13.07.2015 Views

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

BUNGE LA TANZANIA_____________MAJADILIANO YA BUNGE_______________MKUTANO WA NANEKikao cha Kumi na Tatu – Tarehe 29 Juni, 2012(Mkutano Ulianza Saa Tatu Asubuhi)D U ASpika (Mhe. Anne S. Makinda) Alisoma DuaHATI ZILIZOWASILISHWA MEZANIHati zifuatazo ziliwasilishwa Mezani:-WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS, MENEJIMENTI YAUTUMISHI WA UMMA, UTAWALA BORA NA OFISI YA RAIS(MAHUSIANO NA URATIBU):Randama ya Makadirio ya Ofisi ya Rais,Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Utawala Bora naOfisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu) kwa Mwaka waFedha, 2012/2013.MASWALI NA MAJIBUSPIKA: Waheshimiwa Wa<strong>bunge</strong> maswali, tunaanzana Ofisi ya Waziri.1


Na. 99Halmashauri za Ushetu na Msalala Kuanza KaziMHE. GODFREY W. ZAMBI (K.n.y. MHE. JAMES D.LEMBELI) aliuliza:-Kati ya Halmashauri tatu katika Wilaya ya Kahamani Halmashauri moja tu ya Mji wa Kahama ndiyoimepata Hati ya kuanza kazi:-(a) Je, ni lini Halmashauri za Ushetu na Msalalazitaanza rasmi?(b) Kwa kuanzishwa kwa Halmashauri ya Ushetuna Msalala. Je, ni nini hatma ya Halmashauriya Wilaya ya Kahama?(c) Je, wapi yatakuwa Makao Makuu yaHalmashauri hizo?NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZAMIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (TAMISEMI) alijibu:-Mheshimiwa Spika, kwa niaba ya Waziri Mkuu,naomba kujibu swali la Mheshimiwa James DaudiLembeli, M<strong>bunge</strong> wa Kahama, lenye sehemu (a), (b)na (c) kama ifuatavyo:-(a) Mheshimiwa Spika, taratibu za kuanzishaHalmashauri za Msalala na Ushetu zinafanywa kwamujibu wa Sheria Na. 7 ya Serikali za Mitaa ya Mwaka2


1982 kifungu cha 7 (1- 4) kinachoeleza kuwa Wazirimwenye dhamana ya Serikali za Mitaa atatangazakusudio la kuanzisha Halmashauri katika Gazeti laSerikali na magazeti ya kawaida na atatoa siku sitini(60) kwa wadau kuwasilisha kwa maandishi maoni,ushauri, au pingamizi kuhusiana na uanzishwaji waHalmashauri hizo.Mheshimiwa Spika, kama nilivyoeleza tarehe 18Juni, 2012 wakati najibu swali Na. 25 lililoulizwa naMheshimiwa Ezekiel Ma<strong>go</strong>lyo Maige, kwambaHalmashauri za Msalala na Ushetu ni mion<strong>go</strong>ni mwaHalmashauri mpya ambazo zipo katika hatua yauhakiki wa maeneo ya kijiografia (geographicalboundaries) kwa maana ya mgawanyo wa Tarafa,Kata, Vijiji na Viton<strong>go</strong>ji/Mitaa ili kuweza kutangaza.Hivyo Halmashauri za Msalala na Ushetu zitaanza rasmisambamba na Halmashauri nyingine mpyazinazotarajiwa kuanzishwa baada ya kukamilika kwataratibu za uanzishaji wake kwa mujibu wa Sheria.(b) Mheshimiwa Spika, mwaka 2011, Serikaliilitangaza kuigawa Halmashauri ya Wilaya ya Kahamakatika Halmashauri zingine tatu za Msalala, Ushetu naHalmashauri ya Mji wa Kahama. Halmashauri yaUshetu itajumuisha eneo lote la Jimbo la Uchaguzi laKahama ukiondoa eneo la Halmashauri ya Mji waKahama. Halmashauri ya Msalala inayopendekezwaitajumuisha eneo lote la jimbo la Uchaguzi la Msalala.Kwa maelezo hayo ni dhahiri kuwa baada yakuanza kwa Halmashauri hizo tatu, hapatakuwapo3


tena na Halmashauri ya Wilaya ya Kahama,kutakuwepo na Wilaya ya Kahama tu.(c) Mheshimiwa Spika, pamoja na mambomengine, len<strong>go</strong> la Serikali kuzigawa au kuanzishwaHalmashauri mpya ni kusogeza huduma za jamii karibuna wananchi. Hata hivyo, jukumu la kujua wapiyawepo Makao Makuu ya Halmashauri ni la Uon<strong>go</strong>ziwa Halmashauri husika ukishirikiana na wananchi wake.MHE. GODFREY W. ZAMBI: Mheshimiwa Spika,kwanza naomba nimshukuru Mheshimiwa Waziri kwamajibu yake. Lakini nina maswali mawili mado<strong>go</strong> yanyongeza kama ifuatavyo:-Kwa kuwa Mheshimiwa Waziri anasemaHalmashauri za Ushetu na Msalala zitaanza marabaada ya kukamilika taratibu. Sasa naomba kujua hizotaratibu zitakamilika lini maana inawezekana zikawamwaka mmoja, mwaka mzima hizo taratibuzitakamilika lini ili wana Usheti na Msalala wawezekupata huduma kama alivyosema Waziri tunatakatuwasogezee huduma hizo.Mheshimiwa Spika, suala la pili kwa sababu tunaHalmashauri pia nyingi sana katika nchi za miji mido<strong>go</strong>ambazo zimeanza nyingine miaka minne mitanoikiwepo Halmashauri ya Mji Mdo<strong>go</strong> wa Vwawa kuleMbozi. Je, hiyo Halmashauri yenyewe itaanza linisambamba na Halmashauri zingine ambazo ziko katikahatua ya Miji Mido<strong>go</strong>?4


NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZAMIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (TAMISEMI): MheshimiwaSpika, hizi Halmashauri ninazozingumza hapa pamojana zile nyingine ambazo zinazungumzwa haziwezikuanza bila ya kupitia kwenye huu mchakatoninaouzungumza hapa.Juzi nilijibu hapa na naomba nirudie na kusemahapa sasa hivi tunayo timu ambayo imeundwa paleTAMISEMI ambayo inazunguka katika maeneo yotemapya ambayo yanakusudiwa kuanzishwa. Nia nashabaha ya mpan<strong>go</strong> ule ni kufananisha yaleyaliyoandikwa katika makaratasi ambayo yamekujakama mapendekezo na hali halisi iliyoko pale kwenyeground.Mheshimiwa Spika, kuanzisha Halmashauri hapounaanzisha kwa ajili ya watu na watu ni lazimawaseme sisi tuko tayari Halmashauri hii ianze na lazimauseme vijiji vitakavyoingia mle ni hivi. Useme mitaaitakayoingia mle ni hii, Tarafa zinazoingia mle ni hizi naKata zinazoingia mle ni hizi na wote waafiki wasemekwamba naam barabara!!! Atatangaza Wazirimwenye dhamana ataweka kwenye ukuta, atawapasiku 60 waseme kama wanataka kuanzishaHalmashauri hizo au hawataki.Mheshimiwa Spika, ndiyo maana inaniwia vigumu,lakini nataka niseme hapa kama mlivyosikia katikahotuba zote Waziri wa Nchi atakaposimama hapa naWaziri Mkuu ataeleza hili la mchakato unaendeleahapa. Habari ya Kahama au Ushetu pamoja naMsalala wala hakuna debate tena. Kwa sababu ni5


jambo ambalo linajulikana kwamba tunaanza, lakinikwa kuzingatia hili ninalosema.Mheshimiwa Spika, sasa anazungumzia habari yaVwawa. Vwawa nimefika pale naifahamu. Nilieleza juzinilipokuwa nazungumza habari ya Itigi na walewengine. Tunachowaomba Waheshimiwa Wa<strong>bunge</strong>wote ambao mmeomba muwe na Mamlaka za MjiMdo<strong>go</strong> wote kabisa na kina Lwanji ahakikishenikwamba mnatuletea.Juzi nimekwenda kutafuta Mheshimiwa GodfreyZambi tukakuta kwamba kweli wanakiri Mkoa waMbeya pamoja na wale wengine wote kwamba ziledocuments hazikufika zimefika ofisini kwetu.Kwa hiyo, nawaomba sana wote hata weweMheshimiwa Spika kama una mji wako mdo<strong>go</strong> unatakakuanzisha wewe tuletee hizo takwimu hapa.SPIKA: Mimi nina mji mkubwa lakini hamjui kamakuna vijiji 44. Ndiyo hilo tu.MHE. MOSES J. MACHALI: Mheshimiwa Spika,nakushukuru. Nilikuwa naomba niulize swali moja do<strong>go</strong>la nyongeza Mheshimiwa Naibu Waziri.Kwa kuwa baadhi ya Halmashauri hapa nchiniambazo zimetangazwa na Serikali kwamba ziwezekuanza nyingi baadhi zimeshakamilisha vigezo vyakekama Halmashauri ya Mji wa Kasulu. Kwa kuwa katikamajibu yako ya msingi umeeleza kwamba itabidi6


kuweza kusubiri Halmashauri zote ambazozimeanzishwa ziweze kukidhi vigezo.Je, hatuoni kwamba ni kuwachelewesha maeneomengine ili suala zima la kusogeza huduma kwawananchi kutokana na kutokuanzishwa Halmashauriambazo tayari zimeshakidhi vigezo, Serikali inatoa kauligani?NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALAZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (TAMISEMI):Mheshimiwa Spika, hii Halmashauri ya Kasulu, Masasi,Nzega, Handeni wala tusizungumzie, yaaninawaambia kabisa tusizungumze kwa sababu hizonajua kabisa kwamba zinakuja, hizi zilishakuwazimetamkwa kutoka kule nyuma. Ninachosema hapakama kuna watu ambao tunawasema hivyotunavyosema halafu watachelewa hawakuleta treniimepita, itakuwa imekwenda.Mheshimiwa Spika, nina hakika hataweza kusemakwamba mimi naanzisha hapa kama hatujajiridhishahapa kwamba hivi tunavyosemwa na wananchiwameridhika na jambo hilo linalosemwa. Hiiitatuondolea mi<strong>go</strong><strong>go</strong>ro ambayo tunayo katikaTanzania ya mahali unaanzisha maeneo ya utawalakesho unakuta watu wanalalamika kusema kwambasivyo.Nataka nikuthibitishie kwamba sisi hapatumeshaeleza na kwamba tunawasiliana kwa karibusana na Halmashauri zote hii ni pamoja na zileHalmashauri 19 ambazo zitaanzishwa baadaye.7


Kwa sasa hivi Mheshimiwa Rais alichofanyaameanzisha Wilaya na ameteua Wakuu wa Wilaya naMikoa mipya ili wasaidie kusimamia mchakato huutunaozungumza hapa. Kwa hiyo unaweza ukaionakabisa dhahiri nia ya Serikali ya kutaka kufanya kazi hiilakini kwa kufuata taratibu hizi ambazo nimesemahapa za kisheria.SPIKA: Ahsante hili suala limejibiwa sana sana.Na. 100Barabara Toka Ihumwa – Chuo Kikuu HomboloMHE. DKT. DAVID M. MALLOLE aliuliza:-Mji wa Dodoma unakua kwa kasi sana na uwepowa Vyuo Vikuu hivyo inalazimu miundombinu yabarabara iwekwe vizuri ili kufikia Vyuo hivyo kwaurahisi:-Je, Serikali ina mikakati gani ya kuweka lamikwenye kipande cha barabara inayotoka Ihumwahadi Chuo cha Serikali za Mitaa Hombolo?NAIBU WAZIRI WA UJENZI alijibu:-Mheshimiwa Spika, kwa niaba ya MheshimiwaWaziri wa Ujenzi, napenda kujibu swali la MheshimiwaDavid Mciwa Mallole, M<strong>bunge</strong> wa Dodoma Mjini,kama ifuatavyo:-8


Mheshimiwa Spika, barabara ya Ihumwa –Hombolo ni sehemu ya barabara ya Ihumwa-Hombolo-Gawaye-Mayamaya yenye jumla ya urefu wa kilometa55.75.Mheshimiwa Spika, kwa kutambua umuhimu wabarabara hiyo, Serikali ilipandisha hadhi mwaka 2009kuwa barabara ya Mkoa. Katika mwaka wa fedha2010/2011, Serikali kupitia Wakala wa Barabara Mkoawa Dodoma, iliifanyia matengenezo ya kawaida,muda maalum pamoja na matengenezo ya madarajabarabara hiyo yenye gharama ya jumla ya shilingi58,632,150.00.Pia katika mwaka wa fedha 2011/2012, barabarahiyo imefanyiwa matengenezo ya kawaida, mudamaalum pamoja na matengenezo ya madaraja yenyegharama ya jumla 122,632,440.00. Hali kadhalika,katika mwaka wa fedha 2012/2013, jumla ya shillingi269,190,000.00, zimeombwa ili kuifanyia matengenezoya aina hiyo kwa mwaka unaofuata.Mheshimiwa Spika, kutokana na ufinyu wa Bajeti,Serikali kwa sasa haijapanga kuijenga kwa kiwan<strong>go</strong>cha lami barabara hiyo kutoka Ihumwa hadi ChuoKikuu cha Serikali za Mitaa Hombolo. Serikaliitaendelea kuifanyia matengenezo kwa kiwan<strong>go</strong> chachangarawe ili iendelee kupitika vizuri kipindi chotecha mwaka.MHE. DKT. DAVID M. MALLOLE: Mheshimiwa Spika,nakushukuru sana na naomba kuuliza maswalimado<strong>go</strong> mawili ya nyongeza.9


lami. Ukitoka Dodoma hadi Iringa kuna wakandarasiwanatengeneza kwa kiwan<strong>go</strong> cha lami na Dodomakwenda Singida nayo inajengwa kwa kiwan<strong>go</strong> chalami na katika Bajeti ya mwaka huu kuna zaidi yashilingi bilioni 62 na kitu zimepangwa.Sasa wakati tukiendelea kujenga barabara za lamiza Dodoma ni lazima Mheshimia Malolle ajue kwambakuna maeneo mengi ya Tanzania ambayohayajajengwa kwa kiwan<strong>go</strong> cha lami ikiwepo Mpandahadi Uvinza, kutoka barabara ya kutoka Masasi hadiRuvuma hadi Mbambabay na maeneo mengine,ikiwepo pia kutoka Njombe kwenda Makete. Kwakuzingatia hiyo na kwamba hiyo resources tuliyonayotutaendelea kujenga barabara zingine za trunk roadhizi za kwenda kwenye Vyuo Vikuu vya Dodoma visubirimpaka tutakapomaliza kujenga barabara zinginekatika nchi hii.SPIKA: Hiyo ya Njombe mpaka Makete ni ahadi yaIlani iliyopita. (Makofi/Kicheko)MHE YUSUPH A. NASSIR: Mheshimiwa Spika,nashukuru. Kama ilivyo kwa Mkoa wa Dodomakwamba unakua kwa kasi na kadhalika Mji waKorogwe nao unakua kwa kasi. Nini kauli ya Serikalikuhusiana na ahadi ya Mheshimiwa Rais ya barabaraza mji wa Korogwe zafikia kilomita mbili na nusu?SPIKA: Sasa Korogwe na kule kwingine ni wapi?Dodoma.11


WAZIRI WA UJENZI: Mheshimiwa Spika, ahadiambazo ziko kwenye Ilani ya Uchaguzi ni nyingi naahadi ambazo zimetolewa na Mheshimiwa Rais ninyingi. Tutaendelea kuzitekeleza kulingana naupatikanaji wa fedha na kwa bahati nzuri katika fedhaza Mfuko wa Barabara zimeweza kuongezeka kutokashilingi bilioni 300 hadi 400. Kwa hiyo, hizi kilomitando<strong>go</strong> ndo<strong>go</strong> ambazo ziliahidiwa na Mheshimiwa Raiskatika Wilaya na kadhalika zitazingatia kwa kutumiafedha za Halmashauri za Wilaya.Kwa hiyo, nimshauri tu M<strong>bunge</strong> wa Korogwe,Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe iombe fedhakupitia Mfuko wa Road Fund ili waweze kuanzakutengeneza barabara ya Korogwe na maeneomengine ikiwa ni pamoja na barabara hizi za Dodomazinazoenda kwenye Vyuo Vikuu kwa kutumia fedha zaRoad Fund zinazopangwa kupitia Mfuko wa Barabara.MHE. JAMES F. MBATIA: Mheshimiwa Spika,nashukuru kwa kunipatia nafasi ya kuuliza swali lanyongeza.Kwa kuwa taaluma ya ujenzi kwa miundombinu(Construction Management) kwenye classficationtheory inasema maintenance ni jambo la msingi, yaanibarabara ambazo zimeshakuwa Class A ziendeleekuwa maintained kubaki Class A wakati una upgradezile nyingine za Class B inaweza kuwa A na C kuwa B.Kwa kuwa Mheshimiwa Waziri amesema kunabarabara nyingine ambazo zinatakiwa kuanza wakatisuala la msingi linahusu vilevile ku-maintain barabara12


za mji wa Dodoma ziendelee kuwa maintainedkwenye Class A wakati hizo nyingine kutoka ClassB.Je, Serikali haioni ni vyema badala ya kutoa ahadiza kisiasa zaidi ikatoa ahadi ikatekeleza matakwa yakitaalam ya ujenzi wa barabara?SPIKA: Kwa kweli nilimwita aulize swali la nyongezakwa sababu nilimsikia kwenye kipindi alisema vizuri.WAZIRI WA UJENZI: Mheshimiwa Spika, ahadizinazotekelezwa si za kisiasa, lakini ni ukweli piakwamba barabara ambazo zinatakiwa kufanyiwamaintenance zinakuwa maintained na ndiyo maanakatika mwaka wa 1998 kupitia amendment act Na. 2ilitungwa Sheria ya Kuanzishwa Mfuko wa Barabara(Road Fund.Katika miaka hiyo makusanyo ya fedha za RoadFund ambazo zilikuwa zinakusanywa zilikuwa ni shilingibilioni 13, lakini katika Bajeti ya mwaka huu makusanyoya fedha za Road Fund ni shilingi bilioni 400 na katikasheria ile pamoja na mabadiliko yake kifungu na. 220kinasema: “All the money should be used for the mainroad maintenance only”.Kwa hiyo, status kwa yale anayoyazungumzakwamba Serikali ya Chama cha Mapinduzi inaendeleakusimamia suala la maintenance ya barabara zake13


itaendelea kulisimamia kama ambavyo Ilani ya Chamacha Mapinduzi ya mwaka 2010 inavyosisitiza.SPIKA: Tumechukua muda mwingi sana kwa swalimoja, tumechukua zaidi ya dakika 15 sivyo ilivyo.Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia.Mheshimiwa Moza Abeid atauliza swali. (Makofi)Na. 101Hitaji la Mawasiliano ya Simu - KondoaMHE. MOZA A. SAIDYaliuliza:-Pamoja na Wilaya ya Kondoa (Mjini) kupataumeme tangu 1982 bado haina mawasiliano ya simuyanayoridhisha:-Je, Serikali haioni kwamba kuna umuhimu wakuwaboreshea miundombinu ya mawasiliano ya simuwananchi hao ili wapate mawasiliano ya simuyanayoridhisha?NAIBU WAZIRI WA MAWASILIANO, SAYANSI NATEKNOLOJIA alijibu:-Mheshimiwa Spika, kwa niaba ya Waziri waMawasiliano, Sayansi na Teknolojia, napenda kujibuswali la Mheshimiwa Moza Abedi Saidy, M<strong>bunge</strong> waViti Maalum, kama ifuatavyo:-Mheshimiwa Spika, Serikali inatambua umuhimuwa huduma ya mawasiliano ya simu katika maeneoyote nchini. Kwanza kwa ajili ya kupeana taarifa na14


pia katika kufanikisha shughuli mbalimbali za kiuchumi.Aidha, Serikali ina dhamira ya dhati kuhakikisha kuwamaeneo yote nchini yanafikiwa na huduma zamawasiliano.Mheshimiwa Spika, napenda kumhakikishiaMheshimiwa M<strong>bunge</strong> kuwa Serikali itawasiliana naKampuni za Simu ili kuyashawishi yaboreshe kiwan<strong>go</strong>cha upatikanaji wa mawasiliano katika Wilaya yaKondoa Mjini kwa mujibu wa Sheria. Aidha, Serikalisasa inapitia upya utaratibu mzima wa kupelekamawasiliano ya simu katika maeneo mbalimbali nchinikwa nia ya kuharakisha zoezi hili.MHE. MOZA ABEDI SAIDY: Mheshimiwa Spika.Nashukuru kwa majibu mazuri ya Mheshimiwa NaibuWaziri. Lakini napenda kuuliza swali. Ndani ya vijijiambavyo umevitaja. Je, na Kondoa imo?Swali la pili. Je, ni lini Serikali itafanya ushawishi kwakampuni hiyo ili iweze kuja kuboresha mawasilianokatika Wilaya ya Kondoa, Chemba na kwinginekokwenye shida ya mawasiliano?NAIBU WAZIRI WA SAYANSI, MAWASILIANO NATEKNOLOJIA: Mheshimiwa Spika, kama nilivyosemaawali kwamba Serikali imefanya utafiti na kubainikwamba vijiji 2,175 aidha havina mawasiliano auhavina mawasiliano ya kuridhisha na naamini kwambakatika tathimini hiyo vijiji vilivyomo katika Wilaya yaKondoa vimo na ni lini Serikali itawasiliana namakampuni ya simu ili kuboresha huduma katikaWilaya ya Kondoa. Jibu ni kwamba tutafanya hivi15


karibuni na tukimaliza kikao hiki l eo nitakutana naMheshimiwa M<strong>bunge</strong> tutawasiliana na makampunitukiwa pamoja.Mheshimiwa Spika, vilevile napenda kutoa taarifakwamba leo baadaye tutagawa karatasi kwa orodha.Waheshimiwa Wa<strong>bunge</strong> watakumbuka kwambamwaka jana waliorodhesha vijiji katika maeneo yaoambayo havina mawasiliano au havina mawasilianoya kuridhisha.Lakini imebainika kwamba aidha baadhi yaWaheshimiwa Wa<strong>bunge</strong> hawakuorodhesha auhawakuorodhesha vijiji vyote.Kwa hiyo leo tutagawa orodha tena upya ya vijijivyote ambavyo mliviorodhesha na pale itakapobainikakwamba aidha baadhi ya vijiji vilisahaulika basitutaomba mviongeze kwenye orodha ile ili tuhakikishekwamba kila M<strong>bunge</strong> na kila eneo lake limezingatiwa ilitusiwe na maswali tena la kwamba je, eneo langu limoau halimo na tutapenda orodha hiyo mturudishie ndaniya wiki moja kwenye Ofisi ya Mheshimiwa Lukuvi.SPIKA: Hiyo inatosha, mkaorodhe wotemliosimama kuuliza maswali kusudi muweze kusaidiwa.Mheshimiwa Kapt. John Chiligati swali linalofuatabadala yake atauliza Mheshimiwa John Lwanji.Na. 102Huduma za Simu za Mkononi Kata ya Sanza na Iseke16


MHE. JOHN P. LWANJI (K.n.y. MHE. KAPT. JOHN Z.CHILIGATI) aliuliza:-Kwa kuwa vijiji vingi Wilayani Manyoni havijapatahuduma ya Simu za mkononi:-Je, ni lini Makampuni ya simu yatapeleka hudumaya simu katika vijiji vya Makanda na Ngaiti, Tarafa yaKintinku, Majiri na Hika Tarafa ya Kilimatinde, Sanza naIseke Tarafa ya Nkonko?NAIBU WAZIRI WA MAWASILIANO, SAYANSI NATEKNOLOJIA alijibu:-Mheshimiwa Spika, kwa niaba ya Waziri waMawasiliano, Sayani na Teknolojia, napenda kujibuswali la Mheshimiwa Kalpt. John Chiligati, M<strong>bunge</strong> waManyoni Mashariki, kama ifuatavyo:-Serikali kupitia mfuko wa mawasiliano kwa wote(UCAF) imehakiki mahitaji ya huduma za mawasilianokatika maeneo mbalimbali nchini na kubainisha vijiji2,175 havina mawasiliano au havina mawasiliano yakuridhisha.Mheshimiwa Spika, utafiti huo umejumuisha Wilayaya Manyoni katika maeneo ya Kitalalo, Magasai,Magasai A na Makanda A, katika kijiji cha Makandaambapo inaonyesha kuwa tayari Kampuni za Airtel naVodacom ziko katika hatua ya kuboresha hudumakatika maeneo hayo. Aidha imebainika kuwa kampuniza Airtel na Vodacom zina minara katibu maeneo yaChichecho, Ikasi, Ntope vilivyo katika kijiji cha Sanza na17


maeneo ya Igwamadete, Isseke, Mpapa naSimbanguru katika kijiji cha Isseke. Hivyo mfukoutaendelea kushirikiana na makampuni husika ilikuhakikisha kwamba huduma hii inaboreshwa katikamaeneo hayo. Utafiti zaidi utafanyika katika vijiji vyaNgaiti, Majiri na Hika ili kuona uwezekano wa kufikishahuduma hiyo.Mheshimiwa Spika, katika kutekeleza mpan<strong>go</strong> kaziwake, mnamo mwezi Novemba 2011, Mfuko ulitangzazabuni kwa ajili ya utekelezaji wa awamu ya kwanzailiyojumuisha vijiji 140 nchi nzima ambapo uchambuziwa zabuni na matokeo ya zabuni hiyo ulikamilikamwezi Machi, 2012. Aidha kwa zabuni aliyewasilishamaombi hakushinda zabuni hiyo kutokana na gharamakubwa tofauti na fedha halisi zilizotengwa na mfuko wakazi hiyo. Kufuatia hilo, utafiti zaidi unaendeleakufanywa na Mtaalam Mwelekezi ili kufanya tathminiya kitaalam ya mahitaji ya fedha na mbinu bora zenyegharama nafuu za kufikisha mawasiliano katikamaeneo yote. Tathimini hiyo inatarajiwa kukamilikamwezi A<strong>go</strong>sti, 2012 na zabuni mpya zinatarajiwakutangazwa mwezi wa Septemba 2012 kwa kuzingatiamapendekezo ya mtaalam na kwa ajili ya hatua zaidiza utekelezaji.MHE. JOHN P. LWANJI: Mheshimiwa Spika, pamojana majibu mazuri ya Mheshimiwa Naibu Waziri ninamaswali mawili ya nyongeza. Kwanza katika Wilayahii ya Manyoni na hasa hizo tarafa zilizotajwa zaKintinku na Nkonko tuliwasilisha kwa pomoja kwaupande mwingine wa Wilaya upande wa Magharibi18


tuliwasilisha maombi kwa Kata ya MamaghembeIpandye na Idondyandole.Sasa napenda kujua hali ya hizi Kata katika huomchakato unaozungumza ikoje maana utafitiulifanywa na imeonekana kabisa hawa watu kiuchumiwanaweza kupatiwa huduma hiyo?Swali la pili, ni kweli kwamba mwaka jana aumwaka juzi tulijaza fomu. Wakuu hawa wa Makampuniwalikuwa kwenye Ukumbi wa Msekwa tukajaza fomuhizo lakini hali halisi inavyoonekana kwa kweli utoaji wahuduma hii ya minara unasuasua sana. Sasanapenda nieleweshwe ni nini hasa mahusiano haya?Ni ushawishi tu mahusiano kati ya Serikali na hayamakampuni, uhusiano wake hasa ni upi katikakushawishi haya makampuni? Maana inaonekanakwa upande mwingine Serikali kama vile haina controlkabisa katika eneo hili?NAIBU WAZIRI WA MAWASILIANO, SAYANSI NATEKNOLOJIA: Mheshimiwa Spika, kwanza nitakapoletaile orodha tutatazama kama maeneo ya Jimbo lakoyamo na kama hayamo basi utaongeza natutayafanyia kazi.Kuhusu hili la pili, msingi wa biashara yamawasiliano ni biashara ya faida na makampuni hayahayalazimishwi kupeleka mawasiliano katika maeneoambayo wanaona hayana mvuto wa kibiashara.Ndiyo maana Serikali ilianzisha mfuko wa UCAF, Mfukowa Mawasiliano kwa wote msingi wake ni kutoa ruzukukwa makampuni ya simu kupeleka mawasiliano katika19


maeneo ambayo hayana mvuto wa kibiashara.(Makofi)Sasa mwanzo tulikuwa hatuna hakika kwambamoja, gharama halisi za kupeleka mawasiliano kwenyeeneo mahususi ni kiasi gani. Kwa hiyo, ruzukuinayohitajika ni kiasi gani. Hizo taarifa hazikuwepo.Tulichofanya sasa hivi ni kufanya tathimini ya kila kijiji nakujua gharama halisi za kupeleka mawasiliano kwenyekila kijiji na kutangaza tender kwa kila kijiji mahususi naambacho tunajaribu kufanya ni kwamba katika yalemaeneo ambayo makampuni ya simu yana minarainayozunguka katika maeneo haya inawezekanakampuni ya Vodacom tayari imewekeza katikamaeneo ambayo ni jirani na Manyoni magharibi nakampuni ya Airtel imewekeza katika maeneo jirani naWilaya ya Liwale kwa hiyo tunajaribu kutoa ruzukukulingana na uwepo wa Makampuni katika maeneomahususi.Mheshimiwa Spika, tunaamini njia hii na utafititulioufanya upya na model hii mpya ambayotumeitengeneza itasaidia kuharakisha zoezi hili natayari tumepata fedha shilingi bilioni 45 kutoka Benki yaDunia kwa ajili ya kugharamia awamu ya kwanza yakazi hii.Kwa hiyo, nataka niwahakikishie WaheshimiwaWa<strong>bunge</strong> kwamba baada ya kutengeneza utaratibuhuu mpya zoezi hili litaenda haraka. Pale mwanzotulikuwa tunachelewa kwa sababu tulikuwa hatuna20


hakika na kiwan<strong>go</strong> cha ruzuku na utaratibu tuliouweka.Kwa hiyo, sasa hii sio ahadi tu. Hii sasa ni utekelezaji.Na. 103Kuchomwa Moto kwa Ofisi ya OCD TandahimbaMHE. JUMA A. NJWAYO aliuliza:-Tarehe 17 Aprili, 2012 Ofisi ya OCD Tandahimbailichomwa moto na watu wasiojulikana na kuletahasara kubwa sana kwa wananchi nawafanyabiashara wenye maduka yanayozungukaeneo hilo.(a) Je, kwanini Serikali haiundi Tume huru ili ipateukweli wa chanzo cha moto huo?(b) Kwa kuwa hasara iliyopatikana inawaachawananchi katika hali mbaya. Je, Serikaliinawasaidiaje waathirika wa tatizo hilo.NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHIalijibu:-Mheshimiwa Spika, kwa niaba ya Waziri waMambo ya Ndani ya Nchi, napenda kujibu swali laMheshimiwa Juma Abdallah Njwayo, M<strong>bunge</strong> waTandahimba, lenye sehemu (a) na (b) kwa pamojakama ifuatavyo:-Mheshimiwa Spika, ni kweli kwamba tarehe 17Aprili, 2012 Kituo cha Polisi cha Wilaya ya Tandahimba21


na maduka 65 ya wafanyabiashara wa eneo hilovilichomwa moto na kusababisha hasara kubwa.Kufuatia tukio hilo jumla ya watu 9 walikamatwa nakufikishwa Mahakamani na kesi zao zinaendeleakusikilizwa.Mheshimiwa Spika, kwa kuwa suala hilo lipoMahakamani ni kinyume na utawala wa Sheria Serikalikuunda tume huru kabla ya Mahakama kutoa uamuziwake. Aidha kuhusu suala la fidia kwa waathirika hililitategemea uamuzi wa Mahakama kwenye suala hilo.MHE. JUMA A. NJWAYO: Mheshimiwa Spika,asante. Pamoja na kuwepo jambo hili Mahakamanilakini yapo mambo, administrative actionszinazotakuwa zifanywe ili kuleta amani ya kudumu paleTandahimba ikitiliwa maanani kwamba wananchiwameathirika sana lakini hata Polisi walioko palewanaishi kwenye ma-tent tena vijana wado<strong>go</strong> tuwametoka depo wamekuja pale wanaishi katikamaisha mabaya kiasi cha kuleta athari kwa pandezote. Kwanini Serikali haitaki kwenda kukutana nawananchi wale pamoja na Polisi wakawasilikiza vizuri ilitukapata ufumbuzi wa kudumu na kuleta amani paleWilayani Tandahimba.Pili, kwa kuwa mimi niliona dalili fulani za halimbaya na kwa sababu hiyo kwanza nilikutana naaliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani MheshimiwaNahodha nikamshauri mambo mengi ya msingi yakufanya lakini pia nilimwona IGP naye nikamshaurimambo mengi ya kufanya na kwa sababu nilikuwanajua OCD aliyekuwepo pale alikuwa na mtandao22


wa utendaji wa hovyo wakiwemo baadhi ya Polisi nawale Polisi bado wapo. Hata juzi hapa namshukuruMheshimiwa DC wangu Mheshimiwa Pansiano Nyamiameweza kutuliza amani kwa sasa.SPIKA: Uliza swali, sio kutoa hotuba tena.MHE. JUMA A. NJWAYO: Mheshimiwa Spika,umenitoa kwenye track. Sasa kwanini basi Serikaliisafanye utafiti wa kina nje ya Mahakama ile niliyosemaadministrative action ili isiwe tu suala la kuwaondoawale Polisi ambao kwa namna au nyinginewamechangia matatizo wapewe adhabu zinazostahiliili tuweze kujenga utawala bora wa kisheria kamaambavyo tungetarajia iwe? ahsante sana. (Makofi)Na. 104Askari wa Usalama Barabarani Kutoa FainiBila Kutoa RisitiMHE. VICENT J. NYERERE alijibu:-Je, Serikali inatoa kauli gani kwa askari waUsalama Barabarani wanaotoza faini bila kutoa risiti(Stakabadhi) ya malipo?WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI alijibu:-Mheshimiwa Spika, kwa niaba ya MheshimiwaWaziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, napenda kujibuswali la Mheshimiwa Vicent Josephat Nyerere, M<strong>bunge</strong>wa Musoma Mjini, kama ifuatavyo:-23


Mheshimiwa Spika, kinachotozwa na askari waUsalama Barabarani sio faini bali ni tozo la papo kwapapo (Notification) na dereva kwenda kulipa faini. Hiiinafanyika kwa mujibu wa kifungu 95 cha Sheria yaUsalama Barabarani Na. 68 ya 1973 na Kanuni Na. 257ya mwaka 2011. Kazi ya askari ni kumwandikianotification (PF.101) ikianinisha kosa/makosaaliyoyatenda na kiasi cha fedha anachotakiwa kulipa.Mheshimiwa Spika, dereva anapoandikiwaNotification hutakiwa kwenda kulipia kwenye ofisi zaWakuu wa Polisi wa Wilaya ambako kuna wahasibuwenye jukumu la kupokea fedha na kutoa stakabadhi.MHE. VICENT J. NYERERE: Mheshimiwa Spika,ahsante sana. Kwanza nasikitika kwa jibu ambalohalifanani na swali. Nilikuwa napenda kujua Wazirianataka kutuambia hakuna askari anayekusanyafedha barabarani na kama wapo na tukaletavilelelezo yupo tayari kuwajibika?NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI:Mheshimiwa Spika, kwa utaratibu ambao upo kunaAskari katika maeneo yaliyoko mbali sana na vituo vyaPolisi wa Wilaya wanakusanya fedha na utaratibuunaotumika ni kwamba baada ya kukusanayaanamwandikia dereva kituo gani au eneo gani aendeakachukue risiti yake baada ya safari. Kwa sababuwakati mwingine siyo rahisi kumtoa mtumishi wakwenye safari yake halafu ukamwambia arudi kituocha polisi cha Wilaya akalipe tozo.24


Hili jambo ninakubaliana naye kuwa lina tatizo natumejipanga kuhakikisha kwamba sasa tunatakakulirekebisha kwa kutumia mabenki na tehama ilituhakikishe kuwa askari hawatazigusa fedha na kwasababu hiyo sidhani kama nina wajibu wa kuwajibikakwa hili.MHE. MKIWA A. KIMWANGA: Mheshimiwa Spika,nashukuru naomba nimwulize Naibu Waziri swali do<strong>go</strong>la nyongeza. Kwa kuwa, askari wa barabarani hutozafine barabarani waliko ambayo risiti huonyeshagharama ya shilingi ishirini elfu tofauti na anayetozwafine hiyo kwa kulipa shilingi thelathini elfu na risiti ishirinielfu na risiti inaonyesha shilingi ishirini elfu na hapohupelekea mtafaruku baina ya mtozwa fine na mtozafine.Je, Serikali iko tayari kuandaa risiti halali ya shilingielfu thelathini ili kuondoa mtafaruku huu baina yamtoza fine na mtozwa fine?NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI:Mheshimiwa Spika, kwa niaba ya Waziri wa Mambo yaNdani ya Nchi naomba kujibu swali la nyongeza laMheshimiwa M<strong>bunge</strong> kama ifuatavyo:-Mheshimiwa Spika, Mheshimiwa M<strong>bunge</strong> aliulizakama Serikali iko tayari kurekebisha risiti na jibu ndiyokuwa tuko tayari na tutabadilisha. (Makofi)SPIKA: Tunaendelea na Wizara ya Nishati naMadini Mheshimiwa Gaudence Kayombo, ataulizaswali hilo.25


Na. 105Kiasi cha Makaa ya Mawe Katika Kijiji chaMtunduwaloMHE.GAUDENCE C. KAYOMBO aliuliza:-Je, ni kiasi gani cha makaa ya mawe kipo katikamaeneo ya Ngaka, Mbuyura, Mbalawala na Mkapakatika kijiji cha Mtunduwaro, Wilayani Mbinga?NAIBU WAZIRI WA NISHATI NA MADINIalijibu:-Mheshimiwa Spika, napenda kujibu swali laMheshimiwa Gaudence Cassin Kayombo, M<strong>bunge</strong> waMbinga Mashariki, kama ifuatavyo:-Mheshimiwa Spika, kazi ya kubaini kiasi cha makaaya mawe katika maeneo ya Ngaka, Mbuyura,Mbalawala na Mkapa ilianza 1949 na Serikali yaUingereza wakati huo kupitia Colonial DevelopmentCorporation (CDC) ilifanya kazi ya uchorongaji wamiamba. Baada ya Uhuru, Serikali ya Tanzaniailiendeleza kazi ya utafiti na kwa sasa kuna makampuniyanayoendeleza utafiti kwa ajili ya kuchimba makaaya mawe katika maeneo tajwa.Mheshimiwa Spika, tafiti za kijiolojia zimebainibonde lenye makaa ya mawe (coalfield) la Ngakaambalo linajumuisha maeneo ya Mbuyura, Mbalawalana Mkapa na Kijiji cha Mtunduwaro kimo katika eneo26


la Mbalawala Wilayani Mbinga na Kampuniinayofanya kazi ya utafutaji (exploration) katika eneohili ni Tancoal Energy LTD. ambayo ni kampuni ya Ubiakati ya NDC na kampuni ya Intra Energy kutokaAustralia .Mheshimiwa Spika, bonde la Ngaka lina takribanitani milioni 286.99 za makaa ya mawe, kati ya hizi:· Mbuyura, tani milioni 11.1;· Mbalawala, tani milioni 251;· Mkapa, tani milioni 19.81; na· Nyakangunda tani 5.08.Mheshimiwa Spika, mradi huu umekadiriwakuzalisha MW 250 pindi uzalishaji wa umemeutakapoanza mwanzoni mwa mwaka 2015.MHE.GAUDENCE C. KAYOMBO: MheshimiwaSpika, kwanza ninapenda kuishukuru Serikali kwa kazinzuri ya mradi huu hasa wenzetu wa NDC na Wizara yaViwanda kwa ujumla. Lakini pia napenda kumshukuruDkt. Milton Makon<strong>go</strong>ro Mahanga, ambaye alikuwaNaibu Waziri wa kwanza kabisa kufika katika eneo hilowakati lilipokuwa likiungua moto sasa nina maswalimawili ya nyongeza.(a) Kwa sababu Serikali inasema kutakuwa naumeme utakaozalishwa wa MW 250 na kwasababukatika Mkoa wa Ruvuma na Wilaya ya Mbinga hakuna27


kijiji chenye umeme ukiondoa Makao Makuu ya Wilayaya Mbinga, Songea na Tunduru.Je, Serikali ina mpan<strong>go</strong> gani kuhakikisha kuwaumeme huu unaanza kwanza kwa kuwekwa katika vijijivinavyozunguka eneo la mradi kwenda katika Tarafana Katika Wilaya na baadaye katika Mkoa?(b) Katika eneo hili kuna baadhi ya wananchiambao wamehamishwa na wamepewa fidia lakinifidia hiyo ni ndo<strong>go</strong> na kwa kweli ukifika ukionyeshwanyumba ambayo unaweza kudhani ni milioni ishirinikumbe mtu amelipwa milioni tano.Kwa vile Mheshimiwa Makamu wa Raisalitembelea pale na Mkuu wa Mkoa na mimi pia tulifikapale na Mkuu wa Mkoa aliahidi kushughulikia jambohili.Je, Mheshimiwa Waziri yuko tayari sasa kamadharura kuonana na Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma naWa<strong>bunge</strong> na Mkuu wa Mkoa yuko hapa kwenyagallery sasa hivi anasikia baada ya kipindi cha maswalina majibu tukutane ili tuweze kuweka mkakatikuhakikisha kuwa wananchi hawa wanapata haki iliyosawa. (Makofi)SPIKA: Hamuwezi kuonana labda saa saba kwasasa ni kipindi cha maswali na majibu.NAIBU WAZIRI WA NISHATI NA MADINI: MheshimiwaSpika, Napenda kujibu maswali ya nyongeza ya28


Mheshimiwa Gaudence Kayombo, M<strong>bunge</strong> waMbinga Magharibi, kama ifuatavyo:-Mheshimiwa Spika, kwanza nimpongezeMheshimiwa M<strong>bunge</strong> kwa kufuatilia fidia hii yawananchi wa Mbinga. Nikianza na swali lake la kwanzaSerikali katika kutekeleza Ilani ya Chama chaMapinduzi ukiangalia kitabu cha Ilani ya CCM ukurasawa 68 D ina itaja wazi Wilaya ya Mbinga kwamba nisehemu ambayo itapelekewa umeme na hivi sasaWizara ya Nishati na Madini kupitia TANESCO tunaomradi mkubwa wa kupeleka umeme Mbinga kutokeaMakambako kupitia Madaba – Songea na WilayaniMbinga mpaka Mbamba Bay.Kwa hiyo, nimhakikishie Mheshimiwa M<strong>bunge</strong>kwamba mbali ya uzalishaji wa MW 250 utakaotokanana makaa ya mawe ya Ngaka lakini pia Serikali inamradi unaoendelea hivi sasa wa kupeleka umemekatika maeneo mbalimbali ya Wilaya ya Mbingaikiwamo Mbamba Bay.Mheshimiwa Spika, swali la pili ni kwamba miminiko tayari kukutana na Mheshimiwa M<strong>bunge</strong> naWa<strong>bunge</strong> wa Mkoa wa Ruvuma hususani Mbinga naMkuu wa Mkoa wa Ruvuma ili kujadili na kuona kitugani kilitokea mpaka wananchi wakapunjwa kulipwafidia.MBUNGE FULANI: Taarifa.29


SPIKA: Taarifa time ya maswali ni limited.Mheshimiwa Mangungu, ni limited kabisa kwa hiyohatuwezi kufanya mambo ya habari hayo na nini.MHE. MURTAZA A. MANGUNGU: MheshimiwaSpika, nashukuru kwa kunipa nafasi niulize swali lanyongeza. Unakumbuka kuwa uliunda Kamati kwa ajiliya kufuatilia umeme wa uhakika unaotokana namakaa ya mawe Serikali kupitia Bunge hili imekuwaikitoa ahadi kila siku kwamba mradi utaanza nautatekelezwa wakati hatujaona jitihada zozote zakujenga transmission line kutoka Mbinga kwendaMakambako kuptia Njombe hadi Mufindi kwa niniahadi hii isiendane sambamba na utekelezaji kulikonikutoa ahadi tu?NAIBU WAZIRI WA NISHATI NA MADINI:Mheshimiwa Spika, ahadi hii ya utekelezaji wa mradiwa kujenga transmission line kutoka Makambakokwenda Songea na Mbinga iko kwenye utekelezaji.Serikali kupitia Shirika la TANESCO tayari imeshapatafedha kupitia SIDA Shirika la msaada la Swedenambako zaidi ya krona milioni 500 zimetengwa kwa ajiliya kutekeleza mradi huu na tayari mshauri anaendeleana kazi. Kwa hiyo, nimhakikishie Mheshimiwa M<strong>bunge</strong>siyo kwamba ni ahadi tayari kazi hii inaendelea nafedha zimepatikana.SPIKA: Mheshimiwa Mnyika swali la nyongeza. Siulisimama? au oky Mheshimiwa Hamad RashidMohamed.30


MHE. HAMAD R. MOHAMED: Mheshimiwa Spika,imebainika kwamba pale ambapo mashirika yetukama NDC na STAMICO yenyewe yamefanyaexploration yanapata nguvu za kuweza kuingia ubiana makampuni kutoka nje. Kwa mfano hivi karibuniSTAMICO waliweza kuingia ubia na kampuni nakuweza kupata 40% wakalipwa cash money kamadola milioni tatu NDC kwasababu haikufanyaexploration imeingia ubia kwa 30%.Je, Serikali ina utaratibu gani na mpan<strong>go</strong> wakuyaweza mashirika haya mawili NDC na STAMICOkuwapa fedha za kutosha ili wenyewe wakafanyeexploration wakajua ni kiasi gani cha mi<strong>go</strong>di iliyopo ilihatimaye wakaweza kuingia ubia na makampunikutokana na information walizo nazo wao badala yawao kuwakaribisha watu kuingia ubia ambao waowanaenda kwenye stock exchange wanauza hizotaarifa wana – raise money wakati mashirika yetuyanaweza kufanya hiyo kazi na ku- raise money zaidiSerikali ina mpan<strong>go</strong> gani wa kufanya hivyo.NAIBU WAZIRI WA NISHATI NA MADINI: MheshimiwaSpika, kwa niaba ya Waziri wa Nishati na Madinininaomba kujibu swali la Mheshimiwa Hamad Rashid,Mbuge wa Wawi, kama ifuatavyo:-Mheshimiwa Spika, Serikali kupitia Wizara ya Nishatina Madini imelitambua hilo na hivi sasa tumejipangakabisa kuhakikisha kwamba tuna iwezesha STAMICOpamoja na NDC ambayo iko chini ya Viwanda naBiashara. Tuna mashirikiano ya karibu kuangalia hayamashirika yetu ambayo yako strategic kusimamia31


iashara ya Madini kwa niaba ya Serikalitunayawezesha ili tuweze kupata shares kubwa nakusimamia uchumi hasa katika gunduzi mbalimbalizinazoendelea. Kwa hiyo, siyo tu NDC na STAMICOlakini pia hata TPDC tumejipanga kuhakikishatunaziwezesha ili ziweze kufanya kazi zaidi na kwa tija.Na. 106Uhitaji wa Umeme- Mbamba BayMHE. KAPT. JOHN D. KOMBA aliuliza:-Kwa muda mrefu sasa nimekuwa nikiiomba Serikalikupeleka umeme kwenye mji wa Mbamba Bay, baadaya Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga kutoa jenereta lakuzalisha umeme kwenye mji huo.(a) Je, jambo hili litatekelezwa lini?(b) Kwa sababu mji wa Mbamba Bay sasaumekuwa Makao Makuu ya Wilaya mpya ya Nyasa.Je, Serikali haioni kuwa ni wakati muafaka kupelekaumeme kwenye mji huo?WAZIRI WA NISHATI NA MADINI alijibu:-Mheshimiwa Spika, napenda kujibu swali laMheshimiwa Kapt. John Damiano Komba, M<strong>bunge</strong> wa32


Mbinga Magharibi, lenye sehemu (a) na (b) kamaifuatavyo:-Mheshimiwa Spika, usambazaji wa umemekwenye Mji wa Mbamba Bay, unahusisha ujenzi wanjia ya umeme ya mson<strong>go</strong> wa kV 33 yenye urefu wakilomita 167 kutokea Songea kupitia Mbinga kwendaMbamba Bay. Mradi huu unafadhiliwa na shirika laMaendeleo la Sweden (Sida) na inakadiriwakugharimu Swedish Crona (SEK) milioni 500.Hatua iliyofikiwa mpaka sasa ni kuwa mshaurimwelekezi wa mradi, ambayo ni kampuni ya SWECOInternational ya Sweden, yuko na site na anaendeleana kazi tangu A<strong>go</strong>sti, 2011; maandalizi ya ukamilishajiwa maeneo ya ujenzi wa vituo vya kupozea umemevya Madaba na Songea pamoja na kulipa gharamaza uthamini kwenye Halmashauri husika yamekamilika.Tumekubaliana na Halmashauri ya Wilaya yaMbinga kutoa jenereta, miundombinu ya kusambazaumeme huo, hivyo pindi ujenzi wa njia za kusambazaumeme katika maeneo hayo utakapokamilika,jenereta yenye uwezo wa kuzalisha umeme wa Kv 250itatumika kupeleka umeme kwenye Mji wa MbambaBay.(c) Mheshimiwa Spika, Serikali inalitambua hilo naninapenda kumjulisha Mheshimiwa M<strong>bunge</strong> kuwaSerikali inatekeleza mradi huu kwa kasi kubwa kwakuwa na malen<strong>go</strong> ya kuunganisha Wilaya zote zazamani na mpya kwenye gridi ya Taifa na hii ni katikakutekeleza Ilani ya Uchaguzi ya CCM. Mkandarasi33


Mshauri kwa ajili ya mradi wa Makambako – Songea,ambao utafikisha umeme Mbamba Bay,ameshapatikana na anaendelea na usanifu wa mradihuu wa kufikisha umeme Songea, Mbinga, MbambaBay na maeneo mengine. (Makofi)MHE. KPT. JOHN D. KOMBA: Mheshimiwa Spika,pamoja na majibu mazuri ya Mheshimiwa NaibuWaziri, nina maswali mawili ya nyongeza.(a) Jambo hili la kupeleka umeme kutokaMakambako kuelekea Songea na Mbinga sasa hivi nimiaka karibu nane na ilikuwa kwenye Ilani ya Uchaguziya miaka mitano iliyopita. Sasa kwa kuwa Halmashauriya Wilaya ya Mbinga imetoa jenereta na liko tayari naimetoa kuanzia mwaka 2008, kuna ugumu gani wa REAkwenda pale na kufanya network ya umeme ili mjiule upate umeme?(b) Mheshimiwa Naibu Waziri anajibu tu hiviinaingia akilini au ama haiingii akilini kwamba makaaya mawe yanachumwa pale Ngaka, yanapelekwaMalawi kuimarisha umeme wa Malawi na sisi palehatuna umeme hivi inaingia akilini, ama haiingii akilini?(Kicheko)WAZIRI WA NISHATI NA MADINI: Mheshimiwa Spika,kwanza nimpongeze Mheshimiwa M<strong>bunge</strong> naniwapongeze Madiwani wote wa Halmashauri yaMbinga kwa kukubali na kuridhia kuachia jeneretamoja ambayo ilikuwa ikitumika kwenye Kiwanda chaKahawa itumike kupeleka umeme eneo la MbambaBay.34


Mheshimiwa M<strong>bunge</strong> atakumbuka kuwaMheshimiwa Rais ameweza kutoa jenereta mbili katikaWilaya ya Mbinga ili kutatua tatizo la umeme Wilaya yaMbinga na ni kweli kabisa kuwa Halmashauri ya Wilayaya Mbinga imeweza kutoa jenereta iliyokuwepokuipeleka Mbamba Bay, tayari tunafanyamazungumzo na nimekwisha iagiza TANESCO pamojana REA watafute fedha kwa ajili ya kujenga miundombinu ya kusambaza umeme kwa wateja, kaziambayo ingefanyika baadaye baada ya mradi wakutoa umeme kutoka Makambako- Songea kwendaMbinga Mbamba Bay ingekamilika. Kwa hiyo,Mheshimiwa M<strong>bunge</strong> kupitia Halmashauri ya Mbingawamekwenda hatua mbele zaidi ya kupata jenereta.Kwa hiyo, kazi yetu sisi ni kuhakikisha kwambatunajenga miundombinu haraka ya kuwasambaziawananchi umeme. (Makofi)Mheshimiwa Spika, Katika swali lake la pili, jibu nihaiingii akilini. (Kicheko)SPIKA: Kitu gani hakiingii akilini nini?WAZIRI WA NISHATI NA MADINI: Mheshimiwa Spika,nimhakikishie Mheshimiwa M<strong>bunge</strong> kwamba Serikaliinatambua hilo na tunafanya kazi sasa hivi yakuhakikisha kwamba rasilimali za makaa ya mawezinatumika kwanza kutosheleza mahitaji ya umeme wandani kabla hatujafikia kuuza nje.Kwa hiyo, kwa hiyo nimhakikishie MheshimiwaM<strong>bunge</strong> makaa ya mawe yale hayapelekwi tu Malawi35


lakini pia viwanda vyetu vya Sementi vya Twiga,Mbeya pamoja na kiwanda cha Chai kinatumiamakaa ya mawe haya yanayotoka Mbinga. Lakini piatukijitosheleza kiu-meme, siyo vibaya pia kuuza kwawenzetu. (Makofi)MHE. JENISTA J. MHAGAMA: Mheshimiwa Spika,nakushukuru sana na mimi ili niungane na Wa<strong>bunge</strong>wenzangu wa Mkoa wa Ruvuma kuwakilisha kilio hikicha umeme katika Mkoa wetu wa Ruvuma.Kwanza niishukuru Serikali kwa sababu baada yamuda mrefu sana wa matumaini yaliyokuwa hayanamatarajio sasa zimetengwa fedha kwa ajili ya umemewa gridi kutoka Makambako mpaka Songea na kwakuwa, tayari katika kijiji cha Madaba ambao REAwanatakiwa kuufanyia kazi wa maporomoko yaLingatuta na umeme mwingine wa maji katika kijiji chaLilondo.Mheshimiwa Spika, Mheshimiwa Naibu Waziriananihakikishia kwamba sasa yuko tayari kuhakikishaREA wanafanya kila linalowezekana umeme uleunapatikana ili uweze kuongeza nguvu kwenye gridi yaTaifa umeme kutoka Madaba na ule unaotoka katikakijiji cha Lilondo kama walivyoniahidi miaka yoteiliyopita?WAZIRI WA NISHATI NA MADINI: Mheshimiwa Spika,kwanza ni dhamira ya Serikali kuhakikisha kwambamaeneo yote ambayo hayana umeme yanapataumeme hasa Wilaya za zamani na Wilaya mpya na hii36


tunaifanya katika kutekeleza Ilani ya Chama chaMapinduzi (CCM).Ni kweli huko nyuma miradi hii ilipaswa itekelezwesiku nyingi lakini kwasababu ya upungufu wa fedhailishindwa kutekelezwa lakini sasa hivi MheshimiwaM<strong>bunge</strong> amekiri kabisa kuwa fedha zimepatikana naREA tumeiongezea fedha ambayo tutaleta Bajeti yetuhapa nimwombe Mheshimiwa M<strong>bunge</strong> na Wa<strong>bunge</strong>wengine wa Mbinga na maeneo mengine ambayowanahitaji umeme watuunge mkono kwenye Bajetiyetu ili tuweze kutekeleza miradi hii. (Makofi)Na. 107Fedha Zilizochukuliwa Toka Kampuni ya DECIMHE. HALIMA J. MDEE aliuliza:-Mheshimiwa Spika, Serikali iliifungia Kampuni yaDECI ikiwa ni pamoja na kukamata mali, fedha nakuwafungulia mashataka Wakurugenzi Wakuu waKampuni hiyo:-(a)(b)Je, Serikali ilifanikiwa kuokoa kiasi gani chafedha na fedha hizo ziko wapi?Je, Serikali ina mpan<strong>go</strong> gani na fedhahizo?(c) Je, nini mustakabali wa fedhazilizowekezwa na Watanzania waliopandambegu zao wakitarajia kupata zaidi?37


NAIBU WAZIRI WA FEDHA (MHE. JANET Z. MBENE)alijibu:-Mheshimiwa Spika, kwa niaba ya Waziri wa Fedhanaomba nijibu swali la Mheshimiwa Halima JamesMdee, M<strong>bunge</strong> wa Kawe, kama ifuatavyo:-Mheshimiwa Spika, Serikali iliweza kuokoa kiasi chashilingi bilioni 14.81 kati ya shilingi bilioni 39.27 zilizokuwazinadaiwa na washiriki wa DECI. Fedha hizi zimezuiliwakatika akaunti zinazomilikiwa na Wakurugenzi wa DECIkatika mabenki mbalimbali hapa nchi.Mheshimiwa Spika, hatma ya fedha hiziitategemea hukumu ya kesi 109/2009 iliyofunguliwatarehe 12 Juni 2009 katika mahakama ya Hakimu MkaziKisutu. Aidha, mnamo Julai 17 mwaka 2012 Mahakamaitatoa uamuzi kama washtakiwa wana kesi ya kujibu aula.MHE. HALIMA J. MDEE: Mheshimiwa Spikanashukuru. Kwa kuwa Serikali imechukua zaidi ya miakamitatu kuweza kujua kama washtakiwa wana kesi yakujibu ama la, na kwa kuwa utaratibu huu ukiachwaukiendelea maana yake kesi ya msingi inawezaikachukua zaidi ya miaka mitatu mpaka minne, na kwakuwa suala la DECI linahusu maslahi ya Watanzaniawengi maskini.Je, Serikali haioni kwamba baada ya kujulikanakama kuna kesi ya kujibu ama la, kuweka mudamaalum ambao kesi ya DECI inatakiwa iishe?38


La pili, mwaka 2009 aliyekuwa Waziri wa FedhaMheshimiwa Mkulo alikiri kwamba kuna vi<strong>go</strong><strong>go</strong> waSerikalini wanaohusika na DECI, lakini vile vile kunafedha za umma ambazo ziliingizwa kwenye DECI kwamalen<strong>go</strong> ya kuvuna ili kile kiasi cha Serikalini kirudishweSerikalini. Lakini kwa taarifa ambazo tunazo, kesiiliyopo inayohusika na DECI ni ya wale wachungajiwatano. Nilitaka Serikali iniambie kufuatia tamko lile laMheshimiwa Mkullo, ni vi<strong>go</strong><strong>go</strong> wangapi wa Serikaliwameshachukuliwa hatua ambao walihusika na sualahili la DECI kwa mantiki ya kuweka fedha za Umma.(Makofi)NAIBU WAZIRI WA FEDHA (MHE. JANET Z. MBENE):Mheshimiwa Spika, kuhusiana na suala zima la kuwawashutumiwa wana kesi ama hawana hiyo itabidiMahakama yenyewe iamue na ndipo hatuazinaotakiwa kuendelea za kisheria zitaendeleakufanyika.Mheshimiwa Spika, kuhusiana na kuiwekeaMahakama kikomo cha kesi hii isikilizwe kwa muda upinaamini hiyo ni juu ya Mahakama yenyewe, sisi kamaSerikali hatuwezi kuingilia muhimili huo nakuwashurutisha wafanye hiyo kazi kwa shinikizo letu sisi.Mheshimiwa Spika, kuhusiana na vi<strong>go</strong><strong>go</strong> wangapiwaliochukuliwa hatua, naomba nikiri kuwa sina taarifakuwa kuna vi<strong>go</strong><strong>go</strong> waliohusika. Lakini naaminikutokana na kesi kuwa ipo Mahakamani hata waowatachukuliwa hatua zinazopaswa kufuatana nasheria zinavyosema. (Makofi)39


SPIKA: Waheshimiwa Wa<strong>bunge</strong> muangalie tu saa,muda umekwisha na maswali ya msingi yameisha.Waheshimiwa Wa<strong>bunge</strong> naomba niwatambuewageni tulionao leo katika ukumbi wetu. Wapo wageniwatano wa Waziri Mkuu kutoka NGO iitwayo Friendsand Family Community connection ya California nchiniMarekani na ina tawi lake Singida, hawa wageniwherever they are, kuna Phil Harris, kuna Joe AnneShau, they are five of them, Steven Luther, HappyPhilemon and Grace Emmanuel, hawa ni wageni waNGO inaitwa Friends and Family CommunityConnections nasikia iko Singida. Ahsanteni sanatunafurahi kwamba mmekuja.Tuna wageni waliofika Bungeni kwa ajili yamafunzo, wanafunzi hamsini pamoja na Walimu waokutoka shule ya Sekondari ya Bihawana naombawasimame mahali walipo, ahsanteni sana,tunawatakieni msome vizuri na kwa bidii. Tunamadiwani wanne na wakulima nane wa kahawawakion<strong>go</strong>zwa na Mheshimiwa Samweli Mtawa kutokaJimbo la Mbozi Mashariki. Madiwani na wakulima wakahawa wapo wapi?Nadhani ni hilo suala la kahawa kununuliwambichi, ahsanteni sana karibuni. M<strong>bunge</strong> wenuanapigania hili suala nasikia na wenzake piawanaolima huko suala hilo wanalifanyia kazi.Waheshimiwa Wa<strong>bunge</strong> kuna Wajumbe 25 kutokakikundi cha Wakaguzi foundation cha Arusha wapo40


wapi hao. Mimi sikifahamu Wakaguzi Foundation,karibuni sana. (Makofi)Kuna Wanafunzi hamsini pamoja na walimukutoka shule ya msingi ya Chamwino hawa wapo wapina walimu wao, ahsanteni sana, karibuni sana ninyi niwenyeji hapa Dodoma. Tunao Madiwanituliowatambulisha jana, nafikiri 35 kutoka Wilaya yaHandeni, Tanga wasimame huko waliko, tuna mgeniwa Mheshimiwa Dkt. Makon<strong>go</strong>ro Mahanga, ambaye niMzee Vitalis Aiyemba, kutoka Musoma, Karibu MzeeVitalis. (Makofi)Tunao wageni wa Mheshimiwa Kessy ni wanafunzi8 kutoka UDOM wakion<strong>go</strong>zwa na Ndugu MansoorKessy, ashanteni sana wanafunzi wa UDOMtunaomba msome kwa bidii. (Makofi)Waheshimiwa Wa<strong>bunge</strong> tunao wageni ambaowengine wapo basement watasubiri kuingia baadaye,hawa ni wanafunzi hamsini kutoka shule ya Sekondariya Buigiri, wanafunzi 57 kutoka shule ya Sekondari yawasichana ya Huruma, Dodoma.Wengine ni wanakwaya 60 kutoka Kanisa laKiinjili la Kikristo Tanzania (KKKT) Mkoa wa Manyara.Wapo pia Watunza Kumbukumbu na Makatibu Muhtasi48 kutoka Halmashauri mbalimbali hapa nchiniwanaosoma katika Chuo cha Leadership TrainingCenter Dodoma, wanaon<strong>go</strong>zwa na Mratibu waoNdugu James Imambi. Hawa watapata nafasibaadaye kuingia sasa hivi wapo basement.41


Wageni wengine wote tunawakaribisha kwasababu hapa ni mahali pa kuwasikiliza Wa<strong>bunge</strong> wenuwanapojadili mambo yao. (Makofi)Waheshimiwa Wa<strong>bunge</strong> matangazo ya kazi.Mwenyekiti wa Kamati ya Hesabu za Mashirika yaUmma (POAC), Mheshimiwa Kabwe Zuberi Zitto,anaomba niwatangazie Wajumbe wa Kamati yakekwamba leo saa saba mchana kutakuwa na kikaokatika Ukumbi Namba 227.Mwenyekiti wa Kamati ya Fedha na Uchumi,Mheshimiwa Andrew Chenge, anaomba niwatangaziewajumbe wa Kamati yake kwamba leo saa sabakutakuwa na kikao cha Kamati katika Ukumbi Namba219. Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge yaKatiba, Sheria na Utawala, Mheshimiwa John Lwanjianaomba niwatangazie Wajumbe wa Kamati yakekwamba leo saa nane kutakuwa na kikao cha Kamatihiyo katika Ukumbi Namba 231.Waheshimiwa Wa<strong>bunge</strong>, kwa hiyo huo ndiomwisho wa matangazo. Katibu endelea na OrderPaper.MWONGOZO WA SPIKASPIKA: Haya Waheshimiwa Wa<strong>bunge</strong> akinaMwon<strong>go</strong>zo, nianze na Mheshimiwa Mnyika. (Kicheko)42


MHE. JOHN J. MNYIKA: Mheshimiwa Spika,nashukuru. Naomba mwon<strong>go</strong>zo wako kwa mujibu waKanuni ya 64 (1) (c) ambayo nitaomba niisome. Bila yakuathiri masharti ya Ibara ya 100 ya Katiba yanayolindana kuhifadhi uhuru wa mawazo na majadiliano katikaBunge, M<strong>bunge</strong> hatazungumza jambo lolote ambalolinasubiri uamuzi wa Mahakama au jambo loloteambalo lilijadiliwa na kutolewa maamuzi kwenyeMkutano uliopo au uliotangulia na ambalo halikuletwarasmi kwa njia ya hoja mahsusi, na vile vile hatapingauamuzi wowote uliofanywa na Bunge isipokuwa tu kwakutoa hoja mahsusi inayopendekeza kuwa uamuzi huouangaliwe upya.Mheshimiwa Spika, naomba niweke mkazokwenye maneno hatazungumza jambo lolote ambalolinasubiri uamuzi wa Mahakama.Mheshimiwa Spika, ninaomba mwon<strong>go</strong>zo wakokuhusu maswali na masuala mawili yaliyojitokezamapema leo na jana yanayogusa mambo ambayoyapo Mahakamani. Leo kumekuwa na maswali mawili,Swali Namba 103 na Swali Namba 107 ambayoyamegusa masuala yaliyopo Mahakamani.Mheshimiwa Spika, natambua kwamba Bunge hililinaon<strong>go</strong>zwa na Kanuni na ninaomba nisome Kanuniya 5(1) inayosema, katika kutekeleza majukumu yakeyaliyotajwa katika Ibara ya 84 ya Katiba, Spikaataon<strong>go</strong>zwa na Kanuni hizi na pale ambapo Kanunihazikutoa mwon<strong>go</strong>zo basi Spika atafanya kazi kwakuzingatia Katiba, sheria nyingine za nchi, Kanuninyingine zilizopo, maamuzi ya awali ya Maspika wa43


Bunge pamoja na Mila na Desturi za Ma<strong>bunge</strong>mengine yenye utaratibu wa Ki<strong>bunge</strong> unaofanana nautaratibu wa Bunge la Tanzania.Mheshimiwa Spika, wakati swali Namba 103linajibiwa, Serikali ilitoa jibu kwamba haiwezi kuundaTume huru ya kuchunguza hili suala la Tandahimbakwa kuwa suala lipo Mahakamani. Lakini miminimekwenda Tandahimba, suala lililopo Mahakamanini tofauti na malalamiko ya wananchi. Sasa Bungekazi yake ni kuisimamia Serikali, Serikali imeacha kujibukwa sababu suala lipo Mahakamani ni tofauti na sualalililoulizwa.Mheshimiwa Spika, lakini kwenye swali Namba 107sehemu (c) ya swali ilihusu mustakabali wa fedha hizi zaDECI ambazo tayari Serikali imekwishazikusanya bilioni14 na kwamba imeeleza mustakabali wa hili itabidilisubiri kwanza uamuzi ya Mahakama.Mheshimiwa Spika, lakini kuna precedence,kulitokea kesi maarufu sana kama samaki wa Magufuli,samaki walikamatwa, samaki wakahifadhiwa, kesiikawa inaendelea, baadaye ukafanyika uamuzi nataarifa ikatolewa hapa Bungeni ya kuwagawa walesamaki kabla ya kesi haijahukumiwa. Sasa kama fdhaza wananchi zimekaa kwa miaka mitatu na zinashukathamani na kadhalika. Ni kwa nini Serikali inatumiakivuli cha mambo ambayo hayahusiani kuachakuamua mambo ambayo inaweza kuamua, inawezaikaamua zile pesa zikagawanywa.44


Mheshimwia Spika, niombe mwon<strong>go</strong>zo wako kwakurejea na kwa ruhusa yako naomba ninukuu, Nyarakaya The Separation of Powers kwa sababu kwenyeKanuni niliyoisoma ni kwamba unaon<strong>go</strong>zwa kwaKanuni. Lakini vile vile kwa uzoefu wa Ma<strong>bunge</strong>mengine, kwa sababu neno hakuna tafsiri kwenyeKanuni zetu ya maneno haya yaliyotamkwa hapaambayo yametuzuia vile vile kujadili masualayanayohusiana na Madaktari, wakati menginehayahusiani kabisa. (Makofi)SPIKA: Mheshimiwa Mnyika, mbona unaenda njeya utaratibu?MHE. JOHN J. MNYIKA: Sawa, naomba basinimalizie.SPIKA: Tafadhali naomba tukae chini tuelewane.Naomba ukae chini kwanza.Waheshimiwa Wa<strong>bunge</strong>, tunacho<strong>go</strong>mba hapa nikido<strong>go</strong> tu, ukisema Mwon<strong>go</strong>zo kama ulivyosema yalemaswali yaliyoko Mahakamani ni sahihi kujadilianahapa kwa mujibu wa Kanuni zetu. Mimi nitasema siyosahihi na kama nimeruhusu hapa basi sikujua detailszake lakini siyo sahihi. (Makofi)Sasa ukiyafanya hivyo unajadili na huo siyomwon<strong>go</strong>zo. Maana sasa umeanza DECI ukaendaTandahimba, ukaenda kote huko, huo siyo Mwon<strong>go</strong>zonaombeni sana tuelewane. Kama kuna suala zitokama hilo unalotaka kuleta wewe leta kwa utaratibu45


mwingine, lakini siyo kwa utaratibu wa Mwon<strong>go</strong>zo,tafadhali.Waheshimiwa Wa<strong>bunge</strong> naomba sana, tunatumiavibaya mwon<strong>go</strong>zo. Mwon<strong>go</strong>zo ukisoma pale unasema.Je, suala lililotokea karibuni sasa hivi liko sahihi ama siyosahihi, ndiyo hivyo tu. Sasa mimi ni lazima nikiri kama nimasuala yanayohusu mahakamani hapa kuzungumzasiyo sahihi. Kwa hiyo, hili nimemaliza.Mwingine nani mwon<strong>go</strong>zo, Mheshimiwa Nassari,unatoa msimamo wa mwon<strong>go</strong>zo maana yakehatupendi kubishana bila sababu.MHE. JOSHUA S. NASSARI: Mheshimiwa Spika, kwamujibu wa Kanuni ya 68 kanuni ndo<strong>go</strong> ya 7 naombanisiisome kuokoa wakati.SPIKA: Isome maana yake unaanza kujifunza.MHE. JOSHUA S. NASSARI: Hali kadhalika M<strong>bunge</strong>anaweza kusimama wakati wowote ambapo hakunaM<strong>bunge</strong> mwingine anayesema na kuomba mwon<strong>go</strong>zowa Spika kuhusu jambo ambalo limetokea Bungenimapema ili Spika atoe ufafanuzi kama jambo hilolinaruhusiwa au haliruhusiwi kwa mujibu wa Kanuni nataratibu za Bunge na majibu ya Spika yatatolewa papohapo au baadaye kadri atakavyoona inafaa.Mheshimiwa Spika, wakati Naibu Waziri wa Nishatina Madini akijibu swali Namba 105 nilisimamanikaomba taarifa kwa mujibu wa ile Kanuni ya 68(8).Alipokuwa akijibu swali Namba 105 alitaja Mkoa wa46


Mbinga na Mkoa wa Songea. Tunavyofahamu hakunaMkoa wa Mbinga wala Mkoa wa Songea. Kwa hiyotunaomba mwon<strong>go</strong>zo wako au pengine Serikaliituambie kama kuna mikoa mingine ambayoimeongezwa na hatuifahamu, ili kuweka record clearkwenye Hansard. (Makofi)SPIKA: Kwanza kabisa aliposema Songea akasemaRuvuma, katika maswali ya kupoteza wakati menginendiyo haya. Tuendelee na Mheshimiwa Dkt. Mbassa.MHE. DKT. ANTHONY G. MBASSA: MheshimiwaSpika, nakushukuru. Naomba mwon<strong>go</strong>zo wa kiti chakokwa Kanuni ya 68 (7) kuhusiana na suala sasa ambalolinaendelea.Mheshimiwa Spika, jana ilikuwa itolewe Kauli yaSerikali.SPIKA: Samahani kuhusu nini?MHE. DKT. ANTHONY G. MBASSA: MheshimiwaSpika, kuhusu suala la Madaktari linaloendelea.SPIKA: Nilishakwambieni toka jana maswali hayahatuzungumzi hapa, naomba ukae, MheshimiwaMkosamali (Kicheko)MHE. FELIX F. MKOSAMALI: Mheshimiwa Spika, mimini fupi tu, mwon<strong>go</strong>zo wangu ni hiyo 68 (7).SPIKA: Siyo mwon<strong>go</strong>zo wako umeniombamwon<strong>go</strong>zo mimi. (Kicheko)47


MHE. FELIX F. MKOSAMALI: Mheshimiwa Spikanaomba mwon<strong>go</strong>zo. Jana Kanuni ya 64 (1) (a) naKanuni ya 64 (1) (g) zilikiukwa. M<strong>bunge</strong> wa Babatialitudhalilisha vijana na ukaahidi kwamba utatoa rullingkwa sababu alitudhalilisha vijana na kusema kwambasisi tunafanya vitu ambavyo siyo vya kiutaratibu.Mheshimiwa Spika, nilitaka mwon<strong>go</strong>zo wakoutatoa hii rulling lini na ulisema utafuata Hansard iliaweze kufuta kauli yake kwa sababu alikiuka Kanunikwa mujibu wa Kanuni ya 64 (2). (Makofi)SPIKA: Mheshimiwa Mkosamali humwon<strong>go</strong>zi Spikakufanya kazi yake, Mheshimiwa Ezekia Wenje.MHE. EZEKIA D. WENJE: Mheshimiwa Spika,nashukuru sana. Mapema jana kipindi cha maswalikwa Waziri Mkuu, Waziri Mkuu aliulizwa swali akajibukwamba moja ya measures ambazo Serikali inachukuakusaidia wananchi kwenye matibabu kipindi hiki cham<strong>go</strong>mo wa madaktari ni kwamba wame-organisewa<strong>go</strong>njwa waende kwenye hospitali za Jeshi kamamaeneo ya Dar es Salaam ambako kuna hospitali zaJeshi.Sisi Mwanza hatuna hospitali za Jeshi na ni kwelikwamba m<strong>go</strong>mo wa Madaktari umeathiri hudumazinazotolewa kwenye hizo hospitali, napenda nipatemwon<strong>go</strong>zo wako ili tupate kauli ya Serikali kwambawananchi wanaoishi Mwanza na maeneo mengine48


ambapo hakuna hospitali za Jeshi, tufanye nini ilitupate matibabu kwa sababu watu wanaumia.SPIKA: Mheshimiwa Wenje soma habari yamwon<strong>go</strong>zo swali hilo ni sahihi au siyo sahihi, basi. Sasawewe unataka mimi nianze kufanya kazi ya Serikalihapa, mimi siiwezi hiyo kazi. (Kicheko/ Makofi)Waheshimiwa Wa<strong>bunge</strong> mnaona, dakikatulizotumia hapa ni literary kupoteza muda ambaowatu wengine wangefanyakazi ambayo ni mahususi.Ninaomba sana tabia yetu hii si njema, maana nikupoteza muda na kanuni yetu inakataa mtu kuanzakuuliza swali la kupoteza muda na haya ndiyomnayofanya sasa. Mnayafanya maksudi ili kusudimwonekane mnavyopoteza muda. (Kicheko)Lakini rafiki zangu huku Waandishi wa Habariwanasema Spika anawagandamiza Wapinzani, jamanimimi hapa nakaa kwa mujibu wa Kanuni hii. Hizistatement za kusema tunapingana na Wapinzani niupuuzi tu ambao hauna maana, kwa sababu bilaKanuni hii hatuwezi kufanya kazi inayostahili heshimaya Bunge hili itatunzwa tu kwa kutumia Kanuni vizurinaomba Waandishi wa Habari mlielewe hili. Maanayake mnachochea tu uwon<strong>go</strong>, Spika, Naibu Spikawanapendelea sijui nani.Waheshimiwa Wa<strong>bunge</strong> hapa walioulizamwon<strong>go</strong>zo ni akina nani sasa. Siwezi kumjibu mtuambaye hajauliza mwon<strong>go</strong>zo. Kwa hiyo, naombaWa<strong>bunge</strong> tujifunze kutumia muda wetu vizurinimesema wananchi wanatusikiliza na note ninazopata49


wengi wanasema hawapendi hata kusikiliza kipindichetu kwa sababu ya utundu unaofanyika hapandani. Tafadhali sana mjifunze Kanuni zetu natuendelee na kazi tuliyodhaminiwa na wananchiwaliotuchagua. (Makofi)HOJA ZA SERIKALIMakadirio ya Matumizi ya Serikali kwa Mwaka2012/2013 – Ofisi ya Waziri Mkuu na Tawala za Mikoana Serikali za Mitaa(Majadiliano yanaendelea)MICHANGO KWA MAANDISHIMHE. ABIA MUHAMA NYABAKARI: MheshimiwaSpika, kwa kuwa pesa za walipa kodi zimekuwazikitafunwa kama mchwa bila kujua ni nani aliyehusikana malipo hayo. Sasa ni muda mwafaka wa kuwa namfumo wa utambuzi kama ule wa Kibenki katikaHalmashauri zetu zote nchini ili kuzuia mfumko wawimbi lililokithiri la wizi wa mali ya umma kwa kutumiasystem za Kibenki ambayo Data Base yake itakuwaMakao Makuu ya Wizara. Tukifanya hivyo, kila mlipajiatafahamika kwa pass word yake moja kwa moja.Mheshimiwa Spika, Wakaguzi wa Mahesabuwaangalie malipo ya Vikao vya Wa<strong>bunge</strong>vinavyofanyika kwenye Halmashauri zao kama kweliWa<strong>bunge</strong> walihusika katika vikao hivyo kama50


Madiwani au pesa husainiwa bila wao kujua. Naombalifanyiwe kazi.Mheshimiwa Spika, mimi ni mtu wa Ki<strong>go</strong>ma lakinikwa bahati mbaya tumepakana na Nchi ya Burundiiliyoingia kwenye mapigano ya wao kwa wao miakaya 1972 na kwa bahati mbaya mipaka ya nchiilipowekwa tuliambiwa sisi ni Watanzania lakini mtu waKi<strong>go</strong>ma anapowabebea watu mizi<strong>go</strong> au kulimamashamba ya watu katika mikoa mingine, hupewa sifatele za utendaji kazi bora za kusema Waha ni wagumu,Waha ni wachapakazi na kadhalika. Inapofikia Muhaamesoma na amepata kazi na kushika cheo fulani ilina yeye sasa akae kwenye kiyoyozi, historia zisizokuwana maana zinaanza; huyu Mtumishi ni Mrundi alikimbiliaTanzania na matokeo yake Mheshimiwa Spika, watuwengine wanapoteza kazi na wengi wamepatamisukosuko ya kikazi, wengine wamekaa nje ya kazikwa miaka miwili mpaka mitatu, uchunguzi unafanyikawanapokuwa wametuhumiwa; mimi mwenyewenilipoonekana nimeshinda kura za maoni, nilipatahekaheka mpaka wazazi na majirani hawakulalawakiulizwa uraia wangu, simu za hapa na palenilipigiwa kuulizwa habari zangu.Mheshimiwa Spika, sasa watoto wetu wamesomawatafanya kazi katika nchi gani; na wao siwataendelea kuambiwa kuwa ni Warundi? Ikiwa fitinainazidi kipimo na wanaopelekea uon<strong>go</strong> huoinapothibitishwa kuwa ni uon<strong>go</strong> hawachukuliwi hatuayoyote na matokeo watu wa Ki<strong>go</strong>ma wanaishangaaSerikali hii, ikiwa Mmanyema au Mbembe, Mbwani,M<strong>go</strong>ma ni watu kutoka Zaire, wao hawana shida katika51


nchi ya ugenini akihalalishwa kuwa yeye ni Mtanzaniahalisi. Serikali iache uonevu huo, wote ni Watanzania,lakini tuambiwe ni lini mateso hayo yatakoma.Wanaopakana na Zambia, Malawi, Zaire, Kenya,Msumbiji na Uganda, wao hawana shida ya kuwawakimbizi, naomba Serikali itoe ufumbuzi wa wazi kwawatu wa Ki<strong>go</strong>ma. Pia elimu ya uraia itolewe katikangazi za Viton<strong>go</strong>ji na Kijiji kwa Vion<strong>go</strong>zi wa Serikali naChama ili kuleta ufanisi wa uon<strong>go</strong>zi bora katika nchi hii.Mheshimiwa Spika, katika Wilaya ya SumbawangaMjini eneo la Jangwani wakati wa masika nyumbahujaa maji na watu wanalala na maji kama vyura; je,Serikali imepanga kujenga mifereji mikubwa mingapikatika bajeti hii kwani eneo hilo ni tishio watuwanang’atwa na mbu usiku kucha utafikiri inzi kwenyekidonda? Je, bajeti hii ina makusudi ya kuwaokoawatu wa Sumbawanga wanaokufa ovyo kwa ajili yamalaria na kuhara mara kwa mara? Lini miferejiitajengwa ili Wanasumbawanga nao waone kamawanaishi na Serikali makini?Mheshimiwa Spika, Bajeti hii ya Mheshimiwa WaziriMkuu ina mkakakati gani wa kumwinua Mtu wa Kala –Nkasi anayeishi kuzimuni bila matarajio ya barabarainayopitika wakati wa masika? Wampembe pia naohuishi shimoni, Watu wa Kala na Wampembewanaitaka Serikali hii kuziingiza barabara hizi kwenyeBarabara za TANROAD ili ziweze kushughulikiwa naSerikali kwani hakuna Halmashauri inayoweza kutunzabarabara hizo za umbali wa km 67 na 68. Tunaombabarabara hizo zipokelewe na Serikali hii.52


Mheshimiwa Spika, naunga mkono hoja.MHE. EUSTACE O. KATAGIRA: Mheshimiwa Spika,nampongeza Mheshimiwa Waziri Mkuu na Wasaidiziwake, kwa kuendelea kuendesha utawala vizuri nakwa ufanisi, lakini pia kwa maandalizi na uwasilishajimzuri wa Bejeti ya Mwaka 2012/2013.Mheshimiwa Spika, kwa niaba ya Wananchi waJimbo au Wilaya Mpya ya Kyerwa, ninashukuru kwakutupatia Wilaya Mpya ya Kyerwa. Tuna imani kuwaujenzi wa Wilaya hii Mpya ya Kyerwa utaharakishwa.Mheshimiwa Spika, kuhusu posho za Madiwani,ninaipongeza Serikali kwa kuona ukweli kwamba,Madiwani wanafanya kazi kubwa na mchan<strong>go</strong> waokatika kusimamia maendeleo ni mkubwa na nyongezaya posho wanaistahili.Mheshimiwa Spika, ninaunga mkono hoja.MHE. AMOS G. MAKALLA: Mheshimiwa Spika,naomba nichangie baadhi ya maeneo katika Hotubaya Ofisi ya Waziri Mkuu kama ifuatavyo:-Mheshimiwa Spika, katika Hotuba ya Waziri Mkuu,Serikali imesema kwamba, itaongeza posho kwa ajili yaMadiwani. Wenyeviti wa Vijiji hawajatajwa katikakulipwa posho. Naomba ieleweke kuwa Wenyeviti waVijiji ni Vion<strong>go</strong>zi muhimu sana katika shughuli zamaendeleo ya kila siku. Mathalani, M<strong>bunge</strong>anashirikiana na Diwani katika shughuli za kimaendeleolakini mtekelezaji, msimamizi wa shughuli za kila siku niMwenyekiti wa Kijiji. Kutokuwajali kwa posho53


kutawakatisha tamaa Wenyeviti wa Vijiji katikakutekeleza majukumu yao ya kila siku. Nashauri Serikaliiangalie ombi hili la kuwalipa posho Wenyeviti wa Vijiji.Mheshimiwa Spika, katika Jimbo langu la Mvomerokuna uhaba mkubwa wa walimu wa shule za msingi nasekondari. Katika Jimbo la Mvomero kuna shule zinginezina mwalimu mmoja na hivyo hivyo kwa shule zasekondari, uhaba wa walimu na pengine uhaba wawalimu wa masomo ya sayansi.Mheshimiwa Spika, mwaka uliopita niliiombaSerikali ipeleke umeme katika Kata za Doma, Melela,Kanga na Kibati na Vijijini vya Kidudwe, Husanga,Ngabo, Kisala, Mgudeni na Makuyu. Niliandika baruaza maombi na Wizara ilijibu kuwa itapeleka umemekupitia Wakala wa Umeme Vijijini (REA). Naomba sasaSerikali itekeleze ombi langu na ahadi yake kwakupeleka umeme maeneo hayo.Mheshimiwa Spika, Ilani ya CCM imetamkabayana kuwa, kila Kijiji kiwe na Zahanati na kila Kataiwe na Kituo cha Afya. Jimbo langu la Mvomero linauhaba wa Zahanati katika Kata za Sungamji, hakunaZahanati hata Kijiji kimoja, Kata ya Itembebi Vijiji vyaMndela na Kisinagulu, Kata ya Mtibwa, Vijiji vyaKidudwe na Kunke, Kata ya Maskati, Vijiji vya Maskatina Tarafa ya Mgeta kuna uhaba wa Zahanati Vijijini.Mheshimiwa Spika, naomba kuwasilisha nanaunga mkono hoja.54


MHE. GODFREY W. ZAMBI: Mheshimiwa Spika,napenda kuchangia Hotuba kuhusu Mapitio naMwelekeo wa Kazi za Serikali na Makadirio ya Matumiziya Fedha ya Ofisi ya Waziri Mkuu na Ofisi ya Bunge kwaMwaka 2012/2013, kama ifuatavyo:-Mheshimiwa Spika, imekuwa ni tabia ya Serikalikuchelewesha pembejeo kwa wakulima. Sasa natakakujua je, mwaka huu Serikali itahakikisha kwambambolea na mbegu zitapelekwa kwa wakulimamapema? Aidha, Serikali inatarajia kuboresha mfumowa usambazaji pembejeo. Nia ni kuondoa upungufuambao umekuwa unajitokeza katika mfumo wa sasa.Nataka kujua mfumo huo unaokusudiwa utaanza lini?Je, mfumo wenyewe utafanya kazi namna gani?Nataka pia kujua ni mpan<strong>go</strong> wa Serikali wa kuongezakiwan<strong>go</strong> cha mbolea na mbegu ya ruzuku ya Serikalikinachotolewa sasa?Mheshimiwa Spika, naipongeza Serikali kwampan<strong>go</strong> wa matrekta makubwa kwa mado<strong>go</strong> napampu za umwagiliaji. Mpan<strong>go</strong> huo una nia yakuongeza uzalishaji wa chakula nchini. Hata hivyo,pamoja na nia hiyo nzuri ya Serikali, lakini ukweliunabaki pale pale kwamba, Watanzania wengi auwakulima bado hawana uwezo wa kununua matrektahayo. Rai yangu kwa Serikali ni kuiomba iendeleekupunguza bei ya zana hizo. Aidha, naishauri Serikaliiendelee kuhamasisha matumizi ya jembe lakukokotwa na maksai (Ng’ombe).Mheshimiwa Spika, kuhusu madini, katika ukurasawa 31 wa Kitabu cha Hotuba ya Waziri Mkuu, Serikali55


inasema na inalihakikishia Bunge kwamba hakunaKampuni ya Madini ambayo itakwepa kulipa mrabahakwa kiwan<strong>go</strong> kipya na kodi zote kama inavyotakiwa.Naipongeza Serikali kwa hatua hiyo. Hata hivyo, kwakuwa Bunge ndicho chombo kinachoisimamia Serikali,nashauri Serikali itoe taarifa kwa Bunge katika kilaMkutano wa Bunge kuhusu ulipaji wa malimbikizo yoteya kodi tangu Sheria Na. 14 ya Mwaka 2010ilipopitishwa. Aidha ni vyema Serikali ikalieleza Bungeni kiasi gani cha fedha ambacho Makampuni yaMadini yanapaswa kulipa kama mrabaha.Serikali kupitia kipindi cha maswali kwa WaziriMkuu na kufuatia swali lililoulizwa na MheshimiwaAngellah Kairuki (Mb), sasa Naibu Waziri, Waziri Mkuualiahidi kwamba Deni la TAZARA kiasi cha shillingi bilioni22 kingelipwa kwa awamu. Nataka kujua hadi sasaSerikali imeshalipia kiasi gani na lini itamaliza kulipa denihilo?Mheshimiwa Spika, suala la Ustawishaji MakaoMakuu Dodoma lina zaidi ya miaka 30 sasa. Hatahivyo, mamlaka inayohusika na Ustawishaji MakaoMakuu Dodoma imekuwa inapewa pesa kido<strong>go</strong> sana!Kutokana na hali hiyo, uendelezaji wa Mji wa Dodomaumekuwa siyo wa kuridhisha hata kido<strong>go</strong>. Tatizoninaloliona sasa ni Vion<strong>go</strong>zi wa Serikali kutokuwa tayarikuhamia Dodoma. Vion<strong>go</strong>zi wetu hawana utashi,hawana utayari.Mheshimiwa Spika, nataka kujua kwa Mwaka huuwa Fedha 2012/2013 ni Wizara ngapi zinatarajiwakuhamia Dodoma? Nataka pia kujua hivi ni kwa nini56


Serikali inaendelea kujenga majen<strong>go</strong> ya Wizara kuleDar es Salaam; je, hii siyo dalili ya kutosha kwambaSerikali haipo tayari kuhamia Dodoma?Mheshimiwa Spika, kumekuwepo na utendajimbaya kwa baadhi ya Watumishi wa TAMISEMI;kinachosikitisha ni kuona kwamba Serikali haichukuihatua za haraka katika kurekebisha hali hiyo. NashauriSerikali ichukue hatua za kinidhamu kwa watumishiwatakaopatikana na hatia na CAG, yaani ubadhirifuwa mali ya umma. Pia wale watakaohusika naubadhirifu basi wafilisiwe mali husika. Inaweza kusaidakujenga nidhamu ya matumizi kwa pesa za Serikali.Mheshimiwa Spika, upo u<strong>go</strong>njwa katikaHalmashauri nyingi nchini wa Watumishi wengikukaimu. Kwa mfano, Halmashauri za Arusha, Monduli,Rombo, Arusha Jiji, zipo nyingi nataja chache tu. Nidhahiri kwamba, mtu anayekaimu mara nyingi hukosakujiajiri, hukosa kujiamini na utendaji hauwi mzuri sana.Nashauri TAMISEMI iondokane na hali hiyo yaWatumishi kukaimu muda mrefu.Mheshimiwa Spika, aidha, nashauri Serikaliiachane na kigezo cha mtumishi kufikisha miaka saba iliapate sifa ya kuwa Mkuu wa Idara. Nashauri sifa hiyoiwe miaka mitatu, lakini pia kigezo cha utendaji mzurikizingatiwe. Vinginevyo, tutaendelea kudidimizautendaji kazi katika Halmashauri zetu.Mheshimiwa Spika, nawasilisha na naunga mkonohoja.57


MHE. ELIZABETH N. BATENGA: Mheshimiwa Spika,napenda kumpongeza Mheshimiwa Waziri Mkuu, kwahotuba yake wakati akiwasilisha Taarifa ya Mapitio naMwelekeo wa Kazi za Serikali na Makadirio ya Matumiziya Fedha ya Ofisi yake na Ofisi ya Bunge kwa Mwaka2012/13. Hotuba hiyo imefafanua mambo yote kwauwazi na inaleta matumaini kwa kuwa inaonesha nikwa kiasi gani Serikali imejiandaa kutekeleza Mpan<strong>go</strong>wa Maendeleo wa Miaka Mitano.Mheshimiwa Spika, napenda kuchangia mambomachache yafuatayo:-Naipongeza Serikali kusikia kilio cha Wa<strong>bunge</strong> naMadiwani na sasa imeamua kuongeza kiwan<strong>go</strong> chaposho ya Madiwani. Ingawa kiwan<strong>go</strong> hakikutajwa,ninaamini kiwan<strong>go</strong> hicho kitakuwa ni kilekitakachomfanya au kumsaidia aweze kukopesheka.Madiwani wengi hawana vyombo vya usafiri kwa ajiliya kuzungukia maeneo yao ya kazi. Kiwan<strong>go</strong> cha sasani kido<strong>go</strong> sana. Kwa kutambua uwezo wa Taifakiuchumi, kwa kile kilichopatikana tunashukuru sana.Hata hivyo, kundi la Wenyeviti wa vijiji, Mitaa naViton<strong>go</strong>ji nao wafikiriwe kulipwa posho kwaniwanafanya kazi ngumu.Mheshimiwa Spika, Mkoa wa Kagera ni mion<strong>go</strong>nimwa Mikoa duni kiuchumi. Pamoja na juhudi zaWananchi katika uzalishaji wa njia ya Kilimo, Uvuvi,Biashara na kadhalika, Mkoa wetu unakabiliwa na beikubwa sana za bidhaa za viwandani; saruji, mabati,nondo na vingine vyote.58


Mheshimiwa Spika, kipekee, mafuta ya dizeli,petroli na mafuta ya taa, tunayapata kwa bei ya juusana kuliko Dar es Salaam, Moro<strong>go</strong>ro na mikoa mingineiliyo jirani na Dar es Salaam. Kukosekana kwa njia rahisiya kusafirisha bidhaa kama treni na meli ndichokinachofanya bei za bidhaa hizo kuwa juu. Hivihaiwezekani mpan<strong>go</strong> wa kujenga bomba la mafutaDar es Salaam – Mwanza ukafufuliwa ili kupunguza beiya mafuta? Uliwahi kusikika mpan<strong>go</strong> au mawazo yakujenga viwanda cha saruji katika Mkoa mmojawapowa Kanda ya Ziwa. Tunaomba mawazo hayoyawekwe katika vitendo.Mheshimiwa Spika, kuhusu ajira kwa vijana, hililitaendelea kuwa tatizo na mzi<strong>go</strong> mkubwa kwa taifa.Ni ajabu kila anayezungumzia ajira kwa vijanaanaonesha uchungu sana lakini hatoi ushauri ninikifanyike. Kila mwaka vijana wanamaliza shule zamsingi lakini si wote wanaendelea na masomo yasekondari. Hawa hawaajiriki lakini mpan<strong>go</strong> mizuriikiandaliwa, wanaweza kuajiri baada ya kuhamasishwana kupewa mafunzo na stadi mbalimbali kama vileufundi mbalimbali; ufyatuaji wa matofali, kilimo chamboga, ufugaji wa kuku, mbuzi na hata samaki nakadhalika.Mheshimiwa Spika, napenda kuipongeza Serikalikwa Bajeti nzuri iliyowasilishwa na kupitishwa katikaBunge hili. Tunayo matumaini kuwa ikitekelezwa kwamakini, Taifa litapiga hatua kubwa.Mheshimiwa Spika, baada ya hayo, naombakuunga mkono hoja.59


MHE. HEZEKIAH NDAHANI CHIBULUNJE: MheshimiwaSpika, naipongeza sana Hotuba ya Waziri Mkuu,pamoja na maelezo ya kiutendaji ya MheshimiwaWaziri wa Nchi (TAMISEMI).Naunga mkono hoja na ninaomba yafuatayoyapokelewe kama mchan<strong>go</strong> wangu:-Mheshimiwa Spika, pamoja na kutambuaumuhimu wa CDA, chombo hiki cha Serikali, Wananchiwa Dodoma wengi wao wanashindwa kuelewa ni kwanini Halmashauri ya Manispaa ya Dodoma imenyimwahaki yake ya kumiliki Ardhi kwa niaba ya Wananchi waManispaa ya Dodoma. Hali inayojidhihirisha dhahiri nikwamba, CDA inamiliki Ardhi ya Wananchi waManispaa ya Dodoma wakati Manispaa yenyeweimebakiwa na watu bila Ardhi. Jambo hili linaletam<strong>go</strong>ngano mkubwa sana kiutendaji.Tunapenda kushukuru sana kwa jitihada za Mkuuwa Mkoa wa Dodoma kuliona hilo na tunasubirimatokeo ya hatua alizoziweka kunusuru hali hiyo yam<strong>go</strong><strong>go</strong>ro. Serikali imesema inafanyia kazimapandekezo ya Mshauri Mwekezaji kuhusu Muundowa CDA na kutatua mwingiliano wa utendaji uliopokati ya Manispaa ya Dodoma. Hili ni jambo jema, lakininaomba liharakishwe na kulitolea maamuzi.Mheshimiwa Spika, kwa vyovyote vileitakavyokuwa imependekezwa na Mshauri Mwelekezi,naomba Wananchi wa Dodoma wapewe Mamlaka yakusimamia Ardhi iliyo chini ya Mamlaka ya Manispaa60


ya Dodoma kama ilivyo kwa Mamlaka zingine za Miji.Jambo linaloleta m<strong>go</strong>ngano ni lile la Manispaa yaDodoma kuwa haina Mamlaka juu ya Ardhi yaDodoma, ambayo inasimamiwa na chombo kingine.Kisheria Serikali haiwezi kukosa Ardhi na ikaendeleakufanya kazi ipasavyo.Mheshimiwa Spika, napendekeza Serikali isimamieUstawishaji wa Mji Mkuu wa Dodoma kipitia CDA kwanjia ya kupanga Mji na kushauri jinsi ya kuujenga kupitiaManispaa ya Dodoma. Hapa Dodoma tunashindwakujua nani anawajibika na ujenzi wa Barabara za Mji namiundombinu mingine, kwa sababu kuna kutupianampira juu ya nani mwajibikaji. CDA inawajibika kupitiaBodi ya Wakurugenzi kwa mamlaka iliyoiteua Bodi hiyo.Kwa hiyo, kwenye Vikao vya Kimkoa CDA haina wajibuwa moja kwa moja na wala hata kwenye Vikao vyaMkoa kama RCC, CDA hawana wajibu wa kujibu hojakama ilivyo Manispaa.Mheshimiwa Spika, kazi nzuri zinazofanywa na CDAna zile zitakazoendelea kufanywa kuendeleza Mji Mkuuwa Dodoma; mwananchi wa kawaida anayeishiDodoma atatumia njia gani ya moja kwa moja kuzijuakazi hizo na kama ikibidi apate fursa ya kukosoa.Mheshimiwa Spika, Wanadodoma wangependam<strong>go</strong><strong>go</strong>ro na mwingiliano uliopo baina ya CDA naManispaa ya Dodoma umalizike haraka.MHE. MANSOOR SHANIF HIRAN: Mheshimiwa Spika,naunga mkono Bajeti ya Waziri Mkuu. Naomba kutoaushauri ufuatao:-61


Mheshimiwa Spika, mahitaji ya pembejeo nimakubwa Wilaya ya Kwimba, naomba Vocha zaPembejeo ya Mpunga iongezwe kutoka 603 – 6000.Mheshimiwa Spika, naomba Ofisi ya TAMISEMI itoemwon<strong>go</strong>zo kwenye Halmashauri kuhusiana na Miradiambayo imepangiwa fedha kutoka Mfuko wa Jimbo,ambayo Kamati imeshapanga, lakini utekelezaji wakeinachukua takriban miezi mitatu mpaka sita Wilaya yaKwimba.Mheshimiwa Spika, nashauri trekta za pembejeozingesambazwa kwenye Halmashauri zote nchini nazikifikishwa huko zitauzwa haraka sana.Mheshimiwa Spika, mwaka huu naomba Wakalawa Umeme Vijijini waniletee umeme Tarafa yaWanashimba na hususan Mji Mdo<strong>go</strong> wa Hungumarwa.Miaka mingi wananchi wanasubiri umeme na usanifuumeshafanywa mwaka huu.Mheshimiwa Spika, naomba kuwasilisha.MHE. AMINA ABDALLAH AMOUR: MheshimiwaSpika, mimi nitazungumzia mambo matatu kamaifuatavyo:-Nianze kwa kusema kwamba, nimefarijika sanakusikia adhabu ya mtu anayekamatwa na madawa yakulevya ni kifun<strong>go</strong> cha maisha. Tunapoteza nguvu kaziambao ni vijana, vijana wengi wamejiingiza kwenye62


madawa ya kulevya na kila kukicha idadi yawanaotumia madawa ya kulevya inazidi.Mheshimiwa Spika, naipongeza Serikali kwa kuwaimejitahidi sana kuzuia uingizaji wa madawa yakulevya kwani tunasikia kila siku watu wanakamatwana madawa ya kulevya licha ya kuwa siku hiziunatumika ujanja wa kuwatumia wanawake lakiniSerikali imeweza kuwabaini hao wanawake nakuwakamata.Mheshimiwa Spika, jambo ninaloliomba kwaSerikali, itafute mbinu zaidi za kuwakamata hawawaletaji kwani kufanikiwa kwa vijana kutotumiamadawa ya kulevya ni kudhibiti huu uingizaji wamadawa ya kulevya.Mheshimiwa Spika, ukusanyaji wa mapato TRA;nasema bado Wafanyakazi wa TRA siyo waaminifu,mapato mengi tu yanakusanywa lakini yanavuja.Wafanyakazi ambao hawana uchungu wa nchi yetuhuwa wanatumia hizi pesa kwa matumizi yao. Kunasuala ambalo limejitokeza siku nyingi, mfanyabiasharaanaleta makontena ya nguo yenye thamani ya dola100,000 na yule mfanyabiashara hutakiwa kulipa Sh.60,000 kwa mzi<strong>go</strong> wake lakini TRA zinakwenda Sh.20,000 tu na Sh. 40,000 wanagawana Wafanyakazi waTRA na Wakala wa Forodha. Kuna mambo mengi yaubadhirifu yanafanyika TRA, imefika wakati sasa TRA ijena mfumo mzuri wa ukusanyaji wa hizi kodi.Mheshimiwa Spika, mtu ameajiriwa TRA kipindikifupi utamwona anavyobadilika maisha yake haraka63


sana. Lazima wafanyakazi wawe wanabadilishwasehemu zao siyo kumwacha karani au ofisa kukaasehemu moja kwa muda mrefu.Mheshimiwa Spika, kwa kuwa kuna wataalam wakutosha kwenye Wizara ya Fedha ni jukumu laokutafuta vyanzo vingine vya mapato.Mheshimiwa Spika, namaliza kwa kusema kwamakusudi paajiriwe watu waaminifu sana ambaowataweza kukusanya kodi za uhakika na pia muwapena majukumu wakawafuatilia wale wote ambao siyowaadilifu.Mheshimiwa Spika, kuhusu uwezeshaji nauwekezaji, ili tupate wawekezaji wengi lazimatuwajengee mazingira mazuri, maeneo yapimwekabisa na yaelekeze kuwa ni Mradi gani unafanyikakwenye maeneo hayo. Pia pafanyike fesibility studykabisa ili mwekezaji ajue haraka tu anapofika hapaatawekeza Mradi gani.Maeneo ambayo yamemilikiwa na wananchi,Serikali ikitaka kuyachukua wayalipie wao kabisa kablaya kumpa mwekezaji kuepuka mi<strong>go</strong><strong>go</strong>ro mingiambayo tunaishuhudia baina ya Serikali naWawekezaji.Mheshimiwa Spika, naishauri Wizara isimamiemikopo vizuri ili iweze kuwafikia walengwa. Kuna huuMfuko wa JK unalalamikiwa sana haujawafikiawalengwa.64


MHE. SALIM HEMED KHAMIS: Mheshimiwa Spika,napenda kumpongeza Mheshimiwa Waziri Mkuu, kwaHotuba yake ya Bajeti. Niseme tu kuwa uzuri waHotuba uendane na utekelezaji wa Mipan<strong>go</strong> yote yaMaendeleo.Mheshimiwa Spika, dhana nzima ya D by D ni nzurilakini haikuwa na matayarisho kule Wilayani na Vijijini.Kwa mfano, Wizara ya Mifu<strong>go</strong> inatengeneza Sera yaKuendeleza Mifu<strong>go</strong> lakini watekelezaji ni Halmashauri,ambayo ndiyo yenye pesa ya kuchimbia mabwawana malambo au majosho na kadhalika. Kwa kuwaHalmashauri nyingi zina upungufu mkubwaunaolalamikiwa sana ni bora Serikali itafakari upyadhana hii ya D by D kwa mustakabali wa nchi na kwaufanisi wa mipan<strong>go</strong> yote ya maendeleo.Mheshimiwa Spika, kuhusu msongamano wamahabusu, nikiwa Mjumbe wa Kamati inayohusiana naMasuala ya UKIMWI, tulitembelea Gereza la Ukonga naSegerea mwezi Februari na Mei mwaka huu.Tulishuhudia wenyewe msongamano wa kutisha katikamabweni ya mahabusu. Kwa mfano, bwenilinalotarajiwa kuchukua mahabusu kumi na tanotulikuta wamelala mahabusu 75. Hili tuliliona livemaana waliamua kutuonesha hali halisi yamsongamano pale. Hata mahabusu wakitakakugeuka upande wa pili wanapolala haiwezekanimpaka wapewe amri wote wageuke kwa pamoja.Hali hii pia inafanya wasiweze kujisaidia vyooniambavyo pia ni vibovu na badala yake wanajisaidiakwenye ndoo. Hali hii inachochea mahabusu65


kujamiiana; hivyo, kufanya maambukizi ya UKIMWIkuwa ni tatizo linaloendelea.Mheshimiwa Spika, hivi inashindikana vipikupunguza idadi ya mahabusu kama suala laubambikizwaji wa kesi litakomeshwa na kamamahakama itaendesha kesi kwa haraka? Naomba hililiwe suala la dharura kuwanusuru vijana wetu ambao ninguvu kazi kubwa ya Taifa.Mheshimiwa Spika, tatizo la vijana wanaoishikatika mazingira hatarishi ni kubwa hasa katika Jiji laDar es Salaam. Hawa ni vijana wanaohitaji elimu, afyabora na makazi; je, Serikali ina mpan<strong>go</strong> gani wakuhakikisha kuwa inawatambua vijana hao nakuwapatia huduma muhimu kwa maisha yao?MHE. ENG. GERSON HOSEA LWENGE: MheshimiwaSpika, awali ya yote, nampongeza Mheshimiwa WaziriMkuu, kwa hotuba nzuri. Naiunga mkono nanawatakia kila la kheri ili waweze kuyatekeleza kamailivyopangwa.Mheshimiwa Spika, natoa shukrani za dhati kwakupewa Wilaya Mpya ya Wanging’ombe nakuidhinishiwa Makao Makuu ya Igwachanya. Najuakabisa mwanzo ni mgumu, lakini ni vizuri tukasisitizauanzishwaji wa Halmashauri uwe wa haraka iliwasimamie ujenzi wa majen<strong>go</strong> ya Makoa Makuuwakati wa majumuisho itafaa na hasa kwa Wilaya naMikoa Mipya utolewe mchanganuo wa fedhazilizotengwa kwenye Bajeti ya 2012/13 ili sisi Wa<strong>bunge</strong>tufuatilie utekelezaji.66


Mheshimiwa Spika, kwenye Ilani ya CCM 2010,tuliahidi kuwa kila Wilaya itakuwa na Hospitali yaWilaya ya Serikali. Wilaya ya Wanging’ombe naombaitengewe fedha za kujenga Hospitali ya Wilaya yaWanging’ombe.Mheshimiwa Spika, Wananchi wa Jimbo laNjombe Magharibi, ambalo ndiyo hiyo Wilaya yaWanging’ombe, wamehamasika sana katikakuchangia maendeleo ya afya, elimu na kadhalikalakini cha kusikitisha yapo majen<strong>go</strong> mengi wananchiwametoa mchan<strong>go</strong> wao lakini yale yanayotakiwakufanywa na Serikali yanachukua miaka mingi, sehemunyingine zaidi ya miaka mitano bila kumiliki. Hiiinakatisha tamaa wananchi.Mheshimwa Spika, wakati wa Kampeni zaUchaguzi wa Mwaka 2010, Mheshimiwa Waziri Mkuualipokea maombi ya gari la Kituo cha Polisi Ilembula naakaahidi kuwa atawapatia lakini mpaka sasa ahadiyake hiyo hajaitekeleza. Naomba sana kwa niaba yawananchi atimize ahadi hiyo, wananchi wamekuwawakinisisitizia kila ninapofanya ziara maeneo hayo.Mheshimiwa Spika, naomba nisisitize juu ya ujenziwa Vyuo vya VETA kwa kila Wilaya. Elimu ya VETAinaweza kuanzia katika majen<strong>go</strong> ya Vyuo vyaWananchi ambapo maeneo mengi hayatumiki kwaWilaya ya Wanging’ombe. Naomba majen<strong>go</strong>yaliyokuwa ya Mradi wa Maji pale Soliwaya,Wanging’ombe, tunaweza kuanzisha Chuo cha VETA67


pale ili kupunguza adha ya vijana kuhusu kupata nafasiya kujiajiri katika fani mbalimbali za kiufundi.MHE. ANNA MARYSTELLA J. MALLACK: MheshimiwaSpika, nashukuru kwa kupata nafasi hii ili niweze kutoamchan<strong>go</strong> wangu katika hoja hii. Aidha, napendanichukue nafasi hii, kwanza, kumshukuru MwenyeziMungu, aliyeniwezesha afya na nguvu ya kuzungumzambele ya Bunge lako Tukufu kuwawakilishaWatanzania wengi wanaoendelea kuteseka na kukosahuduma za kimsingi ndani ya nchi yao.Mheshimiwa Spika, nianze kwa kuiomba Serikalikwamba, tuwe tunaangalia kwanza mafanikio naupungufu wa bajeti iliyopita, ndiyo tuingie kwenyeBajeti nyingine kuangalia vipaumbele na maainisho niyapi tumefanikiwa na yapi hatujafanikiwa ilitusiendelee kuwahadaa wananchi kwa manenomatupu yasiyozaa matunda.Mheshimiwa Spika, nakumbuka mwaka 2011 Juni,Mheshimiwa Waziri Mkuu, alitoa Hotuba kuhusu Mapitiona Mwelekeo wa Kazi za Serikali na Makadirio yaMatumizi.Mheshimiwa Spika, tumeingia sasa kwenye Bajetimpya huku matatizo ya Watanzania ndiyo kwanzayanazidi kuongezeka. Nitolee mfano Mkoa wangu waKatavi.Mheshimiwa Spika, nianze na suala la Elimu yaMsingi. Kwa upande wa elimu Mpanda, sidhani kamakuna Kion<strong>go</strong>zi wa Juu kama Mkurugenzi wa Wilaya,68


Waziri, M<strong>bunge</strong> na kadhalika, anayeweza kusomeshamtoto wake katika Shule za Mkoa wa Katavi. Tukianziana shule za msingi, hazina madawati, watoto wanakaachini tena kwenye sakafu iliyochimbuka ovyo. Darasamoja wanasoma watoto zaidi ya mia moja na hamsini,mapaa yanavuja mvua ikinyesha, walimu wanahahakwa kuhama kuokoa vitabu visilowe, kuta zimepasukaovyo kiasi cha kuhatarisha maisha ya watoto wetu,maji safi na salama ya kunywa shule hazina bomba lamaji au visima. Je, watoto wetu watafaulu masomokwa hali hii? Walimu wao hawana nyumba za kuishiwala vyoo vya kutumia na wanatembea umbali mrefubila usafiri.Mheshimiwa Spika, kwa upande wa sekondari,shule ni nzuri kwa majen<strong>go</strong> na vifaa vya kufundishiahavitoshi, maabara hakuna na watoto wanapanganyumba. Mabweni hakuna badala ya kufaulu masomowanafaulu kubeba mimba.Mheshimiwa Spika, naongea kwa uchungu kwasababu nimetembelea shule nimejionea. NaiombaSerikali katika Bajeti hii itenge fungu la Wakaguzi waElimu ili waweze kuzungukia shule kuzikagua, tofauti nasasa Wakaguzi wamesahaulika sana hata usafirihawana, wanategemea kunyang’anyana naMkurugenzi, kitu ambacho kinafanya kazi yao idorore.Elimu ipewe kipaumbele.Mheshimiwa Spika, mpaka chaki sasa hiviinakosekana; hii ni elimu bora au ni bora elimu?69


Mheshimiwa Spika, kuhusu kilimo, tukumbuke kilimoni uti wa m<strong>go</strong>n<strong>go</strong>, pia ndiyo ajira kuu kwa Mtanzaniawa kawaida. Leo hii mkulima huyu mdo<strong>go</strong> hajaliwi,hapewi kipaumbele, mbolea haiji kwa wakati na hataikija mfuko unauzwa Sh. 70,000 Je, Serikali inategemeamwananchi anainuka vipi? Haya ndiyo Maisha Borakwa kila Mtanzania?Mheshimiwa Spika, kuhusu miundombinu, Mkoawa Rukwa na Katavi ikiwa bado Wilaya ni Mkoamkongwe. Tunaomba sana tukumbukwe kuletewaumeme wa uhakika wa Gridi ya Taifa. Umeme utokeNyakanazi - Ki<strong>go</strong>ma, Mpanda, Sumbawanga,Tunduma – Mbeya Makete, Makambako na Iringa.Tunazalisha sana kilimo; hivyo, tunahitaji viwanda sasa.Mheshimiwa Spika, tuna ardhi nzuri sana tunahitajikukuza zao la miwa ili tufungue viwanda vya sukaribadala ya kutegemea Zambia na Malawi. Uwezo huotunao ila tunarudishwa nyuma kimaendeleo kwakukosa umeme wa uhakika. Tamko kwa Serikali,tunaomba umeme wa Gridi ya Taifa sasa ili tuamuemwone.Mheshimiwa Spika, kuhusu Afya; vijijini ni sehemuambako Watanzania wengi bado wanapoteza maishakwa wingi. Bado wananchi wanatembea umbali zaidiya kilomita tano, madawa hakuna, wananchiwananunua kwenye maduka ambako bei ni kubwawa<strong>go</strong>njwa hawamudu hasa wa kipato cha chini piadawa nyingi zimepitwa muda, Watanzania wanapatamadhara, wahudumu katika vituo hawatoshi, majihakuna wa<strong>go</strong>njwa mpaka wafuate mtoni, mawasiliano70


ni duni kwa m<strong>go</strong>njwa anayetaka kupelekwa Hospitaliya Wilaya, watumishi hawana nyumba za kuishi vijijini.Mheshimiwa Spika, naiomba Serikali ilipe deni laMSD shilingi bilioni 41 ili wasambaze dawa za kutoshana ziwe na Nembo ya Serikali ili kuepusha wizi wa dawakwenye maduka binafsiMHE. MWANAMRISHO TARATIBU ABAMA:Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa, nampongezaMheshimiwa Waziri Mkuu, kwa jitihada kubwaalizozionesha katika kupanga mikakati mizuri ambayoimemgusa kila mtu, kila sekta.Mheshimiwa Spika, katika kuchangia hoja hii,nianze na Mabadiliko ya Katiba.Mheshimiwa Spika, kwanza, nakubaliana naMheshimiwa Waziri kwamba, Bunge tulipitisha Sheria yaMabadiliko ya Katiba Na. 8 ya Mwaka 2011 (Sura ya85). Aidha, Bunge lilifanya Marekebisho ya Sheria hiyokatika Mkutano wa Sita, mwezi Februari 2012. Sasaswali langu; Sheria ya Mabadiliko ya Katiba ambayondani yake kuna Tume itakayoratibu na kukusanyamaoni kwa wananchi kuhusu Mabadiliko ya Katiba auKatiba waitakayo; cha kushangaza hadi leo Sheria hiyobado haijapelekwa katika Baraza la Wawakilishi naWaziri anayehusika ili Baraza lipate kutilia mkazo.Kama Katiba ya Zanzibar inavyosema, naombakunukuu kifungu 132(1) na kifungu 132(2): “Sheriayoyote inayopitishwa na Bunge la Jamhuri itatumikaZanzibar mpaka Sheria hiyo iwe kwa mambo ya71


Muungano tu na ipitishwe kulingana na maelekezoyaliyo chini ya vifungu vya Katiba ya Jamhuri yaMuungano 132(2). Sheria kama hiyo lazima ipelekwembele ya Baraza la Wawakilishi na Waziri anayehusika.”Mwisho wa kunukuu.Je, hili limefanyika na mbona tumeshaanzakufanya kazi tarehe 1 Mei, 2012 hatuoni kwamba Tumehii inaweza kukosa ushirikiano wa aina moja aunyingine? Hali iliyoko sasa Zanzibar ya Jumuiya yaUamsho kama wanavyosema hatuwezi kujadili Katibabila ya kujadili kwanza Muungano.Mheshimiwa Spika, sasa ninakuja katika huoMuungano. Kama ilivyosemwa tarehe 26 Aprili, 2012Muungano wetu ulitimiza miaka 48 Watanzania kuishipamoja kwa amani na utulivu chini ya Mheshimiwa Dkt.Mohamed Gharib Bilal. Zipo kero ambazo mmekaaVikao vya Mawaziri na Makatibu Wakuu na kuna kerombili ambazo mmezifanyia kazi nazo ni kuhusuongezeko kubwa la ankara za umeme kutokaTANESCO kwenda ZECO na Mfuko wa Jimbo sasa nifaraja kwa wananchi ila kuna kero nyingine nazo hizipia zinataka ufumbuzi wa haraka. Kero hizo ni kero yaTRA, Bandari kwa wafanyabiashara, mafuta na kero yamipaka ya Bahari Kuu.Wazanzibari wanataka kujua ufumbuzi wa kerohizi. Kwa nini mambo muhimu yanayohusu maslahi yawananchi yanachukua muda mrefu sana kuyatatuana ndiyo maana hivi sasa kuna vikundi vya uamshoambavyo vinatishia amani na utulivu uliodumu kwamuda wa miaka 48. Nakumbuka nilimwambia72


Mheshimiwa Waziri kuwa, Muungano wetu ni kamakoti, likikubana unalivua na maneno hayo niliyanukuutu. Sasa wamekuja Jumuiya ya Uamsho na wanatakaZanzibar yao. Naomba kundi hili msilidharau kwani kwawenzetu kulianza hivi hivi kido<strong>go</strong> kido<strong>go</strong> mpaka motoukawaka. Mkae nao ili kutafuta ufumbuzi amaniiendelee kwa utulivu.Mheshimiwa Spika, ni ukweli usiopingika kwamba,Muungano wowote Duniani unakutana nachangamoto mbalimbali; Jumuiya ya Uamsho ni mojaya changamoto ya Muungano huu tulionao.Mheshimiwa Spika, Serikali yetu bado haijawatayari kumwezesha mwananchi wa kawaida kiuchumikwani kuna Programu na Sera nyingi zinakuwazinaandaliwa lakini huishia vitabuni tu. Kwa kweli kunaMifuko mingi tu ya kumwezesha mwananchi lakinimmemwandaaje huyo mwananchi; je, amepataelimu? Hamwoni kuwa pesa au Mifuko hiyo huishiakwa wajanja? Wanaolima kilimo cha umwagiliajimmewatayarishia mabwawa? Hamwoni bado tatizolitakuwa pale pale kilimo chetu kitakuwa duni?Mheshimiwa Spika, mwaka jana wakati wa Bungela Bajeti, Serikali ilisema imejizatiti kukabiliana na tatizola madawa ya kulevya na mwaka huu imesema hivyohivyo. Waathirika wa madawa haya ni watoto wamaskini ambao hawana ajira. Solution ya tatizo hili siyokujenga vituo ila ni adhabu kwa yeyoteatakayekamatwa na madawa hayo anyongwe tukama nchi za wenzetu ili iwe fundisho kwa mwingine.Wanaofanya biashara hii ni wa watu wakubwa na73


matajiri na siyo maskini kama hao wavutaji, Vyombovyetu vya Usalama havifanyi kazi kwa uzalendo kwanirushwa imetawala katika biashara hii.Mheshimiwa Spika, naomba Serikali iwe makinisana kwa hili au mwisho wa siku Taifa hili litakuwa nawaathirika wengi wa madawa hayo na Serikali itakosawatendaji kazi hasa vijana, kwani tunaamini vijana ninguvu ya mabadiliko. Ahsante.MHE. AMINA ANDREW CLEMENT: MheshimiwaSpika, katika Hotuba hii imesemwa kwamba bandariinaboreka lakini bila wafanyakazi mahiri, wanaopatamafunzo kila sekta hii inapoamua kuleta vyombo vipyavya kisasa, hakuna kitakachoendelea.Mheshimiwa Spika, lakini zaidi, hivi vyombo vyetuvinavyoingiza meli kila siku na kutupatia mapato yabandani zetu kwa wingi; je, vinafanyiwa service kilavinapofikia muda wake au tunasubiri mpaka TAG hizozilale kabisa baadaye zipigwe mnada? NaiombaSerikali na Wizara husika iliangalie hili kwa kina ilivyombo hivi visife kwa uzembe na baadaye kujakupigwa mnada.Mheshimiwa Spika, kuhusu pesa za Rada; kwakuwa Zanzibar nayo inahusika, naiomba Serikaliisimamie suala hili ili nasi tufaidike, kwenye elimutupatiwe madawati, vifaa vya kufundishia masomo yasayansi, kompyuta na vifaa vyote vya elimu. NaiombaSerikali hii sikivu, pindi itakapokuwa tayari sisi Vion<strong>go</strong>zihasa wa Majimbo tueleweshwe ili baadaye pakitokea74


masuala kuhusiana na fedha hizi tupate majibu yakuwajibu wananchi wetu.Mheshimiwa Spika, naunga mkono hoja. Ahsante.MHE. ANNE KILANGO MALECELA: MheshimiwaSpika, nianze kwa kusema kwamba, Serikalihaikuwatendea haki wananchi wangu kwanihaikutekeleza haki yao ya Kikatiba ya kulinda maishayao na mali zao.Mheshimiwa Spika, asilimia mia moja ya Wananchiwa Jimbo la Same Mashariki wanategemea kilimo iliwaweze kuishi. Kilimo chao ni cha mazao makuumawili; mpunga na tangawizi. Mazao yote hayayanategemea umwagiliaji. Licha ya mazao haya,Jimbo langu lina kila aina ya mboga mboga kwani linamito mikubwa minne.Mheshimiwa Spika, Jimbo la Same Mashariki linaMsitu wa Shengena wa asili ambao ndiyo unaozaamito mikubwa sana mine; mto wa kwanza mkubwasana unaozaliwa na Msitu wa Shengena ni Mto Saseni.Mto huo ndiyo chanzo kikuu cha kilimo cha tangawizikatika Kata ya Mpinji, Miamba, Kihurio, Mkomazi,mpaka kufikia Pangani. Mto mkubwa wa pili ni Mto waYon<strong>go</strong>ma (maana ya yon<strong>go</strong>ma ni kelele). Mto huumaji yake ni mengi mno na wingi huo unaosababishakelele kubwa maji yanaposafiri. Mto huu unahudumiaKata ya Mtii Milimani lakini kubwa katika yote Mto huundiyo chanzo cha Skimu ya Umwagiliaji ya Ndunguambayo tulizawadiwa na Wajapani na ni Skimu yenye75


uwezo mkubwa sana ya umwagiliaji wa kilimo champunga na kuwawezesha wananchi kuvuna mpungamara mbili kwa mwaka. Mto huu ndiyounaotengeneza Bwawa kubwa la Kalemawe lililokoKata ya Ndungu.Mto wa tatu unaozaliwa na Msitu wa Shengena niMto Hingilili. Mto huu unatumika kumwagilia Kata zaMbaga, Vuje, Ntenga, Bombo na Kata kubwa yaTambarare ya Maore, ambayo inaon<strong>go</strong>za kwa kilimocha nazi Mkoa wa Kilimanjaro.Mto wa nne ni Mto Nakombo.Mheshimiwa Spika, umuhimu wa Msitu waShengena ni mpana mno, bila ya Msitu wa Shengenahakuna maisha kabisa kwenye Jimbo la SameMashariki.Mheshimiwa Spika, Msitu wa Shengenaumeharibiwa kabisa na majangili wanaovunadhahabu kwa njia haramu. Msitu wa Shengenaumesheheni miti mikubwa sana na ni Msitu wa asili.Wavunaji hawa wa dhahabu wanaikausha miti hii kwakemikali kwani siyo rahisi kuikata. Miti hii inapokaukandipo wanapoiangusha na kuvuna dhahabu kwakuzoa kwa mabeleshi.Mheshimiwa Spika, baada ya kuvuna dhahabu hiiwanaisafisha huko huko kwa kutumia mercury ambayoimejaa kemikali kali sana.76


Mheshimiwa Spika, tatizo langu na Serikali likohapa: Waziri wa Maliasili na Utalii, Mheshimiwa Maige,alikwenda Shengena tarehe 23 Desemba 2010, alionatatizo hili lilipoanza. Alikwenda na delegation kubwaakiwepo na Kaimu Mkurugenzi wa Misitu na Vion<strong>go</strong>ziwengine Waandamizi wa Wizara hii. Hawakuchukuahatua yoyote hapa. Wananchi waliendeleakulalamika kunywa maji yenye kemikali na Wizara hiihaikuchukua hatua yoyote na ikawa inajuakinachoendelea. Tatizo likaendelea kuwa kubwa,ndipo mimi mwenyewe nikaamua kuingia ndani yaMsitu tarehe 9 Mei 2012, takriban mwaka mmoja nanusu bila ya Serikali kuchukua hatua yoyote ya kutatuamatatizo ya uharibifu wa vyanzo vya maji na wananchiwangu wakiachwa wanaendelea kunywa maji yenyekemikali ambayo ni chanzo cha ma<strong>go</strong>njwa mengi.Mheshimiwa Spika, baada ya mimi kwenda, nilitoakwenye Vyombo vya Habari na hili likamfanyaMkurugenzi wa Misitu astuke na tarehe 10 Juni 2012akaenda Shengena. Swali; alikwenda kufanya nini nayeye alijua uharibifu wote tangu Desemba 2010?Anamdanganya nani?Mheshimiwa Spika, kwa nini Wizara iliachiauchimbaji huo wa dhahabu ukaathiri Jimbo langu kwamuda wa mwaka mmoja na nusu bila kuchukua hatuaya kuepusha uharibifu huu?Mheshimiwa Spika, jibu; inasemekana na miminashawishika kuamini kwamba, kuna baadhi yaVion<strong>go</strong>zi Wakuu waliokuwa wanafaidika na uchimbajihuo haramu ambao umemaliza vyanzo vya maji na77


kuua afya za maisha ya wananchi wangu. Wananchiwangu wametumia maji ya sumu kwa muda mrefu sijuihatima yao ni nini.Mheshimiwa Spika, ninaisihi Serikali sasa ifanye kaziya dhati na iweze kuutambua mtandao wa waliopewadhamana ya kuhudumia wananchi badala yakewakajinufaisha wao. Nashawishika kuamini hili ni kwasababu kwa nini Serikali ilizibwa macho kulishughulikiahili?Mheshimiwa Spika, ukimya wa Serikaliulisababishwa na nini? Hiyo dhahabu ilipelekwa wapi?Mheshimiwa Spika, naomba majibu.MHE. RIZIKI OMAR JUMA: Mheshimiwa Spika,naomba nitumie nafasi hii nami kuchangia hoja kwakusema kwamba katika Jedwali la Orodhalililoambatana na Hotuba ya Waziri Mkuu kuna fedhazinazoonesha kupangwa kwa ajili ya ama ujenzi wamadarasa, ujenzi wa nyumba za walimu, vyoo nakadhalika, lakini ujenzi pengine haukufanyika mwakauliopita na fedha hazijaonesha kutumika. Je, fedhahizo bado zipo ama hazikupelekwa au la na kwa niniujenzi haukufanyika?Mheshimiwa Spika, ujenzi wa Shule za Sekondari zaKata kwa wingi siyo ufaulu katika Sekta ya Elimu. Tatizola maabara na maktaba katika shule hizo ni kubwasana na tunajidanganya tunaposema vijana wetuwanafaulu vizuri na tunaliangamiza Taifa kwani kijanaanamaliza darasa la kumi na mbili hajui hata test tube;78


tunatarajia nini kuhusu Taifa letu na Ulimwengu huu waSayansi na Teknolojia.Mheshimiwa Spika, leo inashangaza kusikiakwamba hata Chuo Kikuu cha Dodoma hakunamaabara!Mheshimiwa Spika, walimu na mazingira magumuya kazi: Hivi kusomea ualimu imekuwa ni adhabu?Kwani vijana sasa wanasema ualimu ni daraja tu lakupita na kuelekea kwenye mafao zaidi. Hii inatokanana kutokuwajali walimu. Tunampeleka mwalimu kijijiniambako ni mgeni, hana nyumba ya kuishi, miezi mitatuhajapata mshahara. Shule anayofundisha iko mbalinaye, hana usafiri, hana nauli na hayo mazingiramagumu hayakuzingatiwa kabla. Je, tunalisimamiajehili ili kuwafanya vijana wetu waipende kazi ya ualimuna tuzalishe Taifa la Wasomi wa kweli na siyo Taifa laWajinga.Mheshimiwa Spika, Baraza la Mitihani mara hiilimevunja rekodi, kwani wanafunzi wanafanya mtihanisiku moja lakini matokeo yanatoka kwa awamu. Bayazaidi wanafunzi wa darasa moja matokeo yanakuja yawanafunzi watatu na wengine wanafutiwa kabisa.Sasa mimi sitaki niende mbali zaidi, ila ukweli nikwamba Baraza hili haliko sawa. Mkubali mkatae, palepana tatizo kubwa sana. Serikali ituambie kuna ninipale; inakuwaje watu wanafutiwa matokeo nawanaofaulu wengine hawajui kuandika majina yao?Mheshimiwa Spika, kuhusu viwanda na biashara;naomba kwa dhati kabisa niipongeze Serikali kwa79


kuanzisha Sheria ya Ubia Katika Sekta Binafsi na Serikali(PPP), ambayo ilipitishwa na Bunge hili mwaka 2010.Kwa kuzingatia kuwa mfumo huu tulielezwa kwambautaipunguzia kazi Serikali na kuifanya iweze kuzingatiavipaumbe vingine, lakini bado vipaumbele vyetuhavijabadilika; kwa nini?Mheshimiwa Spika, Bajeti ya mwaka jana na yamwaka huu hazina tofauti. Je, kuwepo na Sheria hii nautumikaji wake kuna tofauti gani? Tumekuwa naviwanda na makampuni mengi ambayo kabla yaSheria hii yalikuwa yakiendeshwa kwa ubia, ikiwemoKiwanda cha Urafiki. Kiwanda hiki sasa naona ni mudamwafaka kubadili jina lake na tukiite kiwanda chaChuma Chakavu maana kule ndani hakuna kitu zaidiya scrapers tu kwani hata ule mtambo ambao Serikaliilitoa shilingi bilioni 27 haumo tena. Pamoja na mazurimengi ya PPP, naomba Serikali itueleze ni hasara kiasigani tumepata katika Kiwanda cha Urafiki.MHE. MOSES JOSEPH MACHALI: Mheshimiwa Spika,je, ni lini Halmashauri ya Mji wa Kasulu itaanza utendaji?Mheshimiwa Spika, tayari Serikali kupitia Ofisi yaWaziri Mkuu, ilishatangaza Kasulu kuwa Halmashauri yaMji wa Kasulu tangu 2010. Leo inaelekea miaka miwilitangu kutangazwa kwa Halmashauri ya Mji wa Kasulu.Ninaomba kujua kwa niaba ya Wananchi wa Kasulu nilini eneo hilo litakuwa Halmashauri Kamili; yaani kuwana Mkurugenzi wake, Wakuu wa Idara zote naMameya wake? Kwa kifupi, Uon<strong>go</strong>zi wake kamili nahivyo kuondoka mikononi mwa Halmashauri ya Wilaya80


ya Kasulu na kuwezesha wananchi kupata hudumakwa ukaribu. Nnaomba ufafanuzi.Mheshimiwa Spika, naipongeza Serikali kwakumteua DC wa Wilaya Mpya ya Buhigwe, ambayoilikuwa sehemu ya Wilaya ya Kasulu. Ni wazi kuwabaadhi ya Madiwani wa Wilaya Mpya wanapaswakwenda kuanzisha Halmashauri yao ya Buhigwe. Kwamantiki hiyo ni wazi pande zote mbili zitapaswakufanya chaguzi upya, yaani kupata Wenyeviti waHalmashauri za Kasulu na Buhigwe baada yakugawanyika. Nataka kupata Kauli ya Serikali juu ya liniMadiwani wa Buhigwe wataanzisha Halmashauri yaona kuwaacha wale wa Halmashauri ya Wilaya yaKasulu kufanya uchaguzi wa uon<strong>go</strong>zi wake? Pia bilakusahau Halmashauri ya Mji wa Kasulu ambyo ni mpyana haijaanza.Mheshimiwa Spika, sijaona mahali katika Hotubaambapo pameeleza ni lini Halmashauri Mpya ya Mji waKasulu itaanza kujitegemea. Rejea majibu ya NaibuWaziri, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikaliza Mitaa (TAMISEMI), alipoahidi kuwa, Hotuba itaelezakila kitu. Naomba majibu.Mheshimiwa Spika, naomba kuwasilisha.MHE. SYLVESTER M. MABUMBA: Mheshimiwa Spika,napenda kumpongeza Mheshimiwa Waziri Mkuu, kwakazi njema na utumishi wake uliotukuka kwa Taifa naWatanzania wote. Pia nampongeza Waziri wa Nchi,81


Ofisi wa Waziri Mkuu (TAMISEMI), Naibu Mawaziri naWatendaji wote.Mheshimiwa Spika, napenda kuzungumziaumuhimu wa Sekta Binafsi katika kukuza uchumi wachini yetu. Sekta Binafsi duniani kote ndiyo mtoa ajirakwa wananchi wengi na ndiyo mchangiaji mkubwakatika kuchochea ukuaji wa uchumi. Hata hivyo,naiomba Serikali iendelee kuweka mazingira wezeshikwa Sekta hii. Miundombinu ya umeme wa uhakika nimuhimu kwa Sekta Binafsi. Pia Taasisi za Fedha, yaaniMabenki na Mifuko mingine iwakopeshe wawekezajiwa ndani kwa riba nafuu isiyokuwa na mashartimagumu.Mheshimiwa Spika, naomba nizungumzie kuhusuuwekezaji hapa nchini. Kwa kuwa Serikali yetuimeweka Sera ya KILIMO KWANZA, nashauri tutafutewawekezaji wakubwa katika Sekta ya Kilimo. Kilimokwa maana ya uzalishaji wa mazao ya chakula nabiashara, mifu<strong>go</strong>, uvuvi, misitu na ufugaji wa nyuki nimuhimu kwa maendeleo ya Taifa. Nchi yetuimebarikiwa kuwa na maji ya maziwa, miti nakadhalika; hivyo ni lazima tuwekeze kwenye kilimo chaumwagiliaji. Nashauri Serikali yangu ihamasishewawekezaji katika Sekta hii muhimu.Mheshimiwa Spika, naomba vile vile niongeleekuhusu uwezeshaji wananchi kiuchumi. NashauriSerikali yetu ihakikishe vijana wote wa kike na wa kiumewanawezeshwa kiuchumi ili kuwaondolea kero zakimaisha. Serikali imejenga Vyuo vya VETA takriban kilaMkoa hapa nchini, naomba vijana wetu wakishamaliza82


mafunzo yao wapewe vifaa na mitaji yenye mashartinafuu ili waanzishe vikundi vyao vya uzalishaji. Vile vilenaomba watafutiwe masoko ya bidhaa zaowatakazozalisha.Mheshimiwa Spika, pamoja na uzalishajiunaofanywa katika Sekta ya Kilimo, viwandavianzishwe ili kusindika mazao ya kilimo nakuyaongezea thamani ili kupata faida kubwa. Wakatiumefika, Tanzania iondokane na utaratibu wa kuuzaunprocessed <strong>go</strong>ods or products. Viwanda vyote vyaWazalendo vifutiwe kodi ili viweze kuhimili ushindani nabidhaa zitokazo nje ya nchi.Mheshimiwa Spika, naomba nizungumzie Sekta yaUtalii. Sekta hii ni mojawapo ya Sekta ambayo ikikuzwaipasavyo ina mchan<strong>go</strong> mkubwa katika kukuza uchumikatika Taifa. Sekta ya Utalii ina wider multiplier effects;kwanza, hutoa ajira, pili, hutoa soko kwa wananchimfano wakulima, wavuvi na kadhalika na tatu,huongeza mapato ya ndani na fedha za nje. NaishauriSerikali iweke mazingira wezeshi katika Sekta hii.Muhimu sana ni kuongeza amani na utulivu. Wataliihutembelea maeneo yenye amani na utulivu;vinginevyo, siyo rahisi kuvutia watalii. Uwepo waumeme wa uhakika, miundombinu bora na ya kisasaya barabara, viwanja vya ndege na taasisi za kifedhani muhimu kwa Sekta hii.Mheshimiwa Spika, napenda kuongelea juu yautendaji mbovu unaoendelea katika Halmashauri zetunchini. Watendaji wengi katika Halmashauri zetuhawatimizi wajibu wao hasa katika kusimamia utii wa83


sheria. Sheria zinazotungwa na Halmashauri zetuhazipewi umuhimu stahiki; hivyo, naomba utii waKanuni, Sheria Ndo<strong>go</strong> na Taratibu zilizowekwa naHalmashauri upewe kipaumbele.Mheshimiwa Spika, mwisho, naomba MheshimiwaWaziri Mkuu, akiwa ndiyo Mtendaji na Msimamizi Mkuuwa Shughuli za Serikali, siku hadi siku ahakikishe suala laulinzi na usalama linazingatiwa. Wananchi wenye asiliya Tanzania Bara na Wakristo wa Madhehebumbalimbali wanateswa huko Zanzibar. NaishauriSerikali ya Muungano ilinde mali na maisha yawananchi wanaobaguliwa huko Zanzibar.Mheshimiwa Spika, naomba wakati wa kufanyamajumuisho ya Hotuba ya Mheshimiwa Waziri Mkuu,asisitize umuhimu wa wananchi kuheshimu Katiba yasasa ya Jamhuri ya Muungano, inayoruhusuWatanzania kuishi sehemu yoyote ya nchi yetu madhalihawavunji sheria.Mheshimiiwa Spika, naunga mkono hojaMHE. HAMAD ALI HAMAD: Mheshimiwa Spika,Mheshimiwa Waziri ametueleza katika Hotuba yakekwamba, suala la uvuvi tunatumia kiasi cha fedhakuzalisha vifaranga vya samaki, jambo ambalolitakuwa la kila mwaka.Mheshimiwa Spika, sikuona Serikali inafanya ninikatika Uvuvi wa Bahari Kuu na pia mipan<strong>go</strong> gani wakuanzisha Uvuvi wa Bahari Kuu hasa kwa kuwa tunasamaki wengi na kila siku tunalalamika kwamba meli za84


kigeni zinaiba samaki wetu. Je, ili tusiwe Tanzania nijoka la mdimu tuna utaratibu upi wa kuvua katikaBahari Kuu?Mheshimiwa Spika, inasadikika kwamba kunasamaki aina ya vibua ambao wanavuliwa na meli zakigeni katika bahari yetu na wanapakiwa kwenyemaboksi tunauziwa Watanzania kama vibua kutokaAfrika Kusini.Mheshimiwa Spika, Tanzania tuna vivutio vingi vyautalii lakini ukilinganisha kati ya nchi zetu za AfrikaMashariki za Kenya, Uganda na Tanzania, sisi tukonyuma sana. Je, kwa nini au ni sababu gani Tanzaniatunapokea watalii wachache lakini pia tunaingizafedha kido<strong>go</strong> za kigeni kwa faida ya nchi yetu?Naomba nipate majibu kwamba ni kwa nini tunapokeawageni kido<strong>go</strong> wakati tuna vivutio vingi vya kitaliikulinganisha na wenzetu.Mheshimiwa Spika, kuhusu nishati; hivi sasa nchinikwetu pamoja na kwamba tumekuwa na madini kwamiaka mingi, lakini kwa miaka yote hiyo, wananchiwamekuwa duni na hawafaidiki kabisa na rasilimaliambazo zipo katika nchi yao. Wageni ndiyo ambaotunashuhudia kwamba wanakuja kuvuna rasilimanizetu (mali za Watanzania) na kwenda kujifaidisha waona nchi zao.Mheshimiwa Spika, hivi sasa Watanzania wanajuakwamba, tuna gesi nyingi ambayo ipo nchini na nchinyingine duniani ambazo kuna mafuta na gesiimetokea kuwa na mi<strong>go</strong><strong>go</strong>ro ya wenyewe kwa85


wenyewe. Chanzo kinaonekana ni wahusika ambao niwananchi kukosa mgao (maslahi), yatokanayo nakinachopatikana kutokana na Nishati hiyo. Kwawasiwasi huo na kwa kuwa pia Taarifa ya Jopo laWachumi Duniani inaonesha kwamba chanzo chamachafuko katika nchi zenye mafuta na gesi nimgawanyo mbaya, pengine Serikali haitoi mgao kwawananchi wao. Je, Serikali imejipanga vipi katikakugawana mapato yatakayotokana na gesi hiiiliyokwisha gunduliwa ili na sisi tusiingie katika vurugu zawenyewe kwa wenyewe kama ilivyotokea kwawenzetu?Mheshimiwa Spika, Watu wa Pwani tuna usemitunasema kwamba: “Kivuli cha mvumo kinawafaawalio mbali.” Sasa kwa masikitiko makubwa, naombaniseme kwamba, Tanzania tumekuwa mvumo, kivulikinawafaa waliombali.Mheshimiwa Spika, Watanzania tuna rasilimalinyingi, mfano; madini, maeneo ya kitalii, rasilimali watu,gesi na kadhalika, lakini kwa bahati mbaya sana,pamoja na sura hiyo inayoonesha kwamba kumbeTanzania ni tajiri, lakini wananchi wengi sana ni maskiniwa kutupwa na tunashuhudia wageni wakichukuarasilimali zetu na kwenda kufaidisha nchi zao.Mheshimiwa Spika, hata matumizi ya rasilimaliwatu bado hatujatoa kipaumbele. Inashangaza sanakwamba, kutokana na mtikisiko wa kiuchumi dunianiambao hata nchi kubwa Marekani nayo uchumi waoumeyumba sana. Marekani katika kuhakikisha86


kwamba wanajenga upya uchumi wao na kuimarisha,wametafuta ni wapi wanaweza kupata rasilimaliitakayosaidia kujenga uchumi wao na wamemwonaProfesa Lipumba wa Tanzania anao uwezo mkubwawa kuwasaidia kuinua uchumi wao, wamemfuata iliakawasaidie kujenga uchumi wao.Mheshimiwa Spika, Lipumba ni Mtanzania, niMnyamwezi wa Tabora, hahitaji kulipwa kwa dolakushauri na kufanya upembuzi yakinifu ndani yaTanzania katika kuisaidia Tanzania yak, lakini swali ni je,Serikali ya CCM imemtumia vipi Mchumi huyu tuliyenaehapa kwetu kuishauri Serikali kujenga uchumi wetu?Mheshimiwa Spika, Serikali ya CCM imejifungiakatika chumba na mawazo yale yale ya mwaka 47 nahaitaki kutoka nje kupata mawazo ya Watanzaniawengine. Naiomba Serikali itumie rasilimali zotetulizonazo hapa hapa nchini kwa faida ya wananchiwetu wote na kwa kuwa mjenga nchi ni mwananchi,watumieni wananchi wenyewe ili wajenge nchi yao nawala isiwe kwa ubaguzi wa kiitikadi; hatutafika.Mheshimiwa Spika, naomba kuwasilisha.MHE. MOSHI SELEMANI KAKOSO: MheshimiwaSpika, kwanza, nampongeza Mheshimiwa Waziri Mkuu,kwa kuwasilisha Bajeti ambayo inagusa maeneo yawalala hoi walio wengi katika nchi hii.Mheshimiwa Spika, kilimo pekee ndichokitakachobadili maisha ya Watanzania walio wengilakini hakuna mpan<strong>go</strong> mkakati wa vitendo87


unaotekelezwa na Serikali. Ili kilimo kiweze kufanyakazi, lazima tupeleke zana za kurahisisha kilimo kwakuwawezesha wakulima waweze kupata zana zingineza kuwsaidia waweze kuzalisha kwa tija.Mheshimiwa Spika, eneo lingine ni kupelekaumeme vijijini, utakaowasaidia wakulima hawakusindika mazao yanayozalishwa na wakulima hao ilimazao hayo yapate thamani ya juu. Sambamba nahilo, tuongeze wataalamu wa kusimamia kilimo iliwakulima wazalishe mazao yenye ubora.Mheshimiwa Spika, kuhusu mi<strong>go</strong><strong>go</strong>ro ya ardhi;eneo ambalo Serikali inatakiwa ilifanyiwe kazi kwaukaribu zaidi ni kushughulikia mi<strong>go</strong><strong>go</strong>ro ya wakulima nawafugaji. Kuna bomu kubwa ambalo litasababishamapigano kati ya wakulima na wafugaji. NinaishauriSerikali ishughulikie kwa haraka kutenga maeneo yawafugaji na ya wakulima.Mheshimwa Spika, kuna vijiji vingi vilivyopoMpanda havina huduma ya maji, tunaomba Serikaliiangalie kwa upana wake tuwasaidie Wananchi waVijiji vya Igagala, Vikonge, Mpembe, Kamsanga,Ilebula, Kasekese, Katuma na Kabungu; hawana majikabisa Serikali iwasaidie kupata huduma hii.Mheshimiwa Spika, kuna matatizo makubwa sanakati ya wakulima na Hifadhi zinazozunguka maeneoyafuatayo: Kijiji cha Kabage, Kijiji cha Kasekese,Kapalamsenga, Sibwesa, Kungwi na Kaseganyama.Maeneo haya yana m<strong>go</strong><strong>go</strong>ro mkubwa sana waku<strong>go</strong>mbea ardhi. Naishauri Serikali wakae na wafikirie88


kwa ukaribu kurudia mipaka ili wananchi wapatemaeneo ya kufanyia kazi.Eneo lingine lenye m<strong>go</strong><strong>go</strong>ro ni la Kijiji cha Vikonge,Kiton<strong>go</strong>ji cha Kalukilo au Mnyamasi. Kiton<strong>go</strong>ji hikikilianzishwa mwaka 1995 na kupata hadhi zote ikiwemona Uon<strong>go</strong>zi unaotambuliwa na Serikali. Chakushangaza, sasa wananchi hawa wanatakiwawahame ili kuruhusu upanuzi wa Hifadhi ya Tongwe.Naiomba Serikali iangalie umuhimu wa mfumo wakurejesha ardhi ya wanakiton<strong>go</strong>ji hao.Mheshimiwa Spika, naunga mkono hoja.MHE. JOSEPHAT SENKAMBA KANDEGE: MheshimiwaSpika, naanza kwa kuunga mkono hoja iliyoletwambele yetu.Mheshimiwa Spika, baada ya kuunga mkono hoja,naomba nichangie baadhi ya maeneo kamaifuatavyo:-Mheshimiwa Spika, kuhusu uwezeshaji wananchikiuchumi, naipongeza Serikali ya CCM kwa nia yakenjema ya kuhakikisha kwamba, wananchiwanawezeshwa kiuchumi. Kwa bahati mbaya sana,pamoja na nia njema hii, haiwafikii wananchi wamaeneo yote ya Tanzania na hasa walio vijijini ambaondiyo walio wengi.Mheshimiwa Spika, Mfuko wa UwezeshajiWananchi Kiuchumi (Mwananchi Empowerment Fund),umetoa mikopo yenye thamani ya shilingi bilioni 7.389


kwa wajasiriamali 7,187 katika mikoa tisa na Rukwaikiwa mion<strong>go</strong>ni.Mheshimiwa Spika, katika Jimbo langu la Kalambolililoko Mkoa wa Rukwa na sehemu yote ni vijiji. Naminikiwa napita vijiji vyote sijapata bahati ya kuonawananchi waliofaidika na mpan<strong>go</strong> huu; hivyo, nashaurimipan<strong>go</strong> mizuri kama hii sisi Wa<strong>bunge</strong> tukiwa wadau nivizuri tukashirikishwa ili nia njema ikawafikie walengwa.Mheshimiwa Spika, elimu ya kujiunga na SACCOSna Vicoba imekuwa ikichukuliwa kwa assumptionambayo siyo sahihi kwa kuwasihi WaheshimiwaWa<strong>bunge</strong> watoe hamasa lakini bila kuzingatiakwamba ni suala la kitaalamu, linalohitaji kuelezwa kwaufasaha na weledi uliobobea.Mheshimiwa Spika, mimi binafsi nimekuwa muuminimkubwa wa uanzishaji wa vikundi vya uzalishaji malilakini siyo mtaalamu wa uanzishaji wa madarasa yahamasa. Naishauri Serikali ihakikishe kwamba, elimu yaujasiriamali inaenezwa mikoa yote na hususan mikoayote ya pembezoni ili waweze kuchangamkia fursa zakiuchumi.Mheshimiwa Spika, ukimnyima mwananchi elimuya ujasiriamali halafu ukamwambia eti hayuko tayarikujiunga na vikundi vya uzalishaji mali, utakuwaunamwonea.Mheshimiwa Spika, kwa mara nyingine nalazimikakulisemea hili baada ya ahadi iliyotolewa na Serikalikupitia Wizara ya Mifu<strong>go</strong> na Uvuvi kwamba, m<strong>go</strong><strong>go</strong>ro90


aina ya Wananchi wa Kijiji cha Katapulo na NARCO,ungepata ufumbuzi katika bajeti ya mwaka jana.Mheshimiwa Spika, Wizara ilituma Watendaji wakekuja kufuatilia m<strong>go</strong><strong>go</strong>ro huu na kwa bahati mbayasana, Watendaji walipofika walishindwa hata kubainimipaka kati ya Kijiji na NARCO.Mheshimiwa Spika, kubwa zaidi wananchiwanachodai ni kwamba, ardhi hiyo waliitoa bure kwaSerikali na bahati nzuri walikuwa wameruhusiwakuendelea kulima kwenye ardhi hiyo. Baada yakuamua kubinafsisha baadhi ya mashamba yake,walifanya makosa ya kubinafsisha kwa kukodisha hataardhi ambayo siyo yao kwani haijawahi kuwa ya kwao,ile ardhi ilichukuliwa kwa kufuata Sheria, fidia stahiliilitolewa kwa vijiji husika.Mheshimiwa Spika, naipongeza Serikali kwa niayake njema ya kuhakikisha kwamba, ardhi inapimwana Hati za Kimila zinatolewa na zitumike kama Hati zaKisheria katika kupata mikopo katika Taasisi za Kifedha.Naishauri Serikali ihakikishe zoezi hili linafanyika kwa kasiili kuleta maendeleo ya haraka kwa kwenda kupimana kubaini matumizi bora ya ardhi kwa Wilaya Mpya yaKalambo na Jimbo la Kalambo.MHE. PAULINE PHILIPO GEKUL: Mheshimiwa Spika,hivi sasa vijiji na viton<strong>go</strong>ji vingi vipo wazi, Wakurugenziwamekuwa wakijitetea kuwa hawana fedha, OC nindo<strong>go</strong>. Ofisi ya Waziri Mkuu, itoe kauli ya haraka kwaHalmashauri na maeneo yote ambayo yapo waziuchaguzi uitishwe.91


Mheshimiwa Spika, kumekuwa na kilio cha mudamrefu kwa Wa<strong>bunge</strong> wa Viti Maalum kuendeleakudharaulika kwa kutoingia kwenye Kamati za Fedhaza Halmashauri. Nini kinachosababisha Ofisi ya WaziriMkuu isitoe tamko juu ya hili? Ameshatuahidi kuwaatalishughulikia mbona bado? Wenzetu Wanawake waKiganda wanapewa shilingi milioni kumi kwa mwakakuhudumia Wilaya wanazozisimamia, sisi tunasimamiaMikoa hata kwenye mgao wa mafuta tunapewa sawana wale wa Majimbo. Tunaomba kauli ya Waziri Mkuukatika hili.Mheshimiwa Spika, kwa muda mrefu sasakumekuwa na zoezi la kutupiana mpira kati yaTAMISEMI na Wizara mbalimbali kuhusu Fedha zaMaendeleo za Elimu na Afya. Fedha za MMES naMMEM zinazopelekwa Halmashauri hazitumiki ipasavyo;mfano, zile za msingi hadi leo hakuna majen<strong>go</strong> mapyani yale yale ya Enzi za Mwalimu. Nashauri Fedha zaMaendeleo kwa Shule za Msingi na Sekondari nanyumba za walimu zijengwe.Mheshimiwa Spika, Mpan<strong>go</strong> wa MMAM 2007ulianzishwa chini ya Sera ya Afya iliyolenga kujengaZahanati kila Kijiji na Vituo vya Afya kila Kata. Nashaurikuwa, iitishwe Ripoti kwa nchi nzima ya fedha hizo zawafadhili tuone mafanikio yake; vinginevyo, 2017itafika wakati Zahahati nyingi zitakuwa hazijajengwa; nivizuri Serikali ikapitia tena utekelezaji wa Sera ya Afyaya Msingi, bado hali siyo shwari.92


Mheshimiwa Spika, hakuna sababu ya msingi yaWizara ya Elimu kupanga fedha za rada katika mikoamitatu (Mwanza, Moro<strong>go</strong>ro na Dar es Salaam).Nashauri fedha hizo zipelekwe kwenye ujenzi wanyumba za walimu nchi nzima. Kupeleka fedha hizokwenye vitabu ni kukaribisha ufisadi. Walewaliosababisha Taifa likaingia hasara kwenye zoezizima la ununuzi wa rada wameshughulikiwa aukuwajibishwa kwa kiasi gani?MHE. ASSUMPTER N. MSHAMA: Mheshimiwa Spika,mwaka 2011 Pato halisi la Taifa limeshuka kwa asilimia0.6 ukilinganisha na mwaka 2010, ambapo mwaka2010 ilikuwa 7.0 na mwaka 2011 ni asilimia 6.4. Sualakubwa lililoelezwa na sababu zilizotolewa ni ukame naumeme.Mheshimiwa Spika, sioni kama tatizo hilo linatosha,ukweli ni mipangilio mibaya ya kiuchumi ndiyoiliyosababisha hali hii.Mheshimiwa Spika, uchumi wetu unategemeasana kilimo; hivi kuchelewa kwa mbolea kufika kwawakati kwa wakulima ni tatizo la ukame na umeme?Mheshimiwa Spika, swala la kuchelewa kwambolea na pembejeo kutopatikana kwa wakatiimekuwa tatizo kubwa sana. Mbolea inapatikanawakati wa palizi kama siyo wakati wa kuvuna, kwanamna hii hakuna kitu kitakachopatikana, matokeoyake watu watakosa mavuno na kubaki na madeni yamikopo waliyokopa kuendesha shughuli za kilimo.93


