13.07.2015 Views

ZFSN May 15.cdr - Kilimo

ZFSN May 15.cdr - Kilimo

ZFSN May 15.cdr - Kilimo

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARSERA YA UHAKIKA WA CHAKULA NA LISHE YA ZANZIBARAprili, 2008


SERA YA UHAKIKA WA CHAKULA NA LISHE, ZANZIBARYaliyomoUfupisho..........................................................................................................Dibaji...............................................................................................................iiivI. Utangulizi............................................................................................... 1II. Uchambuzi wa hali ya uhakika wa chakula na lishe, Zanzibar........ 11Hali ya uhakika wa chakula na lishe katika ngazi ya kitaifa................. 11Hali ya uhakika wa chakula na lishe katika ngaza ya kaya.................... 15Hali ya uhakika wa chakula na lishe katika ngazi ya mtu binafsi........... 19III. Mahusiano baina ya sera, dira ya maendeleo na sera za kisekta..... 23Mifumo ya msingi ya sera: dira ya maendeleo ya zanzibar ya 2020 namkuza...................................................................................................... 23Sera zilizopo, mipango na mikakati inayohusiana na masuala yauhakika wa chakula na lishe kw zanzibar............................................... 27IV.Dhamira ya mkakati wa sera ya uhakika wa chakula na lishe,zanzibar.................................................................................................. 34Dira na mwelekeo wa sera ya uhakika wa chakula na lishe................... 34Shabaha kuu ya sera ya uhakika wa chakula na lishe............................. 34Mikakati ya kufikia malengo ya utekelezaji wa misingi ya sera............ 35Maeneo muhimu ya utekelezaji wa sera................................................. 37V. Kujenga mazingira bora ya utekelezaji wa sera ya uhakika wachakula na lishe, zanzibar.................................................................... 44i


Mfumo wa kisheria wa utendaji.............................................................. 44Mfumo wa kitaasisi wa utendaji............................................................. 45Wajibu na majukumu ya wadau.............................................................. 46VI. Ufuatiliaji na tathmini.......................................................................... 57ii


UfupishoAWKDEODMTDPODT-UCLFAOFSITKKUKKWMKUZAMSMENEPADNGOREOSACCOSSMZWAR-KUBAfisi ya Waziri KiongoziDistrict Executive OfficerAfisa Tawala wa WilayaDistrict Management TeamTimu ya Uongozi ya WilayaDistrict Planning OfficerAfisa Mipango wa WilayaDivisheni ya Taifa ya Uhakika wa Chakula na LisheFood and Agriculture OrganizationShirika la Chakula na <strong>Kilimo</strong> la Umoja wa MataifaFood Security Information TeamTimu ya Taarifa za Uhakika wa Chakula na LisheKamati ya Kitaifa ya UongoziKamati ya Kitaalamu ya WadauMkakati wa Kukuza Uchumi na Kupunguza UmasikiniMicro, Small, and Medium EnterprisesMiradi Midogomidogo, Midogo, na ya KatiNew Partnership for African DevelopmentUshirikiano Mpya wa Kiuchumi kwa Maendeleo ya AfrikaNon-Government OrganizationsJumuiya Zisizo za KiserikaliRegional Executive OfficerAfisa Tawala wa Mkoa.Savings and Credit CooperativesVyama vya Ushirika vya Kuweka na KukopaSerikali ya Mapinduzi ya ZanzibarWizara ya Nchi, Afisi ya Rais Katiba na Utawala Boraiii


WAUJWEMAWFUWKMMWKVMWWWMUNAWNAR-TVMWUBU<strong>ZFSN</strong>SA<strong>ZFSN</strong>PZNCCIAWizara ya Afya na Ustawi wa JamiiWizara ya Elimu na Mafunzo ya AmaliWizara ya Fedha na UchumiWizara ya <strong>Kilimo</strong> Mifugo na MazingiraWizara ya Kazi, Vijana, Maendeleo ya Wanawake naWatotoWizara ya Maji, Ujenzi, Nishati na ArdhiWizara ya Nchi, Afisi ys Rais, Tawala za Mikoa na Vikosivya SMZWizara ya Utalii, Biashara na UwekezajiZanzibar Food Security and Nutrition Situational AnalysisHali ya Uhakika wa Chakula na Lishe , ZanzibarZanzibar Food Security and Nutrition PolicySera ya Uhakika wa Chakula na Lishe ya ZanzibarZanzíbar National Chamber of Commerce, Industry andAgricultureJumuiya ya Wafanyabiashara, Wenyeviwanda na Wakulimawa Zanzibariv


DibajiKatika miaka ya hivi karibuni Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ)imechukuwa hatua mbali mbali za kupiga vita utapiamlo na njaa na kuinuahali za maisha ya wananchi kwa kupunguza umasikini. Mnamo mwaka 2000,SMZ ilizindua Dira ya Maendeleo ya Zanzibar ya 2020 kwa lengo lakutokomeza umasikini na kufikia maendeleo endelevu ya jamii. Kama hatuaya utekelezaji wa Dira ya Zanzibar ya 2020, ulizinduliwa Mpango wa kwanzawa Kupunguza Umasikini (2002-2005), uliofuatiliwa na awamu ya pili yaMkakati wa Kuinua Uchumi na Kupunguza Umasikini (MKUZA)uliozinduliwa mwaka 2007.Wakati ambapo, mpango wa kwanza wa kupunguza umasikini haukutajasuala la kuwa na uhakika wa chakula na lishe kama njia mojawapo yakupunguza umasikini kwa hivyo ulikosa mikakati madhubuti na kamilifu yakupambana na umasikini na njaa. MKUZA umeweka umuhimu njia zakupambana na utapiamlo na njaa kwa kuweka bayana – ushiriki wa Sera zotehusika na mahusiano baina ya suala la kupunguza umasikini huu. MKUZAumependekeza itayarishwe Sera ya Uhakika wa Chakula na Lishe ili iwezekushughulikia kwa umakini zaidi masuala yote ya kisekta- mbalimbalizinazoathiri suala la kuwepo uhakika wa chakula nchini na kuweka wazi nakutoa kipaumbele makundi ya waathiriwa zaidi na hali ya Uhakika wachakula na Lishe Sera hii ya Uhakika wa Chakula na Lishe, ni matokeo yatathmini yakinifu juu ya hali ya Uhakika wa Chakula Lishe nchini, uchambuziwa maandiko mbali mbali kuhusu umasikini, mapitio ya kina ya Sera zakisekta pamoja na matokeo ya uchunguzi wa kina kupitia mashaurianoyaliofanywa katika ngazi za Wilaya, Mkoa na makongamano ya kitaifayaliyowahusisha wadau mbali mbali.Serikali inakusudia kuyashughulikia masuala ya Uhakika wa Chakula naLishe kwa upana wake kwa kuzingatia fungamano la Uhakika wa Chakula naLishe na juhudi za kupunguza Umasikini na kuharakisha maendeleo yawananchi kama yalivyofafanuliwa katika MKUZA. Sera YA Uhakika waChakula na Lishe ina lengo la kuweka mazingira ya kufaa kuwawezeshaWazanzibari wote kupata kwa wakati wote chakula cha kutosha kilicho borana salama kwa ajili ya kukidhi mahitaji ya maisha na afya bora. Sera hiiimewekwa juu ya misingi ya kanuni zinazoongoza mchakato wa utekelezajiwake ili kufikia malengo yaliyokusudiwa, ikiwemo kanuni ya kutambua hakiya binaadamu kupata chakula cha kutosha na kuwa na lishe na viwango vyamaisha vinavyofaa kwa afya na kufanyakazi, kanuni ya usawa na uwezeshaji,pamoja na kuweka mkazo juu ya kutoa kipaumbele kwa kaya zisizo na uwezona jamii zilizo maskini zaidi.v


AhsanteniMhe. Amani A. KarumeRais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la MapinduziSerikali inatambua kuwa mafanikio ya utekelezaji wa sera hii yanahitajiushiriki wa wadau wote kutoka sekta mbali mbali na ngazi mbali mbali zautekelezaji. Kwa hivyo mkazo utawekwa katika kujenga uwezo wa kuratibukwa mashirikiano ya sekta zote husika kwa mujibu wa nadharia ya Uhakikawa Chakula na Lishe kwa madhumuni ya kufikia lengo la maridhiano yakimataifa ya kupunguza kwa nusu ifikapo mwaka 2015, idadi ya watu wenyenjaa na viwango duni vya lishe na wasiopata mahitaji ya msingi ya maishayao. Hii ni chanagmoto kubwa, na ambayo Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibarimedhamiria kuikabili kikamilifu. SMZ inaamini kuwa sekta zote husikazitajitolea kikamilifu katika mchakato mzima wa utekelezaji wa sera hii ilikwa pamoja tuweze kuitokomeza njaa na umasikini katika nchi yetu.Napenda kuchukuwa fursa hii kuwapongeza kwa dhati maofisa wote kutokasekta na taasisi mbali mbali hasa wajumbe wa Kamati ya Uongozi yautayarishaji wa Sera na Timu ya Matayarisho ya Sera na Programu ya Uhakikawa Chakula na Lishe Zanzibar, chini ya uongozi na uratibu wa Wizara ya<strong>Kilimo</strong> Mifugo na Mazingira, kwa juhudi zao za dhati za kufanikishakukamilika kwa sera hii. Napenda pia kutoa shukurani kwa Shirika la Chakulana <strong>Kilimo</strong> la Umoja wa Mataifa (FAO), hususan kwa Mpango wa Ushirikianowa FAO na Serikali ya Uholanzi (FNPP) kwa msaada wao wa kitaalamu nakifedha kwa muda wote wa matayarisho ya sera hii. Mwisho napendakuwashukuru wadau wote kutoka Idara za Serikali, Mashirika yasiyo yaKiserikali (NGO’s), Taasisi za Umma na za Kibinafsi pamoja na watu mbalimbali ambao wametoa michango yao yenye thamani kubwa katika hatuambali mbali za mashauriano, na michango ambayo imesaidia sana kuifanyaSera hii iwe kamilifu na toshelevu.vi


I. UtanguliziHali ya kutokuwa na uhakika wa chakula na lishe hapa Zanzibar inaonekanawazi wazi katika maeneo ya vijijini na mijini, ambapo kaya nyingi huwahaziwezi kumudu kukipata na kukitumia chakula cha kutosha na kilichokamilikakwa mwaka mzima.Umasikini unaeleweka kuwa ndio chanzo kikuu cha njaa. Hata hivyo, ukosefuwa chakula cha kutosha chenye virutubisho kamili pia husababisha umasikini.Kwa mnasaba huo, suala la kupunguza njaa na hali ya kutokuwa na uhakikawa chakula na lishe limekuwa sehemu muhimu ya malengo makuu yamaendeleo ya Jumuiya ya Kimataifa kama inavyoonekana katika Azimio laRome la mwaka 1996 wakati wa Mkutano Mkuu juu ya Chakula Duniani(WFS).Azimio la Umoja wa Mataifa la Milenia limezingatia malengo yaliyowekwana WFS ambayo Lengo Kuu la Kwanza ni kutokomeza njaa. Kwa ufafanuzizaidi, lengo hili limekusudia kupunguza nusu ya idadi ya watu wanaoathirikakwa njaa duniani ifikapo mwaka 2015, kama inavyoonekana kuenea kwautapiamlo kwa watoto walio chini ya umri wa miaka mitano na kiasi kikubwacha watu wasiomudu kupata hata kiwango cha chini cha mahitaji yao yachakula.Zanzibar, ikiwa ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imejidhatitikutekeleza maazimio yote ya Jumuiya ya Kimataifa kama yalivyoelezwahapo juu na kwa hivyo kufanikisha hali ya kuwa na Uhakika wa Chakula naLishe kwa wananchi wote. Kufuatia Azimio la Mkutano Mkuu wa Chakula,miaka mitano baadae (2002), Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ikawa nimiongoni mwa Serikali zilizoridhia Azimio la ”Haki ya Kila Raia ya kupatachakula kilicho bora na salama.” Kwa kuwa mshiriki katika makubaliano yakimataifa kuhusu Uchumi, Jamii na Haki za Utamaduni ( CESR) na piamakubaliano juu ya Haki za Watoto, Tanzania imeonesha jinsi ilivyojidhatitikutekeleza haki za kila raia kupata chakula cha kutosha na haki za msingi zakila raia kuwa huru dhidi ya athari za njaa. Aidha kwa kuridhia makubalianoya Kikanda kama yale ya Programu Toshelevu ya Maendeleo ya <strong>Kilimo</strong>Barani Afrika (CAADP) chini ya Ushirikiano Mpya wa Kiuchumi kwaMaendeleo ya Afrika (NEPAD) wa mwaka 2002, kunatoa umuhimu kwaSerikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuratibu jitihada zakufanikisha hali ya kuwa na uhakika wa chakula na kuweka mfumomadhubuti kwa nchi washirika kuimarisha hali ya kuwa na uhakika wachakula na lishe katika ngazi za taifa, kaya na watu binafsi .1


Dhamira ya Zanzibar katika kupiga vita hali ya kutokuwa na uhakika wachakula na lishe inazidi kuonekana katika kuanzisha na kutekeleza sera zakitaifa, za kisekta, mipango na mikakati mbali mbali ya maendeleo yenyelengo la kufikia hali ya uhakika wa chakula na lishe ya kutosha kwa wananchiwake. Kwa kutekeleza Dira ya Maendeleo ya Zanzibar ya 2020 na Mpango waKwanza wa Kupunguza Umasikini (ZPRP1), Serikali ya Mapinduzi yaZanzibar ilipitisha Sera ya <strong>Kilimo</strong> (mwaka 2002) na Mkakati wa Sekta ya<strong>Kilimo</strong> (mwaka 2004), ambazo zinalenga kuongeza uzalishaji na tija katikakilimo kama njia muhimu ya kutimiza lengo la kuwa na uhakika wa chakula.Hata hivyo Serikali imetambuwa kuwa suala la uhakika wa chakulalinachukuwa sura anuai kwa kuzihusisha sekta nyingi zaidi ya kilimo kamainavyoonekana katika Mkakati wa Kukuza Uchumi na Kupunguza UmasikiniZanzibar (MKUZA) uliozinduliwa hivi karibuni.MKUZA kwa upande wake unatoa ufafanuzi wa kina ya jinsi suala la uhakikawa chakula na lishe linavyohusiana na mchakato wa kupunguza umasikininchini kwa upande wa kuongeza uzalishaji wa chakula (ongezeko la tija),upatikanaji wa chakula (uimarishaji wa kipato kwa makundi yanayokabiliwazaidi na ukosefu wa chakula na umasikini; pamoja na kuanzisha hifadhi zaupatikanaji wa chakula kwa jamii) ikiwa ni pamoja na matumizi bora yachakula (kuimarisha hali ya lishe kwa watu binafsi).Sera ya Uhakika wa Chakula na Lishe ya Zanzibar imetayarishwa kufuatiliahaja iliyoonekana awali ya kuwepo kwa mfumo toshelevu wa kushughulikiamasuala ya Uhakika wa Chakula na Lishe ambayo yanazihusisha sekta mbalimbali. Kwa hivyo, sera hii inafungamana moja kwa moja na MKUZA na inajukumu la kujenga, kuendeleza na kuhifadhi hali ya Uhakika wa Chakula naLishe hapa Zanzibar. Aidha Sera hii itaisaidia Serikali ya Mapinduzi yaZanzibar kuhakikisha kuwa masuala ya Uhakika wa Chakula na Lisheyamepewa kipaumbele na yanafanyiwa kazi katika mipango ya baadae yamaendeleo katika ngazi za Taifa na za Wilaya. Sera hii imeweka wazi hatuamuhimu zinazopasa kuchukuliwa na sekta za kilimo, afya na nyenginezo,ikiwa ni pamoja na kutoa muongozo wa mashirikiano na uratibu wa taasisimbali mbali katika utekelezaji, ufuatiliaji na tathmini ya shughuli za Uhakikawa Chakula na Lishe hapa nchini.2


II. Uchambuzi wa hali ya uhakika wa chakula nalishe, ZanzibarMnamo mwaka 2006, Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ilifanya uchambuziwa kina wa hali halisi ya Uhakika wa Chakula na Lishe kwa Zanzibar.Uchambuzi huo ulifanywa ili usaidie kuimarisha ufahamu wa hali halisi yakutokuwa na uhakika wa chakula na lishe na masuala yanayochangiakuathirika zaidi kwa makundi mbali mbali. Hali ya kutokuwa na uhakika wachakula ni kipimo muhimu cha umasikini. Sehemu hii ya waraka imechotamatokeo ya tathmini iliyofanywa juu ya hali ya uhakika wa chakula na lishe(<strong>ZFSN</strong>SA 2006). Tathmini hiyo imechanganua matatizo mbali mbali yauhakika wa chakula na lishe kwa Zanzibar katika ngazi ya Taifa, kaya na mtubinafsi. Pia tathmini hiyo imebainisha na kutoa ufafanuzi wa makundi yaliyokatika hatari zaidi ya kuathirika na hali hiyo na sababu zinazochangiakuathirika kwa makundi hayo. Taarifa hizi zinatoa maelekezo na mapendekezoya kisera za kisekta zenye kulenga katika kukabiliana na vikwazovilivyoonekana na hatua zinazopaswa kuchukuliwa baadae na wadau mbalimbali katika kukabiliana na matatizo ya msingi yanayosababisha kutokuwepokwa uhakika wa chakula, utapiamlo na makundi yaliyo katika hatari zaidi nahali hizo hapa nchini.Hali ya uhakika wa chakula na lishe katika ngazi ya kitaifaKatika ngazi ya kitaifa au ya kimkoa, kutokuwa na uhakika wa chakula nalishe duni kunahusiana zaidi na hali ya idadi ya watu, masuala ya kiuchumi nakijamii, hali ya mazingira, hali ya kisiasa, na hasa zaidi kuwepo kwa chakula,upatikanaji bora wa bidhaa pamoja na bei za vyakula muhimu, Hali yauhakika wa chakula katika ngazi ya Taifa kwa hapa Zanzibar, una surazifuatazo:• Kwa ujumla ni uzalishaji wa tija ndogo na usio endelevu (kwenyeshughuli za kilimo, mifugo na uvuvi). Shughuli za kilimo zinaendeshwana wakulima wadogo wadogo ambapo uzalishaji wao ni wa kujikimu nawa viwango vya chini visivyokidhi mahitaji ya Taifa ya chakula. Kiasicha asilimia 70 ya nguvukazi katika sekta ya kilimo ni wanawake ambaokwa jumla wana uwezo mdogo wa kujiendeleza na huwa hawapati fursaza kupata rasilimali zinazohitajika katika kuongeza tija katika shughulizao. Mazao ya chakula yanayozalishwa ni pamoja na mpunga, mahindi,mtama, muhogo, viazi vitamu, ndizi na mazao ya jamii ya kunde, pamojana samaki ambao ni chanzo muhimu cha protini inayotokana na nyama.3


