskini umekuwa ukipigwa vita tangu enzi na enzikwa kuelezewa kwenye vitabu na magazeti na pia kwamaneno, bila mafanikio makubwa. Sasa ni wakati wetukuupiga vita umaskini kwa vitendo kwa kuuchukiana kuukataa tukiamini kwamba sisi hatukuzaliwatuwe maskini bali tumekuwa maskini kwa sababu yakutokuzitumia fursa zilizopo na zinazojitokeza vizuri.Ni jukumu la kila mmoja kuacha uvivu na kusimamakatika nafasi yake mwenyewe ili kuutokomezaumaskini, badala ya kuachia serikali na viongozi wetumzigo huu. Wengi wa viongozi wetu wa kisiasa na hatawalio serikalini siyo wajasiriamali hivyo hata dhanaya ujasiriamali ni ngeni kwao. Laiti kama viongoziwangalijengewa uwezo wa kuelewa ujasiriamali ni nini,ingelisaidia sana kwani wangeupiga vita umaskini kwanguvu zao zote kuliko sasa ambapo maneno ni mengikuliko vitendo.Ipo hadithi ya wananchi waliobetweka baada ya kuonakwamba kila walipopungukiwa chakula serikali yaoilikuwa ikiwapelekea chakula cha msaada, ingawajeeneo waliloishi lilikuwa zuri, lenye mvua za kutoshana ardhi yenye rutuba sawa na mabonde ya milimaUsangu na ile ya Kilimanjaro. Wananchi hawawalikuwa wakulima hodari na wazalishaji wazuri wachakula, lakini wakabweteka baada tuu ya nchi yaokupata uhuru. Siku moja Raisi wao alipokuwa njianikwenda kuzuru eneo hilo, alikutana na msafarawa malori uliosheheni nafaka ukielekea huko.Akauliza kulikoni? Akaambiwa wenyeji wa eneo hilowananjaa na wasipopata msaada haraka watakufa.Inasemekana aliamuru malori hayo yarudi yalikotoka.Alipowahutubia wananchi wa eneo lile aliwaeleza waziwazi kwamba ameamuru chakula kilichokuwa kikiletwahuko kirudishwe kilikotoka ili wananchi walewajifunze. Aliendelea kuuliza kwa mshangaoinawezekanaje eneo lililokuwa likitoa chakulacha kutosha na hata ziada ya kuuza nje ya nchiyao kabla ya Uhuru, leo hii waletewe misaadaya chakula wakati upo ushahidi kwamba mvuazilikuwepo za kutosha na zilinyesha kwa wakati.Aliwaonya wananchi wale kwamba liwalo na liwehawataletewa chakula, ni bora wachache wafenjaa ili liwe fundisho la kuwaponya wananchiwengine.Hakuna mwenye uhakika kama wapo waliokufa,lakini cha kujifunza hapa ni kwamba kwa zaidi yamiaka 40 sasa wananchi wa eneo lile hawajapatakuwa na upungufu wa chakula. Kwa muda wotehuu, wamekuwa wakizalisha zaidi ya mahitajiyao.Watanzania tulio wengi hatutofautiani nawananchi walioelezwa katika mfano huu.Tumebweteka, tunapenda kutoa majiburahisi kwamba sasa tufanyeje; hatuna mitajina vitendea kazi. Hivi wengine wanapatawapi mitaji? Wao wameanzishaje miradi yao?Kutoka KwaMkurugenziMtendajiHatuna malengo, na mara nyingi hata wachachetunao kutana nao kwenye mafunzo au kwaushauri, huishia kulalamika tuu bila kuwa nauhakika wa kitu mtu alichopanga kufanya. Hivikama hujapanga unachotaka kufanya, au kamahuna hata wazo la biashara ukiupata huo mtajiutaufanyia nini? Wengi wameshuhudia kwenyemafunzo yaliyopita ya ujasiriamali hivi karibunikwamba, walidhani wakipata mitaji watafanyatuu biashara bila matatizo. Walipopata mikopowaliishia kuitumia kwa mambo tofauti kabisana biashara. Hivi sasa wanapata adha kubwa yakuirudisha mikopo hiyo kwa vile hawana biasharana fedha walishazitumia.Ushauri wetu kwa wasomaji kama itakavyoonekanakatika mada mbalimbali zilizoandikwa kwenyejarida hili, ni muhimu kwa watu kuamua kubadilikasasa na kuwa watafutaji wenye malengo nawanaoamini kwamba wataweza. Kwa sasa niwakati muafaka kwa Watanzania kuachana namawazo potofu kwamba hatuwezi kuuondoaumaskini. Ni muhimu sana kubadilika kimawazokwani tusemapo hatuwezi na akili zetu nazohukubali hatuwezi hivyo, tukishaamini hivyotunakuwa hatuwezi asilani.Jarida hili litaendelea kuhubiri juu ya kuukataaumaskini, na badala yake tuamini kwamba tuanouwezo wa kuzalisha utajiri (ability to createwealth).4<strong>Mtafutaji</strong> <strong>mag2.indd</strong> 46/28/05 2:43:38 PM


Toka Meza ya MhaririUJASIRIAMALI NI SULUHISHOWapendwa wasomaji,Awali ya yote kumradhi, kwani toleohilila jarida mlipendalo limechelewakuingia mitaani. Pamoja na wingi wasababu zinazoeleweka kuwa “nje yauwezo wetu”, ukiwemo ucheleweshajiwa rasimu za makala na habari, badomakataa yote ni yetu. Hata hivyo maulizoyenu ya daima yameufunua upenzi wenuwa MTAFUTAJI na pia nia yenu njema yakushiriki katika kuliendeleza jarida hili.Katika toleo la kwanza tulielimishanakuhusu dhamira ya jarida letu hili namantiki nzima ya ujasiriamali katikakupambana kuundoa umaskini. Natunaendelea kufanya hivyo katika toleohili na yajayo. Hebu sasa tushirikianekatika kuungalia UJASIRIAMALI kamasuluhisho la matatizo yanayotusibu sisiwanadamu katika maisha yetu. Kwa ufupitunauongolea ujasiriamali kama nyenzomuhimu katika juhudi zetu za kujijengeaUWEZO WA KIUCHUMI ili tuweze kuwana hali bora zaidi na hadhi katika jamiikama watu wengine. Tukiwa na uwezowa kiuchumi tutaweza kujipatia hudumamuhimu katika maisha yetu. Muhimuzaidi, tutaweza kuundoa unyonge nakushiriki katika michakato ya kisiasa nakijamii kwa kujiamini.Kwa leo tuliangalie tatizo la AJIRAMBAYA YA WATOTO na jinsi linavyowezakutatuliwa kupitia ujasiriamali, yaani kwakufanya shughuli za kibiashara pamojana kilimo kitaalamu zaidi; kwa kuwawawekezi wenye mipango bora.Matokeo ya tafiti mbalimbali, ukiwamoule ambao OICT tulishiriki mwaka2003/2004, yanaonyesha kwamba sababukuu ya ajira mbaya ya watoto ni UMASKINIuliokithiri katika kaya. Umaskini wa kipatohujinyumbua katika nyanja nyingineza umaskini, k.m. ukosefu wa uhakikawa chakula, watu kushindwakuzimudu huduma muhimukama elimu ya watoto naafya, makazi duni, kushindwakuzitumia vyema maliasilikama misitu na samaki ambayohuharibiwa, kushindwa kuwa nasauti katika jamii au kushirikikatika mipango, ufuatiliaji namaamuzi na kubakia wanyonge.Laiti kama tungalitumia mbinuza kijasiriamali, ambazozinafafanuliwa katika makalakaribu zote zilizomo katikatoleo hili, tungekuwa na uwezomkubwa zaidi wa kumudumaisha, tena kwa kujiamini.Takwimu za Taifa zinaonyeshakwamba kwa wastani Mtanzaniawa kawaida anaishi kwakutumia chini ya dola moja yaKimarekani kwa siku, labdakwa kutumia shilingi mia tano,sijui.Hali hiyo huwakosesha elimuna huduma nyingine watoto wafamilia. Na ikiendelea hivyo,watoto hao nao pia watashindwakumudu kuzitegemeza familiazao, na hivyo mzingo huo waumaskini utaendelea. MUNGUAPISHIE MBALI! Watoto wengiwaliokosa fursa ya kwendashule huingia katika ajiraambazo haziendani na umriwao na huwaathiri vibayakimaumbile, kisaikolojia,kiafya na huwadhalilisha.Aina za ajira hizo ni pamojana kuchuuza vitu mitaani,upakazi, kuzoa taka kwamikokoteni, kuvunjamawe/ kugonga kokoto,kilimo katika mashamba yamabepari k.m. ya tumbaku,kazi za majumbani ambakowengi wao hudhalilishwasana, kazi za migodiniambako wanatumiwa kama“nyoka” wa kuingia ndani yamashimo hatari kabisa na piakuchekecha mchanga, kuuzavileo katika mabaa na vilabuvya kienyeji, kuhudumia katikanyumba za wageni, kuchungamifugo ya watu wengine, naukahaba wa kulazimishwa.5<strong>Mtafutaji</strong> <strong>mag2.indd</strong> 56/28/05 2:43:43 PM


Katika ajira zote hizo,pamoja na ubayauliopo, waajiriwawanadhulumiwakimapato. Tumewahikuhojiana na wauzabaa ambao walituarifukwamba walikuwawanalipwa mshahara washilingi elfu nane hadikumi kwa mwezi. Haoni watu wenye watoto,wanapanga vyumbana inawabidi wajikimukimaisha. Kwa vyovyotehawana budikuwa na njianyinginehalali zakujiongezeakipato. Lakinini siri iliyowazi kwambabaadhi yaohujiingizak a t i k abiasharazisizokuwarasmi walahalali, kamaukahaba.Na ukahabahuu unaweza“kurithishwa”pia, k.m.m a m amlea pekeanapokuwakilabuni na “wateja”wake wasipomkutanyumbani, basi kibintichake kinachokutwahapo hulazimishwa“kuchukua zamu” (rejeamatokeo ya Majadilianoya Vikundi Lengwakatika Uchambuzi waHali Halisi ya Ajira YaWatoto 2003). Ukahabaau biashara ya ngonoimeongezewa kasina kuporomoka kwamaadili ya jamii kufuatiaujaji wa maendeleoya teknolojia k.m.televisheni na intaneti,pia na matokeo yautandawazi. Ujenzi wamahoteli ya ufukweninao umetoa mwanyakwa watu wasiopendashughuli halali“kujimwaga” katikabiashara ya ngono,tena ngono zenyewe zahovyo hovyo, pamoja naushoga, ngono kinywana ngono mwaranda.Amri za Mungu zaMLIMANI namba 6 na 9zimedharauliwa kabisa!Eti wanasema “uhuruwa binadamu”!? Hayani matumizi mabaya yasera za utandawazi.Mada yetu si ukahabaau biashara ya ngono,la hasha; bali tunatakatuyaone madhara yakuzembea kufanyashughuli kijasiriamali ilitujitegemee kiuchumina tuziokoe familiazetu. Madhara yabiashara ya ukahabayapo wazi: ni maradhiya kaswende ya mudamrefu na UKIMWI,iwapo hatutaji dhambikwa Mwenyezi kwakuwa na shingo ngumuna kuuchafua mwili safina roho pia. Hatimayewanafamilia na majiraniwanateseka kwakuwalea wagonjwa nakukosa huduma. Ripotiya Umoja wa Mataifainaeleza kwambamwaka huu 2005kumetokea vifo vingizaidi vinavyotokana naUKIMWI kuliko kabla.Na kati ya watu milioniWanafunzi wakirudi toka likizo: Je tuna watayarishavipi watoto wetu wasiingie katika ajira mbaya?40 wenye UKIMWIduniani, idadi kubwawapo katika nchi zetuzinazoendelea ambakoasilimia 12 tu yawagonjwa wanawezakupata dawa za ARV.Watotowetuwataangamia naTaifa litaangamiatusipoongeza juhudi zakiuchumi kwa kutumiambinu za kijasiriamali,ili watoto wasiingiekatika biashara au ajiraharamu.Kuna miradi mingiya kuwaelimisha nakuwakopesha akinamama wafanyabiasharawadogo. Haina maanakwamba akina baba ndiowanatakiwa waangamie,hapana. Ni kwelikwamba ukimwelimishamwanamke wa Kiafrikaumeielimisha naumeiokoa kaya. Aidha,tafiti zilizotajwa hapojuu zilionyesha kwambawazazi/walezi wengiwa watotowaliokutwak w e n y eajira mbayawalikuwaakina MAMAWALEA PEKE.Lakini jambo lamuhimu zaidini kwambamapato yab i a s h a r aaifanyayom a m ayanaifaidiafamilia nzima,pamoja nababa na kaka.Iwapo tunabunimiradi yenyemipango natunaitekelezakijasiriamali, familiazetu zitashikamana,watoto watasoma nahawataingia katikaajira mbaya. Mbinu zakijasiriamali ni pamojana kuunganisha nguvuzetu wafanyabiashara,pamoja na wakulima,katika vikundi namashirikisho. Tuachanena woga na tudirikikufanya kazi kibiasharalakini tuwe makini,tukizingatia ushauri wakitaalamu unaotolewana wabia wa maendeleoyetu wakiwemo OIC<strong>Tanzania</strong> na DAI PESA.6<strong>Mtafutaji</strong> <strong>mag2.indd</strong> 66/28/05 2:43:48 PM


Umuhimu wa masoko ya mazaoya wakulima wadogoNa Abel Lyimo:Mshauri wa Vikundi na Sera katika mradi wa DAI PESA unaofadhiliwana Shirika la Misaada la Kimarekani (USAID).Utangulizi2003 kilimo kilichangia asilimia 51 ya fedha za kigeni. Asilimia 80 ya ajira zinapatikana kwenyekilimo na asilimia 46.8 ya pato la taifa inatokana na kilimo. Kwa sababu hii maendeleo ya kiuchumiya <strong>Tanzania</strong> hayawezi kupatikana kama sekta ya kilimo ni dhaifu. Pamoja na nafasi hii muhimuya kilimo nchini, wananchi waishio vijijini bado ni maskini wakubwa wa kipato. Sababu kubwa yaumaskini huo ni ukosefu wa masoko mazuri na ya uhakika ya mazao ya wakulima wadogo.Nchi ambazozime f a nikiwakupunguza umaskinikati ya wananchiwake ni zile ambazozimetatua kero yamasoko za wakulimawake. Upatikanajiwa masoko mazurini kichocheo chamabadiliko mengineya kiuchumi, kwamfano:-1) Upatikanaji waajira,2) Uanzishaji viwandavidogo,3) Ongezeko la watoahuduma kamawauza pembejeo,n.k,4) Kuong ezek akwa huduma zausafirishaji,5) Ongezeko lamatumizi ya mafutaya kuendesheamagari na mitambomingine,6) Ongezeko la wigowa kutoza ushurukuanzia ngazi yakijiji hadi serikalikuu7) Kupanuka kwabiashara nyinginekama za migahawa,Jee uzalishaji unazingatia mahitaji ya soko?baa, mama ntilie,n.k.,8) Ongezeko la shuleza binafsi,9) Upatikanaji wasadaka na zaka– kwa ajili yakuw ahudumiawalemavu, waishiona VVU/UKIMWI,watoto wa mtaanina watu wenginewenye shida,10) Uboreshaji walishe.Ukosefu wa masokoya uhakika una atharimbaya, kwa mfano :-i) Ukosefu wa ajira– uzururaji, ulevina matokeo yakeyakiwemo vitendovya kifisadi,ii) K u s h i n d w ak utengenezamiundo mbinu,iii) Kushindwakusomesha watoto,iv) K u s h i n d w akuendeleza ardhi.Kuna madharamengi sanay anayotok anana kutokuwana uhakika wamasoko ya mazaoy anay olimwana wakulima.Kimsingi umaskinihautapungua iwapokuna ukosefuwa masoko yenyemanufaa.7<strong>Mtafutaji</strong> <strong>mag2.indd</strong> 76/28/05 2:43:51 PM


