12.07.2015 Views

ELIMU YETU - Tanzania Education Network/Mtandao wa Elimu ...

ELIMU YETU - Tanzania Education Network/Mtandao wa Elimu ...

ELIMU YETU - Tanzania Education Network/Mtandao wa Elimu ...

SHOW MORE
SHOW LESS
  • No tags were found...

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Toleo la 2: Chapisho la 20Kuhusu kampeni ya Lengo 1 ya <strong>Elimu</strong> k<strong>wa</strong> wotePage 2K ampeni ya<strong>Elimu</strong> duani (GCE) ilianzishaLengo 1 la kampeni ya <strong>Elimu</strong>m<strong>wa</strong>ka 2009 iki<strong>wa</strong> na dhumunila kufanya <strong>Elimu</strong> k<strong>wa</strong> woteku<strong>wa</strong> kichocheo katika kombela dunia la m<strong>wa</strong>ka 2010. Hasadhumuni lake iliku<strong>wa</strong> nikuhakikisha mataifa yanatekeleza u<strong>wa</strong>jibikajiuliopitish<strong>wa</strong> na kongamano la<strong>Elimu</strong> k<strong>wa</strong> wote la Dakar lam<strong>wa</strong>ka 2000, k<strong>wa</strong> kuongezauwekezaji katika elimu.Kiulimwengu inakadiri<strong>wa</strong>ku<strong>wa</strong> kiasi cha bilioni 16 zakimarekani zinahitajikakuwekez<strong>wa</strong> katika elimuilikufikia malengo ya EFA yam<strong>wa</strong>ka 2015. Suala hililinahitaji ongezeko la mara sitaya matumizi ya sasa ambapobilioni 11 za kimarekanizinahitajika kutumika katikaelimu k<strong>wa</strong> nchi za Afrika zilizoKusini m<strong>wa</strong> jag<strong>wa</strong> la Saharapeke yake.K<strong>wa</strong><strong>Tanzania</strong>, kampeni yakitaifa ya lengo 1 ilifanyikakipindi cha Wiki ya UtendajiDuniani (19-24 Aprili 2010).Muungano <strong>wa</strong> Kampeni ya<strong>Elimu</strong> Duniani (GCE) k<strong>wa</strong><strong>Tanzania</strong> ulisimami<strong>wa</strong> na TEN/MET, sambamba na kampeniya lengo 1,<strong>Tanzania</strong>imedhamilia kuhakikishainafanikisha majukumu yakekatika kufanikisha <strong>Elimu</strong> k<strong>wa</strong>wote k<strong>wa</strong> kuongeza uwekezajikatika elimu na kuhakikishakunaku<strong>wa</strong> na ufanisi, u<strong>wa</strong>zi, nau<strong>wa</strong>jibikaji katika matumizi yaelimu.Wakati kumekuwepo najitihada za makusudi naendelevu k<strong>wa</strong> serikali katikakuongeza uwekezaji katikaelimu na kufanikisha <strong>Elimu</strong>k<strong>wa</strong> wote k<strong>wa</strong> zaidi ya miakakumi, <strong>Tanzania</strong> badoinakabili<strong>wa</strong> na changamotokatika uchangiaji <strong>wa</strong> elimu nahaitafikia malengo yake bilakuwepo ongezeko kub<strong>wa</strong> katikakuwekeza kwenye sekta yaelimu.Mifumo hafifu yausimamizi <strong>wa</strong> fedha na uta<strong>wa</strong>laduni unarudisha nyumaongezeko la upatikanaji <strong>wa</strong>elimu bora. Hata hivyo ushiriki<strong>wa</strong> asasi za kiraia katikamichakato ya bajeti badonimdogo, hivyo unaathiriu<strong>wa</strong>jibikaji.K<strong>wa</strong> kujikita katikamatokeo ya tafiti juu ya ufadhili<strong>wa</strong> elimu nchini <strong>Tanzania</strong>iliyofany<strong>wa</strong> na TEN/METmwezi Aprili 2010 kamasehemu ya kampeni ya lengo 1mapendekezo yafuatayoyalitole<strong>wa</strong>:Kuongezeka k<strong>wa</strong>uwekezaji katika <strong>Elimu</strong>Serikali inataki<strong>wa</strong> ielekezeangalau 20% ya bajeti ya taifakatika sekta ya elimu.Serikali inataki<strong>wa</strong> kuongezamatumizi ya sekta katika elimuya a<strong>wa</strong>li, taadhimu ya elimu yamsingi na mafunzo na elimu ya<strong>wa</strong>tu <strong>wa</strong>zima.Serikali ikague fedhamisaada iliyowekez<strong>wa</strong> kwsekta ya elimu mikoani ilikuakikisha kunakuwepo nusa<strong>wa</strong> katika uga<strong>wa</strong>ji <strong>wa</strong>za elimu.Serikali inataki<strong>wa</strong> ianutaratibu endelevu <strong>wa</strong> kodkuimarisha ukusanyaji <strong>wa</strong>mapato ya taifa ilkuhakikifedha za umma zinatumikkatika elimu.Serikali inataki<strong>wa</strong> kukupya utaratibu <strong>wa</strong> kuajiri<strong>wa</strong>limu, ujira na mazingirkazi ili kukabiliana upung<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>limu katika sekta yaelimu.Kuimarisha usimami<strong>wa</strong> fedhaFedha za elimu zinatazilipwe na kusimami<strong>wa</strong> nwizara moja tu ili kuhakikkunakuwepo u<strong>wa</strong>jibikaji mna usimamizi madhubuti.Fedha zilipwe mapemshule ziweze kununua