• Utegemezi mkubwa wa uagiziaji wa vyakula muhimu. Kiasi cha asilimia41 ya mahitaji ya mwaka ya chakula kwa Zanzibar huagizwa kutoka nje.Vyakula vikuu vinavyoagizwa kutoka Tanzania Bara na nje ya nchi nipamoja na mchele, sukari, unga wa ngano na bidhaa mbali mbali zamifugo. Utegemezi huu mkubwa wa bidhaa kutoka nje ya nchiunamaanisha kuwa kuwepo kwa chakula hapa Zanzibar kunategemeazaidi masuala ya biashara za nje kama kanuni za uagiziaji, thamani yasarafu za kimataifa na bei za ndani na nje kwa bidhaa mbali mbalizinazoagiziwa.• Juhudi za kuimarisha uzalishaji wa ndani wa chakula zinakwamishwa nakuenea kwa uharibifu mkubwa wa mazingira ikiwemo ukataji ovyo wamisitu, upungufu wa bio-anuwai, mabadiliko makubwa ya kanda zapwani na maeneo yenye mikoko.Uchambuzi huo umeonyesha kuwa zipo fursa nyingi za kuongezeka kwa patola mazao, mifugo na uvuvi na kupanua wigo wa uzalishaji kwa ajili yamatumizi ya ndani na hata kwa usafirishaji nje. Jambo hili linawezekana kwasababu vikwazo vingi vinavyokwamisha ongezeko la kudumu la uzalishaji natija vinahusiana zaidi na uwezo mdogo (kifedha, kielimu, kitaaluma, kiufundi)wa kutumia kikamilifu na kwa ufanisi rasilimali zilizopo ili kuongezatija.Juhudi za kuzitumia fursa zilizopo kwa ufanisi ili kupunguza kuathiriwa kwanchi kwa kukosekana kwa chakula zinategemea namna ya kukabiliana nachangamoto muhimu zinazoathiri uzalishaji wa chakula, ikiwemo mfumo wakilimo cha kujikimu, uhamaji mkubwa wa nguvukazi (vijana) kutoka maeneoya vijijini kwenda mijini, mabadiliko ya hali ya hewa, uharibifu wa mazingira,fursa zisizo sawa katika kupata rasilimali za uzalishaji mali (hasa kwa kayazinazoongozwa na wanawake / vikundi vya wanawake) matumizi ya ardhihasa ongezeko la utanuzi wa makaazi ya watu, kuharibika kwa mazao baadaya mavuno na ongezeko la maradhi yakiwemo virusi vya ukimwi/Ukimwi namalaria. Jadweli namba 1 hapo chini inaonesha hali halisi ya athari zakutokuwa na uhakika wa chakula na lishe katika ngazi ya taifa na sababu zamsingi zilizochangia kuwepo kwa hali hiyo hapa nchini.4


Jadweli ya 1: Sababu za msingi zinazopelekea katika hatari zaidi za kutokuwana uhakika wa chakula na lishe katika ngazi ya Taifa.Hali ya sasa yauhakika wachakula na lisheSababu za msingi zinazochangiakutokuwa na uhakika wachakulaMakundi ya walio katikahatari ya kuathirikaTija nauzalishajimdogo wachakula nchini• Uchache wa upatikanaji waardhi kwa uwekezaji wa sektaya kilimo.• Kuvamiwa kwa maeneo yakilimo (utalii /makaazi).• Uchache wa huduma zamisaada• Kiwango kidogo cha utumiajiwa mbinu bora za kuongezauzalishaji• Kuenea kwa wadudu namaradhi ya mimea na upotevumkubwa wa mazao kabla nabaada ya mavuno.• Ushiriki mdogo wa vijana nawanaume katika uzalishaji wachakula cha matumizi yanyumbani.• Uhamaji mkubwa wanguvukazi kutoka vijijini kujamijini.• Upatikanaji na udhibiti usiosawa kijinsia wa rasilimali nanyenzo za uzalishaji.• Mfumo wa soko usiofaa kwamazao ya kilimo.• Utegemezi mkubwa wamfumo wa kilimo cha mvua.• Virusi vya ukimwi/Ukimwi namaradhi mengine yenye atharikubwa kwa ubora na wingi wanguvukazi ya taifa.Watu wote na hasawakulima, wafugajina wavuvi wadogokatika maeneo yamaweni na sehemuzenye rutuba kidogo;watu wanaoishi navirusi vya ukimwi nawagonjwa wa ukimwikatika maeneo ya mjina yaliyo karibu namji; pamoja na kayazinazoongozwa nakinamama hasa katikaWilaya ya Kusini,Unguja.5


Hali ya sasa yauhakika wachakula na lisheSababu za msingi zinazochangiakutokuwa na uhakika wachakulaMakundi ya walio katikahatari ya kuathirikaUtegemeajimkubwa wauagiziaji wachakula kutokanjeUpungufu wabio-anuwaikutokana na /uharibifu wamazingira,ukataji ovyo wamisitu,mabadilikomakubwa yakanda za pwanina maeneoyenye mikoko• Kubadilika mara kwa marakwa bei ya uagiziaji chakulana viwango vidogo vya uborawa vyakula vinavyoagizwa.• Mfumo usiotosheleza waudhibiti wa ubora na viwangovya vyakula vinavyoagizwa• Kuongezeka kwa makaazi yawatu kufuatia kuongezeka kwaidadi ya watu na maendeleo yautalii kunakosababishauvamizi wa maeneo ya kilimona misitu.• Mbinu duni za kuhifadhiudongo na ardhi za kilimozinazopelekea ongezeko lauharibifu wa ardhi nammong’onyoko wa udongo• Mabadiliko makubwa yakijamii na ya kiuchumi katikamazingira ya pwaniyanayotokana na ongezeko lashughuli za kitalii• Uchimbaji wa mawe kwa ajiliya shughuli za ujenzi.• Uvuvi haramu unaoharibumazingira.• Utupaji ovyo wa taka namakopo/ kinyume na sheria.• Sheria na miongozo yauhifadhi wa mazingirazisizosaidia kulinda mazingira.• Utekelezaji dhaifu wa sheriaza uhifadhi na uendelezaji wamazingira na maliasili.Watu wote kwa jumla,hasa kaya masikinizinazoishi mijini nasehemu za maweni.Watu wasio na ardhimijini na vijijini,wakulima wa mwanina wavuvi wadogowadogo na watuwanaoishi katikamaeneo yenye fursandogo za kilimo.6


Hali ya uhakika wa chakula na lishe katika ngazi ya kayaNjia za kujikimu kimaisha kwa hapa Zanzibar zimegawika katika maeneomakuu matatu ambazo sifa zake zinatafautiana kwa mujibu wa athari yawatu kutokuwa na uhakika wa chakula na lishe kama zinavyoelezwa kwaufupi hapo chini.• Katika maeneo yenye ardhi zenye rutuba kwa kilimo, shughulikubwa za kaya ni uzalishaji wa chakula, ufugaji na ajira zinazotokana nakilimo cha karafuu. Kazi za ziada za kujipatia kipato katika maeneo hayani pamoja na uvuvi, biashara ndogo ndogo, ukulima wa mwani, utengenezajiwa matofali, uvunjaji wa kokoto na uchomaji wa chokaa. Athari zakutokuwa na uhakika wa chakula na lishe katika maeneo haya ni ya mudamfupi tu na mara nyingi hutokea zaidi wakati wa msimu wa mvua ndogoza vuli.• Kwa kuwa maeneo haya yapo katika sehemu za maweni na yana ardhichache inayofaa kwa kilimo, kwa kawaida maeneo ya wavuvi yanakuwana ardhi ndogo na fursa chache za kuendeleza kilimo na ufugaji.Maeneo haya kwa kawaida hayana mawanda ya shughuli za uzalishajimali kwani maeneo mengi yanakabiliwa na uharibifu mkubwa wamazingira. Kaya katika maeneo haya zinakabiliwa na hatari ya halingumu ya kudumu na ya muda mfupi ya kutokuwa na uhakika wachakula na lishe.• Maeneo ya mijini na maeneo ya karibu na miji, shughuli za kilimo nichache kutokana na ukosefu wa ardhi kwa ajili ya kilimo. Watu wengikatika maeneo haya wanategemea kipato kinachotokana na utoaji wahuduma kama biashara ndogo ndogo na fursa za ajira za muda mfupi.Kuwepo katika hatari kwa watu katika maeneo haya kunahusiana zaidina masuala ya upandaji wa mara kwa mara wa bei za vyakula na kuishikatika mazingira yanayoweza kusababisha mripuko wa maradhi yakuambukiza pamoja na kiwango kikubwa cha maambukizi ya VirusiVya Ukimwi na Ukimwi.Katika ngazi ya kaya na ya jamii, uhakika wa chakula na lishe huhusishwazaidi na uwezo wa kaya wa kupata chakula kinachofaa na chenye viini lishemuhimu; kwa mfano chakula hupatikana kwa njia ya uzalishaji wa nyumbani,akiba, manunuzi, kubadilishana bidhaa, zawadi, kukopa au msaada wachakula. Baadhi ya viashiria vya uhakika wa chakula na lishe katika ngazi yakaya kwa hapa Zanzibar ni kama ifuatavyo:7


• Kaya nyingi za Zanzibar ni za wakulima wadogo wadogowanaojishughulisha na kilimo cha kujikimu, ufugaji na uvuvi mdogomdogo (kama ilivyoelezwa katika kifungu kilichotangulia); wakati huohuo uzalishaji na tija katika shughuli hizo ukiwa katika viwango vyachini.• Kwa ujumla hakuna usawa wa kijinsia katika majukumu na dhamana yautunzaji wa kaya na uzalishaji. Kama ilivyoelezwa hapo mwanzoni,kiasi cha asilimia 70 ya nguvukazi ya kilimo inachangiwa na wanawake,ambao pia wana jukumu la kutunza watoto, shughuli za matunzo yanyumba na kadhalika. Hali hii inaathiri kwa kiasi kikubwa ufanisi na tijakatika kilimo na uwezo wa kaya kupata chakula kutokana na uzalishajiwake binafsi.• Kiwango cha utegemezi wa chakula cha kununua kwa mahitaji ya kilasiku ya kaya nyingi ni kikubwa katika maeneo yote ya maisha yaZanzibar, (maeneo yanayoitwa yenye rutuba kwa kilimo, uvuvi na mijinina sehemu za karibu na mji). Kiwango cha juu cha utegemezi wakununua chakula kinaonekana sehemu za mijini na maeneo yaliyo karibuna mijini (asilimia 80) kwa Unguja na (asilimia 60) kwa Pemba pamojana sehemu za uvuvi za Unguja (asilimia 65). Utegemezi huu mkubwa wakununua chakula unatokana na viwango vidogo vya uzalishaji na tijapamoja na kaya nyingi kupendelea kutumia vyakula hasa mchele ambaouzalishaji wake wa ndani haukidhi mahitaji yaliyopo.• Mfumo wa masoko ya kilimo usio na ufanisi huongeza hatari ya kuwa nahali isiyo ya uhakika wa chakula na lishe kwa wazalishaji wadogowadogo na watumiaji. Wakulima wadogo wadogo kwa kawaida hunyonywana wafanyabiashara kwa kulazimishwa kukubali bei yoyoteitakayotolewa na mnunuzi wa mazao yao na hasa pale wanapokuwahawana fedha taslimu, hali ambayo hupunguza fursa zao za kuongezakipato. Katika hali hiyo, walaji wa bidhaa hulazimika kulipa bei za juukwa bidhaa za kilimo ambazo vyenginevyo zingeweza kuuzwa kwa beinafuu kama ungekuwepo mfumo wa masoko wenye ufanisi.• Viwango vikubwa vya umasikini vinaonekana wazi wazi maeneo yote yamijini na vijijini (umasikini wa chakula umefikia asilimia 13 naumasikini wa mahitaji ya msingi umefikia asilimia 49). Hali hiiinasababishwa na kuwepo kwa rasilimali chache, upungufu wa ajira naukosefu wa shughuli za kuzalisha kipato, mambo ambayo huathiri uwezo8


na uwezekano wa kaya wa kupata kiwango kinachotosheleza chamatumizi. Sehemu za vijijini ziko katika hatari zaidi ya kuathiriwa naumasikini wa chakula (asilimia 16) na umasikini wa mahitaji ya msingi(asilimia 55) ikilinganishwa na sehemu za mijini ambapo kiwango chaumasikini wa chakula kimefikia asilimia 9 na umasikini wa mahitaji yamsingi ni asilimia 41. Kaya zinazoongozwa na kinamama hapa Zanzibar(ambazo zimefikia asilimia 21 kitaifa na asilimia 24 katika maeneo yamijini) ni miongoni mwa walio masikini na walio katika hatari zaidi yakutokuwa na uhakika wa chakula na lishe. Mara nyingi kaya hizi ndizozinazojihusisha na kazi duni na zenye malipo madogo kwa sababu yakutokuwa na fursa za kujiendeleza kitaalamu.Hali ya kuwa katika hatari ya kutokuwa na uhakika wa chakula na lisheinatofautiana sana kati ya kanda moja na nyengine katika maeneo ya shughuliza kukimu maisha. Miongoni mwa mambo yanayochangia hali hiyo nipamoja na kuwepo kwa umasikini wa chakula na kipato (kutegemeana nakuwepo kwa fursa za kuzalisha kipato (pamoja na uwezekano wa uzalishajiwa kilimo) kutokana na, kwa mfano, mvua zisizo na uhakika, hali mbaya yaardhi na uwezo mdogo wa uzalishaji (kifedha, kielimu, kitaaluma, nakiufundi) unachangia hali hiyo. Watu walio katika hatari zaidi na hali hii nimakundi makubwa ya watu katika Wilaya za Micheweni, Wete naChakechake kwa Pemba na Wilaya za Magharibi, Mjini na Kaskazini ’A’ kwaUnguja. Maeneo ya vijijini hasa kanda za ukanda wa pwani na maweni ndizozilizoathirika zaidi. Jadweli namba 2 inachambua hali ya uhakika wa chakulana lishe katika ngazi ya kaya kwa Zanzibar, sababu zilizopelekea hali hiyopamoja na makundi yaliyo katika hatari zaidi.Jadweli ya 2: Sababu zinazochangia kuwa katika hatari zaidi ya kutokuwa nauhakika wa chakula na lishe katika ngazi ya kayaHali ya sasa yauhakika wachakula na lisheUzalishajimdogo na usiona uhakikakatika kayaSababu za msingi zinazochangiakutokuwa na uhakika wa chakula• Hali mbaya ya hewa kamavile ukame, mafuriko, mvuazisizo za uhakika (ikiwemoutegemezi mkubwa wakilimo cha mvua).• Upatikanaji mdogo wa ardhina huduma za ugani.Makundi ya walio katikahatari ya kuathirika• Wakulima wadogowadogo hasa kayazinazoongozwa nakinamama, katikamaeneo ya mawenina yenye rutubandogo.• Watu wasiomilikiardhi vijijini hasa9


Hali ya sasa yauhakika wachakula na lisheUmasikiniuliokithiri nauwezo mdogowa kununuachakulaSababu za msingi zinazochangiakutokuwa na uhakika wa chakula• Viwango vidogo vya elimu.• Miundo mbinu ya masokoisiyotoshelevu.• Kukosekana kwa usawa wakijinsia katika majukumu yautunzaji wa kaya na watoto .• Wigo mdogo wa vyanzo vyamapato ambao hupelekeafursa ndogo za kujiendelezakimaisha kutegemea zaidi natofauti za kimazingira.• Fursa ndogo za kuongezakipato mijini na vijijini.• Vyanzo vya mapato vyakutegemea msimu na hasakatika sekta ya kilimo.• Kiwango kikubwa chaukosefu wa ajira• Taaluma ndogo yaujasiriamali• Ukosefu wa mfumo imara wahifadhi ya jamii pamoja napencheni na mtandao wakusaidia wafanyakaziwaliostaafu.• Upatikanaji finyu warasilimali za uzalishaji(ikiwemo ardhi, na pembejeoza kilimo).• Vyanzo vya mapato visivyo nauhakika .• Kushuka kwa thamani yasarafu ya Tanzania.• Kupanda kwa bei za ndani.• Upatikanaji mdogo na udhibitiusiosawa kijinsia wa rasilimaliza kaya miongoni mwawanawake.Makundi ya walio katikahatari ya kuathirikawanawake.• Wajasiriamaliwadogo nawafanyabiasharawadogo wadogo,hasa katika maeneoya mijini na sehemuza karibu na mji .• Watu wanaoishichini ya viwangovya umasikini wachakula na mahitajimuhimu hasa watuwanaoishi na Virusivya Ukimwi /Ukimwi,kinamama, wazeena mayatima mijinina vijijini.• Watu masikini wavijijini, hasawakataji wa kuni,wachumaji karafuu,wakulima wamwani, wavuviwadogo wadogokatika maeneo yamaweni na maeneoya ardhi zenyerutuba.• Watu masikini wamijini hasa vijanawasio na ajira,wafanyakazi(vibarua) wamsimu, kayazinazoongozwa nakinamama pamojana kinamama wanyumbani.10