Swala hapa siyo ukame wala umeme ni mipangiliomibaya ya Sekta ya Kilimo.Mheshimiwa Spika, Serikali imeajiri Maafisa Uganikibao lakini waulize nini kinafanyika kama si kusubirimishahara tu mwisho wa mwezi, wengi wao hawajui lakufanya kama wanajua hawataki kutimiza wajibu wao.Hivi kweli kuna Afisa Ugani yupi anayepita vijijini nakuelekeza wananchi nini cha kufanya kuhusu kilimobora? Namna ya kupanda, kupata mbegu bora nakadhalika, pia kama wangeelimishwa vyemawangepanda mazao yanayovumilia ukame nawangelivuna; hili lingefanyika swala la ukamelingekuwa halipo wala la umeme.Mheshimiwa Spika, Maafisa wa Kilimo wa Wilayasaa zote wako ofisini na hata M<strong>bunge</strong> ukienda kwenyeziara ukawaalika visingizio vya kazi nyingi ofisini, badowanajivuta wanataka posho, wakati hiyo ni kazi yao.Ukiwauliza habari za Kata wanasema hawana mafuta,M<strong>bunge</strong> ukiwa na mafuta ya kwenda nao waowanatoa visingizio. Je, kazi ya Afisa Kilimo inafanyikiaofisini au ni shambani? Je, hii nayo ni ukame auumeme? Swala zima hapa ni uwajibikaji na naniamuwajibishe nani?Mheshimiwa Spika, kukosekana kwa mikakati yazao gani lilimwe kwa wakati gani na linachukua mudagani: Kutokana na hali ya tabia ya nchi kubadilika, bilamikakati ya makusudi ya kubadilisha tamaduni zetu zamajira ya kilimo, hatuwezi kufikia tunakotaka kwendana kilimo. Wakulima wanahitaji elimu ya badiliko la94


majira na misimu; haya yakifanyika yatabadilisha lughaya ukame na umeme.Mheshimiwa Spika, Serikali kutoa miradi mikubwakwa upendeleo hasa kwa Ukanda wa Kusini.Zimetengwa shilingi bilioni 7.177 kwa ajili ya kilimo naumwagiliaji kwa Ukanda wa Kusini na hata mwakajana fedha zilitengwa. Ni vyema Kasungura hakatukagawane sawa; lini Ukanda wa Ziwa utatengewafedha za Miradi ya Kilimo ukizingatia Ukanda huo hasaKagera mvua ni Januari mpaka Desemba, hakunaardhi yenye mabonde kama Ukanda wa Ziwa mfanoMkoa wa Kagera hasa Misenyi hatujawahi kuwa naukame; kwa nini Serikali isielekeze nguvu ya kilimokama vile kutupa pembejeo, matrekta, ruzuku nambolea na kadhalika? Serikali lazima igawe keki vizuri,ukifuatilia utaona jinsi ambavyo wenginewanasahaulika.Mheshimiwa Spika, Mipan<strong>go</strong> ya Uchumi ni mibaya;Kahawa ni Zao Kuu la Biashara la Mkoa wa Kagera,lakini linapoteza thamani kwa wakulima kila kukichawanaambiwa leo Soko la Dunia mambo ni mazuri.Mwaka 2011 kahawa mauzo ya nje iliongezeka kwaasilimia 40.3 kufikia Dola za Kimarekani 146.6 milioni,ukilinganisha na 2010 Dola za Kimarekani 101.6 milioni.Mauzo ya tani mwaka wa 2011 ni dola 3,654.9ukilinganisha 2,853.1 ya mwaka 2010. Kahawailiyouzwa nje mwaka 2010 na kahawa iliyouzwa njemwaka 2011 ni tani 39,000 ukilinganisha na tani 35,600mwaka 2010; ni ongezeko la asilimia 9.5. Hivi kweliSerikali inaweza kunielewesha kwa nini imeshusha beiya Zao la Kahawa; sasa hivi Nkenge kilo moja ni Sh.95


1,100 wakati mwaka jana iliuzwa kwa Sh. 1,350 lakiniWaganda wananunua kilo moja kwa wakulima Sh.1,500 na Uganda wanauza soko gani? NaombaSerikali ije na majibu wakati inajibu hoja hizi kuhusu beiya uhakika ya kahawa. Ni ajabu sana wakati beiimepanda kwenye Soko la Dunia ninyi mnashusha beikwa wakulima wenu.Mheshimiwa Spika, kama kweli Wa<strong>bunge</strong> tupo ilikuishauri Serikali ifanye vyema, basi naomba wakubaliushauri; kuna nafasi watu wanapewa kuliko uwezowao, matokeo yake wanaelemewa nawanasababisha malen<strong>go</strong> ya maendeleo kutofikiwa.Lazima Serikali itoe nafasi kwa watu kulingana nauwezo wao, Serikali lazima ijiwekee vigezo vya kugawanafasi nyeti za Uon<strong>go</strong>zi si kila mtu anaweza. Nafasizingine zinahitaji weledi wa kutosha, miradi yakibiashara na hata kutafuta wafadhili au wawekezaji.Ninasikitika kusema nafasi zingine si za kutoa tu baliuwezo ni muhimu zaidi.Mheshimiwa Spika, natoa angalizo, Watanzaniawa leo wako makini sana; hivyo, wanategemea Serikaliyao iwe makini pia. Unapokuwa na Mtendaji asiye naweledi wa kutosha katika kazi aliyopewa unategemeakukuza uchumi gani katika eneo husika? Mfano, DASkama hana uwezo wa kutosha kumudu kazi hiyounategemea nini katika Wilaya husika; hii ni pamoja naDC, RAS na kadhalika? Nafasi hizi ziwe na vigezo, bilahivyo swala la maendeleo litakuwa historia na wimbowa kila siku ni kufukuzana kazi kila siku, maana kamaSerikali itafanya bila kujali mtazamo wa Watanzania waleo itakuwa aibu kila siku maana hawatanyamaza.96


Mheshimiwa Spika, tumekuwa na vuguvugu laMadaktari ku<strong>go</strong>ma, kwa sababu ya kudai malipomakubwa kuliko uwezo wa Serikali, kitu ambacho hatawao wanajua ila kwa sababu zisizojulikana wanaitikisaSerikali kuona kama kiberiti kimejaa. Kwa sababuhawana sababu ya kutosha ku<strong>go</strong>ma.Mheshimiwa Spika, kwanza, nianze kwakuwapongeza Medical Assistant Officers kwakutojiunga katika m<strong>go</strong>mo huo unaoanzishwa naMedical Officers, japo kazi zao ni hizo hizo na siyoajabu Medical Assistants wanafanya kazi kubwa kulikowao. Ningeliwashangaa kama wangelijiunga kwasababu wao hawawaiti Madaktari na kwa hiliwameliona basi hongereni sana.Mheshimiwa Spika, naomba niulize hivi hapanchini tuna Medical Officers wangapi na AssistantMedical Officers wangapi? Muda wa masomo yawatu hawa wawili ni muda gani? Katika utoaji wahuduma zao za kila siku kuna tofauti gani?Mheshimiwa Spika, Mediacl Doctors ni kamaasilimia kumi ya Madaktari wote Tanzania. AssistantMedical Officers ni kama asilimia 90. Muda wamasomo kwa watu hawa wote ni miaka mitano chuonilakini Assistant Medical Officer anakuwa ameshafanyakazi miaka miwili au mitatu kabla hajajiunga na ChuoKikuu cha Udaktari na pia kabla ya kazi anakuwaamepitia Chuo cha Medical Assistant miaka miwili aumitatu ndiyo anakwenda Chuo Kikuu. Huyu MedicalDoctor anakwenda chuo moja kwa moja akimaliza97


Kidato cha Sita anasoma miaka mitano kamakawaida, baada ya hapo anakwenda Internshipmwaka mmoja ambayo huyu Assistant Medical Officerhahitaji maana yeye kabla ya chuo ameshafanya kazimiaka miwili au mitatu.Mheshimiwa Spika, Mikoa mingapi ina MedicalOfficers na wapo wangapi? Mikoani Medical Doctorsni wachache labda mkoa mzima unao wawili auwatatu, waliobaki wote ni Assistant Medical Officers naWatendaji au Wafanyakazi wakubwa ni AssistantMedical Officers.Ndugu zangu Watanzania, wanaotutibu kila siku niAssistant Medical Officers, maana Medical OfficersWilayani hawapo, lakini watu hawa wote ni sawa,majina tu ndiyo yanatofautiana. Mfumo tuliouwekandiyo unasababisha wengine kuwa jeuri nakuwanyanyapaa wenzao wakati kazi kubwawanafanya Assitant Medical Officers. NinawashauriMadaktari wasijisumbue kuwashawishi wengine, tenawanaopita kushawishi m<strong>go</strong>mo hawajaajiriwa naSerikali, likitokea la kutokea wao watendelea na kazizao.Mheshimiwa Spika, naomba niongee naWatanzania wasitishike na swala hili, tulio wengi kila sikutunahudumiwa na waganga ambao hawapo kwenyem<strong>go</strong>mo na hivyo wasio<strong>go</strong>pe, Serikali hii inaelewakinachoendelea. Ninawasihi sana Madaktari wafikirietena, kwa kuwa kazi yao siyo ya kawaida ni ya wito,bora wasitishe malumbano walihurumie Taifa lao,kama kweli hawajachochewa na mtu yeyote maana98


Serikali imejitahidi. Nashauri Serikali itazame tena huumfumo kama una maana yoyote maana hawa kazizao za kila siku ni zile zile bali majina ndiyo tofauti, tenakuna Assistant Medical Officers wanawafundisha kaziMedical Officers; Mungu awasaidie.Mheshimiwa Spika, len<strong>go</strong> la kuifanya Tanzaniakuwa Njia Kuu ya Biashara ya Usafirishaji kwa nchi jiranikama njia ya kuongeza pato, itakuwa ndoto kamayafuatayo hayatabadilika:-Mheshimiwa Spika, swala la rushwa babarabanilimekuwa sugu, kutoka Dar es Salaam mpaka Dodomakuna vituo kama 15 vyote vinapiga mkono lori moja.Hivi mtu anayekwenda Burudi akisimama mara kumi natano Dar es Salaam mpaka Dodoma, Burundi atafikalini? Kwa nini tusiweke utaratibu Trafiki wakae kati yaWilaya na Wilaya mpakani au kwenye mizani? Hivichecking za kila kilomita 20 ni nini kinakaguliwa kamasiyo uonevu na rushwa ni nini? Adha hii haivumilikikibiashara.Mheshimiwa Spika, ina maana swala la rushwabarabarani limeshindikana? Barabara ni nzuri,zimejengwa, tunaishukuru Serikali, lakini hazipitiki kwawafanyabishara hasa wenye malori, mabasi na rushwayao ni ya wazi wazi; hivi kweli Serikali haioni kuwa hii nikero kubwa sana?Mheshimiwa Spika, kama kweli Serikali imekusudiakufufua bandari zote nchini kama ilivyo kwenyeMpan<strong>go</strong> wa Maendeleo ya Taifa ni vyema99


ikashughulikia tatizo hili kwa kina maana barabarahazipitiki kwa rushwa. Swala hili halihitaji umeme.Mheshimiwa Spika, kama kuna ahadi ya ongezekola mishahara wapewe ili barabara zipitike kwa amani.Mheshimiwa Spika, mzalishaji mkuu wa nchi hii nimwanamke lakini mwanamke huyu hapati maji safi nasalama na siyo hilo tu hata afya ya mwanamkehuzorota kwa uchovu mkubwa anaoupata; maeneomengine mwanamke hutembea mwendo mrefukwenda kutafuta maji. Sehemu zingine mamahuondoka asubuhi na hurudi jioni; je, huyu mamaatazalisha saa ngapi?Mheshimiwa Spika, katika Ilani ya Chama chaMapinduzi kuna ahadi ya kuhakikisha nchi nzimatunapata maji safi na salama. Suala hili lingetekelezwawanawake wangepata muda mrefu wa kuzalisha nahivyo uchumi ungelikua.Mheshimiwa Spika, kuna Mradi wa Vijiji Kumi kilaHalmashauri vilivyo kwenye Mpan<strong>go</strong> wa World Bank;sehemu nyingi World Bank wamemaliza lakiniwananchi hawana hela ya kuchangia, michan<strong>go</strong> yaoinasuasua; hivyo basi kwa nini Serikali isiwakopeshewakawa wanalipia kido<strong>go</strong> kido<strong>go</strong> mtu anapokujakuchota maji mpaka wakamaliza deni kuliko sasamitambo itachakaa kwa kutotumika na itakuwahasara kubwa?Mheshimiwa Spika, ukimwezesha mwanamkeumeliwezesha Taifa zima. Mikopo iliyotajwa kupitia100


Halmshauri ni shilingi milioni 88; hizi ni za Halmashauri auTanzania nzima? Kama ni Tanzania nzima huo ni utani,wanawake ndiyo wazalishaji wakubwa kweli katikakiwan<strong>go</strong> hiki tunaweza kusingizia umeme na ukame?Mheshimiwa Spika, sikubaliani na utaratibu huukabisa, mimi naomba kushauri; kuna bilioni mbilizinazotolewa kwa Benki ya Wanawake wakati Benki hiihaitoi huduma kwa Wanawake wote, bali niWanawake wa Dar es Salaam tu ndiyo wanaofaidiBenki hiyo. Je, kwa nini tusiite Benki ya Wanawake waDar es Salaam?Mheshimiwa Spika, nashauri kama ni Benki yaWanawake wote, wanufaike kama ilivyokuwaimekusudiwa kuwahudumia Wanawake wote basiifungue dirisha la kuhudumia wateja wake wakubwaambao ni Wanawake kupitia NMB kwa kuwa Benki hiiipo kila Wilaya nchi nzima. Bila hivyo sikubali hela hizi zaSerikali kwenda Benki ya Wanawake kwa sababu Benkihii haijatimiza ahadi iliyoombea fedha hizi, ukizingatiawanawake wengi zaidi wako vijijini na huko huduma zakibenki ni chache, mjini wao wana njia nyingi za kufikiamikopo na hata kimaisha wao ni nafuu. Bado nguvunyingi inatumika kuwawezesha wanawake waliopomijini. Naomba maelezo ya kutosha kutoka Serikalinikuhusu Benki hii ya Wanawake lini mtawafikiaWanawake wa Vijijini na Miji mingine ambayo ipo njeya Dar es Salaam ili Wanawake wote wa Tanzaniawanufaike.Mheshimiwa Spika, Kuhusu elimu, viwan<strong>go</strong> vya ukuajikatika utoaji wa huduma za elimu ni mdo<strong>go</strong> sana, na101


hii inasababishwa na mipan<strong>go</strong> yetu ya elimu kutokaasawa.Mheshimiwa Spika, hivi kwa nini tunaimba wimbohuu siku zote na Serikali haichukui hatua hata kamatafiti zimesema? Mfano, utafiti uliofanyika 2010 chini yaMOEVT PETS ulionesha yafuatayo:-Lazima iwepo posho maalumu ya walimuwanaofanya kazi katika mazingira magumu.Allowance hizo ziangalie eneo na eneo, kama shulezilizo milimani, sehemu za ndani ndani kabisa ambapohata miundombinu ya jamii ni shida, shule za visiwanina kadhalika; walishauri vivutio kama hardshipallowance, promotion za haraka, kupandishwamishahara haraka, transport allowance, housingallowance, special study leave na trainin<strong>go</strong>pportunities na fursa hizi zitolewe kulingana namazingira ya sehemu mfanyakazi alipo, itaongezamvuto kwa walimu na watafika vituoni mwaowatakakopangiwa kuliko hali ilivyo sasa.Mheshimiwa Spika, nashauri Serikali iangalie yaleyaliyokuwa imeyakubali kama walivyo wenzetu waUganda, Malawi, Lesotho na Mozambique,tutapunguza kero hii kwa kiasi kikubwa na walimuwataomba kwenda vijijini wenyewe.Mheshimiwa Spika, pia nashauri Serikali iwe naMikataba na kila mwanafunzi anayejiunga na ChuoKikuu na kupata mkopo, akubali kuwa kwa kipindi chamiaka mitano ataitumikia Serikali popoteitakapompeleka na baada ya hapo awe huru kwenda102


kokote anakotaka, la sivyo kila siku tutafundisha walimuna bado wataondoka hawana kibano. Kwa misingihiyo ni ngumu sana kufanikisha maendeleo ya elimu.MHE. HAROUB MUHAMMED SHAMIS: MheshimiwaSpika, awali ya yote, napenda nimshukuru MwenyeziMungu (S.W.), kwa kunipa afya njema na kuniwezeshakuandika machache kuchangia Bajeti hii kwa maslahiyetu na mustakabali mwema wa nchi yetu.Mheshimiwa Spika, amani, utulivu na maelewanoni jambo la kwanza na muhimu katika maendeleo yanchi yoyote duniani. Mfano mzuri wa hapa kwetuTanzania ni utulivu na maelewano yaliyopelekeakuundwa Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar. Nimwaka mmoja tu sasa tokea Serikali hii iundwe na patola wastani la Wananchi wa Zanzibar limepanda kutokaSh. 782,000 kwa mwaka na kufikia Sh. 884,000. Hiiimetokana na kuongezeka kwa bei ya Zao la Karafuukutoka Sh. 3,000 kwa kilo hadi Sh. 15,000 kwa kilo.Mheshimiwa Spika, Kilimo ni Uti wa M<strong>go</strong>n<strong>go</strong> waTaifa letu. Kilimo kinatoa ajira za kujikimu kimaisha kwarobo tatu ya Watanzania wote (asilimia 75). Kwamantiki hiyo ni lazima umuhimu wa pekee uwekwekatika kilimo.Mheshimiwa Spika, bajeti iliyotengwa haikidhi hajaya KILIMO KWANZA. Hakuna fursa kwa wakulimawado<strong>go</strong> wado<strong>go</strong>; mikopo ya fedha, pembejeo,matrekta na zana za kilimo haziwafikii wakulimawado<strong>go</strong>. Wapewe mbegu bora na mafunzo ili wawezekuvuna magunia 30 – 35 kwa ekari moja badala ya103


magunia mawili au matatu wanayovuna kwa ekarimoja. Wajengewe maghala ili waweze kuuza mpunga,mahindi, korosho na kadhalika, kwa bei ya soko na siyohivi sasa wanauza kwa throw away price. Vile vilewakopeshwe mashine za kukobolea ili kuongezathamani ya mazao yao.Mheshimiwa Spika, asilimia 42 ya watoto wenyeumri wa miaka mitano na kushuka wana utapiamlo.Kuwawezesha wakulima wado<strong>go</strong> wado<strong>go</strong>, kutasaidiakupunguza tatizo la utapiamlo, kujenga nguvu kaziimara na kuwa na Taifa lenye watu wenye afya njema.Mheshimiwa Spika, ili kupunguza mfumko wa bei nilazima tuongeze uzalishaji hasa wa chakula.Watanzania wanatumia asilimia 50 ya mapato yaokwa ajili ya chakula. Uongezaji wa kuzalisha ni lazimauende sambamba na uimarishwaji wa miundombinuya uchukuzi, bandari, reli na barabara.Mheshimiwa Spika, len<strong>go</strong> la Serikali ni kupunguzamfumko wa bei na kufikia tarakimu moja (single digit),ifikapo Desemba 2012. Kwa miezi mitano (Januari –Mei 2012), mfumko wa bei umepungua kwa asilimiamoja na nusu tu. Kwa mwenendo huu wa kusuasua wakupungua kwa mfumko wa bei, itachukua miaka miwilina nusu mfumko wa bei kupungua na kufikia tarakimumoja (single digit).Mheshimiwa Spika, kuhusu Muungano, Mafuta naGesi na mgao wa mapato: Suala la mafuta na gesilimekuwa likizungumzwa Bungeni tokea 2006 ilikupatiwa ufumbuzi kero hii. Kwa bahati mbaya sana,104


imekuwa ni mikakati tu, uchambuzi, michanganuo,lakini uamuzi bado haujafikiwa.Mheshimiwa Spika, wakati umefika sasa mafuta nagesi yatolewe kwenye Mambo ya Muungano ilikuweka ustawi ulio bora wa kiuchumi katika pandezote mbili za Muungano. Pia mgawanyo wa mapatoasilimia 4.5 iliyopewa Zanzibar ni udhalilishaji. Wakatiumefika sasa Zanzibar iachiwe ijitafutie misaada yamaendeleo kivyake. Hii itasaidia kujenga nakuimarisha Muungano, kwani Zanzibar pia itakuwa naafya ya kiuchumi.MHE. AGRIPINA Z. BUYOGERA: Mheshimiwa Spika,napenda nikubaliane na maelezo mazuri ya Serikalikatika suala la uwekezaji, ukurasa wa 14 hadi 21,kipengele cha 31, lakini ninashindwa kuamini kwa kuwani tofatuti na hali halisi inayofanyika katika maeneoyetu.Mheshimiwa Spika, mfano ni uwekezaji wa kilimocha miwa unaotarajia kufanyika Jimboni kwanguKasulu Vijijini katika Vijiji vya Kitanga, Kigadye,Nyarugusu na Mvungwe. Mpaka leo hii mimi M<strong>bunge</strong>ambaye ndiye sauti ya wakulima hao sijashirikishwa; je,nitaamini vipi kuwa wananchi wameshirikishwa? Hili nitatizio kubwa sana kwa Watendaji wetu katikaHalmashauri.Mheshimiwa Spika, kuhusu utalii; kama Mwakilishiwa Kasulu Vijijini sikubaliani kabisa na Mikataba mibovuambayo inatolewa nchini kote hasa Mkatabauliopitishwa na Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu na105


Mwekezaji mwenye Kitalu cha Kagera Nkanda (Ranchiya Kasulu), kwa sababu hakuna ushirikiano nawananchi; wananchi wanaozunguka Kitalu hichohawajui chochote juu ya faida na hasaraitakayopatikana kwa kusaini Mkataba huo; mbayazaidi, hata mimi mwakilishi wao sikushirikishwa juu yaMkataba huo; na kundi do<strong>go</strong> la wawakilishi kupitiaMwenyekiti wa Halmashauri, Mkurugenzi na wenzakendiyo wanaojua kila kitu.Mheshimiwa Spika, itambulike kwamba, wananchindiyo wenye maliasili za nchi hii; iweje Mkurugenzianaingia Mikataba bila wao kujua? Kimsingi nikuwakosea na hawajatendewa haki hata kido<strong>go</strong>.Hivyo basi, Mkataba huu siutambui na siyo haki kwaWatanzania wa Kasulu.Mheshimiwa Spika, Mkataba huu ni wa mudamrefu sana, miaka 30 ni mingi sana. Ukizingatia tunaishikwenye dunia ya utandawazi, kila mwaka mamboyanabadilika; hivyo basi, Mkataba huu wa miaka 30 nisawa na kupokonywa haki za vizazi vijavyo. Hali hii nihatari na inaweza kusababisha kuwa na kizazi chakulaumu na hasa kikachukua maamuzi yanayowezakupelekea machafuko.Mheshimiwa Spika, rai yangu kwa Serikali; ikiwamambo yote haya yamefanyika na M<strong>bunge</strong> ambayeni kisemeo cha wananchi wa eneo husika sijahusishwani wazi kwamba, asilimia 99 ya Wakazi wa Jimbo laKasulu hawajashirikishwa na hawajui kitu kuhusuMkataba huu wenye usiri mkubwa kwa kulinda maslahiya watu wachache. Naiomba Serikali Kuu, iingilie kati106


suala hili ikiwa ni pamoja kubatilisha Mkataba huu iliushiriki wa kupitia Mkataba huo uwe wazi kwa maslahiya wananchi na vizazi vijavyo. Hii itakuwa ndiyo njiapekee ya kujenga mahusiano mazuri kati ya wananchina mwekezaji wetu.Mheshimiwa Spika, rasilimali za nchi hii ni mali yawananchi na siyo kundi do<strong>go</strong> kama ilivyofanyika Kasulukupitika Mkataba huo mbovu. Pia wananchi wanayohaki ya kupata taarifa zinazohusu namna ambayorasilimali zinatumika na wananufaika vipi. Kituambacho kimekiukwa waziwazi na Vion<strong>go</strong>zi wachachewa Halmashuri dhidi ya Wananchi wa Kasulu na hasaVijiji vya Kagera Nkanda na Mvinza, ikiwemo Kiton<strong>go</strong>jicha Katoto ambacho mpaka sasa wanalalamika sanakuhusu mpaka wa Kiton<strong>go</strong>ji cha Kitara ambachohakina uzio wowote ambao ungepunguza kero yawananchi kuingia eneo la Hifadhi ya Wanyama Pori.Uwekezaji tunauhitaji sana kwa ajili ya ustawi wawananchi ila uwe wenye tija.MHE. DKT. DAVID MCIWA MALLOLE: MheshimiwaSpika, napenda ku-declare interest kwa sababu mimini mmiliki wa Shule ya Sekondari City, Dodoma.Napenda kuchangia kuhusu Elimu (Hoja ya WaziriMkuu, ukurasa wa 42 na Hotuba ya Waziri wa Nchi,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, ukurasa wa 28),kuhusu Elimu ya Msingi na chenji ya rada.Mheshimiwa Spika, napendekeza kuwa fedhayote ya rada, Sh. 72 bilioni itumike kununulia madawatina fenicha za ofisini, meza za walimu na makabatimakubwa ya kutunzia vitabu na vifaa vingine vya107


shule. Mbao zote za shule (blackboards) piazikarabatiwe ili ziweze kuandikika vizuri.Mheshimiwa Spika, vinunuliwe vitabu vichachevya masomo yote kwa ajili ya walimu. Walimu kwakutumia ujuzi wao wa maandalio (Schemes of Work naLesson Plans), pia ubunifu (improvisation), watatoaelimu nzuri kwa watoto.Mheshimiwa Spika, baadaye vinunuliwe vitabuvya watoto vya masomo yote.Watoto wakiwa na madawati, watakaa vizuri nakusoma vizuri. Makabati yakiwepo, yatatumika kutunzavizuri vitabu vya shule ili visitupwe ovyo chini nakuharibika haraka.Mheshimiwa Spika, mafunzo ya kompyuta piayaanzishwe toka shule za awali hadi msingi nasekondari. Kompyuta ndo<strong>go</strong> yenye size ya calculator(kindle), inaweza kuhifadhi zaidi ya vitabu 10,000,wakati Simu ya Smart Card inaweza kuhifadhi zaidi yavitabu 1,000,000 bila ya kubeba vitabu vingi mkononi.Mheshimiwa Spika, mimi binafsi nimeanza kutoamafunzo ya kompyuta kwa walimu 920 (watu 25 kutokakila Kata kwa Kata zote 37 za Dodoma Mjini).Halmashauri ya Manispaa ya Dodoma ipo tayarikuwapokea Walimu hawa 920 ili wafundishe kompyutashule zetu za msingi za hapa Dodoma.Mheshimiwa Spika, naomba Ofisi ya Waziri Mkuuisadie kutoa kompyuta za kutosha katika Shule zetu za108


Msingi za Dodoma Mjini ili kutoa ajira na kusaida kuletamaendeleo ya kiteknolojia katika mafunzo ya elimunchini. Mtindo wa vitabu vya magamba (hard copy)umepitwa na wakati. Badala yake mtindo wa kutunzavitabu kwa njia ya soft copy, yaani kwa njia yakompyuta ndiyo mtindo mpya na safi, tena wakimaendeleo zaidi kwa kizazi kipya cha sayansi nateknolojia ya kisasa ya Karne ya 21.Mheshimiwa Spika, naomba kuwasilisha.MHE. PROF. MAKAME MNYAA MBARAWA:Mheshimiwa Spika, ninataka kuchangia kwenye eneola Sekta ya TEHAMA. Ni jambo la kufurahisha kusikia yakuwa video conferencing facilities zimefungwa kwenyekila Sekretarieti ya Mkoa; hongereni sana. Kufungamitambo hii ni jambo moja na matumizi ya mitambo hiini jambo lingine. Ninashauri Mikoa ya Tanzaniaiendelee kuhamasishwa matumizi ya kutumia mitambohii. Video conference facilities zina faida kubwa. Kwakutumia mitambo hii, Watendaji wa Mikoa wanawezakushiriki kwenye matukio (mikutano, mihadhara nainterviews) mbalimbali bila ya wao kusafiri wenyewekuhudhuria matukio hayo. Hii itapunguza gharamakiasi kikubwa.Mheshimiwa Spika, ili mradi huu uwe endelevu nilazima kila mkoa utenge bajeti kwa ajili ya ununuzi waband width; vinginevyo, mitambo hii haitofanya kazi.Pia ni muhimu kwa mikoa ijenge uwezo wa kutumiamitambo hii.109


Mheshimiwa Spika, mwisho, kwa vile Halmshaurizote zimeunganishwa kwenye mtandao wa TEHAMA, nivyema kuendelea kuwahamasisha wafanyakaziwatumie mtandao huo. Vinginevyo, faida yakuwekeza kwenye mtambo huo haitaonekana.Mheshimiwa Spika, ahsante.MHE. MARIAM REUBEN KASEMBE: MheshimiwaSpika, nachukua fursa hii, kutoa mchan<strong>go</strong> wangu wamaandishi kutokana na Hotuba nzuri aliyoitoaMheshimiwa Waziri Mkuu, inayohusu Bajeti ya 2012 –2013.Mheshimiwa Spika, Jimbo langu la Masasi linachangamoto nyingi sana ambazo zinagusa moja kwamoja maisha ya wananchi kama vile Sekta ya Afya,Maji, Barabara, Kilimo na Elimu.Mheshimiwa Spika, naomba nianzekuwazungumzia Wakulima wa Jimbo la Masasi.Wakulima hawa wamekuwa wakijishughulisha na kilimocha mazao ya biashara na mazao ya chakula.Kutokana na mabadiliko ya tabia nchi, wakulimakatika msimu huu wa kilimo hawakupata mvua zakutosha na hazikunyesha kwa wakati; hivyo, wakulimawamekosa kuvuna chakula cha kutosha kukidhimahitaji ya kila kaya. Kwa ujumla, Jimbo hili litakuwa naupungufu mkubwa wa chakula; hivyo, naiomba Serikaliifanye tathmini haraka ili kubaini mahitajiyanayohitajika na Serikali kupeleka chakuka kulinganana mahitaji hayo kabla hazijatokea athari zozote.110


Mheshimiwa Spika, Wakulima wa Masasiwanajihusisha pia na Kilimo cha Biashara kamaKorosho, Ufuta na Mazao ya Mikunde. Korosho ni zaoambalo huingiza pato kwa Serikali na kuwawezeshawananchi kujikimu kimaisha. Katika msimu uliopita zaohili liliyumba sana kwa ajili ya kukosa wanunuzi wenyenia ya dhati kabisa ya kununua korosho. Je, Serikalihadi hivi sasa inachukua jitihada gani ili kuhakikishakuwa msimu huu wa 2012 – 2013 wakulima hawapatiadha kama ulivyojitokeza usumbufu mkubwa ilikuwarudishia imani wakulima wetu? Naomba Serikaliilifanyie kazi haraka kabla msimu haujaanza.Mheshimiwa Spika, katika Sekta ya Afya, pamojana matatizo makubwa sana ambayo nitayazungumziawakati wa Bajeti ya Wizara ya Afya, naombanizungumzie suala la Chuo cha Wasioona kilichopoMasasi, ambacho kwa zaidi ya miaka kumi hakinamwanafunzi yeyote na majen<strong>go</strong> yamekuwayakiendelea kuharibika huku watumishi waliopowakiendelea kulipwa mishahara bila kufanya kaziyoyote.Mheshimiwa Spika, kwa muda mrefu sanaHalmashauri ya Wilaya ya Masasi iliomba majen<strong>go</strong>haya yabadilishwe matumizi ili yatumike kamaSekondari ya Mwenge Mtapika ambayo ipo hapohapo yalipo majen<strong>go</strong> hayo, lakini Wizara ilikataa kutoamajen<strong>go</strong> hayo na yanaendelea kuharibika sana.Pamoja na Halmashauri kuchukua jitihada hizo ilikunusuru majen<strong>go</strong>, mimi M<strong>bunge</strong> wa Jimbo hilonimejitahidi sana kuishauri Serikali ibadilishe matumizi yamajen<strong>go</strong> hayo ili kiwe Chuo cha Ufundi ambacho111


kitajumuisha na jamii yenye ulemavu, lakini hadi sasaWizara haichukui hatua yoyote.Mheshimiwa Spika, haya ni matumizi mabaya yarasilimali za Taifa na ni hujuma kubwa sana. Leo naletaombi rasmi katika Ofisi ya Waziri Mkuu, aridhie kutoakibali cha kubadili matumizi ya majen<strong>go</strong> hayo ili yaweChuo cha VETA kama Sera yetu inavyotaka kuanzishaVyuo vya VETA kila Wilaya. Tafadhali sana, naombaMheshimiwa Waziri Mkuu aangalie sana swala hili lakubadilisha matumizi ya majen<strong>go</strong> ya Chuo chaWasioona na kuwa Chuo cha VETA ambachokitachukua wanafunzi wa aina zote; walemavu nawasio walemavu, kwa manufaa ya nchi yetu nakuwawezesha vijana wetu kupata ujuzi ambaoutawasaidia kujiajiri na kuondokana na umaskini.Tafadhali, naomba katika majumuisho nipate jibu lenyekunusuru majen<strong>go</strong> haya na kuleta tija kwa wananchihasa vijana.Mheshimiwa Spika, ahsante sana, naunga mkonohoja.MHE. ALI KHAMIS SEIF: Mheshimiwa Spika, Hotubaya Mwaka huu ya Waziri Mkuu, inayohusiana na Bajetiina upungufu wa maelezo yanayohusiana na nyumbana makazi kinyume na Hotuba ya mwaka 2011/12.Kutokana na upungufu huo, ninaomba katika Hotubaya Waziri Mkuu ya Mwaka huu kiwemo kifungu hichona badala yake kiwe kifungu cha 124 badala yakifungu cha 123.112


Mheshimiwa Spika, Nyumba na Makazi ni Sektamuhimu kwa maisha ya binadamu katika nchi yetu.Taasisi ya Serikali inayoshughulikia ujenzi wa nyumba niShirika la Nyumba la Taifa (NHC).Mheshimiwa Spika, Shirika la Nyumba la Taifabaada ya kufanya mabadiliko ya Uon<strong>go</strong>zi chini yaMkurugenzi Mkuu, Ndugu Mchechu, limedhihirishakuleta maendeleo makubwa katika suala la ujenzi wanyumba za kuuza na kukodisha.Mheshimiwa Spika, Shirika hili katika ufanisi wautendaji wake limeongeza pato la pan<strong>go</strong> kwa mwezikutoka Aprili 2010 kuwa Sh. 2.9 bilioni na kufikia Sh. 4.9bilioni wakati wa sasa. Hivyo ni hatua kubwa sana nahapo kuna ongezeko la shilingi bilioni mbili.Mheshimiwa Spika, uzoefu uliopo wa Mashirika yaUmma ni kupewa ruzuku kutoka Serikalini ambapoShirika la Nyumba kwa hatua ya maendeleo ilifikia waowanatoa mchan<strong>go</strong> kwa Serikali. Kwa mwaka 2011/12,mchan<strong>go</strong> wa Shirika kwa Serikali ni Sh. 11.47 bilioni nakwa mwaka wa 2012/13 wanategemea kuichangiaSerikali Sh. 24.18 bilioni.Mheshimiwa Spika, pia kutokana na maendeleoya Shirika hilo, wanategemea pato la Shirikakuongezeka kutoka Sh. 44 bilioni kwa mwaka 2011/12na kufikia Sh. 75.05 bilioni kwa mwaka 2012/13.Mheshimiwa Spika, licha ya mafanikio hayo, Shirikala Nyumba la Taifa pia linakabiliwa na changamotonyingi zikiwemo mahitaji ya mabadiliko ya Sheria Na. 2113


ya Mwaka 1990 iliyorekebishwa mwaka 2005 na ughaliwa nyumba zinazouzwa na Shirika kutokana naOngezeko la Kodi ya Thamani. Mfano, nyumbainayouzwa kwa Sh. 99.99 milioni bila ya VAT, ikiingizwaVAT itafikia Sh. 118,000 milioni.Mheshimiwa Spika, ninaishauri Serikali iondoe VATkwa nyumba za Shirika ili nyumba hizo ziwe bei nafuuna wananchi wawe na makazi yaliyo bora na kuhusuSheria Na. 2 ya Mwaka 1999 ifanyiwe marekebisho yaharaka.Mheshimiwa Spika, Utalii ni Sekta muhimu katikauchumi wa nchi yetu, unachangia asilimia 17.2 Pato laTaifa na unachukua asilimia 25 ya fedha za kigenizinazopatikana na nchi yetu.Mheshimiwa Spika, licha ya vivutio vilivyoko hapanchini petu vya utalii, bado ujaji wa watalii ni mdo<strong>go</strong>ukilinganisha na Nchi ya Kenya ambayo haina vivutiovya kitalii kama hapa Tanzania; uingiaji wa watalii wakigeni kwa mwaka 2010 kwa Tanzania ni 782,699 naKenya 1,600,000.Mheshimiwa Spika, pamoja na changamotonyingine za Sekta ya Utalii inazozikabili, pia ipochangamoto ya fedha kido<strong>go</strong> za utangazaji wa utalii.Mfano hai mwaka 2010, Kenya ilitumia Dola zaKimarekani milioni 24 wakati Tanzania ilitumia Dola zaKimarekani milioni 2.78.Mheshimiwa Spika, gharama za utangazaji wakitalii nashauri zitoke katika Bajeti ya Serikali na siyoWizara ya Maliasili na Utalii. Kwa kuishauri Wizara itoe114


fedha, matokeo yake fedha za utangazaji zitakuwakido<strong>go</strong>. Mwaka huu utangazaji wa utalii kwa kupitiaBodi ya Utaliii ya Tanzania haizidi bilioni sita. Wakatifedha hiyo Kenya kwa mwaka 2010 ilitumia Sh.36,000,000,000; sasa iweje leo Tanzania mwaka 2012/13itatumia chini ya bilioni sita?Mheshimiwa Spika, naomba suala hilo la fedha zautangazaji lizingatiwe. Ahsante.MHE. CHRISTINA L. MUGHWAI: Mheshimiwa Spika,nashukuru kwa kupata fursa hii ili nami niweze kutoamchan<strong>go</strong> wangu katika Bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu.Mheshimiwa Spika, nianze na suala la fedha zarada. Nchi yetu iliingia katika kashfa kubwa ya ufisadikatika ununuzi wa rada. Baada ya Serikali na Bunge laUingereza kuingilia kati, Serikali ya Tanzaniaimerudishiwa shilingi bilioni 72.3 ili zitumike kuboreshaSekta ya Elimu hapa nchini.Mheshimiwa Spika, kwanza, sikubaliani na jinaambalo Serikali ya Tanzania inazipa hela hizozilizorudishwa baada ya kubainika ufisadi mkubwa.Serikali yetu inaziita fedha hizo kuwa ni chenji ya rada.Sote tunajua kuwa chenji ni fedha halali inayorudishwaunapofanya malipo halali, lakini katika suala la radahakukuwa na malipo halali bali ni ufisadi uligubikasuala zima. Sasa inakuwaje fedha hizi zinarudishwabaada ya amri ya Mahakama ziitwe chenji? Huku nikujaribu kuficha uozo wa ununuzi wa rada nakuwahifadhi waliohusika ili wasichukuliwe hatua.115


Mheshimiwa Spika, ninaitaka Serikali iwachukuliehatua za kisheria wote waliohusika na kashfa hii na piafedha zote zilizorejeshwa zitumike katika Sekta ya Elimuiliyokubaliwa na si vinginevyo.Mheshimiwa Spika, mgawanyo wa fedha zamaendeleo kwa Mikoa na Halmashauri umeendeleakuwa si wa haki kwa mikoa ile ile ambayo iko nyumakimaendeleo. Tumekuwa tukitaka Serikali ichukuehatua za makusudi, kwa kutenga fedha za kutoshakwa mikoa ambayo iko nyuma kimaendeleo, lakini chakuchangaza Mikoa kama Singida, Lindi na Rukwa,ambayo iko nyuma kimaendeleo kila mwaka ndiyoinayoon<strong>go</strong>za kwa bajeti ndo<strong>go</strong>. Utaratibu huuunajenga matabaka ya kimaendeleo katika nchi yetu.Cha kusikitisha ni kwamba, fedha hizi pamoja na kuwani kido<strong>go</strong>, haziendi zote na haziendi kwa wakati.Mheshimiwa Spika, matumizi yasiyo ya lazima nayasiyo na tija yanayofanywa na Serikali, yameendeleakutafuna fedha za walipa kodi. Tunahitaji kuonautekelezaji na nia ya Serikali kudhibiti ama kuondoamatumizi ya magari ya kifahari kama ambavyoMheshimiwa Waziri Mkuu ameahidi katika Hotuba yake.Nchi zote majirani zetu wameacha kutumia magari yakifahari Serikalini; Tanzania kuna nini? Imefika wakatisasa Vion<strong>go</strong>zi wetu waache fahari zinazowaumizawananchi na waweke maslahi ya wananchi kwanza.Mheshimiwa Spika, baada ya kusema haya,naomba kuwasilisha.116


MHE. ALPHAXARD K. N. LUGOLA: MheshimiwaSpika, naomba nijikite moja kwa katika maeneoyafuatayo:-Mheshimiwa Spika, pamoja na kutambua ukwelikwamba maji ni uhai, bado wananchi wengi nchini nahususan Jimbo la Mwibara, hawapati maji safi nasalama. Ukame unazidi kuongezeka mwaka hadimwaka na hivyo kusababisha hata mito kukauka,visima vifupi vya asili kukauka na malambo/mabwawa.Jimboni kwangu kuna Miradi miwili tu kati ya kumi yavisima virefu vya Benki ya Dunia katika Wilaya yaBunda. Nataka kujua ni kigezo gani kilitumika kwakupata visima viwili tu. Aidha, nilishaomba Bungenihapa kupanua uwezo wa pampu za maji zaKasahunga, Kibara na Isanju ili kuunganisha vijiji vinginelakini hadi leo hakuna kilichofanyika wakati pampu hizoziko katika maji ya Ziwa Viktoria. Naomba kujua tatizoliko wapi? Aidha, nilishaomba pampu ya Kasahungaiwekewe umeme badala ya kuendelea kutumia dizelikwani umeme umepita mita 200 tu.Mheshimiwa Spika, umeme umepita Jimboni kwanikutoka Bunda kwenda Ukerewe, lakini ni vijiji vitatu tukatika vijiji 50 ndiyo vina umeme. Mwibara tunatakaumeme, hatuwezi kukubali ardhi yetu itumie kuwapawatu wengine umeme wakati sisi hatuna umeme.Nimeomba mara kadhaa katika michan<strong>go</strong> yangumingi hapa Bungeni na pia nimeuliza swali na kujibwafedha zitatengwa katika Bajeti hii. Naomba niambiwekama kweli umeme tutapata Bajeti hii kwaniWanamwibara wanahitaji umeme na siyo porojo.117


Mheshimiwa Spika, Barabara yetu ya Bunda –Kisorya – Nansio, tumeipigia kelele miaka yote ambapoWa<strong>bunge</strong> waliopita walifanya hivyo. Hii ni barabara yakiuchumi kwa uchukuzi wa mazao ya pamba, samaki,matunda, biashara na safari za kijamii. Aidha,barabara hii inahusu viwanda vitatu vya kuchambuapamba na hivyo kuzalisha marobota mengiyanayosafirishwa na malori makubwa. Pia barabarayetu iko namba moja katika orodha ya barabarazilizoko katika Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2010 kwakujengwa kwa kiwan<strong>go</strong> cha lami. Mwibara tunatakalami na cha kushangaza sioni fedha iliyotengwa kwaajili ya barabara yetu. Tunahitaji maelezo ya kina juuya barabara hii.Mheshimiwa Spika, ili kupambana na mfumko wabei na njaa ya Mwibara ya kila mwaka, lazima Serikaliipanue wi<strong>go</strong> wa Miradi ya Kilimo cha Chakula. KatikaBajeti ni mabonde machache tu yalipata Miradi kamaMabonde ya Mto Wami, Ruvu, Kilombero na Rufiji.Naomba tuwe na Mradi Ziwa Victoria kwenye Bondezuri la Vijiji vya Kabainja, Karukekere, Muranda naNansimo Jimboni Mwibara. Maji ya Ziwa yana uhakikamkubwa. Wanamwibara tumechoka kuhemeachakula hasa kusubiri msaada wa chakula chamahindi toka Rukwa, Ruvuma, Iringa na Mbeya.Mwibara tunaweza kujilisha wenyewe endapotutapewa Miradi ya Kilimo kando kando ya ZiwaVictoria. Tunaomba majibu juu ya hoja hii.Mheshimiwa Spika, mwisho, ujenzi wa Vituo vyaAfya na Zahanati Jimboni hauridhishi kwani badowananchi wanatembea zaidi ya kilomita kumi kutafuta118


matibabu mathalani kutoka Kijiji cha Mchi<strong>go</strong>ndo hadiIgunda ni kilomita 13 ndani ya Kata moja. Hali hiihaikubaliki; ni aibu, hata Makao Makuu ya Jimbo paleMji wa Kibara hakuna Kituo cha Afya wala Zahanati.Nasema hii ni aibu na haikubaliki. Nashauri Serikali iwena Mpan<strong>go</strong> wa Operesheni ya Kujenga Zahanati kilaKijiji kwa kushirikisha nguvu za wananchi kamatulivyofanya katika kujenga shule za sekondari kila Katana kila Kijiji Shule ya Msingi.Mheshimiwa Spika, naunga mkono hoja. Ahsantesana.MHE. AMINA MOHAMED MWIDAU: MheshimiwaNaibu Spika, awali ya yote, nachukua nafasi hiikumpongeza Mheshimiwa Waziri Mkuu, kwa Hotubayake nzuri, japokuwa ina changamoto, pesazilizotengwa mikoani ni kido<strong>go</strong> hasa za maendeleo.Mheshimiwa Naibu Spika, mimi nimechangia kwakuongea lakini sikumaliza, hivyo nimeona bora niandikehaya yafuatayo:-Mheshimiwa Spika, kuhusu Elimu, Mkoa wa Tangapia kuna upungufu wa walimu wenye fani ya ufundistadi katika Vyuo vya Ufundi. Pia kuna uhaba wa Vyuovya Ufundi ambavyo vipo vitatu tu Mkoa wote waTanga; VETA - Tanga, Mnyuzi na FDC – Handeni. Mbaliya uchache wa vyuo, hao wanafunzi waliopohawapati muda wa mafunzo kwa vitendo, ukizingatiaTanga viwanda vimefungwa kwa sera ya ubinafishaji.119


Mheshimiwa Spika, naiomba Serikali itekelezeazma yake ya kujenga Vyuo vya Ufundi – VETA kilaWilaya ili kuwaandaa vijana kuweza kuwa na sifa zakuajiriwa lakini pia kujiajiri wenyewe.Mheshimiwa Spika, namshukuru tena Waziri Mkuu,kwa kuona umuhimu wa kuongeza posho zaMadiwani, lakini bado ningeomba angalau ifikie shilingilaki tano. Pia wafikiriwe Madiwani hao kwa siku zijazobadala ya kupewa posho wapewe mishahara.Vile vile naiomba Serikali iwafikirie Wenyeviti waSerikali za Mitaa na Jiji kwa mambo mawili; posho zaoziongezwe na wapewe mafunzo ili waweze kujuamajukumu yao na kuyasimamia kwani wao ndiyowenye watu huku chini.Mheshimiwa Spika, kuna tatizo katika Idara nyingikatika Halmashauri zetu ambapo wafanyakazi wengiwakienda kuongeza ujuzi wanaporudi hawatendewihaki kwa sababu zifuatazo; hawaitambui elimu yaowaliyoiongeza, wakirudi ofisini wanawarudisha kwenyeKata, hata kama wilayani wapo watu wenye level yaadvanced diploma, wakati wenye post graduatediploma na masters wanapelekwa kwenye Kata. Hivisiyo haki kabisa, inapelekea watumishi wengikuondoka kwa sababu ya kunyanyasika na kuachaHalmashauri kukosa Wataalamu mfano Maendeleo yaJamii. Je, Wizara ina utaratibu gani juu ya hili kwanibaadhi ya Wakuu wa Idara wanapanga wapendavyona si kuangalia taaluma ya watumishi. Naomba Waziriakija kufanya majumuisho nipate ufafanuzi kwenye hili.120


Mheshimiwa Naibu Spika, la mwisho, naombakuongelea ardhi. Mheshimiwa Waziri Mkuu, katikaHotuba yake ya Bajeti, ukurasa wa 34 alisema,nanukuu: “Ardhi ni rasilimali muhimu katika kukuzauchumi na kuondoa umaskini.” Katika Jiji la Tanga tunatatizo la ardhi hasa ukizingatia maeneo mengi yalikuwaMashamba ya Mkonge. Katika Bunge la Aprili wakatiwa Taarifa za Kamati tuliomba sana hasa Kamati yaMashirka ya Umma (POAC) kuwa wamiliki wotewanyang’anywe mashamba hayo hasa walewalioyatelekeza na kuacha mapori tu, Serikaliiyachukue na kuyagawa kwa wananchi kwani ardhi nirasilimali muhimu.Mheshimiwa Spika, naiomba Serikali iharakishemchakato huo wa kuyarudisha mashamba hayokwenye miliki yao na kuyagawa kwa wananchi, kwanikwa taarifa za uhakika Master Plan ya Jiji inaoneshakuwa hairuhusiwi Jiji kuwa na estate kama hizo namashamba hayo ya mkonge. Ambapo Halmashauritumeshapitisha hati kumi za mashamba hayoyarudishwe Serikalini na tumeshapeleka kwa Mkuu waMkoa na pia Kikao cha Mkoa kimeshabariki.Tunaomba Wizara husika iharakishe mchakato huohasa ukizingatia Wananchi wa Kiton<strong>go</strong>ji cha Mkembena Kijii cha Marungu wanateseka sana, kunawawekezaji mchwara wanawasumbua sana wakazihao.Mheshimiwa Spika, ikumbukwe kuwa Wananchihawa walikuwa wanafanya kazi kwenye mashambaya mkonge tangu enzi za ukoloni kutoka maeneombalimbali ndani na nje ya nchi. Mwekezaji huyo121


anataka waondoke, watakwenda wapi na hawanahata pa kwenda; hivyo, naiomba Serikali ifanye harakasana suala hili ni muhimu sana. Ahsante.MHE. DEOGRATIAS ALOYS NTUKAMAZINA:Mheshimiwa Spika, nianze kwa kumpongezaMheshimiwa Waziri Mkuu, kwa Hotuba yake yenyematumaini.Mheshimiwa Spika, Serikali yetu ni hodari sana kwakuandaa Mipan<strong>go</strong> mizuri na hata Bajeti nzuri lakinitatizo kubwa tulilonalo ni utekelezaji wa Mipan<strong>go</strong> hiyo.Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI) ndiyo Serikali yenyewe –Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa. TAMISEMI ndiyoina watendaji ambao wako karibu na wananchi katikautekelezaji wa Mipan<strong>go</strong> mbalimbali ya Maendeleo.Mheshimiwa Spika, ombi langu ni kuwawekeaMikataba ya Utendaji (Performance Contracts)watendaji hawa na kuwasimamia kikamilifu ili wafanyekazi yao vizuri ya kuwashauri na kuwaelekezawananchi namna ya kujiletea maendeleo.Mheshimiwa Spika, Mawaziri na Watendaji shartiwabadilike kifikra waache mtindo wa business as usualkama kweli Serikali ipo serious and committed katikakuelekea Nchi ya Uchumi wa Kati (Medium IncomeEconomy). Nchi ya Uchumi wa Kati ni nchi ambayokilimo chake kimekuwa mechanised, ni nchi ambayoina viwanda vya msingi (semi industrialised), inaindustrial base ya uhakika.122


Mheshimiwa Spika, ni nchi ambayo watu wakewamefikia kiwan<strong>go</strong> cha elimu ya hali ya juu nacontinuous learning kwa watu ni jambo la kawaida. Ninchi ambayo ina miundombinu mizuri na umeme wauhakika. Ni nchi ambayo wananchi wake wanapatamaji safi.Mheshimiwa Spika, kama tunaendelea na tabiaya uswahili, tabia ya kutowajibika na tukaendelezarushwa, Nchi ya Uchumi wa Kati itaendelea kuwandoto tu. Mpan<strong>go</strong> wa Miaka Mitano na ule wa MudaMrefu (The Tanzania Long Term Perspective Plan - LTPP),umetayarishwa vizuri. Tuweke mikakati ya utekelezajina tuwe na Programu zitakazosaidia tufikie hiyo ndoto.Mheshimiwa Spika, TAMISEMI imekabidhiwajukumu la kusimamia elimu ya msingi na ile yasekondari. Uwekezaji katika Human Capital unaanziakwenye Primary na Secondary Schools, hatufikii nchi yaahadi inayotiririka maziwa na asali kama hatutawekezavizuri kwenye elimu. Kwa nini TAMISEMI haiwachukuiwataalam walioko Wizara ya Elimu kuja TAMISEMIkuongeza nguvu? Wao ndiyo wana InstitutionalMemory ya elimu.Mheshimiwa Spika, Capitation Grant sina hakikakama TAMISEMI inapeleka ya kutosha kwenye Shule zaSekondari na Primary kwa ajili ya ununuzi wa vitabu,chaki na kadhalika. Sina hakika kama mnapeleka Sh.25,000 kwa kila mwanafunzi wa sekondari na Sh. 10,000kwa kila mwanafunzi wa primary school.123


Mheshimiwa Spika, kwetu Ngara shule hazinavitabu, ninahangaika kutafuta Vitabu vya Kiingerezana Sayansi. Headmasters wanaishi vizuri sana sijuikama hali hiyo inatokana na hiyo ruzuku ya vitabu.Mheshimiwa Spika, naomba Serikali izingatieushauri wangu wa kuwawekea Mikataba ya Utendaji(Performance Contracts), Waheshimiwa Mawaziri,Wakuu wa Mkoa, DCs na Watendaji na uwepoutaratibu wa Rais kukaa na Mawaziri na Wakuu waMikoa mara mbili kwa mwaka, kupitia mikataba hiyo.Vion<strong>go</strong>zi na Watendaji wazembe waondolewe kwenyemadaraka. Huo ni utaratibu endelevu kuliko Raiskushinikizwa na Bunge kuwaondoa Mawaziri.Mheshimiwa Spika, ushauri wangu wa kuwateuaVion<strong>go</strong>zi na Watendaji kwa kuzingatia uwezo, sifa,uzoefu, uadilifu na uzalendo kuliko udini, urafiki,ushemeji na ukabila.Mheshimiwa Spika, zingatieni Principle ya PeterPrinciple – Never promote somebody to his highestlevel of incompetence.” Usimteue mtu na kumpamajukumu ambayo hana uwezo nayo.MHE. NASSIB SULEIMAN OMAR: Mheshimiwa Spika,mimi ni Mjumbe wa Kamati ya Miundombinu. Hivikaribuni tulitembelea maeneo mengi ya Tanzaniakukagua Miradi ya Maendeleo inayohusiana namiundombinu zikiwemo barabara, madaraja, bandari,reli na viwanja vya ndege.124


Mheshimiwa Spika, kumekuwa na malalamikomengi kuhusiana na wimbi kubwa la wizi katika Miradihii ya Maendeleo. Kila Mradi tulioutembelea tumekutamalalamiko hayo, hata kusababisha kupunguza kasi yakutekeleza Miradi hii. Mfano, katika Mradi mmoja jumlaya Sh. 300 milioni na vifaa vilivyokuwa vikisafirishwakwenda kwenye Mradi kutoka Dar es Salaam viliibiwa.Kubwa ni kuwa vifaa hivyo vilisamehewa ushuru.Mheshimiwa Spika, Wakuu wa Mikoa wana nyezokamili za kudhibiti wizi huu, kwani Kamati ya Ulinzi naUsalama ina Askari Polisi, Askari wa Usalama wa Taifa,Sungusungu na Ulinzi Shirikishi. Ikiwa nyombo hivivitatumika vizuri, wizi huu utadhibitiwa.Mheshimiwa Spika, upo ucheleweshaji wa kutoavibali vya aina mbalimbali kama ulipaji fidia, vibali vyakuhamisha makaburi na vibali vya ruhusa ya kuchimbamabwawa ya kuwekea maji kwa ajili ya Miradi yaUjenzi inayohitaji maji mengi hasa katika Mikoaisiyopata mvua za kutosha.Mheshimiwa Spika, namwomba MheshimiwaWaziri Mkuu, awaagize Wakuu wa Mikoa kusimamiaMiradi hii hasa wizi wa vifaa kwani haya ni mamboyanayosababisha aibu kwa kwa Taifa na hasara.Mheshimiwa Spika, taarifa za Serikali hazioneshikuwa Zanzibar itafaidika na fedha za chenji ya rada.Namwomba Mheshimiwa Waziri Mkuu atueleze kamaZanzibar itafaidika na chenji hii.125


MHE. ALBERT OBAMA NTABALIBA: MheshimiwaSpika, kwanza, naipongeza Hotuba nzuri yaMheshimiwa Waziri Mkuu. Pamoja na hayo, naombanitoe mapendekezo yafuatayo:-Mheshimiwa Spika, nashauri tupewe data za ukuajiwa hali ya uchumi pia kwa Mikoa na Wilaya ili iwekichocheo cha kufanya vizuri zaidi.Mheshimiwa Spika, tulipoingia Bungeni simuzilikuwa haziiti ndani ya Bunge, lakini sasa hivi simuzinalia ndani. Je, ni kitu gani kimesababisha?Tunaomba maelezo.Mheshimiwa Spika, nashauri mbinu mpya zaugawaji wa pembejeo zibuniwe kwani imekuwa ni kerokwa sababu pembejeo haziendi kwa wakulima kwawakati.Mheshimiwa Spika, masharti ya Wafadhili yaProcurement yanasababisha kero hii; hivyo ni vizuri tore-ne<strong>go</strong>tiate again na Wafadhili kurejesha na kutoatender for two years.Mheshimiwa Spika, ninayo maeneo mazuri yaumwagiliaji katika Wilaya ya Buhigwe ya Mabonde yaMugera, Mi<strong>go</strong>n<strong>go</strong>, Kilelema, yenye ukubwa wa hekta800 na Bulemanyi, Biharu, lenye hekta 700. Ninaiombaofisi yako, wataalamu waweze kuiona na kushauri ilituweze kulitumia kwa uzalishaji mpunga. Katika wilayahiyo mpya haya ndiyo maeneo tunayoyapakipaumbele.126


Mheshimiwa Spika, Jimbo langu la Manyovu,katika Tarafa ya Muyama, Serikali ilikataza na kufungaMnanda wa Mifu<strong>go</strong> na wananchi wanahangaika kwakukosa wapi waweze kuuzia mifu<strong>go</strong> yao. Taarifa yamaombi ya kufunguliwa kwa Mnada huo zipo Wizaraya Kilimo na Maendeleo ya Mifu<strong>go</strong> lakini hatujajibiwajuu ya ombi hilo. Hii ni kero kubwa sana.Mheshimiwa Spika, tunaishukuru Serikali kwakutupatia nishati katika Wilaya Mpya ya Buhigwe katikaJimbo la Manyovu. Ombi langu kwa MheshimiwaWaziri Mkuu ni kusukuma nia hiyo kwa kuweka umemeMakao Makuu ya Wilaya mapema. Wilaya ya Kasuluimepata umeme hivi karibuni; je, kwa nini isiletwemashine nyingine ili iongeze uwezo wa kusambazaumeme ambao ni km 20. Wananchi wa Manyovuwanataka umeme. Ninaiomba Serikali yetu iwekekipaumbele kwa Mikoa iliyoachwa nyuma kwa mudamrefu.Mheshimiwa Spika, kuhusu mawasiliano; Jimbo laManyovu linazo Tarafa mbili Manyovu na Muyama.Tarafa ya Muyama yenye vijiji 13 ambavyo vyote vikompakani, hawana mawasiliano kabisa na hivyokushindwa kuwasiliana na kutoa taarifa zozote zakiulinzi. Namwomba Mheshimiwa Waziri Mkuu,upelekwe mnara wa mawasiliano ili nchi yetu ipateulinzi uliotukuka. Namwomba awasilliane na Serikali yaWilaya atapewa uhakika huo. Silaha, risasi nawakimbizi, wanapita sana na raia hawawezi kuripotikwa sababu hakuna simu inayofanya kazi maeneohayo.127


Mheshimiwa Spika, napenda kupongeza juhudikubwa zinazofanywa na Serikali juu ya barabarazinazotekelezwa Mkoani Ki<strong>go</strong>ma.Mheshimiwa Spika, ombi langu kwa MheshimiwaWaziri Mkuu, Barabara ya Mnanila mpaka Kasulu, km42, ijengwe kwa kiwan<strong>go</strong> cha lami kwani Mkoa waKi<strong>go</strong>ma barabara imekuwa ndiyo siasa. Kwa ninisiasa? Wananchi wanaamini kwamba, sehemu yenyeWa<strong>bunge</strong> Wapinzani ndipo barabara za lamizinajengwa. Naomba eneo langu la Chama chaMapinduzi liangaliwe.Mheshimiwa Spika, umuhimu wa barabara hii:Inaunganisha nchi ya Burundi; inaunganisha Mikoa naWilaya; inaunganisha Masoko ya Kimataifayanayoanzishwa; inaunganisha kupitia Wilaya Mpya yaBuhigwe; cost effective kwa kufupisha kwa mfano tokaBurundi kuja Kasulu na kuendelea; kuokoa ajalizinazotokana na milima iliyopo njia hiyo kwa wananchikufa kwa ajali zinazotokana na utelezi mkubwa; nakuokoa Chama cha Mapinduzi kwenye majukwaa yasiasa ambapo kila siku wananchi wanaona sehemuzenye Upinzani zinajengwa. Ninaamini ramani ya nchihii unayo, nakuomba unisaidie mimi Obama naChama changu.Mheshimiwa Spika, nashukuru kwa Bajetiiliyotengwa kwa Wilaya Mpya. Naomba fedha zitoleweharaka Wilaya ya Buhigwe ili miundombinu ianzekujengwa. Halmashauri Mpya za Wilaya zianzishweharaka ili kutotegemea Wilaya Mama.128


Mheshimiwa Spika, mwisho, naunga mkono hoja,MHE. HERBERT JAMES MNTANGI: Mheshimiwa NaibuSpika, tumepokea Hotuba ya Mheshimiwa Waziri Mkuuna Mawaziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu nakuwapongeza wote.Mheshimiwa Spika, ninapenda kutoa maoni katikamaeneo yafuatayo:-Mheshimiwa Spika, Ofisi ya Waziri Mkuu ndiyoKion<strong>go</strong>zi na Msimamizi wa Serikali wa Wizara. Ofisi hiiichukue jukumu la kuratibu utekelezaji wa ahadimbalimbali za Mheshimiwa Rais. Watendajiwanasahau ahadi hizo na mabadiliko ya Mawaziri piayanachangia kupunguza kasi ya usimamizi wautekelezaji wa ahadi hizo.Katika Wilaya ya Muheza, Mheshimiwa Rais,ametoa ahadi zifuatazo:-- Kufuta Hati za Mashamba ya Mkongeyasiyoendelezwa. Hili ni jukumu la Wizara ya Ardhihalijatekelezwa.- Ahadi ya kujenga Barabara ya Muheza hadiAmani (km 35) kwa kiwan<strong>go</strong> cha lami 2004 – 2012. Hilini jukumu la Wizara ya Miundombinu halijatekelezwa.- Ahadi ya kuupatia maji Mji wa Muheza kutokaMto Ziggi (2005 – 2012). Hili ni jukumu la Wizara Majihalijatekelezwa.129


- Ahadi ya kujenga upya Mradi wa Maji waMbambara Kata ya Songa ili kuwezesha Sekondari yaMtindiro kupata maji 2005 – 2012. Jukumu la Wizara yaMaji halijatekelezwa.- Kupandishwa Daraja Barabara ya Mbaramo –Kicheba – Misozwe – Maramba 2004 – 2011. Jukumu laWizara ya Miundombinu limetekelezwa mwaka 2011.- Kujenga Kituo cha Afya Kata ya Kicheba 2004– 2012. Jukumu la Wizara ya Afya na TAMISEMI,halijatekelezwa.Mheshimiwa Spika, mfumo wa utendaji wa Idaraya Ukaguzi wa Ndani kuwa chini ya MkurugenziMtendaji, unachangia kuficha hoja muhimu zenyedosari. Mkurugenzi anapopewa taarifa hizo kabla yakupelekwa kwenye Kamati ya Fedha ha Baraza laMadiwani, anachambua na kuondoa baadhi ya hojahasa za wizi na matumizi mabaya ya fedha. Kamati yaUsimamizi inayohusisha Wajumbe huru nje yaHalmashauri hazifanya kazi. Hila zinatumika kutoafedha kati ya DT na Mkuu wa Idara huku DED akiwahajui hasa DED anapokaimisha nafasi wakati akisafiri.Taarifa za Kamati ya Bunge inayosimamia Mahesabuya Serikali za Mitaa hazifanyiwi kazi kwa ukamilifu walaTaarifa za Ukaguzi wa Mkaguzi Mkuu wa Serikalihazifanyiwi kazi kikamilifu.Mheshimiwa Spika, taarifa za mapokezi ya fedhahazitolewi kwa usahihi na kwa wakati. Mfano mdo<strong>go</strong>ni fedha za Mfuko wa Jimbo la Muheza, Hazinawalipeleka Sh.18,800,000 zaidi ya miezi sita iliyopita na130


fungu la pili pia limepelekwa lakini hakuna taarifa yakukiri kupokelewa fedha hizo hadi leo tarehe 27 Juni,2012.Mheshimiwa Spika, shaka ya wizi wa fedha zaidi yaSh. 1,800,000 imetokea na Mkuguzi wa Ndanikumwarifu DED tangu Februari 2012, lakini taarifa hiyohaikutolewa kwenye Kamati ya Fedha na imekuwakificho hadi Juni 2012.Mheshimiwa Spika, kuhusu Sekta ya Nishati(Umeme), baada ya kuongezeka upatikanaji wa gesiasilia, ipo haja kurejea mapendekezo ya awali kamaifuatavyo:-(a) Kurejesha Kampuni ya GASCO iliyoundwakabla ya mwaka 1998 chini ya Shirika la Maendeleo yaPetroli (TPDC). Kampuni hiyo ipewe jukumu lakusimamia usambazaji na uuzaji wa gesi badala yakuweka jukumu hilo kwa Kampuni ya nje.(b) Kampuni ya Taifa ya Usambazaji wa Mafuta(COPEC) irejeshwe na kupewa dhamana na uwezo wakusambaza mafuta nchini badala ya kuachia kampuniza nje licha ya kuwa zimeaandikishwa nchini.(c) Ili kujihakikishia uwezo mkubwa wa kukidhimahitaji ya umeme, utekelezaji wa Miradi Mikubwa yaUmeme ya Striglers Gorge Mg 2000, Mradi wa KiwiraMg 300 itekelezwe sambamba na Miradi ya Gesi asilia.(d) Miradi ya Dharura ya Uzalishaji Umemeisitishwe.131


- Mradi wa Dharura wa Umeme wa IPTL nimzi<strong>go</strong> mkubwa Kitaifa. Utakuwaje naMradi wa Dharura kwa miaka 20?- Kwa nini Mkataba wa IPTL unabebeshwaTANESCO gharama za matengenezo yamashine zake na kulipia gharama zamafuta ya kuendeshea mashine hizo nabaadaye kununua umeme uliozalishwa?- Kwa nini IPTL wanacheleweshamapendekezo ya kutumia gesikuendesha mashine zao badala yamafuta mazito na mafuta ya ndege (JETA1) ambayo ni ghali?Mheshimiwa Spika, tutaendelea hadi lini kubebamzi<strong>go</strong> huo mkubwa wa gharama? Ninaunga mkonohoja ili ushauri uliopo utekelezwe.MHE. GOODLUCK JOSEPH OLE-MADEYE:Mheshimiwa Spika, kwanza, nampongeza sanaMheshimiwa Mizen<strong>go</strong> Kayanza Peter Pinda (Mb), WaziriMkuu, kwa Uon<strong>go</strong>zi wake mahiri. Pia nampongezaMheshimiwa Hawa Abdulrahman Ghasia (Mb), kwakuteuliwa na Rais Jakaya Mrisho Kikwete kuwa Waziriwa Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI). Nawapongeza piaMawaziri na Naibu Mawaziri wa Ofisi ya Waziri Mkuu naOfisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI), kwa kazi nzuriwanayofanya kumsaidia Waziri Mkuu kuon<strong>go</strong>za Sektazote zilizo chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu. Nawatakia kilala kheri na pia nawahakikishia ushirikiano ili kwapamoja tuweze kutimiza azma ya Chama cha132


Mapinduzi ya kutumikia Wananchi wa Tanzania ilikupata maendeleo endelevu.Mheshimiwa Spika, pili, nawapongeza sanaMakatibu Wakuu na Naibu Makatibu Wakuu wote naWatendaji wa Ofisi ya Waziri Mkuu na Ofisi ya WaziriMkuu (TAMISEMI), kwa kazi kubwa wanayofanya yakusimamia utekelezaji wa Sera na Sheria mbalimbali.Mheshimiwa Spika, tatu, nathibitisha kuwa naungamkono hoja.Mheshimiwa Spika, natoa shukrani kupitia kwaMheshimiwa Waziri Mkuu, naishukuru sana Serikali kwanamna walivyosaidia Wananchi wa Jimbo languwanaokabiliwa na upungufu wa chakula kutokana naukame kupata chakula cha msaada. Nawapongezasana Watendaji wote wakion<strong>go</strong>zwa na Bw. PenielLyimo, Katibu Mkuu, kwa kuwa wavumilivu na wasikivuwakati wote ambao tuliwasiliana na wakati mwinginetukiomba huduma kwa dharura.Mheshimiwa Spika, hivi sasa imedhihirika kuwamvua katika Wilaya karibu zote za Mkoa wa Arushaimepungua sana na hivyo kuendelea kulima mahindina mazao yaliyozoeleka kama maharage namengineyo haitakuwa kwa manufaa ya jamii kwanihunyauka kabla ya kuchanua. Nashauri kuwa, Serikaliitoe agizo kwa Uon<strong>go</strong>zi wa Mkoa wa Arusha kuwakuanzia sasa iwe ni lazima kwa wakulima wote kulimawalau ekari mbili za mazao yanayostahimili ukameikiwemo mtama na alizeti.133


Mheshimiwa Spika, naipongeza Serikali kwakutenga fedha kwa ajili ya kuongeza mitaji kwenyebenki mbalimbali hapa nchini ili kuwezesha wananchikiuchumi kwa kuwapatia mikopo. Hata hivyo, ninashaka na utaratibu unaotumika kutoa mikopo ambayohukwaza watu wa kawaida kupata mikopo hiyo.Mfano, ingawa lilianzishwa Dirisha la Kilimo TIB imekuwavigumu kwa wakulima wado<strong>go</strong> kupata mikopo. Benkihuwataka wakulima hao kuwa na dhamana(collateral), ambayo wengi hawana. Hatimiliki zaKimila ambazo hutolewa kwa mujibu wa Sheria yaArdhi ya Vijiji ya 1999 hazithaminiwi na Mabenkiikiwemo TIB. Serikali iiagize Benki Kuu ya Tanzania itoeMwon<strong>go</strong>zo kwa Mabenki na Taasisi zote za Fedhakuwa ziheshimu hatimiliki hizo na kutoa mikopo kwawananchi bila ubaguzi.Mheshimiwa Spika, Mfuko wa UwezeshajiWananchi haujulikani kwa wananchi walio wenginikiwemo mimi mwenyewe. Ni vizuri taratibu za kutoamikopo ziwekwe wazi ili wananchi wote wawezekunufaika. Kama inavyoeleweka vijina wengi hawanaajira, vile vile hawana mtaji wa kuanzisha miradi waladhamana ya kuwawezesha kukopa; nashauri hatuazichukuliwe kuwahamasisha na kuwasaidia vijanakupata mitaji kwa kuwawekea masharti nafuu. Mfano,Shahada ya Kuhitimu Chuo Kikuu itumike kuwadhamana kwa mkopo mdo<strong>go</strong> usiozidi Sh. 50,000,000ilimradi mkopo huo uwekewe bima.Mheshimiwa Spika, Sera ya Nishati: Tanzaniaimejaliwa kuwa na rasilimali ya madini ya urani. Nishatiya umeme itokanayo na madini hayo ndiyo yenye134


uhakika zaidi kuliko vyanzo vingine vyote. Badala yakuuza madini hayo yakiwa ghafi ni vizuri tukapangakushirikiana na nchi zenye uzoefu katika ujenzi nausimamizi wa mitambo ya kuzalisha umeme wa nyukliakama vile Marekani ili kuzalisha umeme wa kutoshanchi nzima na sehemu yote ya Afrika Kusini mwaJangwa la Sahara.Mheshimiwa Spika, matumizi ya gesi asilimiakuendesha: Katika Hotuba ya Waziri wa Fedha, Serikaliiliainisha maeneo yatakayosamehewa kodi ambayo nipamoja na vifaa vya CNG Vehicles Conversion Kits.Mpan<strong>go</strong> huu ni mzuri sana kwani utasaidia kupunguzamahitaji ya fedha za kigeni kuagiza mafuta yakuendeshea magari. Hata hivyo, uzoefu unaoneshakuwa marekebisho ya magari ya petroli au diseli iliyaweze kutumia gesi hayajawa na mafanikiomakubwa kwa sababu uwezo wa kuunganisha vifaahivyo na kufanya kazi bila gesi kuvunja unaonekanakuwa na upungufu hapa nchini. Ushauri wangu nikwamba, ili kupunguza uagizaji wa mafuta ya petroli,Serikali ishawishi na kutoa motisha kwa waagizaji wamagari watakaoagiza na kuuza nchini magariyanayotumia gesi asilia na mafuta yaliokamilika.Magari yakiunganishwa kiwandani uvujajihautakuwepo. Vile vile magari yote ya Serikaliyatakayoagizwa kuanzia sasa yawe ni yenye kutumiagesi asilia na mafuta kwa pamoja. Sababu ya kufanyayatumie mafuta na gesi ni kutambua kuwa gesi asiliabado haijasambazwa nchini kote hivyo magari yakiwani ya gesi tu yatapa matatizo yakifika maeneo ambakohakuna vituo vya kujazia gesi. Katika mipan<strong>go</strong> yetu yamiaka ijayo tujiandae kusambaza gesi maeneo yote ya135


nchi hadi vijijini kwa sababu ndiyo nishati tuliyopewa naMungu.Mheshimiwa Spika, kuhusu kilimo; napongezaMpan<strong>go</strong> wa Kuendeleza Kilimo cha Mpunga na Miwakwenye Mabonde yaliyoainishwa. Ni vizuri tukatumiakila fursa iliyopo ili kuondokana na kero ya kuagizachakula toka nje ya nchi. Vile vile nashauri kuwamabonde mado<strong>go</strong> yaliyo kwenye mikoa yote nchiniyatumike kwa kilimo cha umwagiliaji kadiriitakavyowezekana.Mheshimiwa Spika, hadi sasa hakuna uwiano wamaendeleo ya viwanda vido<strong>go</strong> katika Wilaya zotenchini. Zipo Wilaya hasa za Mijini zenye viwanda vingiwakati baadhi ya Wilaya hazina hata kiwanda kimojacha kusindika mazao yazalishwayo Wilayani humo.Nashauri kuwa hatua za makusudi zichukuliwekuchochea uwekezaji kwenye viwanda vido<strong>go</strong> kwaSerikali kutoa motisha kwa wale watakaowekezakwenye Wilaya za Vijijini.Mheshimiwa Spika, napongeza sana hatua yaSerikali kuweka kiwan<strong>go</strong> cha chini cha kipato kwawafanyabiashara kitakachotozwa kodi ya mapatoiliyotangazwa na Waziri wa Fedha wakati wakuhitimisha mjadala wa Hotuba yake ya Bajeti ya2012/13. Ili uamuzi uliochukuliwa na Serikali uwe namanufaa kwa wananchi wote, nashauri kuwa Serikaliiweke kiwan<strong>go</strong> cha chini cha mapato ya wakulimaambacho hakitatozwa kodi. Watendaji wa Serikali zaMitaa wamekuwa wakiwatoza wakulima fedha nyingisana kwa mazao yao wanayopeleka gulioni hata136


kabla ya kuuza. Hii imekuwa kero kubwa sana. Kwakuzingatia msamaha uliopendekezwa kutolewa kwawafanyabiashara, wakulima wengi wado<strong>go</strong> (wauzandizi, mbuzi mmoja na kadhalika), wanapaswakusamehewa ushuru wa mazao na mifu<strong>go</strong> mido<strong>go</strong>.Mheshimiwa Spika, naomba Wananchi waArumeru wajulishwe mustakabali wa Utawala waWilaya yao. Kwa muda mrefu sana wamekuwawakiomba Tawala za Mikoa iigawanye Wilaya yaArumeru ili kusogeza huduma za kiutawala karibu zaidina wananchi na hivyo kuharakisha maendeleo. Wilayaimekwishagawanywa Kichama na Halmashauri. Kwakuzingatia ukubwa, uhafifu wa miundombinu na uduniwa huduma kulinganisha na idadi ya watu, naombaSerikali iigawe Wilaya hiyo mapema iwezekanavyo iliwananchi wapunguziwe usumbufu wanaopatakufuata huduma mbali sana kutoka kwenye makaziyao.Mheshimiwa Spika, ardhi kwenye Wilaya ya Arushana Arumeru inaendelea kuwa haba kutokana naongezeko kubwa la idadi ya watu, kwa sababu yakuwepo kwa Makao Makuu ya Jumuiya ya AfrikaMashariki Jijijni Arusha, pamoja na fursa ya kibiasharazilizopo. Mahitaji ya ardhi yameendelea kuongezekana hivyo ardhi inayofaa kwa kilimo imeendeleakubadilishwa matumizi kuwa ya makazi na biashara.Kama hali hii ikiendelea kuna hatari kuwa muda siyomrefu ardhi yote nzuri iliyotengwa kwa ajili ya kilimo nakumilikishwa wawekezaji walioomba kwa ajili hiyoitakwisha na hivyo kusababisha upungufu mkubwa wachakula. Miaka ya 1970, Mwalimu Nyerere aliagiza137


kuwa Mji wa Arusha ujengwe kuelekea Kusini kwenyemaeneo yasiyo na rutuba sana. Mheshimiwa RaisKikwete wakati akitoa tamko la kugawanywa kwaWilaya ya Arumeru kuwa Halmashauri mbili, vivyo hivyoalirudia agizo hilo. Hata hivyo, maagizo haya yaVion<strong>go</strong>zi Wakuu wa Nchi wanapuuzwa na Uon<strong>go</strong>zi naWatendaji wa Halmashauri ambao kazi kubwainayofanywa sasa kwenye Halmashauri hiyo ni kununuamashamba na kugawa viwanja kisha kuuza.Hali hiyo imeathiri utoaji huduma kwa wananchikwani hata wanapoomba kuwa wapimiwe ardhi yaowanayomiliki kimila hawapati huduma kwa Maafisawanaohusika wanashughulikia viwanja vya biashara.Naomba Waziri Mkuu aingilie kati hali hiyo na kuagizakuwa mashamba yote yabakie kuwa mashamba naikiwa waliomilikishwa wamechoka kulima, warejesheSerikalini au wauze kwa wawekezaji wengine wenyenia ya kulima na siyo kugawa viwanja au kubadilishamatumizi kienyeji.Mheshimiwa Spika, Kituo cha Afya Olkokolakilijengwa yapata miaka mitano iliyopita. Kituo kinamajen<strong>go</strong> ya kutosha kutoa huduma za kutwa nakulaza wa<strong>go</strong>njwa. Hata hivyo, hakijaweza kufanya kazikulingana na uwezo wake kutokana na upungufu wawatumishi. Hadi kufikia juma lililopita, Kituo hichokilikuwa na mtumishi mmoja tu. Tatizo kubwa kwenyeKituo hicho ni kutokuwepo kwa nyumba za watumishi.Pamoja na Kituo cha Olkokola, zipo zahanati katikaJimbo la Arumeru Magharibi ambazo hali yakekimajen<strong>go</strong>, watumishi na vitendanishi ni mbaya sana.Vituo hivyo ni pamoja na Oldonyosambu, Musa, Oljoro138


na Losinoni. Naomba waziri wa Nchi, Ofisi ya WaziriMkuu (TAMISEMI), atembelee zahanati hizo ili ajioneemwenyewe hali ilivyo na kutusaidia kuelekeza rasilimalizitengwe kwa ajili ya kuziimarisha.Mheshimiwa Spika, narudia tena kumwombaWaziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI), aingiliekati na kumwagiza Mkurugenzi Mtendaji waHalmashauri ya Wilaya ya Arusha kuwa atekeleze agizola Mheshimiwa Rais kuwa, Halmashauri iandaeMpan<strong>go</strong> Kabambe wa Maji kwa Wilaya yote nakuwasilisha Serikalini ili fedha zitengwe na kumaliza keroya maji kwenye Wilaya hiyo. Mheshimiwa Rais, alitoaagizo hilo tarehe 17 Septemba, 2010 lakini hadi leomchakato wa maandalizi haujaanza.Mheshimiwa Spika, shule nyingi katika Halmashauriya Wilaya ya Arusha hazina walimu. Hii inasababishwana mazingira magumu yanayowakabili walimu kwenyeVijiji mbalimbali vya Wilaya hiyo. Naomba Serikali itoekipaumbele kwa Shule za Sekondari na Msingi katikaWilaya hiyo ili kuvutia walimu wanaopangwa hukokuanza kazi na kubaki huko. Aidha, nashauri kuwa kwakuzingatia ugumu wa mazingira ya kufundishia kwenyeWilaya hiyo, Serikali ikubali kuwapanga wahitimuwanaotoka maeneo hayo au wale wanaoonesha niaya kutaka kwenda kufundisha maeneo hayo. Mwakahuu niliwasilisha majina ya walimu walioombakupangwa maeneo hayo, lakini maombi hayohayakuzingatiwa na matokeo yake waliopangwa nakuripoti ni wachache.Mheshimiwa Spika, naunga mkono hoja.139


MHE. MARIA I. HEWA: Mheshimiwa Spika, awali yayote, naunga mkono hoja.Mheshimiwa Spika, nachukua nafasi hii tenakumpongeza Mheshimiwa Waziri Mkuu, kwa kusikia kiliocha Wananchi wa Jiji la Mwanza, kupandisha hadhikwa Halmashauri na Ilemela kuwa Manispaa. Nasemahongera sana, tatizo litakalojitokeza ni kwamba fedhazilizotengwa kuianzisha Manispaa hiyo ni kido<strong>go</strong> sana.Eneo la Utawala linabaki hivyo hivyo au mipakaitaongezwa au kupanuliwa ikiwemo Kisesa ambayokwa sasa eneo hilo liko Wilaya ya Magu?Mheshimiwa Spika, walimu kwa walimu wao nivion<strong>go</strong>zi, waelimishaji, waratibu na kadhalika. Masualaya malalamiko yao yanapaswa kusikilizwa mapemaiwezekanavyo. Kwa mfano, mishahara iboreshwe,ujenzi wa nyumba za kuishi, usafiri nao wawezekukopeshwa, wapewe posho ya mazingira magumuna kadhalika.Mheshimiwa Spika, ndani ya Bunge hili Tukufu,Waziri Mkuu alijibu swali toka kwa Wa<strong>bunge</strong> kuhusumalalamiko ya walimu na kusema nanukuu: “MaraWalimu watakapokuwa na Uon<strong>go</strong>zi tayari wa CWTtutazungumza.” mwisho wa kunukuu. Je, Chombohicho (CWT) kipo tayari? Maana yangu, kuna fukutoambalo siyo zuri ndani ya Taasisi hii iitwayo Walimu.Mheshimiwa Spika, Mwanza ni Mji wa viwandavingi vya matumizi ya malighafi mbalimbali. Mwanzaina viwanda vya nguo, samaki, vyuma (nondo), vioo140


na kadhalika. Matatizo ya viwanda hivi ni; vingivimechakaa, hativumiki kama ipasavyo,vimebinafsishwa kwa wawekezaji kwa matumizi tofautina mikataba mfano, Kiwanda cha N<strong>go</strong>zi Ilemelakimekuwa ghala la tajiri mmoja na vinginevimefungwa.Mheshimiwa Spika, nashauri vifufuliwe virudishweSerikalini kwa vile wawekezaji wamekiuka Mikataba.Serikali itolee tamko hapa Bungeni jinsi gani wanafufuaau kuvibinafsisha kwa wawekezaji halali na Mikatabaiangaliwe upya.MHE. FAKHARIA SHOMAR KHAMIS: MheshimiwaSpika, kwanza, ninaomba nimshukuru MheshimiwaWaziri Mkuu na Mawaziri wake na Wataalam, ambaowaliochangia kuandika Hotuba hii ambayo leotunaichangia kwa upeo mzuri zaidi. Hata hivyo,naunga mkono hoja.Mheshimiwa Spika, kuhusu chenji ya rada,ninaomba Mheshimiwa Waziri Mkuu wakatiatakapokuwa anajibu hoja, suala hilo lazima atoeufafanuzi wa Zanzibar ili kuondoa Kero ya Muungano.Kama ilivyokuwa kwa Tanzania Bara, wao wameingizakatika Elimu ya Msingi, Tanzania Zanzibar tumo katikaMuungano kwa kupitia Elimu ya Juu, sasa itabidi tupatefedha hizo kwa ajili ya Sekondari na Vyuo hapo ndiyotunadumisha Muungano.Mheshimiwa Spika, kuhusu pan<strong>go</strong> za ofisi; ninamasikitiko makubwa kwa Serikali kuendelea kukodi Ofisiza Serikali na kulipa pan<strong>go</strong>. Mfano, Msajili wa Vyama141


vya Siasa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi. Hizi ni ofisinyeti lakini zimekosa Majen<strong>go</strong> ya Serikali ya kufanyiakazi. Ukiangalia Ofisi ya Tume ya Uchaguzi ya Taifa,imepanga katika Majen<strong>go</strong> ya Posta na Simu naMajen<strong>go</strong> ya Wakala wa Manunuzi kwa ajili ya kutunzaDaftari la Kudumu la Wapiga Kura na Vifaa vyaUchaguzi. Huku ni kuipa hasara Serikali na kupotezafedha za Wananchi walipa kodi kwani fedha hizo zapan<strong>go</strong> wangepewa investors wa nyumbani ilikutujengea ofisi na hizo fedha tulizokuwa tunalipapan<strong>go</strong> zingelipa deni na Serikali kumiliki jen<strong>go</strong> lake nakuwa Ofisi za Serikali.Mheshimiwa Spika, Mabasi ya Ofisi ya Bunge nimachakavu mno na yamekuwa hayana mvutokutumiwa na Waheshimiwa Wa<strong>bunge</strong> wakatiwanapofanya kazi za Bunge na wanapofanya Ziara zaKikazi Mikoani. Hata hivyo, Ofisi ya Bunge huingiahasara pale wanapokodi mabasi kwa ajili ya shughuliza kazi za Wa<strong>bunge</strong>. Uchakavu wa mabasi hayoKiserikali yana haki ya kuuzwa ili Bunge linunue mabasimengine mapya au kama Bunge ni lazima kubakia namabasi hayo, basi ni bora kuwataka Wa<strong>bunge</strong>watumie magari yao na Bunge liwapatie mafutawanapofanya Ziara za Kikazi za Bunge.Mheshimiwa Spika, hata hivyo, itaisaidia Ofisi yaBunge kutumia fedha kido<strong>go</strong> kununua mafuta yamagari ya Wa<strong>bunge</strong> badala ya kukodi mabasi ya njekwa gharama kubwa na kulitia hasara Bunge.Mheshimiwa Spika, ninaipongeza Ofisi ya WaziriMkuu (TAMISEMI), kwa kuongeza Hati Safi na142


kupunguza Hati zenye Mashaka na huo ni mwanzomwema.Mheshimiwa Spika, hata hivyo, bado elimuinahitajika kutoa mwamko mkali kwa baadhi yaHalmashauri zetu ambazo bado utendaji kazi wake siyowa kuridhisha. Tunazidi kuangalia tunakoelekea ilikuleta sura nzuri ya Halmashauri zote.Mheshimiwa Spika, hata hivyo, naunga mkonohoja. Ahsante.MHE. DEO H. FILIKUNJOMBE: Mheshimiwa Spika,naiomba ofisi ya Waziri Mkuu ayatazame kwa umakinizaidi masuala matatu yafuatayo:-Mheshimiwa Spika, kwanza, kuhusu ubora waelimu, ili kuimarisha elimu kwa vijana wetu, Idara yaUkaguzi iimarishwe, fedha zion<strong>go</strong>zwe ili Wakaguziwaliopo kwenye Idara hiyo waweze kuzipitia shule zetuza sekondari na za msingi ili waweze kukagua utendajiwao wa kazi. Idara ya Ukaguzi iimarishwe kwakuongezewa fedha za kutosha. Lakini pia utungaji wamitihani ubadilishwe kutoka huu wa ‘mutiple choice”unaofanywa sasa. Wanafunzi wetu hawafikirii kwaniwanafumba macho na kutia vyema.Mheshimiwa Spika, pili, maadhimisho ya sherehembalimbali. Napendekeza kwa sasa tusimamishekufanya sherehe kwa miaka mitano ijayo na fedhazake zipelekwe kwenye shughuli nyingine zakimaendeleo, tusimame kufanya sherehe. Tuachekufanya sherehe na maadhimisho kwa miaka mitano143


(5) ili tufanye shughuli nyingine kwanza. Fedha zamaadhimisho ya sherehe zinatuumiza vibaya, nchi hiina Watanzania hawahitaji kofia na T-shirt.Mheshimiwa Spika, tatu ni kuhusu mwenge. Miaka50 imepita toka nchi yetu ipate uhuru, wananchi wamwambao kule Ziwa Nyasa hawajawahi kuuonamwenge. Kama kweli mwenge ni kwa ajili ya watuwotem basi ninaomba mwenge kupita Ziwa Nyasakuanzia Lumbila, Kolondo, Makonde na Lupingu.Mwenge ni nuru ya matumaini. Wananchi wa ZiwaNyasa tumewatelekeza. Wananchi wa Kata hizonilizozitaja hapo juu nao wanahitaji nuru ya matumainiinayoletwa na mwenge.MHE. HUSSEIN N. AMAR: Mheshimiwa Spika,kwanza napenda kumpongeza Mheshimiwa WaziriMkuu kwa hotuba yake ya bajeti. Pia napendakuishukuru Serikali kwa kutangaza rasmi kuanzishwakwa Wilaya mpya ya Nyang’hwale na Makao yakeMakuu kuwa (Khalumwa) na baadhi ya vion<strong>go</strong>zi tayariwamesharipoti kama Mkuu wa Wilaya (DC), OCD,OSC, DSO, Katibu wa Chama na kadhalika. Swali ni liniHalmashauri ya Nyang’hwale itaanzishwa?Mheshimiwa Spika, napenda kutoa taarifa ya haliya chakula Jimboni Nyang’hwale, ni mbaya sana, sasahivi debe moja la mahindi linauzwa Sh.15,0000 – 16000.Kwa hiyo, tunaiomba Serikali ijipange haraka kutatuatatizo hilo au kupunguza makali hayo kuepusha vifokwa wananchi wangu wa Wilaya mpya yaNyang’hwale.144


Mheshimiwa Spika, pili, napenda kumkumbushaMheshimiwa Waziri ahadi za Mheshimiwa Rais katikamkutano wake wa kampeni Jimboni Nyang’hwalealiahidi mambo mengi kama:-(a) Barabara itokayo Busisi – Busolwa-Nyitundu-Kalumwa-Bukwimba- Nyang’holon<strong>go</strong>–Kahama,kujengwa kwa kiwan<strong>go</strong> cha lami lakini hadi leohatua zozote hatujaziona. Je, mpan<strong>go</strong> huuutaanza lini? Naomba ufafanuzi wako.(b) Mheshimiwa Rais aliahidi umeme kuwashwaJimboni Nyang’hwale haraka iwezekanavyo lakinihadi leo hatua za kuleta umeme zinasuasua sanahadi wananchi kuanza kukata tamaa na ahadi zaMheshimiwa Rais.(c) Mheshimiwa Rais aliahidi kupunguza tatizokubwa la maji kwa kufufua mtandao wa majiutakao Ziwa Victoria uliokuwepo tangu miaka ya1975 kuwa utafufuliwa ili wananchi wapate majilakini hadi leo hii hakuna hatua zozote za mradihuo kuanza. Wananchi hadi sasa wanahoji ahadiya Mheshimiwa Rais mbona kimya kabisa?(d) Mheshimiwa Rais aliahidi kukipandisha Kituocha Afya Khalumwa kuwa Hospitali ya Wilaya ilikupanua wi<strong>go</strong> wa matibabu na kupunguzamsongamano uliopo hivi sasa kwa sababu kituohicho kinapokea wa<strong>go</strong>njwa wengi sana hadiWilaya za jirani kama Kahama, Shinyanga Vijijini,Geita na Sengerema. Ahadi hiyo mpaka sasahakuna dalili zozote za kuanzishwa upanuzi huo.145


Wananchi wanahoji ni lini sasa ahadi zaMheshimiwa Rais zitaanza kutekelezwa?(e) Mheshimiwa Rais aliahidi kupunguza tatizo laupungufu wa Walimu kwenye shule zetu. Kwa hilitunashukuru sana kuwa sasa Walimu shule nyingiza msingi na sekondari wanaongezeka, kiasitunampongeza Rais kwa hilo. Pamoja na hilo,bado tuna upungufu mkuwa wa nyumba zaWalimu, madawati, vitabu, maabara na vyoo,tunaomba Serikali itusaidie kupunguza tatizo hiloupande wa elimu.Mheshimiwa Spika, tatu, tatizo la soko la pambakuyumba, wananchi wa Jimbo la Nyang’hwale tayariwameshakata tamaa na kilimo cha pamba kuwakinawapotezea muda na uduni wa maisha yao kwamategemeo yasiyo na matumaini. Tunaiomba Serikaliifufue viwanda vya kuchambua pamba kama chaKasamwa Ginerry, Buyagu Ginerry, Chato Ginerry nakadhalika na kufufua viwanda vya nguo kamaMwatex, Mutex na kadhalika ili kupandisha zao hilo lapamba kuwa na thamani ili wakulima wafaidike na zaohilo.Mheshimiwa Spika, nne, wafugaji wa Jimbo laNyang’hwale hawaoni sababu ya kuendelea kuwawafugaji na kuwa watumwa wa mifu<strong>go</strong> hao bilakufaidika nao. Sababu kuu za kukatisha tamaa niupungufu wa malambo ya maji ya kunywesheamifu<strong>go</strong>, upungufu wa majosho ya kuogeshea, soko lamazao ya mifu<strong>go</strong> kama n<strong>go</strong>zi, samaki, ng’ombe nakadhalika.146


Mheshimiwa Spika, tano, naomba kujua Serikaliimechukua hatua gani kwa dharura iliyotokea huko vijijivya Iyenze na Mwasabuka katika Kata ya Mwingirokwa milipuko ya mi<strong>go</strong>di ya Kahama Mine nakusababisha mpasuko mkubwa na nyumba nyingikupata nyufa na kutia wasiwasi kwa wakazi wamaeneo hayo. Je, Serikali ina mpan<strong>go</strong> upi wa kutoafidia kwa wahaga hao? Naomba Serikali itoe tamko.Mheshimiwa Spika, sita, naipongeza Serikali kwakuongeza posho kwa Madiwani. Naomba wapatemshahara, pia naomba Serikali iwafikirie Wenyeviti waMtaa na Viton<strong>go</strong>ji wapate mshahara.Mheshimiwa Spika, saba, nauliza kwa nini Serikalihairuhusu Waislam kujiunga na OIC na kuwa naMahakama ya Kadhi ili na Waislam wawe na chombochao cha kisheria cha dini yao?MHE. HAJI KHATIB KAI: Mheshimiwa Spika, awali yayote, nitoe shukrani zangu kwa Mwenyezi Mungu kwakuniwezesha kuchangia kwa maandishi kwenye hojailiyo mbele yetu.Mheshimiwa Spika, nichangie kwenye maafaukurasa wa 58 na 59 wa Kitabu cha Hotuba ya WaziriMkuu, inasema katika mwaka 2011/2012, Serikaliimeshughulikia matukio ya maafa ambayo yametokea,mafuriko, ma<strong>go</strong>njwa ya mlipuko, upepo mkali pamojana ukame. Huo ni katika ukurasa wa 58. Ukurasa wa59, Serikali hiyohiyo imetaja waathirika wa milipuko yamabomu yaliyotokea kwenye Kambi ya Jeshi ya147


Gon<strong>go</strong> la Mboto. Masikitiko yangu ni kwamba hatakule Zanzibar kulitokea maafa makubwa, maafaambayo yalishtua Tanzania nzima na dunia kwa jumla.Namwomba sana Mheshimiwa Waziri Mkuuatakapokuja kufanya majumuisho atuambie ni kwa ninimaafa haya ya Meli ya Spice Island ya Zanzibarhaikuonyeshwa katika bajeti hii au ndiyo Wazirianatuonyesha maafa haya hayakuwa katika nchi hii?Mheshimiwa Spika, muungano wowote dunianihutegemewa kuongeza nguvu kwa walioungana nasio kupopotoa nguvu zote za upande mmoja naupande huo ubaki bufuru tupu (kwa maneno yaProfesa Shivji). Kwa muundo wa muungano huu,Zanzibar imepoteza nguvu, uwezo na madaraka yakeyote kama nchi na yametumbukizwa katika himaya yaTanganyika lakini Tanganyika ilipoteza jina tu nguvu,uwezo na madaraka viliongezeka. Ukweli katika jambohili ni pale vion<strong>go</strong>zi wa nchi hizi mbili walipokutana kwasiri kule Zanzibar kukubaliana kuziunganisha nchi zaobila umma haujaelezwa kuhusu Muungano huu.Mheshimiwa Spika, baada ya hapo mkataba wamuungano huu ulipelekwa katika vyombo vya kutungasheria vya nchi hizi mbili ili kuridhiwa, uridhiwaji wamkataba huo uliridhiwa na upande mmoja wa Bungela Tanganyika, upande wa Bunge la Zanzibarhaukuridhia mkataba huo. Aliyekuwa MwanasheriaMkuu wa Zanzibar Dourado ndiye aliyeibua hoja yajambo hilo. Kwa maelezo ya Dourado hakuna sheriayoyote ya mamlaka za Zanzibar zilizowahi kutungwa nakuonyesha uridhiaji wa Mkataba wa Muungano.148


Mheshimiwa Spika, naye Profesa Shivji katikakupekuapekua kwake alibahatika kuliona Tangazo laSerikali ya Zanzibar la Mei 1 – 1964 lililochapishwa naGazeti la Tanganyika Namba 243 (GN 243 TanganyikaGazeti) ambalo lilitolewa na Mwanasheria Mkuu waSerikali ya Tanganyika. Tangazo hili lilisema kamaifuatavyo:-Ni kweli kwamba mkataba wowote wa kimataifauwe kwa maandishi au katika mdomo, ni lazima uweumeingiwa katika hali ya ukweli na uwazi na usio nashinikizo na kwa nia njema.Mheshimiwa Spika, Tangazo likaendelea kusema:-Uwepo wa lolote katika mambo yafuatayoutabatilisha mkataba; udanganyifu katika kufanyajambo, upotoshaji unaotokana na hila au upotoshajikatika kufanya jambo, ama udanganyifu unaotokanana kutokuweka jambo husika bayana.Mheshimiwa Spika, Zanzibar ina haki ya kupangamipan<strong>go</strong> yake ya kiuchumi, huduma za jamii,miundombinu, haya yote si mambo ya muunganolakini haiwezi kupanga hayo bila kujua idadi ya watuwake na makisio ya wageni wake, Zanzibar hainauwezo wa kudhibiti lolote. Uingiaji wa Zanzibarunaoeleweka ulikuwepo kabla ya muungano na hatabaada ya muungano ulifanyiwa nongwa ya kisiasahadi kuondolewa. Leo Zanzibar imekithiri kwa matukioya wizi wa kutumia silaha wakati Zanzibar raiahawaruhusiwi kutumia silaha. Naomba Waziri Mkuuatakapokuja kujumuisha, atuambe ni lini sasa Serikali149


itarudisha utaratibu wa kuingia Zanzibar uliokuwepohasa ukizingatia sasa hivi dunia imejaa vitendo vyaugaidi na ili Zanzibar iweze kudhibiti wageniwanaoingia?Mheshimiwa Spika, nakushukuru.MHE. NIMROD E. MKONO: Mheshimiwa Spika, awaliya yote, napenda kuchukua nafasi hii kutoa shukrani zadhati kwa niaba ya wananchi wa Musoma kutupatiaWilaya mpya ya Butiama. Pamoja na mvutanouliokuwapo ndani ya Wilaya kupata mahali pa kuwekaMakao Makuu ya Wilaya na hatimaye maamuziyaliyotolewa na Mheshimiwa Rais ya kumuenzi Babawa Taifa na kuamua kuwa Makao Makuu yawe palepale Butiama.Mheshimiwa Spika, kutokana na umuhimu wakuweka kumbukumbu za Taifa, naomba sasa eneo laMwiton<strong>go</strong> na mashamba ya Mwalimu yawe ringfenced na kuingizwa kwenye National Heritage Site iliuharibifu wowote wa mazingira hasa miti au msituuliopo hapo Mwiton<strong>go</strong> isikatwe bali eneo zimalihifadhiwe kama National Heritage, ButiamaMwiton<strong>go</strong> iwe kumbukumbu ya vizazi vijayo.Mheshimiwa Spika, pamoja na ombi la kuitengaButiama Mwiton<strong>go</strong> kuwa Hifadhi au National Heritage,naomba Serikali izidishe juhudi zake kuanza ujenzi waChuo Kikuu cha Kilimo cha Mwalimu Nyerere.Natambua juhudi Serikali inazozifanya kuhusu kuwaletawawekezaji kutoka Thailand kuwekeza kwenye kilimo,uvuvi na ufugaji pale Butiama. Tukifanya hivyo basi150


kweli tutakuwa tumemuenzi Mwalimu Nyerere, alikuwamkulima na mfugaji. Iwapo Butiama itaingizwa kwenyempan<strong>go</strong> wa uwekezaji wa CPF Thailand ambao sasawako nchini basi ninahakika kuwa hata Chuo Kikuucha Kilimo cha Mwalimu Nyerere kitajengwa kwaurahisi.Mheshimiwa Spika, mwisho kabisa naomba ilikuhifadhi mazingira ya Butiama, yale mabwawamakubwa ya maji ya Kyarano na Rwamkomayafufuliwe tayari kwa kuanza kilimo, ujenzi wa ChuoKikuu na ufugaji.Mheshimiwa Spika, pamoja na maombi yakuifufua Butiama na kumuenzi Mwalimu kwa juhudizake za kuendeleza kilimo, naomba Butiama imegewefedha kutoka fedha zilizotengwa na nchi nane tajiriduniani kwa ajili ya kilimo Tanzania kwa ajili ya kilimoButihama na maeneo jirani kama vile shamba laBugwema ambalo limekosa mwekezaji wa hakika.Mheshimiwa Spika, baada ya hayo niliyoyataja,naunga mkono hoja mia kwa mia.MHE. AMINA N. MAKILLAGI: Mheshimiwa Spika,awali ya yote, naungana na Wa<strong>bunge</strong> wenzangukukushukuru wewe na Mwenyezi Mungu kwa kuwezakunipa fursa hii ili niweze kutoa mchan<strong>go</strong> na mawazoyangu kama ifuatavyo:-Mheshimiwa Spika, naomba nianze kwakumpongeza Mheshimiwa Waziri Mkuu, Mawaziri nawale wote walioshiriki kwa hali na mali kuandaa151


Makadirio ya Mapato na Matumizi Ofisi ya Waziri Mkuukwa mwaka 2012/2013.Mheshimiwa Spika, pia niipongeze Serikali kwakusikiliza kilio cha Wa<strong>bunge</strong> wa Mara kwa niaba yawananchi na kutenga fedha kwa ajili ya uendelezajiwa Hospitali ya Rufaa Mikoa ya Lindi, Mtwara naSingida.Mheshimiwa Spika, kuhusu sekta ya afya, pamojana kuipongeza Serikali kwa kutenga fedha kwa ajili yaHospitali ya Rufaa ya Mara, Singida, Mtwara na Lindi,pia napenda kujua mchan<strong>go</strong> wa Serikali kukamilishamiradi hiyo ili kuondoa adha ya wananchi wa Mikoahiyo.Mheshimiwa Spika, kuhusu sekta ya maji, pamojana kuipongeza Serikali kwa kazi nzuri sana yakuhakikisha wananchi wanapata maji safi na salamakwa kiwan<strong>go</strong> cha asilimia 86 mijini na vijiji 65, naombanitoe ushauri kama ifuatavyo:-Mheshimiwa Spika, usambazaji wa maji vijijini kasiiongezeke. Kasi ya usambazaji maji vijijini bado si yakiwan<strong>go</strong> kikubwa cha kuridhisha. Naomba Serikaliiongeze bidii katika kuongeza kasi ya kutenga fedhakwa ajili ya kusambaza maji vijijini.Mheshimiwa Spika, mradi wa maji Shinyanga,Nzega, Igunga na Tabora, Serikali itenge fedha kwa ajiliya kufikisha maji maeneo ya Igunga, Nzega, Taborakutoka Mkoa wa Shinyanga (Ziwa Victoria). NaishauriSerikali ifanye kila linalowezekana kuongeza fedha152


katika Wizara ya Maji ili mradi huo uweze kutekelezwakabla ya mwaka 2015 Ilani, Ibara 86.Mheshimiwa Spika, Serikali ijitahidi kuongeza nakutenga fedha kwa ajili ya ukarabati wa miundombinuya maji ili kupunguza upotevu wa maji.Mheshimiwa Spika, kuhusu mradi wa maji Mgan<strong>go</strong>,Kiabakari na Butiama, naomba Serikali ifanye kilalinalowezekana kusambaza maji kutoka chanzo chamaji cha Mgan<strong>go</strong> katika vijiji vinavyozunguka chanzocha maji pia maji yafike katika Kata ya Kiabakari –Butiama bila kusuasua.Mheshimiwa Spika, tatizo la uchimbaji wa maji yavisima na kutoa maji, Serikali ichukue hatua. Maji vijijini,hapa Serikali haikueleza ni kiasi gani kimefikia katikausambazaji wa maji vijijini. Hali siyo nzuri, jitihadaziendelee. Mradi wa maji katika vijiji 10 badounasuasua. Napenda kujua pia Serikali inatoa kauligani juu ya mishahara ya wafanyakazi katika chanzocha maji Mugambi, Butiama?Mheshimiwa Spika, ushauri kwa Serikali kuhusumradi wa maji wa vijiji 10. Serikali ijitahidi kutenga fedhaza ndani kwa ajili ya kuendeleza mradi wa maji vijiji 10badala ya kutegemea wafadhili wa nje. Aidha, bajetiya maji vijijini naomba iongezwe ili kuongezaupatikanaji wa maji na kuwapunguzia adhawanayopata wanawake kwa kutembea masafamarefu kilomita 1 – 2 wakitafuta maji (Maji ni Uhai).153


Mheshimiwa Spika, mradi wa maji Dar es Salaam.Pongezi kwa Serikali kwa kutenga fedha kwa ajili yamradi wa maji. Naomba Serikali ijitahidi kupeleka fedhahizo kwa wakati ili kazi ya kukarabati miundombinu yaRuvu Chini na Ruvu Juu, ujenzi wa visima vya Mpera,Bwawa la Kidunda uweze kuendelea ili ifikapo 2015 Dares Salaam tatizo za la maji libaki kuwa historia.Mheshimiwa Spika, ombi kwa Serikali. Kwa kuwamatanki ya kusambaza maji Dar es Salaam yatawekwakwenye mlima wa Ruvu ambao ni kilomita moja kufikaKisarawe, vilevile vyanzo vya maji vya Mpiji na Mperaviko karibu na Wilaya ya Kisarawe na chanzo cha majicha Mpera kilichopo Wilaya ya Mkuranga, mradi huuwa maji Dar es Salaam kuhudumia wananchi wa Dares Salaam, Bagamoyo na Kibaha tu, sasa tuongezewi<strong>go</strong> ili mradi huu pia uhudumie wananchi waMkuranga na Kisarawe.Mheshimiwa Spika, sekta ya afya, Zahanati naVituo vya Afya. Pamoja na kuipongeza Serikali kwajitihada zake za kushirikiana na wananchi kwa kujengaZahanati na Kituo cha Afya kila Kijiji na kila Kata,naiomba Serikali ijitahidi kuweka msimamo mpya wakuhamasisha wananchi kuona umuhimu wa kujengaZahanati na Kituo cha Afya kila Kata kwa sababuitasaidia kupunguza vifo vya wanawakewanaojifungua na watoto wanaokufa kabla ya miakamitano, pia itawapunguzia mzi<strong>go</strong> wanawakewajawazito wanaopata adha ya kutembea masafamarefu ya kilomita 5 – 8 kutafuta huduma ya afya.Aidha, Serikali ihakikishe inatenga fedha za kutoshakwa ajili ya kununua madawa na kadhalika.154


Mheshimiwa Spika, naipongeza Serikali kwakupanga na kutenga fedha za ujenzi wa Hospitali zaRufaa kwa Mikoa ya Mara, Mtwara, Lindi na Singida.Naomba Serikali itenge fedha za kutosha ili mradi huuuendelee kwa manufaa ya wananchi wa Tanzania.Mheshimiwa Spika, sekta ya mifu<strong>go</strong>, naipongezaSerikali kwa kukarabati na kujenga majosho namalambo. Pamoja na kutenga maeneo ya wakulimana wafugaji, Serikali ijitahidi na ihakikishe inatengafedha kwa ajili ya majosho na marambo, inatengaardhi kwa ajili ya wakulima na wafugaji ili kuondoami<strong>go</strong><strong>go</strong>ro ya wakulima na wafugaji na kwenyeHalmashauri za Wilaya, Serikali izielekeze Halmashaurikutunga Sheria Ndo<strong>go</strong> itakayofuatwa kati ya wakulimana wafugaji.Mheshimiwa Spika, sekta ya miundombinu yabarabara. Barabara za Bunda, Kisonya hazikutengewafedha, napenda kupata maelezo fedha za barabarahizi zitatoka wapi? Serikali pia ione uwezekano wakujenga barabara ya Kiwan<strong>go</strong> cha lami Musoma –Majita kwa sababu ni ahadi ya Mheshimiwa Mkapa yamwaka 2000, 2009 na 2010.MHE. FELIX F. MKOSAMALI: Mheshimiwa Spika,napenda kuchangia hotuba ya Waziri Mkuu kamaifuatavyo na napenda kupewa majibu kwa maswalinitakayouliza.Mheshimiwa Spika, Halmashauri nchini, napendakuishauri Serikali ianze kutupatia taarifa Waheshimiwa155


Wa<strong>bunge</strong> juu ya fedha ambazo zinapelekwa kwenyeHalmashauri kila mwezi au robo tatu ya mwaka iliWa<strong>bunge</strong> wawe na taarifa ya fedha zilizoingia kwenyekila mradi na kufuatilia utekelezaji.Mheshimiwa Spika, Halmashauri zimekuwazinaitisha vikao vya Madiwani ambapo Wa<strong>bunge</strong> niwajumbe na ratiba zao zina<strong>go</strong>ngana na ratiba yaBunge. Napenda kupata majibu ni lini (TAMISEMI)itatoa mwon<strong>go</strong>zo ili Halmashauri na Manispaa zisiitishevikao wakati wa Kamati za Bunge au vikao vya Bunge?Mheshimiwa Spika, Ofisi ya Msajili wa Vyama vyaSiasa. Napenda kupata majibu kutoka Serikalini ni liniitatenga fedha za ujenzi wa ofisi ya Msajili wa Vyama ilituache kutumia fedha nyingi za walipa kodi kulipiapan<strong>go</strong>/kodi ya ofisi?Mheshimiwa Spika, kuhusu Halmashauri ya Wilayaya Kibondo, napenda kupata majibu ya mamboyafautayo: Moja, ni kuhusu afya. Napenda kupatamajibu, ni lini vijiji visivyo na zahanati vitapata zahanatimfano Kigina Magarama, Nyarulanga na kadhalika.Pia nataka majibu fedha za CHF zilizotumiwa na DMOwa Wilaya ya Kibondo zaidi ya shilingi milioni 76,akatumia fedha za afya pia shilingi milioni 42 na piaametumia tena shilingi milioni 22. Nataka kupatamajibu ni hatua zipi zimechukuliwa kwa ufisadi wanamna hii?Mheshimiwa Spika, pili, kilimo. Nataka kupatamajibu ni lini mawakala waliosambaza mbolea156


watalipwa? Pia nataka kuishauri Serikali ilete mboleakwa wakati. Pia wananchi wanahitaji mbegu za alizeti.Mheshimiwa Spika, tatu, uvuvi. Katika pori laMoyowosi lililoko Wilayani Kibondo; kuna mabwawayaliyoko kwenye game reserve, wananchi wamekuwawakipewa vibali lakini nataka kupata majibu kwa niniwananchi kwa sasa hawapewi vibali vya kuingiakwenye hifadhi kama ilivyokuwa awali na watapewavibali tena lini?Mheshimiwa Spika, kuhusu soko la mpakani.Wilaya ya Kibondo inapakana na nchi ya Burundi.Serikali iliahidi kujenga soko la mpakani (Mabamba)katika kijiji cha Mkalazi na Benki ya TIB ilikubali kutoafedha. Je, soko hilo kwa nini halijengwi mpaka sasa?Je, tatizo ni nini?Mheshimiwa Spika, sekta ya ujenzi. Napendakupata majibu ya Serikali ni lini barabara ya Nyakanazi- Kidahwe itajengwa kwa lami? Tumekuwa tunapewaahadi ya ujenzi kila mwaka, je, ni lini barabara hiiitajengwa. Pia napenda kujua lini ahadi ya Rais yaujenzi wa kilometa 1½ ya lami Kibondo Mjini, je, ujenzihuu utaanza lini, soma Kitabu cha Ahadi ya Rais.Mheshimiwa Spika, matumizi makubwa ya Serikali,napenda kuiuliza Serikali, ni lini itapunguza posho zavikao ambazo zinaongeza gharama kwa Serikali? Pilinapenda kupata majibu, magari ya kifahariyanayotumia gharama kubwa kufanyiwamatengenezo, je mnada wa magari haya utafanyikalini?157


Mheshimiwa Spika, sensa ya watu na makazi 2012,napenda kuishauri Serikali, kwa Mikoa ya mipakani,sensa ifanyike baada ya Operesheni Maalum yakuwaondoa wahamiaji haramu. Jambo hili lilifanyikakabla ya sensa mwaka 2002, hii itasaidia kuhesabuWatanzania tu.Mheshimiwa Spika, kuhusu sekta ya madini,napenda kuishauri Serikali kupitia upya utaratibu wakodi katika madini kwani bado Taifa halijanufaika narasilimali hii, zingatia taarifa ya Kamati ya Bomani. PiaWatanzania wapewe kazi za kuhudumia mi<strong>go</strong>dini ilikutoa ajira mfano kuhudumia vyakula na kadhalika.Mheshimiwa Spika, kuhusu viwanda, napendakuishauri Serikali uwekezaji katika viwanda vya alizeti,ufuta, michikichi na Korosho na kadhalika kwani hadisasa tunaingiza (import) zaidi ya 60% ya mafuta ya kulatoka nje. Maeneo kama ya Kibondo yanawezakuzalisha mazao hayo, naomba Serikali izingatie haya.Mheshimiwa Spika, mitandao ya simu, tumekuwatunapoteza mapato mengi kwenye mitandao ya simu.Tumekuwa tukitoza corporate tax peke yake, hiiinapoteza mapato makubwa. Mfano mtando waVodacom peke yake umefanya transaction za M-pesakwa shilingi 6.6 trilioni, fedha zote hizi hazijatozwa kodi,acha Zain, Ti<strong>go</strong>, Zantel na kadhalika.MHE. YUSUPH A. NASSIR: Mheshimiwa Spika,napenda kuunga mkono na kuipongeza hoja ya Waziri158


Mkuu, kwa kujali maslahi ya wananchi wa Jamhuri yaMuungano wa Tanzania.Mheshimiwa Spika, bajeti ya Waziri Mkuu imewapamoyo na kwa kuitambua Korogwe kuwa ndiyo Mkoatarajiwa hasa pale mipan<strong>go</strong> ya Halmashauri yaKorogwe ilipotamkwa rasmi kuingia kwenye programuya maboresho ya miji saba nchini. Hakika hii ni hatuakubwa sana ya matumaini. Nimetumwa na wananchiwa Korogwe nimshukuru kwa dhati Mheshimiwa WaziriMkuu pamoja na timu yake ya TAMISEMI. Zaidi ya hayoni mafao ya wahanga wa Mkonge ambao sasawameanza kulipwa.Mheshimiwa Spika, Wilaya ya Korogwe inakabiliwana changamoto ya ma<strong>go</strong>njwa ya mlipuko hususankipindupindu na homa ya matumbo. Hali hiiinachangiwa sana kutokana na Mji huu kuwa chini yamlima na ardhi yake eneo la makazi ni (teke) majimajikwani kina cha maji (water table) kiko juu sana.Mheshimiwa Spika, Halmashauri ya Mji Korogweimeomba magari ya taka ngumu na maji taka ilikukabiliana na hali hii. Kwa kuwa wakati wa bajetitulipewa mwon<strong>go</strong>zo wa kutovuka kikomo (ceiling) nahivyo kufanya mahitaji haya kufuata mfumo wamaombi maalum mara zote.Mheshimiwa Spika, Serikali ya Mji Korogwe bado nichanga, haina uwezo na Mji huu unakuwa kwa kasi nahivyo kupelekea kushindwa kukabiliana na uzalishajimkubwa wa taka. Mrundikano wa takataka maeneoya sokoni, stendi ya basi na mtaani, ndiko159


kulikopelekea sasa nimwombe Mheshimiwa WaziriMkuu aingilie kati maombi yetu wakati tukisubiriutekelezaji wa Mpan<strong>go</strong> wa Benki ya Dunia waUendelezaji wa Miji Mipya.Mheshimiwa Spika, juhudi binafsi za watu waliotoavitendea kazi, magari, zimekuwa ni za muda mfupi tuhivyo bado tatizo liko pale pale. Aidha, Halmashauriya Mji wa Korogwe haina mfumo maalum wa maji takana vyoo kwenye makazi ambavyo viko kwenyeviwanja vido<strong>go</strong> ni vya aina ya mashimo. Hali hii ni yahatari kwa usalama wa afya ya wakazi na wananchikwa ujumla. Kwa nyakati mbalimbali nimejaribukufanya mawasiliano na Ofisi ya TAMISEMI kuhusianana maombi haya bila mafanikio.Mheshimiwa Spika, naleta ombi kwa niaba yawananchi wa Korogwe ili tusaidiwe kupatiwa gari lataka na majitaka ili kunusuru hali iliyopo. Basi hata kwakuanzia na taka ngumu, naomba japo matrekta mawilina matrela yake kama juhudi za awali za kupunguzakadhia iliyopo.MHE. BENEDICT N. OLE-NANGORO: MheshimiwaSpika, nampongeza Mheshimiwa Waziri Mkuu kwakuandaa na kuwasilisha hotuba na mpan<strong>go</strong> mzuri kwamwaka 2012/2013.Mheshimiwa Spika, kwa muda mrefu sanamgawanyo wa fedha za maendeleo na OC umekuwana tofauti kubwa sana kati ya Mkoa na Mkoa, Wizarana Wizara, Taasisi na Taasisi. Mikoa mingine imekuwainapata asilimia 8.9 ya OC bajeti nyingine ikipata160


asilimia 0.98 na kwa Development Fund baadhi yaMikoa inapata asilimia 6.39 (Mwanza) na Mikoamingine inapata asilimia 1.44 (Katavi). Kwa upandewa Wizara tofauti ni kubwa sana. Wakati mgao wabaadhi ya Wizara umefikia asilimia 18 (Ujenzi) – OC naDevelopment Funds kufikia asilimia 6.73 (Ujenzi), OCmgao wa Wizara nyingine ni mdo<strong>go</strong> sana kama Mifu<strong>go</strong>na Uvuvi mgao wake ni asilimia 0.83 (OC) na asilimia2.67 (development). Kuna haja ya kutazama upyamgao huu ili kuwepo na uwiano na kupunguza tofautihii kubwa kati ya Mkoa na Mkoa, Wizara na Wizara.Mheshimiwa Spika, fedha zaidi itafutwe na iwekwekatika Wizara ya Mifu<strong>go</strong> na Uvuvi ili kutenga, kupimana kuweka miundombinu wezeshi kwa ajili ya maeneoya ufugaji ili kupunguza na hatimaye kuondoa aukumaliza mi<strong>go</strong><strong>go</strong>ro kati ya wafugaji na wakulima,mi<strong>go</strong><strong>go</strong>ro inayoshamiri hivi sasa katika nchi nzima.Mheshimiwa Spika, jitihada zifanyike ili kuundaBudget Designated Fund ama Budget EndowmentFund kwa ajili ya ku-fund budget iliyoidhinishwa naBunge. Hii itahakikisha kuwa fedha zitahamishwazitumike kwa wakati. Mfuko huu utatunishwa na fedhaza reserves, mikopo ya ndani na nje ya nchi namisaada ya nchi rafiki; mirabaha toka kwenye madini,uchimbaji gesi na mafuta, vitalu vya uwindaji nakadhalika. Pesa ya kodi na tozo ikusanywayo iendekwenye mfuko huu kwa replenishment na kuandaliwakugharamia budget ya mwaka unaofuata. Target yamfuko huu iwe ni shilingi trilioni 20.161


MHE. INNOCENT E. KALOGERIS: Mheshimiwa Spika,pamoja na kuchangia kwa mdomo, napendakuendelea kuchangia kwa maandishi ili kuona Serikaliinatekeleza yale iliyowaahidi wananchi.Mheshimiwa Spika, kwanza, napenda kutoaufanunuzi wa kina kuhusu ujenzi wa Makao Makuu yaWilaya ya Moro<strong>go</strong>ro Vijijini (Mvuha). Hadi leotumepokea Sh.500,000,000 ambazo zimetumika kwauandaaji wa michoro, upimaji wa maeneo nauidhinishaji wa michoro. Maandalizi ya kufunguamaeneo (miundombinu) na uchunguzi wa udon<strong>go</strong> (soiltest) yamekamilika.Mheshimiwa Spika, tunaomba tupatiwe fedhashilingi 1,000,000,000/= kama tulivyoomba katikaMaombi Maalum ili tuweze kuwakaribia kwa karibuwananchi ambao tunawaon<strong>go</strong>za. NaaminiMheshimiwa Waziri Mkuu atatuangalia kwa jicho lahuruma wananchi wa Moro<strong>go</strong>ro Vijijini.Mheshimiwa Spika, pili, ujenzi wa Bwawa laKidunga, ufafanuzi wake ni kuwa mambo muhimuambayo yalikubaliwa kati ya wananchi, DAWASA naSerikali ni kwanza, DAWASA, Serikali kulipa fidia stahilichini ya Sheria ya Ardhi Na. 4 ya 1999 kwa mali namaendeleo yote ya waathirika wa ujenzi wa bwawa.Pili, DAWASA kwa kushirikiana na Halmashauri yaWilaya ya Moro<strong>go</strong>ro iandae eneo la kuhamiawananchi na DAWASA itagharamia upimaji wa makazimapya na uwekaji miundombinu. Tatu, DAWASA naHalmashauri ya Wilaya itajenga majen<strong>go</strong> ya umma162


yanayotoa huduma, majen<strong>go</strong> hayo ni zahanati, shule,ofisi za Serikali na majen<strong>go</strong> ya ibada.Mheshimiwa Spika, hatua iliyofikiwa, tathmini yamali na maendeleo ya wananchi imekamilika.DAWASA wameshakabidhiwa rasimu ya uthamini.Aidha, tunasubiri approve ya Mthamini Mkuu waSerikali.Mheshimiwa Spika, nini kinaendelea? Eneo lakuhamishia wananchi limeshatengwa katika kijiji chaBwakila Chini ambako kutakuwa kijiji cha kisasa.Makadirio yameshatumwa DAWASA na hatujapatapesa, Halmashari tunasubiri utekelezaji.Mheshimiwa Spika, tatu ni kuhusu Hati Chafuambayo imepata Halmashauri ya Wilaya ya Moro<strong>go</strong>ro,kutokana na hotuba ya Mheshimiwa Hawa Ghasia,Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI, ukurasawa 14, sababu ambazo zinasababisha Halmashaurikupata Hati Chafu ni kuwepo watumishi wanaokiukamaadili na kujihusisha na ubadhirifu wakishirikiana nawatumishi wa benki na kutotolewa kwa mafunzo yakutosha kwa watumishi wa umma katika sekta yafedha. Nachotaka kusema ni kuwa kwanzanampongeza Mheshimiwa Waziri wa TAMISEMI kwa kazikuu ambayo ameianza katika kusafisha Wizara hiimama ambayo ndiyo uti wa m<strong>go</strong>n<strong>go</strong> wa nchi. Si hakikwa Serikali kunyima haki wananchi ambaoHalmashauri yao imepata Hati Chafu kwa matendo yawatu ambao wamefanya ubadhirifu. Ombi langu kwaMheshimiwa Waziri Mkuu na Waziri wa TAMISEMI, Serikaliiendelee kutoa pesa ya ruzuku ya maendeleo kwa163


Wilaya zote hata kama zimepata Hati Chafu kwanikutotoa ruzuku hiyo ni kutesa wananchi ambaohawana hatia. Ni vizuri kila wakati Hazinawanapopeleka pesa ya aina yoyote kwenyeHalmashauri Wa<strong>bunge</strong> tukapewa kopi ya baruainayoonyesha pesa hiyo na kitu ambacho kitafanyika.Aidha, sheria za utumishi wa umma ziangaliwe upya iliziendane na wakati huu.Mheshimiwa Spika, nne ni kuhusu mi<strong>go</strong><strong>go</strong>ro yawakulima na wafugaji. Mi<strong>go</strong><strong>go</strong>ro hii inahitaji ufumbuziwa haraka kabla maafa hayajatokea. Nimeendeleakusema toka Bunge lililopita, Mkoa wa Moro<strong>go</strong>ro niMkoa wa Kilimo na katika kuthibitisha hili MheshimiwaRais ameuandaa kuwa ghala la kitaifa la chakula.Mkoa una uhakika wa kulisha Taifa na cha ziada kuuzakutokana na mabonde mengi mazuri na makubwatulionayo. Kuendelea kuachia mifu<strong>go</strong> iendeleekuzagaa bila utaratibu Mkoani Moro<strong>go</strong>ro na hususaniJimbo la Moro<strong>go</strong>ro Kusini, Wilaya ya Moro<strong>go</strong>ro nikuufanya Mkoa wa Moro<strong>go</strong>ro kupoteza uhalisia wa asiliwa Mkoa wa Moro<strong>go</strong>ro na hatimaye kuufanya jangwana vilevile kuchochea mapigano na hatimaye vifo katiya wakulima na wafugaji wakati wafugaji wakilishamifu<strong>go</strong> katika mashamba ya wakulima.Mheshimiwa Spika, naomba wakati MheshimiwaWaziri Mkuu anapokuwa anahitimisha bajeti yakeatueleze ni jinsi gani Serikali imejipanga katika kutatuatatizo hili. Pendekezo langu ikibidi ipangwe Mikoa yakilimo na Mikoa ya ufugaji. Ni kweli vyote ni muhimukwa wananchi lakini ni vizuri tukumbuke tukipeleka nchikatika jangwa, nchi itaingia katika njaa.164


Mheshimiwa Spika, natanguliza shukrani.MHE. IGNAS A. MALOCHA: Mheshimiwa Spika,nachukua nafasi hii ili nami niweze kuchangiamchan<strong>go</strong> wangu katika hotuba hii.Mheshimiwa Spika, nachangia katika Kilimo kwasababu karibu asilimia 80 ya Watanzania ni wakulimana hata wananchi wa Mkoa wa Rukwa na wa Jimbolangu la Kwela zaidi ya asilimia 95 ni wakulima. Kilimo niuti wa m<strong>go</strong>n<strong>go</strong> katika Taifa letu na ndiyo maanakumekuwepo na kauli mbiu za kila wakati zikiashiriaukweli huo kwa mfano Kilimo cha Kufa na Kupona,Kilimo ndiyo Ngao yetu, Azimio la Siasa ni Kilimo – kauliiliyotolewa na hayati Baba wa Taifa katika Azimio laIringa mwaka 1972 na kwa sasa Kilimo Kwanza.Maazimio yote haya yanaendelea kutoa msimamokuwa kilimo ndiyo kinaweza kusaidia Watanzania kwasehemu kubwa. Kwa maana hiyo, naomba bajeti yakilimo iongezwe.Mheshimiwa Spika, kilimo cha umwagiliaji ndiyokinaweza kuleta ukombozi mkubwa. Kilimo hikihakijatiliwa maanani kwa mfano tunazo hekta 29milioni zinazoweza kutumika katika kilimo chaumwagiliaji lakini katika hekta hizo ni hekta 354690sawa na asilimia 1.19, hicho ni kiwan<strong>go</strong> kido<strong>go</strong> mno.Hivyo nashauri bajeti ya kilimo cha umwagiliajiion<strong>go</strong>zwe.Mheshimiwa Spika, katika bajeti ya mwaka2011/2012, aliyekuwa Naibu Waziri wa Kilimo aliahidi165


kuingiza mradi wa kilimo cha umwagiliaji katika sehemuya Maleza yenye hekta 7500 katika bajeti ya mwaka2012/2013. Naomba sasa kupata majibu kama sehemuhiyo imetengewa fedha, naomba jibu.Mheshimiwa Spika, kuhusu ununuzi wa mazao,naomba Serikali ijitahidi kununua mazao ya wakulima iliwananchi wasikate tamaa na jitihada za kuendeleakulima.Mheshimiwa Spika, kuhusu mikopo, Serikaliinatakiwa kuharakisha zoezi la kurasimisha rasilimaliwalizonazo wakulima ili zitumike kama dhamana katikamikopo yao kwa taasisi za fedha kama vile mashambayao na nyumba zao. Jambo hili halina msukumo wakutosha, naomba ufafanuzi juu ya juhudi gani zaSerikali zinafanyika ili kuharakisha zoezi hilo.Mheshimiwa Spika, kuhusu matrekta, wakulimawakopeshwe matrekta makubwa kwa mado<strong>go</strong> nahasa kwa Mikoa inayozalisha chakula kwa wingi(Rukwa). Matrekta yasogezwe karibu na wakulima,yapelekwe katika Halmashauri zetu.Mheshimiwa Spika, kuhusu ruzuku iwafikiemapema wakulima na itolewe kwa mazao yote kamamahindi, alizeti, mtama, ufuta, mpunga na kadhalika.Mheshimiwa Spika, mawakala wa pembejeowalipwe fedha zao. Ni kitendo cha aibu Serikalikutowalipa mawakala wa pembejeo mapema kwaniwao walishatoa huduma, tatizo ni nini? NaombaSerikali itakapolipa madeni hayo, walipe na riba166


wanayodaiwa na taasisi za fedha maana Serikali ndiyoimewasababishia riba hiyo kwa kuchelewa kuwalipafedha zao.Mheshimiwa Spika, bei za mazao zielewekemapema kabla ya msimu wa kilimo kuanza ili mkulimaaweze kuamua zao gani alime kwa kuwa na uhakikana faida baada ya kutoa gharama za uzalishaji.Mheshimiwa Spika, janga la njaa, kutakuwa naupungufu wa chakula katika Tarafa ya Kipeta, hii nikutokana na kukatika kwa mvua mapema nakusababisha mazao kukauka.Mheshimiwa Spika, kuhusu uwekezaji katika kilimo,kabla Serikali haijawekeza ingalie kwanza utoshelezi waeneo la kulima wananchi katika eneo husika.Kumekuwa na mi<strong>go</strong><strong>go</strong>ro mingi inayojitokeza kutokanana wakulima wazalendo kukosa eneo la kulima.Mheshimiwa Spika, kuhusu uboreshaji wa mfumowa Serikali za Mitaa. Muda unaotumika kutoa mafunzoni mfupi sana hivyo muda uongezwe. Mafunzoyatolewe hadi ngazi ya chini kwa Wenyeviti wa Vijijini,Wenyeviti wa Viton<strong>go</strong>ji na Watendaji wa Vijiji.Mheshimiwa Spika, naipongeza Serikali kwakuliona tatizo la Mabaraza ya Kata na kutoamapendekezo mazuri.Mheshimiwa Spika, kuhusu ajira za nafasi zawatendaji wa Kata na Vijiji, zipo Kata na Vijiji ambavyohavina Maafisa hao katika ngazi hizo. Nafasi hizo167


zitajazwa lini maana hata nafasi za kazi zilizoelezwa naSerikali sijaona ajira ya Maafisa hao.Mheshimiwa Spika, baada ya ufafanuzi nitaungamkono hoja.MHE. SUBIRA K. MGALU: Mheshimiwa Spika, awaliya yote, naomba nichukue fursa hii kumshukuruMwenyezi Mungu kwa kuendelea kunijalia afya njemainayoniwezesha kushiriki michan<strong>go</strong> mbalimbali katikaBunge Tukufu.Mheshimiwa Spika, nianze kwa kumshukuruMheshimiwa Rais kwa imani yake kubwa kwangualiyoionyesha kupitia uteuzi wake kwangu wa Ukuu waWilaya ya Muheza. Naaahidi kuchapa kazi kwa uadilifumkubwa.Mheshimiwa Spika, kwa fursa hii, naombanipongeze hotuba ya Mheshimiwa Waziri Mkuu nanaunga mkono hoja hii. Nampongeza sanaMheshimiwa Waziri Mkuu kwa utendaji wake wa kazi.Nawapongeza pia Waheshimiwa Mawaziri na ManaibuWaziri katika Ofisi ya Waziri Mkuu na watendaji wotekwa uandaaji wa hotuba hii ambayo imejumuishamapitio ya utekelezaji wa shughuli za Wizara.Mheshimiwa Spika, naomba nielekeze mchan<strong>go</strong>wangu kwenye maeneo yafuatayo:-Mheshimiwa Spika, kwanza ni uwezeshajiwananchi kiuchumi. Napongeza jitihada zotezilizochukuliwa katika suala zima la uwezeshaji168


wananchi kama inavyoonekana katika ukurasa wa 20wa Kitabu cha Hotoba ya Waziri Mkuu. Hata hivyo,naomba Wizara kwa kushirikiana na Wizara yaMaendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto katikakuhakikisha kuwa sheria ya kutenga asilimia kumi yamapato ya ndani ya Halmashauri zetu kwa ajili yakuchangia Mifuko ya Wanawake (asilimia tano) naVijana (asilimia tano) ili kukopesha makundi hayo iliwaweze kufanya shughuli za uchumi na kujileteamaendeleo. Hali ilivyo kwenye Halmashauri mbalimbalihapa nchini, ni ukiukwaji wa sheria. Kiasikinachotengwa hakikidhi hitaji la asilimia kumi yamapato yote ya ndani.Mheshimiwa Spika, pili, sekta za uzalishaji, kilimo.Napongeza jitihada zote za Serikali kuhakikisha sekta zauzalishaji zinatimiza wajibu wake wa kumteteamwananchi maendeleo kama ilivyoelezwa kwenyeukurasa wa 22 wa kitabu cha hotuba ya MheshimiwaWaziri Mkuu. Hata hivyo, naiomba Serikali ivitazameVyuo vya Kilimo hasa vinavyohusiana na masuala yautafiti. Nimpongeze Mheshimiwa Rais kwa kuelekezakuwa asilimia moja ya Pato la Taifa litengwe kwa ajili yashughuli za utafiti. Pamoja na maelekezo hayo,utekelezaji wa maelekezo hayo ni wa kusuasua.Baadhi ya Vyuo vya Utafiti wa Kilimo vina hali mbayasana. Mfano Chuo cha Utafiti wa Kilimo Mlinganokilichopo Wilaya ya Muheza Mkoa wa Tanga. Kati yamaombi ya chuo hicho ya shilingi milioni mia tatu(300,000,000) kwa ajili ya shughuli za utalii ni kiasi chamilioni thelathini (30,000,000) zilizopelekwa kwenyechuo hicho mpaka tarehe 16 Juni 2012. Hali ya vyuohivyo ni mbaya sana. Pia naiomba Serikali iwatazame169


sana wataalam watafiti wa vyuo hivyo, wengi wawatafiti hao ni watu wazima, kutokana na maslahi dunihakuna vijana wanaojiunga na vyuo hivyo vya utafiti.Kwa kuboresha maslahi ya watafiti hasa wa eneo lakilimo itavutia vijana kujiunga na Vyuo vya Kilimo hasavinavyoshughulikia utafiti.Mheshimiwa Spika, naipongeza Serikali kwauagizaji wa pembejeo na zana za kilimo kupitia SUMAJKT, matrekta makubwa 1,860 na zana zake, matrektamado<strong>go</strong> ya mkono 400 na pampu za umwagiliaji 1,100.Ni wazi uingizaji wa zana hizi za kilimo zitapelekeauhitaji mkubwa wa mafundi wa kutengeneza zanahizo. Naishauri Serikali kusaidia Chuo cha KilimoMlingano, Muheza Tanga, ni chuo pekee kinachotoakozi inayohusiana na matengenezo ya zana za kilimo.Wahitimu wa kozi hii watasaidia sana kutengenezazana hizo za kilimo ili ziweze kutumika kwa muda mrefu.Utoaji wa kozi hii unaathiriwa sana na ukosefu wavitendea kazi vya kujifundishia. Hakuna kabisa zanayoyote ya kilimo isipokuwa powertiller moja tu, hivyowanafunzi wanafundishwa kinadharia tu.Mheshimiwa Spika, tatu, mafunzo ya ufundi stadi.Naishukuru sana Serikali kwa kukamilisha ujenzi waChuo cha Ufundi Stadi – VETA Kon<strong>go</strong>we kilichojengwaKibaha. Nakupongeza sana Mheshimiwa Waziri Mkuukwa kuja kutufungulia Chuo hicho na hotuba aliyotoaambayo ilituelekeza vion<strong>go</strong>zi wakiwemo vion<strong>go</strong>zi waWizara kuhakikisha kuwa vijana wengi ndani ya Mkoawa Pwani wanapata fursa ya kukitumia Chuo cha VETAKon<strong>go</strong>we Pwani.170


Mheshimiwa Spika, naomba niishie hapa nanaunga mkono hoja.MHE. NYAMBARI C.M. NYANGWINE: MheshimiwaSpika, naanza kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu,Muumba wa Mbingu na Nchi kwa kunipatia nafasi hii ilinami niweze kutoa mawazo yangu kwa njia yamaandishi katika hotuba hii ya Waziri Mkuu,Mheshimiwa Mizen<strong>go</strong> Peter Pinda (Mb). Pianampongeza Mheshimiwa Waziri Mkuu kwa kuwasilishahotuba yake vizuri.Mheshimiwa Spika, shukrani na pongezi za dhatipia nazitoa kwa Waziri Mkuu kwa kuwakumbukaMadiwani kwa kuwaongezea posho kwa 100%. Hakikahali hii itaongeza ufanisi makini kwa Madiwani katikaHalmashauri zetu.Mheshimiwa Spika, hali kadhalika, nampongezaMheshimiwa Waziri Mkuu kwa kusikia kilio chaWatanzania wanyonge wanaotaabika katika lindi laumaskini kwa kupunguza na kubana matumizi yaSerikali. Ni ukweli usiopingika kuwa kuna matumizimabaya sana ya fedha za umma katika uhujumu wafedha za umma. Kwanza kabisa, kuna rushwa kilakona ya nchi! Kuna rushwa katika Halmashauri zetu.Kuna rushwa katika Mashirika ya Umma! Kuna rushwakatika taasisi zetu! Kila kona kuna harufu ya rushwa.Hata TAKUKURU kwenyewe kuna rushwa. Hali hiiinasababisha kukosekana kwa haki na usawa kwawatu maskini.171


Mheshimiwa Spika, ni dhahiri kwamba uendeshajiwa mashangingi katika Wizara, Taasisi, Mashirika,Halmashauri na kadhalika huigharimu sana Serikali.Kwa mfano shangingi moja linanunuliwa kwa Sh.300,000,000, gharama ya kuliendesha kila mwezi si chiniya Sh. 1,000,000/= na kulipeleka gereji ndiyo usiseme.Kwa hakika hali hii ilikuwa inaligharimu sana Taifa.Hivyo, kitendo cha Waziri Mkuu kutangaza/kuutangaziaumma kuwa Serikali itaangalia magari mbadala, nidhahiri kuwa Serikali imedhamiria kupunguza nakubana matumizi ya Serikali. Nashauri magari hayayauzwe kwa Watanzania watakaohitaji ili fedhazitakazopatikana zipelekwe kwenye shughuli ya miradiya maendeleo.Mheshimiwa Spika, baada ya shukrani hizo,naomba sasa kuchangia bajeti ya Waziri Mkuu kwakulinganisha na hali halisi ya Wilaya ya Tarime. Kwakuwa Ofisi ya Waziri Mkuu pamoja na Watendajiwalioko chini yake, wanagusa maisha ya kilaMtanzania hasa wa hali ya chini kama wakazi wanguwa Tarime, tafadhali ninayoyaandika hapa, naombayazingatiwe na kufanyiwa kazi haraka iwezekanavyo.Mheshimiwa Spika, suala la miundombinu mibovuya barabarani Wilayani Tarime si ya kuridhisha. KwanzaBarabara ya Nyamwaga Road inayoanzia Tarime –Nyamwaga – Nyamon<strong>go</strong> hadi Mto Mara yenye urefuwa km 53 haijawekewa lami ingawa kuna ahadikemkem. Naiomba Wizara iingilie kati suala hili.Naomba nijulishwe ni lini barabara hii itajengwa kwakiwan<strong>go</strong> cha lami? Hii ni barabara muhimu kwa172


uchumi wa Mkoa wa Mara. Pia itasafirisha wataliiwengi wanaotoka Kenya kuelekea Serengeti.Mheshimiwa Spika, pili, ahadi ya Waziri Mkuukuipandisha hadhi barabara ya Mangucha – Misanga– Katewasi – Gibaso hadi Mrito kuwa barabara yaMkoa. Ahadi hii itatekelezwa lini kwani taratibu zotezimekwisha kukamilika.Mheshimiwa Spika, tatu, madaraja mawili yaKyoruba na Mori ambayo yalijengwa na Wakoloni nabaadaye yakaharibika, yamekuwa ni kero kubwa sanakwa wakazi wa Tarime. Ifahamike wazi kuwaHalmashauri haina uwezo wa kujenga madaraja hayo.Hivyo, naomba Waziri Mkuu kupitia Wizara ya Ujenziisaidie kutujengea madaraja haya.Mheshimiwa Spika, nne, barabara ya security roadiliyoko mpakani mwa Tanzania na Kenya, kwa ninihaipitiki muda wote? Je, Serikali ya Jamhuri yaMuungano wa Tanzania ina mpan<strong>go</strong> wa kuiwekealami barabara hii?Mheshimiwa Spika, suala la umeme wa REAWilayani Tarime. Nianze kwa kutoa shukrani kwa Serikaliya Chama cha Mapinduzi kuvipatia umeme vijijivifuatavyo: Nyamwigura – Kemakorere – Nyerere –Rozana – Nyamwaga – Keisangura – Tagare – Muriba –Kumwika – Kobori – Itiryo na Getena. Ombi langu nikwamba gharama za kuweka umeme zipunguzwe iliwananchi wengi waweke umeme kwenye nyumbazao.173


Mheshimiwa Spika, ahadi ya Waziri Mkuu kukipatiaumeme kijiji cha Maanga hasa kwenye kile kituo chaKurya Cultural Centre, naomba ahadi hii itekelezwe.Mheshimiwa Spika, mradi wa REA katika vijiji vyaSecurity Road toka Rorya – Susuni – Kubiterere-Remagwe – Gwitryo – Nyabisaga- Borega- Gonyange– Kimusi – hadi Nyantira. Umeme huu ni muhimu ilikuongeza uzalishaji na hivyo kuongeza kipato kwawakazi wa Tarime. Namwomba Waziri Mkuu asaidie.Mheshimiwa Spika, mradi wa REA katika vijiji vyaNyakunguru – Kibasuka – Kembwi – Manga hadiKomaswa. Umeme huu unaweza kuunganishwa na ulewa m<strong>go</strong>di wa North Mara (Nyamon<strong>go</strong>).Mheshimiwa Spika, mradi wa REA katika vijiji vyaKata za Nyandoto, Susuni, Mwema, Bumera, Gorong’a,Kiore, Gibaso na kadhalika nao ushughulikiwe ilikuwasaidia wananchi wa Tarime kujishughulisha nashughuli za uzalishaji mali. Ni imani yangu kuwawatakuwa na uwezo wa kulipia luku na gharamanyinginezo.Mheshimiwa Spika, sekta ya madini hasa dhahabuya North Mara (Nyamon<strong>go</strong>), naomba Waziri Mkuuanijibu swali hili kwa uhakika. Wananchi wa Tarimewanalalia dhahabu, wanakalia dhahabu,wanatembea juu ya dhahabu lakini wanakabiliwa naumaskini wa kutupwa, kwa nini? Je, ni ujinga naupumbavu wa wakazi wa Tarime? Je, ni Serikaliimeshindwa kutoa fursa kwa wananchi wa Tarime iliwafaidi rasilimali hiyo? Tujiulize, nini kifanyike? Kwa nini174


Serikali isiwashirikishe wawekezaji ili kuimarishamiundombinu ya barabara Wilayani Tarime?Mheshimiwa Waziri Mkuu, naomba tufikiri kwa makini!Tufikiri kwa makini zaidi! Nasisitiza hatuwezi kukubaliwawekezaji wanafaidi dhahabu yetu lakini wananchiwetu wanaambulia umaskini wa kutupwa pamoja namahandaki ya mashimo.Mheshimiwa Spika, kuhusu kizuizi cha Magena,nina hakika Mheshimiwa Waziri Mkuu anakifahamuvizuri kizuizi hiki. Je, kina faida gani kwa wananchi waTarime? Je, anafahamu kuwa kizuizi kile ni mradi waPolisi? Anawaahidi nini wananchi wa Tarime kuhusukizuizi hicho? Au wananchi wa Tarime watumie nguvukukiondoa? Mkuu wa Mkoa wa Mara, John Tuppaanamshauri nini juu ya kizuizi hiki? Mkuu wa Wilaya yaTarime, John Henjewele anamshauri nini juu ya kizuizihiki?Mheshimiwa Spika, ujenzi wa Hospitali ya RufaaMkoani Mara, iitwayo Mwalimu Nyerere MemorialHospital itaanza lini na kukamilika lini? MheshimiwaWaziri Mkuu anafahamu kuwa Serikali ya Awamu yaNne itapata heshima Mkoani Mara kwa kuijengahospitali hii. Nashauri Serikali iwashirikishe wadaumbalimbali ili kuhakikisha kuwa hosptiali hii imejengwana kukamilika haraka iwezekanavyo ili iwezekuwahudumia wakazi wengi wa Mkoa wa Maraambao hawana hospitali ya Mkoa tangu enzi za Ukolinihadi sasa.Mheshimiwa Spika, kuhusu ujenzi wa uwanja wandege wa Magena, Wilaya ya Tarime inapakana na175


nchi ya Kenya ambayo ina watalii wengi wanaoingiaSerengeti kupitia Sirari nchini Tanzania. Hivyo,namshauri Mheshimiwa Waziri asimamie ule uwanja wandege wa Magena ulioko Wilayani Tarime ujengweharaka ili kuwezesha ndege za utalii kutua kirahisi nahivyo kuweza kuingiza watalii wengi Wilayani Tarime nahivyo kusaidia kuchangia kuongeza pato la Taifa.Mheshimiwa Spika, kuhusu Mji Mdo<strong>go</strong> wa Sirari,nina swali kwa Mheshimiwa Waziri Mkuu. Je, ahadi yakeya kuufanya Mji Mdo<strong>go</strong> wa Sirari kuwa Mamlaka ya Mjiimefika wapi?Mheshimiwa Spika, tatizo la maji safi na salamakatika Mji wa Tarime ni la muda mrefu, tangu enzi yaukoloni, uhuru hadi sasa. Mji wa Tarime una mtomkubwa wa Mara na pia upo karibu na Ziwa Victoria,kwa nini unakabiliwa na tatizo la maji? Hivi kweliMheshimiwa Waziri Mkuu inaingia akilini kuwa majiyanatoka Ziwa Victoria hadi Shinyanga karibu takribaniumbali wa km 500 na kuacha Mji wa Tarime takribanumbali wa km 30? Je, hii ni sawa? Je, Wakurya waTarime wameikosea nini Serikali za Awamu zotezilizopata kuion<strong>go</strong>za Tanzania pamoja na Awamu hii yaJakaya Kikwete? Mheshimiwa Waziri Mkuu tuzidikuzama katika fikra.Mheshimiwa Spika, miundombimu mibovu yaHospitali ya Wilaya ya Tarime. Hii ni hospitali ya zamanisana na ilijengwa tangu mwaka 1942 mpaka sasahakuna mabadiliko yoyote. Je, Mheshimiwa WaziriMkuu atatoa kauli gani ya uhakika juu ya aibu hii?176


Tunaelekea wapi au tuna utani na wananchi waTarime?Mheshimiwa Spika, Idara ya Ardhi Tarime, kwa ninihati za kimila hadi sasa hazijatolewa Wilayani Tarime?Mheshimiwa Waziri Mkuu anafahamu wazi kuwamapigano ya mara kwa mara yanayotokea WilayaniTarime pamoja na mambo mengine yanasababishwana suala la umiliki wa Ardhi – Fikiri zaidi.Mheshimiwa Spika, kuhusu fedha za Rada,naungana na Wa<strong>bunge</strong> wenzangu kuwa fedha zoteza Rada zinunue madawati hapa nchini, Zanzibar ipatemgao, fedha Sh. 30,000,000,000 toka Canada ndizozinune vitabu. Halikadhalika vifaa vya elimu maalumkwa viziwi, vipofu na kadhalika viwekewe mgawo.Mheshimiwa Spika, Sera ya Elimu nchini Tanzania,je, Sera hii ya mwaka 2010 imetekelezwa kwa kiwan<strong>go</strong>gani? Je, Sera hii itatekelezeka au haitekelezeki? Je,kiten<strong>go</strong> cha EMAC katika Wizara ya Elimu kinamanufaa yoyote katika nchi yetu? Tuzame katika fikra.Mheshimiwa Spika, kuhusu utawala bora, je,Mheshimiwa Waziri Mkuu ana taarifa kuwa WatendajiWakuu wa Serikali na Mawaziri wa Wizara hawanaushirikiano na hali hii hupelekea ufanisi kuwa hafifukatika utekelezaji wa majukumu yanayohusu Wizarazao?Mheshimiwa Spika siungi mkono hoja hadi nipatemajibu ya uhakika toka kwa Waziri Mkuu.177


MHE. RAJAB MBAROUK MOHAMMED: MheshimiwaSpika, kwa heshima na taadhima sina budi kukupapole kwa majukumu mazito ya utendaji.Mheshimiwa Spika, katika kuchangia bajeti ya ofisihii, nataka nijikite na kutoa mchan<strong>go</strong> wangu kwamambo yafuatayo:-Mheshimiwa Spika, kuhusu maafa, ni masikitikoyangu kuona hadi leo Jiji la Dar es Salaam lina kituokimoja ambacho magari ya kuzimia moto hukaa.Kutokana na kasi ya ukuaji wa Jiji letu la Dar es Salaam,naiomba Ofisi ya Waziri Mkuu, Kiten<strong>go</strong> cha Maafakutenga maeneo mapya na kuanzisha vituo vipyaambapo magari za kuzimia moto yatakaa viwe karibuna makazi au katika maeneo ya viwanda na hatakaribu na maeneo ya hoteli za kitalii ili pale majangaya moto yatakapotokea iwe rahisi kukabiliana nayo.Mheshimiwa Spika, zao la bangi (madawa yakulevya), wakulima wengi katika baadhi ya maeneoambayo mmea wa bangi huota na kukua, ni kilimochao ambacho kinawapatia riziki yao. Kwa bahatimbaya wakulima hawa mara nyingi mashamba yaohuchomwa moto na wao kuchukuliwa hatua zakisheria. Napendekeza kwa Serikali, kwa kuwa nchiyetu ina wataalam wengi na watafiti au kupitiaCOSTECH, waangalie njia nyingine mbadala yakuyachunguza majani haya aidha yasindikwe na kutoamafuta au aina yoyote ya madawa kwa ajili yabinadamu au hata mashambani kwani ni imani yangubangi kama itafanyiwa utafiti wa kitaalam, inawezakuwa ni tija na ukombozi kwa baadhi ya wananchi178


wetu na kuondokana na kuwasumbua wakulima hawaambao hutegemea kilimo hicho hata kusomesheawatoto.Mheshimiwa Spika, kuhusu Halmashauri za Jiji laDar es Salaam, kwa kuwa Wizara nyingi za Serikali zikoDar es Salaam na Wizara hizi hutumia fedha nyingi kwaajili ya kufanya usafi katika ofisi zao. Kwa mfano, katikabudget ya mwaka 2012/2013 katika Idara ya Utawala,ndani ya Wizara ya Sayansi na Teknolojia wamepangakutumia Sh. 600,000 kwa ajili ya usafi wa ofisi kwa mwezivilevile Sh. 60,000,000 kwa ulinzi na kuzoa taka. NashauriHalmashauri zizungumze na Wizara ili kazi hizi zifanywena Halmashauri zetu ili kuongeza kipato kwaHalmashauri zetu kulikoni kazi hizi kupewa makampunibinafsi, makampuni ambayo mengi yao hukwepa kodi.Namwomba Mheshimiwa Waziri suala hili aliangaliekwa undani na aangalie makadirio ya matumizi yaWizara zote katika vipengele hivi vya uzoaji taka nausafi.MHE. ESTER A. BULAYA: Mheshimiwa Spika, katikauwekezaji wa kilimo unaofanyika nchini, tunaombauwashirikishe vijana kwa kiasi kikubwa. Vijana wengihawana ajira, hivyo tumaini lao pekee ni ardhi. Katikamaeneo yanayofaa katika kilimo cha umwagiliaji nakilimo cha kawaida, kutokana na changamoto ya ajirainayowakabili vijana, ni wakati mwafaka kwa Serikalikutenga maeneo maalumu kwa ajili ya vijana iliwawezeshwe na kujishughulisha katika kilimo nakujikwamua katika tatizo la ajira kupitia kilimo.179


Mheshimiwa Spika, mbali na Serikali kuendeakukabiliana na tatizo la ubadhirifu wa fedha za ummakatika Halmashauri zetu bado vitendo vya ubadhirifuwa fedha katika Halmashauri zetu unaendelea.Mbaya zaidi watu wanaofanya ubadhirifu badala yakuchukuliwa hatua wamekuwa wakihamishwa katikavituo vingine.Mheshimiwa Spika, Ofisi ya Waziri Mkuu ina mkakatigani wa kuhakikisha Serikali inakuwa na vyanzo vinginevya mapato ya ndani ili kuepuka utegemezi wawafadhili ambao mara nyingi hawaleti fedhawanazoahidi kuleta na mwisho miradi mingi yamaendeleo inakwama?Mheshimiwa Spika, katika hotuba ya Wazirihaikueleza suala la michezoni nchini na mikakati yakuinua vipaji na kuendeleza soka nchini.MHE. SABREENA H. SUNGURA: Mheshimiwa Spika,nami napenda kuchangia katika mambo yafuatayo:-Mheshimiwa Spika, kwanza, Serikali izuie ujenzi wanyumba za makazi katika njia kuu za mito hususaniMkoa wa Dar es Salaam ili kuzuia tatizo la mafuriko.Lakini pia maeneo ya Mabwepande walikopelekwavilikuwa ni viwanja vilivyotolewa fomu na wananchiwakatoa pesa kuchukua fomu, leo hii vimegawiwakwa tatizo lingine lililojitokeza, nini hatma ya walewaliochukua fomu za Serikali na kulipia lakini mchakatomzima haujafanyika?180