1. Mfumo wa soko huruUpatikanaji wa masoko ya uhakika kwa ajili yamazao ya wakulima katika nchi zinazoendeleautawawezesha wakulima kushiriki moja kwamoja katika kuongeza uchumi na hivyo ukuaji wakuchangia pato la taifa. Kwa sasa hivi mchangowa wakulima wadogo mmoja mmoja katikakuongeza pato la taifa ni mdogo sana.Kama wakulima hawashiriki katika kuongezapato la taifa basi madhara niliyoyataja hapo juuyatadhihiri, hali ambayo imeanza kujitokezanchini <strong>Tanzania</strong>. Utafutaji wa masoko mazurikwa ajili ya wakulima ni muhimu zaidi katikanchi maskini kuliko katika nchi zilizoendelea.Kwa mujibu wa taarifa ya Wizara ya Ushirika naMasoko, tangu soko huru lianze mwishoni mwamiaka ya themanini biashara ya mazao ya kilimoinafanywa na wafanyabiashara wachache nauwekezaji ni mdogo sana. Mawasiliano kati yawakulima na wanunuzi wa mazao yao ni hafifuna kuna uhaba wa miundo mbinu, hasa vijijini.Taarifa hiyo, inaongeza kwamba maghalahayatumiki inavyostahili na kuna ukosefumkubwa wa mtaji kwa wakulima wadogo.Aidha, imedhihirika kwamba wakulima wengihawajanufaika na mfumo wa soko huru kwasababu hawajajipanga. Vyama vingi vya ushirikavimeshindwa kushindana na wanunuzi binafsisababu havikuandaliwa vizuri. Utandawaziunaozungumzwa kwenye vyombo mbalimbalihaujaeleweka vizuri kwa wakulima. Ni wakulimawachache wanaoamini kwamba wanaweza kuuzamazao yao nje ya nchi.Tafiti mbalimbali zimeonyesha kwamba kuanziangazi ya uzalishaji hadi uuzaji tija ni ndogosana hapa <strong>Tanzania</strong>. Hali hii inasababisha beiya mazao katika soko la nje kuwa kubwa kiasikwamba mazao hayo hayawezi kushindanakatika soko la kimataifa. Pia pato la mkulimahupungua kutokana na gharama kubwa zauzalishaji.2. UKIMWI na soko huruSoko huru limechangia ongezeko la kueneakwa maambukizi ya ugonjwa wa ukimwi.Wafanyabiashara toka sehemu mbalimbali ndanina hata nje ya nchi hufuata mazao vijijini. Marakwa mara wanajadili bei na mkulima mmojammoja na wanaweza kumaliza mwezi wakiwavijijini, hasa msimu wa mavuno. Kwa vile wanakaamuda mrefu vijijini na wanakwenda huko marakwa mara, ni rahisi kushiriki vitendo vya ngonona wenyeji ambavyo husababisha kuenea kwamaambukizo ya ukimwi; kwa misingi kwambaasilimia 70 ya wakulima wa vyakula vijijini niwanawake, wakati zaidi ya asilimia themanini yawanunuzi wa mazao ya wakulima ni wanaume.3. Mikataba ya mauzoKukosekana kwa vikundi/vyama vilivyosajiliwakisheria kumewafanya wakulima wadogo wengiwashindwe kufunga mikataba ya kisheria yamauzo. Baadhi ya wafanyabiashara wanatumiahila ili walipe bei ndogo kwa mazao ya wakulimawadogo. Wanawakopesha pesa wakulimawakati wana shida na kuwasainisha mikataba yakununua mazao yao yatakapokomaa. Kwa vilewakulimahao hawajaungana wanakosa nguvu ya kisheria yakuchukua hatua zozote wanapogundua kwambawamesaini mikataba ambayo inawakandamizakwa kulipwa malipo kidogo sana kwa mazao yao.Aidha wakulima wanashindwa kuingia kwenyekilimo cha mikataba kwa sababu ya ukosefu waelimu ya biashara.4. Ukosefu wa elimu ya biashara na masokoWakulima wadogo wamezoea kulima kiasili nani wazito kwenda na maendeleo ya kisayansi nakiteknolojia. Mabadiliko makubwa yanayokwendakwa kasi kubwa, hasa uendeshaji biashara katikamfumo wa soko huru, yamewaacha wakulimawadogo kwenye mataa. Ukosefu wa elimusahihi ya biashara na masoko kwa wakulimawadogo umewafanya wakulima hao washindwekuendesha kilimo chao kibiashara na kwa faida.Aidha wafanyabiashara wengi hawana elimu yabiashara na masoko katika mfumo wa soko huru.Mapungufu haya kwa pande zote mbili, wakulimana wafanyabiashara, yamesababisha kupandakwa gharama za masoko na uzalishaji.5. Upatikanaji wa pembejeoMfumo wa soko huru uliwaruhusu wanunuzibinafsi kuingiza pembejeo toka nje ya nchina kuzisambaza kwa wakulima nchini. Ingawapembejeo zinapatikana nchini, wakulima wengiwanashindwa kuzipata kutokana na kutokuwepokwa chombo cha kuwasaidia kupata mikopo.8<strong>Mtafutaji</strong> <strong>mag2.indd</strong> 86/28/05 2:43:54 PM


Idadi kubwa ya vyama vya ushirika ambavyovingewatafutia wanachama wake mikopo yapembejeo, vilishindwa kufanya hivyo kutokanana kutokukubalika na vyombo vya fedha. Hali hiiimechangia kushuka kwa tija katika uzalishajiwa mazao. Nao ubovu wa barabara toka mijinikwenda vijijini umechangia kupanda kwa beiya pembejeo na pia pembejeo hizo kuchelewakuwafikia wakulima.6. Muhtasari wa matatizo ya masokoi) Ukosefu wa masoko mazuri na ya uhakika,ii) Ukosefu wa taarifa za bei katika masoko,iii) Ukosefu wa mtaji,iv) Ukosefu wa magulio,v) Ukosefu wa elimu ya biashara,vi) Ukosefu wa mizani na utumiaji wa vipimovisivyoku wa sahihi,vii) Ufahamu mdogo wa kilimo cha mkataba,viii) Gharama kubwa za uzalishaji nausafirishaji,ix) Kutokuwa na sera za masoko zinazoelewekana wakulima.iv) Upatikanaji wa fedha kwa ajili ya ununuzi wapembejeo,v) Upatikanaji wa dawa sahihi za kuhifadhianafaka na utumiaji wa ghala ili kuyauza mazaobaadaye wakati bei ziko juu.8. MwishoKwa miaka mingi kilio cha wakulima wadogokimekuwa ni ukosefu wa masoko ya uhakika.Wataalamu mbalimbali wameandika madazinazoelezea ufumbuzi wa matatizo ya masokokwa wakulima wadogo. Hata hivyo, idadi kubwaya wataalamu hao wanaishi katika maeneoya mjini, hasa Dar es Salaam na wana uzoefumdogo wa maisha ya mkulima mdogo anayeishikijijini. Hivyo wanaandika wakitumia nadhariatete zaidi kuliko uhalisi.Njia mojawapo inayoweza kuwasaidia wakulimakutatua tatizo la masoko ni wao kuunganana kuuza mazao yao kwa pamoja. Wakulimawakiweza kuunganisha nguvu zao katika chamani rahisi kwao kupanga bei, kama wanavyofanyawazalishaji wa mafutawa umoja wa “OPEC”.Pia ni rahisi kutafutamasoko mazuri ndanina nje, kwani wanunuzihupendelea kununuamazao mengi yaliyomahali pamoja, kulikoyaliyosambaa kidogokidogo katika sehemutofauti.7. UshauriWakulima wanawezakukusanya mazao yaokwenye ghala la chamana kuyauza baadayewakati bei ziko juu.Aidha asasi zinazotoamikopo zinapendeleaBiashara ya inahitaji uelewa wa sokozaidi kutoa mikopo kwawakulima waliojipangana kuunda muunganounaoeleweka na wenye nguvu. Kwa njia hizowakulima wataweza kupata maisha bora zaidisiku za baadaye.i) Uundaji na uimarishaji wa vikundi vyawakulima/vyama vya ushirika ili viwe na nguvuya kujadili bei na kutafuta masoko ndani na njeya nchi kwa niaba ya wakulima,ii) Uanzishaji wa magulio ya kuaminika,iii) Utumiaji wa vipimo sahihi vya mazao,Abel Lyimo ataendelea na mada zake katikamatoleo yajayo.MHARIRI9<strong>Mtafutaji</strong> <strong>mag2.indd</strong> 96/28/05 2:43:55 PM


SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOOBaadhi ya mazao yaliyopokelewa sokoni Kariakoo kuanzia tarehe 11 hadi 17 June 2005Zao Mkoa linakotoka Soko la jumla Soko la rejarejaBeiKipimo BeiKipimo uwingi Chini juuChini JuuKaroti Arusha, Nairobi* Gunia 660 35000 50000 Kg 500 800Njegere mbichi Iringa Gunia 2315 10000 25000 Kg 400 1000Kabichi nyeupe Arusha, Tanga,Iringa Lumbesa 504 25000 40000 @ 200 600Nyanya maji Iringa Tenga 6219 10000 20000 Kg 300 600Vitunguu maji Manyara, Singida Lumbesa 1327 30000 45000 Kg 300 500Mboga za majani Morogoro, Pwani,DSM, Dodoma Mfuko 830 7000 16000 Fungu 30 100Machungwa Tanga, Morogoro,Pwani @ 229000 9 30 @ 20 80Embe mbivu Mombasa Kasha 56 10000 25000 @ 150 400Matikiti maji Arusha @ 4992 300 1200 @ 350 1500Ubuyu Dodoma Mfuko 51 8000 12000 Kg 400 500Matunda damu Tanga Tenga - - Kg - -Apple (matofaa) Iringa, Tanga Tenga - - Kg - -Ndizi mbivu Tanga, Morogoro,Pwani Tenga 1473 5000 30000 Chane 150 1470Ndizi mbichi Mbeya, Kilimanjaro,Tanga, Morogoro Mkungu 645 2400 15000 Fungu 200 1500(4-5)Viazi mviringo Iringa, Tanga,Kilimanjaro Lumbesa 3941 25000 35000 Kg 250 350Viazi vitamu Morogoro Mfuko 5 30000 34000 Fungu 200 1000Magimbi Morogoro Mfuko 15 16000 17000 Fungu 200 500Muhogo Pwani, DSM Mfuko kosovo106 9000 35000 Fungu 150 300Njugu nyasa Dodoma, Malawi Lumbesa 23 60000 90000 Kg 500 1000soya Iringa Gunia - - - Kg 700 1000Choroko Dodoma Gunia 144 40000 50000 Kg 600 800Kunde Dodoma Gunia - - - Kg 500 700Maharagwe Iringa Gunia 3 60000 - Kg 650 800Mombasa, Pwani,NaziTanga, Gunia 4635 19000 22000 @ 110 250Vitunguu saumu Mbeya Lumbesa 1 - 96000 Kg 1000 1400Tangawizi Kilimanjaro Lumbesa 6 48000 60000 Kg 600 800Hiliki Morogoro Gunia - - - Kg 2500 3000Abdala yasini Morogoro Gunia 2 - 28000 Kg 1000 1500Dagaa Rukwa, Kigoma Gunia 122 125000 180000 Kg 2800 4000Pilipili Mboga Iringa, Kilimanjaro Mfuko 289 28000 42000 kg 500 80011<strong>Mtafutaji</strong> <strong>mag2.indd</strong> 116/28/05 2:44:03 PM


VICOBA” ni mfumowa kuweka nakukopa ambaounatumiwa na wakulimawa vijiji vilivyo katikaKata ya Mletele, WilayaniSongea. Mfumo huusasa unaenezwa katikavijiji vya sehemu nyinginekadhaa za mkoa waRuvuma, nje ya wilayaya Songea.Akitoa taarifa yautekelezaji wa mfumohuo MkurugenziMtendaji wa VICOBA,Mheshimiwa DiwaniDevota Likokola alielezeakilichomsukuma kuuasisimfumo huo. Wakulimawa vijiji hivyo hawakuwana namna yoyote yakuzihifadhi fedha zaoili ziweze kuongezekanao kupata fursa yauwezo mkubwa zaidikifedha na kulima kamawajasiriamali. Matokeoyake ni kwambawalibaki maskini nayumkini wangeendeleakuwa hivyo kwa mudausiojulikana.Mheshimiwa DevotaLikokola, ambaye piani Makamu Mwenyekitiwa Halmashauri yaSongea, alifanya utafitiwa kina na kuyabainimatatizo ya wakulimahao. Ndipo alitokeza naWAKULIMA WA RUVUMAWANUFAIKA NA“VICOBA”Na Assumpta Mwamtende, ambaye ni AfisaMtendaji katika mfumo wa “Village CommunityBanking (VICOBA)” Songeaufumbuzi wa kuanzisha“VICOBA”, mahsusikwa ajili ya kuweka nakukopa vijijini, tarehe 1Machi, 2004.Mfumo wa VICOBAunaendeshwa kwakutumia vikundi. Imaniza kidini, asili ya mtuatokako au jinsia sivigezo katika uundajiwa vikundi hivi. Kilamwenye sifa za kutoshaanakaribishwa kujiungana kikundi kwa hiari yakemwenyewe. Katika kataya Mletele peke yakekuna vikundi 20 vyaVICOBA na wanachamawake wameelezeaviwango vya juu vyakunufaika na mfumohuu.Katika juhudi zake zakuuboresha mfumo huuili uwezo wa VICOBAna wakulima uongezekena matokeo ya VICOBAyaliyotarajiwa yawezekupatikana, Mh.Likokola amewahikuwaalika wagenimbalimbali ili watoeushauri wao. Kutokanana kubadilishana uzoefu,wakulima waliongezajuhudi na sasa wanalimakwa ufanisi zaidi mazaoya maharage, alizeti,kunde miti na pilipilimboga au hohoa(paprika). Ili kuwapahamasa zaidi wakulimahao, MheshimiwaLikokola amejitahididaima kuwatafutiawakulima hao masokokwa ajili ya mazaoyao. Aidha, wakulimawanawezeshwa kwakupewa mbegu. Kwa ajiliya msimu huu zimeletwakilo 5200 za mbeguza maharage kupitiaVICOBA, zenye thamaniya shilingi 5,460,000.00.Baada ya kuyaonamafanikio hayo wakaziwa mkoa wa Ruvumawamehamasika nawanajiunga kwa wingikatika vikundi vyaVICOBA. Wananchiwengi wameombavikundi hivi vienezwekatika maeneo yao natayari vimeundwa vikundivipya katika maeneoya Namtumbo (vikundivitano) na WilayaniTunduru (vikundi vitano).Jambo moja zurilililojitokeza ni uibukajiwa ujasiriamali.Kabla ya VICOBAwakulima walikuwa“wabang aizaji”tu,wakijilimia chakula chao.Hata mauzo kidogowaliyoyafanya hayakuwakatika mpango wakimaendeleo kibiashara.Hivyo si ajabu, kwamfano, waliishiwa kabisamazao na fedha pia, nadaima “walianza upya”kila msimu. Baada yamfumo wa VICOBAkuingia vijijini, sasawakulimawanajitahidikuwa WATAFUTAJI nawanaendeshayao kiujasiriamali.maisha12<strong>Mtafutaji</strong> <strong>mag2.indd</strong> 126/28/05 2:44:07 PM