Hali ya uhakika wa chakula na lishe katika ngazi ya mtubinafsiMatumizi halisi ya chakula kibaiolojia yanahusiana na hali ya uhakika wachakula na lishe katika ngazi ya mtu binafsi, na ina maana ya kuwa ni uwezowa mwili wa binaadamu kukibadili chakula kwa ufanisi kwa ajili ya kuujengamwili na kuvitumia virutubisho vilivyomo kwenye chakula hicho. Kwa hivyohali halisi ya uhakika wa chakula na lishe kwa mtu binafsi inahusiana mojakwa moja na matumizi ya chakula na hali yake kiafya. Matokeo ya uchambuziwa hali halisi ya uhakika wa chakula na lishe kwa ngazi ya mtu binafsiZanzibar ni kama ifuatavyo:• Kiwango kikubwa cha utapiamlo hujitokeza katika vigezo vya kuwepokwa upungufu wa viinilishe na nguvu (Protein Energy Manutrition).Tathmini ya idadi ya watu na afya (DHS ya mwaka 2004/05) inaoneshakuwa upungufu wa lishe upo zaidi kwa watoto. Kiasi cha asilimia 23 yawatoto chini ya umri wa miaka mitano wamedumaa, asilimia 6 niwakondefu na asilimia 19 ni wepesi kulingana na uzito wa umri wao.Upungufu wa viinilishe kwa watoto walio chini ya umri wa miaka mitanounabainishwa na kiwango kikubwa cha upungufu wa damu (asilimia 75,DHS 2004/05), na upungufu wa vitamini A (Vitamin A Deficiency -VAD, asilimia 41, WAUS, 2004). Kwa kinamama walio katika umri wakuzaa (15 – 49), kiwango cha upungufu wa damu ni asilimia 63 (DHS2004/05) na upungufu wa vitamini A ni asilimia 37.Katika uchunguzi wa athari zinazotokana na upungufu wa madini joto(IDD) (WAUJ, 2001) umeonesha kushamiri kwa tenzi ya shingo kwawatoto wa umri wa kwenda skuli kwa asilimia 26, wakati ambapo kayazinazotumia chumvi iliyowekwa madini joto imefikia asilimia 64.Matatizo zaidi ya tenzi ya shingo yanaonekana katika kisiwa cha Pemba(asilimia 32) ukilinganisha na Unguja (asilimia 21).• Mbali na tatizo la lishe ndogo, uchunguzi umeonesha kuwa asilimia 27 yawanawake walio katika umri wa kuzaa (15-49) wanaonekana kuwa niwanene au wazito mno. (DHS, 2004/05). Hali hii ichukuliwe kamachanzo cha maradhi sugu yanayoambatana na vyakula na lishe ikiwemokisukari, shindikizo la damu, magonjwa ya moyo, saratani na matatizo yameno. Taarifa zinaeleza kuwa kuma ongezeko la wagonjwa washindikizo la damu katika Hospitali ya Mnazi Mmoja ambao sasa11


wamefikia asilimia 27 (WAUJ, 2005). Wizara inatoa indhari ya ongezekokubwa la magonjwa yanayotokana na matumizi mabaya ya chakula nalishe.• Ingawa unyonyeshaji wa watoto kwa Zanzibar ni desturi maarufuambapo asilimia 98.4 ya watoto wamekuwa wananyonya maziwa yamama (IMCI, 2002) unyonyeshaji maziwa ya mama pekee kwa miezi sitaya mwanzo si desturi iliyopo hapa nchini. Utafiti wa upungufu wavitamini A (2004), umeonesha kuwa unyonyeshaji pekee wa maziwa yamama kwa watoto wa umri wa hadi miezi sita haupo, wakati ambapouchunguzi wa awali uliofanywa na IMCI (2002) ulionesha kuwa asilimia21 ya watoto wa umri wa hadi miezi mitatu wananyonyeshwa maziwa yamama pekee. Uchunguzi pia umeonesha kuwa wastani wa umri wakumlisha mtoto mchanga vyakula vigumu mbali na maziwa ya mama nimiezi 3.7. Ulishaji usio wa maziwa ya mama pekee kwa watoto wachangachini ya umri wa miezi sita unachangia hali ya utapiamlo wa watotowachanga kama inavyojitokeza katika kuongezeka kwa upungufu wauzito, kudumaa na matatizo mengine ya ukuaji wa mtoto katika hatua zamakuzi zinazofuatia.• Kuongezeka kwa maradhi mengi yakiwemo Virusi vya Ukimwi/Ukimwi,malaria, magonjwa ya kifua na homa yana athari kubwa kwa afya ya jamii(watoto chini ya umri wa miaka mitano na kinamama ndio walio katikahatari zaidi). Hali hii huathiri tija na uzalishaji pamoja wa chakula nauwezo wa kaya wa kujikimu kimaisha na huongeza gharama za matumizikwa ajili ya afya kwa upande wa serikali na sekta binafsi. Uambukizo wavirusi vya ukimwi ichukuliwe kuwa ni miongoni mwa sababu za msingiza kuwepo kiwango cha juu cha utapiamlo katika ngazi za kaya na mtubinafsi kwa sababu wanaoathirika zaidi ni watu walio na uwezo wakuzalisha mali na wanaotegemewa katika shughuli za kiuchumi.Uambukizo hupunguzia uwezo wa kaya na watu binafsi kufanya kazi nakujikimu wenyewe. Vile vile, Ukimwi unaweza kuchangia utapiamlokwa kumpunguzia mgonjwa hamu ya kula, kupunguza ufyonzaji wavirutubisho katika tumbo na kumuongezea mgonjwa mahitaji ya ziadakwa ajili ya kurutubisha mwili wake. Sababu nyengine inayopelekea haliya kutokuwa na uhakika wa chakula na lishe katika ngazi ya mtu binafsina kaya ni ukweli kwamba ugonjwa huu una taathira maalum za kijinsia.Hii ni kwa sababu, wanawake wana uwezekano mkubwa zaidi wakuambukizwa ugonjwa huu kuliko wanaume.12


• Huduma duni na zisizotosheleza za usafi (kiasi cha theluthi moja yakaya katika maeneo ya vijijini hazina vyoo), hali ambayo inaongezauwezekano wa kupata maradhi na afya duni.• Ingawa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inafanya jitihada kubwa hivisasa za kuhakikisha maji safi ya kunywa na salama yanakuwepo nayanapatikana, usambazaji wa maji safi haujatosheleza mahitaji halisi yamijini na vijijini. Na la msingi zaidi, swali la matumizi bora ya maji safina salama linahitaji kupewa msisitizo zaidi.Pamoja na umasikini, utunzaji duni wa watoto, mazingira duni ya kiafya,elimu duni ya lishe na matumizi ya aina chache za vyakula ni miongoni mwasababu za msingi zinazoweza kuleta utapiamlo. Vyakula maarufuvinavyotumiwa zaidi Zanzibar ni pamoja na mchele na muhogo ambao unaviwango vidogo sana vya viinilishe. Utafiti uliofanywa na Wizara ya Afya naUstawi wa Jamii unaonesha kuwa nafaka na jamii ya mazao ya mizizi(uwanga) ndio vyanzo vikuu vya vyakula vinavyotoa nguvu kila siku (DES),wakati ambapo vyakula vya mafuta vinachangia asilimia 10 tu ya vyakulavinavyotoa nguvu mwilini. Samaki na mazao ya jamii ya kunde ndivyovyanzo vikuu vya Utomwili. Mchango wa bidhaa za mifugo katika vyakulavinavyotumika sana Zanzibar ni mdogo mno kama inavyooneshwa naviashirio vya matumizi ya nyama kwa mtu kwa mwaka (kilo tatu hadi nne) nawastani wa unywaji wa maziwa kwa mtu kwa mwaka ni lita moja tu, kiasiambacho hakifikii viwango vya lishe vinavyotakiwa kwa kila mtu. Kwawastani, asilimia 65 ya Wazanzibari hawali nyama kama inavyotakikana.Jadweli ya 3 inaonesha athari ya kutokuwa na uhakika wa chakula na lishekatika ngazi ya mtu binafsi.Jadweli ya 3: Masuala ya msingi yanayopelekea katika hatari ya kutokuwana uhakika wa chakula na lishe katika ngazi ya mtu binafsiHali ya sasa yauhakika wachakula na lisheKuwepo kwautapiamlo wautomwili nauwanga (PEM)Sababu za msingi zinazochangiakutokuwa na uhakika wa chakula• Hali mbaya ya afya kwamfano Virusi vyaUkimwi/Ukimwi (asilimia0.6), malaria (asilimia 40),mambo yanayopelekea tijandogo pamoja na ongezeko lagharama za afya kwa Serikalina sekta binafsi.13Makundi ya walio katikahatari ya kuathirika• Watoto chini yaumri wa miakamitano nakinamama waliokatika umri wakuzaa kwenye kayazilizo katika hatarizaidi.


Hali ya sasa yauhakika wachakula na lisheSababu za msingi zinazochangiakutokuwa na uhakika wa chakulaMakundi ya walio katikahatari ya kuathirikaKuwepo kwautapiamlo wakuvimbiwaKuwepo kwamapungufumakubwa yaviini lishemuhimu• Kutokula chakula cha kutosha(ugawaji usio sawa wachakula ndani ya kaya)• Tabia za ulaji zisizo sahihi.• Elimu ndogo ya lishe• Tabia za ulaji zisizo sahihi nautumiaji wa chakula kingikuliko kiwangokinachopendekezwa kwamujibu wa mahitaji ya mwilikwa siku (RDA).• Matumizi madogo ya nguvu(ukosefu wa mazoezi). Halihii imeonekana zaidi kwawanawake walio katika umriwa kuzaa na wazee.• Viwango vidogo vya elimu nataaluma ya lishe• Matayarisho na matumizi duniya chakula (kama kupikachakula muda mrefu na kulavyakula vyenye viwangovidogo vya virutubisho)• kuwepo vyakula katikamisimu maalumu• Hali mbaya ya afya• Huduma duni za usafi nakutopatikana na matumiziduni ya maji safi na salama• Wanawake waliokatika umri wakuzaa katika kayazilizo na kipato chawastani na kipatocha juu.• Wazee.• Wanawake nawatoto walio chiniya umri wa miakamitano katika kayamasikini za vijijini,wakulima wamwani, wavuviwadogo wadogo navibarua katikamaeneo ya mijini• Kinamamawajawazito nawanaonyonyeshahasa katika maeneoya vijijini.14


Iii. Mahusiano baina ya sera, dira ya maendeleo na sera zakisektaSura iliyopita imechambua kwa ufasaha jinsi dhana ya uhakika wa chakula nalishe ilivyofungamana na sera nyengine. Katika miaka ya hivi karibuni,Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imetilia mkazo mkubwa suala lakupunguza umasikini kwa wananchi wake kwa kuinua hali za maisha,ikiwemo pia uhakika wa chakula na lishe. Mifumo kadhaa ya msingi ya Seraimetayarishwa, ikiwemo Dira ya Maendeleo ya Zanzibar ya 2020 pamoja naMkakati wa Kukuza Uchumi na Kupunguza Umasikini Zanzibar (MKUZA).Sera ya Uhakika wa Chakula na Lishe imetayarishwa kwa misingi yamiongozo na mikakati ambayo inalenga utekelezaji wa ajenda ya maendeleo,kuunga mkono juhudi za Serikali katika kuhamasisha ukuaji wa uchumi nakupunguza umasikini, utekelezaji wa makubaliano na mikataba ya Kimataifa,pamoja na utekelezaji endelevu wa sera na mikakati ya kisekta. Sera yaUhakika wa Chakula na Lishe haikusudii kufuta, kubatilisha au kuzikarabatisera zilizopo. Badala yake Sera hii inalenga katika kuongeza kasi na uwezowa Taifa katika kuzikabili changamoto zinazohusiana na masuala ya uhakikawa chakula na lishe. Hivyo, sura hii inabainisha fungamano na mahusianobaina ya Sera ya Uhakika wa Chakula na Lishe, Dira ya Maendeleo yaZanzibar ya 2020, MKUZA pamoja na malengo ya Sera za Kisekta.Mifumo ya msingi ya sera: dira ya maendeleo ya Zanzibar ya2020 na mkuzaKatika kipindi hiki, Dira ya Maendeleo ya Zanzibar ya 2020 inalenga katikakufanikisha malengo ya maendeleo ya jamii kwa lengo la kupunguza kwaasilimia 15 idadi ya watu wanaokabiliwa na njaa mijini na vijijini wanaoishichini ya msitari wa umasikini wa chakula ifikapo mwaka 2010. Katika Dira yaMaendeleo ya 2020, umasikini umegawika katika makundi mawili ambayo niumasikini wa kipato pamoja na ukosefu wa fursa za mahitaji ya msingi zitakazowawezeshaWazanzibari kupata mahitaji yao ya muhimu. Malengo hayoyatafikiwa kwa kuongeza tija na uzalishaji wa mazao ya kilimo ili kuwezeshakuwa na uhakika wa chakula, kuimarisha na kufungua masoko ya mazao yakilimo nchi za nje na kuinua mapato ya wazalishaji kwa kukifanya kilimokuwa cha kisasa na cha kibiashara. Aidha, Dira inatilia mkazo umuhimu wamafunzo ya amali kwa rika la vijana, akinamama na jamii kwa ujumla ilikuwatayarisha waweze kujiajiri wenyewe, ili kuiimarisha sekta isiyo rasmi,kuhimili ushindani na kushiriki kikamilifu katika jitihada za kuinua uchumina kupunguza umasikini. Aidha, Dira inatambuwa Utawala Bora kama shartimuhimu kwa ukuaji endelevu wa uchumi, na inasisitiza uadilifu katika utoajiwa huduma za umma, pamoja na kujenga utamaduni wa uwajibikaji na uwazi.15


MKUZA ni hatua ya pili ya utekelezaji wa Dira ya Maendeleo ya Zanzibar ya2020, na sera hiyo haipingani na malengo ya Maendeleo ya Milenia pamojana mikataba ya Kimataifa na malengo yake. Sera hii inalenga kuondoaumasikini wa kipato na usio wa kipato na kuwepo kwa maendeleo endelevu.MKUZA unasisitiza kushughulikia masuala ya uhakika wa chakula kwamkabala wa pamoja unaosisitiza mahusiano baina ya kupunguza umasikini nauhakika wa chakula. Mfumo wa mkondo pacha katika uhakika wa chakulaumeelezwa vizuri katika MKUZA. Mfumo huo umejengeka katika klasta tatuambazo ni ukuaji wa uchumi na upunguzaji wa umasikini wa kipato, Hudumana Ustawi wa Jamii; pamoja na Utawala Bora na Umoja wa Kitaifa. Aidha,MKUZA unasisitiza Serikali ya kidemokrasia inayoongozwa (kwa misingi yauwazi, wananchi kushiriki kikamilifu katika mashauriano na katika mchakatowa kufanya maamuzi, mkazo mkubwa utawekwa kwenye Serikali za mitaa)kwa kuzingatia misingi ya Haki za Binadamu, ikiwemo haki ya kupatachakula, Haki ya kutobaguana, uwezeshaji, na uwajibikaji. Malengo yauhakika wa chakula na lishe kama yalivyotajwa kwenye MKUZAyanakubaliana na misingi ya Haki za Binadamu ya kupata chakula kamayanavyoonekana kwenye jadweli ya 4:Jadweli ya 4: Malengo yanayohusiana na Uhakika wa Chakula na Lishe1na haki za binaadamu kama yalivyoainishwa kwenye MKUZAKLASTA YA 1Kukuza uchumi nakupunguza umasikiniwa kipato, Hatua zakupunguza hali yakutokuwepo kwauhakika wa chakula naumasikinizitachukuliwa kupitiamalengo yafuatayo:Lengo la 1: Kuandaamazingira bora yaukuaji wa uchumi.KLASTA YA 2Hatua za Kuimarishamasuala ya uhakika wachakula na lishe kwakuongeza kiwango,ufanisi na fursa sawakatika kutoa huduma zakijamii zitachukuliwakupitia malengoyafuatayo:Lengo la 1: Hakikishaupatikanaji wa fursasawa ya elimu borainayooana na mahitajina inayozingatia jinsiana mazingira.KLASTA YA 3Hatua za kuhimizamchakato wa utoajimaamuzi shirikishi; nakuboresha uelewa wahaki ya kupata chakulazitachukuliwa kupitiamalengo yafuatayo:Lengo la 1:Kuhakikishaushirikishaji wa jamiikatika utawala namchakato wamaendeleo.1Jadweli ya 4 inahusisha tu malengo yenye mnasaba zaidi na uhakika wa chakula na lishe.16


KLASTA YA 1Kukuza uchumi nakupunguza umasikiniwa kipato, Hatua zakupunguza hali yakutokuwepo kwauhakika wa chakula naumasikinizitachukuliwa kupitiamalengo yafuatayo:Lengo la 2:Kuendeleza uchumimkuu endelevu wenyekupendelea masikini.Lengo la 3: Kupunguzaumasikini wa kipato nakuwepo kwa uhakikawa upatikanaji wachakula.KLASTA YA 2Hatua za Kuimarishamasuala ya uhakikawa chakula na lishekwa kuongezakiwango, ufanisi nafursa sawa katikakutoa huduma zakijamii zitachukuliwakupitia malengoyafuatayo:Lengo la 2:Kuimarisha hali ya afyaikiwemo afya ya uzazi,uhai na ustawi wawatoto, wanawake namakundi yaliyo katikahatari.Lengo la 3: Kuongezafursa ya huduma yamaji safi, salama narahisi.Lengo la 4:Kuimarisha usafi namazingira endelevu.Lengo la 6:Kuimarisha uhakika waupatikanaji chakula nalishe kwa masikini,waja wazito, watoto namakundi yaliyo katikahatari.Lengo la 7: Kutiliamkazo na kupanuausalama na hifadhi yaKLASTA YA 3Hatua za kuhimizamchakato wa utoajimaamuzi shirikishi; nakuboresha uelewa wahaki ya kupata chakulazitachukuliwa kupitiamalengo yafuatayo:Lengo la 2:Kuimarisha utoaji wahuduma na kuanzishamageuzi katikautumishi wa umma.Lengo la 4:Kuimarisha usalama waraia – hasa katika eneola uhakika na usalamawa chakula.Lengo la 5: Kuongezauwezo wa taasisi zaSerikali na watendajiwengine.Lengo la 7:Kuimarisha mfumo washeria ili kusaidiaukuaji wa uchumi.Lengo la 8:Kuimarisha uoni wauwajibikaji wa taasisi,17


KLASTA YA 1Kukuza uchumi nakupunguza umasikiniwa kipato, Hatua zakupunguza hali yakutokuwepo kwauhakika wa chakula naumasikinizitachukuliwa kupitiamalengo yafuatayo:KLASTA YA 2Hatua za Kuimarishamasuala ya uhakikawa chakula na lishekwa kuongezakiwango, ufanisi nafursa sawa katikakutoa huduma zakijamii zitachukuliwakupitia malengoyafuatayo:jamii kwa makundiyasiyopata huduma zamsingi na yale yaliyokatika hatari.KLASTA YA 3Hatua za kuhimizamchakato wa utoajimaamuzi shirikishi; nakuboresha uelewa wahaki ya kupata chakulazitachukuliwa kupitiamalengo yafuatayo:ikiwa ni pamoja nakuimarisha upatikanajiwa habari.Lengo la 9: Kutoataarifa za kuaminika nakwa wakati katikakufuatilia na kutathminishughuli za Serikali namipango yake.Lengo la 10: Kufikishamaadili ya UtawalaBora katika ngazi zote;Lengo la 11: Kukuzana kuwezeshaupatikanaji wa faidazinazotokana nautekelezaji wa Haki zaBinadamu18