vifa<strong>wa</strong>navyohitaji k<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>kmasomo. K<strong>wa</strong> kufanikishserikali inataki<strong>wa</strong> kufikirikupeleka moja k<strong>wa</strong> mojaruzuku mashuleni badalakupitia kwenye halmashauMsimamo <strong>wa</strong> kielimupamoja na ushauri <strong>wa</strong> kamushauri zina nafasi kub<strong>wa</strong>katika kuimarisha usimam<strong>wa</strong> fedha za elimu katikaserikali za mitaa.Utekerezaji <strong>wa</strong> usimam<strong>wa</strong> fedha unataki<strong>wa</strong>kuimarish<strong>wa</strong> ili kupunguzutendaji duni <strong>wa</strong> halmashna shule.Kuimarisha uta<strong>wa</strong>la na mb


Toleo la 2: Chapisho la 20Kampeni ya <strong>Elimu</strong> Duniani ya Lengo 1:naenyeafedhazishei nashaaaguaa yaufuziki<strong>wa</strong>aishazuria iliaa <strong>wa</strong>a hiliayari.ati zaiziiziaauriinuza u<strong>wa</strong>jibikaji.Asasi za kiraia zinataki<strong>wa</strong>ku<strong>wa</strong> na uwezo mkub<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>kupata taarifa zinazohusu bajeti zaelimu na matumizi. Bajeti zaelimu za m<strong>wa</strong>ka zinataki<strong>wa</strong>kutangaz<strong>wa</strong> kwenye vyombo vyahabari na kusambaz<strong>wa</strong> mashuleni.Asasi za kiraia zinataki<strong>wa</strong>ku<strong>wa</strong> na ushiriki mkub<strong>wa</strong> katikamichakato ya mipango ya bajetik<strong>wa</strong> ngazi za kitaifa na za mitaa.Kamati za usimamizi <strong>wa</strong>shule, <strong>wa</strong>zazi na vyama vya<strong>wa</strong>limu zinapas<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong> na nafasikub<strong>wa</strong> katika usimamizi naukaguzi <strong>wa</strong> bajeti za elimu namatumizi ndani ya shule.Uanzish<strong>wa</strong>ji <strong>wa</strong> mfuko <strong>wa</strong>fedha <strong>wa</strong> kujitegemea k<strong>wa</strong> asasi zakiraia zinazofanyakazi katikaelimu ili kusaidia kazi zao.Uanzish<strong>wa</strong>ji <strong>wa</strong> mfumo <strong>wa</strong>kitaifa k<strong>wa</strong> ajili ya ukaguzi <strong>wa</strong>shughuli za usimamizi <strong>wa</strong> fedhana matumizi katika elimumashuleni.<strong>Tanzania</strong> nzima maendeleomakub<strong>wa</strong> katika elimu ya msingik<strong>wa</strong> muongo mmoja uliopitayamefanyika. Uandikish<strong>wa</strong>ji <strong>wa</strong><strong>wa</strong>nafunzi uko juu katika shule zamsingi na za sekondari, <strong>wa</strong>nafunzizaidi ya milioni <strong>wa</strong>nawezakwenda shule. <strong>Tanzania</strong> ina nafasiya juu katika kufanikisha malengoya maendeleo ya milenniaJe <strong>wa</strong>toto wetu<strong>wa</strong>najifunza?Taarifa ya m<strong>wa</strong>ka yaUWEZO juu yatathimini ya mafunzo.yanayohusiana na upatikanaji <strong>wa</strong>elimu na usa<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> kijinsia.Madarasa yamekwisha jeng<strong>wa</strong>,idadi ya <strong>wa</strong>limu imeongezeka nabajeti ya elimu imeongezeka maratatu k<strong>wa</strong> kipindi hiki.Mafanikio haya sio rahisikuyapata; k<strong>wa</strong>ni yanahitajiu<strong>wa</strong>jibikaji mkub<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> kisiasa napia mga<strong>wa</strong>nyo mkub<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>rasilimali za umma. Wazazi<strong>wa</strong>nataki<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong> na jitihadakatika kutimiza sehemu yao katikakuchangia elimu k<strong>wa</strong>ni hata dhanaya elimu bure haikidhi k<strong>wa</strong>ni kunagharama za sare za shule, vitabuna kalamu, masomo ya ziada,usafiri na mengineyo.Katika m<strong>wa</strong>ka 2010UWEZO Initiative ilyochini yaTEN/MET ilifanya tathimini yamatokeo ya mafunzo, S<strong>wa</strong>limuhimu katika tafiti hiililiku<strong>wa</strong>: jitihada na uwekezaji<strong>wa</strong> hali ya juu umeleta matokeogani?Ni k<strong>wa</strong> kiasi gani mafanikiohayo yametafsiri<strong>wa</strong> katikakuimarisha ustadi halisi <strong>wa</strong> <strong>wa</strong><strong>wa</strong>nafunzi?Lengo kub<strong>wa</strong> la kusoma nikumuwezesha kila m<strong>wa</strong>nafunzikupata maarifa yatakayomuwezesha kumudu mazingirayake k<strong>wa</strong> kuanzia na maarifa yamsingi ya kusoma na kuhesabuambayo yanajenga msingi <strong>wa</strong>ku<strong>wa</strong> na