Kwatu binafsi hutoa mafunzo na mikopokwa lengo la kupambana na umaskini,lakini matokeo ya juhudi hizo si mazuri kamayalivyotegemewa. Katika hali hii umaskiniambao unaainishwa kuwa ni ukosefu wa uwezowa kumudu mahitaji muhimu katika maisha,hususan ukosefu wa kipato, chakula, malazi,mavazi na huduma za kijamii, hautaisha.Takwimu zinaonyesha kwamba Watanzaniawengi wanaishi kwa kutegemea matumizi yadola moja au chini ya hapo kwa siku. Umaskinihuu umekithiri zaidi katika maeneo ya vijijini.Tabia ya vijana wengi kuvikimbia vijiji vyao nakwenda kuishi mijini wakitarajia maisha boranayo inaukithirisha umaskini huo.Umaskini umeleta athari mbaya nyingi kwawananchi, kwa mfano ueneaji wa ukahaba,ubakaji, wizi, ujangili na ujahili, uzembe nauzururaji vijiwenin.k. Umaskiniumewafanya watuau wasiwe wanajaliau watafute njia zamkato ili kujipatiariziki.Licha ya juhudi za serikali, mashirika yakifedha na mashirika yasiyo ya kiserikali katikakupunguza makali ya maisha kwa kutoa mikopomidogo na mafunzo ya namna ya kuitumiamikopo hiyo kwa faida,bado umaskini ndiokwanza unapamba moto.Watanzania tunaonekanakama vile tunauengaengaumaskini, tena kwa hiariyetu wenyewe.Kuendeleakwaumaskini katika halihii kunadhihirishapia kwamba mikopoinayotolewa haitumiwiilivyokusudiwa. Na kwasababu hiyo mikopo hiyohailipwi na mzungukowa umaskini hauishi.Hebu tuzipitie sababuchache za wakopaji,hasa wadogo wadogokutokulipa mikopo,ili tuweze kutafutaufumbuzi.UMASKINI NI MZIGOULIOTULEMEA?• Mikopo mingi hairejeshwi kwa sababu wakopajini ndugu, jamaa au marafiki wa maafisa mikopoMakala ya Yusuf Makuri, WEPkatika asasi za fedha. Hali hii inazuia ufuatiliajimakini; kwani miiko na taratibu tayari zinakuwazimekiukwa na kunakuwepo kuoneana haya.Utamuua vipi nyani ukiwa unamwangalia usoni?• Mikopo hutolewa chini ya mikataba dhaifu(weak contracts) bila ya kuzingatia masuala yakisheria yatakayombana mkopaji anapolegalegakatika matumizi ya mkopo.• Mikopo mingine hutolewa baada yawafanyabiashara kuwa wameisotea sana nahata pengine wametoa mlungula, ili kuharakishamambo. Hali kama hii ya kupata mikopo kwanjia za rushwa ni hatari na mara nyingi huvurugataratibu za utoaji wa mikopo na kusababishawakopaji wasilipe mikopo kama inavyotakiwa.Wanakuwa wameingia gharama zisizo rasmiambazo hawana budi kuzirudisha. Hata afisaaliyechukua hongo anakosa ujasiri wa kufuatiliamadeni.• Mikopo mingi yakiserikali hutolewakisiasa zaidi kulikokuangalia mahitajina malengo halisiya mkopaji katikakuukuza ujasiriamali.Matokeo yake ni wakopaji kubweteka na kudhanikwamba wamepewa bakshishi na si mkopounaotakiwa kulipwa kwa muda maalum.• Sera za serikali kuhusu utoaji mikopo kwawananchi wa kawaidahazijulikani kwawalengwa; ndiyomaana mara nyingimikopo ya serikalihutolewa kwa wingikwa mfano nyakati zachaguzi mbalimbali auvikao vya Bunge, kamakampeni ya zima mototu badala ya kuwaprogramu endelevu.Kutolewa kwamikopo hobelahobelakunaondoa nguvu yaserikali kuwanufaishawakopaji na kusaidiamaendeleo yao.Wakopaji nao hawaonisababu ya kuwajibikakuilipa mikopo hiyona wanaweza kuitumiakwa manufaa tofauti nailivyokusudiwa, kwani aghalabu wanaokopeshwahawana biashara yoyote au huwa wababiaji tu.Suala la Mtanzania maskini kujiepua kutoka13<strong>Mtafutaji</strong> <strong>mag2.indd</strong> 136/28/05 2:44:09 PM


kwenye lindi la umaskini halitegemei kupewamikopo au mafunzo tu, bali kwanza maskinimwenyewe ajitambue kwamba yu maskini naanahitaji kuchukua hatua za kuundoa umaskinikwa gharama yoyote ile.Pia anapaswa kutambua kwamba hana budikutumia nguvu zake mwenyewe ili kujipatiariziki yake na ya familia yake katika ulimwenguwa leo wa utandawazi, ambao umejaa ushindanimkali na wa kikatili.Ni katika kujitambua huku ndipo maskiniataanza kutafuta mbinu mbalimbali za kuzalishamali na kutafuta masoko ya kuuzia mazaoyake. Pia anaweza kutafuta mkopo na mafunzo100. Na lengo liwe ni marejesho kwa asilimiamia moja.Ni kwa kufanya hivi ndipo tutaweza kuumudumzigo wa umaskini, usituzidi nguvu, na tutautuakwa kishindo hautatuelemea.Jambo muhimu ni kuamua kufanya kazi kwabidii, maarifa na nidhamu na kupima matokeoya malengo tuliyojiwekea kila baada ya kipindimaalum. Nina hakika tunao uwezo wa kuutuamzigo wa umaskini tukidhamiria kufanya hivyo.Kazi kubwa ya serikali itakuwa ni kuandaamazingira mazuri kwa wananchi kuwezaMwezeshaji wa OIC <strong>Tanzania</strong> - WEP akiendesha mafunzo ya ujasiriliamalikwa maafisa wa JWTZ wastaafu.ili kuongeza ustadi, nguvu na ujasiri katikauzalishaji mali au uboreshaji wa bidhaa auhuduma anazotoa, ili kukidhi mahitaji ya watejawake na kupata faida.Mkopaji lazima awe na mpango wa biashara naafanye biashara akiutekeleza mpango huu kwashuruti, hatua kwa hatua. Atafanikiwa na atamudukuulipa mkopo. Kazi muhimu ya wakopeshajiitakuwa, pamoja na utoaji wa mikopo, mafunzona ushauri, kufuatilia kwa karibu mabadiliko yaukuaji wa shughuli za kibiashara za wakopaji,hata kama wanarejesha mikopo kwa asilimiakuzalisha na kuuza mazao, bidhaa au hudumazao bila urasimu wala mizengwe yoyote. Serikalipia iwasaidie na iwalinde wananchi ili wawezekushindana kwa ufanisi katika soko hurialinaloingiliwa sasa na wageni.UFAFANUZI WA MANENO TULIYOYATUMIA, NAMHARIRI MKUU:Engaenga - dekeza, endekezaLema- kushindikana, kuwa gumu.- Tendea = lemea, tendeana = lemana- Tendeka = lemeka, tendesha = lemesha14<strong>Mtafutaji</strong> <strong>mag2.indd</strong> 146/28/05 2:44:11 PM


MATANGAZO MADOGO MADOGONafasi hii ni kwa ajili ya matangazo madogo madogo ambayo hayatalipiwa• Matangazo ya Kazi • Viwanja vinavyouzwa • Nyumba, makazi• Mashamba • Vifaa mbalimbali • Mifugo• Magari • Afya • Mafunzo • Mengineyo<strong>Mtafutaji</strong>Barabara ya Samnujoma baada ya FGC MwengeSimu Na. 0744 626114, 0744 989785, 0748 27601815<strong>Mtafutaji</strong> <strong>mag2.indd</strong> 156/28/05 2:44:23 PM


DAI PESA WATOAMAFUNZO YA KILIMOHAI NA UKIMWINa Mawazo Malembeka, Iringa.Wanachama wapatao 440 wa vikundi vya wakulima wamenufaika na mafunzo ya kilimo haina UKIMWI yaliyotolewa na DAI PESA katika wilaya za Iringa Vijijini na Kilolo hivi karibuni.Mafunzo hayo ni mmoja kati ya mikakati ya DAI PESA (mradi wa kuiendeleza sekta binafsi)ya kukabiliana na tatizo la UKIMWI katika vikundi vya wakulima na ushirika vinavyosaidiwa na Mradihuo pamoja na jamii kwa jumla.Akiongea na <strong>Mtafutaji</strong> mkufunzi wa mafunzo hayo ambaye pia ni bibi shamba katika kijiji chaMangalali, Bi.Sauda Omary alieleza kwamba Kilimo Hai ni kilimo kinachohusisha uzalishaji wa mazaombalimbali kwa kutumia mbinu za asili. Bi.Omary alizitaja baadhi ya mbinu hizo kama matumiziya mboji, matumizi ya samadi na kutumia madawa ya asili kwa ajili ya kuwadhibiti wadudu namagonjwa ya mimea, kutengeneza matuta maalum, kupanda mazao yanayosaidiana kwa nafasiinayofaa na kubadilisha mazao kila msimu wa kilimo.Bibi shamba huyo alieleza kwamba umuhimu wa mradi huo ni kuwapunguzia gharama wakulima,hususan wakulima wanaoishi na virusi vya UKIMWI na kupunguza athari zitokanazo na madawaya viwandani. Chini ya mradi huo, watu wanaoishi na virusi vya UKIMWI wanashauriwa kulimaeneo linaloanzia nusu ekari na wapande mbogamboga na mazao ya chakula ambayo yatawasaidiakuimarisha lishe yao ili waurefushe muda wao wa kuishi, pamoja na kuwahakikishia usalama wachakula. Bibi Omary aliendelea kueleza kwamba ili juhudi za DAI PESA za kuboresha sekta binafsihapa nchini zifanikiwe hapana budi kuziunganisha na mapambano dhidi ya UKIMWI. “Hakunaasiyefahamu jinsi tatizo la UKIMWI linavyozidi kukua siku hata siku. Hivyo wenzetu hawa wa DAIPESA wamelitambua hilo na wamelitafutia mbinu ya kupambana nalo na kwa sasa wameanziakwenye vikundi vinavyosaidiwa na Mradi kwanza,” anasema Bi.Omary.Alisema kwamba ingawa kilimo hicho kinawalenga moja kwa moja watu wanaoishi na virusi vyaUKIMWI, wanachama wote wa vikundi wanafundishwa kutokana na ukweli kwamba watu wengihawajahamasika kiasi cha kutosha kuweza kujitokeza hadharani wanapogundulika kuwa na virusivya UKIMWI. Kwa hiyo idadi ya wagonjwa itaongezeka katika muda mfupi ujao.16<strong>Mtafutaji</strong> <strong>mag2.indd</strong> 166/28/05 2:44:28 PM


MBINGA KURUGENZISACCOS WANUFAIKAALBANO MIDELO, SONGEAMbinga Kurugenzi SACCOS iliyopo wilaya yaMbinga, mkoani Ruvuma imewakopeshawanachama wake zaidi ya shilingi milioni447 katika kipindi cha miaka mitatu iliyopita.Mwenyekiti wa SACCOS hiyo, Bwana FORKWARDKOMBA aliyekuwa anatoa maelezo ya maendeleoya chama hicho hivi karibuni Mjini Mbinga,alisema kwamba utoaji wa huduma ya mikopo yafedha taslimu kwa wanachama wake umekuwaukiongezeka kila mwaka.Akifafanua, Bw.Komba alieleza kwambamwaka 2002 mikopo yenye thamani ya shilingi75,609,000.00 ilitolewa, mwaka 2003 mikopoyenye thamani ya shilingi 145,572,000.00ilitolewa na mwaka 2004 thamani ya mikopoilikuwa ya shilingi 225,902,000.00.Aidha Bwana Komba alieleza kuwa katika kipindicha mwaka 2003 SACCOS hiyo iliwakopeshawanachama wake vifaa mbalimbali vikiwemobati, saruji, nondo, mashine za video najenereta za umeme, vyote vikiwa na thamani yashilingi 100,000,000.00. Aliongeza kwambakatika kipindi hicho SACCOS hiyo iliwakopeshawanachama wake mashine za kusaga nafaka33 zenye thamani ya shilingi 26,940,000.00 namwezi Januari mwaka huu Mbinga KurugenziSACCOS iliwakopesha wanachama wake pikipiki23 zenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni45.Katika maelezo yake Bwana Komba alisema piakwamba hadi kufikia Desemba, 2003 wanachamawa SACCOS hiyo walikuwa wamenunua hisazenye thamani ya shilingi 42,707,000.00 na hadiDesemba 2004 jumla ya hisa zenye thamani yashilingi 72,707,000.00 zilikuwa zimenunuliwa.Mbinga Kurugenzi SACCOS ilianzishwa mwaka1978 kwa mujibu wa sheria ya vyama vyaushirika ya mwaka 1968 kifungu cha 10 ikiwana wanachama 51. Hivi sasa SACCOS hiyo inawanachama 1500.MIKOPO KAMASILAHA YAKUPAMBANAUMASKININa Halima Rashid, WEP - OICTNAwa muda mrefu sasa kumekuwepo naasasi za fedha kadhaa hapa nchini ambazozinatoa mikopo kwa masharti nafuu kulikomabenki na hivyo kuwasaidia watu wa kipatocha chini kuweza kufaidika na mikopo. Asasihizo ni pamoja na OICT, PRIDE <strong>Tanzania</strong>, FINCA,YOSEFO na mengineyo. Mikopo midogo mingiinawalenga wanawake wasio na uwezo kifedhana wafanya biashara ndogondogo ambaohawana dhamana za kuweka benki ili wawezekupata mikopo.Mashirika haya yanatoa msaada mkubwa katikaharakati za kupambana na umaskini. Lakiniswali la kujiuliza ni je, mikopo hii kweli husaidiakuondokana na umaskini?Mikopo ikitumiwa vizuri ni nyenzo muhimu zakuondokana na umaskini. Matumizi mazuriya mikopo ni yale yanayolenga kutekelezamipango ya biashara. Lazima mfanyabiasharaawe ametengeneza mpango wa biashara yakena ndipo achukue mkopo. Hapa atakuwaanautumia mkopo ili kutekeleza yale ambayoyamo katika mpango wake wa biashara na hivyobiashara itaenda vizuri na kuleta faida, ambayosi tu itasaidia katika matumizi ya familia balipia itatumika katika kupanua biashara nakujiongezea kipato.17<strong>Mtafutaji</strong> <strong>mag2.indd</strong> 176/28/05 2:44:30 PM