Sera zilizopo, mipango na mikakati inayohusiana na masualaya uhakika wa chakula na lishe kwa zanzibarSehemu hii inaonesha uhusiano wa sera, mikakati na mipango ya sera mbalimbali za kitaifa ambazo zinahusika moja kwa moja katika kupambana namatatizo ya uhakika wa chakula, hatari ya njaa, na utapiamlo. Kifungu hiki piakinaonesha mapengo kadhaa yaliyoachwa wazi na sera hizi na ambayoyanahitaji ufumbuzi ili kufanikisha mahitaji ya uhakika wa chakula na lishekatika ngazi za kitaifa, familia na mtu binafsi (kiambatisho cha 1 kinaoneshauchambuzi wa kina wa mapengo yaliyoachwa wazi na sera). Utekelezajiwenye ufanisi wa Sera ya Uhakika wa Chakula na Lishe utafikiwa kwaushirikiano na mshikamano katika utekelezaji wa mikakati na mipango yasera hizi za Kisekta.Sera ya Sekta ya <strong>Kilimo</strong> (2002)Shabaha kuu ya Sera ya Sekta ya <strong>Kilimo</strong> ya Zanzibar ni kuleta maendeleoendelevu ya sekta ya kilimo ili ilete faida za kiuchumi, kijamii na kimazingirakwa watu wa Zanzibar. Malengo ya sera hii yanalenga kufanikisha kuwepokwa uhakika wa chakula kwa kaya na taifa kwa jumla na kuinua hali ya lisheya wananchi, hasa watoto na mama wanaonyonyesha.Kwa utekelezaji bora wa sera hii, mpango wa utekelezaji (Mpango Mkakatiwa Sekta ya <strong>Kilimo</strong>) ulitayarishwa mwaka 2004. Mpango huu unazingatiakuifanyia mageuzi sekta ya kilimo ili iwe ya kisasa na ya kibiashara kwa nia yakuongeza uzalishaji wa kilimo na tija, pato la wakaazi wa vijijini, na kuchangiakatika kuniua uchumi wa taifa.Sera na Mkakati huu kwa pamoja zinalikabili suala linalohusiana moja kwamoja na ongezeko la kuwepo kwa chakula pamoja na kuzitumia rasilimali zandani katika uzalishaji wa kilimo ili kuinua kiwango cha chakula na lishenchini. Licha ya juhudi hizi, ukuwaji wa sekta ya kilimo bado ni wa kusuasua,ikimaanisha kuwa juhudi kubwa zinahitajika katika kuimarisha utekelezajiwa Sera ya Sekta ya <strong>Kilimo</strong>. Sera ya Uhakika wa Chakula na Lishe inakusudiakutilia mkazo maazimio ya Sera na Mkakati wa Utekelezaji katika kuinuakiwango cha uzalishaji na tija kwa wakulima wadogo wadogo, kwa njia yamijadala ya kisera, kubuni mipango na mwelekeo wa utekelezaji wake.Sera ya Afya (2002)Moja ya malengo ya Sera ya Afya ya Zanzibar ni kuinua na kuvifanyaviwango vya lishe viwe endelevu kwa Wazanzibari, hasa kwa wanawake nawatoto. Ili kutimiza shabaha hiyo, Sera inalenga katika kuongeza upatikanaji19


wa lishe bora, uhifadhi na usambazaji salama wa chakula nchini kote nawakati huo huo kuimarisha elimu ya lishe.Hadi sasa, Zanzibar bado haina Sera ya Usalama na Ubora wa Chakula. Hatahivyo, zipo sheria kadhaa zinazohusiana na udhibiti wa usalama na ubora wachakula, pamoja na taasisi zinazosimamia na kuratibu masuala ya usalama naubora wa chakula nchini. Sheria hizi zimeoneshwa katika jedwali hapa chini:Jedwali ya 5: Sheria zinazohusiana na usalama na ubora wa chakulaSheria au Kanuni1. Sheria ya Uhifadhi wa Chakula(Sura ya 73 ya Sheria za Zanzibar,1931)2. Kanuni za Afya ya Jamii (maji yaviwandani na barafu), 19983. Sheria ya Afya ya Jamii, 19984. Kanuni za Karantini (Sura ya 74ya Sheria za Zanzibar, 1931)5. Sheria ya Vyakula, Dawa naVipodozi, 2006Vyakula na Eneo linalohusikaMaziwa na bidhaa zakeUtengezaji wa vinywaji na barafuKuimarisha Kanuni za Afya ya JamiiUingizaji wa vyakula nchiniVyakula vya aina zoteSera ya Mazingira na Mpango wa Taifa wa Zanzibar (1992)Uhifadhi endelevu wa mazingira ni muhimu katika kukabiliana na tatizo laukosefu wa chakula na lishe pamoja na kushiriki kikamilifu kwenye shughuliza uchumi ambazo zinategemea matumizi na usimamizi endelevu wamaliasili. Sera ya Taifa na Programu ya Uhifadhi wa Mazingira inaelekezamfumo bora wa matumizi endelevu ya rasilimali za maji, matumizi ya ardhiyenye rutuba, matumizi ya maeneo ya fukwe na matumizi ya ardhi za uwanda,kwa lengo la kuwepo kwa uhakika wa chakula na lishe. Aidha, Sera inatambuaumuhimu wa mshikamano baina ya maendeleo endelevu na uhifadhi bora wamazingira katika kukabiliana na tatizo la kutokuwepo kwa uhakika wachakula na lishe bora.Mpango wa Taifa wa Matumizi ya Ardhi (1995)Uwezo wa kupata ardhi ya kilimo ni sharti muhimu katika kuinua kiwango chauhakika wa chakula na lishe kwa familia nyingi. Mpango wa Taifa wa20


Matumizi ya Ardhi wa Zanzibar unatambua kuwa kilimo ni moja ya sektakubwa inayotumia ardhi. Shughuli za kilimo zinatumia wastani wa asilima 60ya eneo lote. Mpango huu unatilia mkazo umiliki wa ardhi na kutoa fursa zamatumizi sahihi ya ardhi yenye mchango mkubwa katika uzalishaji wachakula, na kwa hali hiyo kupelekea kuwepo na kupatikana kwa chakulakatika ngazi ya kaya.Ni ukweli kwamba uhakika wa kuwepo kwa ardhi ya kilimo ni muhimu katikakuwepo kwa uhakika wa chakula na lishe hapa Zanzibar. Hata hivyo, Mpangohuu hautoi uhakika wa upatikanaji wa ardhi ambao utawahamasishawakulima kuwekeza na kuzalisha ipasavyo. Kasoro nyengine kwenyeMpango huu ni kutokuwepo kwa uratibu bora wa mpango wa matumizi yaardhi, ambao umepelekea kuvamiwa kwa maeneo mazuri ya uzalishaji wakilimo. Aidha, kuna usimamizi duni wa sheria zinazolinda matumizi ya ardhikatika utekelezaji wa Mpango wa Taifa wa Matumizi ya Ardhi.Sera ya Taifa ya Maji (2004)Maji ni muhimu kwa afya, usalama na kwa maendeleo ya kijamii na yakiuchumi. Sera ya Taifa ya Maji ya Zanzibar inatambua haki ya kupata maji yakutosheleza na yaliyo safi na salama kama sharti moja muhimu katikakupunguza umasikini na kuwepo kwa uhakika wa chakula na lishe kwa i)kuvilinda vyanzo vya maji visichafuliwe na kusimamia matumizi bora yavyanzo hivyo, na ii) kuendeleza na kuimarisha uwezo wa kupatikana maji safina salama kwa muda wote kwa mujibu wa mahitaji ya jamii. Sera imetoamiongozo ya kuongeza fursa za upatikanaji wa maji safi na salama nayanayopatikana kikawaida kwa wananchi wote bila ya kuathiri mazingira.Sera ya Miradi Midogo na ya Kati (2006)Lengo kuu la Sera ya Miradi Midogo na ya Kati ni kuandaa mazingira mazuriya kuendeleza biashara kwa wajasiriamali wadogo wadogo na wa kati katikakukuza ajira na fursa za ukuaji wa uchumi, pamoja na kufanikisha ukuaji wabiashara na uwezo wa kushindana katika soko huria. Sera inalenga katikakuimarisha jitihada za Serikali za kushiriki katika harakati za ukuzaji uchumina kupunguza umasikini kwa kuishirikisha sekta binafsi. Hivyo, Sera hii inauhusiano wa moja kwa moja na uhakika wa chakula na lishe katikakuziwezesha kaya kumudu kupata chakula cha kutosha kufuatia kuongezekakwa ajira binafsi, kuweka misingi imara ya ubunifu na ujasiriamali, nakuongezeka kwa mbinu mpya za kuwawezesha watu kushiriki katika harakatiza maendeleo yao.21


Sera ya Biashara (2006)Sera ya Biashara ya Zanzibar ina jukumu la kufanikisha maendeleo ya ainazote za biashara hapa Zanzibar. Sera inalenga katika kuongeza kasi na uwezowa sekta binafsi kushiriki katika uzalishaji wa bidhaa na utoaji wa huduma; nakuhakikisha kuwa fursa za kibiashara zinatumika ipasavyo. Sera ya Biasharainaoanishwa na Sera ya Uhakika wa Chakula na Lishe katika masuala yaviwango vya ushuru na kodi. Sera ya Biashara inashadidia kuwepo kwaunafuu wa viwango vya ushuru na kodi kwenye bidhaa zinazoingizwa nchiniikiwemo chakula, pamoja na kudhibiti mfumuko wa bei. Kiungo chenginemuhimu ni katika eneo la viwango na udhibiti wa ubora wa bidhaa. Sera yaBiashara inaweka mkazo kwenye kuhakikisha kuwa chakula pamoja nabidhaa zake zote zinazoingizwa nchini na zile zinazosafirishwa zinafikiaviwango na ubora unaostahiki, na kwa hivyo, suala la kuimarisha Maabara yaMkemia Mkuu wa Serikali limepewa kipaumbele.Sera ya Viwanda ya Zanzibar (1998)Sera ya Viwanda inalenga katika kuyakabili masuala muhimu ya sekta yaviwanda na kutoa fursa zinazopelekea ongezeko la uvunaji wa maliasili, hasaza kilimo, mazao ya baharini, na misitu. Kwa maana hiyo Sera inawekamazingira bora kwa kutengeneza fursa zaidi za ajira na kuongeza pato. Serapia inalikabili suala la uwekezaji mdogo ambao unakwamisha maendeleo yasekta za kilimo na sekta nyenginezo za uzalishaji. Kutokuwepo kwa Bodi yaUdhibiti wa Viwango kumeonekana kuwa ni mapungufu katika sera hii yaBiashara.Sera ya Uwekezaji ya Zanzibar (2005)Sera ya uwekezaji ya Zanzibar inaelekeza kufanywa mageuzi makubwa yakimuundo na kitaasisi katika kuongeza kasi ya uwekezaji wa sekta binafsi.Sera inatilia maanani maadili ya kukuza biashara kwa kuwepo kwa ufanisikatika bandari huru na maeneo huru ya uchumi, ili kusudi kustawisha soko lauingizaji na usafirishaji wa bidhaa. Aidha, Sera imezingatia haja yakuiimarisha sekta ya huduma na kuoanisha utalii katika kuitangaza biasharaya utalii, mafunzo ya hoteli na mapishi, utalii wa uhifadhi wa mazingira,pamoja na kuimarisha uwekezaji kwenye maeneo mbali mbali. Kwa ujumla,Sera inatoa fursa kwa wakaazi vijijini wasio na ardhi ya kulima na kwa vijanawa mijini na vijijini wasio na ajira kunufaika katika sekta ya uwekezaji.Sera ya Maendeleo ya Utalii ya Zanzibar (2004)Zanzibar inashuhudia ukuaji imara wa sekta ya utalii. Sekta hii ina mchangomkubwa katika uwekezaji wa nje pamoja na uwekezaji wa ndani. Katikakuongoza maendeleo ya sekta ya utalii, Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar22


imetayarisha Sera ya Maendeleo ya Utalii ya Zanzibar mwaka 2004 na baadaeikatengeneza Mpango Mkuu wa Utekelezaji wa Sekta ya Utalii. Sera naMpango huo umetandika mwelekeo wa utekelezaji kwa ajili ya maendeleoendelevu ya sekta hiyo. Sera hii inaelekeza uendelezaji wa ubora wa bidhaakwa kuzingatia utunzaji na uhifadhi wa mazingira, ulio wa kiuchumi, wenyekukuza mahusiano ya kiutendaji na kiuchumi baina ya sekta ya utalii na sektanyenginezo ambazo ni muhimu kwa maendeleo ya sekta hii.Sera ya Elimu Zanzibar (2006)Sera ya Elimu Zanzibar inatilia mkazo upatikanaji na matumizi bora ya ainazote za Elimu na taaluma kwa ajili ya maendeleo ya raslimali watu nakuboresha viwango vya maisha ya jamii. Sera hii ina madhumuni yakuibadilisha jamii ya Zanzibar iwe rasilimali watu wenye uwezo wa kukabilianana changamoto za mazingira yanayobadilika ya kiuchumi na yakijamii, na kwa hivyo kutoa mchango katika kufikia malengo ya Kitaifa yakukuza uchumi na kuwa na uhakika wa chakula katika kaya. Kwa hivyo, Seraya Elimu ina mahusiano ya moja kwa moja na masuala ya uhakika wa chakulana lishe kwa vile inachangia katika kutoa wataalamu wenye upeo na viwango,wajasiriamali wenye kuhimili ushindani katika soko la ajira, na hivyokuongeza fursa na uwezo wa uzalishaji na kipato kwa wananchi.Sera ya Zanzibar ya Elimu na Mafunzo ya Amali (2005)Mafunzo ya ufundi na amali ni chachu muhimu katika kupunguza umasikinikwani hutoa fursa za ajira binafsi na kuinua uwezo wa kuwa na uhakika wachakula na lishe katika ngazi ya kaya. Lengo kubwa la Sera ya Zanzibar yaElimu na Mafunzo ya Amali ni kuweka mfumo utakaowapa vijana fursa zakujifunza kwa azma ya kutengeneza nafasi za ajira na kuendeleza utaalamu nauzoefu wa ujasiriamali. Kwa hivyo sera hii inashikamana na Sera ya Uhakikawa Chakula na Lishe katika kurahisisha upatikanaji wa chakula kwa kaya,pamoja na kuongeza fursa za ajira.Sera ya Habari ya Zanzibar (2005)Madhumuni makubwa ya Sera ya Habari ni pamoja na kuwafahamishaWazanzibari juu ya mabadiliko ya kiuchumi, kijamii na kisiasa yaliyopo namwelekeo wa maendeleo kwa kuielekeza na kuifahamisha jamii kukabilianana umasikini, kuboresha huduma za elimu, afya, maji safi na salama, nakuimarisha demokrasia na utawala bora. Sera hii kwa hivyo inahusiana namikakati ya uhakika wa chakula na lishe kwa vile inatetea maslahi yawananchi katika kushajiisha, kuhamasisha, kutoa taarifa na kuielekeza jamiikuhusu mapambano dhidi ya umasikini, kuwepo kwa uhakika wa chakula nalishe na maadili ya utawala bora.23


Mpango Mkakati wa Taifa wa VVU/UKIMWI wa Zanzibar(2004/5 – 2008/9)Mpango Mkakati wa Taifa wa VVU/UKIMWI unatilia mkazo hatua za kuzuiana kukinga maambukizi mapya. Mpango Mkakati umetaja maeneo makuumatano ya kushughulikiwa ambayo ni pamoja na huduma za afya na hudumakwa watu wanaoishi na VVU/UKIMWI ambazo zinahusiana moja kwa mojana kuwepo kwa uhakika wa chakula na lishe kwa njia za kuimarisha hudumaza utunzaji watu wanaoishi na VVU/UKIMWIMkakati wa Matumizi ya Ardhi na Mpango wa Utekelezaji waZanzibar (2003)Mkakati wa Matumizi ya Ardhi na Mpango wa Utekelezaji wa Zanzibarunafafanua kuwepo kwa mashirikiano katika kupanga na kuratibu matumizibora ya ardhi yatakayopelekea kuongezeka kwa uzalishaji wa kilimo na tija nahivyo kuondosha kabisa tatizo la kupotea kwa rutuba ya udongo pamoja natatizo la usimamizi mbaya wa matumizi ya ardhi. Makusudio ya MpangoMkakati huu yanaoana na malengo na mikakati ya Sera ya Uhakika waChakula na Lishe, kwani yanalenga katika kuwepo kwa uzalishaji endelevuwa mazao ya kilimo na ongezeko la tija, na kwa maana hiyo kuinua kiwangocha ndani cha uzalishaji wa chakula na kuhakikisha ongezeko la chakula,Sera nyenginezo za kisekta, na mipango katika kuendeleza uhakika wachakula na lisheKwa kuwa dhana ya uhakika wa chakula na lishe ina wigo mpana nainahusisha maeneo mengi, zipo pia sera na mipango kadhaa yenye ushawishimkubwa katika kuimarisha uhakika wa chakula na lishe, zikiwemo serazinazohusiana na masuala ya fedha, ustawi wa jamii, jinsia, usafiri, mawasiliano,maendeleo ya jamii, pamoja na sayansi na teknolojia. Pamoja naumuhimu mkubwa wa sera na mipango yake kisekta kwenye kuhakikishakuwepo kwa uhakika wa chakula na lishe, utekelezaji wake katika kukabilianana tatizo la kutokuwepo kwa uhakika wa chakula na lishe bado hautoshelezi.Hali hii inachangiwa kwa kiasi kikubwa na kutokuwapo kwa muundo wakiasasi na uratibu thabiti wa sekta mbali mbali. Aidha, hazijachukuliwa juhudizozote katika kufuatilia na kutathmini mchango wa sera hizi katika kuinuakiwango cha uhakika wa chakula na lishe.Kamisheni ya Haki za Binadamu ya Tanzania ni idara huru ya Serikaliiliyoundwa mwaka 2001 kama taasisi ya kitaifa inayohusika na kuendeleza nakulinda wajibu na haki za binadamu na pia utawala bora. Kamisheni imejikitazaidi katika kuendeleza na kulinda haki, wajibu na misingi ya uongozi bora ilikuimarisha demokrasia, utawala wa sheria na utawala bora. Ingawa24


Kamisheni ina ofisi yake ndogo hapa Zanzibar, lakini imepewa mamlaka yakisheria kufanya kazi hapa Zanzibar katika mambo yanayohusu muunganopekee na hivyo kutoyahusisha maswali mengine yakiwemo sekta za kilimo naafya. Aidha, Kamisheni haihusiani moja kwa moja na maswali yanayohusianana haki ya mtu ya kupata chakula kama ilivyobainishwa katika MKUZA(lengo la 11 la klasta ya 3). Sera ya Uhakika wa Chakula na Lishe Zanzibarinatambua kuwepo kwa mwanya huo hivyo Sera hii itatoa fursa kwa Serikalikuipitia tena na kuifafanua haki hiyo ya mtu ya kupata chakula.Uchambuzi wa sera hizi za kisekta zenye mchango mkubwa katikakuimarisha kuwepo kwa uhakika wa chakula na lishe umebainisha kuwepokwa mapengo kadhaa ya kisera na kitaasisi kwa kutosimamia ipasavyo kanunina maadili ya utekelezaji wa sera zilizopitishwa kisheria katika kukabiliana natatizo la uhakika wa chakula na lishe. Hatimaye, azma ya Sera ya Uhakika waChakula na Lishe si kuzirejea au kuzibadilisha sera hizi za kisekta, baliinakusudiwa kuziba mapungufu ambayo yameainishwa katika kiambatishonamba 1.25


IV. Dhamira ya mkakati wa sera ya uhakika wa chakula nalishe, ZanzibarDira na mwelekeo wa sera ya uhakika wa chakula na lisheDira ya Sera ya Uhakika wa Chakula na Lishe inakwenda sambamba na Diraya Mkakati wa Kukuza Uchumi na Kupunguza Umasikini Zanzibar(MKUZA). MKUZA unakusudia kuwajenga wananchi wa Zanzibar kuwa nauwezo wa kupata chakula bora na kinachokubalika katika mazingira yaZanzibar kwa ajili ya kujenga afya bora. Dira hii imelenga pia kutoa haki yamsingi ya kuwa na uwezo endelevu wa kupata chakula bora, salama, chakutosha na kinachokubalika kwa Wazanzibari.Mwelekeo ambao sera hii ya uhakika wa chakula itaufuata na kuusisitiza nikuona kwamba kunakuwepo na upatikanaji na matumizi endelevu ya chakulabora kwa watu wote. Mchakato huu utawezekana kwa kuwashirikisha wadauwote katika ngazi mbali mbali zikiwemo Serikali, jumuiya za kiraia na sektabinafsi ya biashara.Shabaha kuu ya sera ya uhakika wa chakula na lisheShabaha kuu ya Sera ya Uhakika wa Chakula na Lishe ni kujenga mazingirabora ambayo yatawawezesha wananchi wote wa Zanzibar kuwa na uwezo wakupata chakula bora na cha kutosha na ambacho kinakubalika katikamazingira yetu kwa muda wote. Pamoja na hayo, sera inalenga pia kutoahifadhi maalum kwa makundi ya watu walio katika hatari ya kutokuwa nauhakika wa kupata chakula.Sera hii ina malengo yafuatavyo:1. Kuongeza kasi ya upatikanaji wa chakula kwa kuzidisha uzalishajiwa chakula wa ndani ya nchi na kuboresha biashara na masoko;2. Kuongeza uwezo wa wananchi hasa wa kipato cha chini wa kupatachakula;3. Kuboresha matumizi sahihi ya chakula bora na salama kwawanafamilia;4. Kupunguza hali tete ya kutokuwa na uhakika wa chakula kwa jamiiisiyo na uhakika wa kupata chakula na kuweka mikakakti thabiti kwaajili ya kutoa hifadhi kwa jamii na kulifanya taifa kuweza kujiwekatayari na majanga kama haya ya upungufu wa chakula;26