uwezo <strong>wa</strong> ubunifu,kufikiri, kusikiliza, kuulizamas<strong>wa</strong>li, Kuchambua, kubainishana ku<strong>wa</strong>siliana k<strong>wa</strong> ujasiri. Jeshule zetu zina<strong>wa</strong>wezesha<strong>wa</strong>nafunzi katika <strong>wa</strong>jibu huu? Je<strong>wa</strong>toto wetu <strong>wa</strong>najifunza?Yafuatayo ni ufupisho <strong>wa</strong>matokeo muhimu katika tafitihiyo:Mmoja kati ya <strong>wa</strong>nafunzi<strong>wa</strong>tano <strong>wa</strong>liohitimu darasa la sabahawezi kusoma kitabu chaKis<strong>wa</strong>hili cha darasa la pili.Nusu ya <strong>wa</strong>nafunzi<strong>wa</strong>liohitimu darasa la sabaha<strong>wa</strong>wezi kusoma maandishi yakiingereza.Wanafunzi 7 kati ya 10<strong>wa</strong>liohitimu darasa la sabaha<strong>wa</strong>wezi hesabu za darasa lapili.Wanafunzi <strong>wa</strong>naoishi mijini<strong>wa</strong>nafaulu kati ya asilimia 7-10 yamasomo yote zaidi ya <strong>wa</strong>le<strong>wa</strong>naoishi vijijini.Wanafunzi <strong>wa</strong> kike <strong>wa</strong>lifauluvizuri zaidi ya <strong>wa</strong>nafunzi <strong>wa</strong>kiume katika masomo yote inga<strong>wa</strong>kuliku<strong>wa</strong> na utofauti mdogo katikavi<strong>wa</strong>ngo vya ufaulu.Wanafunzi ambao mama zao<strong>wa</strong>naki<strong>wa</strong>ngo cha elimu yasekondari <strong>wa</strong>nafaulu vizuri kuliko<strong>wa</strong>nafunzi ambao mama zaoha<strong>wa</strong>na ki<strong>wa</strong>ngo cha elimu yasekondari.Page 3


Toleo la 2: Chapisho 20Nini kifanyike kuhusu halihii? K<strong>wa</strong> sasa <strong>Tanzania</strong> nasehemu zingine duniani<strong>wa</strong>mejikita zaidi kwenyeuwekezaji <strong>wa</strong> utoaji <strong>wa</strong> elimukama vile ujenzi <strong>wa</strong> vyumba vyamadarasa, maabara, vitabu na<strong>wa</strong>limu kuliko matokeo yakujifunza kama vile kusoma,kuhesabu, kuandika, fikra zakimantiki na ubunifu. Tanguvielelezo vilipoonesha k<strong>wa</strong>mbauwekezaji hautafsiriwi katikamatokeo ya kujifunza, kunauhitaji<strong>wa</strong> mifumo halisi ya malengokatika kufanikisha matokeomakub<strong>wa</strong> ya kujifunza katikawizara zinazohusika na elimu,taasisi za mafunzo, kuendelezamitalaa, mitihani, tathimini zashule na <strong>wa</strong>limu, viashiria vyamaendeleo na u<strong>wa</strong>jibikaji <strong>wa</strong>kisiasa.Matatizo makub<strong>wa</strong> mawiliyanayojitokeza ni michango hafifuinayo<strong>wa</strong>fikia <strong>wa</strong>limu na shulehaihamasishi ufundishaji (k.m.muda <strong>wa</strong> u<strong>wa</strong>jibikaji ni mdogo).Hii inaweaza ikaleta maana yakulifanyia kazi masuala hayo nakufikiria namna ya kuboreshapamoja na kuangalia ugumuuliopo kati ya mahusiano yarasiliamali katika ngazi za shule namuda <strong>wa</strong>lionao <strong>wa</strong>limu katikakutekeleza majukumu yao namatokeo ya kujifunza k<strong>wa</strong><strong>wa</strong>nafunzi.Badala ya kutumia mudamwingi kufanya yale ambayoyamekwisha fanyika mudamuda huo ungetumika kufanyakitu kingine tofauti k<strong>wa</strong> harakazaidi. Uchambuzi na tafiti zetuduniani kote zimependekezak<strong>wa</strong>mba sehemu muhimu yaPage 4kupata ufumbuzi <strong>wa</strong> suala hiliinataki<strong>wa</strong> kuboresha motisha ilimfumo <strong>wa</strong> <strong>wa</strong>tendaji ukumbukekuchochea ufundishaji.Wazo moja muhimu lilijaribi<strong>wa</strong>na tayari limeidhinish<strong>wa</strong> na RaisiKikwete, <strong>wa</strong>zo hilo linait<strong>wa</strong> Cashon Delivery. (www.cgdev.org/section/initiatives/ _active/codaid). Dhana kuu ya <strong>wa</strong>zo hilini kuwekeza zaidi katika elimukuashirie matokeo ya mafunzoyaliyokubalika, kama vile kusomana kuhesabu (k.m, k<strong>wa</strong> kila mtotoaliyehitimu elimu ya msingi k<strong>wa</strong>uwezo unaokubalika, atape<strong>wa</strong> dola200 za kimarekani).Wazo hili linaweza kugeuz<strong>wa</strong>tofauti na ilivyopang<strong>wa</strong> ambapodola 200 za kimarekani zinawezakugawi<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>taalam<strong>wa</strong>ka<strong>wa</strong>ida, <strong>wa</strong>alimu na hata<strong>wa</strong>zazi. Lengo ni ku<strong>wa</strong>wezesha<strong>wa</strong>dau kujikita katika mafanikiozaidi ya mafunzi. Hakuna uhakikakama <strong>wa</strong>zo