Mheshimiwa Spika, pili, maji yamekuwa tatizokubwa sana Mkoa wa Ki<strong>go</strong>ma, bei imepanda kutokashilingi 6,500 hadi shilingi 17,500 na watu wa Mkoa waKi<strong>go</strong>ma hali yao ya kiuchumi si mzuri hivyo imekuwakikwazo kwao. Tunaomba muwasaidie wananchi hawaili maji isiwe ni biashara bali iwe huduma.Mheshimiwa Spika, tatu, katika uwekezajikumekuwa na tatizo la ulipwaji wa fidia hususan Mkoawa Ki<strong>go</strong>ma, Manispaa ya Ki<strong>go</strong>ma Ujiji, kumekuwa nauchakachuaji katika fidia za wananchi. Kwanza kabisa,kanuni za fidia hazifuatwi, zile siku ishirini na moja zakubandika thamani ya awamu ya kwanza ili wananchiwaone kama fidia zipo sahihi hazikubandikwa. Hivyowakati wa fidia kulikuwa na malalamiko mengikwamba baadhi ya mashamba makubwa, viwanja,mimea havikuorodheshwa na ofisi ya Mkoahaikuonyesha ushirikiano wowote wa kusikiliza dhulumakwa wananchi hawa. Sasa mwaka huu wananchihawatakubali, tunaomba haki itendeke.MHE. MARTHA M. MLATA: Mheshimiwa Spika,kwanza natanguliza pongezi kwa hotuba ya WaziriMkuu kwani imejitosheleza. Nachoomba ni utekelezajikwa vitendo ili azma ya Waziri Mkuu iweze kukidhi hajaya Watanzania. Naomba kuchangia hotuba hii kamaifuatavyo kwa kutoa maoni.Mheshimiwa Spika, kwanza, nashauri Wilaya mpyaambazo zinaenda kuanza sasa pamoja na Mikoamipya ianze kujengwa kwa utaratibu mzuri wa mijiiliyopangwa. Maafisa Mipan<strong>go</strong> Miji wajitahidi kupangaili kuepuka ujenzi holela na baada ya muda kuanza181


kubomoa nyumba za watu na kupoteza fedha nyingikwa kulipa fidia. Ningefurahi zaidi kuona Wilaya mpyaya Mkalama inajengwa kwa plan.Mheshimiwa Spika, pili, Makao Makuu ya Wilayaya Mkalama (Nduguti) hakuna miundombinu ya maji,umeme na kadhalika, naamini Serikali itapelekahuduma hizo haraka. Pamoja na hayo, napendakushukuru kwa kupatiwa Wilaya mpya za Ikungi naMkalama.Mheshimiwa Spika, tatu, Mkoa wa Singidaumepata bahati ya kuwa na zao la alizeti ambalo ninaimani kuwa asilimia kubwa ya mafuta ya alizetiyanatoka Mkoa wa Singida hususani Wilaya ya Iramba.Zao hili limeinua sana uchumi wa kipato cha wananchiwakiwemo wakulima wakamuaji wado<strong>go</strong> wa mafuta(viwanda vido<strong>go</strong>) pia wenye viwanda vikubwa.Pamoja na yote pia wanunuzi/wafanyabiahsashaambao ndiyo waliosaidia kuinua kilimo cha alizetikwani wao huwafuata wakulima majumbani mwao nawao kupeleka kuuza kwa wenye viwanda. Ni ukweliusiopingika kuwa wanunuzi hawa wamekuwa amawakinunua kwa bei ya makubaliano na mkulima nahuenda huwapunja, lakini ndiyo walioshikilia njia yasoko la mkulima na hivyo kuinua kilimo cha alizeti nakuinua vipato vya wakulima hawa pia kuongeza ajira.Mheshimiwa Spika, sasa jambo la kusikitisha, Mkuuwa Mkoa alitoa amri halali ya kupiga marufukuwanunuzi binafsi wa zao la alizeti kununua moja kwamoja toka kwa wakulima na kwamba wakulimawakauze kwenye Vyama vya Ushirika na kuwa182


atakayekiuka amri hii atafungwa jela miaka miwili. Mimisina tatizo na amri hii, bali naona kama haikuja kwawakati mwafaka, ni kama imeshtukiza. Pia maandaliziya kuwaandaa wakulima na wadau wa zao hilihayakufanywa na elimu kutolewa. Hivyo jambo hililinaleta utata kiasi kwa wananchi.Mheshimiwa Spika, naomba yafuatayo:-(i)Mheshimiwa Waziri baada ya kupitisha bajeti(hoja) hii, afanye ziara ya makusudi ili apatekukutana na wananchi/wakulima, wanunuzibinafsi, wenye viwanda vido<strong>go</strong>vido<strong>go</strong> nawenye viwanda vikubwa bila kuacha Vyamavya Ushirika na wadau wengine.(ii) Naomba uwekwe utaratibu wa zao hili laalizeti kuwa na Bodi ya Alizeti ili litakapokuwalinawekewa taratibu angalau zifanane naMikoa inayolima.(iii) Kuwe na utaratibu wa soko huria au ushindaniili Vyama vya Ushirika na Binafsi washindanekwa bei ili mkulima na wadau wotewanufaike.(iv) Elimu itolewe kwa wakulima ili wajue faida yakuuza kwenye ushirika.(v) Amri iangaliwe upya ili kutoa fursa kwa walewakulima wakubwa ambao wao wana uhuruwa kuuza moja kwa moja kwa mtejawatakayemtaka au kiwandani. Wenye183


viwanda vido<strong>go</strong>vido<strong>go</strong> wapewe ruhusa yakununua toka kwa wakulima kwani inaongezaajira.Mheshimiwa Spika, nne, mradi wa maji waMwankoko Singida umekwama kuanza kutokana naTANESCO kutopeleka umeme ili kuwezesha mashinekuanza kufanya kazi ya kusambaza maji mjini. Naombaumeme (TANESCO) wapeleke umeme Mwankoko ilikuondoa tatizo la maji Mjini Singida.Mheshimiwa Spika, tano, naomba Zilikoniinayochimbwa Luzilukulu Kata ya Nda<strong>go</strong>, ipimwe kwaniinasemekana inaambatana na almasi, lakini wanunuzihuwapunja wachimbaji kwani wanawalipa kwa bei yaZilikoni lakini kama ni Almasi hawaambiwi.Mheshimiwa Spika, sita, TMAA imewekwa kufanyakazi za TRA, NEMC na kadhalika maana anakaguauwekezaji katika masuala ya kodi, kwa nini kazi hiyoisifanywe na TRA? Halafu anakagua mazingira, etikuangalia mahesabu yaani fedha zinazotumikakwenye mazingira wakati kazi hiyo inatakiwa ifanywena NEMC. Kisha wanakagua ukusanywaji wa mrahabawakati kazi hiyo inatakiwa kufanywa na Makamishnawa Madini wa Kanda. Bado anaangalia uzalishajikwenye mi<strong>go</strong>di ukweli ni kwamba, kazi hiyo inatakiwaifanywe na Mkurugenzi Mkuu aliyeko chini ya Kamishnawa Madini kwa kutumia Kanda. Kuna sababu gani zamsingi za kuanzisha taasisi ya kufanya kazi za wenginena ambazo ziko kisheria? Hii ni matumizi mabaya yafedha. Napendekeza wataalamu waliopo TMAAwapelekwe TRA na kuwe na Idara ya Ukaguzi wa184


mi<strong>go</strong>di tu. Pia wataalam wa mazingira wapelekweNEMC ili kupunguza matumizi ya fedha na TMAAivunjwe. Ianzishwe Idara ya Ukaguzi wa Uwekezajikatika mi<strong>go</strong>di ili kuona kama kampuni itatakiwa kulipakodi kiasi gani na iwe chini ya Kamishna wa TRA natuwawezeshe ili kuokoa fedha.Mheshimiwa Spika, mwisho, je, ni fedha kiasi ganiSerikali imeshaokoa tangu Waraka wa Kuuziwa magariwatumishi wa Serikali enzi za Mheshimiwa Rais Mstaafu,Mzee Ali Hassan Mwinyi?Mheshimiwa Spika, naunga mkono hoja.MHE. KHERI KHATIB AMEIR: Mheshimiwa Spika,naunga mkono hoja asilimia mia kwa mia. Naombakumpongeza Waziri Mkuu na kumpa pole kwa yoteyaliyojitokeza katika kipindi hiki cha miaka miwiliiliyopita na kumpongeza kwa ujasiri wake alionaokuhimili mikiki na mitihani mbalimbali ya yaliyotokea.Pili, naomba kuipongeza Serikali ya Chama chaMapinduzi nayo kwa jitihada zake kuendelea nakuhuisha uhuru wa wananchi wa nchi hii.Mheshimiwa Spika, pamoja na jitihada kubwa yaukusanyaji wa mapato, bado Watanzaniahawachangii, tunahitaji usimamizi thabiti wa malipokatika:-(i)Bidhaa zinazoingia kutoka nje na kubadilishautaratibu wa malipo kwa wafanyabiasharakulipa “cash” bali watumie Bank A/C zaokufanya malipo.185


(ii) Wi<strong>go</strong> wa tozo za taxation upanuliwe zaidi,wafanyabiashara hasa wenye maduka,wanauza bidhaa, wanakusanya kodi –hawatoi risiti. Kwa hiyo mfumo wa mashine zaelectronic kwa watoa risiti uhamasishwe nakuwe na ufuatiliaji.(iii) Taasisi za utalii kama vile TANAPA, mahoteli nanyumba za wageni, hawa nao wanapaswawasimamiwe kikamilifu. Mfano kwenye utaliitozo zinakuwa ndo<strong>go</strong> sana au hata kukwepakulipa kodi ndo<strong>go</strong> zinazotozwa.(iv) Taasisi ya Fedha isimamie malipo na wataliiwalipe fedha za kigeni kwenye asasizinazowatumikia, sio hilo tu bali Watanzaniatuache tabia ya kutumia ‘dollar” kwenyemaduka ya rejareja nchini.Mheshimiwa Spika, sekta ya uvuvi, pamoja nakuwa Tanzania eneo kubwa tumezungukwa na maji,ama bahari au mito, au maziwa na umuhimu wa sektahii katika uchumi wa taifa, lakini bado jitihada zamakusudi zinatakiwa zichukuliwe ili sekta hii iwezekuchangia uchumi wa nchi hii.Mheshimiwa Spika, baharini kuna meli nyingi zakigeni zinapora mali za Tanzania hasa bahari kuu naSerikali haifanyi jitihada za kutosha kudhibiti uvuvi huona wanaingia na kutoka bila ya kulipa malipo stahili.Taasisi hii nayo ichunguzwe vya kutosha na watakiwekulipa.186


Mheshimiwa Spika, kuhusu mambo mengine yajumla, tunaiomba Serikali izidishe usimamizi kwenyematumizi hasa kwenye Halmashauri zetu. Naombakutoa rai kuanzia sasa Serikali itoe tamko au itungesheria ya pale AG (Auditor General) anapotoa ripotiyake kwa Bunge ya upotevu na utumiaji mbaya wafedha za Serikali basi ripoti hiyo iwe ni kielelezo chamoja kwa moja na uwe ni ushahidi wahusika wakajibuhoja hizo Mahakamani. Kesi hizi ziwe za aina yake nazishughulikiwe katika kipindi kisichozidi mwaka mmoja.Kwa usimamizi mzuri, maamuzi ya hatua zilizojitokeza zakimahakama ziwasilishwe Bungeni kabla ya mwaka wafedha unaofuata. Nadhani utaratibu huuungeambatana na vilevile na kesi zinazohusuwahujumu uchumi (akina TAKUKURU), kesi zawanaoingiza/kusafirisha unga (mihadarati),wanaohujumu nyara za taifa (wezi) kama vile pembeza ndovu na wanyama kwa ujumla wake.Mheshimiwa Spika, nashauri Mheshimiwa WaziriMkuu kwa nguvu zake zote aangalie suala la kilimo chapamba na viwanda, kilimo cha korosho na viwanda,madini na mikataba, ardhi na ugawaji wake na sualala masoko ya bidhaa mchanganyiko hasa mahindi,mchele na zaidi kilimo cha miwa na sukari.Mheshimiwa Spika, naunga mkono hoja.MHE. WARIDE BAKARI JABU: Mheshimiwa Spika,naishukuru Idara ya Uratibu wa Maafa ya TanzaniaBara kwa ushirikiano wa kazi wa karibu na Idara yaKukabiliana na Maafa Zanzibar na naziomba Serikali187


zote mbili ziendeleze ushirikiano huo katika kuratibumaafa.Mheshimiwa Spika, imekuwa kawaidakunapotokea majanga au maafa hasa ya chakulacha njaa, hakuna mpangilio au utaratibu maalumunaofanyika katika kufanya tathmini. Je, ni nani hasaanayetakiwa kufanya tathmini ya upungufu wachakuka katika Mikoa? Pia kuna malalamiko kwambautaratibu wa upelekaji wa chakula cha maafa au njaaumekuwa si mzuri. Je, ni nani hasa anayetakiwakusambaza chakula hicho au utaratibu ganiunatumika? Tunafahamu kuwa Idara ya KuratibuMaafa imeshatayarisha Mpan<strong>go</strong> wa Taifa naKujiandaa na Kukabiliana na Maafa (EmergencyPreparedness and Response Plan - EPRP). Je, ni linimpan<strong>go</strong> huu utaletwa Bungeni kwa Wa<strong>bunge</strong> iliwaweze kuujua na kuuchangia? Pia ni lini Watanzaniawakiwemo Wanahabari wataelimishwa juu ya mpan<strong>go</strong>huu.Mheshimiwa Spika, kumekuwa na maelezo tokeabajeti ya mwaka 2010/2011 na pia mwaka huu2012/2013 kuhusu kukamilika maandalizi ya Sheriampya ya Menejimenti ya Maafa na Sera husika.Naomba sasa kupitia Idara hii kuharakisha Sera naSheria ya Maafa ili iweze kutumika kwani kunamkanganyiko wa shughuli yanapotokea maafakutokana na kukosekana mion<strong>go</strong>zo na kanuni ya naniafanye nini (Distribution of Responsibities).Mheshimiwa Spika, ahsante, naunga mkono hoja.188


MHE. DKT. CHRISTINA G. ISHENGOMA: MheshimiwaSpika, kwanza kabisa, namshukuru Mwenyezi Mungukwa kunipatia nafasi hii nichangie katika Bunge lakoTukufu.Mheshimiwa Spika, natoa pongezi kwaMheshimiwa Waziri Mkuu, kwa kazi kubwa na nzurianayoifanya, Mwenyezi Mungu ambariki. Pili natoapongezi kwa Waziri wa TAMISEMI, Naibu wote wawilipamoja na Mawaziri wote na vion<strong>go</strong>zi wotewaliohusika na bajeti hii nzima. Naomba MwenyeziMungu bajeti ipite bila matatizo kusudi kazi za kuletamaendeleo Mikoani zianze mara moja.Mheshimiwa Spika, kwa moyo mmoja naungamkono hoja kwa asilimia mia moja.Mheshimiwa Spika, takriban asilimia 75 yawananchi wanaishi vijijini na wananchi hawawanategemea kilimo. Nashukuru Serikali kutoakipaumbele kwa kilimo, Serikali inajali wananchi wake.Ombi langu na ushauri, ni kuhusu pembejeo. NaombaWizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika, iweke mkakati nampan<strong>go</strong> ulio wazi, kusudi vocha ziletwe Mikoani kwetumapema. Pembejeo zifike kwa wakati kwa walengwa/wakulima.Mheshimiwa Spika, bado nazidi kutoa ombi kwaniaba ya wakulima, hususan wa Iringa na Moro<strong>go</strong>rokuwa wanufaika wa ruzuku, wananchi waongezeke.Hii itasaidia uzalishaji zaidi kwani wanufaika watakuwawengi.189


Mheshimiwa Spika, kutokana na mabadiliko yatabia nchini, Mkoa wa Iringa umegawanyika katikasehemu yenye ukame na sehemu zingine zenyemtawanyiko wa mvua ya kutosha. Kwa hiyo,namwomba Mheshimiwa Waziri Mkuu ruzuku kwambegu za mtama mweupe pamoja na alizeti. Mwakahuu 2011/2012 sehemu hizi tumelima mtama kido<strong>go</strong> naalizeti. Wananchi baadhi yao wamevuna, wenginewamevuna kido<strong>go</strong>, kutokana na ukame au wenginewalilima sehemu ndo<strong>go</strong> (mtama) kwani ilikuwa nimwanzo wa kilimo hiki.Wananchi hawa wakipatiwa ruzuku ya mbegu zamtama na alizeti, watakuwa wamepata chakula,wataacha kuomba chakula cha kila mwaka nawatapata pato la kutosha. Lishe bado ni tatizo katikaMkoa wa Iringa. Kwa hiyo, kutokana na mavunomazuri ya mtama na mahindi sehemu yenye mvua yakutosha, wananchi watapata chakula cha kutosha,watapata lishe nzuri na wataendelea kufanya kazi zaoza maendeleo.Mheshimiwa Spika, Mkoa wa Moro<strong>go</strong>ro na Iringakilimo cha umwagiliaji ni muhimu. Hasa Mkoa wa Iringabila ya umwagiliaji, hakuna kilimo. Fedha zaumwagiliaji hasa fedha za DADPS, naomba zifike kwawakati bila kuchelewa, kusudi wananchi/wakulimawengi wanufaike na kilimo cha umwagiliaji kwa mwakamzima hasa katika kilimo cha mpunga nambogamboga.190


Mheshimiwa Spika, jambo lingine chini ya kilimoambalo naiomba Wizara ni kuhusu utafiti wa udon<strong>go</strong>.Kwa urahisi, kwa sababu kuna tafiti ambazozilishafanyika katika Mikoa yote, taarifa za tafiti ziletweMikoani kwetu. Tafiti zinaoonyesha hali ya udon<strong>go</strong>,aina na kiasi gani cha mbolea kitumike na mazao ganiyastawishwe. Hii itasaidia kulima mazao sahihikufuatana na aina ya udon<strong>go</strong>.Mheshimiwa Spika, kuhusu zana za kilimo,napenda kutoa shukrani zangu kwa Serikali yangu yaChama cha Mapinduzi kwa kuwajali wananchi wakekuhusu zana za kilimo. Bei ya matrekta imepunguzwa ilikuwasaidia wakulima wapate kununua zana hizi. Lichaya Serikali kupunguza bei, lakini bado bei iko juu. Beikuwa juu pia ni kwa pembejeo na hasa mbolea.Wakulima wanaomba bei ya pembejeo hususanmbolea pamoja na matrekta zipunguzwe kusudiwananchi wapate unafuu na uwezo wa kununua zanahizi. Ni vyema zana hizi zinunuliwe kusudi zitumiwe nawananchi katika kuzalisha mazao hususan mazao yachakula (mahindi na mpunga).Mheshimiwa Spika, kwa mazao yatakayonunuliwana (NFRA) baada ya kuvuna, ombi langu ni kuwa beihii elekezi itolewe mapema. Jambo hili litasaidiawananchi kupata msukumo wa uzalishaji kutokana namasoko na bei za kuvutia.Mheshimiwa Spika, nashukuru Serikali imelengakatika Kilimo cha kisasa na chenye tija. Mambo yoteniliyoyataja hapo awali yakikubalika na kutekelezwa,wananchi wengi watanufaika, chakula kingi191


kitazalishwa, pato litapanda/litakuwa, lishe kwa familiaitakua nzuri, afya ya wananchi itakuwa nzuri na maishabora kwa Watanzania.Mheshimiwa Spika, naunga mkono hoja kwaasilimia mia moja.MHE. ANGELLAH J. KAIRUKI: Mheshimiwa Spika,kwanza kabisa napenda kumpongeza MheshimiwaWaziri Mkuu, Mawaziri wote na Ofisi ya Waziri Mkuu naManaibu Waziri wote, pamoja na watendaji wa ofisihiyo.Mheshimiwa Spika, napenda kufahamu kamamalimbikizo ya madeni ya watumishi Serikaliniyatalipwa? Je, hatua gani zinachukuliwa dhidi yavion<strong>go</strong>zi kwenye Taasisi ambao wanasababishawatumishi kucheleweshewa malipo yao endapo fedhahizo zimefika kwenye taasisi mapema?Mheshimiwa Spika, imefika wakati sasa Serikalikuleta Sheria itakayodhibiti taasisi ndo<strong>go</strong>ndo<strong>go</strong> zafedha (microfinance) ili kudhibiti shughuli zinazofanywana Taasisi hizi. Kwani wako ambao wamekuwawakitoza hadi asilimia 30 kwa mwezi na imepelekeawakopaji wengine kuwa mafukara kabisa.Mheshimiwa Spika, yamekuwepo madai ya wiziwa kura kwenye chaguzi mbalimbali zinazofanyikanchini. Ingawa si rahisi kuamini madai haya, lakinipanapokuwa na tuhuma ni muhimu kuzishughulikia. Ilikuepuka tuhuma hizo, nashauri uanzishwe mfumo wa“Electronic Voting system” ambapo kitambulisho cha192


mpigakura kitapotambuliwa au kuchanjwa kwenyeregister ya kielekroniki itaonesha taarifa zote zamhusika. Kidole gumba kitumike kuthibitisha taarifahizo na ndipo mhusika ataruhusiwa kupiga kura.Utaratibu huu utasaidia kupunguza uwezekano wakura kuibiwa au watu ambao hawajaandikishwakutumia vitambulisho vya wengine kupiga kura. Aidha,utaratibu huu utapunguza gharama za uchapishaji wamakaratasi na usafirishaji.Mheshimiwa Spika, baada ya maelezo hayamachache, naunga mkono hoja hii ya bajeti ya ofisi yaWaziri Mkuu.MHE. DKT. SHUKURU J. KAWAMBWA: MheshimiwaSpika, napenda kuchukua fursa hii kumpongezaMheshimiwa Waziri Mkuu kwa uwasilishaji wake makiniwa hotuba yake. Nawapongeza pia Naibu Mawaziri,Ofisi ya Waziri Mkuu na watendaji, wataalamu nawatumishi wote wa Ofisi ya Waziri Mkuu kwa juhudi zaona kwa kushirikiana kuandaa bajeti ya Waziri Mkuuyenye mwelekeo mzuri kwa Taifa letu.Mheshimiwa Spika, napenda kuchukua fursa hiipia kuipongeza Ofisi ya Waziri ya Waziri Mkuu –TAMISEMI kwa kazi nzuri ya kusimamia maendeleokatika Halmashauri zetu zote nchini. Kazi ni kubwa nanzito lakini Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI imejipangavizuri.Mheshimiwa Spika, Serikali yetu imedhamiriakuboresha kilimo ili tuondokane na aibu ya njaa nakuomba misaada ya chakula. Jimboni Bagamoyo tuna193


tatizo kubwa la uwezeshaji mdo<strong>go</strong> katika sekta yakilimo. Mfano, miradi yetu michache ya kilimo chaumwagiliaji haipati tengeo zuri la fedha kuwawezeshawakulima kulima kwa kiwan<strong>go</strong> cha tija. Miradi hii ni ileya BIDP, Kido<strong>go</strong>zero (Vigwaza) na Chauru (Vigwaza).Nashauri Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI isisitizie tengeobora zaidi kwa ajili ya kilimo na hasa kilimo chaumwagiliaji. Wananchi wengi zaidi wangependakushiriki katika kilimo cha umwagiliaji lakinimiundombinu katika skimu hizo hairuhusu.Mheshimiwa Spika, katika Halmashauri ya Wilayaya Bagamoyo tulipata kadhia ya watendajikutuhumiwa na ubadhirifu wa fedha za umma; namwaka 2010 Mheshimiwa Waziri Mkuu aliwavuamadaraka, watendaji hao ni pamoja na aliyekuwaMkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri. Cha kusikitisha,kesi za watendaji hao mpaka leo hazionyeshi dalili yakupiga hatua yoyote. Nashauri Ofisi ya Waziri Mkuuiiombe Mahakama iharakishe usikilizaji wa kesi zawatendaji wanaotuhumiwa ili haki itendeke na iliwengine wapate masomo kwa hatua za kisheriazitakazochukuliwa.Mheshimiwa Spika, naunga mkono hoja.MHE. RAMADHANI HAJI SALEH: Mheshimiwa Spika,napenda kuchukua fursa hii kumshukuru MwenyeziMungu, Mwenye Rehema, ambaye ametuwezeshakufika hapa tukiwa hali ya uzima.Mheshimiwa Spika, naomba niende moja kwamoja katika ukurasa wa (15) katika kitabu cha Waziri194


Mkuu alipoelezea uwekezaji. Katika eneo hili lauwekezaji, namwomba Mheshimiwa Waziri Mkuu awemakini sana kwani kumekuwa na wawekezaji ambaowanapenda kukwepa kodi, kitu ambacho kinaikoseshaSerikali mapato.Mheshimiwa Spika, ukurasa wa 29 umezungumziaviwanda, bado nchi yetu haijawekeza katika sekta yaviwanda jambo ambalo linazorotesha maendeleo yawatu pamoja na nchi. Nchi ambayo haina viwanda,wakulima wa nchi hiyo watakuwa maskini kwaniwanaweza kuwa wanalima sana mazao ya vyakulalakini wanashindwa wapi wakauze mazao yao.Tumeshuhudia Tanzania ina wakulima wengi wa mazaoya vyakula kama mahindi, mchele, alizeti, kahawa,pamba na kadhalika lakini wakulima hao hawajui naniwa kumuuzia mazao yao.Mheshimiwa Spika, katika ukurasa wa 53 umegusiaajira, ajira katika nchi yetu bado ni kitendawili, hataelimu zinazotolewa nchini hazikujikita katika ujuzi zaidindiyo maana kila anayemaliza Chuo Kikuu anatakakuajiriwa Serikalini. Kama Serikali itatoa elimu ya ujuzizaidi, tatizo la ajira litapungua nchini kwani kilaanayemaliza Chuo Kikuu angeweza kujiajiri mwenyewena pia kuweza kuwapatia ajira na wenzake.Namwomba Mheshimiwa Waziri Mkuu aelekeze maoniyangu haya kwa Waziri wa Elimu ili aweze kuyafanyiakazi.Mheshimiwa Spika, naunga mkono hoja.195


MHE. DKT. DALALY P. KAFUMU: Mheshimiwa Spika,kwanza napenda kuchangia kuhusu huduma zakifedha. Mfumo wa biashara ya ubadilishaji wa fedhaza kigeni nchini umeacha mianya ya wenye Madukaya Fedha za Kigeni (Bureu De Change) kukwepa kodina kutorosha fedha za kigeni nje ya nchi. Hali hiiimetokana na hali ya kuwa wanaofanya biashara hiihawalazimiki kutoa risiti kwa wateja wanaonunua aukuuza fedha za kigeni hivyo kuwepo kwa uwezekanowa kutolipa kodi TRA. Lakini pia wanaobadilisha fedhaza kigeni hawalazimiki kutambulika na kuletauwezekano wa kuwepo kwa “money laundering”.Mheshimiwa Spika, nchi nyingi duniani zikiwemoAfrika Kusini, Uingereza, nchi za Shengeni (Ulaya yaContinent) hulazimisha wanaobadilisha/kununua fedhaza kigeni kutambulika kwa kutoa kitambulisho au pasiya kusafiria na pia maduka hayo hutoa stakabadhi(risiti) ya ununuzi au mabadilishano hayo. NaishauriSerikali kuweka udhibiti kwenye biashara ya kubadilishafedha za kigeni ili kuongeza mapato ya Serikali kwakuhakikisha kila transaction imekatiwa stakabadhi. Nivizuri mfumo wa electronic wa biasharaunaotayarishwa na TRA ufike kila duka. Serikali piaiweke utaratibu wa lazima kuwa kila anayebadilishafedha za kigeni atoe kitambulisho na kitambulishohicho kichukuliwe nakala na mwenye duka. Hali hiiitaondoa uwezekano wa wizi wa fedha za kigeni.Mheshimiwa Spika, suala la pili ni kuhusu njaaWilaya ya Igunga. Katika msimu wa mvua uliopitahaikupata mazao ya chakula kama mahindi, mtamana mpunga kutokana na mvua isiyotabirika. Tayari196


wananchi hao sasa wanahemea mahindi na nafakazingine kwa bei ya juu. Wengine na hasa wale wavijijini wenye asilia ya ufugaji hawana chakula kabisa.Naiomba Serikali ipeleke chakula kwenye Wilaya yaIgunga ili wananchi hao wasipate madhara zaidi yakuteseka kwa njaa.Mheshimiwa Spika, suala la tatu, Tarafa ya Igurubikatika Wilaya ya Igunga hawana umeme. Upembuziyakinifu wa mradi huo ilishafanyika, kilichobakia niutekelezaji wake. Naiomba Serikali iharakishe umemekwenye Tarafa hii ambapo ni kati ya Tarafazinazozalisha pamba kwa wingi. Umemeutawawezesha wananchi wa Tarafa hiyo kuanzishaGinnery kwa ajili ya kuchambua pamba. Aidha,wananchi wataweza kuanzisha viwanda vido<strong>go</strong>vido<strong>go</strong>kwa ajili ya usindikaji wa mazao mengine na pia kuwana karakana ndo<strong>go</strong>ndo<strong>go</strong>. Umeme pia utaharakishabiashara za vinywaji na machine za kusaga nakukoboa nafaka. Umeme ni nyenzo itakayowezakuboresha maisha ya wananchi wa Tarafa hiyo.Naomba tena mradi huu uharakishwe.MHE. RAYA IBRAHIM KHAMIS: Mheshimiwa Spika,napenda kuchangia kwanza kuhusu suala la mafutana gesi ya asili kutokuwa katika masuala ya Muungano.Kumekuwa na vikao vya muda mrefu ambavyo vinamiaka isiyopungua 10 mpaka sasa ambavyo huitwaVikao vya Kero za Muungano na katika vikao hivi kilasiku Wazanzibari huahidiwa lakini maamuzi hayafanyikiambapo kuna kero ambazo hazijapatiwa ufumbuzimfano suala la mafuta.197


Mheshimiwa Spika, katika vitalu vilivyopo kwenyekisima cha Zanzibar, Kitalu namba 9, 10, 11 na 12vimesimamishwa na hakuna shughuli inayoendeleampaka sasa. Kwani kuchelewa kufanya maamuzi juuya suala hili, ni kuliletea hasara Taifa letu kwani nijambo la msimu na lina muda wake wakati kwaupande wa Bara shughuli za utafutaji na uchimbajiunaendelea, hivyo ni kuifanya Zanzibar kudumaakiuchumi hususan katika suala hili. Hivyo basiWazanzibar hawafurahishwi na jambo hili na kuazimiakupitia Azimio la Baraza la Wawakilishi kwamba jambohili liondolewe katika Orodha ya Masuala yaMuungano.Mheshimiwa Spika, mikataba ya uchimbaji nautafutaji inaingiliwa na Waziri wa Nishati na Madini,Wizara ambayo siyo ya Muungano na hakuna hataeneo ambalo lipo chini ya himaya ya Wazanzibar nakuwekewa taratibu kuwa mikataba isainiwe naMawaziri kutoka katika pande zote za Muungano.Pendekezo, mikataba pia iseme wazi kuwa itasainiwana Mawaziri wa pande mbili za Muungano na kampuniinayofanya utafiti itatoa taarifa za utafiti sawia kwaMawaziri wote kwa mujibu wa vipengele vya mkataba.Mheshimiwa Spika, pendekezo la muda mrefu,eneo la uchimbaji na hasa kugawana mapato yamafuta na gesi lisimamiwe na kila upande wamuungano kivyake. Pia biashara ya mafuta isiwejambo la muungano na hivyo kila upande wamuungano uwe na Shirika lake la Mafuta na Gesi Asiliaambalo litashiriki kama mbia wa Mashirika ya Kimataifakatika uchimbaji, usafirishaji na uuzaji wa mafuta na198


gesi asilia kwani mafuta kuwa jambo la muunganohalafu kusimamiwa na Shirika la Tanganyika na Wizaraya upande mmoja wa Muungano ndiyo chanzo cham<strong>go</strong><strong>go</strong>ro na suluhu sio TPDC kuwa Shirika la Muunganobali kila upande upewe uhuru wa kusimamiauchimbaji, biashara na mlolon<strong>go</strong> mzima wa tasnia yamafuta isipokuwa utafutaji. Pia shughuli za utafutajikwenye vitalu vyenye m<strong>go</strong><strong>go</strong>ro ziendelee haraka zaidibila ya kupoteza muda, ziendelee mara moja. Katibampya inapaswa kutoa uamuzi wa mwisho katika sualahili kama ambavyo tulivyoeleza katika hotuba yaKambi ya upinzani.Mheshimiwa Spika, suala la pili, hali ya Zanzibar sionzuri kwa ujumla kwani imekuwa ikionekana kuwa fujozote hizo chanzo chake ni Uamsho. Naishauri Serikali nakumwomba Waziri Mkuu kwamba ipo haja ya Serikalikukaa na watu wa Uamsho na kuwasikiliza niniwanataka ili kutatua matatizo na pia kuleta hali yautulivu kwani kutumia Jeshi la Polisi kwa kutuliza fujo bilaya kuwasikiliza wananchi nini wanataka sio jambo laburasa. Kwani matokeo yake ni fujo, vurugu na watukuuwana na kuteseka bila ya sababu mfano wikiiliyopita katika Msikiti wa Mahonda Askari walivamiawatu katika nyumba ya ibada na kuwapiga mabomuna wengine kujeruhiwa sio suluhisho kutumia nguvukatika kutaka kuleta amani bali naishauri na kuitakaSerikali kukaa kitako na watu wa Uamsho naWazanzibar kwa ujumla kwa kuwasikiliza ni niniwanahitaji na kukipatia ufumbuzi.Mheshimiwa Spika, tatu ni kuhusu Jeshi laWananchi wa Tanzania kwa Zanzibar kumekuwa na199


malalamiko makubwa kwa wananchi hususan waPemba walioko jirani na Mecy ya Jeshi ambayoinaonekana ni tatizo kwa Mecy hiyo kuwa katikati yamakazi ya watu. Imekuwa kero kubwa kwa wananchiwaishio jirani na eneo hilo kwa kupiga muziki kwakupitiliza na kujisahau kuwa wapo watu katika maeneohayo. Mfano mzuri wiki iliyopita kuna mtoto amepigwana Askari wa Jeshi la Polisi na mpaka sasa yupo katikaHospitali ya Rufaa ambapo ni kinyume na Sheria zaHaki za Binadamu ambazo huzuia kufanya hivyo. Ilikuondoa uhasama kati ya wananchi na JWTZ ni kuitakaSerikali iamuru hiyo Mecy ya Jeshi irudi au iwe ndani yaKambi yao ya Alhamisi iliyopo Matrekta (Machomane).Mheshimiwa Spika, suala la nne ni kuhusu masterplan ya industrialization. Kuboresha viwanda nakufufua viwanda vyetu vya ndani na kufanya hivyokutapelekea wakulima kupata nguvu na mori wakuzalisha kwa wingi ili kupata mazao ya kutosha, yachakula na raw material katika viwanda na kufanyahivyo kutapelekea wananchi wengi kuwa na mapenzina kilimo na kuzalisha kwa wingi ili kupata raw materialskatika viwanda. Pia uzalishaji ukiwa mwingi na viwandavikafanya kazi vizuri na kuzalisha kwa wingi tayaritutakuwa tumetoa fursa za ajira kwa vijana direct naindirect na pia waliosoma na wasiosoma nao kuwezakupata ajira kupitia viwanda na hata katika sekta yakilimo, kufanya hivyo tayari tutasaidia vijana kupataajira.MHE. VICKY P. KAMATA: Mheshimiwa Spika,namshukuru sana Mungu kwa zawadi ya uzima hadi200


nimeweza kuchangia kwa maneno na kwa maandishihotuba hii ya Waziri Mkuu.Mheshimiwa Spika, naanza kwa kuunga mkonohoja ya Waziri Mkuu kwa 100% kwa sababu ina majibuyote ya maswali mengi ya Watanzania wengi.Mheshimiwa Spika, naomba nianze kwakuzungumzia tatizo la maji Geita, ni tatizo la mudamrefu sana, inashangaza kuona Serikali imekuwa ikitoaahadi tu kisha inakaa kimya. Naomba Serikali itoe zileshilingi 9.5 bilioni ambazo iliahidi kuzitoa kusudi mradiwa kutoa maji Ziwa Victoria uanze mara moja. Mradihuu ni wa jumla ya shilingi 15.3 bilioni ambao utaletamaji Geita, ambapo shilingi 6.99 zitatolewa na GGM.GGM tayari imeshatoa pesa hiyo kwa upande wakekwa nini Serikali inashindwa kutimiza ahadi hii?Mheshimiwa Spika, naomba Serikali itengemaeneo ya wachimbaji wado<strong>go</strong> ili kuongeza ajira kwavijana na kupunguza malalamiko yasiyo ya lazima.Mheshimiwa Spika, naomba uwekwe utaratibumzuri kwa makubaliano kati ya GGM na Serikali wakuwapatia wananchi wa Geita Magwangala ambayoyanasemekana yana mabaki ya dhahabu.Mheshimiwa Spika, naomba pia Serikali iwekeutaratibu wa kuongea na NGOs hapa nchini kwaninaamini mchan<strong>go</strong> unaotolewa na asasi zisizo zakiserikali ni mkubwa sana kwa maendeleo ya nchi yetu.Hivyo si vizuri kuziacha zifanye kazi bila hata mwon<strong>go</strong>zona ushauri wa jinsi gani zitafanya kazi vizuri. Naomba201


pia NGOs zipatiwe msamaha kwa asilimia 80 badalaya asilimia 20 iliyopo sasa, kwani misamaha hii ya kodiitasaidia kuwatia moyo wahisani kuzidi kututumiamisaada zaidi kwa kuamini mizi<strong>go</strong> wanayotutumiatunaweza kuitoa bandarini kwa wakati.Mheshimiwa Spika, naunga hoja hii mkono,ahsante.MHE. DKT. AUGUSTINE L. MREMA: MheshimiwaSpika, naomba Waziri Mkuu afikirie yafuatayo kwaMkoa wa Kilimanjaro:-Mheshimiwa Spika, kwanza, wakati wa mdororowa uchumi mwaka 2009/2010, Serikali iliahidi kufidiaKNCU shilingi bilioni 1.3 ili ifidie madeni waliyokuwanayo kwenye Benki ya CRDB. Fedha hizo hazikutolewahadi leo.Mheshimiwa Spika, pili, kwa kuwa bei ya kahawaimefika shilingi 10,200 kwa kilo katika Soko la Dunia,naomba yafuatayo:-(a) Serikali iangalie makato yanayokatwa katikakila kilo ya kahawa. KNC inakata Sh.40 kwa kilo na Bodiya Kahawa inakusudia kukata Sh. 9 kwa kilo.(b) Serikali ipunguze gharama ya kuzalishakahawa kwa kuimarisha TACRI na fedha nyingi zitolewekwa TACRI ili waweze kuzalisa miche mingi ya kahawana kupambana na ma<strong>go</strong>njwa sugu.202


(c) Serikali iangalie sera yake badala yakuwauzia walanguzi kahawa mbichi, wanachamawahamasishwe kuvuna kahawa yao wao wenyewe,waipukuchue wao wenyewe, waianike wao wenyewena waiuze wao wenyewe kama wanavyofanya katikaVyama vya Msingi vya Mwika North East – Lole, MwikaMsae Company Society, Kirua Vunjo West CompanySociety na Kibon<strong>go</strong>to Wauri Company Society.Mheshimiwa Spika, tatu, naomba Waziri Mkuuachunguze jinsi vion<strong>go</strong>zi wa Wilaya ya Moshiwamekuwa ni madalali wa kupora na kuuza ardhi yawananchi Vunjo. Maeneo yenye m<strong>go</strong><strong>go</strong>ro nawananchi ni:-(i) Himo Mieresini. Eka zaidi ya 100 zinadaiwakutolewa kwa wananchi waliohamishwakwenye maporomoko ya mto. NaombaSerikali ifuatilie kwa majina watu haowaliopewa eneo hilo. Aidha, naomba kujuakwa nini maeneo kwa ajili ya ujenzi waHospitali, Mahakama, Benki, Kituo cha Posta,Shule za Msingi na Sekondari (Form Six)wanapewa watu binafsi ambao tayari nimatajiri?(ii) Kahe Mawala. Kuna m<strong>go</strong><strong>go</strong>ro mkubwa katiya wakulima na wafugaji. Aidha, kunam<strong>go</strong><strong>go</strong>ro kati ya vion<strong>go</strong>zi madalaliwaliojimilikisha ardhi yao na nyingine kupewawafanyabiashara.203


Mheshimiwa Spika, nne, Mahakama Kuu yaTanzania Moshi katika Kesi Na. 3 ya 2005 inayowahusuMasista wa Holy Spirit Sisters Marangu dhidi ya wavamizikwenye shamba lao lililopo Sanya Juu. Naombahukumu hiyo itekelezwe kwani ni ya tangu 2008.MHE. AZZA H. HAMAD: Mheshimiwa Spika,nashukuru nami kupata fursa ya kuchangia hotuba yaBajeti ya Waziri Mkuu. Kwanza niseme naunga mkonohoja.Mheshimiwa Spika, kutokana na matatizo yaliyopoMkoa wa Shinyanga, naomba sana kwenye hudumaya afya, Serikali iweze kutuangalia kwa macho mawili.Hospitali ya Mkoa wa Shinyanga inakabiliwa namsongamano mkubwa wa wa<strong>go</strong>njwa na hii nikutokana na kwamba Wilaya tatu hazina Hospitali zaWilaya. Wilaya hizo ni Kishapu, Halmashauri ya WilayaShinyanga na Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga.Halmashauri ya Kishapu ina Vituo vya Afya vinne (4)kwa Kata 20 na hawana hospitali ya Wilaya hivyokulazimika kwenda Hospitali ya Mkoa. Halmashauri yaManispaa ya Shinyanga ina Vituo vya Afya vinne naina Kata 26. Hivyo, wa<strong>go</strong>njwa wote hulazimika kwendahospitali ya Mkoa.Mheshimiwa Spika, Halmashauri ya Shinyangaimeanzisha ujenzi wa Vituo vya Afya vingine vinne,Zahanati 14 na Hospitali ya Wilaya ambayoMheshimiwa Waziri Mkuu aliweka jiwe la msingi kwenyeHospitali hiyo ya Wilaya ambayo ina majen<strong>go</strong>yafuatayo – OPD, nyumba moja ya mtumishi na misingiya nyumba nne za watumishi, wodi ya wanawake,204


wodi ya watoto na wodi ya wanaume. NaishauriSerikali iwaunge mkono wananchi hawa ambao kwamakusudi mazima wameanzisha ujenzi huu kutokanana namna wanavyopata tabu. Serikali haionikuyaacha majen<strong>go</strong> haya bila kuyamaliziakunawakatisha tamaa wananchi hawa? Halmashauriya Wilaya ya Kahama ina vituo vitano (5) vya afya inaKata 55. Hospitali ya Wilaya wanayo. NamwombaWaziri Mikuu akiwa anajibu aniambie anafikiria ninikuhusu Hospitali ya Mkoa Shinyanga na Wilaya zake ilituweze kuwanusuru wa<strong>go</strong>njwa wanaopoteza maishakwa kuwa mbali na huduma ya afya?Mheshimiwa Spika, nashukuru sana na naungamkono hoja.MHE. NEEMA M. HAMID: Mheshimiwa Spika,naomba nichangie kwenye udhibiti wa matumizi yaSerikali na napenda kujikita katika ubadhirifu wa fedhandani ya Serikali.Mheshimiwa Spika, naomba Mheshimiwa WaziriMkuu wakati anafanya majumuisho aweze kuniambiaKamati za Auditing ndani ya Wizara, Halmashauri naMashirika ya Umma zina kazi gani na zina nguvu kiasigani? Hoja yangu ni kwamba hawa Chief InternalAuditors wawe wanaripoti ndani ya Kamati za Auditingambazo zipo ndani ya Wizara, Halmashauri sababukitendo cha CIA kuripoti kwa Makati Wakuu,Wakurugenzi wao, naona kinawanyima uhuru wakufanya kazi vizuri na matokeo yake mianya ya rushwainakuwa mikubwa sababu kunakuwa na kuo<strong>go</strong>pana,205


wakati CIA ni chanzo kikubwa cha kuibua ubadhirifuwa fedha ndani ya Idara zao.Mheshimiwa Spika, kuhusu afya, tunapokuwakwenye mazingira ya campas, mahusiano yakujamiana yanakuwa ya karibu na tumeona kwambamaambukizi ya u<strong>go</strong>njwa wa UKIMWI yameongezeka.Hivyo naishauri Serikali na Vion<strong>go</strong>zi wa Vyuo kuendeleakwa kasi kuweka mazingira wezeshi ya kupata elimu nafursa ya kujikinga na maambukizi ya UKIMWI kwa ajili yavyuo kwani waathirika wakubwa ni vijana.Mheshimiwa Spika, naunga mkono hoja hii.MHE. OMARI R. NUNDU: Mheshimiwa Spika, baadaya kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa neema zakenyingi kwetu, naomba niishukuru Serikali kupitia Ofisi yaWaziri Mkuu kwa kushughulikia masuala yanayowagusawananchi kupitia TAMISEMI.Mheshimiwa Spika, kwa miaka mingi Tanga ilikuwani mhimili wa maendeleo ya nchi yetu kiuchumi, kielimuna kisanaa na Mji wa Tanga ulikuwa ni Mji wa pili kwaumaarufu ukitanguliwa na Dar es Salaam. Katika sikuza karibuni Tanga imepoteza nafasi na hadhi yake kiasicha kupitwa na Miji mingi mingine na Wilaya nzima yaTanga kudumaa kwa kila hali. Hata hivyo, dalili zote zamipan<strong>go</strong> ya maendeleo ambayo Serikali inazifanyahaziashirii hata kido<strong>go</strong> kuisaidia Tanga irejee hadhiyake angalau ipige hatua kimaendeleo kama sehemunyingine Tanzania.206


Mheshimiwa Spika, matatizo ya Wilaya ya Tangayamechimbika katika Wilaya ya Tanga nzima, ni jimbomoja la Tanga Mjini ambalo lina Halmashauri moja yaJiji la Tanga. Tatizo ni kuwa Tanga ni Jiji bila faida nafursa za Jiji lakini pia Wilaya ya Tanga ambayo ni Jiji laTanga imepoteza faida na fursa zinazopatiwa sehemuza vijijini.Mheshimiwa Spika, viwanda vilivyokuwepo TangaMjini vimekufa na baadhi ya sehemu zilizokuwa naviwanda hivyo kama Kiwanda cha Tanzania FertilizerCompany ambacho siyo tu hakitumiki hivyo bali piasehemu hiyo imekuwa ni pori linalofuga nyoka na hatanguruwe katikati ya Jiji la Tanga, sehemu ya Raskazoneambayo ni sehemu bora ya makazi.Mheshimiwa Spika, tangu Mei, 2010 hadi leo Juni,2012, Jiji la Tanga halina Mkurugenzi na wamekuwepowanaokaimu na ambapo kwa sasabu moja aunyingine imechangia maendeleo ya Jiji kudorora.Ombi langu ni Jiji hili kupatiwa Mkurugenzi harakaiwezekanavyo, kama haiwezekani kupatiwaMkurugenzi basi yule anayekaimu athibitishwe ili awena hamasa na kujiamini kufanya kazi hiyo kinyume yailivyo sasa.Mheshimiwa Spika, Wilaya ya Tanga ambayondiyo Jimbo la Uchaguzi la Tanga Mjini ina wakaziwanaokaribia 500,000 eneo la hekta 600, Tarafa nne(4), Kata 24, Vijiji 23, Viton<strong>go</strong>ji 129 na Mitaa 146 nabaadhi ya Kata kama ile ya Mabawa ina wakazi zaidiya 40,000. Kata 10 ambazo zimesambaa kwenye urefuwa takriban kilomita 130, ni sehemu ya vijiji ambako207


shughuli zake kubwa ni ukulima. Kwa bahati mbayasana vijiji hivyo havipewi fursa za kuendelea kamasehemu za ukulima kama ilivyo kwa vijiji vingineTanzania.Mheshimiwa Spika, Wilaya nzima ya Tanga inaVituo vya Afya vinne tu na kati ya hivi ni Kituo cha Afyakimoja tu ndicho kiko vijijini. Hii imepunguza sana kiasicha huduma za afya kwa wananchi hawa wa vijijini naimefanya Hospitali ya Bombo iwe inaon<strong>go</strong>za nchinikwa vifo vya wazazi, mwaka 2011 vilikuwa zaidi ya 430.Hii ni kwa sababu wengi wao inabidi wakimbizweBombo kutoka mbali. Ushauri wangu kwa Serikali nikuvipa kipaumbele Vituo vya afya katika kata hizo zavijijini.Mheshimiwa Spika, kwenye ukulima ingawa ardhiipo na wakulima wapo, Jimbo la Tanga Mjinihalionekani kufikiriwa kabisa kwenye kuwezeshwakiukulima. Hawapewi mbolea, hawakufikiriwakupatiwa Powertiller kiasi ambacho hadi 2011, Wilayanzima ya Tanga ilipangiwa powertiller mbili tu wakatibaadhi ya Wilaya Mkoani Tanga zilikwishapatiwapowertiller zaidi ya 25.Mheshimiwa Spika, jitihada za kupatia vijiji hivi majina umeme haitiliwi nguvu kama kwa vijiji vya Wilayanyingine kwa kuwa Mji wa Tanga una mfumo mzuri wamaji na umeme ingawa huduma hizi zinapatikanakatikati ya Wilaya hiyo ambako ni Mji wa Tangawenyewe.208


Mheshimiwa Spika, wanavijiji hawa na wakazi waTanga kwa jumla hawafaidiki kwa misaada ya VICOBA,SACCOS na hata mabilioni ya Mheshimiwa Rais.Wanaofaidi kwenye hili ni wafanyabiashara ambaowanakuja Tanga kwa makusudi ya kufanya biashara.Mheshimiwa Spika, pamoja na kuwa Tanga ndiyochimbuko la elimu Tanzania hadi Novemba, 2010,Wilaya ya Tanga haikuwa na Chuo Kikuu cha ainayoyote, si cha Serikali wala binafsi. Mwaka jana mtubinafsi alianzisha Chuo Kikuu kinachoitwa EckenfordeUniversity. Ombi langu kwa Serikali ni kuweka mikakatiya makusudi kuanzisha Chuo Kikuu Tanga.Mheshimiwa Spika, pamoja na ushauri niliotoahapo juu pia ili kutatua matatizo mengi yanayotokanana Wilaya ya Tanga kuwa Jiji la Tanga, napendakushauri kutiliwa mkazo Wilaya ya Tanga kugawanywakuwa Majimbo matatu ya Uchaguzi ambayo nitaishauriHalmashauri ya Tanga ipendekeze tena. Majimboyanaweza kuwa na Kata zifuatazo:-(i) Tanga Mjini, Kata zake ziwe Mabawa,Mzingani, Makorora, Msambweni, Usagara,Ngamiani Kusini, Ngamiani Kati, NgamianiKaskazini, Majen<strong>go</strong>, Mwanzange na TangaCentral.(ii)Tanga Kaskazini, Kata zake ziwe Pongwe,Chumbageni, Nguvumali, Maweni, Mzizima,Kiomoni, Mabokweni na Chon<strong>go</strong>leami.209


(iii) Tanga Kusini, Kata zake ziwe Tangasisi,Mwambao (Magaoni, Ndumi, Mnyenjawi nakadhalika), Duga, Ton<strong>go</strong>ni, Kirare, Malungu naMwakidila.Mheshimiwa Spika, mwisho, naipongeza Serikalikuongeza posho za Madiwani. Pia ninashukuru poshohizo zilingane na mishahara ya Watendaji wa Serikalinikatika ngazi ya Wilaya yaani DED kama vile mishaharaya Wa<strong>bunge</strong> inavyolingana na ya DC. VilevileWenyeviti wa Vijiji walipwe posho/mishahara yakuwawezesha watekeleze majukumu ya kazi zao vizuri.Mheshimiwa Spika, nakushukuru na pia naungahoja nikiamini kabisa kuwa Mheshimiwa Waziri Mkuuitayatilia maanani na kuyafanyia kazi maombi yanguinavyostahili.MHE. ABDUL J. MAROMBWA: Mheshimiwa Spika,awali ya yote, napenda kuchangia hoja kwa kutoungamkono hoja hii mpaka nikifahamishwa na Serikali nihatua gani inayochukua kuhusu masuala makubwamawili yanayowakabili Wananchi wa Wilaya ya Rufiji.Mheshimiwa Spika, suala la kwanza ni kuhusum<strong>go</strong><strong>go</strong>ro mkubwa uliopo baina ya wakulima nawafugaji katika Wilaya ya Rufiji. M<strong>go</strong><strong>go</strong>ro huu ulianzatangu mwaka 2007 mara Serikali ilipowahamishawafugaji toka Ihefu Mbeya na kuletwa katika Wilaya yaRufiji. Wilaya hii kutokana na uwezo wake ilitaka ipeweng’ombe wasiozidi 50,000 katika maeneo ambayomipan<strong>go</strong> bora ya matumizi ya ardhi imekamilika.Aidha, katika kikao cha RCC kilichofanyika Kibaha,210


Makao Makuu ya Mkoa wa Pwani mwaka 2006 kiliitakaSerikali itoe elimu kwa wananchi wa maeneo ambayomifu<strong>go</strong> inapelekwa ili kuepusha mi<strong>go</strong><strong>go</strong>ro baina yaona wafugaji pindi mifu<strong>go</strong> itakapopelekwa pamoja nakujenga miundombinu. Jambo la kushangaza ni kuwamifu<strong>go</strong> ilipelekwa zaidi ya laki mbili na miundombinukutokamilika hatimaye mifu<strong>go</strong> yote ikahama tokamaeneo tengefu na kuingia katika Bonde la Mto Rufijiambalo ni maarufu sana kwa kilimo cha mpunga,mahindi na kunde. Mifu<strong>go</strong> hii imeenea kwenye bondehili hadi maeneo ya Delta.Mheshimiwa Spika, tangu mifu<strong>go</strong> iingie, u<strong>go</strong>mvibaina ya wakulima na wafugaji imekuwa mingi na vifovingi vimetokea ambapo wanaouwawa ni wakulimawenyeji. Wafugaji hawa pia wamesababishakudumaza kilimo kwani kwa sasa kilimo kimepunguakwa zaidi ya asilimia hamsini (50%). Wafugaji hawawamekuwa wakiharibu uoto na asili kwa kufyeka misituna hatimaye kuweza hata kumuua Mzee Shamte kwakumpiga. Naiomba Serikali iweke wazi ni lini wafugajihawa wataondolewa katika Bonde la Mto Rufiji iliBonde hili litumike kwa shughuli za kilimo. NamwombaMheshimiwa Waziri Mkuu aeleze kwa kina mkakatiambao Serikali umeuweka ili wananchi hawa wawezekulima bila bugudha kilimo cha vuli na kile cha mwaka.Mheshimiwa Spika, jambo la pili ni malipo yawakulima wa zao la korosho katika Mkoa wa Pwani.Wakulima hawa waliuza mazao yao mwezi Septembana Oktoba 2011 na kupewa asilimia sabini na kubakiasilimia 30 hadi sasa pamoja na tamko la Waziri Mkuukuwa Serikali italipa deni hilo mwezi Mei, 2012.211


Naiomba Serikali ieleze kwa kina ni ninikinachosababisha hadi sasa wakulima hao washindwekupewa fedha zao ambazo zinahitajika mno kwa ajiliya matumizi yao ya kila siku na pia kuweza kuyaandaamashamba yao kwa msimu huu wa mwaka 2012.Mheshimiwa Spika, naiomba pia Serikali, ieleze nivikwazo gani vilivyosababisha watumishi waHalmashauri ya Wilaya ya Kilosa kuendelea kukaimukwa zaidi ya miaka mitatu. Vion<strong>go</strong>zi hawawanaokaimu kama hawana sifa ni vizuri kuwaondoana kama wana sifa kwa nini wasithibitishwe?Mheshimiwa Spika, naomba kuwasilisha.MHE. SHAFFIN A. SUMAR: Mheshimiwa Spika,naunga mkono hoja. Naipongeza Serikali kwa bajetinzuri, napenda kugusia masuala mawili.Mheshimiwa Spika, naipongeza Serikali kwa kuonaumuhimu wa kutokuwahamisha Watendaji waHalmashauri wanaofuja fedha za umma.Mheshimiwa Spika, naipongeza Serikali kwa kuonaumuhimu wa kuwaon<strong>go</strong>zea Madiwani posho kwaniwao wanajitolea sana kufanya kazi ngumu yakusimamia miradi ya maendeleo katika maeneo yaolakini bado kuna haja ya kuwawekea posho Wenyevitiwa Serikali ya Kijiji ili na wao wapate hamasa yakusimamia majukumu yao.Mheshimiwa Spika, Serikali inafanya kazi nyingiambazo ni nzuri lakini umma wa Watanzania haupewi212


taarifa ya kutosha. Pamoja na kwamba ajira kwavijana ni tatizo lakini Serikali inaajiri vijana wengi kilamwaka. Nashauri ofisi ya Waziri Mkuu itenge sikumaalum kila mwaka itangaze ajira zote zilizotolewa naSerikali au tuwe na Siku ya Ajira Tanzania. Kwa kufanyahivyo, umma wetu utapata taarifa za ajira ambazozinatolewa kwa vijana.Mheshimiwa Spika, zao la tumbaku linaon<strong>go</strong>zakuingiza pato la Taifa lakini bado mkulima wa tumbakuhanufaiki kwa sababu:-(i)WETCU inasimamia usambazaji wa pembejeoambapo wanawaibia sana wakulima kwamfano mfuko mmoja wa pembejeo (NPK kg.50) unatoka Dar es Salaam mpaka kumfikiamkulima alipo, unatozwa jumla ya US$ 16mpaka kumfikia mkulima kwa gharama hii, je,tunamkomboa mkulima au tunamkomoamkulima?(ii) Zao la tumbaku limewekewa grade 68 kwakila jani jambo ambalo limeweka mpenyokwa wanunuzi kuweza kumkandamizamkulima kwa kushusha grade na hivyo malipokupungua kwa mkulima.(iii) Mkulima anakatwa kilo moja kwa kila belo latumbaku kama uzito wa gunia ambapo gunialina gramu 700 – 800 tu gramu zinazobakihazifanyiwi marejesho ya malipo.213


(iv) Mwaka jana bei ya wastani ya tumbakuilikuwa US$ 1.60 lakini wakulima wamelipwabei ya wastani US$ 1.30, wakulimawameibiwa.(v) Licha ya bei ya tumbaku kuporomoka mwakajana lakini ushuru wa Serikali umeongezwakwa nini?Mheshimiwa Spika, mradi wa WMA katika mpakawa Wilaya ya Uyui na Urambo. Kuna unyanyasajimkubwa unaofanywa wa WMA ambapowanawachomea nyumba na kukamata mifu<strong>go</strong> yawananchi waishio kijiji cha Katunda, Kiton<strong>go</strong>ji chaMwamashiga, Kata ya Maboma, Wilaya Uyui. Eneo hilila Mwamashiga halimo kwenye hifadhi ya WMA lakinibado wananchi wanasumbuliwa na anayewapa ujasirihuo ni Mkuu wa Wilaya ya Urambo aitwaye AnnaMa<strong>go</strong>ha. Kama amani ikivunjika na watu kuuwana,chanzo atakuwa DC wa Urambo kwani wananchi waUyui mateso wanayopata, DC Urambo anayajua lakinihuwa hayuko tayari kutoa msaada eti anasema Askariwa WMA wako sahihi na baadaye mfugaji anatakiwakulipia kiasi kikubwa cha fedha ili akomboe mifu<strong>go</strong>yake hali hii ni mbaya, amani itapotea muda si mrefu.MHE. DKT. PRUDENCIANA W. KIKWEMBE:Mheshimiwa Spika, nashauri kwanza, Shirika la STAMICOlipewe mamlaka kamili ya kusimamia madini pamojana bodi husika ikiwa ni pamoja na kuangalia upyamikataba iliyopo na itakayofuata ili kuongeza tijakatika sekta hiyo.214


Mheshimiwa Spika, pili, asilimia nne ya mrahabainayotajwa kwa kuzingatia matakwa ya Sheria mpyaya Madini Na. 14 ya mwaka 2010. Kiwan<strong>go</strong> hicho nikido<strong>go</strong> na hivyo sheria hiyo ni vyema ikapitiwa upya ilikuangalia kiwan<strong>go</strong> kinachoendana na thamani yamadini yetu.Mheshimiwa Spika, tatu, asilimia hiyo yaani(asilimia nne) ni vyema ikaenda moja kwa moja katikaHalmashauri husika ili ziweze kusaidia katika kutatuamatatizo ya kijamii kama shule, dawa na mengineyo.Mheshimiwa Spika, nne, makampuni yoteyanayokuja kuwekeza nchini yashiriki moja kwa mojakatika jamii katika kuleta maendeleo kwa mfanokusomesha na kutoa ufadhili kwa watoto wanaotokakatika familia zenye kipato cha chini badala ya ilivyosasa makampuni mengi yamekuwa yakitoa vifaa vyamichezo kama mipira na jazzy badala ya kutoa vifaahivyo tu, ni vyema makampuni kama hayoyakaendeleza michezo kwa kuchagua aina yamchezo na kuuendeleza kwa kiwan<strong>go</strong> cha kimataifa.Mheshimiwa Spika, naunga mkono hoja.MHE. PHILEMON K. NDESAMBURO: MheshimiwaSpika, wakazi wa Kilimanjaro wamechoka kuzika nduguzao kutokana na ajili za barabarani. Wanaomba kujuani lini Serikali itafufua Reli ya Tanga – Moshi naMombasa – Moshi – Arusha?Mpeshimiwa Spika, pia wakazi wa Moshiwangependa kujua ni lini Serikali itatange pesa za215


kukarabati runway ya Kiwanja cha Moshi ili ndegeziweze kutumia kiwanja hicho ambacho ni muhimusana kwa utalii; hasa wapanda Mlima wa Kilimanjaro?Mheshimiwa Spika, wakazi wa Moshi wamechokakuona mji wao ambao ni maarufu kwa usafiunaharibiwa kwa makusudi, hasa ujenzi holelausiofuata taratibu ambao una baraka zote zaMkurugenzi wa Manispaa ya Moshi kwa tabia yake yakudharau na kutofanyia kazi maazimio ya Baraza laMadiwani.Mheshimiwa Spika, tunaomba VAT na kodi yoyoteinayotozwa kwenye maji ya kunywa ifutwe, kwaniinafanya maji yawe ghali na kufanya watu kunywamaji machafu ambayo ni hatari kwa afya zao.Mheshimiwa Spika, tunaomba pawe na mpan<strong>go</strong>maalumu wa kuokoa Mlima Kilimanjaro kwa kutoapesa za kutosha kulinda mazingira. Jambo hili lipewekipaumbele kwani hali ya sasa ni mbaya na mbayasana.Mheshimiwa Spika, kuna tatizo la Udini, Ukanda naUkabila, linajitokeza kwa nguvu sana hata ndani yaBunge hili; hii ni hatari, Serikali inalinyamazia. Hii nimbegu mbaya inapandwa ndani ya Taifa hili. Tutajuta.Serikali ichukue hatua kudhibiti hali hii badala yakuibariki.MHE. ESTHER L. MIDIMU: Mheshimiwa Spika, kwanzakabisa, nampongeza Waziri Mkuu kwa hotuba yake216


nzuri lakini pia napongeza Jeshi letu la Ulinzi naUsalama, linafanya kazi kubwa.Mheshimiwa Spika, naomba sasa nianzekuchangia kuhusu suala la barabara ya lami tokaLamadi – Bariadi, barabara hii itafungua Mkoa wetuwa Simiyu na Mikoa mingine kama Mwanza na Mara.Inasikitisha sana barabara hiyo ya kutoka Lamadikwenda Bariadi wakati inaanza kujengwa ilianza kwakasi sana, kwa sasa imesimama, haina mwelekeo,mkandarasi ameshaondoka, amehamisha na vitendeakazi akidai hajalipwa hela yake. Wananchi wetu niwasikivu, wamebomolewa nyumba zao bila malipoyoyote wakipitisha barabara lakini cha ajabu mpakamuda huu hakuna kinachoendelea, barabara imezidikuchimbika sana kiasi kwamba haipitiki. Wananchiwanalia wanadai ni bora ingebaki barabara yao yazamani kuliko kuharibiwa na kuachwa. Wa<strong>bunge</strong> waMkoa wa Simiyu tuna shida sana, mara kwa maratunakumbana na hayo maswali kuhusu barabaratunashindwa kujibu, hata Waziri Mkuu wakati wa ziarayake ya Wilaya ya Bariadi alikumbana na hayomaswali.Mheshimiwa Spika, mimi nina wasiwasi sanakuhusu msimu wa pamba, magari yatasombajepamba, barabara ni mbovu kuliko maelezo na hiyobarabara inaweza ikasababisha ajali. Maloriyanayosomba pamba kutoka Bariadi kwenda Musomana kutoka Mkula kwenda Bariadi watapita wapi?Naishukuru Serikali nimeona kwenye kitabu imetengapesa shilingi bilioni saba, naiomba ipeleke haraka217


Mkoani Simiyu ili iweze kujengwa barabara hiyoinayotoka Ramadi – Bariadi - Mwigumbi. Zao lapamba, naiomba Serikali iweke mazingira rafiki kwawakulima wote lakini pia wanunuzi. Beiitakayopangwa iwe yenye tija kwa wote wakulima nawanunuzi.Mheshimiwa Spika, kuhusu maji, bwawa laMwanjoro lililopo kule Meatu liishe. Tunaomba piaSerikali sasa ifikirie kuvuna maji toka Ziwa Victoria kujakwenye Wilaya zetu za Bariadi, Maswa, Itirima naMeatu. Huu utakuwa mradi pekee utakaoondoa tatizola maji Simiyu.Mheshimiwa Spika, naunga mkono hoja.MHE. JOSEPHINE J. GENZABUKE: Mheshimiwa Spika,naunga mkono hoja.Mheshimiwa Spika, katika Halmashauri pesa nyingizinazopelekwa huko zinapotea bila kuleta maendeleokwa wananchi wetu. Kwa mfano, pesa nyingi hupoteakwenye mafuta ya magari, huko ndipo pesazinakopotelea, watu wenye vituo vya mafuta ambaowanatenda za kuiuzia mafuta Halmashauri ndiyowanaoshirikiana na watendaji katika Halmashauri zetuna huko kwa wafanyabiashara hao ndiko cheki hewaza malipo ya mafuta zinakopitishiwa. Watendaji katikaHalmashauri zetu, ndiyo wenye makampuniyanayofanya kazi katika Halmashauri kwa kuwatumiandugu zao au marafiki zao. Sasa kama kweli Serikaliimedhamiria kwa dhati kusimamia pesa za Serikali,iliangalie jambo hili ili watendaji au Madiwani katika218


Halmashauri husika wasijihusishe katika tenda zaHalmashauri.Mheshimiwa Spika, naomba mbolea iwafikiewakulima kwa wakati kabla ya msimu kuanza, mboleana mbegu vyote viende sambamba.Mheshimiwa Spika, baada ya maelezo hayo,naomba kuunga mkono hoja hii kwa asilimia mia moja.MHE. JOB Y. NDUGAI: Mheshimiwa Spika, kwanzanapenda kuongelea kuhusu TAMISEMI, kuna tatizokubwa linalotokana na “appointments” kwa nafasimbalimbali za uon<strong>go</strong>zi Serikalini kutokana na Serikali yaAwamu ya Nne kuamua kuondoa ushindani kwakutangaza nafasi za uon<strong>go</strong>zi. Nashauri nafasi hizozitangazwe hata kwa “Internal Circulars” iliwanaoomba nafasi hizo wawe ni watumishi waajiriwatu ndani ya Serikali popote pale walipo nchini, hiiitaondoa upendeleo, udini, ukabila, ukanda, kuwekamilolon<strong>go</strong> ya waliojipanga kifisadi ili kuhujumu fedha zaSerikali. Matarajio ni kwamba kutakuwepo panels zakuchuja na kushauri nani apewe cheo gani na wapi.Mheshimiwa Spika, pili, utumishi Serikalini; nashauriukiondoa waajiriwa katika Sekta za Ulinzi na Usalamawa Taifa, yaani Polisi, Magereza, JWTZ na Usalama waTaifa; waajiriwa wengine wote Serikali wapewe ajira zamikataba kati ya miaka mitatu, mitano na maximumsaba. Hii itatoa fursa kwa Serikali kuweka taratibu za“Pay for Performance (P4P)” ambapo kila mwajiriwaatapewa masharti ya kazi ambayo yatatathminiwakabla ya “Redeployment” pia Serikali itatoa fursa kwa219


Serikali kujivua gamba kwa kuondoa maelfu na malakiya watumishi wa kada mbalimbali ambao ni mzi<strong>go</strong>kwa Taifa na wanapata mishahara hewa bila yakuwajibika. Wengi wa watumishi hawa wanakuwepotu hadi wafike miaka 60. This is wrong, Serikaliinabadilisha Baraza la Mawaziri na Makatibu Wakuu nawengine wachache; watumishi wengine wote ni static,wapo tu hadi wafikie miaka 60 ya kustaafu, no! Sasatuna wataalamu kila kada, tutangaze nafasi watuwashindanie, we should retain in Government only butthe Best.Mheshimiwa Spika, tatu, fedha za Rada. Kamakweli fedha ya Rada katika elimu zinaenda katikabaadhi ya Mikoa, hiyo si sawa hata kido<strong>go</strong>. Zigawiwenchi nzima hata kama ni kwa uwiano bila kutofautiana.Mheshimiwa Spika, nne, nishati ya umemeKongwa. Tunaomba nishati za umeme kupitia REA kwavijiji vya karibu kama ifuatavyo:-(i) Mlali – Nghumbi – km 5;(ii) Mbande – Sejeli – Banyibanyi – km 15;(iii) Zoissa – Chite<strong>go</strong> – km10; na(iv) Pandambili – Chiwe km 8.Mheshimiwa Spika, naunga mkono hoja.MHE. MENDRAD L. KIGOLA: Mheshimiwa Spika, kwakuwa Ofisi ya Waziri Mkuu ni ofisi muhimu sana katikakuratibu utaratibu wote katika Halmashauri zetu ilikusimamia maendeleo ya Mikoa na Halmashauri zote220


nchini Tanzania, naomba kutoa ushauri kwa Serikalikama ifuatavyo:-(i) Katika Halmashauri kuna mali nyingi sana zaSerikali lakini usimamizi wake bado duni kwa mfanoKiten<strong>go</strong> cha Manunuzi bado hakijaimarishwa. Fedhanyingi sana zinapotea kupitia kiten<strong>go</strong> hiki. Kwa hiyo,Serikali iimarishe usimamizi madhubuti katika kiten<strong>go</strong>hiki kwa kufuata Sheria ya Manunuzi.(ii) Naomba Halmashauri zetu kuwa na miradi ilikupata mapato ya ndani siyo kutegemea ruzukukutoka Serikali kuu.(iii) Halmashauri zina wawekezaji ambao wanamiradi mikubwa kwa mfano viwanda vya chai,viwanda vya mbao na viwanda vya karatasi ambavyovipo katika Jimbo la Mufindi Kusini, Wilaya ya Mufindi.Kwa hiyo, Halmashauri inaweza kufaidikia kupitiaviwanda hivi kwa kupewa mrahaba kutoka katikaviwanda hivi.Mheshimiwa Spika, suala la maji, katika vijiji vingihapa Tanzania wana tatizo la maji, ndiyo maanaWa<strong>bunge</strong> wengi sana wanauliza maswali ya maji hasamiradi wa World Bank bado haitekelezeki. NaombaSerikali itafute njia nyingine ili kutatua tatizo hili la maji.Katika Jimbo la Mufindi Kusini, kuna Vijiji vya Sawala,Kibao, Rufuna na Kipande. Wananchi wanapata shidaya maji, wananchi wameshachangia fedha mpakasasa fedha zao zipo benki lakini Serikali badohaijapeleka maji kwa mradi huu wa World Bank.221


Mheshimiwa Spika, maji ni tatizo kubwa sanakatika Jimbo la Mufindi. Serikali kwa kushirikiana nawananchi wa Jimbo la Mufindi Kusini walijenga matankiya maji katika vijiji vya Sawala, Kibao, I<strong>go</strong>wole, Nyololo,Maduma na Nyi<strong>go</strong> lakini miundombinu yakeimechakaa sana mpaka sasa hivi matanki hayohayatumiki sababu miundombinu yake imechakaa.Naiomba Serikali kuchukua hatua za haraka ilikukarabati miundombinu ya maji katika Jimbo laMufindi Kusini.Mheshimiwa Spika, naiomba Serikali kujengabarabara kwa kiwan<strong>go</strong> cha lami, barabara ya Nyololo– I<strong>go</strong>wole – Kibao – Mtwan<strong>go</strong> – M<strong>go</strong>lolo. Ni barabaramuhimu sana katika uchumi wa Taifa kwa ujumlasababu imepita katika viwanda vikubwa vya chai,mbao, karatasi na viwanda vido<strong>go</strong>vido<strong>go</strong> vyawajasiriamali. Pia kuna idadi ya watu wengi wanaoishikatika barabara hiyo. Naiomba sana Serikalikulichukulia hili kuwa ni tatizo kubwa katia Jimbo laMufindi Kusini.MHE. JOHN J. MNYIKA: Mheshimiwa Spika,naomba kutoa mchan<strong>go</strong> ufuatao kuhusu maelezo yakiutendaji ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu –Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa kuhusu mapitio yakazi kwa mwaka wa fedha 2011/2012 na mwelekeo wakazi kwa mwaka 2012/2013 pamoja na Fungu 56 katikamakadirio ya matumizi ya Ofisi ya Waziri Mkuu kwamwaka 2012/2013.Mheshimiwa Spika, kutokana na Sera ya Uboreshajiwa Mfumo wa Serikali za Mitaa ya mwaka 1998 na222


utekelezaji wa Mpan<strong>go</strong> wa Uboreshaji wa Mfumo waSerikali za Mitaa; Wizara ifanye mapito ya Sheria zaSerikali za Mitaa kuhusu Muundo wa Kamati za MitaaMijini na majukumu ya Wenyeviti na Watendaji waMitaa ili kuwe na mfano thabiti na ushirikishwaji mpanakama ilivyo kwa Halmashauri na mikutano mikuu yavijiji.Mheshimiwa Spika, mapato ya mamlaka za Serikaliza Mitaa kwa mwaka 2011/2012 yameshukaukilinganisha na makadirio. Mapato yalikuwa shilingibilioni 142.8 hadi mwezi Machi 2012 wakati makadirioyalikuwa shilingi bilioni 350.5 sawa na asilimia 40.7.Sababu mojawapo ikiwa ni kuchelewa kutungwa kwakanuni na kuwekwa kwa mfumo baada yamarekebisho ya Sheria ya Biashara kufanyika. Ofisi yaWaziri Mkuu na Wizara Fedha wafidie kiwan<strong>go</strong> chaupungufu wa mapato uliojitokeza kwenye Manispaaya Kinondoni. Aidha, Serikali iharakishe kuweka mfumohusika kwa mwaka 2012/2013.Mheshimiwa Spika, kuhusu fedha za Mfuko waBarabara kwa mwaka 2011/2012, naomba maelezo nikwa nini fedha za barabara ya Kibangu mpakaMakoka, Kata ya Makuburi, Manispaa ya Kinondonihazikutolewa mpaka sasa? Naomba barabara hiiifanyiwe matengenezo kama Waziri wa TAMISEMIalivyoahidi. Aidha, Ofisi ya Waziri Mkuu ishughulikieombi lililowasilishwa na Mkuu wa Mkoa la ujenzi wadaraja la Ubun<strong>go</strong> Kisiwani linalounganisha Ubun<strong>go</strong>Maziwa na Mabibo External na kuchangia katikakupunguza msongamano wa magari katika Jiji la Dares Salaam.223


Mheshimiwa Spika, aidha, Serikali itoe maelezo yakina kuhusu sababu ya kutotoa kiwan<strong>go</strong> cha fedha zaruzuku ya MMEM na MMES (Capitation) kamailivyopitishwa kwenye bajeti. (Jumla ni shilingi bilioni17.8 tu badala ya shilingi 72.9 bilioni).Mheshimiwa Spika, naomba kupatiwa nakala yaTaarifa ya Ukaguzi wa Elimu ya Shule ya Msingi naSekondari katika Mkoa wa Dar es Salaam.Mheshimiwa Spika, kifungu 2005, maendeleo yamiji, kasma 270620 – DART, matumizi ya fedha hizoyazingatie pia kuboresha mfumo wa kutoa taarifa kwawananchi na wawakilishi wa wananchi ikiwemoMadiwani na Wa<strong>bunge</strong> kuhusu utekelezaji wa mradikila baada ya miezi mitatu.Mheshimiwa Spika, aidha, mpan<strong>go</strong> wamaendeleo kasma 4285- DART, kutotenga fedha zamaendeleo kabisa kutakuwa na athari kwa mradi.Ofisi ya Waziri Mkuu itenge fedha za kumaliza fidia yashilingi bilioni 500 kwenye kituo cha mabasi ya Ubun<strong>go</strong>,shilingi bilioni 1.5 kwa ajili ya eneo mbadala la kupakimabasi na shilingi bilioni 1.5 za matengenezo yabarabara za mchepuo za kupunguza foleni wakati wautekelezaji wa mradi. Ikiwa hakuna chanzo mbadala,Ofisi ya Waziri Mkuu ichukue kiasi cha fedha kutokakwenye kasma 4170 – Programu ya Mfuko waBarabara.Mheshimiwa Spika, kuhusu Maboresho ya Sekta yaFedha, naomba kuletwe Bungeni Muswada wa Sheria224


ya Taasisi Ndo<strong>go</strong>ndo<strong>go</strong> za Fedha ili kuboresha mfumomzuri wa kuendeleza SACCOS, VICOBA na taasisizingine pamoja na kudhibiti viwan<strong>go</strong> vya riba.Mheshimiwa Spika, kuhusu sensa ya watu namakazi, naomba Ofisi ya Waziri Mkuu katikamajumuisho itoe kauli kuhusu kutofautiana kwa kaulikunakoendelea kwenye vyombo vya habari kati yabaadhi ya Mawaziri wa Serikali na baadhi ya vion<strong>go</strong>ziwa dini kuhusu mfumo na utaratibu wa sensa ya watuna makazi kwa mwaka 2012.Mheshimiwa Spika, kuhusu mabadiliko ya Katiba,Ofisi ya Waziri Mkuu itoe kauli ya kuendelea kupokeamapendekezo ya kuboresha Sheria ya Mabadiliko yaKatiba Na. 8 ya Mwaka 2011 (Sura ya 83), kuhusuBunge la Katiba na kuhusu kura ya maoni. Bilakuboresha utaratibu wa utungaji na uhalalishaji waKatiba, kazi iliyoanza kufanywa na Tume ya kuratibu nakukusanya maoni haitaweza kujenga mwafaka wakitaifa na kuipatia nchi Katiba mpya na bora.Mheshimiwa Spika, kuhusu muungano, Ofisi yaWaziri Mkuu itoe taarifa ya kina zaidi kwa Wa<strong>bunge</strong> naBunge kuhusu hoja kumi na mbili (12) ambazohazijapatiwa ufumbuzi; ili Kamati za Kudumu za Bungeziweze kuishauri na kuisimamia Serikali kwa mujibu waIbara ya 63 (2) ya Katiba ya nchi.Mheshimiwa Spika, kuhusu Bunge, ofisi ya WaziriMkuu, Sera na Uratibu na Bunge) ishirikiane na uon<strong>go</strong>ziwa Bunge kuwezesha marekebisho ya Kanuni zaKudumu za Bunge kwenye mwaka wa fedha225


2012/2013. Aidha, itoe kauli imejipanga vipi kushirikianana uon<strong>go</strong>zi wa Bunge kuweka mfumo mzuri zaidi waKikanuni na kirasilimali kuweka mazingira bora yautendaji wa Wasemaji wa Kambi Rasmi ya Upinzani(Baraza Kivuli) kama ilivyo katika nchi zenye wi<strong>go</strong>mpana wa demokrasia. Naomba pia kupata majibuya Ofisi ya Waziri Mkuu juu ya maombi yangu yamwaka 2011 ya kuingizwa katika orodha ya ujenzi waOfisi ya M<strong>bunge</strong> katika Jimbo la Ubun<strong>go</strong>. Kwa kuwakwa sasa Ofisi ya M<strong>bunge</strong> wa Ubun<strong>go</strong> ipo katika Jimbola Kinondoni. Ofisi ya Waziri Mkuu na Ofisi ya Katibu waBunge zianze mawasiliano na Manispaa ya Kinondonikwa ajili ya kupata eneo la kujenga Ofisi ya M<strong>bunge</strong>katika Jimbo la Ubun<strong>go</strong>.Mheshimiwa Spika, kuhusu maendeleo ya sektabinafsi, uwekezaji na uwezeshaji, Waziri wa Nchi atoenakala kwa M<strong>bunge</strong> na Manispaa ya Kinondoni kuhusuuchambuzi unaofanyika kuhusu ujenzi na upanuzi wabarabara ya Chalinze na Moro<strong>go</strong>ro (express line).Aidha, atoe nakala kwa M<strong>bunge</strong> kuhusu wananchi wavikundi kutoka Jimbo la Ubun<strong>go</strong> na fedha za TASAF namifuko mingine ya uwezeshaji inayoratibiwa na Ofisi yaWaziri Mkuu.Mheshimiwa Spika, kuhusu viwanda, kufuatiamkutano wa Waziri Mkuu na wadau wa viwanda vyanguo; naomba Ofisi ya Waziri Mkuu ifuatilie kwa karibuKiwanda cha Nguo cha Urafiki.Mheshimiwa Spika, kuhusu elimu ya juu, pamoja nakuunga mkono maoni ya Kambi Rasmi ya Upinzanikuhusu kusimamishwa kwa wanachuo wa UDOM; Ofisi226


ya Waziri Mkuu itakapotoa majibu ieleze pia hatua yawanachuo waliosimamishwa UDSM.Mheshimiwa Spika, naomba pia majibu yamchan<strong>go</strong> wa Mkutano wa Nne wa bajeti 2011 ikiwemokuhusu fidia ya ardhi ya wananchi wa Kwembe -Mloganzila.MHE. MURTAZA A. MANGUNGU: Mheshimiwa Spika,napenda kuwasilisha kwako mchan<strong>go</strong> wangu katikahotuba ya Mheshimiwa Waziri wa Mkuu kuhusumakadirio ya matumizi ya fedha ya Ofisi yake kwamwaka 2012/2013 kama ilivyowasilishwa Bungeni.Mheshimiwa Spika, kwanza naanza kwakumpongeza Mheshimiwa Mizen<strong>go</strong> Kayanda PeterPinda (Waziri), kwa uwasilishaji wake mzuri na wenyeweledi uliotukuka. Pili nampongeza kwa utendajimakini wa majukumu yake na uvumilivu wa hali ya juualionao. Nampongeza pia Mheshimiwa HawaAbdulrahman Ghasia kwa utendaji mzuri naameonyesha kuwa ni jinsi gani yupo makini maana nikipindi kifupi tangu uteuzi wake.Mheshimiwa Spika, tatizo la bomoabomoalimekuwa ni kero ya kwanza na ni la kipaumbele kabisakwa nchi nzima na malalamiko ni makubwa. NaiombaSerikali isikie kilio hiki kwa kuzingatia haki.Mheshimiwa Spika, katika eneo la Jimbo la KilwaKaskazini mathalani, wananchi wamejenga kabla hataya sheria iliyotajwa haijatungwa na kuridhiwa na Bungeama kuidhinishwa na mamlaka husika na hii227


inathibitishwa na histora ya nchi yetu kwambawakoloni wamekuwepo kuanzia karne ya 18 na kablaya hapo walikuwapo Waarabu na Washirazi katikamaeneo ya Kilwa. Hivyo sikubaliani kabisa kuwauwepo wa wananchi hawa katika maeneo hayo nikuvunja sheria kwa tafsiri kwamba wamekuwapokabla. Lakini haitoshi itakuwa pia Katiba inakikukwakama Ibara ya 13 (1) ambayo inatamka watu wote nisawa mbele ya sheria na wanayo haki bila ya ubaguziwowote kulindwa na kupata haki sawa mbele yasheria. Pia Ibara ya 24(1) inayosema kila mtu anayohaki ya kumili mali na haki ya kuhifadhi mali yakealiyonayo kwa mujibu wa sheria.Mheshimiwa Spika, tatizo la ujenzi wa barabaragharama zinaongezeka kila siku, ifike wakati sasa tuwena mpan<strong>go</strong> mkakati kuhakikisha tunamaliza ujenziwake haraka na kuepuka gharama ambazozinaongezeka kwa kasi sana. Kwa kipindi kirefu sasatumekuwa tunazungumzia barabara ya Nangurukuru –Liwale, Njia Nne – Kipatimu zijengwe kwa lami ili zipitikewakati wote. Pia tumeleta maombi maalum kwa ujenziwa barabara ya Kipatimu – Mpopera bila ya majibuyoyote. Kipindi kilichopita pia nilizungumzia suala laahadi ya Mheshimiwa Dkt. Jakaya Kikwete kwa ujenziwa barabara ya Kipatimu hadi Nyamwage ambapohata dalili ya utekelezaji wake haijaonekana. Licha yajitihada za Serikali kuwawezesha Watanzania kiuchumina kiutendaji kwa kiasi kikubwa sasa tuhakikishemakampuni ya kitanzania yanapewa (yanajengewa)uwezo ili yaweze kushiriki kikamilifu katika miradi, kwamaana kuwa tunaposhirikisha kampuni za nje tunatoa228


pesa zetu nyingi na tunaimarisha uchumi wa nchinyingine.Mheshimiwa Spika, pamoja na ufuatiliaji mzuri wavion<strong>go</strong>zi wa Wizara hizi, naishauri Serikali ihimize nakuhakikisha barabara ya Ndundu – Somangainakamilika kwa wakati, ili iwe ni pumziko kwawananchi wa Kilwa na Mikoa ya Kusini kwa ujumlaambao kwa kipindi kirefu wameteseka kwa kutopatakuitumia vyema fursa za kiuchumi zilizopo.Mheshimiwa Spika, katika utekelezaji wa miradi,kumekuwa na tatizo kubwa la wananchikucheleweshewa fidia zao pale ambapo wanatakiwakupisha miradi. Naishauri Serikali itafute namna borazaidi ya kutekeleza zoezi la fidia kwa maana linakerana kusumbua sana.Mheshimiwa Spika, kumekuwa na tatizo kubwasana la mfumuko wa bei haswa kwenye vyakula.Tumekuwa na tunapendekeza hatua mbalimbali ilikuweza kukabiliana na tatizo hili. Tunaishukuru sanaSerikali kwa kukubali ushauri wa mara kwa mara ilasasa naishauri Serikali iweke mkazo kuhakikisha Bodi yaMazao Mchanganyiko inapewa mtaji na kushiriki sokona wafanyabiashara ambao wamekuwa wakaidikusaidiana na Serikali. Katika kutekeleza hili, pamojana Baraza la Mawaziri kuridhia toka mwaka 2008 kwaWaraka Na. 40 ambao uliagiza kuwa mali zotezilizokuwa za NMC zikabidhiwe kwa Bodi, zoezi hilihalijakamilia hadi leo.229


Mheshimiwa Spika, tumekuwa na tatizo kubwasana la huduma kwa wazee ambao wametimiza umriwa miaka sitini kutopata tiba stahiki, licha ya WaziriMkuu kutoa agizo kuwa wazee watibiwe bure kamasera inavyoelekeza. Tunaiomba TAMISEMI iandaeWaraka ili usambazwe katika vituo na zanahati zotenchini ili kuondoa kero kwa wazee wetu.Mheshimiwa Spika, mpangilio wa bajeti imefikiawakati uangaliwe upya kwa maana hii inapelekeamaeneo mengine kudumaa kabisa. Ukiangalia kwakipindi cha miaka mingi, Mikoa ya Lindi, Mtwara,Ruvuma, Ki<strong>go</strong>ma na Rukwa imekuwa imepunjwa sanabajeti ya maendeleo hasa katika sekta za afya, elimu,maji na barabara ambapo ukiangalia kwa makinibajeti za Mikoa hii inalingana kabisa na bajeti ya Mkoammoja wa Dar es Salaam au Mwanza. Kigezo chaidadi ya watu si sahihi kwa maana hakuna ambayeanakubali kuishi kwenye shida, tuwekeze vijijini maanahali hii inapelekea watu wote kutoka vijijini nakukimbilia mijini.Mheshimiwa Spika, kutokana na hali ngumu yamaisha na mazingira magumu ambayo watumishiwamekuwa wanakumbana nayo haswa WilayaniKilwa, naishauri Serikali ihakikishe mpan<strong>go</strong> wa kuwalipawatumishi wanaofanya kazi katika mazingira magumuhaswa kwenye afya, elimu na kilimo. Si sahihiwatumishi hawa kulipwa viwan<strong>go</strong> sawa na waleambao wanaishi kwenye maeneo ya miji.Mheshimiwa Spika, kwa sekta ya elimu piatunaiomba Serikali irejeshe utaratibu wa kutoa chakula230


mashuleni ili kusaidia kuinua kiwan<strong>go</strong> cha elimu kwawanafunzi. Hali ya lishe na utapiamlo ni mbaya sananchini na tukiacha iendelee basi ni janga kubwa kwaTaifa letu kwa maana hata ufaulu wa watoto hauwezikuon<strong>go</strong>zeka.Mheshimiwa Spika, kumekuwa na madai mengi yawatumishi kwa kipindi kirefu mno. Naelewa kabisajitihada kubwa ambazo Serikali imekuwa ikifanya ilikutatua tatizo hili lakini ieleweke kuwa matatizomengine yanatokana na mahusiano mabaya yaliyopokati ya watumishi na vion<strong>go</strong>zi wao maeneo ya kazi.Serikali ifanye jitihada za makusudi ili kujengamahusiano mazuri na mazingira mazuri baina yawatumishi na vion<strong>go</strong>zi wao.Mheshimiwa Spika, kwa muda mrefu tumekuwatunaiomba Serikali igawanye Wilaya ya Kilwa kutokanana ukubwa lakini pia jiografia yake ni ngumu mno.Ombi hili halijapatiwa majibu mpaka sasa. Tunaombakama ikiwezekana tuanzie japo kuwa na Halmashaurimbili ili kusaidia kupeleka karibu huduma kwawananchi.Mheshimiwa Spika, nakushukuru kwa kupokelewamaoni yangu, naunga mkono hoja.MHE. ZAINAB R. KAWAWA: Mheshimiwa Spika,napenda kuanza kwa kuunga mkono hoja hii yaMheshimiwa Waziri Mkuu inayohusiana na mapitio namwelekeo wa kazi za Serikali na Makadirio ya Matumiziya fedha kwa mwaka wa fedha 2012/2013.231


Mheshimiwa Spika, katika mchan<strong>go</strong> wangu wahotuba nilizungumzia sana kuhusu kilimo. Yapomasuala ya msingi pia ambayo kutokana na ufinyu wamuda sikuweza kuyawasilisha. Mambo hayo ni pamojana kutumia vizuri wataalamu, watafiti wa kilimo,kujenga viwanda vya usindikaji wa mazao kwa kutumiambegu bora, pembejeo bora na kuboresha hudumaza ugani.Mheshimiwa Spika, Serikali inapaswa kumsaidiamkulima ili anufaike na bei ya mazao yake. Ni vyemakukafanyika utafiti wa gharama za uzalishaji ili kutoabei itakayompa mkulima faida kutokana na jasho lake.Mheshimiwa Spika, naomba pia nizungumzie sualala Mifuko ya Hifadhi ya Jamii. Ipo hoja ambayoimetolewa hapa Bungeni kuhusu wingi wa Mifuko yaHifadhi ya Jamii na hivyo kuomba mifuko hiiiunganishwe, na ubakie mfuko mmoja utakaohudumiawanachama. Sababu iliyotolewa ni kwamba, kuwepokwa mifuko hii, kunaongeza gharama ya kuendeshamifuko.Mheshimiwa Spika, haya ni mawazo tu, yanawezakutazamwa kwa upande mmoja. Napenda kutangazamaslahi yangu kwa mujibu wa fasili ya 61(1) ya Kanunizetu za Kudumu za Bunge kwamba mimi nimekuwamtumishi wa moja ya Hifadhi za Jamii hapa nchini.Ningependa pia kutoa mawazo yangu kwa mujibu wauzoefu wa kufanya kazi katika mifuko hii.Mheshimiwa Spika, idadi ya Mifuko ya Hifadhi yaJamii kwa hapa nchini ni mfano, PPF, NSSF, LAPF, GEPF232


na PSPF. Kila mfuko kabla ya kuanzishwa kwa wakalawa mifuko hii (SSRA) ilikuwa ina wanachama wa ainambalimbali kutokana na masharti ya ajira ya kilamwananchama.Mheshimiwa Spika, kazi kubwa ya mifuko hii nikutoa huduma ya kulipa mafao ya aina mbalimbalikwa wanachama. Ili kutoa huduma bora, inahitaji idadiya watumishi iwiane na idadi ya wanachamawanaohudumiwa katika mfuko mmoja wa hifadhi yajamii (nilikokuwa nafanya kazi) kwa wastani mtumishimmoja anahudumia wanachama 7,500. Kwa aina yakazi zinazohusiana na huduma kwa wanachama wamfuko, ni dhahiri kwamba kuna mzi<strong>go</strong> mkubwa sanawa kazi na hivyo mtumishi anatingwa.Mheshimiwa Spika, hata hivyo, mifuko hiiinaendelea kukua na hivyo idadi ya wanachamawake itaendelea kuongezeka, hivyo gharama zakuiunganisha mifuko hii kwa pamoja inaweza ikawakubwa zaidi ikilinganishwa na hali ilivyo kwa sasa. Kwamaana ya kwamba idadi ya watoa huduma kwawanachama italazimika kuwa kubwa. Inawezaikashindikana kutoa huduma bora (kwa maana yakulipa mafao kwa haraka) lakini pia inawezaikashindikana na kuwa na idadi kubwa na iliyokithiri yawafanyakazi.Mheshimiwa Spkika, naomba Serikali iliangaliewazo hili kwa pande zote kwa kuwa azma ya Mifuko yaHifadhi ya Jamii ni kutoa huduma bora na kwa haraka.Tukisema gharama za uendeshaji ya mifuko hii nikubwa, maana yake, idadi ya wafanyakazi pia233


ipunguzwe. Kwa hali halisi ya Taifa letu, tuna ukosefumkubwa sana wa ajira na hivyo sioni haja yakupunguza watumishi kama sehemu ya kupunguzagharama za uendeshaji wa Mifuko ya Hifadhi ya Jamii,kwa vile Serikali itakuwa imeongeza tatizo la ukosefuwa ajira na vilevile mifuko hii itashindwa kutoa hudumabora na hivyo kusababisha ugumu wa maisha yawanachama wanaostahili kupata mafao yao.Mheshimiwa Spika, napenda kuishauri Serikalikwamba ilipe madeni ambayo inadaiwa na mifuko hiiili mifuko iweze kuimarika kifedha na kulipa mafao yawastaafu na wanachama wengine. Ili mifuko hii iwezekulipa mafao, inahitaji kuwa na fedha za kutosha.Fedha hizi ni michan<strong>go</strong> ya wanachama wenyewe. Siyohaki kwa Serikali kuendelea kutumia fedha za Mifukoya Hifadhi ya Jamii ilhali Watanzania ambaowamewekeza kwa kuchangia kutoka kwenyemishahara yao, wasinufaike na mafao yao.Mheshimiwa Spika, napenda kuhitimisha kwakuitaka Serikali ya chama changu ilipe madeni yoteinayodaiwa na mifuko hii. Serikali ilikopa kwenye Mifukoya Hifadhi za Jamii mabilioni ya fedha kwa ajili yamatumizi mbalimbali ikiwemo ujenzi wa Chuo Kikuu chaDodoma na ulipwaji wa wanafunzi wa Vyuo Vikuu.Matumizi hayo ni ya muhimu kwa vile yanawahusuwananchi wetu, lakini ukweli ni kwamba fedha hizizinatokana na michan<strong>go</strong> ya wanyonge, wafanyakaziwaliotumikia Taifa letu kwa moyo. Hivyo ni lazimakuheshimu, kutunza na kulinda michan<strong>go</strong> yao.234


Mheshimiwa Spika, nashukuru na ninaombaSerikali ifuatilie na iyafanyie kazi maoni yangu.MHE. AHMED JUMA NGWALI: Mheshimiwa Spika,hakuna asiyefahamu kuwa hukumu dhidi ya kampuniya Uingereza ya kutengeneza silaha, British AerospaceSystems Limited (BAE) ambalo ilikiri kuhusika katikauuzaji tata wa rada ya kijeshi na kukubali kulipa faini yapaundi milioni 30 imekuwa ni dhihaka za walipa kodiwa Tanzania.Mheshimiwa Spika, kama ambavyo jambolenyewe ni la utata mtupu, na malipo hayo ya chenjiyanaonekana nayo yanataka kuleta sintofahamundani ya Muungano wetu.Mheshimiwa Spika, kwa mujibu wa taarifailiyotolewa na mheshimiwa Waziri Mkuu katika Bungelililopita, aliliambia Bunge kwamba fedha hizo za chenjiza rada tayari zimeshapatikana na zimepangiwakugaiwa kama utaratibu unavyoelekeza.Mheshimiwa Spika, Serikali imedhamiriakuzielekeza fedha hizo kwenye Sekta ya Elimu ikiwemokununua vitabu milioni 4.4 kwa ajili ya wanafunzi waShule ya Msingi, kununua vitabu 192,000 vyakufundishia kwa ajili ya Walimu wa Shule za Msingi.Mheshimiwa Spika, pia Serikali imesemawatanunua madawati 200,000 kwa ajili ya wanafunzi16,000 wa Shule za Msingi na kujenga nyumba 1,996 zaWalimu wa Shule za Msingi vijijini na kujenga vyoo200,000 kwenye Shule za Msingi nchini.235


Mheshimiwa Spika, kwa mujibu wa mipan<strong>go</strong> hiikatika ripoti ya Serikali haioneshi mahali popote kamaSerikali ina mpan<strong>go</strong> wowote wa kupeleka fedha hiziZanzibar ambapo kwa mujibu wa Sheria na Katiba yanchi, ulinzi ni mambo ya Muungano na rada hii ni yakijeshi, hivyo Zanzibari walihitaji kupewa gawiwo lachenji hiyo iliyopatikana.Mheshimiwa Spika, jambo la kusikitisha kabisa,fedha hiyo ya chenji ni fedha ya Muungano, ilihitajiushiriki wa pande zote za Muungano kukaa pamoja nakujadili hatima ya chenji hiyo, kinyume chake nikutengwa kwa Zanzibar na Serikali ya Muungano kamavile sio wahusika wa Muungano huu.Mheshimiwa Spika, Kampuni ya BAE Systemsiliamuriwa na mahakama Nchini Uingereza kulipa fainihiyo ya bilioni 72.3 baada ya kugundulika kwambailikwenda kinyume katika kuizuia Tanzania radamwishoni mwa miaka ya 1990.Mheshimiwa Spika, kwa kujali na kuheshimumakubaliano ya Muungano wetu na kutunzakumbukumbu sahihi za waanzilishi wa Muungano huu,naamini chenji hiyo itakwenda Zanzibar kwa gawiwostahiki kwa kulingana na makubaliano yetu kikatiba.Ahsante.Mheshimiwa Spika, naunga mkono hoja.MHE. ESTHER N. MATIKO: Mheshimiwa Spika,napenda kutoa maoni na ushauri wangu kwenye hoja236


na hotuba ya Waziri Mkuu katika maeneo makuumatano kwa maana ya kilimo kama chanzo muhimucha kuweza kuinua uchumi wetu, changamototulizonazo kwenye Sekta ya Afya na sera ya afya; tatu,nitazungumza juu ya kuzorota kwa elimu yetu yaTanzania; nne, ni kuhusu kodi wanazokatwawafanyakazi; na mwisho nitazungumzia suala zima lafidia mbadala kwa wananchi wanaopisha matumizimapya ya ardhi.Mheshimiwa Spika, ukizingatia, Wananchi wengiwa Tanzania wanaishi vijijini kwa takribani asilimia 75.Hawa ni watu wanaojishughulisha na kilimo na ufugaji iliwaweze kuendesha maisha yao. Ili tuendane nadhana bora ya Kilimo Kwanza, kwa maana ya greenrevolution, basi ni vyema kundi zima la Serikali limilikikwenye uwezeshaji wa wananchi wa kawaida ili awezekuwekeza kwenye kilimo. Hapa ndipo tutakuwatumetimiza kwa vitendo dhana ya kumwezeshamwananchi wa kada ya chini kabisa kuliko ilivyo sasanadharia (theory) zaidi ya kuwa Watanzaniawanawezeshwa kupitia mifuko kedekede, lakinikiuhalisia hizi pesa zinaishia kwa wajanja wachache.Ndiyo maana hadi leo hatuna kanzidata (database).Mheshimiwa Spika, ili tuweze kuwa na uchumiunaokua ni lazima Taifa lijikite kwenye rural growth.Tuinue kilimo kwa kupeleka miundombinu kwa maanaya umeme vijijini, tuwezeshe kilimo cha umwagiliaji kwakujenga mabwawa ili wakati wa mvua tuwezekuyavuna, na pia mabwawa ya kunywesheang’ombe. Tukishaimarisha kilimo cha umwagiliaji237


ambacho ni endelevu, ni lazima kuwepo na umemevijijini.Tukiwezesha hili, tutakuwa na misimu ya kilimo kwamisimu yote ya mwaka, na ukizingatia nchi yetu yaTanzania ina rutuba nzuri sana na inastawisha mazaomengi sana. Ukitembelea nchi za wenzetu utatamanikulia, kwa sababu mazao mengi yanapandwa kilaeneo, ukikuta msitu ni wa miti yenye manufaa, yambuga au hifadhi ya jamii. Mfano ukitembea maeneomengi ya Afrika Kusini, ni mashamba tu, huoni ardhiiliyokaa, supermarket zao zote zimejaa mazao yaoyenyewe. Hivyo, nashauri uwezesho wa miundombinuyote kwa maana ya maji, barabara, umeme, mikopona kuinua uchumi wetu.Mheshimiwa Spika, ni juu ya Sekta ya Afyaambayo tumeendelea kushuhudia changamotonyingi, licha ya Sera ya Afya na kuwa na Kituo chaAfya katika kila Kata na Zahanati, kuna utekelezaji wasera hii, lakini pia kwenye maeneo yaliyojengwaZahanati, basi ni majen<strong>go</strong> bila hata dawa, wahudumuwa afya na vitendea kazi vingine kwenye hospitali.Ukizingatia miundombinu ya maeneo yetu, ni mibovuna unakuta Zahanati hazina huduma yoyoteinayowalazimu Eatanzania wasajiri umbali mrefu iliwaweze kupata huduma za afya kwenye Kituo chaAfya au hospitali ya Wilaya. Hili ni tatizo na kamatulivyosema, Watanzania wengi ndiyo wanaoishi vijijini,basi Serikali haina budi kuboresha zaidi na kwaupendeleo kabisa maeneo ya vijijini.238


Mheshimiwa Spika, suala lingine ni juu ya elimuyetu. Tumeendelea kushuhudia kusuasua na kushukakwa kiwan<strong>go</strong> cha elimu. Licha ya kwamba Serikaliimeelekeza kwenye majen<strong>go</strong> na kuangalia idadikubwa ya watoto wanaojiunga na Sekondari na Shuleza Msingi, kwangu mimi idadi kubwa ya majen<strong>go</strong> naidadi kubwa ya wanafunzi siyo tija, kwa sababumwisho wa siku elimu tunayoitoa ni bora elimu na siyoelimu bora kwa watoto wetu.Mheshimiwa Spika, ili tuwe na elimu bora,tunahitaji viwezeshi (inputs) kama walimu wa kutosha,majen<strong>go</strong>, maabara, vitabu, madawati na kwa ujumlamazingira bora ya ufundishaji na usikilizaji unaohitajika ilimwanafunzi awe na uelewa mzuri. Kwa kufanya hivi,tutapata product (output) nzuri, maana ulewa naufanisi wa mwanafunzi utaongezeka na nchiitapunguza idadi ya watu wasiokuwa na ujuzi.Mheshimiwa Spika, vile vile ningependakuzungumzia juu ya kodi ya mapato, yaani PAYE.Tumeshuhudia wafanyabiashara wakipewa unafuu wakulipa kodi ambayo wafanyakazi wataanza kukatwakuanzia kipato cha Shilingi milioni nne kwa mwakaambayo ni sawa na Sh. 333,333.33 kwa mwezi. Wakatimfanyakazi yeye anaanza kukatwa kodi kwa kipatocha Sh. 170,000/= kwa mwezi ambayo ni sawa naShilingi milioni 2.04 kwa mwaka. Naomba Serikaliiwapunguzie kodi hawa kwa wao pia kukatwa kodikuanzia Sh. 333,333,33 kwa mwezi kamawafanyabiashara, kwani wao ni wachache kulikowafanyabishara. Vile vile kuna marekebisho kwenyevipato vingine vya mshahara ili kuweza kutoa unafuu.239


Mheshimiwa Spika, mwisho ni juu ya fidia mbadalakwa wananchi wanapopisha matumizi mapya yaardhi, inabidi tuwape haki wananchi hawa kwakuwapa fidia mbadala na kwa wakati. Huwezikumhamisha mwananchi anayeishi kwenye ardhiyenye madini na kumlipa Shilingi milioni nne au mbili. Hiini fedheha sana. Tumeshuhudia hili kule Bunda kupishamradi wa EPZ, kule Rowolt… kupitisha JWT. Sasa miakainakwenda, wananchi wanakuwa domant kwenyeshughuli za maendeleo na uchumi. Hii siyo sawa kabisa.Vile vile Waziri Mkuu arejee kauli yake ya kuunda Tumejuu ya mauaji ya raia na ubambwikwaji kesi kwenyeWilaya ya Tarime. Tumeendelea kushuhudia mauajikule Nyamon<strong>go</strong> yanayofanywa na aidha askari wami<strong>go</strong>di au na Jeshi la Polisi, kisha Jeshi la Polisikulazimisha familia kuzika maiti tena kwa kutoa kifutajasho, mchele, gari la kubebea maiti na kusimamiaMarehemu azikwe. Huu ni udhalilishaji.Mheshimiwa Spika, naomba kauli juu ya haya,vinginevyo siungi mkono hoja.MHE. CLARA D. MWATUKA: Mheshimiwa Spika,kwanza napenda kumshukuru Mwenyezi Mungu kwakunipa afya njema. Pia nampongeza MheshimiwaWaziri Mkuu pamoja na timu yake kwa kazi nzuri yenyekuleta matumaini juu ya bajeti iliyopo mbele yetu.Mheshimiwa Spika, napenda nitoe yangu mawazojuu ya bajeti hii. Kwanza napenda nizungumzie juu yakilimo. Katika hotuba ya Mheshimiwa Waziri, amegusaakisema kilimo itakuzwa Kusini mwa Tanzania. Sasa ili240


kukuza, ni budi pawe na vitendea kazi, ikiwa ni pamojana matrekta na pembejeo. Kulingana na hayo,naomba wakulima wakopeshwe matrekta kwa walewenye uwezo ili kurahisisha utendaji wa kazi. Pembejeopia zikopeshwe. Pia zitolewe kwa wakati mwafaka.Mheshimiwa Spika, mfumo wa stakabadhi ghalaniunaotumika siyo mzuri kwa hali ile ya kulipa nusu nusu,unamkosesha mkulima kutimiza azma yake, kwanikatika palizi za mashamba hutumika mikopo ya nguvuza watu, yaani vibarua. Hii hufanya mipan<strong>go</strong> isitimizwe,maana ile nusu ya kwanza huishia kwenye madeni namahitahji mado<strong>go</strong> mado<strong>go</strong> kama vile chumvi, sabuni,mafuta, matibabu na kadhalika. Zijapo nusu ya pilihukuta zile za mwanzo zimekwisha na hivyo kukosakutimiza len<strong>go</strong>. Hivyo basi, ni vyema ikiwa zinalipwazote kwanza na zijapo zile za baada ya mauzo, yaanizile za bonsai, ndipo makato yafanyike kwa hizo. Hivyonaomba Serikali ichunguze ili kupatikana njia mbadala.Mheshimiwa Spika, vile vile nizungumzie juu yaElimu Kwanza. Napenda nizungumzie juu ya Walimu.Kama ujuavyo, ualimu ni wito. Kazi yake kubwa nikuzielekeza akili za watu ambazo ni ngumu sana.Mtumishi yeyote hufanya kazi ikiwa maslahi yakeyanakwenda vizuri na kumfanya aipende. Maslahihayo ni pamoja na mishahara, makazi na marupurupu,vile vile kama vitendea kazi vinakuwapo. Kwa upandewa wapokea elimu, nao huwa wanapokea vizuri kamavifaa vinatimia. Vile vile walimu wakiwapo wa kutoshakwa masoko yote, pawe na maktaba na maabara.Kwa upande wa Shule za Kata ambazo mara nyingihuwa na mapungufu makubwa na aina zote. Kwa241


hawa, naomba Serikali iwafikirie sana pale wakosapokupata alama zinazostahili.Mheshimiwa Spika, suala la maji Wilayani hataNanyumbu na Newala hali ni tete sana. Kwa Masasivisima ni vingi, ila pampu ziliharibika. Hivyo vipatiwematengenezo.Mheshimiwa Spika, ahsante.MHE. MBAROUK SALIM ALI: Mheshimiwa Spika,kwanza naipongeza Ofisi ya Waziri Mkuu kwa hotubaya bajeti ambayo ina matatizo mengi.Mheshimiwa Spika, nikianza na suala laMuungano, katika hotuba ya Waziri Mkuu, amesemakuwa kuna vikao 14 vya Mawaziri na Makatibu Wakuukutoka Zanzibar na Tanzania Bara, pamoja na Kamatiya pamoja baina ya SMT na SMZ ili kutatuachangamoto za Muungano. Jambo la kusikitisha hojahizo zinazoendelea kujadiliwa kila siku na kwa miakamingi zinafanywa kama ni hoja mpya na zinazoanzakujadiliwa sasa. Kuna mambo mengi na ya msingiambayo kwa Wazanzibar ndiyo kero hasa, lakinihakuna kilichowasilishwa hapa. Nashauri kusiwe tenana vikao wala Kamati, hazina maana yoyote isipokuwakupoteza na kuharibu fedha za Serikali na badala yakeni bora sasa tusubiri Katiba mpya tu.Mheshimiwa Spika, ajenda yangu ya pili ni kuhusuutendaji wa Halmashauri za Wilaya. Nasikitika kuonakuwa bado utendaji wa Halmashauri zetu nchini nimbovu katika dhana zote.242


Mheshimiwa Spika, hayo yamethibitishwa na ripotiya CAG kuwa, Halmashauri 47 zina ulegevu mkubwakatika usimamizi wa mapato; Halmashauri 88zimeonekana zina udhaifu katika usimamizi wamapato; na Halmashauri 32 zinafanya malipo bila hatiya malipo ambapo zaidi ya Shilingi bilioni hazina hatihizo za malipo.Mheshimiwa Spika, ni dhahiri kuwa, Halmashaurizina matatizo mengi na hakuna ufanisi. Hivyo, nimuhimu hatua za haraka zikadiriwe ili kupunguzaubadhirifu na upotevu wa pesa za Serikali.Mheshimiwa Spika, mwisho, nizungumzie kuhususera na sheria zetu. Tanzania tuna sifa ya uandishi wasera na sheria nzuri na vitabu vizuri, lakini tatizo kubwala sheria zetu hazieleweki na jamii kubwa yaWatanzania ambapo jamii hii ndiyo wadau wakubwawa sheria na sera hizi. Kwa sababu hizi, ufanisi wamaendeleo inakuwa haufikiwi kwa sababu hakunaushirikishwaji wa Watanzania walio wengi.Mheshimiwa Spika, uelewa wa jamii kuhususianana sera na sheria ni ndo<strong>go</strong> sana na hivyo inathibitishwana tafiti za uelewa wa baadhi ya sera kama ifuatavyo:-- Sheria ya Mazingira - 7.5%;- Sheria ya Madini - 3.8%;- Sheria ya Ardhi - 3.8%- Sheria ya Maji - 2.5%;- Sheria ya Uvuvi - 12.5%; na- Sheria ya Misitu - 11.3%.243


Mheshimiwa Spika, ndiyo sababu kukawa nami<strong>go</strong><strong>go</strong>ro mingi katika jamii zetu kutokana na uelewamdo<strong>go</strong>. Hivyo ni muhimu na kuna haja kubwa juhudi zamakusudi zikachukuliwa ili kuongeza uelewa wa sheriakwa wananchi.Mheshimiwa Spika, nashukuru.MHE. JUMA A. NJWAYO: Mheshimiwa Spika, awaliya yote, napenda kumpongeza Mheshimiwa Mizen<strong>go</strong>Peter Pinda - Waziri Mkuu kwa kukabiliana nachangamoto nyingi za nchi yetu. Aidha, nampongezaMheshimiwa Hawa Abdulrahman Ghasia - Waziri wanchi, Ofisi ya Waziri Muu, Tawala za Mikoa na Serikali zaMitaa kwa kuonyesha kuyatekeleza majukumu yakevizuri kwa manufaa ya Watanzania wote. Napenda piakuwapongeza Watendaji wote wa Wizara hii kwajitihada zao za kusaidia kuboresha na kujenga nchiyetu.Mheshimiwa Spika, nina maoni yafuatayo:-Mosi, naomba bajeti ijayo Madiwani wasiendeleekupewa posho, badala yake wapewe mshahara.Aidha, Wenyeviti wa Vijiji wafikiriwe kupewa posho;Katiba mpya iweke wazi kuhusu nafasi ya Madiwanikatika nchi yetu.Pili, naomba Serikal ipitie upya mpan<strong>go</strong> wake waawali wa kuwaruhusu madaktari kuendesha hospitalina maduka ya dawa, binafsi. Niaminivyo mimi, len<strong>go</strong> lautaratibu huu ulikuwa ni kuwaongezea kipato nje ya244


kazi zao za kawaida. Lakini kwa kuwa demand zaozimekuwa zikiongezeka kila siku, basi ni vyemamtazamo wa demand hizo uangaliwe kwa kuangaliapia ruhusa wanazopata kwa kupata vyanzo vyaovingine vya mapato.Mheshimiwa Spika, nashauri posho mpya zizingatieDaktari afanyae kazi kwenye hospitali za umma nahana private hospital ili mchan<strong>go</strong> wao kwa umma uwemzito na mkubwa, kuliko sasa ambapo kazi kwa ummani ya muda mfupi kuliko kwao, yaani kwenye privatehuko wakitaka Serikali kuwalipa zaidi.Tatu, napenda kupata maelezo kuhusumaendeleo ya Hospitali ya rufaa ya Mtwara. Serikaliimejipangaje kumalizia ujenzi wa hospital hii?Wananchi wa Kanda ya Kusini wamechoka kusikiawimbo usiokwisha wa Hospitali ya Rufaa, kwa fedhachache. Ni vyema fedha za ujenzi za kutosha zitengweili kazi imalizike.Nne, Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimbaimetenga ekari za kutosha kwa ajili ya ujenzi wa Chuocha Ufundi Stadi (VETA). Ni maoni kwa bajeti ya mwaka2013/2014 ili ujenzi uanze kama ilivyo kwa baadhi yaHalmashauri zilizopata fedha.Tano, Halmashauri nyingi nchini, baadhi yaWatendaji wake hujihusisha na mambo ya siasa. Kwaajili ya kuhakikisha utawala bora, ni vyema utaratibuuwekwe ili kubaini Watendaji wa namna hiyo na hatuaza kuwathibiti zichukuliwe.245


Sita, kuna tatizo kubwa la kutopatikana kwapembejeo za korosho huku msimu wenyewe ukiwasasa. Naomba Ofisi ya Waziri mkuu kusaidia kumalizakero hiyo.Mheshimiwa Spika, naunga mkono hoja.MHE. JOYCE J. MUKYA: Mheshimiwa Spika,naomba nami kuchangia kwa maandishi kamaifuatavyo:-Mheshimiwa Spika, naomba kujikita hasa kwamaeneo ya vijijini. Kwa kuwa kigezo kinachotumika hivisasa kuandaa na kupanga bajeti ni kuzingatia zaidiidadi ya watu, imekuwa kikwazo kikubwa chamaendeleo vijijini ambako kuna idadi ndo<strong>go</strong>,kulingana na mijini. Licha ya ukweli kwamba mjini kunafursa nyingi za huduma za kijamii kulinganisha na vijijini.Mheshimiwa Spika, utaratibu huu umesababishamlundikano wa huduma na mahitaji ya maendeleo yaMjini na Makao Makuu ya Wilaya huku wananchiwanaoishi pembezoni wakitaabika kwa kukosahuduma au kulazimika kusafiri umbali mrefu kufuatahuduma hizo mijini.Mheshimiwa Spika, kutokana na ufinyu wa bajeti,Wilaya ya N<strong>go</strong>ron<strong>go</strong>ro kama zilivyo Wilaya nyinginchini, ina uhaba mkubwa wa huduma za afya, lakinikuna tatizo la ziada limejitokeza Wilayani humo.Kumekuwa na mlundikano wa huduma za afya katikaMakao Makuu ya Wilaya eneo la Loliondo, Sakala naWaso ambayo haizidi umbali wa kilometa tano, kwa246


kuwa na Hospitali ya Wilaya na Vituo viwili vya Afyahuku sehemu kubwa ya Wilaya ikiwemo Kijiji cha Naan,Kata ya Enguserusambu kilichopo umbali na zaidi yakm 70 ikiwa haina hata Zahanati na kusababishawananchi kutegemea tiba asili itokanayo namitishamba.Mheshimiwa Spika, pale Waso, kuna hospitaliinayomilikiwa na Kanisa Katoliki, Jimbo Kuu la Arushaambayo inatumika kama Hospitali ya Wilaya kwaSerikali kutoa ruzuku ya dawa na watumishi kamamadaktari, wauguzi na wakunga.Mheshimiwa Spika, ukitoka Waso hadi kijiji kinginecha Oloipiri, zaidi ya kilometa sita, pia kuna Kituokingine cha Afya na hivyo kufanya eneo lenye umbaliusiozidi kilometa 15 kulundikwa vituo vitatu vya afya naHospital ya Wilaya wakati wananchi wa maeneomengine hawana hata huduma ya msingi ya Zahanati.Huu ni mgawanyo wa rasilimali usiozingatia usawa hatakido<strong>go</strong>.Mheshimiwa Spika, sio kama napinga uwingi wahuduma za afya, sehemu moja kama uwezounaruhusu, ninachopinga ni kulundika huduma hiyoMakao Makuu ya Wilaya au Vijiji vinavyokaribiananayo huku sehemu nyingine zikikosa.Mheshimiwa Spika, cha kushangaza, katika miakaya 2000, Serikali iliamua kujenga Kituo cha Afya katikaeneo la Sakala, ambalo liko na haja ya kujenga kituoKingine cha Afya eneo la Sakala kwa sababu kile chaHolando na Hospital ya Wilaya vingetosha kabisa247


kuwahudumia wakazi wa Makao Makuu ya WilayaN<strong>go</strong>ron<strong>go</strong>ro. Fedha hizi zingetumika kujenga Zahanatikwenye vijiji vingine visivyo na huduma ya afya kamaNaan na Enguserusambu.Mheshimiwa Spika, hii imekuwa kero sana kwaNa<strong>go</strong>njira wanaotoka maeneo ya Naan hasa akinamama, kwani wao ndiyo wauguzi na pia wajawazitowamekuwa wakiishia kutokuhudhuria kliniki na bado,kuishia kujifungulia kwa wakunga wa jadi nakutokupata huduma za chanjo ya ma<strong>go</strong>njwa ambukiziya surua na chickenpox na kuongeza idadi ya vifo kwaakina mama wakati wa kujifungua hasa walewanaoshindwa kujifungua kawaida, kwani wanakuwahawana huduma ya operation.Mheshimiwa Spika, katika kipindi cha mwaka janatu walikufa watoto kumi kutokana na u<strong>go</strong>njwa waSurua. Je, kwa hali hii tutapunguza vifo kwa akinamama wajawazito na vifo vya watoto wachangakutokana na ma<strong>go</strong>njwa ambukizi au vifo vitokanavyona malaria?Mheshimiwa Spika, naomba pia nionglee suala lamsongamano wa magari katika Mkoa wa Arusha. Sikuza hivi karibuni kumekuwa na msongamano mkubwawa magari kutokana na ufinyu wa barabara, idadi yawatu kuongezeka na pia magari haya kuongezekakwa idadi kubwa siku baada ya siku. Imefikia wakatisasa ukitoka Arusha mjini kuelekea KIA, inachukuamuda wa zaidi ya saa moja tofauti na zamani dakika45 tu au pungufu unakuwa umeshafika KIA.248


Mheshimiwa Spika, Arusha ni mji ambao umekuaukiongezea nchi hii pato kubwa kutokana na utalii,lakini msongamano huu umekuwa kikwazo sana kwawatalii na pia wakati wa Mikutano ya kimataifaambayo mingi imekuwa ikifanyika ndani ya Mkoa huu.Mfano, Mkutano wa AFDB ambao ulifanyika Arushakwa siku tano ulikuwa na wahudhuriaji 3000.Mheshimiwa Spika, naomba barabara ya TBL,kontena ijengwe kwa kiwan<strong>go</strong> cha lami ili iwezekupunguza msongamano huu. Kwanini barabara hiiinaungana na barabara ya ESSO - Ngarenaro hadiuwanja mdo<strong>go</strong> wa ndege Kison<strong>go</strong> na kuelekeaMbuga za Wanyama.Mheshimiwa Spika, napenda pia kuzungumziauhaba wa watumishi katika Wilaya za pembezonikumekuwa na upungufu mkubwa wa watumishi kwasababu ya kusingizia mazingira magumu ya vijijini kanakwamba huko hakuna watu wengine wanaoishi.Mheshimiwa Spika, kumekuwa na tabia yawatumishi kusema uon<strong>go</strong> na kutumia hila na ujanja ilikuhamia katika maeneo ya mijini. Hili limefanyika katikaWilaya ya Longido kati ya Septemba na Oktobamwaka 2011. Baada ya kuripoti kazini, watumishi hawawalitoweka, mmoja kwa kutoroka kazini na hadi leohakuna taarifa zozote zinazosema yupo wapi; namwingine kwa kushirikiana na baadhi ya watumishi waOfisi ya Katibu Tawala Mkoa wa Arusha kupatauhamisho wa muda kwenda Tanga kwa kilekinachodaiwa kazi maalum.249


Mheshimiwa Spika, kinachozua utata kwamtumishi huyu aliyehamia Tanga, ni kitendo cha KatibuTawala Mkoa (Evaline Hamisa) kutokua na habari yauhamisho huo. Inadaiwa kutolewa na ofisi yake, kwamujibu wa habari, barua ya mtumishi huyo ilisainiwa naElgin Nkya.Mheshimiwa Spika, watumishi hawa wamehamavituo vyao vya kazi bila kufikisha hata kipindi cha miezina kwa mujibu wa RAS mbele ya Mkuu wa Mkoa(Muhon<strong>go</strong> Magesa) aliyetembelea Longido hivikaribuni, yeye alishakataa ombi la mtumishi huyokuhama, lakini akazungukwa na mmoja wa Maafisawake ofisini kwake.Mheshimiwa Spika, pamoja na kuwa Ofisi yaMkoa, Arusha imeshaanza uchunguzi wa jambo hili,lakini naomba Waziri Mkuu wakati anahitimisha, aelezeBunge hili Tukufu kama Ofisi yake ina taarifa hizi na je,hatua gani zimechukuliwa dhidi ya Afisa aliyehusikakutoa uhamisho kinyume cha sheria? Je, watumishi haobado wanaendelea kupokea mishahara?Mheshimiwa Spika, maelezo hayo ni ya muhimusana hasa katika kipindi hiki ambacho taarifa yaMkaguzi Mkuu wa Serikali inapoeleza kuwa Taifalinapoteza mabilioni ya fedha kwa malipo yamishahara hewa kwa watumishi wasiokuwepo kazini.Mheshimiwa Spika, naomba kuwasilisha.MHE. SALOME D. MWAMBU: Mheshimiwa Spika,naunga mkono hoja, ila napenda kuchangia kuhusu250


kilimo cha umwagiliaji. Kilimo hiki ndiyo njia pekee yakukabiliana na mabadiliko ya hali ya mabadiliko yatabia ya nchi. Kwa mantiki hii, kuna haja ya kufafanuamaamuzi ya makusudi ya kuwekeza katika ujenzi wamabwawa ya kati na mabwawa makubwa ili tuwe nauhakika wa uzalishaji.Mheshimiwa Spika, vile vile tuwekeze katika ujenziwa schemes za umwagiliaji. Waheshimiwa wa<strong>bunge</strong>,tumekuwa tunasita kutoa maamuzi, Serikali iwekezekwenye schemes za umwagiliaji na kuzifufua zilizokufa.Mfano, Wilaya ya Mkalama zina mabonde mazuri yaumwagiliaji na schemes zilizokufa zikifufuliwa zinawezakulisha Wilaya ya Mkalama na tukajikomboa naupungufu wa chakula bonde la Msingi, Mpambala naMwangeza.Mheshimiwa Spika, nashauri Serikali iwapelekebaadhi ya Wa<strong>bunge</strong> kwenda na Mawaziri wa Wizarahusika, kujifunza katika nchi za Japani, India, Vietinam,China, kilimo cha umwagiliaji. Wakishajifunza wajewaanze utekelezaji na kusambaza teknolojia hiihatimaye kuenea nchi nzima.Mheshimiwa Spika, nimeona kama nchi tajwahapo juu ina uwezo wa kulisha takribani bilioni 1.3. Sisiidadi ya watu bado ni ndo<strong>go</strong> na bado tuna eneokubwa.Mheshimiwa Spika, naomba kuunga mkono hojakwa asilimia mia moja.251


Mheshimiwa Spika, naomba kuwasilisha.MHE. ENG. STELLA M. MANYANYA: MheshimiwaSpika, awali ya yote, napenda kuchukaua nafasi hiikumpongeza sana Waziri Mkuu - Mheshimiwa Mizen<strong>go</strong>Peter Kayanza Pinda kwa kazi nzuri anayoifanya katikakusukuma maendeleo na Ustawi wa Tanzania. Pianaomba nimpongeze Mheshimiwa Hawa A. Ghasia -Waziri wa Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa na Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI),Katibu Mkuu wa Wizara - Ndugu Hussein Ketanga,Wakuu wa Mikoa yote ya Tanzania, Makatibu Tawalawa Mikoa, DCs na Wakurugenzi na watumishi wote waWizara hii. Aidha, tunawashukuru wananchi wote kwakuunga mkono juhudi zote zinazofanywa na Serikaliinayoundwa na Chama cha Mapinduzi.Mheshimiwa Spika, suala la amani ni suala muhimusana. Madaktari wameamua kwa makusudi kabisakufanya m<strong>go</strong>mo ambao ni ukatili dhidi ya raia waTanzania. Ni uvunjifu wa Katiba sehemu ya tatu yautangulizi juu ya haki na wajibu muhimu, namba 14,inazungumzia haki ya kuwa hai. Katika sura ya sasa,baadhi ya watu, vikundi vya watu ikiwemo baadhi yawanasiasa wamejiingiza katika kutetea zaidi maslahi yawatu binafsi tena yaliyo katika len<strong>go</strong> la kutopata suluhuna kutozingatia na kujali uhai wa binadamu wenzaowaonyimwa matibabu.Mheshimiwa Spika, pamoja na pole sana kwaDaktari aliyepatwa na janga la kihalifu, kamamadaktari wenzake wangeendelea na m<strong>go</strong>moangetibiwa na nani? Hali hiyo inaleta hisia kali252


mion<strong>go</strong>ni mwa jamii na hakika kuhatarisha maisha yamadaktari wenyewe. Yawezekana baadhi ya watuwanaoshuhudia ndugu zao kutothaminiwa na kutibiwahospitali, wakifikia kulipiza kisasi, hiyo ni mbaya sana.Lakini pia Vyama vya Siasa vinavyoshabukia, vikundibinafsi, watu binafsi wanaoshabikia mi<strong>go</strong>mo hiyo, pianao wachunguzwe kama M<strong>bunge</strong> wa Viti Maalum,Mheshimiwa Martha Mlata alivyoshauri, isije ikawa kunamchezo mbaya wa baadhi ya vikundi kujihusisha nahali hiyo ili kuleta chuki kwa Serikali.Kion<strong>go</strong>zi wa Chama cha Madaktari alisema,ameomba Polisi ifanye kazi ya uchunguzi ili kubainiuhalifu huo. Ni jambo jema, lakini: Je, kama Polisi naowange<strong>go</strong>ma, nani angechunguza? Maisha yetuyanategemeana, hivyo ni vyema kuepuka mamboyasiyo na tija kwa jamii kwa maslahi mapana ya jamii.Serikali iendelee kufanya jitihada kubwa kuhakikishakuwa watu hao wamebainika (wahalifu na majambazi)wa Daktari Ulimboka, wanakamatwa.Mheshimiwa Spika, Wakuu wa Mikoa hawajafikakukaa kwenye viyoyozi kama Wa<strong>bunge</strong> wa Chademawalivyodai. Wamekuja kutimiza wajibu wa dhana yautawala bora wa kusikiliza Wawakilishi wa wananchi,Waheshimiwa Wa<strong>bunge</strong> kupata ushauri na hisia zaWa<strong>bunge</strong> juu ya kero zinazowakabili wananchi ilikuzifanya kazi kama Chama cha Mapinduzikinavyotaka.Juu ya Bwawa la Kawa, suala lililotolewa naMheshimiwa Keissy nikiwa kama Kion<strong>go</strong>zi wa Serikali,Mkoa wa Rukwa, suala hilo tulikaa kikao cha pamoja253


kati ya Uon<strong>go</strong>zi wa Mikoa wa Rukwa, Wizara ya Maji,Mheshimiwa M<strong>bunge</strong> Mipata mwenye Jimbo namwekezaji, Mheshimiwa M<strong>bunge</strong> mstaafu - Dkt.Mzindakaya na tukafikia mwafaka kuwa Wizaraitakwenda eneo linalohusu kuzunguka chanzo cha majicha bwawa la Kiwa na kulitengeneza kwa mujibu washeria. Hivyo, mradi huo uendelee kwa faida yawananchi wa vijiji vya Ntendo, Nkundi na Fyengereza.Serikali za vijiji pia vilihusishwa.Mheshimiwa Spika, mbolea kufika kwa wakatimwafaka (mwezi wa Tisa) ni muhimu kwa Mikoa yaRukwa, Ruvuma, Mbeya, Iringa ili kuwezesha ufuatiliajimzuri na kilimo chenye tija. Wananchi wa Kata yaKihagara Mbinga (Nyasa) walijitolea kufyatua matofali370,000 kwa ajili ya Kituo cha Afya, lakini hadi leohamna kilichofanyika pamoja na mchan<strong>go</strong> wangu wabajeti ya mwaka 2011/2012, inakatisha tamaa yawananchi kujitolea, hata mimi M<strong>bunge</strong>.Mheshimiwa Spika, naunga mkono hoja.MHE. KOMBO KHAMIS KOMBO: Mheshimiwa Spika,kwa nafasi ya kipekee nachukua fursa hii kumshukuruMwenyezi Mungu mwingi wa rehema na neema kwakumjalia Waziri Mkuu kuwaamsha Wazanzibari ambaowalikuwa wamejisahau pale alipowaeleza mbele yaBunge lako hili Tukufu kwamba Zanzibar siyo nchi nakwa hilo likapelekea Wazanzibari waliolala kushtuka nakuelewa kosa lao.Mheshimiwa Spika, kadri muda unavyozidikwenda, masuala ya Muungano pamoja na kero zake254


zinazidi kuleta matatizo na kwa mujibu nilivyoisikilizahotuba ya Mheshimiwa Waziri Mkuu, haikutilia maananikero za msingi ambazo zinauteteresha Muunganowetu. Imekuwa hadithi za Abunuwasi kwamba kunavikao ambavyo vinafanyika eti kutatua kero zaMuungano, lakini ni dhahiri kwamba hakuna chochotekinachoonyesha ukweli juu ya kupatikana ufumbuzi wautatuzi wa kero za Muungano.Mheshimiwa Spika, kutokana na misingi hiiinayofanywa kwa makusudi kabisa juu ya kupuuzajambo hili, natahadharisha kwamba hukotunakokwenda siyo kuzuri kama vile Waswahiliwalivyosema kwamba: “Nyota njema huonekanaalfajiri.” Inavyoonekana, wenzetu wa upande wa pilihawana nia njema na Muungano huu namnaonekana kuichukulia Zanzibar kama sio mshirikawa Muungano, bali ni sehemu tu ya Tanzania wakatihilo ni kosa. Bila ya kuungana kwa Tanganyika naZanzibar, Tanzania isingekuwepo.Mheshimiwa Spika, kupuuzwa kufanyiwamarekebisho kero zitokanazo na Muungano kumeanzakuleta viashiria vya yale yanayotokea Zanzibar.Nachelea kusema kwamba hali ni njema. Siwezikusema hivyo hata kido<strong>go</strong>, na haya yoteyanachochewa na Muungano huu ambaoumechukua mamlaka yote ya Zanzibar na kuyawekam<strong>go</strong>n<strong>go</strong>ni mwa Tanganyika kwa kutumia kivuli chaMuungano.Mheshimiwa Spika, Muungano unaweza ukawajambo zuri sana, hasa ikiwa faida zake zitagusa pande255


zote za Muungano, lakini ilivyo sasa, kero nachangamoto zake zinafunika faida zake kwa upandemmoja wa Muungano huu. Hivyo basi, ni vyema kabisakero hizi za Muungano zikaangaliwa kwa jicho lakipekee.Mheshimiwa Spika, kuwepo kwa Wizarazisizohusiana na Muungano ndani ya Serikali yaMuungano ni kuonesha dhahiri kwamba kuna Serikaliya Tanganyika ndani ya Serikali ya Muungano. Hoja hiiinasababishwa na mkanganyiko huu wa masuala yaMuungano. Kwa mfano, ikiwa kuna Wizara 26zilizoundwa na Rais Kikwete, lakini Wizara za Muunganokwa ujumla wake ni sita tu ikiwa ni pamoja na Wizaraya Fedha, Wizara ya Mambo ya Ndani, Wizara yaMambo ya Nchi za Nje, Elimu ya Juu, Wizara ya Ulinzina Jeshi la kujenga Taifa, na Wizara ya nchi Ofisi yaMakamu wa Rais Muungano. Wizara 20 zinazobakiazinaon<strong>go</strong>zwa na Serikali gani? Je, hiki si kiini macho nakuonesha kwamba kuna Serikali ya Tanganyika ndaniya Serikali ya Muungano ambayo iko wazi wazi, lakinihaitaki kutamkwa kwa makusudi.Mheshimiwa Spika, naelewa katika hili mtakimbiliakifungu cha 64 cha Katiba ya Jamhuri ya Muungano,lakini hata hivyo, litakuwa siyo jibu sahihi litakalomalizakiu ya upande mmoja wa Muungano.Mheshimiwa Spika, naomba sasa nielezee nafasiya Rais wa Zanzibar katika Serikali ya Jamhuri yaMuungano wa Tanzania, Articles of Union inasemakuwa Rais wa Zanzibar atakuwa Makamu wa Rais waJamhuri ya Muungano, lakini imepindishwa pindishwa256


na sasa Rais wa Zanzibar ni Mjumbe wa Baraza laMawaziri. Je, hii siyo dharau kwa Wazanzibar? Nikwanini hili lilitokea? Je, Wazanzibar walihusishwa vipikatika majadiliano yaliyobadilisha kuondoa nafasi yaRais wa Zanzibar kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri yaMuungano? Hivyo huu si uonevu tunaofanyiwaWazinzabar, hivyo tuseme Mheshimiwa Waziri Mkuu hilihamlielewi, kwamba huu ni Muungano wa nchi mbilihuru, na siyo nchi na Jimbo? Zanzibar ni nchi iliyo huru,lakini pamoja na hayo yote, kero za Muunganozinakuwa kama zinazotiwa petrol na hili suala la mafutayaliyogunduliwa Zanzibar ambayo yoteyalikwishawekwa wazi katika orodha ya mambo yaMuungano. Lakini cha kusikitisha, madini yote yaliyokoTanzania Bara siyo ya Muungano. Suala hili ni sawa naule msamiati usemao: “Chako chako, changu chako.”Yaani cha Tanganyika ni cha Tanganyika, na chaWazanzibar kuwa cha Tanzania nzima. Haiwezekani!Mheshimiwa Spika, Serikali ni lazima ijue kuwa kadrisiku zinavyokwenda, Muungano huu unapotezaumaarufu wake hasa kwa sababu ya kubadilishamakubaliano ya Muungano yanayofanywa mara kwamara kiholela. Ieleweke kwamba, Muungano huu niwetu sote. Ni lazima tufike mahali tukubaliane kwambaMuungano huu uwe wa hiari, usiwe wa lazima namabavu kwa upande mmoja kujiona kuwa una nguvuzaidi kuliko upande mwingine.Mheshimiwa Spika, nitakuwa sikuwatendea hakiWaislam ambao kwa namna moja au nyingine, ikiwasitawaomba kurejeshwa kwa Mahakama ya Kadhi kwaupande wa Tanzania Bara. Huu ni unyanyasaji wa257


kidini, ni kinyume na uhuru wa kuabudu jambo ambalolimetamkwa katika Katiba. Kwanini suala hili laMahakama ya Kadhi lipingwe Tanzania Bara ambapopana idadi kubwa ya Waislamu kuliko Kenya, Uganda,India na hata Uingereza? Kama hili siyo ubaguzi, ninini? Waislamu wenzetu walioko Chama Tawala nahata Chadema wanao<strong>go</strong>pa kulisemea jambo hili kwakuo<strong>go</strong>pa vyama vyao, Mjue kwamba suala hilimsipolitetea, mtakwenda jibu nini kesho mbele zaMungu na Waislamu wote ambao hamwatetei kupatahaki zao juu ya kuundwa Mahakama ya Kadhi?Wanayoyafanya na wanayofanyiwa yatakuwa ndaniya shin<strong>go</strong> zenu, pamoja na Mheshimiwa Rais JakayaMrisho Kikwete.MHE. YUSSUF HAJI KHAMIS: Mheshimiwa Spika,namshukuru Mwenyezi Mungu kwa afya na uzimaalionijalia katika siku ya leo na mimi nichangie.Mheshimiwa Spika, nachangia kuhusu UKIMWI.Ingawa katika hotuba ya Waziri Mkuu ukurusa wa (61)unaeleza Tanzania imepata mafanikio makubwakupunguza maambukizi mapya ya UKIMWI kwa asilimia25, ni sawa na ni habari njema. Naipongeza juhudi hii.Mheshimiwa Spika, pamoja na maendeleo haya,bado juhudi za makusudi zifanyike. Mimi mawazoyangu, UKIMWI unaonekana umezoeleka na sasahautishi tena, umekuwa ni kitu cha kawaida tu.Mheshimiwa Spika, vishawishi bado ni vingi sanaambavyo Serikali inashindwa kudhibiti. Mion<strong>go</strong>ni mwavishawishi ni kutokuwa na utamaduni wa kitaifa juu ya258


maadili ya Mtanzania. Tanzania hatuna maadili yamavazi, wanaume na wanawake.Mheshimwa Spika, leo Tanzania mwanamke kuvaanusu uchi ni jambo la kawaida. Huu ni ushawishi kwawanaume wengi, nguvu zao walevi na wala ungawamekuwa chanzo kikubwa kwa ongezeko jipya lama<strong>go</strong>njwa ya UKIMWI. Hawazingatii kulinda afya zao.Sasa nakwenda ukurasa wa nne kuimarishademokrasia na Muungano.Pamoja na Mheshimiwa Waziri Mkuu kusifu ukuajiwa demokrasia kwa kushiriki wananchi kwenyemasuala ya kisiasa, bado yapo mambo mengiambayo ni pingamizi zinazokosesha wananchi wengihaki za msingi. Mfano, mtu anajiandikisha kwenyedaftari la kudumu, jina lake linakuwemo ndani yadaftari. Ikifika siku ya uchaguzi ndani ya daftari jina lakelinakosekana, hata akiwa na kadi ya kujiandikishaharuhusiwi kupiga kura.Mheshimiwa Spika, ahsante.MHE. ABDALLA HAJI ALI: Mheshimiwa Spika,napenda kuchukua fursa hii kumshukuru MwenyeziMungu muweza wa mambo yote. Katika mchan<strong>go</strong>wangu kwenye hotuba ya Waziri Mkuu kwakuzungumza, nilieleza mambo mengi juu ya kwambaSerikali ilisaidia Shirika la Nyumba la Taifa katika kutimizamalen<strong>go</strong> yake. Lakini Serikali pia itimize jukumu lake lakulisaidia shirika hasa katika madeni ya wapangaji wanyumba.259


Mheshimiwa Spika, katika madeni ya Shirika kwawateja wake, wastani wa Shilingi bilioni 6.6 zinadaiwa.Mheshimiwa Spika, mion<strong>go</strong>ni mwa wadaiwa suguni baadhi ya taasisi za Serikali zaidi ya Shilingi bilionimbili zinadaiwa.Mheshimiwa Spika, naiomba Serikali isiwemion<strong>go</strong>ni mwa wadaiwa sugu, ilipe na inawezakuwasaidia watu wa shirika kuweza kujenga nyumbaza bei nafuu zaidi ya 100.Mheshimiwa Spika, lingine ni kwamba, katikautatuzi wa changamoto za Muungano, mwaka uliopitakati ya hoja 13 ni mbili tu zilizopatiwa ufumbuzi kwahesabu za haraka haraka chini ya miaka mitano.Mheshimiwa Spika, naiomba Serikali iharakishekatika utatuzi wa kero hizi za Muungano ili Serikali itimizejukumu lake la kutenda haki kwa upande wa pili waMuungano.Mheshimiwa Spika, rada ni suala la Jeshi. Jeshi niulinzi na ulinzi ni jambo la Muungano na Muungano nikati ya nchi mbili huru Tanganyika na Zanzibar. Hapanaiuliza Serikali, ni kwa mazingira gani au ni vigezo ganivilivyotumika kugawa au kuzitumia pesa hizi naZanzibar isihusishwe? Je, huko ni kuutendea hakiupande wa pili wa Muungano? Aidha, pesa za EPAzote zimeelekezwa kwenye Kilimo Kwanza: Je, fungu laZanzibar katika haki hii liko wapi?260


Mheshimiwa Spika, kwa imani kabisa, namwombaMheshimiwa Waziri Mkuu anipe majibu maridhawa kwamustakabali wa nchi yetu.MHE. RASHID ALI ABDALLAH: Mheshimiwa Spika,sina budi kumshukuru Mwenyezi Mungu kwakuniwezesha kuandika yale ambayo sikuwezakuyagusia katika mchan<strong>go</strong> wangu wa kusema.Mheshimiwa Spika, kwa maoni yangu, jambo lamsingi na muhimu sana ni kutafuta njia ya kudhibitifedha zilizokusanywa, kudhibiti matumizi mabaya,kuhakikisha ukusanyaji bora wa kodi, kuwa na mipan<strong>go</strong>mizuri ya maendeleo hasa kwa kuzingatia vipaumbelevya Taifa.Mheshimiwa Spika, baada ya kuzingatia mambohaya manne, jambo kubwa sana na muhimu sanakuliko yote, ni kuwa na utawala bora na uwajibikaji.Mheshimiwa Spika, uwajibikaji na utawala borandiyo unaoleta nidhamu ya ukusanyaji wa kodi zaidi,ya matumizi mazuri ya fedha za umma, ndiyo unaoletausawa wa haki na sheria.Mheshimiwa Spika, suala lingine ni kuangaliarasilimali watu kwa maana ya vijana. Vijana ndiyotegemeo kubwa la Taifa letu na ndiyo wenye nguvu zakuliendesha Taifa letu.Mheshimiwa Spika, ni lazima kuwe na programmemaalum ya ajira kwa vijana, na kulisimamia kifedha ilikukuza uchumi wa Taifa.261


Mheshimiwa Spika, hali ya makazi ni jambomuhimu sana, lakini ujenzi umekuwa mgumu mno. Mtuwa kawaida hawezi kujenga nyumba kutokana naughali wa vifaa vya ujenzi.Mheshimiwa Spika, ili kuimarisha Miji, Vijiji tuangalieupya bei za saruji na bati ili vijana wengi wawezekujenga nyumba za kuishi. Hili ni vyema liangaliwe kwaumakini sana.Mheshimiwa Spika, nashauri Waziri Mkuu kuandaampan<strong>go</strong> maalum wa usafiri wa ndege katika kufufualile Shirika la Ndege na liwekeze katika kusimamia kwaumakini sana suala hili la usafirishaji. Hili litatupati fedhanyingi za kigeni.Mheshimiwa Spika, baada ya hayo, naombakuwasilisha.MHE. SUSAN A. J. LYIMO: Mheshimiwa Spika, elimuni kila kitu? Lakini cha kusikitisha, elimu yetu imeendeleakuporomoka. Hii ni kwa sababu Kiten<strong>go</strong> cha Ukaguzikimekuwa hakipati fedha hata kido<strong>go</strong>, wakati ina kazikubwa sana. Lakini cha kushangaza, baada yaugawaji wa elimu kutoka Wizarani kwenda TAMISEMI,Kiten<strong>go</strong> cha Ukaguzi kimebakia Wizarani. Hivyo,wamebakia, hawapati fedha za kutosha, athari zake nipamoja na kutofanya ukaguzi. Hivyo Walimu kutofanyakazi zao vizuri na watoto pia kutofanya vizuri. Ni lini basikiten<strong>go</strong> hicho kitapewa fedha na ama kuwa katikaTAMISEMI, au Elimu ya Msingi na Sekondari kurudiWizarani?262


Mheshimiwa Spika, Tanzania ni nchi iliyo na hektamilioni 44.3, lakini cha ajabu 24%, yaani hekta milioni 11hazitumiki au hazijawekezwa kwa kuwa kunamabadiliko makubwa ya tabia nchi, hatuna kimbiliolingine zaidi ya kilimo cha umwagiliaji. Uzuri ni kwambanchi hii imebarikiwa kuwa na vyanzo vingi vya majiikiwa ni pamoja na maziwa na mito. Tuna eneo lahekta milioni 29.4 za kilimo cha umwagiliaji, lakini nihekta 344,000/= tu zinazomwagiliwa sawa na asilimia1.1. Tukiweza kumwagilia, ina maana hatutakuwa natatizo la chakula, lakini ajira zitakuwepo na lishe bora.Hakuna jambo baya kama kuomba chakula. Tanzaniani nchi iliyopo katika strategic area, kwambatunazungukwa na nchi sita zisizo na bahari ambapotungeweza sana kusaidia kusafirisha bidhaa mbalimbalizikiwemo chakula.Mheshimiwa Spika, haiwezekani kwa strategicarea tuliyonayo na maji yaliyotuzunguka tuweombaomba wa chakula. Maji ni uhai na bila majihatuwezi kuishi. Maji imekuwa ni tatizo sugu na wotetunajua ni jinsi gani ma<strong>go</strong>njwa yatokanayo na majimachafu yanavyowasumbua wananchi. Fedha nyingizinatumika katika hospitali zetu kutibu ma<strong>go</strong>njwa haya,fedha ambayo ingeweza kutumika kwa sekta yakuboresha maji. Moshi Vijijini Kata ya Mbokomu kwamiaka 20 sasa hatuna maji, kisa wananchi wa Rauambapo chanzo cha maji kipo, wamekatalia majihayo kwenda eneo lingine na hata kutishia kuwadhuruwote watakaokwenda kufanya shughuli pale.263


Mheshimiwa Spika, hivi ingekuwa penye chanzocha maji ni mali hodhi ya wakazi hao, leo Misriingekuwa wapi? Wakazi wa Dar es Salaam wangepatawapi maji?Mheshimiwa Spika, naomba Serikali kupitia Waziriwa maji wafuatilie jambo hili.MHE. EZEKIEL M. MAIGE: Mheshimiwa Spika, awaliya yote, naomba kuipongeza sana Serikali kwa hatuainazochukua kuboresha huduma za jamii namaendeleo kwa ujumla, licha ya changamoto nyingizinazokabili uchumi wetu. Hivyo naunga mkono bajetihii. Aidha, natoa wito kwa Serikali ishughulikieyafuatayo:-Naomba Wilaya ya Kahama igawanywe kuwaWilaya tatu za Vishetu, Kahama na Msalale,mapendekezo yalishapitishwa katika vikao. NaombaMajimbo ya Uchaguzi, Kahama yaongezwe kwakuunda Jimbo jipya la Halmashauri ya Vijiji Kahama.Pendekezo hili lilishapitishwa na vikao vya Wilaya.Naomba Serikali itambue mtando mpya wa barabaraza Halmashauri ya Wilaya ya Kahama na Halmashauriya Msalala. Naomba Halmashauri ya Msalala ianzemwaka huu wa fedha 2012/2013. Naomba maeneomengine ya kisekta yafuatayo yazingatiwe:-Mheshimiwa Spika, awali ya yote, naombakusema naunga mkono bajeti hii. Naunga mkonokama wananchi wa Msalala walivyoniagiza kwamatarajio kwamba kuanzia sasa na siku za usoni,264


Serikali itatumia bajeti hii na nyingine zijazo kujibuchangamoto za umasikini Shinyanga.Mheshimiwa Spika, kuna contradiction kubwasana ya utajiri wa Mikoa na maendeleo katika Mkoa.Kwa taarifa tu, Mkoa wa Shinyanga una sifa zifuatazo:Una idadi kubwa ya wananchi kuliko Mkoa mwinginewowote. Watu ni nguvu kazi ambayo ingekuwaproductive kama wanavyoitumia Wachina, Shinyangaingekuwa na utajiri mkubwa wa kipato kwa wananchiwake. Mkoa unaon<strong>go</strong>za kwa uzalishaji wa madini yaalmasi na dhahabu, uzalishaji wa pamba, unaon<strong>go</strong>zakwa idadi kubwa ya mifu<strong>go</strong>, na Mkoa huu ni mion<strong>go</strong>nimwa Mikoa mitatu inayozalisha tumbaku kwa wingi.Mheshimiwa Spika, pamoja na sifa zote hizi, Mkoauna sifa mbaya zifuatazo: Mkoa unaon<strong>go</strong>za kwamauaji ya albino na mauaji ya vikongwe kwa imani yaushirikina, kutokana na elimu duni na huduma mbayaza afya; Mkoa umekuwa wa mwisho mtihani waDarasa la Saba miaka mitano mfululizo; unaon<strong>go</strong>zakwa uwiano mbaya kati ya idadi ya Shule za Msingi naSekondari; unaon<strong>go</strong>za kwa uwiano mbaya kati yaidadi ya shule za ‘O’ level na ‘A’ level; unaon<strong>go</strong>za kwakuwa na uwiano mbaya kati ya idadi ya shule na idadiya shule za bweni; unaon<strong>go</strong>za kwa kuwa na uwianombaya kati ya idadi ya shule za sekondari na shule zasekondari zenye umeme; unaon<strong>go</strong>za kwa kupata njaana kuhitaji msaada wa chakula kila mwaka na Mkoahuu unaon<strong>go</strong>za kwa kuzalisha wakimbizi wa ndani kwajina la wafugaji.265


Mheshimiwa Spika, kutokana na ukweli huo, it is nowonder kwamba Mkoa unaon<strong>go</strong>za kwa kuwa nauwiano mbaya kati ya idadi ya watu na idadi yavion<strong>go</strong>zi kwenye nafasi za maamuzi za kisera namaendeleo ya nchi.Mheshimiwa Spika, hali hii haifai na haipaswikuachwa kiendelee. Naomba Serikali kuanzia bajeti hii,ianze kujibu hii human development paradox inShinyanga.Mheshimiwa Spika, naomba Serikali ijengee uwezoMkoa wa kunufaika na rasilimali zake, yaani watu,mifu<strong>go</strong>, mazao, madini na kadhalika, kwa kufanyayafuatayo:-Mheshimiwa Spika, kwa kuwa msingi wa umasikiniwa wananchi Mkoa wa Shinyanga ni ukosefu wa elimu,Serikali iweke msukumo katika elimu kwa Mkoa washinyanga kwa kufanya yafuatayo:-Kutoa fedha zote za chenji ya rada kuendelezaelimu Shinyanga kwa kukamilisha majen<strong>go</strong> ya nyumbaza walimu, mabweni, umeme, vitabu na maabara.Kwa mfano, Jimbo la Msalala pekee lina maboma 200ya nyumba za Walimu na maboma 250 ya vyumba vyamadarasa toka mwaka 2004 wakati wa Mradi waMMEM. Maboma haya hivi sasa yanabomoka nawananchi wame<strong>go</strong>ma kuchangia miradi minginemipya ya elimu kwa kudai kwamba nguvu zaozilizotumika kujenga maboma hayo zinapotea bure bilaSerikali kukamilisha miradi hiyo. Kuongeza bajeti yaelimu kwa Mkoa wa Shinyanga kwa kuhakikisha ahadi266


ya kujenga VETA kila Wilaya, hasa Kahama ambayoina mi<strong>go</strong>di miwili mikubwa ya Buzwagi na Bulyanhulu,lakini wananchi wake hasa vijana hawapati kazi kwakukosa utaalamu na ufundi.Mheshimiwa Spika, mikataba ya madini (MDA)iwekwe wazi na zipitwe upya ili kama taifa tunufaike.Mikataba hii imekuwa ikilalamikiwa sana. Serikali iruhusuMkoa kunufaika na rasilimali zake za madini kwakukubali mapendekezo ya Tume ya bomani yakugawa mrahaba kati ya Serikali kuu na Wilaya, upom<strong>go</strong>di kwa uwiano wa 60 kwa 40 kama ilivyotoakipaumbele na ilivyohusu wananchi wa Lindi naMtwara kupatiwa umeme wa gesi kwanza kabla yawengine. Halmashauri ziruhusiwe kutoza service levytoka mi<strong>go</strong>dini kwa mujibu wa Sheria ya Serikali za Mitaaya Mwaka 1982.Msimamo huu wa kutoruhusu service levy kutozwami<strong>go</strong>dini imepotezea Kahama zaidi ya Dola laKimarekani 8,000,000 tokea m<strong>go</strong>di wa Bulyanhuluulipoanza uzalishaji rasmi mwaka 2001 na Dola laKimarekani 1,200,000 tokea m<strong>go</strong>di wa Buzwagiulipoanza uzalishaji mwaka 2008 kwa wastani, kwaKahama kulipwa Dola za Kimarekani 400,000 tu kwamwaka kutokaa mi<strong>go</strong>di hii miwili kama, “consolidatedlocal levies” badala ya service levy ambayo ni 0.3% ofgross turnover, Kahama inapunjwa zaidi ya Dola zaKimarekani 2,100,000. Aidha, kwa kuwa Sheria yaMadini ya mwaka 2010 imeruhusu Halmashauri kutozaservice levy toka mwaka 2010. Serikali inaombwairuhusu Kahama kutoza ushuru huo retrospectively nahivyo ipatiwe chenji yake, yaani Dola za Kimarekani 4.2267


za miaka miwili toka mwaka 2010. Serikali iendelee najuhudi za kutatua mi<strong>go</strong><strong>go</strong>ro kati ya wananchi nawawekezaji wanaovuna rasilimali za Shinyanga hasamadini. Naomba Serikali ilipatie ufumbuzi tatizo sugu lawachimbaji wado<strong>go</strong> kukosa maeneo ya kufanyia kazi.Serikali kwa kushirikiana na m<strong>go</strong>di wa Bulyanhuluimalize m<strong>go</strong><strong>go</strong>ro wa fidia ya wananchi waliohamishwakupisha m<strong>go</strong>di wa Bulyanhulu mwaka 1966 kwakuwalipa wadai.Mheshimiwa Spika, Shinyanga inapata mvua zakutosha kwa muda wa mfupi, Serikali isaidiekuendeleza kilimo cha umwagiliaji. Mabonde ya Chela,Ntobo, Bulige, Kabondo na N<strong>go</strong>gwa (Jimbo la Msalala)na Mwakitolyo na Salawe (Jimbo la Solwa) yanafaakwa kilimo cha mpunga na yanaweza kulisha Mkoamzima wa Shinyanga. Agizo la Mheshimiwa WaziriMkuu, Mtemi Nkumbi la kupanua scheme yaumwagiliaji ya Chela litekelezwe sasa. Ni aibu kwaShinyanga kutokuwa na scheme hata moja yaumwagiliaji yenye kufikia Shilingi bilioni moja. Aidha, niaibu kwa kufanya Mkoa wa Shinyanga kuwapermanent food dependent. Nguvu kazi kubwa iliyokoShinyanga inapotea bure na hii ni hasara kwa Taifa.Mheshimiwa Spika, Serikali ianzishe viwanda vyakuongeza thamani kwa mazao yanayozalishwaShinyanga hasa pamba na mifu<strong>go</strong>. Hivyo, Serikaliianzishe au iwezeshe kuanzishwa viwanda vipya vyanguo na nyama Shinyanga. Siyo haki kwa wafugaji waShinyanga kuendelea kutangatanga na mifu<strong>go</strong> yaomingi kwa kukosa malisho bila kuwasaidia kupata sokola uhakika la mifu<strong>go</strong> yao. Ni aibu kwa zao la pamba268


kuendelea kuwa zao la wafanyabiashara kutajirikahuku bei ikiporomoka kila mwaka. Tunaomba viwandavya nguo na mafuta ya pamba Shinyanga.Mheshimiwa Spika, Serikali ianze kutekeleza miradimikubwa ya miundombinu ya maji, umeme nabarabara ili kuchochea maendeleo Shinyanga kwakutekeleza kwa kipaumbele miradi ifuatayo: mradi wamaji ya Ziwa Victoria kwenda Ka<strong>go</strong>ngwa na Isaka navijiji vitakavyopitiwa na bomba hilo vya Mondo, Penzi,Banhi, Mwalugulu, Gembe, Sungamile, Kishima,Ka<strong>go</strong>ngwa, Iponya, Isagehe, Malenge, Sangilwa,Mashigini, Mwakata, Itogwanholo, Isaka stesheni naNtungulu uanze mwaka huu. Ahadi ya kuwapatia majiwananchi waishio jirani na bomba kuu la maji tokaZiwa Victoria kwa umbali usiozidi kilometa 12, vijiji vyaKabondo, Mwanase, Ma<strong>go</strong>beko, Izuga, Matinje,Nduku, Busangi, Mhama, Bulige na Butegwa itekelezwemwaka huu.Mradi wa ujenzi wa barabara ya lami kuunganishaKahama na Geita uanze mwaka huu. Nasikia m<strong>go</strong>diwa Geita wamekubali kugharimia ujenzi wa barabarahiyo kwa kiwan<strong>go</strong> cha lami upande wa Geita.Naomba Serikali izungumze na kukubaliana na ABG ilinao wagharimie ujenzi wa barabara hiyo upande waKahama. Kubalianeni mtakatana kwenye kodi namrabaha siku za usoni.Mheshimiwa Spika, miradi ya umeme vijijiniambayo maombi yalishapelekwa REA toka 2010itekelezwe. Miradi iliyoombewa kwa Jimbo la Msalala nikupeleka umeme Vijiji vya Busangi, Nyamigege,269