5. Kuboresha matumizi endelevu ya rasilimali za ardhini na baharinikwa ajili ya kutunza na kuyafanya mazingira yetu kuwa endelevu.Mikakati ya kufikia malengo ya utekelezaji wa misingi ya seraSera hii imejengwa kwa misingi ifuatayo ambayo itaongoza utekelezaji wamchakato wa kufikia dira, dhamira na shabaha za sera ya uhakika wa chakulana lishe:i. Kila mtu ana haki ya kupata chakula bora na cha kutosha kwa ajili yamaisha bora na afya njema kama iliyoelezwa katika Azimio laKimataifa la Haki za Binadamu, Azimio la Kimataifa la Haki zaKiuchumi, Kijamii na Kiutamaduni na maazimio mengine yakimataifa kama ambavyo yameelezwa katika Mkakati wa KukuzaUchumi na Kupunguza Umasikini Zanzibar (MKUZA);ii.Mikakati iliyopewa kipaumbele ni ile iliyowekwa kwa mujibu wauchambuzi wa hali ya upatikanaji wa chakula hapa nchini, na piakushughulikia vile visababishi ambavyo vinapelekea hali duni kwawananchi walio na kipato kidogo;iii. Utekelezaji wa mikakati iliyowekwa katika kufikia dhamira namalengo ya Sera ya Uhakika wa Chakula na Lishe ya Zanzibar piaimetiliwa mkazo katika Programmu ya Uhakika wa Chakula naLishe ambayo vile vile inaoana na masuala yaliyopewa kipaumbelekatika Mkakati wa Kukuza Uchumi na Kupunguza UmasikiniZanzibar (MKUZA);iv. Kwa mujibu wa mahitaji yaliyofafanuliwa katika sera hii, na ambayoyanaoana na vipaumbele vya MKUZA, utekelezaji wa sera hii unakwendapamoja na ujenzi wa uwezo wa taasisi katika ngazi zoteza serikali;v. Utekelezaji wa Sera ya Uhakika wa Chakula na Lishe utafanywa kwakuunganishwa na sera na mikakati mengine yote inayohusiana na serahii ili kuboresha uhakika wa chakula na kupunguza athari zautapiamlo hasa miongoni mwa makundi yanaoyoathirka zaidi yakutokuwa na uhakiaka wa chakuka katika jamii;vi. Sera ya Uhakika wa Chakula na Lishe ni ya Kitaifa, na Serikali yaMapinduzi ya Zanzibar itaongoza katika utekelezaji wa sera hiyo, namkazo utawekwa zaidi katika kuimarisha mashirikiano baina yataasisi za Serikali na Zisizo za Kiserikali ili kuwa na malengo ya27


pamoja ya kuongeza uwezo wa taasisi za kibinafsi na za kibiasharakuchangia katika kufikia malengo ya uhakika wa chakula na lishebora kwa Wazanzibari wote kwa kuheshimu haki za binadamu;vii. Mikakati na mipango iliyowekwa kwenye Sera ya Uhakika waChakula na Lishe inaoana na mikakati ya kuwasidia masikini nainalenga katika kutoa kinga na hifadhi kwa jamii iliyo katika hatari yakuathirika na uhakikia wa chakula kwa kutoa na kuandaa mipango yamisaada ya chakula na isiyo ya chakula;viii.Utekelezaji na mafanikio ya sera na programu za uhakika wa chakulana lishe utafuatiliwa kama ni sehemu ya mpango mkuu wa ufuatiliajiwa Mkakati wa Kukuza Uchumi na Kupunguza Umasikini Zanzibar(MKUZA) ambao unatilia mkazo zaidi shabaha, mwelekeo namaudhui ya utekelezaji wa sera.ix. Utekelezaji wa sera hii utaongozwa na misingi ya haki za binaadamzikijumuisha:a) Kuheshimu haki za binaadamu na utawala wa sheria;.b) Kuweka mikakati itakayohakikisha kwamba taasisi za ummazina kuwa na dhamana ya kupatikana kwa uhakika wa chakula nalishe na ziwajibike katika matokeo ya matumizi ya rasilimali zaumma;c) Kutokuwepo kwa ubaguzi wa kijinsia, umri, tabaka za kijamii,kidini, rangi au kabila;d) Kuhakikisha matokeo bora ya utekelezaji wa sera na hatuanyengine zinazolenga kuwepo kwa upatikanaji wa kudumu wachakula bora na lishe bora;e) Kushiriki sawa na kwa ufanisi katika kuwawezeshaWazanzibari au/ na wawakilishi wao katika kutayarisha,kutekeleza na kufuatilia utekelezaji wa sera, mipango, miradi namikakati mingine.f) Kuwa wazi katika kufanya maamuzi pamoja na ugawaji namatumizi ya rasilimali za umma.28


Maeneo muhimu ya utekelezaji wa seraLengo la kwanza: Kuboresha upatikanaji wa chakula kwa kuongeza tijana uzalishaji wa mazao ndani ya nchi na kuboresha masoko na biashara.Sera za sekta ya kilimo, biashara na miradi midogo midogo na ya katizimebainisha mbinu na mikakati mbali ya kisera inayohusiana na uboreshajiwa uhakika wa chakula hapa nchini. Hata hivyo, sera na mikakati hii inalengakatika kukuza kilimo tu, na hazikulenga katika kufanikisha uhakika waupatikanaji wa chakula. Kwa hivyo, kuna umuhimu wa kuunganisha, kutiliamkazo, na kuangalia mapungufu yaliyopo miongoni mwa mikakati namaeneo yaliyoainishwa na sera hizo ili kuhakikisha ongezeko la uzalishajiendelevu wa mazao ya vyakula mbali mbali vya ndani kwa ajili ya afya bora.Shabaha nyingi zimeshawekwa ili kuongeza uzalishaji wa ndani. Vile vile,sera hii inahimiza uboreshaji wa biashara na masoko kwa wananchi.Mkakati wa Sera1.1 : Hakikisha ongezeko la tija na uzalishaji endelevu wamazao ndani ya nchiMaeneo ya kipaumbele ya utekelezaji• Hamasisha na endeleza uwekezaji katika maeneo ya kilimo yakiwemo,mazao, mifugo na uvuvi kwa yale maeneo yenye uwezo wa kimaumbilewa uzalishaji unaohusika;• Hamasisha kuwepo kwa mjadala kwa ajili ya utekelezaji wa mkakati wakilimo unaohimiza uwekezaji katika nyanja za usindikaji mazao ambaoutakuwa endelevu na unaowagusa zaidi wazalishaji wadogo wadogo,hasa wanawake;• Hakikisha kunakuwepo uhusiano bora kati ya watengenezaji teknolojia,watoaji na wapokeaji. Mkakati zaidi kwa maafisa ugani kusaidia kuinuauzalishaji kwa kufuata uwezo wa pahala panapohusika na uzalishajiutaimarishwa;• Hamasisha na saidia utekelezaji wa matumizi endelevu ya ardhi ambaoutasaidia kumshawishi mzalishaji kuongeza uzalishaji kwa kuwa nauhakika wa utumiaji wa ardhi na vile vile kuitumia ardhi kama dhamanakwa ajili ya kupata mikopo;• Hamasisha utekelezaji bora wa sera na mkakati wa kilimo pamoja nampango mkuu wa umwagiliaji maji kwa ajili ya kuongeza uzalishaji;29


• Kuangalia uwezekano wa kutumia fursa za kuimarisha na kuendelezabustani za nyumbani, ufugaji bora wa kuku wa kienyeji, na uendelezaji wamifugo kwa wakulima wadogo wadogo;• Kuangalia uwezekano wa kuwekeza miradi midogo midogo mijini navijijini ili kuongeza ajira kwa jamii ,hasa kwa vijana kwa ajili ya kuongezakipato chao;• Kuangalia njia mbadala na endelevu za kimaisha hasa kwa wakulima wakipato cha chini katika maeneo yalio katika hali tete za kimaumbile.Mkakati wa Sera 1.2: Ongeza ufanisi wa biashara na masoko ya ndaniMaeneo ya kipaumbele ya utekelezaji• Tayarisha Sera na mkakati wa taifa wa masoko ili kukabiliana na masualaya miundombinu duni, ukosefu wa utaalamu wa kutosha na uwekezajiwa mitaji katika sekta hii, vilevile masuala ya taasisi zinazohusikakutojipanga vyema katika masuala ya biashara za jumla na reja reja.• Boresha miundombinu ya uzalishaji kama vile barabara, usafirishaji,masoko, na mbinu za mawasiliano, hakikisha kuwa mazao kutoka kwawazalishaji yanawafikia watumiaji wa ndani na wa nje kwa wakati;• Anzisha mfumo utakaoleta uwiano bora wa taasisi zinazohusiana namasoko;• Pitia sheria zilizopitwa na wakati na nyenginezo zinazohusiana nabiashara ya masoko ya kilimo;• Shajiisha uzalishaji zaidi wa mazao yenye faida zaidi katika eneolinalohusika;• Saidia upatikanaji wa teknolojia sahihi katika uzalishaji wa mazao;• Boresha uwezo wa kitaasisi katika kusimamia ubora wa viwango;• Hakikisha ukaguzi wa mazao kwa ajili ya matumizi ya soko la ndanina nje;• Shajiisha uwekezaji wa ndani na wa nje katika usarifu na usindikaji wamazao na uwekaji wa viwanda vya mazao ya kilimo kwa yale mazaoyenye faida;• Shajiisha uanzishaji wa vikundi maalum vya mikopo.30


Lengo la pili : Ongezeko la kipato kitakachosaidia kuinua uwezo wakununua bidhaa kwa familia zenye uwezo mdogo.Kutokuwa na uhakika wa chakula kunahusiana na kipato kidogo cha watukinacho sababishwa na uchache wa ajira na uwezo mdogo wa wananchi wakuweza kununua bidhaa. Mikakati kadhaa imeandaliwa ili kuimarisha uwezowa watu kupata chakula, kwa kuongeza ajira na kipato kwa masikini wakipato, na wasio na ajira, wakiwemo wanawake, wanaume na vijana.Mkakati wa Sera 2.1: Kupanua shughuli za kiuchumi kijamii mijini navijijini kwa ajili ya kuongeza njia mbadala za maisha na kupunguza atharizinazohusiana na upungufu wa chakula na lisheMaeneo ya kipaumbele ya utekelezaji• Imarisha mahusiano ya sekta kuu za uzalishaji (kilimo, biashara, viwanda,na utalii) na shughuli za uchumi za wananchi ili kuongeza fursa zauzalishaji na kipato kwa wananchi;• Bainisha na endeleza shughuli muhimu za kiuchumi kwa jamii kwamujibu wa mazingira na hali halisi ya pahala, na tilia mkazo shughuliambazo zinafaida katika eneo linalohusika;• Boresha upatikaniaji endelevu wa mikopo midogo midogo hasa kwawanawake na vijana;• Endeleza elimu ya ufundi na ya amali kwa ajili ya matumizi ya rasilimaliza kijamii hasa kwa wanawake, watu wenye ulemavu na vijana;• Endeleza na himiza matumizi ya teknolojia zinazohusika za biasharandogo ndogo;• Tayarisha mipango maalum (kama vile kazi kwa chakula, pesa kwachakula, n.k) ya kuweza kuyasaidia makundi mbali mbali yalio katikahatari ya kukabiliwa na hali ya uhakika wa chakula na lishe yakiwemowatu wenye ulemavu, wanaoishi na virusi vya ukimwi, vijana nawanawake.Mkakati wa Sera 2.2: Imarisha upatikanaji wa mikopo kwa wafanyabiasharawadogo wadogo wa vijijini na mijiniMaeneo ya kipaumbele ya utekelezaji• Tayarisha sera sahihi ya mikopo midogo midogo ambayo itakuwa namahusiano na sera nyengine za maendeleo kama vile Dira ya 2020,Mkakati wa Kukuza Uchumi na Kupunguza Umasikini Zanzibar, na sera31


nyengine za kisekta zinazohusiana na mambo ya mikopo, na sera hiyoizingatie jinsia katika kupata mikopo;• Andaa sheria sahihi zitakazoongoza taasisi ndogo ndogo za fedhazikiwemo vyama vya ushirika vya kuweka na kukopa , himiza vijana nawanawake wajiunge katika vyama vya aina hiyo;• Anzisha mjadala kwa ajili ya kuanzisha vitengo vya mikopo midogomidogo katika benki za kibiashara hasa kwa kuisaidia sekta ya biasharandogo ndogo na ndogo sana;• Endeleza utaalamu, uzoefu na ujuzi kwa wanaonufaika na mikopo hasakwa wanawake na vijana katika nyanja za usimamizi wa mikopo, namnaya kudhibiti mapato, kutunza mahesabu, utunzaji wa fedha, stadi mbalimbali za kimaisha na masuala ya masoko;• Tayarisha programu maalum ya mikopo kwa wanawake.Mkakati wa Sera 2.3: Uendelezaji wa biashara/ Miradi Midogo Midogo,Midogo, na ya Kati kuwawezesha masikini kufaidika na ukuaji wa uchumiMaeneo ya kipaumbele ya utekelezaji• Endeleza miradi midogo midogo, midogo na ya kati ambayo itawezeshakutoa tija (katika sekta za kilimo, utalii na biashara) na ambayo itatowafursa ya kujiajiri;• Anzisha huduma za kusaidia biashara ndogo ndogo ikiwemo mfumo waunafuu wa kodi za biashara, na kutayarisha mipango ya kusaidia uongozi,ufundi na habari na mawasilano kwa sekta ya miradi midogo sana,midogo na ya kati;• Ondosha vikwazo vinavyokwaza maendeleo ya miradi midogo midogo,midogo na ya kati.Lengo la tatu: Kuongezeka kwa matumizi ya chakula bora, safi, salamana cha kutosha kwa wanafamilia woteMatumizi sahihi ya chakula bora, chakula chenye virutubisho vya nguvu,protini, mafuta, pamoja na matumizi ya vyakula vinaongeza virutubishovyengine na utoaji wa mafunzo ya lishe bora, utoaji wa taarifa za lishe hasakwa wanawake, watoto, watu wenye ulemavu na wanaoishi na virusi vyaukimwi ni mambo ya msingi yanayochangia kufikia kwa lengo la kuwa nalishe bora. Aidha, kinga na tiba ya maradhi yanayosababishwa na maji yasiosalama, usafi na mambo mengine ya huduma za afya inabidi zizingatiwe.32


Mkakati wa Sera 3.1: Hakikisha matumizi bora ya maji safi na salama nakudumisha usafiMaeneo ya kipaumbele ya utekelezaji• Shajiisha matumizi bora ya maji safi na salama• Endeleza usafi wa mazingiraMkakati wa Sera 3.2: Hakikisha ufanisi katika utoaji wa elimu ya afya yajamii na lisheMaeneo ya kipaumbele ya utekelezaji• Shajiisha utekelezaji wa sera ya afya kwa ufanisi, zingatia zaidi mafunzoya elimu ya afya, matunzo kwa mtoto na mazoezi ya viungo;• Endeleza uwezo wa taasisi inayohusika katika kufanya uchunguzi wavyakula, kuoanisha viwango na mfumo wa udhibiti viwango;• Endeleza na boresha elimu ya lishe ili kuhimiza matumizi bora ya chakulakwa mujibu wa mahitaji ya wanaume na wanawake;• Endeleza mijadala ya kuhakisha kuwa kunakuwepo kwa mfumo wakisheria wa kusimamia usambazaji wa chakula bora;• Endeleza matumizi bora ya vyakula vya kienyeji kama vile nafaka, jamiiya kunde, mazao ya mizizi, mboga mboga na matunda;• Imarisha mfumo bora wa matumizi ya vyakula na vyakula vyengine vyakuongeza virutubisho mwilini.Lengo la nne: Kupungua kwa hali ya kutokuwa na uhakika wa chakulana lishe miongoni mwa makundi ya watu masikini katika jamii, kwakuweka mifumo na mikakati maalum na kujitayarisha kwa upungufu waghafla wa chakulaAthari za hali ya kutokuwa na uhakika wa chakula na lishe zinaonekana zaidikatika maisha ya watu walio katika hali ya hatari ya kutokuwa na uhakika wachakula na lishe wakiwemo masikini zaidi wasio na mbinu nyengine mbadalawakati wa mahitaji ya dharura, vile vile watu wazima baada ya kustaafu kazi.Sera hii inatambua umuhimu wa kushughulikia na kuondoa atharizinazotokana na hali kama hii kwa kuyalinda makundi haya yaliyo katika halihiyo, vile vile kuweka mfumo na mikakati maalum ya kuhifadhi jamii yawastaafu kutoka katika sekta iliyorasmi na isiyo rasmi33


Mkakati wa sera 4.1: Kuimarisha mifumo ya kusimamia majanga, kutoamisaada ya dharura baada ya majanga na mifumo ya utoaji taarifa za haliya chakula na lisheMaeneo ya kipaumbele ya utekelezaji• Tayarisha mfumo wa taifa wa kusimamia majanga ikiwa ni pamoja nakufanya tathmini ya mazao kwa kila mwaka, uchunguzi na ufuatiliaji nautoaji wa taarifa za tahadhari za mapema ya hali ya chakula na lishe, vilevile ugawaji na usambazaji wa vyakula na mahitaji mengine;• Jenga uwezo wa taasisi zinazohusika na hali ya uhakika wa chakula iliziweze kuwa na mipango bora na ya ufanisi ya utoaji misaada ya vyakula,kwa wanaohitaji na kukabiliana na majanga na hali ya hatari kwa wakati;• Tayarisha mfumo wa utoaji wa taarifa za mapema za tahadhari yaupungufu wa chakula kwa kutoa taarifa za hali ya hewa, mategemeo yamazao, mategemeo ya bei za mazao mambo ambayo ni muhimu katikakukabiliana na majanga na mishtuko inayotokana na upungufu wa ghaflawa chakula;• Toa misaada ya kibinadamu wakati wa matokeo ya dharura kwawalioathirika;• Tayarisha mipango ya misaada miongoni mwa jamii ambayo inalengakuwasaidia walioathirika waweze kurejea katika hali zao za kimaishabaada ya matokeo ya majanga na matokeo yanayohusiana nayo.Mkakati wa Sera 4.2: Imarisha hifadhi ya jamii na misaadawanaohitaji na walio katika hatari ya kuathirikakwaMaeneo ya kipaumbele ya utekelezaji• Saidia miradi maalum ya kijamii kwa ajili ya kusaidia watu masikini nawalio katika hatari ya kuathirika na hali ya upungufu wa chakula. Misaadahii inajumuisha mpango wa kulisha chakula maskulini, kusaidia bustaniza maskulini. Utoaji wa chakula na misaada majumbani kwa watu waliokatika hatari ya hali ya upungufu wa chakula, kupunguza athari zaupungufu wa chakula na maradhi yanayosababishwa na hali hiyo;• Himiza miradi ya kijamii inayoendeshwa na kusimamiwa na wananchiwenyewe, miradi hiyo ni kwa ajili ya makundi ya kijamii wakiwemowazee, mayatima, wanaoishi na virusi vya ukimwi na wale watu wenyeulemavu;34