hili litafaniki<strong>wa</strong>.Lakini katika kipindi ambacho<strong>Tanzania</strong> imekumb<strong>wa</strong> na <strong>wa</strong>si<strong>wa</strong>si<strong>wa</strong> kushuka k<strong>wa</strong> ubora <strong>wa</strong> elimumbinu mbalimbali zinazotumikahu<strong>wa</strong> hazifanikiwi.Kuimarisha stadi zama<strong>wa</strong>siliano baina ya <strong>wa</strong>totowenye matatizo ya kusikia na<strong>wa</strong>zazi k<strong>wa</strong> kikundi cha SafinaWomen’s Association (SAWA)kilichopo mkoani Morogoro.SAWA inasaidi<strong>wa</strong> na KarkkuSTO kutoka Finland ilikuwezesha mafunzo katika lughaya alama <strong>Tanzania</strong>. Tafitiziliyofany<strong>wa</strong> na SAWA ilioneshak<strong>wa</strong>mba kuliku<strong>wa</strong> na tatizo kub<strong>wa</strong>katika ma<strong>wa</strong>siliano baina ya<strong>wa</strong>toto wenye matatizo ya kusikiana jamii <strong>wa</strong>kiwemo <strong>wa</strong>zazi <strong>wa</strong>o,<strong>wa</strong>limu, <strong>wa</strong>toa huduma na <strong>wa</strong>lezi.Pande zote mbili kati <strong>wa</strong>totowenye matatizo ya kusikia najamii <strong>wa</strong>singeweza ku<strong>wa</strong>silianavizuri k<strong>wa</strong>sababu ya kukosamaarifa na matumizi hafifu yalugha ya alama nchini <strong>Tanzania</strong>.Mbinu za ufundishajizinazotumika mashuleni k<strong>wa</strong><strong>wa</strong>toto wenye matatizo ya kusikiani za masimulizi tu ambazozinafahamika k<strong>wa</strong> kutoleta ufanisitangu miaka ya 1970 (DouglasBeynton, “Forbidden Signs”,University of Chicago Press,1996). Maelezo yanayotole<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong>njia ya masimulizi hayaelewekik<strong>wa</strong> upande wowote. Ubaguzi naunyanyasaji katika jamiiunabainisha ku<strong>wa</strong> ni tatizo ambalohalijapati<strong>wa</strong> ufumbuzi k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>totowenye matatizo ya kusikia.Kutokana na matokeo yatafiti hii, SAWA imeamuakutekeleza mradi <strong>wa</strong> kuiwezeshajamii na <strong>wa</strong>toto wenye matatizo yakusikia kuboresha stadi zama<strong>wa</strong>siliano kupitia mafunzo yalugha ya alama yanayotole<strong>wa</strong><strong>Tanzania</strong> k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>toto wenyematatizo ya kusikia, <strong>wa</strong>zazi,<strong>wa</strong>limu na <strong>wa</strong>najamii.SAWA iliajiri <strong>wa</strong>fanyakazi<strong>wa</strong>wili ( <strong>wa</strong>kike na <strong>wa</strong>kiume )kama <strong>wa</strong>toa mafunzo ya lugha yaalama nchini <strong>Tanzania</strong> pamoja nakusaidia katika upandemaendeleo ya mafunzo k<strong>wa</strong>


Toleo la 2: Chapisho la 20kutoa zana za kufundishia nakujifunzia.Pia SAWA ilifanyakazi nahalmashauri ya manispaals ilikuhakikisha shughuli zotezinatekelez<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> mujibu <strong>wa</strong>kanuni na taratibu, pamoja nakutengeneza umiliki nauendelezaji <strong>wa</strong> mradi k<strong>wa</strong>mamlaka husika. Pia SAWAilifanyakazi k<strong>wa</strong> uangalizi namaelekezo ya Chama cha Viziwi<strong>Tanzania</strong>-CHAVITA,ilikuendeleza zana za kufundishia nakujifunzia.Madhumuni na Malengo:Dhumuni kuu la mradi huuni kuboresha ustawi na maisha ya<strong>wa</strong>toto wenye matatizo ya kusikiak<strong>wa</strong> kupitia utetezi <strong>wa</strong> kutumialugha ya alama nchini <strong>Tanzania</strong>kama njia muhimu yama<strong>wa</strong>siliano.Malengo maalumyanahusisha:Lugha ya alamanchini<strong>Tanzania</strong> iwe ni sehemuya kujifunzia n na mtalaa <strong>wa</strong>kufundishia.Kuhakikisha jamii inatambuana inaweza kutumia lugha yaalama nchini <strong>Tanzania</strong>.Utoji <strong>wa</strong> miundombinu mizurina zana zinazohitajika katikakutoa mafunzo nakufunddishia lugha ya alamanchini <strong>Tanzania</strong> .Matokeo yanayotaraji<strong>wa</strong>:Inataraji<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong> mwishonim<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka:Lugha ya alama nchini<strong>Tanzania</strong> iwe inatumika katikashule k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>toto wenyematatizo ya kusikia kamalugha maalum ya kufundishia.Zaidi ya <strong>wa</strong>toto 50 wenyematatizo ya kusikia <strong>wa</strong>liokatika