Chakula Kwa Elimu: ni Nini? - Tanzania Education Network ...

Chakula Kwa Elimu: ni Nini? - Tanzania Education Network ... Chakula Kwa Elimu: ni Nini? - Tanzania Education Network ...

Issue12_3_col Swa1.pdf 1 11/19/09 9:35 AM<strong>Elimu</strong> Yetu/<strong>Chakula</strong> <strong>Kwa</strong> <strong>Elimu</strong>: <strong>ni</strong> Ni<strong>ni</strong>?Kurasa 2wasichana wanaondokakatika mfumo wa shule.Mpango wa chakula kwaelimu (Food For<strong>Education</strong>—FFE)umeongeza uandikishajiwa wasichana kwa 28% nawa wavulana kwa 22%Nchi<strong>ni</strong> Tanza<strong>ni</strong>a ugawajiwa chakula shule<strong>ni</strong>umeongeza mahudhurio yakawaida ya wanafunzi.Kiwango cha mahudhuriokatika shule za msingizilizo katika mpango wa<strong>Chakula</strong> kwa Shulekimeongezeka 79% kwawavulana na 76% kwawasichana katika mwaka2003; 80% kwa wavulanana 82% kwa wasichanakatika mwaka 2006Ongezeko la mahudhuriokwa mwaka 2003 hadi2006 imekuwa 1% kwawavulana, 6% kwawasichana. <strong>Chakula</strong> chashule kimesaidia piakupunguza kiwango chawanafunzi wanaoachashule. Nchi<strong>ni</strong> Tanza<strong>ni</strong>akiwango cha wanafunziwanaoacha shule katikashule zilizo chi<strong>ni</strong> <strong>ni</strong>mpango ya <strong>Chakula</strong> kwaShule kimepungua: Mwaka2003 kwa 60%, na 2004kwa 3.5% Pia kunaushahidi madhubuti kuwachakula kinasababishakuboresha matokeo yamasomo.Wanafunzi waliopewachakula cha mchanashule<strong>ni</strong> kwa miaka miwiliwamekuwa na matokeomazuri mwisho wamafunzo kwa ongezeko lakipimo cha idadi (IQ) laalama 3.8 zaidi ya waleambao hawakupewachakula cha mchanashule<strong>ni</strong>. Kumekuwa naongezeko la alama 11katika mazoezi ya hisabatiyaliyoidhi<strong>ni</strong>shwa. Pia kunamanufaa mengine katikajamii yatokanayo hudumaya chakula shule<strong>ni</strong>. Katikamaendeleo ya wananchi,chakula cha shulekinalazimu uzalishaji kwawakulima wadogowadogo. Nchi<strong>ni</strong> Brazili50% ya bajeti ya fedhakwa ajili ya wakulimawadogo inatumikakununua chakula katikangazi ya ma<strong>ni</strong>spaa nawilaya. Uwezeshaji wajamii pia unongezeka.<strong>Chakula</strong> cha shulekinakuwa kama chachukwa asasi za jamii katikausindikaji na upishi. Piakunaonyesha uhai zaidikwa chama kikuu chawalimu (Parent TeachersAssociation)kilichoshawishikakushirikishwa katikausimamizi wa mpango wa<strong>Chakula</strong> kwa Shule.<strong>Chakula</strong> cha shulekinakuwa pia <strong>ni</strong> mahali pashughuli za afya na lishe(The Essential Package).Kanu<strong>ni</strong> ambayo chakulacha shule inahimiza <strong>ni</strong>kwamba kuwe na chakulasalama, chenye lishe, majisafi, usafi unaotakiwa,busta<strong>ni</strong> za shule, namazingira safi ya afya yashule. <strong>Kwa</strong> muhtasarivipengele vya mafa<strong>ni</strong>kioya mpango wa chakulakwa elimu wa WFP <strong>ni</strong>kama vifuatavyo:Kunahitajika sera kamilikuhusu chakula cha shule.Kuweka vigezo vyamafa<strong>ni</strong>kio vinavyokuwakama malengo mahususikwa wote wanaohusika.Mkabala wa Awamu(Phased Approach) ambaounahusisha ahadi zaserikali zinazohusishawizara mbalimbali,mchango wa jamii nakununua kwa kuhisishasekta binafsi. Kuna namnambalimbali za mpango huokama vile Mkabala waAwamu Umuhimu kujengauwezo (Botwana, CIV),ngazi za juu na za jamiikushirikishwa tangumwanzo (Namibia), Nchi<strong>ni</strong>Swaziland wazazi wanatoamchango wa fedha taslimu.Nchi<strong>ni</strong> El Salvador, wazaziwanajitolea kwa hali nachakula cha nyongeza,wanajitokeza kufanyakaziya kutayarisha chakula,ugawaji na kujitolea ku<strong>ni</strong>.Gharama WFP inatoachakula kwa kiasi cha 3%ya watoto wa shule zamsingi nchi<strong>ni</strong> Tanza<strong>ni</strong>agharama ya kumlishamtoto (kwa kuzingatia beiza sasa za chakula kuwa zajuu) <strong>ni</strong> senti 16 (Tshs.192)kwa siku, au Dola zaMareka<strong>ni</strong> 31 (Tshs.37,000) kwa mwaka.Kuwalisha kiasi chawatoto 285,000 katikamaeneo yasiyo na uhakikawa chakula kwenye wilaya13 za Tanza<strong>ni</strong>akutagharimu Dola zaMareka<strong>ni</strong> 8.8 milio<strong>ni</strong>.