• Anzisha jumuiya za wastaafu wa kisekta na endeleza hifadhi za jamii kwawastaafu wa sekta zisizo rasmi;• Shawishi jamii kujiunga katika mifumo ya bima tafauti.Lengo la tano: Kuimarisha utunzaji wa mazingira na rasilimali zaardhini na bahariniSera ya Uhakika wa Chakula na Lishe inatambua umuhimu na mchango wautunzaji endelevu wa mazingira na rasilimali za ardhini na baharini katikakukuza kilimo na kuongeza njia nyengine mbadala za kimaishazinazohakikisha kuwepo kwa uhakika wa chakula na lishe kwa jamii. Pamojana kuwepo kwa sera zinazohusiana na utunzaji wa mazingira, kama vile seraya ardhi na sera ya kilimo, bado kuna ongezeko kubwa tu la uchafuzi wamazingira unaosababishwa na ongezeko la makaazi kiholela, kutumiarasilimali za maliasili bila mpangilio, uchafuzi unaoletwa na takataka zamajumbani na viwandani na vile vile kuendelea kupungua kwa rutuba yaudongo. Ili kukabiliana na changamoto hizo, mikakati ifuatayo imekusudiwakutekelezwa.Mkakati wa Sera 5.1: Imarisha uongozi na ushirikiano wa kitaasisi katikakutunza mazingira na kuhifadhi maliasiliMaeneo ya kipaumbele ya utekelezaji• Oanisha sera na sheria zinazohusiana na utunzaji wa mazingira;• Wezesha mbinu na uwezo wa kusimamia utunzaji na uhifadhi wamazingira;• Himiza ushiriki wa jamii katika kutunza na kuhifadhi maliasili.Mkakati wa sera 5.2: Wezesha mbinu bora za utunzaji na utumiaji wa ardhiMaeneo ya kipaumbele ya utekelezaji• Wezesha utekelezaji wa mikakati na shughuli zilizobainishwa katikaMkakati na Mpango wa Taifa wa Utunzaji na Uimarishaji wa Ardhi wamwaka 2003.35


V. Kujenga mazingira bora ya utekelezaji wa sera yauhakika wa chakula na lishe, ZanzibarMfumo wa kisheria wa utendajiWizara ya <strong>Kilimo</strong>, Mifugo na Mazingira (WKMM) imepewa jukumu naSerikali ya Mapinduzi ya Zanzibar la kusimamia Uhakika wa Chakula naLishe. Kwa hiyo, WKMM imeongoza mchakato wa kutayarisha Sera naProgramu ya Uhakika wa Chakula na Lishe kwa kushirikiana kikamilifu nawizara za sekta nyengine pamoja na wadau kutoka taasisi zisizo za kiserikali.Dhana ya Uhakika wa Chakula ni pana. Kwa hivyo baadhi ya masualamengine yanayohusiana na chakula na lishe yamebebwa na Wizara nyenginembali ya WKMM. Kwa mfano, mfumo wa usimamizi wa kiutendaji wamasuala ya lishe, pamoja na udhibiti na ukaguzi wa ubora wa vyakula ukochini ya Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii (WAUJ); na kwa masuala yabiashara, kumlinda mlaji na masoko yamewekwa chini ya Wizara ya Utalii,Biashara na Uwekezaji (WUBU). Vile vile mambo mengine muhimu yaUhakika wa Chakula na Lishe kwa kiasi fulani yanasimamiwa na Wizaranyengine. Kama vile, shughuli za udhibiti wa maafa zipo chini ya Afisi yaWaziri Kiongozi (AWK). Usimamizi wa ardhi na maji upo chini ya Wizara yaMaji, Ujenzi, Nishati na Ardhi (WMUNA); madaraka Mikoani yapo chini yaWizara ya Afisi ya Rais [Tawala za Mikoa na Vikosi vya SMZ] (WAR-MM&VM); na masuala ya Haki za Binaadamu kwa upande wa Chakula yapochini ya Wizara ya Afisi ya Rais [Katiba na Utawala Bora] (WAR-KUB).Majukumu ya hivi sasa ya WKMM yapo katika masuala ya uzalishaji wakilimo, usimamizi wa mazingira na ushirika, na hivyo bado mfumo wautendaji uliopo hivi sasa haujatoa uwezo wa kisheria kwa WKMM wakusimamia kikamilifu utekelezaji wa masuala yote ya Uhakika wa Chakula naLishe mbali ya kuwa WKMM imepewa agizo na SMZ kusimamia masuala yaUhakika wa Chakula na Lishe.Licha ya kuwepo haja ya mashirikiano madhubuti baina ya taasisi mbali mbalikatika kushughulikia masuala tafauti ya uhakika wa chakula na lishe,utekelezaji wa Sera ya Uhakika wa Chakula na Lishe unahitaji kuwepo kwasheria maalum ya kuratibu masuala ya Uhakika wa Chakula na Lisheyatakayokuwa chini ya Kamati ya Kitaifa ya Uongozi (KKU) ambayoitakuwa na wajumbe kutoka sekta zote zinazohusika na masuala ya Uhakikawa Chakula na Lishe. Kwa mujibu wa sheria hiyo, Divisheni ya Taifa yaUhakika wa Chakula na Lishe (DT-UCL) itaundwa katika WKMM, naitakuwa ikiendesha shughuli zake chini ya ushauri wa Kamati ya Kitaalamu36


ya Wadau (KKW) na kusimamiwa na KKU. Divisheni itakuwa na jukumu lakuratibu shughuli zote za utekelezaji wa Sera na Programu ya Uhakika waChakula na Lishe, na itakuwa na wafanyakazi kutoka WKMM na wizaranyengine. Utaratibu wa kuwachagua wafanyakazi wa Divisheni hii utaelezwakatika sheria hiyo maalum. Kwa mfumo huo, kila wizara inayohusikaitalazimika kutekeleza majukumu ya kisheria yanayohusiana na Uhakika waChakula na Lishe, na wakati huo huo itapaswa kutekeleza majukumu mengineya Sera na Programu ya Uhakika wa Chakula na Lishe ambayo yatakuwayakiratibiwa na Divisheni ya Taifa ya Uhakika wa Chakula na Lisheitakayokuwa chini ya WKMM.Mfumo wa kitaasisi wa utendajiKwa kuangalia dhana nzima ya Uhakika wa Chakula na Lishe, wizara nataasisi mbalimbali zitahitajika kushirikiana kwa pamoja na kuhakikisha kuwavipengele kadhaa vya sera za sekta mbalimbali vinazingatiwa na vinatoamichango yao katika kufikia malengo ya muda mfupi na mrefu ya Uhakika waChakula na Lishe. Wakati wa mchakato wa kutayarisha Sera na Programu yaUhakika wa Chakula na Lishe, taasisi zinazohusika na Uhakika wa Chakulana Lishe zilifanyiwa tathmini. Lengo la tathmini hiyo lilikuwa ni kuchunguzaUwezo na Mapungufu ya taasisi hizo katika kutekeleza majukumu yao yaUhakika wa Chakula na Lishe. Aidha, tathmini ilitathmini Fursa na Changamotoza taasisi hizo katika utekelezaji wa Sera ya UCL. Matokeo yatathmini hiyo yalionyesha kuwa zipo Sera na Miongozo mbalimbali zenyevipengele vinayohusiana na Uhakika wa Chakula na Lishe, lakini kunamapungufu ya uwezo wa kiutendaji wa masuala ya Uhakika wa Chakula naLishe katika ngazi ya taifa na wilaya. Katika ngazi ya taifa, mapungufuyaliyoonekana ni pamoja na uwezo mdogo wa kiutendaji wa taasisi zinazohusikahasa kwa watendaji wenyewe na vifaa vya kufanyia kazi vya taasisihizo, utekelezaji duni wa sera mbalimbali, ufuatiliaji na usimamizi mdogo washeria, na uhaba wa fedha za bajeti. Mapungufu mengine yalioonekana katikangazi ya taifa ni pamoja na ukosefu wa mfumo wa uratibu wa kazi zinazohusianana Uhakika wa Chakula na Lishe baina na miongoni mwa taasisimbalimbali zinazohusika na Uhakika wa Chakula na Lishe, na pia kuwepokwa taratibu na miongozo isiyofahamika vyema katika shughuli za ukaguziwa ubora wa vyakula na za masoko. Kwa ngazi ya Wilaya na ngazi zilizo chiniya Wilaya. Mapungufu mengine yaliyoonekana ni pamoja na uhaba wawafanyakazi wenye sifa zinazostahili na vitendea kazi, ukosefu wa mipangokamili ya maendeleo ya wilaya, na kutokamilika kwa mchakato wa mageuziya kupeleka madaraka Wilayani37


Sera ya Uhakika wa Chakula na Lishe inatambua michango ya sektambalimbali katika masuala ya Uhakika wa Chakula na Lishe, na kwa hivyo,malengo ya Sera hii yatafikiwa endapo kutakuwepo kwa mashirikiano borabaina ya sekta mbalimbali, na kushiriki kikamilifu kwa wadau wote ambapokila mmoja akijuwa wajibu na majukumu yake.Wajibu na majukumu ya wadauUtekelezaji wa Sera ya Uhakika wa Chakula na Lishe utashirikisha wadaukadhaa kutoka sekta na ngazi mbalimbali. Washiriki wa utekelezaji wa Sera yaUhakika wa Chakula na Lishe watakuwa ni pamoja na taasisi za Serikali,jumuiya za kiraia, jumuiya za wanawake, jumuiya za kidini na sekta binafsi.(a) Taasisi za SerikaliWizara ya <strong>Kilimo</strong>, Mifugo na Mazingira (WKMM)Wizara hii itakuwa ndio taasisi ya kusimamia kazi za uratibu wa utekelezajiwa Sera ya Uhakika wa Chakula na Lishe. Kwa sasa, wajibu wa WKMM nipamoja na kusimamia shughuli za uzalishaji wa mazao ya kilimo na kuongezatija, usimamizi wa mazingira, maliasili na ushirika. Hivyo basi, Wizaraitakuwa na majukumu ya kuratibu utekelezaji wa Sera, kufuatilia na kufanyatathmini ya utekelezaji, na pia itakuwa ikifanya kazi kwa karibu sana nawizara na taasisi nyengine ambazo zina wajibu wa kutelekeza Sera yaUhakika wa Chakula na Lishe.Wizara ya Utalii, Biashara na Uwekezaji (WUBU)Kwa mujibu wa sera ya Uhakika wa Chakula na Lishe, Wizara hii itakuwa nadhamana ya kusimamia taratibu za uagizaji wa vyakula, masoko na shughuliza kuwalinda walaji. Sera ya Uhakika wa Chakula na Lishe inatambuamchango wa wafanyabiashara katika kuagizia vyakula ikiwa ni njia kuuinayowezesha Taifa kuwa na chakula. Hivyo, Wizara itahakikisha kuwachakula kinachoagizwa kuwa ni salama, na pia walaji wanalindwa afya zao.Vilevile, Wizara hii itahusika kwa kiasi fulani katika usimamizi wa mfumo wamasoko ya vyakula ikiwa ni kipengele muhimu katika kuongeza upatikanajiwa chakula na kupunguza utapia-mlo kwa makundi ya watu katika jamii.Wizara ya Kazi, Maendeleo ya Vijana, Wanawake na Watoto (WKMVWW)Wizara hii imepewa jukumu la kulinda maslahi ya wafanyakazi katikamaeneo ya vitega uchumi na biashara ambazo huongeza kipato kwawanajamii ikiwa ni chanzo kimoja muhimu sana katika kuongeza upatikianajiwa chakula kwenye familia. Majukumu mengine ya Wizara hii ni pamoja na38


kuhamasisha jamii kuongeza uwiano wa kijinsia na kuimarisha huduma borahasa kwa makundi ya wanawake na watoto ambao ndio waarithirika wakubwawa matatizo yanayotokana na kutokuwa na uhakika wa chakula na utapia mlo.Wizara ya Nchi Afisi ya Rais – Tawala za Mikoa na Vikosi vya Serikali yaMapinduzi (WAR-TMV)Sera ya Uhakika wa Chakula na Lishe inatambua mchango wa Wilaya katikakutekeleza Sera na Programu mbali mbali kwa hivyo Wizara hii imepewajukumu la kuingiza masuala ya Uhakika wa Chakula na Lishe katika Mipangoya Maendeleo ya Wilaya. Aidha, Wizara imepewa dhamana ya kuhakikishawilaya na shehia zinashiriki kikamilifu katika kusimamia, kufuatillia nakutathmini shughuli za Uhakika wa Chakula na Lishe.Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii (WAUJ)WAUJ imepewa dhamana ya kusimamia masuala yote ya lishe na afya katikaSera ya Uhakika wa Chakula na Lishe. Kwa kuthamini mchango huu, WAUJimepewa majukumu ya kufanya shughuli za uchambuzi na uchunguzi wavirutubisho bora katika vyakula, na kusimamia sheria na taratibu za ukaguziwa vyakula. Vile vile, wizara hii ina majukumu ya kutoa ushauri nasaha juu yalishe, kutoa elimu ya afya na lishe, kushajiisha umma juu ya umuhimu wausafi, na kutoa misaada ya lishe, huduma na matibabu kwa watu wenye virusivya ukimwi na ukimwi kama ilivyoainishwa katika Sera ya Uhakika waChakula na Lishe.Wizara ya Maji, Ujenzi, Nishati na Ardhi (WMUNA)Sera ya Uhakika wa Chakula na Lishe inatambua kuwa usimamizi bora waardhi (ikiwemo utekelezaji wa Mpango wa Matumizi ya Ardhi) ni kipengelemuhimu katika kushughulikia masuala ya kuwepo kwa chakula na upatikanajiwa chakula. Jambo hili linaweza kusaidia kuimarisha ongezeko la tija katikauzalishaji wa ndani wa kilimo na pia kuhakikisha upatikanaji wa huduma zamikopo. Wizara inayohusika na Ardhi kwa hivyo itakuwa na kazi muhimukatika utekelezaji wa Sera ya Uhakika wa Chakula na Lishe kwani itakuwa nadhamana ya kuhakikisha kuwa sheria za ardhi zinafuatwa. Hii ikiwemokuyahifadhi maeneo ya kilimo yasivamiwe na pia kudhibiti uharibifu wa ardhiunaotokana na changamoto ya shughuli za maendeleo. Wizara hii pia itakuwana jukumu la kuwezesha jamii kupata maji safi na salama kwa matumizi yabinadamu, na mifugo, na kusimamia uwekaji wa viwango vya bei za nishati iliiweze kuleta maendeleo endelevu ya jamii. Kwa hivyo, Wizara itachangiakatika kufanikisha utekelezaji bora wa Sera ya Uhakika wa Chakula na Lishekatika kuimarisha maisha bora ya jamii na kuhakikisha kuwa chakula na majiyanakuwa salama.39


Wizara ya Fedha na Uchumi (WFU)Wizara ya Fedha na Uchumi ina jukumu la kusimamia kwa ujumla Mipangoya Taifa na masuala ya Bajeti. Wizara hii pia ni msimamizi mkuu wa Mipangoya Taifa kama vile Dira ya Maendeleo ya 2020 na MKUZA. Kimsingi, Sera yaUhakika wa Chakula na Lishe inatokana na MKUZA ambao ni mpango mkuuunaotoa miongozo ya utekelezaji wa kufanikisha malengo ya Uhakika waChakula na Lishe. Wizara hii vile vile ina jukumu kubwa la kutekeleza Sera yaUhakika wa Chakula na Lishe katika masuala ya udhibiti wa fedha za hudumaza maendeleo ya vijijini na mijini katika kuimarisha shughuli za kilimo na njianyengine mbalimbali za ujasiriamali. Aidha, Wizara inakuwa na dhamana yakutoa fedha na rasilimali nyengine kwa ajili ya kutekeleza Sera ya Uhakika waChakula na Lishe kwa kupitia mifumo mbalimbali na kwa kuhamasishaushiriki wa sekta binafsi katika sekta ya kilimo na sekta ndogo ndogo zaujasiriamali kwa kutumia mbinu za kuwapunguzia ushuru na kodi kwa lengola kujenga mazingira bora ya biashara. Wizara ikiwa ni taasisi inayoratibu kaziza MKUZA, itakuwa na jukumu la kuweka mfumo wa ufuatiliaji wa Sera yaUhakika wa Chakula na Lishe ili uende sambamba na Mpango Mkuu waUfuatiliaji MKUZA.Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali (WEMA)Wizara hii ina dhamana ya shughuli zote za kitaalamu na mafunzo ya amali,kama vile kutoa miongozo inayofaa katika kutekeleza miradi kulingana namahitaji ya Uhakika wa Chakula na Lishe kama ilivyoainishwa katika Sera yaUhakika wa Chakula na Lishe. Aidha, Wizara itakuwa na dhamana yakuhakikisha kuwa shughuli za kuwalisha wanafunzi maskulini na vishambavya bustani vya maskuli zinaratibiwa vyema. Kazi hii itasaidia kuondoshatatizo la utapiamlo kwa wanafunzi.Wizara ya Habari, Utamaduni na Michezo (WHUM)Wizara hii kupitia vyombo vya radio, televisheni na magazeti, itakuwa najukumu la kuhamasisha wananchi kwa ujumla kuijua na kushiriki katikautekelezaji wa Sera na Programu ya Uhakika wa Chakula na Lishe.Afisi ya Waziri Kiongozi (AWK) – Idara ya Kukabiliana na MaafaIdara hii ina kazi muhimu ya kuratibu shughuli zote za kukabiliana na maafana kuhakikisha kuwa misaada ya vyakula inawafikia wanajamii waliofikwana maafa kwa wakati muafaka kama ilivyoainishwa katika Sera ya Uhakikawa Chakula na Lishe. Idara hii pia ni taasisi dhamana ya Timu ya Taarifa zaUhakika wa Chakula na Lishe ambayo ina jukumu la kukusanya taarifambalimbali za Uhakika wa Chakula na Lishe (kama vile Taarifa ya Hadhari)na baadae kuzisambaza taarifa hizo kwa wadau kadhaa, na kwa hivyo, taasisi40


hii ni kiungo kati ya taasisi za kimataifa na za ndani katika kushughulikiamisaada ya vyakula na mengineyo kwa wanajamii waliofikwa na maafa.Wizara ya Mawasiliano na UchukuziWizara hii ina jukumu kubwa katika kusaidia ongezeko la kasi ya ukuaji wauchumi mijini na vijijini kwa kuweka mfumo wa miundo mbinu bora yausafirishaji na mawasiliano ili kuunganisha maeneo ya uzalishaji,usambazaji, na masoko pamoja na kurahisisha matumizi ya chakula napembejeo nyengine za uzalishaji. Wizara hii vile vile ina jukumu lakurahisisha biashara na hasa uagizaji na usafirishaji wa chakula na bidhaanyengine zenye mchango mkubwa katika kudhibiti uhakika wa chakula nalishe nchini.Taasisi nyengine za SerikaliKuna taasisi nyengine mbalimbali za Serikali ambazo zitatoa michango yakekwa njia moja au nyengine katika kutekeleza Sera ya Uhakika wa Chakula naLishe. Miongoni mwa taasisi hizo ni pamoja na Afisi ya Mtakwimu Mkuu waSerikali (ambayo inahusika na ukusanyaji wa takwimu, uchambuzi pamojana shughuli za ufuatiliaji na kufanya tathmini), Wizara ya Katiba na UtawalaBora (ikiwakilisha Kamisheni ya Haki za Binadamu na Utawala Bora) naMamlaka ya Hali ya Hewa ya Tanzania (ambayo inatoa taarifa za hali ya hewana taarifa nyengine zinazohusiana na Uhakika wa Chakula na Lishe).(b) Sekta BinafsiSera ya Uhakika wa Chakula na Lishe inatambua mchango wa sekta binafsi(ikiwemo Taasisi Zisizo za Serikali na Jumuiya za Kiraia) katika masuala yakutoa ushauri nasaha, mafunzo na huduma nyenginezo za Uhakika waChakula na Lishe.(c) Washirika wa MaendeleoZanzibar inatambua mchango na misaada ya washirika wa maendeleo hasawafadhili wa kimataifa na wa nchi nyengine. Washirika hao wana mchangomuhimu katika kutoa fedha na ushauri wa kiufundi katika kusaidia Sera yaUhakika wa Chakula na Lishe ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa MKUZA.Utekelezaji wa mfumo wa uratibuRasimu ya waraka wa Sera ya Uhakika wa Chakula na Lishe itatayarishwa naWKMM kama ilivyobainishwa na Sera ya Uhakika wa Chakula na Lishe, naitawasilishwa kwenye Baraza la Wawakilishi ili ipitishwe na kuidhinishakisheria. Aidha uidhinishwaji wa bajeti utafanywa kwa mujibu wa Sera na41