Watu wengi, hasa akina mama ambao wanamipango mizuri ya biashara wamewezakuitumia fursa hii ya mikopo na kufanyabiashara mbalimbali kwa mfano mama lishe,ufugaji wa kuku, kilimo cha mbogamboga,utengenezaji wa nguo za batiki na “tie & dye”na nyinginezo. Kutokana na biashara hiziwameweza kujiongezea kipato na hivyo kuwezakuishi maisha yenye furaha kwani wanawezakuwapeleka watoto wao shule na hata kulipagharama za matibabu ya familia bila matatizomakubwa.Hebu tumwangalie mama huyu na tupatemaelezo mafupi kuhusiana na biashara yake.Mama Kilango alianza biashara ya kutengenezabatiki katika eneo dogo nje kidogo ya nyumbayake. Baada ya kupata mkopo aliamua pamoja nakutengeneza batiki, lakini pia awe na wanafunzijapo wachache ili aweze kuwafundisha na piawasaidiane katika shughuli za uzalishaji nautengenezaji wa batiki. Hivi sasa mama huyuana shule ambayo inaweza kuchukua wanafunzizaidi ya watano kwa wakati mmoja. MamaKilango alianza kwa kutengeza upya mpango wabiashara. Alikopa pesa katika misingi ya mpangohuo, ambao pia ulihusisha kuwafunza ufundiwasichana lakini wakati huo huo wakimsaidiakuongeza uzalishaji. Aliutumia mkopo wakevizuri sana na baada ya mwaka mmoja akawaanazalisha mali maradufu. Hao wasichanabaadaye walijiunga naye katika kikundi chauzalishaji.Kina mama, hebu tuamke na tutengenezemipango mizuri ya biashara ili tuweze kuitumiana kupata mikopo ambayo hutolewa na asasinyingi tu hapa nchini.Kwa upande mwingine ambao ni kinyume kabisana mfano wa Mama Kilango, baadhi ya akinamama wamejikuta wakijiingiza kwenye mikopobila kuwa na mipango mizuri ya biashara.Matokeo yake wanashindwa kuirejesha mikopohiyo kwani hawana biashara ya uhakika. Badalayake wanazitumia fedha hizo katika mambotofauti na biashara na kujikuta wanaingiakwenye madeni ambayo yanawazidishiaumaskini.Nawaomba kina mama tujenge tabia ya kuandaamipango ya biashara ili tuweze kurudisha mikopona kuendelea kukopa. Kumbuka usemi usemao“Dawa ya deni ni kulipa”. Ni kwa kufanya hivyotu tutaweza kuona matunda ya mikopo katikakuupiga vita umaskini. Vinginevyo tutaendeleakulalamika na hakuna atakayeweza kutusaidiakatika kujikwamua na umaskini.Tuangalie mifano ya wenzetu ambaowamefanikiwa katika biashara zao na tuwe nawivu wa kimaendeleo ili nasi tuweze kufanyabiashara na kufanikiwa kama wao.WAATHIRIKA WAUKIMWIWATUMIWA KAMAKITEGA UCHUMINa Iddy Mkwama, SumbawangaWANANCHI na wadau mbalimbali wanaoshirikikatika mapambano dhidi ya ugonjwa waukimwi wametakiwa kuacha mara moja tabia yakuwafanya wagonjwa wa ukimwi kama sinema aukuwatumia kama kitega uchumi cha kujiingiziakipato.Kauli hiyo imetolewa na mwenyekiti wa chama chawatu wanaoishi na virusi vya ukimwi SHIDEPHA+Mkoani Rukwa Bw.Godfrey Mwikala alipokuwaakimkaribisha Mbunge wa jimbo la Sumbawangamjini Mh. Paul Kimiti, alipotembelea ofisi yachama hicho iliyopo mjini hapa.Mwikala alisema kuwa kumeibuka tabia kwabaadhi ya wadau ambao wanashiriki katikamapambano dhidi ya gonjwa hatari la ukimwina wananchi ambao ndugu zao wameathirika,kuwatumia waathirika hao kama njia ya kujipatiakipato. Wadau hao huwachukua waathirikana kuzunguka nao sehemu mbalimbali zenyemkusanyiko wa watu na kuwaonyesha kamasinema. Mara kadhaa watu hao hukusanyapesa kwa madai ya kuwasaidia wagonjwa hao,lakini huzitumia kwa kujinufaisha wao wenyewena kuwaacha waathirika wakiwa kama kitegauchumi.“Sisi waathirika wa ukimwi sasa tumenyimwathamani ndani ya jamii. Tunafanywa kama sinema,tunatembezwa huku na kule kuonyeshwa kwa18<strong>Mtafutaji</strong> <strong>mag2.indd</strong> 186/28/05 2:44:32 PM


watu na mara nyingine tunatumiwa kufanyiwaharambee, ambapo sasa wametugeuza kamachombo cha kujipatia mapato”, alisemaMwikala.Mwenyekiti huyo aliendelea kusema kwambawakati sasa umefika kwa wanajamii kuwahurumiawagonjwa wa ukimwi na kuwapa thamani kamawatu wengine kwa kuwaweka karibu zaidi najamii. Aliwataka waathirika na jamii kwa ujumlakutokukubaliana na mtu yeyote ambaye atatakakumtumia ndugu yake ambaye ameathirika kwamadai ya kutaka kumsaidia, kumbe anajiingiziakipato binafsi.Hata hivyo Mwenyekiti Mwikala alichukuanafasi hiyo kulishukuru shirika la Dai -Pesakwa kuwapatia msaada wa mara kwa mara nakuwasaidia katika kuishi kwa matumaini.Kwa upande wake Mbunge wa Jimbo laSumbawanga Mjini, Mh. Paul Kimiti, aliwatakawanajamii kujitolea kwa hali na mali kuwasaidiawatu wanaoishi na virusi vya ugonjwa waukimwi. Aliwasihi viongozi nchini kulitambuagonjwa hili kama janga linalowagusa watu wotena hivyo washiriki katika kupambana nalo kwakuwasisitizia wananchi katika sehemu zaokujikinga dhidi ya ukimwi.“NB: Mimi ni mwandishi wa habari. Nipo mkoaniRukwa na naandikia gazeti la <strong>Tanzania</strong> Daima.Mwisho. Iddy Mkwama”VIKUNDIVYA WAKULIMAMOROGOROVYAUNDASHIRIKISHOMorogoro ni mkoaunaosifika sanakwa uzalishaji wamazao ya chakula nambogamboga.Na Sophia Iddi, MorogoroHivi karibuni wakulima wa mboga mboga namatunda wa Mkoa wa Morogoro waliwekahistoria kwa kuunda shirikisho la wakulimawa mboga na matunda la mkoa. Wakulimahao pia walifanya uchaguzi wa viongozi wao.Wafuatao walichaguliwa kuliongoza shirikishohilo, vikundi vyao wanavyotoka vikiwa katikamabano.Mwenyekiti: Abdu Matemelela (CHANGA FarmersʼAssociation-Mkuyuni)Makamu Mwenyekiti: Bi. Venesta Kibua(TWIGHUTZE Farmersʼ Association-TchenzemaMgeta).Katibu: Bi. Janet Mbiki (TWANGE HAMWE FarmersʼAssociation-Langali Mgeta).Mweka Hazina: Bi. Prisca Dimosso (MTOBOZIFarmersʼ Association-Matombo)Wawakilishi wa vikundi 14:1. Bi. Scholastica Baltazar(CHAWAKABU- Bunduki Mgeta)2. Ezekiel Changamno(CHAWAKAKI-Kikeo Mgeta)3. Bi. Edmara Flumenzi(TWIGHUTZE-Tchenzema Mgeta).4. Benedict Mizambwa(TWANGE HAMWE-Langali Mgeta).5. Abdallah Ramadhani (Kibwaya FarmersʼAssociation, Mkuyuni)6. Jumanne Mfaume(Luholole Farmersʼ Association, Mkuyuni)7. Mohamed Mzigira(Kungwe Farmersʼ Association, Mkuyuni)8. Bi. Farida Ahmed (Kivuma FarmersʼAssociation, Mkuyuni)9. Hamza Iddi Digonile (Changa farmersʼ19<strong>Mtafutaji</strong> <strong>mag2.indd</strong> 196/28/05 2:44:34 PM


A ssoci ati on,Mkuyuni)10. Rogath Andreas(Gozo FarmersʼA ssoci ati on,Matombo)11.Charles Gendaeka(Nige FarmersʼAssociation,Matombo)12. Filbert Joachim(Kiswira FarmersʼAssociation,Matombo)13. Bi. Anna DaudiMwenda(Tambuu FarmersA ssociation,Matombo)14. Twaibu Abdu Niga( MtomboziF a r m e r s ʼA ssoci ati on,Matombo).Tumeichapishataarifa hiifupi sana kwakusudio maalum,kwani inayo mafunzomengi sana kwawakulima wadogo.Yafuatayo ni baadhi tuya mafunzo hayo:-• Uchaguzi wa uongozihuo ulifanywa katikamisingi ya demokrasikwa kutumia kura.•Uongoziwakidemokrasi unaotoafursa kwa wanavikundiwote kushiriki, ninguzo muhimu sanaya uendelevu wavikundi kuliko kuwa nauongozi wa kuteuliwana vyombo vya ngaziza juu na kishakupachikwa katikavikundi vya wakulima.Huo haupokeleki.• Shirikisho kama hililililoundwa Morogorolina manufaa makubwakwa wanachamawake na wakulimawanakuwa na nguvuya kuweza kushindanakatika soko huru napia kuyalinda maslahiyao kisheria, ilimuradishirikisho hilolisajiliwe na kitengohusika katika Wizaraya Mambo ya Ndani.• Baadhi ya manufaa yakuwa na mashirikishoni haya:(i) Kupata mitaji /mikopo:- W a k u l i m awajasiriamali wadogowanapokuwa nachama kikubwakinachotambulika nakuendeshwa vyemawanakubaliwa kirahisizaidi kupata mikopo.Asasi za fedha nyingiziunakubali umojawa wanachama kamadhamana ya kupatamikopo.- Wakulima wadogowaliojiunga katikaumoja unaotambulikapia wanawezakuanzisha chama chaocha kuweka na kukopa(SACCOS) na hivyokuweza kukopeshanawenyewe ili hatimayekulitatua tatizo laukosefu wa mitaji katiyao.(ii) Kuwa na sautimoja:- Sauti ya shirikishoni kubwa na inawezakuwasilisha ujumbewa wanachama katikangazi mbalimbali,pamoja na zile zakitaifa.(iii) Kupata soko:- Soko linawezakupatikana kwa urahisiwatu wanapojiungapamoja na inakuwarahisi hata kukodiusafiri kwa pamojakwa ajili ya kusafirishabidhaa mbali na eneozinapozalishwa, ilikuweza kupata soko lauhakika na bei ya juu.(iv) Kujenga ghala lakuhifadhia mazao- Shirikisho linawezakabisa na kwa urahisizaidi kujenga ghala lakuhifadhia mazao nahivyo kuepukana natatizo la kupata hasarakutokana na mazaokuozea shambani aukuliwa na wanyamawaharibifu.(v) Uwezo wa kupangabei:- Shirikisho ambalolimesjiliwa linao uwezowa kujadiliana bei yamazao na wanunuzina hata kupangamikataba ya mauzokisheria. Aidha uwezowa kuhifadhi mazaoghalani unasaidiakupanga kuyauza kwamuda muafaka wakatimahitaji ya wanunuziyanapokuwa juu.Wakati wa mavunomara nyingi beihuwa ndogo. Hivyowanachama watakuwana fursa ya kuyauzamazao kwa bei yajuu wakati bei yasokoni itakapopandakutokana na upungufuwa mazao katika sokona hivyo mahitajikuongezeka.- Hayo ni baadhitu ya manufaa yavyama vya wakulimawadogo kuunganakatika mashirikisho.WahaririwaMTAFUTAJI wanapendak uwapong ezasana wakulima waMorogoro kwa kuundashirikisho. Wanatoaushauri wa kulisajilishirikisho hilo harakaiwapo halijasajiliwa,ili manufaa yakeyaonekane na liwela kupigiwa mfanoambao utaigwa nawengine.20<strong>Mtafutaji</strong> <strong>mag2.indd</strong> 206/28/05 2:44:37 PM


MASHARTI YA MIKOPOYAWAATHIRI WAKULIMAWADOGO WA MIWAMerina Robert, MorogoroKd h a m a n akatika mabenkikumewachelewesheamikopo wakulima wamiwa hali ambayoi mesab a b ish akuchelewa kuanzakwa msimu wakilimo mwaka huuna wakulima kupatamazao duni.Hayo yalisemwa nawakulima wa vyamavya wakulima wa miwawa nje wa Mtibwa(MOA), Ruhembe(ROA)na Kilombero(KSGA)wakati wa mkutanowa kubuni mipangobaina ya mradi wa DAIPESA na Chama chaWakulima wa MiwaT anzania( TASGA)uliofanyika mapemamwaka huu kwenyehoteli ya Oasis mjinihapa. Kwa mujibuwa maelezo yawakulima hao taasisizinazotoa mikopohuchelewa kuwapatiamikopo, kwani taasisihizo zinapaswakuchunguza kwaumakini zaidi ili kubainikama kweli waombajini wakulima wa zaohilo na wanastahilikukopeshwa. “Utakutawakati wa msimuwa kilimo umefika,lakini mkulima badohajapatiwa mkopo naanapopatiwa mkopomuda wa msimu wakilimo unakaribiakuisha,” walisemawakulima hao.Wakulima haowalisema pia kwambawanakabiliwa natatizo la mkatabawa mauzo kati yaona manejimenti zaviwanda vinavyonunuazao hilo. Kwa takribanmiaka minne badosuala hilo halijapatiwaufumbuzi. Halihiyo inasababishawakulima kupewa beindogo isiyolingana najasho lao wanalovujakatika uzalishaji.Kama vile hilo ni dogo,kila kiwanda hutoa beiyake chenyewe, jamboambalo linawavunjamoyo wakulimahao; hususan walewa Mtibwa, ambaohulipwa kiwangokidogo sana.CHAMA CHAUSHIRIKAKUANZISHASEKONDARINa Albano Midelo, Songeasekondari. Alieleza kwamba uongozi waSONAMCU ulikuwa umekwisha kuwasiliana naSerikali kuhusu kuchagua eneo moja kati yamaeneo matatu yaliyopendekezwa kwa ajili yaujenzi wa sekondari hiyo.Wakati huo huo SONAMCU mwaka huu inatarajiakuiboresha Hoteli yake ya ANGONI ARMS iliyopoChama cha Ushirika cha Wilaya za Songea naNamtumbo (SONAMCU) mwaka huu kinatarajiakuanzisha shule sekondari ya ushirikaitakayokuwa na kidato cha kwanza hadi cha sita.Hayo yalisemwa na Meneja wa SONAMCU BwanaSALUM MBUYU alipoongea na jarida hili ofisinikwake mjini hapa hivi karibuni.Bwana Mbuyu alifafanua kwamba SONAMCUilichukua uamuzi huo ili kuwawezeshawanafunzi wanaotoka katika vyama vya ushirikavya Msingi zaidi ya 43 katika Wilaya za Songeana Namtumbo kupata nafasi za masomo ya21<strong>Mtafutaji</strong> <strong>mag2.indd</strong> 216/28/05 2:44:40 PM