shule za msingi<strong>wa</strong>jifunze lugha ya alamanchini <strong>Tanzania</strong>.Kadili inavyowezekana,<strong>wa</strong>limu wengi, <strong>wa</strong>zazi na<strong>wa</strong>najamiiwengine <strong>wa</strong>jifunzestadi za ma<strong>wa</strong>siliano ya lughaya alama nchini <strong>Tanzania</strong>.Zana za kujifunzia nakufundishia lugha ya alamanchini <strong>Tanzania</strong> zinaendeleana kusambaz<strong>wa</strong>.MafanikioKama matokeo, mradiumewezesha mafunzo ya lugha yaalama k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>dau na umeongezauele<strong>wa</strong> na utumiaji <strong>wa</strong> lugha yaalama hasa katika shule na k<strong>wa</strong>ngazi ya jamii.Maendeleo ya zana zakujifunzia na kufundishiayamewezesha ufundishaji namazingira ya kujifunzia,nakuongeza umakini, na kuimarishaufundishaji na kujifunza.Watoto wenye matatizo yakusikia k<strong>wa</strong> sasa <strong>wa</strong>napendakwenda shule k<strong>wa</strong>ni <strong>wa</strong>nawezakufuata maelekezo na kufahamumasomo yao. Hii imeongezamaudhurio na kupunguza idadi ya<strong>wa</strong>toto <strong>wa</strong>naoacha shule.Mahusiano kati ya <strong>wa</strong>totowenye matatizo ya kusikia na<strong>wa</strong>zazi <strong>wa</strong>o au jamii yameimarikatangu <strong>wa</strong>zazi na <strong>wa</strong>najamiiwengine <strong>wa</strong>pate uwezoku<strong>wa</strong>siliana na <strong>wa</strong>toto wenyematatizo ya kusikia. Watotowenye matatizo ya kuskia k<strong>wa</strong>sasa <strong>wa</strong>nahusish<strong>wa</strong> katikashughuli za kijamii. Hiiimepunguza k<strong>wa</strong> kiasi kikub<strong>wa</strong><strong>wa</strong>toto wenye matatizo ya kusikia<strong>wa</strong>naoomba na kuzurura mitaani.Pia hii imepunguza misongo yama<strong>wa</strong>zo na mifadhaiko <strong>wa</strong>lioku<strong>wa</strong><strong>wa</strong>kiipata <strong>wa</strong>zazi kutokana na<strong>wa</strong>toto <strong>wa</strong>o wenye matatizo yakusikia.Mradi <strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong>unganisha<strong>wa</strong>toto wenye matatizo ya kusikiana <strong>wa</strong>le <strong>wa</strong>sio na matatizo hayokutoka shulee za Leena piaumeku<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> manufaa. Wanafunziambao ha<strong>wa</strong>na matatizo ya kusikia<strong>wa</strong>mejifunza lugha za alama na<strong>wa</strong>nauwezo <strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong>siliana na<strong>wa</strong>toto ambao <strong>wa</strong>na matatizo yakusikia. Watoto wenye matatizoya kusikia ha<strong>wa</strong>achwi nyumakatika shughuli mbalimbali zashule na <strong>wa</strong>nauwezo <strong>wa</strong> kushirikikikamilifu na ku<strong>wa</strong> sehemu ya<strong>wa</strong>tendaji.Uga<strong>wa</strong>ji <strong>wa</strong> umeme katikashule ya msingi Ki<strong>wa</strong>nja chaNdege umewezesha kitengo cha<strong>wa</strong>toto wenye matatizo ya kusikiakuweza kutumia zana na vifaavinavyohitajika kutoa huduma zauangalizi na matunzo k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>totowenye matatizo ya kusikia.Uanzish<strong>wa</strong>ji <strong>wa</strong> maktabakatika shule ya msingi Leenaimeongeza uele<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> <strong>wa</strong>tukuhusu masuala yanayohusiana namatatizo ya kusikia, k<strong>wa</strong>kuboresha upatikanaji <strong>wa</strong> vitendeakazi vinavyotoa taarifa.Kituo cha mafunzo cha Leenakime<strong>wa</strong>vutia <strong>wa</strong>shiriki kutokamataifa mengine kuhudhuriampango <strong>wa</strong> mafunzo ya lugha yaalama nchini <strong>Tanzania</strong>.Mipango ya baadaye:Kufuatia mafanikio katikautekelezaji <strong>wa</strong> mradi, SAWAingependa kuendelea na kurudiashughuli hizi katika jamii namaeneo mengine.1. Walimu <strong>wa</strong> shule ya msingiKilakala na <strong>wa</strong>zazi katika kata zaKilakala and Kihonda <strong>wa</strong>lipatamafunzo ya lugha alama.2. Ufundishaji <strong>wa</strong> stadi za lughaya alama k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>limu <strong>wa</strong> Taasisiya Mafunzo ya Ufundi StadiMorogoro ili kuruhusu <strong>wa</strong>nafunziwenye matatizo ya kusikia<strong>wa</strong>naohitimu darasa la sabakujiunga na jitihada hizo.Page 5


