Read - bunge .parliament.go. tz
Read - bunge .parliament.go. tz Read - bunge .parliament.go. tz
Jakaya Mrisho Kikwete, kwa sababu wameonekanakwamba wamekuwa na ujasiri na wakaweza kufanyakazi hiyo. Nawapongeza sana sana kwa hilo.(Makofi)Mheshimiwa Spika, sasa kwa upande wa umemekama mlivyofanya ni kweli tunawashukurummepunguza bei za umeme kwa faida ya wananchi.Lakini pia tungekuwa tunawaomba kwambamngeenda hatua nyingine kubwa zaidi.Baada ya kupunguza hizo bei za kuunganishaumeme majumbani, tulikuwa tunaomba sasa mfikiriesuala la umeme wenyewe upo juu sana, kiasikwamba hata watu wengi wa kawaida wanashindwahata kuutumia umeme wenyewe, na huenda pia ndilolinalopelekea watu wengine wakaanza kujiunganishiaumeme isivyo halali.Kwa hiyo, nilikuwa nawaomba sana mkae chinitena kwa maarifa na hekima kabisa kama mlivyofanyakupunguza bei za kuunganisha umeme majumbanimfanye hili suala muone jinsi ambavyo mtawezakufanya kuweza kuwafikia watumiaji mmoja mmoja nawale wa chini kupunguza hizi bei za umeme. Lakinipia ninawapongeza kwa dhati na ninaomba Munguawabariki kwa hilo mwendelee.Mheshimiwa Spika, ni kwamba TANESCO limekuwaShirika letu na limekuwa na matatizo mengi, na kwakweli katika majadiliano yetu tumeona kwambalimetetereka. Lakini pia kuna jambo nzuri ambaloMungu ametuonyesha kwamba lilikuwa linatetereka
kwa ajili ya mambo ya ufisaidi. Sasa kwa ajili yamambo hayo ya ufisadi ambayo sasa hivi yanaelekeakuwa wazi na yataendelea kuwa wazi. Tulikuwatunaomba hivi Wizara haya mambo ya IPTL kwa kwelisisi watu ambao ni wa kawaida layman hatujaonavizuri, hatujui yameishia wapi, wataendelea kutuibiafedha mpaka lini. Hawa watu wa DOWANS mpakaleo hatujajua wameishia wapi? Mambo ya Richmondhatujaelewa yataishia wapi?Tulikuwa tunaomba kwa vile mmekuwa na hekimamkafanya mambo mazuri mpaka tukafikia hapo tuliposasa. Tunaomba tujulishwe wazi wazi je, DOWANSimeishia wapi, IPTL itaishia wapi, Richmond iliishiawapi? Ili kusudi tuweze kufuatana na nyietunapokwenda kuweka sawasawa suala hili la umemekupitia hawa TANESCO. Hili tunaliomba sanamtusaidie kuweka mikakati mizuri.Mheshimiwa Spika, pamoja na hilo ningependakuzungumzia pia suala nzima la nishati kuhusu gesi.Kweli tunafurahi kuhusu gesi lakini pia badohatujafanya masuala mengi ya msingi, masuala kamaya sera, masuala kama ya sheria hizo. Lakinininachoomba sasa hivi tusiende haraka sana kwambamimi niweke gesi hapa hilo kweli litakuja.Lakini kwanza nilikuwa nafikiri tungeomba hizosera zije. Lakini hizo sera pia Serikali ihakikishie kwambawatu wengi ambao wana experience wameonakatika sehemu nyingine duniani waweze kuchangiakwa uwazi kabisa hata kama ni kuweka kwenyemagazeti, kwenye TV na kadhalika ili watu waletewe
- Page 9 and 10: Mheshimiwa Spika, haiwezekani kumbe
- Page 11 and 12: Mfano huko Arusha katika uchimbaji
- Page 13 and 14: Serikali ina taarifa hii na kwamba
- Page 15 and 16: Bunge na Serikali usipoimarishwa, T
- Page 17 and 18: Maswa kila siku tuna mgao kipindi c
- Page 19 and 20: Je, wale tembo wanaobeba viroboto m
- Page 21 and 22: Mheshimiwa Waziri na Mheshimiwa Kat
- Page 23 and 24: kwamba mtu ambaye hajaridhika aende
- Page 25 and 26: Mheshimiwa Spika, kuna suala la Ser
- Page 27 and 28: Mheshimiwa Spika, wamesikia kazi nz
- Page 29 and 30: vile, hayatakuwa na manufaa kwa mgo
- Page 31 and 32: Mheshimiwa Spika, tunakemea rushwa,
- Page 33 and 34: ya kupandishwa kodi ya leseni kwa w