ya kitalii.Kwa mujibu wa maelezo ya Bwana Mbuyu ujenziwa ukumbi wa burudani katika eneo la chini yaardhi ili kuzuia kelele kwa wageni, bwawa lakuogelea pamoja na eneo la michezo ya watotounatarajia kufanyika mwaka huu.Akizungumzia baadhi ya mafanikio ya chamahicho cha Ushirika, meneja huyo alisema kwambaSONAMCU imeweza kutoa elimu ya kuboreshauzalishaji wa zao la tumbaku na sasa zaidi yaasilimia 75 hadi 80 ya tumbaku inayozalishwainakuwa katika madaraja ya kwanza, pili natatu.Kuhusu matatizo, Bw.Mbuya alisema kwambaSONAMCU inakabiliwa na tatizo la wakulimakushindwa kulipa mikopo ya pembejeo, hasaunapotokea ukame na wakulima kufia kwenyematembe ya tumbaku kwa bahati mbaya.kuchukua au kukopa fedha taslimu tokakwenye biashara. Somo linaeleza njia mbalimbali za kuyepuka matatizo hayo, pamoja nakutoa hadhari juu ya kukopesha, kuwaelimishawateja na umma.3. Biashara na Wadau mbali mbali.Wadau muhimu wa biashara yako ni pamojana wagavi, wateja, wafanyakazi, mabeki, naserikali. Somo hili linaonyesha mahusianona kutegemeana katika kuchangia kukuzauchumi wa taifa kati ya mfanyabiashara nawadau wengine. Iwapo mdau mmoja atakuwadhaifu au hawajibiki ipasavyo basi mfumomzima unaathirika. Kwa mfano iwapo mgavihaleti mali ghafi kwa wakati, au mteja halipiibidhaa alizokopa, mfanya biashara halipikodi, au benki haiko tayari kuwapa mikopomfanyabiashara, au mfanyakazi ni mbadhilifumfumo mzima wa biashara utakwama namaendeleo yataathirika vibaya.HITIMISHO:SOMO LABIASHARA NAFAMILIANa Kundaeli E. Kawa, OIC <strong>Tanzania</strong>LENGO:Kuwawezesha wafanyabiasharakutenganisha mahitaji ya biashara na yale yafamilia.Mafunzo haya yamegawanyika katika sehemutatu.1.Biashara na mwenye biashara: Somo hililinahusu kwanza mahitaji ya biashara naya pili ni mahitaji ya familia. Ni muhimukuzitenganisha fedha za biashara na zile zafamilia kwa kuwa na akaunti mbili tofauti;moja kwa ajili ya matumizi ya biashara nanyingine kwa ajili ya matumizi ya familia.Mfanyabiashara anashauriwa kuzingatiayafuatayo:• Wafanyabiashara wengi hupata hasara nabiashara zao hufa kwa sababu hawatenganishipesa za familia na pesa za biashara. Pesa zabiashara zitumike kuikuza biashara na pesaza matumizi ya familia ni zile za mshaharaambao mmililki wa biashara hujilipa kwa mwezikutokana na biashara yake.• Biashara ni kazi ambayo ni lazima itengenezefaida na mshahara wa mwenye biashara ambaondio malipo ya nguvu yake. Hivyo inashauriwakwamba biashara yoyote ni lazima itengenezepesa za kujiendesha yenyewe na ile ya kumlipammililki, yaani mshahara wa mfanyabiasharakwa mwezi.• Familia haitakiwi kutumia pesa za biasharakwa ajili ya kugharamia mambo ya kifamilia,kwa mfano matibabu, chakula, elimu aumichango ya sherehe mbalimbali, bali mshaharaanaojilipa mfanyabiashara kutokana biasharandio utumike.2. Biashara na Mazingira yanayoizungukaSomo hili linahusu tatizo la wanafamilia namarafiki wanavyoweza kuiingilia na kuiathiribiashara yako kwa kutokuwa tayari kulipiabidhaa au huduma walizopewa, au kwa22<strong>Mtafutaji</strong> <strong>mag2.indd</strong> 226/28/05 2:44:43 PM


MJUE “RAH P”, MSICHANAANAYEJITAFUTIA RIZIKI KWAMUZIKINa Nicco GilliardSAFU YA VIJANAKATIKA safu hii ya aina yake katika jaridahili kwa mara ya kwanza tunachambua jinsimsanii ambaye bado ni msichana anavyojaribukupambana na maisha au kujitafutia riziki kwanjia ya muziki. Huyu si mwingine bali ni “RahP,”. Nicco Gilliard anakuchambulia kwa undanizaidi.Ni msanii mrembo vya kutosha na unawezakushangaa ilikuwaje dada huyu akaamuakujiingiza kwenye fani hii ya wagumu...!!!Akiwa jukwaani mitindo yake ya kucheza ni yakigumu ile mbaya na hata mavazi anayovaa niya kigumugumu... mikao yake ndiyo balaa zaidina hii nadhani inatokana na kucheza muziki waHiphop.Msanii anayezungumziwa hapa ni Fredinah Pey-ton ambaye hapa Der-Es-Salaam anajulikanasana kwa jina la Rah P, jina ambalo limetokanana herufi chache za jina lake.Rah P alizaliwa mwaka 1986 mkoani Shinyangaakiwa mtoto wa pili kati ya watoto wanne wamzee Peyton. Alipata elimu yake ya msinginchini Kenya na alihitimu kidato cha nne hukoUganda, kabla ya kuendelea huko huko Ugandaambako hivi karibuni i ameingia kidato cha tano.Mwanadada huyu asiyekuwa na historia kubwakatika ulimwengu wa muziki anasema alianzakuimba baada ya kuwa mpenzi mkubwa wawanamuziki kama akina Mc Lyte, Queen Penna Destiny Child. Mara nyingi alikuwa anaigizanyimbo za wanadada hao na kuzicheza kwenyemaonyesho mbalimbali ya muziki kati ya shulembalimbali. Jambo hili lililomwongezea umaarufumkubwa huku mama yake mzazi akipinga vikalikitendo cha bintie kujishughulisha na muzikiakiwa bado shuleni; lakini akiungwa mkono nadada yake mkubwa, Georgia.tamasha moja la muziki huko Butiama naShinyanga huku kukiwa na wakali wengine,akina Mr Nice na Benjamin wa Mambo Jambowaliokuwa ziarani mkoani humo. Baada yahapo ndipo mama yake alipoanza kumruhusuFredinah kuwa mwanamuziki, ila kwa mashartiya kumaliza shule kwanza au kucheza muzikiwakati wa likizo tu.“Nilipomaliza kidato cha nne mwaka 2004nikatia timu Dar es Salaam ambapo nilifanikiwakurekodi “track” yangu ya kwanza niliyoipa jinala “HAYAKUHUSU” ndani ya studio za BongoRecords, chini ya mtengenezaji Pfunk a.k.aMajani,”alisimulia Rah P.Akielezea zaidi shughuli zake za kimuzikianasema hivi sasa anazifanya kwa taabu kidogokwa sababu ya masomo, lakini kila likizo akijaDar anajitahidi kutengeneza kanda moja au mbili.Iwapo mambo yataenda kama yalivyopangwabasi anategemea mpaka mwezi Desemba mwakahuu atakuwa amemaliza albamu kali yenye kilakitu ambacho kinastahili kuwepo kwenye albamuya mwanamuziki makini.Akielezea jinsi alivyojizatiti kwenye ushindaniwa kimuziki alisema.... “mi nitatoa nyimbo zenyeujumbe na flavour, japokuwa zitakuwa za aina yawagumu zaidi na sina shaka zitakubaliwa vizurikwani hata mwanzo wangu haukuwa mbaya.Nawashukuru sana wapenzi wa hiphop kwakuipokea vizuri kazi yangu iliyopita,” alimaliziaRah P.Rah P anapenda kuwapa ujumbe wasaniiwenzake wa kike kwamba waendelee kukomaatu; wasikubali kuingia katika biashara nyingineau kukwamishwa kwa njia yoyote.Mwanzoni mwa mwaka 2003 nyota ya kuwamwanamuziki ilianza kumngʼaria Fredinahbaada ya kupata nafasi ya kushiriki katika23<strong>Mtafutaji</strong> <strong>mag2.indd</strong> 236/28/05 2:44:45 PM


TATIZO LA AJIRA KWA VIJANANa Elizabeth Ndetalao, Dar es SalaamAjira ni kazi yoyote halali awezayo kuifanya mtu yeyote,mwanaume au mwanamke na mahali popote ili kujipatiariziki. Ajira yaweza kuwa binafsi au ya kuajiriwa.Vijana wengi wamekuwa wakikimbilia mijini toka vijijini,wakidhani kwamba huko watapata ajira. Wanasahaukwamba ajira yaweza kupatikana popote. Wafikapomjini wanawakuta wenzao wengi hawana kazi. Hali hiiinasababisha mlundikano wa vijana wengi wasio na ajirawasomi na wasioelimika, wakiwa na mawazo na matumainiya kupata kazi ya kuajiriwa na si kujiajiri.Baadhi ya sababu za ukosefu wa ajira:Vijana wengi hawana sifa za kutosha za kuwawezeshakupata ajira, kwa mfano:-Elimu inayotolewa shuleni haitoshi na hailingani namazingira wanamoishi au waendayo kuishi vijana nakufanya kazi. Pia vijana hawapati elimu ya ubunifu wakujiajiri kulingana na hali halisi ya maisha inavyobadilika.Vijana wengi bado wana mawazo ya kuajiriwa kwenyemakampuni makubwa na maofisi ya serikali.(ii) UzoefuBaadhi ya vijana hawana ujuzi wa kutosha na wale waliona ujuzi na elimu yajuu hawana uzoefu wa kazi. Wanakuwa wametoka tushuleni na vyuoni. Waajiri wengi binafsi wanahitaji kuajiriwafanyakazi wenye uzoefu wa kazi husika.(iii) MalengoVijana wengi hawana malengo katikamasomo yao. Wanasoma tu ili muradiwafike chuo kikuu, lakini hawajui baadayewatafanya nini na wapi.Kwa mfano, kijana anaweza kusomeakozi yoyote pasipo kujua ajira zipo au la,akitegemea kwamba ataajiriwa na serikali,wakati serikali haiwezi kutoa ajira kwawatu wote. Ndiyo maana wasomi wengiwapo mitaani kwa sababu au hawataki auhawazijui fursa za kujiajiri.(iv) KutokujiaminiVijana kama hawa wanaweza kujiajiri na kujipatia kipato cha uhakika wakishauriwaVijana wengi hawajiamini kwambawanaweza kufanya kazi au kuwa naubunifu fulani wao wenyewe bilamfadhili. Wamebaki kuilaumu serikali tu.Pia hawajui wafanye nini au waanzie wapi.Ushauri: Elimu inayotolewa kwa vijana itoe mafunzo yaubunifu wa kazi za kujiajiri k.m. mbinu za biashara nakilimo na vipengele vifuatavyo vipewe umuhimu:-1. Vijana waeleweshwe kwamba mambo yamebadilika sasana kwamba wanatakiwakuchangamka na kujiajiri, kwani wasomi nao ni wengi,na kuna ushindani toka nje ya nchi katika sera yautandawazi2. Vijana waelimishwe kwamba ajira ni popote, mjini auvijijini ili mradi inalipa.3. Vijana wapewe elimu ya ubunifu wa kazi za kujiajirikulingana na maeneo wanakoishi, na4. Wafunzwe pia kuwa wajasiriamali, kwani baadhi yaowanaanza miradi lakini baadaye wanakata tamaa wakionamapato hayatoshi. Waandaliwe kuwa “watafutaji” iliwaache kukaa magengeni na kujiingiza katika vitendoviovu vya utumiaji wa mihadarati, ujambazi na ukahabaambao utawaletea UKIMWI. Taifa litaangamia.24<strong>Mtafutaji</strong> <strong>mag2.indd</strong> 246/28/05 2:44:47 PM


OIC TANZANIA INATOA USHAURI NAMAFUNZO YAFUATAYO:• Ujasiriamali• Anzisha na Endeleza Biashara Yako• Masoko, Upangaji Gharama na Bei• Huduma kwa Mteja• Uendeshaji wa Mikopo• Uendeshaji wa Mashirika yasiyokuwa ya Kiserikali• Tathmini na Ufuatiliaji wa Utekelezaji Miradi• Mafunzo kwa wajumbe wa Bodi zaMashirika yasiyokuwa ya Kiserikali• Mafunzo kwa ajili ya kuzifanya NGOziwe endelevu• Mafunzo ya Utengenezaji wa Batik, Tieand Dye• Usindikaji wa Vyakula• Mafunzo ya Stadi za MaishaUFAFANUZI WA SHERIA YA UANDIKISHAJI WAMASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI (NGOs)Na Abel Lyimo: Mshauri wa Vikundi na Sera katika mradi waDAI PESA unaofadhiliwa naUSAID.Kkwanza la jaridahili la “<strong>Mtafutaji</strong>”niliandika makalailiyohusu uandikishajiwa mashirika yasiyoya kiserikali (NGOs)ambao unafanywa naOfisi ya Makamu waRais.Kwa vile vikundivingi vya wakulimavinavyosaidiwa namradi wa DAI PESAvilikuwa kwenyehatua za uandikishaji,tulishauri vijazefomu zilizotolewana Ofisi ya Makamuwa Rais na vikundivingi vilifanya hivyo.Nilipowasilisha baadhiya fomu zilizojazwana baadhi ya vikundivya wakulima, ofisawa Ofisi wa Makamuwa Rais, kitengocha uandikishajimashirika yasiyo yaserikali alizipitia nabaada ya maswalikadhaa ilionekanakuwa ingawa vikundihivyo si vya kiserikali,havina sifa ya kuitwa“NGOs” na hivyoakakataa kuendeleakuviandikisha.Kufuatana na maelezoya ofisa huyo, shirikalisilo la kiserikali nilazima lilenge kutoahuduma zake kaikaeneo kubwa kamawilaya, mkoa n.k. nakwa watu wote. Vikundivingi vinavyosaidiwana mradi wa DAIPESA vimelengakutoa huduma kwawanachama wao tuwalio katika ngaziza vijiji, na mahalipengine vitongoji.Shirika lisilo lakiserikali lazima liwena ofisi na linatakiwakuwa na wataalamuwa kutoa hudumaz ilizokusudiwakwa watu wotewanaoishi katika eneolililolengwa, na si kwawanachama tu.Kwa ufupi vikundivinavyosaidiwa namradi wa DAI PESAni vidogo, dhaifu,havina wataalamuwala fedha na havinasifa za kuandikishwakama mashirika yasiyoya kiserikali chiniya mfumo mpya wakuandikisha mashirikaya aina hiyo, yaani“NGO”.Wizara ya Mamboya Ndani inaendeleakuandikisha vikundi au“Associations” kamailivyokuwa awali. Kwasababu hii tunashaurivikundi vinavyosaidiwana mradi wa DAIPESA ambavyoh avijaandikishwav i e n d e l e ekuandikishwa naWizara ya Mamboya Ndani, kitengocha kuandikishavyama/vikundi(“Associations”).Waombaji wanatakiwawajaze fomu mbili: SO1na SO2 zinazotolewana Wizara ya Mamboya Ndani. Fomu hizozinapatikana kwenyeofisi zote za mikoana wilaya za mradiwa DAI PESA. Kilakikundi kinachoombakusajiliwa kinatakiwasi tu kujaza fomuzilizotajwa hapo juu,bali pia kutayarishakumbukumbu za kikaokilichopitisha maamuziya kukianzisha kikundihusika zikionyeshaw a n a c h a m awaanzilishi nasahihi zao. Aidhakikundi kinatakiwakiambatanishe katiba,kumbukumbu za kikaokilichoipitisha katibana barua ya kuombakusajiliwa ambayoitatumwa pamoja naviambatanisho hivyokwa msajili wa vyama,Wizara ya Mambo yaNdani, kitengo chakusajili vyama.Pia vikundi vinatakiwakupata barua yaMkuu wa Wilaya yaoya kuvitambua vyamahivyo na vinatakiwakuwakilishazifuatazo:-i) Kiingilio10,000/=ada25<strong>Mtafutaji</strong> <strong>mag2.indd</strong> 256/28/05 2:44:51 PM