Toleo la 2: Chapisho la 203. Kuongeza vifaa zaidi vyakufundishia na kujifunzia k<strong>wa</strong>ajili ya ku<strong>wa</strong>pa kipaumbele <strong>wa</strong>totowenye matatizo ya kusikia <strong>wa</strong>ki<strong>wa</strong>shuleni.4. Kufanyakazi na CHAVITAkatika kushawishi uanzish<strong>wa</strong>ji <strong>wa</strong>stadi za ma<strong>wa</strong>siliano ya lugha zaalama katika Chuo Cha Mafunzoya Ualimu Morogoro.5. Kuendeleza ushawishi k<strong>wa</strong>serikali ili ianzishe lugha ya alamaku<strong>wa</strong> lugha ya kufundishia katikashule za <strong>wa</strong>toto wenye matatizo yakusikia.K<strong>wa</strong> uhakika, mafanikio zaidiyamepatikana kutoka kwenyemradi, yote hayo yameonesh<strong>wa</strong>katika taarifa ya m<strong>wa</strong>ka ya SAWAya m<strong>wa</strong>ka 2010, ambayo inayopatikana kwenye tovuti ya TEN/MET.Safina Women’s Associationinapatikana mkoani Morogoro.P.O.Box 6031, Morogoro,Office Tel: 255232613707Mobile: +255713514989Email: safinawomen@yahoo.comOR sa<strong>wa</strong>98@gmail.com,Website: www.sa<strong>wa</strong>-tz.orgOfisi yao iko maeneo yaKigurunyembe-nyuma ya KolaHill Hotel, pembezoni m<strong>wa</strong> OldDar Es Salaam-Road.Childhood Development TrustFund <strong>Network</strong> (CDTFN)Mradi <strong>wa</strong> Changarawe , Mei2010Mzumbe, MorogoroUtanguliziDTFN ikishirikiana namradi <strong>wa</strong> Changarawe na<strong>wa</strong>nadau wengine <strong>wa</strong> maendeleoilitekeleza miradi ya Mei 2010iliyojikita katika maeneo makuuambayo ni e,imu ya msingi katikashule ya Za<strong>wa</strong>di, kutokomezaumasikini– miradi ya fedha,malezi k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>toto yatima, kuzuiana kutoa taarifa za VVU naUKIMWI na malezi ya <strong>wa</strong>zee.1. <strong>Elimu</strong> ya msingiKituo cha Kut<strong>wa</strong> cha kulelea<strong>wa</strong>toto cha Za<strong>wa</strong>di kiliendeleakutoa malezi k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>toto 100wenye umri kati ya miaka 3hadi 6ambao kati yao 60 ni <strong>wa</strong>totoyatima. Watoto <strong>wa</strong>naendeleakupe<strong>wa</strong> uji <strong>wa</strong> lishe mara mbilik<strong>wa</strong> kut<strong>wa</strong> ili kuboresha afya zaona kuepusha utapiamlo nakudumaa.Katika kituo <strong>wa</strong>toto<strong>wa</strong>naelekez<strong>wa</strong> ufinyanzi,kuchora, kusoma, kuhesabu nakushiriki katika michezo ya nje ili<strong>wa</strong>weze kuendelea kimaumbile nakifikra.Wastani <strong>wa</strong> mahudhurioulibakia ku<strong>wa</strong> mzuri k<strong>wa</strong> asilimia98.2. Kutokomeza umasikiniUrejeshaji <strong>wa</strong> mikopoulitekelez<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>kati kamaratiba ya makubaliano ilivyoku<strong>wa</strong>inga<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>kopaji <strong>wa</strong>chache<strong>wa</strong>narejesha taratibu fedha<strong>wa</strong>lizokopa.Utoaji <strong>wa</strong> mikopo ulisaidiakuboresha maisha katika jamii.3. Malezi ya YatimaIdadi ya <strong>wa</strong>toto yatimainaongezeka katika jamii yetu.Hali hii imepelekea <strong>wa</strong>toto nabibi zao kuchukua jukumu laku<strong>wa</strong>lea <strong>wa</strong>tu <strong>wa</strong>naoishi naVVU na UKIMWI pamoja nayatima.K<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka huu katikakituo chetu tumeongeza<strong>wa</strong>toto yatima <strong>wa</strong>pya<strong>wa</strong>patao 25 na idadi yaokutoka 107 hadi 132. Kati yahao 25 ni <strong>wa</strong>pya, 18 <strong>wa</strong>kokatika umri <strong>wa</strong> kuanza elimuya msingi na 7 <strong>wa</strong>na umri <strong>wa</strong>kusoma sekondari.Siku ya <strong>wa</strong>toto Yatimailifanyika tarehe 14 na 28mwezi Mei. Kikundi cha<strong>wa</strong>elimishaji rika 16shule yasekondari Mongola<strong>wa</strong>liandaa igizo fupi juu yaVVU na UKIMWI pamoja naugonj<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> malaria.Siku hizo mlo <strong>wa</strong>toto<strong>wa</strong>lipe<strong>wa</strong> mlo kamili, mayaiya yaliyochemsh<strong>wa</strong>, karangazilizokaang<strong>wa</strong> na mazi<strong>wa</strong>.Unga <strong>wa</strong> lishe na sabunivilitole<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>toto<strong>wa</strong>lioathirika na VVU na kilamtoto alipata.Idadi ya <strong>wa</strong>toto kutokaNigel Lloyd <strong>wa</strong>naotumiahuduma za maktabaimeongezeka kutoka <strong>wa</strong>toto55 hadi 80. Wanafunzi 38 nikutoka shule za msingi na<strong>wa</strong>nafunzi 42 <strong>wa</strong>natokashule za sekondari. K<strong>wa</strong>mwezi huu tumenunua vitivya plastiki 25 na meza 3 zambao ili ku<strong>wa</strong>patia <strong>wa</strong>toto<strong>wa</strong>naotumia maktaba nafasiza kuketi za kutosha iliku<strong>wa</strong>wezesha ku<strong>wa</strong> makini.Page 6