page 4.pdf 1 11/19/09 10:32 AM


Issue12_3_col Swa1.pdf 1 11/19/09 10:35 AM


Issue12_3_col Swa1.pdf 1 11/19/09 10:18 AM


Issue12_3_col Swa1.pdf 1 11/19/09 10:14 AM


Issue12_3_col Swa1.pdf 1 11/19/09 10:36 AMJuzuu ya 3: Toleo 12Kuhusu TEN/METDira, Dira ya TEN/MET <strong>ni</strong> Tanza<strong>ni</strong>aambayo watu wote na hasa watotowanafurahia upatikanaji na ushirikishwajiwa kweli katika fursa za kujifunza,ili waweze kufikia kilele cha uwezo waona kuishi maisha bora na jumuishiDhamiraDhamira ya TEN/MET <strong>ni</strong> kufanya kazipamoja na asasi zisizokuwa za kiserikali(NGOs), asasi za kidi<strong>ni</strong> (FBOs), Asasiza kijamii (CBOs) katika ushawishi nautekelezaji wa sera ya elimu ili kukuzadhana ya uwajibikaji wa jamii, kuhakikishafursa sawa ya kujifunza kwa watuwote bila ubaguzi.Malengo/Madhumu<strong>ni</strong>Wadau wa elimu (Mitandao ya wilaya,CBOs, NGOs za nchi<strong>ni</strong>, wanafunzi naviongozi wa wilaya) wanashiriki katikamikutano mbalimbali kudai mwitikiomkubwa zaidi na uwajibikaji katikautekelezaji wa sera za elimu kuhakikishaupataji sawa wa elimu ya msingi kwawote nchi<strong>ni</strong> Tanza<strong>ni</strong>a.ShughuliTitashirikiana na wadau kushughulikiachangamoto kwa kushawishi sera zaelimu kwa njia ya: Mawasiliano na upashanaji wa habari Kujenga uwezo Mijadala kuhusu sera na utetezi na Kufuatilia athari ya sera katika ngazi yawilaya.TEN/MET inafanya jitihada ya kuhakikishakuwa inakidhi matarajio ya wanachamawake. Huu <strong>ni</strong> mchakato ambapoTEN/MET haina budi kuweka njia zamawasiliano zinazoeleweka ili mahitajiya jamii yaweze kuingizwa katika mfumowa utungaji sera na watu wawezewanapata elimu. EN/MET Katika kufanyahivi, TEN/MET haina budi kudumishaubia wake na serikali na wabia wamaendeleo (wahisa<strong>ni</strong>) ili kujenga uami<strong>ni</strong>fu,kutambuliwa na kujiami<strong>ni</strong>,TEN/MET haina budi kuweka uhusianomzuri katika ngazi zote na serikali nawahisa<strong>ni</strong> wakati huo huo kudumishamtazamo wetu wa kuchukua msimamowetu katika masuala ya kutoelewana aukutokubaliana.Kurasa 9


Issue12_3_col Swa1.pdf 1 11/19/09 9:56 AMISSN 18327362

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!