Nyambura, N<strong>go</strong>ngwa, Ngaya, Bulige, Chela na Ntobo.Mradi wa umeme kwenda Bukombe kupitia vijiji vyaLunguya, Shilela, Ikinda, Nyikoboko na Segese vilivyokoJimbo la Msalala nao uanze mwaka huu maanaumeahidiwa toka mwaka 2004, enzi za awamu ya tatu.Mheshimiwa Spika, naomba kuunga mkono hoja.MHE. ENG. RAMO M. MAKANI: Mheshimiwa Spika,maoni ya jumla. Ningepewa na ningetakiwakuchangia mjadala mzima (wote) wa bajeti ya Serikalikwa sentensi moja tu ningesema ‘tutekeleze mpan<strong>go</strong>wa maendeleo wa miaka mitano (2011/2012 –2015/2016) kikamilifu tupime mafanikio, tubainichangamoto, tuboreshe na kuendelea kutekeleza,mengi ya yanayopigiwa kelele na WaheshimiwaWa<strong>bunge</strong> yamo katika Mpan<strong>go</strong>. Nitayagusiamachache kama ifuatavyo:-Kuongeza Pato la Taifa ili kuongeza uwezo wetukibajeti (ukurasa wa 74 mpaka 84). Kwa mifanomichache, suala la kukusanya kodi na kudhibitimisamaha ya kodi (ukurasa wa 74 hadi 75), na superprofit tax on minerals (ukurasa wa 82) na mengimengineyo. Nashauri kwamba tuandae majedwali yautekelezaji na upimaji mafanikio kitaalamu (on smartstyle).Mheshimiwa Spika, kudhibiti matumizi (ukurasa wa84 hadi 86) njia mbalimbali zimeainishwa. Maonimahsusi na maalum (specific), (ukurasa wa 78)nanukuu: “the whole issue of strenghthening LGAsrevenue collection and administration.”270


Mheshimwa Spika, matumizi ya utaalamu zaidihasa sayansi na teknolojia, chombo maalumkilichogunduliwa na Tume ya Sayansi na teknolojiaambacho kimetumika Kinondoni Dar es Salaam nakuongeza makusanyo mara nne, kifuatiliwe na kitumikekatika Halmashauri zake.Mheshimiwa Spika, matumizi ya mapato katikaHalmashauri zikiwemo fedha za ruzuku mbalimbali,udhibiti zaidi kwa ujumla, matengenezo ya barabaraza udon<strong>go</strong> na za kokoto (earth roads and gravel roads)kwa namna yanavyofanyika sasa hayazisaidiiHalmashauri wala Taifa kwa ujumla wake. Ni matumizimbaya ya fedha za Serikali. Sababu ni ukosefu naupungufu wa wataalamu, ukosefu wa maadilimion<strong>go</strong>ni mwa baadhi ya wataalamu, ukosefu wamakandarasi makini na wenye sifa stahiki, ufinyu wabajeti, kutawanya fedha chache katika miradi mingi.Mheshimiwa Spika, napenda kutoa mapendekezoya ufumbuzi kama ifuatavyo:-- Kukamilisha kuundwa kwa wakala wabarabara za Halmashauri. Chombo hicho kitasaidiakuratibu vyema ukubwa wa kazi katika eneo kwawakati kisha kugawa rasilimali chache zilizopo(resource sharing). Kwa mfano, hakuna hajakutawanya resources ambazo mwishowe hazileti tija.- Fedha zipelekwe katika Halmashauri chachekila mwaka.271


- Wahandisi na mafundi sanifu wagawanywekule ambako kuna miradi.- Usanifu (design) wa barabara huko uweunaotosha kujenga barabara za kudumu angalau kwa(standard design period), barabara tunazojenga nyingizinadumu kwa takribani miezi miwili au mitatu.Mzunguko uendelee kila mwaka au baada ya miakamiwili kugawa rasilimali na kuendelea na ujenzi wabarabara kimkakati.Mheshimiwa Spika, nidhamu kwa wataalamuisimamiwe kwa kushirikiana na vyombo vya Serikalihusika kwa mfano na Bodi ya Usajili wa Wahandisi.Kuanza kufanya ukaguzi kabla (pre audit) badala yakusubiri Post Audit results and effects. Hii ituwezeshekubaini na kuamua kupeleka fedha au la kwa matumizifulani ili kujirishisha na uwezo wa kutumia kwa tija(absorption capacity).Mheshimiwa Spika, ujenzi wa barabara kuu,Namtumbo – Tunduru, ujenzi wa barabara hii lilipaswakutekelezwa na Kampuni ya M/S Progressive ambayodalili zote zinaonyesha kuwa wameshindwa kazi.Ushauri Tanroads watumie vifungu sahihi vya Mkatabawawalazimishe kutekeleze mradi huu haraka sana.Vinginevyo, kwa Mkataba huo huo wawasimamishe nakuwanyang’anya kazi mara moja.Mheshimiwa Spika, barabara ya Tunduru –Mangaka - Mtambaswala iko katika hatua yakutafutwa Mkandarasi. Ushauri wangu ni kwamba,272


Serikali iharakishe kupatikana kwa Mkandarasi naMakandarasi. Lakini muhimu zaidi mradi wa Namtumbona Tunduru utumike kama darasa kutupatia fundisho ilimakosa yasirudiwe. Mchakato uwe makini ili apatikanemkandarasi makini, na barabara hiyo ijengwe kwawakati kwa kiwan<strong>go</strong> na kwa gharama mwafaka.Mheshimiwa Spika, Tunduru imeacha kuwa Kisiwa,National Grid, imeikwepa.Mheshimiwa Spika, ili kuongeza thamani yaKorosho (value addition), nashauri kiwanda chakorosho bora kianzishwe. Kilichopo hakieleweki faidazake. Pia nashauri kwamba uzalishaji uongezwe,pembejeo zipunguzwe bei na zimfikie mkulima kwawakati, bei ya korosho na malipo kwa wakulima kwawakati liwe ni jambo la kipaumbele kwa Serikali.MHE. CECILIA D. PARESSO: Mheshimiwa Spika,matumizi hasa yapo katika ununuzi wa samani za Ofisihususan vyombo vya ofisini na nyumbani, magari nakadhalika. Naomba ufafanuzi wa juu ya azma yaSerikali katika suala zima za kupunguza gharamakwenye mambo yasiyo ya lazima na kuelekeza fedhahizo kwenye miradi ya maendeleo na huduma zakijamii.Kwa mfano, katika program 10, kifungu chautawala, sub vote1001 items ya Shilingi milioni 454 kwakipindi cha mwaka 2012/20213, hata hivyo utaonamatumizi ya namna hiyo hiyo yamefanyika mwaka2011/2012, jumla ya Shilingi milioni 729 na kipindi chamwaka 2010/2011 jumla ya Sh. 549,674,047/=273


zilitengwa. Takwimu hizo ni kutoka katika Kitabu chaEstimates of Public Expenditure Consolidated FundServices (Section1) and Supply Votes (Ministerial)volume III.Hoja hapa ni: Je, Serikali haioni haja ya kuangaliaupya ni kwa namna gani udhibiti wa matumizi yarasilimali? Kwa maana ya samani za ofisi kwa kuwahaingii akilini, kiti cha ofisi au hata samani nyingine zanamna hiyo kununuliwa kila mwaka wa fedha.Uwajibikaji katika ofisi unaolenga ufanisi ni pamoja naulinzi wa rasilimali za nchi zetu zile asilia, bali hata hizizinazonunuliwa kwa pesa za walipa kodi wa nchi hii.Mheshimiwa Spika, Serikali kwa muda mwingiimekuwa ikipanga mipan<strong>go</strong> na ku-allocate fundkwenye Halmashauri bila kufikia malen<strong>go</strong> tarajiwa. Hiihusababisha Halmashauri nyingi kutotekeleza mipan<strong>go</strong>ya maendeleo kama ilivyopangwa, kupitia taarifa yaMdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG)mfano, katika Halmashauri ya Wilaya ya Karatu, fedhazilizotengwa kwa ajili ya miradi ya maendeleo ni 55% tuambazo zilipelekwa, hivyo kufanya 45% kutopelekwa.Hii inamaanisha kuwa tunakuwa na mipan<strong>go</strong> mizurikatika makaratasi bila kulenga uhalisia wa kuletamaendeleo katika jamii zetu.Mheshimiwa Spika, suala la upandishaji wamadaraja kwa watumishi wa Serikali nalo limekuwa naurasimu mno na hata kuwa kero. Kwa sasa mtuhupanda daraja kila baada ya miaka mitatu, kimsingikama mtumishi akiwa na umri wa miaka 30 mpakaafike daraja ‘H’ atakuwa ndiyo yupo/anafika kwenye274


kipindi cha kustaafu. Hivyo naishauri na kupendekezamiaka ya kupandishwa madaraja ipunguzwe.Mheshimiwa Spika, katika baadhi ya Halmashaurinchini kumekuwa na mahusiano yasiyoridhisha yakiutendaji kwa kuwa wakati fulani Madiwani hukataaushauri wa kitaalamu katika baadhi ya masuala, hivyoMadiwani kuwa na maamuzi ya kisiasa zaidi ambayoyanaathiri wananchi, kwa kupelekea vikao kutoamaamuzi yasiyokidhi haja kwa wananchi, na katikabaadhi ya Halmashauri, Wenyeviti wa Halmashauriwamekuwa na ubavu wa hata kuingilia maamuzi yaWatendaji na kushawishi Watendaji watekeleze baadhiya masuala kwa manufaa (interest) yao.Mheshimiwa Spika, nashauri Serikali itazame upyamuundo wa Halmashauri zetu, hususan katika vikaovya maamuzi ili kudumisha mahusiano mazuri kati yaWatendaji na vion<strong>go</strong>zi wa kisiasa ambayo yataleta tijakwa wananchi.MHE. OMARI R. NUNDU: Mheshimiwa Spika, awaliya yote, namshukuru Mwenyezi Mungu, mwingi warehema kunijalia afya njema kuweza kuchangiakwenye mjadala wa hoja ya Ofisi za Waziri Mkuu.Naipongeza Serikali kwa juhudi zake za kuboreshamaisha ya wananchi kupitia Wizara na taasisi zilizo chiniya Ofisi hiyo na hasa TAMISEMI, ambayo ndiyoinayoshughulikia kwa karibu sana matatizo yawananchi kwa kupitia Halmashauri zilizosambaa nchinzima.275


Mheshimiwa Spika, katika mambo ambayo Serikaliimeridhia kuyashughulikia na pia kuyatatua,naorodhesha yafuatayo: utawala bora na suala zimala kuzipa uhuru mamlaka ya Serikali za Mitaa ili ziwezekushughulikia na kutatua matatizo ya Wilaya zao kwakaribu sana. Kuzipatia Halmashauri 62 magari ilikuziwezesha kufanya ukaguzi wa ndani vilivyo. Pianapongeza uamuzi wa kuwakopesha Madiwanivyombo vya usafiri.Vile vile naipongeza Serikali kwa kuwachukuliahatua za kinidhamu Wakurugenzi 24 wa Halmashaurimbalimbali pamoja kuwavua madaraka nane. Ombilangu lilikuwa, Serikali isiishie hapo, bali iwapelekeMahakamani wale wanaostahili kushughulikiwa, ilihatua za kisheria zichukue mkondo wake.Mheshimiwa Spika, naomba Serikali iharakishekuzipatia wakurugenzi Halmashauri ambazo hazinaWakurugenzi. Kama kuna ugumu wa kutafutaWatendaji wa kupewa nafasi hizo kutoka nje, basi walewanaokaimu wathibitishwe, kwani haiingii akilinikumwachia mtu kukaimu kwa muda mrefu kama kunaimani ya uwezo wake wa kuifanya kazi yenyewe.Vinginevyo, Halmashauri ziruhusiwe kuajiri Wakurugenziwao. Vile vile mchakato wa kuajiriwa Maafisa Tarafa145 ambao tayari vibali vya kuwaajiri vimepatikana,uongezewe kasi.Mheshimiwa Spika, Mji Mkuu wa Wilaya yaPangani, Mji ambao ni mkongwe na ambao uko katikaukanda wa bandari nzuri ya kitalii, ukulima na uvuvi naunganisho lake na dunia ni kupitia Tanga kwa276


arabara ya Tanga, Pangano. Barabara hii yenyeurefu wa kilometa 51.7 tu imeendelea kuwa finyu napia ya udon<strong>go</strong> miaka yote. Ahadi ya kuijenga kwakiwan<strong>go</strong> cha lami imetolewa mara nyingi hadikumfanya Mheshimiwa Rais kuiweka kwenye ahadizake wakati wa kampeni za uchaguzi mwaka 2005.Barabara hii imo kwenye ilani ya CCM ya mwaka2010/2015, lakini hadi leo Juni, 2012 bado dhamira yakutekeleza ahadi hiyo haionekani.Naiomba Serikali itujulishe hatima ya barabarahiyo ambayo inaunganisha Wilaya za Tanga, Muhezana Pangani, ifikapo Desemba, 2015, na ni ninikinafanyika sasa hivi, ukiachia barabara hiyo kuu,ahadi za barabara zinazounganisha vijiji vingi na Mji waTanga hazijaanza kutekelezwa pamoja na kuwabarabara hizo ni muhimu kwa maendeleo ya viwandana ukulima katika vijiji hivyo? Kwa mfano, vijiji vyaMajojoni, Kibafuta, Chon<strong>go</strong>kani, Pande, Mwaron<strong>go</strong>,vinahitaji barabara, maji na umeme kwa maendeleoyao.Mheshimiwa Spika, naishukuru Serikali kwakujengwa barabara ya Tanga – Horohoro, lakinininasikitika sana kuwa tangu mwaka 2009 hadi leowananchi waliojitolea kubomoa nyumba zaokuwezesha ujenzi wa barabara hiyo bado hawajalipwahaki zao wakati wenzao ambao hawakujitolea hivyowamelipwa. Serikali ielewe kuwa siku za mbele hakunamwananchi atakayejitolea, tena hakuna fadhila zakufanya hivyo ni haya mnayoyatenda. Nilifuatilia sualahili mwaka 2011 kwa karibu, bali badala ya kupatiwa277


ufumbuzi, Serikali kupitia Naibu Waziri wa Ujenzi,ilinieleza kuwa wamejenga misikiti 35.Mheshimiwa Spika, Misikiti ni nyumba za ibada naMwenyezi Mungu Sub-hanah-wa-taala naye anajuaatazilinda vipi kwa anayezibomoa. Mimi ninachoombani fidia za wananchi wanyonge.Mheshimiwa Spika, kiwan<strong>go</strong> cha elimu katikaWilaya ya Tanga kimerudi nyuma sana, kwani Shulenyingi za Kata kiwan<strong>go</strong> cha kufaulu kwenye mtihanikwa Kidato cha Nne mwaka 2011 ambapo Shule nyingiwaliofaulu, wachache ni daraja la Nne. Shule hizihazina maabara na Walimu hawatoshi na hata zileambazo zina hao Walimu wachache, Walimu hawahawataki kukaa vijijini au hawawezeshwi kuishi huko.Mheshimiwa Spika, suala la chenji za radanapendekeza zigawanywe kwenye Wilaya ya Tangapia kwa kuchangia ujenzi wa maabara kwenye Shuleza Sekondari za Kata.Mheshimiwa Spika, wananchi wengi wa Wilaya yaTanga, hali zao ni duni sana pamoja na nia zao thabitiza kujiendeleza kimaisha. Ninaiomba Serikali isimamieutoaji wa mikopo katika Wilaya hii ili mikopo hiyoiwafikie wananchi hao. Wenye mashambawawezeshwe kwa kupatiwa nyenzo stahili zikiwambolea na matrekta.Mheshimiwa Spika, narejea kusisitiza kuwa suala lakutokuwepo Mkurugenzi mwenye Halmashauri ya Jiji laTanga kwa takriban miaka miwili sasa tangu Mei, 2010278


limedumaza sana maendeleo ya jiji hili. Mimi nitaungahoja mkono pale tu nitakapohakikishiwa kwa vitendokuwa Halmashauri hivyo imepatiwa Mkurugenzi.Nimelifuatilia sana suala hili bila jibu. Mwanzoni mwakahuu ilitulazimu Madiwani wa Halmashauri nikumbadilisha aliyekuwa akikaimu kwa kuwekamwingine. Serikali isitufanye tukarejea rejea kitendo hiki.Mheshimiwa Spika, ahsante.MHE. AGNES E. HOKORORO: Mheshimiwa Spika,kwanza kabisa nampongeza kwa dhati MheshimiwaWaziri Mkuu kwa hotuba yake nzuri yenye kuamsha ariya maendeleo kwa Watanzania. Nawapongeza piaWaziri wa TAMISEMI na Manaibu wake wote, pamojana Mawaziri wengine. Katika Ofisi ya Waziri Mkuu,Watendaji Wakuu wa Wizara na vion<strong>go</strong>zi wote.Mheshimiwa Spika, pamoja na hotuba nzuri yabajeti ya Ofisi ya Mheshimiwa Waziri Mkuu, ninayomaeneo machache ya kuweka msisitizo kamaifuatavyo:-Mheshimiwa Spika, Serikali katika sera yake yauwezeshaji wananchi kiuchumi ya mwaka 2004 inayoprogramu na mifuko kadhaa inayogharimu shughuli zakilimo ikiwemo umwagiliaji. Lakini miradi mingi yaumwagiliji inalalamikiwa sana kuwa haina tija sana kwawananchi. Changamoto iliyopo inaonekana ni namnaya miradi ya umwagiliaji inavyoratibiwa, KHC kanda,badala ya Halmashauri za Wilaya husika. Hali hiiinaletea utatanishi katika utekelezaji na usimamizi wamiradi hiyo. Katika maeneo mengine, miradi ya279


umwagiliaji inajegwa/inaanzishwa na kuwepo kamapicha/mlima uliooteshwa bila kufanya kazi na maeneomengine wananchi hawashiriki kikamilifu katikakuitunza kwa kuwa wanaiona kama sio ya kwao.Kwa ujumla, miradi ya umwagiliaji ni mikubwa,inatumia fedha nyingi ambapo zisiposimamiwa vizuriitakuwa inapoteza dhamira nzuri ya Serikali yakuwawezesha wananchi kiuchumi. Nashauri kwambamiradi ya umwagiliaji ifanyiwe uratibu, itambuliwe,itekelezwe na kusimamiwa na Halmashauri za Wilayahusika na siyo ofisi za Kanda.Mheshimiwa Spika, wananchi wa Mikoa yaMtwara na Lindi ambao kwa sasa wanautumia, nimfumo mzuri endapo utasimamiwa vizuri. Kwa sasamfumo huu unazo changamoto mbalimbali ambazozikishughulikiwa, zitauboresha na kuwanufaishawakulima. Mfumo wa stakabadhi ghalani kwa sasaunalalamikiwa sana na waananchi kwamba hauna nianjema hususan katika msimu unaoendelea sasa waufuta Lindi na mtwara. Bei dira zinazotolewa na vikosikazi katika Mikoa husika ni mojawapo ya kikwazo kwamafanikio ya Mfumo wa Stakabadhi Ghalani,inaelekea bei dira zinapangwa huwa hawalinganishina bei soko na bei za kimataifa. Kwa mfano, msimuhuu wa ufuta, bei dira kwa Mfumo wa StakabadhiGhalani ni Sh. 1,000/= kwa kilogram moja, wakati bei yawanunuzi binafsi ni Sh. 1,500/=. Hali hii inawafanyawananchi wakatae kuuza mazao yao katika Mfumowa Stakabadhi Ghalani kwa kuwa wanaona mfumowa Serikali unawapunja. Nashauri Serikali kupitia Wizarahusika ya Kilimo, Chakula na Ushirika ikasaidia kwa280


kutoa mwon<strong>go</strong>zo wa namna ya kupata bei halisi zamazao kwa kulinganisha bei za soko na bei za soko lakimataifa.Wizara iwape uwezo vikundi kazi (Task Force)zinazoweka maoteo ya bei ya mazao kwa msimuhusika, kwa kuwa ni dhahiri kabisa kuwa wanunuzibinafsi wanakuwa wanafahamu kuwa bei ya Soko laKimataifa la mazao hayo. Pengine wanaopanga beiza mazao Mikoani wanapaswa kupewa mwon<strong>go</strong>zo.Mheshimiwa Spika, suala lingine linalolalamikiwa niruzuku za pembejeo. Mwaka 2011/2012 Serikaliiliimarisha upatikanaji wa pembejeo za kilimo. Badozipo changamoto zinazoikabili. Kwanza, ucheleweshajiwa pembejeo za kilimio hususan mbegu huwazinachelewa kuwafikia wakulima, kwa mfano mbegubora kwa wakulima ambao msimu wa upandajiunatakiwa uwe Januari, mbegu zinakwenda Aprili.Madawa ya mimea kwa mfano dawa za kupuliziamikorosho (sulphur), wakati wakulima wa koroshowanahitaji dawa hizo kabla ya mwezi Juni, mpakasasa, tarehe ya leo madawa ya kupuliza mikoroshohaijawafikia wakulima japokuwa dawa hizi zinatakiwazinunuliwe na fedha za mfuko wa wakulima.Naishauri Wizara ya Kilimo isimamie suala hili kwaukamilifu ili kuhakikisha Hazina inatoa fedha zakununua pembejeo hizo mapema. Kimsingi, hakunamfanyabiashara anayeweza kuagiza pembejeo zazaidi ya Shilingi bilioni mbili bila kuwa na uhakika wakupata fedha kutoka Hazina. Katika Mikoa ya Mtwarana Lindi kwa zao la korosho ambalo ndilo zao kuu la281


iashara, bado wakulima hawajanufaika kabisa naruzuku za pembejeo mwaka 2011. Wakulima wakorosho walinunua Mfuko wa sulphur kwa Sh. 50,000/=.Mwaka huu bei bado iko juu, Sh. 45,000/= mpaka Sh.50,000/=. Ni dhahiri pia kuwa wakulima hawawezikununua madawa hayo kwa bei hiyo, na endapoSerikali ingesimamia vizuri suala la pembejeo za kilimo,lingekuwa na manufaa zaidi kwa wana Mtwara naMikoa yote inayolima korosho.Mheshimiwa Spika, mwisho, naomba kuungamkono hoja hii kwa asilimia mia moja ili fedha hiziziende kusukuma maendeleo ya Watanzania wotekwa ujumla.MHE. SAIDI R. BWANAMDOGO: Mheshimiwa Spika,pamoja na bajeti nzuri, nina maelezo machache katikamaeneo yafuatayo:-Mheshimiwa Spika, napendekeza Wizara ya Ardhiipitie upya mipaka ya Mikoa ya Dar es Salaam naPwani. Baadhi ya maeneo yaliyopo mpakani mwaMikoa hiyo, yameingia kwenye Mkoa mwingine,mfano, eneo la Pugu Sekondari, lilikuwa Mkoa waPwani, lakini sasa lipo Mkoa wa Dar es Salaam.Mheshimiwa Spika, kuna haja ya kuwalipa poshona mishahara Wenyeviti wa Vijiji na Mitaa kwani hawawapo karibu zaidi ya wananchi na ndiyo wasimamiziwakuu wa fedha zinazokwenda vijijini, na Mitaaniambazo ni nyingi sana.282


Mheshimiwa Spika, Wakurugenzi wa Halmashaurina Wilaya, Manispaa, Miji na Majiji wawe karibu naMaafisa Tarafa. Mara nyingi Wakurugenzi wengi katikamaeneo mengi huwasahau kuwatumia Maafisa Tarafana badala yake huwatumia Maafisa Watendaji naKata pekee. Kuna dhana imejengeka kuwa AfisaTarafa ni Msaidizi wa Mkuu wa Wilaya na siyoMkurugenzi.Mheshimiwa Spika, naishauri Serikali kuongezaufanisi bandarini ili meli zinapofika eneo la bandarizisikae muda mrefu kabla ya kushuka mzi<strong>go</strong>. Ni vyemaSerikali ikachukua hatua za makusudi ili ucheleweshaji,kushusha mizi<strong>go</strong> bandarini usiwepo, kwani kwa hali yasasa ambayo huchukua takribani mwezi mmoja kwameli kukaa kabla ya kushusha mzi<strong>go</strong>. Hii ni gharamakubwa ambayo hatimaye inamwezesha mlaji wamwisho ambaye ni mwananchi.MHE. REBECCA M. MNGODO: Mheshimiwa Spika,katika hotuba ya Mheshimiwa Waziri Mkuu ukurasa wa23 na 24 kuna maelezo kwamba Serikali kupitia SUMAJKT inauza matrekta kwa bei nafuu ili wakulimawaweze kukopa na hivyo kujikwamua kiuchumi.Mheshimiwa Spika, swali langu kwa Waziri Mkuu:Je, Serikali inafahamu chochote kuhusu AgriculturalInputs Trust Fund?Mheshimiwa Spika, wakulima wengi wa Mkoa waArusha waliokopa matrekta kupitia Agricultural InputsTrust Fund na wengi walishindwa kulipa mkopo kwawakati, hasa walionunua matrekta ya Shilingi milioni 40283


kutokana na ukosefu wa mvua za kutoshsa na hivyokukosa mazao ya kuuza.Mheshimiwa Spika, katika kitabu cha hali yauchumi wa Taifa, Serikali imesema kwamba ukuaji wauchumi ulishuka kwa asilimia 6.4 mwaka 2011ukilinganisha na asilimia 7.0 mwaka 2010 kutokana naukame.Mheshimiwa Spika, Serikali iangalie utendaji waAgricultural Inputs Fund, kwani wamewadhalilishawakulima wengi kwa kutaka kuwafilisi mashamba yaona nyumba zao bila kuangalia kwamba wameshindwakurudisha mkopo kwa wakati kutokana na ukameulioipata nchi yetu na hivyo wakulima wengi kushindwakuzalisha kama walivyotarajia.Mheshimiwa Spika, pili, kwa maelezo ya hotuba yaMheshimiwa Waziri Mkuu ukurasa wa 62 kuhusumadawa ya kulevya, kwamba Serikali imejizatitikukabiliana na tatizo sugu la usafirishaji na matumizi yadawa za kulevya na kwamba katika kipindi cha Julai,2011 hadi Februari, 2012 kilo 349 za dawa za kulevya zaviwandani na kilo 48,227 za bangi na kilo 10,680 zamirungi zilikamatwa.Mheshimiwa Spika, ningependa kumwulizaMheshimiwa Waziri Mkuu: Je, dawa hizi za kulevyazinapokamatwa huwa zinapelekwa wapi? Kwaninihatujawahi kusikia kwamba kuna utaratibu wowoteuliowekwa wa kuziteketeza?284


Mheshimiwa Spika, kwa hayo machache,naomba kuwasilisha.MHE. MAHMOUD H. MGIMWA: Mheshimiwa Spika,naomba nichukue fursa hii kumpongeza MheshimiwaWaziri Mkuu, kwa jinsi alivyowasilisha bajeti ambayokama itatekelezwa, itakuwa chachu katika kuletamaendeleo katika nchi yetu.Mheshimiwa Spika, naomba nitoe masikitiko yangukuhusu Serikali, kwamba imekuwa ni kawaida ya Bungekupitisha bajeti hizi, lakini pesa zinazokwenda kwenyeHalmashauri zetu hazifiki hata asilimia 50. Kwa hiyo,mipan<strong>go</strong> mingi ya maendeleo na huduma nyingi zakijamii zinakuwa hazitekelezeki.Mheshimiwa Spika, naomba sana Serikali ipitishebajeti itakayokuwa inaweza kutekelezwa. Ikumbukwekuwa Halmashauri ndizo zinazogusa maisha yaWatanzania kila siku. Naishauri Serikali ijitahidikuhakikisha pesa zote zinakwenda kwa wakati.Mheshimiwa Spika, katika hotuba ya MheshimiwaWaziri Mkuu amezungumzia kuhusu maslahi yaMadiwani. Kwa kweli nampongeza sana kwa kuonakuna haja ya kuboresha posho za Madiwani, pamojana kuwapatia vyombo vya usafiri kwa mkopo.Mheshimiwa Spika, naomba nichukue fursa hiikukumbusha tena kuwa, asiishie kwa Madiwani tu, piakuna charge ya Serikali kuwaangalia sana Wenyevitiwa Vijiji pamoja na Wenyeviti wa Serikali za Mitaa hasakatika maeneo ya posho, vyombo vya usafiri pamoja285


na namna ya kuwahudumia pindi wanapopatamajanga makubwa kama misiba.Mheshimiwa Spika, pamoja na kazi nzurizinazofanywa na Wenyeviti wa Vijiji na Wenyeviti waSerikali za Mitaa, huwa hawathamini, na Halmashaurihata pale inapotokea wao wenyewe wakafariki dunia,Halmashauri huwa zinakuwa haziko tayari kuratibumazishi.Mheshimiwa Spika, ni vyema Serikali ikahakikishapesa zinazotengwa kwa ajili ya matengenezo yabarabara, zinapelekwa na zinafika kwa wakati. Eneohili ni muhimu sana katika ustawi na mustakabali wanchi yetu.Mheshimiwa Spika, katika Jimbo langu la MufindiKaskazini kumekuwa na kero kubwa sana ya usafirikatika barabara itokayo Kinyamambo ‘C’ hadi Kisusa,na kuna baadhi ya maeneo hayapitiki kabisa kamaKijiji cha Kipanga Kijiji cha Mpangatazala, Kijiji chaIhimbo.Mheshimiwa Spika, kama Serikali itatekelezawajibu wake, watu wetu pamoja na mali zao vitakuwasalama. Vijiji nilivyovitaja hapo juu vinalima mazaomengi sana, lakini mazao haya yanaharibika kutokanana ukosefu wa usafiri wa uhakika.Mheshimiwa Spika, napenda Mheshimiwa WaziriMkuu atoe tamko ni lini tutapata Halmashauri ya Mji waMafinga. Vigezo vyote vya kupata Halmashauritunavyo na vikao vyote vya kikanuni vimeshafanyika.286


Mheshimiwa Spika, katika Jimbo langu la MufindiKaskazini, asilimia 80 ya Jimbo langu halina maji safi nasalama, Kata ya Mdabulo, Ihami, Mapanda, Kwaha,Mpangatazala, Ihalimba, Ifwagi na Kibengu zenye vijiji34 hazina kisima hata kimoja na Serikali haionyeshi niaya kutaka kutatua tatizo hili.Mheshimiwa Spika, niko tayari kuunga mkonohotuba hii ya Mheshimiwa Waziri Mkuu kamaatanieleza jinsi Serikali ilivyojipanga kutatua tatizo sugula maji katika Kata hizi.Mheshimiwa Spika, kero nyingine inayotaka tibakatika Jimbo langu la Mufindi Kaskazini ni tatizo ladawa na watumishi katika Zahanati na Vituo vya Afya.Mheshimiwa Spika, hii ni kero kubwa sana kwawananchi wetu hasa watoto na akina mamawajawazito. Naiomba sana Serikali ihakikishe dawa nawataalam wa afya wanapatikana kwa wakati, kwanihauwezi kuahirisha ma<strong>go</strong>njwa.Mheshimiwa Spika, mwisho, naomba sanauangalie Watendaji wa Halmashauri wanaoachakutekeleza majukumu yao na kuanza kushughulika nasiasa.Mheshimiwa Spika, hii ni kero kubwa sana katikaHalmashauri zetu. Pia naiomba Serikali ihakikishe chenjiya rada inafanya shughuli iliyokusudiwa287


MHE. ASHA MOHAMED OMARI: Mheshimiwa Spika,nachukua nafasi hii kumpongeza Mheshimiwa WaziriMkuu kwa hotuba nzuri yenye matumaini makubwakwa Watanzania. Nami kwa ujumla naunga mkonohoja japo nilikuwa na machache ya kuchangia kamaifuatavyo:-Mheshimiwa Spika, kuhusu chenji ya rada, nchiyetu ni ya Muungano. Hivyo, fedha hizo inatakiwaigawanywe pande zote mbili Zanzibar na TanzaniaBara, kuliko zikatumika upande mmoja tu wa TanzaniaBara.Mheshimiwa Spika, hayo ndiyo maoni yangu.MHE. MWANAKHAMIS KASSIM SAID: MheshimiwaSpika, naunga mkono hoja.Mheshimiwa Spika, mwaka 2011/2012 Serikaliilitenga jumla ya Shilingi bilioni 94.02 nahazikuwasilishwa zote kwa wahusika. Napendekezakwamba kwa kuwa mwaka 2012/2013, Serikaliimetenga jumla ya fedha Shilingi bilioni 128.9, naiombaiongeze fedha kwenye bajeti hii kutokana na unyeti wasekta hii.Mheshimiwa Spika, naomba Serikali iharakishekuenezwa kwa mfumo wa LGHRS kwa haraka katikaMikoa yote nchini.Mheshimiwa Spika, kuhusu mishahara na madeniya walimu, napendekeza Serikali iandae mkakatimadhubuti wa kulipa malimbukizo ya madeni yote ya288


Walimu wa Shule za Msingi na Sekondari nchi nzima.Mishahara ya Walimu wa Shule za Msingi na Sekondariipandishwe ili iwawezeshe Walimu hao kujikimukimaisha. Serikali iandae utaratibu wa kuboresha nakujenga nyumba za Walimu Mijini na Vijijini, uandaliweutaratibu wa kuwa na mfumo maalum ambaoutawasaidia Walimu kukopa kwa masharti nafuu iliiwasaidie kwa maendeleo yao.Mheshimiwa Spika, Serikali ilikuwa inatumiamatumizi makubwa sana ya kiutawala na kiutendajikwa mamlaka mbili; ya CDA na Manispaa ya Dodoma,ambazo zote zina nguvu sawa na eneo la utendaji nimoja. Napendekeza kwamba, Serikali iangalieuwezekano wa kupunguza matumizi katika mamlakahizi, Serikali iimarishe Mamlaka ya Manispsaa yaDodoma kwa kuajiri wataalam wa kutosha ili CDA ifikiekikomo.Mheshimiwa Spika, kuhusu kilimo, napendekezakwamba, wataalamu wa kilimo na mifu<strong>go</strong> waajiriwe nawapelekwe vijijini. Serikali ifikirie kujenga miundiyombinukutoka vijijini ili wakulima wapate nafasi ya kuuzamazao yao kwa bei nzuri kwa manufaa yao na familiazao.Mheshimiwa Spika, napendekeza kwamba,wanafunzi wote wanaosoma na kuhitimu katika Chuocha Serikali za Mitaa, Hombolo, waajiriwe mara moja.Chuo lazima kiwe na wataalamu wake wa kutosha nawapewe mafunzo ndani na nje ya nchi ilii kuwajengeauwezo kitaaluma.289


Mheshimiwa Spika, kuhusu usafiri wa haraka kwaJiji la Dar es Salaam, naunga mkono mpan<strong>go</strong> waSerikali wa DART. Naiomba Serikali ifanye utafiti wa kinana kutafuta njia ya kuondoa msongamano wa magari,ajali za barabarani na kuangalia hali ya mazingira.Mheshimiwa Spika, napendekeza kwamba Serikaliijenge barabara za juu, ijenge reli za kuzunguka Jiji laDar es Salaam.Mheshimiwa Spika, lingine ni kwamba, wiki chachezilizopita ulitangazwa uteuzi wa Mabalozi ambaowanashikilia nafasi za Ukurugenzi katika Idarambalimbali za Wizara ya Mambo ya Nje,nawapongeza.Mheshimiwa Spika, uteuzi ule uliozingatia umri,jinsia na taswira ya Kimuungano na nawapongezamabalozi hao na kuwatakia utendaji mwema, lakiniingependeza zaidi kama kungekuwa na Mkurugenzijapo mmoja pale Wizarani kutoka Zanzibar na isiwe tuyule wa Ofisi ya Zanzibar ndiyo atoke Zanzibar, ila hatapale Makao Makuu ya Wizarani panahitajikaWakurugenzi kutoka Zanzibar kama ilivyokuwa wakatiwa Marehemu Mzee Idrisa Abdul Wakil, alipokuwaMkuu wa Itifaki Dkt. Salim Ahmed Salim, akiwaMkurugenzi Idara ya Afrika na kadhalika. Bila shaka hiiitadhihirisha sura ya Muungano na kupunguzamanung’uniko hususan kutoka Zanzibar.Mheshimiwa Spika, uwiano katika Taasisi zaMuungano hasa Wizara ya ulinzi na mambo ya ndaniWizarani, hauko kimuungano. Sidhani kama kuna290


Maofisa wapatao watano katika Wizara ya Ulinziukiachilia mbali wale Maafisa wa JWTZ na kadhalika naWizara ya Mambo ya Ndani. Kwa upande wa Wizaraya Mambo ya Nje, angalau wapo wachache, lakinikutokana na utumishi wao kutumika ndani na nje yanchi, hali katika vituo vyetu vya Ubalozi havioneshiuwiano ulio sawa, kwani katika Balozi kamili 32 na vituovido<strong>go</strong> vitatu tulivyonavyo na kuongeza idadi na kuwana vituo (Balozi) 35 watumishi wa kada zote waliopohuko hawazidi 15 ukiondoa mabalozi watatu katikahao 15, Maafisa wa mambo ya Nje tu watano. Hii siyokwa sababu hawapo, ila hawapangiwi kufanya kazihuko.MHE. SILYVESTRY F. KOKA: Mheshimiwa Spika,nashukuru kwa nafasi hii nami niweze kutoa mchan<strong>go</strong>wangu kwenye hoja ya bajeti ya Waziri Mkuu(Ofisi).Mheshimiwa Spika, Bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuundiyo inayotakiwa kutoa majibu ya matatizo naunyonge, umaskini hasa wa Watanzania wengi waliokohuko chini na wenye kipato kido<strong>go</strong>, hususan wakulimana wafanyakazi na hata wafanyabishara wado<strong>go</strong>wado<strong>go</strong>.Mheshimiwa Spika, Jambo la kwanza, Serikaliijitahidi kuhakikisha fedha zinatengwa kupelekwakatika Halmashauri, Manispaa ambazo ndizozinagharimu miradi ya maendeleo kwenye Mitaa, Vijijina Viton<strong>go</strong>ji inakwenda kwa wakati. Ni muhimukuhakikisha pia kuwa fedha hizi zinatumiwa kutekelezaau kugharimia miradi hii, kamwe haziishi mikononi mwaWatendaji wabovu na wasiokuwa waaminifu.291


Wapatikanapo hawa, basi wachukuliwe hatuaambayo ni mfano kwa wengine.Mheshimiwa Spika, hakuna maendeleoyatakayowafikia Watanzania walio wengi kamahatutawagusa na kuwainua katika kilimo, elimu,biashara ndo<strong>go</strong> ndo<strong>go</strong>, ardhi na makazi, afya namiundombinu.Mheshimiwa Spika, muda umefika sasa kilimo kiwecha kisasa. Naipongeza Serikali kwa kauli mbiu yaKilimo Kwanza na vifaa kama matrekta na kadhalika.Lakini hivi vyote kwa mkulima mdo<strong>go</strong> ni sawa na‘window shopping’ kwa kuwa masharti na uwezo kwakuvipata hawana.Mheshimiwa Spika, naomba masharti yapembejeo za kilimo pamoja na mashine husika kamaPump za maji na matrekta yapungue na yawe rahisi.Lakini pia tuchochee kilimo cha biashara (commercialfarming). Tukifanya maeneo makubwa ya kilimo chakisasa cha umwagiliaji na uwekezaji mkubwa, basiwakulima wado<strong>go</strong> watafaidika kwa masoko, ujuzi nahata bei bora za mazao yao. Pia Serikali itafaidika kwakuwa mazao yatasindikwa na kuuzwa nje ya nchi nakusaidia pato la kigeni.Mheshimiwa Spika, napongeza kazi nzuri ya Serikalikuanzisha Shule za Kata na za Msingi kwa wingi. Mudasasa ni mwafaka kuboresha shule hizi kwa kuzipatiavifaa vya kutosha, madawati, madarasa, walimu wakutosha na makazi ya Walimu.292


Mheshimiwa Spika, naomba fedha za ziadazilizopatikana kutokana na m<strong>go</strong><strong>go</strong>ro wa rada, maarufukama chenji ya Rada zielekezwe huko zisaidiane nabajeti iliyopangwa. Hapa uwepo umakini na usimamiziwa dhati.Mheshimiwa Spika, biashara ndo<strong>go</strong> ndo<strong>go</strong>huletwa na biashara kubwa. Kwanza uwepo msukumowa kusaidia zaidi biashara kubwa ili ziweze kutoa ajirana msingi wa biashara ndo<strong>go</strong> ndo<strong>go</strong>. Ofisi ya WaziriMkuu ihimize kila Manispaa na Halmashauri zitengesehemu maalum na rasmi za biashara ndo<strong>go</strong> ndo<strong>go</strong>.Zijulikane rasmi toka mwanzo na sheria ziwaelekezewalengwa kutumia maeneo haya. Hii itawapawafanyabishara hawa maeneo maalum, lakini piabiashara zao zitapata urasimu na tija zaidi, Miji itakuwasafi na mi<strong>go</strong><strong>go</strong>ro kati ya Mamlaka za Miji nawafanyabishara ndo<strong>go</strong> ndo<strong>go</strong> hazitakuwepo.Mheshimiwa Spika, miundombinu ndiyo msingi washughuli za binadamu na ndiyo kichocheo chamaendeleo. Tunajua bajeti yetu siku zote inakabiliwana uhalifu na upungufu wa fedha. Lakini pia tunaelewatakriban 75% ya mapato ya Serikali yanatokana nashughuli za kiuchumi katika Jiji la Dar es Salaam. Vilevile tunafahamu msongamano wa magari ndani ya jijila Dar es Salaam hadi Kibaha Pwani ilivyo kuwa kubwana yanavyopotea mabilioni ya fedha kwa kila sikuijayo. Naomba sana sasa kwa makusudi Ofisi ya WaziriMkuu ichukue hatua ya kuanza ujenzi wa madaraja yamagari kupita juu na kuongeza upanuzi wa njia zabarabara (overfly, roads, pumps and bridges). Hatakwa mpan<strong>go</strong> maalum, wananchi wako tayari kusaidia.293


Mheshimiwa Spika, suala la makazi na hususankwa vijana wanaotoka vyuoni na kuanza kazi, ni tete.Uwezo wa kukabili kodi za mwaka na kiasi chake nimdo<strong>go</strong>. Hii hupelekea vijana hawa hata kutumia njiambadala kupata kipato. Hii hushusha tija kazini kwaona kuletea Taifa hasara zaidi. Naiomba Serikali sasakuwa ni wakati mwafaka kuona ni namna ganikutakuwa na utaratibu (program) maalum ya kuanzakufikiri namna ya kuwasaidia vijana wanaoanza kazikupata makazi na usafiri kwa nafuu na malipo yabaadaye.Mheshimiwa Spika, naunga mkono hoja.MHE. CHRISTOWAJA G. MTINDA: MheshimiwaSpika, baada ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa, mwaka2009 kuna maeneo ambayo uchaguzi ulivurugika nahivyo uchaguzi haukufanyika na vijiji hivyo kukosauon<strong>go</strong>zi mpaka sasa hivi. Mfano, katika Jimbo laSingida Mashariki, Kijiji cha Kinyamwandyo, Tarafa yaIkungi, Kijiji hiki mpaka sasa hakina Mwenyekiti baadaya masanduku ya kura kuchomwa na watuwasiojulikana. Kuna maeneo mengine ambayouchaguzi ulifanyika, lakini Wenyeviti ama walifukuzwaau kujiuzulu wenyewe mara baada ya uchaguzi na vijijihivi mpaka sasa havina Wawakilishi wao. Mfano ni huuufuatao:-Jimbo la Singida Magharibi, Kijiji cha Mdughuyu,Tarafa ya Ihenja, Kata ya Sepuke, pia kuna Kijiji chaMnyange, Tarafa ya Ihenja na Kijiji cha Iyumbu, Tarafaya Sepuka.294


Mheshimiwa Spika, katika Jimbo la SingidaMashariki, kuna kijiji cha Mwau, Tarafa ya Ikongi naJimbo la Singida Kaskazini, Kijiji cha Igauri, Tarafa yaIlongero. Vijiji hivi vinakaa bila Wenyeviti wa Vijiji nahivyo kufanya utendaji kazi kuwa mgumu. Kwaninimpaka sasa Ofisi ya Waziri Mkuu iko kimya bila kuonaumuhimu wa jambo hili?Mheshimiwa Spika, tatizo la Mikutano ya FullCouncil, kumekuwa na tatizo kubwa la mawasilianokati ya Wakurugenzi na Wa<strong>bunge</strong> kuhusu mialiko yaMikutano ya Mabaraza ya Madiwani. Mikutano hiiambayo ni ya muhimu sana, mara nyingi imekuwaikifanyia aidha Wa<strong>bunge</strong> wakiwa kwenye Vikao vyaKamati za Bunge Dar es Salaam au kwenye Vikao vyaBunge Dodoma. Hii maana yake ni kuwanyimaWa<strong>bunge</strong> kuhudhuria vikao hivi ambavyo ni muhimukwa maamuzi ya kuendeleza Halmshauri zao na hivyokuwakosesha kutoa michan<strong>go</strong> yao ambayo ni muhimusana.Mara nyingine inawalazimu Wa<strong>bunge</strong> kuachaVikao vya Kamati au vya Bunge ili waende kwenye FullCouncil maana wanashindwa kujigawa mara mbili.Kwa namna hii, Serikali haioni kuwa M<strong>bunge</strong>anashindwa kuhudhuria vikao vyote vya Bunge auKamati ambavyo ni wajibu mkubwa wa M<strong>bunge</strong>?Naomba Serikali ije na majibu na tamko kwaWakurugenzi ili wawe wanapanga Mikutanoisiyoingiliana na ratiba za Bunge, maana hizi ziko wazi.295


Mheshimiwa Spika, tatizo lingine ni la Wakurugenzikuwakataza Madiwani kuondoka na makabrasha yaobaada ya vikao hivyo vya Baraza la Madiwani. Hililinatokea sana kila wakati katika Halmashauri yaWilaya ya Singida. Ninavyofahamu na sheriainavyosema, kabrasha ni mali ya Diwani kikaokinapokwisha sasa iweje Mkurugenzi alazimisheMadiwani kukusanya makabrasha hayo nakuyarudisha Ofisini tena kwa amri kali? Serikali itoetamko hapa.Mheshimiwa Spika, kuhusu Wa<strong>bunge</strong> wa VitiMaalum kukatazwa kuhudhuria Vikao vya Kamati zaFedha na Uchumi, tumekuwa tukilizungumzia sanasuala hili. Sheria ya mwaka 1984, inayotaja Wajumbewa Kamati ya Fedha na Uchumi imeshapitwa nawakati. Tunaomba, irejewe upya, kwani inaletaubaguzi kati ya Wa<strong>bunge</strong> wa Viti Maalum na Madiwaniwa Viti Maalum. Inakuwaje Diwani wa Viti Maalumndiyo aweze kuingia kwenye Kamati hiyo na M<strong>bunge</strong>wa Viti Maalum abaguliwe na sheria hiyo? TunaombaWaziri wa TAMISEMI alitolee ufafanuzi wa kina jaribiohilo, kwani Wa<strong>bunge</strong> wa Viti Maalum nao niWawakilishi wa wananchi kwa upana wake, hivyo nivyema nao wangepata nafasi ya kushirikishwa kwenyeKamati hizi muhimu kama wanavyoshirikishwa kwenyeOversight Committees Bungeni.Mheshimiwa Spika, naomba kuwasilisha.MHE. JAMES F. MBATIA: Mheshimiwa Spika,kwanza, nampongeza Waziri Mkuu kwa hotuba yakekuhusu mapitio na mwelekeo wa kazi za Serikali na296


Makadirio ya Matumizi ya Fedha ya Ofisi ya Waziri Mkuuna Ofisi ya Bunge kwa mwaka 2012/2013.Mheshimiwa Spika, naishauri Serikali iangalie upyasera yake ya uwekezaji (WAWEKEZAJI) katika Sekta yaUjenzi kupitia TIC, hasa misamaha ya kodi, kwanihakuna kiten<strong>go</strong> cha kutathmini vifaa hivyo, hata ndaniya TRA hakuna. Pia wakati wa kuuza majen<strong>go</strong> hayo,kama vile mahoteli yanauzwa katika bei ya sokowakati vifaa vya ujenzi havikulipiwa kodi.Mheshimiwa Spika, kuhusu miundombinu ya usafirikwenye construction management, kuna kanuni yaclassification. Miundombinu yote iliyokwisha jengwaiwe endelevu katika kuikarabati, yaani iliyo class A,iendelee kuwa Class A, wakati unajitahidi kunyanyuaclass nyingine zilizo chini yake Class B, kwenda A. ClassC kwenda B class D kwenda C na kadhalika.Mheshimiwa Spika, nashauri bandari zilizopo nahasa bandari ya Dar es salaam, Tanga na Mtwarazikarabatiwe na vipimo vya ufanisi na kuaminikavipewe kipaumbele, kwani usafiri wa majini ndiyo usafiriulio rahisi na siyo ghali. Pia uwekezaji katika Reli,barabara na anga uimarishwe katika mtiririko huo.Mheshimiwa Spika, elimu yetu mifumo yakeiangaliwe upya, kwani mfumo tulionao kwa sasa kwakiasi kikubwa hauzingatii utu wa kumwendelezamwanadamu. Mion<strong>go</strong>zo ya masomo hasa ya Hisabatina Sayansi katika Shule za Msingi na Sekondariinahitajika kuandaliwa upya iweze kuendana na kasiya ukuaji wa Sayansi na Teknolojia katika karne ya leo.297


Mheshimiwa Spika, naomba pia nishauri uimarishajiwa Kiten<strong>go</strong> cha Maafa (majanga) katika Ofisi waWaziri Mkuu hasa kuzuia maafa ambayo husababishwana binadamu (man made risk) katika kuyagunduamapema ili kuweza kukabiliana nayo. Kiten<strong>go</strong> hiki kiwetayari wakati wote na kiwe na wataalamu wa kutoshakatika kushughulikia maafa ambayo hayatarajiwikutokea (Act of God). Aidha, elimu itolewe kwawananchi kupitia vyombo vya habari, warsha namakongamano mbalimbali kuhusu namna ya kujikingana majanga yakitokea. Pia elimu hii ianze na/auiingizwe kwenye mitaala yetu ya Shule za Msingi naSekondari hata zile Taasisi za Elimu ya Juu.Mheshimiwa Spika, naomba nishauri kwa umuhimuwa pekee, janga linalotengenezwa na wanadamu(Watanzania) wachache wasiotakia Taifa letu memakwa kupandikiza chuki na kulisambaratisha Taifa kwakuhubiri ukabila, udini, ukanda, ubaguzi wa rangi nakadhalika. Wote wenye nia njema na Taifa letutuungane kupiga vita janga hili kwa nguvu zetu zote,kwa ustawi na kuimarisha nguzo zetu za Taifa zahekima, umoja na amani.Mheshimiwa Spika, kwa pamoja tutashinda.Mheshimwa Spika, napendekeza kuhusuchangamoto ya msongamano wa magari katika Jiji laDar es salaam, kwa kuwa hili ni sawa na janga la Taifa,na kuwa kuwa wakati wa janga inabidi tufanye kazikwa pamoja (team work), ni vyema wanajeshi wetu waJeshi la wananchi wa Tanzania wakisaidiana na Wizara298


za Uchukuzi na Ujenzi na wote wenye nia njemawashirikiane pamoja katika kufufua reli ya kuanziaUbun<strong>go</strong> mpaka station (kituo cha kati). Pia reli kutokaPugu hadi Kituo cha Kati ianze kutumika kutoa hudumaya usafiri jijini kwa haraka (sasa).Mheshimiwa Spika, aidha, usafiri wa majini kwakutumia meli kuanzia Bagamoyo – Mbweni – Kunduchi– Mbezi Beach – Msasani – Bandarini, yoteyanawezekana tukishirikiana pamoja kwa kufuataushauri wa wataalamu.MHE. DUNSTAN D. MKAPA: Mheshimiwa Spika,awali ya yote, naunga mkono hoja ya hotuba ya WaziriMkuu kuhusu Bajeti ya Ofisi yake kwa mwaka2012/2013. Nampongeza Waziri Mkuu kwa hotuba yakenzuri ambayo inaelekeza kutekeleza ilani ya Chamacha Mapinduzi. Pamoja na hayo yote, naombaniorodheshwe na kuzungumzia kero mbalimbali zilizopoWilayani kwangu Nanyumbu.Mheshimiwa Spika, ilani ya Chama cha Mapinduzipamoja na mambo mengine, inasema kuwa kilaMakao Makuu ya Wilaya itapatiwa umeme Mkoa waMtwara. Wilaya zake zote zimepatiwa umeme,isipokuwa Wilaya yangu ya Nanyumbu. Mwaka wafedha wa 2011/2012, Serikali iliahidi kuipatia MakaoMakuu ya Wilaya ya Namyumbu (Mangaka) umemewa kutoka Masasi. Hadi leo hii hakuna hata daliliyoyote wala jitihada zozote zinazoonekana. NinaombaSerikali kupitia Wizara inayohusika iniambie ni liniNanyumbu tutapatiwa umeme.299


Mheshimiwa Spika, ujenzi wa daraja kwenye mtoLukwamba, Kata ya Napacho katika Kijiji cha Mpombeni kero kubwa inayowapata wananchi wa Mpombe,Ndechela, Mburusa na kadhalika. Wananchi wamaeneo hayo wanapata adha kubwa wakati wamasika, kwani wanashindwa kwenda kupata matibabuna kufanya shughuli nyinginezo za kibinadamu. Darajahili inatengewa fedha kila mwaka, lakini kwanza fedhainayotengwa ni chache na kibaya zaidi haipatikani,hivyo kupelekea kutojengwa kwa daraja hili. Naombanipatiwe jibu juu ya ujenzi wa daraja hili wakati wamajumuisho.Mheshimiwa Spika, vile vile naomba Serikali itimizeahadi aliyoitoa Rais juu ya ujenzi wa barabara yakutoka Nan<strong>go</strong>mba mpaka Nanyumbuitakayounganisha na ile itakayojengwa kutokaMangaka hadi Mtambaswala kwa kiwan<strong>go</strong> cha lami.Mheshimiwa Spika, hali ya baadhi ya ShuleWilayani Nanyumbu inatisha, madarasa yamechakaana mengine yanahatarisha maisha ya wanafunzi.Madarasa ya vijiji vya Mikuva, Napacho, Nandembo,Msinyasi, Liunga, Chivirikiti, Nakole ni baadhi ya Shulezenye madarasa chakavu. Nyumba za Walimu hakuna,vyoo navyo ni tatizo. Madawati hakuna na baadhi yawanafunzi wanakaa chini. Hivyo naomba fedha zarada zijenge nyumba za Walimu, zitengenezemadawati na zijenge matundu ya choo. Pia kunauhaba mkubwa wa Walimu wa Shule za Msingi naSekondari.300


Mheshimiwa Spika, Wilayani Nanyumbu kunamaeneo hayapati huduma ya simu za mkononi, hivyoninaomba huduma ya simu za mkononi zijenge minaraya simu ili wananchi waweze kupata huduma hii.Maeneo hayo ni kama Likokona, Nakopi, Chivirikiti,Napacho, Lumesule, Nan<strong>go</strong>mba na Marumba.Mheshimiwa Spika, vijana Wilayani Nanyumbuwamesahaulika. Hawawezeshwi, hawapati mikopo iliwaweze kuwa wajasiriamali. Hivyo, naomba wapatiwemikopo, wapate fursa ya kupatiwa viwanda vido<strong>go</strong>vido<strong>go</strong>. Hivyo, naomba wakati wa majumuisho,niambiwe Serikali itawasaidiaje vijana wangu waWilaya ya Nanyumbu, kwani ni kundi lililokata tamaa.Mheshimiwam Spika, naunga mkono hoja hii.MHE. LUHAGA J. MPINA: Mheshimiwa Spika, katikabajeti hii, Serikali imetenga fedha za kujenga Daraja laMto Mon<strong>go</strong> Obakima kama ilivyo ahadi ili kunusuru halingumu ya wananchi wa vijiji vya Nghanga naMwasengela Jimboni Kisesa?Mheshimiwa Spika, kwanini Serikali isiunde Tumeharaka sana ya kupitia mikataba ya viwanda namashamba ambayo hadi leo hayajaendelezwa aukubadilishwa matumizi ili kutaifisha viwanda namashamba na kuyarejesha Serikalini? (Zoezi laubinafsishaji).Mheshimiwa Spika, kwa nini hadi leo bajeti zaHalmashauri ya Wilaya zinajadiliwa na kuidhinishwakipindi ambacho Wa<strong>bunge</strong> wanaendelea na Vikao301


vya Bunge kinyume na maelekezo ya Bunge naSerikali? Serikali imechukua kiasi gani kutokana nataarifa mbalimbali za wizi na utoroshaji wa fedha nje yanchi? The Global Financial Integrity Report of 2008 ofthe heading “Illicit Financial Outflow from Africa.”Ilibainishwa kuwa kwa miaka 39(1977-2008), Tanzania ninchi ya 13 kati ya nchi 20 zinazoon<strong>go</strong>za kwa utoroshajina fedha za umma na kuficha nje na kwamba kwakipindi hicho Tanzania imepoteza Shilingi trioni 11.6 nazimefichwa nje na wafanyabiashara na Watendaji waSerikali. Hata utafiti uliofanywa na akina Ndikumanaunadhibitisha haya.Mheshimiwa Spika, report ya one billion dollarquestion (how can Tanzania stop losing so muchrevenue?) inaonyesha kuwa Tanzania inapotezaShilingi bilioni 478 kutokana na illicit capital flowaccount kila mwaka. Katika report iliyotolewa na SwissCental Bank na Swiss National Bank kuwa fedhazimefichwa Uswiss na Watanzania, jumla ya Shilingibilioni 315.5. Je, Serikali ina mkakati gani wa kuzuia halihii isiendelee? Je, kuna mkakati gani wa kufilisi accounthizo na kuzirejesha fedha hizo nchini? Akaunti hizo ni zaakina nani? Je, Serikali inafahamu mkakati wa Benki yaDunia wa kurejesha rasilimali zilizoibiwa? Kwa nini illicitcapital flow iliongezeka mara dufu katika kipindi chaubinafsihaji?Mheshimiwa Spika, Serikali mwaka 2011 iliajirimtaalamu mshauri wa kuandaa gharama halisi yakusomesha mwanafunzi Chuo Kikuu hapa nchini(student unit cost) ili kuondoa tatizo la utozaji wa adakiholela. Ni fedha kiasi gani zimetumika kukamilisha302


mchakato huo? Matokeo ya utafiti huo yako wapi? Je,sasa Student Unit Cost (SUC) hapa nchini ni kiasi gani?Mheshimiwa Spika, fedha nyingi za ummakuachwa kwenye Makampuni (unclaimed funds),fedha hizi hazijadaiwa na wahusika kwa muda mrefuna wenyewe ambao inakuwa vigumu kuwapata;mfano, faida na akiba za wateja, hisa ambazohazijadaiwa katika soko la hisa Dar es Salaam, makatoya kisheria ya watumishi aliyeachishwa kazi au mtumishialiyefariki, lakini mafao ya akiba yake inaendeleakutumwa katika Mifuko ya Hifadhi kama NSSF na HIF.Kimsingi, kisheria fedha hizi siyo za mashirika ambayofedha hizo zinakuwa zimewekwa, lakini ni za mtuasiyefahamika (unknown beneficiaries).Je, kwa nini tusitenge Sheria ya Fedha hususanwakati wa kupitisha Finance Bill ili kuyataka Mashirikaya Umma na Makampuni kuzisalimisha fedha aurasilimali ambazo hazijadaiwa (unclaimed assets)katika account maalum kama mapato ya Serikali?Mheshimiwa Spika, CAG ana uhuru kamili katikamambo ya ukaguzi, na hivyo ni lazima mamlakainayoshughulikia maoni na mapendekezo yake pia iwena uhuru kamili ili kuweza kushughulikia taarifa hizo bilakuingiliwa. Tatizo lilipo hivi sasa, Ofisi ya Mwendeshamashitaka Mkuu wa Serikali ipo chini ya MwanasheriaMkuu wa Serikali na hivyo haiko huru. Je, kwa kuwailishakubalika toka mwaka wa fedha 2010/2012 kuwaDPP awe na kasma yake, kwa nini hadi leo DPPhajateuliwa kuwa Afisa Masuuli? Je, ni lini Ofisi ya DPP,itajitegemea (fully independent)?303


Mheshimiwa Spika, Serikali imeridhika wakulima wapamba, pamba yao kununuliwa kwa bei ya Sh. 660/=kwa kilo ilhali inafahamu gharama za uzalishaji?Mheshimiwa Spika, kutokana na nia ya Serikalikupunguza matumizi yasiyo na tija hususan kuanziamwaka 2012/2013: Je, kitendo cha Serikali kuzuiaununuzi na matumizi ya magari ya kifaharikumeliopunguzia Taifa mzi<strong>go</strong> kiasi gani cha fedha?Maeneo gani mengine ya matumizi yasiyokuwa na tijaambayo Serikali imepunguza na ni kiasi gani chafedha? Je, kuna haja ya kuendelea kuwa na Wizara yaElimu na Mafunzo ya Ufundi yenye ukubwa ule ule naidadi ya Watumishi hao wakati majukumu mengi yaWizara hiyo yanatekelezwa na TAMISEMI?Mheshimiwa Spika, mkakati wa kuongeza fedha zamaendeleo ili kuwezesha utekelezaji wa kazizilizopangwa katika mpan<strong>go</strong> wa maendeleo, Ofisi yakoimekuwa mfano mzuri wa kupunguza matumizi yasiyona tija (TAMISEMI). Programme 10 (Utawala) Sub Vote1001 toka Shilingi bilioni 8.4 hadi bilioni 3.3. Programme10 (Sera na Mipan<strong>go</strong>) Sub Vote 1003, toka Shilingi bilioni2.1 hadi Shilingi bilioni 0.9. Je, kwa kuwa Wizara nyingihazijafanya kazi nzuri, hii iliyofanywa na Wizara yako nakwa kuwa Finance Bill italetwa mwishoni, utakubaliananami kuwa wakati tunapitia Wizara moja hadi nyinginetufyeke fedha zilizolundikwa katika matumiziyasiyokuwa na tija ili kuongeza fedha za maendeleo.304


Mheshimiwa Spika, nakupongeza kwa kutimizaahadi yako ya kuboresha maslahi ya Madiwani. Vipikuhusu Wenyeviti wa Vijiji na Viton<strong>go</strong>ji?MHE. UMMY A. MWALIMU: Mheshimiwa Spika,nianze kwa kuunga mkono hoja hii ya MheshimiwaWaziri Mkuu. Nampongeza sana Mheshimiwa WaziriMkuu kwa kuon<strong>go</strong>za vyema utekelezaji wa shughuli namipan<strong>go</strong> mbalimbali ya maendeleo ya Serikali yaJamhuri ya Muungano wa Tanzania.Mheshimiwa Spika, ningependa pia kuwapongezaMawaziri na Naibu Mawaziri waliopo Ofisi ya WaziriMkuu kwa kazi nzuri wanayofanya ya kumsaidia WaziriMkuu katika utekelezaji wa majukumu yake ya kila siku.Sasa ningependa kuchangia katika masuala matatu.Ujenzi wa hospitali ya Wilaya ya Tanga, Mfuko wa Taifawa UKIMWI na lishe.Mheshimiwa Spika, ujenzi wa hospitali ya Wilaya yaTanga, Jiji la Tanga linakadiriwa kuwa na wakazi298,881 (2010 - Population Projections) na lina Vituo vyaAfya 55, ambavyo pia vinahudumia Wakazi wa Wilayajirani na Jiji hasa Muheza, Mkinga, na Pangani. Kati yaVituo hivi, 34 ni vya Serikali.Mheshimiwa Spika, changamoto kubwainayowakabili Wakazi wa Jiji la Tanga ni kukosekanakwa hospitali ya Wilaya na jiji la Tanga. Hii imefanyahuduma za rufaa Wilayani kutolewa na hospital yaMkoa Bombo. Kutokuwepo kwa hospitali ya Wilayakumepelekea kuwepo kwa mlundikano wa wa<strong>go</strong>njwana kazi nyingi (workbload) kwa hospitali ya Mkoa.305


Wahanga wakubwa wa hali hii ni wanawake nawatoto.Mheshimiwa Spika, tayari Jiji la Tanga limeshapatana limetenga eneo la ekari 24 kwa ajili ya kujengahospitali ya Wilaya. Gharama za ujenzi ni Shilingi bilioni15, kwa mujibu wa standards za hospitali za Wilayazilizowekwa na TAMISEMI. Halmashauri ya Jiji la Tangatayari limeshatenga Shilingi milioni 100 kwa mwakafedha 2012/2013.Mheshimiwa Spika, ningependa kujua ni kiasi ganicha fedha kimetengwa na TAMISEMI kwa mwaka2012/2013 kwa ajili ya kutekeleza ujenzi wa hospitali yaWilaya ya Tanga.Mheshimiwa Spika, hoja ya pili, ni lini Mfuko waTaifa wa UKIMWI utaanzishwa? Kwa mujibu watakwimu, karibu watu milioni 1.2 wanaishi na virusi vyaUKIMWI (VVU) Tanzania, na karibu watu 100,000waliambukizwa virusi vya Ukimwi (VVU) mwaka 2009.Wanawake ndiyo waathirika wakubwa wa UKIMWI.Mwitikio wa wananchi katika kupunguza maambukiziya VVU/UKIMWI na kutoa huduma kwa waathirika kwakiasi kikubwa ulitegemea na bado unategemea fedhaza wafadhili wa nje.Ni ukweli usiopingika kuwa karibia asilimia 80 yafedha kwa ajili ya miradi na program ya VVU/UKIMWI,ni za wafadhili wa nje. Wafadhili wa nje wanakaabiliwana mtikisiko wa uchumi katika nchi zao na hivyokupelekea kupunguza fedha za ufadhili kwa nchimbalimbali ikiwemo Tanzania.306


Mheshimiwa Spika, wakati nchi imepunguzamaambukizi ya UKIMWI/VVU, bado u<strong>go</strong>njwa huuumebaki kuwa ni tishio kwa nchi zetu. Hivyo uanzishwajiwa Mfuko wa Taifa wa UKIMWI ni lazima sasa upewekipaumbele. Wakati wa kuanzisha mfuko huu ni sasa, nilazima mfuko huu uwe wa wazi, upewe nguvu zakisheria na uanze kufanya kazi haraka sana. Pia nilazima ufanye kazi kwa kutumia dhana ya PPP, kamabaadhi ya nchi nyingine Afrika, Kusini mwa Saharawanavyofanya. Pesa za Mfuko wa UKIMWI zimewezakupatikana kutoka kwenye kodi za Serikali(Government taxation na corporate social responsibilityfunds of private sector organizations).Mheshimiwa Spika, sekta ambazo tunaweza kuzitargetni kama oil na gesi, mawasiliano, banking andinsurance, Aviations and Mantime, food and beveragena wafadhili binafsi.Mheshimiwa Spika, ni vyema sasa Muswada wakuanzishwa Mfuko wa Taifa wa UKIMWI uandaliwe nakupitishwa na Bunge ili tuweze kutatua kero,changamoto mbalimbali zinazotokana na UVV/UKIMWIhasa kwa wanawake na watoto.Mheshimiwa Spika, hoja ya tatu ni lishe.Nimefurahishwa sana na hotuba ya Mheshimiwa WaziriMkuu ambayo pamoja na mambo mengineimeonyesha mikakati ya Serikali katika kupunguzatatizo la utapiamlo nchini. Ni kweli hili ni tatizo kubwasana kwa mujibu wa ripoti ya demography na afya yamwaka 2010 (TDHS 2010), wastani wa watoto 42 katika307


kila watoto 100 wa chini ya miaka mitanowamedumaa, kwa Mkoa wangu wa Tanga ni asilimia49,Dodoma ni asilima 56 na Lindi ni asilimia 54. Piatakwimu zinaonyesha kuwa watoto 47,500 chini yamiaka mitano hufariki kila mwaka kutokana nautapiamlo.Mheshimiwa Spika, wakati Kamati za lishezimeanzishwa katika Ngazi ya Taifa na Halmashauri,ningependa kusisitiza kuwa ni vyema sasa fedha nyingikwa ajili ya kuboresha hali ya lishe nchini zipelekwekwenye Halmashauri. Pia napendekeza kuwepo aukuanzishwa kwa Kamati za lishe katika ngazi za Kata. Nivizuri pia Maafissa wa Maendeleo ya Jamii waliopokatika Kata kuhusishwa kwa karibu zaidi katikakuboresha na kuchochea lishe katika sehemu zao.Mheshimiwa Spika, naunga mkono hoja.MHE. DESDERIUS J. MIPATA: Mheshimiwa Spika,naipongeza hotuba ya Mheshimiwa Waziri Mkuu kwakuwa imezingatia vipaumbele muhimu na kuona aukuwaona wanyonge kama waendesha pikipikimaarufu kama boda boda. Napenda pia kupongezahotuba hii namna ilivyozingatia suala la rasilimali watuhasa Idara ya Afya na Waalimu. Watumishi hawawakiongezeka, watatusaidia na kuondoa changamotoambazo zimejitokeza za kuwa na Vituo vya Afya naZahanati bila Waganga wala Wauguzi, na Shule zaSekondari na Msingi bila kuwa na Walimu jamboambalo limeshusha ubora wa elimu nchini.308


Mheshimiwa Spika, Mwananchi EmpowermentFund imeweza kutoa Shilingi bilioni 7.3 katika Mikoa yaDodoma, Lindi, Manyara, Mtwara, Pwani, Rukwa,Ruvuma na Tanga. Fedha hizi ni chache sana,zinatakiwa ziongezwe, kwani huu ni mtaji wa msingiambao utalikomboa Taifa kwa baadaye wananchiwakijengewa uwezo. Maana yake nchi itakuwa namapato na changamoto mbalimbali zitakazokabiliwana wananchi wenyewe.Mheshimiwa Spika, fedha iliyotengwa kwenyekilimo, haitoshi, iongezwe na pawepo dhamira ya dhatiya kuimarisha kilimo kujua kuwa kilimo kinaajiri watuwengi na ni fursa ya wazi kabisa. Vijana wakielimishwakuiona na kuitambua fursa hii ya kazi za kilimo, mitajiitolewe kulibainisha hilo. Pembejeo zinazotakiwa kwakilimo zitolewe kwa wakati, matrekta yapunguzwe beina yaende Halmashauri waliko wakulima, siyo dhambikama wananchi watakopeshwa kwa bei nzuri namkopo wa muda wa miaka mitano na kuendelea.Masoko ya mazao ya wakulima ya uhakikayatahamasisha kilimo kwa kasi kubwa.Mheshimiwa Spika, pamoja na kazi nzuri za ujenziwa barabara nchi nzima, naomba yafuatayoyazingatiwe:-Kwanza naomba barabara za vijijini ziwe nawakala wa barabara vijijini kama ilivyo maji, umeme(REA). Barabara za vijijini ni muhimu, kwani ndiyozinaunganisha maeneo ya uzalishaji katika Wilaya yaNkasi na Jimbo la Nkasi Kusini ziko biashara za Kitosi,Wampembe (kilometa 68).309


Mheshimiwa Spika, barabara ya Nkana - Kala(kilometa 67) ina umuhimu wa pekee katika Jimbo laNkasi Kusini, kwani barabara hizi zinaunganisha kandambili muhimu zinazotegemeana, yaani mwambaomwa Ziwa Tanganyika na Ufipa ya Juu. Eneo lamwambao wanakabiliana na vifo vingi vya akinamama na watoto hawana mawasiliano ya simu,barabara hizi ndiyo pekee zinategemewa.Mheshimiwa Spika, ahadi ya Mheshimiwa Raiswakati wa uchaguzi aliahidi kuzishughulikia barabarahizi ambazo kimsingi, Halmashauri ilishashindwa kwakukosa fedha, wananchi wasubiri ahadi ya Rais wao.Mheshimiwa Spika, ipo miradi ya Benki ya Dunia.Miradi ya Chala, na kijiji cha Kamwanda inasuasuakupita kiasi. Pia maeneo ya Jimbo lote maji nichangamoto kubwa. Pengine utaratibu wa uhakikauweze kutafutwa. Benki ya Dunia katika miradi hiihaiwezi kabisa kukabiliana na changamoto zilizoponchi nzima. Kijiji cha Mpala kiko kwenye mpan<strong>go</strong> katikaawamu inayofuata. Tunaomba dosari zinazoonekanakatika utekelezaji wa sasa zirekebishwe ili kasiiongezwe. Hapa kuna maradhi ya kuhara na kutapikakila wakati na chanzo ni maji.Mheshimiwa Spika, Wilaya ya Nkasi haina Chuocha Ufundi licha ya kuwa na Sekondari zaidi ya 22.Tunaomba Chuo cha Maendeleo cha Chalakiimarishwe na kuwa VETA.310


Mheshimiwa Spika, hotuba ni nzuri, nami naungamkono hoja isipokuwa changamoto zifuatazoziangaliwe:-Mheshimiwa Spika, mapato ya mamlaka za Serikaliza Mitaa, Halmashauri haijapewa wataalamukubainisha vyanzo vyao vina strength kiasi gani (howpotential area) upo umuhimu wa kutafuta wataalamukupitia vyanzo vya Halmashauri zetu nchini ili kuwekamalen<strong>go</strong> yanayolingana na strength ya vyanzovilivyopo. Wanaokusanya mapato ya Halmashauri zetusiyo waaminifu, wanaiba sana na nina mifanoifuatayo:-Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi, kuna wizi mkubwasana wa mapato yatokanayo na ushuru wa vyombovya uvuvi pamoja na leseni za samaki na dagaa. Mimipamoja na M<strong>bunge</strong> mwenzangu Ali Keissy wa Jimbo laNkasi Kusini, tulipatiwa risiti na wananchi katika risiti 10tulizozifanyia kazi tuligundua yafuatayo: Fedhailiyokusanywa ilikuwa zaidi ya Shilingi milioni 2.7.Mheshimiwa Spika, fedha iliyoingia Hazina yaHalmashauri ilikuwa takribani Sh. 150,000/=. Ukipigahesabu Sh. 27,000,000.00 - Sh. 150,000.00 = Sh.2,550,000.00. Wizi wa ajabu, fedha haziingii kwenyeHazina ya Halmashauri na Wilaya, na wafujaji wapo tu.Mheshimiwa Spika, pili, vitabu vingivinavyokusanya ushuru vimepotezwa na wakusanyaji.Hao wakusanyaji bado wanafanya kazi kamakawaida. Naona matatizo kama haya yanahitajiufumbuzi, wananchi watakata tamaa.311


Mheshimiwa Spika, Mfuko wa Barabara wa Serikaliza Mitaa una fedha kido<strong>go</strong> na umeshindwakukabiliana na changamoto zilizopo. Ushauri wangu nikwamba kuanzishwe Wakala wa Barabara Vijijini.Wakala huyu atafanya kazi vizuri na rasilimali watuwaliopo itatumika vizuri. Wahandishi wanakaa,hawatumikii kwa vile hakuna kazi, wamebakiwanyonge huku walio na taaluma kama wao waliopoSerikali Kuu wakitumia utaratibu wao vilivyo, mwisho,huweza kushawishika kirahisi kuanza kushirikiana naWakandarasi wasiofanya vizuri.Mheshimiwa Spika, mipan<strong>go</strong> yaMMAM/MMEM/MMES, yote ina malen<strong>go</strong> mazuri naMMEM na MMES wanafanya vizuri. MMAM badokabisa. Wananchi wamehamasishwa kujengamajen<strong>go</strong>, lakini yameshindwa kwisha kwa kukosamsaada walioahidiwa kuwa waazishe majen<strong>go</strong> nayatamalizika.Mheshimiwa Spika, Waganga na Manesi hakuna;madawa katika Zahanati, hakuna; Walimu katikaSekondari hii, ni aibu na kukatishana tamaa.Mheshimiwa Spika, nawasilisha.MHE. LOLESIA J. M. BUKWIMBA: Mheshimiwa Spika,nichukue fursa hii kupongeza hotuba ya Waziri Mkuunimpongeze Waziri wa TAMISEMI na Manaibu Mawaziripamoja na Watumishi wote katika Ofisi ya Waziri Mkuukwa kazi nzuri.312


Mheshimiwa Spika, ndani ya hotuba ya WaziriMkuu, imezungumzia habari ya kuanzishsa Kituo chaKusaidia kuwakopesha vifaa vya kisasa katika Kata yaRwamgasa – Geita. Naomba suala hili liwe dhahiri nafedha zilizotengwa kwa mwaka huu wa fedhazipelekwe kwa wakati ili wananchi hasa wachimbajiwado<strong>go</strong> wanufaike.Mheshimiwa Spika, jambo la pili, ninaomba Serikalikatika bajeti ya mwaka huu ijenge Chuo cha Ufundi(VETA) Geita. Maana Wilaya yetu hatuna Chuochochote cha VETA. Hii itawasaidia vijana wetuwanaomaliza Kidato cha Nne. Wilaya ya Geita inazoShule za Sekondari zaidi ya 30. Hivyo, watotowanaohitimu Kidato cha Nne ni wengi sana wanahitajikupata ujuzi katika Vyuo vya Ufundi.Mheshimiwa Spika, jambo la tatu, ninaombaSerikalli katika bajeti ya mwaka huu iweke kipaumbelekatika kuboreshsa mazingira ya watumishi hasa kwakujenga nyumba za Walimu na maabara. Vile vilekuwapa posho maalum kwa walio katika mazingiramagumu, yaani (hardship allowance).Mheshimiwa Spika, naomba waratibu wa elimuwapewe usafiri hata kama kwa kukopeshwa pikipiki,itawawezesha kufanya kazi kwa ufanisi.Mheshimiwa Spika, kwa hayo machache,ninaunga mkono hoja ya Waziri Mkuu.313


MHE. SELEMANI S. JAFO: Mheshimiwa Spika,naipongeza Serikali kwa mipan<strong>go</strong> mizuri ya kuendelezanchi yetu.Mheshimiwa Spika, naiomba Serikali ifanye jambolifuatalo ili kuleta udhibiti wa fedha zinazokwendakatika Halmashauri:-Kwanza, kuanzishwa kwa financial communicationprotocol ambayo malipo yote yaliyofanyika, mikatabailiyoingia na Bank reconciliation kwa kila mwezi zitumwekwa Mwenyekiti wa Halmashauri, M<strong>bunge</strong> wa Jimbona kwa Mkurugenzi.Mheshimiwa Spika, taarifa hizo ziandaliwe na DT.Taarifa hizo zitasaidia kufanya udhibiti wa karibu kwakila mwezi, hivyo itasaidia sana kulinda upotevu wafedha za Serikali. Yakifanyika haya, fedha za Serikalizitakuwa katika udhibiti mzuri na hivyo kuepushaubadhirifu wa fedha za Serikali.Mheshimiwa Spika, naomba kuunga mkono hoja.MHE. PROF. KULIKOYELA K. KAHIGI: MheshimiwaSpika, nawapongeza Waziri Mkuu, Waziri wa nchi naKion<strong>go</strong>zi wa Kambi ya Upinzani kwa hotuba zaowalizoziwasilisha vizuri. Napenda kuanza kwa kusemakuwa siungi mkono hoja hii. Sababu zimetajwa kwaufasaha katika hotuba ya Kion<strong>go</strong>zi wa Kambi yaUpinzani. Mchan<strong>go</strong> wangu hapa utahusu kusisitiza aukushadidia yale ninayoona kuwa ni muhimuyazingatiwe na yatekelezwe haraka.314


Jambo zito kabisa ambalo Serikali imezembeakulisimamia ni propaganda za udini, ukabila naukanda. Siku hizi ni jambo la kawaida kumsikia Kion<strong>go</strong>ziwa CCM au Serikali, au dini akishiriki katikapropaganda za namna hii hasa kwa len<strong>go</strong> lakuvichafua Vyama vya Upinzani au kuichafua dininyingine.Mheshimiwa Spika, waasisi wa Taifa hili, walijengamisingi mizuri ya Utaifa na utangamano. Walipinga kwanguvu zote ubaguzi kwa misingi ya udini ukabila naukanda kwa kuchukua hatua za kuanzisha asasi naProgramu za Kitaifa ambazo zilisaidia katika ujenzi wamsingi imara ya utaifa na uzalendo. Lakini kwa miaka15 hivi, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,kwa pande zote mbili, imeshindwa kusimamia kwauthabiti na umakini wa kutosha masuala haya. Bayazaidi, baadhi ya vion<strong>go</strong>zi (baadhi ya Wa<strong>bunge</strong> naWawakilishi na hata Mawaziri) hushiriki katikapropaganda chafu za udini, ukabila na ukanda, dhidiya Vyama na dini nyingine. Serikali inapaswa kuchukuahatua kusimamia suala hili. Jambo la pilinitakalozungumza, linahusu fedha ya rushwa ya rada.Mheshimiwa Spika, naungana na WaheshimiwaWa<strong>bunge</strong> wenzangu wanaotaka Serikali iwachukuliehatua wale wote waliohusika na rushwa hii ya ununuziwa rada. Maswali ninayotaka Serikali iyajibu ni haya:Kwa nini, hadi sasa wahusika hawajachukuliwa hatua?Ni lini Serikali itawafikisha Mahakamani na hatakuwafilisi akaunti zao za nje? Kuhusu matumizi ya fedhahii, siyo busara kuitapanya kwenye mambo mbalimbali.315


Itumike kwa jambo moja tu ili matumizi yake yaletetofauti.Mheshimiwa Spika, mimi napendekeza fedha yoteitumikie kujenga nyumba za Walimu katika Shule zaVijijini, hasa vijiji vilivyo pembezoni ambako Walimuhawapendi kwenda kufanya kazi kwa sababu hakunanyumba za Walimu.Mheshimiwa Spika, jambo la tatu linahusuusambazaji wa pembejeo kwa njia ya vocha. Mfumohuu haujafanikiwa kwa kiasi kikubwa. Mfumo kwa kiasikikubwa umechakachuliwa, unaishia kuwanufaishabaadhi ya Maofisa na mawakala waliopewa kazi hiyo.Wakulima wengi, mathalan wa Jimbo langu,wamekuwa wakihangaika kupata pembejeo hizo nawanapozipata, bei huwa ni kubwa sana hatawakulima wengi kushindwa kumudu bei ya pembejeohizo.Mheshimiwa Spika, nashukuru kwa nafasi hii.MHE. SALUM K. BARWANY: Mheshimiwa Spika,naomba Serikali itoe maelezo kuhusu mauaji ya albinoyaliyojitokeza hivi karibuni kule Arumeru Arusha.Mheshimiwa Spika, suala la gesi kuingizwa katikamikataba kabla ya sera na sheria kuundwa, halikubalikina wananchi wa Kusini. Tunataka mikataba yote ifikeBungeni, tuone uhalali wake.316


Mheshimiwa Spika, Serikali itoe ufafanuzi kuhusianana mabilioni ya Shilingi yaliyokutwa katika Benki za njeya nchi, zikihusishwa mikataba ya gesi.Mheshimiwa Spika, faida gani itapatikanakutokana na upatikanaji wa gesi na Mikoa ambayohaijaingizwa katika gridi ya Taifa?Mheshimiwa Spika, Serikali itoe ufafanuzi kuhusianana Mpan<strong>go</strong> wa SAGCOT, kutohusisha Mikoa ya Lindi,Mtwara na Ruvuma, au Mikoa hiyo imeondolewaukanda wa Kusini.Mheshimiwa Spika, naomba Serikali itoe ufafanuzikuhusu umeme wa KV 133 katika Mikoa ya Kusini kwaajili ya maendeleo ya viwanda.Mheshimiwa Spika, nashauri Serikali itoe ufafanuzijuu ya vifaa vilivyoharibika zikiwemo X-Ray na Ultrasound, lini vitapatikana au kurekebishwa? Pia ukosefuwa madaktari bingwa ikizingatiwa kuwa hospitali hiyoimepandishwa hadhi ya kuwa ya Rufaa, pia ukosefuwa wataalam wa kutoa dawa za usingizi katikahospitali hiyo, motisha kwa wafanyakazi na kuhusishaOfisi ya RAS na malipo ya ununuzi wa madawa,chakula na kadhalika.Mheshimiwa Spika, lini ukarabati wa Ofisi yaMnyororo Baridi utakamilika ikizingatiwa kuwa hapondipo chanjo zote huhifadhiwa?Mheshimiwa Spika, kuhusiana na Manispaa yaLindi, ambayo imepandishwa hadhi tokea Julai, 2010,317


mpaka sasa Manispaa hiyo imekua ikipokea mgao wabajeti, ule ule uliokuwa wa Halmashauri ya Mji ambayoilikuwa na Kata 13 na sasa kuna ongezeko la Katatano. Serikali itoe ufafanuzi kuhusu fedha zamaendeleo na matumizi ya kawaida ili kukidhimatakwa ya Manispaa.Mheshimiwa Spika, pia kuna nafasi nyingizinazoendelea kukaimiwa kwa muda mrefu. KwaniniSerikali isiwapandishwe vyeo waliopo au kuwaletawenye sifa za kuweza kuziba mapen<strong>go</strong> hayo?Mheshimiwa Spika, kuhusu mi<strong>go</strong><strong>go</strong>ro ya ardhi,Serikali iliunda Tume kuratibu mashamba yote yamkonge. Ni lini taarifa hiyo itakuja Bungeni?Mheshimiwa Spika, kuhusu magari mabovu ainaya Toyota Land Cruiser, (maarufu kama vuvuzela)ambayo hayakuwa na viwan<strong>go</strong> vya ubora, Serikaliinatoa tamko gani kuhusiana na kuagiza magari hayoukizingatia katika Mkoa wa Lindi, gari aina hiyo ya RCna la RAS hivi sasa yamekufa?Mheshimiwa Spika, Stakabadhi Ghalani haimsaidiimkulima mdo<strong>go</strong>, kwani wakulima hukopeshwa nakulipwa kwa awamu tofauti, takribani mara tatu. Hiihumfanya kushindwa kulipa karo za shule na hudumanyingine. Neno hili libadilishwe, badala ya “StakabadhiGhalani” iwe “Malipo Ghalani.”Mheshimiwa Spika, Ikama ya walimu katika Shuleza Msingi, fedha kido<strong>go</strong> za Capitation, Walimu kukaavituo vya kazi muda mrefu, Walimu kutopata nafasi za318


kujiendeleza kwa wakati, waliojiendelezakutobadilishwa kazi au kupandishwa vyeo aukuongezwa mishahara na kadhalika, hayo ni matatizokatika Jimbo la Lindi Mjini. Serikali itatoa ufumbuzi ganikuhusiana na matatizo hayo?Mheshimiwa Spika, Serikali kutumia Benki mojakatika fedha za Halmashauri kunazuia Halmashaurikuwa na uhuru kwa kuendesha akaunti katika hali yaufanisi kwa vile fedha zinaibiwa kwa wafanyakazi waHalmashuri kushirikiana na wafanyakazi wa benki.Mheshimiwa Spika, benki inayotunza fedha zaHalmashauri haitoi riba yoyote katika fedha hizo. Kamabenki ingetoa riba ingekuwa chanzo kimojawapo chamapato ndani ya Halmashauri.Mheshimiwa Spika, Wizara ya Fedha walitangazazabuni ya mabenki kutoa huduma kwa Serikali, lakinizabuni ilikuwa na kigezo cha benki kutoa huduma kwaSerikali katika Wilaya zote badala ya kugawa maeneoau aina ya huduma ambazo benki zingechagua kutoakwa Serikali.Mheshimiwa Spika, naomba Serikali itengue zabuniiliyotangazwa awali kati ya mwezi Machi na Aprili, 2012na itangazwe upya.MHE. LUCY T. MAYENGA: Mheshimiwa Spika, nianzekwa kuunga mkono hoja kwa asilimia mia moja.Nampongeza sana Mheshimiwa Waziri Mkuu kwahotuba nzuri aliyoitoa ambayo imeaonesha matumainimakubwa.319


Mheshimiwa Spika, mchan<strong>go</strong> wangu katikahotuba hii ningeomba Serikali itoe tamko kuanzia sasakuwa katika shughuli zozote za Serikali ambazozinajumuisha wananchi au kushiriki kwa wananchi kuwena tamko la kuhimiza wananchi kulipa kodi.Mheshimiwa Spika, iwe ni utaratibu kwenyemikusanyiko yoyote ya watu, suala hili liwelinazungumziwa kabla ya kuanza kwa sherehe aushughuli yoyote, vilevile hata vion<strong>go</strong>zi wanapokwendakufungua au kufunga shughuli yoyote msisitizo uwekwekwa watu kulipa kodi. Lakini zaidi ya yote, ni suala lamuhimu la wananchi licha ya kulipa kodi, vile vilewahimizwe kudai risiti.Mheshimiwa Spika, kudai risiti iwe ni kauli mbiu yaSerikali, kwani kodi za wananchi zitathibitika kuwazimeingia kwenye Mfuko wa Serikali. Kutokudai risiti,maana yake ni pesa zote kwenda kwawafanyabiashara na Serikali kupoteza mapatoambayo yangerudi kwa wananchi na kuletamaendeleo yao.Mheshimiwa Spika, naunga mkono hoja.MHE. ABDULSALAAM S. AMER: Mheshimiwa Spika,naunga mkono hoja, naomba kutoa ushauri wangukatika maeneo manne.Mheshimiwa Spika, suala la elimu katikaHalmashauri zetu ni matatizo makubwa sana. Natoaushauri kwako ili kutatua matatizo ya Walimu wa Shule320


za Msingi na Sekondari kwamba, ingekuwa vizuri sualala elimu lirudi Wizarani moja kwa moja.Mheshimiwa Spika, matatizo yamekuja kuongezagharama au madeni ya Walimu yataongezeka kilamara. Kwa sababu malumbano yametokea kati yaVion<strong>go</strong>zi wa Halmashauri, hasa Sekta ya Elimuhuchangia sana kuongezeka madeni kwa kutoauhamisho na visasi au maslahi.Mheshimiwa Spika, dhamira nzuri ya Serikali yaChama chetu cha Mapinduzi ni nzuri, lakini awamuiliyopita, suala la pembejeo lilileta ubadhirifu wa hali yajuu sana iliyochangiwa na mawakala wenye tamaa.Wizi huu au ubadhirifu huu ulitokea pia Wilayani kwetuKilosa. Natoa ushauri kwa Serikali kuwapa aukuwatumia SACCOS za Kata zenye uwezo au vikundivya wakulima, kwa mfano, wakulima wa miwa wabonde la Ruaha ambao ni wakulima wazuri na nitegemeo kwa kiwanda cha sukari cha Iloko.Mheshimiwa Spika, vikundi hivyo vina uwezo nawanajielewa wenyewe kwa wenyewe, muda mwafakawa pembejeo na watalengwa wahusika moja kwamoja.Mheshimiwa Spika, naishukuru Serikali yangu kwakuweza kutuchimbia visima hadi sasa kwa kupitiamsaada wa Benki ya Dunia. Tumechimbiwa visima,tunashukuru. Lakini cha ajabu, tulitaka watumaliziebaada ya uchimbaji na kutukabidhi ili wananchiwaweze kupata maji safi na salama. Majibu tuliyopewakuwa awamu ya pili haitaanza mpaka wamalize321


uchimbaji kwa Wilaya yote, ndiyo waanze awamu yapili ya upimaji na ujenzi wa pump na mengine.Mheshimiwa Spika, vijiji vyetu tayari vimeshatoa aukuchangia pesa za asilimia 2.5 ya fedha na mradi huotoka muda mrefu sana. Naomba Wizara itoe amri kuwabaada ya uchimbaji tu, waanze ujenzi na kukabidhikwani inaweza kuleta hasara iwapo itajifukia aukuweza kuhujumiwa na watu wasiopenda maendeleo.Mheshimiwa Spika, suala la vijana ni bomu kubwakwa Serikali yetu. Natoa ushauri kwa Serikali yetukutenga maeneo kwa ajili ya kilimo na pia kuwawekeadhamana kwa kukopeshwa zana za kilimo napembejeo pia. Serikali yetu imeweza kutudhaminimagari Wa<strong>bunge</strong> wote, nadhani kwa mfumo huo huoni vizuri ikawadhamini vijana wenye nia ya kujiajiri nanaamini wataweza kulipa madeni hayo.MHE. ROSE K. SUKUM: Mheshimiwa Spika,mojawapo ya majukumu ya Wizara hii ni utekelezaji wamalen<strong>go</strong> ya millennium kuwapunguzia wananchiumasikini wa kipato cha chakula.Mheshimiwa Spika, Watanzania wote tunaishi,tunafanya kazi kwa kuwa na maji. ‘Maji ni Uhai’.Napendekeza kuwa, tuwekeze kwenye maji iliWatanzania wapate fursa ya kufanya kazi zamaendeleo. Mpan<strong>go</strong> wa WSDP toka mwaka 2006 -2025 ambapo ulianza rasmi mwaka 2007 - 2025 kuwezakufikia asilimia 90 kwa vijijini na 95% maji mijini kwakipindi cha millennium 2015, ilitakiwa kutolewa USD322


3,360,000 kwa miaka 19 ambapo kila mwaka YSD176,842.1 lakini sasa hivi utekelezaji huo haupo.Mheshimiwa Spika, je, tutaweza kufikia len<strong>go</strong> hilola kupata maji? Serikali inatakiwa kuweka kipaumbeleWizara ya Maji.Mheshimiwa Spika, ni vyema Serikali sasakuelekeza nguvu zake katika ujenzi wa reli ilikuondokana na kero za usafirishaji wa mizi<strong>go</strong> nakupunguza gharama za usafiri wa Watanzania.Mheshimiwa Spika, magari makubwa yenye uzitomkubwa huharibu barabara, ndiyo maana kilakunapotengenezwa barabara zetu kwa muda mfupihuharibika. Hivyo ujenzi wa reli utapunguza kuharibikakwa barabara zetu.Mheshimiwa Spika, Serikali haijatenga fedha zaupimaji wa ardhi kwa ajili ya ufugaji. Je, tatizo lawafugaji wanaohamahama litakwisha lini kamamaeneo yao hayajapimwa?Mheshimiwa Spika, katika randama kunaonyeshahakuna fedha zilizotengwa kwa ajili ya ujenzi wamalambo, josho na dawa kwa ajili ya wafugajiwanaohamahama. Je, hawa wafugaji wapo nchigani? Siyo sehemu ya mapato katika nchi hii?Mheshimiwa Spika, watumishi wengi wanadaimaslahi yao na Waziri kila mara anasema wameanzakulipa. Je, wale Afisa Watumishi wanaoshindwa323


kutekeleza maagizo ya Serikali na Watumishiwanateseka, kwa nini wasichukuliwe hatua?MHE. ENG. ATHUMANI R. MFUTAKAMBA:Mheshimiwa Spika, naunga mkono hoja kwa asilimiazote. Pia nampongeza Mheshimiwa Daktari Kikwetekwa G8 kufadhili SAGCOT, hongera sana.Mheshimiwa Spika, Jimbo la Igalula lina skimu mojaya umwagiliaji, Loya kati ya Kata 10. Miswaki skimuimekufa na iliyopo haiendeshwi kitaalam hivyo tija ikochini sana. Serikali ifufue skimu hizi na kuanzishwanyingine Kizengi, Goweko, Nsololo, Igalula kwani majiyapo masika na hayako kiangazi.Mheshimiwa Spika, pembejeo zinachelewa kufikaIgalula, - Hazina ihakikishe export levy kutoka pesa zapembejeo (mbolea, madawa na kadhalika) kwenyevyombo vya Serikali na siyo Mfuko wa Pembejeo kwamfano TFC ili mbolea ya ruzuku iwahi kuwafikiawakulima kwa wakati.Mheshimiwa Spika, Goweko tangu 2009 iliahidiwabwawa na upembuzi yakinifu kwa mahitaji ya Benki yaDunia, je ilikamilika? Bwawa litajengwa lini? Bwawalitoe maji kwa matumizi ya binadamu, mifu<strong>go</strong>,umwagiliaji na ufugaji samaki.Mheshimiwa Spika, asilimia mbili za tumbakuwakulima Igalula wanasubiri malipo, ni vyema kukawana Mfuko ili kama bei itashuka wapate beiiliyoboreshwa kama STARBAL (kahawa). Mfuko pia324


usaidie wakulima wa pembejeo kwa ruzukukuongezeka.Mheshimiwa Spika, trekta umoja katika vijijiwakopeshwe na malipo wakati wa mavuno. SACCOSzigharamie mafunzo na matengenezo ya trekta hizo.Mheshimiwa Spika, Kata 10, Vijiji 51, Jimboni Igalulani vijiji vitatu tu ndivyo vina maji ya visima. Maji yaje,visima vyote vya Jimbo la Igalula na kila mtumiajiatozwe na fedha zilipwe baada ya maji kuwepo.Mheshimiwa Spika, utunzaji wa vyanzo vya maji nimuhimu. Hivyo sheria ndo<strong>go</strong> ndo<strong>go</strong> zisimamiwe ilikilimo, mifu<strong>go</strong> mazingira na afya za wananchi ziimarike.Visima vitano vya Benki ya Dunia bado hata kimojakuchimbwa. Tunaomba hivyo vikamilike kwaniwananchi wamechangia lakini maji bado.Mheshimiwa Spika, kuhusu Umeme (REA), vijiji vimokwenye ilani ya CCM 2010 – 2015 na mpan<strong>go</strong> waumeme vijijini 2010/2011. NEMSIS (USA) Kampuni yaUmeme wamesaini Mkataba na REA? Vijiji vinasubiriumeme mwaka huu wa fedha; Goweko, Imalakaseko,Igalula, Kigwaa, Kigwa B. Naomba bajeti hii utekelezeahadi hii.Mheshimiwa Spika, kuhusu Mifu<strong>go</strong>, MheshimiwaRais Daktari Jakaya Mrisho Kikwete tarehe 27 Oktoba2010 katika Vijiji vya Ikolamnsimba, Isikizwa, Uyui, Taboraalitoa ahadi kwa wananchi wa Igalula na TaboraKaskazini kuwa kutakuwa na mpan<strong>go</strong> wa kupandanyasi katika baadhi ya maeneo kwa ajili ya kulisha325


mifu<strong>go</strong>. Je, mpan<strong>go</strong> huu uko katika hatua gani zautekelezaji katika Jimbo la Igalula. Hii itapunguzawafugaji kuhamahama kutafuta maji na malisho. Idadiya Mifu<strong>go</strong> ni kutoka Mwana, Shinyanga, Geita, Simiyuni kubwa sana. Uwezo wa maji na malisho ni mdo<strong>go</strong>,wageni wetu wafugaji wanalima pia. Misitu asiliaimekatwa sana vyanzo vya maji vimetoweka, mvuazinatoweka kutoka 1000mm hadi 250mm (2012) ukameunalikabili Jimbo na hivyo uhaba wa chakula. Mifu<strong>go</strong>inaharibu sehemu oevu na chepechepe za mbuga zaNsololo, Kawekapina, Nyahua, Simbadamalu,Mwamakoyesengi, Myenze, Lutende zimekauka,mpan<strong>go</strong> mtambuka ni muhimu kutatua tatizo hili lamuda mrefu.Mheshimiwa Spika, kuhusu Mazingira, jitihadazifanyike kushirikisha Wizara ya Mazingira (Ofisi yaMakamu wa Rais), Mifu<strong>go</strong> na Uvuvi, Kilimo, Chakula naUshirika, Maji na Umwagiliaji, Maliasili na Utalii naTAwala za Mikoa na Serikali za Mitaa ili kuokoa misitu,vyanzo vya maji, ardhi oevu na ya kilimo, umwagiliaji.Mpan<strong>go</strong> wa matumizi bora ya ardhi uwepo kila Wilayana kuratibu matumizi endelevu ya rasilimali hizi, maji,ardhi, misitu, samaki na wanyama ili wananchiwatumie fursa hizi kujikomboa kutoka lindi la umaskinina kuyahifadhi mazingira.Mheshimiwa Spika, biashara ya hewa ya ukaa(carbon credit), Ofisi ya Makamu wa Rais isaidiekutayarisha maandiko.Mheshimiwa Spika, Halmashauri ya Wilaya ya Uyui,fedha za maendeleo katika bajeti ya 2011/2012326


zilizoifikia Wilaya ni asilimia takriban 30 tu. Utekelezajiwa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ulisuasua. Jitihadaziongezwe ili bajeti hii itekelezwe katika Afya, maji,barabara, mikopo, elimu na kadhalika.Mheshimiwa Spika, Korido ya Kati ya Miundombinu(Central Infrastructure Corridor), naipongeza Serikalikutenga fedha na barabara za Tabora na hasa Tabora– Itigi, naomba barabara ya Nyahua–Chaya–Itigikilomita 89, tayari kuna wakandarasi.Mheshimiwa Spika, Korido ya kati ina Reli,barabara, mkon<strong>go</strong> wa mawasiliano na inahitaji bombala gesi ili Serikali ilete nishati hii itumike kwenye matumizimbalimbali yaokoe msitu na tufuge nyuki tupate asalibora na kuuza honey king Kibaha na nje.Mheshimiwa Spika, kuhusu Afya, tunaombaHospitali ya Wilaya yetu haina hata DDH.Mheshimiwa Spika, kuhusu utawala, ombi laWilaya ya Igalula, mchakato wa kuomba Wilayaumejadiliwa na WDCs zote na kupelekwa DDCtunakamilisha utaratibu kuwasilisha RCC. Igalulainaomba Kata jirani nne kutoka Tabora Kaskazini(Jimbo) ili wilaya mpya iwe kamilifu.Mheshimiwa Spika, kuhusu elimu, Idara ya Ukaguzihaina rasilimali za kutosha hivyo kushindwa kufanyaukaguzi wa shule zetu. Idara hii haina magari walamafuta. Vile vile hosteli, maabara na nyumba zawalimu bado ni tatizo kubwa katika Jimbo la Igalula,tupate ufumbuzi.327


Mheshimiwa Spika, kuhusu WaheshimiwaMadiwani, Mheshiwa Waziri Mkuu hongera kwakuongeza posho za Waheshimwa Madiwani kwanizimekuja wakati mwafaka. Niliomba hili tarehe21/6/2012, nilipochangia katika bajeti ya Serikali.Hotuba ya Mheshimiwa Waziri Mkuu imethibitisha hilo,nimefarijika sana.Mheshimiwa Spika, kuhusu reli na bandari uk. 41).Reli ya kati ijengwe kwa PPP na kuunga bandari ya Dares Salaam. Taarifa haitamki kuhusu ujenzi wa gati 13na 14 katika Bandari ya Dar es Salaam. Nchi naneZambia, Malawi, Uganda, Rwanda, Burundi Mashariki,DRC, Southen Sudan, Zimbabwe zinategemea Bandariya Dar es Salaam. Gati hizi zijengwe kwa utaratibuuliowekwa na TPA na Bodi yake ili tupokee meli kubwana kuipiku Bandari ya Mombasa. Fedha hizo za ziadazitajenga Mwambani (Tanga) Mbegani (Bagamoyo).MHE. PROF. JUMA A. KAPUYA: Mheshimiwa Spika,naomba kuanza kwa kuunga mkono hoja.Mheshimiwa Spika, kiten<strong>go</strong> cha wataalamwalikuja kufanya survey ya kusambaza umeme Vijiji vyaWilaya ya Kaliua, waliona inawezekana umemeunahitajika sana, kwa ari waliyonayo wananchi yakujiletea maendeleo. Naomba sana Wizara itimizeahadi hii ya utekelezaji katika kutuleta umeme. Ripotiiko REA yenye kuainisha Vijiji vyote vya Wilaya hii.Mheshimiwa Spika, suala la hifadhi ni janga kwetu,wavamizi wamehamasishwa kisiasa, matokeo yake328


misitu imekwisha, mvua zimepungua sana. Naombazoezi la kuwaondoa wavamizi hawa liwe endelevu.Wote waondolewe, mipaka iwekwe ya kueleweka naionekane. Baada ya hapo ulinzi uwe wa kudumu.Mheshimiwa Spika, kuhusu kilimo cha tumbaku,naomba lisimamiwe na Serikali na ndiyo iwe yenyekutoa mion<strong>go</strong>zo badala ya kuwaachia wazungu hawawaliomo katika biashara ya tumbaku.Mheshimiwa Spika, naomba Serikali ndiyo iamuenani alime na nani asilime, bei ipangwe mapema nahuduma za ugani zion<strong>go</strong>zwe.Mheshimiwa Spika, mazao mbadala ya biasharakwetu Urambo Magharibi ni mahindi na pamba, lakinihuduma zake za ugani ni hafifu sana. Naomba hililiangaliwe.Mheshimiwa Spika, suala la maji ni suala la kufa nakupona, naomba Wizara ilete watalaam kupima majiili tuwe na uhakika. Tunapochimba visima mkoanimwetu. Mara nyingi tumepata wafadhili wa kutusaidiamaji, lakini wamekatishwa tamaa na visima visivyo namaji au kukauka baada ya muda mfupi.Mheshimiwa Spika, Wilaya bila Halmashauri niWilaya butu, naomba sana Halmashauri ya Wilaya yaKaliua ipatikane haraka sana na tuletewe Mkurugenzimahiri.Mheshimiwa Spika, TASAF wametudanganyakwenye ufadhili wa mkandarasi wa ujenzi wa shule329


katika Kijiji cha Kasna, upate Kata ya I<strong>go</strong><strong>go</strong>la tangu2007 hadi leo. Naomba fedha hizi zipatikane ili kuwatiamoyo wananchi hawa.Mheshimiwa Spika, naomba taasisi ya fedhaSCULLT iwajibishwe kwa kutowapatia wananchi waKameje kupitia SACCOS yao ya Chemchem. SACCOShii walijichangisha milioni 27, leo mwaka huu wa tatuhawajapewa chochote. Naomba wapewe mikopo nafedha yao iwe imeongezeka na kuzingatia riba.Mheshimiwa Spika, umeme umetokea urambokuja Kaliua kupitia Vijiji vya Usindi na Isanjandugu. Vijijihivi umeme umepita juu tu, inasikitisha. Naomba vijijihivi vipatiwe umeme.Mheshimiwa Spika, naunga mkono hoja.MHE. SUSAN L. KIWANGA: Mheshimiwa Spika,napenda kuchangia hoja hiyo kuwasilisha kerombalimbali za Mkoa wa Moro<strong>go</strong>ro.Mheshimiwa Spika, Wilaya ya Kilombero pamojana kupewa kipaumbele kuwa ni Wilaya ya KilimoKwanza, lakini barabara hazipitiki kwa urahisi nakupelekea gharama za nauli kuwa kubwa kwawananchi na mazao wanayosafirisha.Mheshimiwa Spika, Wilaya ya Kilombero zipo Kata,vijiji vingi havina maji safi na salama. Serikali ilipokeaombi kutoka Halmashauri kuendeleza mradi mkubwawa maji ambao chanzo chake ni Mto LimemoKiburubutu ili kufanya pembuzi yakinifu kujua gharama330


halisi ya mradi ambapo ziliombwa Sh. 508,000,000 nawakapewa 5.6 milioni ambazo hazitamaliza hatua yamwanzo na kuja gharama halisi za mradi. Hivyo, mradiupate pesa za kumalizia ili wananchi wa Mji Mdo<strong>go</strong> waIfakara waweze kupata maji safi na salama.Mheshimiwa Spika, ningependa Serikali itoeufafanuzi kuhusu mageti ya ushuru wa mazao kila Katana kuwatoza wakulima ushuru ingawa lipo tamko laWaziri Mstaafu Brigedia Ngwilizi, Tamko Na. 230 lamwaka 2002 na kuanza kutumika Mei Mosi, 2002ambayo ilifuta ushuru wa mazao kwa wakulima. Je,kwa nini Halmashauri itunge Sheria Ndo<strong>go</strong> na kuwatozaushuru wakulima.Mheshimiwa Spika, pamoja na Halmashaurikukusanya mapato kwa kuwatesa wakulima ni vyema,Serikali ikahimiza Halmashauri kutafuta vyanzo vinginevya mapato ambavyo si kero kwa wananchi katikaMkoa wa Moro<strong>go</strong>ro.Mheshimiwa Spika, kwa kuwa tulipitisha Sheriakatika Bunge hili la kuruhusu Halmashauri kukusanyaushuru wa leseni, nasisitiza Serikali ipeleke harakamaelekezo ya ukusanyaji mapato hayo ya leseni ilikuongeza kipato cha Halmashauri.Mheshimiwa Spika, nizungumzie baadhi ya kero yaWilaya ya Mvomero. Katika Makao Makuu paleSokoine kabla ya kuwepo, wananchi waliokutwa palewamenyang’anywa maeneo na hawajalipwa kwakiwan<strong>go</strong> kinachostahili, nashauri Serikali iangalie upya331


malipo ya wakazi hao ili waondokane na matesowanayopata.Mheshimiwa Spika, Halmashauri ya Mvomero kunamatumizi mabaya ya pesa za walipa kodi kwa kukodibasi la kupeleka watumishi ofisini kila siku kwa Sh.300,000/=, hatua zichukuliwe haraka kupata gari laHalmashauri na si kukodi, wapate hata gari la mkopo.Mheshimiwa Spika, katika Kata ya Embeti, kulikuwana kiwanja cha mpira kimebadilishwa matumizi nakujengwa Kiwanda cha Kukamua Alizeti na Nyumba yaKuhifadhi Nyanya. Nashauri Serikali ishughulikiie sualahilo na matumizi ya awali yarejeshwe.Mheshimiwa Spika, wawekezaji Kiwanda chaSukari, Mtibwa ni kero kwa wananchi. Viwan<strong>go</strong>anavyolipa mwekezaji kwa wakata miwavinatofautiana sana na wakatisha miwa (makandarasi)ambao si wa kiwanda. Mwekezaji analipa Sh. 3,800/=kwa siku, mkandarasi nje ya kiwanda na ni mashambayaliyo mbali na kiwanda anawalipa wakataji Sh. 7,000kwa siku. Je, tukisema wawekezaji wamekujakutunyonya tunakosea?Mheshimiwa Spika, kama hiyo haitoshi mwekezajihuyo kwa wafanyakazi wa kiwandani wenye mktabahutoa malipo duni na mfanyakazi amepangiwakuumwa mwisho siku tatu zikizidi yeye hatambui.Mheshimiwa Spika, hivi karibuni tarehe 24 Juni2012, wakata miwa wali<strong>go</strong>ma na kutaka waongezwemalipo na marekebisho ya mkataba. Matokeo yake332


Askari Polisi waliletwa na kulazimisha wakakate miwakwa kupigwa mabomu ya machozi. Kwa hali hiimaisha bora kwa wananchi wa kawaidayatawezekana? Je, kwa nini wawekezaji wanaachiwakudhulumu wenyeji?Mheshimiwa Spika, kuna shamba la ekarizisisopungua elfu moja na zaidi lililoko Kata ya Embeti,Kijiji cha Embeti ambalo linalalamikiwa na wananchikuwa la ki<strong>go</strong><strong>go</strong> mmoja ambapo anasingizia ni mali yaKanisa. Shamba hilo linahitajika na wananchi kwakulima mpunga kwani hawana mashamba. Mmilikihuyo amelima kido<strong>go</strong> miwa na kuacha pori ambalohalitumiwi na wananchi hawana mashamba mengine.Nashauri Serikali iende kutoa maamuzi magumu kwamanufaa ya watu wengi.Mheshimiwa Spika, kuhusu kero katika Wilaya yaKilosa, Jimbo la Kilosa kati, wahanga wa mafuriko yaKilosa mpaka leo hawajui hatima yao kwaniwametelekezwa bila msaada wala taarifa kamilikuhusu ahadi zilizotolewa za kujengewa nyumba. Hivisasa Vion<strong>go</strong>zi wa Serikali wa Wilaya wanakwendakung’oa mabati na bila maelezo yoyote nahayajulikani wanakopeleka. Hivyo, wakati umefika waSerikali kutoa maelezo ya kutosha kuwa wahanga haoili wajue mwisho wa kukaa katika makambi ambapo nikama wakimbizi.Mheshimiwa Spika, Wilaya ya Kilosa inayomi<strong>go</strong><strong>go</strong>ro mingi ya ardhi inayutokana na baadhi yavi<strong>go</strong><strong>go</strong> kujitwalia ardhi kubwa na kukodisha wananchikwa kilimo kwa mwaka ekari Sh.15,000/= matokeo333


hayo ni mabaya kwa nchi yetu, napenda Serikali ionenjia nzuri ya kunusuru hali hii.Mheshimiwa Spika, katika Kijiji cha Parakuyoambapo kinapakana na Hifadhi ya Mikumi pia shambala ki<strong>go</strong><strong>go</strong> mmoja lililopo eneo la Mkata ambapo kunanjia ya miaka yote kabla hata ya kuuziwa Ki<strong>go</strong><strong>go</strong> huyo,ng’ombe hupita kwenda kunywa maji bwawani, kwakuwa ng’ombe walishazoea kupita njia hiyo. Hivi sasawalinzi wa shamba hilo hukamata ng’ombe wanaopitanjia hiyo na kutoza faini ya Sh. 10,000/= kwa kilang’ombe na hakuna shughuli nyingine yoyote yakimaendeleo inayofanywa kwenye shamba hiloisipokuwa kukusanya faini kwa ng’ombe. Huyomwekezaji hana faida yoyote, ni vyema Serikaliikachukua hatua.Mheshimiwa Spika, wafugaji wa Parakuyowanazidi kuwa maskini kwa kila uchao, ng’ombe waowanapigwa risasi na Askari wa Wanyamapori (TANAPA)wa Mbuga ya Mikumi.Mheshimiwa Spika, hali inayoendelea katika Kijijicha Parakuyo ni mbaya, taarifa ya uhakika katikakipindi cha Mei na Juni, 2012 hadi tarehe 28 Juni 2012,idadi ya ng’ombe waliopigwa risasi na Askari waTANAPA imefikia… Hali hii haivumiliki na inaashiriakutoka vurugu, mapigano na kuuawa watu kamailivyotokea Ulanga mwaka huu. Hivyo ni bora kunusurumaisha ya watu, nasema hayo na ushahidi upo navielelezo vimekabidhiwa kwa Naibu na Waziri waMaliasili na Utalii tarehe 19 Juni 2012. Hivyo, wananchiwanataka vion<strong>go</strong>zi wa Serikali kwenda kujionea halihalisi na kupata ufumbuzi mapema.334


Mheshimiwa Spika, mi<strong>go</strong><strong>go</strong>ro mingi ya Ardhiinasababishwa na baadhi ya watendaji wa Serikali wangazi mbalimbali kutaka kujilimbikizia mali kinyume nasheria na ubnafsi uliojaa mioyoni mwao, hivyo,kusababisha mapigano ya wakulima na wafugaji nakuleta umaskini.Mheshimiwa Spika, pia mi<strong>go</strong><strong>go</strong>ro inasabishwa nauzembe wa Serikali kuendesha zoezi la upimaji ardhiwa haraka hasa maeneo yenye mi<strong>go</strong><strong>go</strong>ro kwa kutakakuleta amani. Tumesema sana, tumeshauri sana, lakinihatua hazichukuliwi, ifike wakati sasa wa kumalizami<strong>go</strong><strong>go</strong>ro kwa kupima ardhi na kuboresha maeneo yawafugaji kwa kujenga miundombinu na kutoa mafunzoya ufugaji wa kisasa ili wasitangetange. Nashaurimaeneo yote yenye mi<strong>go</strong><strong>go</strong>ro ya wafugaji nawakulima Mkoa wa Moro<strong>go</strong>ro yafikiwe kwa haraka.Mheshimiwa Spika, naomba nizungumzie Wilayaya Moro<strong>go</strong>ro Vijijini. Katika Kata ya Bwakila chini kunatatizo kubwa la ukosefu wa eneo la kujenga Zahanati,Kituo cha Afya, Soko, Kituo cha Polisi na huduma zakijamii kutokana na shamba kubwa lililokuwa laTanzania Cotton Company kuwepo katikati ya Mji waKata hiyo. Jitihada mbalimbali za Vion<strong>go</strong>zi wa Katazimefanywa za kutaka shamba hilo kurudishwa kwaSerikali ili viwanja vipimwe lakini hazijazaa matundakutokana na baadhi ya Vion<strong>go</strong>zi kushindwa kuchukuamaamuzi ingawa hati ya umiliki wa Kampuni hiyo yaPamba kuisha muda wake wa umiliki na vielelezo vipo.Hivyo, nashauri Serikali inusuru hali hiyo kwa maendeleoya Kata.335


Mheshimwa Spika, Kata ya Bwakila chini inayomi<strong>go</strong><strong>go</strong>ro ya wakulima na wafugaji inayosababishwana baadhi ya vion<strong>go</strong>zi kuruhusu mifu<strong>go</strong> iendeleekuingizwa usiku hali wakijua ardhi haitoshi. Nashaurihatua za haraka zichukuliwe kunusuru mi<strong>go</strong><strong>go</strong>ro.Mheshimiwa Spika, nizungumzie kero ya Wilayampya ya Gairo. Wananchi wa Gairo miaka yote wanashida ya maji, huishi kwa kununua ndoo ya lita 20 kwaSh. 1,000. Kulikuwa na mradi mkubwa wa maji, lakinihadi sasa haujulikani umeishia wapi. Naishauri Serikali,uboreshaji wa Makao Makuu ya Wilaya uanzie naupatikanaji wa maji safi na salama hapo Gairo.Mheshimiwa Spika, nizungumzie kero za utawalaBora wa Kidemokrasia, utawala bora ni vizuriukatekelezwa kwa mujibu wa sheria na taratibuzilizopo.Mheshimiwa Spika, kwa kipindi kirefu sasa katikaVijiji na Kata nyingi hapa nchini zipo nafasi za wazi zaKata (Udiwani), Vijiji (Wenyeviti), Viton<strong>go</strong>ji na wajumbewa Serikali ambazo zimechukua muda mrefu bilakufanyika chaguzi hizo na kusababisha kuzorota kwamaendeleo ya vijijini.Mheshimiwa Spika, Jimbo la Mikumi, Kata yaRuaha, Kijiji cha Ruaha, wananchi baada yaku<strong>go</strong>mbana na Mwenyekiti wa Serikali ya Kijiji kuhusumakusanyo ya fedha za Kijiji na kukubali kuzitumiabinafsi hivyo kulazimika kujiuzulu uon<strong>go</strong>zi. Baada yakujiuzulu kwa mujibu wa Sheria, uchaguzi unatakiwa336


kufanyika ndani ya siku 60, sasa imepita miaka miwili (2)bila uchaguzi.Mheshimiwa Spika, Mkurugenzi baada yakufuatiliwa sana aliitisha uchaguzi mara ya kwanza nakusitisha. Mara ya pili aliitisha uchaguzi uliokuwaufanyike tarehe 27 Mei 2012; wa<strong>go</strong>mbeawalishateuliwa, wananchi walishajiandikisha kupigakura, kampeni zilifanyika. Lakini cha kusikitisha KaimuKatibu Tawala wa Kilosa aliandika barua ya kusitishauchaguzi huo bila sababu. Wananchi walionawameonewa na kunyimwa haki na kutokea fujo.Mheshimiwa Spika, baada ya vurugu kutokea,wananchi walikamatwa siku hadi siku kuanzia mweziMei mwishoni hadi Juni hii na hata walikuwepowa<strong>go</strong>mbea kupitia CHADEMA wa Kijiji na Kiton<strong>go</strong>jiwalikamatwa na kubambikiwa kesi.Mheshimiwa Spika, baada ya kukamatwawa<strong>go</strong>mbea wa CHADEMA hivi sasa Serikali imetangazakuanza kuandikisha wapiga kura upya na uchaguziufanyike. Je huu ni utawala bora? Nani anawezakuvumilia vitendo vya kupora haki, vitisho nakulazimisha wananchi wachaguliwe chama auvion<strong>go</strong>zi? Nani atakayerudisha gharama za mazoeziyote yaliyopita na hili la sasa lililotangazwa? Ifikemahali, vion<strong>go</strong>zi wamuo<strong>go</strong>pe Mungu.Mheshimiwa Spika, nashauri uchunguzi wa kinaufanyike na wote waliosababisha m<strong>go</strong><strong>go</strong>ro katika Kijijicha Ruaha wachukuliwe hatua na wananchiwaachwe wachague vion<strong>go</strong>zi wao. Ahsante.337


MHE. MOZA A. SAIDY: Mheshimiwa Spika, Mpan<strong>go</strong>wa Kwanza wa Maendeleo wa Miaka Mitano waUtekelezaji, Dira ya Taifa ya Maendeleo 2025, Malen<strong>go</strong>ya Maendeleo ya Milenia, Mkakati wa Kukuza Uchumina Kupunguza Umaskini katika mwaka 2012/2013.Pamoja na Serikali itaimarisha usimamizi wa utekelezajiwa mipan<strong>go</strong> ya miradi ya maendeleo ikiwemomatumizi ya fedha za umma na uwajibikaji.Mheshimiwa Spika, kwa kuwa mfumko wa bei niishu kubwa katika nchi yetu na kukua kwa uchumiukiongezeka katika ukurasa wa nne na tano. Hali yauchumi inapaswa Serikali kuwa makini kwani kukuakwa uchumi wakati watu wake waadhirika na hali hiyo,sioni sababu kwa nini tufike kuyumba wakati vyanzovya uchumi tunavyo, tunachotakiwa tutafutewataalam ambao tunao hata hapa nchini tunamaprofesa wa kilimo wanaweza kututengenezeamabwawa ya maji kwa ajili ya mashamba yaumwagiliaji itatusaidia kupunguza suala la vyakulahata mabwawa ya kutunza maji kwa ajili ya umeme.Mheshimiwa Spika, kilimo ni uti wa m<strong>go</strong>n<strong>go</strong>.Mkulima analima kutumia nguvu zake lakini ikifikiawakati wa kutoa mazao shamba anakutana namageti na kutozwa ushuru, akifika sokoni anatozwaushuru. Haitoshi si sehemu zote zinapata vocha yapembejeo kwa bei nafuu au mbegu bora za mazaokama ilivyoelekezwa. Mwananchi huyu akishauzamazao hayo anakuja kulipa kodi ya maendeleo, adaya watoto wa shule, vitu bei juu, mazao yenyewe338


analima lakini hana uhakika wa soko, anauza wapi nawapi alime zao gani la kumpatia kipato cha kutosha.Mheshimiwa Spika, yapaswa sasa Serikali iondoemanunguniko na wananchi kwa kuwapatia soko lamazao kwa kila moja ya zao ili wawe na uhakikawauze bei gani. Kushuka kwa uchumi au kupanda niSerikali yenyewe kujipangia vitu bila mpangilio nakuwabebesha wananchi mzi<strong>go</strong> na wala haileta tijakupandisha bidhaa kwa ajili ya pato la Taifa wakatiwananchi wake hawana uhakika wa mlo mmoja kwasiku.Mheshimiwa Spika, kuhusu elimu, TAMISEMI inamipan<strong>go</strong> mingi, imezidiwa nguvu na ipo chini ya WaziriMkuu kwa nia ya kuwa na ufanisi. Kwa sasa suala laelimu linashuka na Halmashauri kushindwa kusimamiasuala hilo vizuri. Sasa kiten<strong>go</strong> cha elimu kiondoleweHalmashauri na kiwe kiten<strong>go</strong> maalum.Mheshimiwa Spika suala la uwekezaji ni moja yamatumizi mabaya ya ardhi na linasababisha mi<strong>go</strong><strong>go</strong>roya hapa na pale kwani watendaji wa ngazi za chinikuja juu wanataka kuwa na uwekezaji wao na hawawanaowekeza, wanawalaghai Vion<strong>go</strong>zi wachache waVijiji kuingia mkataba bila wengine kujua.Mheshimiwa Spika, hayo yametokea WilayaniKondoa na mwekezaji aitwaye ENCE kwenye Kata yaKisese eneo la Atta. Imefikia mahali mwekezajianakosa huruma na wenyeji wake kuwatendeaunyama wa kumwaga sumu ya kukausha mimea nakusababisha madhara kwa wananchi wa karibu na339


eneo hilo. Yapaswa tuwe waangalifu zaidi ya watuwanaotaka kuwekeza kwetu kwa matumizi ya ardhi.Mheshimiwa Spika, usalama wa nchi ukomashakani kwani kama askari wetu hawapo makinikulinda mipaka yetu na mageti wamegeuza kamamradi, Serikali inapaswa kuliangalia kwa macho mawili,tusijitie aibu, nchi ya amani ikawa kisiwa cha machozi.Hili ni angalizo kwa mfano sisi sote kama Serikalitumeshuhudia hapa Dodoma kuletwa watu mpakahapa, huenda ni makusudi au uzembe, vinginevyorushwa iko wazi kabisa hiyo.Mheshimiwa Spika, elimu ni ufunguo wa maishakwa nini Serikali isiboreshe shule, nyumba za walimu,walimu wa kutosha mashuleni ili kupunguza kelele zaupungufu wa walimu na vitendea kazi.Mheshimiwa Spika, siungi mkono hoja mpakamasuala muhimu yatekelezwe.MHE. ABDALLAH SHARIA AMEIR: Mheshimiwa Spika,kwanza kabisa namshukuru Mungu kwa kuniwezeshakuwa M<strong>bunge</strong>. Pili, naunga mkono hoja kwa asilimiamia moja.Mheshimiwa Spika, naomba kuchangia kwakusema kuwa Zanzibar ni sehemu ya Jamhuri yaMuungano wa Tanzania na hivi sasa imeingiwa nabalaa ya Uamsho ambao hauna muda wala saa yakufanyika kwa mambo hayo. Ilipotokea fujo hizo kwamara ya kwanza Jeshi la Polisi lilishindwa kufanya kazi340


zake kama ilivyotakiwa kutokana na ukosefu wavitendea kazi kama gari, mafuta na kadhalika.Mheshimiwa Spika, naomba sana Jeshi la Polisi,Zanzibar lipatiwe vifaa vya kutendea kazi kamainavyotakiwa na sio kushitukia tu kama zima moto,kwani suala la vurugu kwa Zanzibar ni la kawaida sio lamuda mfupi, kwani watu wanashawishi vijana wenyeumri wa miaka kumi na nane ili wafanye fujo kwamaslahi yao na siyo kwa Taifa hili.Mheshimiwa Spika, naomba sana suala la ulinzikwa upande wa Zanzibar lipewe kipaumbele kwaasilimia kubwa sana ili kukabiliana na hali hiyo.Mheshimiwa Spika, mwisho kabisa naendeleakuunga mkono hoja kwa asilimia mia moja.MHE. SAID MUSSA ZUBEIR: Mheshimiwa Spika,kwanza, naunga mkono hoja huku nikijiaminisha kuwahakuna Tanzania bila Zanzibar. Kwa hiyo, kilichotokeakwa Waziri Mkuu kutohusisha chenji ya rada na upandewa pili wa Muungano ni hali halisi ya binadamu yoyoteambaye inaweza kumtokea aidha, kusahau aukukamilisha ubinadamu wake kwani ukamilifu wabinadamu ni mapungufu yake na binadamuanayejiona amekamilika, huyo ndiyo mpotevu kabisakwani sifa hiyo anayo Mwenyezi Mungu tu.Mheshimiwa Spika, kwa upande wa Muunganokuna masikitiko kido<strong>go</strong> kutokana na maelezo yaMheshimiwa Waziri Mkuu kuwa mwaka 2011/2012 vikao14 vimefanyika. Huu ni wastani wa kila siku 25 kufanya341


kikao kimoja na kulikuwa na hoja kumi na tatu, huu niwastani wa kila kikao kimoja kwa hoja moja. Kwamshangao mkubwa sana kutokana na maelezoyaliyokuwepo kwenye hotuba hii ni mambo mawili tundiyo yaliyopatiwa ufumbuzi ambayo kwa Wazanzibarsio mambo ya msingi kabisa. Hivi kwa vikao 14 vyamwaka mzima na kutumia fedha za Watanzania waliomasikini hivi hamuoni kuwa huu ni mzaha kwaWazanzibar pamoja na ufujaji wa fedha za walipakodi?Mheshimiwa Spika, ushauri wangu kwa Serikali yaJamhuri ya Muungano wa Tanzania, waelewe kuwahakuna Muungano usio na matatizo mahali popoteduniani na mwisho wa matatizo ndiyo mwisho waulimwengu.Mheshimiwa Spika, tusio<strong>go</strong>pe kutoa maamuzi iliwananchi watuelewe, ni lazima kutatua kero hizi kilazinapojitokeza tena kwa wakati husika ili tupate mudawa kutatua matatizo mengine ambayo yanaendeleakila ulimwengu unavyokuwa kwani haya mabadilikondiyo changamoto za maisha yetu ya kila siku. Sasausipoyapatia majibu ni sawasawa na kukimbia kivulichako mwenyewe jambo ambalo haliwezekani.Mheshimiwa Spika, kitabu cha Waziri Mkuu piakiligusia ajira na kilimo. Kuhusu suala hili naishauriSerikali kwa sasa ni wakati mwafaka wa kuelekezanguvu kwenye kilimo hususan cha biashara kamasukari, pamba, korosho, tumbaku na kujielekezakwenye Viwanda vido<strong>go</strong> vido<strong>go</strong> ambavyo vitamilikiwana wakulima wado<strong>go</strong> wado<strong>go</strong> wenyewe kwa342


kuongeza thamani ya mazao yao na kuweza kuuzakwa tija nje ya nchi. Tukifanya hivi tutakuwatumetengeneza ajira za uhakika kwa vijana wengi nakupunguza wimbi la kuhamia mijini kwa kutafuta ajira.MHE. DKT. CYRIL A. CHAMI: Mheshimiwa Spika,nampongeza Mheshimiwa Waziri Mkuu kwamawasilisho mazuri. Aidha, nawapongeza Mawaziriwote wa nchi pamoja na Watendaji wote wa Ofisi yaWaziri Mkuu. Pili, hali ya Mkoa wa Kilimanjaro ni mbayasana au itakuwa mbaya sana mwaka huu kwa suala lachakula kwani Wilaya karibu zote zimekumbwa naukame. Naomba Ofisi ya Mheshimiwa Waziri Mkuuianze kufanya matayarisho maana mahitaji yatakuwamengi makubwa. Tatu, naungana na Wa<strong>bunge</strong>wenzangu wa Mkoa wa Kilimanjaro kuiomba Serikaliione jinsi Halmashauri zinazopakana na MlimaKilimanjaro zitakavyopata angalau sehemu yamakusanyo yanayofanywa na KINAPA ambayo pekeyake inaingiza zaidi ya 50% ya mapato yote yaTANAPA. Hoja ni ile ile kama inayozifanya Halmashaurizenye mi<strong>go</strong>di kunufaika na sehemu ya mapato yami<strong>go</strong>di hiyo.Mheshimiwa Spika, nne, wakati wa kampeni za2010, Mheshimiwa Rais aliahidi kuwa barabara yaKiboriloni – Kikarara – Tsuduni – Kidia Moshi vijijini) yenyeurefu wa kilomita 19.8 itawekwa lami. Kwa vile huu nimwaka wa pili ahadi hii ni ya 2010 – 2015, naombaWaziri wa Ujenzi alizingatie katika bajeti yake kwamaelekezo ya Mheshimiwa Waziri Mkuu.343


Mheshimiwa Spika, tano, suala la ujumla lakuondoa VAT kwenye uzalishaji wa ndani wa nguo(textiles) litasaidia sana nchi yetu. Nikumbushe tu kuwaTume iliyounda Mheshimiwa Waziri Mkuu juu yakuimarisha viwanda vya nguo iligundua kuwa endapoVAT itasamehewa, nchi itapoteza shilingi bilioni moja tu.Hata hivyo, uamuzi huo utaongeza foreign directinstruments, utaongeza ajira na utaokoa fedha nyingiza kigeni tunazotumia kuagiza nguo nje. Combinationhii itatuongezea zaidi ya shilingi bilioni moja, achiliambali utulivu utakaotokana na ongezeko la ajira.MHE. MUSTAPHA B. AKUNAAY: Mheshimiwa Spika,kwa ajili ya kuokoa muda na ili hoja izingatiwe,naomba nitoe mchan<strong>go</strong> wangu kwa muhtasari.Naungana na ushauri wa Kamati ya Katiba, Sheria naUtawala, mimi ni Mjumbe wa Kamati.Mheshimiwa Spika, nasisitiza Katibu Tawala waMkoa (RAS), Wakurugenzi na Watendaji waHalmashauri za Wilaya na Jiji kuwa mamlaka yanidhamu kwa ajili ya watumishi wa ngazi ya chini,Madiwani wavuliwe mamlaka hayo.Mheshimiwa Spika, Sheria ya Local GovernmentNamba 8 (Jedwali) itamke wazi namba ya Wajumbewa Kamati za Kudumu, fedha za wananchi zinatumikavibaya kuundwa Kamati kubwa hadi 14 (Kamati yaFedha na Uchumi) ambayo hukutana kila mwezi.Mheshimiwa Spika, usimamizi mbaya wa fedha zaHalmashauri ukomeshwe. Pamoja na Sera ya D by D.Ofisi ya Mkuu wa Mkoa ifanyie kazi hiyo. Aidha, muhimu344


sana Serikali kuboresha mfumo wa utoaji vocha zapembejeo.Mheshimiwa Spika, fedha za maendeleo zitumwemapema, ucheleweshaji wake unapandisha bei yamiradi.Mheshimiwa Spika, kwa vile posho ya Madiwani,imepandishwa kufikia shilingi 250,000, sasa wahudhurieofisini kama watumishi wengine ili wasimamie miradikwa karibu zaidi.Mheshimiwa Spika, kazi na mipaka ya Mwenyekitiwa Halmashauri na ile ya DC ijulikane kuzuiakuwaingilia watendaji.Mheshimiwa Spika, mwisho Ofisi za Wa<strong>bunge</strong>Jimboni zipatiwe watumishi hasa Katibu (Secretary) naMsaidizi (Personal Assistant) ili kumsaidia M<strong>bunge</strong>kutekeleza kazi zake kwa ukamilifu.Mheshimiwa Spika, Serikali ikabidhi ardhi yotekwenye Miji na Makao Makuu ya Halmashauri kwaLocal Government.MHE. DKT. KEBWE S. KEBWE: Mheshimiwa Spika,maslahi ya Madiwani, Wenyeviti wa Vijiji na Viton<strong>go</strong>ji, nikwa nini Serikali imekaa kimya katika suala hili muhimumbali na ahadi yake katika kuhitimisha Bunge la Bajetimwaka jana (2011)? Serikali iliahidi kuanza kutoamaslahi kwa Madiwani kuanzia mwezi Februari, 2012 naWenyeviti wa Vijiji kuanzia Julai, 2012 lakini imekuwa345


kimya hadi leo hii na kutoweka kwa bajeti ya2012/2013.Mheshimiwa Spika, ujenzi wa Hospitali yaHalmashauri ya Wilaya ya Serengeti, kwa nini Serikalihaijatenga fedha kwa ajili ya hospitali hii inayojengwana Halmashauri na fedha ya Serikali kuu, hadi sasaimebaki kuwa <strong>go</strong>fu kwa sababu tangu Serikali itoefedha kwa mwaka 2008/2009 kiasi cha shilingi milioni200, haijawahi kutenga fedha yoyote na hiikusababisha ujenzi kusimama. Je, Serikali inasema ninijuu ya hospitali hii?Mheshimiwa Spika, kuhusu ujenzi wa Hospitali yaRufaa ya Mkoa (Mwalimu Nyerere Medical Centre).Imetengewa fedha kido<strong>go</strong> shilingi billioni 2.1, ni kwa niniujenzi wa hospitali hii umetengewa fedha kido<strong>go</strong> kiasihicho Shilingi 2.1? Gharama ya makadirio yakuendeleza ujenzi huo kwa awamu ya kwanza nishilingi bilioni 13, kwa mwenendo huo itachukua miakamingi kukamilika. Je, Serikali iko tayari kuangalia sualahili upya na kuongeza bajeti ili kuharakisha utekelezajiwa ahadi ya Rais ili pia kulinda na kumuenzi marehemuBaba wa Taifa kwa vile jina la hospitali hiyo (MwalimuNyerere Medical Centre) ni kutoa heshima kwaMwalimu?Mheshimiwa Spika, kuhusu kutokuwa na usajili wavijiji na mi<strong>go</strong><strong>go</strong>ro ya mipaka katika maeneo menginchini, kwa vile mwaka 2009 Serikali ilitoa kibali chakuanzisha vijiji lakini havijasajiliwa; ni kwa nini Serikalihaijatoa usajili katika vijiji vingi nchini?346


Mheshimiwa Spika, je, kwa nini Serikali haijatoamajibu sahihi na kuelekeza mkoa kutekeleza katikau<strong>go</strong>mvi wa mpaka kati ya Wilaya ya Serengeti naWilaya ya Bunda? Mpaka katika Wilaya hizi mbili(Serengeti na Bunda) katika eneo la Remung’orori(Metola) - Serengeti na Mekomariro (Bunda)umepimwa na Mkoa wa Mara kinyume na utaratibu nakuzua u<strong>go</strong>mvi huo ambao mkoa umeshindwakuumaliza kwa sababu ndiyo umesababisha kutokanana watumishi wa Mkoa na Mkuu wa Mkoa aliyestaafu.Hatua za haraka zichukuliwe katika hili.Mheshimiwa Spika, utoaji wa vitambulisho vyauraia kutokana na uwepo wa wahamiaji haramu nawahamiaji holela, wengi nchini hususan Mikoa naWilaya za mipakani ikiwemo Serengeti ni vyema Serikaliisitishe zoezi hili muhimu, kwa nini Serikali isifanyeoperesheni ya kuwaondoa wahamiaji hao kwanza?Bila ya kufanya hivyo wahamiaji wengi watapewavitambulisho vya uraia, Serikali haioni bila kufanya hivyoitakuwa hatari kwa Taifa letu?Mheshimiwa Spika, kuzagaa kwa silaha haramu nakuongezeka matukio ya uhalifu, kwa vile nchi yetuimezungukwa na nchi nyingi hata kuliko nchi yoyotekatika Afrika na nchi nyingi haziko salama na hazinautulivu, mfano, Kenya silaha haramu mikononi,inakadiriwa kuwa laki tano, Burundi laki mbili kwamakadirio hayo tu kwa nchi mbili jirani zetu. Je, nchi inampan<strong>go</strong> gani kukabiliana na hali hii?Mheshimiwa Spika, ugatuaji wa madarakakwenda Wilayani (Halmashauri), kwa vile hali ya347


ugatuaji bado haijakaa sawa na kusababishausimamizi na ufuatiliaji umekuwa hafifu, mfano, katikaElimu, Afya na Idara nyingine. Je, ni kwa nini Serikaliisiangalie upya utaratibu huu pamoja na kurejeshavyanzo vya mapato, makusanyo katika Halmashauri naHalmashauri zichangie Serikali Kuu kama ilivyo katikanchi nyingine duniani zenye mfumo huu. Pia ni vyemakuanzisha Naibu Waziri wa Afya, TAMISEMI kwa sababukuna usimamizi hafifu sana katika sekta ya afya.Mheshimiwa Spika, Mji Mkuu kuhamishiwa rasmiDodoma, kwa vile uamuzi huu wa kuhamishia MakaoMakuu, Dodoma ni wa miaka mingi (34)na bado sualahili halijakamilika kwa nini Serikali haijatoa kaulikushindwa kutekeleza hili? Kwa nini Wizara nyingizimejenga maghorofa makubwa Dar es Salaam,baada ya uamuzi huu? Mfano, Maliasili na Utalii; Ofisiya Rais, Utumishi; Maendeleo ya Jamii na kadhalika.Majen<strong>go</strong> yote ya ghorofa makubwa yangewezakujengwa Dodoma kama Ofisi ya Waziri wa Nchi,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa walivyofanya.Vinginevyo Serikali igawe kuhamisha makao makuu,Bunge iwe Dodoma; Mahakama iwe Arusha naBiashara iwe Dar es Salaam.Mheshimiwa Spika, hali hii ya kuwa na ofisi mbilimbili za Wizara na nyumba za kuishi inatia hasara Taifani vyema kasi ya kuhamisha Makao Makuu iongezwekwa sababu hata bajeti ya mwaka 2012/2013iliyotengwa ni ndo<strong>go</strong> sana.MHE. KABWE Z. ZITTO: Mheshimiwa Spika, juhudiambazo Serikali inachukua kuboresha wakala348


kusimamia kilimo ni muhimu sana. Approach yawakulima wado<strong>go</strong> outgrowers scheme kushirikiana nawawekezaji ni ya kupongeza. Hata hivyo, nanimsimamizi wa hii mikataba ya outgrowers scheme?Itabidi Serikali iunde wakala wa kusimamia mikataba ilikulinda maslahi ya wanyonge.Mheshimiwa Spika, Kiwira, suala ka Kiwiralimekuwa linaibuka na kuzama kwenye mijadala yaBunge. Ukweli ni kwamba, mwekezaji TanpowerResource hapaswi kulipwa chochote kabla hajaelezaalitumiaje mikopo aliyopewa kutoka CRDB, PPF, NSSF.Serikali kutenga shilingi bilioni arobaini kulipia madeniya Kiwira ikiwemo kuwalipa Tanpower. Nadhani siouamuzi unaozingatia maslahi mapana ya Taifa. KamaShirika la Umma, NSSF walitaka kubadili madeni yaokuwa mtaji na kushirikiana na STAMICO kuendelezam<strong>go</strong>di. Naomba Serikali itazame upya jambo hili.Kutumia shilingi bilioni arobaini, kulipa madeni wakatiNSSF ilikuwa tayari kuendeleza, sio uamuzi bora.Nashauri jambo hili litazamwe.Mheshimiwa Spika, kuhusu Kabulo; katika suala laKiwira, suala la Kabulo lina uzito wa kipekee, MlimaKabulo wenye leseni tofauti na ile ya Kiwira ulikuwaunamilikiwa na Shirika la STAMICO, kwa kutumia dolamilioni sita, STAMICO walifanya utafutaji (exploration)kwenye eneo hilo na kugundua mashimo mengi sanaya makaa ya mawe. Tarehe 19 Desemba, 2005, sikumoja kabla ya Rais Kikwete kula kiapo, Waziri waNishati na Madini alitoa leseni ya eneo la Kabulokwenda Kampuni ya Tanpower Resource ambayoilikuwa inamilikiwa na Waziri huyo. Tarehe 24 A<strong>go</strong>sti,349


2011, Waziri wa Nishati aliidhinisha m<strong>go</strong>di huu kuuzwakutoka Tanpower kwenda kampuni nyingine yenyewana hisa wengi kutoka Australia.Mheshimiwa Spika, bila Kabulo hakuna Kiwira.Wanaouza Kabulo wana len<strong>go</strong> la kuwa wagavi kwam<strong>go</strong>di wa Kiwira. Hii inathibitishwa na mkatabaambao Tanpower Resouce waliingia na KCPL wa kuuzamakaa.Mheshimiwa Spika, Kamati ya POAC imelifanyiakazi sana suala la Kiwira. Tafadhali simamisha uamuziwowote unaondelea ili kuisikiliza Kamati na kupatauamuzi bora.MHE. LETICIA M. NYERERE: Mheshimiwa Spika,napenda kuchangia hotuba ya Waziri Mkuu nikianziana maboresho ya Sekta ya Fedha.Mheshimiwa Spika, mafanikio katika sekta yafedha hayatokani na ongezeko la mabenki na matawiisipokuwa hutokana na idadi ya wanaokopa. Ni imaniyangu kuwa mafanikio katika sekta hii yatatokana naidadi ya Watanzania waishio vijijini kupata uwezo wakukopa. Vile vile sekta hii itafanikiwa na kuwanufaishaWatanzania endapo mabenki yataondoa urasimuuliopo sasa hivi unaomtaka mkopaji kuwa nadhamana jambo ambalo linanyanyapaa Watanzaniawenye kipato kido<strong>go</strong> hasa wale wa vijijjini.Mheshimiwa Spika, asilimia kubwa ya mabenkinchini hasa yale yanayomilikiwa na wageni yamekuwayakitoza riba ya juu sana na kusababisha kushuka350


thamani ya mikopo kutokana na kushuka thamani yafedha yetu.Mheshimiwa Spika, nashauri Serikali iwawezesheWatanzania kwa kujenga viwanda hasa vijijinikuwekeza kwa njia ya viwanda vijijini kutawasaidiaWatanzania wengi walio vijijini kupata ajira nahatimaye kujikwamua kiuchumi.Mheshimiwa Spika, naomba kuwasilisha.MHE. ABUU H. JUMAA: Mheshimiwa Spika, kwanzakabisa napenda kumshukuru Mwenyezi Mungu mwingiwa rehema kwa kunipa nafasi ya kuchangia hotuba yaBajeti ya Waziri Mkuu 2012/2013. Pia nampongezaMheshimiwa Waziri Mkuu, kwa kupata Wakuu waWilaya ambao wameteuliwa na Mheshimiwa Rais waJamhuri ya Muungano wa Tanzania ambao naaminiwana upeo mkubwa na ni wachapa kazi jinsinilivyowasikia kwenye vyombo vya habari, wakitoamichan<strong>go</strong> yao katika semina elekezi waliyofanyiwaDodoma, mara tu baada ya uteuzi wao. Hakikanaamini watatekeleza vyema majukumu yao nakuwaondolea wananchi kero katika upatikanaji wahuduma za jamii wakishirikiana na wananchi katikakudhibiti mapato na matumizi kwa maendeleo namanufaa ya nchi.Mheshimiwa Spika, nampongeza sanaMheshimiwa Waziri Mkuu kwa hotuba yake nzuri yaBajeti ya mwaka 2012/2013 ambayo inadhamiriakuboresha maisha ya wananchi hasa wanaoishi vijijini.Len<strong>go</strong> la kuimarisha sekta ya kilimo ni mkakati tosha wa351


kuinua pato la wananchi walio wengi na hatimayekondokana na umasikini, ujinga na maradhi. Aidha,bajeti hii ni bajeti nzuri yenye mipan<strong>go</strong> mizuri na kwauhakika inalenga kuboresha huduma muhimu za kijamiina uchumi kama miundombinu, afya, barabara, elimu,maji safi na salama, utawala bora, usawa katika kutoahuduma, kutoa msisitizo katika Sera ya Kilimo Kwanzana mipan<strong>go</strong> mingine mingi ya kuharakisha maendeleokwa wananchi wa Taifa letu.Mheshimiwa Spika, kwa namna ambavyo Serikaliimekuwa ikiwajibika kikamilifu katika kuondoa kero zawananchi, kusimamia haki na utawala bora pamojana kupiga vita adui rushwa, naamini mipan<strong>go</strong> yoteiliyoainishwa ndani ya bajeti hii itatekelezwailivyokusudiwa.Mheshimiwa Spika, bajeti ya mwaka jana ilikusudiakuimarisha kilimo kuwakomboa Watanzania wengiambao uchumi wao unategemea kilimo. Pamoja namipan<strong>go</strong> mizuri ya kuendeleza kilimo kama (ASDP)azma ya kilimo kwanza, mpan<strong>go</strong> wa ruzuku kwawafugaji, uanzishwaji wa Dirisha la Kilimo katika Benkiya (TIB) na Mpan<strong>go</strong> wa Kukuza Kilimo Ukanda wa Kusini(SAGCOT) na mingineyo. Naipongeza sana Serikalikwani kulikuwa na jitihada za wazi za kusimamiamipan<strong>go</strong> hii kikamilifu. Wananchi walielimishwa namnaya kilimo bora, walishirikishwa katika kupanga mipan<strong>go</strong>ya maendeleo yao pamoja na umuhimu wa kutunzaardhi yao kwa kizazi kijacho. Wananchi wengi hasawakulima walipata elimu iliyowawezesha kufaidika namfumo wa stakabadhi ghalani ambapo waliwezakujenga ghala za kuhifadhia mazao mara tu baada ya352


kuvuna, hivyo kuwa na uhakika wa ubora wa mazaoyao na akiba ya chakula.Mheshimiwa Spika, pamoja na jitihada nyingi namafanikio, kuna maeneo ya kuimarisha zaidi na hasakuongeza bidii ili kufuata kasi na hatua za maendeleowanazopiga. Nchi ziwe na sheria ya ubia baina yasekta binafsi na sekta ya umma, inaweza kuharakishamaendeleo. Kwa mfano, katika sekta ya miundombinuSerikali inaweza kukaribisha wabia binafsi katikakuendesha wenzetu wa Afrika Mashariki na dunia kwaujumla. Hii ni pamoja na kuimarisha miundombinu bilakutumia gharama kubwa za Serikali kwa kutumiamfumo wa ubia wa PPP. Kufanya jitihada za kuimarishakilimo kwa kufungua mashamba makubwa kwanikwetu ardhi si tatizo.Mheshimiwa Spika, tunao vijana wengi sanaambao hawana kazi endapo Serikali itawahakikishiaushirikiano na msaada katika matrekta, pembejeo nambegu bora na usimamizi thabiti, nina imani vijanahawa wataikomboa nchi yetu katika umaskini. Vijanahawa wanaweza kuwekwa katika mfumo wa vikosi vyauchumi kama ilivyo JKT, lakini wakapewa majukumu yakilimo, ufugaji wa nyuki na hata samaki. Vijana hawa ninguvu kazi ambayo inapotea bure na ndiyo maanawengi wamejiingiza katika vishawishi vya uhalifu namadawa ya kulevya kwani wamekata tamaa. Tuigemfano wa Mkoa wa Ki<strong>go</strong>ma ambapowamewawezesha vijana waliokuwa wamekatatamaa na wengine walikuwa vibaka, lakini sasa nivijana ambao wamerekebishika na mpan<strong>go</strong> huoumeonesha tija na pato kwa Taifa.353


Mheshimiwa Spika, pamoja na mipan<strong>go</strong> mizuri yakuendeleza viwanda ningependa kushauri kuwaSerikali iweke vivutio katika viwanda vilevitakavyoongeza thamani katika mazao yetu.Wananchi wa Kibaha Vijijini ni wakulima hodari wamatunda, mboga, mahindi na pia ni wafugaji nawavuvi. Kama watapatikana wawekezaji ambaowatajenga viwanda vya kusindika mboga, samaki nanyama vinaweza kutoa ajira kwa vijana na kutoa sokola uhakika kwa wakulima. Viwanda hivi vitaharakishamaendeleo ya Jimbo la Kibaha Vijijini na kuongezauchumi wa nchi yetu kwa ujumla.Mheshimiwa Spika, viwanda vya ndani vitakuwahavina maana kama vitazalisha kuuza nje, lakini soko landani lisiwepo. Kuna tatizo kubwa la wananchikuthamini bidhaa za nje na kudharau bidhaazinazozalishwa hapa nchini na viwanda vyetu. Huu niu<strong>go</strong>njwa unaodidimiza uchumi wa nchi. NaishauriSerikali iweke mikakati ya kutoa elimu na kuhamasishawananchi kupenda kilicho chetu. Suala hili liwekewekampeni kama kampeni za chanjo, sensa na kadhalikaikibidi jambo hili liwe kaulimbiu na ujumbe wa Raiskatika mbio za Mwenge wa Uhuru kwa mwaka 2013.Mheshimiwa Spika, mwaka jana nilitoa mawazomengi ambayo yamezingatiwa katika mipan<strong>go</strong> yabajeti hii ya mwaka 2012/2013, sina shaka kutakuwa nausimamizi mzuri katika utekelezaji wake. Napendanimalize kwa kusema kwamba, mambo yote mazuriyaliyoko katika hotuba ya bajeti ya Waziri mkuuyamezingatia kumkomboa mwananchi kutoka katika354


hali duni na kuwa katika hali bora pia kumwondoleakero za upatikanaji wa huduma za msingi.MHE. MOSES J. MACHALI: Mheshimiwa Spika, kwaujumla Ofisi ya Waziri Mkuu imewasilisha taarifaambayo bado haiwezi kukidhi matakwa ya wananchikwa uhakika. Kiasi cha Sh. 108,271,972,000; Sh.222,276,872,000 kwa ajili ya maendeleo katika Ofisi yaWaziri ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali zaMitaa (TAMISEMI); Sh. 26,724,449,000 kwa ajili yamaendeleo ya Ofisi ya Wakuu wa Mikoa yote nchini.Aidha, Halmashauri zote zinaombewa Sh.3,279,800,075,000 ambapo kati ya fedha hizo Sh.2,735,646,117,000 ni kwa ajili ya matumizi ya kawaidana Sh. 544,153,958,000 ni kwa ajili ya matumizi yamaendeleo. Ofisi ya Bunge imetengewa Sh.113,220,653,000 ambapo Sh. 111,585,653,000 kwa ajiliya matumizi ya kawaida na Sh. 1,635,000,000 kwa ajiliya maendeleo.Mheshimiwa Spika, ukifanya mchanganuo badounaona ni namna gani fedha za maendeleozinatengwa kido<strong>go</strong> Serikalini huku matumiziyakiendelea kubaki makubwa. Naishauri Serikaliiepukane na suala la kuongeza matumizi kila mwakakwa kuwa kuongeza matumizi bila sababu za msingi niutovu wa nidhamu katika matumizi ya fedha za umma.Ukifanya uchambuzi wa kina utabaini kuwa zipo fedhanyingi ambazo zinatumika kwa ajili ya kulipana poshoSerikalini bila kujali Serikali inakusanya mapato kiasigani kupitia vyanzo vyake kwenye Halmashauri nakwingineko kupitia TRA.355


Mheshimiwa Spika, tunaitaka Serikali iueleze ummawa Watanzania kupitia Bunge ni lini itapunguza hiziposho ambazo siyo za lazima ili fedha hizo zielekezwekwenye miradi ya maendeleo. Kwa mfano, posho zamavazi, zinaweza kuondolewa katika baadhi yamaeneo ili kuokoa fedha nyingi zinazopotelea hukokwa kuwa hata Watanzania wanaoishi mijini na vijijiniwafanyakazi na wasio wafanyakazi wa Serikali baadhihawalipwi posho za mavazi. Kwa mfano, ni linimwalimu alilipwa posho ya mavazi pamoja na kuwamshahara wake ni kido<strong>go</strong>.Mheshimiwa Spika, inatupasa tujiulize ni sababugani zinaifanya Serikali kuwapatia baadhi yawafanyakazi posho za mavazi huku ikiwaachawengine. Tunasema kuwa Serikali inawabagua watuwake hasa wafanyakazi kwa kuwapatia baadhi poshoza mavazi na kuwaacha wengine. Serikali ikifanyahivyo itaweza kuokoa fedha nyingi. tunashauri poshoza mavazi zibakie kwa Askari wa Majeshi yote, Majajina Mahakimu, pamoja na watumishi wa sekta ya afyayaani Madaktari na Wauguzi , ambao kimsingi uhitaji nimkubwa ili kuwatambua. Kada nyingine za watumishiwa umma wa mikataba na wale wa kudumu wotetufute posho za mavazi ili kuokoa fedha zinazotumikahuko. Ni ajabu kumnunulia Rais mavazi, Waziri Mkuu,Mawaziri na Wa<strong>bunge</strong> na kadhalika. Wanapokwendanje ilhali angalau wao kipato chao kinawawezeshakununua mavazi huku Serikali ikiwa haiwajali Walimu naWatanzania wengine wasiokuwa na uwezo mzurikimaisha.356