Toleo la 2: Chapisho la 20Hali ya afya k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>toto <strong>wa</strong>daraja la 11 na IllMuuguzi <strong>wa</strong> afya <strong>wa</strong>CDTFN, Susan, alifanyamatembezi ya mara k<strong>wa</strong> marak<strong>wa</strong> shule za msingi na zasekondari ili kukagua urefu, uzitona jotoridi la <strong>wa</strong>toto ili kutambuaukuaji, ongezeko na ustawi <strong>wa</strong>o.Zoezi hili lilifanyika katika shuleya Za<strong>wa</strong>di mnamo tarehe 19 Mei2010, na tarehe 20 Mei 2010lilifanyika katika shule ya msingiMzumbe na shule ya sekondariMongola. Tarehe 21 Meialitembelea shule za msingiChangarawe na Vikenge. Umakiniulifanyika k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>toto sita<strong>wa</strong>liogunduli<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong> na VVU.Muuguzi <strong>wa</strong> afya alifanyamatembezi ya mara k<strong>wa</strong> maranyumbani na shuleni ili kufanyamajadiliano na <strong>wa</strong>lezi namna yaku<strong>wa</strong>tunza <strong>wa</strong>toto hao.Da<strong>wa</strong> za kurefusha maisha(ARV) na da<strong>wa</strong> nyinginezo zakutibu magonj<strong>wa</strong> njemeleziziliotole<strong>wa</strong>. Mahitaji ya lisheyalichunguz<strong>wa</strong> kwenye makaziyao na msaada <strong>wa</strong> unga <strong>wa</strong> lishekutoka Nigel Fund uliga<strong>wa</strong>ny<strong>wa</strong>k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>toto wote sita mara mbilik<strong>wa</strong> kila mwezi k<strong>wa</strong> kipindi chachote cha ya maadhimisho ya<strong>wa</strong>toto yatima. Hali za <strong>wa</strong>toto<strong>wa</strong>naoum<strong>wa</strong> sana zilichunguz<strong>wa</strong>mara k<strong>wa</strong> mara.4. Kuzuia na Kutoa taarifa zaVVU na UKIMWIUkitoa malaria, VVU naUKIMWI ni ugonj<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> piliambao ni hatari katika nchi yetu.Ugonj<strong>wa</strong> huo umeathiri karibiamatabaka yote ya kijamii katikanchi hii. Vielelezo halisi nikuongezeka k<strong>wa</strong> idadi ya <strong>wa</strong>totoyatima katika jamii yaChangarawe.Da<strong>wa</strong> za kurefusha maishazilichukuli<strong>wa</strong> kutoka hospitali yamkoa <strong>wa</strong> Morogoro k<strong>wa</strong> ajili ya<strong>wa</strong>toto wetu <strong>wa</strong>naoishi na virusivya ukimwi na <strong>wa</strong>lipe<strong>wa</strong>kulingana na maelekezo yadaktari.Waelimishaji rika<strong>wa</strong>naendelea kupata umaarufukatika kuelimisha jamii zetu hasakupitia maigizo mafupi namaonyesho ya JUKWAANI juuya VVU NA UKIMWI.5. Malezi ya Wazee:Nchini <strong>Tanzania</strong>, na hasaChangarawe, <strong>wa</strong>zee <strong>wa</strong>meku<strong>wa</strong>ni <strong>wa</strong>lezi <strong>wa</strong> <strong>wa</strong>toto k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>totoyatima <strong>wa</strong>lio wengihuku <strong>wa</strong>ki<strong>wa</strong>ha<strong>wa</strong>na mavazi mazuri nahuduma k<strong>wa</strong>o ni duni.CDTFNiliendeleza malezi ya <strong>wa</strong>zee k<strong>wa</strong>ku<strong>wa</strong>karibisha kwenyemaadhimisho ya <strong>wa</strong>na<strong>wa</strong>ke<strong>wa</strong>zee yaliyofanyika tarehe 28Mei 2010. Walipata chakula chapamoja cha mchana na kuchezapamoja ala mbalimbali za muziki<strong>wa</strong> makabila ya Kitanzania.Fungu la chakula lilindeleakutole<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong>o k<strong>wa</strong> kupe<strong>wa</strong> kilomoja moja za unga namaharagwe za kutumianyumbani. Malaria CommunityInitiative of <strong>Tanzania</strong>6. Kushiriki k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>dauwengine <strong>wa</strong> maendeleoCARE <strong>Tanzania</strong> na CDTFN<strong>wa</strong>nafanyakazi k<strong>wa</strong> ubia iliku<strong>wa</strong>wezesha <strong>wa</strong>toto <strong>wa</strong> kike<strong>wa</strong>naotoka katika jamii za<strong>wa</strong>fugaji kupata elimu ya msingi.Maendeleo ya kazi Tunatarajiakuanza kuandaa mapendekezo yaujenzi <strong>wa</strong> kituo cha <strong>wa</strong>totoyatima cha Nigel Lloyd.Page 7