ii) Ada ya kila mwaka 40,000/=iii) Ada ya kuandikishwa 100,000/=Jumla 150,000/=Kila mwaka vikundi vinatakiwa kulipa ada yaTshs 40,000/= na vinatakiwa kutayarisha ripotiya maendeleo, mapato na matumizi.Vikundi vinavyosaidiwa na mradi wa DAI PESAvitasaidiwa na maofisa mradi walioko mikoani nawilayani kujaza fomu na kuelekezwa utaratibumzima wa uandikishwaji.akaunti benki na haviwezi kuwa viendelevu.Tunavihimiza vikundi vyote ambavyohavijasajiliwa vijisajili mara moja. Mradi wa DAIPESA unasaidia kukusanya fomu zote, kuzipelekakwenye ofisi husika, kufuatilia uandikishwaji nakupeleka vyeti vya usajili kwa vikundi vijijini.Ni vema kuitumia fursa hii vizuri, kwani mradiutakapokoma vikundi vitaingia gharama kubwasana kujisajili.Ikumbukwe kwamba vikundi/vyama ambavyohavijasajiliwa havina haki kisheria, haviwezikusaini mikataba mbalimbali kisheria, haviwezikukopa wala kukopeshwa kisheria, au kufunguaSHIRIKA LAPRIDE TANZANIALAKOPESHAWAFANYAKAZINA Albano Midelo, SongeaShirika lisilo la kiserikali la PRIDE TANZANIA tawila Songea litatoa mikopo ya fedha kati ya shilingilaki mbili hadi milioni 15 kulingana na mshaharawa mfanyakazi, kuanzia miezi miwili ijayo. ʻʼHivisasa tunasubiri sera na marekebisho ya mfumowa utunzaji wa kumbukumbu ili mikopo hiyoianze kutolewa kwa wafanyakazi kwa mashartinafuuʼʼ, alisema Meneja wa shirika hilo, tawila Songea, Bw.Victor Mhagama alipoongea naMTAFUTAJI ofisini kwake.Akielezea maendeleo ya shirika hilo tawi laSongea, meneja huyo alisema kwamba jumlaya shilingi bilioni moja na milioni mia nne tisinina nne zilikopeshwa kwa wateja katika kipindicha kuanzia mwaka 1998 hadi mwaka 2004,ambapo marejesho ya mikopo hiyo yalikuwani asilimia 100. Katika kipindi hicho wateja waPRIDE TANZANIA Songea walijiwekea jumla yaakiba ya shilingi milioni 123.Bwana Mhagama aliendelea kusema kwambawateja wa shirika hilo waliongezeka kutokawanachama 150 mwaka 1998 hadi wanachama1412 mwaka 2004 na kwamba katika kipindicha mwaka mmoja uliopita shirika hilolimewakopesha wanachama wake 542 jumla yashilingi milioni 269.Shirika la Pride <strong>Tanzania</strong> lilifungua rasmi tawi laSongea mwaka 1998 na lina matawi 26 katikanchi nzima.WAKULIMA WAMBOGAMBOGAWAHIMIZWAKUUNDA VIKUNDIMerina Robert, MorogoroWakulima wameshauriwa kuunda vikundi iliwaweze kujadili matatizo yao na kuyapatiaufumbuzi kwani mmoja mmoja hawatawezakujikwamua kiuchumi kupitia kilimo.Ushauri huo umetolewa hivi karibuni naMkurugenzi wa mradi wa DAI PESA, Bw.Joseph Burke wakati wa ziara yake mkoanihapa alipotembelea vikundi vya wakulima wambogamboga na matunda vya Twighutze chaNyandira katika tarafa ya Mgeta na kikundi chawakulima kata ya Kikeo(CHAWAKAKI).Bw.Burke alisema kwamba wakulima, hususanwa kata ya Kikeo wilayani Mvomero ambaowanakabiliwa na tatizo la usafiri, hawatawezakulitatua tatizo hilo mmoja mmoja bali kwakupitia vikundi vya ushirika vya wakulima. Burkealiendelea kusema kwamba ushirika ni jambo la26<strong>Mtafutaji</strong> <strong>mag2.indd</strong> 266/28/05 2:44:53 PM


msingi katika kujenga mshikamano ulio sahihiwa wakulima ili wafanikiwe kuyatatua matatizoyanayowakabili katika maeneo husika. “Hatawafadhili hawawezi kuwasaidia bila kuwa katikavikundi vya ushirika vya wakulima, kwani ushirikandio utakaowafanya muweze kutambulika kwawafadhili”, alisema Burke.Katika ziara hiyo Bw. Burke aliongozana naMratibu wa mradi wa DAI PESA, kanda nambamoja ambayo inajumuisha mikoa ya Tangana Morogoro, Bwana Canute Temu ambayealishauri kwamba ili kuhakisha kwambawanajikwamua kiuchumi ni vema wakulimawalime kibiashara katika vikundi pamoja nakuwa na vyama vya kuweka na kukopa. CanuteTemu aliendelea kueleza kwamba mradi wa DAIPESA unalenga kuwapatia mafunzo wakulimaili waweze kuendesha kilimo kibiashara nakuboresha uendeshaji wa vyama vya kuweka nakukopa(SACCOS) vilivyopo, pamoja na kuanzishaSACCOS mpya.Nao wakulima haowa mboga mbogawaliueleza ugeni huokwamba tatizo laokubwa ni ukosefu wautaalam wa kutoshakutokana na maafisaugani katika maeneoya vijiji kutowajibikaipasavyo.Wakulima wengi hususan wa kata ya Kikeo,walisema kwamba tangu nchi hii ipateuhuru hawajawahi kupewa mradi wowote wakuwaelimisha juu ya kilimo bora pamoja naufugaji, na kwamba hiyo ilikuwa fursa yao yakwanza kupata wataalam ambao walitoka kwenyewa Mradi wa DAI PESA. Aidha waliomba wapeweelimu juu ya kilimo bora cha mboga mboga namatunda ili waweze kuongeza tija ya uzalishajiwa mazao yao.Wakilalamika kuhusu tatizo la ubovu wa barabarawalisema kwamba wakati wa mvua magarihayafiki eneo la kata ya Kikeo.Kutokana na tatizo hilo wanalazimika kubebamazao kichwani na kutembea kwa masaa matanohadi kulifikia soko la wakulima la Nyandirana kutembea masaa hayo hayo wanaporudikwenye maskani yao. Hali hii huwavunja moyosana, kiasi kwamba nyakati nyingine wakulimawanaamua kuwauzia mazao yao walanguzi kwabei ya kutupa.Zao la kabichizinazolimwaMgeta (Morogoro)VIJUE VIKUNDI VYAAKINA MAMA WATEMEKE VILIVYOKATIKA MRADI WAWEPNa Halima Rashidi, Mratibu wa WEP/OICTANZANIAKatika toleo la kwanza tulitoa maelezo mafupikuhusu mradi wa OIC <strong>Tanzania</strong> wa kuwaendelezawanawake (yaani WEP). Tunaendelea kutoamaelezo ya vikundi mbalimbali ambavyovinanufaika na huduma za mafunzo na mikopotoka WEP.KIKUNDI CHA KITUNZE KIDUMUMaskani ya kikundi hiki ni eneo la KekoSadani wilayani Temeke. Kikundi hiki, kamavilivyo vingine katika mradi huu wa kuwapawanawake uwezo wa kiuchumi (yaani WEP), nicha wafanyabiashara ndogondogo. Akina mamakumi walijiunga mwaka 2003 ili waweze kupewamikopo inayotolewa na WEP baada ya kupewamafunzo ya ujasiriamali. Walikiita kikundi chaoKITUNZE KIDUMU.Akinamama hawa wanajishughulisha naufugaji wa kuku na kilimo cha bustani zambogamboga.Vikundi vilivyo katika mradi wa WEP vinachaguauongozi kidemokrasia. Viongozi wa KitunzeKidumu ni hawa:-27<strong>Mtafutaji</strong> <strong>mag2.indd</strong> 276/28/05 2:44:56 PM


2. Stella Elias Mweka Hazina3. Yunis Elias KatibuWanachama wa kikundi wanashiriki katikamipango na maamuzi yahusuyo biashara zao.Wanachama wa Kitunze Kidumu ni hawa:-4. Gloria Chiposi5. Jeni Zephania6. Amina Zephaniawa mavuno. Lakini baada ya kupata mkoponiliweza kuongezea matuta mengine matano,kuajiri kijana mmoja wa kunisaidia kumwagiliana kulima matuta ya mchicha, na niliwezakununua mbolea.Mavuno yameongezeka na hivi sasa nawezakuuza tuta moja la mchicha kwa bei ya jumlaya shilingi elfu nane (8,000) na hivyo kuwezakupata sh elfu sabini na mbili kwa msimu.Naweza kuuza tuta kwa shilingi elfu nane kwanimchicha wangu sasa ni bora zaidikutokana na kutumia mbolea”.Mfanyabiashara wa mbogambogasokoni7. Tumaini Mwamfupi8. Maula Kastory9. Rukia Hassani10.Cecilia NdanshauKatika muda wa mwaka mmoja uliopita kikundihiki kimepewa mkopo wa jumla ya shilingimilioni moja na laki tano (1,500,000) yaanimkopo wa kwanza wa sh. 500,000/= na wapili sh 1,000,000. Marejesho ya kila fungu lamkopo hufanywa katika kipindi cha miezi sita.Walipotembelewa na Mratibu wa mradi wa WEPkama utaratibu wake wa kawaida, wanachamawa kikundi hiki walionyesha kufurahishwa namkopo huo na walikiri kwamba umekuwa wamanufaa makubwa kwao.Janeth Mwita, ambaye ni Mwenyekiti wa kikundi,alikuwa na haya ya kusema “Kabla ya kupatamkopo nilikuwa na matuta manne tu ya mchichaambayo yalikuwa yananipa sh 24,000 kila msimu28Janet aliendela kuielezea furahayake:“ Nawashukuru sana OICT, kwanisasa naweza kupata mapato yakuridhisha kutokana na biasharayangu ya kilimo cha mboga na hivyokuweza kumudu kuihudumia familiayangu vizuri zaidi nikilinganisha nahapo mwanzo.Biashara hii imeniwezesha kulipamkopo wangu bila matatizokutokana na mafunzo ya biasharatuliyopata OICT na mauzo bora zaidiya mboga. Naomba tuongezewemkopo ili tuweze kuendeleakuboresha maisha yetu na yafamilia na hivyo kuepukana naadui umaskini”, aliongeza kusema Janetna bila kugugumiza akatoa ushauriufuatao:-“Pia nawashauri wanawake wenzangukujiunga na vikundi ambavyo vinamtazamo wa kimaendeleo na hivyo kuweza kupata mitajina kuendeleza au kuanzisha biashara mbalimbali”.Huu ni mfano mmoja tu wa jinsi wanawake wanavyowezakujikomboa kutoka katika umaskini na kushiriki katikasoko la ushindani. Akinamama, unganeni ili mpateuwezo wa kiuchumi na kuondokana na dhana ya kuwamagolikipa nyumbani.Aidha, nikiongea kama Mratibu wa WEP, nawashauriwanavikundi mbali mbali waunganishe vikundi vyaokatika mashirikisho. Hayo yatatuwezesha kuwa nasauti kubwa zaidi na kupewa mikopo kwa ajili ya miradimikubwa zaidi, kwa mfano kilimo cha mashambamakubwa ya mbogamboga, maua, uvuvi, ufugaji napia viwanda vya kusindika vyakula.INAWEZEKANA, TUAMUE TU!<strong>Mtafutaji</strong> <strong>mag2.indd</strong> 286/28/05 2:44:59 PM