Programu ya Uhakika wa Chakula na Lishe kupitia mfumo wa mpango wakati wa matumizi na mfumo wa mzunguko wa kila mwaka wa bajeti.Ili kufuatia vyema utekelezaji na mafanikio ya Sera ya Uhakika wa Chakulana Lishe (sambamba na Programmu ya Uhakika wa Chakula na Lishe) kwakuzingatia MKUZA, imeonekana kuna haja ya kuwekwa mfumo sahihi wakuratibu kazi ambao utakuwa ni sehemu ya Mpango Mkuu wa Ufuatiliaji waMKUZA. Mfumo huu unatakiwa ufanye kazi kwa kujitegemea kwa nia yakufanikisha madhumuni na malengo ya Sera ya Uhakika wa Chakula na Lishe(angalia mchoro namba 1). Katika mwaka 2010 Serikali itafanya tathmini yautendaji wa mfumo huo, kuainisha maeneo yatakayohitaji marekebisho,pamoja na kuelekeza maeneo ya kuimarishwa katika utendaji wa kitaasisikulingana na muundo wa MKUZA. Taasisi zifuatazo zitatoa mchango katikautekelezaji wa mfumo huu katika ngazi zote:Kamati ya Kitaifa ya Uongozi (KKU)Kutakuwa na Kamati ya Uongozi itakayoundwa na Makatibu Wakuu waWizara zinazohusika na masuala ya Uhakika wa Chakula na Lishe pamoja nawawakilishi kutoka Sekta Binafisi (Jumuiya ya Wafanyabiashara,Wenyeviwanda na Wakulima Zanzibar, na Taasisi Zisizo za Serikali.Kamati ya Kitaifa ya Uongozi itakuwa na wajumbe wafuatao:• Katibu Mkuu, Wizara ya <strong>Kilimo</strong>, Mifugo na Mazingira (WKMM)• Katibu Mkuu, Wizara ya Fedha na Uchumi (WFU)• Katibu Mkuu, Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali (WEMA)• Katibu Mkuu, Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii (WAUJ)• Katibu Mkuu, Wizara ya Maji, Ujenzi, Nishati na Ardhi (WMUNA)• Katibu Mkuu, Wizara ya Utalii, Biashara na Uwekezaji (WUBU)• Katibu Mkuu, Afisi wa Waziri Kiongozi (AWK)• Katibu Mkuu, Wizara ya Nchi (AR) Tawala za Mikoa na Vikosi vyaSMZ (WN-AR-TMV)• Katibu Mkuu, Wizara ya Kazi, Maendeleo ya Vijana, Wanawake naWatoto (WKMVWW)• Katibu Mkuu, Wizara ya Mawasiliano na Uchukuzi (WMU)• Mkurugenzi Mtendaji, Jumuiya ya Wafanyabiashara, Wenyeviwanda na wakulima (ZNCCIA)• Katibu Mkuu, Jumuiya ya Taasisi zisizo za Serikali Zanzíbar42


Katibu Mkuu wa WKMM atakuwa ndiye Mwenyekiti wa kamati hii naDivisheni ya Taifa ya Uhakika wa Chakula na Lishe itakuwa Sekretarieti yakamati hii. Kamati hii itakuwa ni chombo cha juu cha kutoa maamuzi namaelekezo ya utekelezaji na utendaji wa Sera na Programmu ya Uhakika waChakula na Lishe. Kazi mahususi za kamati hii ni:• Kudumisha mawasiliano bora baina ya sekta zinazohusika nakuratibu utekelezaji wa Sera ya Uhakika wa Chakula na Lishe kwakuitisha vikao vya robo mwaka kwa lengo la kuimarisha utendajibora wa kazi mbalimbali, na kuepusha tabia ya miradi ya aina mojaya Uhakika wa Chakula na Lishe kufanywa na taasisi mbalimbali;• Kutoa miongozo ya utekelezaji wa Sera ya Uhakika wa Chakula naLishe (kwa kuzingatia vipaumbele vya malengo vilivyowekwa namikakati ya utekelezaji) na katika kubuni mikakati muhimu yaUhakika wa Chakula na Lishe;• Kupokea ushauri wa kitaalamu katika masuala maalum ya Uhakikawa Chakula na Lishe kutoka kwa Kamati ya Kitaalamu ya Wadau;• Kutoa maelekezo kwa Divisheni ya Taifa ya Uhakika wa Chakula naLishe kuhusiana na kutayarisha ripoti mbalimbali zitakazotakiwakuwasilishwa kwenye Kamati ya Kitaifa ya Uongozi (kwa mfano:mipango kazi na bajeti zake, ripoti za ufuatiliaji, ripoti za tafitikwenye masuala muhimu ya Uhakika wa Chakula na Lishe, n.k.);• Kuidhinisha maombi ya bajeti ya Uhakika wa Chakula na Lisheambayo itaimarisha mgao na matumizi bora ya fedha na rasilimalikwa lengo la kufanikisha malengo ya Sera na walengwa. Aidha,Kamati ya Kitaifa ya Uongozi itatoa maelekezo juu ya mbinu yakutafuta fedha za kutekeleza kazi za Uhakika wa Chakula na Lishe;• Kufuatilia utekelezaji wa Sera ya Uhakika wa Chakula na Lishe nakufanya marekebisho yanayofaa ya utekelezaji wa kazi;• Kutoa ripoti ya utekelezaji kwenye mfumo wa ufuatiliaji waMKUZA (kama vile, Kamati ya Makatibu Wakuu).Kamati ya Kitaalamu ya Wadau (KKW)Hii ni kamati ya ushauri ambayo itakuwa ikitoa ushauri mbalimbali wakitaalamu kwa Kamati ya Kitaifa ya Uongozi kwa lengo la kuratibu vyemautelekezaji wa Sera na Programu ya Uhakika wa Chakula na Lishe. Wajumbewa kamati hii inawajumuisha wakurugenzi na/au waratibu wa programmukutoka taasisi zote ambazo zina wajumbe katika Kamati ya Kitaifa yaUongozi, kama ilivyotajwa hapo juu. Vilevile, kutakuwa na wajumbe43


wengine ambao watakuwa wakialikwa kutegemeana na haja ya wajumbe haokatika vikao hivyo (kama vile, wajumbe wa taasisi zifuatazo: Afisi yaMtakwimu Mkuu wa Serikali, Mamlaka ya Hali ya Hewa ya Tanzania naMkemia Mkuu wa Serikali).Mkurugenzi wa Sera na Mipango wa WKMM ndiye atakaekuwa mwenyekitiwa kamati hii na atakuwa akiripoti kwa Kamati ya Kitaifa ya Uongozi.Divisheni ya Taifa ya Uhakika wa Chakula na Lishe itakuwa na jukumu lakuwa sekretarieti ya KKW. Kamati hii itakuwa ikikutana mara moja katikakila kipindi cha robo mwaka na itakuwa na majukumu ya kufanya kazizifuatazo:• Kudumisha mawasiliano bora baina ya taasisi mbalimbali za sekta,kutoa maelekezo ya utekelezaji wa kazi, kuimarisha mashirikianobaina ya taasisi, na kuepusha tabia ya miradi ya aina ya moja yaUhakika wa Chakula na Lishe kushughulikiwa na taasisimbalimbali;• Kupitia bajeti na kutoa mapendekezo yake kwa Kamati ya Kitaifa yaUongozi na kuhakikisha kuwa vipengele muhimu vya Sera naProgramu ya Uhakika wa Chakula na Lishe vimezingatiwa katikakutayarisha bajeti za sekta zote;• Kufuatilia hali ya Uhakika wa Chakula na Lishe iliyopo nchini nakufanya tathmini ya utekelezaji wa Sera na Programu ya Uhakika waChakula na Lishe. Aidha, Divisheni ya Taifa ya Uhakika wa Chakulana Lishe itakuwa ikitoa ushauri unaofaa katika kuimarishautekelezaji wa Programu ya Uhakika wa Chakula na Lishe kwamujibu wa maelekezo yaliyomo kwenye Sera ya Uhakika waChakula na Lishe;• Kufanya kazi kwa karibu na mfumo wa ufuatiliaji wa MKUZA(kama vile Makundi ya kitaalamu ya Mkuza) pamoja na Divisheni yaTaifa ya Uhakika wa Chakula na Lishe;• Kutoa ripoti ya utekelezaji kwa Kamati ya Kitaifa ya Uongozi;Divisheni ya Taifa ya Uhakika wa Chakula na Lishe (DT-UCL)SMZ imeipa dhamana WKMM kusimamia masuala ya Uhakika wa Chakulana Lishe hapa Zanzibar, kwa hiyo, WKMM itakuwa na dhamana ya kuratibukazi za kila siku za utekelezaji wa Sera na Programu ya Uhakika wa Chakulana Lishe. Afisi ya Divisheni ya Taifa ya Uhakika wa Chakula na Lishe itakuwakatika Idara ya Sera na Mipango ya WKMM na itakuwa ikifanya kazi zakechini ya ushauri wa Kamati ya Kitaalamu ya Wadau na kusimamiwa na44


Kamati ya Kitaifa ya Uongozi. Mkuu wa Divisheni atakuwa na jukumu lakuratibu kazi za kila siku za Divisheni. Maafisa wa Divisheni wataazimwakutoka Wizara zinazohusika na Uhakika wa Chakula na Lishe kwa lengo lakuimarisha uratibu bora baina ya taasisi hizo na kuhakikisha kuwa utendaji wakazi unaendeshwa kwa mwelekeo mmoja. Ili kufikia lengo hili, mkazoutawekwa katika kuhakikisha kuwa maafisa walioazimwa wanashirikishwakikamilifu katika kazi za kila siku za Divisheni kwa azma ya kuhakikishakuwa uwajibikaji wa kila sekta unadumishwa na kuwa endelevu katikautekelezaji wa Sera ya Uhakika wa Chakula na Lishe.Divisheni itakuwa ikifanya kazi zote za kitaalamu zinazohitajika chini yaushauri wa Kamati ya Kitaalamu ya Wadau kazi ambazo baadae zitatolewamaamuzi na Kamati ya Kitaifa ya Uongozi. Divisheni itakuwa ikifanya kazikwa karibu sana na Kamati ya Kitaalamu ya Wadau, na itakuwa ikiwasilisharipoti zake kwenye Kamati ya Kitaifa ya Uongozi. Majukumu ya Divisheniyatajumuisha:• Kuratibu kazi za kila siku za Uhakika wa Chakula na Lishe;• Kufuatilia mwenendo wa maendeleo katika maeneo ya utekelezajiwa Sera na Programmu ya Uhakika wa Chakula na Lishe katikangazi ya taifa, wilaya na shehia;• Kutayarisha mipango kazi ya mwaka na bajeti zake kwa kuzingatiamaelekezo ya Sera na Programu ya Uhakika wa Chakula na Lishe, napia kufanya kazi kwa karibu sana na kamati mbalimbali za MKUZAkwa lengo la kuingiza masuala ya Uhakika wa Chakula na Lisheyaliyoainishwa katika Sera na Programu ya Uhakika wa Chakula naLishe katika mipango ya bajeti ya sekta zinazohusika (Mpango wamatumizi wa muda wa kati) Mipango hii itajumuisha masuala yauhakika wa chakula na lishe katika kifungu namba 1 na 2 za makundiya kitaalammu ya utekelezaji wa MKUZA na masuala ya Haki zaBinadamu kwa Chakula kwenye Kifungu namba 3 cha makundi yakitaalamu ya MKUZA;• Kushirikiana kwa karibu sana na Timu ya Uongozi ya Wilaya katikakuratibu na kufuatilia utekelezaji wa Sera na Programu ya Uhakikawa Chakula na Lishe;• Kuhakikisha vipaumbele vya Uhakika wa Chakula na Lishevinaingizwa katika mipango na bajeti za maendeleo za wilaya. Hiiitajumuisha utoaji wa mafunzo, uhamasishaji na shughuli nyenginemuhimu za kujenga uwezo wa kiutendaji zitakazohitajika kulinganana mahitaji ya ngazi ya wilaya na shehia;45


• Kupokea na kupitia ripoti za ufuatiliaji wa utekelezaji wa programuna miradi ya Uhakika wa Chakula na Lishe, na baadae kutayarisharipoti za robo mwaka kuhusiana na hali halisi ya Uhakika waChakula na Lishe na hali ya maendeleo ya utekelezaji wa Sera naProgramu ya Uhakika wa Chakula na Lishe.Timu ya Uongozi ya Wilaya (TUW)Timu hizi za wilaya zina dhamana ya kuendeleza kazi za mipango na bajeti yawilaya na shehia. Hii inajumuisha utekelezaji wa kazi, kuzipitia, kufanyatathmini na kutoa mapendekezo. Kwa hivi sasa, timu hizi zinafanya kazi kwamsingi wa sekta, huku Katibu wa timu akiwa anatoka kwenye sektainayohusika. Wajumbe wa timu hii ni wakuu wote wa sekta katika wilayapamoja na Afisa Mipango wa Wilaya, na Afisa Tawala wa Wilaya ndiyeMwenyekiti wa kudumu wa timu. Kiutendaji, timu hii huwa inatoa ripoti zakekwa Afisa Tawala wa Mkoa ambae baadae huwasilisha ripoti kwa Wizara yaNchi Afisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Vikosi vya Serikali ya Mapinduzi yaZanzibar.Kwa upande wa utendaji wa Sera na Programu ya Uhakika wa Chakula naLishe, muundo huu utaimarishwa kwa kuongezea kazi za utekelezaji washughuli za Uhakika wa Chakula na Lishe. Afisa Mipango wa Wilaya atakuwandiye Katibu wa mikutano ya Timu ya Uongozi ya Wilaya, na hivyo atakuwani kiungo kwa kazi za Uhakika wa Chakula na Lishe katika wilaya. Majukumuya Timu ya Uongozi wa Wilaya yatajumuisha:• Kutafuta mahitaji ya kujenga uwezo wa kiutendaji wa wilaya nashehia;• Kusaidia kubainisha mahitaji ya wilaya kuhusiana na Uhakika waChakula na Lishe, na baadae kuyaingiza katika mipango yamaendeleo ya wilaya;• Kutoa maelekezo ya kitaalamu katika utekelezaji wa Sera naProgramu ya Uhakika wa Chakula na Lishe katika ngazi ya wilaya nashehia. Hii itahakikisha kuwa mahitaji ya mradi yanakamilishwa nautafutwaji wa walengwa wa mradi unafikiwa;• Kutayarisha ripoti za Ufuatiliaji na tathmini za utekelezaji na hali yamafanikio ya miradi midogo midogo ya Uhakika wa Chakula naLishe;• Kutoa ripoti kwa Wizara ya Nchi Afisi ya Rais - Tawala za Mikoa naVikosi vya SMZ, Afisi ya Mkoa, na pia kufanya kazi kwa karibu sana46


na Divisheni ya Taifa ya Uhakika wa Chakula na Lishe kwa azma yakuwa na uratibu bora wa kazi baina ya taasisi hizo.Kwa hivi sasa, Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar iko katika mchakato wakufanya mageuzi ya Serikali za Tawala za Mikoa yenye lengo la kupelekamadaraka kamili katika Serikali za Wilaya. Hivyo basi, muundouliopendekezwa hapa unaweza kubadilika wakati mageuzi ya Serikali zaTawala za Mikoa yatapokamilika. Aidha, baada ya kipindi cha miaka mitatuya utekelezaji wa Sera ya Uhakika wa Chakula na Lishe, mfumo wote wakiutendaji wa Sera hii utapitiwa tena na Kamati ya Kitaifa ya Uongozi kwaazma ya kutathmini mfumo wa utendaji kazi wa taasisi hizo pamoja nakuangalia kama kuna haja ya kufanya mabadiliko au marekebisho yoyoteyatakayopelekea utekekelezaji bora wa Sera hii.47


Mchoro Nam 1: Muundo wa Utekelezaji wa Sera ya Uhakika wa Chakula naLishe na maingiliano yake na Muundo wa Utekelezaji katika ngazi ya Taifa.KAMATI YA MAKATIBU WAKUUKAMATI YAUONGOZI WASEKTA SHIRIKI(ISSC)KAMATI YA KITAALAMU YAMKUZA (MTC)KAMATI YAKITAALAMU YAWADAU(STC)DIVISHENI YA TAIFA YAUHAKIKA WA CHAKULANA LISHENGAZI YA TAIFAAFISI YA URATIBU WAMKUZA(NFSND)MAPITIO YA KISEKTAKAMATI YA UONGOZIWA WILAYA(DMT)NGAZI YA WILAYA48