Volume 2: Issue 20<strong>Tanzania</strong> <strong>Education</strong> <strong>Network</strong> / <strong>Mtandao</strong> <strong>wa</strong> <strong>Elimu</strong><strong>Tanzania</strong> (TEN/MET) ni mtandao <strong>wa</strong> kitaifa unaojumuishaasasi zaidi ya 200 zikiwemo asasi zisizo ku<strong>wa</strong> za kiserikali, naasasi za kijamii, asasi za kimataifa, na mitandao ya kiwilaya,zinazohusika na kuboresha elimu.Phone: +255222150793Fax: +255222152237E-mail: info@tenmet.orgWebsite: www.tenmet.orgLengo kuu la TEN/MET ni kufanyakazi na ku<strong>wa</strong>unganisha<strong>wa</strong>dau wengine katika asasi za kiraia ili kusaidia jamii kamavile asasi za kijamii, asasi za madhehebu ya dini na asasizisizo za serikali zinazofanyakazi za utetezi k<strong>wa</strong> sauti yapamoja ili kushawishi sera katika kuleta ubora <strong>wa</strong> elimu k<strong>wa</strong>wote <strong>Tanzania</strong>. TEN/MET ni m<strong>wa</strong>nachama <strong>wa</strong> mataifa mengina asasi nyingi za kimataifa kama vile baraza la sera, theGlobal Campaign for <strong>Education</strong>, na African <strong>Network</strong>Campaign on <strong>Education</strong> for all (ANCEFA). Ofisi zakezinapatikana Upanga wilaya ya Ilala, mkoani Dar es Salaam,<strong>Tanzania</strong>.Www.tenmet.orgKuhusu TEN/METDira<strong>Mtandao</strong> <strong>wa</strong> <strong>Elimu</strong> <strong>Tanzania</strong>,ungependa kuona <strong>wa</strong>tanzania wote,hususani <strong>wa</strong>toto <strong>wa</strong>kifurahia fursa zaushirikish<strong>wa</strong>ji nzuri katika nafasi zamafunzo, ili <strong>wa</strong>weze kuzitambuarasilimali zao katika ushirikish<strong>wa</strong>ji <strong>wa</strong>kijamii.Dhamira<strong>Mtandao</strong> <strong>wa</strong> <strong>Elimu</strong> <strong>Tanzania</strong>utafanya kazi na Asasi zisizo zakiselikari, asasi za madhehebuyakidini na asasi za kijamiikushawishi sera za elimu na utendaji,k<strong>wa</strong> kuongeza u<strong>wa</strong>jibikaji <strong>wa</strong> kijamii,katika kuhakikisha k<strong>wa</strong>mba fursanzuri za mafunzo zinawezesha k<strong>wa</strong><strong>wa</strong>tu wote bila ubaguzi.MalengoWadau <strong>wa</strong> elimu (Mitanda yawilaya, asasi za kijamii, asasizisizo za serikali, <strong>wa</strong>nafunzi, naviongozi <strong>wa</strong> serikali za mitaa)<strong>wa</strong>nashiriki katika mabarazambalimbali kudai mwitikio nau<strong>wa</strong>jibikaji mkub<strong>wa</strong> katikautekelezaji <strong>wa</strong> sera za elimu ilikuhakikisha kunaku<strong>wa</strong> nausa<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> upatikanaji <strong>wa</strong> elimumsingi k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>toto wote<strong>Tanzania</strong>.KaziTEN/MET itafanyakazi na <strong>wa</strong>daukukabiliana na changamoto k<strong>wa</strong>kushawishi sera za elimu kupitia:Ma<strong>wa</strong>siliano na kupeana taarifaKuendeleza uwezoMidahalo na ushawishi <strong>wa</strong>sera, kuratibu matokeo ya serakatika ngazi za wila.TEN/MET inajitahidikuhakikishaku<strong>wa</strong> inaendele kutekeza matak<strong>wa</strong>ya <strong>wa</strong>nachama <strong>wa</strong>ke. Huu nimchakato ambaoTEN/MET lazimaianzishe njia nzuri za ma<strong>wa</strong>silianoili mahitaji ya ma<strong>wa</strong>silianoyazigatiwe katika mfumo <strong>wa</strong>uundaji <strong>wa</strong> sera na upatikanaji <strong>wa</strong>elimu k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>tu.K<strong>wa</strong> kutekeleza haya, TEN/METlazima ienendeleze ubia na serikalina <strong>wa</strong>dau wegine <strong>wa</strong> maendeleo(<strong>wa</strong>fadhiri). Ili kupata hadhi,kutambuli<strong>wa</strong>, na kujiamini, TEN/MET lazima ianzishe mahusianomazuri katika ngazi zote ikiwemoserikali na <strong>wa</strong>fadhiri, <strong>wa</strong>katitukiendeleza malengo yetu naku<strong>wa</strong> namsimamo k<strong>wa</strong> masuala yakero mbalimbali.Page 8

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!