ataSACCOS ZAWANAWAKE RUVUMAZAKOPESHWA MIFUGONa Albano Midelo,Ushirika wa Akiba na Mikopo wa Wanawakewa Mkoa wa Ruvuma (ARUWOSAC) umetumiazaidi ya shilingi 47,000,000/= ili kutoa mikopoya mifugo kwa SACCOS za wanawake katikawilaya zote Mkoani Ruvuma.Kwa mujibu wa Katibu Mkuu Msaidizi Mkoa waushirika huo Bibi GENIFRIDA HAULE, mifugoitakayotolewa ni ngʼombe wa maziwa 113 nambuzi wa maziwa 100 ambao wanagharimujumla ya shilingi milioni 47.Alisema, kila Wilaya itapata ngʼombe wa maziwa20 na mbuzi wa maziwa 20 isipokuwa Wilayaya Songea Vijijini ambayo itapata ngʼombe wamaziwa 33 na mbuzi wa maziwa 20.Bibi Haule alifafanua kwamba fedha hizozimetolewa na Mfuko wa Nchi ya Japan kupitiaMbunge wa Viti Maalum Wanawake Mkoani hapaMheshimiwa JENISTA MHAGAMA, ambaye nimwanzilishi wa ARUWOSAC.Bibi Haule alisisitiza kwamba mradi huo umeletwamkoani hapa kwa ajili ya “kopa ngʼombe lipangʼombe na kopa mbuzi lipa mbuzi”. Aidhaalisema mradi huo umeingia katika SACCOSza wanawake kwa lengo la kuboresha afya zawanawake na watoto na kuongeza vipato vyafamilia kwa ujumla.Katibu huyo aliongeza kwamba mradi huoutawawezesha wanawake kujijengea uwezokatika masuala ya ufugaji na tayari wanawakekatika ushirika huo wamepata mafunzo yaufugaji bora katika Chuo cha Mifugo Madaba,Wilayani Songea. Aidha alitoa wito kwa wanawakemkoani hapa kujiunga na SACCOS za wanawakeili kufikia lengo la Taifa la kuundoa umaskiniufikapo mwaka 2025.Ushirika wa Akiba na Mikopo wa wanawakeMkoani hapa ulianzishwa rasmi mwaka 2002.WADAU WATAKAMARUFUKUYA “LUMBESA”ITEKELEZWE.Na Albano Midelo, SongeaWadau wa kilimo Mkoani Ruvuma wameshauri kwamba sheriailiyopitishwa na Bunge mwezi Novemba mwaka jana ya kupigamarufuku mtindo wa baadhi ya wanunuzi wa mazao kujazamagunia kupita kiasi (yaani LUMBESA), itekelezwe harakaiwezekanavyo.Wadau hao walitoa kauli hiyo hivi karibuni katika mkutano wao wakwanza ulioandaliwa na Shirika la DAI PESA uliofanyika kwenyeukumbi wa DON BOSCO mjini hapa. Mkutano huo ulizungumziajinsi vipimo visivyo halali (LUMBESA) vinavyoathiri maendeleo yakilimo nchini.Wadau hao waliyataja madhara ya “Lumbesa” kuwa ni pamojana kumdhulumu mkulima mdogo kimapato, kumdhulumumsafi rishaji, kuwaathiri vibaya kiafya wabeba mizigo (wapakizi),kuikosesha Serikali mapato na kuharibu takwimu sahihi zamazao.Ili kukabiliana na tatizo la “Lumbesa” wadau hao wameshaurikwamba elimu kuhusu mizani halali itolewe kwa wadau wotewa kilimo kupitia vyombo vya habari, sanaa za maonyesho namikutano ya hadhara. Aidha walishauri magulio na masokoyaimarishwe hadi vijijini ili mizani halali itumike wakati wa ununuziwa mazao.Walieleza kwamba kwa kuwa Serikali imepiga marufuku “lumbesa”,ni vema utekelezaji wa sheria hiyo uanze haraka ili wakulimawasiendelee kukandamizwa na kunyonywa. Katika mkutanohuo wadau hao walichagua kamati ya watu sita itakayokuwa najukumu la kuhakikisha kwamba utekelezaji wa sheria ya kufuta“lumbesa” Mkoani Ruvuma unaanza mara moja.Wadau walioshiriki katika mkutano huo ni pamoja na wawakilishiwa Chama cha Wafanya Biashara, Wenye Viwanda na Kilimo(TCCIA), Afi sa Vipimo wa mkoa, wawakilishi wa Wakurugenziwa Halmashauri zote Mkoani hapa, Wakala wa Barabara(TANROADS) na shirika linaloshughulikia maendeleo ya sektabinafsi la DAI PESA.Mkutano wa pili utakaowakutanisha wadau hao kufanya tathminiya utekelezaji wa sheria hiyo ulitarajiwa kufanyika mwezi Aprilimwaka huu.Akifunga seminahiyo Mwenyekitiwa mafunzohayo BwanaVincent Mgimbaa limha kikis hiam wezeshajikwamba elimuambayo washirikiwalipata itawafanyakuwa viongozi borazaidi katika vikundivyao.29<strong>Mtafutaji</strong> <strong>mag2.indd</strong> 296/28/05 2:45:02 PM


IRINGA VIJIJINIKUUAGAUMASKINI?Na Mawazo Malembeka, Iringa.Taarifa za uhakika zilizopatikana mjini Iringa hivikaribuni zinasema kwamba wakulima wa wilayaya Iringa Vijijini sasa wanaweza kutajirika katika mudaMkulima akiuza vitungu kando yabarabaramfupi ujao, baada ya tatizo la ukosefu wa mitajilililokuwa linawakabili kwa muda mrefu kupatiwaufumbuzi. Imeelezwa kwamba neno ‘Umaskini’, likiwana maana ya hali ya kushindwa kumudu maisha aumahitaji muhimu, sasa litakuwa historia katika wilayahiyo.Neema zinaendelea kuwaangukia wakulima wadogowa Iringa Vijijini. Neema ya kwanza ambayo wakulimahao wanayo ni kuwa chini ya Mradi wa DAI PESA, mradiambao pamoja na mambo mengine unawafundishakilimo cha kisasa na kutafuta masoko kwa pamoja,fursa ambayo awali hawakuwa nayo.Katika siku za hivi karibuni, Mradi Shirikishi wa Mikopona Akiba Vijijini (RPMS) umeanza kufanya kazi nawakulima hao, hususan walio katika mradi wa DAIPESA. Kwa mujibu wa Afi sa Mtendaji wa RPMS,Bw.Henry Mwaijega, lengo la mradi huo ni kuwakopeshawakulima mitaji wakati wanapoihitaji.“Bado hatujaanza rasmi kutoa mikopo lakini tanatarajiakuanza mapema iwezekanavyo na wakulimawatakopeshwa kulingana na mahitaji ya kila mmoja,mkopo wa chini utakuwa Sh.150,000 na wa juuutakuwa Sh.300,000,” alisema Bw.Mwaijega.Akizungumza kuhusuutaratibu wa mikopoBw.Mwaijega alisemakwamba ili mkulimaaweze kukopeshwani lazima awemwanakikundi, awena dhamana ya pesataslimu asilimia 25ya kiasi anachotakakukopa, atoe ada yauanachama ya Sh.2000na awe na dhamana yavitu vinavyohamishikakama samani, nakadhalika.Afi sa mtendaji huyoalifafanua kwamba ribaya mikopo hiyo itakuwaasilimia 2.5 na kwambamkulima atarejeshamkopo katika kipindicha miezi mitatu hadiminne, kulingana nazao analolima. “Sisi hatuwapangii muda wa kurejeshana wala muda wa kurejesha haukupangwa kulinganana kiasi cha pesa anachokopa mkulima, la hasha.Mkulima mwenyewe anapanga atarejesha mwezi ganikulingana na zao analolima (muda wa kuuza mazaoyake),” alisisitiza Bw.Mwaijega.Bw.Mwaijega aliongeza kwamba jumla ya mikopo1703 yenye thamani ya Sh. milioni 102 ilitolewa mwakajana na RPMS na lengo la mwaka huu ni kutoa mikopo2,500 yenye thamani ya Sh.milioni 344.Mradi wa RPMS ulianza mwaka 2000 lakini shughuliza kutoa mikopo zilianza rasmi mwaka juzi. Mradihuo unatekelezwa kwa majaribio katika wilaya zaIringa Vijijini na Kilolo kwenye kata nane za wilaya hizo,ambazo ni Mtitu, Dabaga, Ukumbi, Ilula, Magulilwa,Ifunda, Mgama na Ilole.30<strong>Mtafutaji</strong> <strong>mag2.indd</strong> 306/28/05 2:45:06 PM


RUVUMAWAFUNZWA KILIMOCHA PILIPILI MBOGA(PAPRIKA)Na Albano Midelo, SongeaViongozi 40 toka vikundi 19 vinavyolima pilipili mbogaMkoani Ruvuma walihudhuria mafunzo ya kilimobora cha pilipili mboga yaliyoandaliwa na DAI PESAhivi karibuni. Mafunzo hayo ya siku nne yaliendeshwakatika ukumbi wa kituo cha DON BOSCO cha mjinihapa na yalihusu nadharia za hatua mbalimbali katikakilimo bora chapilipili mboga. Hatuahizo ni pamoja nanamna ya kutunzakitalu, upandaji wamiche, kuchaguamiche, utunzaji washamba, uchumajina ukaushaji wa zaohilo.Mwezeshaji katikamafunzo hayoalikuwa Bwana CHEDI MHINA toka Kampuni yaViungo <strong>Tanzania</strong>, (yaani “<strong>Tanzania</strong> Spices Limited”)ya mjini Iringa, kampuni pekee inayonunua zaohilo. Bwana Chedi Mhina alimweleza mwandishi wahabari hizi matarajio yake makubwa kwamba kufuatiaviongozi hao wa vikundi kupewa mafunzo, pilipilimboga zingezalishwa kwa ubora unaotakiwa. “Zao lapaprika ni jipya mkoani Ruvuma. Hata hivyo, mafunzoniliyowapatia kwa siku nne yatawawezesha kuzalishapaprika yenye ubora zaidi”, alisema.Naye Afi sa Mradi wa DAI PESA mkoani Ruvuma,Bwana Mays Mkwembe, aliwashauri washiriki haokuzingatia mafunzo yaliyotolewa na mkufunzi huyo iliwakirudi makwao wawe walimu wazuri katika vikundivyao.Msimu huu wakulima 3000 katika wilaya za Songea naNamtumbo wamelima ekari 2264 za pilipili mboga nawanatarajia kupata jumla ya shilingi bilioni moja baadamauzo.UZALISHAJI WAMIWA KUPANDANa Merina Robert, MorogoroUzalishaji wa miwa unatarajiwa kupanda toka tani389,250 za sasa hadi kufi kia tani 1,456,000 ifi kapomwaka 2010, kwa mujibu wa maelezo ya Katibu waChama cha Wakulima wa Miwa <strong>Tanzania</strong> yaani (TASGA),Bw. Sosthenes Magesse. Bw. Magesse alisema piakwamba TSGA imesanifu mpango wake wa maendeleowa miaka kumi ambao umejumuishwa katika mpangomkubwa wa maendeleo ya sekta ya sukari nchini.Katibu huyo alitoa maelezo hayo wakati wa mkutanowa ushirikiano baina ya TSGA na mradi wa DAI PESAuliofanyika hivi karibuni mjini Morogoro na kuwashirikishaviongozi toka vyama vya wakulima wa miwa vya Mtibwa,Ruhembe na Kilombero.Bw. Magesse aliongelea pia matarajio ya wanachamaya kuinua tija ya ardhi na kazi toka uzalishaji wa sasawa tani 45 kwa hekta moja na kufi kia tani 80 kwa hektamoja ifi kapo mwaka 2010. Akiendelea kufafanua Bw.Magesse alisema kwamba awali, tangu kuanzishwakwa makampuni ya Kilombero na Mtibwa mwaka1960, wakulima wadogo wadogo wa miwa walitarajiwakuzalisha viwango vidogo tu vya miwa, kama nyongezajuu ya uzalishaji wa mashamba ya kampuni hizo.Akieleza kuhusu ukuaji wa uzalishaji wa miwa Bw. Magessealisema kwamba kati ya mwaka 1991 na 2004/2005mchango wa miwa ya wakulima wadogo wadogoumeongezeka toka asilimia 17% hadi 46% kwa upandewa Kilombero na toka asilimia 27% hadi asilimia 51% kwaMtibwa, ya miwa yote inayosindikwa na viwanda hivyo.Mwenendo huu unaonyesha na kuthibitisha kuongezekakwa umuhimu wa mchango wa wakulima wa miwawadogo wadogo nchini. Alisema tangu mwaka 1998,viwanda hivyo vilipobinafsishwa, uzalishaji wa miwa wawakulima wadogo wadogo katika kampuni ya Kilomberoumeongezeka mara nne na katika kampuni ya Mtibwaumeongezeka maradufu.Katika mkutano huo Bw. Magesse pia aliyapitia matatizo31<strong>Mtafutaji</strong> <strong>mag2.indd</strong> 316/28/05 2:45:09 PM


mashamba kuathiriwa na mafuriko kutokana na kutokuwana mifereji ya kuridhisha ya kuyaongoza na kuyatoa majimashambani.Matatizo mengine ni bei ndogo ya miwa wanayopewawakulima, ugumu wa kupata fedha za mtaji zakuendeshea shughuli za kilimo,miundo mbinu duni,tijandogo ya uzalishaji wa miwa kwa eneo,uhaba wa maafi sawataalamu, kodi kubwa ya zao la miwa, ucheleweshajiwa malipo kwa wakulima na ajali za moto kwa wakulimakuchomewa miwa yao.Viongozi waShirikisho la Vikundivya wakulimawatembeleaMoshi na ArushaNa Abel Lyimo: Mshauri wa Vikundi na Sera katika mradi waDAI PESA unaofadhiliwa naUSAID.Viongozi wa vikundi vinavyosaidiwa na mradi wa DAIPESA ambavyo tayari vimeunda shirikisho hivi karibuniwalivitembelea vikundi vya wakulima wa “kahawa spesheli”vya mikoa ya Kilimanjaro na Arusha.Wakati wa ziara hiyo viongozi wa Shirikisho la Vikundi vyaWakulima wa Mpunga vya wilaya ya Mbarali, Vikundi vyaMbogaMboga na Matunda vya mkoa wa Morogoro naVikundi vya Machungwa vya mkoa wa Tanga, walivitembeleavikundi vya “kahawa spesheli” vya Mrimbouuwo,(Moshivijijini), Amkeni (Moshi vijijini), Leguruki (Arumeru), Nombeko(Arumeru) na King’ori (Arumeru) ili kujionea shughuli zamaendeleo zilizofanywa na vikundi hivyo. Viongozi hao piawalipata fursa ya kuhudhuria kikao cha menejimenti yaShirikisho la Vikundi Vya Wakulima wa “Kahawa Spesheli”na kutembelea ofi si zao zilizoko Moshi mjini.Kwa ufupi viongozi hao wa wakulima walijifunza mamboyafuatayo:• Wingi wa wanachama si kigezo kikuu ili kikundi kiweendelevu bali jambo muhimu ni kuwa na wanachamawenye moyo, upendo na ushirikiano.• Vikundi vingi vya mikoa ya Kilimanjaro na Arusha vilianzana wanachama wachache, saba hadi hamsini. Vikundivingi bado vina wanachama wachache, lakini vinatoahuduma hata kwa wasio wanachama na vimepiga hatuakubwa sana.• Kila kikundi kina ofi si na kimeajiri meneja ambayeanasimamia shughuli zote za maendeleo ya kikundi. Ilikikundi kiendelee ni lazima kiwe na wafanyakazi, hasameneja ambao watabuni mbinu mbalimbali za kuongezakipato cha wanachama.• Serikali au mashirika ya umma yanapenda kuvisaidiavikundi ambavyo tayari vimeanza kuonyesha dalili yakujitegemea. Kikundi cha Mrimbouuwo kilipata msaadawa shilingi milioni kumi na saba toka Halmashauri yaWilaya ya Moshi kwa ajili ya kukiimarisha kiwanda chaocha kukoboa kahawa pamoja na kununua mashinempya. Kikundi cha Amkeni kilipata msaada wa shilingimilioni kumi toka Halmashauri ya Wilaya ya Moshi kwaajili ya kukarabati ofi si zao na kununua mashine mpya.• Ili vikundi viendelee na viwe endelevu ni lazima viuze kwapamoja mazao ya wanachama wao.• Wanachama lazima wawe tayari kugharamia shughuliza maendeleo ya kikundi chao. Michango ni muhimukwenye maendeleo ya kikundi.• Viongozi lazima wawe wabunifu na wasijiingize kwenyesiasa wala dini.• Shirikisho ni muhimu sana hasa katika masuala ya masoko,ufanisi katika masoko ya nje, mawasiliano na mabenki,upatikanaji wa pembejeo n.k. kwani linaajiri waataalamuwenye uwezo wa kuwasiliana na watu mbalimbali.Baada ya ziara hiyo viongozi walipata ari ya mageuzi nawamepanga kuzungumza na wanachama wote wa vikundivyao ili kuwaeleza waliyoyaona kwenye ziara hiyo na kujaribukubuni mipango ya kutatua kero za wanachama.RUMACU SACCOSYAJENGEWA UWEZONa Albano Midelo, SongeaMfuko wa kukopesha Vyama vya Kuweka naKukopa (yaani CFP) umekipa mkopo wa jumla ya shilingimilioni 28 Chama cha RUMACU SACCOS cha Mjini hapa, ilikukijengea uwezo wa kuwakopesha wanachama wake.Akisoma taarifa kwenye Mkutano Mkuu wa Chama hichouliofanyika tarehe 20/3/2005 kwenye Ukumbi wa Chuo chaUshirika Songea, Katibu wa RUMACU SACCOS BwanaPAUL LWANDA alieleza kuwa fedha hizo zilitolewa kwa32<strong>Mtafutaji</strong> <strong>mag2.indd</strong> 326/28/05 2:45:13 PM