Mheshimiwa Spika, mapato katika Halmashaurizetu, Serikali inapoteza fedha nyingi sana kutokana nauzembe wa baadhi ya watumishi katika Halmashaurizetu, kwa mfano, Halmashauri ya Wilaya ya Kasuluimeingia mkataba na kampuni moja inayojishughulishana masuala ya utalii ambapo kupitia mkataba huuutakaodumu kwa miaka 30, Halmashauri ya Wilaya yaKasulu itakuwa ikinufaika kwa kupata mgao wa fedhakiasi cha shilingi milioni 347 tu kwa mwaka mzima,kupitia uwekezaji utakaofanywa na Kampuni yaMuwala Trust Limited ya Mjini Arusha. Inatupasa tujiulize,hivi ni sahihi kukubali kumpatia mtu au mwekezajikuendesha shughuli za utalii kwa miaka 30 na kwambamwekezaji atakuwa na haki ya kuendelea kulitumiaeneo hilo kwa miaka 30 mingine baada ya miaka 30 yakwanza kumalizika.Mheshimiwa Spika, hainiingii akilini hata kido<strong>go</strong>,kuna uwezekano mkubwa wa Halmashauri ya Wilayaya Kasulu kuwa wamenunuliwa na Kampuni hiyo yaMuwala, hii ni kwa sababu mkataba wa miaka 30 ni wamuda mrefu. Hauna tofauti na mikataba ya akinaChifu Mangun<strong>go</strong> wa Msovero huko Moro<strong>go</strong>ro katikazama za ukoloni hususani zama zile za Wajerumani. Hivikweli Serikali inakubali kumpatia mtu kuwekeza kwamiaka 30 ambapo kampuni itakuwa inamiliki eneolenye ukubwa wa hekta 157,510.Mheshimiwa Spika, aidha, ni wazi kwambawananchi wa Wilaya ya Kasulu waliokuwa wakilimakatika eneo hilo na kufukuzwa kama mbwa na Serikaliwalikuwa wanajua ni nini wanataka kufanya kwamaslahi ya wachache na sio wengi. Hivi ni kweli357


kwamba tukifanya uchambuzi wa kiuchumi (EconomicAnalysis) ni sahihi kwa eneo hilo kutumika kwa shughuliza utalii halafu Halmashauri ipatiwe mgao wa shilingimilioni 347 tu kwa mwaka mzima? Wakati sekta ya utaliiikiwa inaelekea kuon<strong>go</strong>za kwa pato la Taifa, leoHalmashauri inakubalije kuthamini Mwekezaji nakuwasaliti wakazi wa Kasulu na Taifa kwa ujumla kwakukubali kulipwa kiasi kido<strong>go</strong> cha fedhakinachoainishwa hapo juu.Mkataba huo unasema kama ifuatavyo katikavifungu vya 5.2.1 kuhusu muda wa mwekezaji kulitumiaeneo hilo na 8.0 katika 8.1 - 8.3 kuhusu malipo kwa ajiliya kuendesha shughuli katika eneo hilo. Nanukuu:“5.2.1: mwekezaji atakapokuwa na haki zisizo za asilikutoka kwa Halmashauri ya Wilaya ya Kasuluatasimamia eneo hili kwa kipindi cha miaka thelathinikukiwa na haki ya kuongeza kipindi kingine cha miakathelathini ya mkataba huu kama zitakavyokubalianapande zote katika mkataba huu. Kila baada ya miakamitano pande zote katika mkataba huu zitakaakuangalia vipengele vya mkataba huu na kama kunaeneo lolote la kurekebisha au upungufu wowoteutafanyiwa kazi na pande zote katika mkataba huu.Mheshimiwa Spika, kuhusu malipo kwa ajili yakuendesha shughuli katika eneo hili. Mwekezaji kwakushirikaina na meneja atasababisha kuanzishwa kwaMfuko wa Dhamana ambao utatoa fedhazitakazotumika kwa ajili ya kuilipia Halmashauri yaWilaya ya Kasulu ambapo itakuwa ikilipwa kiasikinachokaribia au kupungua cha shilingi za Kitanzaniamilioni mia tatu na arobaini na saba kwa mwaka kwa358


uwekezaji huu. Kampuni hii itaaanza kulipa kiasi chashilingi za Kitanzania milioni mia moja ambapo kiwan<strong>go</strong>hicho kitakuwa kikipanda kila mwaka hadi kufikia kiasikilichotajwa hapo juu kama pato litakalotokana naMfuko wa Dhamana utakaoanzishwa na Kampuni yaMuwalla Trust Limited kwa ajili ya haki ya moja kwamoja ya matumizi ya eneo hilo na rasilimali zilizopokatika eneo hilo ikiwa ni pamoja na kupewa haki zisizoza asili za matumizi ya ardhi kama zilivyoanishwakwenye Sheria ya Ardhi ya Vijiji na 5 ya Mwaka 1999katika vifungu na. 32(1),(2), (6) (c), (9) na (10) vyaSheria za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (R.E 2006)kama ilivyofanywa marekebisho mara kwa mara. Kiasihicho kitakuwa kinaongezeka kutokana nakuongezeka kwa dhamana ya Mfuko huu waUdhamini.Mheshimiwa Spika, mkataba huo unaendeleakueleza kuwa katika vifungu vifuatavyo:-8.2: Fedha hizo zitakuwa zikigawanywa katikamfumo ufuatao:-8.2.1: Asilimia kumi na tano zitatakiwa kutumikana Wilaya kwa kushirikiana na wadau wa maliasili kwaajili ya kuliimarisha eneo hilo na ulinzi wa maliasili zake;8.2.2: Asilimia hamsini kwa ajili ya Wilaya naambazo zitaelekezwa katika huduma za jamii kamaelimu, afya, kilimo, na mikopo mido<strong>go</strong>;359


8.2.3: Asilimia ishirini na tano kwa ajili ya Vijijivya Kagenrankanda na Mvinza kwa ajili ya kuwezeshamiradi ya maendeleo;8.2.4: Asilimia kumi kama akiba ya Wilaya; na8.3: Mwekezaji atakuwa anamlipa Mkurugenzi waIdara ya Wanyamapori ada na malipo mengineyoyote kama itakavyofafanuliwa katika sheria nakanuni mbalimbali zinazotawala maeneo ya ranchihapa Tanzania.Mheshimiwa Spika, inatupasa tujiulize maswalimengi kuhusu mkataba huu na kisha tupate majibu isijekuwa kama ilivyo katika mikataba ya madini ambapounakuta kampuni za madini zinalipa dola za Kimarekanilaki mbili tu kama mrahaba katika Halmashauri zetukwa mwaka, kiasi ambacho ni kido<strong>go</strong> mnokikilinganishwa na makampuni ya mafuta yanayosupplymafuta mi<strong>go</strong>dini ambayo hulipa kiasi kikubwazaidi ya makampuni yenyewe ya madini. Aidha,masharti yalilyomo katika mkataba huu ni makali sanakwa wananchi, upo uwezekano wa kuja kushuhudiamauaji ya wananchi kwa kuwa wananchi watazuiwakuingia katika eneo hilo na baadhi ya vijiji vimo ndaniya eneo linalotajwa.Mheshimiwa Spika, Serikali haina budi kuepushami<strong>go</strong><strong>go</strong>ro na wananchi wake, kwa mfano Serikaliinapata kigugumizi gani kuleta Muswada Bungeniutakaosaidia Taasisi na Halmashauri zote nchini kuwana fursa ya kuanzisha makampuni ya kibiasharayatakayoweza kufanya shughuli mbalimbali na hivyo360


kuiwezesha Serikali kujipatia fedha nyingi badala yakutegemea kila wakati wawekezaji? Kwa mfano, upouwezekano mkubwa Halmashauri ya Wilaya ya Kasuluikaanzisha shughuli za utalii katika eneo hilo na fedhazote zikabakia katika Halmashauri yetu. Serikaliinashindwa nini hadi kila kitu inakuwa ni mwekezaji,mwekezaji? Tunahitaji ufafanuzi katika hili, hata sera yaPPP inaweza kuwa na malen<strong>go</strong> ya kuwanufaishawachache huku wengi wakibakia kufanywa watwanawa wamiliki wa makampuni ndani na nje ya nchi.Mheshimiwa Spika, hapa nchini tunazo teknolojianyingi ambazo tukiamua kuzitumia vizuri zinawezakuliingizia Taifa fedha nyingi na kuepusha kupelekafedha zote kwa wageni. Kwa mfano, pale Taasisi yaSayansi na Teknolojia Dar es Salaam wanazo teknolojiambalimbali kama vile za ujenzi wa barabara, taa zabarabarani, kufanya magari yatumie gesi badala yamafuta, wanapiga hatua katika teknolojia yakompyuta hususan katika Graphics and Designs. PaleTume ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) wanazoteknolojia mbalimbali kama kupiga kura kwa kutumiamtandao wa kompyuta: ni kijana mdo<strong>go</strong> wa chuo chaIFM aliyegundua teknolojia hiyo na kuanza kutafutwana watu wa nje, sisi Watanzania tunalala.Mheshimiwa Spika, hayo ni baadhi ya mambomachache ambayo iwapo Serikali ikikubali kuleta seraBungeni pamoja na sheria ya kuruhusu Taasisi zote zaSerikali kuruhusiwa kuanzisha makampuni ya kibiasharakama ilivyo China, tunaweza kupiga hatua kubwasana kimaendeleo kuliko kila wakati kuagiza kila kitu aumambo mengi nje ya nchi.361


Mheshimiwa Spika, hakika Bunge na Serikalivikiamua kuruhusu kuanzishwa kwa makampuni yakibiashara yatakayomilikiwa na Serikali moja kwa mojana Serikali ikaacha kabisa mtindo wa kuzipatia kazikampuni za nje zinazotengeneza faida za kupelekakwao, tutakuwa tumetatua tatizo la ajira lakini pia Taifahususan Serikali yetu kubaki na fedha nyingi nchini. Kwamfano, hivi sasa hakuna sababu ya kuwapatia watubinafsi na makampuni yao wakati wataalam kama vilewa barabara wapo pale DIT ambao Serikalihaiwaruhusu kuanzisha makampuni ya biashara, palewapo wataalam.Mheshimiwa Spika, Taasisi kama ile ikiruhusiwaitaweza kutengeneza faida na kulipa kodi Serikalini,lakini pia itaweza kuipunguzia mzi<strong>go</strong> Serikali yetu katikasuala zima la kupatiwa ruzuku hii inapaswa kuwa hivyohata katika taasisi nyingine zenye ujuzi na teknolojiafulani ambazo zinaweza kuuuzwa ndani na nje ya nchi.Tunaitaka Serikali iwaeleze Watanzania ni kwa niniisiruhusu Halmashauri zetu na taasisi mbalimbalikuanzisha makampuni na kisha kazi zote zikafanywa nataasisi hizo ili kuepusha gharama kubwa?Mheshimiwa Spika, Serikali kukataa wazo hili basi niwazi kuwa kuna mkono wa makampuni yanayozuiautekelezwaji wa wazo hili, yaani serikali inaweza kuwana watendaji Fulani wenye kufanya maamuzi ambaowamenunuliwa kwa kuwa siyo baya hata kido<strong>go</strong>. Vilevile serikali inatakiwa kuchukua hatua za haraka katikakuhakikisha mtandao wa reli hapo nchini unaimarishwaikiwa ni pamoja na bandari. Hii ni kwa sababu sekta ya362


usafirishaji pekee ikisimamiwa na kuimarishwa vizurihapa nchini inaweza kulifanya Taifa kupata zaidi yashilingi tirioni 10 kwa mwaka, bado hatujagusa madini,utalii, viwanda, kodi za wafanyakazi, bado hatujagusakodi za biashara mbalimbali kama vile vinywaji vikali nabaridi, sigara, mazao ya chakula na biashara. Piakudhibiti misamaha ya kodi ambayo siyo ya lazimakama ilivyo hivi sasa kwenye madini, makampuni yasimu na kadhalika.Mheshimiwa Spika, Serikali inawajibika kuchukuahatua za haraka kuyaingilia Makampuni ya Simu nakuyadai kulipa kodi ikiwa ni pamoja na kujisajili katikaSoko la Hisa Dar es Salaam kwa kuwa kutokujisajili hapanchini ni njia mojawapo ya wao kukwepa kulipa kodi(Dar es Salaam Stock Exchange Market). Aidha, yapomazingira makubwa yanayodhihirisha kusuasua kotekatika kuboresha Shirika la Reli hapa nchinikumechangiwa na baadhi ya wafanyabiashara wamalori ambao hawataki kuona reli ikifanya kazi vizuri iliwao waendelee kufanya biashara ya usafirishaji.Mheshimiwa Spika, haiwezekani tukaendeleakuwakumbatia watu hawa ambao wakati mwinginewanakwepa kulipa kodi, inatupasa kama Taifakurejesha usafiri wa reli kwa nguvu na kwa kasi yaajabu ili kujenga heshima ya Serikali, ni aibu kwa Taifakubwa kama letu kushindwa kuendesha kilomita za relinchi nzima zisizozidi kilomita 2,600. Hiki ni kiasi kido<strong>go</strong>sana ukilinganisha na kile cha China ambacho ni zaidikilomita 91,000 na wana mpan<strong>go</strong> wa kuongeza hivikaribuni hadi kufikia zaidi ya kilomita 200,000.363


Mheshimiwa Spika, kimsingi ni aibu, tunazidikupigwa gepu na Mataifa ambayo wakati tunapatauhuru hali zetu kiuchumi tulikuwa sawasawa nao, kwamfano, China, Korea, Malaysia, Indonesia, Singaporena kadhalika. Je, ni wapi tumekosea? Jibu ni rahisisana, tumekosea kwenye kuheshimu hayo niliyoyajadilikatika paper hii.Mheshimiwa Spika, hitimisho, inatupasa tuanzishesheria ya kushughulika wahujumu wa uchumi kwakuwa ni watu hatari sana katika maisha yetu ya kilasiku, sheria hiyo inabidi iwe mahsusi kwa ajili yakuwanyonga hadharani watu wote wanaohujumuuchumi wa nchi yetu na wahujumu ni akina nani? Niwale wote wanaotumia nafasi za umma na binafsivibaya kwa maslahi yao wenyewe. Hawa wanapaswakunyongwa hadharani tena kwa mashine maalum auvinginevyo hata kwa kutumia risasi mbele yawatazamaji, kesho mtu yeyote akishuhudia fulanikanyongwa hadharani kwa risasi hawezi tena kurudiaau kutenda kosa kama lile lililomfanya mwenzakeanyongwe. Hii itaweza kuwa njia rahisi ya kukomeshatabia hii. Adhabu hii itapaswa kutolewa baada yaMahakama kumtia hatiani mtuhumiwa, tusio<strong>go</strong>pe Taifalinaangamia kutokana na majanga ya kuleawahujumu wa uchumi. Kulipuuza wazo hili ni isharakwamba Serikali inawakumbatia wahujumu wa uchumina inajua sababu za kukataa wazo hili.Mheshimiwa Spika, maneno haya yanatokamoyoni kabisa na nitafurahi sana iwapo Serikaliinaweza kutafakari kwa kina hasa ikijaribu kuepukamtazamo kuwa kumnyonga mtu yeyote ni kinyume364


cha haki za binadamu. Kuishi katika mtazamo huo niupofu wa makusudi kwa kuwa mtu yeyoteanayehujumu uchumi wa nchi yake na hivyokusababisha wananchi kukosa huduma na maendeleoyao muhimu, huyo ndiye mtu wa kwanza asiyeheshimuhaki za binadamu kwa kuwa huduma bora na safi zaafya, elimu, usafiri, kuepukana na deni la Taifavimesababishwa na wahujumu wa uchumi. Je, kunasababu ya kuwalinda watu wa aina hiyo. Jibu ni rahisi,hakuna.Mheshimiwa Spika, kwa hayo machache,naomba kuwasilisha na nategemea Serikali itachukuahatua. Siungi mkono hoja iwapo Serikali haioneshi njiambadala na ambazo ni serious katika kutatuachangamoto tulizonazo.MHE. PROF. PETER M. MSOLLA: Mheshimiwa Spika,awali ya yote, napenda kuwapongeza Waziri Mkuukwa hotuba yake nzuri na yenye kutoa matumaini kwaWatanzania. Hata hivyo, nina maoni yafuatayo ilikuboresha utendaji wa Serikali yetu.Mheshimiwa Spika, kuhusu matatizo ya ardhi; kwamuda mrefu sasa kumekuwa na mi<strong>go</strong><strong>go</strong>ro mingi bainaya wakulima na wafugaji pamoja na wananchiwanaozunguka Hifadhi za Taifa na mara nyingikusababisha vifo. Tatizo hili litazidi kuwa kubwakutokana na ukweli kwamba idadi ya watu na mifu<strong>go</strong>inazidi kuongezeka na hivyo mahitaji ya ardhi kuzidikuwa makubwa. Naishauri Serikali iweke mikakatiendelevu ili kuleta suluhisho la kudumu katika eneo hili.365


Mheshimiwa Spika, kuhusu ajira za watumishi waHalmashauri. Kwa miaka kadhaa sasa ajira mbalimbaliza Halmashauri ikiwa ni pamoja na madereva,wahudumu na kadhalika zimekuwa zikifanywa na IdaraKuu ya Utumishi na kuleta usumbufu mkubwa. Je,isingekuwa busara ajira hizo za ngazi ya chinizikafanywa na Halmashauri zenyewe.Mheshimiwa Spika, kuhusu ukosefu wa Watendajiwa Vijiji na Kata; Watendaji wa Vijiji na Kata ndiyowasimamizi wakuu wa maendeleo katika Vijiji na Kata.Kwa bahati mbaya sana Vijiji vingi na Kata hazinaWatendaji. Serikali inasema nini kuhusu upungufu wavion<strong>go</strong>zi hawa muhimu?Mheshimiwa Spika, naomba kuwasilisha.MHE. VINCENT J. NYERERE: Mheshimiwa Spika,napenda sana kutoa shukurani zangu za dhati kwanafasi hii ya kuchangia. Katika hotuba ya Bajeti tulionakuna sehemu nyingi sana za ukusanyaji wa mapato yaSerikali, lakini kama hakuna nidhamu katika matumizina upangaji wa mipan<strong>go</strong> isiyohusisha vipaumbele vyawananchi yote ni kazi bure.Mheshimiwa Spika, mipan<strong>go</strong> mingi ya maendeleoinayopangwa na Vion<strong>go</strong>zi wa Serikali ambaohawakutokana na wananchi ni kazi bure. Mfanomdo<strong>go</strong> ni utekelezajji wa maendeleo katika Mkoa waKagera, kuna chumba cha kulaza wa<strong>go</strong>njwa katikahospitali ya Mkoa wa Kagera ambacho chumba hichotayari kimekamilika na hakijaanza kutumika kwa mudawa mwaka mzima sasa na sababu ya kutotumika ni366


ukosefu wa fedha milioni 128 kwa ajili ya kununua vifaatiba, vitanda na ma<strong>go</strong>doro. Cha ajabu sekretarieti yaMkoa wa Kagera haikukaa na kutafakari juu yaumuhimu huu na kuamua kuanza kujenga ofisi mpyaya Mkuu wa Mkoa nje ya mji kwa gharama ya zaidi yabilioni kumi, huku walipa kodi wanaachwawakijifungulia porini au barabarani wakitafuta hospitali.Mheshimiwa Spika, kama tutaendelea na kuwa navion<strong>go</strong>zi wa aina hii, basi nafasi hii ya watu walio chiniya Ofisi ya Waziri Mkuu itakuwa hatarini katika maoni yaKatiba mpya. Wakuu wa Mikoa ni vizuri leo wapo hapana japo hawataweza kabisa kusoma rai yangu hii, basini vizuri Ofisi ya Waziri Mkuu, ikatoa waraka kwa wakuuhawa na kuwaelekeza jinsi ya kuratibu maendeleoyanayopendekezwa na wananchi.Mheshimiwa Spika, nimeona kuna ongezeko laposho kwa Madiwani, ni jambo jema sana na kwakweli nalipongeza, lakini kuongeza mishahara na poshobila kupambana kwa dhati na mfumko wa bei, ni kazibure kabisa.Mheshimiwa Spika, gharama nyingi kwa mboleana sukari na mchele vimekuwa vikipanda bei bandarinikwa ajili ya urasimu na wingi wa Reguratory Authoritiesambazo haziko pamoja (not under one roof) pale Dares Salaam ambazo bado hata utendaji wao wa kazisio wa pamoja wenye nia njema. Lakini unaongeza tugharama kwa mlaji wa mwisho. Kwa mfano, RegulatoryAuthority mojawapo ni SUMATRA, ambao ndiyowanaosimamia ICD (watunzaji wa makontena kwaniaba ya bandari). SUMATRA wamekuwa367


wakikimbizana na daladala huku wakiacha hizi ICDzikijiongezea gharama zilizojificha (hidden charges)ambazo zimepelekea uongezekaji wa bidhaazinazoingia nchini na kuwa ghali kwa mlaji.Mheshimiwa Spika, kuhusu maji; hakuna M<strong>bunge</strong>hata mmoja ambaye anaweza leo kusimama hapaBungeni akajivunia kuwa Jimboni kwake kuna maji safina salama kwa gharama nafuu na yanayopatikanakwa muda wote wa mwaka.Mheshimiwa Spika, uwepo wa maji unapunguzasana gharama kwa Serikali. Hili nimeliona katika Mkoawa Shinyanga kabla na baada ya mradi mkubwa wamaji na matokeo yake ni kama ifuatavyo:-(1) Ma<strong>go</strong>njwa ya mlipuko yamepunguasana na gharama ya matibabuimepungua.(2) Ufaulu wa wanafunzi katika shule zamisingi na sekondari umeongezeka.(3) Bei ya mboga na matunda imepunguana upatikanaji wake ni rahisi na afya yawatu hawa imeimarika.Mheshimiwa Spika, ni vizuri sasa miradi yamaji ambayo ipo kwenye utaratibu basikasi ya utekelezaji iongezeke ilikupunguza mzi<strong>go</strong> mkubwa wa uagizajiwa madawa.368


(4) Pia uzalishaji uliongezeka maana baadaya maji kupatikana na kupungua kwama<strong>go</strong>njwa watu wengi walikuwepomashambani na kuongeza uzalishaji.Mheshimiwa Spika, nategemea yote niliyoelezayatafanyiwa kazi na kupatiwa ufumbuzi. Mungu IbarikiTanzania.MHE. SARA M. ALLY: Mheshimiwa Spika,naipongeza Serikali kwa kuongeza kiwan<strong>go</strong> chamalipo ya posho kwa Madiwani, naamini kabisaongezeko hilo litasaidia kuboresha utendaji waMadiwani katika maeneo yao na kusimamia miradi yamaendeleo na kupunguza kero mbalimbali zawananchi.Mheshimiwa Spika, pamoja na pongezi hizo, natoamasikitiko yangu kwa Serikali kushindwa kutekelezampan<strong>go</strong> wa dhamana ya umeme ambapo Bungelako Tukufu lilipitisha shilingi bilioni 408, TANESCO iwezekukopeshwa, lakini cha kushangaza hadi sasaTANESCO hawajapewa guarantee na Serikali, matokeoyake TANESCO imekuwa ombaomba kwa makampuniya wahindi yanayouza mafuta ili wapewe mafuta kwamali kauli.Mheshimiwa Spika, hii inalipunguzia TANESCOheshima yake na kupunguza heshima kwa Serikali yetu.Aidha, vigezo vinavyotolewa vya TANESCOkutokupewa dhamana havina msingi na vinaoneshaubabaishaji mkubwa kwa baadhi ya watendaji wa369


Serikali hasa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu, mfanoMwanasheria Mkuu anasema TANESCO hawajapewaguarantee kwa sababu baadhi ya vipengele kwenyemkataba vinatakiwa kufanyiwa marekebisho.Mheshimiwa Spika, hii siyo sahihi kabisa kwani tafsiriya vipengele kwenye mkataba inachukua zaidi yamwaka mmoja sasa. Cha kushangaza zipo Taasisi zaSerikali zilishawahi kupewa guarantee kwa mkatabasawa na huo mkataba wa TANESCO.Mheshimiwa Spika, kwa kweli naomba kabla yakumaliza kujadili hii bajeti, Mheshimiwa Waziri Mkuuatueleze kwa nini Serikali inakataa kutoa guaranteekwa TANESCO hadi sasa na kupewa kauli na azimio laBunge lililopitishwa mwaka jana.Mheshimiwa Spika, kuhusu ujenzi wa daraja laKilombero. Daraja la Kilombero liliahidiwa kujengwatangu mwaka 2005, kwenye Ilani ya Uchaguzi ya CCM.Hadi leo hakuna ujenzi wowote unaoendelea wakatiujenzi utagharimu zaidi ya bilioni 50 ambapo hadi sasaSerikali imetangaza tenda tu; je, ujenzi huo utakamilikalini? Kitendo cha Serikali kutenga bilioni moja kwenyebajeti itachukua miaka hamsini kujenga daraja hilo. Hiihaitawasaidia wananchi wa sasa na mpan<strong>go</strong> waSAGCOT hautatekeleza kwani wananchi watalima nakuvuna mazao ya kutosha, lakini miundombinu ikiwemoDaraja la Kilombero kutokamilika, mazao yataishiakuharibika na kuwaongezea wananchi wa Kilomberona Ulanga umaskini.370


Mheshimiwa Spika, naomba nipewe majibukutokana na hoja zangu hapo juu. Naunga mkonohoja.MHE. RUKIA KASSIM AHMED: Mheshimiwa Spika,napenda nami kuchangia kwenye bajeti ya WaziriMkuu, naanza kwa kusema kuwa katika Bajeti ya2011/2012, Serikali ilieleza kuwa itaongeza uzalishajikwenye sekta ya kilimo, lakini matokeo yake bajetiiliyopangwa ni asilimia 2.92 ambayo haikukidhi haja namatokeo yake hakuna kilichozalishwa na maishayamezidi kuwa magumu.Mheshimiwa Spika, Serikali pia ilisema katika bajetiyake ya mwaka 2011/2012, kuwa itashughulikiawafanyakazi hewa lakini katika bajeti ya 2012/2013,Waziri hakutaja chochote na wala kwenye bajeti yaWaziri Mkuu haikuzungumzia chochote. Je, Serikalihaioni kuwa ahadi wanazozitoa wanashindwakuzifanyia kazi na matokeo yake Serikali inashindwakutekeleza ahadi wanazozitoa kwa wananchi nawananchi wanakosa imani na Serikali na Serikaliinaendelea kupata hasara kwa kulipa wafanyakazihewa na wananchi wanaendelea kukosa madawa namaisha yanazidi kuwa magumu.Mheshimiwa Spika, Serikali ilisema katika bajeti yamwaka 2011/2012 kuwa, watafufua umeme Nyakato-Mwanza megawatt 60, lakini hakuna umemeuliofufuliwa mpaka leo hii. Tunazungumzia bajeti yamwaka 2012/2013, suala hili halikutajwa tena kabisayaonekana wazi kuwa hili halikuwezekana.371


Mheshimiwa Spika, napenda kusema kuwa paleSerikali inaposhindwa kutekeleza ahadi walizozitoa nivyema kulieleza Bunge kuwa suala hili halikutekelezekakwa sababu na wakazieleza.Mheshimiwa Spika, Serikali imeshindwa kuwekamsukumo kwenye malen<strong>go</strong> ya millennium. Kwakuwapunguzia wananchi wake umasikini wa kipato napia kwa kushirikiana na asasi zisizokuwa za Kiserikali kwakuwapatia wananchi wake vyandarua ili kupunguzavifo vya akinamama wajawazito na watoto chini yamiaka mitano.Mheshimiwa Spika, napenda nizungumzie kuhusuShirika la Nyumba (NHC). Shirika hili linastahili sifa kwakufanya kazi kubwa ya kuwapatia wananchi makazi yakudumu kwa kuwajengea nyumba na kuwauzia, lakinijambo la kusikitisha kuwa Serikali inatoza (VAT).Matokeo yake nyumba hizi zinakuwa ni ghali sana nawananchi walio wengi wanashindwa kununua nyumbahizi na zinanunuliwa zaidi na wafanyabiashara namafisadi tu. Wananchi walio wengi ambao niwafanyakazi au wakulima ambao kipato chao nikido<strong>go</strong> wanashindwa kununua nyumba hizi.MHE. DKT. TITUS M. KAMANI: Mheshimiwa Spika,nipongeze kwa hotuba nzuri ya bajeti kwa kutengakaribu kwenye maeneo mengi muhimu. Hata hivyo,pamoja na kupongeza hatua ya Serikali ya kuanzishamaeneo mapya ya utawala ikiwemo Wilaya ya Busegena Mkoa wa Simiyu, napenda kuitaka Serikali iteueharaka Wakurugenzi, Watendaji wa Wilaya ili Wilaya372


hizo ziweze kuanza kazi kikamilifu na kupanga mipan<strong>go</strong>yake ya maendeleo.Mheshimiwa Spika, katika Wilaya ya Busega kunaKijiji cha Lamadi ambacho wakazi wake wanakadiriwakufikia elfu arobaini, lakini bado hakijapata mamlakaya mji mdo<strong>go</strong>. Ningependa kujua ni lini kijiji hiki kitapatahadhi ya mji mdo<strong>go</strong> ili uweze kuwa na mipan<strong>go</strong> yakeya maendeleo.Mheshimiwa Spika, kumekuwa na mpan<strong>go</strong> wamuda mrefu wa kuupatia maji Mji Mdo<strong>go</strong> wa Lamaditangu enzi za Profesa Mwandosya, lakini pia Rais waJamhuri ya Muungano wa Tanzania, Daktari JakayaMrisho Kikwete aliwathibitishia wananchi katikamkutano wa hadhara, lakini pia uko kwenye Ilani yaUchaguzi ya CCM. Mradi huu bado haujapangiwafedha. Mradi huu sasa unakuwa rungu la kisiasa kwaVyama vya Upinzani dhidi ya CCM. Naomba Serikaliichukue hatua haraka.Mheshimiwa Spika, katika Jimbo la Busega kunamadini mengi yaligundulika ikiwemo Nickel naDhahabu, wawekezaji sasa wameanza kununuaviwanja na mashamba ya wananchi kinyemela bilaelimu ya kutosha kwa wananchi na hivyo wanalipwabei duni. Haya yanatokea katika Kata ya Ngasamoambapo kampuni ya Red Nickel inawekeza. Lakini piakatika Kijiji cha Nyangiko watu wamepokonywamashamba kwa bei ya dezo, hii itatuletea umaskini wakutupwa. Tunawahitaji wawekezaji wa madini, lakini373


tunapenda kuwepo na gawio sahihi kwa wananchiwanaoachia mashamba yao.Mheshimiwa Spika, hivi sasa baada ya Mkoa waSimiyu kuanzishwa, Mkoa huu unapaswakuuunganishwa kwa lami na mikoa inayopakanaikiwemo Mwanza (barabara ya Bariadi, Nyashimo),Singida (barabara ya Bariadi, Meatu, Sibiti). Tunaombabarabara hizi ziingizwe kwenye mpan<strong>go</strong> wa Serikali.Mheshimiwa Spika, Mkoa wa Simiyu hauna chuochochote cha elimu ya juu au ufundi. Naomba Serikaliiboreshe mpan<strong>go</strong> wake wa kuanzisha vyuo vya VETA iliangalau Bariadi, yalipo Makao Makuu ya Mkoapajengwe chuo cha VETA, hivyo hivyo, vituo vya SIDO.Hizi taasisi mbili ni muhimu sana katika kujenga ajira,ujasiriamali na kupambana na umaskini.Mheshimiwa Spika, Serikali kupitia Wizara yaMaendeleo ya Mifu<strong>go</strong> na Uvuvi kwa makusudi na hukuwakijua wameamua kuinyonga ili ife, NARCO. Hili ndiloShirika pekee la kibiashara katika Wizara hii, linayorasilimali ya ardhi kubwa ili kuweza kuzalisha mifu<strong>go</strong>kibiashara na kuliletea Taifa mapato na kuongeza ajira.Hata hivyo, hili litawezekana kama kutafanyikauwekezaji wa kimkakati kwenye shirika hili. Licha yakuwa kwenye receivership na kwa zaidi ya miaka kumi,lakini Wizara haitaki kuwatengea fedha bilioni kumi tuwanayohitaji kama dhamana ili waweze kukopeshekana taasisi za fedha. Wizara ya Mifu<strong>go</strong> wana dhamiragani? Zipo nyaraka zinazoonesha kukosekana kwadhamira ya Wizara kulijenga Shirika hili. Hii ikemewe,374


vinginevyo watendaji hawa wataumbuliwa maanavielelezo vipo.Mheshimiwa Spika, naunga mkono hoja.MHE. MOZA A. SAIDY: Mheshimiwa Spika, kwakuwa hotuba ya Waziri Mkuu imeelekeza kila sekta nashughuli zake. Nianze na suala zima la ukuaji wauchumi; pato hili la Taifa limekua 6.4 mwaka 2011ukilinganisha na asilimia 7.0 mwaka 2010. Inaelezwauchumi huu umekua nchi za Kusini mwa Jangwa laSahara, wastani wa asilimia 5.1, kiwan<strong>go</strong> kilishuka nakikadhihiri ukame ambao uliudhi pia kilimo, kuenezwanchini na pia mfumko wa bei kupanda unaonekanabila mafanikio. Pamoja na wataalam ikamilishe miezisita na 18 kupata matokeo ya hatua zilizochukuliwa nakupata matumaini ya bei ikipungua zaidi.Mheshimiwa Spika, Serikali bila kuchukua hatua zauangalizi zaidi za kujiwekea akiba ya maji mengi kwaajili ya umeme, mashamba mengi yawe ya umwagiliaji,mfumko huo wa bei hautashuka kamwe kwani mpakasasa Tanzania kila kitu ni uchumi, ni kwa nini tusitumieuchumi wetu vizuri na kuwanufaisha wananchi wakena kuwapa unafuu wa bei ya vyakula.Mheshimiwa Spika, kuhusu Sensa na makazi 2012.Ni kipaumbele cha pekee katika Bajeti ya Serikali yamwaka 2012/2013. Inanipa shida pale Serikaliinaposema kutenga maeneo ya kuhesabia watuinagharimu, jambo ambalo mwananchi atakuwa palepale kwa nini ifanyike hivi.375


Mheshimiwa Spika, kwa kuwa Serikali inapendakuwekeza ili kuongeza kipato, hali hii itatugharimu sanakwa sababu wananchi bado wana tatizo kubwa laardhi, wanapohamishwa kwa ajili ya mwekezaji.Wananchi huwa hawashirikishwi katika maamuzi yaardhi hasa vijijni, hasa linapokuja suala la mwekezajihali hii imepelekea watu wachache kuuza ardhi ya vijijikinyume cha utaratibu wa sheria. Mfano, ni uwekezajiwa NAPCO, NARCO katika Mikoa ya Moro<strong>go</strong>ro naArusha hata huko Kondoa mwekezaji aitwaye ENCOna kadhalika. Hii yote inapelekea machafuko nakupelekea maisha ya watu kupotea kuwa kamawakimbizi katika maeneo yao, hasa wanapokuja kudaihaki zao.Mheshimiwa Spika, mfumo mbaya wa utoaji ardhikwa mwekezaji katika maeneo mengi Tanzania ardhiinapochukuliwa na mwekezaji mwananchi ana kosakila kitu na hawi na sehemu ya uwekezaji au umiliki waardhi hiyo. Kwa wenzetu kama An<strong>go</strong>la, ardhi hiyoinapowekezwa ni sheria lazima na mwananchialiyechukua eneo lake awe na hisa na mwekezajihuyo.Mheshimiwa Spika, wawezeshaji katika nchi yetunao tuwaangalie. Pamoja na juhudi za Serikali, Mfukowa Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (MwananchiEmpowerement Fund) katika mikoa ukiwapo waDodoma kwa ajili ya zana za kisasa za pembejeo nakilimo cha umwagiliaji wa kisasa. Je, eneo umeelekezamaeneo wakulima walio wengi.376


Mheshimiwa Spika, mara nyingi Serikali imekuwainakiuka sheria na taratibu katika kuchukua ardhi tokakwa wananchi. Maeneo ambayo Serikali imekuwaikitangaza kama hifadhi, mbuga, msitu wa Taifa auurithi wa dunia, wananchi wamekuwa wakinyanyasikakwenye malipo au kuhamishwa maeneo hayo. Mfano,m<strong>go</strong><strong>go</strong>ro wa kondoa wa askari wa GRV na wakulimana vion<strong>go</strong>zi wao wa Wilaya.Mheshimiwa Spika, ulinzi na usalama kwa kuwatayari bajeti ya Waziri ni ndo<strong>go</strong> mpaka sasa kwaniimefanikiwa kuchukua vijana 20,000 kwa wakati mmojapamoja na mujibu wa sheria. Je, hao wotewanapopata nafasi na nyumba zao za kukaawameziandaa au akitoka kwenye mafunzoanakwenda kaa nyumba moja tatu mpaka nne? Je,Serikali itakuwa inatoa ajira bila mafunzo, haileti tija.Mheshimiwa Spika, siungi mkono hoja hii mpakaSerikali ipange bajeti yake vizuri kwa wakulima, afya,elimu, usalama na mwisho wawekezaji wawatoe.MHE. GREGORY G. TEU: Mheshimiwa Spika,napenda kuchangia katika eneo la fedha za maafa yamafuriko katika Jimbo la Mpwapwa, sambamba namafuriko yliyotokea Mkoani Dar es Salaam yaliyotokeamsimu wa mvua za masika uliopita 2011/2012.Mheshimiwa Spika, Jimbo la Mpwapwa lilikumbwana janga hilo la mafuriko yaliyoharibu miundombinu yabarabara nyingi na sehemu kubwa ya mto mkubwaunaopita katikati ya Mji wa Mpwapwa, pamoja namadaraja kadhaa (Gulwe, Gode<strong>go</strong>de, Chisalu, Tambi,377


Mwenzele na Mlembule). Halmashauri ya Wilaya yaMpwapwa walitoa ripoti ya maafa ya mafuriko hayona kuomba msaada wa fedha kutokana na mafurikohayo. Taarifa hiyo ilitumwa katika Ofisi ya Waziri Mkuu,Kiten<strong>go</strong> cha Maafa na nakala kupelekwa Wizara yaFedha, fedha iliyokuwa inaombwa ilikuwa ni kusaidiakurejesha miundombinu ya barabara zilizoharibiwa namafuriko. Hadi hivi sasa hakuna kiasi chochote chafedha kilichotolewa kusaidia kurejesha miundombinuya barabara zilizoharibiwa na mafuriko hayo.Mheshimiwa Spika, je, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kiten<strong>go</strong>cha Maafa; itasaidiaje kwa kuiwezesha Halmashauri yaWilaya ya Mpwapwa iweze kurejesha miundombinuiliyoharibiwa bila ya kuathiri bajeti iliyopangwa yamwaka 2012/2013?MHE. DIANA M. CHILOLO: Mheshimiwa Spika,napenda kutumia nafasi hii kwa njia ya maandishi kwakuwapongeza Waziri wa Fedha na Uchumi,Mheshimiwa Daktari Mgimwa); Naibu WaziriMheshimiwa Saada Mkuya na Naibu WaziriMheshimiwa Janeth Mbene, Katibu Mkuu na Watendajiwote kwa bajeti yao nzuri hususan kwa kukubali hojana ushauri wa Wa<strong>bunge</strong> mfano, kuondoa VAT kwenyepamba na nguo za pamba. Vile vile kuondoa kodikwenye biashara ya bodaboda yaani pikipiki namengine mengi. Nimalize kwa kumpongezaMheshimiwa Daktari Mgimwa kwa kujibu hoja kwakutumia taaluma yake vizuri sana pamoja na NaibuWaziri Mheshimiwa Saada Mkuya, Mungu awatienguvu na afya ili waweze kutekeleza majukumu yaobarabara.378


Mheshimiwa Spika, nitakuwa mchoyo wa imaniendapo sitampongeza Mheshimiwa Mizen<strong>go</strong> KayanzaPeter Pinda, Waziri Mkuu pamoja na Mawaziri NaibuMawaziri walioko chini ya Ofisi yake, Makatibu Wakuupamoja na watendaji wote walioshiriki kuandaa Bajetiya Ofisi ya Waziri Mkuu na TAMISEMI, Mungu awatienguvu na afya njema na maisha marefu.Mheshimiwa Spika, kuhusu mishahara yaWatumishi, natambua juhudi za Serikali za kuendeleakufanya mazungumzo na Vyama vya Wafanyakazi ilikuleta mahusiano mazuri kwa len<strong>go</strong> la kuleta ufanisikatika majukumu ya wafanyakazi ya kila siku. Pamojana majadiliano yote bado sijaona ongezeko lakuridhisha juu ya kuinua vipato vya wafanyakazi,mfano, bajeti hii ya 2012/2013 kima cha chini kamasijakosea ni shilingi 170,000.Mheshimiwa Spika, nikitoa mfano wa Mwalimu waDar es Salaam, mshahara huu wa shilingi 170,000utatumika kwa gharama ya usafiri wa daladala tukwani walimu wengi wanapanda daladala mbili haditatu asubuhi na anaporudi ni vivyo hivyo. Kwa hiyo,bado ninaisihi Serikali kuendelea kuona uwezekano wakuongeza mishahara ya watumishi na kima cha chiniiwe shilingi 250,000. Hii itasaidia sana kuwatia moyowatumishi kufanya kazi kwa ufanisi pia kupunguzautoro na rushwa katika maeneo mbalimbali ya kazi.Nasubiri ufafanuzi wa Serikali wakati wa kujibu hoja zaWa<strong>bunge</strong>.379


Mheshimiwa Spika, kuhusu ujenzi wa hospitali yarufaa Singida, napenda kuendelea kupongeza juhudiza vion<strong>go</strong>zi na watendaji wa Mkoa wa Singida kwakuendelea kusimamia miradi ya maendeleo MkoaniSingida vizuri ukiwemo mradi wa ujenzi wa hospitali yarufaa Mkoani Singida. Ni ukweli usiofichika kuwa, juhudikubwa imetumika kufikia hapo ujenzi ulipo.Mheshimiwa Spika, pamoja na serikali kututengeamwaka huu shilingi bilioni 1.8, ikumbukwe ombi la Mkoailikuwa shilingi bilioni 3.8, hivyo ombi letu halikutazamwakabisa. Naomba sana Serikali kulichukua ombi hili kwaumuhimu wa pekee kwani majen<strong>go</strong> ambayoyanajengwa sasa tukipata bilioni mbili hayo majen<strong>go</strong>yatamalizika na hospitali itafunguliwa, jambo ambalolitaokoa vifaa tulivyopata kwa wahisani visiharibike nawale Madaktari ambao wako tayari kuja kufanya kaziwatakuja ili wasibadili nia. Naomba sana sanaMheshimiwa Waziri Mkuu asikie kilio cha Wanasingida.Mheshimiwa Spika, kuhusu soko la alizeti Singida.Napenda kuupongeza Uon<strong>go</strong>zi wa Mkoa wa Singidachini ya Mkuu wa Mkoa Mheshimiwa Daktari ParsekoKone kwa kufufua Ushirika kwa kupata Vyama 81ambavyo tayari vimewezeshwa na Mabenki ya CRDBna NMB. Ni ukweli usiofichika, wakulima wamekuwawakipunjwa sana na wanunuzi wa kati, nayapongezamabenki haya kwa uamuzi wake wa busara wakuviinua Vyama vyaU kwa kuvipa fedha za kununuamazao ya alizeti.Mheshimiwa Spika, napenda kumuunga mkonoMkuu wa Mkoa wa uamuzi wake wa kupiga marufuku380


walanguzi kwenda kwa wakulima kununua alizeti baliwote wanaotaka kununua waende kwenye Vituo vyaVyama vya Ushirika washindane bei anayetoa beikubwa ndiye anunue. Tusitoe mwanya wa kwendavijijini watawapunja wakulima kwani wengi waohawatajua kuwa bei gulioni imepanda na Serikaliitashindwa kupata takwimu tutaendelea kuitwa maskiniwakati umaskini wa kupindukia haupo. Bado soko hurialipo bali biashara ifanyikie gulioni na magulio yako hukohuko vijjijini. Mfano, leo bei ya kilo ya alizeti ni shilingi700 kutoka shilingi 500, lakini wanunuzi wado<strong>go</strong>wado<strong>go</strong> walikuwa wananunua shilingi 250 hadi 300.Mheshimiwa Spika, kuhusu Mfuko wa UKIMWI;napenda kutumia nafasi hii kwa njia ya maandishikumpongeza Daktari Fatuma Mrisho kwa uon<strong>go</strong>zi wakemakini ambao umefanya watendaji wa TACAIDSkufanya kazi vizuri kwa len<strong>go</strong> la kupunguza UKIMWI kwakiasi kikubwa. Ni ukweli usiofichika Daktari FatumaMrisho ni makini, mwadilifu na ameifanya taasisi hiyokuwa na watendaji wenye nidhamu ya kazi.Mheshimiwa Spika, niiombe Serikali kumwongezeamuda wa kufanya kazi kwani ana nguvu na juhudi iliaendelee kulisaidia Taifa hili katika kupambana najanga la UKIMWI. Namwomba aendelee kujengamazingira rafiki na wanawake wanaofanya biasharaya n<strong>go</strong>no ili waache tabia hiyo ya kuaibisha jinsia yetu.Baada ya pongezi niende kwenye mada kuwasasa wakati umefika Serikali kuanzisha Mfuko waUKIMWI na Serikali ieleze namna uchangiajiutakavyokuwa ili kila mwenye nia achangie ili kufanya381


maandalizi ya kujitegemea endapo wahisaniwataacha kutoa msaada.Mheshimiwa Spika, mwisho napenda kumaliziamchan<strong>go</strong> wangu kwa kuunga mkono hojanikitegemea kujibiwa.MHE. NAMELOK E.M. SOKOINE: Mheshimiwa Spika,nampongeza sana Mheshimiwa Mizen<strong>go</strong> KayanzaPinda, Waziri Mkuu kwa uon<strong>go</strong>zi wake mahiri, pianawapongeza Mawaziri na Watendji wote kwa kazinzuri wanayofanya kumsaidia Mheshimiwa Waziri Mkuukuon<strong>go</strong>za sekta zote zilizo chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu.Nawatakia kila la kheri.Mheshimiwa Spika, naunga mkono hoja,napongeza Serikali kuweka kiwan<strong>go</strong> cha chini chakipato kwa wafanyabiashara kitakachotozwa kodi yamapato, ili uamuzi huu uwe na manufaa kwawananchi wote nashauri kuwa Serikali iweke kiwan<strong>go</strong>cha chini cha mapato kwa wakulima ambachokitatozwa kodi. Watendaji wa Serikali za Mitaawamekuwa wakiwatoza kodi wakulima fedha nyingisana kwa mazao hata kabla ya kuuza. Hii imekuwakero kubwa sana.Mheshimiwa Spika, napongeza mpan<strong>go</strong> wakuendeleza kilimo cha mpunga na miwa kwenyemabonde, yalioainishwa. Vile vile nashauri kuwamabonde mado<strong>go</strong> mado<strong>go</strong> yaliyomo kwenye mikoayote nchini yatumike kwa kilimo cha umwagiliaji kadiriitavyowezekana.382


Mheshimiwa Spika, kuhusu akiba ya fedha zakigeni. Tumeona hali ya akiba ya fedha za kigeni sinzuri, yako manunuzi ya bidhaa toka nje ya nchiambayo yangeweza kuepukika na hivyo kulinda akibaya fedha zetu. Baadhi ya bidhaa hizo ni pamoja nauagizaji wa fedha za kigeni (cash foreign exchange)ambazo huuzwa kwa watu watokao nchini kwenda njeya nchi kwa shughuli mbalimbali. Kwa vile hivi sasakaribu benki zote zinatoa kadi zinazoweza kutumika njeya nchi, Sheria ya Taasisi za Fedha irekebishwe nchini,vilevile wafanyakazi wa taasisi wanaoagiza bidhaawanatakiwa kutumia letter of credit badala yakuhamisha fedha.Mheshimiwa Spika, jamii ya wafugaji ndani yaHifadhi ya N<strong>go</strong>ron<strong>go</strong>ro, Serikali kupitia Wizara yaMaliasili na Utalii itoe utaratibu wa kipekee kwa jamii yaN<strong>go</strong>ron<strong>go</strong>ro juu ya kupata mapato yatokanayo nautalii ikiwa ni pamoja na kuiwezesha jamii kupata njiambadala kwa ajili ya chakula baada ya kusimamishwakulima. Serikali iwasaidie wafugaji wa mamlaka yaHifadhi ya N<strong>go</strong>ron<strong>go</strong>ro kuboresha mifu<strong>go</strong> yao, ilikuondokana na umaskini wa kutegemea misaada,.Uboreshaji wa mifu<strong>go</strong> ni pamoja na kuwawezeshakuboresha masoko ya mazao ya mifu<strong>go</strong> na kuboreshambegu ya mifu<strong>go</strong>.MHE. JOSHUA S.M. NASSARI: Mheshimiwa Spika,fidia za ardhi kwa wananchi waliokuwa wamiliki wamaeneo yaliyochukuliwa kwa ajili ya uwekezaji waviwanda vipya katika maeneo maalum ya uzalishaji(EP2). Eneo la Mahula kwenye Kata ya King’ori,Wilayani Arumeru wananchi waliokuwa wanamiliki383


ardhi hii, hakuna aliyelipwa fidia mpaka sasa. Ni linifidia italipwa na kwa (rate) kiwan<strong>go</strong> kipi? Wananchiwanataka kufahamu ni lini hasa (when exactly)watalipwa fidia na kama bado Serikali haipo tayari nikwa nini suala hili liliharakishwa?Mheshimiwa Spika, kuhusu kugawa Wilaya; kwamiaka mingi Wilaya ya Arumeru imeombewakugawanywa kuwa Wilaya mbili kiutawala, Wilaya hii nikubwa na idadi ya watu ni kubwa mno. Kumekuwa nachangamoto kubwa sana kiutendaji na hivyokupunguza ufanisi. Napenda kufahamu kamamion<strong>go</strong>ni mwa Wilaya mpya 25 Arumeruimegawanywa ili kuanzisha Wilaya ya Enaboishu au lana Serikali ina mpan<strong>go</strong> gani?Mheshimiwa Spika, kuhusu utatuzi wa mi<strong>go</strong><strong>go</strong>rokati ya Hifadhi ya Arusha na wananchi wa ArumeruMashariki. Kumekuwepo na mi<strong>go</strong><strong>go</strong>ro kati yawananchi wa Kata za Ngarenanyuki na Leguriki,kupelekea mauaji ya wananchi wawili kwa risasi nawengine kujeruhiwa. Serikali imechukua hatua ganikwa nini familia za marehemu hazijalipwa fidia na kwanini mpaka leo wananchi wa Leguriki hawajalipwa fidiakwa mazao yao kuharibiwa na wanyamapori.Mheshimiwa Spika, nitaunga mkono hojanikipatiwa majibu stahiki.MHE. ABDULKARIM E.H. SHAH: Mheshimiwa Spika,napenda kutumia nafasi hii kumshukuru nakumpongeza Mheshimiwa Waziri Mkuu, Mizen<strong>go</strong> PeterPinda kwa hotuba yake nzuri kuhusu mapitio na384


mwelekeo wa kazi za Serikali na makadirio ya matumiziya fedha ya Ofisi ya Bunge kwa mwaka 2012/2013.Mheshimiwa Spika, pamoja na kuishukuru Serikalikwa jitihada zake za kutatua matatizo mbalimbalikama ujenzi wa kiwanja cha ndege, unaendelea ujenziwa gati unaokaribia kumalizika na kutupatia shilingimilioni mia tatu za ahadi ya Rais kwa ajili ya ujenzi watuta la barabara zilizotokana na ziara yake mwaka2010.Mheshimiwa Spika, suala la barabara ya lamitakribani kilomita 16 kutoka Kilindoni – Utende ambalotathmini ilishafanyika mara tatu, lakini badohalijapatiwa ufumbuzi. Imekuwa tatizo kwa Wanamafiakutokana na kushindwa kuendeleza majen<strong>go</strong> namashamba yao kuhofia ujenzi huo, namwombaMheshimiwa Waziri Mkuu atueleze ni lini barabara hiyoujenzi wake utaanza?Mheshimiwa Spika, kuhusu elimu; shule zetu hasaza msingi zinakabiliwa na tatizo kubwa sana la walimulililotokana na kutopangiwa walimu wa ajira mpya kwakipindi cha miaka mitatu sasa. Tunaiomba Serikalikuliangalia mipan<strong>go</strong> yake na hasa ukizingatia walimuwengi wamekuwa wakijiendeleza na kuziacha shulezikiwa hazina walimu. Aidha, tunaishukuru Serikali kwaujenzi wa nyumba na madarasa kwa shule zasekondari lakini walimu wanafanyakazi katika mazingiramagumu yatokanayo na ukosefu wa umeme. Kiasi chanyumba zipatazo 20 katika shule za Baleni, Micheni,Bweni na Kirogwe hazina umeme ambao inaonekanasuluhisho lake ni kufunga solar power. Tunaiomba385


Serikali kutupatia kipaumbele cha kipekee kulinganana hali ilivyo Mafia.Mheshimiwa Spika, inasikitisha kuona MheshimiwaWaziri kuandaa mafunzo kwa Wajumbe wa Bodi zaShule au kutumia mamilioni ya fedha kwenyeUMISSETA, wakati mipan<strong>go</strong> iliyo wazi kutatua tatizo hilohaipo. Nani atasimamia michezo ikiwa walimuwanahama Mafia kutokana na kukosa umeme? Bodizitamsimamia nani ikiwa hakuna Walimu kutokana nakukosa umeme.Mheshimiwa Spika, najua namna ya matumizi yafedha za TASAF, naishukuru Serikali kwa kutumia fedhahizo kukabiliana na kero za Taifa, lakini naombaHalmashauri ya Wilaya ya Mafia iruhusiwe kutumiafedha hizo ili wananchi waibue miradi ya kuweka solarpower katika nyumba za walimu au Mheshimiwa WaziriMkuu atuambie namna ambavyo bajeti yakeilivyojipanga kutatua tatizo hilo la umeme kwenyenyumba za walimu Mafia na katika Idara zingine kamaAfya na Kilimo, Vijijini Mafia.Mheshimiwa Spika, kuhusu matumizi mengineyo(OC); Wilaya ya Mafia imekuwa ikitegemea kiwan<strong>go</strong>kido<strong>go</strong> sana cha fedha, mfano, mwaka 2012/2013 niSh. 748,320,000 ambazo kwa jiografia ya Mafia fedhahizo hazitoshi kwa kuwa usafiri unaotambulika Kiserikalini ndege, Mafia to Dar es salaam, kwa <strong>go</strong> and returnkiasi cha shilingi 300,000 hali inayopelekea fedha za OCkuishia kwenye safari za watumishi na kusababishaHalmashauri kushindwa kujipatia au kutoa huduma386


zingine. Naiomba Serikali kujaribu kutatua tatizo hili kwakuongeza fedha.Mheshimiwa Spika, napenda kuzungumzia suala lauvuvi ambalo ndiyo mhimili wa kipato cha wananchiwa Mafia. Serikali katika bajeti yake ya 2011/2012 ilijikitasana kuboresha ulinzi wa maeneo tengefu ya Baharina kuanzisha au kuendeleza mabwawa ya samaki haliambayo haikusaidia kuinua pato la Taifa lililokuwaasilimia 1.4 tu. Mwaka 2012/2013 bado mipan<strong>go</strong> nihiyo hiyo ambayo Wilayani Mafia sijaona bwawa lolotela samaki badala yake Wanamafia wamekuwawakichomewa moto zana zao za uvuvi kama vilenyavu, boti na kupelekwa Mahakamani. Hali hiiimechochea chuki dhidi ya Serikali ambayo badohaijapeleka mbinu sahihi za kuendeleza uvuvi WilayaniMafia. Namwomba Mheshimiwa Waziri Mkuu ajuekwamba, wananchi wa Mafia maisha yaoyanategemea shughuli za uvuvi. Kwa hiyo, utuelezemipan<strong>go</strong> ya Serikali katika kuinua sekta hiyo Mafia.Mheshimiwa Spika, maji ni uhai kwa kila binadamu.Kimsingi Mheshimiwa Waziri Mkuu naishukuru sanaSerikali katika kusaidia kutatua kero ya upatikanaji wamaji kwa kujenga visima 946 kwenye Halmashauri 84ikiwemo Mafia.Mheshimiwa Spika, ahadi ya Mheshimiwa Raisaliyotoa mwaka 2010 ili kutatua tatizo hilo la maji katikavisima vya Chole na Juani (Mafia) bado Serikalihaijatekeleza. Nilijaribu kupeleka mitambo yakuchimba visima, lakini ilishindikana kutokana na ardhiyake kuwa ngumu. Mheshimiwa Rais akaahidi kuvusha387


kupeleka maji kutoka Wilayani. NamwombaMheshimiwa Waziri Mkuu atueleze je, Serikali itaanza linikutekeleza ahadi hiyo?Mheshimiwa Spika, naipongeza Serikali katikajuhudi zake za kuboresha miundombinu ya majiikiwemo mitambo (machine) kama ilivyoelezwakwenye hotuba ya Mheshimiwa Waziri Mkuu, lakininaomba aje Halmashauri ya Wilaya ya Mafia,inakabiliwa na tatizo la uchakavu wa mitambo namiundombinu mibovu ya maji hali ambayoimeshindikana kutatuliwa na Halmashauri. NaombaMheshimiwa Waziri Mkuu atueleze mikakati iliyopondani ya bajeti yake ili kutatua suala hilo Mafia.Mheshimiwa Spika, napenda kutamka kwambanaunga mkono hoja na nashukuru kwa kuniwezeshakuchangia. Ahsante.MHE. SAID M. MTANDA: Mheshimiwa Spika, kuhusuumeme katika Mkoa wa Lindi; umeme hautoshelezimahitaji ya viwanda, uliopo ni kv 33 na mahitajiangalau kv 133. Umeme katika Mkoa wa Lindi si wauhakika unakatika mara kwa mara, ni wa njia mojahitilafu ikitokea Masasi hadi Lindi umeme unakatika,tupate ufumbuzi wake sasa.Mheshimiwa Spika, Serikali kukipa Kiton<strong>go</strong>ji chaRuvu hadhi ya kuwa Kijiji, kwa sababu kimekidhimasharti yote yanayotakiwa kwa mujibu wa sheria.Mheshimiwa Spika, ujenzi wa daraja la Mchinga,tulikubaliana katika Bunge hili kupitia majibu ya Serikalihapa Bungeni kuwa Serikali imekubali ombi maalum la388


kuipatia Halmashauri ya Lindi fedha Sh. 380,294,000kwa ajili ya kujenga Daraja la Mchinga, natakakufahamu fedha hizo ziko fungu gani katika bajeti hii.Mheshimiwa Spika, mfumo wa stakabadhi ghalani,malipo ya pili yanachelewa sana, tunaomba maelezokuhusu suala hili.Mheshimiwa Spika, naomba kuwasilisha.MHE. GOSBERT B. BLANDES: Mheshimiwa Spika,naomba nichukue nafasi hii kumpongeza MheshimiwaWaziri Mkuu kwa kuwasilisha hotuba nzuri Bungeni.Ninayo machache ya kuchangia hotuba hii kamaifuatavyo:-Mheshimiwa Spika, umeme vijijini, naipongezaSerikali kupitia Wakala wa Umeme Vijijini (REA) kwakupeleka umeme Vijiji vya Bisheshe, Nyakayanja,Nyaishozi, Ihembe I na Ihembe II. Japo mradi huuhaujakamilika, lakini juhudi za kuukamilishazinaonekana na naomba ziendelee. Mradi huuumeviacha Vijiji vya Rukale, Misha, Ruhita, Rubale naKibo<strong>go</strong>izi. Naomba Serikali ijitahidi kufikisha umemekatika vijiji hivi kwani viko karibu sana na nguzozilikopitia, wananchi wa Vijiji hivi wasiposaidiwawatasononeka kwa kuangalia kutoka vijiji jirani, piaumeme huu umekikwepa Kijiji cha Omurusimbi, Ihanda,Rukole, Chonyonyo na Rularo. Vijiji vyote hivivinapakana hivyo, ni rahisi sana kuvifikia, naombamradi huu wa umeme vijijini uangalie eneo hili kwaniumbali uliopo ni kutoka nguzo zilikofikia, ni kati ya389


kilomita mbili hadi ishirini tu, hivyo ni rahisikuviunganisha.Mheshimiwa Spika, kuhusu ahadi ya Rais.Alipotembelea Wilaya ya Karagwe wakati wa kampeniza mwaka 2005-2010, aliahidi kupeleka umeme katikamaeneo ya Tarafa ya Binyonza. Ikiwemo Vijiji vyaKamagambo, Kiruruma, Nyaka<strong>go</strong>ya<strong>go</strong>ye hadiNyakaiga, pia ahadi hii ilihusishe wananchi wa Vijiji vyaChamuchuz, Kijumbura, Kaiho, Kanywamagana,Chabuhora, Kayungu, Bukangara, Kandegesho naAhakishak.Mheshimiwa Spika, vijiji hivi vinaonekana kama nivingi, la hasha vijiji hivi vyote ni rahisi sana kufikishaumeme katika vijiji vyote hivi na kwa gharama nafuu.Wananchi wa vijiji vyote hivi wanasubiri kwa hamu sanaahadi ya Mheshimiwa Rais na kwa kuwa ahadi hiiiliahidiwa mwaka 2010, wananchi wanashangaa ni linimradi huu utaaanza na kukamilika. Je, Bajeti ya2012/2013, imetenga fedha kwa ajili ya mradi huu?Serikali ijitahidi mradi huu uanze ndani ya mwaka huuwa fedha na kukamilika. Naiomba Serikali inipe majibumazuri katika kujumuisha.Mheshimiwa Spika, maji, katika mamlaka ya MjiMdo<strong>go</strong> wa Kayanga Wilayani Karagwe ni tatizo kubwasana. Mamlaka ya Mji huu wa Kayanga una mijimido<strong>go</strong> miwili inayokuwa kwa kasi sana nayo niKayanga ambao ni Makao Makuu ya Wilaya yaKaragwe na Mji wa Omurushaka ambao ni mji mdo<strong>go</strong>wa biashara na makazi ya watu. Miaka ya 1960 na1970 Mji wa Omurushaka ulikuwa na maji safi ya390


omba kutoka chanzo cha maji Charuhanga. Yapomatanki makubwa mawili ya maji, ni makame, lakinimazima ila maji hayaingii kwa nini miundombinu yoteiliharibika.Mheshimiwa Spika, Halmashauri ya Wilaya yaKaragwe imeshapeleka umeme kwenye chanzo chamaji kwa gharama ya milioni themanini na chanzo chamaji kimesafishwa kwa gharama karibu shilingi milionikumi na sita kutokana na uhaba wa fedha kwenyeHalmashauri ya Karagwe. Mradi huu umeshindwakukamilika, huu ni mwaka wa tatu.Mheshimiwa Spika, Mji wa Omurushaka haupatihata tone moja la maji kwa miaka zaidi ya arobainisasa na Mji wa Karagwe umepata maji chini ya asilimia50, tayari nimeshamuandikia barua Katibu Mkuu Wizaraya Maji na uon<strong>go</strong>zi wa Halmashauri ya Karagweukion<strong>go</strong>zwa na Mwenyekiti wa Halmashauriulishaonana na Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji nakusaidiwa fedha asilimia themanini ya mradi mzima wamaji ya Omurushaka. Nashukuru ahadi hii, bajeti nzimani kati ya shilingi za Tanzania bilioni moja na nusu(Tshs.1.5 bn) naomba fedha hizi zitolewe katika mwakawa fedha wa 2012/2013.Mheshimiwa Spika, haya maombi ya maji yaKayanga na Omurushaka ni ya Mji Mdo<strong>go</strong> waKayanga tu, lakini Jimbo la Karagwe zima na Kata zake22 wanahitaji maji kwa ajili ya binadamu, mifu<strong>go</strong> nakilimo. Serikali itenge fedha za kutosha kuchukua majitoka vyanzo vingi tulivyonavyo toka kwa MwenyeziMungu kama vile Ziwa Victoria, Ziwa Kajunju, Ziwa391


Burigi, Ziwa Nyakakika, Ziwa Kaberenge na MtoKagera. Serikali ifanye maamuzi magumu kwa kuletamaji Karagwe kama ilivyofanya Kahama.MHE. DKT. ANTONY G. MBASSA: Mheshimiwa Spika,awali ya yote, namshukuru Mwenyezi Mungu kwamema yote anayonijalia katika kutenda na kumudukazi hii muhimu ya kuwakilisha wananchi wa Jimbo laBiharamulo Magharibi na Watanzania kwa ujumla.Napenda kuchukua fursa hii kuchangia hoja yawahamiaji haramu katika Mkoa wa Kagera na Jimbo laBiharamulo Magharibi likiwemo suala hililimeshughulikiwa kwa kipindi cha nyuma, lakini sio kwaujumla na ukamilifu wake. Limekuwa jambo lakusikitisha kuona wahamiaji hawa sasa wanakuwa namamlaka ya kufanya fujo, kufanya vurugu na uharibifumkubwa na mali za wazawa na muda mwingine hatakusababisha ulemavu na vifo kwa wazawa! Hali hiihaikubaliki na hatua za makusudi zinapaswakuchukuliwa ili kulinda amani na utulivu wa wananchiwazalendo na wapenda amani.Mheshimiwa Spika, umekuwa sasa ni utaratibu wakawaida kwa hawa wahamiaji toka nchi ya Rwandaambao sasa wameenea sehemu nyingi za Mkoa waKagera, hususan katika Wilaya ya Biharamulowakifanya zaidi shughuli za ufugaji na uharibifumkubwa wa mazingira! Jambo la kuhuzunisha ni palewafugaji hawa wanapoharibu mashamba yawakulima na hatimaye kuwapiga na muda mwinginekutoa lugha za kejeli na matusi kwa wazalendo wakijuakuwa dhahiri wanatumia utajiri wao wa mifu<strong>go</strong> kutoahon<strong>go</strong> na hivyo kupoteza haki ya mwananchi.392


Mheshimiwa Spika, napenda kuishauri Serikaliifanye uchunguzi wa kina kuhusu hawa wahamiajiharamu. Serikali itumie vizuri vyombo vyake vyakiuchunguzi ili kufanikisha kupata idadi ya hawa watu iliwarudishwe kwao. Utaratibu mzima ufanyike kupitiaIdara ya Uhamiaji, Usalama wa Taifa na hata Jeshi laPolisi wahusishwe na wawezeshwe ili kuanikisha zoezi hilikwa uadilifu mkubwa.Mheshimiwa Spika, kupitia idara husika, Balozi zetuza nchi za nje, zifanyike taratibu za kidiplomasia ilikusudi hawa wahamiaji pindi watakaporudishwa kwaowasipate nafasi ya kurudi tena na kuleta usumbufu kwawazalendo. Serikali ifanye mipan<strong>go</strong> ya makusudi ilikurudisha ulinzi uliokuwepo miaka ya nyuma kwamaeneo ya mipakani kwani utulivu na amanivilitawala, lakini baada ya kuhamisha kambi za Jeshi laUlinzi wa wananchi toka maeneo mbalimbali ikiwa nipamoja na RADOR iliyokuwepo Biharamulo, haliimekuwa tofauti kabisa na kufanya mipaka yote kuwavichochoro vya hawa wahamiaji haramu pamoja namifu<strong>go</strong> yao kupita kila kona wanapotoka.Mheshimiwa Spika, vile vile Askari waWanyamapori nao wamekuwa wakifumbia machosuala hili kwani huko msituni ni dhahiri wanakutana nahayo makundi ya wahamiaji pamoja na mifu<strong>go</strong> yao.Kwani wanakopita ndiyo ofisi za hawa wanyamaporiziliko.Mheshimiwa Spika, nitoe rai yangu, wote tafadhalituliangalie kwa urefu na upana wake. Hili ni tatizo393


kubwa sana kwa maendeleo ya mkoa wa Kagera najimbo la Biharamulo kwa ujumla. Naomba mamlakazinazohusika ziangalie suala hili kwa umakini sana. Zoezihili lizingatie yale mapungufu yaliyojitokeza kipindi kilekusudi muda huu zoezi hili liwe la ufanisi mkubwa naamani irejee.MHE. ROSWEETER F. KASIKILA: Mheshimiwa Spika,napenda kuchangia juu ya huduma kwa watu wenyeulemavu (huduma za jamii). Tunao wananchiwalemavu (viziwi na mabubu) wananchi hawa wasiona uwezo wa kuwasiliana vizuri waendapo hospitali,pindi wanapoumwa huwa hawapati haki yao yakimsingi ya kupata huduma za afya kwa umakiniwakutanapo na watumishi wa idara ya afya. Kiziwi naBubu anapofika hospitali akiumwa hukutana naWauguzi, Waganga, Madaktari, Mafundi Sanifu,Maabara, Mafundi Sanifu Madawa, Mafundi SanifuMionzi.Mheshimiwa Spika, katika maeneo hayo yote kiziwina bubu anapofika mawasiliano ni sawa na sifuri.Natoa rai yangu kwamba katika mafunzo yoteyanayowahusu wanataaluma wa makundi nilioutajahapa juu wafundishwe lugha maalum ya vitendo na hiilugha ijumuishe katika mitaala yao ili wataalam hawawatakapoijua lugha hiyo basi wananchi wenzetuwalemavu (Viziwi na Mabubu) watapata huduma kwauhakika na umakini kwa kuwa m<strong>go</strong>njwa mlemavu huyoatawasiliana na mtaalam moja kwa moja namaelekezo ya matumizi ya dawa na huduma nyingineatayopata kwa uhakika, hapatakuwa na madhara394


yoyote kwani ataweza hata kuuliza swali na kupatajibu direct kutoka kwa mtaalam.Mheshimiwa Spika, napenda pia kuchangia kuwa,wataalam wa Idara ya Afya Mazingira (vector control)watilie mkazo wa elimu ya afya kwa wananchi juu yakutokomeza mazalia ya mbu, usafi wa mazingira. Elimuhii ikitolewa kwa wananchi ufuatiliaji ukafanyike,baada ya muda hapatakuwepo na mbu, maanamazalio hayatakuwepo, hapatakuwa na ulazima wakununua vyandarua na hata madawa ya kutibumalaria hayatakuwa na umuhimu wa kununuliwa,u<strong>go</strong>njwa wa malaria utatokomea. (U<strong>go</strong>njwa huu ndiyounaon<strong>go</strong>za hapa nchini na hivyo vifo vitokanavyo namalaria havitakuwepo tena). Fedha ambazozingenunulia anti-malaria and the accessories) navyandarua zitafanya intervention za kupunguza vifovya watoto wachanga na vinavyotokana na uzazi(MDGS).Mheshimiwa Spika, kuhusu maji; wananchi waRukwa wana tatizo kubwa la maji pamoja na kwambawamezungukwa na Ziwa Tanganyika na Rukwa lakiniwana mto mkubwa wa Luiche na maporomokomakubwa ya maji ya Kalambo na Kate.Mheshimiwa Spika, kama vile vijiji vingi vya Wilayaya Bagamoyo wanavyonufaika na Mto Wami, MtoRuvu, lakini kama vile wananchi wa Shinyangawanavyonufaika na Ziwa Victoria, naiomba Serikali yaCCM, ifanye kila jitihada wananchi wa Rukwawapatiwe maji kutoka katika vyanzo nilivyotaja hapo395


juu ili wanufaike kama wenzao wa Shinyanga naBagamoyo.Mheshimiwa Spika, naunga mkono hoja.MHE. FATUMA A. MIKIDADI: Mheshimiwa Spika,kwanza naunga mkono hoja kwa asilimia mia moja.Ahsante sana kwa bajeti nzuri yenye matumaini.Nataka nichangie suala la mikutano ya mara kwamara inayofanywa na Halmashauri za Wilaya, ALART;Ofisi za Kilimo; Ofisi za Walimu Wakuu wa Sekondari naAfya - Madaktari wa Mikoa. Mikutano inayofanywa nahao hapo juu ya kila mwaka husababisha idara zaokurudi nyuma katika maendeleo. Ni afadhali wafanyekila baada ya miaka mitatu na minne. Pesa nyingihutumika katika mikutano hiyo, badala ya nguvu zakazi, mikutano ipunguzwe na sikukuu zipunguzwe pia.Mheshimiwa Spika, lingine ni kuhusu Mahakama yaWlaya ya Ruangwa, mpaka leo haijajengwa, ipo yazamani tu, tena Mahakama ya Mwanzo. Wilaya yaRuangwa hakuna Magereza ya Wilaya, tunaombatusaidiwe.Mheshimiwa Spika, uwanja wa ndege wa Lindiumeachwa kabisa. Uwanja ule ni maarufu sana,ulianza wakati wa vita ya II (1939) una runway (6)umetumika wakati wa vita vya ukombozi wa Afrika yaKusini, pia ukombozi wa Msumbiji na vita vya ukomboziwa nchi mbalimbali za Afrika, zikitua ndege kubwakubwa, lakini sasa uwanja huo hata Presicion Air haitui,396


kwa hiyo, tafadhali sana tunaomba uwanja wa ndegewa Lindi ufufuliwe.Mheshimiwa Spika, Bandari ya Lindi, ilikuwa ndiyomkombozi wa Lindi. Ajira kwa vijana zilikuwazinapatikana, lakini sasa bandari hii haifanyi kazi.Tunaomba Bandari ya Lindi ifufuliwe.MHE. MARGARET S. SITTA: Mheshimiwa Spika,hongera kwa Waziri Mkuu, Mawaziri, Ofisi ya WaziriMkuu na Naibu Mawaziri kwa kazi nzuri wanazofanya.Mheshimiwa Spika, ajira kwa vijana ni muhimusana na hasa kwa sasa wakati maelfu ya wanafunziwanamaliza elimu ya msingi na sekondari, lakini wengiwao hawaendelei na elimu ya juu. Ili kuongezamafunzo ya ufundi wapate kujiajiri na kuajiriwa, Serikaliimefikia hatua gani katika kuviwezesha vyuo vyamaendeleo kutoa elimu ya ufundi? Tume iliyoundwaya kuwezesha VETA kusaidia Vyuo vya Maendeleoilitoa mapendekezo gani katika kuwezesha hilo?Mheshimiwa Spika, kwa nini nchini mwetu dollar(USD) inatumika katika biashara? Hatua hii haichangiikushusha thamani ya shilingi yetu? Je, Serikali kwa hiliinasemaje?MHE. HAMAD RASHID MOHAMED: MheshimiwaSpika, nichangie kuhusu Kambi ya Jeshi la AlikhamisCamp Wawi. Pamoja na kwamba tunathaminimchan<strong>go</strong> mkubwa unaotolewa na vyombo vyetu vyaulinzi, lakini naomba suala la kambi kuwa karibu namaeneo ya wananchi liangaliwe upya hasa katika397


maeneo ambayo ardhi ni ndo<strong>go</strong> sana. Leo wananchiwa Wawi baada ya kuwa na Kambi za Jeshi, Polisi, JVZ,hawana ardhi ya kulima tena, kwa hiyo, ni vyema hililikaangaliwe kwa haraka. Aidh,a mesi ya Jeshi iliyokoMji wa Chini karibu na Msikiti, Majumba inawakerasana waumini na wananchi. Naomba ihamishweharaka.Mheshimiwa Spika, tunathamini juhudi za Serikalikatika kutafuta wawekezaji ila tunaomba tathmini yakina ya aina ya wawekezaji na kiasi halisiwalichoelekeza sio kile kilichoandikwa ndani yamchanganuo wa biashara tu hivyo hivyo ajirawalizosema watatoa.Mheshimiwa Spika, Serikali ilete orodha ya miradiya PPP ambayo imepewa wawekezaji ambayoinatakiwa kupewa wawekezaji na utaratibu wa waziwa kuwapata hao wawekezaji.Mheshimiwa Spika, suala la mgao wa rasilimaliufanyiwe study-cash distribution system ili wananchiwafaidike na rasilimali na pia tuangalie upya ulemchan<strong>go</strong> wa USD 200,000 zinazotolewa, ni mdo<strong>go</strong>sana.Mheshimiwa Spika, leo tunazalisha gas, lakiniwananchi hawafaidiki, ni vyema utaratibu wamgawano wa rasilimali na maandalizi ya wataalamifanyiwe kazi.Mheshimiwa Spika, kuhusu kilimo, nashauri Serikaliizipe majukumu Wilaya zote mbali na kiasi cha nafaka398


na tani milioni kumi na moja za sasa wazalishe mcheletani milioni tano hadi 2015 zigawiwe kila Wilaya namahindi tani 3,000,000 ziada zaidi zinazozalishwa sasa.Hii ndiyo njia ya kupunguza mfumko wa bei kwaasilimia 24 ya jumla ya mfumko wa bei. Pia tuondoevizuizi vya kuzuia wakulima wasiuze mazao yaowanakotaka, jambo ambalo linawadhalilisha sanawakulima.Mheshimiwa Spika, kuhusu wakulima wa pambana korosho. Nashauri wakulima wa korosho wasaidiwekwa Serikali kuzungumza na wamiliki wa Viwanda vyaKorosho, matatizo yake yawekwe ili yatatuliwe wawezeku-process korosho ili thamani ya korosho ipande nawakulima wafaidike. Aidha, suala la kuitaka NDC naMifuko ya Jamii ianzishwe Viwanda vya Nguo, Nyuzi,kun<strong>go</strong>ja wawekezaji tutachelewa sana, ni vyematukakodisha management kuliko kuendelea kun<strong>go</strong>jawawekezaji. Kenya wamefanikiwa kwa kuwa naViwanda vingi vya Nguo na Nyuzi.Mheshimiwa Spika, ajira imekuwa ni tatizo sugu,nashauri vijana wanaomaliza masomo, tokea mwakawa mwanzo wakabidhiwe maeneo yao na aina yakilimo wanachotaka kulima baada ya kumalizamasomo, hivyo hivyo kwa wafugaji, wavuvi nakadhalika. Kwa njia hii tutakuwa tumewaandaa vijanawetu wajiajiri badala ya kun<strong>go</strong>jea ajira ya Serikali.Mheshimiwa Spika, Mahakama ya Kadhi, mzeewangu alikuwa Kadhi, amefanya kazi ni JajiRamadhani, Lipiki, Mapigano na hakuna hata mmojaalisema kuwa kuna tatizo la kuwa na Mahakama ya399


Kadhi. Hata Jaji Mkuu amesema hivyo. Naombatulimalize hili lisilete m<strong>go</strong><strong>go</strong>ro. Mwanasheria Mkuualikuwa marehemu W. Jurado, mbona hakuna tatizololote? Nashauri, kutokana na vuguvugu lililopo lakisiasa jambo hili linaweza kuleta fukuto likipuuzwa nakusikilizwa watu wasio na hoja ila hofu tu ya kuo<strong>go</strong>pakivuli chao.Mheshimiwa Spika, mfumo wa Bunge, ni vyemaSerikali ikaharakisha Mfuko wa Bunge ili Bunge liwezekujipangia ratiba zake hasa za kuziwezesha Kamatikufanya kazi ya kuishauri Serikali na pia kuiwajibishaSerikali pale inapobidi.Mheshimiwa Spika, kuhusu masoko, Serikali iacheutaratibu wa kuwazuia wakulima kuuza mazao yaowanakotaka, iwaachie wauze kama tunavyoviachiaviwanda kuuza bidhaa zao wanakotaka. Kuwazuiawakulima ni kudumaza kilimo na kuwadumazawakulima, soko huria liwe kwa wote.Mheshimiwa Spika, kuhusu bajeti, Serikali isimamieutekelezaji wa bajeti, kunahitajika nidhamu ya hali yajuu.Mheshimiwa Spika, kuhusu ulinzi wa viwandavyetu, vipo viwanda vinazalisha kuliko mahitaji yetukwa mfano, viwanda vya Lubricant, lakini makampuniya mi<strong>go</strong>di bado inaagizia nje – urari wa biashara yetuunaathirika. Serikali itathamini viwanda vinavyozalishabidhaa za kutosheleza mahitaji yetu ili tuweke kodikubwa kwa bidhaa zinazotoka nje. Aidha, makampuniyanayokuja kuwekeza hasa udini ambayo yapo si chini400


ya 260, mengine yanafanya biashara ya Machinga.Je, Machinga wetu wanafanya kazi ganiyachunguzwe na wakati umefika wa kila mwekezajikuweka Bond cash ya USD 100,000 kwa kipindi chamiezi sita na ndipo aruhusiwe kuwekeza kwa mtajiatakaoingiza . Kule Uchina huu ndiyo utaratibu waokatika kulinda ajira za wamachinga wao.Mheshimiwa Spika, naomba kuwasilisha.MHE. DKT. HAJI H. MPONDA: Mheshimiwa Spika,kwanza naomba nianze kwa kumpongezaMheshimiwa Waziri Mkuu kwa hotuba yake kuhusumapitio na mwelekeo wa kazi za Serikali na makadirioya matumizi ya fedha ya Ofisi yake na Ofisi ya Bungekwa mwaka 2012/2013.Mheshimiwa Spika, katika maboresho ya sekta yafedha, Serikali haina budi katika kusimamia kiukamilifumakusanyo ya pato la Serikali kupitia TRA na Taasisizingine. Tanzania bado tunahitaji jitihada za dhatikatika zoezi hili kwani bado walipa kodi wengi hawalipikama inavyostahili, hivyo kwa kiasi kikubwa kuikoseshaSerikali pato kila mwaka.Mheshimiwa Spika, nashauri Serikali watumieuzoefu wa zoezi la sensa ya watu na makazi katikakuboresha na kuharakisha zoezi hilo la vitambulisho vyaTaifa na anwani za makazi. Vitambulisho vya Taifavikitumika vizuri vinaweza kusaidia TRA kufuatilia walipakodi wote nchini, hivyo kutatua changamoto yaukwepaji wa kulipa kodi.401


Mheshimiwa Spika, Taifa bado linakabiliwa nachangamoto ya kuongezeka kwa mfumko wa bei hasakwa chakula (mchele, sukari, unga na kadhalika),ambako kunaathiri sana wananchi wa kawaida.Suluhisho la mfumko wa bei kwa vyakula ni kuongezauzalishaji katika kilimo hasa kilimo cha umwagiliaji.Serikali katika kukabiliana na tatizo la chakula tayariwameweka mkakati huo kupitia kilimo kwanza nakutenga maeneo maalum katika kilimo cha umwagiliajikatika bonde la Kilombero na mengineyo hili nalolimeainishwa katika mpan<strong>go</strong> wa SAGCOT. Pamoja namikakati hii ya kuendeleza kilimo ili kukabiliana nauhaba wa chakula, lakini bado naona Serikali katikabajeti hii 2012/2013, haijatenga fedha za kutosha katikakuteleza kilimo hiki cha umwagiliaji katika bonde la MtoKilombero.Mheshimiwa Spika, Wakazi wa Wilaya ya Ulangatangu uhuru wamekuwa na kilio na kero ya Daraja laKilombero. Pamoja na ahadi za Serikali tangu 2005kwamba itaanza na ujenzi wa daraja la Mto Kilombero.Namwomba Mheshimiwa Waziri Mkuu awahakikishiewananchi wa Ulanga ni lini hasa daraja hilo litaaanzakujengwa? Daraja hili litaharakisha na kuchocheakilimo katika Wilaya ya Ulanga ambayo ndiyo wilayakubwa inayotoa mchan<strong>go</strong> na kuzalisha mazao yachakula.Mheshimiwa Spika, naunga mkono hoja.MHE. JASSON S. RWEIKIZA: Mheshimiwa Spika,tufute ushuru wa mazao kwa wakulima, wanakwendakuuza mazao mado<strong>go</strong> mado<strong>go</strong>, wanaanzia kutoa402


ushuru kwenye vizuizi (barrier), wanatoa ushuru hukomagulioni. Wakulima hawa ni watu maskini sana, kwanini tunawatesa kwa kuwatoza kodi?Mheshimiwa Spika, hii ni kero kubwa kwawananchi wetu. Tuwaondolee kero hii, mtu huyuanapopeleka ndizi au mananasi kuuza gulioni,anakuwa amelenga akiuza anunue chumvi, mafuta yataa na alipe michan<strong>go</strong> ya shule na kadhalika.Mheshimiwa Spika, sio mfanyabiashara huyu natunaposema kuwa kodi hizi watoe wafanyabiasharahawa hawatatoa bila kwanza kuwatoza wakulimahawa. Jambo hili tuliangalie sana na tuwaoneehuruma wakulima wetu maskini.MHE. HUSSEIN MUSSA MZEE: Mheshimiwa Spika,kwa heshima kubwa, napenda kuunga mkono hoja yabajeti ya Waziri Mkuu kwa kuwa Serikali yetu imekuwasikivu sana na inasikiliza shida za wananchi wake na piainapokea ushauri unaotolewa na vion<strong>go</strong>zi wake.Mheshimiwa Spika, nimeamua kuchangia kwenyemaeneo yafuatayo:-Matumizi ya fedha za maendeleo na Ripoti yaCAG. Msongamano wa magari katika Jiji la Dar esSaalam na Mfumko wa bei ya vyakula.Mheshimiwa Spika, katika matumizi ya fedha zamaendeleo, naomba Serikali ifanye juhudi za makusudikatika kusimamia fedha za shughuli za maendeleo,403


fedha hizi mara nyingi utendaji wa Serikali hawatekeleziwajibu wao katika matumizi kwa kufanya yafuatayo:-Kwanza, kuwapatia kazi wakandarasi wasio na sifaambao hujenga majumba yasio na viwan<strong>go</strong> nabarabara zisizo na viwan<strong>go</strong>.Mheshimiwa Spika, majen<strong>go</strong> mengiyanayajengwa katika Mkoa wa Dar es Saalam, mengihayana viwan<strong>go</strong> vya Kimataifa. Mfano, nyumba nyingizinazojengwa hazina viashiria unapotokea moto.Baadhi ya nyumba zinazojengwa pia hazina hudumaya walemavu, hazina sehemu ya kupaki magari, piahazina uimara. Hali hii imeonekana katika Ripoti zaCAG zichukuliwe dhidi ya waovu wote.Pili, ni kuhusu msongamano wa magari katika Jiji laDar es Salaam. Katika Jiji la Dar es Saalam unazidi sikuhadi siku kwa kuwa Mkoa wa Dar es Salaam ndiyosehemu muhimu ya uchumi wa Tanzania, lakini vitendovya wananchi kutofika kazini kwa wakativinasababisha uchumi wetu kuyumba.Mheshimiwa Spika, Dar es Salaam tuna Bandari,Uwanja wa Ndege wa Kimataifa, Makao Makuu ya TRApia kuna sehemu inayoshughulikia usafiri wa kutokaZanzibar - Dar es Salaam, Zanzibar - Pemba. Foleni zaDar es Salaam zinawatesa wengi, si wakazi wa Dar esSalaam tu ni pamoja na wageni wote wanaoingia Dares Salaam.Tatu ni mfumko wa bei ya vyakula; wananchi wetuwana hali ngumu ya maisha kutokana na kupanda404


kwa bei ya vitu na hasa vyakula kama mchele, ungana sukari.Mheshimiwa Spika, pamoja na Serikali kujitahidikatika kudhibiti hali hiyo lakini hali ni bado ngumu,kutokana na uhaba wa mvua uliotokea mwaka huu.Serikali ni vyema ikajiandaa mapema kwa kuagizachakula kutoka nje ya nchi ambavyo vitapoza makaliya mfumko wa bei za vyakula kwa wananchi wakipato cha chini. Ingefaa tukaiga wenzetu Zanzibarkwa kununua chakula kwa wingi mfano, mchele nasukari ili kudhibiti mfumko wa bei kama walivyofanikiwawenzetu Zanzibar.Mheshimiwa Spika, naunga mkono hoja mia kwamia.MHE. MARIAM N. KISANGI: Mheshimiwa Spika,napenda nimpongeze Mheshimiwa Waziri Mkuu, kwaHotuba yake nzuri ya Bajeti ya Ofisi yake ambayoimezingatia mambo mbalimbali yenye makusudio yakuleta maendeleo nchini Tanzania.Mheshimiwa Spika, napenda niwapongezeWaheshimiwa Mawaziri wote waliopo katika Ofisi yaWaziri Mkuu kwa kazi nzuri wanayoifanya.Mheshimiwa Spika, naomba nianze na TAMISEMIna masuala ya Walimu. Tatizo la walimu na mishaharayao na madai ya kila siku sasa limekuwa sugu. Walimuwamekuwa wakilalamika kistaarabu sana. Wamekuwawakidai madeni yao huku wakifanya kazi, lakini sijuiSerikali imelichukuliaje suala la Walimu. Sitakubaliana405


na lolote mpaka Serikali itoe kauli yake kwa Walimu.Mwalimu ni mtu muhimu sana, huwezi kuwa Daktari bilakupita kwa Mwalimu na huwezi kuwa Hakimu mpakaupite kwa Mwalimu. Cha kushangaza, makundi yotemuhimu yanapewa posho kasoro Mwalimu tu.Mheshimiwa Spika, nataka majibu kutoka Serikalinikwa nini Mwalimu hastahili kupewa posho ya mazingiramagumu? Kwa nini Mwalimu asipewe posho wakatiwanafanya kazi katika mazingira hatarishi. Walimuwanapigwa na wanafunzi mpaka majeruhi lakinihawana bima ya maisha.Mheshimiwa Spika, Walimu wanafanya kazi shulenikwa masaa nane, lakini wana kazi ya kuandaamasomo na kusahihisha kwa masaa kumi na mbili.Serikali itambue kazi za Mwalimu na muda anaotumia.Mheshimiwa Spika, naomba Serikali sikivu yaChama cha Mapinduzi iliangalie suala la Walimu kwamoyo wa huruma na uungwana mkubwa sana kwakuwa wamekuwa watulivu sana kwa Serikali yao.Mheshimiwa Spika, baada ya Walimu natakanichangie malalamiko yangu juu ya Serikali yetukuwanyima fidia waliobomolewa nyumba zao kupishaujenzi wa barabara ya Kilwa (nina-declare interest).Mheshimiwa Spika, nimeandika barua nyingi Ofisiya Mheshimiwa Waziri Mkuu na kupeleka taarifa nyingiza kuonesha wananchi waliolipwa si sawasawa,walengwa hawajalipwa na hali ya wananchi ni tete.Sikupata ushirikiano wowote na wananchi wanaichukia406


Serikali yao na hapo hapo wale wasiostahili kulipwa nawakalipwa kupitia Mahakama wanadai tenanyongeza na Serikali kwa kukosa ushirikiano inawezakuwalipa tena.Mheshimiwa Spika, sasa nazungumzia suala la fidiaya Kurasini, wananchi wa Kurasini wamesimamishwakuendeleza majen<strong>go</strong> yao kwa muda mrefu. Wananchihawa hawakopesheki na hawajui ni lini watapatatamko la Serikali au walipwe au waachwe?Mheshimiwa Spika, naomba sasa niishauri Serikaliyangu sikivu ya CCM, kwa kuwa wananchi wale kwamuda mrefu wamewekwa rehani na Serikali, ni vyemakama Serikali imeshindwa basi itafute mwekezaji mzuriambaye anaweza kuwalipa vizuri wananchi walewatoke, waende wakatafute maisha kwa kujengamakazi mapya katika maeneo mengine.Mheshimiwa Spika, Kurasini ni eneo zuri sana kwanini tunaacha eneo muhimu sana na wananchiwamekubali kupisha kufanyia shughuli za maendeleo.Serikali itafute fedha hata kwa kukopa eneo lilelinalipa.Mheshimiwa Spika, naomba mipan<strong>go</strong> ya Mji waKigamboni nayo iharakishwe kwa kuwa wananchi waKigamboni wengine hawana hata umeme naTANESCO wanashindwa kupeleka miradi ya umemekwa kuwa hawajui miundombinu ya barabara itapitawapi? Wasije kufanya kazi ya hasara.Mheshimiwa Spika, naunga mkono hoja.407


MHE. ZARINA S. MADABIDA: Mheshimiwa Spika,tatizo kubwa sana linaloikabili Serikali yetu ni mapatomado<strong>go</strong> yasiyoweza kukidhi matumizi yetu.Halmashauri ndiyo inaweza kuwa jibu la matatizo hayo,kwa sababu ndiko chanzo kikuu cha mapato yetu,ikiwa yatasimamiwa vizuri na watu waadilifu. Ni kupitiaManispaa zetu ndiyo mapato mengi yamekuwayanapotea.Mheshimiwa Spika, nashauri Madiwani na vion<strong>go</strong>ziwa Serikali za Mitaa wapewe majukumu na malen<strong>go</strong>ya makusanyo vile vile wapewe madaraka zaidi yakubuni vyanzo mbalimbali vya mapato. YawepoMabaraza ya Kata na Mitaa yatakayosimamiaupatikanaji wa mapato yaliyopangwa ili kuwapamotisha na kuongeza mapato. Kata na Mitaa ipeweasilimia ya makusanyo kama Mtaa asilimia kumi naKata asilimia kumi na iliyobaki ndiyo ipelekwe kwenyemakusanyo ya Halmashauri.Mheshimiwa Spika, pamoja na motisha hiyo piawapewe mishahara kwani kwa mtindo huu watajilipawenyewe. Hii ni pamoja na kuongeza mapato, lakinipia itachochea maendeleo kwa kutumia asilimia zaokufanyia maendeleo muhimu kama kufanyiamatengenezo barabara, zahanati, kununua madawatina mengineyo kadiri watakavyoona wao muhimu.Kuwe na chombo ndani ya Manispaa ambachokitafuatilia na kukagua mapato na matumizi.Wananchi wataona wanamiliki maendeleo yao nawataona haja ya kutunza na kukuza mapato yao. Ni408


mapato mengi sana ambayo yanaingia kwenyemikono ya watu binafsi.Mheshimiwa Spika, uwekezaji na uwezeshaji, seraya uwekezaji na uwezeshaji bado haijawezakuonekana kwenye jamii jinsi inavyoweza kumnufaishamwananchi wa kawaida. Ni ukwelil kwamba wengi wavijana na wanawake wameachwa nyuma na walahawajui ina faida gani kwao na kwa kweli wengi badowanahangaika sana.Mheshimiwa Spika, nashauri kuwa na elimu yakutosha na makundi hayo mawili ya vijana nawanawake ni lazima waone umuhimu na uelewa wasera hii na kwa jinsi gani wanaweza kupata uwezeshaji.Hii ni kweli hata kwa ambao tayari wanayo miradi,lakini hawajui ni jinsi gani wanaweza kukuza mitaji yaoili biashara zao ziwe za kuwaendeleza na siyo za kulatu. Wengi wa hawa, makundi mawili mjini niwafanyabiashara na wafugaji wa kuku.Mheshimiwa Spika, kuhusu mwingiliano wa Wizaraya Afya, Elimu na TAMISEMI, kuna mkanganyikomkubwa sana kwa Afya na Elimu kuwa na Wizara mbilizisizokuwa na mawasiliano ya karibu kuhusu kazi zao.Serikali inahitaji kukaa chini na kuangalia ni jinsi ganiitajipanga upya kwenye hilo.Mheshimiwa Spika, kuhusu amani na usalama; nimuhimu sana kwa maendeleo ya nchi, amani ni lazimaiendane na usawa. Hali ilivyo sasa siyo sawa, nainahitaji hatua za haraka na umakini, kuhakikishausawa wa kijinsia, kielimu, kidini, kikabila. Ni jambo la409


kawaida kuingia kwenye Ofisi ya Serikali na kukutavion<strong>go</strong>zi wa juu wote ni kutosha mkoa mmoja, wa dinimoja na bila kujali hata jinsia. Ni tabia iliyozoeleka sasakualikana kwa Majimbo watu wanaotokea mkoammoja. Kukusanya fedha kwa ajili ya maendeleo yaMkoa wao wakati wao ni wakazi wa Jijini Dar esSalaam, ni vipi uache shule ya Ilala haina madawatihalafu wewe mkazi wa Ilala unafanya harambee yaShule ya Mufindi. Tunatengeneza matabaka, hivyowananchi wazaliwa wa Dar es Salaam wanaona waoni matofali ya kupandia wengine kutengenezamakwao.Mheshimiwa Spika, naomba hali hii itupiwemacho.MHE. DAVID E. SILINDE: Mheshimiwa Spika, uhabawa chakula na njaa, katika Jimbo la Mbozi Magharibi,Wilaya mpya ya Momba hususan Tarafa ya Kamsambayenye wakazi wasiopungua 60,000, kuna hali mbayasana ya chakula mwaka huu. Hali hiyo ilitokana naukame wa kutisha uliotufika wananchi wa Mombabaada ya wananchi kupanda mazao yao na kukaukakutokana na ukame. Hivyo basi, wananchi kwa mwakahuu hawajavuna chochote na mpaka sasa bei yachakula ipo juu sana mfano, debe la mahindi ni shilingi13,000 ilihali msimu kama huu wa mavuno bei yachakula huwa chini sana. Hivyo basi, mheshimiwaWaziri Mkuu tunaiomba ofisi yako kupitia Kiten<strong>go</strong> chaUKIMWI na Maafa, kikafanya tathmini katika Wilaya yaMomba ili kupitia hifadhi ya chakula, Taifa tupatemsaada wa kununua kwa bei nafuu kwa ajili ya410


wananchi hawa kwa maana hali ya huko ni mbayasana.Mheshimiwa Spika, miradi ya maji safi na salama,katika miaka ya 1995, Tarafa ya Kamsamba yenyeKata tano pamoja na Tarafa ya msongamao yenyeKata mbili walipata mradi wa maji ambao ulitarajiwakufadhiliwa na Shirika la DANIDA. Mradi huo ulitakiwakusambaza maji toka Ziwa Rukwa na kuelekezwakatika Kata hizo saba.Mheshimiwa Spika, mchoro wa mradi huo upo naulikamilika. Je, Serikali ina mpan<strong>go</strong> gani wa kuhifadhina kuukamilisha mradi huo ili kuondoa kero hiyo ya majikwa wananchi hao.Mheshimiwa Spika, mwaka 2005, Rais JakayaMrisho Kikwete aliwaahidi wananchi wa Mji waTunduma kuwa watapatiwa maji safi na salama. Eneola Tunduma ni eneo lenye wakazi wasiopungua 100,000sasa na ukuaji wake ni wa kazi sana. Je, miradi mingiiliyo katika karatasi (kimaandishi) itakamilika lini?Naomba Ofisi yako itusaidie kuokoa hali mbaya ya majikatika mji huo.Mheshimiwa Spika, naomba kuwasilisha.MHE. GAUDENCE C. KAYOMBO: MheshimiwaSpika, kwanza namshukuru Mwenyezi Mungu kwakutufikisha tena katika kipindi kingine cha bajeti.Mchan<strong>go</strong> wangu upo katika maeneo yafuatayo yaujumla.411


Mheshimiwa Spika, kuhusu mishahara, misingi yakutengeneza mishahara yetu inafanya mishahara yawafanyakazi (private/public) kuwa ni mido<strong>go</strong> sana.Haifanyi mfanyakazi kuwa na uhakika wa kufikamwisho wa mwezi na kukidhi mahitaji muhimu. Hii nikwa wote. Wafanyakazi ngazi za chini kati na juu, lakiniviwan<strong>go</strong> hivyo haviheshimu majukumu na wajibu pia,kama watendaji wakuu wa baadhi ya mashirikawanapata mshahara mkubwa kuliko Waziri wao, hali hiiya udo<strong>go</strong> wa mishahara inachochea rushwa, lakini piainafanya kazi ionekane si muhimu. Naomba sanajambo hili liangaliwe.Mheshimiwa Spika, uwezeshaji, naona mkazo upokwenye fedha zaidi, napendekeza tuwe na programzinazotilia mkazo katika kubadilisha ufahamu wetu ilikujenga msingi wa kujitegemea kuwajibika. Watu wanawanawajibika kwa hali walizonazo na wanao wajibuwa kutoka hapo. Serikali ionekane inawawezeshavijana hasa wanaomaliza VETA kwa kuwa na(guarantee bank) na kuwapa tenda za ujenzi (umeme,matofali na kadhalika).Mheshimiwa Spika, kuhusu safari nyingi za DEDs,Wakurugenzi wa Halmashauri hawakai ofisini, maranyingi utakuta watu wanaokaimu tu, mara nyingi mnowanaoitwa Dodoma, Dar es Salaam, Moro<strong>go</strong>ro. Liniwatasimamia rasilimali na maendeleo Wilayani. Utafitiufanywe pengine wanaokuwa Wilayani kwa robomwaka tu. Tutumie advantage ya internet kwamawasiliano, hakuna sababu ya kusafirisha watu.Kama hatutarekebisha, basi nadhani mawazo yaMadiwani yatazuia safari hizo.412


Mheshimiwa Spika, Jimbo la Mbinga Mashariki,uwekezaji, tathmini ya ardhi ya wananchi. Misingi yatathmini katika Halmashauri pengine si mizuri na hivyowananchi wanapata fidia ndo<strong>go</strong> na hailingani na helahalisi ya maisha. Hii inasababisha malalamiko mengi nainawakatisha tamaa wawekezaji, pia naendelezajambo hili lichunguzwe na tuwe na mwon<strong>go</strong>zo borazaidi.Mheshimiwa Spika, tunao mradi wa Tancoal,viwan<strong>go</strong> vilivyolipwa kama ushuru wa Halmashauri nivido<strong>go</strong>, hebu tupewe pia mwon<strong>go</strong>zo mzuri zaidi, lakinipia kijiji husika lazima kipewe asilimia fulani. NaombaWaziri wa Mkuu atoe maelekezo kijiji kinalipwa kiasigani katika mradi huu wa makaa ya mawe.Mheshimiwa Spika, mradi huu haujatajwa kabisakatika hotuba ya Waziri Mkuu, lakini ni mradi wakwanza nchini wa uchimbaji mkaa na yapo matumiziya kuzalisha umeme MW 400. Ni kwa nini mradi huuhautajwi. Haukutajwa na Waziri wa Fedha na mipan<strong>go</strong>pia. Je, Serikali haitambui mradi huu? Naomba WaziriMkuu afanye ziara katika mradi huu mara baada yakumaliza Bunge la Bajeti.Mheshimiwa Spika, kuhusu biashara ya mahindi,mwaka jana wananchi wa Jimbo la Mbinga hasawakulima wa mahindi walipata tabu ya kuuza mahindiyao. Napenda kujua mwaka huu kuna mpan<strong>go</strong> gani?Naomba majibu tena ya maandishi, tumeomba piakujengewa soko kule Ki<strong>go</strong>nsera, nini majibu ya maombihayo.413


Mheshimiwa Spika, malipo ya wana ushirika waMbinga shilingi milioni mia nne. Hili jambo ni la sikunyingi sana na Mheshimiwa Waziri Mkuu analijuavyema. Ni lini wakulima hawa watalipwa na ni lini pialile deni la NBC karibu shilingi milioni mia saba litafutwakama yaliyofutwa madeni ya Vyama vya Ushirikavingine. Naomba pia majibu ya maandishi. Lakini upompan<strong>go</strong> gani wa kukabidhi mali za Mbicu wa Mbifuabaada ya wana ushirika kulipa deni kwa kampunibinafsi (<strong>go</strong>lden impex).Mheshimiwa Spika, naunga mkono hoja.MHE. JUMA SURURU JUMA: Mheshimiwa Spika,kwanza, naunga mkono hoja.Pili, chenji ya Rada kwa maelekezo ya Serikali nikwamba, fedha hizo zitapelekwa katika sekta ya elimu,hivyo, kwa kuwa fedha hizi zinahusu pande mbili zaMuungano. Nashauri Zanzibar ipatiwe fungu lake kwakupewa madeski (vikalio) kwani shule nyingi za Zanzibarhazina vifaa hivyo.Mheshimiwa Spika, kuhusu suala la Muungano,kwa muda mrefu tatizo la mapungufu ya muunganolimekuwa likizungumzwa na Vion<strong>go</strong>zi au Watendaji waSerikali wa ngazi za juu tu bila wananchi husika kupatataarifa. Hivyo, nashauri kuwa wakati umefika kuwaarifuwananchi kupitia masuala yaliyofikiwa katikakuboresha Muungano ili wapate kuelewa, aidhataarifa hizo zitolewe kupitia mikutano ya hadhara,vyombo vya habari, (Radio na TV) na kadhalika.414


Mheshimiwa Spika, kwa kuwa Mheshimiwa WaziriMkuu ni Kion<strong>go</strong>zi Mkuu katika Serikali ya Muungano.Nashauri atenge muda na afanye ziara ya kikaziKisiwani Zanzibar ili kuzidisha upendo kwa wananchiwake na naomba katika ziara hiyo afike katika Jimbolangu la Bububu.MHE. GREGORY G. TEU: Mheshimiwa Spika, katikahotuba ya Waziri Mkuu kuhusu bajeti inayojumuishaTawala za Mikoa ikiwemo Mkoa wa Dodoma. Sotetunajua kwamba Ofisi ya Mkoa wa Dodoma iliunguamoto na kuteketea. Hivyo, ujenzi wa ofisi hii ulishaanzakatika eneo lililotengwa kwa ajili hiyo. Ujenzi huuunasuasua sana kwa kukosa fedha za ujenzi kiasi chafedha shilingi bilioni tano aliyotoa Waziri wa Fedha, nikwamba fedha hizo zingepatikana 2011/2012 ilikuendeleza ujenzi wa Ofisi ya Mkoa wa Dodoma.Mheshimiwa Spika, katika hotuba ya Waziri Mkuuhatuoni fedha yoyote kutamkwa au iliyotengwa kwaajili hiyo. Je, ujenzi wa Ofisi ya Mkoa wa Dodomautaendelezwa katika bajeti ya mwaka 2012/2013 na nikiasi gani kimetengwa kwa ajili hiyo?MHE. ASHA MSHIMBA JECHA: Mheshimiwa Spika,naunga mkono hoja kwa asilimia mia moja.Mheshimiwa Spika, kuhusu Muungano,naipongeza Serikali kwa kuendelea kudumishaMuungano na kufanya juhudi za makusudi ili kero zamambo ya Muungano zipatiwe ufumbuzi na wananchi415


wa nchi mbili hizi waweze kuishi bila yakubughudhiana.Mheshimiwa Spika, nashauri ingawa vion<strong>go</strong>zi wetuwanafanya juhudi kubwa na vikao vinafanyika nabaadhi ya kero zinapata ufumbuzi, lakini ipo haja kwaBunge hili kujua mazungumzo hayo yanavyoendeleahatua iliyofikia na nini hatima yake. Haja hii itatusaidiasisi Wa<strong>bunge</strong> kujua kwa kina kinachoendelea na piakusaidia kuwatuliza wananchi juu ya jazba waliyonayokutokana na kupata maelezo yanayowapotosha hasakutoka kwa Wapinzani.Mheshimiwa Spika, kuhusu suala la ulinzi nausalama, nchi yetu imeendelea kuwa ya amani nautulivu ingawa yapo matokeo yanayojitokeza yakuashiria uvunjifu wa amani. Naishauri Serikali isiwe nahuruma na ichukue hatua mara moja pale mmojawetu anapotumia uhuru wake na kuhatarisha uhuru wawengine.Mheshimiwa Spika, vikosi vyetu vya ulinzi vinafanyakazi nzuri na viko tayari kuilinda kuitetea na kuiendezanchi yetu, lakini vinakabiliwa na matatizo yafuatayo(Kamati yetu ya Hesabu za Serikali tulitembeleaMakambi ya Ihumwa Dodoma na Shirika la MzingaMoro<strong>go</strong>ro):-Uhaba wa fedha ambao unakwamisha mazoeziya vitendo kwa majeshi yetu na vijana waliokomafunzo, pamoja na vifaa.416


Mheshimiwa Spika, vile vile uhaba huo wa fedhaumeendelea kuathiri vifaa muhimu vya kijeshiambavyo vimekosa maeneo stahiki ya kuvitunza nakuvifanyia mazoezi kwa wakati ili kuvipa uimara nakuwa tayari kwa jeshi na vifaa.Mheshimiwa Spika, Serikali ichukue hatua yakuwahamisha wananchi waliohamia maeneo ya Jeshiikiwemo Dodoma, sehemu ambayo jeshi wameiandaakwa mazoezi ya milipuko.Mheshimiwa Spika, kuliendeleza Shirika la Mzinga.Shirika hili limebobea katika utaalam wa kila fani,Serikali ikiliwezesha kwa kulipia fedha za kutoshalitaweza kujiendesha na kuzalisha bidhaa mbalimbaliambazo zinahitajika kwa wingi na nchi jirani.Mheshimiwa Spika, kuliwezesha Jeshi kimafunzo nakivifaa ni kujihakikishia amani na utulivu katika nchi yetuna kuwafanya wananchi waweze kufanya kazi ili kuletamaendeleo.Mheshimiwa Spika, naunga mkono hoja.MHE. EZEKIEL M. MAIGE: Mheshimiwa Spika, awaliya yote, naomba kusema naunga mkono bajeti hii.Naunga mkono kama Wanamsalala walivyoniagizakwa matarajio kwamba kuanzia sasa na siku za usoni,Serikali itatumia bajeti hii na zingine zijazo kujibuchangamoto za umaskini Shinyanga.Mheshimiwa Spika, kabla sijazungumzia masualaya uchumi wa Mkoa wa Shinyanga kwa ujumla,417


naomba niifikishie Serikali (TAMISEMI) maombiyafuatayo kutoka kwa wananchi wa Msalala:-Kwanza, kwa kuwa ni ukweli usiopingika kwambaKahama hivi sasa ni Wilaya kubwa kuliko Wilaya zotenchini kwa kuwa na wananchi zaidi ya 1,100,000, Vijijizaidi ya 300 na Kata 55 na kwa kuwa tayari vikao vyaWilaya na Mkoa vilipendekeza toka 2010 kuanzishwakwa Wilaya mpya mbili za Msalala na Ushetu kwakuigawanya Wilaya ya Kahama na kwa kuwa tayariSerikali ilikubali maombi hayo, japo si kwa ukamilifuwake, kwa kuanzisha Wilaya ya Ushetu, tunaiombatena Serikali yetu iangalie kwa huruma wananchi waKahama na ikubali kuigawanya Wilaya hii kuwa Wilayatatu kama ilivyopendekezwa awali.Pili, kwa kuwa tayari Serikali imekubali kuanzishaHalmashauri tatu za Msalala, Ushetu na Kahama mjinikwa kuigawanya Halmashauri ya Wilaya ya Kahama,tunaomba iruhusu Halmashauri hizo zote kuanza kazimwaka huu wa fedha 2012/2013 badala ya kuanzishaHalmashauri ya Mji wa Kahama pekee na kuziachazingine mbili za Msalala na Ushetu zifuate baadaye.Tatu, kwa kuwa Kahama sasa tayari kunaHalmashauri tatu japo mbili za Ushetu na Msalalahazijaanza, lakini Halmashauri ya Mji wa Kahamaitaanza Julai Mosi, 2012, tunaomba Serikali, kupitiaTume ya Uchaguzi iruhusu kuanzisha Jimbo jipya laUchaguzi la Kahama Mjini,kwani kwa muundo wa sasa,Wa<strong>bunge</strong> wawili wa Msalala na Kahamawanahudumu Halmashauri mbili kila mmoja.418


Nne, kwa kuwa mtandao wa barabara za Wilayaya Kahama unaotambulika TAMISEMI ni mdo<strong>go</strong> sana,yaani kama kilomita 460 pekee wakati mtandao halisini zaidi ya kilomita 1600, tunaiomba TAMISEMI ifanyeutambuzi mpya wa Barabara za Wilaya na hivyokuongeza bajeti inayohudumia barabara za WilayaKahama.Mheshimiwa Spika, baada ya maombi hayo yaWanamsalala kwa TAMISEMI, sasa naomba kufikishamaombi mengine ya Wanashinyanga na Wanamsalalayanayohusu Wizara zingine na Serikali kwa ujumlawake.Mheshimiwa Spika, kuna contradiction kubwasana ya utajiri wa mkoa na maendeleo katika Mkoa.Kwa taarifa tu Mkoa wa Shinyanga una sifa zifuatazo:-(1) Una idadi kubwa ya wananchi kuliko mkoamwingine wowote. Watu ni nguvu kazi, ambayoingekuwa productive kama wanavyoitumia Wachina,Shinyanga ingekuwa na utajiri mkubwa wa kipato kwawananchi wake;(2) Mkoa unaon<strong>go</strong>za kwa uzalishaji wa madini yaalmasi na dhahabu;(3) Mkoa unaon<strong>go</strong>za kwa uzalishaji wa pamba;(4) Mkoa unaon<strong>go</strong>za kwa idadi kubwa yamifu<strong>go</strong>; na419


(5) Ni mion<strong>go</strong>ni mwa Mikoa mitatu inayozalishatumbaku kwa wingi.Mheshimiwa Spika, pamoja na sifa zote hizo, Mkoauna sifa mbaya zifuatazo:-(1) Mkoa unaon<strong>go</strong>za kwa mauaji ya Albino;(2) Mkoa na Kanda inayoon<strong>go</strong>za kwa mauaji yavikongwe kwa imani za ushirikina.(3) Mkoa umekuwa wa mwisho mtihani wadarasa la saba miaka mitano mfululizo.(4) Mkoa unaon<strong>go</strong>za kwa uwiano mbaya kati yaidadi ya shule za msingi na shule za sekondari.(5) Mkoa unaon<strong>go</strong>za kwa uwiano mbaya kati yaidadi ya walimu na wanafunzi.(6) Mkoa unaon<strong>go</strong>za kwa uwiano mbaya kati yaidadi ya shule za O level na A level.(7) Mkoa unaon<strong>go</strong>za kwa kuwa na uwianombaya kati ya idadi ya shule na idadi yashule za bweni.(8) Mkoa unaon<strong>go</strong>za kwa kuwa na uwianombaya kati ya idadi ya shule za sekondari nashule za sekondari zenye umeme.(9) Mkoa unaon<strong>go</strong>za kwa kupata njaa na kuhitajimsaada wa chakula kila mwaka.420


(10) Mkoa unaon<strong>go</strong>za kwa kuzalisha wakimbizi wandani kwa jina la wafugaji.(11) Kutokana na ukweli huo, it is no wonderkwamba mkoa unaon<strong>go</strong>za kwa kuwa nauwiano mbaya kati ya idadi ya watu na idadiya vion<strong>go</strong>zi kwenye nafasi za maamuzi zakisera na maendeleo ya nchi.Mheshimiwa Spika, hali hii haifai na haipaswikuachwa iendelee. Naomba Serikali, kuanzia bajeti hii,ianze kujibu hii human development paradox inShinyanga.Mheshimiwa Spika, naomba Serikali iujengeeuwezo Mkoa wa kunufaika na rasilimali zake, yaaniwatu, mifu<strong>go</strong>, mazao, madini na kadhalika kwakufanya yafuatayo:-Kwanza, elimu, kwa kuwa msingi wa umaskini wawananchi wa Mkoa wa Shinyanga ni ukosefu wa elimu,Serikali iweke msukumo katika elimu kwa Mkoa waShinyanga kwa kufanya yafuatayo:-(a) Kwa kutoa fedha zote za chenji ya radakuendeleza elimu Shinyanga kwa kukamilishamajen<strong>go</strong> ya nyumba za walimu, mabweni,umeme, vitabu na maabara. Kwa mfano,Jimbo la Msalala pekee lina maboma 200 yanyumba za walimu na maboma 250 yavyumba vya madarasa toka 2004 wakati wamradi wa MMEM! Maboma haya hivi sasa421


yanabomoka na wananchi wame<strong>go</strong>makuchangia miradi mingine mipya ya elimukwa kudai kwamba nguvu zao zilizotumikakujenga maboma hayo zinapotea bure bilaSerikali kukamilisha miradi hiyo.(b) Kuongeza bajeti ya elimu kwa Mkoa waShinyanga kwa kuhakikisha ahadi yakujenga VETA kila Wilaya, hasa Kahamaambayo ina mi<strong>go</strong>di miwili mikubwa yaBuzwagi na Bulyanhulu, lakini wananchi wakehasa vijana hawapati kazi kwa kukosautalaam na ufundi.Pili ni madini:-(a) Mikataba ya Madini (MDA) iwekwe wazi nazipitiwe upya ili kama Taifa tunufaike.Mikataba hii imekuwa ikilalamikiwa sana.(b) Serikali iruhusu Mkoa kunufaika na rasilimalizake za madini kwa kukubali mapendekezoya Tume ya Bomani ya kugawa mrahaba katiya Serikali Kuu na Wilaya ulipo m<strong>go</strong>di kwauwiano wa 60 kwa 40 kama ilivyotoakipaumbele na ilivyoruhusu wananchi wa Lindina Mtwara kupatiwa umeme wa gesi kwanzakabla ya wengine.(c) Halmashauri ziruhusiwe kutoza service levytoka mi<strong>go</strong>dini kwa mujibu wa Sheria ya Serikaliza Mitaa ya mwaka 1982. Msimamo huu wakutoruhusu Service levy kutozwa mi<strong>go</strong>dini422


umeipotezea Kahama zaidi ya US$ 8,000,000tokea m<strong>go</strong>di wa Bulyanhulu ulipoanzauzalishaji rasmi mwaka 2001 na US $ 1,200,000tokea m<strong>go</strong>di wa Buzwagi ulipoanza uzalishajimwaka 2008. Kwa wastani, kwa Kahamakulipwa US $ 400,000 tu kwa mwaka kutokami<strong>go</strong>di hii miwili kama consolidated locallevies badala ya service levy ambayo ni 0.3percent of gross turnover, Kahama inapunjwazaidi ya US$ 2,100,000. Aidha, kwa kuwaSheria ya Madini ya mwaka 2010 imeruhusuHalmashauri kutoza service levy toka 2010,Serikali inaombwa iruhusu Kahama kutozaushuru huo retrospectively na hivyo ipatiwechenji yake yaani US$ 4.2 m za miaka miwilitoka 2010.(d) Serikali iendelee na juhudi za kutatuami<strong>go</strong><strong>go</strong>ro kati ya wananchi na wawekezajiwanaovuna rasilimali za Shinyanga hasamadini.(e) Naomba Serikali ilipatie ufumbuzi tatizo sugula wachimbaji wado<strong>go</strong> kukosa maeneo yakufanyia kazi.(f) Serikali kwa kushirikiana na m<strong>go</strong>di wa Bulyanhuluimalize m<strong>go</strong><strong>go</strong>ro wa fidia ya wananchiwaliohamishwa kupisha m<strong>go</strong>di wa Bulyanhulumwaka 1996 kwa kuwalipa wadai.Tatu ni kilimo, kwa kuwa Shinyanga inapata mvuaza kutosha lakini kwa muda mfupi, Serikali isaidie423


kuendeleza kilimo cha umwagiliaji. Mabonde ya Chela,Ntobo, Bulige, Kabondo na N<strong>go</strong>gwa (Jimbo la Msalala)na Mwakitolyo na Salawe (Jimbo la Solwa) yanafaakwa kilimo cha mpunga na yanaweza kulisha Mkoamzima wa Shinyanga.Mheshimiwa Spika, agizo la Mheshimiwa WaziriMkuu, Mtemi Nkumbi, la kupanua scheme yaumwagiliaji ya Chela litekelezwe sasa. Ni aibu kwaShinyanga kutokuwa na scheme hata moja yaumwagiliaji yenye kufikia shilingi bilioni moja. Aidha, niaibu kwa kuufanya Mkoa wa Shinyanga kuwapermanent food dependent. Nguvu kazi kubwa iliyokoShinyanga inapotea bure na hii ni hasara kwa Taifa.Nne ni viwanda, Serikali ianzishe viwanda vyakuongeza thamani kwa mazao yanayozalishwaShinyanga hasa pamba na mifu<strong>go</strong>. Hivyo, Serikaliianzishe au iwezeshe kuanzishwa Viwanda vya Nguona Nyama shinyanga. Si haki kwa wafugaji waShinyanga kuendelea kutangatanga na mifu<strong>go</strong> yaomingi kwa kukosa malisho bila kuwasaidia kupatasoko la uhakika la mifu<strong>go</strong> yao. Ni aibu kwa zao lapamba kuendelea kuwa zao la wafanyabiasharakutajirika huku bei ikiporomoka kila mwaka. TunaombaViwanda vya Nguo na Mafuta ya Pamba Shinyanga.Tano ni miundombinu na maji; Serikali ianzekutekeleza miradi mikubwa ya miundombinu ya maji,umeme na barabara ili kuchochea maendeleoShinyanga kwa kutekeleza kwa kipaumbele miradiifuatayo:-424


(i)(ii)Mradi wa Maji ya Ziwa Victoria kwendaKa<strong>go</strong>ngwa na Isaka na vijiji vitakavyopitiwa nabomba hilo vya Mondo, Penzi, Banhi,Mwalugulu, Gembe, Sungamile, Kishima,Ka<strong>go</strong>ngwa, Iponya, Isagehe, Malenge,Sangilwa, Mashigini, Mwakata, Itogwanholo,Isaka Stesheni na Ntungulu uanze mwaka huu;Ahadi ya kuwapatia maji wananchi waishiojirani na bomba kuu la maji toka Ziwa Victoria,kwa umbali usiozidi kilomita 12, Vijiji vyaKabondo, Mwanase, Ma<strong>go</strong>beko, Izuga,Matinje, Nduku, Busangi, Mhama, Bulige naButegwa itekelezwe mwaka huu;(iii) Mradi wa ujenzi wa barabara ya Lamikuunganisha Kahama na Geita uanze mwakahuu. Nasikia M<strong>go</strong>di wa Geita wamekubalikugharamia ujenzi wa barabara hiyo kwakiwan<strong>go</strong> cha lami upande wa Geita. NaombaSerikali izungumze na kukubaliana na ABG ilinao wagharimie ujenzi wa barabara hiyoupande wa Kahama. Kubalianeni mtakatanakwenye kodi na mrabaha siku za usoni;(iv)(v)Miradi ya Umeme Vijijini, ambayo maombiyalishapelekwa REA toka 2010 itekelezwe.Miradi iliyoombewa kwa Jimbo la Msalala nikupeleka umeme vijiji vya Busangi, Nyamigege,Nyambura, N<strong>go</strong>gwa, Ngaya, Bulige, Chela naNtobo; naMradi wa Umeme kwenda Bukombe kupitiaVijiji vya Lunguya, Shilela, Ikinda, Nyikoboko425


na Segese vilivyoko Jimbo la Msalala naouanze mwaka huu maana umeahidiwa toka2004 (enzi za Awamu ya Tatu).Mhe Spika, naunga mkono hoja na ahsante sana.SPIKA: Waheshimiwa Wa<strong>bunge</strong>, jana tulijitahidisana kutoa nafasi kadiri iwezekanavyo kwa waleambao walikuwa hawajachangia hata mara moja.Waliochangia mara mbili hakuna hata mtu mmojaaliyepata nafasi. Walibaki wachache, lakini mkumbukekwamba, tumeanza kujadili hoja kuanzia Jumatatumpaka jana. Sasa tukisema tuendelee kujadiliwenyewe tutajijibu wenyewe. Tulifikiri kwamba, leotuanze na Mawaziri angalau ku-clear sehemumbalimbali ambazo walifikiri kwamba wangejibu,tunawapa muda kido<strong>go</strong> halafu baadaye tutaendelea.Waziri Mkuu mwenyewe atajibu saa za jioni.Kwa hiyo, kwa sababu hiyo basi, nitaanza naNaibu Waziri wa Ardhi, Mheshimiwa Goodluck Ole-Medeye, atafuatiwa na Waziri wa Nishati na Madini,Mheshimiwa Prof. Muhon<strong>go</strong>, ambaye atafuatiwa naMheshimiwa Eng. Christopher Chiza.WAZIRI WA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YAMAKAZI: Mheshimiwa Spika, kwanza, nakushukuru kwafursa hii uliyonipa ili niweze kuchangia Hotuba yaMheshimiwa Waziri Mkuu.Mheshimiwa Spika, nianze kwa kumpongeza sanaMheshimiwa Waziri Mkuu, kwa hotuba yake nzuri.Pamoja naye niwapongeze sana Waheshimiwa426


Mawaziri wa Nchi na Naibu Mawaziri, Makatibu Wakuu,Ofisi ya Waziri Mkuu na Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI)kwa kazi nzuri kabisa ambayo wamekuwa wakiifanyakutumikia Watanzania.Mheshimiwa Spika, zipo hoja kadhaa ambazozilitolewa na Waheshimiwa Wa<strong>bunge</strong>, zinazohusianana Sekta ya Ardhi. Baadhi ya hoja hizo tutazijibu leolakini nyingine tutajibu mwezi ujao wakati wakuwasilisha Hotuba ya Waziri wa Ardhi, Nyumba naMaendeleo ya Makazi.Mheshimiwa Spika, kwanza, nianze na hoja yaMheshimiwa Kuruthum Mchuchuli, ambayealizungumzia suala la ardhi ya wananchi kule Rufijikwamba imechukuliwa na RUBADA na kugawiwa kwawawekezaji. Tumefuatilia suala hili na kubaini kwambani kweli RUBADA iliandaa mpan<strong>go</strong> wa matumizi yaardhi katika vijiji kadhaa huko Rufiji. Ilipowasilisha taarifahizo kwa Tume ya Taifa ya Matumizi Bora ya Ardhi,Tume ilionelea ni vyema kwanza ihakiki upya kabla yakuidhinisha mpan<strong>go</strong> ulioandaliwa na RUBADA. Kwahiyo, Tume ya Taifa ya Matumizi Bora ya Ardhi badoinaendelea na zoezi hilo la kuhakiki mpan<strong>go</strong> huo nabaada ya kukamilika ndipo ugawaji ambao utakuwaumefanyika utathibitishwa au hapana.Mheshimiwa Spika, kuna hoja iliyotolewa naMheshimiwa Victor Mwambalaswa, kuhusiana na utoajiwa hati miliki za kimila katika Wilaya ya Chunya. Hojailikuwa kwamba, kutokana na kutokuwepo kwa AfisaArdhi Mteule, imesababisha Wilaya hiyo kushindwa427


kutoa hati miliki za kimila na hivyo kuathiri wananchikwa kutokuwa na miliki juu ya ardhi yao.Mheshimiwa Spika, nilipenda niseme kwamba,taarifa zilizopo zinaonesha kwamba, Halmashauri yaWilaya ya Chunya iliwasilisha mapendekezo yakuteuliwa Afisa Ardhi Mteule lakini baada ya uhakiki wataarifa za aliyependekezwa, ilionekana kwambahajakidhi vigezo vinavyotakiwa. Hivyo, Halmashauri yaWilaya imeelekezwa kwamba, iwasilishe mapendekezomengine ili Afisa huyo aweze kuteuliwa.Ningemwomba sana Mheshimiwa M<strong>bunge</strong> atusaidiekuhimiza Halmashauri kwamba, iharakishe kuwasilishamapendekezo hayo ili uteuzi uweze kufanyika.Mheshimiwa Spika, tunayo hoja ya MheshimiwaZainab Kawawa, tunamshukuru sana kwa ushaurialiotupa ambapo alishauri kuwa hati miliki za kimilazitambuliwe na kutumika kuthamini mikopo. Hoja hii piaimechangiwa na Mheshimiwa Kandege naMheshimiwa Shabiby na tungependa kulijulisha Bungelako Tukufu kwamba, mashauri yanayoendelea bainaya Wizara ya Fedha na Wizara yangu ya namna yakuhamasisha na kuhimiza Benki mbalimbali zitambuehadhi ya hati miliki za kimila na hivyo kuweza kuzikubalikama dhamana kwa mikopo itakayotolewa kwawananchi.Mheshimiwa Spika, kwa kawaida jambo lolotelinapoanza watu huwa na wasiwasi na ndivyo ilivyokwa vyombo vya fedha kwamba baadhi bado vinawasiwasi juu ya hati miliki za kimila. Ningependa nitumiefursa hii kuwahakikishia wamiliki wote wa Benki428


kwamba, hati miliki za kimila zinatolewa kwa Mujibu waSheria ya Ardhi ya Vijiji (Namba 5) ya Mwaka 1999 nazina hadhi sawa na hati inayotolewa kwa ardhi yaujumla, yaani ardhi ya kawaida inayotolewa chini yaSheria Namba 4 ya Mwaka 1999. Zaidi sananingependa kuwahakikishia kwamba, hati miliki zakimila zina hadhi zaidi kwa sababu yenyewe hainaukomo. Ukipewa haina kusema ikifika miaka 99 ardhi ileinarudi kwa Serikali, hapana ukishamilikishwa ni yakwako. Sana sana kwa mujibu wa Sheria na Serainaelekezwa kwamba, ardhi iliyomilikishwa kwa mujibuwa Sheria hiyo kwa maana ya hati miliki za kimila,haitauzwa kwa wageni. Kwa hiyo, ardhi ile inakuwasalama zaidi kuliko hata ardhi ya kawaida ambayoimemilikishwa kupitia Sheria Namba 4 ya Mwaka 1999.Mheshimiwa Spika, lipo suala lililoulizwa naWa<strong>bunge</strong> wa Dar es Salaam nalo linahusiana namustakabali wa Mji Mpya wa Kigamboni na Wakaziwengine wa Dar es Salaam, ambao maeneo yaoyamewekwa katika mpan<strong>go</strong> wa kuendelezwa upya.Hili ni pamoja na eneo la Kurasini. Ningependa kuelezaifuatavyo:-Kwamba, Serikali imeshughulikia kwa kiasi kikubwasana kero za Wananchi wa Dar es Salaam. Nikitoa tumifano jinsi tulivyoshughulikia, Serikali hivi sasa katikaBajeti hii ambayo itaanza kutumika tarehe Mosi Julai,imetenga fedha za kutosha kulipa fidia kwa Wananchiwa Kurasini ambao eneo lao litachukuliwa kwa ajili yakuwekeza chini ya usimamizi wa EPZ. (Makofi)429


Vile vile kwa upande wa Kigamboni, kabla sijatokaKurasini kuna eneo ambalo tunajenga Daraja laKigamboni, tayari uthamini umekwishafanyika naWizara ya Ujenzi kwa kushirikiana na Mfuko wa Hifadhiya Jamii (NSSF), wanakamilisha taratibu za kuwalipawahusika fidia katika eneo hilo. (Makofi)Upande wa Kigamboni, ningependa kuwajulishaWa<strong>bunge</strong> wenzangu wa Dar es Salaam na Wananchiwa Kigamboni kwa ujumla kwamba, Serikaliimekwishachukua hatua zifuatazo:-Kwanza, imetenga fedha za kutosha kwa ajili yakulipa fidia kwa wananchi ambao watatakiwa kupishaujenzi wa miundombinu na huduma za jamii. Vile vileSerikali imeidhinisha uanzishwaji wa Mamlaka yaKuendeleza Mji Mpya wa Kigamboni. Tunatarajiakwamba, taratibu zitakapokuwa zimekamilika,mapema mwaka huu wa fedha unaoanza kwamaana ya mwezi Julai, A<strong>go</strong>sti na baada ya Bodi yaChombo hicho kuteuliwa, basi Chombo hicho kitaanzakazi na taratibu zote za maendelezo ya Mji huo Mpyazitasimamiwa na Wakala huyo. (Makofi)Ningependa pia kusema kwamba, moja ya keroambazo zilikuwepo kwa mfano, kwa upande waWananchi wa Kurasini na maeneo mengine ya Dar esSalaam, ilikuwa ni malalamiko juu ya fidia kuwa ndo<strong>go</strong>.Serikali kupitia Wizara imehuisha viwan<strong>go</strong> vya fidiaambavyo mara vitakapokuwa vimeidhinishwa naSerikali vitaanza kutumika. Tunatarajia kwamba, waleambao watalipwa fidia, sasa viwan<strong>go</strong> vipya vitatumikabaada ya Serikali kuidhinisha.430


Mheshimiwa Spika, kwa kuwa muda unanikimbia,kuna suala ambalo Mheshimiwa Halima Mdeealilizungumzia kuhusiana na kodi ya ardhi inayotozwakwa mashamba kwamba ni shilingi 200. Ningependakulijulisha Bunge lako Tukufu kwamba, viwan<strong>go</strong> hivivimehuishwa na kuanzia mwaka ujao wa fedhaviwan<strong>go</strong> vipya ambavyo tayari vimewasilishwa kwaWaziri wa Fedha ili aridhie, vitaanza kutumika na kwasababu hiyo lile suala la labda pengine viwan<strong>go</strong>vido<strong>go</strong> vya ushuru huo kuwa ni kichocheo cha watukujitwalia ardhi na kuhodhi, pengine itasaidiakupunguza. Viwan<strong>go</strong> vitakavyowekwa havitakuwavikubwa sana vya kuumiza wakulima wa kawaidahapana.Mheshimiwa Spika, kuna alilolizungumziaMheshimiwa Abdallah Haji Ali, ningependa kumshukurusana kwa mchan<strong>go</strong> wake mkubwa kwa kutambua kazinzuri inayofanywa na Shirika la Nyumba la Taifa, kwakujenga nyumba kwa ajili ya Watanzania.Tunamshukuru sana yeye na Wajumbe wote waKamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili naMazingira, kwa ushauri na maelekezo memawanayotoa kwa Shirika hilo na Sekta ya Ardhi kwaujumla. (Makofi)Mheshimiwa Spika, kuna hoja ya MheshimiwaMoshi Selemani Kakoso, ambayo alisema kwamba lipotatizo la kuingiliana baina ya Hifadhi na vijiji kadhaakule Mpanda, ambavyo alivitaja Vijiji vya Kasekese,Kapalamsen<strong>go</strong>, Sebwesa, Kungwi, Vikonga naKaseganyama kwamba, maeneo hayo yameingiliana431


na kumekuwepo na m<strong>go</strong><strong>go</strong>ro baina ya Hifadhi naWananchi wa Vijiji hivyo. Ningependa kulijulisha Bungelako Tukufu kwamba, Hifadhi zote za Taifa huanzishwakwa mujibu wa sheria na zinapoanzishwa Taarifa yaSerikali (Government Notice), inayotoa taarifa yakuanzishwa kwa Hifadhi yoyote inayohusika, huainishamipaka ya Hifadhi hiyo. Kwa msingi huo, wito wangu nikwamba Hifadhi za Taifa, yaani Shirika la Hifadhi zaTaifa (TANAPA), ishirikiane na Serikali za Halmashaurizinazohusika kuhakikisha kwamba, wanahakiki mipakahiyo na kuweka alama ili kuepuka mi<strong>go</strong><strong>go</strong>ro kwa sikuzijazo.Wizara yangu itakuwa tayari kama Mpimaji Mkuuwa Ardhi hapa nchini kutoa msaada wakati wowoteutakapokuwa umehitajika.Mheshimiwa Spika, kuna hoja ya MheshimiwaKalogeris, M<strong>bunge</strong> wa Moro<strong>go</strong>ro kwamba, ujenzi waBwawa la Kidunda umechelewa sana kutokana naMthamini Mkuu wa Serikali kuchelewesha kuidhinishana kurejesha taarifa ya uthamini iliyofanywa katikaeneo hilo. Ningependa kulijulisha Bunge lako Tukufukwamba ni kweli uthamini umefanyika na baada yakukamilika Halmashauri ya Manispaa ya Moro<strong>go</strong>ro nainaonesha kwamba wananchi wapatao 300 wa eneohilo wataathirika lakini taarifa ya uthamini badohaijakamilika na haijawasilishwa kwa Mthamini Mkuuwa Serikali. Hivyo, leo nimeagiza kwamba, Mthaminiwa Mji wa Manispaa ya Moro<strong>go</strong>ro, Bwana Lioba,akamilishe taarifa hiyo mapema iwezekanavyo nakuwasilisha kwa Mthamini Mkuu wa Serikali iweze432


kuhakikiwa na baadaye kuidhinishwa na hatua zakulipa fidia ziweze kuchukuliwa.Mheshimiwa Spika, ipo hoja ya Mheshimiwa VictorMwambalaswa, nimekwishalielezea hili.Mheshimiwa Spika, kwa sababu hoja nyinginetutajibu baadaye, naomba nikushukuru sana nanaunga mkono hoja hii. (Makofi)SPIKA: Mtajibu tena Wizara zenu zitakaposomahotuba.WAZIRI WA NISHATI NA MADINI: Mheshimiwa Spika,kwanza, napenda kufurahia michan<strong>go</strong> mingi ambayoimetolewa na Waheshimiwa Wa<strong>bunge</strong>; mengi sanatumeyazingatia na majibu mengi mtayapata kwenyeHotuba yangu ya tarehe 24 wakati nawasilisha hapa.Mheshimiwa Spika, labda niongee machache nikwamba, wengi sana wameongelea suala la gesi,imeonekana kwamba kuna wasiwasi huendatutapoteza hatujajitayarisha. Kama nilivyoeleza hapomwanzoni ni kwamba, Sera inatengenezwa naWatanzania na kama nilivyotoa ahadi itajadiliwa kwaundani sana na Watanzania na vile vile tutakwendampaka Lindi na Mtwara, wakazi wa kule na waowaweze kuchangia. (Makofi)Mambo yakienda vizuri, kabla ya mwisho wamwaka huenda tutaleta Muswada hapa Bungeni ilituweze kuhakikisha tunapata faida kutokana na gesi433


yetu hii. Mengi sana kuhusiana na gesi nitaeleza tarehe24.Mheshimiwa Spika, labda kitu cha muhimu sanacha kuwaeleza ni kuhusiana na tarakimu ambazozilikuwa zinatolewa, sasa ni vizuri niwapatie tarakimuambazo ni za uhakika zaidi. Ni kwamba gesi ambayotumeipata hadi leo ni ujazo wa futi trilioni 26.99, yaani26.99 trillion cubic feet. Sasa kuna formula ya kutumiakutoa gesi kwenda kwenye mapipa ya mafuta,ukitumia hiyo ambayo ni ya Kimataifa inaoneshakwamba, hiyo gesi ya kiwan<strong>go</strong> hicho ni sawa sawa namapipa ya mafuta bilioni 4.86. Sasa ukichukulia bei yapipa moja kwa sasa ni dola 86, ninamaanisha gesi yetuina thamani ya Dola za Marekani bilioni 417.81,ambayo ukichukulia dola moja sawa na shilingi 1500 nitrilioni 626.71. Hiyo ni thamani kabla hujatoa fedhawalizozitumia kutafuta hiyo gesi na baadaye kujakuizalisha. Mpaka hivi sasa mitetemo imefikia bilioni637.79 ya hayo makampuni yaliyotumia. Uchimbaji wavisima ambavyo niliwaeleza kisima kimoja kinatumiafedha nyingi sana ni kati ya Dola za Marekani 100mpaka 150. Sasa hadi kufika leo hii wametumia Dola zaMarekani 840. Kwa hiyo, Waheshimiwa Wa<strong>bunge</strong>,hapo nitakuja kuwaeleza faida nyingi sana ambazotutazipata kwenye Hotuba yangu ya tarehe 24.Kingine kilichoongelewa nadhani kido<strong>go</strong> kwa hisiakali sana ni kuhusu Kiwira na Kabulo. Kwanza kabisa,ukiwa unajadili mambo ya Kiwira na Kabulo ni vizuriukatenganisha, hii ni Mi<strong>go</strong>di ambayo ipo mbalimbali, niMi<strong>go</strong>di miwili tofauti. Ukiwa hapa niliposimamakwamba ndiyo Kiwira ambayo inakisiwa kuwa na tani434


kama 35.4 milioni za makaa ya mawe, kilomita naneKusini ya Kiwira ndiyo upo M<strong>go</strong>di wa Kabulo ambaonadhani ndiyo mkubwa una tani milioni 50.94. Kuliakwake ndiyo kuna M<strong>go</strong>di wa Ilima ambao wenyewe nimdo<strong>go</strong> una tani 280,000. Kwa hiyo, ukilichukua eneolote hilo hapo, lina makaa ya mawe mengi sana. SasaSTAMICO ilikuwa ndiyo inashughulika na Kiwira hatamimi nilipokuwa Mwenyekiti wa Bodi kabla ya mwaka2005, umeme uliokuwa unazalishwa ulikuwa megawattkumi wakati huo, ukashuka mpaka tano, ikafika wakatiTANESCO ikasema haiwezi kununua umeme wa Kiwirakwa sababu in mwingi sana.Kwa hiyo, mengi yamefanyika, baadaye STAMICOikashindwa kuiendesha Kiwira, halafu Serikali ikauzahuo M<strong>go</strong>di kwa Tanpower Resources Limited mwaka2005 na mauzo ilikuwa ni kwamba, hii Kampuni yaTanpower ichukue asilimia 70 na Serikali ibaki naasilimia 30. Mengi yalifanyika hapo ambayo vile vilenitawaeleza kwa undani sana siku hiyo ya tarehe 24.Ukweli ni kwamba, hata hiyo kampuni ilishindwakuendesha Kiwira na cha kuongezea ni kwamba,ilikopa fedha kuendeshea Kiwira na mthamini wamkopo huo ilikuwa ni Serikali na kufikia Novemba, 2011,mkopo na riba yake ni kama ifuatavyo: Mkopo wakutoka NSSF ni bilioni 16.5, mkopo kutoka PSPF ni bilioni11.09 na mkopo kutoka CRDB ni bilioni 4.65. Kwa hiyo,jumla ya mkopo hadi kufikia Novemba 2011 ni bilioni32.24.Sasa iwapo Serikali inataka kuuchukua huo M<strong>go</strong>di,inabidi ichukue na madeni. Vile vile nitakuja kuwaelezakwa nini tumetenga shilingi bilioni 40 kwa ajili ya435


kufanya Kiwira iwe mikononi mwa Serikali moja kwamoja. Mnaweza kuona tu mkopo wa Kiwira kutokakwenye Mabenki upo kwenye kiwan<strong>go</strong> hicho chabilioni 32.24. Hiyo Kiwira ikaja kuuzwa na huyuTanpower akawauzia Kampuni inayoitwa TanzacoalEast Africa Mining Company Limited ambayo niKampuni Tanzu ya Intra-Energy ambayo vile vileinaendesha ile ya Ngaka. Hapo napo menginitawapatia siku ya tarehe 24.Mheshimiwa Spika, sasa kutokana na hivyo, NSSFiliomba kuendesha huo M<strong>go</strong>di wa Kiwira kwa sababuyenyewe ndiyo imetoa mkopo mkubwa, ikasemaiuziwe kwa dola moja kusudi walipe wadeni walewengine ichukue huo mkopo. Kwa hiyo, ikaitafutakampuni moja inayoitwa City Energy and InfrastructuresLimited ambayo Makao yake Makuu yako Dubai naIndia, lakini wataalamu wa kila upande walipoendakuihakiki hii kampuni kati ya tarehe 18 na 27 Septembamwaka jana, ikakutwa kwamba hii kampuni haikuwaregistered popote pale, baadae ikaja kuwa registerd.Kwa hiyo, ndugu zangu nataka kuwaelezaunapomsikia mtu anaongea Kiwira lazima ujueanaongea akiwa upande upi, mambo ni mengi sanaya Kiwira.Niwaambie tu kwamba, nimeagiza Wadau wotewa Kiwira, tutakaa kikao cha pamoja hivi karibuni kwasiku nne, tano, zijazo, kila mtu aje na makabrasha yaketongee kwa uwazi kabisa tujue nani ni nani. Nimeombatuifanye hiyo kabla ya Hotuba yangu ya tarehe 24kusudi nikija kuwaeleza hapa, niwaeleze vitu vya436


uhakika siyo vya kwenda mbele, nyuma, mbele,nyuma. (Makofi)Mheshimiwa Spika, wengine wameongelea M<strong>go</strong>diwa Kabulo kwa nguvu sana ambao upo Wilaya yaIleje. Nimewaambia ni kilomita nane tu Kusini mwaM<strong>go</strong>di wa Kiwira na katikati kuna Mto, kwa hiyo,ukitaka kuwa mzalishaji mkubwa ukiwa una plan nzurilazima ununue zote za Kiwira, Kabulo na Ilima. Hizo nimbinu za uwekezaji. Hii Kabulo nayo ilikuwa yaSTAMICO, ambayo nayo baadaye ilipewa hiyoKampuni ya Tanpower Resources ya Tanzania ambayonayo baadaye ikaja kuuza, bei yake sijaielewasawasawa, vile vile nitawaeleza kwa undani tarehe 24mambo yalivyokwenda.Waheshimiwa Wa<strong>bunge</strong>, hiyo ndiyo hali ya Kiwirana Kabulo; kuna mambo mengi sana, nawahakikishiakwamba nitakapokuja hapa tarehe 24 tutakuwa namwafaka wa kusonga mbele na huu mjadala, sasatutakuwa tunaongelea uzalishaji wa makaa ya mawe.Isipokuwa nawaomba Waheshimiwa Wa<strong>bunge</strong> naWatanzania wengine popote wanaponisikia, kampunimnazozileta kwamba ziwe ubia na Mashirika yetu yaUmma, msilete kampuni ambazo siyo za uhakika kwasababu hazitapita wala hazitaruhusiwa kufanyabiashara katika nchi hii.Mheshimiwa Spika, sasa niongelee umeme vijijini.Wengi sana wameongelea umeme vijijini tunafurahi,lakini nataka kuwahakikishia kwamba, toka REA ianzemwaka 2007, imefanya mambo mengi sana na katikaHotuba yangu vile vile nitawagawia Ramani ya437


Tanzania ikionesha wapi umeme umewekwa na REA.Vile vile mtapata orodha ya Vijiji vya Mikoa namkipenda mtapata majina ya vijiji ambapo REAimeweka umeme. Kwa hiyo, tutakuwa tunaongea vituvya uhakika zaidi. (Makofi)Mheshimiwa Spika, kuhusu TANESCO, nadhani sasahivi mnaona kido<strong>go</strong> tunaendelea vizuri, umemehaukatikikatiki kama hapo awali na kamanilivyowaeleza, ikiwa tuna wataalamu na zaidi yamiaka miatano, kumi tunaingia kwenye mgao kilamwaka, inaonesha ubunifu sasa wa hao ndugu zetukwenye Management labda kido<strong>go</strong> umefikia kikomo.Nataka kuwahakikishia kwamba, umeme hautakatikaau mgao hautatokea, tutajitahidi kwa njia zote hizo.Mmeona waliokuwa hawajafungiwa umeme,wamefungiwa na ile tarehe ya mwisho tuliyoiwekakwamba TANESCO lazima iwe imewafungia siyo yamzaha, kama hamjafungiwa tuelezeni.Mwisho kabisa...(Hapa kengele ililia kuashiria kwisha kwa muda wamzungumzaji)pili.SPIKA: Mheshimiwa Waziri, hiyo ndiyo kengele yaWAZIRI WA NISHATI NA MADINI: Mheshimiwa Spika,haya. Mimi nawaombeni wote tuunge hoja mkono.Ahsante. (Makofi)438


WAZIRI WA KILIMO, CHAKULA NA USHIRIKA:Mheshimiwa Spika, naomba nami nimpongezeMheshimiwa Waziri Mkuu, Mawaziri, Naibu Mawaziri naVion<strong>go</strong>zi wote, kwa hotuba nzuri waliyotuwekeaMezani na moja kwa moja naomba nianze kwakuunga mkono hoja hii. (Makofi)Mheshimiwa Spika, nami nitumie fursa hii kutoaufafanuzi kido<strong>go</strong> kwa baadhi ya mambo ambayoyamejitokeza kwenye Sekta ya Kilimo. Kwa kuwa hojazilikuwa nyingi kweli kweli, mimi nimeona afadhaliniziweke kwenye kongani kwa sababu hata nikisemanimtaje mmoja baada ya mwingine sitaweza.Naomba nianze na suala la ruzuku ya pembejeokuwahishwa kwa wakulima. Kwanza, naomba nisemehakuna biashara inayofanywa na Serikali ya kupelekapembejeo. Pembejeo zote zinapelekwa nawafanyabiashara isipokuwa ndani ya pembejeo zilekama mbolea ambazo wafanyabiashara wanakuwawamepeleka, ndimo humo kunakuwa na pembejeoambazo zinapata ruzuku. Kwa hiyo, ile dhana yakwamba Serikali ndiyo inapeleka zile pembejeo,nilitaka kwanza niliweke sahihi hili. Tunachokifanya sisiambacho tunaweza tukaambiwa tumekichelewesha nikupeleka voucher kwa wakulima kuzisambaza ili waleambao wanapata fursa hiyo waweze kuzitumia. Kwahiyo, kubwa hapa ni kuwahisha zile voucher zapembejeo. Sasa kumetokea matatizo mengi katikamfumo ambao tumeutumia msimu ulipita, lakinitumejitahidi kutafuta njia za kuwahisha voucher hizi napembejeo ziwafikie wakulima. Mfumo mmoja ambaowengi wameupenda hasa Wakuu wa Mikoa439


wanaosimamia zoezi hili ni wa kutumia Taasisi naVikundi vya Ushirika kuweza kukopa kwenye Mabenki iliwaweze kujipatia.Mheshimiwa Spika, mfumo huu unatupa matatizokido<strong>go</strong> tu kwamba unahitaji maandalizi ya mudamrefu. Ili vikundi hivi viweze kukopa kwenye Benki,Mabenki yana masharti yake yanahitaji vikundivilivyosajiliwa, vikundi vinavyokopesheka, vikundivyenye accounts ambazo zimekaguliwa. Sasa utakutavikundi vingi tulivyonavyo havina uwezo wa kukidhimatakwa haya ya Benki. Kwa hiyo, mfumo huu pamojana uzuri wake, tumeona tutumie karibu mwaka mzimahuu kuviandaa vikundi hivi ili msimu unaofuata viwetayari. Kwa hiyo, kwa msimu huu tumeamua kwamba,tutatumia mfumo wa voucher, lakini tutauboresha kwamaana ya kwamba sasa hatutakuwa tena namawakala ambao watateuliwa na Serikali aumawakala watakaoteuliwa na kabati zile. Mawakalawatateuliwa moja kwa moja na makampuni yambolea, yaani kampuni zitakazopeleka pembejeo,zitapeleka pembejeo moja kwa moja mpaka Vijijini nandizo zitakazohusika kuteua mawakala wake. (Makofi)Sasa zipo faida ambazo tutazipata kwa kutumiautaratibu huu; kwanza, tutaondoa ule utaratibuambao mawakala walikuwa wanaweza kuelewana nawakulima na wafanyabiashara wengine wakatuibiafedha, njia hiyo na fursa hiyo hawatakuwa nayo; piatutapata fursa ya kuweza kuwahisha pembejeo; nazaidi ya hapo kwa kuwa tutatumia makampuni kamaTFC, ubora wa pembejeo utakuwa mzuri maanaitakuwa rahisi wao wenyewe watawajibika kwanza440


kwa kufikisha mbolea ile, halafu pia watawajibika kwaajili ya ubora wa pembejeo inayopelekwa.Mheshimiwa Spika, kwa sababu ya muda,naomba hilo niliachie hapo, nije kwenye suala laMbolea ya Minjingu. Kwa kweli suala hili pialimezungumziwa na sisi tunaona ipo haja kama tunarasilimali ambayo iko hapa hapa kwetu Tanzania, basiMbolea ya Minjingu tutaendelea kuitumia na kwabahati nzuri tumeifanyia kazi. Hivi sasa mbolea iletumeiboresha au wameiboresha, baada ya utafitiinatoa mbolea inayoitwa Minjingu Mazao. Mbolea hiiina thamani kabisa sawa na DADP, pamoja nakwamba viwan<strong>go</strong> vya kutumia vinatofautiana. Kwahiyo, tutakachofanya ni kusisitiza matumizi ya Mboleahii ya Minjingu, lakini kwa kutumia utaratibu huo huowa kuifikisha kwa wakulima niliyowaelezea hapo awali.Mheshimiwa Spika, nilipenda pia nieleze kuhususuala lingine ambalo tunataka kulishughulikia kwa bidiikabisa ni kuhakikisha kwamba tunahamasisha SektaBinafasi ili zitujengee viwanda vya mbolea, viwandavitakavyotumia gesi hii ambayo tunaizungumzia,viwanda ambavyo vitatumia hii Minjingu RockPhosphate ambazo ndizo rasilimali tulizonazo hapaTanzania. Kwa hiyo, siyo tu wawekezaji kutoka nje,Wizarani kwangu nimeanza mazungumzo na mifukoyenye fedha, sasa mazungumzo haya yanaratibiwa naNaibu Waziri, yeye ni mahiri kweli kweli katika eneo hilina Katibu Mkuu, kuangalia uwezekano wa kupatafedha na wafadhili wanaoweza kusaidia wawekezajiambao wapo tayari kuwekeza katika Sekta hii ya Kilimo441


hata hapa ndani. Kwa hiyo, mazungumzo hayotumeanzisha na yanaendelea vizuri.Mheshimiwa Spika, naomba nizungumziechangamoto za masoko. Wengi wamezizungumziahususan Mheshimiwa Zambi. Baada ya hapo, naombanizungumzie suala la korosho. Suala la korosho ni kamatunaelekea kulimaliza. Tulikuwa na tatizo la koroshozilizobaki Tunduru na Koreku kule Coast Region kamatani 13,000. Tatizo lililokuwepo huko lilikuwa siyo suala lakupata mnunuzi, sisi tumekubali sasa tumeamuakuweka ushindani. Kwa maana ya kwamba, wajewengine wanaoweza kuingia katika soko, kuongezaushindani badala ya kuwa na ukiritimba wa wanunuziwachache. Baada ya kufanya hivyo, koroshoimenunuliwa kwa kiwan<strong>go</strong> cha kutosha, isipokuwa hiyoiliyobaki Tunduru na Koreku ambayo ilikuwa takribantani 13,000. Leo hii nimefuatilia, naomba niwataarifuWakulima wa Korosho kwamba, suala hili lilikuwa nautata, utata ulikuwa huyu mnunuzi ambaye yuko tayarikuinunua, anachotaka yeye ni korosho apelekewebandarini.Suala lilikuwa utata wa kusafirisha kutoka kwenyemaghala mpaka bandarini. Tumezungumza vizuri naMwenyekiti wa Bodi, Mama Anna Abdalah,tumelifikisha mahali pazuri na hivi sasa nimemwita huyomnunuzi mwakilishi alikuja juzi na amenihakikishiakwamba, tatizo lilikuwepo la kufungua letter of credit ilikumuwezesha mnunuzi huyu kuendelea, hilo sasalimekwisha. Kwa hiyo, nataka niwahakikishie kwamba,tatizo hili litakuwa limepatiwa ufumbuzi ndani ya wiki hii.442


Mheshimiwa Spika, naomba nizungumzie suala lakahawa. Suala la kahawa nalo limeleta mazungumzomengi hapa ndani, lakini sisi bottom linetunachokisema, tunataka kahawa isindikwe ili mkulimaauze kahawa yenye thamani. (Makofi)Sasa kwa kufanya hivyo, tunachohitaji ni kwamba,tuwe na wakulima wanaoweza kusindikiza wasindike,vikundi visindike, vyama vya ushirika visindike, lakini piahata watu binafsi ambao wanaweza kusindika kamawana uwezo huo, basi tunataka nao wawezekusindika. Tunachokihitaji hapa ni kuweka mazingiraambayo huyu msindikaji mkubwa hatakuwa na nafasiya kumnyonya mkulima, ampe bei nzuri na hasa kwakuhakikisha kwamba kahawa ile imesindikwa. Kwahiyo, tunachotaka kusisitiza hapa ni kwamba, vikundivyenye CPUs, zile mashine za kukoboa kahawa,vitaendelea kuimarishwa katika maeneo haya ilihatimaye mkulima huyu aweze kupata ubora wakahawa unaotakiwa. (Makofi)Mheshimiwa Spika, siwezi kuacha kuzungumziasuala lililojitokeza kuhusu Bodi ya Kahawa kwa sababulimezua hisia kubwa sana. Naomba niseme kwambauteuzi…(Hapa kengele ililia kuashiria kwisha kwa muda wamzungumzaji)SPIKA: Hiyo ni kengele ya pili.443