Vi. Ufuatiliaji na tathminiHatua za ufuatiliaji na tathmini kuhusiana na Sera ya Uhakika wa Chakula naLishe zitaandaliwa ili kufuatilia na kupima taratibu za utekelezaji pamoja namafanikio ya sera. Hivyo, ufuatiliaji wa sera utaongozwa na kanuni zautekelezaji wa sera zilizoainishwa katika (sekta) sehemu ya nne (iv), pamoja namisingi ya haki za binadamu zilizotajwa ndani ya sera. Ufanisi wa hatua zautekelezaji wa sera utafuatiliwa na kupimwa kwa wakati kulingana na malengoyaliowekwa kwenye Mpango wa Uhakika wa Chakula na Lishe na yale yamalengo ya Sera.Mpango wa ufuatiliaji na upimaji wa Sera ya Uhakika wa Chakula na Lisheutahusishwa na mpango mkuu wa ufuatiliaji na tathmini wa Mkakati waKukuza Uchumi na Kupunguza Umasikini (MKUZA). Jukumu la ufuatiliaji natathmini ya utekelezaji wa sera ya uhakika wa chakula na lishe litakuwa chini yakamati ya usimamizi ambayo itapokea taarifa za maendeleo na za ufuatiliajizitakazowasilishwa na Divisheni ya Uhakika wa Chakula na Lishe. Utekelezajikatika ngazi ya taifa utafuatiliwa na Wizara inayohusika na katika ngazi yawilaya utekelezaji utafuatiliwa na Wizara ya nchi Afisi ya Rais Tawala zaMikoa na Vikosi vya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar. Hivyo, Divisheni yaTaifa ya Uhakika wa Chakula na Lishe itapokea taarifa za utekelezaji naufuatiliaji kutoka Wizara inayohusika na vile vile kutoka Wizara inayohusikana Tawala za Mikoa kupitia wilaya na shehia.Kwa ujumla kazi ya ufuatiliaji na tathmini kwa kamati ya usimamizi, kamati yawataalamu, Divisheni ya Uhakika wa Chakula na Lishe na timu ile ya Wilayaitaongozwa na sifa nne zifuatazo:• Ratiba ya utekelezaji: Ratiba hii ya utekelezaji itawekwa ndani yampango wa uhakika wa chakula na lishe kufuatana na muda wampango, mahitaji ya fedha na ufikiaji wa malengo n.k.• Mtiririko wa Malengo ya Taifa: Huu utafuata ule wa sera za kitaifana zile za kisekta ambazo zinachangia shughuli za uhakika wachakula na lishe.• Mshikamano: Mkazo utawekwa katika maeneo yaliopewakipaumbele ndani ya sera na zile shughuli mahususi ndani ya kilaeneo ili kuhakikisha kuwa upo uwiano.• Uwezo wa wadau wa utekelezaji: Uwezo wa utekelezaji wawashiriki mbali mbali katika ngazi ya taifa na wilaya katika kutimizawajibu wao, utekelezaji wa majukumu na dhamana na ufanisi wamipango na shughuli zao katika utoaji wa huduma na ufikiaji wamalengo na madhumuni ya Mpango wa Uhakika wa Chakula naLishe.49


Kiambatisho Namba 1: Jadweli ya uchambuzi wa mapungufu ya Sera zenye uhusiano na uhakika wa chakula na lishe:TATIZONGAZI YA TAIFAUzalishaji mdogowa mazao yakilimoSABABU YATATIZOUwekezaji mdogokatika shughuli za<strong>Kilimo</strong>Upotevu wamazao kabla nabaada ya kuvunaCHANGAMOTOAMBAZOHAZIKUANGALIWAVivutio vya uwekezajikwenye sekta ya <strong>Kilimo</strong>Teknolojia ya uzalishaji nauwezeshaji katikaupatikanaji wa hudumamuhimuHaki za kisheriazinazohakikisha uendelevuna uzalishaji wa shughuliza <strong>Kilimo</strong>.Mipango madhubuti yakuzuia upotevu nauharibifu.SERAINAYOHUSIKASera ya Biashara,Sera ya MiradiMidogo Midogo,Sera ya Uwekezaji;Sera ya <strong>Kilimo</strong>.UHUSIANO NA SABABUYA TATIZOHali ya sasa ya uwekezajihaivutii kuekeza kwenyekilimo. Hivyo wawekezajiwote, wa ndani na wa nje,hawashawishiki kuwekezakatika sekta ya kilimoSera ya <strong>Kilimo</strong> Kasi ndogo ya matumizi yateknolojia.Sera ya Ardhi. Hakuna uwekezaji wenyeumuhimu kutokana nakukosekana kwa haki yakisheria, uhakika wakumiliki ardhi na ukosefuwa mikopo.Sera ya Biashara,Sera ya MiradiMidogo Midogo;Sera ya <strong>Kilimo</strong>.Karibu asilimia 40 ya mazaoya kilimo hupotea kilamwaka na hivyokusababisha uzalishaji nakipato kuwa kidogo nakutishia ukosefu waupatikanaji wa chakulakatika familia.HATUA ZA UTEKELEZAJIKuhamasisha ukuaji wa fursaza kuwekeza katika sekta yakilimoKuwepo kwa uhusiano borakwenye utoaji wa huduma nateknolojia baina ya teknolojia,watoaji na wapokeaji wahudumaKuhimiza mabadiliko ya ardhiyatakayo watia nguvuwakulima, uhakika wa umilikiwa ardhi na kuleta ongezeko lauwekezaji.Kukuza njia bora ya huduma yamasoko, usindikaji na uhifadhipamoja na uwekezaji.n.k.50


TATIZOSABABU YATATIZOUhaba wa hudumaya mikopo vijijini.Ushiriki mdogowa wanaume navijana katikauzalishaji wachakula katikafamiliaKutegemea mnokilimo cha mvua.CHANGAMOTOAMBAZOHAZIKUANGALIWASera ya Fedha yakuendeleza mipango yamikopoMkazo mdogo wauzalishaji wa chakula kuwana tija hivyo kuwavutiawanaume na vijanaMikakati yauhifadhi(uvunaji) wa majipamoja na uendelevu wamatumizi ya majiyaliyovunwa kwa kazi zaumwagiliaji ili kupunguzaSERAINAYOHUSIKASera ya Uwekezaji,Sera ya Fedha,Sera ya Taifa yaMatumizi ya Ardhi.Sera ya <strong>Kilimo</strong>,Sera ya Maendeleo yaWanawake,Sera ya MiradiMidogo Midogo naKati.Sera ya Maji,Sera ya Ardhi,Sera ya <strong>Kilimo</strong>,Sera ya Mazingira; naUHUSIANO NA SABABUYA TATIZOMikopo inayotolewa ni yamuda mfupi na wa kati nakati ambayo inawafaa zaidiwenye biashara kubwakubwa tu.Wazalishaji wadogowadogo hawapati dhamanaza mikopo katika benki zabiashara.Ukosefu wa Sera yakuongoza miradi midogomidogo ya fedha.Uzalishaji wa chakulaunafanywa zaidi nawanawake hukuwakikabiliwa na majukumumengine kama vile hudumaza nyumbani, ulezi namatunzo ya watoto; nahivyo hupelekea kima dunicha uzalishaji ; mapatokidogo, na hatimaye uwezomdogo wa familia wa kuwana uhakika wa chakula nalishe.Kupunguwa kwa fursa zamabadiliko ya kilimo hivyokupelekea kukwama kwanguvu za kulima na mavuno(mapato).HATUA ZA UTEKELEZAJIKusaidia mijadala ya fedha zamiradi midogo midogo.Kujenga uwezo wa kuanzishamiradi midogo midogo yafedha.Kuharakisha matumizi ya seraya <strong>Kilimo</strong> pamoja na mikakatiyake kwa kutilia mkazo juu yauboreshaji wa mazao yachakula kwa kuzingatia maeneoyenye tija.Kukuza fursa za uajiri ili vijanawaweze kuongeza pato nakuelekeza rasilimali katikashughuli za uzalishaji.Kuharakisha mijadala ya seraili mkakati wa kilimo utumikepamoja na mpango mkuu waumwagiliaji na mkazo wakuzalisha kwa gharama nafuu,pamoja na teknolojia rahisi ya51


TATIZOKutegemea sanavyakula vyakutoka nje(kuagiza).Chakulakinachoagizwa nicha hali ya chiniUharibifu wamazingiraSABABU YATATIZOKiwango kidogocha uzalishajikatika familia.Ufinyu wa njia zaudhibiti wa uborawa chakulaUkosefu waviwango vyaudhibitiOngezeko lamakazi ya watu.Utumiajiuliokithiri wamaliasili, utupajiovyo wataka,upotevu warutuba ya ardhi.CHANGAMOTOAMBAZOHAZIKUANGALIWAkutegemea ukulima wamvua.Matumizi ya mbinumadhubuti zenye tija kwavijijini na mijini.Uhakika wa usalama naubora wa chakulaKuoanisha viwango na njiaza udhibitiMatokeo ya maendeleo yahuduma za kiuchumi kwamfano utalii na majenzi.Udhibiti wa taka za nje yamji.Mpangilio wazi(unaofahamika) wa taasisikuhusu majukumu yao.SERAINAYOHUSIKAMpango Mkuu waUmwagiliaji.Sera ya Jinsia ;Sera ya Vijana.Sera ya <strong>Kilimo</strong> ;Sera ya Maji; naSera ya Ardhi.Sera ya Biashara;Sera ya Afya; naSera ya <strong>Kilimo</strong>.Sera ya Biashara ;Sera ya Afya ;Sera ya <strong>Kilimo</strong>.Sera ya Ardhi,Sera ya <strong>Kilimo</strong>,Sera ya Mazingira.UHUSIANO NA SABABUYA TATIZOHATUA ZA UTEKELEZAJIumwagiliaji kwa ajili ya mazaoya juu na bondeni.Ukulima wa kutegemeamvua ni rahisi na hautoifursa ya kujiajiriukilinganisha na ukulimawa kumwagilia.Uwezekano mkubwa waupungufu wa chakula hasapale yanapotokea majanga.Kutokana na ulaji wachakula cha hali ya chinikuna uwezekano mkubwawa kupata maradhi.Kutumia njia zenye uwezekanona za uhakika wa kuleta ajira nakuzalisha.Kutumia njia zenye uwezekanowa kuongeza uzalishaji nawakati huo huo kushughulikiwatatizo maalumu kwa vijijini namijini.Kuimarisha mpango waudhibiti wa usalama na uborawa chakula.Uvamizi wa ardhi ya kilimokutokana na maendeleo yautalii na majenzi.Kuhimiza mgao wa maeneo yaardhi na kutilia mkazo sheriazinazo husika.Ongezeko la hatari kiafya. Kuhimiza matumizi bora yaardhi na kutilia mkazo sheriazinazo husika.Uchafuzi wa mazingira navyanzo vya maliasilikutokana na ubinafsi katikamatumizi ya maliasili.Kukuza taasisi za kuratibu nauongozi bora wa mazingira yamaliasili na uwazi wamajukumu.52


TATIZOKupanda bei zavyakulaNGAZI YA KAYAKipato kidogokatika familiaSABABU YATATIZOKupanda gharamaza maisha nakushuka thamaniya pesa.Ushuru na kodikubwa.Ukosefu mkubwawa ajiraAjira za kipato chachiniUtanuzi mdogo wavianzio vyamapatoUpatikanajimdogo warasilimali zauzalishajiCHANGAMOTOAMBAZOHAZIKUANGALIWAMpango wa udhibiti wamfumuko wa beiSera na mikakati yakuwepo kwa ajira.Kutumia kikamilifu fursaza kiuchumi kufuatana nahali ya maumbile yamaeneo mbali mbali.Hatua madhubuti zakuimarisha huduma zamikopo midogo midogovijijini na mijini.SERAINAYOHUSIKAUHUSIANO NA SABABUYA TATIZOSera ya Biashara. Kupungukiwa kwa uwezokwa makundi yasio nauhakika wa chakula kupatamahitaji yao ya chakula nahivyo kuongezeka hatari yaukosefu wa uhakika wachakula na utapiamlo.Sera ya Vijana.Sera ya MiradiMidogo Midogo naKati.Sera ya MiradiMidogo Midogo naKati.Sera ya <strong>Kilimo</strong>.Upatikanaji mdogo wa fursaza miradi ya kiuchumizinasababisha uwezo mdogowa kununua mahitaji yafamilia ya chakula boraOngezeko la vyanzo vyamapato hutoa uwezo kwafamilia kujiajiri na hivyokuongeza uwezo wakupambana na ukosefu wachakula na utapiamlo.Sera ya <strong>Kilimo</strong>,Sera ya Ardhi,Sera ya MiradiMidogo Midogo naKatiSera ya Maji,Sera ya Mazingira.Upatikanaji na udhibiti warasilimali za uzalishajihuwapa nguvu wanyongekukabiliana na matatizo yauzalishaji na hivyokupungukiwa na tatizo laukosefu wa chakula.HATUA ZA UTEKELEZAJIKutayarisha mpango wakudhibiti bei kwa vitu muhimuvinavyoagizwa.Kubuni njia za kuongeza ajirana shughuli za miradi yakiuchumi.Kupanga shughuli za kilimozitazofaa maeneo mbali mbalina kuhimiza uzalishaji wabidhaa maalumu kulingana na(umuhimu) upatikanaji wake.Kutengeneza sera ya mikopomidogo midogo na kuhimizanjia za ufikiaji wake kutokabenki za biashara.Kuwajengea uwezowanaofaidika na mikopo53


TATIZOSABABU YATATIZOElimu ndogo nauhaba wakuzalisha /Kukosastadi za kujiajiri.Mgawanyo mbayawa majukumu yaulezi wa watotokatika familiaUchache wa(kinga) hifadhi yajamii.CHANGAMOTOAMBAZOHAZIKUANGALIWAElimu ya manufaa namuhitimu wa skuli.Utambuzi wa kisheria nakitaasisi wa majukumu yawanaume ya ulezi wawatoto.Hatua za kuondoa vikwazovya kimila na utamaduni ilikuwe na usawa katikafamilia na majukumu yamalezi ya watoto.Sehemu kubwa yawasiobahatika ni yalemakundi yasio uwezo(dhaifu).SERAINAYOHUSIKASera ya <strong>Kilimo</strong>,Sera ya Ardhi,Sera ya MiradiMidogo Midogo naKati,Sera ya Maji,Sera ya Elimu naMafunzo ya Amali.Sera ya Maendeleo yaWanawake,Sera ya Uhai, Hifadhina Maendeleo yaWatoto.Sera ya Maendeleo yaWanawake,Sera ya Uhai, Hifadhina Maendeleo yaWatoto,Sera ya Afya,Sera ya Vijana,Mpango wa Mkakatiwa Ukimwi.UHUSIANO NA SABABUYA TATIZOKaribu asilimia 20 yavijana (miaka 15-24)hawana ajira, hivyokupelekea kuwepo na kipatokidogo kinacho tishiakuwepo na ufikiaji wachakula katika familia.Muda mdogo wa shughuliza uzalishaji hupelekeauzalishaji na mapatomadogo.Nguvu kubwa katikashughuli za nyumbani naulezi wa watoto vikiunganana mlo hafifu hupelekeawanawake kupatautapiamlo.Ufikiaji hafifu wa hudumaza jamii huongeza hatari yakutokuwa na uhakika wachakula, utapiamlo, pamojana matatizo yanayotokanana utapiamlo.HATUA ZA UTEKELEZAJIKukuza elimu ya kazi za amalikutegemeana (kufuatana) namaeneo wanayoishi vijana.Kutia mkazo wa majukumu yajinsia katika uzalishaji katikakaya na kuweka muelekeo juuya mgawanyo wa majukumu.Kuendeleza utambuzi wakisheria na kitaasisi wamajukumu ya wanaume yaulezi wa watoto.Kuimarisha ufikiaji wa chakulacha dharura na kukuza kingakwa jamii yenye mahitaji nadhaifu.54


TATIZOHuduma duni zamasoko ya mazaoya kilimo pamojana miradi midogomidogo.Uzalishaji wafamilia usioimara.SABABU YATATIZOHatua zisizofaa zamasoko ya kilimona miradimidogomidogo.ukosefu wa taasisiza kuratibu ukuajiwa masoko yandani na nje wamazao.Hali ya hewa isiotabirikaUtapiamlo namaradhi.CHANGAMOTOAMBAZOHAZIKUANGALIWANjia madhubuti ambazozinawalindawafanyabiashara na walajina wakati huo huo kukingautashi wa wazalishaji.Uratibu mzuri wa masokokama ni kichocheo chakukuza miradi ya masokoya ndani na nje.Taarifa za uhakika wachakula.Uwazi wa utekelezaji wasera husika.SERAINAYOHUSIKASera ya <strong>Kilimo</strong>.Sera y Biashara,Sera ya MiradiMidogo Midogo naKati.Sera ya <strong>Kilimo</strong>.Sera ya Biashara,Sera ya MiradiMidogo Midogo naKati.Sera ya <strong>Kilimo</strong>,Sera ya Mazingira.Sera ya Afya,Sera ya Mazingira,Mkakati waVVU/UKIMWI.UHUSIANO NA SABABUYA TATIZOMasoko yasio kuwa nautaratibu mzuri huleta beimbaya kwa wazalishaji wakawaida na walaji kwa faidaya watu wa kati(madalali)na hivyo kudhoofisha juhudiza familia kuzalisha kwatija.Uchache wa taarifa zamasoko na uwezo wakutumia masoko ya njehushusha ukuaji wa uchumina kuleta ufinyu wa nafasiza ongezeko la ajira nashughuli za miradi yakiuchumi.Hali ya hewa isio tabirikahuifanya jamii kutokuwa nahakika na hivyo kupelekeauzalishaji mdogo.Kupunguza nguvu ya (za)uzalishaji hupelekeakupungua kwa uzalishaji wamazao ya chakula.HATUA ZA UTEKELEZAJIKutengeneza sera na mikakatiya masoko na kufuata njia boraza utaratibu wa taasisi zamasoko.Kusaidia uundaji wa(jumuiya)vikundi vya masoko.Kuimarisha Idara yakupambana na maafa pamojana utoaji wa taarifa za tahadharimapema.Imarisha usafi wamazingira,elimu ya afya nalishe.Imarisha huduma za kingadhidi ya maambukizi ya virusina kusaidia waathirika na jamiiyake.55


TATIZONGAZI YA MTU BINAFSIKiwango kikubwacha utapiamlo.SABABU YATATIZOCHANGAMOTOAMBAZOHAZIKUANGALIWAUlaji hafifu. Muundo wa hatua (njia) zakupambana na masuala yauhakika wa chakula nalishe.Malezi na matunzomabaya kwamama na mtoto.Uchache (uhaba)na ubaya wahuduma za usafiwa mazingira.Ukosefu wa majisafi na salama.SERAINAYOHUSIKASera ya Afya,Sera ya Elimu naMafunzo ya Amali,Sera ya Wanawake,Sera ya Uhai,Hifadhi na Maendeleoya Mtoto.Sera ya Mazingira,Sera ya Maji,Sera ya <strong>Kilimo</strong>,Mpango wa Mkakatiwa Kupambana naUkimwi.UHUSIANO NA SABABUYA TATIZOHATUA ZA UTEKELEZAJIHali mbaya ya afya inayopelekeahali mbaya ya kiuchumi katikafamilia na hivyo kushindwakuikabili hali hiyo kutokana nauwezo mdogo wa uzalishaji nakushindwa kuinua ustawi wawana familia.Imarisha usafi wamazingira,elimu ya afyana lishe.Kujumuisha masuala yaUkimwi na maambukiziya virusi kwenye mpangowa uhakika wa chakula nalishe.56

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!