Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz Read - bunge .parliament.go. tz

bunge.parliament.go.tz
from bunge.parliament.go.tz More from this publisher
12.07.2015 Views

Jakaya Mrisho Kikwete, kwa sababu wameonekanakwamba wamekuwa na ujasiri na wakaweza kufanyakazi hiyo. Nawapongeza sana sana kwa hilo.(Makofi)Mheshimiwa Spika, sasa kwa upande wa umemekama mlivyofanya ni kweli tunawashukurummepunguza bei za umeme kwa faida ya wananchi.Lakini pia tungekuwa tunawaomba kwambamngeenda hatua nyingine kubwa zaidi.Baada ya kupunguza hizo bei za kuunganishaumeme majumbani, tulikuwa tunaomba sasa mfikiriesuala la umeme wenyewe upo juu sana, kiasikwamba hata watu wengi wa kawaida wanashindwahata kuutumia umeme wenyewe, na huenda pia ndilolinalopelekea watu wengine wakaanza kujiunganishiaumeme isivyo halali.Kwa hiyo, nilikuwa nawaomba sana mkae chinitena kwa maarifa na hekima kabisa kama mlivyofanyakupunguza bei za kuunganisha umeme majumbanimfanye hili suala muone jinsi ambavyo mtawezakufanya kuweza kuwafikia watumiaji mmoja mmoja nawale wa chini kupunguza hizi bei za umeme. Lakinipia ninawapongeza kwa dhati na ninaomba Munguawabariki kwa hilo mwendelee.Mheshimiwa Spika, ni kwamba TANESCO limekuwaShirika letu na limekuwa na matatizo mengi, na kwakweli katika majadiliano yetu tumeona kwambalimetetereka. Lakini pia kuna jambo nzuri ambaloMungu ametuonyesha kwamba lilikuwa linatetereka

kwa ajili ya mambo ya ufisaidi. Sasa kwa ajili yamambo hayo ya ufisadi ambayo sasa hivi yanaelekeakuwa wazi na yataendelea kuwa wazi. Tulikuwatunaomba hivi Wizara haya mambo ya IPTL kwa kwelisisi watu ambao ni wa kawaida layman hatujaonavizuri, hatujui yameishia wapi, wataendelea kutuibiafedha mpaka lini. Hawa watu wa DOWANS mpakaleo hatujajua wameishia wapi? Mambo ya Richmondhatujaelewa yataishia wapi?Tulikuwa tunaomba kwa vile mmekuwa na hekimamkafanya mambo mazuri mpaka tukafikia hapo tuliposasa. Tunaomba tujulishwe wazi wazi je, DOWANSimeishia wapi, IPTL itaishia wapi, Richmond iliishiawapi? Ili kusudi tuweze kufuatana na nyietunapokwenda kuweka sawasawa suala hili la umemekupitia hawa TANESCO. Hili tunaliomba sanamtusaidie kuweka mikakati mizuri.Mheshimiwa Spika, pamoja na hilo ningependakuzungumzia pia suala nzima la nishati kuhusu gesi.Kweli tunafurahi kuhusu gesi lakini pia badohatujafanya masuala mengi ya msingi, masuala kamaya sera, masuala kama ya sheria hizo. Lakinininachoomba sasa hivi tusiende haraka sana kwambamimi niweke gesi hapa hilo kweli litakuja.Lakini kwanza nilikuwa nafikiri tungeomba hizosera zije. Lakini hizo sera pia Serikali ihakikishie kwambawatu wengi ambao wana experience wameonakatika sehemu nyingine duniani waweze kuchangiakwa uwazi kabisa hata kama ni kuweka kwenyemagazeti, kwenye TV na kadhalika ili watu waletewe

kwa ajili ya mambo ya ufisaidi. Sasa kwa ajili yamambo hayo ya ufisadi ambayo sasa hivi yanaelekeakuwa wazi na yataendelea kuwa wazi. Tulikuwatunaomba hivi Wizara haya mambo ya IPTL kwa kwelisisi watu ambao ni wa kawaida layman hatujaonavizuri, hatujui yameishia wapi, wataendelea kutuibiafedha mpaka lini. Hawa watu wa DOWANS mpakaleo hatujajua wameishia wapi? Mambo ya Richmondhatujaelewa yataishia wapi?Tulikuwa tunaomba kwa vile mmekuwa na hekimamkafanya mambo mazuri mpaka tukafikia hapo tuliposasa. Tunaomba tujulishwe wazi wazi je, DOWANSimeishia wapi, IPTL itaishia wapi, Richmond iliishiawapi? Ili kusudi tuweze kufuatana na nyietunapokwenda kuweka sawasawa suala hili la umemekupitia hawa TANESCO. Hili tunaliomba sanamtusaidie kuweka mikakati mizuri.Mheshimiwa Spika, pamoja na hilo ningependakuzungumzia pia suala nzima la nishati kuhusu gesi.Kweli tunafurahi kuhusu gesi lakini pia badohatujafanya masuala mengi ya msingi, masuala kamaya sera, masuala kama ya sheria hizo. Lakinininachoomba sasa hivi tusiende haraka sana kwambamimi niweke gesi hapa hilo kweli litakuja.Lakini kwanza nilikuwa nafikiri tungeomba hizosera zije. Lakini hizo sera pia Serikali ihakikishie kwambawatu wengi ambao wana experience wameonakatika sehemu nyingine duniani waweze kuchangiakwa uwazi kabisa hata kama ni kuweka kwenyemagazeti, kwenye TV na kadhalika ili watu waletewe

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!