WAZIRI WA KILIMO, CHAKULA NA USHIRIKA:Mheshimiwa Spika, ilikuwa ya kwanza.SPIKA: Pole sana ni ya pili.WAZIRI WA KILIMO, CHAKULA NA USHIRIKA:Mheshimiwa Spika, naomba kuunga mkono hoja.(Makofi)WAZIRI WA NCHI, OFISI YA MAKAMU WA RAIS(MUUNGANO): Mheshimiwa Spika, nashukuru na mimikwa kupata nafasi hii.SPIKA: Huyu mtamwona tutampigia baada yadakika tano tu.WAZIRI WA NCHI, OFISI YA MAKAMU WA RAIS(MUUNGANO): Mheshimiwa Spika, kabla ya kuchangiaHoja ya Waziri Mkuu, moja kwa moja nijielekeze katikahoja iliyotolewa na Waheshimiwa Wa<strong>bunge</strong> wenzangu,nayo ni hoja ya Kero za Muungano na kwamba, mudawote huu ni kero mbili tu ambazo zimepatiwa ufumbuzi.Mheshimiwa Spika, ukweli ni kwamba, tunapokaaVikao vya SMZ na SMT, reference yetu kubwa ni hoja13, kama zilivyoibuliwa na Tume ya Shellukindo Mwaka1996. Katika kero hizi 13 ni kwamba, kero saba tayaritumeshazimaliza na siyo kero tena na kwa hiyo,tunafanyia kazi kero sita. Kuna kero ambazozimejitokeza hapo katikati ikiwemo hii ya umeme,ambayo imejitokeza mwaka 2008, lakini pia kero yaMfuko wa Jimbo. Kero hizi mbili nazo piatumeshazifanyia kazi na kufanya kero zilizofanyiwa kazi444


kuwa ni tisa ambazo utekelezaji wa Sheria ya Haki zaBinadamu, uwezo wa Zanzibar kujinga na MaritimeOrganisation na kufanya biashara na meli za nje,mgawanyo wa mapato yatokanayo na misaada namikopo ya kibajeti, masuala ya mikopo ya IMF,msamaha wa Multilateral Debt Relief Initiative, Zanzibarkukopa nje na ndani ya nchi, Miradi ya Maendeleo yaZanzibar kupelekwa kwenye Jumuiya ya AfrikaMashariki na uvuvi kwenye Ukanda wa Bahari Kuu.Mheshimiwa Spika, hayo yote tumeshayafanyiakazi na tumemaliza.Mheshimiwa Spika, mambo ambayo yapo katikahatua mbalimbali ni Hadhi ya Zanzibar kushiriki katikamambo au Taasisi za Nje, Ushirikiano wa Kimataifa,ambao tayari mwon<strong>go</strong>zo umeshawekwa, tunasubirikikao cha SMT–SMZ kuuthibitisha na kuupa barakauendelee kutumika. Suala lingine ni ajira katika Taasisiza Muungano, ambapo Mawaziri wa Sekta za Utumishiwa Umma wameshakaa, wameshakubaliana mambokadhaa, tunasubiri Kikao kuthibitisha. Masuala yamgawanyo wa mapato ya Benki Kuu na Hisa zaZanzibar katika Sarafu ya East Africa na suala la Ripotiya GFC. Haya kama mlivyosikia, timu mpya iliyoingiaWizara ya Fedha itayafanyia kazi. Nami nina imani naona ninaamini watayafanyia kazi kwa haraka ili tuondoeutata uliopo.Mheshimiwa Spika, kuna suala la kodi yaWafanyakazi wa Taasisi za Muungano wanaofanyiakazi Zanzibar na kodi ya zuwio. Hili tunatarajia445


tutakapopitisha Miscellaneous Ammendments na ile Billya Fedha, hili nalo tutakuwa tumelimaliza.Mheshimiwa Spika, kuna suala la mafuta na gesiambalo kama Waziri Mkuu alivyosema, Serikali upandehuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hawanautata na hilo ila tunafuata formalities kulitoa kabisa.Mheshimiwa Spika, mwisho ni suala lawafanyabiashara kutozwa kodi mara mbili. Hapanataka ninukuu kauli ya Naibu Waziri wa Fedha,Mheshimiwa Saada Mkuya kwamba, hili nalowanalifanyia kazi na litakwisha mara moja.Mheshimiwa Spika, umenipa dakika tano, naombakuunga mkono Hoja ya Waziri Mkuu na menginenitajibu kwenye Hotuba yetu ya Bajeti. Asante.(Makofi)NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZAMIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (ELIMU): MheshimiwaSpika, naomba kutumia nafasi hii kumshukuruMwenyezi Mungu, kwa kunijalia uhai na kuniwezeshakusimama mbele ya Bunge lako hili Tukufu. Nitumie pianafasi hii kumshukuru Mheshimiwa Dokta Jakaya MrishoKikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,kwa kuniamini na kunirudisha kwenye nafasi ya awalindani ya Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI). Namininamuahidi kutumikia katika nafasi hii kadiri MwenyeziMungu atakavyoniwezesha.Mheshimiwa Spika, natumia pia nafasi hiikumpongeza sana Mheshimiwa Mizen<strong>go</strong> kayanza446


Pinda, Waziri Mkuu, kwa uwezo mkubwa, busara zakutosha, kwa kuion<strong>go</strong>za vizuri Ofisi ya Waziri Mkuu(TAMISEMI) na kwa ufanisi mkubwa zaidi. Pia,namshukuru sana Mheshimiwa Hawa Ghasia, M<strong>bunge</strong>wa Mtwara, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu(TAMISEMI), kwa ushirikiano mzuri anaotupa kwa ajili yakuimarisha uwajibikaji ndani ya (TAMISEMI), bilakumsahau Mheshimiwa Aggrey Mwanri, M<strong>bunge</strong> waSiha, Naibu Waziri (TAMISEMI), kwa ushirikiano anaonipawakati wote na ushauri na kuweza kufanya kazi zetukwa pamoja.Mheshimiwa Spika, namshukuru pia Katibu Mkuu,Bwana Hussein Katanga na Naibu Makatibu Wakuu,Bwana Alfayo Kidata na Bwana Jumanne Sajin, NaibuKatibu Mkuu wa Elimu, kwa ushirikiano mkubwa wakiutendaji wanaotupa. Kwa nafasi hii namshukuru piaMama Margaret Sitta, Mwenyekiti wa Kamati yaHuduma za Jamii na Wajumbe wote wa Kamati hiie,kwa ushauri juu ya masuala mbalimbali ya elimu.Vilevile nawashukuru Watendaji na Watumishi wa Ofisiya Waziri Mkuu (TAMISEMI), kwa ushirikiano mkubwawalioutoa katika kufanikisha kuiandaa bajeti hii namambo mengine yote yanayotupelekea kufanya kazivizuri. (Makofi)Mheshimiwa Spika, bila kusahau napenda piakuwashukuru Wananchi wa Jimbo la Ruangwa,walionipigia kura na kuniamini, kwa ushirikiano waomkubwa kabisa wanaonipa. Nami natakakuwahakikishia bado niko imara, tutaendelea kuwapamoja katika kujiletea maendeleo yetu. (Makofi)447


Mheshimiwa Spika, baada ya utangulizi huo,naomba sasa kujibu hoja mbalimbali zilizotolewa naWaheshimiwa Wa<strong>bunge</strong>, ambazo zimejikita katikamaeneo machache, pamoja na michan<strong>go</strong> iliyokuwamingi, kama ifuatavyo:-La kwanza, naomba nizungumzie kido<strong>go</strong> juu yaupungufu wa walimu katika maeneo mbalimbalinchini.Mheshimiwa Spika, Serikali inaendelea namchakato wa ajira ili kuboresha upatikanaji wa walimukatika maeneo yetu. Nataka nitoe taarifa tu kwamba,kufikia Disemba 2011, tulikuwa na walimu wa shule zamsingi 167,904, kati ya 214,468 wanaohitajika. Pia, tunawalimu 44,574 wa sekondari, kati ya walimu 81,800wanaohitajika. Kufikia Januari au Februari mwaka huu,Serikali iliajiri walimu 24,427 ambao wamejigawa katikamaeneo yafuatayo: Walimu wa elimu ya msingi 11,235na walimu wa sekondari 13,192 ambapo wenyeshahada walikuwa 7,189 na stashahada ni 6,003.Mheshimiwa Spika, hawa wote wamesambazwakwenye maeneo yetu na bado Serikali inao mchakatowa kutosha wa kuajiri walimu wengi zaidi ili kutoshelezamahitaji ya walimu kwenye maeneo yetu. TukiongezaWalimu wa Vyuo ambao pia waliajiriwa chini ya Wizaraya Elimu na Shule za Mazoezi, wanafanya jumla yawalimu wote ambao wameajiriwa katika kipindi hikikuwa 25,000.Mheshimiwa Spika, kwa sasa tuna upungufu wawalimu wa shule za msingi kwenye TAMISEMI 33,636 na448


upande wa Sekondari walimu 24,034. Kama Serikali,tutaendelea kuajiri msimu ujao walimu hawa,tunaamini ajira zao katika awamu mbili zijazo tunawezatukawa tumefikia angalau asilimia 85 kupunguzaupungufu wa walimu kwenye maeneo tuliyonayokwenye shule zetu. Kwa hiyo, suala la upungufu wawalimu, tunaendelea kuliratibu vizuri na Serikali ipoimara katika uajiri tuweze kuongeza idadi ya walimu.Mheshimiwa Spika, eneo la pili ambaloWaheshimiwa Wa<strong>bunge</strong> wameonesha kwamba linamatatizo ni mkakati wa kuboresha miundombinukwenye shule zetu za sekondari kwenye maeneo yamadarasa, nyumba, maabara, hostels, lakini pia hatamatundu ya vyoo.Mheshimiwa Spika, nataka niwahakikishiekwamba, Serikali inaendelea kutenga fedha zauboreshaji wa miundombinu hiyo kwa ajili ya kuboreshashule zetu za msingi na sekondari. Kwa mfano, Mwakawa Fedha 2011/2012, Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI),ilitenga na kutuma fedha kwenye Halmashauri zetu,shilingi bilioni 30 kwa ajili ya nyumba 614, madarasa187, maabara 127, matundu ya vyoo 1,916 na kununuamadawati kwenye shule zetu mbalimbali 185,218.Mheshimiwa Spika, tulitenga shilingi bilioni 20.8 kwaajili ya kukarabati shule kongwe ambazo sasa hivizinaonekana zimechakaa miundombinu yake.Tulitenga shilingi bilioni 3.2 kati ya hizo ili pia kuwezakufanya kazi hiyo kwenye shule ambazo tumezigawia.Pia kujenga maabara nyingine kwenye Shule hizi za449


Kata tulitenga shilingi bilioni tatu na kujenga hosteltulitenga shilingi bilioni 14.6. Huo ndiyo mkakati wakuboresha miundombinu mbalimbali kwenye shulezetu. Hata hivyo, Mwaka huu wa Fedha, tumetengajumla ya shilingi bilioni 56.3 kwa ajili ya kuimarishamiundombinu mbalimbali katika shule 264 ili kukabiliuchakavu, lakini pia upungufu wa miundombinuunaokabili kwenye Shule zetu za Kata.Mheshimiwa Spika, Waheshimiwa Wa<strong>bunge</strong>,walijadili sana juu ya madai mbalimbali ya walimu,lakini pia suala la stahili mbalimbali za walimu. Serikali,inayo azma ya dhati na katika hili nataka niwaambiewalimu kwamba, Serikali inayo azma ya dhati yakuondokana na madeni ya walimu. Tunao utaratibuambao tunautumia wa Mamlaka za Serikali za Mitaa,ambao wakati wowote mwalimu anapokuwa najambo lolote la kiutumishi, Mkurugenzi kwenyeMamalaka ile, huwa anaweza kuratibu malipo yake.Tumeagiza kabisa kwamba, mwalimu anapopatashughuli yoyote ya kikazi, anapokwenda likizo,anapopata uhamisho, ahamishwe kukiwa kuna malipoili kuondokana na madeni ambayo siyo ya lazima.Mheshimiwa Spika, eneo la pili ni uhakiki wamadeni pale yanapokuwa mengi. Kazi hiitumeshaifanya kipindi kilichopita mwaka jana, ambayopia tumeendelea kuyalipa mpaka mwezi huu. Katikahili, ingawa watu wengi wanalalamikia kutokuwa natakwimu kamili, nataka nieleze hili ili watu wajuekwamba, uhakiki wa kipindi kilichopita, tulibaini kunamadeni ya shilingi bilioni 52. Bilioni 52 hizi ni zile za450


Wizara ya Elimu na TAMISEMI. Bilioni 52 hizi zilikuwazinalipa arreas, kwa maana ya maeneo ya mishahara,lakini na posho mbalimbali ambazo zilikuwazimejitokeza kwa maana ya matibabu, masomo, likizo,uhamisho; hiyo nilikuwa na maana ya poshombalimbali.Mheshimiwa Spika, Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI),ilitengewa bilioni 44. Kati ya hizo, bilioni 19.2 zilitumikakulipa maeneo haya ya posho kama ambavyonimeyaeleza na bilioni 25.6 ni yale ya arreas ambayoyanalipwa na Hazina moja kwa moja na yanatumwakwenye mishahara yao.Mheshimiwa Spika, napenda niwape taarifakwamba, malipo yote yanayotoka Hazina na yale yoteya TAMISEMI, mpaka tulipokutana na Kamati yaHuduma za Jamii, mwezi huu tarehe 12, nadhanitulikuwa tumeshalipa bilioni 17, zilikuwa zimebaki bilionimbili na Halmashauri chache zilikuwa hazijawezakulipa. Ahadi ya Halmashauri zile, kufikia kesho tarehe30 Juni, 2012, watakuwa wameshakamilisha na taarifatutazipata na tutakuja kuwahabarisha WaheshimiwaWa<strong>bunge</strong>.Mheshimiwa Spika, hizi arreas watu wa Hazina naowalituhakikishia kwa sababu wao ndiyo wanalipa mojakwa moja kwenye mishahara. Kwamba, ifikapo Juni 30,watakuwa wameshakamilisha. Kwa hiyo, ulipaji huu wakawaida, ambao unashughulikiwa na Mamlaka yaSerikali za Mitaa, unaendelea vizuri. Pia kuna suala lamishahara ambayo walimu wengi wapya wamekuwahawalipwi; lakini tumeeleza mara nyingi na Waziri wa451


Utumishi, atakuja kueleza kwenye taarifa yake, jinsiambavyo sasa tuna-practice ule utaratibu wa ulipajikwa kutumia mtandao, ambao upo sasa unaendelea.Mheshimiwa Spika, lakini pia kuna suala la utofautiwa mishahara ambayo imezungumzwa mara nyingi.Ninamshukuru Naibu Waziri wa Elimu, aliwahi kuelezahapa kwamba, ipo message inazunguka nchiniambayo inapotosha walimu. Nami ninalirudia hili iliwalimu wajue kwamba, ujumbe unaopita ni wauwon<strong>go</strong>; unaoonesha kwamba, viwan<strong>go</strong> vya kulipwavya walimu na watumishi wengine, walimu wanalipwachini kuliko watumishi wengine.Mheshimiwa Spika, nataka niwaambie kwamba,kada ambayo inatuzidi kwa mshahara ni ya Afya pekeyake. Sababu ya kutuzidi ni kwa nature ya kozizenyewe, ile miaka ya kusoma kozi ndiyo inatofautishahilo, lakini risk za mahali pa kazi hiyo ndiyo inasababishakutuzidi. Mishahara halisi ni kama ifuatavyo: WenyeElimu ya Cheti, basic yake ni shilingi 244,400/=, Afyawanaotuzidi ni shilingi 290,000/=, lakini Sekta nyinginekama Kilimo, Mifu<strong>go</strong>, Utawala na Uhasibu ni shilingi221,000/=, utakuta wapo chini.Mheshimiwa Spika, ngazi ya stashahada, mwalimushilingi 325,700/=, Afya wanatuzidi kwa shilingi472,000/=, lakini Sekta nyingine zote wanalipwa shilingi300,800/=. Wakati mtu wa Shahada wa Ualimuanaanza na shilingi 469,200/=, wa Afya peke yakeanatuzidi kwa shilingi 682,000/=, lakini kada nyinginezote hizi za kilimo, mifu<strong>go</strong> na nyingine ni shilingi446,000/=, utakuta kwamba, zipo chini. Hii ndiyo taarifa452


asmi. Kwa hiyo, nawasihi walimu msikubaliane namessage ile. Serikali inayo nia ya dhati kabisa yakuboresha mishahara na hata Mheshimiwa Kion<strong>go</strong>zi waSerikali, amewahi kutoa taarifa mara nyingi kwa walimuna amewahi kuzungumza na Chama cha Walimu juuya nia ya Serikali kuboresha mishahara. Kwa hiyo,nawasihi endeleeni kufanya kazi yenu, Chama chaWalimu tutaendelea kuzungumza nao, kama kunajambo litajitokeza tunaweza pia tukalifanyia kazi kwapamoja. (Makofi)Mheshimiwa Spika, kwa kuwa muda ni mfupi,naomba nimalizie kwa kueleza lile ambaloWaheshimiwa Wa<strong>bunge</strong>, wamekuwa wakililalamikiajuu ya mfumo wa upelekaji wa fedha za elimu kwenyeMamlaka ya Serikali za Mitaa.Mheshimiwa Spika, utumaji wa fedha za Mamlakaya Serikali za Mitaa ni wa Kisheria. Tunajitahidikuzipeleka kama inavyotakiwa zile za Mpan<strong>go</strong> waMMEM na za Mpan<strong>go</strong> wa MMES ambazo tayarimaeneo mengi huwa zinapelekwa na ukaguziunafanyika na ufuatiliaji upo. Kwa hiyo, ninatakaniwasihi Waheshimiwa Wa<strong>bunge</strong> kwamba, utumaji wafedha hizi kwenye Mamlaka ya Serikali za Mitaa,unaenda kama ambavyo tumejipangia.Mheshimiwa Spika, kwa kuwa muda hautoshi nabado Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI), inaendelea nauboreshaji wa taaluma kwenye maeneo yetu kwakupeleka vifaa vya kufundishia na kujifunzia, ambavyopia tunavitumia; na sasa Ofisi ya Waziri Mkuu kwakushirikiana na SIDA, tumetenga shilingi bilioni 30 kwa453


ajili ya kununua vitabu. Pia kwa taarifa ambazonimezieleza hapa awali, ununuzi wa madawati,uboreshaji wa miundombinu; hii yote ni katika kufanyautoaji wa taaluma kuwa rahisi zaidi ili kumuwezeshamwalimu kufanya kazi yake vizuri.Mheshimiwa Spika, nikiwa najua kwamba mudahaunitoshi, naomba niseme kabisa kuwa naungamkono hoja hii na ninamkaribisha Naibu Wazirimwenzangu, aweze kuendelea. Ahsante sana.(Makofi)NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZAMIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (TAMISEMI): MheshimiwaSpika, nakushukuru kwa kunipa nafasi ili na mimi niwezekuchangia Hotuba hii ya Mheshimiwa Waziri Mkuu.Awali ya yote, naomba nichukue nafasi hii kumshukuruMwenyezi Mungu, kwa kunijalia kuwepo hapa na afyanjema. Zaidi, nimshukuru Rais wa Jamhuri ya Muunganowa Tanzania, Mheshimiwa Dokta Jakaya MrishoKikwete, ambaye kwa mara nyingine tena ameoneshaimani kubwa kwangu na kunirejesha katika nafasiyangu hii ya Unaibu Waziri katika Ofisi ya Waziri Mkuu.Napenda kumshukuru sana Mheshimiwa Rais nakusema ahsante. Ninachoweza kufanya ni kujaribu kwakadiri Mungu atakavonijalia, kuhakikisha kwamba,ninatekeleza majukumu ambayo amenikabidhi.(Makofi)Mheshimiwa Spika, kipekee, namshukuruMheshimiwa Waziri Mkuu, yeye ndiyo Kion<strong>go</strong>zi wetu waWizara na ndiye mwenye dhamana. Ninashukuru naninajivuna moyoni kwamba, ninafanya kazi chini ya454


Mheshimiwa Waziri Mkuu. Nasema ahsante kwamaelekezo yote ambayo amekuwa anatoa kwanguna ninataka nimthibitishie kwamba, bado nitaendeleakushirikiana na yeye kwa unyenyekevu mkubwa nakwa utiifu mkubwa. (Makofi)Mheshimiwa Spika, napenda nimshukuru pia dadayangu, Mheshimiwa Hawa Ghasia, ambaye tumekaakwa muda mfupi sana tuliokaa naye, ametuelekezavizuri, ametupa maelekezo mazuri na ushauri mzuri.Tunafanya kazi kwa uhuru kabisa. (Makofi)Mheshimiwa Spika, ninataka nikuthibitishiekwamba, nitaendelea kusaidiana sana na ndugu yetu,dada yetu, Mheshimiwa Hawa Ghasia, M<strong>bunge</strong> wetuwa Mtwara Vijijini ili tuweze kuleta ufanisi katika Wizarayetu. Huyu aliyesimama hapa ninamwita pacha, nipacha wangu; tunafanya nae kazi kwa karibu sana;Mheshimiwa Kassim Majaliwa. Tunashirikiana vizuri natunafanya kazi kwa karibu sana, wakati mwingine walahatujui huu utaratibu wa Local Government na Elimu.Napenda kumshukuru sana. (Makofi)Mheshimiwa Spika, nawashukuru Wananchiwangu wa Jimbo la Siha, ambao ndiyo walionipadhamana ya kuja mpaka hapa na kusimama nakuweza kuteuliwa kwa nafasi hii. Nataka niwaambieWananchi wa Siha kwamba, nawapenda sana. Kilawakati moyo wangu na akili yangu, inawafikiria sanaWananchi wa Siha na wala wasiwe na wasiwasi, yaleyote ambayo wanataka tuyafanye katika Jimbo letu laSiha, tutaendelea kuyafanya. Namshukuru mke wangu455


Grace Mwanri na watoto wangu wote, ambao kwamuda wote wamekuwa wananivumilia. (Makofi)Mheshimiwa Spika, baada ya kusema hayo,nakushukuru na wewe Mheshimwia Spika, usijeukasema mbona sikukutaja hapa, ahsante sana kwanamna unavyotuelekeza vizuri. (Makofi)SPIKA: Mimi naridhika tu.NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZAMIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (TAMISEMI): MheshimiwaSpika, sasa najua muda wangu utakuwa mfupi sana.Watu wamezungumza mambo mengi sana hapa.Nataka niwathibitishie Waheshimiwa Wa<strong>bunge</strong>, Waziriwangu atakuja kuzungumzia mambo makubwa. Miminitayasema yale ambayo tumekubaliana niyaseme,lakini hakuna jambo lolote ambalo mmelizungumzahapa ambalo hatutalichukua kwa uzito mkubwa nakulifanyia kazi.Mheshimiwa Spika, tutajibu mambo machachesana hapa kama alivyosema Mheshimiwa Majaliwa,lakini mambo mengi sana tutakwenda kuyafanyia kazi.Kwa hiyo, naomba niwaombe sana sana, walatusivutane hapa kwa sababu sisi tunachohitaji ni hizihela twende tukafanye kazi.Mheshimiwa Spika, Mheshimiwa Mwenyekiti waKamati aliposimama, Mheshimiwa Pindi Chana, mojaya mambo ambayo ameyazungumza hapa kwa uzitomkubwa ni kwamba, baadhi ya Halmashauri hazifanyiVikao vyake vya Kisheria. Kamati inashauri kwamba,456


jambo hili liangaliwe kwa makini ili Vikao vifanyike kwawakati na Waheshimiwa walipwe haki zao kamainavyostahili na kwamba, kuna Chaguzi ndo<strong>go</strong>ndo<strong>go</strong>ambazo zimekuwa zinatokea lakini hazifanyiki.Mheshimiwa Spika, nataka niseme kwa kifupi tuhapa kwamba, kama mnavyokumbuka, mwaka janaile General Purpose Grant ilikuwa imeondolewa naSerikali. Kama mlivyomsikia Mheshimiwa Waziri wangualiposimama hapa na Mheshimiwa Waziri Mkuu,General Purpose Grant imerudi kwenye bilioni 63. Hizindizo zinatusaidia kufanya shughuli zote hizi ambazotunazizungumza hapa.Mheshimiwa Spika, kwa hiyo, ninatakanikithibitishie Kikao chako kwamba, baada ya kurudi hiigrant sasa na hata zile fedha amezizungumzia, tunauhakika vikao vyote vitafanyika kwa taratibuzilizowekwa. Kwa hiyo, hatuna tena tatizo la kusemawatu watakwenda kwenye Mkutano wakakopwavikao na kwamba hawatalipwa haki zao na anasisitizapia Mheshimiwa Mwenyekiti wa Kamati kuwa elimukwa ajili ya mafunzo ya Madiwani itolewe.Mheshimiwa Spika, umetusikia tukizunguka nchinzima, mwanzoni alianza Mheshimiwa Mkuchikaambaye yuko hapa, alianzisha mafunzo ya Madiwaniyaliyofanyika Mtwara yalifunguliwa na mimi nilikwendakukamilisha kule Korogwe na tunaendelea hivyo hivyoMadiwani wote wamepata mafunzo yale wamefanyakazi ile na bado tunaendelea na mchakato. Nilitakanikuthibitishie kwamba, tutaendelea kufanya kazi hiyokwa karibu sana, tunacho Chuo chetu cha Hombolo457


pale tumezitaka Halmashauri zipeleke Madiwani,Wenyeviti wa Vijiji na Watendaji wetu waende kule.Kwa hiyo, hili halina matatizo kabisa.Kuna rai hapa kwamba, Kamati ya Fedha,Mipan<strong>go</strong>, Uchumi na Utawala katika kila Halmashaurizijengewe uwezo ili kuweza kusimamia Miradi hii kwaukamilifu; hilo tunalifanya katika Programu ambayonimeizungumzia. Ipo rai pia inayosema kwamba,uandaliwe utaratibu utakaoziwezesha Kamati zote zaKudumu za Halmashauri kukagua Miradi mbadala yakuitegemea Kamati ya Fedha, Mipan<strong>go</strong> na Utawala tu.Naomba nifafanue kido<strong>go</strong> hapa; kinachosemwahapa ni kwamba, zipo Kamati tatu pale, kila Kamatiiende kule kwa ajili ya kukagua Kamati zilezinapoundwa. Mwenyekiti wa kila Kamati aliyekokatika Halmashauri anaingia katika Kamati hii ya Fedhatuliyoizungumza hapa. Ndani yake Mwenyekiti waHalmashauri anateua Madiwani wengine wawiliambao wanajiunga katika Kamati hii. Kamati hiiinayozungumzwa hapa inakutana mara moja kilamwezi. Sasa kinachosemwa hapa ni kwamba, ruhususasa na zile Kamati nyingine nazo ziwe zinakaguaMiradi kwa sababu hii ndiyo Kamati ambayoinaangalia mambo ya Miradi, kusimamia mambo yavalue for money yote yanafanyika kule.Mheshimiwa Spika, uwezo wetu kwa sasa hivi nimdo<strong>go</strong>, ukiruhusu zile Kamati zote zifanye pale,ukasema watalipwa allowances na kila kitu, gharamazake ni kubwa sana. Tulichofanya kama TAMISEMI,tunaweka utaratibu ambao utamfanya Diwani pale458


alipo katika Kata yake aweze kukagua Miradi iliyokokatika Kata yale na kupata hiki ambacho kinakusudiwakufanyika hapa. Pale Halmashauri wanapofikirikwamba ipo haja sasa ya kufanya hivyo kwa maanaya Madiwani wote, watafanya hivyo kupitia kwenyeKamati tuliyoizungumza ya Fedha, Utawala naMipan<strong>go</strong>. Kama kuna jambo la kuripoti katika zileKamati nyingine, hawa wataripoti kupitia Mjumbemmoja mmoja ambaye amechukuliwa kuingia katikaKamati hii ambao ni Wenyeviti.Mheshimiwa Lekule Laizer, alizungumziamgawanyo wa fedha za Serikali unazifanyaHalmashauri nyingine kupata fedha kido<strong>go</strong> na ambazowakati mwingine hazipatikani. Nataka niseme kuwa,utaratibu tunaotumia sisi wa Bajeti ni wa Cash Budgetna mapendekezo yote ya hela zitakazotumika katikaHalmashauri yanaanzia kwenye Halmashauri yenyewe,unachofanya unawapa ceiling tu. Tuna kitu kinaitwaopportunities and obstacles to development ndichokigezo kinachotumika. Kwa hiyo, kwa vile fedhatulizonazo ni kido<strong>go</strong>, wanaopanga kipaumbele niHalmashauri yenyewe inayohusika. Ikifikiri kwambakisima cha maji hapa ni muhimu kuliko kuwa nadarasa, wataelekeza kule kwenye kisima cha maji.Wakifikiri barabara hii ni muhimu kwa uchumi palewatapeleka pale, wakisema ni hospitali watapelekapale na vipo vigezo ukiangalia katika ConstituencyDevelopment Catalyst Fund, ule Mfuko wa Wa<strong>bunge</strong>ambao tunautumia hapa, mle ndani tunaangalia piakiwan<strong>go</strong> cha umaskini, uwezo na population. Huwezikufanya upendeleo wowote hapo, kwa sababu kila459


Halmashauri imewekwa katika huo utaratibu namwisho wa siku wanapewa ceiling, wanawezawakaambiwa mwaka huu m-maintain bajeti ile ilekama ya mwaka jana au mwongeze asilimia kumi.Wazo hilo la kwamba kunaweza kukatokeaupendeleo, utapendelea wapi!Unaweza ukaangalia mwenzako kwa majiakaonekana yuko chini, lakini katika Halmashauri kwamfano Nkasi, Mheshimiwa Keissy anazungumzia habariya maji hapa ukakuta ame-reflect maji ukukata majiipo juu. Sasa ukiangalia unasema mbona wenzanguwa kule Newala nimeona wao wako chini na mimimbona ya kwetu ipo juu na nini ni kwa sababu hiziproposal zinatokana na Halmashauri zilizoweka. Kwamaana ile theory ya Decentralization by Devolution (Dby D), kupeleka madaraka kule na kupeleka resourcesna vitu vingine katika Halmashauri.Hapa ipo rai imeletwa na Mheshimiwa Silinde,Serikali ijaze nafasi wazi zilizoachwa katika Serikali zaMitaa, Viton<strong>go</strong>ji na kadhalika. Nataka niseme mamboyafuatayo: Kwanza, hizi nafasi kumi sasa hivi naWa<strong>bunge</strong> mjue, zile za Watendaji wa Kata, Watendajiwa Vijiji, mtakumbuka wote hawa walikuwawanakwenda mpaka Utumishi na MheshimiwaKombani atakaposimama hapa atazungumzia habarihii. Nina hakika kwamba, Waziri wangu yukocompetent sana na jambo hili, kwa sababu ndiyowamekuwa wanalisimamia. Tumerudishiwa zile nafasitena kupitia rai yenu ambayo mmekuwa mnatoa, waleWatendaji, Walinzi, zile kazi za pale, madereva na nini,zote zimerudi katika Halmashauri. Mwenyekiti wa460


Kamati ya Ajira ndiye atakayekuwa anasimamiamambo haya.Hii imetokana na kwamba, tunashukuru Serikaliimeruhusu General Purpose Grant imerudi kule. Kwahiyo, hili linalosemwa hapa hivi sasa hamtaonalinajitokeza tena, kwa sababu mtakachohitaji ni kupatakibali cha kusema kwamba ajirini kiasi hiki kwa sababuhutawaacha wakaajiri wenyewe wanavyotaka;itasema Waziri mwenye dhamana atasema pia muajiriWatendaji wa Kata kiasi hiki na kadhalika.Mheshimiwa Spika, naomba niende harakakido<strong>go</strong>, nasikia kengele ya kwanza imesha<strong>go</strong>ngwa.Baadhi ya Vijiji na Kata havina Watendaji, hiyonimeishaijibu; utaratibu wake ni huo sasa hivi mtusaidiekupitia kwa Makatibu Tawala wa Mkoa,tumeshawaelekeza tayari kwamba, majina yaleyapatikane na mseme akina nani mnawapendekezakwenye nafasi zile, wao watakuwa wanasimamiashughuli hizo. Kuna rai hapa kwamba, Wenyeviti waVijiji nao wapewe allowances na walipwe posho kamawalivyo; tunafanya hivyo na nataka niwaambieWenyeviti wetu wa Vijiji na Viton<strong>go</strong>ji, kwanza kabisa,kama Serikali tunawashukuru kwa kazi kubwawanayofanya katika maeneo ya kazi.Tumezungumza, Shule za Kata na Zahanati zinajengwakule. Miradi yote iliyoko kule wanaofanya kazi ile niWenyeviti wetu wa Vijiji na Wenyeviti wetu waViton<strong>go</strong>ji, wanafanya kazi kubwa sana. Tulichoelekeza,kila Halmashauri tunawapelekea kitu kinachoitwacapacity building grant inakwenda pale asilimia 20,tunataka tuirudishe kwenye viton<strong>go</strong>ji itumike. Hii grant461


ninayoizungumzia hapa, asilimia 20 tunarudisha kitukinachoitwa compensation, zile hela tunazozirudishakwa ajili ya kodi ambazo zilikuwa na kero kamavitumbua, maandazi, nyanya, mchicha, zile ndo<strong>go</strong>ndo<strong>go</strong> nazo Serikali ina-compensate.Tunazitaka Halmashauri zihakikishe kwamba, hichokinachokwenda kama fidia, asilimia 20 inarudi kijijini iliwaweze kuwalipa posho zao Wenyeviti wa Viton<strong>go</strong>ji naVijiji kido<strong>go</strong> kido<strong>go</strong> kulingana na uwezo. Wakati huohuo tunatakiwa tuimarishe mapato yetu ya ndani kwamaana ya home resource ili tuweze kufanya shughulizetu. Kwa hiyo, hayo ndiyo maelekezo ya Serikalikwamba, Wenyeviti wa Vijiji tuwaangalie kwa sura hiyoambayo nimeieleza hapo.Maafisa Tarafa wanasimamia shughuli zamaendeleo hawatambuliwi; naomba kuchukua nafasihii kwa niaba ya Mheshimiwa Waziri Mkuu, kusemakwamba, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hawezikukataa kumtambua mtu anayeitwa Afisa Tarafa.Afisa Tarafa ni mkono wa kuume wa Mkuu wa Wilayakatika Wilaya inayohusika, ni sehemu ya CentralGovernment. Sasa tumesema wataingia kwenyeKamati na wataingia pia katika Baraza na kama kunaM<strong>bunge</strong> yeyote ambaye ana habari, kuna Afisa Tarafaanakataliwa asiingie katika Vikao vya Halmashauriatupe jina la huyo Mkurugenzi ili tuweze kuchukuahatua. Haya ni maelekezo ya Serikali kwa ajili yakuimarisha ufanisi katika level ya Tarafa.Mheshimiwa Ally Keissy Mohamed, M<strong>bunge</strong> waNkasi Kaskazini, amezungumzia tatizo la maji pale462


kwake. Napenda kumpongeza sana MheshimiwaKeissy, kwa kulileta suala hili kila wakati. Katika Bajeti yaMwaka 2012 na 2013 tumetenga shilingi milioni 100 iliziweze kutusaidia kuondokana na tatizo la maji lililokopale. Ujenzi wa Vituo vya Afya unaendelea.Mheshimiwa Kiwelu na Wa<strong>bunge</strong> wa Mkoa waKilimanjaro, wamesimama hapa wamezungumzia sanaHospitali ya Mawezi. Nataka nikwambie maelekezoyako yalitekelezwa, tulikwenda mpaka kwenyeHospitali hii na Mkuu wa Mkoa yuko hapa na RAS wakohapa wanasikia na Mheshimiwa Kiwelu yuko hapa,utakaposimama usizuie shilingi hapa kwa sababutulikwenda mpaka kule. Nakuomba dada yangutafadhali, Mkuu wa Mkoa kupitia ile ziara anayoifanyaametenga shilingi milioni 744 zimewekwa hapa, najuahazitoshi wanahitaji bilioni 13 kwa sababu ya ile wodiwanayoizungumza na kadhalika, lakini hizo ndizojitihada zilizofanyika, ninawaomba sana mtupitishie.Jen<strong>go</strong> la wazazi nalo linahitaj karibu shilingi bilioni13; ni hela nyingi, tulisema ikiwezekana tutafute nawahisani kutoka nje waweze kusaidia. Sasa kuna Mradiule wa Kimile na Kakunyu, iliyoko katika Wilaya Misenyi,nayo tumeanza. Wanavyozungumza hapa ni namnaya kusaidia Miradi ile, wananchi wanatakiwa wafanyehivyo ama wapewe hela au wakati mwingine wafanyekwa mikono yao wenyewe.Maafisa Tarafa wa Mkoa wa Kagera walipwestahili zao, tumehakikisha kwamba watalipwa natumeshawawekea utaratibu ambao unaondokana na463


hilo tatizo. Hoja hii ililetwa na Mheshimiwa John CharlesMwijage, M<strong>bunge</strong> wa Muleba Kaskazini.Mheshimiwa Spika, Wakurugenzi wa Halmashauriwatumike katika kuwatambua wakulimawanaokopeshwa matrekta. Tumesema tumeagizaHalmashauri, ndugu yetu Shabiby najua nimfanyabiashara, ukiliachia trekta tu hivi hivi bila kuwana dhamana yoyote pale au bila kuwa na securityyoyote pale, itakuwa ni kitu cha ajabu, atakwambiamimi natoka hapa nipo karibu na Msikiti, chini ya Kanisapale kwenye mfereji, ukikata kona hivi utakuta Benderaya CCM, ukienda chini yake ndiko ninakotoka, itakuwani ngumu sana kuweza kufuatilia hela hizo zitakuwazimepotea.Mheshimiwa Spika, naomba kuchukua nafasi hiikusema naunga mkono hoja iliyoletwa hapa. Ahsantesana. (Makofi)WAZIRI WA NCHI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALAZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (TAMISEMI):Mheshimiwa Spika, kwa mara nyingine tena, napendakuchukua fursa hii kukushukuru wewe binafsi, NaibuSpika na Wenyeviti wa Bunge, kwa kulion<strong>go</strong>za Bungeletu kwa ufanisi mkubwa.Mheshimiwa Spika, napenda pia kumshukuruMheshimiwa Rais, Makamu wa Rais na MheshimiwaWaziri Mkuu, kwa kuion<strong>go</strong>za nchi yetu kwa hekima nabusara kubwa sana. Napenda pia kuwashukuruwapiga kura wangu na Wananchi wa Mkoa waMtwara na Vion<strong>go</strong>zi wa Mkoa wa Mtwara,464


wakion<strong>go</strong>zwa na Mkuu wetu wa Mkoa wa Mtwara.Napenda pia kumshukuru Mwenyezi Mungu, kwakuujalia Mkoa wa Mtwara na Lindi, rasilimali ya gesinyingi sana ambayo imeongeza mvuto sana, si tu kwawawekezaji bali pia na wanasiasa wote. Wenyewe nimashahidi ndani ya Bunge hili, kila anayesimamaasipoutaja Mkoa wa Mtwara, anaona kamahajakamilika kuwa M<strong>bunge</strong> ndani ya Bunge la Jamhuriya Muungano wa Tanzania.Napenda pia kuwahakikishia Wananchi wa Mkoawa Mtwara na Lindi kwamba, mnao Wa<strong>bunge</strong> wenumakini na ambao wanaitetea Mikoa yenu kwa uadilifumkubwa sana na wala hatuhitaji msaada kutoka kwaWa<strong>bunge</strong> wa Mikoa mingine ambao hata kwenyeMikoa yao bado wanayo matatizo mengi yakuyazungumzia lakini wanapoteza muda mwingikuzungumzia Mkoa wa Mtwara. (Makofi)Napenda niwaambie Wananchi wa Mkoa waMtwara kwamba, wawe makini wasidanganyike nawanasiasa, siasa chafu.Mheshimiwa Spika, baada ya kusema hayo, sasanapenda nirudi katika hoja ambazo zipo mbele yetu.Hoja ya kwanza ambayo imezungumziwa naWaheshimiwa wengi sana ni suala la ubadhirifu katikaMamlaka za Serikali za Mitaa.Mheshimiwa Spika, napenda kuwahakikishiaWaheshimiwa Wa<strong>bunge</strong> na Wananchi kwa ujumlakwamba, Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI), chini yaMheshimiwa Waziri Mkuu, tunachukua hatua za dhati465


kabisa kuhakikisha tunakabiliana na tatizo la ubadhirifukatika Mamlaka za Serikali za Mitaa. Katika hotubayangu nimeonesha Wakurugenzi wangapi na Wakuuwa Idara wangapi ambao tayari tumeshawachukuliahatua. Napenda niwahakikishie kwamba, sasa hivitayari tumeiwezesha Mikoa na Wilaya kupitia vikao vyakazi ambavyo tumevifanya Dodoma na kupitiamafunzo ya Wakuu wa Mikoa na Wakuu wa Wilaya.Tumewawezesha na tumewapa majukumu yakuzisimamia Mamlaka za Serikali za Mitaa ili kuhakikishakwamba, zinatekeleza wajibu wake. TumewaambiaMakatibu Tawala wa Mikoa watawajibika paleambapo Mamlaka za Serikali za Mitaa zimeendakinyume na Sheria, Kanuni na Taratibu na waokutokuwachukulia hatua zinazopaswa. Kwa hiyo,napenda nikuhakikishie kwamba, tupo makini, tupenimuda tutahakikisha kila mbadhirifu katika Mamlaka zaSerikali za Mitaa tunamchukulia hatua stahiki. (Makofi)Mheshimiwa Spika, pia limezungumzwa suala lawatumishi wabadhirifu kuhamishiwa katika maeneomengine. Napenda nikuhakikishie kwamba, siyo Serayetu kuhamisha watumishi wabadhirifu. TumezielekezaMamlaka za Serikali za Mitaa na Mikoa kuwachukuahatua pale ambapo watumishi katika Mamlaka zaSerikali za Mitaa wameenda kinyume na taratibu. Paleinapotokea bahati mbaya tumemhamisha mtumishibila kufahamu kwamba anayo makosa katika eneolake, tukipewa taarifa mara moja tunawarudisha katikamaeneo yao ili waende wakachukuliwe hatua. Kwahiyo, Waheshimiwa Wa<strong>bunge</strong>, kama mnao ushahidikwamba kuna mtumishi tumemhamishia eneo linginebaada ya kuwa amefanya ubadhirifu katika eneo lake,466


tupeni taarifa tutamrudisha na hatua piatutawachukulia.Mheshimiwa Spika, lipo suala ambalo ningependanilizungumzie pia kwamba, M<strong>bunge</strong> wa Nyamagana,Mheshimiwa Wenje, ameshangaa uwepo wa Wakuuwa Mikoa katika Bunge letu hili. Kwanza, nimesikitikajinsi alivyowadhalilisha Wakuu wa Mikoa kupitiamchan<strong>go</strong> wake ambao aliutoa wakati anachangiakwa kusema kwamba, wanapigwa tu na viyoyozihapa. Mimi binafsi nimesikitika na napendanimwombee radhi kwa Wakuu wa Mikoa kwa sababumimi ndiye niliyewaalika Wakuu wa Mikoa wajewahudhurie hapa na siyo kwamba wamekuja kupigwana viyoyozi kama ambavyo amesema; wanayo kazi,Wajumbe wa Kamati ya Katiba, Sheria na Utawala yaBunge ni mashahidi kwamba katika Kamati ile Wakuuwa Mikoa ndiyo waliowasilisha Bajeti ya Mikoa yao.Wao wenyewe ndiyo waliojibia hoja zote zilizotolewakatika mikoa yao, kwa hiyo, hoja zote mnazozitoahapa Waheshimiwa Wakuu wa Mikoa na MakatibuTawala ambao wapo pale juu ndiyo ambaowanatupatia sisi majibu ambayo tunawapatieni ninyi.Mheshimiwa Spika, Waziri wa TAMISEMI, Manaibuwake na Mheshimiwa Waziri Mkuu, siyo maghala yakutunza kumbukumbu zote zilizopo katika Mikoa yetu.Kwa hiyo, maswali yanayoulizwa na taarifa ambazoWaheshimiwa Wa<strong>bunge</strong> wanazihitaji, tunazipatakupitia kwa Wakuu wa Mikoa na Makatibu Tawalaambao wako pale juu na pia wanayo haki ya kupataviyoyozi hivyo ambavyo ninyi mnapepewa. (Makofi)467


Mheshimiwa Spika, suala la Wakuu wa Mikoakuwepo ndani ya Bunge hili hatukulianzisha sisiTAMISEMI, sasa hivi ni suala ambalo lilikuwepo tanguUhuru, tena kipindi hicho walikuwa na hadhi yaWa<strong>bunge</strong> kama sisi na walikuwa wanaingia ndani yaBunge lako Tukufu. Kwa hiyo, wale vijana ambaowameingia juzi Bungeni ambao walikuwa wameombamwon<strong>go</strong>zo kwamba wamedhalilishwa, napenda tuniwafahamishe kwamba, hii ilikuwepo tangu enzi zaUhuru, Wakuu wa Mikoa kuhudhuria katika kikao hiki.(Makofi)Mheshimiwa Spika, naomba niende kwenye hojaambazo zimetolewa na Waheshimiwa Wa<strong>bunge</strong> naKamati zetu ambazo zinatushauri. Nipendekuwahakikishia Waheshimiwa Wa<strong>bunge</strong> kwamba, hojazote ambazo wamezitoa tutazifanyia kazi na zileambazo sitaweza kuzitolea majibu hapa, wawe nauhakika kwamba watapata majibu yao kwa maandishikabla Bunge hili halijaahirishwa.Mwenyekiti wa Kamati, Mheshimiwa Pindi HazaraChana, alitoa angalizo hili, pia ni la Kamati yakekwamba tusijisahau, Hati Safi isiwe kigezo kwambamambo ni shwari katika Halmashauri zetu. Upouwezekano katika baadhi ya Halmashauri wanapataHati Safi lakini Miradi inatekelezwa kinyume na chini yaviwan<strong>go</strong>.Mheshimiwa Spika, napenda kumhakikishiaMheshimiwa Pindi Chana na Kamati yake kwamba,angalizo lake tunalitekeleza na pia kamanilivyotangulia kusema, tumezielekeza Sekretarieti za468


Mikoa kusimamia utendaji kazi wa Mamlaka za Serikaliza Mitaa. Pale ambapo wanaona kwamba utekelezajiwa Miradi au utendaji wa Mamlaka za Serikali za Mitaaupo chini ya kiwan<strong>go</strong>, wanao uwezo kisheria wakuzichukulia hatua Mamlaka hizo kupitia Wakuu waMikoa.Mheshimiwa Spika, suala lingine lililozungumzwa nikuhusu ushauri wa Kamati kwamba, wafanyakaziwanakopa kupita kiasi na hivyo kuwafanya baadhi yaomwisho wa mwezi kutoka patupu. Pia suala lamakampuni kuwahadaa watumishi na kukopa bilawaajiri wao kufahamu. Napenda kumhakikishiakwamba, ofisi yangu imezielekeza Mamlaka za Serikaliza Mitaa na Sekretarieti za Mikoa kuhakikisha kwamba,makampuni yanakopesha watumishi kwa ridhaa yawaajiri, yaani Halmashauri husika. Pia tumewaelekezakutumia au kutekeleza Waraka wa Utumishi wa tarehe19 Machi, 2009 na mwingine wa mwaka 2012, ambaoumeelekeza kwamba, mtumishi asikope zaidi yatheluthi moja ya mshahara wake. Kwa vile sasa hivi Ofisiya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, imegatuamfumo wa kuwaingiza watumishi katika payroll kwakutumia Lawson, Toleo Namba Tisa, ambapo sasa hivimakato yote ambayo mtumishi anakatwa,yanafanywa na mamlaka za ajira. Tuna uhakikakabisa kwamba, Mamlaka za Serikali za Mitaa zitakuwana uhakika kwamba, mtumishi hakatwi zaidi ya kileambacho kimeelekezwa na Waraka wa Utumishi.Pia tunawaomba makampuni yote ambayoyanatoa mikopo kwa watumishi, wahakikishe kwambakabla ya kumkopesha mtumishi, basi anahakikisha469


kwamba anapata ridhaa ya mwajiri wake na kamaatafanya hivyo, lolote litakalotokea mwajirihatawajibika kwa mikopo ambayo imetolewa nje yaridhaa ya mwajiri.Mheshimiwa Spika, pia Mheshimiwa Mkiwa AdamKimwanga, alipenda kufahamu kwamba waleWajerumani wanaokuja kufunga Mifumo ya Kompyutakatika Mamlaka zetu za Serikali za Mitaa, wanakujakufanya nini wakati tunazo Kampuni za Wazawaambazo zina uwezo wa kufanya kazi hizo. Pia alipendakufahamu hiyo kazi wanafanya bure au naniatawalipa.Mheshimiwa Spika, napenda nimhakikishiekwamba, katika jitihada za Serikali kuhakikisha kwambaMamlaka za Serikali za Mitaa zinaongeza makusanyoyake, wadau mbalimbali walijitokeza katika kuisaidiaSerikali. Mion<strong>go</strong>ni mwa wadau hao ni Wajerumanikupitia Shirika lake la Maendeleo la GTZ. Katikakuboresha mapato ya ndani ya Mamlaka za Serikali zaMitaa, eneo la kodi ya majen<strong>go</strong>, hawa wenzetuWajerumani waliamua kuzisaidia zile mamlaka ambazozimejitaja, yaani Majiji na Manispaa ya Ki<strong>go</strong>ma Ujiji naManispaa ya Mtwara Mikindani. Kwa hiyo, hawaWajerumani wamekuja kutusaidia, hatuwalipi na walahawachukui kazi za wazawa. Hadi hivi sasatunapozungumza, tayari Wajerumani wamewasaidiaManispaa ya Mtwara Mikindani katika kufunga Mfumowa Kompyuta kupitia University Computing Centre.Kwa hiyo, hawa Wajerumani wanatumia Chuo Kikuucha Dar es Salaam, hawafungi wenyewe isipokuwawao wanatoa msaada tu, wanaziwezesha hizi470


Mamlaka kupitia Chuo Kikuu cha Dar es Salaam,kufungiwa huo mtandao. Kwa hiyo, napendanikuhakikishie kwamba, Wajerumani hawakujakuchukua kazi za Watanzania, kazi za Watanzania zipona wanatumia Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.Kion<strong>go</strong>zi wa Kambi ya Upinzani Bungeni naMsemaji Mkuu wa Kambi ya Upinzani, MheshimiwaFreeman Aikael Mbowe, alitaka Serikali itoe kauli juu yakusimamishwa kwa Uchaguzi wa Vijiji, Viton<strong>go</strong>ji naSerikali za Mitaa. Napenda nimhakikishie kwamba,suala la kujaza nafasi katika ngazi za Vijiji na Viton<strong>go</strong>ji nila kisheria. Sura Namba 287 na 288 ya Sheria za Serikaliza Mitaa na Kanuni za Uchaguzi za Serikali za Mitaakwa Mwaka 2009, zinatamka kwamba nafasi zijazwendani ya siku 60. Pia ninataka kumhakikishia kwamba,lile lililotokea Mwanza ni la kuhakikisha hizi chaguzihazi<strong>go</strong>ngani na si la Tanzania nzima kama alivyotakakusema au kutaka kuwahakikishia Watanzania.Uchaguzi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa ulifanyikamwaka 2009, sasa hivi kinachofanyika ni kujaza nafasitu katika baadhi ya maeneo. Baadhi ya Mikoawalishajaza hizo nafasi. Kwa hiyo, alichofanya yuleMtendaji kwa niaba ya RAC katika Mkoa wa Marailikuwa ni kuhakikisha kwamba, Chaguzi za Chama chaMapinduzi, ambacho ni Chama kinachotawala nauchaguzi wa kujaza nafasi ambazo ni chache sanahauingiliani.Pia Kamati yetu kupitia Mheshimiwa Pindi HazaraChana, Mwenyekiti wa Kamati, alitaka kupataufafanuzi wa vikwazo vinavyosababisha Mradi wa DATusikamilike kwa wakati.471


Mheshimiwa Spika, vikwazo vilivyokuwavinasababisha Mradi wa DAT usikamilike kwa wakativimeshapatiwa ufumbuzi hasa baada ya kesi ya eneola Gerezani kumalizika na Serikali kutoa kiasi cha shilingibilioni 12.03 kulipia fidia kwa maeneo yote yaliyokuwayamebakia kwenye awamu ya kwanza. Aidha, katikautekelezaji wa awamu wa pili na ya tatu, Serikaliitahakikisha kuwa changamoto zilizojitokeza kwenyeawamu ya kwanza zinatafutiwa ufumbuzi kabla yaujenzi wa miundombinu kuanza.Mheshimiwa Spika, pia kulikuwa na suala ambalolilitaka Serikali itoe taarifa juu ya utekelezaji wa Mradiwa Mabasi yaendayo haraka katika Jiji la Dar esSalaam, ambayo ndiyo hiyo DAT niliyoilezea, Mradiambao umechukua muda mrefu.Mheshimiwa Spika, kama nilivyotangulia kusema,Serikali imezifanyia kazi changamoto zote zilizokuwepokatika Mradi huu na utekelezaji wa Mradi sasaunaendelea vizuri kwa kujenga miundombinu katikamaeneo mbalimbali kama ifuatavyo:-Barabara Kuu kutoka Kimara mwisho hadi Kivukoniinategemea kukamilika ndani ya miaka miwili kuanziaMachi 2012 hadi Februari 2014 na hivyo mabasi yausafiri wa haraka kuanza kazi. Ujenzi wa Barabara yaMa<strong>go</strong>meni - Moroko na Fire - Gerezani inaendelea naitakamilika Februari, 2015. Usanifu wa awamu ya pili naya tatu ya Barabara za Kilwa na Nyerere umekamilikana ujenzi wa miundombinu yake unatarajiwa kuanza472


Mwaka wa Fedha 2013/2014 na kukamilika mwaka2016/2017.Mheshimiwa Spika, Mheshimiwa Silinde aliitakaSerikali ianzishe Mamlaka ya Maendeleo Vijijini iliisimamie maendeleo vijijini. Uwepo wa Mamlaka zaSerikali za Mitaa umetamkwa katika Katiba ya Jamhuriya Muungano wa Tanzania ya Mwaka 1977, Ibara ya145 na 146. Serikali inatekeleza dhana ya maendeleovijijini kupitia Sera yake ya Maendeleo Vijijini ya Mwaka2003, ambayo inatilia mkazo ushirikishwaji wa wananchikatika kujiletea maendeleo. Kupitia Sera ya Upelekajiwa Madaraka kwa Umma, Serikali za Mitaazinaendelea kuwashirikisha wananchi katika kuamuana kutekeleza shughuli zao za maendeleo. Aidha,kama njia ya kupunguza gharama za uendeshaji waSerikali, hakuna haja ya kuanzisha mfumo mpya wamamlaka mpya kama ambavyo nimetangulia kusema.Mfumo uliopo wa Mamlaka ya Serikali za Mitaaunatosheleza na Chama chetu cha Mapinduzitunaona unafaa labda kama itatokea na ninahisihaitaweza kutokea, Chama cha Mheshimiwa kikishikamadaraka basi mfumo huo utaweza kutekelezwa.Mheshimiwa Spika, Mheshimiwa Dkt. FaustineNdugulile, M<strong>bunge</strong> wa Kigamboni, Mheshimiwa AbbasMtemvu, M<strong>bunge</strong> wa Temeke na Mheshimiwa ZarinaMadabiba, M<strong>bunge</strong> wa Viti Maalum, walizungumziasuala la kuondoa msongamano katika Jiji la Dar esSalaam na pia kuomba uwepo wa ring roads.Mheshimiwa Spika, Serikali imeanza kuchukuahatua mbalimbali za kupunguza msongamano katika473


Jiji la Dar es Salaam ikiwa ni pamoja na ujenzi wa ringroads kama ifuatavyo:-Kwanza, Ubun<strong>go</strong> – Ki<strong>go</strong><strong>go</strong> – Kawawa Road –Round About ambayo ni sawa na kilomita 6.4, Ki<strong>go</strong><strong>go</strong> –Round About – Msimbazi Valley – Jangwani – TwigaJunction kilomita 2.7 na Jet Corner – Buza – DavisCorner kilomita 10.3. Mikakati mingine ya kupunguzamsongamano ni pamoja na upanuzi wa Barabara yaNew Bagamoyo, Mwenge – Tegeta, ujenzi waBarabara ya Sam Nujoma, upanuzi wa Barabara yaNelson Mandela, upanuzi wa Barabara ya Morocco -Mwenge, ujenzi wa Barabara ya Kawe TPDF Range,utekelezaji wa Mradi wa Mabasi Yaendayo Harakaambayo nimeshaelezea utekelezaji wake ulivyo nahatua ambayo tumefikia na pia kuanzisha usafirishajiwa reli na majini ambayo ni sehemu ya kazi za Wakalawa DATS. Pia ujenzi wa fly over nao kama ambavyoWaheshimiwa Wa<strong>bunge</strong> wengi wamekuwawakiuelezea ni mojawapo ya mikakati ya kuondoamsongamano katika Jiji la Dar es Salaam, ambapoMheshimiwa Waziri husika atakapofika atalielezea zaidisuala hili lipo katika hatua gani.Mheshimiwa Spika, kwa kumalizia, napendaniishukuru familia yangu, nikianzia na wazazi wangu;Mzee Abdulrahman Mohamed Ghasia na Mamayangu Kashu Balozi, kwa malezi mema kwangu. Pianawashauri wazazi wengine waendelee kutuleawatoto wao tuliopo ndani ya Bunge hili Tukufu ilituendelee kuwa na mwenendo mwema na hivyokuendelea kuwajengea heshima wazazi wetu.Napenda nichukue fursa hii kuwashukuru wanangu474


nikianzia na mwanangu Inna, Hussein, Asia, Seif naNasra. Mwisho, namshukuru mume wangu mpenzi Mr.Yahya Ally Muhata, kwa kunivumilia muda wote na piakuchukua jukumu la kuwa mlezi wa familia yetukuwalea watoto wetu. (Makofi)Mheshimiwa Spika, nimalizie tena kumshukuruMheshimiwa Waziri Mkuu, kwa maelekezo ambayoanatupatia katika ofisi yetu. Pia nawashukuruMakatibu Wakuu, nikianzia na Mheshimiwa HusseinKatanga - Katibu Mkuu TAMISEMI na Manaibu wakenikianzia na Bwana Jumanne Sagini na Bwana AlphayoJapani Kidata, kwa ushirikiano mkubwa wanaonipatia.Pia nawashukuru Wakuu wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya,Waheshimiwa Madiwani wote na Mabaraza yaMadiwani, kwa ushirikiano ambao wananipatia katikakipindi kifupi. Nami nawaahidi ushirikiano na pianawashukuru Manaibu wangu wote; Bwana Mwanri naBwana Majaliwa, kwa ufafanuzi na pia ushirikianowanaonipatia.Mheshimiwa Spika, naunga mkono hoja. (Makofi)SPIKA: Ahsante sana kwa ufafanuzi huo na sasanamwite Mheshimiwa Dkt. Mary Nagu, ninampa dakika30, atafuatiwa na Mheshimiwa William Lukuvi, ninampadakika hizo hizo 30.WAZIRI WA NCHI, OFISI YA WAZIRI MKUU(UWEKEZAJI NA UWEZESHAJI): Mheshimiwa Spika,kwanza, naanza kwa kuunga mkono hoja yaMheshimiwa Waziri Mkuu. Ninapenda vilevilekukushukuru wewe kwa kunipa fursa ya kuchangia475


katika majumuisho ya hoja ya Mheshimiwa Waziri Mkuu.Nitumie fursa hii, kumshukuru Mheshimiwa Dkt. JakayaMrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano waTanzania, kwa kuendelea kuwa na imani nami katikakusimamia shughuli za uwekezaji, uwezeshaji namaendeleo ya sekta binafsi. Namshukuru nakumpongeza sana Mheshimiwa Waziri Mkuu, kwakuion<strong>go</strong>za Serikali na kusimamia utekelezaji wa kila siku,lakini pia kwa kutupa maelekezo na ushirikiano wakaribu sana. Tunamshukuru sana. (Makofi)Mheshimiwa Spika, nampongeza na kumshukurusana Waziri mwenzangu chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu,Mheshimiwa William Lukuvi, ambaye ni ndugu yanguna ninampongeza kwa kumsaidia Mheshimiwa WaziriMkuu, kusimamia shughuli za Serikali Bungeni. Hongerasana. Aidha, nawapongeza Waheshimiwa Mawaziri,Naibu Mawaziri na Wa<strong>bunge</strong> walioteuliwa kuingiaBungeni, Waheshimiwa Mawaziri walioteuliwa kuwaMawaziri wakati wa kashikashi zilizopita.Nawapongeza vilevile Mawaziri wenzangu ambao kwabahati nzuri tumebakia katika nafasi zetu.Mheshimiwa Spika, nawashukuru Wajumbe wotewa Kamati ya Fedha na Uchumi, chini ya Uon<strong>go</strong>zi waMheshimiwa Mtemi Andrew Chenge, M<strong>bunge</strong> waBariadi Magharibi, akisaidiwa na Mheshimiwa DunstanKitandula, M<strong>bunge</strong> wa Mkinga, kwa kutupa ushirikianowa karibu na upendo mkubwa sana. Wametoamaoni na ushauri wao wenye mchan<strong>go</strong> mkubwa sanakatika kuboresha utendaji wa kazi ya Ofisi ya WaziriMkuu hususan uwekezaji, uwezeshaji na maendeleo ya476


sekta binafsi. Namshukuru Mheshimiwa Chenge naninawashukuru Wajumbe wote. (Makofi)Mheshimiwa Spika, naomba pia kutambuamchan<strong>go</strong> wa Kambi ya Upinzani Bungeni,inayoon<strong>go</strong>zwa na Mheshimiwa Freeman Mbowe,M<strong>bunge</strong> wa Hai na Msemaji Kambi Rasmi ya UpinzaniBungeni. Vilevile ningependa kuomba ushirikiano waWaziri Kivuli, Mheshimiwa Esther Matiko, kwa kushirikiananaye kama ilivyokuwa kawaida yetu miaka miwiliiliyopita. Aidha, nawashukuru sana WaheshimiwaWa<strong>bunge</strong> wote, kwa michan<strong>go</strong> yenu mizuri na yenyetija wakati wa kuchangia hoja ya Mheshimiwa WaziriMkuu. Serikali inathamini sana maoni na ushauri waWaheshimiwa Wa<strong>bunge</strong> na itazingatia ipasavyo maonina ushauri huo katika kuboresha utekelezaji wamajukumu yake.Mheshimiwa Spika, inawezekana kabisa nisifikiehoja ya kila M<strong>bunge</strong>, lakini nataka niwahakikishiekwamba, hakuna hata hoja moja ambayo sitaizingatiakatika utekelezaji wake.Mheshimiwa Spika, kwa namna ya pekee,napenda niwashukuru Wananchi wa Jimbo la Hanang,kwa kuendelea kushirikiana nami katika shughulimbalimbali za kuleta maendeleo ya Jimbo letu nahasa ukizingatia kwamba ni chimbuko la Upinzanivilevile. Aidha, natoa shukrani za dhati kwa mamayangu mzazi na pia familia yangu, ikion<strong>go</strong>zwa namume wangu mpenzi, Profesa Joseph Nagu, kwani bilauvumilivu na ushirikiano wao wa karibu, kazi yanguingekuwa ngumu sana. Napenda pia kuwashukuru477


watoto wangu Tumaini, Neema, Deo na wale woteambao ninawalea.Vilevile nawashukuru sana Mawaziri, Wa<strong>bunge</strong>,Ndugu na jamaa, Wananchi wa Jimbo la HanangMkoa wa Manyara, Singida, Dodoma, Arusha, Mwanzana Mikoa mingine na majirani zangu walionifariji wakatiwa msiba wa baba yangu mzazi, Mzee Michael NdafuMombo, aliyefariki tarehe 15 Aprili 2012 tukiwa hapaBungeni katika Hospitali ya Mount Meru Arusha nahatimaye kuzikwa nyumbani Hanang Mkoani Manyara.Nawashukuru sana. Mwenyezi Mungu, ailaze roho yababa yangu mahali pema peponi; amina.Mheshimiwa Spika, kabla ya kujibu hojazilizotolewa na Waheshimiwa Wa<strong>bunge</strong> kwa niaba yaMheshimiwa Waziri Mkuu, naomba nitoe maelezo yajumla kuhusu masuala ya uwekezaji, uwezeshajiwananchi kiuchumi na maendeleo ya sekta binafsi. Hiini kwa sababu inawezekana kama nilivyosemanisimfikie kila M<strong>bunge</strong> mmojammoja.Mheshimiwa Spika, napenda kusisitiza kwamba,uwekezaji kutoka ndani na nje ya nchi, ni suala lamsingi na la lazima katika kuchochea ukuaji wa uchumina maendeleo ya Taifa lolote. Umuhimu wa uwekezajindani hauna mjadala, lakini ili uwekezaji wa ndaniuweze kukidhi mahitaji ya Taifa, ni lazima kiwan<strong>go</strong> chakuweka akiba kiwe cha kutosha ili kuzalisha mitaji yakuwekeza. Kwa upande wa Tanzania, kiwan<strong>go</strong> chakuweka akiba ni asilimia 15 tu ya pato la Taifa. Kiwan<strong>go</strong>hiki ni kido<strong>go</strong> na hivyo hakiwezi kukidhi mahitaji halisi yamitaji kwa ajili ya uwekezaji.478


Mheshimiwa Spika, kutokana na hali hii, uwekezajiwa nje hauepukiki, hivyo ni muhimu kuweka vivutiokujenga mazingira mazuri kwa wawekezaji wa ndanina nje hasa pale ambapo gharama ya uwekezaji naya biashara ni kubwa sana na kwa kuzingatia manufaaya uwekezaji, hili ni suala gumu pale ambapo kilammoja anaona uwekezaji uko labda kwa ajili yamanufaa ya wawekezaji peke yake. Mimi nimepewakazi hii na ninaamini kwamba, hakuna nchi ambayoinaweza kukuza uchumi wake bila ya kuwekeza. Nisawasawa na mkulima asipopanda shamba lakehatavuna. Manufaa yanayotokana na uwekezaji nipamoja na upatikanaji wa mitaji, kuongezwa kwa fursahususan za ajira, mapato ya kodi, kuongeza thamaniya bidhaa, fedha za kigeni, teknolojia ya kisasa,menejementi na ujuzi.Mheshimiwa Spika, kiwan<strong>go</strong> cha ndani chauwekezaji kitaongezeka endapo tutaongeza kiwan<strong>go</strong>cha kuweka akiba na kuboresha mazingira yabiashara na uwekezaji nchini. Vilevile hatuna budikujijengea uwezo katika kuandaa na kusimamiamikataba ya uwekezaji ili kulinda maslahi ya Taifa nakufaidika na uwekezaji huo hususan ule unaotokanana mitaji ya nje. Hii ni pamoja na kuhakikisha kuwa,wawekezaji wanatimiza masharti yanayoambatanana mikataba ya uwekezaji wao kama vile ulipaji kodina kuweka mfumo mzuri wa uwajibikaji kwa jamiizinazowazunguka na kwa Taifa vilevile. Uzoefu waAn<strong>go</strong>la na Norway unatufundisha kuwa makampunimakubwa yanaweza yakachangia maendeleo yanchi kwa kutumia sehemu ya mitaji yao. Len<strong>go</strong> ni479


kuhakikisha kuwa uwekezaji unanufaisha wawekezajiwenyewe, wananchi na Taifa kwa ujumla kwamanufaa ya pande zote husika. Kwa sababu hizininawaasa Watanzania wenzangu na WaheshimiwaWa<strong>bunge</strong> tutambue na kuthamini mchan<strong>go</strong> wawawekezaji wa ndani na nje katika maendeleo yakiuchumi na kijamii ya nchi yetu na siyo kuwatazamawawekezaji wote kama vile ni waporaji. Jambomuhimu zaidi ni sisi kujipanga vizuri, kuboresha uwezona uzalendo wetu wa kuandaa, kufuatilia nakusimamia mikataba yenye maslahi kwa nchi yetu.(Makofi)Mheshimiwa Spika, katika kipindi cha mwaka 2000hadi Mei, 2012, jumla ya miradi 6,602 yenye thamani yadola za Marekani bilioni 49 imesajiliwa katika Kituo chaUwekezaji (TIC) ambayo imetoa ajira kwa Watanzaniatakribani 950,108. Idadi ya wawekezaji wa ndaniimekuwa ikiongezeka mwaka hadi mwaka na katikakipindi husika jumla ya miradi 3,345 inamilikiwa nawawekezaji wa ndani ambayo ni sawa na asilimia 51na inatia moyo sana. Miradi hii ina thamani ya sawa nadola za Marekani bilioni 24.99 ya miradi yote. Miradiinayomilikiwa na wageni kutoka nje ni 1,569 ambayo niasilimia 24, na miradi ya ubia kati ya wawekezaji wandani na wa kutoka nje (joint venture) ni 1,688 ambayonia sawa na asilimia 25 ya miradi yote. Tukumbukekuwa mitaji duniani kote huenda kwenye nchi ambazozina mazingira wezeshi ya kuwekeza na kufanyabiashara. Nilisema mara ya mwisho kwamba, ndegezinatua pale penye uwanja wa ndege, kama hakunauwanja ndege haiwezi kutua.480


Mheshimiwa Spika, uwekezaji kutoka nje au foreigndirect investment umekuwa ukipanda mwaka hadimwaka. Kwa mujibu wa Taarifa ya Dunia ya Uwekezajiya mwaka 2011, inayotolewa kila mwaka na Shirika laUmoja wa Mataifa la Biashara na Maendeleo, mitaji yamoja kwa moja (FDI) iliongezeka kutoka dola zaMarekani milioni 494 mwaka 2005 hadi kufikia dola zaMarekani milioni 700. Mojawapo ya sababuzilizochangia kukua kwa miradi hii, ni pamoja naunafuu wa kodi kwa vifaa vya mtaji (deemed capital<strong>go</strong>ods). Unafuu unaotolewa ni Ushuru wa Forodha naVAT kwa baadhi ya vifaa vinavyohitajika wakati wakuanzisha miradi ya uwekezaji ambayo kimsingi havipokatika kundi la mitambo (capital <strong>go</strong>ods by genericdescriptions) ambavyo kiasili havitozwi kodi. Hii nikutokana na ukweli kwamba, wataalam wa kodiwanashauri kwamba kodi yoyote inayotozwa kwenyemitaji ni kodi mbaya. Tofauti na dhana iliyopo mion<strong>go</strong>nimwa Watanzania wengi kwamba, wawekezajiwanasamehewa kulipa kodi zote, wawekezaji hulipaUshuru wa Forodha na VAT kwa vifaa ambavyohavijaorodheshwa kama vifaa vya mtaji, Ushuru waBidhaa, Kodi ya Zuio kwa huduma mbalimbali, Kodi yaMapato, Kodi ya Maendeleo ya Ujuzi wa Wafanyakazi.Kodi hizi hulipwa hata katika kipindi cha uanzishwaji wamiradi na hivyo kufanya misamaha ya kodiinayotolewa kuwa ni kiasi kido<strong>go</strong> ikilinganishwa na kodizinazokusanywa au zitakazokusanywa kutoka kwawawekezaji.Mheshimiwa Spika, matokeo ya awali ya utafitiuliofanywa na TIC ambayo nitayagawa hapa Bungeniyakihusisha sampuli ya makampuni 42 yaliyosajiliwa na481


Kituo hicho katika kipindi cha mwaka 2005 hadi 2010umeonesha kwamba, makampuni haya yaliwekezamtaji wenye thamani ya shilingi trilioni 1.7. Jumla yamisamaha ya kodi kwa bidhaa za mtaji yenye thamaniya shilingi bilioni 88.8 ilitolewa kwa makampuni hayo.Katika kipindi hicho, kodi iliyolipwa na makampunihayo baada ya misamaha hiyo iliyotolewa wakatimiradi hiyo ilipoanzishwa imefikia shilingi trilioni 1.13 nayanaendelea kulipa kodi bila kuhitaji misamaha zaidi.Takwimu hizi zitakuwa kwenye Hansard na matokeohaya nitayagawa hapa Bungeni.Mheshimiwa Spika, lakini kuna miradi ambayo ikokwenye sekta zingine. Miradi hiyo haijafanyiwa utafitina tutaendelea kufanya utafiti huko. Suala la msingisiyo kuondoa misamaha yote ya kodi kwenyeuwekezaji, kwani dhamira ya Serikali kutoa misamahahiyo ni kuvutia mitaji kutoka ndani na nje ya nchikwenye miradi mipya ambayo isingepatikana bilavivutio hivyo. Kama nilivyoshauriwa na WaheshimiwaWa<strong>bunge</strong> wengi, jambo la msingi ni kuhakikishakwamba misamaha inayotolewa inahakikiwa ipasavyona taasisi husika kama TIC, EPZA, Wizara ya Nishati naMadini, Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali ilikulinda maslahi ya Taifa letu. Aidha, Serikali inautaratibu wa kuingia Mikataba ya Utekelezaji(Perfomancce Contracts) na wawekezaji wakubwa ilikuwezesha ufuatiliaji wa mafanikio yaliyotarajiwa.Natoa rai kwa Waheshimiwa Wa<strong>bunge</strong> na wananchikwa ujumla kushirikiana na Serikali kubaini matumizimabaya ya misamaha ya kodi ili hatua stahikizichukuliwe.482


Mheshimiwa Spika, Tanzania bado inapokeakiwan<strong>go</strong> kido<strong>go</strong> cha mitaji kutoka nje. Kulingana nataarifa ya Dunia ya Uwekezaji ya mwaka 2011 kwamwaka 2010 jumla ya mitaji yote duniani ilikuwa dolaza Marekani bilioni 1,244. Katika mwaka huohuoTanzania ilipata dola za Marekani 700 kati ya dola zaMarekani bilioni 55 zilizokuja Afrika. Hii ni sawa naasilimia 1.27 tu ya mitaji yote iliyokuja Afrika ambayo niasilimia 0.06 tu ya mitaji yote duniani. Utaona ni kiasigani kinakuja Tanzania. Afrika ilipokea kiasi cha dola zaMarekani bilioni 55 ambazo ni sawa na asilimia nne(4%) ya mitaji yote ya Dunia. Bara la Ulaya lilipokeadola za Marekani bilioni 313, Amerika Kaskazini dola zaMarekani bilioni 252, Asia dola za Marekani bilioni 358(hii ikiwa ni China na India), Amerika ya Kusini dola zaMarekani bilioni 86 na Australia dola za Marekani bilioni32. Kwa hiyo, utaona sisi tunapokea dola milioni 800peke yake.Mheshimiwa Spika, Serikali imeanza kudurusu Seraya Taifa ya Uwekezaji ya mwaka 1996 na hatimayeSheria ya Uwekezaji ya Mwaka 1977. Changamotokubwa ya mfumo wa sasa wa misamaha ya kodiumejikita kupima ubora wa wawekezaji kwa kuangaliafaida itakayotokana na matunda ya uwekezaji huobadala ya kuangalia mitaji inayofanya uwekezaji huouwepo. Manufaa yanayotegemewa kutokana nafaida baada ya uwekezaji ambayo nimeeleza kuwa niajira, malipo ya kodi, mapato ya mauzo ya nje,teknolojia mpya na mengine, hayatabiriki na kwa kiasikikubwa inategemea ujanja wa mwekezaji. Pia siyorahisi kupimika na kuyaweka bayana.Tutakachokifanya siku za usoni ni kuweka mikakati ya483


kuanza kutoa misamaha kwa kuangalia faidatutakayopata kama sehemu ya mitaji ya uwekezajikwani hii inatabirika na ni rahisi kupima kamainalingana na misamaha tunayotoa. Mfano, ni utoajiwa hisa zisizolipiwa kwa kutumia rasilimali ya asili,kutengeneza miradi au corporate social responsibility(miradi ya uwajibikaji wa muwekezaji) kwa jamii nataifa kama asilimia ya uwekezaji, kununua vifaavilivyotengenezwa ndani au chakula kinawezakununuliwa ndani kama asilimia ya mtaji wa uwekezaji,kutumia asilimia kubwa ya bidhaa za uzalishaji kupitiakampuni za Kitanzania na kuajiri Watanzania katikanafasi ambazo sasa hivi zimeajiri wageni.Mheshimiwa Spika, Sheria ya Ubia baina ya Sektaya Umma na Sekta Binafsi ya mwaka 2010 imekamilikana maandalizi ya msingi ya kuanzisha Kiten<strong>go</strong> chaUtaratibu wa Masuala ya Ubia (PPP cordinating Unit)kwenye Kituo cha Uwekezaji Tanzania na Kiten<strong>go</strong> chaFedha kwenye Wizara ya Fedha yamekamilika.Mapendekezo ya miradi yenye uwezekano wakutekelezwa kwa utaratibu wa PPP yamewasilishwa natutayafuatilia kwa karibu kwa sababu ndipo hapotunaweza tukatekeleza miradi ya miundombinu nakuweza vilevile kuondoa gharama za uwekezaji nakufanya biashara Tanzania.Mheshimiwa Spika, baada ya kueleza uwekezaji,sasa naomba niende kwenye uwezeshaji wa wananchiili waweze kushiriki kikamilifu katika kujenga uchumi wanchi yao. Uwezeshaji wananchi kiuchumi, ni uamuzi wamakusudi unaojumuisha hatua mahsusizinazochukuliwa na Serikali kwa ajili ya kuinua uelewa,484


ujuzi, elimu ya ujasiriamali na kuwawezeshaWatanzania kumiliki rasilimali na kushiriki kikamilifukwenye shughuli za kiuchumi. Aidha, uwezeshajiwananchi kiuchumi ni dhana pana ambayo inahitajiwananchi kutambua fursa mbalimbalizinazowazunguka na kuzitumia fursa hizo kujikwamuakiuchumi. Jukumu la Serikali ni kuandaa na kuboreshasera, sheria, kanuni na taratibu ili kumwezeshamwananchi kutumia fursa hizo. Ili kufaidika na matundahayo, Watanzania wanapaswa kufanya kazi kwa bidii,maarifa na kwa kujituma. Hivyo ni lazima kuwapawananchi wote fursa sawa ili waweze kujitegemea.Jitihada hizi kama wananchi wataziunga mkono,zitapunguza tofauti kubwa ya vipato ambavyo vipohivi sasa na vinahatarisha amani yetu.Mheshimiwa Spika, kwa kuzingatia hayo, Serikaliimetunga Sera ya Taifa ya Uwezeshaji WananchiKiuchumi ya mwaka 2004 na Sheria ya UwezeshajiWananchi Kiuchumi Na. 16 ya Mwaka 2004. Sera nipana na nzuri, lakini nafikiri tunahitaji kuangalia sheriaambayo inawezesha utekelezaji wa sera ile. Sasa hivituna mifuko mbalimbali ambayo inawezeshawananchi. Mifuko hiyo iko mingi, nikiisoma sasa hivipengine inaweza ikachukua muda. Nawezanikatayarisha hiyo list nikawaletea. Serikali imeanzishamifuko mbalimbali kwa len<strong>go</strong> la kuwawezeshawananchi kiuchumi. Kwa mujibu wa Sera ya Taifa yaUwezeshaji Wananchi Kiuchumi na Sheria yake, Barazala Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi ni chombocha kitaifa kitakachosimamia, kufuatilia na kuratibushughuli zote za uwezeshaji wananchi katika sekta zotena katika maeneo yote. Serikali inaangalia uwezekano485


wa kuweka baadhi ya Mifuko ya Uwezeshaji WananchiKiuchumi chini ya Baraza la Taifa la UwezeshajiWananchi Kiuchumi kama ilivyo kwa Zambia ambapomifuko yote ipo chini ya Mfuko wa CitizenEmpowerment Fund na hili limeshauriwa sana naWaheshimiwa Wa<strong>bunge</strong> wengi. (Makofi)Mheshimiwa Spika, jitihada nyingine za Serikalikatika kuwezesha wananchi ni kuweka mazingirawezeshi ambayo ni pamoja na kuimarisha uchumijumla, kuimarisha miundombinu ya kiuchumi na kijamii,kuboresha huduma za Serikali, kuimarisha upatikanajiwa mitaji, kuinua viwan<strong>go</strong> vya ujuzi na uzoefu,kuboresha na kuimarisha masoko, kuimarisha ushirikana kuhakikisha ardhi inawanufaisha wananchi waTanzania. Aidha, Serikali inatekeleza mpan<strong>go</strong> kazi wakuboresha mazingira ya biashara na uwekezaji nchini.Mpan<strong>go</strong> huu umeandaliwa kuiwezesha Serikali kutoahuduma za msingi kwa sekta binafsi na ninapendakusema kwamba, urasimu unapaswa uwezeshe,urahisishwe na uhamasishe uwekezaji ndani ya nchibadala ya kuukwamisha. Tunajitahidi sana. Hiiinatokana na mtazamo (mind set) zetu kutokana nauchumi hodhi ambao unaendelea mpaka sasa. Kwahivyo, kazi yetu kubwa ni kuhakikisha kwamba mind setile inabadilika.Mheshimiwa Spika, sasa naomba niende kwenyemaendeleo ya sekta binafsi. Serikali imeachana nakuendesha uchumi. Kama hatutakazania sekta binafsimaana yake uchumi wetu utalegalega. Kwa hiyo,moja ya jitihada zinazofanyika Ofisi ya Waziri Mkuu, nikuhakikisha sekta binafsi inatekeleza wajibu wake.486


Kutokana na utekelezaji wa miradi ya kukuza ushindaniwa sekta binafsi, Tanzania imechaguliwa na imekubalikuwa mwenyeji wa mkutano wa Kimataifa ujulikanaokama ‘International Smart Partineship Diologue yamwaka 2013’ unaotarajiwa kufanyika hapa nchinimwezi Mei, mwaka ujao. Mikutano ya aina hiihufanyika karibu kila mwaka na katika nchi mbalimbaliikijumuisha vion<strong>go</strong>zi wa Serikali, wafanyabiashara,waandishi wa habari, vijana, wanawake na sektabinafsi kwa ujumla kukaa pamoja na kuangaliamustakabali wa Taifa lao hasa katika mambo yakiuchumi na ya kijamii.Mheshimiwa Spika, sasa naomba niende kujibuhoja za Wa<strong>bunge</strong> waliochangia katika eneo lauwekezaji, uwezeshaji na maendeleo ya sekta binafsina nina hakika sitawafikia wote lakini naomba nikirikwamba, Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Fedha naUchumi inayoon<strong>go</strong>zwa na Mheshimiwa Andrew JohnChenge (Mtemi) akisaidiwa na Mheshimiwa DunstanKitandula, imefikia maeneo yote ambayo Wa<strong>bunge</strong>waliyatolea hoja. Kwa hiyo, nitakapokuwa ninajibuhoja za Kamati nitakuwa nawajibu Wa<strong>bunge</strong> vilevile.Mheshimiwa Spika, hoja ya kwanza, Serikali ifanyetathmini ya fedha za mikopo inayotolewa kupitiamifuko mbalimbali ili kuona kama malen<strong>go</strong>yaliyokusudiwa yamefikiwa. Aidha, Serikali iwekemsisitizo katika kuhamasisha uwekezaji na uwezeshajikwenye sekta ya kilimo, uvuvi na ufugaji ambazozinaajiri na kutegemewa na Watanzania wengi. Hilihalina mjadala. Serikali imeanza mchakato wakutathmini mifuko mbalimbali ya uwezeshaji ikiwa ni487


pamoja na kuitaka mifuko husika kutoa taarifa za kilarobo mwaka zitakazoainisha kiasi cha mikopoiliyotolewa, idadi ya wananchi waliofikiwa, shughuli aumiradi iliyolengwa na mikopo inayorejeshwa. Kiwan<strong>go</strong>cha urejeshwaji wa baadhi ya mikopo iliyotolewa nicha kuridhisha. Mfano, hadi Aprili, 2012 kiwan<strong>go</strong> chaurejeshaji katika mfuko wa Uwezeshaji WananchiKiuchumi kilikuwa asilimia 96. Mpan<strong>go</strong> wa UwezeshajiWananchi Kuongeza Ajira au JK Fund asilimia 78, TASAFasilimia 91, SELF asilimia 91.4 na Mfuko wa Pembejeo zaKilimo asilimia 73. Kwa hiyo, unaona kwambawananchi wanarudisha mikopo ile na Serikali kwakushirikiana na mifuko hiyo itajitahidi kutoa mikopo kwaufanisi zaidi ili wananchi waweze kunufaika.Mheshimiwa Spika, hoja nyingine iliyotolewa naKamati yetu ni kwamba, Serikali iimarishe usimamizi wautekelezaji wa sera, sheria, programu, mikakati namifuko mbalimbali yenye len<strong>go</strong> la kuwawezeshakiuchumi wananchi wengi zaidi wenye kipato chachini. Aidha, Serikali iwe makini katika kutoa mikopokwa sekta binafsi kwa kuhakikisha inaelekezwa kwenyemaeneo ya wananchi wenye kipato cha chini badalaya kuelekezwa kwa wafanyabiashara wachache.Tunakubaliana na hoja hiyo, ni kweli kwa uwezeshajiunafanyika kupitia sera, sheria, programu na mikakatimbalimbali katika sekta za kiuchumi na kijamii ambapokimsingi Serikali inaweka mazingira wezeshikuwawezesha wananchi kushiriki katika shughuli zamaendeleo. Serikali itahakikisha kwamba mfumo wasera, sheria, programu na mfuko inazingatia uwezeshajiwa wananchi wa kipato cha chini.488


Mheshimiwa Spika, Kamati vilevile ilisisitiza Serikaliitoe taarifa kuhusu jitihada zinazoendelea. Serikaliinafanya juhudi mbalimbali za kuwawezesha wananchikiuchumi na mimi nakiri ni kutokana na kutotoa taarifa,wananchi hawaelewi kwamba wanawezeshwa.Tutajitahidi sana kuhakikisha kwamba tunatoa taarifaza kila wakati. Hadi kufikia Aprili, 2012, jumla ya mikopoiliyotolewa kupitia mifuko hii huwezi kuamini ni shilingibilioni 177.93 maana yake ni trilioni moja na zaidi. Kwahivyo, kama tungekuwa tunatoa taarifa, fedha hizizingejulikana na vilevile kufuatiliwa na wananchi.Mheshimiwa Spika, Kamati imesema kuwa elimuinahitajika kutolewa kwa wananchi wengi ili wawezekushiriki kikamilifu katika ujasiriamali, uwekaji akiba nahatimaye katika kuwekeza. Hilo ni muhimu natutahamasisha wananchi, tutawaelimisha bila kurudinyuma.Mheshimiwa Spika, Kamati vilevile imesisitiza hasaMheshimiwa Devotha Likokola kuwa Baraza la Taifa laUwezeshaji Wananchi Kiuchumi lianzishe dawatimaalum kwa ajili ya kuratibu shughuli za VICOBA. Hilitumelikubali, kwanza tutathmini na tutaona namnanzuri ya VICOBA vitakavyochangia maendeleo ya nchiyetu kwa sababu ndio mwanzo wa wananchi kuwekaakiba.Mheshimiwa Spika, Kamati ya Kudumu ya Fedhana Uchumi kupitia kwa Mheshimiwa Andrew Chenge,wameshauri Serikali ihimize uwezeshaji wananchikiuchumi na Serikali iangalie namna ya kuunganishamifuko hiyo, hiyo nimeshaelezea.489


Mheshimiwa Lekule Laizer, M<strong>bunge</strong> wa Longidoamesema kwamba Longido fedha za uwezeshajiwananchi kiuchumi maarufu kama JK hazijawahi kufikaLongido. Nataka nimhakikishie na nitampa taarifakwamba fedha hizi zimefika.Mheshimiwa Spika, Wa<strong>bunge</strong> wengi wameniombanishirikiane nao katika kuwezesha wananchi. Hiyo ni raiambayo nimeikubali kwa moyo mmoja.Mheshimiwa Spika, namshukuru MheshimiwaMwijage kwa kuniomba kwenda Kagera, nitakwendana nitaenda katika Mikoa yote ili tushirikianekuwawezesha wananchi wetu washiriki kikamilifu katikakuanzisha na kuwekeza akiba zao kwenye miradimbalimbali.Mheshimiwa Spika, vilevile tunajua kwamba vijanani wengi na wenye nguvu na Mheshimiwa Ester Bulayaameniomba kwamba nisisahau vijana nitafanya hivyokwa kutambua kwamba vijana ndio nguvu ya Taifa.Mheshimiwa Spika, Wa<strong>bunge</strong> Wanawakewametupongeza na kututia moyo MawaziriWanawake, ninawahakikishia kwambahatutawaangusha, tutatenda kazi zetu kwa uaminifu,kwa uadilifu na kutokuwaangusha wao. (Makofi)Mheshimiwa Spika, napenda niongelee jambomoja ambalo linahusu Jimbo langu. Kule Jimbonikwangu kuna mashamba ya ngano ambayo yalikuwachini ya Serikali baadaye tukayabinafsisha nawawekezaji kwa kweli wameanza kuwekeza lakini490


hawajafikia matarajio ya wananchi wa Hanang. Kwahivyo nitajitahidi na nimeshajitahidi wawekezaji walewamenihakikishia kwamba wataanzisha miradi yaumwagiliaji kwa sababu na wao hawatakuwawanasuasua kama wakulima wa kawaida.Wamenihakikishia wataanzisha Kituo cha Kilimo auChuo cha Kilimo ambacho ni cha Kimataifa iliWahanang wafaidike na wengine waniunge mkono.Mheshimiwa Spika, vilevile kama Waziri waUwezeshaji, nimetoa mfano wa kuwawezesha vijanana makundi mbalimbali ya Hanang nikianzia na kutoamatrekta kwa wakulima, bodaboda kwa vijana,vyerehani kwa kinamama na vingine vitafuata.Nashukuru Wa<strong>bunge</strong> waliokuja kuona mfano Hanang,waliwekwa kwenye luninga na mimi nikafarijika kwakuona kwamba Hanang ina mchan<strong>go</strong> wa kutoakupitia kwa M<strong>bunge</strong> wao ambaye ni Waziri waUwezeshaji.Mheshimiwa Spika, naunga mkono na namshukuruWaziri Mkuu. (Makofi)MAJIBU KWA MAANDISHI YA MHESHIMIWA DKT. MARYM. NAGU, WAZIRI WA NCHI, OFISI YA WAZIRI MKUU(UWEKEZAJI NA UWEZESHAJI) KUHUSU UFAFANUZI WAHOJA ZA WAHESHIMIWAWABUNGE WALIPOJADILI HOTUBA YA BAJETI YAMHESHIMIWA WAZIRI MKUUTAREHE 29 JUNI 2012Mheshimiwa Spika, Kwanza nianze kwa kuungamkono hoja ya Mheshimiwa Waziri Mkuu na napenda491


kukushukuru kwa kunipa fursa ya kuchangia katikamajumuisho ya Hoja ya Mheshimiwa Waziri Mkuu.Aidha, niwashukuru Naibu Spika na Wenyeviti wote waBunge. Nitumie fursa hii kumshukuru Mheshimiwa Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamuhuri yaMuungano wa Tanzania, kwa kuendelea kuwa naimani nami katika kusimamia shughuli za Uwekezaji,Uwezeshaji na Maendeleo ya Sekta Binafsi. Nimshukuruna kumpongeza Mheshimiwa Waziri Mkuu kwamaelekezo na ushirikiano wake pia ninampongezaMheshimiwa William W. Lukuvi kwa kumsaidiaMheshimiwa Waziri Mkuu kusimamia shughuli za SerikaliBungeni chini ya Katibu Mkuu P. Lyimo pamoja naNdugu Charles Pallangyo na watumishi wote wa Ofisiya Waziri Mkuu. Aidha, niwapongeze WaheshimiwaMawaziri, Naibu Mawaziri, na Wa<strong>bunge</strong> walioteuliwana Mheshimiwa Rais kushika nyadhifa hizo. Wajumbewote wa Kamati ya Fedha na Uchumi, wakion<strong>go</strong>zwana Mheshimiwa Mtemi Andrew John Chenge, M<strong>bunge</strong>wa Bariadi Magharibi, akisaidiwa na MheshimiwaDunstan Luka Kitandula, M<strong>bunge</strong> wa Mkinga,wametoa maoni na ushauri wao wenye mchan<strong>go</strong>mkubwa katika kuboresha utendaji kazi wa Ofisi yaWaziri Mkuu, Uwekezaji na Uwezeshaji. Nawashukuru nakuwapongeza sana.Mheshimiwa Spika, naomba pia kutambuaMchan<strong>go</strong> wa Kambi ya Upinzani Bungeni,inayoon<strong>go</strong>zwa na Mheshimiwa Freeman AikaeliMbowe, M<strong>bunge</strong> wa Hai na Msemaji wa Kambi Rasmiya Upinzani Bungeni. Aidha, nawashukuru sanaWaheshimiwa Wa<strong>bunge</strong> wote kwa michan<strong>go</strong> yenumizuri na yenye tija, wakati wa kuchangia hoja ya492


Mheshimiwa Waziri Mkuu. Serikali inathamini sanamaoni na ushauri wa Waheshimiwa Wa<strong>bunge</strong>, naitazingatia ipasavyo maoni na ushauri huo katikakuboresha utekelezaji wa majukumu yake.Inawezekana kabisa nisifikie hoja ya Wa<strong>bunge</strong> wotelakini hakuna hata mmoja ambaye hoja yakesijaizingatia.Mheshimiwa Spika, kwa namna ya pekeenapenda kuwashukuru Wananchi wa Jimbo la Hanangkwa kuendelea kushirikiana nami katika shughulimbalimbali za kuleta maendeleo ya Jimbo letu. Aidha,natoa shukrani za dhati kwa mama yangu mzazi piafamilia yangu ikion<strong>go</strong>zwa na mume wangu mpenziProf. Joseph Nagu kwani bila uvumilivu na ushirikianowao wa karibu kazi yangu ingekuwa ngumu sana.Vilevile, nawashukuru sana Mawaziri, Wa<strong>bunge</strong>,Ndugu, Jamaa, Wananchi wa Jimbo la Hanang Mkoawa Manyara, Singida, Dodoma Arusha, Mwanza naMikoa mengine yote pamoja na majirani zangu wotewalionifariji wakati wa Msiba wa Baba yangu mzaziMzee Michael Mombo Mbafu aliyefariki dunia tarehe15 Aprili, 2012 katika hospitali ya Mount Meru Arusha nabaadaye kuzikwa nyumbani Kate Hanang MkoaniManyara. Nasema Ahsanteni sana. Mwenyezi Munguailaze roho ya marehemu baba yangu mahali pemapeponi amina.Mheshimiwa Spika, kabla ya kujibu kwa niaba yaMheshimiwa Waziri Mkuu hoja zilizotolewa naWaheshimiwa Wa<strong>bunge</strong>, naomba nitoe maelezo yajumla kuhusu masuala ya Uwekezaji, UwezeshajiWananchi Kiuchumi na Maendeleo ya Sekta Binafsi. Hii493


ni kwa sababu inawezekana kabisa nisifikie hoja zotezilizotolewa kutokana na ufinyu wa muda.Mheshimiwa Spika, napenda kusisitiza kwamba,uwekezaji kutoka ndani na nje ya nchi ni suala la msingina lazima katika kuchochea ukuaji wa uchumi namaendeleo ya Taifa lolote Duniani. Umuhimu wauwekezaji wa ndani hauna mjadala, lakini ili uwekezajiwa ndani uweze kukidhi mahitaji ya taifa ni lazimakiwan<strong>go</strong> cha kuweka akiba kiwe cha kutosha ilikuzalisha mitaji ya kuwekeza. Kwa upande waTanzania, kiwan<strong>go</strong> cha kuweka akiba ni asilimia 15 tuya Pato la Taifa. Kiwan<strong>go</strong> hiki ni kido<strong>go</strong> na hivyohakiwezi kukidhi mahitaji halisi ya mitaji kwa ajili yauwekezaji. Kutokana na hali hii, uwekezaji wa njehauepukiki hata kido<strong>go</strong>, hivyo, ni muhimu kuwekavivutio kujenga mazingira mazuri kwa wawekezaji wandani na nje hasa pale ambapo gharama yauwekezaji wa biashara kubwa sana na kwa kuzingatiamanufaa ya uwekezaji. Manufaa hayo ni pamoja naupatikanaji wa mitaji, kuongezeka kwa fursa hususan zaajira, mapato ya kodi, kuongeza thamani ya bidhaa,fedha za kigeni, teknolojia ya kisasa, menejimenti naujuzi.Mheshimiwa Spika, kiwan<strong>go</strong> cha ndani chauwekezaji kitaongezeka endapo tutaongeza kiwan<strong>go</strong>cha kuweka akiba na kuboresha mazingira ya biasharana uwekezaji nchini. Vilevile, hatuna budi kujijengeauwezo katika kuandaa na kusimamia mikataba yauwekezaji ili kulinda maslahi ya Taifa na kufaidika nauwekezaji huo hususani uwekezaji kutokana na mitajiya nje. Hii ni pamoja na kuhakikisha kuwa wawekezaji494


wanatimiza masharti yanayoambatana na mikatabaya uwekezaji wao kama vile ulipaji kodi na kuwekamfumo mzuri wa uwajibikaji kwa jamii zinazowazungukana kwa Taifa (corporate social responsibility). Uzoefuwa An<strong>go</strong>la na Norway, unatufundisha makampunimakubwa ya uwekezaji yameweza kuchangiamaendeleo ya nchi kutumia sehemu ya mitaji yao.Len<strong>go</strong> ni kuhakikisha uwekezaji unanufaishawawekezaji, wananchi na Taifa kwa ujumla kwamanufaa ya pande zote husika. Kwa sababu hizi,nawaasa Watanzania wenzangu tutambue nakuthamini mchan<strong>go</strong> wa uwekezaji wa ndani na njekatika maendeleo ya kiuchumi na kijamii ya nchi yetuna sio kuwatazama wawekezaji wote kama waporajiwa rasilimali za Taifa. Jambo muhimu zaidi ni sisikujipanga vizuri kuboresha uwezo na uzalendo wetuwa kuandaa, kufuatilia na kusimamia mikataba yenyemaslahi kwa nchi yetu.Mheshimiwa Spika, katika kipindi cha mwaka 2000hadi Mei, 2012 jumla ya miradi 6,602 yenye thamani yaDola za Marekani 49 bilioni imesajiliwa katika Kituo chaUwekezaji (TIC) ambayo imetoa Ajira kwa Watanzaniawapatao 950,108. Idadi ya wawekezaji wa ndaniimekuwa ikiongezeka mwaka hadi mwaka na katikakipindi husika jumla ya miradi 3,345 inamilikiwa nawawekezaji wa ndani ambayo ni sawa na asilimia 51ambayo ni sawa na Dola za Kimarekani bilioni 24.99 yamiradi yote; miradi inayomilikiwa na wageni kutoka njeni 1,569 ambayo ni asilimia 24 na miradi ya ubia kati yawawekezaji wa ndani na wa kutoka nje (Joint Venture)ni 1,688 ambayo ni sawa na asilimia 25 ya miradi yote.495


Mheshimiwa Spika, tukumbuke kuwa mitaji dunianikote kuenda kwenye nchi ambazo zina mazingirawezeshi ya kuwekeza na kufanya biashara. Uwekezajikutoka Nje (Foreign Direct Invesment-FDI) umekuwaukipanda mwaka hadi mwaka. Kwa mujibu wa Taarifaya Dunia ya Uwekezaji ya mwaka 2011 inayotolewa kilamwaka na Shirika la Umoja wa Mataifa la Biashara naMaendeleo (UNCTAD), Mitaji ya Moja kwa Moja (FDI)iliongezeka kutoka Dola za Marekani 494 milioni mwaka2005 hadi kufikia Dola za Marekani 700 milioni.Mojawapo ya sababu zilizochangia kukua kwa Miradihii ni pamoja na Unafuu wa Kodi kwa Vifaa vya Mtaji(Deemed Capital Goods). Unafuu unaotolewa niUshuru wa Forodha na VAT kwa baadhi ya vifaavinavyohitajika wakati wa kuanzisha miradi yauwekezaji ambavyo kimsingi havipo katika kundi laMitambo (Capital Goods by Generic Description)ambavyo kiasili havitozwi kodi. Hii ni kutokana na ukwelikwamba Wataalam wa Kodi wanashauri kwamba kodiyoyote inayotozwa kwenye mtaji ni kodi mbaya.Mheshimiwa Spika, tofauti na dhana iliyopomion<strong>go</strong>ni mwa Watanzania wengi kwambawawekezaji wanasamehewa kulipa kodi zote,wawekezaji hulipa Ushuru wa Forodha na VAT kwavifaa ambavyo havijaorodheshwa kama Vifaa vyaMtaji (Deemed Capital Goods), ushuru wa bidhaa, kodiya zuio kwa huduma mbalimbali, kodi ya mapato, kodiya maendeleo ya ujuzi wa wafanyakazi (skillsdevelopment levy) n.k. Kodi hizi hulipwa hata katikakipindi cha uanzishwaji wa miradi na hivyo kufanyamisamaha ya kodi inayotolewa kuwa ni kiasi kido<strong>go</strong>ikilinganishwa na kodi zinazokusanywa au496


zitakazokusanywa kutoka kwa wawekezaji. Matokeo yaawali ya Utafiti uliofanywa na TIC ikihusisha sampuli yamakampuni 42 yaliyosajiliwa na Kituo hicho katikakipindi cha mwaka 2005 hadi 2010 umeoneshakwamba makampuni hayo yaliwekeza mtaji wenyethamani ya Shilingi Trilioni 1.7. Jumla ya misamaha yakodi kwa bidhaa za mtaji yenye thamani ya ShilingiBilioni 88.8 ilitolewa kwa makampuni hayo. Katikakipindi hicho, kodi iliyolipwa na makampuni hayobaada ya misamaha hiyo iliyotolewa wakati miradihiyo ilipoanzishwa imefikia Shilingi Trilioni 1.13 nayanaendelea kulipa kodi bila kuhitaji misamaha zaidi.Mheshimiwa Spika, suala la msingi sio kuondoamisamaha yote ya kodi kwenye uwekezaji kwanidhamira ya Serikali kutoa misamaha hiyo ni kuvutiamitaji kutoka ndani na nje ya nchi kwenye miradi mipyaambayo isingepatikana bila vivutio hivyo. Kamamlivyoshauri Waheshimiwa Wa<strong>bunge</strong> wengi, jambo lamsingi ni kuhakikisha kwamba misamaha inayotolewainahakikiwa ipasavyo na taasisi husika (kama TIC, EPZA,Wizara ya Nishati na Madini na Ofisi ya MwanasheriaMkuu wa Serikali), ili kulinda maslahi ya Taifa. Aidha,Serikali ina utaratibu wa kuingia Mikataba yaUtekelezaji “Performance Contracts” na wawekezajiwakubwa ili kuwezesha ufuatiliaji wa mafanikioyaliyotarajiwa. Natoa rai kwa Waheshimiwa Wa<strong>bunge</strong>na wananchi kwa ujumla kushirikiana na Serikali kubainimatumizi mabaya ya misamaha ya kodi ili hatua stahikizichukuliwe.Mheshimiwa Spika, Tanzania bado inapokeakiwan<strong>go</strong> kido<strong>go</strong> cha mitaji kutoka nje. Kulingana na497


Taarifa ya Dunia ya Uwekezaji ya mwaka 2011. Kwamwaka 2010 jumla ya mitaji yote ya Dunia ilikuwa Dolaza Marekani 1,244 Bilioni. Katika mwaka huo, Tanzaniailipata Dola za Marekani 700 Milioni tu kati ya Dola zaMarekani 55 Bilioni zilizokuja Afrika. Hii ni sawa naasilimia 1.27 tu ya mitaji yote iliyokuja Afrika na asilimia0.06 tu ya mitaji yote ya dunia. Afrika ilipokea kiasi chaDola za Kimarekani 55 Bilioni, ambazo ni sawa naasilimia 4 tu ya mitaji yote ya dunia; Bara la Ulayalilipokea Dola za Marekani 313 Bilioni; Amerika yaKaskazini Dola za Marekani 252 Bilioni; Asia Dola zaMarekani 358 Bilioni; Amerika ya Kusini Dola zaMarekani 86 Bilioni na Australia Dola za Marekani 32Bilioni.Mheshimiwa Spika, Serikali imeanza kudurusu Seraya Taifa ya Uwekezaji ya mwaka 1996 na hatimayeSheria ya Uwekezaji ya mwaka 1997 ili kukabiliana nachangamoto zilizopo na kuweka mazingira mazuri zaidiya kuvutia uwekezaji wa ndani na nje. Changamotokubwa ya mfumo wa sasa misamaha ya kodi umejikitakupima ubora wa uwekezaji kwa kuangalia faidaitakayotokana na matunda ya uwekezaji huo badalaya kuangalia mitaji inayofanya uwekezaji huo uwepo.Manufaa yanayotegemewa kutokana na faida baadaya uwekezaji (kama ajira, malipo ya kodi, mapato yamauzo ya nje na technlogia mpya) hayatabiriki na kwakiasi kikubwa inategemea ujanja wa mwekezaji. Pia siorahisi kupimika na kuyaweka bayana.Tutakachokifanya ni kuweka mikakati ya kuanza kutoamisamaha kwa kuangalia faida tutakayopata kamasehemu ya mitaji ya uwekezaji kwani hii inatabirika nani rahisi kipima kama inalingana na misamaha498


tunayotoa. Mfano ni utoaji wa hisa zisizolipiwa kwakutumia rasilimali, kutengeneza miradi ya (CorporateSocial Responsibility)miradi ya uwajibikaji wawawekezaji wa jamii wa Taifa kama asilimia yauwekezaji, Kununua bidhaa iliyotengenezwa ndanikama asilimia ya mtaji wa uwekezaji, kutumia asilimiakubwa ya bidhaa za uzalishaji kupitia kampuni zakitanzania na kuajiri Watanzania katika nafasi zilizoajiriwageni kwa muda mahsusi.Mheshimiwa Spika, Sheria ya Ubia baina ya Sektaya Umma na Sekta Binafsi ya mwaka 2010, Serikaliimekamilisha maandalizi ya msingi ya kuanzishaKiten<strong>go</strong> cha Uratibu wa Masuala ya Ubia (PPP-Coordination Unit) kwenye Kituo cha UwekezajiTanzania (TIC) na Kiten<strong>go</strong> cha Fedha (PPP-FinanceUnit) kwenye Wizara ya Fedha. Mapendekezo yamiradi yenye uwezekano wa kutekelezwa kwautaratibu wa PPP yamewasilishwa katika Kiten<strong>go</strong> chaUratibu na yanafanyiwa kazi ili kuainisha inayokidhivigezo vya Sheria na hatimaye kufanyiwa upembuziyakinifu.Mheshimiwa Spika, uwezeshaji wananchi kiuchumini uamuzi wa makusudi unaojumuisha hatua mahsusizinazochukuliwa na Serikali kwa ajili ya kuinua uelewa,ujuzi, elimu ya ujasiriamali pamoja na kuwawezeshaWatanzania kumiliki rasilimali na kushiriki kikamilifukwenye shughuli za kiuchumi. Aidha, uwezeshajiwananchi kiuchumi ni dhana pana ambayo inahitajiwananchi kutambua fursa mbalimbalizinazowazunguka na kuzitumia fursa hizo kujikwamuakiuchumi. Jukumu la Serikali ni kuandaa na kuboresha499


Sera, Sheria, Kanuni na Taratibu ili kumwezeshamwananchi kutumia fursa hizo. Ili kufaidi matunda yakukua kwa uchumi, mwananchi mmoja mmoja anajukumu la kujiendeleza, kufanya kazi kwa bidii na kwatija. Aidha, ieleweke kwamba uwezeshaji sikumnyang’anya aliyenacho na kumpa asiye nacho;bali ni kumwezesha asiye nacho ili aweze kujikwamuakiuchumi; hivyo ni lazima kuwapa wananchi wote fursasawa ili waweze kujitegemea. Jitihada hizi kamawananchi wataziunga mkono zitapunguza tofautikubwa ya vipato ambayo ipo hivi sasa.Mheshimiwa Spika, kwa kuzingatia hayo, Serikaliilitunga Sera ya Taifa ya Uwezeshaji WananchiKiuchumi ya mwaka 2004 na Sheria ya UwezeshajiWananchi Kiuchumi Na. 16 ya mwaka 2004. Sera yaUwezeshaji imeelekeza kuanzishwa kwa Taasisi zakutekeleza Sera hiyo kama vile Baraza la Taifa laUwezeshaji Wananchi Kiuchumi, popote zilipo Wakalawa Dhamana za Mikopo, Wakala wa KuendelezaViwanda Vido<strong>go</strong> na Biashara ndo<strong>go</strong>, Taasisi yaKuendeleza Ujasiriamali, Kituo cha Uendelezaji Masoko,Benki ya Maendeleo ya Kilimo na Uanzishwaji waMifuko ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi.Mheshimiwa Spika, Serikali tayari imeanzishaBaraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi. Kwakuwa Uwezeshaji ni suala mtambuka, majukumu yamsingi ya Baraza ni kusimamia, kuratibu na kufuatiliashughuli zote za Uwezeshaji Kitaifa zinazotekelezwa naWizara, Idara na Taasisi mbalimbali za Serikali na SektaBinafsi. Aidha, Serikali imeimarisha Wakala waKuendeleza Viwanda Vido<strong>go</strong> na Biashara Ndo<strong>go</strong>500


(SIDO) kama Sera inavyoelekeza. Vilevile, majukumu yaTaasisi ya Kuendeleza Ujasiriamali yanatekelezwa naKituo cha Kuendeleza Ujasiriamali cha Chuo Kikuu chaDar Es Salaam na majukumu ya Wakala wa Dhamanaza Mikopo yanatekelezwa chini ya Benki Kuu yaTanzania. Mchakato wa kuanzisha Benki ya Kilimoumefikia hatua nzuri, ambapo kwa sasa majukumuyake yanatekelezwa kupitia Dirisha la Kilimolililofunguliwa kwenye Benki ya Rasilimali Tanzania (TIB).Mheshimiwa Spika, Serikali imeanzisha Mifukombalimbali kwa len<strong>go</strong> la kuwawezesha wananchikiuchumi. Kwa mujibu wa Sera ya Taifa ya UwezeshajiWananchi Kiuchumi na Sheria yake, Baraza la Taifa laUwezeshaji Wananchi Kiuchumi ni Chombo cha Kitaifakitakachosimamia, kufuatilia na kuratibu shughuli zoteza uwezeshaji wananchi kiuchumi. Serikali inaangaliauwezekano wa kuweka baadhi ya Mifuko yaUwezeshaji Wananchi Kiuchumi chini ya Baraza la Taifala Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi kama ilivyo kwaZambia ambapo Mifuko yote ipo chini ya Mfuko waCitizen Empowerment Fund. Hii itarahisisha uratibu natathimini ya matokeo ya jitihada za Serikali na kuondoamuingiliano wa majukumu na kuwepo kwa Mifukoinayofanya shughuli zinazofanana kwa walengwa walewale.Mheshimiwa Spika, jitihada nyingine za Serikalikatika kuwawezesha wananchi ni kuweka mazingirawezeshi ambayo ni pamoja na kuimarisha uchumijumla, kuimarisha miundombinu ya kiuchumi na kijamii,kuboresha huduma za Serikali; kuimarisha upatikanaji501


wa mitaji; kuinua viwan<strong>go</strong> vya ujuzi na uzoefu;kuboresha na kuimarisha masoko; kuimarisha Ushirikana kuhakikisha Ardhi inawanufaisha wananchi. Aidha,Serikali inatekeleza Mpan<strong>go</strong> Kazi wa KuboreshaMazingira ya Biashara na Uwekezaji Nchini (Roadmapfor Improvement of Business Environment andInvestment Climate in Tanzania). Mpan<strong>go</strong> huoumeandaliwa kuiwezesha Serikali kutoa huduma zamsingi kwa Sekta Binafsi kwa kuondoa vikwazo naurasimu unaotokana na Sera, Sheria, Kanuni naTaratibu za Kiutawala zinazokwamisha biashara nauwekezaji nchini. Len<strong>go</strong> ni kupunguza gharama namuda unaotumika katika uanzishaji, uendeshaji naufungaji wa biashara. Urasimu ni dhana ya kuwezesha,kurahisisha na kufanikisha juhudi. Urasimu si dhana yakukwamisha.Mheshimiwa Spika, maendeleo ya sekta binafsi.Serikali inaratibu jitihada za kuyaleta pamoja makundimbalimbali ya sekta binafsi chini ya Taasisi ya SektaBinafsi (TPSF) ili kuwa na sauti moja katika kufanyamajadiliano na Serikali. Serikali itaendelea namajukumu yake ya kuweka mazingira wezeshi, kujengamiundombinu ya kiuchumi, kusimamia sheria za nchi nakulinda raia na mali zao. Serikali pia inaendelea namaandalizi ya Rasimu ya Sera ya Maendeleo ya SektaBinafsi Tanzania. Aidha, Mabaraza ya Biashara yaMikoa na Wilaya yatatumika katika kubaini mahitaji yaSekta Binafsi na kufanya tathmini ya gharama zakufanya biashara kwa baadhi ya Mikoa ili uzoefuutakaopatikana utuwezeshe kutambua sababu zakuongezeka kwa gharama za kufanya biashara na502


kuwekeza nchini na hatua za kuchukua kupunguzagharama hizo.Mheshimiwa Spika, kutokana na utekelezaji waMradi wa Kukuza Ushindani wa Sekta Binafsi, Tanzaniaimechaguliwa na imekubali kuwa mwenyeji wamkutano wa Kimataifa ujulikanao kama “InternationalSmart Partnership Dialogue 2013” unaotarajiwakufanyika hapa nchini mwezi Mei 2013. Mikutano yaaina hii hufanyika karibu kila mwaka ikijumuishaVion<strong>go</strong>zi wa Serikali, Wafanyabiashara, Waandishi waHabari, Vijana, Wanawake na Sekta Binafsi kwa ujumla.Len<strong>go</strong> la mikutano hiyo ni kupanga mikakati yakuongeza kasi ya maendeleo ya kiuchumi na kijamiikwa kuwashirikisha wananchi wa matabaka yote.Mheshimiwa Spika, sasa naomba nijibu hoja zaWaheshimiwa Wa<strong>bunge</strong> waliochangia katika eneo laUwekezaji, Uwezeshaji na Maendeleo ya Sekta Binafsi.Mheshimiwa Spika, naomba nianze na Hoja yaKamati ya Kudumu ya Bunge ya Fedha na Uchumi,iliyotolewa Mhe. Andrew John Chenge (Mb.). Serikaliifanye tathmini ya fedha za mikopo inayotolewakupitia mifuko mbalimbali ili kuona kama malen<strong>go</strong>yaliyokusudiwa yamefikiwa ikiwemo wakopaji kurudishafedha ili wengine wakope. Aidha, Serikali iweke msisitizokatika kuhamasisha uwekezaji na uwezeshaji kwenyeSekta ya Kilimo, Uvuvi na Ufugaji ambazo zinaajiri nakutegemewa na Watanzania wengi.Mheshimiwa Spika, Serikali imeanza mchakato wakutathmini Mifuko mbalimbali ya uwezeshaji ikiwa ni503


pamoja na kuitaka Mifuko husika kutoa taarifa za kilarobo mwaka zitakazoainisha kiasi cha mikopoiliyotolewa, idadi ya wananchi waliofikiwa, shughuli aumiradi iliyolengwa na mikopo inayorejeshwa. Kiwan<strong>go</strong>cha urejeshwaji wa baadhi ya mikopo iliyotolewa nicha kuridhisha. Mfano, hadi mwezi Aprili 2012 kiwan<strong>go</strong>cha urejeshaji katika Mfuko wa Uwezeshaji WananchiKiuchumi kilikuwa asilimia 96, Mpan<strong>go</strong> wa UwezeshajiWananchi na Kuongeza Ajira (JK Fund) asilimia 78,TASAF asilimia 91, SELF asilimia 91.4, na Mfuko waPembejo za Kilimo asilimia 73.Mheshimiwa Spika, kamati imeelekeza Serikaliiimarishe usimamizi wa utekelezaji wa Sera, Sheria,Programu, Mikakati na Mifuko mbalimbali yenye len<strong>go</strong>la kuwawezesha kiuchumi wananchi wengi zaidiwenye kipato cha chini. Aidha, Serikali iwe makinikatika kutoa mikopo kwa Sekta Binafsi kwa kuhakikishainaelekezwa kwenye maeneo ya wananchi wenyekipato cha chini badala ya kuielekeza kwa wafanyabiashara wachache.Mheshimiwa Spika, ni kweli kuwa uwezeshajiunafanyika kupitia Sera, Sheria, Programu na Mikakatimbalimbali katika sekta za kiuchumi na kijamii ambapokimsingi Serikali inaweka mazingira wezeshikuwawezesha wananchi kushiriki katika shughuli zamaendeleo. Serikali itahakikisha kwamba mfumo waSera, Sheria, Programu na Mifuko inazingatiauwezeshaji wa wananchi wenye kipato cha chini.Aidha, Serikali imeanzisha mifuko mbalimbali inayotoamikopo au ruzuku kwa wananchi wenye kipato chachini. Kwa mfano, chini ya Mradi wa Kukuza Ushindani504


wa Sekta Binafsi kupitia Programu za Kuchangia Mitaji(Matching Grants Programme) na Fanikiwa Kibiashara(Business Development Gateway); Serikaliimewawezesha wajasiriamali wado<strong>go</strong> wapatao 4,500kwa kuwapa mafunzo ya ujasiriamali na mipan<strong>go</strong> yaoya biashara kushindanishwa. Kati yao wajasiriamali2,780 walishinda na kupewa ruzuku ya mbegu mtaji.Aidha kiasi cha shilingi bilioni 9.9 zilitolewa kwa washindihawa hivyo kuwawezesha kuboresha biashara zao,kuongeza kipato, kukuza ushindani wao na kuongezaajira.Mheshimiwa Spika, Kamati imeendelea kusisitizaSerikali itoe taarifa kuhusu jitihada zinazoendelea zakuwawezesha wananchi kiuchumi pamoja na jitihadaza serikali katika kuongeza wataalam wa mikopopamoja na usimamizi wa mikopo hiyo ili kuhakikishainawafikia walengwa. Serikali inafanya juhudimbalimbali za kuwawezesha wananchi kiuchumi ikiwani pamoja na kuanzisha na kusimamia mifukombalimbali ya uwezeshaji. Mifuko hiyo ni pamoja naTASAF, SELF, Mwananchi Empowerment Fund (MEF),Mpan<strong>go</strong> wa Uwezeshaji wa Wananchi Kiuchumi naKuongeza Ajira (JK Fund), Mpan<strong>go</strong> wa Udhamini waMikopo kwa Mauzo ya Nje (ECGS), Mfuko waPembejeo za Kilimo (AGITF) n.k. Aidha, hadi kufikia Aprili2012, jumla ya mikopo iliyotolewa kupitia mifuko hii nishilingi bilioni 1,077.93. Hii inadhihirisha wazi kuwa Serikaliimedhamiria kwa dhati kuwawezesha wananchi wakekiuchumi. Aidha, Serikali haitoi mikopo hii moja kwamoja bali inaweka mazingira wezeshi ikiwa ni pamojana kuadhamini mikopo hiyo kupitia mabenki na taasisiza fedha. Hivyo, mikopo hiyo hutolewa kwa kufuata505


taratibu za benki na Taasisi ya fedha husika. Taasisimbalimbali zinaendelea kutoa mafunzo ya ujasiriamaliambayo yanajumuisha utumiaji mzuri wa mikopo naulipaji wake. Vilevile, Taasisi mbalimbali za Kifedhazinatoa mafunzo ya kuongeza ujuzi kwa MaafisaMikopo ili waweze kusimamia mikopo husika vizuri.Mheshimiwa Spika, Kamati imetaka kuwa elimuinahitajika kutolewa kwa wananchi wengi ili waelewena kushiriki kikamilifu katika ujasiriamali, uwekaji waakiba, uwekezaji na kuhamasisha uanzishaji wa vyamavya ushirika.Mheshimiwa Spika, Baraza la Taifa la UwezeshajiWananchi Kiuchumi kwa kushirikiana na Wadaumbalimbali linaendelea kutoa elimu na kuhamasishawananchi kujenga tabia ya kuweka akiba nakuwekeza kwenye miradi yenye tija. Wizara ya Kilimo,Chakula na Ushirika inaendelea na uhamasishaji,uanzishwaji na uimarishaji wa Vyama vya Ushirika ikiwani pamoja na SACCOS. Aidha, Baraza la Taifa laUwezeshaji likishirikiana na wadau limetoa mafunzo yaujasiriamali kwa maseremala, wafugaji nyuki namafundi wa ushonaji ili kuwaongezea ujasiri wakuthubutu kuanzisha miradi na kuzalisha bidhaa zenyeviwan<strong>go</strong>. Mafunzo kama hayo pia yanaendeshwa naTaasisi zisizo za Kiserikali.Mheshimiwa Spika, Kamati imesisitiza hasaMheshimiwa Devota Likokola, (Mb.) kuwa Baraza laTaifa la Uwezeshaji Wananchi kiuchumi lianzishe DawatiMaalumu kwa ajili ya kuratibu shughuli za VICOBA(Village Community Banks). Kikao cha wawakilishi wa506


VICOBA kujadili na kukubaliana utaratibu wa pamojawa usimamizi na ufuatiliaji wa utendaji wa VICOBA kwalen<strong>go</strong> la kuboresha usalama wa fedha za wananchikilifanyika mwezi Septemba 2011. Kikao cha pili chakuhitimisha mchakato huo kitafanyika kabla ya mwishowa mwaka 2012 ambapo suala la kuanzisha dawatimaalumu pamoja na taratibu zitakazozingatiwa katikakuratibu shughuli za VICOBA litafanyiwa maamuzi.Mheshimiwa Spika, Kamati ya Kudumu ya Fedhana Uchumi kupitia kwa Mheshimiwa Andrew Chenge(Mb) na Msemaji na Kion<strong>go</strong>zi wa Kambi ya UpinzaniBungeni, Mheshimiwa Freeman Aikael Mbowe (Mb).Wameshauri Serikali ihimize uwezeshaji wananchikiuchumi na Serikali iangalie namna ya kuiunganishamifuko ya uwezeshaji ili kupunguza gharama zauendeshaji pamoja na kuongeza tija kwa wanufaikana fedha zinazotolewa na Serikali kwa mifuko hiyoyote.Mheshimiwa Spika, Serikali imeanza kuangaliauwezekano wa kuunganisha baadhi ya mifuko yauwezeshaji ambayo ni mido<strong>go</strong> mido<strong>go</strong> na inafanyakazi zinazofanana ili iweze kuwa kwenye mfuko mmojaambao utakuwa chini ya Baraza la Taifa la UwezeshajiWananchi Kiuchumi. Utaratibu huu utapunguzagharama za uendeshaji wa mifuko na utaweza kuwana tija zaidi kuliko ilivyo sasa. Katika kufanikisha azmahii, mwezi Oktoba 2011 Baraza la Uwezeshaji WananchiKiuchumi liliandaa mkutano uliokutanisha mifuko yoteya uwezeshaji. Mkutano uliazimia kuwa uchambuziufanyike ili kuunganisha mifuko inayofanya shughuli507


zinazofanana na pia mifuko itoe taarifa za utekelezajikila robo ya mwaka.Mheshimiwa Spika, Mheshimiwa Michael LekuleLaizer (Mb.) – Longido ametoa hoja kuwa Fedha zaUwezeshaji Wananchi Kiuchumi maarufu kamamabilioni ya JK kiasi cha Sh.250, 000,000/= zilizotolewakwa Wilaya ya Longido bado ziko Benki hazijatumika.Serikali ieleze ni kwa nini na ihakikishe inawakopeshawalengwa fedha hizo mara moja.Mheshimiwa Spika, Fedha za Mfuko wa UwezeshajiWananchi na Kuongeza Ajira (JK Fund) zipatazo shilingimilioni 250 zilitolewa kwa ajili ya Wilaya ya Longido.Fedha hizo zinakopeshwa kupitia Taasisi ya PRIDETANZANIA Ltd. ambapo jumla ya Shilingi milioni 110.0zimekopeshwa kwa Longido SACCOS (milioni 50.0) navikundi vya wanawake (milioni 60.0). Fedha zilizobakizinaendelea kukopeshwa.Mheshimiwa Spika, imetolewa hoja kuwa Fedhaza uwezeshaji shilingi bilioni saba zilizotolewa kamamabilioni ya JK zipelekwe pia Zanzibar. Hoja hiiimetolewa na Mheshimiwa Mheshimiwa HamadYusuph Massauni (Mb.)Mheshimiwa Spika, katika Hotuba ya Waziri Mkuu,aya ya 32, ukurasa wa 20 imetajwa kuwa Mfuko waMwananchi Empowerment Fund (MEF) umetoa mikopoya jumla ya shilingi bilioni 7.3. Kwa hiyo, mikopo hiyohaijatolewa chini ya Mpan<strong>go</strong> wa JK Fund. Mpaka sasamikopo hiyo imetolewa kwenye Mikoa tisa chini yaudhamini wa MEF kwa benki ya CRDB ambayo508


imeweza kutoa mikopo mara tatu ya fedha zilizotolewana Serikali za jumla ya shilingi bilioni 2.2. Kutokana naukweli kwamba hivi karibuni Benki ya CRDB imefunguaTawi Darajani-Zanzibar, Baraza la Uwezeshaji WananchiKiuchumi litaangalia uwezekano wa kupeleka mikopohiyo Zanzibar pia.Mheshimiwa Spika, Mheshimiwa Charles J.Mwijage (Mb), Mheshimiwa Ester Bulaya (Mb) naMheshimiwa Moza Abedi Saidy (Mb.), wameishauriSerikali iwasaidie wakulima wengi vijijini kupitia Mfukowa Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi hususan kuwapatiazana za kisasa na pembejeo za kilimo.Mheshimiwa Spika, Mfuko wa UwezeshajiWananchi Kiuchumi unaendelea kuwawezeshawakulima na Wajasiriamali wengine hatua kwa hatuakatika maeneo mbalimbali ya nchi kutegemeana naMfuko unavyopatiwa fungu la maendeleo. Hadi Aprili2012, Mfuko ulikuwa na Shilingi bilioni 2.2 ambazo tayarizimedhamini mikopo ya Shilingi bilioni 7.3 kupitia benkiya CRDB. Mikoa iliyonufaika ni Dodoma, Lindi,Manyara, Mtwara, Pwani, Rukwa, Ruvuma, Singida naTanga. Kati ya Wajasiriamali walionufaika na mikopohiyo, 7,187 wametumia mikopo hiyo kwenye zana zakilimo, pembejeo na kilimo cha umwagiliaji.Mheshimiwa Spika, Mheshimiwa JosephatSinkamba Kandege (Mb.) na Mheshimiwa DevothaLikokola (Mb) wametoa hoja kuwa pamoja na Serikalikutoa fedha za uwezeshaji jumla ya shilingi bilioni 7.3kwa Mikoa 9 ukiwemo Mkoa wa Rukwa, lakiniwananchi wa Jimbo la Kalambo hawajanufaika na509


fedha hizo. Ni vyema Wa<strong>bunge</strong> wawe wanapewataarifa sahihi kuhusu utekelezaji wa mipan<strong>go</strong> kama hiikwenye Majimbo yao. Aidha, katika kuwawezeshawananchi kupitia utaratibu wa VICOBA, ni vyemaSerikali ihakikishe kwamba elimu ya ujasiriamaliinaenezwa kwa Mikoa yote hasa kipaumbele kitolewekwa Mikoa ya pembezoni.Mheshimiwa Spika, mikopo inayodhaminiwa naMfuko wa Uwezeshaji Wananchi (MEF) kupitia benki yaCRDB haitolewi kwa utaratibu wa Majimbo bali hupitiaVyama vya Ushirika vya Akiba na Mikopo (SACCOS) auvikundi vingine vya kiuchumi. NawashauriWaheshimiwa Wa<strong>bunge</strong> wenzangu wahamasishewananchi katika Majimbo yao kujiunga na SACCOS auvikundi vingine vya kiuchumi kuwawezesha kuombamikopo wanayohitaji kupitia benki ya CRDB. Aidha,Serikali inakubaliana na ushauri wa MheshimiwaM<strong>bunge</strong> wa kuendelea kutoa elimu ya ujasiriamali kwawananchi katika maeneo mbalimbali ya nchi ikiwa nipamoja na kuwahamasisha kuanzisha vikundi vyakiuchumi kama VICOBA.Mheshimiwa Spika, hoja imetolewa naMheshimiwa Andrew John Chenge (Mb.) naMwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Fedhana Uchumi, Serikali ifanye utafiti wa kina kuhusu faidana hasara inayotokana na misamaha ya kodi kwenyemiradi inayosajiliwa na Kituo cha Uwekezaji.Mheshimiwa Spika, kama nilivyosema hapo awalihivi sasa TIC inaendelea na utafiti kuhusu misamaha yakodi kwa wawekezaji waliosajiliwa. Utafiti huu510


umetengewa fedha katika bajeti ya mwaka wa fedha2012/2013 na utakapokamilika taarifa yake itatolewa.Mheshimiwa Spika, Mheshiniwa Andrew JohnChenge (Mb.) na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumuya Bunge ya Fedha na Uchumi, amesisitiza Michan<strong>go</strong>ya Wawekezaji kwa Jamii (Corporate SocialResponsibility) iwekewe kiwan<strong>go</strong> cha asilimia fulani yathamani ya uwekezaji au faida badala ya kutegemeahisani ya mwekezaji.Mheshimiwa Spika, hadi sasa Serikali haina Sheriainayowataka Wawekezaji kuchangia maendeleo yaJamii kupitia Michan<strong>go</strong> ya Hisani kwa Jamii (CorporateSocial Responsibility). Hata hivyo, tunatambuamichan<strong>go</strong> ya makampuni mbalimbali mfano BarrickGold Mine, CRDB Bank Plc, TBL, IPP Media, SIGARA,NMB, Twiga Cement na VODACOM na tunahimizaMakampuni mengine kuiga mifano hii kama njia yakutengeneza mahusiano bora na jamii, kupanua sokona hatimaye kujipatia faida zaidi. Hata hivyo, kamanilivyosema hapo awali, Serikali itafanya utafiti kupatauzoefu wa nchi za An<strong>go</strong>la na Norway kwa len<strong>go</strong> lakushawishi wawekezaji wachukulie suala hili kamajambo la lazima.Mheshimiwa Spika, Kamati ya fedha na Uchumiimisisitiza Serikali itenge fedha ili kuwezesha upembuziyakinifu wa miradi ya PPP kufanyika katika ngazi yaMikoa na Wilaya.Mheshimiwa Spika, Sheria ya Ubia baina ya Sektaya Umma na Sekta Binafsi ya mwaka 2010 pamoja na511


Kanuni zake za mwaka 2011 imeelekeza kuwa Wizara,Taasisi na Serikali za Mitaa zina jukumu la kufanyaupembuzi yakinifu wa miradi yenye uwezekano wakutekelezwa kwa mujibu wa Sheria hiyo. Kwa hivyo, nijukumu la Mamlaka za Serikali kupanga na kuainishamradi itakayotekelezwa kwa utaratibu wa ubia bainaya sekta ya umma na sekta binafsi ikiwa ni pamoja nakutenga fedha za kufanya upembuzi yakinifu katikaBajeti zake.Mheshimiwa Spika, Mheshimiwa Sylivester MaselleMabumba (Mb.) ameshauri Serikali iendelee kuwekamazingira wezeshi kwa sekta binafsi ikiwa ni pamoja namiundombinu ya uhakika ya umeme. Mabenki nayoyawawezeshe wawekezaji wa ndani kwa mikopo yariba nafuu.Mheshimiwa Spika, Serikali kwa kushirikiana nasekta binafsi na Washirika wa Maendeleo inatekelezaMpan<strong>go</strong> Kazi wa Kuboresha Mazingira ya Biashara nauwekezaji (Roadmap for Improvement of BusinessEnvironment and Investment Climate in Tanzania).Mpan<strong>go</strong> huu unaiwezesha Serikali kutoa huduma zamsingi kwa sekta binafsi kwa kuondoa vikwazo naurasimu unaotokana na sera, sheria na taratibu zakiutawala zinazokwamisha biashara na uwekezajinchini. Len<strong>go</strong> ni kupunguza gharama na mudaunaotumika kuanzisha na kuendesha biashara.Vilevile, Serikali kupitia Wizara zake inazingatiaumuhimu wa kuimarisha miundombinu ya kiuchumikama vile barabara, reli, bandari, usafiri wa anga,mawasiliano, nishati, elimu na afya.512


Mheshimiwa Spika, Mheshimiwa Amina Amour(Mb.) ameshauri Serikali ipime maeneo ya uwekezaji nakuainisha miradi kwenye maeneo husika.Mheshimiwa Spika, Serikali kupitia Kituo chaUwekezaji, Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo yaMakazi pamoja na OWM – TAMISEMI imeandaautaratibu wa kuainisha maeneo ya uwekezaji iliyapimwe kwa ajili ya uwekezaji wa ndani na nje. Hatuahii itategemea upatikanaji wa fedha za kupima ardhikatika kila Mkoa ulioainisha maeneo ya ardhi kwa ajiliya uwekezaji.Mheshimiwa Spika, Mheshimiwa Hamad YusuphMasauni (Mb) ameshauri Serikali ifanye utafiti wa kinakuhusu sera na sheria za uwekezaji ili kuhakikisha kuwahakuna mianya ya upotevu wa fedha kwa kisingiziocha misamaha ya kodi.Mheshimiwa Spika, kama nilivyoeleza katikautangulizi, wawekezaji hulipa kodi nyingine zote zikiwani pamoja na za forodha na VAT kwa vifaa ambavyohavijaorodheshwa kama vifaa vya mtaji (DeemedCapital Goods). Kodi hulipwa hata katika kipindi chauanzishwaji wa miradi na hivyo kufanya misamahainayotolewa kuwa kiasi kido<strong>go</strong> kulinganisha na kodizinazokusanywa kutoka kwa wawekezaji. Aidha, Serikaliitaendelea kufanya mapitio ya Sheria mbalimbalizinazotoa misamaha ya kodi na kufanya utafiti kuhusuumuhimu na kiwan<strong>go</strong> cha misamaha hiyo kwa bidhaaza mtaji kwa wawekezaji.513


Mheshimiwa Spika, Mheshimiwa Hamad RashidMohamed (Mb.) ametoa hoja kwamba Serikali ifanyetathmini ya kina ya aina ya wawekezaji na kiasi halisiwalichowekeza badala ya kile kilichoandikwa kwenyemchanganuo wa biashara tu.Mheshimiwa Spika, fedha za tathmini hiizimetengwa katika bajeti ya mwaka huu wa fedha.Jukumu hili litafanyika kwa kushirikiana na Taasisi yaTakwimu ya Taifa (National Bureau of Statistics) pamojana Benki Kuu ya Tanzania. Aidha, Serikali kupitia Kituocha Uwekezaji (TIC) ina utaratibu wa kutembeleamiradi iliyosajiliwa na TIC ili kuihakiki kwa kuzingatiamikataba ya uwekezaji.Mheshimiwa Spika, hoja imetolewa naMheshimiwa Hamad Rashid Mohamed (Mb.) kwambaSerikali ilete Bungeni orodha ya miradi ya PPP ambayoimepewa wawekezaji na ambayo inatakiwa kupewawawekezaji na utaratibu wa wazi wa kuwapata haowawekezaji.Mheshimiwa Spika, Serikali imeanzisha Kiten<strong>go</strong> chaUratibu (PPP Coordination Unit) na Kiten<strong>go</strong> cha Fedha(PPP Finance Unit) kama hatua muhimu za utekelezajiwa Sheria ya Ubia baina ya Sekta ya Umma na SektaBinafsi ya mwaka 2010. Wizara zimewasilisha katikaKiten<strong>go</strong> cha Uratibu miradi inayopendekezwa kwautaratibu wa ubia baina ya Sekta ya Umma na SektaBinafsi. Miradi iliyopokelewa ni pamoja na ujenzi wabarabara za Dar es Salaam-Chalinze na Arusha-Himo;ujenzi na upanuzi wa Bandari za Mwanza, Mbegani,Mwambani na Mtwara; ukarabati wa Viwanja vya514


ndege vya Mwanza, Kilimanjaro, Mtwara na Arusha;Uboreshaji wa Reli kutoka Dar es Salaam-Isaka naTanga-Arusha; Ujenzi wa Reli kutoka Arusha-Musomana Mtwara-Mchuchuma; Ujenzi wa Bandari ya NchiKavu (Kisarawe Car<strong>go</strong> Freight Station) na Ujenzi waMajen<strong>go</strong> kwa ajili ya ofisi, Biashara na mabweni kwaTaasisi zilizo chini ya Wizara ya Fedha. Aidha, baadaya uchambuzi kufanywa na Kiten<strong>go</strong> cha Uratibu,Wizara zitatakiwa kuandaa na kuwasilisha upembuziyakinifu kwa mujibu wa Sheria ya PPP na Kanuni zake.Taratibu za kutangaza zabuni kwa uwazi na ushindanikulingana na Sheria ya PPP na ya Ununuzi wa Umma ilikupata Wawekezaji zitafanyika baada ya Miradikupitishwa na Kiten<strong>go</strong> cha Fedha.Mheshimiwa Charles J. Mwijage (Mb) naWa<strong>bunge</strong> wengine wengi wametaka MheshimiwaWaziri wa Nchi ahakikishe Uwezeshaji unafikia makundimbalimbali katika maeneo yao. Rai hii naipokea kwamoyo mkunjufu na kwa kuanza nimeonyesha mfanokatika Jimbo langu la Hanang kuwezesha vikundimbalimbali kupata mikopo ya matrekta yaliyotolewana TIB kwa kushirikiana na PASS, nachukua nafasi hiikuwashukuru pia na mikopo mingine kama pikipiki,vyerehani na vinginevyo.WAZIRI WA NCHI, OFISI YA WAZIRI MKUU (SERA,URATIBU NA BUNGE): Mheshimiwa Spika, naombakuchukua nafasi hii kuchangia hoja hii ya MheshimiwaWaziri Mkuu. Kwanza niseme kabisa naunga mkonohoja hii ambayo imewasilishwa hapa Mezani naMheshimiwa Waziri Mkuu. (Makofi)515


Mheshimiwa Spika, awali ya yote na miminapenda nimshukuru Mwenyezi Mungu kwa kunipaafya njema na kufanya kazi za Serikali na za Ki<strong>bunge</strong>kwa ufanisi. Lakini nimshukuru sana Mheshimiwa Raiswa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuniaminitena na kunibakiza katika nafasi hii ili niweze kumsaidiaMheshimiwa Waziri Mkuu. Namshukuru sanaMheshimiwa Mizen<strong>go</strong> Peter Pinda, Mheshimiwa WaziriMkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwamaelekezo yake na mion<strong>go</strong>zo yake na ushauri wakena kutulea sisi Mawaziri ambao tunafanya kazi chiniyake. Tunamshukuru sana na tunafarijika natunafaidika sana na ushauri wake.Mheshimiwa Spika, napenda kuwashukuruWaheshimiwa Mawaziri wenzangu ambao tuko chini yaMheshimiwa Waziri Mkuu, Mheshimiwa Dkt. Mary Nagu,Mheshimiwa Hawa Ghasia na Manaibu MheshimiwaMajaliwa na caterpillar Mheshimiwa Mwanri, mimihuwa naliita caterpillar hili. Tunashukuru sana lakini piatunawashukuru watendaji walio chini ya Ofisi ya WaziriMkuu wakion<strong>go</strong>zwa na Mheshimiwa Peniel Lyimo,Katibu Mkuu na kule TAMISEMI yuko MheshimiwaHussein Katanga, lakini na Manaibu Katibu Wakuu naWakurugenzi wote, kwani bila wao, hata hayatunayoyasoma hapa yasingewezekana. Kwa hiyotunawashukuru sana.Mheshimiwa Spika, pia kutokana na majukumuyangu, ningependa kumshukuru sana MheshimiwaSpika, kwa ushirikiano wake mkubwa sana nauendeshaji bora wa Bunge hili. Naibu Spika, Wenyevitipamoja na Wenyeviti wa Kamati mbalimbali za Kisekta,516


Wajumbe wa Tume na Wajumbe wa Kamati yaUon<strong>go</strong>zi ambapo katika vikao hivyo vyote mimi niMjumbe kwa niaba ya Serikali. Nawashukuru sana kwaushirikiano ambao tumepeana katika vikao mbalimbalina kushirikiana katika shughuli mbalimbali za Ki<strong>bunge</strong>.Lakini naishukuru sana Kamati ya Bunge ya Katiba naSheria kwa busara na hekima zao kwa kutuwezeshakupitisha bajeti hii ya Ofisi ya Waziri Mkuu na Viten<strong>go</strong>vyao vyote na ushauri wao wote walioutoa, natakakuwahakikishia kwamba tutauzingatia.Mheshimiwa Spika, pia kwa utamaduni waKi<strong>bunge</strong>, Bunge hili lina sehemu ya Serikali na Kambi yaUpinzani. Kwa nafasi niliyonayo mimi nalazimikakufanya kazi karibu na Kambi ya Upinzani kwa sababundio utamaduni wa Ki<strong>bunge</strong>. Kwa sababu hiyo na kwakufanya kazi, hivyo napata ushirikiano mzuri sana naKion<strong>go</strong>zi wa Upinzani Bungeni, Mheshimiwa Mbowe.Namshukuru sana na kwa sababu naye ni Mjumbe waTume ya Bunge na Kamati ya Uon<strong>go</strong>zi kwa nafasi yakeya uon<strong>go</strong>zi kama mimi ninavyowakilisha Serikali.Mheshimiwa Spika, namshukuru vilevile Chief Whipwa Upinzani Mheshimiwa Tundu Lissu na MheshimiwaZitto ambaye ndiyo Naibu Kion<strong>go</strong>zi wa Upinzani Rasmi.Hawa wote nawashukuru kwa ushirikiano namashauriano kadhaa yanayosaidia katika kuendeshaBunge letu Tukufu.Mheshimiwa Spika, lakini zaidi kuliko yote,niishukuru sana Kamati ya Wa<strong>bunge</strong> wote wa Chamacha Mapinduzi. Kamati ya Wa<strong>bunge</strong> wa Chama chaMapinduzi ndio imekuwa mhimili wa utendaji wa517


Serikali humu ndani. Yale yote tunayoyafanya,tunayoyasema, tunashauriwa kwa karibu sana naKamati ya Wa<strong>bunge</strong> wa Chama cha Mapinduzi.Tunawashukuru sana kwa sababu sisi wote tuliopoSerikalini tunatekeleza sera na Ilani ya Chama chaMapinduzi kwa hiyo ni wajibu wenu kutushauri. Hii niSerikali yenu na ninyi mna wajibu wa kutushauri,kutusema hata kusema lolote ili mradi tu mhakikishekwamba Serikali inaendelea kuchapa kazi na kutimizawajibu wake vizuri. Kwa hiyo, naishukuru sana Kamatihii ya Wa<strong>bunge</strong> wa CCM na watu wasishangae kwasababu ndio utaratibu wa Wa<strong>bunge</strong> kufanya kazi nacaucus za vyama hata wenzetu wanafanya kazi nacaucus zao.Mheshimiwa Spika, mwisho lakini sio kwa umuhimu,napenda kuishukuru familia yangu na wote wanajuakwamba kama Chief Whip sitokitoki hapa, miezi miwilina nusu sasa, fikirieni kazi yenyewe hiyo ya kukaa miezimiwili na nusu ilivyo. Lakini hawa jamaa wamekuwawakinivumilia, mke wangu ananivumilia sana anaitwaGermina Lukuvi, watoto wangu Nobert, Brown naAnifisye wananipa moyo sana, nazungumza nao maratatu kila siku na wameshanivumilia kido<strong>go</strong> kwa sababukazi hii wameizoea kwa sababu nimeanza tangumwaka 2000, lakini kido<strong>go</strong> napata nafasi yakuwatembelea na kesho nitakwenda kuwatembeleavilevile. Kwa hiyo nashukuru sana kwa fursa hiyo.Mheshimiwa Spika, mwisho kabisa, napendaniwashukuru ndugu zangu na wananchi wa Jimbo laIsmani walioniweka hapa tangu mwaka 1995. Hapasitaki kutoa siri nawafanyia nini maana yake siasa ni518


ushindani, lakini wajue yale yote yatatekelezwa.Hawanioni huko lakini hata ninayoyafanya hapa nikwa heshima yao, bila ya kura zao nisingefika hapa.Kwa hiyo wajue kwamba mimi nafanya kazi zao, najuawanapata matatizo, kuna watu wanapitapita hukowanasemasema hivi na vile lakini nampongeza sanahapa mbele ya Bunge Mwenyekiti wa Kijiji kimojakinaitwa Makatapora ambaye alimkatalia M<strong>bunge</strong>mmoja wa Viti Maalum pale ambaye alilazimishakufanya mkutano akamwambia mimi ndio Mwenyekitiwa Serikali hufanyi mkutano hapa akakataa. Kwa hiyo,namshukuru sana kwamba ameonyesha ujasiri nakuonyesha kwamba yeye ndio mwenye Serikali. Kwahiyo yule M<strong>bunge</strong> alilazimisha akamsumbuasumbualakini mwisho wa yote hakufanya mkutano pale kwasababu Mwenyekiti wa Serikali alimkatalia kwa sababualikuja bila kibali rasmi cha kufanya mkutano. Sasanawaomba wote wanaokwenda namna hiyo, wajuezile Serikali za Vijiji ni Serikali kamili, lazima mzitii. Kwahiyo namshukuru sana Mwenyekiti wa Kijiji chaMakatapora, nitakwenda kumwona hivi karibuni.(Makofi/Kicheko)Mheshimiwa Spika, kama walivyosema wenzangu,hoja zilizotolewa kwa Waheshimiwa Wa<strong>bunge</strong> ni nyingina kama utamaduni ulivyo sisi tutajitahidi kamawaratibu wa shughuli za Serikali kuhakikisha kwambahoja zote zile ambazo zimetolewa kwa sektambalimbali maana hoja hizi zimetolewa kwa WaziriMkuu kama mratibu wa shughuli za Serikali. Kwa hiyo,tutahakikisha wenzetu na tumeshawapelekea hojazote ili wazitumie kujibu katika Wizara zao lakini pia nasisi tunajua hatuwezi kutosheleza mahitaji yote ya519


majibu, tutazijibu hoja hizi kwa maandishi vilevile kamawatakavyofanya wenzetu Mawaziri wa Kisekta. Kwahiyo, hakuna hata hoja moja itakayopuuzwa.Mheshimiwa Spika, yaliyozungumzwa ni mengi nakwa sababu ya muda, nitazungumzia machachekuhusu ucheleweshwaji wa vitabu kuwasilishwa kwaWaheshimiwa Wa<strong>bunge</strong>, kupunguza matumizi yaSerikali, nitazungumzia kido<strong>go</strong> Masuala ya Uratibu waMaafa, Udhibiti wa UKIMWI, Tume ya Uchaguzi, Usajiliwa Vyama vya Siasa, Masuala yanayohusu Bunge,Maadhimisho ya Taifa, Dawa za Kulevya, Udhibiti waMatumizi wa Fedha za Umma, Ustawishaji MakaoMakuu na Masuala ya Uratibu wa Shughuli za Serikali.Mheshimiwa Spika, kwa ufupi nianze kwakuipongeza tena Kamati ya Kisekta ambayo ilitoaushauri mwingi sana chini ya Mwenyekiti, MheshimiwaPindi Chana na Makamu wake. Nataka kuwaahidikwamba ushauri wote nitauzingatia, lakini jambo mojawalilosema ni kwamba Ofisi ya Waziri Mkuu mwaka huuimechelewa kupeleka vitabu. Tunakiri kwelitumechelewa kupeleka vitabu vya hesabu, lakinituliomba radhi kutokana na sababu mbalimbaliambazo hazikuweza kuzuilika. Tulichelewa natunashauriana na Mheshimiwa Spika ili ikiwezekanautaratibu huu ubadilishwe kido<strong>go</strong>, vitabu viwezekupatikana mapema na mijadala ya bajeti iwezekufanyika mapema sio kwa kukimbizana kama hiviilivyo sasa. Kwa hilo limefanyika na ni kweli tunakiri,lakini tusingeweza kufanya nje ya utaratibu uletulioufanya.520


Mheshimiwa Spika, lakini hoja ya pili,ilizungumzwa…SPIKA: Vitabu vya Makadirio sio vya hesabu.WAZIRI WA NCHI, OFISI YA WAZIRI MKUU (SERA,URATIBU NA BUNGE): Mheshimiwa Spika, vitabu vyamakadirio, hizo Volume I, II, III na IV ndivyovilivyochelewa.Mheshimiwa Spika, pili, ilizungumzwa kuhusugharama za pan<strong>go</strong>, lakini zaidi ilizungumzwa Ofisimbalimbali za Serikali ambazo zinapanga. Kwetu sisihasa Tume ya Uchaguzi na Ofisi nyingine ambazozinapanga, ukweli ni kwamba tunafanya utaratibu wakuvipatia viwanja Idara mbalimbali za Serikali ili ziwezekujenga lakini kutokana na mpan<strong>go</strong> huu tulionao wamiaka mitano na mpan<strong>go</strong> wa mwaka mmoja, shughulihizi za ujenzi wa Ofisi haziko kwenye vipaumbele vyaawali. Kwa hiyo, kwa muda mfupi huu wa sasawataendelea mpaka tutakapomaliza ile mipan<strong>go</strong>ambayo tumejipangia katika mpan<strong>go</strong> wetu wa miakamitano, lakini tunaamini kwamba ipo siku Idara zotehata Idara ya Tume ya Uchaguzi itapata jen<strong>go</strong> lake.Mheshimiwa Spika, eneo la tatu ni maafa,kwamba Idara ya Maafa ijengewe uwezo, Serikaliitafute njia mbadala ya kusafirisha chakula kutokakwenye maghala ya hifadhi ya chakula kwendakwenye maeneo yenye upungufu wa chakula nchinina tathmini ya kubaini maeneo yenye upungufuyafanyike. Serikali ihakikishe zoezi la kuwalipa fidiawafugaji walioathirika na ukame Loliondo, N<strong>go</strong>ron<strong>go</strong>ro521


na Monduli unakamilika. Serikali iboreshe utaratibu wamalipo ya wahanga wa mabomu wa Mbagalahususan kule Mkoani Dar es Salaam. Maelezo nikwamba Serikali imeshaanza kuujengea uwezo Idaraya Maafa kwa kujenga maghala ya kuhifadhi vifaakatika kanda tano (5) za Dodoma, Mbeya, Kilimanjaro,Shinyanga na Dar es Salaam. Vifaa vingi vya maafavya dharura huwa tunaweka katika maeneo hayo ilikupunguza umbali wa kuchukua vifaa hivyo kutoka Dares Salaam lakini pia mchachato wa kutunga sheriampya kuhusu Idara ya Maafa unaendelea.Mheshimiwa Spika, lakini kuhusu Mbagala, Serikaliimechukua jukumu la kulipa fidia yote na wale woteambao walikuwa wanadai fidia ya nne kwa orodhaambayo imefanyiwa tathmini hivi sasa Mkoa wa Dar esSalaam wanalipa. Tumewapa shilingi 2,200,000,000/=wanamalizia kulipa, wale wote ambao hawajalipwana wale wa Gon<strong>go</strong> la Mboto nimezungumza nao janana nimewaahidi kwamba nikirudi Dar es Salaamtutaonana na wote ambao wana madai halaliyamehakikiwa yanayohusiana na maafa ya Mbagalana Gon<strong>go</strong> la Mboto, Serikali itayalipa ili mradiyamehakikiwa na ni malipo halali. Serikali hii haiwezikudhulumu haki ya mtu, kwa hiyo tutalipa.Mheshimiwa Spika, kuhusu usombaji wa chakula,Serikali sasa imeanza kuchukua hatua mbadalakusafirisha chakula kutoka kwenye maeneo yenyeupungufu kwa kutumia magari ya Jeshi. Zamanitulikuwa tunatumia treni kwenda Shinyanga, tatizokubwa zaidi ni sehemu ya Shinyanga, ghala laShinyanga halina chakula kwa sababu hakuna522


arabara inayounganisha Rukwa kwenye chakula napale Shinyanga. Kwa hiyo sasa tumechukua jukumuna bahati nzuri sasa mvua zimekatika pamoja na trenitunachukua na magari ya Jeshi ambayo yametusaidiasana. Tunalipongeza sana Jeshi la Wananchi waTanzania ambao wametusaidia sana kusafirishachakula kutoka Makambako, Njombe, Mpandakwenda Arusha, sasa hivi tuna tani zaidi ya 7,000 paleArusha, lakini pia sasa wameanza safari ya kupelekachakula Shinyanga ili kihudumie katika ile kandanyingine. Kwa hiyo, tunachukua jitihada, tunatakakuwahakikishia wenzetu wa Kanda ya Ziwa kwambatutakuwa na chakula cha kutosha katika eneo lile lahifadhi la chakula.Mheshimiwa Spika, mwisho kabisa, natakakuwahakikishia tena wale wote waliopatwa na maafana kama nilivyosema yaliyofanyiwa tathmini tutayalipalakini tunaendelea kufanya tathmini. Mwezi wa tatutumeshafanya tathmini nyingine ya hali ya chakula nahali ikiruhusu, hali ikiwa mbaya na muda ukifikatutawahudumia chakula wale ambao wanahitajimsaada wa chakula kwa sababu kion<strong>go</strong>zi wetu wanchi Mheshimiwa Rais alishaagiza kwamba hakuna mtuatakayekufa kwa njaa katika nchi hii. Madhali Serikaliya CCM inatawala, itahakikisha kwamba raia wakehawawezi kufa njaa. Kwa hiyo, tathmini tunayo wakatiukifika na ratiba tumeshapanga ya kuwahudumia.Mheshimiwa Spika, eneo la UKIMWI, hoja zilikuwaSerikali iongeze kasi ya kutoa elimu kwa umma kuhusumatumizi sahihi ya kondomu. Serikali ielekeze mikakatimbadala inayochukuliwa kuendeleza mapambano523


dhidi ya maambukizi mapya ya UKIMWI. Serikali ifanyeutafiti kujua ni kwa nini baadhi ya watu wanasambazaUKIMWI kwa makusudi. Maelezo ni kwamba Serikaliitaendelea kuwaelimisha wananchi kuhusu matumizisahihi ya kondomu kwa kutumia njia mbalimbali.Aidha, programu ya Tuko Wangapi ambayo imeanzahivi karibuni inaelimisha kuhusu madhara ya kuwa nawapenzi wengi. Serikali pia inaanzisha Mfuko waUKIMWI utakaogharamia shughuli za kudhibiti UKIMWI.Suala hili limeulizwa sana na MwanaharakatiMheshimiwa Lediana Mng’ong’o. Mfuko huoutatumika kugharamia programu za tiba ikiwemoununuzi wa dawa, vifaa vya maabara, utunzaji wayatima, udhibiti wa UKIMWI hususan vijana, udhibiti wamaambukizi kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto nakuongeza upatikanaji wa matumizi ya kondomu.Kuhusu kufanya utafiti wa watu wanaosambazaUKIMWI kwa makusudi, ushauri umezingatiwa, hatahivyo hakuna takwimu zinazoonyesha kuwepo kwamatukio ya aina hiyo yaliyofikishwa Mahakamani.Mheshimiwa Spika, kuhusu eneo la Bunge.Waheshimiwa Wa<strong>bunge</strong> waliochangia eneo hiliwalikuwa na hoja zifuatazo. Utaratibu wa maswalipapo kwa papo kwa Mheshimiwa Waziri Mkuuuboreshwe, muda wa kufanya kazi kwa Kamati yaKatiba, Sheria na Utawala uongezwe, Ofisi ya Bungeinunue mabasi mapya kwa ajili ya WaheshimiwaWa<strong>bunge</strong>, Makatibu wa Kamati Bunge wajengeweuwezo, tatizo la maegesho ya magari na upungufu wakumbi za Mikutano Dar es Salaam lishughulikiwe, Ofisiya Bunge iharakishe mchakato wa Wa<strong>bunge</strong> kujiungana Bima ya Afya, Ofisi za Wa<strong>bunge</strong> Majimboni524


ziongezwe watumishi, Serikali iharakishe uanzishwaji waMfuko wa Bunge.Mheshimiwa Spika, maelezo ni kwamba Kamati yaBunge ya Kanuni inaangalia utaratibu mzuriutakaowezesha Wa<strong>bunge</strong> kuuliza maswali bilausumbufu lakini pia Ofisi ya Bunge inafanyia kazi sualala muda wa uchambuzi wa Bajeti ikiwa ni pamoja nakuangalia upya ratiba za vikao vya Kamati za Bunge.Unaangaliwa pia uwezekano wa kuanzishwa kwaKamati ya Bunge ya kushughulikia Bajeti. Hili alishasemaMheshimiwa Spika. Katika mwaka wa fedha 2012/2013,Ofisi ya Bunge itanunua mabasi mpya manne kwa ajiliya kuhudumia Waheshimiwa Wa<strong>bunge</strong>. Kuhusu tatizola maegesho ya magari pamoja na upungufu wakumbi za mikutano kwa Kamati za Bunge katika Ofisindo<strong>go</strong> ya Dar es Salaam, Ofisi ya Bunge kwakushirikiana na NSSF iko kwenye hatua za harakati zaujenzi wa ofisi mpya za Wa<strong>bunge</strong> Majimboni pamojana upanuzi wa ofisi ndo<strong>go</strong> ya Dar es Salaam.Waheshimiwa Wa<strong>bunge</strong>, Tume yenu inaendeleakuzungumza na NSSF ili kuona kama upo uwezekanowa kujenga ofisi zote za Waheshimiwa Wa<strong>bunge</strong> kwampi<strong>go</strong> badala ya kujenga ofisi mojamoja inachukuamuda mrefu na inachukua fedha nyingi sana. Kwa hiyomazungumzo hayo yanaendelea. (Makofi)Mheshimiwa Spika, Makatibu wa Kamatiwanaendelea kupewa mafunzo mbalimbali lakini Ofisiya Bunge kupitia Tume ya Huduma za Bunge imeanzakufanyia kazi suala la Bima ya Afya kwa Wa<strong>bunge</strong>ambapo mchakato wa kuwapatia Wa<strong>bunge</strong> Bimahiyo umeshaanza. Aidha, Bima ya Maisha kwa525


