Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz Read - bunge .parliament.go. tz

bunge.parliament.go.tz
from bunge.parliament.go.tz More from this publisher
12.07.2015 Views

Dunstan Mkapa, Mheshimiwa Murtaza Mangungu,Mheshimiwa Abdalla Haji Ali, Mheshimiwa Said MussaZubeir, Mheshimiwa Bahati Ali Abeid, Mheshimiwa Eng.Hamad Yussuf Masauni, Mheshimiwa Amina NassoroMakilagi, Mheshimiwa Zitto Kabwe, Mheshimiwa NassirYussuf, Mheshimiwa Jenista Mhagama na ndugu zanguwaliowakilisha hapa Mheshimiwa Steven Maselle naMheshimiwa George Simbachawene.Waheshimiwa Wabunge, napenda kusisitiza fursaniliyowapatia kwamba, huenda muda hautoshi namaswali mnayo mengi sana. Wizara yetu inatakakufanya kazi karibu sana na ninyi. Kwa hiyo,nimewaagiza wafanyakazi wote ambao wapo hapakwa ajili ya bajeti wakiwa na Wakuu wao wa Vitengo,kuanzia kesho watasikiliza hoja zenu ambazo mnazo.Kwa hiyo, kesho Jumapili, kati ya saa tatu asubuhimpaka saa saba, tafadhali kama una tatizo lolote hasaukiangalia ile michoro, tuliwapatia njooni ofisini kwetu,ofisi ipo nyuma ya Dodoma Hoteli. Watakaa hapahapa Jumatatu na Jumanne kuanzia saa mbili asubuhimpaka saa 12 jioni. Kwa hiyo, jamani wenye kiu yamaswali tunawakaribisha sana. (Makofi)Pili, napenda sasa niwaeleze kidogo tatizo ambalolimeleta mambo mengi, la TANESCO nadhani ni vizurimlisikie kutoka kwangu mwenyewe. Kabla sijalisemahilo, kuna vitu viwili ambavyo ni vya muhimu sana.Napenda niwaeleze Waheshimiwa Wabunge naWatanzania wote wanaotusikiliza hapa; alikuwepoMwanafilosofia mmoja, mwenyeji wa Scotland,walikuwa kwenye majadiliano mengi sana ya mambo

ya filosofia. Mwaka 1852 alisema nitayatafsiri kwaKiswahili baadaye.Alisema truth like a touch, the more it shock itshines, narudia tena hii ni lugha ya zamani kidogo, siyoKiingereza chepesi cha siku hizi. Truth like a touch, themore it shock it shines, yaani ukweli ni kama tochi aukurunzi yenye betri, ndani unavyozidi kuitingisha ndivyojinsi ambavyo mwanga unazidi kuwaka. Unajua tafsirihizi unamwachia mtu mwenyewe huwezi ukamtafsiria.(Makofi)Wa pili, alikuwepo Mwandishi maarufu sana waKimarekani alikuwa anaitwa Walter Lipman, tarehe 14Aprili, 1945 alikuwa Mwandishi wa New York HeradTribunal, Gazeti la New York lile, ni kubwa sana mpakasasa hivi bado lipo. Tarehe 14 Aprili, 1945 alisema haya:“The final test of a leader is that he lives behind him inother men the conviction and the will to carry on.”Naomba nirudie tena: “The final test of a leader is thathe lives behind him in other men the conviction andthe will to carry on.” Kwa maneno mengine, ukitakakujua mafanikio ya Kiongozi yeyote ni yule ambayeameacha kitu nyuma, amewaacha watu nyumaambao wanataka kuyaendeleza yale aliyoyaacha.Kwa siku chache nilizokaa hapa Bungeni, hapa nduguzangu mtakapokuwa mnafanya hii tafsiri kuna makundiya watu wawili; kuna kundi la Mwalimu Nyerere, kunakundi la Marehemu Sokoine na kuna kundi la Kawawa.Utakavyokuwa unafanya tafsiri, kuna kundi lingine laMobutu, kuna kundi la Bokasa na kundi la Abani.(Makofi/Kicheko)

Dunstan Mkapa, Mheshimiwa Murtaza Mangungu,Mheshimiwa Abdalla Haji Ali, Mheshimiwa Said MussaZubeir, Mheshimiwa Bahati Ali Abeid, Mheshimiwa Eng.Hamad Yussuf Masauni, Mheshimiwa Amina NassoroMakilagi, Mheshimiwa Zitto Kabwe, Mheshimiwa NassirYussuf, Mheshimiwa Jenista Mhagama na ndugu zanguwaliowakilisha hapa Mheshimiwa Steven Maselle naMheshimiwa George Simbachawene.Waheshimiwa Wa<strong>bunge</strong>, napenda kusisitiza fursaniliyowapatia kwamba, huenda muda hautoshi namaswali mnayo mengi sana. Wizara yetu inatakakufanya kazi karibu sana na ninyi. Kwa hiyo,nimewaagiza wafanyakazi wote ambao wapo hapakwa ajili ya bajeti wakiwa na Wakuu wao wa Viten<strong>go</strong>,kuanzia kesho watasikiliza hoja zenu ambazo mnazo.Kwa hiyo, kesho Jumapili, kati ya saa tatu asubuhimpaka saa saba, tafadhali kama una tatizo lolote hasaukiangalia ile michoro, tuliwapatia njooni ofisini kwetu,ofisi ipo nyuma ya Dodoma Hoteli. Watakaa hapahapa Jumatatu na Jumanne kuanzia saa mbili asubuhimpaka saa 12 jioni. Kwa hiyo, jamani wenye kiu yamaswali tunawakaribisha sana. (Makofi)Pili, napenda sasa niwaeleze kido<strong>go</strong> tatizo ambalolimeleta mambo mengi, la TANESCO nadhani ni vizurimlisikie kutoka kwangu mwenyewe. Kabla sijalisemahilo, kuna vitu viwili ambavyo ni vya muhimu sana.Napenda niwaeleze Waheshimiwa Wa<strong>bunge</strong> naWatanzania wote wanaotusikiliza hapa; alikuwepoMwanafilosofia mmoja, mwenyeji wa Scotland,walikuwa kwenye majadiliano mengi sana ya mambo

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!