Bwana Lwanda alifafanua kwamba katika awamu ya kwanzaCFP walitoa mkopo wa shilingi milioni nne, awamu ya pilishilingi milioni tisa na awamu ya tatu shilingi milioni 15.Kwa upande wake, kamati ya mikopo ya RUMACU SACCOSiliidhinisha mikopo ya jumla ya shilingi zaidi ya milioni 18 kwawanachama wake katika kipindi hicho. Bwana Lwandaaliendelea kueleza ya kuwa mapato ya SACCOS hiyo katikakipindi hicho yalifi kia shilingi milioni 2.6, ambapo matumiziyalikuwa shilingi milioni 1.9 na faida ilikuwa shilingi zaidiya laki sita. Aidha katika kipindi cha kuanzia Januari hadiDesemba, 2004 HISA za wanachama zilikuwa na thamaniya shilingi milioni 1.4.Akiuelezea mwelekeo na mtazamo wa RUMACU SACCOSkwa mwaka huu, Lwanda alisema kwamba chama hichokinatarajia kuwawezesha wanachama wake kuanzishamiradi mbalimbali ili kuwainua kiuchumi.RUMACU SACCOS inatarajia pia kuanzisha mradi wa usafi riwa mabasi madogo (yaani mini-buses) ambao unatafutiwawabia nje ya nchi wanaoshughulika na miradi ya aina hiyo.RUMACCU SACCOS ambayo ilianzishwa mwaka 1991na hadi sasa ina wanachama 44, inakabiliwa na tatizo lawanachama kukiuka utaratibu wa marejesho ya mikopo,ambalo hatua madhubuti za kulidhibiti zimeandaliwa tayari.WASHAURIWAKUTAFUTAMASOKO KUPITIAMITANDAO YAKOMPYUTANa Albano Midelo,SongeaViongozi wa vikundi vya wakulimawa zao la pilipili mboga(paprika) toka wilaya za Songea na Namtumbowameshauriwa kutafuta masoko ya zao hilo njeya nchi kupitia mitandao ya kompyuta, badala yakutegemea soko la ndani pekee.kuendesha vikao, mbinu za ushirikishaji na stadi zamawasiliano na mahusiano.Naye Afi sa Mradi wa DAI PESA Mkoani Ruvuma,Bwana MAYS MKWEMBE aliwaeleza viongozi haokuwa lengo la DAI PESA ni kuwajenga wakulimawadogo kiuongozi ili waweze kuvisimamia ipasavyovikundi wanavyoviongoza katika kilimo cha pilipilimboga kwa lengo la kuboresha uzalishaji wa zaohilo na kuuondoa umaskini.Alieleza zaidi kwamba hadi sasa DAI PESAimeanzisha miradi ya kilimo katika mikoa sitahapa nchini. Aliitaja mikoa hiyo kuwa ni Iringa(pilipili mboga na vitunguu), Morogoro (matundana mbogamboga), Rukwa (alizeti), Ruvuma (pilipilimboga) na Mbeya (mpunga).Ushauri huo ulitolewa hivi karibuni na BwanaRwelengera Mugyabuso toka Dar es Salaamalipokuwa anaendesha semina ya viongozi zaidiya 100 wa vikundi na vijiji kwenye ukumbi waDon Bosco mjini hapa iliyoandaliwa na DAI PESA.Aidha Bwana Mugyabuso aliwasisitizia viongozi haokushirikiana na wakulima wa pilipili mboga katikakutafuta masoko na kwenda na wakati na dunia yautandawazi.Akizungumza kuhusu sifa za uongozi, BwanaMugyabuso alieleza kwamba uongozi hauna maanaya kuwapigia watu kelele bali ni kuzungumza,kujadiliana na kutoa ushauri unaojenga. Akiiendelezamada yake mwezeshaji huyo alifafanua kwambainampasa kiogozi kutumia mifumo mbalimbali yamawasiliano katika kukusanya na kusambaza habarikwa jamii inayomzunguka, na kwa hivyo hana budikuwa na mahusiano mazuri na vyombo vya habaripamoja na asasi nyingine.Katika semina hiyo viongozi hao walijifunza jinsi ya33<strong>Mtafutaji</strong> <strong>mag2.indd</strong> 336/28/05 2:45:16 PM


Teknolojia yetuitumike kupambanana UmaskiniNa Fatma Msheri na Waeli John OICTTeknolojia iliyo bora inasaidia sana katika kuharakishamaendeleo ya binadamu, kama vile kutumia mashine zakilimo badala ya jembe la mkono au mnyama, utengenezajina hifadhi ya vyakula kwa usalama zaidi, uzalishaji wanishati, bidhaa n.k. Aidha, kwa kutumia teknolojia bora vifaavingine vinaweza kutengenezwa na kuuzwa katika soko ladunia kwa faida. Matumizi ya teknolojia bora husaidia piakatika kuhifadhi maliasili na mazingira kwa ujumla.<strong>Tanzania</strong> ni mojawapo ya nchi maskini zaidi duniani na ikonyuma katika nyanja nyingi, ikiwemo ile ya teknolojia. Sualala kujiuliza ni kwa jinsi gani <strong>Tanzania</strong> inaweza kujikwamuakutoka kwenye umaskini wa kiteknolojia? Njia mojawaponi ile ya kutumia teknolojia kutoka nchi zilizoendelea. Hatuahii inaweza kusaidia sana katika kupambana na umaskini.Kwa kutumia vifaa kama majiko ya umeme kutoka nchizilozoendelea, kwa mfano, tunaweza kupunguza ukataji wamiti itumikayo kutengenezea mkaa kama nishati ya kupikia,na hivyo tutaweza kutunza mazingira yetu na kuyatumiavizuri zaidi kwa ajili ya maendeleo yetu na ya vizazi vijavyo.Tunaweza pia kutumia vifaa kama kompyuta ili kurahisishamawasiliano, utendaji wa kazi na hifadhi ya kumbukumbu.Hata hivyo, inatupasa tujiulize iwapo teknolojia ya wenzetuwalioendelea kweli itawasaidia Watanzania wote? Maanatunapoongelea maendeleo hatuna budi kujumuishawananchi wote. Teknolojia hiyo inahitaji kugharamiwa kwakuinunua, kuitunza, na kuiendeleza. Hata ikitoholewa,je maskini wataimudu? Jibu lipo wazi, nalo ni HAPANA,hawataimudu.Basi kuna umuhimu wa kuangalia jinsi gani tuitumie natuiendeleze teknolojia yetu wenyewe ili kujikwamua kutokakwenye umaskini. Teknolojia yetu inaweza kutumika katikamazingira yetu na gharama zake ni nafuu ambazo hata mtuwa kipato cha chini anaweza kuzilipa.Tunayo mifano mingi ya matumizi ya teknolojia yetu ambayoikiboreshwa ni mkombozi mkubwa. Watu wengi wanatumiamajiko ya mkaa yaliyotengenezwa hapa hapa nchini.Teknolojia hiyo imeboreshwa kiasi cha kutengeneza majikoyanayotumia mkaa kidogo sana kwa kupikia vyakula vingijambo ambalo linasaidia sana kupunguza kasi ya ukataji miti,na hivyo husaidia kutunza mazingira. Majiko hayo yanahitajikuboreshwa zaidi na zaidi, ili tuweze hata kukamata sehemukubwa ya soko la nje ya nchi na wananchi kujipatia kipatokwa ajili ya maendeleo yao.Siku za nyuma stadi ya usukaji ilitumika kutengeneza mikekana majamvi. Lakini siku hizi hata mikoba inayotumiwa naakina mama inatengenezwa kwa kusukwa na inawavutiasana watalii. Hivyo usukaji unaweza kutuingizia fedha zakigeni, tukitafuta soko kubwa zaidi huko huko watokakowatalii hao, licha ya kutosheleza mahitaji ya ndani. Kipatocha mafundi stadi wa usukaji, hasa wawe vijijini, kitakua nawataweza kumudu huduma zao za kila siku.Stadi ya ufi nyanzi nayo ikiendelezwa inaweza kutupatiambadala mzuri wa vifaa vya kutoka nje ya nchi. Vyunguhutumiwa sana katika maeneo ya vijijini kwa ajili ya kupikiana hivyo hivyo wafi nyanzi hutengeneza vyungu kwa ajili hiyotu. Hali hii inasababisha soko lao kuwa dogo na lisilo nauhakika, kwani vyungu wavitengenezavyo ni vichache nahavijulikani kwa wengi. Teknolojia hiyo inaweza kupanuliwana kutumiwa kwa kutengeneza vyungu vya kupandia nakutunzia maua ambavyo hupendwa sana mijini na hatanchi za nje. Wafi nyanzi wa vijijini wawezeshwe ili hali zao zamaisha ziweze kuwa bora zaidi kwa kufi nyanga vyungu vyakibiashara.Teknolojia bora na rahisi ya kutengeneza nishati ya umemekwa kutumia vinyesi vya wanyama na vitu vingine vya uotoitarahisisha upatikanaji wa nishati hiyo hata vijijini. Na hiini teknolojia ambayo wananchi wa kawaida wanawezakuitengeneza vizuri zaidi wakiungana katika vikundi. Umemehuo, na hata gesi ya kupikia kama itumiwayo kwenye kituocha masista Wakatoliki pale Hombolo, Dodoma inawezapia kutumika katika kutengeneza vifaa mbali mbali, kamavyungu, ufuaji wa visu na mapanga, kupikia vyakula, n.k.Mifano ya teknolojia yetu ipo mingi sana.Basi, ili mradi teknolojia asilia inaweza kutumika katikakutengeneza mali bora na kurahisisha maisha ya mwananchi,kumwondoa kwenye hali duni na kumleta ndani ya mwelekeotawala, serikali ishirikiane na wananchi katika kuiendeleza.Huu ni wakati ambapo tunashuhudia dunia yetu ikiwakama “kijiji kimoja” kutokana na mfumo mpya wa kiuchumiujulikanao kama utandawazi au kwa lugha ya kigeni“Globalization”. Katika utandawazi huo nchi zote zaulimwengu zina fursa zaidi ya kushirikiana katika nyanjambali mbali, ikiwemo biashara. Hata hivyo nchi hizi ambazoni “kijiji kimoja” zinatofautiana sana kiteknolojia, kiuchumina kwa mambo mengi mengine. Pengo kati ya nchizilizoendelea na zile maskini linajidhihirisha wazi zaidi, na34<strong>Mtafutaji</strong> <strong>mag2.indd</strong> 346/28/05 2:45:18 PM


zinazidi kudidimia kimaendeleo, hasa kwa kuangalia hali zamaisha ya wananchi wa kawaida. Tatizo kubwa ni uduniwa teknolojia za nchi zinazoendelea na uwezo mdogo wakuzimudu teknolojia za nchi zilizoendelea. Hivyo ni muhimukwa nchi maskini kuziendeleza teknolojia zao asilia.Teknolojia bora na rahisi ya kutengeneza nishati ya umemekwa kutumia vinyesi vya wanyama na vitu vingine vyauoto itarahisisha upatikanaji wa nishati hiyo hata vijijini. Na hiini teknolojia ambayo wananchi wa kawaida wanawezakuitengeneza vizuri zaidi wakiungana katika vikundi.Umeme huo, na hata gesi ya kupikia kama itumiwayokwenye kituo cha masista Wakatoliki pale Hombolo, Dodomainaweza pia kutumika katika kutengeneza vifaa mbali mbali,kama vyungu, ufuaji wa visu na mapanga, kupikia vyakula,n.k. Mifano ya teknolojia yetu ipo mingi sana.Basi, ili mradi teknolojia asilia inaweza kutumika katikakutengeneza mali bora na kurahisisha maisha ya mwananchi,kumwondoa kwenye hali duni na kumleta ndani ya mwelekeotawala, serikali ishirikiane na wananchi katika kuiendeleza.Utafi ti wa mazingiraUtafi ti wa mazingira kabla ya utekelezaji wa miradi mikubwani muhimu sana. Matokeo ya utafi ti yataelekeza jinsiya kuchukua hadhari juu ya athari zinazoweza kujitokeza,hususan katika miradi inayohusisha matumizi ya maliasilikama vile maziwa, mito, bahari misitu/miti n.k.Pia ni muhimu kuyatumia matokeo ya utafi ti wowoteunaofanyika, na wenye miradi wawaelimisha wakazi wamaeneo iliko miradi yao ili waweze kushiriki kikamilifu katikakuyazuia madhara yanayoweza kutokea na kubuni mbinumbadala za kuyatunza mazingira yao.Mfano mzuri wa wananchi wanavyotunza mazingira yao niMkoa wa Pwani. Mkoa huo unatoa kipaumbele kwa suala lautunzaji wa maliasili zilizopo baharini, kwani sehemu kubwaya mkoa huo imezungukwa na Bahari ya Hindi. Pamojana kutoa kipaumbele kwa raslimali za baharini Mkoa waPwani pia unaendesha miradi mingine kadhaa ya kuhifadhimazingira, kwa mfano mradi wa utafi ti wa mazingiraujulikanao kama “Rujiji Environmental Management Project-REMP” ambao unahusisha vijiji vinne vilivyopo kando kandoya mto Rufi ji. Katika mradi huo ambao ulianzishwa mwaka1998 vijiji hivyo vinapata msaada wa kiufundi toka shirika lakuhifadhi mazingira la kimataifa (IUCN) ambalo hivi karibunililishinda tunzo ya dola za Kimarekani milioni 30.Kuhusu utunzajia wa misitu, wananchi hawakatazwi kujipatiariziki zitokanazo na misitu, bali kinachozuiwa ni ukataji mitiovyo ambao matokeo yake ni kutoweka kabisa hifadhi zamisitu na viumbe hai vinavyoitegemea miti, yaani wanyama,wadudu na ndege. Sio hao tu hata maisha ya mwanadamumweyewe yataathirika sana kwa kukosa mbao,mvua na vyanzo vya maji baada ya kuifyekamisitu. Ukosefu huo utadhoofi sha nguvu zoteza kuleta maendeleo.Kwa makusudi kabisa serikali ya <strong>Tanzania</strong>inahimiza uwekezaji katika miradi mbalimbali ilikuharakisha uondoaji wa umaskini katika jamii.Hata hivyo miradi hiyo ambayo inatakiwa ilengekuwakwamua wananchi kutoka katika lindi laumaskini haitakuwa na faida iwapo wawekezajihawatafanya utafi ti ili kuangalia jinsi ya kuzuiaathari za kimazingira.Hivi haya ni mazingira salama kwabinadamu ?35<strong>Mtafutaji</strong> <strong>mag2.indd</strong> 356/28/05 2:45:22 PM


36<strong>Mtafutaji</strong> <strong>mag2.indd</strong> 366/28/05 2:45:26 PM

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!