Waheshimiwa Wa<strong>bunge</strong> kufuatia masharti yao ya kaziinashughulikiwa na Tume kwa kushirikiana na Hazinakulingana na Sheria ya Uendeshaji wa Bunge yamwaka 2008 na taratibu za manunuzi.Mheshimiwa Spika, Ofisi ya Bunge inaangaliauwezekano wa kuwa na watumishi wanne kuanziamwaka wa fedha ujao kwa Wa<strong>bunge</strong> wote yaaniKatibu wa M<strong>bunge</strong>, Mpiga Chapa, Dereva na Msaidiziwa Ofisi. Nataka wananchi wajue kwamba kunatofautikati ya M<strong>bunge</strong> na Ofisi ya M<strong>bunge</strong>. M<strong>bunge</strong> ni Ofisi,M<strong>bunge</strong> ni taasisi kama alivyo Mkuu wa Wilaya, Mkuuwa Wilaya ana jina lake, Mkuu wa Wilaya ni mtu lakiniana ofisi. Kwa hiyo, M<strong>bunge</strong> naye akichaguliwa niM<strong>bunge</strong> ndiyo Lukuvi lakini ana ofisi. Ile Ofisi yenu ilelazima iwe na wahudumu ambao watawahudumianinyi, mkiwa na barua zenu, mkiwa na maswaliwaweze kuwajibu, waweze kuwa na watu wakuwatumia ili mkifika pale hata kama M<strong>bunge</strong> hayupoakute kuna watu wanaweza kupokea malalamiko yao.(Makofi)Mheshimiwa Spika, kwa hiyo, Ofisi ya M<strong>bunge</strong>nafikiri jambo hili litatekelezwa katika mwaka huu wafedha ili kuhakikisha kwamba kila Ofisi ya M<strong>bunge</strong>inakuwa na wahudumu wa msingi kwa mujibu wamasharti ya M<strong>bunge</strong>. Pia mwaka huu wa fedha Serikaliimetoa shilingi bilioni 10/- kwa ajili ya kuendelea naujenzi wa ofisi za Wa<strong>bunge</strong>. Hizi mtaziona kwenyevitabu vya maendeleo. (Makofi)Mheshimiwa Spika, kuhusu uchaguzi, maswali nikwamba Serikali kuhakikisha Tume inapata maghala526


yake yenyewe, Serikali itenge fedha za kuboreshaDaftari la Kudumu la Mpigakura, Tume itoe elimu zaidikwa wapigakura pamoja na vyama vya siasa iliwasifanye fujo wakati wa uchaguzi, Serikali iijengeeuwezo Tume ya Uchaguzi ili ijiimarishe hadi kwenyeuchaguzi wa Wilaya.Mheshimiwa Spika, maelezo hapa ni mafupi tukwamba Serikali itafanyia kazi ushauri na maoniyaliyotolewa na kwa yale yanayohitaji fedha Serikaliitaendeleza jitihada za kuipatia fedha Tume. Mwakahuu hatuna fedha nyingi za kuwapa lakini tunatakakufanya mazungumzo ili kuona yale maghala kwasababu fedha nyingi sana Tume wanatumia kukodishayale maghala wanapotunza vile vifaa, tunataka kuonakwa sababu yale maghala ni ya Serikali tuone kamatunaweza tukapunguza gharama ya Tume ili fedha zilezikatumika kwa shughuli nyingine. Yale maghalawasiyakodi, waazime, wayatumie, wayatunze ili fedhazile wanazolipa kodi zitumike katika shughuli zingineangalau kuanza kuboresha hili daftari kama zinawezazikatosheleza. Lakini hilo tunaliangalia, ukweli nikwamba fedha zinazotakiwa kwa Tume ya Uchaguzi ninyingi lakini mtakumbuka vipaumbele vya mwaka huuhasa za maendeleo vimemaliza fedha zote lakinitunaendelea na kazi hii ya kuhakikisha kwamba Tumeyetu tunaijenga kiuwezo.Mheshimiwa Spika, hoja nyingine inahusu dawa zakulevya, Serikali ishughulikie suala la upungufu warasilimali watu pamoja na ukosefu wa mafunzo yamara kwa mara, Serikali ipanue huduma ya tiba kwawaathirika wa dawa za kulevya, vita ya dawa za527


kulevya itangazwe kama janga la taifa, Serikali inamkakati gani wa kupambana na wafanyabiasha wadawa za kulevya. Maelezo ni kwamba Serikaliinakamilisha Sera na Sheria ya Kudhibiti Dawa zaKulevya ambapo kitaanzishwa chombo kipya chenyenguvu na mamlaka ya kupambana na biasharaharamu ya dawa za kulevya nchini. Mnajua sasa kunaeneo, Tume iko chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu lakini Idaraya Polisi vilevile ina Idara inayopambana na madawaya kulevya. Kwa hiyo, kutokana na uzoefu ambaoumejengwa sasa, tunafikiri kwamba vyombo vyote vyadola lazima vishirikishwe lakini tuwe na chombo kimojatu ambacho kitasimamia masuala yote yanayohusianana madawa ya kulevya na hili tumepata uzoefukutokana na maelekezo ya Mheshimiwa Rais baada yakuunda Task Force ya Vyombo vyote vya Ulinzi naUsalama ambavyo wanafanya pamoja ili kukabilianana janga hili na ndiyo maana mnaona kasi yaukamataji ni kubwa sana. Tumepata heshima yakimataifa, Marekani na dunia nzima kwa kazi hii kubwatunayofanya ya ukamataji ya madawa ya kulevya.(Makofi)Mheshimiwa Spika, takwimu zilizopo sasa madawamengi yanakamatwa kwa sababu vyombo vyotevinashirikiana na tunapata taarifa za kutosha. Kwataarifa yenu, timu hii ya Task Force imepewa heshimamaalum na Marekani na waliitwa huko kupongezwabaada ya kumkamata gwiji mmoja, mama ambayealikuwa anatafutwa katika nchi tano ambaye alikujakukamatwa Dar es salaam kwa msaada na uwezo watimu hii ya Watanzania wameweza kumkamata huyomama na kumfikisha kwenye Vyombo vya Sheria. Kwa528


hiyo, Tume hii inafanya vizuri kazi ya Serikali, sasa nikuimarisha lakini tunaomba ushirikiano mkubwa wawananchi ili kuwafichua hawa watu wote. Lakini piapamoja na kuimarisha Tume, tunataka kurekebishaSheria ili m<strong>go</strong>ngano uliopo ndani ya Sheria zetuurekebishwe ili wanaopatikana na hatia hizi wafungwe,kusiwe na option ya faini. (Makofi)Mheshimiwa Spika, hoja ya tisa, maadhimisho yasherehe za taifa. Hoja hapa ilikuwa kwamba, kunagazeti moja lilitangaza kwamba sherehe hizi za miaka50 zimetumia shilingi bilioni 64. Sasa ukweli ni kwambafedha zilizotumika ingawa tulipanga bajeti ya kutumiashilingi bilioni 30 kwa maadhimisho ya nchi nzima, kwasababu tulipanga maadhimisho haya yaanze Wilayani,Mikoani na Kitaifa lakini ukweli ni kwambatumekwenda kutumia shilingi 27.5 bilioni. Kwa hiyo, yaleyote mmeyaona yamefanyika kila mahali, hapa,Zanzibar, Dar es Salaam na kila mahali tumetumiajumla shilingi bilioni 27.5. Kwa hiyo, ile ya kwambashilingi bilioni 64 sio kweli, ni uon<strong>go</strong> na hata ile bajetiyenyewe tuliyokuwa tumeweka hatukuifikia. Sina mudawa kuwaeleza tumetumia kwa lipi, tutafafanua kwabaadaye na Jumatatu kutakuwa na swali hili nalitaulizwa hapa Bungeni. Tuliambiwa tukanushe wakatiule lakini wakati mwingine uon<strong>go</strong> ukizidi sana si vizurisana kujiingiza na kukanusha papo kwa papo kwasababu mwon<strong>go</strong> ataendelea kuwa mwon<strong>go</strong> tu,utakanusha leo atazusha kesho. Kwa hiyo ukweli nikwamba ni shilingi bilioni 27.5. (Makofi)Mheshimiwa Spika, kuhamia Dodoma. Hoja hiiimetolewa na Kambi ya Upinzani na namshukuru sana529


Mheshimiwa M<strong>bunge</strong> wa Dodoma ametoa hotubayake nzuri sana ya kuunga mkono mpan<strong>go</strong> huu wakuhamia Dodoma na anathamini sana jitihadazinazofanywa na Serikali hapa za kuharakisha ujenzi wamiundombinu. Ukweli ni kwamba Serikali haijashindwakutekeleza mpan<strong>go</strong> wake wa kuhamia Dodoma. Hii niSera ya Serikali ya CCM, iko ndani ya Ilani, tunakwendahatua kwa hatua na tulianza tangu mwanzokutangaza nia lakini kwa hatua tulizopiga sasatunaenda vizuri. Sehemu kubwa ya miundombinumuhimu inaanza kukamilika. Hivi ninavyozungumzasasa hivi tuna fedha dola za kimarekani milioni 32ambazo zinafanya kazi ya kuimarisha miundombinuhapa Dodoma lakini pia tumeshafanya mapitio yaMaster Plan mpya ya Dodoma. Mji wa Dodoma sasaMakao Makuu ya Serikali yatajengwa kati yaChamwino na Ihumwa. Eneo hilo limeshatathminiwatayari na Master Plan imeshatengenezwa, tuliajiriconsultancy kutoka Korea ya Kusini, wamekamilishakazi yake na mipan<strong>go</strong> inaendelea vizuri. Kwa hiyo,mipan<strong>go</strong> hii ya ujenzi ya miundombinu, uongezaji wahuduma unaendelea vizuri sana na ndiyo maanaSerikali imeweza kutoa dola hizo zote kwa ajili yakuimarisha upatikanaji wa maji, barabara, mifereji nahuduma zingine muhimu.Mheshimiwa Spika, lakini pia ujenzi wamiundombinu ya elimu kama Chuo Kikuu na yenyeweinaongeza tija na huduma katika Mkoa wa Dodoma.Hata Bunge hili kulijenga hatukujenga kwa makosa.Tulijenga kwa nia hiyohiyo kwamba tungependa mjiwa Dar es Salaam ubaki kuwa kitovu cha biasharalakini huduma zingine za Serikali na Bunge ziendeshwe530


Dodoma. Kwa hiyo, hayo ni mambo ambayoyanaonekana kwa macho na kila mwenye machoanayaona. Kwa hiyo, nataka kusema kwa ufupikwamba Sera yetu ya kuhamia Dodoma iko palepalelakini tutaenda hatua kwa hatua, hata Romawanasema haikujengwa mara moja.Mheshimiwa Spika, suala lingine ambalolimezungumzwa na Mheshimiwa Waziri Mkuu linahusukubana matumizi ya Serikali. Kwenye hotuba yaMheshimiwa Waziri Mkuu amezungumzia hatuakadhaa ambazo tunakusudia kuzifanya katika kubanamatumizi. Mwaka jana tuliahidi kwamba tutaanzakuchukua hatua, Waheshimiwa Wa<strong>bunge</strong> wengimmeshauri na katika maeneo kadhaa mmesemakabisa hili fanyeni. Mheshimiwa Waziri Mkuu ametoamaelekezo hapa. Sasa haya maelekezo aliyotoa nisehemu tu ya yale aliyoweza kuyasema lakini ndani yaSerikali kuna maelekezo mengi ameshayatoayanayoelekeza utaratibu wa kubana matumizi. Eneomoja ni hilo la magari. Huko kwenye kazi ngumu hukowataendelea kutumia zile hard top lakini sisi wenginetutaendelea kutumia magari yasiyozidi CC 3000ambayo tunafikiri yanatosha. Kwa sababu hayamakubwa yanayoitwa VX ili likupe nafuu ya matumiziya mafuta lazima ulipige likimbie zaidi ya kilometa 150kwa saa ndipo unapata nafuu ya mafuta lakini kwamatembezi ya Dar es Salaam kilometa 60 kwa saa,tunatumia mafuta mengi sana katika miji na hasakwenye barabara ambazo haziendi kasi sana gari zilematumizi ya mafuta yanakuwa makubwa sana.531


Mheshimiwa Spika, ili upate nafuu ya magari yalelazima uende kwa kasi ndiyo matumizi yanakuwamado<strong>go</strong> kutokana na injini yake. Maana mengineyana injini zaidi ya CC 4000 na kuendelea na ndiyomaana Mheshimiwa Waziri Mkuu anafikiri gari ya CC3000 kwa Waziri kama Lukuvi inamtosha. Kwa hilotutatekeleza na bahati nzuri Mawaziri wa ofisi yakemwaka huu tutaanza kununua magari hayo ya CC3000 lakini hili halitoshi tu kuelekeza hivyo. Maana yakeni kwamba vion<strong>go</strong>zi wote wa Serikali kokote walipolazima wasimamie hatua mbalimbali za kubanamatumizi. Kubana matumizi sio magari tu, kila kion<strong>go</strong>zilazima awajibike na bajeti yake kuhakikisha kwambamatumizi yasiyo halali, safari zisizokuwa za msingi, kunavion<strong>go</strong>zi wa Halmashauri ambao ukiangalia safari zaowanasafiri zaidi na vion<strong>go</strong>zi wa Serikali wanasafiri zaidikwenda nje ya maeneo yao kuliko ndani ya maeneoyao. Kwa hiyo, hizi zote ni hatua mbalimbali ambazoMhesimiwa Waziri Mkuu ameshatolea maelekezoambazo zinaashiria kubana matumizi.Mheshimiwa Spika, eneo la mwisho hapanizungumzie Vyama vya Siasa. Wameshauri Serikaliiongeze bajeti Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa.Msajili wa Vyama vya Siasa nchini achukue hatuamara moja dhidi ya Vyama vya Siasa na vion<strong>go</strong>zi wakeambao wamekuwa na tabia ya uchochezi katikamisingi ya Udini, Ukanda na Ukabila kwa mujibu waSheria ya Vyama vya Siasa. Kama kuna Chamachochote cha Siasa kinachoonekana kuwepo kwamisingi ya Ukanda Ukabila au Udini kifutwe haraka ilikuepusha Taifa letu na uchafu huu. Kuziwezesha Ofisiza Kanda za Msajili wa Vyama vya Siasa kuwa na532


waratibu watakaoratibu shughuli za Vyama vya SiasaMikoani ili kuboresha utendaji wa kazi za Msajili.Mheshimiwa Spika, maelezo ni kwamba Serikaliitaendelea kuongeza bajeti ofisi za Vyama vya Siasa iliziweze kuwajibika vizuri. Serikali inakiri kwamba sehemuilipo ofisi ya Msajili ni ndo<strong>go</strong> hivyo ipo katika mchakatowa kutafuta eneo lingine ambalo litakidhi mahitajiyake. Baada ya muundo mpya wa Ofisi ya Msajilikupitishwa waratibu na watumishi katika kila Kandawatapangwa kukidhi shughuli mbalimbali katika Ofisiya Msajili wa Vyama vya Siasa. Ofisi ya Msajili waVyama vya Siasa itahakikisha kuwa Kanuni na maadiliya Vyama vya Siasa zinafuatwa na Vyama vyote nahaitasita kufuta Chama chochote kinachokiuka sheria.Haya maneno ya Tendwa kwamba hatashindwakufuta Chama chochote kinachokiuka sheria.Mheshimiwa Spika, yapo maelezo mengi hapayametolewa lakini siwezi kuyasoma yote lakini wenginehapa walikuwa wanashauri kwamba hivi ni lazimavion<strong>go</strong>zi kama sisi tukashifu, tutukane, tuseme uon<strong>go</strong> ilitusifiwe? Mimi nasema hapana, ndiyo jibu langu, siolazima. Sio lazima useme uon<strong>go</strong>, ukashifu ili uwezekusifiwa lakini pia niwashauri wale wote wenye tabiahizo ambazo zimeelezwa hapa za kufikiria wanawezakuligawa Taifa hili kwa Udini au Kiukanda, miminawashauri waache kwa sababu nchi hii haipo tayarikuwa kama Mali au Sudan. Mimi naomba tujengemisingi mizuri kwa vijana wetu ili Taifa hili lisije kuwa nawatu wa kunung’unika, wazushiwazushi,waon<strong>go</strong>waon<strong>go</strong>, haifai na hatupo tayari kugawananchi hii kwa misingi yoyote ile, iwe ya Kikanda au ya533


Kikabila, nchi hii imejengwa, Waswahili wanasemausione vyaelea vimeundwa.Mheshimiwa Spika, nataka kuwashauri nduguzangu na wananchi hasa wanachama wa CCMmaana wanakuwa wanauliza sana, mbona vion<strong>go</strong>ziwa CCM hamtembei kama wanavyofanya wenzenu?Sisi tuna kazi ya kufanya, sisi ndiyo tunaojenga nchi hii,sisi tunaon<strong>go</strong>za Serikali, kwa sababu hata haowanaotembea kwa taarifa yenu matatizo yenuwanakuja kutuambia sisi ndiyo tunakuja kufanya. Tunakazi ya kufanya ndiyo maana hatuwezi kutembea,mmetupa kazi ya miaka mitano na sisi ndiyo tunafanyakwenye Majimbo yenu. Wacha hao watembeeMtwara, Lindi lakini sisi tunakuja kujenga, tunawekamaji kule Dar es Salaam, tutajenga masoko, ndiyo kaziyetu sisi. (Makofi)Mheshimiwa Spika, kwa hiyo, sisi ndiyotunaokusanya kodi, lakini sisi ndiyo tunaotekeleza Ilaniyetu, ndiyo maana hamtuoni kwa sababu tuna kazi yakufanya na ukiona watu wanasema sana jambo fulani,ujue wao ndio wanaofanya. Juzi hapa tulimsikiaKion<strong>go</strong>zi mmoja wa Upinzani akisema Mawaziriwamesema mahali kwamba Serikali haitatoamaendeleo kwa Majimbo ya Upinzani lakini hawa watuwamekwenda Ngara wenyewe wamegeuza waowenyewe wanasema mtuchague sisi kwa sababutunao<strong>go</strong>pwa na Serikali. Mkituchagua Serikali ndiyoitakuja kutekeleza miradi hiyo, hawa walisema hivi nawanasema vinginevyo. Kwa hiyo, nataka tu mjuekwamba yapo maneno lakini vipo vitendo. Sasamuamue kusikiliza maneno au msikilize vitendo na534


vitendo katika nchi hii vinapatikana na vitaletwa naSerikali ya Chama cha Mapinduzi. (Makofi)Mheshimiwa Spika, kwa hiyo, nawashukuru sanawenzangu Waheshimiwa Wa<strong>bunge</strong> kwa ushirikianowenu mliotupa, nataka kuwahakikishieni kwamba yotehaya tutayatekeleza lakini nawashukuru sana vion<strong>go</strong>ziwenzetu wa Wa<strong>bunge</strong> wa Upinzani kwa kazimnayofanya ya kutukasanyia maoni ya wananchi nakutupa tuyatekeleze. Naunga mkono hoja. (Makofi)SPIKA: Waheshimiwa Wa<strong>bunge</strong>, jioni tutakaporuditutaanza na Mheshimiwa Waziri Mkuu, atajibu hojazake kwa muda mfupi halafu saa kumi na mbili na nusututaanza kazi ya Kamati ya Matumizi. Maelezo kuhusuKamati ya Matumizi nitayatoa tutakapoingia baadayekwa sababu ni vizuri tukajua hilo kwa sababu ni eneopia huwa hatufanyi vizuri.Sasa nina tangazo mahsusi sana ingawa wenginehawapo lakini naomba mnisikilize. Mpambe wa Bunge,Sergeant At Arms anaomba niwatangazieWaheshimiwa Wa<strong>bunge</strong> kuwa kutakuwa na zoezi lakuweka alama za utambulisho kwenye silahalitakalofanyika leo na kesho tarehe 30. Zoezi hililitafanyika katika Kituo Kikuu cha Polisi hapa Dodoma.Tunaomba Wa<strong>bunge</strong> wote wanaomiliki silaha kutumiafursa hii ili kuweza kuwekewa alama za utambulishokwenye silaha zao. Tulipendekeza labda tufanyie hapakaribu ikaonekana kiusalama sivyo kwa sababuunaweza usijue zimetokea wapi. Kwa hiyo, mnaombwanyie wote mnaomiliki silaha muende kule Police Centralya hapa Dodoma mkafanye shughuli hiyo. Muda535


mliopewa ni leo na kesho, kwa hiyo muende mkafanyehivyo.Asubuhi nilitangaza na nafikiri hawa ndiyowanakwaya wenyewe niliowatambulisha walikuwabasement. Nafikiri ni wanakwaya 60 kutoka KKKT Mkoawa Manyara. Naomba wasimame, walipo. Ahsantesana, karibuni sana naona mmesafiri mwendo mrefu,nadhani mnaliombea Taifa hili kuwa na amani ambayotunaiomba, ahsanteni sana kwa kuja. (Makofi)Halafu kuna wanafunzi 50 kutoka Shule yaSekondali Buigiri, ahsante sana, karibuni sana. (Makofi)Naona wasichana wachache kutoka HurumaSekondari, wako wachache sana, simameni hapomlipo. Haya akina mama wa kesho someni kwa bidiisana. (Makofi)Halafu wale watunza kumbukumbu, MakatibuMukhutasi 48 kutoka Halmashauri mbalimbali nawenyewe wasimame kama wapo. Ahsante sana,nafurahi kuwaoneni. Wengine siwajui maana sijapewamaelezo yao lakini kwa ujumla wote mnakaribishwa.(Makofi)Kuna wageni wa Mheshimiwa Celina Kombani,Ndugu Canon Mvinga na mkewe, wako wapi?Watakuja mchana. Tunatarajia kuongeza viti hukonyuma kwa sababu sasa hivi ukumbi wetu hautoshinadhani kuanzia Jumatatu nafikiri tutakuwatumeongeza nafasi kubwa zaidi lakini kwa sasa ndivyotunavyobanana.536


Waheshimiwa Wa<strong>bunge</strong>, naomba nisitishe shughulihizi mpaka saa kumi na moja jioni.(Saa 7.00 mchana Bunge lilisitishwa mpaka Saa 11.00jioni)(Saa 11. 00 jioni Bunge lilirudia)SPIKA: Waheshimiwa Wa<strong>bunge</strong>, kipindi chaasubuhi tulitoa nafasi kwa baadhi ya Mawaziri kuwezakujibu hoja mbalimbali zilizokuwa zinatolewa naWaheshimiwa Wa<strong>bunge</strong>. Kwa hiyo, sasa tutamwitamtoa hoja Mheshimiwa Waziri Mkuu aweze kutoaufafanuzi.WAZIRI MKUU: Mheshimiwa Spika, awali ya yote,naomba nianze kumshukuru sana Mwenyezi Mungukwa kunipa afya njema mpaka leo hii tunapohitimishamajadiliano ya bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala zaMikoa na Serikali za Mitaa, Taasisi zilizo chini ya Ofisi yaWaziri Mkuu pamoja na Ofisi ya Bunge kwa mwaka2012/2013.Kipekee, nikushukuru sana wewe mwenyeweMheshimiwa Spika, Naibu Spika na Wenyeviti wote kwakusimamia na kuon<strong>go</strong>za kwa umakini na uvumilivumkubwa majadiliano ya Hotuba ya Ofisi ya Waziri Mkuuna Taasisi zake.Mheshimiwa Spika, nawashukuru kwa njia yakipekee Waheshimiwa Mawaziri kutoka Ofisi ya WaziriMkuu; Mheshimiwa Dkt. Mary Nagu, M<strong>bunge</strong> na Waziri537


wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji na Uwezeshaji,Mheshimiwa Hawa Abdulrahman Ghasia, M<strong>bunge</strong>,Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, TAMISEMI naMheshimiwa William Vangimembe Lukuvi, Waziri waNchi, Ofisi ya Waziri, Mkuu Sera, Uratibu na Bunge,Mheshimiwa Aggrey Deaisile Mwanri, Naibu Waziri, Ofisiya Waziri Mkuu, TAMISEMI na Mheshimiwa KassimMajaliwa, M<strong>bunge</strong>, Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu,TAMISEMI anayeshughulikia masuala ya elimu, ambaowameendelea kunishauri na kunisaidia katikakufanikisha majukumu ya ofisi ya Waziri Mkuu.Mheshimiwa Spika, nawashukuru pia MakatibuWakuu na Naibu Makatibu Wakuu wote na watendajikwa kuendelea kufanya kazi kwa bidii na uwezomkubwa katika kunisaidia. Niwashukuruni ninyi woteWaheshimiwa Wa<strong>bunge</strong> mliopata nafasi ya kuchangiakwa michan<strong>go</strong> yenu ya kina ambayo kwa kiasikikubwa imewezesha ofisi yangu kujua maeneoyanayohitaji kufanyiwa kazi zaidi na maeneo ambayotumefanya vizuri. Katika mjadala huu, jumla yaWaheshimiwa Wa<strong>bunge</strong> 268 walichangia,Waheshimiwa Wa<strong>bunge</strong> 113 walichangia kwakuzungumza moja kwa moja hapa Bungeni naWaheshimiwa Wa<strong>bunge</strong> 155 wamechangia kwa njiaya maandishi na ninaomba uniruhusu niwataje mmojammoja kwa majina.Mheshimiwa Spika, kwanza ni Mheshimiwa PindiHazara Chana, M<strong>bunge</strong>, Viti Maalumu, Mwenyekiti waKamati ya Katiba, Sheria na Utawala, MheshimiwaDunstan Luka Kitandula, M<strong>bunge</strong> wa Mkinga, MakamuMwenyekiti wa Kamati ya Fedha na Uchumi,538


Mheshimiwa David Ernest Silinde, M<strong>bunge</strong> wa MboziMagharibi, Msemaji wa Kambi ya Upinzani, Ofisi yaWaziri Mkuu, TAMISEMI, Mheshimiwa Freeman AikaeliMbowe, M<strong>bunge</strong> wa Hai, Kion<strong>go</strong>zi wa Kambi yaUpinzani Bungeni na Msemaji wa Upinzani, Ofisi yaWaziri Mkuu, Mheshimiwa Michael Lekule Laizer,Mheshimiwa Anne Kilan<strong>go</strong>, Same Mashariki,Mheshimiwa Mchungaji Luckson Ndaga Mwanjale,Mbeya Vijijini, Mheshimiwa Kuruthum JumanneMchuchuli, M<strong>bunge</strong> wa Viti Maalum, MheshimiwaGodfrey Weston Zambi, M<strong>bunge</strong> wa Mbozi Mashariki,Mheshimiwa Maryam Salum Msabaha, M<strong>bunge</strong> wa VitiMaalumu, Mheshimiwa Ally Kessy Mohamed, M<strong>bunge</strong>wa Nkasi Kaskazini, Mheshimiwa Kabwe Zuberi Zitto,M<strong>bunge</strong> wa Ki<strong>go</strong>ma Kaskazini na Mheshiwa GraceSindato Kiwelu, M<strong>bunge</strong> wa Viti Maalum. (Makofi)Wengine ni Mheshimiwa Assumpter NshunjuMshama, M<strong>bunge</strong> wa Nkenge, Mheshimiwa KaikaSaning’o, M<strong>bunge</strong> wa N<strong>go</strong>ron<strong>go</strong>ro, MheshimiwaHamad Yusuph Masauni, M<strong>bunge</strong> wa Kiwajuni,Mheshimiwa Amina Abdallah Amour, M<strong>bunge</strong> wa VitiMaalum, Mheshimiwa Mkiwa Adam Kimwanga,M<strong>bunge</strong> wa Viti Maalumu, Mheshimiwa Lucy Owenya,M<strong>bunge</strong> wa Viti Maalum, Mheshimiwa Riziki Said Lulida,M<strong>bunge</strong> wa Viti Maalum, Mheshimiwa Said MohamedMtanda, M<strong>bunge</strong> wa Mchinga, Mheshimiwa DianaMkumbo Chilolo, M<strong>bunge</strong> Viti Maalum, MheshimiwaLediana Mfuru Mng’ong’o, M<strong>bunge</strong> wa Viti Maalum,Mheshimiwa Vicent Joseph Nyerere, M<strong>bunge</strong> waMsoma Mjini, Mheshimiwa Raya Ibrahim Khamis,M<strong>bunge</strong> wa Viti Maalum, Mheshimiwa Profesa DavidMwakyusa, M<strong>bunge</strong> wa Rungwe Magharibi,539


Mheshimiwa Clara Diana Mwatuka, M<strong>bunge</strong> wa VitiMaalum, Mheshimiwa Rashid Ali Abdallah, M<strong>bunge</strong> waTumbe, Mheshimiwa Ezekia Dibo<strong>go</strong> Wenje, M<strong>bunge</strong> waNyamagana, Mheshimiwa Charles Paul Mwijage,M<strong>bunge</strong> wa Muleba Kaskazini, Mheshimiwa ZainabRashid Kawawa, M<strong>bunge</strong> wa Viti Maalumu,Mheshimiwa Innocent Edward Kalogeris, M<strong>bunge</strong> waMoro<strong>go</strong>ro Kusini, Mheshimiwa Donald Kelvin Max,M<strong>bunge</strong> wa Geita, Mheshimiwa Agripina ZaituniBuyogera, M<strong>bunge</strong> wa Kasulu Vijijini, MheshimiwaDeogratias Aloyce Ntukamazina, M<strong>bunge</strong> wa Ngara,Mheshimiwa Dkt. Faustine Engelbert Ndugulile, M<strong>bunge</strong>wa Kigamboni, Mheshimiwa Mohamed Habibu Mnyaa,M<strong>bunge</strong> wa Mkanyageni na Mheshimiwa AhmedMabkhut Shabiby, M<strong>bunge</strong> wa Gairo. (Makofi)Mheshimiwa Spika, wengine ni Mheshimiwa VictorKilasile Mwambalaswa, M<strong>bunge</strong> wa Lupa, MheshimiwaPhilemon Kiwelu Ndesamburo, M<strong>bunge</strong> wa Moshi Mjini,Mheshimiwa Dunstan Daniel Mkapa, M<strong>bunge</strong> waNanyumbu, Mheshimiwa Dkt. Mary MachucheMwanjelwa, M<strong>bunge</strong> wa Viti Maalum, MheshimiwaDevotha Likokola, M<strong>bunge</strong> wa Viti Maalum,Mheshimiwa Ignas Aloyce Malocha, M<strong>bunge</strong> waKwela, Mheshimiwa Christowaja Gerson Mtinda,M<strong>bunge</strong> wa Viti Maalimu, Mheshimiwa Waridi BakariJabu, M<strong>bunge</strong> wa Kiembe Samaki, Mheshimiwa Dkt.Hamis Andrea Kigwangalla, M<strong>bunge</strong> wa Nzega,Mheshimiwa Joshua Samuel Nassari, M<strong>bunge</strong> waArumeru Mashariki, Mheshimiwa Juma SelemaniNkamia, M<strong>bunge</strong> wa Kondoa Kusini, Mheshimiwa MoshiSelemani Kakoso, M<strong>bunge</strong> wa Mpanda Vijijini,Mheshimiwa Highness Samson Kiwia, M<strong>bunge</strong> wa540


Ilemela, Mheshimiwa Khatib Said Haji, M<strong>bunge</strong> waKonde, Mheshimiwa Rose Kamili Sukum, M<strong>bunge</strong> waViti Maalum, Mheshimiwa Said Juma Nkumba, M<strong>bunge</strong>wa Sikonge, Mheshimiwa Ezekiel Maige, M<strong>bunge</strong> waMsalala, Mheshimiwa Dkt. Pudenciana WilfredKikwembe, M<strong>bunge</strong> wa Viti Maalum, MheshimiwaAhmed Juma Ngwali, M<strong>bunge</strong> wa Ziwani, MheshimiwaHalima James Mdee, M<strong>bunge</strong> wa Kawe, MheshimiwaIsmail Aden Rage, M<strong>bunge</strong> wa Tabora Mjini,Mheshimiwa Mtutura Abdallah Mtutura, M<strong>bunge</strong> waTunduru Kusini, Mheshimiwa Jerome Dismas Bwanausi,M<strong>bunge</strong> wa Lulindi, Mheshimiwa Felister Bura, M<strong>bunge</strong>wa Viti Maalum, Mheshimiwa Susan Lyimo, M<strong>bunge</strong> waViti Maalum, Mheshimiwa Neema Mgaya Hamid,M<strong>bunge</strong> wa Viti Maalum, Mheshimiwa Fakharia KhamisShomar, M<strong>bunge</strong> wa Viti Maalum, Mheshimiwa EstherMatiko, M<strong>bunge</strong> wa Viti Maalum na Mheshimiwa VickyKamata, M<strong>bunge</strong> wa Viti Maalum. (Makofi)Mheshimiwa Spika, wengine ni Mheshimiwa AbdulJabiri Marombwa, M<strong>bunge</strong> wa Kibiti, MheshimiwaMaida Abdallah, M<strong>bunge</strong> wa Viti Maalum,Mheshimiwa Ritta Kabati, M<strong>bunge</strong> wa Viti Maalum,Mheshimiwa Abdallah Haji Ali, M<strong>bunge</strong> wa Kiwani,Mheshimiwa Yusuph Haji Khamis, M<strong>bunge</strong> wa Nungwi,Mheshimiwa Hussein Nassor Amar, M<strong>bunge</strong> waNyang’hwale, Mheshimiwa Anthony Mbasa, M<strong>bunge</strong>wa Biharamuro Magharibi, Mheshimiwa JenistaMuhagama, M<strong>bunge</strong> wa Peramiho, Mheshimiwa Al–shaymaa John Kwegyir, M<strong>bunge</strong> wa Viti Maalum,Mheshimiwa Said Amour Arfi, M<strong>bunge</strong> wa MpandaMjini, Mheshimiwa Gosbert Begumisa Blandes, M<strong>bunge</strong>wa Karagwe, Mheshimiwa Ali Juma Haji, M<strong>bunge</strong> wa541


Chaani, Mheshimiwa Bahati Ali Abeid, M<strong>bunge</strong> wa VitiMaalum, Mheshimiwa Namelok Edward MoringeSokoine, M<strong>bunge</strong> wa Viti Maalum, MheshimiwaMohamed Missanga, M<strong>bunge</strong> wa Singida Magharibi,Mheshimiwa Haji Khatibu Kai, M<strong>bunge</strong> wa Micheweni,Mheshimiwa Magdalena Sakaya, M<strong>bunge</strong> wa vitiMaalum, Mheshimiwa John Paul Lwanji, M<strong>bunge</strong> waManyoni Magharibi, Mheshimiwa Susan LimbweniAloyce Kiwanga, M<strong>bunge</strong> wa Viti Maalum,Mheshimiwa Joyce Mukya, M<strong>bunge</strong> wa Viti Maalumu,Mheshimiwa Dkt. David Mciwa Mallole, M<strong>bunge</strong> waDodoma Mjini, Mheshimiwa Profesa Juma Kapuya,M<strong>bunge</strong> wa Urambo Magharibi, Mheshimiwa MhongaRuhwanya, M<strong>bunge</strong> wa Viti Maalum, MheshimiwaRukia Kassim Ahmed, M<strong>bunge</strong> wa Viti Maalum,Mheshimiwa Moza Abedi Saidy, M<strong>bunge</strong> wa VitiMaalum, Mheshimiwa Haroub Muhammed Shamis,M<strong>bunge</strong> wa Chonga, Mheshimiwa Lolesia Bukwimba,M<strong>bunge</strong> wa Busanda, Mheshimiwa Abas ZuberiMtemvu, M<strong>bunge</strong> wa Temeke, Mheshimiwa KisyeriWerema Chambiri, M<strong>bunge</strong> wa Babati Mjini naMheshimiwa Yahya Kassim Issa, M<strong>bunge</strong> wa Chwaka.(Makofi)Wengine ni Mheshimiwa Philipa Geofrey Mturano,M<strong>bunge</strong> wa Viti Maalum, Mheshimiwa Salum KhalfanBarwany, M<strong>bunge</strong> wa Lindi Mjini, Mheshimiwa StephenN<strong>go</strong>nyani, M<strong>bunge</strong> wa Korogwe Vijijini, MheshimiwaJitu Vrajlal Soni, M<strong>bunge</strong> wa Babati Vijijini, MheshimiwaGoodluck Joseph Ole-Medeye, M<strong>bunge</strong> wa ArumeruMagharibi, Naibu Waziri Ardhi, Nyumba na Maendeleoya Makazi, Mheshimiwa Profesa Sospeter MwijarubiMuhon<strong>go</strong>, Waziri wa Nishati na Madini, Mheshimiwa542


Engineer Christopher Chiza, M<strong>bunge</strong> wa Buyungu,Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, MheshimiwaSamia Hassan Suluhu, M<strong>bunge</strong> wa Makunduchi, Waziriwa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano,Mheshimiwa Majaliwa Kassim Majaliwa, M<strong>bunge</strong> waRuangwa, Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, TAMISEMIElimu, Mheshimiwa Aggrey Joshua Mwanri, M<strong>bunge</strong> waSiha, Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu, TAMISEMI,Mheshimiwa Hawa Ghasia, M<strong>bunge</strong> wa Mtwara Vijijini,Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, TAMISEMI,Mheshimiwa Dkt. Mary Michael Nagu, M<strong>bunge</strong> waHanang, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezajina uwezeshaji na Mheshimiwa William VangimembeLukuvi, M<strong>bunge</strong> wa Ismani, Waziri wa Nchi, Ofisi yaWaziri Mkuu, Sera, Uratibu na Bunge. (Makofi)Mheshimiwa Spika, waliochangia kwa maandishini Mheshimiwa Mustapha Boay Akunaay, M<strong>bunge</strong> waMbulu, Mheshimiwa Dkt. Kebwe Stephen Kebwe,M<strong>bunge</strong> wa Serengeti, Mheshimiwa Eustace OslerKatagira, M<strong>bunge</strong> wa Kyerwa, Mheshimiwa AbiaMuhama Nyabakari, M<strong>bunge</strong> wa Viti Maalumu,Mheshimiwa Moses Joseph Machali, M<strong>bunge</strong> waKasulu Mjini, Mheshimiwa Abuu Jumaa, M<strong>bunge</strong> waKibaha Vijijini, Mheshimiwa Kabwe Zuberi Zitto, M<strong>bunge</strong>wa Ki<strong>go</strong>ma Kaskazini, Mheshimiwa Leticia MageniNyerere, M<strong>bunge</strong> wa Viti Maalum, Mheshimiwa AmosMakala, M<strong>bunge</strong> wa Mvomero, Mheshimiwa GodfreyZambi, M<strong>bunge</strong> wa Mbozi Mashariki, MheshimiwaElizabeth Nkunda Batenga, M<strong>bunge</strong> wa Viti Maalum,Mheshimiwa Ezekiel Ndahani Chibulunje, M<strong>bunge</strong> waChilonwa, Mheshimiwa Vicent Joseph Nyerere,M<strong>bunge</strong> wa Musoma Mjini, Mheshimiwa Profesa Peter543


Msolla, M<strong>bunge</strong> wa Kilolo, Mheshimiwa Mansoor ShanifHiran, M<strong>bunge</strong> wa Kwimba, Mheshimiwa AminaAbdallah Amour, M<strong>bunge</strong> wa Viti Maalum,Mheshimiwa Salim Hemed Hamis, M<strong>bunge</strong> waChambani, Mheshimiwa Sara Masafiri Ally, M<strong>bunge</strong> waViti Maalum, Mheshimiwa Dkt. Titus Mlengeya Kamani,M<strong>bunge</strong> wa Busega, Mheshimiwa AnnaMaryStella JohnMallac, M<strong>bunge</strong> wa Viti Maalum, Mheshimiwa EngineerGerson Hosea Lwenge, M<strong>bunge</strong> wa NjombeMagharibi, Mheshimiwa Mwanamrisho TaratibuObama, M<strong>bunge</strong> wa Viti Maalum, Mheshimiwa AminaAndrew Clement, M<strong>bunge</strong> wa Koani, MheshimiwaAnne Kilan<strong>go</strong> Malecela, M<strong>bunge</strong> wa Same Magharibi,Mheshimiwa Riziki Omar Juma, M<strong>bunge</strong> wa VitiMaalum, Mheshimiwa Moses Joseph Manchali,M<strong>bunge</strong> wa Kasulu Mjini, Mheshimiwa Silvester MaseleMabumba, M<strong>bunge</strong> wa Dole, Mheshimiwa Moza AbeidSaid, M<strong>bunge</strong> wa Viti Maalum, Mheshimiwa Gre<strong>go</strong>ryGeorge Teu, M<strong>bunge</strong> wa Mpwapwa, MheshimiwaDiana Mkumbo Chilolo, M<strong>bunge</strong> wa Viti Maalum,Mheshimiwa Namelok Edward Moringe Sokoine,M<strong>bunge</strong> wa Viti Maalum, Mheshimiwa Joshua SamwelNassari, M<strong>bunge</strong> wa Arumeru Mashariki, MheshimiwaAbdulkarim Esmail Hassan Shah, M<strong>bunge</strong> wa Mafia naMheshimiwa Said Mohamed Mtanda, M<strong>bunge</strong> waMchinga. (Makofi)Mheshimiwa Spika, wengine ni MheshimiwaGosbert Begumisa Blandes, M<strong>bunge</strong> wa Karagwe,Mheshimiwa Dkt. Anthony Gervas Mbassa, M<strong>bunge</strong> waBiharamuro Magharibi, Mheshimiwa Rosweeter FaustineKasikila, M<strong>bunge</strong> wa Viti Maalum, Mheshimiwa FatumaAbdallah Mikidadi, M<strong>bunge</strong> wa Viti Maalum,544


Mheshimiwa Margraret Simwanza Sitta, M<strong>bunge</strong> wa VitiMaalum, Mheshimiwa Hamad Rashid Hamad, M<strong>bunge</strong>wa Wawi, Mheshimiwa Dkt. Haji Hussein Mponda,M<strong>bunge</strong> wa Ulanga Magharibi, Mheshimiwa JasonSamson Rweikiza, M<strong>bunge</strong> wa Vijijini, MheshimiwaMoshi Seleman Kakoso, M<strong>bunge</strong> wa Mpanda Vijijini,Mheshimiwa Josephat Sinkamba Kandege, M<strong>bunge</strong>wa Kalambo, Mheshimiwa Pauline Philipo Gekul,M<strong>bunge</strong> wa Viti Maalum, Mheshimiwa AssumpterNshunju Mshama, M<strong>bunge</strong> wa Nkenge, MheshimiwaHaroub Muhammed Shamis, M<strong>bunge</strong> wa Chonga,Mheshimiwa Hussein Mussa Mzee, M<strong>bunge</strong> waJang’ombe, Mheshimiwa Mariam Nasor Kisangi,M<strong>bunge</strong> wa Viti Maalum, Mheshimiwa Zarina ShamteMadabida, M<strong>bunge</strong> wa Viti Maalum, MheshimiwaDavid Ernest Silinde, M<strong>bunge</strong> wa Mbozi Magharibi,Mheshimiwa Gaudence Cassian Kayombo, M<strong>bunge</strong>wa Mbinga Mashariki, Mheshimiwa Juma Sururu Juma,M<strong>bunge</strong> wa Bububu, Mheshimiwa Agripina ZaituniBuyogera, M<strong>bunge</strong> wa Kasulu Vijijini, MheshimiwaDavid Mciwa Mallole, M<strong>bunge</strong> wa Dodoma Mjini,Mheshimiwa Profesa Makame Mnyaa Mbarawa,M<strong>bunge</strong> wa Kuteuliwa, Mheshimiwa Mariam ReubenKasembe, M<strong>bunge</strong> wa Masasi, Mheshimiwa Ali KhamisSeif, M<strong>bunge</strong> wa Mkoani, Mheshimiwa ChristineMughwai Lissu, M<strong>bunge</strong> wa Viti Maalum, MheshimiwaAsha Msimba Jecha, M<strong>bunge</strong> wa Viti Maalum,Mheshimiwa Zainab Rashid Kawawa, M<strong>bunge</strong> wa VitiMaalum, Mheshimiwa Ahmed Juma Ngwali, M<strong>bunge</strong>wa Ziwani, Mheshimiwa Esther Nicholas Matiko,M<strong>bunge</strong> wa Viti Maalum, Mheshimiwa Mbarouk SalimAli, M<strong>bunge</strong> wa Wete, Mheshimiwa Juma AbdallahNjwayo, M<strong>bunge</strong> wa Tandahimba, Mheshimiwa Joyce545


John Mukya, M<strong>bunge</strong> wa Viti Maalum, MheshimiwaSalome Daudi Mwambu, M<strong>bunge</strong> wa IrambaMashariki, Mheshimiwa Amina Mohamed Mwidau,M<strong>bunge</strong> wa Viti Maalum, Mheshimiwa DeogratiasAloyce Ntukamazina, M<strong>bunge</strong> wa Ngara, MheshimiwaNassib Suleiman Omar, M<strong>bunge</strong> wa Mfenisini naMheshimiwa Albert Obama Ntabaliba, M<strong>bunge</strong> waManyovu. (Makofi)Wengine ni Mheshimiwa Herbet James Mntangi,M<strong>bunge</strong> wa Muheza, Mheshimiwa Gooddluck JosephOle-Medeye, M<strong>bunge</strong> wa Arumeru Magharibi,Mheshimiwa Maria Ibeshi Hewa, M<strong>bunge</strong> wa VitiMaalum, Mheshimiwa Fakharia Khamis Shomar,M<strong>bunge</strong> wa Viti Maalum, Mheshimiwa Hussein NassorAmar, M<strong>bunge</strong> wa Nyag’hawale, Mheshimiwa HajiKhatib Kai, M<strong>bunge</strong> wa Micheweni, MheshimiwaNimrod Elirehema Mkono, M<strong>bunge</strong> wa Musoma Vijijini,Mheshimiwa Amina Nassoro, M<strong>bunge</strong> wa Viti Maalum,Mheshimiwa Felix Francis Mkosamali, M<strong>bunge</strong> waMuhambwe, Mheshimiwa Yusuph Abdallah Nasir,M<strong>bunge</strong> wa Korogwe Mjini, Mheshimiwa Benedict Ole–Na<strong>go</strong>ro, M<strong>bunge</strong> wa Kiteto, Mheshimiwa InnocentEdward Karogeris, M<strong>bunge</strong> wa Moro<strong>go</strong>ro Kusini,Mheshimiwa Ignas Aloyce Malocha, M<strong>bunge</strong> waKwela, Mheshimiwa Subira Khamis Mgalu, M<strong>bunge</strong> VitiMaalum, Mheshimiwa Rajabu Mbarouk, M<strong>bunge</strong> waOle, Mheshimiwa Nyambari Chacha Nyangwine,M<strong>bunge</strong> wa Tarime, Mheshimiwa Esther Amos Bulaya,M<strong>bunge</strong> wa Viti Maalum, Mheshimiwa SabreenaHamza Sungura, M<strong>bunge</strong> wa Viti Maalum, MheshimiwaMartha Moses Mlata, M<strong>bunge</strong> wa Viti Maalum,546


Mheshimiwa Kheri Khatib Ameir, M<strong>bunge</strong> wa Matemwena Mheshimiwa Waride Bakari Jabu, M<strong>bunge</strong> waKiembe Samaki. (Makofi)Wengine ni Mheshimiwa Dkt. Christina GabrielIshen<strong>go</strong>ma, M<strong>bunge</strong> wa Viti Maalum, MheshimiwaAngellah Jasmine Kairuki, M<strong>bunge</strong> wa Viti Maalum,Mheshimiwa Dkt. Shukuru Jumanne Kwambwa,M<strong>bunge</strong> wa Bagamoyo, Mheshimiwa Ramadhani HajiSaleh, M<strong>bunge</strong> wa Bumbwini, Mheshimiwa Dkt. DalaliPeter Kafumu, M<strong>bunge</strong> wa Igunga, Mheshimiwa RayaIbrahim Khamis, M<strong>bunge</strong> wa Viti Maalum, MheshimiwaVicky Paschal Kamata, M<strong>bunge</strong> wa Viti Maalum,Mheshimiwa Dkt. Augustine Lyatonga Mrema, M<strong>bunge</strong>wa Vunjo, Mheshimiwa Azza Hillal Hamad, M<strong>bunge</strong> waViti Maalum, Mheshimiwa Neema Mgaya Hamid,M<strong>bunge</strong> wa Viti Maalum, Mheshimiwa Omar RashidNundu, M<strong>bunge</strong> wa Tanga Mjini, Mheshimiwa AbdulJabir Marombwa, M<strong>bunge</strong> wa Kibiti, MheshimiwaShaffin Ahmedali Sumar, M<strong>bunge</strong> wa Tabora Kaskazini,Mheshimiwa Dkt. Pudenciana Wilfred Kikwembe,M<strong>bunge</strong> wa Viti Maalum, Mheshimiwa Philemon KiweluNdesamburo, M<strong>bunge</strong> wa Moshi Mjini, MheshimiwaSelemani Said Jafo, M<strong>bunge</strong> wa Kisarawe, MheshimiwaStella Martin Manyanya, M<strong>bunge</strong> wa Viti Maalum,Mheshimiwa Kombo Khamis Kombo, M<strong>bunge</strong> waM<strong>go</strong><strong>go</strong>ni, Mheshimiwa Yusuph Haji Khamis, M<strong>bunge</strong> waNungwi, Mheshimiwa Abdallah Haji Ali, M<strong>bunge</strong> waKiwani, Mheshimiwa Rashid Ali Abdallah, M<strong>bunge</strong> waTumbe, Mheshimiwa Susan Jerome Lyimo, M<strong>bunge</strong> waViti Maalum, Mheshimiwa Ezekiel Maige, M<strong>bunge</strong> waMsalala, Mheshimiwa Engineer Ramo Matala Makani,M<strong>bunge</strong> wa Tunduru Kaskazini, Mheshimiwa Cecilia547


Damian Parreso, M<strong>bunge</strong> wa Viti Maalum, MheshimiwaAgnes Elius Hokororo, M<strong>bunge</strong> wa Viti Maalum,Mheshimiwa Said Ramadhani Bwanamdo<strong>go</strong>, M<strong>bunge</strong>wa Chalinze, Mheshimiwa Rebecca MichaelMn<strong>go</strong>ndo, M<strong>bunge</strong> wa Viti Maalum, MheshimiwaMahmoud Hassan Mgimwa, M<strong>bunge</strong> wa MufindiKaskazini, Mheshimiwa Asha Mohammed Omar,M<strong>bunge</strong> wa Viti Maalum, Mheshimiwa MwanahamisiKassim Said, M<strong>bunge</strong> wa Viti Maalum, MheshimiwaEsther Minza Midimu, M<strong>bunge</strong> wa Viti Maalum,Mheshimiwa Josephine Johnson Genzabuke, M<strong>bunge</strong>wa Viti Maalum, Mheshimiwa Job Yustino Ndugai,M<strong>bunge</strong> wa Kongwa, Mheshimiwa MendradLutengano, M<strong>bunge</strong> wa Mufindi Kusini, MheshimiwaMurtaza Ally Mangungu, M<strong>bunge</strong> wa Kilwa Kaskazini,Mheshimiwa John John Mnyika, M<strong>bunge</strong> wa Ubun<strong>go</strong>na Mheshimiwa Engineer Athuman RashidMfutakamba, M<strong>bunge</strong> wa Igalula. (Makofi)Mheshimiwa Profesa Juma Athuman Kapuya,M<strong>bunge</strong> wa Urambo Magharibi, Mheshimiwa JamesFrancis Mbatia, M<strong>bunge</strong> wa Kuteuliwa, MheshimiwaDunstan Daniel Mkapa, M<strong>bunge</strong> wa Nanyumbu,Mheshimiwa Luhaga Joelson Mpina, M<strong>bunge</strong> waKisesa, Mheshimiwa Ummy Ally Mwalimu, M<strong>bunge</strong> waViti Maalum, Mheshimiwa Yusuph Nassir Abdallah,M<strong>bunge</strong> wa Korogwe Mjini, Mheshimiwa DeusderiusJohn Mipata, M<strong>bunge</strong> wa Nkasi Kusini, MheshimiwaLolesia Jeremia Bukwimba, M<strong>bunge</strong> wa Busanda,Mheshimiwa Susan L. Kiwanga, M<strong>bunge</strong> wa VitiMaalum na Mheshimiwa Profesa Kulikoyela K. Kahigi,M<strong>bunge</strong> wa Bukombe, Mheshimiwa Salum K. Barwany,M<strong>bunge</strong> wa Lindi Mjini, Mheshimiwa Lucy T. Mayenga,548


M<strong>bunge</strong> wa Viti Maalum, Mheshimiwa Abdulsalaam S.Amer, M<strong>bunge</strong> wa Mikumi, Mheshimiwa Rose K. Sukum,M<strong>bunge</strong> wa Viti Maalum, Mheshimiwa Moza AbediSaidy, M<strong>bunge</strong> wa Viti Maalum, Mheshimiwa AbdallahSheria Ameir, M<strong>bunge</strong> wa Dimani, Mheshimwia SaidMussa Zuberi, M<strong>bunge</strong> wa Fuoni na Mheshimiwa Dkt.Cyril A. Chami, M<strong>bunge</strong> wa Moshi Vijijini. (Makofi)Mheshimiwa Spika, inawezekana kabisa majinayamechanganywa sana lakini mtatuwia radhi, kunamaneno mengine tumeyachanganya kido<strong>go</strong>. Kunamoja hapa amenisahihisha anasema umekoseakunitaja jina siyo Amina Amour ni Amina MohamedMwidau, nakubali.Mheshimiwa Spika, baada ya kuwa nimetajamajina, naomba sasa nitoe tu shukrani za jumla kwaWaheshimiwa Wa<strong>bunge</strong>. Idadi ya wachangiaji nikubwa, hii inaonesha dhahiri jinsi ambavyo Wa<strong>bunge</strong>mnavyoweka umuhimu katika majukumuyanayotekelezwa na Ofisi ya Waziri Mkuu na taasisizilizo chini yake. Kwenu ninyi wote, nasema ahsantenisana. Michan<strong>go</strong> na hoja, ni nyingi, Mawaziri naManaibu Mawaziri wamejaribu kujibu baadhi lakinibado zimebaki nyingi hoja ambazo hatutaweza kuzijibukutokana na muda. Napenda kuwaaidini kwambatutajitahidi kuziandika zote na kuziwasilisha kwenu ilimuweze kuona majibu yetu ni nini.Mheshimiwa Spika, naomba nitumie fursa hiikuwashukuru Wa<strong>bunge</strong> wote kwa jinsi mlivyochambuakwa kina utekelezaji wa shughuli za Serikali. Hii ni dalilikwamba Bunge hili lina Wa<strong>bunge</strong> wanaojali549


maendeleo ya wananchi na nchi yetu kwa ujumla.Niwashukuru wote walioonesha mafanikio ambayotayari yamepatikana katika utekelezaji wa shughuli namiradi mbalimbali ya Serikali. Vilevile niwashukuru walewote mlioonesha miradi na shughuli ambazo Serikalihaijatekeleza kwa ufanisi uliotarajiwa. Kwangu mimi,michan<strong>go</strong> yote itatusaidia sana katika kufanya vizurizaidi kukabiliana na changamoto zinazowakabiliwananchi. Aidha, michan<strong>go</strong> hii mizuri, imetusaidia sanakufahamu kwa kina mambo mengi ambayo wananchiwetu wanategemea kutoka kwa Serikali yao. Natakaniwaahidi wote waliotupongeza kwa kazi nzurituliyoifanya. Hata hivyo, hatutabweteka na pongezihizo bali zitakuwa chachu ya kutuwezesha kufanyavizuri zaidi. Kwa zile changamoto zilizotolewa,ninawahakikishia tumezisikia na tutazifanyia kazi.Ninachokiomba, ni ushirikiano wenu, nasi tutafanyatuwezalo katika kutekeleza yote ambayo mmetushauri.Mheshimiwa Spika, kwa mujibu wa Kanuni zaKudumu za Bunge, Kanuni ya 99(9) inayohusu kujadilibajeti za Wizara, nichukue nafasi hii sasa kujibu nakufafanua baadhi ya hoja zilizotolewa na Wa<strong>bunge</strong>.Mheshimiwa Spika, eneo la kwanza ambalonataka kulitolea ufafanuzi ni suala linalohusiana nafedha za Rada. Eneo hili limechangiwa na Wa<strong>bunge</strong>wengi kwa hisia tofauti lakini kwa nia njema sana.Baadhi ya wale waliochangia ni pamoja naMheshimiwa David Ernest Silinde, M<strong>bunge</strong> wa MboziMagharibi, Mheshimiwa Martha Mosses Mlata,M<strong>bunge</strong> wa Viti Maalum, Mheshimiwa Michael LekuleLaiser, M<strong>bunge</strong> wa Longido, Mheshimiwa Ally Keissy550


Mohamed, M<strong>bunge</strong> wa Nkasi Kaskazini, MheshimiwaMohamed Habib Juma Mnyaa, M<strong>bunge</strong> waMkanyageni, Mheshimiwa Lediana Mafuru Mn’<strong>go</strong>ng’o,M<strong>bunge</strong> wa Viti Maalum, Mheshimiwa Joshua SamweliNassari, M<strong>bunge</strong> wa Arumeru Mashariki, MheshimiwaPindi H. Chana, M<strong>bunge</strong> wa Viti Maalum, MheshimiwaPauline P. Gekul, M<strong>bunge</strong> wa Viti Maalum na wengineambao pengine sikuweza kuwakumbukaharakaharaka.Msheshimiwa Spika, kwa mujibu wa Hati yaMakubaliano (Memorandum of Understanding) kati yaSerikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,ikiwakilishwa na Wizara ya Fedha na Serikali yaUingereza, Ikiwakilishwa na DFID, BAE Systems na SFO)iliyosainiwa mwezi Machi, 2012 kuhusu matumizi yafedha za fidia ya Rada. Sehemu ya II, Kifungu Na.10cha makubaliano hayo, matumizi ya fedha hizoyanalenga kuimarisha uendeshaji wa Elimu ya Msingiambapo asilimia 75 ya fedha zitatumika kununuaVitabu vya Kiada, Vion<strong>go</strong>zi vya Walimu, mihtasari namion<strong>go</strong>zo ya mihtasari, aidha, asilimia 25 itatumikakununua madawati. Hayo ndiyo makubalianoyaliyofikiwa rasmi na kuwekwa saini na pande zotembili.Mheshimiwa Spika, msingi wa makubaliano yakununua vitabu ni kwamba, kwa sasa kitabu kimojahutumiwa na wanafunzi wasiopungua kumi kwawastani. Uwiano huu ni mbaya kwa kuwa mwanafunzihapati fursa ya kutumia vitabu katika maisha yake yashule. Walimu pia hawana mihtasari na vitabuvinavyowaon<strong>go</strong>za kufundisha. Matokeo ya hali hii ni551


kwamba wanafunzi wengi huhitimu Elimu ya Msingi bilakupata kwa ukamilifu stadi za Kusoma, Kuandika naKuhesabu na hivyo kutofanya vizuri kwenye mitihaniyao ya Darasa la Nne na Saba. Iwapo fedha hizizitatumika kununua vitabu, tutakuwa na uhakika wakuwa na uwiano mzuri wa vitabu hasa kwa masomo yamsingi (core subjects) yaani Hisabati, Kiswahili, Sayansi,Kiingereza na Jiografia. Kitabu kimoja, kama tutatumiafedha hii kama nilivyoeleza, kitatumiwa na wanafunziwawili hadi watatu badala ya watoto kumi. Shulezitaelekezwa kuwagawia wanafunzi vitabu hivyowakati wakiwa shuleni na nyumbani, Walimu piawatakuwa na uhakika wa kupata muhtasari, mion<strong>go</strong>zoya masomo na Vion<strong>go</strong>zi vya Mwalimu kwa masomoyote.Mheshimiwa Spika, Vitabu hivyo vitanunuliwakutoka makampuni kumi na tatu (13) ya wachapishajiambapo vitabu vyao viliteuliwa kuwa Vitabu Teule vyaKiada ambavyo ni viwili kwa kila soma. Makampunihayo ni Ben Company, Best Deal Publisher, E & D Vision,Education Books Publisher, Jadida, LongHorn,Longman, Macmillan, Mkuki na Nyota, Mture, Oxford,Tanzania Institute of Education (TIE) na Ujuzi Book.Mheshimiwa Spika, kati ya makampuni hayo, nimakampuni mawili (2) tu ambayo ni ya nje lakiniwanayo matawi hapa Tanzania. Makampuni mengineyanayobaki wamiliki wake ni Watanzania wazawa wahapa nchini.552


Mheshimiwa Spika, eneo la pili lililopangwakutumia fedha hizi ni madawati. Kadhalika, eneo hilililizingatiwa kutokana na upungufu mkubwa wamadawati Kitaifa. Takwimu zilizopo zinaoneshakwamba, karibu nusu ya wanafunzi ambao ni milioninane (8,000,000) hawana sehemu nzuri za kukalia. Hiiina maana kwamba, kuna upungufu wa madawatitakribani 1,500,000 – 2,000,000. Athari za ukosefu wamadawati ni pamoja na zifuatazo:-(i) Wanafunzi kushindwa kumudu stadi zakuandika;(ii) Wanafunzi kuchafuka kutokana na kukaachini kwenye madarasa yenye vumbi;(iii) Wanafunzi kupata athari za kisaikolojiakutokana na kukaa chini huku baadhi yao wakiwa namadawati; na(iv) Umri wa kitabu (book life span) hupunguakutoka wastani wa miaka 3-5 hadi chini ya miaka miwili(2) kutokana na kukosa eneo la kuhifadhia vitabu hivyona kuviweka katika sakafu zenye vumbi au madarasayasiyo na sakafu kabisa.Mheshimiwa Spika, iwapo madawati yatapatikanakwa bei nzuri, kiasi cha shilingi bilioni 18.1 zitawezakutupatia madawati yasiyopungua laki nne (400,000)ikiwa tutaweza kupata dawati moja kwa shilingi50,000/-. Hata hivyo, madawati imara bei yakehaipungui shilingi 100,000/- kwa dawati moja. Kwamadawati laki nne (400,000), tutaweza kuwa na553


watoto 1,200,000 watakaonufaika na ununuzi wamadawati.Mheshimiwa Spika, Serikali imetafakari kuhusukutumia fedha zilizopatikana kujenga nyumba zaWalimu. Uchambuzi unaonesha kuwa, kwa wastani washilingi 12,000,000 kama gharama ya nyumba moja,fedha hizo zinaweza kutupatia nyumba 6,000. Kwaidadi ya Shule za Msingi 16,000 zilizopo, hata kamatutaamua kujenga nyumba moja kwa shule moja,bado tutakuwa na shule 9,000 ambazo zitakosa mgaowa nyumba hiyo moja. Aidha, umuhimu wa nyumbautawafikia Walimu wachache tofauti na vitabu namadawati ambapo wanafunzi wote na Walimu wotewatapata vitabu ambavyo vitarahisisha kazi yakujifunza na kufundisha. Madawati pia yatawafikiawanafunzi wengi. Hivyo, bado kama Serikali tunaonakuwa ni bora fedha hizo zielekezwe kwenye vitabu namadawati. Aidha, Serikali itaendelea kutekeleza miradiya ujenzi wa nyumba za Walimu, madarasa, vyoo namaabara kupitia programu za Kitaifa na Mamlaka zaSerikali za Mitaa zinazoendelea kupitia “LocalGovernment Capital Development Grant”, MMEM,MMES na juhudi za wananchi.Mheshimiwa Spika, kupanga ni kuchagua. Serikaliimechagua kiasi cha fedha hizi kituwezeshe kupatavitabu kwa masomo ya msingi kwa watoto wote nahivyo kutupunguzia kwa kiasi kikubwa tatizo la uhabawa vitabu kwa wanafunzi. Kiasi kinachobaki chaasilimia 25 kisaidie kupunguza tatizo la madawati.Lakini tunaweza vilevile tukaamua kuzitumia fedha hizindo<strong>go</strong> kwa ajili ya ujenzi wa nyumba chache za554


Walimu na madawati kido<strong>go</strong> lakini wakati huohuowatoto wakaendelea kutumia vitabu vikiwemo vyamasomo ya msingi kwa uwiano wa kitabu kimoja kwawanafunzi takriban kumi. Serikali inaona kuwa uamuziwake wa kununua vitabu na madawati ili kupunguzaupungufu wa vitabu na madawati bado ni uamuzimzuri. (Makofi)Mheshimiwa Spika, kuhusu fedha hizi kutumikaTanzania Bara kunatokana na ukweli kwamba ununuziwa Rada ulifanywa na Sekta ya Mawasiliano chini yaWizara ya Miundombinu ambayo siyo ya Muungano;na sio Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifaambayo ni mion<strong>go</strong>ni mwa Wizara za Muungano. Kwahiyo, kutokana na maelezo hayo, ndiyo maana fedhahizi zilikuwa zaidi zimelenga kutolewa kwa ajili yakuhudumia madawati pamoja na vitabu upande waBara.Mheshimiwa Spika, eneo la pili ni Mahakama yaKadhi nchini. Wa<strong>bunge</strong> waliochangia hapa ni pamojana Mheshimiwa Hamad Rashid Mohamed, M<strong>bunge</strong> waWawi, Mheshimiwa Rashid Ali Abdallah, M<strong>bunge</strong> waTumbe, Mheshimiwa Ahmed Juma Ngwali, M<strong>bunge</strong>wa Ziwani pamoja na Mheshimiwa Hussein NassorAmar, M<strong>bunge</strong> wa Nyang’hwale.Mheshimiwa Spika, suala la kuanzishwa aukurejeshwa Mahakama ya Kadhi lipo katika hatua nzuriya utekelezaji wake. Kamati Ndo<strong>go</strong> iliyoteuliwa naWaziri wa Katiba na Sheria yenye Wajumbe Wawakilishiwa Waumini wa Dini ya Kiislamu na Serikali imeshatoaTaarifa yake ya Kwanza na kutoa ushauri wa namna ya555


kuanzishwa Mahakama au kurejesha Mahakama yaKadhi nchini.Mheshimiwa Spika, hoja zilizoafikiwa na pandezote mbili ni pamoja na Uanzishwaji au urejeshaji waMahakama ya Kadhi chini ya Sheria ya Islamic Law(Reinstatement) Act, Cap 375 kama ilivyokuwaimerejewa mwaka 2002. Hoja nyingine ni ile inayohusumasuala saba yatakayoshughulikiwa na Mahakama yaKadhi ambayo ni Ndoa na Talaka, Mirathi, Wosia,Hiba/Zawadi/Tunu, Wakfu; Malezi ya Watoto naUsuluhishi wa Mi<strong>go</strong><strong>go</strong>ro ya Kiislamu. Vilevile ni kuwaMahakama hiyo haitahusika na Mashauri ya Jinai.Mheshimiwa Spika, katika Kikao cha mwisho chapamoja kati ya Serikali na ujumbe wa Wawakilishi waWaumini wa Dini ya Kiislamu kilichofanyika mweziMachi mwaka huu, Wajumbe waliafikiana kuwa upoumuhimu na dhamira ya kweli ya kuanzisha aukurejesha Mahakama ya Kadhi Tanzania Bara. Hivyo, ilikuwezesha suala hili liende kwa haraka, kwa kuanzia, nivyema zikaanzishwa Mahakama za Kadhi katikabaadhi ya maeneo machache nchini. Len<strong>go</strong> nikuwezesha umma kulielewa vizuri suala hili kinyume nahisia potofu zilizopo sasa zikihusisha Mahakama yaKadhi na Sharia (inayohusisha masuala ya jinai) chini yaDini ya Kiislamu.Mheshimiwa Spika, katika kikao hicho cha mwishocha Kamati Kuu inayosimamia suala hili, iliamuliwa napande zote mbili (Waislamu na Serikali) kuwa baadhiya Wajumbe kutoka upande Waislamu na Serikaliwakafanye ziara ya mafunzo katika nchi za India,556


Uingereza, Kenya na baadaye Zanzibar ili wakajifunzenamna ya kuratibu na kuendesha Mahakama za Kadhikatika nchi hizo ambazo zina Mahakama za Kadhi kwamuda mrefu. Len<strong>go</strong> ni kupata uzoefu na kujua njiabora ya kutuwezesha kuanzisha au kurejeshaMahakama hiyo nchini. Ziara hiyo inatarajiwa kufanyikahivi karibuni na kugharamiwa na Serikali.Mheshimiwa Spika, napenda kulijulisha Bunge lakoTukufu kwamba, Kamati Kuu inayojumuisha Vion<strong>go</strong>ziwa Waumini wa Dini ya Kiislamu na Serikali chini yaUenyekiti wangu, kimsingi imekubaliana kwa kauli mojauanzishwaji au urejeshwaji wa Mahakama hiyo nchiniitakayokuwa nje ya mfumo wa Serikali. Aidha,Mahakama hiyo itagharamiwa na kuendeshwa naWaumini wa Dini ya Kiislamu wenyewe. Serikali kwaupande wake hususan katika hatua hizi za awali zakuanzishwa kwa Mahakama hii, itaendelea kushirikianana Vion<strong>go</strong>zi wa dhehebu hili kwa karibu sana ilikuhakikisha kuwa azma hii inafanikiwa. (Makofi)Mheshimiwa Spika, nia ya Serikali ni njema nathabiti katika suala hili. Serikali itaendelea kushirikianana Waumini wa Dini ya Kiislam na Vion<strong>go</strong>zi wake hadilen<strong>go</strong> litakapokuwa limefikia tamati. Naomba kutoawito kwa Jumuiya ya Waumini wa Dini ya Kiislamunchini pamoja na wadau wengine kuvuta subira juu yasuala hili wakati Serikali na Vion<strong>go</strong>zi wa Dini ya Kiislamwakiendelea kulikamilisha kama ilivyopangwa.Mheshimiwa Spika, eneo la tatu ni eneo linalohusuzana za kilimo. Eneo hili limechangiwa na Wa<strong>bunge</strong>wengi vile vile, Mheshimiwa Pindi Hazara Chana,557


M<strong>bunge</strong> wa Viti Maalum, Mheshimiwa Godfrey WestonZambi, M<strong>bunge</strong> wa Mbozi Mashariki, Mheshimiwa ClaraDiana Mwatuka, M<strong>bunge</strong> wa Viti Maalum, MheshimiwaJitu Vrajlal Soni, M<strong>bunge</strong> wa Babati Vijijini na wengineambao pengine sikuwatajaMheshimiwa Spika, kama nilivyoeleza katikahotuba yangu ya Bajeti ya mwaka 2012/2013, ukurasawa 23, Ibara ya 37, Serikali imejitahidi kupunguza bei zamatrekta ya SUMA JKT ili kuwawezesha wakulima wengikupata matrekta. Kwa mfano, baadhi ya bei zamatrekta hayo ni hizi zifuatazo; Farmtrac 60(50 HP;2wd) Tractor 16,480,952.00, Farmtrac 60DT(50 HP; 4wd)Tractor 23,267,522.00; Farmtrac 70 (60 HP; 2wd) Tractor,24,212,000.00; Farmtrac 70DT(60 HP; 4wd) Tractor,30,489,632.00; New Holland 75 HP; 2wd Tractor31,030,487.00; New Holland 75 HP; 4wd Tractor38,784,527.00; 12 Disc Mounted Harrow3,901,185.00;5Ton Non Tipping Trailer 7,705,417.00; Power Tillers withaccessories (set) 8,440,000.00, Rotavator with 30 Blades6,421,467.00; Planter 5,171,186.00; Seed Drill 4,035,161.00na Irrigation Water Pump, 5,747,782.00.Mheshimiwa Spika, orodha yote hii tutaiandaa nakuisambaza kwa Wa<strong>bunge</strong> wote ili waweze kupataundani wa bei kwa kila eneo linalohusika kama ni4Wheel Drive ama 2Wheel Drive.Mheshimiwa Spika, katika kikao cha Wakuu waMikoa, Makatibu Tawala wa Mikoa, Wakuu wa Wilayakilichofanyika Dodoma mwezi Mei 2012, vion<strong>go</strong>zi haowalitakiwa kuhamasisha ununuzi wa matrekta. Kufuatiajuhudi hizo za kujitangaza kupitia vipindi maalum kama558


ilivyoagiza Waziri Mkuu, matunda ya kazi hiyo sasayameanza kuonekana.Mheshimiwa Spika, Mkoa wa Ruvuma sasaumenunua matrekta 50 na tayari baadhi ya matrekahayo yako Mjini Songea na nimekubali kwendakuwakabidhi baadhi ya wakulima watakaokuwawameamua kukopa matrekta hayo ndani ya wiki mojaijayo. Mkoa wa Tabora wao wameagiza matrekta 25na tayari 15 yameshafika na wananchi wameanzakununua hayo matrekta. Mkoa wa Moro<strong>go</strong>ro naoumenunua matrekta 25. Watendaji Wakuu Mkoani naWilaya zake zote wameamua kuchukua matrekta 20na uhamasishaji kupitia TCCIA Kilombero wanaombaidadi ya matrekta 15. Mkoa wa Shinyanga kupitiaShinyanga Foundation Fund, wao wameamua kabisakuanzisha kituo kikubwa pale ambacho kitakuwa namatrekta mengi. SUMA JKT wameeleza kuwawamepokea maombi mengi kutoka Mikoa mingine,ikiwemo Ki<strong>go</strong>ma, Tanga na kadhalika.Mheshimiwa Spika, napenda kutumia fursa hiikuwapongeza sana Wakuu wa Mikoa hiyowaliohamasisha na kuanza kutoa msukumo wa ununuziwa Matrekta ya SUMA JKT. Kipekee kabisanawapongeza:-Mheshimiwa Said Thabiti Mwambungu, Mkuu waMkoa wa Ruvuma; Mheshimiwa Fatma A. Mwasa,Mkuu wa Mkoa wa Tabora; Mheshimiwa Joel Bendera,Mkuu wa Mkoa wa Moro<strong>go</strong>ro na Mheshimiwa AliNassoro Rufunga, Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga.(Makofi)559


Vilevile, napenda kuwapongeza Wakuu waWilaya wote wanaoendelea kuhamasisha ununuzi wamatrekta kupitia Programu mbalimbali katika maeneoyao.Mheshimiwa Spika, bei hizi ni za Kituo cha Dar esSalaam. Bei za Mikoani ni dhahiri kwambazitaongezeka kido<strong>go</strong> kulingana gharama za usafirishajikutoka katika Vituo hivyo. Hata hivyo, badoikilinganishwa na matrekta mengi itakuwa bado ni chinina yenye nafuu zaidi. Ili kupata picha kamili kamanilivyosema na namna tulivyopunguza gharama zotehizi basi mchanganuo kamili wa kila kitu tutautoa nakuugawa..Vilevile, Serikali imeamua kusogeza muda waurejeshaji wa mikopo ya ununuzi wa matrekta hayokutoka miaka miwili (2) hadi miaka minne (4) nawatapewa Grace Period ya miezi sita kabla hujaanzakulipa. (Makofi)Pamoja na hatua hiyo, yapo matrekta mengineyanayonunuliwa na Halmashauri kupitia Programu zaASDP, DADPs na DASIP ambao yanakwenda kwaVikundi vya Wakulima na wala siyo kwa mkulimammoja mmoja, Aidha, yale yanayokopeshwa kwawakulima mmoja mmoja au Vikundi vya Wakulimahuwa vinadhaminiwa na Vikundi vyao vya SACCOs auSCULLT. (Makofi)Vilevile, upo Mfuko wa Pembejeo ambao tangukuanzishwa kwake umetoa mikopo kwa wakulima560


Vijijini kupitia SACCOS 341 yenye thamani ya ShilingiBilioni 6.7. Mikopo inayotolewa ni pembejeo za kilimona mifu<strong>go</strong>, zana za kilimo ikiwa ni pamoja na matrektamakubwa na matrekta mado<strong>go</strong> (Power Tillers).Mheshimiwa Spika, katika juhudi hizi hizi Serikali piasasa imekubali kupunguza sana kiwan<strong>go</strong> chadhamana kulingana kama ni mtu binafsi au niHalmashauri zetu za Wilaya. Kwa hiyo, kwa upande waHalmashauri dhamana ile itakuwa asilimia kumi tuambayo itahitajika badala ya kiwan<strong>go</strong> kilichokuwepomwanzoni cha karibu asilimia 50. (Makofi)Mheshimiwa Spika, eneo lingine linalohusiana nasuala la kilimo ni suala zima la umwagiliaji. Eneo hililimechangiwa na Mheshimiwa Freeman Aikael Mbowe,Mheshimiwa Riziki Lulida, Mheshimiwa Sylivester MasseleMabumba, ndugu yangu Mheshimiwa MchungajiLuckson Ndaga Mwanjale na Mheshimiwa Daktari HajiHussein Mponda.Mheshimiwa Spika, Serikali kwa kupitia Programuya Kuendeleza Sekta ya Kilimo yaani ASDP, inamipan<strong>go</strong> mahsusi ya kuendeleza wakulima wado<strong>go</strong>ambapo wananchi wenyewe hushiriki katika kupangamipan<strong>go</strong> ya maendeleo katika kilimo kwa maeneowanayoona ni ya kipaumbele kwao. Kila Halmashaurihushirikisha wakulima wake katika mipan<strong>go</strong> nakutekeleza Mipan<strong>go</strong> ya Maendeleo ya Kilimo kupitiaDADPS.Mheshimiwa Spika, hivyo naomba kuziagizaHalmashauri zote za Wilaya kuhakikisha kwamba,561


wanahamasisha watu wao vizuri ili waweze kujuakwamba fursa hii iko pale kwa ajili yao wakulimawado<strong>go</strong>, waitumie ili waweze kuingia katika kilimo chaumwagiliaji katika maeneo yote yenye fursa zaumwagiliaji.Mheshimiwa Spika, kuna dhana imejengeka kuwaSAGCOT ni mpan<strong>go</strong> wa kuwanufaisha wakulimawakubwa hasa wawekezaji wa Kimataifa na wale wakati na si kwa wakulima wado<strong>go</strong>. Len<strong>go</strong> kubwa laSAGCOT ni kusaidia wakulima wado<strong>go</strong> kwa kutumiambinu za kushirikisha wakulima wakubwa na wa kati.Mathalani katika eneo la hekta laki moja linalofaa kwakilimo cha mpunga na linalokaliwa na wakulimawado<strong>go</strong> kama litapatikana eneo la hekta elfu tanompaka kumi, basi atatafutwa mkulima mkubwaambaye atawekeza katika eneo hilo ambalo ni asilimiatano mpaka kumi ya eneo lote. Teknolojia na hudumaza ugani atakazotumia mkulima mkubwa zitatumiwana wakulima wado<strong>go</strong> chini ya Mfumo wa “BlockFarming”.Mheshimiwa Spika, hii itaweza kusaidia sana katikakukuza na kuendeleza kilimo. Inategemewa kuwamkulima mkubwa atajenga Kiwanda cha KusindikaMazao yake na ya wakulima wado<strong>go</strong> ili kuongezathamani. Pia atakuwa ni Soko la Wakulima la uhakikaambako ataweza kuuzia mahindi au mpunga aumazao mengine yoyote. Mfano mzuri ni ule ambaotumeuona pale Moro<strong>go</strong>ro. Kwa hiyo, eneo hili kwakweli nia yake ni njema na naomba WaheshimiwaWa<strong>bunge</strong> tusaidiane kujaribu kueleza kwa wananchiwetu.562


Mheshimiwa Spika, kwa kufanya hivi mkulimamdo<strong>go</strong> ataweza kulima kwa kutumia zana za kisasa nakuongeza uzalishaji na tija. Mfano ni Mwekezaji waKilombero Plantation (KPL) ambapo kabla ya uwekezajiwakulima walikuwa wanazalisha tani 1.2 kwa hekta,lakini baada ya uwekezaji wakulima wado<strong>go</strong> sasawanazalisha hadi tani nane kwa hekta. Hivyo Miradikama SAGCOT itawainua sana wakulima wado<strong>go</strong>ikitekelezwa kama ilivyopangwa.Mheshimiwa Spika, eneo lingine ni hili linalohusuuuzaji wa mazao ya chakula nje ya nchi. Eneo hiliMheshimiwa Godfrey Zambi, Mheshimiwa HamadRashid Mohamed, wametoa ushauri na mapendekezokadhaa katika eneo hili.Mheshimiwa Spika, Serikali haina Sera ya kuzuiamauzo ya chakula nje ya Nchi. Hata hivyo,kunapokuwa na uhaba wa chakula unaotishiausalama wa chakula nchini, Serikali hulazimika kuwekazuio la muda ili kuhakikisha wananchi wake hawakosichakula. Zuio hilo halihusu mazao ya aina nyingine zotekwa mfano, matunda, mboga na mazao menginembali ya nafaka. Zuio hili mara nyingi limekuwa zaidilinagusa zao la mahindi. Aidha, kwa sasa Serikaliinaweka mkazo zaidi katika mikakati inayolengakuzalisha chakula kwa wingi kama suluhisho la kudumuili Tanzania iwe muuzaji mkubwa wa vyakula kwa nchijirani na kuinua uchumi wa nchi na kuwanufaishawakulima wetu.563


Mheshimiwa Spika, Serikali inajitahidi kupunguzakiasi cha hifadhi ya chakula nchini ili kuweza kusaidiawakati na katika maeneo yatakayokumbwa na njaa.Wakulima wanahimizwa kuhifadhi chakula cha kutoshakwa matumizi ya angalau mwaka mzima. Aidha, kwasasa tunao mpan<strong>go</strong> wa kujenga Masoko ya Kimataifamipakani ili Tanzania iweze kuuza mazao mbalimbalikwa nchi jirani kama vile nafaka. Mfano, wa Masokohayo ni Soko pale Himo kwa Mzee Mrema ambapomajaribio ya uuzaji mahindi nje ya nchi yameanzakufanyika. Kwa hiyo, tutaendeleza juhudi hizo kwa nianjema ya kuhakikisha kwamba tunafaidika nautaratibu huo. (Makofi)Mheshimiwa Spika, eneo lingine ambalolimechangiwa na Wa<strong>bunge</strong> ni lile linalohusu ununuziwa mazao ya korosho. Kuhusu zao la koroshochangamoto iliyopo kwa sasa ni kuhusu kuongezathamani ya korosho kwa kuhakikisha kwamba koroshoyetu inabanguliwa kabla ya kuuzwa. Kwa kuwa Serikalihaijihusishi moja kwa moja na uendeshaji wa viwandana kwa kuwa Mikataba ya ubinafsishaji wa Viwandavya Korosho ni ya kisheria, Serikali itaendelea najitihada zake za kuwapata wawekezaji mahiri ambaowatatekeleza wajibu wao inavyotakiwa. Aidha, paleitakapodhihirika kisheria kuwa mwekezaji ameshindwakuendeleza Kiwanda alichokabidhiwa kwa mujibu waMkataba wa Mauzo, sheria itachukua mkondo wake.Mheshimiwa Spika, hivi sasa Serikali inafanyamazungumzo na Wawekezaji Binafsi kutoka nje nandani ya nchi kwa len<strong>go</strong> la kuwahimiza kuwekezakatika ubanguaji wa korosho hapa nchini. Serikali564


inawahimiza wakulima kutumia utaratibu wastakabadhi ya mazao ghalani ili kuwa na uhakika wasoko na bei. Serikali pia inawahimiza wakulima kuwakatika ushirika ambao una nafasi nzuri ya kutafutamasoko na kupata bei nzuri. (Makofi)Mheshimiwa Spika, eneo lingine ambalo nilitakanilizungumzie kido<strong>go</strong>, ni hili linalohusu pamba. Eneo hilikwa kweli lilichangiwa na Wa<strong>bunge</strong> kadhaa na wotewamelizungumza kwa hisia kubwa kwa sababu nijambo linatugusa wote kwa namna moja au nyingine.Maeneo nitakayoyatoa hapa ni kusaidia tu kuoneshajuhudi za Serikali katika kujaribu kupata ufumbuzi watatizo la bei ya pamba.Mheshimiwa Spika, tarehe 26 Juni, 2012 Wizara yaKilimo, Chakula na Ushirika iliitisha Kikao cha Wadau waZao la Pamba ili kujadili Bei Dira ya Pamba kwa msimuwa ununuzi wa mwaka 2012/2013. Len<strong>go</strong> la Serikali nikukamilisha zoezi hili mapema ili kuruhusu kufunguliwakwa msimu wa pamba. Kikao hicho kilihudhuriwa nawadau wafuatao:-(i)(ii)(TCA);]Chama cha Wakulima wa Pamba (TACOGA);Chama cha Wafanyabiashara wa Pamba(iii) Mfuko wa Kuendeleza Zao la Pamba;(iv) Bodi ya Pamba;(v) Ofisi ya Waziri Mkuu;565


(vi) Wizara ya Viwanda na Biashara; na(vii) Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika.Katika Kikao hicho, Wajumbe walijadili nakukubaliana kuzingatia vigezo vya Mkokotoo kamaifuatavyo:-(i) Bei ya pamba nyuzi ikiwa kiwandani, kwakutumia New York Futures badala ya A Index;(ii)Kiwan<strong>go</strong> cha kubadilishia fedha;(iii) Bei ya kuuzia mbegu;(iv) Faida ya Wachambuaji;(v) Gharama ya Ununuzi wa Pamba Mbegu;(vi) Gharama za Usafirishaji;(vii) Riba ya Mkopo wa Benki;(viii) Mchan<strong>go</strong> wa wakulima kwenye Mfuko waWakfu (CDTF); na(ix) Ushuru wa Halmashauri.Mheshimiwa Spika, Maazimio ya Kikao hicho,katika azimio la kwanza Kikao kiliazimia kwamba:-566


(i) Bei ya Pamba Nyuzi ikiwa Kiwandani, kwakutumia New York Futures iwe senti 63 za Kimarekanikwa Ratili kwa Dola;kilo;(ii) Bei ya kuuzia mbegu iwe ni Shilingi 300 kwa(iii) Faida ya Wachambuaji iwe Asilimia saba;(iv) Gharama ya ununuzi wa Pamba Mbegu vituoiwe Shilingi 30 kwa kilo;(v) Gharama ya usafirishaji wa Pamba Mbegukwenda Kiwandani iwe Shilingi 40 kwa kilo;(vi) Riba ya Mkopo wa Benki iwe Shilingi sita kwakilo ya Pamba Mbegu;(vii) Mchan<strong>go</strong> wa wakulima kwenye CDTF uweShilingi 20 kwa kilo ya Pamba Mbegu; na(viii) Ushuru wa Halmashuri upungue kutokaasilimia tano hadi asilimia mbili ya bei ya PambaMbegu.Mheshimiwa Spika, Azimio la pili, Kamati iliazimiaBei Dira kwa kilo ya Pamba Mbegu kwa mkulima bei yaMkulima itatangazwa na Mamlaka husika kabla yamsimu wa pamba kuanza kwa kuzingatia vigezombalimbali tarehe itakapokuwa imesogea yakutangaza bei dira kwa ajili ya zao hilo.Mheshimiwa Spika, kubwa hapa ni kwamba hawawadau wote wanaombwa (ku-scarifies) kutoa kwa567


maana ya kujinyima katika maeneo mbalimbali ilikuwezesha bei ya pamba ambayo itatumika kamadira angalau iweze kuwa ya juu na isiwe ileinayomuumiza mkulima mdo<strong>go</strong>. Ndio hasa maana yajambo hili. Kwa hiyo, matumaini yangu ni kwambaitakapokuwa imefikia tarehe ambayo wamekubalianasasa, basi wataangalia vigezo na viashiria hivyo vyotekisha watapanga bei kadri watakavyoona inafaa.Mheshimiwa Spika, eneo lingine ni hili linalohusumfumo bora wa uuzaji wa zao la korosho ghafi nakujenga Viwanda Vido<strong>go</strong> Vido<strong>go</strong>. Eneo hili hasaMheshimiwa Mbowe alilizungumza sana. Nimeona nivizuri niliseme kido<strong>go</strong> kwa ajili ya jambo moja ambalonafikiri ni la msingi.Mheshimiwa Spika, Bunge lako Tukufu lilipitishaSheria ya Warehouse Receipts Act ya mwaka 2005inayohusu Stakabadhi ya Mazao Ghalani kwa len<strong>go</strong> lakumnufaisha mkulima mdo<strong>go</strong> kwa kumhakikishia beinzuri ambayo inamwezesha kuweza kuhimili gharamaza uzalishaji. Serikali bado inaona mfumo huu wa uuzajiwa korosho kupitia Stakabadhi ya Mazao Ghalani(Warehouse Receipt System) ni mzuri. Ni mfumo wakumsaidia mkulima mdo<strong>go</strong>. Tatizo ni changamotozinazokabili mfumo huu ikiwa ni pamoja na wanunuziwasio waaminifu ambao bado wanapenda kutumiamifumo ya ulanguzi ambayo inawaumiza wakulimawado<strong>go</strong>. Matatizo mengine ya bei dira nayoyanachangia katika eneo hili, hasa pale bei ya Soko laDunia inaposhuka. Kwa sasa Serikali itaendeleakuboresha Mfumo huu kwa kadri itakavyoweza.(Makofi)568


Mheshimiwa Spika, Serikali inafikiri kuwa suluhishola kudumu ni kuwa na Viwanda vya Kubangua Koroshona itaendelea na jitihada zake za kuwapatawawekezaji mahiri ambao watatekeleza wajibu waoipasavyo. Aidha, Serikali ina mpan<strong>go</strong> wa kusaidiakuanzishwa kwa Tanzania Commodity ExchangeMarket ambapo mazao mbalimbali ikiwemo koroshoyatauzwa katika Masoko ya Kimataifa na ujumbe waTanzania ukion<strong>go</strong>zwa na Mheshimiwa Rais wa Jamhuriya Muungano wa Tanzania ulitembelea nchini Ethiopiakujionea namna mfumo huu unavyofanya kazi vizuri nakwa uwazi na kwa manufaa ya mkulima mdo<strong>go</strong>.Matumaini yetu ni kwamba haitachukua muda mrefukabla utaratibu huu haujaanza kutumika. (Makofi)Mheshimiwa Spika, eneo lingine ambalo nimeonaniligusia kido<strong>go</strong> ni mi<strong>go</strong><strong>go</strong>ro inayojitokeza kati yawakulima na wafugaji eneo hili nalo limechangia kwahisia kubwa. Lakini naomba tu niseme kwamba kwakutumia mfano uliotokea pale Rufiji, katika Kijiji chaUmwe, Ikwiriri, kilichotokea pale siku ya tarehe 19 Mei,2012 ni kwamba vurugu zilianza baada ya kifo chaMzee Shamte Seif Mtawagala, aliyekuwa na umri wamiaka 80 kilichosababishwa na vijana wafugaji ambaowalikuwa wanalisha mifu<strong>go</strong> katika shamba lake.Alipojaribu kutaka kuhoji na kutetea mali yakeshambani ndipo vurugu hizo zilipoanza na hivyokusababisha kifo cha mzee huyo na kwa kweli vijanawote na watu wazima waliona kwamba mzee huyohakutendewa haki. Hivyo, kutokana na vurugu hizobaadhi ya nyumba, maduka, maboma ya ng’ombena gari moja vilichomwa moto. Vile vile baadhi ya569


ng’ombe walikatwa katwa kwa mapanga. Serikaliiliingilia kati vurugu hizo na kuzizima asubuhi ya tarehe21 Mei, 2012.Mheshimiwa Spika, Serikali imeanza kuhakiki idadiya mifu<strong>go</strong> iliyopo, uwezo wa ardhi na malisho kwa ajiliya mifu<strong>go</strong> pamoja na miundombinu ya mifu<strong>go</strong> iliyopoili kuwezesha kupanga matumizi bora ya ardhi,kuandaa miundombinu ya kutosha ikiwa ni pamoja namajosho, malambo na vyanzo vya maji. Zoezi hililimeanza tarehe 23 Mei, 2012 na linatarajiwa kukamilikatarehe 30 Juni, 2012 katika eneo hili.Mheshimiwa Spika, aidha, Serikali kupitia Wizara yaMaendeleo ya Mifu<strong>go</strong> na Uvuvi imetoa Mwon<strong>go</strong>zo kwaumma, kwa Watanzania wote kupitia Vyombo vyaHabari kuhusu utaratibu wa kuhamisha na kusafirishamifu<strong>go</strong> ya kufuga kutoka sehemu moja hadi nyingine.Serikali inaamini Vion<strong>go</strong>zi wa Vijiji na Halmashauripamoja na Wafugaji wakizingatia mwon<strong>go</strong>zo huo,mi<strong>go</strong><strong>go</strong>ro inayojitokeza, kama huo wa Ikwiriri,haitakuwepo kabisa. (Makofi)Mheshimiwa Spika, hivyo Serikali kupitia Mipan<strong>go</strong>ya Maendeleo katika Halmashauri (DADPs) itaendeleakujenga, kukarabati na kuimarisha miundombinu katikaVijiji na maeneo ya wafugaji ili kuboresha huduma.Katika mwaka 2012/2013, Serikali imetenga kiasi chaShilingi 5,008,285,000 kwa ajili hiyo kupitia DADPs. Aidha,kupitia mipan<strong>go</strong> mbalimbali katika Wizara, Halmashaurina Sekta Binafsi, miundombinu ya aina hiyo itajengwana kuimarishwa. (Makofi)570


Mheshimiwa Spika, eneo lingine ambalo natakanigusie kwa kifupi ni hili linalohusu mi<strong>go</strong><strong>go</strong>ro ambayoinatokana na kitu kinachoitwa uporaji wa maeneo yaardhi. Vile vile limezungumzwa na baadhi ya Wa<strong>bunge</strong>kadhaa. Ili kuondokana na mi<strong>go</strong><strong>go</strong>ro baina yawakulima na wafugaji pamoja na makundi mengineyoikiwa ni pamoja na mtu na mtu, inashauriwa kuwaardhi yote ipangiwe matumizi kisha ipimwe nakumilikishwa watu wote wenye haki juu ya ardhiinayohusika. Ardhi kwa ajili ya ufugaji ipimwe na hatikutolewa ama kwa ushirika wao au Serikali ya Kijijikinachohusika kama mdhamini.Mheshimiwa Spika, naomba kutoa wito kwaHalmashauri za Wilaya kuwa watenge fedha kwenyeBajeti zao ili kugharamia upangaji wa matumizi bora yaardhi kama njia ya kutatua matatizo haya. Wataalamwa Ardhi wa Wizara wahusike kikamilifu kushirikiana naHalmashauri zitakazokuwa tayari kutekeleza mipan<strong>go</strong>ya matumizi ya ardhi.Mheshimiwa Spika, Serikali imeweka mkakati wakuondoa mi<strong>go</strong><strong>go</strong>ro hiyo kwa kuhakikisha kuwainaongeza kasi ya kuandaa mipan<strong>go</strong> ya matumizi yaardhi kwa vijiji 1,300 kila mwaka kuanzia mwaka2012/2013. Aidha, Serikali inaendelea na mashaurianona washirika wetu wa maendeleo ili kupata fedha zakuunga mkono wananchi au Wilaya zitakazokuwatayari kutekeleza maandalizi ya mipan<strong>go</strong> ya matumizibora ya ardhi.Mheshimiwa Spika, Serikali inaendelea kutoa elimukwa wafugaji ili waondokane na uchungaji na kufugia571


sehemu moja huku wakiboresha mifu<strong>go</strong> yao. Aidha,Serikali itaendelea kujenga miundombinu ya mifu<strong>go</strong> ilikupunguza umbali kwa wafugaji kufuata miundombinuhiyo.Mheshimiwa Spika, umuhimu mkubwa ni lazimasasa uwekwe katika uanzishwaji wa Viwanda vyaKusindika Nyama. Eneo hili litatusaidia sana katikakupunguza idadi ya mifu<strong>go</strong>, lakini vile vile kuongeza aukukuza uchumi kutokana na mifu<strong>go</strong> yetu. Ni eneoambalo tutalitilia mkazo mkubwa ili liweze kuwa lamafanikio makubwa.Mheshimiwa Spika, Serikali itaendelea kushaurianandani na kwa kutumia wenzetu kutoka nje ilikuhamasisha, benki mbali mbali ziweze kutambuehadhi ya hatimiliki kimila, kisheria na zikubali kutoamikopo kwa Wananchi wenye hatimiliki za kimila kwakuwa inaweza kuwa ni hati inayoweza kufaa sanakama dhamana kwa ajil ya mikopo.Mheshimiwa Spika, naomba nigusie kido<strong>go</strong> sualala Kigamboni au Mji wa Kigamboni. Eneo hili nalolinatugusa wengi kutokana na mambo yanayoendeleapale. Nimekuwa nikijitahidi kukutana na vion<strong>go</strong>zi nawananchi mbalimbali kwa nia ya kuleta maendeleo yaWatanzania. Ni bahati mbaya kwamba sikukutana naWaheshimiwa Wa<strong>bunge</strong> wa Mkoa wa Dar es Salaamkuhusu maendeleo ya Jiji na watu wake. Napendakuwaeleza Waheshimiwa Wa<strong>bunge</strong> hao kuwa nikotayari wakati wowote kukutana, wakati wowotetutakapokuwa hapa Dodoma ili kuweza kukaa nakuzungumza matatizo kwa ujumla. Kwa namna ya572


pekee itabidi tutazame maeneo yote yanayohusumatatizo ya ardhi katika Jiji letu la Dar es Salaamikiwemo ujenzi wa Mji wa Kigamboni, eneo la Kurasinina maeneo mengine yote yanayohusiana na makaziya watu yakiwemo yale ambayo tunasema ni maeneoyenye hali au maeneo hatarishi. Yote haya tukiyafanyakwa nia njema tuna hakika kabisa tutaweza kupataufumbuzi wa haraka katika baadhi ya maeneo.Mheshimiwa Spika, niongelee kido<strong>go</strong> kuhusiana nasekta ya uvuvi, lakini hasa kwa maana tu ya kuliambiaBunge lako Tukufu kwamba Serikali sasa imekwishakamilisha mpan<strong>go</strong> au programu ya kuendeleza Sektaya Uvuvi hapa nchini (Fisheries Sector DevelopmentProgramme). Sector hii imejumuishwa katika Mpan<strong>go</strong>wa Taifa wa Maendeleo wa Miaka Mitano wa Taifa waMaendeleo wa Miaka 2011/2012 hadi 2015/2016. chiniya programu hii, mambo mbalimbali yameainishwayakiwemo masuala ya uendelezaji wa uvuvi na ukuzajiwa viumbe kwenye maji, uhifadhi wa rasilimali,matumizi endelevu ya rasilimali pamoja na uhifadhi wamazingira.Mheshimiwa Spika, aidha, programu hii inahusishauimarishaji wa huduma za ugani, utafiti, mafunzo naupatikanaji wa takwimu sahihi za rasilimali ya uvuvi. Pia,Programu imeainisha maeneo ya kipaumbeleyatakayotekelezwa kila mwaka. Mwisho, kutekelezwakwa Programu hii kutawezesha kuongeza tija nauzalishaji katika Sekta ya Uvuvi. Aidha, tunatarajiakuimarisha doria za kuzuia uvuvi haramu ambao naobado unatuathiri kwa kiasi kikubwa sana.573


Mheshimiwa Spika, mimi ni M<strong>bunge</strong> sasa kutokaJimbo la Katavi na wakati mwingine ni vizurimkaniruhusu yanaposemwa mambo yanayonigusabasi na mimi niseme kido<strong>go</strong>. (Makofi)Mheshimiwa Spika, liko eneo ambalo kilatunapokuwa Bungeni linazungumzwa, rafiki yangu Arfiana uson<strong>go</strong> nalo sana, jana nikamwona dada yanguMallac naye kalivalia njuga kweli kweli eneo hilo,ingawa Mallac alikwenda mpaka Jimboni mpakakwenye Vijiji vyangu. (Kicheko)Sasa, ah! Tatizo ni pale ambapo wanapokwendakule wanaacha mambo, wanamsema Pinda, sasa hii nitabu kweli kweli. Pinda is nobody, mimi nadhani kubwapale ni maendeleo makubwa sana. Lakini kubwa tuniseme kwamba mkienda huko wenzetu basi m-appreciate mengine yanayofanyika vilevile. (Makofi)Ndiyo, maana Mallac angalau dada yangu yuleangefika kule akasema amefika kule amefurahi sanamaana nimejitahidi, nimeweka solar power vituo vyaafya vyote, zahanati zote, nyumba za waganga wote,nikajitahidi shule za sekondari zote nimeziwasha nasolar, nikawapa walimu nyumba zao na majen<strong>go</strong>mengine yote yana solar power, lakini dada yanguanachokiona pale ni mbaya sana, ikabidi nipige napicha na kadhalika. Nikasema eh! Agenda hii ni ngumukweli. (Makofi)Mheshimiwa Spika, Sasa hili eneo ambalo linahusuAgrisol Energy Tanzania Limited, niliwahi kulisema,naomba nirudie tena, nalisema hili si kwa sababu574


mkiwa na jambo au M<strong>bunge</strong> akiwa na jambo hawezikushauri juu ya eneo hilo, hapana. Lakini nataka tunieleze uhalisia wa jambo lenyewe. Eneo hili, ni eneoambalo linakaliwa na wakimbizi hivi sasa Katumba naMishamu. Maeneo haya, yalikuwa ni maeneo ya misituiliyohifadhiwa kwa mujibu wa sheria, ni maeneo yaSerikali. Tuliyatoa katika kukidhi haja hii ya kuwekawakimbizi katika maeneo hayo. Kilichotokea nini?Mheshimiwa Spika, baada ya nchi ya Burundikuwa na amani, uamuzi wa Serikali ukawa ni kwambabasi wenzetu mrudi kwenu, ndipo jambo hili likaibukakwamba sasa hii ardhi tuliyokuwa tumeitoa kama misituama tuirejeshe iwe misitu tena ama tuone namna yakuitumia kwa maana ya kuongeza tija katika udon<strong>go</strong>au ardhi hiyo. Ndiyo tukaanza kutafakari; mimi, Mkuuwa Mkoa na Wa<strong>bunge</strong> wengine tuliokuwa na nianjema; jamani hii ardhi wakiondoka hawatunafanyaje? Ndipo ikatokea hiyo kampuni ikasema ikotayari kama tutaridhia kuwekeza katika eneo hilo.Mheshimiwa Spika, nikafarijika sana, nikaonapengine ni jambo zuri. Nje ya kambi hizo tunavyo Vijiji42 ambavyo vinaendelea na shughuli zake. Kwa hiyo,mtazamo ikawa ni kwamba, tukipata mtu mzuri, hawawote tunaweza tukaona namna ya kuwasaidiawakaona hizo teknolojia, wakaona hivyo vitu vinginepengine tukawa na soko la uhakika kubwa kwa Katavina kuongeza uzalishaji wa mazao. (Makofi)Mheshimiwa Spika, kwa hiyo hatua ya kwanzatuliyoanza nayo ikawa ni kwamba basi we bwanatutiliane MoU maelewano hivi, maana yeye alitaka575


kuanza na uchunguzi wa udon<strong>go</strong> maana wenzetukido<strong>go</strong> wamekwenda mbali, hawezi kuanza kulimakama tunavyoanza sisi tunafyeka tu hapana.Wakasema tunataka kwanza tujihakikishie. Kwa hiyotukakubali. Haya njoo uanze kufanya uchunguzi. Lilejambo tulikwenda kwenye Baraza la Madiwanitukalizungumza, mwisho tukasema ah! Mwacheniafanye uchunguzi, yote mema.Mheshimiwa Spika, uchunguzi ule umewachukuampaka majuzi, walikuwa bado wanafanya uleuchunguzi ili baada ya pale sasa ndiyo tukubalianeeneo gani tunafikiri tuwapeni kwa ajili ya kitu gani.Tulichosema, ni kwamba, sisi kwa mujibu wa sheria zetuleo, ni vizuri ukajua kwamba ardhi yetu sasa hivi mtuakitaka kuweka pale, lazima alipe hiyo kodi ya ardhiambayo kwa mujibu wa taratibu za sasa ni shilingi 200,ilikuwa shilingi 600, wakatupa ushauri watu wa privatesector, tukaipunguza mpaka 200. Katavi wote wale nishilingi 200 kwa heka moja. Ndicho tulichofanya, lakinihatujafika mahali tukaingia mkataba na hawa watukatika uzalishaji wenyewe. Maana ilikuwa ni kwambatukishamaliza hatua hiyo, tutakapoanza mchakatosasa, ndipo tutaingia kwenye mambo ya msingi, tuonetunapangiana vipi, uwiano utakuwaje, Halmashauriimiliki kiasi gani cha hisa na kadhalika.Mheshimiwa Spika, sasa hili jambo nimekuwanalirudia, lakini kila nikiwasikiliza wenzangu naonalimepamba moto, utafikiri tumefikia mwisho wakatikumbe jambo lenyewe bado. Sasa nimeona nilisemehili ili wenzangu wa Mpanda wanielewe, maana wasijewakanielewa hapa kwamba mimi nimeuza ardhi,576


nimeshawapa Agrisol na kadhalika. Hapana hatujafikakote huko, lakini tulifikiri katika hatua hii ya kwanzatuweze kujua nini tufanye.Mheshimiwa Spika, naomba niseme kido<strong>go</strong> juu yasuala hili la uharibifu wa mazingira ya msitu wetu waShengena, Mama Anne Kilan<strong>go</strong> Malecela alilisemasana na wote mtakumbuka alivyokuwa amejaribukulivalia njuga jambo hili kwa nia njema kabisakwamba Serikali tulijue.Mheshimiwa Spika, ni kweli tumebaini kwambakumekuwepo na uchimbaji katika eneo hilo nauchimbaji wake ni wa aina mbili, wanachimba Bauxite,wanachimba dhahabu. Sasa uchimbaji ule kama ilivyokawaida una uharibifu mkubwa sana na nimetazamaDVD yake kwa kweli ni mkubwa sana. Lakini nataka tunimhakikishie Mheshimiwa Anne Kilan<strong>go</strong> kwambaalipokuwa amenieleza ilibidi kuchukua hatua harakasana, nikamuagiza Mkuu wa Mkoa. Mkuu wa Mkoaakapeleka timu, timu ile imefanya kazi nzuri,wamejaribu kuhakikisha kwamba lile eneo halina tenawachimbaji ambao walikuwa wameingia pale kinyumecha sheria na kwa kweli wamejipanga vizurikuhakikisha kwamba hakutakuwa na watu tenawatakaorudi pale na kuendeleza uharibifu.Tulikuwa na eneo moja ambalo lilitupa wasiwasisana kwa sababu dhahabu kwa kadri unapojaribukuipata na lazima utumie madini ya zebaki na kwakuwa alivyokuwa ameeleza pale, hofu ile na sisiikatupata. Kwa hiyo, tulichofanya tukachukua maji,tukapeleka kwa Mkemia Mkuu ili atusaidie kuona kama577


je, kuna zebaki katika maji hayo ili tuweze kuchukuatahadhari haraka iwezekanavyo katika mtiririsho wakewa maji katika mito yetu. Kwa bahati nzuri majibutuliyopata kutoka kwa Mkemia amesema hapana,hawakuona dalili ya jambo hilo, lakini ni vizuritukaendelea kuhakikisha kwamba hakuna uchimbajitena katika eneo lile kwa sababu hatuwezi kujua ni linina kiasi gani cha Zebaki kinaweza kikatumika hapobaadaye na hivyo kikaleta madhara makubwa. Kwahiyo hatua stahiki zilikuwa zimeshaanza kuchukuliwa,lakini kubwa zimechukuliwa kwa nguvu zaidi.Mheshimiwa Spika, kwa hiyo, nataka nimhakikishiedada yangu Anne Kilan<strong>go</strong> kwamba, hilo tatizo nadhanikwa sehemu kubwa sasa tutalisimamia vizurikuhakikisha kwamba halitokei tena. Pia natakaniwahakikishie wakazi wa Vijiji vyote vinavyozunguka lileeneo kwamba tutafanya kazi nanyi vizuri, kuhakikishakwamba jambo hili linakwenda vizuri. Kama kawaidaya uchimbaji kuna uharibifu wa kila aina, walikuwakatika baadhi ya maeneo wameziba hata mito ilikupata mabwawa kwa ajili kusafisha dhahabu. Kwahiyo, juzi timu ile ilipokwenda ilibidi ifungue mifereji ileyote ili kuwezesha maji yaweze kutiririka kwenda katikamaeneo yanayohusika. Kwa hiyo, nadhani jambo hilikwa sehemu kubwa naweza nikasema kamalimekwisha. Niwasihi wananchi wa Same kwamba tukopamoja na tutajitahidi kuona kwamba jambo hililinakwenda vizuri.Mheshimiwa Spika, eneo lingine ni hili la posho zaMadiwani. Naomba tu niseme kwa kifupi, of courseWa<strong>bunge</strong> wengi wamelisema, nakubaliana nao na578


mimi kama sehemu ya M<strong>bunge</strong> najua kabisa kwambani eneo moja ambalo linatugusa wengi. Sasatulichofanya kwa awamu hii, tumeamua kuongezaposho hiyo kutoka 120,000 waliyokuwa wanaipatampaka 250,000 kwa kila mwezi. (Makofi)Mheshimiwa Spika, lakini tutakachofanya vile vileni kurekebisha sasa viwan<strong>go</strong> vya posho ambavyovilikuwa vinaendana na nafasi za Wenyeviti, Mameyawa Manispaa na Mameya wa Jiji kwa sababu na waowalikuwa na viwan<strong>go</strong> tofauti kutokana na poshoiliyokuwepo. Lakini azma ya Serikali kwa kweli ni kuonakwamba tuendelee kupanda hiki mwaka hadi mwakakulingana na uwezo wa Serikali utakavyokuwaunapatikana. Sasa kulikuwa na rai kwamba pengine nivizuri Madiwani hawa wakaajiriwa kama watumishi waumma kwa ujumla wake badala ya kutumia mtindo waposho. Ni wazo zuri na tulishajaribu hata siku za nyumakuelezwa juu ya jambo hili na mimi nadhanitutaendelea kulifanyia kazi.Mheshimiwa Spika, yako mawazo tofauti hapa napale, tumejaribu kutazama wenzetu nchi mbalimbali ilikuweza kujifunza zaidi, inaonekana wengi badowanaona ni vizuri mtindo huo ukaendelea kama ulivyosasa ili waendelee kuwasogeza karibu zaidi na jamii,mkiwaingiza kwenye schemes hizi zingine, wanawezakuonekana wanaji-distance, wanajitenga sana nawatu wanaowaon<strong>go</strong>za. Ni watu wanaotokana namaeneo ya wananchi pale, wako nao, wanaishi naokila siku. Kwa hiyo, ukiingiza dhana ya mwajiriwa,pengine inaweza ikaleta hali ambayo inawezaikabadili kido<strong>go</strong> mfumo wa mtazamo kisiasa lakini vile579


vile na kijamii. Lakini ni jambo linalozungumzika,tunafikiri kadri tutakavyokuwa tunakwenda, tutawezakufanya jambo fulani kwenye eneo hilo.Mheshimiwa Spika, eneo lingine ni pensheni yaWazee. Ni kweli kwamba kwa sasa ni asilimia ndo<strong>go</strong>sana nadhani kama asilimia nne tu ya Wazee ndiyotuko kwenye mfumo wa pensheni, asilimia 96 ya WazeeVijijini huko, kwa sehemu kubwa hawana mfumowowote wa namna hiyo. Sasa mawazo tuliyonayoSerikalini ni nini? Ni kwamba; moja ni kutazamauwezekano wa kutumia hizi Pension Funds, Mifuko yetuya Hifadhi kuona kama wanaweza wakaja na mfumounaoweza kusaidia kuweka kitu ambacho nisustainable. Kitu ambacho ni cha kudumu katikakujaribu kutazama namna ya kusaidia eneo hili laWazee.Mheshimiwa Spika, sasa sisi tunayo Sera ya Wazeeya mwaka 2003, lakini tulikuwa tunafikiri sasa tuifanyiemarekebisho, tuone namna tutakavyoingiza baadhi yaushauri na mawazo ambayo tunayapata mara kwamara kutoka kwenu. Kwa hiyo, tutafanya hivyo lakinitutaangalia vile vile namna ya kutumia vyombo hivivingine ili tuone namna ya kuwasaidia. Sasa upandewa Serikalini huku, tumeshaanza kulitazama jambo hili,lakini tunakwenda hatua kwa hatua. Kwa hiyo, mpakasasa tulichofanya:-(i) Tumejaribu kutafuta namna ya kuwatambuawazee yaani identification kwa maana ya umri, idadiyao, mahali walipo na nadhani itatusaidia kujua kwa580


uhakika tunaanza na wazee wangapi kwa sababu nijambo la msingi sana;(ii) Kuangalia miundombinu iliyopo katika Katana Viton<strong>go</strong>ji inayotuwezesha kujua kwa uhakikakwamba jambo hili litasimamiwa na kutekelezwaendapo tutaweza kuianzisha pensheni hiyo;(iii) Kuangalia namna ya kupata na kutunzatakwimu na taarifa mbalimbali kwa kutumia sasaTEKNOHAMA ili kurahisisha jambo hili;(iv) Kuangalia suala zima la cash transfermechanism maana wengi wako Vijijini. Hapatunaangalia ni miundo ipi itakayotumika, kati ya Mifukoya Hifadhi ya Jamii, Benki ya Posta, Matawi ya Benkimbalimbali, M-pesa au tutumie Mobile Banking zilizopona kadhalika. Hili nalo tumeona tuliangalie, tuonenamna tutakavyofanya;(v) Kutazama gharama yenyewe ya Pensheni nahapa tunajumuisha gharama za pensheni halisipamoja na gharama za usimamiaji na utekelezaji wasuala zima la pensheni hiyo; na(vi) Mwisho itakuwa of course ni suala la vyanzo,tutapata wapi vyanzo vya kuwezesha mpan<strong>go</strong> huouweze kuwa ni endelevu.Mheshimiwa Spika, kwa hiyo, hadi kufikia Junimwaka huu yako mambo ambayo tulikuwatumekwishafanya. Tulifanya nini? Mpaka sasa, tuligawanchi hii Kikanda, kwa hiyo tumechagua Mikoa saba581


inayowakilisha Kanda mbalimbali. Mikoa hiyo ni Rukwa,Mtwara, Dodoma, Manyara, Kagera, Pwani na Dar esSalaam. Kwa hiyo, tayari tumetuma madodoso hayokwenye Wilaya zote kwenye Mikoa hiyo ili kuanzakukusanya taarifa zote muhimu. Tayari kazi hii sasaimeanza katika Mkoa wa Pwani pamoja na pale Dar esSalaam. Hii ni katika kujaribu kutusaidia katika yalemaeneo magumu ambayo tunataka tujaribu kupatatakwimu zake. Hili ni eneo moja ambalo nimeonaniligusie kido<strong>go</strong>.Mheshimiwa Spika, eneo lingine ambalo nimeonaniliseme kido<strong>go</strong> tu ni hili la UDA, nini hatima ya UDA.Hoja hii, ilijitokeza katika Bunge la Bajeti lililopita2011/2012 na Wa<strong>bunge</strong> wengi hasa wa Dar es Salaamwalilizungumza sana. Kwa hiyo, nilichofanya baada yapale, nikamwagiza Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu zaSerikali (CAG) afanye ukaguzi maalum pale UDAjambo ambalo alifanya na alipomaliza akawasilishataarifa ile kwangu. Nilipoipata kwa sababu kulikuwana mambo magumu yamezungumzwa mle, nikaombaushauri wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali.Mheshimiwa Spika, Mwanasheria Mkuu wa Serikaliakasema kwa kweli yako maeneo ambayo tunadhaniyanahitaji sasa uamuzi wa msingi. Sasa kiutaratibu chiniya sheria mliyopitisha hapa Mdhibiti na Mkaguzi waHesabu za Serikali amepewa mamlaka kamilianapoona kwamba jambo aliloligundua kwa kweli linakila dalili kwamba ni jinai, kuna kosa la jinai limefanyika,yeye anayo mamlaka sasa ya kumwomba Mkurugenziwa mashtaka achukue jambo lile na baada yakuchunguza kupitia taarifa aliyonayo, hatua stahiki582


ziweze kuchukuliwa. Kwa hiyo, tumefanya hiyo processyote tumeikamilisha na hivi sasa DPP aliamua kwambabaadhi ya watu sasa wafikishwe Mahakamani.Mheshimiwa Spika, kwa hiyo, wako watuwamefikishwa Mahakamani kutokana na kaziiliyofanywa na CAG. Sasa kwa sababu jambo lenyeweliko Mahakamani pengine naweza nikaishia hapo,lakini maana yake ni nini? Maana yake ni kwambamatokeo ya shauri hilo, yatatupa vile vile mwelekeosasa nini hatima ya UDA kwa sababu yako mambomengi ambayo yanahusika pale. Eh! Muda unakimbiahaya.Mheshimiwa Spika, niseme kido<strong>go</strong> juu ya suala hilila wakimbizi ambalo nalo lilileta tabu kido<strong>go</strong>.Tumekuwa na wakimbizi hapa nchini na baadayeSerikali ilifanya uamuzi wa kuwapa uraia. Taarifa ileilipofika kwenye Kamati yetu ya Bunge, kido<strong>go</strong>wakataka kwa kweli kuelewa kilichotokea ni nini. Kwahiyo, wakatuomba maelezo zaidi, tukaahidi kwambabasi, hili jambo tutalifanyia kazi ya ziada kablahatujawaletea tena.Mheshimiwa Spika, sasa kiutaratibu sisi ndani yaSerikali inabidi mpite kwenye mchakato ule ule, kwahiyo, jambo hili tumeshafikisha mpaka kwenyeMakatibu Wakuu wamelitazama, kilichobaki sasa nikazi moja tu ya kuwasilishwa kwenye Cabinet. Baadaya pale tutaleta hapa. Tunachopeleka kule ni nini? Nikupeleka lile wazo lililokuwepo la uraia ambalo ndiyoulikuwa uamuzi kiutendaji, tulikuwa tumeamuakuufanya na baada ya kufanya utafiti wa kutosha.583


Sasa Baraza litaelekeza, sasa tuelekee wapi ili tuwezekuja na kauli ya mwisho kupitia Kamati yako ya Bungehili.Mheshimiwa Spika, niseme kido<strong>go</strong> juu ya mradiwetu wa Kigamboni ambao niliugusia hapo mwanzoni.Suala hili kusema kweli halijapuuzwa hata kido<strong>go</strong> sematu limechukua muda mrefu kido<strong>go</strong> kwa sababu yajambo gumu kido<strong>go</strong> kwa sababu lina mambo mengi,kwa hiyo inabidi tulifanye vizuri.Mheshimiwa Spika, lakini kwa sasa ninachowezakusema ni kwamba, kama nilivyosema, tutaanza naWa<strong>bunge</strong>, ili tuwape undani wa jambo hili vizuri,walielewe, ili na wao watusaidie kulieleza vizuri. Sasamaeneo ambayo mpaka sasa tunajaribu kuyafanyiakazi:-(i) Kukamilisha uhawilishaji wa viwan<strong>go</strong> vya fidiaya mazao, nyumba na ardhi na kuvitanganza, ilivitumike baada ya kufanya uthamini katika eneo lamradi;(ii) Kupata fedha za kulipa fidia wananchiwatakaoathirika kwa kuhamishwa kupisha ujenzi wamiundombinu na huduma za jamii;(iii) Kuanzisha Wakala ambaye atasimamiauendelezaji wa Mji Mpya (Kigamboni DevelopmentAgency); na(iv) Kupata kibali kutoka Serikalini kutafuta fedhaza kujenga Mji Mpya, nje ya fedha za kawaida za584


Serikali na kuruhusiwa kuuza Municipal Bonds ambazozilishakubalika, kama njia za kupata fedha zakugharamia mahitaji ya mradi huo.Mheshimiwa Spika, vile vile, napenda kukumbushakwamba, zuio ambalo liliwekwa na Serikali kusitishamaendelezo yoyote ndani ya eneo la mradi, hilililimalizika mwezi Novemba 2011. Hii ilikuwa ni makusudikwa sababu, baada ya pale tuliona ni vizuriwaendelee kwa sababu, mradi wenyewe utakujapolepole. Kwa hiyo, isije tukawa tumeng’ang’ana,tumegandisha watu lakini hakuna kinachoendelea.Lakini na sisi tunaendeleza hii jitihada ili tuweze kwendana wakati. Kwa hiyo, tunaamini tutafanikiwakuliharakisha zaidi.Mheshimiwa Spika, suala la Jiji letu la Dar-es-Salaam. Hadhi ya Jiji hilo, maana nalo limesemwa nakwa hisia nyingi. Niseme tu kwamba, Jiji la Dar-es-Salaam, limekuwa na matatizo mwengi ya kimuundona kimfumo. Manispaa zile tatu kwa kipindi kirefu,zilikuwa zikilalamika sana kwamba, Muundo huu haunatija. Mnakuwa na Chombo pale, lakini hakina eneo,badala yake kinaonekana kama kinaingilia Manispaazile tatu; mara washike Kituo cha Basi, mara washikeKariakoo, mara washike Makusanyo ya kwenye Tax,lakini yale yote yako kwenye Manispaa mbalimbali.Mheshimiwa Spika, kilikuwa kilio cha muda mrefu.Kwa hiyo, tukaamua kwamba, basi, hebu tuunde timuya Wataalam; tukapata Wataalam, Consultancy,wakatufanyia kazi, wakaja na mawazo kwamba,pengine tuige baadhi ya nchi nyingine zinafanyaje.585


Kwa hiyo, tukafikia mahali tukasema basi, tuchukueeneo moja pale, Ilala, tuipe hiyo hadhi, ili Manispaa zilenyingine zibaki kama zilivyo. Huyu atakuwa na eneolake, eneo la kukusanya mapato na wenzakewataendelea kuwa na maeneo yao na hakutakuwana hili li-Umbrella Organisation, ambalo wakatimwingine nalo linapata challenges nyingi.Mheshimiwa Spika, kwa hiyo, timu ile imemalizakazi. Jambo hili likapelekwa kwa Wadau mbalimbali,tukalizungumza, likarudi Serikalini. Baadaye tukafanyauamuzi kwamba, basi tuvunje lile Jiji, tuipe hadhi hiloeneo.Mheshimiwa Spika, tulipochukua ule uamuzi, hisianyingine zikaja kwamba, ahaa, hamjafanya kazi hiyovizuri, hebu acheni. Bahati nzuri tulikuwa hatujakwendambali, kwa maana kwamba, tulikuwa hatujaleta noticeyoyote hapa kwako Bungeni, ambayo ndioinahalalisha ule uamuzi ambao tunakuwa tumeufanyaKiserikali. Kwa hiyo, tukasitisha lile zoezi. Mambomengine yakaendelea kama kawaida. Kwa hiyo, Jiji liletunalolijua likaendelea na shughuli zake, Ilalaikaendelea na shughuli zake, Kinondoni hivyo hivyo naTemeke hivyo hivyo. Hakuna kilichohama, hakunamtumishi aliyefanya nini, kwa hiyo, ikawa ni kamailivyokuwa zamani.Mheshimiwa Spika, sasa baada ya uamuzi uleikabidi tufikirie kwamba, sasa tumefanya hivi, sasatunafanyaje kurejesha kile tulichokuwa tumedhanitumekiondoa? Kwa hiyo, tukaja tena na GovernmentNotice nyingine, ambayo na yenyewe baadaye586


ikaonekana nayo hapana, bado hamjaitenda kazivizuri. Kwa hiyo, juzi hapa baada ya kushauriana sanana Wataalam na Wa<strong>bunge</strong> vile vile, ikaonekana basi,lazima tutoe sasa Notice inayofuta vyote viwili, ili ibakiekama ilivyokuwa tangu zamani. Kwa hiyo, ndichotulichofanya.Mheshimiwa Spika, kwa hiyo, sasa hivi Jiji la Dar-es-Salaam, kusema kweli ni sawa na kama halikuvunjika.Maana hatukuwa tumekamilisha mchakato wakuvunjwa kwa lile Jiji. Sasa kumekuwa na yale mawazokwamba, kwa hiyo, hata Meya aliyekuwepo na yeyehakuwepo kisheria; lakini Wataalam wetu walituambiahapana, kwa vile taratibu zote zilikuwa hazijakamilika,ni sawa kama mlikuwa hamjafikia hatua ya mwisho.Kwa hiyo, hakuna sababu yoyote ya kufikiria hivyo.Kwa hiyo, nataka niwasihi tu Vion<strong>go</strong>zi wa Dar-es-Salaam, Waheshimiwa Wa<strong>bunge</strong> wenzangu wa Dar-es-Salaam, basi tulione hivyo na tuendelee sasa kuchapakazi kama ilivyokuwa zamani. (Makofi)Mheshimiwa Spika, niseme kido<strong>go</strong> tu juu yabomba la gesi la Mtwara. Hapa ninachotaka kusemakwa ufupi tu ni kwamba, kama alivyosema ProfesaMuhon<strong>go</strong>, tunayo gesi ya kutosha. Lakini sisi tumejikitazaidi katika mradi huu kwa kujua kwamba, utakuwa namanufaa sana kwetu sisi. Len<strong>go</strong> ni kuongeza uwezo waumeme katika nchi yetu, ilikuwa hasa ndio len<strong>go</strong> labomba hili.Mheshimiwa Spika, sasa kazi ile, pesazimeshapatikana na tayari wazo lile la kuanza kujenga587


ule mradi limeanza. Sasa yaliyojitokeza hapa nikwamba, sawa, lakini gesi inatoka Mtwara, inatokaLindi, mnaipeleka Dar-es-Salaam, sisi tuliobaki hapatunafaidika vipi na hiyo gesi pamoja na wale wa Lindina Mtwara? Ambayo ni hoja ya msingi tu, ni jambo lamsingi kabisa na nimelikubali.Mheshimiwa Spika, nilichosema tu ni kwamba, basihili jambo tutalizungumza tuone ni mahitaji ganiyanahitajika pale. Kwa hiyo, tufanyeje ili kuhakikishabomba hili haliruki tu na kuruka na kupepea nakuwaacha wananchi bila kujali ni nini kinaendelea.Kwa hiyo, tutalizingatia na naamini, tutakwenda vizuri.Lakini kwa ujumla niseme, kwa wana Mtwara na Lindi,nadhani sasa kumekucha na nadhani mamboyatakwenda vizuri. (Makofi)Mheshimiwa Spika, nilibahatika kuteuliwa kwendaMtwara, Lindi, mwaka 1977 kama Wakili wa SerikaliMfawidhi, ambaye nilikuwa nasimamia Kanda yaKusini, kwa maana ya Ruvuma, Lindi na Mtwara.Kufuatia uteuzi ule, nilichokipata ni ndugu zangu namarafiki zangu wa Dar-es-Salaam na sehemu nyingine,kunipigia simu kunipa pole na kuniambia kuna nini?Kwa nini unakwenda Mtwara? Umekosa nini? Kwasababu, ilionekana kama vile Mtwara hakufai. (Makofi)Mheshimiwa Spika, nikasema nimepanda hapa,nimeukata, wewe unanipa pole, ya kitu gani tena?Nakwenda kuwa State Attorney Incharge, Munguakupe nini? kwa hiyo, nikaenda. (Makofi)588


Mheshimiwa Spika, kwa hiyo nilivyokwenda kule,mie sijui bwana, labda kwa vile mtoto wa mkulimatabu yake ndio hiyo, nilipaona Mtwara pazuri sana.Nimekuta wana uwanja wa ndege ambao Mpanda,Rukwa, sina. Nikakuta pale kuna kalami ambayo kulenilikuwa sina, nikaona majen<strong>go</strong> pale mazuri ambayosikuwa nayo kule Mpanda, kwa hiyo, kwa kweli walahaikunipa tabu. Nikapaona ni pazuri, lakini baadayenikaja kugundua kwamba, kulikuwa na mambo mengiya msingi hasa mawasiliano ya njia, barabara ngumu,na kadhalika. Kwa hiyo, nikaelewa kweli maendeleoyalikuwa bado hayajafika. (Makofi)Mheshimiwa Spika, lakini kizuri ni kwamba, sasa hivikumekucha. Nadhani watu wa Mtwara na Lindi, nikujipanga vizuri na Serikali tutakuwa nanyi kuhakikishakwamba, hiyo fursa inayoibuka pale, iwanufaishe kweliwatu wa Lindi, Mtwara na Kusini kwa ujumla. (Makofi)Mheshimiwa Spika, niseme kido<strong>go</strong> juu yamsongamano wa magari pale Dar-es-Salaam.Limesemwa na najua linanigusa. Wakati mwinginenikiwa kwenye gari, unaona hata aibu, sababuunajisikia vibaya sana unapoona wewe unasababishamsongamano juu ya msongamano ambao tayari upo,lakini ndio hivyo tena.Mheshimiwa Spika, lakini kifupi tu niseme kwamba,ule mradi wa mabasi yaendayo kwa kasi, unaendeleavizuri. Tumekopa karibu shilingi bilioni 290 ambazo nikaribu Dola 182 milioni, kutoka Benki ya Dunia. Paletuna ujenzi wa barabara kwa ajili ya kuweka njia zamabasi yaendayo haraka, zenye urefu wa kilometa589


20.9, tunaanza Kimara mpaka Kivukoni. Na matawimawili kuanzia Ma<strong>go</strong>meni hadi Moroco na Fire hadiKariakoo, pale pana tawi lile. Kwa hiyo, ujenzi wa Vituovya Stesheni ya Mabasi, vitano vitajengwa, vituovikubwa 29, vituo vido<strong>go</strong> sita na karakana mbili zakuegesha magari, yaani depots.Mheshimiwa Spika, miradi hii ilichelewa kuanzakutokana na sababu mbalimbali, zikiwemo,kutopatikana mapema kwa makandarasi wenyeuwezo, lakini hatimaye walipatikana. Miradi yote sasaimeanza kutekelezwa baada ya kuondolewa zuio laMahakama na kupatikana kwa mkandarasi. Kwa hiyo,sasa tumeanza, tunaendelea vizuri, imani yangu nikwamba, miradi yote hii itakamilika on time, ili angalautuweze kuwa na fursa ya kuwa na barabara kubwainayowezesha hiyo kazi kufanyika.Mheshimiwa Spika, wakati huo huo, tutaendeleavilevile na juhudi zetu, maana pale tuna fly over mojaambayo, ni lazima tuitafutie suluhu ambayo ni muhimusana, pale kwenye junction ya TAZARA. Kwa hiyo, hiyomazungumzo yake yanaendelea, tukifanikiwa basi nayenyewe itatusaidia kupunguza kiasi fulanimsongamano. (Makofi)Mheshimiwa Spika, lakini vile vile waliuliza kuhusuring roads. Bado mradi ule upo. Ni suala la fedha, kadrizitakavyokuwa zinapatikana tutaendelea kufanyahivyo kwa kadiri itakavyowezekana. Kwa hiyo, nimeonaniliseme hili kwa sababu, ni jambo la msingi sana.(Makofi)590


Mheshimiwa Spika, sasa kwa vile muda naoumenikabili, naomba niseme, sijui kama nitalimaliza, hilitatizo la kahawa Mbozi. Mheshimiwa Chiza, alijaribukutaka kuanza kulieleza, lakini muda ukamuishia.Mheshimiwa Spika, niseme tu hivi kwa ufupikwamba, nimemsikiliza ndugu yangu Zambi,nimewasikiliza na wenzake waliochangia katika eneohili. Kubwa nililojifunza kutoka pale ni kwamba, kiliochao ni namna ya kumsaidia mkulima mdo<strong>go</strong>, awezekuongeza thamani katika zao lake la kahawa. Ndiojambo kubwa wanalolitafuta. Sasa, uongezaji wathamani nao nimejifunza kumbe una hatua nyingikabla hujauza kahawa yenyewe katika soko la dunia.Mheshimiwa Spika, kwa hiyo, kilio chao pale nikwamba, huyu mkulima mdo<strong>go</strong>, anapouza kahawa,hata kama ni ile mbivu, isiuzwe kwa bei ambayo ni yakumlalia au ya kumuonea. Maana wakati ameanzakilio hiki ilikuwa ni 500/= wakati wenzake jirani kule,Mbinga, ni 1,000/=. Kwa uwiano niliopewa, angalauinatakiwa isipungue 1,000/= hata kama ni mbivu, ilalen<strong>go</strong> kwa kweli ni kwenda katika hatua hiyo nyingineambayo ni nzuri zaidi.Mheshimiwa Spika, sasa nimelielewa. Nimejaribukupitia Sheria ya Kahawa, nimepitia Kanuni za Mwaka2003, nimepitia Sheria ya 2009, nikapitia Kanuni zile za2012. Nimejaribu kuona tatizo lililopo pale,ninachoweza kusema ni kwamba, cha msingininachokiona kwa ujumla wake, len<strong>go</strong> ni namna ganituthaminishe kahawa ili mkulima aweze kufaidika.Sasa yako mawazo ameyatoa kwamba, pengine591


tupige marufuku wale wanunuzi; nakubaliana naye,lakini ni lazima nalo tulipime kwa uangalifu mkubwasana. Kwa sababu, tunaweza tukafanya hivyo,tukakuta tena tumewanyima fursa hata ile ambayoingeweza ikapatikana.Mheshimiwa Spika, kwa hiyo, ninachowezakushauri tu ni kwamba, sisi atupe nafasi. Kwa vile, badoBunge, linaendelea, acha tulizamie zaidi, tushaurianena wadau zaidi juu ya jambo hili, tuone ipi itamnufaishazaidi mkulima, katika mazingira ninayoyaona mimi. Vikovikundi pale, ziko CPUs kweli zimejengwa, lakiniinawezekana zisiwe nyingi sana. Pia mkulima naye nilazima tumsaidie kupata Chama cha Ushirika chenyenguvu, maana bila ushirika huu, sioni atauzaje kwenyeSoko la Dunia. Ni lazima tutapita kwenye mikondo yawatu wengine ambao ndio watu wakubwa. Kwa hiyo,hili jambo nadhani tutalifanyia kazi vizuri zaidi.Mheshimiwa Spika, lakini la pili alilolisema ni kuhusuBodi; muundo wa Bodi na namna ulivyo.Nimekubaliana naye, nimepitia Sheria, nimetazama ninamna gani Board Members wanapatikana. Ni kweli,lazima tukubali kwamba, katika orodha na namnawalivyopatikana yako maeneo nadhani hatukuwatumeyatazama vizuri. Kwa hiyo, hili, tutalirekebisha.Tutalirekebisha kwa sababu, kuna vitu ambavyohavikuwa vimezingatiwa kwa namna inavyostahili. Kwahiyo, katika hili nakubaliananaye na nimeona kwamba,niliseme dhahiri kabisa kwamba, halina tatizo,tutajaribu kuona ni nini cha kufanya. (Makofi)592


Mheshimiwa Spika, sijui kama muda utaniruhusu,niseme lingine moja. M<strong>go</strong><strong>go</strong>ro wa Wawekezaji kuleKagera. Kule tunayo mashamba ya NARCO yawafugaji, lakini yamekuwa na m<strong>go</strong><strong>go</strong>ro wa mudamrefu sana, lakini sasa nafikiri tumefikia mahali pazuri.Juzi tulikutana, tumelizungumza, yako mawazo mazurisana ya namna ya kutenganisha na kuwawezeshawananchi wale kuwa na maeneo yao ya uhakika,kuliko ilivyo sasa. Vile vile ni lazima tuhakikishekwamba, ule utaratibu wa kuleta ng’ombe kutoka nchijirani kuja kulisha pale, tena kwa gharama, wanatozwana badhi ya vion<strong>go</strong>zi ambao sio waaminifu kule,tunaupigania sana.Mheshimiwa Spika, kwa hiyo, ninachowezakusema tu ni kwamba, nataka nikuhakikishieniWaheshimiwa Wa<strong>bunge</strong> wote kutoka eneo lile, hilijambo nadhani limefikia mahali pazuri, sasa tushirikianetu ili tuone namna tutakavyotekeleza hilo jamboharaka itakavyowezekana na tuweze kuhakikishalinakwenda vizuri. Kwa hiyo, hili nataka niliseme tu kwakifupi kwa sababu ni jambo linaloeleweka.Mheshimiwa Spika, lingine ambalo nataka nigusiekido<strong>go</strong> ni mauaji ya walemavu wa n<strong>go</strong>zi. Aah, hili eneobwana ni gumu, wakati mwingine linatia simanzi. JanaMheshimiwa Kwegyir, vilimshinda na ni kweli ni lazimalitakushinda tu kwa sababu, mauaji haya ni ya kikatilimno.Mheshimiwa Spika, huyu marehemu, mauaji yakeyametokea tarehe 26 Mei. Wamepata ile maiti kuleArumeru, Arusha. Alikuwa ni mwanaume593


wanamkadiria kati ya miaka 25 mpaka 30, aliokotwakandokando ya Mto Nambara, amekufa. Akaonekanaamekatwa mikono yote miwili, kanyofolewa sehemu zasiri na n<strong>go</strong>zi za usoni zimechunwa.Mheshimiwa Spika, mwili wake ulikutwaumepasuliwa na kuchukuliwa mapafu. Haliiliyosababisha kuwepo kwa hisia, strongly, of courseunaweza ukawa mweupe watu wakadhani kwamba, simlemavu wa n<strong>go</strong>zi. Lakini baada ya kuona haya yote,ni dhahiri kabisa kwamba, ni wale wale ndugu zetuambao kila siku wamekuwa ndio walengwa. Sasajamani, jambo hili kama nchi, kama Taifa, tabu.Unapofikia hatua hii, sishangai kwamba, MheshimiwaKwegyir alitoa machozi.Mheshimiwa Spika, sasa nataka nitoe wito.Niwasihi sana Watanzania na Vion<strong>go</strong>zi wenzanguwote, Madhehebu ya Dini, ndani ya Serikali, sisiWa<strong>bunge</strong> na wengine wote. Hili jambo ni letu sisi wote,maana ushirikina ni kitu ambacho ni kigumu sana,unakifanyaje? Maana kubwa ni elimu, lakini hatujafikahuko. Kama unavyoona mauaji mengi ni ya usiku,katika mazingira hayo, kinachohitajika ni elimu,kinachohitajika ni sisi wote tujitose ku-fight kweli kweli,huku kote mnakokwenda. Kila mmoja aliseme kwa njiaambayo itatusaidia kumaliza m<strong>go</strong><strong>go</strong>ro huu once andfor all.Mheshimiwa Spika, niwaombe sana WaheshimiwaWa<strong>bunge</strong>. Wengi mmesema sana juu ya amani nautulivu. Nasema chondechonde, wote tulione hilikwamba, ni letu sisi wote. Najua wakati mwingine watu594


wanapoona kwenye runinga, wanaona Misri,wanaona Libya, wanafikiri jambo lile ni la faraja; si lafaraja hata kido<strong>go</strong>, hata kido<strong>go</strong>. (Makofi)Mheshimiwa Spika, watazameni hawa tanguwalipofaulu kufanya hayo waliyoyafanya mpaka leowanavyohangaika kurejesha amani. Tazameni watuwanavyouawa pale bila sababu. Angalieni mali zawatu zinavyoharibiwa bila sababu. Si jambo la kuenzihata kido<strong>go</strong>. Uvunjifu wa amani, kukosekana kwautulivu, kukosekana kwa amani ni lazima wote tuseme,haina nafasi katika Taifa letu la Tanzania, ndipomtaona ni nini tufanye katika eneo hili. Nawasihi sanana nakubaliana na Wa<strong>bunge</strong> wote kwamba, hili ni letu,tulivalie njuga. (Makofi)Mheshimiwa Spika, kuna fedha huko katika Benkiya Uswis na nimeliona kwenye magazeti na kwenyemtandao. Mheshimiwa Kabwe kasema, MheshimiwaMariam Msabaha na yeye alilisema. Tulichofanya, kwamujibu wa taratibu za nchi hii, maana hili jambo liko njeya nchi yetu, kwa hiyo, kinachotakiwa hapa ni watuwa TAKUKURU, mnamuarifu Mwanasheria Mkuu waSerikali. Mwanasheria Mkuu wa Serikali sasa anaiarifuForeign, Mambo ya Nchi za Nje ili wao sasa to liason naVyombo vinavyohusika kwa len<strong>go</strong> la kupata ni ninikimetokea katika eneo hili. Sasa hiyo kazi tumeifanya,kwa hiyo, tutaendelea kuhakikisha kwamba, tunapatamatokeo ili tuweze kuona tunafanyaje. Kama litakuwana ukweli, basi hatua stahiki ziweze kuchukuliwa.Mheshimiwa Spika, niseme kido<strong>go</strong>, mmetuasasana juu ya uwajibikaji wa utendaji ndani ya Serikali.595


Ndugu zangu nalipokea kwa mikono miwili nanimekuwa nalisema sana. Tutaendelea kulikazia sana ilikuhakikisha kwamba, sisi mliotuamini mkatuweka katikanafasi hizi, uwe Waziri Mkuu, uwe Waziri, uwe Mkuu waWilaya, uwe Mkuu wa Mkoa, uwe nani, ni lazimatukubali kwamba, hii ni dhamana tuliyopewa na ummana ni lazima tuhakikishe kweli tunatekeleza yalemnayotuasa.Mheshimiwa Spika, ubadhirifu, rushwa, matumizimabaya ya madaraka, usimamizi mbovu wa fedha, nimambo ambayo lazima tuendelee kwa kwelikuyakemea. Nawashukuruni sana WaheshimiwaWa<strong>bunge</strong>, nawashukuruni sana kupitia Kamati zile tatu,Kamati zile zote za Kisekta, kazi mnayoifanya ni nzuri.Inatusaidia sana ili tuweze kufanya vizuri zaidi. Eeh,wameniambia Mzee, muda umekwisha; alaah, kweli!Mheshimiwa Spika, basi naomba nimalizie tu kwakusema kwamba, nawashukuruni sana. Nawashukurunisana kwa michan<strong>go</strong> yote mizuri. Nawashukuru sanaWapiga Kura wa Jimbo langu la Katavi kule, najuawananivumilia muda mrefu hatuonani, lakini Inshallah,muda si mrefu tutawaona. (Makofi)Mheshimiwa Spika, nirejee kuwashukuru Mawaziriwangu, kwa jitihada wanazofanya kunisaidia. Lakinikwa namna ya pekee niseme kwamba, ninapotembeahapa nchini kuna vitu vinanigusa sana, moja ni la majina kuna maeneo yamenigusa sana, moja ni Kondoa.Kondoa kuna tatizo la maji la aina yake, sijui wanajiolojia ya namna gani.596


Mheshimiwa Spika, sasa pale nina Mradi waNtomoko, ulikuwa na sifa kubwa sana. Nimedhamiriakuona kama naweza nikaufufua ule mradi, ili kusaidiajamii yote inayokaa pale. Kwa sababu, ni mradi mmojaambao hatuwezi kuuacha ukafa bila sababu za msingi.Mheshimiwa Spika, eneo lingine ni pale OrkesmenSimanjiro Makao Makuu, nimekwenda pale mara mbili,tatu sijawahi kuona eneo lenye tatizo la maji kamanililoliona pale. Matumaini yangu ni kwamba, kadrimuda utakavyokuwa unakwenda hata ndani ya bajetihii tuone ni namna gani naweza kusaidia sehemukama hizi ili kupunguza ile kero kwa kadriitakavyowezekana.Mheshimiwa Spika, kwenda Newala, nikakutanako kuna tatizo unique la maji pale, maana mpakawatu wanataka kupigana. Kwa hiyo, ninapopita pitakuna vitu vinavuta hisia zangu, nimeona niliseme hilikatika jitihada za kuona tu nini tunaweza kusaidiakatika baadhi ya maeneo au kuona namna ya kuwezakuwasaidia zaidi.Mheshimiwa Spika, namshukuru sana Mama Pindana leo naona yupo, nafikiri kuwepo kwake kumenipanguvu kweli, yeye akichungulia hivi napata nguvu kwelikweli. Yeye akichungulia hivi napata nguvu zaidi, kwahiyo mama nakushukuru sana, nawashukuru watoto nawengine wote. (Makofi)Mheshimiwa Spika, baada ya kusema haya,naomba kutoa hoja. (Makofi)597


WAZIRI WA NISHATI NA MADINI: Mheshimiwa Spika,naafiki.(Hoja iliamuliwa na Kuafikiwa)SPIKA: Hoja hii imeungwa mkono, sasa tutaingiakatika hatua nyingine.Waheshimiwa Wa<strong>bunge</strong> kabla hatujaendeleanapenda kueleza kwamba Kamati ya Matumizi,kufuatana na kanuni yetu ya 100 imeeleza kwambamjadala wa jumla kuhusu makadirio na matumizi kwaWizara utakapomalizika Bunge litaingia katika Kamatiya Matumizi ili kupitisha makadirio ya Wizara husikakifungu cha kifungu. Kwa hiyo, ndiyo kazi ambayotutaifanya. Lakini wakati huo mnakumbuka kwambatumekubaliana kutokana na matatizo yetu ya mudana wingi wetu, utaratibu ni kwamba, mnaotakaufafanuzi tulikuwa tunatumia dakika tano, lakini sasatutapunguza zitakuwa dakika tatu.Halafu kuna masuala ambayo ni muhimu hasaneno la kutoa shilingi. Kutoa shilingi kwa kweli ninamna ya kujenga hoja ya kupata muda wa kujielezakile unachotaka. Kwa hiyo, ukishatoa shilingi yakounaweza kuungwa mkono na wenzio wawili, watatuhalafu tunauliza Serikali halafu tunakuuliza wewemwenyewe. Kama unang’ang’ania shilingi yakotunapiga kura kama umebakia nayo, basi, bajetiitapita lakini itakuwa imeonesha dosari hiyo. Lakinikama wamekushinda wenzio basi na wewe itabidiukubali.598


Waheshimiwa Wa<strong>bunge</strong> kuna eneo ambalotunafanya makosa, mara nyingi mshahara wa Wazirikwa mujibu wa kanuni yetu ya 101(3) ni maswali kuhususera. Pale katika mshahara wa Waziri ukianza kuuliza ileshule yangu hamjajenga, katika kijiji changu majihamjaleta, siyo madhumuni ya mshahara wa Waziri.Someni kanuni inasema mtauliza jambo mahususi lakisera, sana unaweza kuuliza kuhusu utaratibu waMradi wa Maji wa Benki ya Dunia unakwendaje, ndiyowakati wake, siyo habari ya maji katika kijiji fulani. Kwahiyo, someni kanuni ile inasema kabisa kwambaM<strong>bunge</strong> ataruhusiwa katika kifungu cha mshahara waWaziri endapo ataomba ufafanuzi wa suala mahususila sera na hatazungumzia mambo mawili ya aina hiyo,hiki ni kifungu cha 101(3).Uzoefu wa bajeti zilizopita WaheshimiwaWa<strong>bunge</strong> wanauliza ujenzi wa shule katika Kata naJimbo lake na kutumia mshahara wa Waziri jamboambalo halikubaliki. Kinachokubalika hapa ni sera yaujenzi wa shule. Kwa hiyo, naomba sana maana yaketunatumia muda mwingi sana kwenye mshahara waWaziri kuuliza vitu vido<strong>go</strong> vido<strong>go</strong>, hatufiki kwenyemaendeleo, mara nyingi katika vitabu vya maendeleohatufiki na Spika anaruhusiwa kuongeza dakika 30baada ya muda wa kawaida wa kuahirisha Bungeukifika.Muda ule ukifika, zikibakia dakika kumi, tunafanyakitu kinaitwa guillotine, guillotine ni kwamba tunapitishavifungu vyote vizima vizima, jambo ambalo kwa kwelihatulipendi, lakini kwa sababu ya kutumia mudavibaya kwenye mshahara wa Waziri, basi tunafikia599


mahali kama hapo. Leo hii tutakuwa na vitabu vitatumikoa, katika mikoa tutapita fungu kwa fungu hatuwezikuingia kwenye detail ya mkoa mmoja mmoja, la sivyotutalala hapa. Kwa hiyo, hayo ndiyo machacheambayo nilipenda myazingatie Waheshimiwa ilitufanye kazi yetu kwa utaratibu na ufanisi mkubwasana katika muda tulionao. Kwa hiyo, sasa tunaingiakatika Kamati ya matumizi.KAMATI YA MATUMIZIMATUMIZI YA KAWAIDAFUNGU 25 – WAZIRI MKUUKif. 1001 - Administration na HR Management... ....5,908,141,000/=MWENYEKITI: Nilifikiri mnasimama mshahara waWaziri, ni 37 siyo hapo, hii ni ofisi binafsi. MheshimiwaM<strong>bunge</strong> hii ni ofisi binafsi, mshahara wa Waziri ni fungu37 hii ni ofisi binafsi hatuulizi hiyo. Unataka kujua nini?MHE. PAULINE P. GEKUL: Mheshimiwa Mwenyekiti,ufafanuzi.MWENYEKITI: Naam!MHE. PAULINE P. GEKUL: Napenda kupataufafanuzi katika fungu hilo hilo, siyo mshahara wa WaziriMkuu, napenda kupata ufafanuzi katika fungu hilohilo…600


MWENYEKITI: Sawa!MHE. PAULINE P. GEKUL: Ukurasa wa 102, nilipendakupata ufafanuzi katika sub vote 1001 kifungu kido<strong>go</strong>cha 220700 ambacho ni cha Rental Expenses. Kwenyehiki kifungu kwanza kinaonekana kinapanda kilamwaka, lakini pia mwaka huu ukiachilia mbali mwakajana kilikuwa milioni 965, mwaka huu ni bilioni1,312,000,000. Wakati nacheki kwenye randamanikaona kwamba hizi fedha zimetengwa kwa ajili yakulipia deni na gharama za kukodisha ndege kwa ajiliya safari za kazi. Kwa hiyo, napenda kupata ufafanuzikwanza kifungu kimechanganywa, wamechanganyarental expenses ni milioni 24, lakini vitu viwili vimewekwapamoja kukodi ndege na rental expenses, sidhanikama vilitakiwa vikae sehemu moja, lakini pia Kiswahilichenyewe kimekosewa wameandika kwamba nikukodisha ndege badala ya kukodi ndege. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa hiyo naombanipatiwe ufafanuzi ni deni gani la ndege? Lakini piahizo pesa kuwekwa kwenye fungu la rental expenses, isit right au ilitakiwa iwekwe kwenye travelling country.MWENYEKITI: Nani anajibu, Mheshimiwa Waziri waNchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Uratibu, Sera na Bunge)!WAZIRI WA NCHI, OFISI YA WAZIRI MKUU (URATIBU,SERA NA BUNGE): Mheshimiwa Mwenyekiti, ni kwelikwamba fungu hilo linahusika na kukodi ndege kwasafari za kikazi. Ndiyo maana limewekwa katika rentalexpense, kukodi ndege na ndege mara nyingitunakodi ndege za Serikali na ni kweli gharama601


zimepanda, kwa sababu hata gharama ya ukodishajisasa kwa saa zimepanda. Lakini pamoja na hilomwaka huu tunadaiwa ukodishaji wa ndege za Serikalish. 560,000,000/= kwa hiyo fedha hizi zitatumika kulipadeni ambalo tayari safari zimeshafanyika. Kwa hiyo, niukodishaji wa ndege kwa safari za Mheshimiwa WaziriMkuu za kikazi.(Kifungu kilichotajwa hapo juu kilipitishwa na Kamatiya Matumizi bila mabadiliko yoyote)FUNGU 37 – OFISI YA WAZIRI MKUUKif. 1001 – Administration and HR Management......4,345,645,000/=MWENYEKITI: Haya wasimame wanaotaka,hautoshi mshahara wa Waziri, nyie vipi! Nianze naMpina, nawataja kwanza atakayetajwa jina atakaa.Haya tunaanza na Mheshimiwa Rajab.MHE. RAJAB MBAROUK MOHAMED: MheshimiwaMwenyekiti, ahsante. Katika mchan<strong>go</strong> wangu wamaandishi nilitaka Waziri anitolee ufafanuzi jinsi yaHalmashauri kuweza kubadilisha mtindo ulionao wakutumia benki moja tu hapa nchini. Kwa sababu hatakatika ripoti ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikaliilionesha kwamba Halmashauri pamoja na watendajiwa benki walikuwa na mchezo ambao wanacheza wakuiba baadhi ya fedha. Sasa tulitaka kuwe na uwezozaidi, kwamba Halmashauri ziruhusiwe kutumia nabenki nyingine hususan benki zile ambazo zinamilikiwa602


moja kwa moja na Watanzania wenyewe. Sasanaomba Mheshimiwa Waziri anipe kauli juu ya hili.MWENYEKITI: Benki moja ni ipi hiyo?MHE. RAJAB MBAROUK MOHAMED: Benki ya NMBpekee yake.MWENYEKITI: Haya naomba wenyewe muwetayari kujibu, nani? Mheshimiwa Waziri wa Fedhayupo? Mheshimiwa Waziri wa Nchi.WAZIRI WA NCHI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALAZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA: MheshimiwaMwenyekiti, kwa sasa hivi ni kweli Benki ambayoinatumika na taasisi karibu zote hasa Halmashauri zetuni Benki ya NMB kwa sababu ndiyo benki ambayoimeenea katika wilaya zote za Tanzania. (Makofi)Sasa kuhusu kutumia benki nyingine labda ni sualala kuzungumza na kulitazama.MHE. SALIM HEMED KHAMIS: MheshimiwaMwenyekiti, nakushukuru. Mion<strong>go</strong>ni mwa kero nakama alivyoziita Mheshimiwa Waziri Mkuu changamotoza Muungano, ni Mfuko wa Pamoja wa Fedha. Mfukohuu ni kwa mujibu wa Katiba na miaka mingi tokailipopendekezwa na Katiba karibu miaka 34, Bungelimetunga sheria lakini utekelezaji wake bado. Sualalililobaki ni fomula ya mapato na mgao wa fedha.Ningependa kumuuliza Mheshimiwa Waziri Mkuukwamba, je, tukimpitishia bajeti yake ataweza603


kutuhakikishia kwamba suala hili litapatiwa ufumbuzimara hii?WAZIRI WA NCHI, OFISI YA MAKAMU WA RAIS(MUUNGANO): Mheshimiwa Mwenyekiti, suala laAkaunti ya Pamoja ya Fedha, tayari kwa upande waSerikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania warakaumeshajadiliwa na ngazi ya Makatibu Wakuu na uponjiani kwenda katika Baraza la Mawaziri. Baada yakujadiliwa na Baraza la Mawaziri, utekelezaji utaanzamara moja. Ahsante.MWENYEKITI: Mheshimiwa Halima Mdee! Miminitaitaita tu, msiniulize.MHE. HALIMA J. MDEE: Mheshimiwa Mwenyekiti,nataka nipate ufafanuzi kutokana na maelezo yaWaziri Mkuu kuhusiana na suala zima la uwekezaji nahususan Memorandum of Understanding aliyoingiabaina yake yeye kwa mantiki ya Halmashauri pamojana AGGRESOL. Waziri Mkuu amesema kwamba hayowamekubaliana katika feasibility study peke yake.Lakini ukiangalia vipengele vya hii Memorandum ofUnderstanding kuna vipengele vingine ambavyovinabainisha wazi kwamba Halmashauri pamoja naMwekezaji wana mipan<strong>go</strong> ya kuingia mkataba wakatitunajua kwamba sheria za nchi haziruhusu kabisa sualala uwekezaji, Halmashauri kuingia mikataba, balimasuala yote lazima yajumuishe Tanzania InvestmentCentre. Sasa kwa kuwa hii Memorandum ofUnderstanding ina vipengele ambavyo vinaoneshakama pande mbili zikishindwa kuelewana kutokana na604


terms ambazo ameziandika hapa watapelekanakatika Mahakama za Kimataifa.Sasa nilitaka Waziri Mkuu atuambie kwa kupitia hiliBunge kwamba, hii Memorandum of Understandingambayo Halmashauri imeingia haina maana nakwamba baada ya hiyo feasibility study mchakato wakisheria kwa mujibu wa sheria za nchi inayohusiana nauwekezaji utafuatwa? Lakini vilevile kwa kuzingatiakwamba mmoja kati ya wabia wa AGGRESOLamejitoa ambaye yeye kazi yake kubwa ya msingiilikuwa ni kuwasaidia wakulima wado<strong>go</strong> wado<strong>go</strong>,status ya AGGRESOL ikoje? Lakini vilevile atuambie kwakuzingatia udo<strong>go</strong> wa maeneo ambayo yanapelekeami<strong>go</strong><strong>go</strong>ro baina ya wakulima na wafugaji katikaWilaya ya Mpanda, hadhani kwamba ni busarakuacha eneo husika liweze kuendeshwa na wananchiwenyewe kwa msaada wa Serikali.MWENYEKITI: Mheshimiwa Halima, kengeleiki<strong>go</strong>nga, ime<strong>go</strong>nga. Kwa hiyo, kila mtu ajipangedakika tatu ni chache, uwe clear maana yake ukiletastory ndefu hakika hupati muda.MHE. HALIMA J. MDEE: Naamini Waziri Mkuuamenielewa vilivyo.MWENYEKITI: Basi ni vizuri ukae chini sasa.MWENYEKITI: Mheshimiwa Waziri wa Nchi!WAZIRI WA NCHI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALAZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA: Mheshimiwa605