- Page 35 and 36: Mheshimiwa Spika, Wabunge wengi,wam
- Page 37 and 38: yake kwa sababu, kutakuwa na mradi
- Page 39 and 40: Kwa hiyo na sisi lazima tufanye maa
- Page 41 and 42: Lakini ninavyofahamu mimi kwa mujib
- Page 43 and 44: uhujumu uchumi, hii inaonekana dhah
- Page 45 and 46: au baridi ya wastani zisitetereke,
- Page 47 and 48: SPIKA: Waheshimiwa Wabunge naomba p
- Page 49 and 50: Mheshimiwa Spika, nianze kwanza kum
- Page 51 and 52: tunaambiwa katika Ilani ya Chama ch
- Page 53 and 54: matumizi. Naomba sana Serikali ilif
- Page 55 and 56: vijijini kwamba gharama hizi sasa z
- Page 57 and 58: Tuna vyanzo vingi sana sana lakini
- Page 59: Kwanza kabisa napenda nimshukuru Mw
- Page 63 and 64: anasema hii ni sehemu yangu kama ka
- Page 65 and 66: ninaungana nao na ninaunga mkono ho
- Page 67 and 68: kubwa sana ya ushuru. Sasa hivi hai
- Page 69 and 70: Kwa mfano, kuna Kilwa, kuna Jenga,
- Page 71 and 72: ambalo liko kwenye Ziwa Victoria, y
- Page 73 and 74: wenzake kwa jinsi walivyolishughuli
- Page 75 and 76: nisingependa nianze kurudia yale am
- Page 77 and 78: inawezekana ni katika wale wenye ni
- Page 79 and 80: waendelee kutafiti vyanzo viko ving
- Page 81 and 82: vile ambavyo nchi ilielekeza. Kukaw
- Page 83 and 84: SPIKA: Basi malizia dakika hizo mbi
- Page 85 and 86: wa Nishati na Madini ukurasa wa 57,
- Page 87 and 88: Mheshimiwa Spika, wachimbaji hawa w
- Page 89 and 90: hotuba yake iliyopelekea nitambue a
- Page 91 and 92: watakuwa wakikatishwa tamaa na umem
- Page 93 and 94: nguvu kubwa ya umeme kwa kuwa kuna
- Page 95 and 96: - Ku-publish taarifa zao za mahesab
- Page 97 and 98: Mheshimiwa Spika, kuhusu fedha zili
- Page 99 and 100: na mradi huu, ni dhahiri kuweka bom
- Page 101 and 102: wapewe kipaumbele ili tupate power
- Page 103 and 104: mkubwa juu ya watu waliokutwa na mr
- Page 105 and 106: kwa namna gani? Je, ni kwa maeneo y
- Page 107 and 108: (iv) Diversification; na(v) Intergr
- Page 109 and 110: Mheshimiwa Spika, tarehe 21 Julai k
kwa ajili ya mambo ya ufisaidi. Sasa kwa ajili yamambo hayo ya ufisadi ambayo sasa hivi yanaelekeakuwa wazi na yataendelea kuwa wazi. Tulikuwatunaomba hivi Wizara haya mambo ya IPTL kwa kwelisisi watu ambao ni wa kawaida layman hatujaonavizuri, hatujui yameishia wapi, wataendelea kutuibiafedha mpaka lini. Hawa watu wa DOWANS mpakaleo hatujajua wameishia wapi? Mambo ya Richmondhatujaelewa yataishia wapi?Tulikuwa tunaomba kwa vile mmekuwa na hekimamkafanya mambo mazuri mpaka tukafikia hapo tuliposasa. Tunaomba tujulishwe wazi wazi je, DOWANSimeishia wapi, IPTL itaishia wapi, Richmond iliishiawapi? Ili kusudi tuweze kufuatana na nyietunapokwenda kuweka sawasawa suala hili la umemekupitia hawa TANESCO. Hili tunaliomba sanamtusaidie kuweka mikakati mizuri.Mheshimiwa Spika, pamoja na hilo ningependakuzungumzia pia suala nzima la nishati kuhusu gesi.Kweli tunafurahi kuhusu gesi lakini pia badohatujafanya masuala mengi ya msingi, masuala kamaya sera, masuala kama ya sheria hizo. Lakinininachoomba sasa hivi tusiende haraka sana kwambamimi niweke gesi hapa hilo kweli litakuja.Lakini kwanza nilikuwa nafikiri tungeomba hizosera zije. Lakini hizo sera pia Serikali ihakikishie kwambawatu wengi ambao wana experience wameonakatika sehemu nyingine duniani waweze kuchangiakwa uwazi kabisa hata kama ni kuweka kwenyemagazeti, kwenye TV na kadhalika ili watu waletewe