Mwenyekiti, napenda nimwambie Mheshimiwa HalimaMdee, kwanza ni Mwanasheria anajua maana yaMOU. MOU siyo msahafu na wala siyo mkataba bali nimakubaliano ya awali. Naomba aendelee kumwelewaMheshimiwa Waziri Mkuu, kaongea Kiswahili chepesi,rahisi na kinachoweza kueleweka na mtu yeyote.MWENYEKITI: Mheshimiwa Mdee ni mara moja tukanuni tumesoma hapa. Mheshimiwa Mkosamali!MHE. FELIX F. MKOSAMALI: MheshimiwaMwenyekiti, nashukuru…MWENYEKITI: Hujasikia nimesema kwamba badalaya kusubiri uitwe mara mbili ni mara moja tu!MHE. FELIX F. MKOSAMALI: MheshimiwaMwenyekiti, nashukuru. Nataka kupata ufafanuzi kwasababu kwenye mchan<strong>go</strong> wangu wa maandishinilitaka kufahamu kwamba tukipitisha fedha hizi je,Serikali iko tayari kuwa inatupatia Wa<strong>bunge</strong> taarifa zafedha zinazokwenda kwenye Halmashauri kila mwezina fedha ambazo zinakwenda kwenye Mashirika yoteya Umma,? Tuwe tunazifahamu kila mwezi ili tuwezekujua fedha hizo zimekwenda na zinakwendakutumikaje kwa sababu unakuta Wa<strong>bunge</strong> hatunataarifa ya fedha ambazo zinakwenda kwenyeHalmashauri ili tuweze kufuatilia.MWENYEKITI: Mheshimiwa Waziri maelezo!WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS, (UTAWALA BORA):Mheshimiwa Mwenyekiti, Ofisi ya Waziri Mkuu, TAMISEMI606


kila inapopeleka fedha kwenye Halmashauri kilabaada ya miezi mitatu inachapa kwenye magazeti.Lakini pili, Mheshimiwa M<strong>bunge</strong> wa Jimbo kama alivyoNdugu yangu muuliza swali anakuwa moja kwa mojaMjumbe wa Kamati ya Fedha, ajitahidi tu aweanahudhuria vikao vya Kamati ya Fedha kwa sababupale ndipo inapotolewa taarifa ya fedhazilizopokelewa na Halmashauri. (Makofi)MHE. STEPHEN H. NGONYANI: Mheshimiwa Spika,ahsante sana. Kwanza, nataka niombe radhi kwayaliyojitokeza jana kwa Madaktari kwani sivyo ndivyonilivyokuwa nimeongea.Pili, nataka kuuliza kwamba, katika mchan<strong>go</strong>wangu nilikuwa nataka kujua hati miliki za wale ambaomashamba yao hayaendelezwi zitafutwa lini?WAZIRI WA NCHI, OFISI YA WAZIRI MKUU,UWEKEZAJI NA UWEZESHAJI: Mheshimiwa Mwenyekiti,naomba kujibu swali la Mheshimiwa N<strong>go</strong>nyani kamaifuatavyo:-Mheshimiwa Mwenyekiti, hati inapatikana kisheriana kwa hiyo kufuta hati napo itafuata mkondo washeria na kwa vile ni jambo mahususi katika Jimbo laMheshimiwa N<strong>go</strong>nyani basi mimi na yeye tutakaa nakuangalia na wale wote wanaohusika ili tuone ni niniambacho tutakifanya.MHE. TUNDU A.M. LISSU: Mheshimiwa Mwenyekiti,naomba nipate ufafanuzi kutoka kwa MheshimiwaWaziri Mkuu juu ya amri iliyotolewa na Mkuu wa Mkoa607


wa Singida wiki iliyopita tarehe 20/6 ya kupigamarufuku wanunuzi binafsi wa zao la alizeti kununuakutoka kwa wakulima na badala yake kuelekezakwamba wanunuzi pekee kutoka kwa Wakulimawatakuwa ni Vyama vya Ushirika.Mheshimiwa Mwenyekiti, katika maeneo mengi yaMkoa wa Singida especially Jimboni kwangu hakunaVyama vya Ushirika, hakuna points ambazozimetengwa kwa ajili ya kuuzia alizeti. Kwa hiyo, hii amriimeleta mfadhaiko mkubwa sana kwa wananchi waMkoa mzima. Amri inasema kwamba atakayekutwaanauza au ananunua alizeti nje ya utaratibu huuatakamatwa atapelekewa Mahakamani naatafungwa miaka miwili na watu wanakamatwa,wananyang’anywa mali zao na kwa kweli imeletamfadhaiko mkubwa sana.Mheshimiwa Mwenyekiti, sasa kwa ninavyofahamumimi kwanza Mkuu wa Mkoa hana mamlaka yakisheria ya kutoa amri kama hiyo, sheria ya Tawala zaMikoa haimpi madaraka hayo.Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini pili, pamoja nakwamba naelewa len<strong>go</strong> ni kuondoa walanguziwanaonyonya wakulima, utaratibu mzuri ungepaswauwekwe wa kuhakikisha kwamba wakulimawanaoneshwa mahali ambapo watauza alizeti yao,bei itangazwe, watakaokwenda kununua wajulikanelakini hili halijafanyika na matokeo yake kuna confusionkubwa, watu wanahangaika na kukosa kujua waendewapi.608


Mheshimiwa Mwenyekiti, naomba MheshimiwaWaziri Mkuu atueleze tunafanyaje sisi ambao tunalimaalizeti bila msaada wowote, tukishaivuna inapatawajanja zaidi wanaojua namna ya kutuambia tuiuzeje.Mheshimiwa Mwenyekiti, ni hilo tu.WAZIRI WA NCHI, OFISI YA WAZIRI MKUU,UWEKEZAJI NA UWEZESHAJI: Mheshimiwa Mwenyekiti,naomba kujibu hoja ya Mheshimiwa Tundu Lissu kamaifuatavyo:-Mheshimiwa Mwenyekiti, Mheshimiwa RC waSingida ametoa amri hiyo kwa kutaka kuwateteawakulima wapate bei nzuri kupitia ushirika wao iliwafanyabiashara mmoja mmoja wasiende kwenyeshamba moja moja au nyumba moja moja, alikuwa nania njema kabisa. Najua kuna Vyama vya UshirikaSingida, Singida ni jirani zangu na mimi nilikuwa Waziriwa Viwanda na Biashara, inawezekana kabisa Vyamahivyo vya Ushirika visitosheleze, lakini amri hii ya Mkuuwa Mkoa haiwezi kupuuzwa. Sasa kama kunachangamoto zinazotokana na hiyo amri wananchi naMkuu wao wa Mkoa wa Singida wataiangalia lakini niani njema kabisa na RC huyo ndiye anamwakilisha Raiskwenye Mkoa wa Singida na ndiye anayependawakulima wa Singida ambao ni wapiga kura waMheshimiwa Tundu Lissu wapate bei nzuri. (Makofi)MHE. ESTHER N. MATIKO: Mheshimiwa Mwenyekiti,nakushukuru. Napenda kupata ufafanuzi kutoka kwaWaziri Mkuu. Ni dhahiri kwamba elimu nchini sasa hiviinashuka kwa kasi kubwa sana na moja ya609


changamoto tumekuwa tukisema ni miundombinu,lakini cha kusikitisha pia umakini unakosekana katikasekta hii ya elimu. Juni 2012 wanafunzi wa Shule yaMsingi kwa maana ya darasa la saba Mkoani Marawalifanya mtihani wa hisabati wa Mock, lakini chakusikitisha sana katika maswali 50, maswali 21 yalikuwayamekosewa na hao wanafunzi walipewa huo mtihaniwakafanya na mpaka sasa hivi Walimu wanaendeleakusahihisha.Mheshimiwa Mwenyekiti, ndiyo maana siungimkono siku zote hasa katika mtihani kwa hisabatikutungwa kwa maana ya multiple choice kwa sababuwamewatungia wanafunzi multiple choices na maswaliyote 21 yamekosewa hayana majibu. Nataka kupataufafanuzi hao Walimu waliendelea kusahihisha hiyomitihani licha ya kwamba imekosewa? Pili, hao Walimuwaliokuwa na uzembe huu mpaka sasa hiviwamechukuliwa hatua gani? Kwa maana Walimuwanaofundisha shule zote za msingi na waliohusikakutunga huo mtihani.NAIBU WAZIRI, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZAMITAA, (ELIMU): Mheshimiwa Mwenyekiti, ni kwelikwamba Mheshimiwa M<strong>bunge</strong> ameleta nakala yamtihani uliofanywa akiwa ameonesha kwamba baadhiya maeneo hayo yamekosewa na tulichokifanyatumeutuma mtihani ule kwa Afisa Elimu wa Mkoa ili piaakae na delegation yake yaani panel yake ili wapitieupya kwa sababu majibu umeyaweka wewe lakiniwao wana marking scheme yao. Kwa hiyo, watakujakututhibitishia, lakini kama ambavyo nimekudokezamchana kwamba tutakupa taarifa ya matokeo haya.610


MWENYEKITI: Kumbe mmeongea! (Kicheko)Mheshimiwa Daktari Augustine Mrema!MHE. DKT. AUGUSTINE L. MREMA: MheshimiwaMwenyekiti, katika mchan<strong>go</strong> wangu wa maandishinilitaja kilio cha Holy Spirit Sisters ……MWENYEKITI: Hiyo microphone iko mbali sana kwahiyo husikiki vizuri.MHE. DKT. AUGUSTINE L. MREMA: MheshimiwaMwenyekiti, ahsante. Katika mchan<strong>go</strong> wangu wamaandishi kwa Mheshimiwa Waziri Mkuu nilitaja kiliocha Masista wa Holy Spirit Sisters wa Rauya MaranguMoshi, walikuja mpaka hapa Bungeni tukaonana naWaziri wa Ardhi, Nyumba na Makazi, tukaonana naWaziri wa Mambo ya Ndani na baadaye akatuelekezakwa Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani.Mheshimiwa Mwenyekiti, kilio chao ni kwambawale Masista ni wawekezaji wana shamba Siha,wanafuga ng’ombe wazuri, wanafuga mbuzi,wamejenga Sekondari nzuri sana ambayo hata Raisaliombwa kuja kuifungua. Masista wale wamejengaKituo cha Afya na sasa hivi wanataka kujenga Kituocha Kutunza Wazee kikubwa katika Mkoa waKilimanjaro. Lakini Masista hawa wamezingirwa auwamevamiwa, sasa katika uvamizi ule Masista walewalihangaika wakaenda Mahakamani……MWENYEKITI: Wamevamiwa na nani?611


MHE. DKT. AUGUSTINE L. MREMA: WalikwendaMahakamani wana Court Order ambayo nimempatiahata Mwanasheria wa Serikali na Waziri wa Mambo yaNdani, nimempa pia Waziri wa Ardhi, Nyumba naMakazi.Mheshimiwa Mwenyekiti, ile Court Order ni tokamwaka 2008 lakini haitekelezwi, hawasaidiwi Masistawale na jana wale wavamizi ambao tayariwameshawazingira wamewaambia mkicheza na sisitutawabaka. Sasa tunafikia mahali katika nchi hiimpaka Masista wanatishiwa amani, haki haitendeki,Court Order wanayo na sisi tumeambiwa na Rais wetukwamba tuheshimu amri za Mahakama yaani amri zaMahakama ziheshimiwe, sasa tena hii danadanainatoka wapi?Mheshimiwa Waziri Mkuu, naomba hebu tusaidie iliwale Masista wa Holy Spirit Sisters hiyo amri waliyo nayowatatembea nayo barabarani mpaka lini? Hiyo hakiwatapata lini? Ahsante sana.MWENYEKITI: Mheshimiwa Mrema lakini ungewezahata kwenda kuongea na hao kuliko kutufanya watuwote washiriki wala Masista wenyewe hawajui. Sasakitu cha maana hapa ni kwamba hivi ikitolewa CourtOrder kinatokea nini baada ya hapo? Nadhani ndiyoswali lenyewe la kisera.Mheshimiwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali!612


MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI: MheshimiwaMwenyekiti, ni kweli kwamba Mheshimiwa Mrema,Naibu Waziri Mkuu Mstaafu jana alinipa hayomalalamiko, lakini kwa kweli ni kesi na kamaunavyosema Masista wenyewe wangeweza kwendahivyo lakini sisi tumeichukua ile kesi na ningejua kamaungeuliza sasa hivi Bungeni labda ningekwambiaun<strong>go</strong>jee mpaka uulize lakini tayari tumeshaanzaprocess ya kutafuta hilo jibu sahihi na tutakupatia.Mheshimiwa Mwenyekiti, ahsante sana.MHE. GAUDENCE C. KAYOMBO: MheshimiwaMwenyekiti, ahsante. Nataka ufafanuzi kutoka kwaMheshimiwa Waziri Mkuu hasa kuhusu ulipwaji wamadeni na hasa madeni ya ushirika ambayo Awamuya Tatu ya Serikali yetu ilishaamua kuyalipa. Lakiniwapo baadhi ya wanaushirika hawajalipwa mpakasasa na hasa madeni ambayo yalisababishwa naChama cha Ushirika na MBICU na mwaka jana katikaBajeti ya Serikali tuliahidiwa kwamba pengine katikabajeti hii yangeweza kuwa considered, lakini sijaonamwelekeo wowote na hili jambo nililiweka katikamchan<strong>go</strong> wangu kwa Mheshimiwa Waziri Mkuu.MWENYEKITI: Mheshimiwa Profesa Chiza, Waziri waKilimo.WAZIRI WA KILIMO, CHAKULA NA USHIRIKA:Mheshimiwa Mwenyekiti, mimi siyo Professor.MWENYEKITI: Utakuwa siku moja.613


WAZIRI WA KILIMO, CHAKULA NA USHIRIKA:Mheshimiwa Mwenyekiti, suala hili analoliuliziaMheshimiwa Kayombo kwa kweli ni la muda mrefu nanalifahamu na juzi tumelizungumza hapa. Ninachojuasasa ni kwamba, mchakato ule wa kujua deni lile nikiasi gani na litalipwaje umekwishafika Hazina na yeyeanafahamu na tumelizungumza. Kwa hiyo, naomba tusasa baada ya kupitisha bajeti hizi tuwasiliane na yeyepamoja na Hazina ili tuone litakavyolipwa maanalimeshafika Hazina.MHE. DESDERIUS J. MIPATA: MheshimiwaMwenyekiti, ahsante sana. Katika mchan<strong>go</strong> wangu wamaandishi niliweza kuzungumza juu ya barabara mbilimuhimu sana za Nkana Kala na Kitosi Wampembeambazo mara zote zimekuwa nikiuliza maswali,nimeweza pia kumuona Waziri, nimeweza kwendakumuona Mkurugenzi wa Barabara Nchini kwanibarabara hizi zimekuwa kikwazo sana kwa mashirikaambayo yanajaribu kupunguza vifo vya akinamamana watoto ambavyo vinawabana sana akinamamawa Mwambao na kwenye mazungumzo haya sijaonaufafanuzi wowote tangu nimekuwa M<strong>bunge</strong>.Mheshimiwa Mwenyekiti, naomba suala hilonipate ufafanuzi na ufumbuzi wake.NAIBU WAZIRI WA UJENZI: Mheshimiwa Mwenyekiti,kwa niaba ya Waziri Mkuu naomba nitoe ufafanuziufuatao:-Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa sababu amesemaamemuona Mkurugenzi wa Barabara Nchini na hii614


inaonyesha kwamba barabara husika zinashughulikiwana Wizara ya Ujenzi na kwenye bajeti yetu tutatoaufafanuzi wa barabara zote ambazo tumepangakuzitengeneza mwaka huu ambao ndiyo tunaanzakuujadili.Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa hiyo, naombaaunge mkono ili Waziri Mkuu apate hizi fedha ili tukijakwenye ujenzi basi tutamalizia.MHE. ALLY K. MOHAMED: Mheshimiwa Mwenyekiti,ahsante sana. Mheshimiwa Waziri Mkuuamezungumzia matatizo ya maji Kondoa na kadhalikana miaka yote nazungumzia matatizo ya majiNamanyere lakini hakugusia kabisa maji Namanyerena yeye ni mwenyeji……MWENYEKITI: Hawakusikii na mimi mwenyewesikusikii, nadhani hiyo microphone siyo nzuri.MHE. ALLY K. MOHAMED: Mheshimiwa Mwenyekiti,ahsante. Waziri Mkuu katika kuhitimisha amezungumziamatatizo ya maji Kondoa na kadhalika wakati jiraniyake Namanyere ndiyo napakana nayehakuzungumza lolote na Namanyere wana matatizoya maji sijaona na mwenyewe anafahamu, lakinihakuzungumza amekaa kimya, anazungumzia Kondoana kadhalika. Kusema kweli mimi bila hilo jirani yanguitakuwa ni matatizo makubwa sana, siwezi kuungamkono hoja mpaka anieleze matatizo ya majiNamanyere. Mwaka jana nilitaka kuleta akinamamabasi zima waje kulala hapa Bungeni, ikawa ni matatizoakaniambia, tutakutatulia matatizo ya maji usiwe na615


matatizo, naona mwaka huu tena kanilaza hivi hivi.(Kicheko)MWENYEKITI: Lakini hilo swali ndiyo yale ambayotumekataa kwamba usiulize specific lakini nao<strong>go</strong>pamsi<strong>go</strong>mbane undugu wenu huko. (Kicheko)WAZIRI MKUU: Mheshimiwa Spika, unajua huyuBwana ana mambo yake mengi kido<strong>go</strong>, kwa hiyo nilazima tujitahidi kuyasema vizuri.Mheshimiwa Keissy nilipitiwa tu lakini dhamirayangu ilikuwa ni kutaja vile vile na Nyamanyere kwasababu nalifahamu sana hilo tatizo lako, kwa hiyo, nipekamuda kido<strong>go</strong> mpaka mwisho wa bajeti, nadhanitutatafuta kila mbinu na najua na bajeti yake ni kiasigani, angalau uanze tu.MWENYEKITI: Isipokuwa usilete wale akinamamakama ulivyotaka kuleta, maana unataka kuleta balaakubwa kabisa hapa. Mheshimiwa Bulaya!MHE. ESTHER A. BULAYA: Mheshimiwa Mwenyekiti,ahsante sana. Kwa muda mrefu wananchi wa Mkoawa Mara wamekuwa na kiu ya ukamilishwaji waHospitali ya Rufaa ya Kwangwa na Wa<strong>bunge</strong> wote waMkoa wa Mara tukion<strong>go</strong>zwa na Mwenyekiti wetuMheshimiwa Wassira, M<strong>bunge</strong> wa Bunda pamoja naMkuu wa Mkoa wamekuwa wakilifuatilia suala hili kwamuda mrefu sana na pia nichukue fursa hii kumpa poleM<strong>bunge</strong> wa Bunda kwa kufiwa na mama yake, Munguampe moyo wa subira ili aweze kuja kulitumikia Taifa.616


Mheshimwa Mwenyekiti, mwaka janatulizungumzia suala la ukamilishaji wa hospitali hii nanaamini kabisa Mheshimiwa Waziri Mkuu unalijua na ilituweze kukamilisha hospitali hizi zinahitajika kamashilingi bilioni 2.5. Mheshimiwa Waziri Mkuu wananchiwa Mkoa wa Mara wamekuwa wakipata taabu mudamrefu kwenda hospitali ya Bugando kutokana nahuduma duni ambazo wanazikosa lakini ukamilishwajiwa hospitali hii utasaidia matatizo mengi kumalizikakule kule Mkoa wa Mara. Kwa hiyo, nahitajicommitment ya Serikali kuhusiana na ukamilishwaji wahospitali hii.MWENYEKITI: Suala hilo Mheshimiwa Bulaya kamatulivyosema mambo ya kisera isiwe hospitali specific.Mheshimiwa Daktari!WAZIRI WA AFYA NA USTAWI WA JAMII:Mheshimiwa Mwenyekiti, naomba nimjibu MheshimiwaEsther Bulaya kama ifuatavyo:-Mheshimiwa Mwenyekiti, fedha hizo zipo kamaataangalia kwenye vitabu vya Mikoa atakuta kunabillioni 2.1 zimetengwa kwa ajili hiyo.MWENYEKITI: Mheshimiwa Daktari Kikwembe!MHE. DKT. PUDENCIANA W. KIKWEMBE:Mheshimiwa Mwenyekiti, ahsante. Napenda kupataufafanuzi kwa kuwa, Serikali iliridhia kwa kuanzishwamikoa mipya ya kiutawala ukiwemo Mkoa mpya waKatavi.617


Mheshimiwa Mwenyekiti, katika kitabu cha orodhaya majedwali yanayoambata na hotuba ya WaziriMkuu, nikiangalia ukurasa wa 11 katika Mkoa waKatavi, hakuna Wilaya ya Mlele. Nilikuwa napendanipate maelezo na pia nifahamishwe kama kunafungu, ama limetengwa kwenye mafungu mengine,tunaweza tukayapataje ili Wilaya hiyo iwezekujiendesha? Ahsante.WAZIRI WA NCHI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALAZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (TAMISEMI):Mheshimiwa Mwenyekiti, ahsante. Nadhani kwa sualala Mikoa mipya na Wilaya mpya fedha zake za OCzimeoneshwa katika Wilaya husika. Lakini fedha zamaendeleo ziko Hazina na tumekubaliana sasa hivimgawo utakuwaje. Kwa Mikoa mipya, najibu la Mikoaili lisije likaulizwa tena, itapata fedha za maendeleo Sh.3,503,640,500/= kwa kila Mkoa mpya. Kila Wilaya mpyaipatapata Sh. 2,395,000,000/= na Mlele imo kati ya hizoWilaya mpya katika orodha yetu ya mgawanyo wafedha hizo kutoka Hazina.MHE. SARA M. ALLY: Mheshimiwa Mwenyekiti,ahsante sana kwa kunipa nafasi. Mwezi A<strong>go</strong>sti, 2011,Serikali iliwasilisha Bungeni Mpan<strong>go</strong> wa Dharura waKuondoa Mgawo wa Umeme Nchini, ambapo kwenyempan<strong>go</strong> huo zilikuwa zinahitajika Shilingi bilioni 408 kwaajili ya kugharamia mafuta ya kuendeshea mitambohiyo. Tunajua sasa ni mwaka mmoja umepita tangutuupitishe mpan<strong>go</strong> huo wa dharura na Serikali ilitakuwakutoa guarantee kwenye Shirika la Umeme TANESCO.Ninachotaka kujua, ni lini Serikali itatoa hiyo guaranteeili Shirika la Umeme nchini liweze kujiendesha bila kuwa618


na hasara? Kwa sababu sasa wanakopa mafuta kwakutumia mali kauli.WAZIRI WA NISHATI NA MADINI: MheshimiwaMwenyekiti, hizo Shilingi bilioni 408 ukiipatia TANESCO nisawasawa kama unatupa glass ya maji kwenye bahari.Madeni ya TANESCO ni mengi na tulipopiga hesabu,ukiwapatia hizo Shilingi bilioni 408 ni kwambakitakachobaki ni chini ya Shilingi bilioni tatu au nne.Kwa hiyo, sisi kama Wizara, tumefanya mbinu ambazozinasaidia, sasa hivi hamna mgawo wa umeme, walaumeme haukatikikatiki kama ilivyokuwa hapo awali.(Makofi)MHE. SELAMAN S. JAFO: Mheshimiwa Mwenyekiti,ahsante. Katika kipindi cha karibuni tumeshuhudiakatika Taifa letu wananchi wakipata shida kwa sababuya njaa, bei ya vyakula imepanda na katika mchan<strong>go</strong>wangu nimezungumza kwamba, bei ya vyakulaimepanda na maisha yamekuwa magumu, lakini piatunashuhudia vijana wengi wanaomaliza Vyuo Vikuuna wale ambao wako Mitaani wakiwa hawana ajira.Wakati huo huo tunashuhudia katika sehemu za SUMAJKT kuna matrekta yamekaa pale na kuna uwezekanomengine yakapata pacha. Serikali inaonaje sasaikiamua kutoa yale matrekta ili kuwapatia vijana katikakila Halmashauri kama utaratibu wa ruzuku ili mradimatrekta yale yaweze kuzalisha chakula cha kutoshana kuleta ajira kwa vijana? Lakini sijapata ufafanuzi wakutosha katika eneo hili.Mheshimiwa Mwenyekiti, ahsante. (Makofi)619


WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS (UTAWALA BORA):Mheshimiwa Mwenyekiti, naomba nimjibu MheshimiwaSeleman Jafo - M<strong>bunge</strong> wa Kisarawe, ndugu yangu,kama ifuatavyo:-Mheshimiwa Mwenyekiti, kukabidhi matrekta kwavijana, unatakiwa ufanye kwa wale ambaoumewaundia kikundi, na wana uon<strong>go</strong>zi wa aina fulani.Kwa hiyo, ushauri tu ni kwamba akianzia kwakeKisarawe na Waheshimiwa Wa<strong>bunge</strong> wengine, taratibuza Halmashauri zinaruhusu kuunda vikundi vya vijanana kuwawezesha. Kwa hiyo, kitu cha kwanzakinachohitajika kufanyika hapa ni kuwa na vikundi vyavijana na tunayo mifano mingi tu katika Halmashaurina mikoa mbalimbali ambapo kuna vikundi vya vijanaambao Serikali inawasaidia zana za kilimo kwa sababutayari wapo na wamejikusanya pamoja. Mimi nadhanitungeanzia hapo.MHE. MTUTURA A. MTUTURA: MheshimiwaMwenyekiti, nakushukuru sana. Kuna Wizara mbili;Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika, vilevile kunaWizara ya Viwanda, Biashara na Masoko. Kutokana namatatizo makubwa ambayo mwaka huu wakulima waKorosho wameyapata juu ya uuzaji wa korosho zao,nataka kufahamu kutoka Serikalini, ni Wizara ipiambayo inawajibika kutafuta masoko ya mazao yakilimo? Kwa sababu kwa tafsiri inaonekana kuwa niWizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika. Lakiniimeonekana kwamba, Wizara ya Viwanda, Biashara naMasoko imekuwa haijihusishi sana na kutafuta masokoya mazao ya biashara.620


Je, ni Wizara gani kati ya hizi mbili ambayospecificaly inawajibika katika kutafuta masoko yamazao ya wakulima wetu? (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, vilevile katika maelezo yaMheshimiwa Waziri Mkuu amesema kwamba,wanajaribu kuangalia uwezekano wa Viwanda vyaKorosho, vile ambavyo havifanyi kazi ambavyovinawajibika kufanya, kuvifuta. Sasa nashindwakuelewa, kwa sababu viwanda hivi vimeuzwa zaidi yamiaka mitano, sasa hivi na havijabangua hata Koroshomoja. Ni utafiti gani huo ambao utafanyika ili hali watuhawa hawajatimiza wajibu wao ndani ya miakamitano?WAZIRI WA KILIMO, CHAKULA NA USHIRIKA:Mheshimiwa Mwenyekiti, ni Wizara ipi inahusika katikakutafuta masoko? Suala la masoko kama nilivyokuwanalieleza asubuhi hii ni pana kido<strong>go</strong>; hata kutafutanamna ya usindikaji ni masuala ya masoko; hataunapowezesha watu kufikisha mazao yao sokoni ninamna ya masoko. Kwa hiyo, hapa kwa kweli ukisematuweke mstari katikati, ni vigumu kutenganisha Wizaraya Kilimo, Chakula na Ushirika na Wizara ya Viwandana Biashara. Sisi wote tunahusika kwa njia moja aunyingine. Kwa mfano, Mheshimiwa M<strong>bunge</strong>aliyezungumza jana tu au juzi ametoka Ofisini kwangutukiwa tunatafuta namna ya kutoa korosho iliyokoTunduru na Coast Region kwa len<strong>go</strong> la kuifikishabandarini ili mnunuzi aweze kuichukua. Wote huo nimlolon<strong>go</strong> wa masoko.621


Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa hiyo, naona Wizarazote mbili hatuwezi kutupiana mzi<strong>go</strong> huu, tunafanyakazi kwa pamoja.MHE. INNOCENT E. KALOGERIS: MheshimiwaMwenyekiti, nami katika mchan<strong>go</strong> wangu wa manenona maandishi nilitaka kujua kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu– TAMISEMI, ni sheria au kanuni ipi ambayo inaipa hakiSerikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu kuwahukumuwananchi ambao Halmashauri zao zimepata hatichafu kutokana na makosa ya Serikali yenyewe, lakinivilevile watendaji wabadhirifu kwa kuwanyima fedhaya ruzuku na hatimaye kuwafanya wananchi haowakakosa maendeleo kutoka katika Serikali yao?Niliomba maelezo sikupewa, lakini naomba sasa hivinipate maelezo. Kama ni sheria: Je, ilitungwa naBunge? Kama ni Kanuni, ilitungwa na nani? Ni liniitakuja Bungeni ili tuiondoe ili kusudi wananchi wetuwasipate udhia ambao unasababishwa na watendajiwabadhirifu na Serikali yenyewe kutokuwapa mafunzowatumishi wake?WAZIRI WA NCHI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALAZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (TAMISEMI):Mheshimiwa Mwenyekiti, utaratibu wa kuzipatiamamlaka ruzuku isiyokuwa na masharti, shartimojawapo ni kwamba, lazima Halmashauri hiyo iweinasimamia fedha hizo kwa ukamilifu. Hiyo ilikuwa nikatika kupitia mfumo wa maboresho wa Serikali zaMitaa.Mheshimiwa Mwenyekiti, katika Halmashauri wapoWatendaji wa Serikali, wapo Waheshimiwa Wa<strong>bunge</strong>622


na Waheshimiwa Madiwani ambao wanawawakilishawananchi. Sasa kwanini wanyimwe hizi fedha wakatikuna hayo makosa yaliyojitokeza?Yale makosa kwa upande mmoja watumishiwanahusika, lakini Madiwani na WaheshimiwaWa<strong>bunge</strong> wanao mkono wao kwa sababu tunaowajibu wa kusimamia watumishi katika mamlaka zetu.Sisi tumechaguliwa na wananchi tuwawakilishe katikaHalmashauri kusimamia Halmashauri zetu.Tunahudhuria katika vikao vya fedha kila mwezi ilikufahamu ni fedha kiasi gani zimeingia na kiasi ganizimetumika. Haiingii akilini kama kweli mtu anawezaakatoa taarifa kwenye Kamati ya Fedha kwamba,bwawa limejengwa wakati halijajengwa na wapowawakilishi wa wananchi wanaotoka katika maeneohayo ambao hawajaliona bwawa.Kwa hiyo, tunafanya hivyo ili kuwafanyaWaheshimiwa Madiwani wawe makini zaidi katikakuzisimamia Halmashauri zao, kwa sababu tunaoushahidi kwamba katika baadhi ya maeneo, baadhiya Madiwani wanashirikiana na Watendaji waHalmashauri katika kuhujumu fedha za Halmashauri.(Makofi)(Hapa Mheshimiwa Innocent E. Kalogeris alisimamaKutaka kuuliza swali la nyongeza)MWENYEKITI: Mara moja tu baba yangu, ndiyoutaratibu. Mheshimiwa Mpina!623


MHE.JOELSON L. MPINA: Mheshimiwa Mwenyekiti,nashukuru kwa kunipa nafasi. Wakati nachangia kwamaandishi nilisema kwamba, hizi fedha ambazozimepatikana Uswizi ni matokeo tu ya utafiti uliofanywamapema kabisa mwaka 2008 na global financialintergrity ambayo ilituambia Watanzania kwa miaka 39kutoka mwaka 1977 mpaka mwaka 2008 tumepotezaShilingi trilioni 11.6 zilizofichwa kwenye mabenki kuleUlaya. Sasa ripoti ile ni ya toka mwaka 2008 na Serikalihaijawahi kukanusha ripoti hii, na vilevile haijawahikusema ripoti hii imefanyiwaje kazi. Lakini vilevile hiiripoti ya one bilion dollar question yenyeweimetuambia kwamba kila mwaka Tanzaniia inapotezaShilingi bilioni 478. Sasa ni nini mkakati wa Serikali wakuhakikisha tunadhibiti fedha hizi kutoroshwa kwendaUlaya na namna ya kuzirejesha? Kwa sababu ni mudamrefu, toka mwaka 2008!Vilevile Mheshimiwa Waziri Mkuu wakati anatoahotuba yake, alisema Serikali imejitahidi kupunguzamatumizi yasiyokuwa na tija, na kwa kuwa katikakitabu hiki cha Volume II bado matumizi yako mengiambayo hayana tija. Mheshimiwa Waziri Mkuuanasemaje sasa kuhusiana na kuunda timu mkakati ilituweze kuzifyeka fedha ambazo hazina tija humu natuweze kuongezea kwenye shughuli za miradi yamaendeleo tukizingatia kwamba, fedha za miradi yamaendeleo zilipungua?MWENYEKITI: Sasa Mheshimiwa Mpina wakujibu lilela mwanzo au la pili? Maana yake unapofafanua nijambo moja, sasa tuambie wakujibu lipi?Wanalopenda wenyewe?624


MHE.JOELSON L. MPINA: Mheshimiwa Mwenyekiti,naomba nijibiwe lile la kufyeka zile fedha ambazozimekuwa allocated kwenye maeneo ambayo nakirikwamba, hazina tija. Naomba ile Tume ili tusaidianekwa sababu finance bill inakuja mwishoni. Sasaningeomba iundwe Tume mkakati ambayo itawezakupitia mafungu haya na kutambua kwa kusomarandama ili kuweza kuona matumizi ambayo hayanatija ili fedha hizo tuweze kuziongeza kwenye miradi yamaendeleo.MWENYEKITI: Tumekuelewa. Hiyo ni kuhusumatumizi yasiyokuwa na tija. Nani anajibu?Mheshimiwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (UtawalaBora).WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS (UTAWALA BORA):Mheshimiwa Mwenyekiti, sisi Wa<strong>bunge</strong> hapa ndanitumejigawa kwenye Kamati mbalimbali na kila Kamatiinaamini kazi iliyofanywa na Kamati nyingine. Mafunguyote yaliyomo katika vitabu hivi yamepita katikaKamati inayohusika, yamejadiliwa yakapitishwa naKamati. Kwa hiyo, nimesimama kutokubaliana naMheshimiwa Mpina kwamba, kuna mafungu ambayoyamepitishwa ambayo hayana tija kwa sababumafungu haya yamepitishwa na WaheshimiwaWa<strong>bunge</strong> wenzake katika Kamati ambazo ni dulyconstituted na Bunge hili. (Makofi)MWENYEKITI: Waheshimiwa Wa<strong>bunge</strong> kwamamlaka niliyonayo kwa kutumia kifungu cha 28(5)625


cha Kanuni ninaongeza dakika 30 kuanzia saa 1.45usiku halafu mengine tutaangalia baadaye.MHE. GODFREY W. ZAMBI: Mheshimiwa Mwenyekiti,nakukushukuru kunipatia nafasi hii.Mheshimiwa Mwenyekiti, kwanza kabisa,namshukuru sana Mheshimiwa Waziri Mkuu kwa majibualiyoyatoa wakati alipokuwa anajibu hoja nilizotoahapa Bungeni nikiwa nazungumza. Namshukuru sana.Wakati ule nilisema sitaunga mkono hoja. Ninaombanilithibitishie Bunge hili kwamba baada ya majibu hayoya Mheshimiwa Waziri Mkuu, sasa naunga mkono hoja.(Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, niulize kido<strong>go</strong> tu kwambakuhusiana na kahawa ile mbichi au sherry ambayoMheshimiwa Waziri Mkuu anakubaliana kwamba,wananchi wanapunjwa na wananyonywa kwakahawa yao kununuliwa kwa Sh. 500/=. Lakini pia Seraya Serikali imekuwa ni kuongeza mazao thamani nahivyo ndivyo Ilani ya Uchaguzi ya Chama ChaMapinduzi inavyosema; mazao yaongezwe thamani ilimkulima huyu apate fedha za kutosha. Lakini pianimemshukuru Waziri Mkuu anaposema suala la kanunihizo litatamwa kwa undani. Sasa labda MheshimiwaWaziri Mkuu atusaidie itachukua muda gani mpakaSerikali, wataalamu wake na wadau waweze kukaachini na kubaini kanuni hizo lakini wakihakikishakwamba hazi<strong>go</strong>ngani na Ilani ya Uchaguzi ya Chamacha Mapinduzi ambayo inaagiza kwamba, lazimamazao yaongezwe thamani kabla hayajauzwa?626


WAZIRI WA KILIMO, CHAKULA NA USHIRIKA:Mheshimiwa Mwenyekiti, kwanza namshukuruMheshimiwa Zambi kwa kuunga mkono hoja hii. Lakinipia nataka nimhakikishie kwamba, suala la kutayarishaKanuni liko katika dhamana yangu na kwa hiyo, baadaya kufikia hapa maelekezo hayo ambayo ameyatoaMheshimiwa Waziri Mkuu kwamba, tuzamie tuandaeKanuni ambazo hazitaleta mi<strong>go</strong>ngano tena ya soko laKahawa. Sasa tutazianza mara moja, lakini siwezikukwambia kwamba labda ni kesho kutwa, ila natakanimhakikishie Mheshimiwa M<strong>bunge</strong> kwamba, tutaanzamara moja. Hivi ninavyozungumza wenzanguwanasikiliza huko waliko.MHE. LEDIANA M. MNG’ONG’O: MheshimiwaMwenyekiti, ahsante sana kwa kunipa nafasi. Wakatiwa mchan<strong>go</strong> wangu nilioutoa hapa Bungeninilizungumzia tatizo la mahindi katika Mikoa ya Nyandaza Juu Kusini ikiwemo ile ya Njombe na Iringa nanikaomba Serikali iweze kutoa fedha za kutosha ili Bodiya nafaka na mazao mchanganyiko iweze kununuamahindi na hatimaye kinu kilichopo Mkoa wa Iringakiweze kusaga ili kuongeza thamani ya mazao na piakupunguza mfumuko wa bei ya chakula. Sasanapenda nipate jibu: Je, Serikali iko tayari kutoa fedhakwa msimu huu ili tuanze kusaga kwa kutumia kinukilichopo Mkoa wa Iringa na kuleta ajira kwa vijanawetu?WAZIRI WA KILIMO, CHAKULA NA USHIRIKA:Mheshimiwa Mwenyekiti, kinu cha Iringa tumekiangalia.Kwa kweli ukiangalia kwenye bajeti, Bodi ya nafaka namazao mchanganyiko haikuwa imepata fedha za627


kutosha kuanza moja kwa moja kununua mahindi nakusagisha. Hata hivyo, imepata fedha kwa ajili tu yakujenga uwezo, kuajiri watumishi ili waweze kufanyakazi hizo. Lakini suala hilo tumeliangalia kwa undani nahatua ambayo tumefikia sasa ni kwamba, sisi wenyewendani ya Wizara tutazungumza na NFRA tuangalieuwezekano wa kusaidia Bodi hii kwa kuanzia, ili iwezekutusaidia kuanza kazi. Kwa hiyo, hilo tumeshalichukuana tunajaribu kuangalia namna ya kulitekeleza.(Makofi)MHE. JENISTA J. MHAGAMA: MheshimiwaMwenyekiti, nakushukuru.Mheshimiwa Mwenyekiti, liko tatizo ambalolimeanza kuchukua sura nyingine mpya nalo ni tatizo laWalimu kuanza kujitengenezea makundi ambayoyanapelekea wajiandae kufanya m<strong>go</strong>mo wakutokuwafundisha watoto katika maeneo kadhaa yanchi yetu ya Tanzania. Taswira hiyo imeanza kujitokezakatika vyombo vya habari na maeneo kadhaayameishaanza kutoa matangazo ya kuwepo kwam<strong>go</strong>mo wa Walimu na matangazo haya yamezidikuchukua kasi na yamekuwa yakiendelea. Walimuhawa wamekuwa wakijipanga kufanya m<strong>go</strong>mo katikanyakati mbalimbali katika siku zijazo wakidai mambombalimbali ambayo yanahusu maslahi yao.Mheshimiwa Mwenyekiti, naomba kufahamu, sijuiSerikali inasema nini na inachukua tahadhari ganikatika suala hilo ambalo limeanza sasa kupata pichaambayo na vyombo vya habari vimeanza kulitangazahuku na kule. Kwa hiyo, nafikiri linaweza kama628


lisipochukuliwa hatua za haraka likatupa shida nyinginekubwa katika nchi yetu.Mheshimiwa Mwenyekiti, nilikuwa naomba tukufahamu, Serikali sasa inafanya nini ili tuweze kufanyasuala hili lisitokee na watoto wetu waendeleekufundishwa vizuri? (Makofi)NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZAMIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (ELIMU): MheshimiwaMwenyekiti, kama ambavyo asubuhi nimeeleza wakatinachangia hoja, ni kwamba suala la uhamasishwaji waWalimu ku<strong>go</strong>ma ni suala ambalo linaendeshwa nakikundi cha watu wachache kwa len<strong>go</strong> tu la kutakakuvuruga mwenendo wa Serikali hii iliyoko madarakani.Serikali inatambua kuwepo kwa changamoto za ajiraya Ualimu, lakini sisi tumeweza kuziweka vizuri na kwabahati nzuri sana huwa tunawasiliana kwa karibu sanana Chama cha Walimu kinachowakilisha wao katikakubainisha matatizo yao.Kwa wakati huu kama ambavyo tumeeleza, ukomzunguko wa taarifa za upotoshaji unaoendeshwa navyombo mbalimbali ikiwemo na simu na kamaambavyo Mheshimiwa M<strong>bunge</strong> Jenista ameeleza,kwamba vyombo vya habari vinaeleza; vyombo vyahabari havipaswi kueleza jambo hilo kwa sababutunayo forum ya mazungumzo kati ya Chama chaWalimu na Serikali na tarehe 26 tulishakutana CMA katiya Chama cha Walimu na Serikali kuzungumziachangamoto mbalimbali za Sekta ya Elimu. Kwa hiyo,tunayo matumaini kwamba changamoto zilezitaendelea kujadiliwa na kubainishwa na Serikali inayo629


nia ya dhati kutatua matatizo ya Walimu kadriambavyo yanawasilishwa kwetu.Nataka nitumie nafasi hii kuwasihi Walimu, vyombovya habari vinavyotangaza na kuhamasisha jambo hilivisiaminike kwa sasa badala yake Chama cha Walimuambacho kinaendelea kuzungumza na Serikali ndichokisikike na sisi Serikali kwa sababu tumesema tuko tayarikukaa na walimu kuzungumzia changamoto zetuwaendelee kuiamini Serikali yao.MHE. GRACE S. KIWELU: Mheshimiwa Mwenyekiti,nakushukuru. Mimi ningeomba kupata ufafanuzi katikamchan<strong>go</strong> wangu wa kuzungumza. Nilizungumzia tatizola hospitali yetu ya Mkoa wa Kilimanjaro kuhusuchumba cha upasuaji.Mheshimiwa Naibu Waziri alinipa majibu, lakininingependa kuiomba Serikali ione umuhimu wakutafuta fedha za haraka ili kuweza kunusuru maishaya wananchi wa Mkoa wa Kilimanjaro hususanakinamama wajawazito ambao wamepoteza maishakwa kukosa huduma hiyo ya upasuaji na jen<strong>go</strong> hilolinahitaji Shilingi bilioni 1.8 ili kukamilika na kuanzakutumika. Katika bajeti, tumepewa Shilingi milioni 744tu. Je, Serikali inasemaje?MWENYEKITI: Katika maswali ya kuuliza mshaharawa Waziri, hilo ni direct, lilitakiwa likienda kwenyempan<strong>go</strong> ndiyo unadai fedha pale.NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZAMIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (TAMISEMI): Mheshimiwa630


Mwenyekiti, kwanza kabisa naomba niendeleekumshukuru Mheshimiwa Grace Kiwelu, safari iliyopitatena alisimama hapa hivi hivi na akatutaka twendekwenye hospitali hii ya Mawenzi na tulikwenda kule nayeye alikuja tukakutana na Uon<strong>go</strong>zi wa Mkoa,tukaangalia matatizo yaliyokuweko pale. Ni kwelianachosema hapa, wodi ile ya akina mamawajawazito inahitaji Shilingi milioni 13. Kwa hiyo,vyovyote vile utakavyofanya, unaona jinsi inavyokuwangumu, na theatre kama alivyosema, ni hicho kiasialichosema.Tulichofanya, kwa maana ya maamuzi tuliyofanyapale, tumeutaka Mkoa wa Kilimanjaro na hata juzitulikutana na Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro - NduguGama na RAS tukawaambia kwamba, waoneuwezekano wa kuingiza; kikubwa sana ni chumba hikicha kupasulia na ambacho kilifanyiwa kazi. Yalematatizo mado<strong>go</strong> mado<strong>go</strong> aliyozungumza pale,tulimwambia Waziri mwenye dhamana wa Ujenzi iliaweze kushughulika na watu wake wale ambaowalitufikisha hapo walipotufikisha.Kwa hiyo, kiasi ambacho kimeweza kutengwa naMkoa ni Shilingi milioni 744 kama alivyoelezaMheshimiwa M<strong>bunge</strong>. Maoni yetu tumalize kwanzasuala la theatre pale, ndiyo mawazo tuliyonayo. Halafupili, tuingie sasa katika suala hili la wodi ya akina mamawajawazito ambao ni pamoja na kutafuta wahisaniambao wanaweza wakasaidia jambo lile,tulilizungumza siku ile. Kwa hiyo, hapa naomba nideclareinterest kwamba Mawenzi Hospital, wananchiwa Siha wanatibiwa pale, wakitoka kule Siha631


wanapelekwa pale. Kwa hiyo, na mimi mwenyewe nimdau ambaye napigania sana jambo hili ili liendevizuri. Kwa hiyo, naomba tushirikiane na Mkoa, lakinikiasi kilichopatikana kwa sasa hivi na kwa kwelinimshukuru Mkuu wa Mkoa kwamba kimetengwa kiasihicho ili tuweze kusaidia pale, liko tatizo, lakinitutaondokana nalo kwa njia hiyo.MHE. MARYAM SALUM MSABAHA: MheshimiwaMwenyekiti, ahsante. Katika hotuba ya Waziri Mkuunilichangia Sekta ya Muungano, lakini katika ukurasahuo wa 12 aligusia kero mbili ambazo za Muunganozimepatiwa ufumbuzi. Sasa hapa zimekuja kauli mbili,Waziri wa Muungano amesema ni kero saba. Nilitakasasa nifahamishwe vizuri ili nisiondoe shilingi Mama Tunuakakosa fedha ya maziwa ya watoto?(Makofi/Kicheko)WAZIRI WA NCHI, OFISI YA MAKAMU WA RAIS:Mheshimiwa Mwenyekiti, naomba nijibu hoja ambayondugu yangu Mheshimiwa Maryam ameiuliza nanilitaka kusema labda mchana hakuwepo, lakinikumbe alikuwepo hakufahamu vizuri.Nimesema hizi hoja zote ni 13 kama zilivyoibuliwana Tume ya Shellukindo, lakini mpaka mwaka 2011 hojasaba zimeshafanyiwa kazi na mwaka huu wa fedha2012/2013 tunaomaliza kama alivyoripoti vizuriMheshimiwa Waziri Mkuu hoja mbili nazo tumezimaliza.Kwa hiyo, jumla ya hoja zilizomalizwa ni tisa. Kuna hojasita ambazo bado tunazifanyia kazi. Sasa ukichukuatisa na sita siyo 13, ni 15. Hoja mbili ya umeme naJimbo ziliingia katikati tumezifanyia kazi na632


tumezimaliza. Kwa hiyo, zilizomalizika ni tisa na sitatunaendelea kuzifanyia kazi.MHE. MARYAM SALUM MSABAHA: MheshimiwaMwenyekiti, nimerudisha shilingi ya Mama Pinda apatemaziwa ya watoto.MWENYEKITI: Wewe utatoka nje bure.MHE. PROF. KULIKOYELA K. KAHIGI: MheshimiwaMwenyekiti, ahsante. Nina jambo do<strong>go</strong> tu, nalo nitatizo la mwingiliano baina ya vikao vya Halmashaurina Mikutano ya Bunge. Mwingiliano huo huwaunatupa shida sana sisi Wa<strong>bunge</strong> tunaotoka mbali naDodoma na hatuwezi kushiriki kati vikao vyaHalmashauri zetu. Serikali inalizungumzia nini? Kwasababu ni tatizo kubwa sana na hata lile alilosemaMheshimiwa Mkuchika kwamba hizo nyaraka ambazoalikuwa anaziongelea Mheshimiwa Mkosamalikwamba azikute huko, Halmashauri hatazikuta kwasababu hayuko huko. Naomba ufafanuzi wa Serikali.NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZAMIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (TAMISEMI): MheshimiwaMwenyekiti, jambo analosema Prof. Kahigi ni kweli.Wakati mwingine hutokea kwamba tuko Bungeni hapana huku unakuta kwenye Halmashauri wanakutana namambo yanazungumzwa pale unakuta ni mambo yamsingi sana. Rai ambayo ilikuwa imetolewa namaelekezo ambayo tumetoa ni kwa vile ratiba hizizinafahamika, ratiba zetu za Bunge zinafahamika,tumezitaka Halmashauri zetu kupitia kwa Katibu Tawalawa Mikoa watusaidie kuwaelekeza Wakurugenzi633


Watendaji pamoja na Wenyeviti na Madiwani waliokokule kwamba mara nyingi sana wahakikishe kwambaratiba zile hazi<strong>go</strong>ngani. Kwa hiyo, kuna hayamaelekezo. Lakini wakati mwingine ikitokea kabisakuna jambo linataka kupita kwa mfano kuna bajetiinataka kupitishwa sasa, unakuta Mkoa umepitisha,Wilaya hazijapitisha na sisi labda tuko huko, basi katikaemergence ya namna ile utakuta kwambaHalmashauri zinalazimika kufanya hivyo. Lakini natakaniseme hapa kwamba tumetoa maelekezo hayokwamba itakuwa ni vizuri kwa sababu Wa<strong>bunge</strong> niMadiwani na ni sehemu kamili katika Halmashauri ilituweze kuzioanisha.Mheshimiwa Mwenyekiti, tutaendelea kulifuatiliakwa karibu jambo hili.SPIKA: Nami Ofisi yangu tutatoa ratiba ya mwakamzima ambayo tutaipeleka Ofisi ya Waziri Mkuu kusudiawapelekee watu wanaohusika. Sisi tutatoa ratiba yamwaka mzima. (Makofi)MHE. PAULINE P. GEKUL: Mheshimiwa Mwenyekiti,nakushukuru. Katika mchan<strong>go</strong> wangu wa maandishi,nilizungumzia suala zima la chaguzi katika Serikali zaMitaa, lakini bado hili suala limekuwa likipewa majibumepesi.Mheshimiwa Mwenyekiti, huo mwon<strong>go</strong>zohaujatoka tu katika Mkoa wa Mara. Kuna vijiji vingi vikowazi, Mitaa iko wazi, Wajumbe wa Serikali za Mitaawamejiuzulu, maeneo mengine utakuta kwambaMwenyekiti yuko peke yake, hana Wajumbe na hiyo634


Serikali inaendeshwa. Babati Mjini, Babati Vijijini Mkoawa Manyara, hivyo vijiji vipo.Mheshimiwa Mwenyekiti, napenda kufahamukutoka kwa Waziri Mkuu, hizo chaguzi zinaitishwa lini?Maana Wakurugenzi wao wamekuwa wakiwaambiawananchi kwamba hawana OC za kuitisha hizochaguzi. Naomba kauli ya Waziri Mkuu?WAZIRI WA NCHI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALAZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (TAMISEMI):Mheshimiwa Mwenyekiti, kama nilivyotangulia kusemawakati najibu hoja, kwamba, hivyo vijiji au viton<strong>go</strong>jivinatakiwa kufanya uchaguzi ndani ya siku 60. Lakiniwote tunafahamu kwamba mwaka huu wa fedhauliokwisha kumekuwa na changamoto sana ya fedha.Kwa hiyo, maeneo mengine imekuwa siyo rahisikuweza kufanya hizo chaguzi kwa sababu chaguzi piani gharama. Lakini tumezielekeza Halmashauri wawekeutaratibu katika maeneo ambayo kuna mapen<strong>go</strong>, basiwafanye uchaguzi. Pia napenda kutoa rai kwa sababuzipo taarifa za usahihi kabisa kwamba wapo baadhi yawatu wanawashawishi baadhi ya vion<strong>go</strong>zi wetuwajiuzulu ili kufanyike uchaguzi wa marejeo. Kwa hiyo,maeneo ambayo watu wamefariki, kwa kweli hayotutahakikisha kwamba uchaguzi unafanyika, hata kwakukopa wale wanaosimamia uchaguzi. Lakini paleambapo tunaona kwamba ni dhahiri kwamba watuwameshiriki kuwashawishi wajiuzulu, basi walioshirikiwakati mwingine tutawashauri watuchangiekuendesha uchaguzi huo.635


MHE. ROSE K. SUKUM: Mheshimiwa Mwenyekiti,ahsante sana kwa kunipa nafasi. Naomba sasaufafanuzi wa mchan<strong>go</strong> wangu wa maandishi ingawajeyote haikupata majibu, lakini naomba tu moja niwezekulisemea kwa sababu ya kanuni.Mheshimiwa Mwenyekiti, suala la maji ni kero sanakwa Watanzania wote. Sisi hapa Bungeni wotetunang’aa kwa sababu tunaoga, tunakunywa maji,saa zote tunakunywa maji ya Kilimanjaro, Lakini kunaWatanzania wanaochota maji zaidi ya kilomita 20 nakuendelea. Je, zile fedha ambazo zilikuwa zimetengwaUSD 3360 ambao ilikuwa ni mpan<strong>go</strong> wa Serikali hiitangu mwaka 2007 ulishaanza? Lakini fedha hizohazijawahi kutekelezwa kama ilivyotakiwa kwamba kilamwaka angalau itolewe USD Shilingi milioni 176.Namwuliza Waziri Mkuu, leo Shilingi yako miminakaa nayo, tuambie ule mpan<strong>go</strong> wa WSDP ulikwendawapi? Watanzania wanapigika, hawana maji na hiiShilingi bilioni 140 ni maji ya Dar es Salaam tu, lakiniWatanzania wote vijijini hawana maji, ndiyo maana kilamtu anapiga kelele. Hata wewe kwako hakuna majihuko vijijini. Sasa tunarudi wapi kwa hao wananchiambao hawana maji? Kwa nini fedha hizi za EPA, radazisielekezwe kwenye maji? Nyinyi mnaelekeza kwenyemadaftari, vitabu, kumbe kuna nafasi za watu wenginekuweza kujipatia fedha zao za kula?Mheshimiwa Mwenyekiti, ahsante sana, naombahili kwa kweli nipate majibu kwa sababu ni kero kwaWatanzania wote hasa wanavijiji.636


MWENYEKITI: Sasa hili ndilo la maendeleo. Sasataabu tupu, mshahara wa Waziri ni sera. Waziri wa Maji,sema, maana nasikia nyie mnang’aa.WAZIRI WA MAJI: Mheshimiwa Mwenyekiti, ni kwelikwamba kuna kero kubwa ya maji. Len<strong>go</strong> la Serikali nikwamba inapofika mwaka 2015 katika maeneo yavijijini wananchi ambao watakuwa wanapata majiwatafikia asilimia 65.Mheshimiwa Mwenyekiti, mradi wa WSDP badounaendelea kutekelezwa. Nadhani katika eneo lavijijini mradi mkubwa ambao umechelewa ni ule wavijiji 10. Mwaka 2011 fedha zilipelekwa kwenyeHalmashauri kwa ajili ya utekelezaji wa mradi huo, lakinihazikutumika kwa sababu utaratibu ule wa kutoa noobjection kutoka kwenye Benki ya Dunia ulikuwahaukukamilika. Hivi sasa utaratibu huo umekamilikakwa Wilaya 61 na tunategemea mpaka mwezi A<strong>go</strong>sti,2012 tutakuwa tumefikia labda Wilaya 70 mpaka 75.Mheshimiwa Mwenyekiti, katika bajeti hii ambayoinaendelea, mradi huo umetengewa Shilingi bilioni 81na kuna wachangiaji wa WSDP ambao wameonyeshakuongeza uwekezaji katika eneo hilo. Kwa hiyo,tunategemea kwamba kila Wilaya itaweza kuwekamiundombinu kwa ajili ya kusambaza maji katika vijijivitano kati ya vile kumi.MHE. MHONGA S. RUHWANYA: MheshimiwaMwenyekiti, ahsante. Kuna suala ambalo linaonekanani do<strong>go</strong>, lakini ni kero sana kwa watu wa Mkoa waKi<strong>go</strong>ma na nilikuwa naomba Mheshimiwa Waziri Mkuu637


atoe kauli kwa sababu inaonekana Mawaziri waKisekta hawajaliona hili suala, toka Bunge la Tisatulikuwa tukiliongelea. Ni suala do<strong>go</strong> linalohusiana naupatikanaji wa tiketi za treni. Watu wanalazimikakukata tiketi siku hiyo hiyo ya safari na Mkoa wetu nimkubwa, siyo kwamba watu wote wanakaa maeneohayo hayo ya mjini kwamba watawahi alfajiri kwendakupanga foleni waweze kukata tiketi. Wanatokamaeneo mbalimbali, wengine ni watoto wado<strong>go</strong>,wengine wajawazito, wengine ni wa<strong>go</strong>njwa, wengineni wazee wanalazimika kulala stesheni ili alfajiri wawezekupata tiketi na matokeo yake sasa, tiketi badala yakuwa Sh. 19,000/= bei ya kawaida, inakuwa bei yakuruka pale nje anapoona amechoka na ana ulazimawa kuondoka siku hiyo.Naomba Mheshimiwa Waziri Mkuu atoe tamkokwa sababu naamini hii siyo Quran na wala siyo kituambacho hakiwezi kubadilika, urudi utaratibu wazamani ambao tulikuwa tunakata tiketi siku yoyote ilimradi tarehe yako ya kusafiri ikifika unakwenda natiketi yako na unasafiri.Mheshimiwa Waziri Mkuu naomba utoe tamkojambo hili liweze kubadilika kwa sababu ni kero kubwasana kwa wananchi wa Mkoa wa Ki<strong>go</strong>ma, ikizingatiatreni yenyewe ndiyo hivyo mbovu, lakini na upatikanajiwa tiketi uwe mbovu. Naomba utoe kauli ili jambo hiloliweze kubadilika.WAZIRI WA NCHI, OFISI YA WAZIRI MKUU (SERA,URATIBU NA BUNGE): Mheshimiwa Mwenyekiti, kwaniaba ya Mheshimiwa Waziri Mkuu, naomba kutoa638


maelezo juu ya hoja aliyoitoa Mheshimiwa Mhonga.Bahati mbaya Waziri wa Uchukuzi amekwenda Arushakwenye Mkutano wa East Africa. Lakini jambo hiliamelisikia na ameahidi kulichukulia hatua. Hapa kunamambo mawili. Utaratibu wa ukataji wa tiketi ambaohauna ustaraabu kama alivyosema mwenyewekuhusiana na foleni zile na kurejesha heshima nautaratibu mzuri wa utaratibu wa safari za treni. Mkuuwa Mkoa Kanali yuko hapa anasikia, lakini natakanimhakikishie kwamba Serikali imesikia na Waziriameshajipanga kulishughulikia jambo hili. Natakanimwombe tu Mheshimiwa Mhonga aamini kwambaWaziri wa Uchukuzi na Serikali itashughulikia jambo hilikwa sababu kama ndivyo linavyofanyika, tunafikiri hataSerikali haifurahishwi na jambo hilo.MWENYEKITI: Waheshimiwa Wa<strong>bunge</strong>, naombaBunge lirejee, kwa sababu hata nyie mliomba kwamshahara wa Waziri, sijawamaliza, kwa hiyo, naombaturejee tuongeze muda kido<strong>go</strong>.(Bunge lilirudia)KUONGEZA MUDA WA KUKAA BUNGEWAZIRI WA NCHI, OFISI YA WAZIRI MKUU (SERA,URATIBU NA BUNGE): Mheshimiwa Spika, naombaBunge lako Tukufu likubali kuongeza dakika 30 ili tuwezekukamilisha kazi iliyoko mbele yetu.Mheshimiwa Spika, naomba kutoa hoja639


WAZIRI WA NCHI OFISI YA WAZIRI MKUU SERA,URATIBU NA BUNGE: Mheshimiwa Spika, naomba Bungelako Tukufu likubali kuongeza dakika 30 ili tuwezekukamilisha kazi iliyopo mbele yetu. Naomba kutoahoja.WAZIRI WA MAJI: Mheshimiwa Spika, naafiki.(Hoja ilitolewa iamuliwe)(Hoja iliamuliwa na Kuafikiwa)(Bunge liliridhia Mapendekezo ya Kuongeza Muda)KAMATI YA MATUMIZIMATUMIZI YA KAWAIDA(Majadiliano yanaendelea)MWENYEKITI: Waheshimiwa Wa<strong>bunge</strong>,tunaendelea na Mheshimiwa John Mnyika.MHE. JOHN J. MNYIKA: Mheshimiwa Mwenyekiti,nashukuru. Katika Mkutano wa Bunge wa Bajeti wamwaka 2011 kuna suala la kisera ambalo niliuliza kwaOfisi ya Waziri kupitia mshahara wa Waziri Mkuu kuhusuutaratibu wa fidia kwa wananchi ambao walikuwawakiishi maeneo ambayo toka wakati wa MwalimuNyerere wakiwa na hati za vijiji, utaratibu wa fidia yaardhi na wakati ule nikaeleza wananchi wa maeneoya Kisopwa Kwembe na Mloganzila, wananchi 1919ambao wanatakiwa kuhama kupisha ujenzi wa Chuocha Muhimbili wakaanza kulipwa fidia ya mali, lakini640


hawajawahi kulipwa fidia ya ardhi na m<strong>go</strong><strong>go</strong>roulidumu kwa zaidi ya miaka kumi.Sasa napenda kupata ufafanuzi wa kisera waSerikali kuhusu fidia ya ardhi ya wananchi kama hawa.Je, watalipwa au hawatalipwa? Nasema hivi kwasababu tumejaribu njia zote za kiofisi, Waziri Mkuu ofisiyako iliwahi kutoa maelekezo kwa Wizara ya Ardhimwaka 2010 kushughulikia jambo hili. Mawazirimbalimbali wamekwenda, Mkutano uliopita wa BajetiWaziri wa Ardhi aliahidi yeye mwenyewe kwendakushughulikia jambo hili. Ofisi ya Waziri Mkuu iliahidikufuatilia na tumeandika barua nyingi sana na hakunabarua iliyowahi kujibiwa hata moja kuhusu jambo hili.Kwa hiyo, naomba kauli tu ya kisera: Je, wananchihawa watalipwa fidia ya ardhi au hawatalipwa fidia yaardhi? Ni jambo ambalo vilevile lina ahadi yaMheshimiwa Rais.NAIBU WAZIRI WA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEOYA MAKAZI: Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa niaba yaMheshimiwa Waziri Mkuu, naomba kumjibuMheshimiwa John Mnyika - M<strong>bunge</strong> wa Ubun<strong>go</strong> kamaifuatavyo:-Mheshimiwa Mwenyekiti, wananchi wanaoishieneo la Mloganzira ni kweli kwamba wameishi palekwa miaka kadhaa na kwa kutambua hilo Serikali kwakuzingatia Sheria ya Ardhi Na. 4 ya mwaka 1999imewalipa fidia ya maendelezo waliyofanya katikaeneo hilo. Lakini fidia ya ardhi haijalipwa na sababu yamsingi ardhi ile inamilikiwa kihalali na iliyokuwaTanganyika Packers na kuna hati miliki ya eneo hilo la641


Tanganyika Packers. Kwa mujibu wa Sheria, huwezikutoa hati mbili juu ya eneo moja. Kwa maana hiyo,huwezi kumilikisha mtu zaidi ya mmoja katika eneomoja. Kwa sababu hiyo basi, Serikali haitaweza kulipafidia kwa mtu anayeishi katika eneo ambalo siyo lake.Hata hivyo Serikali inaangalia ni namna gani inawezaikaangalia uwezekano wa kuwapatia wananchi hawaviwanja eneo mbadala eneo watakalohamia, lakinisiyo fidia ya ardhi kama Mheshimiwa M<strong>bunge</strong>alivyosema.MHE. SUSAN L. KIWANGA: Mheshimiwa Mwenyekiti,katika mchan<strong>go</strong> wangu wa maandishi na manenopamoja na mambo mengine niliyoyazungumzia kuhusuMkoa wa Moro<strong>go</strong>ro, lakini nimeona nitake tenaufafanuzi kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu. Nilisema kwambamwaka 2002 aliyekuwa Waziri wa TAMISEMI wakati huoBrigedia Hassan Ngwilizi alitoa tamko la kufuta kodi yaushuru wa mazao kwa wakulima na tamko hilo lilianzakutumika Mei Mosi mwaka 2002. Lakini kwa Mkoa waMoro<strong>go</strong>ro katika Wilaya zake zote ni kilio. Hususannikichukulia mfano wa geti la Idete. Wananchi,wakulima wa kawaida wanalima mazao katikamaeneo mbalimbali, wamewekewa mageti kila Kata.Kwa mfano, geti la Idete wananchi wa Msolwa kulekwenye Kiwanda cha Miwa Kilombero wanalima,Ngeta, Mbungu wanarudisha mazao yao nyumbani.Wakifika pale wanatozwa ushuru na kata mbalimbaliza Ifakara. Nataka nisikie kauli ya Serikali na wananchiwananisikia, Mkoa mzima wa Moro<strong>go</strong>ro Serikaliinatamka nini? Lile tamko halijufutwa, kwaniniHalmashauri zinatunga Sheria kubatilisha lile tamko?Ahsante.642


NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZAMIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (TAMISEMI): MheshimiwaMwenyekiti, kwa niaba ya Mheshimiwa Waziri Mkuu,naomba nijibu swali hili la Mheshimiwa Susan Kiwangakama ifuatavyo:-Mheshimiwa Mwenyekiti, jambo analolizungumzaMheshimiwa Kiwanga ni jambo ambalotumelizungumza. Tumekwenda mpaka kule kwenyeHalmashauri kwenyewe kule tumekaa naye natumekaa na Madiwani tumelizungumza. Hapa maranyingi sana tumelizungumza. Kwanza nizungumziehaya mageti anayoyazungumza. Mageti haya siyo yaTAMISEMI, ni ya Maliasili na Utalii. Tunachofanya sisi,tuna-take advantage kwamba yapo kule na kwa vileSerikali imeweka pale kwa ajili ya kuangalia hayamazao mengine ya misitu yanayopitishwa pale,maliasili wameweka utaratibu huu. Ni kweli kamaanavyosema Mheshimiwa M<strong>bunge</strong> kwambatumekuwa tunakwenda pale na kama Fusso inapitapale, imebeba mpunga au mchele, anachouliza paleni kama limelipiwa ushuru. Kwa mfano, kamawametoka Ulanga wakafika pale kwake watauliza: Je,umelipia? Kama hawana risiti pale, Halmashauri yaKilombero itatoza ushuru.Mheshimiwa Mwenyekiti, alichosema MheshimiwaNgwilizi ni kweli, vile vizuizi viliondolewa pale, kwamaana hiyo, lakini utaratibu ukasema kwambatutakuwa tunatoza ushuru huo at source. Yaani palewanaponunua au wanapouza. Mazao hayayanayozungumzwa hapa, ukilima miho<strong>go</strong> ukajaza643


kwenye banda lako, hukuuza kwa mtu, yakabaki palepale, hakuna ushuru unaolipwa, ni mpakayanapohama mazao yale kutoka kwa mkulima,yakahamia kwa mfanyabiashara au mchuuzi. Palendipo Halmashauri inaposema tulipe cha kwetu.Mheshimiwa Mwenyekiti, unajua wataalam wamambo wanasema hivi, ina financial implications zakekwa sababu mnunuzi ataiona kama ni overexpenditure, kwa hiyo, itampunja. Kwa hiyo,Halmashauri hizi ndizo tumeziagiza zijenge Zahanatikatika kila kijiji, zijenge Kituo cha Afya na madarasa.Hivi tunavyozungumza hapa, Halmashauri yaTandahimba kupitia ushuru huo wa mazao inapataShilingi bilioni 1.9 na kama hapa tutafika mahali kwasababu sisi tunaheshimu mawazo yanayokuja hapa,tukaamua kwamba tunaondoa, mwelewe implicationszake kwamba tunamaanisha hicho. Tunauza namchele huu unavuka unakwenda Sudan, unakwendaKenya unakwenda maeneo mbalimbali, wenzetuwatajengea shule watajengea barabara watafanyakila kitu, na Halmashauri kama haikutoza hapa, kamaNjombe pale kwenu hamkutoza, ukienda ukifikaMoro<strong>go</strong>ro mchele ule hauna alama, waowatakwambia tuonyeshe risiti, kama huna watatoza.Wakitoza, watatumia zile hela kwa ajili ya Halmashauri.MWENYEKITI: Mheshimiwa Kiwanga tafadhali.Utaratibu wetu siyo huo.MHE. SUSAN L. KIWANGA: Siyo kweli! Mimi napigasimu.644


MWENYEKITI: Susan naomba tuheshimiane. Hainamaana kupiga kelele, inakuwa kama umepunguza akilizako. Kwanini? Mama, hatufanyi hivyo.NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZAMIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (TAMISEMI): MheshimiwaMwenyekiti, kama kuna haja ya kubadili utaratibuHalmashauri zilete mapendekezo na utaratibu ule ninahakika kwamba utakuja mpaka hapatunapozungumza. Kwa hiyo, maelezo ndiyo hayo nanimerudia mara nyingi sana kueleza hivi. Mimi sisemicha kwangu hapa, mimi naeleza utaratibu wa Serikalitu.MHE. HAROUB MOHAMED SHAMSI: MheshimiwaMwenyekiti, ahsante sana nashukuru. Hoja yangu nikatika National Assembly Fund. Wa<strong>bunge</strong> tuna kazikubwa katika Majimbo yetu na ngumu sanakuwatumikia wananchi, lakini hatuna ofisi za kufanyiakazi zetu.Kwa hiyo, hapa fedha zilizotengwa kwa ajili yakukarabati jen<strong>go</strong> la Bunge letu na kujenga nyumba yaMheshimiwa Spika pamoja na fedha za kujenga Ofisiza Wa<strong>bunge</strong> Majimboni, naomba pawe namarekebisho hapa kwa kutumia Kanuni ya 102 (1).Mafungu haya ya fedha kwa vile hayataathirimadhumuni ya fungu zima hili, naomba ukarabati waJen<strong>go</strong> la Bunge yapunguzwe kwa asilimia 40 na ujenziwa nyumba ya Mheshimiwa Spika, upunguzwe kwaasilimia 50 ili uongezwe katika kifungu hiki cha ujenzi waOfisi za Wa<strong>bunge</strong> ili tuweze kuhudumia wananchikatika kuendeleza Taifa hili. Naomba kutoa hoja.645


MWENYEKITI: Mheshimiwa Shamis, kufanya hivyolazima uwe na kifungu kile. Hapa ni kifungu chamshahara wa Waziri, ni Shilingi bilioni nne tu hapa.Haihusiki hiyo!MHE. RUKIA KASSIM AHMED: MheshimiwaMwenyekiti, ahsante sana. Mimi naomba nipatiweufafanuzi. Katika hotuba ya Mheshimiwa Waziri waNchi, Ofisi ya Waziri Mkuu ya mwaka huu kwautekelezaji wa mwaka 2011, kuna Shilingi milioni 300zilizotengwa kwa ajili ya ujenzi wa nyumba mbili zaWalimu, Chuo Kikuu Hombolo. Sasa kwa mujibu wamaelezo ya Mheshimiwa Waziri ya Mwaka huu, badoinaendelea kueleza kwamba fedha hizi zitatumika.Sasa zitatumika kivipi wakati muda wa kufungamahesabu ya mwaka umefika na wakati fedha hiziziliidhinishwa tangu mwaka 2011? Hebu naombakido<strong>go</strong> utufafanulie, zilikwenda lakini hazikutumiwa auvipi?MWENYEKITI: Mheshimiwa Rukia, hizo hela zikowapi? Tuko katika mshahara wa Waziri. Haina uhusianona mradi wowote isipokuwa kumwadhibisha yeye huyukufanya mambo yake. Ndiyo maana tunasema hapatunatumia sera zaidi kuliko kusema ziko wapi hela?Tungeingia kwenye vifungu pale ndiyo ungesemafedha hizo ziko wapi?MHE. MAGDALENA H. SAKAYA: MheshimiwaMwenyekiti, nakushukuru kwa kunipa nafasi. Katikamchan<strong>go</strong> wangu nilizungumzia suala kubwa lililopokatika Wilaya zote katika Mkoa wa Tabora, suala la646


ardhi ambapo ndani ya Wilaya moja tu ya Urambozaidi ya vijiji 20 wanaambiwa wako kwenye hifadhimaeneo ambayo wamekaa zaidi ya miaka 30 iliyopitana wamekuwa wanabughudhiwa kila mara. Kwa hiyo,wanashindwa hata kutulia kufanya shughuli zamaendeleo. Wanakuja maafisa maliasili wanasema,ondokeni, bila kuwaambia wanaondoka kwa utaratibugani? Wanakwenda wapi? Wanakwenda kufanya nini,wakati wanalima, wanafuga na mambo mengine?Napenda Mheshimiwa Waziri Mkuu atusaidie,wananchi kama hawa ambao wameshindwa kutuliana kufanya kazi zao na kila siku wanasumbuliwa, vijijivimesajiliwa kisheria na wapo kisheria na wanafanyachaguzi na wana vion<strong>go</strong>zi wao, Serikali inafanya ninikuondoa bughudha hii na kero hii kwa wananchi hawawa Mkoa wa Tabora na particularly Wilaya yaUrambo?WAZIRI WA NCHI OFISI YA WAZIRI MKUU SERA,URATIBU NA BUNGE: Mheshimiwa Mwenyekiti, suala hiliMheshimiwa Sakaya alishawahi kuuliza. Nakumbukaaliyewahi kuwa Waziri wa Maliasili, aliwahi kujibu.Naomba nimhakikishe Mheshimiwa Sakaya, jambo hilitumelisikia, tunalitafakari, tusubiri Mheshimiwa Waziri waMaliasili atakapokuja tutakaa pamoja na MheshimiwaM<strong>bunge</strong> ili tulitafakari na tulizungumze vizuri.MHE. MOZA A. SAIDY: Mheshimiwa Mwenyekiti,nilitaka kupatiwa ufafanuzi na Mheshimiwa Wazirikuhusiana na suala la mkakati wa kupambana nau<strong>go</strong>njwa wa UKIMWI. Kwa kuwa katika hotuba yaMheshimiwa Waziri haikugusia hata sehemu moja647


ambayo inaelezea mkakati wa u<strong>go</strong>njwa wa UKIMWI;Mwaka jana mradi huu uliomba upatiwe naukaidhinishwa Shilingi milioni 216, lakini mwaka huu wafedha hotuba ya Waziri wa TAMISEMI haikugusia hatakido<strong>go</strong>. Je, tuelewe nini? Naomba nipatiwe ufafanuzi.MWENYEKITI: Kwani hakuzungumzia habari yaUKIMWI? Waziri wa Nchi.WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZAMIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (TAMISEMI): MheshimiwaMwenyekiti, kama unavyofahamu, ni kwamba UKIMWIunashughulikiwa na sekta mbalimbali na kwa maanaya Ofisi ya Waziri Mkuu, suala la UKIMWI liko kwenyeOfisi ya Waziri Mkuu. Lakini kwa maana ya sisi,akiangalia kwenye hotuba yetu kwenye Shirika la Elimukule Tumbi Kibaha tumeelezea UKIMWI kama ni suala lakutaja. Lakini kwa maana ya mtu aliyepewa dhamanaya kulisimamia suala hilo, ni Ofisi ya Waziri Mkuu nandani ya Hotuba ya Waziri Mkuu suala la UKIMWIlimezungumzwa na akija Waziri wa Afya atalizungumza.MHE. KOMBO KHAMIS KOMBO: MheshimiwaMwenyekiti, ahsante sana. Kwanza, napendanimpongeze na nimshukuru mama yangu MheshimiwaHawa Ghasia kutokana na maelezo yake ya kutakakudhibiti fedha zetu kwenye Halmashauri na Benki.Lakini kwa kuwa Mheshimiwa Waziri amekubaliHalmashauri zetu kutumia Benki nyingine mbali na NMB,na kwa kuwa Wizara ya Fedha imetangaza zabuni kwamabenki kutoa huduma kwa Serikali ambayokimtazamo inakinzana na Procurement Act ya mwaka2011, kifungu cha 66 (3): Je, Mheshimiwa Waziri anatoa648


tamko gani juu ya zabuni hii? Je, yuko tayari kuifutakwa sasa?MWENYEKITI: Kwanza hili suala liliulizwa naMheshimiwa Rajab, sasa kwa sababu ameingiza habariya tender, basi naomba ujibu.WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA MIKOANA SERIKALI ZA MITAA (TAMISEMI): MheshimiwaMwenyekiti, kwanza sikusema kwamba nimekubaliMamlaka za Serikali za Mitaa au Serikali kuwezakutumia Benki nyingine. Nilichosema ni kwambamwanzo tulikuwa tunaitumia sana NMB kwa sababumtandao wake ni mkubwa. Nilichozungumza, tenanilisema suala hilo linazungumzika. Sasa linazungumzikavipi? Kwa vile tender ilitangazwa, len<strong>go</strong> ni kuhakikishakwamba kila mtu anakwenda kushindana, sasaatakayeshinda ndiye ataendelea kufanya kazi naSerikali. Suala la mimi kufuta tender iliyotangazwa naTaasisi ambayo haiko chini yangu, kwa kweli sinauwezo huo.MHE. MOHAMMED HABIB JUMA MNYAA:Mheshimiwa Mwenyekiti, katika mchan<strong>go</strong> wangu,nilizungumzia pesa za rada kwa Zanzibar kupata fungulake. Mheshimiwa Waziri Mkuu amejibu zimepitia Wizaraya Mawasiliano, siyo ya Muungano. Kwa kweli hojayangu imekuja kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri,kifungu cha (8) ambacho kina mikopo na biashara yanje, nyongeza ya kwanza ya Katiba. Vilevile kifungucha 11, usafiri, anga, Posta, Simu, ni mambo yaMuungano.649


Mheshimiwa Mwenyekiti, kifungu cha 12 kinahusikana mambo yote ya sarafu na fedha kwa ajili yamikopo, fedha za Kigeni, usimamizi wa fedha na fedhaza kigeni. Sasa hili suala rada iliponunuliwa katikakumbukumbu za Hansard sijajua ni Wizara gani, lakinililizungumziwa, inahusiana na mambo ya Ulinzi pamojana mambo ya ndege. Sasa haya yote ni mambo yaMuungano. Sasa leo kutoa fedha ya rada ukasemaZanzibar isipate fungu, ni sawasawa na kusema hivivifungu vyote vya Katiba tunavikiuka, na jambo kubwazaidi, hadi leo formula ya uchangiaji mfuko waMuungano wa pamoja, haipo.MWENYEKITI: Kengele Ime<strong>go</strong>nga.MHE. MOHAMMED H.J. MNYAA: Kinachotumika niKatiba ya Jamhuri ya Muungano. Naomba ufafanuzikatika suala hili hasa katika hali ya leo ya Katiba Mpyana watu wanavyouliza huko.MWENYEKITI: Mheshimiwa Mwana Sheria Mkuu.MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI: MheshimiwaMwenyekiti, nadhani kuna ambayo watuhawaifahamu kuhusiana na huu mchakato wakununua rada. Rada hii haikununuliwa na fedha zaMuungano, ilinunuliwa kama ni jambo la TanzaniaBara. Hizi fedha za rada, siyo suluhisho la kila kero nakama zinaweza kutumika Zanzibar siyo kwa sababuzilikuwa zinakwenda kwenye kitu ambachokinaonekana kama ni jambo la Muungano. Nchi mbilihizi zinaweza kuzungumza zikatumia fedha hizo kwa650


njia ambayo zitaelewana, lakini ukweli ni kwambahalikuwa jambo la Muungano.Mheshimiwa Mwenyekiti, ingawa pale utaonakwamba kuna anga na usafirishaji wa anga, lakini radahii haiku huko. Hayo ndiyo maoni yetu na MheshimiwaMnyaa tutaendelea kuzungumza kusudi afahamuhistoria ya jinsi ile rada ilivyopatikana.MHE. IGNAS A. MALOCHA: MheshimiwaMwenyekiti, katika mchan<strong>go</strong> wangu nilitaka kujua ni liniSerikali italipa deni la mawakala? Kwani hadi hivi sasabaadhi ya mawakala wameanza kufikishwaMahakamani na wengine kunyang’anywa dhamanawalizokuwa wameziweka baada ya kukopa helakwenye taasisi za mabenki. Nilitaka ufafanuzi, ni liniSerikali itawalipa mawakala waliosambaza pembejeo?NAIBU WAZIRI WA KILIMO: Mheshimiwa Mwenyekiti,wiki iliyopita tulimaliza kulipa shilingi bilioni 43 kwabaadhi ya mawakala waliosambaza pembejeo.Baada ya malipo hayo, sasa tumeomba tena Shilingibilioni 53 na taarifa nilizonazo sasa, ni kwamba processinafanywa kuzipeleka benki. Hadi jana nimeambiwandani ya wiki mbili fedha hizo zitaanza kulipwa. Kwahiyo, ninaomba awe na subira, mchakato unaendelea.MHE. JUMA A. NJWAYO: Mheshimiwa Mwenyekiti,katika mchan<strong>go</strong> wangu wa maandishi, pamoja namambo mengine, nilimtaka Mheshimiwa Waziri Mkuuaweke commitment ya tatizo tulilonalo la ukanda waKusini kwa kutokuwa na Hospitali ya Rufaa. Jambo hilini la muda mrefu na limeleta m<strong>go</strong><strong>go</strong>ro sana na651


aadaye Serikali imetuambiwa kwamba sasawamemaliza na kwamba Hospitali ya Rufaaingejengwa Mtwara. Katika bajeti iliyopita, zilitengwapesa kido<strong>go</strong> kwa ajili ya kuanza ujenzi wa fence nakwa kweli hela hizo zimetumika, lakini hatuoni katikabajeti hii mpan<strong>go</strong> mahsusi wa kuhakikisha hospitali hiyoya Rufaa inajengwa Mtwara, huku ukitilia maananikwamba Mji unapanuka, maeneo yale ya Kusiniyanapanuka na pengine ni katika kanda chachezenye tatizo hili kutokamilika. Naomba majibu yaSerikali.WAZIRI WA AFYA: Mheshimiwa Mwenyekiti,dhamira na nia hiyo ya kujenga Hospitali ya Kandapale Mtwara ipo, ndiyo maana katika bajeti iliyopitafedha za kuanzia kuweka fence eneo husika. Mwakahuu wa fedha kwa bahati mbaya sana kwa sababu yaufinyu wa bajeti, fedha zilizoweza kupatikana ni Shilingimilioni 400 ambazo tunatarajia angalau zianze zilehatua za awali katika ujenzi huu na tutaendeleakutenga fedha kwa ajili ya kuwa na Hospitali ya Kanda.MHE. MURTZA A.MANGUNGU: MheshimiwaMwenyekiti, katika mchan<strong>go</strong> wangu wa maandishi,niliomba kwamba nipate ufafanuzi kwa nini mpaka leokatika maombi yetu maalum ya ujenzi wa barabarakutoka Kipatimo kwenda Mkupera ambayo inayajengamaeneo ya Kandawale kuwa katika kisiwa kwa karibukipindi cha robo mbili za mwaka na majibu ya WaziriMkuu na Mawaziri wote sikuona yakianishwa kuhusianana jambo hilo? Naomba nipate ufafanuzi, ahsante.652


MWENYEKITI: Hawakusikia vizuri, naomba urudietafadhali.MHE. MURTZA A.MANGUNGU: MheshimiwaMwenyekiti, katika mchan<strong>go</strong> wangu wa maandishitumeleta maombi kwa ajili ya ujenzi wa barabara yakutoka Kipatimo hadi Mkupera na sasa ombi hilo likokatika ofisi ya Waziri Mkuu kwa zaidi miaka miwili,hakuna majibu ya kukubaliwa au kukataliwa. Je,tunapata majibu gani kuhusiana na hilo?NAIBU WAZIRI TAMISEMI (K.n.y.) WAZIRI MKUU:Mheshimiwa Mwenyekiti, ni kweli kabisa kuwa hiiamekuwa akiizungumzia mara kwa mara na imekuwaikija kama maombi maalum. Maombi maalum nijambo ambalo tunashirikiana sisi na Wizara ya Fedhakuona uwezekano wa kuzipata hizo hela. Nilikuwanaomba tu kwamba hebu aendelee kutuachia tuonejinsi ambavyo tunaweza kusaidia katika hili.MWENYEKITI: Waheshimiwa Wa<strong>bunge</strong>, wale wotewalioomba kuchukua mshahara wa Waziri Mkuu, wotewamekwisha, na mkiangalia hata kama nimewaombadakika thelathini ni saa tatu kasorobo na hizi volumeziko tatu, kwa hiyo, tunaingia kwenye guillotine sasa.(Kifungu kilichotajwa hapo juu kilipitishwa na Kamati yaMatumizi bila Mabadiliko yoyote)Kif. 1002 - Finance and Accounts........................ Sh.930,827,000/=Kif. 1003 - Policy and Planning ............................Sh.5,815,195,000/=653


Kif. 1004 - Internal Audit Unit................................ Sh.268,800,000/=Kif. 1005 - Government Communication Unit.....Sh.251,523,000/=Kif. 1006 - Procurement Management Unit .......Sh.259,277,000/=Kif. 1007 - Legal Services Unit................................... Sh.116,196,000/=Kif. 1008 - Management Information System Unit..Sh.187,108,000/=Kif. 2001 - Civil Affairs and Contingencies .............Sh.8,923,941,000/=Kif. 2002 - National Festivals....................................Sh.834,347,000/=Kif. 3001 - Parliamentary and Political Affairs ...........Sh.743,193,000/=Kif. 4001 - Investment and Private SectorDevelopment .................................…........Sh.6,872,730,000/=Kif. 5001 - Coordination of Government Business.... Sh.962,997,000/=Kif. 7001 - Government Printer................................ Sh.4,689,838,000/=(Vifungu vilivyotajwa hapo juu vilipitishwa na Kamati yaMatumizi bila Mabadiliko yoyote)FUNGU 42 – OFISI YA BUNGEKif. 1001 - Administration and General ………Sh.16,708,174,200/=654


Kif. 2001 - National Assembly ……………………. Sh.94,887,878,800/=(Vifungu vilivyotajwa hapo juu vilipitishwa na Kamati yaMatumizi bila Mabadiliko yoyote)FUNGU 56 – TAMISEMIKif. 1001 - Admin. and HR Management... .. Sh.3,286,463,000/=Kif. 1002 - Finance and Accounts ……………… Sh.498,813,000/=Kif. 1003 - Policy and Planning Division …… Sh.922,655,000/=Kif. 1004 - Mgt Information Syst. Division........... Sh.361,581,000/=Kif. 1005 - Legal Services Division………………… Sh.439,330,000/=Kif. 1006 - Internal Audit Unit .............................. Sh. 348,561,000/=Kif. 1007 - Government Comm. Unit .................. Sh.383,925,000/=Kif. 1008 - Procurement Management Unit ..... Sh.326,597,000/=Kif. 1009 - Infrastructure Development Unit ...... Sh.129,197,515/=Kif. 2001 - Regional Administration Division ......Sh.804,373,000/=Kif. 2002 - Local Govent Coordination Div........Sh.14,108,870,000/=Kif. 2003 - Sector Coordination Division............. Sh.933,514,000/=655


Kif. 2004 - Basic Education Coordination Div....... Sh.1,546,240,000/=Kif. 2005 - Urban Development Division ............... Sh.1,545,017,000/=Kif. 3001 - Organization Development Div......... Sh.9,911,272,000/=(Vifungu vilivyotajwa hapo juu vilipitishwa na Kamati yaMatumizi bila Mabadiliko yoyote)FUNGU 61 - ELECTORAL COMMISSIONKif. 1001- Admin. and HR Management ...........Sh.2,139,019,000/=Kif. 1002 - Planning Monitoring and Evaluation Div....Sh.164,639,000/=Kif. 1003 - Finance and Accounts Unit ………………..Sh.244,648,000/=Kif. 1004 - Internal Audit Unit ……………………….....Sh.178,032,000/=Kif. 1005 - Legal Services Unit………………………......Sh.218,924,000/=Kif. 1006 - Procurement MGT &Logistics Unit …………Sh.192,626,000/=Kif. 2001 - Election Management Division ……….......Sh.195,820,000/=Kif. 2002 - Permanent National Voters RegistrationSystem Division......................................... Sh.234,692,000/=Kif. 2003 - Voters Education Public Inf. Div.………Sh.195,281,000/=656


(Vifungu vilivyotajwa hapo juu vilipitishwa na Kamati yaMatumizi bila Mabadiliko yoyote)FUNGU 91 – ANTI DRUG COMMISSIONKif. 1001 - Admn. and HR Management.......... Sh.1,361,470,000/=(Kifingu kilichotajwa hapo juu vilipitishwa na Kamati yaMatumizi bila Mabadiliko yoyote)FUNGU 92 - TACAIDS (TANZANIA COMMISSION FORAIDS)Kif. 1001 - Admin. and HR Management ……… Sh.151,361,200/=Kif. 1002 - Finance, Admn. and Resource Mob.... Sh.1,511,688,000/=Kif. 1003 - Monit., Evaluation, Research and Mis.... Sh.103,985,100/=Kif. 1004 - Advocacy, Infor., Education and Com….. Sh.73,356,900/=Kif. 1005 - District and Comm. Response…………...Sh.525,849,500/=Kif. 1006 - Procurement Mgt Unit………………......... Sh.80,055,600/=Kif. 1007 - Legal Unit ………………………………… ..... Sh.77,097,700/=Kif. 1008 - Management Information System ……… Sh.48,987,300/=Kif. 1009 - Internal Audit Unit …………………………... Sh.68,646,000/=657


Kif. 1010 - Special Programmes……………………....Sh.119,770,500/=Kif. 1011 - Government Communication Unit …….. Sh.38,218,200/=(Vifungu vilivyotajwa hapo juu vilipitishwa na Kamati yaMatumizi bila Mabadiliko yoyote)FUNGU 27 - REGISTRAR OF POLITICAL PARTIESKif. 1001 - Administration and HR Mgt..……19,488,941,000/=Sh.(Kifungu kilichotajwa hapo juu kilipitishwa na Kamati yaMatumizi bila Mabadiliko yoyote)MATUMIZI YA KAWAIDA KWA MIKOAFUNGU 36 – MKOA WA KATAVIKif. 1001 - Admn. and HR Management……….. Sh.731,330,000/=Kif. 1002 - Finance and Accounts ……………… “59,308,000/=Kif. 1003 - Internal Audit ………………………….. “39,839,000/=Kif. 1004 - Procurement Management …..……. “20,992,000/=Kif. 1005 - DAS - Mpanda ……………………….… “112,336,000/=Kif. 1006 - DAS-Mlele ……………………….……. “193,463,000/=658


Kif. 1014 - Legal Services Sector ………………... “21,246,000/=Kif. 1015 - Information and Comm. Techn.…… “1,205,375,000/=Kif. 2001 - Planning and Coordination………….. “97,249,000/=Kif. 2002 - Economic and Productive Sector …. “86,971,000/=Kif. 2003 - Infrastructure Sector……………………. Sh.56,110,000/=Kif. 2005 - Local Governt Mgt Services……………. “53,694,000/=Kif. 2006 - Education Sector………………………… “135,913,000/=Kif. 2007 - Water Services …………………..……“40,727,000/=Kif. 3001 - Reginal Hospital …………………………“49,549, 000/=Kif. 8091 - Local Government …..……………….. “26,600,065,000/=(Vifungu vilivyotajwa hapo juu vilipitishwa na Kamati yaMatumizi bila Mabadiliko yoyote)FUNGU 47 - MKOA WA SIMIYUKif. 1001 - Admn. and HR Management ……… Sh.507,540,000/=Kif. 1002 - Finance and Accounts …………….. “47,302,000/=Kif. 1003 - Internal Audit Unit………………………. “22,866,000/=659


Kif. 1004 - Procurement Mgt Unit ………………… “26,310,000/=Kif. 1005 - DAS - Bariadi .……………………………. “218,634,000/=Kif. 1006 - DAS-Maswa ………………………….... “189,164,000/=Kif. 1007 - DAS Meatu……………………………… “194,860,000/=Kif. 1008 - DAS Busega ……………………………. “218,264,000/=Kif. 1009 - DAS Itilima……………………………… “195,908,000/=Kif. 1014 - Legal Service Unit …………………….. “21,100,000/=Kif. 1015 - Information and Comm. Techn..….. “34,387,000/=Kif. 2001 - Planning and Coordination………..... “71,397,000/=Kif. 2002 - Economic and Prod. Sector……………“114,121,000/=Kif. 2003 - Infrastructure Sector ………………....“75,687,000/=Kif. 2004 - Social Sector……………………………... “78,924,000/=Kif. 2005 - Local Government Services…………… “92,837,000/=Kif. 2006 - Education Sector…………………………. “208,286,000/=Kif. 2007 - Water Sector …………………………… “56,422,000/=Kif. 3001 - Regional Hospital ………………………. “493,176,000/=660


Kif. 8091 - Local Government Authorities……… “71,656,741,000/=(Vifungu vilivyotajwa hapo juu vilipitishwa na Kamati yaMatumizi bila Mabadiliko yoyote)FUNGU 54 - MKOA WA NJOMBEKif. 1001 - Admn. and HR Management …………Sh.374,432, 000/=Kif. 1002 - Finance and Accounts Unit…………... “59,101,000/=Kif. 1003 - Internal Audit …………………………… “39,895,000/=Kif. 1004 - Procurement Mgt Unit ……………............ “29,895,000/=Kif. 1005 - District Admin. Secretary - Njombe……. “336,017,000/=Kif. 1006 - District Admin. Secretary - Makete …… “274,934,000/=Kif. 1007 - District Admin. Secretary - Ludewa ….. “287,758,000/=Kif. 1008 - DAS - Wanging’ombe.......................... Sh.239,796,000/=Kif. 1014 - Legal Service Unit..……………………….”57,555,000/=Kif. 1015 - Inform. and Comm. Tech………….....…”1,676,335,000/=Kif. 2001 - Planning and Coordination………………”110,397,000/=Kif. 2002 - Economic and Productive Sector………”100,130,000/=661


Kif. 2003 - Infrastructure Sector ……………………… “82,302,000/=Kif. 2004 - Social Sector…………………………………“70,753, 000/=Kif. 2005 - Local Governt Mget Services…………….“66,456,000/=Kif. 2006 - Education Sector ………………………….. “124,035,000/=Kif. 2007 - Water Services ………………………….... “51,922,000/=Kif. 3001 - Regional Hospital …………………………. “388,954,000/=Kif. 8091 - Local Government Authorities …….... “59,776,190,000/=(Vifungu vilivyotajwa hapo juu vilipitishwa na Kamati yaMatumizi bila Mabadiliko yoyote)FUNGU 63 - MKOA WA GEITAKif. 1001 - Admn. and HR Management ……… Sh.668,176,000/=Kif. 1002 - Finance and Accounts Unit …………. “53,712,000/=Kif. 1003 - Internal Audit …………………………….“33,194,000/=Kif. 1004 - Procurement Management Unit ….. “17,946,000/=Kif. 1005 - DAS - Geita…………………………….... “70,000,000/=Kif. 1006 - DAS-Bukombe …………………………. “70,000,000/=662


Kif. 1007 - DAS Chato …………………………….... “70,000,000/=Kif. 1008 - DAS Nyang’hwale ……………………. “206,062,000/=Kif. 1009 - DAS - Mbogwe………..........................“217,486,000/=Kif. 1014 - Legal Service Unit ………………………“20,048,000/=Kif. 1015 - Information Comm. Tech. Unit…….. “34,284,000/=Kif. 2001 - Management Support……………….. “130,492,000/=Kif. 2002 - Economic and Dev. Support……….. “168,044,000/=Kif. 2003 - Infrastructure Section ………………“96,504,000/=Kif. 2004 - Social Sector…………………………… “111,102,000/=Kif. 2005 - Local Governt Mgt Services……… “87,320,000/=Kif. 2006 - Education Sector ……………………. “234,389,000/=Kif. 2007 - Water Sector ……………………………“72,022,000/=Kif. 8091 - Local Government …………………...“89,746,018,000/=(Vifungu vilivyotajwa hapo juu vilipitishwa na Kamati yaMatumizi bila Mabadiliko yoyote)FUNGU 70 - MKOA WA ARUSHA663


Kif. 1001 - Admn. and HR Management ……… Sh.2,346,330,000/=Kif. 1002 - Finance and Accounts ……………… “98,781,000/=Kif. 1003 - Internal Audit Unit……………………….. Sh.34,980,000/=Kif. 1004 - Procurement Mgt Unit ..........……………“38,293,000/=Kif. 1005 - DAS - Arusha ………………………………“159,656,000/=Kif. 1006 - DAS - N<strong>go</strong>ron<strong>go</strong>ro ………………………. “174,445,000/=Kif. 1007 - DAS - Karatu ………………………………“86,782,000/=Kif. 1008 - DAS - Arumeru ………………………… “178,936,000/=Kif. 1009 - DAS - Monduli ………………………….. “102,662,000/=Kif. 1010 - DAS - Longido ……………………………. “139,705,000/=Kif. 1014 - Legal Service Unit……………………........“14,000,000/=Kif. 1015 - Infor. and Comm. Techn. Unit…......….. “34,577,000/=Kif. 2001 - Planning and Codination……………….. “138,800,000/=Kif. 2002 - Economic and Productive Sector…….. “205,298,000/=Kif. 2003 - Infrastructure Sector……………………. “171,118,000/=Kif. 2004 - Social Sector ……………………………... “85,883,000/=664


Kif. 2005 - Local Government Services …………… “65,237,000/=Kif. 2006 - Education Sector …………………………“292,537,000/=Kif. 2007 - Water Sector …………………………..... “55,877,000/=Kif. 3001 - Reginal Hospital ……………………….... “4,813,362,000/=Kif. 8091 - Local Government …………………...“133,871,224,000/=(Vifungu vilivyotajwa hapo juu vilipitishwa na Kamati yaMatumizi bila Mabadiliko yoyote)FUNGU 71 - MKOA WA PWANIKif. 1001 - Admin. and HR Management…...... Sh.1,155,541,000/=Kif. 1002 - Finance and Accounts Units ………… “87,263,000/=Kif. 1003 - Internal Audit Unit ……………………... “18,458,000/=Kif. 1004 - Procurement Management Unit …… “88,183,000/=Kif. 1005 - DAS - Kibaha …………………………..... “189,717,000/=Kif. 1006 - DAS - Mafia …………………………..… “159,227,000/=Kif. 1007 - DAS - Kisarawe ………………………….. “ 188,810,000/=Kif. 1008 - DAS - Bagamoyo ………………………. “259,769,000/=665


Kif. 1009 - DAS - Rufiji……………………………….. “227,507,000/=Kif. 1010 - DAS - Mkururanga …………………….. “205,933,000/=Kif. 1014 - Legal Service Unit……………………….“10,000,000/=Kif. 1015 - Inform. and Comm. Techn. Unit……...“29,180,000/=Kif. 2001 - Planning and Coordination………….. “253,337,000/=Kif. 2002 - Economic and Productive Sector … “276,151,000/=Kif. 2005 - Local GVT. Management Services … “276,151,000/=Kif. 2003 - Infrastructure Sector …………………..“208,835,000/=Kif. 2004 - Social Sector …………………………… “81,702,000/=Kif. 2005 - Local Governt Mgt Services ………….“60,652,000/=Kif. 2006 - Education Sector……………..………... “196,169,000/=Kif. 2007 - Water Sector ……………………………. “26,758,000/=Kif. 3001 - Regional Hospital ………………………. “290,765,000/=Kif. 8091 - Local Government …………………... ..“97,297,104,000/=(Vifungu vilivyotajwa hapo juu vilipitishwa na Kamati yaMatumizi bila Mabadiliko yoyote)FUNGU 72 - MKOA WA DODOMA666


Kif. 1001 - Admin. and HR Management ………… “921,442,000/=Kif. 1002 - Finance and Accounts Unit…………….. “107,194,000/=Kif. 1003 - Internal Audit Unit……………………...... “47,664,000/=Kif. 1004 - Procurement Mgt Unit….......………….. “37,704,000/=Kif. 1005 - DAS - Kondoa ……………………………… “250,108,000/=Kif. 1006 - DAS - Mpwapwa ………………………… . “201,255,000/=Kif. 1007 - DAS - Kongwa ………………………..….. “178,717,000/=Kif. 1008 - DAS - Bahi ………………………………. “205,034,000/=Kif. 1009 - DAS Chamwino ……………………..…….. “211,304,000/=Kif. 1010 - DAS - Dodoma …………………………..… “150,264,000/=Kif. 1011 - DAS - Chemba …………………………..….. “120,000,000/=Kif. 1014 - Legal Service Unit…………………………..“29,208,000/=Kif. 1015 - Information and Comm. Techn. Unit…....“40,998,000/=Kif. 2001 - Planning and Coordination………………“197,834,000/=Kif. 2002 - Economic and Prod. Sector ……………..”202,388,000/=Kif. 2003 - Infrastructure Sector ……………………... “138,726,000/=667


Kif. 2004 - Social Sector ……………………………….“200,567,000/=Kif. 2005 - Local Governt Mgt Services …………….“91,497,000/=Kif. 2006 - Education Sector…………………………..“293,612,000/=Kif. 2007 - Water Sector …………………………….... “55,027,000/=Kif. 3001 - Regional Hospital ……………………… “4,034,978,000/=Kif. 8091 - Local Government …………………. “118,682,179,000/=(Vifungu vilivyotajwa hapo juu vilipitishwa na Kamati yaMatumizi bila Mabadiliko yoyote)FUNGU 73 - MKOA WA IRINGAKif. 1001 - Admn. and HR Management……..…..Sh.720,562,000/=Kif. 1002 - Finance and Accounts Unit………….….. “139,706,000/=Kif. 1003 - Internal Audit Unit……………………….... “43,778,000/=Kif. 1004 - Procurement Management Unit…….... “41,014,000/=Kif. 1005 - DAS - Iringa ……………………………….. “277,632,000/=Kif. 1006 - DAS - Njombe……………………………..... “0/=Kif. 1007 - DAS - Mufindi …………………………….. “257,256,000/=668


Kif. 1008 - DAS - Ludewa ……………………………..“ 0/=Kif. 1009 - DAS - Makete …………………………………“0/=Kif. 1010 - DAS - Kilolo ………………………………..…“225,171,000/=Kif. 1014 - Legal Service Unit………………………….. “26,020,000/=Kif. 1015 - Information and Comm. Techn. …………“77,236,000/=Kif. 2001 - Planning and Coordination…………….. “179,972,000/=Kif. 2002 - Economic and Prod. Sector ……………“277,478,000/=Kif. 2003 - Infrastructure Sector …………………..... “147,124,000/=Kif. 2004 - Social Sector ……………………………....“204,902,000/=Kif. 2005 - Local Governt Mgt Services …………….“159,520,000/=Kif. 2006 - Education Sector………………………….. “371,276,000/=Kif. 2007 - Water Sector ………………………………. “113,304,000/=Kif. 3001 - Regional Hospital ……………………….. “3,852,589,000/=Kif. 8091 - Local Government Authority ………... “87,006,875,000/=(Vifungu vilivyotajwa hapo juu vilipitishwa na Kamati yaMatumizi bila Mabadiliko yoyote)669


FUNGU 74 - MKOA WA KIGOMAKif. 1001 - Admn. and HR Management ……… Sh.905,572,000/=Kif. 1002 - Finance and Accounts Unit………….. “47,000,000/=Kif. 1003 - Internal Audit Unit……………………... “26,677,000/=Kif. 1004 - Procurement Management Unit …… “32,000,000/=Kif. 1005 - DAS - Ki<strong>go</strong>ma ………………………….. “273,437,000/=Kif. 1006 - DAS - Kasulu ……………………………… “273,241,000/=Kif. 1007 - DAS - Kibondo ………………………….. “250,941,000/=Kif. 1008 - DAS - Kakonko …………………………… “139,000,000/=Kif. 1009 - DAS - Buhigwe ………………………….. “155,000,000/=Kif. 1010 - DAS - Uvinza …………………………….. “123,000,000/=Kif. 1014 - Legal Service Unit………………………... “2,230,000/=Kif. 1015 - Information and Comm. Tech ……… “36,000,000/=Kif. 2001 - Planning and Coordination………….... “239,840,000/=Kif. 2002 - Economic and ProductiveSector ……“256,385,000/=Kif. 2003 - Infrastructure Sector………………..... “173,364,000/=670


Kif. 2004 - Social Sector ……………………….... “136,154,000/=Kif. 2005 - Local GVT. Management Services .......“112,293,000/=Kif. 2006 - Education Sector……………………….. “236,000,000/=Kif. 2007 - Water Sector……………………………. “14,000,000/=Kif. 3001 - Regional Hospital ……………………… “2,170,346,000/=Kif. 8091 - Local Government ……………………. “79,480,564,000/=(Vifungu vilivyotajwa hapo juu vilipitishwa na Kamati yaMatumizi bila Mabadiliko yoyote)FUNGU 75 - MKOA WA KILIMANJAROKif. 1001 - Admn. and HR Management …….. Sh.1,142,238,000/=Kif. 1002 - Finance and Accounts Unit………….. “129,367,000/=Kif. 1003 - Internal Audit Unit…………………….. “26,927,000/=Kif. 1004 - Procurement Management Unit …“55,582,000/=Kif. 1005 - DAS - Moshi …………………………… “242,270,000/=Kif. 1006 - DAS - Hai ………………………….….. .“206,203,000/=Kif. 1007 - DAS - Rombo ……………………….... “199,131,000/=671


Kif. 1008 - DAS - Same ………………………… “236,187,000/=Kif. 1009 - DAS - Mwanga………………………… “190,314,000/=Kif. 1010 - DAS - Siha………………………………. “132,832,000/=Kif. 1014 - Legal Service Unit……………………… “16,112,000/=Kif. 1015 - Inform. and Comm. Techn. Unit…….“31,986,000/=Kif. 2001 - Planning and Coordination……….. ...“218,468,000/=Kif. 2002 - Economic and Productive Sector … “541,121,000/=Kif. 2003 - Infrastructure Sector…………………. “191,453,000/=Kif. 2004 - Social Sector ……………………….. “16,524,000/=Kif. 2005 - Local GVT.Management Services... “42,344,200/=Kif. 2006 - Education Sector………………………“286,589,000/=Kif. 2007 - Water Sector………………………….. “18,951,000/=Kif. 3001 - Regional Hospital ………………………“4,163,050,000/=Kif. 8091 - Local Government …………………“153,091,354,000/=(Vifungu vilivyotajwa hapo juu vilipitishwa na Kamati yaMatumizi bila Mabadiliko yoyote)FUNGU 76 - MKOA WA LINDI672


Kif. 1001 - Admn. and HR Management ……... Sh.1,237,506,000/=Kif. 1002 - Finance and Accounts Unit……………“99,980,000/=Kif. 1003 - Internal Audit Unit…………………….... “36,810,000/=Kif. 1004 - Procurement Management Unit …… “33,668,000/=Kif. 1005 - DAS - Lindi………………………………… “289,444,000/=Kif. 1006 - DAS - Kilwa …………………………….. “225,922,000/=Kif. 1007 - DAS - Liwale………………………………“177,927,000/=Kif. 1008 - DAS - Nachingwea …………………….. “222,488,000/=Kif. 1009 - DAS - Ruangwa …………………….... “195,916,000/=Kif. 1014 - Legal Service Unit……………………… “32,732,000/=Kif. 1015 - Inform. and Comm. Tech. Unit………..“51,667,000/=Kif. 2001 - Planning and Coordination…………... “139,471,000/=Kif. 2002 - Economic and Productive Sector ….. “276,499,000/=Kif. 2003 - Infrastructure Sector………………….. “142,871,000/=Kif. 2004 - Social Sector ………………….…...... “140,073,000/=Kif. 2005 - Local GVT. Management Services … “121,641,000/=673


Kif. 1010 - DAS - Butiama ……………………...……“120,000,000/=Kif. 1014 - Legal Service Unit………………………..“45,903,000/=Kif. 1015 - Information and Comm. Tech ………“56,225,000/=Kif. 2001 - Planning and Coordination………… “242,356,000/=Kif. 2002 - Economic and Prod. Sector……….. “253,501,000/=Kif. 2003 - Infrastructure Sector………………… “157,171,000/=Kif. 2004 - Social Sector ……………………….. “132,617,000/=Kif. 2005 - Local GVT. Mgt Services …………….. “118,083,000/=Kif. 2006 - Education Sector…………………...….. “262,548,000/=Kif. 2007 - Water Sector………………………….. ..“83,130,000/=Kif. 3001 - Regional Hospital ……………………. “2,529,694,000/=Kif. 8091 - Local Government ……………….... “119,316,889,000/=(Vifungu vilivyotajwa hapo juu vilipitishwa na Kamati yaMatumizi bila Mabadiliko yoyote)FUNGU 78 - MKOA WA MBEYAKif. 1001 – Admin. and HR Management…….... Sh.975,408,000/=675


Kif. 1002- Finance and Accounts Unit ……….….. “124,578,000/=Kif. 1003 - Internal Audit Unit ……………............. “44,951,000/=Kif. 1004 - Procurement Mgt Unit………………… “44,096,000/=Kif. 1005 - DAS - Mbeya …………………………… “215,201,000/=Kif. 1006 - DAS - Ileje …………………………………“183,735,000/=Kif. 1007 - DAS - Kyela……………………………….….. “150,567,000/=Kif. 1008 - DAS- Chunya …………………………….. “218,991,000/=Kif. 1009 - DAS Mbozi……………………………….….. “247,518,000/=Kif. 1010 - DAS - Rungwe…………………………….... “195,557,000/=Kif. 1011 - DAS - Mbarali……………………….…….. “197,035,000/=Kif. 1012 - DAS - Momba ……………………………... “120,000,000/=Kif. 1014 - Legal Service Unit…………………………….. “8,757,000/=Kif. 1015 - Information and Comm. Tech …………… “17,172,000/=Kif. 2001 - Planning and Coordination……………... “125,878,000/=Kif. 2002 - Economic and Productive Sector…….... “216,329,000/=Kif. 2003 - Infrastructure Sector…………………….... “.138,542,000/=676


Kif. 2004 - Social Sector ………………………………”0/=Kif. 2005 - Local GVT. Management Services ……. “80,895,000/=Kif. 2006 - Education Sector………………………...…“335,006,000/=Kif. 2007 - Water Sector………………………………..“51,049,000/=Kif. 3001 - Regional Hospital …………….………….“1,756,696,000/=Kif. 8091 - Local Government …………….…….. “194,680,565,000/=(Vifungu vilivyotajwa hapo juu vilipitishwa na Kamati yaMatumizi bila Mabadiliko yoyote)FUNGU 79 - MKOA WA MOROGOROKif. 1001 - Admn. and HR Management ……….. Sh.862,296,000/=Kif. 1002 - Finance and Accounts Unit…………….. “165,399,000/=Kif. 1003 - Internal Audit Unit……………………..….. “45,636,000/=Kif. 1004 - Procurement Management Unit ……….“51,945,000/=Kif. 1005 - DAS - Moro<strong>go</strong>ro ………………………….. “258,133,000/=Kif. 1006 - DAS - Kilosa ………………………………... “337,006,000/=Kif. 1007 - DAS - Kilombero ……………………….….. “261,648,000/=677


Kif. 1008 - DAS - Ulanga ……………………….….... “322,917,000/=Kif. 1009 - DAS - Mvomero………………………….... “259,410,000/=Kif. 1010 - DAS - Gairo ……………………………….... “120,000,000/=Kif. 1014 - Legal Service Unit……………………….... “38,059,000/=Kif. 1015 - Information and Comm. Tech ………… “90,741,000/=Kif. 2001 - Planning and Coordination…………….. “180,039,000/=Kif. 2002 - Economic and Productive Sector …… “247,407,000/=Kif. 2003 - Infrastructure Sector…………………….. “199,879,000/=Kif. 2004 - Social Sector …………………………... “137,544,000/=Kif. 2005 - Local GVT. Management Services..….. “98,546,000/=Kif. 2006 - Education Sector…………………….….... “235,740,000/=Kif. 2007 - Water Sector……………………………..... “66,400,000/=Kif. 3001 - Regional Hospital ……………………..…“5,445,517,000/=Kif. 8091 - Local Government ……………….….. “146,459,023,000/=(Vifungu vilivyotajwa hapo juu vilipitishwa na Kamati yaMatumizi bila Mabadiliko yoyote)678


FUNGU 80 - MKOA WA MTWARAKif. 1001 - Admin. and HR Management …..….. Sh.1,374,957,000/=Kif. 1002 - Finance and Accounts Unit….….…..... “31,699,000/=Kif. 1003 - Internal Audit Unit……………………... “13,040,000/=Kif. 1004 - Procurement Management Unit ……. “30,125,000/=Kif. 1005 - DAS – Mtwara ………………………….. “193,034,000/=Kif. 1006 - DAS-Newala …………………………….. “171,228,000/=Kif. 1007 - DAS – Masasi ………………………….. “209,826,000/=Kif. 1008 - DAS- Tandahimba ……………………. “205,047,000/=Kif. 1009 - DAS Nanyumbu ……………………….. “249,060,000/=Kif. 1014 - Legal Service Unit……………………..... “26,102,000/=Kif. 1015 - Information and Comm. Tech …….... “22,939,000/=Kif. 2001 - Planning and Coordination…………... “243,873,000/=Kif. 2002 - Economic and Productive Sector.…..“154,350,000/=Kif. 2003 - Infrastructure Sector………………….. “143,424,000/=Kif. 2004 - Social Sector ……………………….. “121,412,000/=679


Kif. 2005 - Local GVT. Management Services …“44,083,000/=Kif. 2006 - Education Sector……………………...... “205,001,000/=Kif. 2007 - Water Sector……………………………… “56,457,000/=Kif. 3001 - Regional Hospital ……………………….“2,654,248,000/=Kif. 8091 - Local Government ……………….….. “92,896,097,000/=(Vifungu vilivyotajwa hapo juu vilipitishwa na Kamati yaMatumizi bila Mabadiliko yoyote)FUNGU 81 - MKOA WA MWANZAKif. 1001 - Admin. and HR Management……….. Sh.1,034,486,000/=Kif. 1002 - Finance and Accounts Unit………….. “140,359,000/=Kif. 1003 - Internal Audit Unit…………………….. ..“63,127,000/=Kif. 1004 - Procurement Management Unit …... “59,744,000/=Kif. 1005 - DAS - Nyamagana ………………………“219,428,000/=Kif. 1006 - DAS - Sengerema ……………….…….. “281,153,000/=Kif. 1007 - DAS - Geita …………………………….. “211,808,,000/=Kif. 1008 - DAS - Kwimba ……………………..... “270,596,000/=680


Kif. 1009 - DAS - Magu………………………….….. “277,078,000/=Kif. 1010 - DAS - Misungwi …………………………. “269,481,000/=Kif. 1011 - DAS - Ilemela …………………….…….. “210,853,000/=Kif. 1012 - DAS - Ukerewe ………………………… “268,195,000/=Kif. 1014 - Legal Service Unit…………………….. “27,004,000/=Kif. 1015 - Information and Comm. Tech ….....“40,532,000/=Kif. 2001 - Planning and Coordination…………….. “302,495,000/=Kif. 2002 - Economic and Productive Sector …….. “218,274,000/=Kif. 2003 - Infrastructure Sector…………………….... “171,879,000/=Kif. 2004 - Social Sector ……………………………. “133,178,000/=Kif. 2005 - Local Government Mgt Services…………“70,255,000/=Kif. 2006 - Education Sector…………………………. ”303,440,000/=Kif. 2007 - Water Sector……………………………..... .“31,482,000/=Kif. 3001 - Regional Hospital ………………….........”3,400,889,000/=Kif. 8091 - Local Government ………………….. “175,620,378,000/=(Vifungu vilivyotajwa hapo juu vilipitishwa na Kamati yaMatumizi bila Mabadiliko yoyote)681


FUNGU 82 - MKOA WA RUVUMAKif. 1001 - Admin. and HR Management..............Sh.717,469,000/=Kif. 1002 - Finance and Accounts Unit……………“142,858,000/=Kif. 1003 - Internal Audit Unit……………………… ..“61,703,000/=Kif. 1004 - Procurement Mgt Unit ……………....... “76,064,000/=Kif. 1005 - DAS – Songea ……………………………..“317,257,000/=Kif. 1006 - DAS-Tunduru………………………….….. “281,599,000/=Kif. 1007 - DAS – Mbinga …………………….……“262,226,000/=Kif. 1008 - DAS- Namtumbo ……………………..“241,838,000/=Kif. 1009 - DAS- Nyasa ……………………………….“230,788,000/=Kif. 1014 - Legal Service Unit……………………….“27,610,000/=Kif. 1015 - Information and Comm. Techn. Unit... “47,724,000/=Kif. 2001 - Planning and Coordination…………... “166,127,000/=Kif. 2002 - Economic and Productive Sector …. “150,403,000/=Kif. 2003 - Infrastructure Sector………………….. “176,060,000/=Kif. 2004 - Social Sector ………………………… “79,505,000/=682


Kif. 2005 - Local GVT. Management Services … “99,001,000/=Kif. 2006 - Education Sector……………………….. “271,794,000/=Kif. 2007 - Water Sector………………………………“88,947,000/=Kif. 3001 - Regional Hospital …………………….…“4,165,001,000/=Kif. 3002 - Preventive Services………………...….. “58,295,000/=Kif. 8091 - Local Government ……………………..“94,386,873,000/=(Vifungu vilivyotajwa hapo juu vilipitishwa na Kamati yaMatumizi bila Mabadiliko yoyote)FUNGU 83 - MKOA WA SHINYANGAKif. 1001 - Admn. and HR Management ……….. Sh.1,264,225,000/=Kif. 1002 - Finance and Accounts Unit……….…….. “136,168,000/=Kif. 1003 - Internal Audit Unit………………....……….. “38,090,000/=Kif. 1004 - Procurement Management Unit ……….. “50,784,000/=Kif. 1005 - DAS - Shinyanga ………………………….. “236,724,000/=Kif. 1006 - DAS - Maswa ……………………………….... “0/=Kif. 1007 - DAS - Bariadi ………………………………...“0/=683


Kif. 1008 - DAS - Kahama ………………………...... “222,534,000/=Kif. 1009 - DAS - Meatu……………………………....…“0/=Kif. 1010 - DAS - Bukombe …………………………….“0/=Kif. 1011 - DAS - Kishapu……………………….…..... “194,617,000/=Kif. 1014 - Legal Sector Unit………………………… “25,200,000/=Kif. 1015 - Information and Comm. Tech. Unit... “26,603,,000/=Kif. 2001 - Planning and Coordination…………... “155,146,000/=Kif. 2002 - Economic and Productive Sector ….. “152,935,000/=Kif. 2003 - Infrastructure Sector…………………… “135,271,000/=Kif. 2004 - Social Sector ……………………………“130,682,000/=Kif. 2005 - Local GVT. Mgt Services ……………......“81,427,000/=Kif. 2006 - Education Sector……………………….... “272,824,000/=Kif. 2007 - Water Sector……………………………….. “46,300,000/=Kif. 3001 - Regional Hospital ………………………..“2,707,304,000/=Kif. 8091 - Local Government …………….…….. “85,550,332,000/=(Vifungu vilivyotajwa hapo juu vilipitishwa na Kamati yaMatumizi bila Mabadiliko yoyote)684


FUNGU 84 - MKOA WA SINGIDAKif. 1001 - Admn. and HR Management ……… Sh.1,346,253,000/=Kif. 1002 - Finance and Accounts Unit………....… “43,272,000/=Kif. 1003 - Internal Audit Unit………………….….... “27,485,000/=Kif. 1004 - Procurement Management Unit ……..“36,738,000/=Kif. 1005 - DAS – Singida……………………..……….. “150,160,000/=Kif. 1006 - DAS-Manyoni…………………………….... “122,107,000/=Kif. 1007 - DAS – Iramba …………………………….. “122,107,000/=Kif. 1008 - DAS- Ikungi ……………………………….. “120,000,000/=Kif. 1014 - Legal Service Unit……………………….. “6,000,000/=Kif. 1015 - Information and Comm. Tech…………. “16,000,000/=Kif. 2001 - Planning and Coordination…………….. “245,455,000/=Kif. 2002 - Economic and Productive Sector ……..“196,730,000/=Kif. 2003 - Infrastructure Sector…………………….. “170,370,000/=Kif. 2004 - Social Sector ………………………….. “141,469,000/=Kif. 2005 - Local GVT. Management Services ……“51,000,000/=685


Kif. 2006 - Education Sector………………………..... “146,000,000/=Kif. 2007 - Water Sector……………………………..... “40,000,000/=Kif. 3001 - Regional Hospital ……………………..…“2,699,216,000/=Kif. 3002 - Preventive Services…………………….. “48,878,000/=Kif. 8091 - Local Government ………………..….. “72,618,048,000/=(Vifungu vilivyotajwa hapo juu vilipitishwa na Kamati yaMatumizi bila Mabadiliko yoyote)FUNGU 85 - MKOA WA TABORAKif. 1001 - Admin. and HR Management…….. Sh.1,163,791,000/=Kif. 1002 - Finance and Accounts Unit………….. “99,854,000/=Kif. 1003 - Internal Audit Unit…………………….…“20,084,000/=Kif. 1004 - Procurement Mgt Unit ……………..... “48,383,000/=Kif. 1005 - DAS - Tabora………………………….… “182,457,000/=Kif. 1006 - DAS - Nzega……………………………….“202,443,000/=Kif. 1007 - DAS - Sikonge …………………………….“156,790,000/=Kif. 1008 - DAS - Igunga …………………………....“187,957,000/=Kif. 1009 - DAS - Urambo ………………………….…“190,840,000/=686


Kif. 1010 - DAS - Uyui ………………………..……….”181,597,000/=Kif. 1011 - DAS - Kaliua …………………………….….“189,917,000/=Kif. 1014 - Legal Service Unit…………………………“20,280, 000/=Kif. 1015 - Information and Comm. Tech……….... “31,147,000/=Kif. 2001 - Planning and Coordination……………. .“126,922,000/=Kif. 2002 - Economic and Productive Sector….... “150,033,000/=Kif. 2003 - Infrastructure Sector…………………..... “141,095,000/=Kif. 2004 - Social Sector …………………………. “132,182,000/=Kif. 2005 - Local GVT. Management ……………….“72,388,000/=Kif. 2006 - Education Sector………………………….“249,666,000/=Kif. 2007 - Water Sector……………………………....”39,855,000/=Kif. 3001 - Regional Hospital ……………………….. “2,695,643,000/=Kif. 3002 - Preventive Services……………………….“68,560,000/=Kif. 8091 - Local Government ……………………..…….. “106,299,274,000/=(Vifungu vilivyotajwa hapo juu vilipitishwa na Kamati yaMatumizi bila Mabadiliko yoyote)FUNGU 86 - MKOA WA TANGA687


Kif. 1001 - Admin. and HR Management ……….Sh.2,013,544,000/=Kif. 1002 - Finance and Accounts Unit………….... “44,401,000/=Kif. 1003 - Internal Audit Unit………………………. “29,000,000/=Kif. 1004 - Procurement Management Unit ….... “34,000,000/=Kif. 1005 - DAS - Tanga…………………………….…“75,669,000/=Kif. 1006 - DAS - Kilindi……………………….……... “109,239,000/=Kif. 1007 - DAS - Korogwe ………………………… “101,135,000/=Kif. 1008 - DAS - Lushoto ………………………..……“115,042,000/=Kif. 1009 - DAS - Mkinga …………………………..…“90,590,000/=Kif. 1010 - DAS - Muheza ……………………………“88,513,000/=Kif. 1011 - DAS - Pangani …………………………… ”79,781,000/=Kif. 1012 - DAS - Handeni …………………………….“104,089,000/=Kif. 1014 - Legal Service Unit…………………..…….“7,000,000/=Kif. 1015 - Information and Comm. Tech. Unit…..“14,000,000/=Kif. 2001 - Planning and Coordination………….….“228,510,000/=Kif. 2002 - Economic and Productive Sector …...“220,571,000/=688


Kif. 2003 - Infrastructure Sector…………………….“187,705,000/=Kif. 2004 - Social Sector …………………………..“90,968,000/=Kif. 2005 - Local GVT. Management Services ….“145,785,000/=Kif. 2006 - Education Sector………………………..“192,689,000/=Kif. 2007 - Water Sector……………………………..“15,000,000/=Kif. 3001 - Regional Hospital ………………………“4,037,428,000/=Kif. 3002 -Preventive Services………………….....“30,340,000/=Kif. 8091 - Local Government ……………………“150,365,187,000/=(Vifungu vilivyotajwa hapo juu vilipitishwa na Kamati yaMatumizi bila Mabadiliko yoyote)FUNGU 87 - MKOA WA KAGERAKif. 1001 - Admin. and HR Management …..... Sh.2,381,370,000/=Kif. 1002 - Finance and Accounts Unit………….. “30,833,000/=Kif. 1003 - Internal Audit Unit………………………“34,615,000/=Kif. 1004 - Procurement Mgt Unit ……..………... “38,654,000/=Kif. 1005 - DAS - Bukoba……………………………“61,995,000/=689


Kif. 1006 - DAS - Biharamulo………………………“62,607,000/=Kif. 1007 - DAS - Chato ………………………….....“0/=Kif. 1008 - DAS - Karagwe …………………………“61,452,000/=Kif. 1009 - DAS - Misenyi …………………………....“61,473,000/=Kif. 1010 - DAS - Muleba …………………………. “61,081,000/=Kif. 1011 - DAS - Ngara …………………………….“61,409,000/=Kif. 1012 - DAS - Kyerwa ……………………………“120,000,000/=Kif. 1014 - Legal Service Unit………………………“18,676, 000/=Kif. 1015 - Information and Comm. Tech…......“49,047,000/=Kif. 2001 - Planning and Coordination………... ....“280,356,000/=Kif. 2002 - Economic and Productive Sector..… “218,860,000/=Kif. 2003 - Infrastructure Sector……………………“203,106,000/=Kif. 2004 - Social Sector ………………………… “101,125,000/=Kif. 2005 - Local GVT. Management Services … “69,415,000/=Kif. 2006 - Education Sector…………………….... “198,382,000/=Kif. 2007 - Water Sector……………………………..“30,572,000/=690


Kif. 3001 - Regional Hospital ………………………..“2,854,041,000/=Kif. 3002 - Preventive Services………………….... “2,854,041,000/=Kif. 8091 - Local Government …………………….“127,628,000/=(Vifungu vilivyotajwa hapo juu vilipitishwa na Kamati yaMatumizi bila Mabadiliko yoyote)FUNGU 88 - MKOA WA DAR ES SALAAMKif. 1001 - Admin. and HR Management …….. Sh.1,015,990,000/=Kif. 1002 - Finance and Accounts Unit……….... “82,320,000/=Kif. 1003 - Internal Audit Unit………………………“35,223,000/=Kif. 1004 - Procurement Management Unit ….. “54,378,000/=Kif. 1005 - DAS - Ilala………………………………... “223,239,000/=Kif. 1006 - DAS-Kinondoni………………………….... “250,228,000/=Kif. 1007 - DAS - Temeke ……………………….... “247,573,000/=Kif. 1014 - Legal Service Unit……………………… “19,209, 000/=Kif. 1015 - Information and Comm. Tech……… “46,433,000/=Kif. 2001 - Planning and Coordination……………“196,929,000/=691


Kif. 2002 - Economic and Productive Sector...... “158,617,000/=Kif. 2003 - Infrastructure Sector…………………… “191,827,000/=Kif. 2004 - Social Sector …………………………. “55,837,000/=Kif. 2005 - Local GVT. Management Services …. “87,958,000/=Kif. 2006 - Education Sector………………………….“361,814,000/=Kif. 2007 - Water Sector………………………………“90,305,000/=Kif. 8091 - Local Government ……………...…..“252,273,482,000/=FUNGU 95 - MKOA WA MANYARAKif. 1001 - Admin. and HR Management …….... Sh.633,117,000/=Kif. 1002 - Finance and Accounts Unit……………...“202,670,000/=Kif. 1003 - Internal Audit Unit………………………... “40,900,000/=Kif. 1004 - Procurement Management Unit ………“60,602,000/=Kif. 1005 - DAS – Babati……………………………..... “197,547,000/=Kif. 1006 - DAS-Hanang……………………………….. “248,187,000/=Kif. 1007 - DAS – Kiteto …………………………….... “255,442,000/=Kif. 1008 - DAS- Mbulu……………………………….... “229,536,000/=692


Kif. 1009 - DAS- Simanjiro……………………………... “235,640,000/=Kif. 1014 - Legal Service Unit………………………..... “40,020,000/=Kif. 1015 - Information and Comm. Tech.............. “44,335,000/=Kif. 2001 - Planning and Coordination……………... “312,454,000/=Kif. 2002 - Economic and Productive Sector…….. “213,113,000/=Kif. 2003 - Infrastructure Sector………………….….. “162,382,000/=Kif. 2004 - Social Sector ………………………….... “161,640,000/=Kif. 2005 - Local GVT. Management Services…….. “120,691,000/=Kif. 2006 - Education Sector………………………….. “307,742,000/=Kif. 2007 - Water Sector……………………………….. “52,547,000/=Kif. 3001 - Regional Hospital ……………………….... “601,210,000/=Kif. 8091 - Local Government ………………..….. “87,381,994,000/=(Vifungu vilivyotajwa hapo juu vilipitishwa na Kamati yaMatumizi bila Mabadiliko yoyote)MIPANGO YA MAENDELEOFUNGU 36 – MKOA WA KATAVI693


Kif. 8091 – Local Goverment… … … … .........…Sh.8,210,243, 000/=(Kifungu kilivyotajwa hapo juu kilipitishwa na Kamati yaMatumizi bila Mabadiliko yoyote)FUNGU 37 – OFISI YA WAZIRI MKUUKif. 1001 - Admin. and HR Management …….. Sh.3,500,000,000/=Kif. 1003 - Policy and Planning……………….….. “17,360,000/=Kif. 2001 - Civil Affairs and Contingencies …….“1,827,000,000/=Kif. 2002 - National Festivals…………………… ...“0/=Kif. 4001 - Invest. and Private Sectors Dev’t.... “18,600,000,000/=Kif. 5001 - Coordination of Governt Business….“49,960,637,000/=Kif. 7001 - Government Printer………………...... “500,000,000/=(Vifungu vilivyotajwa hapo juu vilipitishwa na Kamati yaMatumizi bila Mabadiliko yoyote)FUNGU 42 - MFUKO WA BUNGEKif. 1001 - Admin. and HR Management ….......Sh.1,635,000,000/=Kif. 2002 - National Assembly……………….….... “0/=694


(Vifungu vilivyotajwa hapo juu vilipitishwa na Kamati yaMatumizi pamoja na Marekebisho yake)FUNGU 47 - MKOA WA SIMIYUKif. 8091 - Local Government Authorities…….Sh.17,892,207,000/=(Kifungu kilichotajwa hapo juu kilipitishwa na Kamati yaMatumizi bila Mabadiliko yoyote)FUNGU 54 - MKOA WA NJOMBEKif. 2001 - Planning and Coordination………..…..Sh.326,261,000/=Kif. 8091 - Local Government Authorities……… “13,604,156,000/=(Vifungu vilivyotajwa hapo juu vilipitishwa na Kamati yaMatumizi bila Mabadiliko yoyote)FUNGU 63-MKOA WA GEITAKif. 8091 Local Government...................………Sh.19,988,644,000/=(Kifungu Kilichotajwa Hapo Juu Kilipitishwa na KamatiyaMatumizi Bila ya Mabadiliko yoyote)FUNGU 70 - MKOA WA ARUSHA695


Kif. 1001 - Admin. and HR Management……...….Sh.619,551,000/=Kif. 2001 - Planning and Coordination…………….. “60,000,000/=Kif. 2002 - Economic and Productive Sector …… “38,465,000/=Kif. 2003 - Infrastructure Sector……………………..“0/=Kif. 2004 - Social Sector……………………………...…“0/=Kif. 2007 - Water Sector…………………………….…“24,248,000/=Kif. 3001 - Regional Hospital…………………….….. “158,523,000/=Kif. 8091 - Local Government……………………...“25,710,395,000/=(Vifungu vilivyotajwa hapo juu vilipitishwa na Kamati yaMatumizi bila Mabadiliko yoyote)FUNGU 71 - MKOA WA PWANIKif. 1001 - Admin. and HR Management….…....….Sh.50,000,000/=Kif. 2001 - Planning and Coordination…………….. “60,000,000/=Kif. 2002 - Economic and Productive Sector …… “38,484,000/=Kif. 2003 - Infrastructure Sector…………………….. “239,339,000/=Kif. 3001 - Regional Hospital…………………….….. “158,523,000/=696


Kif. 8091 - Local Government…………………….“16,109,665,000/=(Vifungu vilivyotajwa hapo juu vilipitishwa na Kamati yaMatumizi bila Mabadiliko yoyote)FUNGU 72 - MKOA WA DODOMAKif. 1001 - Admin. and HR Management……….Sh.2,817,263,000/=Kif. 2002 - Economic and Productive Sector … “48,028,000/=Kif. 2004 - Social Sector………………………………Sh.176,591,000/=Kif. 2007 - Water Sector……………………………... “24,703,000/=Kif. 3001 - Regional Hospital…………………….….. “500,000,000/=Kif. 8091 - Local Government……………………...“28,820,460,000/=(Vifungu vilivyotajwa hapo juu vilipitishwa na Kamati yaMatumizi bila Mabadiliko yoyote)FUNGU 73 - MKOA WA IRINGAKif. 1001 - Admin. and HR Management……...….Sh.145,000,000/=Kif. 2001 - Planning and Coordination………...….. “477,565,000/=Kif. 2002 - Economic and Productive Sector……. “109,965,000/=697


Kif. 2003 - Infrastructure Sector……………………. “0/=Kif. 2004 - Social Sector……………………………...“170,455,000/=Kif. 2007 - Water Sector……………………………...“29,929,000/=Kif. 3001 - Regional Hospital…………………………“0/=Kif. 8091 - Local Government Authority…………“15,627,405,000/=(Vifungu vilivyotajwa hapo juu vilipitishwa na Kamati yaMatumizi bila Mabadiliko yoyote)FUNGU 74 - MKOA WA KIGOMAKif.1001 - Admin. and HR Management………....Sh.574,383,000/=Kif. 2001 - Planning and Coordination…………....“24,703,000/=Kif. 2002 - Economic and Productive Sector …. “6,000,000/=Kif. 2004 - Social Sector…………………………….”30,000,000/=Kif. 3001 - Regional Hospital…………………….…“222,727,000/=Kif. 8091 - Local Government……………………..“30,077,410,000/=(Vifungu vilivyotajwa hapo juu vilipitishwa na Kamati yaMatumizi bila Mabadiliko yoyote)FUNGU 75 - MKOA WA KILIMANJARO698


Kif. 1001 - Admn. and HR Management ……….. Sh.20,000,000/=Kif. 1005 - DAS - Moshi …………………………….. “5,000,000/=Kif. 1006 - DAS -Hai …………………………….….. “5,000,000/=Kif. 1007 - DAS - Rombo …………………………. “5,000,000/=Kif. 1008 - DAS - Same …………………………. “5,000,000/=Kif. 1009 - DAS - Mwanga…………………………. “5,000,000/=Kif. 1010 - DAS - Siha…………………………….…. “5,000,000/=Kif. 1015 - Information and Comn. Tech. Unit.... “18,000,000/=Kif. 2001 - Planning and Coordination…….…... “50,000,000/=Kif. 2002 - Economic and Prodtv. Sector ………. Sh.460,404,000/=Kif. 2003 - Infrustructure Sector……………….….....“0/=Kif. 2004 - Social Sector …………………………....“0/=Kif. 2007 - Water Sector ……………………………..“26,703,000/=Kif. 3001 - Regional Hospital ……………………….”902,694,000/=Kif. 8091 - Local Government …………………….“21,062,707,000/=(Vifungu vilivyotajwa hapo juu vilipitishwa na Kamati ya699


Matumizi bila Mabadiliko yoyote)FUNGU 76 - MKOA WA LINDIKif. 1001 - Admn. and HR Management …….... Sh.45,000,000/=Kif. 2001 - Planning and Coordination………….…. “50,825,000/=Kif. 2002 - Economic and Productive Sector ……. “58,370,000/=Kif. 2003 - Infrastructure Sector…………………….. “283,377,000/=Kif. 2004 - Social Sector …………………………….“146,591,000/=Kif. 2006 - Education Sector …………………….….. “50,000,000/=Kif. 2007 - Water Sector…………………………….…“24,703,000/=Kif. 3001 - Regional Hospital …………………….….. “50,000,000/=Kif. 3002 - Preventive Services……………………..… “0/=Kif. 8091 - Local Government ……………………. “13,570,913,000/=(Vifungu vilivyotajwa hapo juu vilipitishwa na Kamati yaMatumizi bila Mabadiliko yoyote)FUNGU 77 - MKOA WA MARAKif. 1001 - Admn. and HR Management ………..45,000,000/=Sh.700


Kif. 2001 - Planning and Coordination………………“60,000,000/=Kif. 2002 - Economic and Productive Sector …… “64,299,000/=Kif. 2003 - Infrastructure Sector……………………..“1,193,744,000/=Kif. 2004 - Social Sector ………………..………….“146,591,000/=Kif. 2007 - Water Sector…………………...…………. “24,703,000/=Kif. 3001 - Regional Hospital ………………….….....“2,240,997,000/=Kif. 8091 - Local Government ……………….….. “27,765,505,000/=(Vifungu vilivyotajwa hapo juu vilipitishwa na Kamati yaMatumizi bila Mabadiliko yoyote)FUNGU 78 - MKOA WA MBEYAKif. 1001 - Admn. and HR Management ……… Sh.287,000,000/=Kif. 2001 - Planning and Coordination……….….. “369,712,000/=Kif. 2002 - Economic and Productive Sector ……“86,347,000/=Kif. 2003 - Infrastructure Sector………………………Sh.“ 0/=Kif. 2004 - Social Sector ……………………………“0/=Kif. 2007 - Water Sector…………………………….…”29,929,000/=701


Kif. 3001 - Regional Hospital ………………….…... “325,140,000/=Kif. 8091 - Local Government …………………..... “35,404,729,000/=(Vifingu vilivyotajwa hapo juu vilipitishwa na Kamati yaMatumizi bila Mabadiliko yeyote)FUNGU 79 - MKOA WA MOROGOROKif. 1001 - Admn. and HR Management ……….. Sh.620,000,000/=Kif. 1005 - DAS - Moro<strong>go</strong>ro ………………………… “10,000,000/=Kif. 1006 - DAS - Kilosa ……………………………... “5,000,000/=Kif. 1007 - DAS - Kilombero …………………………“5,000,000/=Kif. 1008 - DAS - Ulanga …………………………..“5,000,000/=Kif. 1009 - DAS Mvomero…………………………….“5,000,000/=Kif. 2001 - Planning and Coordination………….. “30,594,000/=Kif. 2002 - Economic and Prod. Sector ………. “60,088,000/=Kif. 2003 - Infrastructure Sector…………….….. “0/=Kif. 2004 - Social Sector …………………………“146,591,000/=Kif. 2007 - Water Sector…………………………….“29,929,000/=702


Kif. 3001 - Regional Hospital …………………….. “30,000,000/=Kif. 8091 - Local Government ………………….. “26,002,006,000/=(Vifungu vilivyotajwa hapo juu vilipitishwa na Kamati yaMatumizi bila Mabadiliko yoyote)FUNGU 80 – MKOA WA MTWARAKif. 1001 - Admin. and HR Management ……….. Sh.375,000,000/=Kif. 2001 - Planning and Coordination………….... “25,000,000/=Kif. 2002 - Economic and Prod. Sector ………… “48,103,000/=Kif. 2003 - Infrastructure Sector……………………“0/=Kif. 2004 - Social Sector …………………………”30,000,000/=Kif. 2007 - Water Sector…………………………….“24,703,000/=Kif. 3001 - Regional Hospital ………………….….. “265,988,000/=Kif. 8091 - Local Government ………………….. “19,166,232,000/=(Vifungu vilivyotajwa hapo juu vilipitishwa na Kamati yaMatumizi bila Mabadiliko yoyote)FUNGU 81 – MKOA WA MWANZAKif. 1001 - Admin. and HR Management ………… Sh.55,000,000/=703


Kif. 2001 - Planning and Coordination…………….. “39,474,000/=Kif. 2002 - Economic and Productive Sector ……. “47,990,000/=Kif. 2003 - Infrastructure Sector…………………….. “406,246,000/=Kif. 2004 - Social Sector ……………………………“158,523,000/=Kif. 2007 - Water Sector……………………………..... “29,929,000/=Kif. 3001 - Regional Hospital………………………… “0/=Kif. 8091 - Local Government…………………….. “36,790,787,000/=(Vifungu vilivyotajwa hapo juu vilipitishwa na Kamati yaMatumizi bila Mabadiliko yoyote)FUNGU 82 – MKOA WA RUVUMAKif. 1001 - Admn. and HR Management ……….. Sh.366,019,000/=Kif. 2002 - Economic and Productive Sector ……“68,547,000/=Kif. 2003 - Infrastructure Sector……………….…... “22,000,000/=Kif. 2004 - Social Sector ……………………………“0/=Kif. 2007 - Water Sector…………………………….…“24,703,000/=Kif. 3001 - Regional Hospital ………………………......”0/=704


Kif. 3002 - Preventive Services………………….….. “164,659,000/=Kif. 8091 - Local Government ……………………. “19,104,799,000/=(Vifungu vilivyotajwa hapo juu vilipitishwa na Kamati yaMatumizi bila Mabadiliko yoyote)FUNGU 83 – MKOA WA SHINYANGAKif. 1001 - Admn. and HR Management ………… Sh.35,000,000/=Kif. 2001 - Planning and Coordination………….….. “39,247,000/=Kif. 2002 - Economic and Productive Sector …… “52,610,000/=Kif. 2003 - Infrastructure Sector…………...…….…..“1,222,919,000/=Kif. 2004 - Social Sector ……………………………“170,455,000/=Kif. 2007 - Water Sector…………………………….…“29,929,000/=Kif. 3001 - Regional Hospital ………………….…......“60,000,000/=Kif. 8091 - Local Government …………………….“18,300,141,000/=(Vifungu vilivyotajwa hapo juu vilipitishwa na Kamati yaMatumizi bila Mabadiliko yoyote)FUNGU 84 – MKOA WA SINGIDA705


Kif. 1001 - Admn. and HR Management ……… Sh.205,000,000/=Kif. 2001 - Planning and Coordination……….….. “20,000,000/=Kif. 2002 - Economic and Productive Sector ……“33,780,000/=Kif. 2003 - Infrastructure Sector……………………... “24,703,000/=Kif. 3001 - Regional Hospital ………………….….. ..“1,927,881,000/=Kif. 8091 - Local Government ……………….….. “15,450,256,000/=(Vifungu vilivyotajwa hapo juu vilipitishwa na Kamati yaMatumizi bila Mabadiliko yoyote)FUNGU - 85 MKOA WA TABORAKif. 1001 - Admin. and HR Management …….…..Sh.485,242,000/=Kif. 2001 - Planning and Coordination………….. ..“30,000,000/=Kif. 2002 - Economic and Productive Sector …… “387,834,000/=Kif. 2003 - Infrastructure Sector……………….….. “29,929,000/=Kif. 2004 - Social Sector ……………………………”0/=Kif. 3001 - Regional Hospital ……………………..... “146,591,000/=Kif. 8091 - Local Government ………………….. “24,619,793,000/=706


(Vifungu vilivyotajwa hapo juu vilipitishwa na Kamati yaMatumizi bila Mabadiliko yoyote)FUNGU 86 - MKOA WA TANGAKif. 1001- Admin. and HR Management ………. Sh.274,231,000/=Kif. 2001- Planning and Coordination …………… “60,574,000/=Kif. 2002- Economic and Productive Sector …… “88,107,000/=Kif. 2004- Social Sector …………………………….. “0/=Kif.2007-Water Sector…………………………….….. “29,929,000/=Kif. 3001- Regional Hospital …………………...... “272,386,000/=Kif. 8091- Local Government………………….….. “27,778,190,000/=(Vifungu vilivyotajwa hapo juu vilipitishwa na Kamati yaMatumizi bila Mabadiliko yoyote)FUNGU 87 - MKOA WA KAGERAKif. 1001- Admin. and HR Management …….….. Sh.485,500,000/=Kif. 2001 - Planning and Coordination…………......... “30,000,000/=Kif. 2002 - Economic and Productive Sector …..... “72,310,000/=Kif. 2003 - Infrastructure Sector………………….….. “75,000,000/=707


Kif. 2004 - Social …………………….........……….….. “170,455,000/=Kif. 2005 - Local Government Services …………….. “15,818,000/=Kif. 2007 - Water Sector…………………………….….. “29,929,000/=Kif. 3001- Regional Hospital……………………….….. “50,000,000/=Kif. 8091- Local Government ……………….….. “27,433,618,000/=(Vifungu vilivyotajwa hapo juu vilipitishwa na Kamati yaMatumizi bila Mabadiliko yoyote)FUNGU 88 - MKOA WA DAR ES SALAAMKif. 1001 - Admin. and HR Management ………. Sh.199,000,000/=Kif. 2001 - Planning and Coordination ……….….. “136,567,000/=Kif. 2002 - Economic and Productive Sector ……“7,728,000/=Kif. 2003 - Infrastructure Sector ……………………“0/=Kif. 2004 - Social Sector …………………………….“110,795,000/=Kif. 2007 - Water Sector…………………………….…”18,567,000/=Kif. 8091 - Local Government …………………... “23,673,340,000/=(Vifungu vilivyotajwa hapo juu vilipitishwa na Kamati yaMatumizi bila Mabadiliko yoyote)708


FUNGU 89 - MKOA WA RUKWAKif. 1001 - Admin. and HR Management……....... Sh.382,899,000/=Kif. 2001 - Planning and Coordination ………...…...“30,000,000/=Kif. 2002 - Economic and Productive Sector ……... “49,980,000/=Kif. 2003 - Infrastructure Sector ……………….. “0/=Kif. 2007 - Water Sector……………………………...... “24,703,000/=Kif. 3001 - Regional Hospital…………………….….... “134,659,000/=Kif. 8091 - Local Government ……………….….. “14,276,905,000/=(Vifungu vilivyotajwa hapo juu vilipitishwa na Kamati yaMatumizi bila Mabadiliko yoyote)FUNGU 91 - TUME YA KUDHIBITI MADAWA YA KULEVYAKif. 1001- Admin. and HR Management….….. Sh.1,180,000,000/=(Kifungu kilichotajwa hapo juu kilipitishwa na Kamati yaMatumizi bila Mabadiliko yoyote)FUNGU 92 - TUME YA KUDHIBITI UKIMWI - TACAIDSKif. 1001 - Policy, Planning and National709


Response.........................................Sh.2,161,835,276/=Kif. 1002 - Finance, Admn. and ResourceMobilization ……........................…….. “3,032,137,506/=Kif. 1003 - Monitoring, Evaluation,Research and Mis..............................Sh.1,099,361,000/=Kif. 1004 - Advocacy, Information, Educationand Com .....................................….. “1,718,260,700/=Kif. 1005 - District and Community Response….. “3,234,721,171/=Kif. 1006 - Procurement Management Unit……. “97,001,000/=Kif. 1007 - Legal Unit…………………………….….. “664,046,325/=Kif. 1008 - Management Inf. Systems……………. “783,378,660/=Kif. 1009 - Internal Audit Unit………………….….. “401,100,000/=Kif. 1010 - Special programs………………….….. “620,241,138/=Kif. 1011 - Government Communication unit… “1,532,252,224/=(Vifungu vilivyotajwa hapo juu vilipitishwa na Kamati yaMatumizi bila Mabadiliko yoyote)FUNGU 95 - MKOA WA MANYARAKif. 1001 - Admin. and HR Management ……… Sh.646,295,000/=710


Kif. 1005 - DAS – Babati …………………………. “13,000,000/=Kif. 1006 - DAS –Hanang …………………………… “5,000,000/=Kif. 1007 - DAS –Kiteto ……………………………. “76,500,000/=Kif. 1008 - DAS –Mbulu ……………………………“20,000,000/=Kif. 1009 - DAS –Simanjiro …………………………… “43,800,000/=Kif. 2001 - Planning and Coordination……………… “10,000,000/=Kif. 2002 - Economic and Productive Sector ………“38,432,000/=Kif. 2003 - Infrastructure Sector …………………….“24,703,000/=Kif. 2004 - Social Sector …………………………….“176,591,000/=Kif. 3001 - Regional Hospital ………………………. “700,000,000/=Kif. 8091 - Local Government……………………. “17,713,452,000/=(Vifungu vilivyotajwa hapo juu vilipitishwa na Kamati yaMatumizi bila Mabadiliko yoyote)FUNGU 56 - OFISI YA WAZIRI MKUU TAMISEMIKif. 1001- Admin. and HR Management …………Sh.250,000,000/=Kif. 1003 - Policy, and Planning Division…………. “0/=Kif. 1004 - Management Inf. System Division …. “327,096,000/=711


Kif. 2001 - Regional Administration Div…….….. “0/=Kif. 2002 - Legal Govent Coordination Div....…“16,014,537,000/=Kif. 2003 - Sector Coordination Division………. “905,288,000/=Kif. 2004 - Basic Educ. Cordination Division……“4,779,951,000/=Kif. 3001- Organization DevelopmentDivision…………….….. “ 0/=(Vifungu vilivyotajwa hapo juu vilipitishwa na Kamati yaMatumizi bila Mabadiliko yoyote)(Bunge lilirudia)MBUNGE FULANI: Mkoa wa Singida hujasomaSPIKA: Waziri wa Nchi, TaarifaWAZIRI WA NCHI, OFISI YA WAZIRI MKUU, SERA,URATIBU NA BUNGE: Mheshimiwa Spika, naambiwaMkoa wa Singida haukutajwa.SPIKA: Imesomwa.MBUNGE FULANI: Haikutajwa.SPIKA: Imesomwa.T A A R I F AWAZIRI WA NCHI, OFISI YA WAZIRI MKUU, SERA,URATIBU NA BUNGE: Mheshimiwa Spika, napenda kutoa712


taarifa kwamba Kamati ya Matumizi baada ya kujadilitaarifa ya Mapitio na mwelekeo wa kazi za Serikali,imeyapitia Makadirio ya Matumizi ya fedha za Ofisi yaWaziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa naAsasi zilizo chini yake, na yale ya Ofisi ya Bunge kwamwaka 2012/2013, kifungu kwa kifungu na kuyapitishabila mabadiliko.Hivyo basi, naomba sasa Bunge lako liyakubalimakadirio haya.Mheshimiwa Spika, naomba kutoa hoja.WAZIRI WA NISHATI NA MADINI: Mheshimiwa Spika,naafiki.(Hoja ilitolewa iamuliwe)(Hoja iliamuliwa na Kuafikiwa)(Makadirio ya Matumizi ya Ofisi ya Waziri Mkuu Tawalaza Mikoa na Serikali za Mitaakwa Mwaka 2012/13 yalipitishwa na Bunge)SPIKA: Waheshimiwa Wa<strong>bunge</strong>, kwanza kabisanichukue nafasi hii kwa niaba yenu, kuipongeza Ofisi yaWaziri Mkuu pamoja na Waziri Mkuu kwa kazi kubwawaliyoifanya. Kama walivyosema WaheshimiwaWa<strong>bunge</strong> katika siku tano, haya tuliyopitisha,tungependa yaonekane katika vitendo, na hiyo ndiyoitaweza kutoa faraja kwa watu wengi sana. Kamatulivyosema, utaratibu wetu wa kupitisha Bajeti kwakweli siyo rafiki kabisa, lakini kama tulivyotathminimwanzoni mwa shughuli yetu hii, tunafikiri ipo haja sasaya kubadilisha kwamba tuanze mapema kabisa713


kushughulikia Wizara zote itakapokuwa inafika tarehe30 Juni, tunamaliza ile Bajeti kubwa, na kuanzishwakwa Budget Office yetu, nadhani kutabadilisha sanamfumo wa sasa hivi. Kwa kweli tunapitisha, lakinihatukuwa na amani nao kwa sababu sio rafiki hatakido<strong>go</strong>. Maana suala la maendeleo lote limepita kwagillotine kitu ambacho hakina afya njema sana.Napenda kuwapongeza watalaam wote wa Ofisiya Waziri Mkuu na Taasisi zote zinazohusika, na Wakuuwa Mikoa, Ma-RAS. tunawaomba kabisa baada yakupitisha bajeti hii mfanye kazi zinazostahili, mwakamwingine tukija hapa, Waziri Mkuu awe na nafasi nzurizaidi kuliko ile aliyokuwa nayo katika mwaka huu.Waheshimiwa Wa<strong>bunge</strong>, nawashukuru sana kwakazi tuliyofanya wiki hii, na pale tulipokwaruzana, basiwiki hii tusameheane tuanze wiki ijayo vizuri, maanayake hiyo ndiyo kazi tunayotakiwa kufanya, lakinituongeze nidhamu ndani ya Bunge letu. Kila mtuakasome Kanuni yake. Leo nilikuwa napitia kifungukinachohusiana na mawasiliano yetu na vyombo vyahabari, vyote, ipo very clear. Nayo pia, kwa kuwa kaziyetu ni kuwaeleza wananchi kinachotokea hapa, nilazima nishukuru Televisheni maana wanatuona vitukovyetu hapa, ingekuwa tunategemea kuandikwa tu,kwa kweli watu wasingetuelewa sana. Maana sikunyingine wanaandika tu. Kama habari yakuwachambua watu, ukweli huu upo, lakini ukisomaKanuni yetu hapa tunaweza sisi kuamua magazetimengine yasiruhusiwe kuja hapa. Lakini badotunakuwa wastaarabu kwa sababu tungependa sanawananchi wajue na kila mtu aandike kwa714


conciousness yake, tusiandike vitu kwa sababutunapenda kuandika.Waheshimiwa Wa<strong>bunge</strong>, nilikuwa nataka kutafsiriHansard yangu ya jana, lakini muda umekwisha,tutafanya Jumatatu kuhusu suala alilouliza MheshimiwaMachali jana. Kwa hiyo, baada ya kusema hivyo,kesho kama nilivyosema, ni wale tu wanaotakiwakwenda kuweka alama za silaha waende, kesho ni sikuya mwisho.Kuna Tangazo kutoka Ofisi yangu, MheshimiwaNaibu Waziri wa Sayansi na Teknolojia alipokuwa akijibuswali Bungeni aliahidi kuwaletea WaheshimiwaWa<strong>bunge</strong> taarifa ya maeneo yasiyo na mawasiliano iliyaweze kufanyiwa kazi. AnawatangaziwaWaheshimiwa Wabuneg kuwa taarifa hiyo tayariimewekwa kwenye pigeon holes zenu, hivyo kilaM<strong>bunge</strong> achukue nakala yake. Nadhani piamnatakiwa kujaza mahali ambapo maeneo yanu simuhazifiki.Waheshimiwa Wa<strong>bunge</strong>, baada ya kusema hivyo,naomba niahirishe kikao cha Bunge mpaka siku yaJumatatu, saa 3.00 asubuhi.(Saa 2.54 usiku Bunge liliahirishwa mpaka Siku yaJumatatuTarehe 2 Julai, 2012 Saa Tatu Asubuhi)715


716

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!